# Ninyi ni miungu Kwa kawaida neno "mungu" huonyesha "mungu wa uongo" vinginevyo iwe imeandikwa kwa herufi kubwa "M," imaanishayo kwa mmoja Mungu wa kweli. Lakini hapa, Yesu ananukuu maandiko mahali Mungu anawaita wafuasi wake "miungu" kwa sababu amewachagua kumwakilisha duniani. # Je haikuandikwa...miungu? "Mnapaswa kujua tayari kuwa imeandikwa...miungu" # Maandiko hayawezi kuvunjwa Maana inayowezekana ni 1) "hakuna atakayebadilisha maandiko." 2) "Maandiko yataendelea kuwa kweli." # 'Unakufuru; kwa sababu nilisema, mimi ni Mwana wa Mungu Wapinzani wa Yesu waliamini kuwa Yesu alikuwa anakufuru alipojiita "Mwana wa Mungu" kwa sababu kusema hivyo ilikuwa ni kudai kuwa sawa na Mungu. # Baba... Mwana wa Mungu Hivi ni vyeo muhimu vinavyoelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu