forked from WA-Catalog/sw_tn
560 B
560 B
Hukumuni wenyewe
"Hukumuni suala hili kulingana na desturi za ndani na taratibu za kanisa mnazozijua"
Ni sahihi mwanamke amwombe Mungu hali kichwa chake kikiwa wazi?
Ikielezewa katika muundo tendaji:-"Kwa kumheshimu Mungu, mwanamke lazima amwombe Mungu akiwa amefunika kichwa chake."
Je hata asili peke yake haiwafundishi...kwake?
Paulo anatarajia Wakorintho wakubaliane naye kuwa " Hali ya asili huwafundisha" kwa maneno mengine " Mnajua hili kwa kutazama watu wanavyofanya kila mara"
amepewa zile nywele
" Mungu alimuumba mwanamke na nywele"