# akawaambia "kusema na walinzi" # Hadharani "mahakimu walifanya hatharani" # walitupiga , wanaume ambao Neno "walitupiga", lina maanisha Paulo na Sila # hapana, Paulo hapa anawajibu mahakimu au wakuu wa mji, japo anaongea na mlinzi wa gereza. " Haitawezekana" # Warumi Hii ina maana ya wananchi wa kisheria ya Dola. Uraia zunatoa uhuru wa kutoteswa na haki katika kesii. Viongozi wa mji walikuwa na hofu kuwa inaweza kufahamu jinsi viongozi wa jiji walivyo wanyanyasa Paulo na Sila. # wao wenyewe waje "watawala wa mji waje" # Mahakimu wakaja na kuwasihi "mahakimu walikuja na kumsihi Paulo na Sila" # baada ya kuwatoa "baada ya mahakimu kuwaondoa Paulo na Sila"