# alinyunyuzia "Musa alinyunyuzia" # nyunyuzia Kunyunyuzia kulikuwa ni tendo la ishara ambalo lilifanywa na makuhani ambalo kwa hilo walipata faida ya agano kwa watu na kwa viyombo. # Vyombo vyote vilivyotumiwa katika huduma huu ni mkebe au chombo ambacho unaweza kubeba vyombo. Hii inamaanisha vyombo au kitu. AT: " vyombo vyote vilivyotumika katika huduma" # vilitumika katika huduma Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Makuhani walivitumia katika kazi zao" # karibia kila kitu kinatakaswa kwa damu kufanya kitu kipokelewe na Mungu kunafanywa kana kwamba kitu hicho kilikuwa kinatakaswa. Wazo hili linaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Makuhani hutumia damu kusafisha karibia ila kitu" # damu Hapa damu ya mnyama inaongelewa kuhusu kifo cha mnyama. # Hakuna msamaha wa dhambi pasipo kuwagika damu Hapa "kumwaga damu" kunamaanisha kwa kitu kufa kama dhabihu kwa Mungu. mambo haya hasi yanaweza kumaanisha msamaha wote unapatikana kwa njia ya kumwaga damu. # msamaha "msamaha wa dahmbi ya watu"