# Taarifa ya Jumla Hii inaanza mfano ambao unaisha katika 28:29 # Zingatia kwa makini na sikilizia sauti yangu; uwe msikivu na sikiliza maneno yangu Misemo hii miwili ina maana moja. Msemo wa pili unatumka kuimarisha wa kwanza. # sauti yangu Hapa "sauti" inawakiliisha kile Isaya anasema. "kwa kile nachosema" # maneno yangu Hapa "maneno" yanawakilisha ujumbe. "kwa ujumbe wangu" # Je! mkulima anayelima siku nzima kupanda, huwa analima tu? Je! huwa anaendelea kuvunja na kupiga haro shamba? Isaya anatumia maswalii ya balagha kufanya watu wafikiri kwa undani. "Mkulima halimi ardhi tena na tena na kuendelea kufanya kazi bila kupanda mbegu"