forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
415 B
Markdown
17 lines
415 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Mwandishi anamwomba Mungu kuwashinda adui wa Israeli kama alivyofanya kipindi cha nyuma.
|
|
|
|
# Orebu ... Zeebu ... Zeba ... Zalmuna
|
|
|
|
Haya yote ni majina ya wafalme.
|
|
|
|
# Wakasema
|
|
|
|
Hapa "Wakasema" inamaanisha Orebu, Zeebu, Zeba na Zalmuna.
|
|
|
|
# malisho ya Mungu
|
|
|
|
Mwandishi anazungumzia nchi ya Israeli kana kwamba ni nchi kwa ajili ya kondoo kula na Mungu alikuwa mchungaji wao aliyekuwa akiwachunga.
|
|
|