# Hakika mtazishika Sabato zangu Mungu anazungumza kutii maelekezo yake kuhusu Sabato kama kushika Sabato. # kati ya mimi na ninyi katika vizazi vyenu vyote "kwa vizazi vyote vya uzao wenu" # niwatakasaye ninyi Mungu anaongelea kuchagua kuwa wake kwa kuwatenga kwake. # ni takatifu kwenu Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. # kila mtu atakayeitia unajisi Mungu anazungmzia kutoheshimu Sababto kama kuinajisi. # hakika yake atauawa "lazima hakika auawe" Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. # itakatiliwa mbali na watu wake Umbo "katiliwa" lina maana sio chini ya tatu. Inaweza elezewa katika tensi tendaji. 1) "hatahesabiwa kuwa moja wa watu wa Israeli" 2)"watu wa Israeli lazima wamuondoe" au 3) "watu wa Israeli lazima wa muue" # lakini siku ya saba "lakini siku ya 7"