forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
326 B
Markdown
17 lines
326 B
Markdown
# Afeki
|
|
|
|
Hili ni jina la mji
|
|
|
|
# kupigana na Israeli
|
|
|
|
"kupigana na jeshi la israeli"
|
|
|
|
# watu wa Israeli walikuwa wamehesabiwa
|
|
|
|
Jeshi la Waisraeli lilikusanywa pamoja na walipewa vitu ambavyo walihitaji kwa ajili ya vita
|
|
|
|
# kama makundi mawili madogo ya mbuzi
|
|
|
|
Jeshi l a Waisraeli linaonekana dogo nadhaifu kama mbuzi mchanga.
|
|
|