# Maelezo ya jumla: Yohana anaanza kuongelea juu ya kutimizwa kwa unabii ambao nabii Isaya alitabiri. # ili kwamba neno la nabii Isaya litimizwe kwa ajili ya kutimiza ujumbe wa nabii Isaya # mkono wa Bwana Hii inamaanisha, uwezo wa Bwana wa kuokoa kwa nguvu.