# Maelezo kwa ujumla Yesu ananukuu toka Zaburi kuonesha kuwa Kristo ni zaidi ya "mwana wa Daudi" # Ni kwa namna gani Daudi katika Roho anamwita Bwana "Yesu anatumia swali kuwafanya viongozi wa dini kufikiri kwa undani zaidi juu ya Zaburi anyotaka kuinukuu "Niambieni kwa nini Daudi katika Roho anamwita Bwana" # Daudi katika Roho "Daudi ambaye anavuviwa na Roho. "Hii inamaanisha kuwa Roho Mtakatifu anamwezesha Daudi kusema. # anamwita Hapa "mwi" inasimama badala ya Kristo, ambaye pia ni kizazi cha Daudi. # Bwana alimwambia Neno "Bwana" inamaanisha Mungu Baba # Katika mkono wangu wa kuume, Kiwakilishi "wangu" kinamaanisha Mungu Baba. "Mkono wa kuume" huwa inatumika kuonesha sehemu ya heshima # Hadi nitakapowaweka maadui zako wawekwe chini ya miguu yako Hii ni nahau. "hadi nitakapowashinda adui zako" au hadi nitakapowafanya maadui zako kukuinamia"