forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
840 B
Markdown
25 lines
840 B
Markdown
# Kwa kuwa ufalme ni wa Yahwe
|
|
|
|
Hapa "ufalme" unaashiria utawala wa Mungu kama mfalme. "Kwa kuwa Yahwe ni mfalme"
|
|
|
|
# yeye ni mtawala juu ya mataifa
|
|
|
|
Hapa "mataifa" yanaashiria watu wa mataifa. "anawatawala watu wa mataifa"
|
|
|
|
# wata kuwa na karamu
|
|
|
|
Watu watakula pamoja kwenye karamu. "watakula pamoja" au "watakula chakula cha sherehe pamoja"
|
|
|
|
# wale wote wanaoenda chini kwenye vumbi ... wale ambao hawawezi kuhifadhi maisha yao wenyewe
|
|
|
|
Misemo hii miwili inaashiria kundi moja. Zote zinamaanisha watu wote kwa kuwa watu wote watakufa.
|
|
|
|
# wale wote wanaoshuka kwenye vumbi
|
|
|
|
Hapa "vumbi" linamaanisha kaburi. Msemo "wanaoshuka kwenye vumbi" ni njia ya kusema mtu anakufa. "wale wanaokufa" au "wale waliokufa"
|
|
|
|
# wale ambao hawawezi kuhifadhi maisha yao wenyewe
|
|
|
|
"wale ambao hawawezi kuokoa maisha yao" au "wale ambao hawawezi kujizuia kufa"
|
|
|