forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
318 B
Markdown
13 lines
318 B
Markdown
# Yahwe anaendelea kuzungumza.
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kuzungumza.
|
|
|
|
# Yule anayechinja ... pia hubariki uovu
|
|
|
|
Vishazi hivi vnne vyote vinafafanua njia tofauti watu waovu wanavyofanya na kufikia maana moja kwa ajili ya msisitizo.
|
|
|
|
# Wamechagua njia zao wenyewe
|
|
|
|
"Wamechagua kufanya mambo maovu ambayo hukiuka njia za Yahwe"
|
|
|