forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
498 B
Markdown
25 lines
498 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anaanza kuwaambia wanfunzi wake kuwa tayari kwa ajili ya kurudi kwake
|
|
|
|
# Ndipo.
|
|
|
|
Wakati Mwana wa Adamu ajapo.
|
|
|
|
# Mmoja atachukulia, na mmoja ataachwa nyuma.
|
|
|
|
Maana za karibu: 1. Mungu atamchukuwa mmoja kwenda mbinguni na ataacha mmoja duniani kwa ajili ya adhabu, au 2. Malaika watamchukua mmoja kwa ajili ya adhabu na kumuacha mwingine kwa ajili ya baraka.
|
|
|
|
# Kinu.
|
|
|
|
Chombo cha kusagia.
|
|
|
|
# Kwa hiyo.
|
|
|
|
"Kwa sababu ya kile nilicho waambia."
|
|
|
|
# Kuweni macho.
|
|
|
|
Kaa tayari.
|
|
|