# Sentensi unganishi Yesu anaendelea kuwafundisha wanafunzi wake kwa nini anafundisha kwa kutumia mifano # Maelezo kwa ujumla Katika mstari wa 14 Yesu anamnukuu nabii Isaya ku onyesha kuwa kushindwa kwa watu kuelewa mafundisho ya Yesu ni kutimilika kwa unabii # kwao ... hamta Viwakilishi vyote vya "kwao" na "hamta" vinamaanisha watu katika kumati. # na ingawawanasikia wasisikie wala kufahamu.... Huu ni mwanzo wa nukuu kutoka kwa nabii Isaya kuhusu watu wasioamini wakatiwa Isaya. Yesu anatumia nukuu hii kuwa kuwaeleza watu waliokuwa wanamsikiliza. Hii ni semi misambamba inayosisitiza kwamba watu walikataakumwani Yesu. # ingawa wanaona, wasione kweli Matumizi ya pili ya "kuona" hapa yanamaanisha kuelewa. # Ingawa wanasikia wasisike wala kufahamu Inaweza kuwekwa wazi kwa kile watu wanachosikia. "Ingawa wanasikia kile ninachosema, hawaelewi kile ninachomaanisha. # kwao unabii wa Isaya umetimia ule usemao Hii inaweza kuelzwa katika mfumo tendaji. "wanatimiza kile Mungu alisema zamani kuptia nabii Isaya" # Msikiapo msikie, lakini kwa namna yeyote hamtaelewa, wakati mwonapo muweze kuona, lakini kwa namna yeyote ile msijue Huu ni mwanzo wa nukuu kutoka kwa nabii Isaya kwa watu wasioamini wakati wa Isaya. Yesu anatumia nukuu hii kuwaeleza watu waliokuwa wanamsikiliza. Hii ni misemo sambamba inayosisitiza kuwa watu walikataa kuuelewa ukweli wa Mungu. # msikiapo msikie lakini kwa namna yeyeote msiweze kuelewa. "mtaskia vitu lakini hamtavielewa" unaweza kuviweka wazi kile amabcho watu watasikia. "Mtasikia kile Mungu asemacho kupitia nabii lakini hamtaelewa maana halisi" # wakati mwonapo muweze kuona lakini kwa namna yeyote msiweze kuelewa Unaweza kuweka wazi kile ambacho watu wataona. "mtaona kile amabcho Mungu anafanya kupitia nabii, lakini hamtaelewa"