# Acha mauti ije kwao ghafla Mauti inazungumziwa kana kwamba ni mtu anayeweza kushambulia watu. "Acha adui zangu wafe ghafla" # acha waende chini kuzimu wakiwa hai Kufa ghafla inazungumziwa kana kwamba watu walitakiwa kwenda kuzimu haraka sana hadi hawakufa kwanza. "acha waende kuzimu ghafla' # uovu ndipo wanapoishi Uovu unazungumziwa kana kwamba ni kitu kinachoweza kuwa sehemu fulani. Tabia ya uovu ya adui zake inazungumziwa kana kwamba uovu ulikuwa pamoja nao au akribu yao. "huwa wanafanya vitu viovu wanapoishi" # katikati yao Msemo huu unawekea mkazo wazo la uovu kuwa karibu yao sana. Hapa uovu unazungumziwa kama kutokuwa tu kwenyenyumba zao, bali mahali walipo. "Huwa wanafanya vitu viovu popote walipo" au "popote walipo"