# atawashusha chini wale ambao wanaishi kwa kujiinua Yahwe kuwaaibisha wale ambao wanajiinua inazungumziwa kana kwamba watu wenye kiburi walikuwa juu na angeweza kusababisha washuke chini. # miji iliyoimarishwa Hii ina maana miji iliyoimarishwa kwa ujumla sio mji fulani. # ataiweka chini ... atasambaratisha Yahwe kusababisha jeshi kuangamiza miji iliyoimarishwa inazungumziwa kana kwamba yahwe angefanya mwenyewe. # itakanyagwa chini kwa miguu ya maskini na kutembea kwa wahitaji Kauli mbili zina maana moja. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Maskini na watu walioteswa watakanyaga juu ya uharibifu wa mji"