# Maelezo Ungajishi Mungu anaendea kumwelekeza Musa juu ya vitu kwenye hema la kukutania # mbili za kumi za efa Hizi ni kama lita 4.5. : "lita nne na nusu" # meza ya dhahabu safi mbele za Yahweh Meza hii ilikuwa mahali pa takatifu, ambayo ilikuwa kabla ya patakatifu pa patakatifu.