# Unamfanya kutawala juu ya kazi yako ... umeweka vitu vyote chini ya miguu yake Vishazi hivi viwili vinaeleza maana ya kufanana. # Unamfanya ... chini ya miguu yake Vishazi hivi viwili vinaeleza maana ya kufanana # kazi ya mikono yako Mikono inaashiria yale Mungu aliyoyatenda. "vitu ulivyoumba" # umeweka vitu vyote chini ya miguu yake Kuwa na mamlaka kutawala wengine na madaraka juu ya vitu inazungumziwa kama kuwa na hivyo vitu chini ya miguu yake. Hii inamaanisha Mungu aliwapa watu mamlaka juu ya uumbaji wote. "umempa mamlaka juu ya vitu vyote"