forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
938 B
Markdown
29 lines
938 B
Markdown
# kauli inayounganisha
|
|
|
|
Yesu alimaliza kufundisha wanafunzi wake kuhusu maombi.
|
|
|
|
# Nani kati yenu...nyoka?
|
|
|
|
Yesu alitumia maswali kufundisha wanafunzi wake. " Hamna kati yenu...nyoka"
|
|
|
|
# Mkate
|
|
|
|
"Mkate" au "Kiasi cha cakula"
|
|
|
|
# au badalaya samaki, nyoka?
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. "Au, kama akiomba samaki, hutampa nyoka"
|
|
|
|
# Nnge
|
|
|
|
Nge ni kama buibui , lakini ana mkia wenye sumu unao choma. Kama Nnge hafahamiki sehemu unayoishi, waweza kutafsiri kama "buibui mwenye sumu" au "Buibu anayechoma"
|
|
|
|
# kama ninyi mlio waovu mnajua
|
|
|
|
"kwa kuwa ninyi mlio waovu mnajua " au "hata japokuwa ninyi ni watenda dhambi , mnajua"
|
|
|
|
# Je si zaidi Baba yenu wa mbinguni atawapa na kuzidi Roho Mtakatifu ... wamuombao?
|
|
|
|
Je si zaidi na kwa uhakika Baba yenu wa mbinguni atawapa Roho Mtakatifu ...Yeye? Yesu alitumia maswali tena kuwafundisha wanafunzi wake. "Uwe na uhakika kuwa Baba yenu wa Mbinguni atawapatia Roho Mtakatifu...yeye"
|
|
|