# wote wako sawa, ni kama wanayama na wapumbavu "kila mmoja wao ni mpumbavu" # wanafunzi wa sanamu ambazo si chochote isipokuwa miti tu "wanajaribu kujifunza toka kwa sanamu ambayo ni kipande cha mti" # sonara "mtu mwenye ujuzi wa kazi za mikono" # Tarshishi ... ufazi Ni maeneo ambayo dhahabu na fedha zinapatikana # dhahabu kutoka Ufazi ilyotengenezwa na sonara,ni kazi ya ustadi "dhahabu kutoka Ufazi amabyo sonara mwenye ujuzi ameitengeneza" # mavazi yao ni rangi y samawi na urujuani "watu waliivalisha sanamu kwa mavazi mazuri # matetemeko "mtikisiko"