forked from WA-Catalog/sw_tn
402 B
402 B
Kwa maana nilipokea kutoka kwa Bwana kile ambacho nimewapa ninyi ya kuwa Bwana
" kwa kuwa nilichosikia kutoka kwa Bwana ndicho niliwaambia ninyi, na ilikuwa hivi: Bwana"
usiku ule aliposalitiwa
kielezwa kwa muundo tenda: "usiku ule Yesu aliposalitiwa na Yuda Iskariote "
aliuvunja
" aliupasua mkate katika vipande vidogo vidogo"
Huu ndio mwili wangu
"Mkate ninaoshikilia ni mwili wangu"