# Naye akamkatakata kondoo
"Musa akamkata kondoo"
# ilitoa harufu ya kupendeza
Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 1:7
# sadaka iliyofanywa kwa Yahweh kwa moto
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Sadaka aliyoiteketeza kwa Yahweh"