forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
1.1 KiB
Markdown
37 lines
1.1 KiB
Markdown
# Huyu ndiye aliyeandikiwa
|
|
|
|
"Nabii huyo ni yule manabii waliyeandika kumhusu" au "Yohana ni yule manabii walimwandika wakati mrefu uliopita"
|
|
|
|
# Tazama, mimi namtuma
|
|
|
|
katika mstari huu, Yesu anamnukuu nabii Malaki na kusema kuwa Yohana ni mjumbe wa kile Malaki alisema.
|
|
|
|
# Mbele ya uso wako
|
|
|
|
Nahau inamaana "Mbele yako" or "kwenda mbele yako"
|
|
|
|
# yako
|
|
|
|
Neno "Yako" ni umoja kwa sababu Mungu aliongea kwa masihi katika nukuu.
|
|
|
|
# Nasema kwako
|
|
|
|
Yesu alikuwa anaongea na makutano hivyo "Ninyi" ni wingi. Yesu alitumia kirai hiki kusisitiza ukweli wa vitu vya kushangaza aliokuwa anaenda kuusema.
|
|
|
|
# kati ya waliozaliwa na mwanamke
|
|
|
|
"baadhi ya wale mwanamke amewazaa" hii ni sitiari lakini inalenga kwa watu wote. NI: "watu wote waliowahi kuishi."
|
|
|
|
# Hakuna aliye mkuu kuliko John
|
|
|
|
"Yohana ni mkuu zaidi"
|
|
|
|
# angalau mtu mhimu katika ufalme wa Mungu
|
|
|
|
Hii inahusiana na kila mtu ambaye ni sehemu ya ufalme ambao Mungu atauanzisha.
|
|
|
|
# Ni mkuu kuliko alivyo
|
|
|
|
kiwango cha kiroho cha watu katika ufalme wa Mungu kitakuwa cha juu kuliko cha watu kabla ya ufalme uliokuwa umeanzishwa. NI: "kiwango cha kiroho cha juu kuliko Yohana"
|
|
|