# wana wa Israeli Israeli lilikuwa jina jingine la Yakobo. "watu wa Israeli" # na kuzishika "kuzitii" # ili kwamba msije mkatangatanga katika mioyo yenu na macho yenu "ili kwamba msije mkafikiria chochote manchokitaka" # na kuwa waasherati kwa hayo "na kwa aibu mkashindwa kuw waaminifu kwangu"