forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
702 B
Markdown
25 lines
702 B
Markdown
# Mtumishi yule
|
|
|
|
Hii ina maanisha yule mtumishi ambaye bwana alimuweka juu ya wengine
|
|
|
|
# akisema moyoni mwake
|
|
|
|
"akafikiri ndani yake"
|
|
|
|
# bwana wangu anakawia kurudi
|
|
|
|
"bwana wangu hatarudi mapema"
|
|
|
|
# watumishi wa kiume na wa kike
|
|
|
|
Neno lililotafsiriwa hapa kama "watumishi wa kiume na Kike" mara nyingi hutafsiriwa kama "wavulana" na "wasichana". Inaweza kuashiri kuwa watumishi walikuwa vijana au wanao pendwa sana na bwana wao.
|
|
|
|
# katika siku asiyotegemea
|
|
|
|
"wakati mtumishi hamtegemei"
|
|
|
|
# kumuweka katika sehemu pamoja na wasio waaminifu
|
|
|
|
Inaweza kuwa na maana zifuatazo: 1) Ile hali ya bwana kutoa adhabu kali kwa mtumishi wake. 2) Hii inaelezea jinsi ambavyo mtumishi atakavyo vyongwa kama adhabu.
|
|
|