forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
515 B
Markdown
25 lines
515 B
Markdown
# walinisubiri daima kama walivyosubiri mavua
|
|
|
|
watu walimsubiri kwa subira na kutarajia kusikia mambo mema.
|
|
|
|
# "walisubiri kwa hamu niongee ili wanufaike kutoka katika usemi wangu"
|
|
|
|
kama walivyofanya kwa mvua ya masika
|
|
|
|
# "wakulima walisubiri kwa hamu mvua ya masika"
|
|
|
|
mvua ya masika
|
|
|
|
# mvua ya masika
|
|
|
|
hii ni mvua kubwa ambayo hunyesha kabla ya majira ya ukame
|
|
|
|
# nilitabasamu kwa ajili yao
|
|
|
|
"nilitabasamu kwa aji yao ili kuwafariji"
|
|
|
|
# mwanga wa uso wangu
|
|
|
|
hii inawakilisha ukarimu waliouna katika sura ya Ayubu
|
|
|