forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
1.2 KiB
Markdown
33 lines
1.2 KiB
Markdown
# Maelezo kwa ujumla
|
|
|
|
Hapa mandhari yanahamia kwenye kitu kingine mahali ambapo mafarisayo wanamkosoa Yesu kwa kumponya mtu siku ya Sabato.
|
|
|
|
# Kisha Yesu akaondoka pale
|
|
|
|
"Yesu akaondoka kwenye lile shamba la ngano" au "Kisha Yesu akaondoka"
|
|
|
|
# Sinagogi lao
|
|
|
|
"singogi" Hapa "lao" inamaanisha Wayahudi kwa ujumla na wala si Mafarisayo tu, kutokana na kipengere kilichopita.
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
Neno " tazama" linatuelekeza kwa mtu mwingine katka simulizi. Lugha yako inaweza kuwa na njia ya kulifanya hili.
|
|
|
|
# mtu aliyepooza mkon
|
|
|
|
"mtu alikuwa namkono uliopooza" au "mtu mwenye ulemavu wa mkono"
|
|
|
|
# Mafarisayo wakamuuliza Yesu wakisema . J"e, ni halali kumponya mtu siku ya Sabato? Ili kwamba waweze kumshitaki kwa kutenda dhambi
|
|
|
|
"Mafarisayo walitaka kumshitaki Yesu kwa kutenda dhambi, kwa hiyo walimuuliza, 'Je, ni halali kuponya siku ya Sabato?"
|
|
|
|
# Je, ni halali kuponya siku yaSabato?
|
|
|
|
Kwa mjibu wa sharia za Musa, Yawezekana mtu kumponya mtu mwingine siku ya Sabato?"
|
|
|
|
# ili waweze kumshitaki kwa kutenda dhambi
|
|
|
|
Si tu walitaka kumshitaki Yesu mbele za watu, Mafarisayo walitaka Yesu atoa jibu linalopingana na sheria ili waweze kumpeleka kwa hakimu iwamshitaki kwa kuvunja sheria.
|
|
|