# Taarifa za jumla Katika aya hii, Yeremia anaongea na Bwana juu ya mateso yake, na Bwana anamjibu # Ole wangu, mama yangu Yeremia anajifanya kuwaambia mama yake kama njia ya kusisitiza jinsi yeye alivyo na huzuni. # mtu wa kushindana na hoja Maneno '"kushindana" na "hoja" husema kimsingi kitu kimoja. Pamoja wanasisitiza jinsi Yeremia anavyopinga. AT "mtu ambaye kila mtu anasema wakati wote." # kulipa kutoa mkopo kwa mtu # Je sitakuokoa kwa manufaa? Jibu thabiti kwa swali hili ni "ndiyo". AT "Nitakuokoa kwa uzuri!" # maadui zako Wale ni maadui wa Yeremia ambao hawakukubaliana na unabii wake # wakati wa msiba na dhiki Hapa maneno "msiba" na "dhiki" inamaanisha kimsingi kitu kimoja. Wanasisitiza kiasi au ukubwa wa msiba. AT "wakati wa msiba mkubwa." # Je, mtu anaweza kusaga chuma? Jibu linalojulikana ni "hapana". Pia, chuma kinawakilisha uamuzi wa hukumu ya Mungu. AT "Hukumu yangu haiwezi kuvunjika, kama vile chuma haiwezi kupasuka" # Hasa chuma kutoka kaskazini iliyochanganywa na shaba? Swali hili la pili hufanya kwanza kuwa na nguvu zaidi, na hutumia chuma cha nguvu zaidi katika mfano. AT "Zaidi zaidi, hukumu yangu ni kama chuma chenye kigumu"