# kwa Efraimu "katika nchi ya Efraimu" # Wagileadi waliteketeza "Wagileadi walitawala" # Vivuko Sehemu ambazo unaweza kupita kuvuka mto kwa miguu. # Mwefraimu "Mtu toka kabila la Efraimu" # Shiboleth ... 'Sibboleth Maneno haya hayana maana yoyote. # kutamka "sema" # Elfu arobaini na mbili "42,000" # Waefraimu elfu arobaini na mbili waliuawa "Waliwaua Waefraimu elfu arobaini na mbili"