sw_tn/psa/083/011.md

17 lines
415 B
Markdown

# Taarifa ya Jumla:
Mwandishi anamwomba Mungu kuwashinda adui wa Israeli kama alivyofanya kipindi cha nyuma.
# Orebu ... Zeebu ... Zeba ... Zalmuna
Haya yote ni majina ya wafalme.
# Wakasema
Hapa "Wakasema" inamaanisha Orebu, Zeebu, Zeba na Zalmuna.
# malisho ya Mungu
Mwandishi anazungumzia nchi ya Israeli kana kwamba ni nchi kwa ajili ya kondoo kula na Mungu alikuwa mchungaji wao aliyekuwa akiwachunga.