# Mungu aliupenda ulimwengu Neno "dunia" hapa ni neno linalojumuisha kila kitu duniani. # alipenda hii ni aina ya upendo ambao unatoka kwa Mungu na unatakia mema wengine, hata kama mtu hanufaiki. Mungu mwenyewe ni upendo na ndiye chanzo cha upendo wa kweli. # mwana wa pekee "mmoja na Mwana wa pekee" # kwa sababu Mungu hakumtuma mwana ulimwenguni ili auhukumu, bali ulimwengu uokolewe kwa yeye maneno mawili yanaweza kuwa yanamaanisha na yametajwa mara mbili ili kwamba kusisitiza kwanza katika mtazamo hasi na chanya. Baadhi ya lugha inaweza kuonyesha msisitizo kwa namna nyingine. Kusudu la Mungu kumtuma Mwanae ni kwamba ulimwengu uokolewe katika yeye. # ahukumiwi anachiwa huru # hukumu adhibu # Mwana wa Mungu Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu.