# akapigana dhidi ya Israeli "Majeshi yake yakapigana dhidi ya Waisraeli" # Israeli akaapa "watu wa Israeli wakaapa" au "Waisraeli wakafanya kiapo" # BWANA akaisikia sauti ya Israeli "alifanya kile Israeli alichoomba" # sauti ya Israeli ambacho Israeli aliomba # Wakawaangamiza kabisa pamoja na miji yao "Watuwa Israeli wakaliangamiza kabisa jeshi la Wakanaani na miji yao" # Mahali pale paliitwa Horima "Wakapaita mahali pale Horima"