# Taarifa za jumla Msemaji amebadilika kutoka kwa Bwana hadi Yeremia. # Kuhusu manabii, moyo wangu umevunjika ndani yangu, na mifupa yangu yote imetetemeka. Moyo wa nabii umevunjika na mifupa hutetemeka kwa sababu anaogopa hukumu ambayo itatoka kwa uongo wa manabii wa uongo. AT "Nina hofu kubwa nini kitatokea kwa sababu ya manabii wa uongo" # moyo wangu umevunjika ndani Hisia za nabii zinazungumzwa kama kwamba walikuwa moyo wake. AT "nimesikitika sana" # mifupa yangu yote imetetemeka Hapa hisia ya hofu inazungumzwa kama kama mifupa ya nabii yalitetemeka. AT "Mimi ninaogopa sana" # Nimekuwa kama mlevi, kama mtu ambaye ameshindwa na divai Hapa kuna huzuni sana na hofu inazungumzwa kama kama mgonjwa huyo alikuwa kama mtu mlevi. AT "Mimi ni kama mtu mlevi; Siwezi kujidhibiti" # nchi imejaa wazinzi Kuenea huu hutumiwa kuonyesha kiwango cha dhambi ambacho kilikuwapo wakati wa Yeremia. # wazinzi Neno hili labda linasimama hapa kwa wazo la kweli ambalo watu wengi katika taifa hilo wamefanya uzinzi dhidi ya wake zao, na pia, kama ilivyo kawaida katika lugha ya kibiblia, kwa wazo la kwamba wamemwacha Bwana ili kuabudu sanamu. # nchi imekauka Baadhi ya matoleo ya kisasa yanatafsiri maneno haya ya Kiebrania kama "nchi huomboleza."