# kosa jambo ambalo huumiza au humkasirisha mtu # ambaye hurudia jambo "ambaye hurudia kosa la nyuma" # huondoa "hutenganisha" # karipio huenda ndani ya mtu ...kuliko mapigo yaendayo ndani ya mpumbavu "karipio utendaji mwingi kwa mtu... kuliko mapigo mia kwa mpumbavu" # mtu mwenye ufahamu "mtu anayefahamu" # mapigo mia kwenda "mamia ya mapigo kwenda"