# Maelezo kwa ujumla: katika mstari wa 25 na 26, Yesu anomba kwa baba yake aliye mbinguni wakati akiwa bado katika uwepo wa makutano. Katika mstari wa 27, anaanza kusema na watu tena. # Baba Hi ni sifa muhimu ya Mungu # Bwana wa mbingu na nchi "Bwana anayetawala mbingu na nchi" Kirai cha mbingu na nchi ni cha mlinganyo wa jumla amabcho kinaonesha watu wote na vitu vyote duniani. ''Bwana atawalaye ulimwenguni kote" # uliwaficha mambo haya ... na kuyafunua Haiko wazi ina maanisha nini kwa ''mambo haya.'' Kama lugha yako inahitaji kuweka maana halisi, tafsiri nzuri ni hii ''umeuficha ukweli huu na kuwafunulia" # umewaficha mambo haya ''umewaficha mambo haya '' au ''haujafanya mambo haya kueleweka kwao.'' Hili tendo ni kinyume cha ''kufunuliwa.'' # wenye hekima na ufahamu Hizi nomino sifa zinzweza kutafasiriwa kama visifa ''kutokawatu wenye hekima na ufahamu.'' # na kuyafunua "kuyafanya yafahamike." kiwakilisha "ya" kinamaanisha "mambo haya" viko mwanzoni katika mstari huu. # kwa wasio na elimu, "kwa wajinga" # kama watoto wadogo Yesu anamlinganisha mtu asiye na elimu na mtoto mdogo. Yesu anasisitiza kwamba wengi wa wale wanaomwamini ni watu wasio na elimu au wanaojidhania kuwa si wenye elimu # kwa kuwa ilikupendeza hivyo machoni pako kupendeza machoni pako - Hi kirai "machoni pako" ni sentensi mbadala ionyeshayo jinsi mtu apendavyo kitu kuwa ni cha muhimu. "kwa vile ilikupendeza kuwa ni vizuri kufanya hivi" # Mambo yote yamekabidhiwa kwangu kutoka kwa baba yangu Hii inaweza kutafasiriwa kwa muundo tendaji: ''Baba yangu amekabidhi mambo yote kwangu'' au ''Baba yangu ameweka kila kitu kwangu." # Mambo yote Maana kusudiwa ni 1)Mungu Baba amefunua kila kitu kuhusu yeye na ufalme wake kwa Yesu. aua 2) Mungu ametoa mamlaka yote kwa Yesu # Baba yangu Hii ni sifa muhimu ya Mungu amabyo inaonyesha uhusiano kati ya Yesu na Mongu # hakuna amjuaye Mwana isipokuwa Baba ''Ni Baba pekee amjuaye Mwana.'' # hakuna ajuaye Nyakati zote Yesu hutumia kirai hiki, neno "ajuaye" linamaanisha zaidi ya kumjua mtu. Linamaanisha kumjua mtu kwa undani kwa sababu wanauhusiano maalumu # Mwana pekee Yesu alikuwa anajirejelea yeye mwenyewe binafsi katika nafsi ya tatu. # mwana Hii ni sifa ya muhimu ya Yesu mwana wa Mungu # hakuna amjuaye Mwana isipokuwa Baba ''Ni Mwana pekee amjuye Baba'' # hakuna amjuaye Baba isipokuwa mwana pekee "ni mwana pekeeamjuaye Baba # na yeyote ambaye Mwana ana hamu kumfunulia "na watu wale ambao mwana anapenda kuwafunulia jinsi Mungu alivyo"