forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
648 B
Markdown
21 lines
648 B
Markdown
# Taarifa za jumla
|
|
|
|
Mungu anaongea na watu wa mataifa yaliyozunguka Israeli.
|
|
|
|
# kwa nini unanikasilikia
|
|
|
|
Mungu hutumia swali hili kuwashawishi watu wa Tiro, Sidoni na Ufalme. AT "Huna haki ya kunikasikia"
|
|
|
|
# Je! mutanirudishia malipo?
|
|
|
|
'Je, utajipiza kisasi?' Mungu anatumia swali hili kuwafanya watu kufikiri juu ya kile wanachokifanya. AT 'Unafikiri unaweza kulipiza kisasi juu yangu'
|
|
|
|
# mara moja nitawarudishia malipo yenu juu ya vichwa vyenu wenyewe
|
|
|
|
Hapa neno "kichwa' linamaanisha mtu. Kisasi ambacho walitaka kuelekea Bwana, atawafanyia. AT "Nitawafanya uhukumiwe kwamba ulijaribu kuniweka"
|
|
|
|
# nitawarudishia
|
|
|
|
kulipiza kisasi" au "kulipa"
|
|
|