forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
1.0 KiB
Markdown
37 lines
1.0 KiB
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Vifungu vingi vya mistari ya 23-27 ni lugha ya picha.
|
|
|
|
# Hiki ndicho mtu yule alichokisema
|
|
|
|
Huyu niNa kuhusu pembe kumi mtu ambaye Danieli alimkaribia katika 7:15
|
|
|
|
# mtu yule alichokisema
|
|
|
|
mtu yule alijibu
|
|
|
|
# Kwa habari ya mnyama wanne...Na kuhusu pembe kumi
|
|
|
|
"kuhusu mnyama wa nne...kuhusu pembe kumi"
|
|
|
|
# Utaimeza ..... vipande vipande
|
|
|
|
Hii haina manna kwamba ufalme wa nne utaiharibu sayari, bali ni kwamba utashambulia, kushinda na kuharibu falme zingine zote za duniani.
|
|
|
|
# kutoka katika ufalme huu, wafalme kumi watainuka
|
|
|
|
Watatawala mmoja baada ya mwingine. Hii yaweza kuwekwa wazi. "wafalme kumi watautwala ufalme wa nne, mmoja baada ya mwingine"
|
|
|
|
# mwingine atainuka baada yao
|
|
|
|
Mfalme huyu si mmoja wa wale kumi. Ni vizuri kumrejelea kama mfalme wa kumi na moja.
|
|
|
|
# Atakuwa wa tofauti na wale waliomtangulia,
|
|
|
|
"atakuwa tofauti na waflme wengine kumi"
|
|
|
|
# atawashinda wale wafalme watatu
|
|
|
|
Atawashinda wafalme halisi watatu. inaeza kusaidia kueleza kuwa wale wafalme watatu wanawakilishwa ba pembe tatu zilizong'olewa.
|
|
|