# mahali ambapo Yahwe Mungu wako atachagua katika kabila zako zote ili kuweka jina lake Hapa "jina lake" urejea kwa Mungu mwenyewe. Yahwe atachagua eneo moja ambako atakaa na watu watakuja kumwabudu huko. # ni huko mtaende Wataenda kumwabudu ambako Mungu ameamua. # sadaka iliyotolewa kwa mkono wako Hapa "mkono" uwakilisha mtu mzima. # "sadaka zako kwa ajili ya viapo, sadaka zako za uhuru "sadaka zako hutimiza kiapo, sadaka zako za hiari. Hizi ni aina za sadaka. # mzaliwa wa kwanza wa ng'ombe zako na kondoo Mungu anahitaji kwamba watu wampe kila mwanaume wa kwanza mazaliwa wa mifugo yao.