forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
860 B
Markdown
25 lines
860 B
Markdown
# Umetuleta kwenye wavu
|
|
|
|
Mwandishi anazungumzia adhabu ya Mungu kana kwamba Mungu aliwashika watu wake katika wavu.
|
|
|
|
# wavu
|
|
|
|
mtego kwa ajili ya ndege au mnyama
|
|
|
|
# umeweka mzigo mkubwa viunoni mwetu
|
|
|
|
Mwandishi anazungumzia kile ambacho watu wamestahamili kama kulazimika kubeba mizigo mizito migongoni mwao.
|
|
|
|
# Umewafanya watu kuendesha juu ya vichwa vyetu
|
|
|
|
Hii ni picha ya kushindwa vibaya vitani. "Ni kana kwamba adui zetu wametushinda vitani na wameendesha vibandawazi vyetu juu ya miili yetu iliyoanguka"
|
|
|
|
# tulipita katika moto na maji
|
|
|
|
Mungu aliwajaribu kwa maafa ya asili kama moto na mafuriko. "tuliteseka kama watu wanavyoteseka kutokana na moto na mafuriko"
|
|
|
|
# sehemu yenye nafasi
|
|
|
|
Mwandishi anazungumzia baraka walizonazo sasa watu wa Israeli kana kwamba wameletwa katika nafasi kubwa ya wazi ambapo wako salama. "nafasi ya wazi ambapo tuko salama"
|
|
|