forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
641 B
Markdown
25 lines
641 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Mandhari yanabadilika nakuto[eleka wakati wa mbale. Yesu anatumia nafasi ya kuwaonya wanafunzi juu ya Mafarisayo na Masadukayo
|
|
|
|
# upande wa pili
|
|
|
|
upande wa pili wa ziwa au upande wa pili wa bahari ya Galilaya
|
|
|
|
# chachu ya Mafarisayo na Masadukayo
|
|
|
|
Hapa chachu inamaanisha mawazo macahfu na mafundisho yasiyo sahihi ya Mafarisayo Tazama 16:12.
|
|
|
|
# Wakahojiana miongoni mwao
|
|
|
|
wakajadiliana
|
|
|
|
# eneyi wenye imani ndogo
|
|
|
|
Ninyi mlio na imani ndogo Tazama 6:30
|
|
|
|
# kwa nini mnawaza... hamkuchukua mikate
|
|
|
|
Ninasikitika kuwa mnadhani kuwa mlisahau kuchukua mikate kwa sabasbu nimeongea juu ya chahu ya Mafarisayo na Masadukayo.
|
|
|