forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
649 B
Markdown
17 lines
649 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Daudi anaendelea kueleza kile amabacho hatia na aibu yake inavyoufanya mwili wake. Anatumia kauli iliyokuzwa kuweka mkazo madhara ya somo hili.
|
|
|
|
# hakuna afya katika mifupa yangu kwa sababu ya dhambi yangu
|
|
|
|
Hapa "mifupa yangu" inawakilisha mwili wa mwandishi. "mwili wangu wote unaugonjwa kwa sababu ya dhambi yangu"
|
|
|
|
# udhalimu wangu unanilemea
|
|
|
|
Udhalimu wa mwandishi unazungumziwa kana kwamba ni mafuriko ya maji yanayomfunika. "udhalimu wangu unanifunika kama mafuriko"
|
|
|
|
# ni mzigo mzito sana kwangu
|
|
|
|
Udhalimu wa mwandishi unazungumziwa kana kwamba ni mzigo asioweza kuinua. "ni kama mzigo ulio mzito sana kwangu kunyanyua"
|
|
|