# Maelezo ya Jumla Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. # Kwa kazi mtu mwenye kuchora mawe kama vile muhuri ichorwavyo "Jinsi mtu anavyo chora kwenye muhuri" # mtu mwenye kuchora mtu anaye kata michoro kwenye vitu vigumu kama mbao, jiwe, au chuma # vijalizo vipande vya chuma vinavyo shikilia jiwe kwenye naivera