# Wao... wao neno 'wao' hapa linahusu "Wayahudi na Wagiriki'"ya # Makoo yao ni kama kaburi wazi Paulo anatumia neno picha maana kwamba kila kitu watu wasemacho ni watu wabaya na machukizo # Ndimi zao zimedanganya "Watu kusema uongo" # Vinywa vyao vimejaa laana na uchungu "kamili" hapa ni kukua na neno "vinywa" hapa inawakilisha mawazo ya watu. AT 'Mengi ya yale watu wanasema ni hatari na maana ya kuumiza watu wengine.