# wadeni wa bwana wake "watu ambao walikuwa katika madeni kwa bwana wake" au "watu ambao wanadaiwa kitu na bwana wake." Katika hadithi hii wadaiwa wanadaiwa mafuta na ngano. # Alisema ... Naye akamwambia "mdaiwa alisema ... Na wakili akamwambia mdaiwa" # Mapipa mia ya mafuta Haya yalikuwa yapata lita 3,000 ya mafuta. # mia ... hamsini ... themanini "100 ... 50 ... 80" # vipimo mia vya ngano Hii ilikuwa yapata vikapu elfu vya ngano. # Wakili akamwambia mtu mwingine ... Alisema ... Naye akamwambia "wakili akamwambia mdaiwa mwingine ... mdaiwa alisema ... wakili akamwambia mdaiwa" # Alisema ... Naye akamwambia "mdaiwa alisema ... Na meneja akamwambia mdaiwa" # mia ... hamsini ... themanini "100 ... 50 ... 80" # Wakili akamwambia mtu mwingine ... Alisema ... Naye akamwambia "wakili akamwambia mdaiwa mwingine ... mdaiwa alisema ... wakili akamwambia mdaiwa"