# tetea heshima yako mwenyewe "onesha kila mtu kuwa uko sawa" # ita akilini "Vuta nadhari." Mungu hajasahau jinsi wapumbavu wanavyomtukanu, lakini haonekani kuwa anafikiria hilo. # sauti ya adui zako Neno "sauti" ni njia nyingine ya kusema maneno ambayo watu wanatumia wakati wakizungumza. "kile ambacho adui zako wanasema" # au ghasia ya wale wanaoendelea kukaidi Mwandishi wa zaburi anazungumzia maneno ya wale wanaomkaidi Mungu kana kwamba yalikuwa na sauti kubwa ya wanyama au vitu ambavyo havina uhai kama maji au upepo. "na vuta nadhari kwa sauti kubwa na maneno yasiyo kuwa na maana ya wale wanao endelea kukukaidi" # kukaidi kupinga kwa nguvu