# Usiwe kama farasi ... hawana uelewa Mwandishi anawafananisha watu wasio na uelewa na farasi au nyumbu. Maana zinazowezekana ni 1) mwandishi anazungumza maneno ya Yahwe kwa wasomaji wake, "Mnapaswa wote kutokuwa kama farasi ... hawana uelewa" au2) Yahwe anazungumza na mwandishi kana kwamba ni kundi la watu. # hatamu na lijamu Vifaa viwili vinavyotumiwa na watu kuwaongoza farasi na nyumbu kwenda anapotaka mtu. # unapotaka "popote mtu anapotaka waende." # zitamzunguka Uaminifu wa Yahwe "utakaomzunguka" unasababisha ulinzi na uongozo."zitamwongoza" au "zitamlinda"