forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
394 B
Markdown
17 lines
394 B
Markdown
# Pi Hahirothi ... Migdoli ..Baali Zefoni
|
|
|
|
Hii ni miji ya mashriki ya mipaka ya Misri.
|
|
|
|
# Wapaswa kueka kambi
|
|
|
|
Hapa neno "wapaswa" ni wingi na la husu Musa na Waisraeli.
|
|
|
|
# Farao atasema kuhusu Waisraeli, 'Wanaangaika kwenye nchi. Nyikani imewafunika.'
|
|
|
|
Hii ya weza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.
|
|
|
|
# Nyikani imewafunika
|
|
|
|
Farao anaingelea nyikani kama mtu aliye wakamata Waisraeli.
|
|
|