# Kwa kuwa Paulo anaelezea kwa nini Wakristo hawapaswi kufikiria kuwa wao ni wa maana zaidi ya wengine. # Tuna viungo vingi katika mwili mmoja Paulo anawafananisha Waamini wote katika Krosto kama sehemu tofauti zamwili. Amefanya hivi kuonyesha japokuwa waamini wanamtumikia Kristo kwa njia tofauti, kila mtu ni mali ya Kristo na anamtumikia kwa njia ya muhimu. # Kiungo Hivi ni vitu kama macho, tumbo, na mikono. # Mmoja mmoja kwa kila mmoja "Kila mwamini ni sehemu ya mwili wa mwamini mwingine" "na kila muumini ameunganishwa pamoja na waamini wengine"