forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
837 B
Markdown
37 lines
837 B
Markdown
# walipofika
|
|
|
|
Neno "walipofika" inajumuisha maaskari, wahalifu na Yesu.
|
|
|
|
# wakamsulunisha
|
|
|
|
"maaskari wakamsulubisha Yesu"
|
|
|
|
# mmoja upande wa kulia
|
|
|
|
"mmoja wa wahalifu aliwekwa upande wa kulia wa Yesu"
|
|
|
|
# na mwingine upande wa kushoto
|
|
|
|
" na muhalifu mwingine aliwekwa upande wa kushoto mwa Yesu"
|
|
|
|
# Baba, uwasamehe wao
|
|
|
|
Neno "wao" inamaanisha wale wanao msulubisha Yesu. Yesu aliongea kwa huruma na Baba yake juu ya wanaume waliokuwa wanamsulubisha"
|
|
|
|
# Baba
|
|
|
|
Hii ni cheo muhimu kwa Mungu
|
|
|
|
# kwa kuwa hawajui watendalo
|
|
|
|
"kwasababu hawajui kile wanachokifanya". Maaskari hawakujua kuwa wanamsulubisha Mwana wa Mungu. Kwasababu hakika hawamjui ni nani wanayemsulubisha"
|
|
|
|
# wakapiga kura
|
|
|
|
Maaskari walifanya aina ya kamari "walifanya kamari"
|
|
|
|
# kugawa mavazi yake
|
|
|
|
"kuamua nani kati ya maaskari atapeleka nyumbani sehemu ya mavazi ya Yesu"
|
|
|