forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
602 B
Markdown
17 lines
602 B
Markdown
# Taarifa ya jumla
|
|
|
|
Hii ni sehemu inayofuata ya simulizi. hatufahamu ilitokea wapi, japo inaweza kuwa wapo hekaluni. Yesu anaongea na Masadukayo.
|
|
|
|
# Waliokuwa wanasema kuwa hamna ufufo
|
|
|
|
Maneno haya yanatambulisha Mawadukayo ambao ni kundi la Wayahudi wanaosema hakuna atakayefufuliwa toka kwa wafu. Haimaanishi kuwa baadhi ya masadukayo wanaamini kuwa kuna ufufuo na wengine hawaamini.
|
|
|
|
# Ikiwa mtu akifiwa na kaka yake aliyekuwa na mke na hana mtoto.
|
|
|
|
"Ikiwa mtu akifiwa na kaka yake wakati ana mke lakini hawana watoto"
|
|
|
|
# mtu atamchukua mke wa kaka yake
|
|
|
|
"mtu atamuoa mjane aliyefiwa na mume wake"
|
|
|