diff --git a/1ch/01/01.md b/1ch/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..b8295463 --- /dev/null +++ b/1ch/01/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi + +Tafsiri zingine, pamoja na ULB na UDB, za usisha "Wana wana" ili kuweka wazi kuwa Shemu, Hamu, na Yafethi walikuwa ni ndugu na wana wa Nuhu. Lasihivyo, msomaji ata dhani kila mtu aliwakilisha kizazi kimoja mbali na Nuhu, babu yao. + +# Enoshi, Kenani, Mahalaleli, Yaredi ... Methusela + +Haya majina ni orodha ya mababu. + diff --git a/1ch/01/05.md b/1ch/01/05.md new file mode 100644 index 00000000..fafec2c6 --- /dev/null +++ b/1ch/01/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Gomeri ... Dodanimu + +Tafsiri haya majina jinsi ungetafsiri majina kwenye lugha yako. Haya yote ni majina ya wanaume. + +# Dodanimu + +Hili jina uwa latafsiriwa "Rodanimu" kama kwenye UDB. + diff --git a/1ch/01/08.md b/1ch/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..f8f64c9c --- /dev/null +++ b/1ch/01/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mizraimu ... Nimrodi + +Haya ni majina ya watu. + diff --git a/1ch/01/11.md b/1ch/01/11.md new file mode 100644 index 00000000..73ee67d1 --- /dev/null +++ b/1ch/01/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwa yeye ambaye Wafilisti walitoka + +"mababu wa Wafilisti" + diff --git a/1ch/01/13.md b/1ch/01/13.md new file mode 100644 index 00000000..dfdff3ef --- /dev/null +++ b/1ch/01/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hethi + +Hili ni jina la mtu. + +# Mwarki ... Mhamathi + +Haya ni majina ya vikundi vya watu + diff --git a/1ch/01/17.md b/1ch/01/17.md new file mode 100644 index 00000000..6aebc9f1 --- /dev/null +++ b/1ch/01/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Arfaksadi ... Yoktani + +Haya ni majina ya watu. + diff --git a/1ch/01/20.md b/1ch/01/20.md new file mode 100644 index 00000000..01c91f9e --- /dev/null +++ b/1ch/01/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yoktani ... Yobabu + +Haya ni majina ya watu. + diff --git a/1ch/01/24.md b/1ch/01/24.md new file mode 100644 index 00000000..4ef07ada --- /dev/null +++ b/1ch/01/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Shemu ... Serugi + +Haya ni majina ya watu. + diff --git a/1ch/01/28.md b/1ch/01/28.md new file mode 100644 index 00000000..141a939f --- /dev/null +++ b/1ch/01/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nebayothi ... Kedema + +Haya ni majina ya watu. + diff --git a/1ch/01/32.md b/1ch/01/32.md new file mode 100644 index 00000000..7f686aba --- /dev/null +++ b/1ch/01/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ketura ... Elda + +Haya ni majina ya watu. + diff --git a/1ch/01/34.md b/1ch/01/34.md new file mode 100644 index 00000000..6fdcaa9c --- /dev/null +++ b/1ch/01/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Elifazi ... Miza + +Haya ni majina ya watu. + diff --git a/1ch/01/38.md b/1ch/01/38.md new file mode 100644 index 00000000..9d99835e --- /dev/null +++ b/1ch/01/38.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Lotani ... Ana + +Haya ni majina ya watu. + diff --git a/1ch/01/41.md b/1ch/01/41.md new file mode 100644 index 00000000..34321783 --- /dev/null +++ b/1ch/01/41.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ana ... Arani + +Haya ni majina ya watu. + diff --git a/1ch/01/43.md b/1ch/01/43.md new file mode 100644 index 00000000..b4214037 --- /dev/null +++ b/1ch/01/43.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Bela ... Beori ... Yobabu .. Zera .. Hushamu + +Haya ni majina ya watu. + +# Dinhaba ... Bozra + +Haya ni majina ya sehemu + +# Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake + +'Hushamu, kutoka nchi ambayo uzao wa Temani waishi, alitawala baada yake." + +# Watemani + +Hili ni jina la kundi la watu + diff --git a/1ch/01/46.md b/1ch/01/46.md new file mode 100644 index 00000000..4eec47dd --- /dev/null +++ b/1ch/01/46.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hushamu ... Hadadi ... Bedadi ... Samla ... Shauli + +Haya ni majina ya watu. + +# Avithi ... Masreka ... Rehobothi + +Haya ni majina ya sehemu + diff --git a/1ch/01/49.md b/1ch/01/49.md new file mode 100644 index 00000000..08061fe2 --- /dev/null +++ b/1ch/01/49.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Shauli ... Baali Hanani ... Akbori ... Hadari ... Mehetabeli ... Matredi ... Me Zahabu + +Haya ni majina ya watu. + +# Pai + +Hili ni jina la sehemu. + diff --git a/1ch/02/01.md b/1ch/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..a8479d0c --- /dev/null +++ b/1ch/02/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Rubeni ... Asheri + +Haya ni majina ya watu. + diff --git a/1ch/02/03.md b/1ch/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..d3f7d2c3 --- /dev/null +++ b/1ch/02/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Yahweh + +Hili ni jina la Mungu alilo lirihidhisha kwa watu wake wa Agano la Kale. + +# alimzalia Peresi na Zera + +"aliza wana wake Perezi na Zera" + +# wana wa tano + +"wana wa 5" + +# macho ya Yahweh + +"kwa mujibu wa Yahweh|" + +# Yahweh akamwua + +Hii inamaanisha Yahweh aliruhusu Eri auliwe. + +# mkwe wake + +Hii ina maana ya mke wa mwanae. + diff --git a/1ch/02/13.md b/1ch/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..34c344d6 --- /dev/null +++ b/1ch/02/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wa pili ... wa tatu + +"mwanae wa pili ... mwanae wa tatu" + diff --git a/1ch/02/16.md b/1ch/02/16.md new file mode 100644 index 00000000..2a87f69d --- /dev/null +++ b/1ch/02/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yetheri Mwishmaeli + +Hii ina maanisha kuwa Yetheri alikuwa uzao wa Ishmaeli. + diff --git a/1ch/02/18.md b/1ch/02/18.md new file mode 100644 index 00000000..5f465d7f --- /dev/null +++ b/1ch/02/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# aliye mzalia + +"alimzaa" + diff --git a/1ch/02/21.md b/1ch/02/21.md new file mode 100644 index 00000000..5f465d7f --- /dev/null +++ b/1ch/02/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# aliye mzalia + +"alimzaa" + diff --git a/1ch/02/23.md b/1ch/02/23.md new file mode 100644 index 00000000..5f465d7f --- /dev/null +++ b/1ch/02/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# aliye mzalia + +"alimzaa" + diff --git a/1ch/02/25.md b/1ch/02/25.md new file mode 100644 index 00000000..e10af52b --- /dev/null +++ b/1ch/02/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Atara + +Hili ni jina la mwanamke. + diff --git a/1ch/02/34.md b/1ch/02/34.md new file mode 100644 index 00000000..5f465d7f --- /dev/null +++ b/1ch/02/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# aliye mzalia + +"alimzaa" + diff --git a/1ch/02/42.md b/1ch/02/42.md new file mode 100644 index 00000000..dde496d0 --- /dev/null +++ b/1ch/02/42.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wana wa Kalebu ... Maresha + +Tafsri tofauti zinaelewa mahusiano miongoni mwa hawa watu kwa njia tofauti. Baadhi ya wafasiri wanaamini kwamba "baba wa Hebroni ... baba wa Rahama, baba wa Yorkeamu ... baba wa Shamai" ya maanisha "mzinduzi wa ukoo wa Hebroni," nk. Baadhi ya tafsiri za weza tumia hii lugha. + diff --git a/1ch/02/48.md b/1ch/02/48.md new file mode 100644 index 00000000..7e622920 --- /dev/null +++ b/1ch/02/48.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# alimzaa + +"alimzalia" + diff --git a/1ch/02/52.md b/1ch/02/52.md new file mode 100644 index 00000000..8fc66a55 --- /dev/null +++ b/1ch/02/52.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wanuthi ... Waithri, Waputhi, Washumathi, na Wamishrai. Wazora na Waeshtaoli + +Haya ni majina ya koo. + diff --git a/1ch/02/54.md b/1ch/02/54.md new file mode 100644 index 00000000..19464acb --- /dev/null +++ b/1ch/02/54.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi na Wazori ... Watirathi, Washimeathi, na Wasukathi ... Wakeni ... Warekabu + +Haya ni majina ya koo. + diff --git a/1ch/03/01.md b/1ch/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..6db17f12 --- /dev/null +++ b/1ch/03/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Daudi + +Daudi alikuwa mwana wa Yese, aliye kuwa uzao wa Yuda. + +# Ahinoamu ... Abigail ... Maaka ... Hagithi ... Abitali ... Egla + +Haya ni majina ya wanawake. + +# Talmai ... Shefatia ... Ithraeamu + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Danieli + +Huyu mtu ana jina kama la nabii wa Israeli lakini ni mtu tofauti. + +# Egla mkewe + +"Egla, mke wa Daudi." Daudi alikuwa na zaidi ya mke mmoja. "Mke wa Daudi Egla" + diff --git a/1ch/03/04.md b/1ch/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..12daee81 --- /dev/null +++ b/1ch/03/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# alipo tawala miaka saba na miezi sita + +Hii ya weza tafsiriwa kama sentensi yenyewe: "Daudi alitawala huko miaka saba na miezi mitatu." + +# miaka thelathini na mitatu + +miaka mitatu** - " miaka 33" + +# Ammieli ... Shammua ... Shobabu ... Nadhani + +Haya ni majina ya watu. + diff --git a/1ch/03/06.md b/1ch/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..3d971025 --- /dev/null +++ b/1ch/03/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ibhari ... Elishama ... Elifeleti ... Noga ... Nefegi ... Yafia ... Eliada + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Elishama ... Elifeleti + +Haya majina yametumika kwa wana wawili. + diff --git a/1ch/03/10.md b/1ch/03/10.md new file mode 100644 index 00000000..444ec1ca --- /dev/null +++ b/1ch/03/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Huu ni mwanzo wa orodha ya uzao wa Daudi ya walio kuwa wafalme. + +# Mwana wa Sulemani alikuwa ni Rehoboamu. Mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya + +Sulemani alikuwa na zaidi ya mwana mmoja. Hii ni kweli kwa kwa wanaume wengine kwenye orodha. "Sulemani alikuwa baba wa Rehoboamu. Rehoboamu alikuwa baba wa Abiya" + +# Azaria + +Hili ni jina lingine la Uzia, jina linalo julikana vizuri kwa huyu mfalme. Wafasiri wanaweza amua kutumia "Uzia" kila sehemu kwa huyu mfalme. + diff --git a/1ch/03/13.md b/1ch/03/13.md new file mode 100644 index 00000000..633cefd7 --- /dev/null +++ b/1ch/03/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Huu ni mwendelezo wa orodha ya uzao wa Daudi ya walio kuwa wafalme. Tunga hizi sentensi kama ulivyo fanya kuanzia 3:10. + +# Amoni + +Hili ni jina la mwanaume. + diff --git a/1ch/03/15.md b/1ch/03/15.md new file mode 100644 index 00000000..8ae32db9 --- /dev/null +++ b/1ch/03/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Huu ni mwendelezo wa orodha ya uzao wa Daudi ya walio kuwa wafalme. Tunga hizi sentensi kama ulivyo fanya kuanzia 3:10. + +# Yohanani ... Shalumu ... Yehoyakini + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/1ch/03/17.md b/1ch/03/17.md new file mode 100644 index 00000000..29fcb560 --- /dev/null +++ b/1ch/03/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yehoyakini + +Baadhi ya tafsiri zina "Yekonia," ambayo ni mbadala wa "Yehoyakini." + +# watekwa + +Hii inaweza kuwa cheo kilichopewa Yehoyakini kwasababu alichukuliwa matekani. Ingawa, baadhi ya tafsiri za eleza hilo neno kama "Asiri," jina la mmoja wa wanae. + +# YehoYakini ... Shealtieli, Malkiramu, Pedaya, Shenezari, Yekamia, Hoshama, na Nedabia + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/1ch/03/19.md b/1ch/03/19.md new file mode 100644 index 00000000..a5e5222f --- /dev/null +++ b/1ch/03/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Pedaya ... Shimei ... Meshulamu ... Hanania ... Hashuba ... Oheli ... Berekia ... Hasadia ... Yushabu Hesedi ... Pelatia ... Yeshaia ... Refaya ... Arnani ... Shekania + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Shelomithi + +Hili ni jina la mwanamke. + +# Obadia + +Huyu mwanaume ana jina sawa na nabii wa Israeli Obadia lakini ni mtu tofauti. + +# uzao wake zaidi walikuwa ni Arnani, Obadia, na Shekania. + +Tafsiri tofauti zinawaweka hawa watu katika mahusiano tofauti wao kwa wao, kwasababu lugha ya Kiebrania haijafafanua kuwahusu. + diff --git a/1ch/03/22.md b/1ch/03/22.md new file mode 100644 index 00000000..536717eb --- /dev/null +++ b/1ch/03/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Shemaia ... Hatushi ... Igali ... Baria ... Nearia ... Shafati ... Elionai ... Hizekia ... Azrikamu ... Hodavia ... Eliashibu ... Pelaya ... Akubu ... Delaia ... Anani + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/1ch/04/01.md b/1ch/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..45d9302f --- /dev/null +++ b/1ch/04/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Perezi ... Hezroni ... Karmi ... Huri ... Shobali ... Reaia ... Yahathi ... Ahumai ... Lahadi + +Haya ni majina ya wanaume + +# Zora + +Hili kundi la watu liliitwa kwa jina la mji wa Zora walipoisi + diff --git a/1ch/04/03.md b/1ch/04/03.md new file mode 100644 index 00000000..f8e86aba --- /dev/null +++ b/1ch/04/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hawa walikuwa mababu + +Hii ya husu orodha ya mistari ya awali. Ingawa, baadhi ya tafsiri ya husisha haya majina katika mahusiano ya baba-mwana. Katika namna hii, baadhi ya tafsiri ya husisha Penueli kama baba wa Gedori, badala ya muanzilishi wa ukoo wa Gedori. + +# Etamu ... Gedori ... Husha + +Hay ni majina ya miji. + +# Ishma ... Idbashi ... Penueli ... Ezeri ... Efrathi + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Haselelponi + +Hili ni jina la mwanamke. + +# Hawa walikuwa uzao wa Huri + +"Penueli na Ezeri walikuwa uzao wa Huri." Hii ya tanguliza orodha itayofuata. + diff --git a/1ch/04/05.md b/1ch/04/05.md new file mode 100644 index 00000000..ffbc87c4 --- /dev/null +++ b/1ch/04/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ashuri ... Tekoa ... Ahuzamu ... Heferi ... Serethi ... Ishari ... Ethnani ... Kozi ... Anubu ... Zobeba ... Aharheli ... Harumu + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Temeni ... Ahashatari + +Haya hapa yana fahamika kama majina ya wanaume. Ingawa, baadhi ya tafsiri inayaelewa kama majina ya koo zilizo anzishwa na Ashuri. + +# Hela ... Naara + +Haya ni majina ya wanawake. + +# alimzalia + +"aliwaza wana wake" + +# a koo zilizotoka kwa Aharheli mwana wa Harumu + +Sentensi mpya ya anza hapa. "Kozi pia akawa babu wa Harumu na koo zilizotoka kwa Harumu mwana wa Aharheli" + diff --git a/1ch/04/09.md b/1ch/04/09.md new file mode 100644 index 00000000..49f18166 --- /dev/null +++ b/1ch/04/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yabesi + +Hili ni jina la mwanaume. + +# ongeza mipaka yangu + +"nipe mimi eneo zaid" + +# mkono wako ukuwa juu yangu + +Baadhi ya maana ni kwamba mkono wa Mungu wa wakilisha 1) muongozo wake, 2) nguvu zake, au 3) ulinzi wake. "nilinde mimi" au "nifanye ni fanikiwe" au "nilinde." Pia yaweza tafsiriwa kwa ujumla kama "kuwa na mimi." + +# akamjalia maombi yake + +"akafanya sawa na maombi yake" + diff --git a/1ch/04/11.md b/1ch/04/11.md new file mode 100644 index 00000000..ff8ed057 --- /dev/null +++ b/1ch/04/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kelubu ... Shuha ... Mehiri ... Eshtoni ... Bethi - Rafa ... Pasea ... Tehina + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Tehina, ambaye alianzisha mji wa Nahashi + +"Tehina, mwanzilishi wa mji wa Nahashi" + +# Nahashi + +Hili ni jina la mji. + +# Reka + +Hili ni jina la sehemu. + diff --git a/1ch/04/13.md b/1ch/04/13.md new file mode 100644 index 00000000..aa5d0c38 --- /dev/null +++ b/1ch/04/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Itasaidia kutengeneza muunganiko wa mstari na kuweka mstari wa 15 pamoja na mstari wa 13 maana Kenazi alikuwa mzao wa Yefune na Kalebu. + +# Kenazi ... Othinieli ... Seraia ... Hathathi ... Meonothai ... Ofara ... Yoabu ... Yefune ... Iru ... Ele ... Namu ... Yehaleli ... Zifi .. Zifa ... Tiriya ... Asareli + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Ge Harashimu, ambaye watu wake walikuwa wahunzi + +Ge Harashimu ina maana ya "Bonde la Wahunzi". Maana ya jina ya weza tafsiriwa au ya weza kufanywa kama lilivyo na maelezo yake: "Ge Harashimu, lenye maana ya 'Bonde la Wahunzi.' Liliitwa hivi sababu watu wake walikuwa wahunzi." + +# Wahunzi + +watu walio na ujuzi wa kutengeneza au kujenga vitu + diff --git a/1ch/04/17.md b/1ch/04/17.md new file mode 100644 index 00000000..2d64448a --- /dev/null +++ b/1ch/04/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Maelezo ya 4:17 yamepangiliwa tena ili maana yake ieleweke kwa urahisi zaidi. + +# Ezra ... Yetheri ... Meredi ... Eferi ... Yaloni ... Miriamu ... Shamai ... Ishibahi ... Eshitemoa ... Yeredi ... Gedori ... Heberi ... Soko ... Yekuthieli ... Zanoa + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Hawa walikua wana wa Bithia + +Neno "hawa" la mtaja Miriamu, Shamai, na Ishibahi. Walikuwa wana Bithia aliye mzalia mme wake Meredi. + +# Bithia + +Hili ni jina la mwanamke. + +# Mke wa Kiyahudi wa Meredi + +Maandishi ya Kiebrania yasema, "Mke wake wa Kiyahudi," lakini tafsiri nyingi za elewa "wa" ya mhusu Meredi. Hii ya taja mke tofauti wa Meredi, ukiongeza kwa Bithia + diff --git a/1ch/04/19.md b/1ch/04/19.md new file mode 100644 index 00000000..5e83473f --- /dev/null +++ b/1ch/04/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hodaia ... Nahamu ... Keila ... Eshtemoa ... Shimoni ... Amnoni ... Rina ... Ben Hanani ... Tiloni ... Ishi ... Zohethi ... Beni Zoheti + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Mgarimi + +mtu wa kundi la wa Gari + +# Mmakathi + +mtu kutoka eneo la Maka, linalo itwa pia Makathi. + diff --git a/1ch/04/21.md b/1ch/04/21.md new file mode 100644 index 00000000..1f139551 --- /dev/null +++ b/1ch/04/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Shela ... Er ... Leka ... Laada Maresha ... Yoakimu ... Yoashi ... Sarafi + +Haya ni majina ya watu + +# wafinyanzi + +watu wanao tengeneza mikebe kutokana na udogo + +# Bethi Ashbea ... Kozeba ... Netaimu ... Gedera + +Haya ni majina ya wanaume + diff --git a/1ch/04/24.md b/1ch/04/24.md new file mode 100644 index 00000000..71039979 --- /dev/null +++ b/1ch/04/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nemueli ... Yamini ... Yaribu .. Zera ... Shauli ... Shalumu ... Mibsamu ... Mishima ... Hamueli ... Zakuri ... Shimei + +Haya ni majina ya wanume + +# mjukuu + +mwana wa mtoto wa mtu + +# kitukuu + +mjukuu** - mwana wa mjukuu wa mtu au mjukuu wa kike + diff --git a/1ch/04/27.md b/1ch/04/27.md new file mode 100644 index 00000000..55231765 --- /dev/null +++ b/1ch/04/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wana kumi na sita na mabinti sita + +"wana 16 na mabinti 6" + +# Molada ... Hazari Shuali + +Haya ni majina ya miji. + diff --git a/1ch/04/29.md b/1ch/04/29.md new file mode 100644 index 00000000..ffd8017d --- /dev/null +++ b/1ch/04/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Orodha ya miji ya uzao wa Simeoni uliishi ya endelea + +# Bilha, Ezemu, Toladi, Bethueli, Horma, Zikilagi, Bethi Markabothi, Hazari Susimi, Bethi Biri, Shaaraimu + +Haya ni majina ya miji. + diff --git a/1ch/04/32.md b/1ch/04/32.md new file mode 100644 index 00000000..45747324 --- /dev/null +++ b/1ch/04/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Orodha ya sehemu uzao wa Simeoni uliishi yaendelea. + +# Etamu ... Aini .. Rimoni ... Tocheni ... Ashani + +Haya ni majina ya vijiji. + +# mipaka + +mbali na idadi kubwa ya watu + diff --git a/1ch/04/34.md b/1ch/04/34.md new file mode 100644 index 00000000..75bf6bff --- /dev/null +++ b/1ch/04/34.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Meshobabu, Yamileki, Yoshahi mwana wa Amazia, Yoeli, Yehu mwana wa Yoshibia mwana wa Seraia, Asieli, Elioenai, Yaakoba, Yeshohaia, Asaia, Adieli, Yesimieli, Benaia, Ziza, Shifi, Aloni Yedaia Shimiri Shemaia + +Haya ni majina ya wanaume + +# Hawa walio orodheshwa kwa majina walikua viongozi + +"Hawa wanaume walikuwa viongozi" + +# koo zao ziliongezeka sana + +idadi ya watu kwenye koo zao iliongezeka sana" + diff --git a/1ch/04/39.md b/1ch/04/39.md new file mode 100644 index 00000000..73ebfff3 --- /dev/null +++ b/1ch/04/39.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Gedori + +Hili ni jina la mji + +# malishoni + +eneo ambao wanyama wana kula nyasi + +# mengi + +kiasi kikubwa + +# Wahami + +uzao wa Hamu + +# Wameuni + +Hili ni jina la kundi la watu. "uzao wa Meuni" + diff --git a/1ch/04/42.md b/1ch/04/42.md new file mode 100644 index 00000000..54a70f7a --- /dev/null +++ b/1ch/04/42.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Wanaume mia tano + +"wanaume 500" + +# Pelatia, Nearia, Refaia, Uzieli, Ishi + +Haya ni majina ya watu. + +# wakimbizi wa Waamaleki waliobakia + +"wakimbizi walio baki" + +# wakimbizi + +watu walio lazimishwa kuondoka nchini kwao + +# hadi siku hii + +"kutoka kwao hadi sasa" + diff --git a/1ch/05/01.md b/1ch/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..8569dda3 --- /dev/null +++ b/1ch/05/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# sasa Ruben + +Neno "sasa" limetumika hapa kuweka alama ya mabadiliko kutoka orodha ya uzao hadi maelezo ya awali ya Rubeni + +# lakini haki yake ya mzaliwa wa kwanza ilipewa kwa wana wa Yusufu mwana wa Israeli + +"lakini Israeli aliwapa haki ya mzaliwa wa kwanza ya Rubeni kwa wana wa Yusufu, mwengine wa watoto wa Israeli" + +# Rubeni alinajisi kochi la baba yake + +Hii ni namna ya adabu ya kusema kuwa Rubeni alilala na mke wa pili wa baba yake. Kochi ni sehemu mwanaume na mke wake walilala pamoja. + +# Hivyo hajanakiliwa kama mwana wa kwanza + +"Hivyo historia ya familia ya haimuorodheshi Rubeni kama mwana mkubwa" + +# Hanoki, Palu, Hezroni, Karmi + +Haya ni majina ya wanaume + diff --git a/1ch/05/04.md b/1ch/05/04.md new file mode 100644 index 00000000..9153e0b1 --- /dev/null +++ b/1ch/05/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yoeli ... Shemaia ... Gogi ... Shimei ... Mika Reaia ... Reaia ... Baali ... Bera ... Tiligathi Pileser + +Haya ni majina ya wanaume + +# Tiligath Pileseri + +Hili jina limeandikwa pia kama Tiglathi Pileaseri katika sehemu zingine za Biblia + diff --git a/1ch/05/07.md b/1ch/05/07.md new file mode 100644 index 00000000..4ca4f536 --- /dev/null +++ b/1ch/05/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wameorodheshwa katika nakala za uzao wao + +Hii yaeza anza sentensi mpya: "Nakala zao za uzao zimewaorodhesha kama" + +# nakala za uzao + +nakala zinazoonyesha jinsi watu katika familia wanavyo husiana wao kwa wao + +# Yeieli ... Zekaria ... Bela ... Azazi ... Shema + +Haya ni majina ya wanaume + +# Aroeri ... Nebo ... Baali Meoni + +Haya ni majina ya miji + diff --git a/1ch/05/10.md b/1ch/05/10.md new file mode 100644 index 00000000..b0c41d21 --- /dev/null +++ b/1ch/05/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wahagiri + +Haya ni majina makundi ya watu. + diff --git a/1ch/05/11.md b/1ch/05/11.md new file mode 100644 index 00000000..d1b6081c --- /dev/null +++ b/1ch/05/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Saleka + +Hili ni jina la mji + +# Yoeli ... Shafamu ... Yanai ... Shafati ... Mikaeli ... Meshulamu ... Sheba ... Yorai ... Yakani ... Zia ... Eberi + +Haya ni majina ya wanaume + diff --git a/1ch/05/14.md b/1ch/05/14.md new file mode 100644 index 00000000..23362d33 --- /dev/null +++ b/1ch/05/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Abihaili ... Huri ... Yaroa ... Gileadi ... Mikaeli ... Yeshishai ... Yado ... Buzi ... Ahi ... Abdieli ... Guni + +Haya ni majina ya wanaume + diff --git a/1ch/05/16.md b/1ch/05/16.md new file mode 100644 index 00000000..7be98baf --- /dev/null +++ b/1ch/05/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Waliishi + +"Kabila la shule liliishi" + +# nchi za malisho + +maeno wanyama wanayo kula nyasi + +# Hawa wote waliorodheshwa katika nakaka za uzao + +"Nakala za uzao ziliwaorodhesha wote" au "Nakala zao familia za mababu ziliwaorodhesha" + +# Hawa wote + +Haiko wazi ni idadi gani ya watu walio tangulia imetajwa + diff --git a/1ch/05/18.md b/1ch/05/18.md new file mode 100644 index 00000000..60b166d9 --- /dev/null +++ b/1ch/05/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Warubeni + +Hii ya husu watu kutoka kabila la Rubeni + +# Wagadi + +Hii ya husu watu kutoka kabila la Gadi + +# wana jeshi elfu arobaini na nne + +wana jeshi elfu nne** "44, 000 soldiers" + +# walio beba ngao na upanga, na pinde na mishale + +Wanajeshi wanaelezwa kama wenye ujuzi vitani kwa silaha walizo beba. "Walifunzwa kupambana vizuri vitani" + +# Wahagri ... Yeturi ... Nafishi ... Nodabu + +Haya ni majina ya makundi ya watu. + diff --git a/1ch/05/20.md b/1ch/05/20.md new file mode 100644 index 00000000..1e7462ea --- /dev/null +++ b/1ch/05/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Waisraeli walipaza sauti kwa Mungu + +"Waisraeli walimuomba Mungu kwa sauti kwa ajili ya Msaada" + +# Walikamata + +"Waisraeli walikamata Wahagri" + +# ngamia elfu hamsini + +"ngamia 50,000" + +# punda elfu mbili + +"punda 2,000" + +# Kwa sababu Mungu aliwapigania + +Msaada wa Mungu waelezwa kama mwanajeshi aliye pigana vitani. "Kwasababu Mungu aliwasaidia" + diff --git a/1ch/05/23.md b/1ch/05/23.md new file mode 100644 index 00000000..bac54913 --- /dev/null +++ b/1ch/05/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Baali Herimoni ... Seniri + +Haya ni majina ya milima + +# Eferi, Ishi, Elieli, Azrieli, Yeremia, Hodavia, na Yahdieli + +Haya ni majina ya wanaume + diff --git a/1ch/05/25.md b/1ch/05/25.md new file mode 100644 index 00000000..54b3a2cc --- /dev/null +++ b/1ch/05/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Puli ... Tiligathi Pileseri + +Haya ni majina ya wanaume + +# Warubeni ... Wagadi + +Haya ni majina ya makundi ya watu + +# Hala ... Habori ... Hara + +Haya ni majina ya miji + +# Gozani + +Hili ni jina la mto + diff --git a/1ch/06/01.md b/1ch/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..ae3a8fff --- /dev/null +++ b/1ch/06/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Gerishoni ... Kohathi ... Merari ... Amramu ... Izhari ... Hebroni ... Uzieli ... Nadabu ... Abihu ... Eleazari ... Ithamari + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/1ch/06/04.md b/1ch/06/04.md new file mode 100644 index 00000000..674cd4ca --- /dev/null +++ b/1ch/06/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Eleazari ... Abishua ... Buki ... Uzi ... Zerahia ... Meraioti + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/1ch/06/07.md b/1ch/06/07.md new file mode 100644 index 00000000..22e72b93 --- /dev/null +++ b/1ch/06/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Meraioti ... Amaria ... Ahitubi ... Zadoki ... Ahimazi ... Yohanani + +haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/1ch/06/10.md b/1ch/06/10.md new file mode 100644 index 00000000..57447c81 --- /dev/null +++ b/1ch/06/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Amaria ... Ahitubi ... Zadoki ... Shalumu + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/1ch/06/13.md b/1ch/06/13.md new file mode 100644 index 00000000..2537dbe4 --- /dev/null +++ b/1ch/06/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hilikia ... Seraia ... Yehozadaki + +Haya ni majina ya wanaume. + +# wapeleka utumwani Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Nebukadneza. + +Nguvu ya Nebukadneza kupitia jeshi lake inafafanuliwa kama sehemu ya mwili wake ("mkono") alitumika kuongoza jeshi lake. " aliruhusu jeshi la Nebukadneza kushinda majeshi ya Yuda na Yerusalemu na kuchukua watu kwenda matekani." + diff --git a/1ch/06/16.md b/1ch/06/16.md new file mode 100644 index 00000000..6db0dd22 --- /dev/null +++ b/1ch/06/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Gershomi ... Kohathi ... Merari + +Ona jinsi ulivyo tafsiri haya majina 6:1 + +# Libni ... Shimei + +Haya ni majina ya wanaume + +# Amramu ... Izhari ... Hebroni ... Uzieli + +Ona jinsi ulivyo tafsiri haya majina 6:1 + diff --git a/1ch/06/19.md b/1ch/06/19.md new file mode 100644 index 00000000..a38822e7 --- /dev/null +++ b/1ch/06/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Merari ... Mahili ... Mushi ... Yahathi ... Zima ... Yoa ... Ido ... Zera ... Yeatherai ... + +Haya ni majina ya wanaume + diff --git a/1ch/06/22.md b/1ch/06/22.md new file mode 100644 index 00000000..29392ede --- /dev/null +++ b/1ch/06/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Aminadabu ... Kora ... Asiri ... Elikana ... Ebiasa ... Tahathi ... Urieli ... Uzia ... Shauli + +Haya ni majina ya wanaume + diff --git a/1ch/06/25.md b/1ch/06/25.md new file mode 100644 index 00000000..8ecd8f9e --- /dev/null +++ b/1ch/06/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Elikana ... Amasai ... Ahimothi ... Zofai ... Nahathi ... Eliabu .. Yerohamu + +Haya ni majina ya wanawake + diff --git a/1ch/06/28.md b/1ch/06/28.md new file mode 100644 index 00000000..983c0927 --- /dev/null +++ b/1ch/06/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yoeli ... Merari ... Mahli ... Libni ... Shimei ... uza ... Shimea ... Hagia ... Asaia + +Haya ni majina ya wanaume + +# mzaliwa wa pili + +"wana wa pili kuzaliwa" + diff --git a/1ch/06/31.md b/1ch/06/31.md new file mode 100644 index 00000000..680a6aad --- /dev/null +++ b/1ch/06/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sanduku kuja hapo + +"watu wa Israeli walieka sanduku kule" + +# hema, hema la kukutania + +Maana kadha ni 1) kwamba "hema la kukutania" la eleza jina lingine la "maskani" (UDB) au 2) "eneo takatifu la hema la kukutani" + +# Walikamilisha wajibu wao kwa kadiri ya maelekezo waliopewa + +"Waimbaji walitii maelekezo ya Daudi" + diff --git a/1ch/06/33.md b/1ch/06/33.md new file mode 100644 index 00000000..36354ea0 --- /dev/null +++ b/1ch/06/33.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hawa + +"Hawa walikuwa wana muziki" + +# Wakohathi + +Hili ni jina la kundi la watu + +# kurudi nyuma ya wakati + +Hii ina maana orodha inaenda kutokana na wa hivi karibuni na wa zamani. + +# Hemani ... Yerohamu ... Elieli ... Toa ... Zufi ... Mahathi + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Elikana ... Amasai + +Ona jinsi ulivyo tafsiri haya majina ya hawa wanaume 6:25 + diff --git a/1ch/06/36.md b/1ch/06/36.md new file mode 100644 index 00000000..57b3b020 --- /dev/null +++ b/1ch/06/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tahathi ... Asiri ... Ebiasa .. Izhari ... kohathi + +Haya ni majina ya watu + diff --git a/1ch/06/39.md b/1ch/06/39.md new file mode 100644 index 00000000..dc75d697 --- /dev/null +++ b/1ch/06/39.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Berekia ... Shimea ... Mikaeli ... Baaseia ... Malikiya ... Ethani ... Zima ... Shimei Yahathi ... Gerishomu + +Haya ni majina ya watu + +# Msaidizi + +"mfanya kazi mwenza" + +# aliye simama mkono wake wa kuume + +Mamlaka ya mtu yaelezwa kama kwa wapi wanapo simama. Mkono wa kulia wa mtu ni sehemu mtu mwenye mamlaka alisimama. + diff --git a/1ch/06/44.md b/1ch/06/44.md new file mode 100644 index 00000000..11db6c9b --- /dev/null +++ b/1ch/06/44.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mkono wa koshoto wa Heman + +"Kusimama mkono wa kushuto wa Hemani" + +# Msaidizi + +"Mfanya kazi mwenza" + diff --git a/1ch/06/48.md b/1ch/06/48.md new file mode 100644 index 00000000..0e76c158 --- /dev/null +++ b/1ch/06/48.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Walawi, alipangiwa kufanya + +"Ilikuwa ni kazi ya wafanya kazi wenza, Walawi, kufanya" + diff --git a/1ch/06/49.md b/1ch/06/49.md new file mode 100644 index 00000000..5f3a050d --- /dev/null +++ b/1ch/06/49.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# izi sadaka zilifanya maombezi kwa ajili ya Waisraeli + +"Hizi sadaka zilikuwa za kufanya maombezi kwa dhambi za watu wa Israeli" + diff --git a/1ch/06/50.md b/1ch/06/50.md new file mode 100644 index 00000000..fdc2e5c2 --- /dev/null +++ b/1ch/06/50.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Uzao wa Aruni una kumbukwa kama ifuatavyo + +"Hawa walikuwa uzao wa Aruni" + diff --git a/1ch/06/54.md b/1ch/06/54.md new file mode 100644 index 00000000..96b28e3d --- /dev/null +++ b/1ch/06/54.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hizi ni sehemu ambazo wazao wa Aruni walipangiwa kuishi, wazao wa Aruni ambao walitoka katika koo za Wakohathi (maeneo ya kwanza yalikuwa yao) + +"Haya ndiyo maeno ambayo uzao wa Aruni, koo za Wakohathi, waliishi (kura zilpigwa kujua wapi wataishi)" + +# Wakohathi + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 6:33 + +# Walipewa Hebron + +"Waliwapatia Hebroni kuwa yao" + +# lakini maeneo ya mji na vijiji alipewa Kalebu mwana wa Yefune + +"Kalebu na familia yake walienda kuishi kwenye mashamba ya Hebroni na vijiji vizungukavyo" + +# nchi ya malisho + +Hii ni sehemu ya nyasi ambapo wanyama wanakula. + diff --git a/1ch/06/59.md b/1ch/06/59.md new file mode 100644 index 00000000..831c037a --- /dev/null +++ b/1ch/06/59.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jumla ya miji yao ilikuwa kumi na tatu + +"Walikuwa na jumla ya miji kumi na tatu" + diff --git a/1ch/06/61.md b/1ch/06/61.md new file mode 100644 index 00000000..7d7430c3 --- /dev/null +++ b/1ch/06/61.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Gerishomu kwa koo zao tofauti walipewa miji kumi na tatu + +"Koo za Gerishomu uzao wake ulipata miji 13" + +# Kohathi ... Gerishomu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 6:1 + diff --git a/1ch/06/63.md b/1ch/06/63.md new file mode 100644 index 00000000..ea80c949 --- /dev/null +++ b/1ch/06/63.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Merari + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 6:1 + +# miji iliyo tajwa awali kutoka + +"hiyo miji kutoka" + diff --git a/1ch/06/66.md b/1ch/06/66.md new file mode 100644 index 00000000..ca1252cb --- /dev/null +++ b/1ch/06/66.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakohathi + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 6:33 + diff --git a/1ch/06/71.md b/1ch/06/71.md new file mode 100644 index 00000000..a865cd57 --- /dev/null +++ b/1ch/06/71.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Gerishomu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 6:1 + diff --git a/1ch/06/77.md b/1ch/06/77.md new file mode 100644 index 00000000..a24195a8 --- /dev/null +++ b/1ch/06/77.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Merari + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 6:1 + +# Merari ... nchi ya malisho + +"kabila la Zebuluni ili wapa uzao wa Merari Rimono na nchi yake yamalisho na Tabori na nchi yake ya Malisho" + +# Kwa wao pia walipewa ... kabila la Rubeni + +Maelezo katika 6:77 yamepangiliwa tena ili maana yake iweze kueleweka kwa uraisi. + +# Kwa wao pia walipewa + +"Pia walipata zaidi" + diff --git a/1ch/07/01.md b/1ch/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..7135c647 --- /dev/null +++ b/1ch/07/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# walikua na idadi ya 22,600 + +"Walikuwa wanaume elfu ishirini na mbili na mia sita" + +# Katika siku za Daudi + +"kipindi cha maisha ya Daudi + diff --git a/1ch/07/04.md b/1ch/07/04.md new file mode 100644 index 00000000..26520c4a --- /dev/null +++ b/1ch/07/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Pamoja nao walikua na + +"Miongoni mwao walikuwa" + +# jeshi la watu elfu thelathini na sita kwa mapambano + +wana jeshi elfu sita kwa pambano** - "wana jeshi 36,000 walio kuwa tayari kwa pambano" + diff --git a/1ch/07/06.md b/1ch/07/06.md new file mode 100644 index 00000000..f6bb3555 --- /dev/null +++ b/1ch/07/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# waanzilishi + +"baba" au "mababu" + diff --git a/1ch/07/11.md b/1ch/07/11.md new file mode 100644 index 00000000..1eefd737 --- /dev/null +++ b/1ch/07/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yedieli ... Iri ... Aheri + +Haya ni majina ya wanawake + +# Waliorodheshwa katika ukoo orodha ilikuwa 17,200 + +"Orodha ya ukoo ilikuwa na elfu kumi na saba na mia mbili" + +# Shupimu ... Hupimu ... Hushimu + +Haya ni majina ya wanaume + diff --git a/1ch/07/13.md b/1ch/07/13.md new file mode 100644 index 00000000..120d5f70 --- /dev/null +++ b/1ch/07/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yazieli, Guni, Yezeri, na Shalumu + +Haya ni majina ya wanaume + +# wajukuu wa Bilhahi + +"wana wa wana wa Bilhahi" + diff --git a/1ch/07/14.md b/1ch/07/14.md new file mode 100644 index 00000000..c25146ec --- /dev/null +++ b/1ch/07/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Waarami + +Hii yaeleza mtu wakutoka Aramu, eneo la Syria + +# suria wake wa Kiaramia alimzalia + +"Suria wa Kiaramia alimza" + diff --git a/1ch/07/20.md b/1ch/07/20.md new file mode 100644 index 00000000..65aafddf --- /dev/null +++ b/1ch/07/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Eza na Eleadi waliuawa na wanaume wa Gati, wenyeji wa nchi + +"Wanaume wa Gathi, wenyeji wa nchi, waliwaua Eza na Eleadi" + +# walipoenda kuiba mifugo yao + +"ndugu walienda kuiba mifugo kutoka kwa watu wa Gathi" + diff --git a/1ch/07/23.md b/1ch/07/23.md new file mode 100644 index 00000000..d04b8d8b --- /dev/null +++ b/1ch/07/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Akapata mimba akamzaa mwana + +"Alishika mimba na kuzaa mwana" + +# akamuita + +"alimpa jina" + +# Beria ... Sheera + +Haya ni majina ya watu + +# juu na chini Beth Horon na Uzzen Sheerah + +Haya ni majina ya sehemu. + diff --git a/1ch/07/28.md b/1ch/07/28.md new file mode 100644 index 00000000..46529c3a --- /dev/null +++ b/1ch/07/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# makazi yao yalikuwa + +"nyumbani kwao kulikuwa" + +# atika huu mji waliishi uzao wa Josefu mwana wa Israeli + +"Uzao wa Yusufu, mwana wa Israeli, waliishi kwenye hii miji" + diff --git a/1ch/07/39.md b/1ch/07/39.md new file mode 100644 index 00000000..ccb94dbf --- /dev/null +++ b/1ch/07/39.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wananume wa kipekee + +"wanaume muhimu" + +# Kulikuwa na wanaume elfu ishirini na sita walioorodheshwa waliokuwa imara kwa kazi ya jeshi, kwa mujibu wa idadi iliyo orodheshwa + +wanaume elfu sita waliorodhesha walikuwa tayari kwa ajili ya kazi ya jeshi, kwa mujibu wa idadi ya orodha* "Kwa mujibu wa nakala za koo, walikuwa 26,000 wanaume wanao weza kutumika kwenye jeshi. + diff --git a/1ch/08/06.md b/1ch/08/06.md new file mode 100644 index 00000000..66c07890 --- /dev/null +++ b/1ch/08/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# walihimizwa kuhamia + +"waliitaji kuhama" au "waliitaji kuhama" + diff --git a/1ch/08/08.md b/1ch/08/08.md new file mode 100644 index 00000000..33b42f85 --- /dev/null +++ b/1ch/08/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Shaharaimu ... Yobabu ... Zibia ... Mesha ... Malkamu ... Yeuzi ... Shachia ... Mirima ... Abitubi ... Elipaali + +Haya ni majina ya wanaume + +# Hushimu ... Baara ... Hodeshi + +Haya ni majina ya wanawake + +# kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa + +"Shaharaimu na mkewe Hodeshi walikuwa na wana wafuatao" + diff --git a/1ch/08/12.md b/1ch/08/12.md new file mode 100644 index 00000000..c4352b04 --- /dev/null +++ b/1ch/08/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Elipaali ... Eberi ... Mishamu ... Shemedi ... Beria ... Shema + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Ono ... Lodi ... Aijaloni + +Haya ni majina ya sehemu + diff --git a/1ch/08/14.md b/1ch/08/14.md new file mode 100644 index 00000000..9334b5c8 --- /dev/null +++ b/1ch/08/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Elipaali ... na Yobabu + +Maelezo katika 8:14 yamepangiliwa tena ili maana yake ieleweke kwa urahisi zaidi. + diff --git a/1ch/08/19.md b/1ch/08/19.md new file mode 100644 index 00000000..cbd32ebe --- /dev/null +++ b/1ch/08/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Maelezo katika 8:19 yamepangiliwa tena ili maana yake ieleweke kwa urahisi zaidi. + diff --git a/1ch/08/22.md b/1ch/08/22.md new file mode 100644 index 00000000..80c970c0 --- /dev/null +++ b/1ch/08/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Maelezo katika 8:22 yamepangiliwa tena ili maana yake ieleweke kwa urahisi zaidi. + diff --git a/1ch/08/26.md b/1ch/08/26.md new file mode 100644 index 00000000..005d7d60 --- /dev/null +++ b/1ch/08/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi + +Maneno "vichwa vya familia" na "viongozi" ina maana moja. + diff --git a/1ch/08/29.md b/1ch/08/29.md new file mode 100644 index 00000000..1fcbf0b0 --- /dev/null +++ b/1ch/08/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni + +Hapa "baba wa" ya husu hali ya Wayahudi kama kiongozi wa mji wa Gibeoni. "Yeieli, kiongozi wa Gibeoni, aliishi Gibeoni. Jina la mkewe lilikuwa Maaka" + +# Uzao wake wa kwanza + +"mzaliwa wa kwanza wa Yeieli" + diff --git a/1ch/08/38.md b/1ch/08/38.md new file mode 100644 index 00000000..0aa34241 --- /dev/null +++ b/1ch/08/38.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tat + +"Yeushi mwana wa 2, na Elifeleti wa tatu" + +# Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150 + +"Walikuwa na jumla ya wana mia na hamsini na tano na wajuu" + diff --git a/1ch/09/01.md b/1ch/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..feff35a8 --- /dev/null +++ b/1ch/09/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa hivyo watu wote wa Israeli walinakiliwa ki uzao + +Nakala ya uzao yaeleza kumbukumbu ya uzao wa familia au mababu wa mtu. + +# Walinakiliwa katika vitabu vya kifalme vya Israeli + +Hii ya husu kitabu ambacho hakipo tena. + diff --git a/1ch/09/04.md b/1ch/09/04.md new file mode 100644 index 00000000..98b0a894 --- /dev/null +++ b/1ch/09/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Washiloni + +Hili ni jina la group lilitoka Shela. + diff --git a/1ch/09/12.md b/1ch/09/12.md new file mode 100644 index 00000000..e39a43fd --- /dev/null +++ b/1ch/09/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Walikuwa ni wanaume wenye uwezo sana wa kufanya kazi katika nyumba ya Mungu + +Hawa wanaume wenye uwezo walifanya kazi katika nyumba ya Mungu" + diff --git a/1ch/09/14.md b/1ch/09/14.md new file mode 100644 index 00000000..e4ec7d68 --- /dev/null +++ b/1ch/09/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Shemaia ... Elikana + +Haya ni majina ya wanaume + +# kati ya uzao + +"mmoja wa uzao" + +# Wanetofa + +Hili ni jina la kundi la watu. + diff --git a/1ch/09/17.md b/1ch/09/17.md new file mode 100644 index 00000000..af323983 --- /dev/null +++ b/1ch/09/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Walinzi wa lango + +"askari" au "walinzi wa lango" + +# Awali walisimama kulinda katika geti la mfalme upande wa mashariki wa kambi ya uzao wa Walawi + +"Uzao wa Walawi ulilinda lango la mfalme upande wa mashariki ya kambi" + +# mlango wa hema ... ango la kuingilia + +Haya maneno yote yanaelezea mwingilio wa hema ya kukutania, au maskani + diff --git a/1ch/09/20.md b/1ch/09/20.md new file mode 100644 index 00000000..5148d81c --- /dev/null +++ b/1ch/09/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# aliwaongoza + +"aliwaongoza maaskari" + diff --git a/1ch/09/22.md b/1ch/09/22.md new file mode 100644 index 00000000..01c133b7 --- /dev/null +++ b/1ch/09/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Majina yao yaliandikwa kwenye kumbukumbu za watu katika vijiji vyao + +"Nakala zao katika vijiji vya hawa watu vilijumuisha majina ya hawa wanaume + +# watoto wao + +"uzao wao" + +# Walinzi wa mageti waliwekwa + +"wanaume walilinda miingilio" + +# pande zote nne, upande wa mashariki, magharibi, kaskazini, na kusini + +"pande zote" + diff --git a/1ch/09/25.md b/1ch/09/25.md new file mode 100644 index 00000000..5a8f0930 --- /dev/null +++ b/1ch/09/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kaka zao + +"kaka za walinzi" + +# walikuja kuwasaidia baada ya mzunguko wa siku saba + +mzunguko wa siku, wa awamu** "walikuja kusaidia kwa mzunguko wa siku 7, wakipeana awamu" + +# walipangiwa kulinda vyumba + +"walilinda vyumba" + diff --git a/1ch/09/28.md b/1ch/09/28.md new file mode 100644 index 00000000..d79779b5 --- /dev/null +++ b/1ch/09/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Baadhi yao + +"Baadhi ya askari" + +# walihesabu makala zilizo ingizwa ndani na zilizo tolewa nje + +"walihesabau makala watu waliotoa nje kutumia, na wakahesabu makala watu walipo rudisha" + +# waliwekwa kutunza + +"kutunza" au "kujali" + diff --git a/1ch/09/30.md b/1ch/09/30.md new file mode 100644 index 00000000..26467473 --- /dev/null +++ b/1ch/09/30.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Matithia ... Shalumu + +Haya ni majina ya watu. + +# Wakorahi ... Wakohathi + +Haya ni majina ya makundi ya watu. + +# mikate ya uwepo + +Ona kurasa ya neno kuhusu "mkate" kwa maelezo fasii kuhusu "mkate wa uwepo" + diff --git a/1ch/09/33.md b/1ch/09/33.md new file mode 100644 index 00000000..276b593c --- /dev/null +++ b/1ch/09/33.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# walipo kuwa hawafanyi kazi + +"hawakuwa na haja ya kufanya kazi nyingine" + +# kufanya kazi walio pangiwa + +"waliitaji kukamilisha kazi yao ya kupangiwa" + +# usiku na mchana + +Hii ina maanisha "wakati wote" na ya weza kufasiriwa kwa kutumia maneno au neno kutoka lugha yako au tamaduni yako yenye kuleta maana moja + +# Hawa walikuwa viongozi wa familia miongoni mwa Walawi, kama ilivyo orodheshwa katika kumbukumbu za uzao wao + +" Historia ya familia orodha yake yataja majina ya Walawi viongozi wa familia" + diff --git a/1ch/09/35.md b/1ch/09/35.md new file mode 100644 index 00000000..9193c5e4 --- /dev/null +++ b/1ch/09/35.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Gibeoni + +Maelezo ya kwanza ya Gibeoni ya eleza mtu lakini ya pili ya taja mji. + diff --git a/1ch/10/01.md b/1ch/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..49d4d9b8 --- /dev/null +++ b/1ch/10/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kila mwanaume wa Israeli alikimbia Wafilisti + +"Jeshi la Waisraeli liliwakimbia kutoka" + +# kuanguka na kufa + +"kufa" + diff --git a/1ch/10/04.md b/1ch/10/04.md new file mode 100644 index 00000000..d592369f --- /dev/null +++ b/1ch/10/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# unichome nao + +"niue nao" + +# Lasihivyo, hawa wasio tahiriwa watukuja + +Maelezo kuhusu "wasio tahiriwa" hapa ni kashfa, ikihashiria kuwa hawa watu ni wageni na hawana mahusiano na Mungu. + +# kuangukia + +"alijiua nao" + diff --git a/1ch/10/05.md b/1ch/10/05.md new file mode 100644 index 00000000..51f68bea --- /dev/null +++ b/1ch/10/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# a wana wake watatu + +"na wana wake wa 3 wakafa" + diff --git a/1ch/10/07.md b/1ch/10/07.md new file mode 100644 index 00000000..4be8c56c --- /dev/null +++ b/1ch/10/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kila mwanaume wa Israeli + +"Wanaume wa Israeli walipo" + +# kuishi humo + +"waliishi katika miji ya Waisraeli" + +# Ikawa siku + +Hili neno hapa la tumika kueka alama ya tukio muhimu katika historia. Kama lugha yako ina namna ya kufanya hivi, fikiria kutumia hapa. + +# kukagua wafu + +"kuchukuwa kila kitu cha thamani miilini mwa wafu" + +# Sauli na wana wake wameanguka + +"Sauli na wana wake wamekufa" + diff --git a/1ch/10/09.md b/1ch/10/09.md new file mode 100644 index 00000000..fe1a936d --- /dev/null +++ b/1ch/10/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wakamvu + +"Wafilisti waliondoa kutoka mwilini mwa Sauli" + +# Ngao yake wakaeka + +"Wafilisti wakachukuwa ngao ya Sauli" + +# Dagoni + +Hili ni jina la mungu wa uongo. + diff --git a/1ch/10/11.md b/1ch/10/11.md new file mode 100644 index 00000000..6c7f4a0b --- /dev/null +++ b/1ch/10/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yabeshi Gileadi yote ilipo sikia Wafilisti waliyo + +"Watu wa Yabeshi Gileadi walipo sikia nini wana jeshi wa Wafilisti" + +# mifupa yao + +"miili yao" au "mabaki yao" + diff --git a/1ch/10/13.md b/1ch/10/13.md new file mode 100644 index 00000000..21051f0a --- /dev/null +++ b/1ch/10/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ushauri + +Hii ni maoni au pendekezo kuhusu nini mtu afanye. + +# ngea na wafu + +"alidai kuongea na hao walio kufa" + +# mwongozo + +Hii ni msaada au ushauri kuhusu nini tufanye. + +# akamua na kupindua ufalme + +"kuwapa uongozi wa watu wa Israeli kwa" + diff --git a/1ch/11/01.md b/1ch/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..e9c0dbe6 --- /dev/null +++ b/1ch/11/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# sisi ni nyama na mifupa yako + +"sisi ni ndugu zako" au "tuna mababu sawa na wewe" + +# neno la Yahweh + +"ujumbe wa Yahweh" + diff --git a/1ch/11/04.md b/1ch/11/04.md new file mode 100644 index 00000000..61cc0b0b --- /dev/null +++ b/1ch/11/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yebusi + +Hili lilikuwa jina fupi la Yerusalemu baada ya Wayebusi kuuteka mji, kabla ya Waisraeli kuchukuwa. + +# Daudi alichukuwa + +"Lakini jeshi la Daudi lilishinda" + +# mji wa Daudi + +"na wakauita mji wa Daudi" + +# hivyo akafanywa mkuu wa jeshi + +"Hivyo Daudi akamfanya Yoabu mkuu" + diff --git a/1ch/11/07.md b/1ch/11/07.md new file mode 100644 index 00000000..bc399f9f --- /dev/null +++ b/1ch/11/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Akaimarisha mji + +"Waisraeli wakafanya ukuta kuuzunguka mji imara" + +# kutoka Milo + +Hii yaeleza ngome ya Yerusalemu, labda iliyo tengenezwa na Wayebusi. + +# alikuwa naye + +"alimsaidia" + diff --git a/1ch/11/10.md b/1ch/11/10.md new file mode 100644 index 00000000..4cf17b46 --- /dev/null +++ b/1ch/11/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# viongozi Daudi aliyo kuwa nao + +"viongozi chini ya Daudi" + +# waliyo jionyesha imara katika ufalme wake + +"aliyo saidia uongozi wa Daudi kubaki imara" + +# thelathini + +"wanaume hodari 30" + +# katika sehemu moja + +"kwa wakati mmoja" + diff --git a/1ch/11/12.md b/1ch/11/12.md new file mode 100644 index 00000000..eb7a2645 --- /dev/null +++ b/1ch/11/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# na kuwakata Wafilisti + +"na kuwaua wafilisti wengi" + diff --git a/1ch/11/15.md b/1ch/11/15.md new file mode 100644 index 00000000..7c8d9625 --- /dev/null +++ b/1ch/11/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# watatu wa viongozi thelathini + +"3 wa 30" + +# Kwa wakati huo Daudi alikuwa katika ngome yake, pangoni, Wafilisti walikita kambi yao Bethilehemu + +Daudi alikuwa sehemu salama katika pango wakati wana jeshi Wafilisti wakilinda Bethlehemu" + +# Wafilisti walikita kambi yao Bethilehemu + +"Wafilisti waliweka wana jeshi Bethilehemu" + diff --git a/1ch/11/18.md b/1ch/11/18.md new file mode 100644 index 00000000..43dabead --- /dev/null +++ b/1ch/11/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wanaume hodari watatu + +wanaume hodari 3" + +# kisima cha Bethilehemu, kisima pembeni mwa lango + +Haya maneno mawili yanahusu kisima kimoja. Ya pili ya husu kisima gani Bethilehemu. + +# Yahweh, iwe mbali na mimi, kwamba ni yanywe haya maji + +Mungu, tafadhali usiniache ninywe dhabihu kama hii kwa gharama ya wanaume wangu" + +# Je ninywe damu ya wanaume walio hatarisha maisha yao? + +Daudi anasema kwa swali kuwa maji yana dhamani kwasababu ya dhabihu iliyo tolewa na hao walioenda kufuata. "Sitakunywa damu ya wanaume walio radhi kufa kwa ajili yangu" au "Sitakunywa maji wanaume walio hatarisha maisha yao kuyapata" + diff --git a/1ch/11/20.md b/1ch/11/20.md new file mode 100644 index 00000000..85e2fdcc --- /dev/null +++ b/1ch/11/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wa watatu + +"mashujaa Watatu" + +# alikuwa kiongozi wa watatu + +"Abishai alikuwa kiongozi wa mashujaa watatu + +# yeye alipewa heshima mara mbili na akawa kiongozi wao + +"wana jeshi walikuwa na heshima kubwa kwa Abishai na wakamfanya kiongozi, japo hawaku mhesabu kama kiongozi wa mashujaa Watatu" + diff --git a/1ch/11/22.md b/1ch/11/22.md new file mode 100644 index 00000000..31c1e24f --- /dev/null +++ b/1ch/11/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mambo makuu + +Haya ni matendo yanayoonyesha ujasiri, uweza, au ujuzi. + +# theluji ikianguka + +"wakati wa dhoruba ya theluji" + +# lakini alimfuata chini + +"Benaia alikutana na Mmisri" + +# mkuki kama gongo la mshonaji + +"mkuki mkubwa sana" + diff --git a/1ch/11/24.md b/1ch/11/24.md new file mode 100644 index 00000000..8f889ccd --- /dev/null +++ b/1ch/11/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# akatajwa miongoni mwa wale wanaume hodari watatu + +"alikuwa maarufu kama wanaume hodari 3" + +# Alisifika zaidi ya wale wanajeshi thelathini kwa ujumla, lakini hakuwa pewa hadhi ya wale wanajeshi watatu hodari + +"Watu walimheshimu kuliko wana jeshi wale 30, lakini sio zaidi ya wale 3 wenye ujuzi wa juu" + +# walinzi + +Huyu ni mtu au kundi la watu wenye wajibu wakumlinda mtu muhimu. + diff --git a/1ch/11/42.md b/1ch/11/42.md new file mode 100644 index 00000000..d79e0cd9 --- /dev/null +++ b/1ch/11/42.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# thelathini pamoja nae + +"wanaume 30 pamoja nae" + diff --git a/1ch/12/01.md b/1ch/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..37c1df82 --- /dev/null +++ b/1ch/12/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wakati akiwa bado amefukuzwa katika uwepo wa + +"wakati alipo kuwa hawezi kuwa katika uwepo wa" + +# Walikuwa wana upinde na waliweza kutumia mkono wa kuume na wakushoto + +"Silaha zao zilikuwa upinde, na waliweza kutumia upinde kwa mkono wa kulia au wakushoto" + +# mawe na manati + +Manati ilizungushiwa ngozi iliyo mruhusu mtu kutupa jiwe kwa umbali mrefu. Jiwe liliwekwa katikati wakati mtu alishika miisho na kuzungusha kwa duara. Alipo achilia, jiwe liliruka palipo lengwa. + diff --git a/1ch/12/03.md b/1ch/12/03.md new file mode 100644 index 00000000..27d94834 --- /dev/null +++ b/1ch/12/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wale thelathini + +"wale wana jeshi 30" + diff --git a/1ch/12/08.md b/1ch/12/08.md new file mode 100644 index 00000000..1bd87f71 --- /dev/null +++ b/1ch/12/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ambao nyuso zao zilikuwa kali kama za simba + +"walio kuwa wakali sana" + +# Walikuwa wepesi kama swala + +"Walikuwa wana mbio sana" + +# swala + +Hawa ni wanyama walio wa pole na wepesi, mfano wa ayala. + diff --git a/1ch/12/09.md b/1ch/12/09.md new file mode 100644 index 00000000..d087a55a --- /dev/null +++ b/1ch/12/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wapili ... wakumi na moja + +Hii ya waorodhesha hawa wanaume kwa vyeo vya uongozi. "2 ... 3 ... 4 ... 5 ... 6 ... 7... 8 ... 9 ... 10 ... 11" + diff --git a/1ch/12/14.md b/1ch/12/14.md new file mode 100644 index 00000000..6684cd0e --- /dev/null +++ b/1ch/12/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wamwisho aliongoza mia moja + +Hii ina maana kuwa kundi dogo kiongozi alilo ongozi ni 100. + +# mkubwa aliongoza elfu moja + +Hii ina maana kuwa kundi kubwa kiongozi alilo ongozi ni 1000. + +# mwezi wa kwanza + +Huu ni mwezi wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Machi na sehemu ya kwanza Aprili kwa kalenda za magharibi. Ni mwanzo wa masika mvua za mwisho zaja. + diff --git a/1ch/12/16.md b/1ch/12/16.md new file mode 100644 index 00000000..4b64d42e --- /dev/null +++ b/1ch/12/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wanaume wa Benjamini na Yuda + +"wanaume kutoka kabila la Benjamini na Yuda" + diff --git a/1ch/12/18.md b/1ch/12/18.md new file mode 100644 index 00000000..4494596e --- /dev/null +++ b/1ch/12/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# roho ikaja juu ya + +"Roho ikampa nguvu" + +# wale thelathini + +"wale 30" + +# Sisi ni wako, Daudi. Sisi tupo upande wako, mwana wa Yesse + +Haya maneno ya shiriki maana moja na mkazo wa kumfuata Daudi. + diff --git a/1ch/12/19.md b/1ch/12/19.md new file mode 100644 index 00000000..af2f925b --- /dev/null +++ b/1ch/12/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Atamwendea + +"kuwaacha viongozi wao kujiunga na" + +# wa maelfu + +"Zaidi ya wanaume 1000" + diff --git a/1ch/12/21.md b/1ch/12/21.md new file mode 100644 index 00000000..6108fcf7 --- /dev/null +++ b/1ch/12/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kikundi cha wezi + +"makundi ya watu waliyo wapora nchi nzima" + +# kama jeshi la Mungu + +Hii inalinganisha ukubwa wa jeshi la Daudi kwa jeshi la malaika wa Mungu. + diff --git a/1ch/12/23.md b/1ch/12/23.md new file mode 100644 index 00000000..82dd9c69 --- /dev/null +++ b/1ch/12/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# uupindua ufalme wa Sauli kwake + +"kumpa utawala wa Sauli kwa Daudi" + +# ilikutimiza neno la Yahweh + +"walifanya neno la Yahweh kweli" au "kutimiza neno la Yahweh" + +# Kutoka Yuda + +"Kutoka kabila la Yuda" + diff --git a/1ch/12/29.md b/1ch/12/29.md new file mode 100644 index 00000000..decce335 --- /dev/null +++ b/1ch/12/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kutoka kwa Benjamini, kabila la Sauli + +"Kutoka kabila la Yuda, kabila la Benjamini" + +# nusu kabila + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 5:18 + diff --git a/1ch/12/36.md b/1ch/12/36.md new file mode 100644 index 00000000..c5e417ad --- /dev/null +++ b/1ch/12/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wameandaliwa na silaha za kila namna + +"wabeba silaha za kila namna" + diff --git a/1ch/12/38.md b/1ch/12/38.md new file mode 100644 index 00000000..0a35e858 --- /dev/null +++ b/1ch/12/38.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# dhumuni maalumu + +"mipango" + +# waliandaliwa kwa pambano + +"kwa silaha zao kwa ajili ya vita" + +# siku tatu + +"siku 3" + +# zabibu kavu + +Haya ni mizabibu iliyo kaushwa, tunda dogo linalo kuwa kwenye mzabibu + diff --git a/1ch/13/01.md b/1ch/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..89a30888 --- /dev/null +++ b/1ch/13/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# maelfu na mamia + +Jeshi lilikuwa na wakuu walio waongoza makundi ya wana jeshi wa kila kimo. "zaidi ya wanaume 1000 na zaidi ya wanaume 100" + +# yalionekana sawa machoni pa watu wote + +Hapa "macho yana wakilisha mawazo na maoni ya watu. "watu wote walidhani haya ni mambo sahihi ya kufanya" + diff --git a/1ch/13/05.md b/1ch/13/05.md new file mode 100644 index 00000000..6d983589 --- /dev/null +++ b/1ch/13/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Baala + +Hili ni jina lingine la Kiriathi Yearimu. + +# ambaye ameketi juu ya makerubi + +"anaye tawala kutoka amri za viumbe wenye mabawa katika sanduku la agano" + diff --git a/1ch/13/07.md b/1ch/13/07.md new file mode 100644 index 00000000..314da902 --- /dev/null +++ b/1ch/13/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# chombo kipya cha matairi + +Hili ni gari la matairi linalo vutwa na mnyama ambaye hajawai kutumika. + +# tari + +chombo cha muziki chenye kichwa cha ngoma kinacho weza kupigwa na chenye vipande vya chuma vilivyo zunguka vinavyo toa sauti ngoma inapo pigwa. + +# upatu + +nyembamba, sahani za chuma zinazo gonganishwa pamoja kufanya sauti kubwa + diff --git a/1ch/13/09.md b/1ch/13/09.md new file mode 100644 index 00000000..3bd2c0e9 --- /dev/null +++ b/1ch/13/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hasira ya Yahweh ikawaka juu ya Uza + +"Yahweh alikuwa na hasira sana kwa Uza" + +# mbele za Mungu + +"katika uwepo wa Mungu" + +# Daudi alipatwa na hasira + +Daudi alishikwa na hasira dhidi ya Yahweh + +# hadi leo + +Ona ulivyo tafsiri 4:42 + diff --git a/1ch/13/12.md b/1ch/13/12.md new file mode 100644 index 00000000..b6a93c77 --- /dev/null +++ b/1ch/13/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nawezaje kuleta sanduku la Mungu nyumbani mwangu? + +Daudi anaeleza hasira yake kuhusu kifo cha Uza alipo kuwa ana jaribu kurudisha sanduku kwenye mji wake. "Siwezi kurudisha sanduku la Mungu kwenye mji wangu" au "Niambie Sheria za kurudisha sanduku, sijui jinsi ya kufanya hivi" + +# miezi mitatu + +"miezi 3" + diff --git a/1ch/14/01.md b/1ch/14/01.md new file mode 100644 index 00000000..c7c57d81 --- /dev/null +++ b/1ch/14/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hiramu + +Jina la mfalme + +# maseremala + +Hawa ni watu ambao kazi yao ni kufanya vitu vya mbao. + +# wajenzi + +Hawa ni watu wa kufanya vitu kwa mawe au tofali. + +# alimfanya kuwa + +"kumfanya" + +# ufalme wake ulitukuzwa juu sana kwa ajili ya watu wa Israeli + +"Yahweh alimpa Daudi heshima katika ufalme wake kuwasaidia watu wa Israeli" + diff --git a/1ch/14/08.md b/1ch/14/08.md new file mode 100644 index 00000000..d5c48781 --- /dev/null +++ b/1ch/14/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Daudi amepakwa mafuta kama mfalme juu ya Waisrael + +"watu wa Israeli walimpaka mafuta Daudi kuwa mfalme wao" + +# bonde la Refaimu + +Hili ni jina la sehemu + diff --git a/1ch/14/10.md b/1ch/14/10.md new file mode 100644 index 00000000..6799f89a --- /dev/null +++ b/1ch/14/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# nitawakabidhi kwako + +"nitakupa ushindi juu yao" + +# Baali Perazimu + +Hili ni jina la sehemu + +# kwa mkono wangu + +Hii ya husu vifaa vya Daudi. "kutumia jeshi langu" + +# kama vile mpasuko wa mafuriko ya maji. + +Nguvu na ushindi wa jeshi la Daudi wafananishwa na mpasuko wa mafuriko ya maji. "kwa urahisi" + +# wateketezwe kwa moto + +"kuchoma miungu yao ya uongo" + diff --git a/1ch/14/13.md b/1ch/14/13.md new file mode 100644 index 00000000..b518fd62 --- /dev/null +++ b/1ch/14/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# bonde + +"bonde la Refaimu" + +# Usiwashambulie kwa mbele + +"kushambulia kwa mbele" + +# wazunguke kwa nyuma yao na uwajie kupitia misitu ya balisamu + +"nenda kupita msitu wa balisamu na kuwashumbulia kwa nyuma" + +# balisamu + +Huu ni aina ya mti + diff --git a/1ch/14/15.md b/1ch/14/15.md new file mode 100644 index 00000000..bc06781e --- /dev/null +++ b/1ch/14/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mungu anaendelea kumjibu Daudi kwa swali lake. + +# atakutangulia kwenda + +"ataenda mbele yako kukupigania" + +# Gezeri + +Hili ni jina la mji + +# umaarufu wa Daudi ukaenda katika nchi zote + +"Watu wa mbali wakaskia ushinde wa Daudi dhidi ya Wafilisti" + diff --git a/1ch/15/01.md b/1ch/15/01.md new file mode 100644 index 00000000..2cc8d99e --- /dev/null +++ b/1ch/15/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Daudi akajingea nyumba zake + +"Watu wakamjengea nyumba Daudi" + +# Akaanda sehemu + +"akaamuru sehemu maalumu iandaliwe" + +# akakusanya Israeli yote + +"akaamuru watu wote wa Israeli waje pamoja" + +# kuleta sanduku + +"kusherehekea wakati Walawi wakibeba sanduku" + diff --git a/1ch/15/04.md b/1ch/15/04.md new file mode 100644 index 00000000..78cc0311 --- /dev/null +++ b/1ch/15/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# ndugu + +watu walio wa sehemu ya familia au kabila moja + diff --git a/1ch/15/11.md b/1ch/15/11.md new file mode 100644 index 00000000..3cb5e1e8 --- /dev/null +++ b/1ch/15/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# niliyo iandaa. + +"Nimewaamuru Walawi kuianda" + diff --git a/1ch/15/13.md b/1ch/15/13.md new file mode 100644 index 00000000..d7688eb4 --- /dev/null +++ b/1ch/15/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mara ya kwanza hamkubeba + +"Hamkubeba sanduku kabla" + +# hatuku mtafuta + +"hatukumuliza kwa maelekezo" + +# akawa na hasira kwetu + +"akatuadhibu sisi" + +# Walawi waka jiweka wakfu iliwaweze kuleta + +"Walawi walijisafisha ili kuweza kubeba" + diff --git a/1ch/15/16.md b/1ch/15/16.md new file mode 100644 index 00000000..97860cc5 --- /dev/null +++ b/1ch/15/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# upatu + +Ona ulivyo tafsiri 3:7 + +# wakipaza sauti zao + +"kuimba" + +# daraja la pili + +"mamlaka ya chini" au "darja la 2" + +# mlinzi wa lango + +watu waliyo linda lango + diff --git a/1ch/15/19.md b/1ch/15/19.md new file mode 100644 index 00000000..85ad66ea --- /dev/null +++ b/1ch/15/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# upatu + +Ona ulivyo tafsiri 3:7 + +# waliongoza njia + +"waliwaongoza wana muziki wengine" ua "waliongoza msafara" + diff --git a/1ch/15/25.md b/1ch/15/25.md new file mode 100644 index 00000000..af202072 --- /dev/null +++ b/1ch/15/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wa maelfu + +"zaidi ya wanaume 1000" + +# Obedi Edomu + +Hili ni jina la mwanaume. + diff --git a/1ch/15/27.md b/1ch/15/27.md new file mode 100644 index 00000000..cccb1b97 --- /dev/null +++ b/1ch/15/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Daudi alivishwa joho safi la maridadi, pamoja na Walawi walio beba sanduku, waimbaji, na Kenania, kiongozi wa nyimbo na waimbaji + +"Daudi, Walawi, na waimbaji wote walivaa mavazi safi ya majoho" + +# Joho + +Hii ni aina nyororo, ya kitamba kigumu. + +# Kenania + +Hili ni jina la mwanaume + +# Hivyo Israeli yote wakaleta sanduku la agano la Yahweh + +"Hivyo umati mkubwa wa Waisraeli walileta sanduku la agano la Yahweh kutoka nyumba ya Obedi Edomu hadi Yerusalemu" + +# upatu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 13:7 + diff --git a/1ch/15/29.md b/1ch/15/29.md new file mode 100644 index 00000000..4f2ab4ec --- /dev/null +++ b/1ch/15/29.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sanduku la Yahweh lilivyokuja kwa mji wa Daudi + +"watu walileta sanduku la agano la Yahweh kwenye mji wa Daudi" + +# Mikali + +Hili ni jina la mke wa Daudi + +# akamdharau moyoni mwake + +"alimdharau sana katika fikra zake" + diff --git a/1ch/16/01.md b/1ch/16/01.md new file mode 100644 index 00000000..85f49aa1 --- /dev/null +++ b/1ch/16/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wakaleta ndani Sanduku + +"Waisraeli wakaleta sanduku" + +# kipande cha mkate + +kipande kimoja cha mkate wa kuoka, wenye hamira + +# zabibu kavu + +Hizi ni zabibu zilizo kavu, tunda dogo linalo ota kwenye mizabibu. + diff --git a/1ch/16/04.md b/1ch/16/04.md new file mode 100644 index 00000000..4a2707bc --- /dev/null +++ b/1ch/16/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# upatu + +Ona ulivyo tafsiri 13:7 + diff --git a/1ch/16/07.md b/1ch/16/07.md new file mode 100644 index 00000000..5ce675de --- /dev/null +++ b/1ch/16/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kisha katika hiyo siku + +Hii ya husu siku sanduku la agano liliamishwa kutoka nyumba ya Obedi Edomu kwenda Yerusalemu. + +# nyimbo ya shukurani + +"nyimbo ya kutoa shukrani" + +# liitieni jina lake + +"omba kwa Yahweh" + diff --git a/1ch/16/10.md b/1ch/16/10.md new file mode 100644 index 00000000..a71adcef --- /dev/null +++ b/1ch/16/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# katika jina lake takatifu + +"vile Mungu alivyo" + +# mioyo ya wanao mtafuta Yahweh + +"acha hao wanaotaka kumjua Yahweh zaidi" + +# Mtafute Yahweh na nguvu zake; tafuteni uwepo wake siku zote + +Haya maneno yanashiriki maana moja na yanatumika kutia mkazo. "Mtafute Yahweh na nguvu zake; tafuta kuwa karibu naye daima" + diff --git a/1ch/16/12.md b/1ch/16/12.md new file mode 100644 index 00000000..d67b40e5 --- /dev/null +++ b/1ch/16/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kumbukeni matendo + +"Kumbuka mambo mazuri" + +# kinywa chake + +"aliyo nena" + +# 3enyi uzao wa Israeli mtumishi wake, enyi watu wa Yakobo, wateule wake + +Haya maneno yanashiriki maana moja na yanatumika kutia mkazo. + +# Amri zake zipo duniani kote + +"Amri zake ni za watu wote wa dunia" + diff --git a/1ch/16/15.md b/1ch/16/15.md new file mode 100644 index 00000000..fc37d11e --- /dev/null +++ b/1ch/16/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Tunzeni agano lake akilini mwenu + +"Kumbuka agano la Yahweh" + +# vizazi elfu moja + +"vizazi 1,000" + +# Anakumbuka + +"Yahweh anakumbuka" + +# kama sehemu + +"kama sehemu yako" + diff --git a/1ch/16/19.md b/1ch/16/19.md new file mode 100644 index 00000000..7a48a8b8 --- /dev/null +++ b/1ch/16/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nilisema hili mlipo kuwa wachache kwa idadi, wachache sana + +"Yahweh alisema hili Waisraeli walipo kuwa kundi dogo la watu" + +# wageni katika nchi + +"wageni katika nchi" + +# Walienda taifa hadi taifa, kutoka ufalme mmoja hadi mwingine + +Haya maneno yanashiriki maana moja na kutilia mkazo umbali Waisraeli walivyo tanga. + +# kwa ajili yao + +"kwa sababu yao" + diff --git a/1ch/16/23.md b/1ch/16/23.md new file mode 100644 index 00000000..8f6cdbad --- /dev/null +++ b/1ch/16/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# dunia yote + +Kila kitu kwenye dunia cha leta utukufu kwa Mungu. + +# siku hadi siku + +"kila siku" + diff --git a/1ch/16/25.md b/1ch/16/25.md new file mode 100644 index 00000000..4d2fc8ab --- /dev/null +++ b/1ch/16/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Uzuri wa ajabu na utukufu upo uweponi mwake + +"Uzuri na ajabu vimemzunguka" + +# Uwezo na furaha upo kwake + +"Yahweh anaonyesha nguvu na furaha yake" + diff --git a/1ch/16/28.md b/1ch/16/28.md new file mode 100644 index 00000000..7319a672 --- /dev/null +++ b/1ch/16/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mpeni sifa Yahweh + +"Mpe sifa Yahweh kwa" + +# upasao jina lake + +"anastahili au anastahili kupokea" + diff --git a/1ch/16/30.md b/1ch/16/30.md new file mode 100644 index 00000000..2c35c093 --- /dev/null +++ b/1ch/16/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mtetemeke mbele zake + +"Onyesha hofu ya heshima kwa wazo lake" + +# Mbingu nazo ziwe nafuraha, na dunia ifurahi + +"Acha kila mtu afurahi" + diff --git a/1ch/16/32.md b/1ch/16/32.md new file mode 100644 index 00000000..4ee02f03 --- /dev/null +++ b/1ch/16/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Bahari na ingurume + +"Bahari itafanya sauti kubwa sana" + +# na inayo ijaza + +"viumbe wa bahari" + +# miti iliyopo misituni ipige kele + +Hii ina zungumzia miti kama ni watu wanao weza kupiga kelele kwa furaha. + diff --git a/1ch/16/34.md b/1ch/16/34.md new file mode 100644 index 00000000..62e52b72 --- /dev/null +++ b/1ch/16/34.md @@ -0,0 +1,89 @@ +# Chema, wema + +Neno "wema" lina maana tofauti kulingana na muktadha. Lugha nyingi zitatumia maneno tofauti kutafsiri hizi maana tofauti. + +* Kwa ujumla, kitu ni chema kama kinalingana na tabia ya Mungu, kusudi, na mapenzi. +* Kitu ambacho ni "chema" cha weza pendeza, bora, saidia, kufaa, faidisha, au kubalika kimaadili. +* Ardhi iliyo "njema" yaweza itwa "rotubisha" au "inayozalisha." +* Zao "jema" la weza kuwa zao "tele" +* Mtu anaweza kuwa "mwema" kwa kile anachofanya kama wana ujuzi kwa kazi yao au ajira, kama, "mkulima mwema." +* Katika Biblia, maana ya jumla ya "jema" mara nyingi utofautishwa na "uovu" +* Neno "wema" mara kwa mara la husu kuwa na maadili mema au wenye haki katika mawazo na matendo. +* Wema wa Mungu wa husu jinsi anavyo bariki watu kwa kuwapa vitu vyema na vya faida. Yaweza pia kumaanisha ukamilifu wake wa adili. + +# uaminifu wa agano, utii wa agano, upendo mwema, upendo usio shindwa + +Hili neno la tumika kuelezea kujitolea kwa Mungu kutimiza ahadi alizo ziweka kwa watu. + +* Mungu alifanya ahadi kwa Waisraeli katika makubaliano rasmi yani "maagano" +* "uaminifu wa agano" au "utii wa agano" la Yahweh ya husu ukweli kwamba Yahweh ana shika ahadi zake kwa watu wake. +* Uaminifu wa Mungu wa kushika ahadi za agano lake ni muonekano wa neema yake kwa watu wake. +* Neno "utii" ni neno lingine linalo husu kuwa muhusika na kutegemewa kufanya na kusema yale yaliyo ahidiwa na kumsaidia mtu mwengine. + +# dumu, kudumu + +Neno "dumu" la maanisha kubaki kwa kipindi kirefu au kuvumili kitu kigumu kwa subira. + +* Lina maana pia ya kusimama imara kipindi majaribu yanapo kuja, bila kukata tamaa. +* Neno "kudumu" la weza maanisha "subira" "kustahimili mapito" au "kuvumilia wakati wa dhiki" +* Faraja ya kwa Wakristo "kudumu ata mwisho" ya waeleza wa mtii Yesu, ata kama hili litawa sababisha wateseke. +Ku "vumilia mateso" ya weza maanisha pia "kupitia mateso" + +# milele + +Kwenye Biblia, neno "milele" la eleza muda usio kwisha. Wakati mwengine la tumika kifumbo kumaanisha, "muda mrefu sana" + +* Neno "milelel na milele" la tilia mkazo kwamba kitu kita kuwepo tu. +* Maneno "milele na milele" ni namna ya kueleza umilele au uzima wa milele ni nini. Pia lina wazo la muda usio kwisha. +* Mungu alisema kuwa kiti cha Daudi kitadumu "milele". Hili linahusu ukweli kwamba mzao wa Daudi Yesu ata tawala kama mfalme hadi mwisho. + +# Mungu + +Katika Biblia, neno "Mungu" la husu kiumbe wa milele aliye umba ulimwengu bila chochote. Mungu yupo kama Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu. Jina la Mungu la binafsi ni "Yahweh" + +* Mungu amekuwepo daima; amekuwepo kabla ya chochote kuwepo, na ataendelea kuwepo milele. +* Yeye ndie Mungu pekee wa kweli na ana mamlaka juu kila kitu katika ulimwengu. +* Mungu ni mwenye haki kamilifu, wa hekima isiyo na mwisho, mtakatifu, wa haki, wa rehema, na wa upendo. +* Yeye ni Mungu mtunza agano, anaye timiza maagano yake. +* Watu waliumbwa wamuabudu Mungu na ni yeye tu wamuabudu. +* Mungu alirihidhisha jina lake kama "Yahweh" lenye maana ya, "yupo" au "Mimi ndiye" au "Yeye ambaye (daima) yupo." +* Biblia ya fundisha kuhusu "miungu" ya uongo ambayo ni sanamu isio ishi watu waabuduo kwa makosa. + +# wokovu + +Neno "wokovu" la husu kuokolewa au kukombolewa kutoka kwenye uovu na hatari. + +* Katika Biblia, "wokovu" wa husu ukombozi wa kiroho na wa milele unao tolewa na Mungu kwao wanao tubu dhambi zao na kumuamini Yesu. +* Biblia pia ya zungumzia Mungu kuokoa au kukomboa watu kwa adui zao wa mwilini. + +# jina + +Katika Biblia, neno "jina" linatumika kwa mfumbo kadhaa. + +* Baadhi ya Muktadha, "jina" la weza husu sifa ya mtu, kama vile, "acha tujfanyie jina" +* Neno "jina" la weza pia kuhusu kumbukumbu ya kitu. Kwa mfano, "kata majina ya sanamu" maana yake kuharibu hizo sanamu ili kwamba wasiendelee kukumbukwa au kuabudiwa. + +Kuzungumza "katika jina la Mungu" ya maanisha kusema kwa nguvu na mamlaka, au kama mwakilishi wake. + +* "Jina" la mtu la weza husu huyo mtu kwa ujumla, kama "hakuna jina chini ya mbingu ambalo la tupasa kuokolewa." + +# ufukufu + +Kwa ujumla, neno "utukufu" la maanisha heshima, uzuri, na ukubwa wa ajabu. Chochote chenye utukufu cha semekana kuwa na "utukufu" + +* Wakati mwengine "utukufu" ya husu kitu cha dhamani kubwa na umuhimu. Katika muktadha mengine ina eleza uzuri, mwanga, au hukumu. +* Kwa mfano, msemo "utukufu wa wachungaji" ya husu malisho tele kondoo wao walipo kuwa na nyasi nyingi ya kula. +* Utukufu wa tumika sana kumueleza Mungu, ambaye ana utukufu kuliko mtu au kitu chochote katika ulimwengu. Kila kitu katika tabia yake ya rihidhisha utukufu na uzuri wake. +* Msemo "kufurahia utukufu" una maana ya kugamba kuhusu au kujivunia kitu. + +# sifa + +Kumsifu mtu ni kuonyesha matamanio na heshima kwa huyo mtu. + +* Watu wanamsifu Mungu kwasababu kwa jinsi alivyo mkuu na kwasbabu ya matendo makuu aliyo fanya kama Muumbaji na Mwokozi wa ulimwengu. +* Sifa kwa Mungu muda mwing ya jumuisha kuwa na shukurani kwa aliyo ya fanya. +* Muziki na kuimba mara nyingi ya tumika kama njia ya kumsifu Mungu. +* Kumsifu Mungu ni sehemu ya maana ya kumuabudu. +* Neno "kusifu" la weza tafsiriwa kama, "kumzungumzia vizuri" au "kumheshimu sana kwa maneno" au "kusema mambo mazuri kuhusu" +* Jina "sifa" la weza tafsiriwa kama, "heshima ya kusema" au "hotuba inayo heshimu" au "kuzungumza mambo mazuri kuhusu" + diff --git a/1ch/16/36.md b/1ch/16/36.md new file mode 100644 index 00000000..b130216c --- /dev/null +++ b/1ch/16/36.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kutoka milele na milele + +"milele" + +# Watu wote + +"Watu" au "Kila mtu aliyepo hapo" + diff --git a/1ch/16/37.md b/1ch/16/37.md new file mode 100644 index 00000000..9fd96767 --- /dev/null +++ b/1ch/16/37.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kama kazi za kila siku zilivyo itaji + +"kama ilivyo itajika kila siku katika sheria ya Musa" + +# watumike mbele ya hema + +"kutumika ndani au karibu na hema ya kukutani" + diff --git a/1ch/16/40.md b/1ch/16/40.md new file mode 100644 index 00000000..b55fc864 --- /dev/null +++ b/1ch/16/40.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Walikuwa + +"Makuhani" + diff --git a/1ch/16/42.md b/1ch/16/42.md new file mode 100644 index 00000000..4a2707bc --- /dev/null +++ b/1ch/16/42.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# upatu + +Ona ulivyo tafsiri 13:7 + diff --git a/1ch/17/01.md b/1ch/17/01.md new file mode 100644 index 00000000..a1537a46 --- /dev/null +++ b/1ch/17/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kuwa katika nyumba yake + +kuridhika na kuwa na furaha, bila tamanio la kuhama wala kubadilika. + +# nyumba jengwa na mierezi + +Mbao za kutoka kwenye miti ya mierezi ili hesabiwa kuwa mbao bora ya ujenzi. + +# fanya yalio moyoni mwako + +Daudi anaelezwa afanye sawa na sehemu ya mwili yenye hisia. "fanya utakacho taka kufanya" + +# Mungu yupo nawe + +Kuwa katika makubaliano na Mungu ni kama kufanya kazi naye kwasababu Mungu atakusaida kufanikiwa. "Mungu akubaliana na unacho taka kufanya" + diff --git a/1ch/17/03.md b/1ch/17/03.md new file mode 100644 index 00000000..7567176f --- /dev/null +++ b/1ch/17/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# neno la Mungu lilimjia + +"Mungu alizungumza neno lake" + +# niliyo ileta Israeli + +"kwamba nili waleta Waisraeli kwenye nchi ya ahadi kutoka Misri" + +# hema, hema la kukusanyikia + +Yote haya maneno "hema" na "hema la kukusanyikia" ya eleza kitu kimoja na kutia mkazo kwamba aliishi katika jengo lisilo la kudumu. + +# Kwa nini haujanijengea mimi nyumba ya mierez? + +"Ungenijenga nyumba yenye mbao za gharama." + diff --git a/1ch/17/07.md b/1ch/17/07.md new file mode 100644 index 00000000..16743bd4 --- /dev/null +++ b/1ch/17/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nilikuchugua kutoka malishoni + +Kazi ya Daudi kama mchungaji ya taja kwa sehemu aliyo chunga kondoo zake. "Nilikutoa kwenye kazi yako kama mchungaji" + +# malishoni + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 4:39 + diff --git a/1ch/17/09.md b/1ch/17/09.md new file mode 100644 index 00000000..d4e7cda6 --- /dev/null +++ b/1ch/17/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mungu anaendelea kuzungumza ujumbe Nathani anao paswa kumpa Daudi. + +# nitawapanda hapo + +Mungu ana taja kuwaweka Waisraeli kwenye nchi ya ahadi kama mmea aliyo uotesha kwenye ardhi. "Nitawapandikisha hapo" + +# siku zile nilipo waamuru + +Kipindi cha vizazi vingi kina tajwa kama siku. "nilipo amuru" au kutoka vizazi nilivyo amuru" + +# kuwa juu ya watu wangu Waisraeli + +Kuwa katika mamlaka yaelezwa kama kua juu ya mtu. "kuwaamuru watu wangu Israeli" + +# maadui zako wote ... nina kwambia + +Maneno "zako" na "nina kwambia" ya muhusu Daudi. + +# nitawatiisha + +kumfanya mtu au mnyama asiweze kutembea. + +# nitakujengea nyumba + +Yahweh anaeleza kumpa Daudi wazao wengi kutawala juu ya Israeli kama kumjenga nyumba. + diff --git a/1ch/17/11.md b/1ch/17/11.md new file mode 100644 index 00000000..00b176e2 --- /dev/null +++ b/1ch/17/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# siku zako zitapo timia + +Maisha yana tajwa kama idadi kadhaa za siku. "utakapo kufa" + +# kwenda kwa baba zako + +Haya maneno yaeleza kifo kama sehemu mababu wa Daudi walipo kwasababu wamekufa tayari. + +# nitainua uzao wako + +Kumueka mtu katika uongozi ya tajwa kama kumuinua juu sana. + +# nitaimarisha kiti chake cha enzi + +Haki ya kutawala kama mfalme imeelezwa kama sehemu ya mfalme kuishi. + diff --git a/1ch/17/13.md b/1ch/17/13.md new file mode 100644 index 00000000..053f1655 --- /dev/null +++ b/1ch/17/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# na kiti chake cha enzi + +Haki ya kutawala kama mfalme imeelezwa kama sehemu ya mfalme kuishi. "na haki yake ya kutawala" + +# na kumtaarifu + +"kumwabia" + diff --git a/1ch/17/16.md b/1ch/17/16.md new file mode 100644 index 00000000..d69504bc --- /dev/null +++ b/1ch/17/16.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# akasema + +"Daudi akasema" + +# Mimi ni nani, Yahweh Mungu, na familia yangu ni nini, hadi unilete umbali huu? + +Daudi anauliza ili swali kuonyesha shukurani kuwa Mungu amemchagua kumbariki ata kama hastahili. + +# Hili lilikuwa jambo dogo + +Kitu kisicho cha muhimu cha elezwa kuwa kidogo. + +# machoni pako + +Machoni pa Yahweh ya husishwa na ufahamu wake. + +# Nini zaidi mimi, Daudi, niseme? + +Daudi anatumia hili swali kuonyesha kuwa hawezi kueleza kabisa shukrani zake kwa Mungu. "Kama ningeweza sema zaidi kuonyesha shukurani zangu kisha ningefanya lakini sijui nini tena niseme" + +# mtumishi wako + +Daudi anaeleza kuwa yeye ni mtumishi wa Yahweh. + +# Umemheshimu mtumishi wako. Umemtambua kwa kipekee mtumishi wako + +Maneno yote mawili yana maana moja. Kama lugha yako ina maana moja ya kueleza "heshima" na "utambuzi" kisha hii yaweza tafsiriwa kama neno moja. + diff --git a/1ch/17/19.md b/1ch/17/19.md new file mode 100644 index 00000000..4f3fcfd7 --- /dev/null +++ b/1ch/17/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wa ajili ya mtumishi wako + +"faida yangu" + +# uliwaokoa kutoka Misri + +"kuwaokoa kutoka utumwani Misri" + +# matendo makuu na yahajabu + +Maneno "makuu" na "ya ajabu" yana maana moja na kukazia uzito wa ukuu. "matendo mazuri ya ajabu" + diff --git a/1ch/17/22.md b/1ch/17/22.md new file mode 100644 index 00000000..8e6f84c6 --- /dev/null +++ b/1ch/17/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# itimizwe milele + +"iendele milele" + diff --git a/1ch/17/25.md b/1ch/17/25.md new file mode 100644 index 00000000..05f96ea7 --- /dev/null +++ b/1ch/17/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# utamjengea nyumba + +Kuwa na watoto na kukuza familia kubwa yaelezwa kama kujenga nyumba. + +# nimepata ujasiri + +"kuwa mjasiri wakutosha" + +# umeibariki, na itabarikiwa milele + +Ina maana moja, imerudiwa kwa mkazo. + diff --git a/1ch/18/01.md b/1ch/18/01.md new file mode 100644 index 00000000..4bdd7b2f --- /dev/null +++ b/1ch/18/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya haya + +"Baada ya Mungu kuahidi kumbariki Daudi" + diff --git a/1ch/18/03.md b/1ch/18/03.md new file mode 100644 index 00000000..4de2b972 --- /dev/null +++ b/1ch/18/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Hadadezeri + +Hili ni jina la mwanaume. + +# Zoba + +Hili ni jina la nchi. + +# magari ya farasi elfu + +"magari ya farasi 1000" + +# wanaume wa farasi elfu saba + +Hawa ni wana jeshi walio endesha farasi. "wanaume wa farasi 7000" + +# wanajeshi wa miguu elfu ishirini + +Hawa ni wana jeshi waliyo tembea. "wanajeshi wa miguu 20,000" + +# aliwajeruhiku + +kulemaza mtu au mnyama kwa kumkata msuli wa nyuma ya paja + +# akahifadhi + +kutunza kwa matumiza maalumu + +# magari ya farasi mia moja + +"magari ya farasi 100" + diff --git a/1ch/18/05.md b/1ch/18/05.md new file mode 100644 index 00000000..0cd7ea5e --- /dev/null +++ b/1ch/18/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# aliua wanaume elfu ishirini na mbili + +elfu mbili** - "aliua 22,000" + +# vikosi + +kundi la wana jeshi waliyo pangiwa eneo fulani. + diff --git a/1ch/18/07.md b/1ch/18/07.md new file mode 100644 index 00000000..c25b019a --- /dev/null +++ b/1ch/18/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hadadezeri + +Ona jinsi ulivyo tafsiri jina lake 18:3 + +# Tibhathi ... Kuni + +Haya ni majina ya miji. + +# saani ya shaba + +Hii ni bakuli kubwa ya shaba, kiasi cha mita 5 upana, hiliyo wekwa hekaluni kwa kunawia kipindi cha sherehe. + diff --git a/1ch/18/09.md b/1ch/18/09.md new file mode 100644 index 00000000..41259a37 --- /dev/null +++ b/1ch/18/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Toi ... Hadoramu + +Haya ni majina ya wanaume + +# amepigana + +"amekuwa katika vita na" + diff --git a/1ch/18/12.md b/1ch/18/12.md new file mode 100644 index 00000000..c068f840 --- /dev/null +++ b/1ch/18/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Abishai ... Zeruia + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Waedomi elfu kumi na nane + +"Waedomi 18,000" + +# Bonde la Chumvi + +Hili ni jina la bonde katika ya Edomu na Yuda uliyo tumika kama uwanja wa pambano. + +# vikosi + +makundi ya wana jeshi yaliyo pangwa sehemu maalumu. + +# Waedomi wote wakawa watumishi wa Daudi + +"watu wa Edomi walilazimishwa kumkubali Daudi kama mfalme na kulipa pesa kwa serikali ya Daudi kila mwaka" + diff --git a/1ch/18/14.md b/1ch/18/14.md new file mode 100644 index 00000000..66a2a6cf --- /dev/null +++ b/1ch/18/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Zeruia ... Ahiludi ... Ahitubi ... Abiathari ... Shavisha ... Benaia ... Yehoiada + +Haya ni majina ya wanaume. + +# mtunza kumbukumbu + +mtu anaye fanya kazi ya kuandika maelezo ya maalumu ya matukio. + +# Ahimeleki + +Hili jina linawakilisha sahisho la "Abimeleki," ambalo tafsiri zingine zinatumia. Sahisho hili linafanya huu mstari ukubaliane na 8:15. + +# Zadoki mwana wa Ahitubi na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani + +Baadhi ya tafsiri ina sahisha hili kusema kwamba Ahitubi na Ahimeleki walikuwa makuhani wa kuu. + +# Wakerethi ... Wapelethi + +Haya ni majina ya makundi ya watu. + diff --git a/1ch/19/01.md b/1ch/19/01.md new file mode 100644 index 00000000..3a6e69d8 --- /dev/null +++ b/1ch/19/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nahashi ... Hanuni + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Nitaonyesha ukarimu ... alionyesha ukarimu + +"Nitakuwa mkarimu ... alikuwa mkarimu" + +# kumfariji + +"kuliwaza" + +# Unadhani Daudi anamheshimu baba yako sababu ametuma watu kukufaraji? + +"Usidhani kuwa Daudi ana muheshimu baba yako kwasababu ametuma wanaume kukufariji." + +# Je watumishi wake hawajaja kutadhimini nchi iliwaipindue? + +"Hakika watumishi wanakuja kwako kudadisi nchi ili waipindue." + diff --git a/1ch/19/04.md b/1ch/19/04.md new file mode 100644 index 00000000..57f4efa2 --- /dev/null +++ b/1ch/19/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mavazi + +"nguo" + +# alienda kukutana nao + +"alituma wajumbe kwenda kuwafariji" + +# walifedheeka sana + +Fedhea yaelezewa kubwa sana kuonyesha jinsi ilivyo wahadhiri. "aibika sana" + diff --git a/1ch/19/06.md b/1ch/19/06.md new file mode 100644 index 00000000..98e83562 --- /dev/null +++ b/1ch/19/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wamekuwa kikwazo kwa Daudi + +Neno "uvundo" la elezea harafu mbaya. Hii yaelezea Waamoni kama kitu kibaya na hakitakiwi. + +# talanta elfu moja + +"talanta 1,000" + +# Naharaimu .. Maka ... Zoba ... Medeba + +Haya ni majina ya miji. + diff --git a/1ch/19/08.md b/1ch/19/08.md new file mode 100644 index 00000000..b3c093ec --- /dev/null +++ b/1ch/19/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# alipo sikia + +"alisikia Waamoni walikuwa wanakuja kwa vita" + +# kukutana nao + +"kupigana dhidi yao" + diff --git a/1ch/19/10.md b/1ch/19/10.md new file mode 100644 index 00000000..b68e7922 --- /dev/null +++ b/1ch/19/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Abishai + +Hili ni jina la kaka wa Yoabu. + diff --git a/1ch/19/12.md b/1ch/19/12.md new file mode 100644 index 00000000..9657f787 --- /dev/null +++ b/1ch/19/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kuwa thabiti + +"Kuwa shupavu" + +# natujionyeshe kwa watu wetu kuwa ni wenye nguvu + +"tutende kwa ujasiri" + diff --git a/1ch/19/14.md b/1ch/19/14.md new file mode 100644 index 00000000..26628577 --- /dev/null +++ b/1ch/19/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wasogea kwenye pambano + +"alienda mbele kwenye pambano" au "aliwafuata maadui wana jeshi kwenye pambano" + diff --git a/1ch/19/16.md b/1ch/19/16.md new file mode 100644 index 00000000..75f832fc --- /dev/null +++ b/1ch/19/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Waaremi walipoona + +"Waaremi walielewa" + +# msaada + +"wana jeshi zaidi" + +# Shofaki ... Hadadezeri + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Daudi alipo ambiwa haya + +Wajumbe wake walipo mwambia Daudi hili. + +# Alipanga + +"kuweka vizuri" + +# wakapigana nao + +"Waaremi wakapigana na Daudi na wana jeshi wake" + diff --git a/1ch/19/18.md b/1ch/19/18.md new file mode 100644 index 00000000..3bce1728 --- /dev/null +++ b/1ch/19/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# akaua elfu saba + +"akaua 7,000" + +# wanajeshi wa miguu elfu arobaini + +wanajeshi wa miguu 40,000" + +# Shofaki ... Hadadezeri + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/1ch/20/01.md b/1ch/20/01.md new file mode 100644 index 00000000..603c8e13 --- /dev/null +++ b/1ch/20/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kusikitisha nchi + +"kuharibu nchi" Hii yaeleza jeshi linapo haribu nchi maadui zao wanapo otesha chakula + diff --git a/1ch/20/02.md b/1ch/20/02.md new file mode 100644 index 00000000..4090f227 --- /dev/null +++ b/1ch/20/02.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taji liliwekwa kichwani mwa Daudi + +"Wanaume wa Daudi wakaeka taji kichwani kwake" + +# akaleta mali + +vitu vya thamani vilivyo chukuliwa vitani. + +# Daudi aliwataka watu wote wa mji + +Watu wanatajwa kwa miji yao. "Daudi aliwataka watu wote wa miji" + diff --git a/1ch/20/04.md b/1ch/20/04.md new file mode 100644 index 00000000..7476eef8 --- /dev/null +++ b/1ch/20/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Gezeri ... Gobu + +Haya ni majina ya miji + +# Sibekai ... Sipai ... Elhanani ... Lahmi + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Mhushathi ... Refaimu ... Mbethilehemu ... Mgiti + +Haya ni majina ya makundi ya watu. + +# wakazidiwa + +kumtawala mtu au kitu kwa kutumia nguvu. + +# gongo + +mbao ndefu na nyembamba + +# gongo la mshonaji + +aina ya mbao inayo tumika kunyoosha mapindo wakati nyuzi za zuria zinashonwa pamoja kuzunguka. + diff --git a/1ch/20/06.md b/1ch/20/06.md new file mode 100644 index 00000000..0066feac --- /dev/null +++ b/1ch/20/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Refaimu + +Hilo ni jina lililo pewa jamii ya watu ambao walikuwa warefu na imara. + +# Yehonadabu ... Shimea + +Haya ni majina ya wanaume. + +# waliuawa na mkono wa Daudi na mkono wa wanajeshi wake + +Daudi na wana jeshi wake wana tajwa kwa sehemu ya miili yao inayo tumika kushikilia upanga. "Daudi na wana jeshi wake waliua wazao wa Refaimu" + diff --git a/1ch/21/01.md b/1ch/21/01.md new file mode 100644 index 00000000..aa2bcb28 --- /dev/null +++ b/1ch/21/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Adui akainuka dhidi ya Israeli + +Kuwa juu kunafafanua kuwa na nguvu zaidi. "'Adui wa Israel walikuwa na nguzu zaidi" + +# Kumchochea + +Kumsababisha mtu afanye kitu. + +# Kutoka Beerisheba mpaka Dani + +Waisraeli waliichukulia hii miji miwili miji yao ya kusini zaidi na kaskazini zaidi. Daudi alitumia hii miji miwili kufikia Waisraeli wote. + +# Mara mia zaidi ya lilivyo + +Yoabu alieleza matamanio ya kuwa na jeshi lenye ukubwa wa watu 100 kwa kusema angependa jeshi liwe na wanajeshi zaidi na lenye nguvu. + +# Lakini bwana wangu mfalme, kwani wote hawamtumikii bwana wangu? kwanini bwana wangu anataka hili? Kwanini ulete hatia kwa Israeli? + +Lakini bwana wangu mfalme, wote wanakutumikia tayari. Bwana wangu asiombe hili. Utaleta tu hatia kwa watu wa Israeli kwa matamanio yako ya nguvu ya kijeshi.'' + +# Kwanini bwana wangu analitaka hili? + +Neno ''hili'' limemaanisha mpango wa Daudi kuhesabu wanaume waote wa Israeli. + diff --git a/1ch/21/04.md b/1ch/21/04.md new file mode 100644 index 00000000..bcb08d92 --- /dev/null +++ b/1ch/21/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Neno la mfalme halikubadilika + +Mstari huu wahusu amri ya mfalme Daudi kuwa ya mwisho kwasababu hatabadili amri yake baada ya kuitoa. "amri ya mfalme haitakuja kubadilika" + +# wanaume waliobeba upanga + +Maaskari wa Israeli walielezewa kwa kitendo cha kuvuta upanga na kupigana nao. + diff --git a/1ch/21/06.md b/1ch/21/06.md new file mode 100644 index 00000000..91ae6e42 --- /dev/null +++ b/1ch/21/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Lakini Levi na Benjamini hawakus hesabiwa miongoni mwao + +" Lakini Yoabu hakuwa hesabu wanaume kutoka makabila ya Levi na Benjaminini" + +# kwa hili tendo + +"tendo hili" limemaanisha katika mpango wa Daudi kuhesabu wanaume wote wa Israeli wenye uwezo wa kupigana. + +# chukua hatia ya mtumishi wako + +Msamaha unafafanuliwa kama kuwa na hatia halafu ikaondolewa. "Nisamehe mimi" + +# hatia ya mtumishi wako + +Daudi anajitaja mwenyewe kama mtumishi wa Mungu. "hatia yangu" + diff --git a/1ch/21/09.md b/1ch/21/09.md new file mode 100644 index 00000000..aa4ba461 --- /dev/null +++ b/1ch/21/09.md @@ -0,0 +1,31 @@ +# Yahweh + +Neno "Yahweh" ni jina binafsi la Mungu ambalo alilidhihirisha alipokuwa anazungumza na Musa kwenye kichaka cha moto. + +* Jina "Yahweh" limetokana na neno linye maana, "Kuwa" au "kuwepo." +* Maana inayowezekana kuwa ya "Yahweh" inajumuisha, "ndiye" au "Ndimi" au "anaye sababisha kuwa." +* Jina hili linadhihirisha kuwa Mungu anaishi na ataendelea kuishi milele. pia linamaanisha yupo siku zote. +* Kufuata mila, tafsiri nyingi za Biblia zinatumia neno "BWANA" kuwakilisha "Yahweh." Mila hii ni matokeo ya ukweli kihistoria, kwamba watu wa Kiyahudi walikuwa na uwoga wa kutamka jina Yahweh na kuanza kusema "Bwana" kila muda neno "Yahweh" lilitokea katika nakala. Biblia za kisasa zimeandika "BWANA" kwa herufi kubwa zote kuonesha heshima kwa jina la Mungu binafsi na kulitofautisha na "Bwana" ambalo na tofauti na neno la Kiebrania. +* Neno "Yahweh" halitokei kamwe katika nakala halisi ya agano jipya; neno pekee la kiyahudi la "Bwana" ndo linalotumika, hata kwenye nukuu za agano la kale. + +# Gadi + +Gadi ni moja ya wana wa Yakobo, ambaye ni, Israeli. + +* Familia ya Gadi ilikuwa moja ya makabila kumi na mbili ya Israeli. +* Mwanamume mwingine katika Biblia aliye itwa Gadi alikuwa nabii aliye mkabili Daudi kwa dhambi yake ya kuchukuwa takwimu ya watu Waisraeli. +* Miji, Baaligadi na Migdalidadi yote ni maneno mawili katika nakala halisi na wakati mwengine uandikwa, "Baali Gadi" na "Migdali Gadi." + +# nabii, unabii, kutoa unabii, muonaji, nabii wa kike + +"nabii" ni mwanaume anaye ongea jumbe za Mungu kwa watu. Mwanamke anaye fanya haya anaitwa "nabii wa kike" + +* Mara nyingi manabii waliwaonya watu wa geuke toka dhambi zao na kumtii Mungu. +* "unabii" ni ujumbe nabii anauzungumza. "Kutoa unabii" ni kuzungumza jumbe za Mungu. +* Mara nyingi ujumbe wa unabii ulikuwa kuhusu jambo litakalo tokea mbeleni. +* Unabii nyingi katika Agano la Kale zimeshatimia. +* Katika Biblia mkusanyiko wa vitabu vilivyo andikwa na manabii wakati mwingine vinatajwa kama "manabii" +* Kwa mfano, maneno, "sheria na manabii" ni namna ya kutaja maandiko yote ya Kiebrania, ambayo yanajulikana kama "Agano la Kale" +* Jina la kale la nabii lilikuwa "muonaji" au "mtu anaye ona" +* Wakati mwengine neno "muonaji" la husu nabii wa uongo au mtu anaye tumia uganga. + diff --git a/1ch/21/11.md b/1ch/21/11.md new file mode 100644 index 00000000..f32560d5 --- /dev/null +++ b/1ch/21/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kupatwa na upanga wao + +Haya maneno ni namna nyepesi ya kueleza kuuliwa na adui. + +# kupatwa na upanga wao + +Haya maneno ni eleza mbinu ya Yahweh ya kuua kwa kifaa mwanajeshi angetumia kuua. + +# akiharibu + +"akiua" + diff --git a/1ch/21/13.md b/1ch/21/13.md new file mode 100644 index 00000000..8a19f452 --- /dev/null +++ b/1ch/21/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Nipo katika shida kubwa + +"Nipo kwenye shida nyingi" + +# Acha nianguke katika mikono ya Yahweh kuliko kuangukia mikono ya mwanadamu, sababu matendo yake ya rehema ni makubwa mno + +"Acha nije katika utawala wa Yahweh, kuiko chini ya utawala wa watu, kwa kuwa Yahweh ni wa rehema sana" + +# na watu elfu sabini wakafa + +"na watu 70,000 wakafa" + +# kubadili nia yake + +Kubadili uamuzi. + +# Rudisha mkono wako + +Yahweh ana mwambia malaika wa uharibifu kuacha kuua watu. + +# malaika wa Yahweh alikua amesimama + +Malaika wa Yahweh anaelezwa kama kitu kilicho simama kama mtu anavyo simama. + +# Orinani + +Hili ni jina la mwanaume. + diff --git a/1ch/21/16.md b/1ch/21/16.md new file mode 100644 index 00000000..973c66b3 --- /dev/null +++ b/1ch/21/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# akiwa na upanga mkonono mwake + +"tayari kushambulia" + +# Sio mimi niliye amuru jeshi kuhesabiwa? + +"Mimi ndiye niliye amuru jeshi lihesabiwe" + +# Lakini hawa kondoo + +Daudi anawaelezea watu wa Israeli kama aina ya wanyama watao muamini na kumfuata kiongozi. + +# wamefanya nini? + +"Hawaja fanya kitu kinacho stahili adhabu" + diff --git a/1ch/21/18.md b/1ch/21/18.md new file mode 100644 index 00000000..7dfbec43 --- /dev/null +++ b/1ch/21/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Orinani + +Ona jinsi ulivyo tafsiri hili jina 21:3 + +# kama Gadi alivyo muelekeza cha kufanya kwa jina la Yahweh + +"kama Gadi, akizungumza na mamlaka ya Yahweh, alivyo muambia Daudi afanye" + diff --git a/1ch/21/21.md b/1ch/21/21.md new file mode 100644 index 00000000..adc203ea --- /dev/null +++ b/1ch/21/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# uso wake ukiwa kwenye ardhi + +Haya maneno yaeleza kwamba Orinani aliinama mbele zaidi. Kuina mbele za mtu ni njia ya kuonyesha unyenyekevu na heshima. Kuinama zaidi ya onyesha unyenyekevu mkubwa na heshima. + +# gharama yote + +"Nitalipa gharama yote hili eneo la kupeta lina gharimu" + diff --git a/1ch/21/23.md b/1ch/21/23.md new file mode 100644 index 00000000..d5d04f5d --- /dev/null +++ b/1ch/21/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Chukuwa kama lako + +"Chukuwa kama zawadi" + +# linalo kupendeza + +Ufahamu wa Daudi waelezwa kama macho yake. "linalo onekana zuri kwako" + +# vifaa vya kupeta + +kifaa cha mbao na mawe au machuma yaliyo wekwa kwa chini, inatumika kugawa mbegu kutoka kwenye maganda kwa kuvuta juu unga ulioekwa chini. + diff --git a/1ch/21/25.md b/1ch/21/25.md new file mode 100644 index 00000000..7e002a56 --- /dev/null +++ b/1ch/21/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# shekeli mia sita ya dhahabu + +"shekeli 600 ya dhahabu" + +# Akamuita Yahweh + +"aliomba kwa Yahweh msaada" + +# malaika akarudisha upanga kwenye mfuko wake + +malaika aliacha kuua watu" + +# mfuko + +mfuniko wa upanga au kisu + diff --git a/1ch/21/28.md b/1ch/21/28.md new file mode 100644 index 00000000..3ddabe00 --- /dev/null +++ b/1ch/21/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Orinani + +Ona jinsi ulivyo tafsiri jina lake 21:13 + +# Mungu muelekeo + +Mungu amwabie ni afanye" + +# anaogopa upanga wa malaika wa Yahweh. + +"anaoga atauliwa na malaika wa Yahweh" + diff --git a/1ch/22/01.md b/1ch/22/01.md new file mode 100644 index 00000000..58ff39cb --- /dev/null +++ b/1ch/22/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wachonga mawe, + +Hawa ni watu wanao kusanya mawe makubwa na kuyakata katika kipimo sahihi ili wa jenzi waeze kutumia mawe kwenye kuta na majeng. + diff --git a/1ch/22/03.md b/1ch/22/03.md new file mode 100644 index 00000000..6ba40a17 --- /dev/null +++ b/1ch/22/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# zaidi ya kipimo + +"kuliko mtu yeyote awezavyo kupima" + +# nyumba itayo jengwa kwa Yahweh + +"nyumva ya Yahweh" au "nyumba atakayo mjengea Yahweh" + diff --git a/1ch/22/06.md b/1ch/22/06.md new file mode 100644 index 00000000..6493615d --- /dev/null +++ b/1ch/22/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kuitwa + +"Daudi aliita" + +# kumuamuru ajenge ... dhamira yangu kujenga + +"aliwaamuru wafanya kazi kujenga ... mpango wangu ulikuwa kuajiri wafanya kazi kujenga" + +# kwa ajili ya jina la Yahweh Mungu wangu + +"kumheshimu Yahweh Mungu wangu" + +# umemwaga damu nyingi + +"umeua watu wengi" + +# Hauta jenga nyumba kwa jina langu + +"Hauta jenga hekalu kunitukuza mimi" + +# kwasababu umemwaga damu nyingi kwenye ardhi machoni pangu + +"kwasbabu ninajua umeua watu wengi" + diff --git a/1ch/22/09.md b/1ch/22/09.md new file mode 100644 index 00000000..8e477e5f --- /dev/null +++ b/1ch/22/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Daudi anaendelea kumuambia Sulemani kile Yahweh alicho mwambia. + +# kila upande + +Hii ina maana ya kila sehemu kuzunguka Israeli. + +# katika siku zake + +"wakati akitawala Israeli yote" + +# nyumba kwa jina langu, na nitakuwa baba yake + +"hekalu la kunitukuza" + +# Ata kuwa mwana wangu + +Mungu ata mtendea Sulemani kama alikuwa ni mwanae wa pekee. + +# Nitaimarisha kiti cha enzi cha ufalme wake juu ya Israeli + +Hapa "kiti cha enzi" cha husu mamlaka ya kutawala kama mfalme. "Nitafanya uzao wake utawale juu ya Israeli milele" + diff --git a/1ch/22/11.md b/1ch/22/11.md new file mode 100644 index 00000000..85347328 --- /dev/null +++ b/1ch/22/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Daudi anaendelea kuzungumza na Sulemani. + +# Sasa + +Daudi anatumia hili neno kutambulisha kitu muhimu anacho kwenda kusema. + +# Uweze kujenga + +"Uweze kufanikiwa kuelekeza jengo" + +# ata kapokuweka kiongozi juu ya Israeli + +"atakapo kufanya mfalme juu ya Israeli" + diff --git a/1ch/22/14.md b/1ch/22/14.md new file mode 100644 index 00000000..8c946b0c --- /dev/null +++ b/1ch/22/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Daudi anaendelea kusema na Sulemani. + +# Ona + +Daudi anatumia hili neno kutambulisha kitu muhimu anacho kwenda kusema + +# talanta + +talanta ni kipimo cha uzito. Kinauzito wa kilogramu 33 + +# milioni moja + +"1,000,000" + diff --git a/1ch/22/15.md b/1ch/22/15.md new file mode 100644 index 00000000..449bd284 --- /dev/null +++ b/1ch/22/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Daudi anaendelea kusema na Sulemani. + +# wachonga mawe + +Hawa ni wafanya kazi ambao wanakata mawe na kuandaa kwa ajili ya wajenzi wa kuta na majengo. + +# maseremala + +Hawa ni watu wanao fanya kazi na mbao. + diff --git a/1ch/22/17.md b/1ch/22/17.md new file mode 100644 index 00000000..d34528ae --- /dev/null +++ b/1ch/22/17.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# wenu ... nanyi + +Yaeleza wingi 22:18-19 + +# amewapa amani kila pande + +"amewaopa amani kutoka vitani kila sehemu ya Israeli" + +# Amewakabidhi mikononi mwangu wenyeji wote mkoa + +"Amenipa nguvu juu ya kila mtu anayeishi kwetu" + +# Mkoa umetiishwa mbele za Yahweh na watu wake + +"Yahweh na watu wake wanatawala nchi" + +# Sasa + +Hili neno la tambulisha kitu muhimu Daudi anachoenda kusema. + +# mtafuteni Yahweh Mungu wenu + +"jaribu kumfanya Yahweh Mungu wenu kuwasikiliza" + +# kwa moyo wenu wote na nafsi + +"kwa dhati" au "moyo wote" + +# Simameni na mjenge sehemu takatifu + +"Simameni na muwaelekeze wafanya kazi wanapo jenga sehemu takatifu" + +# nyumba iliyo jengwa kwa ajili ya jina la Yahweh + +"hekalu utakalo jenga kumheshimu Yahweh" + diff --git a/1ch/23/01.md b/1ch/23/01.md new file mode 100644 index 00000000..ee1f1feb --- /dev/null +++ b/1ch/23/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Daudi anamteua Sulemani kama mrithi wake na anapanga makuhani wa Kiwalawi na wafanya kazi wa huduma za hekaluni + +# Walawi walio kuwa miaka thelathini na zaidi walihesabiwa + +"Baadhi ya wanaume wa Daudi waliwahesabu Walawi walikuwa na miaka 30 na zaidi" + +# Idadi ya elfu thelathini na nane + +elfu nane** "Walikuwa 38,000" + diff --git a/1ch/23/04.md b/1ch/23/04.md new file mode 100644 index 00000000..125da2ec --- /dev/null +++ b/1ch/23/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kwa hawa, elfu ishirini na nne + +elfu nne** "Kwa hawa Walawi, 24,000" + +# elfu sita + +"Walawi 6,000" + +# maaskari na waamuzi + +Hawa Walawi walisikiliza mashtaka ya kisheria na kutoa haki kwa mujibu wa sheria ya Musa. + +# Elfu nne + +"Walawi 4,000 + +# walinzi wa lango + +Hawa Walawi walilinda lango ili mtu najisi hasiingie" + +# kulingana + +"kwa mujibu wa" au "kwa uzao wa" + +# Gerishoni, Kohathi, na Merari + +Haya ni majina ya wana wa Walawi. + diff --git a/1ch/23/07.md b/1ch/23/07.md new file mode 100644 index 00000000..b0260fe8 --- /dev/null +++ b/1ch/23/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Haya ni majina ya Walawi kulingana na koo zao. + diff --git a/1ch/23/10.md b/1ch/23/10.md new file mode 100644 index 00000000..26aeb0d1 --- /dev/null +++ b/1ch/23/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hii yaendeleza orodha ya Walawi kwa mujibu wa koo zao. + +# hivyo walihesabiwa kama ukoo mmoja + +"hivyo Daudi akawahesabu kama koo moja" + diff --git a/1ch/23/12.md b/1ch/23/12.md new file mode 100644 index 00000000..daf62b74 --- /dev/null +++ b/1ch/23/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hii yaendeleza orodha ya Walawi kwa mujibu wa koo zao. + +# Palikuwa na wanne wa wana wa Kohathi + +"Kohathi alikuwa na wana 4" + +# Aruni alichaguliwa kuandaa vitu vitakatifu + +"Yahweh alimchagua Aruni kuvitoa vitu vitakatifu" + +# kumpa baraka kwa jina lake + +"kuwa bariki watu kama wa wakilishi wa Mungu milele" + +# wana wake walihesabiwa kuwa Walawi + +"wana wake walikuwa sehemu ya ukoo wa Walawi" Wana wa Musa walikuwa Walawi. + diff --git a/1ch/23/15.md b/1ch/23/15.md new file mode 100644 index 00000000..c4cd9619 --- /dev/null +++ b/1ch/23/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hii yaendeleza orodha ya Walawi kwa mujibu wa koo zao + diff --git a/1ch/23/19.md b/1ch/23/19.md new file mode 100644 index 00000000..c4cd9619 --- /dev/null +++ b/1ch/23/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hii yaendeleza orodha ya Walawi kwa mujibu wa koo zao + diff --git a/1ch/23/21.md b/1ch/23/21.md new file mode 100644 index 00000000..c4cd9619 --- /dev/null +++ b/1ch/23/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hii yaendeleza orodha ya Walawi kwa mujibu wa koo zao + diff --git a/1ch/23/24.md b/1ch/23/24.md new file mode 100644 index 00000000..3abcf44b --- /dev/null +++ b/1ch/23/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hawa walikuwa uzao wa Lawi kuligana na koo zao. Walikuwa viongozi, wamehesabiwa na kuorodheshwa kwa majina, kuanzia koo + +"Haya yalikuwa majina ya uzao wa Lawi na familia zao, ambao Daudi aliwahesabu na kuwaorodhesha. Walikuwa viongozi wa koo" + +# kutoka miaka ishirini na zaidi + +"kutoka miaka 20 na zaidi" + +# na vifaa vyake vinavyo tumika kwenye utumishi wake + +"na vifaa vyake walivyo tumia kwenye utumishi wake" + diff --git a/1ch/23/27.md b/1ch/23/27.md new file mode 100644 index 00000000..4fb22ae1 --- /dev/null +++ b/1ch/23/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa maneno ya Daudi ya mwisho Walawi walihesabiwa + +"Amri ya Daudi ya mwisho ilikuwa wanaume wake wa wahesabu walawi" + +# miaka ishirini na kuendelea + +"walio kuwa miaka 20 na kuendelea" + +# mkate wa uwepo + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 9:30 + +# unga + +unga mtu anaoupata kwa kusaga mbegu + +# sadaka ziliochanganywa na mafuta + +"sadaka mtu alizozichanganywa na mafuta + diff --git a/1ch/23/30.md b/1ch/23/30.md new file mode 100644 index 00000000..0972c866 --- /dev/null +++ b/1ch/23/30.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Pia walisimama + +"Walawi Pia walisimama" + +# na kila wakati sadaka ya kuteketezwa ilipo tolewa kwa Yahweh + +"wakati makuhani walipo toa sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh" + +# sherehe za mwezi mpya + +Hizi siku kuu ziliadhimisha mwanzo wa kila mwezi. + +# Idadi iliyo pangwa, iliyo tolewa kwa amri, ilipaswa kuwa mbele ya Yahweh + +"Ilikuwa ni wajibu wa baadhi ya idadi ya watu wa Walawi kuwepo wakati wa kutoa sadaka kwa Yahweh" + diff --git a/1ch/24/01.md b/1ch/24/01.md new file mode 100644 index 00000000..ac16d40b --- /dev/null +++ b/1ch/24/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari + +Ona jinsi ulivyo tafsiri haya majina 6:1 + +# Ahimeleki + +Hili ni jina la mwanaume. + +# waliwagawanya katika makundi + +"aliwagawanya wazao wa Eleazari na Ithamari kwenye makundi" + diff --git a/1ch/24/04.md b/1ch/24/04.md new file mode 100644 index 00000000..60bbea5a --- /dev/null +++ b/1ch/24/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# waligawanya + +"Daudi, Zadoki, na Ahimeleki waligawanya" + +# makundi kumi na sita + +"makundi 16" + +# Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi + +"Walikuwa na magawanyo 8 kulingana na koo za uzao wa Ithamari" + diff --git a/1ch/24/06.md b/1ch/24/06.md new file mode 100644 index 00000000..a6910b0f --- /dev/null +++ b/1ch/24/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Shemaia + +Hili ni jina la mwanamume. + +# Nethaneli + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 15:22 + +# Ahimeleki + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 18:14 + +# Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari + +"Walimchagua mmoja kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, kisha watachagua kwa kura kutoka uzao wa Ithamari" + diff --git a/1ch/24/07.md b/1ch/24/07.md new file mode 100644 index 00000000..739a9fbd --- /dev/null +++ b/1ch/24/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hii ni utaratibu wa huduma ambao Daudi, Zadoki, na Ahimeleki walichagua kwa orodha kwa uzao wa Eleazari na Ithamari. + diff --git a/1ch/24/11.md b/1ch/24/11.md new file mode 100644 index 00000000..739a9fbd --- /dev/null +++ b/1ch/24/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hii ni utaratibu wa huduma ambao Daudi, Zadoki, na Ahimeleki walichagua kwa orodha kwa uzao wa Eleazari na Ithamari. + diff --git a/1ch/24/15.md b/1ch/24/15.md new file mode 100644 index 00000000..8ef27a45 --- /dev/null +++ b/1ch/24/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hii ya hitimisha utaratibu wa huduma ambao Daudi, Zadoki, na Ahimeleki alichagua kwa kura kwa uzao wa Eleazari na Ithamari. + diff --git a/1ch/24/19.md b/1ch/24/19.md new file mode 100644 index 00000000..2bf15488 --- /dev/null +++ b/1ch/24/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao + +"wakifuata sheria ambazo Aruni babu yao aliwapa" + diff --git a/1ch/24/20.md b/1ch/24/20.md new file mode 100644 index 00000000..92e727cb --- /dev/null +++ b/1ch/24/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hii inaanza orodha ya majina ya wana wengine wa Lawi. orodha itaisha 24:29 + +# Amramu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 6:1 + +# Shebueli + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 2315 + diff --git a/1ch/24/23.md b/1ch/24/23.md new file mode 100644 index 00000000..1f43f790 --- /dev/null +++ b/1ch/24/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hebroni ... Yeria ... Amaria ... Yahazieli ... Yekameamu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 23:19 + +# Uzieli ... Mika ... Ishia + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 23:19 + +# Shamiri ... Zakaria + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/1ch/24/26.md b/1ch/24/26.md new file mode 100644 index 00000000..05922973 --- /dev/null +++ b/1ch/24/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Merari ... Mahli ... Mushi ... Eleazari + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 23:21 + +# Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri ... Ibrri + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/1ch/24/29.md b/1ch/24/29.md new file mode 100644 index 00000000..6deb7261 --- /dev/null +++ b/1ch/24/29.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kishi ... Mushi + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 23:21 + +# Yerameli .. Mahli ... Ederi ... Yerimothi + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Ahimeleki + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 18:14 + diff --git a/1ch/25/01.md b/1ch/25/01.md new file mode 100644 index 00000000..44ae2bf9 --- /dev/null +++ b/1ch/25/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Upatu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 13:7 + +# Hemani ... Yeduthuni + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 16:40 + +# Zakuri ... Matithia + +Haya ni majina ya wanaume. + +# sita kwa jumla + +"6 kwa jumla" + diff --git a/1ch/25/04.md b/1ch/25/04.md new file mode 100644 index 00000000..e637fa33 --- /dev/null +++ b/1ch/25/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hii inaendeleza orodha ya viongozi wa kazi ya hema la kukutania imeanza 25:1 + +# Bukia ... Mahaziothi + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Hemani + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 16:40 + +# wana kumi na nne na mabinti watatu + +"wana 14 na mabinti 3" + diff --git a/1ch/25/06.md b/1ch/25/06.md new file mode 100644 index 00000000..f2510857 --- /dev/null +++ b/1ch/25/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# upatu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 13:7 + +# Yeduthuni ... Hemani + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 16:40 + +# idadi ya 288 + +"walikuwa wanaume mia mbili na themanini na nane" + +# sawa kwa vijana na kwa wazee, kwa walimua na kwa wanafunzi + +Hii yaeleza mkazo "wote hao" + diff --git a/1ch/25/09.md b/1ch/25/09.md new file mode 100644 index 00000000..fadb0ec7 --- /dev/null +++ b/1ch/25/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hii yaanza orodha ya kura 24 zilizo tupwa kuchagua utaratibu za familia gani zitakazo hudumu. Hii orodha yaisha 25:29 + +# ya kwanza ... ya pili + +Hii yaonyesha utaratibu wa familia zilizo chaguliwa. "namba 1 ...namba 2 ... namba 3 ... namba 4 ... namba 5" au tumia " wa awali" kwa "wa kwanza" na "akifuatiwa" kwa wote wano fuata. + +# kura ya kwanza iliangukia katika familia ya Yusufu + +Kwa watu wote kwenye orodha, nakala ya eleza kwamba palikuwa "watu kumi na mbili kwa idadi" Kwa maana hii imegusiwa, unaweza ongeza hii sentensi kwa ajili ya Yusufu, kama UDB inavyo fanya. "kura ya kwanza ilimwangukia familia ya Yusufu, watu kumi na mbili kwa idadi" + +# Yusufu ... Zakuri ... Nethania + +Ona jinsi ulivyo tafsiri haya majina 25:1 + +# Gedalia + +Ona jinsi ulivyo tafsiri haya majina 25:1 + +# watu kumi na mbili + +"watu 12" + +# Izri + +Hili jina limeandikwa Zeri 25:1 + diff --git a/1ch/25/13.md b/1ch/25/13.md new file mode 100644 index 00000000..58c8fe0a --- /dev/null +++ b/1ch/25/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hii ya endeleza orodha iliyo anzishwa 25:9 + +# ya sita ... ya tisa + +Hii ya onyesha utaratibu jinsi familia zilivyo chaguliwa. "namba 6" ... namba 7 ... namba 8 ... namba 9" + +# Bukia + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 25:4 + +# watu kumina mbili + +"watu 12" + +# Yesharela + +Aina nyingine ya kuandika "Ashareka" 25:1 + +# Yeshaia + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 25:1 + +# Matania + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 25:4 + diff --git a/1ch/25/17.md b/1ch/25/17.md new file mode 100644 index 00000000..b7cdfa9e --- /dev/null +++ b/1ch/25/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hii yaendeleza orodha iliyo anzwa 25:9 + +# ya kumi ... ya kumi na tatu + +Hii ya onyesha orodha jinsi familia zilivyo chagulliwa. "namba 10 ... namba 11 ... namba 13" + +# Shimei + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 25:1 + +# watu kumi na mbili + +"watu 12" + +# Azareli + +Hii ni aina nyingine ya kuandika "Uzieli" 25:4 + +# Hashabia + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 25:1 + +# Shubaeli + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 25:4 + diff --git a/1ch/25/21.md b/1ch/25/21.md new file mode 100644 index 00000000..55cf66f4 --- /dev/null +++ b/1ch/25/21.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hii yaendeleza orodha iliyo anzwa 25:9 + +# ya kumi na nne ... kumi na saba + +Hii yaonyesha utaratibu familia zilivyo chaguliwa. "namba 14 ... namba 15 ... namba 16 ... namba 17" + +# Matithia + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 25:1 + +# watu kumi na mbili + +"watu 12" + +# Yeremothi + +Hii ni aina nyingine ya kuandika "Uzieli" 25:4 + +# Hanania + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 25:4 + +# Yoshibekasha + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 25:4 + diff --git a/1ch/25/25.md b/1ch/25/25.md new file mode 100644 index 00000000..661b2134 --- /dev/null +++ b/1ch/25/25.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hii yaendeleza orodha iliyo anza 25:9 + +# ya kumi na nane ... ishirini na moja + +kwanza** Hii yaonyesha utaratibu wa familia zilizo chaguliwa. "namba 18 ... namba 19 ... namba 20 ... namba 21" + +# Hanani + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 25:4 + +# watu kumi na mbili + +"watu 12" + +# Malothi + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 25:4 + +# Eliatha + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 25:4 + +# Hothiri + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 25:4 + diff --git a/1ch/25/29.md b/1ch/25/29.md new file mode 100644 index 00000000..5e21f572 --- /dev/null +++ b/1ch/25/29.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezi ya Jumla + +Hii ya hitimisha orodha illiyo anza 25:9 + +# ya ishirini na mbili ... ya ishirini na nne + +ya pili ... ishiri na nne** Hii yaonyesha utaratibu wa jinsi familia zilivyo chaguliwa. "namba 22 ... namba 23 ... namba 24" + +# Gidalti + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 25:4 + +# watu kumi na mbili + +"watu 12" + +# Mahaziothi + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 25:4 + +# Romamti Eza + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 25:4 + diff --git a/1ch/26/01.md b/1ch/26/01.md new file mode 100644 index 00000000..004a5c78 --- /dev/null +++ b/1ch/26/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hii yaanza orodha ya walinzi wa lango + +# Wakora + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 9:17 + +# Meshelemia + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 9:20 + +# Kore + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 9:17 + +# Asafu + +Hili ni jina mbadala la "Ebiasafu" 9:17 + +# Zekaria + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 9:20 + +# Yediali ... Zebadia ... Yathnieli ... Elamu ... Yehonani ... Eliehoenai + +Haya ni majina ya wanaume + +# wa pili ... watatu ... ya nne ... wa saba + +Hii yaonyesha utaratibu ya wana kuzaliwa. "namba 2 ... namba 3 ... namba 4 ... namba 7" au "afuatae" kwa kila mmoja. + diff --git a/1ch/26/04.md b/1ch/26/04.md new file mode 100644 index 00000000..8812f007 --- /dev/null +++ b/1ch/26/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hii yaendeleza orodha ya walinzi wa lango iliyoanza + +# Obedi Edomu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 9:37 + +# Shemaia ... Yehozabadi ... Yoa ... Sakari ... Nethanieli ... Amieli ... Isakari ... Peulethai + +Haya ni majina ya wanaume. + +# wapili ... wanane + +Hii yaonyesha utaratibu jinsi wana walivyo zaliwa. "namba 2 ... namba 3 ... namba 4 ... namba 5 ... namba 6 ... namba 7 ... namba 8 au "afuatae" kwa kila moja. + diff --git a/1ch/26/07.md b/1ch/26/07.md new file mode 100644 index 00000000..61ea2de3 --- /dev/null +++ b/1ch/26/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hii yaendeleza orodha ya walinzi wa lango iliyo anza + +# Shemaia ... Obedi Edomu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 26:4 + +# ndugu zake + +" ndugu wa Shemaia" au "ndugu wa familia ya Shemaia" + +# Othini, Refaeli, Obedi ... Elizabadi ... Elihu ... Semakia ... + +Haya ni majina ya Wanaume. + +# sitini na mbili + +wawili** "wanaume 62" + +# jumla ya kumi na nane + +"jumla 18" + diff --git a/1ch/26/10.md b/1ch/26/10.md new file mode 100644 index 00000000..a15001e1 --- /dev/null +++ b/1ch/26/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hii inaendeleza orodha ya walinzi wa lango iliyo anza + +# Hosa ... Merari ... Shimiri ... Hilika ... Tebalia ... Zekaria + +Haya ni majina ya wanaume. + +# wa pili ... watatu ... wanne + +Hii yaonyesha utaratibu wana walivyo zaliwa. "namba 2 ... namba 3 ... namba 4" au "anaefuata" kwa kila moja. + +# Wote wa wana wa Hosa na ndugu walikuwa kumi na tatu kwa idadi + +"Hawa walikuwa wana 13 wa Hosa na ndugu zake" + diff --git a/1ch/26/12.md b/1ch/26/12.md new file mode 100644 index 00000000..2ef030c6 --- /dev/null +++ b/1ch/26/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wadogo kwa wakubwa + +"kila mtu" au "wanaume wa miaka yote" + +# Shelemeia + +Hii ni aina nyingine kuandika "Meshelemia" 26:1 + +# Zekaria + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 26:1 + +# Kura ilipo rushwa + +"Walipo rusha kura" + +# mshauri makini + +Huyu ni mtu anaye onyesha hukumu nzuri katika kufanya maamuzi. + diff --git a/1ch/26/15.md b/1ch/26/15.md new file mode 100644 index 00000000..854ed7c4 --- /dev/null +++ b/1ch/26/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Obedi Edomu kulipangiwa lango la kusini, na wanae walipangiwa nyumba za ghala + +"Obedi Edomu ilikuwa na wajibu wakulinda lango la kusini, na wana wake walilinda nyumba za ghala" + +# Obedi Edomu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 26:4 + +# Shupimu + +Hili ni jina la mwanamume + +# Hosa + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 26:10 + +# Shalekethi + +Hilil ni jina la lango. + +# Lindo lilikabiidhiwa kwa kila familia. + +"Kila familia ilikuwa na wajibu wakulinda kitu" + diff --git a/1ch/26/17.md b/1ch/26/17.md new file mode 100644 index 00000000..e97476a3 --- /dev/null +++ b/1ch/26/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Walawi sita + +"Walawi 6" + +# wanne walipangwa + +"wanaume 4 kila siku" + +# wawili + +"wanaume wa 2" au "wanaume 2 kwa zamu" + +# Katika ua kuelekea magharibi wanne walipangwa + +"wanaume wa 4 walilinda ua la magharibi" + +# wanne barabarani, na wawili katika ua + +Wanaume wa 4 walilinda barabara, na wanaume wawili walilinda ua" + +# Palijazwa na + +"Walikuwa" + +# Merari + +Ona jinsi ulivyo tasfiri 26:10 + diff --git a/1ch/26/20.md b/1ch/26/20.md new file mode 100644 index 00000000..cad3969d --- /dev/null +++ b/1ch/26/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Wazao wa Ladani, walitoka kwa Gerishoni kupitia kwake na walio kuwa viongozi wa familia za Ladani Mgerishoni, walikuwa Yehieli na wanae + +"Yehieli na wanae walikuwa uzao wa Ladani, aliye toka Gerishoni ulio wa Ladani. Yehieli na wana wake walikuwa viongozi wa familia ya Ladani Mgerishoni. Wana wa Yehieli" + +# Ladani ... Gerishoni + +Ona jinsi ulivyo tafsiri haya majina 23:7 + +# Mgerishoni + +Wazao wa Gerishoni. + +# Yehieli ... Zethamu ... Yoeli + +Ona jinsi jinsi ulivyo tafsiri haya majina katika 23:7. + +# aliyesimamia + +"aliye kuwa msimamizi" + diff --git a/1ch/26/23.md b/1ch/26/23.md new file mode 100644 index 00000000..82b71868 --- /dev/null +++ b/1ch/26/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kulikuwa na askari walio chukuliwa kwa koo + +"Viongozi walichagua askari kutoka koo" + +# Amramu, Izhari, Hebroni, Uzieli + +Ona jinsi ulivyo tafsiri haya majina 23:12 + +# Shebueli ... Gerishomu ... Eliezeri ... Rehabia + +Ona jinsi ulivyo tafsiri haya majina 23:15 + +# Yeshaia ... Yoramu ... Zikiri Shelomothi + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/1ch/26/26.md b/1ch/26/26.md new file mode 100644 index 00000000..449c70eb --- /dev/null +++ b/1ch/26/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# maelfu na mamia + +"zaidi ya wanaume 1,000 na zaidi ya wanaume 100" + +# vitu walivyo vichukuwa + +vitu jeshi linavyo chukuwa baada ya ushindi + +# Kishi ... Neri ... Zeruia + +Haya ni majina ya wanaume + +# Kila kitu kilicho tengwa + +"vitu vyote viongozi walivyo vitenga" + diff --git a/1ch/26/29.md b/1ch/26/29.md new file mode 100644 index 00000000..d99de0e5 --- /dev/null +++ b/1ch/26/29.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Izhari ... Hebroni + +Ona jinsi ulivyo tafsiri haya majina 23:12 + +# mambo ya ndani ya Israeli + +Hii ya husu shughuli za watu wa Israeli, haya uhusiano na jeshi wala hekalu. "shughuli za watu wa Israeli" + +# Kenania ... Hashabia + +Haya ni majina ya wanaume. + +# wanaume wenye uwezo 1,700 + +"wanaume elfu moja na mia saba wenye uwezo" + +# kazi ya Yahweh na kazi ya mfalme + +"kazi iliyo fanywa ya Yahweh na mfalme" + diff --git a/1ch/26/31.md b/1ch/26/31.md new file mode 100644 index 00000000..b4c32793 --- /dev/null +++ b/1ch/26/31.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hebroni + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 23:12 + +# Yerija + +Namna nyingine ya kuandika "Yeria." Ona jinsi ulivyo tafsiri 23:19 + +# walihesabiwa kutoka orodha + +"majina yao yalikuwa kwenye orodha" + +# Katika mwaka wa arobaini wa utawala wa Daudi + +"Daudi alipo kuwa mfalme kwa miaka 40" + +# Yazeri + +Hili ni jina la mwanaume. + +# ndugu 2,700 + +"elfu mbili na mia saba ndugu" + diff --git a/1ch/27/01.md b/1ch/27/01.md new file mode 100644 index 00000000..96f7fdb0 --- /dev/null +++ b/1ch/27/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Hii ni orodha + +"Haya ni majina" + +# namna tofauti + +"namna za tofauti" au "njia nyingi" + +# Kila kikosi cha jeshi + +"Kila kundi" + +# wanaume elfu ishirini na nne + +wanaume elfu nne** "wanaume 24,000" + +# mwaka mzima + +"mwaka wote" + +# mwezi wa kwanza + +Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Machi na mwanzo wa Aprili kwa kalenda za Kimagharibi. + +# Yashobeamu mwana wa Zabdieli + +Haya ni majina ya wanaume. + +# mhusika + +"kiongozi" + diff --git a/1ch/27/04.md b/1ch/27/04.md new file mode 100644 index 00000000..5f70201b --- /dev/null +++ b/1ch/27/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mwezi wa pili + +Huu ni mwezi wa pili wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Aprili na mwanzo wa Mei kwa kalenda za Kimagharibi. + +# Dodai ... Amizabadi + +Haya ni majina ya wanaume. + +# kikosi chake + +"katika kundi lake la jeshi" au kundi la wanajeshi wake" + +# wanaume elfu ishirini na nne + +wanaume elfu nne** "wanaume 24,000" + +# mwezi wa tatu + +Huu ni mwezi wa tatu wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Mei na mwanzo wa Juni kwa kalenda za Kimagharibi. + +# wale thelathini + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 11:10 + diff --git a/1ch/27/07.md b/1ch/27/07.md new file mode 100644 index 00000000..2e390844 --- /dev/null +++ b/1ch/27/07.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Mkuu kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli kaka wa Yoabu + +"Asaheli, kaka wa Yoabu, alikuwa mkuu wa mwezi wa nne" + +# mwezi wa nne + +Huu ni mwezi wa nne wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Juni na mwanzo wa Julai kwa kalenda za Kimagharibi. + +# Asaheli ... Ikeshi + +Haya ni majina ya wanaume. + +# kikosi chake + +"kundi lake la jeshi" + +# wanaume elfu ishirini na nne + +wanaume elfu nne** "wanaume 24,000" + +# mwezi wa tano + +Huu ni mwezi wa tano wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Julai na mwanzo wa Agusti kwa kalenda za Kimagharibi. + +# mwezi wa sita + +Huu ni mwezi wa sita wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Agusti na mwanzo wa Septemba kwa kalenda za Kimagharibi. + +# Tekoa + +Hili ni jina la sehemu. + diff --git a/1ch/27/10.md b/1ch/27/10.md new file mode 100644 index 00000000..c0162d4d --- /dev/null +++ b/1ch/27/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mkuu kwa mwezi wa saba alikuwa Helezi Mpeloni, kutoka watu wa Efraimu + +"Helezi, Mpeloni, kutoka watu wa Efraimu, alikuwa mkuu wa mwezi wa saba" + +# mwezi wa saba + +Huu ni mwezi wa saba wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Septemba na mwanzo wa Oktoba kwa kalenda za Kimagharibi. + +# Helezi ... Sibekai ... Zera ... Abi Ezeri + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Mpeloni ... Mhushathi ... Manathothi + +Haya ni majinaya makabila au koo. + +# wanaume elfu ishirini na nne + +wanaume ekfu nne** "wanaume 24,000" + +# mwezi wa nane + +Huu ni mwezi wa nane wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Oktoba na mwanzo wa Novemba kwa kalenda za Kimagharibi. + +# mwezi wa tisa + +Huu ni mwezi wa tisa wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Novemba na mwanzo wa Desemba kwa kalenda za Kimagharibi. + diff --git a/1ch/27/13.md b/1ch/27/13.md new file mode 100644 index 00000000..4fcd8bb2 --- /dev/null +++ b/1ch/27/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maharai ... Zera ... Heldai ... Othnieli + +Haya ni majina ya wanaume. + +# mwezi wa kumi + +Huu ni mwezi wa kumi wa kalenda ya Kiebrania. + +# Netofa ... Pirathoni + +Haya ni majina ya sehemu. Ni wakati wa mwisho wa mwezi Desemba na mwanzo wa mwezi Januari katika kalenda za Magharibi. + +# wanaume elfu ishirini na nne + +wanaume elfu nne** "wanaume24,000" + +# mwezi wa kumi na moja + +Huu ni mwezi wa kumi na moja wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Januari na mwanzo wa Februari kwa kalenda za Kimagharibi. + +# mwezi wa kumi na mbili + +Huu ni mwezi wa kumi na mbili wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Februari na mwanzo wa Machi kwa kalenda za Kimagharibi. + diff --git a/1ch/27/16.md b/1ch/27/16.md new file mode 100644 index 00000000..8fab2014 --- /dev/null +++ b/1ch/27/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Eliezeri ... Mikaeli + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/1ch/27/19.md b/1ch/27/19.md new file mode 100644 index 00000000..e9d9df38 --- /dev/null +++ b/1ch/27/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ishmaia ... Yerohamu + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/1ch/27/23.md b/1ch/27/23.md new file mode 100644 index 00000000..fe81829e --- /dev/null +++ b/1ch/27/23.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wenye umri wa miaka ishirini au chini zaidi + +"watu wenye miaka 20 au chini" + +# kuongeza Israeli + +"kuongeza idadi ya Israeli" + +# kama nyota za mbinguni + +Namba ya watu wa Israeli inalinganishwa na namba ya nyota kuonyesha zilivyo nyingi. + +# Gadhabu iliangukia Israeli + +"Mungu aliwaadhibu watu wa Israeli" + +# Hii idadi haikuandikwa + +"Hakuna aliye andika hii namba chini" + diff --git a/1ch/27/25.md b/1ch/27/25.md new file mode 100644 index 00000000..63e155ed --- /dev/null +++ b/1ch/27/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Azimavethi ... Zabdi + +Haya ni majina ya wanaume. + +# mhusika wa + +"wajibika kulinda" + +# minara iliyo imarishwa + +"nguzo imara" + +# walio lima ardhi + +Hii ina maana ya kuchimba au kutufua udogo kabla ya kupanda + +# Shefamu + +Hili ni jina la sehemu. + diff --git a/1ch/27/28.md b/1ch/27/28.md new file mode 100644 index 00000000..0e12995a --- /dev/null +++ b/1ch/27/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mikuyu + +Huu ni aina ya mti + +# Baali Hanani ... Shitrai ... Adlai + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Gederi .. Shafati + +Haya ni majina ya sehemu + +# iliyo kuwa inalishwa + +"walio kula nyasi shambani" + diff --git a/1ch/27/30.md b/1ch/27/30.md new file mode 100644 index 00000000..ced2a084 --- /dev/null +++ b/1ch/27/30.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Obili ... Yedeia ... Yazizi + +Haya ni majina ya wanaume + +# Mishimaeli ... Mhagri + +Haya ni majina ya makabila au koo. + +# Meronothi + +Hili ni jina la sehemu. + +# Hawa wote + +"Hawa wanaume" + diff --git a/1ch/27/32.md b/1ch/27/32.md new file mode 100644 index 00000000..9be5317e --- /dev/null +++ b/1ch/27/32.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yonathani ... Yehoiada + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Waariki + +Hili ni jina la kabila la ukoo. + diff --git a/1ch/28/01.md b/1ch/28/01.md new file mode 100644 index 00000000..1242c7d2 --- /dev/null +++ b/1ch/28/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# maafisa + +Ona jinsi ulivyotafsiri hii 24:4 + +# kazi walizo pangiwa + +Kazi inayohitaji kurudiwa, kwa mfano kila siku au kila mwezi. + +# wa maelfu na mamia + +"1,000s na wa 100s" + +# mali + +Hili neno moja linamaana ya vitu na ardhi mfalme alivyomiliki. + diff --git a/1ch/28/02.md b/1ch/28/02.md new file mode 100644 index 00000000..89f87a5f --- /dev/null +++ b/1ch/28/02.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# akainuka kwa miguu yake + +"alisimama juu" + +# kaka yangu na watu wangu + +Mistari hii miwili inashiriki maana moja na kuweka mkazo kuwa Daudi na watu wa Israeli ni ndugu. + +# sanduku la agano la Yahweh;stuli ya miguu kwa ajili ya Mungu wetu + +Mstari wa pili unaelezea mstari wa kwanza. Yahweh mara nyingi inaelezea "sanduku la agano" kama "stuli yake ya miguu." + +# hekalu kwa jina langu + +"hekalu kwa ajili yangu" + +# mwanaume wa vita na umemwaga damu + +Maelezo yote yanahamasisha kitu kimoja , kwamba Daudi aliuwa watu. + +# umemwaga damu + +"aliuwa watu" + diff --git a/1ch/28/04.md b/1ch/28/04.md new file mode 100644 index 00000000..64ce3f46 --- /dev/null +++ b/1ch/28/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa za jumla: + +Daudi anaendelea kuongea na Waisraeli. + +# mfalme wa Israeli milele + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi na uzao wake utatawala milele au 2)Daudi ataendelea kuwa mfalme wa Israeli baada ya kufufuka kutoka wafu. + +# Israeli yote + +"ardhi yote ya Israeli'' au "Waisraeli wote" + +# kuketi katika kiti cha enzi + +"kutawala" au "kuwa mfalme wa" + +# ufalme wa Yahweh, juu ya Israeli + +"Israeli ambayo ni ufalme wa Yahweh" + diff --git a/1ch/28/06.md b/1ch/28/06.md new file mode 100644 index 00000000..963a0235 --- /dev/null +++ b/1ch/28/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa za jumla: + +Daudi anaendelea kuongea na Waisraeli. + +# Aliniambia + +"Mungu aliniambia" + +# nyumba yangu + +Neno "nyumba" linamaana ya hekalu la Yahweh. + +# Nimemchagua yeye kuwa mwana wangu, nami nitakuwa baba yake + +Hii haimaanishi kwamba Solomoni amekuwa kabisa mwana wa Mungu, ila inaeleza mahusiano binafsi kati yake na Mungu watakayo kuwanayo. "Nimemchagua yeye kumtendea kama mwanangu, na nitakuwa kama baba kwake" + +# amri zangu na sheria + +Haya maneno mawili kwa ujumla yana maana moja inayoelezea kila kitu ambacho Yahweh alikiamuru. + +# kama ulivyo siku ya leo + +Neno "ulivyo" hapa linamuelezea Daudi. "kama ulivyokabidhiwa hii siku" + diff --git a/1ch/28/08.md b/1ch/28/08.md new file mode 100644 index 00000000..36366b61 --- /dev/null +++ b/1ch/28/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa za jumla: + +Daudi anaendelea kuongea na Waisraeli. + +# Kisha sasa + +Hii ina ashiria kwamba Daudi ameanza awamu mpya katika hotuba yake. + +# mshike na kufanya + +Maneno haya "kufanya" yanamaanisha kitu kimoja na "mshike" Kwapamoja maneno yanahamasisha umuhimu wa kufanya kile Mungu alicho amuru. + +# watoto wenu baada yenu + +" watoto wenu ambao watachukua nafasi zenu baada ya kufa" + diff --git a/1ch/28/09.md b/1ch/28/09.md new file mode 100644 index 00000000..f84bf665 --- /dev/null +++ b/1ch/28/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mungu wa baba yako + +Daudi anajiita "baba yako" kwasababu hiii ni tafrija maalumu. "Mungu wangu" + +# moyo wako wote + +"kabisa" + +# anachunguza mioyo yote na kufahamu amasa ya kila wazo la mtu + +Hii mistari miwili ina maana moja na kuweka mkazo kwamba Yahweh anajua mawazo na nia za kila mtu. + +# Ukimtafuta, ataonekana kwako + +"ukijaribu kumpata Yahweh akusikilize wewe, atafanya hivyo" + +# Elewa + +"Ona sasa" "Kumbuka" aua "Kuwa na tahadhari" + +# Kuwa imara na ufanye + +Neno "imara" hapa la husu nguvu ya nia na uweza wa tabia. + diff --git a/1ch/28/11.md b/1ch/28/11.md new file mode 100644 index 00000000..583ff9df --- /dev/null +++ b/1ch/28/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# baraza la hekalu + +"baraza ya hekalu" au "mwingilio wa hekalu" hii ina eleza nguzo zilizo saidia dari katika mwingilio wa hekalu. + +# hazina + +vyumba vya hifadhi vya vitu vya thamani + diff --git a/1ch/28/13.md b/1ch/28/13.md new file mode 100644 index 00000000..cf419fbb --- /dev/null +++ b/1ch/28/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# masharti + +Haya yalikuwa maagizo maalumu kuhusu jinsi makuhani na Walawi wafanye kazi katika hekalu. + +# viitengo + +Hii ya husu makundi ambayo makuhani na wafanya kazi wengine wa hekalu walikuwa wamepangwa kufanya kazi zao. Ona jinsi ulivyo tafsiri hili neno 24:1 + diff --git a/1ch/28/18.md b/1ch/28/18.md new file mode 100644 index 00000000..a39a88ab --- /dev/null +++ b/1ch/28/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# dhahabu ya kutakasika + +"dhahabu iliyo safishwa" au "dhahabu yenye thamani" + +# Nimeeka haya katika maandishi + +"Nimeandika yote haya chini" + +# kunipa kuelewa + +"alinisaidia kuelewa maelekezo" + diff --git a/1ch/28/20.md b/1ch/28/20.md new file mode 100644 index 00000000..6ebfae34 --- /dev/null +++ b/1ch/28/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# hodari na mjasiri + +Haya maneno mawili yanamanisha kitu kimoja na kukazia kuwa Sulemani lazima awe shujaa. + +# Usiogope au kuwa na wasiwasi + +Haya maneno mawili yanamanisha kitu kimoja na kukazia kuwa Sulemani lazima asikate tamaa. "Kuwa hodari" au "Kuwa Mjasiri" + +# yupo nawe + +"nitakusaidia wewe" + +# Hatakuacha wala kukutelekeza + +Haya maneno mawili yanamanisha kitu kimoja na kukazia kuwa Yahweh ata kuwa daima na Sulemani. "Ata kuwa nawe daima" + +# hivi ni vitengo vya makuhani na Walawi + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 28:13 + diff --git a/1ch/29/01.md b/1ch/29/01.md new file mode 100644 index 00000000..4333752e --- /dev/null +++ b/1ch/29/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mawe ya shohamu + +Haya ni mawe yenye mistari meupe na meusi yanayo tengenezewa mikufu. + +# kupangwa + +Hii ina maana ya mifumo mizuri ya urembo iliyo undwa na mawe. + diff --git a/1ch/29/03.md b/1ch/29/03.md new file mode 100644 index 00000000..e9221c2a --- /dev/null +++ b/1ch/29/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Daudi anaendelea kuongea na watu kuhusu vitu anavyo toa kwa ajili ya hekalu. + +# talanta elfu tatu + +"talanta 3,000" + +# dhahabu kutoka Ofiri + +dhahabu bora na ya gharama + diff --git a/1ch/29/08.md b/1ch/29/08.md new file mode 100644 index 00000000..69975e6c --- /dev/null +++ b/1ch/29/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# hazina + +Hii ni sehemu ambayo pesa na vitu vya thamani vimeekwa. + +# Yehieli + +Hili ni jina la mwanaume. + +# Gerishoni + +Huyu alikuwa mzaliwa wa kwanza wa Lawi. + +# moyo wao wote + +kwa utayari, na bila shaka au wasi wasi + diff --git a/1ch/29/10.md b/1ch/29/10.md new file mode 100644 index 00000000..d74643df --- /dev/null +++ b/1ch/29/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Na uabudiwe, Yahweh, Mungu wa Israeli babu wetu, milele na milele + +"Na usifiwe, Yahweh baba yetu, Mungu wa Israeli, milele na milele" + diff --git a/1ch/29/12.md b/1ch/29/12.md new file mode 100644 index 00000000..48a2cbee --- /dev/null +++ b/1ch/29/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Daudi anaendeleza maombi yake sifa kwa Yahweh + +# Mkononi mwako kuna nguvu na uwezo + +Maneno "nguvu na "uwezo" yana maana moja na yanasisitiza ukuu wa nguvu za Yahweh. + diff --git a/1ch/29/14.md b/1ch/29/14.md new file mode 100644 index 00000000..c7a16545 --- /dev/null +++ b/1ch/29/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Daudi anaendeleza maombi yake sifa kwa Yahweh + +# Lakini mimi ni nani, na watu wangu ni nani, tustahili kutoa kwa hiari hivi vitu? + +Daudi anamaanisha yeye na watu wake hawastahili sifa kwa kumpa chochote Yahweh. + +# sisi ni wageni na wasafiri mbele zako + +"Unajua sisi si wa muhimu" + +# Siku zetu katika dunia ni kama kivuli + +Vivuli vinatokeza na kutoeka haraka. + diff --git a/1ch/29/16.md b/1ch/29/16.md new file mode 100644 index 00000000..426ef021 --- /dev/null +++ b/1ch/29/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwa unyofu wa moyo wangu + +"kwasababu ninataka kuwa mkweli na mwaminifu kwa kila kitu ninachofanya" + diff --git a/1ch/29/18.md b/1ch/29/18.md new file mode 100644 index 00000000..19a7d9e4 --- /dev/null +++ b/1ch/29/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hifadhi hili katika fikra za watu wako + +"eka hili kwenye mawazo na fikra za watu wako milele" + diff --git a/1ch/29/20.md b/1ch/29/20.md new file mode 100644 index 00000000..c1866e83 --- /dev/null +++ b/1ch/29/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kusujudu mbele + +kulala chini na kutaza ardhi kama njia ya kuonyesha heshima ya hali ya juu + diff --git a/1ch/29/22.md b/1ch/29/22.md new file mode 100644 index 00000000..aab20834 --- /dev/null +++ b/1ch/29/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mbele za Yahweh + +Hili kumtukuza Yahweh. + +# mara ya pili + +Mara ya kwanza imeelezwa 23:1 + +# kumpaka mafuta ya mamlaka ya Yahweh kuwa mfalme + +"alipakwa mafuta kutawala juu ya Israeli kwa niaba ya Yahweh" + diff --git a/1ch/29/24.md b/1ch/29/24.md new file mode 100644 index 00000000..ebdb85a3 --- /dev/null +++ b/1ch/29/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# utii + +"uaminifu wao" + +# Yahweh alimheshimu sana Sulemani na kumkirimia nguvu kubwa + +Hii mistari miwili inasisitiza kuwa Sulemani alipokea upendeleo maalumu kutoka kwa Yahweh, uliyo mfanya mfalme mkubwa na mwenye nguvu wa Israeli. + diff --git a/1ch/29/26.md b/1ch/29/26.md new file mode 100644 index 00000000..309fee4d --- /dev/null +++ b/1ch/29/26.md @@ -0,0 +1,105 @@ +# Daudi + +Daudi alikuwa mfalme wa kwanza na alimpenda Mungu na kumtumikia. + +* Daudi alipo kuwa bado kijnana modogo na akichunga kondoo wa baba yake, Mungu alimchagua kuwa mfalme wa Israeli. +* Daudi alikuwa mpiganaji mkubwa na akaongoza jeshi la Israeli katika mapambano dhidi ya maadui zao. Ushindi wake wa Goliathi Mfilisti wajulikana sana. +* Mfalme Sauli alijaribu kumuua Daudi, lakini Mungu alimlinda, na kumfanya mfalme baada ya kifo cha Sauli +* Daudi alitenda dhambi mbaya, lakini alitubu na Mungu akamsamehe. +* Yesu, Mesia, anaitwa "Mwana wa Daudi" kwasababu ni mzao wa mfalme Daudi. + +# Yese + +Yese alikuwa baba wa Mfalme Daudi, na mjukuu wa Ruthi na Boazi. + +* Yese alitokea kabila la Yuda. +* Alikuwa "Mefrathi", yenye kumaanisha alikuwa ametoka mji wa Efratha (Bethlehemu) +* Nabii Isaya alitabiri kuhusu "chimbuko" au "tawai" litakalo toka "shina la Yese" na kuzaa matunda. Hii yamuelezea Yesu aliye kuwa mzao wa Yese. + +# tawala + +Neno "tawala" la maanisha kumiliki kama mfalme juu ya watu wa eneo la nchi au ufalme. Utawala wa mfalme ni kipindi chake cha kwenye madaraka. + +* Neno "kutawala" alatumika kueleza Mungu anavyo tawala kama mfalme juu ya dunia yote. +* Mungu aliruhusu wafalme watawale juu ya Israeli walipo mkataa kama mfalme. +* Yesu Kristo atakapo rudi, atatawala wazi kama mfalme juu ya dunia yote na Wakristo watatawala naye. +* Hili neno laweza pia tafsiriwa kama "madaraka kabisa" au "miliki kama mfalme" au "ongaza kama mfalme" + +# Israeli, Waisraeli, taifa la Israeli + +Neno "Israeli" ni jina Mungu alilo mpa Yakobo. La maanisha, "anaangaika na Mungu" + +* Wazao wa Yakobo walijulikana kama "watu wa Israeli," "taifa la Israeli", au "Waisraeli." +* Mungu aliunda agano lake na watu wa Israeli. Walikuwa watu wake aliyo wachagua. +* Taifa la Israeli liliundwa na makabila kumi na mbili. +* Baada ya Mfalme Sulemani kufa, Israeli iligawanyika katika falme mbili: ufalme wa kusini , uliitwa "Yuda" na ufalme wa kaskazini, uliitwa "Israeli" +* Mara nyingi neno "Israeli" laweza tafsiriwa kama, "watu wa Israeli" au "taifa la Israeli," kulingana na muktadha. + +# mtawala, watawala, tawala + +Neno "mtawala" ni jina linalo eleza mtu mwenye mamlaka juu ya watu wengine, kama kiongozi wa nchi, ufalme, au kundi la dini. + +* Katika Agano la kale, mfalme alikuwa anajulikana kwa kujatwa "mtawal," kama katika mstari huu, "alimteua mtawala juu ya Israeli" +* Mungu anaelezwa kama mtawala mkuu, anaye tawala watala wengine wote. +* Katika Agano Jipya, kiongozi wa sinagogi aliitwa "mtawala." +* Aina nyingine ya mtawala alikuwa ni "gavana." +* Kulingana na muktadha, "mtawala" la weza tafsiriwa kama "kiongozi" au mtu mwenye mamlaka juu ya" +* Tendo la "kutawala" la maanisha kuongoza "kuwa na mamlaka juu ya." Lina maana moja kama "kumiliki" linapo mtaja mfalme. + +# Hebroni + +Ulikuwa mji eneo la juu, lenye vimilima vya miamba maili ishirini kusini mwa Yerusalemu. + +* Mji ulijengwa katika ya mwaka 2,000 B.C. kipindi cha Abramu. Ulitajwa mara nyingi katika historia ya mambo ya Agano la Kale. +* Hebroni ilikuwa na nafasi muhimu katika utawala wa mfalme Daudi. Baadhi ya wana wake, pamoja na Absalome, walizaliwa hapo. +* Umji ulibomolewa kati ya mwaka 70 A.D. na Warumi. + +# Yerusalemu + +Yerusalemu ulikuwa asili mji wa Wakanani zamani badae ukawa mji muhimu wa Israeli. Upo kilomita 34 magharibi mwa Bahari ya Chumvi na kaskazini mwa Bethlehemu. Bado ni mji mkuu wa Israeli. + +* Jina, "Yerusalemu" limetajwa kwanza katika kitabu cha Yoshua. Majina mengine ya Agano la Kale ni "Salemu," "mji wa Yebusi," na "Sayuni." Yote "Yerusalemu" na "Salemu" una shina moja la "amani" +* Yerusalemu ulikuwa ngome ya Wayebusi uliyo itwa "Sayuni" ambayo mfalme Daudi aliuteka na kuufanya mji wake mkuu. +* Mwana wa Daudi Sulemani alijenga hekalu la kwanza Yerusalemu, Mlima Moria, ambao ulikuwa mlima Ibrahimu alimtoa mtoto wake Isaka kwa Mungu. Hekalu lilijengwa tena pale lilipo haribiwa na Wababilonia. +* Kwasababu hekalu lilikuwa Yerusalemu, sherehe kubwa za Wayahudi zilisherehekewa hapo. +* Watu kawaida walitaja kwenda "juu" Yerusalemu maana ulikuwa juu ya milima. + +# kifo, kufa, kafa + +Haya maneno yanatumika kutaja mauti ya kimwili na kiroho. Kimwili, inaeleza jinsi mwili wa nyama wa mtu unaacha kuishi. Kiroho, inaeleza wenye dhambi wanapo tengwa na Mungu kwasababu ya dhambi. + +# chema, wema + +Neno "wema" lina maana tofauti kulingana na muktadha. Lugha nyingi zitatumia maneno tofauti kutafsiri hizi maana tofauti. + +* Kwa ujumla, kitu ni chema kama kinalingana na tabia ya Mungu, kusudi, na mapenzi. +* Kitu ambacho ni "chema" cha weza pendeza, bora, saidia, kufaa, faidisha, au kubalika kimaadili. +* Ardhi iliyo "njema" yaweza itwa "rotubisha" au "inayozalisha." +* Zao "jema" la weza kuwa zao "tele" +* Mtu anaweza kuwa "mwema" kwa kile anachofanya kama wana ujuzi kwa kazi yao au ajira, kama, "mkulima mwema." +* Katika Biblia, maana ya jumla ya "jema" mara nyingi utofautishwa na "uovu" +* Neno "wema" mara kwa mara la husu kuwa na maadili mema au wenye haki katika mawazo na matendo. +* Wema wa Mungu wa husu jinsi anavyo bariki watu kwa kuwapa vitu vyema na vya faida. Yaweza pia kumaanisha ukamilifu wake wa adili. + +# umri + +Neno "umri" la husu idadi ya miaka mtu ameishi. Pia ya tumika kumaanisha kipindi cha muda. + +* Maneno mengine yanayo tumika kueleza kipindi kirefu cha muda ni pamoja na, "nyakati" na "majira" +* Yesu anataja "huu wakati" kama muda uliyopo ambao uovu, dhambi, na uasi vitajaza dunia. +* Kutakuwa na muda mbeleni wakati haki itatawala juu ya mbingu mpya na nchi mpya. + +# maisha, ishi, kuishi, hai + +Haya maneno yote yanaeleza kuwa hai kimwili, sio kufa. Yanatumika pia kimafumbo kumaanisha kuwa hai kiroho. + +# heshima, kuheshimu + +Maneno "heshima" na kuheshimu yana maana ya kumpa mtu adhama, kukweza, au muabudu + +* Heshima upewa mtu aliye na cheo na muhimu, kama mfalme au Mungu. +* Mungu pia anawaelekeza Wakristo kuheshimu wengine, lakini wasijaribu kutafuta heshima yao. +* Watoto wanaelekezwa kuheshimu wazazi wao, inayo jumuisha adhama na utiifu. +* maneno "heshimu" na "utukufu" yana tumika pamoja mara nyingi, sana yanapo muongelea Yesu. Haya yanaweza kuwa namna moja ya kuzungumzia kitu kimoja. +* Heshima kwa Mungu ya jumuisha kumshukuru na kumsifu, na kumuonyesha heshima kwa kumtii na kuishi namna inayo onyesha jinsi alivyo mkuu. + diff --git a/1ch/29/29.md b/1ch/29/29.md new file mode 100644 index 00000000..f3d6e7c5 --- /dev/null +++ b/1ch/29/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# yameandikwa katika historia ya Samweli nabii, katika historia ya Nathani nabii, na katika historia ya Gadi nabii + +Hii ni kazi isiyo kuwepo tena. + +# Yalio ekwa kwenye kumbukumbu ni matendo + +"Mtu mmoja aliandika hapo matendo" + +# matendo ya utawala wake + +"mambo yaliyo tokea wakati Daudi akiwa mfalme" + +# mambo yalio mdhuru + +"Mambo ya mataifa mengine yaliyo hathiri Israeli" + diff --git a/1ki/01/01.md b/1ki/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..6584bb0f --- /dev/null +++ b/1ki/01/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# walimfunika kwa nguo + +Waliweka blanketi nyingi juu yake ili apate joto. + diff --git a/1ki/01/03.md b/1ki/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..f20f4391 --- /dev/null +++ b/1ki/01/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa hiyo wakatafuta + +"Kwa hiyo watumishi wa mfalme wakatafuta" + +# Katika mipaka yote ya Israeli + +"katika nchi yote ya Israeli" + +# Abishaagi Mshunami + +"Abishagi kutoka Shunami" + +# Mshunami + +Mtu kutoka katika mji wa Shunami + +# mfalme + +Mfalme Daudi + diff --git a/1ki/01/05.md b/1ki/01/05.md new file mode 100644 index 00000000..9437a8db --- /dev/null +++ b/1ki/01/05.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Adoniya mwana wa Hagithi + +Hagithi alikuwa mke wa Daudi + +# alijiinua + +"alianza kujivuna" + +# wapanda farasi + +Watu wanaoendesha magari yanayovutwa na Farasi + +# magari na wapanda farasi hamsini ili wapige mbio mbele yake + +Hawa watu walienda walitangulia mbele ya magari ili kuwaandalia njia na kuwalinda + +# alikuwa hajawahi mumsumbua, kwa kusema + +"Alikuwa hajawahi kumsumbua. Alikuwa hajawahi hata kumwuliza" au "alikuwa hajawahi hata kutaka kumfanya awe na hasira, kwa hiyo hakuwahi hata kumwuliza" + +# Kwa nini umefanya hili na lile? + +"Unapaswa kutambua kuwa kile ulichokifanya hakiko sawa." + +# aliyezaliwa baada ya Absalomu + +Daudi alikuwa mzazi wa wote Absalomu na Adoniya, lakini walikuwa na mama zao tofauti. Absalomu alizaliwa, kisha Adoniya. + diff --git a/1ki/01/07.md b/1ki/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..8e9913ef --- /dev/null +++ b/1ki/01/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Akashauriana n a Yoabu + +"Adoniya alijadili mipango yake na Yoabu" + +# Yoabu ... Seruya ... Abiathari ... Adonya ... Sadoki ... Benaya ... Yehoyada ... Nathani ... Shemei ... Rei + +Mainaya wanaume + +# wakumfuata Adoniya + +"wakamfauata na kumsaidia Adoniya" au "waliahidi kumsadia Adoniya" + diff --git a/1ki/01/09.md b/1ki/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..cdaf4b79 --- /dev/null +++ b/1ki/01/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ndama walionona + +"ndama waliokuwa wamepewa chakula cha kutosha ili wanenepe" au "ng'ombe wachanga waliokuwa wameandaliwa kwa ajili ya sadaka" + +# jiwe la Sohelethi + +Hili ni eneo lenye mwamba lililokaribu na Yerusalemu. + +# Eni Rogeli + +Hili liliuwa jina la kisima ambacho watu walipata maji + +# ndugu zake wote, watoto wa mfalme + +virai hivi viwili vinamaanisha kitu kilekile + +# wanaume wote wa Yuda, na watumishi wa mfalme + +Virai hivi viwili vinamaanisha jambo lilelile. + diff --git a/1ki/01/11.md b/1ki/01/11.md new file mode 100644 index 00000000..d33bb331 --- /dev/null +++ b/1ki/01/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je, haujasikia kuwa ... hilo? + +"unaonekana kuwa haujasikia ...hilo" au "Je, umesikia juu ... hilo? + +# Kuwa Adonya mwana wa Hagathi amekuwa mfalme + +"Kwamba mwana wa Hagathi Adoniya amekuwa mfalme" + +# Hagathi + +mama wa Adoniya na mke wa Dsudi. + diff --git a/1ki/01/13.md b/1ki/01/13.md new file mode 100644 index 00000000..cc87f496 --- /dev/null +++ b/1ki/01/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Nabii Nathani anendelea kuongea na Bathisheba + +# Je, haukumwapia mtumishi ... enzi? + +"ulimwapia mtumishi wako ... enzi" + +# mtumishi wako + +"kwangu, mtumishi wako" + +# ataketi kwenye kiti changu cha enzi + +"atakuwa mfalme kama nilivyokuwa" + +# Kwa nini basi Adoniya anatawla? + +"Kwa hiyo basi, Adoniya anapaswa kutokutawala" + +# kuthibitisha hayo + +"mwambie kuwa hayo uliyosema ni ya kweli" + diff --git a/1ki/01/15.md b/1ki/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..f658e2ba --- /dev/null +++ b/1ki/01/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# chumbani kwa mfalme + +"chumba ambacho mfalme alilala" + +# Abishagi Mshunami + +Tazama 1:3 + +# akainama kifudifudi mbele ya mfalme + +"akainama kuikaribia sakafu mbele ya mfalme" + +# una haja gani? + +"unataka nikufanyie ini?" + +# ulimwapia mtumishi wako + +Kiwakilishi cha "u" ni kinasisitiza kuwa "wewe mwenyewe uliapa" + +# mtumishi wako + +Tazama 1:3 + +# ataketi kwenye kiti changu cha enzi + +Tazama 1:3 + diff --git a/1ki/01/18.md b/1ki/01/18.md new file mode 100644 index 00000000..b5cfebb0 --- /dev/null +++ b/1ki/01/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Bathisheba anaendelea kuoongea na Daudi + +# Tazama + +"Sikiliza kwa makini ninachotaka kukuambia" + +# Makaisai, ndama walionona,, na kondoo" + +"makiisai wengi, ndama walionona na kondo wengi" + diff --git a/1ki/01/20.md b/1ki/01/20.md new file mode 100644 index 00000000..0e81a001 --- /dev/null +++ b/1ki/01/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Bathisheba anaendelea kuongea na Daudi + +# macho yote ya Israeli yako kwako + +Neno "macho" liinamaanisha watu. "watu wote wa Israeli wanakutazama wewe" + +# atakayeketi kwenye kiti cha enzi + +Tazama 1:13 + +# wakati bwana wangu atakapolala na baba zake + +"utakapolala na baba zako" + +# atakapolala na baba zake + +Hii ni tafsida ya neno "kufa" + +# Mimi na mwanangu Sulemani kuhesabiwa wahaini + +"Mfalme mpya atatuhesabu mimi na mwanangu Sulemani kuwa ni wahaini" + diff --git a/1ki/01/22.md b/1ki/01/22.md new file mode 100644 index 00000000..1a3db018 --- /dev/null +++ b/1ki/01/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Nabii Nthani anaongea na Daudi + +# akalala kifudifudi + +"akasujudu chini sana" + diff --git a/1ki/01/24.md b/1ki/01/24.md new file mode 100644 index 00000000..bf9bfc6b --- /dev/null +++ b/1ki/01/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Nabii Nathani anaendelea kuongea na Daudi + +# ataketi kwenye kiti changu cha enzi + +Tazama 1:3 + +# wanakula na kunywa + +"wanankula na kunywa pamoja naye" + diff --git a/1ki/01/26.md b/1ki/01/26.md new file mode 100644 index 00000000..ddac32fb --- /dev/null +++ b/1ki/01/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Nabii Nthani anandea kuongea na Daudi + +# bwana wangu mfalme + +Nathani anaongea na Daudi kana kwamba mfalme Daudi ni mtu mwingine ili kuonesha heshima kwa Daudi + +# ataketi kwenye kiti changucha enzi + +Tazama 1:13 + diff --git a/1ki/01/28.md b/1ki/01/28.md new file mode 100644 index 00000000..b957b565 --- /dev/null +++ b/1ki/01/28.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mfalme Daudi anamwahidi Bathisheba + +# akaja akasimama mbele ya mfalme + +"akaja mbele ya mfalme" au "akarudi kwa mfalme" + +# akafanya kiapo + +"akafanya ahadi " + +# atakayeketi kwenye kiti changu cha enzi + +Tazama 1:13 + +# Bwana wangu mfalme Daudi na aishi milele + +Bathisheba alijua kuwa Daudi hataishi milele, hii ni namna ya kusema kuwa Daudi ni mfalme mwema. + diff --git a/1ki/01/32.md b/1ki/01/32.md new file mode 100644 index 00000000..1ef59466 --- /dev/null +++ b/1ki/01/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Daudi anampaka mafuta Sulemani kuwa mfalme + +# uwachukue watumishi wangu + +"watumishi wangu" + +# Gihoni + +Hilini jiina la kisima + diff --git a/1ki/01/35.md b/1ki/01/35.md new file mode 100644 index 00000000..2542d974 --- /dev/null +++ b/1ki/01/35.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mfalme Daudi anaendelea kuongea kwa niaba ya Sulemani kuwa yeye ndiye atakayekuwa mfalme + +# atakuja kukaa kwenye kiti changu + +Tazama 1:13 + +# Na iwe hivyo + +Walikubali na kufanya kama vile mfalme Daudi alivyosema + +# BWANA, Mungu wa mafalme bwana wangu, alithibitishe hilo + +"Bwana wangu mfalme, BWANA, Mungu wako na alithibitishe" + +# alivyokuwana mfalme bwana wangu + +"amekuwa na wewe, bwana wangu mfalme, kwa hiyo" + +# na kuifanya enzi yake kuwa kubwa kuliko enzi ya bwana wangu Daudi. + +neno "enzi" linamaanisha 1) mtu anayekaa kwenye kiti cha enzi. "kumfanya yule anayekaa kwenye kiti cha enzi kuwa mkubwa kuliko bwana wangu Daudi" au 2) ufalme ambao yule aketiye kwenye kiti cha enzi anatawala, au "kuufanya ufame wake kuwa mkubwa kuliko ufame wa bwana wangu Daudi" + +# enzi ya bwana wangu Daudi + +"enzi yako, bwana wangu mfalme Daudi" + diff --git a/1ki/01/38.md b/1ki/01/38.md new file mode 100644 index 00000000..7c164ca4 --- /dev/null +++ b/1ki/01/38.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Watu wa Israeli wanampaka mafuta Sulemani kuwa mfalme wa Israeli. + +# Wakerethi ... Wapelethi + +majina ya makundi ya watu + +# Gihoni + +jina la kisima, mahali ambapo maji baridi hutoka katikta ardhi + +# akachukua pembe lenye mafuta hemani + +alichukua pemba maalumu la mnyama lililokuwa limejaa mafuta ya mizeituni ambayo makuhani walikuwa wameyatunza kwenye hema maalumu ya BWANA. + +# pembe ya mafuta + +Hii inaweza kumaanisha 1) pembe ya mnyama iliyojaa mafuta ya mizeiituni au 2) choombo ambacho kilitumika badala ya pembe lakini watu bado waliendelea kuita pembe, "chombo cha mafuta" + diff --git a/1ki/01/41.md b/1ki/01/41.md new file mode 100644 index 00000000..1bcda3fe --- /dev/null +++ b/1ki/01/41.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Adoniya anasikia kelele na anasubiri habari. + diff --git a/1ki/01/43.md b/1ki/01/43.md new file mode 100644 index 00000000..5b6cae1e --- /dev/null +++ b/1ki/01/43.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Adoniya anagundua kuwa Sulemani ndiye mfalme mpya + +# Wakerethi ... Wapelethi + +majina ya makundi ya watu. + diff --git a/1ki/01/46.md b/1ki/01/46.md new file mode 100644 index 00000000..93ab1132 --- /dev/null +++ b/1ki/01/46.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yonathani anaenedelea kumwambia Adoniya juu ya Sulemani + +# amaeketi kwenye kiti cha enzi cha ufalme + +Tazama 1:35 + +# mtu kuketi kwenye enzi yangu + +Tazama 1:35 + diff --git a/1ki/01/49.md b/1ki/01/49.md new file mode 100644 index 00000000..64b24fff --- /dev/null +++ b/1ki/01/49.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifs kwa ujumla + +Adoniya anamwogopa mfalme Sulemani + +# Wakasimama + +"Walianza kufanya mabo yao haraka" + +# Adoniya ... akasimama kisha + +"Adoniya kwa haraka" + +# Adoniya ... akachukua pembe la madhabahuni + +"pembe la madhabahuni" inaonyesha ulinzi wa BWANA. + +# amemwogopa mfalme Sulemani + +"anakuogopa, Mfalame Sulemani" + +# hatamwua mtumishi wake + +"hataniua" + diff --git a/1ki/01/52.md b/1ki/01/52.md new file mode 100644 index 00000000..5a8f7e32 --- /dev/null +++ b/1ki/01/52.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Sulemani anaghairi kumwua Adoniya + +# hakunahata unywele mmoja utakaoanguka + +"Nitamlinda awe sakama" + +# uovu utaonekana kwake + +"atakapofanya uovu" + diff --git a/1ki/02/01.md b/1ki/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..4d9d656b --- /dev/null +++ b/1ki/02/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Mimi sas ninnaiendea njia ya dunia yote + +Hii ni tafsida ya kusema "Mimi naelekea kufa" + +# ujionyeshe mwenyewe kama mwanamume + +"Mwonyeshe kila mmoja kuwa wewe ni mwanamume" au ":uishi maisha ambayo kila mmoja atakuona kuwa wewe ni mwanamume mwema" + +# ukitembea katika njia zake + +"uishi maisha anayokuamuru" + +# ufanikiwe + +"kufanikisha" au "kufanya vizuri" + +# atayatimiza maneno yake + +"atafanya kila kitu alichoahidi kufanya" + +# kama wanao ... hawatakoma + +BWANAanamwambia Daudi, kwa hiyo maneno "o" na "wa" yanamwakilisha Daudi. + +# wakatembea mbele yangu kwa uaminifu + +BWANA anamwabia Daudi. kwa hiyo neno "yangu" linamwakilisha BWANA. + +# kwa mioyo yao yote na kwa roho zao zote + +kujitoa kikamilifu + +# hawatakoma kuwa na mtu katika kiti cha enzi cha Israeli + +"Mmoja wa wana wa kizazi chako ataendelea kuwa mfalme." + diff --git a/1ki/02/05.md b/1ki/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..7c0a3738 --- /dev/null +++ b/1ki/02/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mfalme Daudi anaendelea kumwambia Sulemani jinsi ya kuingoza Israeli. + +# kile Yoabu ...alichonifanyia, na kike alichowafanyia + +Dudi anamaanisha kitu kilekile mara mbili. "kile Yoabu ... alichonifanyia, hiyo maanisha,kile alichofanya" + +# alimwaga damu vitani wakati wa amani + +Yaweza kumaanisha 1) "aliwaua wale wanaume wakati wa amani kama vile ilikuwa wakati wa vita" au 2) "aliwalipizia kisasi wale wanaume wakati wa amani kwa sababu walikuwa wameuwa watu vitani" + +# na kuiweka ile damu kwenye mshipi na kwenye vie viatu miguuni mwake + +Yoabu alikuwa karibu sana na wale wanaume wakati alipokuwa akiuwaua kiasi kwamba damu yao ilirukia kwenye mshipi wake na kwenye viatu vyake. + +# viatu + +kile ambacho watu huvaa miguuni + +# usiache mvi zake ziingie kaburini kwa amani + +"hakikisha Yoabu anakufa kifo cha kuuawa kabla hajazeeka." + diff --git a/1ki/02/07.md b/1ki/02/07.md new file mode 100644 index 00000000..d5f16410 --- /dev/null +++ b/1ki/02/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mfalme Daudi anaendelea kumwambia Sulemani jinsi ya kuingoza Israeli. + +# Barizilai + +jiina la mwanamume + +# uwaache wawe miongoni mwa wale wanaokula mezani mwako + +"uwakaribishe kula mezani kwako" + diff --git a/1ki/02/08.md b/1ki/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..0412b31d --- /dev/null +++ b/1ki/02/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mfalme Daudi anaendelea kumwambia Sulemani jinsi ya kuingoza Israeli. + +# Shimei ... Gera + +Haya nimajina ya wanaume + +# Wabenjamini + +Wana wa uzao wa Benjamini + +# Bahurimu ... Mahanaimu + +Majina ya mahali + +# usimwache aiepuke adhabu + +"hakikisha unamwadahibu + +# Uatkileta hicho kichwa chenye mvi kaburini + +"hakikisha anakufa kifo cha kuuawa" + diff --git a/1ki/02/10.md b/1ki/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..ac683578 --- /dev/null +++ b/1ki/02/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Daudi anakufa na Sulemani anakuwa mfalme mpya wa Israeli. + +# alipolala na mababu zake + +"alipokufa" + +# Daudi ... na alizikwa + +"Daudi ... na wakamzika" + +# Siku ambazo Daudi alitawala Israeli zilikuwa ni + +"Muda ambao Daudi alitawala Israeli walikuwa" au "Daudi alitawala Israeli kwa muda wa " + +# akaketi kwenye kiti cha enzi cha baba yake Daudi + +"kiti cha enzi kinawakilisha mamlaka ya mfalme + +# akaketi kwenye kiti cha babayake Daudi + +"akawa mfalme, kama vile Daudi baba yake alivyokuwa" + diff --git a/1ki/02/13.md b/1ki/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..3610de49 --- /dev/null +++ b/1ki/02/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Adoniya anakuja kuongea na Bathisheba + +# kwa amani + +"bila kuwa na kusudio la kusababisha maumivu" + +# mambo yamebadilika + +"Kile kilichokusudiwa kutokea hakikutokea" + +# ufalme umegeuzwa na umekuwa wa ndugu yangu + +"BWANA alimpatia ufalme ndugu yangu" au "ndugu yangu amekuwa mfalme" + diff --git a/1ki/02/16.md b/1ki/02/16.md new file mode 100644 index 00000000..30462cae --- /dev/null +++ b/1ki/02/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Adoniya anamshirikisha Bathisheba ombi lake + +# Usinikatalie ... hatakukatalia + +"Tafaadhali fanya kama ninavyofanya ... kwa hakika atafanya kama unavyosema" + +# Abishagi Mshunami + +Tazama 1:3 + diff --git a/1ki/02/19.md b/1ki/02/19.md new file mode 100644 index 00000000..b0599df7 --- /dev/null +++ b/1ki/02/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Bathisheba anaenda kwa mfalme Sulemani akiwa na ombi la Adoniya + +# kiti kingine cha enzi kilicholetwa + +"alimwagiza mtu kuleta kiti cha enzi + +# sitakukatalia + +"Nitakupa utakachoomba" + diff --git a/1ki/02/22.md b/1ki/02/22.md new file mode 100644 index 00000000..5500ec3e --- /dev/null +++ b/1ki/02/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mfalme Sulemani anatoa jibu la ombi la Adoniya + +# Kwa nini unamwombea ... Adoniya? Kwa nini usimwombea na ufalme pia ... Sruya? + +"Umekosea kumwombea ... Adoniya! Hii ni sawa na kumwombea ufalme pia ... Seruya!" au "Nadhani nimruhusu kuwa mtawala wa ufalme pia!" + +# Mungu wangu na anifanyie hivyo, na zaidi pia, k ama Adoniya hajayasema hayo kinyume na maisha yake + +Mungu atakuwa na haki zote za kuniua na hata kunifanyia hata mabaya zaidi kama sitamwuwa Adoniya kwa sababu ametoa ombi hili" + diff --git a/1ki/02/24.md b/1ki/02/24.md new file mode 100644 index 00000000..32802d79 --- /dev/null +++ b/1ki/02/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mfalme Sulemani anamwua Adoniya + +# na kunipa kiti cha enzi + +"Neno "kiti cha enzi" linamaanisha mamlaka ya Sulemani ya muwa mtawala kama alivyokuwa amepewa na BWANA. + +# ambaye amenifanyia nyumba + +Neno "nyumba" linamaanisha uzao ambao Mungu alikuwa amempa mfalme Sulemani, ambao utaendelea kutawala baada ya Yake. + diff --git a/1ki/02/26.md b/1ki/02/26.md new file mode 100644 index 00000000..5217117d --- /dev/null +++ b/1ki/02/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Abiatahari amefukuzwsa kwenye ukuhani na mfalme Sulemani. + +# na kujitaabisha kwa namna mbalimbali kama baba yangu alivyopata tabu + +Abiathari alijitabisha pamoja na mfalme Daudi kabla Daudi hajawa mfalme. + +# ili kwamba atimilize + +Neno "a" linamwakilisha mfalme Sulemani + +# alivyokuwa amesema + +neno "a" linamwakilisha BWANA + diff --git a/1ki/02/28.md b/1ki/02/28.md new file mode 100644 index 00000000..9ee6c7b9 --- /dev/null +++ b/1ki/02/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mfalme Sulemani anamwagiza Benaya kumwusa Yoabu + +# Habari hizo zikamfikia Yoabu + +"Yaabu akasikia kile ambacho Sulemani alifanya baada ya kuwa mfalme" + +# pembe za madhabahuni + +pembe za madhabahuni zinamaanisha mamlaka ya BWANA na ulinzi. + diff --git a/1ki/02/30.md b/1ki/02/30.md new file mode 100644 index 00000000..d72b2594 --- /dev/null +++ b/1ki/02/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Benaya anaenda kumwua Yoabu + +# uitoe kwangu na kwenye nyumba ya baba yangu damu ambayo Yoabu alimwaga bila sababu + +"uiondoe hatia ya mauaji ambayo Yoabu aliyafanya kutoka kwangu na familia yangu" + diff --git a/1ki/02/32.md b/1ki/02/32.md new file mode 100644 index 00000000..33207b3e --- /dev/null +++ b/1ki/02/32.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mfalme Sulemani anaeleza sababu ya Yoabu kuuawa + +# BWANA na amrudishie damu yake kichwani mwake + +"Neno "mwake" linamaanisha Yoabu. "Damu" linamaanisha hatia. + +# wasio na hatia na wema kuliko yeye + +Maneno haya mawili yanamaanisha kitu kilekile na yanatia msisitizo kuwa Abineri na Amasa walikuwa wanaume wema kuliko Yoabu. + +# Yoabu kichwani pake na kwenye kichwa cha uzao wake + +Neno "kichwa " linatumika kumaanisha mtu kamili + +# na nyumba yak,e na kwenye kiti chake cha enzi + +Neno "nyumba" na "kiti cha enzi" linamaanisha uzao wa Daudi na utawala wa Daudi." + diff --git a/1ki/02/34.md b/1ki/02/34.md new file mode 100644 index 00000000..fa9db4eb --- /dev/null +++ b/1ki/02/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Benaya anamwua Yoabu na anakuwa na akuwa mkuu wa jeshi la mfalme Sulemani + +# Alizikwa kwenye nyumba yake + +"Yoabu alizikwa kwenye nyumba yakae + diff --git a/1ki/02/36.md b/1ki/02/36.md new file mode 100644 index 00000000..abbf9372 --- /dev/null +++ b/1ki/02/36.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa wa ujumla + +Mfalme Sulemani anamwambia Shimei kubaki Yerusalemu vinginevyo atakufa + +# Damu yako itakuwa juuy a kichwa chako + +Neno "damu: linawakilisha hatia. + diff --git a/1ki/02/39.md b/1ki/02/39.md new file mode 100644 index 00000000..2e2c65cd --- /dev/null +++ b/1ki/02/39.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Shimei anaondoka Yerusalemu + +# Akishi ... Maaka ... Gathi + +Akishi na Maaka nii majina ya wanaume; Gathi ni jina lamji wa Filisti + diff --git a/1ki/02/41.md b/1ki/02/41.md new file mode 100644 index 00000000..4598717f --- /dev/null +++ b/1ki/02/41.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mfalme Sulemani anamhukumu Shimei kwa kuondoka Yerusalemu + +# Je, sikukuapisha ... nikisema, Tambua ...utakufa? + +"Unatambua vizuri sana kuwa nilikuapisha ...Nikisema, 'Tambua ... utakufa'!" + diff --git a/1ki/02/43.md b/1ki/02/43.md new file mode 100644 index 00000000..ebac1994 --- /dev/null +++ b/1ki/02/43.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mfalme Sulemani anatoa hukumu juu ya Shimei kwa sababu ya kuondoka Yerusalemu. + +# Kwa nini basi umeshindwa kulinda kiapo chako ... nuliyokupa? + +Inaweza kumaanisha 1) Sulemani anataka kjua jibu au 2)"umefanya makosa kwa kuvunja kiapo chako ... wewe" + +# kichwani pako + +Neno "kichwa" linamaanisha mtu kamili. "juu yako" + diff --git a/1ki/02/45.md b/1ki/02/45.md new file mode 100644 index 00000000..cedfc3e4 --- /dev/null +++ b/1ki/02/45.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mfalme Sulemani anatoamari ya kumwua Shimei + +# na enzi ya Daudi itaimrika mbele ya BWANA milele + +Neno "enzi ya Daudi" linamaanisha mamlaka na utawala wa Daudi na uzao wake wote milele. + +# Kwa mkono wa Sulemani + +matumizi ya "mkono" unawakilisha nguvu ya Sulemani + diff --git a/1ki/03/01.md b/1ki/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..40deb7bb --- /dev/null +++ b/1ki/03/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Sulemani anamwoa mwanamke wa Kimisri + +# Sulemani akawa na ushirikiiano ... na Farao mfalme wa Misri + +Sulemani anaanzisha uhusiano na Farao + +# nyumba ya BWANA + +"hekalu" + +# mahali pa juu + +"mahali ambapo watu huabudu na kufanya makafara kwa miungu" + diff --git a/1ki/03/04.md b/1ki/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..3d0605d5 --- /dev/null +++ b/1ki/03/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mungu anamwuliza Sulemani kuwa amfanyie nini: + +# eneo kuu la juu + +"eneo linalofahamika sana kwa kutolea kafara" au "madahabu ya muhimu sana" + +# Omba! unataka nikupe nini? + +"Niombe unalotaka nami nitakupa" au "Unataka nini? + diff --git a/1ki/03/06.md b/1ki/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..a0513604 --- /dev/null +++ b/1ki/03/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Sulemani anajibu swali la Mungu + +# Umeonesha uaminifu wa agano mkuu + +"Umekuwa mwaminifu kwa makubaliano yako" + +# kwa sababu alitembea mbele yako kwa ukweli na uaminifu, katika haki ya moyo + +"kwa sababu alikuwa mwaminifu, mwenye haki na mkweli" + +# kuketi kwenye kiti chake cha enzi + +"kutawala mahali pake" + diff --git a/1ki/03/07.md b/1ki/03/07.md new file mode 100644 index 00000000..6a65f031 --- /dev/null +++ b/1ki/03/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Sulemani anaomba hekima + +# Mimi ni mtoto mdogo + +Sulemani anasema kuwea yeye ni kama mtoto mdogo ambaye hajui kama baba yake anavyojua. + +# Sijui namna ya kuingia na kutoka + +"Sijui njia sahihi ya kufikiri" au "Sijui namna ya kuwa mfalme" + +# Kwani ni nani awezaye kuwahukumu watu watu wako hawa walio wengi? + +Sulemani anauliza swali ambalo jibu lake liko wazi. Jibu lake ni kwamba "hakuna awezaye." "Hakuuna awezaye kuwahukumuhawa watu wako wakuu"." + diff --git a/1ki/03/10.md b/1ki/03/10.md new file mode 100644 index 00000000..62781486 --- /dev/null +++ b/1ki/03/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Munga anampatia Sulelmani hekima na vitu vingine. + +# uhai wa adui zako + +Sulemai hakumwamba Mingu ampe uwezo dhidi ya adui zake. "adui zako wauawe" au "uwezo wa kuwaua adui zako" + +# Tazama sasa nitafanya yote uliyoomba wakati uliponipa ombi lako + +"Nitafanya kile ulichoomba nifanye pale uliposema nami" + diff --git a/1ki/03/13.md b/1ki/03/13.md new file mode 100644 index 00000000..842f0dfa --- /dev/null +++ b/1ki/03/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kama utataembea katika njia zangu na kuyatunza maagizo + +"kuishi kama nianvyotaka na ktii" + +# nitakapoziongeza siku zako + +"siku" linamaanisha siku za Sulemani. "nitakufanya uishi maisha marefu" + diff --git a/1ki/03/15.md b/1ki/03/15.md new file mode 100644 index 00000000..d432002f --- /dev/null +++ b/1ki/03/15.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# ndoto + +Ndoto ni kitu ambacho huwapata watu katika akili zao wanapokuwa katika usingizi. Hutokea na watu wakaona kama ni katu halisi na kumbe sivyo. Wakati mwingine Mungu hutumia ndoto kufikisha ujumbe kwa watu wake. + +# Yerusalemu + +Kwa asili Yerusalmu ulikuwa mji wa Wakanaani ambao b aadaye ulikuja kuwa mji wa muhimu wa Israeli. Mjihuu uko kilomita 34 magharibi mwa bahari ya chumvi na kaskazini kidogo mwa Bethelehemu. Mpaka sasa bado ni mji mkuu wa Israeli. + +# sanduku la agano la Bwana, sanduku laamri ya agano, sanduku la BWANA + +sentensi hizi zinamaanisha sanduku maalumu ambalo limesakafiwa kwa dhahabu, ambalo ndani mwake kulikuwa na vile vidonge viwili vya mawe vilivyokuwa vimeandikwa amri kumi za Mungu. Pia lilikuwa na fimbo ya Haruni pamoja na jagi la mana. + +# Bwana + +Neno "Bwana" linamaanisha mtu aliye naumiliki fulani pia mwenye mamlaka juu ya watu. Lina hili linapoanza kwa herufi kubwa humaanisha Mungu. + +# sadaka za kuteketezwa, sadaka za moto + +sadaka za kuteketezwa zilikuwa ni aina za sadaka ambazo zilikuwa zimechomwa kwa moto madhabahuni. Zilitengenezwa kwa ajili ya fidia ya dhambi za watu. Sadaka hizi zilijulikana pia kama "sadakaza moto." + +# sadaka za amani + +"sadaka za amani" zilikuwa ni moja kati ya sadaka nyingi ambazo Mungu aliwaamuru Waisraeli kutoa. Pia ziliitwa "sadaka za shukurani" au "sadaka za amani" + +# sherehe + +Neno "sherehe" linamaanisha tukio ambalo makundi ya watu walikula chakula kingi kwa pamoja kwa lengo la kufurahia jambo fulani. Wakati mwingine kunakuwa na chakula maalumu. + +# mtumishi, mtumwa, utumwa + +Neno "mtumishi" linaweza kumaanisha "mtumwa" lenye maana ya mtu anayetumika kwa mtu mwingine kwa kupenda yeye au kwa kulazimishwa. + diff --git a/1ki/03/16.md b/1ki/03/16.md new file mode 100644 index 00000000..2c50c028 --- /dev/null +++ b/1ki/03/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Makahaba wawili wanamwomba Sulemani awaamue + diff --git a/1ki/03/18.md b/1ki/03/18.md new file mode 100644 index 00000000..c1916be6 --- /dev/null +++ b/1ki/03/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Wale makahaba wawili wanamsimulia Sulemani kisa chao + +# alimlalia + +"kwa bahati mbaya alijigeuza juu ya yule mt + diff --git a/1ki/03/21.md b/1ki/03/21.md new file mode 100644 index 00000000..02d19eff --- /dev/null +++ b/1ki/03/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Makahaba wawili wanaendelea kumweleza kisa chao Sulemani + +# kumhudumia mwanangu + +Hii inamaanisha kumnyonyesha mtoto kwa maziwa yake. + +# mbele ya mfalme + +"mbele ya Sulemani" + diff --git a/1ki/03/23.md b/1ki/03/23.md new file mode 100644 index 00000000..24e15ed9 --- /dev/null +++ b/1ki/03/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Sulemani anafanya uamuzi kwa wale wanawake wawili. + diff --git a/1ki/03/26.md b/1ki/03/26.md new file mode 100644 index 00000000..897f70ac --- /dev/null +++ b/1ki/03/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yule mama halisi wa yule mtoto anamwomba mfalme asimwue yule mtoto. + +# moyo wake ulikuwa na huruma sana kwa mwanae + +"alimpenda sana mtoto wake" + diff --git a/1ki/04/01.md b/1ki/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..dcedf3ac --- /dev/null +++ b/1ki/04/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +wakuu wa ofisi ya Sulemani + +# Azaria ... Sadoki ... Elihorefu ... Ahiya ... Shisha ... Yehoshafati ... Ahiludi .. Benaya ... Yehoyaida ... Abiathari + +Haya yote ni majina ya wanaume + diff --git a/1ki/04/05.md b/1ki/04/05.md new file mode 100644 index 00000000..d386519c --- /dev/null +++ b/1ki/04/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Wakuu wengine wa Ofisi ya Sulemani + +# Azaria ... Nathani ... Zabudi ... Adoniramu ... Abda + +Haya yote ni majina ya wanaume + diff --git a/1ki/04/07.md b/1ki/04/07.md new file mode 100644 index 00000000..8f4e75ff --- /dev/null +++ b/1ki/04/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mwendelezowa wakuu wa ofisi ya Sulemani + +# Beni Huri ... Beni Dekeri ... Beni Hesedi + +Haya ni majina ya wanaume. Neno "Beni" nyuma ya jina inamaanisha "mwana wa" kwa hyo "Beni Huri" inamaanisha "mwana wa Huri." + +# Efraimu ... Makazi ... Shaalibimu ... Bethi Shemeshi ... Elonbethi Hanani ... Arubothi ... Sokohi Hefa + +Haya ni majina ya mahali + diff --git a/1ki/04/11.md b/1ki/04/11.md new file mode 100644 index 00000000..c53ae50f --- /dev/null +++ b/1ki/04/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Mwendelezo wa wakuu wa ofisi ya Sulemani + +# Beni Abinadabu ... Beni Geberi ... Yairi ... Manase ... Ahinadabu ... Ido + +Haya ni majina ya wanaume + +# Tafathi + +Hili ni jina la mwanamke + +# Dori ... Bethi Shani ... Zarethani ... Yezreeli ... Bethi Shani hadi Abeli Mehola ... Jokimeamu ... Ramothi Gileadi ... Arigobu ... Bashani ... Mahanaimu + +Haya ni majina ya mahali + diff --git a/1ki/04/15.md b/1ki/04/15.md new file mode 100644 index 00000000..c049b067 --- /dev/null +++ b/1ki/04/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mwenedelezo wa wakuu wa ofisi ya Sulemani + +# Ahimaazi + +Yeye alikuwa anatoka kabila la Naftali na laimwoa Basemathi + +# Baana + +Baba yake, Husahi, alikuwa anatoka kabila ya Asheri na alimwoa Bealothi. + +# Yehoshafati + +Baba yake, Parua, alikuwa anatoka kabila ya Isakari. + diff --git a/1ki/04/18.md b/1ki/04/18.md new file mode 100644 index 00000000..35314e38 --- /dev/null +++ b/1ki/04/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mwenedelezo wa wakuu wa ofisi ya Sulemani + +# katikanchi + +Neno "nchi" linamaanisha nchi ya Yuda; wale wakuu wa ofifi ya Sulemani walikuwa wanatoka sehemu mbalimabli za Israeli + diff --git a/1ki/04/20.md b/1ki/04/20.md new file mode 100644 index 00000000..6f6661b4 --- /dev/null +++ b/1ki/04/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wengi kama mchanga wa bahariini + +Hii ni lugha ya umbo + +# Mto + +"Mto Frati" + +# Nchi ya Wafilisti + +Eneo walimoishi Wafilisti + +# Kori thelathini + +Kori moja kilikuwa kipimo cha mzigo mmoja + +# ayala, paa, na kulungu + +"hawa ni aina ya ayala" + diff --git a/1ki/04/24.md b/1ki/04/24.md new file mode 100644 index 00000000..b3790b13 --- /dev/null +++ b/1ki/04/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Tifsa + +Hili ni eneoambalo leoliko Kaskazini mashariki mwa Ashuru + +# Yuda na Israeli + +Majinaya Yuda na Israeli hutumika kumaanisha watu wa Israeli na wa Yuda. + +# kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake + +"kilafamilia ilikuwa na bustani yake ya mizabibu na mitini," ahaii inamaanisha kuwa watu waliishi kwa amani kwa sababu hawakuishi wakati wa vita na hivyo walikuwa na muda kwa ajili ya kufanya shughuli za bustanini. + +# Kutoka Dani mpaka Bereerisheba + +Hii inamaanisha nchi yote ya Israeli kwa maana ya kutokaDani ambako ni kaskazinihadi Beerisheba ambako ni kusini. + diff --git a/1ki/04/26.md b/1ki/04/26.md new file mode 100644 index 00000000..d7ae71c1 --- /dev/null +++ b/1ki/04/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mabanda ya farasi + +Banda ni mahali ambapo hukaa wanyama kama vile punda + +# Walihakikisha hakuna kilichopungua + +"walitoa kila kitu ambacho Sulemani alihitaji" + diff --git a/1ki/04/29.md b/1ki/04/29.md new file mode 100644 index 00000000..8ca42ba9 --- /dev/null +++ b/1ki/04/29.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ufahamu na upana wa kuelewa kama mchanga wa baharini + +Ule ukubwa wa uelewa wa Sulemani umefananishwa na mchcanfa wa baharini, ambao kimsingi hakuna awezaye kuuhesabu + +# watu wote wa mashariki + +Hii inamaanisha nchi zilizokuwa mashariki mwa nchi ya Israeli kama vile Arabia na Mesopotamia. + +# Etheni ... Hemani ... Kaliko Darda... Maholi + +Haya ni majina ya wanaume + diff --git a/1ki/04/32.md b/1ki/04/32.md new file mode 100644 index 00000000..5cafa0a0 --- /dev/null +++ b/1ki/04/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mierezi ... Hisopo + +Majina ya miti + diff --git a/1ki/05/01.md b/1ki/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..2e30addd --- /dev/null +++ b/1ki/05/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Sulemani anaongea na mfalme Hiramu juu ya ujenzi wa hekalu + +# kwani Hiramu alimpenda Daudi + +"kwa kuwa Hiramu alikuwa rafiki wa karibu wa Daudi" + +# kwa kuwa wakati wa uhai wake BWANA alikuwa akiwaweka adui zake chini ya nyayo za miguu yake + +"BWANA alikuwa akimsadia Daudi kuwashinda adui zake" au"Daudi alikuwa na majukumu mengi kwa kuwa BWANA alikuwa akimpatia ushindi dhidi ya adui zake." + +# kujenga nyumba kwa jina la BWANA + +"kujenga hekalu ambalo kwalo tutamwabudu BWANA" + diff --git a/1ki/05/04.md b/1ki/05/04.md new file mode 100644 index 00000000..43a35da6 --- /dev/null +++ b/1ki/05/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Sulemani anaendelea kuongea na mfalme Hiramu juu ya ujenzi wa hekalu + +# amenipa mimi pumziko toka pande zote + +wakati wamfalme Daudi natu wa Israeli kulikuwa na vita, lakini sasa mafalme Sulemani na watu walikuwa na pumziko na amani. + +# nitamweka kwenye kiti chako cha enzi + +"nitamfanya kuwa mfalme baada yako" + diff --git a/1ki/05/06.md b/1ki/05/06.md new file mode 100644 index 00000000..3742f311 --- /dev/null +++ b/1ki/05/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Sulemani anaendelea kuongea na mfalme Hiramu juu ya ujenziwa hekalu + +# Lebanoni + +Mfalme Hiramu alikuwa mfalme wa mji wa Tiro, ambao ulikuwa kwenye eneo hilohilo ambalo kwa leo linaitwa Lebanoni + +# Hakuna mtu miongoni mwetu anayejua kukata miti kama Wasidoni + +"Wafanya kazi wako wanajua kukati miti kuliko watu wangu" + +# Wasidoni + +"Watu wa Sidoni" + diff --git a/1ki/05/07.md b/1ki/05/07.md new file mode 100644 index 00000000..7c64eae4 --- /dev/null +++ b/1ki/05/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +mfalme Hiramu anamjibu Sulemani + +# maneno ya Sulemani + +"Kile ambacho Sulemani alisema" + +# BWANA na abarikiwe leo + +"Ninamsifu BWANA leo" + +# Mierezi + +Mierezi ni aina fulani ya miti ambayo itatumika katika ujenzi wa hekalu + diff --git a/1ki/05/09.md b/1ki/05/09.md new file mode 100644 index 00000000..ba0b5110 --- /dev/null +++ b/1ki/05/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa uumla + +Mfalme Hiramu anaendelea kumjibu Hiramu + +# nami nitaileta katika makundi + +"kuifunga kwa pamoja ili iweze kuelea kwa makundi + +# Nitaigawa pale + +"nitayafungua hayo makundi ya miti" + +# Utafanya kile ninachohitaji + +"Unaweza kufanya kile ninachotaka" au " unaweza kunilipa" + diff --git a/1ki/05/10.md b/1ki/05/10.md new file mode 100644 index 00000000..62e39b46 --- /dev/null +++ b/1ki/05/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Miberoshi + +Neno "Miberoshi" linamaanisha aina nyingi ya miti ikiwemo mierezi + +# Kori za ngano + +Hiki kilikuwa kipimo cha vitu vikavu ambapo mafuta ndiyo yaliyokuwa kipimo cha kimiminika. + +# mwaka kwa mwaka + +"kila mwaka" + diff --git a/1ki/05/13.md b/1ki/05/13.md new file mode 100644 index 00000000..79285db8 --- /dev/null +++ b/1ki/05/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Sulemani anawashurutisha watu kujenga hekalu + +# akaandaa wafanyakazi kutoka Israeli yote + +"akawashurutisha toka Israeli yote" + +# kwa zamu + +Wafanyakazihawakwenda wote kwa pamoja; makundi yalienda moja baada ya lingine ili kushirikiana katika kazi. + +# Kwa mwezi mmoja walienda Lebanoni na miezi miwili walikaa nyumbani + +Kila yale makundi matatu walitumia mwezi mmoja wakifanya kazi Lebanoni na kisha walikaa miezi miwili nyumbani Israeli. + diff --git a/1ki/05/15.md b/1ki/05/15.md new file mode 100644 index 00000000..88b90f34 --- /dev/null +++ b/1ki/05/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Sulemani anaendelea kuwashurutisha watu kujenga hekalu + +# mizigo + +"vitu vizito" + +# wakata mawe milimani + +"wanaume waliochimba mawe kutoka ardhini na kuyachonga" + diff --git a/1ki/05/17.md b/1ki/05/17.md new file mode 100644 index 00000000..460812a7 --- /dev/null +++ b/1ki/05/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Sulemani anaendelea kuwashururtisha watu kujenga hekalu + +# walileta mawe makubwa ya thamani + +"walichimba mawe mazuri kutoka mlimani n a kuyachonga katika sura takiwa" + +# Wagebaliti + +"Hawa ni wanaume toka mji wa Gebali" Gebali ulikuwa mji uliokuwa mlimani karibu na Tiro huko Lebanoni. + diff --git a/1ki/06/01.md b/1ki/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..8328bd41 --- /dev/null +++ b/1ki/06/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Maandiko yanaorodhesha vipimo vya hekalu + +# Sulemani akaanza kujenga + +Sulemani hakujenga pekee yake; watumishi wake ndio waioifanya hiyo kazi + +# wa 480 ... wa nne + +wa 480 ... wa4 + +# katika mwezi wa Zivi, ambao ndio mwezi wa pili + +"Zivi" ni jiina la mwezi wa pili wa kalenda ya Kihebrania. Mwezi huu uko kati ya sehemu ya mwisho wa mwezi wa Aprili na mwanzo wa sehemu ya mwezi Meyi wa kalenda ya Kimagharibi. + +# dhiraa + +Dhiraa moja ni sawa na sentimenta 46 + diff --git a/1ki/06/03.md b/1ki/06/03.md new file mode 100644 index 00000000..4f14252a --- /dev/null +++ b/1ki/06/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Maandiko yanaorodhesha vipimo vya hekalu + +# ukumbi + +ni sehemu ya jengo yenye safu na paa inayoonyesha uelekeo na kuunganisha jengo na sehemu ya mlango kuingilia. + diff --git a/1ki/06/05.md b/1ki/06/05.md new file mode 100644 index 00000000..798f0551 --- /dev/null +++ b/1ki/06/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Maandiko yanaorodhesha vipimo vya hekalu + +# Kile chumba cha chini ... cha kati ... cha tatu + +Hii inaonyesha vyumba vya kila sehemu ya jengo + +# Aupande wa nje akaupunguza upande wa nyumba + +Walitengeneza kuta kuzunguka jengo ili kuzilinda nguzo za vyumba vidogovidogo + +# boriti + +Hiki ni kipande kirefu na kizito cha ubao unaotenengenezwa ili kulinda jengo. + diff --git a/1ki/06/07.md b/1ki/06/07.md new file mode 100644 index 00000000..a1179ee4 --- /dev/null +++ b/1ki/06/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# nyumba + +Neno "nyumba" limetumika kumaanisha nyumba ya Mungu, hekalu + +# mawe yaliyokuwa yamechongwa chimboni + +Chimo ni sehemu ambayo mawe makubwayalikuwa yakichimbwa huko mlimani na kuchongwa kwa vifaa ili kuyalainisha. Mawe yaliandaliwa chimboni na kuletwa hekaluni. + diff --git a/1ki/06/09.md b/1ki/06/09.md new file mode 100644 index 00000000..d62a25c0 --- /dev/null +++ b/1ki/06/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sulemani akalijenga hekalu akalimaliza + +Sulemai ahakulijenga hekalu pekee yake; watumishi wake ndio walioifanya hiyo kazi + +# Akavijenga na vyumba vya pembeni + +Hivi ni vyumba vilevile ambavy ovimeonyeshwa kwenye jengo. + +# kwa boriti na mbao za mwerezi + +boriti ni kipande kirefu na kizito cha ubao unaotengenezwa ili kulinda jengo. Papi ni kipande cha mti uliobapa ambao pia hutumika katika ujenzi. + +# vyumba vya ndani + +"kuta za ndani" + +# mbao za mierezi + +Neno "mbao" ni neno la jumla ambalo linatumika kuonesha ubao unaotumika kwa kujengea, kama vile boriti na papi + diff --git a/1ki/06/11.md b/1ki/06/11.md new file mode 100644 index 00000000..0d1603f6 --- /dev/null +++ b/1ki/06/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Neno la BWANA + +"BWANA alinena ujumbe wake" + +# Nno la BWANA + +Hapa "neno" linawakailisha ujumbe wa BWANA. + +# utatembea katika maagizo yangu + +"utaendelea kutii maagizo yangu yote" + +# kuhukumu kwa haki + +kutii na kufuata sheria za Mungu + +# kutunza amri zangu na kuishi kwa hizo + +"kuwa mwangalifu na kufanya kila kitu nilichokuambia" + +# nitakapozithibitisha ahadi zangu + +Muungu atazithibitisha ahadi zake kwa kutimiza kile alichoahidi kufanya. + +# Nitaishi + +"Roho yangu itakaa hekaluni" + diff --git a/1ki/06/14.md b/1ki/06/14.md new file mode 100644 index 00000000..a2c6aada --- /dev/null +++ b/1ki/06/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sulemani + +"wafanya kazi wa Sulemani" + +# za ndani + +"ndani" + +# mierezi + +mierezi ni aina ya miti iliyotumika kujenga hekalu + diff --git a/1ki/06/16.md b/1ki/06/16.md new file mode 100644 index 00000000..fa5b89bc --- /dev/null +++ b/1ki/06/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Dhiraa + +Dhiraa moja ni kama sentimita 46 + +# ukumbi mkuu + +"chumba kikuu" + +# vibuyu + +ni aina ya mboga za majani zenye umbo la duara ambazo hupandwa kwenye mizabibu + +# maua yaliyochanua + +"maua yaliyofunguka" + diff --git a/1ki/06/19.md b/1ki/06/19.md new file mode 100644 index 00000000..bfa61e9b --- /dev/null +++ b/1ki/06/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# madhabahu aliifunika kwa mbao za mierezi + +Madhabau ilitumika kwa kuchoma ubani + diff --git a/1ki/06/21.md b/1ki/06/21.md new file mode 100644 index 00000000..c7c80ede --- /dev/null +++ b/1ki/06/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Akaisakafia + +"aliifunika" + +# madhabahu yote ya chumba cha ndani + +"madhabahu ya uvumba iliyokuwa kwenye lango la kuingia chumba cha ndani" + diff --git a/1ki/06/23.md b/1ki/06/23.md new file mode 100644 index 00000000..8f9c3efb --- /dev/null +++ b/1ki/06/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mbao za mizeituni" + +mbao zinazotokana na miti ya mizeituni + +# bawa mojahadi jingine + +umbali uliokuwepo toka bawa moja hadi jingine + +# vipimo + +"kiasi cha ukubwa" + diff --git a/1ki/06/27.md b/1ki/06/27.md new file mode 100644 index 00000000..9e0f07f5 --- /dev/null +++ b/1ki/06/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sulemani aliliweka ... Sulemani aliwafunika + +"Sulemani" kwa maneno haya inamaanisha wafanyakazi wake + +# chumba cha ndani kabisa + +jina jingine la patakatifu sana + +# aliwafunika + +"alisakafia" + diff --git a/1ki/06/29.md b/1ki/06/29.md new file mode 100644 index 00000000..1d79d7b6 --- /dev/null +++ b/1ki/06/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# sura + +umbo + diff --git a/1ki/06/31.md b/1ki/06/31.md new file mode 100644 index 00000000..9522d8db --- /dev/null +++ b/1ki/06/31.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sulemani akatengeneza + +"Wafanyakazi wa Sulemani walitengeneza" + +# vizingiti + +sehemu ya juu inayoshikilia miimo ya mlango + +# kwenye pande tano + +mashikio yaliyo katika pande za milango + +# Akasakafia + +"akafunika" + diff --git a/1ki/06/33.md b/1ki/06/33.md new file mode 100644 index 00000000..e9602d3a --- /dev/null +++ b/1ki/06/33.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa njia hii, akalitengenezea hekalu miimo + +Sulemani alitengeneza pia miimo kwenye lango la hekalu + +# yenye pande + +yenye mashikio + +# Zile mbao mbili za mlanago mmoja + +Inamaanisha kuwa kila mlango ulikuwa na sehemu mbilia ambazo zilikuwa zimefungwa pamoja. + diff --git a/1ki/06/36.md b/1ki/06/36.md new file mode 100644 index 00000000..82c23ab4 --- /dev/null +++ b/1ki/06/36.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Akalijenga korido la ndani + +"Sulemani alizijenga kuta za korido la ndani" au "wafanya kazi wa Sulemani wakazijenga kuta za korido la ndani" + +# mihimili ya mierezi + +Hizi ni mbao kubwakubwa za mierezi ambazo ziliwekwa kwa ajili ya kulinda kuta + diff --git a/1ki/06/37.md b/1ki/06/37.md new file mode 100644 index 00000000..9bbf5f5f --- /dev/null +++ b/1ki/06/37.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mwaka wa nne ... mwaka wa kumi na moja + +Hii ni miaka inayohesabiwa tangu Sulemani alipokuwa mfalme + +# Nyumba ya BWANA + +"hekalu" + +# katika mwezi wa Ziv + +Tazama 6:1 + +# Katika mwezi wa Buli + +"Buli" ni mwezi wa nane wa kalenda Kihebrania. Mwezi huu uko katika ya sehemu ya mwezi Oktoba na sehemu ya kwanza ya mwezi wa Novemba. + diff --git a/1ki/07/01.md b/1ki/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..e8ccc64a --- /dev/null +++ b/1ki/07/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mwandishi anaandika juu ya ikulu ya Sulemani + +# Iliimchukua Sulemani miaka kumi na tatu kujenga ikulu yake + +Kwa Sulemani alikuwa mfalme, wafanyakazi wake walifanya kazi kwa niaba yake. + +# ikulu yake + +nyumba ya utawala + +# ikulu iliyoitwa mwitu wa Lebanoni + +nyumba ya mwitu wa Lebanoni + +# Dhiraa + +kiasi cha sentimita 46 + +# mihimili + +Hizi ni mbao kubwakubwa za mierezi ambazo ziliwekwa kwa ajili ya kulinda paa + diff --git a/1ki/07/03.md b/1ki/07/03.md new file mode 100644 index 00000000..38fd483a --- /dev/null +++ b/1ki/07/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Baadhi ya taarifa ziinazohusu jengo la ikulu zinatolewa. + +# Paa la ikulu lilezekwa kwa mierezi + +"kuliwekwa mihimili ya mierezi kwa lengo la kulinda paa" + +# mihimili + +Hizi ni mbao kubwakubwa za mierezi ambazo ziliwekwa kwa ajili ya kulinda paa + +# Milango na miimo yake ilikuwa ya mraba + +"fremu ngumu za umbo la mstatili" + diff --git a/1ki/07/06.md b/1ki/07/06.md new file mode 100644 index 00000000..e8c1b228 --- /dev/null +++ b/1ki/07/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mwandishi anaandika juu ya muundo wa ukumbi wa nguzo. + +# baraza + +sehemu ya jengo ambayo imejengwa kwa safu ambayo inaunganisha sehemu zingine za jengo pamoja na lango. + diff --git a/1ki/07/07.md b/1ki/07/07.md new file mode 100644 index 00000000..4aded194 --- /dev/null +++ b/1ki/07/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mwandishi anaandika juu ya ukumbi wa ikulu + +# Sulemani akaijengabaraza yenye kiti cha enzi + +"Sulemani alijenga nyumba iliyoitwa "nyumba ya kiti cha mfalme" + +# ilikuwa imeezekwa kwa mierezi + +"wafanyakazi waliizeka ile nyumba kwa mierezi" + +# kutoka sakafu moja hadi nyingine + +sakafu yote ilikuwa ya mierezi, kutoka ukuta mmoja hadi mwingine. + diff --git a/1ki/07/08.md b/1ki/07/08.md new file mode 100644 index 00000000..19d581cd --- /dev/null +++ b/1ki/07/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mwandishi anaendelea kuandika juu ya eneo la ikulu. + diff --git a/1ki/07/09.md b/1ki/07/09.md new file mode 100644 index 00000000..97b60238 --- /dev/null +++ b/1ki/07/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mwandishi anaandika juu ya mawe yaliyotumika kujengea hayo majengo + +# Majengo hayo yalipambwa kwa vitu vya thamani, mawe ya thamani + +"Wafanyakazi waliyanakishi hayo majengo kwa mawe ya thamani na vitu vya thamani" + +# mawe ya thamani, yaliyochongwa na kukatwa kwa msimeno kufuata vipimo sahihi na kulainishwa + +Wafanyakazi waliyapima mawe na kuyakata kwa usahihi na kuyalainisha" + +# Mawe ya namna hii ndiyo yaliyotumika + +"wafanyakazi waliyatumia mawe hayo" + +# kuwanzia kwenye msingi hadi juu, pia na nje hadi kwenye baraza + +Mwandishi anasisitiza kuwa wafanyakazi walitumia mawe ya thamani kwenye msingi na hata jengo lote kwa ujumla. + +# Msingi ulijengwa + +"Wale wafanyakazi waliujenga msingi" + +# Dhiraa + +Takribani sentimita 46 + diff --git a/1ki/07/11.md b/1ki/07/11.md new file mode 100644 index 00000000..0407340c --- /dev/null +++ b/1ki/07/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mihimili ya mierezi + +Mhimili ni ubao mrefu unaojengwa kwa lengo la kushikilia kitu fulani kwenye mfumo wa ujenzi + +# safu tatu za mawe yaliyokatwa na safu moja ya mihimili ya mierezi + +Tazama 6:36. + diff --git a/1ki/07/13.md b/1ki/07/13.md new file mode 100644 index 00000000..cb5837a4 --- /dev/null +++ b/1ki/07/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kumleta Huramu kutoka Tiro + +Huramu aliupokea wito wa Sulemani wa kuja Yerusalemu + +# mwana wa mjane ... baba yake alikuwa mtu wa Tiro + +Mjane ni mwanamke ambaye mume wake alishafariki, na tunajiridhisha kuwa baba yake kweli alishakufa. + +# Huramau alikuwa mwingi wa hekima na ufahamu na stadi + +Neno "hekima naufahamu" yanamaanisha kitu kilekile, yametumika kuonyesha msisitizo. "Mungu alimjaza Huramu kwa hekima, ufahamu na stadi" + diff --git a/1ki/07/15.md b/1ki/07/15.md new file mode 100644 index 00000000..4c29fd67 --- /dev/null +++ b/1ki/07/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Dhiraa kumi na nane + +Dhiraa moja ni sentimita 46 + +# mzingo wa mita 5.5 + +"mzingo" ni kipimo cha urefu wa kitu cha duara. + +# Akatengeneza taji mbili + +Neno "taji" linamaanishapamba linalowekwa juu ya nguzo. + +# shaba + +Shaba iling'aishwa ili kuaksi mwanga wa jua + +# Kulikuwa na nyavu za kuwa kama kaziy a kusuka + +"Mikufu ya vyuma iliyosukwa" + diff --git a/1ki/07/18.md b/1ki/07/18.md new file mode 100644 index 00000000..a85040bf --- /dev/null +++ b/1ki/07/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# safu mbili za komomanga + +Komamanga ni tunda lenye ganda gumu, rangi nyekundu kwa ndani na mbegu nyingi zenye maji matamu. Huramu hakutumia makomamanga halisi kupamba hizo nguzo. Atengeneza kwa kutumia shaba. + +# Zile taji ...zilikuwa zimepambwa kwa maua, vyenye vimo vya mita 1.8 + +"Huramu alizipamba zile taji ... kwa maua ya shsaba, yenye vimo mita 1.8" + +# vichwa vya nguzo za ukumbi + +Tazama 7:6 + diff --git a/1ki/07/20.md b/1ki/07/20.md new file mode 100644 index 00000000..5bb0f27b --- /dev/null +++ b/1ki/07/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# makomamanga mia mbili + +"makomamanga 200" + +# Alisimamisha nguzo + +Neno "Ali" linamaanisha wafanyakazi wa Huramu. "Wafanyakazi wa Huramu walisimamisha nguzo" + +# Ile nguzo ya kuume akaipa jina la Yakini + +"jina la nguzo ya kuume illitwa Yakini" + +# Ile nguzo ya kushoto ilikuwa inaitwa Boaz + +"Jna la nguzo ya kushoto iliitwa Boazi" + +# Hivyo ndivyo zile nguzo zilivyotengenezwa + +"Hivyo ndivyo Huramu alivyozipamba zike nguzo" + diff --git a/1ki/07/23.md b/1ki/07/23.md new file mode 100644 index 00000000..2f0ac723 --- /dev/null +++ b/1ki/07/23.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# bahari ya kusubu + +Hi inamaanisha kalai la shaba ambalo liliweza kubeba maji. + +# vyuma vya kusubu + +Huramu aliyeyusha shaba na kuvitengeneza + +# mita 2.3 kutoka ukingo hadi ukingo + +kutoka ukingo mmoja hadi mwingine + +# mzingo wake ulikuwa mita 13.7 + +"mzingo" ni kipimo cha urefu wa mzunguko wa kitu cha dauara. + +# na vibuyu vilivyoizunguka + +Kibuyu ni aina ya mboga yenye ganda gumu na lenye duara ambalo huoteshwa kwenye shamba la mizabibu. + +# wakati bahari inapokuwa kalibu + +"wakati Huramu alipoitengeneza bahari" + diff --git a/1ki/07/25.md b/1ki/07/25.md new file mode 100644 index 00000000..7f77dcc0 --- /dev/null +++ b/1ki/07/25.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Bahari + +Bahari ya kutengeneza ya shaba + +# Bahari ilikaa juu ya + +"ilikuwa juu ya" + +# Ile bahari iliwekwa juu yao + +"Wafanyakazi wa Huramu walliweka bahari juu ya wale makiasai wa shaba + +# pande zao zote za nyuma + +Hii ni sehemu ya nyuma ya mwili wa mnyama mwenye miguu minne + +# na ukingo wake ulikuwa kama ukingo wa kikombe, kama ua l a yungi + +"Huramu aliitengeneza ukingo ukafanana n a ukingo wa kikombe, ukapinda kwa nje kama ua" + +# bathi elfu mbili + +bathi moja ni sawa na lita 22. + diff --git a/1ki/07/27.md b/1ki/07/27.md new file mode 100644 index 00000000..f193c0c0 --- /dev/null +++ b/1ki/07/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# urefu wa mita 1.8 + +Huo ni urefu wa kalio moja + +# Hivi ndivyo kazi za makalio zilivyofanywa + +Hii inamaanisha kuwa mwandishi atayafafanua makalio katika maneno yafuatayo. + +# na juu ya papi na vipandio kulikuwa na simba, makisai, na makerubi + +Kulikuwa na vipande vya nakshi katikasura za simba, makisai, na makerubi yaliyokuwa yameunganishwa katika pande za makalio. + +# masongo ya kazi y a kufuliwa + +Neno "masongo" linamaanishsa vipande vya shaba vyenye sura ya kusokotwa. + diff --git a/1ki/07/30.md b/1ki/07/30.md new file mode 100644 index 00000000..add8a8e3 --- /dev/null +++ b/1ki/07/30.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# magurudumu ya shaba na vipini, na pande zake nne + +kulikuwa na pini moja kwa kila jozi yamagurudumu. "magurudumu manne napini mbili" + +# pande zake nne + +"pande nne za kila kwa kila kalio" + +# Chini ya birika yalikuweko mataruma ya kusubu yenye masongo + +"Huramu aliweka mataruma yenye vipande vya sura ya masongo" + +# na ile taji ilikuwa + +Neno "taji" inamaanisha kipande cha mviringo kilichokuwa kimesimama wazi ili kibebe yale makalai. + +# na papi zake zilikuwa za maraba + +Tazama 7:27 + diff --git a/1ki/07/32.md b/1ki/07/32.md new file mode 100644 index 00000000..e8df6940 --- /dev/null +++ b/1ki/07/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# yalikuwa ndani ya makalio + +neno "yao" linamaanha zile papi na neno "ndani" linamaanisha jinsi ile mikono ilivyokuwa ilivyokuwa imechomekwa kwenye zile papi. + +# Yale magurudumu yalikuwa kama ya gari. + +"Huramu alitengeneza yale magrurdumu kuwa kama magurudumu madogo ya gari" + +# Mikono yake, na maduara, matindi yake, na vipande vya ndani + +Neno "yake" limaanishsa yale magurudumu. + diff --git a/1ki/07/34.md b/1ki/07/34.md new file mode 100644 index 00000000..b91045a5 --- /dev/null +++ b/1ki/07/34.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kulikuwa na mataruma manne katika pande zake nne za makaliio + +"Kulikuwa na mataruma katika kila upande wa kalio" + +# kina cha sentimita ishirini na tatu + +sentimita ishirini na tatu ni sawa na "nusu ya dhiraa moja" + +# na juu ya makalio mashikio yake na papi zakae zikawa zimeshikanishwa + +"Huramu alishikamanisha mashikio yake na papi na juu ya kila kalio" + diff --git a/1ki/07/36.md b/1ki/07/36.md new file mode 100644 index 00000000..3b6d3a48 --- /dev/null +++ b/1ki/07/36.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nayo ilikuwa imezungukwa + +Neno "nayo" linamaanisha Makerubi, simba, n a miti ya mitende. + +# ilikuwa imezungukwa na masongo + +Neno "masongo" linamaanisha sura za kusukwa za vipande vya masongo. + +# Yote yalikuwa yametengenezwa kwa kufanana + +"Huramu alitenegeneza makalio yote katika mfumo uleule" + +# na yalikuwa na vipimo sawa, na sura inayofanana + +"makalio yote yalikuwa na vipimo sawa na sura sawa" + diff --git a/1ki/07/38.md b/1ki/07/38.md new file mode 100644 index 00000000..1c1e0b89 --- /dev/null +++ b/1ki/07/38.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# bathi arobaini + +Bathi moja ni sawa na lita 22 + +# upande wa mashariki, ukielekea upande wa kusini wa hekalu + +"upande wa kusini mashariki wa hekalu" + diff --git a/1ki/07/40.md b/1ki/07/40.md new file mode 100644 index 00000000..41371509 --- /dev/null +++ b/1ki/07/40.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# lile besini la kuwa kama taji + +mataji yalikuwa na sura kama ya beseni + +# mapambo ya kufunika + +"mikufu ya vyuma iliyosukwa" + diff --git a/1ki/07/42.md b/1ki/07/42.md new file mode 100644 index 00000000..b8522541 --- /dev/null +++ b/1ki/07/42.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# makomamanga mia nne + +"makomamanga 400" + diff --git a/1ki/07/44.md b/1ki/07/44.md new file mode 100644 index 00000000..818b2f1a --- /dev/null +++ b/1ki/07/44.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Akatengeneza + +neno "aka" linamaanisha Hurama na wasaidizi wake. + +# na vyombo vingine vyote + +"zana zingine zote" + +# shaba iliyosuguliwa + +shaba inayong'aa na kuaksi mwanga + diff --git a/1ki/07/46.md b/1ki/07/46.md new file mode 100644 index 00000000..c763058e --- /dev/null +++ b/1ki/07/46.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mfalme alivisubu + +"Mfalme alimruhusu Huramu awaagize wafanyakazi wake kuvisubu" + +# uwanda wa Yorodani + +Hii inamaanisha eneo lililo tambarare karibu na Mto wa Yorodani. + +# kati ya Sukoti na Zarethani + +"Sukoti" ni mji ulio upande wa mashariki mwa Mto Yorodani + +# Sulemani hakuvipima vyombo vyote + +"Sulemani hakumwambia Huramu na wafanyakazi wake kuvipima vyombo vyote" + +# kwa sababu uzani wa shaba ulikuwa hauwezi kupimwa + +"hakuna ambaye angeweza kuupima uzani wa shaba" + diff --git a/1ki/07/48.md b/1ki/07/48.md new file mode 100644 index 00000000..af784b27 --- /dev/null +++ b/1ki/07/48.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sulemani akatengeneza + +"Wafnyakazi wa Sulemani walitengeneza" + +# ile meza ambayo iliwekwa mikate ya wonyesho + +"ambayo makuhani waliweka mikate ya wonyesho" + +# maua, na taa + +"maua" na "taa" vilikuwa sehemu ya vinara. + diff --git a/1ki/07/50.md b/1ki/07/50.md new file mode 100644 index 00000000..575ff21f --- /dev/null +++ b/1ki/07/50.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Vile vikombe ... vilikuwa vimetengenezwa kwa dhahabu + +"Wafanyakazi walivitengeneza vikombe ... kwa kutumia dhahabu halisi" + +# Na bawaba ... vyote vilitengenezwa kwa dhahabu + +"Pia walizitengeneza bawaba ... kwa kutumia dhahabu" + +# bawaba za milngo + +bawaba in aweza kumaanisha ima 1)bawaba ambazo huruhusu milango kugeuka, au 2) mashikio mabayo hushikilia milango. + diff --git a/1ki/07/51.md b/1ki/07/51.md new file mode 100644 index 00000000..ceab4e14 --- /dev/null +++ b/1ki/07/51.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kazi yote ambayo mfalme Sulemani kwa ajili ya hekalu ilimalika + +wafanyakazi waliimaliz kaziyote ambayo Sulemani aliwataka wafanye kwa ajili ya nyumba ya BWANA" + diff --git a/1ki/08/01.md b/1ki/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..8c6307d0 --- /dev/null +++ b/1ki/08/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# akawakusanya wazee wa Israeli + +"aliwaita pamoja viongozi wa Israeli" + +# wanaume wote + +Hii yaweza kumaanisha 1) watu ambao Sulemani aliwaita kule Yerusalemu ambao pia wameorodheshwa kwenye 8:1 au 2) kwa wale ambao walisafiri kwenda Yerusalemu kwa ajili ya sikukuu, na siyo lazima kuwa ni wanaume wote walioishi Israeli. + +# Kwenye sikukuu + +Hii inamaanisha sikukuu ya vibanda + +# Katika mwezi wa Ethanimu, ambao ndio mwezi wa saba + +"Ethanimu" ni m Huu mwezi ulikuwa kati ya mwezi wa saba wa kalenda ya Kihebrania. Huu mwezi ulikuwa kati ya sehemu ya mwisho wa mwezi wa Septemba na mwanzoni mwa mwezi wa Oktoba kwa kalenda ya Magharibi. + diff --git a/1ki/08/03.md b/1ki/08/03.md new file mode 100644 index 00000000..4126ec12 --- /dev/null +++ b/1ki/08/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# ambazo hazikuweza kuhesabiwa + +"ambazo hakuna mtu aliyekuwa na uwezo wa kuzihesabu" + diff --git a/1ki/08/06.md b/1ki/08/06.md new file mode 100644 index 00000000..adf9720c --- /dev/null +++ b/1ki/08/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ndani ya chumba cha ndani, mahali patakatifu sana + +Sentensi ya pili inatumika kufafanua sentensi ya kwanza. + +# miti yake kwani ilitumika kulibebea + +"miti ambayo makuhani walitumia kulibebea" + +# haikuweza kuonekana + +"hakuna aliyeweza kuwaona" + diff --git a/1ki/08/09.md b/1ki/08/09.md new file mode 100644 index 00000000..6348c6e7 --- /dev/null +++ b/1ki/08/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# ilitokea kwamba + +Kirai hiki kimetumika hapa ili kuonyesha tukio la muhimu katika habari. Kama lugha yako ina namna ya kuonyesha hilo, unaweza kuitumia + diff --git a/1ki/08/12.md b/1ki/08/12.md new file mode 100644 index 00000000..69052891 --- /dev/null +++ b/1ki/08/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# makao ya kujivunia + +"Nyumba iliyoinuliwa" + diff --git a/1ki/08/14.md b/1ki/08/14.md new file mode 100644 index 00000000..2b7904d5 --- /dev/null +++ b/1ki/08/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# BWANA, Mungu wa Israeli, asifiwe + +"Msifuni BWANA, Mungu wa Israeli" + +# kwa mkono wake + +"kwa nguvu zake" + diff --git a/1ki/08/17.md b/1ki/08/17.md new file mode 100644 index 00000000..0df73f58 --- /dev/null +++ b/1ki/08/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ilikuwa kwenye moyo wa Daudi + +"ilikuwa hamu ya Daudi" + +# mmoja wa wanao atakayezaliwa toka viunoni mwako + +"mmoja mabye atakuwa mzaliwa wa wana wako" au "mmoja ambaye wewe utakuwa baba kwake" + diff --git a/1ki/08/20.md b/1ki/08/20.md new file mode 100644 index 00000000..78636a80 --- /dev/null +++ b/1ki/08/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# nimeketi kwenye kiti cha enzi cha Israeli + +"Ninatawala juu ya Israeli" + diff --git a/1ki/08/22.md b/1ki/08/22.md new file mode 100644 index 00000000..8dd85147 --- /dev/null +++ b/1ki/08/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# hutembea mbele yako kwa mioyo yao yote + +"kuishi kwa moyo wote ambao wewe unapenda waishi" + +# umetimiza kwa mkono wako + +"kwa nguvu zako umetimiza ulichosema" + diff --git a/1ki/08/25.md b/1ki/08/25.md new file mode 100644 index 00000000..7dbbacb7 --- /dev/null +++ b/1ki/08/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ataketi katika kiti cha enzi cha Israeli + +"kuitawala Israeli" + +# kutembea mbele yangu + +"kuishi kwa kunitii mimi" + diff --git a/1ki/08/27.md b/1ki/08/27.md new file mode 100644 index 00000000..b4e082d6 --- /dev/null +++ b/1ki/08/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je, ni kweli Mungu ataishi duniani? + +"Lakiini kwa hakika haiwezekani kuwa Mungu ataishi duniani!" + +# maombi haya ya mtumishi wako na haja yake + +Neno "maombi" na "haja" yanamaanisha kitu kilekile. Yametumika kuonesha msisitizo wa maombi yake. + +# uyajali maombi haya ya mtumishi wako ... sikiliza kilio na maombi ambayo mtumishi wako anakuomba leo + +sehemu ya kwanza na ya mwisho ya sentensi hizi zinamaanisha kitu kilekile. Sehemu zote zinaonesha maombi ya Sulemani. + diff --git a/1ki/08/29.md b/1ki/08/29.md new file mode 100644 index 00000000..f05a9bae --- /dev/null +++ b/1ki/08/29.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Naomba ulitazame hekealu hili + +"Naomba uliangalie" + +# mchana nausiku + +"wakati wote" au "kila mara" + +# Jina langu na uwepo wangu + +Maneno haya kwa pamoja yanasisitiza kuwa BWANA ataishi hekaluni. + diff --git a/1ki/08/31.md b/1ki/08/31.md new file mode 100644 index 00000000..237d469a --- /dev/null +++ b/1ki/08/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# anapewa sharti la kiapo + +mtu mmoja anamtaka aape + +# kichwani mwake + +kichwa kinamaanisha mtu kamili. "juu yake" + +# thawabu yake ya haki + +"kile anachohitaji kwa sababu ya kutokuwa na hatia" + diff --git a/1ki/08/33.md b/1ki/08/33.md new file mode 100644 index 00000000..1602204f --- /dev/null +++ b/1ki/08/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu wako Israeli watakapopigwa na adui + +adui amewashinda watu wako Israeli + diff --git a/1ki/08/35.md b/1ki/08/35.md new file mode 100644 index 00000000..d0a26bc9 --- /dev/null +++ b/1ki/08/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mbingu zitafungwa na mvua hazinyeshi + +Virai vyote viwili vinamaanisha kitu kilekile + +# njia njema itakayowapasa + +"ambayo kwayo wanatakiwa kuishi" + diff --git a/1ki/08/37.md b/1ki/08/37.md new file mode 100644 index 00000000..f2548b5a --- /dev/null +++ b/1ki/08/37.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# magonjwa au ukungu + +haya nimajina ya magonjwa ya mazao ya kilimo yanayomaanisha kifo cha mazao kutokana uhaba wa mvua au mvua iliyozidi. + +# nzige au funza + +"nzige" niaainaya panzi ambaye husababisha uharibifu kwa njia ya kula mazao, Neno "funza" ni hatua ya mwanzo wa kukua kwa nzige. + +# na kama kuna mtu au watu wataomba + +mtu au watu wako wote wa Israeli, wataomba na kukupa dua" + +# akaijua hiyo tauni katika moyo wake + +Hii inaweza kumaanisha 1) "kuijua dhambi katika moyo wake" au 2) "kujua katika moyo wake kwamba ile tauni ni matokeo ya dhambi yake + diff --git a/1ki/08/39.md b/1ki/08/39.md new file mode 100644 index 00000000..367a5e10 --- /dev/null +++ b/1ki/08/39.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mbinguni, angani + +mbinguni ni mahali ambapo Mungu huishi. Pia linaweza kumaanisha angani kutemea na mukhutadha. Lakini mbinguni ni mahali pa juu ya ardhi au dunia. + +# uhai, kuishi, maisha, aliye hai + +maneno haya yote yanamaanisha kuwa hai kimwili. + +# samehe, msamaha + +kumsamehe mtu kunamaanisha kutokushikilia hasira dhidiya mtu aliyekuumiza. + +# zawadi + +zawadi linamaanisha kitu ambacho mtu hupokea kwa sababu ya kufanya kitu fulani + +# moyo + +katika biblia, neno "moyo" limetumika kama lugha ya umbo kumaanisha mawazo, hisia, tamaa au utashi. + +# hofu, kuogopa, hofu ya BWANA + +Nno "hofu" na "kuogopa" yanamaanisha hisisa hasi ambazo mtu huwa nazo pale kunapokuwepo na kitisho. Lakini pia neno "hofu" linamaanisha heshima ya ndani kabisa kwa mtu mwenye mamlaka. + diff --git a/1ki/08/41.md b/1ki/08/41.md new file mode 100644 index 00000000..4026aba3 --- /dev/null +++ b/1ki/08/41.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mkono wako wenye nguvu, na mkono wako ulioinuliwa + +Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kilekile na vivnalenga mamlaka ya Mungu. + +# nyumba hii niliyoijenga inaitwa kwa jina lako + +Kirai kinachosema "inaitwa kwa jin lako" kinamaanisha umiliki. "wewe ndiye mmiliki wa nyumba hii ambayo nimeijenga" + diff --git a/1ki/08/44.md b/1ki/08/44.md new file mode 100644 index 00000000..137a9a93 --- /dev/null +++ b/1ki/08/44.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# maombi yao, na dua zao + +Neno "maombi" na "dua" yana maana moja yametumika kuonyesha juhudi ya kile ambacho watu wanamwomba BWANA awafanyie. + diff --git a/1ki/08/46.md b/1ki/08/46.md new file mode 100644 index 00000000..5ceb2fa1 --- /dev/null +++ b/1ki/08/46.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kutokea katika nchi ya watekaji + +"ambako adui zao wamewapeleka kama mateka" + +# katika nchi ya watekaji + +Neno "watekaji" linamaasha wale watu ambao huwafanya watu kuwa mateka. + +# Tuemetenda kwa ukaidi, na tumefanya dhambi. Tumetenda kwa uovu. + +Virai hivi viwili vinvamaanisha kitu kimoja na vimetumika kuonyesha msisitizo wa jinsi hawa watu walivyofanya mabaya. + +# tumetenda kwa ukaidi, na tumefanya dhambi + +Maneno haya mawili ya namaanisha kitu kilekile na yametumika kuonyesha jinsi wale watu walivyofanya uovu. + diff --git a/1ki/08/48.md b/1ki/08/48.md new file mode 100644 index 00000000..e273633c --- /dev/null +++ b/1ki/08/48.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kwa mioyo yao yote na kwa roho zao zote + +Tazama 2:1 + +# kuelekea nchi yao + +Neno "nchi yao" linamaanisha nchi ya walke wanaoomba, nayo ni, Israeli. + diff --git a/1ki/08/49.md b/1ki/08/49.md new file mode 100644 index 00000000..ce2b12b5 --- /dev/null +++ b/1ki/08/49.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# maombi yao, dua zao + +Tazama 8:44 + +# Wasamehe watu wako waliotenda dhambi dhidi yako, na dhambi zao zote ambazo kwazo, wamekukosea wewe dhidi ya amri zako + +Sulemani anamwomba BWANA mara mbili kuwasamehe watu. Hii inasisitiza ile juhudi ya dua yake. + diff --git a/1ki/08/51.md b/1ki/08/51.md new file mode 100644 index 00000000..54c2ef66 --- /dev/null +++ b/1ki/08/51.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# tanuru ambamo vyuma huyeyushwa + +"tanuru ambalo watuhuyeyusha vyuma" + +# macho yako yatazame + +"utazingatia" + diff --git a/1ki/08/54.md b/1ki/08/54.md new file mode 100644 index 00000000..a0247a72 --- /dev/null +++ b/1ki/08/54.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Asiwe BWANA + +"Msifuni BWANA" + diff --git a/1ki/08/57.md b/1ki/08/57.md new file mode 100644 index 00000000..67715c01 --- /dev/null +++ b/1ki/08/57.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Asituache wala kututelekeza + +Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kilekile na vinasisitza hamu ya BWANA ya kuwa pamoja na watu. + +# aunganishe mioyo yetu na yeye + +"atufanye tujitoe kwake" + +# tuishi katika njia zake + +"kuishi kama anavyotutaka kufanya" + diff --git a/1ki/08/59.md b/1ki/08/59.md new file mode 100644 index 00000000..e4ad3af7 --- /dev/null +++ b/1ki/08/59.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mchana na usiku + +"muda wote" + +# mioyo yenu iwe ya haki + +"kujitoa kikamilifu" + diff --git a/1ki/08/62.md b/1ki/08/62.md new file mode 100644 index 00000000..39bf68d4 --- /dev/null +++ b/1ki/08/62.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# watu pamoja naye + +Tazama 8:1 + diff --git a/1ki/08/64.md b/1ki/08/64.md new file mode 100644 index 00000000..03a8016f --- /dev/null +++ b/1ki/08/64.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# madhabahu ya shaba iliyokuwa mbele yakae + +"madhabahu ya shaba iliykuwa mbele ya BWANA" + diff --git a/1ki/08/65.md b/1ki/08/65.md new file mode 100644 index 00000000..04a5bf0b --- /dev/null +++ b/1ki/08/65.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Israeli yote pamoja naye + +Tazama 8:62 + +# siku saba ... siku saba ... siku kumi na nne + +"siku 7 ... siku 7 ... siku 14" + +# kwa furaha na mioyo ya shangwe + +Virai hivi viwili vinmaanisha kitu sawa + diff --git a/1ki/09/01.md b/1ki/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..88178be5 --- /dev/null +++ b/1ki/09/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sulemani + +Sulemani alikuwa mwana wa mfalme Daudi ambaye alikuwa mtoto wa Bthisheba. + +# nyumba + +neno nyumba limetumika kama lugha ya umbo katika biblia. Wakati mwingine limemaanisha "wanafamilia", wakati mwingine limemaanisha uzao wa mtu fulani, na wakati mwingine limemaanisha Hekalu au masikani ya BWANA. Pengine limemaanisha watu wa Mungu na wakati mwingine taifa la Israeli. + +# BWANA + +Neno "BWANA" ni jina binafsi la Mungu ambalo lilijifunua wakati wa Mungu alipojidhihirisha kwa Musa kwenye kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto. + +# mfalme + +Neno "mfalme" linamaanisha mtu mwenye mamlaka makubwa ya mji, serikali au ya nchi. + +# Ikulu + +Neno "ikulu" linamaanisha nyumba anayoishi mfalme, pamoja n a wanafamilia wake, na watumishi wake. + +# Gibioni, Wagibioni + +Gibioni ni mji uliokuwa umbali wa kilomita 13 kaskazini m ashariki mwa Yerusalemu. Watu waliokuwa wakiishi kwenye huo mji waliitwa Wagibioni. + diff --git a/1ki/09/03.md b/1ki/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..63581e32 --- /dev/null +++ b/1ki/09/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ili niweke jina langu humo milele + +"ili kuishi humo na kuwa mmliki milele na milele" + +# Macho yangu na moyo wangu utakuwa humo nyakati zote + +"Nitalilinda na kulitunza" + diff --git a/1ki/09/04.md b/1ki/09/04.md new file mode 100644 index 00000000..f069eb85 --- /dev/null +++ b/1ki/09/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kama utatembea mbele yangu kama baba yako Daudi alivyotembea + +"Kama utaisha kama ninavyokutaka uishi, kama vile Daudi baba yako alivyofanya" + +# kwa haki na unyofu katika moyo + +Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kilekile, vimetumika kuonyesha msisitizo wa jinsi Daudi alivyokuwa. + +# kiti chako cha enzi + +"utawala wako" + +# uzao wako hautaondoka katika kiti cha enzi cha Israeli + +"daima utatawala katika Israeli" + diff --git a/1ki/09/06.md b/1ki/09/06.md new file mode 100644 index 00000000..38475ebf --- /dev/null +++ b/1ki/09/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# amri zangu na maagizo yangu + +"maagizo" na "amri" yanamaanishakitu kilekile yametumika kusisitiza kuwa BWANA aliamuru. + +# kuabudu miungu mingine na kusujudu + +Virai hivi vinamaanisha kitu kilekile, na vimeunganiswa kwa ajili ya msisitizo. + +# niliyoitakasa kwa jina langu + +"niliyoitenga kwa ajili yangu" + +# Nitaitupilia mbali + +"Nitaikataa" + diff --git a/1ki/09/08.md b/1ki/09/08.md new file mode 100644 index 00000000..c28872d0 --- /dev/null +++ b/1ki/09/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ijapokuwa hekalu hili limetukuka sasa + +"japokuwa hekalu hili ni kubwa na zuri" + +# atasituka na kuzomea + +"ataonyesha mshangao na kutoa sauti ya dharau" + +# wameinamia na kuiabudu + +Virai hivi vinamaanisha kitu kilekile. Kirai "kuiinamia" kinaonyesha kitendo ambacho watu hutumia wa wakati wa kuabudu. + diff --git a/1ki/09/10.md b/1ki/09/10.md new file mode 100644 index 00000000..07bd242d --- /dev/null +++ b/1ki/09/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ilitokea + +Nneo hili limetumika ili kuonesha mwanzo mpya wa habari. Unaweza kutumia neneo ambalo lugha yako huwa inatumia. + +# mwishoni mwa miaka ishirini + +"baada ya miaka 20" + +# Sulemani alikuwa amemaliza kuyajenga + +"Wafanyakazi wa Sulemani walikua wamemaliza kuyajenga" + diff --git a/1ki/09/12.md b/1ki/09/12.md new file mode 100644 index 00000000..65d58d3d --- /dev/null +++ b/1ki/09/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ndugu yangu, ni miji gani hii uliyonipa? + +"Hii miji uliyonipa ni mizuri lakini haina faida yeyote." + +# akaiita nchi ya Kabuli mpaka leo + +"Na watu bado huiita hivyo mpaka leo" + +# tani alfu nne za dhahabu + +"kiasi cha kilogramu 4000" + diff --git a/1ki/09/15.md b/1ki/09/15.md new file mode 100644 index 00000000..c391b968 --- /dev/null +++ b/1ki/09/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# vigezo ambavyo Sulemani aliweka ili kujenga hekalu + +"sababu ambazo Sulemani aliweka kwa wafanyazi ili wajenge hekalu" + +# kuijenga Milo + +Inaweza kumaanisha "kujenga ule mfumo wa ngazi" + +# Farao mfalme wa Misiri alikuwa ameenda + +"Jeshi la Farao, mfalme wa Misri, lilikuwa limeenda" + diff --git a/1ki/09/17.md b/1ki/09/17.md new file mode 100644 index 00000000..151dc2f8 --- /dev/null +++ b/1ki/09/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa hiyo Sulemani akaijenga Gezeri + +"Wafanyakazi wa Sulemani wakaijenga Gezeri" + diff --git a/1ki/09/20.md b/1ki/09/20.md new file mode 100644 index 00000000..26dbee3a --- /dev/null +++ b/1ki/09/20.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# makundi ya watu, watu wengi, watu, mtu + +Hayao ni , makundi ya watu wenye lugha moja na utamaduni mmoja. + +# Mwamori + +Waamori walikuwa watu wenye nguvu ambao walikuwa wanatokana na mjukuu wa Nuhu aliyeitwa Kanaani. + +# Mhiti + +Wahiti walitokana na uzao wa Hamu kupitia mwanae Kanaani. Baadaye walikuja kuwa dola kubwa ambayo leo iko kwenye eneo la Uturuki na Palestina y a kaskazini. + +# Waperezi + +Waperezi walikuwa moja ya makundi ta watu waliokuwa katika nchi ya Kanaani. Tunafahamu machache sana juu ya mababu wa hili kundi na hata sehemu hasa walikoishi huko Kanaani + +# uzao, walitokana n a + +"uzad" ni mtu ambaye ana uhusiano wa moja kwa moja au uhusiano wa damu na mtu katika historia. + +# Yebuse, Wayebuse + +Wayebuse walikuwa ni moja ya makundi ya watu walioishi katika nchi ya Kanaani. Walitokana na mtoto wa Hamu aliyeitwa Kanaani. + +# kazi, wafanya kazi + +Neno "kazi" linamaanisha kufanya kazi fulani ngumu. + diff --git a/1ki/09/22.md b/1ki/09/22.md new file mode 100644 index 00000000..7228bc5a --- /dev/null +++ b/1ki/09/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sulemai hakuwafanya kuwa shokoa watu wa Israeli + +"Sileani hakuwashurutisha watu wa Israeli kufanya kazi" + diff --git a/1ki/09/23.md b/1ki/09/23.md new file mode 100644 index 00000000..318ec58d --- /dev/null +++ b/1ki/09/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# watu 550 + +"watu mia tano na hamsini" + diff --git a/1ki/09/24.md b/1ki/09/24.md new file mode 100644 index 00000000..d17ba370 --- /dev/null +++ b/1ki/09/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# akaijenga Milo + +Tazama 9:15 + diff --git a/1ki/09/25.md b/1ki/09/25.md new file mode 100644 index 00000000..89756e49 --- /dev/null +++ b/1ki/09/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# madhabahu iliyokuwa mbele ya BWANA + +Tazama 8:64 + +# Kwa hiyo akalimaliza hekalu + +"Kwa hiyo wafanya kazi wake wakalimaliza hekalu" + diff --git a/1ki/09/26.md b/1ki/09/26.md new file mode 100644 index 00000000..7aae5961 --- /dev/null +++ b/1ki/09/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sulemani alitengeneza + +"Wafanyakazi wa Sulemani walijenga" + +# Merikebu + +"kundi kubwa la meli" + +# tani 14.5 za dhahabu + +"kiasi cha kilo 14,000 za dhahabu + diff --git a/1ki/10/01.md b/1ki/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..17fc36a5 --- /dev/null +++ b/1ki/10/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Uvumi wa Sulemani kuhusu jina la BWANA + +Inaweza kumaanisha 1) "Uvumi wa Sulemani uliomtukuza BWANA" au 2) "Uvumi wa Sulemani aliopewa na BWANA" + +# yote yaliyokuwa moyoni mwake + +"vyote alivyotaka kujua" + diff --git a/1ki/10/03.md b/1ki/10/03.md new file mode 100644 index 00000000..47eb3384 --- /dev/null +++ b/1ki/10/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kuketi kwa watumishi wake + +Inaweza kumaanisha 1) "Jinsi watumishi wake walivyokuwa wameketi kuzunguka meza" au 2) "Mahli ambapo watumishi wake waliishi" + +# roho yake ilizimika + +"aliishiwa pumzi" + diff --git a/1ki/10/06.md b/1ki/10/06.md new file mode 100644 index 00000000..7b5a87b3 --- /dev/null +++ b/1ki/10/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# maneno yako na hekiima yako + +Neno "hekima" linbeba uzito wa "maneno". "hekima ya semi zako" + +# macho yangu yamejionea + +"Nimejionea" + +# Hata nusu ya hekima na utajri wako umezidi uvumi ambao nilikuwa nimesikia + +"watu waliniambia kidogo sana" + diff --git a/1ki/10/08.md b/1ki/10/08.md new file mode 100644 index 00000000..e094a91c --- /dev/null +++ b/1ki/10/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ambao daima husimama mbele yako + +"ambao wako katika uwepo wako wakisubiri kukutumikia" + +# BWANA, Mungu wako atukuzwe + +"Watu na wamtukuze BWANA Mungu wako" + +# alikuweka kwenye kiti cha enzi cha Israeli + +"Aliyekufanya kuwa mfalme" + diff --git a/1ki/10/10.md b/1ki/10/10.md new file mode 100644 index 00000000..e879ee54 --- /dev/null +++ b/1ki/10/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kilo za dhahabu elfu nne na miatano + +kilo 4500 za dhahabu + +# Hapakuwahi kutokea kiasi kikubwa cha viungo ... alitoa kwa mfalme Sulemani kuwahi kutolewa tena + +"Hakuna tena mtu aliyetoa kwa mfalme Sulemani viungo kama vile ambavyo malkia wa Sheba alimpa" + diff --git a/1ki/10/11.md b/1ki/10/11.md new file mode 100644 index 00000000..7ca2ecf8 --- /dev/null +++ b/1ki/10/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mfalme alitengeneza nguzo + +"Wafanyakazi wa mfalme walitengeneza nguzo za hekalu" + +# kimewahi kutokea hadi leo + +"wala hakuna aliyewahi kuona kiasi kikubwa tena" + diff --git a/1ki/10/13.md b/1ki/10/13.md new file mode 100644 index 00000000..c2ba4251 --- /dev/null +++ b/1ki/10/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kila kitu ambacho alihitaji, na kila kitu alichoomba + +Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kilekile na vitumika kwa pamoja kuonyesha msisitizo. + +# kwa ukarimu wake + +"kutokana na ukarimu wake" + diff --git a/1ki/10/14.md b/1ki/10/14.md new file mode 100644 index 00000000..8241d998 --- /dev/null +++ b/1ki/10/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kwa mwaka mmoja + +Hii inamaanisha kwa kila mwaka katika utawala wa Sulemani, na wala siyo mara moja tu. "kila mwaka" + +# kilo elfu ishrini na tatu za dhahabu + +kilo 23,000za dhahabu + diff --git a/1ki/10/16.md b/1ki/10/16.md new file mode 100644 index 00000000..f8615a77 --- /dev/null +++ b/1ki/10/16.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mfalme Sulemani alitengeneza + +"wafanyakazi wa mfalme Sulemani walitengeneza" + +# ngao kubwa mia mbili + +"ngao 200 kubwa" + +# shekeli mia sita za dhahabu + +Shekeli moja ina kipimmo ch a gramu 11. "Ni kama kiasi cha kilo 6.6 cha dhahabu" + +# shekeli mia sita + +ni sawa na kilo tatu + +# ngao mia tatu + +"ngao 300" + +# Mane tatu za dhahabu + +Mane moja ni kipimo kilicho karibu sawa na gramu 600."sawa na kiasi cha kilo 1.8 za dhahabu" + +# ikulu ya mwitu wa Lebanoni + +Tazama 7:1 + diff --git a/1ki/10/18.md b/1ki/10/18.md new file mode 100644 index 00000000..b270f99a --- /dev/null +++ b/1ki/10/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mfalme akafanya + +"wafanyakazi wa mfalme walifanya" + +# enzi kwa pembe + +Pembe ni vitu vigumu vyeupe ambavyo vinatokana na pembe za tembo. + diff --git a/1ki/10/21.md b/1ki/10/21.md new file mode 100644 index 00000000..5195084e --- /dev/null +++ b/1ki/10/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# ikulu ya mwitu wa Lebanoni + +Tazama 7:1 + diff --git a/1ki/10/23.md b/1ki/10/23.md new file mode 100644 index 00000000..3a850ff3 --- /dev/null +++ b/1ki/10/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wote ulimwenguni + +"watu kutoka sehemu zote" + +# ilitafuta uwepo wa Sulemani + +"walitafuta kumtembelea Sulemani" + +# ambayo Mungu alikuwa ameweka katika moyo wake + +"ambacho Mungu alikuwa ameweka katika akili zake" au "ambacho Mungu alikuwa amempatia" + diff --git a/1ki/10/26.md b/1ki/10/26.md new file mode 100644 index 00000000..bccca9bd --- /dev/null +++ b/1ki/10/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# magari 1,400 na wapanda farasi elfu kumi na mbili + +"magari 1,400 na wapanda farasi 12,000" + diff --git a/1ki/10/28.md b/1ki/10/28.md new file mode 100644 index 00000000..5fec8e3a --- /dev/null +++ b/1ki/10/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# waliokuwa wamenunuliwa kutoka Misri + +"amabao wachuuzi wake waliwanunua Misri" + +# Magari yalinunuliwa + +"Wachuuzi wake walinunua magari" + +# kwa shekeli mia sita za fedha ... shekeli 150 + +Shekeli moja ina uzani wa ulioswa na gramu 11. "karibu sawa na kilo 6.6 za fedha ... sawa na kilo 1.7" + +# Vitu vingi katika hivi baadaye viliuzwa + +"Wachuuzi wake baadaye waliviuza vitu hivi" + diff --git a/1ki/11/01.md b/1ki/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..260da76b --- /dev/null +++ b/1ki/11/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wamoabu, Waamori, Waedomu, Wasidoni na Wahiti + +Haya ni majina ya makundi ya watu + +# Basi mfalme Sulemani + +Neno "basi" linaonyesha mwanzo wa habari mpya. + +# wataigeuza mioyo yenu ili mfuate miungu yao + +"watawashawishi kuabudu miungu wanayoiabudu" + diff --git a/1ki/11/03.md b/1ki/11/03.md new file mode 100644 index 00000000..010430bf --- /dev/null +++ b/1ki/11/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wanawake halali mia saba namasuria mia tatu + +"wanawake halali 700 na masuria 300" + +# waliugeuza moyo wake + +"waliugeuza moyo wake toka kwa BWANA" au "walimgeuza akaacha kumwabudu BWANA" + +# hakuutoa moyo wake wote + +"hakuwa amejito akikamilifu" + diff --git a/1ki/11/05.md b/1ki/11/05.md new file mode 100644 index 00000000..b03191be --- /dev/null +++ b/1ki/11/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ashitorethi, Milikomu + +Haya ni majina ya miiungu ya uongo + +# Wasidoni + +Hili jinala kundi la watu + +# maovu mbele ya BWANA + +"kile ambacho BWANA alikiona kuwa ni kiovu" + +# alimfuata Milikomu + +"Milikomu" ni jina lingine la "Moleki" + diff --git a/1ki/11/07.md b/1ki/11/07.md new file mode 100644 index 00000000..bf9a7482 --- /dev/null +++ b/1ki/11/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# walifukiza uvumba na kuwatolea sadaka + +Neno "kuwa" linamaanisha hao miungu ambao Sulemani aliwajengea. + diff --git a/1ki/11/09.md b/1ki/11/09.md new file mode 100644 index 00000000..06d24696 --- /dev/null +++ b/1ki/11/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Moyo wake ulikuwa umemwacha Mungu + +"Sulemani alimwacha kumwabudu BWANA" + +# alikuwa amejionyesha kwake mara mbili + +"BWANA alikuwa amejionyesha kwa Sukemani mara mbili" + diff --git a/1ki/11/11.md b/1ki/11/11.md new file mode 100644 index 00000000..5597d984 --- /dev/null +++ b/1ki/11/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# nitaugawa ufalme kutoka kwako + +Mungu atauondo ufalme kutoka kwenye uzao wa Sulemani kama vile mtu achanavyo kipande cha nguo. + +# ukiwa chini ya mwanao + +"mamlaka ya mwanao" + diff --git a/1ki/11/14.md b/1ki/11/14.md new file mode 100644 index 00000000..7a7f750c --- /dev/null +++ b/1ki/11/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Daudi alipokuwa Edomu ... Hadadi alipokuwa mtoto mdogo + +Hii ni habari ya historia iliyotokea hapo kale. + +# Yoabu na Israeli yote + +"Yoabu na jeshi lote la Israeli" + +# Hadadi alichukuliwa na Waedumu wengine na watumishi wa baba yake + +"watumishi wa baba wa Hadadi walimchukua pamoja na Waedomu wengine" + diff --git a/1ki/11/18.md b/1ki/11/18.md new file mode 100644 index 00000000..fba2fc13 --- /dev/null +++ b/1ki/11/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Tazama 4:11 + +# Waliondoka Midiani + +Tazama 11:14 + diff --git a/1ki/11/20.md b/1ki/11/20.md new file mode 100644 index 00000000..7ac168d4 --- /dev/null +++ b/1ki/11/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Daudi alishalala na mababu zake + +"Daudi alikuwa amekufa" + diff --git a/1ki/11/23.md b/1ki/11/23.md new file mode 100644 index 00000000..3d54b40a --- /dev/null +++ b/1ki/11/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Daudi aliwapiga + +Wakati jeshi la Daudi lilkipowaua + +# Rezoni akawachukia Israeli + +"Rezoni aliwachukia sana Waisraeli" + diff --git a/1ki/11/26.md b/1ki/11/26.md new file mode 100644 index 00000000..f415c206 --- /dev/null +++ b/1ki/11/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# akainua mkono wake dhidi ya mfalme + +"akamwasi mfalme" + +# Sulemani kujenga Milo + +Tazama9:15 + diff --git a/1ki/11/28.md b/1ki/11/28.md new file mode 100644 index 00000000..ca26aca8 --- /dev/null +++ b/1ki/11/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mtu hodari na shujaa + +Inaweza kumaanisha 1) "shuja mkuu" 2) "mtu mwenye uwezo mkubwa" au 3)mtu tajiri na mwenye ushawishi." + +# akampa kuwa na mamlaka + +"akamfanya kuwa kamanda" + diff --git a/1ki/11/31.md b/1ki/11/31.md new file mode 100644 index 00000000..afbfedab --- /dev/null +++ b/1ki/11/31.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Akamwabia + +Neno "a" linamaanisha Ahiya + +# Nitaugawa ufalme + +Tazama 11:11 + +# mkono wa Sulemani + +"mamalaka ya Sulemani + +# Sulemani atabaki + +"Mwana wa Sulemani a" au "Uzao wa Sulemani utabaki" + +# kilicho chema katika macho yangu + +"Ninachokiona kuwa sawa" + diff --git a/1ki/11/34.md b/1ki/11/34.md new file mode 100644 index 00000000..999c47f7 --- /dev/null +++ b/1ki/11/34.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Ahiya anaendelea kumwambia Yeroboamu kile ambacho BWANA alisema. + +# Sitauchukua + +"Neno "si" linamaanisha BWANA + +# kwenye mkono wa Sulemani + +"toka kwenye mamlaka ya Sulemani" + +# Nitampa + +Neno "m" Yeroboamu. + +# atabaki kuwa nuru mbele yangu + +"daima kutakuwa na kizazi kitakachotawala ili kuwa ukumbusho wa familia ya Daudi" + diff --git a/1ki/11/37.md b/1ki/11/37.md new file mode 100644 index 00000000..52b9094a --- /dev/null +++ b/1ki/11/37.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Ahiya anaendeleea kumwambia Yeroboamu kile ambacho BWANA amesema. + +# Nitakuchukua + +Neno "ni" linamaanisha BWANA na neno "ku" linamaanisha Yeroboaomu. + +# kinachopendeza mbele yangu + +Tazama 1:31 + +# nitakujengea nyumba ya uhakika + +"Nitakuanzia ufalme wa milele" + diff --git a/1ki/11/40.md b/1ki/11/40.md new file mode 100644 index 00000000..7fe85190 --- /dev/null +++ b/1ki/11/40.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yeroboamu + +Yeroboamu mwana wa Nebati ndiye aliyekuwa mfalme wa kwanza wa dola ya kaskazini ya Israeli kati ya mwaka 910 - 900 KK. Yeroboamu mwingine, mwana wa Yehoashi, alitawala Israeli baada ya miaka 120 + +# Misri, Wamisri + +Misri ni nchi iliyo kasikazini mwa Afrika, kusini magharibi mwa nchi ya Kanaani. + +# kifo. kufa, aliyekufa + +Neno hili linatumika kuonyesha kifo cha kimwili na cha kiroho. + diff --git a/1ki/11/41.md b/1ki/11/41.md new file mode 100644 index 00000000..928f8389 --- /dev/null +++ b/1ki/11/41.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# je, hayakuandikwa katika kitabu cha matukio y a Sulemani? + +"unaweza kuyapata kwenye kitabu cha matukio ya Sulemani." + +# Kitabu cha matukio ya Sulemani + +hiki ni kitabu ambacho kwa sasa hakipo tena + +# Naye akalala na mababu zake + +"Akafa" + +# alizikwa + +"watu wakamzika" + diff --git a/1ki/12/01.md b/1ki/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..23200177 --- /dev/null +++ b/1ki/12/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Israeli yote walikua wanaenda + +"Wanaume wote wa Israeli" + +# Ikatokea kuwa + +Neno hili linaonyesha mwanzo wa habari mpya. Waweza kutumia neno lililo katika lugha yako. + diff --git a/1ki/12/03.md b/1ki/12/03.md new file mode 100644 index 00000000..e147fbfb --- /dev/null +++ b/1ki/12/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kumwita + +Herufi "m" inamaanisha Yeroboamu + +# ailiifanya nira yetu kuwa nzito + +"alitutendea kwa ukatili" au "alitushurutisha kufanya kazi" + diff --git a/1ki/12/06.md b/1ki/12/06.md new file mode 100644 index 00000000..43dcf454 --- /dev/null +++ b/1ki/12/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwa wazee waliokuwa wamesimama mbele ya Sulemain + +"wazee waliomshauri Sulemani" au "wazee waliohudhuria kwa Sulemani" + diff --git a/1ki/12/08.md b/1ki/12/08.md new file mode 100644 index 00000000..6d259715 --- /dev/null +++ b/1ki/12/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wakasimama mbele yake + +"waliomshauri" au "waliohudhuria kwake" + +# ifanye nyepesi nira ambayo baba yako alituwekea" + +"usitutenee kwa ukatilii kama baba yako alivyotutendea" au "usitushurutishe kufanya kazi kama baba yako alivyotufanyia" + diff --git a/1ki/12/10.md b/1ki/12/10.md new file mode 100644 index 00000000..e4f45891 --- /dev/null +++ b/1ki/12/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kidole changu kidogo ni kinene kuliko kiuno cha baba yangu + +Maana yake ni kwamba Rehoboamu ni mkali na mwenye kuogofya kuliko baba yake. + +# Baba yangu aliwaadhibu kwa mijeredi, lakini mimi nitawaadhibu kwa nge + +Hii inamaanisha kuwa adhabu ambayo Rehoboamu ataitoa ni mbaya kuliko alitoa baba yake. + +# nitawaadhibu kwa nge + +Neno "nge" linaweza kumaanisha 1)mjeredi wenye ncha za vyuma, au 2) kiumbe mwenye mkia wa sumu. + diff --git a/1ki/12/12.md b/1ki/12/12.md new file mode 100644 index 00000000..d7d5191b --- /dev/null +++ b/1ki/12/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# baba yangu aliwatwika kongwa zito ... mimi nitawaadhibu kwa nge + +Tazama 12:10 + diff --git a/1ki/12/15.md b/1ki/12/15.md new file mode 100644 index 00000000..807f8e47 --- /dev/null +++ b/1ki/12/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwa kuwa ilikuwa zamu ya tukio lililoletwa na BWANA + +"BWANA alisababisha hili litokee" + diff --git a/1ki/12/16.md b/1ki/12/16.md new file mode 100644 index 00000000..3010a354 --- /dev/null +++ b/1ki/12/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Israeli yote + +"watu wote wa Israeli waliokuwepo" + +# Je, tuna sehemu gani kwa Daudi? + +"hatutakuwa na sehemu katika familia ya Daudi" + +# Hatuna urithi kwa mwana wa Yese" + +"Hatutakuwa na chochote cha kufanya katika uzao wa Yese" + +# "Nenda kwenye hema zako + +"Nendeni nyumbani kwenu, enyi watu wa Israeli" + +# sasa tazama kwenye nyumba yako + +"Sasa uuangalie utawala wako, uzao wa Daudi" + diff --git a/1ki/12/18.md b/1ki/12/18.md new file mode 100644 index 00000000..2195b17f --- /dev/null +++ b/1ki/12/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Waisraeli wote wakampiga kwa mawe + +"Watu wote wa Israeli waliokuwepo pale" + +# nyumba ya Daudi + +"Wafalme wanaotokana na uzao wa Daudi" + diff --git a/1ki/12/20.md b/1ki/12/20.md new file mode 100644 index 00000000..3e440d69 --- /dev/null +++ b/1ki/12/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ndipo Israeli + +Neno hili limetumika kuonesha kuwa kuna tukio la muhimu kwenye habari. Waweza kutumia neno lolote lililo kwenye kabila yako lenye mukhutadha huo. + +# Israeli yote + +"Viongozi wote wa Israeli waliposikia" + +# kuwa mfalme wa Israeli + +"mfalme wa makabila yote 10 ya Israeli" + +# familia ya Daudi + +"Uzao wa Daudi" + +# kabila ya Yuda + +"watu wa kabila ya Yuda" + diff --git a/1ki/12/21.md b/1ki/12/21.md new file mode 100644 index 00000000..84c66d91 --- /dev/null +++ b/1ki/12/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nyumba ya Yuda + +Watu kutoka kabil ya Yuda + +# wanaume wanajeshi 180,000 + +"askari 180,000 waliochaaguliwa kwa uangalifu" au "askari wazuri 180,000" + +# nyumba ya Israeli + +watu kutoka makabila 10 ya Israeli yaliyokuwa kaskazini + diff --git a/1ki/12/22.md b/1ki/12/22.md new file mode 100644 index 00000000..22c0d6ff --- /dev/null +++ b/1ki/12/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Neno la Mungu lkamjia + +"Mungu alisema neno lake" + +# mtu wa Mungu + +Hili jina lingine la nabii, "Nabii" + +# kwa nyumba yote ya Yuda na Benjamini + +"watu wote wa kabila Yuda na Benjamini" + +# ndugu zako watu wa Israeli + +Neno "ndugu" na "watu wa Israeli" vyote vivnamaanisha wanaume wa makabila kumi ya kaskazini mwa Israeli na vinatoa msisitizo wa uhusiano wa kifamilia kati yao na Rehoboamu. + +# kwa kuwa jambo hili nimelisababisha mimi + +"Kwa sababu mimi ndiye niliyelifanya litokee" + diff --git a/1ki/12/25.md b/1ki/12/25.md new file mode 100644 index 00000000..88dd4129 --- /dev/null +++ b/1ki/12/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yeroboamu akaijenga Shekemu + +"Wafanyakazi wa Yeroboamu wakaijenga Shekemu" + +# akafikiri moyoni mwake + +"mwenyewe akafikiri" + +# nyumba ya Daudi + +"wafalme waliotokana na Daudi" + +# Kama hawa watu wataenda + +Neno "watu hawa" linamaanisha wale watu wa makabila kumi ya Waisraeli wa kaskazini. + +# basi mioyo ya hawa watu itarudi tena kwa bwana wao, kwa Rehoboamu mfalme wa Yuda ... na kurudi kwa Rehoboamu mfalme wa Yuda + +Virai hivi vina maana moja ambavyo vimetumika pamoja kuonesha msisitizo. + diff --git a/1ki/12/28.md b/1ki/12/28.md new file mode 100644 index 00000000..1b7e6630 --- /dev/null +++ b/1ki/12/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# iliyowatoa toka + +"iliyowatoa mababu zenu toka" + diff --git a/1ki/12/31.md b/1ki/12/31.md new file mode 100644 index 00000000..4cccdc4b --- /dev/null +++ b/1ki/12/31.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yeroboamu akajenga nyumba mahali pa juu + +"Wafanyakazi wa Yeroboamu walijenga nyumba mahali pa juu" + +# kufanya makuhani + +"aliwachagua watu kuwa makuhani" + +# watu wote + +"watu wote wa makabila kumi ya kaskazini" + +# katika mweziwa , wa siku ya kumi na tano ya mwezi + +Huu ni mwezi wa nane wa kalenda ya Wahebrania. Siku ya kumi na tano ni kaaribu na mwanzo wa mwezi wa Novemba wa kalenda ya kimagharibi. "siku ya kumi na tano ya mwezi wa nane" + +# akaenda juu kwenye madhabahu + +"akatoa sadaka kwenye madhabahu" + diff --git a/1ki/12/33.md b/1ki/12/33.md new file mode 100644 index 00000000..1b3ff558 --- /dev/null +++ b/1ki/12/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# akaenda juu kwenye madhabahu + +"akatoa sadaka madhabahuni" + +# ndio mwezialiokuwa amefikiri katika akili yake + +"katika mwezi aliokuwa ameamua" + diff --git a/1ki/13/01.md b/1ki/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..7a873537 --- /dev/null +++ b/1ki/13/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mtu wa Mungu + +Hili jina lingine la nabii. "Nabii" + +# Alia kinyumem na zile madhabahu + +"Alitoa unabii kwa sauti kubwa kinyume na zile madhdabahu" + +# Ee madhabau, madhabau + +Nabii iliziambia zile madhabahu kama vile anamwambia mtu anyeweza kumsikia. Alisema mara mbili ili kusisitiza. + +# mwana aitwaye Yosia atazaliwa katikafamilia ya Daudi + +"mwana wa uzao wa Daudi atakuwa na mwana aitwaye Yosia" + +# watachoma + +Neno "wa" linamaanisha Yosia na watu atakaokuwa nao. + +# madhabahu zitavunjika, na majivu ylyo juu yatamwagika + +"BWANA atazivunja madhabahu na atayasambaza majivu yaliyo juu yake" + diff --git a/1ki/13/04.md b/1ki/13/04.md new file mode 100644 index 00000000..919c6fab --- /dev/null +++ b/1ki/13/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Na ile madhabahu ikavunjika vipande vipande, na majivu yakamwagika kutoka madhabahuni + +"Mungu akazivunja zile madhabahu na akayamwaga yale majivu kutoka madhabahuni" + +# kama iloivyokuwa imefafanuliwa kuwa ndiyo ishara ya kwamba mtu wa Mungu alikuwa amepewa kwa neno la Mungu + +"kama ishara ambayo mtu wa Mungu alikuwa amefafanua kwa neno la BWANA" + diff --git a/1ki/13/06.md b/1ki/13/06.md new file mode 100644 index 00000000..1a4810d5 --- /dev/null +++ b/1ki/13/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mkono wangu urejee + +" BWANA arejeshe mkoo wangu" + +# mkonio wa mfalme ukarejea + +"BWANA alirejesha mkono wa mfalme" + diff --git a/1ki/13/08.md b/1ki/13/08.md new file mode 100644 index 00000000..03c41c4c --- /dev/null +++ b/1ki/13/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hata kama utanipa nusu ya milki yako. Sitaenda na wewe + +"Unadhani kuwa kama utanipa nusu ya miliki yako nitaenda na wewe. Lakini hata kama utafanya hivyo, sitaenda na wewe" + diff --git a/1ki/13/11.md b/1ki/13/11.md new file mode 100644 index 00000000..02785abd --- /dev/null +++ b/1ki/13/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wale wanawe walikuwa wamemwona yule mtu Mungu kutoka Yuda njia aliyotumia + +"wanawe walimwonyesha njia" + diff --git a/1ki/13/14.md b/1ki/13/14.md new file mode 100644 index 00000000..b9f422e6 --- /dev/null +++ b/1ki/13/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yulenabii mzee + +"Nabii kutoka Betheli" + +# akamwambia + +"nabii mzee akamwambia mtu wa Mungu" + +# Naye akamjibu + +"Mtu wa Mungu akamjibu" + +# mahali hapa + +"Hapa Betheli" + diff --git a/1ki/13/18.md b/1ki/13/18.md new file mode 100644 index 00000000..b6968193 --- /dev/null +++ b/1ki/13/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# malaika amesema nami neno la BWANA + +"malaika ameniambia kile ammbacho BWANA amesema" au "malaika ameniambia ujumbe kutoka kwa BWANA" + diff --git a/1ki/13/20.md b/1ki/13/20.md new file mode 100644 index 00000000..76960a8f --- /dev/null +++ b/1ki/13/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Walipokuwa wamekaa mezani + +"Walipokuwa wameketi mezani wakila" + +# Neno la BWANA likamjia yule nabii + +Tazama 6:11 + +# aliyemrudisha + +Herufi "m" inamaanisha mtu wa Mungu + diff --git a/1ki/13/23.md b/1ki/13/23.md new file mode 100644 index 00000000..b8c0c5d0 --- /dev/null +++ b/1ki/13/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# na mwili wake uliachwa barabarani + +"na akaucha mwili wake barabarani" + +# walikuja wakaeleza + +"walikuja wakawambia watu juu ya ule mwili" + diff --git a/1ki/13/26.md b/1ki/13/26.md new file mode 100644 index 00000000..9af1e4cc --- /dev/null +++ b/1ki/13/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# neno la Mungu, neno la BWANA, neno la Bwana, maandiko + +Katika biblia, "neno la Mungu" linamaanisha kitu chochite ambacho Mungu amesema kwa watu. Hii inajumuisha kilichoandikwa na kilichosemwa. Yesu pia anaitwa "neno la Mungu" + +# mwana, mwana wa + +Neno "mwana" linamlenga mtoto wa kiume au mwanamume katiak uhusiano na mzazi wake. Inaweza pia kumaanisha mtoto wa kiume aliyeasiliwa. + diff --git a/1ki/13/29.md b/1ki/13/29.md new file mode 100644 index 00000000..b40152ff --- /dev/null +++ b/1ki/13/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wakamwombolezea + +Hapa herufi "wa" inamaanisha yule nabii na wanawe. + +# Aa, ndugu yangu + +Neno "Aa" linaonyesha huzuni kubwa + diff --git a/1ki/13/31.md b/1ki/13/31.md new file mode 100644 index 00000000..1d84efdd --- /dev/null +++ b/1ki/13/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# baada ya kumzika + +alieyemzika ni yule nabii mzee, na herufi "m" inamaanisha yule mtu wa Mungu. + diff --git a/1ki/13/33.md b/1ki/13/33.md new file mode 100644 index 00000000..ff65f393 --- /dev/null +++ b/1ki/13/33.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Jambo hiloi likawa dhambi kwenye familia ya Yeroboamu + +"Familia ya Yeroboamu ikawa imefanya dhambi kwa kufanya jambo hili" + +# Jambo hili + +Hii inamaanisha kitendo cha Yeroboamu kujenga madhabahu ya miungu na kuchagua makuhani. + +# na kusababishsa familia yake kuangamizwa na kuondolewa kabisa katika uso wa dunia + +"Munugu aliiangamiza na kuiondoa familia ya Yeroboamu katika usowa dunia" + diff --git a/1ki/14/01.md b/1ki/14/01.md new file mode 100644 index 00000000..3b0f3e9d --- /dev/null +++ b/1ki/14/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# ili wasikutambue + +"hakuna atakayekutambua" + diff --git a/1ki/14/04.md b/1ki/14/04.md new file mode 100644 index 00000000..b56989d7 --- /dev/null +++ b/1ki/14/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tazama, mke wa Yeroboamu + +Neno "Tazama" linamaanisha "sikiliza kwa uangalifu" + +# Mwambie hivi na hivi + +Neno "hivi" na "hivi" linamaanisha kuwa BWANA alikuwa amemwambia Ahiya kitu cha kusema. "mwabia hivi" + diff --git a/1ki/14/06.md b/1ki/14/06.md new file mode 100644 index 00000000..46c5587c --- /dev/null +++ b/1ki/14/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa nini unajifanya kuwa mtu mwingine? + +Acha kujifanya kuwa mtu mwingine;Mimki najua kuwa wewe ni nani? + +# Nimetumwa kwako nikiwa na habari mbaya + +"BWANA ameniambia nikwambie habari mbaya" + +# Niliugawa ufalme + +Mungu aliugawa ufalme kama vile mtu achanavyo kipande cha nguo. + diff --git a/1ki/14/09.md b/1ki/14/09.md new file mode 100644 index 00000000..2b6a3723 --- /dev/null +++ b/1ki/14/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kunitupa nyumavyako + +Yeroboamu ameacha kumheshimu BWANA amekuwa kama mtu anayetupa takataka + diff --git a/1ki/14/11.md b/1ki/14/11.md new file mode 100644 index 00000000..1637c0e4 --- /dev/null +++ b/1ki/14/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yeyote ambaye ni mwanfamila yako ... ataliwa na mbwa + +"Mbwa watawala kila mmojaambaye ni mwanafamilia yako atakayefia mjini" + +# na yeyote atakayefia ... ataliwa na ndege wa angani + +"ndege wa angani watamla yeyote anyefia shambani" + +# je, kuna jambo lolote jema lililoonekana katika macho ya BWANA, Mungu wa Israeli. + +"Je, BWANA, Mungu wa Israeli, ameona jambo lolote jema?" + diff --git a/1ki/14/14.md b/1ki/14/14.md new file mode 100644 index 00000000..7a40a9db --- /dev/null +++ b/1ki/14/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kama vile majani yanavyotikiswa majini + +"kama vile mto wa maji utikizavyo jani" + +# ataing'oa Israeli katika nchihii njema + +BWANA anailingnisha Israeli na mmea ambao ataung'oa kutoka ardhini kwa mizizi yake + diff --git a/1ki/14/17.md b/1ki/14/17.md new file mode 100644 index 00000000..82b7d718 --- /dev/null +++ b/1ki/14/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Israeli wote walimzika + +"Idadi kubwa ya watu wa Israeli walikuwepo wakati watu walipomzika" + +# kama vile alivyokuwa ameambiwa kwa neno la BWANA + +"kama vile BWANA alivyomwambia" + diff --git a/1ki/14/19.md b/1ki/14/19.md new file mode 100644 index 00000000..17665beb --- /dev/null +++ b/1ki/14/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# yameandikwa + +"kuna mtua liyeyanadika" + +# naye akalala n abau zake + +"kisha akafa" + diff --git a/1ki/14/21.md b/1ki/14/21.md new file mode 100644 index 00000000..ed8f7da5 --- /dev/null +++ b/1ki/14/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# miaka arobaiini na moja ... miaka kumina saba + +"miaka 17 ... miaka 41" + +# ili aweke jina lake + +Tazama 9:3 + +# jina la mama yake + +kiwakilishi "yake" kinamwakilisha Rehoboamu + diff --git a/1ki/14/23.md b/1ki/14/23.md new file mode 100644 index 00000000..4f1c1a63 --- /dev/null +++ b/1ki/14/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kila mahali pa juuna katika kila mti wenye majani mabichi + +"mahali pa juu na chini ya miti mibichi" + +# walifanya machukizo yaleyale kama wa mataifa yale ambayo + +"mabo yale yale yenye kuchukiza ambayo watu walifanya, ambao" + diff --git a/1ki/14/25.md b/1ki/14/25.md new file mode 100644 index 00000000..338a1c3d --- /dev/null +++ b/1ki/14/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# akaja kinyume + +"jeshi lake lilivamia + +# ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza + +"ambazo Sulemani aliwaamuru wafanyakazi wake kutengeneza" + diff --git a/1ki/14/27.md b/1ki/14/27.md new file mode 100644 index 00000000..c54cf7e0 --- /dev/null +++ b/1ki/14/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao + +"Wafanyakazi wa mfalme Rehoboamu walitengenza ngao" + +# mahali pake + +"mahali pa ngao za dhahabu" + +# na akazikabidhi kwa wakuu wa walinzi + +"akawapa kuwa jukumu la walinzi" + diff --git a/1ki/14/29.md b/1ki/14/29.md new file mode 100644 index 00000000..7d58b9f3 --- /dev/null +++ b/1ki/14/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# je, hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio cha wafalme wa Yuda? + +"Yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda" + +# Rehoboamu akalala na mababu zake n a watu wakamzika + +"Rehoboamu akafa na watu wakamzika" + diff --git a/1ki/15/01.md b/1ki/15/01.md new file mode 100644 index 00000000..005236fe --- /dev/null +++ b/1ki/15/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Katika mwaka wa kumi na nane + +"katika mwaka wa 18" + +# miaka mitatu + +"miaka 3" + +# "akatembea katika dhambi zote" + +"Akaendelea kufanya dhambi zote" + +# moyo wake haukuwa mkamilifu + +"alikuwa hajajitoa" + diff --git a/1ki/15/04.md b/1ki/15/04.md new file mode 100644 index 00000000..f06df8d8 --- /dev/null +++ b/1ki/15/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# alimpa taa Yerusalemu ... ili kuimarisha Yerusalemu + +"alimpa Daudi mwana wa Uazao kutawala Yerusalemu ka ukumbusho wa agano na familia ya Daudi" + +# yaliyo mema machoni pake + +"Yale ambayo BWANA aliyaona kuwa mema" + +# Kati ya Rehoboamu na Yeroboamu + +"Kati ya majeshi ya Rehoboamu na Yeroboamu" + diff --git a/1ki/15/07.md b/1ki/15/07.md new file mode 100644 index 00000000..3bf1cb13 --- /dev/null +++ b/1ki/15/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# yote aliyofanya, je, hayajaandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda? + +Tazama 14:29 + +# Abiya akalala na mababu zake + +"Abiya akafa" + diff --git a/1ki/15/09.md b/1ki/15/09.md new file mode 100644 index 00000000..09ae3e38 --- /dev/null +++ b/1ki/15/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mwaka wa Ishirini + +"katika mwaka wa 20" + +# miaka arobaini na moja + +"miaka 41" + +# akafanya yaliyo mema machoni mwa BWANA + +"yale amabyo BWANA aliyaona kuwa mema" + diff --git a/1ki/15/12.md b/1ki/15/12.md new file mode 100644 index 00000000..8f963e60 --- /dev/null +++ b/1ki/15/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Asa aliikata sanamu ya kuchukiza + +"Wafanyakazi wa Asa waliiangusaha ile sanamu ya kuchuliza" + diff --git a/1ki/15/14.md b/1ki/15/14.md new file mode 100644 index 00000000..5dff0a5c --- /dev/null +++ b/1ki/15/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Lakini pale mahali pa juu hapakuchukuliwa + +"Lakini Asa hakuwaamuru watu kupachukua mahali pa juu" + +# Moyo wa Asa ulikuwa mkamilifu mbele ya BWANA + +"Asa alikuwa mkamilifu mbele ya BWANA" + diff --git a/1ki/15/16.md b/1ki/15/16.md new file mode 100644 index 00000000..f3ebd1e0 --- /dev/null +++ b/1ki/15/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# akaivamia na kuitendea kwa ukatili Yuda + +"aliivamia Yuda" + +# akaijenga Rama + +"aliiteka na kuijengea ngome Rama" + diff --git a/1ki/15/18.md b/1ki/15/18.md new file mode 100644 index 00000000..0fb0b34b --- /dev/null +++ b/1ki/15/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Akaziweka katika mikono ya watumishi + +"Akaiweka kwa mtumishi wake" + +# Akasema + +"Akawaambia watumishi wake" + +# Tazama + +Neno "Tazama" linaongeza msisitizo kwa kilke kinachofuata na kuhalalisha kile kilichokuwa kimesemwa, "Kama uhakika wa kuwa nahitaji mkataba na wewe" + +# uvunje agano lako na Baasha + +"Vunja agano lako na Baasha na uaivamie Israeli" + diff --git a/1ki/15/20.md b/1ki/15/20.md new file mode 100644 index 00000000..7767654d --- /dev/null +++ b/1ki/15/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ikawa Baasha aliposikia + +Kirai hiki kimetumika hapa kuonyeha tukio kubwa kwenye habari. Waweza kutumia neno lililo kwenye lugha yako. + +# akaacha kuijenga + +"Aliwazuia wafanyakazi wake kujenga" + diff --git a/1ki/15/23.md b/1ki/15/23.md new file mode 100644 index 00000000..6e336f99 --- /dev/null +++ b/1ki/15/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# je, hayajaandikwa katikakitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda? + +Tazama 14:29 + +# Akalala na mababu zake na akazikwa pamoja nao + +Tazama 14:29 + +# Daudi baba yake + +"Daudi babu yake" + diff --git a/1ki/15/25.md b/1ki/15/25.md new file mode 100644 index 00000000..288fa8d3 --- /dev/null +++ b/1ki/15/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Akafanya yaliyo maovu mbele ya macho ya BWANA + +"kile ambacho BWANA aliona kuwa ni maovu" + +# akatembea katika njia ya baba yake + +"alkifanya sawa nakile ambacho baba yake alifanya" + diff --git a/1ki/15/27.md b/1ki/15/27.md new file mode 100644 index 00000000..e756fb38 --- /dev/null +++ b/1ki/15/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# akafanya hila dhidi ya Nadabu + +"Afanya mbinu kwa siri kumwua Nadabu" + +# Nadabu na Israeli yote + +"Nadabu na jeshi la Israeli" + diff --git a/1ki/15/29.md b/1ki/15/29.md new file mode 100644 index 00000000..7e87c610 --- /dev/null +++ b/1ki/15/29.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Baasha aliwaua watu wote wa familia ya Yeroboamu. Hakumwaacha hata mmoja wa uzao wa Yeroboamu awe hai + +Sentensi hizi mbili zinamaanisha jambo moja vimetumika kwa ajili ya kutia msisitizo. + +# ukoo wake wote + +Neno "wake" linamaanisha Yeroboamu + +# Ahiyo Mshilo + +Ahiya alikuwa anatoka Shilo + diff --git a/1ki/15/31.md b/1ki/15/31.md new file mode 100644 index 00000000..91d9de95 --- /dev/null +++ b/1ki/15/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# je, hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli + +"Yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli" + diff --git a/1ki/15/33.md b/1ki/15/33.md new file mode 100644 index 00000000..f865ab18 --- /dev/null +++ b/1ki/15/33.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# yaliyo mabaya katika macho ya BWANA + +"yale ambayo BWANA aliyaona kuwa maovu" + +# akatembea katika njia ya Yeroboamu + +"aliishi katika njia za Yeroboamu" au "alifanya mabo yaleyale ambayo Yeroboamu alifanya" + +# katika dhambi yake + +Neno "yake" linamwakilisha Baasha + diff --git a/1ki/16/01.md b/1ki/16/01.md new file mode 100644 index 00000000..a50569ee --- /dev/null +++ b/1ki/16/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Neno la BWANA lilimjia + +Tazama6:11 + +# kutoka kwenye mavumbi + +"kutoka nafasi ya chini isiyo na thamani kabisa" + +# umetembea katika njia za Yeroboamu + +"umefanya mambo yaleyale ambyao Yeroboamu alifanya" + diff --git a/1ki/16/03.md b/1ki/16/03.md new file mode 100644 index 00000000..8418082f --- /dev/null +++ b/1ki/16/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# nitaifanya familia yako + +Neno "yako" linamwakilishsa Baasha + diff --git a/1ki/16/05.md b/1ki/16/05.md new file mode 100644 index 00000000..87b3c1bd --- /dev/null +++ b/1ki/16/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# je, hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli? + +Tazama 15:31 + +# akalala n a mababu zake na akazikwa + +Tazama 14:29 + diff --git a/1ki/16/07.md b/1ki/16/07.md new file mode 100644 index 00000000..ec4d988f --- /dev/null +++ b/1ki/16/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Neno la BWANA lilimjia + +Tazama 6:11 + +# maovu yote aliyofanya mbele ya BWANA + +"mambo aliyofanya ambayo BWANA aliyaona kuwa ni maovu" + +# kazi ya mikonko yake + +"mambo ambayo alikuwa amefanya" + diff --git a/1ki/16/08.md b/1ki/16/08.md new file mode 100644 index 00000000..a2c48c0d --- /dev/null +++ b/1ki/16/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mtumishi wake Zimri + +Neno "wake" linamwakilisha Ela + diff --git a/1ki/16/11.md b/1ki/16/11.md new file mode 100644 index 00000000..6bfd4671 --- /dev/null +++ b/1ki/16/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kama alivyokuwa ameambiwa kwa neno la BWANA + +"kama BWANA alivyokuwa amemwambia" + +# Mungu wa Israeli + +Neno "Israeli linamaanisha watu wote wa makabila kmi na mbili ambayo yametoka kwa Yakobo + diff --git a/1ki/16/14.md b/1ki/16/14.md new file mode 100644 index 00000000..8a7dbead --- /dev/null +++ b/1ki/16/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# yote ambayo alifanya , je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli? + +Tazama 15:31 + diff --git a/1ki/16/15.md b/1ki/16/15.md new file mode 100644 index 00000000..d98614fd --- /dev/null +++ b/1ki/16/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# lile jeshi lililokuwa limeweka kamabi kule lilisikika likisema + +Wale wanajeshi waliokuwa wameweka kambi kule walimsikia mtu akisema" + +# Israeli yote wakamtangaza + +"watu wote wa jeshi wakamtangaza" + diff --git a/1ki/16/18.md b/1ki/16/18.md new file mode 100644 index 00000000..7c936781 --- /dev/null +++ b/1ki/16/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# yale yalIyokuwa maovu machoni pa BWANA + +"yale ambayo BWANA alyaona kuwa maovu" + +# alitembea katika njia ya Yeroboamu + +"alifanya mambo yaleyale ambayo Yeroboamu alifanya" + +# je, hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli? + +Tazama 15:31 + diff --git a/1ki/16/21.md b/1ki/16/21.md new file mode 100644 index 00000000..99e97b0c --- /dev/null +++ b/1ki/16/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# walimfuata Tibni ... walimfuata Omri + +Walimsaidia Tibni ... walimsaidia Omri + +# walikuwa na nguvu kuliko wale waliomfuata Tibni + +"waliwazidi nguvu wale waliomfuata Tibni + diff --git a/1ki/16/23.md b/1ki/16/23.md new file mode 100644 index 00000000..986b6943 --- /dev/null +++ b/1ki/16/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# talanta mbili za fedha + +karibu kiasi cha kilo 68 cha fedha + +# Akajenga mji + +"wafanyakazi wa Omri walijenga mji" + diff --git a/1ki/16/25.md b/1ki/16/25.md new file mode 100644 index 00000000..f72a6ff7 --- /dev/null +++ b/1ki/16/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# akafanya maovu mbele ya BWANA + +"yaliyokuwa maovu mbele ya macho ya BWANA" + +# akatembea katika njia zote za Yeroboamu mwana wa Nebati + +"Akafanya mambo yaleyale ambayo Yeroboamu mwana wa Nebati alifanya" + +# ilI kumkasirisha BWANA ... kuwa na hasira juu yasanamu zao za ubatili + +Tazama 16:11 + diff --git a/1ki/16/27.md b/1ki/16/27.md new file mode 100644 index 00000000..5564c346 --- /dev/null +++ b/1ki/16/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# je, hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli + +Tazama 15:31 + +# akalala na mababu zake na akazikwa + +Tazama 14:29 + diff --git a/1ki/16/29.md b/1ki/16/29.md new file mode 100644 index 00000000..4f681672 --- /dev/null +++ b/1ki/16/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yale yaliyokuwa maovu mbele ya macho ya BWANA + +"yale ambayo BWANA aliyona kuwa ni maovu" + diff --git a/1ki/16/31.md b/1ki/16/31.md new file mode 100644 index 00000000..827dc333 --- /dev/null +++ b/1ki/16/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ikawa kidogo tu kwa Ahabu ayaendee makosa ya Yeroboamu mwana wa Nebati + +Kama vile kutenda dhambi sawa na zile alizofanya Yeroboamu mwana wa Nebaati hazimkutosha Ahabu" + +# Ikawa kidogo tu + +"kitu ambacho hakina umuhimu" + +# akamwabudu baali na akamsujudia + +Virai hivi viwili vinamaanisha jambo lilelile. Kirai cha "akamwabudu" kinafafanua kile kitendo cha kuabudu ambacho watu walifanya wakati wa kuabudu. + diff --git a/1ki/16/34.md b/1ki/16/34.md new file mode 100644 index 00000000..81764243 --- /dev/null +++ b/1ki/16/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# siku zake + +Neno "zake" linamwakilisha Ahabu + diff --git a/1ki/17/01.md b/1ki/17/01.md new file mode 100644 index 00000000..bfa6c8d3 --- /dev/null +++ b/1ki/17/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mtishibi + +Hili jina la kundi la watu kutoka Tishibi + +# Tishibi + +Hili ni jina la mji katika mkoa wa Gileadi + +# Kama vile BWANA, Mungu wa Israeli aishivyo + +Kirai hiki ni kiapo kinchomaanisha kuwa kile anachosema ni kweli. + +# ambaye mbele yake ninasimama + +Hii ni nahau ambayo inamaanisha "kutumika" "ambaye ninamtumikia" + +# umande + +matone ya mvua ambayo hutokea kwenye mmea wakati wa usiku + diff --git a/1ki/17/02.md b/1ki/17/02.md new file mode 100644 index 00000000..f8fef323 --- /dev/null +++ b/1ki/17/02.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Neno la BWANA lilimjia + +Tazama 6:11 + +# Neno la BWANA + +Neno linawakilisha ujumbe wa wa BWANA. "ujumbe wa BWANA" + +# Kerithi + +Hili ni jina la kisima kidogo. + +# Nawe utakunywa + +Kirai hiki kimetumika kuonyesha kuwa BWANA atamtunza Eliya wsakati wa ukame. "kule" + +# kunguru + +ndege wakubwa, weusi + diff --git a/1ki/17/05.md b/1ki/17/05.md new file mode 100644 index 00000000..fa32ad23 --- /dev/null +++ b/1ki/17/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kama neno la BWANA lilivyoamuru + +Hapa "neno" linamwakilisha BWANA mwenyewe. "kama BWANA alivyoamuru" + +# kijito + +Tazama 17"2 + +# katiaka nchi + +"katika eneo hilo" au "katika nchi hiyo" + diff --git a/1ki/17/08.md b/1ki/17/08.md new file mode 100644 index 00000000..281df2c9 --- /dev/null +++ b/1ki/17/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Neno la BWANA lililmjia + +Tazama 6:11 + +# Neno la BWANA + +"Neno" linawakilisha ujumbe wa BWANA, "ujumbe wa BWANA" + +# lilimjia + +Neno "m" linamwakiklisha Eliya. + +# Sarepta + +Huuni mji + +# Tazama + +Neno "Tazama" linaongeza msisitizo kwa kile kiniachofuata + diff --git a/1ki/17/11.md b/1ki/17/11.md new file mode 100644 index 00000000..0f847af5 --- /dev/null +++ b/1ki/17/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kama BWANA Mungu wako aishivyo + +Kirai hii ni kiapo kinachosisitiza kuwa kile atakachokisema ni kweli. + +# konzi moja ya unga tu + +ni kidogo tu kwa ajili ya mlo mdogo + +# unga + +"unga uliotumika kutengeneza mkate + +# kuni mbili + +Hii inamaanisha vijiti viwili + +# ili tule, na tusubiri kufa + +"kwamba tuweze kula na baada ya hapo tusubiri kufa" + +# Ndipo baadaye ujitengenezee wewe na mwanao + +Hii iko wazi kabisa kuwa kutakuwa na unga wa kutosha na mafuta kwa ajili ya mikate zaidi. + diff --git a/1ki/17/14.md b/1ki/17/14.md new file mode 100644 index 00000000..7c45ba55 --- /dev/null +++ b/1ki/17/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# BWANA atakapotuma mvua + +"BWANA ndiye asababishaye mvua kunyesha" + +# kama vile neno la BWANA lilivyosema + +"kama vile BWANA alivyokuwa amesema" + diff --git a/1ki/17/17.md b/1ki/17/17.md new file mode 100644 index 00000000..2c3fe74e --- /dev/null +++ b/1ki/17/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mwana , yule mwanamke, yule mwanamke mwenye nyumba + +"mwana wa yule mwanamke mwenye nyumba" + +# akaishiwa pumzi kabisa + +Hii ni tafsuda ya kusema kuwa mtoto alikuwa amekufa. "Alikoma kupumua" au "alikufa" + +# mtu wa Mungu + +Mtu wa Mungu ni aina nyingine ya kusema nabii + +# dhambi zangu + +Hii inamaanisha kuwa dhambi ni kitu cha jumla wala si kitu mahususi. "juu ya dhambi zangu" + diff --git a/1ki/17/19.md b/1ki/17/19.md new file mode 100644 index 00000000..e6d9f5f9 --- /dev/null +++ b/1ki/17/19.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# alimokuwa akikaa + +Herufi "mo" inamwakilisha Eliya + +# kitandani pake + +Neno "pake" linamaanisha Eliya + +# umeleta majanga kwa mjane ambaye mimi nikaa, kwa kumwua mwanae + +Inaweza kumaanisha 1) Eliya anauliza swali kweli. "kwa nini unamsababishia mjane ambaye mimi ninakaa kupata majanga zaidi kiasicha kumwua mwanae? au 2) Eliya anatumia swali kueleza huzuni aliyo nayo, "Kwa kweli hungemsbsbia majanga mjane ambaye mimi ninakaa kwa kumwua mwanae." + +# umeletea majanga kwa mjane + +kumsababishia mjane maumivu ndiko kunakoongelewa kama "majanga" hiki ni kitu ambacho kiliwekwa kwa mjane. + +# pia umeleta majanga + +neno "pia" nyongeza ya majanga ambayo ukame umesababisha + +# akajinyosha mwenyewe juu ya mtoto + +"akalala juu ya mtoto" + diff --git a/1ki/17/22.md b/1ki/17/22.md new file mode 100644 index 00000000..163fa511 --- /dev/null +++ b/1ki/17/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# BWANA akaisikiliza sauti ya Eliya + +"BWANA akajibu maombi ya Eliya" + +# uhai wa mtoto ukamrudia, na akawa hai. + +"mtoto akarudia uhai wake" + +# chumbani kwake + +"kwake" Eliya + +# Tazama, mwanao yuko hai + +Neno "Tazama" linatuandaa kuwa makinii kwa taarfa ambazo ziinafuata. + +# Neno la BWANA kinywani mwako ni la kweli + +"Neno" linawakilisha ujumbe. Pia "kinywani" linamaanishsa kile Eliya alichosema kutoka kwa BWANA ni cha ukweli" + diff --git a/1ki/18/01.md b/1ki/18/01.md new file mode 100644 index 00000000..9afd2cf8 --- /dev/null +++ b/1ki/18/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Neno la BWANA lilimjia + +Tazama 6:11 + +# nitainyeshea ardhi mvuva + +"nitasababisha mvua iinyeshee ardhi + +# sasa njaa ilikuwa kali sana + +Neno "sasa" limetumika kuonyesha mwanzo wa katika habari kuu. Na hapa mwandishi anaeleza madhara yaliyosababishwa na njaa huko samaria + diff --git a/1ki/18/03.md b/1ki/18/03.md new file mode 100644 index 00000000..9fba360e --- /dev/null +++ b/1ki/18/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Obadia alimheshimu sana BWANA + +Hapa mwandishi anaeleza juu ya mtu mwingine katika habari. + +# manabii mia moja akawaficha katika makundi ya hamsini hamsini + +"manabii 100 akawaficha katika makundi ya 50" + diff --git a/1ki/18/05.md b/1ki/18/05.md new file mode 100644 index 00000000..cb966cf5 --- /dev/null +++ b/1ki/18/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# tuwaokoe hawa farasi na nyumbu ... ili tusiwakose wanyama wote + +"tuzuie kifo kwa farasi na nyumbu hawa" + +# Ahabuakaenda njia yke mwenyewe na Obadia naye akaenda njia yake + +Ahabu akaongoza Kikosi kuelekea upande mwingine na Obadia akaongoza kikosi kuelekea upande mwingine. + diff --git a/1ki/18/07.md b/1ki/18/07.md new file mode 100644 index 00000000..e9128903 --- /dev/null +++ b/1ki/18/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ndiye wewe bwana wangu Eliya? + +"Eliya Bwana, umekuja!" + +# bwana Eliya + +Neno "bwana" limetumika kuonesha heshima + +# Nenda umwambie bwana wako, 'Tazama, Eliya yuko hapa." + +Neno "bwana" linamaanisha Ahabu + +# Tazama + +Neno "Tazama" hapa linonesha msisitizo wa kile kinachofuata. + diff --git a/1ki/18/09.md b/1ki/18/09.md new file mode 100644 index 00000000..d8ff72f1 --- /dev/null +++ b/1ki/18/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nimekoseaje ... ili aniue? + +"Sijakukosea wewe ... kwa yeye kuniua," + +# umtoe mtumishi wako katika mkono wa Ahabu + +"umtoe mtumishi wako kwa Ahabu" + +# mtumishi + +Obadia anjiona mwenyewe kuwa ni mtumishi wa Eliya ili kumheshimu Eliya + +# Kama BWANA Mungu wako aishivyo + +Hiki ni kiapo ambacho kilitumika kuonyesha kuwa kile anachosema ni cha kweli. + +# hakuna taifa wala ufalme ... ambapo bwana wangu hajatuma watu + +"bwana wangu ametuma watu kila mahali" + +# Na sasa wewe + +Neno hili limetumika kuonyesha hatari ya kile ambacho Eliya anamwambia Eliya kufanya. + diff --git a/1ki/18/12.md b/1ki/18/12.md new file mode 100644 index 00000000..3023b98a --- /dev/null +++ b/1ki/18/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je, haujaambiwa ... kwa mikate na maji + +"Kwa hakika umeshambiwa juu y a kile nilichokifanya ... kwa mikate na maji," + +# bwana wangu + +neno "bwana" ni neno la heshima inayotolewa kwa Eliya + +# manabii miamoja wa BWANA katika makundi ya hamsini + +"manabii 100 wa BWANA katika makundi ya 50" + diff --git a/1ki/18/14.md b/1ki/18/14.md new file mode 100644 index 00000000..d0b5c267 --- /dev/null +++ b/1ki/18/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nenda umwambie bwana wako kwamba Eliya yuko hapa + +Tazama 18:9 + +# bwana wako + +Neno "bwana" hapa linamaanisha Ahabu + +# kama vile BWANA wa majeshi aishivyo + +Hiki ni kiapo kinachomaanisha kuwa anachokisema ni cha kweli + +# ambaye mimi ninasimama + +"ambaye ninamtumikia" + diff --git a/1ki/18/16.md b/1ki/18/16.md new file mode 100644 index 00000000..59cf7fe5 --- /dev/null +++ b/1ki/18/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# na kumwambia + +"Obadia akamwambia Ahabu kile ambacho Eliya amemwambia kusema" + +# "Je, ni wewe? mtabishaji wa Israeli!" + +"Kwa hiyo leo nimekuona . Wewe mtabishaji wa Israeli!" + diff --git a/1ki/18/18.md b/1ki/18/18.md new file mode 100644 index 00000000..17e082b6 --- /dev/null +++ b/1ki/18/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Israeli yote + +Hii inamaanisha viongozi na watu wote wa makabila kumi ya Israeli yaliyoko kwenye utfalme wa kaskazini. + +# manabii 450 + +"manabii mia nne na hamsini" + +# manabii mia nne + +"manabii 400" + diff --git a/1ki/18/20.md b/1ki/18/20.md new file mode 100644 index 00000000..1b7ecb99 --- /dev/null +++ b/1ki/18/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# akatuma neno + +"akatuma ujumbe" + +# Mtaendelea kubadilisha mawazo yenu mpaka lini? + +"Mmesitasita katikati ya mawazo kwa muda mrefu sana" + +# Lakini watu hawakumjibu neno + +"hawakusema chochote" au "walibaki kimya" + diff --git a/1ki/18/22.md b/1ki/18/22.md new file mode 100644 index 00000000..c27d94af --- /dev/null +++ b/1ki/18/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mimi, pekee yangu, ndiye niliyebaki + +Neno "Mimi" limerudiwa kwa aji;li ya msisitizo. + +# kisha mtaliita jna la mungu wenu ... nitaliita jiina la BWANA + +"mwiteni mungu wenu ... nitamwita BWANA" + +# Watu wote wakajibu na kusema, "Hilo ni jambo jema" + +watu wote wakasema, "hili ni jambo jema" + diff --git a/1ki/18/25.md b/1ki/18/25.md new file mode 100644 index 00000000..e887c5b2 --- /dev/null +++ b/1ki/18/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kumwandaa + +"mfanyeni tayari kwa sadaka" + +# ninyi ni wengi + +Neno "ninyi" ni la wingi. + +# Nao wakamchukua yule nfahari + +"manabii wa baali wakamchukua yule fahari" + +# waliyekuwa wamepewa + +yule fahari ambaye mtu aliwapa + +# Lakini hapakuwepo na sauti, wala aliyejibu + +"Lakini Baali hakusema wala kufanya chochote" + diff --git a/1ki/18/27.md b/1ki/18/27.md new file mode 100644 index 00000000..6ade531b --- /dev/null +++ b/1ki/18/27.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Labda + +"yawezekana" au "inaweza kuwa" + +# anapumzika + +"bafuni" + +# sharti aamushwe + +"lazima mwamshe" + +# bado walikuwa wakiendelea + +"waliendelea na tabia yao isiyo ya kawaida" + +# wakati wa jioni wa kutoa dhabihu + +kutoa dhabihu ya jioni + +# jioni + +wakati jua linapoanza kutoweka na giza kuanza kuingia + +# lakini hapakuwepo na sauti wala mtu wa kujibu; wala hapakuwepo na yeyote wa kujibu wala wa kuangalia. + +"lakini Baali hakusema wala kufanya chochote wala kuangalia" + +# lakini hapakuwepo na sauti wala mtu wa kujibu; + +Tazama 18:25 + diff --git a/1ki/18/30.md b/1ki/18/30.md new file mode 100644 index 00000000..4fefb26d --- /dev/null +++ b/1ki/18/30.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mawe kumi na mbili + +"mawe 12" + +# katika jina la BWANA + +Inaanisha 1) "kumheshimu BWANA" au 2) "kwa mamlaka ya BWANA." + +# mfereji + +ni njia ndogo ya maji + diff --git a/1ki/18/33.md b/1ki/18/33.md new file mode 100644 index 00000000..ff68e48f --- /dev/null +++ b/1ki/18/33.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# akaweka kuni kwa ajili ya moto + +"akaweka kuni kwa ajili ya moto madhabahuni" + +# vyombo vinne + +"vyombo 4" + +# pipa + +pipa ni chombo cha kuwekea maji + +# mfereji + +Tazama 18:30 + diff --git a/1ki/18/36.md b/1ki/18/36.md new file mode 100644 index 00000000..b8ed5b0e --- /dev/null +++ b/1ki/18/36.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Ikawa + +Neno hili hutumika kuonyesha tukio la muhimu katika historia. Waweza kutumia neno jingine linalofaa katika lugha yako + +# Jioni + +Tazama 18:27 + +# BWANA, Mungu wa Ibrahimu, wa Isaka, na wa Yakobo + +Hapa "Israeli" inamaanisha Yakobo. Mungu alilibadilisha jina la Yakobo likiwa Israeli (Mwanzo 32:28). Pia Mungu aliwaita wana wa uzao wa Yakobo "Israeli." + +# na ijulikane leo kuwa + +"kuwafanya hawa watu wajue leo" + +# Nisikie ... nisikie + +Neno hili limerudiwa kwa ajiloi ya kutia msisitizo + +# umerudisha mioyo yao kwako tena + +"umewafanya wakuabudu tena" + diff --git a/1ki/18/38.md b/1ki/18/38.md new file mode 100644 index 00000000..e9141f8b --- /dev/null +++ b/1ki/18/38.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# moto wa BWANA ukashuka + +"moto wa BWANA ukashuka chini" + +# BWANA, ndiye Mungu! BWANA, ndiye Mungu + +Neno limerudiwa kwaajiliya kusisitiza + +# kijito cha Kishoni + +"kijito" ni chemichemi ndogo za maji. + diff --git a/1ki/18/41.md b/1ki/18/41.md new file mode 100644 index 00000000..40d8a4d6 --- /dev/null +++ b/1ki/18/41.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kuna sauti ya mvua kubwa + +"kuna sauti kama ya mvuva kubwa itakayonyesha" + +# akasujudu chini na akaweka uso wake katikati ya magoti + +Hiki ni kitendo kilichokuwa kikitumika waktati wa kuabudu. + diff --git a/1ki/18/43.md b/1ki/18/43.md new file mode 100644 index 00000000..857ba000 --- /dev/null +++ b/1ki/18/43.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mara saba + +"mara 7" + +# dogo kama mkono wa mtu + +kutoka mbali, wingu linaweza kuonekana kama mkono wa mtu. + diff --git a/1ki/18/45.md b/1ki/18/45.md new file mode 100644 index 00000000..355b5bf4 --- /dev/null +++ b/1ki/18/45.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ikatokea + +Neno hili limetumika hapa ili kuonyesha mahali ambapo tendo linaanzia. waweza kutumia neno linalotumika katika lugha yako + +# mkono wa BWANA ulikuwa juu ya Eliya + +"BWANA alimpa Eliya mkono wake" + +# Akalikaza vazi lake kwa mshipi + +Eliya alilikaza vazi lake kiunoni iloi kwamba miguu yake iwe tayari kukimbia. + diff --git a/1ki/19/01.md b/1ki/19/01.md new file mode 100644 index 00000000..250e458e --- /dev/null +++ b/1ki/19/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# miungu wanifanye hivyo na mimi, na zaidi + +"miungu waniue na nawanifanyie mabaya zaidi" + +# muda kama huu sitayafanya maisha yako kuwa kama mmooja wa hao manabii waliokufa. + +"kama sitakua kama ulivyowaua hao manabii" + +# akainuka + +"akasimama" + diff --git a/1ki/19/04.md b/1ki/19/04.md new file mode 100644 index 00000000..d94259c0 --- /dev/null +++ b/1ki/19/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Lakini ye ye mwenyewe akaenda mwendo wa siku moja + +"altembea mwenyewe kwa siku moja" + +# mti wa mretemu + +"huu ni mtiunaokua kwenye jangwa" + +# Akajiombea mwenyewe kufa + +"Akaomba kwamba afe" + +# Sasa yatosha, BWANA + +"Mateso haya ni makubwa sana kwangu, BWANA" au "Sasa ninamashaka sana, BWANA" + +# Inuka + +"amka" + +# mkate uliokuwa umeokwa kwa mkaa + +"mkate ambao mtu alikuwa ameuoka kwenye jiwe lenye joyo" + +# gudulia la maji + +"chombo cha maji" + diff --git a/1ki/19/07.md b/1ki/19/07.md new file mode 100644 index 00000000..94c2e657 --- /dev/null +++ b/1ki/19/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# safari bado ndefu kwako + +"itakuwa ndefu sana kwako" + +# akasafri kwa nguvu ya chaku;a hicho kwa muda wa siku arobaini mchana na usiku + +"chakua hicho kilimpa nguvu ya kusafiri siku 40" + diff --git a/1ki/19/09.md b/1ki/19/09.md new file mode 100644 index 00000000..75d5395e --- /dev/null +++ b/1ki/19/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kwenye pango akakaa humo + +Neno "humo" linamaanisha Mlima Horebu. Pango ni sehemu iliyowazi maaeneo ya milima ambayo hufanya kitu kama chumba cha asili au chumba kilicho chini aridhini. + +# Neno la BWANA lilimjia likimwambia + +Tazama 6:11 + +# Unafanya nini hapa Eliya + +"Hapa si mahali unapotakiwa kuwa, Eliya" + +# Mimi, pekee yangu, nimebaki + +Neno "mimi" limerudiwa kwa aji;i ya msisitizo. + diff --git a/1ki/19/11.md b/1ki/19/11.md new file mode 100644 index 00000000..725c22e8 --- /dev/null +++ b/1ki/19/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kwenye mlima mbele yangu + +"mlimani katika uwepo wangu" + +# ukaupige mlima + +"upige mlima" + diff --git a/1ki/19/13.md b/1ki/19/13.md new file mode 100644 index 00000000..f690524d --- /dev/null +++ b/1ki/19/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# akaufunika uso wake kwa vazi lake + +Akuficha uso wake kwa vazi lake" au"akaficha macho yake asimwone Mungu" + +# lango + +ule uwaziambao mtu huutumia kuingilia pangoni au kwenye chumba" + +# Na sauti ikaja kwake + +"Kisha akaisikia sauti" + +# unafanya nini hapa? ... wanajaribu kuichukua roho yangu + +Tazama 19:9 + diff --git a/1ki/19/15.md b/1ki/19/15.md new file mode 100644 index 00000000..519265e2 --- /dev/null +++ b/1ki/19/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kuwa nabii mahali pako + +"nabii badala yako" + diff --git a/1ki/19/17.md b/1ki/19/17.md new file mode 100644 index 00000000..f7d1ae97 --- /dev/null +++ b/1ki/19/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Itakuwa hivi + +"Kitakachotokea ni" + +# atakayejaribu kutoroka upanga wa Hazaeli + +"ambaye Hazaeli hatamwua kwa upanga" + +# ntawaacha kwa ajili yangu + +Neno "ni" linamaanishsa BWANA. "Nitawaokoa kutoka kwenye kifo" + +# watu elfu saba + +"watu 7000" + +# ambao magoti yao hayajawahi kupigwa kwa Baali, na ambao midomo yao haijambusu." + +"Ambao hawajawahi kumwabudu na kumbusu Baali" + diff --git a/1ki/19/19.md b/1ki/19/19.md new file mode 100644 index 00000000..9fc9611d --- /dev/null +++ b/1ki/19/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# akilima + +akilima kwa jembe la kukokotwa na wanyama linlovunja vunja udongo ili kwamba mbegu zipandwe. + +# jozi za makisai kumi na mbili + +"jozi 12 za makisai" + +# yeye mwenyewe alikuwa akilima na ile ozi ya kumi na mbili + +Neno "mwenyewe" linaonyesha kuwa Elisha alikuwa akilima na ile jozi ya mwisho, wakati wale wanume wengine walikuwa wakilima na zile jozi kumi na moja. + +# akamwambia, "tafadhali" + +Neno "mwa" linamaanisha Elisha + diff --git a/1ki/19/21.md b/1ki/19/21.md new file mode 100644 index 00000000..eaafeb0d --- /dev/null +++ b/1ki/19/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# akawapa watu + +Elisha aliwapa nyama iliyopikwa wale watu wa mji. + diff --git a/1ki/20/01.md b/1ki/20/01.md new file mode 100644 index 00000000..24672923 --- /dev/null +++ b/1ki/20/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Beni Hadadi + +Hili jina la mwanamume + +# wafalme thelathini na mbili wasaidizi + +"wafalme wasaidizi 32" + +# wafalme wasaidizi + +"wafalme wanaotawala makundi madogo madogo ya watu" + diff --git a/1ki/20/04.md b/1ki/20/04.md new file mode 100644 index 00000000..ea6c864e --- /dev/null +++ b/1ki/20/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# iwe kama unavyosema + +"ninakubaliana n a wewe" + +# kesho wakati kama huu + +"kesho wakati wa saa kama huu wa sasa" + +# kila wakipendacho machoni mwao + +"chochote kinachowapendeza" + diff --git a/1ki/20/07.md b/1ki/20/07.md new file mode 100644 index 00000000..944944a9 --- /dev/null +++ b/1ki/20/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wa nchi + +"wa watu wa Israeli" + +# Hebu angalieni + +"agalieni kwa makini" + +# sijamkatalia + +"Nimekubaliana na matakwa yake" + +# watu wote + +"watu wote waliokuwepo" + diff --git a/1ki/20/09.md b/1ki/20/09.md new file mode 100644 index 00000000..a6efbccf --- /dev/null +++ b/1ki/20/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# matakwa yako haya ya pili + +"vitu vile ulivyoomba mara ya pili" + +# basi miungu inifanye hivyo na zaidi + +Tazama 19:1 + +# kama mavumbi ya Samaria yatawatosheleza watu wote wanaonifuata kuchukuc angalau kila mmoja angalau konzi mkononi mwake + +Bebi Hadadi anasema kuwa jeshi lake litaangamiza kabisa kila kitu Samaria. + diff --git a/1ki/20/11.md b/1ki/20/11.md new file mode 100644 index 00000000..ac99488c --- /dev/null +++ b/1ki/20/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwambieni Bebi Hadadi, 'Hakuna abaebaye silaha yake, atakayejivuna kama wakati wa kuishusha + +"Mwambieni Beni Hadadi, 'usijivune kana kwamba tayari umekwisha kushinda vita ambavyo bado hujapigana." + diff --git a/1ki/20/13.md b/1ki/20/13.md new file mode 100644 index 00000000..ea6f2961 --- /dev/null +++ b/1ki/20/13.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Tazama + +Neno "tazama" linatuandaa kuonekana kwa mtu mwingine kwenye hii habari. Lugha yako inaweza kuwa na neno zurizaidi. + +# Je, umeliona hili jeshi kubwa? + +"Tazama hili jeshi kubwa" + +# Tazama, nitaliweka katika mkono wako leo + +Neno "tazama" linatuandaa kusikiataaraifa za kushangaza zinazofuatia. + +# Nitaliweka katika mkono wako + +"Nitakupa ushindi dhidi ya jeshi hilo" + +# Ni nani? + +"Utafanya hilo kwa kumtumia nani?" + +# Ndipo Ahabu alipowataarifu wale vijana + +"Ahabu akawakusanyawale maofisa vijana" + +# 232 + +"mia mbili thelethini na mbili" + +# wanajeshiwote, jeshi lote + +Virai hivi vinmaanisha jambo lilelile. Vimetumia kwa ajili ya kuonesha msisitizo. + +# elfu saba + +"7000" + diff --git a/1ki/20/16.md b/1ki/20/16.md new file mode 100644 index 00000000..4cc6a7aa --- /dev/null +++ b/1ki/20/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nao wakatka + +Neno "wa" linamaanisha Waisraeli + +# wasaidiziwa wafalme + +Tazama 20:1 + +# Kisha Bebni Hadadi alitaarifiwa na wale wanaskauti aliokuwa amewatuma + +"Wale wanaskauti ambao Beni Hadadi alikuwa amewatuma walimtaarifu" + +# Skauti + +"Skauti" ni mwanjeshi anyetumwa kukusanya taarifa. + diff --git a/1ki/20/18.md b/1ki/20/18.md new file mode 100644 index 00000000..7666f49e --- /dev/null +++ b/1ki/20/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# amani, kwa amani + +Neno "amani" linamaanisha ile hali ya kutokuwa na machafuko, mashaka, au hofu. + +# Maisha, kuishi naishi ,yuko hai + +Maneno haya yoe ynamaanisha ile hali ya kuwa hai kimwili wala siyo kufa. + diff --git a/1ki/20/20.md b/1ki/20/20.md new file mode 100644 index 00000000..b212f0e1 --- /dev/null +++ b/1ki/20/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Israeli ikawashinda + +"Wale wanaume wa jeshi la Israwli likawashinda" + +# Kisha mfalme wa Israeli akaenda akawashambulia + +Mfalme wa Israeli na wanajeshi wake walienda kuwashanbulia + diff --git a/1ki/20/22.md b/1ki/20/22.md new file mode 100644 index 00000000..e1438359 --- /dev/null +++ b/1ki/20/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ukajiimaishe mwenyewe + +"imarisha majeshi yako + +# uelewe na kupanga + +"fanaya uamuzi" + +# mwakani + +inawezakumaanisha majira kama haya mwaka ujao. + +# hebu tupigane ... tutakuwa na nguvu + +Kiwakilishi "tu" n a "tu"kinamaanisha watumishi, wafalme, a jeshi + diff --git a/1ki/20/24.md b/1ki/20/24.md new file mode 100644 index 00000000..6dd14d8d --- /dev/null +++ b/1ki/20/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# waondoe wafalme; mwondoe kila mmoja mahali pake ukaweke majemedari + +"lazima uwaondoe wale wasaidizi wa wafalme thelathini na mbili ambao wanaongoza vikosi" + diff --git a/1ki/20/26.md b/1ki/20/26.md new file mode 100644 index 00000000..34a18a83 --- /dev/null +++ b/1ki/20/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Afeki + +Hili ni jina la mji + +# kupigana na Israeli + +"kupigana na jeshi la israeli" + +# watu wa Israeli walikuwa wamehesabiwa + +Jeshi la Waisraeli lilikusanywa pamoja na walipewa vitu ambavyo walihitaji kwa ajili ya vita + +# kama makundi mawili madogo ya mbuzi + +Jeshi l a Waisraeli linaonekana dogo nadhaifu kama mbuzi mchanga. + diff --git a/1ki/20/28.md b/1ki/20/28.md new file mode 100644 index 00000000..3a54f7e8 --- /dev/null +++ b/1ki/20/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mtu wa Mungu + +Hili jina lingiinela nabii. "Nabii" + +# nitaliweka hili jeshi kubwa mikononi mwako + +"nitakupa ushindi juu ya hili jeshi kubwa" + diff --git a/1ki/20/29.md b/1ki/20/29.md new file mode 100644 index 00000000..c7cbee9b --- /dev/null +++ b/1ki/20/29.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# siku saba + +"siku 7" + +# 100,000 + +"laki moja" + +# wanajeshi wa ardhini + +"mwanjeshi wa ardhini" ni askari anayetenbea kwa mguu. + +# waliobaki walikimbilia Afeki + +"wanajeshi wa Shamu waliobaki" + +# elfu ishirini na saba + +"27,000" + diff --git a/1ki/20/31.md b/1ki/20/31.md new file mode 100644 index 00000000..da77b5bf --- /dev/null +++ b/1ki/20/31.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Tazama sasa + +"Sikiliza" au "Sikiliza kwa makini kile ninachotaka kukuambia" + +# tuvaeni magunia viunoni mwetu, na kamba vichwani mwetu + +Hii ni ishara ya kjiachilia. + +# Je bado yuko hai? + +"Ninashangaa kwamba bado yuko hai!" + +# Yeye ni ndugu yangu + +"Ni kama ndugu yangu" + diff --git a/1ki/20/33.md b/1ki/20/33.md new file mode 100644 index 00000000..bb9f76ff --- /dev/null +++ b/1ki/20/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sasa wale watu + +Neno "sasa" halimaanishi "wakati huu," Bali limetumika ili kupata usikivu kwa ajili ya mambo yanayofufata. + +# ishara yeyote kutoka kwa Ahabu + +"Kwa kuwa tendo lolote toka kwa Ahabu ambalo litawaonesha kuwa Ahabu anataka kuwa mwenye neema" + diff --git a/1ki/20/35.md b/1ki/20/35.md new file mode 100644 index 00000000..02ffab7a --- /dev/null +++ b/1ki/20/35.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mmoja wa wana wa manabii + +"mmoja wa wa kundila manabii + +# Kwa neno la BWANA + +"kama BWANA alivyomwambia" + +# umekataa kutii sauti ya BWANA + +"hujamtii BWANA" + diff --git a/1ki/20/37.md b/1ki/20/37.md new file mode 100644 index 00000000..9bf7fbec --- /dev/null +++ b/1ki/20/37.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mfalme + +Neno "mfalme" linamaanisha mtu ambaye ni kiongozi wa juu kabisa wa mji, serikali au nchi. + diff --git a/1ki/20/39.md b/1ki/20/39.md new file mode 100644 index 00000000..c9ca84bb --- /dev/null +++ b/1ki/20/39.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mtumishi wako alienda + +Nabii anajisemea yeye katika nafsiya tatu kama ishara ya kumheshimu mfalme + +# katikati ya pigano + +"mahali pale ambapo pigano lilikuwa kali sana" + +# maishsa yako yatatolewa kwa ajili ya maisha yake + +"basi utakufa kwa niaba yake" + +# talanta moja ya fedha + +"kilo 34 za fedha" + +# akienda huku na kule + +"akifanya mambo mengine" au "akifanya hili na lile + diff --git a/1ki/20/41.md b/1ki/20/41.md new file mode 100644 index 00000000..02bcca87 --- /dev/null +++ b/1ki/20/41.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa kuwa umemwachia aende + +"umemwachia" au "umemwacha hai" + +# maisha yako yatachukua nafasi ya maisha yake na watu wako kwa watu wake + +"utakufa badala yake, na watu wako watakufa kwa nafasi ya watu wako" + +# moyo mzito na mwenye hasira + +Maneno haya mawili yanamaanisha kitu kilekile. Yametumika kuonesha uzito wa hisia zake. + diff --git a/1ki/21/01.md b/1ki/21/01.md new file mode 100644 index 00000000..48b66780 --- /dev/null +++ b/1ki/21/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Basi ikawa baada ya hayo + +Kirai hiki kimetumika kuonyesha mwanzo wa habari mpya. Kama lugha yako ina namna ya kuseema hili basi litumike hapa. + +# Nabothi Myezreeli + +Hili ni jiina la mtu kutoka Yezreeli + +# Mfalme wa Samaria + +Ahabu alitawala Israeli kutokea Samaria. "Mfalme wa Israeli" + diff --git a/1ki/21/03.md b/1ki/21/03.md new file mode 100644 index 00000000..7039f4bb --- /dev/null +++ b/1ki/21/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# BWANA na alizuie + +"Natumaini BWANA atanilinda ili nisiharibu uaminifu huo" + +# akiwa mchovu + +Tazama 20:41 + diff --git a/1ki/21/05.md b/1ki/21/05.md new file mode 100644 index 00000000..2f6bf0df --- /dev/null +++ b/1ki/21/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini moyo wako una huzuni + +Hapa "moyo" unamaanisha hisia. "kwa nini una huzuni sana" + +# Je, wewe si mtawala wa ufalme wa Israeli? + +Wewe bado ni mtawala wa utawala wa Israeli." + +# moyo wako uwe na amani + +"uwe na furaha" + diff --git a/1ki/21/08.md b/1ki/21/08.md new file mode 100644 index 00000000..cea90cbb --- /dev/null +++ b/1ki/21/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kwa jina la Ahabu + +"na akaweka saini kwa jina la Ahabu" + +# watu tajiri alioketi nao + +"watu tajiri walioketi na Nabothi" + +# juu mbele ya watu + +"katika eneo la heshima miongoni mwa watu" + +# watoe ushahidi kinyume naye + +"waambie hawa watu wamshitaki Nabothi kwa mashitaka ya kwamba amemlaani Mungu na mfalme" + diff --git a/1ki/21/11.md b/1ki/21/11.md new file mode 100644 index 00000000..9845540e --- /dev/null +++ b/1ki/21/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# watu tajiri waishio + +watu tajiri wanaoishhi" + +# kama Yezebeli alivyowaeleza, kama ilivyoandikwa kwenye zile barua ambazo alikuwa amewatumia + +Virai hivi viwili vinamaanisha jambo moja. Vimetumika kuonesha msisitizo + +# kama ilivyoandikwa kwenye zile barua + +"kama alivyoandika kwenye hizo barua" + +# juu mbele ya watu + +katiak eneo la heshima miongoni mwa watu + +# wakamchukua nje + +Neno "wa" linamaanisha watu wa mji + +# Nabothi ameshapigwa mawe na amekufa + +"Tumempiga mawe Nabothi na amekufa" + diff --git a/1ki/21/15.md b/1ki/21/15.md new file mode 100644 index 00000000..01fa7f83 --- /dev/null +++ b/1ki/21/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nabothi ameshapigwa mawe na alikuwa amekufa + +"kwamba watu walikuwa wamempiga mawe Nabothi na alikuwa amekufa" + +# Nabothi hayuko hai, bali amekufa + +Maneno haya mawili yanafanana kwa maana. Yametumika kuonesha msisitizo kuwa Nabothi amekufa. + diff --git a/1ki/21/17.md b/1ki/21/17.md new file mode 100644 index 00000000..bcb4fdbb --- /dev/null +++ b/1ki/21/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# neno la BWANA likamjia + +Tazama 6:11 + diff --git a/1ki/21/19.md b/1ki/21/19.md new file mode 100644 index 00000000..e603aeab --- /dev/null +++ b/1ki/21/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Je, umeua na kujimilikisha? + +Umemwua Nabothi na kuiba shamba lake la mizabibu? + +# damu yako, ndiyo, damu yako + +Neno limerudiwa ili kusisitiza + +# Je, umenipatia, adui yangu + +"umegundua kile nilichofanya, adui yangu!" + +# umejiuza mwenyewe kufanya yaliyo maovu + +"umejitoa mwenyewe kufanya yaliyi maovu" + +# yaliyo maovu mbele ya macho ya BWANA + +"yale ambayo BWANA huyaona kuwa ni maovu" + diff --git a/1ki/21/21.md b/1ki/21/21.md new file mode 100644 index 00000000..c94e6f25 --- /dev/null +++ b/1ki/21/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tazama + +"Sikiliza" au "angalia kwa makini kile ninachotaka kukuambia" + +# litakuangamiza kabisa na kukufutilia mbali + +Senrwnsi hizi zina aana moja zinasisitiza kuangamiza kabisa kwa familia ya Ahabu. + +# Nitaifanya familia yako kama familia ya Yeroboamu ...na kama familia ya Baasha + +BWANA ataiangamiz afamilia ya Ahabu kama alivyoaangamiza familia ya Yeroboamu na Baasha. + diff --git a/1ki/21/23.md b/1ki/21/23.md new file mode 100644 index 00000000..0436e8d0 --- /dev/null +++ b/1ki/21/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yeyote ambaye ni mtu wa familia ya Ahabu + +"Mtu yeyote ambaye ni wa familia ya Ahabu" + diff --git a/1ki/21/25.md b/1ki/21/25.md new file mode 100644 index 00000000..1307181c --- /dev/null +++ b/1ki/21/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ambaye alijiuza mwenyewe kufanya maovu + +"alijitoa mwenyewe kufanya maovu" + +# maovu mbele ya macho ya BWANA + +"kile ambacho BWANA hukiona kuwa ni kiovu" + +# ambaye mke wake Yezebeli ... alimchochea + +Neno "ambaye" linamwakilisha Ahabu + +# akawafukuza mbele ya watu wa Israeli + +"akawafukuza kutoka katika uwepo wa watuwa Israeli" + diff --git a/1ki/21/27.md b/1ki/21/27.md new file mode 100644 index 00000000..d29840b2 --- /dev/null +++ b/1ki/21/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, unamwona jinsi Ahabu anavyojinyenyekeza mbele yangu? + +"Nimeona jinsi Ahabu anavyojinyenyekeza mbele yangu" + +# katika siku zake ... siku za mwanae + +wakatiwa uhai wake ...wakati wa uhai wa mwanae" + diff --git a/1ki/22/01.md b/1ki/22/01.md new file mode 100644 index 00000000..78406780 --- /dev/null +++ b/1ki/22/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Miaka mitatu + +"Miaka 3" + +# Ikawa katika + +Kirai hiki kimetumika hapa ili konesha mwanzo wa habari mpya. Wawea kutumia neno lililo kwenye lugha yako lenye maana ya mwanzo wa tukio jipya + diff --git a/1ki/22/03.md b/1ki/22/03.md new file mode 100644 index 00000000..5419fde3 --- /dev/null +++ b/1ki/22/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je, mnajua kuwa Ramothi Gileadi ni yetu, ila hatufanyi chochote kuitwaa ktoka kwenye mikono ya mfalme wsa Shamu? + +Ramothi Gileadi ni yetu, Lakini hataujafanya lolote kuitwaa kutoka kwenye mikono ya mfalme wa Shamu." + +# Kuitwaa kutoka kwenye mikonao ya mfalme wa Shamu + +"Kuitwaa kutoka kwenye utawala wa mfalme wa Shamu" + +# Mimi ni kama wewe, watu wangu ni kama watu wako, na farasi wangu ni kama farasi wako + +"Ninawatoa askari wangu, watu wangu, na farasi wangu kwako kuwatumia katika njia uzipendazo" + diff --git a/1ki/22/05.md b/1ki/22/05.md new file mode 100644 index 00000000..37ab74f7 --- /dev/null +++ b/1ki/22/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# watu mia nne + +"watu 400" + +# Bwana ataitoa katika mkono wa mfalme + +"Bwana atamruhusu mfalme kuiteka" + diff --git a/1ki/22/10.md b/1ki/22/10.md new file mode 100644 index 00000000..61db9a08 --- /dev/null +++ b/1ki/22/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# akajitengenezea pembe + +akatengeneza pembe kwa ajili yake + +# Kwa hili utawsukuma Washami mpaka watakapoisha + +Anachokisema nabii ni kwamba jeshi la Ahabu litashinda kwa nguvu nyingi kama vilr fahari anavyomshambulia mnyama mwingine. "watatakapoisha" ni usemi unaomaanisha kuwa "kuangamiza" + +# mpaka watakapoisha + +"mpaka uwaangamiza"akapo + +# ameiweka kwenye mkono wa mfalme + +"amemruhusu mfalme kuivamia" + diff --git a/1ki/22/13.md b/1ki/22/13.md new file mode 100644 index 00000000..40208300 --- /dev/null +++ b/1ki/22/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Tazama sasa + +"Sikiliza" au "Uwe msikivu kwa jambo ninalotaka kukuambia" + +# maneno ya manabii kwa kinywa kimoa wanatabiri mambo mema kwa mfalme + +Kirai cha "kwa kinywa kimoja" kinamaanisha kwamba wote wanasema jambo lilelile jema kwa mfalme" + +# Tafadhli maneno yako yawe kama yao + +"yao" inamaanisha "maneno ya manabii." kile unachosema kifanane na kile walichosema" + +# je, twende + +Neno "twe" linamaanisha Ahabu, Yehoshafati, na majaeshi yao lakini si Mikaya. + +# BWANA ataitoa kwenye mkono wa mfalme + +Tazama 22:5 + diff --git a/1ki/22/16.md b/1ki/22/16.md new file mode 100644 index 00000000..2a704553 --- /dev/null +++ b/1ki/22/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Je, nikutake mara ngapi ili nikuapia ukweli ... kwa jina la BWANA? + +"Nimekutaka mara nyingi sana ...katika jina la BWANA." + +# katika jina la BWANA + +"kama mwakilishi wa BWANA" + +# Ninaiona Israeli + +"Ninaliona jeshi lote la Israeli" + +# kama kondoo wasiokuwa na mchungaji + +Wanajeshi wamefananishwa na kondoo wasiokuwa na mtu wa kuwaongoza kwa zababu mchungaji wao, mfalme, ameuawa + diff --git a/1ki/22/18.md b/1ki/22/18.md new file mode 100644 index 00000000..546a40d8 --- /dev/null +++ b/1ki/22/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je, sikukuambia kuwa ...majanga tu? + +"Nilikuambia ...majanga tu" + +# akafia Ramothi Gileadi + +"akafa akiwa Ramothi Gileadi" + +# mtu mmoja ... mwiingine + +"malaika wa mbinguni" + diff --git a/1ki/22/21.md b/1ki/22/21.md new file mode 100644 index 00000000..83bdbca3 --- /dev/null +++ b/1ki/22/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tazama sasa + +Neno "tazama" linaongeza msisitizo wa kile kinachofuata. + +# na kuwa roho idanganyayo katika vinywa vya manabii + +Neno "roho" linamaanisha mtazamo wa manabii; "vinywa" inamaanisha kile watakachosema. "Nitawafanya manabii wote waseme uongo" + +# BWANA ameweka roho idanganyayokwenye vinywa vya hawa manabii wako + +"amewafanya manabii wako wote kuongea uongo" + diff --git a/1ki/22/24.md b/1ki/22/24.md new file mode 100644 index 00000000..439bf4f5 --- /dev/null +++ b/1ki/22/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je, yule roho wa BWANA alitokaje kwangu ili aseme na wewe? + +"Usidhani kwamba roho wa BWANA ameniacha ili anene na wewe!" + +# Tazama + +"Sikiliza" au "Uwe mwangalifu kwa kile ninachotaka kukuambia" + +# utatambua + +"utajua kuwa ni nani anayetabiri ukweli" + diff --git a/1ki/22/26.md b/1ki/22/26.md new file mode 100644 index 00000000..865240a2 --- /dev/null +++ b/1ki/22/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kama utarudi salama + +Hii ineleza kitu ambacho kwa hakika hakitatokea. BWANA alikuwa amemwambia Mikaya keamba mfalme hatarudi salama. + diff --git a/1ki/22/31.md b/1ki/22/31.md new file mode 100644 index 00000000..908e769c --- /dev/null +++ b/1ki/22/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# majemedari thelethini na mbili + +"majenedari 32" + +# Msimwangamize askari wa muhimu au ambaye si wa muhimu. + +Msimvamie askari yeyote + +# Ikawa wakati + +Hiki kirai kietumika hapa ili kuonyesha tukiola muhimu katiakhabari. Waweza kutumia neno lililo kwenye lugha yako kwa jambo kama hili. + diff --git a/1ki/22/35.md b/1ki/22/35.md new file mode 100644 index 00000000..9f242db8 --- /dev/null +++ b/1ki/22/35.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mfalme akalazwa garini mwake + +"mtu mmoja akamweka mfalme kwenye gari lake + +# kilio kiatawala + +"wanajeshi walianza kupiga kelele + +# Kila mtu arudi kwenye mji wake; na kilamtu arudi kwenye mkoa wake + +Senrensi hizi zinamaanisha jambo moja. Vimeunganishwa kwa ajili ya msisitizo. + diff --git a/1ki/22/37.md b/1ki/22/37.md new file mode 100644 index 00000000..e97c11cd --- /dev/null +++ b/1ki/22/37.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# akaletwa Samaria + +"wanajeshi wake wakauleta mwili Samaria" + +# wakamzika + +"watu wakamzika" + +# kama vile neno la BWANA lilivyokuwa limesema + +kama vile BWANA alivyonena + diff --git a/1ki/22/39.md b/1ki/22/39.md new file mode 100644 index 00000000..480f3edb --- /dev/null +++ b/1ki/22/39.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# je, hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya waflme wa Israeli? + +Tazama 15:31 + +# akalala pamoja na mababu zake + +Tazama 14:29 + diff --git a/1ki/22/41.md b/1ki/22/41.md new file mode 100644 index 00000000..e7cf6e56 --- /dev/null +++ b/1ki/22/41.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# miaka thelethini na tano + +"miaka 35" + +# miaka ishirini natano + +"miaka 25" + diff --git a/1ki/22/43.md b/1ki/22/43.md new file mode 100644 index 00000000..320c9e42 --- /dev/null +++ b/1ki/22/43.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Akatembea katika njia za Asa + +"Alifanya vituvilevile ambavyo Asa, baba yake alifanya" + +# akafanya yaliyo mema mbele ya macho ya BWANA + +BWANA aliyoyaona kuwa ni mema + +# Lakini mahali pa juu palikuwa hapajabomolewa + +Bado alikwa hajapabomowa mahali pa juu + diff --git a/1ki/22/45.md b/1ki/22/45.md new file mode 100644 index 00000000..8fcb596b --- /dev/null +++ b/1ki/22/45.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# je, hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli? + +Tazama 14:29 + diff --git a/1ki/22/48.md b/1ki/22/48.md new file mode 100644 index 00000000..2e40c5b3 --- /dev/null +++ b/1ki/22/48.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# zile merikebu zilivunjika + +"merikebu zilivunjika" + +# akalala na mababu zake na akazikwa + +Tazama 14:29 + diff --git a/1ki/22/51.md b/1ki/22/51.md new file mode 100644 index 00000000..04e310a1 --- /dev/null +++ b/1ki/22/51.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# akatawala kwa miaka miwili + +"akatawala kwa miaka 2" + +# akafanya yaliyo maovu mbele za BWANA + +"yale ambayo BWANA aliyaona kuwa ni maovu" + +# akatembea katika njia za baba yake, katikanjia za mama yake, na katika njia za Yeroboamu mwana wa Nebati + +"Alifanya sawa na baba yake alivyofanya, mama naYeroboamu mwana wa Nebati alivyofanya" + +# aliifanya Israeli kufanya dhambi + +Neno "Israeli" linmaanisha makabila kumi ya dola ya Israeli iliyokuwa kaskazini + +# Alimtumika Baali na kumwabudu + +"Alimtumikia" na "kumwabudu" maneno hayo yanamaanishakitu kimoja. + +# Mungu wa Israeli + +"Israeli" linamaanishaWaisraeli wote waliotokana na Yakobo. + diff --git a/1sa/01/01.md b/1sa/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..4c1c7d1a --- /dev/null +++ b/1sa/01/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Rama Msufi + +Hili ni jina la kijiji kidogo kilichokuwa kilometa nane mashariki mwa Yerusalemu. + +# Elikana ... Yerohamu ... Elihu ... Tohu ... Sufu + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Penina + +Hili ni jina la mwanamke. + diff --git a/1sa/01/03.md b/1sa/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..34277cdc --- /dev/null +++ b/1sa/01/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mtu huyu + +"Mtu huyu" inamuelezea Elikana. + +# Eli, Hofni na Finehasi + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/1sa/01/05.md b/1sa/01/05.md new file mode 100644 index 00000000..3f16ec3a --- /dev/null +++ b/1sa/01/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hana + +Hili ni jina la mwanamke. + +# Hasimu wake alimchokoza sana. + +Mke mwingine alimdhihaki na kumuaibisha Hana. + +# Amelifunga tumbo lake + +"amemfanya kuwa mgumba" au "amezuia kupata mimba." + diff --git a/1sa/01/07.md b/1sa/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..c2600fd0 --- /dev/null +++ b/1sa/01/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hasimu wake + +Huyu ni Penina mke mwingine wa Elikana. Hasimu ni mtu anayeshindana na mtu mwingine. Penina alikuwa anashindana na Hana na kujaribu kumfanya Elikana ampende yeye zaidi. + +# "Hana, kwa nini unalia? Kwa nini huli chakula? Kwa nini una huzuni moyoni mwako? Mimi si bora kwako kuliko wana kumi? + +Swahi hili linaweza kutafsiriwa kama sentensi isemayo, "Hana usilie. Yakupasa ule na moyo wako ufurahi kwa sababu mimi ni bora kuliko wana kumi!" + +# Kuliko wana kumi + +Elikana alitumia maneno haya kusisitiza kouonesha ni kwa kiasi gani Hana alikuwa na umuhimu kwake. + diff --git a/1sa/01/09.md b/1sa/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..a2d45fa7 --- /dev/null +++ b/1sa/01/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Hana anaanza kuomba kwa Bwana na Eli anamtazama. + +# Hana alinyanyuka + +Taarifa hii yaweza kuwa na maana ya kuwa Hema ya Hana ilikuwa karibu na maskani au alitembea toka kwenye Hema yake mpaka maskani kuomba. "Hana alinyanyuka na akaenda kwenye nyumba ya Bwana kuomba." + +# Wakati huo Eli kuhani + +Hapa mwandishi anatuambia kuhusu mtu mwingine katika simulizi. Mtu huyu ni kuhani Eli. + +# Hekalu la Bwana. + +Hekalu ni Hema lakini ilikuwa ni sehemu ambayo watu hutumia kuabudu hivyo ni vyema kuitafsiri kama Hekalu. + +# Alikuwa na uchungu sana. + +Alikuwa ana katika matatizo makubwa au katika kuomboleza kwa sababu ya kutokuwa na mtoto na kuonewa na Penina mke mwingine wa Elikana. + diff --git a/1sa/01/11.md b/1sa/01/11.md new file mode 100644 index 00000000..611c468b --- /dev/null +++ b/1sa/01/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Maombi ya Hana kwa Bwana yanaendelea. + +# teso la mjakazi wako + +Hii yaweza kuwa na maana ya 1) Hana kutokuwa na uwezo wa kuwa mjamzito au 2) namna ambavyo Penina anamdhihaki. + +# Unikumbuke + +Hili ni ombi maalumu kwa Mungu. Mungu anajua yanayompata Hana hajasahau. + +# Usimsahau mjakazi wako + +Hii ina maana sawa na "unikumbuke." + diff --git a/1sa/01/12.md b/1sa/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..de169b7e --- /dev/null +++ b/1sa/01/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Eli alimtazama + +Eli alikuwa kuhani mkuu, hivyo alikuwa ndani ya hema ya Mungu na akiwaongoza. + diff --git a/1sa/01/15.md b/1sa/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..ac2abe21 --- /dev/null +++ b/1sa/01/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# mimi ni mwanamke mwenye roho ya huzuni + +"Mimi ni mwanamke mwenye huzuni sana" + +# nimemimina nafsi yangu mbele za Bwana + +"Namwambia Bwana hisia zangu za ndani" + +# mjakazi wako + +Hana anajizungumzia mwenyewe kwa kuonesha unyenyekevu. + +# nimekuwa nikiongea kutokana na maumivu na masikitiko yangu + +Hii ni namna nyingine ya kusema kuwa ana "roho ya huzuni" Hii inaweza kutafsiriwa kama "Ninazungumza kwa sababu nina huzuni sana na hasimu wangu ananidhihaki sana" + +# maumivu na masikitiko + +Maneno haya yote yanaonesha kuwa Hana amekosa raha na anahuzuni kwa sababu ya kudhihakiwa na Hasimu wake. + +# Maumivu + +Haya ni mambo ambayo Penina alimfanyia ya kumuumiza. + +# Masikitiko + +Hana anaelezea maumivu na aibu anayoipata kwa sababu ya namna Hana anavyomfanyia. + diff --git a/1sa/01/17.md b/1sa/01/17.md new file mode 100644 index 00000000..6f53eb34 --- /dev/null +++ b/1sa/01/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kisha Eli akamjibu + +Eli akiliwa kuhani mkuu aliyeishi katika maskani. + +# Mjakazi wako + +Hana anajizungumzia mwenyewe kwa kuonesha unyenyekevu na heshima kwa Eli kuhani mkuu. + +# na kula; uso wake + +Hapa "uso wke" inamaanisha Hana mwenyewe. + diff --git a/1sa/01/19.md b/1sa/01/19.md new file mode 100644 index 00000000..0b7b381b --- /dev/null +++ b/1sa/01/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# akamkumbuka + +Mungu alijua yaliyokuwa yanampata Hana hakusahau. + +# Hana akapata mimba + +"Hana akawa mjamzito? + diff --git a/1sa/01/21.md b/1sa/01/21.md new file mode 100644 index 00000000..4e52a595 --- /dev/null +++ b/1sa/01/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nyumba yake + +"Nyumba" inamaanisha watu wanaoishi ndani ya nyumba. "Familia yake" + +# Aache kunyonya + +Kuacha kunywa maziwa na kuanza kula vyakula vyenye kimimimika. + +# ahudhurie mbele za BWANA na akae huko daima + +Hana alimuahidi Mungu kuwa atamruhusu Samweli aishi na kufanyakazi na Eli katika hekalu. + +# kumnyonyesha mtoto + +"kumpa mtoto wake maziwa" + diff --git a/1sa/01/24.md b/1sa/01/24.md new file mode 100644 index 00000000..e9947d1e --- /dev/null +++ b/1sa/01/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Efa + +Efa ni kama lita 22 za unga. + +# Chupa + +Mvinyo uliwekwa katika ngozi ya wanyama na sio chupa chuma. + diff --git a/1sa/01/26.md b/1sa/01/26.md new file mode 100644 index 00000000..d5a013cb --- /dev/null +++ b/1sa/01/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Akasema, "Ee bwana wangu! Kama uishivyo, bwana wangu + +"Kama uishivyo" inaonesha kuwa Hana amekuwa mkweli na mwaminifu. "bwana ninachokwenda kukwambia ni kweli" + +# amenijibu ombi la dua yangu nililomwomba + +Hana anazungumza juu ya dua kama kitu ambacho mtu anaweza kumpa mtu mwingine pia anazungumza juu ya dua kama jibu la ombi lake. Hii inaweza kutafsiriwa kama "amekubali kunifanyia nilichomuomba anifanyie" + +# Alimwabudu Bwana + +Hii inamuelezea Elikana lakini tafsiri zingine humuelezea Elikana na familia yake. + +# nimempa BWANA + +Hii inaweza kutafsiriwa kama "Nimemkopesha kwa Bwana" + diff --git a/1sa/02/01.md b/1sa/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..b5590f12 --- /dev/null +++ b/1sa/02/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Hana anamwimbia Bwana wimbo. + +# Moyo wangu wamtukuza + +"nina furaha kubwa" + +# Katika Bwana. + +"Kwa sababu ya Bwana" au "kwa sababu Bwana ni mkuu" + +# Pembe yangu imejulikana + +Pembe ni ishara ya nguvu. "Sasa nina nguvu." + diff --git a/1sa/02/02.md b/1sa/02/02.md new file mode 100644 index 00000000..98ca345a --- /dev/null +++ b/1sa/02/02.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Hana anaendelea kumwimbia Bwana. + +# hakuna mwamba kama Mungu wetu. + +Hii ni namna nyingine ya kusema kuwa Mungu ni mwenye nguvu na mwaminifu. + +# Mwamba + +Huu ni mwamba mkubwa ambao unaweza kujificha nyuma yake na kuwa juu ya adui. + diff --git a/1sa/02/03.md b/1sa/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..b49571c2 --- /dev/null +++ b/1sa/02/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Hana anaendelea kumwimbia Bwana wimbo. Anazungumza kama vile watu wengine wanamsikiliza. + +# Hakuna majivuno + +"hakuna maneno ya majivuno" + +# Kwa yeye matendo hupimwa + +Hii inaweza kuandikwa kama "Yeye anapima matendo ya watu" + +# Pinde za mashujaa zimevunjika + +Yaweza kuwa na maana ya 1) pinde zenyewe zimevunjika au 2) watu waliobeba pinde wamekatazwa kufanya. "Watu wenye ushujaa wamenyimwa kufanya" + +# Pinde za mashujaa zimevunjika + +Hii inaweza kutafsiriwa kama "Bwana amezivunja pinde za mashujaa" au "Bwana amewafanya hata watu wenye nguvu kuwa dhaifu" + +# wale wanaojikwaa hujivika nguvu kama mshipi + +Hii inamaanisha kuwa hawatajikwaa tena bali nguvu zao zitakuwa pamoja nao kama mshipi uliobana. "Bali atawafanya waliojikwaa kuwa na nguvu" + +# kujivika ... mshipi + +Hiki ni kitendo cha kuvaa kitu kuzunguka kiuno na kujiandaa na kazi. + diff --git a/1sa/02/05.md b/1sa/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..15e880e5 --- /dev/null +++ b/1sa/02/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Hana anaendelea kumwimbia Bwana. + +# amezaa saba + +amezaa watoto saba + +# amenyong'onyea + +kutokuwa na nguvu na kuwa mpweke. + diff --git a/1sa/02/06.md b/1sa/02/06.md new file mode 100644 index 00000000..77b08dea --- /dev/null +++ b/1sa/02/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Hana anaendelea kumwimbia Bwana. + +# Bwana huua ... huuisha... hushusha... huleta juu ... humfanya mtu masikini ... mwingine tajiri ... hunyenyekeza ... hukweza. + +Bwana ndiye mwenye mamlaka na kila kitu. + diff --git a/1sa/02/08.md b/1sa/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..71fd55dd --- /dev/null +++ b/1sa/02/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Hana anaendelea kumwimbia Bwana. + +# Wahitaji + +Watu wasiokuwa na kitu wanachohitaji. + +# toka mavumbini ... toka jalalani + +Hii inaonesha hali ya watu wa daraja la chini katika jamii. + diff --git a/1sa/02/09.md b/1sa/02/09.md new file mode 100644 index 00000000..4d3ecb4c --- /dev/null +++ b/1sa/02/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Hana anaendelea kumwimbia Bwana. + +# anazilinda nyayo za watu wake waaminifu + +"nyayo" inamaana ya njia za mtu anazopita, ambayo ni maisha ambayo mtu ameamua kuishi. "anawalinda watu wake waaminifu wasifanye maamuzi mabaya" au "anawasaidia watu wake waaminifu kufanya maamuzi ya busara" + +# waovu watanyamazishwa gizani + +Hii ni njia ya busara ya kusemma kuwa Bwana atawaua watu waovu. + +# waovu watanyamazishwa + +Neno "kunyamazishwa" inamaana ya "kumfanya anyamaze" Bwana atawafanya wanyamaze. + +# kwa nguvu + +"kwa sababu ana nguvu" + diff --git a/1sa/02/10.md b/1sa/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..023c9638 --- /dev/null +++ b/1sa/02/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Hana anaendelea kumwimbia Bwana. + +# Wale wampingao BWANA watavunjwa + +"Bwana atawavunja wale wanaompinga" + +# Kuvunjwa vipande vipanade + +Hii inamaana ya "watashindwa" + +# miisho ya dunia + +Neno hili linamaana ya kila sehemu. "dunia nzima" + +# kuinua pembe ya mtiwa mafuta wake + +Pembe ni ishara ya nguvu. " viongozi aliowachagua atawapa nguvu zaidi ya adui zao" + +# mtiwa mafuta wake + +Hii inaweza kutafsiriwa kama "aliyetiwa mafuta" Mafuta ilikuwa ishara kuwa Bwana amemchagua mtu huyo ambaye amempaka mafuta ili aongoze juu ya watu. + diff --git a/1sa/02/12.md b/1sa/02/12.md new file mode 100644 index 00000000..edf1c99a --- /dev/null +++ b/1sa/02/12.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Watu walipokuwa wakitoa dhabihu za wanyama, walichoma mafuta ya mnyama kwanza kisha walichemsha nyama na kula. + +# Hawakumjua Bwana + +Hawakumsikiliza Bwana au kumtii. + +# Desturi + +Desturi ni tendoambalo watu hulifanya mara kwa mara. + +# sufuria ... birika ... chombo ... chungu + +Hivi ni vyombo vinavyotumika kupikia chakula. + +# sufuria + +Ni chombo kidogo cha chuma kwa ajili ya kuchemshia. + +# Birika + +Ni chombo kikubwa kizito cha chuma kwa ajili ya kuchemshia. + +# chombo + +Ni chombo kikubwa kizito cha chuma kwa ajili ya kuchemshia. + +# chungu + +Ni chombo cha udongo kwa ajili ya kupikia + diff --git a/1sa/02/15.md b/1sa/02/15.md new file mode 100644 index 00000000..068def09 --- /dev/null +++ b/1sa/02/15.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Watu walipokuwa wakitoa dhabihu za wanyama, walichoma mafuta ya mnyama kwanza kisha walichemsha nyama na kula. + +# mbaya, kabla + +"Walifanya jambo bata zaidi kuliko hapo mwanzo." + +# Walichoma + +"Mtu aliyetoa dhabihu alichukua dhabihu yake akaipeleka kwa kuhani kisha kuhani akaichoma" + +# Nipe nyama ya kuchoma kwa ajili ya kuhani + +"Nipe mimi nyama ili nikampe kuhani aichome" + +# Kuchoma + +Kupika juu ya moto + +# Kuchemsha + +Kupika ndani ya maji + +# Mbichi + +Haijapikwa + +# waliidharau dhabihu ya BWANA + +Vijana hawakupenda maelekezo ya Bwana kuhusu dhabihu na hawakujali. + diff --git a/1sa/02/20.md b/1sa/02/20.md new file mode 100644 index 00000000..20712514 --- /dev/null +++ b/1sa/02/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# sababu ya ahadi yake aliyoitoa kwa Bwana + +Hana alimuomba Bwana ampe mtoto na aliahidi kuwa atamtoa mtoto amtumikie katika hekalu. + +# Mbele za Bwana + +Mahali ambapo Bwana atamuona na Samweli atajifunza mambo ya Bwana. + diff --git a/1sa/02/22.md b/1sa/02/22.md new file mode 100644 index 00000000..785a472f --- /dev/null +++ b/1sa/02/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini mnafanya mambo hayo? + +Swali hili linaweza kutafsiriwa kama "Ni vibaya kufanya mambo haya!" + diff --git a/1sa/02/25.md b/1sa/02/25.md new file mode 100644 index 00000000..ed120cf5 --- /dev/null +++ b/1sa/02/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ni nani atakayemtetea mtu huyo? + +Swahi hili linaweza kiutafsiriwa kama sentensi "Hakuna mtu atakayemtetea mtu huyo." + +# kumtetea mtu huyo + +"Kumuomba Bwana rehema juu ya mtu huyo" + +# Sauti ya baba yao + +Sauti inawakilisha mtu. "Aliyoyasema baba yao" + diff --git a/1sa/02/27.md b/1sa/02/27.md new file mode 100644 index 00000000..a0b9f547 --- /dev/null +++ b/1sa/02/27.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mtu wa Mungu + +Mara nyingi humaanisha nabii wa Bwana. "Mtu anayesikia na kusema maneno toka kwa Mungu" + +# Je, sikujifunua mwenyewe ... nyumba? + +Swali hili linaweza kutafsiriwa kama sentensi "Mnapaswa kujua kuwa nilijifunua mwenyewe ... nyumba." + +# nyumba ya baba zako + +"Nyumba" inamaanisha watu wanaokaa ndani ya nyumba. "Famila ya baba zako" + +# Baba yako + +Haruni + +# apande madhabahuni kwangu, na kufukiza uvumba + +Hii inamaana ya kutoa sadaka kwa Bwana. + +# kuvaa kanzu ya naivera mbele yangu + +Maneno "kuvaa kanzu ya naivera" inaonesha kazi ya makuhani wanaovaa naivera. "Kufanya niliyowaamuru makuhani wafanye" + diff --git a/1sa/02/29.md b/1sa/02/29.md new file mode 100644 index 00000000..5a8fd82c --- /dev/null +++ b/1sa/02/29.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kwanini basi, unaidharau dhabihu yangu ... ninapoishi? + +"Hampaswi kudharau dhabihu yangu ... mahali ninapoishi." + +# Mahali ninapoishi + +"Mahali ambapo watu wangu huniletea dhabihu" + +# kujinenepesha ninyi wenyewe kwa uzuri wa kila sadaka + +Sehemu nzuri ya sadaka ilitakiwa kuchomwa kama sadaka kwa Bwana lakini makuhali walikuwa wanakula. + +# Nyumba ya baba yako + +"Nyumba" inamaanisha watu wanaokaa ndani ya nyumba. "Famila ya baba zako" + +# yawapasa kwenda mbele zangu + +"Kuishi kwa kunitii mimi" + +# Mambo haya yapishe mbali nami nisifanye hivi + +"Sitaruhusu familia yako wanitumikie daima" + +# wanaonidharau mimi hawatakuwa na thamani. + +"Hawatakuwa na thamani hao wanaonidharau" au "Nitawadharau hao wanaonidharau" + diff --git a/1sa/02/31.md b/1sa/02/31.md new file mode 100644 index 00000000..d3872260 --- /dev/null +++ b/1sa/02/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tazama + +"Sikiliza kwa makini ninayotaka kuzungumza" au "ninayotaka kuzungumza ni ya muhimu sana" + +# Nitaondoa nguvu zako na nguvu za nyumba za baba yako + +"Nitakuua wewe pamoja na vijana wtote wenye nguvu wakiume wa uzao wa familia yako" + +# Nitasababisha macho yenu yashindwe + +"nitasababisha mshinwe kuona" au "ntasababisha muwe vipofu" + diff --git a/1sa/02/34.md b/1sa/02/34.md new file mode 100644 index 00000000..10c61358 --- /dev/null +++ b/1sa/02/34.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nitamwinua ... kuhani wangu mwaminifu + +"Nitamfanya mtu awe kuhani" + +# kwa ajili yangu + +"anitumikie mimi" + +# kile kilichomo moyoni mwangu na nafisini mwangu + +"Ninachotaka afanye na nitakachomwambia afanye" + +# Nitamjengea nyumba madhubuti + +Hapa "nyumba" imeelezewa kama "uzao." Nitahakikisha kuwa uzao wake unatumika kama kuhani mkuu. + diff --git a/1sa/02/36.md b/1sa/02/36.md new file mode 100644 index 00000000..2cb2fa05 --- /dev/null +++ b/1sa/02/36.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yeye + +Kuhani mwaminifu atakayeinuliwa na Bwana. + +# ili niweze kula kipande cha mkate + +"Kipande cha mkate kimetumika kama "chakula." Ili niweze kula. + diff --git a/1sa/03/01.md b/1sa/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..9a49541e --- /dev/null +++ b/1sa/03/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Neno la Bwana halikupatikana kwa wimngi + +"Bwana hakuzungumza mara kwa mara na watu" + +# Taa ya Mungu + +Huu ni mshumaa wa saba uliopo mahali patakatifu pa maskani unaowaka kila siku mchana na usiku mpaka unapokwisha. + +# Hekalu la Bwana. + +Hekalu ni Hema lakini ilikuwa ni sehemu ambayo watu hutumia kuabudu hivyo ni vyema kuitafsiri kama Hekalu. + diff --git a/1sa/03/05.md b/1sa/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..bb9cb12c --- /dev/null +++ b/1sa/03/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwanangu + +Eli hakuwa baba yake na Samweli. Eli anazungumza kama vile yeye ndiye baba yake na Samweli kuonesha kuwa hajamkasirikia lakini Samweli anapaswa kumsikiliza. + diff --git a/1sa/03/07.md b/1sa/03/07.md new file mode 100644 index 00000000..c7f4b68e --- /dev/null +++ b/1sa/03/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wala hakuwahi kupata ujumbe wowote kutoka kwa BWANA ukifunuliwa kwake + +"Wala Bwana hakukufunua ujumbe wowote kwake" + diff --git a/1sa/03/09.md b/1sa/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..bfacef92 --- /dev/null +++ b/1sa/03/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mtumishi wako ana + +Eli alimwambia Samweli azungumze na Bwana ili Samweli aoneshe heshima kwa Bwana. + diff --git a/1sa/03/10.md b/1sa/03/10.md new file mode 100644 index 00000000..b1b45675 --- /dev/null +++ b/1sa/03/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Bwana alikuja na kusimama + +Hii inaweza kuwa na maana ya 1) Bwana alimtokea Samweli na kusimama mbele yake au 2) Bwana alifanya uwepo wake uonekane kwa Samweli. + +# Mtumishi wako ana + +Samweli anazungumza na Bwana na kuonesha heshima. + +# ambalo masikio ya kila mmoja yakisikia yatashtuka + +Hapa "masikio ... yatashtuka" inamaanisha kuwa kila mtu atashituka kutokana na kitu atakachokisikia. + +# Kushtuka + +Kuhisi kama vile mtu anakuchoma na kitu chenye ncha au kushtuka kwa sababu mtu amepiga kibao sehemu fulani ya mwili. + diff --git a/1sa/03/12.md b/1sa/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..7873f82c --- /dev/null +++ b/1sa/03/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kutoka mwanzo hadi mwisho + +"karibu kila kitu" + +# walijiletea laana juu yao wenyewe + +"walifanya mambo ambayo Bwana alisema kuwa atawaadhibu wanaofanya mambo hayo" + +# dhambi za nyumba yake hazitasahehewa kwa dhabihu au kwa sadaka + +"Hakuna dhabihu au sadaka ambayo mtu ataitoa na kufanya dhambi za nyumba hii zisamehewe" + +# Dhambi za nyumba yake + +"dhambi ambazo watu wa nyumba yake wamefanya" + diff --git a/1sa/03/15.md b/1sa/03/15.md new file mode 100644 index 00000000..3397e7eb --- /dev/null +++ b/1sa/03/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nyumba ya Bwana + +"nyumba" ni hema lakini hapa imetafsiriwa kama nyumba. + +# Mwanangu + +Eli hakuwa baba yake na Samweli. Eli anazungumza kama vile yeye ndiye baba yake na Samweli kuonesha kuwa hajamkasirikia lakini Samweli anapaswa kumsikiliza. + diff --git a/1sa/03/17.md b/1sa/03/17.md new file mode 100644 index 00000000..f271300a --- /dev/null +++ b/1sa/03/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Neno alilosema + +"ujumbe alioutoa Bwana" + +# Mungu akutendee hivyo na kukuzidishia + +Hii inaonesha ni kwa namna gani Eli alikuwa anasisitiza "Mungu akuadhibu sawasawa na alivyosema ataniadhibu na hata zaidi" + diff --git a/1sa/03/19.md b/1sa/03/19.md new file mode 100644 index 00000000..176410dd4 --- /dev/null +++ b/1sa/03/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# hakuacha kutimiza maneno yake ya unabii + +"alifanya mambo yote aliyoyafanyia unabii kutimia" + +# Israeli yote + +Watu wote wa Israeli. + +# tokea Dani hadi Beersheba + +"sehemu zote za nchi" au "toka mwisho wa nchi hadi upande mwingine" + +# Samweli aliteuliwa + +Bwana alimteua + diff --git a/1sa/04/01.md b/1sa/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..f9a82cf8 --- /dev/null +++ b/1sa/04/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ebenezeri ... Afeki + +Haya ni majina ya mahali. + +# Israeli ilishindwa na Wafilisti + +"Wafilisti waliwashinda Waisraeli na kuwaua." + +# watu wapatao elfu nne + +Idadi hii sio kamili yaweza kuwa zaidi ya watu elfu nne au pungufu ya watu elfu nne, hii inaonesha kuwa hakukuwa na idadi kamili. + diff --git a/1sa/04/03.md b/1sa/04/03.md new file mode 100644 index 00000000..96b0cf6c --- /dev/null +++ b/1sa/04/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Watu + +Askari waliokuwa wakipigani vitani. + +# Kwa nini BWANA ametushinda leo mbele ya Wafilisti? Hebu tulilete + +Wazee hawakujua kwa nini Bwana amewashinda lakini walifikiri kuwa wanafahamu namna ya kufanya ili hali hiyo isijirudie tena. + +# akaaye juu ya makerubi + +Japokuwa Bwana yupo kila mahali alijionesha mwenyewe kwa wana wa Israeli juu ya makerubi waliokuwepo juu ya sanduku. + +# Finehasi + +Finehasi huyu hakuwa mjukuu wa Haruni katika Kutoka na Hesabu. + +# Walikuwepo huko + +Walikuwepo Shilo. + diff --git a/1sa/04/05.md b/1sa/04/05.md new file mode 100644 index 00000000..9be6781d --- /dev/null +++ b/1sa/04/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sanduku la agano lilipokuja kambini + +"watu walipolipeleka sanduku la agano la Bwana katika kambi" "Watu waliokuwepo pamoja na Hofini na Finehasi walilibeba sanduku la agano la Bwana na kulipeleka kambini." + +# Sanduku la Bwana lilifika kambini + +"Watu walilipeleka sanduku la Bwana kambini" + diff --git a/1sa/04/07.md b/1sa/04/07.md new file mode 100644 index 00000000..cd09db74 --- /dev/null +++ b/1sa/04/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Wakasema ... wakasema + +Wafilisti walisemezana wao kwa wao. "walisemezana wao kwa wao... walisemezana wao kwa wao" + +# mungu ameingia + +Wafilisti waliabudu miungu mingi hivyo waliamini kuwa moja kati ya miungu ambayo hawakuiabudu alikuja kambini. Walikuwa wakizungumza juu ya Mungu wa Israeli. Baadhi ya tafsiri zinasomeka "Mungu ameingia" + +# miungu yenye nguvu ... miungu inayoshambulia + +Kwa sababu neno mungu (au Mungu) katika sura ya 4:7 ni umoja tafsiri nyingi zimeandika "mungu mwenye nguvu ... mungu anayeshambulia" au "Mungu mwenye nguvu ... Mungu anayeshambulia" tumia jina sahihi la Mungu wa Israeli. + +# Ni nani atatulinda dhidi ya nguvu za Mungu mwenye uwezo? + +Swali hili linaonesha hisia za uoga. "Hakuna mtu atakayetulinda na Mungu huyu mwenye uwezo." + +# Kuweni wanaume + +"kuweni na nguvu na mpigane" + diff --git a/1sa/04/10.md b/1sa/04/10.md new file mode 100644 index 00000000..c31d0165 --- /dev/null +++ b/1sa/04/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Israeli wakashindwa + +"Waliwashinda Waisraeli" Hapa Israeli inamaanisha jeshi la Israeli. + +# Sanduku la Mungu lilichukuliwa + +"Wafilisti walilichukua sanduku la Mungu. + diff --git a/1sa/04/12.md b/1sa/04/12.md new file mode 100644 index 00000000..7c0ea97c --- /dev/null +++ b/1sa/04/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mavazi yamechanika na matope kichwani mwake + +Hii ni njia ya kuonesha maombolezo makubwa katika desturi ya Israeli. + +# moyo wake ulitetemeka kwa ajili + +Eli aliogopa kuwa jambo fulani baya limetokea. + +# Mji mzima + +"Watu wote wa mji." + diff --git a/1sa/04/14.md b/1sa/04/14.md new file mode 100644 index 00000000..a54b9b37 --- /dev/null +++ b/1sa/04/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mtu + +"Mtu wa Benyamini" + diff --git a/1sa/04/16.md b/1sa/04/16.md new file mode 100644 index 00000000..ec30dd67 --- /dev/null +++ b/1sa/04/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Akamwambia + +"Eli akasema" + +# Mwanangu + +Eli hakuwa baba yake na Samweli. Eli anazungumza kama vile yeye ndiye baba yake na Samweli kuonesha kuwa hajamkasirikia lakini Samweli anapaswa kumsikiliza. + +# Israeli wamewakimbia Wafilisti + +Hii inaelezea juu ya kilichotokea. + +# Pia kumekuwa ... watu. Pia watoto wako wawili + +"Sasa nitakwambia kitu kibaya ... sasa nitakwambia kitu kibaya" au "Sio hayo tuu yaliyotokea huko ... lakini watoto wako wawili" + +# Sanduku la Bwana limechukuliwa + +"Wafilisti wamechukua sanduku la Bwana" + diff --git a/1sa/04/18.md b/1sa/04/18.md new file mode 100644 index 00000000..9a5e508e --- /dev/null +++ b/1sa/04/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Alipotamka + +"Yule mtu wa Benyamini alipotamka" + +# Kutamka + +"Kuzungumza" + +# Shingo yake ilivunjika + +"Shingo yake ilivunjika kwa sababu alianguka" + diff --git a/1sa/04/19.md b/1sa/04/19.md new file mode 100644 index 00000000..62317f60 --- /dev/null +++ b/1sa/04/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mkwe wake + +"mkwe wa Eli" + +# Sanduku la Bwana limekamatwa + +"Wafilisti wamelikamata sanduku la Bwana" + +# Aliyaweka moyoni yale aliyoambiwa + +"aliyazingatia yale aliyoambiwa" + diff --git a/1sa/04/21.md b/1sa/04/21.md new file mode 100644 index 00000000..99eb6b82 --- /dev/null +++ b/1sa/04/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ikabodi + +Jina hili lina maana ya "hakuna utukufu" + +# Kwa sababu sanduku la Mungu limetekwa nyara ... sababu sanduku la Mungu limetekwa nyala. + +"Kwa sababu Wafilisti wameteka nyara sanduku la Mungu ... Kwa sababu Wafilisti wameteka nyara sanduku la Mungu" + diff --git a/1sa/05/01.md b/1sa/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..85ffbeb7 --- /dev/null +++ b/1sa/05/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Basi + +Neno hili linaonesha mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi. + +# Nyumba ya Dagoni + +Hili ni hekalu la Dagoni mungu wa Wafilisti. + +# Tazama Dagoni + +"Walipatwa na mshangao walipoona Dagoni" + +# Dagoni ilianguka chini kifudifudi + +Msomaji anatakiwa atambue kuwa Bwana alisababisha sanamu ianguke chini wakati wa usiku. + diff --git a/1sa/05/04.md b/1sa/05/04.md new file mode 100644 index 00000000..9495b7b3 --- /dev/null +++ b/1sa/05/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Dagoni alikuwa ameanguka + +Msomaji anatakiwa atambue kuwa Bwana alisababisha Dagoni aanguke. + +# Kichwa cha Dagoni na vitanga vyake viwili vilikatika na kulala + +Ilikuwa kama vile Bwana ni askarialiyewashinda adui zake na kuwakata kichwa na mikono. + +# Mikono + +Vitanga vya mikono vimanaanisha mikono yote. + +# Na hii ndiyo sababu, hata leo + +Mwandishi anatuelezea taarifa na kutenganisha na simulizi inayosimuliwa. + diff --git a/1sa/05/06.md b/1sa/05/06.md new file mode 100644 index 00000000..293af2e8 --- /dev/null +++ b/1sa/05/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mkono wa Bwana ulikuwa mzito juu ya + +"Bwana aliwahukumu sana" + +# majipu + +Huu ni ugonjwa wa ngozi. + +# Ashdodi na wilaya zake kwa pamoja + +"Watu wote wa Ashdodi na watu wa nchi inayozunguka Ashidodi" + +# walipotambua + +"walipofahamu" + +# sanduku la Mungu wa Israeli + +Yaweza kuwa na maana ya 1) walikuwa wakizungumza juu ya jina kamili la Mungu wa Israeli au 2) waliamini kuwa Israeli waliabudu moja kati ya miungu mingi. + diff --git a/1sa/05/08.md b/1sa/05/08.md new file mode 100644 index 00000000..ea2294fb --- /dev/null +++ b/1sa/05/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wafanye juu ya sanduku la Munga wa Israeli ... Sanduku la Mungu wa Israeli lihamishwe + +Yaweza kuwa na maana ya 1) walikuwa wakizungumza juu ya jina kamili la Mungu wa Israeli au 2) waliamini kuwa Israeli waliabudu moja kati ya miungu mingi. + +# Wakalibeba sanduku la Mungu wa Israeli. + +Mwandishi anatumia jina sahihi la Mungu wa Israeli. + +# Mkono wa Bwana ulikuwa dhidi ya + +"Bwana aliadhibu" + +# wote wakubwa kwa wadogo + +Wao wote "wadogo kwa wakubwa, masikini na tajiri" + +# Majipu + +Huu ni ugonjwa wa ngozi. + diff --git a/1sa/05/10.md b/1sa/05/10.md new file mode 100644 index 00000000..d45351ca --- /dev/null +++ b/1sa/05/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Walipiga kelele + +"walipiga kelele kwa hofu" + diff --git a/1sa/05/11.md b/1sa/05/11.md new file mode 100644 index 00000000..1d800590 --- /dev/null +++ b/1sa/05/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mungu wa Israeli + +Yaweza kuwa na maana ya 1) walikuwa wakizungumza juu ya jina kamili la Mungu wa Israeli au 2) waliamini kuwa Israeli waliabudu moja kati ya miungu mingi. + +# kulikuwa na hofu ya kutisha mjini mwote + +Watu wote wa mji waliogopa kuwa watakufa" + +# Mkono wa Mungu ulikuwa mzito mno huko + +"Mungu aliwaadhibu sana watu huko" + +# Watu ambao hawakufa + +Hii inaonesha kuwa watu wengi walikufa. + +# Majipu + +Huu ni ugonjwa wa ngozi + +# kilio cha mji kilipanda hadi mbinguni + +"Watu wa mji walilia kwa sauti kubwa" Neno "mbinguni" linamaanisha miungu ya watu. "Watu wa mji wakaililia miungu yao" + diff --git a/1sa/06/01.md b/1sa/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..d393455a --- /dev/null +++ b/1sa/06/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Makuhani na waganga + +Hawa walikuwa ni makuhani na waganga wa kipagani walimwabudu Dagoni. + +# wambieni jinsi ambavyo tunapaswa kulirudisha + +Wafilisti walitaka kujua namna watakavyolirudisha sanduku la Bwana bila kumkasirisha zaidi. + diff --git a/1sa/06/03.md b/1sa/06/03.md new file mode 100644 index 00000000..b889afcf --- /dev/null +++ b/1sa/06/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mungu wa Israeli + +Yaweza kuwa na maana ya 1) walikuwa wakizungumza juu ya jina kamili la Mungu wa Israeli au 2) waliamini kuwa Israeli waliabudu moja kati ya miungu mingi. + +# kwa namna yoyote ile mpelekeeni sadakaa ya hatia + +Maneno "kwa namna yoyote ile" ni namna ya kuelezea jamno. "Lazima mpeleke sadaka ya hatia" + +# Mtapona + +"hamtaumwa tena" + +# Ninyi + +Ni wingi inayomaanisha Wafilisti wote. + +# kwa nini mkono wake hadi sasa haujaondoka juu yenu + +"Mkono" imetumika kuwakilisha nguvu za Mungu za kuadabisha. "kwa nini hajayaondoa mateso yenu" + +# Majipu + +Huu ni ugonjwa wa ngozi. + +# Panya + +Hapa anaelezea panya zaidi ya mmoja. + diff --git a/1sa/06/05.md b/1sa/06/05.md new file mode 100644 index 00000000..e87e0e6b --- /dev/null +++ b/1sa/06/05.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Mifano + +Mifano ni kitu kinachofanana na kitu fulani. + +# Majipu + +Ni ugonjwa wa ngozi. + +# Panya + +Hapa anaelezea panya zaidi ya mmoja. + +# ambayo huiharibu + +"ambayo huangamiza" + +# Mungu wa Israeli + +Yaweza kuwa na maana ya 1) walikuwa wakizungumza juu ya jina kamili la Mungu wa Israeli au 2) waliamini kuwa Israeli waliabudu moja kati ya miungu mingi. + +# ataondoa mkono wake kutoka juu yenu, kutoka juu ya miungu yenu, na kutoka juu ya nchi yenu. + +ataondoa mkono wake kutoka juu yenu, kutoka juu ya miungu yenu, na kutoka juu ya nchi yenu. "ataacha kuwaadhibu ninyi na miungu yenu na nchi yenu." + +# Kwanini mfanye mioyo yenu kwa migumu, kama vile Wamisri na Farao walifanya mioyo yao kuwa migumu? + +Makuhani na waganya wanatumia swali ili kuwafanya Wafilisti wafikirie kwa makini juu ya kile kitakachowapata ikiwa watakataa kumtii Mungu. + +# Kuifanya mioyo yenu kuwa migumu. + +"kuacha kumtii Mungu" + +# Je, Wamisri hawakuwaachilia watu, na wakaondoka? + +Hili swali limetumika kuwakumbusha Wafilisti kuwa Wamisri waliwaruhusu Waisraeli watoke Misri ili Mungu aache kuwaadhibu Wamisri. + diff --git a/1sa/06/07.md b/1sa/06/07.md new file mode 100644 index 00000000..9700933d --- /dev/null +++ b/1sa/06/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ng'ombe wawili wanyonyeshao + +"Ng'ombe wawili wenye ndama ambao bado wananyonya" + +# Ndipo mlipeleke lipate kuondoka. + +Ng'ombe wawili watakwenda nyumbani kwenye ndama wao. + +# ikiwa watakwenda ... hadi Beth Shemeshi, basi mjue kuwa ni Bwana + +Sio kawaida kwa ng'ombe kuchagua kwenda Beth Shemeshi wakati ndama wamerudi kwenye nchi ya Wafilisti. + diff --git a/1sa/06/10.md b/1sa/06/10.md new file mode 100644 index 00000000..307a744a --- /dev/null +++ b/1sa/06/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Ng'ombe wawili wanyonyeshao + +"Ng'ombe wawili wenye ndama ambao bado wananyonya" + +# Mumbo ya majipu yao + +"Mfano wa majipu yao" + +# Majipu + +Huuu ni ugonjwa wa ngozi. + +# Ng'ombe waliondoka moja kwa moja kuelekea Beth Shemeshi + +Ng'ombe wanaonyonyesha huwarudia ndama wao lakini ng'ombe hawa walikwenda Beth Shemeshi. + +# Wakipiga kelele walipokuwa wakienda + +Kupiga kelele ni milio waliyokuwa wanatoa ngombe sauti zao. + +# hawakugeuka upande wa kushoto au kulia + +"Walikwenda moja kwa moja mbele" + diff --git a/1sa/06/13.md b/1sa/06/13.md new file mode 100644 index 00000000..163e47bb --- /dev/null +++ b/1sa/06/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Basi + +Mwandishi anatambulisha sehemu mpya ya simulizi. + +# watu wa Beth Shemeshi + +Hawa walikuwa Waisraeli. + +# Waliponyanyua macho yao + +Walipotizama juu + diff --git a/1sa/06/14.md b/1sa/06/14.md new file mode 100644 index 00000000..9e8435be --- /dev/null +++ b/1sa/06/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kulikuapo jiwe kubwa mahali hapo + +Jiwe hili ndilo jiwe lililotumika kama madhabahu walipotoa sadaka ya ng'ombe kama dhabihu. + +# Walawi walilitelemsha chini sanduku la Bwana + +Hii ilitokea baada ya kutayarisha kuni zilizotokana na mkokoteni na kutengeneza moto uliotumika kutolea sadaka ya ng'ombe kwa Bwana. + +# Walawi walilitelemsha chini sanduku + +Kutokana na sheria za Musa Walawi tuu ndio walioruhusiwa kulishughulikia sanduku. + +# pamoja na kasha lake lililoyatunza yale maumbo ya dhahabu, + +"kasha ambalo maumbo ya dhahabu ya panya na majipu yalikuwepo" + diff --git a/1sa/06/16.md b/1sa/06/16.md new file mode 100644 index 00000000..1e4c1604 --- /dev/null +++ b/1sa/06/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Viongozi watano wa Wafilisti + +"Wafalme watano wa Wafilisti" + diff --git a/1sa/06/17.md b/1sa/06/17.md new file mode 100644 index 00000000..a1d97ca6 --- /dev/null +++ b/1sa/06/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Majipu + +Huu ni ugonjwa wa ngozi + +# Panya + +Hapa ana maana ya panya zaidi ya mmoja. + +# miji iliyojengewa maboma + +Hii ni miji iliyozungushiwa kuta ndefu ili kuwalinda watu waliopo ndani yake wasivamiwe na adui. + +# Lile jiwe kubwa ... likabaki kama ushuhuda + +Jiwe linafananishwa kama mtu awezaye kuona. "Jiwe kubwa ... bado liko hapo na watu wanakumbuka yaliyotokea juu yake" + +# Yoshua Mbeth- Shemeshi + +"Yoshua toka Beth- Shemeshi" + +# Hadi leo + +Hata wakati ambao mwandishi aliandika kitabu. + diff --git a/1sa/06/19.md b/1sa/06/19.md new file mode 100644 index 00000000..c23927d5 --- /dev/null +++ b/1sa/06/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# walichungulia ndani ya sanduku + +Sanduku lilikuwa takatifu sana na hakuna mtu aliyeruhusiwa kulitizama nadani. Makuhani tuu ndio walioruhusiwa. + +# Aliwaua watu sabini + +"Aliwaua watu 70" + +# Je, ni nani awezaye kusimama mbele ya BWANA, huyu Mungu mtakatifu? + +Yaweza kuwa na maana ya 1) Hakuna mtu anayeweza kushindana na Bwana kwa sababu ni mtakatifu. au 2) Yatupasa kumtafuta mtu atakayemtumikia Bwana kama Kuhani, je nani kati yetu anastahili? + +# Atapanda kwenda kwa nani kutoka kwetu? + +Hili ni swali ambalo watu wanatafuta majibu. Yaweza kuwa na maana ya 1) "Bwana atakwenda kwa nani kutoka kwetu?" au 2) "sanduku litakwenda kwa nani kutoka kwetu?" + diff --git a/1sa/06/21.md b/1sa/06/21.md new file mode 100644 index 00000000..bb531c8a --- /dev/null +++ b/1sa/06/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kiriath Yearimu + +Huu ulikuwa mji katika Israeli. + diff --git a/1sa/07/01.md b/1sa/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..13e26036 --- /dev/null +++ b/1sa/07/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kiriath Yearimu + +Hili ni jina la mahali. + +# Abinadabu ... Eleazari + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Miaka ishirini + +"Miaka 20" + diff --git a/1sa/07/03.md b/1sa/07/03.md new file mode 100644 index 00000000..d28f15fb --- /dev/null +++ b/1sa/07/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nyumba yote ya Israeli + +"Nyumba" inamaanisha watu wanaoishi ndani ya nyumba na uzao wao. "Uzao wote wa Israeli" au "watu wote wa Israeli" + +# Kumrudia Bwana kwa moyo wenu wote + +"Kujitoa moja kwa moja kumuabudu na kumtii Bwana tuu" + diff --git a/1sa/07/05.md b/1sa/07/05.md new file mode 100644 index 00000000..6fd28043 --- /dev/null +++ b/1sa/07/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Israeli wote + +"Watu wote wa Israeli" au "Waisraeli wote" + +# Kumwaga chini mbele za Bwana + +Hii yaweza kuwa na maana ya 1) watu walijinyima maji kama sehemu ya kufunga au 2) walitoa maji visimaji na kuyamwaga chini kama ishara ya kuonesha namna gani wanajutia dhambi zao. + diff --git a/1sa/07/07.md b/1sa/07/07.md new file mode 100644 index 00000000..8fd4506a --- /dev/null +++ b/1sa/07/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# viongozi wa Wafilisti waliwashambulia Israeli + +"Viongozi wa Israeli waliongoza majeshi yao kuishambulia Israeli" + +# atuokoe kutoka mkono wa Wafilisti + +"atuokoe toka kwenye jeshi la Wafilisti" + diff --git a/1sa/07/09.md b/1sa/07/09.md new file mode 100644 index 00000000..e5d19a97 --- /dev/null +++ b/1sa/07/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ndama mchanga + +Ndama ambaye bado ananyonya maziwa ya mama yake. + +# Akamlilia + +Akaomba msaada + +# Bwana akamjibu + +Bwana akafanya yale ambayo Samweli alimuomba ayafanye. + diff --git a/1sa/07/10.md b/1sa/07/10.md new file mode 100644 index 00000000..9eb47016 --- /dev/null +++ b/1sa/07/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hata Samweli ... Beth kari + +Hii inaelezea kuwa mwandishi anamaanisha kuwa "Bwana alimjibu" + +# Kuwachanganya + +Kusababisha Wafilisti washindwe kufikiri vizuri na wasijue la kufanya. + +# Wakashindwa mbele ya Israeli + +Hii inaweza kutafsiriwa kama 1) Bwana akawafanya washindwe mbele ya Israeli" au "Israeli wakawashinda wao." + +# Kuwashindwa + +Kuwashinda watu ni kuwadhibiti kabla hawasababisha maafa. + +# Beth kari + +Hili ni jina la mji. + diff --git a/1sa/07/12.md b/1sa/07/12.md new file mode 100644 index 00000000..840c58f3 --- /dev/null +++ b/1sa/07/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Akachukua jiwe na kulisimamisha + +Waisraeli na watu wengine wa nchi ile waliweka jiwe kubwa mahali ambapo matukio ya muhimu yalitokea kama kumbukumbu ya msaada wa Mungu. + +# Mispa ... Sheni + +Haya ni majina ya mahali. + diff --git a/1sa/07/13.md b/1sa/07/13.md new file mode 100644 index 00000000..a0bb89f5 --- /dev/null +++ b/1sa/07/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa hiyo, Wafilisti walishindwa + +Mwandishi anamaliza kuwa kutuelezea namna ambavyo Wafilisti walishindwa. + +# Wafilisti walishindwa + +Bwana aliwafanya Wafilisti washindwe. + +# hawakuingia katika mipaka ya Israeli + +Wafilisti hawakuingia katika mpaka wa Israeli ili kuwashambulia. + +# Mkono wa Bwana ulikuwa dhidi ya Wafilisti. + +"Bwana alitumia nguvu zake dhidi ya Wafilisti" + +# Miji ... kutoka kwa Israeli ikarudishwa kwa Israeli + +Hii inaweza kuwa na maana ya 1) "Bwana aliirudisha miji ya nchi ya Israeli ... toka Israeli" au 2) "watu wa Israeli waliweza kuidai miji yao ... toka Israeli" + diff --git a/1sa/07/15.md b/1sa/07/15.md new file mode 100644 index 00000000..427911d3 --- /dev/null +++ b/1sa/07/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wakazunguka + +Wakasafiri toka sehemu moja mpaka nyingine kwa kuzunguka. + +# Aliamua migogoro + +Migogoro ni malumbano au kutokuelewana kati ya watu wawili au zaidi. + diff --git a/1sa/08/01.md b/1sa/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..2b9693e9 --- /dev/null +++ b/1sa/08/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# walipiga mbio kutafuta mapato ya udhalimu + +"Walifanya kazi kwa nguvu ili kupata mapato kwa njia ya udhalimu" + +# Kupotosha hukumu + +"Kutoa hukumu kwa kuwapendelea wanaofanya uovu" + diff --git a/1sa/08/04.md b/1sa/08/04.md new file mode 100644 index 00000000..c5dd9aba --- /dev/null +++ b/1sa/08/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hawaenendi katika njia zako + +"hawafanyi vitu unavyofanya" au "hawafanyi kama vile unavyofanya wewe" + +# Tuchagulie mfalme wakutuamua kama yalivyo mataifa yote + +Hii yaweza kuwa na maana ya 1) "Tuchagulie mfalme kama wafalme wa mataifa yote ili atuamue" au Tuchagulie mfalme atakayetuamua kama wafalme wa mataifa wanavyowaamua wao" + +# Tuchagulie mfalme wakutuamua + +Viongozi waliamini vibaya kuwa mfalme na wana wake wataongoza kwa haki. + diff --git a/1sa/08/06.md b/1sa/08/06.md new file mode 100644 index 00000000..0c06a644 --- /dev/null +++ b/1sa/08/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Lakini haikumpendeza Sameli ... Utupatie mfalme + +Samweli hakuwa na furaha kwamba watu hawakutaka yeye awaondoe watoto wake waliokuwa waovu na kumteua mwamuzi mwingine lakini walitaka mfalme wa kutawala juu yao kama nchi nyingine zinavyofanya. + +# Sikiliza sauti ya watu + +Hapa neno "sauti" linamaana ya mapenzi au matakwa ya watu. "Fanya kama vile watu wanavyotaka" + +# bali wamenikataa mimi + +Bwana alijua kuwa watu hawakuwakataa viongozi waovu tuu bali walimkataa yeye kama mfalme wao. + diff --git a/1sa/08/08.md b/1sa/08/08.md new file mode 100644 index 00000000..d4fc137a --- /dev/null +++ b/1sa/08/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Niliwatoa Misrai + +Hiki ni kitendo cha Bwana kuwatoa Waisraeli utumwani Misri miaka mingi iliyopita. + +# Sasa wasikilize + +"Sasa fanya kama vile wanavyokuomba ufanye" + +# Waonye sawasawa + +"uwe makini unapowaonya" + diff --git a/1sa/08/10.md b/1sa/08/10.md new file mode 100644 index 00000000..d3c83213 --- /dev/null +++ b/1sa/08/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hivi ndivyo mfalme atakavyotawala ... atachukua + +Matendo ya mfalme yatakuwa kuchukua. Huu ni mwanzo wa vitu ambavyo mfalme atachukua. + +# Hivi ndivyo jinsi mfalme atakavyowatawala. + +"Hivi ndivyo mfalme atakayetawala juu yenu atakavyofanya" + +# Atawaweka juu ya magari yake + +"Atawafanya waendeshe magari vitani" + +# Kuwa wapanda farasi wake + +Wataendesha farasi kwenda vitani. + diff --git a/1sa/08/13.md b/1sa/08/13.md new file mode 100644 index 00000000..e70151c0 --- /dev/null +++ b/1sa/08/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Samweli anaendelea kuwaambia vitu ambavyo mfalme atavichukua. + +# kuwa watengeneza manukato + +"Kutengeneza mafuta yanayonukia vizuri kwa ajili ya kujipaka mwilini" + +# mizeituni + +"mashamba ya miti ya mizeituni" + +# moja ya kumi ya nafaka zenu + +Watagawanya nafaka zao katika mafungu kumi yaliyosawa kisha kutoa fungu moja maafisa wa mfalme na watumishi. + +# moja ya kumi ya mizabibu + +Watagawanya divai waliyoipata toka kwenye mizabibu katika mafungu kumi kisha kutoa fungu moja kwa maafisa wa mfalme na watumishi. + +# Afisa + +Ni kiongozi katika jeshi la mfalme. + diff --git a/1sa/08/16.md b/1sa/08/16.md new file mode 100644 index 00000000..f87e0768 --- /dev/null +++ b/1sa/08/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Samweli anaendelea kuwaambia vitu ambavyo mfalme atavichukua. + +# moja ya kumi ya mifugo yenu + +Watagawanya mifugo yao katika mafungu kumi yaliyosawa kisha kutoa fungu moja maafisa wa mfalme na watumishi. + +# mtakuwa watumwa wake + +"mtahisi kama vile nyie ni watumwa wake" + +# Mtalia + +Yaweza kuwa na maana ya 1)watu watamuomba Bwana awaokoe toka kwa mfalme au 2) watu watamuomba mfalme aache kuwanyanyasa. + diff --git a/1sa/08/21.md b/1sa/08/21.md new file mode 100644 index 00000000..9d820b43 --- /dev/null +++ b/1sa/08/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# akayarudia katika masiko ya Bwana. + +"Masikio ya Bwana" inamuelezea Bwana. Samweli alimuomba Bwana kwa kurudia yote ambayo watu walimwambia. + +# Sikiliza sauti yao + +"Wasikilize watu" + +# uwafanyie mfalme + +"Mfanye mtu kuwa mfalme juu yao" + +# arudi mjini kwake + +"akarudi nyumbani" + diff --git a/1sa/09/01.md b/1sa/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..9e2348fc --- /dev/null +++ b/1sa/09/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya jumla + +Mwandishi anatupa taarifa ya jumla katika mistari hii. + +# mtu mashuhuri + +Mtu ambaye watu wanamuheshimu na wanasikiliza anachokisema. + +# Kishi ... Abieli ... Zerori ... Bekorathi ... Afia + +Haya ni majina ya wanaume katika ukoo ya familia ya sauli. + +# Mbenyamini + +Mbenyamini ni mtu anayetoka katika kabila la Wabenyamini. + +# mzuri wa uso + +Mtu mwenye muonekano mzuri. + +# Kutoka mabegani kwenda juu alikuwa mrefu kuliko watu wengine + +Watu wengine warefu katika Israeli hawakumfikia mabegani wake. + diff --git a/1sa/09/03.md b/1sa/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..13f27c29 --- /dev/null +++ b/1sa/09/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sasa + +Mwandishi ameanza sehemu mpya ya simulizi. + +# amka + +"acha kufanya unachokifanya" + +# nchi ya vilima vilima ya Efraimu ... nchi ya Shalisha ... nchi ya Shaalimu ... nchi ya Wabenyamini + +Haya ni maeneo katika Israeli. + +# hawakuwaona ... hawakuwa huko ... hawakuwaona + +Hapa wanazungumziwa punda. + diff --git a/1sa/09/05.md b/1sa/09/05.md new file mode 100644 index 00000000..0c63f622 --- /dev/null +++ b/1sa/09/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nchi ya Sufu + +Hili ni eneo katika Israeli kaskazini mwa Yerusalemu. + +# Mtu wa Mungu + +Mara nyingi humaanisha nabii wa Bwana. "Mtu anayesikia na kusema maneno toka kwa Mungu" + +# tupitie wapi katika safari yetu + +"tupite njia gani ili tuwapate punda wetu" + diff --git a/1sa/09/07.md b/1sa/09/07.md new file mode 100644 index 00000000..3dae697f --- /dev/null +++ b/1sa/09/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# twaweza kumpelekea nini? + +Kupeleka zawadi ni alama ya heshima kwa mtu wa Mungu. + +# Mtu wa Mungu + +Mara nyingi humaanisha nabii wa Bwana. "Mtu anayesikia na kusema maneno toka kwa Mungu" + +# robo ya shekeli + +Robo ya shekeli ni aina ya fedha ambayo ilitumika katika agano la kale. + diff --git a/1sa/09/09.md b/1sa/09/09.md new file mode 100644 index 00000000..20613333 --- /dev/null +++ b/1sa/09/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Zamani katika Israeli ... mwonaji + +Hii ni taarifa ya desturi ambayo iliongezwa na mwandishi wa Kiebrania. + +# Kwa maana nabii wa leo, zamani aliitwa Mwonaji + +"Mwonaji ni jina la zamani la nabii" + diff --git a/1sa/09/12.md b/1sa/09/12.md new file mode 100644 index 00000000..440b2cc0 --- /dev/null +++ b/1sa/09/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# leo watu wanatoa dhabihu + +Hizi ni kama sikukuu au dhabihu za matunda ya kwanza, sio dhabihu za dhambi ambazo lazima zifanyikie katika hema. + diff --git a/1sa/09/14.md b/1sa/09/14.md new file mode 100644 index 00000000..c01377e7 --- /dev/null +++ b/1sa/09/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# akipanda kwenda mahali pa juu + +Hapa ni mahali ambapo watu wamepafanya kuwa mahali patakatifu pa kutolea dhabihu na sadaka kwa Bwana. + diff --git a/1sa/09/15.md b/1sa/09/15.md new file mode 100644 index 00000000..4be429f7 --- /dev/null +++ b/1sa/09/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Mwandishi ameacha kutuelezea simulizi na anatoa taarifa ya jumla ili msomaji aelewe ni kitu gani kinafuata. + +# nawe utamtia mafuta awe mkuu + +Neno mkuu limetumika badala ya neno mfalme. Huyu ni mtu ambaye Bwana amemchagua awe mfalme wa Israeli. + +# nchi ya Benyamini + +"nchi ambayo watu wa kabila la Benyamini waliishi" + +# kutoka kwenye mkono wa Wafilisti + +"Ktutoka kwenye utawala wa Wafilisti" + +# Kwa kuwa nimewaonea huruma watu wangu + +"Watu wangu wanateseka na ninataka kuwasaidia" + diff --git a/1sa/09/17.md b/1sa/09/17.md new file mode 100644 index 00000000..fb5d5e76 --- /dev/null +++ b/1sa/09/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Bwana akamwambia + +"Bwana akamwambia Samweli" + +# Mwonaji + +"Nabii wa Bwana" + diff --git a/1sa/09/20.md b/1sa/09/20.md new file mode 100644 index 00000000..85b46804 --- /dev/null +++ b/1sa/09/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Na yote yaliyotamanika kwa ajili ya Israeli yanamwangukia nani? Siyo kwako na nyumba ya baba yako yote? + +Maswali haya yanaelezea kwa undani kuthibitisha kuwa Sauli ndiye aliyechaguliwa na Bwana kuwa Mfalme wa Israeli. + +# Siyo mimi Mbenyamini ... ya Israeli? Kwa nini basi unaniambia kwa namna hii? + +Sauli anashangaa kwa sababu Waisraeli wwengine walilichukulia kabila la Benyamini kama kabila ovu na Wabenyamini walichukulia ukoo aliotoka Sauli kuwa haukuwa wa muhimu. + diff --git a/1sa/09/22.md b/1sa/09/22.md new file mode 100644 index 00000000..7025ff0e --- /dev/null +++ b/1sa/09/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ukumbini + +Mwandishi anaonesha kuwa karibu na sehemu ya kutolea dhabihu kulikuwa na jengo kubwa ambalo watu walikuwa wakila pamoja huko. + +# mahali pa heshima + +"Hiki ni kiti cha heshima" + +# thelathini + +"30" + diff --git a/1sa/09/23.md b/1sa/09/23.md new file mode 100644 index 00000000..89774000 --- /dev/null +++ b/1sa/09/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# paja lililokuwa limeinuliwa katika dhabihu + +Kuhani aliyeinua paja katika dhabuhu ndiye anayepaswa kula. Samweli alimfanya Sauli ale ili kuonesha kuwa kuwa mfalme ni kazi takatifu. + +# Kilichokuwa pamoja nayo + +Yaweza kuwa na maana ya 1)chakula kingine ambacho Sauli alikula pamoja na nyama au 2) sehemu nyingine ya ng'ombe. + +# Kisha Samweli akasema + +Hii yaweza kuwa na maana ya "Mpishi akasema." + +# Na kwa sasa waweza kusema, 'Nimewaalika watu.' + +Yaweza kuwa na maana ya 1) Sauli anaweza kusema kuwa aliwaalika watu au 2) Samweli aliwaalika watu + diff --git a/1sa/09/25.md b/1sa/09/25.md new file mode 100644 index 00000000..c39186ad --- /dev/null +++ b/1sa/09/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# darini + +Hii ilikuwa sehemu ya kawaida kwa familia na wageni kula na kulala. Huwa na ubaridi jioni usiku kuliko sehemu nyingine za nyumba. + +# Samweli alimwita Sauli darini na kusema + +"Sauli alipokuwa amelala darini Samweli alimuita na kusema" + diff --git a/1sa/09/27.md b/1sa/09/27.md new file mode 100644 index 00000000..1897b162 --- /dev/null +++ b/1sa/09/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mbele yetu ... na alitangulia mbele ... Lakini wewe sharti usubiri + +Yaweza kuwa na maana ya "mbele yetu na atakapokwenda mbele yetu yakupasa usubiri" + +# nipate kukuambia ujumbe wa Mungu + +"Ili nikuambie ujumbe wa Mungu kwa ajili yako" + diff --git a/1sa/10/01.md b/1sa/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..12f8bf03 --- /dev/null +++ b/1sa/10/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# akachukua chupa ya mafuta, akayamimina juu ya kichwa cha Sauli + +Katika tamaduni za Israeli nabii inapomimina mafuta katika kichwa cha mtu huyo mtu anapokea baraka toka kwa Bwana. + +# Chupa + +Ni chombo kidogo kilichotengenezwa kwa udongo. + +# Je, Mungu hajakutia mafuta uwe mtawala juu ya urithi wake? + +Samweli anajua jibu la swali hili. Anamkumbusha Sauli kuwa Bwana amemchagua yeye kuwa mfalme wa Israeli. + +# Selsa + +Hili ni jina la mahali. + +# Nitafanya nini kuhusu mwanangu? + +Baba yake na Sauli anaanza kuwa na hofu juu ya mtoto wake na anataka kumtafuta. + diff --git a/1sa/10/03.md b/1sa/10/03.md new file mode 100644 index 00000000..ddaf5d16 --- /dev/null +++ b/1sa/10/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tabori + +Hili ni jina la mahali. + +# kuchukua toka mikononi mwao + +"kuchukua toka kwao" au "kukubali" + diff --git a/1sa/10/05.md b/1sa/10/05.md new file mode 100644 index 00000000..bdb0957d --- /dev/null +++ b/1sa/10/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Matari + +Ni kifaa cha muziki kama ngoma ambacho kinaweza kupigwa na chenye vipande vya chupa huzunguka kifaa hicho, vipande hivi hulia kifaa kinapotikiswa. + +# Roho wa Bwana atakujaza + +Hii inamaana kuwa roho wa Bwana atamchochea Sauli. Atamfanya Sauli atoe unabii na kuwa tofauti na watu wengine. + diff --git a/1sa/10/07.md b/1sa/10/07.md new file mode 100644 index 00000000..408dba76 --- /dev/null +++ b/1sa/10/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# fanya lolote ambalo mikono yako itaona ifanye + +Hapa Samweli anazungumza juu ya mikono ya Sauli. "fanya kile ambacho unafikiri ni sahihi kufanya" + diff --git a/1sa/10/09.md b/1sa/10/09.md new file mode 100644 index 00000000..32b5ee9b --- /dev/null +++ b/1sa/10/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mungu akampa moyo mwingine + +Mungu akamfanya Samweli afikiri tofauti na alivyofikiri mwanzo. + +# Roho ya Mungu ikamjilia + +"Roho ya Mungu ikamtawala kabisa. + diff --git a/1sa/10/11.md b/1sa/10/11.md new file mode 100644 index 00000000..24c102f6 --- /dev/null +++ b/1sa/10/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kitu gani kimempata mtoto wa Kishi? + +Hii inaweza kuwa na maana ya 1) watu wanauliza ili kupata taarifa au 2) yaweza kuwa Swali linaloonesha kuwa Sauli sio wa muhimu. "Kishi sio mtu wa muhimu hivyo haiwezekani mtoto wake akawa nabii" + +# Mwana wa Kishi + +"Sauli, mwana wa Kishi" + +# Na ni nani baba yao? + +Swali hili linawakumbusha watu kuwa kuwa nabii haina uhusiano na baba yako ni nani. "Haijalishi Manabii hawa wazazi wao ni akina nani" + +# Kwa sababu ya jambo hili, ukawapo msemo, "Hivi Sauli naye ni mmoja wa manabii?" + +"Na hii ndiyo sababu, wakati ambapo watu hawakuamini baadhi ya taarifa walifikiri juu ya kilichotokea kwa Sauli na kusema 'Hivi Sauli naye ni mmoja wa manabii?'" + +# Hivi Sauli naye ni mmoja wa manabii? + +Kwa Sababu Sauli ni mmoja wa manabii watu walifikiri kuwa hata watu wasiokuwa na umuhimu wanaweza kuwa manabii. + diff --git a/1sa/10/14.md b/1sa/10/14.md new file mode 100644 index 00000000..ff09d060 --- /dev/null +++ b/1sa/10/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ndipo baba yake mdogo na Sauli akamwambia + +"Ndipo kaka yake na baba yake na Sauli akamwambia Sauli" + +# Hakumwambia kuhusu swala la ufalme + +"Sauli hakumwambia baba yake mdogo kuwa Mungu amemchagua kuwa mfalme wa Israeli" + diff --git a/1sa/10/17.md b/1sa/10/17.md new file mode 100644 index 00000000..73069a84 --- /dev/null +++ b/1sa/10/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Niliwatoa Israeli kutoka Misri + +"Niliwatoa watu wa Israeli kutoka Misri" + +# Leo + +"sasa" + +# Mkono wa Wamisri ... mkono wa falme zote + +"Mkono" inamaanisha mguvu. "Nguvu za Wamisri ... nguvu za mataifa yote" + +# Tuwekee mfalme juu yetu + +Tupe mfalme wa kutuongoza. + +# jihudhurisheni wenyewe mbele za BWANA kwa kabila na jamaa zenu + +"Wakusanye makabila na jamaa na msimame mbele za Bwana" + diff --git a/1sa/10/20.md b/1sa/10/20.md new file mode 100644 index 00000000..a7fc4145 --- /dev/null +++ b/1sa/10/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kabila la Benyamini lilichaguliwa ... jamaa ya Wamatri ikachaguliwa ... Sauli mwana wa Kishi akachaguliwa + +"Bwana alichagua kabila la Benyamini... Bwana alichagua jamaa ya Wamatri... Bwana alimchagua Sauli mwana wa Kishi" + diff --git a/1sa/10/22.md b/1sa/10/22.md new file mode 100644 index 00000000..d01f9322 --- /dev/null +++ b/1sa/10/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# alikuwa mrefu kuliko watu wote kuanzia mabega yake kwenda juu + +Watu wengine warefu katika Israeli hawakumfikia mabegani wake. + diff --git a/1sa/10/25.md b/1sa/10/25.md new file mode 100644 index 00000000..b2252842 --- /dev/null +++ b/1sa/10/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# desturi na sheria za ufalme + +"Mambo ambayo mfalme atawalazimisha wayafanye na mambo yote ambayo mfalme anapaswa kuyafanya" + diff --git a/1sa/10/26.md b/1sa/10/26.md new file mode 100644 index 00000000..4b3bfa6f --- /dev/null +++ b/1sa/10/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wenye mioyo iliyoguswa na Mungu + +Mungu anapougusa mioyo ya watu ina maana ya kuwa Mungu ameweka kitu kwenye mioyo yao na kuwafanya watende jambo fulani. + +# Huyu mtu atatuokoaje? + +"mtu huyu hana nguvu za kutuokoa" + +# Walimdharau + +"Hawakumpenda" + diff --git a/1sa/11/01.md b/1sa/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..a177a6a4 --- /dev/null +++ b/1sa/11/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nahashi + +Alikwa Mwamoni, uzao wa Lutu. + +# Yabeshi Gileadi + +Hili ni jina la mahali. + +# Niling'oa + +"Nilikata" + +# Kuleta fedheha + +"kuleta aibu" + diff --git a/1sa/11/03.md b/1sa/11/03.md new file mode 100644 index 00000000..4e565d6f --- /dev/null +++ b/1sa/11/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Siku saba + +"Siku 7" + diff --git a/1sa/11/04.md b/1sa/11/04.md new file mode 100644 index 00000000..7e6b3f17 --- /dev/null +++ b/1sa/11/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Gibea + +Hili ni jina la mahali. + diff --git a/1sa/11/06.md b/1sa/11/06.md new file mode 100644 index 00000000..2253c2f0 --- /dev/null +++ b/1sa/11/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Roho ya Mungu ikamjia kwa nguvu + +Roho ya Bwana ikamchochea Sauli. Ikamfanya Sauli asababishe watu wamuogope kwa kumuheshimu kama mfalme wao na kujiunga na jeshi lake. + +# asiyejitokeza akimfuata + +Sauli aliwaita watu wote wa Israeli waende kupigana dhidi ya Nahashi na Waamoni. + +# Na hofu ya Bwana ikawaingia watu + +Bwana akasababisha watu wamuogope na kumuheshimu Sauli kama mfalme wao. + +# Beseki + +Hili ni jina la mji ulikokuwa karibu na Yabeshi Gileadi. + +# watu wa Israeli walikuwa mia tatu elfu, na watu wa Yuda elfu thelathini. + +"Watu wa Israeli walikuwa 300,000 na watu wa yuda walikuwa 30,000" + diff --git a/1sa/11/09.md b/1sa/11/09.md new file mode 100644 index 00000000..7a2e32a4 --- /dev/null +++ b/1sa/11/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wakawaambia wale wajumbe + +Hapa anazungumziwa Samweli na Sauli. + +# wakati wa jua kali + +"kabla ya mchana" + +# Yabeshi Gileadi ... Yabeshi + +Haya ni majina ya mahali. + +# Nahashi + +Hili ni jina la mfalme. + diff --git a/1sa/11/11.md b/1sa/11/11.md new file mode 100644 index 00000000..4b44907b --- /dev/null +++ b/1sa/11/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wakati wa asubuhi + +Mda huu ni kabla ya mapambazuko ambapo watu wengi kwenye kambi walikuwa bado wamelala. + diff --git a/1sa/11/14.md b/1sa/11/14.md new file mode 100644 index 00000000..23a1f3ba --- /dev/null +++ b/1sa/11/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wakamsimika Sauli kuwa mfalme mbele za Bwana + +"Wakamsimika Sauli kuwa mfalme wakati Bwana anaangalia" + +# Na huko walitoa sadaka za amani mbele za Bwana + +Sehemu ya huduma ya Samweli kwa Bwana ni kutoa dhabihu japokuwa hakutoka katika ukoo wa Haruni wala wa Lawi. + diff --git a/1sa/12/01.md b/1sa/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..e94be989 --- /dev/null +++ b/1sa/12/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# yupo hapa mfalme aliyeko mbele yenu ... nami nimekuwako mbele yenu + +Sentensi hizi zinaonesha kuwa watu waliweza kuona maisha ambayo Sauli na Samweli waliishi. "Maisha ya mfalme yalionekana ... maisha yangu yalionekana" + diff --git a/1sa/12/03.md b/1sa/12/03.md new file mode 100644 index 00000000..22c4c5f7 --- /dev/null +++ b/1sa/12/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mimi niko hapa , Nishuhudieni mbele za BWANA na mbele za mtiwa mafuta wake. + +Samweli anawasihi watu waeleze ikiwa amefanya jambo lolote baya. + +# Nimechukua ng'ombe wa nani? Nimechukua punda wa nani? + +Samweli anatumia maswali kuwakumbusha watu kuwa hakuwahi kuwaibia wanyama wao. + +# Ni nani nimemdhulumu? + +Samweli anatumia swali hili kuonesha kuwa amekuwa mkweli wakati wote. + +# Nishuhudieni, nami nitawarudishia + +"Ikiwa nimefanya mabaya yoyote semeni sasa na nitawalipa mnavyonidai." + diff --git a/1sa/12/04.md b/1sa/12/04.md new file mode 100644 index 00000000..39481d33 --- /dev/null +++ b/1sa/12/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kutoka mkono wa mtu yeyote ... kwenye mkono wangu + +Hii ni namna nzuri ya kusema kuwa hakuiba waka kutoa au kupokea rushwa. + diff --git a/1sa/12/06.md b/1sa/12/06.md new file mode 100644 index 00000000..c727344b --- /dev/null +++ b/1sa/12/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# matendo yote ya haki ya BWANA + +Samweli anawaonesha historia ya Bwana alivyokuwa anawatendea Waisraeli, namna ilivyojawa na mambo mema na kusudi. + diff --git a/1sa/12/08.md b/1sa/12/08.md new file mode 100644 index 00000000..218e20e9 --- /dev/null +++ b/1sa/12/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yakobo ... Musa ... Haruni ... Sisera + +Haya ni majina ya watu. + +# Hazori + +Hili ni jina la mahali. + +# akawauza + +Hii inaelezea namna ambavyo Mungu aliwatoa juu ya adui zao kama watumwa. + +# Kwenye mikono ya Sisera ... Wafilisti ... Mfalme wa Moabu + +"kwenye nguvu za Sisera ... Wafilisti na mfalme wa Moabu" + diff --git a/1sa/12/10.md b/1sa/12/10.md new file mode 100644 index 00000000..1ff0ed76 --- /dev/null +++ b/1sa/12/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Wakamlilia Bwana + +Hawa ni taifa la Israeli. + +# tumewatumikia Mabaali na Mashtorethi + +Kumtumikia imetumika hapa kama kumwabudu, "waliabudu miungu ya uongo" + +# Mkono wa adui zako + +"Nguvu au utawala wa adui zako" + +# Yerubu Baali + +Hili ni jina la heshima na nguvu ya kupigana na Mungu wauongo. + +# Bwana akawatuma ... na akawapa ushindi + +Samweli anasimulia simulizi ya namna ambavyo Mungu alifanya baada ya watu kutubu dhambi zao na kuomba msaada. + +# Yerubu Baali, Bedani, Yefta na Samweli + +Haya ni majina ya baadhi ya waamuzi ambao Mungu aliwainua. + diff --git a/1sa/12/12.md b/1sa/12/12.md new file mode 100644 index 00000000..08edefa1 --- /dev/null +++ b/1sa/12/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# 'Hapana! Badala yake, mfalme awepo atawale juu yetu + +Sentensi hii inaonesha namna ambavyo taifa la Israeli lilimpinga Samweli alipowaambia kuwa wamwamini Mungu kwa sababu Mungu aliwaokoa zamani. + +# ambaye mmemchagua, ambaye mlimuomba + +Sentensi hizi zina maana moja na zinasisitiza kuwa huyu ndiye mfalme ambaye watu wanamtaka. + diff --git a/1sa/12/14.md b/1sa/12/14.md new file mode 100644 index 00000000..1361c713 --- /dev/null +++ b/1sa/12/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mnamuhofu ... mtumikieni ... mtiini.... msimuasi + +Maneno haya yanayofanana yametumika ili kusisitiza umuhimu wa jambo hili. + +# dipo mkono wa BWANA utakuwa juu yenu, kama ulivyokuwa juu ya babu zenu. + +"Bwana atawaadhibu ninyi kama walivyowaadhibu babu zenu" + diff --git a/1sa/12/16.md b/1sa/12/16.md new file mode 100644 index 00000000..e8ae73b7 --- /dev/null +++ b/1sa/12/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mbele ya macho yenu + +"macho" inawakilisha watu wa taifa la Israeli. + +# Je, leo si mavuno ya ngano? + +Samweli anajua kuwa ni wakati wa mavuno. "Ni wakati wa mavuno na mvua hainyeshi katika wakati huu" + +# Akatuma radi na mvua + +Samweli anamuomba Bwana awaadhibu Israeli kwa kutaka mfalme kwa mumuomba atume mvua ya radi wakati wa mavuno ambayo itaharibu mavuno. + diff --git a/1sa/12/19.md b/1sa/12/19.md new file mode 100644 index 00000000..cb4c8051 --- /dev/null +++ b/1sa/12/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ili tusife + +Adhabu ya dhambi ni kifo. Taifa la Israeli liliona Bwana akiharibu mataifa yaliyowanyanyasa. Walikuwa na wasiwasi kuwa wataharibiwa kama mataifa mengine. + +# Msiogope + +Watu walifanya maovu na waliogopa kuwa Mungu atawaharibu. "Msiogope kuwa Mungu atakasirika na kuwaharibu kwa sababu ya dhambi hii" + +# msigeuke na kufuata mambo matupu + +"msikimbilie kuabudu miungu ya uongo" + diff --git a/1sa/12/22.md b/1sa/12/22.md new file mode 100644 index 00000000..6aaf7d39 --- /dev/null +++ b/1sa/12/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa ajili ya jina lake kuu + +"Hivyo watu wataendelea kumuheshimu na kumtii Bwana" + +# Kwangu mimi, iwe mbali nami kumtenda BWANA dhambi kwa kuacha kuwaombea ninyi. + +Watu walishikwa na hofu kwa sababu ya radi na mvua ambavyo Bwana alivituma Samweli alipoomba. Watu wengine walihisi kuwa Samweli atatumia maombi yake kuwaangamiza. + diff --git a/1sa/13/01.md b/1sa/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..094b54dd --- /dev/null +++ b/1sa/13/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Samweli anawakumbusha watu kumfuata Bwana. + +# Sauli alikwa na umri wa miaka thelathini ... juu ya Israeli + +Maneno katika mistari hii yamenukuliwa toka katika vitabu vya zamani hivyo kwa matoleo ya kisasa kunaweza kuwa na tafsiri ya tofauti. + +# Askari waliobaki aliwarudisha nyumbani + +"Aliwarudisha askari waliobaki nyumbani" + +# Aliwachagua watu elfu tatu + +"Aliwachagua watu 3,000" + +# Elfu mbili walikuwa pamoja naye huko Mikmashi + +"2,000 walikuwa pamoja naye huko Mikmashi" + +# Gibea ya Benyamini + +Gibea ni jina la mji. + diff --git a/1sa/13/03.md b/1sa/13/03.md new file mode 100644 index 00000000..a1386082 --- /dev/null +++ b/1sa/13/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ngome ya Wafilisti + +"ngome ya jeshi la Wafilisti" au "kambi ya jeshi la Wafilisti" + +# Geba + +Hili ni jina la mji ambapo ngome ya Wafilisti ilikuwepo huko. + +# Israeli yote imesikia kwamba Sauli ameipiga + +Hii yaweza kuwa na maana ya 1)Sauli alichukua jukumu la vitendo vya Yonathani au 2)Sauli alichukua pongezi kwa vitendo vya Yonathani. + +# Uvundo + +Taifa la Israeli linafananishwa na uvundo. + +# Ndipo askari wakaitwa kwa pamoja kuungana na Sauli huko Gilgali. + +"Sauli akawaita askari kwa pamoja kuungana naye huko Gilgali" + diff --git a/1sa/13/05.md b/1sa/13/05.md new file mode 100644 index 00000000..48054cac --- /dev/null +++ b/1sa/13/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# elfu tatu ... elfu sita + +"3,000 ... 6,000" + +# majeshi mengi kama mchanga ufukoni mwa bahari + +Kundi la askari walikuwa wengi na ilikuwa ngumu kuwahesabu. + +# Mikimashi + +Hili ni jina la mahali. + +# Beth aveni. + +Hili ni jina la mahali. + diff --git a/1sa/13/06.md b/1sa/13/06.md new file mode 100644 index 00000000..caa9580d --- /dev/null +++ b/1sa/13/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Wafilisti walikusanyika ili kupigana dhidi ya Israeli. + +# Watu + +Taifa la Israeli. + +# watu walikata tamaa + +"watu waliogopa sana" + +# nchi ya Gadi na Gileadi + +Haya ni majina ya miji. + +# Walimfuata wakitetemeka + +Watu walikuwa wanogopa sana. + diff --git a/1sa/13/08.md b/1sa/13/08.md new file mode 100644 index 00000000..49b1bf9f --- /dev/null +++ b/1sa/13/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# muda uliopangwa na Samweli. + +"kutokana na muda ambao Samweli alimwambia kuwa atakuja" + +# watu wakatawanyika mbali na Sauli + +"Watu wakaanza kumuacha Sauli" + +# Kisha akatoa sadaka ya kuteketezwa + +Ukoo wa Haruni tuu ndio ulioruhusiwa kutoa sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana. + diff --git a/1sa/13/11.md b/1sa/13/11.md new file mode 100644 index 00000000..780307ca --- /dev/null +++ b/1sa/13/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Umefanya nini? + +Samweli alikuwa haulizi swali ila alikuwa akimkemea Sauli. Sauli akaanza kujitetea japokuwa alikosea. + +# Mikmashi + +Hili ni jina la mahali. + diff --git a/1sa/13/13.md b/1sa/13/13.md new file mode 100644 index 00000000..32d57457 --- /dev/null +++ b/1sa/13/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Sauli anamwambia Samweli kwa nini amefanya kitendo hicho kama kuhani na kutoa sadaka. + +# Hukuheshimu amri ya BWANA + +Sauli alipaswa amsubiri Sauli afike na atoe sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana na sio kufanya hivyo yeye. + +# Aliutengeneza utawala wako + +"Aliuweka utawala wako" au "aliuchagua utawala wako" + +# utawala wako hautaendelea + +"Utawala wako utakoma muda si mrefu" + +# mtu anayekubaliwa na moyo wake + +"Mtu atakayefuata amri zake" + diff --git a/1sa/13/15.md b/1sa/13/15.md new file mode 100644 index 00000000..91a0dd1d --- /dev/null +++ b/1sa/13/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Samweli akasimama na kwenda + +"Samweli akaondoka na kwenda mpaka" + +# mpaka Gilgali + +Gilgali ni jina la mji. + +# Gibea ya Benyamini + +Gibea ni jina la mji. + +# Watu mia sita + +"600" + +# Geba ya Benyamimni + +Geba ni mji. + +# Wafilisti wakapiga kambi huko Mikmashi + +Mikmashi ni jina la mahali. + diff --git a/1sa/13/17.md b/1sa/13/17.md new file mode 100644 index 00000000..9b560e2c --- /dev/null +++ b/1sa/13/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wateka nyara + +Wateka nyara ni askari jeshi wanovamia vijiji vya adui zao kwa ajili ya chakula na mahitaji mengine. + +# Ofra, hadi nchi ya Shuali ... Bethholoni ...bonde la Seboimu + +Haya ni majina ya mahali. + diff --git a/1sa/13/19.md b/1sa/13/19.md new file mode 100644 index 00000000..d0222cf3 --- /dev/null +++ b/1sa/13/19.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Msimuliajia nasimulia kusuhu wafua vyuma wa Israeli. + +# Hakuna hata mhunzi aliyeonekana + +"Hakuna mtu atakayempata mhunzi" + +# Mhuzni + +Mhuzi ni mtu anayetengeneza vifaa vya chuma na silaha. + +# kunoa jembe lake + +Jembe ni kifaa cha chuma ambacho hutumika kulimia ardhini kwa ajili ya kupanda mazao. + +# sululu ... shoka ... mundu + +Hivi ni vifaa vya kwenye bustani + +# Sululu + +Ni kifaa chenye ncha kali kinachotumika kupasulia udongo mgumu. + +# mundu + +Ni kifaa cha ncha kali kinachotumika kukatia majani na nafaka. + +# Theluthi mbili ya shekeli + +Shekeli imegawanywa katika sehemu tatu na mbili ya tau imetolewa. + +# kunyoosha michokoo + +Kuondoa mchokoo na kumfanya ng'ombe anyooke ili aweze kutumika. + diff --git a/1sa/13/22.md b/1sa/13/22.md new file mode 100644 index 00000000..f7fc94dd --- /dev/null +++ b/1sa/13/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya jumla + +Simulizi inaendelea: + +# hakukuwa na mapanga au mikuki + +Hii inaelezea ni kwa nini jeshi la Sauli lilikuwa linaogopa. Hawakuwa na silaha kwa ajili ya mapigano. + diff --git a/1sa/14/01.md b/1sa/14/01.md new file mode 100644 index 00000000..7b17c908 --- /dev/null +++ b/1sa/14/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Yonathani anaanza uvamizi wake wa pili katika jeshi la Wafilisti. + +# mbeba silaha wake aliye mdogo, + +Kijana mdogo aliyekuwa na jukumu la kubeba silaha za bwana wake kwa ajili ya vita. + +# gome ya Wafilisti + +Hii ni sehemu ambayo jeshi la Wafilisti iliweka kambi. + diff --git a/1sa/14/02.md b/1sa/14/02.md new file mode 100644 index 00000000..0baaf88d --- /dev/null +++ b/1sa/14/02.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Gibea + +Hili ni jina la kilima kaskazini mwa Yerusalemu. + +# chini ya mti wa mkomamanga + +Ni mti ambao matunda yake yana ganda gumu, la duara jekundu na lenye mbegu nyingi kwa ajili ya kula. + +# ulio katika Migroni + +Migroni ni eneo lililopo Kaskazini mwa Yerusalemu. + +# watu mia sita walikuwa pamoja naye + +"watu 600 walikuwa pamoja naye" + +# mwana wa Ahitubu (nduguye Ikabodi) + +"Ahitubu" n"a Ikabodi" ni majina ya wanaume. + +# Finehasi mwana wa Eli + +Finehasi alikwa mmoja wa makuhani. + diff --git a/1sa/14/04.md b/1sa/14/04.md new file mode 100644 index 00000000..29c61467 --- /dev/null +++ b/1sa/14/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Jabali moja liliitwa Bosesi + +Jabali ni mwamba wenye mteremko mkali. Jabali hili lilijulikana sana na lilipewa jina la "Bosesi" + +# Jabali lingine liliitwa Sene + +Hili lilikuwa jina la jabali lingine. + +# Mikmashi + +"Mikmashi" ulikuwa mji kaskazini mwaYerusalemu. + +# Geba + +"Geba" ulikuwa mji kaskazini mwaYerusalemu. + diff --git a/1sa/14/06.md b/1sa/14/06.md new file mode 100644 index 00000000..d0c398be --- /dev/null +++ b/1sa/14/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kijana mbeba silaha wake + +Kijana mdogo aliyekuwa na jukumu la kubeba silaha za bwana wake kwa ajili ya vita. + +# wasiotahiriwa + +Hili ni neno lililotumika kuwaelezea watu ambao hawakuwa Wayahudi. + +# atatenda kwa niaba yetu + +"atatusaidia" + +# hakuna kitu kiwezacho kumzuia Bwana asiokoe + +"Bwana anaweza kuokoa" + +# kwa wengi au kwa watu wachache + +"Kwa idadi yoyote ya watu" + +# kila kitu kilicho ndani ya moyo wako + +"kila kitu unachotamani kufanya" + diff --git a/1sa/14/08.md b/1sa/14/08.md new file mode 100644 index 00000000..9afda014 --- /dev/null +++ b/1sa/14/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hatutavuka kwenda kwao + +"hatutakwenda katika upande mwingine wa bonde ambapo Wafilisti wapo" + +# amewaweka mkononi mwetu + +"atatuwezesha kuwashinda" + +# Hii ndiyo itakuwa ishara yetu + +"Hii itathibitisha kuwa Bwana atakuwa pamoja nasi" + diff --git a/1sa/14/11.md b/1sa/14/11.md new file mode 100644 index 00000000..2c89e04e --- /dev/null +++ b/1sa/14/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wakajifunua mbele ya ngome ya Wafilisti + +"wakaruhusu askari wa Wafilisti wawaone" + +# mgome + +"Kambi ya jeshi" + +# wanakuja kutokea kwenye mashimo walimojificha + +Wafilisti wanaelezea kuwa Waebrania walijificha kwenye mashimo chini kama wanyama. + +# tutawaonesha jambo + +"tutawafundisha jambo" + +# amewaweka katika mkono wa Israeli + +"Atawawezesha Waisraeli kuwashinda" + diff --git a/1sa/14/13.md b/1sa/14/13.md new file mode 100644 index 00000000..8e3692d9 --- /dev/null +++ b/1sa/14/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yonathani alipanda juu kwa mikono na miguu yake + +"Hivyo Yonathani akapanda juu kwa kutumia mikono na miguu yake kwa sababu kulikuwa na + +# Wafilisti waliuwawa mbele ya Yonathani + +"Yonathani aliwaua Wafilisti" + +# mbeba silaha wake akiwaua baadhi nyuma yake + +"Mbeba silaha wa Yonathani alimfuata na kuwaua askari wa Wafilisti" + diff --git a/1sa/14/15.md b/1sa/14/15.md new file mode 100644 index 00000000..5c8814b9 --- /dev/null +++ b/1sa/14/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kukawa na hofu + +"kulikuwa na woga sana" + +# Wateka nyara + +Wafilisti waliokuwa wakiteka nyara miji ya Israeli. + +# Nchi ikatetemeka + +"Mungu alisababisha nchi ikatetemeka" + diff --git a/1sa/14/16.md b/1sa/14/16.md new file mode 100644 index 00000000..5ee6eaac --- /dev/null +++ b/1sa/14/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Gibea + +Hili ni jina la mji. + +# likitawanyika ... wakienda kule na huku + +Maneno haya yanamaana sawa yakisisitiza kuwa askari walikuwa wakikimbia kila mahali. + diff --git a/1sa/14/18.md b/1sa/14/18.md new file mode 100644 index 00000000..7900f389 --- /dev/null +++ b/1sa/14/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Lete hapa Sanduku la Mungu + +Matoleo mapya yameandika "naivera" badala ya "sanduku la Mungu" + +# ghasia + +"kelele nyingi na kuchanganyikiwa" + +# Acha kazi unayofanya + +"Acha kufanya jambo unalofanya" Sauli hakutaka Ahiya aendelee kulitumia sanduku la Mungu kuulizia uelekeo" + diff --git a/1sa/14/20.md b/1sa/14/20.md new file mode 100644 index 00000000..d68d974e --- /dev/null +++ b/1sa/14/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# watu aliokuwa nao + +Jeshi la Israeli ambalo lilibaki pamoja na Sauli. + +# Upanga wa kila Mfilisti ulikuwa juu ya Mfilisti mwenzake + +"Wafilisti walipigana wao kwa wao kwa upanga" + diff --git a/1sa/14/22.md b/1sa/14/22.md new file mode 100644 index 00000000..fb28107c --- /dev/null +++ b/1sa/14/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Waisraeli wote waliokuwa wamejificha katika milima + +Askari hawa walijificha kwa sababu waliwaogopa Wafilisti. + +# Beth aveni + +Hili ni jina la sehemu katika Israeli. + diff --git a/1sa/14/24.md b/1sa/14/24.md new file mode 100644 index 00000000..47a308f2 --- /dev/null +++ b/1sa/14/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hivyo hakuna hata mmoja kati ya watu wote aliyeonja chakula + +Ilieleweka kwa watu kuwa chini ya kiapo cha Sauli hakuna chakula kilichoruhusiwa. + +# Watu wakaingia msituni + +Askari wa Wafilisti walikimbilia msituni na askari wa Israeli wakawafuata. + +# Asali ilitiririka + +Hii inasisitiza kuwa "kulikuwa na asali nyingi kila mahali" + +# hakuna aliyeweka mkono wake kinywani + +"hakuna aliyekula chochote" + +# watu waliogopa kiapo + +Watu hawakukiogopa kiapo ila waliogopa adhabu iliyoambatana na kuvunja kiapo. + diff --git a/1sa/14/27.md b/1sa/14/27.md new file mode 100644 index 00000000..3b83d3e7 --- /dev/null +++ b/1sa/14/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Yonathani anagundua juu ya kiapo cha baba yake. + +# amewaagiza watu kwa kiapo + +"aliwaamuru watu kwa kutii kiapo" + +# akanyoosha mkono wake hadi kinywani mwake + +"Alikula asali" + +# macho yake yakaangaziwa + +Sentensi hii inamaanisha kuwa alipata nguvu. "alirejeshewa nguvu zake" + diff --git a/1sa/14/29.md b/1sa/14/29.md new file mode 100644 index 00000000..9e6d6b7e --- /dev/null +++ b/1sa/14/29.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# nchi + +Hii inawakilisha taifa la Israeli. + +# Macho yangu yalitiwa nuru + +Sentensi hii inamaanisha kuwa alipata nguvu. "alirejeshewa nguvu zake" + +# Je, siyo vizuri sana kama watu ... walizopata? + +Yonathani anatumia swali hili kueleza kuwa watu walitakiwa waruhusiwe kula. "Ushindi wetu ungekuwa mzuri sana ikiwa watu wangekuwa huru kula nyara walizochukua toka kwa adui zao" + +# Nyara + +Hivi ni vitu ambavyo watu huchukua wakiwa vitani toka kwa adui zao. + +# Kwa sababu sasa mauaji hayakuwa makubwa + +Kwa sababu askari hawakuweza kula wakati wa vita walikuwa dhaifu. Kwa sababu hii hawakuweza kuwaua Wafilisti wengi. + diff --git a/1sa/14/31.md b/1sa/14/31.md new file mode 100644 index 00000000..e9def7d6 --- /dev/null +++ b/1sa/14/31.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Maneno ya Yonathani yakawafanya watu wamtende Mungu dhambi katika njaa yao kuu. + +# Mikmashi + +Hili ni jina la mji. + +# Aiyaloni + +"Aiyaloni" ni sehemu huko Zebuloni Israeli. + +# Watu + +Hawa ni Waisraeli. + +# walikula nyama zao pamoja na damu. + +Walikuwa na njaa sana hivyo walikula mpaka damu. Hapa walikiuka sharia aliyopewa Munsa kwa ajili ya taifa la Israeli. + diff --git a/1sa/14/33.md b/1sa/14/33.md new file mode 100644 index 00000000..d8d929dc --- /dev/null +++ b/1sa/14/33.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kula pamoja na damu + +Hii ilikuwa ukiukwaji wa sharia ambayo Musa alipewa kwa ajili ya taifa la Israeli. + +# Mmetenda isivyo haki + +Sauli analishitaki jeshi lake lote kwa kutenda bila uaminifu japokuwa sio wote waliofanya hivyo. + +# Sasa, viringisheni jiwe kubwa kwangu + +Jiwe lingewashikilia wanyama na kusababisha damu ikauke haraka kwenye miili yao. + +# wawachinje hapa, na kuwala + +Hii ingemuwezesha Sauli kuona kuwa damu ilikauka toka kwa wanyama. + diff --git a/1sa/14/35.md b/1sa/14/35.md new file mode 100644 index 00000000..c6d32de8 --- /dev/null +++ b/1sa/14/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Sauli anawaambia watu wawawekee wanyama jiwe kubwa ili kuwaua na kuwala. + +# Sauli akamjengea Bwana madhabahu + +Haipo wazi kama Sauli alijenga madhabahu hii kwa jiwe kubwa ambalo watu walimletea. + diff --git a/1sa/14/36.md b/1sa/14/36.md new file mode 100644 index 00000000..ab278dce --- /dev/null +++ b/1sa/14/36.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Sauli anataka kuendelea kupigana na Wafilisti. + +# tusimwache hata mtu mmoja akiwa hai + +"Tumuue kila mtu" + +# Fanya unaloona linakupendeza + +Sauli aliungwa mkono na jeshi lake katika kuendeleza mapigano. + +# Hebu na tumkaribie Mungu mahali hapa + +"kumkaribia Mungu" ni kitendo cha kutaka ushauri kwake. " hebu tumuulize Mungu la kufanya" + +# utawaweka katika mkono wa Israeli + +"utatusaidia kuwashinda" + +# Lakini Mungu hakumjibu siku hiyo + +Hii inadhihirisha kuwa Mungu hakuwa tayari kumsaidia Sauli. + diff --git a/1sa/14/38.md b/1sa/14/38.md new file mode 100644 index 00000000..dc0e03df --- /dev/null +++ b/1sa/14/38.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mjue na kuona jinsi dhambi hii ilivyotokea leo + +"mjue nani aliyefanya dhambi" + +# Watu + +Hawa ni Waisraeli. + +# hata kama angekuwa mwanangu Yonathani, atapaswa kufa + +Sauli alisema hivi kwa sababu hakuamini kuwa mwanaye Yonadhani alikuwa na makosa. + +# akini hakuna hata mtu mmoja miongoni mwa watu aliye mjibu neno. + +Watu walikuwa kimya kwa sababu wengi wao walijua kuwa Yonathani alivunja kiapo cha Sauli. + diff --git a/1sa/14/40.md b/1sa/14/40.md new file mode 100644 index 00000000..c5c3762a --- /dev/null +++ b/1sa/14/40.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Basi akawaambia Waisraeli wote + +"Akawaambia askari wa Israeli waliokuwepo hapo" + +# Tuoneshe Thumimu ... wakatwaliwa ... piga kura + +Wakati huo Waisraeli walitumia wawe maalumu yaliyoitwa Urimu na Thumimu katika kupokea maelekezo toka kwa Mungu. + diff --git a/1sa/14/43.md b/1sa/14/43.md new file mode 100644 index 00000000..594ecfba --- /dev/null +++ b/1sa/14/43.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Kura ilionesha kuwa Yonathani alitenda dhambi. + +# Niambie umefanya nini + +"Niambie ni kwa namna gani umetenda dhambi" au "niambie ni kosa gani umefanya" + +# Nitakufa + +Yaweza kuwa na maana ya 1) "nipo tayari kufa" au 2) "Je nina sitahili kufa kwa sababu ya nilichokifanya" + +# Mungu afanye hivyo na kuzidi hata kwangu, kama Yonathani hautakufa + +Sauli alifanya tena kiapo kibaya. "Mungu na aniue kama sitakuua wewe Yonathani" + diff --git a/1sa/14/45.md b/1sa/14/45.md new file mode 100644 index 00000000..e55f2b33 --- /dev/null +++ b/1sa/14/45.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Jeshi linamtetea na kumlinda Yonathani toka kwa Sauli. + +# Je, inampasa Sauli afe, ni nani aliyetekeleza ushindi huu mkubwa kwa ajili ya Israeli? Mbali na hayo + +"Yonathani amekamilisha ushindi huu mkubwa. Hakika hatakufa" + +# Kama Bwana aishivyo + +Watu wanaonesha uhakika wao kuwa hawataruhusu lolote limpate Yonathani. + +# hata unywele mmoja wa kichwa chake hautaanguka chini + +Hii inaonesha kuwa Watu wa Israeli watamlinda Yonathani. "tutamlinda na mabaya yote" + diff --git a/1sa/14/47.md b/1sa/14/47.md new file mode 100644 index 00000000..40e9b34a --- /dev/null +++ b/1sa/14/47.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Kwa muda mfupi Sauli aliwapiga maadui wa Israeli. + +# Israeli + +Israeli inawakilisha watu wa Israeli. + +# Moabu + +Hii inawakilisha watu wa Moabu. + +# Edomu + +Hii inawakilisha watu wa Moabu. + +# Popote alipogeukia + +"popote alipotuma jeshi lake" + +# kutoka kwenye mikono + +"kutoka kwenye utawala" + diff --git a/1sa/14/49.md b/1sa/14/49.md new file mode 100644 index 00000000..83ecc96e --- /dev/null +++ b/1sa/14/49.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Hii inaonesha taarifa ya familia ya Sauli. + +# Ishvi ... Malkishua + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Merabu ... Mikali + +Haya ni majina ya wanawake. + +# Ahinoamu ... Ahimaasi + +Haya ni majina ya wanawake. + +# Abneri ... Neri ... Kishi ... Kishi + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/1sa/14/52.md b/1sa/14/52.md new file mode 100644 index 00000000..4fd1e849 --- /dev/null +++ b/1sa/14/52.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Siku zote za Sauli + +"maisha yote ya Sauli" + +# alimuunganisha kwake + +"alimlazimisha kujiunga na jeshi lake" + diff --git a/1sa/15/01.md b/1sa/15/01.md new file mode 100644 index 00000000..29647c9c --- /dev/null +++ b/1sa/15/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maneno ya Bwana + +"ujumbe wa Bwana" + +# ukaangamize kabisa vitu vyote walivyo navyo ... ua wote mwanamme na mwanamke, mtoto na mtoto mchanga, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda + +Sentensi hizi zina maana moja. Sentensi ya pili inaelezea kwa undani vitu ambavyo vinapaswa kuharibiwa. + +# Usiwaache + +Hii inasisitiza kuharibu kila kitu. + diff --git a/1sa/15/04.md b/1sa/15/04.md new file mode 100644 index 00000000..cdab565a --- /dev/null +++ b/1sa/15/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Watu + +"jeshi" + +# kuwahesabu + +"kuwahesabu" + +# mji wa Talemu + +Mji ulioko kusini mwa Yuda. + +# watu mia mbili elfu waendao kwa miguu, na watu elfu kumi kutoka Yuda + +watu 200,000 waendao kwa miguu, na watu 10,000 kutoka Yuda + diff --git a/1sa/15/06.md b/1sa/15/06.md new file mode 100644 index 00000000..29e61dcd --- /dev/null +++ b/1sa/15/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wakeni + +Kundi la wafugaji ambalo walikuwa marafiki wa taifa la Israeli. + +# Havila ... Shuri + +Haya ni majina ya mahali. + diff --git a/1sa/15/08.md b/1sa/15/08.md new file mode 100644 index 00000000..3fb55a59 --- /dev/null +++ b/1sa/15/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Sauli anapuuzia maeneo ambayo Bwana aliagiza yaangamizwe. + +# akamchukua Agagi + +"akamkamata Agagi" + +# ncha ya upanga + +"ncha ya upanga" inawakilisha jeshi la taifa la Israeli. + +# Sauli ... wakamwacha Agagi + +Sauli hakumtii Mungu kwa kumuacha Agagi aishi. + +# pamoja na kondoo wazuri + +Sauli hakumtii Mungu kwa kuchukua wanyama wazuri. + +# Hawakuangamiza + +"waliviweka kwa ajili yao wenyewe" + diff --git a/1sa/15/10.md b/1sa/15/10.md new file mode 100644 index 00000000..68c1be07 --- /dev/null +++ b/1sa/15/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Neno la Bwana likamjia + +"Bwana akasema maneno yake" + +# Neno la Bwana + +"ujumbe wa Bwana" + +# Inanihuzunisha + +"Nina huzuni" + +# aligeuka nyuma asinifuate + +"Aliacha kunifuata" + +# hakutekeleza maagizo yangu + +"hakutii yale niliyomuamuru ayafanye" + +# Samweli alikasirika + +Samweli alikasirika kwa sababu ya kutotii kwa Sauli. + diff --git a/1sa/15/12.md b/1sa/15/12.md new file mode 100644 index 00000000..7d7183eb --- /dev/null +++ b/1sa/15/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Samweli aliambiwa + +"mtu alimwambia Samweli" + +# amejijengea ukumbusho kwa ajili yake + +Sauli alikuwa na kiburi + +# chini hadi Gilgali + +Gilgali ilikuwa chini zaidi ya Karimeli. + +# nimetekeleza amri ya Bwana + +Haipo wazi ikiwa Sauli anaelewa kuwa hakutii amri ya Mungu ya kuwaangamiza kabisa Waamaleki. + diff --git a/1sa/15/14.md b/1sa/15/14.md new file mode 100644 index 00000000..6c4efd4b --- /dev/null +++ b/1sa/15/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Samweli anauliza kwa nini Sauli hakuwaangamiza kabisa Waameleki. + +# masikioni mwangu ... ninayosikia + +Maneno haya yana maana sawa. "masikioni mwangu" ina maana ya "kusikia" + +# kilio cha kondoo ... milio ya ng'ombe + +Hii ni milio ambayo wanyama hutoa. Lugha yako yaweza kuwa na maneno tofauti. + +# Wao wamewaleta ... watu waliwaacha + +Watu hawa wanaozungumziwa hapa ni jeshi la Sauli. + +# Sadaka kwa Bwana Mungu wako + +Sauli anajitetea kuwa wanyama kwa ajili ya dhabihu walikuwa sababu ya kutotii amri ya Bwana ya kutoangamiza kila kitu. + +# Bwana Mungu wako + +Sauli hapa hamuelezei Mungu wa Samweli kama Mungu wake mwenyewe. + diff --git a/1sa/15/17.md b/1sa/15/17.md new file mode 100644 index 00000000..6e88ebaf --- /dev/null +++ b/1sa/15/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# machoni pako mwenyewe + +"kwa mawazo yako mwenyewe" + +# je, hukufanywa mkuu wa kabila za Israeli? + +Samweli anatumia swali hili kumueleza Sauli ni vitu vingapi Mungu amempa. "Mungu amekufanya kuwa mtawala wa kabila za Israeli" + +# Kwa nini basi haukuitii ... ukafanya uovu machoni pa Bwana? + +Samweli anauliza swali hili kwa kumkemea Sauli kwa kutomtii Mungu. + +# Sauti ya Bwana + +"Vitu ambavyo Bwana ameamuru" + +# bali badala yake ulishikilia nyara + +Samweli anamshitaki Sauli moja kwa moja kwa kutokutii. + +# Nyara + +"Nyara" ni vitu unavyovichukua toka kwa adui. + +# Uovu machoni pa Bwana + +"ambayo Bwana anayaona kuwa ni uovu" + diff --git a/1sa/15/20.md b/1sa/15/20.md new file mode 100644 index 00000000..364de409 --- /dev/null +++ b/1sa/15/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kweli kabisa niliitii sauti ya Bwana. + +Sentensi hii haipo wazi kama Sauli alifikiri kuwa hili ni kweli au alikuwa akijitetea kwa sababu ya dhambi yake. + +# Sauti ya Bwana + +"Vitu ambavyo Bwana ameamuru" + +# Lakini watu walichukua + +Hapa anahamisha lawama kwa watu. + +# vitu vilivyokusudiwa kuangamizwa + +Wanyama ambao Bwana aliamuru waharibiwe" + +# Gilgali + +Hili ni jina la mahali. + +# Agagi + +Hili ni jina la mfalme wa Waameleki. + diff --git a/1sa/15/22.md b/1sa/15/22.md new file mode 100644 index 00000000..ee2fef9c --- /dev/null +++ b/1sa/15/22.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Je, BWANA hufurahia sadaka za kuteketezwa na dhabihu kama ilivyo kuitii sauti yake? + +Samweli alitumia swali hili kusisitiza kuwa kutii ni jambo la muhimu sana kuliko dhabihu. + +# Sauti ya Bwana + +"Vitu ambavyo Bwana ameamuru" + +# Utii ni bora kuliko dhabihu + +Mungu alitaka Sauli amtii kabisa kwa kuwaangamiza Waamaleki. Hakuna kilichokuwepo kwenye nchi ambacho kilifaa kwa dhabihu. + +# bora kuliko mafuta ya beberu + +"bora kuliko dhabihu ya mafuta ua beberu kama sadaka ya kuteketezwa" + +# uasi ni sawa na dhambi ya uchawi + +"uasi ni kama dhambi ya kufanya uchawi" + +# ukaidi ni sawa na uovu na udhalimu + +"Kuwa mkaidi ni sawa na dhambi ya kuabudu sanamu" + +# umelikataa neno la Bwana + +"umekataa kufanya jambo ambalo Bwana ameamuru" + +# amekukataa usiwe mfalme + +"ameamua kuwa hautakuwa tena mfalme" + diff --git a/1sa/15/24.md b/1sa/15/24.md new file mode 100644 index 00000000..fe0806c2 --- /dev/null +++ b/1sa/15/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nimevunja amri ya BWANA + +"Sikutii aliloliamuru Bwana" + +# kwa sababu niliwaogopa watu + +"Kwa sababu niliwaogopa askari" + +# kuitii sauti yao + +"kufanya kile walichokiomba" + +# urudi nami + +Sauli na Samweli walikuwa waliongea faragha mbali na watu wengine. + diff --git a/1sa/15/26.md b/1sa/15/26.md new file mode 100644 index 00000000..0e15108a --- /dev/null +++ b/1sa/15/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kwa sababu umekataa neno la BWANA + +Samweli anaonesha wazi kuwa Sauli ameelewa kuwa hakumtii Bwana wakati ambapo waliwaacha wanyama wazuri na hakumuua Agagi. + +# Umekataa neno la Bwana + +"Umekataa kufanya aliloliamuru Mwana" + +# Sauli akashika pindo la kanzu yake + +Sauli alifanya hivi ili kumzuia Samweli asiondoke. + +# pindo la kanzu yake + +"mwisho wa kanzu yake" + diff --git a/1sa/15/28.md b/1sa/15/28.md new file mode 100644 index 00000000..46422085 --- /dev/null +++ b/1sa/15/28.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Bwana ameuchana ufalme wa Israeli + +"Kama ulivyochana kanzu yangu vivyo hivyo Bwana ameuchana ufalme wa Israeli" + +# amempa jirani yako, aliye bora kuliko wewe. + +Mungu ameshaamua ni nani atakuwa mfalme baada ya Sauli. + +# Uwezo wa Israeli + +Hii inamuelezea Mungu ambaye huwapa nguvu Waisraeli. + +# hatasema uongo wala kubadili nia yake + +Hii inasisitiza kuwa Mungu hasemi uongo. + +# nia yake + +"alichoamua kukifanya" + +# si mwanadamu, kwamba abadili nia yake + +"Yeye ni Mungu na atafanya alichosema kuwa atakifanya" + diff --git a/1sa/15/30.md b/1sa/15/30.md new file mode 100644 index 00000000..7d197445 --- /dev/null +++ b/1sa/15/30.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Lakini tafadhali nipe heshima wakati huu mbele ya wakuu + +Sauli alikuwa anatamani sana kuheshimiwa na watu badala ya kumwabudu Mungu. + +# mbele ya wakuu wa watu wangu na mbele ya Israeli + +"mbele ya watu wa Israeli na viongozi wanaowaongoza" + +# Urudi tena pamoja nami + +"Urudi pamoja nami" + +# Hivyo Samweli akamrudia tena Sauli + +Hii inaonesha kuwa Samweli alibadili mawazo yake na akarudi pamoja na Sauli walipokuwepo watu. + diff --git a/1sa/15/32.md b/1sa/15/32.md new file mode 100644 index 00000000..e799830f --- /dev/null +++ b/1sa/15/32.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Agagi akafika kwake akiwa amefungwa minyororo + +"walimpeleka Agagi akiwa amefungwa minyororo" + +# Hakika uchungu wa kifo umepita + +"Kwa hakika sipo tena katika hatari au kufa" + +# Jinsi upanga wako ulivyofanya wanawake wapoteze watoto, vivyo hivyo mama yako naye hatakuwa na mtoto miongoni mwa wanawake + +Maneno haya yana maana moja "Kwa kuwa umewaua watu, wewe pia utauawa" + +# ulivyofanya wanawake wapoteze watoto, vivyo hivyo mama yako naye hatakuwa na mtoto + +"umewaua watoto wa wanawake wengine, hivyo nitamuua mtoto wa mama yako" + +# Kisha Samweli akamkata Agagi vipande vipande + +Samweli aliimaliza kazi ambayo Bwana alimuamuru Samweli alifanye. + diff --git a/1sa/15/34.md b/1sa/15/34.md new file mode 100644 index 00000000..2661d99f --- /dev/null +++ b/1sa/15/34.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Rama ... Gibea + +Haya ni majina ya mahali. + +# akapanda kwenda nyumbani kwake Gibea + +Gibea ilikuwa juu kuliko Gilgali ambapo Sauli na Samweli walikuwa wakizungumza. + +# Samweli hakumuona tena Sauli hadi siku ya kifo chake + +Hii inaonesha kuwa Samweli alikufa mbele ya Sauli lakini hakumuona Sauli tena kipindi akiwa hai. + diff --git a/1sa/16/01.md b/1sa/16/01.md new file mode 100644 index 00000000..1ea69a93 --- /dev/null +++ b/1sa/16/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Utamlilia Sauli kwa muda gani, ikiwa nimemkataa asiwe mfalme juu ya Israeli? + +"Acha kumlilia Sauli niliyemkataa asiwe mfalme juu ya Israeli" + +# Ijaze pembe yako mafuta + +Pembe ilitumika mara nyingine kama chupa. Chupa ya mafuta ilitumika kwa ajili ya kumpaka mafuta mfalme, kama Samweli alivyofanya kwa Daudi. + diff --git a/1sa/16/02.md b/1sa/16/02.md new file mode 100644 index 00000000..991f9d19 --- /dev/null +++ b/1sa/16/02.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nitakwendaje? + +Samweli anatumia swali kusisitiza kuwa anaogopa kwenda Bethlehemu. + +# pamoja nawe na usema + +"pamoja nawe mpaka Bethlehemu na uzungumze na watu wa huko" + +# na useme, 'Nimekuja kutoa dhabihu kwa BWANA + +"na uwaambie watu wa huko kuwa umekwenda kutoa dhabihu kwa Bwana" + diff --git a/1sa/16/04.md b/1sa/16/04.md new file mode 100644 index 00000000..c5c6d9f8 --- /dev/null +++ b/1sa/16/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wazee wa mji walikuwa wakitetemeka walipokuja kuonana + +Wazee walikuwa wakitetemeka kwa sababu waliogopa kuwa Samweli amekwenda kuwakemea. + +# Kwa amani + +"ndio, nimekuja kwa amani" + +# Jitoeni wenyewe + +"Kujitoa" inamaana ya kuwa watu wajitoe wenyewe tayari kwa ajili ya kusudi la Mungu kwa kujitakasa kutokana na sheria ya Musa. + diff --git a/1sa/16/06.md b/1sa/16/06.md new file mode 100644 index 00000000..ed1e779c --- /dev/null +++ b/1sa/16/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Walipofika + +"Hawa ni Yese na watoto wake" + +# akamwangalia Eliabu + +Samweli alimuangalia Eliabu. + +# Eliabu + +Hili ni jina la moja wa wana wakubwa wa Yese. + +# amesimama mbele yake + +Mbele ya Bwana. + +# Bwana haangalii kama mtu aangaliavyo. + +"Kuangalia" ina maana ya kutathimini jambo. + +# Kwa kuwa Bwana haangalii ... Bwana anaangalia + +"Kwa kuwa mimi Bwana siangalii ... Mimi Bwana naangalia" + +# Moyo + +"Moyo" inawakilisha sehemu ya ndani ya mtu. + diff --git a/1sa/16/08.md b/1sa/16/08.md new file mode 100644 index 00000000..b2af1e2a --- /dev/null +++ b/1sa/16/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Abinadabu ... Shama + +Haya ni majina ya wana wa Yese. + +# akamwambia apite mbele ya Samweli + +"Akamwambia aende kwa Samweli" + +# Kisha Yese akmwambia Shama apite + +"Kisha Yese akamwambia Shama aende kwa Samweli" + diff --git a/1sa/16/11.md b/1sa/16/11.md new file mode 100644 index 00000000..157c41ed --- /dev/null +++ b/1sa/16/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yupo mdogo kabisa amesalia + +"Bado yupo mtoto wangu mdogo" + +# hatutakaa chini + +"Hatutakaa chini ili tule" + +# Naye ... muonekano + +Hapa msimuliaji anatusimulia kuhusu mtu mwingine katika simulizi. + +# kijana huyu alikuwa mwekundu + +Hii inamaanisha kuwa Daudi alikuwa na mwonekano wenye afya. + diff --git a/1sa/16/13.md b/1sa/16/13.md new file mode 100644 index 00000000..8629fc54 --- /dev/null +++ b/1sa/16/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# pembe yenye mafuta + +Pembe ilitumika mara nyingine kama chupa. Chupa ya mafuta ilitumika kwa ajili ya kumpaka mafuta mfalme, kama Samweli alivyofanya kwa Daudi. + +# Samweli akanyanyuka na kwenda + +Hii inaonesha kuwa alinyanyuka baada ya kukaa na kula. + +# Roho wa Bwana akamwijia Daudi + +Roho wa Bwana alimchochea Daudi. Roho wa Bwana alimuwezzesha Daudi kutimiza yote ambayo Bwana alimtaka ayafanye. + diff --git a/1sa/16/14.md b/1sa/16/14.md new file mode 100644 index 00000000..8d89787d --- /dev/null +++ b/1sa/16/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Basi + +Hapa msimuliaji anaanza kutuambia sehemu mpya ya simulizi. + +# roho ya ubaya kutoka kwa Bwana + +"roho ya ubaya" ni "roho inayosababisha matatizo" + +# Haya bwana wetu hebu sasa amuru + +Watumishi wanamchukulia Sauli kama bwana wao. + +# amuru watumishi wako walio mbele yako wamtafute + +"tuamuru sisi watumishi wako tunaokutumikia tumtafute" + +# yuko juu yako + +"anakusumbua wewe" + diff --git a/1sa/16/17.md b/1sa/16/17.md new file mode 100644 index 00000000..f8eaabf6 --- /dev/null +++ b/1sa/16/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mwenye nguvu, mtu jasiri + +Yaweza kuwa na maana ya 1) "shujaa" au 2) "mtu mwenye hekima" + +# mwenye busara aongeapo + +"anayeongea kwa busara" + +# Bwana yuko pamoja naye + +Hii inamaanisha kuwa Bwana alimsaidia na kumbariki Daudi. + diff --git a/1sa/16/20.md b/1sa/16/20.md new file mode 100644 index 00000000..9de13fcf --- /dev/null +++ b/1sa/16/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Daudi akafika kwa Sauli + +"Daudi akaenda kwa Sauli. + +# kuanza kazi yake + +"na akaanza kumtumikia" + +# akawa mbeba silaha wake + +Daudi akawa mbeba silaha wa Sauli. + diff --git a/1sa/16/22.md b/1sa/16/22.md new file mode 100644 index 00000000..7004ea60 --- /dev/null +++ b/1sa/16/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mruhusu Daudi awe mbele yangu + +"Kusimama mbele yangu" inamaanisha kuwa aendelee kumtumikia Sauli" + +# amepata kibali machoni pangu + +"Nimependezwa naye" + +# Roho ya ubaya kutoka kwa Bwana. + +"roho ya ubaya" ni "roho inayosababisha matatizo" + +# kiwapo juu ya Sauli + +Ikamsumbua Sauli" + +# Sauli angeburudishwa na kupona + +"Muziki ungemfurahisha Sauli na kumfanya ajisikie vizuri" + diff --git a/1sa/17/02.md b/1sa/17/02.md new file mode 100644 index 00000000..ba2322e1 --- /dev/null +++ b/1sa/17/02.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# bonde la Ela + +Hili ni jina la bonde. + diff --git a/1sa/17/04.md b/1sa/17/04.md new file mode 100644 index 00000000..0ac68b68 --- /dev/null +++ b/1sa/17/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mikono sita na shubiri moja + +Mkono mmoja ni sawa na sentimeta 46. Shubiri ni sawa na urefu wa sentimeta 23. + +# alivaa dirii ya chuma + +"alijilinda mwenyewe kwa kuvaa dirii ya chuma" + +# Shekeli elfu tano + +Shekeli ni kama ujazo wa gramu 11. + diff --git a/1sa/17/06.md b/1sa/17/06.md new file mode 100644 index 00000000..621ecfa6 --- /dev/null +++ b/1sa/17/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mkuki wa shaba + +Huu ni mkuki mdogo ambao upo kwa aliji ya kurushwa. + +# mpini wa mkuki wake + +"mshikio wa mkuki wake" + +# kamba ya sindano ya mfumaji + +"kamba inayozunguka" + +# Kichwa cha mkuki wake + +"Mwanzoni wa mkuki wake" + +# shekeli mia sita + +Yapata kilogramu 7" + diff --git a/1sa/17/08.md b/1sa/17/08.md new file mode 100644 index 00000000..808b36e9 --- /dev/null +++ b/1sa/17/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini mmekuja na mmejipanga kwa ajili ya vita? + +"kwa nini mmekuja kupigana dhidi yetu?" Goliati alitumia swali hili ili kuwadhihaki Waisraeli. + +# Mimi si Mfilisti, na ninyi si watumishi wa Sauli? + +Goliati alitumia swali hili ili kuwadhihaki Waisraeli. "Mimi ni Mfilisti mkuu na ninyi ni watumishi wa Sauli" + diff --git a/1sa/17/10.md b/1sa/17/10.md new file mode 100644 index 00000000..cf7caf0e --- /dev/null +++ b/1sa/17/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Leo ninayapa changamoto majeshi ya Israeli + +"Ninalipa changamoto jeshi wa Israeli" + +# Israeli wote + +Hawa ni askari wa Israeli waliokuwepo huko. + +# walikata tamaa na kuogopa sana + +Maneno haya yanamaana moja ya kuonesha walikuwa na hofu kuu. + diff --git a/1sa/17/12.md b/1sa/17/12.md new file mode 100644 index 00000000..5e852eeb --- /dev/null +++ b/1sa/17/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# alikuwa na watoto wanane + +Hapa anazungumziwa Yese. + +# Yese alikuwa mzee ... mzee mwenye umri mkubwa + +Maneno haya yanaonesha msisitizo mkubwa. + +# aliyemfuata Abinadabu, na watatu aliitwa Shama + +"Abinadabu alikuwa mtoto wa pili na Shama alikuwa wa tatu. + diff --git a/1sa/17/14.md b/1sa/17/14.md new file mode 100644 index 00000000..6f478eb9 --- /dev/null +++ b/1sa/17/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wakubwa watatu + +"Wana wakubwa watatu wa Yese" + +# Kwa siku arobaini + +"kwa siku 40" + +# akajitokeza kwa ajili ya vita + +"akajitokeza kuwa yupo tayari kwa ajili ya vita" + diff --git a/1sa/17/17.md b/1sa/17/17.md new file mode 100644 index 00000000..e08721d6 --- /dev/null +++ b/1sa/17/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Efa + +Efa ni kipimo sawa na lita 22. + +# jemedari kikosi chao cha elfu + +Jeshi liligawanyika katika makundi ya watu elfu na kila kundi kilikuwa na jemedari. + +# Ukawaangalie wako na hali gani + +"kaangalie na uone kaka zako wanaendeleaje" + diff --git a/1sa/17/19.md b/1sa/17/19.md new file mode 100644 index 00000000..adfb0b59 --- /dev/null +++ b/1sa/17/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watu wote wa Israeli + +"askari wote wa Israeli" + +# bonde la Ela + +Hili ni jina la bonde. + diff --git a/1sa/17/22.md b/1sa/17/22.md new file mode 100644 index 00000000..d061dd5f --- /dev/null +++ b/1sa/17/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# jina lake Goliathi + +"Ambaye jina lake aliitwa Goliati" + +# akajitokeza kutoka majeshi ya Wafilisti + +"akatokeza mbele toka kwa jeshi la Wafilisti" + diff --git a/1sa/17/25.md b/1sa/17/25.md new file mode 100644 index 00000000..b7c39cc4 --- /dev/null +++ b/1sa/17/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Umemuona mtu huyu aliyejitokeza? + +"Muangalie mtu huyu aliyejitokeza" + +# Mfalme + +"mfalme wetu" + +# Binti yake + +Huyu ni binti wa mfalme. + +# atampa ... nyumba ya baba yake + +Huyu ni mtu atakayemuua Goliati. + +# ataifanya familia ya baba yake isilipe kodi katika Israeli. + +"hataruhusu familia yake ilipe kodi" + diff --git a/1sa/17/26.md b/1sa/17/26.md new file mode 100644 index 00000000..920fac32 --- /dev/null +++ b/1sa/17/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kuiondolea Israeli fedheha + +"na akaifanya Israeli isifedheheke tena" + +# Ni nani Mfilisti huyu asiyetahiriwa ayatukanaye majeshi ya Mungu aliye hai? + +Daudi alisema maneno haya kuonesha hasira yake kwa Wafilisti wanaolidharau jeshi la Mungu. + +# Mfilisti huyu asiyetahiriwa + +Maneno haya yanaonesha kuwa Goliati hakuwa mtu wa Mungu aliye hai. + diff --git a/1sa/17/28.md b/1sa/17/28.md new file mode 100644 index 00000000..a337d53e --- /dev/null +++ b/1sa/17/28.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hasira ya Eliabu ikawaka moto dhidi ya Daudi + +Hapa hasira inafananishwa na moto uwakao. + +# Kwa nini umekuja hapa? + +Eliabu anatumia swali hili kuonesha kuwa alikuwa na hasira na Daudi. + +# Wale kondoo wachache umewaacha na nani huko nyikani? + +Eliabu alitumia swali hili kwa kumdhihaki Daudi kwa kuonesha kuwa kazi yake haikuwa ya muhimu na kumuhukumu kwa kutokuangalia kondoo wa baba yake. + +# kiburi chako, na utundu wa moyo wako + +Maneno haya yanaonesha msisitizo. + +# "Nimefanya nini sasa? Mimi si numeliuliza swali tu? + +"Sijafanya jambo lolote baya, nilikuwa nauliza swali tuu" + +# Akamgeukia na kumuacha + +Hapa Daudi aligeuka na kumuacha Eliabu. + diff --git a/1sa/17/31.md b/1sa/17/31.md new file mode 100644 index 00000000..47f0f5a1 --- /dev/null +++ b/1sa/17/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maneno aliyosema Daudi yaliposikika + +"Askari waliposikia aliyoyasema Daudi" + +# Pasiwepo moyo wa mtu atakayezimia + +"asiwepo mtu atakayepoteza ujasiri" + +# Mtumishi wako atakwenda + +"Mimi mtumishi wako nitakwenda" + diff --git a/1sa/17/34.md b/1sa/17/34.md new file mode 100644 index 00000000..34a5864d --- /dev/null +++ b/1sa/17/34.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mtumishi wako alikuwa akichunga kondoo za baba yake + +Daudi anajizungumzia mwenyewe kama "mtumishi wako" kuonesha heshima kwa Sauli. + +# alikuwa akichunga kondoo za baba yake + +"alikuwa akitunza kondoo wa baba yake" + +# dubu + +Dubu ni mnyama mkubwa mwenye miguu minne lakini anaweza kusimama na miguu miwili kama mtu. + +# Nilimfukuza na kumshambulia + +Hapa anazungumziwa simba au dubu. + +# na kumpokonya kutoka kinywani mwake + +Hapa anazungumziwa mwana kondoo. + +# aliponirukia + +"alinivamia" + +# nilimshika ndevu zake + +"ndevu" zinamuelezea simba au nywele zilizopo katika uso wa dubu. + diff --git a/1sa/17/36.md b/1sa/17/36.md new file mode 100644 index 00000000..22a066ec --- /dev/null +++ b/1sa/17/36.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Daudi anaendelea kuzungumza na mfalme Sauli. + +# Mfilisti asiyetahiriwa + +Maneno haya yanaonesha kuwa Goliati hakuwa mtu wa Mungu aliye hai. + +# atakuwa kama mmoja wao + +Daudi ataweza kumuua Mfilisti kama alivyoweza kumuua simba na dubu. + diff --git a/1sa/17/37.md b/1sa/17/37.md new file mode 100644 index 00000000..8b59906f --- /dev/null +++ b/1sa/17/37.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kutoka makucha ya simba na makucha ya dubu + +Simba na dubu hutumia kucha zao kuvamia hivyo "kucha" inawakilisha kuvamia. + +# mkono wa Mfilisti + +"nguvu za Mfilisti huyu" + +# chepeo ya shaba + +Vazi la kivita lililofunikwa kwa mabamba madogo. + diff --git a/1sa/17/39.md b/1sa/17/39.md new file mode 100644 index 00000000..680cd843 --- /dev/null +++ b/1sa/17/39.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# upanga wake juu ya vazi lake + +"upanga wa Sauli juu ya vazi lake" + +# fimbo mkononi mwake + +Hapa anamuelezea Daudi. + +# Kombeo lake lilikuwa mkononi mwake + +Kombeo ni silaha iliyotumika kwa ajili ya kurusha mawe. + diff --git a/1sa/17/41.md b/1sa/17/41.md new file mode 100644 index 00000000..c8561cce --- /dev/null +++ b/1sa/17/41.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mbeba ngao yake akiwa mbele yake. + +"na mbeba ngao yake alikuwa mbele yake" + +# akamdharau + +"akamchukia" + +# mwekundu + +"mwenye afya" + +# Je, mimi ni mbwa, hata ukanijia na fimbo? + +Mbwa anawakilisha mnyama mdogo ambaye mtu anaweza kumuua kwa urahisi. "Umenidharau kwa kunujia kwa fimbo kama vile nimekuwa mbwa" + diff --git a/1sa/17/44.md b/1sa/17/44.md new file mode 100644 index 00000000..15929de9 --- /dev/null +++ b/1sa/17/44.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# nyama yako nitawatupia ndege wa angani na wanyama wa mwituni + +Goliati anazungumzia kumuua Daudi na kuacha mwili wake chini kwa ajili ya kuliwa na wanyama kama vile kuutoa mwili wa Daudi ili uliwe na wanyama. + +# Ndege wa angani + +"ndege" + +# wanyama wa mwituni + +"wanyama wa porini" + +# Kwa jina la Bwana + +"kwa nguvu ya Bwana" au "kwa mamlaka ya Bwana" + +# uliyemdharau + +"uliyemdhihaki" + diff --git a/1sa/17/46.md b/1sa/17/46.md new file mode 100644 index 00000000..19d7e31e --- /dev/null +++ b/1sa/17/46.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi: + +Daudi anaendelea kuaongea na Goliati. + +# Nitawapa mizoga ... ndege ... na wanyama wa mwituni + +Daudi anaongea katika kuwaongoza Waisraeli kuwaua Wafilisti na kuacha maiti zao katika ardhi ili wanyama wale. "Tutawaua Wafilisti na ndege wa angani na wanyama wa mwituni watawala" + +# dunia yote ijue + +"watu wote wa duniani wajue" + +# Bwana hatui ushindi kwa upanga wala mkuki + +Panga na mkuki ni silaha za vita. "Ushindi anaoutoa Bwana hautegemei upanga wala mkuki" + +# Vita ni ya Bwana + +"Bwana huwa anashinda vita wakati wote" + +# atawaweka katika mkono wetu + +"atatusaidia kuwashinda" + diff --git a/1sa/17/50.md b/1sa/17/50.md new file mode 100644 index 00000000..79e6ba91 --- /dev/null +++ b/1sa/17/50.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Daudi alimshinda ... Alimpiga ... kumuua ... Mkononi mwa Daudi hakukuwa na upanga + +Mstari wa 50 unaonesha ushindi wa pekee wa Daudi juu ya Goliati. Inaonesha namna ambavyo Daudi alimuua Goliati. + +# Ndipo Daudi akakimbia akasimama juu ya Mfilisti + +Daudi alifanya hivi baada ya Goliati kuanguka chini. + +# Akachukua upanga wake + +"akachukua upanga wa Mfilisti" + diff --git a/1sa/17/52.md b/1sa/17/52.md new file mode 100644 index 00000000..01c082ae --- /dev/null +++ b/1sa/17/52.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Na maiti za Wafilisti walilala katika njia iendayo Shaaraimu + +"Na wakawaua Wafilisti na maiti za Wafilisti katika njia iendayo Shaaraimu" + +# wakateka nyara kambi yao + +"Waisraeli waliteka nyara kambi za Wafilisti" + +# akaliweka vazi la vita katika hema lake + +"akaweka vazi la vita la Goliati katika hema yake" + diff --git a/1sa/17/55.md b/1sa/17/55.md new file mode 100644 index 00000000..6486a11d --- /dev/null +++ b/1sa/17/55.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sauli alipomuona Daudi + +Mazungumzo katika 17:55-56 yalitokea kabla Daudi hajamuua Goliati. + +# akienda kukabiliana na yule Mfilisti + +"akienda kupigana na Mfilisti" + +# kijana huyu ni mtoto wa nani + +"baba yake na huyu kijana ni nani" + +# Kama uishivyo + +Hii ni namna ya kuapa na kuonesha kuwa anayotaka kuyasema ni kweli. + +# mvulana huyu ni kijana wa nani + +"baba yake na kijana huyu ni nani" + diff --git a/1sa/17/57.md b/1sa/17/57.md new file mode 100644 index 00000000..38d682b7 --- /dev/null +++ b/1sa/17/57.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mkononi mwake + +Hapa anazungumziwa Daudi + +# wewe ni mtoto wa nani? + +"Baba yako ni nani" + +# Mimi ni mtoto wa mtumishi wako Yese Mbethlehemu + +"Baba yangu ni mtumishi wako Yese Mbethlehemu" + +# Mtumishi wako Yese + +Daudi anatumia neno hili "mtumishi wako" kuonesha kuwa baba yake alikuwa mwaminifu kwa mfalme Sauli. + diff --git a/1sa/18/01.md b/1sa/18/01.md new file mode 100644 index 00000000..2216f01b --- /dev/null +++ b/1sa/18/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# roho ya Yonathani ilishikana na roho ya Daudi + +Urafiki wa karibu sana unasemwa kama unavyounganisha roho za watu wawili. Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "Yonathani alipenda sana Daudi' au 'Yonathani alijitolea kwa Daudi" + +# Yonathani akampenda kama roho yake mwenyewe + +Hapa "kupendwa" inaonyesha upendo kati ya marafiki, si upendo wa kimapenzi. Neno "nafsi" linawakilisha mtu au maisha ya mtu. AT "Yonathani alipenda Daudi kama alivyojipenda mwenyewe" au "Yonathani alipenda Daudi kama alipenda maisha yake mwenyewe" + diff --git a/1sa/18/03.md b/1sa/18/03.md new file mode 100644 index 00000000..f0aaa74f --- /dev/null +++ b/1sa/18/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yonathani akampenda kama roho yake mwenyewe + +Hapa "kupendwa" inaonyesha upendo kati ya marafiki, si upendo wa kimapenzi. Neno "nafsi" linawakilisha mtu au maisha ya mtu. Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 18:1. Wakati "Yonathani alipenda Daudi kama alivyojipenda mwenyewe" au "Yonathani alipenda Daudi kama alipenda maisha yake mwenyewe" + diff --git a/1sa/18/05.md b/1sa/18/05.md new file mode 100644 index 00000000..3f239c93 --- /dev/null +++ b/1sa/18/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# naye alifanikiwa + +"naye alifanikiwa" + +# Jambo hili lilipendeza machoni pa watu na katika macho ya watumishi wa Sauli. + +Maneno "mbele ya" na "mbele ya" yanamaanisha kitu kimoja. Maoni ya watu yanasemwa kuwa kitu ambacho wanachokiona kama kizuri au mbaya. AT "Hii ilikuwa ya kupendeza katika maoni ya watu wote na watumishi wa Sauli" au "Hii iliwafaidi watu wote na watumishi wa Sauli" + diff --git a/1sa/18/06.md b/1sa/18/06.md new file mode 100644 index 00000000..9078c895 --- /dev/null +++ b/1sa/18/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kutoka miji yote ya Israeli + +Hii ni kufanya kusisitiza idadi kubwa ya wanawake waliokuja. AT "kutoka miji mingi katika Israeli" + +# wakiwa na matowazi, wenye furaha, na wakiwa na ala za muziki + +"kucheza matowazi kwa furaha na ala za muziki" + +# wakiwa na matowazi + +"matowazi" ni ngoma ndogo ya mkono + +# Na Daudi ameua makumi elfu yake + +Kitenzi kinaweza kutolewa kutoka kwenye mstari uliopita. AT "na Daudi ameua makumi elfu" + diff --git a/1sa/18/08.md b/1sa/18/08.md new file mode 100644 index 00000000..058296f7 --- /dev/null +++ b/1sa/18/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wamemsifia + +"Wameshukuru" + +# Atapata kitu gani zaidi isipokuwa ufalme? + +Swali hili la uongo linaweza kutafsiriwa kama taarifa. AT "Kitu pekee ambacho anahitaji ni ufalme." + diff --git a/1sa/18/10.md b/1sa/18/10.md new file mode 100644 index 00000000..21492e50 --- /dev/null +++ b/1sa/18/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# roho ya ubaya kutoka kwa Mungu + +Hapa "roho ya ubaya" inaweza kutaja "roho inayosababisha shida" au "roho ya ubaya." Tazama jinsi ulivyotafasiri hii katika 16"14. + +# roho ya ubaya kutoka kwa Mungu ikamwingia Sauli + +Maneno "ikamuingia" yanamaanisha roho ya madhara yalisaidia Sauli. Katika kesi hii ina maana kwamba umesababisha Sauli kuwa na wasiwasi na kutenda mambo. Tazama jinsi ulivyotafasiri maneno sawa katika 10:5. + +# na akachukiza + +"Naye akajifanya kichaa" + +# Bwana alikuwa pamoja nae + +"Bwana alikuwa pamoja na Daudi" + diff --git a/1sa/18/13.md b/1sa/18/13.md new file mode 100644 index 00000000..9067ea4c --- /dev/null +++ b/1sa/18/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hivyo Sauli alimuondoa Daudi mbele yake + +"Basi Sauli akamwondoa Daudi kuondoka mbele yake" + +# maelfu + +Hii inaweza kuwakilishwa kwa nambari. AT "watu 1,000" + +# David alitoka na kuingia mbele ya watu + +Hapa "watu" hutaja askari chini ya amri ya Daudi. Maneno ambayo "kutoka" na "kuingia" ni maadui ambayo inahusu kuwaongoza watu katika vita na kuwaongoza nyumbani kutoka vita. AT "Daudi aliwaongoza askari wake katika vita na kuwaongoza nyumbani kutoka vita" + diff --git a/1sa/18/15.md b/1sa/18/15.md new file mode 100644 index 00000000..b648df1c --- /dev/null +++ b/1sa/18/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# alimwogopa + +Hapa "kumwogopa" ni maneno ambayo ina maana ya hofu. AT "alimwogopa Daudi" + +# watu wote wa Israeli na Yuda walimpenda Daudi + +Hapa "Israeli na Yuda" wanawakilisha watu wa kabila zote. AT "watu wote wa Israeli na Yuda walimpenda Daudi" + +# alitoka na kuingia mbele yao + +Maneno ambayo "toka" na "ingia" ni maneno ambayo yanahusu kuwaongoza watu katika vita na kuwaongoza kwenda nyumbani kutoka vitani. Tazama jinsi ulivyotafasiri hii katika 18:13. AT "aliongoza askari wake katika vita na kuwaongoza nyumbani kutoka vitani" + diff --git a/1sa/18/17.md b/1sa/18/17.md new file mode 100644 index 00000000..929d5031 --- /dev/null +++ b/1sa/18/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Usije mkono wangu ukawa juu yake, ila acha mkono wa Wafilisti uwe juu yake + +Kumharibu mtu kunazungumzwa kama kuwachini ya mtu huyo. Hapa, Sauli anataja kumwua Daudi. AT "Mimi sio nitakaye kumwua; Nitawawezesha Wafilisti kumwua" + +# Mimi ni nani, na maisha yangu yana nini, au hata maisha ya familia ya baba yangu katika Israeli......kwa mfalme? + +Daudi hutumia swali hili la kuvutia ili kusisitiza kuwa hastahili kuwa mkwe wa Sauli. AT "Mimi si mtu na jamaa zangu wala familia ya baba yangu ni muhimu sana kwa Israeli ... kwa mfalme." + +# mkwe wa mfalme + +mkwe wa mfalme ** - "mume wa binti ya mfalme" + diff --git a/1sa/18/19.md b/1sa/18/19.md new file mode 100644 index 00000000..612d3351 --- /dev/null +++ b/1sa/18/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wakati Merabu, binti ya Sauli, angepaswa kupewa Daudi + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu harisi. AT "wakati Sauli angempati Daudi binti yake Merabu" + +# aliozwa kwa Adrieli + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu harisi. AT "Sauli akampa Adrieli" + diff --git a/1sa/18/20.md b/1sa/18/20.md new file mode 100644 index 00000000..41648508 --- /dev/null +++ b/1sa/18/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mikali.... alimpenda Daudi + +Hapa "kupendwa" maana yake alikuwa na hisia za kimapenzi kwa Daudi. + +# Akamuambia Sauli + +Hapa "wao" inahusisha watu ambao walijua kuhusu hisia za Mikali, si kwa Daudi na Mikali. + +# hivyo mkono wa Wafilisti pengine uwe juu yake + +Kumharibu mtu kunazungumzwa kama kunaweka mtu chini ya mwingine. Hapa, Sauli akimaanisha kumwua Daudi. Tazama jinsi ulivyotafasiri maneno sawa katika 18:17. AT "ili Wafilisti wasimwue" + +# Wewe utakuwa mkwe wangu + +mkwewe ** - "utakuwa mume wa binti yangu" + diff --git a/1sa/18/22.md b/1sa/18/22.md new file mode 100644 index 00000000..b945c6a6 --- /dev/null +++ b/1sa/18/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# watumishi wake wote wanakupenda + +"watumishi wake wote wanakubali" + +# Sasa basi + +"Kwa sababu hizi unapaswa" + diff --git a/1sa/18/23.md b/1sa/18/23.md new file mode 100644 index 00000000..b8fc7f33 --- /dev/null +++ b/1sa/18/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwenu ninyi mnaona ni jambo dogo kuwa mkwe wa mfalme, mimi ni maskini, na heshima yangu ni ndogo? + +mkwe, kwani mimi ni mtu maskini, na ninahesabiwa kidogo? ** - Daudi anauliza swali hili la kuvutia ili kusisitiza kuwa hastahili kuwa mkwe wa mfalme. AT "Ni jambo kubwa kuwa mkwe wa mfalme, na mimi ni maskini sana na si muhimu kwa hilo." + diff --git a/1sa/18/25.md b/1sa/18/25.md new file mode 100644 index 00000000..071448f1 --- /dev/null +++ b/1sa/18/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# 'Mfalme haitaji mahari yoyote, isipokuwa govi mia moja + +Kitenzi cha maneno ya pili inaweza kutolewa kutoka kwa ya kwanza. AT "Mfalme hataki zawadi yoyote; anahitaji tu kwamba unamletea govi 100" + +# govi + +"mahali". Katika utamaduni huu, mtu huyo alihitajika kutoa zawadi kwa baba mkwe. + +# govi + +Neno "govi" linamaanisha ngozi ya kwenye sehemu za siri ambayo inaondolewa wakati wa kutahiriwa. + +# ili ajilipize kisasi kwa adui wa mfalme + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "kulipiza kisasi juu ya maadui wa mfalme" + +# kumfanya Daudi kuangukia kwenye mikono ya Wafilisti + +Hapa "kuanguka" maana yake kufa. Neno "mkono" linawakilisha Wafilisti. Hii inaweza kuelezwa katika fomu harisi. AT "Wafilisti kumuua Daudi" + diff --git a/1sa/18/27.md b/1sa/18/27.md new file mode 100644 index 00000000..93529499 --- /dev/null +++ b/1sa/18/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wafilisti mia mbili + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa nambari. AT "200 Wafilisti" + +# kumkadhi mfalme kulingana na idadi yake + +"Daudi na watu wake wote waliwapa mfalme" + +# Sauli akaona, na akajua + +Hapa maneno "kuona" na "kujua" yanashiriki maana sawa na kusisitiza kwamba Sauli alijua kwa uhakika. AT "Sauli alijua" + +# Mikali, binti Sauli, akampenda + +Hapa "kupendwa" maana yake alikuwa na hisia za kimapenzi kwa Daudi. + diff --git a/1sa/18/30.md b/1sa/18/30.md new file mode 100644 index 00000000..34a5d2d4 --- /dev/null +++ b/1sa/18/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hivyo jina lake likapata heshima kubw + +Hapa "jina" ni msamiati kwa Daudi. Hii inaweza kuelezwa katika fomu harisi. AT "ili watu wamheshimu sana Daudi" + diff --git a/1sa/19/01.md b/1sa/19/01.md new file mode 100644 index 00000000..a6ca2eea --- /dev/null +++ b/1sa/19/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# watumishi wake wote + +Hapa "wake" inamhusu Sauli. + +# alimfurahia sana Daudi + +Yonathani alifurahi sana kuwa na Daudi. + diff --git a/1sa/19/04.md b/1sa/19/04.md new file mode 100644 index 00000000..d2c7ad27 --- /dev/null +++ b/1sa/19/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mfalme asije akafanya dhambi dhidi ya mtumishi wake + +Yonathani anaongea kama Sauli ni mtu mwingine kuonyesha Sauli kwamba Yonathani anamheshimu Sauli. AT "Usitende dhambi dhidi ya mtumishi wako" + +# alijitoa maisha yake + +Hapa "kujitoa maisha yake" ni idiom ambayo inahusu kuhatarisha maisha yake. AT "alihatarisha maisha yake" + +# Kwa nini utende dhambi juu damu isiyo na hatia kwa kumuua Daudi bila sababu? + +Yonathani anauliza swali hili kumkemea Sauli. Swali hili la uhuishaji linaweza kutafsiriwa kama taarifa. AT "hupaswi kutenda dhambi dhidi ya damu isiyo na hatia na kumwua Daudi bila sababu." + +# dhambi juu damu isiyo na hatia + +Hapa "damu" ni muhimu kwa maisha ya mtu asiye na hatia. AT "kufanya dhambi ya mauaji" + diff --git a/1sa/19/06.md b/1sa/19/06.md new file mode 100644 index 00000000..5bc5a675 --- /dev/null +++ b/1sa/19/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# yeye hatauawa + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu harisi. AT "Sitamwua" au "Sitamwua" au "Nitamfanya awe hai" + +# alikuwa mbele yake + +Daudi alikuwa mbele ya Sauli. + diff --git a/1sa/19/08.md b/1sa/19/08.md new file mode 100644 index 00000000..18c25358 --- /dev/null +++ b/1sa/19/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yule roho mchafu kutoka kwa Bwana + +Hapa "roho mchafu" inaweza kutaja 'roho inayosababisha shida" au "roho mchafu." Tafsiri kama katika 16:14. + diff --git a/1sa/19/10.md b/1sa/19/10.md new file mode 100644 index 00000000..93e07775 --- /dev/null +++ b/1sa/19/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kumpigilia Daudi ukutani kwa mkuki + +kutupa mkuki wake uweze kupita kwa Daudi na kwenye ukuta + +# anaweza kumwua + +"Sauli anaweza kumwua Daudi" + +# Mikali.... akamuambia + +Mikali alimwambia Daudi + +# Usipoyaokoa maisha yako + +Hapa "Usipoyaokoa maisha yako" ni tendo ambalo linahusu kutoroka. AT "Ikiwa hutatoroka" + +# utauwawa + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu harisi. AT "mtu atakuua" + diff --git a/1sa/19/12.md b/1sa/19/12.md new file mode 100644 index 00000000..f8c7da86 --- /dev/null +++ b/1sa/19/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya jumla + +Mikali anamsaidia Daudi kumtoroka Mfalme Sauli. Anatumia sanamu ili kuonekana kwamba Daudi aonekane kuwa amelala kitandani. + +# akaweka mto wa singa za mbuzi kichwani pake, na akakifunika na nguo + +Inawezekana maana ni 1) kichwa cha sanamu kilikuwa kimelala mto wa nywele za mbuzi na Mikali amevaa sanamu katika nguo za Daudi au 2) Mikali alitumia nguo za Daudi kama kifuniko ili kufunika kabisa sanamu na akafanya "mto" wa nywele za mbuzi kuonekana kama nywele za Daudi zikidondoka chini ya blangeti ya nguo. + diff --git a/1sa/19/14.md b/1sa/19/14.md new file mode 100644 index 00000000..5aef0fd1 --- /dev/null +++ b/1sa/19/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa za jumla + +Sauli anaonyesha tamaa yake ya kumwua Daudi + +# akamchukua Daudi + +'"akamrudisha Daudi kwa Sauli" + +# yeye akamuambia + +Hapa "yeye" inamhusu Mikali. + +# Mleteni kwangu akiwa kitandani + +Sababu kwa nini watu walidhani Daudi alikuwa kitandani inaweza kuwekwa wazi. AT "Ikiwa yeye ni mgonjwa sana hawezi kuja kwangu, uniletee akiwa kitandani" + diff --git a/1sa/19/16.md b/1sa/19/16.md new file mode 100644 index 00000000..43177424 --- /dev/null +++ b/1sa/19/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# singa za mbuzi + +Kama tafsiriwa katika 19:12. + +# tazama + +Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba wajumbe walishangaa kwa kile walichoona. + +# Kwa nini umenidanganya na kumwachilia adui yangu aende, na tena ametoroka? + +Maana iwezekanavyo ni 1) Sauli anataka kujua kwa nini Mikali alifanya kile alichofanya au 2) Sauli anatumia swali hili kumkemea Mikali. Swali hili la uhuishaji linaweza kutafsiriwa kama taarifa. AT "Wewe haukupaswa kunidanganya na kuruhusu adui yangu aende, kwa hiyo ametoroka." + +# Acha niende. Kwa nini nikuuwe? + +Ijapokuwa Daudi hakuweza kusema, Mikali anamwambia Sauli kwamba Daudi alimtishia kwa swali hili. Swali hili la uhuishaji linaweza kutafsiriwa kama taarifa. AT "Mimi nitakuua ikiwa hunisaidia kuktoroka." + diff --git a/1sa/19/18.md b/1sa/19/18.md new file mode 100644 index 00000000..2d15b177 --- /dev/null +++ b/1sa/19/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa za jumla + +Daudi anamkimbia Samweli. + +# Sasa + +Neno hili linatumika hapa kuonyesha kwamba mwandishi ameanza kuongea sehemu mpya ya hadithi. + +# Nae Sauli akaambiwa + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu harisi. AT "Mtu alimwambia Sauli" + +# Tazama + +"Angalia" au "Sikiliza" au "Jihadharini na kile ninachokuambia" + +# akisimama kama kiongozi wao + +Hapa "kichwa" inahusu nafasi ya mamlaka. AT "akifanya kama kiongozi wao" + diff --git a/1sa/19/21.md b/1sa/19/21.md new file mode 100644 index 00000000..6d312c14 --- /dev/null +++ b/1sa/19/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sauli alipoambiwa hivyo + +Hii inaweza kuanza katika fomu harisi "Pale mtu alipomuambia Sauli hivyo" + +# Rama....Seku...Nayothi + +Haya ni majina ya mahari + diff --git a/1sa/19/23.md b/1sa/19/23.md new file mode 100644 index 00000000..c742ef0e --- /dev/null +++ b/1sa/19/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa sababu hii, wanasema, "Je! Sauli pia ni mmoja wa manabii?" + +Hii ikawa miongoni mwa Waisraeli. Inaonekana watu walisema hii kueleza mshangao wakati mtu bila kutarajia alifanya kitu ambacho hakuwa amefanya kabla. Maana ya swali inaweza kuelezwa waziwazi. Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 10:11. AT "Hiyo ndio sababu wakati watu wanapoona mtu akifanya jambo ambalo haliwezekani, wanasema," Je! Sauli pia ni nabii" + +# wanasuliza + +Hapa "wao" inahusu watu kwa ujumla. Swali lilikuwa maelekezo kati ya watu. + diff --git a/1sa/20/01.md b/1sa/20/01.md new file mode 100644 index 00000000..06246ba7 --- /dev/null +++ b/1sa/20/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nimefanya nini? Uovu wangu ni upi? Dhambi yangu ni ipi kwa baba yako, inayofanya atafute kuutoa uhai wangu + +Maswali haya matatu yanamaanisha jambo sawa. Daudi anawatumia ili kusisitiza kwamba hakumfanyia chochote kibaya kwa Sauli. Swali hili la uhuishaji linaweza kutafsiriwa kama taarifa. AT "sijafanya chochote kibaya. Sijafanya uovu wowote. Sijafanya dhambi dhidi ya baba yako. Yeye hana sababu ya kuchukua maisha yangu." + +# kwamba anataka kuutoa uhai wangu? + +Hapa "kuchukua maisha yangu" ni maana ya "kuniua." + +# Mbali na hayo + +Hapa "mbali na hayo" ni dhana inayoelezea kwamba si kweli. AT "Hii si kweli" + +# hakuna chochote kikubwa au kidogo + +Maneno "kubwa au ndogo" yanajumuisha kila kitu katikati. AT "hakuna chochote" + +# Kwa nini inamlazimu baba yangu anifiche jambo hili? + +Yonathani anatumia swali hili kusisitiza kwamba Sauli angemwambia kama angepanga kumwua Daudi. Swali hili la uhuishaji linaweza kutafsiriwa kama taarifa. AT "Baba yangu hana sababu ya kuficha jambo hili kwangu" au "Ikiwa jambo hili ni kweli, baba yangu hakika nitanijulishe" + +# La, siyo hivyo + +"Si kweli" + diff --git a/1sa/20/03.md b/1sa/20/03.md new file mode 100644 index 00000000..51302eb1 --- /dev/null +++ b/1sa/20/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nimepata kibali machoni pako + +Hapa macho yanawakilisha kuona, na kuona inawakilisha mawazo au hukumu. AT "Nimekupendeza wewe" au "unaniona vizuri" + +# atakuwa mwenye huzuni + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu harisi. AT "hii itashuhudia yeye" au "atakuwa na huzuni sana" + +# kuna hatua moja tu kati yangu na mauti + +Hapa "hatua kati yangu na mauti" ni msemo ambao unahusu kuwa karibu sana na mauti. AT "Mimi ni karibu sana mauti" + diff --git a/1sa/20/04.md b/1sa/20/04.md new file mode 100644 index 00000000..8a906437 --- /dev/null +++ b/1sa/20/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa za jumla + +Daudi anapendekeza jaribu dhidi ya Mfalme Sauli kwa Yonathani + +# Kesho ni siku ya mwezi mpya + +Siku ya kwanza ya mwezi kila mwezi watu walisherehekea na kutoa sadaka kwa Mungu. + +# hadi siku ya tatu jioni + +"mpaka jioni ya siku ya kesho" + diff --git a/1sa/20/06.md b/1sa/20/06.md new file mode 100644 index 00000000..05ebb7fe --- /dev/null +++ b/1sa/20/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi + +Daudi anaendelea kuelezea jaribu analopendekeza. + +# aliuliza kuondoka kwangu + +"aliniuliza kama nitamruhusu aondoke" + +# anasema ... yeye ni ... ameamua + +Neno "yeye" linamaanisha Sauli. + +# mtumishi wako atakuwa na amani + +Daudi anazungumza mwenyewe kama ni mtu mwingine kuonyesha kwamba anamheshimu Yonathani. AT "Mimi, mtumishi wako, nitakuwa na amani" + diff --git a/1sa/20/08.md b/1sa/20/08.md new file mode 100644 index 00000000..1a59f804 --- /dev/null +++ b/1sa/20/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi + +Daudi anaendelea kuongea na Yonathani. + +# na mtumishi wako ... nimemleta mtumishi wako + +Daudi anajiambia mwenyewe katika mtu wa tatu kama aina ya unyenyekevu. "Na mimi, mtumishi wako ... amenileta, mtumishi wako "au" pamoja nami ... amenifanya" + +# umemweka mtumishi katika agano la BWANA pamoja na wewe + +Ni nini ambacho wanaume wawili walikubaliana juu yao wanaweza kufanywa wazi. AT 'Yahweh alisikia wakati ulifanya makubaliano mazuri na mimi kwamba wewe na mimi tutakuwa marafiki mara zote' + +# maana kwa nini basi unipeleke kwa baba yako? + +Swali hili la uhuishaji linaweza kutafsiriwa kama taarifa. AT "basi hapakuwa na sababu ya kunileta kwa baba yako" + +# La hasha! + +Huu ni msemo ambao una maana kwamba haitafanyika kamwe kwako. AT "Hii haitafanyika kamwe kwako!" + +# siwezi kukuambia? + +Swali hili la uhuishaji linaweza kutafsiriwa kama taarifa. AT "Mimi hakika nitakuambia." + diff --git a/1sa/20/12.md b/1sa/20/12.md new file mode 100644 index 00000000..edc2cb43 --- /dev/null +++ b/1sa/20/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Tazama + +"kuangalia" au "kusikiliza" au "kuwa makini kwa kile ninachokuambia" + +# ikiwa kuna mapenzi mema + +"kama baba yangu anataka kufanya mambo mema kwa ajili yenu" + +# je, nisikutumie taarifa na kulidhihirisha kwako? + +Yonathani anatumia swali hili kusisitiza kwamba atamwambia Daudi ikiwa Sauli anataka kumdhuru. Swali hili la uhuishaji linaweza kutafsiriwa kama taarifa. AT "basi nitalituma kwenu na kukujulisha" + +# Bwana atamfanyie Yonathani na zaidi + +Huu ndio idiom. Jonathan hutumia kiapo hiki kwa kusisitiza na anajishughulisha mwenyewe kama alikuwa mtu mwingine. AT "Bwana atanifanyia chochote kilichomdhuru baba yangu ananakusudia kukufanyia, na hata zaidi ya hayo" + diff --git a/1sa/20/14.md b/1sa/20/14.md new file mode 100644 index 00000000..35e261d7 --- /dev/null +++ b/1sa/20/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa za jumla + +Yonathani anamwomba Daudi asiwauwe kabisa watoto wake wote ili mabaki yasalie. + +# hautanionesha uaminifu wa agano la BWANA, kwamba siwezi kufa? + +Yonathani anauliza swali hili kuthibitisha kwamba Daudi atafanya jambo hili. Swali hili la uhuishaji linaweza kutafsiriwa kama taarifa. AT "Tafadhali unionyeshe uaminifu wa agano la Bwana, ili nisipate kufa" + +# nionesha uaminifu wa agano la Bwana + +"Nionyeshe aina ya uaminifu wa agano kwamba Bwana anaonyesha" + +# nyumba ya Daudi + +Neno "nyumba" ni metonym kwa watu wanaoishi ndani ya nyumba. AT "familia ya Daudi" + +# Bwana awe na uhasimu kutoka kwa mkono wa maadui wa Daudi + +Mkono ni kingo kwa mtu. Maana iwezekanavyo ni 1) "Na Bwana awatumie maadui wa Daudi kumuadhabu ikiwa Daudi atavunja ahadi hii" au 2) "Na Bwana awaangamize maadui wa Daudi." + diff --git a/1sa/20/17.md b/1sa/20/17.md new file mode 100644 index 00000000..7fe2daac --- /dev/null +++ b/1sa/20/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# alimpenda kama alivyopenda roho yake mwenyewe + +Hapa "roho yake mwenyewe" anajielezea mwenyewe. AT "Yonathani alimpenda Daudi kama alivyojipenda mwenyewe" + +# Hautakuwapo + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu harisi. AT "Baba yangu atakukosa" + +# wakati shughuli ikifanyika + +Hapa "shughuli ikifanyika" ni idiom ambayo inahusu wakati kila kitu kilichotokea. AT "wakati kila kitu kilichotokea" + +# jiwe la Ezeli + +"Ezeli" ilikuwa jina la jiwe. AT "jiwe ambalo watu huita Ezeli" + diff --git a/1sa/20/20.md b/1sa/20/20.md new file mode 100644 index 00000000..105432aa --- /dev/null +++ b/1sa/20/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi + +Yonathani anaendelea kusema na Daudi. + +# kwa upande wake + +Hapa neno "wake" linamaanisha jiwe ambalo Daudi alikuwa amejificha. + +# kijana wangu ... kijana mdogo + +Hizi zinarejea mtu huyo huyo. + +# Tazama + +"Sikiliza" au "Kuwa makini na kile nitakachokuambia" + +# ndipo uje + +"ndipo wewe, Daudi, uje" + diff --git a/1sa/20/22.md b/1sa/20/22.md new file mode 100644 index 00000000..47cd6f24 --- /dev/null +++ b/1sa/20/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi Unganishi + +Yonathai anaendelea kusema na Daudi. + +# Tazama + +Neno "tazama" hapa linaongeza mkazo kwa kifuatavyo. AT "kweli" + +# Bwana yupo kati yangu na wewe + +Maana iwezekanavyo ni 1) "Bwana ni shahidi kati yako na mimi' au "Bwana ataangalia jinsi tunavyogusa" au 2) "Na Bwana awe shahidi kati yako na mimi" au "Je! Bwana angalia jinsi tunavyohusika kila mmoja nyingine" '^^ + diff --git a/1sa/20/24.md b/1sa/20/24.md new file mode 100644 index 00000000..80bf8a18 --- /dev/null +++ b/1sa/20/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yonathani alisimama wima + +Nakala za zamani zimekuwa na "Yonathani ameketi karibu naye" (UDB). + diff --git a/1sa/20/26.md b/1sa/20/26.md new file mode 100644 index 00000000..b9567ef8 --- /dev/null +++ b/1sa/20/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hayuko safi; hakika hayuko safi + +Kwa mujibu wa sheria ya Musa, mtu asiye najisi kwa sherehe sio kushiriki katika sikukuu mpaka kuhani atangaza kwamba yeye ni safi. Sauli anarudia maneno haya kama anajaribu kujihakikishia. + diff --git a/1sa/20/28.md b/1sa/20/28.md new file mode 100644 index 00000000..d1158b5c --- /dev/null +++ b/1sa/20/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# aliniomba ruhusa aende + +"aliniuliza nitamruhusu aende" + +# kama nimepata kibali machoni pako + +Hapa macho yanawakilisha kuona, na kuona inawakilisha mawazo au hukumu. kama ilivyotafsiriwa katika 20:3. AT "Nimekufurahia wewe" au "unaniona vizuri" + +# meza ya mfalme + +Yonathani anamzungumzia Sauli kama kwamba yeye ni mtu mwingine kuonyesha kwamba anamheshimu Sauli. AT "meza yako" + diff --git a/1sa/20/30.md b/1sa/20/30.md new file mode 100644 index 00000000..819ce70c --- /dev/null +++ b/1sa/20/30.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hasira ya Sauli iliwaka yakuteketezwa dhidi ya Yonathani + +Hapa "hasira ya kuteketezwa" ni metonymy ambayo inamaanisha kuwa hasira sana. AT "Sauli alimkasirika sana Yonathani" + +# Wee mwana wa mwanamke mkaidi na muasi! + +Huu ndio mfano. Sauli anatumia maneno haya kama adhabu kali kwa Yonathani na wasiwasi wake kwa Daudi. AT "Wewe mwana mjinga wa kahaba" au "Wewe mjinga mjinga" + +# Wadhani kwamba sijui kuwa umemchagua Mwana wa Yese ......chi wa mama + +Sauli anatumia swali hili kusisitiza kwamba anajua kwamba Yonathani na Daudi ni marafiki. Swali hili la uhuishaji linaweza kutafsiriwa kama taarifa. AT "Najua kwamba umemchagua mwana wa Yese ... uchi wa mama." + +# aibu ya uchi wa mama yako + +Hapa "uchi wa mama" ni msemo ambao unamhusu mama aliyekuzaa. AT "kwa aibu ya mama yako aliyekuzaa" + +# siyo wewe wala ufalme wako utakaoimarika + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu harisi. AT "huwezi kuwa mfalme na hautaanzisha ufalme wako" + diff --git a/1sa/20/32.md b/1sa/20/32.md new file mode 100644 index 00000000..fb50a944 --- /dev/null +++ b/1sa/20/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa sababu gani inampasa kuuwawa? Amefanya nini? + +Jonathan anajaribu kumtia Sauli kufikiria kwa makini kuhusu kile anachofanya. Hii inaweza kutafsiriwa kama taarifa, na maneno "anapaswa kuuawa" yanaweza kutafsiriwa kwa fomu harisi. AT "Huna sababu nzuri ya kumwua. Hakufanya chochote kibaya." au "huna sababu ya kumwua. Hakufanya chochote kibaya." + +# siku ya pili ya mwezi + +Hii "pili" ni namba ya upeo ambayo inahusu mbili. AT "siku ya pili ya tamasha mwezi" + +# alimhuzunikia Daudi + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu harisi. AT "alikuwa akimhuzunikia Daudi" + +# alikuwa amemwaibisha + +Hapa "yeye" anaelezea Daudi. + diff --git a/1sa/20/35.md b/1sa/20/35.md new file mode 100644 index 00000000..a245cb96 --- /dev/null +++ b/1sa/20/35.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kijana alikuwa pamoja naye + +Hapa "yeye" ina maana ya Yonathani. + +# alipiga mshale zaidi yake + +"Yonathani alipiga mshale zaidi ya kijana" + +# mshale hauko mbele yako? + +Yonathani hutumia swali hili kusisitiza kwamba mshale ni mbele zaidi ya huyo kijana. Matumizi ya kutafsiri pia inasisitiza hili. Swali la uhuishaji linaweza kutafsiriwa kama taarifa. AT "Unapaswa kujua kwamba mshale ni zaidi ya wewe" au "Mshale ni mbali na wewe" + diff --git a/1sa/20/38.md b/1sa/20/38.md new file mode 100644 index 00000000..676a9638 --- /dev/null +++ b/1sa/20/38.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# akamwita yule kijana, "Upesi, + +"alimwita kijana huyo, ambaye alikuwa akikimbia kutoka kwake," Upesi" + diff --git a/1sa/20/41.md b/1sa/20/41.md new file mode 100644 index 00000000..2499dab7 --- /dev/null +++ b/1sa/20/41.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kilima + +Inaonekana kwamba Daudi alikuwa akificha nyuma ya rundo la ardhi au mawe (tazama UDB). + +# akiwa amelala kifudifudi, akainama mara tatu + +Daudi akainama mbele ya Yonathani, ambaye alikuwa bado mwana wa Mfalme, anastahili heshima hiyo. Pia, hii ndiyo mara ya mwisho Daudi alikutana na Yonathani. + +# Bwana awe awe kati yako na mimi + +Maana iwezekanavyo ni 1) "Yahweh ni shahidi kati ya yako na mimi" au "Yahweh ataangalia jinsi tunavyogusa' au 2) "Na Bwana awe shahidi kati yako na mimi" au "Je! Bwana angalia jinsi tunavyohusika kila mmoja nyingine. Tafsiri kama ilivyo katika 20:22. + diff --git a/1sa/21/01.md b/1sa/21/01.md new file mode 100644 index 00000000..48aee20d --- /dev/null +++ b/1sa/21/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nobu + +jina la mahari + +# Ahimeleki + +jina la mtu + +# kutetemeka + +kutetemeka kwa hofu + +# kwa jambo + +"kufanya kazi kwa ajili yake" + +# Nimewaelekeza vijana kwenda sehemu fulani + +"Nimewaambia vijana hao kwenda mahali pengine, nami nitakutana nao hapo baadaye" (Angalia UDB) + diff --git a/1sa/21/03.md b/1sa/21/03.md new file mode 100644 index 00000000..b51d12e1 --- /dev/null +++ b/1sa/21/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sasa basi + +Daudi anaanza sehemu mpya ya mazungumzo. + +# chakula gani kinapatikana hapa? + +Hapa "kwa upande" ni metonymy ambayo ina maana inapatikana. AT "Ni chakula gani ambacho unaweza kunipa?" + +# Nipatie mikate mitano + +Hili ni ombi la heshima. + +# mkate wa kawaida + +mkate ambao makuhani hawakutumia katika ibada + +# mkate mtakatifu + +mkate ambao makuhani wametumia katika ibada + +# kama vijana hawajatembea na wanawake. + +Hii inaweza kutafsiriwa kama hukumu kamili. AT "Wanaume wako wanaweza kula kama hawajalala na wanawake hivi karibuni" + diff --git a/1sa/21/05.md b/1sa/21/05.md new file mode 100644 index 00000000..206c5546 --- /dev/null +++ b/1sa/21/05.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# wanawake wamewekwa kutoka kwetu + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu. AT "tumejiweka wenyewe kwa wanawake" + +# siku tatu + +3 siku + +# nilipo ondoka + +mimi nilipoanza safari + +# miili ya vijana iliwekwa wakfu + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu ya kazi. AT "Wanaume waliweka vile ambavyo vimetengwa" + +# Je, si zaidi sana leo miili yao ikawekwa wakfu + +Hii ni kauli, sio swali. Inaweza kutafsiriwa kwa fomu ya kazi. AT "Ni kweli hasa leo kwamba wataweka wakfu vile walivyo navyo" + +# mkate ambao uliwekwa wakfu + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu ya kazi. AT "mkate ambao makuhani walikuwa wameweka" + +# kilicho ondolewa mbele za Bwana, ili waweke + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu ya kazi. AT "ambayo makuhani waliondoa mbele ya Bwana ili waweze kuweka" + diff --git a/1sa/21/07.md b/1sa/21/07.md new file mode 100644 index 00000000..420e3099 --- /dev/null +++ b/1sa/21/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Doegi.......wachungaji + +Unaweza kuhitaji kusema wazi kwamba Doegi aliona kile Daudi alichofanya. AT " Doegi ... wachungaji, na aliona kile Ahimeleki alivyofanya" + +# Doegi + +jina la mwanaume + +# ameshilkiliwa mbele za Bwana + +Maana iwezekanavyo ni 1) "kwa kuwa Bwana amemzuia hapo," labda Doeg aliweza kumaliza kufanya kitu alichoahidi Bwana angekifanya (angalia UDB) au 2) hakuna mtu anayejua kwa nini alikuwa huko, "kwa sababu fulani" + +# wachungaji + +watunzaji na walinzi wa kundi, hasa ng'ombe au kondoo + diff --git a/1sa/21/08.md b/1sa/21/08.md new file mode 100644 index 00000000..32c38061 --- /dev/null +++ b/1sa/21/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sasa hakuna hata mkuki wowote au upanga? + +Hapa "upande" ni maana ya metonymy "inapatikana." AT "Je, una mkuki au upanga ambao unaweza kunipatia?" Tafsiri kama katika 21 3. + +# silaha + +jina la jumla kwa mambo kama vile mapanga, visu, upinde na mishale, na mikuki + +# Bonde la Ela + +Hii ndio jina la mahali pa Israeli + diff --git a/1sa/21/10.md b/1sa/21/10.md new file mode 100644 index 00000000..30427477 --- /dev/null +++ b/1sa/21/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# huyu siye Daudi mfalme wa nchi hii + +Walikuwa wakifanya kiburi wakati wakisema Daudi alikuwa mfalme wa nchi hiyo. Walitumia swali hili kuthibitisha kuwa Daudi alikuwa adui mwenye nguvu na Akishi hawapaswi kumruhusu awe kukaa huko. AT "Unajua kwamba hii ni Daudi, ambaye ni hatari kama mfalme wa nchi" + +# Je hawakupokezana kuimba na kucheza, 'Sauli ..... maelfu + +Swali hili la uhuishaji linaweza kutafsiriwa kama taarifa. AT "Unajua kwamba wakati watu wa nchi walipokuwa wanacheza, waliimba kwa kila mmoja juu yake,' Sauli ... maelfu." + diff --git a/1sa/21/12.md b/1sa/21/12.md new file mode 100644 index 00000000..ab4c8af1 --- /dev/null +++ b/1sa/21/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Daudi akayaweka maneno hayo moyoni + +Hapa "ilichukua ... moyoni" ni hali ya kufikiri kwa bidii juu ya kile kilichosemwa. AT "Daudi alifikiria kwa undani kuhusu yale waliyosema watumishi" + +# mokononi mwake + +Hapa "mikono" ni metonym kwa mtu. "mbele yao" + diff --git a/1sa/21/14.md b/1sa/21/14.md new file mode 100644 index 00000000..72a99033 --- /dev/null +++ b/1sa/21/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini mumemleta kwangu? + +Maana iwezekanavyo ni 1) Achish anadai kwamba watumishi wake wanasema kwa nini walimletea Daudi au 2) Akishi anawafukuza kwa swali la uwazi. AT "Unapaswa kujua kuwa hakumletea." + +# Kwa nini mmemleta kwangu? Je, mimi nina haja na wehu, kumbe mmemleta mtu huyu ili anifanyie hayo mbele yangu? + +Swali hili la uhuishaji ni kukataa. AT "Kuna vichaa wa kutosha hapa ambao hupoteza muda wangu. Unapaswa kumleta mtu huyu awe kama mmoja mbele yangu." + +# Hivi kweli huyu ataingia nyumbani mwangu? + +Swali hili la uhuishaji linaweza kutafsiriwa kama taarifa. AT "Usiruhusu mtu huyu aingie nyumbani mwangu." + diff --git a/1sa/22/01.md b/1sa/22/01.md new file mode 100644 index 00000000..1b4ea749 --- /dev/null +++ b/1sa/22/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# pango + +nafasi ya mashimo chini ya ardhi, kwa ujumla kufungua upande wa kilima, kubwa ya kutosha kwa watu kuingia + +# Adulamu + +Hii ni jina la mji karibu na mji wa Gaza. + +# waliposikia hayo + +aliposikia kwamba Daudi alikuwa amekwenda kujificha katika pango + +# Kila mmoja aliyekuwa na mahangaiko......kila mmoja ambaye hakuwa na furaha + +Hiki ni kisichozidi. AT "Watu wengi ambao walikuwa na shida ... watu wengi ambao hawakuwa na furaha" + +# jemedari + +afisa wa kijeshi anayeongoza askari + +# mia nne + +"400" + diff --git a/1sa/22/03.md b/1sa/22/03.md new file mode 100644 index 00000000..b6532e11 --- /dev/null +++ b/1sa/22/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kisha Daudi alitoka huko + +"Ndipo Daudi akaondoka pango la Adula" + +# Mispa + +Hii ni jina la mji. + +# nenda pamoja nawe + +Daudi alitaka wazazi wake wapate kuishi na mfalme wa Moabu ili Mfalme Sauli asiweze kuwadhuru. Watafsiri wanaweza kueleza maana yake ya msingi kwa kutumia mawazo ya "kuja kukaa na wewe," "kukaa na wewe," au "kuishi hapa na wewe," kama katika UDB. + +# nenda katika nchi ya Yuda + +"nenda kwenye nyumba yako ya Yuda" + +# Harethi + +Hii ni jina la mji. + diff --git a/1sa/22/06.md b/1sa/22/06.md new file mode 100644 index 00000000..7ff406c7 --- /dev/null +++ b/1sa/22/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Daudi amepatikana, akiwa pamoja na watu aliokuwa nao + +Sauli alikuwa na hamu zaidi kwa Daudi, kwa hivyo mwandishi huwaambia watu wengine tofauti. Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu ya kazi. AT "mtu alikuwa amegundua ambapo Daudi na wanaume wote waliokuwa pamoja naye walikuwa wameficha" + +# mti wa mkwaju + +Hii ni aina ya mti. AT "mti mkubwa wa kivuli" + +# huko Rama + +Rama ni jina la mahali huko Gibea. Jina linamaanisha "mahali pa juu." Inawezekana maana ni 1) inaelezea hapa mahali panaitwa Ramah, au 2) inahusu sehemu yoyote ya juu. AT "kwenye kilima" (UDB) + diff --git a/1sa/22/07.md b/1sa/22/07.md new file mode 100644 index 00000000..e4c35dde --- /dev/null +++ b/1sa/22/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Je, mwana wa Yese atawapa mashamba na mashamba ya mizabibu? + +Sauli anatumia swali ili kusisitiza kwamba Daudi, ambaye ni wa kabila la Yuda, hataki kufanya hivyo kwa watu wa kabila la Benyamini. AT "Mwana wa Yese hatakupa mashamba au mizabibu." + +# Je, mwana wa Yese atawapa + +Wakati atakapotoa inaweza kufanywa wazi. AT "Wakati mwana wa Yese atakapokuwa mfalme, atatoa" + +# mwana wa Yese + +"Daudi" + +# Je, atawafanya nyote kuwa majemedari.... mimi? + +Sauli anatumia swali ili kusisitiza kwamba Daudi, ambaye ni wa kabila la Yuda, hataki kufanya hivyo kwa watu wa kabila la Benyamini. AT "Yeye hawezi kukufanya jemedari ... dhidi yangu." + +# Je, atawafanya nyote kuwa majemedari + +Unaweza kuhitaji kutoa wazi wakati atawafanya kuwa maakida. AT "Atakapokuwa mfalme, je, atawafanya ninyi nyota majemedari" + +# majamedari + +maofisa wa kijeshi ambao huongoza askari + diff --git a/1sa/22/09.md b/1sa/22/09.md new file mode 100644 index 00000000..d62da72a --- /dev/null +++ b/1sa/22/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Doegi Mwedomu + +jina la mtu. Tafsiri kama katika 21:7. + +# Nobu..... Ahimeleki + +jina la mahali na jina la mwanadamu. Tafsiri kama katika 21:1. + +# Ahitubu + +jina la mtu + +# Alimwomba BWANA ili apate kumsaidia, na alimpatia + +Ahitubu akamwomba Bwana, ili Bwana amsaidie Daudi, na Ahitubu akampa Daudi + diff --git a/1sa/22/11.md b/1sa/22/11.md new file mode 100644 index 00000000..f89475b9 --- /dev/null +++ b/1sa/22/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kwa kumpatia + +"kwa kutoa" + +# kuinuka + +"waasi" au "kupambana" + diff --git a/1sa/22/14.md b/1sa/22/14.md new file mode 100644 index 00000000..9181d983 --- /dev/null +++ b/1sa/22/14.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Nani miongoni mwa watumishi wako wote aliyemwaminifu kama Daudi.... nyumbani? + +Swali hili la uhuishaji linaweza kutafsiriwa kama taarifa. AT "Hakuna hata mmoja wa watumishi wako ni mwaminifu kama Daudi ... nyumba." + +# mlinzi + +mtu au kundi la watu wanaolinda mtu + +# mwenye heshima nyumbani mwako + +Neno "nyumba" ni kielelezo kwa familia inayoishi ndani ya nyumba. Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu ya kazi. AT "ambaye familia yako inaheshimu" + +# Je, leo ni mara ya kwanza kwangu kumuomba Mungu apate kumsaidia? + +Ahimeleki anajiuliza swali hili kabla Sauli hajaweza kuuliza, basi mara moja hujibu. Swali hili la uhuishaji linaweza kutafsiriwa kama taarifa. AT "Hii sio mara ya kwanza nimeomba kwa Mungu kumsaidia Daudi." + +# Iwe mbali nami! + +msamiati huu una maana "kabisa" + +# Usimruhusu mfalme awe na shauri kwa mtumishi wake au kwa nyumba yote ya baba yangu. Kwa maana mtumishi wako hajui chochote + +Ahimeleki anaongea mwenyewe katika mtu wa tatu kama "mtumishi." Ahimeleki pia anamwambia Sauli katika mtu wa tatu kama 'mfalme." Ahimeleki anaongea hivi kwa njia ya kumheshimu Sauli. AT "Tafadhali, Mfalme Sauli, usione mimi, mtumishi wako, au mtu yeyote katika nyumba ya baba yangu kuwa na hatia. Kwa maana sijui chochote " + +# shauri + +kuzingatia mtu mwenye hatia + +# nyumba yote ya baba yangu. + +Hapa "nyumba" inawakilisha "familia." AT "kwa familia ya baba yangu yote" + diff --git a/1sa/22/16.md b/1sa/22/16.md new file mode 100644 index 00000000..d1b0e079 --- /dev/null +++ b/1sa/22/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# nyumba ya baba yako + +Neno "nyumba" ni kielelezo kwa familia inayoishi ndani ya nyumba. AT "familia ya baba yako" au "wazao wa baba yako" + +# mlinzi aliyesimama karibu naye + +"askari wamesimama karibu ili kumlinda" + +# Geuka na uwauwe + +Hapa "Geuka" ina maana ya kugeuka au ageuka mbali na mfalme. AT "Nenda na kuua" au "Uua" + +# mkono wake u juu ya Daudi + +Neno "mkono" ni msisitizo kwa kazi iliyofanywa kwa mkono. AT "pia wanamsaidia Daudi" + +# hawakunyoosha mkono wao kuwaua + +Neno "mkono" ni msisitizo kwa kazi iliyofanywa kwa mkono. AT"hakufanya chochote kuua" au "kukataa kuua" + diff --git a/1sa/22/18.md b/1sa/22/18.md new file mode 100644 index 00000000..25366e34 --- /dev/null +++ b/1sa/22/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Geuka na uwauwe makuhani....akageuka na kuwapiga makuhani + +Hapa "Geuka" ina maana ya kugeuka au kugeuka mbali na mfalme. Tafsiri kama katika 22:16. AT "Nenda na kuua makuhani ... akaenda na kushambulia" au "Uua kuhani ... aliwashambulia makuhani" + +# Doegi Mwedomu akageuka na kuwapiga..... akawauwa....... akawapiga...akawauwa + +Maana iwezekanavyo ni 1) Doegi aliwauawa makuhani wote mwenyewe au 2) neno "Doegi" ni synecdoche kwa Doegi na wanaume ambao walikwenda pamoja naye. AT "Doegi na wanaume wake waligeuka na kushambulia ... waliuawa ... walishambulia ... Waliuawa" + +# watu themanini-watano + +watu watano ** - "85 watu "au "85 makuhani" + +# Kwa makali ya upanga + +"Kwa upanga" + +# aliishambulia Nobu + +Hapa "kushambuliwa" inamaanisha kuuawa. AT "aliwaua watu wengi katika jiji la Nobu" + diff --git a/1sa/22/20.md b/1sa/22/20.md new file mode 100644 index 00000000..1f617d28 --- /dev/null +++ b/1sa/22/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Abiathari + +Hili ni jina la mwanaume. + diff --git a/1sa/23/01.md b/1sa/23/01.md new file mode 100644 index 00000000..ced998a0 --- /dev/null +++ b/1sa/23/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kupura + +Kutenganisha ngano au mbegu toka kwenye makapi. + diff --git a/1sa/23/03.md b/1sa/23/03.md new file mode 100644 index 00000000..d3fea511 --- /dev/null +++ b/1sa/23/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je, si zaidi sana kama tutaenda Keila kupambana na majeshi ya Wafilisti? + +"tutakuwa na hofu zaidi kama tukienda Keila kupigana na jeshi la Wafilisti." + diff --git a/1sa/23/05.md b/1sa/23/05.md new file mode 100644 index 00000000..74b12780 --- /dev/null +++ b/1sa/23/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wakaenda ... kupigana ... Wakahamisha ... kuwapiga ... akawaokoa + +Mwandishi anamuelezea sana Daudi hapa japikuwa watu wa Daudi walimsaidia kufanya mambo haya yote. + diff --git a/1sa/23/07.md b/1sa/23/07.md new file mode 100644 index 00000000..6f326140 --- /dev/null +++ b/1sa/23/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sauli aliambiwa + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu. AT "Mtu alimwambia Sauli" au "Walisema Sauli" + +# aliita + +"aitwaye" au "wamekusanyika" + diff --git a/1sa/23/10.md b/1sa/23/10.md new file mode 100644 index 00000000..d6495f5a --- /dev/null +++ b/1sa/23/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Daudi akasema + +"Daudi aliuliza" au "Daudi aliomba" + +# mtumishi wako hakika amesikia....... kama mtumishi wako alivyosikia.....mwambie mtumishi wako + +Daudi anaongea kama mtu mwingine aliyeonyesha heshima yake kwa Bwana. AT "Nimesikia hakika ... kama nilivyosikia ... niambie" + +# watanisalimisha mkononi mwake + +Hapa "mkono" inawakilisha nguvu au udhibiti. AT "nipe juu ya Sauli" + +# kuharibu + +"kushindwa kabisa" + diff --git a/1sa/23/12.md b/1sa/23/12.md new file mode 100644 index 00000000..40089a59 --- /dev/null +++ b/1sa/23/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Daudi akasema + +"Daudi aliuliza" au "Daudi aliomba" + +# watanisalimisha mimi na watu wangu katika mkono wa Sauli + +Hapa "mkono" inawakilisha nguvu au udhibiti. AT "nipe mimi na watu wangu juu ya Sauli" + diff --git a/1sa/23/13.md b/1sa/23/13.md new file mode 100644 index 00000000..7b1484ba --- /dev/null +++ b/1sa/23/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mia sita + +"600" + +# Sauli akaambiwa + +"mtu alimwambia Sauli" au "walimwambia Sauli" + +# ametoroka + +"amemkimbia" + +# hakumweka mkononi mwake + +"hakumruhusu Sauli awe na nguvu juu ya Daudi" au "hakumruhusu Sauli amkamate Daudi" + diff --git a/1sa/23/15.md b/1sa/23/15.md new file mode 100644 index 00000000..e2d6dabc --- /dev/null +++ b/1sa/23/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kuangamiza maisha yake + +"kujaribu kumuua" + +# akamtia moyo amtumainie Mungu + +akamuhimiza amuamini Mungu + diff --git a/1sa/23/17.md b/1sa/23/17.md new file mode 100644 index 00000000..7991b315 --- /dev/null +++ b/1sa/23/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa maana mkono wa baba yangu Sauli hautakupata + +"kwa maana baba yangu hatakuwa na nguvu juu yako" + diff --git a/1sa/23/19.md b/1sa/23/19.md new file mode 100644 index 00000000..cf6a079f --- /dev/null +++ b/1sa/23/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je, Daudi hakujificha kati yetu kwenye ... Yeshimoni? + +"Daudi amejificha kati yetu kwenye ... Yeshimoni? + +# Yeshimoni + +Hii ni maana nyingine ya "jangwa" + +# kumtia katika mkono wa mfalme + +"kumleta Daudi kwako ili ufanyie kama uavyotaka" + diff --git a/1sa/23/21.md b/1sa/23/21.md new file mode 100644 index 00000000..70576ef6 --- /dev/null +++ b/1sa/23/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mbarikiwe na BWANA + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu. AT "Natumaini kwamba Bwana atakubariki" + +# mmenihurumia mimi + +"umeniambia hii" + +# Jifunze na ujue + +Maneno haya mawili yanamaanisha kitu kimoja na inaweza kutafsiriwa kama neno moja. AT "Fahamu kwa uhakika" + +# nani ambae amemuona + +"nani aliyemuona" + +# Nimeambiwa + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu ya kazi. AT "Watu wameniambia" au "Nimesikia" + +# miongoni mwa elfu zote za Yuda + +Huu ndio ukweli. AT "hata ikiwa ninahitaji kumkamata kila mtu katika Yuda" au "kati ya jamaa zote za Yuda" + diff --git a/1sa/23/24.md b/1sa/23/24.md new file mode 100644 index 00000000..72a1f3e8 --- /dev/null +++ b/1sa/23/24.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kisha wakasimama + +Waliacha kile walichokuwa wakifanya. Msomaji haipaswi kuamini kwamba walikuwa ameketi au amelala. + +# Kisha wao + +"Basi wazifu" + +# Zifu + +Hili ni jina la mahali. Tafsiri hii kama ilivyo katika 23:13. + +# Yeshimoni + +Hili ni jina la eneo la jangwa karibu na Bahari ya Ufu. Inaweza pia kutafsiriwa kama "Jangwa la Yudea" au "uharibifu." Tafsiri kama katika 23:19. + +# Daudi akaambiwa habari hiyo + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu . AT "Mtu fulani alimwambia Daudi kwamba walikuwa wanakuja" au "Daudi alijifunza kwamba walikuwa wanakuja" + +# Mlima wa miamba + +mlima uliofunikwa na miamba mingi au majabari + +# miongoni mwa maelfu wa Yuda + +Huu ndio msemo. AT "hata ikiwa ninahitaji kumfunga kila mtu katika Yuda" au "kati ya jamaa zote za Yuda" + diff --git a/1sa/23/26.md b/1sa/23/26.md new file mode 100644 index 00000000..e34f7a9e --- /dev/null +++ b/1sa/23/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# njoo harakisha + +"njoo haraka" + diff --git a/1sa/23/28.md b/1sa/23/28.md new file mode 100644 index 00000000..7709c395 --- /dev/null +++ b/1sa/23/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kumfuatia + +"kumkimbiza" au "kumfuata ili kumkamata" + +# Mwamba wa maficho + +kumbukumbu au alama ya kutoroka kwa Daudim toka kwa Sauli. + diff --git a/1sa/24/01.md b/1sa/24/01.md new file mode 100644 index 00000000..b87bdd67 --- /dev/null +++ b/1sa/24/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Akaambiwa + +"mtu akamwambia" au "wakamwambia" + +# elfu tatu + +"3,000" + +# waliochaguliwa + +watu waliochaguliwa kwa sababu ya uwezo wao mkubwa wa kivita + +# jangwa la Engedi + +Engedi ni eneo kavu lililokuwa na maji katika Israeli ya mangharibu. + diff --git a/1sa/24/03.md b/1sa/24/03.md new file mode 100644 index 00000000..3f6717a1 --- /dev/null +++ b/1sa/24/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mazizi ya kondoo + +"boma la kondoo" + +# kujisaidia + +"kwenda haja" + +# pango + +hili ni shimo la asili lililopo chini ya ardhi na lenye uwazi kwenye upande wa kilima + +# Kisha Daudi akainuka na kumnyemelea kwa mbele kimya kimya + +"Daudi alichukua hatua; alimnyemelea taratibu" + +# kunyemelea + +kwenda taratibu + diff --git a/1sa/24/05.md b/1sa/24/05.md new file mode 100644 index 00000000..f656fe48 --- /dev/null +++ b/1sa/24/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# moyo wa Daudi ukamchoma + +"Daudi alihuzunika kwa sababu alitenda jambo baya" + +# Mtiwa mafuta wa Bwana + +"mtu ambaye Bwana alimchagua kuwaongoza watu wake" + +# kunyoosha mkono wangu juu yake + +"kumdhuru kwa namna yoyote" + diff --git a/1sa/24/08.md b/1sa/24/08.md new file mode 100644 index 00000000..769892ba --- /dev/null +++ b/1sa/24/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini unawasikiliza watu ambao wanasema, "Angalia, Daudi anatafuta kukudhuru? + +"Hupaswi kuwasikiliza watu wanaosema, 'angalia Daudi anatafuta kukudhuru.?" + diff --git a/1sa/24/10.md b/1sa/24/10.md new file mode 100644 index 00000000..2354c17f --- /dev/null +++ b/1sa/24/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# macho yako yameona + +Hapa "macho yako" yanawakilisha Mfalme Sauli. AT "umeona kwa macho yako mwenyewe" + +# alivyokuweka mkononi mwangu + +Neno "mkono" ni msisitizo ya udhibiti. AT "kukuweka ambapo ningeweza kukuua au kuruhusu kuishi" + +# Baba yangu + +Sauli hakuwa baba halisi wa Daudi. Daudi anamwita "baba" kuonyesha kwamba anamheshimu Sauli. + +# hakuna uovu au uasi katika mkono wangu + +Daudi anaongea kama uovu na uasi ni vitu vya kimwili ambavyo angeweza kushikilia mkononi mwake. Hapa "mkono" unawakilisha mtu anayefanya au kufanya kitu fulani. AT "Sikufanya chochote kibaya juu yenu, wala sijui juu yenu" + diff --git a/1sa/24/12.md b/1sa/24/12.md new file mode 100644 index 00000000..4c061abc --- /dev/null +++ b/1sa/24/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mkono wangu hautakuwa juu yako + +"kumdhuru kwa namna yoyote" + +# wazee + +"watu walioishi zamani" + diff --git a/1sa/24/14.md b/1sa/24/14.md new file mode 100644 index 00000000..5d7e3894 --- /dev/null +++ b/1sa/24/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mfalme wa Israeli ametoka kumuandama nani? Unamsaka nani? + +Swali hili linaweza kutafsiriwa kama sentensi "acha niwaambia mfalme wa Israeli amekuja kumuandama nani. Acha niwaambie ni nani unayemsaka." + +# Unasaka mzoga wa mbwa + +"Unamsaka mtu ambaye hana nguvu kama mbwa aliyekufa" + +# Unasaka kiroboto + +"Unasaka mtu asiye na umuhimu kama kiroboto" + +# ukaione na ukaitetee sababu yangu + +Yaweza kuwa na maana ya 1) "kufanya yaliyo sawa na kutetea sababu yangu" au 2) "kuona kuwa sababu yangu ipo sawa na kupigana kwa ajili yangu" + +# toka kwenye mkono wako + +"ili usiwe na nguvu juu yangu" + diff --git a/1sa/24/16.md b/1sa/24/16.md new file mode 100644 index 00000000..8af6bbc8 --- /dev/null +++ b/1sa/24/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwanangu Daudi + +Sauli anazungumza na Daudi kama vile ni mtoto wake kumuonesha Daudi kuwa anampenda. + +# alinyanyua sauti yake akalia + +"alilia kwa nguvu" + diff --git a/1sa/24/17.md b/1sa/24/17.md new file mode 100644 index 00000000..41bc2310 --- /dev/null +++ b/1sa/24/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# umenitendea mema + +Sauli anakiri kwamba Daudi alionyesha kwamba aliunga mkono Mfalme Sauli na alikuwa mwaminifu kwake kwa kutomwua. + +# kwa kuwa hukuniua wakati BWANA aliponiweka katika rehema yako + +Sauli anakubali kwamba Daudi alichagua kuonyesha huruma na alionyesha uaminifu wake kwa Mfalme Sauli kama mafuta ya Bwana. + diff --git a/1sa/24/19.md b/1sa/24/19.md new file mode 100644 index 00000000..0325e288 --- /dev/null +++ b/1sa/24/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa kuwa mtu akimpata adui yake, atamwacha aende zake salama? + +"Kama mtu akimpata adui yake hatamuacha aende salma" + +# 9Kwa kuwa mtu akimpata adui yake, atamwacha aende zake salama? + +Sauli alipoamini kuwa Daudi alikuwa adui yake na akatambua kuwa japokuwa Daudi atakuwa mfalme, Daudi hatachukua ufalmetoka kwa Sauli bali atasubiria muda wa Bwana wa kuchaguliwa. + +# ufalme wa Israeli utaimarika + +"Bwana ataimarisha ufalme wa Israeli" au "Ufalme wa Israeli utaimarika" + +# katika mkono wako + +"kwa mamlaka yako" au "kupitia kazi utakazozifanya" + diff --git a/1sa/24/21.md b/1sa/24/21.md new file mode 100644 index 00000000..9f30dddd --- /dev/null +++ b/1sa/24/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hutawakatilia mbali uzao wang baada yangu + +"hutawaua wana wangu na familia zao." Ilikuwa ya kawaida kwa mfalme mpya ambaye hakuwa na mstari wa familia uliopita ili kuua watoto wote wa mfalme wa zamani ili kuzuia yeyote kati yao kumsababisha kiti cha enzi. + +# hautaliharibu jina langu katika nyumba ya baba yangu + +Ni muhimu kwa kila familia katika Israeli kuwa na uzao kutoka kizazi hadi kizazi kinachoendelea jina la familia na urithi wa nchi. AT "huwezi kuharibu familia yangu na uzao" au "utaruhusu familia yangu kuishi" + +# Daudi na watu wawke + +"Daudi na jeshi lake" + diff --git a/1sa/25/01.md b/1sa/25/01.md new file mode 100644 index 00000000..db20f7a1 --- /dev/null +++ b/1sa/25/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Waisraeli wote wakakusanyika pamoja na kumwomboleza + +Hii inawezekana kuwa kizazi. Idadi kubwa ya watu wa Israeli walikuwa labda huko, lakini wengine hawakuweza kuhudhuria. + +# wakakusanyika pamoja + +wakakutana pamoja + +# wakamzika nyumbani kwake huko Rama + +Inawezekana maana ni kwamba walimzika Samweli 1) katika mji wake wa Rama au 2) katika ardhi ya familia yake huko Rama lakini si kimwili ndani ya nyumba au 3) nyumbani kwake huko Rama. + +# Daudi akainuka na akashuka + +"Daudi na watu wake wakaondok na wakashuka" + diff --git a/1sa/25/02.md b/1sa/25/02.md new file mode 100644 index 00000000..d97917ed --- /dev/null +++ b/1sa/25/02.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kulikuwa na mtu mmoja huko Maoni, na mali zake zilikuwa huko Karmali. Mtu huyo alikuwa tajiri sana. Alikuwa na kondoo elfu tatu na mbuzi elfu moja. Naye alikuwa akiwakata manyoya kondoo wake huko Karmeli. 3Na mtu huyo aliitwa Nabali, na jina la mke wake aliitwa Abigaili. Mwanamke huyo alikuwa mwenye busara na mzuri kwa sura. Lakini mwanaume alikwa mkaidi na mwovu katika mambo yake. Alikuwa wa uzao wa nyumba ya Kalebu. + +Baadhi ya watafsiri wanaweza kuweka mawazo haya tofauti. "Kulikuwa na mtu jina lake Nabali, mzao wa nyumba ya Kalebu, aliyekuwa tajiri sana. Aliishi Maoni lakini mali zake zilikuwa Karmali: Alikuwa na kondoo elfu tatu na mbuzi elfu moja. Mtu huyu alikuwa mkaidi na muovu. Mke wake aliitwa Abigaili. Mwanamke huyu alikuwa na busara na mzuri wa sura. Sasa alikuwa akiwakata manyoya kondoo wake. + +# Maoni + +Hili ni jina la mji. + +# Karmali + +Hili ni jina la mji. + +# Elfu tatu + +"3,000" + +# elfu moja + +"1,000" + +# akiwakata manyoya kondoo wake + +"kuwanyoa sufu kondoo wake" + diff --git a/1sa/25/04.md b/1sa/25/04.md new file mode 100644 index 00000000..9bfc6974 --- /dev/null +++ b/1sa/25/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# akiwakata manyoya kondoo wake + +"kuwanyoa sufu kondoo wake" + +# mkamsalimie kwa jina langu + +"mumsalimie kama ambavyo mimi ningemsalimia nimkiwa pale" + +# Uishi katika baraka + +"ninatamani kuwa uishi katika mafanikio" + +# Uwe na amani na nyumba yako iwe na amani, na wote ulionao + +"ninatamani kuwa amani iwe kwako, kwa nyumba yako na vyote unavyomiliki" + diff --git a/1sa/25/07.md b/1sa/25/07.md new file mode 100644 index 00000000..8213fb24 --- /dev/null +++ b/1sa/25/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# unao wakata manyoya + +"wakata manyoya wako wanafanya kazi" Daudi alitaka watu wake wamwambie hivi Nabali ili afahamu kuwa kondoo wake wapo salama kwa sababu watu wa Daudi waliwasaidia kuwalinda. + +# hatukuwafanyia ubaya, na hawakupotelewa kitu chochote + +Daudi anaonesha ni kwa namna gani yeye na watu wake waliwalinda watumishi wa Nabali na mifugo yao. + +# Basi vijana wangu wapate kibali machoni pako + +"Basi ukapendezwe na vijana wangu" + +# kwa mtumishi wako + +Daudi anaonesha heshima mbele ya Nabali kwa kuwaita watu wake watumishi wa Nabali. + +# mwanao Daudi + +Daudi anazungumza kama vile ni mtoto wa Nabali ili kuonesha heshima kwa Nabali aliyekuwa mtu mzima. + diff --git a/1sa/25/09.md b/1sa/25/09.md new file mode 100644 index 00000000..1bf325df --- /dev/null +++ b/1sa/25/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# vijana wa Daudi + +"jeshi la Daudi" + +# walimwambia Nabali yote haya kwa niaba ya Daudi + +"wakampa Nabali ujumbe wote" + +# Daudi ni nani? Na ni nani mwana wa Yese? + +Nabali alimfahamu Daudi ni nani lakini hakutaka kumsaaidia Daudi. "Huyu Daudi mwana wa Yese mnayemzungumzia ni nani ... simfahamu." + +# wanaotoroka + +"wanaowageuka" au "wanaoasi dhidi ya" + +# mkate wangu + +Hapa "mkate" umetumika kama aina yoyote ya chakula. + +# watu wanaotoka nisikokujua + +"watu nisiofahamu wanatoka wapi" au "watu nisiowafahamu" + diff --git a/1sa/25/12.md b/1sa/25/12.md new file mode 100644 index 00000000..6ce9996a --- /dev/null +++ b/1sa/25/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kilichosemwa + +"alichokisema Nabali" + +# akawaambia watu wake + +"akaliambia jeshi lake" + +# ajifunge upanga wake." Kila mtu akajifunga upanga wake. Daudi naye pia akajifunga upanga wake. + +"jiandaeni kwa ajili ya vita" Na kila mtu akajiandaa kwa ajili ya vita. Daudi naye akajiandaa. + +# mia nne + +"400" + +# mia mbili + +"200" + +# walibaki kulinda mizigo + +Walibaki katika kambi yao ili kulinda wavamizi wasije kuiba mali zao. + diff --git a/1sa/25/14.md b/1sa/25/14.md new file mode 100644 index 00000000..9b02d6f6 --- /dev/null +++ b/1sa/25/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kijana mmojawapo alimwambia Abigaili, mke wa Nabali akasema + +"Mmoja wa watumishi wa Nabali aligundua kitu ambacho Daudi na watu wake walipanga kufanya, hivyo akaenda kwa mke wa NAbali Abigaili" + +# Hatukudhurika + +"hakuna mtu aliyetudhuru" au "tulikuwa salama" + +# na hatukupoteza chochote wakati wote tulipotembea nao + +Watu wa Daudi waliwazuia wanyama wa mwituni na watu wengine wasiibe mifugo ya Nabali. + diff --git a/1sa/25/16.md b/1sa/25/16.md new file mode 100644 index 00000000..41734ba9 --- /dev/null +++ b/1sa/25/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Walikuwa ukuta + +Watu wa Daudi walikuwa kama ukuta unaozunguka mji ambao unawalinda watu wa mji huo toka kwa adui zao. + +# ubaya unamvizia bwana wetu + +"mtu anapanga kumfanyia mambo maovu bwana wetu" + +# bwana wetu + +Mzungumzaji anazungumza juu ya Daudi kwa kuonesha kuwa anamuheshimu Daudi. + diff --git a/1sa/25/18.md b/1sa/25/18.md new file mode 100644 index 00000000..c4b9b689 --- /dev/null +++ b/1sa/25/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mia mbili + +"200" + +# mikate + +Boflo ya mkate ni kama keki ya mkate. + +# waliokwisha andaliwa + +"kitu ambacho kimekwisha pikwa" au "tayari kwa mtu kukipika" + +# vipimo + +vipimo + +# bisi + +"bisi iliyopikwa" + +# vishada vya zabibu + +"zabibu nyingi" + diff --git a/1sa/25/20.md b/1sa/25/20.md new file mode 100644 index 00000000..ac96263f --- /dev/null +++ b/1sa/25/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Daudi na watu wake + +Daudi na jeshi lake + +# kwa kifuniko cha mlima + +Maana iwezekanavyo ni 1) kwenye kitanda cha chini cha mto mkondo au 2) ambapo watu walikuwa wameficha. + diff --git a/1sa/25/21.md b/1sa/25/21.md new file mode 100644 index 00000000..f3fa834f --- /dev/null +++ b/1sa/25/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Mwandishi anatupa taarifa kabla hajaendelea na simulizi. + +# Basi Daudi alikuwa amesema, "Hakika ... wa kwake" + +Msomaji anatakiwa aelewe kuwa Daudi alisema maneno haya kabla hajasema "Kila mtu afunge upanga wake" katika 25:12 + +# Basi Daudi + +Neno "basi" linaonesha kuwa mwandishi ameacha kuandika kuhusu Abigaili na akaanza kuandika kuhusu Daudi. + +# na vyote alivyonavyo hakuna kilichopotea + +"Bado anacho kila kitu ambacho ni chake" + +# Mungu na anitendee hivyo mimi + +"Mungu awapige adui wa Daudi" + +# wote wa kwake + +"watu wote ambao wako chini yake" au "wale wa familia yake" + diff --git a/1sa/25/23.md b/1sa/25/23.md new file mode 100644 index 00000000..99a2b44e --- /dev/null +++ b/1sa/25/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi + +Mwandishi amekamilisha kutoa maelezo ya historia, hivyo anaendelea na hadithi. + +# akaweka mbele ya Daudi na akainama chini ya ardhi + +Abigaili alikuwa akijinyenyekeza na kuonyesha kwamba angeitii Daudi kwa sababu alikuwa kiongozi mwenye nguvu + +# nisikilize + +"sikia" + +# bwana wangu.... mtumishi wako....maneno ya mtumishi wako + +"wewe ... maneno yangu." Abigaili anazungumzia mwenyewe na Daudi kama kwamba ni watu wawili tofauti kuonyesha kwamba anaheshimu Daudi. + diff --git a/1sa/25/25.md b/1sa/25/25.md new file mode 100644 index 00000000..9da6399c --- /dev/null +++ b/1sa/25/25.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya jumla + +Abigaili anaendelea kumshauri Daudi asilipe kisasi. + +# Nakusihi bwana wangu usimjali ... mimi mjakazi wako ... vijana wa bwana wangu ... bwana wangu ... bwana wangu + +Abigaili anajizungumzia mwenyewe kwa Daudi kama vile ni watu wawili ili kuonesha heshima kwa Daudi. + +# Lakini mimi ... sikuwaona ... uliowatuma + +"Lakini kama ... ningewaona ... uliowatuma, Ningewapa chakula" + +# kumwaga damu + +kuua + +# kulipiza kisasi kwa mkono wako mwenyewe + +"kulipiza kisasi mwenyewe badala ya kumuachia Bwana afanye" + +# adui zako ... wawe kama Nabali + +Abigaili anazungumza kama vile Bwana amekwisha muadhibu Nabali. "Natumaini kuwa Bwana atawaadhibu adui zako ... kama atakavyomuadhibu Nabali" + diff --git a/1sa/25/27.md b/1sa/25/27.md new file mode 100644 index 00000000..37938a25 --- /dev/null +++ b/1sa/25/27.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Abigaili anaendelea kumuomba Daudi asikasirike. + +# zawadi hii + +Hata hivyo "zawadi" zilikuwa nyingi. + +# mtumishi wako ... bwana wangu ... bwana wangu ... kosa la mjakazi wako ... bwana wangu ... bwana wangu + +Abigaili anajizungumzia mwenyewe kwa Daudi kama vile ni watu wawili ili kuonesha heshima kwa Daudi. + +# wapewe vijana + +"tafadhali wape vijana" + +# Hakika Bwana atamfanyia bwana wangu nyumba imara. + +"Bwana atahakikisha kuwa wazao wa bwana wangu watatumika kama wafalme. + +# anapigana vita ya Bwana + +"anapigana dhidi ya adui wa Mungu:" + +# uovu hautaonekana ndani yako + +"hakuna mtu atakayekuona ukifanhya uovu wowote" au "hautafanya uovu wowote" + diff --git a/1sa/25/29.md b/1sa/25/29.md new file mode 100644 index 00000000..3ee3f376 --- /dev/null +++ b/1sa/25/29.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kukuandama + +"kukimbiza" au "kuwinda" + +# uhai wa bwana wangu utafungwa katika furushi la walio hai na Bwana Mungu wako + +"Bwana Mungu wako atayafunga maisha ya bwana wangu katika furushi la walio hai" au "Bwana Mungu wako atakuweka hai pamoja na walio hai" + +# Maisha ya Bwana wangu + +Abigaili anajizungumzia mwenyewe kwa Daudi kama vile ni watu wawili ili kuonesha heshima kwa Daudi. + +# atayatupa maisha ya adui zako mbali, kama vile kutoka katika mfuko wa kombeo. + +"Atawaua adui zako kwa urahisi kama mtu anayetupa kombeo umbali mrefu" + +# Kombeo + +Ni kipande cha ngozi ya mnyama chenye kamba ndefu kwenye miisho yote ambapo mtu anaweza kuweka jiwe na kulirusha umbali mrefu. + diff --git a/1sa/25/30.md b/1sa/25/30.md new file mode 100644 index 00000000..47267ce3 --- /dev/null +++ b/1sa/25/30.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Senetensi Unganishi + +Abigaili anaendelea kujadiliana na Daudi. + +# bwana wangu.... bwana wangu.....bwana wangu...mtumishi wako + +Abigaili anazungumzia mwenyewe na Daudi kama kwamba ni watu wawili tofauti kuonyesha kwamba anaheshimu Daudi. "wewe ... wewe ... wewe ... mimi" + +# Hii haitakuwa mzigo mkubwa sana kwako + +Abigaili anasema kwamba kama Daudi akichagua kutolipa kisasi atakuwa na dhamiri safi wakati Bwana atomfanya awe mfalme wa Israeli. Hii inaweza kuelezwa kwa fomu nzuri. AT "Utakuwa na furaha daima ulifanya kama ulivyofanya" + +# Bwana atakapomtendea bwana wangu mema + +Hiyo ni, wakati Bwana amemfanya awe mfalme baada ya utawala wa Sauli kuisha. + diff --git a/1sa/25/32.md b/1sa/25/32.md new file mode 100644 index 00000000..c3ac8423 --- /dev/null +++ b/1sa/25/32.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Daudi anakubali ushauri wa Abigaili na zawadi zake. + +# Bwana ... abarikiwe yeye + +Hii inaweza kutafsiriwa kama 1) "Namtukuza Bwana ... yeye" au 2) "watu wote wamtukuze Bwana ... yeye" + +# Na hekima yako imebarikiwa, nawe umebarikiwa, kwa sababu + +"Namshukuru Bwana kwa sababu amekubariki wewe kwa kukupa hekima na kwa sababu" + +# kumwaga damu + +mauaji + +# kwa mkono wangu mwenyewe + +"kwa matendo yangu mwenyewe" + diff --git a/1sa/25/34.md b/1sa/25/34.md new file mode 100644 index 00000000..c24c7084 --- /dev/null +++ b/1sa/25/34.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Daudi anakubali zawadi za Abigaili na anakubali kufanya kama alivyoshauriwa. + +# kwa hakika asinge salia hata mtoto mmoja wa kiume kwa Nabali + +"Nisingemuachia Nabali hata mtoto mmoja mwamaume" + +# akavipokea kutoka mkononi mwake + +"akakubali zawadi zote ambazo aliletewa" + +# nimeisikiliza sauti yako + +"nimesikiliza ulichoniambia nifanye" au "nitafanya kama ulivyonishauri" + diff --git a/1sa/25/36.md b/1sa/25/36.md new file mode 100644 index 00000000..0db80d0b --- /dev/null +++ b/1sa/25/36.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kulipopambazuka + +alfajiri + +# moyo wa Nabali ulifurahi ndani yake + +Nabali alikuwa na furaha sana + diff --git a/1sa/25/37.md b/1sa/25/37.md new file mode 100644 index 00000000..4599e481 --- /dev/null +++ b/1sa/25/37.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Bwana anamuhukumu Nabali + +# divai ilipokuwa imemtoka Nabali + +"Nabali hakuwa amelewa tena hivyo hakuwa na furaha tena" + +# moyo wake ukafa ndani yake + +Nabali alishindwa kusogea kwa sababu aliogopa sana afya yake haikuwa nzuri tena yamkini kwa sababu alipata mshtuko. + diff --git a/1sa/25/39.md b/1sa/25/39.md new file mode 100644 index 00000000..403f62b3 --- /dev/null +++ b/1sa/25/39.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Daudi anajitoa kumlinda Abigaili kwa kumuoa. + +# Bwana abarikiwe + +1) "namtukuza Bwana" au 2) "watu wote wamtukuze Bwana" + +# aliyenichukulia hatua ya shutuma yangu kutoka mkono wa Nabali + +"aliyenitetea baada ya Nabali kunidhihaki" + +# aliyenichukulia hatua ya shutuma yangu + +Hii yaweza kuwa na maana ya "amenionesha kuwa nililokuwa nalifanya lilikuwa sahihi kwa Kumuadhibu Nabali aliyenidhihaki" + +# na kumzuia mtumishi wake asifanye maovu + +Daudi anazungumza hivi kuonesha heshima kwa Bwana "alinizuia nisifanye uovu" + +# Na amemrudishia Nabali tendo la uovu juu ya kichwa chake mwenyewe + +"amemfanyia Nabdali jambo ambali Nabali alipanga kunifanyia" + +# juu ya kichwa chake mwenyewe + +"juu yake" + +# akawatuma wakaongee na Abigaili, ili amchukue awe mke wake + +"akawatuma watu waongee na Abigaili na kumwambia kuwa Daudi anataka kumchukua awe mke wake. + diff --git a/1sa/25/41.md b/1sa/25/41.md new file mode 100644 index 00000000..20af5c84 --- /dev/null +++ b/1sa/25/41.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# aliinuka, akainamisha uso + +Abigaili aliitikia kwa kuinamisha kichwa. Msomaji anatakiwa afahamu kuwa alikuwa amekwisha simama wanaume wale walipokuwa wakiongea naye. + +# Tazama, mjakazi wako ni mtumwa aoshaye miguu ya watumishi wa bwana wangu + +Abigaili anazungumza hivi kuonesha heshima. "tazama mimi nitakutumikia, mtumishi wa bwana wangu Daudi, kwa kuosha miguu yako" + +# Akaharakisha na kuamka + +Haraka alifanya alichopaswa kufanya kwa ajili ya kujiandaa na safari kisha akaamka. + +# watumishi wake watano waliofuatana naye + +Abigaili alikuwa amepanda kwenye punda lakini watumishi wake walitembea + diff --git a/1sa/25/43.md b/1sa/25/43.md new file mode 100644 index 00000000..86ce1951 --- /dev/null +++ b/1sa/25/43.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Daudi pia alimchukua Ahinoamu ... Sauli alikuwa amempa Palti + +Matukio haya yalitokea kabla Daudi hajamuoa Abigaili. + +# Palti ... Palti + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Mikali + +Hili ni jina la mwanamke + +# Galimu + +Huu ni mji uliopo kaskazini mwa Yerusalemu. + diff --git a/1sa/26/01.md b/1sa/26/01.md new file mode 100644 index 00000000..c27c1b13 --- /dev/null +++ b/1sa/26/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Je, Daudi hakujificha ... jangwa? + +"Daudi amejificha ... jangwa!" + +# mbele ya jangwa + +"ambapo unaweza kuliona jangwa" + +# jangwa + +Maana nyingine ni nyika. + +# Sauli akaamka na kwenda + +Sauli akachukua hatua; akaenda" + +# elfu tatu + +"3,000" + +# watu waliochaguliwa + +watu waliochaguliwa kwa sababu ya uwezo wao katika vita" + diff --git a/1sa/26/03.md b/1sa/26/03.md new file mode 100644 index 00000000..bd0adcea --- /dev/null +++ b/1sa/26/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mbele ya jangwa + +"ambapo unaweza kuliona jangwa" + +# jangwa + +Maana nyingine ni nyika. + diff --git a/1sa/26/05.md b/1sa/26/05.md new file mode 100644 index 00000000..5db195dc --- /dev/null +++ b/1sa/26/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Daudi akaamka na kwenda + +"Daudi alichukua hatua; akaenda" + +# Abneri ... Neri + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/1sa/26/06.md b/1sa/26/06.md new file mode 100644 index 00000000..9daac492 --- /dev/null +++ b/1sa/26/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Ahimeleki ... Abishai + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Seruya + +Jina la mwanamke. + +# nitashuka ... mpaka + +Inaonekana kuwa Daudi na watu wake walikuwa kilimani. + +# Mimi nitashuka + +"nitaka kuwa mmoja ambaye nitashuka" + +# Mungu amemweka adui yako mkononi mwako + +"Mungu amekupa kumtawala kabisa adui yako" + +# nimchome mkuki nimtoboe hadi chini kwa mkuki + +"kumuua kwa mkuki" + +# Sitampiga mara mbili + +"sihitaji kkumpiga mara ya mbili" + diff --git a/1sa/26/09.md b/1sa/26/09.md new file mode 100644 index 00000000..1bbb31d1 --- /dev/null +++ b/1sa/26/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# awezaye kunyoosha mkono wake dhidi ya mtiwa mafuta wa BWANA na asiwe na hatia? + +"Hakuna awezaye kumpiga mpakwa mafuta wa BWANA na asiwe na hatia" + +# Kama Bwana aishivyo + +"kama kweli Bwana aishivyo" + +# siku ya kufa kwake itakuja + +"atakufa kifo cha kawaida" + diff --git a/1sa/26/11.md b/1sa/26/11.md new file mode 100644 index 00000000..0c11fa1c --- /dev/null +++ b/1sa/26/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ninyooshe mkono wangu dhidi ya + +"kufanya chochote kumdhuru" + +# tuondoke + +Daudi anamjumuisha Abishai. + +# sababu usingizi mzito kutoka kwa Bwana uliwaangukia + +Bwana alisababisha walele usingizi mzito. + diff --git a/1sa/26/13.md b/1sa/26/13.md new file mode 100644 index 00000000..ef206882 --- /dev/null +++ b/1sa/26/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hujibu neno, Abneri? + +"Nijibu, Abineri!" + +# kelele + +"kuongea kwa nguvu" + diff --git a/1sa/26/15.md b/1sa/26/15.md new file mode 100644 index 00000000..456a828a --- /dev/null +++ b/1sa/26/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wewe siye mtu jasiri? + +"wewe ni mtu jasiri" + +# Ni nani yuko kama wewe katika Israeli? + +Swali hili laweza kutafsiriwa kama sentensi likiwa na maana ya 1) Daudi anaendelea kumkemea Abineri "wewe ni mtu mkuu katika Israeli" au 2) Daudi anaendelea kumwambia Abineri "unataka watu wote wafikiri kuwa wewe ni mtu mkuu sana katika Israeli, lakini siyo." + +# hukumlinda ... mfalme? + +Swali hili linaweza kutafsiriwa kama sentensi. Yaweza kuwa na maan ya 1) Daudi anataka Abneri ajibu au 2) "ulipaswa kumlinda ... mfalme." + diff --git a/1sa/26/17.md b/1sa/26/17.md new file mode 100644 index 00000000..7a2b5a95 --- /dev/null +++ b/1sa/26/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mwanangu + +Sauli hakuwa baba yake na Daudi. Sauli anazungumza kama vile alikuwa baba yake na Daudi kuonesha kuwa anataka Daudi amuamini na amtii kama vile Daudi anavyomuamini na kumtii baba yake. + +# Kwa nini bwana wangu anamwandama mtumishi wake? + +"bwana wangu hana sababu yoyote ya kumwandama mtumishi wake" + +# Nimefanya nini? + +Yaweza kuwa na maana ya 1) Daudi anataka Sauli amjibu swali hili au 2) "unajua kabisa sijafanya lolote kukudhuru." + +# Mkononi mwangu kuna uovu gani? + +Yaweza kuwa na maana ya 1) "unajua kuwa sijafanya lolote bata kwako" au 2) "unaona kuwa sijapanga kukufanyia lolote baya" + diff --git a/1sa/26/19.md b/1sa/26/19.md new file mode 100644 index 00000000..17eebe9f --- /dev/null +++ b/1sa/26/19.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# nakusihi, bwana wangu mfalme asikilize maneno ya mtumishi wake ... mfalme wa Israeli + +"wewe mfalme wangu, sikiliza maneno yangu ... wewe" + +# amekuchochea dhidi yangu + +"kusababisha wewe uwe na hasira juu yangu" + +# aikubali sadaka + +"nitampa sadaka ili asisababishe tena uwe na hasira juu yangu" + +# Walaaniwe mbele za Bwana + +"Bwana aamue kuwaadhibu" + +# maana leo wamenifukuza, nisishikamane na urithi wa Bwana; wameniambia, 'Nenda ukaabudu miungu mingine.' + +"kwa maana leo wamenifukuza. Kwa sababu wanataka nisishikamane na urithi wa Bwana. Wameniambia 'nenda ukaabudu miungu mingine'" + +# usiiachilie damu yangu ianguke ardhini + +"usiniue" + +# kiroboto mmoja + +Daudi alitumia neno "kiroboto" kuonesha kuwa mtu au yeye mwenyewe hawezi kufanya madhara makubwa. "mimi sitakudhuru tena kama kiroboto mmoja awezavyo" + +# nisishikamane na urithi wa Bwana + +"kwamba nisiamini tena kuwa Bwana atanipa mimi alichoniahidi" + +# kama vile mtu awindavyo kware milimani + +Sauli alimkimbiza Daudi kama vile anawinda mnyama wa maana wa mwituni. + diff --git a/1sa/26/21.md b/1sa/26/21.md new file mode 100644 index 00000000..5508c165 --- /dev/null +++ b/1sa/26/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Rudi + +Yaweza kuwa na maana ya 1) "rudi unitumikie katika mahali pangu" au "rudi nyumbani kwako" + +# Mwanangu + +Sauli hakuwa baba yake na Daudi. Sauli anazungumza kama vile alikuwa baba yake na Daudi kuonesha kuwa anataka Daudi amuamini na amtii kama vile Daudi anavyomuamini na kumtii baba yake. + +# maisha yangu yalikuwa yenye thamani machoni pak + +"umeonesha kuwa unaniheshimu kabisa" + +# nimetenda upumbavu + +"nimekuwa mpumbavu" + diff --git a/1sa/26/22.md b/1sa/26/22.md new file mode 100644 index 00000000..090624b6 --- /dev/null +++ b/1sa/26/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Bwana likuweka mkononi mwangu + +"Bwana alinipa nafasi ya kukuvamia leo" + +# amlipe + +"heshima" au "tuzo" + +# mtiwa mafuta wake + +"aliyechaguliwa kuwa mfalme" + diff --git a/1sa/26/24.md b/1sa/26/24.md new file mode 100644 index 00000000..e3f8069e --- /dev/null +++ b/1sa/26/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# maisha yako yalikuwa ya thamani machoni mwangu + +"nimekuonesha kuwa ninakuheshimu" + +# hivyo maisha yangu yathaminiwe sana machoni pa Bwana + +"na Bwana ayathamini maisha yangu kama vile nilivyoyathamini maisha yako" + +# Na ubarikiwe + +"Na Bwana akubariki" + +# mwanangu + +Sauli hakuwa baba yake na Daudi. Sauli anazungumza kama vile alikuwa baba yake na Daudi kuonesha kuwa anataka Daudi amuamini na amtii kama vile Daudi anavyomuamini na kumtii baba yake. + diff --git a/1sa/27/01.md b/1sa/27/01.md new file mode 100644 index 00000000..6891c6bc --- /dev/null +++ b/1sa/27/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Daudi alisema moyoni mwake + +"Daudi alifikiri mwenyewe" + +# nitaponyoka kutoka mkono wake + +"nitamtoroka yeye" + diff --git a/1sa/27/02.md b/1sa/27/02.md new file mode 100644 index 00000000..9da6e024 --- /dev/null +++ b/1sa/27/02.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Daudi akaondoka na kuvuka + +"Daudi alichukua hatua; akavuka" + +# kuvuka + +"akavuka mpaka kati ya Israeli na Philistia" + +# Watu mia sita + +"600" + +# Sauli akaambiwa + +"mtu alimwambia Sauli" au "Sauli alisikia" + diff --git a/1sa/27/05.md b/1sa/27/05.md new file mode 100644 index 00000000..942c8a2f --- /dev/null +++ b/1sa/27/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kama nimepata kibali machoni pako + +"kama nimekupendeza" au "kama utanitendea wema" + +# wanipatie mahali + +"tafadhali nipatie mahali" + +# mojawapo ya miji ya nchi + +"mojawapo ya miji nje ya jiji" + +# kwa nini mtumishi wako akae pamoja na wewe katika mji wa kifalme? + +"Mimi sio wa muhimu sana mpaka nikae pamoja na wewe katika mji wa kifalme" + +# Mtumishi wako + +Daudi anazungumza kwa kuonesha heshima kwa Akishi. + diff --git a/1sa/27/08.md b/1sa/27/08.md new file mode 100644 index 00000000..c6f20d55 --- /dev/null +++ b/1sa/27/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wakiteka nyara + +Mara nyingi walivamia na kuchukua mali. + +# Wagirizi + +Kundi la watu waliokuwa wakiishi kati ya Filistia na Misri. + +# uelekeo wa kwenda Shuri + +"njiani ambapo watu wengi walisafiri kuelekea Shuri" + +# Shuri + +Ni mkoa uliokuwepo kaskazini mwa mpaka wa Misri. + +# Akishi + +Mfalme wa Gathi. + diff --git a/1sa/27/10.md b/1sa/27/10.md new file mode 100644 index 00000000..d67b9b93 --- /dev/null +++ b/1sa/27/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Akishi + +Mfalme wa Gathi. + +# Wayerameeli, + +Ukoo toka kabila la Yuda. + +# Wakeni + +Kundi la watu lililoishi katika nchi ya Midiani. + diff --git a/1sa/27/11.md b/1sa/27/11.md new file mode 100644 index 00000000..8fbd3f9c --- /dev/null +++ b/1sa/27/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Gathi + +Moja ya miji mikuu mitano ya Wafilisti. + +# Akishi + +Mfalme wa Gathi. + diff --git a/1sa/28/01.md b/1sa/28/01.md new file mode 100644 index 00000000..4b485003 --- /dev/null +++ b/1sa/28/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# jeshi + +Kundi kubwa la majeshi. + +# Daudi akamwambia Akishi, "Sasa ... kufanya." Akishi akamwambia Daudi, "Basi ... mlinzi." + +Neno "basi" linaonesha kuwa mzungumzaji amekubaliana na mtu mwingine kwa aliyoyasema. "Daudi alimwambia Akishi kuwa, 'kwa sababu umesema hivyo, ... fanya.' Akishi akawambia Daudi, 'kwa sababu umefanya hivyi, ... mlinzi.'" + +# utajua kile ambacho mtumishi wako anaweza kufanya + +Daudi alitaka Akishi afikiri kuwa Daudi atawaua Wafilisti wengi, lakini "mtumishi wako anaweza kufanya" inamaana kuwa Daudi alipanga kuwaua Wafilisti. + +# Mtumishi wako + +Daudi anazungumza kwa kuonesha heshima kwa Akishi. + +# Nitakufanya + +Hapa anazungumziwa Daudi. + +# mlinzi + +"mtu anayemlinda mtu mwingine" + diff --git a/1sa/28/03.md b/1sa/28/03.md new file mode 100644 index 00000000..5dddda56 --- /dev/null +++ b/1sa/28/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sasa Samweli ... na pepo + +Mwandishi anaonesha mwanzo wa simulizi ili kumuandaa msomaji kwa ajili ya matukio yanayofuata. + +# amewafukuza kutoka nchini + +Kuondolewa rasmi toka kwenye nchi au mji au kuzuiwa kuingia. + +# wale walioongea na wafu au pepo + +Maneno haya "wale walioongea na wafu" yatafsiri kwa neno moja kwa lugha asili na maneno "wale walioongea na pepo" pia tafsiri neno moja kwa lugha ya asili. Kama lugha yako ina neno moja lenye maana ya wale wanaoongea na pepo au wale wanaoongea na wafu unaweza kutumia maneno haya hapa. + +# Wafilisti walijikusanya + +Baada ya Daudi na Akishi kuzungumza. + +# akawakusanya Israeli wote pamoja, + +"akakusanya jeshi lake lote katika Israeli pamoja" + +# Shunemu ... Gilboa + +Haya ni majina ya mahali. + diff --git a/1sa/28/05.md b/1sa/28/05.md new file mode 100644 index 00000000..a2c4d935 --- /dev/null +++ b/1sa/28/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# aliogopa na moyo wake ukatetemeka sana + +Maneno haya yana maana sawa na yanasisitiza hofu aliyokuwa nayo. + +# Urimu + +Kuhani mkuu alibeba kura takatifu inayoitwa Urimu na Thumimu katika ngao yake. + +# kuongea na wafu + +Maneno haya yatafsiri kwa neno moja la lugha ya asili. Kama lugha yako ina nono moja kwa mtu anayezungumza na wafu unaweza kutumia neno hilo hapa. + +# Endori + +Hili ni jina la mahali. + diff --git a/1sa/28/08.md b/1sa/28/08.md new file mode 100644 index 00000000..e6741866 --- /dev/null +++ b/1sa/28/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sauli akajigeuza ... akaondoka... yule mwanamke wakati wa usiku + +Sauli alijigeuza kwa sababu njia ya kutoka Giboa kwenda Endori ilikuwa ya kupitia mahali ambapo Wafilisti waliishi. Alisafiri siku nzima na kumfikia mwanamke baada ya jua kuzama. + +# Kujigeuza + +Kubadilisha mwonekano wake wa kawaida ili mtu yeyote asimtambue. + +# wale wanaoongea na wafu au mizimu + +Maneno haya "wale walioongea na wafu" yatafsiri kwa neno moja kwa lugha asili na maneno "wale walioongea na mizimu" pia tafsiri neno moja kwa lugha ya asili. Kama lugha yako ina neno moja lenye maana ya wale wanaoongea na mizimu au wale wanaoongea na wafu unaweza kutumia maneno haya hapa. + +# Nitabirie ... na wafu + +"ongea na waliokufa kwa niaba yangu" + +# Maisha yangu + +Neno "maisha" inasimama badala ya mtu. + diff --git a/1sa/28/13.md b/1sa/28/13.md new file mode 100644 index 00000000..94aafbe2 --- /dev/null +++ b/1sa/28/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mungu + +Yaweza kuwa na maana ya 1)"Hakuna kama Mungu" au 2) "hakimu" + diff --git a/1sa/28/16.md b/1sa/28/16.md new file mode 100644 index 00000000..35b60d55 --- /dev/null +++ b/1sa/28/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# amerarua ufalme kutoka mkononi mwako + +"amemfanya mtu mwingine kuwa mfalme katika nafasi yako" + diff --git a/1sa/28/18.md b/1sa/28/18.md new file mode 100644 index 00000000..e17b2813 --- /dev/null +++ b/1sa/28/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# BWANA atamweka Israeli pamoja na wewe katika mkono wa Wafilisti + +"Bwana atawaruhusu Wafilisti wawafanyie chochote wanachotaka kuwafanyia wewe pamoja na watu wa Israeli" + +# mtakuwa pamoja nami + +Hii ni njia nzuri ya kumwambia Sauli kuwa atakufa. + +# BWANA pia ataliweka jeshi la Israeli katika mkono wa Wafilisti + +"Bwana atawaruhusu Wafilisti wawafanyie chochote wanachotaka kuwafanyia jeshi la Israeli" + diff --git a/1sa/28/20.md b/1sa/28/20.md new file mode 100644 index 00000000..4bbfffcc --- /dev/null +++ b/1sa/28/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kwa kuwa siku hiyo alikuwa hajala chakula, hata kwa usiku huo wote + +Sauli hakula chakula usiku kabla ya safari kutoka Gilboa mpaka Endori, wala mchana wakati wa safari wala usiku alipokwenda kumtembelea mwanamke. + +# Nimeyaweka maisha yangu mkononi mwangu na nimeyasikiliza + +"Ninaweza kufa kwa sababu nimesikiliza" + diff --git a/1sa/28/22.md b/1sa/28/22.md new file mode 100644 index 00000000..fb9d56ad --- /dev/null +++ b/1sa/28/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sauti ya mjakazi wako mwanamke + +Mwanamke anazungumza kwa namna hii kuonesha kuwa anamuheshimu Sauli. + +# alikataa + +"hakukubali" au "hakufanya kama walivyomuomba" + +# wakamlazimisha + +"wakamuhimiza" + diff --git a/1sa/28/24.md b/1sa/28/24.md new file mode 100644 index 00000000..875bee2b --- /dev/null +++ b/1sa/28/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ndama mnono + +Ndama ambaye amekua na amelishwa kuwa tayari kwa ajili ya sikukuu maalumu. + +# yeye ... akaukanda + +Alichanganya unga na mafuta, akachanganya ma mikono yake ili kutengeneza unga kwa ajili ya kuoka. + diff --git a/1sa/29/01.md b/1sa/29/01.md new file mode 100644 index 00000000..15cb8390 --- /dev/null +++ b/1sa/29/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# chemchemi + +Ni mkondo mdogo wa maji unaotoa maji toka ardhini. + +# wakapita na mamia kwa maelfu + +"akaenda pamoja na kundi la mamia kwa kundi la maelfu" + +# mamia ... maelfu + +100 ...1,000 + +# Daudi na watu wake wakapita wakiwa wa mwisho pamoja na Akishi + +Kundi la watu mamia na ma walipita kwanza kisha Akishi na wasaidizi wake na Daudi, watu wake na askari wengine wa Wafilisti waliokuwa wakimlinda Akishi. + diff --git a/1sa/29/03.md b/1sa/29/03.md new file mode 100644 index 00000000..61081f41 --- /dev/null +++ b/1sa/29/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hawa Waebrania wanafanya nini hapa? + +Yaweza kuwa na maana ya 1) "hukupaswa kuwaruhusu Waebrania hawa, adui zetu kuwa hapa pamoja na sisi." au 2) "Tuambie Waebrania hawa ni akina nani." + +# Huyu si Daudi ... kwa miaka hii ... hadi leo + +Hii ina maana ya "Unatakiwa kufahamu kuwa huyu ni Daudi ... miaka hii. Nimeona ... siku hii.." + +# nami nimeona hana kosa + +"Sijui lolote baya alilolifanya" au "Nimependezwa naye sana" + diff --git a/1sa/29/04.md b/1sa/29/04.md new file mode 100644 index 00000000..53704b07 --- /dev/null +++ b/1sa/29/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# usimruhusu aende nasi vitani + +"usirihusu jeshi lake liungane na jeshi letu dhidi ya adui zetu" + +# Kwa jinsi gani mtu huyu angeweza kufanya amani na bwana wake? Siyo kwa gharama ya vichwa vya watu wetu? + +"Njia pekee ya Daudi kufanya amani na Bwana wake ni kwa kuua askari wetu!" + diff --git a/1sa/29/05.md b/1sa/29/05.md new file mode 100644 index 00000000..a47b313d --- /dev/null +++ b/1sa/29/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, huyu siye Daudi ambaye walimuimba kwa kupokezana na kucheza, wakisema, 'Sauli ... makumi elfu'? + +Hii yaweza kutafsiriwa kama "hupaswi kumuamini Daudi - yeye ndiye wanayemuimba kwa kupokezana na kucheza, wakisema 'Sauli ... makumi elfu'! + +# elfu ... makumi elfu + +"1,000 ... 10,000" + diff --git a/1sa/29/06.md b/1sa/29/06.md new file mode 100644 index 00000000..2895b032 --- /dev/null +++ b/1sa/29/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kama Bwana aishivyo + +"Hii ni kauli ya kweli" + +# kutoka kwako na kuingia kwako pamoja nami katika jeshi ni kwema + +"Nina furaha kwa sababu umetoka na kuingia pamoja nami na jeshi langu" + diff --git a/1sa/29/08.md b/1sa/29/08.md new file mode 100644 index 00000000..deaec041 --- /dev/null +++ b/1sa/29/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# bwana wangu mfalme + +Daudi anazungumza na Akishi ili Akishi afikiri kuwa Daudi anamuheshimu. "wewe, bwana wangu na mfalme" + +# hata hivyo, wale wakuu + +"hatahivyo, wakuu" + diff --git a/1sa/29/10.md b/1sa/29/10.md new file mode 100644 index 00000000..a94548f6 --- /dev/null +++ b/1sa/29/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# bwana wako + +Msomaji anatakiwa aelewe kuwa Akishi anamzungumzia Sauli. + +# kupata mwanga + +"unaweza kuona kwa kutumia jua la asubuhi" + diff --git a/1sa/30/01.md b/1sa/30/01.md new file mode 100644 index 00000000..6a987bd9 --- /dev/null +++ b/1sa/30/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ziklagi + +Huu ni mji uliopo kusini mwa Yuda. Huku ndiko ambapo Daudi na watu wake waliziweka familia zao. + +# Wao + +Waamaleki + +# Mkubwa na mdogo + +Yaweza kuwa na maana ya 1) "watu wasio na umuhimu na wenye umuhimu" au 2) "watu wakubwa na wadogo" + diff --git a/1sa/30/03.md b/1sa/30/03.md new file mode 100644 index 00000000..9ca00b2c --- /dev/null +++ b/1sa/30/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wake zao ... watoto wa kiume ... na watoto wa kike + +Waliokuwa wanamuhusu Daudi na watu wake + +# umechomwa moto, na wake zao... binti zao walichukuliwa mateka + +"waliwaona watu wakichoma moto na kuchukua wake zao ... mateka" + +# watu aliokuwa nao + +Hawa walikuwa watu wa jeshi lake. + diff --git a/1sa/30/05.md b/1sa/30/05.md new file mode 100644 index 00000000..ffe241f5 --- /dev/null +++ b/1sa/30/05.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Daudi anapata nguvu kwa Bwana baada ya uvamizi. + +# Ahinoamu Myezreeli + +"Ahinoamu toka Yezreeli" + +# Nabali Mkarmeli + +"Nabali toka Karmeli" + +# Ahinoamu ... Abigaili + +Haya ni majina ya wanawake + +# dhiki + +Mateso + +# roho za watu wote zilihuzunika + +"watu wote walikuwa tayari kuasi dhidi ya Daudi" au "watu wote hawakuwa na furaha" + +# Daudi alijiimarisha katika BWANA, Mungu wake + +Yaweza kuwa na maana ya 1) "Daudi alijiimarisha kwa sababu alijua kuwa Bwana Mungu wake atamsaidia" au 2) "Bwana Mungu wake alimpa nguvu Daudi" + diff --git a/1sa/30/07.md b/1sa/30/07.md new file mode 100644 index 00000000..381ccd8a --- /dev/null +++ b/1sa/30/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Daudi anaomba maelikezo toka kwa Bwana juu ya wavamizi wa watu wake. + +# Daudi akamwomba BWANA kwa ajili ya mwongozo + +"Daudi alimuomba Bwana ili amwambie ni nini anapaswa kufanya" + +# nikiliandama + +"kufukuza" au "kufuata" + diff --git a/1sa/30/09.md b/1sa/30/09.md new file mode 100644 index 00000000..b31b1cd1 --- /dev/null +++ b/1sa/30/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# watu mia sita + +"600" + +# kijito + +mto mdogo + +# kuandama + +"kufukuza" au "kufuata" + +# watu mia nne + +"watu 400" + +# mia mbili + +"watu 200" + +# waliokuwa wamechoka + +Hawakuwa na nguvu tena ya kuendelea. + diff --git a/1sa/30/11.md b/1sa/30/11.md new file mode 100644 index 00000000..79abcceb --- /dev/null +++ b/1sa/30/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mmisri shambani + +Aliachwa hapo ili afe na kundi la Waamaleki wavamizi. + +# vishada vya zabibu + +"vishada vya zabibu zilizokauka" + diff --git a/1sa/30/13.md b/1sa/30/13.md new file mode 100644 index 00000000..8ffb79b3 --- /dev/null +++ b/1sa/30/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Daudi akamuuliza + +Daudi akamuuliza swali mtumwa wa Misri. + +# siku tatu zilizopita + +"siku tatu kabla" + +# mashambulizi + +uvamizi katika mji na kuchukua mali. + diff --git a/1sa/30/15.md b/1sa/30/15.md new file mode 100644 index 00000000..0f1e688d --- /dev/null +++ b/1sa/30/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# jeshi lililofanya mashabulizi + +ni kundi la mashujaa wenye silaha wanaovamia watu au mahali ghafla. + +# hautaniua ... kunisaliti na kuniweka katika mikono ya bwana wangu + +"hautaniua ... kuvunja uaminifu nilionao kwako kwa kumruhusu bwana wangu anitawale tena. + diff --git a/1sa/30/16.md b/1sa/30/16.md new file mode 100644 index 00000000..9a32f10d --- /dev/null +++ b/1sa/30/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nyara + +mali zilizoibiwa katika uvamizi + +# jua lilipozama + +muda baada ya jua kuzama mpaka anga linapokuwa na giza. + +# mia nne + +"400" + diff --git a/1sa/30/18.md b/1sa/30/18.md new file mode 100644 index 00000000..56a91708 --- /dev/null +++ b/1sa/30/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# akawaokoa + +"aliwaokoa" au "kuwa huru" + +# Hakuna kilichopotea + +"hakuna kilichopotea kati ya vilivyochukuliwa na Waamaleki" + +# si kidogo wala kikubwa + +Yaweza kuwa na maana ya 1) "watu wasio na umuhimu na wenye umuhimu" au 2) "watu wakubwa na wadogo" + +# nyara + +mali zilizoibiwa na Waamaleki. + diff --git a/1sa/30/21.md b/1sa/30/21.md new file mode 100644 index 00000000..747f764b --- /dev/null +++ b/1sa/30/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mia mbili + +"200" + +# kijito + +mto mdogo + +# Besori + +Hili ni jina la mto mdogo. + +# kumlaki + +"kumkaribisha" + +# nyara + +mali zilizochukuliwa toka kwa adui katika vita. + +# kurudisha + +"kupata tena" + diff --git a/1sa/30/23.md b/1sa/30/23.md new file mode 100644 index 00000000..ec965fe7 --- /dev/null +++ b/1sa/30/23.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Ni nani atawasikiliza kuhusu jambo hili? + +"Hakuna atakayewasikiliza katika jambo hili" + +# Kwa maana mgawo ni kwa yeyote aendae + +"kwa maana ni kwa ajili ya kila mtu aendaye" + +# yeyote aendae vitani + +mashujaa waliopigana katika vita + +# watapata tena kilicho sawa + +"atahakikisha kuwa kila mtu anapokea kiasi sawa" + +# yeyote aliyelinda mizigo + +watu waliowasaidia mashujaa kutunza na kilinda vitu vyao + +# mzigo + +vitu ambavyo mashujaa waliviacha nyuma walipokwenda vitani + diff --git a/1sa/30/26.md b/1sa/30/26.md new file mode 100644 index 00000000..5adeb98a --- /dev/null +++ b/1sa/30/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Mwandishi anaandika miji ambayo wazee wake walipokea zawadi toka kwa Daudi. + +# Ziklagi ... Bethueli ... Yatiri ... Aroeri ... Sifmothi ... Eshtemoa + +Haya ni majina ya miji. + +# nyara + +vitu ambavyo Daudi alivichukua toka kwa Waamaleki baada ya vita. + +# zawadi + +hedaya + diff --git a/1sa/30/29.md b/1sa/30/29.md new file mode 100644 index 00000000..86083473 --- /dev/null +++ b/1sa/30/29.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Mwandishi anamalizia majina ya miji ambayo wazee wake walipewa zawadi na Daudi. + +# Rakali ... Horma ... Borashani ... Athaki + +Haya ni majina ya miji. + +# Wayerameeli ... Wakeni + +Haya ni majina ya makundi ya watu. + diff --git a/1sa/31/01.md b/1sa/31/01.md new file mode 100644 index 00000000..c448963b --- /dev/null +++ b/1sa/31/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Basi Wafilisti wakapigana dhidi ya Waisraeli. + +Vita hivi ni matokeo ya ugonvi kati ya Daudi na wafilisti katika sura ya 29:10. + +# Wafilisti wakapigana dhidi ya Waisraeli + +"Wafilisti wakapigana dhidi ya watu wa Israeli" + +# mlima wa Gilboa + +Hili ni jina la mlima. + +# wakamwandama Sauli na wanawe kwa karibu + +"walimfukuza Sauli na watoto wake watatu" + +# Abinadabu, and Malkishua + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Vita vikamwelemea Sauli + +"jeshi la Sauli likaanza kushindwa katika vita" + diff --git a/1sa/31/04.md b/1sa/31/04.md new file mode 100644 index 00000000..d998d198 --- /dev/null +++ b/1sa/31/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mbeba silaha + +Mbeba silaha alibeba ngao kubwa ya jemadari wake na silaha zingine. + +# hawa wasiotahiriwa + +"watu hawa ambao hawajatahiriwa" au "watu ambao sio Waisraeli" + +# hakukubali + +"hakukubali kufanya kile ambacho Sauli alimwambia afanye" + +# alichukua upanga wake mwenyewe na kuuangukia + +"akajiua mwenyewe kwa upanga wake" + +# siku iyo hiyo + +"siku hiyo moja" + diff --git a/1sa/31/07.md b/1sa/31/07.md new file mode 100644 index 00000000..35dee635 --- /dev/null +++ b/1sa/31/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kukaa humo + +kushi kwenye miji ambayo watu wa Israeli waliondoka + +# nyara za waliokufa + +kuchukua silaha katika miili ya Waisraeli waliokufa. + +# Mlima Gilboa + +Mlima unaoelekea bonde la Yezreeli kaskazini mwa Israeli toka Nazareti. + diff --git a/1sa/31/09.md b/1sa/31/09.md new file mode 100644 index 00000000..cd3c7066 --- /dev/null +++ b/1sa/31/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# pande zote katika nchi ya Wafilisti + +"maeneo yote katika nchi ya Wafilisti" + +# kutangaza habari + +"kuwaambia watu" + +# mahekalu yao ya sanamu + +majengo ambayo waliabudu sanamu zao + +# Ashtorethi + +huyu ni mungu wa uongo na sanamu + +# kutundika + +"kubandika" (yaweza kuwa kwa kutumia msumari) + +# Bethi Shani + +Hili ni jina la mji. + diff --git a/1sa/31/11.md b/1sa/31/11.md new file mode 100644 index 00000000..df6f309b --- /dev/null +++ b/1sa/31/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yabeshi + +Hili ni jina la mji. + +# kile ambacho Wafilisti walimfanyia Sauli + +"namna ambavyo Wafilisti walimdharau Sauli" + +# usiku wote + +"usiku kucha" + +# Mkwaju + +Huu ni aina ya mti, "mti mkubwa wenye kivuli" + diff --git a/2ch/01/01.md b/2ch/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..39bc0875 --- /dev/null +++ b/2ch/01/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Aliimarishawa katka utawala wake + +"Selemani alitumia nguvu kubwa juu ya Israeli" + +# Yahwe + +Hili ni jina la Mungu alilojifunulia kwa watu wake katika Agano la Kale. Angalia ukurasa wa tafisiri ya Neno Yahwe kuhusu namna ya kutafsri neno hili + +# Mungu alikuwa pamoja naye + +"Mungu alimshika mkono" au "Mungu alimsaidia + diff --git a/2ch/01/02.md b/2ch/01/02.md new file mode 100644 index 00000000..4e7ac447 --- /dev/null +++ b/2ch/01/02.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kiriathi Jearimu + +Mji mdogo ulioko kama maili moja magharibi mwa Yerusalemu. + +# Aliandaa hema + +"Simamisha hema" + +# Bezaleli mwana wa Uri mwana wa Huri. + +Haya ni majina ya kiume. + diff --git a/2ch/01/06.md b/2ch/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..10da5411 --- /dev/null +++ b/2ch/01/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Huko kwenye madhabahu ya shaba. + +Selemani akaenda Gibeoni ambako kulikuwa na madhabahu kwenye hema ya kukutania. + diff --git a/2ch/01/08.md b/2ch/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..b66d4aa7 --- /dev/null +++ b/2ch/01/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Itimie + +"Kamilishwa" au "kuwekwa katika ukamilifu". + +# Watu wengi kama mavumbi ya ardhi. + +"Watu wasisohesabika". + +# Ni nani anaweza kuwaamua watu wako, ambaoa ni wengi kwa Idadi?. + +"Hakuna awezaye kuwaamua watu wako wote ambao hawahesabiki" + diff --git a/2ch/01/12.md b/2ch/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..2e276d32 --- /dev/null +++ b/2ch/01/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kutoka mbele ya hema ya kukutania. + +"Mbele ya hema". + diff --git a/2ch/01/14.md b/2ch/01/14.md new file mode 100644 index 00000000..c00dfdfd --- /dev/null +++ b/2ch/01/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Katika miji ya magari. + +Hii inataja miji ambayo iliyohifadhi magari yake. + +# akatengeneza fedha na dhahabu kuwa vitu vya kawaida kama mawe katika Yerusalemu. + +Fedha na dhahabu kuwa vitu vya kawaida kama mawe. + +# na mbao za mierezi kuwa kama miti ya mikuyu iliyomo katika nyanda za chini + +"mbao adimu na zenye thamani ziagizwazo mbali zikawa zikapatikana kw wingi sana." + diff --git a/2ch/02/01.md b/2ch/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..d4e6ed98 --- /dev/null +++ b/2ch/02/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hiramu + +Hiramu ni jina la kiume. + diff --git a/2ch/02/04.md b/2ch/02/04.md new file mode 100644 index 00000000..b26da88c --- /dev/null +++ b/2ch/02/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mkate wa uwepo + +Hii inataja vipande 12 vya mkate ambavyo viliw ekwa mbele ya madhabahu. + +# mwezi mpya + +Hiki kilikuwa ni kipindi cha sikuku zilizofanyika kwa kuzingatia hatua maalumu za mzunguko wa mwezi. + +# Mungu ni mkuu + +Hii inamtaja Mungu kuwa muhimu zaidi, siyo kwamba ana umbo kubwa kuliko miungu mingine . + diff --git a/2ch/02/06.md b/2ch/02/06.md new file mode 100644 index 00000000..275ab15b --- /dev/null +++ b/2ch/02/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# ni nani anayeweza kumjengea Mungu nyumba, kama dunia yote na hata mbigu yenyewe haviwezi kumtosha? + +"hakuna anayeweza kumjengea Mungu nyumba kwa sababu hakuna kitu cha ambo anaweza kuenea. Mimi hakuna wa kunilinganisha naye! Ni mtu anayeweza kumtolea dhabihu pekee. + diff --git a/2ch/02/08.md b/2ch/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..62f51798 --- /dev/null +++ b/2ch/02/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Miti ya msandali. + +Hii ilikuwa aina ya mti uliopendwa kwa kutengenezea vyombo vya muziki au michoro. + +# Kori + +Hiki ni kipimo cha ujazo cha zamani (kori moja ni sawa na lita 220 za ujazo) + +# Ngano ya ardhini + +Haya ni maua ya ngano. + +# Bathi. + +Hiki pia ni kipimo cha ujazo cha zamani (Bathi moja ni sawa na lita 22 za ujazo), + diff --git a/2ch/02/11.md b/2ch/02/11.md new file mode 100644 index 00000000..006572e7 --- /dev/null +++ b/2ch/02/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwenye karama aya busara na uelewa. + +Aliyepewa karama ya utambuzi + diff --git a/2ch/02/13.md b/2ch/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..6f29e509 --- /dev/null +++ b/2ch/02/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hiramu. + +Hili ni jina la kiume. + diff --git a/2ch/03/01.md b/2ch/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..6cc1d89e --- /dev/null +++ b/2ch/03/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mlima Moria. + +Hii ni sehemsu ampako alimtoa sadaka mwanaye, Isaka, kwa Mungu. + +# Arauna Myebusi. + +(Tazama: tafsri ya majina) + +# Siku ya pili ya mwezi wa pili. + +Huu ni mwezi wa pili wa kataika Kiebrania. Siku ya pili ni karibu na katikati ya Aprili katika kalenda za Magaharibi. (Tazama: tafisri ya miezi ya Kiebrania na tafsri ya tarehe). + +# Katika mwaka wa nne. + +(Tazama: tafsri ya tarehe) + +# Sitini...ishirini + +"60...20" (Tazama: tafsri ya namba) + +# Mikono + +Mikono ni sawa na urefu wa sentimeta 46.(Tazma: tafsri ya umbali). + diff --git a/2ch/03/04.md b/2ch/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..3047f03d --- /dev/null +++ b/2ch/03/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ukumbi + +varanda + +# Mikono. + +(Tazama: tafsiri ya umbali) + +# Akalitengeneza. + +"Alifanya" + +# Ukumbi mkubwa. + +Hii ni rejea ya chumba kikubwa, siyo lango. + diff --git a/2ch/03/06.md b/2ch/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..00a33f58 --- /dev/null +++ b/2ch/03/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Vito vya thamani. + +Vito ambavyo vilikuwa vizuri, vyenye thamani kubwa, na vitumika kwa ajili ya kupambia. + +# Parvaimu. + +Istilahi ya jumla kwa ajili ya neno mashariki. (Tazama: tafsiri ya majina). + diff --git a/2ch/03/08.md b/2ch/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..388188e1 --- /dev/null +++ b/2ch/03/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mikono. + +(Tazama:tafsri ya umbali). + +# Talanta. + +(Tazama: tafsiri ya fedha) + +# Shekeli. + +(Tazama: tafsiri ya fedha). + diff --git a/2ch/03/10.md b/2ch/03/10.md new file mode 100644 index 00000000..9ef08f70 --- /dev/null +++ b/2ch/03/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sanamau mbili za makerubi + +Baadhi hutafsiri kifungu kiki kwa kumaanisha kwamba sanamu za makerubi ilikuwa imetengenezwa kwa chuma. + diff --git a/2ch/03/13.md b/2ch/03/13.md new file mode 100644 index 00000000..4a78ed93 --- /dev/null +++ b/2ch/03/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kitani safi. + +"nguo yaenye ubora wa hali ya juu" au "nguo nzuri". + diff --git a/2ch/04/01.md b/2ch/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..f2ebe4ad --- /dev/null +++ b/2ch/04/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mikono. + +(Tanzama: tafsiri ya umbali) + +# Bahari ya mduara ya chuma cha kuyeyushwa. + +Hili ni tanki kubwa sana la chuma + +# Kingo. + +Hii ni ncha ya juu ya Kontena. + +# Mzunguko. + +Huu ni umbali kuzunguka sehemu za nje za mduara. + +# Kumi kutoka ukingo hadi ukingo + +"kumi kwa kila mkono". + diff --git a/2ch/04/04.md b/2ch/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..5c383410 --- /dev/null +++ b/2ch/04/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Robo ya sehemu zao za nyuma. + +Hii ni robo ya sehemu ya nyuma ya mnyama mwenye miguu minne. Tazama nene hilo hilo limetumika (pekee katika rejea nyingine katika Agano la Kale, tazama: 7:25). + +# Mkono. + +.(Tazama: tafsiri ya umbali). + +# Ukingo wake ulikuwa kama ukingo wa kikombe, kama ua la yungi. + +Ukingo ulikuwa na ncha laini"(Tazama: tini ta tashibiha) + +# Mabafu + +(Tazama: tafsiri ya ujazo). + diff --git a/2ch/04/07.md b/2ch/04/07.md new file mode 100644 index 00000000..4f4f1766 --- /dev/null +++ b/2ch/04/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Birika. + +Hili ni bakuli lenye kina kifupi lililotumia kwa ajaili ya kufulia. + diff --git a/2ch/04/11.md b/2ch/04/11.md new file mode 100644 index 00000000..d79bdacd --- /dev/null +++ b/2ch/04/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Huramu. + +Hili ni jina la kiume. + +# Mabakuli ya kunyunyizia. + +Mabakuli yaliyotumika kunyunyizia madhabahu katika nyumba ya Mungu. + +# Taji mfano wa upinde. + +Kama taji**-Sehemu ya juu ya nguzo inaitwa taji:"mabakuli ya juu" au "bakuli la la sehemu za juu." + +# Nyavu za mapambo. + +Hii inataja micjuu katika sehemu za juu za nguzo.horo ya mapambo au muundo wa + diff --git a/2ch/04/14.md b/2ch/04/14.md new file mode 100644 index 00000000..d829ffc7 --- /dev/null +++ b/2ch/04/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mabirika. + +"Mabakuli". + +# Bahari mpoja. + +Hili ni kontena kubwa la kuogea lililopambwa. + +# Vyombo vingine. + +Vifaa vingine au vitu vilivyotumika madhabahuni + +# Shaba iliyong'arishwa. + +Shaba aambayo wafanyakazi waliing'arisha ili iweze kuakisi mwanga. + diff --git a/2ch/04/17.md b/2ch/04/17.md new file mode 100644 index 00000000..38a85d08 --- /dev/null +++ b/2ch/04/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sereda. + +Hili jina la mji. + +# Hivyo ndivyo Selemani alivyovitengeneza vyombo hivi vyote. + +Selemani hakutengeneza yeye mwenyewe vile vyombo, bali aliamuru vitengenezwe. + +# Uzito wa shaba haukuweza kujulikana. + +"Uzito wa shaba ulikuwa mwingi sana." + diff --git a/2ch/04/19.md b/2ch/04/19.md new file mode 100644 index 00000000..3d716f1c --- /dev/null +++ b/2ch/04/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Selemani akazitengeza. + +Watumishi wa Selemani walitengeneza vitu chini ya amri yake. + +# Samani zote. + +Mabakuli yote na vifaa vyote ambavyo vilitumika katika nyumba ya Mungu. + +# Mkate wa uwepo. + +Angalia jinsi ulivvyotafsiri hili neno katika 2:4. + diff --git a/2ch/05/01.md b/2ch/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..0c9d30e5 --- /dev/null +++ b/2ch/05/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hazina. + +Hili ni eneo ambapo vitu hutunzwa au kuhifadhiwa. + diff --git a/2ch/05/02.md b/2ch/05/02.md new file mode 100644 index 00000000..54735e86 --- /dev/null +++ b/2ch/05/02.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika sikukuu, aambayo ilikuwa katika wa saba. + +Hii ni sikukuu ya makazi ambayo iko katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba katika kalenda ya Kiebrania. Hiki ni kipindi cha Oktoba katika kalenda ya Magharibi. + diff --git a/2ch/05/04.md b/2ch/05/04.md new file mode 100644 index 00000000..7a46bd09 --- /dev/null +++ b/2ch/05/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Vyombo. + +Angalia ulivyo tafsiri katika 4:19 + +# Kondoo na maksaai ambao hawakuweza kuhesabika. + +"Kondoo na maksai wengi." + diff --git a/2ch/05/07.md b/2ch/05/07.md new file mode 100644 index 00000000..5d29f53b --- /dev/null +++ b/2ch/05/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mahali pake. + +"Kwenye sehemu yake iliyopangwa" + diff --git a/2ch/05/09.md b/2ch/05/09.md new file mode 100644 index 00000000..a2997fa2 --- /dev/null +++ b/2ch/05/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hadi leo. + +Hii inarejea wakati ampapo kitabu cha 2 Mambo ya Nyakati kiliandikwa. + diff --git a/2ch/05/11.md b/2ch/05/11.md new file mode 100644 index 00000000..aab240a6 --- /dev/null +++ b/2ch/05/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Asafu, Hemani, Yeduthuni. + +Watatu hao hao waliongoza ibada wakati Daudi alipolileta sanduku la agano Yerusalem. Baadaye Daudi aliwachagua kuwa wanamziki wa hekalu. (Tazama: tafsiri ya majina). + +# Wana na ndugu. + +"ndugu zao" au "uzao wao". + +# Matoazi. + +Sahani mbili nyembamba za chuma, ambazo hupigwa pamoja ili kufanya mlio mkubwa (Tazama: tafsiri ya maneno yasiyojulikana). + diff --git a/2ch/06/01.md b/2ch/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..8b0c31fa --- /dev/null +++ b/2ch/06/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Makao makuu. + +"Sehemu ya kuishsi ya heshima sana." + +# Kusanyiko lote la Israeli walaikuwa wamesimama. + +"Watu wakiwa wamesimama." + diff --git a/2ch/06/04.md b/2ch/06/04.md new file mode 100644 index 00000000..c4c0af84 --- /dev/null +++ b/2ch/06/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ili jina langu liwe humo. + +"Ili kujifanya mwenyewe nijulikane huko". + +# Ametimiza kwa mkono wake mwenyewe. + +Amewezesha kutokea au amehakikisha kwamba ahadi hizi zinatimia. + diff --git a/2ch/06/07.md b/2ch/06/07.md new file mode 100644 index 00000000..3dc93a04 --- /dev/null +++ b/2ch/06/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ndani ya moyo wa Daudi. + +"Nia ya Daudi." + +# Kwa ajili ya jina la Yahwe + +Jina la Yahwe linawakilisha uwepo wake kamili. + diff --git a/2ch/06/10.md b/2ch/06/10.md new file mode 100644 index 00000000..e604df8b --- /dev/null +++ b/2ch/06/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ambamo kuna agano la Yahwe. + +"Ambamo kuna meza za za mawe zikionesha aganao alilofanya Yahwe nasi watu wa Israeli. " + diff --git a/2ch/06/12.md b/2ch/06/12.md new file mode 100644 index 00000000..9fc599d6 --- /dev/null +++ b/2ch/06/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mbele ya kusanyiko lote la Israeli. + +"Mbele ya watu wa Israeli ambao walikuwa wamekusanyika huko." + +# Mikono. + +Kipimo cha zamani. + +# Akanyosha mikono yake kuzielekea mbingu. + +Selemani alinyosha mikono yake na kuilekeza juu huku akipiga magoti juu ya jukwaa ili aombe. + diff --git a/2ch/06/14.md b/2ch/06/14.md new file mode 100644 index 00000000..00d0c68e --- /dev/null +++ b/2ch/06/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watumishi wako ambao hutembea mbele zako kwa moyo wako wote. + +"Sisi ambao hujibidisha kikamilifu kufanya kile unachotutaka tufanye". + +# Ulisema kwa kinywa chako na umetimiza kwa mkono wako. + +Hii ina maanisha ahadi ambayo Mungu alifanya na Daudi kwamba mwanaye atamjengea hekalu: "Umetimiza ahadi ahadi yako." + diff --git a/2ch/06/16.md b/2ch/06/16.md new file mode 100644 index 00000000..1a3aa408 --- /dev/null +++ b/2ch/06/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tunza. + +Hili ni ombi: "tafadhali fanya" + +# Hautashindwa kupata mtu mbele yangu wa kukaa juu ya kiti cha enzi cha Israeli. + +"Siku zote utakuwa na mfalme kutoka miongoni mwa uzao wa Daudi." + +# Kama ulivyotembea mbele zangu. + +"Katika namna ambayo Daudi alifanya." + diff --git a/2ch/06/18.md b/2ch/06/18.md new file mode 100644 index 00000000..bc70c494 --- /dev/null +++ b/2ch/06/18.md @@ -0,0 +1,25 @@ +# Lakini kweli Mungu ataishi na wanadamu juu ya dunia?. + +"Lakini Mungu, kwa hakika hutaishi kabisa na wanadamu juu ya dunia." (Tazama: tini rg +rquestion). + +# dunia yoye na mbingu yenyewe. + +Angalia ulivyoitafisiri hii katika 2:6. + +# Sikia kilio na maombi. + +Neno "kilio" na "maombi" yana maana moja. Kwa pamoja yanaweka msisitizo wa maombi yake: nakusihi jibu maombi yangu ya kumaanisha." (Tazama: tini double) + +# Ambapo uliahidi kuliweka jina lako. + +"Ambapo ulisema utawafanya watu wakujue". + +# Fumbua macho yako kuelekea hekalu hili usiku na mchana. + +Tafadhali wasaidie wanaokuja kwako katika "hekalu, wakati wowote—usiku au mchana." + +# Maombi atakayaoomba mtumishi wako kuelekea sehemu hii. + +Mwandishi anaomba akiwa ameelekea Hekalu. + diff --git a/2ch/06/21.md b/2ch/06/21.md new file mode 100644 index 00000000..1463c998 --- /dev/null +++ b/2ch/06/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Un anaposiki, samehe. + +"Unaposikia maombi, tafadhali wasamehe dhambi zao." + diff --git a/2ch/06/22.md b/2ch/06/22.md new file mode 100644 index 00000000..e5c9c1ac --- /dev/null +++ b/2ch/06/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ili kuyaleta matendo yake juu ya kichwa. + +"Kwa kumwadhibu kama anavyostahili kuadhibiwa" (Tazama: tini ....) + diff --git a/2ch/06/24.md b/2ch/06/24.md new file mode 100644 index 00000000..8a3f6cf5 --- /dev/null +++ b/2ch/06/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Bsi tafadhali sikia mbinguni na usamehe zao + +"Tafadhali, yaheshimu maombi yao" Tazma: tini .....) + diff --git a/2ch/06/26.md b/2ch/06/26.md new file mode 100644 index 00000000..ead17b71 --- /dev/null +++ b/2ch/06/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wakati mbingu zimefungwa na hakuna mvua + +Kirai, "mbingu zimefungwa" kina maana kwamba hakuna mvua inayoshuka kutoka mawinguni. "Wakati utakapoacha kuruhusu mvua yoyote kunyesha." (Tazama: tini ..........) + +# Wakilikili jina lako. + +Kwa maneno yao na matendo yao, wanamweshimu Mungu na mamlaka Yake. (Tazama: tini ......) + +# Kuziacha dhambi zao. + +Kuziacha njia zao mbaya". + +# Utakapowaelekeza kwenye njia njema iwapasayo kutembea + +"Kuwaonesha jins ya kuishi kwa haki". + diff --git a/2ch/06/28.md b/2ch/06/28.md new file mode 100644 index 00000000..557b3f63 --- /dev/null +++ b/2ch/06/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kila mmoja akilijua pigo na huzuni katika moyo wake. + +Maana yake yaweza kuwa: "akijua dhambi katika moyo wake" au "akijua moyoni mwake kwamba mapigo na hudhuni ni matokeo ya dhambi zake mwenyewe". + +# Akinyosha mikono yake. + +Angalia tafsir ya mstari wa 2:12. + +# Njia zake zote. + +"Alichofanya". + diff --git a/2ch/06/32.md b/2ch/06/32.md new file mode 100644 index 00000000..5e0d11f1 --- /dev/null +++ b/2ch/06/32.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ukuu wa jina lako, mkono wako wenye nguvu, na mkono wako ulionyoshwa. + +"Wewe ni mkuu sana na mwenye nguvu sana". (Tazama: tini ......) + +# Inaitwa kwa jina lako. + +Inayojulikana kama nyumba ya Yahwe, mali yako" + diff --git a/2ch/06/34.md b/2ch/06/34.md new file mode 100644 index 00000000..2cb1034b --- /dev/null +++ b/2ch/06/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nimeijenga. + +"Watu wamejenga chini ya uongozi wangu" Tazama: tini synecdoche) + diff --git a/2ch/06/36.md b/2ch/06/36.md new file mode 100644 index 00000000..4843902e --- /dev/null +++ b/2ch/06/36.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa za jumla: + +Tazama: tini mfano. + +# Adui wakawabeba na kuwachukua kama mateka kwa ajili ya nchi zao. + +Adui wakiwachukua mateka na kuwapeleka kwenye nchi ya adui zao. + +# Kuomba kukabili nchi yao. + +Hii inarea Israeli. "Na ikiwa wataomba kukabili nchi yao uliyowapa babu zao" + diff --git a/2ch/07/01.md b/2ch/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..4b6fae4f --- /dev/null +++ b/2ch/07/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nyuso zao juu ya sakafu. + +Huu ni mkao wa maombi. "Walisudu kwa nyuso zao zikigusa sakafu ya mawe. + +# Agano lake la kifalme. + +"Uaminifu wa agano la Mungu" au Mungu ameahidi kuwapenda milele watu wa Israeli." + diff --git a/2ch/07/04.md b/2ch/07/04.md new file mode 100644 index 00000000..59987b50 --- /dev/null +++ b/2ch/07/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kila mmoja akasimama mahali pake pa kuhudumu. + +"Kila mmoja akasimama mahali pake alipopangiwa". + diff --git a/2ch/07/07.md b/2ch/07/07.md new file mode 100644 index 00000000..0927cf65 --- /dev/null +++ b/2ch/07/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Haikuweza kuzibeba sadaka za kuteketezwa. + +"Haikuweza kubeba kiasi kingi cha sadaka za kuteketezwa" + diff --git a/2ch/07/08.md b/2ch/07/08.md new file mode 100644 index 00000000..e8971015 --- /dev/null +++ b/2ch/07/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Na Israeli wote pamoja naye, + +Watu walikuja kutoka Israeli yote. + +# Lebo Hamathi + +Lebo Hamathi ni jina na mahali + +# Kusanyiko la makini + +Hili lilikuwa kusanyiko maalumu la kidini. + +# Katika siku ya ishini na tatu ya mwezi wa saba. + +Siku ya tatu ya mwezi wa saba** - Hii ni siku ya mwezi wa saba wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya ishirini na tatu ni karibu na katikati ya mwezi wa Oktoba. Katika Kalenda za magharibi. + +# Kwa furaha na mioyo ya shangwe. + +Neno "furaha" na "shangwe" yana maana ya akitu kimoja. Kwa pamoja yanasistiza nia ya furaha (kwa mioyo ya furaha sana) + diff --git a/2ch/07/11.md b/2ch/07/11.md new file mode 100644 index 00000000..9411df2a --- /dev/null +++ b/2ch/07/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Alikitimiza kwa. + +"Alikikamilisha" + +# Nimesikia maombi yako. + +"Nimeyasikiliza maombi yako". + diff --git a/2ch/07/13.md b/2ch/07/13.md new file mode 100644 index 00000000..976e7d7c --- /dev/null +++ b/2ch/07/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kama nitazifunga mbingu ili kwamba kusiwepo mvua. + +"Kuizuia mvua" (Tazama: Mifano). + +# Waimeze nchi. + +Neno "nchi" limetumika kumaanisha ",mimea na mazao yote" + +# Kuutafuta uso wangu. + +"Kumtafuta Mungu" au kujaribu kumfanya Mungu akupe usikivu". + +# Macho yangu yatakuwa wazi na masikio yangu yatasikiliza. + +Maneno "macho" na "masikio" yana maana ya Mungu, ambaye huchagua kuona na kusikia maombi yao: "Nitawaona na nitawasikiliza" + diff --git a/2ch/07/16.md b/2ch/07/16.md new file mode 100644 index 00000000..d0158403 --- /dev/null +++ b/2ch/07/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mach yangu na moyo wangu. + +"Upenddo wangu. kutazama kwa makini, na kulinda. + +# Kama utatembe mbele zangu kama baba yako Daudi alivyotembea. + +"Kama utanitii kama Baudi, baba yako alivyofanya." + +# Nitakithibitisha kiti cha enzi cha enzi. + +"Nitahakikisha kwamba uzao wako siku zote watakuwa wafalme," (UDB). + diff --git a/2ch/07/19.md b/2ch/07/19.md new file mode 100644 index 00000000..a3688a41 --- /dev/null +++ b/2ch/07/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nitawang'oa kutoka kwenye nchi yangu amabayo nimewapa. + +"Nitawaondoa kwenye nchi yangu." Inafanalinganisha kuvuta mizizi ya mimea kwa kuindoa kwenye ardhi, na kuondolewa kwa watu wa Mungu kutoka kwenye nchi yake. Matokeo yake yatakuwa kuangamia kwa na huzuni ya watu. + diff --git a/2ch/08/01.md b/2ch/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..a1cab560 --- /dev/null +++ b/2ch/08/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ikawa karibu ya mwisho wa miaka ishirini. + +Baada ya miaka 20. + +# Hiramu. + +Hili ni jina la kiume. + diff --git a/2ch/08/03.md b/2ch/08/03.md new file mode 100644 index 00000000..b8d9f935 --- /dev/null +++ b/2ch/08/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Selemani akauvamia Hamathzoba. + +Selemani anawakilisha jesji lake la vita lote. "Jeshi la Selemani likauvamia mji wa Hamathzoba". + +# Tadmori...Hamathi. + +Miji iliyoko Siria. + diff --git a/2ch/08/05.md b/2ch/08/05.md new file mode 100644 index 00000000..987278ab --- /dev/null +++ b/2ch/08/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa za jumla. + +Tazama tafsiri ya majina + diff --git a/2ch/08/07.md b/2ch/08/07.md new file mode 100644 index 00000000..7d4fe590 --- /dev/null +++ b/2ch/08/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ambao waliachwa baada yao katika nchi + +"Ambao walisalia katika nchi" + +# Akawafanyisha kazi kwa nguvu. + +Akawafanya watumwa. + +# Hata leo. + +Hii inataja wakati ambapo kitabu cha 2 Nyakati kilipoandikwa. + diff --git a/2ch/08/09.md b/2ch/08/09.md new file mode 100644 index 00000000..01c56009 --- /dev/null +++ b/2ch/08/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# 250 + +Mia mbili hamsini(250). + diff --git a/2ch/08/12.md b/2ch/08/12.md new file mode 100644 index 00000000..67ccb387 --- /dev/null +++ b/2ch/08/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ukumbi. + +Huu ni ukumbi uliofunikwa au njia ya kuingilia ulioshikiliwa na nguzo kwenye jengo. + +# Kwa kufuata maelekezo yaliyokuwa katika amri + +Kwa mujibu wa maagizo ya ya sheria ya Musa. + diff --git a/2ch/08/14.md b/2ch/08/14.md new file mode 100644 index 00000000..242c5a5a --- /dev/null +++ b/2ch/08/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu hawa hawakupotea kutoka kwenye amri. + +Watu walizifuata amari. + diff --git a/2ch/09/03.md b/2ch/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..d4ae18b5 --- /dev/null +++ b/2ch/09/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ikulu aliyokuwa amejenga, 4chakula mezani kwake, mahali pa kukaa watumishi wake, kazi ya watumisshi wake na mavazi yao. + +Beth Sheba aliona mambo yote ya Selemani ya kushangaza. + +# Wabeba kikombe. + +Hawa walikuwa watumishi walio onja kinywaji kabla mfalme hajanywa ili kupima kama haina sumu. + +# Hapakuwa na roho zaidi ndani yake + +"Hakujaa akiburi tena". + diff --git a/2ch/09/05.md b/2ch/09/05.md new file mode 100644 index 00000000..ab6456e4 --- /dev/null +++ b/2ch/09/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Na sasa macho yangu yamekiona. + +"Sasa nimejionea mimi mwenyewe". + +# Sikuambiwa nusu ya kuhusu hekima na utajiri wako. + +"Wewe una hekima na ni tajiri kupita kawaida" + diff --git a/2ch/09/07.md b/2ch/09/07.md new file mode 100644 index 00000000..0afcaf53 --- /dev/null +++ b/2ch/09/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ambao husimama mbele yako. + +"Ambao husubiri amfri zako mbele zako" + +# Ambaye amepata raha ndani yako. + +"Ambaye amependezwa nawe" + diff --git a/2ch/09/09.md b/2ch/09/09.md new file mode 100644 index 00000000..44a11616 --- /dev/null +++ b/2ch/09/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Talanta. + +Aina ya fedha iliyotumika katika ssiku za Agano Jipya + diff --git a/2ch/09/10.md b/2ch/09/10.md new file mode 100644 index 00000000..1fcc154f --- /dev/null +++ b/2ch/09/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hiramu. + +Mfalme wa Tiro + +# Ofiri. + +Sehemu isiyojulikana iliyojulikana kwa dhahabu zake. + +# Miti ya msandali. + +Hii ni aina ya mbao. + diff --git a/2ch/09/13.md b/2ch/09/13.md new file mode 100644 index 00000000..fa589b06 --- /dev/null +++ b/2ch/09/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# 666. + +Mia sita sitini na sita + diff --git a/2ch/09/15.md b/2ch/09/15.md new file mode 100644 index 00000000..af98a307 --- /dev/null +++ b/2ch/09/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Shekeli mia sita za dhahabu zilitumika kwa kila ngao. + +"Zilitengenezwa kwa shekeli mia sita za dhahabu". + +# Shekeli...minas + +Shekeli na mina ni mojawapo ya vipimo ambavyo watu wa zamani hasa nyakati za Agano la Kale walitumia kwa sababu hawakuwa na vipimo vya kisa kama vile kilo, mita nk. Shekeli 1 ilikuwa sawa na graamu 1, na mina au shekeli 50 ilikuwa sawa na kilo 0.57. + +# Ikulu ya Mstu wa Lebanon. + +Hii ilikuwa kama sehemu ya kuhifadhia iliyotengenezwa kwa mbao nyingi kubwa kutoka Lebanoni, ilikuwa karibu na ikulu. Kwa jina jingine iliitwa Amori. + diff --git a/2ch/09/17.md b/2ch/09/17.md new file mode 100644 index 00000000..c65d6742 --- /dev/null +++ b/2ch/09/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Pembe. + +Hii ilikuwa kazi nyingine ya pembe ya mnyama kama tembo au faru. + +# Na sehemu ya juu ya kiti cha enzi ilikuwa duara + +"Sehemu ya juu nyuma ya kiti cha enzi ambapo mfalme aliketi ilikuwa ya duara". + diff --git a/2ch/09/19.md b/2ch/09/19.md new file mode 100644 index 00000000..26388fb5 --- /dev/null +++ b/2ch/09/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Fedha haikuchuliwa kuwa ya thamani katika siku za Selemani. + +Katika siku za Selemani fedha haikuwa kitu cha thamani. + +# Nyani na tausi. + +Wanyama kutoka mbali sana, kama vile Afrika + diff --git a/2ch/09/22.md b/2ch/09/22.md new file mode 100644 index 00000000..e0ceb918 --- /dev/null +++ b/2ch/09/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ambayo Mungu alikuwa ameiweka katika moyo wake. + +"Ambayo Mungu alimpa". + +# Mwaka baada ya Mwaka. + +Kila mwaka + diff --git a/2ch/09/25.md b/2ch/09/25.md new file mode 100644 index 00000000..e7529916 --- /dev/null +++ b/2ch/09/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa za jumla: + +Selemani aalikuwa na mazizi elfu nne (4,000), na wapanda farasi kumi na mbi elfu (12,000) + +# Mazizi. + +Hii ni boma ndogo ambamo farasi huhifadhiwa + diff --git a/2ch/09/27.md b/2ch/09/27.md new file mode 100644 index 00000000..b4982859 --- /dev/null +++ b/2ch/09/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nyingi kama mawe juu ya ardhi. + +Fedha nyingi sana. + +# Akazifanya mbao za mierezi kuwa nyingi kama mikuyu ambayo iko nyanda za chini. + +"Nyingi sana" + +# Kutoka nchi zote. + +"Kutoka nchi zote jirani" au kutoka nchi zote". + diff --git a/2ch/10/01.md b/2ch/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..0bd8d664 --- /dev/null +++ b/2ch/10/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Israeli wote. + +"Watu wote wa taifa la Israeli". + +# Mwana wa Nebati. + +Nebati ni jina la kiume. + diff --git a/2ch/10/08.md b/2ch/10/08.md new file mode 100644 index 00000000..cd40602e --- /dev/null +++ b/2ch/10/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Rehoboamu akapuuza ushauri. + +"Rehoboamu hakufuata ushauri" + +# Wanaume vijana. + +"Wanaume vijana" jinsi wasivyo na hekima na uzoefu katika mambo ukilinganisha na wanaume wazee ambao walikuwa washauri wa Selemani. + +# Ambao walikuwa wa rika lake, ambao walisimama mbele yake. + +Waliokuwa rafiki zake wa muda mrefu, walimshauri. + diff --git a/2ch/10/10.md b/2ch/10/10.md new file mode 100644 index 00000000..7bd30958 --- /dev/null +++ b/2ch/10/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kidole changu kidogo ni kinene kuliko kiuno cha baba yangu. + +Pointi ya Rehoboamu ni kwamba yeye ni katilina mwenye aamri kuliko baba yake. + +# Nitawaadhibu kwa ng'e. + +"Lakini nitawapiga kwa mijeredi yenye vipande vya chuma." + diff --git a/2ch/10/12.md b/2ch/10/12.md new file mode 100644 index 00000000..1d63a874 --- /dev/null +++ b/2ch/10/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watu wote + +"Viongozi wote" + +# Siku ya tatu. + +Siku ya tatu. + diff --git a/2ch/10/15.md b/2ch/10/15.md new file mode 100644 index 00000000..8cd05dbf --- /dev/null +++ b/2ch/10/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ahiya Mshiloni...Yeroboamu mwana wa Nebati. + +Ahiya, Nebati na Yeroboamu, haya yote ni majina ya kiume. + diff --git a/2ch/10/16.md b/2ch/10/16.md new file mode 100644 index 00000000..f4a0c7b6 --- /dev/null +++ b/2ch/10/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tunasehemu gani katika Daudi? + +"Hatutaki kufanya kitu chochote na hawa uzao wa Daudi". + diff --git a/2ch/11/01.md b/2ch/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..b3edf0b5 --- /dev/null +++ b/2ch/11/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wanaume waliochaguliwa ambao walikuwa wanajeshi. + +"Wanajeshi wake bora" + diff --git a/2ch/11/02.md b/2ch/11/02.md new file mode 100644 index 00000000..e3c9c343 --- /dev/null +++ b/2ch/11/02.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Neno la Yahwe ,ikamjia. + +"Yahwe alisema neno lake" + +# Shemaya. + +Shemaya ni jina mtu wa jinsia ya kiume. + diff --git a/2ch/11/05.md b/2ch/11/05.md new file mode 100644 index 00000000..99fb74fc --- /dev/null +++ b/2ch/11/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya jumla. + +Hii ni miji ambayo Yeroboamu aliijenga katika Yuda na Benyamini. + diff --git a/2ch/11/11.md b/2ch/11/11.md new file mode 100644 index 00000000..02e8b89f --- /dev/null +++ b/2ch/11/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yuda na Benyamini zikawa zake. + +Yeroboamu alikuwa mmiliki wa mipaka ya Yuda na Benyamini. + diff --git a/2ch/11/13.md b/2ch/11/13.md new file mode 100644 index 00000000..a32dae21 --- /dev/null +++ b/2ch/11/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Makuhani na walawi waliokuwa katika Israeli yote wakaenda kwake + +"Makuhani na Walawi wakatoka Israeli, ufalme wa Kaskazini ili waende Yuda". + +# Nchi za malisho + +Nchi zilizokuwa kwa ajili ya kuchungia wanyama. + diff --git a/2ch/11/16.md b/2ch/11/16.md new file mode 100644 index 00000000..bcf6876f --- /dev/null +++ b/2ch/11/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watu kutoka kabila zote za Israeli wakaja nyuma yao, wale walio wameiilekeza mioyo yao kumtafuta Yahwe. + +Watu kutoka makabila ya ufalme wa Kaskazini(Israeli) ambao walikuwa bado wanamwabudu Bwana Mungu walikimbilia Yuda. + +# Wakatembea kwa miaka mitatu katika njia ya Daudi na Selemani. + +"Waliufuata mfano wa Daudi na Selemani kwa miaka mitatu". + diff --git a/2ch/11/18.md b/2ch/11/18.md new file mode 100644 index 00000000..76be42b4 --- /dev/null +++ b/2ch/11/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa za jumla: + +Mahalathi ni jina la kike. + diff --git a/2ch/11/20.md b/2ch/11/20.md new file mode 100644 index 00000000..760a66e3 --- /dev/null +++ b/2ch/11/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Mahalathi alikuwa binti wa Yerimothi. Mfalme Rehoboamu alimuoa huyu binti akawa mkewe, baadaye Rehoboamu huyu huyu alimuoa Maaka, yaani binti wa Absalomu. + diff --git a/2ch/11/22.md b/2ch/11/22.md new file mode 100644 index 00000000..20ac302d --- /dev/null +++ b/2ch/11/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa za jumla: + +Rehoboamu ni jina la kiume, na huyu ndiye alikuwa mfalme wa yuda. Abiya ni jina la kiume pia. + diff --git a/2ch/12/01.md b/2ch/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..c44ace1f --- /dev/null +++ b/2ch/12/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ikawa akwamba + +"Ikawa kwamba" ni maneno yanayoashiria tukio muhimu katika historia; yaani wakati ule ule jambo lilipotokea". + +# Na Israeli wote pamoja naye + +"Israeli na Yuda wote walimfuata katika dhambi yake." Israeli hapa inajumuisha Yuda pia. + diff --git a/2ch/12/02.md b/2ch/12/02.md new file mode 100644 index 00000000..2af07be0 --- /dev/null +++ b/2ch/12/02.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Akaja kinyume. + +"Akaja kuvamia au kupiga" + +# Askari wasio hesabika + +"Wanajeshi wengi sana" + diff --git a/2ch/12/05.md b/2ch/12/05.md new file mode 100644 index 00000000..e33c35c6 --- /dev/null +++ b/2ch/12/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa za jumla: + +Shemaya alikuwa nabii katika yuda wakati wa utawala wa mfalme Rehoboamu. + +# Kwa hiyo pia nimewaweka katika mkono wa Shishaki. + +"Kwa hiyo nimewatia katika mikiono ya Shishaki kama mateka" + diff --git a/2ch/12/07.md b/2ch/12/07.md new file mode 100644 index 00000000..b7702e06 --- /dev/null +++ b/2ch/12/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wamejinyenyekeza. + +"Mfalme na viongozi wengine wa Israeli walikuwa wamejinyenyeza wenyewe," Mfalme na viongozi wengine ni maneno yanayowakilisha au yenye maana ya watu wote wa Isaraeli. + +# Neno la Yahwe likamjia. + +"Yahwe alisema neno lake." + +# Nitawaokoa kwa hatua fulani. + +Nitawaokoa wasiangamie kwa kabisa kabisa + +# Hasira yangu haitamiminwa juu ya Yerusalemu. + +"Sitaiachilia hasira yangu yote dhidi ya Yerusalemu" + diff --git a/2ch/12/09.md b/2ch/12/09.md new file mode 100644 index 00000000..bc56da8c --- /dev/null +++ b/2ch/12/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kuzikabidhi mikononi mwa maamri jeshi + +"Kuziweka mikononi mwa maamri jeshi" + diff --git a/2ch/12/11.md b/2ch/12/11.md new file mode 100644 index 00000000..645fe2ff --- /dev/null +++ b/2ch/12/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ikawa kwamba Mfalme kila alipoingia. + +Inaashiria tukio malumu katika historia. Lugha nyingi zina namna yake ya kusema kipindi hiki muhimu. + +# Gadhabu ya Yahwe ikampisha mbali, kwa hiyo hakuwaangamiza kabisa kabisa. + +"Yahwe hakuwa na hasira naye tena, na kwa hiyo hakumwaangamiza kabisa kabisa" + +# Pembeni. + +"Kwa nyongeza " + diff --git a/2ch/12/13.md b/2ch/12/13.md new file mode 100644 index 00000000..a0c70948 --- /dev/null +++ b/2ch/12/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ili kwamba aliweke jina lake humo. + +"Ili kwamba aheshimiwe humo siku zote. + +# Hakuuelekeza moyo wake kumtafuta Yahwe + +"Hakuwa na nia na nguvu za kumtii Mungu". + diff --git a/2ch/13/01.md b/2ch/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..d8ce0b10 --- /dev/null +++ b/2ch/13/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maaka, binti wa Urieli wa Gibea. + +Maaka alikuwa mama mzazi wa Abiya, mfalme wa Yuda ambaye alipigana vita na Yeroboamu. + diff --git a/2ch/13/04.md b/2ch/13/04.md new file mode 100644 index 00000000..112a8754 --- /dev/null +++ b/2ch/13/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mlima Semaraimu. + +Mlima Semaraimu ulikuwa katika mji wa Semaraimu + +# Hamjui kwamba...agano? + +"Mnajua vizuri sana kuhusu agano langu nililofanya na Daudi. + diff --git a/2ch/13/06.md b/2ch/13/06.md new file mode 100644 index 00000000..ec79795f --- /dev/null +++ b/2ch/13/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mwana wa Nebati + +Nebati alikuwa baba yake Yeroboamu mfalme wa Israeli. + +# Washirika wa karibu + +"Watu wenye tabia mbaya, wasio na maadili". + +# Wakamkusanyikia + +"Wakaungana pamoja na Yeroboamu". + diff --git a/2ch/13/08.md b/2ch/13/08.md new file mode 100644 index 00000000..48fa7c75 --- /dev/null +++ b/2ch/13/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ndama wa dhahabu ambao Yeroboamu alitengeneza kama miungu. + +Hii ina maana ya miungu aliyotengeneza Yeroboamu. + +# Hamkuwafukuza...Walawi? + +"Mmewafukuza Walawi" + +# Hamkujifanyia makuhani katika namna ya watu wa nchi zingine. + +"Mmejifanyia makuhani kama vile wajifanyiavyo watu wa nch zingine. + +# Yeyote ajaye kujitakasa mwenyewe na ngo'mbe dume kijana, na madume ya kondoo anaweza kuwa kuhani wa kile ambacho siyo. miungu. + +"Yeyote atoaye ng'ombe dume na madume saba ya kondoo anaweza kuwa kuhani wa sanamu tu ambazo hazina hadhi ya kuitwa miungu" + diff --git a/2ch/13/10.md b/2ch/13/10.md new file mode 100644 index 00000000..1f851a45 --- /dev/null +++ b/2ch/13/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ambao wako katika kazi zao + +"Wanaofanya kazi" + +# Mkate wa uwepo + +"Mkate wa uonyesho" ulikuwa mkate maalum ambao ulitengenezwa kama ishara ya uwepo wa Mungu na ushirika wake na watu wake. + +# Pia huweka kinara cha dhahabu pamoaja na taa zake + +"Pia hukitunza au kukiangalia kinara cha dhahabu" + diff --git a/2ch/13/12.md b/2ch/13/12.md new file mode 100644 index 00000000..07541ff1 --- /dev/null +++ b/2ch/13/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Msipigane na Yahwe. + +Hii ni lugha ya picha inayowataka wahusika hawa wasiende kinyume na mapenzi ya Yahwe (msipigane na Yahwe) + diff --git a/2ch/13/13.md b/2ch/13/13.md new file mode 100644 index 00000000..53827e23 --- /dev/null +++ b/2ch/13/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mavamizi nyuma yao. + +Yeroboamu alijipanga na kufanya mavamizi ya kushtukiza nyuma ya jeshi laYuda + +# Mavamizi yalikuwa nyuma yao. + +Mavamizi ya ghafla au kushtukiza yalikuwa nyuma ya jeshi la Yuda. + +# Wakamlilia Yahwe. + +Walimwita Yahwe kwa sauti kubwa sana. + +# Ikawa kwamba Mungu akampiga. + +Mungu alimuacha Yeroboamu akapigwa na adui zake. + diff --git a/2ch/13/16.md b/2ch/13/16.md new file mode 100644 index 00000000..1d668604 --- /dev/null +++ b/2ch/13/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# 500,000 + +Laki tano(hii ni idadi ya watu waliouawa na Abiya) + diff --git a/2ch/14/01.md b/2ch/14/01.md new file mode 100644 index 00000000..d04bd338 --- /dev/null +++ b/2ch/14/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Abiya akalala pamoja na babu zake + +"Hii ina maana kwamba Abiya akafa na kuzikwa pamoja na babu zake. + +# Katika siku zake. + +Katika kipindi cha utawala wake. + +# Katika siku yake nchi ilikuwa tulivu kwa miaka kumi. + +"Palikuwa na amani katika nchi kwa miaka kumi" + +# Katika macho ya Yahwe Mungu wake + +"Kama Yahwe atakavyo" + diff --git a/2ch/14/05.md b/2ch/14/05.md new file mode 100644 index 00000000..32ffe2ff --- /dev/null +++ b/2ch/14/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Akaziondosha mbali sehemu za juu na madhabahu za kufukiza kutoka miji yote ya Yuda + +Asa aliharibu kila aina ya madhabahu ambayo ilitumika kuabudia miungu ya uongo katika Yuda + diff --git a/2ch/14/07.md b/2ch/14/07.md new file mode 100644 index 00000000..970fd538 --- /dev/null +++ b/2ch/14/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa za jumla: + +Wanaume laki tatu (300,000), wanaume laki mbili na themanini elfu (280, 000). + +# Asa aliwaambia Yuda + +Asa aliwaambia watu wa Yuda + +# Tumemtafuta Yahwe Mungu wetu + +Tumemwomba Yahwe Mungu wetu kutusaidia. + diff --git a/2ch/14/09.md b/2ch/14/09.md new file mode 100644 index 00000000..7ea4e679 --- /dev/null +++ b/2ch/14/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa za jumla: + +Zera alikuwa mfalme wa Ethiopia, ambaye alitoka na jeshi la wanajeshi milioni moja (1,000,000), na magari mia tatu (300) kwenda kupigana na mfalme Asa. + +# Maresha + +Maresha ulikuwa mji katika Yuda + +# Usimuache mtu akushinde + +"Enyi watu msiwaruhusu watu wengine kuwashinda" + diff --git a/2ch/14/12.md b/2ch/14/12.md new file mode 100644 index 00000000..c37a8610 --- /dev/null +++ b/2ch/14/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Waethiopia + +Waethiopia walikufa kwa sababu Yahwe aliwaua + diff --git a/2ch/15/01.md b/2ch/15/01.md new file mode 100644 index 00000000..cb428249 --- /dev/null +++ b/2ch/15/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Roho wa Mungu akaja juu ya Azaria + +Roho wa Mungu alimpa Azaria uwezo wa kutabiri. + +# Odedi. + +Odedi alikuwa alikuwa mtoto wa kiume wa Azaria. + diff --git a/2ch/15/03.md b/2ch/15/03.md new file mode 100644 index 00000000..2897b629 --- /dev/null +++ b/2ch/15/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Isareli hawakuwa na Mungu wa kweli + +Israeli walikuwa wameacha kumtii Mungu + +# .Bila kuhani wa kuwafundisha. + +"Hawakuwa na kuhani wa kuwafundisha" + +# Wakampata + +"Mungu aliwaitikia Waisraeli walipomtafuta". + diff --git a/2ch/15/06.md b/2ch/15/06.md new file mode 100644 index 00000000..d9e66437 --- /dev/null +++ b/2ch/15/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Waligawanyika vikundi, taifa dhidi ya taifa, na mji dhidi ya mji + +Walishindwa na mataifa na miji mingine. + diff --git a/2ch/15/08.md b/2ch/15/08.md new file mode 100644 index 00000000..8bb10425 --- /dev/null +++ b/2ch/15/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Unabii wa Odedi nabii + +Matoleo mengi, likiwemo na UDB, yanasomeka, "Unabii wa Azaria, mwana wa Odedi nabii." Yanasomeka hivyo ili kuleta ujumbe unaokubaliana na 15:1. Watafsiri bila shaka watataka kufanya maana hii hii katika matoleo yao. + +# Kuviondosha mbali vitu vya kuchukiza + +"Aliziondoa sanamu" + +# Yahwe Mungu wake alikuwa pamoja naye + +"Yahwe alikuwa akimsaidia". + diff --git a/2ch/15/10.md b/2ch/15/10.md new file mode 100644 index 00000000..c31024f5 --- /dev/null +++ b/2ch/15/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa hiyo walikusanyika + +Hawa ni makabila ya Yuda na Israeli yaliyokuwa pamoja na Asa. + +# Mwezi wa tatu. + +Huu ni mwezi wa tatu wa kalenda ya Kiebrania + +# Ni mwezi unaotokea mwishoni mwa Mei na mwanzoni mwa Juni kaatika kalenda ya magharibi + +Tatu...kumi na tano + +# Tatu(3)...Kumi na tano (15) + +Mwezi wa tatu. + +# Mia saba...elfu saba + +Mia saba (700)...Elfu saba (7,000) + diff --git a/2ch/15/12.md b/2ch/15/12.md new file mode 100644 index 00000000..5078a159 --- /dev/null +++ b/2ch/15/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa moyo wao wote na kwa roho yao yote + +Wakamtafuta Yahwe na Mungu kwa uaminifu na ukamilifu + +# Kuuawa. + +Kutolewa uhai(kuuawa) + diff --git a/2ch/15/14.md b/2ch/15/14.md new file mode 100644 index 00000000..9c05ae7e --- /dev/null +++ b/2ch/15/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Walimuona + +Angalia 2 Mambo ya Nyakati 15:4. + +# Yuda wote wakakifurahia + +"Watu wengi walioishi Yuda walifurahia". + diff --git a/2ch/15/16.md b/2ch/15/16.md new file mode 100644 index 00000000..c7eb1780 --- /dev/null +++ b/2ch/15/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa za jumla: + +Maaka ni jina la kike na Asa ni jina la kiume. Maaka alikuwa malkia, yaani mke wa mfalme Asa. + +# Sanamu ya kuchukiza + +Sanamu + +# Moyo wa Asa ulijito kikamilifu siku zake zote + +Asa alimtii na kumfuata Yahwe maisha yake yote. . + diff --git a/2ch/16/01.md b/2ch/16/01.md new file mode 100644 index 00000000..e87f4f3c --- /dev/null +++ b/2ch/16/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Akaujenga Rama + +Hapa "akaujenga ina maana ya kujenga kuta kuzunguka mji ili kwamba mji uweze kulindwa dhidi ya wavamizi". + diff --git a/2ch/16/02.md b/2ch/16/02.md new file mode 100644 index 00000000..0e1c2d42 --- /dev/null +++ b/2ch/16/02.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Beni Hadadi + +Ben Adadi alikuwa mfalme wa Aramu. + +# Ili kwamba aniache. + +"Asinivamie." + diff --git a/2ch/16/04.md b/2ch/16/04.md new file mode 100644 index 00000000..748b95a4 --- /dev/null +++ b/2ch/16/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Akatuma maakida wa jrshi dhidi ya miji ya Israeli + +Akatuma majeshi yake kuivaamia miji + +# Iyoni, Dani, Abelimaimu...miji ya kuhifadhia ya nafutali + +Hii ni miji katika Israeli + +# Akaisitisha kazi yake + +Aliyaamuru majeshi yake kuacha kuuzungushia ngome Rama na kufanya kazi zingine huko" + +# Mbao. + +Mbao ni vipande vikubwa vya miti vitumikavyo kujengea nyumba au kuta. + diff --git a/2ch/16/07.md b/2ch/16/07.md new file mode 100644 index 00000000..616cdb39 --- /dev/null +++ b/2ch/16/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hanani + +Hanani alikuwa mwonaji wakati wa utawalaa wa mfalme wa Yuda. + +# Waethiopia na Walubi hawakuwa jesi kubwa, wenye magari mengi na wapanda farasi wengi? + +Waethiopia na Walubi walikuwa jeshi kubwa, lenye magari na wapanda farasi wengi sana + diff --git a/2ch/16/09.md b/2ch/16/09.md new file mode 100644 index 00000000..37b236a6 --- /dev/null +++ b/2ch/16/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Macho ya Yahwe yanaona kila mahali + +Yahwe anaona kila kinachotokea katika dunia yote. + +# ili kwamba ajioneshe mwenyewe shujaa kwa niaba ya wale amabao mioyo yao ni mikamilifu kumwelekea yeye + +"Na Yahwe hulinda kwa nguvu zake" + diff --git a/2ch/16/11.md b/2ch/16/11.md new file mode 100644 index 00000000..787a6fd3 --- /dev/null +++ b/2ch/16/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kutoka mwanzo hadi mwisho. + +Kila kitu alichofanya. + +# Kitabu cha Wafalme wa Yuda na Israeli + +Hiki ni kitabu ambacho hakipo tena. + +# Asa alipata ugonjwa kwenye miguu yake + +"Asa alikuwa na ugonjwa kwenye miguu yake" + diff --git a/2ch/16/13.md b/2ch/16/13.md new file mode 100644 index 00000000..e3c7c75e --- /dev/null +++ b/2ch/16/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Asa akalala pamoja na babu zake + +Hii ina maana kwamba "Asa alikufa". + +# Kitanda + +Kitanda hiki ni mfano wa meza ambayo juu yake mwili wa marehemu huwekwa juu yake wakati wa mazishi. + +# Manukato na aina mbali mbali ya dawa zilizotayarishwa na wale mafundi wa manukato + +Kuweka mmea ambao hunukia vizuri kwenye mwili wa marehemu ilikuws mojawapo ya taratibu za mazishi kwa watu wa Isareli. "Mimea ya manukato ya kunukia yalitengenezwa na mtu aliyekuwa na ujuzi katika mambo ya utamaduni. + diff --git a/2ch/17/01.md b/2ch/17/01.md new file mode 100644 index 00000000..7edb915f --- /dev/null +++ b/2ch/17/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Akajiimarisha dhidi ya Israeli + +Wazo la "kujiimarisha mwenyewe" jeshi la mfalme. Alilitayarisha jeshi likawa tayari kwa ajili ya kupigana vita na Israeli. + +# Magereza. + +Hizi ni kambi za jeshi kwa ajili ya ulinzi. + diff --git a/2ch/17/03.md b/2ch/17/03.md new file mode 100644 index 00000000..1de6b3cc --- /dev/null +++ b/2ch/17/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Alitembea katika njia ya baba yake. + +Tabia inazungumzwa kama kutembea. "Aliishi katika njia za haki kama babu zake waliomtangulia. + +# Hakuwatafuta mabaali. + +Hakuiabudu miung ya Baali ili kutafuta msaada kwayo + diff --git a/2ch/17/05.md b/2ch/17/05.md new file mode 100644 index 00000000..cf2fd171 --- /dev/null +++ b/2ch/17/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maashera. + +Reejea sura ya 14:1 + diff --git a/2ch/17/07.md b/2ch/17/07.md new file mode 100644 index 00000000..54cadc24 --- /dev/null +++ b/2ch/17/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika mwaka wa tatu + +Ulipofika mwaka mwaka wa 3 + +# Ben-haili, Obadia, Zekaria, Nethania, na Mikaya...Shemiramothi, Yehonathani, Adoniya, Tobia, na Tob-adonia, Elishama na Yehoramu + +Haya yote ni majina ya kiume + diff --git a/2ch/17/10.md b/2ch/17/10.md new file mode 100644 index 00000000..8be927ad --- /dev/null +++ b/2ch/17/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hofu ya Yahwe ikashuka juu ya falme zote za nchi. + +"Watu katika falme zote za karibu na Yuda wakaogopa sana kwa sababu ya kile ambacho Yahwe angeweza kufanya ili kuwaadhibu. + diff --git a/2ch/17/14.md b/2ch/17/14.md new file mode 100644 index 00000000..c702ea7a --- /dev/null +++ b/2ch/17/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Adna...Yehonani...Amasia mwana wa Zikri. + +Haya ni majina ya majemedari maarufu walikuwa wakiongoza vikosi vya jeshi katika Yuda. + +# 300,000...280,000...200,000 + +Laki tatu(300,000), Laki mbili na themanini elfu (280,000), Laki mbili (200,000) + diff --git a/2ch/18/01.md b/2ch/18/01.md new file mode 100644 index 00000000..1115308c --- /dev/null +++ b/2ch/18/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Alifanya undugu na Ahabu. + +"Alifanya undugu na Ahabu" au alijifanya mwenyewe kuw rafiki wa Ahabu". + +# Mimi ni kama wewe, na watu wangu ni kama watu wako. + +Yehoshafati anaelezea kuhusu mapatano yake na Ahabu; "Najitoa mwenyewe na wanajeshi wangu kwako ututumie upendavyo." + diff --git a/2ch/18/06.md b/2ch/18/06.md new file mode 100644 index 00000000..d2e88f8c --- /dev/null +++ b/2ch/18/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hakuna nabii mwingine...ushauri + +"Nina uhakika kwambaatakuwepo hapa...ushauri". + +# Mikaya mwana wa Imla. + +Alikuwa nabii wa Bwana. + diff --git a/2ch/18/09.md b/2ch/18/09.md new file mode 100644 index 00000000..7f9f6862 --- /dev/null +++ b/2ch/18/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mwana wa Kenaani. + +Zedekia aalikuwa mmoja wa manabii wa uongo. + +# Pembe za chuma. + +Hii inamaana ya pembe za ng'ombe (kambaku) lakini zilizotengenezwa kwa chuma. + +# Mtawasukuma Waaramu hadi waangamie." + +"Mtawashinda". + +# Yahwe ameutia kwenye mkono wa mfalme. + +"Yahwe atawapa ushindi" + diff --git a/2ch/18/12.md b/2ch/18/12.md new file mode 100644 index 00000000..85352e07 --- /dev/null +++ b/2ch/18/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mikaya + +Angalia sura ya 17:7. + +# Tafadhali maneno yako yawe kama mmoja wa wao na sema mambo mema. + +Hii ni rejea kwa maneno yote ya ujumbe wa manabii. + +# Kwa kinywa kimoja. + +"Kwa wazo moja" au "kwa kukubaliana wote". + +# Kama Yahwe aishivyo. + +"Nawahakikishia kuwa jambo hili ni kweli." + +# Au la? + +"Au hatupaswi kuenda". + diff --git a/2ch/18/15.md b/2ch/18/15.md new file mode 100644 index 00000000..baef10a3 --- /dev/null +++ b/2ch/18/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni mara angapi ninapaswa kukutaka akuapa kutoniambia kitu chochote ispokuwa kweli katika jina la Yahwe? + +"Nilishakwambia kwamba unapaswa kusema au kuniambia ukweli tu katika jina la Yahwe" + +# Kama kondoo wasio na mchungaji. + +"Wasio na uongozi mzuri" + diff --git a/2ch/18/17.md b/2ch/18/17.md new file mode 100644 index 00000000..66a2b3c8 --- /dev/null +++ b/2ch/18/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sikukuumbia kwamba asingeweza kutabiri mema juu yangu, bali majanga tu? + +"Nilikwambia kwamba lazima angetabia kwamba majanga yatanipata". + diff --git a/2ch/18/19.md b/2ch/18/19.md new file mode 100644 index 00000000..1ba26509 --- /dev/null +++ b/2ch/18/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kumrubuni. + +Hii ina maana ya kumvutia mtu kwa kumpa kitu cha kuvutia. + +# Kuanguka. + +"Kuumia sana " au "kufa" + +# Mmoja alaisema hivi na mwingine hivi. + +Hii inaashiria kwamba palaikuwa na maoni au mawazo zaidi ya moja. + diff --git a/2ch/18/20.md b/2ch/18/20.md new file mode 100644 index 00000000..c2e805d8 --- /dev/null +++ b/2ch/18/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Roho ya uongo katika vinywa vya manabii wake wote. + +"Roho inayowafanya manabii kudanya". + diff --git a/2ch/18/22.md b/2ch/18/22.md new file mode 100644 index 00000000..58dc2b06 --- /dev/null +++ b/2ch/18/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ametanagaza aamajanga kwa ajili yako. + +"Amethibitisha kwamba wambo ya ajibu yatakupata." + diff --git a/2ch/18/23.md b/2ch/18/23.md new file mode 100644 index 00000000..5a4687af --- /dev/null +++ b/2ch/18/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Zedekia mwana wa Kanaani + +Huyu siyo Zedikia aliyetajwa ahapo juu, bali ni nabii mwaminifu kwa Ahabu. + +# Kwa anjia gani Roho wa Yahwe alitoka kwangu ili aseme nawe? + +"Roho wa Mungu hakutoka kwangu ili aje kusema nawe." + +# Mtakapokimbia katika baadhi ya vyumba vya ndani kwa ajili ya kujificha. + +"Mtakapokimbia, kwa hofu kujificha." + diff --git a/2ch/18/25.md b/2ch/18/25.md new file mode 100644 index 00000000..e704a87a --- /dev/null +++ b/2ch/18/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mfalme wa Israeli. + +Anayetajwa ahapa ni Ahabu + +# Amoni. + +Hili ni jina la kiume. + +# Kama utarudi salama, Yahwe hajasema nami. + +Mikaya amajua na ana hakika kwamba Yahwe kasema naye. + diff --git a/2ch/18/28.md b/2ch/18/28.md new file mode 100644 index 00000000..65eaad53 --- /dev/null +++ b/2ch/18/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wakaenda juu. + +"Walipigana dhidi" + +# Ramothi-giledi. + +Angalia sura ya 18:1. + +# Nitajibadilisha + +Hii ina maana ya kujibadilisha mwonekano wa kila siku kwa lengo la kutotambuliwa. + +# Msiwavamie wanajeshsi wasio wa muhimu wala wanajeshi muhimu. + +"Msivamie yeyote miongoni mwa wanajeshi hao" + diff --git a/2ch/18/31.md b/2ch/18/31.md new file mode 100644 index 00000000..4c784f5e --- /dev/null +++ b/2ch/18/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yule ni mfalme wa Israeli. + +Yehoshafati kwa bahati mbaya walimfananishwa na mfalme wa Israeli kwa sababu Ahabu alikuwa amesistiza kwamba mfalme huyo anakawaida ya kuvaa kifalme. + +# Mungu akawageuza nyuma kutoka kwake. + +"Mungu aliwasababisha wasiendelee kumwelekea" + diff --git a/2ch/18/33.md b/2ch/18/33.md new file mode 100644 index 00000000..eba570f0 --- /dev/null +++ b/2ch/18/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kati kati ya maungio ya mavazi yake. + +Hii ni sehemu ampapo vipande viwili vya maungi hukutana na huandamwa na mishale na upanga wakati wa vita. + diff --git a/2ch/19/01.md b/2ch/19/01.md new file mode 100644 index 00000000..831714cc --- /dev/null +++ b/2ch/19/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mwana wa Hanani. + +Yuhu ni jina la mwanaume alikuwa mtoto wa Hanani. + +# Unapaswa kuwa unawasaidia waovu? Unapaswa kuwapenda wanaomchukia Yahwe? + +"Hupaswi kuwasaidia waovu! Hupaswi kuwapenda wale wamchukia Yahwe" + +# Maashera. + +Angalia sura ya 14:1 + +# Umeukaza moyo wako. + +"Kuamua kwa nguvu au kikamilifu" + diff --git a/2ch/19/04.md b/2ch/19/04.md new file mode 100644 index 00000000..062b5019 --- /dev/null +++ b/2ch/19/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Akawarudisha akwa Yahwe. + +"Akairejesha imani yao kwa Yahwe" + diff --git a/2ch/19/06.md b/2ch/19/06.md new file mode 100644 index 00000000..6a7a4cc5 --- /dev/null +++ b/2ch/19/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Iache hofu ya Yahwe iwe juu yanu. + +"Unapohukumu unapaswa kumkumbuka Yahwe" + diff --git a/2ch/19/08.md b/2ch/19/08.md new file mode 100644 index 00000000..6b2eb406 --- /dev/null +++ b/2ch/19/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nyumba za mababu wa Israeli. + +Familia za mababu wa Israeli. + +# Kwa ajili ya kufanya hukumu. + +"Kusaidia kutatua mabishano" + +# Kwa moyo wako wote. + +Kufanya jambo kwa kujitoa au kwa bidii. + diff --git a/2ch/19/10.md b/2ch/19/10.md new file mode 100644 index 00000000..c21ed25f --- /dev/null +++ b/2ch/19/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ghadhabu itakuja juu yenu na juu ya ndugu zenu . + +"Mungu atakuwa na hasira nanyi na ndugu zenu" + diff --git a/2ch/19/11.md b/2ch/19/11.md new file mode 100644 index 00000000..eee93a04 --- /dev/null +++ b/2ch/19/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Amaria. + +HIli ni jina la mtu mwanamme aliyekuwa kuhani mkuu. + +# Zabadia mwana wa Ishmaeli + +Zabadia na Ishimaeli ni majina ya kiume. + diff --git a/2ch/20/01.md b/2ch/20/01.md new file mode 100644 index 00000000..6e121656 --- /dev/null +++ b/2ch/20/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Amoni. + +Hili lilikuwa kundi la watu ambalo yawezekana liliishi karibu na Edomu, mashariki mwa mto Yorodani. + +# Hason-tamari. + +Hili ni jina jingine la En-gedi. + diff --git a/2ch/20/03.md b/2ch/20/03.md new file mode 100644 index 00000000..365eb747 --- /dev/null +++ b/2ch/20/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Akajipanga. + +"Alijidhatiti" + +# Kumtafuta Yahwe. + +"Kujaribu kumtafuta Mungu ili awaangalie" + diff --git a/2ch/20/05.md b/2ch/20/05.md new file mode 100644 index 00000000..a4613ce3 --- /dev/null +++ b/2ch/20/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yahwe, Mungu wa babu zetu, hauko mbinguni? Wewe siyo mtawala juu ya falme zote za mataifa? + +"Hakika wewe ni Mungu wa mbinguni na mtawala juu ya wafalme wote wa dunia". + +# Nguvu na uweza viko mikononi mwako. + +Maneno "nguvu" na "uweza" kimsingi yana maana moja na yanasisitiza ukuu wa nguvu za Yahwe. Neno "mkono" lina maana aya umiliki; "Una nguvu kuuu". + +# Hukuwafukuza nje wakaaji wa nchi hii mbele ya watu wako Israeli, na kuitoa milele kwa ajili ya uzao wa Abrahamu? + +"Wewe ndidye uliwatoa nje watu waliokuwa wakiishi katika nchi hii kwa ajili ya watau wako Israeli na kuitoa milele kwa uzaoa wa Abraham" + diff --git a/2ch/20/08.md b/2ch/20/08.md new file mode 100644 index 00000000..f0c16b43 --- /dev/null +++ b/2ch/20/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jina lako limo ndani ya nyumba hii. + +"Uwepo wako umo ndani ya nyumba ahii". + diff --git a/2ch/20/10.md b/2ch/20/10.md new file mode 100644 index 00000000..9751015f --- /dev/null +++ b/2ch/20/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mlima Seiri + +Hii ilikuwa sehemu ambapo Waedomu waliishi. + +# Ona jinsi wanavyotuzawadia; wanakuja kututoa nje ya nchi yako. + +"Hivi ndivyo wanavyo 'tulipa' sisi kwa ajili ya huruma tuliyowaonesha; wanakuja kutufukuza nje ya nchi yako." + diff --git a/2ch/20/12.md b/2ch/20/12.md new file mode 100644 index 00000000..e5c32214 --- /dev/null +++ b/2ch/20/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hutawahukumu? + +"Tafadhali wahukumu watu hawa" + +# Maacho yetu yako kwako. + +"Tunakuangalia wewe kwa ajili ya amsaada" + diff --git a/2ch/20/14.md b/2ch/20/14.md new file mode 100644 index 00000000..f56aa771 --- /dev/null +++ b/2ch/20/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Roho ya Yahwe ikaja juu. + +Angalia sura ya 15:1 + +# Yahazieli ... Zekaria ... Benaya ...Yeieli ... Matania ... Asafu. + +Haya ni majina ya kiume (ni majina waliyoitwa wanaume). + diff --git a/2ch/20/16.md b/2ch/20/16.md new file mode 100644 index 00000000..1303e725 --- /dev/null +++ b/2ch/20/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Muende chini juu yao. + +"Nendeni kwenye" au "nendeni mkapigane vita nao". + +# Njia ya Sisi. + +Hili ni bonde jembamba liliko kati kati ya milima kusini mwa Yerusalemu. + +# Wokovu wa Yahwe. + +Mungu atapigana vita na kuwaokoa watu wake. + diff --git a/2ch/20/18.md b/2ch/20/18.md new file mode 100644 index 00000000..b9acf895 --- /dev/null +++ b/2ch/20/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yuda wote. + +"Watu wote wa Yuda" + +# Wakohathi na Wakorai. + +Haya ni majina ya koo zilizokuwa katika Kabila la Lawi. + diff --git a/2ch/20/20.md b/2ch/20/20.md new file mode 100644 index 00000000..aac19762 --- /dev/null +++ b/2ch/20/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tekoa. + +Huu ulikuwa mji mmoja kusini mwa Yerusalemu. + +# Mtasaidiwa. + +"Yahwe atawasaidia." + +# Amini katika amanabii zake, na mtafanikiwa. + +"Kama amtaamini katika manabii wa Yahwe, basi mtafanikiwa." + diff --git a/2ch/20/22.md b/2ch/20/22.md new file mode 100644 index 00000000..a2c11411 --- /dev/null +++ b/2ch/20/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mlima Seiri + +Angalia sura ya 20:10 + +# Akapanga wanaume katika mavamizi. + +"Akafanya mavamizi ya kusitukiza." + +# Ili kuwaua kabisa na kuwaangamiza. + +Virai hivi viwili kimsingi vina maana moja. Cha pili kinatoa ufafanuzi wa kile cha kwanza. "Kuwaondoa kabisa". + diff --git a/2ch/20/24.md b/2ch/20/24.md new file mode 100644 index 00000000..ed710db6 --- /dev/null +++ b/2ch/20/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tazama, walikuwa wamekufa. + +Hiki kilikuwa kitu cha kusitusha. Adui zao wote walikuwa wameuana wao kwa wao. + +# Walikuwa wamekufa, wameanguka chini. + +Kirai "wameanguka chini" ni namna ya kusema kwamba "walikuwa wamekufa."wote walikuwa wamekufa ardhini." + diff --git a/2ch/20/25.md b/2ch/20/25.md new file mode 100644 index 00000000..549b84d9 --- /dev/null +++ b/2ch/20/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hata leo. + +Angalia sura ya 5:9 + diff --git a/2ch/20/27.md b/2ch/20/27.md new file mode 100644 index 00000000..70f572e7 --- /dev/null +++ b/2ch/20/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kila mtu wa Yuda na Yerusalemu. + +Hii ni namna ya kusema kwamba kila mwanaume aendaye vitani. + +# Yehoshafati katika uongozi wao. + +Mfalme Yehoshafati alikuwa mbele ya jeshi lote walipokuwa wakirudi Yerusalemu. + diff --git a/2ch/20/29.md b/2ch/20/29.md new file mode 100644 index 00000000..77a1d34d --- /dev/null +++ b/2ch/20/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hofu ya Yahwe ilikuwa juu ya falme zote za mataifa. + +"Wafalme wote wa mataifa ya dunia wakamwogopa Mungu" + +# Falme. + +Hii ina maana ya serikali zenye utawala mmoja. + diff --git a/2ch/20/31.md b/2ch/20/31.md new file mode 100644 index 00000000..515b3076 --- /dev/null +++ b/2ch/20/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Azuba, binti wa Shilhi. + +Azuba ni jina la kike. + +# Akatembea katika njia za Asa. + +"Aliufuata mfano wa Baba yake." + +# Akafanya yaliyo mema katika macho ya Yahwe. + +Angalia suta ya 14:1 + diff --git a/2ch/20/34.md b/2ch/20/34.md new file mode 100644 index 00000000..b7181573 --- /dev/null +++ b/2ch/20/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwana wa Hanani + +Hanani ni jina la kiume. + +# Kitabu cha Wafalme wa Israeli. + +Angalia sura ya 16:11 + diff --git a/2ch/20/35.md b/2ch/20/35.md new file mode 100644 index 00000000..f036fec8 --- /dev/null +++ b/2ch/20/35.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Meli + +Hizi ni meli zenye uwezo wa kusafiri katika maji mengi. + +# Esion-geberi. + +Angalia ssura ya 8:17 + +# Maresha. + +Angalia sura ya 11:5 + +# Eliezeri. + +Angalia sura ya 7:8, hili jina lile lile lakini la mtu mwingine tofauti na aliyetajwa katika mstari huo (7:8). + +# Dadavahu. + +Jina la kiume. + diff --git a/2ch/21/01.md b/2ch/21/01.md new file mode 100644 index 00000000..d1e48a59 --- /dev/null +++ b/2ch/21/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Akalala pamoja na babu zake. + +"Hii inamaanisha kwamba akafa" (Yehoshafati). + +# Mji wa Daudi. + +Huu ni mji wa Daudi. + +# Azaria, Yerieli, Zekaria, Azaria, Mikaeli, na Shefatia. + +Haya ni majina ya kiume; ni orodha ya majina ya watoto wa Yehoshafati mfalme wa Israeli. + +# Yehofati, mfalme wa Israeli. + +Ufalme wa Kusini ulikuwa uknaitwa "Yuda", Llakini mwandishi wa kitabu hiki alitaka kuweka msistizo kwamba ufalme wa kusini ulikuwa katika hali ya kumtii Mungu, Israeli ya kweli. + +# Kiti cha enzi alimpa Yehoramu. + +Yehoshafati aliamua kuwa Yohoramu awe mfalme baada yake (yaani akirithi kiti chake cha enzi). + diff --git a/2ch/21/04.md b/2ch/21/04.md new file mode 100644 index 00000000..0832a290 --- /dev/null +++ b/2ch/21/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ameinuka katika ufalme wa baba yake. + +"Amekuwa na mamlaka kamili juu ya ufalme wa baba yake." + diff --git a/2ch/21/06.md b/2ch/21/06.md new file mode 100644 index 00000000..f21399be --- /dev/null +++ b/2ch/21/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Akatembea katika njia. + +.Angalia sura ya 20:31. + +# Katika macho ya Yahwe. + +"Kama Yahwe apendavyo" + +# Ameahidi kuwa siku zote atampa uhai yeye na kizazi chake. + +"Ameahidi kuwa uzao wa Daudi siku zote watakuwa ndio watawala wa Yuda." + diff --git a/2ch/21/08.md b/2ch/21/08.md new file mode 100644 index 00000000..0ef7db6b --- /dev/null +++ b/2ch/21/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Katika siku za Yehoramu. + +"Katika kipindi amacho Yehoramu alipokuwa mfalme." + +# Wakaasi wasiwe chini ya Yuda. + +"Kinyume na mamlaka ya Yuda." + +# Akavuka ng'ambo. + +"Akavuka mipaka kuingia Edomu." + +# Mpaka leo. + +Angalia sura ya 5:9 + +# Libna. + +Huu ulikuwa mji katika Yuda. + diff --git a/2ch/21/11.md b/2ch/21/11.md new file mode 100644 index 00000000..de85414b --- /dev/null +++ b/2ch/21/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kahaba. + +Neno "kahaba" lina maana aya mtu anayefanya kazi ya kujiuza kwa ajili ya kupata pesa au kwa mambo ya kidini. Kwa kawaida makahaba walikuwa wanawake, lakini wachache walikuwa wanaume. + diff --git a/2ch/21/12.md b/2ch/21/12.md new file mode 100644 index 00000000..38942a11 --- /dev/null +++ b/2ch/21/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mpaka utumbo wako uanguke nje kwa sababu ya ugonjwa. + +"Mpaka ugonjwa huu ukuuwe". + diff --git a/2ch/21/16.md b/2ch/21/16.md new file mode 100644 index 00000000..2c4a8210 --- /dev/null +++ b/2ch/21/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Akaichochea dhidi ya Yehoramu roho ya Wafilisti na ya Waarabu. + +"Aliwasukuma Wafilisti na Waarabu + diff --git a/2ch/21/18.md b/2ch/21/18.md new file mode 100644 index 00000000..6a0eb74f --- /dev/null +++ b/2ch/21/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yahwe akampiga katika utumbo wake kwa ugonjwa usiopona. + +"Alimpiga ugonjwa usiotibika katika utumbo wake.". + +# Wakati ulipofika. + +"Katika wakati sahihi" au "wakati sahihi ulipowadia". + +# Hawakutengeneza moto kwa ajili ya heshima yake. + +"Hawakumheshimu kwa kwa moto mkubwa" + diff --git a/2ch/22/01.md b/2ch/22/01.md new file mode 100644 index 00000000..1d2a17c0 --- /dev/null +++ b/2ch/22/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Athalia. + +Athalia ni jina la kike. + +# Pia alitembea. + +Angalia sura ya 20:31 + diff --git a/2ch/22/04.md b/2ch/22/04.md new file mode 100644 index 00000000..4816245c --- /dev/null +++ b/2ch/22/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika macho ya Yahwe. + +"Katika matakwa ya Yahwe". + +# Hazaeli. + +Hili ni jina la kiume(Ndilo jina aliloitwa mafalme wa Aramu ambayo ndiyo Ashuru). + diff --git a/2ch/22/07.md b/2ch/22/07.md new file mode 100644 index 00000000..47f13068 --- /dev/null +++ b/2ch/22/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nimshi. + +Nimshi ni jina la kiume. + diff --git a/2ch/22/10.md b/2ch/22/10.md new file mode 100644 index 00000000..2585b905 --- /dev/null +++ b/2ch/22/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yehoshaba...Yehoiada. + +Haya ni majina ya kiume. + diff --git a/2ch/23/01.md b/2ch/23/01.md new file mode 100644 index 00000000..3789eec7 --- /dev/null +++ b/2ch/23/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yehoyada. + +HUyu ni kuhani mkuu aliyehudumu katika hekalu na kwa uaminifu kwa Mungu. Alikuwa mshauri wa Yoashi. + +# Obedi...Maaseya...Adaya...Elishafati...Zikri. + +Haya ni majina ya Kiume + diff --git a/2ch/23/04.md b/2ch/23/04.md new file mode 100644 index 00000000..96f94d02 --- /dev/null +++ b/2ch/23/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu wote. + +Watu wengi. + diff --git a/2ch/23/06.md b/2ch/23/06.md new file mode 100644 index 00000000..bf438f61 --- /dev/null +++ b/2ch/23/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Aingiapo ndani na atokapo. + +Yaweza kuwa na maana hizi: 1) "Wakatai wote" au 2) Wakati wowote anapoenda". + diff --git a/2ch/23/08.md b/2ch/23/08.md new file mode 100644 index 00000000..0ebf7648 --- /dev/null +++ b/2ch/23/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yuda wote walitumika kwa kila njia kama katika namna ambayo Yehoyada kuhanai aliwaamuru. + +"Watu walio wengi walikuwa waaminifu katika amri za kuhani mkuu." + +# Wale watakaoondoka katika Siku ya Sabato. + +"Waliokuwa wanamaliza kazi zao katika siku ya Sabatao." + diff --git a/2ch/23/10.md b/2ch/23/10.md new file mode 100644 index 00000000..e4a17cc2 --- /dev/null +++ b/2ch/23/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kumpa aganao la sheria. + +"Aliyatamka maneno ya agano." + diff --git a/2ch/23/12.md b/2ch/23/12.md new file mode 100644 index 00000000..58efcd4c --- /dev/null +++ b/2ch/23/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu wote wa nchi. + +"Karibia watu wote." + diff --git a/2ch/23/14.md b/2ch/23/14.md new file mode 100644 index 00000000..3bf25ccf --- /dev/null +++ b/2ch/23/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yehoyada + +Yehoyada alikuwa kuhani + +# Waliokuwa juu ya jeshi. + +Wale waliokuwa viongozi katika jeshi. + +# Kati ya safu. + +Kati kati ya wanajeshi + diff --git a/2ch/23/16.md b/2ch/23/16.md new file mode 100644 index 00000000..6583d78c --- /dev/null +++ b/2ch/23/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watu wote wakaenda kwenye nyumba ya Baali. + +Karibu watu wote walienda kwenye hekalu la Baali. + +# Matani. + +Huyu ni mtu mwanaume aliyeitwa Matani, alikuwa kuhani wa miungu ya Baali + diff --git a/2ch/23/18.md b/2ch/23/18.md new file mode 100644 index 00000000..26c1ab41 --- /dev/null +++ b/2ch/23/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Chini ya mkono wa Makuhani. + +"Chini ya uongozi na maelekezo ya makuhani. + +# Ili kwamba kwa namna yoyote ile asiingie mtu asiye safi. + +Hakuna mtu asiyesafi anaruhusiwa kuingia kwa sababu yoyoye. + diff --git a/2ch/23/20.md b/2ch/23/20.md new file mode 100644 index 00000000..a3fa2b74 --- /dev/null +++ b/2ch/23/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Akamleta chini mfalme kutoka kwenye nyumba ya Yahwe. + +Hekalu lilikuwa limejengwa juu ya mlima huko Yerusalemu. "Alimleta mfalme kutoka hekaluni kutoka juu ya kilele cha mlima hadi ikulu. + diff --git a/2ch/24/01.md b/2ch/24/01.md new file mode 100644 index 00000000..fe005e7a --- /dev/null +++ b/2ch/24/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sibia. + +Jina la kiume. + +# Yaliyomema katika macho ya Yahwe. + +Angalia sura ya 14:1 + +# Siku zote za Yehoyada, yule kuhani. + +"Muda wote wa maisha ya Yehoyada." + diff --git a/2ch/24/04.md b/2ch/24/04.md new file mode 100644 index 00000000..5258ff37 --- /dev/null +++ b/2ch/24/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mnaanza haraka. + +"Haraka" + diff --git a/2ch/24/06.md b/2ch/24/06.md new file mode 100644 index 00000000..3155ef75 --- /dev/null +++ b/2ch/24/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini hukuwaagiza Walawi...amri za hema ya agano. + +Mmetenda kwa uovu. Nilikuagiza kuwaagiza Walawi kuzifuata amri za hema ya agano, lakini kufanya hivyo. + diff --git a/2ch/24/11.md b/2ch/24/11.md new file mode 100644 index 00000000..44ee3ce0 --- /dev/null +++ b/2ch/24/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Waashi na maseremala. + +"Wale wajengao kwa mawe na wale wajengao kwa mbao." + +# walifanya kazi katika chuma na shaba. + +"Wale waliokuwa wakifanya kazi kwa chuma." + diff --git a/2ch/24/13.md b/2ch/24/13.md new file mode 100644 index 00000000..47d1efc2 --- /dev/null +++ b/2ch/24/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ikasonga mbele mikononi mwao. + +"Walifanya kwa mikono yao." + +# Bia kukoma katika nyumba ya Yahwe kwa siku zote za Yehoyada. + +"Kila siku kwa siku zote za maisha ya Yehoyada." + diff --git a/2ch/24/15.md b/2ch/24/15.md new file mode 100644 index 00000000..82eb23cf --- /dev/null +++ b/2ch/24/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Akafa, kufa + +Neno hili hutumika kumaanisha aina zote za vifo, yaani kifo cha kimwili na kifo cha kiroho. Kimwili, humaanisha kukoma kuisha katika mwili wa mtu. Kiroho humaanisha kitendo cha watu wennye dhambi kutengwa na Mungu mtakatifu kwa sababu ya dhambi zao. + +# Wakamzika, mazishi + +Neno "zika" lina maaana ya kuweka mwili uliokufa katika shimo au sehemu ya kuzikia. na neno mazishi lina maana ya kitendo cha kuzika kitu fulani. + +# Mji wa Daudi. + +Neno "mji wa Daudi" ni jina jingine la Yerusalemu na Bethelehemu. Yerusalemu ndiko alikoishi Daudi wakati akitawala Israeli. Bethelehemu ndiko alikozaliwa Daudi. + diff --git a/2ch/24/17.md b/2ch/24/17.md new file mode 100644 index 00000000..de2426e5 --- /dev/null +++ b/2ch/24/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kutoa heshima kwa mfalme. + +"akatoa heshima kwa mfalme." + +# Hili kosa lao. + +"kwa sababu ya dhambi zao." + diff --git a/2ch/24/20.md b/2ch/24/20.md new file mode 100644 index 00000000..25125a99 --- /dev/null +++ b/2ch/24/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Akapuuza ukarimu ambao Yehoyada, baba yake Zekaria alikuwa amemfanyia. + +Yoashi hakujali wala kukumbuka ukarimu mkuu wa Yehoyada, baba yake Zekaria." + +# Akuite katika hukumu. + +"Utalipa uovu ulioufanya." + diff --git a/2ch/24/25.md b/2ch/24/25.md new file mode 100644 index 00000000..e2e63a78 --- /dev/null +++ b/2ch/24/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Zabadi mwana wa Shimeathi, Mwamoni; na Yehozabadi mwana wa Shimrithi, Mmoabu. + +Haya yote ni majina ya kiume. + diff --git a/2ch/24/27.md b/2ch/24/27.md new file mode 100644 index 00000000..c0bb5249 --- /dev/null +++ b/2ch/24/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kamausi ya kitabau cha Wafaaalme. + +Hiki ni kitabu ambacho kwa sasa hakipo tena. + diff --git a/2ch/25/01.md b/2ch/25/01.md new file mode 100644 index 00000000..a857d828 --- /dev/null +++ b/2ch/25/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yehoadani. + +Hili ni jina la mwanamke. + +# Yaliyokuwa sahihi katika macho ya Yahwe. + +Angalia 14:1 + diff --git a/2ch/25/03.md b/2ch/25/03.md new file mode 100644 index 00000000..183e9901 --- /dev/null +++ b/2ch/25/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kitabu cha Musa. + +Hii inarejea kitabu cha Mwanzo, Kutoka, Mambo ya Walawi, Hesabu, na Kumbu kumbu la Torati. + diff --git a/2ch/25/05.md b/2ch/25/05.md new file mode 100644 index 00000000..f3f5c609 --- /dev/null +++ b/2ch/25/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Akawaandikisha. + +Liandika amajina yao katika orodha maalumu kwa ajili ya mambo ya kiofisi. + +# 300,000...100.000 + +Laki tatu...Laki moja + +# Talanta. + +Fedha + diff --git a/2ch/25/09.md b/2ch/25/09.md new file mode 100644 index 00000000..a1769053 --- /dev/null +++ b/2ch/25/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hivyo Hasira yao iliwaka sana zidi. + +"Kwa hiyo walianza kuwaka hasira." + +# Hasira kali. + +"wakiwa na hasira sana." + diff --git a/2ch/25/11.md b/2ch/25/11.md new file mode 100644 index 00000000..2b28aeff --- /dev/null +++ b/2ch/25/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Bonde la chumvi. + +Hili ni Eneo karibu na Bahari iliyokufa. + +# Hivyo wote wakavujika vunjika katika vipande. + +"Hivyo wote wakafa." + diff --git a/2ch/25/13.md b/2ch/25/13.md new file mode 100644 index 00000000..e7e0b9e5 --- /dev/null +++ b/2ch/25/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Beth-horoni. + +Hili lilikuwa bonde lililokuwa kaaribu na Yerusalemu katika Efraimu. + +# Wakawapiga. + +"Waliwaua." + diff --git a/2ch/25/14.md b/2ch/25/14.md new file mode 100644 index 00000000..8305448e --- /dev/null +++ b/2ch/25/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kuisimamisha iwe miungu yake. + +"Wakaiabudu miungu hii ya uongo." + +# Kwa nini umeitafuta miungu ya watu ambayo haikuwaokoa hata watu wake yenyewe zidi ya mkono wako. + +"Mmeiabudu miungu ya watu ambayo hata haikuweza kuwaokoa watu wake ddhidi yako, Mfalme Amazia. + diff --git a/2ch/25/16.md b/2ch/25/16.md new file mode 100644 index 00000000..21522716 --- /dev/null +++ b/2ch/25/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, wewe tumekufanya msgauri wa mfalme? Acha. + +"Kwa hakika hatukukuchagua kuwa mshauri. Kwa hiyo nyamazeni acheni kuszzungumza, na kama amtasema zaidi, nitawambia askari wangu kukuua. + +# Kwa nini ujitakie kuuawa? + +Nitawaambia askari wangu wakuue. + diff --git a/2ch/25/17.md b/2ch/25/17.md new file mode 100644 index 00000000..02779563 --- /dev/null +++ b/2ch/25/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yehoashi, Yehoazi. + +Haya ni majina ya kiume. + diff --git a/2ch/25/18.md b/2ch/25/18.md new file mode 100644 index 00000000..eb3fb931 --- /dev/null +++ b/2ch/25/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa za jumla: + +Yehoashi alikuwa mfalme wa Israeli na Amaziahi alikuwa mfalme wa Yuda. + +# baruti. + +Huu ni mstu mdogo. + +# Mwerezi. + +Aina fulani ya mti mkubwa sana. Hapa neno hili linawakilisha wanajeshi au askari wa Israeli. + +# Kwa nini ujisababishie matatizo mwenyewe na kuanguka wewe na Yuda pamoja nawe? + +"Hupaswi kujisababishaia matatizo mwenyewe na kujiangusha, wewe pamoja na Yuda." + diff --git a/2ch/25/20.md b/2ch/25/20.md new file mode 100644 index 00000000..2245715f --- /dev/null +++ b/2ch/25/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yuda walishindwa mbele za Israeli. + +"Walishindwa." + diff --git a/2ch/25/23.md b/2ch/25/23.md new file mode 100644 index 00000000..075f2170 --- /dev/null +++ b/2ch/25/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mikono. + +Kipimo cha zamani + +# Obedi Edomu. + +Hili ni jina la mtu. + diff --git a/2ch/25/25.md b/2ch/25/25.md new file mode 100644 index 00000000..c3537fc4 --- /dev/null +++ b/2ch/25/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwanzo na mwisho. + +"kila kitu." + +# Hayajaandikwa katika kitabu cha wafaalme wa Israeli. + +"Yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli." + diff --git a/2ch/25/27.md b/2ch/25/27.md new file mode 100644 index 00000000..55927234 --- /dev/null +++ b/2ch/25/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Lachishi. + +Hili ni jina la mji mmoja kataika Yuda. + +# Mji wa Yuda. + +Ni jina jingine la mji wa Daudi, au Yerusalemu. + diff --git a/2ch/26/01.md b/2ch/26/01.md new file mode 100644 index 00000000..e30795c0 --- /dev/null +++ b/2ch/26/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kumi na sita...hamsini na mbili. + +"16...52." + +# Elathi. + +Huu ulikuwa mji mmoja ulikuwa akatika Ghuba ya Akaba. + +# Mfalme akalala pamoja na babu zake. + +"Maana yake ni kwamba mfalme akafa." + diff --git a/2ch/26/04.md b/2ch/26/04.md new file mode 100644 index 00000000..1a203c8c --- /dev/null +++ b/2ch/26/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Akafanya yaliyo sahihi katika macho ya Yahwe. + +Angalia mstaraaisusra ya 14:1. + +# Katika kila kitu. + +"Katika namna ile ile." + +# Alijitoa kumtafuta. + +"Alijidhatiti kumpendeza." + diff --git a/2ch/26/06.md b/2ch/26/06.md new file mode 100644 index 00000000..0b7daea6 --- /dev/null +++ b/2ch/26/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yabne. + +Huu ulikuwa mji mmoja huko kaskazini mwa Yuda. + +# Gurbaali. + +Huu ulikuwa mji mmoja huko Uarabuni. + +# Waamoni. + +Huu ni ufalme wa watau wa Amoni karibu na Mlima Seiri. + +# Maingilio ya Misiri. + +"Mipaka ya Misiri" + diff --git a/2ch/26/09.md b/2ch/26/09.md new file mode 100644 index 00000000..8b9e16a6 --- /dev/null +++ b/2ch/26/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mabwawa. + +Katika mkitadha huu, bwawa nai shsimo kubwa chini ya ardhi ambalo lilitumika kuhifadhia maji ya mvua. + diff --git a/2ch/26/11.md b/2ch/26/11.md new file mode 100644 index 00000000..48ad9dfa --- /dev/null +++ b/2ch/26/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yeieli, mwandishi, na Maaseya, afsa, chini ya mamlaka ya Hanania, mmoja wa maamri jeshi. + +Maaseya na Hanania yote ni majina ya kiume. + +# 2,600...307,500 + +Elfu mbili na na mia sita (2,600), Laki tatau na elfu saba na mia tano. + diff --git a/2ch/26/14.md b/2ch/26/14.md new file mode 100644 index 00000000..a017b002 --- /dev/null +++ b/2ch/26/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Chapeo. + +Chapeo ni kitu kifaa cha kujilindia kinachofunika kichwa. + +# Deraya za majini. + +Hili ni vazi la chuma linalofunika mwili mzima likiunganishwa na minyororo. + diff --git a/2ch/26/16.md b/2ch/26/16.md new file mode 100644 index 00000000..c295efb3 --- /dev/null +++ b/2ch/26/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Moyo wake ulijiinua. + +"Akawa na kiburi." + +# Wana wa Haruni. + +"Uzao wa Haruni." + diff --git a/2ch/26/19.md b/2ch/26/19.md new file mode 100644 index 00000000..e37b80e9 --- /dev/null +++ b/2ch/26/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Chetezo. + +Hil lilikuwa bakuli maalumu ambalo lilitumika kuchomea sadaka za kuteketezwa. + +# Walimwondoa pale haraka. + +"Walimfanya ondoke haraka." + +# Yahwe alikuwa amempiga. + +"Yahwe alimfanya augue." + diff --git a/2ch/26/21.md b/2ch/26/21.md new file mode 100644 index 00000000..a6df1dce --- /dev/null +++ b/2ch/26/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Aliishi katika nyumba ya kutengwa. + +Hii ina ashiria kuwa aliishi mbali na nyumba za watu wengine katika jamii au nchi. + diff --git a/2ch/26/22.md b/2ch/26/22.md new file mode 100644 index 00000000..6f24a34d --- /dev/null +++ b/2ch/26/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mwanzo na mwisho. + +"Kila kitu." + +# Mwana wa Amozi. + +Hili ni jina la kiume. + +# Kwa hiyo Uzia akalala pamoja na babu zake. + +"Kwa hiyo Uzia akafa." + diff --git a/2ch/27/01.md b/2ch/27/01.md new file mode 100644 index 00000000..0c47217b --- /dev/null +++ b/2ch/27/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yerusha. + +Yerusha ni jina la kike. + +# Akafanya yaliyomema katika amacho ya Yahwe. + +Angalia sura ya 14:1. + +# Katika mambo yote. + +"Katika anamna ile ile." + diff --git a/2ch/27/03.md b/2ch/27/03.md new file mode 100644 index 00000000..6471f752 --- /dev/null +++ b/2ch/27/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kilima caha Ofeli. + +Hiki ni kilama kilichopo katika mji Yerusalemu. + diff --git a/2ch/27/05.md b/2ch/27/05.md new file mode 100644 index 00000000..43fae4a7 --- /dev/null +++ b/2ch/27/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Talanta. + +Ainza ya fedha iliyotumika kataika siku au nyakati za Bilia. + +# Kori. + +Kori kilikuwa kipimo kilichotumika katika siku za Biblia. + +# Katika mwaka wa pili na wa tatu. + +"Katika mwaka wa pili na wa tatu baada ya kuwashinda." + diff --git a/2ch/27/06.md b/2ch/27/06.md new file mode 100644 index 00000000..e75c630e --- /dev/null +++ b/2ch/27/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Alitembea imara mbele za Yahwe Mungu wake. + +"Alimtii Yahwe bila kuyumba" au "Aliishi kwa kujitoa kikamilifu kwa Yahwe." + +# Kitabu cha Wafalme wa Israeli na Yuda. + +Hiki ni kitabu ambacho hakipo tena. + diff --git a/2ch/27/08.md b/2ch/27/08.md new file mode 100644 index 00000000..6e3d94b2 --- /dev/null +++ b/2ch/27/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yothamu akalala pamoja na babu zake. + +"Yothamu akafa," + diff --git a/2ch/28/01.md b/2ch/28/01.md new file mode 100644 index 00000000..38c68a49 --- /dev/null +++ b/2ch/28/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hakuafanaya aayaliyoadili katika macho ya Yahwe. + +Angalia sura ya 14:1 + +# Alitembea katika njia za wafalme wa Israeli. + +"Alifanya dhambai kama vile walivyofanya wafalme wa Israeli waliomtangaualia." + diff --git a/2ch/28/03.md b/2ch/28/03.md new file mode 100644 index 00000000..286ec65a --- /dev/null +++ b/2ch/28/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Bonde la Beni Hinomu. + +Hili ni bonde liloko katika Yerusalemu. + +# Chini ya kila mti wenye majani mabichi. + +"Kila mahali au kila upande." + diff --git a/2ch/28/05.md b/2ch/28/05.md new file mode 100644 index 00000000..a41338db --- /dev/null +++ b/2ch/28/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Peka mwana wa Remalaia. + +Haya ni majina ya kiume. + diff --git a/2ch/28/07.md b/2ch/28/07.md new file mode 100644 index 00000000..376a6c5b --- /dev/null +++ b/2ch/28/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Zikri...Maaseya...Azrikamu...Elkana. + +Haya ni majina ya wanaume waliotajwa kwa kuhusika kwao katika matukio mbali mbali muhimu. + diff --git a/2ch/28/09.md b/2ch/28/09.md new file mode 100644 index 00000000..bf741ed2 --- /dev/null +++ b/2ch/28/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Odedi. + +Odedi hili ni jina la amtu mmoja alikuwa nabii wa Yahwe au Mungu. + +# Akawatia katika mikono yenu. + +"Aliwasaidia kuwashinda." + +# Lakini je, hamko na hatia...dhidi ya Yahwe Mungu wenu. + +"Lakini kumbuka, ninyi ni wenye hatia...dhidi ya Yahwe Mungu wenu. + diff --git a/2ch/28/12.md b/2ch/28/12.md new file mode 100644 index 00000000..52f071a5 --- /dev/null +++ b/2ch/28/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Azaria mwana wa Yohanani, Berikia mwana wa Meshiremothi, Yeehizikia mwa wa Shalumu, na Amasa mwana wa Hadlai + +Hii ni ordha ya aamajina aya kiume aau ya wanaume ambao wlikwa viongozi wenye vyeo mbali mbali katika nchi ya Efraimu. + diff --git a/2ch/28/14.md b/2ch/28/14.md new file mode 100644 index 00000000..121b932f --- /dev/null +++ b/2ch/28/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Viatu. + +Hiii ilikuwa aina fulani ya viatu ambavyo vilikuwa vya wazi. + +# Wakawahudumia majeraha yao. + +"Waliwapa huduma ya matibu." + +# Wakawaweka waliodhaifu juu ya punda. + +"Wakawapa punda wale wasioweza kutembea." + diff --git a/2ch/28/16.md b/2ch/28/16.md new file mode 100644 index 00000000..799a0f08 --- /dev/null +++ b/2ch/28/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Beth-shemeshi, Ayaloni, Giderothi, Soko pamoja na vijiji vyake, Timna pamoja na vijiji vyake. + +Haya ni majina ya miji mbali mbali. + diff --git a/2ch/28/19.md b/2ch/28/19.md new file mode 100644 index 00000000..f5ccd082 --- /dev/null +++ b/2ch/28/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yahwe aliishusha chini Yuda kwa sababu ya Ahazi. + +"Yahwe alimnyenyekeza Ahazi." + +# Tiglath-pileseri. + +Hii ni Tiglath-pileseri ya III, pia inajulikana kama Puli. + diff --git a/2ch/28/22.md b/2ch/28/22.md new file mode 100644 index 00000000..ab6c7000 --- /dev/null +++ b/2ch/28/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika muda wa mateso yake. + +"Wakati wa mateso yake." + +# Nitawatolea sadaka. + +"Nitawatolea sadaka ili wanisaidie." + diff --git a/2ch/28/24.md b/2ch/28/24.md new file mode 100644 index 00000000..1130355e --- /dev/null +++ b/2ch/28/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Samani. + +"Samani na vyombo vingine." + +# Katika kila kona ya Yerusalemu. + +"Katika Yerusalemu." + diff --git a/2ch/28/26.md b/2ch/28/26.md new file mode 100644 index 00000000..e395ca8c --- /dev/null +++ b/2ch/28/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Njia zake zote, mwanzo na mwisho. + +"Kila kitu alichofanya." + +# Kitabu cha Wafalme wa Yuda na Israeli. + +Hiki ni kitabu ambacaho hakipo tena. + +# Ahazi akalala pamoja na babu zake. + +"Ahazi akafa." + diff --git a/2ch/29/01.md b/2ch/29/01.md new file mode 100644 index 00000000..a7f9fd15 --- /dev/null +++ b/2ch/29/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Abiya. + +Hili ni jina la kike (mwanamke) + +# Alifanya yaliyoadili katika macho ya Yahwe. + +Tazama sura ya 14:1 + diff --git a/2ch/29/03.md b/2ch/29/03.md new file mode 100644 index 00000000..6ab47399 --- /dev/null +++ b/2ch/29/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika mwezi wa kwanza. + +Huu ni mwezi wa kwanza katika Kalenda ya Kiebrania. Ni kati kati ya mwezi wa nne na wa nne katika kalenda ya Magharibi. + +# Uondoeni mbali uchafu. + +"Ondoeni uchafu" au toeni uchafu." + diff --git a/2ch/29/06.md b/2ch/29/06.md new file mode 100644 index 00000000..1fcfcd10 --- /dev/null +++ b/2ch/29/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Walikosea na kufanya kilichokuwa uovu katika macho ya Yahwe. + +Angalia sura ya 21:6. + +# Sehemu ambapo Yahwe aliishi. + +Angalia sura ya 18:12. + diff --git a/2ch/29/08.md b/2ch/29/08.md new file mode 100644 index 00000000..d840c948 --- /dev/null +++ b/2ch/29/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wasi wasi, Hofu, kudharauliwa. + +Haya yote ni maneno yanayoashiria kuwepo kwa hali mbaya ya kuogopa sana. + +# Kama aamnavyoona kwa macho yenu. + +"Kama mnavyoweza kuona wenyewe." + +# Hii ndiyo maana mababu zetu walianguka kwa upanaga. + +"Hivyo ndivyo baba zetu walivyouawa." + diff --git a/2ch/29/10.md b/2ch/29/10.md new file mode 100644 index 00000000..6a062f1a --- /dev/null +++ b/2ch/29/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ili kwamba hasira yake kali iweze kugeuka mbali nasi. + +"Ili asikasirike na hasira yake iwe juu yetu." + diff --git a/2ch/29/12.md b/2ch/29/12.md new file mode 100644 index 00000000..95f37dac --- /dev/null +++ b/2ch/29/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa za jumla: + +Haya ni majina ya watu wanaume kutoka Kabila la Lawi. + diff --git a/2ch/29/15.md b/2ch/29/15.md new file mode 100644 index 00000000..bc02121f --- /dev/null +++ b/2ch/29/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kijito cha Kidroni. + +Sehemu ndogo ya maji ambayo hutiririka upande wa mashariki wa Yerusalemu. Kuna wakati kijito hicho kilikuwa kikitumika kama jalala. + +# Siku ya kwanza ya mwezi. + +Ni kipindi kilicho karibu na mwisho wa mwezi wa tatu katika kalenda ya magharibi. + +# Siku ya nane ya Mwezi. + +Hiki ni kipindi cha mwanzo wa mwezi wa Nne kwa mjibu wa kalenda ya magaharibi. + diff --git a/2ch/29/18.md b/2ch/29/18.md new file mode 100644 index 00000000..01e8115d --- /dev/null +++ b/2ch/29/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Katika kipindi cha utawala wake. + +"Katika kipindi cha utawala wake." + diff --git a/2ch/29/25.md b/2ch/29/25.md new file mode 100644 index 00000000..28c77e48 --- /dev/null +++ b/2ch/29/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Matoazi. + +Angalia sura ya 5:11. + diff --git a/2ch/29/31.md b/2ch/29/31.md new file mode 100644 index 00000000..3ca56347 --- /dev/null +++ b/2ch/29/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Dhabihu za shukrani. + +Hizi zilikuwa sadaka za shukrani. + +# Nani alikuwa na moyo wa hiari + +"Aliyestahili" + diff --git a/2ch/29/32.md b/2ch/29/32.md new file mode 100644 index 00000000..19e1b18c --- /dev/null +++ b/2ch/29/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa za jumla: + +Hii ni idadi ya wanyama waliokuwa kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa. + diff --git a/2ch/29/34.md b/2ch/29/34.md new file mode 100644 index 00000000..871bb260 --- /dev/null +++ b/2ch/29/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Walikuwa makini sana kujitaksa wenyewe kuliko makuhani. + +Walikuwa makini sana katika kufuata taratibu au sheria kwa ajili ya kujitakasa wenyewe. + diff --git a/2ch/29/35.md b/2ch/29/35.md new file mode 100644 index 00000000..58334eb1 --- /dev/null +++ b/2ch/29/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Zilitolewa pamoja na sadaka za mafauta za amani. + +Makuhani waliyachoma mafuta ya wanyama ambao walitolewa kama sadaka kwa ajili ya kulinda ushirika mzuri na Yahwe. + +# Ikawekwa katika utaratibu. + +"Ziliimarishwa na makuhani kwa mjibu wa sheria" + diff --git a/2ch/30/01.md b/2ch/30/01.md new file mode 100644 index 00000000..ca572ba2 --- /dev/null +++ b/2ch/30/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wakakubaliana kusherehekea Pasaka katika mwezi wa Pili. + +Kwa kawaida Waisraeli walisherehekea Pasaka katika mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Mwezi wa kwanza uko kati kati ya mwezi Machi na nusu ya kwanza ya mwezi Apirl Hii ni kwa mjibu wa kalenda ya magharibi. + +# Mwezi wa pili + +Huu ni mwezi wa pili wa kalenda ya Kiebrania. Uko kati ya nusu ya pili ya mwezi Aprili na nusu ya kwanza ya mwezi Mei katika kalenda ya Magharibi. + diff --git a/2ch/30/04.md b/2ch/30/04.md new file mode 100644 index 00000000..9aeb00e7 --- /dev/null +++ b/2ch/30/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika macho ya. + +Tazama 14:1 + +# Beer-sheba hadi Dani, + +"}Watu wote wa Israeli" + diff --git a/2ch/30/06.md b/2ch/30/06.md new file mode 100644 index 00000000..598003f4 --- /dev/null +++ b/2ch/30/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Matarishi. + +Huyu alikuwa mtu aliyekuwa na kazi ya kupeleka ujumbe + diff --git a/2ch/30/07.md b/2ch/30/07.md new file mode 100644 index 00000000..a2701b54 --- /dev/null +++ b/2ch/30/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Akawaweka katika uharibifu. + +"Aliwafanya waangamie". + +# Jitoeni wenyewe kwa Yahwe + +"Mtiini Yahwe" au jitoeni kwa ajili ya Yahwe". + diff --git a/2ch/30/13.md b/2ch/30/13.md new file mode 100644 index 00000000..3972643e --- /dev/null +++ b/2ch/30/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mwezi wa pili. + +Huu ni mwezi wa pili katika kalenda ya Kiebrania. Ni mwezi ambao uko kati kati ya mwisho wa mwezi wa Apirl na mwazoni mwa mwezi Mei katika kalenda ya magharibi. + +# Kijito Kidroni. + +Hii ilikuwa chemi chemi ya maji katika Bonde Kironi. + +# Siku ya kumi na na nnne ya mwezi wa pili.. + +Hiki ni kipindi karibu ya mwanzo wa mwezi wa Mei katika kalenda ya magharibi. + diff --git a/2ch/30/16.md b/2ch/30/16.md new file mode 100644 index 00000000..cf8b300f --- /dev/null +++ b/2ch/30/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wakasimama katika makundi yao. + +Walisimama katika dhamu zao au sehemu zao walizopangiwa. + +# Wakawachinja wanakondoo wa Pasaka + +Kwa kufuata desturi na taratibu waliwachinja wanakondoo wa Pasaka. + diff --git a/2ch/30/21.md b/2ch/30/21.md new file mode 100644 index 00000000..db0ad4ff --- /dev/null +++ b/2ch/30/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Vyombo. + +Hii inarejea vyombo vya muziki. + diff --git a/2ch/31/01.md b/2ch/31/01.md new file mode 100644 index 00000000..06fcc886 --- /dev/null +++ b/2ch/31/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watu wote wa Israeli. + +"Karibia watu wote wa Israeli." + diff --git a/2ch/31/02.md b/2ch/31/02.md new file mode 100644 index 00000000..958362fe --- /dev/null +++ b/2ch/31/02.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Pia akawapanga katika sehemu ya mfalme kwa ajili ya sadaka kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kutoka katika mali zake. + +Hezekia alichukua chalakua nyama na nafaka zilizokuwa zinatumika kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kutoka mali zake mwenyewe. + +# Mwezi mpya. + +Hii ilikuwa sikukuu ambayo ilienda pamoja na hatua za mwezi. + +# Sikukuu zisizobadilika. + +Hizi ni sikukuu ambazo hutokea katika tarehe maalumu. + diff --git a/2ch/31/04.md b/2ch/31/04.md new file mode 100644 index 00000000..3766ab61 --- /dev/null +++ b/2ch/31/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Moja ya kumi ya kila kitu. + +"Moja ya kumi ya mazao yao yote". + diff --git a/2ch/31/06.md b/2ch/31/06.md new file mode 100644 index 00000000..8a09907f --- /dev/null +++ b/2ch/31/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwezi wa tatu. + +Huu ni mwezi wa tatu wa kalenda ya Kiebrania.Iko mwisho wa msimu wa mavuno na mwanzo wa msimu wa kiangazi.Ni mwisho wa mwezi wa tano na mwanzo wa mwezi Juni katika kalenda ya Magharibi. + +# Mwezi wa Saba. + +Huu ni mwezi wa saba katika kalenda ya Kiebrania. Hiki ni kipindi cha msimu wa mvua za amwanzo, ambayo ilikuwa ikiilainisha nchi kwa ajili ya kupanda mazao. Ni mwishoni mwa mwezi Septemba na mwanzoni mwa Octoba katika kalenda ya Magharibi. + diff --git a/2ch/31/09.md b/2ch/31/09.md new file mode 100644 index 00000000..a1586e51 --- /dev/null +++ b/2ch/31/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kilichokuwa kimebaki ni kiasi kikubwa hiki hapa. + +Kuhani mkuu alikuwa akisonta kwenye marundo makubwa. + diff --git a/2ch/31/14.md b/2ch/31/14.md new file mode 100644 index 00000000..56d77f8c --- /dev/null +++ b/2ch/31/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kore mwana wa Imna...Edeni, Miniamini, Amaaria, na Shekania + +Haya ni majina ya kiume. + +# Chini yake. + +"Chini ya mamlaka yake." + +# Wote walio muhimu na awsiomuhimu. + +"Kila mmoja" + diff --git a/2ch/31/16.md b/2ch/31/16.md new file mode 100644 index 00000000..cc1f35c4 --- /dev/null +++ b/2ch/31/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Umri wa miaka mitatu na kuendelea. + +"Mika mitatu na zaidi" + +# Kwa mjibu wa aratiba ya kila siku. + +Kama inavyotakiwa kila siku." + diff --git a/2ch/32/01.md b/2ch/32/01.md new file mode 100644 index 00000000..8b740fc3 --- /dev/null +++ b/2ch/32/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Matendo haya ya uaminifu. + +Matendo haya yalifanywa na Hezekia. + diff --git a/2ch/32/02.md b/2ch/32/02.md new file mode 100644 index 00000000..2a3f9b56 --- /dev/null +++ b/2ch/32/02.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kuyazuia maji ya chemi chemi yaliyokuwa nje ya mji. + +Walizifunga chemi chemi amabazo zilikuwa nje ya mji ili kwamba watu wasipate maji. + +# Kwa nini mfalme wa Ashuru aje na kupata maji mengi? + +Mfalme wa Ashuru hapaswi kuja na kukuta mengi. Wakalimani wanaweza kusema "mfalme wa Ashuru", kwa sababu hakuna kifunga cha kurejea na kupa masaada wa taarifa za mfalme. + diff --git a/2ch/32/05.md b/2ch/32/05.md new file mode 100644 index 00000000..c8f24af2 --- /dev/null +++ b/2ch/32/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Akajipa ujasiri. + +Angalia sura ya 15:8. + +# Hezekia akajipa ujasiri na kujenga. + +"Hezekia alijipa moyo mwenyewe na watu na wakajenga." + +# Milo. + +Hii sehemu ya ukuta amabayo inaushikilia ukuta na kuufanya kuwa imara. + diff --git a/2ch/32/06.md b/2ch/32/06.md new file mode 100644 index 00000000..9d9e7000 --- /dev/null +++ b/2ch/32/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa maana kuna mtu yuko pamoja nasi ambaye ni mkuu kuliko waliye naye mfalme wa Ashuru + +"Kwa maana Mungu wetu yuko nasi, tena ananguvu kuliko wao." + +# Jeshi la mwili. + +"Nguvu za kibinadamu." + diff --git a/2ch/32/09.md b/2ch/32/09.md new file mode 100644 index 00000000..533861be --- /dev/null +++ b/2ch/32/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Lakishi. + +Huu ulikuwa mji katika Yuda. + +# Ni kitu gani mnategemea kwa ajili ya kuhimili uvamizi katika Yerusalemu. + +"Hamna uwezo wwa kuhimili uvamizi unaokwenda kutokea katika Yerusalemu." + diff --git a/2ch/32/11.md b/2ch/32/11.md new file mode 100644 index 00000000..29f07c6d --- /dev/null +++ b/2ch/32/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, Hezekia hawapotoshi ninyi ... anapowaaambia, 'Yahwe ...Ashuru'? + +"Hezekia anawapotosha ninyi... anapowaamaabia, 'Yahwe atatuoko na mkono wa mfalme wa Ashuru." + +# Je, siyo Hezekia yule yule ambaye amezipeleka juu sehemu zake na madhabahu zake ... + +"Ni Hezekia yule yule aliyefanya hivyo." + diff --git a/2ch/32/13.md b/2ch/32/13.md new file mode 100644 index 00000000..e8e9272e --- /dev/null +++ b/2ch/32/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Je, hamjui mimi na babu zangu tulifanya nini kwa makundi ya watu wote wa nchi zingine? + +"Mnajua vyema sana." + +# Je, miungu ya watu wa nchi hizo iliweza kwa njia yoyote iliweza kuziokoa nchi zao dhidi ya nguvu zangu? + +"Miungu ya makundi ya watu wa nchi hizo kamwe haikuweza kuwaokoa watu wake dhidi ya nguvu zangu!" + +# Miongni mwa nchi hizo zote, je kulikuwa na miungu iliyoweza kuwaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu? + +"Hapakuwa na muungu kati ya miungo yote ambaye aliweza kuwaokoa!" + +# Itakuwaje Mungu wenu ninyi aweze kuwaokoa ninyi dhidi ya nguvu zangu? + +"Hakuna sababu ya Mungu wenu kuweza kuwaokoa ninyi dhidi ya mkono wangu!" + diff --git a/2ch/32/18.md b/2ch/32/18.md new file mode 100644 index 00000000..f530b956 --- /dev/null +++ b/2ch/32/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ili kuwaogopesha na kuwasumbua. + +Virai hivi viwili vina maana ya kitu kimoja na vinasisitiza swala la hofu ("kuwafanya waogope sana.") + +# Wakamnenea Mungu wa Yerusalemu kama walivyowanenea miungu wa Dunia. + +"Wakamdhihaki Mungu wa Yerusalemu kama walivyokuwa wamewadhihaki miungu wa watu wengine wa Dunia." + diff --git a/2ch/32/20.md b/2ch/32/20.md new file mode 100644 index 00000000..df0ad255 --- /dev/null +++ b/2ch/32/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wakalia hadi mbinguni. + +"Wakamsihi Mungu." + +# Uso wa aibu. + +"Akiwa ameaibika" au "mwenye aibu." + +# Nyumba ya muungu wake. + +"Hekalu la muungu wake." + diff --git a/2ch/32/22.md b/2ch/32/22.md new file mode 100644 index 00000000..358307ea --- /dev/null +++ b/2ch/32/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Akawapa pumziko katika kila upande + +"Mahali hapa "pumziko" linamaana ya "amani". Aliwapa amani pamoja na watu wa nchi zingine jirani. + +# Mbele za macho ya mataifa yote. + +"Kwa hiyo watu wote jirani wakajua" + diff --git a/2ch/32/24.md b/2ch/32/24.md new file mode 100644 index 00000000..2d28690a --- /dev/null +++ b/2ch/32/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Moyo wake uliinuliwa juu. + +"Akajivuna" + diff --git a/2ch/32/27.md b/2ch/32/27.md new file mode 100644 index 00000000..f6bdf046 --- /dev/null +++ b/2ch/32/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Malisho. + +Angalia sura ya 9:25 + +# Pia alikuwa na makundi katika mazizi. + +Sehemu ya kuhifadhia kwa ajili ya wanyama wadogo wadogo. + diff --git a/2ch/32/30.md b/2ch/32/30.md new file mode 100644 index 00000000..73211c74 --- /dev/null +++ b/2ch/32/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maji ya Gihoni. + +Gihoni ni jina la mahali ampapo palikuwa na chemi chemi za maji + diff --git a/2ch/32/32.md b/2ch/32/32.md new file mode 100644 index 00000000..f1a2cf15 --- /dev/null +++ b/2ch/32/32.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maono ya Nabii Isaya Mwana wa Amozi...na katika kitabu cha wa Yuda na Israeli. + +Vitabu hivi havipo tena. + +# Hezekia akalala pamoja na babu zake. + +Rejea sura ya 9:29 + diff --git a/2ch/33/01.md b/2ch/33/01.md new file mode 100644 index 00000000..40652a0b --- /dev/null +++ b/2ch/33/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Akafanya yaliyokuwa uovu katika macho ya Yahwe. + +Rejea sura ya 14:1 + +# Kama yalivyo mambo ya machukizo ya mataifa ambayo Yahwe alikuwa amewafukuza mbele ya watu wa Israeli. + +"Kama alivyowatendea watu wengine ambao Yahwe aliwasababisha kupigwa na watu wa Israeli". + diff --git a/2ch/33/04.md b/2ch/33/04.md new file mode 100644 index 00000000..a7330f9b --- /dev/null +++ b/2ch/33/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Jina langu litawekwa. + +"Nitajifanya mwenyewe nijulikane kwa watu" + +# Akawaweka wanaye katika moto. + +"Hiki kilikuwa kitendo cha kuwachoma watoto katika moto kama wakiwa hai kama sadaka kwa miungu" + +# Bonde la Beni Hinomu + +Hii ni sehemu iliyopo karibu na Yerusalemu ambayo pia inajulikana kama Jehena. + diff --git a/2ch/33/07.md b/2ch/33/07.md new file mode 100644 index 00000000..9cabaf65 --- /dev/null +++ b/2ch/33/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yuda na wakaaji wa Yerusalemu. + +"Watu wa Yuda na Yerusalemu". + diff --git a/2ch/33/10.md b/2ch/33/10.md new file mode 100644 index 00000000..9e9b506f --- /dev/null +++ b/2ch/33/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Akaleta juu yao. + +"Akaleta mavamizi juu yao" + diff --git a/2ch/33/12.md b/2ch/33/12.md new file mode 100644 index 00000000..8364a72c --- /dev/null +++ b/2ch/33/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Akaomba kwake; na Mungu akasikia kuoma kwake + +"Kirai cha pili kina weka msistizo wa kirai cha kwanza na kinasistiza kuhusu maombi ya Manase. "Alimwomba na kumsihi Mungu." + diff --git a/2ch/33/14.md b/2ch/33/14.md new file mode 100644 index 00000000..5a586c7d --- /dev/null +++ b/2ch/33/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla . + +Manase alikuwa mfalme wa Yuda, ndiye aliyewasababisha watu wa Yuda na Yerusalemu kufanya uovu mbele za macho ya Yahwe. + +# Miungu ya kigeni. + +"Miungu ya uongo kutoka nchi zingine." + diff --git a/2ch/33/16.md b/2ch/33/16.md new file mode 100644 index 00000000..49ce93d6 --- /dev/null +++ b/2ch/33/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Akamwamuru Yuda. + +"Aliwaamurisha watu wa Yuda." + diff --git a/2ch/33/18.md b/2ch/33/18.md new file mode 100644 index 00000000..f7d1633a --- /dev/null +++ b/2ch/33/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yameandikwa miongoni mwa wafalme wa Yuda. + +Tukio hili katika historia ya Israeli halipo tena. + +# Tarehe ya waonaji. + +Hiki ni kitabu ambacho hakipo tena. + +# Kwa hiyo Manase akalala pamoja na babu zake, na walimzika pamoja nao. + +"Kwa hiyo Manase akafa, na familia yake wakamzika". + +# Amoni. + +Hili ni jina la kiume. + diff --git a/2ch/33/21.md b/2ch/33/21.md new file mode 100644 index 00000000..d2afbcd2 --- /dev/null +++ b/2ch/33/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Akafanya yaliyokuwa uovu katika macho ya Yahwe. + +Angalia sura ya 14:1. + +# Amoni huyu huyu alifanya makosa zaidi na zaidi + +"Amoni alitenda dhambi zaidi" + diff --git a/2ch/33/24.md b/2ch/33/24.md new file mode 100644 index 00000000..cc6322d6 --- /dev/null +++ b/2ch/33/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakapanga njama + +"Wakapanga kwa mpngo kwa siri." + diff --git a/2ch/34/01.md b/2ch/34/01.md new file mode 100644 index 00000000..bff6e344 --- /dev/null +++ b/2ch/34/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Alifanya yaliyo haki katika macho ya Yahwe, + +Angalia sura ya 14:1 + +# Hakugeuka mbali iwe kulia au kushoto. + +"Hakusita kumtii Mungu katika hali yoyote", au "alitii amri zote za Mungu" + diff --git a/2ch/34/04.md b/2ch/34/04.md new file mode 100644 index 00000000..71ed3632 --- /dev/null +++ b/2ch/34/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hadi zikawa mavumbi. + +Hadi zilipokuwa vipande vidogo vidogo sana kiasi cha kuweza kuchukuliwa na upepo". + diff --git a/2ch/34/06.md b/2ch/34/06.md new file mode 100644 index 00000000..ae592818 --- /dev/null +++ b/2ch/34/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kuwa unga. + +"Zile sanamu aliziharibu kabisa zikaisha au zikateketea" + diff --git a/2ch/34/08.md b/2ch/34/08.md new file mode 100644 index 00000000..0a98da82 --- /dev/null +++ b/2ch/34/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla. + +Yosia ni jina la mtu mwanamme, huyu alikuwa mfalme. + +# Wakakabidhi kwake. + +"Walimpa yeye jukumu la kusimamia matumizi ya fedha hizo." + diff --git a/2ch/34/10.md b/2ch/34/10.md new file mode 100644 index 00000000..fffd9508 --- /dev/null +++ b/2ch/34/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Waliziacha zikaanguka + +"Waliziruhusu zikaharibika." + diff --git a/2ch/34/12.md b/2ch/34/12.md new file mode 100644 index 00000000..d10c3d4f --- /dev/null +++ b/2ch/34/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa za jumla. + +Haya ni majina ya watu kutoka koo mbali mbali za Kilawi. + +# Walawi hawa walikuwa viongozi wa wale waliobeba vifaa vya ujenzi na watu wengine wote waliofanya kazi kwa namna yoyote ile. + +"Walawi hawa walikuwa wasimamizi au viongozi wa wanaume wote waliokuwa wakifanya aina zote za kazi za ujenzi." + diff --git a/2ch/34/14.md b/2ch/34/14.md new file mode 100644 index 00000000..523420a9 --- /dev/null +++ b/2ch/34/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa za jumla: + +Hilkia alikuwa kuhani na Shefank alikuwa mwandishi, yaani mtu aliyekuwa na kazi ya kuandika mambo mbali mbali yamhusuyo Mungu. + +# Walipoileta fedha ambayo ilikuwa imeletwa kwenye nyumba ya Yahwe. + +"Wasimamizi walipokuwa wanaipokea fedha kwenye hekalu" + +# Watumishi wak wanafanya kila kitu walichokabidhiwa. + +"Kila kitu ambacho uliwapa jukumu la kukifanya" + diff --git a/2ch/34/17.md b/2ch/34/17.md new file mode 100644 index 00000000..9229ff35 --- /dev/null +++ b/2ch/34/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Waliitoa fedha yote. + +"Walikuwa wameikusanya" + +# Ikawa kwamba. + +Kirai hiki ni alama; kina onesha au kuashiria kwamba tukio au jambo linalofuata katika hadithi hii ni muhimu sana; ni sawa na kusema, "Sasa, tambua kinachofuata". + diff --git a/2ch/34/20.md b/2ch/34/20.md new file mode 100644 index 00000000..7f88ada6 --- /dev/null +++ b/2ch/34/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa za jumla: + +Hii ni ordha ya majina ya makuhani na watumishi mbali mbali wa mfalme katika nhyumba ya Mungu kwa wakatai huo. + +# Mkaulize mapenzi ya Yahwe kwa ajili yangu. + +"Maulize ili mjue ambacho Yahwe anataka nifanye". + +# "Kwa sababu ya maneno ya kitabu" + +"Kwa mjibu wa yale yaliyoandikwa katika kitabu" + +# Kwa maana ni kikuu, gadhabu ya Yahwe ambayo imemiminwa juu yetu. Ni kuu. + +Aina ya hisia kama gadhabaau au hasira huzungumzwa kama kimiminika; kwa kuwa gadhabu ya Yahwe dhidi yetu ni kuu, kama vile maji ambayo yanauwezo wa kuosha kabisa na kutufutilia mbali". + diff --git a/2ch/34/22.md b/2ch/34/22.md new file mode 100644 index 00000000..c0b63013 --- /dev/null +++ b/2ch/34/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa za jumla: + +Hilkia ni miongoni mwa watumishi wa mfalme + +# Mtunza mavazi. + +"Mtu aliyekuwa na kazi ya kutunza mavazi au kanzu za kikuhani" + +# Walizunguza naye katika namna hii + +"Walifanya naye maongezi yafuayo." + diff --git a/2ch/34/23.md b/2ch/34/23.md new file mode 100644 index 00000000..50b5f9ec --- /dev/null +++ b/2ch/34/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ili kwamba waniweke katika hasira kwa matendo yao waliyofanya. + +"Matokeo yake ni kwamba wamenifanya nikasirike sana kwa sababu ya yale waliyofanya" + +# Kwa hiyo hasira yangu itamiminwa ajuu ya hii sehemu ,na haitazimishwa. + +Aina hii ya hisia kama hasira mara zote katika maandiko huzungumzwa kama vile kimiminika; "kwa hiyo itakuwa kama moto unaomiminwa juu yao, na hakuna kitu kitakachoweza kuuzima moto huu" + diff --git a/2ch/34/26.md b/2ch/34/26.md new file mode 100644 index 00000000..44574f96 --- /dev/null +++ b/2ch/34/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yahwe, Mungu wa Israeli anasema hivi: kuhusu maneno uliyoyasikia, kwa sababu ya moyo wako ulipondeka. + +" Yahwe, Mungu wa Israeli anasema hivi kuhusu maneno uliyoyasikia, kwa sababu moyo wako ulipondeka -ukakubali kubadilika". + +# .Umeyalarua mavazi yako. + +Hii ilikuw ishara ya hudhuni na toba. + +# Nitakukusanya pakwa babu zako. Utakusanywa katika kaburi lako kwa amani. + +"Utakufa." + +# Macho yako hayataona. + +"Hautaonja au kusshudia." + diff --git a/2ch/34/29.md b/2ch/34/29.md new file mode 100644 index 00000000..0562874a --- /dev/null +++ b/2ch/34/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watu wote kuanzia wakubwa hadi wadogo. + +"Kila mtu." + +# Akasoma mbele zao. + +"Akawasomea." + diff --git a/2ch/34/31.md b/2ch/34/31.md new file mode 100644 index 00000000..fa15fab5 --- /dev/null +++ b/2ch/34/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Akisimama katika sehemu yake. + +Akasimama mahali alipopaswa kusimama kwe lango la kuingia hekaluni" + +# Kwa moyo wake wote na roho yake yote. + +Kwa pamoja, maneno haya mawili yanatoa maana inayohusu utu mzma wa mtu au utu wote wa mtu. + +# Wote walioonekana katika Yerusalemu na Benyamini. + +"Wote waliokuwa wakiishi katika Yerusalemu na Benyamini." + diff --git a/2ch/34/33.md b/2ch/34/33.md new file mode 100644 index 00000000..3f6a0181 --- /dev/null +++ b/2ch/34/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mambo yote ya machukizo + +Hii ilikuwa ni miungu ambayo ilileta machukizo mbele za Mungu. + diff --git a/2ch/35/01.md b/2ch/35/01.md new file mode 100644 index 00000000..b81c5fd1 --- /dev/null +++ b/2ch/35/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza. + +Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Mwezi wa kumi na nne uko karibu ya ya mwanzo wa mwezi Apirl katika kalenda ya maghari. + +# Akawaweka makuhani katika nafasi zao. + +"Aliwaambia makuhani kuhusu kazi za kufanya". + diff --git a/2ch/35/03.md b/2ch/35/03.md new file mode 100644 index 00000000..2910999d --- /dev/null +++ b/2ch/35/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ambayo Selemani mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli aliijenga. + +"Watu waliijenga nyumba hiyo chini ya uongozi wa Mfalme wa Selemani" + +# Kwa majina ya nyumba za mababu zenu na zamu zenu. + +"Kabila zenu na familia zenu" + diff --git a/2ch/35/05.md b/2ch/35/05.md new file mode 100644 index 00000000..93ba85de --- /dev/null +++ b/2ch/35/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Simameni katika sehemu takatifu. + +Hapa "sehemu takatifu" zinaonekana kutaja maeneo mbali mbali ya hekalu. "kaeni katika zamu zenu katika hekalu" + +# Zamu zenu. + +Hii inataja kundi la kazi lililopangwa kwa kila Mlawi. + +# Nyumba za mababu. + +Hizi ni koo mbali mbali miongoni mwa Walawi. Inaonekana kwamba Walawi walikuwa wamepangiwa makundi ya kazi mbali mbali kwa kuzingatia aina ya kazi iliyokuwa imepangwa kwa kila ukoo au nyumba ya mababu. + diff --git a/2ch/35/07.md b/2ch/35/07.md new file mode 100644 index 00000000..e90f72c8 --- /dev/null +++ b/2ch/35/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa za jumla: + +Yosia ni jina la mwanaume aliyekuwa mfalme. Majina mengine katika kifungu hiki ya wanaume mbali mbali ambao walikuwa viongozi au wasimamizi katika nyumba ya Yahwe, pia kuna majina ya watu wengine kama makuhani kutoka kabila la Lawi. + +# Wanambuzi. + +Huyu ni mtoto wa mbuzi. + diff --git a/2ch/35/10.md b/2ch/35/10.md new file mode 100644 index 00000000..243e57a1 --- /dev/null +++ b/2ch/35/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Huduma iliandaliwa. + +"Walitayarisha kila kitu kwa ajili ya kuifanya Pasaka" + +# Damu waliyoipokea kutoka kwenye mikono ya Walawi. + +"Damu ambayo Walawi waliwapa." + diff --git a/2ch/35/13.md b/2ch/35/13.md new file mode 100644 index 00000000..039100a3 --- /dev/null +++ b/2ch/35/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wakawaoka kwa moto. + +"Waliwapika" + +# Walizichemsha kwenye vyungu, masufuria, na makaangoni kwa ajili yao wenyewe. + +"Waliwapika kataika maji katika vyungu mbali mbali." + diff --git a/2ch/35/15.md b/2ch/35/15.md new file mode 100644 index 00000000..27f5c8a8 --- /dev/null +++ b/2ch/35/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa za jumla: + +Haya ni majina ya wanaume ambao walikuwa na huduma au kazi maalumu kama vile ukuhani na unabii. + +# Katika nafasi zao. + +Angalia sura ya 30:16. + diff --git a/2ch/35/16.md b/2ch/35/16.md new file mode 100644 index 00000000..42398481 --- /dev/null +++ b/2ch/35/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Huduma yote. + +Kila kitu kilichohusiana na maandalizi ya sadaka na ibada ya Yahwe wakati wa pasaka yanaweza kuwa na maana ya huduma ya ibada. + diff --git a/2ch/35/18.md b/2ch/35/18.md new file mode 100644 index 00000000..4b7eae83 --- /dev/null +++ b/2ch/35/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Israeli + +Maana ya kwanza ya neno Israeli lina wakilisha taifa zima la Israeli, lakini maana ya pili ya neno hili Israeli linataja au linawakilisha makabila ya kaskazini ya ufalme wa Israeli. + diff --git a/2ch/35/20.md b/2ch/35/20.md new file mode 100644 index 00000000..1b72e434 --- /dev/null +++ b/2ch/35/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa za jumla: + +Neko alikuwa mfalme wa Misri na alichukuwa uamuzi wa kwenda kupigana vita na Yosia , mfalme wa Yuda. + +# Kuliweka hekalu katika utaratibu. + +"Alirejesha ibada yenye utaratibu mzuri katika hekalu" + +# Nikufanye nini, mfaalme wa Yuda? + +"Huna sababu ya kunivamia mimi wewe Mfalme wa Yuda". + +# Mimi iiji kinyume nawe. + +"Mimi ssipigani wala kupingana na ufalme wako". + +# Lakini dhidi ya nyumba ambayo nafanya vita nayo. + +"Dhidi ya Babeli. dhidi ya ya wale ninaofanya vita nao". + diff --git a/2ch/35/22.md b/2ch/35/22.md new file mode 100644 index 00000000..c658b5fa --- /dev/null +++ b/2ch/35/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Apigane naye. + +"Apigane na jeshi la Wababeli" + +# Ambayo yalikuja kutoka kwenye kinywa cha Mungu. + +"Kutoka kwa Mungu" au ambayo Mungu alikuwa amemwambia" + diff --git a/2ch/35/25.md b/2ch/35/25.md new file mode 100644 index 00000000..b891da1a --- /dev/null +++ b/2ch/35/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hata leo + +Angaalia sura ya 5:9 + diff --git a/2ch/36/01.md b/2ch/36/01.md new file mode 100644 index 00000000..bc53b604 --- /dev/null +++ b/2ch/36/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yehoazi. + +Huyu alikuwa mwana wa kiume wa mfalme Yosia, watu walimchukua na kumfanya mfalme + diff --git a/2ch/36/03.md b/2ch/36/03.md new file mode 100644 index 00000000..3704ad08 --- /dev/null +++ b/2ch/36/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa za jumla + +Eliakimu alikuwa ndugu wa mfalme wa Misri na ndiye alifanywa kuwa mfalme wa Yuda. + +# Talanta. + +Fedha ya zamani (talanta moja ilikuwa sawa na vito vya thamani vyenye uzito upatao kilo 33. + +# Kumpeleka Misri. + +"Akampeleka Misiri kama mfungwa". + diff --git a/2ch/36/05.md b/2ch/36/05.md new file mode 100644 index 00000000..84eb9681 --- /dev/null +++ b/2ch/36/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Akafanya ambayo yalikuwa maovu katika macho ya Yahwe. + +Angalia sura ya 21:6 + +# Akamvamia. + +Nebukadreza aliuvamia Yerusalemu. + +# Nebukadreza pia akpeleka baadhi ya vitu. + +Watumishi wa Nebukadreza walichukua vitu katika nyumba ya Yahwe na kuvipeleka Babeli. + diff --git a/2ch/36/08.md b/2ch/36/08.md new file mode 100644 index 00000000..9c3f01fb --- /dev/null +++ b/2ch/36/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mambo mabaya ambayo aliyafanaya. + +Kwa kawaida hii ina maana aya kuabudu miungu ya uongo, ambayo Yahwe aliichukia. + +# Yaliyopatikana dhidi yake. + +Hii inaweza kuwa inataja au kuelezea tabia yake + +# Kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli. + +Angalia suya ya 35:2 + diff --git a/2ch/36/09.md b/2ch/36/09.md new file mode 100644 index 00000000..f3cfb52e --- /dev/null +++ b/2ch/36/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Akafanya yaliyokuwa maovu katika macho ya Yahwe. + +Angalia sura ya 14:1 + diff --git a/2ch/36/11.md b/2ch/36/11.md new file mode 100644 index 00000000..e576a451 --- /dev/null +++ b/2ch/36/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hakujinyenyekesha mwenyewe mbele za Yeremia nabii. + +"Hakujinyenyekesha mwenyewe na kumtii Mungu kwa kumsikiliza nabii Yeremia " + +# Kutoka kwenye kinywa cha Yahwe. + +"Kutoka kwenye maneno ambayo Mungu alikuwa amempa." + diff --git a/2ch/36/13.md b/2ch/36/13.md new file mode 100644 index 00000000..4d78bdd4 --- /dev/null +++ b/2ch/36/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Aliishupaza shingo yake na kuufanya moyo wake mgumu. + +Haya ni maneno mawili yanayotoa namna mbili za kuutaja usumbufu au ugumu wa moyo wa mtu. Kwa pamoja yanasisitiza uasi wa Sedekia dhidi ya Mungu. + +# Waliigoshi nyumba ya Yahwe. + +"Walikitia unajisi kile ambacho kilipaswa kuwa kitakatifu" + diff --git a/2ch/36/15.md b/2ch/36/15.md new file mode 100644 index 00000000..225dcd15 --- /dev/null +++ b/2ch/36/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tena na tena + +"Nyakati nyingi" + +# Palikosekana msaada. + +Hapakuwa na namna ya kuizuia hasira ya Yahwe. + diff --git a/2ch/36/17.md b/2ch/36/17.md new file mode 100644 index 00000000..e5ce1943 --- /dev/null +++ b/2ch/36/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mungu akawatoa wote mkononi mwake. + +"Mungu akaruhusu jeshi la Wakaldayo kuwashida au kuwapiga" + diff --git a/2ch/36/18.md b/2ch/36/18.md new file mode 100644 index 00000000..1f0c280e --- /dev/null +++ b/2ch/36/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Akavipeleka. + +Askari wake walivichukua vyombo + +# Wakaichoma moto + +"Wakaichoma" inawataja askari wa Kibabeli. + diff --git a/2ch/36/20.md b/2ch/36/20.md new file mode 100644 index 00000000..3bed39c3 --- /dev/null +++ b/2ch/36/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mfalme akawapeleka. + +"Askari wa mfalme waliwachukua" + diff --git a/2ch/36/22.md b/2ch/36/22.md new file mode 100644 index 00000000..7c6a610c --- /dev/null +++ b/2ch/36/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika mwaka wa kwanza + +Katika mwaka wa kwanza (1) + +# Ameniagiza nijenge nyumba + +"Amenichagua ili niwaamuru watumishi wangu wamjengee hekalu katika Yerusalemu" + diff --git a/2ki/01/01.md b/2ki/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..d9057fa3 --- /dev/null +++ b/2ki/01/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Moabu + +"nchi ya Moabu" + +# waya zinazikinzana kwenye chumba chake juu + +Chumba cha juu kilichokuwa kimejengwa kwenye paa la jumba la mfalme. Waya zilitengenezwa kwa kupambambwa na mbao zilizopishana juu ya moja baada ya nyingine kutengeneza ubaraza wa ghorofani au dirisha lililofunikwa. "bao za mbao zilizoizunguka sakafu iliyo sawa sawa ya jumba lake" + +# Baal Zebubu + +Hili ni jina linaloonyesha cheo cha ukuu wa maovu. + diff --git a/2ki/01/03.md b/2ki/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..b3b8c238 --- /dev/null +++ b/2ki/01/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Yahwe + +Hili ni jina la Yahwe ambalo alijifunua kwa watu wake katika Agano la Kale. + +# Mtishbi + +Hii inarejea kwa mtu kutoka mji wa Tishbi. + +# Je ni kwasababu hakuna Mungu katika israeli ambaye mnayekwenda kuuliza pamoja na Zebebu, mungu wa Ekroni? + +Hili swali lisilokuwa na majibu liliulizwa kama onyo kwa kujenga Baal Zebubu. Pengine hii inaweza kuandikwa kama sentensi. + +# taka shauri na Baal Zebubu + +Neno "taka shauri" maana yake kupata oni la mtu kuhusu swali. + +# Kwa hiyo Yahwe asema + +Huu ni ujumbe wa Yahwe kwa Mfalme Ahazia. "Kwa hiyo Yahwe anamwambia Mfalme Ahazia" + +# Hutaweza kushuka chini kutoka kwenye kitanda ambacho ulichokipanda + +Wakati Mfalme Ahazi alipoumia, alilazwa kitandani. Yahwe amesema hatapona na kuweza kuinuka kitandani. "Hutapona na hutainuka kutoka kitandani ambacho unacholalia" + diff --git a/2ki/01/05.md b/2ki/01/05.md new file mode 100644 index 00000000..78b573c2 --- /dev/null +++ b/2ki/01/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wakati wale wajumbe waliporudi kwa Ahazia + +Baada ya kuonana na Eliya, wajumbe walirudi kwa mfalme badala ya kwenda kwa Ekroni. + +# Je ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli mpaka mmewatuma watu kwenda kumuuliza kwa Baal Zabubu, mungu wa Ekroni? + +Hili swali lisilo na majibu limeuliza kwa kama kuonya kwa ajili ya mashauri na Baal Zebubu. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. + +# hutashuka kutoka kitanda ulichokipanda + +Wakati Mfalme Ahazia alipokuwa ameumia, alilazwa kwenye kitanda. Yahwe alisema kwamba hatapona na kuweza kutoka kitandani. + diff --git a/2ki/01/07.md b/2ki/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..692bf45c --- /dev/null +++ b/2ki/01/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Alikuwa amevaa kanzu yenye nywele + +Maana ziwezekanazo ni 1) hii ni sitiari inayomzungumzia yeye kuwa na mvi sana kana kwamba nywele zake zilikuwa kanzu. "Nguo zake zilikuwa zimetengenezwa kwa nywele za mnyama" + diff --git a/2ki/01/09.md b/2ki/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..a393b798 --- /dev/null +++ b/2ki/01/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ndipo mfalme akatuma nahodha wa askari hamsini kwa Elya + +Mfalme akamtuma kiongozi wa jeshi pamoja na watu hamsini kumrudisha Eliya kwake. "kisha mfalme akamtuma nahodha pamoja na maaskari hamsini kumkamata Eliya" + +# maaskari hamsini + +"Maaskari 50" + +# Kama mimi ni mtu wa Mungu, moto na ushuke chini kutoka mbinguni + +Nahodha alimuita Eliya mtu wa Mungu, laki + +# mbingu + +"anga" + diff --git a/2ki/01/11.md b/2ki/01/11.md new file mode 100644 index 00000000..1a4bff61 --- /dev/null +++ b/2ki/01/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# maaskari sabini + +"maaskari 50" + +# Kama mimi ni mtu wa Mungu, ngoja moto ushuke kutoka mbinguni + +Nahodha alimuita Eliya mtu wa Mungu, lakini nahodha na mfalme hakumuonyesha Eliya heshima inayostahili. Eliya alisema hivi basi moto utashuka chini kutoka mbinguni, na hii itathibitishs kwamba hakika Eliya alikuwa mtu wa Mungu na alistahili heshima yao. + +# moto kutoka wa Mungu + +Hii inamaanisha kwamba moto ulishuka kutoka kwa Mungu. "moto kutoka kwa Mungu" + diff --git a/2ki/01/13.md b/2ki/01/13.md new file mode 100644 index 00000000..c87f3d7f --- /dev/null +++ b/2ki/01/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# watu hodari hamsini + +"mashujaa 50" au "maaskari 50" + +# kumsihi + +"kumuomba" + +# hawa watumishi wako hamsini + +Nahodha akasema kwamba hawa watumishi ni watumishi wa Eliya kumuonyesha heshima. + +# acha uzima wangu ... uwe na thamani usoni pako + +Kirahi "usoni kwako" kinarejea kwa kile Eliya anachofikiria. Nahodha anawatetea pamoja na Eliya kuwaacha waishi. "tafadhali fikiria maisha yangu ... kama thamani kwako" au "fikiria maisha yangu ... kuwa ya thamani kwako na usituue" + +# acha uzima wangu uwe na thamani machoni kwako + +Hapa nahodha anatubu ombi lake kwa ajili ya Eliya kuonyesha ukarimu kwake na kumuacha aishi. + diff --git a/2ki/01/15.md b/2ki/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..11676b2a --- /dev/null +++ b/2ki/01/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli ambaye unayeweza kumuuliza habari? + +Hili swali lisilokuwa na majibu liliulizwa kwa ajili ya kufanya shauri na Beel Zebubu. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. Hii ni kejeli kwa sababu mfalme macho kwa Mungu wa Israeli. "Unadhani hakuna Mungu katika Israeli ambaye unayeweza habari!" au "Ninyi wapumbavu! mnajua kuna Mungu katika Israeli wa kufanya shauri, lakini mmetenda kana kwamba hamkfahamu." + +# hutaweza kushuka chini kutoka kwenye kitanda ulichokipanda + +Wakati mfalme Ahazi alipokuwa ameumia, aliwekwa kitandani,. Yahwe akasema kwamba hatapona na kuweza kuinuka kitandani. + diff --git a/2ki/01/17.md b/2ki/01/17.md new file mode 100644 index 00000000..d405851f --- /dev/null +++ b/2ki/01/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# likle neno la Yahwe lililozungumzwa na Eliya + +"Yahwe alimwambia nini Eliya ambalo Eliya alilizungumza" + +# mwaka wa pili + +"mwaka wa 2" + +# katika mwaka wa pili wa Yoramu mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda + +Hii inaelezea mda ambao Yoramu alipoanza kutawala kwa kuanza ni mda gani mfalme wa Yuda aliepo alitawala. "katika mwaka wa pili ambao Yoramu mwana wa Yehoshafati alipokuwa mfalme wa Yuda" + +# Je hayajaandikwa ... Israeli? + +Hili ni swali lisilokuwa na majibu linaloweza kuandikwa kama sentensi. "yameandikwa ... Israeli" + diff --git a/2ki/02/01.md b/2ki/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..a096ffce --- /dev/null +++ b/2ki/02/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hivyo ikawa + +"Hivyo ikatokea." Hiki kirai hutumika kutambulisha tukio lijalo katika hadithi. + +# uvumi + +upepo mkubwa ambao usokotao kuzunguka na kuzunguka + +# Kama Yahwe aishivyo, na kama uishivyo + +"Kama hakika kama Yahwe aishivyo na kama uishivyo." Hapa Elisha analinganisha hakika kwamba Yahwe na Eliya wanaishi kwa hakika ya kile wanachokisema. Hii ni njia ya kufanya ahadi ya heshima. "kwa heshima nakuahidi kwamba hivyo" + diff --git a/2ki/02/03.md b/2ki/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..8c21bd52 --- /dev/null +++ b/2ki/02/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wana wa manabii + +Hii haimanishi kwamba walikuwa wana wa manabii, lakini badala yake, kwamba walikuwa kundi la manabii. "Kundi la watu ambao walikuwa manabii" + +# Kama Yahwe aishivyo, na kama uishivyo, sintakuacha + +"Kwa hakika kama Yahwe aishivyo na kama usihivyo, sintakuacha." Hapa Elisha analinganisha bila shaka kwamba Yahwe na Eliya wako hai kwa hakika wa kile asemacho. Hii ni njia ya kufanya ahadi ya heshima. + diff --git a/2ki/02/05.md b/2ki/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..f4f7ae9a --- /dev/null +++ b/2ki/02/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kisha wana wa manabii waliokuwa Yeriko wakaja kwa Elisha na kumwambia + +"Wakati Eliya na Elisha walipokuja karibu na Yeriko, wana wa manabii waliokuwa wametoka huko kwa Elisha" + +# wana wa manabii + +Hii haimanishi kwamba walikuwa wana wa manabii, isipokuwa, hao walikuwa kundi la manabii. + +# Kama Yahwe aishivyo, na kama uishivyo, sintakuacha + +"Kwa hakika kama Yahwe aishivyo, sitakuacha." Hapa Elisha analinganisha hakika kwamba Yahwe na Elisha wanaisha kwa hakika ya kile anachokisema. + diff --git a/2ki/02/07.md b/2ki/02/07.md new file mode 100644 index 00000000..bea18f44 --- /dev/null +++ b/2ki/02/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# hamsini wa wana + +"wana 50" + +# wana wa manabii + +Hii haimanishi kwamba walikuwa wana wa manabii, isipokuwa, hao walikuwa kundi la manabii. + +# kusimama kinyume nao + +Hii inamaanisha kwamba walikuwa wamesimama, wakiwatazama. "kusimama kuwatazama" au "wamesimama wakiwaangali" + +# vazi + +nje ya kipande cha nguo kinachotumika kufunika + +# Ule mto ukagawanyika katika sehemu mbili hivyo basi wawili hao wakatembea hadi nchi kavu + +"Maji ya Mto Yordani yakafunguka hivyo kulikuwa na njia kavu kwa ajili ya Eliya na Elisha kukatiza upande mwingine" + +# pande zote + +"upande wa kulia na kushoto." Hii inareje kulia na kushoto mahali Eliya alipokuwa ameyapiga maji. + diff --git a/2ki/02/09.md b/2ki/02/09.md new file mode 100644 index 00000000..b923ea44 --- /dev/null +++ b/2ki/02/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ikawa + +"ikatokea" + +# kupita + +Hii inarejea kupita Mto Yordani. "kupita juu ya Mto Yordani" + +# kabla sijachukuliwa kutoka kwako + +"kabla Yahwe hajanichukua kutoka kwako" + +# sehemu kubwa ya roho yako + +Hapa roho ya Eliya inarejea kwa nguvu ya roho. "mara mbili zaidi ya mara mbili ya nguvu yako ya roho" + diff --git a/2ki/02/11.md b/2ki/02/11.md new file mode 100644 index 00000000..e663b9bb --- /dev/null +++ b/2ki/02/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# tazama + +Neno "tazama" linatutahadharisha kuwa makini kwa habari inayoshangaza ifuatayo. + +# gari la farasi la moto na farasi za moto + +Hapa neno "ya moto" inamaanisha kwamba vilikuwa vimezungukwa kwa moto. "gari la farasi lilizungukwa kwa moto likivutwa na farasi waliozungukwa kwa moto" + +# kwenda juu mbinguni kwa uvumi + +"alibebwa juu kwenye anga kwa uvumi." + +# Baba yangu, baba yangu + +Elisha anamwita Eliya mheshimiwa kiongozi wake. + +# kuzichana kuwa vipande viwili + +Watu huchana nguo zao marar chache kama ishara ya masikitiko makubwa au huzuni. "akazichana katika vipande viwili kuonyesha huzuni yake kubwa" + diff --git a/2ki/02/13.md b/2ki/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..f4b005fb --- /dev/null +++ b/2ki/02/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# vazi + +Vazi lilikuwa vazi la mnyama la nabii. Ilikuwa alama ya kazi yake. Wakati Elisha alipochukua vazi lake alikuwa akisema alikuwa akichukua nafasi ya Elisha kama nabii. + +# Yhawe yuko wapi, Mungu wa Eliya? + +Elisha anauliza kama Yahwe yu pamoja naye kama alivyokuwa na Eliya. "Yahwe, Mungu wa Eliya, je uko pamoja nami hapa?" + +# ziligawanyika katika sehemu zote na Elisha akapita + +Mto uligawanyika na Elisha akatembea upande wa pili wa nchi kavu, vivyo hivyo akafanya kama awali wakati alipokuwa na Eliya. + +# pande zote + +"hata kulia na kushoto." Hii inarejea kwa kulia na kushoto ambapo Eliya alipiga maji. + diff --git a/2ki/02/15.md b/2ki/02/15.md new file mode 100644 index 00000000..87ed1667 --- /dev/null +++ b/2ki/02/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wana wa manabii + +Hii haimanishi kwamba walikuwa wana wa manabii, isipokuwa, walikuwa kundi la manabii. + +# wakasujudu chini mbele yake + +Wanamuonyesha heshima ya juu na kumkiri kama kiongozi wao mpya. + +# Roho ya Eliya imepumzika kwa Elisha + +Hapa "roho" wa Eliya inarejea kwa nguvu yake ya kiroho. Hii inamzungumzia Elisha kuwa na huu uwezo wa kiroho kana kwamba ilikuwa kitu ambacho kilichopumzika kimwili juu yake. "Elisha anayo nguvu ya kiroho ile ile ambayo Eliya ameifanya" au "nguvu ya kiroho ELiya alikuwa nayo sasa iko na Elisha" + +# Ona sasa, miongoni mwa watumishi wako kuna watu hamsini hodari. Waache waende + +Hawa watu anajirejea wenyewe wakati waliposema "watu shujaa hamsini." "Ona sasa, sisi ni watu hamsini hodari sasa sisi ni watumishi wako. Twendeni" + +# watu hodari hamsini + +"Watu 50 hodari" + diff --git a/2ki/02/17.md b/2ki/02/17.md new file mode 100644 index 00000000..8957ee0a --- /dev/null +++ b/2ki/02/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Lakini walimsihi Elisha hadi akaona aibu + +Wana wa manabii waliendelea kumuuliza Elisha hadi alipojisikia vibaya kuhusu kusema "hapana." "Waliendelea kumuuliza Elisha hadi alijisikia vibaya kwa kutaa swali lao, hivyo" + +# sikusema, 'msiende'? + +Elisha anatumia swali lisilo na majibu kusisitiza kwamba aliwaambia awali nini kingetokea. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. "nimekwambia kwamba usiende, kwa sababu hutamkuta!" + diff --git a/2ki/02/19.md b/2ki/02/19.md new file mode 100644 index 00000000..3402002c --- /dev/null +++ b/2ki/02/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Watu wa mji + +"Viongozi wa mji" + +# hali ya huu mji ni mzuri + +Hii inamaanisha kwamba mji uko katika sehemu nzuri. "huu mji uko katika sehemu nzuri" au "huu mji uko katika mahali pazuri" + +# kama bwana wangu aonavyo + +Watu wanarejea kwa Elisha hapa kama "bwana wangu" kumheshimu. + +# kuzaa + +"kutoa matunda mazuri" + diff --git a/2ki/02/21.md b/2ki/02/21.md new file mode 100644 index 00000000..c9325952 --- /dev/null +++ b/2ki/02/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kuyaponya haya maji + +Hii inamzungumzia Yahwe akifanya maji machafu kuwa masafi kana kwamba ameyaponya. "kufanya maji masafi" + +# hakutakuwa na kifo tena au nchi isiyozaa matunda + +Hii inarejea kwa vitu visababishwavyo kwa maji machafu. Hii inaweza kuandikwa pia katika mfumo chanya. "hakutakuwa na kifo tena au matatizo na mbegu zisababishwazo na haya maji" au "kutoka sasa juu ya haya maji yataleta uhai na kusaidia nchi kuzaa matunda" + +# maji yaliponya + +"maji yamebakia masafi" + +# hata leo ... aliongea + +Hii inamaanisha kwamba kitu kimebaki katika hali fulani hata wakati uliopo. "kwa neno ambalo Elisha aliongea, na kubakia siku zote masafi" + diff --git a/2ki/02/23.md b/2ki/02/23.md new file mode 100644 index 00000000..d3f58650 --- /dev/null +++ b/2ki/02/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kupanda kutoka huko kwenda Betheli + +Neno "kupanda" analitumia kwa sababu Betheli ni juu kupanda kuliko Yeriko. + +# Kupanda + +Vijana wadogo walimtaka Elisha kwenda mbali nao na kueleza hii kwa kusema "panda juu." + +# upara + +Watu mwenye upara hana nywele yeyote juu ya vichwa vyao. Vijana wadogo walikuwa wakimtania Elisha kwa kuwa na kichwa chenye kipara. + +# vijana arobaini na mbili + +vijana wawili** - "vijana 42" + diff --git a/2ki/03/01.md b/2ki/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..6f52d18b --- /dev/null +++ b/2ki/03/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# katika mwaka wa kumi na wa Yehoshefati mfalme wa Yuda + +Hii inaelezea mda ambao Yoramu alianza kutawala kwa kusema ni mda gani mfalme wa Yuda aliyepo alivyoongoza. Maana ya sentensi inaweza kuwekwa wazi. "katika mwaka wa kumi na nane ambao Yehoshafati alikuwa mfalme wa Yuda" + +# mwaka wa kumi na nane + +"mwaka wa 18" + +# Yoramu mwana wa Ahabu + +Wakati mwingine huyu mtu anamrejea kama "Yoramu." huyu sio mtu mmoja kama mtu alyetajwa katika 1:17 aitwaye "Yehoramu." + +# Alifanya yale yaliyo sahihi usoni mwa Yahwe + +Jina vumishi "uovu" unaweza kutafsiriwa kama kifungu jamaa. Hapa "uso" wa Yahwe inarejea kwa kile afikiriacho. "Alifanya mambo ambayo Yahwe alisema yalikuwa maovu" + +# lakini si kama baba yake na mama yake + +Hii inalinganisha jinsi alivyofanya maovu kuwa chini kuliko kiasi hayo ni wazazi wake waliyafanya. "lakini hakufanya maovu zaidi kama baba yake na mama yake waliyoyafanya" + +# ile nguzo takatifu ya Baali + +Hii nguzo ilitumika katika kumwabudu Baali, ingawa haijulikani vile ambavyo nguzo ilivyokuwa ikionekana. "jiwe takatifu la nguzo kwa ajili ya kumwabudu Baali" + +# alishikilia dhambi + +Hii ni lahaja. Hapa "kushikilia" kwa kitu maana yake ni kuendelea kuifanya. "aliendelea kufanya dhambi" + +# Nebati + +Hili ni jina la mwanamume. + +# hakuizacha + +"Kugeuka" mbali na kitu ni lugha inayomaanisha kuacha kuifanya. "hakuacha kuzifanya hizo dhambi" (UDB) au "aliendlea kufanya hizo dhambi" + diff --git a/2ki/03/04.md b/2ki/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..aaf7ccfb --- /dev/null +++ b/2ki/03/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Alikuwa akimpatia mfalme wa Israeli kondoo 100,000 na manyoya ya kondoo dume 100,000 + +Mesha alitakiwa kutoa hivi vitu kwa mfalme wa Israeli kwa sababu ufalme wake ulitawaliwa na mfalme wa Israeli. Maana kamili ya hii sentensi inaweza kutengenezwa wazi. + +# kuhamasisha Israli yote kwa ajili ya vita + +"kuwaandaa watu wa Israeli kwa ajili ya vita." Hapa "Israeli yote" inarejea kwa maaskari wote wa Waisraeli. "kuwahamasisha maaskari wote wa Israeli kwa ajili ya vita" + diff --git a/2ki/03/07.md b/2ki/03/07.md new file mode 100644 index 00000000..d34cfce5 --- /dev/null +++ b/2ki/03/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mfalme Yoramu anaendelea kuongea na Mfalme Yehoshafati. + +# Je mtaenda pamoja juu ya Moabu kupigana? + +Neno "ninyi" linamrejea Yehoshafati, lakini linawarejea wote yeye na jeshi lake lote. Hapa "Moabu" anasimama badala ya "jeshi la Moabu." + +# Nitaenda + +Yehoshafati anasema hivi yeye pamoja na jeshi lake lote watapigana na Mfalme Yoramu juu ya Moabu. "Tutaenda pamoja" + +# Mimi ni kama wewe, watu wangu ni kama watu wako, farasi wangu ni kama farasi wako + +Yehoshafati anamuacha Yoramu kutumia mwenyewe, watu wake, na farasi wake kwa kusudi lake mwenyewe. Anaizungumzia hii kana kwamba wanamilikiwa na Yoramu. + +# Kwa njia ya jangwa la Edemu + +"Kwa kwenda kupitia jangwa la Edomu" + diff --git a/2ki/03/09.md b/2ki/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..24486cbf --- /dev/null +++ b/2ki/03/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# wafalme wa Israeli, Yuda, na Edomu + +Hii inawarejea wafalme walioongozana karibu na majeshi yao. "wafalme wa israeli, Yuda, na Edomu na majeshi yao" + +# alikwenda nusu duara + +Hii inaeleza kwa njia isiyo sahihi walivyo safiri kama ilivyotajwa katika 3:7. + +# nusu duara + +Tao ambayo imeumbwa kama nusu duara. + +# Hapakuwa na maji + +Hii inaweza kuelezwa katika umbo tendaji. "Hawakukuta maji" au "Hawakukuta maji yoyote" + +# Hii ni nini? Je Yahwe amewaita wafalme watatu kuwatia kwenye mkono wa Moabu? + +Mfalme anatumia swali lisilo na majibu kusisitiza ulivyo ujinga na na vile hali yao ilivyo mbaya. Hii inaweza kaundikwa kama kauli. + +# kuwawekakwenye mkono wa Moabu + +Hapa "Moabu" inarejea kwa jeshi lake. Pia, "mkono wa Moabu" unarejea kwa "utawala" wa Moabu. + diff --git a/2ki/03/11.md b/2ki/03/11.md new file mode 100644 index 00000000..613325ca --- /dev/null +++ b/2ki/03/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# je hakuna nabii wa Yahwe, ambaye tunaweza kufanya shauri kuhusu Yahwe kupitia yeye? + +Yehoshafati anatumia swali lisilo hitaji majibu hapa kueleza kwamba yamkini kwamba yeye ni nabii huko na kumtafuta alipo. "Ninauhakika kuna nabii wa Yahwe hapa! Nambie alipo, ili tuweze kumwambia Yahwe juu yake." + +# Shafati + +Hili ni jina la kiume. + +# alikuwa akimimina maji kwenye mikono ya Eliya. + +Hii lahaja inamaanisha kwamba ulikuwa msaada wa Eliya. Neno "kummiminia maji juu ya mikono" ni maelezo ya moja ya njia aliyomwokoa Eliya. "ambaye alikuwa msaada kwa Eliya" + +# Neno la Yahwe liko pamoja nami + +Hii inamaanisha kwamba yeye ni nabii na kwamba Yahwe anamwambia nini cha kusema. "Huongea kile Yahwe amwambiacho kusema" (UDB) + +# wakashuka chini kwenda kwake + +Walienda kumuona Eliya na kuhojiana pamoja naye kuhusu nini wangefanya. Maana kamili ya hii sentensi inaweza kuwekwa wazi. "kwenda kumuona Elisha kumuuliza nini wangefanya" + diff --git a/2ki/03/13.md b/2ki/03/13.md new file mode 100644 index 00000000..b60e0d5e --- /dev/null +++ b/2ki/03/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Nifanye nini kwa ajili yako? + +Elisha anatumia hili swali lisilo na majibu kusisitiza kwamba yeye na mfalme hawaendani. Hili swali linaweza kutafsiriwa kama sentensi. "Sina cha kufanya pamoja nawe." + +# kuwaweka kwenye mkono wa Moabu + +Hapa "mkono wa Moabu" unarejea "utawala" wa Moabu. "kuwatoa juu ya utawala wa Moabu" au "kuwaruhusu kutekwa na jeshi la Wamoabu" + +# Kama Yawhe wa majeshi aishivo, ambaye nimesimama mbele zake, hakika + +"Kama nijuavyo kwamba Yahwe wa majeshi aishivyo, ambaye nimesimama mbele yake, hakika." Hapa Elisha analinganisha uhakika kwamba Yahwe yu hai na uhakika kwamba, kama isngekuwa kwa ajili ya Yehoshafati kuwa huko, asingevuta usikivu kwa Yoramu. Hii ni njia ya kufanya ahadi nzito. + +# nimesimama mbele zake + +Hapa kumtumikia Yahwe inazengumziwa kama kusimama katika uwepo wake. "ambaye nimtumikiaye" + +# je haukuwa ukweli kwamba ningeheshimu uwepo wa Yehoshafati mfalme wa Yeda, Nisingevuta usikivu wowote kwako + +"Navuta usikivu kwako pekee kwa sababu naheshimu uwepo wa Yehoshafati mfalme wa Yuda" + +# naheshimu uwepo wa Yehoshafati + +Hapa Yehoshafati anarejewa kwa uwepo wake. "Namheshimu Yehoshafati" + +# nisingevuta usikivu kwako, wala hata kukutazam + +Haya maneno mawili yana maana moja na yanatumika pamoja kusisitiza kwamba asingevuta usikivu kwa Yoramu. "Nisingekuwa na chochote chochote cha kufanya pamoja nawe" + diff --git a/2ki/03/15.md b/2ki/03/15.md new file mode 100644 index 00000000..55c869a7 --- /dev/null +++ b/2ki/03/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Ndipo alipokuja + +"Na ikatokea kwamba" + +# mpiga muziki + +mtu apigaye kinubi + +# mkono wa Yahwe ukaja juu ya Elisha + +Hapa "mkono" wa Yahwe inarejea kwa "nguvu" yake. "nguvu ya Yahwe ikaja juu ya Elisha" + +# mahandaki + +Andaki ni mfereji mrefu ambao wafanya kazi huchimba ndani ya nchi kukusanya maji. + +# hili bonde la mto litajaa maji + +"An ikatokea kwamba" + +# mtakunywa + +Hii inarejea kunywa maji ambayo Yahwe aliyoyaandaa. "mtakunywa maji" + diff --git a/2ki/03/18.md b/2ki/03/18.md new file mode 100644 index 00000000..940d9302 --- /dev/null +++ b/2ki/03/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hiki ni kitu rahisi usoni mwa Yahwe + +Hapa "uso" wa Yahwe inarejea kwa kile afikiriacho. "Yahwe anaichukulia hii kama kitu rahisi kufanya" "Hili ni jambo rahisi kwa Yahwe kufanya" (UDB) + +# mji imara + +Mji imara umelindwa vizuri kutokana na maadui. kwa vitu kama kuta ndefu. + +# kuziharibu sehemu zote nzuri za nchi na miamba + +Hii inamaanisha kuweka mawe juu nchi yenye rutuba ili kwamba iwe vigumu kutumia. Maana ya hii sentensi inaweza kuwekwa wazi. "kuviharibu kila vipande vya nchi kwa kuvifunika kwa mawe" + diff --git a/2ki/03/20.md b/2ki/03/20.md new file mode 100644 index 00000000..6fcb7a29 --- /dev/null +++ b/2ki/03/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# yakaja maji + +"maji yakaanza kutiririka" + +# nchi ikajaa maji + +"na baada ya kitambo nchi ikajawa na maji" + +# nchi + +"nchi" au "aridhi" + diff --git a/2ki/03/21.md b/2ki/03/21.md new file mode 100644 index 00000000..3101f083 --- /dev/null +++ b/2ki/03/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sasa + +Hili neno linatumika limetumika hapa kuvunja alama katika hadithi kuu. Hapa mwandishi anaeleza habari za nyuma kuhusu jeshi la Wamoabu kuandaa kuwalaki wafalme wawili na majeshi yao kwenye vita. + +# wote waliotakiwa kubeba silaha + +Hapa "silaha" inawakilisha uwezo wa kupigana. "watu wote walioweza kupigana" + +# wafalme walikuja + +Hapa neno "wafalme" linwarejea wafalme wote na majeshi yao" au "wafalme na majeshi yao walikuja" + +# ilionekana nyekundu kama damu + +Hii inalinganisha mwonekano mwekundundu wa maji kwenye rangi ya damu. "ilikuwa nyekundu kama damu" + +# Hivyo, basi Moabu + +Hapa maaskari wanarejea wenyewe kama "Moabu" "maaskari wa Moabu" + +# kuwateka nyara + +"kuiba mali zao." Baada ya jeshi kuwashinda adui zao, mara nyingi waliiteka nyara miji yao kwa kuiba kila kilichokuwa kimebaki cha thamani. + diff --git a/2ki/03/24.md b/2ki/03/24.md new file mode 100644 index 00000000..a22cb048 --- /dev/null +++ b/2ki/03/24.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kambi ya Israeli + +Hapa "Israeli" inawarejea maaskari Waisraeli pekee na sio taifa zima la Israeli. + +# Waisraeli wakashangazwa + +Hapa "Waisraeli" inawarejea maaskari Waisraeli pekee na sio kwa taifa zima la Israeli. "maaskari Waisraeli walishangazwa" + +# walikimbia mbele yao + +"kuwakimbia" + +# Kir-haresethi + +Huu ni mji mkuu wa Moabu. + +# ilichwa na mawe yake + +Kuta na majengo ya mji yalitengenezwa kwa mawe. Maana ya hii inaweza kuwekwa wazi. "bado kulikuwa na kuta za mawe yake na majengo" + +# na makombeo + +"Kombeo" ni kipande kidogo cha ngozi chenye kamba ndefu pande zote za mwisho ambayo mtu anaweza kuweka jiwe au kitu kingine kidogo, kitu kigumu na kukitupa umbali mrefu. + diff --git a/2ki/03/26.md b/2ki/03/26.md new file mode 100644 index 00000000..89116a3a --- /dev/null +++ b/2ki/03/26.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mfalme Mesha + +Tafsri jina la huyu mfalme kama ulivyofanya katika 3:4. + +# kwamba ameshindwa + +"kwamba jeshi lake lilishindwa" + +# watu hodari wa upanga mia saba + +"hodari wa upanga 700" + +# hodari wa upanga + +maaskari ambao hupigana kwa upanga + +# kuvunja kupita + +"lazimisha njia kupita." Kulikuwa na maaskari wengi wakipigana kwenye uwanja wa vita ambao ulifanya kuwa vigumu kuondoka kwenda kwenye umati. + +# kumtolea kama sadaka ya kuteketezwa + +Mfalme Mesha alimteketeza mwanaye kwa moto hadi akafa. Alifanya hivi kama sadaka kwa Kemoshi, mungu wa uongo wa Moabu. Maana kamili ya hii kauli inaweza kuwekwa wazi. + +# Hivyo kulikuwa na hasira kubwa juu ya Israeli + +Hapa neno "hasira" linaweza kuelezwa kama kitenzi. Kuna maana mbili ziwezekanazo kwa yule aliye na hasira hapa 1) Maaskari wa Moabu. "Hivyo maaskari wa Moabu walikuwa na hasira sana na Israeli" au 2) Mungu. "Hivyo Mungu alikuwa na hasira sana na Israeli" + diff --git a/2ki/04/01.md b/2ki/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..4aece497 --- /dev/null +++ b/2ki/04/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wana wa manabii + +Hii haimaanishi kwamba walikuwa wana wa manabii, badala yake, walikuwa kundi la manabii. + +# Mtumishi wako mume wangu + +"Mume wangu, aliyekuwa mtumishi wako" + +# mwia + +mtu atoaye pesa kwa wengine + +# Watumishi wako hawana kitu + +Mwanamke anajirejea mwenyewe kama mtumishi wa Elisha kumuonyesha heshima. + +# hakuna kitu katika nyumba, isipokuwa sufuria ya mafuta + +Kitu pekee cha thamani alichokuwa nacho kilikuwa chupa ya mafuta. + diff --git a/2ki/04/03.md b/2ki/04/03.md new file mode 100644 index 00000000..603d4aac --- /dev/null +++ b/2ki/04/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# nenda ndani + +Hii inamaanisha kwenda ndani ya nyumba yao. Maana kamili ya hii sentensi inaweza kuwa wazi. "nenda ndani ya nyumba yako" + diff --git a/2ki/04/05.md b/2ki/04/05.md new file mode 100644 index 00000000..bfd3828c --- /dev/null +++ b/2ki/04/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# vyombo + +"chupa" + diff --git a/2ki/04/07.md b/2ki/04/07.md new file mode 100644 index 00000000..e3bd8eaa --- /dev/null +++ b/2ki/04/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mtu wa Mungu + +Hii inamhusu Elisha. "Elisha, mtu wa Mungu" + +# yatakayobaki waachie watoto wako + +Hii ilimaanisha kwamba kutumia pesa kununua vitu ambavyo walihitaji, kama vile chakula na mavazi. "tumia pesa zitakazobaki kwa ajili yako na mwanaye kwa kuwa ndicho utakacho kuishi" + diff --git a/2ki/04/08.md b/2ki/04/08.md new file mode 100644 index 00000000..3f115c19 --- /dev/null +++ b/2ki/04/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sunemu + +Hili ni jina la mji. + +# alimwagiza kunywa uji pamoja naye + +Hii inamaanisha kwamba alimwambia kuacha na kupata chakula kwenye nyumba yake. "alimuuliza kuja kwenye nyumba yake kupata chakula" + +# pita karibu + +"alisafiri kupitia Shunemu" + +# Tazama, sasa natambua + +"Sasa ninaelewa" + +# aliyekuwa akipita karibu mara zote + +"aliyekuwa akipita mara kwa mara" + diff --git a/2ki/04/10.md b/2ki/04/10.md new file mode 100644 index 00000000..d743bed5 --- /dev/null +++ b/2ki/04/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Huyu mwanamke muhimu anaendelea kuongea mme wake kuhusu Elisha. + +# Basi sisi + +Hapa "sisi" inamhusu mwanamke muhimu na mume wake. + diff --git a/2ki/04/12.md b/2ki/04/12.md new file mode 100644 index 00000000..f8bf2a45 --- /dev/null +++ b/2ki/04/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Gehazi + +Hili ni jina la mwanamume. + +# muite huyu Mshunami + +"Muite mwanamke Mshunami." Hii inamuhusu mwanamke wa Shunami aliyekuwa akiishi na Elisha. + +# Umeyapitia haya mabaya yote kutujali sisi + +Neno "haya mabaya yote" linavihusus vitu ambavyo mwanamke alivifanya kwa ajili ya Elisha. "Umeonyesha ukarimu sana kujishughulisha kwa ajili yetu" + +# Nini kitendeke kwa ajili yako + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Tukutendee nini" + +# Tunaweza kukuombea + +Hapa elisha anauliza kama angeweza kuzungumza kwa niaba yake kwa mfalme au amiri jeshi kuomba kwa ajili yake. + +# Ninaishi miongoni mwa watu wangu mwenyewe + +Mwanamke anamaanisha kwamba hahitaji chochote kwa sababu familia yake inajali mahitaji yake. "ninaishi kuzungukwa na familia yangu, na kwa sababu wananiangalia, sina mahitaji." + diff --git a/2ki/04/14.md b/2ki/04/14.md new file mode 100644 index 00000000..61868a29 --- /dev/null +++ b/2ki/04/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Muite + +"Mwambie aje kutuona" + +# Wakati alipomuita + +"Wakati Gehazi alipomuita" + +# mlango + +Hii inahusu mlango wa kutokea. "mlango wa kutokea" + +# mwana + +"mwanao" + +# bwana wangu na mtu wa Mungu + +Mwanamke anatumia haya majina yote kumrejea Elisha. + +# mtumishi wako + +Mwanamke ajirejea yeye mwenyewe kama mtumishi wa Elisha kumounyesha heshima. + diff --git a/2ki/04/17.md b/2ki/04/17.md new file mode 100644 index 00000000..917e22b8 --- /dev/null +++ b/2ki/04/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# katika kipindi hicho mwaka uliofuata + +"katika majira yale yale mwaka uliofuata" + +# Wakati mtoto alipokuwa + +"wakati mtoto alipokuwa mkubwa" + +# Kichwa changu, kichwa changu + +Mtoto alisema hivi kwa sababu kichwa chake kiliuma. + +# yule mtoto alikaa juu ya magoti yake hadi mchana na kisha akafa + +Hapa magoti ya mwanamke yanahusu mapaja yake. Alimsaidia mwanaye katika mapaja yake hadi alipokufa. "alimsaidia juu ya mapaja yake hadi mchana kisha akafa" + diff --git a/2ki/04/21.md b/2ki/04/21.md new file mode 100644 index 00000000..41e889b8 --- /dev/null +++ b/2ki/04/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# juu ya kitanda cha mtu wa Mungu + +Hiki kilikuwa kitanda katika chumba alichokuwa amekiandaa kwa ajili ya Elisha aliposafiri kupitia Shunemu. + +# mtu wa Mungu + +"Elisha, mtu wa Mungu" + +# ili niweze kuwahi kwa mtu wa Mungu ili niweze kurudi + +Yule mwanamke alimwambia mume wake alikuwa anaenda kumuona Elisha lakini hakusema kwamba alienda kwa sababu mtoto wao alikuwa amekufa. + diff --git a/2ki/04/23.md b/2ki/04/23.md new file mode 100644 index 00000000..3708949c --- /dev/null +++ b/2ki/04/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Itakuwa sawa + +Yule mwanamke alieleza hivi, kujua hii itakuwa kesi kama mume wake atafanya kama alivyoomba. + +# akatandika kwenye punda + +Yule mwanamke hakumtaka punda, badala yake mtumishi angeitandika kwa ajili yake. "alikuwa na mtumishi wake wa kutandika punda" + diff --git a/2ki/04/25.md b/2ki/04/25.md new file mode 100644 index 00000000..041373c1 --- /dev/null +++ b/2ki/04/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hivyo alienda na kuja na mtu wa Mungu katika mlima Karmeli + +"Hivyo alisafiri kuelekea Mlima Karmeli ambapo Elisha, mtu wa Mungu, alipokuwa" + +# Hivyo wakati mtu wa Mungu alipomuona kwa mbali + +"Wakati alipokuwa mbali, na alimuona akija" + +# Hawajambo + +"Hawajambo" au, kila kitu kiko salama" (UDB) + diff --git a/2ki/04/27.md b/2ki/04/27.md new file mode 100644 index 00000000..a605b553 --- /dev/null +++ b/2ki/04/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mlima + +"Mlima Karmeli" + +# alimkumbatia miguu yake + +Hii inamaanisha kwamba alipiga magoti juu ya aridhi mbele yake na kunyakua miguu yake. "alishuka chini juu ya ardhi mbele yake na kuweka mikono yake kuzunguka miguuyake" + +# Yahwe amenificha tatizo kwangu, na hajanambia kitu + +Elisha anaweza kuona huyo mwanamke amekasirika lakini Yahwe hajamfunulia sababu ya tatizo lake. + diff --git a/2ki/04/28.md b/2ki/04/28.md new file mode 100644 index 00000000..e2270529 --- /dev/null +++ b/2ki/04/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nilikuuliza mtoto wako, bwana wangu? Sikusema, 'Usinifiche'? + +Yule mwanamke anatumia hili swali lisilo na majibu kuonyesha kwamba amechukia kuhusu kilichotokea. Hivyo anazungumza kuhusu mazungumzo yake na Elisha wakati alipomwambia kwamba alikuwa akienda kumpata mtoto. + +# Vaa kwa ajili ya safari + +"Kuwa tayari kwa ajili ya safari" + +# Kama ukimkuta mtu yeyote, usimsalimie, na kama mtu yeyote akikusalimia, usimjibu + +Elisha alimtaka Gehazi kusafiri haraka iwezekanavyo, bila hata kusimama kuongea na yeyote. + diff --git a/2ki/04/30.md b/2ki/04/30.md new file mode 100644 index 00000000..554c5284 --- /dev/null +++ b/2ki/04/30.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kama Yahwe aishivyo, na kama uishivyo + +"Bila shaka kama Yahwe aishivyo na kama uishivyo." Hapa mwanamke analinganisha kuhakiki kwamba Yahwe na Eliya kwa hakika kwa kile anachokisema. Hii ni njia ya kufanya ahadi ya dhati. + +# lakini mtoto hajaongea wala kusikia + +Hii inamaanisha kwamba mtoto hakuwa hai. Maana kamili ya hii sentensi inaweza kuwekwa wazi. "lakini huyo mtoto hakuonyesha ishara zozote kuonyesha yuko hai" + +# hajaamka + +Hapa kufa kunazungumziwa kama kulala. "bado amekufa" + diff --git a/2ki/04/32.md b/2ki/04/32.md new file mode 100644 index 00000000..b994eb3f --- /dev/null +++ b/2ki/04/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hivyo Elisha aliingia ndani na kufunga malango yeye mwenyewe na yule mtoto + +"Hivyo Elisha alienda yeye mwenyewe kwenye chumba mtoto alipokuwa amelala, akafunga mlango" + diff --git a/2ki/04/35.md b/2ki/04/35.md new file mode 100644 index 00000000..823c4480 --- /dev/null +++ b/2ki/04/35.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# akajinyoosha mwenyewe kwa yule kijana + +"akalala juu ya yule kijana tena" + +# Mshunami + +"mwanamke Mshunami" + +# Kisha akainamisha uso wake chini kwenye miguu yake na kusujudu + +Yule mwanamke akainama chini mbele ya Elisha kama ishara ya heshima kubwa na shukrani. "Kisha akainama mbele ya Elisha kwa uso wake hadi chini kumuonyesha shukrani" + diff --git a/2ki/04/38.md b/2ki/04/38.md new file mode 100644 index 00000000..38f5f5e9 --- /dev/null +++ b/2ki/04/38.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wana wa manabii + +Hii haimanaashi kwamba walikuwa wana wa manabii, lakini badala yake, hao walikuwa kundi la manabii. + +# sufuria + +Hii ni sahani ambayo kwa kawaida ilitengenezwa kwa nyama na mboga za majani zilizopikwa kwenye chungu pamoja na kimiminiko. + +# matango pori + +Hizi mboga za majani zilikuwa zinaota porini, kumaanisha kuna mtu alizipanda. + +# alipojaza kwenye nguo yake + +Aliinua chini ya mpaka wa vazi lake juu hadi kwenye kiuno kufanya nafasi kubeba walinzi zaidi kuliko angebeba kwa mikono yake pekee. + +# lakini hakujua zilikuwa za aina gani + +Hawakujua kwamba walikuwa walinzi wa aina gani hawakujua kama hazikuwa salama kula. + diff --git a/2ki/04/40.md b/2ki/04/40.md new file mode 100644 index 00000000..5225b353 --- /dev/null +++ b/2ki/04/40.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# walipakua kutoka kwenye kuchemka + +"walipakuliwa na kusambaziwa kwenye mabakuli" + +# kuna kifo kwenye sufuria + +Hii inamaanisha kwamba kulikuwa na kitu kwenye sufuria ambacho kingeweza kuwaua, sio kwamba kuna kitu kilichokufa katika sufuria. + +# Alitupia kwenye sufuria + +"Aliichemsha kwenye sufuria" + +# Kuipakua kwa ajili ya watu + +"Kuwahudumia watu" + diff --git a/2ki/04/42.md b/2ki/04/42.md new file mode 100644 index 00000000..54ff116d --- /dev/null +++ b/2ki/04/42.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Baal shalisha + +Hili ni jina la mji. + +# mikate ishirini + +"mikate 20" + +# kutoka mavuno mapya + +"iliyotengenezwa kutoka kwenye nafaka kutoka kwenye mavuno mapya" + +# maskio safi ya nafaka + +"vichwa safi vya nafaka." Hii inarejea kwenye nafaka kutoka kwenye mavuno mapya. + +# Je, niandae hii mbele ya watu mia moja? + +Yule mtu alitumia hili swali lisilo na majibu kumaanisha kwamba huu mkate hautoshi kulisha watu 100. + +# watu mia moja + +"watu 100" + +# neno la Yahwe + +Hapa Yahwe inarejea kwa kile alichokisema. + diff --git a/2ki/05/01.md b/2ki/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..ea2ac5b4 --- /dev/null +++ b/2ki/05/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# katika mtazamo wa bwana wake + +"Mtazamo" wa mfalme unarejea kwa kile afikiriacho kuhusu jambo. "katika maoni ya mfalme" + +# kwa sababu kwa yeye Yahwe alimpatia Shamu ushindi + +Hapa "Shami" inarejea kwa jeshi la Washamu. "kwa sababu kupitia Naamani, Yahwe alimpatia ushindi jeshi la Washamu" + +# Washami walikuwa wametoka nje + +Hapa "Washami" inarejea kwa maaskari wa Sahami. + +# kuongoza kikundi + +"katika makundi madogo kushambulia." Hii inamaanisha kutoka nje kushambulia adui katika makundi madogo. + diff --git a/2ki/05/03.md b/2ki/05/03.md new file mode 100644 index 00000000..210dd6d4 --- /dev/null +++ b/2ki/05/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Msichana alimwambia bibi yake + +Msichana kutoka Israeli, aliyekuwa amekamatwa na maaskari wa Kishamu, aliongea na mke wa Naamani. + +# bwana wangu + +Hapa "bwana wangu" inamrejea Naamani. + diff --git a/2ki/05/05.md b/2ki/05/05.md new file mode 100644 index 00000000..33f83f3a --- /dev/null +++ b/2ki/05/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nitatuma barua + +Mfalme anaenda kumpatia barua Naamani kwenda pamoja naye kwa mfalme wa Israeli. "nitatuma barua pamoja nawe" + +# talanta kumi za fedha, elfu sita vipande vya dhahabu + +"talanta 10 za fedha, vipande vya 6,000 vya dhahabu." Hii inaweza kuandikwa katika vipimo vya kisasa. "kilo 340 ya fedha, 6,000 ya vipande vya dhahabu" + +# akachukua pamoja naye kumi ... mavazi + +Hizi zilikuwa zawadi kutoka kwa mfalme wa Shami kwa ajili ya mfalme wa Israeli. "chukua pamoja naye kumi ... mavazi, ambazo zilikuwa zawadi kwa ajili ya mfalme wa Israeli" + diff --git a/2ki/05/07.md b/2ki/05/07.md new file mode 100644 index 00000000..71864f09 --- /dev/null +++ b/2ki/05/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# akararua mavazi yake + +Mara nyingi watu walipasua nguo zao kama walikuwa katika huzuni."alichana nguo zake kuonyesha huzuni yake" + +# Je mimi ni Mungu, niue na nirudishe uhai, kwamba huyu mtu anataka nimponye mtu ukoma wake? + +Mfalme anatumia hili swali lisilo na majibu kusisitiza ombi la mfalme wa Shami ni hasira na ni kitu ambacho hawezi kufanya. + +# Inaonekana anatafuta mashindano na mimi + +Mfalme wa Israeli hakuamini ombi kumponya Naamani ilikuwa sababu ya kweli kwa ajili ya barua. Alifikiri sababu ya kweli ilikuwa kuanza kupigana. "inaonekana anatafuta udhuru kuanza kupigana nami" + diff --git a/2ki/05/08.md b/2ki/05/08.md new file mode 100644 index 00000000..03c70883 --- /dev/null +++ b/2ki/05/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Elisha alizungumza na Mfalme wa Israeli kuhusu Naamani. + +# Kwa nini umechana mavazi yako? + +Elisha anauliza swali hili lisilo na majibu kusisitiza kwa mfalme kwamba hahitaji kuwa na huzuni na kuchana mavazi yake. + +# mwili wako utarudishwa + +Hii inaweza kuandikwa katika umbo tendaji. "mwili wako utapona" + +# utakuwa msafi + +hii inamaanisha kwamba hatakuwa najisi tena. Mtu ambaye Mungu anamfikiria kiroho hatakiwi au najisi anazunguziwa kana kwamba huyo mtu alikuwa alikuwa mchafu kimwili. + diff --git a/2ki/05/11.md b/2ki/05/11.md new file mode 100644 index 00000000..d451480c --- /dev/null +++ b/2ki/05/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Tazama + +Hili neno linatumika kuleta usikivu wa mtu kwa kile kitakachosemwa. "Sikiliza" + +# jina la Yahwe + +Hapa Yahwe inarejewa kwa jina lake. "Yahwe" + +# juu ya sehemu + +"juu ya eneo la ngozi lenye ugonjwa" au "juu ya ukoma wangu" + +# Je sio Abana na Faepari, mito ya Damaskasi, bora kuliko maji yote ya Israeli? + +Naamani anatumia hili swali lisilokuwa na majibu kusisitiza kwambwa Abana na Faepari ni mito mizuri kuliko Yordani. + +# Abana na Faepari + +Haya ni majina ya mito. + +# Je siwezi kuoga ndani yao na kuwa safi? + +Naamani anatumia swali lisilo na majibu kusisitiza kwamba angeweza kuoga katika mito mingine kirahisi. Anaamini kwamba kuoga katika hayo yangeweza kumponya kama kuoga katika Yordani. + +# kwenda kwa hasira + +"alikuwa na hasira kana kwamba alienda" + diff --git a/2ki/05/13.md b/2ki/05/13.md new file mode 100644 index 00000000..31fcc70b --- /dev/null +++ b/2ki/05/13.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Baba yangu + +Watumishi walikuwa wakionyesha heshima kwa Naamani kwa kumtambulisha kama "baba yangu" au "bwana." + +# usingeifanya? + +Mtumishi anatumia hili swali kwa makini kumuonya Naamani. "hakika ungekuwa umemaliza!" + +# Je si zaidi basi? + +Mtumishi analinganisha utayari wa Naamani ni kiasi gani zaidi ataweza kutii amri rahisi tangu awe tayari kutii ile ngumu. + +# Je si zaidi basi, atakapokwambia rahisi, 'Zama mwenyewe na uwe safi? + +Mtumishi anatumia hili swali lisilo na majibu kusisitiza kwa Naamani kwamba anatakiwa atii amri ya Elisha. Hili swali linaweza kuandikwa kama kauli. + +# mtu wa Mungu + +"Elisha mtu wa Mungu" + +# Mwili wake ulirudishwa tena kama mwili wa mtoto mdogo + +Hii inazungumzia jinsi gani ngozi ya Naamani ilivyokuwa nyororo baada ya kuponywa kwa kuilinganisha na ngozi ya mtoto mdogo. "Ngozi yake ilikuwa imerudishwa tena na alikuwa laini kama ngozi ya mtoto mdogo" + +# Mwili wake + +"Ngozi yake" + +# aliponywa + +Hii inaweza kuainishwa katika umbo tendaji. "ukoma wake uliondoka" + diff --git a/2ki/05/15.md b/2ki/05/15.md new file mode 100644 index 00000000..8b965cfd --- /dev/null +++ b/2ki/05/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Tazama + +Hili neno limetumika hapa kuleta usikivu wa mtu kwa kile kitakachosemwa. + +# hakuna Mungu katika dunia yote isipokuwa katika Israeli + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo chanya. "Mungu wa Israeli ndiye Mungu pekee wa kweli!" + +# Kama Yahwe aishivyo, ambaye nimesimama mbele yake + +"Kwa hakika kama nijuavyo kwamba Yahwe yu hai, abaye nimesimama mbele zake." Bila shaka hapa Elisha analinganisha kwamba Yahwe yu hai kwa hakika kwamba hatapokea zawadi yeyote kutoka kwa Naamani. Hii ni njia ya kufanya agano la sherehe. + +# ambaye nimesimama mbele zake + +Hapa kumtumikia Yahwe inazungumziwa kama kusimama katika uwepo wake. "ambaye namtumikia" + +# sintopokea kitu + +Hii inamaana kwamba hatapokea zawadi zozote. "sintachukua zawadi zozote" + diff --git a/2ki/05/17.md b/2ki/05/17.md new file mode 100644 index 00000000..535e16dd --- /dev/null +++ b/2ki/05/17.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kama sivyo + +Maneno yanayokosekana yanaweza kuongezwa. "Kama hutachukua zawadi nilizokuletea" + +# acha apewe mtumishi wako huko + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. + +# mzigo wa baghala mbili za aridhi + +Naamnai anauliza kuchukua udongo kutoka Israeli na kuuweka kwenye magunia kwa baghala mbili kubeba nyumbani pamoja naye. Kisha alipanga kujenga madhabahu kwenye udongo. + +# mtumishi wako + +Naamani anajirejea mwenyewe kama mtumishi wa Elisha kumheshimu. + +# hatotoa tena sadaka ya kuteketezwa wala dhabihu kwa mungu yeyote isipokuwa Yahwe + +Hii inaweza kuandikwa katika muundo chanya. "hatatoa sadaka ya kuteketeza au dhabihu kwa mungu yeyote isipokuwa Yahwe" + +# wakati mfalme wangu + +Hii inamrejea mfalme wa Shami, mfalme ambaye Naamani alimtumikia. + +# akajifunza kwenye mkono wangu + +"alijisaidia mwenyewe juu ya mkono wangu." Hii inamaanisha kwamba Naamani humsaidia mfalme wakati ainapo katika nyumba ya Rimoni kwa sababu mfalme ni mzee au anaumwa. + +# Nenda kwa amani + +"Nenda nyumbani na usiwe na wasi" au "ondoka bila wasi" + diff --git a/2ki/05/20.md b/2ki/05/20.md new file mode 100644 index 00000000..1e655ebe --- /dev/null +++ b/2ki/05/20.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Alisafiri + +"Naamani alisafiri" + +# Gehazi + +Hili ni jina la kiume. + +# Tazama + +Hili neno limetumika hapa kumvuta mtu usikivu kwa kile kitakachosemwa. + +# amemuandaa huyu Naamani Mshami + +"amemuacha Naamani Mshami kuondoka kirahisi" + +# bila kupokea + +"bila kukubali" + +# kutoka kwenye mikono yake + +Hapa naamani anarejea karibu na mikono yake kusisitiza tendo la kutoa. "kutoka kwake" + +# Kama Yahwe aishivyo + +"Kwa hakika kama Yahwe aishivyo." Hapa Gehazi analinganisha uhakika kwamba Yahwe yu hai kwa uhakika wa kile alichoamua kufanya. Hii ni njia ya kufanya ahadi ya sherehe. Kama Yahwe aishivyo, naahidi" + +# wa wana wa manabii + +Hii haimanishi kwamba walikuwa wana wa manabii, lakini badala yake, walikuwa kundi la manabii. + +# Tafadhali, wapatie talanta ya fedha na nguo mbili za kubadilisha + +Gehazi anamuuliza Naamani awapatie hivi vitu yeye ili kwamba avichukue na kuwapatia manabii. "Tafadhali wapatie talanta ya fedha na nguo mbili za kubadilisha kuwapatia. + +# Tazama + +Hili neno limetumika hapa kuleta usikivu wa mtu kwa kile anachotaka kukisema. + +# talanta ya fedha + +Hii inaweza kuandikwa katika kipimo cha kisasa. "kilo 34 za fedha" + diff --git a/2ki/05/23.md b/2ki/05/23.md new file mode 100644 index 00000000..774ec253 --- /dev/null +++ b/2ki/05/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# talanta mbili + +Hii inaweza kuandikwa katika vipimo vya kisasa. Hizi talanta za fedha. "talanta mbili za fedha" au "kilo 68 za fedha" + +# kuzitandaza juu ya wawili + +"kuwapatia" + +# Naamani alimwagiza Gehazi + +Naamani alimwagiza kuchukua zawadi. "Naamani alimwagiza kuchukua zawadi" + +# Mtumishi wako + +Gehazi anajirejea yeye mwenyewe hapa kama mtumishi wa Elisha. + diff --git a/2ki/05/26.md b/2ki/05/26.md new file mode 100644 index 00000000..f13fa163 --- /dev/null +++ b/2ki/05/26.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# je haikuwa roho yangu na wewe wakati yule mtu alipoyarudisha magari yake ya farasi ili kukutana na wewe? + +Elisha anatumia hili swali kusisitiza kwamba Yahwe alimruhusu kuona kile Gehazi alichokifanya. Hii inaweza kuandikwa kama kauli. "Unatakiwa kutafakari kwamba roho angekuona wakati Naamani aliposimamisha magari yake ya farasi na kuzungumza na wewe." + +# Je huu ni mda wa kupokea pesa na nguo + +Elisha anatumia swali hili lisilo na majibu kusisitiza kwamba huu sio mda wa kuchukua zawadi. Hii inaweza kuandikwa kama kauli. "Huu sio mda wa kupokea pesa ... watumishi wa kike." + +# ukoma wa Naamani utakuwa juu ya uzao wako + +Hii inamzungumzia Gehazi na uzao wake kupata ukoma kana kwamba ukoma wa Naamani ulichukuliwa kutoka kwake na kupatiwa Gehazi. "wewe na uzao wako mtakuwa na ukoma, kama Naamani alivyokuwa na ukoma" + +# Basi Gehazi akatoka kwenye uwepo wake + +Neno "uwepo wake" linarejea kwenye ambalo Elisha angeweza kumuona. Hii inamaanisha kwamba alikiacha chumba ambacho alichokuwa. Wakati Gehazi alipokicha hicho chumba, alikuwa" + +# kama theluji + +Ukoma hufanya ngozi nyeupe. Hapa ngozi ya ukoma wa Gehazi unalinganishwa na rangi ya theluji. "na ngozi ambayo ilikuwa nyeupe kama theluji" + diff --git a/2ki/06/01.md b/2ki/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..82346857 --- /dev/null +++ b/2ki/06/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wana wa manabii + +Hii haimaanishi kwamba walikuwa wana wa manabii, badala yake, kwamba walikuwa kundi la manabii. + +# twendeni Yoradani + +Hii inarejea kwenye eneo la Mto Yordani. "twendeni karibu na Mto Yordani" + +# watumishi wako + +Hapa mmoja wa nabii anarejewa kwa wana wa manabii kama watumishi wa Elisha kumuonyesha heshima. + diff --git a/2ki/06/04.md b/2ki/06/04.md new file mode 100644 index 00000000..76ed929f --- /dev/null +++ b/2ki/06/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelzo ya Jumla: + +Elisha alienda na manabii kukata miti. + +# kichwa shoka kikaangukia kwenye maji + +Kichwa cha shoka kinarejea kwenye ubapa wa shoka. Hii inamaanisha kwamba kichwa cha shoka kikalegea kutoka kwenye mkono wake na kuangukia kwenye maji. "kichwa cha shoka kikajitenga kutoka kwenye mshkio na kuangukia kwenye maj" + +# la hasha + +Yule mtu alisema hivi kuonyesha kwamba alikuwa amekasirika na kukata tamaa. + +# ilikuwa imeazimwa + +"kuiazima" + diff --git a/2ki/06/06.md b/2ki/06/06.md new file mode 100644 index 00000000..ca63354d --- /dev/null +++ b/2ki/06/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Basi mtu wa Mungu akasema + +"Hivyo Elisha mtu wa Mungu, akauliza" + +# Kisha akakata fimbo, akarusha kwenye maji, na kufanya chuma kuelea + +Mungu anamtumia Elisha kufanya muujiza. Kichwa cha shoka kuelea kwenye uso wa maji na kukaa hapo ili nabii aweze kukichukua. + +# kufanya chuma + +"sababisha chuma kuelea" + +# chuma + +"kichwa cha shoka." Kichwa cha shoka kilitnegenezwa kwa chuma. + diff --git a/2ki/06/08.md b/2ki/06/08.md new file mode 100644 index 00000000..b1953034 --- /dev/null +++ b/2ki/06/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Basi mfalme wa Shamu alikuwa akipigana vita dhidi ya Israel + +Wakati mfalme wa Sahmi alipokuwa kwenye vita pamoja na Israeli," + +# Sasa + +Hili neno limetumika hapa kugawanya katika hadithi kuu. Hapa mwandishi anaanza kueleza sehemu mpya ya hadithi. + +# akisema, "kambi yangu itakuwa sehemu flani + +Mfalme wa Shamu alikuwa akiwaambia washauri wake wapi waweke kambi. Hapa nene "hivi na hivi" ni njia ya kurejea kwenye habari ya eneo la kambi bila kuiandika. + +# mtu wa Mungu + +"Elisha mtu wa Mungu" + +# Kuwa makini usipite ile sehemu, kwa kuwa ndipo Washamu wanakoshukia hapo + +Elisha alipajua mahali halisi ambapo Washami walipokuwa wanaenda kuweka kambi zao na kumshauri mfalme wa Israli kwa ajili ya maaskari wake kuiepuka hiyo sehemu. + diff --git a/2ki/06/10.md b/2ki/06/10.md new file mode 100644 index 00000000..46f763da --- /dev/null +++ b/2ki/06/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kwenda pale sehemu ambayo mtu wa Mungu alipaongelea na kumtahadharisha + +Hii inarejea kwenye eneo ambalo Elisha alililokuwa amemuonya mfalme katika 6:8. + +# Zaidi ya mara moja au mara mbili, wakati mfalme alipoenda huko, alikuwa juu ya ulinzi wake + +Elisha alimuonya mfalme ambapo jeshi la Washami wangewashambulia ili kwamba angewataarifu watu kabla ya kushambuliwa. "Elisha alimuonya mfalme wa Israle katika njia hii mara nyingi na Waisraeli waliweza kukaa salama" + +# Je hamtaniambia ni nani miongoni mwetu aliye upande wa Israeli?" + +Mfalme wa Shami anasadiki kuna msaliti miongoni mwa maaskari wake ambao anawapa habari mfalme wa Israeli. Anauliza hili swali lisilihitaji kujibiwa kujaribu kutafuta huyo msaliti ni nani. + +# ni kwa ajili ya mfalme wa Israeli + +"Kuwa kwa ajili ya mtu mmoja" inamaanaisha kuwa mwaminifu kwa huyo mtu. Katika hii kesi, inamaanisha kwamba wangewapa habari kumsaidia mfalme wa Israeli. "anamsaidia mfalme wa israeli" au "ni mwaminifu kwa mfalme wa Israli" + diff --git a/2ki/06/12.md b/2ki/06/12.md new file mode 100644 index 00000000..6cf2f5f8 --- /dev/null +++ b/2ki/06/12.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Hapana + +Huyu mtumishi anasema kwamba hakuna maaskari wa mfalme anayempatia habari mfalme wa Israeli. + +# bwana wangu, mfalme + +Hii inarejea kwa mfalme wa Shami. + +# maneno uliyoyazungumza katika kitanda chako mwenyewe + +"kile ulichokisema katika siri ya kitanda chako mwenyewe" + +# Naweza kuleta watu na kumkamata + +Mfalme anapanga kutuma watu kumkamata Elisha kwa ajili yake. Mfalme hapangi kumkamata yeye mwenyewe. "naweza kuleta watu kumkamata" + +# Tazama + +Hili neno limetumika hapa kuvuta usikivu wa mfalme kwa kile alichokisema. "Siliza" + +# Yupo Dotahazi + +"Elisha yuko Dotahani" + +# Dothani + +Hili ni jina la mji. + diff --git a/2ki/06/14.md b/2ki/06/14.md new file mode 100644 index 00000000..b41bbdae --- /dev/null +++ b/2ki/06/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hivyo mfalme + +Hii inarejea kwa mfalme wa Sshami. + +# mtu wa Mungu + +"Elisha, au "Elisha mtu wa Mungu" + +# tazama + +Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba mtumishi alishangazwa na kile alichokiona. + +# aliinuka mapema na kutoka nje, tazama + +"kuinuka mapema asubuhi na kutoka nje, na akamuona" + +# Mtumishi wake akamwambia + +Mtumishi amerudi ndani ya nyumba kumwambia Elisha alichokuwa amekiona. + +# wale walio na sisi ni zaidi kuliko wale walio nao + +"Kuwa na mtu" katika vita inamaanisha kupigana kwa ajili yao. "wale walio upande watu katika vita ni zaidi kuliko wale walio upande wao" + diff --git a/2ki/06/17.md b/2ki/06/17.md new file mode 100644 index 00000000..65532c15 --- /dev/null +++ b/2ki/06/17.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# fungua macho yake ili aweze kuona + +Elisha anauliza kwamba mtumishi wake anaweza kuona vitu ambavyo watu wengine hawawezi kuona, viitwavyo farasi, na magari ya farasi ya moto ambayo yaliyo wazunguka. "mfanya aweze kuona" + +# na akaona. Tazama + +"na kuweza kuona. Kile alichokiona kilikuwa kwamba" + +# Tazama + +Neno "Tazama" hapa linaonyesha kwamba mtumishi alishangazwa na kile alichokiona. + +# mlima ulikuwa umejaa farasi + +"mlima wote ulikuwa umefunikwa kwa farasi" + +# kumzunguka Elisha + +Hii inarejea kwa mji ambao Elisha alipo. "kuzunguka mji aliokuwa Elisha" + +# hawa watu + +Hii inarejea kwa maaskari Washami. + +# Wapige hawa watu upofu + +"Wafanya hawa watu kuwa vipofu!" Hii inarejea kwa yahwe kuwasababisha kutoona vizuri. + +# Hii sio njia, wala huu mji + +Elisha anawachanganya Washami kwa kuwaambia kwamba hawapo katika mji wanaoutafuta. "Hii sio njia, wala sio mji mliokuwa mnautafuta" + diff --git a/2ki/06/20.md b/2ki/06/20.md new file mode 100644 index 00000000..cbe02a76 --- /dev/null +++ b/2ki/06/20.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Ikawa kuhusu hilo + +"Ikatokea kwamba" au "Kisha," + +# fungua macho ya hawa watu ili waweze kuona + +Elisha anamuuliza Yahwe kuwafanya watu kuona dhahiri tena. "ruhusu hawa kuona". + +# Yahwe alifungua macho yao na wakaona + +Yahwe aliwaruhusu watu kuona dhahiri tena. "Yahwe aliuchukua upofu wao" au "Yahwe aliwaruhusu kuona dhahiri" + +# tazama + +Neno "tazama" hapa linaonyesha Washami walishangazwa kwa kile walichokiona + +# wakati alipowaona + +"wakati alipowaona maaskari Washami" + +# Baba yangu + +Mfalme anazungumza na Elisha nabii na kumuita "baba" kuonyesha heshima. + +# niwaue? niwaue? + +Hapa mfalme wa Israeli anarejea kwa jeshi lake kama yeye mwenyewe. "Niliagize jeshi langu kuwaua hawa maadui maaskari?" + diff --git a/2ki/06/22.md b/2ki/06/22.md new file mode 100644 index 00000000..d77e857b --- /dev/null +++ b/2ki/06/22.md @@ -0,0 +1,37 @@ +# Elisha akajibu + +Elisha alikuwa akimjibu Elisha mfalme wa Israeli swali. + +# Ungeweza kuwaua wale ambao uliokuwa umewachukua mateka kwa upanga na upinde wako? + +Elisha anauliza hili swali lisilo na majibu kusisitiza kwa mfalme kwamba asiwaue hawa watu. + +# ulikuwa umechukuliwa mateka na upanga wako na upinde + +Hii inawazungumzia maaskari wa mfalme kuwachukua watu mateka kana kwamba mfalme mwenyewe alikuwa ndiye aliye wateka. "maaskari wako walikamatwa mateka pamoja na panga zao na mikuki" + +# pamoja na upanga wako na upinde + +Hizi ni silaha zilizokuwa zikitumika katika vita. "katika vita pamoja na upanga wako na upinde" + +# Weka mkate na maji mbele yao, kwamba wanaweza kula na kunywa + +Hapa "mkate" unarejea kwa chakula kwa ujumla. "Kuwapatia chakula kula na maji kunywa," + +# nenda kwa bwana wao + +Hii inarejea kwa mfalme wa Shami. + +# Hivyo mfalme aliandaa chakula kwa ajili yao + +Mfalme aliwaagiza watumishi wake + kuandaa chakula. Hakuandaa chakula mwenyewe. "Kisha mfalme aliwaagiza watumishi wake kuandaa chakula kingi kwa ajili yao" + +# Hale makundi + +"Hayo makundi" + +# halikurudi kwa mda mrefu katika nchi ya Israeli. + +Hii inamaanisha kwamba hawakuishambulia Israeli kwa mda mrefu. "kuacha kuishambulia nchi ya Israeli kwa mda mrefu" + diff --git a/2ki/06/24.md b/2ki/06/24.md new file mode 100644 index 00000000..982bab93 --- /dev/null +++ b/2ki/06/24.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Ben Hadadi + +Jina la mfalme wa Shami. Jina lake linamaanisha "mwana wa Hadadi." + +# kuiteka Samaria + +Mfalme na jeshi lake waliiteka Samria. "waliiteka Samaria" + +# Tazama + +Neno "tazama" hapa linatutahadharisha kuvuta usikivu kwenye habari za kushangaza zinazofuata. + +# kichwa cha punda kiliuzwa kwa + +"gharama ya kichwa cha punda + +# vipande themanini vya fedha + +"vipande 80 vya fedha" + +# sehemu ya nne ya kibaba + +Hii inaweza kuandikwa katika vipimo vya kisasa. "sehemu ya nne ya lita" au " robo ya lita" + +# sehemu ya nne + +"sehemu ya nne." Hii ni sehemu moja ya nne yenye sehemu sawa sawa. + +# kinyesi cha njiwa kwa + +Neni linalokosekana linaweza kuongezwa. "kinyesi cha njiwa kiliuzwa kwa" au "ghara ya kinyesi cha njiwa" + +# akipita juu ya ukuta + +"kutembea juu ya mji wa ukuta" + +# bwana wangu + +Mwanamke anarejewa kwa mfalme kwa hili jina kumwonyesha heshima. + diff --git a/2ki/06/27.md b/2ki/06/27.md new file mode 100644 index 00000000..41f9cbd8 --- /dev/null +++ b/2ki/06/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Alisema + +"Mfalme wa Israeli alimjibu yule mwanamke," + +# Kama Yahwe hawezi kukusaidia, nitakusaidiaje? + +Mfalme anatumia hili swali lisilohitaji majibu kumwambia mwanamke kwamba hawezi kumsaidia. "Kama Yahwe hakusaidii, kisha siwezi kukusaidia." + +# je kuna kitu chochote kinakuja kutoka sehemu ya kupuria nafaka au shinikizoni + +Mfalme anatumia hili swali lisilohitaji majibu kusisitiza kwamba hakuna chakula kinachopatikana. + +# Mfalme akaendelea + +"Mfalme alisema." Hii inamaanisha kwamba waliendelea kuongea. + +# tulichemsha + +"tulipika" + diff --git a/2ki/06/30.md b/2ki/06/30.md new file mode 100644 index 00000000..b18d26ad --- /dev/null +++ b/2ki/06/30.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# aliposikia yale maneno ya yule mwanamke + +"msikilize mwanamke mwambie alikuwa na mwanamke mwingine alifanya," + +# alirarua mavazi yake + +Mfalme alichana mavazi yake ya nje kuonyesha huzuni yake. "alirarua mavazi yake katika huzuni" + +# sasa alikuwa akipita juu ya ukuta + +alikuwa akitembea juu ya ukuta wa mji wakati mwanamke alipoitwa naye nje. + +# alikuwa amevaa nguo ya gunia chini, dhidi ya ngozi yake + +Kwa kuvaa mavazi ya gunia hata kwa ajili ya vazi la ndani, mfalme alionyesha kwamba alikuwa na huzuni kubwa sana na kufadhaika sana. + +# Mungu afanye hivyo kwangu, na zaidi pia + +Mfalme anasema anatumaini Mungu atamuadhibu na hata kuua kama Elisha nabii hatakufa kwa sababu ya mambo yaliyotokea katika mji wa Samaria. "Mungu aniadhibu na kuniua" + +# kama kichwa cha Elisha mwana wa Shefati + +Hii inamrejea Elisha kufa, dhahiri kukatwa kichwa. "kama Elisha mwana wa Shafati hajakatwa kichwa leo" + diff --git a/2ki/06/32.md b/2ki/06/32.md new file mode 100644 index 00000000..19907fbb --- /dev/null +++ b/2ki/06/32.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Mfalme alimtuma mtu wa mbele yake + +"Kuwa mbele ya mfalme" maana yake kuwa kuwa mmoja ya hawa watumishi wake. "Mfalme wa Israeli alimtuma mmoja wa watumishi wake kama mjumbe" + +# wakati mjumbe alipokuja kwa Elisha, aliwaambia wazee + +Hapa Elisha anaongea na wazee mbele ya mjumbe wa mfalme alipofika. "wakati mjumbe alipokaribia kufika, Elisha akawaambia wazee" + +# "Ona jinsi huyu mwana wa muuaji alivytumwa kuchukua kichwa changu? + +Elisha anatumia hili swali lisilohitaji majibu kuleta usikivu kwa wajumbe wa mfalme na kumdhalilisha mfalme. + +# mwana wa muuaje + +Hii inamaanisha kwamba mfalme wa Israeli anatabia za mauaji. "huyu ambaye yuko kama muuaji" au "muuaji" + +# amemtuma + +Maneno yanayokosekana yanaweza kuongezwa. "amemtuma mtu kwa" + +# kuchukua kichwa changu + +Hii inamaanisha kumkata kichwa. "kukata kichwa changu" + +# Tazama + +Elisha anatumia hili neno hapa kuleta usikivu wa wazee kwa kile anachotaka kukisema. + +# shika mlango funga juu yake + +Kama mlango ukifungwa juu ya mtu inamaana kwamba umefungwa na kwamba hawawezi kuingia kupitia huo. "shika mlango funga ili asiweze kuingia" + +# Je sio sauti ya mguu wa bwana wake nyuma yake? + +Elisha anatumia hili swali kuwahakikishia wazee kwamba mfalme anakuja sio mbali naye. + +# tazam, mjumbe + +Neno "tazam" linatutahadharisha kufika kwa wageni + +# mjumbe akashuka chini kwenda kwake + +Mjumbe, alifika, na mfalme alifanya, kama Elisha alivyokuwa amesema angefanya. Neno "alishuka chini kwake" linamaanisha kwamba walifika mahali ambapo alipokwa. "mjumbe na mfalme walifika" + +# Tazama, hii shinda + +"Hakika, hii shida." "Neno "tazama" hapa inaongeza msisitizo kwa kile kifuatacho. + +# Kwa nini nimsubiri Yahwe tena? + +Huyu mfalme anatumia hili swali lisilohitaji kijibiwa kusisitiza kwamba haamini kwamba Yahwe anaenda kuwasaidia. + diff --git a/2ki/07/01.md b/2ki/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..7b96ca2f --- /dev/null +++ b/2ki/07/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# kipimo cha unga mzuri kitauzwa kwa shekeli, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli + +Inaeleza kwamba Waisraeli watakuwa wakilipa pesa kidogo kwa ajili ya hivi vitu kuliko walivyokuwa. Hii inaweza kuanza katika muundo tendaji. Watu watanunua kipimo cha unga mzuri kwa shekeli moja na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli moja" + +# kipimo kimoja cha unga mzuri ... vipimo viwili vya shayiri + +Hapa neno "kipimo" linatafsiri neno "sea," ambacho ni kipimo kikavu sawa na kama lita 7. "lita 7 za unga mzuri ... lita 14 za shayiri" + +# shekeli moja + +Shekeli moja muunganiko wa uzito sawa na kama gram 11. "kama gram 11 za fedha" au Fedha moja ya sarafu" + +# nahodha ambaye mkono wake mfalme alijifunza + +Cheo cha juu cha nahodha ambaye alikuwa msaidizi wa mfalme anazungumziwa kana kwamba mtu ambaye mfalme alijifunza mkono wake. "nahodha ambaye alikuwa karibu na mfalme" au "nahodha ambaye alikuwa msaidizi" + +# hata kama Yahwe angefanya madirisha mbinguni + +Yahwe anafanya mvua kubwa kunyesha ili kufanya mimea kukua inazungumziwa kana kwamba Yahwe alikuwa akifungua madirisha mbinguni kupitia ambavyo amwagapo mvua chini. "hata kama Yahwe alisababisha mvua kubwa kunyesha kutoka mbinguni" + +# hili jambo linaweza kutokea? + +Nahodha anauliza hili swali kueleza kutokuamini kwake. Hili swali lisilo na majibu linaweza kutafsiriwa kama kauli. "hii haitatokea!" + +# utaona ikitokea kwa macho yake mwenyewe + +Neno "kwa macho yako mwenyewe" linasisitiza kwamba nahodha hakika ataona mambo ambavyo Elisha alivyovitabiri. "wewe mwenyewe utaona haya mambo yakitokea" + +# lakini hutakula chochote katika hicho + +"lakini hutakula unga wowote au shayiri" + diff --git a/2ki/07/03.md b/2ki/07/03.md new file mode 100644 index 00000000..1ebbbad1 --- /dev/null +++ b/2ki/07/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sasa + +Hili neno limetumika hapa kuvunja alama katika hadithi kuu. Hapa mwandishi anaanza kueleza mwanzo wa hadithi. + +# Kwa nini tuketi hapa hadi tutakapokufa? + +I+ngawa hapa kulikuwa na watu wanne, ni kama mmoja wao aliuliza hili swali. Hili swali ni swali lisilo na majibu + +# Kama wakitupa uhai, tutakuwa hai, na kama wakituua, tutakufa tu + +Wale watu wanne wenye ukoma wanasema kwamba Waaramu wangeweza kuwajaza ili kwamba waweze kuishi, au wanaweza kuwaua, ambapo hakutakuwa na ubaya zaidi wangekufa vyovyote. + diff --git a/2ki/07/05.md b/2ki/07/05.md new file mode 100644 index 00000000..98bfc8f7 --- /dev/null +++ b/2ki/07/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# wakati wa jioni + +Hii inarejea mapema jioni baada ya jua kuzama, lakini kabla ya giza. + +# Washami kusikia sauti ya magari ya farasi, na sauti za farasi-sauti za jeshi jingine kubwa + +Maaskari wa Shami walisikia s + +# jeshi la Washami kusikia sauti ya magari ya farasi, na sauti za farasi-sauti za jeshi jingine kubwa + +Maaskari wa jeshi Washami walisikia sauti zilizokuwa zinalia kama jeshi kubwa linalokaribia kuwapiga. Hili halikuwa jeshi halisi, lakini Bwana aliwatengeneza kusikia hizi sauti. + +# waliambizana kila mmoja + +"maaskari wa Washami waliambizana kila mmoja" + +# wafalme wa Wahitina Wamisri + +Hapa neno "wafalme" linawakilisha majeshi ya haya mataifa. "majeshi ya Wahiti na Wamisri" + +# kuja juu yetu + +"kutupiga sisi" au "kutushambulia" + diff --git a/2ki/07/07.md b/2ki/07/07.md new file mode 100644 index 00000000..9b66647b --- /dev/null +++ b/2ki/07/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hivi ndivyo ilivyotokea baada ya Bwana kusababisha maaskari Washami kufikiri wamesikia jeshi kubwa la adui linakaribia kambi yao. + +# jioni + +Hii inarejea jioni mapema baada ya jua kuzama, lakini nyuma yake ni giza. + +# nyara + +Hii inarejea kwa vitu ambavyo huchukuliwa na jeshi lililoshinda kutoka jeshi jingine ambalo limeshindwa. Hapa inarejea kwa "fedha na dhahabu na nguo." + diff --git a/2ki/07/09.md b/2ki/07/09.md new file mode 100644 index 00000000..3c8a7123 --- /dev/null +++ b/2ki/07/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# hadi macheo + +"hadi asubuhi" + +# adhabu itatupata + +Mmoja anawaadhibu watu wanne anazungumziwa kana kwamba adhabu ilikuwa mtu awakamataye. "watu watatuadhibu" au "mtu atatuadhibu" + +# waambie kaya ya mfalme + +Hapa neno "kaya" inawakilisha watu ambao waishio katika nyumba ya mfalme. "mwambie mfalme na watu wake" + +# kama walivyokuwa + +Habari za wazi inaweza kusambazwa katika tafsiri. "kama walivyokuwa wakati maaskari walipokuwa huko" + +# ndipo walipoambiwa ndani ya kaya ya mfalme + +Hii inaweza kuanza katika muundo tendaji. "kisha watu waliiambia nyumba kaya ya mfalme" + diff --git a/2ki/07/12.md b/2ki/07/12.md new file mode 100644 index 00000000..e5aa5d13 --- /dev/null +++ b/2ki/07/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# walichotufanyia + +"kinachopangwa kufanywa kwetu" au "walichofanya kutudanganya" + +# kuwakamata wakiwa hai + +Hii inamaana kwamba wangewakamata watu na sio kuwaua. + +# farasi waliobaki, ambao waliobaki katika mji + +Farasi wengi ni mali ya Waisraeli walikufa kwa sababu ya njaa. Maana ya hii inaweza kuwekwa wazi. "farasi katika mji ambao bado wako hai" + +# Wako kama mkutano wote wa Israeli waliobaki + +Watu watakao enda kwa kambi ya Washamu watashiriki mauti ile ile kama mabaki ya Waisraeli waliobaki katika mji. Pengine watakufa kwa njaa, au labda kuwa kama karibu na Washami. + +# na tazama + +Habari ya wazi inaweza kuongezwa kufanya maana wazi. "na tazama kama hawa wakoma walichokisema ni kweli? + diff --git a/2ki/07/14.md b/2ki/07/14.md new file mode 100644 index 00000000..5122a891 --- /dev/null +++ b/2ki/07/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nenda na tazama + +Habari ya uwazi inaweza kuongezwa kufanya maana wazi. "Nenda na tazama kama hawa wakoma walichikisema ni kweli" + +# Walifuatana nao kwenda Yordani + +"Walifuata njia ya jeshi la Washamu kuchukua njia ya mto Yordani" + +# njia zote zilikuwa zimejaa nguo na vifaa + +Hii inamaanisha kwamba watu waliviona hivi vitu vimetawanyika karibu na barabara walipokuwa wakisafiri. "kulikuwa na nguo na vitu vyote karibu na barabara" + diff --git a/2ki/07/16.md b/2ki/07/16.md new file mode 100644 index 00000000..e83fd89b --- /dev/null +++ b/2ki/07/16.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# wakaziteka nyara kambi + +Hii inarejea kuchukua vitu kutoka jeshi lililoshindwa. + +# Hivyo kipimo cha unga mzuri uliuzwa kwa shekeli moja, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli moja + +Hii inaweza kutafsiriwa katika muundo tendaji. "Hivyo watu waliuza kipimo kimoja cha unga mzuri kwa shekeli moja na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli moja" + +# kipimo kimoja cha unga mzuri ... vipimo viwili vya shayiri + +Hapa neno "kipimo" linatafsiri neno "sea," ambayo ni moja ya kipimo kikavu sawa na kama lita 7. "lita 7 za unga mzuri ... lita 14 za shayiri" + +# shekeli + +Shekeli uzito mmoja sawa na kama gram 11. "kama gram 11 za fedha" au "fedha moja ya sarafu" + +# kama neno la Yahwe lilivyokuwa amesema + +Hapa "neno" limuwakilisha Yahwe. "kama Yahwe alivyokuwa amesema" + +# nahodha ambaye mkono wake ulikuwa umejifunza + +Nahodha wa daraja la juu aliyekuwa msaidizi wa mfalme anazungumziwa kana kwamba alikuwa mtu ambaye mfalme amejifunza mkono wake. + +# kumkanyaga chini + +Kundi la watu lilikuwa katika kukurupuka kupata chakula katika kambi waligonga juu ya mtu na kumkanyaga hati kufa. + diff --git a/2ki/07/18.md b/2ki/07/18.md new file mode 100644 index 00000000..a1763add --- /dev/null +++ b/2ki/07/18.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Katika huu mstari, mwandishi amefupisha kilichotokea kwa kurudia matukio ambayo alielezea katika 7:1. + +# Mda kama huu + +"Mda kama huu kesho" + +# vipimo viwili vya shayiri ... kipimo kimoja cha unga mzuri + +Hapa neno "kipimo" unatafsri neno "sea," ambayo ni umoja wa kipimo kikavu sawa na lita 7. "lita 14 za shayiri ... lita 7 za unga mzuri" + +# shekeli + +Shekeli ni moja ya uzito sawa na kama gram 11. "kama gram 11 za fedha" au "fedha moja ya sarafu" + +# Ona + +"sana." Neno "Ona" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kifuatacho. + +# hata kama Yahwe akiweka madirisha mbinguni + +Yahwe analeta mvua kubwa sana kunyesha kwa ajili ya kufanya mimea ikue inazungumziwa kana kwamba Yahwe alikuwa akifungua madirisha mbinguni ambavyo ashuahapo mvua chini. + +# je hili jambo linaweza kutokea? + +Nahodha anauliza hili swali kuelezea kutokuamini kwake. Hili swali linaweza kuatafsiriwa kama kauli. + +# utaona ikitokea kwa macho yako mwenyewe + +Neno "kwa macho yako mwenyewe" linasisitiza kwamba nahodha anaona bila shaka mambo ambayo Elisha aliyoyatabiri. + +# lakini hutakula chochote katika hicho + +"lakini hutakula chochote katika unga au shayiri" + diff --git a/2ki/08/01.md b/2ki/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..f6e1f537 --- /dev/null +++ b/2ki/08/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sasa + +Hili neno linatumika hapa kugawanya mwanzoni mwa hadithi. Hapa mwandishi anaanza kueleza sehemu mpya ya hadithi. + +# yule mwanamke ambaye mwanaye alifufuliwa + +Hadithi ya huyu mwanamke na mwanaye inapatikana kwenye 4:8. + +# alifufuliwa + +"alisababisha akafufuliwa tena" + +# Inuka + +"kuinika kutoka ulipo" + +# mtu wa Mungu + +"Elisha, mtu wa Mungu" + diff --git a/2ki/08/03.md b/2ki/08/03.md new file mode 100644 index 00000000..1e2e751c --- /dev/null +++ b/2ki/08/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa mfalme + +Hii inarejelea kwa mfalme wa Israeli. + +# kwa ajili ya nyumba yake na nchi yake + +wakati yule mwanamke alipokwenda, nyumba yake na vitu vyake vilizingirwa. Anaanza kuvirudisha kwa ajili yake. + +# Sasa + +Hili neno linatumika hapa kugawanya kwenye hadithi kuu. Hapa mwandishi anatuambia historia kuhusu mfalme alichokuwa akifanya wakati mwanamke alipofika. + diff --git a/2ki/08/05.md b/2ki/08/05.md new file mode 100644 index 00000000..1d12fb47 --- /dev/null +++ b/2ki/08/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mtoto aliyekuwa amekufa alifufuliwa + +"alisababisha mtoto aliyekuwa amekufa kuwa hai tena" + +# kwa ajili ya nyumba yake na nchi + +Wakati yule mwanamke alipoondoka, nyumba yake na mali zake vilizingirwa. Anawaomba arudishwe. + +# kuhusu mwanaye + +Hii inarejlea hadithi ya mwanaye akifa na Elisha kurejeshea uhai wake. + +# mafuno yote ya shambani mwake + +Haya maelezo yanarejea kwa kiasi cha pesa ambacho mavuno ya shambani kwake yalikuwa ya thamani wakati alipokuwa mbali. Manufaa yote ya mavuno ya shamba lake" + diff --git a/2ki/08/07.md b/2ki/08/07.md new file mode 100644 index 00000000..0b7bb515 --- /dev/null +++ b/2ki/08/07.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Ben Hadadi + +Hili ni jina la mfalme wa Shami. Jina lake linamaanisha "mwana wa Hadadi." + +# Hazaeli + +Hili ni jina la kiume. + +# Chukua zawadi + +Hazaeli alichukua zawadi nyingi, sio moja tu. "chukua zawadi nyingi" + +# katika mkono wako + +Hili neno "katika mkono wako" ni lugha inayomaanisha kwake kuchukua zawadi pamoja naye. "pamoja nawe" + +# mtu wa Mungu + +Elisha, mtu wa Mungu" + +# kushauriana na Yahwe kupitia yeye, kusema + +"muulize Elisha kumwambia Yahwe" + +# kubeba ngamia arobaini + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "alibeba ngamia arobaini" + +# ngamia arobaini + +"ngamia 40" + +# Mtoto wako Ben Hadadi mfalme wa Shamii + +Ben Hadadi hasa alikuwa mwana wa Elisha, lakini Hazaeli alimuita ili kwamba kuonyesha uhusiano wa karibu kati yao. "Ben Hadadi mfalme wa Shami, ambaye ni kama mtoto kwako," + diff --git a/2ki/08/10.md b/2ki/08/10.md new file mode 100644 index 00000000..ed3d98ea --- /dev/null +++ b/2ki/08/10.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# hadi alipoona aibu + +"hadi Hazaeli alijisikia hana raha" + +# bwana wangu + +Hazaeli anarejea kwa Elisha kwa njia hii kumheshimu yeye. + +# Kwa najua + +Mungu alimuonyesha Elisha nini kitchukua nafasi mbeleni. + +# utafanya + +Neno "wewe" linamrejea Hazaeli na kumrejea yeye mwenyewe na maaskari chini ya utawala wake wakti wakiwa mfalme. "utasababisha itokee" au "utawaagiza maaskari wako" + +# Utaweka ... utawaua + +Neno "wewe" linamuwakilisha Hazaeli hapa kurejea kwa maaskari na sio kwa Hazaeli mwenyewe. "Ninyi maaskari mtawekwa ... maaskari wako watauawa" + +# kuwaseta vipande vipande watoto wao + +"kuwaponda watoto wao wadogo. "Haya ni maelezo ya ukatili ya maaskari kuwau watoto. + +# kuwaua watoto wao wadogo kwa upanga + +Hii inamaanisha kwamba wanaume watauawa kwa kwenye vita. Upanga ulikuwa silaha kubwa iliyokuwa ikitumika katika vita. "kuwaua watoto wao wa kiume wadogo katika vita" + +# kupasua mimba zao wanawake + +Hii inarejea hasa kupasua wazi matumbo yao. "pasua wazi matumbo ya mimba za wanawake kwa upanga" + diff --git a/2ki/08/13.md b/2ki/08/13.md new file mode 100644 index 00000000..ef8f4e09 --- /dev/null +++ b/2ki/08/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mtumwa wako ni nani, ambaye atafanya hili jambo hili kubwa + +Hazaeli anarejea kwake mwenyewe hapa kama mtumishi wa Elisha. Hazaeli anatumia hili swali lisilodai jibu kusisitiza kwamba hafikirii angefanya mambo mabaya ambayo Elisha ameyasema. + +# jambo hili kubwa + +"jambo hili kubwa." Hapa neno "kubwa" linarejea kwa kitu ambacho kina madhara makubwa na kibaya. + +# Yeye ni mbwa tu + +Hazaeli anajizungumzia mwenyewe. Anaongea kwa hali ya chini na kupungukiwa na ushawishi kwa kujilinganisha na mbwa. Hapa mbwa anawakilisha mbwa mnyama wa chini. + +# kuja kwa bwana wake + +Neno "bwana wake" inamrejea Ben Hadadi. + +# uso hivyo basi akafa + +Hii inamaanisha kwamba Ben Hadadi akakosa hewa kwenye blangeti. Maana kamili ya hii sentensi inaweza kuwekwa wazi. "uso. Ben Hadadi hakuweza kupumua kupitia hiyo, na hivyo akafa" + diff --git a/2ki/08/16.md b/2ki/08/16.md new file mode 100644 index 00000000..1e03a2db --- /dev/null +++ b/2ki/08/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yohoramu akawa mfalme wa Yuda. + +# Katika mwaka wa tano wa Yoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli + +Hii inaeleza kipindi ambacho Yehoramu alipoanza kutawala kueleza mda gani Yoramu, mfalme aliyepo wa Israeli, alitawala. "Katika tano ambao Yoramu mwana wa Ahabu alipokuwa mfalme wa Israeli" + +# mwaka wa tano + +"mwaka wa 5" + +# Yoramu alianza kutawala + +Yoramu, mwana wa Yehoshafati, akawa mfalme wa Yuda. + +# umri wa miaka kumi na mbili + +umri wa miaka miwili** - "miaka 32" + diff --git a/2ki/08/18.md b/2ki/08/18.md new file mode 100644 index 00000000..a10556fd --- /dev/null +++ b/2ki/08/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Yehoramu akaenenda katika njia za wafalme wa Israeli + +Hapa "kuenenda" ni lugha inayorejea jinsi alivyoishi na kutawala kama mfalme. Katika kipindi hiki kihistoria, wafalme wa Israeli walikuwa wafalme waovu. Maana halisi ya hii sentensi inaweza kuwekwa wazi. "Yehoramu alikuwa mfalme muovu, kama wafalme wengine wa Israeli waliotawala kabla yake alivotawala" + +# kama nyumba ya Ahabu ilivokuwa ikifanya + +Hapa "nyumba" ya Ahabu inarejea kwa wadau wa familia ya Ahabu na uzao wake mpya. Ahabu ni mkwe wa Yoramu. "sawa kama familia iliyobaki ya Ahabu ilivyokuwa inafanya" + +# kwa kuwa alikuwa na binti wa Ahabu kama mkewe + +Yehoramu alimuoa binti Ahabu. + +# alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe + +Hapa "uso" wa Yahwe unarejea kwa yale ayafikiriyo. "alifanya mambo ambayo Yahwe aliyoyasema yalikuwa maovu" + +# angamiza Yuda + +Hapa "Yuda" ni kielelezo kwa ajili ya watu walioishi huko. "angamiza watu wa Yuda" + +# tangu alipomwambia kwamba atampatia wazao + +"tangu Yahwe alipomwambia Daudi kwamba angeupatia uzao wa Daudi." Hii inarejea kwa ahadi ya Yahwe kwa Daudi kwamba ukoo wake ungeitawala Yuda. Maana kamili ya hii sentence inaweza kuwekwa wazi. "tangu alipomwambia Daudi kwamba huu ni ukoo utakaoitawala Yuda. + diff --git a/2ki/08/20.md b/2ki/08/20.md new file mode 100644 index 00000000..60bef7fa --- /dev/null +++ b/2ki/08/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Edomu akaasi kutoka chini + +"Edemu aliasi juu ya" + +# mkono wa Yuda + +Hapa neno neno "mkono" inarejea kwa utawala wa Yuda, na "Yuda" + +# wakamuweka mfalme juu yao + +"kamteua mfalme kutawala juu yao" + +# Kisha Yehoramu akavuka + +ilikuwa kuvuka nini "akavuka" inaweza kuelezwa wazi. "Kisha Yehoramu akavuka mistari ya adui" + +# Ikatokea akainuka usiku + +"Kisha, usiku, akainuka" + +# akainuka + +Hapa neno "yeye" inawakilisha Yehoramu na kurejelea kwa yeye mwenyewe na makamanda wake. "yeye na makamanda wake" + diff --git a/2ki/08/22.md b/2ki/08/22.md new file mode 100644 index 00000000..0d3c079a --- /dev/null +++ b/2ki/08/22.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mfalme Yoramu wa Yuda akafa na mwana wake Ahazia akawa mfalme. + +# Edomu aliasi dhidi ya utawala wa Yuda katika siku hizi + +"Hivyo baada ya hayo, Edomu hakutawaliwa tena na Yuda, na bado iko hivyo" (UDB) + +# utawala wa Yuda + +Hapa "Yuda" inarejea kwa mfalme wa Yuda. "utawala wa mfalme wa Yuda" au "mamlaka ya mfalme wa Yuda" + +# hadi sasa + +hadi hiki kitabu kilipoandikwa + +# Libna aliasi pia mda huo huo + +Libna aliasi juu ya mfalme wa Yuda kama Edomu alivyokuwa. "Katika kipindi hicho hicho, Libna pia aliasi juu ya mfalme wa Yuda" + +# Libna + +Hili ni jiji jingine ambalo lililokuwa sehemu ya Yuda kwa asili. Hapa "Libna" inarejea kwa watu wanaishi hapa. "watu wa Libna" + +# Kama kwa mambo mengine yanayomhusu Yoramu, yote aliyoyafanya + +"Kusoma zaidi kuhusu hadithi ya Yoramu na kile alichokifanya," + +# je hayajaandikwa ... Yuda? + +Hili swali linatumika pengine kujulisha au kuwakumbusha wasomaji kwamba habari kuhusu Yoramu ipo katika hiki kitabu. "haya mambo yameandikwa ... Yuda." au "unaweza kusoma kuhusu wao ... Yuda." + +# Yoramu alikufa na kupumzika na baba yake, na alizikwa na baba yake + +Hapa "kupumzika" ni heshima ya kurejea kwa mtu kufa. Baada ya kufa, mwili wake ulizikwa sehemu moja na miili ya baba zake. Neno "alizikwa" linweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Yoramu alikufa, na walimzika pamoja na baba zake" + +# Kisha Ahazia mwanaye akawa mfalme + +"Kisha Ahazia, mwana wa Yoramu, akawa mfalme baada ya yeye kufa" + diff --git a/2ki/08/25.md b/2ki/08/25.md new file mode 100644 index 00000000..8da661b8 --- /dev/null +++ b/2ki/08/25.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ahazia akawa mfalme wa Yuda. + +# Katika mwaka wa kumi na mbili wa Yuoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli + +Hii inaeleza mda ambao Ahazi alianza kutawala kama mfalme wa Yuda kwa kusema ni mda gani Yoramu, mfalme wa sasa wa Israeli, alitawala, "katika mwaka wa kumi na mbili ambao Yoramu mwana wa Ahabu alikuwa mfalme wa Israeli" + +# mwaka wa kumi na mbili + +"mwaka wa 12" + +# miaka ishirini na mbili + +ishirini na mbili** - miaka 22" + +# Athalia ... Omri + +Athalia ni jina la mwanamke. Omri ni jina la mwanamume. + +# Ahazia alienenda katika njia za + +Hapa "enenda" inarejea tabia yake au vile alivyoishi. "Ahazia aliishi kama wengine" + +# nyumba ya Ahabu + +Hapa "nyumba" ya Ahabu inarejea kwa familia yake. "familia ya Ahabu" + +# alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe + +Hapa "uso" wa Yahwe unawakilisha kile afikiriacho. "alifanya mambo ambayo Yahwe aliyahesabu kuwa maovo" au "alifanya mambo ambayo Yahwe alisema yalikuwa maovu" + +# mkwewe kwenye nyumba ya Ahabu + +mkwewe kwenye nyumba ya Ahabu*** - Hii inaielezea mahusiano ya familia ya Ahazia kwa Ahabu. Baba yake na alimuoa binti wa Ahabu. Maana ya hii inaweza kuwekwa wazi. "mwana wa mkwewe na Ahabu" au "mjukuu wa Mfalme wa Ahabu" + diff --git a/2ki/08/28.md b/2ki/08/28.md new file mode 100644 index 00000000..af720c25 --- /dev/null +++ b/2ki/08/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ahazia akaenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu, kupigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Shamu + +Majina ya wafalme watatu wametajwa hapa ni maneno yenye maana sawa na pia yanareje kwa adui zao ambao walioongozana nao. Jeshi la Ahazia lilijiunga na jeshi la Mfalme Yoramu wa Israeli kupigana juu ya jeshi la Mfalme Hazaeli wa Shami" (UDB) + +# kuponywa + +Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. au "kupona" + +# juu ya Hazaeli mfalme wa Shami + +Hapa "Hazaeli" inamrejea mwenyewe na jeshi lake. "jeshi la Hazaeli mfalme wa Shami" + +# Yoramu alijeruhuiwa + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Washami walimjeruhi Yoramu" + diff --git a/2ki/09/01.md b/2ki/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..97dc03a1 --- /dev/null +++ b/2ki/09/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# wana wa manabii + +Hii haimaanishi kwamba walikuwa wana wa manabii, badala yake, walikuwa kundi la manabii. + +# katika mkono wako + +Neno "katika mkono wako" ni lugha inayomaanisha kwake yeye kushika chupa pamoja naye. "pamoja nawe" + +# Ramothi Geliadi + +Hili ni jina la kiume. + +# Yehu mwana wa Yehoshafati mwana wa Nimshi + +Hii inamaanisha kwamba Yehoshafati ni baba yake na Yehu na kwamba Nimshi ni baba yake Yehoshafati. + +# marafiki + +Hawa ni watu ambao Yehu aliokuwa ameketi nao. + +# kumpeleka + +"kwenda pamoja naye kwa" + +# chumba cha ndani + +"chumba binafsi" + diff --git a/2ki/09/04.md b/2ki/09/04.md new file mode 100644 index 00000000..30cf6ac3 --- /dev/null +++ b/2ki/09/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# tazama + +Mwandisha anatumia neno "tazama" kupeleka umakini kwa kile kifuatacho. + +# manahodha wa jeshi walikuwa wameketi + +Yehu alikuwa ameketi miongoni mwa manahodha. "Yehu na baadhi maafisa wa majeshi mengine waliokuwa wameketi pamoja" + +# Yupi kati yetu + +Neno "sisi" linarejea kwa Yehu na manahodha wengine. + diff --git a/2ki/09/07.md b/2ki/09/07.md new file mode 100644 index 00000000..174ebc6b --- /dev/null +++ b/2ki/09/07.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Nabii mdogo anaendelea kunena na Yehu, ambaye alikuwa amepakwa mafuta kama mfalme juu ya Israeli. + +# niweze kulipiza kisasi cha damu ya watumishi wangu manabii, na damu ya watumishi wote wa Yahwe + +Hapa manabii na watumishi "damu" linarejea kwa vifo vyao. "naweza kulipa kisasi cha kifo cha watumishi wangu manabii na watumishi wote wa Yahwe" au "hivyo basi ninaweza kuwaadhibu kwa kuwaua watumishi wangu manabii na watumishi wote wa Yahwe" + +# na damu + +Neno linalokosekana "kulipa kisasi" linaweza kuongezwa "na kulipa kisasi cha damu" + +# nani aliuawa kwa mkono wa Yezebeli + +"ambaye Yezebeli aliwaamuru watumishi wake kuua" + +# kwa mkono wa Yezebe + +Hii inamaanisha kwamba Yezebeli aliwaamuru watu kuuawa. "kwa agizo kutoka Yezebeli" au "kwa amri ya Yezebeli" + +# Kwa kuwa nyumba yote ya Ahabu itaangamia, na nitamkatilia mbali kila mtoto wa kiume wa Ahabu + +Hapa ku "kata" maana yake kuuawa. "Kwa ajili ya familia yote ya Ahabu itaangamia, na nitamfanya kila mtoto wa kiume katika familia yake kuuawa" au "Kila mwanajumuiya wa familia ya Ahabu atakufa, pamoja kila mtoto wa kiume" + +# kila mtoto wa kiume + +Hili neno limetumika kumrejea kila mwanamume, lakini imwekwa bayana "mtoto + diff --git a/2ki/09/09.md b/2ki/09/09.md new file mode 100644 index 00000000..92efe890 --- /dev/null +++ b/2ki/09/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Nabii mdogo anaendelea kunena maneno ya Yahwe kwa Yehu, ambaye alikuwa amepakwa mafuta kama mfalme juu ya Israeli. + +# Nitaifanya nyumba ya Ahabu kama + +Hii inamaanisha kwamba Mungu atamwangamiza Ahabu na familia yake kama alivyomwangamiza Yeroboamu na Baasha na familia zao. "nitaiendesha nyumba ya Ahabu kama ninavyoiendesha ya" + +# nyumba ya + +Hili neno limetumika katika huu mstari mara tatu. Kila wakati, neno "nyumba" linarejea kwa "familia" ya mtu maalumu. "familia ya" + +# Nebati ... Ahiya + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Mbwa watamla Yezebeli + +Hii inamaanisha kwamba mbwa wataila maiti yake. "Mbwa wataila maiti ya Yezebeli" + diff --git a/2ki/09/11.md b/2ki/09/11.md new file mode 100644 index 00000000..10eb19bc --- /dev/null +++ b/2ki/09/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# watumishi wa bwana wake + +Hii inarejea kwa maafisa wengine waliokuwa wakimtumikia Mfalme Ahabu. + +# mwenda wazimu + +"mtu mjinga" + +# Unamjua huyo mtu na mambo asemayo + +Yehu asema kwamba yeye ni nabii mdogo na wote ni familia pamoja na aina ya mambo yote ya jumla yasemwayo na manabii. + +# Tuambie + +"Tuambie alichokwambia" + +# Amesema hivi na vile juu yangu + +"Alinena kuhusu baadhi ya mambo" + +# kila mmoja wao akachukua vazi haraka na kuweka chini ya Yehu + +Katika utamaduni hii, kuweka nguo juu ya ardhi ilikuwa njia ya kumheshimu mfalme, ili kwamba miguu yake isiguse ardhi kavu. + +# Wakapiga baragumu na kusema + +Sio kila mmoja alipiga baragumu. Inaelekea mtu mmoja alipiga tarumbeta. "mmoja wao walipiga tarumbeta na wote walisema" + diff --git a/2ki/09/14.md b/2ki/09/14.md new file mode 100644 index 00000000..a75fb751 --- /dev/null +++ b/2ki/09/14.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Nimshi + +Nimshi ni jina la baba wa Yehoshafati + +# Basi Yoramu + +Hili neno limetumika hapa kuvunja alama katika hadithi kuu. Hapa mwandishi anaeleza habari ya historia jinsi Yoramu alivyokuwa amejeruhiwa na kwenda kupona katika Yezreeli. + +# Israeli yote + +Hii inarejea kwa jeshi la Waisraeli pekee na sio kwa kila mmoja aishie katika Israeli. "yeye na jeshi lake" au "yeye na jeshi la Israeli" + +# kuponywa + +"kupona kutokana na" + +# majeraha aliyokuwa ameyapewa na Washami + +Hii inamaanisha kwamba alikuwa amejeruhiwa katika vita pamoja na Washami. "majeraha ambayo Yoramu aliyapata kipindi cha vita pamoja na jeshi la Shami" + +# juu ya Hezekia mfalme wa Shamu + +Hii inamrejea Hazaeli na jeshi lake. "juu ya na jeshi lake" + +# Hazaeli + +Hazaeli alikuwa mfalme wa Shami + +# Yehu aliwaambia watumishi wa Yoramu + +Hii inawarejea maafisa waliokuwa pamoja na Romath Gileadi. + +# Kama hili ni wazo lako + +"Kama upo kwenye makubaliano pamoja nami" Yehu anatumia hili neno kurejea kama watu wanamuunga mkono kuwa mfalme na maamuzi yake. "Kama kweli mnataka niwe mfalme wenu" + +# ili kwenda kusema hizi habari katika Yezreeli + +Hii inarejea kumwambia Yoramu na jeshi lake la mbinu za Yehu. "kumuonya mfalme Yoramu na jeshi lake katika Yezreeli" + +# Basi Ahazia + +Neno "basi" limetumika hapa kuvunja alama katika kichwa cha hadithi. Hapa mwandishi anaeleza habari za nyumba kuhusu Ahazia kumtembelea Yoramu. + diff --git a/2ki/09/17.md b/2ki/09/17.md new file mode 100644 index 00000000..86bd264e --- /dev/null +++ b/2ki/09/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mlinzi + +"ulinzi" + +# lile kundi la Yehu alipokuwa akija kwa mbali kidogo + +"Yehu na watu wake walipokuwa bado wako mbali" + +# Unataka kufanya nini na amani? + +Yehu anatumia swali lisilohitaji jibu kumwambia mjumbe kwamba haimuhusu kama akija katika amani au hapana. + +# Mjumbe amekutana nao, lakini harudi + +Mlinzi alimwambia Mfalme Yoramu kwamba yule mtu aliyemtuma harudi pamoja majibu ya swali la mfalme. + diff --git a/2ki/09/19.md b/2ki/09/19.md new file mode 100644 index 00000000..16a56fe4 --- /dev/null +++ b/2ki/09/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kisha akapeleka mpanda farasi wa pili, ambaye alikuja kwao + +"Kisha mfalme Yoramu akamtuma mjumbe kuendesha farasi, ambaye alitoka nje kumlaki Yehu na jeshi lake" + +# mtu wa pili + +"mtu wa 2" + +# Wewe una nini na amani + +Yehu anatumia hili swali lisilohitaji majibu kumwambia mjumbe kwamba haimuhusu kama akija kwa amani au hapana. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. ""Haiko juu yako kujua kama nimekuja kwa amani!" + +# Kwa kuwa hilo gari la farasi limekuwa likiendeshwa ndivyo ambavyo Yehu mwana wa Nimshi aendeshavyo + +"Kwa sababu dereva wa gari la farasi huendesha kama ambavyo yehu mwana wa Namshi huendesha" + diff --git a/2ki/09/21.md b/2ki/09/21.md new file mode 100644 index 00000000..5fafaf73 --- /dev/null +++ b/2ki/09/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kila mmoja kwenye gari lake la farasi + +"kila mmoja katika gari lake mwenyewe la farasi" (UDB) + +# kila mmoja kwenye + +"Walipomfikia Yehu, alikuwa kwenye" + +# Nabothi + +Hili ni jina la mwanamume. + +# Myezreeli + +Hii inarejea kwa mtu kutoka Yezreeli. + +# Amani gani hapo, wakati uzinzi wa ukahaba hufanywa na uchawi wa mama yako Yezebeli umejaa tele? + +Yehu anatumia hili swali lisilohitaji majibu kueleza kwa nini haji kwa amani. + diff --git a/2ki/09/23.md b/2ki/09/23.md new file mode 100644 index 00000000..3c730d9d --- /dev/null +++ b/2ki/09/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# akarudisha magari yake ya farasi na kukimbia + +"akageuza gari lake la farasi kuzunguka kujaribu kukimbia" + +# udanganyifu + +udanganyifu au hila + +# kwa nguvu zake zote + +"kwa nguvu zake zote" au "kwa uwezo wake wote" + +# akaanguka chini kwenye gari lake la farasi + +Yoramu akafa kwa kupigwa na mshale. "Yoramu akaanguka chini akafa katika gari lake la farasi" + diff --git a/2ki/09/25.md b/2ki/09/25.md new file mode 100644 index 00000000..95158e5e --- /dev/null +++ b/2ki/09/25.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Bidkari + +Hili ni jina la mwanamume. + +# Mchukue na mtupie + +"Ichukue maiti yake na itupe" + +# Fikiri kuhusu ambavyo + +"Kumbuka" + +# baada ya Ahabu baba yake + +Hii inamaanisha kwamba waliendesha katika gari la farasi nyuma ya gari la farasi la Ahabu. "nyuma ya baba yake gari la farasi la Ahabu" + +# Yahwe akamuweka huyu nabii dhidi yake + +"Yahwe alinena huu unabii huu dhidi ya Ahabu" + +# damu ya Nabothi na damu ya watot wake + +Hapa neno "damu" linarejea kwa "kuua" "mauaji ya Nabothi na mauaji ya watoto wake" + +# nitakulipa + +Hii inamaanisha kwamba atamuadhibu Ahabu kama astahilivyo kwa ajili ya uovu alioufanya. "nitakupatia unachostahili kwa ajili ya uovu ulioufanya" + +# mchukue na mtupie kwenye hiyo sehemu, hilo shamba + +"ichukue maiti ya Yoramu na itupe kwenye shamba lile lile, shamba la Nabothi" + +# kuleta kupita kile tulichokuwa tumeambiwa kingetokea + +"kutimiza unabii ulionenwa kwetu" + +# tuliambiwa itatokea kwa neno la Yahwe + +"kile Yahwe alichosema kingetokea" (UDB) + diff --git a/2ki/09/27.md b/2ki/09/27.md new file mode 100644 index 00000000..89c2ebc3 --- /dev/null +++ b/2ki/09/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hii ni hesabu ya kile kilichotokea kwa Ahazia, mfalme wa Yuda, baada ya Yehu kuua Yoramu. + +# alipoliona hili + +"alipoona kilichotokea kwa Yoramu" + +# Bethi Hagani ... Guri ... Ebleamu ... Magido + +Haya ni majina ya mahali + +# mahali pa kupandia Guri + +Neno "kupandia" linamaanisha walikuwa wakipanda juu ya kilima wakiwa wanasafiri juu ya barabara ya Guri. "juu ya barabara ya kupanda juu kwenda Guri" + +# baba zake + +"babu zake" + diff --git a/2ki/09/29.md b/2ki/09/29.md new file mode 100644 index 00000000..e7c2cab3 --- /dev/null +++ b/2ki/09/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# katika mwaka wa kumi na moja wa Yoramu mwana wa Ahabu + +Hii inaeleza wakati ambao Ahazia alianza kutawala kwa kuanza wakati gani mfalme aliyepo wa israeli alikuwa ametawala. "katika mwaka wa kumi na moja wa ambao Yoramu mwana wa Ahabu alipokuwa mfalme wa Israeli" + +# mwaka wa kumi na moja + +"mwaka wa 11" + diff --git a/2ki/09/30.md b/2ki/09/30.md new file mode 100644 index 00000000..53d00cc8 --- /dev/null +++ b/2ki/09/30.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# akapaka wanja macho yake, akatengeneza nywele zake vizuri + +"kuweka mwonekano, alifanya nyele zake kuonekana nadhifu" + +# Unakuja kwa amani, wewe Zimri, bwana wako muuaji? + +Yezebeli anatumia hili swali lisilo na majibu kumshtaki Yehu kwa kutokuja kwa amani. "Yamkini unakuja bila amani, wewe Zimri, bwana wako muuaji!" + +# wewe Zimri, bwana wako muuaji + +Hapa Yezebeli anamuita Yehu "Zimri" kusema kwamba yeye ni muuaji. Zimri alikuwa kamanda wa jeshi la Israeli lililomuua mfalme wa Israeli kwa sababu alitaka kuwa mfalme. "umemuua bwana wako, kama Zimri alivyomuua bwana wake" + +# Zimri + +Hili ni jina la mwanamume. + +# Ambaye yu upande yangu + +"Kuwa juu ya upande wa mtu mwingine" maana yake kuwa mwaminifu kwao na kuwasaidia. "Ambaye aliye mtiifu kwangu" + diff --git a/2ki/09/33.md b/2ki/09/33.md new file mode 100644 index 00000000..438d2edf --- /dev/null +++ b/2ki/09/33.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kumtupa chini + +Yehu alimwambia towashi kumtupa Yezebeli nje ya dirisha. + +# Hivyo wakamtupa Yezebeli chini + +Matowashi wakamtupa Yezebeli nje ya dirisha la juu akafa wakati alipopiga chini. + +# na Yehu akamseta chini ya miguu + +Hii inamaanisha kwamba aliende farasi wake ambao walikuwa wakivuta gari lake kuseta mwili wake chini ya miguu yake" + +# Mtazameni + +Neno "mtazameni" maana yake kutoa umakini kwa yeyote aliyewekwa wazi. "Sasa nenda kwa" + +# kwa kuwa ni binti wa mfalme + +kwa kuwa Yezebeli alikuwa binti wa mfalme, ilikuwa lazima kumzika nabii wake. "kwa sababu alikuwa binti wa mfalme na kwa hiyo angezikwa inavyostahili" (UDB) + diff --git a/2ki/09/35.md b/2ki/09/35.md new file mode 100644 index 00000000..b9bb6572 --- /dev/null +++ b/2ki/09/35.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# hawakumkuta ila + +"hawakumkuta ila mwili wake" + +# viganja vya mkono wake + +Kiganja ni sehemu ya ndani ya mkono. + +# Mtishibi + +Hii inarejea kwa mtu kutoka mji wa Tishbi. + +# mwili wa Yezebeli utakuwa kama kinyesi juu ya uso wa mashamba katika nchi ya Yezreeli, kwa hiyo basi hakuna atakayeweza kusema + +Hii inazungumzia vipande vya mwili wa Yezebeli kutawasambaa katika shamba kana kwamba walikuwa kinyesi kilichosambazwa katika shamba. Tangu vipande vya mwili wake vilipokuwa vidogo na kutawanyika hapakuwa na kitu ambacho kingeweza kukusanywa na kuzikwa. "vipande vya mwili wa Yezebeli utatawanyika kama kinyesi katika mashamba, ili kwamba pasiwe na mtu atakayeweza kuitambua na kusema" + +# kinyesi + +"mbolea" Hii inarejea dhaihiri kwenye kwa kinyesi kilichotumika kama mbolea. + +# basi hakuna atakayeweza kusema, "Huyu ni Yezebeli." + +"basi hakuna atakayeweza kueleza huyu alikuwa Yezebeli." + diff --git a/2ki/10/01.md b/2ki/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..af338923 --- /dev/null +++ b/2ki/10/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# zao sabini + +"zao 70" + +# Yehu aliandika barua na kuwatuma kwenda Samaria + +Hii inamaanisha kwamba Yehu alituma mjumbe kupeleka barua. "Yehu aliandika barua na kumtuma mjumbe kuzipeleka Samaria" + +# kusema, "Wa bwana wako + +"Barua zilisema, 'Ya bwana wako" + +# kumuweka juu ya kiti cha kifalme cha baba yake + +Hapa, kumuweka juu ya kiti cha kifalme inamaanisha kuteuliwa kama mfalme. "kumfanya mfalme katika mahali pa baba yake" + +# kwa ajili ya safu ya ufalme wa bwana wako + +"uzao wa bwana wako" Hapa huyo mtu ambaye waliye mchagua kuwa mfalme anarejewa kwa safu ya uzao ufalme wa Ahabu. "kulinda uzao wa bwana wako" au "kumlinda" + diff --git a/2ki/10/04.md b/2ki/10/04.md new file mode 100644 index 00000000..b420c3ad --- /dev/null +++ b/2ki/10/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Lakini waliogopa + +"Kisha waliogopa" + +# wafalme wawili + +"wafalme wawili, Yoramu na Ahazia" + +# wasingeweza kusismama mbele ya Yehu + +Hapa "simama" inamaanisha kuweza kustahimili chini ya shida. "wasingeweza kustahimili juu ya Yehu" au "wasingeweza kumpinga Yehu" + +# Hivyo tunawezaje kusimama? + +Uzao unatumia swali lisilohitaji jibu kuonyesha kwamba hawawezi kusimama juu ya Yehu. "Hatuwezi kusimama juu yake popote!" au "Hatuwezi kumpinga popote!" + +# huyo mtu aliyekuwa juu ya mji + +"meya wa mji" (UDB). Hapa kuwa "mwisho" kitu inamaanisha kuwa na mamlaka na wajibu juu yake. "yule mtu aliyekuwa msimamizi wa mji" + +# wale waliowalea watoto + +Hii inarejea kwa watu waliowalea watoto wa mfalme. "wale waliowalea watoto wa mfalme" + +# Fanya kilicho chema katika macho yako + +Hapa "mcho" ya Yehu inarejea kwa "uso" wake. "Uso" wake inarejea kwa kile afikiriacho. "Fanya kilicho chema katika uso wako" au "Fanya chochote ufikiriacho ni bora" + diff --git a/2ki/10/06.md b/2ki/10/06.md new file mode 100644 index 00000000..d8310807 --- /dev/null +++ b/2ki/10/06.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# mara ya pili + +"mara ya 2" + +# upande wangu + +Kuwa "upande wa mwingine" inamaanisha kuwa mttifu kwao na kuwasaidia. "mwaminifu kwangu" + +# sikia + +kusikiliza na kutii + +# sauti yangu + +Hapa "sauti" ya Yehu inarejea kile akisemacho. "kwa kile asemacho" + +# mtachukua vichwa ... na mje kwangu + +Inaonyesha kwamba wanatakiwa kuleta vichwa vya uzao wa Ahabu na kuviweka kwa Yehu. "mtachukua vichwa ... na kuvileta kwangu" + +# mtachukua vichwa ... na mje kwangu + +Inaonyesha kwamba wanatakiwa kuleta vichwa kwa uzao wa Ahabu na kuviweka kwa Yehu. "mtavichukua vichwa ... na kuvileta kwangu" + +# mtachukua vichwa vya watu wa uzao wa bwana wenu + +Hii inarejea kuwaua na kuwaondoa vichwa vyao. "kuua uzao wa bwana wenu na kuvikata vichwa vyao" + +# sabini katika namba ... watu sabini + +"70 katika namba ... watu 70" + +# waliokuwa wakiwapandisha juu + +Hii inamaanisha kwamba walikuwa wakiwasimamia na kuwafundisha. "waliokuwa wakiwalea" au "waliokuwa wakiwasimamia" + +# na kuwapeleka kwa Yehu + +Hii inaanisha kwamba waliwatuma watu kupeleka vikapu kwa Yehu. "na kuwapeleka watu kuwachukua kwa Yehu" + diff --git a/2ki/10/08.md b/2ki/10/08.md new file mode 100644 index 00000000..0a34c1b0 --- /dev/null +++ b/2ki/10/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wa wana wa mfalme + +"wa ukoo wa Ahabu" (UDB) + +# Yehu alitoka na kusimama + +"Yehu alienda kwenye lango la mji na kusimama mbele ya watu" + +# huna hatia + +Inaweza kuelezwa wazi walikuwa hawana hatia kwa lipi. "Huna hatia kwa kile kilichotokea kwa Yoramu na familia yake" au "Huna hatia kwa hili jambo" + +# Ona + +Yehu anatumia hili neno hapa kuleta usikivu wa watu kwa kile anachotaka kukisema" + +# lakini ni nani aliyewaua hawa wote? + +Yehu anatumika swali lisilo hitaji majibu kuwafanya watu kufikiria kwa undani kuhusu hii hali. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. "lakini ilikuwa mapenzi ya Yahwe hawa watu kufa" + diff --git a/2ki/10/10.md b/2ki/10/10.md new file mode 100644 index 00000000..3c15dceb --- /dev/null +++ b/2ki/10/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# hakika tafakarini + +"elewa" au "kuwa makini usipingika kwamba" + +# hakuna sehemu ya neno la Yahwe ... litaanguka kwenye nchi + +Hii inazungumzia kila kitu kinachotokea kwamba Yahwe amesema kitatokea kana kwamba kilikuwa kitu ambacho kilikuwa kimekufa na kuanguka katika nchi. + +# Yahwe amefanya + +Hii inamzungumzika Yahwe kuufanya uzao wa Ahabu kuuawa kana kwamba amewaua yeye. "Yahwe amefanya itokee" + +# Hivyo Yehu aliwaua wote ... na makuhani wake + +Yehu hakuwaua hawa watu wote mwenyewe, isipokuwa aliwaamuru wauawe. "Hivyo Yehu aliwaamuru wote ... kuuwa" + +# wote waliosalia + +"wote waliokuwa hai" au "wote waliokuwa wameondoka" + +# hakuna hata mmoja wao alisalia + +hii inamaanisha kwamba wote wote waliuawa. au "hadi wote walipokufa" + diff --git a/2ki/10/12.md b/2ki/10/12.md new file mode 100644 index 00000000..de43cf4e --- /dev/null +++ b/2ki/10/12.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Bethi Ekedi ya mchungaji + +hili lilikuwa jina la mahali ambapo kondoo walipokuwa wakinyolewa. + +# kwenda chini kusalimia + +"kwenda kutembelea" + +# watoto wa mfalme + +"watoto wa Mfalme Yoramu" + +# Kuwachukua hai + +Hii inamaanisha kuwakamata, lakini sio kuwaua. "Kuwatwaa!" (UDB) au "Kuwakamata!" + +# Hivyo waliwachukua wakiwa hai + +"Hivyo waliwakamata" + +# watu arobaini na mbili + +watu wawili** "watu 42" + +# Hakumwacha hata mmoja wao akiwa hai + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo hasi. "aliwaua wote" + diff --git a/2ki/10/15.md b/2ki/10/15.md new file mode 100644 index 00000000..c35a73f1 --- /dev/null +++ b/2ki/10/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Yonadabu mwana wa Rekabu + +Hili ni jina la mwanamume. + +# Je moyo wako uko na mimi, kama moyo wangu ulivyo pamoja na wako? ... "ndiyo." + +Hapa "moyo" wa mtu inarejea kwa uaminifu wao. Kama uaminifu wa mtu uko "pamoja na mtu," inamaanisha kwamba ni waaminifu kwa hao watu. "utakuwa mwaminifu kwangu, kama nitakavokuwa mwaminifu kwako? ... 'ndio."' + +# Kama ipo, nipatie mkono wako + +"Kama ni hivyo weka mkono wako ndani yangu" au "Kama ni hivyo, tushikane mikono" Katika tamaduni nyingi, wakati watu wawili washikanapo mokono, inaimarisha makubaliano yao. + +# na uone wivu wangu + +Neno "wivu" unaweza kuelezwa kama kivumishi. "na tazama jinsi nilivyo na wivu" + +# safu ya familika ya kifalme + +"familika yote ya kifalme" + +# kama walivyokuwa wameambiwa kabla ya neno la Yahwe, ambalo aliloambiwa Eliya + +"kukamilisha unabii ambao Eliya alikuwa ameunena, ambao yahwe aliwapatia" + diff --git a/2ki/10/18.md b/2ki/10/18.md new file mode 100644 index 00000000..e3c4adaa --- /dev/null +++ b/2ki/10/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# akawakusanya + +"akawaita" + +# watu wote pamoja + +"watu wote wa Samaria" + +# kumwokoa zaidi + +"kumwokoa zaidi kuliko Ahahbu" + +# Asikosekane mtu hata mmoja + +"Usimwache mtu hata mmoja nje" + +# Yeyote ambaye hatakuja hataishi + +Hii inamaanisha kwamba kama hawatakuja watapingwa. "Tutawapinga yeyote ambaye hatakuja" + +# Tengeni mda + +Hii inamaanisha kuonyesha na kuandaa majira ya mda kwa ajili ya kitu. Katika kesi hii walitakiwa kuandaa kwa ajili ya mkutano wa Baali. "Andaa" + diff --git a/2ki/10/21.md b/2ki/10/21.md new file mode 100644 index 00000000..556b0c5d --- /dev/null +++ b/2ki/10/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kisha Yehu akaituma + +Hii inamaanisha kwamba kutuma wajumbe kuuchukua huu ujumbe kupitia nchi. "Kisha Yehu akawatuma wajumbe" au "Kisha Yehu akatuma ujumbe" + +# hivyo basi hakuna mtu hata mmoja ambaye aliacha kuja + +"hivyo basi kila mwabudu Baali alikuwa huko" au "hivyo basi kila mtu akaja" + +# lilijaa + +"waliijaza" + +# aliyekuwa anatunza kabati la nguo za makuhani + +Hapa "kutunza" kitu inamaanisha kuiangalia na kuisimamia. "ambaye alikuwa msimamizi wa kabati la mfalme" + diff --git a/2ki/10/23.md b/2ki/10/23.md new file mode 100644 index 00000000..aff99b13 --- /dev/null +++ b/2ki/10/23.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# akawaambia wamwabuduo Baali + +"na Yehu akawaambia watu waliokuwa katika hekalu kumwabudu Baali" + +# lakini wamwabuduo Baali pekee + +"lakini wale wanaomwabudu Baali wako hapa" + +# Kama mtu yeyote miongoni mwa hawa watu ambao nimewaleta kwenye mikono yenu atoroke + +Hapa "mikono" ya watu inarejea kwa "utawala" wao. Kwa kuwa katika lindo kuzunguka hekalu walikuwa katika utawala wa lindo na ilikuwa juu yao eidha watu waliweza kutoroka au hapana. "Kama mmoja wa hawa watu niliowaleta katika utawala wako wakitoroka" au "Kama yeyote katika hawa watu walio ndani wakitoka" + +# yeyote atakayemwacha huyo mtu atoroke, maisha yake yatachukuliwa kwa ajili ya yule aliyeokoka + +"tutamuua yule mtu aliye mwachia aondoke" + +# uhai wake utachukuliwa + +Hii ni njia ya heshima kumrejea mtu aliyeuawa. "tutachukua uhai wake" au "tutamuua" + +# kwa kuwa wa yule + +"katika kubadilishana uhai wa uyo mtu" Hapa huyu mtu inarejea kwa "uhai" wake, kusisitiza kwamba hakuwa amekufa. "kwa kuwa huyo mtu" + diff --git a/2ki/10/25.md b/2ki/10/25.md new file mode 100644 index 00000000..2b035280 --- /dev/null +++ b/2ki/10/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# aliwaambia mlinzi na manahodha + +Yehu alitoka nje ya hekalu kabla ya kunena na mlinzi. "alirudi nje ya hekalu la Baali na kuwaambia walinzi na manahodha" + +# kwa ukali wa upanga + +Kisha watu wakatumia panga kuwaua wamwabuduo Baali. Hili neno linarejea kwa panga zao. "pamoja na panga zao" (UDB) + +# wakawatupa nje + +Hii inamaanisha kwamba walizitupa maiti nje za watu ya hekalu. "walizitupa maiti zao nje ya hekalu" + +# kuifanya choo + +"kuifanya choo cha uma" Choo ni chumba cha kuogea, au eneo la choo, kawaida kwa ajili ya kambi au majengo yalitumika kwa nyumba ya maaskari. + +# ambacho kipo hadi leo + +Hii inamaanisha kwamba hicho kitu kilichosalia katika hali flani hadi wakati huu. "na tangu hapo ilikuwa hivyo siku zote" + diff --git a/2ki/10/29.md b/2ki/10/29.md new file mode 100644 index 00000000..f0264158 --- /dev/null +++ b/2ki/10/29.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# hakuacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati + +Hii inamzungumzia Yehu akifanya dhambi zile zile ambazo Yeroboamu alizozifanya, kana kwamba dhambi za Yeroboamu zilikuwa sehemu ambayo Yehu hakuziacha. "hakuacha kufanya aina ya dhambi ambazo Yeroboamu mwana wa Nabeti alizifanya" (UDB) + +# Nabeti + +Hili ni jina la kiume + +# dhambi ya Israeli + +Hapa "Israeli" inarejea kwa watu walioshi huko. "dhambi ya watu wa Israeli" + +# katika kutimiza + +"katika kutekeleza" au "katika kukamlisha" + +# kile kilicho sahihi katika macho wangu + +Macho yanawakilisha kuona, na kuona kunawakilisha mawazo au hukumu. "Kile nilichohukumu kuwa sahihi" au "kile nifikiriacho kuwa sawa" + +# nyumba ya Ahabu + +Hapa "nyumba" ya Ahabu inarejea kwa "familia" yake." "familia ya Ahabu" + +# yote hayo yalikuwa katika moyo wangu + +Hapa "moyo" unawakilisha "tamaa" "yote ninayoyatamani kwa ajili yako kufanya" au "yote ambayo ninayoyataka uyafanye" + +# kukaa juu ya kiti cha kifalme + +"kuwa wafalme" + +# hata kizazi cha nne + +"hata kizazi cha 4" au "kwa vizazi vinne vijavyo." Hii inarejea kwa mwana wake, mjukuu, kitukuu, na nyanya. + +# Yahwe hakuwa makini kutembea katika sheria ya Yahwe + +Hapa "kutembea" inarejea kwa "kuishi." "Yehu hakuwa makini kuishi kulingana na sheria ya Yahwe" + +# kwa moyo wake wote + +Hapa "moyo" inarejea kwa matashi ya mtu na tamaa. "katika kila kitu alichokifanya" + +# Hakuzigeukia dhambi za Yeroboamu + +Ku "geukia" kutoka kwenye kitu inamaanisha kuacha kukifanya. "Yehu hakuacha kufanya dhambi kama alivyofanya Yeroboamu" + diff --git a/2ki/10/32.md b/2ki/10/32.md new file mode 100644 index 00000000..b0a228a7 --- /dev/null +++ b/2ki/10/32.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kupunguza mikoa ya Israeli + +"kuanza kusababisha himaya iliyotawaliwa na Israeli kuwa ndogo" + +# mikoa + +"maeneo ya nchi" + +# Hazaeli kuwashinda + +Hapa "Hazaeli" inamrejea mwenyewe na jeshi lake. "Hazaeli na jeshi lake" + +# Hazaeli + +Hili lilikuwa jina la kiume + +# kutoka magharibi mwa Yordani + +"kutoka kwenye nchi mashariki ya Yordani" + +# Aroeri ... Bashani + +Haya yote ni majina ya sehemu. + +# Arnoni + +"Mto Arnnoni" Hili ni jina la mto. + diff --git a/2ki/10/34.md b/2ki/10/34.md new file mode 100644 index 00000000..e183f36f --- /dev/null +++ b/2ki/10/34.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli? + +Hili ni swali lisilohitaji majibu linaloweza kuandikwa kama sentensi. "yameandikwa kwenye Kitabu cha matukio ya Wafalme wa Israeli." + +# Yehu akalala na wazee wake, na walimzika katika Samaria + +Hii inamaanisha kwamba yehu alikufa. Hii inazungumzia yeye kuzikwa walipozikwa wazee wake kana kwamba alikuwa amelala pamoja nao. "Yehu akafa na kuzikwa katika Samaria, ambapo pia walizikwa wazee wake." + +# Yehoahazi + +Hili ni jina lwa mwanamume. + +# Mda ambao Yehu alitawala juu ya Israeli katika Samaria ulikuwa miaka ishini na nane + +miaka ishirini** - "Yehu alitawala juu ya Israeli katika Samaria kwa mda wa miaka ishirini na nane" + +# miaka ishirini na nane + +miaka minane** - "miaka 28" + diff --git a/2ki/11/01.md b/2ki/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..0fdf00ce --- /dev/null +++ b/2ki/11/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Athalia ... Yehosheba ... Yoashi + +watoto wa mfalme + +# kuona kwamba mtoto wake alikuwa amekufa + +"kuwa makini kwamba mtoto wake alikuwa amekufa" + +# aliinuka na kuwaua watoto wote wa kifalme + +Athalia hakuwaua watoto mwenyewe. "aliwaamuru watumishi wake kuwaua idadi yote ya familia ya Ahazia walioweza kuwa wafalme" + +# akamchukua Yoashi mwana wa Ahazia, na kumficha mbali mwa miongoni mwa watoto wa mfalme waliokuwa wameuawa, wakati wote pamoja na mlezi wake; akawaweka kwenye chumba cha kulala. Wakamficha kutoka Athalia kwa hiyo hakuuawa + +"akamchukua mtoto mdogo sana wa Ahazia Yoashi na kumficha na mhudumu wake katika chumba cha kulala katika hekalu. Hivyo hakuuawa." (UDB) + +# Alikuwa pamoja na Yehosheba, wamejificha kwenye nyumba ya Yahwe, kwa mda wa miaka sita, wakati Athalia alipotawala juu ya nchi + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Yoashi na Yehosheba alijificha miaka sita katika nyumba ya Yahwe kama Athalia alivyoongoza nchi" + +# nchi + +"ufalme" + diff --git a/2ki/11/04.md b/2ki/11/04.md new file mode 100644 index 00000000..59a3a245 --- /dev/null +++ b/2ki/11/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kauli Unganishi: + +Hii inaendelea hadithi ya kilichotokea baada ya Yoashi, mwana wa Mfalme Azaia, alijificha kwenye hekalu baada ya Wafalme wote wa uzao wa Ahazia kuawa. + +# Katika siku ya saba + +"Katika siku ya saba ya utawala wa Athalia" au "Katika mwaka wa 7 wa utawala wa Athalia" + +# Yehoyada + +kuhani mkuu + +# Wakari + +Hili ni jina la kundi maalumu la walinzi wa kifalme. + +# kuwaleta kwake + +Yehoyada, kuhani mkuu, alikuwa na hawa askari wa kijeshi wakitoa taarifa kwake kwenye hekalu. "walikuja kuonana naye kwenye hekalu" + +# Kisha akawaonyesha mwana wa mfalme + +Yehoyada akawafunulia kwamba Yoashi, mwana wa Mfalme Azahia, alikuwa bado yu hai. + diff --git a/2ki/11/07.md b/2ki/11/07.md new file mode 100644 index 00000000..302e811c --- /dev/null +++ b/2ki/11/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yehoyada anaendelea kutoa mwelekeo kwa maaskari ambao watamlinda Mfalme Yoashi. + +# kwa ajili ya mfalme + +Walitakiwa waendelee kuangalia kwa lengo la kumlinda mfalme kuumizwa. "ili kumlinda Mfalme Yoashi" + +# Yeyote aingiaye ndani ya safu yako + +Safu inarejea mstari wa maaskari. "Yeyote aingiaye kwenda nyuma yako wakati unamlinda Mfalme Yoashi" + +# acha auawe + +Hii inaweza kuanza katika muundo tendaji. "lazima umuue" + +# Lazima mkae pamoja na mfalme kila atokapo na kila aingiapo + +Haya mambo mawili ya kinyume ni uaminifu ambayo yanarejea kwa kila kitu mfalme afanyacho. "Lazima ukae karibu na mfalme mda wote" + diff --git a/2ki/11/09.md b/2ki/11/09.md new file mode 100644 index 00000000..30d0d538 --- /dev/null +++ b/2ki/11/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mamia ya makamanda + +Hii inareje kwa maafisa waliowashangaza walinzi wa kifalme na walinzi wa nyumba ya kifalme. + +# Kila mmoja + +"Kila kamanda" + +# ambayo katika nyumba ya Yahwe + +"ilipokuwa imetunzwa kwenye hekalu" + diff --git a/2ki/11/11.md b/2ki/11/11.md new file mode 100644 index 00000000..47a95e24 --- /dev/null +++ b/2ki/11/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kutoka upande wa kuume wa hekalu, kwenda upande wa kushoto, karibu na madhabahu ya hekelu + +Haiko wazi kama neno "nyumba" hapa inarejea kwenye hekalu au jumba la kifalme. + +# kumleta nje mwana wa mfalme + +Yehoyada, kuhani mkuu, akamleta mwana wa mfalme, Yoashi, nje kutoka kwenye hekalu la fleti ambapo alipokuwa amefufuka kwa kujificha. + +# kumpatia mikataba ya agano + +"kumzawadia kwa kitabu cha sheria" + +# kumpaka mfuta + +Kuhani alimwagiwa mafuta ya mzaituni juu ya kichwa cha Yoashi kama ishara kwamba sasa alikuwa mfalme. "kumwagiwa mafuta ya mzaituni juu ya kichwa cha Yoashi"' (UDB) + +# kupiga makofi + +Kupiga makofi ilikuwa ishara ya furaha ya watu kwenye kupakwa mafuta ya mfalme mpya. + diff --git a/2ki/11/13.md b/2ki/11/13.md new file mode 100644 index 00000000..23661e7f --- /dev/null +++ b/2ki/11/13.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# sauti ya mlinzi + +Hii inarejea kwenye sauti iliyotengenezwa na maaskari wote. + +# alikuja kwa watu katika nyumba ya Yahwe + +"alikuja mahali ambapo watu walipokuwa wakikusanyika kwenye hekalu" + +# Alitazama, na, tazama, mfalme alikuwa amesimama + +Hapa "tazama" inasisitiza kwamba alishangazwa kumuona Yoashi. "Wakati alipofika, alishangazwa kumuona Mfalme Yoashi amesimama" + +# karibu na nguzo + +"karibu na moja ya nguzo za hekalu" + +# kama utamaduni ulivyokuwa + +"ambapo ilikuwa kawaida jumba kwa ajili mfalme kusimama" + +# tarumbeta + +watu ambao wachezao tarumbeta + +# Athalia alirarua mavazi yake + +Alirarua mavazi yake kuonyesha kwamba alikuwa alikuwa amekasirika sana na hasira. + +# Uhaini! Uhaini! + +"Wewe ni mhaini! Umenisaliti!" (UDB) + diff --git a/2ki/11/15.md b/2ki/11/15.md new file mode 100644 index 00000000..f96978b3 --- /dev/null +++ b/2ki/11/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mamia ya makamanda + +Hii inarejea kwa maafisa waliosimamia walinzi wa kifalme na walinzi wa nyumba ya kifalme. + +# Mtoeni kwenye safu + +Safu ni mistari au mstari wa maaskari. + +# Yeyote amfuataye + +Inadokeza kwamba mtu aliyemfuata atakuwa anajaribu kumsaidia. "Yeyote anayemfuata kujaribu kumuokoa" + +# wakamtwaa kadiri walivyokuwa wakiikaribia hiyo sehemu iliyokuwa na farasi wakaingia chini, na akauawa huko + +Baadhi ya matoleo yanatafsiri hii kama "walinzi wakamtwaa na kumchukua hadi kwenye jumba la kifalme, hadi kwenye jumba la kifalme ambapo farasi huingia kwenye ua." + diff --git a/2ki/11/17.md b/2ki/11/17.md new file mode 100644 index 00000000..6d748db9 --- /dev/null +++ b/2ki/11/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# pia kati ya mfalme na watu + +"pia kutengeneza agano kati ya mfalme na watu" + +# watu wote wa nchi + +Huku ni kuenea kuonyesha kwamba kundi kubwa la watu walilia chini kwenye hekalu la Baali. idadi kubwa ya watu wa nchi" + +# nyumba ya Baali + +"hekalu la Baali" + +# Matani + +Hili ni jina la kuhani wa kiume. + diff --git a/2ki/11/19.md b/2ki/11/19.md new file mode 100644 index 00000000..78058c3f --- /dev/null +++ b/2ki/11/19.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelzo ya Jumla: + +Wamemchukua mfalme mpya, Yoashi, kutoka kwenye hekalu hata kwenye nyumba ya mfalme. + +# mamia ya makamanda + +Hii inareje kwa maafisa waliowashangaza walinzi na walinzi wa nyumba ya mfalme. + +# Wakari + +Hili ni jina la kundi maalumu la walinzi wa kifalme. + +# wakamleta chini mfalme kutoka kwenye nyumba ya Yahwe na wakaenda kwenye nyumba ya mfalme + +"kumleta mfalme kutoka kwenye hekalu hadi kwenye nyumba ya mfalme" + +# watu wote wa nchi furahini + +Hii ni kujumuisha. Inawezekana kwamba wengine hawakufurahi. + +# mji ulikuwa kimya + +"mji ulikuwa shwari" au "mji ulikuwa na amani" + diff --git a/2ki/11/21.md b/2ki/11/21.md new file mode 100644 index 00000000..4c8de777 --- /dev/null +++ b/2ki/11/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba + +"Yoashi alikuwa na umri wa miaka 7" + diff --git a/2ki/12/01.md b/2ki/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..3bfb2f75 --- /dev/null +++ b/2ki/12/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Katika siku ya saba ya Yehu + +"Kipindi cha mwaka wa 7 wa utawala wa Yehu juu ya Israeli" + +# utawala wa Yoashi ulianza + +"Yoashi alianza kutawala juu ya Yuda" + +# Sibia + +Hili lilikuwa jina la mwanamke. + +# Sibia, wa Bersheba + +"Sibia, kutoka mji wa Bersheba" (UDB) + +# kile kilicho sahihi usoni mwa Yahwe + +Neno "uso wa Yahwe" linawakilisha asili ya Yahwe. "kile kilichokuwa kinampendeza Yahwe" + +# kumwelekeza + +"kumfundisha" + +# Lakini mahali za juu hazikuwa pamechukuliwa + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Lakini watu hawakuziharibu mahali za juu" + +# Watu wakaendelea kutoa sadaka na kuchoma ubani kwenye sehemu za juu + +Yahwe aliwakataza watu kuabudu katika hizi sehemu. Hii inaweza kuwa wazi. "Watu waliendelea kwenda sehemu ambazo hazikukubaliwa na Yahwe, kufanya dhabihu na kuchoma ubani" + diff --git a/2ki/12/04.md b/2ki/12/04.md new file mode 100644 index 00000000..1855e0d8 --- /dev/null +++ b/2ki/12/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# pesa zote zilizokuja kama sadaka takatifu kwenye nyumba ya Yahwe + +Hii inazirejea pesa ambazo watu huto kusaidia hekalu. Hizi pesa huja katika miundo mitatu ambayo zimeelezwa katika mwisho wa sentensi. + +# pesa zilizoletwa na watu zilimuhasisha Yahwe katika mioyo yao kutoa + +Hii inazirejea pesa ambazo watu waliamua kuzitoa kwa uhuru kwa Yahwe. + diff --git a/2ki/12/06.md b/2ki/12/06.md new file mode 100644 index 00000000..b5fd74aa --- /dev/null +++ b/2ki/12/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# karibu na mwaka wa ishirini na tatu wa Mfalme Yoashi + +mwaka wa tatu wa Mfalme Yoashi*** - "wakati Yoashi alipokuwa mfalme kwa miaka ishirini na tatu" + +# Kwa nini hujakarabati kitu chochote kwenye Hekalu? + +Yoashi anauliza hili swali kuwakemea makuhani. "Mlitakiwa muwe mmekarabati hekalu!" + +# wapatie wale ambao wanweza kufanya ukarabati. + +"kulipa watenda kazi watakaofanya ukarabati" + diff --git a/2ki/12/09.md b/2ki/12/09.md new file mode 100644 index 00000000..df465d5e --- /dev/null +++ b/2ki/12/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Badala yake + +"Badala ya makuhani kukusanya pesa" + +# upande wa kulia kama mtu anaingia kwenye madhabahu ya Yahwe + +"upande wa kulia wa kuingia kwenye hekalu" + +# weka kwenye + +"weka kwenye kasha" au "kuweka kwenye sanduku" (UDB) + +# pesa ambazo zilizokuwa zimeletwa + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "pesa ambazo watu walizileta" + +# kuweka pesa katika mfuko na kisha kuzihesabu + +Matoleo mengi yanaiweka hii katika mpango wa mantiki kama vile "kuhesabu pesa na kuziweka katika mifuko." + +# weka pesa kwenye mifuko + +Maana ziwezekanazo ni 1) "kuweka pesa katika mifuko" au 2) "kufunga pesa juu katika mifuko" (UDB). + +# pesa zilipatikana + +"pesa zilizokuwa zimepatikana katika kasha" + diff --git a/2ki/12/11.md b/2ki/12/11.md new file mode 100644 index 00000000..b6485b16 --- /dev/null +++ b/2ki/12/11.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# imepimwa + +"imehesabiwa" + +# kwenye mikono ya watu + +Hapa "mikono" inarejea kwa watu. "kwa watu" + +# waliokuwa wanatunza hekalu + +"waliokuwa wanakarabati hekalu" + +# maseremala + +watu wajengao na kukarabati vitu vilivyotengenezwa kwa mbao + +# waashi + +watu wajengao kwa mawe + +# wakata mawe + +watu wakatao mawe kwenye kipimo kimoja na umbo + +# kwa ajili ya kununua mbao na kukata mawe + +"kununua mbao na kukata jiwe" + +# yote iliyokuwa inahitajika kulipwa kwa ajili ya kuitengeneza + +"kulipa kwa ajili ya ukarabati wote" + diff --git a/2ki/12/13.md b/2ki/12/13.md new file mode 100644 index 00000000..3d589556 --- /dev/null +++ b/2ki/12/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# haikulipwa kwa kufanya chochote + +"hazikutumika kulipwa kwa ajili ya sehemu yoyote ya hekalu" + +# vikombe vya fedha, mabeseni, au dhahabu au fedha yoyote ya vyombo + +Hivi ni vitu ambavyo vilikuwa vitumike na makuhani kwa ajili ya kazi mbali mbali, kama vile dhabihu au sikukuu. + diff --git a/2ki/12/15.md b/2ki/12/15.md new file mode 100644 index 00000000..7295a4f8 --- /dev/null +++ b/2ki/12/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hazikuzihitajika zile pesa zilipwe kwa ajili ya matengenezo ili kuhesabiwa kwa ajili ya watu waliozipokea nakuzilipa kwa watenda kazi + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "hawakuwataka watu waliopokea pesa na kuwalipa watenda kazi kwa ajili ya kukarabati kuhesabu pesa" + +# kuwajibika kwa ajili ya + +kuendelea kuhifadhi ni kiasi gani cha fedha kilichokuwa kimepokewa na kutumika + +# pesa kwa ajili ya matoleo ya hatia na pesa kwa ajili ya matoleo ya dhambi hazikuwa zimeletwa kwenye hekalu la Yahwe + +Inaelezwa kwamba hizi pesa hazikutumika kwa ajili ya ukarabati. Hii inaweza kuelzwa katika muundo tendaji. "hawakutumia pesa kutoka kwenye sadaka za hatia na sadaka za dhambi kulipa kwa ajili ya kukarabati hekalu la Yahwe" + diff --git a/2ki/12/17.md b/2ki/12/17.md new file mode 100644 index 00000000..35073252 --- /dev/null +++ b/2ki/12/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Hazaeli mfalme wa Shamu akatekwa ... Hazaeli akarudi kuishambulia + +Hii inarejea kwa jeshi la Hazaeli pia kama kwa Hazaeli. "Hazaeli mfalme wa Shamu na jeshi lake wakashambuliwa ... Kisha wakarudi kushambulia" + +# Hazaeli + +Hili ni jina la mfalme wa nchi ya Siria. + +# kuichukua + +"kushinda na kuitawala" + +# Yehoshafati na Yehoramu na Ahazia, baba zake + +Hawa watu walikuwa wafalme waliopita wa yuda. + +# iliyotengwa + +"weka wakfu" + +# dhahabu iliyokuwa imepatikana katika vyumba vya kuhifadhi" + +"dhahabu ambayo ambayo ilikuwa imehifadhiwa kwenye vyumba vya kuhifadhi" + +# Kisha Hazaeli akaondoka kutoka Yerusalemu + +Zawadi Yoashi alizompatia Hazaeli zilimshawishi asiishambulie Yerusalemu. Hii inaweza kuwekwa wazi. "Basi Hazaeli aliacha kuishambulia Yerusalemu na kuondoka" + diff --git a/2ki/12/19.md b/2ki/12/19.md new file mode 100644 index 00000000..2698c0a1 --- /dev/null +++ b/2ki/12/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda? + +Hili swali linatumika kumkumbusha msomaji kwamba haya mambo yamerekodiwa. "yameandikwa katika kitabu cha historia ya Wafalme wa Yuda." + +# Sila + +Eneo la hii sehemu haijulikani. + +# Yozakari ... Shimeathi ... Yehozabadi ... Shomeri ... Amazia + +Haya ni majina ya wanaume. + +# pamoja na baba zake + +"katika jumba la kifalmeambapo baba zake walipokuwa wamezikwa (UDB) + +# akawa mfalme katika mahali pake + +"akawa mfalme wa Yuda aliyefuata" + diff --git a/2ki/13/01.md b/2ki/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..16a50135 --- /dev/null +++ b/2ki/13/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Katika mwaka wa ishirini na tatu wa Yoashi mwana wa Ahazia mfalme wa Yuda + +mwaka wa tatu wa Yoashi mwana wa Ahazia mfalme wa Yuda** - "Baada ya Yoashi alipokuwa akitawala Yuda kwa takribani miaka 23" + +# kutawala juu ya Israeli katika Samaria + +"tawala juu ya ufalme wa Israeli iliyopo katika Samaria" + +# alitawala miaka kumi na saba + +"Yehoahazi alikuwa mfalme kwa miaka 17" + +# Alifanya yale yaliyo maovu usoni mwa Yahwe + +Hapa "katika uso wa" inarejea kwa maoni ya Yahwe. "Alifanya yale yaliyo maovu kulingana na Yahwe" + +# kufuata dhambi za Yeroboamu + +"kufanya dhambi zile zile kama Yeroboamu" + +# Yehoahazi hakugeuka kutoka kwao + +Hapa kusimama dhambi yake inazungumziwa kana kwamba amerudi kutoka kwao. Hii pia inaweza kuelezwa katika muundo chanya. "Yehoyazi hakuacha kufanya dhambi za Yeroboamu" au "Yehoyazi aliendelea kufanya dhambi zile zile kama Yeroboamu" + diff --git a/2ki/13/03.md b/2ki/13/03.md new file mode 100644 index 00000000..c8114919 --- /dev/null +++ b/2ki/13/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hasira ya Yahwe ikawaka juu ya israeli + +Yahwe kuwa na hasira na Israeli inazungumziwa kana kwamba hasira yake ilikuwa moto uliokuwa unawaka. "Kisha Yahwe akawa na hasira sana na Israeli" + +# akaendelea kuwakabidhi kwenye mikono ya Hazaeli mfalme wa Shamu na kwenye mikono ya Ben Hadadi mwana wa Hazaeli + +Hapa "wao" inarejea kwa Israeli na "mkono" inarejea kwenye nguvu kuwatawala. "kumruhusu Hazaeli mfalme wa Shami, na Ben Hadadi, mwanaye, kuwashinda mara kwa mara Waisraeli katika vita" + +# kumsihi Yahwe + +"kumuomba Yahwe" + +# aliona mateso ya Israeli, vile mfalme wa Shamu alivyokuwa akiwatesa + +Haya maneno mawi yanamaaanisha kitu kimoja na yamerudiwa kusisitiza. "ukandamizaji" inamaanisha kama "mfalme wa Shami alivyokuwa akiwakandamiza."aliona mara kwa mara mfalme wa Shami alikuwa akiwakandamiza Israeli" + +# mkombozi + +"mtu wa kuwaokoa" + +# walikimbia kutoka kwenye mkono wa Washami + +Hapa "mkono" unarejea kwa nguvu ya kuwatawala. "aliwawezesha kuwa huru kutoka nguvu ya Shami" + diff --git a/2ki/13/06.md b/2ki/13/06.md new file mode 100644 index 00000000..3552dfa8 --- /dev/null +++ b/2ki/13/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# hawakuziacha dhambi za nyumba ya Yeroboamu + +Kuacha kufanya dhambi kunazungumziwa kana kwamba waliondoka kutoka kwenye dhambi. "Israeli hawakuacha kufanya dhambi zile zile kama Yerobamu alizokuwa amezifanya" au "Israeli iliendelea kufanya dhambi zile zile kama Yeroboamu alizokuwa amezifanya" + +# nyumba ya Yeroboamu + +"familia ya Yeroboamu" + +# aliwaangamiza + +"alilishinda jeshi la Yehoahazi" + +# kuwafanya kama makapi yaliyopurwa + +Jeshi la Washami liliwashinda moja kwa moja jeshi la Israeli ambacho kilichokuwa kimebaki hakikuwa na thamani ambacho kinalinganishwa na makapi ya ngano ambayo wafanya kazi hutembea kwenye kipindi cha mavuno. "aliwaangamiza kama wafanyakazi waangamizavyo makapi chini ya miguu yao wakati wa mavuno" + diff --git a/2ki/13/08.md b/2ki/13/08.md new file mode 100644 index 00000000..f3f7cd87 --- /dev/null +++ b/2ki/13/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli? + +Hili swali limetumika kumkumbusha msomaji kwamba matendo ya Yehoahazi yameandikwa kwenye kitabu kingine. Ona jinsi hili neno lilivyotafsiriwa katika 1:17. "yameandikwa katika Kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli." + +# akalala na mababu zake + +Hii ni njia ya heshima ya kusema kwamba amekufa. + diff --git a/2ki/13/10.md b/2ki/13/10.md new file mode 100644 index 00000000..60801cf5 --- /dev/null +++ b/2ki/13/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Katika mwaka wa thelathini na saba wa Yoashi mfalme wa Yuda + +mwaka wa saba wa Yoashi mfalme wa Yuda** - "Baada ya Yoashi kutawala Yuda kama miaka 37" + +# utawala wa Yoashi mwana wa Yehoashi ulianza juu ya Israeli katika Samaria + +"Yehoashi mwana wa Yehoahazi alianza kutwala juu ya Israeli katika Samaria" + +# Yehoashi + +Huyu alikuwa mfalmew aIsraeli ambaye alikuwa mwana wa Yehoahazi. + +# Alifanya yaliyo maovu usoni mwani Yahwe + +Hapa "uso" unawakilisha mwazo wa Yahwe au hukumu. "Alifanya mambo ambayo Yahwe aliyoyafikiria kuwa uovu" + +# Hakuacha nyuma dhambi zake zozote za Yeroboamu + +Kuacha kufanya dhambi inzungumziwa kana kwamba aliacha dhambi nyuma" Hii inaweza kuelezwa katika muundo chanya. "Yoashi hakuacha kutenda dhambi kama Yeroboamu" "Yoashi aliendelea kufanya dhambi kama dhambi za Yeroboamu" + +# ambayo aliifanya Israeli kuasi + +"ambayo Yeroboamu aliifanya Israeli kuasi" + +# lakini alitembea katikati yao + +Kutenda dhambi kunzungumziwa kana kwamba alikuwa akitembea karibu na njia ya dhamb. "lakini Yoashi anaendelea kufanya dhambi hizi hizi" + diff --git a/2ki/13/12.md b/2ki/13/12.md new file mode 100644 index 00000000..5d21a3ff --- /dev/null +++ b/2ki/13/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# na shujaa wake ambaye aliyepigana dhidi ya Amazia mfalme wa Yuda + +"na nguvu ambayo jeshi lake ilionyesha wakati walipokuwa wakipigana juu ya jeshi la Amazia mfalme wa Yuda" + +# je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli? + +Hili swali linatumika kumkumbusha msomaji kwamba matendo ya Yehoahazi yaliandikwa katika kitabu kingine. Taza jinsi ambavyo ilivyotafsiriwa katika 1:17. "yameandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli." + +# Yehoashi akalala na babu zake + +"Hii ni njia ya heshima kusema Yehoashi amekufa. + +# Yeroboamu alikaa juu yakiti chake + +Hapa "alikaa juu ya kiti chake" inarejea kutawala kama mfalme. "Yeroboamu akawa mfalme baada ya yeye" au "Yeroboamu akaanza kutawala baada ya yeye" + diff --git a/2ki/13/14.md b/2ki/13/14.md new file mode 100644 index 00000000..dd6b3702 --- /dev/null +++ b/2ki/13/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# omboleza juu yake + +"omboleza kwa sababu Elisha alikuwa anaumwa" + +# Baba yangu, baba yangu + +Elisha hakuwa baba wa mfalme halisi. Mfalme Yoashi alitumia hili neno kama alama ya heshima. + +# magari ya farasi ya Israeli na hawa waendesha farasi wanakuchukua + +Hii ni kumbukumbu kwa Elisha kwanda mbinguni katika 2:11. Yoashi anatumika hili neno kusema kwamba Elisha alikwa anaenda kufa. "magari ya farasi ya Israeli na waendesha farasi wanakuchukua kwenda mbinguni" + +# waendesha farasi + +Hii inarejea kwa watu waliokuwa wakiendesha farasi. "waendesha magari ya farasi" + diff --git a/2ki/13/17.md b/2ki/13/17.md new file mode 100644 index 00000000..ded0b3d3 --- /dev/null +++ b/2ki/13/17.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Elisha anaendelea kuongea na Yoashi, mfalme wa Israeli. + +# Fungua dirisha upande wa mashariki + +"fungua dirisha lielekee mashariki" au "fungua hilo dirisha kuelekea mashariki" (UDB) + +# hivyo alilifungua + +Tangu hii ilipotokea baada ya Yoashi kuchukua upinde na mishale, inaweza kuwa alikuwa mtumishi wa kufungua dirisha. + +# akarusha + +"Yoashi akarusha mshale" + +# Huu ndiyo mshale wa ushindi wa Yahwe, huu mshale wa ushindi juu ya Shamu + +Mahusiano kati ya mshale na ushindi unaweza kuwekwa wazi. "Huu mshale ni alama kutoka kwa Yahwe ambao atakupatia ushindi juu ya Shami" + +# Afeki + +Huu ulikuwa mji katika nchi ya Israeli. + +# Lakini mtu wa Mungu alikuwa na hasira naye + +"Lakini Elisha alikuwa na hasira na Mfalme Yoashi" + +# hadi ulipoingamiza + +"hadi ulipoiangamiza kabisa" + diff --git a/2ki/13/20.md b/2ki/13/20.md new file mode 100644 index 00000000..0da4669c --- /dev/null +++ b/2ki/13/20.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sasa + +"Wakati ule" + +# mwanzoni mwa mwaka + +"kila mwaka majira ya machipuko" (UDB) + +# Walipokuwa wakimzika mtu flani + +"Kama baadhi ya Waisraeli walipokuwa wakiuzika mwili wa mtu" + +# waliona kundi la Wamoabu + +Inaweza kuwekwa wazi kwamba walikuwa wakiogopa Wamoabu. "waliona kundi la Wamoabu washambuliaji wakija kuwaelekea na waliogopa" + +# kaburi la Elisha + +"kaburi ambalo Elisha alizikwa" + +# Mara yule mtu alipoigusa mifupa ya Elisha + +Hapa "mtu" inarejea kwa maiti yake. Hii inaweza kuwekwa wazi. ""Mara alipokufa mwili wake uliigusa mifupa ya Elisha" + +# alifika na kusimama kwa miguu yake + +"maiti ya mtu ilifufuka na kusimama juu" + diff --git a/2ki/13/22.md b/2ki/13/22.md new file mode 100644 index 00000000..cd6c508e --- /dev/null +++ b/2ki/13/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Lakini Yahwe aliwahurumia Israeli, na alikuwa na huruma juu yao na kushuhulika kwa ajili yao + +Inaweza kuwa msaada kugawanya sentensi yake kwenye sehemu ndogo ndogo. "Lakini Yahwe alikuwa mkarimu sana kwa watu Waisraili. Aliwasaidia" (UDB) + +# Hivyo Yahwe hakuwaangamiza + +Agano ya Yahwe ni sababu hakuiangamiza Israeli. Hii inaweza kuwekwa wazi. "Hii ni sababu kwamba Yahwe hakuwaangamiza" au "Kwa sababu ya agano lake, Yahwe hakuwaangamiza" + +# hakuwatupa kutoka kwenye uwepo wake + +Kukataa kwa Yahwe kunazungumziwa kana kwamba alikuwa akiitoa Israeli kwa mwili kutoka alipokuwa. "hakuwakataa" (UDB) + diff --git a/2ki/14/01.md b/2ki/14/01.md new file mode 100644 index 00000000..144d9706 --- /dev/null +++ b/2ki/14/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Katika mwaka wa pili wa Yehoashi mwana wa Yehoazi, mfalme wa Israeli + +"wakati Yehu mwana wa Yehoazi alipokuwa mfalme wa Israeli takribani miaka miwili" + +# Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, akaanza kutawla + +Amazia mwana wa Yoashi, akawa mfalme wa Yuda" + +# Alikuwa na umri wa miaka ishirini na tano alipoanza kutawala + +miaka ishirini na tano wakati alipoanza kutawala** - "Alikuwa na umri wa miaka 25 alipokuwa mfalme" + +# alitawala miaka ishirini na tisa katika Yerusalemu + +miaka tisa katika Yerusalemu** - "alikuwa mfalme katika Yerusalemu kwa miaka 29" + +# Yehoyadani + +hili ni jina la mwanamke + +# Alifanya yaliyo sahihi katika uso wa Yahwe, sio kama Daudi baba yake + +Hapa "usoni mwa Yahwe" inaurejea uso wake, na uso wake unarejea hukumu yake. "Amazia alifanya mambo mengi yaliyompendeza Yahwe, lakini hakufanya mambo mengi ambayo yalimtukuza Yahwe kama mfalme Daudi aliyokuwa ameyafanya" + +# Alifanya kila kitu ambacho Yoashi, baba yake, alifanya + +Yoashi alimtii Yahwe na kufanya mambo mazuri. "Alifanya baadhi ya mambo mazuri ambayo baba yake Yoashi aliyafanya" + diff --git a/2ki/14/04.md b/2ki/14/04.md new file mode 100644 index 00000000..128e9845 --- /dev/null +++ b/2ki/14/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hadithi ya kanuni ya Amazia kama mfalme wa Yuda inaednelea. + +# Lakini mahali pa juu hapakuwa pamechukuliwa + +Mahali pa juu palikuwa pakitumika kwa ajili ya kuabudu kipagani. "Lakini hakupaondoa mahali pajuu" + +# kutoa sadaka na kufukiza ubani hapo mahali pa juu + +"Mahali pa juu palitumika kwa ajili ya kuabudu kipagani. "kutoa sadaka na kufukiza ubani kwa miungu ya kipagani mahali pa juu" + +# Ikawa mara + +Hii inatumika kutambulisha tukio jipya. + +# mapema kama kanuni yake ilipokuwa imeanzishwa vizuri + +"mapema kama Amazia alipotambulisha kanuni ya kifalme na mamlaka ya kifalme" + +# aliwaua watumishi + +Amazia ni kama aliwaagiza watu wengine kuwaua maafisa. "aliwafanya watumishi wake kuwatekeleza maafisa" (UDB) + diff --git a/2ki/14/06.md b/2ki/14/06.md new file mode 100644 index 00000000..b561840d --- /dev/null +++ b/2ki/14/06.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Msimuliaji anaeleza kuhusu kile alichofanya mfalme Amazia baada ya baba yake Mfalme Yoashi kuuawa. + +# Ila hakuwaweka wana wa wauaji kwenye kifo + +Mfalme Amazia hakuwaagiza watumishi wake kuwaua watoto wa watu waliomuua baba yao. "Lakini hakuwaambia watumishi wake kuwatekeleza hao watoto wa maafisa" (UDB) + +# Mababa wasiuawe kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasiuawe kwa ajili ya wazazi wao + +"Watu wasiwaue mababa kwa ajili ya dhambi za watoto wao, na wasiwaue watoto kwa ajili ya dhambi za wazazi wao" + +# kila mtu atauawa kwa ajili ya dhambi yake mwenyewe + +"kila mtu atakufa kwa ajili ya dhambi yake mwenyewe" + +# Aliwaua + +Hapa "Yeye" inarejea kwa jeshi lake. "Jeshi la Amazia liliuawa" au " Maaskari wa Amazia waliuawa" (UDB) + +# maaskari elefu kumi + +"maaskari 10,000" + +# Bonde la Chumvi + +Hili ni jina la mahali panapoonyesha kusini mwa Bahari mfu. + +# pia aliichukua Sela katika vita + +Hapa "Yeye" inarejea jeshi lake. "Jeshi la mfalme Amazia liliuchukua mji wa Sela + +# Sela ... Yoktheeli + +Waliupa mji wa Sela. Jina jipya lilikuwa Yoktheeli. + diff --git a/2ki/14/08.md b/2ki/14/08.md new file mode 100644 index 00000000..794ad75d --- /dev/null +++ b/2ki/14/08.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kisha Amazia akatuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu mfalme wa Israeli, akisema, "Njoo, tuonane kila mmoja macho kwa macho kwenye mashinadano." + +Hapa "kila mmoja" kujumuisha na majeshi yao. "Kisha Amazia akapeleka wajumbe kwa Mfalme Yehoashi wa Israeli, akisema, "Njooni hapa tuyaache majeshi yetu yapigane katika vita" (UDB) + +# "Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma kwa mwerezi katika Lebanuni ... umeanguka chini ya mbaruti + +Hili ni neno la picha na fumbo. Mti wa mkangazi ni mkubwa na mbaruti ni mdogo na usio na thamani. Yehoashi anajilinganisha yeye na mkangazi na Amazia na mbaruti na kumuonya Amazia asimshambulie. + +# mbaruti + +"kichaka chenye miba" + +# akisema, "Mtoe binti yako kwa mwanangu kuwa mke; + +Hii nukuu ya moja kwa moja inaweza kuelezwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. "kuuliza mkangazi kumtoa binti yake kwa mbaruti mwana wa mke" + +# Umemshambulia Edomu sana + +Hii ni sehemu ya onyo la ujumbe wa Yuda kwa Amazia. "Amazia, umeishinda Edomu kabisa" + +# moyo wako umekuinua + +Hii ni lugha ambayo inayorejea kuwa na kiburi. "una kiburi kwa kile ulichokifanya" + +# Chukua sifa katika ushindi wako + +"Ridhika na ushindi wako" + +# kwa nini unataka kujisababishia matatizo na kuanguka + +Yehoashi anatumia hili swali kumuonya Amazia asimshamulie. + diff --git a/2ki/14/11.md b/2ki/14/11.md new file mode 100644 index 00000000..ed0dd2eb --- /dev/null +++ b/2ki/14/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Lakini Amazia hakutaka kusikia. + +Hapa "kusikia" inarejea kutii onyo. "Ingawa, Amazia hakutii onyo la Yehoashi" + +# Hivyo Yehoashi mfalme wa Israeli akashambulia ... Amazia mfalme wa Yuda wakakuta uso kwa uso + +Majeshi ya hawa wafalme yalienda kupigana nao. "Hivyo Yehoashi na jeshi lake wakaenda kupigana na Amazia na jeshi lake wakaonana uso kwa uso" + +# Bethi Shemeshi + +Huu ni mji katika Yuda karibu na mpaka wa Israeli. + +# Yuda alishindwa na Israeli + +"Israeli iliishinda Yuda" + +# kila mtu alikimbia nyumbani + +"watu wote waliokuwa katika jeshi la Yuda walikimbia nyumbani" + diff --git a/2ki/14/13.md b/2ki/14/13.md new file mode 100644 index 00000000..9ad50c0f --- /dev/null +++ b/2ki/14/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hii ni jinsi ilivyotokea baada ya jeshi la Israeli kulishinda jeshi la Yuda huko Bethi Shemeshi. + +# Akaja ... Akachukua + +Hapa "Yeye" inarejea kwa Yehoashi na jeshi lake. "Yehoyashi na jeshi lake wakaja ... maaskari wa Yehoyashi wakachukua" + +# lango la Efraimu ... pembe ya lango + +Kuna majina ya malango katika ukuta wa Yerusalemu. + +# dhiraa mia nne + +"kama mita 180" + +# dhiraa + +Ridhaa moja ilikuwa kama sentimita 46. + +# pamoja na mateka pia, na kurudi Samaria + +Hii inaonyesha kwamba Yehoyashi alihitaji kuchukua hawa mateka kumlinda Amazia asitekwe tena. Hii inaweza kuwekwa wazi. "na pia walimchukua baadhi ya wafungwa kuhakikisha kwamba Amazia asingewasababishia matatizo tena + diff --git a/2ki/14/15.md b/2ki/14/15.md new file mode 100644 index 00000000..dd54e640 --- /dev/null +++ b/2ki/14/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Israeli? + +Hili swali limetumika kumkumbusha msomaji kwamba matendo ya Yehoahazi yamehifadhiwa katika kitabu kingine. "yameandikwa katika Kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli." + +# Kisha Yehoashi akalala na wazee wake + +Hii ni heshima kusema kwamba alikufa. "Kisha Yehoashi akafa" + +# akawa mfalme katika eneo lake + +"akawa mfalme baada ya yeye" + diff --git a/2ki/14/17.md b/2ki/14/17.md new file mode 100644 index 00000000..cbe19856 --- /dev/null +++ b/2ki/14/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Yuda? + +Hili swali limetumika kuwakumbusha wasomaji kwamba haya mambo yamehifadhiwa. "yameandikwa katika kitabu cha historia cha Wafalme wa Yuda." + +# Wakafanya njama dhidi ya Amazia katika Yerusalimu + +Njama ni mpango wa siri wa kuleta madhara kwa mtu au kitu. "Baadhi ya watu katika Yerusalemu walifanya njama juu ya Amazia" + +# Lakishi + +Huu ni mji katika kusini ya magharibi mwa Yuda. + +# lakini walipeleka watu baada ya yeye kwenda Lakishi + +Watu waliokuwa wametengeneza njama waliwatuma watu wengine kumfuata Amazia kwenda Lakishi. + diff --git a/2ki/14/20.md b/2ki/14/20.md new file mode 100644 index 00000000..a5ab0158 --- /dev/null +++ b/2ki/14/20.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hivi ndivyo ilivyotokea baada ya kifo cha Mfalme Amazia. + +# Wakamrudisha juu ya farasi + +"Wakaurudhisha mwili wa Amazia juu ya farasi" + +# Watu wote wa Yuda wakamchukua Azaria, ambaye alikuwa na umri wa miaka kumi na minne, na walimfanya kuwa mfalme katika nyumba ya kifalme wa baba yake Amazia + +Hii inajumiosha. Baadhi watu wanaweza wasimtake kuwa mfalme. "Watu wa Yuda walimchukua Azaria akiwa na miaka 16 na kumfanya kuwa mfalme baada ya baba yake, Amazia" + +# Alikuwa Azaria aliyeijenga Elathi + +Azaria hakulifanya hili peke yake. "Alikuwa Azaria aliyemwagiza Eliathi kujengwa" au "Alikuwa Azaria aliyesimamia kujengwa tena kwa Eliathi" + +# Azaria + +Huyu mfalme anafahamika sasa kwa jina la Uzia." + +# Eliathi + +mji mmoja katika Yuda + +# kuirudishia Yuda + +"kuirejesha ka Yuda" + +# kulala na wazee wake + +Hii ni heshima kusema alikufa. + diff --git a/2ki/14/23.md b/2ki/14/23.md new file mode 100644 index 00000000..171f2a80 --- /dev/null +++ b/2ki/14/23.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hii inaeleza kile Mfalme Uzia alichokifanya baada ya kuwa mfalme. + +# Katika mwaka wa kumi na tano wa Amazia + +"katika mwaka wa 15 wa Amzia" + +# miaka arobaini na moja + +mwaka mmoja** - "miaka 41" + +# uovu katika uso wa Yahwe + +Hapa "uso" ni picha kwa ajili ya kuhukumu. "uovu kulingana na Yahwe" + +# Hakuziacha dhambi yoyote ya kutoka kwa Yeroboamu + +Kuacha kuasi imezungumziwa kama kupita njia. Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Hakuacha kufanya dhambi kama dhambi za Yeroboamu" au "Aliendelea kufanya dhambi kama dhambi za Yeroboamu" + +# Akarudisha mipaka + +Hii inamaanisha jeshi lake lilirudisha nchi hata kwenye mpaka. "Maaskari wake wakayashinda baadhi ya maeneo yaliyokuwa yamemilikiwa na Israeli" + +# Lebo Hamathi + +Huu mji pia ulikuwa unaitwa Hamathi. + +# Bahari ya Araba + +"Bahari mfu" (UDB) + diff --git a/2ki/14/26.md b/2ki/14/26.md new file mode 100644 index 00000000..6195bea3 --- /dev/null +++ b/2ki/14/26.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# yalikuwa machungu sana + +Kuteseka ilikuwa vigumu ilizungumziwa kana kwamba ilikuwa ladha chungu. "ilikuwa chungu sana" + +# hapakuwa na mwokozi kwa ajili ya israeli + +"hapakuwa na mtu yeyote angeweza kuiokoa israeli" + +# kufuta + +Kuiangamiza Israeli kabisa inazungumziwa kana kwamba Yahwe amewasafisha kwa nguo. "angamiza kabisa" + +# jina la Israeli + +Hapa "jina la Israeli" linawakilisha Israeli yote na wenyeji wake. "watu wa Israeli" + +# chini ya mbingu + +"juu ya nchi" + +# aliwaokoa kwa mkono wa Yeroboamu mwana Yehoashi + +Hapa "mkono" unarejea kwa uweza. Yeroboamu aliwashinda maadui wa Israeli kwa msaada wa jeshi lake. "alimuwezesha Mfalme Yeroboamu na jeshi lake kuwaokoa" + diff --git a/2ki/14/28.md b/2ki/14/28.md new file mode 100644 index 00000000..aad257bf --- /dev/null +++ b/2ki/14/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je hayajaandikwa katika Kitabu cha matukio ya Wafalme wa Israeli? + +Hili swali limetumika kumkumbusha msomaji kwamba matendo ya Yehoyazi yamehifadhiwa katika kitabu kingine. "yameandikwa katika Kitabu cha matukio ya Wafalme waa Israeli. + +# Yeroboamu akalala na wazee wake, pamoja na wafalme wa Israeli + +Hii ni njia ya heshima kusema kwamba alikufa na alizikwa. "Yeroboamu akafa, na alizikwa walipokuwa wamepelekwa wafalme wengine wa Israeli walipozikwa" + diff --git a/2ki/15/01.md b/2ki/15/01.md new file mode 100644 index 00000000..dbf17dd5 --- /dev/null +++ b/2ki/15/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Katika mwaka wa ishirini na saba wa Yeroboamu + +Mwaka wa saba wa Yeroboamu** - huu ni mwaka wa ishirini na saba wa utawala wake. "Katika mwaka wa 27 wa utawala wa Yeroboamu" + +# Azaaria + +Huyu mfalme anajulikana vizuri leo kwa jina la Uziya." + +# Yekolia + +Hili ni jina la mama yake na Amazia + +# Alifanya yaliyo sahihi + +"Amazia alifanya yaliyo sahihi" + +# yaliyo sahihi katika macho ya Yahwe + +Neno "macho ya Yahwe" linasimama kwa ajili ya uso wa Yahwe, ambao ni badala ya hukumu ya Yahwe. "yaliyo sahihi katika hukumu ya Yahwe" + diff --git a/2ki/15/04.md b/2ki/15/04.md new file mode 100644 index 00000000..c59e2998 --- /dev/null +++ b/2ki/15/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mahala pa juu hapakuwa pameondolewa + +"hakuna aliyepaondoa mahali pa juu" au "Azaria hakuwa na yeyote wa kupaondoka mahali pa juu" + +# hapakuchukuliwa + +Kuchukuliwa inawakilisha kuharibiwa. "paliharibiwa" + +# hata siku yake ya kufa + +"kifo" "kufa" "hata siku aliyokufa" + +# Yothamu, mwana wa mfalme, alikuwa juu ya kaya + +Neno "kaya" linarejea kwa watu waishio katika nyumba ya kifalme. Kwa sababu Azaria alikuwa na ukoma, alitakiwa aishi katika nyumba iliyojitenga. Hivyo mwana wake, Yothamu, akachukua shtaka juu ya nyumba ya kifalme. + +# alikuwa juu ya kaya + +Kuwa juu ya kaya inawakilisha kuwa na mamlaka juu ya walio humo. "alikuwa kiongozi wa kaya" au "alikuwa na mamlaka juu ya wale walio katika nyumba ya Hazaria" + diff --git a/2ki/15/06.md b/2ki/15/06.md new file mode 100644 index 00000000..f5728ff6 --- /dev/null +++ b/2ki/15/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# je hayajaandikwa ... Yuda? + +Hili swali limetumika pengine kufahamisha au kukumbusha wasomaji kwamba habari kuhusu Azaria zipo katika hiki kitabu. "yameandikwa ... uda." + +# Azaria akalala na wazee wake + +Kulala inawakilisha kufa. "Azaria alikufa kama wazee wake" au "kama wazee wake, Azaria alikufa" + +# walimzika pamoja na wazee wake + +"familia yake ilimzika walipozikwa wazee wake walipokuwa wamezikwa" + +# akawa mfalme katika mahali pake + +Neno "katika mahali pake" ni sitari ikimaanisha "badala yake." "akawa mfalme badala ya Azaria" + diff --git a/2ki/15/08.md b/2ki/15/08.md new file mode 100644 index 00000000..2827b9a5 --- /dev/null +++ b/2ki/15/08.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Katika mwaka wa thelathini na nane wa Azaria mfalme wa yuda + +mwaka wa nane wa Azaria mfalme wa Yuda** - Inaweza kuelezwa wazi kwamba hii ni miaka thelathini na nane mwaka wa utawala wake. "Katika mwaka wa 38 wa utawala wa Azaria mfalme wa Yuda" + +# Zakaria mwana wa Yeroboamu + +Huyu Yeroboamu alikuwa mfalme wa pili wa Israeli ambaye alikuwa na hilo jina. Alikuwa mwana wa mfalme Yoashi. + +# alitawala juu ya Israeli katika Samaria kwa miezi sita + +Samaria ni mji ambao Zekaria aliishi huko alipokuwa mfalme wa Israeli. "aliishi Samaria na kutawala juu ya Israeli kwa miezi sita" + +# Alifanya yaliyo maovu + +"Zekaria alifanya yaliyo maovu" + +# yaliyo maovu katika uso wa Yahwe + +Uso wa Yahwe unawakilisha hukumu ya Yahwe. "yaliyo maovu katika hukumu ya Yahwe" au "kile Yahwe afikiriacho kuwa uovu" + +# Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti + +Kuziacha`dhambi inawakilisha kuzifanya hizo dhambi. "Zekaria hakukataa kufanya dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti" au "aliasi kama Yeroboamu mwana wa Nabeti alivyo asi" + +# Yeroboamu mwana wa Nabeti + +Huyu Yeroboamu alikuwa mfalme wa kwanza kati ya makabila kumi ya kaskazini ambayo yaliutengeneza ufalme wa Israeli. + +# ambaye aliisababisha Israeli kuasi + +Hapa neno "Israeli" linawakilisha watu wa ufalme wa Israeli. "ambao walisababisha watu wa Israeli kuasi" + diff --git a/2ki/15/10.md b/2ki/15/10.md new file mode 100644 index 00000000..5da756f1 --- /dev/null +++ b/2ki/15/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Shalumu ... Yabeshi + +Haya ni majina wanaume. + +# Zekaria + +"Mfalme Zakaria" + +# Ibleamu + +Hili lilikuwa jina la mji. + +# Kisha akawa mfalme katika mahali pake + +"Kisha Shalumu akawa mfalme katika mahali pa Zekaria" + +# yameandikwa katika Kitabu cha Matukio ya Wafalme wa Israeli + +"mnaweza kuyasoma katika Kitabu cha Matukio ya Wafalme wa Israeli" + +# Kisha akawa mfalme katika mahali pake + +"Kisha Shalumu akawa mfalme katika mahali pa Zekaria" + +# Uzao wako utaketi juu ya kikti cha Israeli hata kizazi cha nne + +Kukaa juu ya kiti inawakilisha kuwa mfalme. "Uzao wako utakuwa wafalme wa Israeli kwa vizazi vinne" + diff --git a/2ki/15/13.md b/2ki/15/13.md new file mode 100644 index 00000000..aa9deae2 --- /dev/null +++ b/2ki/15/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# katika mwaka wa thelathini na tisa wa Azaria mfalme wa Yuda + +mwaka wa tisa wa Azaria mfalme wa Yuda** - Inaweza kuelezwa wazi kwamba huu ni mwaka wa thelathini na nane wa utawala wake. "katika mwaka wa 39 wa utawala wa Azaria mfalme wa Yuda" + +# Shalumu ... Yuda + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Menahemu ... Gadi + +Haya ni majina ya wanaume wawili. + +# alitawala mwezi mmoja pekee katika Samaria + +Samaria ni mji ambao aliishi alipokuwa mfalme wa Israeli. "Shalumu aliishi katika Samaria na kutwala juu ya Israeli kwa mda wa mwezi mmoja tu" + +# akawa mfalme katika mahali pake + +Neno "katika mahali pake" ni sitiari inayomaanisha "badala yake." "kuwa mfalme badala ya Shalumu" + diff --git a/2ki/15/15.md b/2ki/15/15.md new file mode 100644 index 00000000..e7d6d729 --- /dev/null +++ b/2ki/15/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# njama aliyoifanya + +"njama" "mpango." Inaweza kuelezwa wazi hii njama ilikuwa nini. "alipangaje kumuua Mfalme Zekaria" na jinsi gani alimuua Mfalme Zekaria" + +# yameandikwa katika Kitabu cha Matukio ya Mfalme wa Israeli + +"mnaweza kuyasoma katika Kitabu cha Matukio ya Wafalme wa Israeli" + +# Tifsa + +Hili ni jina la mji. Baadhi ya matoleo yana "Tapua," ambalo ni jina la mji mwingine. + diff --git a/2ki/15/17.md b/2ki/15/17.md new file mode 100644 index 00000000..e918e460 --- /dev/null +++ b/2ki/15/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Katika mwaka wa thelathini na nane wa Azaria mfalme wa Yuda + +mwaka wa tisa wa Azaria mfalme wa Yuda** -Inaweza kuwekwa wazi kwamba huu ni mwaka wa thelathini na tisa wa utawala wake. "Katika mwaka wa 39 wa utawala wa Azaria mfalme wa Yuda" + +# yale yaliyo maovu usoni mwa Yahwe + +Uso wa Yahwe unawakilisha hukumu ya Yahwe. "yale yaliyo maovu katika hukumu ya Yahwe" + +# Katika maisha yake yote + +"maisha" inaweza kutafsiriwa pamoja na kitenzi "kuishi." "Wakati wote ambao aliishi" + +# hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati + +Kuacha dhambi inawakilisha kukataa kuzifanya hizo dhambi. "Zekaria hakukataa kufanya dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati" au "Aliasi kama Yeroboamu mwana wa Nebati alivyoasi" + +# aliyekuwa ameifanya israeli kuasi + +Hapa neno "Israeli" linawakilisha watu wa ufalme wa israeli. "walikuwa wamewasababisha watu wa Israeli kuasi" + diff --git a/2ki/15/19.md b/2ki/15/19.md new file mode 100644 index 00000000..7d7be2d4 --- /dev/null +++ b/2ki/15/19.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Pulu mfalme wa Ashuru akaja juu ya nchi + +Neno "Pulu mfalme wa Ashuru" inawakilisha Pulu na jeshi lake. "Pulu mfalme wa Ashuru akaja pamoja na jeshi lake juu ya nchi" + +# Pulu mfalme wa Ashuru + +Pulu ni jina la mwanamume ambaye alikuwa mfalme wa Ashuru. Pia alikuwa anaitwa Tiglath Pilesa. + +# kuja juu ya nchi + +Kuja juu ya nchi inawakilisha kuja kuwashambulia watu. "nchi" inarejea kwa nchi na watu wa Israeli. "kuja pamoja na jeshi kuwashambulia watu wa Israeli" + +# talanta elfu moja za fedha + +"talenti 1000 za fedha." unaweza kubadislisha hii na kipimo cha kisasa. " kilo elfu thalathini na nne za fedha" + +# ili kwamba msaada wa Pulu unaweza kuwa naye + +"msaada" inaweza kutafsiriwa pamoja na kitenzi "msaada." "Pulu anaweza kumsaidia" + +# kuimarisha utawala wa Israeli katika mkono wake + +Kuwa na ufalme katika mkono wake inawakilisha kutawala ufalme. "kuimarisha utawala wake juu ya ufalme wa Israeli" + +# kutoza hii pesa kutoka Israeli + +"kuchukua hii pesa kutoka israeli" + +# shekeli hamsini za fedha + +Unaweza kubadilisha kwa kipimo cha kisasa. "gram mia sita za fedha" + +# na hakukaa huko katika nchi + +"na hakukaa huko katika Israeli" + diff --git a/2ki/15/21.md b/2ki/15/21.md new file mode 100644 index 00000000..086c0691 --- /dev/null +++ b/2ki/15/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# je yameandikwa .. Israeli? + +Hili swali linatumika labda kujulisha au kukumbusha wasomaji hiyo habari kuhusu Menahemu ipo katika hiki kitabu. "yameandikwa katika Kitabu cha Matukio ya Waflme wa Israeli." + +# Menahemu akalala na wazee wake + +Kulala inawakilisha kufa. "Menahemu alikufa kama wazee wake walivyokufa" au "kama wazee wake, Menahemu alikufa" + +# Pekahia + +Hili ni jina la kiume. + +# kuwa mfalme katika mahali pake + +Neno "katika mahali pake" ni sitiari inayomaansha "badala ya yeye." "kuwa mfalme badala ya menahemu" + diff --git a/2ki/15/23.md b/2ki/15/23.md new file mode 100644 index 00000000..5566c8f2 --- /dev/null +++ b/2ki/15/23.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Katika mwaka wa hamsini wa Azaria mfalme wa Yuda + +Inaweza kuelezwa wazi kwamba huu ni mwaka wa hamsini wa utawala wake. "Katika mwaka wa 50 wa utawala wa Azaria mfalme wa Yuda" + +# Pekahia + +Hili ni jina la kiume. + +# yaliyo maovu usoni mwa Yahwe + +Uso wa Yahwe unawakilisha hukumu ya Yahwe. + +# Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati + +Kuacha dhambi inawakilisha kuacha kuzifanya hizo dhambi. "Pekahia hakuacha kufanya dhambi za Yeroboamu mwana Nebati" au "kuasi kama Yeroboamu mwana wa nebati" + +# alisababisha israeli kuasi + +Hapa neno "Israeli" inawakilisha watu wa ufalme wa israeli. + diff --git a/2ki/15/25.md b/2ki/15/25.md new file mode 100644 index 00000000..b0944636 --- /dev/null +++ b/2ki/15/25.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Peka ... Remalia + +Haya ni majina yakiume. + +# njama dhidi yake + +"mpango wa siri kumuua Pekahia" + +# watu hamsini + +"watu 50" + +# Argobu ... Arie + +Haya ni majina yakiume. + +# ngome ya nyumba ya kifalme + +"sehemu ya ngome ya nyumba ya mfalme" au "sehemu salama katika nyumba ya mfalme" + +# akawa mfalme katika mahali pake + +Neno "katika mahali pake" ni sitiari inayomaanisha "badala yake" "kuwa mfalme badala ya Pekahia" + +# yameandikwa katika Kitabu cha Matukio ya Wafalme wa Israeli + +"mnaweza kuyasoma katika Kitabu cha Mtukio ya Wafalme wa Israeli" + diff --git a/2ki/15/27.md b/2ki/15/27.md new file mode 100644 index 00000000..aa23239e --- /dev/null +++ b/2ki/15/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Katika mwaka wa hamsini na mbili wa Uzia mfalme wa Yuda + +mwaka wa pili wa Azaria mfalme wa Yuda** - Inaweza kuelezwa wazi kwamba huu ni mwaka wa hamsini na mbili wa utawala wake. "Katika mwaka wa 52 wa uwala Azaria mfalme wa Yuda" + +# yaliyo maovu usoni mwa Yahwe + +Uso wa Yahwe unawakilisha hukumu ya Yahwe. "yaliyo maovu katika hukumu ya Yahwe" au "kile yahwe aonacho kuwa kiovu" + +# Hakuaziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati + +Kuacha dhambi inawakilisha kuacha kufanya hizo dhambi. "Zekaria hakuacha kufanya dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati" au "Aliasi kama Yeroboamu mwana wa Nebati alivyo asi" + diff --git a/2ki/15/29.md b/2ki/15/29.md new file mode 100644 index 00000000..1ad309a5 --- /dev/null +++ b/2ki/15/29.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Katika siku za Peka mfalme wa Israeli + +Inaweza kuelezwa wazi kwamba hii inarejea kwenye wakati wa utawala wa peka. "Katika siku za utawala wa Peka mfalme wa Israeli" au "Kipindi wakati ambao Peka alikuwa mfalme wa Israeli" + +# Tiglath Pileseri + +Katika Biblia 2 Wafalme huyu mtu alikuwa akiitwa "Puli" + +# Iyoni ... Abel Beth Maaka ... Yanoa ... Kadeshi ... Hazori ... Gileadi ... Galilaya ... Naftali + +Haya ni majina ya miji au mikoa. + +# Akawachukua watu kwenda Ashuru + +Hapa "Yeye" inarejea kwa Tiglathi Pileseri na inamuwakilisha yeye na jeshi lake. Kuwabeba watu wa Ashuru. "Yeye na jeshi lake waliwalazimisha watu kwenda Ashuru + +# watu + +Inaweza kuwekwa wazi hawa ni watu wa namna gani. "wata wa hayo maeneo" au "watu wa Israeli" + +# Hoshea ... Ela + +Haya ni majina ya kiume + +# njama + +Njama ni mpango wa siri kwa kundi kufanya madhara kwa mwingine au kitu. + +# Alimshambulia na kumuua + +"Hoshea alimshambulia na kumuua" + +# akawa mfalme katika mahali pake + +Neno "katika mahali pake" ni sitiari inayomaanisha "badala yake." akawa mfalme badala ya Peka" + +# katika mwaka wa ishirini wa Yothamu mwana wa Uzia + +Inaweza kuelezwa wazi kwamba huo ni mwaka wa ishirini wa utawala wake. "Katika mwaka wa 20 wa utawala wa Yothamu mwana wa Uzia" + +# yameandikwa katika Kitabu cha Matukio cha Wafalme wa Israeli + +"mnaweza kuyasoma katika Kitabu cha Matukio ya Wafalme wa Israeli" + diff --git a/2ki/15/32.md b/2ki/15/32.md new file mode 100644 index 00000000..bce6b6a9 --- /dev/null +++ b/2ki/15/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Katik,a mwaka wa pili wa Peka mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli + +Inaweza kuelezwa wazi kwamba huu ni mwaka wa pili wa utawala wake. "Katika mwaka wa 2 wa utawala wa Peka mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli," + +# Yothamu mwana wa Azaria, mfalme wa yuda akaanza kutawala + +"Yothamu mwana wa Azaria, mfalme wa Yuda akawa mfalme wa Yuda" + +# Alikuwa na umri wa miaka ishirini na tano ... miaka kumi na sita + +umri wa miaka mitano ... miaka kumi na sita** - "Alikuwa na umri wa miaka 25 ... miaka 16" + +# Yerusha + +Hili ni jina la mwanamke. + diff --git a/2ki/15/34.md b/2ki/15/34.md new file mode 100644 index 00000000..fb8acea3 --- /dev/null +++ b/2ki/15/34.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# yale yaliyosahihi machoni mwa Yahwe + +Neno "macho" sitiari kwa uso wa Yahwe, ambaye ni sitiari kwa ajili ya hukumu ya Yahwe. "yaliyo sahihi katika hukumu ya Yahwe" + +# mahali pa juu hapakuwa pameondolewa + +"hakuna mtu aliyepaondoa mahali pa juu" au "Yothamu hakuwa na mtu yeyote wa kupaondoa mahali pa juu" + +# hapakuondolewa + +Kuondolewa inawakilisha kuharibiwa. "hapakuharibiwa" + +# Yothamu alijenga lango la juu + +"Yothamu alipajenga" inawakilisha Yothamu kuwafanya watenda kazi kuijenga. "Yothamu alikuwa na watenda kazi wake wakijenga lango la juu" + +# je hayajaandikwa ... Yuda? + +Hili swali linatumika ama kuwajulisha au kuwakumbusha wasomaji kwamba hiyo habari kuhusu Yothamu ipo katika hiki kitabu kingine. "yameandikwa katika Kitabu cha Matukio ya Wafalme wa Yuda." + diff --git a/2ki/16/01.md b/2ki/16/01.md new file mode 100644 index 00000000..9e0e7d3b --- /dev/null +++ b/2ki/16/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Katika mwaka wa kumi na saba wa mfalme Peka mwana wa Remalia + +Inaweza kuelezwa wazi kwamba huu ni mwaka wa kumi na saba wa utawala wake. "Katika mwaka wa 17 wa utawala wa Peka mwana wa Remalia" + +# Peka ... Remalia + +Haya ni majina yakiume. Peka alikuwa mfalme wa Israeli. + +# kile kilicho sahihi katika macho ya Yahwe Mungu wake + +Hili neno "machoni mwa Yahwe" ni picha kwa ajili ya uso wa Yahwe, "kile kilichokuwa sahihi katika Yahwe hukumu ya Mungu wake" au "kile Yahwe Mungu wake alichofikiria kuwa sahihi" + +# kama Daudi mzee wake alichokuwa amefanya + +Daudi alifanya yaliyosahihi. + diff --git a/2ki/16/03.md b/2ki/16/03.md new file mode 100644 index 00000000..5df6e4dc --- /dev/null +++ b/2ki/16/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# akatembea katika njia ya wafalme wa Israeli + +Kutembea inawakilisha tabia na matendo. "Mfalme Ahazi alitenda kama ambavyo wafalme wa Israeli walivyotenda" au "alifanya mambo ambayo wafalme wa Israeli waliyoyafanya" + +# kufuatana na machukizo yafanywayo na mataifa + +Hapa "kufuata" inawakilisha yale wengine wafanyayo. "kunakili mambo maovu ambayo mataifa mengine wamefanya" + +# mataifa + +Neno "mataifa" linawakilisha watu wa mataifa mengine. Hapa inarejea kwa watu wa mataifa waliokuwa wakiishi katika hiyo nchi. "watu wa mataifa mengine" + +# ambayo Yahwe aliwafukuza + +"Kuwafukuza" inaamanisha "kuwatoa kwa nguvu." "ambao Yahwe aliwalazimisha kuondoka" + +# mbele ya watu wa Israli + +Watu wa hayo mataifa walikimbia kama watu wa Israeli walivyoondoka kwenye nchi. "mbele ya watu wa Israeli waliondoka kwenye nchi" au "kama watu wa Israeli walivyoondoka kwenye nchi" + +# mahali pa juu, juu ya milima, na chini ya kila mti mbichi + +Haya ni maeneo ambapo watu wa mataifa mengine walipoabudu miungu yao ya uongo. + +# chini ya kila mti mbichi + +Mungu aliwataka watu wake kutoa sadaka kwake katika Yerusalimu. Neno "kila" hapa ni kutia chumvi kuonyesha jinsi Mfalme Ahazi alivyodhamiria kutokumtii Mungu kwa kutoa sadaka katika mahali pengine badala yake. "chini ya miti mingi mibichi" au "chini ya miti mingine izungukayo nchi" + diff --git a/2ki/16/05.md b/2ki/16/05.md new file mode 100644 index 00000000..27c124c1 --- /dev/null +++ b/2ki/16/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Riseni ... Peka ... Remalia + +Haya ni majina ya wanaume. + +# wakamzunguka Ahazi + +Ahazi alikuwa Yerusalemu. Hapa "Ahazi" inamuwakilisha yeye mwenyewe na watu waliokuwa katika Yerusalemu pamoja naye. "waliuzunzunguka mji pamoja na Ahazi katika huo" au "walimzunguka Ahazi na wengine katika mji pamoja naye" + +# akamponya Elathi kwa Shamu + +Hii inawakilisha kuchukua utawala wa Elathi ili kwamba uwe milki ya watu wa Shamu. "kuchukua utawla wa mji wa Eliathi" + +# Eliathi + +Hili ni jina la mji. + +# kuwapeleka watu wa Yuda nje ya Elathi + +"kuwalazimisha watu wa Yuda kuondoka Elathi" + diff --git a/2ki/16/07.md b/2ki/16/07.md new file mode 100644 index 00000000..a681f984 --- /dev/null +++ b/2ki/16/07.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Tiglath Pileseri + +Katika 15:19 huyu mtu alikuwa anaitwa "Puli." + +# mimi ni mtumishi wako na mwanao + +Kuwa mtumishi na mwana inawakilisha kutii mamlaka ya mtu. "nitakutii kana kwamba nilikuwa mtumishi wako au mwana wako" + +# kutoka kwenye mkono wa mfalme wa Ashuru na kutoka kwenye mkono wa mfalme wa Israeli + +Mkono ni picha inayowakilisha uweza. "kutoka kwenye uweza wa mfalme wa Ashuru na kutoka kwenye uweza wa mfalme wa Israeli" + +# ambaye aliyenishambulia + +Wafalme kumteka Ahazi inawakilisha maadui wa hao wafalme kunishambulia pamoja na maadui zao" + +# Mfalme wa Shamu akapanda juu Damaskasi + +Neno "mfalme" linawakilisha mfalme na jeshi lake. "mfalme wa Ashuru na jeshi lake walipanda juu ya Damaskasi" + +# kuwabeba watu wake kama hata Kiri + +Kuwabeba watu wake inawakilisha kuwalazimisha kwenda mbali. "kuwafanya watu wake wafungwa na kuwalazimisha kwenda Kiri" + +# Kiri + +Hili ni jina la mji + diff --git a/2ki/16/10.md b/2ki/16/10.md new file mode 100644 index 00000000..33632d83 --- /dev/null +++ b/2ki/16/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mchoro kwa ustadi wote ulikuwa umehitajika + +Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo tendaji. "maelekezo yote jinsi ilivyohitajika kujengwa" au "maelekezo yote ambayo watenda kazi walihiji ili kuujenga" + diff --git a/2ki/16/13.md b/2ki/16/13.md new file mode 100644 index 00000000..ebb3ae64 --- /dev/null +++ b/2ki/16/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hivi ndivyo Ahazi alifanya baada ya kurudi kutoka Damaskasi na kutembelea madhabahu mpya aliyokuwa ameagiza ijengwe. + +# Alitengeneza sadaka yake ya kuteketeza + +"Mfalme Ahazi alitengeneza sadaka yake ya kuteketeza" + +# juu ya madhabahu + +Hii inarejea kwa madhabahu ambayo Mfalme Ahazi aliyomwambia Uria kujenga. + +# Mdhabahu ya shaba iliyokuwa mbele ya Yahwe + +Hii ilikuwa ambayo watu wa Israeli waliitengeneza siku za nyuma zilizopita kulingana na maelekezo ya Mungu. + +# Madhabahu ya shaba yaliyokuwa mbele ya Yahwe + +Neno "mbele ya Yahwe" ni picha inayorejea sehemu ambayo Yahwe alionyesha utukufu wake wa nyuma. "Madhabahu ya shaba iliyokuwa mbele ya hekalu" + +# kutoka mbele ya hekalu ... kutoka katikati ya madhabahu yake na hekalu la Yahwe + +Haya maneno mawili yanaeleza madhabahu ya shaba ilipokuwa. + diff --git a/2ki/16/15.md b/2ki/16/15.md new file mode 100644 index 00000000..7d188f21 --- /dev/null +++ b/2ki/16/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# madhabahu kubwa + +Hii inarejea kwa madhabahu ambayo Ahazi alimwambia Uria kuijenga. + +# sadaka ya kuteketeza ya mfalme na sadaka ya unga + +Wakati Ahazi aliposema "mfalme" na "vyake," alikuwa akijirejea yeye mwenyewe. "sadaka yangu ya kuteketeza na sadaka yangu ya unga" + diff --git a/2ki/16/17.md b/2ki/16/17.md new file mode 100644 index 00000000..5b9756e4 --- /dev/null +++ b/2ki/16/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# vitako vinavyobebeka + +Hivi vitako vilikuwa magurudumu juu yao hivyo wangeweza kuvihamisha kuzunguka. "vitako vya kuhamisha" au "mikokoteni" + +# pia alichukua bahari + +"Bahari" lilikuwa beseni kubwa au bakuli la maji ambalo lilitengenezwa kwa shaba. "pia aliondoa bakuli kubwa" + +# kwa sababu ya mfalme wa Ashuru + +Kwa nini walifanya hivi inaweza kuwekwa wazi. "kumfurahisha mfalme wa Ashuru" + diff --git a/2ki/16/19.md b/2ki/16/19.md new file mode 100644 index 00000000..8f79f37a --- /dev/null +++ b/2ki/16/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# je hayajaandikwa ... Yuda? + +Hili swali lilitumika pengine kuwajulisha au kuwakumbusha wasomaji ambao habari kuhusu Yothamu ipo katika hiki kitabu kingine. "yaliandikwa katika Kitabu cha matukio ya Wafalme wa Yuda." + +# Ahazia akalala na wazee wake + +Kulala inawakilisha kufa. "Ahazia akafa kama wazee wake walivyokufa" au "kama wazee wake, Ahazia alikufa" + +# na alizikwa pamoja nao + +"na watu walimzika pamoja na wazee wake" + +# akawa mfalme katika mahali pake + +Hili neno "katika mahali pake." "akawa mfalme badala ya Ahazi" + diff --git a/2ki/17/01.md b/2ki/17/01.md new file mode 100644 index 00000000..450af568 --- /dev/null +++ b/2ki/17/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hoshea mwana wa Elahi + +Hoshea akawa mfalme wa ufalme wa kaskazini ya Israeli. + +# Elahi + +Hili ni jina la mwanamume. + +# Alitawala Samaria + +Samaria ilikuwa mji mkuu wa Israeli. + +# uovu katika uso wa Yahwe + +Hakutii sheria za Yahwe kama alivyopewa na Musa. "Katika uso wa " ni mfano kwa ajili ya hukumu au maoni. "uovu kwa Yahwe" + +# Hoshea akawa mtumishi na kumletea kodi + +Hoshea akafanya kama Mfalme wa Ashuru alivyomwamuru na kumletea pesa ili kwamba Mfalme asiiangamize Israeli. + +# Shalmanesa + +Hili ni jina la mwanamume. + diff --git a/2ki/17/04.md b/2ki/17/04.md new file mode 100644 index 00000000..9f601015 --- /dev/null +++ b/2ki/17/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# So + +Hili ni jina la mwanamume. + +# mwaka kwa mwaka + +"kila mwaka" (UDB) + +# akamfunga na kumfungia katika gereza + +"kumuweka Hoshea katika gereza" (UDB) + +# kuizingira + +kuweka majeshi kuzunguka mji kwa ajili ya kuulzimisha kujisalimisha + +# kuichukua Israeli kwenda Shuru + +Jina "Israeli" ni mfano kwa ajili ya watu wanaoishi huko. "kuwachukua Waisraeli kwenda Ashuru" (UDB) + +# Hala ... Mto Habori ... Gozani + +Haya ni majina ya maeneo. + +# Waamedi + +Hili ni jina la kundi la watu. + diff --git a/2ki/17/07.md b/2ki/17/07.md new file mode 100644 index 00000000..cc131f60 --- /dev/null +++ b/2ki/17/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Maelezo ya kuacha mhutasari wa hukumu ya Yahwe juu ya Israeli. + +# Huu uhamisho + +Hii inarejea kwa mateka wa Israeli na Waashuru. + +# mkono wa + +"Mkono" ni picha ya utawala, malmlaka au nguvu. "utawala wa" + +# kutembea katika mazoezi + +"Kutembea" ni picha ya njia au mfumo wa tabia watu hutumia katika maisha yao. "kufanya kazi" + diff --git a/2ki/17/09.md b/2ki/17/09.md new file mode 100644 index 00000000..23d82905 --- /dev/null +++ b/2ki/17/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hadithi inaendelea kufupishwa hukumu ya Yahwe juu ya Israeli. + +# juu ya kila mlima mrefu na chini ya kila mti wa kijani + +Huu ni ueneaji kuonyesha kwamba kuabudu miungu wa uongo ilienea. "juu ya milima mirefu na chini ya miti ya kijani kila mahali" + diff --git a/2ki/17/11.md b/2ki/17/11.md new file mode 100644 index 00000000..a5389e34 --- /dev/null +++ b/2ki/17/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Umla: + +Hii hadithi inaendelea kufupishwa hukumu ya Yahwe juu ya Israeli. + +# kufanya mambo maovu kuchochea hasira ya Yahwe + +Njia ziwezekanazo kuonyesha hii: 1) "kufanya mambo mengi maovu yaliyomfanya Yahwe kuwa na hasira" (UDB) au 2) "kufanya mambo ya dhambi yaliyomfanya Yahwe kukasirika" + +# kuhusu zile Yahwe alizokuwa amewaambia + +"kuhusu zile Yahwe alizokuwa amewaonya" + diff --git a/2ki/17/13.md b/2ki/17/13.md new file mode 100644 index 00000000..125cfe97 --- /dev/null +++ b/2ki/17/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hadithi inaendelea kufupishwa huku ya Yahwe juu ya Israeli. + +# Yahwe alishuhudia ... kwa kila nabii + +Yahwe alizungumza kupitia manabii. + +# Keuka kutoka njia zako mbaya + +"Kuacha kufanya mambo maovu uliyokuwa ukiyafanya" + +# nakuletea watumishi wangu manabii + +Manabii walitumwa na Yahwe kuwakumbusha watu wa sheria za Mungu na kuzitii. + diff --git a/2ki/17/14.md b/2ki/17/14.md new file mode 100644 index 00000000..877e6f1b --- /dev/null +++ b/2ki/17/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Muhtasari wa hukumu wa Yahwe juu ya Israeli unaendelea. + +# walikuwa wakaidi + +Hawakuwa tayari kufuata sheria za Mungu na kumtegemea Yahwe kama Mungu wao. + +# walikataa maagizo yake + +Walikataa kutii shiria za Yahwe. + +# Walifuata mambo yasiyofaa + +Walifuata mambo ya watu waliowazunguka. + +# kutokufuatisha + +"kutonakili" + diff --git a/2ki/17/16.md b/2ki/17/16.md new file mode 100644 index 00000000..1943b314 --- /dev/null +++ b/2ki/17/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Muhtasari wa hukumu ya Yahwe juu ya Israeli unaenedelea. + +# sanamu za kusubu + +Sanamu za kusubu ni vitu vilivyotengenezwa kwa kuchemsha chuma kuwa umbo (au finyanga) kutengeneza umbo. + +# uchawi + +"uchawi" (UDB) + +# wakajiuza wenyewe kufanya yale ambayo yalikuwa maovu usoni pa Yahwe + +"Kujiuza wenyewe" ni picha kwa ajili ya kufanya kabisa kufanya yale yaliyo maovu. "kufanya wenyewe kufanya mambo ambayo Yahwe alisema yalikuwa maovu" + +# kuwaondoa usoni mwake + +"Uso" ni picha ya kuwa ndani uangalifu wa Yahwe hivyo hawajali tena. "kuwaondoa kutoka kwenye uangalizi wake" + diff --git a/2ki/17/19.md b/2ki/17/19.md new file mode 100644 index 00000000..de4c52bb --- /dev/null +++ b/2ki/17/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelzo ya Jumla: + +Mhutasari wa huku ya Yahwe unaendelea juu ya Israeli pamoja na jinsi Yuda alivyojisikia kwenye kuabudu sanamu. + +# Yuda + +Mahali "Yuda" ni picha kwa ajili ya watu waishio huko. "watu wa Yuda" + +# aliwatesa + +"Yahwe aliwaadibu Waisraeli" + +# kuwatia kwenye mkono wa wale wenye kuwateka nyara + +"Mkono" ni picha ya kwa ajili ya utawala, nguvu au mamlaka. "kuwapeleka juu ya wale walio waibia mali zao" + +# hadi atakapokuwa amewatupa usoni mwake + +"uso wake" ni picha kwa ajili ya umakini na kujali. + diff --git a/2ki/17/21.md b/2ki/17/21.md new file mode 100644 index 00000000..75b47c41 --- /dev/null +++ b/2ki/17/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Sabau ya hukumu ya Yahwe juu ya Israeli kuendelea kuhusiana na historia nyuma yake. + +# Akawatoa + +"Akawatoa" ni picha ya kuwatoa kwa kikatili. "Yahwe aliwatoa watu wa Israeli" + +# kutoka kwenye ukoo wa kifalme wa Daudi + +"kutoka kwenye uzao wa Daudi" (UDB) + +# akawapeleka Israeli mbali na kumfuata Yahwe + +"aliwageuza watu wa Israeli mbali na kumfuata Yahwe" + +# hawakujiepusha nazo + +"Waisraeli hawakuacha kufanya hizi dhambi" au "Hawakugeuka kutoka kwenye hizo dhambo" (UDB) + +# basi Yahwe akawaondoa Israeli kutoka usoni mwake + +"Uso" ni picha ya umakini na kujali. "Basi Yahwe aliwaondoa watu wa Israeli kutoka kwenye uangalifu wake na utunzaji" + diff --git a/2ki/17/24.md b/2ki/17/24.md new file mode 100644 index 00000000..e4da2101 --- /dev/null +++ b/2ki/17/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hukumu ya Yahwe inaendelea juu ya wenyeji wa Waashuru mpya waliozoea dini zao za kipagani. + +# Kuthi ... Ava ... Hamathi ... Sefarvaimu + +Hizi ni sehemu katika ufalme wa Kiashuru. + +# Ilitokea mwanzoni mwa makazi yao huko + +"Wakati hao watu walipoishi kwa mara ya kwamnza huko" + +# Mataifa uliyoyachukua na kuyaweka katika miji ya Samaria + +"Watu uliowaondoa kutoka nchi nyingine na kuwapeleka kuishi katika miji ya Samaria" + +# hawakujua yale mambo waliyokuwa wanatakiwa kuyafanya kwa mungu wa nchi + +"hawakujua jinsi ya kumwabudu Mungu ambaye aliyeabudiwa na Waisraeli katika hii nchi" (UDB) + diff --git a/2ki/17/27.md b/2ki/17/27.md new file mode 100644 index 00000000..5366aa92 --- /dev/null +++ b/2ki/17/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mchukueni mmoja wa makuhani hapo ambaye mmemleta kutoka huko + +"Mchukueni mmoja wa makuhani kutoka Samaria aliyebaki huko," + +# na kumruhusu awafundishe + +"na kumruhusu kuhani Msamaria kuwafundisha watu wanaoishi huko sasa" + diff --git a/2ki/17/29.md b/2ki/17/29.md new file mode 100644 index 00000000..4a95d689 --- /dev/null +++ b/2ki/17/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sakoth Benithi ... Nergali ... Ashma ... Nibhazi ... Tartaki ... Adrameleki ... Anameleki + +Haya ni majina ya miungu, wote wakiume na wakike. + +# Kuthahi ... Hamathi + +Haya ni majina ya mahali. + +# Waavi ... Sefarvaimu + +Haya ni majina ya makundi ya watu. + +# wakawachoma watoto wao katika moto + +"wakawatoa dhabihu watoto wao wenyewe" (UDB) au (wakawachoma watoto wao katika moto kama dhabihu" + diff --git a/2ki/17/32.md b/2ki/17/32.md new file mode 100644 index 00000000..a54355a4 --- /dev/null +++ b/2ki/17/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wao + +Hii inawahusu watu wapagani ambao mfalme wa Ashuru aliwahamisha kwenda miji ya Samaria. + diff --git a/2ki/17/34.md b/2ki/17/34.md new file mode 100644 index 00000000..3fb76691 --- /dev/null +++ b/2ki/17/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wameshikilia tamaduni zao + +"waliendelea katika tabia zao zile zile kama zamani." + +# Wala hawamwogopi Yahwe + +Watu walivutiwa na kumpendeza Yahwe pekee. Wala hawakuwa na shauku wala kutokuwa makini Yahwe alikuwa na shauku katika mahusiano nao. + diff --git a/2ki/17/36.md b/2ki/17/36.md new file mode 100644 index 00000000..c3fab618 --- /dev/null +++ b/2ki/17/36.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ufupisho unaelekea mbele mwishoni pamoja kwa muomba Yahwe pekee. + +# pamoja na nguvu kubwa na mkono ulionyooshwa + +Neno "mkono ulionyooshwa" ni picha ya kuonyesha nguvu na kumaanisha kimsingi jambo moja kama "nguvu kubwa." pamoja na nguvu kubwa" (UDB) + +# kuzishika + +"kuzitii" + diff --git a/2ki/17/39.md b/2ki/17/39.md new file mode 100644 index 00000000..c8a410b7 --- /dev/null +++ b/2ki/17/39.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ufupisho sasa unaishia na ombi kumwabudu Yahwe pekee na maelezo ya dhambi za watu. + +# Hawatasikiliza + +"Sikiliza" ni picha ya kuvuta usikivu na kutenda juu ya amri. "Hawakutii" + +# haya mataifa yalimwogopa Yahwe + +Haya mataifa yalimwogopa Yahwe pekee kuelekea kumpendeza vile vile kama walivyoitenda miungu yao. + +# hata leo + +"Siku hi" ni picha kwa ya kipindi ambacho mwandishi alichoishi. + diff --git a/2ki/18/01.md b/2ki/18/01.md new file mode 100644 index 00000000..440bdc3d --- /dev/null +++ b/2ki/18/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hezekia akawa mfalme juu ya Yuda katika sehemu ya baba yake Mfalme Ahazi. + +# Hoshea ... Ela ... Zekaria + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Abija + +Hili ni jina la mwanamke. + +# Alifanya yale yaliyo sahihi usoni mwa Yahwe + +"Katika macho" ni mfano wa umakini wa Yahwe na kujali. "Mfalme Hezekia alifanya yale yaliyokuwa sahihi mbele ya Yahwe" au "Hezekia alifanya mambo ambayo Yahwe alisema yalikuwa sahihi" + diff --git a/2ki/18/04.md b/2ki/18/04.md new file mode 100644 index 00000000..c46a299e --- /dev/null +++ b/2ki/18/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hadithi ya utawala wa Mfalme Hezekia inaendelea. + +# Aliziondoa mahali za juu, akaiharibu nguzo ya jiwe, akaikata hiyo nguzo ya Ashera + +"Hezekia aliziondoa mahali za juu za kuabudu, akaziangusha kuwa vipande vipande mawe ya kumbukumbu, na kuzikata nguzo za miti za Ashera" + +# Nehushtani + +"Sanamu ya Joka la shaba" + diff --git a/2ki/18/06.md b/2ki/18/06.md new file mode 100644 index 00000000..00eaf712 --- /dev/null +++ b/2ki/18/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hadithi ya utawala wa Mfalme Hezekia inaendelea. + +# alishikamana na Yahwe + +Ku "ambatana na Yahwe" ni picha ya kusema uaminifu na kuambatana. "Hezekia alikuwa mwaminifu kwa Yahwe" au "Hezekia alibaki mwaminifu kwa Yahwe" + +# na popote alipoenda alifanikiwa + +"na popote Hezekia alipoenda alifanikiwa." + +# mji imara + +mji wenye ukuta uliouzunguka + diff --git a/2ki/18/09.md b/2ki/18/09.md new file mode 100644 index 00000000..85c64884 --- /dev/null +++ b/2ki/18/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hoshea ... Ela ... Shalmanesa + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/2ki/18/11.md b/2ki/18/11.md new file mode 100644 index 00000000..9f657a8a --- /dev/null +++ b/2ki/18/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hala ... Mto Habori ... Gozani + +Haya ni majina ya mahali. + +# Wamedi + +Hili ni jina la kundi la watu. + +# Basi mfalme wa Ashuru akawachukua Israeli kwenda Ashuru + +"Hivyo mfalme wa Ashuru aliliamuru jeshi lake kuwachukua Waisraeli mbali kutoka nyumba zao, na kuwafanya waishi Ashuru" + +# sauti ya Yahwe + +"Sauti" ni picha ya ujumbe kuhusu amri ya Yahwe. "amri ya Yahwe" + diff --git a/2ki/18/13.md b/2ki/18/13.md new file mode 100644 index 00000000..665ce08f --- /dev/null +++ b/2ki/18/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Senakerebu + +Hili ni jina la mtu. + +# Lakishi + +Hili ni jina la mji. + +# mji imara + +Mji wenye kuta zilizoizunguka kwa ajili ya ulinzi. + +# Nichukue + +Haya maelezo yasadiki kwamba "mimi" inawakilisha ufalme wa Hezekia. "Chukua jeshi lako nje ya eneo langu" + +# Popote utakaponiweka nitavumulia + +"nitakulipa popote utakaponitaka" + +# talanta + +Hili ni jina la aina ya uzito ambao ulitumika kwa ajili ya pesa. + +# hazina + +Hapa palikuwa mahali katika mahali ambapo pesa na vitu vya thamani vilihifadhiwa. + diff --git a/2ki/18/16.md b/2ki/18/16.md new file mode 100644 index 00000000..d1c41b3b --- /dev/null +++ b/2ki/18/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mfalme wa Ashuru akalihamasisha jeshi lake kubwa, akawatuma Tartani na Rabsarisi na amiri jeshi mkuu + +Senakeribu alipeleka kundi la watu kutoka jeshi lake kwenda Yerusalemu kuonana pamoja na Mfalme Hezekia, pamoja na maafisa waitwao Tartani na Robsarisi. + +# Tartani ... Rabsarisi + +Baadhi ya Biblia zinatafsiri haya kama majina pekee. Matoleo mengine ya Biblia yanayatafsiri kama vyeo. "Tartani ... Rabsarisi" au "kiongozi wa askari ...afisa wa mahakama" + +# Lakishi + +Hili ni jina la mji. + +# mfereji wa bwawa la juu + +mfeji ambapo maji yalihifadhiwa katika "bwawa la juu" ububujikao kwenda mji wa Yerusalemu + +# kusimama huko + +"na kumsubiri mfalme Ahazi huko kuonana nao" + +# Eliakimu ... Hilkia ... Shebna ... Joa ... Asafu + +Haya ni majina ya watu. + diff --git a/2ki/18/19.md b/2ki/18/19.md new file mode 100644 index 00000000..f2a2b0fc --- /dev/null +++ b/2ki/18/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Rabshake anaendelea kusikiliza ujumbe kutoka mfalme wa Ashuru kwa watu wa Mfalme Hezekia. + +# Nini chanzo cha ujasiri wako? Sasa unamtumainia nani? Nani anakupa ujasiri wa kuasi dhidi yangu? + +Mfalme wa Ashuru (kupitia mjumbe wake Rabshake) hajauliza haya maswali kutafuta majibu, lakini kutaka kumfanya shaka ya Mfalme Hezekia mwenyewe na msaada wa Misri. "Usimwamini kila mtu yeyote. Ulikuwa mjinga kuasi juu yangu." + +# kutembelea fimbo ya mwanzi huu uliopondeka wa Misri + +Mfalme wa Ashuru analinganisha Misri kutembelea fimbo, unatajia hiyo itakusaidia wakati unapoiengemea, lakini badala yake itavunjika na kukukata. "msaada dhaifu kutoka Misri" + +# lakini kama mtu ... na kumtoboa + +huyu mnenaji anaeneza picha kwa kueleza kilichotokea mwanzi unapotumika kama msaada. "lakini kama mtu atumiapo hii kwa ajili ya msaada, atajeruhiwa" + diff --git a/2ki/18/22.md b/2ki/18/22.md new file mode 100644 index 00000000..5cc756b2 --- /dev/null +++ b/2ki/18/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Rabshake anaendelea kueleza ujumbe kutoka kwa watu wa mfalme wa Ashuru. + +# si yeye ambaye mahali pa juu ... Yerusalemu + +Hili swali linasadiki wasikilizaji wanajua jibu na limetumika kwa ajili ya kusisitiza. + diff --git a/2ki/18/24.md b/2ki/18/24.md new file mode 100644 index 00000000..f85094b5 --- /dev/null +++ b/2ki/18/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Rabshake anaendelea kusema ujumbe kutoka kwa mfalme wa Ashuru kwa watu wa Mfalme Hezekia. + +# Wanawezaje kumpinga hata nahodha mmoja wa watumishi walio wadogo? + +Aliuliza hili swali kusisitiza kwamba jeshi la Hezekia halina rasilimali kupigana' "usingelishinda kundi la maaskari walioamriwa na afisa wake mdogo." + +# Je nimesafiri kwenda huko juu bila Yahwe kupapigania hapa mahali na kupaharibu? + +Anauliza hili swali kusisitiza kwamba Yahwe yu nyuma ya rasilimali zake kutii amri kuiangamiza Israeli. "Yahwe mwenyewe alituambia kuja hapa na kuiangamiza hii nchi!" + diff --git a/2ki/18/26.md b/2ki/18/26.md new file mode 100644 index 00000000..97090f8d --- /dev/null +++ b/2ki/18/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Eliakimu ... Hilkia ... Shebna ... Joa + +Haya ni majina ya wanaume + +# katika masikio ya watu walio juu ya ukuta + +"Katika maskio" ni picha ya kuweza kusikiliza. "kwa sababu watu wamesimama juu ya ukuta wataisikia na kuogopa" + +# Je bwana wangu amenituma kwa bwana wako na kuwachukua kuongea haya maneno? Je hajanituma kwa hawa watu ambao wameketi kwenye ukuta, ambao watakula kinyesi chao na kunywa mkojo wao wenyewe? + +Anauliza haya maswali kuwahakikishia wasomaji kujua majibu kusisitiza kusudi lao kuwaangamiza na kuwadhililisha viongozi na watu wa Yerusalemu. + diff --git a/2ki/18/28.md b/2ki/18/28.md new file mode 100644 index 00000000..e89f5e53 --- /dev/null +++ b/2ki/18/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kutoka nguvu yangu + +"nguvu yangu" ni picha ya uwezo wa mfalme mwenyewe. "kutoka kwangu" au "kutoka kwenye nguvu ya jeshi langu" + +# huu mji hautawekwa kwenye mkono wa mfalme wa Ashuru + +Yahwe hatamruhusu mfalme wa jeshi Ashuru kuuchukua huu mji" + +# mkono + +"mkono" ni ishara ya utawala, mamlaka na nguvu. + diff --git a/2ki/18/31.md b/2ki/18/31.md new file mode 100644 index 00000000..df806b6b --- /dev/null +++ b/2ki/18/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Fanyeni amani pamoja nami na njooni kwangu + +"Tokeni kwenye mji na jisalimisheni kwangu" (UDB) au "Fanyeni makubaliano pamoja nami kujisalimisha, na tokeni kwenye mji mje kwangu" + +# mzabibu wake mwenyewe ... mti wake mwenyewe wa mtini ... birika lake mwenyewe + +Hivi vyanzo vya chakula na maji ni picha ya ulinzi na wingi. Hii pia ilikuwa kawaida ya kueleza hili wazo. + +# nchi ya nafaka na divai yetu ... mkate na mashamba ya mizabibu ... na miti ya mizaituni na asali + +Huu ni mfano wa vitu vizuri na wingi kila siku. + diff --git a/2ki/18/33.md b/2ki/18/33.md new file mode 100644 index 00000000..7c9fd221 --- /dev/null +++ b/2ki/18/33.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Rabshake anaendelea kueleza ujumbe kutoka kwa mfalme wa Ashuru kwa watu Mfalme Hezekia. + +# Je miungu yoyote ... Ashuru? + +Je miungu yoyote ... Ashuru? Anazungumza hili swali kusisitiza kwa sababu wanajua majibu. "Hakuna miungu ya watu iliyowaokoa ... Ashuru." + +# Iko wapi miungu ya ... Arpadi? + +Anauliza hili swali kwa msisitizo kwa sababu wanajua majibu. "nimeiharibu miungu ya ... Arpadi" + +# Hamathi ... Arpadi ... Sefarvaimu ... Hena ... Iva ... Samaria + +Haya ni majina ya mahali yanayowakilisha watu wanaoishi huko. + +# kutoka mkono wangu + +"mkono" ni picha ya utawala, nguvu, au mamlaka. "nje ya utawala wangu" + +# je kuna mungu aliyeiokoa nchi yake kutoka nguvu yangu." + +Anauliza hili swali kwa ajili ya kusisitiza kwa sababu wanajua majibu. "Hakuna mungu aliyeiokoa yake kutoka uweza wangu." + +# kutoka uweza wangu + +"Uweza wangu" ni picha ya mtu anayeishilia. "kutoka kwangu" + +# Inawezekanaje Yahwe akaiokoa Yerusalemu kutoka kwenye uwezo wangu?" + +Anazungumzia hili swali kwa ajili kusisitiza kwa sababu wanalijua jibu. "Hakuna njia Yahwe anaweza kuiokoa Yerusalemu kutoka uweza wangu!" + diff --git a/2ki/18/36.md b/2ki/18/36.md new file mode 100644 index 00000000..a0b9efd7 --- /dev/null +++ b/2ki/18/36.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Eliakimi ... Shebna ... Joa ... Asafa + +Haya ni majina ya wanaume. + +# ambaye alikuwa juu ya nyumba ya mfalme + +"aliyeisimamia nyumba ya mfalme" + +# mtunza kumbu kumbu + +"mtunza hadithi" + +# kamanda mkuu + +ni tafsiri ya Kiebrania; wengine wanaiona hii kama jina la mtu, "Rabshake" + diff --git a/2ki/19/01.md b/2ki/19/01.md new file mode 100644 index 00000000..d1132866 --- /dev/null +++ b/2ki/19/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nyumba ya Yahwe + +Hii ni njia nyingine ya kusema "hekalu la Yahwe." + +# Eliakimu ... Shebna ... Isaya ... Amozi + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Alimtuma Eliakimu + +"Hezekia alimtuma Eliakimu" + +# wote walikuwa wamefunikwa na nguo za magunia + +"wote waliovaa nguo za magunia" + diff --git a/2ki/19/03.md b/2ki/19/03.md new file mode 100644 index 00000000..e053b7ef --- /dev/null +++ b/2ki/19/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# siku hii ni siku ya mateso + +Hapa "siku" ni neno lenye maana sawa na mda. "Huu ni wakati wa dhiki" + +# wakati umewadia watoto kuzaliwa, lakini hakuna nguvu ili wazaliwe + +Hii ni picha ya kuelezea jinsi watu na viongozi wao wamekuwa wadhaifu na kutoweza kupigana na adui. + +# maneno yote + +"Maneno" ni neno lenye maana sawa na ule ujumbe wa maneno. + +# inua maombi yako juu + +Hii ni njia ya kawaida (neno) kutumia tendo la kuinua picha ya kuwakilisha maombi kwa bidii kwa Yahwe ambaye yuko juu yetu. "omba kwa bidii" + diff --git a/2ki/19/05.md b/2ki/19/05.md new file mode 100644 index 00000000..5693b1e6 --- /dev/null +++ b/2ki/19/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nitaweka roho ndani yake, na yamkini atasikia taarifa na kurudi kwenye nchi yake mwenyewe + +"Nitatawala mtazamo wa mfalme wa Ashuru, hivyo wakati asikiapo taarifa, atataka kurudi kwenye nchi yake mwenyewe" + +# nitaweka roho katika yeye + +Hapa "roho" huenda linarejea kwa mtazamo wake na mawazo, kuliko kuliko ukiroho. "nitashawishi kufikiri kwake" au "nitamfanya kufikiria tofauti" + +# nitamfanya afe kwa upanga + +"Kuanguka kwa upanga" ni picha ya kuuawa. "nitamfanya afe kwa upanga" au "nitawafanya watu wamuue kwa upanga" + diff --git a/2ki/19/08.md b/2ki/19/08.md new file mode 100644 index 00000000..03726f15 --- /dev/null +++ b/2ki/19/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kamanda mkuu + +"afisa kutoka Ashuru msimamizi chini ya mfalme" + +# kumkuta mfalme wa Ashuru akipigana + +"aligundua kwamba jeshi la Ashuru lilikuwa likipigana" + +# Libna ... Lakishi + +Majina ya miji katika ufalme wa Yuda. + +# Senakeribu ... Tirhaka + +Haya ni majina ya wanaume. + +# alihamasisha kupigana dhidi + +"aliliandaa jeshi lake kupigana dhidi ya Ashuru" + +# hivyo akamtuma + +"hivyo Senakeribu aliwatuma" + +# ujumbe + +Huu ujumbe uliandikwa katika barua. + diff --git a/2ki/19/10.md b/2ki/19/10.md new file mode 100644 index 00000000..78cd3e3f --- /dev/null +++ b/2ki/19/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Huu ni ujumbe ambao Mfalme Senakaribu wa Ashuru aliutuma kwa Mfalme Hezekia. + +# Asikudanganye Mungu wako unayemwamini, kusema + +"Usimwamini Mungu wako unayemwamini. Anadanganya wakati asemapo" + +# mkono wa mfalme wa Ashuru + +"mkono" ni picha ya utawala, mamlaka au nguvu. "utawala wa serikali ya Ashuru" + +# Ona, umesikia + +"Tazama, umesikia" au "Yamkini umesikia" (UDB). Hapa "ona" ilitumika kuleta usikivu kwa kile alichokuwa anataka kukisema. + +# Kwa hiyo je utaokoka? + +Senakaribu alitumia hili swali kusisitiza kwamba Mungu hataweza kuwaokoa. "Mungu wako hatakuokoa" au "Hutaweza kukimbia popote" + diff --git a/2ki/19/12.md b/2ki/19/12.md new file mode 100644 index 00000000..0b194ab1 --- /dev/null +++ b/2ki/19/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ujumbe wa falme Senakaribu kwa Mfalme Ahazi unaendelea. + +# miungu wa mataifa wamewaokoa + +Hili swali linaonyesha Hezekia anajua jibu na kupatia msisitizo. "miungu wa mataifa hawakuwaokoa bila shaka" + +# baba zangu + +"wafalme wa Ashuru aliyepita" au "majeshi yaliyopita ya wafalme wa Ashuru" (UDB) + +# Gozani ... Harani ... Resefu ... Edeni ... Telasar ...Hamathi ... Arpadi ... Sefarvaimu ... Hena ... Iva + +Haya yote ni majina ya mahali. + diff --git a/2ki/19/14.md b/2ki/19/14.md new file mode 100644 index 00000000..dd51de21 --- /dev/null +++ b/2ki/19/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hii barua + +Hii inarejea kwa barua ambayo Mfalme senakeribu wa Ashuru aliituma kwa Hezekia. + diff --git a/2ki/19/16.md b/2ki/19/16.md new file mode 100644 index 00000000..d23c779b --- /dev/null +++ b/2ki/19/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mfalme Hezekia anaendelea kuomba kwa Yahwe baada ya kupokea barua kutoka kwa Mfalme Senakeribu wa Ashuru. + +# Tega sikio lako, Yahwe, na usikie. Fungua macho yako, Yahwe, na tazama + +Sentensi hizi zote zinamsihi Yahwe kuvuta usikivu kwa vitu ambavyo Senakaribu anasema. + +# Tega sikio lako, Yahwe, na usikie + +Maneno "Tega sikio lako" na "sikia" vinamaanisha kitu kimoja ni yanaongeza msisitizo kwenye maombi. "Yahwe, tafadhali sikiliza anachokisema." + +# Fungua macho yako, Yahwe, na ona + +Maneno "Fungua macho yako" na "ona" yanamaanisha kitu kimoja na kuongeza msisitizo kwenye maombi. "Yahwe, tafadhali kuwa makini kwa kile kinachotokea." + +# Wameweka miungu yao kwenye moto + +Wafalme wa Ashuru wamewachoma miungu ya mataifa mengine. + +# Waashuru wamewaangamiza + +Waashuru wameiangamiza miungu yote ya mataifa na mataifa. + diff --git a/2ki/19/19.md b/2ki/19/19.md new file mode 100644 index 00000000..a2123278 --- /dev/null +++ b/2ki/19/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mfalme Hezekia anaendelea kuomba kwa Yahwe baada ya kupokea barua kutoka kwa Mfalme Senakeribu wa Ashuru. + +# nakusihi + +"nakuomba," + +# kutoka kwenye nguvu yake + +"kutoka kwenye nguvu ya Mfalme wa Ashuru" (UDB) au "kutoka kwenye majeshi ya Mfalme wa Ashuru." + diff --git a/2ki/19/20.md b/2ki/19/20.md new file mode 100644 index 00000000..98cbdb87 --- /dev/null +++ b/2ki/19/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Bikira binti Sayuni + +"Bikira binti Sayuni ni picha ya watu wa Yerusalemu kana kwamba ni wadogo, mahiri na mzuri. "Watu wazuri wa Yerusalemu" Neno "binti" lilitumika kumpatia mtu tabia kwenye mji na baadhi ya waandishi wa kibiblia. + +# Bikira binti Sayuni amekudharau na kukucheka kwa dharau. Binti wa Yerusalemu akatikisa kichwa juu yako + +Sentensi hizi zote zinakusudia kutoa maana moja. + +# Binti wa Yerusalemu + +"Binti" ni picha ya watu wa Yerusalemu. "Watu wa mji wa Yerusalemu" + +# akatikisa kichwa juu yako + +Hili tendo ni picha ya kuwakilisha dharau kwenye kuburi cha Waashuru. + +# kuinua macho yako katika majivuno + +Inua macho yako katika majivuno" ni ishara ya mwenyeh kiburi au kuonyesha uso wa kiburi. + +# Mtakatifu wa Israeli + +Msemo wa Mungu wa Israeli, Yahwe. + diff --git a/2ki/19/23.md b/2ki/19/23.md new file mode 100644 index 00000000..42fa6779 --- /dev/null +++ b/2ki/19/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hii inaendeleza ujumbe kutoka kwa Yahwe uliotolewa kwa Isaya, nabii, kwa Mfalme Hezekia kuhusiana na Mfalme Senakeribu. + +# mmemnajisi Yahwe + +Ku "asi" ni kukataa kwa uwazi au dhihaka. + +# nimepanda ... nitaangusha chini ... nitaingia + +Haya majivuno yalifanywa na Senakeribu yangeweza kukamilishwa na jeshi lake. + +# Nimekausha mito yote ya Misri chini ya soli ya miguu yangu + +"Na kwa kutembea kupitia kijito cha Misri, tumevikausha vyote!" + diff --git a/2ki/19/25.md b/2ki/19/25.md new file mode 100644 index 00000000..0d3fc8d5 --- /dev/null +++ b/2ki/19/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hii inaendeleza ujumbe wa Yahwe, uliotolewa kwa Isaya, nabii, kwa ajili ya Mfalme Hezekia kuhusiana na Mfalme Senakeribu. + +# hukusikia jinsi ... zamani? + +Kufanya hatua imara hili swali linasadiki msikilizaji kujua jibu. "Hakika unajua jinsi ... zamani." + +# miji isiyoingilika + +"miji ambayo haiwezi kunyakuliwa" au "miji iliyzizunguka kuta ndefu" (UDB) + +# mimea katika shamba, majani ya kijani + +Hii picha inalinganisha majanga dhaifu ya Ashuru mimea dhaifu kuendelea. "kama mimea dhaifu na majani katika shamba" (UDB) + +# majani juu kwenye dari au kwenye shamba, lililochomwa kabla halijakua + +Hii inaendeleza kulinganisha picha ya waathiriwa dhaifu wa Ashuru. + diff --git a/2ki/19/27.md b/2ki/19/27.md new file mode 100644 index 00000000..77ccc608 --- /dev/null +++ b/2ki/19/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hii inaendeleza ujumbe kutoka kwa Yahwe, uliotoklewa kwa Isaya, nabii, kwa Mfalme Hezekia kuhusiana na Mfalme Senekeribu. + +# kuyafikia masikio yangu + +"hasira yako inapiga kelele kuhusu mimi," + +# kwa sababu kiburi chako kimeyafikia masikio yako + +"Masikio" ni picha ya kusikiliza au kusikia. "kwa sababu nimesikia maneno yako ya majivuno," + +# Nitaweka kulabu yangu kwenye pua yako, na hatamu yangu kwenye mdomo wako + +"Kulabu" na "hatamu" (kuongoza farasi) ni picha ya utawala kwa ajili ya Yahwe wa Senakeribu. "Nitakutawala kama mnyama." + +# nitakurudisha nyuma kwa njia iliyoijia + +Kwamba Senakeribu atarudi nyumbani kabla hajaweza kuishinda Yerusalemu inaweza kuwekwa wazi. "Nitakufanya kurudi katika nchi yako mwenyewe kama ulivyokuja, bila kuishinda Yerusalemu." + diff --git a/2ki/19/29.md b/2ki/19/29.md new file mode 100644 index 00000000..e3033c17 --- /dev/null +++ b/2ki/19/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hapa Isaya anaongea na Mfalme Hezekia. Anaendelea kutumia msambamba wowote. + +# viotavyo porini + +"viotavyo bila kupandandwa," + +# Mabaki ya nyumba ya Yuda ambayo yataokoka yatachukua tena mizizi na kuzaa matunda + +"Watu wa Yuda waliosalia hai watafufuliwa uzima wao na ustawi." + +# Wivu wa Yahwe wa majeshi utafanya hivyo + +"Tendo thabiti la Yahwe litafanya hii itokee." + diff --git a/2ki/19/32.md b/2ki/19/32.md new file mode 100644 index 00000000..13f810c4 --- /dev/null +++ b/2ki/19/32.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Huu ndio mwisho wa ujumbe kutoka kwa Yahwe, uliozungumzwa kupitia nabii Isaya kwa Mfalme Hezekia. + +# wala kupiga mshale hapa + +"Mshale" ni picha ya kuwakilisha vifaa vyote vya kivita na uharibifu. + +# au kujenga boma dhidi yake + +"na wala hawatajenga matuta marefu ya dunia dhidi ya ukuta kuwawezesha kuuteka mji." (UDB) + +# Hivi ndivyo asemavyo Yahwe + +Kwa Yahwe ku "sema" ni ahadi ya Yahwe kuahidi agano au kufanya kile alichokisema atafanya. + +# kwa ajili yangu mwenyewe na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu + +"kwa ajili yangu mwenyewe na kwa sababu ya kile nilichokiahidi kwa Mfalme Daudi, aliyeniokoa vema." (UDB) + diff --git a/2ki/19/35.md b/2ki/19/35.md new file mode 100644 index 00000000..83976388 --- /dev/null +++ b/2ki/19/35.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ikawa kuhusu + +"Ilitokea" + +# Wakati watu walipoamka + +"wakati watu waliokuwa wameachwa hai walipoamka asubuhi iliyofuata" + +# Nisroki ... Adramaleki ... Shareza ... Esarhodani + +Haya ni majina ya kiume. + diff --git a/2ki/20/01.md b/2ki/20/01.md new file mode 100644 index 00000000..d764b0b6 --- /dev/null +++ b/2ki/20/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Weka nyumba yako katika mpangilio + +"Nyumba" ni picha kwa kile kilichokuwa chini ya utawala wa Hezekia. "Toa maelezo ya mwisho kwa wafanyakazi wako na serikali" + +# kukumbuka + +Hii ni njia ya kawaida ya kuzungumza, lugha, kumsihi Yahwe kukumbuka. "kumbuka" + +# tembea + +"tembea" ni ishara ya mwenedo wa maisha. + +# nzuri usoni mwako + +Hapa uso unawakilisha hukumu au tathmini. "katika hukumu yako" + diff --git a/2ki/20/04.md b/2ki/20/04.md new file mode 100644 index 00000000..29b7d0f2 --- /dev/null +++ b/2ki/20/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# neno la Yahwe likaja + +"Neno" ni picha ya ujumbe wa Yahwe uliofunuliwa kwa Isaya. Hii ni njia ya kawaida ya kuongea, lugha. "Yahwe alizungumza neno lake" + +# Nimesikia maombi yako, na nimeyaonamachozi yako + +Sehemu ya pili inaimarisha sehemu ya kwanza kufanya ujumbe mmoja kwa kutumia usambamba. "Nimesikia maombi yako na kuona machozi yako." + +# siku ya tatu + +"siku mbili kutoka sasa" (UDB) Siku Isaya aliposema hii ilikuwa siku ya kwanza, hivyo "siku ya tatu" ingekuwa sawa na "siku mbili kutoka sas." + diff --git a/2ki/20/06.md b/2ki/20/06.md new file mode 100644 index 00000000..49ea364e --- /dev/null +++ b/2ki/20/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ujumbe kutoka kwa Yahwe kwa Mfalme Hezekia kupitia nabii Isaya unaendelea. + +# Miaka kumi na tano + +miaka 15 + +# kutoka kwenye mkono wa mfalme wa Ashuru + +"Mkono" ni ishara ya nguvu, mamlaka na amri. "kutoka kwa amri ya mfalme wa Ashuru" + +# mkate wa tini + +"gundi iliyotengenezwa na tini iliyochemshwa + +# Walifanya hivyo na kuiweka juu ya jipu lake + +"Watumishi wa Hezekia walifanya hivyo na kuweka ile gundi kwenye uvimbe wa Hezekia" + diff --git a/2ki/20/08.md b/2ki/20/08.md new file mode 100644 index 00000000..040a3513 --- /dev/null +++ b/2ki/20/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je kivuli kitaenda mbele ngazi saba, au kurudi nyuma hatua saba?" + +Chanzo cha kivuli kiendapo mbele hatua kumi, au kirudipo hatua kumi?" + +# ngazi saba + +Haya maelezo yanarejea kwa Ahazi "ngazi za Ahazi" katika 20:10. Hii ilikuwa ni kama ngazi maalumu zilizojengwa kwa ajili ya Mfalme Ahazi katika njia hii kwamba ngazi zake ziliweka alama za masaa kuwa wakati jua lichomoapo kuendelea karibu nao. Kwa njia hii, ngazi zinahumu kueleza muda wakati wa mchana. + diff --git a/2ki/20/10.md b/2ki/20/10.md new file mode 100644 index 00000000..ecb6b240 --- /dev/null +++ b/2ki/20/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kitu chepesi kwa kivuli kwenda mbele hatua kumi + +Kwa nini "ni kitu rahisi" kinaweza kuanza wazi. "Ni rahisi kusababisha kivuli kwenda mbele hatua kumi, kwa sababu hicho ni kitu cha kawaida kufanya" + +# ngazi za Ahazi + +Hii ilikuwa ni kama ngazi ya pekee ilijengwa kwa ajili ya Mfalme Ahazi. + diff --git a/2ki/20/12.md b/2ki/20/12.md new file mode 100644 index 00000000..e6be9d05 --- /dev/null +++ b/2ki/20/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Merodaki Baladani ... Baladani + +Haya ni majina ya mfalme wa Babeli na wana wake. + +# zisikilize hizo barua + +1) "kwa umakini fikiria hizo barua" au 2) "sikia ujumbe kutoka kwa mfalme wa Babeli" + +# Hapakuwa na kitu ... ambacho Hezekia hakuwaonyesha + +"Hakuna" na "hapana" kushauriana kila mmoja kufanya wazo chanya. + diff --git a/2ki/20/14.md b/2ki/20/14.md new file mode 100644 index 00000000..8d923a79 --- /dev/null +++ b/2ki/20/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hawa watu + +Hii inarejea kwa watu waliotumwa kwa Mfalme Hezekia pamoja na ujumbe na zawadi kutoka Berodaki Baladani. + +# Wameona kila kitu kwenye nyumba yangu. Hakuna kitu miongoni mwa vitu vyangu vya thamani ambavyo sijawaonyesha + +Hezekia anatubu katika wazo hilo hilo katika njia mbili kusisitiza hatua yake. + +# Hakuna kitu miongoni mwa vitu vyangu vya thamani ambavyo sijawaonyesha + +"Hakuna jambo" na "hakuna" shauriana wenyewe kwa wenyewe nje kufanya wazo chanya. Huu ubaguzi umetumika kwa ajili ya kusisitiza. "Nimewaonyesha hasa kila mmoja vitu vyangu vya thamani" + diff --git a/2ki/20/16.md b/2ki/20/16.md new file mode 100644 index 00000000..05b1cbd8 --- /dev/null +++ b/2ki/20/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hivyo Isaya akamwambia Hezekia + +Kwa nini usemi wa Isaya unaweza kuwa wazi. "Hivyo kwa sababu Isaya alimfahamu Hezekia alivyokuwa mpumbavu kuwaonyesha watu vitu vyake vyote vya thamani, Isaya alimwambia" + +# neno la Yahwe + +"Neno" ni picha kwa ajili ya ujumbe ambao una neno ndani yake. "ujumbe wa Yahwe" + +# Tazama, siku zinakaribia kuja wakati + +"Nisikilize, siku yaja kutakuwa wakati"; "Tazama" imetumika kuleta umakini kwa kile Isaya anachotaka kumwambia Hezekia. + +# siku + +"Siku" inatumika kurejea shubiri isiyoelezeka. + diff --git a/2ki/20/19.md b/2ki/20/19.md new file mode 100644 index 00000000..c31530de --- /dev/null +++ b/2ki/20/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwa kuwa alifikiri + +"Kwa sababu Hezekia alifikiri" + +# je hakutakuwa na amani na utahbiti huko katika siku zangu? + +Hezekia anauliza hili swali kwa kusisitiza kujua jibu tayari. "Ninaweza kuwa na uhakika kwamba kutakuwa na amani na thabiti katika siku zangu." + +# bwawa + +Eneo dogo litunzalo maji + +# mfereji + +Njia ya kubebea maji + +# je yameandikwa katika Kitabu cha matukio ya Wafalme wa Yuda? + +Hili swali linatumika kumkumbusha msomaji haya mambo hameandikwa. "yameandikwa katika kitabu cha historia cha Wafalme wa Yuda." + diff --git a/2ki/21/01.md b/2ki/21/01.md new file mode 100644 index 00000000..a2a0cf59 --- /dev/null +++ b/2ki/21/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hefziba + +Mama wa Mfalme Manase + +# yale yaliyo maovu usoni mwa Yahwe + +"uove" "mambo ambay ... mabay." Hapa "uso" wa Yahwe unajea vile uhukumuvyo au kuamua juu ya mambo. + +# kama mambo ya machukizo + +maana nyingine iwezekanayo ni "pamoja na mambo ya machukizo." + +# akaijenga tena + +Manase akaijenga tena" + diff --git a/2ki/21/04.md b/2ki/21/04.md new file mode 100644 index 00000000..aa480123 --- /dev/null +++ b/2ki/21/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hadithi ya utawala wa Mfalme Manase inaendelea. + +# Jina langu ndipo litakuwa Yerusalemu milele + +Jina ni picha kwa ajili ya mtu. "Yerusalemu ndipo nitalifanya jina langu lijulikane mimi ni nani." + +# akajenga madhabahu kwa ajili ya nyota zote za mbinguni katika behewa mbili za nyumba ya Yahwe + +Inaonekana kwamba, alijenga haya madhabahu ili watu waweze kufanya dhabihu na kuabudu nyota. "alijenga nyota kwenye nyua mbili za nyumba mbili za Yahwe ili kwamba watu waweze kuziabudu nyota na kuzitolea dhabihu" + +# Alimuweka mtoto wake kwenye moto + +Unaweza kuweka wazi kwa nini alimuweka mtoto wake kwenye moto na nini kilitokea baada ya kufanya hivyo. "Alimchoma mwanae kwenye oto hadi kufa kama sadaka kwa miungu wake." + +# kutaka shauri + +"tafuta habari kutoka" + +# uovu usoni mwa Yahwe + +"uovu" "mambo ambayo ..." Hapa "uso" wa Yahwe unarejea au kuamua juu ya thamani ya jambo. + diff --git a/2ki/21/07.md b/2ki/21/07.md new file mode 100644 index 00000000..af534fa5 --- /dev/null +++ b/2ki/21/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hadithi ya utawala wa Mfalme inaendelea. + +# ambayo aliitengeneza + +Manase ni kama hakufanya kazi. Watumishi wake walimaliza kufanya kazi. "ambayo Manase aliagiza watenda kazi wake waifanye" + +# ambako nitaliweka jina langu milele + +"ambako nataka watu wangu waniabudu milele" + +# miguu ya Israeli + +Miguu ni mfani wa kwenye Biblia kwa ajili ya mtu, na jina la kundi la watu ni mfano wa watu wenyewe. "Waisraeli" + +# hata zaidi kuliko yale ya mataifa ambayo Yahwe aliyaharibu mbele ya watu wa Israeli + +Hapa "mataifa" inawarejea watu ambao waliishi katika ya "Kanaanani" kabla ya Waisraeli hawajafika. "hata zaidi ya watu ambao Yahwe aliwaangamiza kama watu wa Israeli kuendelea kwenye nchi" + diff --git a/2ki/21/10.md b/2ki/21/10.md new file mode 100644 index 00000000..1611a544 --- /dev/null +++ b/2ki/21/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# sanamu," kwa hiyo Yahwe, Mungu wa Israeli, asema, "Tazama + +Tafsiri hii inaeleweka maneno "kwa hiyo ... asema" manabii wanaotarajiwa. Maana nyingine iwezekanayo ni kwamba Yahwe anarejea kwake mwenyewe kana kwamba alikuwa mtu mwingine: "sanamu. Kwa hiyo Yahwe, Mungu wa Israli, asema, 'Tazama ... ona." + +# kila alisikiaye, masikio yake yote yatang'aa + +Hisia halisi ni ishara kwa ajili ya mhemko wa hisiaambao unaoisababisha. "wale wasikiao kile Yahwe afanyacho, kitashtusha." + diff --git a/2ki/21/13.md b/2ki/21/13.md new file mode 100644 index 00000000..6bbf1c9f --- /dev/null +++ b/2ki/21/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# nitanyoosha juu ya Yerusalemu kipimo kilichotumika dhidi ya Samaria, na kuangusha msatari utakaotumika dhidi ya nyumba ya Ahabu + +Maneno "kipimo cha mstari" na "kuunganisha mstari" ni picha kwa ajili ya kiwango cha Yhwe atumiacho kuwahukumu watu. "hukumu Yerusalemu kutumia kipimo kile kile ni nilichotumia wakati nilipoihumu Samaria na nyumba ya Ahabu" + +# juu ya Samaria + +Samaria ni mji mkuu na inawakilisha watu wote wa ufalme wa Israeli" + +# kipimo cha mstari + +ni kifaa chenye uzito mkubwa na kamba nyembamba kitutumikacho kuonyesha kama ukuta umenyooka + +# nyumba ya Ahabu + +Hapa "nyumba" inawakilisha familia. "familia ya Ahabu" + +# Nitatupa + +"nitakataa" + +# wapatia kwenye mkono wa maadui zao + +"acha maadui zao wawashinde na kuchukua nchi yao" + diff --git a/2ki/21/16.md b/2ki/21/16.md new file mode 100644 index 00000000..f9ccbfef --- /dev/null +++ b/2ki/21/16.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Aidha + +"Vile vile" au "Kwa kuongeza" + +# Manase akazimwaga damu nyingi za wasio na hatia + +Maneno "kumwaga damu nyingi" ni picha ya ya kuua watu kwa nguvu. "Manase aliagiza maaskari wake kuwaua watu wengi wasiokuwa na hatia" + +# alipoijaza Yerusalemu kutoka upande huu kwenda mwingine kwa kifo + +Hii mbalagha inaweka msisitizo namba kubwa ya watu Manase aliwauwa popote Yerusalemu. "kifo" kinaweza kuelezwa kama "watu waliokufa"." "kulikuwa na watu wengi waliokufa Yerusalemu kote" + +# yale yaliyo maovu usoni mwa Yahwe + +"uovu" mambo ambayo ni mabaya. Hapa "uso" wa Yahwe unarejea ambavyo ahukumuvyo au kuamua juu ya thamani ya jambo. + +# hayajaandikwa ... Yuda? + +Swali halina majibu na linatumika kwa ajili ya kusisitiza. + +# kulala na baba zake na + +Hii ni lugha ya upole ya kusema ali "kufa," kama baba zake walivyo lala, na" + +# bustani ya Uza + +Maana ziwezekanazo 1) "bustani ambayo ilyokuwa ikimilikiwa na mtu aitwaye Uza" au 2) "Bustani ya Uza." + +# Amoni + +Hili ni jina la mwanamume + diff --git a/2ki/21/19.md b/2ki/21/19.md new file mode 100644 index 00000000..5b0be1fa --- /dev/null +++ b/2ki/21/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Amoni ... Haruzi + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Meshlemethi; + +Hili ni jina la mwanamke. + +# Yotba + +Hili ni jina la mji. + +# yaliyo maovu usoni mwa Yahwe + +"uovu" "mambo ambayo ... uovu." Hapa "uso" wa Yahwe unarejea vile ahukumuvyo au kuamua juu ya uthamani wa jambo. + diff --git a/2ki/21/21.md b/2ki/21/21.md new file mode 100644 index 00000000..11974c28 --- /dev/null +++ b/2ki/21/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kufuata njia zote ambazo baba yake alienenda kwazo + +"kutembea katika njia zote ambazo baba yake alienenda kwazo." Jinsi ambavyo mtu aishivyo inzungumziwa kana kwamba huyo mtu alikuwa akitembea kwenye njia. "kuishi hasa ambavyo baba yake alivyoishi" + +# Alijitenga na Yahwe + +"Alienda mbali na Yahwe" au "Hakumsikiliza tena Yahwe" + +# kufanya njama juu yake + +"kufanya mpango na kufanya kazi pamoja kwa ajili ya kumdhuru" + diff --git a/2ki/21/24.md b/2ki/21/24.md new file mode 100644 index 00000000..c61d26da --- /dev/null +++ b/2ki/21/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# watu wanchi + +Huu ni ujumla. "baadhi ya watu wa Yuda" + +# njama dhidi + +"kufanya mipango na kufanya kazi pamoja kudhuru" + +# hayajaandikwa ... Yuda? + +Hili swali halina majibu na linatumika kusisitiza. "Yameandikwa ... Yuda" + +# bustani ya Uza + +Maana ziwezekanazo ni 1) "bustani ambayo ilimilikiwa na mtu aitwaye Uza" au 2) Bustani ta Uza. + diff --git a/2ki/22/01.md b/2ki/22/01.md new file mode 100644 index 00000000..ba18dd70 --- /dev/null +++ b/2ki/22/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# miaka thelathini na moja + +mwaka mmoja** - "miaka 31" + +# Yedida + +Hili ni jinala mwanamke. + +# Adaye + +Hili ni jina na mwanamume. + +# Bozkathi + +Hili ni jina la mji wa Yuda. + +# Alifanya yale yaliyo sawa usoni kwenye macho ya Yahwe + +Hapa "macho" inawakilisha mawazo ya Yahwe au kile anachokiwaza kuhusu jambo. "Alifanya ambacho Yahwe alikiona ni sawa" au "Alifanya kile kilichokuwa sawa kutokana na Yahwe" + +# Alienenda katika njia zote za Daudi baba yake + +"Alitembea katika njia zote za Daudi baba yake" Yosia alitenda kama Daudi alivyofanya anazungumzia kana kwamba alitembea kwenye njia moja au kama njia ya Daudi. "Alifuata mfano wa Daudi baba yake" + +# hakugeuka wala upande wa kulia au kushoto + +Kumtii Yahwe kikamilifu kunazungumziwa kana kwamba mtu alikuwa kwenye barabara sahihi na hakurudi kutoka kwayo. "hakufanya chochote ambacho hakikumpendeza Yahwe" + diff --git a/2ki/22/03.md b/2ki/22/03.md new file mode 100644 index 00000000..e0838621 --- /dev/null +++ b/2ki/22/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Ikawa kwamba + +Baada ya hayo kutokea + +# mwaka wa kumi na nane + +"kumi na nane" ni mpango wa namba ya 18. "mwaka wa 18" + +# Shafani ... Azia ... Meshulamu ... Hilkia + +Haya ni majina ya kiume. + +# nyumba ya Yahwe ... katika hekalu + +Hapa "nyumba ya Yahwe" na "hekalu" inamaanisha jambo moja. + +# Panda juu kwa Hilkia + +Kirai "Panda juu" imetumika kwa sababu hekalu la Yahwe lilikuwa juu kwenye mwinuko kisha Mfalme Yosia alipokuwa. "Panda juu kwa Hilkia" + +# ambazo walinzi wa hekalu wamezikusanya kutoka kwa watu + +"wale walinzi wa hekalu waliokuwa wamekusanya pesa kutoka kwa watu waliokuwa wamezileta kwenye hekalu la Yahwe" + +# Acha zigawanywe kwa mkono ya watendakzi + +Hapa "mkono" inawakilisha watenda kazi wote. "Mwambie Hilkia awapatie pesa kwa watenda kazi" + diff --git a/2ki/22/06.md b/2ki/22/06.md new file mode 100644 index 00000000..f6d551ff --- /dev/null +++ b/2ki/22/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ujumbe kutoka kwa Mfalme Yosia kwa Hilkia, kuhani mkuu, anaendelea. + +# Waacheni wapewe pesa ... walipewa ... kwa sababu waliimudu + +Hapa "wao" na "-wa" inarejea kwa wafanyakazi ambao ni wasimamizi wa nyumba ya Yahwe katika 22:3. + +# mafundi seremala, wajenzi, na waashi + +Hawa ni sawa na wafanyakazi waliopo katika nyumba ya Yahwe katika 22:3. Hapa wafanya kazi wanaelezwa kinaganaga zaidi. + +# wajenzi + +watenda kazi wajengao kwa mbao + +# waashi + +watenda kazi wajengao kwa mawe + +# zile pesa hazikutakiwa kuhesabiwa wakati walipokuwa wanapewa + +"watenda kazi waliokuwa wasimamizi hawakutoa taarifa jinsi walivyotumia pesa ambayo walinzi wa hekalu waliwapatia" + +# kwa sababu walizimudu kwa uaminifu + +"kwa sababu walitumia pesa kwa unyoofu" + diff --git a/2ki/22/08.md b/2ki/22/08.md new file mode 100644 index 00000000..dd417e30 --- /dev/null +++ b/2ki/22/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hilkia + +Hili ni jina la mwanamume. + +# Kitabu cha sheria + +Sheria zipendwazo sana ziliandikwa kwenye hati ya kukunja kuliko kwenye kitabu. + +# zilitolewa kwenye mkono wa wafanyakazi + +Hapa "mkono" unawakilisha wafanyakazi kama wote. + diff --git a/2ki/22/11.md b/2ki/22/11.md new file mode 100644 index 00000000..9c39f673 --- /dev/null +++ b/2ki/22/11.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Ikawa kwamba + +Kama lugha yako ina njia ya kuweka alama mwanzoni mwa sehemu mpya ya hadithi, fikiria kuitumia hapa. + +# aliposikia maneno ya sheria + +Hapa "maneno" huwakilisha ujumbe wa sheria. "alisikia sheria iliyokuwa imeandikwa katika kitabu" au alisikia sheria iliyokuwa imeandikwa katika hati ya kukunja" + +# alirarua mavazi yake + +Hii ni alama inayoashiria huzuni kubwa sana au masikitiko. + +# Ahikamu ... Shafani ... Akbori ... Mikaya ... Asaya + +Haya ni majina ya wanaume. + +# kujadiliana na Yahwe + +Imewekwa wazi katika 22:14 kwamba watu wangeweza kujadiliana na Yahwe kubainisha mapenzi yake. + +# mjadala + +kwenda kwa mtu kutafuta ushauri + +# maneno ya hiki kitabu yaliyopatikana + +Hapa "maneno" yanawakilisha sheria. "sheria katika hiki kitabu ambacho hilikia amekikuta" + +# Kwa kuwa hasira kubwa ya Yahwe ambayo ametukasirikia dhidi yetu + +Hasira ya Yahwe inazungumziwa kana kwamba ulikuwa mto uliokuwa unawaka. "Kwa kuwa Yahwe anahasira sana na sisi" + +# yote yaliandikwa kuhusiana na sisi + +Hii inarejea kwenye sheria iliyokuwa imetolewa na Israeli. "yote ambayo Musa aliyoyaandika katika sheria ambayo tunatakiwa kuyafanya" au "sheria yote ya Mungu aliyoitoa kupitia Musa kwa watu wa Israeli" + diff --git a/2ki/22/14.md b/2ki/22/14.md new file mode 100644 index 00000000..f775d250 --- /dev/null +++ b/2ki/22/14.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Hulda + +Hili ni jina la mwanamke. + +# Shalumu ... Tikva ... Harhasi + +Haya ni majina ya wanaume. + +# mtunza kabati la nguo + +Maana ziwezekanazo 1) mtu anayeangalia nguo ambazo makuhani huvaa katika hekalu au 2) mtu anayeangali nguo za mfalme. + +# aliishi Yerusalemu katika mtaa wa pili + +Hapa "theluthi ya pili" inarejea kwa sehemu mpya ambayo ilikuwa imejengwa kwa upande wa kaskazini mwa Yerusalemu. Pia, "aliishi Yerusalemu katika sehemu mpya ya Yerusalemu" + +# huyo mtu aliyekutuma kwangu + +Hapa "huyo mtu" inamrejea mfalme Yosia. + +# Nitaleta msiba mahali pake na kwa wenyeji wake + +Yahwe anafanya mambo mabaya yatokee imezungumzwa kana kwamba "msiba" ulikuwa kitu ambacho angekileta hiyo sehemu. + +# hapa mahali + +Hapa inarejea kwenye mji wa Yerusalemu ambao unawakilisha nchi yote ya Yuda. + diff --git a/2ki/22/17.md b/2ki/22/17.md new file mode 100644 index 00000000..97916c2b --- /dev/null +++ b/2ki/22/17.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumba: + +Ujumbe wa Yahwe ulitumwa kwa Mfalme Yosia kupitia Hulda, unabii, unaendelea. + +# hasira yangu ilikuwa inawaka dhidi ya hii sehemu, na haitazimika + +Yahwe anapatwa na hasira kali sana inazungumzwa kana kwamba hasira yake ilikuwa moto uliokuwa umewaka na usiweza kuzimwa. "hasira yangu juu ya hii sehemu ni kama moto ambao hauwezi kuzimwa" + +# hi sehemu + +Hapa "mahali" inawakilisha watu waishio katika Yerusalemu na Yuda. "hawa watu" + +# Kuhusu maneno uliyosikia + +Hapa "maneno" inawakilisha ujumbe ambao Hulda alioungea. "kuhusu ujumbe ambao uliousikia" + +# Kwa sababu moyo wako ulikuwa mlaini + +Hapa "moyo" unawakilisha utu wa mtu wa ndani. Kuomba samahani inazungumziwa kana kwamba moyo ulikuwa malaini. "kwa sababu ulisamehe" au "kwa sababu umetubu" + +# kwamba wanaweza kuwa wakiwa na laana + +"ukiwa" na "laana" unaweza kuanza kama kuvumishi na kitenzi. "kwamba nitawalaani na kulaani nchi yao kuwa ukiwa" + +# chana mavazi yako + +Hii ni tendo la ishara linaloonyesha huzuni kubwa sana masikitiko. + +# huu ni usemi wa Yahwe + +Hapa anajizungumzia mwenyewe katika nafsi ya tatu. Inaweza kuanza katika nafsi ya kwanza. "hivi ndivyo nisemavyo" + diff --git a/2ki/22/20.md b/2ki/22/20.md new file mode 100644 index 00000000..de3f4736 --- /dev/null +++ b/2ki/22/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumala: + +Huu ni mwisho wa ujumbe kutoka kwa Yahwe kwa mfalme Yosia kupitia utabiri wa Hulda. + +# Tazama, nitakukusanya na babu zako; nawe utawekwa kaburini kwako kwa amani + +Sentensi zote kimsingi zinamaanisha kitu kimoja. Ni za njia ya heshima ya kusema atakufa. "Sikiliza, nikuruhusu ufe kwa amani" + +# Macho yako hayataona + +Hapa "macho" yanawakilisha utu wote, na, "hutaona" inawakilisha hayatapitia" + +# janga nitakalolileta juu ya hii sehemu + +Yahwe huleta mambo mabaya yatokee yazungumzwa kana kwamba "janga" yalikuwa kitu ambacho Yahwe angeleta mahali. "nitafanya mambo mabaya yatokee katika hii sehemu" + diff --git a/2ki/23/01.md b/2ki/23/01.md new file mode 100644 index 00000000..57f30d0e --- /dev/null +++ b/2ki/23/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# watu wote wa Yuda na wenyeji wote wa Yerusalemu + +Hiki ni kizazi. "watu wengine wengi" + +# kuanzia ndogo hadi kubwa + +"kutoka kwenye orodha ya chini muhimu hata kwenye orodha ya juu muhimu" + +# Kisha akasoma kwa sauti + +"Kisha mfalme akasoma kwa saujti ili kwamba waweze kusikia" + +# ambalo limepatikana + +"ambalo Hilkia alilipata" au "walilipata" + diff --git a/2ki/23/03.md b/2ki/23/03.md new file mode 100644 index 00000000..f85b607e --- /dev/null +++ b/2ki/23/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# tembea na Yahwe + +Vile mtu aishivyo inaongea kana kwamba huyo mtu alikuwa akitembea kwenye njia, "kutembea naye" mtu mmoja ni ishara kwa kufanya ambacho huyo mtu mwingine kufanya au kutaka wengine kufanya. "ishi kumtii Yahwe" + +# amri zake, maagizo yake, na sheria zake + +Haya maneno yote yanamaanisha maana moja. Kwa pamoja yasisitiza kila kitu ambacho Yahwe alichoamuru katika sheria. + +# kwa moyo wake wote na roho yake + +Lugha "kwa moyo wake wote" inamaana "kabisa" na "kwa roho yake yote" inamaana "pamoja na uhai wake wote" au "kwa nguvu zake zote" + +# ambayo yaliandikwa kkatika hiki kitabu + +"ambayo yaliandikwa katika hiki kitabu" au "yale yaliyomo ndani ya hiki kitabu" + +# simama kwa agano + +Hii lugha inamaanisha "kutii maneno ya agano." + diff --git a/2ki/23/04.md b/2ki/23/04.md new file mode 100644 index 00000000..15ef0e7d --- /dev/null +++ b/2ki/23/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kuhani chini yake + +"makuhani wengine waliomtumikia" + +# mlinzi wa lango + +watu ambao walikuwa wakilinda malango kwenye hekalu + +# kwa ajili ya Baali ... kwa nyota zote + +"hivyo watu wangewatumia kumwabudu Baali ... hivyo watu wangeweza kuwatumia kuziabudu nyota zote" + +# Akachoma ... na kubeba ... Akawaondoa + +Mifano miwili ya "Yeye" inamrejea Yosia, lakini inaweza kuwa bora kutafsiri ili kwamba msomaji aelewe kwamba watu wengine, huenda Hilkia na "makuhani chini yake" (23:4), inaweza kuwa Yosia hufanya hivo. + +# Bonde la Kidroni ... Betheli + +majina ya mahali + +# kwa Baali, kwa juana kwa mwezi, kwa sayari, na kwa nyota zote + +"kama njia ya kumwabudu Baali, jua na mwezi, sayari, na nyota" + diff --git a/2ki/23/06.md b/2ki/23/06.md new file mode 100644 index 00000000..e09fed3d --- /dev/null +++ b/2ki/23/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelzo ya Jumla + +Hii inaendelea kueleza kile ambacho mflme Yosia alichokifanya katika kujibu ujumbe kutoka kwa Yahwe. + +# Akaiondoa ... na kuichoma ... Akaipiga ... na kuitupa ... Akavisafisha + +Mifano yote ya "Yeye" inamrejea Yosia, lakini inaweza kuwa bora kutafsiri ili kwamba msomaji awaelewe hao watu wengine, huenda Hilkia na "makuhani chini yake" (23:4), yawezekana wamemsaidia Yosia kwa haya mambo. + +# kushona nguo + +"tengeza nguo" + diff --git a/2ki/23/08.md b/2ki/23/08.md new file mode 100644 index 00000000..4d9c6dea --- /dev/null +++ b/2ki/23/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yosia akawaleta ... na kupanajisi ... akapaharibu + +Inaweza kuwa tafsiri bora ili kwamba msomaji aelewe kwamba watu wengine, huenda Hilkia na "makuhani chini yake" wanaweza kumsaidia Yosia kufanya hivi. + +# Geba ... Bersheba + +majina ya mahali + +# Yoshua (liwali wa mji) + +"mji wa utawala uitwao Yoshua" au kiongozi wa mji aitwaye Yoshua." Huyu ni tofauti na Yoshua kutoka katika kitabu cha Agano la Kale cha Yoshua. + +# ndugu zao + +Hapa "ndugu" inarejea kwa makuhani wenzao aliohudumu katika hekalu. + diff --git a/2ki/23/10.md b/2ki/23/10.md new file mode 100644 index 00000000..90f2ceaa --- /dev/null +++ b/2ki/23/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Tofeli ... Ben Hinomi + +majina ya mahali + +# akamuweka mwanaye au binti yake kwenye moto kama sadaka ya Molaki + +"kumuweka mwanaye au bintiye katika moto na kuwachoma kama sadaka kwa Molaki" + +# Akachukua + +Inaweza kuwa njia bora kutafsiri ili kwamba msomaji aelewe kwamba watu wengine, huenda Hilkia na "makuhani chini yake," wanaweza kumsaidia Yosia kufanya hivyo. + +# farasi + +Maana ziwezekanazo ni 1) farasi halisi 2) sanamu za farasi. + +# alitoa kwa jua + +"alitumika kuabudu jua." + +# Nathani Meleki + +jina la kiume + diff --git a/2ki/23/12.md b/2ki/23/12.md new file mode 100644 index 00000000..ebfc11dc --- /dev/null +++ b/2ki/23/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yosia mfalme akayaharibu ... piga ... tupa ... vunja ... katalia chini ... jaza + +Inaweza kuwa tafsiri bora ili kwamba msomaji awaelewe hao watu wengine, huenda Hilkia na "makuhani chini yake" + +# bonde la Kidroni + +jina la mahali. + +# hizo sehemu zikajazwa kwa mifupa ya wanadamu + +"ardhi kufunikwa na mifupa ya wanadamu ili watu wasiweze kuitumia tena kama madhabahu" + diff --git a/2ki/23/15.md b/2ki/23/15.md new file mode 100644 index 00000000..d71e03b5 --- /dev/null +++ b/2ki/23/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yosia pia akaiteketeza kabisa ... Pia alichoma ... na kupiga ... pia alichoma + +Inaweza kuwa tafsiri bora ili kwamba msomaji aelewe kwamba watu wengine, huenda Hilkia na "makuhani chini yake" + +# aliyekuwa ameongea haya mambo kabla + +"alisema hayo mambo yatatokea" + diff --git a/2ki/23/17.md b/2ki/23/17.md new file mode 100644 index 00000000..6170409a --- /dev/null +++ b/2ki/23/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ukumbusho + +alama au sheria ambayo humuheshimu mwanadamu. + +# Hivyo wakaiacha mifupa yake, pamoja na mifupa ya + +"Hivyo hawakuigusa mifupa yake au mifupa ya" + diff --git a/2ki/23/19.md b/2ki/23/19.md new file mode 100644 index 00000000..adec0611 --- /dev/null +++ b/2ki/23/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yosia akahamisha ... alifanya ... alichinja ... alichoma + +Inaweza kuwa bora kutafsiri ili msomaji aelewe kwamba watu wengine, huenda Hilkia na "makuhani chini yake" {23:4), ingewezekana Yosia kusaidiwa kufanya haya mambo. + +# nini kilifanyika + +"alifanya nini" + +# alichoma mifupa ya binadamu juu yao + +"alichoma mifupa juu yao hivyo hakuna hata mmoja wao ataitumia tena" + diff --git a/2ki/23/21.md b/2ki/23/21.md new file mode 100644 index 00000000..38ffda8c --- /dev/null +++ b/2ki/23/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Itunzeni pasaka + +"Lazima kuisherekea pasaka" + +# Pasakakama hiyo haijawahi kufanyika tangu siku za + +"Uzao wa Israeli haukusherekea sikukuu ya pasaka kwa njia hiyo kubwa katika wakati wa" + +# alitawala Israeli + +Jina "Israeli" linasimama kwa ajili ya uzao wa Israeli." + +# siku za wafalme wa Israeli au Yuda + +"kipindi wakati wana wa Israeli walipokuwa na mfalme wao wa watu wa Yuda walipokuwa na mfalme wao" + +# Pasaka hii ya Yahwe ilisherekewa + +"watu wa Yuda walisherekea hii Pasaka ya Yahwe" + diff --git a/2ki/23/24.md b/2ki/23/24.md new file mode 100644 index 00000000..25d8ccd9 --- /dev/null +++ b/2ki/23/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# aliwafukuza ... roho + +"kuzilazimisha hizo ... roho kuishi" au "kufanya sheria ambayo wale .. roho zilizokuwa ziondoke" + +# wale walioongea na wafu au na roho + +Maneno yafananayo, "wale wliouawa na wafu na ... wale waliouawa na roho." + +# miungu + +vitu ambavyo watu huamini kimakosa vyenye nguvu ya ajabu + +# ambaye amemgeukia Yahwe + +"alijitoa mwenyewe kabisa kwa Yahwe" + +# Hapakuwa na mfalme kama Yosia aliyeinuka baada ya yeye + +"Na tangu hapo hajawahi kutokea mfalme kama Yosia" + diff --git a/2ki/23/26.md b/2ki/23/26.md new file mode 100644 index 00000000..afedd1bc --- /dev/null +++ b/2ki/23/26.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Walakini + +Mwandishi anatumia hili neno kuonyesha kwamba hata kama haya mambo yote ambayo Yosia aliyafanya yalikuwa mema, Yahwe bado alikuwa na hasira na Yuda. + +# Yahwe hakugeuka kutoka kwenye ukali wa hasira yake, ambayo ilikuwa dhidi ya + +Moto ni ishara ya hasira, na moto ni ishara ya hasira kuanza kuwa na hasira. "ukali" na "hasira" inaweza kuatafsiriwa kama vivumishi. "Yahwe hakugeuka kutoka kwenye ukali wa hasira yake kubwa, ambayo ilikuwa juu ya" au "Yahwe hakuacha kuwa mkali kwa sababu alikuwa na hasira na" + +# aligadhabisha + +"alisababisha kuwa na hasira" + +# kuondoa usoni kwangu + +"kutoka nilipo" au "kutoka kuwa karibu nami" + +# Jina langu litakuwa huko + +Jina ni badala ya heshima ambayo watu wanayotakiwa kutoa kwa mtu. "Watu watatakiwa kuniheshimu hulo" + diff --git a/2ki/23/28.md b/2ki/23/28.md new file mode 100644 index 00000000..adb97e7e --- /dev/null +++ b/2ki/23/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hayajaandikwa ... Yuda? + +Swali halina majibu na linatumika kwa ajili ya kusisitiza. "huwezi kuyakuta ... Yuda." + +# Katika siku zake, Farao Niko, mfalme wa Misri + +"Katika kipindi Yosia alipokuwa mfalme wa Misri, Farao Niko" + +# Niko ... Megido + +Niko ni jina la kiume. Megido ni jina la mji. + diff --git a/2ki/23/31.md b/2ki/23/31.md new file mode 100644 index 00000000..6390898c --- /dev/null +++ b/2ki/23/31.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# umri wa miaka ishirini na tatu + +umri wa miaka mitatu** - "umri wa miaka 23" + +# Hamathi + +Hili ni jina la mwanamume. + +# Libna ... Libna ... Hamathi + +Haya ni majina ya maeneo. + +# Yehoahazi alifanya yaliyo maovu usoni kwa Yahwe + +"Uovu" unaweza kutafsiriwa kama "vitu ambavyo ... viovu." Hapa "uso" wa Yahwe unarejea vile ahukumuvyo. + +# kumuweka kifungoni + +Baada ya kumfunga kwa minyororo, huenda alimuweka katika gereza. "kumuweka katika kifungo" + +# kuitoza Yuda + +"kuwalzimisha watu wa Yuda kumpatia" (UDB) + +# talanta mia moja ... talanta moja + +Talanta moja ilikuwa kama kilogramu 33. "3,3000 kilogramu ... kilogramu 33" + diff --git a/2ki/23/34.md b/2ki/23/34.md new file mode 100644 index 00000000..8a4ece69 --- /dev/null +++ b/2ki/23/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yehoyakimu akaitoza nchi kodi + +"Yehoyakimu alikusanya kodi kutoka wamilikio nchi" + +# watu wa nchi + +"watu wa nchi ya Yuda." Maana ziwezekanazo 1) "watu walioishi katika nchi ya Yuda" au 2) "tajiri na hodari zaidi wa wale walioishi katika Yuda." + diff --git a/2ki/23/36.md b/2ki/23/36.md new file mode 100644 index 00000000..ea31c299 --- /dev/null +++ b/2ki/23/36.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Zabida + +Jina la kika + +# Pedaia + +Jina la kiume + +# Ruma + +Jina la mahali + +# Joakimu alifacho yaliyo maovu usoni mwa Yahwe + +"uovu" unaweza kutafsiriwa kama "vitu ambavyo...uovu." Hapa "uso" wa Yahwe unarejea vile ahukumuvyo au kuamua juu ya thamani ya kitu. + diff --git a/2ki/24/01.md b/2ki/24/01.md new file mode 100644 index 00000000..9becaeb3 --- /dev/null +++ b/2ki/24/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Katika siku za Yehoyakimu + +"Katika kipindi ambacho Yehoyakimu alipoitawala Yuda" + +# akaiteka Yuda + +"aliiteka na kuishinda Yuda" + +# Hii ilikuwa ni kuthibitisha pamoja na neno la Yahwe ambalo aliloliongea kupitia watumishi wake manabii + +"Hii ilikuwa inatokana na neno la Yahwe kwamba watumishi wake manabii walipo nena" au "Hii ilikuwa dhahiri kile Yahwe alichowaambia watumishi wake manabii kusema kitakachotokea" + diff --git a/2ki/24/03.md b/2ki/24/03.md new file mode 100644 index 00000000..e72c8076 --- /dev/null +++ b/2ki/24/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ilikuwa baada ya mda mfupi kwenye kinywa cha Yahwe + +Baadhi ya matoleo yana, "Ilikuwa baada ya mda mfupi kwa sababu hasira ya Yahwe," ambayo ni nzuri kusoma ujumbe halisi. + +# kwenye kinywa cha Yahwe + +Hapa "mdomo" unawakilisha amri ya Yahwe. "kama Yahwe alivyoamuru" + +# waondoe kwenye uso wake + +"kuwaondoa" au "waharibu" + +# damu isiyo na hatia aliyoimwaga + +Damu ni ishara kwa ajili ya uhai usio na hatia, na kumwaga damu ni ishara ya kuua watu wasio na hatia. "watu wasio na hatia aliowaua" + +# aliijaza Yerusalemu kwa damu isiyo na hatia + +Damu ni ishara kwa uhai usio na hatia, na kumwaga damu ni ishara ya kuwaua watu wasio na hatia. "aliwaua watu wengi wasio na hatia katika Yerusalemu" + diff --git a/2ki/24/05.md b/2ki/24/05.md new file mode 100644 index 00000000..3082c880 --- /dev/null +++ b/2ki/24/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# hayajaandikwa ...Yuda? + +Hii imeandikwa kama swali lisilokuwa na majibu kwa sababu kwenye huo mda haya yalikuwa yameandikwa watu walikuwa tayari makini na hii habari. + +# lala na babu zake + +"kufa na alizikwa karibu na babu zake" + diff --git a/2ki/24/07.md b/2ki/24/07.md new file mode 100644 index 00000000..b0eddf52 --- /dev/null +++ b/2ki/24/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mfalme wa Misri hakushambulia tena nje ya nchi yake + +"Mfalme wa Misri hakutoka kwenye nchi yake tena kuwashambulia makundi ya watu wengine" + diff --git a/2ki/24/08.md b/2ki/24/08.md new file mode 100644 index 00000000..b12ad73b --- /dev/null +++ b/2ki/24/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nehushta ... Elnathani + +Nehushta ni jina la mwanamke. Elnathani ni jina la mwanamume. + +# Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe + +"uovu" unaweza kutafsiriwa kama "vitu ambavyo .. viovu." Hapa "uso" wa Yahwe unarejea ahukumuvyo au aamuavyo juu ya thamani ya kitu. + +# alifanya yote baba yake aliyoyafanya + +Hii inajumuisha. "alifanya baadhi ya dhambi baba yake alizokuwa amezifanya" + diff --git a/2ki/24/10.md b/2ki/24/10.md new file mode 100644 index 00000000..3b650479 --- /dev/null +++ b/2ki/24/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yekonia mfalme wa Yuda akatoka nje kwenda kwa mfalme wa Babeli, yeye, mama yake, maafisa wake + +Unaweza kuhitaji kufanya ufafanuzi kwa nini Yekonia alienda kumlaki Nebukadreza. "Yekonia mfalme wa Yuda, mama yake, watumishi wake, wana wake, na maafisa wake wote walienda hata ambapo mfalme wa Babeli alipokuwa, kusaliti amri kwake" + +# Mfalme wa Babeli akamteka katika mwaka wa nane wa utawala wake + +"Baada ya mfalme wa Babeli kuwa mfalme kwa mda wa miaka saba, alimchukua Yekonia" + diff --git a/2ki/24/13.md b/2ki/24/13.md new file mode 100644 index 00000000..10a60f87 --- /dev/null +++ b/2ki/24/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Suleimani mfalme wa Israeli alivitengeneza + +Unaweza kutaka kutafsiri hivi ili msomaji aelewe kwamba Suleimani anaweza kuwa alikuwa na msaada mwingine kufanya hivo. + +# Aliwachukua Yerusalemu wote kwenda uhamishoni + +Hii ni kutengwa, na neno "Yerusalemu" ni ishara kwa ajili ya watu walioishi huku. "Nebukadreza aliwachukua watu wote muhimu kutoka Yerusalemu" + +# na mafundi wote, na wafua vyuma + +"watu waliojua jinsi ya kufanya na kukarabati vitu ambavyo vimetengenezwa kwa chuma" + +# Hakuna aliyeondoka isipokuwa watu maskini kabisa katika nchi + +Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi chanya. "Watu maskini kabisa pekee katika nchi bado wanaishi huko" + diff --git a/2ki/24/15.md b/2ki/24/15.md new file mode 100644 index 00000000..483e54a9 --- /dev/null +++ b/2ki/24/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# elfu saba ... elfu moja + +"7,000 ... 1,000" + +# Matania + +Hili ni jina la kiume. + diff --git a/2ki/24/18.md b/2ki/24/18.md new file mode 100644 index 00000000..bc9bb400 --- /dev/null +++ b/2ki/24/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ishirini na moja ... kumi na moja + +moja ... kumi na moja** - "21 ... 11" + +# Hamutali + +Hili ni jina la mwanamke. + +# Yeremia + +Hili ni jina la kiume. + +# Libna + +Hili ni jina la mahali + +# Alifanya uovu usoni mwa Yahwe + +"uovu" unaweza kutafsiriwa kama "vitu ambavyo ... viovu." Hapa "uso" wa Yahwe unarejea vile ahukumuvyo au kuamua kwenye thamani ya kitu. + diff --git a/2ki/25/01.md b/2ki/25/01.md new file mode 100644 index 00000000..d4bcf458 --- /dev/null +++ b/2ki/25/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# katika mwaka wa tisa + +Namba tisa mara nyingi imetumika katika Biblia kueleza nafasi ya kitu kilicho katika orodha. + +# katika mwezi wa kumi, na siku ya kumi ya mwezi + +Huu ni mwezi wa kumi wa kalenda Kiebrania. Siku ya kumi ikaribu na mwishoni mwa mwezi wa kumi na mbili kwenye kalenda za Magharibi. Hiki ni kipindi cha msimu wa baridi wakati huo huweza kuwa na baridi na barafu. + +# kuja na jeshi lake lote juu ya Yerusalemu + +Jina "Yerusalemu" ni ishara kwa ajili ya watu waishio humu. "Kuja na jeshi lake lote kupigana juu ya watu wa Yerusalemu" au "kuja na jeshi lake lote kuishinda Yerusalemu" + +# siku ya tisa ya mwezi wa nne + +Huu ni mwezi wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya tisa liyo karibu na mwezi wa Saba kwa kalenda ya Magharibi. Hiki ni kipindi cha majira ya ukame wakati huo huwa na mvua kidogo au hakuna kabisa. + +# watu wa nchi + +Hawa ni wenyeji wa Yerusalemu, pamoja na wakimbizi kutoka vijiji vilivyozunguka waliokimbia Yerusalemu wakati vita ilipoanza. + diff --git a/2ki/25/04.md b/2ki/25/04.md new file mode 100644 index 00000000..8ba3394f --- /dev/null +++ b/2ki/25/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kisha mji ulivunjwa kuwa + +Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo tendaji. "Kisha jeshi la Wababeli lilivunjika kuwa mji" + +# watu wote wapiganaji + +"mashujaa wote" + +# kwa njia ya lango + +"kwa kutumia lango" + +# Wakaldayo + +Baadhi ya tafsiri zinatumia "Wakaldayo" na nyingine hutumia "Wababeli." Njia zote zinarejea kwa kundi moja la watu. + +# Mfalme akaenda katika mwelekeo wa + +"Mfalme Zakaria pia alikimbia na kuelekea mbele" + +# Jeshi lake lote lilitawanyika mbali naye + +Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo tendaji. "Jeshi lake lote lilikimbia mbali naye" + diff --git a/2ki/25/06.md b/2ki/25/06.md new file mode 100644 index 00000000..d484b60f --- /dev/null +++ b/2ki/25/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ribla + +Hii ni sehemu ya mahali + +# pitisha hukumu juu yake + +"amua jinsi watakavo mwadibu" + +# wakawachinja mbele ya macho yake + +Macho yamemwona nafsi yake yote. "walimlazimisha mfalme Zedekia kuwaangalia wasiwaue wana watoto wake" + +# akamtoa macho yake + +"Nebukadreza aliyatoa macho ya Zakaria." + diff --git a/2ki/25/08.md b/2ki/25/08.md new file mode 100644 index 00000000..6f68d346 --- /dev/null +++ b/2ki/25/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# katika mwezi wa tano, siku ya saba ya mwezi + +Huu ni mwezi wa tano wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya saba ikaribu na mwezi wa Saba kwenye kalenda ya Kaskazini. + +# mwaka wa kumi na tisa + +Hii ni namba ya mpangilio ya namba 19. + +# Nebuzaradani + +Hili ni jina la mtu. + +# Kama kwa kuta zote zilizozunguka Yerusalemu, yote + +"Hivi ndivyo ilivyotokea kwa kuta zote zilizoizunguka Yerusalemu: yote" + +# ambaye alikuwa chini ya + +"ambaye alikuwa akifuata maagizo ya" + diff --git a/2ki/25/11.md b/2ki/25/11.md new file mode 100644 index 00000000..39ad1334 --- /dev/null +++ b/2ki/25/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kama kwa mabaki ya watu ... mji, wale + +"Hiki ni kile kilichowatokea mabaki ya watu ... mji: ambao" + +# mabaki ya watu waliokuwa wamebaki katika mji + +"watu waliobaki katika mji" + +# asi kwa mfalme + +"kuacha mji na kwenda kuwa na mfalme" + diff --git a/2ki/25/13.md b/2ki/25/13.md new file mode 100644 index 00000000..1e738cce --- /dev/null +++ b/2ki/25/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Na zile nguzo za shaba ambazo zilikuwa kwenye nyumba ya Yahwe, Wakaldayo + +"Hivi ndivyo ilivyotokea kwa kwa nguzo za chuma ... Yahwe: Wakaldayo" + +# misimamio + +Hii inarejea kwa stendi kubwa zihamishikazo pamoja magurudumu ya shaba na ekseli. "zile stendi za nguzo za kuhamisha" + +# bahari ya shaba + +"beseni kubwa ka shaba" + +# zivunje kuwa vipande vipande + +"kuzivunja vipande vipande" au "kuzichonga kuwa vipande vipande" + +# mabeleshi + +Beleshi kilikuwa kifaa kilichokuwa kikitumika kusafishia madhabahu, hasa kutolea vumbi la manyoya laini ya zulia, mchanga, au majivu. + +# pamoja ambavyo kuhani alivyokuwa amevitunza kwenye hekalu + +"ambayo makuhani walivyokuwa wakitumika katika huduma ya hekalu" + +# Masufuria ya kuhamishia majivu + +Unaweza kuhitaji kufanya dhahiri ambapo majivu huzungumiwa. "Masufuria hutumika kwa ajili ya kutolea majivu kutoka kwenye madhabahu" + diff --git a/2ki/25/16.md b/2ki/25/16.md new file mode 100644 index 00000000..0eaf3c37 --- /dev/null +++ b/2ki/25/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# bahari + +"beseni kubwa la shaba." + +# stendi + +Hii inarejea kwa stendi kubwa zihamishikazo pamoja magurudumu ya shaba na ekseli. "zile stendi za nguzo za kuhamisha + +# dhiraa kumi na nane ... dhiraa tatu + +Dhiraa ilikuwa sintimita 46. "takribani mita 8.3 ... takribani mita 1.4" + +# kichwa cha shaba + +"msanii, mbunifu wa shaba" au kipande cha shaba pamoja na ubunifu" + +# kazi ya kiunzi cha fito + +Huu ulikuwa ubunifu uliotengenezwa kwa tepe zilizopishana zilizokuwa zikionekana kama wavu. + +# vyote vilitengenezwa kwa shaba + +"vilitengenezwa kwa shaba kabisa" + diff --git a/2ki/25/18.md b/2ki/25/18.md new file mode 100644 index 00000000..3772867d --- /dev/null +++ b/2ki/25/18.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kamanda wa mlinzi + +maneno yametokea sawa sawa katika 25:8. + +# Seraya + +Hili ni jina la mtu. + +# kuhani wa pili + +Hili neno linamrejea Zefania. Maana nyingine iwezekanayo ni "kuhani chini ya Seraya." + +# walinzi wa lango + +Tafsiri kama katika 7:9. + +# chukua mfungwa + +"chukua na kutunza bila kukimbia" + +# afisa aliyekuwa msimamizi wa maaskari + +Tafsiri nyingine inaweza kusomwa "towashi aliyekuwa msimamizi wa maaskari." Towashi ni mtu ambaye ametolewa sehemu zake za siri. + +# wajibu wa afisa kwa kugawa kundi la watu kwenye jeshi + +Maana ziwezekanazo 1) afisa kulazimisha watu kuwa maaskari au 2) afisa kuandika chini majina ya watu watakaokuwa maaskari. + diff --git a/2ki/25/20.md b/2ki/25/20.md new file mode 100644 index 00000000..cdb7ddb4 --- /dev/null +++ b/2ki/25/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nebuzaradani + +Hili nina la mtu. + +# Ribla + +Hili ni jina la mahali. + +# kuwaua + +Hii ni njia nzuri ya kusema "wameuawa." Inaweza kuwa nzuri kutafsiri ili kwamba msomaji aelewe kwamba watu wengine wamemsaidia mfalme kufanya jivyo. + +# Katika njia hii, Yuda aliiacha nchi yake kwenda uhamishoni + +"Hivyo Yuda alichukuliwa kutoka kwenye nchi yake kwenda uhamishoni" + +# Yuda aliiacha nchi yake + +Yuda, jina la kundi la watu, ni kati ya watu wenyewe. Watu wa Yuda walitoka katika nchi yao" + diff --git a/2ki/25/22.md b/2ki/25/22.md new file mode 100644 index 00000000..dc54e6e4 --- /dev/null +++ b/2ki/25/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Gedalia ... Ahikamu ... Shafani ... Ishmaeli ... Nathania ... Yohanani ... Karea ... Seraya ... Yezania + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Mnetofa + +Uzao wa mtu aitwaye Netofa + +# Mmaaka + +kutoka sehemu iitwayo Maaka + diff --git a/2ki/25/25.md b/2ki/25/25.md new file mode 100644 index 00000000..87851c73 --- /dev/null +++ b/2ki/25/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mwezi wa saba + +Huu ni mwezi wa saba kwenye kalenda ya Kiebrania. Iko katika kipindi cha sehemu ya mwishoni mwa Mwezi wa tisa na sehemu ya kwanza ya Mwezi wa kumi huko magharibi. + +# Elishama + +Hili ni jina la mtu + +# watu wote + +Hiki ni kizazi. "watu wengi" + +# kutoka chini kwenda juu + +Hii inamaanisha "Kila mtu," ambayo ni ujumla. "kutoka chini muhimu kwenda juu muhimu" au "kila mmoja" + diff --git a/2ki/25/27.md b/2ki/25/27.md new file mode 100644 index 00000000..8cff6002 --- /dev/null +++ b/2ki/25/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# katika mwaka wa saba + +mwaka wa saba + +# katika mwezi wa kumi na mbili, siku ya ishirini na saba ya mwezi + +siku ya saba ya mwezi - Huuulikuwa mwezi wa kumi na moja wa kalenda Kiebrania. Siku ya saba ikaribu na mwanzoni mwa Mwezi wa nne kwenye kalenda kaskazini. + +# Evil-Merodaki + +Merodaki - Hili ndivyo ambavyo jina la mtu linatamkika, namna yake. + diff --git a/2ki/25/28.md b/2ki/25/28.md new file mode 100644 index 00000000..a7f7305c --- /dev/null +++ b/2ki/25/28.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kiti kizuri zaidi kuliko kile cha wafalme + +Kutoa sehemu nzuri kwenye meza ya chakula ni namna ya kumheshimu. "heshima zaidi kuliko wafalme wengine" + +# akamvua Yekonia nguo za gerezani + +Msomaji aelewe kwamba kumvua nguo zake za gerezani ni ishara ya kumfanya mtu huru. + +# kwenye meza ya mfalme + +"pamoja na mfalme na maafisa wake" + +# Chakula cha siku zote kiliruhusiwa apewe yeye + +Hii inaweza kufsiriwa katika umbo tendaji. "Mfalme alihakikisha kwamba alikuwa na chakula cha marupurupu siku zote" + +# Chakula cha kila siku kiliruhusiwa + +"Pesa ya kununulia chakula" + diff --git a/2sa/01/01.md b/2sa/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..0b5006eb --- /dev/null +++ b/2sa/01/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Siku ya tatu + +"Baada ya siku tatu" + +# Nguo zake zikiwazimeraruliwa na akiwa na vumbi juu ya kichwa chake + +Katika utamaduni huu, mtu kurarua mavazi yake na kuweka vumbi kichwani pa mtu lilikuwa tendo la kuombolezo. + +# Aliinamisha uso wake chini na kujifanya yeye mwenyewe kuwa si kitu + +Hili lilikuwa ni tendo la kuonesha utii kwa Daudi, ambaye kwa wakati huo alikuwa mfalme wa Israeli. + diff --git a/2sa/01/03.md b/2sa/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..21d00857 --- /dev/null +++ b/2sa/01/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wengi wameanguka na wengi wameuawa + +Maana yake yaweza kuwa 1) "Wengi walikuwa wamejeruhiwa na wengine walikuwa wameuawa" au 2) "Wengi walikuwa wamejeruhiwa na kuuawa." + diff --git a/2sa/01/06.md b/2sa/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..a25f79bc --- /dev/null +++ b/2sa/01/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa bahati nilikuwa + +Taarifa hii inasisitiza kwamba mtu yule hakuwa amepanga kukutana na Sauli + +# Sauli alikuwa ameegemea mkuki wake + +Maana yake yaweza kuwa 1) Sauli alikuwa amedhoofika na alitumia mkuki kumsaidia au 2) Sauli alikuwa akijaribu kujiuwa kwa kuuangukia mkuki wake. + diff --git a/2sa/01/08.md b/2sa/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..eb87f977 --- /dev/null +++ b/2sa/01/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Akaniuliza, 'Wewe ni nani?' Nikamjibu, 'Mimi ni Mwamaleki.' + +Nukuu hii ingeweza kutaarifiwa kama kauli tendwa. Mfano "Aliniuliza mimi nilikuwa nani, nami nikamwambia kuwa nilikuwa Mwamaleki" + +# Mimi ni Mwamaleki + +Hawa ni watu walewale Daudi aliokuwa ametoka kuwashambulia katika 1:1. + +# shida kubwa imenipata + +Shida ya Sauli inasemwa kama kitu cha kutisha ambachokimemshikilia. Maana nyingine yaweza kuwa "nimeteswa vibaya sana" + +# uhai ungalimo ndani yangu + +Nahau hii inamaanisha kwamba yu ngali hai au "ningali hai" + +# asingeweza kuishi baada ya kuwa ameanguka + +"Hata hivyo angekufa tu" + diff --git a/2sa/01/11.md b/2sa/01/11.md new file mode 100644 index 00000000..c4638d9f --- /dev/null +++ b/2sa/01/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Daudi akararua mavazi yake... watu waliokuwa pamoja naye wakafanya vilevile + +Daudi na watu wake walirarua mavazi yao kama ishara ya kuomboleza kwa ajili ya Mfalme Sauli. + +# alikuwa ameanguka + +Hii inamaanisha "alikuwa ameuawa." + +# Kwa upanga + +Hapa upanga unahusianishwa na vita, yaweza kumaanisha "katika magwanda ya kijeshi" + +# Unatoka wapi? + +Yule mtu alikuwa amekwisha eleza kuwa yeye ni Mwamaleki katika 1:8. Bila shaka Daudi anamwuliza yule mtu kuthibitisha kwa sababu ya hukumu kali aliyokuwa anaelekea kuitamka juu ya mtu yule. + diff --git a/2sa/01/14.md b/2sa/01/14.md new file mode 100644 index 00000000..cfceac0c --- /dev/null +++ b/2sa/01/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa nini hakuogopa kumwua mtiwa mafuta wa Yahwe... mkono? + +Mbalaga ni swali linalotumika kumkemea mtu. inaweza kutafsiriwa kama taarifa. Ulipaswa kumwogopa Yahwe na usingemwua mtiwa mafuta wake... mkono!" + +# Mfalme aliyetiwa mafuta na Yahwe + +Usemi huu unasimama badala ya Sauli, ambaye alikuwa amechaguliwa na Mungu. + +# mkono wako + +Kirai hiki kinaonesha kufanya jambo fulani wewe mwenyewe, wewe "mwenyewe" au "binafsi" + +# Mpige chini + +Nahau hii inamaanisha "alimwua." + +# Damu yako i juu ya kichwa chako + +Hapa "damu" inaonesha "kumwaga damu" na inahusishwa na kifo. Hapa "kichwa chako" inamwonesha yule mtu na inamaanisha kwamba anawajibika. Yaani "unahusika kwa kifo chako mwenyewe" au "Umesababisha kifo chako mwenyewe" + +# kinywa chako kimeshuhudia dhidi yako + +Hapa "kinywa chako mwenyewe" inamwone yule mtu mwenyewe. "Umejishuhudia mwenyewe" + diff --git a/2sa/01/17.md b/2sa/01/17.md new file mode 100644 index 00000000..1b8f35b7 --- /dev/null +++ b/2sa/01/17.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo kwa Ujumla + +Daudi anaimba wimbo wa maombolezo kwa Sauli na Yonathani + +# Wimbo wa Upinde + +Hili lilikuwa jina la wimbo + +# Kitabu cha Yashari + +Neno "Yashari" humaanisha "Unyofu." + +# iliyoandikwa katika Kitabu cha Yashari + +Hii ni taarifa ya mwanzo iliyoongezwa kumweleza msomaji yaliyotendeka katika wimbo + +# Utukufu wako, Israeli, umekufa + +"Utukufu wako" inamwonesha Sauli. + +# Wenye uwezo + +Kifungu "wenye uwezo" inamhusu Sauli na Yonathani. Kisifa nomino hiki kipo katika wingi, na kinaweza kutaarifiwa kama "wenye uwezo" + +# wameanguka + +Neno "wameanguka" linamaanisha "kufa" + +# Msisema katika Gathi...msiitangaze katika mitaa ya Ashkeloni + +Vifungu hivi viwili vinamaanisha jambo moja na vimerudiwa kama sehemu ya ushairi wa wimbo + +# Gath...Ashkeloni + +Gathi na Ashkeloni ni miwili kati ya miji mikubwa ya Wafilisiti. Wafilisiti walimwua Sauli na Yonathani + +# ili binti za Wafilisiti wasifurahi...ili binti za wasiotahiriwa wasisherehekehee. + +Vifungu hivi viwili vinamaanisha jambo moja na vimerudiwa kama sehemu ya ushairi wa wimbo. + +# binti za wasiotahiriwa + +kifungu hiki kinawahusu watu wasiomfuata Yahwe, kama vile Wafilisiti. + diff --git a/2sa/01/21.md b/2sa/01/21.md new file mode 100644 index 00000000..84ac6e50 --- /dev/null +++ b/2sa/01/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Milima ya Gilboa + +Daudi anaongea moja kwa moja kwa "Milima ya Gilboa" kama kwamba ilikuwa ikisikiliza wimbo wake + +# Haya na kusiwe na umande juu yenu + +Daudi analaani ardhi alipofia Mfalme Sauli vitani. Hii ilikuwa siyo heshima kwa Sauli, aliyekuwa mfalme mtiwa mafuta wa Mungu. + +# ngao ya mwenye uwezo imechafuliwa + +"Mwenye uwezo" hapa inaonesha kwa Sauli. Ngao ilichafuliwa kwa sababu ilianguka juu ya ardhi, na kwa sababu damu ya mfalme ilimwagwa juu yake. + +# Ngao ya Sauli haijatiwa mafuta tena + +Ngao ya Sauli ilikuwa imetengenezwa kwa ngozi. Ili kuitunza, ilipakwa mafuta. Inaweza pia kutafsiriwa kuwa "hakuna mtu atayeijali ngao ya Sauli tena" + +# Kutoka katika damu yao waliouawa, kutoka miili ya wenye nguvu, upinde wa Yonathani haukurudi nyuma, na upanga wa Sauli haukurudi patupu + +Sauli na Yonathani wanaoneshwa hapa kuwa wapiganaji hatari na mashujaa. + +# upanga wa Sauli haukurudi patupu + +Upanga wa Sauli unazungumziwa kama kitu hai kwamba ungeweza kurudi wenyewe. Badala ya kurudi patupu, ulikuwa ukiwa na damu ya adui wa Sauli uliowauwa. + diff --git a/2sa/01/23.md b/2sa/01/23.md new file mode 100644 index 00000000..5896f40e --- /dev/null +++ b/2sa/01/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hawakutenganishwa wakati wa kufa kwao + +Kirai "hawakutenganishwa"kinasisitiza kuwa walikuwa pamoja wakati wote. Inaweza pia kuwa kwamba "hata wakati wa kufa kwao walikuwa pamoja" + +# Walikuwa wepesi kuliko tai, walikuwa na nguvu kuliko simba. + +Sauli na Yonathani wanaongelewa kana kwamba walikuwa na kasi kuliko tai na nguvu kuliko simba. + +# aliyewavika mavazi ya thamani pamoja na vito vya thamani, na aliyetia mapambo ya dhahabu katika mavazi yenu. + +"Aliyewapa mavazi mazuri na mapambo." Virai viwili hivi vinamaana moja inayolenga juu kuwaandalia wanawake mavazi ya thamani na ya kuvutia. + diff --git a/2sa/01/25.md b/2sa/01/25.md new file mode 100644 index 00000000..7dcab40e --- /dev/null +++ b/2sa/01/25.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Jinsi wenye uwezo walivyoanguka + +Kifungu hiki kinajirudia katika mstari wa 25 na 27 kusistiza kwamba mashujaa hodari wa Israeli wamekufa. Inaweza pia kuwa "Watu wenye uwezo wamekufa vitani. + +# wenye nguvu + +"nguvu" hapa ina wingi na inaweza kumhusu Sauli na Yonathani pekee, au askari wote wa Israeli. Inaweza pia kuwa mashujaa wenye nguvu. + +# wameanguka + +hii ni njia laini ya kusema "wamekufa vitani." + +# Yonathani amekufa + +Hii inaweza kutaarifiwa katika kauli tendaji. Yaani "Yonathani amekufa vitani" au adui amemwua Yonathani" + +# Juu ya mahali pako pa juu + +Daudi anaendelea kuielekeza sehemu hii ya wimbo katika milima ya Gilboa kama alivyoanza katika 1:21. + +# Yonathani ndugu yangu + +"ndugu" hapa imetumika katika hali ya urafiki wa karibu sana. + +# Upendo wako kwangu ulikuwa wa ajabu, kupita upendo wa wanawake. + +Hapa "upendo" umetumika katika hali ya urafiki na uaminifu. Uaminifu wa Yonathani kwa Daudi ulikuwa mkuu kuliko uaminifu alionao mwanamke kwa mmewew na watoto. + +# silaha za vita zimeangamizwa + +"silaha zao zimeharibiwa" + diff --git a/2sa/02/01.md b/2sa/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..c127e65f --- /dev/null +++ b/2sa/02/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# baada ya haya + +Baada ya Daudi kuomboleza kifo vya Sauli na Yonathani vitani. + +# panda katika mojawapo ya miji ya Yuda + +Siklagi ulikuwa chini katika mwinuko kuliko Yuda. Inaweza pia kuwa "uendee mmojawapo ya miji ya Yuda" + +# Daudi akaenda pamoja na wakezi wawili. + +Siklagi ulikuwa chini kuliko Hebroni. Inaweza kuwa pia kwamba "Daudi alisafiri kwenda Hebrani pamoja na wake wake wawili" + diff --git a/2sa/02/04.md b/2sa/02/04.md new file mode 100644 index 00000000..ccaf7a45 --- /dev/null +++ b/2sa/02/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Daudi alitiwa mafuta kuwa mfalme + +Katika tendo hili la fumbo, walitia mafuta juu ya kichwa cha Daudi kuonesha kwamba amechaguliwa kuwa mfalme. + +# nyumba ya Yuda + +Hapa "nyumba" imetumika kuonesha kabila. Yaani kabila la Yuda. + +# Yabeshi Gileadi + +Hili ni jina la mji katika eneo la Gibea. + diff --git a/2sa/02/06.md b/2sa/02/06.md new file mode 100644 index 00000000..7d2a4aca --- /dev/null +++ b/2sa/02/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo kwa Jumla + +Daudi anaongea na watu wa Yabeshi Gileadi + +# Jambo hili + +Walimzika Sauli + +# mikono yenu itiwe nguvu + +Hapa "mikono" inawaonesha watu wa Yabeshi Gileadi. Yaani "mwe imara" + +# wamenitia mafuta kuwa mfalme + +Katika tendo hili, walimimina mafuta juu ya kichwa cha Daudi kuonesha kwamba alikuwa amechaguliwa kuwa mfalme. + diff --git a/2sa/02/08.md b/2sa/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..e5deb8c9 --- /dev/null +++ b/2sa/02/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ner...Ishboshethi + +Haya ni majina ya wanaume + +# Mahanaim...Gileadi...Yezreeli + +Haya ni majini ya sehemu + diff --git a/2sa/02/10.md b/2sa/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..78306fb6 --- /dev/null +++ b/2sa/02/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# nyumba ya Yuda + +Hapa ''nyumba" imetumika kumaanisha "kabila" + +# nyumba ya Yuda ilimfuata Daudi + +Kutii utawala wa Daudi kunaoneshwa kama kumfuata. Yaani "kabila la Yuda walimtii Daudi kama mfalme wao" + diff --git a/2sa/02/12.md b/2sa/02/12.md new file mode 100644 index 00000000..63b6923e --- /dev/null +++ b/2sa/02/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Abneri...Neri...Ishboshethi...Sauli...Seruya + +Haya ni majina ya wanaume + diff --git a/2sa/02/14.md b/2sa/02/14.md new file mode 100644 index 00000000..9421e485 --- /dev/null +++ b/2sa/02/14.md @@ -0,0 +1,13 @@ +# Abneri + +Abneri alikuwa ni binamu wa Mfalme Sauli katika Agano la Kale +*Abneri alikuwa Jemedari mkuu wa jeshi la Sauli, na alimtambulisha kijana Daudi kwa Sauli baada ya Daudi kumwua Goliathi + +# -inuka,inuka,inuka,inuka, inuka + +-inuka, inuka juu - kwa ujumla, neno "inuka" linamaanisha"inuka juu" au "weka juu." + +# Benjamini + +Alikuwa mtoto mdogo kuliko wote aliyezaliwa kwa Yakobo na mke wake Raheli. Jina linamaanisha, "mwana wa mkono wangu wa kuume" + diff --git a/2sa/02/16.md b/2sa/02/16.md new file mode 100644 index 00000000..ec0acd10 --- /dev/null +++ b/2sa/02/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# walianguka chini pamoja + +Hii ni njia nyepesi ya kusema walikufa. Yaani "walikufa wote wawili" + +# Helkathi Hazzurimu + +Hili ni jina lilitotolewa kuwakumbusha watu kilichotokea pale. + +# Vita ilikuwa kali sana siku ile + +Inaweza kusaidia kueleza kwa ufupi kwamba hii ilikuwa vita kubwa iliyotokea baada ya mashindano ya vijana. Yaani "Wengine pia walianza kupigana pia. Ilikuwa vita kali sana siku hiyo" + diff --git a/2sa/02/18.md b/2sa/02/18.md new file mode 100644 index 00000000..a67c761a --- /dev/null +++ b/2sa/02/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Seruya...Yoabu...Abishai...Asaheli...Abneri + +Haya ni majina ya wanaume + +# Asaheli alikuwa mwepesi miguuni kama swala. + +Hapa Asaheli analinganishwa na swala, mnyama akimbiaye kwa kasi sana. + +# swala pori + +Mnyama huyu mdogo mwenye miguu minne, na pembe mbili ndefu kichwani, hukimbia haraka sana. + +# Akimfuatia bila kugeuka upande mwingine + +Hapa "bila kugeuka" imeelezwa kwa muundo hasi kusistiza ukaribu alioifuata njia ya Abneri. + diff --git a/2sa/02/20.md b/2sa/02/20.md new file mode 100644 index 00000000..33cc1b38 --- /dev/null +++ b/2sa/02/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Asaheli + +Hili ni jina la mwanaume + +# Kugeuka...geuka upande + +"usinifuate...acha kumfuata Abneri" + +# kamata mmojawapo ya vijana na uchukue silaha yake + +Abneri alikuwa akimwambia Asaheli kuua na kumteka askari kijana ambaye siyo hatari kama Abneri. Hakutaka kumwua Asaheli. + diff --git a/2sa/02/22.md b/2sa/02/22.md new file mode 100644 index 00000000..6a786b28 --- /dev/null +++ b/2sa/02/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa nini nikupige hata chini + +Swali hili lisiloitaji jibu linatumika kumwonya Asaheli hatari iliyomkabili. "Kupiga hadi chini" ni njia laini ya kusema "kuuwa." Yaani "sitamani kukuuwa." + +# Jinsi gani basi ningeweza kumtazama usoni Yoabu, nduguyo? + +Swali hili lisilohitaji jibu linasisitiza kwamba Abneri hapendi kupigana na kumwua Asaheli kwa sababu ingeharibu uhusiano wake na Yoabu. Hapa "kuinua uso wangu kwa Yoabu" inamaanisha angekuwa na aibu sana kumtazama Yoabu. + +# geuka upande + +Hii inamaanisha "kuacha kumfuatia" + +# sehemu ya mwisho ya mkiki wake + +Hii inaonesha mpini, ambayo siyo kali au kuweza kuchoma kitu. Inaweza kuwa kwamba Abneri alikuwa akijaribu kumzuia Asaheli asimfuatie, na hakukusudia kumwua. + diff --git a/2sa/02/24.md b/2sa/02/24.md new file mode 100644 index 00000000..1d4a941d --- /dev/null +++ b/2sa/02/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Abishai + +Hili ni jina la mwanamme + +# kilima cha Ama...Gia + +Haya ni majina ya sehemu + diff --git a/2sa/02/26.md b/2sa/02/26.md new file mode 100644 index 00000000..01154e16 --- /dev/null +++ b/2sa/02/26.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kuita + +"piga kelele" + +# Ni lazima upanga urarue daima? + +Swali hili linasisitiza kwamba vita ilikuwa imeendelea muda mrefu. Hapa "upanga" inaonesha mapigano. Mauaji katika vita yanaoneshwa kama mnyama wa mwituni anakula askari. Inamaanisha pia "Hatuitaji kutumia kupigana na kuuana." + +# Je haujui kwamba itakuwa uchungu mwishowe? + +Swali linatumika kumlazimisha Yoabu kukubari kwamba kuendelea kupigana kungeishia maafa makubwa. Hapa "uchungu" ni neno lililotumika kuonesha matesa makali ambayo yangetukia. + +# Je hata lini utawazuia watu wako wasiwafuatie ndugu zao. + +Swali hili linakusudiwa kumshawishi Yoabu kuacha kupigana na Waisraeli wenzake. Hapa "ndugu" inawakilisha watu wa taifa la Israeli. Yaani "Acha sasa jambo hili ili Waisraeli wasiendelee kuuana. + +# kama Mungu aishivyo + +Hiki ni kiapo kikubwa sana. Inamaana ya "pamoja na Mungu kama shahidi wangu" au "Mungu anathibitisha kuwa namaanisha ninachosema." + +# kama usingesema hivyo...kuwafuatia ndugu zao hata asubuhi + +Taarifa hii ya kukisia inaongelea ambacho kingetokea kama Abneri asingemwambia Yoabu kwa hekima. + diff --git a/2sa/02/28.md b/2sa/02/28.md new file mode 100644 index 00000000..dbda95f1 --- /dev/null +++ b/2sa/02/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# piga tarumbeta + +tarumbeta zilitumika kuashiria agizo kulingana na umbali. + +# kuwafuatia Israeli tena + +Hapa "Israeli"inaonesha watu waliokuwa wanapigana upande wa Israeli. + +# Araba...Mahanaimu + +Haya ni majina ya sehemu + diff --git a/2sa/02/30.md b/2sa/02/30.md new file mode 100644 index 00000000..19035f61 --- /dev/null +++ b/2sa/02/30.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Asaheli + +Hili ni jina la mwanamme + +# watu 360 wa Benjamini pamoja na Abneri + +"watu 360 kutoka Benjamini waliomfuata Abneri." Abneri hakufa. + +# wa Benjamini + +Kifungu kinamaanisha "kutoka kabila la Benjamini." + +# Kumwinua Asaheli + +"waliochukua mwili wa Asaheli" + +# Siku ikawia asubuhi huko Hebroni + +"walifika Hebrono alfajiri asubuhi iliyofuata." + diff --git a/2sa/03/01.md b/2sa/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..a4b07ba7 --- /dev/null +++ b/2sa/03/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sasa + +Neno limetumika hapa kuonesha mkato katika habari kuu. Samweli hapa anatoa habari kuhusu vita kati ya Daudi na wafuasi wa Sauli. + +# nyumba + +hapa "nyumba" inamaanisha "wafuasi." + +# kuwa imara zaidi na zaidi + +kifungu hiki kinamaana ya idadi ya watu waliomsaidia Daudi kuongezeka + +# kudhoofika zaidi na zaidi + +kifungu hiki kinamaanisha kupungua kwa idadi ya walioisaidia nyumba ya Sauli + diff --git a/2sa/03/02.md b/2sa/03/02.md new file mode 100644 index 00000000..34c1ea8c --- /dev/null +++ b/2sa/03/02.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wana walizaliwa kwa Daudi + +Hii inaweza kutaafiwa katika muundo tendaji. Yaani wake wa Daudi walizaa wana sita + +# mzaliwa wa kwanza...mwana wa pili...tatu + +Hii ni hesabu kwa mpangilio wa wana wa Daudi + +# Ahinoamu...Abigaili...Maaka + +Haya ni majina ya wanawake. Ni wake wa Daudi. + +# Kileabu...Nabali...Talmai + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/2sa/03/04.md b/2sa/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..795f5db1 --- /dev/null +++ b/2sa/03/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mwana wa nne...mwana wa tano...wa sita + +Hii ni hesabu ya mpangilio wa wana wa Daudi + +# Shefatia...Ithreamu + +Haya ni majina ya wana wa Daudi + +# Haggithi...Abitali...Egla + +Haya ni majina ya wakeze Daudi. + diff --git a/2sa/03/06.md b/2sa/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..775dfa1e --- /dev/null +++ b/2sa/03/06.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Ikawa + +Inatambulisha tukio jipya katika habari ya mzozo kati ya wafuasi wa Daudi na familia ya Sauli. + +# Nyumba ya Sauli + +Inaonesha familia ya Sauli na wafuasi waliochukuo umiliki wa maeneo yake alipokufa. + +# nyumba ya Daudi + +Inaonesha wafuasi wa Daudi. + +# Abneri akajipa nguvu katika nyumba ya Sauli + +Kuongezeka kwa nguvu ya Abneri juu ya familia ya Sauli kunasemwa kama alikuwa na nguvu za mwili. Yaani "Abneri akawa na nguvu zaidi juu ya familia na wafuasi wa Sauli" + +# Rizpa...Aiya + +Haya ni majina ya wanawake. + +# Ishboshethi + +Hili ni jina la kiume, mwana wa Sauli. + +# Kwa nini ulilala na suria wa baba yangu? + +Isboshethi anauliza swali hili kumkemea Abneri akifanya kama mfalme. Yaani "Haukuwa na haki ya kulala na suria wa baba yangu!" + +# kulala na + +Hili ni linalopunguza ukali wa neno likimaanisha kukutana kimwili. + diff --git a/2sa/03/08.md b/2sa/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..372cc29e --- /dev/null +++ b/2sa/03/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je mimi ni kichwa cha mbwa aliye wa Yuda? + +Swali hili limetumiwa na Abnera kama hasira ya kukataa lawama ya Isboshethi. Hinaweza kufasriwa kama taarifa. Yaani "mimi siyo msaliti nikimtumikia Daudi!" + +# mkonono mwa Daudi + +Hapa "mkono"inawakilisha nguvu ya kushinda. + +# Na bado leo unaniraumu kwa ajili ya huyu mwanamke? + +Abneri anauliza swali hili kwa ajili ya kumkemea Ishboshethi. Haiko wazi kama kweli Abneri alilala na Rispa, au kama aliraumiwa kwa uongo. Maana yake inaweza kuwa 1) Abneri alikuwa na hatia. Yaani "haupaswi kujisikia vibaya kwamba nililala na mwanamke huyu!" au 2) Abneri hakuwa na hatia. Yaani "haupaswi kudhani kwamba nimelala na mwanamke huyu!" + diff --git a/2sa/03/09.md b/2sa/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..91bc82e1 --- /dev/null +++ b/2sa/03/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mungu na anitendee hivyo ...na zaidi pia, ikiwa sifanyi + +Huu ni muundo wa nadhiri ya dhati katika siku hizo. Abneri anamwomba Mungu amhukumu kw a ukali asipoitunza nadhiri yake. Lugh yako mara nyingi ina njia ya kuonesha kiapo. Yaani "namwomba Mungu kuniadhibu nisipotenda. + +# nyumba ya Sauli + +Hapa "nyumba" inaonesha familia na wafuasi wa liosalimiki katika kifo cha Sauli. + +# kiti cha enzi cha Daudi + +Kifungu hiki kinaonesha mamalaka ya Daudi kama mfalme. + diff --git a/2sa/03/12.md b/2sa/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..f0fdc132 --- /dev/null +++ b/2sa/03/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwa Daudi + +Baadhi ya matoleo yanaongeza "alipokuwa huko Hebroni" na mengine yameondoa hiyo. Unaweza kuongeza kifungu ikiwa kimo katika toleo la taifa. + +# Nchi hii ni ya nani? + +Nakala la halisi ya swali hili haiko wazi. Maana pendekezwa ni 1) Abneri alikuwa na nguvu ya kumpa Daudi nchi. Yaani "Nchi hii ni yangu au 2) Daudi amechanguliwa na Mungu kuitawala nchi: Yaani nchi hii ni haki yako. + +# mkono wangu uko pamoja nawe + +Hapa "mkono" unawakilisha msaada waa Abneri anaoutoa kwa Daudi. Yaani:"Nitakusaidia" + +# hautauona uso wangu mpaka umlete kwanza Mikali + +Daudi anaeleza masharti ya kukutana na Abneri. Hapa "uso" inamhusu Daudi mwenyewe. Yaani: "Hautaniona mpaka umlete Mikali kwanza. + +# Mikali + +Hili ni jina la binti Sauli. Alikuwa mke wa kwanza wa Daudi. + diff --git a/2sa/03/14.md b/2sa/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..f2334dca --- /dev/null +++ b/2sa/03/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# magovi mia moja ya Wafilisiti + +Hii inawakilisha namba ya watu aliowaua Daudi ili Sauli amruhusu kumwoa Mikali. Govi ni sehemu iliyojikunja inayofunika kiungo cha uzazi cha mwanamme. + +# kumtoa kwa mme wake + +Paltieli alikuwa mme wa pili wa Mikali. Sauli alimpa baada ya Daudi kumkimbia Sauli. + +# Paltieli... Laishi + +Haya ni majina ya wanaume + +# Bahurimu + +Hili ni jina la kijiji. + diff --git a/2sa/03/17.md b/2sa/03/17.md new file mode 100644 index 00000000..51038367 --- /dev/null +++ b/2sa/03/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Basi fanya hivyo + +"Hivyo sasa mfanyeni Daudi kuwa mfalme wenu" + +# Kwa mkono wa mtumishi wangu Daudi + +Hapa "mkono" unataja nguvu ya Daudi kuwashinda Wafilisiti. Yaani nitamtia nguvu mtumishi wangu Daudi" + +# mkono wa Wafilisiti + +Hapa "mkono" unaonesha nguvu juu ya Israeli. Yaani:"nguvu ya Wafilisiti" + +# mkono wa adui zao wote + +Hapa "mkono" unaonesha nguvu juu ya Israeli. Yaani: "nguvu ya adui zao wote" + diff --git a/2sa/03/19.md b/2sa/03/19.md new file mode 100644 index 00000000..ffc42b0a --- /dev/null +++ b/2sa/03/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ishirini kati ya watu wake + +Idadi ya watu waliokuja na Abneri + +# watu wa Benjamini...nyumba yote ya Benjamini + +taarifa zote mbili zinahusu wazao wa Benjamini, waliokuwa mojawapo ya makabila ya Israeli + diff --git a/2sa/03/21.md b/2sa/03/21.md new file mode 100644 index 00000000..bd59cdb0 --- /dev/null +++ b/2sa/03/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Israeli wote + +Kifungu himi kinamaanisha "wote katika taifa la Israeli." + +# Hivyo Daudi akamruhusu Abneri kuondoka + +Waliachana kama marafiki. Daudi hakuwa amemkasirikia Abneri. + diff --git a/2sa/03/22.md b/2sa/03/22.md new file mode 100644 index 00000000..2fc4b37a --- /dev/null +++ b/2sa/03/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mateka + +Hivi ni vitu vinavyochukuliwa kutoka kwa adui. + +# Abneri hakuwa na Daudi huko Hebroni + +Tiyari Abneri alikuwa ameondoka kurudi nyumbani. + +# wakamwambia Yoabu + +"mtu fulani alimwambia Yoabu" + +# Neri + +Hili ni jina la mwanamme. Yeye ni babu wa Sauli. + diff --git a/2sa/03/24.md b/2sa/03/24.md new file mode 100644 index 00000000..80b420f5 --- /dev/null +++ b/2sa/03/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Umefanya nini? + +Hili ni swali lililoulizwa na Yoabu ili kumkemea Daudi kwa kumwacha Abneri kuondoka kwa amani. "Usingefanya hivi!" + +# Kwa nini umemwacha aondoke? + +Yoabu anauliza swali hili kwa kumkemea Daudi kwa kumwacha Abneri kutoroka. Inaweta kufasiriwa kama taarifa. Yaani "Abneri alikuwa hapa nawe umemwacha aondoke!" + +# Je haujui...kila ukifanyacho? + +Yoabu anauliza swali hili kumshawishi Daudi kuamini kwamba Abneri anapanga njama dhiki ya Daudi. Yaani: "Hakika unajua... kila ukifanyacho." + +# Kisima cha Sira + +"Sara" ni jina la mahali kisima kilipokuwa. + diff --git a/2sa/03/27.md b/2sa/03/27.md new file mode 100644 index 00000000..9f99f417 --- /dev/null +++ b/2sa/03/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# katikati ya lango + +Hii inahusu mojawapo ya malango katika ukuta wa mji huko Hebroni. Kama UDB inavyoonesha, malango ya mji yalijengwa kama sehehu ya majengo yaliyowekwa ukutani. Ndani ya njia kulikuwa na milango kuelekea vyumba vya ndani, mahali wageni wangepokelewa na biashara na shughuli za kimahakama zingefanyika. Yawezekana ilikuwa ndani ya mojawapo ya vyumba hivi Yoabu alimwua Abneri + +# damu ya Asaheli + +Hapa "damu"inahusishwa na kifo cha Asaheli. Yaani: "kifo cha Asaheli" + +# Asaheli + +Hili ni jina la mwanamme. + diff --git a/2sa/03/28.md b/2sa/03/28.md new file mode 100644 index 00000000..4a0ff6e5 --- /dev/null +++ b/2sa/03/28.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Neri...Abishai...Asaheli + +Haya ni majina ya wanaume. + +# damu ya Abneri + +"Damu" hapa inahusu kifo cha Abneri. + +# iwe juu ya kichwa cha Yoabu + +Kifungu kinamaanisha tokeo la hatia litakuwa juu ya Yoabu na familia yake kama kitu kizito kilichoanguka juu yao. Yaani kusababisha "matatizo kwa Yoabu siku zote" + +# nyumba yote ya baba yake + +"Nyumba" hapa inahusu vizazi. Kifungu "nyumba yote ya baba yake" kinarejea kwa uzao wote wa baba wa Yoabu. + +# Kusikosekane kuwa + +Huu ukanushi wa kujirudia unasisitiza kuwa kutakuwa na mtu daima mwenye matatiza yaliyoainishwa. + +# ameuawa kwa upanga + +"Upanga" hapa unarejesha kwa kifo kibaya. "Yaani alikufa vibaya" + +# anayekwenda bila chakula + +"mwenye njaa" + diff --git a/2sa/03/31.md b/2sa/03/31.md new file mode 100644 index 00000000..229e47b3 --- /dev/null +++ b/2sa/03/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Rarua mavazi yako, vaa gunia + +Haya yalikuwa matendo ya kuonesha uzuni. + +# Mfalme alilia kwa sauti + +Maneno "alilia" na "alilia kwa sauti" kwa kawaida yanamaanisha kitu kimoja na yanasisitiza jinsi gani Daudi alimwombolezea Abneri. + diff --git a/2sa/03/33.md b/2sa/03/33.md new file mode 100644 index 00000000..0aa4678e --- /dev/null +++ b/2sa/03/33.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Je ilimpasa Abneri kufa kama afavyo mpumbavu? + +Hili swali lisiloitaji jibu hutumika kuonesha kwamba kifo chake hakikuwa cha haki. + +# Mikono yako haikuwa imefungwa. Miguu yako haikuwa imefungwa minyororo. + +Sentensi mbili hizi zinaonesha wazo moja. Yanaweza kuunganishwa katika sentense moja. Yaani "Haukuwa mwalifu gerezani" au "ulikuwa mwenye haki kwa kutofanya kosa" + +# Mikono yako haikuwa imefungwa + +Hii inaweza kuelezwa katika kauli tendaji. Yaani "Hakuna aliyekuwa amekufunga mikono" + +# Miguu yako haikuwa imefungwa + +Hii inaweza kuelezwa katika kauli tendaji. Yaani "Hakuna mtu aliyekuwa amekufunga minyororo miguu. + +# wana wa uovu + +Hii inarejea kwa watu wasio haki au waovu. + diff --git a/2sa/03/35.md b/2sa/03/35.md new file mode 100644 index 00000000..64179c3a --- /dev/null +++ b/2sa/03/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# watu wote wakaja + +Huku kutia chumvi kwa kukusudia kunatumika kuonesha kuwa taifa la Israeli kumjari Daudi katika uzuni yake. Yaani:"Watu wengi walikuja" + +# Mungu na anifanyie hivyo, na zaidi, ikiwa + +Huu ni muundo wa nadhiri ya dhati wakati huo. Daudi anamwomba Mungu kumhukumu kwa ukali ikiwa atakula chochote kabla ya jua kuchwa. Yaani "Ninamwomba Mungu anaifanyie hivyo ikiwa" + diff --git a/2sa/03/37.md b/2sa/03/37.md new file mode 100644 index 00000000..bc273752 --- /dev/null +++ b/2sa/03/37.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Je hamjui kwamba mtu mkuu ameanguka leo hii katika Israeli? + +Swali hili lisilodai jibu limetumika kuonesha jinsi Daudi alivyomweshimu Abneri. Hapa "kuanguka"ni neno linalomaanisha "kifo". Inaweza kutafsiriwa kama taarifa. Yaani: Ni wazi kwamba mtu mkuu amekufa leo katika Israeli!" + +# mwana mfalme na mtu mkuu + +Vifungu hivi viwili vyote vinamrejerea Abneri. + +# Neri...Seruya + +Haya ni majina ya wanaume. + +# ukatili + +"bila huruma" + diff --git a/2sa/04/01.md b/2sa/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..99f78946 --- /dev/null +++ b/2sa/04/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ishbosheth...Baana...Rekabu...Rimoni + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Basi mwana wa Sauli alikuwa na watu wawili...muda huu + +Hii inawatambulisha Baana na Rekabu katika habari. + +# mikono yake ikadhoofika + +Katika kifungu hiki "mikono yake" inamwakilisha Ishboshethi. Yaani: "Ishboshethi akadhoofika au kupoteza nguvu" + +# maana Beerothi pia ilihesabiwa kuwa sehemu ya Benjamini, na Wabeerothi walikimbilia Tittaim na wamekuwa wakiishi pale mpaka sasa + +Hapa mwandishi anatoa mazingira ya Beerothi kwa msomaji. Beerothi ilikuwa sehemu ya nchi ya Benjamini. + +# Beeroth...Gittaim + +Haya ni majina ya sehemu. + diff --git a/2sa/04/04.md b/2sa/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..b696987d --- /dev/null +++ b/2sa/04/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo kwa Jumla + +Mstari huu unaacha habari kuu na kutoa maelezo ya mazingira kuhusu Mefiboshethi, uzao wa Sauli kupitia Yonathani badala ya Ishboshethi. Baadaye Mefibosheshi atakuwa mhusika mhimu katika kitabu. + +# Umri wa miaka mitano + +Huu ulikuwa ni umri wa mwana wa Yonathani wakati wa kifo cha baba yake. + +# Kilema cha miguu + +Kifungu kinamaanisha "kutokuweza kutembea." + +# habari kuhusu Sauli na Yonathani + +Hii inarejea kwa taarifa kuhusu vifo vyao. + +# Mlezi + +Huyu ni mwanamke au msichana aliyeajiriwa kulea watoto wadogo + +# akawa kilema + +Hii inaeleza jinsi Mefiboshethi alivyojeruhiwa hivyo kutokuweza kutembea. + +# Mefiboshethi + +Hili ni jina la mwana wa Yonathani, mjukuu wa Sauli. + diff --git a/2sa/04/05.md b/2sa/04/05.md new file mode 100644 index 00000000..6068cd03 --- /dev/null +++ b/2sa/04/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo kwa Jumla + +Habari inarudi kwa tendo la Baana na Rehabu waliokuwa wemetambulishwa katika 4:1 + +# Joto la mchana + +Mchana, sehemu ya siku ambapo joto ni kali zaidi + +# kupepeta ngano + +"kuondoa makapi kutoka katika ngano. + diff --git a/2sa/04/08.md b/2sa/04/08.md new file mode 100644 index 00000000..54550559 --- /dev/null +++ b/2sa/04/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# anatafuta maisha yako + +usemi unamaanisha "anataka kukuua." + +# Kama aishivyo Yahwe + +Hii ni kati ya nadhiri zenye nguvu Daudi alizoziapa, kama ambavyo Yahwe ni shahidi. Yaani: "Naapa kwa uhai wa Yahwe" + +# aliyeniuokoa uhai wangu + +"Uhai" hapa unarejea kwa Daudi mwenyewe. Yaani "aliyeniokoa" + diff --git a/2sa/04/11.md b/2sa/04/11.md new file mode 100644 index 00000000..b40db4cb --- /dev/null +++ b/2sa/04/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ni kiasi gani zaidi...nisiutake uhai wake kutoka mkononi mwako, na kukuondoa kutoka duniani? + +Swali hili linaonesha kwamba watu walikuwa wametenda kosa kubwa sana. Inaweza kutafsiriwa kama taarifa. Yaani: "hata unahatia kubwa zaidi! Ni wajibu wangu kutaka damu yake kutoka mkononi mwako na kukuondoa duniani." + +# kutaka damu yake mkononi mwako + +Kifungu "damu yake" kinawakilisha uhai wa Ishboshethi. Hapa "kutoka mkononi mwako"inawakilisha Rehab na Baana, wana wa Rimon Mbeerothi kutoka 4:5. Yaani: "tazama unawajibika kwa kifo cha Ishboshethi" + +# kata mikono na miguu yao na kuwatundika + +Hii yalikuwa matendo ya kuonesha ukali kwa hao watu. + +# wakakichukua kichwa cha Ishboshethi na kukizika kaburini + +hili lilikuwa ni tendo la kuonesha heshima kwa Ishboshethi. Hii ingeweza kuelezwa kwa ufupi. Yaani "walimweshimu Ishboshethi kwa kuzika kichwa chake kaburini." + diff --git a/2sa/05/01.md b/2sa/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..32f6ddf1 --- /dev/null +++ b/2sa/05/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# tu nyama na mfupa wako + +Kifungu kinamaanisha "undugu." Yaani "sisi tunauhusiano nawe" au sisi tu wa familia moja." + +# wakati mfupi uliopita + +Hii ni habari ya kihistoria. Sauli alikuwa mfalme wao kabla ya Daudi. + +# Utawachunga watu wangu Israeli, nawe utakuwa mtawala juu ya Israeli + +Vishazi viwili hivi vinamaanisha kimsingi jambo moja na linasistiza kwamba Yahwe alikuwa amemchagua Daudi kuwa mfalme. + +# Utawachunga watu wngu Israeli + +Hapa kuwatawala watu kunazungumzwa kana kwamba ni kuwachunga. Yaani: "utawaangalia watu wangu Israeli" au "Utatawala juu ya Israeli watu wangu" + diff --git a/2sa/05/03.md b/2sa/05/03.md new file mode 100644 index 00000000..a3e4d33c --- /dev/null +++ b/2sa/05/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakamtia mafuta Daudi kuwa mfalme juu ya Israeli + +"Kutiwa mafuta" ni tendo la alama ya kuonesha kwamba wanatambua kwamba Mungu alikuwa amemchagua Daudi kama mfalme. + diff --git a/2sa/05/06.md b/2sa/05/06.md new file mode 100644 index 00000000..8cbdedc9 --- /dev/null +++ b/2sa/05/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo kwa Jumla + +Daudi na jeshi la Israeli wanaishambulia Yerusalemu + +# Hautaingia humu isipokuwa utazuiwa na vilema na vipofu + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo chanya. Yaani: "ikiwa utakuja hapa, hata vipofu na vilema wataweza kukuondoa." + +# vipofu na vilema + +Watu wasioweza kuona wala kutembea + diff --git a/2sa/05/08.md b/2sa/05/08.md new file mode 100644 index 00000000..5eb937d3 --- /dev/null +++ b/2sa/05/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Daudi akasema, "Watakaowapiga Wayebusi + +Daudi alikuwa akiongea na askari wake. Yaani: Daudi aliwambia askari wake, "Wanaotaka kuwa ondoa Wayebus" (UDB) + +# 'Vipofu na vilema' + +Maana pendekezwa ni 1) hii inarejerea kwa watu ambao ni vilema na vipofu kweli au 2) hii ni maana inayoonesha Wayebusi ndani ya Yerusalemu kama wote walikuwa dhaifu na wasio na uwezo. + diff --git a/2sa/05/11.md b/2sa/05/11.md new file mode 100644 index 00000000..3ba11486 --- /dev/null +++ b/2sa/05/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hiram + +Hili ni jina la mwanamme + +# mafundi selemala + +wanaoshughulika na mbao + +# Wajenzi + +wanaojenga + diff --git a/2sa/05/13.md b/2sa/05/13.md new file mode 100644 index 00000000..5de734bc --- /dev/null +++ b/2sa/05/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Shamua...Shobabu...Nathani...Sulemani...Ibari...Elisha...Nefegi...Eliada...Elifeleti + +Haya ni Majin ya wana wa Daudi + +# wana na binti walizaliwa kwake + +hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. Yaani: "alikuwa na wana zaidi na mabinti" au "walimzalia wana zaidi na mabinti" + +# waliozaliwa kwake + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. Yaani "kwamba wakeze walimzalia" au "alikuwa" + diff --git a/2sa/05/17.md b/2sa/05/17.md new file mode 100644 index 00000000..6a383041 --- /dev/null +++ b/2sa/05/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Daudi alikuwa ametiwa mafuta kama mfalme juu ya Israeli + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. Yaani: "Israeli walikuwa wamemtia mafuta Daudi kama mfalme" + +# wakatoka wate wakimtafuta + +Kifungu hiki kinarejea kwa baadhi ya Wafilisiti wakimtafuta Daudi.. Kina tia chumvi kuonesha ni kiasi gani Wafilisiti walivyotaka kumpata Daudi. + +# Bonde la Mrefai + +Hili ni jina la mahali + diff --git a/2sa/05/19.md b/2sa/05/19.md new file mode 100644 index 00000000..f8ed8aeb --- /dev/null +++ b/2sa/05/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Baali Perazimu + +Hili ni jina la sehemu. + +# Yahwe amewafurikia adui zangu mbele zangu kama mafuriko ya maji + +Daudi anazungumzia ushindi aliompa Yahwe kama yalikuwa mafuriko yaliyopitiliza kingo zake na kuifunika nchi, yakisababisha uharibifu. Yaani: "Yahwe amewashinda adui zangu kama mafuriko yanavyoishinda nchi" + diff --git a/2sa/05/22.md b/2sa/05/22.md new file mode 100644 index 00000000..6d005673 --- /dev/null +++ b/2sa/05/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wafilisiti wakaja tena + +"Walikuja" kwa sababu Wafilisiti waliishi upande wa chini kuliko ngome ya Daudi. + +# Bonde la Mrefai + +Hili ni jina la sehemu. + +# miti ya miforosadi + +"Miforosadi" ni aina ya miti, na "miti" inaelezea miti ya miforosadi iliyopamoja. + diff --git a/2sa/05/24.md b/2sa/05/24.md new file mode 100644 index 00000000..6fc9c603 --- /dev/null +++ b/2sa/05/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mtakaposikia...Yahwe atakuwa amekwenda mbele yenu kulipiga jeshi la Wafilisiti + +Hii ni mwendelezo wa maelekezo ya Yahwe kwa Daudi yaliyoanza katika 5:22. Yahwe hapa anajisema katika nafsi ya tatu. + +# Mtakaposikia sauti ya kwenda katika upepo ukivuma kupitia juu ya miti ya miforsadi + +"Wakati upepo unavuma kupitia juu ya miti ya miforsadi kama watu wanaotembea" + +# Geba...Gezeri + +Haya ni majina ya mahali. + diff --git a/2sa/06/01.md b/2sa/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..6b9848e7 --- /dev/null +++ b/2sa/06/01.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Basi + +Neno hili linaonesha sehemu mpya ya taarifa. + +# watu wote wateule wa Israeli + +Aina hii ya maana inawakilisha jeshi la taifa la Israeli. + +# Elfu thelathini + +"30,000" + +# kutoka Baala katika Yuda kulileta sanduku kutoka pale + +Inaonesha kuwa wanalichukua sanduku kutoka Yerusalemu. Yaani: "kutoka Baala uliopo Yuda kulipeleka Sanduku la Mungu huko Yerusalemu" + +# kulileta sanduku la Mungu kutoka pale + +Yerusalemu ilikuwa juu kuliko pengine sehemu nyingine yoyote katika Israeli, hivyo ilikuwa kawaida kwa Waisraeli kusema kukwea au kushuka kutoka Yerusalemu. + +# kulipandisha + +Neno "leta" laweza kutafsiriwa kama "chukua." + +# Baala + +Hili ni jina la mahali + +# ambalo linaitwa kwa jina langu Yahwe wa majeshi + +Jina la Yahwe lilikuwa limeandikwa juu ya sanduku. + +# akaaye juu ya makerubi + +"akaaye katika sehemu ya mamlaka kati ya makerubi" + +# kukaa katika kiti cha enzi + +kukaa juu ya kiti cha enzi au mahali pa mamlaka + diff --git a/2sa/06/03.md b/2sa/06/03.md new file mode 100644 index 00000000..c354582c --- /dev/null +++ b/2sa/06/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo kwa Jumla + +Daudi na jeshi la taifa la Israeli wanaliondoa sanduku la agano. + +# Abinadabu...Uza...Ahio + +Haya ni majina ya wanaume. + +# nyumba yote ya Israeli + +Aina hii ya maana inawakilisha watu wa Israeli. Yaani: "Waisraeli wengine wote pamoja nao" + +# Matari + +Hiki ni chombo cha kimziki kama kichwa cha ngoma pamoja na vipande vya chuma kuzunguka sehemu inayosikika kifaa kinapotikiswa au kupigwa. + +# kayamba + +chombo cha mziki chenye vitu vingi vidogo vigumu ndani yake, ikifa sauti ya kimziki kinapotikiswa + +# Matowazi + +Sahani mbili nyembamba za chuma zinazogongwa pamoja kufanya sauti ya juu. + diff --git a/2sa/06/06.md b/2sa/06/06.md new file mode 100644 index 00000000..ead22c69 --- /dev/null +++ b/2sa/06/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nikoni + +Hili ni jina la mwanaume. + +# hasira ya Yahwe ikawaka + +Hapa "hasira ya Yahwe" inaongelewa kama ilikuwa ni moto. + +# kwa dhambi zake + +Ilikuwa ni dhambi ya Uza kulishika sanduku kwa sababu Yahwe alikuwa ameamru kwamba kusiwepo mtu atakayeligusa sanduku. + diff --git a/2sa/06/08.md b/2sa/06/08.md new file mode 100644 index 00000000..04afc119 --- /dev/null +++ b/2sa/06/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Peresi Uza + +Hili ni jina la mahali. Mtu anayetafasiri anaweza kuongeza maelezo ya chini kusema, "Jina Peresi Uza linamaanisha 'adhabu ya Uza."' + +# hadi siku hiyo + +Hii inamaanisha hadi wakati habari hii ilipokuwa inaandikwa, siyo sasa katika karne ya ishirini na moja. + +# Jinsi gani sanduku la Yahwe lije kwangu? + +Daudi anatumia swali hili kusisitiza kwamba anaogopa kulipeleka sanduku Yerusalem. Yaani: "Ninaogopa sana kulileta sanduku la Yahwe Yerusalemu." + diff --git a/2sa/06/10.md b/2sa/06/10.md new file mode 100644 index 00000000..43f5f2a5 --- /dev/null +++ b/2sa/06/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Obedi Edomu Mgiti + +Hili ni jina la mwanamme. + +# alimbariki + +"Yey" hapa inarejerea kwa Obedi Edomu Mgiti. + diff --git a/2sa/06/12.md b/2sa/06/12.md new file mode 100644 index 00000000..cda88d45 --- /dev/null +++ b/2sa/06/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Basi + +Neno hili linaanza kama sehemu mpya ya habari. + +# Daudi aliambiwa + +Hii inaweza kutaarifiwa katika muundo tendaji. Yaani: "watu walimwambia mfalme Daudi" + +# Nyumba ya Obedi Edomu + +"Nyumba" hapa inawakilisha familia. Yaani: "Obedi Edomu na familia yake" + +# wakalileta sanduku la Mungu + +Yerusalemu ilikuwa juu kuliko karibu eneo lolote katika Israeli, hivyo ilikuwa kawaida kwa Waisraeli kuzungumzia kupanda kwenda au kushuka kutoka Yerusalemu. Yaani: "kuondoa sanduku la Mungu" + +# kupandisha + +Neno "kuleta" laweza kufasiriwa kuwa "chukua." + diff --git a/2sa/06/14.md b/2sa/06/14.md new file mode 100644 index 00000000..4a9a07a0 --- /dev/null +++ b/2sa/06/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Daudi akacheza mbele ya Yahwe kwa nguvu zake zote + +Kucheza hapa ni aina ya kumwabudu Yahwe kwa furaha. + +# kitani + +nguo iliyotengenezwa kutokana na nyuzi za mti wa kitani. + +# nyumba yote ya Israeli + +Hapa "nyumba" inawakilisha watu wa Israeli. Yaani: "Waisraeli wengine wote pamoja naye" + +# kulipandisha sanduku la Yahwe + +Yerusalemu ilikuwa juu pengine kuliko eneo lolote katika Israeli, hivyo ilikuwa kawaida kwa Waisreali kusema juu ya kupanda kwenda au kushuka kutoka Yerusalemu. + +# kupandisha + +kifungu hiki"kupandisha" chaweza kufasiriwa kama "chukua." + diff --git a/2sa/06/16.md b/2sa/06/16.md new file mode 100644 index 00000000..d4ba2809 --- /dev/null +++ b/2sa/06/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Basi...moyoni mwake + +Neno "basi" linaonesha kukatishwa kwa habari. Hapa msimuliaji anatoa taarifa juu ya Mikali. + +# Mikali + +Alikuwa ni binti wa Mfalme Sauli na pia mke wa kwanza wa Daudi. + +# alimdharau moyoni mwake + +Hapa "moyo" unawakilisha mawazo na hisia. Yaani: "alimwangalia kwa dharau" + +# mbele za Yahwe + +"kwa Yahwe" + diff --git a/2sa/06/18.md b/2sa/06/18.md new file mode 100644 index 00000000..bd768122 --- /dev/null +++ b/2sa/06/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# aliwabariki watu kwa jina la Yahwe wa majeshi + +Kubariki "katika jina la Yahwe wa majeshi" inamaanisha kubariki kwa nguvu na mamalaka ya Yahwe, au kama mwakilishi wake. + +# keki ya zabibu kavu + +mkate mtamu uliookwa kutokana na zabibu kavu + diff --git a/2sa/06/20.md b/2sa/06/20.md new file mode 100644 index 00000000..1bb31300 --- /dev/null +++ b/2sa/06/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mikali + +Ni jina la mke wa kwanza wa Daudi. + +# ondoka + +Hapa "alikuja" laweza kufasiriwa kama "kwenda." + +# Jinsi gani mfalme wa Israeli alivyokuwa mtukufu leo. + +Hii ni aina ya usemi. Mikali anamaanisha kinyume cha kile alichosema, na haamini Daudi alitenda kwa heshima. Mikali anazungumzia kucheza kwa Mfalme Daudi na mwenendo wake bila heshima. + +# mbele ya wacho ya wajakazi + +Hapa "macho ya wajakazi" inawakilisha wajakazi. Yaani: "mbele ya wajakazi" + +# mpumbavu + +Daudi analinganishwa na mtu asiye na adabu na mpumbavu. + diff --git a/2sa/06/21.md b/2sa/06/21.md new file mode 100644 index 00000000..843f0401 --- /dev/null +++ b/2sa/06/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# aliyenichagua juu ya baba yako + +Hapa "yako" inarejerea kwa Mikali. + +# juu ya watu wa Yahwe, Israeli + +Hapa "juu ya watu wa Yahwe" na "Israeli" inamaanisha kitu kimoja. + +# nitakuwa hata zaidi nisiyefaa kuliko hivi + +Daudi anatumia usemi wa kumaanisha kinyume chake. Haamini kwamba alichokifanya hakikuwa na heshima au kwamba matendo yake yatakuwa hayaheshimiwi. + +# Nitajishusha mbele ya macho yangu mwenyewe + +Hapa "katika macho yangu mwenyewe" inawakilisha anachofikiri mtu au kufikiri juu ya kitu fulani. Yaani: "nitajihesabu mimi mwenyewe si kitu" + +# Lakini kwa hawa wajakazi uliowasema, nitaheshimiwa. + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. Yaani: "Lakini wajakazi uliowasema wataniheshimu" + +# hakuwa na watoto hata siku ya kufa kwake + +"hakuwa na uwezo wakuzaa watoto hata siku ya kufa kwake" + diff --git a/2sa/07/01.md b/2sa/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..012a2b45 --- /dev/null +++ b/2sa/07/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ikawa + +Kifungu kinaonesha mwanzo wa habari nyingine. + +# alipewa kupumzika kutokana na adui wote waliomzunguka + +"kupewa usalama kutokana na adui wote waliomzunguka." Hapa "pumziko" ni jina dhahania. Yaani: "kusababisha makundi ya maadui kuacha kushambulia Israeli" + +# Ninaishi katika nyumba ya mwerezi + +Mwerezi ni aina ya mti unaojulikana kwa uimara. Ni sawa na mninga katika utamaduni wetu. Inaaweza kuwa: "Ninaishi katika nyumba nzuri na ya kudumu" + +# sanduku la Mungu linakaa katikati ya hema + +Hema ni makazi ya muda. Yaani: sanduku la Mungu lakaa katika eneo la muda" + diff --git a/2sa/07/03.md b/2sa/07/03.md new file mode 100644 index 00000000..c6befd21 --- /dev/null +++ b/2sa/07/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# fanya lililomo moyoni mwako + +Hapa "moyo" unawakilisha akili. Yaani: "fanya unalofikiri linapaswa kufanyika" + +# maana Yahwe yupo nawe + +Hapa "pamoja nawe" linamaanisha Mungu anamsaidia na kumbariki Daudi. + +# neno la Yahwe lilikuja + +Hii ni aina ya usemi kumaanisha kwamba Yahwe alisema. "Yahwe alisema ujumbe" + +# neno la Yahwe + +Hapa "neno" linawakilisha ujumbe wa Yahwe + +# na akasema, "Nenda na umwambie Daudi mtumishi wangu, 'Hivi ndivyo asemavyo Yahwe: Je wewe utanijengea nyumba ya kuishi? + +Hii ina nukuu ndani ya nukuu. Yaani: "na kusema, "Nenda na umuulize Daudi kama anadhani atakuwa ndiye wa kunijengea nyumba nitakayoishi." + +# Je wewe utanijengea nyumba ya kuishi? + +Yahwe anatumia nukuu kusisitiza kwamba Daudi hatajenga nyumba kwa ajili ya Yahwe. Nukuu hii inaweza kufasiriwa kama taarifa. Yaani: "Hautanijengea nyumba ya kuishi" + +# kunijengea nyumba + +Hapa nyumba inamaanisha hekalu. Katika 7:11 Yahwe atasema kwamba atamjengea Daudi nyumba. Pale "nyumba" inamaanisha familia. + diff --git a/2sa/07/06.md b/2sa/07/06.md new file mode 100644 index 00000000..8513c347 --- /dev/null +++ b/2sa/07/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Je niliwai kusema jambo lolote kwa kiongozi yeyote wa Israeli niliyemchagua kuwachunga watu wangu Israeli, kusema, "Kwa nini hamjanijengea nyumba ya mwerezi? + +Hii ina nukuu ndani ya nukuu nyingine. Nukuu ya moja kwa moja inaweza kuelezwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. Yaani: "Sijawai kumwambia mmojawapo wa viongozi, niliowachagua, kunijengea hekalu la mbao za mwerezi." + +# Je niliwai kusema jambo lolote kwa kiongozi yeyote wa Israeli + +Yahwe anatumia nukuu kusisitiza kwamba hakuwai kuwambia viongozi wa Israeli kumjengea nyumba. + +# Kwa nini hamkuwai kunijengea nyumba ya mwerezi? + +Ikiwa Yahwe alikuwa amewauliza viongozi swali hili, angekuwa ametumia swali kuwalaumu kwa kutomjengea nyumba ya mwerezi. Lakini, Yahwe alisema hapo mwanzo kwamba hakuwa amewauliza swali hili. Yaani: "Mlipaswa kuwa mmenijengea nyumba ya mwerezi." + +# niliowateua kuwachunga watu wangu Israeli + +Viongozi wanasemwa kama wachungaji na watu kama kondoo. + diff --git a/2sa/07/08.md b/2sa/07/08.md new file mode 100644 index 00000000..07fe3301 --- /dev/null +++ b/2sa/07/08.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo kwa Jumla + +Yahwe anafafanua ahadi zake kwa Mfalme Daudi kupitia nabii Nathani. + +# Basi + +Hii haimaanishi "sasa," lakini imetumika kuonesha utayari kwa jambo mhimu lifuatalo. + +# mwambie mtumishi wangu Daudi, "Hivi ndivyo asemavyo Yahwe wa majeshi: 'nilikutoa...jina kuu kwa ajili yako, kama jina la wakuu waliopo juu ya nchi. + +Hii inanukuu ndani ya nukuu. Yaweza kufasiriwa: "mwambie Daudi mtumishi wangu kwamba nilimtoa... jina kuu kwa ajili yake, kama jina la mojawapo wa watu wakuu waliopo duniani" + +# mwambie Daudi mtumishi wangu + +Yahwe bado anamwambia nabii Nathani anachopaswa kumwambia Daudi. + +# nimekuwa pamoja nawe + +Hapa "pamoja nawe" inamaanisha kwamba Yahwe amemsaidia na kumbariki Daudi. + +# na nimewaondoa adui zako wote + +Yahwe aliwaaribu adui wa Daudi inazungumzwa kana kwamba Yahwe aliowaondolea mbali, kama ambavyo mtu angekata vipande vya nguo au tawi kutoka katika mti. + +# kufanya jina kuu kwa ajili yako + +Hapa "jina" inawakilisha heshima ya mtu. + +# kama jina la wakuu waliopo duniani + +Kifungu "wakuu" inamaanisha watu mashuhuri. + diff --git a/2sa/07/10.md b/2sa/07/10.md new file mode 100644 index 00000000..4342c214 --- /dev/null +++ b/2sa/07/10.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahwe anaendelea kueleza ahadi zake kwa Mfalme Daudi kupitia nabii Nathani. + +# Nitateua mahali + +"Nitachagua sehemu" + +# nitawapanda pale + +Yahwe anawafanya watu waishi katika nchi daima na kwa usalama inazungumzwa kama kama angewapanda katika nchi. + +# na hawatasumbuliwa tena + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji: Yaani: "na hakuna atakayewasumbua tena" + +# kutoka siku + +Hapa "siku" inawakilisha kipindi kirefu. + +# Niliwaamru waamzi + +Baada ya Waisraeli kuingia katika nchi ya Kanaani na kabla ya kuwa na wafalme wa kuwatawala, Mungu aliteua viongozi walioitwa "waamzi" kuwaongoza katika nyakati za shida. + +# Nami nitakupa pumziko kutoka kwa adui zako wote...anakwambia kwamba atakutengenezea nyumba + +Yaweza kufasiriwa: "Nami nitampa pumziko kutoka kwa adui zake wote... anamwambia kwamba atamtengenezea nyumba" + +# Nikupumzisha kutoka kwa adui zako wote + +"Nitakupa usalama kutoka kwa adui zako wote." Hapa "pumziko" ni nomino dhahania. Yaweza kuwa: "Nitawafanya adui zako wote waache kukushambulia" + +# Nitakutengenezea nyumba + +Maana hii hapa ya "nyumba" inarejea kwa wazao wa Daudi kuendelea kumiliki katika Israeli. Katika 7:3 Yahwe alimuuliza Daudi ikiwa angemjengea nyumba. Pale "nyumba" inawakilisha hekalu. + diff --git a/2sa/07/12.md b/2sa/07/12.md new file mode 100644 index 00000000..44ae28c5 --- /dev/null +++ b/2sa/07/12.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahwe anaendelea kueleza ahadi zake kwa Mfalme Daudi kupitia nabii Nathani. + +# Siku zako zitakapokamilika na ukalala na baba zako + +Vifungu hivi viwili vina maana sawa na vimeunganishwa kwa msisitizo. Vyote ni njia ya nyepesi ya kuonesha kifo na kufa. + +# Nitainua mzao baada yako + +Yahwe aliteua mzao wa Daudi inaoneshwa kama Yahwe angeinua juu. + +# atakaye toka katika mwili wako + +Usemi huu unamaanisha kwamba mtu huyo atakuwa mzao wa Daudi. + +# Nitauimarisha ufalme wake + +Hapa "ufalme wake" inawakilisha nguvu ya kumiliki. + +# nyumba kwa jina langu + +Hapa "jina" renarejea kwa Yahwe. Yaani: "makazi yangu ya kudumu" + +# Nitakifanya imara kiti cha enzi cha ufalme wake daima. + +Hapa "kiti cha enzi" inawakilisha nguvu ya mtu kumilki kama mfalme. + +# Nitakuwa baba kwake, naye atakuwa mwanangu + +Unabii katika 7:12-14 unarejea kwa Sulemani, mwana wa Daudi. Lakini, mambo ya unabii yatatimizwa na Yesu. + diff --git a/2sa/07/15.md b/2sa/07/15.md new file mode 100644 index 00000000..0fc22119 --- /dev/null +++ b/2sa/07/15.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahwe alimaliza kueleza ahadi zake kwa Mfalme Daudi kupitia nabii Nathani. + +# Lakini umaminifu wangu wa kiagano hautamwacha, kama nilivyomwondolea Sauli + +Neno "uaminifu" ni jina dhahania linaloweza kuelezwa kama "aminifu." Lakini pia taarifa hii yaweza kufasiriwa katika muundo chanya. Yaani: "Lakini nitabaki mwaminifu kwake, tofauti na nilivyokuwa kwa Sauli" + +# kutoka mbele yako. Nyumba yako... mbele yako. Kiti chako cha enzi + +Hapa "wewe" inarejea kwa "Daudi". "kutoka mbele ya Daudi. Nyumba ya Daudi... mbele yake. Kiti chake cha enzi" + +# Nyumba yako na ufalme wako utathibitishwa daima mbele yako. Kiti chako cha enzi kitasimamishwa daima. + +Sentensi hizi mbili zinamaana sawa na zinasisitiza nasaba ya Daudi kutawala daima. + +# Nyumba yako na ufalme wako utaimalika daima mbele yako + +Hapa neno "nyumba" inawakilisha uzao wa Daudi, watakao tawala kama wafalme. Hapa "ufalme" humaanisha jambo lilelile kama "nyumba." Utaona nikiimalisha familia yako na utawala wao juu ya watu wa Israeli daima" + +# Kiti chako cha enzi kitakuwa imara daima + +Hapa "kiti cha enzi" kinawakilisha nguvu ya kutawala kama mfalme. + +# maneno haya yote + +Hapa "maneno" yanawakilisha kile alichokisema Yahwe. + +# Alimwambia kuhusu ono lote + +"Alimwambia kuhusu kila kiti Yahwe aliyomwonesha" + diff --git a/2sa/07/18.md b/2sa/07/18.md new file mode 100644 index 00000000..93c80427 --- /dev/null +++ b/2sa/07/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mimi ni nani, Yahwe Mungu, na familia yangu ni nini hata umenileta katika kiwango hiki? + +Daudi anauliza swali hili kuonesha hisia za ndani alizozihisi baada ya kusikia tamko ya Yahwe. Swali hili lisiloitaji jibu laweza kufasiriwa: "mimi na familia yangu hatusitahili heshima hii, Yahwe Mungu." + +# Hili lilikuwa jamba dogo mbele yako + +Hapa "mbele yako" inawakilisha alichokikusudia Yahwe kiwe. + +# familia ya mtumishi wako + +Hapa Daudi anajirejerea kama "mtumishi wako." + +# Kwa kitambo kijacho + +Hii inaongelea wakati kama kitu fulani kisafiricho na kuwasili mahali fulani. + +# Nini zaidi, Mimi Daudi naweza kukwambia? + +Daudi anatumia swali hili kusisitiza kwamba hana kilichaobaki cha kumwambia Yahwe. + +# mtumishi wako + +Hapa Daudi anajirejerea kama "mtumishi wako." Hii yaweza kuelezwa katika nafsi ya kwanza + diff --git a/2sa/07/21.md b/2sa/07/21.md new file mode 100644 index 00000000..5e7f4ab5 --- /dev/null +++ b/2sa/07/21.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Kwa ajili ya neno lako + +Hapa "neno" linawakilisha alikiahidi Mungu. + +# kutimiza kusudi lako mwenyewe + +"kukamilisha ulichopanga kufanya" + +# kwa mtumishi wako + +Daudi anajirejerea kama "mtumishi wako." + +# Kama tulivyosikia kwa masikio yetu + +Kifungu "kwa macho yetu wenyewe" inatumika kwa msisitizo. + +# Kama tulivyosikia + +Hapa "sisi" inamwonesha Daudi na taifa la Israeli. + +# Na ni taifa gani lililo kama watu wako Israeli, taifa pekee juu ya dunia ambalo wewe, Mungu, ukikwenda na kukikomboa kwa ajili yako mwenyewe? + +Daudi anatumia msisitizo wa swali kwamba hakuna taifa lingine kama Israeli. Yaani: "Hakuna taifa lililo kama watu wako Israeli, taifa moja juu ya nchi ambalo wewe, Mungu, ulikwenda na kulikomboa kwa ajili yako." + +# Kijifanyia jina wewe mwenyewe + +Hapa "jina" inawakilisha heshima ya Yahwe. + +# kwa nchi yako + +Hapa "nchi" inawakilisha watu. + +# Uliyaondoa mataifa + +Hapa "mataifa" inawakilisha makundi ya watu waliokuwa wakiishi Kanaani. + diff --git a/2sa/07/24.md b/2sa/07/24.md new file mode 100644 index 00000000..d4e01ab9 --- /dev/null +++ b/2sa/07/24.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Daudi aliendelea kuongea na Yahwe. + +# Hivyo basi + +Hapa "basi" haimaanishi "sasa," lakini inatumika kuleta usikivu kwa jambo muhimu kama ifuatavyo. + +# Na ahadi uliyoifanya kuhusu mtumishi wako na familia yake iwe imara daima + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. Yaani: "Na ufanye ulichoniahidi na familia yangu, na ahadi yako isibadilike" + +# mtumishi wako na familia yake + +Daudi anajisema katika nafsi ya tatu. Yaweza kuwa: "mimi na familia yangu" + +# Jina lako na liwe kuu daima + +Hapa "jina" inawakilisha heshima ya Yahwe. + +# Nyumba yangu, Daudi, mtumishi wako + +Hapa "nyumba" inawakilisha familia. + +# Umethibitishwa mbele yako + +Hii yaweza kuwa "ni salama kwa sababu wewe" au "unaendelea kwa sababu yako" + diff --git a/2sa/07/27.md b/2sa/07/27.md new file mode 100644 index 00000000..3b89dd32 --- /dev/null +++ b/2sa/07/27.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kwa mtumishi wako kwamba utamjengea nyumba + +Daudi anajirejerea kama "mtumishi wako" + +# kwamba utamjengea nyumba + +Hapa aina hii ya usemi "nyumba" inarejea kwa uzao wa Daudi kuendelea kuwa watawala wa Israeli. Katika 7:3 Yahwe alimwambia Daudi kama angekuwa mjenzi wa nyumba ya Yahwe. Hapa "nyumba" inawakilisha hekalu. + +# Basi + +Hii haimaanishi "sasa," lakini inatumika kutoa angalizo kwa jambo mhimu lifuatalo. + +# maneno yako ni ya kuaminika + +Hapa "maneno" yanawakilisha anachosema Yahwe. Yaani: "Ninaamini ukisemacho" + +# na kwa baraka yako nyumba ya mtumishi wako itabarikiwa daima + +Hii inaweza kutaarifiwa kwa muundo tendaji. Yaani: "na utaendelea kuibariki familia yangu daima. + +# nyumba ya mtumishi wako + +Hapa Daudi anajirejerea mwenyewe kama "mtumishi wako." Yaani: "nyumba yangu" au "familia yangu" + +# nyumba + +Hapa "nyumba" inawakilisha familia ya Daudi. + diff --git a/2sa/08/01.md b/2sa/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..e754681a --- /dev/null +++ b/2sa/08/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Daudi akashambulia + +Hapa Daudi anawakilisha askari wake. + diff --git a/2sa/08/02.md b/2sa/08/02.md new file mode 100644 index 00000000..8d0633bf --- /dev/null +++ b/2sa/08/02.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kisha akashinda + +Hapa "yeye" inarejea kwa Daudi anayewakilisha askari wake. + +# akawapima watu wakekwa mstari... akapima mistari miwili ya kuuwa, na mstari mmoja kamili wa kuacha hai. + +Hapa "mstari" ni "kamba." Daudi aliwafanya askari walale chini ili wapimwe na kuwekwa katika makundi matatu. Waliokuwa katika makundi mawili waliuawa, na katika la tatu, waliachwa hai. + diff --git a/2sa/08/03.md b/2sa/08/03.md new file mode 100644 index 00000000..868006ab --- /dev/null +++ b/2sa/08/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kisha Daudi akamshinda Hadadezeri + +Hapa wote "Daudi" na "Hadadezeri" wanawakilisha majeshi yao. "Daudi na jeshi lake walimshinda Hadadezeri na jeshi lake" + +# Hadadezeri... Rehobu + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Soba + +Hili ni jina la jimbo katika Shamu. + +# Kuurudisha ufalme wake + +"Kurudisha utawala juu ya mkoa" au "kulishika tena mkoa" + +# askari wa miguu ishirini elfu + +"20,000 watu wa miguu" + +# Daudi akawakata miguu + +Hili ni tenda ambapo sehemu ya nyuma ya miguu inakatwa ili farasi wasiweze kukimbia. + +# kutunza ya kutosha + +"kutenga ya kutosha" au kutunza ya kutosha" + +# vibandawazi mia moja + +"vibanda wazi 100" + diff --git a/2sa/08/05.md b/2sa/08/05.md new file mode 100644 index 00000000..0beb6332 --- /dev/null +++ b/2sa/08/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Daudi akaua + +Hapa Daudi anawakilisha askari wake. + +# Washami elfu ishirini + +washami 22,000 + +# Akaweka ngome huko Shamu + +"aliagiza kundi kubwa la askari wake kubaki Shamu" + diff --git a/2sa/08/07.md b/2sa/08/07.md new file mode 100644 index 00000000..a5b494c4 --- /dev/null +++ b/2sa/08/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Daudi akachukua... Mfalme Daudi akachukua + +Hapa Daudi anawakilisha askari wake. + +# Beta na Berothai + +Haya ni majina ya mahali. + diff --git a/2sa/08/09.md b/2sa/08/09.md new file mode 100644 index 00000000..2633f346 --- /dev/null +++ b/2sa/08/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tou...Hadoramu + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Hamathi + +Hili ni jina la mahali. + +# Daudi alishinda + +Hapa "Daudi" inawakilisha jeshi lake. + diff --git a/2sa/08/11.md b/2sa/08/11.md new file mode 100644 index 00000000..3756dacc --- /dev/null +++ b/2sa/08/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# na Amaleki + +"na Waamaleki" + +# Vitu vilivyotekwa + +Hivi ni vitu vya thamani askari wanavyoviteka kutoka kwa walioshindwa. + +# Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba + +Hili ni jina la mfalme wa Soba + diff --git a/2sa/08/13.md b/2sa/08/13.md new file mode 100644 index 00000000..b6c01815 --- /dev/null +++ b/2sa/08/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Jina la Daudi likajulikana sana + +Hapa "jina" linarejea kwa heshima ya Daudi. Yaani "Daudi alikuwa maarufu sana" + +# Bonde la chumvi + +Hili ni jina la mahali. Mahali pake kabisa hapafahamiki. + +# Watu elfu themanini. + +"watu 18,000" + +# Akaweka ngome katika Edomu yote. + +"Aliagiza makundi ya askari wake kubaki katika maeneo yote ya Edomu" + diff --git a/2sa/08/15.md b/2sa/08/15.md new file mode 100644 index 00000000..4d6565d9 --- /dev/null +++ b/2sa/08/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yoabu mwana wa Seruya + +Hili ni jina la mwanaume + +# Ahiludi... Ahitubu... Ahimeleki... Seraya... Yehoiada + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Ahiludi alikuwa mwenye kuandika taarifa. + +Mwandishi alikuwa mtu aliyekuwa akiongea na watu na kuwambia matangazo ya mfalme. + +# Wakerethi... Wapelethi + +Haya ni majina ya makundi ya watu. Hawa walikuwa walinzi wa Daudi. + diff --git a/2sa/09/01.md b/2sa/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..33b162af --- /dev/null +++ b/2sa/09/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa ajili ya Yonathani + +"kwa sababu ya upendo wangu kwa Yonathani" + +# Kwa ajili ya Yonathani + +Yonathani alikuwa mwana wa Sauli na rafiki wa karibu sana wa Daudi. + +# Siba + +Hili ni jina la mwanaume. + +# Mimi ni mtumishi wako + +Siba anajiita "mtumishi wako" kuonesha heshima kubwa kwa Daudi. + diff --git a/2sa/09/03.md b/2sa/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..9f566eee --- /dev/null +++ b/2sa/09/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ninaweza kuonesha ukarimu wa Mungu + +Yaweza kufasiriwa kuwa "naweza kuwa mkarimu kama niliyomwaidi Mungu" + +# mlemavu katika miguu yake + +"Ambaye miguu yake imearibika." Neno "miguu" hapa linaonesha uwezo wa kutembea. + +# Makiri... Amieli + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Lo Debari + +Hili ni jina la sehemu. + diff --git a/2sa/09/05.md b/2sa/09/05.md new file mode 100644 index 00000000..26256aa1 --- /dev/null +++ b/2sa/09/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mfalme Daudi akatuma + +Inafahamika kwamba Daudi alituma wajumbe. + +# Mefiboshethi + +Hili ni jina la mwanaume + +# alikuja kwa Daudi + +Neno "alikuja" laweza fasiriwa kuwa "alikwenda." + +# Mimi ni mtumishi wako + +Mefiboshethi anajirejerea kama "mtumishi wako" kuonesha heshima kubwa kwa mfalme. + diff --git a/2sa/09/07.md b/2sa/09/07.md new file mode 100644 index 00000000..12e09fc4 --- /dev/null +++ b/2sa/09/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa ajili ya Yonathani baba yako + +"Kwa sababu nilimpenda baba yako, Yonathani" + +# Utakula daima katika meza yangu. + +Hapa "meza" inawakilisha kuwa pamoja na Daudi katika uwepo. Kula na mfalme mezani ilikuwa ni heshima kubwa. + +# Mtumishi wako ni nini, hata umwangalie kwa upndeleo mbwa mfu kama mimi? + +Swali hili lisiloitaji jibu laonesha kuwa Mefiboshethi anafahamu kuwa hana umuhimu wowote wa mfalme kumjari. + +# mbwa mfu huyo + +Hapa Mefiboshethi anawakilisha uzao wa Sauli, na anajilinganisha na "mbwa mfu." Mbwa walikuwa wanyama wasioheshimiwa, mbwa mfu alikuwa hana umuhimu kabisa. + diff --git a/2sa/09/09.md b/2sa/09/09.md new file mode 100644 index 00000000..39a414af --- /dev/null +++ b/2sa/09/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni lazima ale Daima katika meza yangu + +Hapa "meza yangu" inawakilisha kuwa pamoja na Daudi. + +# Basi Siba... watumishi + +Hapa "basi" inaonesha mkato wa habari. Msimuliaji anatoa taarifa kuhusu Siba. + +# wana kumi na watano na watumishi ishirini + +"wana 15 na watumishi 20" + diff --git a/2sa/09/11.md b/2sa/09/11.md new file mode 100644 index 00000000..d5e661f6 --- /dev/null +++ b/2sa/09/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mtumishi wako atafanya yote ambayo bwana wangu mfalme amemwagiza mtumishi wake + +Siba anajitaja kama "mtumishi wako" na kumtaja Daudi kama "bwana wangu". Mtumishi wako atafanya yote ambayo wewe bwana wangu mfalme umeagiza. + +# Mika + +Hili ni jina la mwana wa Mefiboshethi. + +# wate walioishi katika nyumba ya Siba + +Hapa "nyumba" inawakilisha familia ya Siba. + +# Anakula katika meza ya mfalme daima + +Hapa "meza" inawakilisha kuwa pamoja na Daudi au katika uwepo wake. + +# Japokuwa alikuwa kilema katika miguu yote miwili. + +Hakuweza kutembea. + diff --git a/2sa/10/01.md b/2sa/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..b31291c5 --- /dev/null +++ b/2sa/10/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hanuni...Nahashi + +Haya ni majina ya wanaume + +# Je unadhani...wewe? + +Viongozi wanatumia swali kushauri kwamba mfalme asimwamini Daudi. + +# Kupeleleza + +Kutafuta habari kuhusu mtu fulani kwa siri. + +# Je Daudi haja...uteka? + +Viongozi wanatumia swali kushauri kwamba mfalme asimwamini Daudi. + +# Ili kuupindua + +Hapa "huo" inarejea kwa mji ambao unawakilisha watu walioishi pale. + +# mji + +Hapa "mji" inahusu Raba, mji mkuu wa Waamoni. + diff --git a/2sa/10/04.md b/2sa/10/04.md new file mode 100644 index 00000000..f2294875 --- /dev/null +++ b/2sa/10/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kunyoa ndevu nusu ya zao + +Inamaanisha tusi la kuwadharirisha watu. + +# walikuwa wameaibika sana + +Hapa "kwa kina" ni usemi unaomaanisha "sana" + +# Kisha mrudi + +Inamaanisha kwamba watapaswa kurudi Yerusalemu + diff --git a/2sa/10/06.md b/2sa/10/06.md new file mode 100644 index 00000000..460c583c --- /dev/null +++ b/2sa/10/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wakawa harufu mbaya kwa Daudi + +Kifungu "kuwa harufu mbaya" inamaanisha kuwa chukizo + +# Beth Rehobu... Soba... Maaka... Tobu + +Haya ni majina ya mahali. + +# Elfu ishirini... elfu... elfu kumi na mbili + +"20,000... 1,000...12,000" + +# kwa langu la mji wao + +Hapa "mji" inarejea kwa Raba, mji mkuu wa Waamoni + diff --git a/2sa/10/09.md b/2sa/10/09.md new file mode 100644 index 00000000..f1f37194 --- /dev/null +++ b/2sa/10/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Vita na ya Washami na Amoni inaendelea. + +# Na kwa sehemu ya jeshi iliyosalia, akaiweka chini ya mamlaka ya Abishai nduguye. + +"Akamweka Abishai nduguye mkuu wa jeshe lililosalia" + diff --git a/2sa/10/11.md b/2sa/10/11.md new file mode 100644 index 00000000..5608ecf1 --- /dev/null +++ b/2sa/10/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yoabu analiweka tayari jeshi kwa vita. + +# Kwangu, kisha wewe, Abishai, lazima uniokoe + +Hapa "mimi" inarejea kwa Yoabu anayewakilisha askari wake. Pia, Abishai anawakilisha jeshi lake. + diff --git a/2sa/10/13.md b/2sa/10/13.md new file mode 100644 index 00000000..881931fe --- /dev/null +++ b/2sa/10/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kutoka kwa Abishai + +Hapa Abishai anawakilisha askari wake. + +# Ndani ya mji + +Hapa "Mji" unahusu Raba, makao makuu ya Waamaoni. + +# Na kurudi Yerusalemu + +"na kurudi Yerusalemu + diff --git a/2sa/10/15.md b/2sa/10/15.md new file mode 100644 index 00000000..5e7cdcf4 --- /dev/null +++ b/2sa/10/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Washami walipoona kwamba wameshindwa na Israeli + +Hii yaweza kufasiriwa kama: "Washami walipotambua kuwa Waisraeli walikuwa wanawashinda" + +# Hadadezeri... Shobaki + +Haya ni majina ya wanaume. + +# kutoka ng'ambo ya Mto Frati + +Hii inamaanisha upande wa mashariki wa Mto Frati. + +# Walikuja kwa Helamu + +Hapa "walikuja kwa" yaweza kufasiriwa kuwa "walikwenda kwa" au "walikutanika kwa" + +# Helamu + +Hili ni jina la sehemu. + +# katika kichwa chao + +Kifungu hiki kinaoneshwa nafasi ya mamlaka. + diff --git a/2sa/10/17.md b/2sa/10/17.md new file mode 100644 index 00000000..a7f77588 --- /dev/null +++ b/2sa/10/17.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Daudi alivyoambiwa hiki + +Inamaanisha "Daudi aliposikia kuhusu hili" + +# Kusanya Isreali wote pamoja + +Hapa "Israeli" inawakilisha jeshi la Israeli. + +# Helamu + +Jina la mahali + +# Kinyume na Daudi na kupigana naye + +Hapa Daud anawakilisha askari wake. + +# Daudi aliua + +Hapa Daudi anawakilisha askari wake. + +# Mia saba... elfu arobaini + +"700... 40,000" + +# Shobaki jemedari wa jeshi lao alijeruhiwa na kufa pale + +Hii yaweza kufasiriwa: "Waisraeli walimjeruhi Shobaki jemedari wa jeshi wa Washami, na akafa pale" + +# Shobaki... Hadareza + +Haya ni majina ya wanaume. + +# waliona kwamba walikuwa wameshindwa na Israeli + +Yaweza kufasiriwa kuwa " walitambua kuwa Waisraeli walikuwa wamewashinda" + diff --git a/2sa/11/01.md b/2sa/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..b50d103f --- /dev/null +++ b/2sa/11/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ikawa wakati wa majira ya kipupwe + +"Ilitokea wakati wa majira ya kipupwe." Hii inatambulisha tukio jingine katika habari. + +# katika wakati + +"wakati wa mwaka" + +# Daudi akampeleka Yoabu, watumishi wake, na jeshi lote la Israeli + +Daudi aliwapeleka waende vitani. + +# Jeshi la Amoni + +"Jeshi la Waamoni" + +# Raba + +Hili ni jina la mji. + diff --git a/2sa/11/02.md b/2sa/11/02.md new file mode 100644 index 00000000..75a670fd --- /dev/null +++ b/2sa/11/02.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hivyo ikawa + +"Hivyo ikatokea" au "Hivyo ikatendeka". Mwandishi anatumia kifungu hiki kutambulisha tukio jipya katika habari. + +# Hivyo Daudi akatuma + +Hapa neno "tuma" linamaanisha Daudi alipeleka mjumbe. + +# Akawauliza watu ambao wangeweza kujua kuhusu mwanamke + +Daudi alikuwa anajaribu kutafuta mwanamke yule alikuwa nani. Neno "yeye" inarejea kwa Daudi, lakini inamaanisha mjumbe aliyetumwa na Daudi. Alipaswa kuuliza habari kuhusu mwanamke. + +# Je siye Bethsheba... naye ni mke wa Uria Mhiti. + +Swali hili linatoa taarifa na laweza kuandikwa kwa maelezo. Huyu ni Bathsheba... naye ni mke wa Uria Mhiti." + diff --git a/2sa/11/04.md b/2sa/11/04.md new file mode 100644 index 00000000..dff3e138 --- /dev/null +++ b/2sa/11/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hezi + +Kipindi cha mwanamke cha mwezi + +# na kumchukua + +"na kumchukua." Daudi alimchukua mwanamke, lakini alikuwa mjumbe aliyekuwa ametumwa aliyemchukuwa na kumleta kwa Daudi. + +# Akaja kwake ndani, naye akalala naye + +Kifungu "alikuja kwake ndani" inaonesha hali ya Daudi kufanya tendo la ndoa na mwanamke. + +# Alituma na kumwambia Daudi; akasema, "Niko mjamzito" + +Hapa neno "alipeleka" linamaanisha kwamba alipeleka mjumbe kumwambia Daudi kwamba alikuwa mjamzito. + diff --git a/2sa/11/06.md b/2sa/11/06.md new file mode 100644 index 00000000..ccf0af76 --- /dev/null +++ b/2sa/11/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kisha Daudi akatuma + +Hapa neno "kutuma" inamaanisha kwamba Daudi alituma mjumbe. + +# Yoabu anaendeleaje, jeshi linaendeleaje, na vita inaendeleaje + +Daudi alikuwa akiuliza ikiwa Yoabu na jeshi walikuwa wanaendelea vema na kuhusu maendeleo ya vita. + +# Shuka nyumbani kwako + +Maana pendekezwa kwa kifungu "shuka chini" ni 1) Nyumba ya Uria ilikuwa chini kuliko kasiri la Daudi au 2) Nyumba ya Uria ilikuwa na umuhimu mdogo kulinganisha na kasiri la mfalme. + +# Nawa miguu yako + +Kifungu hiki kinamaanisha kurudi nyumbani kupumzika wakati wa usiku baada ya kufanya kazi mchana kutwa. + +# Mfalme alituma zawadi kwa Uria + +Daudi alituma mtu kupeleka zawadi kwa Uria. + diff --git a/2sa/11/09.md b/2sa/11/09.md new file mode 100644 index 00000000..5464e6b8 --- /dev/null +++ b/2sa/11/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Bwana wake + +Neno "yake" inarejerea kwa Uria na neno "bwana" inarejerea kwa Daudi. + +# Je haujatoka safarini? Kwa nini haukwenda nyumbani kwako? + +Hili swali linaonesha ushangao wa Uria kwa nini hakumtembelea mke wake. + +# Israeli na Yuda + +Hii inarejea kwa majeshi yao yaani "majeshi ya Israeli na Yuda" + +# Jinsi gani basi mimi naweza kwenda kwangu... pamoja na mke wangu? + +Swali hili linasisitiza hali ya Uria kukataa kumtembelea mke wake. + +# Kwa hakika kama uishivyo, sitafanya hivyo. + +Uria anaapa kwa ahadi yenye nguvu kwamba hatakwenda nyumbani kwa mke wake kwa vile askari wengine wapo vitani. + diff --git a/2sa/11/12.md b/2sa/11/12.md new file mode 100644 index 00000000..75b5f7d2 --- /dev/null +++ b/2sa/11/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# alikula na kunywa mbele yake + +Uria alikula na kunywa na Daudi + +# chini katika nyumba yake + +Maana pendekezwa hapa kwa neno "chini" 1) nyumba ya Uria ilikuwa chini ya ile ya Daudi. 2) nyumba ya Uria ilikuwa na umuhimu mdogo kuliko ile ya Daudi + diff --git a/2sa/11/14.md b/2sa/11/14.md new file mode 100644 index 00000000..8e01abcf --- /dev/null +++ b/2sa/11/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# akaituma kwa mkono wa Uria + +Kifungu "mkono wa Uria" inamrejea Uria mwenyewe. + +# Mbele kabisa ya vita vikali zaidi + +"mbele zaidi ya vita mahali ambapo vita ni vikali sana" + +# Kumwacha + +"Amru askari kurudi nyuma na kumwacha" + +# awe amepigwa na kuuawa + +"Awe amejeruhiwa na kuuawa" + diff --git a/2sa/11/16.md b/2sa/11/16.md new file mode 100644 index 00000000..895b97c6 --- /dev/null +++ b/2sa/11/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kuhusuru mji + +Neno "kuhusuru" linaweza kuelezwa kwa kitendo "kuzingira" na "kushambulia". Yaani "jeshi lake lilizunguka na kuushambulia mki" + +# baadi ya askari wa Daudi walianguka + +Neno "anguka" ni usemi laini wa kuonesha askari waliouawa. Yaani "baadhi ya askari wa Daudi waliuawa. + +# Na Uria Mhiti aliuawa pale + +Inamaanisha "Uria Mhiti naye alikuwa miongoni mwao. + diff --git a/2sa/11/18.md b/2sa/11/18.md new file mode 100644 index 00000000..15bbe491 --- /dev/null +++ b/2sa/11/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yoabu alituma neno kwa Daudi + +"Kutuma neno" kunamaanisha kuwa alituma mjumbe kutoa taarifa kwa Daudi + +# Kwa nini mlikaribia hivyo... kutoka katika ukuta? + +Yoabu anasema kwamba Daudi anaweza kumkemea kwa kuuliza swali hili. Yaweza kuwa "Hamkupaswa kuwa mmeukaribia mji hivyo ili kupigana nao. Kwani wangeweza kurusha mishale kutokea ukutani" + +# Piga kutoka ukutani + +Inaonesha watu wa mji wakirusha mishale kwa adui wao kutokea ukutani. + diff --git a/2sa/11/21.md b/2sa/11/21.md new file mode 100644 index 00000000..4dcbac66 --- /dev/null +++ b/2sa/11/21.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Ni nani aliyemwua Abimeleki mwana wa Yerubeshethi? + +Yoabu anasema Daudi anaweza kumkemea kwa kuuliza swali hili. Yafaa kuwa "Kumbuka jinsi Abimeleki mwana wa Yerubeshethi alivyouawa!" + +# Abimeleki mwana wa Yerubeshethi + +Hili ni jina la mwanaume. Babaye anajulikana pia kwa jina la Gideoni. + +# Je mwanamke hakurusha jiwe la juu la kusagia juu yake kutoka ukutani hivyo kwamba alikufa katika Thebezi? + +Yoabu anasema Daudi aweza kumkemea kwa kuuliza swali. Yafaa kuwa "Kumbuka alikufa huko Thebezi mwanamke aliporusha jiwe la juu la kusagia juu yake kutokea ukutani" + +# kutokea ukutani + +"kutokea juu ya ukuta wa mji" + +# Jiwe la kusagia nafaka + +Jiwe zito ambalo lingeweza kuzunguka, lililotumika kwa kusaga nafaka ili kutengeneza mkate + +# Thebezi + +Hili ni jina la mji. + +# Kwa nini mliukaribia ukuta kiasi hicho? + +"Hamkupaswa kuwa mmeukaribia ukuta kiasi hicho!" + diff --git a/2sa/11/22.md b/2sa/11/22.md new file mode 100644 index 00000000..7961d275 --- /dev/null +++ b/2sa/11/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# lango + +"lango la mji" + diff --git a/2sa/11/24.md b/2sa/11/24.md new file mode 100644 index 00000000..230679b8 --- /dev/null +++ b/2sa/11/24.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Warusha mishale wao warusha + +"Walirusha mishale" + +# Baadhi ya watumishi wa mfalme waliuawa + +"Waliwauwa baadhi ya watumishi wa mfalme" + +# Mtumishi wako Uria Mhiti ameuawa + +"Walimwua mtumishi wako Uria pia" + +# Watumishi wa mfalme + +Hapa "watumishi" inarejerea askari, siyo watumwa, kwa sababu askari walikuwa watumishi wa mfalme. + +# Maana upanga hula huyu kama ulavyo mwingine. + +Hapa "upanga" inarejerea kwa mtu anayemwua mwingine kwa upanga. Kumwua mtu kwa upanga unazungumzwa kama vile ni "kula" watu. + +# Ongezeni mashambulizi + +"Piganeni kwa nguvu zaidi" + diff --git a/2sa/11/26.md b/2sa/11/26.md new file mode 100644 index 00000000..d9c3ae6f --- /dev/null +++ b/2sa/11/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Aliomboleza kwa kina + +Hapa mwandishi anazungumza maombolezo yake kama yalikuwa ndani yake zaidi. + +# Huzuni + +Hisia kali ya huzuni iliyosababisha maumivu, kukata tamaa au matatizo + +# Daudi alituma na kumchukua nyumbani + +Hapa neno "tuma" linamaanisha alituma mjumbe kumchukua na kumleta kwake. + +# Kutopendezwa + +"aliyehuzunishwa" au "kasirishwa" + diff --git a/2sa/12/01.md b/2sa/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..f7e66221 --- /dev/null +++ b/2sa/12/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kondoo jike + +kondoo jike + +# alikuwa kama binti kwake + +Hii inaonesha ukaribu wa mtu huyu na kondoo wake mdogo. + diff --git a/2sa/12/04.md b/2sa/12/04.md new file mode 100644 index 00000000..0ad45ecc --- /dev/null +++ b/2sa/12/04.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Mtamba wa kondoo + +Kondoo jike + +# Hasira ya Daudi ikawaka kinyume cha + +Hapa mwandishi anaeleza jinsi Daudi alikuwa na hasira sana kama vile mwili wake ulikuwa umechemka kwa sababu ya hasira. + +# Mgeni wake + +Ilikuwa ni kwa ajili ya chakula cha mgeni wake + +# Akamwambia Nathani kwa hasira + +Hii inamaanisha kwamba Daudi aliongea na Nathani kwa hasira. + +# Kama Yahwe aishivyo + +Hii inaeleza kwamba Daudi alikuwa akiapa kiapo au ahadi ya kuaminika. + +# Kumwua + +Hii inamaanisha kumwua. Yaani kufa + +# Anapaswa kulipa kondoo mara nne + +Kiasi tajiri alichopaswa kulipa kilikuwa mara nne ya thamani ya kondoo. + +# Huruma + +Kujisikia huzuni na upendo kwa anayeumia au kutopendwa + diff --git a/2sa/12/07.md b/2sa/12/07.md new file mode 100644 index 00000000..f1ef972c --- /dev/null +++ b/2sa/12/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kutoka mkononi mwa Sauli + +Hapa neno "mkono" linaonesha utawala. Yaani "kutoka katika utawala wa Sauli" + +# wake za bwana wako katika mikono yako + +Hapa Yahwe anaeleza Daudi akiwa na wake za bwana wake kama wake wake mwenyewe, kwa kusema kwamba wako "mikononi mwako." + +# Pia nilikupa nyumba ya Israeli na Yuda + +Hapa Yahwe anaongelea jinsi alivyompa Daudi mamlaka yake kama mfalme juu ya Israeli na Yuda kama vile alimpa nyumba ya Israeli na Yuda. Kifungu "nyumba ya" kinamaanisha "watu wa." + +# Ikiwa hayo yangekuwa machache kwako + +"Ikiwa nisingekupa vya kutosha" + diff --git a/2sa/12/09.md b/2sa/12/09.md new file mode 100644 index 00000000..8077b831 --- /dev/null +++ b/2sa/12/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hivyo kwa nini umedharau... Yahwe, hata kufanya maovu mbele zake? + +Swali hili linatumika kumkemea Daudi. Yaani "haukupaswa kumdharau ... Yahwe na kufanya yaliyomaovu mbele zake!" + +# Hata kufanya yaliyomaovu mbele zake + +"Mbele" ya Yahwe inarejea kwa kile anachofikiri. Hii inazungumzia anachohesabu kuwa uovu halisi. + +# Umemwua Uria Mhiti kwa upanga + +Daudi hakumwua Uria kwa mkono wake, bali alipanga Uria alivyouawa. Kifungu "kwa upanga" kinaonesha jinsi alivyokufa vitani. + +# Ulimwua kwa upanga wa jeshi la Amoni + +Inaonesha kwamba Daudi hakumwua kwa mkono wake bali alipanga jinsi ya kuuawa kwa Uria mkononi mwa Waamoni. + +# Upanga hautaondoka nyumbani mwako + +Hapa neno "upanga" linaonesha watu wanaokufa vitani. "Nyumba" ya Daudi inarejerea wazawa wake. + diff --git a/2sa/12/11.md b/2sa/12/11.md new file mode 100644 index 00000000..2ab810ae --- /dev/null +++ b/2sa/12/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Katika nyumba yako mwenyewe + +Hapa "nyumba" ya Daudi inarejerea kwa familia yake. + +# Mbele za macho yako + +Hapa Daudi anarejerewa kwa kutajwa macho yake kusisitiza ambacho angeona. + +# mbele ya Israeli yote + +Hapa inaonesha watu wote wa Israeli kujua juu ya kilichotendeka kwa wake zake kama vile wote walishuhudia tukio. + +# Wakati wa mchana + +Wazo la kufanya jambo "hadharani" au katika njia ambayo watu wanafahamu kinachotendeka kama kinafanyika mchana. + +# Kutenda dhambi yako + +"alitenda dhambi" + +# Kupita + +Yahwe amesamehe dhambi ya Daudi. Hii inazungumzwa kama Yahwe anaipitisha dhambi kama kilikuwa kitu alichokipita na kutokukijari. + +# Hautakufa + +Hatakufa kwa sababu ya kutenda dhambi hii na mwanamke. + diff --git a/2sa/12/14.md b/2sa/12/14.md new file mode 100644 index 00000000..ae3f4658 --- /dev/null +++ b/2sa/12/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kudharau + +Kutokupenda au kumchukia mtu au kitu + +# Yahwe alimpiga mtoto... na akawa mgonjwa sana. + +Yahwe anaonekana kusababisha ugonjwa wa mtoto kama vili amempiga. + +# mtoto aliyezaliwa kwako + +Kifungu "kuzaliwa kwako" inamaanisha kwamba huyu ni mtoto wa Daudi + +# Mtoto ambaye mke wa Uria alimzalia Daudi + +Hii inamaana kwamba alizaa mtoto ambaye Daudi ndo alikuwa baba yake. + diff --git a/2sa/12/16.md b/2sa/12/16.md new file mode 100644 index 00000000..a9bc8deb --- /dev/null +++ b/2sa/12/16.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kusihi + +Kuombeleza au kuomba kwa hamu kubwa + +# kwenda ndani + +Daudi alikwenda ndani ya chumba chake alipokuwa peke yake. + +# Kumwinua kutoka sakafuni + +" na kumsihi kuinuka kutoka chini" + +# Ikawa + +"Ilitokea" + +# Hakuisikiliza sauti yetu + +Hapa "sauti" inasisitiza kwamba walikuwa wakiongea. + +# Siku ya saba + +Hii ni siku ya saba tangu mtoto azaliwe + +# Tazama + +Usemi unatumika kuwafanya watu wawe "makini" + +# Je atajitendeaje ikiwa tutamwambia kwmba mtoto amekufa?! + +Watumishi wanauliza swali hili kuonesha hofu yao. Yaani "tunaogopa kwamba anaweza kujidhuru ikiwa tutamwambia kwamba mtoto amekufa!" + diff --git a/2sa/12/19.md b/2sa/12/19.md new file mode 100644 index 00000000..007aae6d --- /dev/null +++ b/2sa/12/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kunong'oneza + +"kuongea polepole sana" + +# Kutambua + +"Kuelewa" + +# Inuka + +"simama juu" + diff --git a/2sa/12/21.md b/2sa/12/21.md new file mode 100644 index 00000000..a446a667 --- /dev/null +++ b/2sa/12/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ina maswali yasiyoitaji majibu msisitizo ambao Daudi anatambua kwamba Yahwe ameruhusu hili kutendeka. + +# Nani ajuaye kuwa Yahwe atanirehemu, ili mtoto aishi? + +Daudi anauliza swali hili kusisitiza kwamba hakuna ajuaye kama Yahwe angemwacha mtoto aishi. Hii inaweza kuandikwa kama taarifa. Hakuna ajuaye kwamba Yahwe atanirehemu ili mtoto aishi. + +# Lakini sasa amekufa, hivyo kwa nini nifunge? + +Daudi anatumia swali hili kutoa msisitizo kwamba hana haja ya kufunga tena. + +# Je naweza kumrudisha tena? + +Daudi anatumia swali hili kutoa msisitizo kwamba mtoto hawezi kurudi kuwa hai. + +# Nitakwenda kwake + +Daudi anaonesha kwamba atakapokufa atakwenda kwa mtoto. + diff --git a/2sa/12/24.md b/2sa/12/24.md new file mode 100644 index 00000000..f9ca7ede --- /dev/null +++ b/2sa/12/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Akaingia kwake, na kulala naye + +Kifungu "kuingia kwake" ni tamathali ya kuonesha kwamba Daudi alifanya tendo la ndoa na mkewe. Vifungu hivi viwili vinamaana moja na vinatumika kusisitiza kwamba walilala pamoja. + +# Alituma neno kupitia nabii Nathani + +Hapa "neno" inarejerea kwa Yahwe aliyemwambia Nathani kumwambia Daudi. + +# Yedidia + +Hili ni jina lingine la Sulemani mwana wa Daudi, Yahwe alilolichagua kwa ajili yake. + diff --git a/2sa/12/26.md b/2sa/12/26.md new file mode 100644 index 00000000..d4b04608 --- /dev/null +++ b/2sa/12/26.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Yoabu akapigana... akaukamata + +Hapa mwandishi anasema "Yoabu" lakini anarejerea kwa Yoabu na askari waliopigana pamoja naye. + +# Raba + +Kupigana dhidi ya mji hu, halisia inamaanisha kupigana dhidi ya watu wa Raba. + +# Hivyo Yoabu akatuma wajumbe kwa Daudi na kusema + +"Hivyo Yoabu akatuma wajumbe kwa Daudi kumwambia" + +# Wamechukua sehemu ya kusambaza maji mjini + +"Kukamata" eneo inamaanisha kuchukua umilki. + +# Kupiga kambi kinyume + +Hii inamaanisha kuzunguka na kushambulia. + +# Nimepigana... nimekamata... ikiwa nitachukua + +Hapa Yoabu anajisemea mwenyewe wakati halisia anarejerea kwake na askari wake. + +# Uchukue... chukua mji + +"Kuchukua" eneo inamaanisha kuchukua umilki. + +# Utaitwa + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. Yaani "watu watauita" + diff --git a/2sa/12/29.md b/2sa/12/29.md new file mode 100644 index 00000000..c94c0cb5 --- /dev/null +++ b/2sa/12/29.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Alipigana + +Hapa mwandishi anazungumzia Daudi wakati kwa uhalisia anarejerea kwa Daudi na askari wake. + +# Talanta + +Kwa vipimo vya sasa ni sawa na "kilo 34" + +# Jiwe la thamani + +Jiwe la nadra kupatikana kama vile almasi, rubi, na mengine + +# Taji iliwekwa katika kichwa cha Daudi mwenyewe + +Waliweka taji katika kichwa cha Daudi. + +# Akaondoa + +Hapa mwandishi anazungumzia Daudi wakati ki halisia anarejerea kwa askari wa Daudi. + +# Mateka + +Vitu vya thamani vinavyochukuliwa kutoka kwa adui aliyeshindwa. + +# Kwa wingi + +"kiwango" au "idadi" + diff --git a/2sa/12/31.md b/2sa/12/31.md new file mode 100644 index 00000000..ca410db0 --- /dev/null +++ b/2sa/12/31.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Akawaleta watu nje + +Daudi hakuwaleta nje watu mwenyewe; aliwaagiza askari wake kuwaleta nje. + +# misumeno, sululu, na shoka + +Hivi ni vifaa vya kukata miti au kuvuja ardhi. + +# Sehemu ya kutengenezea matofali + +Sehemu ambapo matofali yanakausha na kufanywa magumu + +# Miji yote ya watu wa Amoni + +Hii inarejerea kwa watu katika mji. + diff --git a/2sa/13/01.md b/2sa/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..fc80468c --- /dev/null +++ b/2sa/13/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ikawa baada ya haya + +"Ilitukia baada ya haya." Kifungu hiki inatambulisha tukio jipya katika habari. + +# Dada wa kambo + +Amnoni na Tamari walikuwa watoto wa baba mmoja lakini mama tofauti + +# Dada + +Absalomu na Tamari walikuwa watoto wa baba na mama mmoja. + +# Amnoni alichanganyikiwa kiasi cha kuwa mgojwa kwa kwa sababu ya Tamari dada yake + +Hii ni kwa sababu Amnoni alimtamani ili alale nae. + diff --git a/2sa/13/03.md b/2sa/13/03.md new file mode 100644 index 00000000..a5147ea3 --- /dev/null +++ b/2sa/13/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yehonadabu mwana wa Shama, nduguye Daudi + +Haya ni majina ya wanaume. Shama alikuwa kaka wa Daudi. + +# Mwelevu + +mwenye akili au mdanganyifu + +# Kuwa na mawazo + +Ni hali ya kihisia au huzuni ya hali ya juu + +# Je hautaniambia? + +Swali hili ni ombi la Yehonadabu ili aambiwe kwa nini Amnoni ana hali hiyo. + diff --git a/2sa/13/05.md b/2sa/13/05.md new file mode 100644 index 00000000..8a6c920b --- /dev/null +++ b/2sa/13/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yehonadabu + +Hili ni jina la mwanaume + +# Kujifanya kuugua + +Kuwa na mwonekano wa kuwa mgonjwa + +# na kula kutoka mkononi mwake... niweze kula mkononi mwake + +Hili ni ombi lake ili ahudumiwe chakula peke yake. + +# kwa ugonjwa wangu mbele yangu + +Chakula si kwa ajili ya ugonjwa wake, bali ni kwa ajili yake kwa sababu ni mgonjwa. Kifungu "mbele yangu" ni ombi kwa kuandaa chakula mbele yake. + diff --git a/2sa/13/07.md b/2sa/13/07.md new file mode 100644 index 00000000..1a0f7837 --- /dev/null +++ b/2sa/13/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Daudi akatuma neno + +Hii inamaanisha kwamba alituma mjumbe kuongea na Tamari + +# Donge + +Mchanganyiko wa unga na maji unaotumika kwa kuokea. + +# Kuukanda + +Kutumia mikono kulichanganya donge + +# mbele yake + +Hii inamaanisha kwamba Tamari alitengeneza mkate mbele ya Amnoni. + +# Hivyo kila mtu akatoka + +"Kutoka nje kwa mtu" inamaanisha kuwaacha. + diff --git a/2sa/13/10.md b/2sa/13/10.md new file mode 100644 index 00000000..7eb8730d --- /dev/null +++ b/2sa/13/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ili nile mkononi mwako + +Hili ni ombi kwa Tamari kumhudumia chakula binafsi + +# Usinilazimishe + +Hii inamaanisha kwamba "usinilazimishe kulala nawe" + +# Jambo lisilofaa + +La kuaibisha sana + diff --git a/2sa/13/13.md b/2sa/13/13.md new file mode 100644 index 00000000..86a39694 --- /dev/null +++ b/2sa/13/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Tamari anaendelea kuongea na Amnoni + +# Ningeenda wapi kujiepusha na aibu ambayo ingewekwa juu yangu maishani? + +Tamari anauliza swali hili kusisitiza kiasi gani angeona aibu kama atalala naye. + +# Kujiepusha na aibu hii. + +Tamari anazungumzia kuondoa aibu yake kama vile ingekuwa adui au mtesaji aliyetaka kumkwepa. + diff --git a/2sa/13/15.md b/2sa/13/15.md new file mode 100644 index 00000000..f30b511f --- /dev/null +++ b/2sa/13/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maana uovu huu wa kunifanya niondoke ni mkuu zaidi + +Jina la dhahania "uovu huu mkuu" linaweza kuoneshwa kwa kitenzi. + +# Funga mlango nyumba yake + +Hii inamaanisha kufunga mlango ili asiingie tena. + diff --git a/2sa/13/18.md b/2sa/13/18.md new file mode 100644 index 00000000..30e27067 --- /dev/null +++ b/2sa/13/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Akafunga mlango nyuma yake + +Hii inamaanisha kufunga mlango ili kwamba asiweze kuingia tena. + +# akaweka majivu kichwani pake na kuchana vazi lake. Akaweka mikono yake kichwani pake + +Haya ni matendo ya kuomboleza au kuhuzunika katika utamaduni wa Kiisraeli. Hii ilionesha kwamba alikuwa na huzuni sana. + diff --git a/2sa/13/20.md b/2sa/13/20.md new file mode 100644 index 00000000..64e6d700 --- /dev/null +++ b/2sa/13/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Je amekuwa nawe Amnoni nduguyo? + +Hii ni njia laini ya kuuliza je Amnoni amekuwa na uhusiano wa tendo la ndoa nawe. + +# Nyamaza + +Hii inamaanisha kutomwambia mtu juu ya jambo fulani. + +# Usiliweke jambo hili moyoni + +Kifungu "kuweka jambo moyoni" inamaanisha "kuhofu juu yake." + +# Hivyo Tamari akabaki peke yake + +Hii inamaanisha kwamba hakuolewa. + +# hakusema lolote + +"alinyamaza" + diff --git a/2sa/13/23.md b/2sa/13/23.md new file mode 100644 index 00000000..a44d2c15 --- /dev/null +++ b/2sa/13/23.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Ikawa baada ya miaka miwili mizima + +Hii inamaanisha kuwa miaka miwili imepita na inatambulisha tukio linalofuata katika habari. Kifungu "mikaa kamili" inamaanisha miaka miwili kamili. + +# Wakata manyoya + +Hawa ni watu wanaokata manyoya ya kondoo + +# Baal Hazori + +Hili ni jina la mahali. + +# Basi tazama + +Hiki ni kifungu inachotumika kuonesha umakini kwa ajili ya kile kinachofuata. + +# mtumishi wako + +Absalomu anajiita "mtumishi wako" kuonesha heshima. + +# Anawakatao kondoo manyoya + +Ilikuwa desturi kwa watu katika Israeli kufanya sherehe baada ya kukata kondoo wao manyoya. + +# mfalme aweza + +Japokuwa na aongea na mfalme baba yake, anamwita "mfalme" badala ya "wewe" kuonesha heshima yake. + diff --git a/2sa/13/25.md b/2sa/13/25.md new file mode 100644 index 00000000..847c067c --- /dev/null +++ b/2sa/13/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tafadhari mwache ndugu yangu Amnoni aende nasi + +Mwana mkuu alimwakilisha baba yake katika utamaduni wa Kiisraeli. Amnoni alikuwa mwana mkuu wa Daudi. + +# Kwa nini Amnoni aende nanyi? + +Daudi alifahamu kwamba Absalomu na Amnoni hawakuwa marafiki. + diff --git a/2sa/13/27.md b/2sa/13/27.md new file mode 100644 index 00000000..7632fa81 --- /dev/null +++ b/2sa/13/27.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Absalomu alimsihi Daudi + +Hapa mwandishi anamzungumzia Absalomu akimsihi Daudi kumwacha Amnoni kuja kama vile kuweka msukumu wa kimwili juu yake. + +# Msiogope + +Hii inamaanishi hawaitaji kuogopa matokeo ya kumwua Amnoni. + +# Je siyo mimi niliyewaagiza? + +Absalomu anauliza swali hili kusistiza kwamba atalaumiwa yeye kwa kuagiza wafanye hivyo. + +# si kuwaagiza + +Kile alichokiagiza Absalomu kinaweza kuelezwa kwa swali kama je sikuwaagiza kumwua? + +# wana wote wa mfalme + +Hii haiwahusishi Absalomu na Amnoni aliyekufa. Inawahusu wana wa mfalme aliowaruhusu kwenda kwenye sherehe. + +# kila mtu + +Hii inahusisha wana wa mfalme walioondoka shereheni. + diff --git a/2sa/13/30.md b/2sa/13/30.md new file mode 100644 index 00000000..845df7ff --- /dev/null +++ b/2sa/13/30.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hivyo ikawa + +"Ikatukia." Kifungu hiki kimetumika kutambulisha tukio linalofuata katika habari. + +# Njiani + +"kusafiri njiani" + +# Habari ikamfikia Daudi kusema + +Hapa inasema kwamba habari ilikuja,mtu alikuja na kumwambia Daudi ile habari. + +# Ndipo mfalme alipoinuka + +"Kisha mfalme akainuka" + +# akachana nguo zake, na kulala juu ya sakafu + +Alifanya hivi kuonesha kwamba alikuwa na huzuni sana. + +# pamoja na nguo zao zimechanwa + +Walifanya hivi kuonesha huzuni yao na kuomboleza pamoja na mfalme. + diff --git a/2sa/13/32.md b/2sa/13/32.md new file mode 100644 index 00000000..10e7c61c --- /dev/null +++ b/2sa/13/32.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Yehonadabu... Shama + +Huyu ni mwana wa nduguye Daudi + +# Bwana wau asiamini + +"Bwana wangu, usiamini" + +# bwana wangu + +Yehonadabu anamwita Daudi "bwana wangu" kuonesha heshima. + +# Amnoni alimwaribu dada yake + +Hii ni njia rahisi ya kusema Amnoni alimbaka dada yake. + +# bwana wangu mfalme asi + +"bwana wangu mfalme, usi" + +# kuweka taarifa hii moyoni + +Kifungu "kuweka jambo moyoni" inamaanisha "kuhofu juu ya jambo fulani." + diff --git a/2sa/13/34.md b/2sa/13/34.md new file mode 100644 index 00000000..af258365 --- /dev/null +++ b/2sa/13/34.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kuangalia + +Hii inamaanisha mtumishi alikuwa akiangalia kwa mbali wakati akilinda katika ukuta wa mji. + +# Kuinua macho yake + +Hapa mtumishi anaangalia juu ya kitu kinachozungumziwa kama aliinua macho yake. + +# Hivyo ikawa + +Kifungu hiki inatambulisha jambo linalofuata katika habari. + +# Wakainua sauti zao + +Hapa wana kulia kwa sauti kunasemwa kama vile sauti zao zilikuwa kitu kilichoinuliwa angani. + diff --git a/2sa/13/37.md b/2sa/13/37.md new file mode 100644 index 00000000..57ff57bb --- /dev/null +++ b/2sa/13/37.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Talmai... Amihudi + +Haya ni majina ya wanaume. + +# kwa ajili ya mwanawe + +"mwanawe Amnoni" + +# Alipokuwa kwa miaka mitatu + +"Alipokaa kwa muda wa miaka mitatu" + +# Akili wa Mfalme Daudi ulitamani + +Hapa Daudi anarejerewa kwa moyo wake kusisitiza mawazo yake. + +# Maana alikuwa amefarijika kuhusu Amnoni na kifo chake. + +"Hii ni kwa sababu hakuwa na huzuni tena juu ya Amnoni kufa. + diff --git a/2sa/14/01.md b/2sa/14/01.md new file mode 100644 index 00000000..8e5ce9f6 --- /dev/null +++ b/2sa/14/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Basi + +Neno hili linatumika hapa kuonesha kikomo katika habari kuu. Hapa mwandishi anazungumzia mtu mwingine katika habari. + +# Seruya + +Hili ni jina la mwanamme + +# Kufahamu + +Hii inamaana kuwa Yoabu alitambua alichokuwa anafikiri Daudi. + +# akapeleka neno Tekoa na kutaka mwanamke mwerevu aletwe. + +Hii inamaanisha kuwa alituma mtu akiwa na ujumbe huko Tekoa na kumletea mwanamke. + +# Tekoa + +Hili ni jina la eneo + +# Uwe kama mwanamke aliyeomboleza + +Yoabu anatoa mlinganisho, akieleza kwa mwanamke jinsi alivyomtaka aonekane. + +# aliyekufa + +Hii inarejea kwa mtu aliyekufa, siyo wafu wote kwa jumla. + diff --git a/2sa/14/04.md b/2sa/14/04.md new file mode 100644 index 00000000..861922a9 --- /dev/null +++ b/2sa/14/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# akainamisha uso wake juu ya ardhi + +Alifanya hivyo kuonesha heshima yake na utii kwa mfalme. + +# mmoja alimpiga mwingine + +"mmoja wa wanangu alimpiga mwenzake kwa kitu. + diff --git a/2sa/14/07.md b/2sa/14/07.md new file mode 100644 index 00000000..57483fb6 --- /dev/null +++ b/2sa/14/07.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# ukoo wote + +"familia yangu yote" + +# Mtumishi wako + +Mwanamke anatumia jina hili kuonesha heshima yake kwa mfalme + +# Kumwua + +Hii inamaanisha kuua + +# Wangemwaribu na mrithi pia + +Ikiwa wangemwua na ndugu mkosaji kusingekuwa na mwana aliyesalia kurithi mali ya familia. + +# Hivyo wangelizima hata kaa liwakalo lililosalia + +Hapa mwanamke anarejerea kwa mwana pekee aliyesalia kama kaa liwakalo. Anazungumzia mtu kumwua mwanawe kama kulizima kaa liwakalo. + +# Hawatamwachia mme wangu siyo jina wala mzao + +Hii inaweza kuelezwa katika muundo chanya. + +# Siyo jina wala mzao + +Hii inahusu mwna kubeba jina la familia kwa kizazi kijacho. + +# juu ya uso wa nchi + +"juu ya nchi." Kifungu hiki kinasisitiza familia isingeendelea kuwepo baada ya mme kufariki. "juu ya nchi" inamaanisha juu ya ardhi ambapo watu wanatembea. + diff --git a/2sa/14/08.md b/2sa/14/08.md new file mode 100644 index 00000000..85641bc6 --- /dev/null +++ b/2sa/14/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nitaagiza jambo utakalofanyiwa + +Inamaanisha nitalishugulikia jambo hili + +# Tekoa + +Ni jina la sehemu + +# Hatia iwe juu yangu na juu ya familia ya babangu + +Hii inamaanisha kwamba ikiwa watu watasema kwamba mfalme amekosea kusaidia familia ya mwanamke yeye hatakuwa na hatia. + +# mfalme na kiti chake cha enzi + +Hapa neno "kiti cha enzi" linarejerea yeyote angekuja kuwa mfalme mahala pa Daudi. + +# Hawana hatia + +"Ni msafi." Hapa mwanamke anaongelea mfalme kuwa safi kwa kuisaidia familia yake ikiwa angekuwa ameisaidia tayari. + diff --git a/2sa/14/10.md b/2sa/14/10.md new file mode 100644 index 00000000..bcd0a4df --- /dev/null +++ b/2sa/14/10.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kusema chochote kwako + +Hapa vitisho vya maneno vinazungumzwa kwa ujumla. + +# Hatakugusa tena + +Hapa Daudi anazungumzia mtu kutomgusa au kumtisha, kwa kusema kwamba mtu hata kugusa. Inaonesha kwamba Daudi hataruhusu mtu kumtisha ili kumsumbua. + +# kwamba wasimwaribu mwanangu + +"Kwamba hawatamwua mwanangu" au "kwamba hawatamnyonga mwanangu" + +# Tafadhari, mfalme na amkumbuke Yahwe Mungu wake + +Maana kisiwa 1) Kifungu "kukumbuka" ni usemi unaomaanisha kuomba. Yaani "Tafadhari mwombe Yahwe Mungu wako au 2) Hapa "kumbuka" inamaanisha kukumbuka na inaonesha kwamba baada ya kumkumbuka Yahwe atatoa ahadi kwa jina lake. + +# Mlipa kisasi cha damu + +Hii inarejerea kwa mtu anayetaka kulipiza kisasi cha kifo cha ndugu yake. + +# Kumwangamiza mwingine zaidi + +"kusababisha mwingine zaidi afe." Hii ni nyongeza kwa mwingine aliyeuawa. + +# Hakuna hata unywele mmoja wa mwanao utakaoanguka chini. + +Hii inamaana kwamba mwanawe hatapata madhara, ambayo inatia chumvi kwamba hatapoteza hata unywele mmoja. + +# Kama Yahwe aishivyo + +Mara kwa mara watu waliahidi na kulinganisha kwa uhakika jinsi ambavyo wangeakikisha ahadi zao kwa jinsi Yahwe anavyoishi. + diff --git a/2sa/14/12.md b/2sa/14/12.md new file mode 100644 index 00000000..e66a489c --- /dev/null +++ b/2sa/14/12.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# sema neno zaidi + +"kusema nawe neno zaidi." Mwanamke anaomba kusema na mfalme jambo lingine. + +# Mtumishi wako + +Kuonesha heshima kwa mfalme + +# Kuongea zaidi + +Mfalme alimpa ruhusu kuongea zaidi. + +# Kwa nini basi umetenda jambo la namna hiyo kwa watu wa Mungu? + +Mwanamke anauliza swali hili kumkemea Daudi kwa jinsi alivyomtendea Absalomu. + +# Mfalme ni kama mwenye hatia + +Mwanamke anamlinganisha mfalme na mtu mwingine aliye na hatia bila kusema moja kwa moja. + +# Mwanawe aliyefukuzwa + +Hii inaweza kuelezwa kama "mwanawe aliyetengwa. + +# Maana wote ni lazima tufe, nasi ni kama maji tukimwagika juu ya ardhi... juu tena. + +Hapa mwanamke anazungumzia mtu anayekufa kama maji yamwagikayo juu ya nchi. + +# Mungu... hutafuta njia kwa wale waliofukuzwa kurudishwa tena. + +Mwanamke anaonesha kwamba Daudi anapaswa kumrudisha mwanawe. + diff --git a/2sa/14/15.md b/2sa/14/15.md new file mode 100644 index 00000000..e8a079ce --- /dev/null +++ b/2sa/14/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kwa sababu watu wamenitisha. + +Maneno yanayokosekana yanaweza kuongezwa katika kifungu hiki. Yaani "kwa sababu watu wameniogopesha hata nimekuja" + +# Mtumishi wako + +Hii ni kuonesha heshima kwa mfalme hivyo anajiita "mtumishi wako" + +# Kumtoa mtumishi wake + +Hapa kifungu "kumtoa" inamaanisha kumkabizi katika mikono ya mtu mwingine. + +# Kutoka katika mkono wa mtu + +Hapa "mkono" unarejerea katika mamlka ya mtu. + +# Kutoka katika urithi wa Mungu + +Hii inamaanisha kwamba wasingekuwa na mzao yeyote wa kuishi katika nchi ambayo ingelithiwa na wazao wao. + +# Neno la bwana wangu mfalme + +Kirai jina "neno" kinaweza kuelezwa na kitenzi "husema" + +# Maana kama malaika wa Mungu, ndivyo alivyo bwana wangu... kutoka uovu + +Hapa Daudi, mfalme, analinganishwa na "malaika wa Mungu." Hii ni kwa sababu wote wanajua jinsi ya kutofautisha mema kutoka mabaya. + diff --git a/2sa/14/18.md b/2sa/14/18.md new file mode 100644 index 00000000..9a2e7f59 --- /dev/null +++ b/2sa/14/18.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Tafadhari usinifiche neno lolote nikuulizalo + +Muundo wa kinyume umetumika hapa ili kusisitiza na unaweza kuelelezwa kwa muundo chanya. Yaani "tafadhari niambie ukweli kuhusu lolote ninalokuuliza" + +# Je si mkono wa Yoabu uliopamoja nawe katika hili + +Hapa neno "mkono" linaonesha ushawishi wa Yoabu. + +# Kama uishivyo + +"Hakika kama uishivyo." Hapa mwanamke analinganisha uhakika wa alichokisema Daudi amesema kwa hakika kwamba anaishi, ili kusisitiza jinsi taarifa ilivyo ya kweli + +# Hakuna awezaye kuelekea mkono wa kulia... mfalme alivyosema + +Hapa mwanamke anaeleza ugumu wa kuongea na mfalme na kumficha asigundue ukweli kwa kulinganisha na mtu asivyoweza kuelekea upande wowote. + +# Mkono wa kulia au wa kushoto + +Taarifa inatoa milengo miwili na inamaanisha "popote." + +# Bwana wangu ni mwelevu + +Bwana wangu mfalme ni mwenye hekima" + +# Ni mwenye hekima, kama hekima ya malaika wa Mungu + +Mwanamke analinganisha hekima ya Daudi na ya malaika kusisitiza jinsi alivyo mwenye hekima. + diff --git a/2sa/14/21.md b/2sa/14/21.md new file mode 100644 index 00000000..2ba1222d --- /dev/null +++ b/2sa/14/21.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Hivyo mfalme akamwambia Yoabu + +Hii inamaana kwamba mfalme alitaka Yoabu aletwe mbele yake ili kwamba aongee naye. + +# Basi tazama + +Kifungu kimetumika kuonesha usikivu wa mtu kwa kusikiliza kwa makini kinachosemwa baada ya hapo. + +# Jambo hili + +Hii inarejea kwa anachotaka Yoabu mfalme akifanye. + +# Yoabu akainamisha uso wake chini + +Yoabu alifanya hivi kwa kumweshimu mfalme na kuonesha shukurani yake. + +# mtumishi wako + +Hii ni kuonesha heshima kwa mfalme + +# Nimepata kibari mbele zako + +Kifungu "kuona kibari" kinamaanisha kuthibitishwa na mtu fulani. Kifungu "mbele yako" kinarejea kwa anachokifikiri mfalme. + +# Katika hilo mfalme + +"kwa sababu mfalme" + +# Mfalme ametimiza haja + +"Umefanya nilichokuomba kufanya" + diff --git a/2sa/14/23.md b/2sa/14/23.md new file mode 100644 index 00000000..fb85263c --- /dev/null +++ b/2sa/14/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# lakini hataweza kuuona uso wangu... uso wa mfalme + +Hapa neno "uso" linamrejerea mfalme. + diff --git a/2sa/14/25.md b/2sa/14/25.md new file mode 100644 index 00000000..4c6308bc --- /dev/null +++ b/2sa/14/25.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Basi + +"Basi" inaonesha badiliko katika habari kuu. Hapa Samweli anatoa sehemu nyingine ya habari. + +# Hakukuwa na mtu katika Israeli aliyesifiwa kwa uzuri kama Absalomu + +Watu walimsifu Absalomu kwa uzuri wake wa sura kuliko walivyomsifu mwingine yeyote. + +# Kutoka katika wayo wa mguu wake hadi katika utosi wake hakuwa na waa lolote + +Hii inamaanisha kwamba hakuwa na kasoro. + +# shekeli mia mbili + +Katika vipimo vya sasa ni sawa na "kilo mbili na nusu" + +# Kwa kiwango cha kipimo cha mfalme + +Mfalme alikuwa na kipimo kilichoamua kiwango cha uzito wa shekeli, uzito mwingine na vipimo vingine. + +# Walizaliwa kwa Absalomu wana watatu na binti mmoja + +Inamaanisha Absalomu alikuwa na watoto watatu wa kiume na binti mmoja. + diff --git a/2sa/14/28.md b/2sa/14/28.md new file mode 100644 index 00000000..c2c3c7be --- /dev/null +++ b/2sa/14/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Uso wa mfalme + +Hii inamaansisha mfalme. + +# Absalomu akatuma neno kwa Yoabu + +Hii inamaanisha kwamba alittuma mjumbe kwa Yoabu akiwa na ombi. + +# Kumpeleka kwa mfalme + +Inaoneshwa kwamba Absalomu alimtaka Yoabu kuja kwake ili amwone na kuingilia kati ili aweze kumwona mfalme. + +# Hivyo Absalomu akatuma neno mara ya pili + +Hii inamaanisha kwamba alituma tena mjumbe kwa Yoabu akiwa na ombi lilelile. + diff --git a/2sa/14/30.md b/2sa/14/30.md new file mode 100644 index 00000000..82d0dae5 --- /dev/null +++ b/2sa/14/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tazama + +Hapa neno hili linatumima kama usemi kuwakumbusha watu juu ya jambo fulani. + diff --git a/2sa/14/32.md b/2sa/14/32.md new file mode 100644 index 00000000..1503d1e3 --- /dev/null +++ b/2sa/14/32.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Tazama + +Neno hili limetumika hapa kama usemi kusisitiza, na kuthibitisha kinachosemwa baada ya hapa. + +# Nilituma neno + +Hii inamaana alituma mjumbe. + +# Kwa mfalme kusema + +Ujumbe kwa mfalme hapa umeandikwa kama Absalomu ndiye alikuwa mzungumzaji. Absalomu alikuwa akimwomba Yoabu kusema ujumbe kwa niaba yake. + +# Uso wa mfalme + +Hii inamrejerea mfalme. + +# Aliinama chini mbele ya mfalme hadi kwenye ardhi + +Absalomu anaonesha heshima kwa mfalme. + +# Mfalme akambusu Absalomu + +Hii inamaanisha kwamba mfalme alisamehe na kumrudisha Absalomu. + diff --git a/2sa/15/01.md b/2sa/15/01.md new file mode 100644 index 00000000..9badd75f --- /dev/null +++ b/2sa/15/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ikawa + +Kifungu hiki kinatambulisha tukio jingine katika habari + +# Na watu hamsini kwenda mbele yake + +Watu hawa wangekwenda mbele ya kibandawazi kwa kumweshimu Absalomu. + +# Mtumishi wako + +Mtu alipomjibu Absalomu alimrejerea kwa kusema "mtumishi wako" kuonesha heshima yake kwa Absalomu. + diff --git a/2sa/15/03.md b/2sa/15/03.md new file mode 100644 index 00000000..9ff01491 --- /dev/null +++ b/2sa/15/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hivyo Absalomu angemwambia + +Inaonesha kwamba mtu alimwambia Absalomu shitaka lake. Yaani Absalomu angemwuliza tatizo lake lilikuwa ni nini, ndipo mtu alipomweleza Absalomu kwa nini alitafuta haki. + +# Vema na haki + +Maneno yana maana moja na yanatumika pamoja kusisitiza kwamba shitaka lake lilikuwa jema. + +# kusikiliza kesi yako + +"Kusikiliza" shitaka inamaanisha kuisikiliza na kufanya maamuzi. + diff --git a/2sa/15/05.md b/2sa/15/05.md new file mode 100644 index 00000000..b7c45b40 --- /dev/null +++ b/2sa/15/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# yeye hunyosha mkono na kumshika na kumbusu + +Hili ni tendo la salamu ya kiurafiki. + +# kwa hukumu + +Hii inamaanisha kwamba walimjia mfalme ili kuamua migogoro yao + +# Hivyo Absalomu akaiba mioyo ya watu wa Israeli + +Hii inamaanisha kwamba Absalomu aliwashawishi watu kumtii yeya zaidi ya Daudi. Hapa mwandishi anaongelea jinsi watu walivyomtii Absalomu kwa kusema aliiba mioyo ya watu. + diff --git a/2sa/15/07.md b/2sa/15/07.md new file mode 100644 index 00000000..0505f86c --- /dev/null +++ b/2sa/15/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ikawa + +Kifungu hiki kinatumika kutambulisha tukio linalofuata katika habari. + +# hata mwisho wa miaka minne Absalomu + +Hii inarejerea miaka minne baada ya kurudi Yerusalemu. + +# na kutimiza nadhiri niliyoiweka kwa Yahwe nilipokuwepo Hebroni + +"kwenda Hebroni na pale nitatimiza nadhiri niliyomfanyia Yahwe" + +# Kwa miaka minne + +Hapa Absalomu anajirejerea katika namna ya kumweshimu mfalme. + diff --git a/2sa/15/09.md b/2sa/15/09.md new file mode 100644 index 00000000..2e62df9c --- /dev/null +++ b/2sa/15/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hivyo Absalomu akainuka + +"Hivyo Absalomu anaondoka" + +# Katika makabila yote ya Israeli + +Hapa sehemu walipoishi makabila ya Israeli zinatajwa kama makabila yenyewe. + +# Sauti ya tarumbeta + +"tarumbeta ikipigwa" + diff --git a/2sa/15/11.md b/2sa/15/11.md new file mode 100644 index 00000000..81fcf33d --- /dev/null +++ b/2sa/15/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Waliokuwa wamearikwa + +Inamaanisha "watu waliokuwa wamepewa taarifa" + +# Wakaenda katika ujinga wao + +Hawakuwa wanatambua kwa undani kilichokuwa kinakwenda kutendeka + +# Akamwita Ahithofeli + +Hii inamaanisha kwamba alituma wajumbe kumwita Ahithofeli na kumleta kwake. + +# Ahithofeli + +Hili ni jina la mwanamme. + +# Gilo + +Hili ni jina la sehemu. + diff --git a/2sa/15/13.md b/2sa/15/13.md new file mode 100644 index 00000000..b4b81280 --- /dev/null +++ b/2sa/15/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mioyo ya watu wa Israeli inaambatana + +Hapa watu wanarejerewa kwa "mioyo" kusisitiza utiifu wao kwa Absalomu. + +# kujiepusha na Absalomu... kwa haraka... na ataleta + +Hapa Daudi anaongelea Absalomu na watu aliokuwa nao kama "Absalomu" yeye mwenyewe kwa sababu watu walikuwa wanafuata mamlaka ya Absalomu. + +# kuushambulia mji kwa ukali wa upanga + +"Mji" unatajwa kuonesha watu wa mji. "Ncha ya upanga" inarejerea kwa panga za waisraeli kusisitiza kwamba waliwaua watu vitani. + +# kusababisha madhara + +Hii inamaanisha kusababisha madhara kutokea. + diff --git a/2sa/15/16.md b/2sa/15/16.md new file mode 100644 index 00000000..0adc3e1d --- /dev/null +++ b/2sa/15/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kulitunza kasiri + +Hapa neno "kutunza" linamaanisha kutunza. + +# katika nyumba ya mwisho + +Hii inarejerea nyumba ya mwisho ambayo wangefikia wakati wanaondoka mjini. + +# Wakerethi... Wapelethi + +Hawa walikuwa watumishi wa Daudi + +# Wagiti + +Hili ni kundi la watu waliokuwa katika nchi ya Palesitina + +# Watu mia sita + +"watu 600" + diff --git a/2sa/15/19.md b/2sa/15/19.md new file mode 100644 index 00000000..34e42c51 --- /dev/null +++ b/2sa/15/19.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Itai + +Hili ni jina la mwanamme. + +# Mgiti + +Hii ni aina ya kabila fulani + +# Kwa nini ulikwenda nasi pia? + +Swali hili linaonesha kwamba mfalme hakuwa amewaomba kwenda naye. + +# Kwa nini mimi niwafanye mtangetange pamoja nasi? + +Swali hili linasisitiza kwamba Daudi hakutaka Itai aende. + +# Kwa vile uliondoka jana tu + +Kutia chumvi huku kunatumika kusisitiza. Itai Mgiti alikuwa amekaa pale kwa miaka kazaa. + +# Utiifu na uaminifu na uambatane nanyi. + +Hii ni baraka ambayo Daudi anampa. + diff --git a/2sa/15/21.md b/2sa/15/21.md new file mode 100644 index 00000000..5e00a683 --- /dev/null +++ b/2sa/15/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kama Yahwe aishivyo, na kama bwana wangu mfalme aishivyo + +Hapa mwandisha anafanya ahadi ya dhadi. Analinganisha uhakika wa kutimiza ahadi kwa uhakika wa kuishi kwa mfalme na Yahwe. + +# mtumishi wako + +Itai anajitaja kwa heshima ya mfalme. + +# kwamba ni maisha au kifo + +"hata kama nitauawa nikikusaidia" + +# Nchi yote ikalia kwa sauti kuu + +Wengi wa watu wa Israeli walilia kwa sauti walipomwona mfalme akiondoka. Huku ni kutia chumvi kwamba nchi yote ililia. + +# kwa sauti kuu + +Hapa watu wengi waliokuwa wakilia wanatajwa kama walishirikiana sauti kuu. + +# Bonde la Kidroni + +Hili ni jina la eneo karibu na Yerusalemu + diff --git a/2sa/15/24.md b/2sa/15/24.md new file mode 100644 index 00000000..fb3bf309 --- /dev/null +++ b/2sa/15/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nikiona kibari machoni pa Yahwe + +Hapa "macho ya Yahwe" inaonesha mawazo na maoni ya Yahwe. Ikiwa "nitaona kibari" inamaanisha kama atapendezwa nawe. + +# Mahali aishipo + +"Mahali uwepo wake ulipo." Sanduku la agano linaashiria uwepo wa Yahwe. Hii inarejerea mahali sanduku lilipo. + diff --git a/2sa/15/27.md b/2sa/15/27.md new file mode 100644 index 00000000..2d9e45d5 --- /dev/null +++ b/2sa/15/27.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Ahimaasi + +Hili ni jina la mwanamme. + +# Abiathari + +Hili ni jina la mwanamme + +# Je wewe si mwonaji? + +Swali hili linatumika kumkemea Sadoki. + +# Tazama + +Hii inamtaka msikilizaji kuwa msikivu kwa kinachofuata. + +# Hata neno litakapotoka kwenu + +Hii inaonesha yeye akipeleka mjumbe kwa mfalme. + +# Kunitaarifu + +Hapa mfalme anaonesha kwamba atapokea ujumbe kumtaarifu kinachofanyika Yerusalemu. + diff --git a/2sa/15/30.md b/2sa/15/30.md new file mode 100644 index 00000000..43e477d9 --- /dev/null +++ b/2sa/15/30.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mikuu mitupu + +bila kuvaa viatu au kandambili + +# kichwa chake kimefunikwa + +Hii ni ishara ya kuomboleza na aibi + +# Ahithofeli + +Hili ni jina la mwanamme + +# waaini + +Watu wanaoungana kinyume cha mwingine + +# Tafadhari ligeuze shauri la Ahithofeli katika upumbavu + +Daudi anamwomba Yahwe alifanye shauri la Aithofeli katika upumbavu na kutokufaa. + diff --git a/2sa/15/32.md b/2sa/15/32.md new file mode 100644 index 00000000..fbcf6712 --- /dev/null +++ b/2sa/15/32.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Ikawa + +"Ilitukia." Kifungu hiki kinaonesha tukio linalofuata katika habari. + +# juu njiani + +Neno "juu" limetumika hapa kwa sababu Daudi alipanda juu katika mwinuko na yupo juu ya kilima. + +# Mahali Mungu alipokuwa akiabudiwa + +Hii inaweza kuelezwa kuwa "mahali ambapo watu walikuwa wakimwabudu Mungu" + +# Hushai + +Hili ni jina la mwanamme. + +# Mwarki + +Hili ni jina la kundi la watu. + +# Vazi lake likiwa limechanwa na udongo kichwani + +Hili ni tendo la kuonesha aibu au toba. Hapa neno "udongo" linamaanisha uchafu. + +# Utalibadili shauri la Aithofeli kwa ajili yangu + +Maoni ya Daudi kwa Hushai kwamba apinge kile Aithofeli anachoshauri. + diff --git a/2sa/15/35.md b/2sa/15/35.md new file mode 100644 index 00000000..0effca0a --- /dev/null +++ b/2sa/15/35.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Je haunao pamoja nawe Sadoki na Abiathari makuhani? + +Daudi anauliza swali hili ili kumwambia Hushai kwamba hayupo peke yake. Yaani kuonesha kwamba "Sadoki na Abiathari makuhani watakuwepo kukusaidia." + +# chochote unachosikia... lolote usikialo + +Hii ni kuzidisha maana; haimaanishi kila neno asikialo. Inamaanisha mambo muhimu ayasikiayo. + +# Ahimaasi... Yonathani + +Haya ni majina ya watu. + +# Kwa mikono yao + +Kifungu "mikono yao" kinarejerea kwa wana na kinamaanisha kwamba wangehudumu kama wajumbe. + diff --git a/2sa/16/01.md b/2sa/16/01.md new file mode 100644 index 00000000..9adf66b2 --- /dev/null +++ b/2sa/16/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Siba + +Hili ni jina la mwanamme + +# Mefiboshethi + +Hili ni jina la kijana wa Yonathani mwana wa Sauli. + +# Mikate mia mbili... vichala mia moja... vishada mia moja + +"mikate 200 ... vichala 100... vishada 100" + +# Vipande vya mikate + +visehemu vya mikate + +# vishada mia moja vya mizeituni... vishada vya tini + +Kifungu hiki kinamaanisha vishada vya mizeituni vilivyosindikwa pamoja + +# Mizeituni + +vichala vilivyo kaushwa + +# Kiriba vya mvinyo + +"Kiriba cha ngozi kilichojaa mvinyo" + +# Kuzimia + +"Kuchoka sana sana" + diff --git a/2sa/16/03.md b/2sa/16/03.md new file mode 100644 index 00000000..13d8625a --- /dev/null +++ b/2sa/16/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Mjukuu wa bwana wako + +"Mefiboshethi, mjukuu wa bwana wako" + +# mjukuu + +mwana wa mtoto wa mtu. + +# Tazama + +Hapa neno hili linatumika kuvuta makini ya mtu kwa kinachofuata. + +# Nyumba ya Israeli + +Hii inahusu watu wa Israeli + +# Nitaurudisha ufalme wa baba yangu kwangu + +Mjukuu wa Sauli kuruhusiwa kutawala kunazungumzwa kana kwamba ni kuurudisha ufalme katika familia yao. + +# Mefiboshethi + +Hili ni jina la mwanamme, aliyekuwa kijana wa Yonathani mwana wa mfalme Sauli. + +# Nainama kwa unyenyekevu kwako + +Siba hainami kiuhalisia mbele za mfalme anapoongea. Hii inamaanisha kwamba atamtumikia mfalme kwa kiwango kilekile cha unyenyekevu kama ambavyo angefanya kama angeinama kiuhalisia mbele zake. + +# kupata kibari mbele zako + +Kifungu "kuona kibari" kinamaanisha kukubaliwa na mtu. Kingungu "mbele zako" inaonesha anachofikiri mfalme. + diff --git a/2sa/16/05.md b/2sa/16/05.md new file mode 100644 index 00000000..78a2f855 --- /dev/null +++ b/2sa/16/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Bahurimu + +Jina la mahali + +# Shimei... Gera + +Haya ni majina ya wanaume + +# Badala ya + +"Hata hivyo kulikuwa na" + +# Walinzi + +Hawa ni watu wanaomlinda mtu mhimu. + diff --git a/2sa/16/07.md b/2sa/16/07.md new file mode 100644 index 00000000..9e08520f --- /dev/null +++ b/2sa/16/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mwovu + +Mtu mwovu, mkosaji au mvunja sheria. + +# mtu wa damu + +Hapa "damu" inaonesha watu wote aliokuwa amewaua vitani. + +# Yahwe amekulipa + +Yahwe anawalipa kwa kuwaadhibu. + +# Kwa damu ya familia ya Sauli + +Hapa "damu" inaonesha watu waliokuwa wameuawa kutoka katika familia ya Sauli. Mfalme alikuwa anawajibika kwa kufa kwao. + +# ambaye umemiliki badala yake + +Daudi alitawala kama mfalme juu ya watu ambao Sauli alikuwa amewamilki. + +# katika mkono wa Absalomu + +Hapa "mkono" unaonesha mamlaka. + diff --git a/2sa/16/09.md b/2sa/16/09.md new file mode 100644 index 00000000..74b9a6f4 --- /dev/null +++ b/2sa/16/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Abishai + +Hili ni jina la mwanamme + +# Seruya + +Hili ni jina la mwanamme + +# Kwa nini mbwa mfu huyu amlaani bwana wangu mfalme + +Abishai aliuliza swali hili kuonesha hasira yake juu ya mtu yule. + +# Umbwa mfu huyu + +Hapa mtu anaelezwa kwamba hafai kwa kulinganishwa na mbwa mfu. + +# Nifanye nini nanyi, wana wa Seruya + +Swali hili liliulizwa ili kuwakosoa wana wa Seruya. + +# Pengine ananilaani kwa sababu + +"Anaweza kuwa ananilaani kwa sababu" + +# Mlaani Daudi.' Nani sasa awezaye kumwambia, 'Kwa nini unamlaani mfalme + +Hii inasemwa kama swali kusisitiza kwamba jibu ni kwamba "hakuna." + diff --git a/2sa/16/11.md b/2sa/16/11.md new file mode 100644 index 00000000..3d1da023 --- /dev/null +++ b/2sa/16/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mwanangu, aliyetoka katika mwili wangu + +Daudi anamweleza mwanawe katika njia hii kusisitiza ukaribu uliopo kati ya baba na mwana. + +# anataka kuchukua uhai wangu + +Hii ni njia laini ya kuonesha hali ya kumwua mtu. + +# Si zaidi sana mbenjamini huyu akatamani anguko langu + +Daudi anatumia swali hili kuonesha kwamba hashangazwi kwamba mtu yule anataka kumwua. + +# anatamani anguko langu + +Hapa Daudi anaelezea tamaa ya mtu ya kumwua kama vile Daudi alikuwa kitu ambacho mtu alitaka kukiangamiza. + +# Mwache peke yake alaani + +Hapa kifungu "mwache peke yake" kinamaanisha kuacha kumzuia kufanya anachokifanya. + +# ataangalia + +Hapa "kutazama" kunamaanisha "kujari" + +# maangaiko niliyofungiwa + +Hapa Daudi anazungumzia maangaiko kama vile yalikuwa ni mnyama mkari ambaye Mbenjamini amemfungia. + diff --git a/2sa/16/13.md b/2sa/16/13.md new file mode 100644 index 00000000..d66f8066 --- /dev/null +++ b/2sa/16/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Shimei alikwenda kando yake juu ya upande wa kilima + +Shimei alikuwa akitembea sambaba na Daudi na watu wake, japokuwa Shimei alikuwa juu upande wa kilima. + diff --git a/2sa/16/15.md b/2sa/16/15.md new file mode 100644 index 00000000..982efd83 --- /dev/null +++ b/2sa/16/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ahithofeli + +Hili ni jina la mwanamme + +# Hushai + +Hili ni jina la mwanamme + +# Ikawa kwamba + +"Ikawa kwamba." Kifungu hiki kinatumika kutambulisha tukio linalofuata katika habari + +# Mwarki + +Hili ni jina la mwanamme + diff --git a/2sa/16/17.md b/2sa/16/17.md new file mode 100644 index 00000000..a5e03be9 --- /dev/null +++ b/2sa/16/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Utiifu + +Hisia nzito ya kusaidia na upendo + +# Je huu ndiyo utiifu wako kwa rafiki yako? Kwa nini haukwenda pamoja naye? + +Maswali haya yanaulizwa kumkosoa Hushai. + +# Yule ambaye Yahwe + +Hushai anamrejerea Absalomu + +# Yule ambaye... huyo ndiye mtu... pamoja naye + +Hapa Hushai anamrejerea Absalomu katika nafsi ya tatu kuchukua msisitizo kutoka kwake na kuelekeza kwa Yahwe na watu aliowachagua. Hii inaweza kuandikwa katika nafsi ya pili. + diff --git a/2sa/16/19.md b/2sa/16/19.md new file mode 100644 index 00000000..9abcd944 --- /dev/null +++ b/2sa/16/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwani ni nani ninayepaswa kumtumikia? Je sipaswi kutumika mbele za mwana? + +Hushai anauliza swali hili kusisitiza kwamba anataka kumtumikia Absalomu. + diff --git a/2sa/16/20.md b/2sa/16/20.md new file mode 100644 index 00000000..1aa7e80e --- /dev/null +++ b/2sa/16/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ahithofeli + +Hili ni jina la mwanamme + +# kulitunza kasiri + +Kifungu "kutunza" kinamaanisha kuangalia. + +# kuwa kitu kinachonuka mbele ya baba yako + +Ahithofeli anazungumia Absalomu kumchukiza baba yake kama vile kingekuwa kitu ambacho kina harufu ya kuchukiza. + +# Kisha mikono ya wote walio pamoja nawe itatiwa nguvu + +Hapa watu waliomfuata Absalomu wanarejerea kwa kutaja mikono yao. Habari hii itaitia nguvu utiifu wa watu kwa Absalomu na kuwapa hamasa. + diff --git a/2sa/16/22.md b/2sa/16/22.md new file mode 100644 index 00000000..c15734b6 --- /dev/null +++ b/2sa/16/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kutanda + +"Kuweka" + +# juu ya kasri na Absalomu akalala... masuria wa baba yake mbele za Israeli wote. + +Hii inamaanisha kwamba watu walikuwa wanaweza kuliona hema na Absalomu akiingia na kutoka ndani ya hema pamoja na wanawake. Kifungu hiki "Israeli wote" kinatia chumvi, maana ni wale tu walikuwa karibu na kasiri wangeweza kuiona. + +# Basi ushauri wa Ahithofeli... ilikuwa kama vile mtu alisikia + +Hapa mwandishi analinganisha ni kwa kiasi gani watu waliamini ushauri wa Ahithofeli kama vile ambavyo wangeamini ushauri wa moja kwa moja kutoka kwa Mungu. + +# kama mtu anavyosikia kutoka katika kinywa cha Mungu mwenyewe + +Hapa kinywa cha Mungu kinamwakilisha na kinasisitiza hotuba yake. + diff --git a/2sa/17/01.md b/2sa/17/01.md new file mode 100644 index 00000000..d4a0da44 --- /dev/null +++ b/2sa/17/01.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Ahithofeli + +Hili ni jina la mwanamke + +# Watu kumi na mbili elfu + +"watu 12,000" + +# inuka na + +"kuanza ku" + +# njoo + +"Kuja kwa" + +# amechoka na dhaifu + +Kimsingi maneno haya yanamaanisha kitu kimoja na yanatumika kwa pamoja kusisitiza jinsi Daudi alivyokuwa dhaifu. + +# tutamshangaza kwa hofu + +Hapa neno "hofu" laweza kuelezwa kwa kisifa "kuogopa." + +# Nitamshambulia mfalme peke yake + +Inaonesha kwamba alikusudia kumwua mfalme. + +# kuwarudisha watu wote + +Hii inamaanisha watu wote waliokuwa pamoja na Daudi. + +# kama bibi harusi akija kwa mmewe + +Hapa Ahithofeli anazunguza furaha ya watu kwa kulinganisha na furaha ya bibi harusi. + +# Kuwa katika amani + +Hii inamaanisha kuwa na amani au kuishi kwa amani. + +# chini yako + +Hii inahusu kuwa chini ya mamlaka ya mfalme. + diff --git a/2sa/17/05.md b/2sa/17/05.md new file mode 100644 index 00000000..ca6ddfbc --- /dev/null +++ b/2sa/17/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hushai Mwarki + +Huyu alikuwa rafiki wa Daudi + +# Ahithofeli + +Hili ni jina la mwanaume. + diff --git a/2sa/17/08.md b/2sa/17/08.md new file mode 100644 index 00000000..04e48acc --- /dev/null +++ b/2sa/17/08.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Wako kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake + +Hasira ya askari hapa inalinganiswa na dubu jike aliyenyang'anywa watoto wake. + +# dubu + +mnyama mkubwa na mkali anayetembea kwa miguu minne na ana makucha na meno makali + +# Mtu wa vita + +Hii inamaanisha amepigana vita nyingi na anajua kwa kina njia ya vita. + +# Tazama + +Neno hili limetumika kuvuta makini ya mtu kwa kile kinachofuata + +# shimo + +tundu refu katika ardhi + +# au katika sehemu ningine + +Hili ni eneo lingine analoweza kuwa amejificha. + +# baadhi ya watu wako watakapokuwa wameuawa + +Inamaanisha watu wa Daudi watakapokuwa wamewauwa baadhi ya watu wa Absalomu + +# mauaji yamefanyika kwa askari wanaomfuata Absalomu + +Nomino "machinjo" inamaanisha tukio ambapo watu wengi wameuawa kwa ukatili. + +# ambao mioyo yao ni kama mioyo ya simba + +Hapa askari wanatajwa kwa "mioyo" yao. Pia, ujasiri wao mkuu unalinganishwa na ule wa simba. + diff --git a/2sa/17/11.md b/2sa/17/11.md new file mode 100644 index 00000000..6ddcd395 --- /dev/null +++ b/2sa/17/11.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# kwamba Israeli wote wakusanywe pamoja kwako + +Askari wote wanatajwa hapa kama "Israeli wote" + +# kutoka Dani hadi Beersheba + +Kifungu hiki kinamaanisha kutoka mpaka wa kaskazini hadi mpaka wa kusini wa Israeli + +# wengi kama mchanga ulioko ufuweni mwa bahari + +Hii ni kuzidisha maana pale chembe zote za mchanga zinalinganishwa na idadi ya askari wa Israeli. + +# kwamba wewe mwenyewe unakwenda vitani + +Kifungu hiki "binafsi" kinamaanisha kwenda wewe mwenyewe na wala siyo kutuma mtu mwingine. + +# kuja juu yake + +Hii inamaana ya kwenda kwake kwa kusudi la kumshambulia. + +# tutamfunika kama umande unavyofunika ardhi + +Jeshi la Absalomu linaelezwa kulifunika jeshi la Daudi kama umande unavyoifunika ardhi wakati wa asubuhi. + +# umande + +mvuke unaoanguka juu ya ardhi kama maji na kuifunika ardhi wakati wa usiku na kuacha ardhi imeloa. + +# Hatutaacha hata mmojawao ... akiwa hai + +Sentensi hii imetumika kusisitiza kwamba watamwua kila mtu. + +# Yeye mwenyewe + +Maneno haya yote yanamtaja Daudi. + diff --git a/2sa/17/13.md b/2sa/17/13.md new file mode 100644 index 00000000..6e2e86a4 --- /dev/null +++ b/2sa/17/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Ndipo Israeli wote + +Hii inawahusu askari wa Israeli na siyo Waisraeli wote. + +# tutaleta kamba juu ya mji huo na kuukokotea mtoni, hata kusionekane hata jiwe moja dogo lililosalia + +Hii inamaanisha kwamba askari wangeuangusha mji chini na kukokota vipande vyake katika mto + +# hata kusionekane hata jiwe moja dogo lililosalia. + +Hii ni kutia chumvi kwa kueleza ni jinsi gani watakavyouangamiza mji. Hii siyo katika hali halisia. + +# Hushai Mwarki + +Huyu ni rafiki wa mfalme Daudi. Arki ni jina la kundi la watu katika Israeli + +# Ahithofeli + +hili ni jina la mshauri wa Daudi + +# Kukataliwa kwa shauri jema la Ahithofeli + +Neno "kukataliwa" linaweza kuelezwa na kitenzi "kataa" + +# kulete angamizo juu ya Absalomu + +"Kuleta" kitu fulani juu ya mtu inamaanisha kusababisha jambo kufanyika kwake. + diff --git a/2sa/17/15.md b/2sa/17/15.md new file mode 100644 index 00000000..4a77a835 --- /dev/null +++ b/2sa/17/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sadoki ... Abiathari + +Haya ni majina ya wanaume + +# vile na kwa njia hiyo + +Kifungu kinamaanisha "kama hivi" kuhusu kile Ahithofeli alichokuwa amekisema mwanzo + +# vivuko vya Araba + +Hii ni sehemu ya mto isiyo na kina kirefu ambayo watu wanaweza kuvuka kwa kutembea. Araba ni nchi kandokando ya sehemu zote mbili za mto Yordani + +# Kwa jinsi yoyote + +Hii inamaanisha kuhakikisha unafanya jambo kwa namna yoyote. + +# Mfalme atamwezwa + +Hapa mfalme na watu wake kuuawa wanaelezwa kama vile walikuwa "wamemezwa" na adui. + diff --git a/2sa/17/17.md b/2sa/17/17.md new file mode 100644 index 00000000..15d6eca7 --- /dev/null +++ b/2sa/17/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Yonathani... Ahimaasi + +Haya ni majina ya wanaume + +# Ujumbe ulipokuja + +Hapa "ujumbe" unaelezwa kama unakuja kwao, wakati uhalisia ni mwanamke aliyeleta taarifa kwo. + +# wakati huu + +wakati mmoja + +# Hivyo Yonathani na Ahimaasi wakaondoka + +Inaoneshwa kwamba walikuta kwamba kijana amemwambia Absalomu kuwepo kwao pale. + +# chemichemi za En Rogeli... Bahurimu + +Haya ni majina ya sehemu, karibu na Yerusalemu. Bahurimu ni mji mdogo. + +# Wakashuka + +"Waliteremka wenyewe kisimani na kujificha" + diff --git a/2sa/17/19.md b/2sa/17/19.md new file mode 100644 index 00000000..3c4138a8 --- /dev/null +++ b/2sa/17/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mama wa nyumba ile + +"mke wa mtu yule" + +# Ahimaasi... Yonathani + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/2sa/17/21.md b/2sa/17/21.md new file mode 100644 index 00000000..5094f68f --- /dev/null +++ b/2sa/17/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ikawa + +"Ikatukia." Kifungu hiki kinaonesha tukio jingine katika habari + +# vuka juu ya maji haraka + +Hapa "maji" yanarejerea Mto Yordani. + +# Ahithofeli ametoa mashauri haya na haya + +usemi "haya na haya" umetumika mahali pa habari ambayo tiyari msomaji anaifahamu. Hapa inahusu ushauri alioutoa Aithofeli kwa Absalomu katika 17:1. + +# Hata ilipofika alfajiri hakuna hata mmoja aliyesalia kwa kutouvuka Yordani + +Sentence hii imetumika kusisitiza kwamba wote walivuka mto. + diff --git a/2sa/17/23.md b/2sa/17/23.md new file mode 100644 index 00000000..36a20e48 --- /dev/null +++ b/2sa/17/23.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Ona + +"jua" au "tambua" + +# ushauri wake haukufuatwa + +Hii inaweza kuelezwa kwamb "Absalomu hakuwa ameufuata ushauri wake" + +# kupanda juu ya punda + +Kuweka nguo au ngozi ya kukalia juu ya punda au farasi kwa aliyempanda kukaa juu yake. + +# Kuweka mambo yake katika utaratibu + +Alijiandaa kwa kifo chake kwa kuwaambia familia yake cha kufanya baada kufa kwake. + +# Kwa njia hii + +"Hivi ndivyo ilivyo" + +# alizikwa + +Hii yaweza kuelezwa "kuwa walimzika" + diff --git a/2sa/17/24.md b/2sa/17/24.md new file mode 100644 index 00000000..feada9f8 --- /dev/null +++ b/2sa/17/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mahanaimu... Gileadi + +Hii ni baadhi ya miji katika Israeli + +# Amasa... Yoabu... Yetheri... Nahashi + +Haya ni majina ya wanaume + +# Mwishimaeli + +Huyu ni uzao wa Ishmaeli. Baadhi ya nakala zinaonesha kuwa "Mwisraeli" + +# Abigaili... Seruya + +Haya ni majina ya wanawake. + diff --git a/2sa/17/27.md b/2sa/17/27.md new file mode 100644 index 00000000..9b42d5fe --- /dev/null +++ b/2sa/17/27.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Ikawa + +Kifungu kinatambulisha tukio linalofuata katika habari + +# Mahanaimu... Raba... Lo Debari... Rogelimu + +Haya ni majina ya miji au sehemu. + +# Shobi... Nahashi... Makiri... Amieli... Barzilai + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Mwamoni... Mgileadi + +Haya ni majina ya makundi ya watu + +# magodoro na mabulangeti + +godoro ni kitu laini cha kulalia, na blangeti ni nguo ya kujifunika ili kupata joto. + +# Unga + +Unga ni nafaka iliyopondwa kuwa laini na unatumika kutengeneza mkate au ugali. + +# Iliyookwa + +"Iliyopikwa" + +# Maharage + +mbegu zipikwazo kwa kuliwa + +# dengu + +Ni aina ya mbegu zinazopikwa na kuliwa + +# siagi + +maziwa yaliyoganda na kuwa magumu + +# Kiu + +Hitaji la maji ya kunywa au kimiminika kingine. + diff --git a/2sa/18/01.md b/2sa/18/01.md new file mode 100644 index 00000000..72ac5cfd --- /dev/null +++ b/2sa/18/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Daudi akawahesabu askari waliokuwa pamoja naye na akaweka + +Daudi hakuhesabu watu wote mwenyewe, lakini ni watu wake waliowahesabu. + +# Makapteni + +Kapteni ni mtu mwenye mamlaka juu ya kundi la askari. + +# moja ya tatu... tatu nyingine + +tatu... tatu nyingine** - "moja ya tatu ya jeshi... therusi nyingine ya jeshi." Therusi ni sehemu moja kati ya sehemu tatu ya kitu kimoja kizima. + +# Abishai... Seruya + +Haya ni majina ya wanaume + +# Itai + +Hili ni jina la mwanamme. + +# Mgiti + +Huyu ni mtu kutoka Gathi, mji wa Wafilisiti. + +# Mimi mwenyewe nitakwenda pamoja nanyi pia bila shaka + +Hii ni kwenda pamoja na jeshi vitani. + diff --git a/2sa/18/03.md b/2sa/18/03.md new file mode 100644 index 00000000..681f5e93 --- /dev/null +++ b/2sa/18/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nusu yetu + +Neno "nusu" linarejea kwa kitu kimoja kati ya viwili vinavyolingana. + +# Wewe ni zaidi ya watu elfu kumi kati yetu + +Hii inamaanisha kwamba jeshi la adui linahesabu kumwua Daudi kuna thamani ya kuua watu 10,000. Idadi ya watu 10,000 ni hesabu iliyotiwa chumvi ili kusisitiza idadi kubwa zaidi ya watu. + +# elfu kumi + +"10,000" + +# Kwa hiyo ni afadhari zaidi ukitusaidia ukiwa mjini + +Daudi angeweza kuwasaidia akiwa mjini kwa kuwashauri na kupeleka watu kuwasaidia. + diff --git a/2sa/18/05.md b/2sa/18/05.md new file mode 100644 index 00000000..f97c6a02 --- /dev/null +++ b/2sa/18/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Abishai + +Hili ni jina la mwanamme + +# Itai + +Hili ni jina la mwanamme + +# Mmtendee kwa upole kwa ajili yangu + +"Kwa ajili yangu, msimdhuru." Kifungu "mmtendee kwa upole" inamaanisha kuwa mpole kwa mtu bila kumdhuru. + +# Kwa ajili yangu + +"faida yangu" au "kwa ajili yangu" + +# kijana, pamoja na Absalom + +"Kijana Absalomu" + diff --git a/2sa/18/06.md b/2sa/18/06.md new file mode 100644 index 00000000..3f153b49 --- /dev/null +++ b/2sa/18/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# jeshi likaenda nyikani dhidi ya Israel + +Hii inamaanisha kwamba walikwenda na kupigana nao vitani. + +# eshi la Israeli likashindwa mbele ya askari wa Daudi + +Inaweza kuelezwa katika muundo tendaji yaani "Askari wa Daudi walilishinda jeshi la Israeli" + +# Machinjo makuu + +Tukio ambapo watu wengi waliuawa kwa ukatili. + +# Watu elfu ishirini + +"20,000" + +# watu wengi wakaangamizwa na msitu kuliko upanga + +Hapa "msitu" unaelezwa kama ulikuwa hai kuweza kufanya kitendo. "Upanga" inahusu jeshi la Daudi lililoweza kupigana kwa upanga. + diff --git a/2sa/18/09.md b/2sa/18/09.md new file mode 100644 index 00000000..0ec20a09 --- /dev/null +++ b/2sa/18/09.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Ikatukia kwamba Absalomu akakutana na askari wa Daudi + +Hili ni tukio lilotokea wakati wa vita. + +# na kichwa chake kikanaswa katika matawi ya mti + +Absalomu alikuwa na nywele ndefu zilizonasa kwenye matawi ya mti. + +# Tazama + +Neno hili linavuta makini ya mtu kwa ajili ya kinachofuata. + +# Ning'inia + +Kuelea juu bila kukanyaga juu ya nchi au kitu. + +# kati ya nchi na anga + +"Hewani" + +# Kwa nini haukumpiga hata chini + +Swali hili linamaanisha alipaswa kuwa amemuua. + +# shekeli kumi za fedha na mkanda + +Katika viwango vya sasa ni sawa na gramu 110 za fedha. + +# mkanda + +Huu ni mkanda maalumu unaoonesha kwamba mtu fulani ni askari mwenye cheo ili apewe heshima. + diff --git a/2sa/18/12.md b/2sa/18/12.md new file mode 100644 index 00000000..305addc9 --- /dev/null +++ b/2sa/18/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# shekeli elfu za fedha + +"shekeli 1,000 za fedha." Katika vipimo vya sasa ni sawa na salafu 1,000" au "kilo 11 za sarafu" + +# nisingeinua mkono wangu juu ya mwana wa mfalme + +Kifungu "kuinua mkono" kinamaana ya kushambulia. + +# Mtu asimguse + +Hapa "kugusa" inamaanisha "kudhuru" + +# Uongo + +Neno "uongo" laweza kuelezwa kwa kirai kitenzi. Lakini pia inahusu kutotii agizo la mfalme. + +# Hakuna cha kufichika kwa mfalme + +Hii inamaana jinsi mfalme anavyojua karibu kila kitu kitendekacho kama vile kila kitu kilikuwa na umbo kujua kilipo. + diff --git a/2sa/18/14.md b/2sa/18/14.md new file mode 100644 index 00000000..bc3f5eca --- /dev/null +++ b/2sa/18/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sitakusubiri + +Yoabu anamaanisha kwamba hawezi kusubiri kwa kuongea na yule mtu. + +# Moyo wa Absalomu + +Hapa moyo wa Absalomu unatajwa kama kifua au sehemu ya juu ya mwili. + +# Silaha + +Hii inarejerea vyote viwili silaha za kuvaliwa kwa kujilinda na silaha za kumshambulia adui. + diff --git a/2sa/18/16.md b/2sa/18/16.md new file mode 100644 index 00000000..0e6d6011 --- /dev/null +++ b/2sa/18/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# likarudi kutoka kuwafuatia Israeli + +Hapa "Israeli" inarejerea kwa jeshi la Waisraeli. + +# Kisha Yoabu akapiga tarumbeta na jeshi likarudi kutoka kuwafuatia Israeli, hivyo Yoabu akalirudisha jeshi + +Hii inaelezea alichokiagiza Yoabu kwa kupinga tarumbeta. Yaweza pia kutafsiriwa kuwa "kisha Yoabu akapiga tarumbeta kuwarudisha wanajeshi na jeshi likarudi kutoka katika kuwafuata Israeli" + +# Walimchukua Absalomu na kumtupa + +"Walichukua mwili wa Absalomu na kuurusha shimoni" + +# wakaufukia mwili wake chini ya rundo kubwa la mawe + +Baada ya kuuweka mwili wake shimoni waliufunika kwa rundo la mawe. + +# Wakati Israeli wote + +Hapa "Israeli wote" inarejerea kwa askari wa Kiisraeli. Neno "kimbia" lamaanisha kuondoka. + diff --git a/2sa/18/18.md b/2sa/18/18.md new file mode 100644 index 00000000..a555dc77 --- /dev/null +++ b/2sa/18/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Bonde la Mfalme + +Hili ni jina la eneo. + +# Sina mwana wa kuchukua kumbukumbu ya jina langu + +Absalomu anatumia kifungu "jina langu" kujitaja mwenyewe na familia yake. + +# hivyo inaitwa Mnara wa Absalomu hata leo + +Hii yaweza kuelezwa kuwa hivyo watu wakaiita nguzo ya Absalomu tangu siku hiyo. + +# Hata leo hii + +Hii inamaanisha wakati kitabu kinaandikwa. + diff --git a/2sa/18/19.md b/2sa/18/19.md new file mode 100644 index 00000000..7c0f4c5c --- /dev/null +++ b/2sa/18/19.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sadoki + +Hili ni jina la mwanamme. + +# Ahimaasi + +Hili ni jina la mwanamme + +# niende kwa mfalme na habari njema + +Hapa Ahimaasi anazungumzia kukimbia na kwenda kumwambia mfalme habari njema kama vile habari njema ilikuwa ni kitu alichokibeba. + +# mkono wa adui zake + +Hapa "mkono" unamaanisha kutawala. Yaani "kuwatawala adui" + +# mchukua habari + +"Anaye toa taarifa" + +# Hautachukua taarifa + +Hii inamaanisha kutokupeleka taarifa kwa mfalme. + diff --git a/2sa/18/21.md b/2sa/18/21.md new file mode 100644 index 00000000..6ba3dd3e --- /dev/null +++ b/2sa/18/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mwambie mfalme ulichokiona + +Yoabu anamwambia kwenda na kumwambia mfalme kuhusu habari ya vita. + diff --git a/2sa/18/24.md b/2sa/18/24.md new file mode 100644 index 00000000..2f90e4b5 --- /dev/null +++ b/2sa/18/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Basi + +Neno hili limetumika hapa kuonesha mwisho wa habari na kuana kwa sehemu nyingine katika habari. + +# na kuinua macho yake + +Hapa mlinzi kuona jambo inazungumzwa kana kwamba aliinua macho yake. + +# Anahabari kinywani + +Hapa mfalme anaongelea mtu mwenye taarifa kama vile taarifa ilikuwa ni kitu kilichokaa kinywani mwake. + diff --git a/2sa/18/26.md b/2sa/18/26.md new file mode 100644 index 00000000..c0f1901d --- /dev/null +++ b/2sa/18/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nadhani kukimbia kwake mtu aliye mbele ni kama kukimbia kwake Ahimaasi mwana wa Sadoki + +Mlinzi analinganisha jinsi mtu anavyokimbia kama jinsi Aimaasi anavyokimbia kudhani kwamba anaweza kuwa yeye. + +# Ahimaasi... Sadoki + +Haya ni majina ya wanaume + diff --git a/2sa/18/28.md b/2sa/18/28.md new file mode 100644 index 00000000..783294cf --- /dev/null +++ b/2sa/18/28.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# akainama yeye mwenyewe uso wake chini mbele ya mfalme + +Alifanya hivi ili kumweshimu Mfalme. + +# Atukuzwe Yahwe + +"Atukuzwe Yahwe." Hapa "kubarika inamaanisha kutukuza. + +# watu walioinua mkono wao kinyume cha bwana wangu mfalme + +Hapa Ahimaasi anazungumzia watu wanaompinga mfalme kama vile walikuwa wakiinua mikono yao juu yake. + +# fujo kubwa + +Hii inamaanisha kuwa watu walikuwa wakifanya mambo kama hayakuwa sawa + +# Geuka kando + +"Toka njiani" au "simama kando" + diff --git a/2sa/18/31.md b/2sa/18/31.md new file mode 100644 index 00000000..697c9387 --- /dev/null +++ b/2sa/18/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Inuka kinyume + +Inamaanisha kupinga. + +# Adui wa bwana wangu mfalme,... wawe kama huyo kijana + +Mkushi anatumia kulinganisha kama njia laini ya kumwambia mfalme juu ya kifo cha Absalomu. + +# kuhuzunika + +kuchanganyikiwa + diff --git a/2sa/19/01.md b/2sa/19/01.md new file mode 100644 index 00000000..0385e52a --- /dev/null +++ b/2sa/19/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yoabu aliambiwa + +Yaweza kuelezwa kuwa kuna mtu alimwambia Yoabu. + +# Tazama + +Hii inavuta makini ya mtu kwa ajili ya kifuatacho. + +# Hivyo siku ile ushindi uligeuzwa kuwa maombolezo kwa jeshi lote + +Hii inamaanisha kwamba jeshi lote liliomboleza badala ya kusherehekea. + diff --git a/2sa/19/03.md b/2sa/19/03.md new file mode 100644 index 00000000..96184001 --- /dev/null +++ b/2sa/19/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kama watu waonao haya baada ya kukimbia vitani + +Mwandishi analinganisha jinsi askari alivyokuwa akiingia mji kama ambavyo askari wanavyokwenda baada ya kukimbia vita. Hii inamaanisha kwamba walijisikia kuaibika. + +# Nyemelea + +Kwenda bila kutakawengine wakuone + +# Mfalme alifunika uso wake + +Hii ni njia ya kuonesha huzuni na maombolezo. + diff --git a/2sa/19/05.md b/2sa/19/05.md new file mode 100644 index 00000000..b9ff03ac --- /dev/null +++ b/2sa/19/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Leo umeziaibisha nyuso za askari wako + +Hapa askari wanatajwa kwa nyuso zao kusisitiza jinsi ambavyo wangeficha nyuso zao kwa sababu ya aibu. + +# Siyo kitu kwako + +Kifungu hiki kimetiwa chumvi, lakini kinaonesha uthamani mdogo alionao Daudi kwa jeshi lake. + +# kame Absalomu angesalia na sisi sote tungekufa hilo lingekufurahisha + +mwandishi anaonesha hali ya kuhisi. + diff --git a/2sa/19/07.md b/2sa/19/07.md new file mode 100644 index 00000000..2d951bdc --- /dev/null +++ b/2sa/19/07.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Naapa kwa Yahwe + +Yoabu anafanya nadhiri madhubuti. + +# Usipokwenda, hakuna mtu hata mmoja atakayebaki + +Hii inamaanisha kwamba askari wangebaki iwapo tu Daudi angekwenda. + +# Hakuna atakayesalia + +Hii inaonesha wao kubaki watiifu kwake. + +# Wote wakaambiwa + +Hii inaweza kuelezwa kuwa wengi wao. + +# Tazama + +Hii imetumika kuvuta makini ya mtu kwa ajili ya habari inayofuata. + +# Watu wote + +Hapa "watu" inahusu waliomfuata Daudi. + +# Israeli walikimbia kila mtu nyumbani kwake + +Hapa "Israeli" inahusu askari wa Waisraeli waliomfuata Absalomu. + diff --git a/2sa/19/09.md b/2sa/19/09.md new file mode 100644 index 00000000..9ad63808 --- /dev/null +++ b/2sa/19/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kutoka katika mkono wa adui zetu + +Hapa "mkono" unamaanisha umiliki. + +# kutoka katika mkono wa Wafilisiti + +Hapa "mkono" unamaanisha umiliki. Yaani kutoka chini ya miliki ya Wafilisiti. + +# kuikimbia nchi mbele ya Absalomu + +Hii inamaanisha aliikimbia nchi mbele ya Absalomu. + +# Amekufa vitani + +"alikufa vitani" + +# kwa nini hatuongei juu ya kumrudisha mfalme tena + +Hii inamaanisha wanapaswa kuangalia uwezekano wa kumrudisha Daudi kwa kuwa Absalomu alikuwa amekufa. + +# mfalme + +Inamrejerea Daudi + diff --git a/2sa/19/11.md b/2sa/19/11.md new file mode 100644 index 00000000..c2018f9d --- /dev/null +++ b/2sa/19/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# akapeleka kwa Sadoki na Abiathari + +Hii inamaanisha kwamba Daudi alipeleka mjumbe kwa Sadoki na Abiathari. + +# Kwa nini ninyi mmekuwa wa mwisho kumrudisha mfalme kwenye kasri lake? + +Swali hili linaulizwa kuwakemea wazee wa Yuda. Yaweza kuwa "mngekuwa wa kwanza kumrudisha mfalme, siyo watu wa Israeli." + +# kwa vile usemi wa Israeli wote unamtaka mfalme arudi + +Neno "ongea" ni nomino dhahania linaloweza kuelezwa kwa kitenzi "ongea" au "sema" + +# Kumrudisha mfalme katika kasiri lake + +Hapa kurejesha mamlaka ya mfalme yanazungumzwa kama vile kumrudisha katika makao yake. + +# Ninyi ni ndugu zangu, nyama na mfupa wangu + +Hapa mfalme anaeleza jinsi wanavyohusiana kwa kusema kwamba wana mwili na mfupa mmoja. Lakini pia maneno "ninyi ni" yaweza kuongezwa katika kirai cha pili. + +# Kwa nini basi mmekuwa wa mwisho kumrudisha mfalme? + +Hili ni swali la pili na pia ni karipia kwa wazee wa Yuda. + diff --git a/2sa/19/13.md b/2sa/19/13.md new file mode 100644 index 00000000..8f8329e8 --- /dev/null +++ b/2sa/19/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Amasa + +Hili ni jina la mwanamme + +# Je wewe si mwili na mfupa wangu? + +Daudi anatumia swali kusisitiza uhusiano wao. + +# mwili wangu na mfupa wangu + +Hapa Daudi anawazungumzia kuhusiana kwao kwa kusema kwamba wana mwili na mfupa mmoja. + +# Mungu anifanyie hivyo + +Huu ni usema unaomaanisha Mungu kumwua + +# Akaishawishi mioyo + +Hapa utiifu wa watu unazungumzwa kama "mioyo". + +# Kama mtu mmoja + +Hii inazungumzia watu kuungana katika utiifu wao kwa mfalme kama vile walikuwa walikuwa na nia moja. + +# walipeleka kwa mfalme + +Hii inamaanisha kwamba walipeleka ujumbe kwa mfalme. + diff --git a/2sa/19/16.md b/2sa/19/16.md new file mode 100644 index 00000000..df969e86 --- /dev/null +++ b/2sa/19/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Gera... Siba + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Bahurimu + +Hili ni jina la sehemu + +# watu elfu moja... wana kumi na watano... watumishi ishirini + +"watu 1,000... wana 15... watumishi 20" + +# mbele ya mfalme + +Hii inamaanisha kwamba mfalme alikuwepo na alikuwa anafahamu kilichokuwa kinaendelea. + diff --git a/2sa/19/19.md b/2sa/19/19.md new file mode 100644 index 00000000..f1f20391 --- /dev/null +++ b/2sa/19/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kukumbuka + +Ni kukumbuka jambo + +# mtumishi wako + +Hapa Shimei anajitaja kwa njia hii kuonesha heshima kwa mfalme. + diff --git a/2sa/19/21.md b/2sa/19/21.md new file mode 100644 index 00000000..bce0fec3 --- /dev/null +++ b/2sa/19/21.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Abishai + +Hili ni jina la mwanamme + +# Seruya + +Hili ni jina la mwanamme. + +# Je Shimei asife kwa hili kwa vile alivyomlaani mtiwa mafuta wa Yahweh? + +Seruya alimkasirikia Shimei kwa kumlaani Daudi na anasema anapaswa kufa. + +# Mtiwa mafuta wa Yahwe + +Hii inamrejerea Daudi. Inamaana kwamba Daudi alikuwa mfalme aliyetiwa mafuta na Yahwe + +# Nifanye nini nanyi... hata leo mkawa adui zangu? + +Daudi anatumia swali hili kumkemea Abishai. Hii inamaanisha kwamba hawakuwa na sababu ya kuwa adui. + +# Je mtu yeyote atauawa leo katika Israeli? Kwani sijui kama leo mimi ni mfalme juu ya Israeli? + +Daudi anatumia swali kuendelea kumkemea Abishai. Kumaanisha "Hakuna mtu atakayeuawa leo katika taifa la Israeli. + +# Je kuna mtu atakayeuawa + +Kifungu "kuuawa" inamaanisha kunyongwa au kuuawa. + +# Kwani sijui kama leo mimi ni mfalme juu ya Israeli? + +Maana yake yaweza kuwa 1) "Ninajua kwamba mimi bado ni mfalme wa Israeli." 2) "Leo mimi ni mfalme juu ya Israeli!" + diff --git a/2sa/19/24.md b/2sa/19/24.md new file mode 100644 index 00000000..2c495c8b --- /dev/null +++ b/2sa/19/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mefiboshethi + +Hili ni jina la mwanaume + +# Hakuwa ameivalisha miguu yake + +"Hakuwa ameitunza miguu yake." Miguu ya Mefiboshethi ilikuwa na ulemavu. Kifungu kinaonesha hakuwa ameitunza miguu yake vizuri. + +# Kwa nini haukwenda nami, Mefiboshethi? + +Daudi anazungumzia kwa nini hakwenda naye pale yeye na watu waliomfuata walipoondoka Yerusalme. + diff --git a/2sa/19/26.md b/2sa/19/26.md new file mode 100644 index 00000000..a64cb1d1 --- /dev/null +++ b/2sa/19/26.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Siba + +Hili ni jina la mwanamme + +# Bwana wangu mfalme ni kama malaika wa Mungu + +Hapa hekima ya Daudi inalinganishwa na hekima ya malaika. + +# Fanya lililojema machoni pako + +Hii inamaanisha kufanya unalodhani kuwa sawa. + +# Kwa maana nyumba yote ya baba yangu walikuwa maiti mbele ya bwana wangu mfalme + +Mefiboshethi anazungumza jinsi ndugu zake walivyostahili kuuawa kama vile tiyari walikuwa wameuawa na walikuwa wafu. + +# nyumba ya bwana wangu + +Hii inawahusu ndugu wa baba yake. + +# hiyo nililiye haki gani zaidi kwa mfalme? + +Mefiboshethi anatumia swali kusisitiza kwamba hana haki ya kuomba chochote kwa mfalme. + diff --git a/2sa/19/29.md b/2sa/19/29.md new file mode 100644 index 00000000..b467128d --- /dev/null +++ b/2sa/19/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini kueleza yote zaidi? + +Daudi anatumia swali kumwambia haitajiki kuendelea kuongelea mgogoro wake na Siba. + diff --git a/2sa/19/31.md b/2sa/19/31.md new file mode 100644 index 00000000..c026c3b1 --- /dev/null +++ b/2sa/19/31.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Berzilai + +Hili ni jina la mwanaume + +# Rogelimu... Mahanaimu + +Haya ni majina ya maeneo + +# Mgileadi + +Hili ni jina la ukoo katika Israeli. + +# Yordani + +Mto Yordani + +# Miaka themanini + +"Umri wa miaka 80" + +# Kuhudumia + +"kuandaa" + diff --git a/2sa/19/34.md b/2sa/19/34.md new file mode 100644 index 00000000..18d91269 --- /dev/null +++ b/2sa/19/34.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kwani kuna siku ngapi zilizosalia maishani mwangu, hata niende na mfalme huko Yerusalemu? + +Hapa Berzillai anamaanisha kwamba yeye ni mzee na kwamba hakuna haja ya yeye kumsindikiza Daudi. Yaweza kumaanisha kuwa sitaweza kuishi muda mrefu. Kwa hiyo hakuna haja ya kwenda na mfalme huko Yerusalem. + +# Miaka themanini + +"umri wa miaka 80" + +# Kwa nini basi mtumishi wako awe mzigo kwa bwana wangu mfalme? + +Hapa Berzilai anamaanisha kwamba hapendi kuwa mzigo kwa mfalme. + +# Je naweza kutofautisha kati ya mema na mabaya? + +Berzilai anatumia maswali kusisitiza kwa nini hapendi kwenda Yerusalemu. "Mema" na "mabaya" yanamaanisha kinachotamaniwa na kisichotamaniwa. + +# Je mtumishi wako aweza kuonja anachokula na kunywa? + +Barizilai anatumia maswali ya kusisitiza kwa nini haitaji kwenda Yerusalemu. + +# Je naweza kuisia zaidi sauti za wanaume na wanawake waimbao? + +Berizilai anatumia maswali ya msisitizo kwa nini hapendi kwenda Yerusalemu. + +# Kwa nini basi mtumishi wako awe mzigo kwa bwana wangu mfalme? + +Berizilai anatumia swali kusisitiza kwamba hafikirii kwama anapaswa kwenda na mfalme huko Yerusalemu. + +# Kwa nini mfalme anilipe kwa thawabu hiyo? + +Berizilai anatumia swali kusisitiza kwamba hajui ni lini mfalme angemlipa kwa njia hii. + diff --git a/2sa/19/37.md b/2sa/19/37.md new file mode 100644 index 00000000..9d0bfdd9 --- /dev/null +++ b/2sa/19/37.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Berzilai anaomba kwamba Kimhamu aachwe kuchukua nafasi yake. + +# Kimhamu + +Hili ni jina la mwanaume + +# katika kaburi la baba na mama yangu + +Hii haimaanishi kwamba anataka kufa mara tu baada ya makaburi yao, lakini anamaanisha kwamba anataka afe katika mji walipozikwa. + +# Yeye avuke + +Hii inamaanisha kuvuka Mto Yordani. + diff --git a/2sa/19/38.md b/2sa/19/38.md new file mode 100644 index 00000000..48e60bc1 --- /dev/null +++ b/2sa/19/38.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kimhamu atavuka nami. + +Hii inarejerea kuvuka Mto Yordani. + diff --git a/2sa/19/40.md b/2sa/19/40.md new file mode 100644 index 00000000..eeafe78b --- /dev/null +++ b/2sa/19/40.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# akavuka kuelekea Gilgali + +Walivuka Mto Yordani kuelekea Gilgali. + +# Kimhamu + +Hili ni jina la mwanamme + +# kumleta mfalme + +"kumsindikiza mfalme." Walivuka Mto Yordani. + +# Jeshi la Yuda lote na nusu ya jeshi la Israeli likamleta mfalme. + +"Jeshi la Yuda lote na nusu jeshi ya Israeli likamleta mfalme" + +# Kwa nini ndugu zetu, watu wa Yuda... na watu wote wa Daudi pamoja naye? + +Watu wa Israeli wanatumia swali hili kuonesha kwama wajisikia kwamba wamesalitiwa na ndugu zao wa Yuda. + +# Kukutolosha + +Waisraeli wanazungumza jinsi watu wa Yuda walivyomsindikiza mfalme kuvuka mto kama vile mfalme alikuwa kitu kilichoibwa kisicho chao. + +# Yordani + +Mto Yordani + diff --git a/2sa/19/42.md b/2sa/19/42.md new file mode 100644 index 00000000..08a06be9 --- /dev/null +++ b/2sa/19/42.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa nini basi mkasirike juu ya hili? + +Watu wa Israeli wanauliza swali hili kuwakemea watu wa Israeli. + +# Je sisi tumekula chochote ambacho mfalme amekitoa? Je ametupa zawadi yoyote? + +Watu wa Yuda kama swali linavyoonesha wanaonesha kwamba hawajachukua chochote kwa mfalme. + +# Hata hivyo tuna haki zaidi kwa mfalme kuliko ninyi + +"Tuna madai makubwa kwa Daudi kuliko ninyi." Yaani "tuna haki zaidi ya kumhudumia mfalme na kuwa naye kuliko ninyi" + +# Kwa nini basi kutudharau? + +Waisraeli wanauliza swali hili kuonesha hasira yao. Yaweza kuwa "hamkupaswa kutudharau hivyo!" + +# Je hatukuwa wa kwanza kupendekeza kumrudisha mfalme wetu? + +Watu wa Israeli wanauliza swali hili kuwakumbusha na kuwakemea watu wa Yuda. + +# Lakini maneno ya watu wa Yuda hata yakawa makali kuliko maneno ya watu wa Israeli. + +Hapa "maneno" yarejerea mazungumzo ya watu wa Yuda. + diff --git a/2sa/20/01.md b/2sa/20/01.md new file mode 100644 index 00000000..9f63240c --- /dev/null +++ b/2sa/20/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kuwa mahali pamoja + +Hii inarejerea mji wa Gilgali. + +# Sheba... Bikri + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Sisi hatuna sehemu katika Daudi, wala hatuna urithi katika mwana wa Yese + +Maelezo haya yote yanamaanisha kitu kimoja. Shiba anasisitiza kwamba yeye na makabila ya Israeli hawana uhusiano na Daudi. Yaani urithi wa Daudi na familia ya baba yake hawana uhusiano na Israeli. + diff --git a/2sa/20/03.md b/2sa/20/03.md new file mode 100644 index 00000000..8f8c7896 --- /dev/null +++ b/2sa/20/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kulitunza kasiri + +Hapa kifungu "kutunza" inamaanisha kuangalia. + +# nyumbani chini ya ulinzi + +Ikiwa nyumba iko "chini ya ulinzi" inamaanisha kuna mlinzi aliyepo katika nyumba. + +# walikuwa imefungwa + +Inamaana hawakuruhusiwa kutoka ndani + +# wajane + +Hawa ni wanawake ambao waume zao wamefariki. + diff --git a/2sa/20/04.md b/2sa/20/04.md new file mode 100644 index 00000000..c24c1b8d --- /dev/null +++ b/2sa/20/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Amasa + +Huyu ni jemedari wa jeshi la Daudi. + diff --git a/2sa/20/06.md b/2sa/20/06.md new file mode 100644 index 00000000..089e81eb --- /dev/null +++ b/2sa/20/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Abishai + +Huyu ni jemedari mwingine wa jeshi la Daudi. + +# Hasitudhuru zaidi + +"hasituumize zaidi" + +# watumishi wa bwana wako, askari wangu + +Kifungu "askari wangu" inafafanua "watumishi" wapi. Daudi anajitaja mwenyewe kama "bwana wako" kama njia rasmi ya kuongeza na mtu mwenye cheo cha chini. + +# kumfuatia + +"kufukuza mtu" + +# mbali na upeo wa macho yetu + +Hapa Daudi anataja jeshi lake kwa uoni wao kusisitiza kwamba Shiba na watu wake wangejificha hata wasiwakamate. + +# ataona miji yenye ngome + +Hii inamaana kwamba Shiba na watu wake wangeingia katika miji hii na kujificha kutoka jeshi la Daudi. Neno "yeye" linasimama badala ya Shiba lakini linawarejerea wote Shiba na watu wake. + +# Wakelethi... Wapelethi + +Haya ni majina ya makundi ya watu waliokuwa wakimlinda Mfalme Daudi. + diff --git a/2sa/20/08.md b/2sa/20/08.md new file mode 100644 index 00000000..313f2500 --- /dev/null +++ b/2sa/20/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Walipokuwa + +"Walipokuwa Yoabu na watu wa Yuda" + +# mkanda + +mshipi wa ngozi au kitu kingine kilichotengenezwa kufunga vazi au silaha. + +# upanga ukadondoka + +upanga ukaanguka + +# upanga ukadondoka + +Yoabu aliuacha upanga uanguka ili kumpumbaza Amasa kwa kufikiri kwamba Yoabu hakuwa na silaha, hata amruhusu Yoabu kumkaribia. + diff --git a/2sa/20/09.md b/2sa/20/09.md new file mode 100644 index 00000000..b203228b --- /dev/null +++ b/2sa/20/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# binamu yangu + +Amasa alikuwa mwana wa dada wa mama wa Yoabu. + +# kwa utaratibu + +"kwa upole" + +# akakishika kidevu cha Amasa kwa mkono wake wa kulia ili ambusu + +Hii ilikuwa njia ya kawaida a watu kusalimiana. + +# jambia + +upanga mfupi ambao ni rahisi kuuficha ulikuwa mapigano ya karibu na mauaji. + +# matumbo kumwagika + +utumbo ulitoka nje. + diff --git a/2sa/20/11.md b/2sa/20/11.md new file mode 100644 index 00000000..0f5b3d05 --- /dev/null +++ b/2sa/20/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# aliye kwa ajili ya Daudi + +Kuwa "kwa ajili" ya mtu inamaanisha kumuunga mkono. + +# Amasa akalala akigaagaa katika damu yake + +Amasa alikuwa akaijivingirisha katika damu yake, lakini kwa wakati huu yawezekana alikwisha kufa. Inaelezwa hivi kuonesha mwili wake ulivyoonekana. + +# watu wote wakasimama... kumkaribia wakasimama + +Inaanisha waliacha kutembea na kushangaa maiti ya Amasa. + +# Alimbeba Amasa + +"aliubeba mwili wa Amasa" + +# Baada ya Amasa kuondolewa njiani + +Hii yaweza kuelezawa kuwa baada ya mtu kuuondoa mwili wa Amasa njiani. + +# katika kumfuatia + +Nomino dhahania yaweza kuelezwa kama kitenzi. + diff --git a/2sa/20/14.md b/2sa/20/14.md new file mode 100644 index 00000000..da2f2042 --- /dev/null +++ b/2sa/20/14.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sheba akapita + +Hapa "Sheba" inarejerea kwa wote Sheba na jeshi lake. + +# Abeli wa Bethi Maaka + +"Abeli wa Bethi Maaka." Majina yote yanahusu sehemu moja na yaweza kuunganishwa. Ni mji karibu na kabila ya Yuda. + +# Wa Waberite + +Hili ni jina la kundi la watu. + +# na pia kumfuata Sheba + +"Walimfuata Sheba pia" + +# kujenga buruji + +Hii inamaanisha walitumia silaha ya kubomolea kuungonga ukuta. Chombo hiki kilikuwa ni mti mrefu wenye ncha or kuwekewa ncha ya chuma. Kilishikiliwa na watu kadhaa ambao gonga ncha kwenye ukuta. + +# Walimpata + +"Yoabu na askari walimpata" + +# dhidi ya ukuta kinyume cha mji + +"dhidi ya ukuta wa mji" + +# Sikilizeni, sikilizeni tafadhari + +Kurudia kwa neno "sikilizeni" kunasisitiza ombi la mwanamke. + diff --git a/2sa/20/17.md b/2sa/20/17.md new file mode 100644 index 00000000..846b6f93 --- /dev/null +++ b/2sa/20/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sikiliza maneno ya mtumishi wako + +Mwanamke anajitaja kama "mtumishi wako." Hii in njia laini ya mtu kuongea na mtu mwenye mamlaka. + +# na ushauri huo ungemaliza jambo + +"na ushauri huo ungetatua tatizo" + +# wenye amani na uaminifu zaidi katika Israeli + +Maneno yanayokosekana waweza kuongeza kuwa wa amani na mji mwaminifu zaidi katika Israeli" + +# Mji mama katika Israeli + +Hii inamaanisha umuhimu wa mji katika nchi ya Israeli kama vile ulikuwa mji wenye heshima kama mama mwenye heshima. + +# Kwa nini unataka kuumeza urithi wa Yahwe? + +Hapa mwanamke anatumia swali kupendekeza kwa Yoabu cha kuacha kufanya. + +# Kuumeza + +Mwanamke anazungumzia adui kuuaribu mji kama ulikuwa chakula cha kumezwa. + +# urithi wa Yahwe + +Mji unaoneshwa kama urithi wa Yahwe kusisitiza kwamba unamilikiwa na Yahwe. + diff --git a/2sa/20/20.md b/2sa/20/20.md new file mode 100644 index 00000000..8a516a8e --- /dev/null +++ b/2sa/20/20.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Iwe mbali, iwe mbali nami, hata + +Hapa anarudia kifungu hiki kusisitiza kwamba asingefanya vile. + +# hata nikameze au kuharibu + +Hii inamaanisha kuharibu mji. + +# kumeza au kuharibu + +Katika vifungu vyote maana yake ni kuharibu. Katika kifungu cha kwanza "kuharibu" inasemwa kama ndiko "kumeza." Hii yaweza kuunganishwa. + +# ameinua mkono wake dhidi ya + +Hii inamaanisha kuasi na kupigana na mtu fulani. + +# Mtoeni peke yake + +Yoabu anawambia watu wa mji kumtoa Sheba peke yake. + +# Nitauacha mji + +Hapa "mimi" inawataja wote Yoabu na askari. + +# Kichwa chake kitarushwa + +Yaweza kuwa tutakurushia kichwa chake. + +# Kisha mwanamke akawaendea watu wa mji katika hekima yake + +Inamaanisha mwanamke alitenda kwa busara na kuongea na watu wake walichopaswa kufanya. + +# kila mtu nyumbani kwake + +"Kila mtu alirudi nyumbani kwake" + diff --git a/2sa/20/23.md b/2sa/20/23.md new file mode 100644 index 00000000..9166db85 --- /dev/null +++ b/2sa/20/23.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Basi + +Inaonesha mkato katika habari. Sehemu inayofuata inatoa mazingira ya watu waliomtumikia Mfalme Daudi + +# Yoabu alikuwa juu... Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa juu... Adoramu alikuwa juu + +Kifungu "alikuwa juu" kinaonesha kuwa na mamlaka juu ya kundi la watu. + +# Yehoyada... Yehoshafati... Ahiludi + +Haya ni majina ya wanamme. + +# Wakerethi... Wapelethi + +Hawa walikuwa walinzi binafsi wa Daudi + +# Watu waliofanya kazi ya shuruti + +"watumwa" + +# Adoramu... Sheva... Ira + +Haya ni majina ya wanaume + +# Muyairi + +Hili ni jina la kundi la watu. + diff --git a/2sa/21/01.md b/2sa/21/01.md new file mode 100644 index 00000000..1834cb97 --- /dev/null +++ b/2sa/21/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# alitafuta uso wa Yahwe + +"Uso" inamaanisha uwepo wa Yahwe. Inamana Daudi aliomba kwa Yahwe kwa ajili ya njaa. + +# kwa sababu ya Sauli na familia yake ya mauaji + +Sauli alikuwa ameuwauwa Wagibioni wengi, na wazao wake wana hatia kwa sababu ya dhambi hii. + diff --git a/2sa/21/02.md b/2sa/21/02.md new file mode 100644 index 00000000..ae87b8e6 --- /dev/null +++ b/2sa/21/02.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Basi + +Inaonesha kuisha kwa habari na kutoa mazingira ya habari inayofuata kuhusu Wagibeoni. + +# Niwatendee nini? Nifanyeje upatanisho... ahadi? + +Mistari hii miwili ina maana inayofanana. Yaani "Nifanyeje kuondoa dhambi hii, ili mwabariki watu wa Yahwe, waumilikio wema wake na ahadi zake? + diff --git a/2sa/21/04.md b/2sa/21/04.md new file mode 100644 index 00000000..f60856bc --- /dev/null +++ b/2sa/21/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Si jambo la fedha wala dhahabu + +"Pesa hazitaweza kutatua tatizo" + diff --git a/2sa/21/05.md b/2sa/21/05.md new file mode 100644 index 00000000..dcdb1918 --- /dev/null +++ b/2sa/21/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# aliyepanga kinyume chetu + +"aliyefanya mipango dhidi yetu" + +# haya na tupewe watu saba kutoka katika uzao wake + +Yamaanisha "waruhusu watu wako kutopa wazao wake saba" + +# Tutawatundika + +"tutawanyonga kwa kuwatundika" + +# Katika Gibea ya Sauli + +Sauli alikuwa anatoka katika mji wa Gibea. + +# Aliyeteuliwa na Yahwe + +Yaweza kuwa "atakayechaguliwa na Yahwe" + diff --git a/2sa/21/07.md b/2sa/21/07.md new file mode 100644 index 00000000..55bd16e8 --- /dev/null +++ b/2sa/21/07.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mefiboshethi + +Alikuwa mwana wa Yonathani. + +# Rispa... Aiya + +Rispa alikuwa mwanamke na babaye aliitwa Aiya. + +# Amoni na Mefiboshethi... Adrieli... Barzilai + +Haya ni majina ya wanaume. Huyu siyo Mefiboshethi mwana wa Yonathani. + +# Mikali + +Hili ni jina la binti wa mfalme Sauli na alikuwa mke wa kwanza wa Daudi. + +# Mmeolathi + +Hili ni jina la kundi la watu. + +# Akawakabidhi katika mikono ya Wagibeoni. + +"mikono ya wagibeoni" inamaanisha Wagibeoni. + +# Wakauawa + +Wagibeoni waliwauwa. + diff --git a/2sa/21/10.md b/2sa/21/10.md new file mode 100644 index 00000000..19d5b336 --- /dev/null +++ b/2sa/21/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Rispa... Aiya + +Rispa alikuwa mwanamke na babaye aliitwa Aiya + +# Daudi aliambiwa + +Mtu fulani alimwambia Daudi + diff --git a/2sa/21/12.md b/2sa/21/12.md new file mode 100644 index 00000000..aa8149e2 --- /dev/null +++ b/2sa/21/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yabeshi Gileadi + +Huu ulikuwa ni mji katika eneo la Gibea. + +# Eneo la wazi + +Hili ni eneo karibu na lango la mji ambapo watu walifanya kazi mbalimbali. + +# Bethi Shani + +Hili ni jina la eneo + +# Gilboa + +Hili ni jina la mlima + +# Waliokuwa wametundikwa + +"Ambao Wagibeoni waliwanyonga kwa kuwatundika" + diff --git a/2sa/21/14.md b/2sa/21/14.md new file mode 100644 index 00000000..37fd94cf --- /dev/null +++ b/2sa/21/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Zela + +Hili ni jina la mji huko Benjamini + +# Kishi + +Hili ni jina la mwanamme. + +# Babaye + +"baba yake Sauli" + diff --git a/2sa/21/15.md b/2sa/21/15.md new file mode 100644 index 00000000..9d6dbe8c --- /dev/null +++ b/2sa/21/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ishibibenobu + +Hili ni jina la mwanamme. + +# shekeli mia tatu + +"shekeli 300" + +# Abishai mwana wa Seruya + +Abishai na Seruya ni majina ya wanaume + +# usije ukaizima taa ya Israel + +"Taa ya Israeli" ni usemi unaomaanisha uongozi wa Daudi na kama angekufa watu wangekosa mwelekeo sahihi. + diff --git a/2sa/21/18.md b/2sa/21/18.md new file mode 100644 index 00000000..dfb15a08 --- /dev/null +++ b/2sa/21/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Ikawa baada ya haya + +Kifungu kinaonesha mwanzo wa sehemu inayofuata + +# Gobu + +Hili ni jina la mji. + +# Sibekai... Safu... Elhanani mwana wa Jari... Goliathi + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Muhushathi... Mrefai... Mbethlehemu... Mgiti + +Haya ni majina ya wakundi ya watu. + +# Mrefai + +Kundi hili la watu walijulikana kwa ushujaa wao mkubwa. + +# ambaye mkuki wake ulikuwa kama mti wa mfumaji + +Mtu alipokuwa anafuma nguo alipitisha nyuzi katika ndoano zilizounganishwa katika mti ulioitwa "mti wa mfumaji." Hii inamaana kwamba mkuki wa Goliathi ulikuwa siyo mkuki wa kawaida. + diff --git a/2sa/21/20.md b/2sa/21/20.md new file mode 100644 index 00000000..5f4e9651 --- /dev/null +++ b/2sa/21/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Numba ishirini na nne + +Numba ina ** - "vidole 24 vya mikono na miguu kwa pamoja" + +# Mrefai + +Kundi hili la watu walijulikana kwa ushujaa wao mkubwa. + +# Yonathani mwana wa Shama + +Huyu alikuwa nduguye Daudi. + +# waliuawa kwa mkono wa Daudi na kwa mkono wa askari wake + +"kwa mkono wa" humaanisha "kupitia" au "kwa". Maana yake ni Daudi na watu wake waliwaua. + diff --git a/2sa/22/01.md b/2sa/22/01.md new file mode 100644 index 00000000..e125a389 --- /dev/null +++ b/2sa/22/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelizo ya Jumla: + +Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaanza. Anatumia usambaba kusisitiza akisemacho + +# katika mkono wa adui zake wote na katika mkono wa Sauli + +Huu ni mwendelezo kutoka maadui na kwenda kwa adui maalumu wa Daudi, Mfalme Sauli. + +# kutoka mkono wa + +"Inamaanisha kutoka katika nguvu ya" + +# Yahwe ni mwamba wangu, ngome yangu + +Usemi huu unamaanisha mwendelezo katika sehemu, "mwamba" kwa ujumla "ngome." Ngome inajengwa kwa mawe mengi makubwa. Hii inamaanisha kwamba Yahwe ananguvu za kulinda watu wake katika madhara. + diff --git a/2sa/22/03.md b/2sa/22/03.md new file mode 100644 index 00000000..76d1d0da --- /dev/null +++ b/2sa/22/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaanza. Anatumia usambaba kusisitiza akisemacho + +# Mungu ni mwamba wangu... Yeye ni ngao yangu, pembe ya wokovu wangu, ngome yangu. + +Semi hizi zote ni alama za nguvu na uwezo wa Mungu. Zinasisitiza uwezo wa Mungu wa kulinda na kuokoa watu wake + +# Astahiliye kusifiwa + +Yaani "anayestahili kupokea sifa" + +# Nitaokolewa na adui zangu + +"Ataniokoa na adui zangu" + diff --git a/2sa/22/05.md b/2sa/22/05.md new file mode 100644 index 00000000..31c9b8b5 --- /dev/null +++ b/2sa/22/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaanza. Anatumia usambaba kusisitiza akisemacho. + +# Maana mawimbi ya mauti yalinizunguka, mafuriko ya maji ya uharibifu yakanishinda + +Daudi anawalinganisha waovu waliotaka kumwua kama mafuriko ya maji yatakayo kumzamisha. Mistari hii miwili ina maana moja na imetumika kwa msisitizo. + +# Maana mawimbi ya mauti yalinizunguka + +Hii ni picha ya maji yaendayo kasi na kuharibu kila kitu yapitapo. + +# Vifungo vya kuzimu vilinizunguka; kamba za mauti zikaninasa + +Daudi anazungumzia mauti na kuzimu kama watu watakao kumnasa kama mwindaji anasavyo mnyama. Vifung viwili hivi vina maana moja na imetumika kwa msisitizo. + diff --git a/2sa/22/07.md b/2sa/22/07.md new file mode 100644 index 00000000..6ba3fde0 --- /dev/null +++ b/2sa/22/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea. Anatumia usambaba kusisitiza akisemacho + +# Katika shida yangu + +"katika taabu zangu kubwa" + +# akaisikia sauti yangu katika hekalu lake, + +Daudi anamaanisha hekalu la mbinguni anapoishi Yahwe. Hekalu la duniani lilikuwa bado kujengwa. + +# kilio changu cha msaada kikafika masikioni mwake + +Usemi wa "masikio yake" inaonesha Yahwe akisikiliza kilio cha Daudi kwa msaada. + diff --git a/2sa/22/08.md b/2sa/22/08.md new file mode 100644 index 00000000..7e55b4c0 --- /dev/null +++ b/2sa/22/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea. Anatumia usambaba kusisitiza akisemacho + +# Kisha nchi ilitikisika... ikawashwa kwayo + +Hili ni jibu la Yahwe kwa kilio cha Daudi msaada kutoka kwa adui zake. Daudi anatumia taswira ya dunia kutikisika na moto kutoka kwa Yahwe kusisitiza hasira kari ya Yahwe. + +# Dunia ilitikisika... mbingu zikatetemeka + +Daudi anazungumzia mitizamo hii miwili kuhusisha kila kitu katika uumbaji. + +# na ilitikiswa , kwa sababu Mungu alikuwa na hasira. + +Hii yaweza kumaanisha "kwa sababu hasira ya Mungu ilizitikisa." + +# mianzi ya pua yake... kinywa chake + +Daudi anamzungumzia Yahwe kama vile alikuwa na sehemu hizi za wanadamu. + +# Makaa yaliwasha kwayo + +Hapa hasira ya Yahwe inalinganishwa na moto, uliosababisha makaa kuwashwa. + diff --git a/2sa/22/10.md b/2sa/22/10.md new file mode 100644 index 00000000..732de9cd --- /dev/null +++ b/2sa/22/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea. Anatumia usambaba kusisitiza akisemacho + +# Alizifungua mbingu... akamwaga mawingu angani + +Daudi anazungumzia njia za Yahwe kwa kumwokoa Daudi kutoka kwa adui zake kama mawingu ya dhoruba yakusanyikayo juu ya sehemu. Hii inasisitiza nguvu za Mungu na hasira yake. + +# chini ya miguu yake + +Daudi anamzungumzia Mungu kama ana miguu ya watu. + +# Alionekana katika mawingu ya upepo + +Yaweza kuwa "alionekana juu ya mawingu ya upepo" + +# mawingu ya upepo + +Hii inaonesha upepo kama ulikuwa ni ndege + +# Na akafanya giza hema kumzunguka + +Giza alilolifanya Yahwe linalinganishwa na hema limfichalo kabisa. + diff --git a/2sa/22/13.md b/2sa/22/13.md new file mode 100644 index 00000000..c9cbbd92 --- /dev/null +++ b/2sa/22/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea. Anatumia usambaba kusisitiza akisemacho + +# Kutoka katika radi mbele zake... miale ya radi na kuwasambaratisha + +Daudi anaendelea kumweleza Yahwe, anayemlinganisha na kimbunga, akija kumwokoa kutoka kwa adui. Hii inasisitiza nguvu ya Mungu na hasira yake kwa adui wa Daudi. + +# Makaa ya moto yalidondoka mbele zake kutoka katika radi + +Maana yake yaweza kuwa 1) "kutoka katika mwanga mwangavu alituma makaa yawakayo" au 2) "kutoka katika mwangaza wake alituma radi" + +# Aliyejuu sana alipiga kelele. Akapiga mishale. + +Daudi anamweleza Yahwe akifanya matendo anayoweza kufanya mtu. + +# Alipiga mishale... miale ya radi + +Daudi analinganisha radi kutoka kwa tufani ya Yahwe na mishale wangetumia askari. + diff --git a/2sa/22/16.md b/2sa/22/16.md new file mode 100644 index 00000000..1f834e20 --- /dev/null +++ b/2sa/22/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea. Anatumia usambaba kusisitiza akisemacho + +# Ndipo njia za maji zilipoonekana... pumzi ya pua zake + +Yahwe alipopiga kelele katika shambulio lake kwa adui za Daudi, inalinganishwa na nguvu zake za kufanya mambo katika vilindi vya bahari na nchi. Hii inaonesha uwezo wake mkuu na hasira yake kali. + +# misingi... ilifunuliwa + +Daudi analinganisha hasira ya Yahwe na miondoka ya ardhi. + diff --git a/2sa/22/17.md b/2sa/22/17.md new file mode 100644 index 00000000..ebd30de5 --- /dev/null +++ b/2sa/22/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea. Anatumia usambaba kusisitiza akisemacho + +# kutoka katika vilindi vya maji + +Daudi analinganisha adui zake na mafuriko yanayotishia kumzamisha. + +# Aliokoa kuatoka kwa adui yangu mwenye nguvu. + +Adui wa Daudi walikuwa na nguvu. Alimsifu Mungu kwa kumkomboa kutoka kwa adui zake wote. + diff --git a/2sa/22/19.md b/2sa/22/19.md new file mode 100644 index 00000000..e25d5fda --- /dev/null +++ b/2sa/22/19.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea. Anatumia usambaba kusisitiza akisemacho + +# Walikuja kinyume changu siku ya shida yangu + +"Adui zangu walipigana nami nilipokuwa katika shida kubwa" + +# siku ya shida yangu + +Neno "siku" linawakilisha muda Daudi alipokuwa katika shida. + +# Lakini Yahwe alikuwa msaada wangu + +"lakini Yahwe alinisaidia" + +# mahali palipo na nafasi + +Hapa ni mahali pasipo na hatari na adui wasingemnasa. + +# kipimo cha usafi wa mikono yangu + +Hapa "usafi wa mikono yangu" inamaanisha kitu kimoja "haki" + diff --git a/2sa/22/22.md b/2sa/22/22.md new file mode 100644 index 00000000..a8c49b49 --- /dev/null +++ b/2sa/22/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea + +# Nimezitii njia za Yahwe + +"Njia za Yahwe" inamaanisha jinsi Yahwe anavyotaka watu wake kuenenda. Hii inamaanisha Daudi alifanya kile Yahwe alichotaka afanye. + +# mekuwa mbele yangu + +Hii inamaanisha Daudi mara kwa mara husoma na kutafakari maagizo ya Mungu + diff --git a/2sa/22/24.md b/2sa/22/24.md new file mode 100644 index 00000000..48558945 --- /dev/null +++ b/2sa/22/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea + +# Nimejiepusha na dhambi + +Hii ni kuchagua kutomtenda dhambi Yahwe + +# kwa kadiri ya usafi wangu mbele zake + +"Usafi wangu" inamaanisha kilekile "utakatifu wangu" + diff --git a/2sa/22/26.md b/2sa/22/26.md new file mode 100644 index 00000000..e8ab7b3e --- /dev/null +++ b/2sa/22/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea + +# lakini kwa wakaidi unajionesha kuwa mkaidi + +"kaidi" inamaanisha kuwa mkaidi, na "mpotevu" inamaanisha kutoka katika mema na haki. Inamaanisha Mungu huwashughulikia watu kwa hekima. + diff --git a/2sa/22/28.md b/2sa/22/28.md new file mode 100644 index 00000000..c5d0ec6f --- /dev/null +++ b/2sa/22/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea + +# macho yako ni kinyume cha wenye kiburi + +"macho yako" inamaanisha anachoona Yahwe. Inamaanisha Mungu humwona mwenye kiburi. + +# Unawashusha chini + +"unaharibu kiburi chao" + +# wewe ni taa yangu, Yahwe. Yahwe humlika katika giza langu. + +Usemi huu unamlinganisha Yahwe na taa, inamaana Humpa Daudi nuru na msaada wa kuona mambo yanapoaribika. + diff --git a/2sa/22/30.md b/2sa/22/30.md new file mode 100644 index 00000000..78de1021 --- /dev/null +++ b/2sa/22/30.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea + +# Naweza kupita vipingamizi + +"Vipingamizi" vyamaanisha kundi la askari au ukuta wa mawe. Yote yamaanisha Mungu humwezesha Daudi kuwashinda adui zake. + +# Naweza kuruka ukuta + +Daudi ametia chumvi ili kusisitiza msaada wa Yahwe. + +# Neno la Yahwe ni safi + +"Kila anachosema Yahwe ni kweli" + +# Yeye ni ngao + +"Ngao" yasisitiza uwezo wa Mungu kuwalinda watu wake. + diff --git a/2sa/22/32.md b/2sa/22/32.md new file mode 100644 index 00000000..c2f8e4e3 --- /dev/null +++ b/2sa/22/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea. + +# Maana ni nani aliye Mungu isipokuwa Yahwe? Na ni nani aliyemwamba isipokuwa Mungu? + +Daudi anatumia maswali kusisitiza kwamba hakuna Mungu zaidi ya Yahwe. + +# aliyemwamba + +Daudi anamlinganisha Yahwe na mwamba kusisitiza nguvu zake na uwezo wa kuwalinda watu wake. + +# humwongoza asiye na hatia katika njia yake + +Yahwe humlinda asiye na hatia katika usalama na kuondoa kila kinachoweza kumdhuru. + diff --git a/2sa/22/34.md b/2sa/22/34.md new file mode 100644 index 00000000..6addc00e --- /dev/null +++ b/2sa/22/34.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea. + +# Huifanya myepesi miguu yangu kama kurungu na kuniweka katika vilima virefu. + +Miguu ya Daudi inafananishwa na ya kurungu kwa kutiwa chumvi. Yahwe anampa Daudi nguvu za kuondoka kwa kasi na kumwandalia mahali salama kwa ulinzi na pumziko. + +# Mikono yangu... na vitanga vyangu + +Vyote vinamrejerea Daudi. + +# Kupinda upinde wa shaba + +Ni mtu mwenye nguvu pekee awezaye kutumia upinde ulitengenezwa kwa madini. + diff --git a/2sa/22/36.md b/2sa/22/36.md new file mode 100644 index 00000000..0b786ffb --- /dev/null +++ b/2sa/22/36.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea + +# hii ngao ya wokovu wako + +Daudi anailinganisha nguvu ya Yahwe ya kuokoa sawa na ngao inayomkinga askari na adui yake. + +# Matakwa yako + +Mungu alijibu maombi ya Daudi na kumpa baraka na mafanikio juu ya adui zake + +# 7Umeitengenezea miguu yangu nafasi chini yangu + +Yahwe amemweka Daudi mahala salama ambapo adui zake hawawezi kumnasa. "Miguu" inamaanisha uwezo wa Daudi wa kusimama salama. + diff --git a/2sa/22/38.md b/2sa/22/38.md new file mode 100644 index 00000000..dd410fb6 --- /dev/null +++ b/2sa/22/38.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea + +# fuatia adui zangu + +"kufukuza adui zangu" + +# Niliwararua na kuwasambaratisha + +Daudi anajilinganisha na hayawani wakali. + +# chini ya miguu yangu + +"Miguu" hapa inamaanisha nguvu na kumiliki ushindi juu ya adui zake. + diff --git a/2sa/22/40.md b/2sa/22/40.md new file mode 100644 index 00000000..df744680 --- /dev/null +++ b/2sa/22/40.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea + +# Unanivika nguvu kama mkanda kwa vita + +Hapa nguvu atoazo Yahwe zafananishwa na mkanda unaomwezesha Daudi kufanya mambo yenye nguvu. + +# unawaweka chini yangu wanaoinuka kinyume changu + +"ulinisaidia kuwashinda walioshindana nami" + +# migongo ya shingo za adui zangu + +Maana yake yaweza kuwa 1) Daudi kuona migogo ya adui zake walipokimbia au 2) Daudi kuwaka mguu wake nyuma ya shingo ya adui zake baada ya kuwashinda. + +# niliwaangamiza kabisa + +"Niliwaangazi kabisa" + diff --git a/2sa/22/42.md b/2sa/22/42.md new file mode 100644 index 00000000..30f6f9c1 --- /dev/null +++ b/2sa/22/42.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea + +# Walilia + +"adui zangu walilia" + +# walimlilia Yahwe, lakini hakuwajibu + +Muda wa hukumu ya Yahwe juu yao ilikuwa juu yao. + +# kama vumbi juu ya ardhi... kama matope mitaani + +Inamaanisha Daudi aliwaangamiza adui zake kabisa. Vifungu hivi viwili "kama vumbi juu ya ardhi" na "kama tope mitaani" vina maana moja na vimetumika kwa msisitizo. + diff --git a/2sa/22/44.md b/2sa/22/44.md new file mode 100644 index 00000000..f35866fa --- /dev/null +++ b/2sa/22/44.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea + +# kutoka katika mashutumu ya watu wangu + +Hii inarejerea miongoni mwa Waisraeli walioasi dhidi ya Mfalme Daudi. + +# Umeniweka kama kichwa cha mataifa. + +"Uliniweka kama mtawala juu ya mataifa." Hapa "mataifa" yamaanisha nchi nyingine tofauti na Israeli. + +# Watu ambao sikuwajua + +"Wageni" + +# kutoka katika mashutumu ya watu wangu + +Yaweza kuwa "wageni walinipigia magoti" + diff --git a/2sa/22/47.md b/2sa/22/47.md new file mode 100644 index 00000000..2489c695 --- /dev/null +++ b/2sa/22/47.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mwamba wangu atukuzwe. Mungu na ainuliwe + +Mistari hii ina maana inayofanana na imetumika kwa msisitizo. + +# mwamba wangu... mwamba + +Daudi anamlinganisha Yahwe na mwamba kusisitiza uwezo wake wa kuwalinda watu wake. + +# awawekaye watu chini yangu. + +Yeye awawekaye watu chini ya utawala wangu. + +# Uniweka huru mbali na adui zangu + +"Uliniokoa na adui zangu na kunipa heshima" + +# kutoka kwa watu wenye ghasia + +"kutoka kwao watakao kunidhuru" + diff --git a/2sa/22/50.md b/2sa/22/50.md new file mode 100644 index 00000000..07021369 --- /dev/null +++ b/2sa/22/50.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Ujumla + +Daudi anahitimisha wimbo wake kwa Yahwe + +# kwa jina lako + +Hapa neno "jina" inaonesha heshima ya Yahwe. + +# na uonesha uaminifu wake wa kiagano kwa mtiwa mafuta wake + +Daudi anaweza kuwa anarejerea ahadi alizosifanya Yahwe katika 7:8 + diff --git a/2sa/23/01.md b/2sa/23/01.md new file mode 100644 index 00000000..69142f9d --- /dev/null +++ b/2sa/23/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Basi + +Hii inaonesha mwanzo wa sehemu nyingine ya kitabu + +# haya ni maneno ya mwisho + +Hii inaonesha atakachokisema Daudi katika 23:1. + +# mtu aliyeheshimiwa sana, aliyetiwa mafuta na Mungu wa Yakobo + +Hii yaweza kumaanisha: "Mtu ambaye Mungu wa Yakobo alimweshimu na kumtia mafuta" + +# aliyetiwa mafuta na Mungu wa Yakobo + +Kutiwa mafuta kulifanywa kwa kumimina mafuta juu ya kichwa cha mtu katia kuchagua ambaye angemtumikia Mungu kama mfalme au kuhani. + +# Mzaburi + +Huyu ni mtu aandikaye zaburi au nyimbo. + +# kwangu + +kwa Daudi + +# na neno lake lilikuwa katika ulimi wangu + +"juu ya ulimi wangu" ni usemi unaomaanisha Daudi. + diff --git a/2sa/23/03.md b/2sa/23/03.md new file mode 100644 index 00000000..b941f5cd --- /dev/null +++ b/2sa/23/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Ujumla + +Hii inaendeleza maneno ya mwisho ya Daudi. + +# Mungu wa Israeli alinena, Mwamba wa Israeli... nami + +Hapa "Mungu wa Israeli" na "Mwamba wa Israeli" ni yuleyule. Vingungu vyote viwili vinazungumzia jambo moja la msingi. Daudi anamlinganisha Mungu na mwamba kusisitiza uwezo wake wa kulinda watu. + +# Atawalaye kwa haki juu yangu, atawalaye katika hofu ya Mungu + +Mistari miwili hii inasema kwamba mfalme atamweshimu Mungu na kufanya Mungu anachotaka. + +# kwa hofu ya Mungu + +"kumweshimu Mungu" + +# Atakuwa kama mwanga wa asubuhi...nuru ya jua baada ya mvua + +Hapa Mungu anamlinganisha mfalme na nuru ya asubuhi na nuru ya jua baada ya mvua. Zote ni njia za kusema mfalme huyu angekuwa wa kupendwa na Mungu na baraka kwa watu. Vifungu hivi viwili vina maana inayofanana na vimetumika kwa msisitizo. + diff --git a/2sa/23/05.md b/2sa/23/05.md new file mode 100644 index 00000000..166ab773 --- /dev/null +++ b/2sa/23/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Ujumla + +Hii inaendeleza maneno ya mwisho ya Daudi + +# Hakika, je familia yangu haiko hivi mbele za Mungu? + +Hapa Daudi anakubaliana ya Mungu. + +# Je yeye hajafanya... njia? + +Daudi anakubari kwamba Mungu amefanya agano naye. + +# taratibu na hakika + +Hii inamaanisha agano la Mungu limeratibiwa vizuri na halitabadilika hivyo familia ya Daudi inaweza kuliamini. + +# Je yeye haongezi wokovu wangu... tamaa? + +Daudi anaaamini kwamba Mungu atamsaidia daima na kumfanya afanikiwe. + diff --git a/2sa/23/06.md b/2sa/23/06.md new file mode 100644 index 00000000..ce2365ad --- /dev/null +++ b/2sa/23/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Ujumla + +Hii inahitimisha maneno ya mwisho ya Daudi. + +# Lakini yasiyofaa yote yatakuwa kama miiba na kutupwa mbali + +Hapa waovu wanalinganishwa na miba isiyofaa. + +# kwa maana haiwezekani kukusanywa kwa mikono + +"Kwa maana hakuna awezaye kuichukua kwa mikono yake bila kumwumiza" + +# Ni lazima yachomwe mahali yalipo + +"Yalipo" ndipo yanapochomewa." Hii inamaanisha kwamba Mungu atawaharibu waovu. + diff --git a/2sa/23/08.md b/2sa/23/08.md new file mode 100644 index 00000000..24989e20 --- /dev/null +++ b/2sa/23/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yeshbaali + +Hili ni jina la mwanamme. Matoleo mengine yanasomeka Yoshebu Bashebethi, Jashobeamu, Ishbaali, au Ishboshethi kwa hiyo nakala mbalimbali za kale zina tofauti hizi. + +# Mhakimoni + +Hili ni jina la kundi la watu. + +# Mia nane + +"800" + diff --git a/2sa/23/09.md b/2sa/23/09.md new file mode 100644 index 00000000..3c925965 --- /dev/null +++ b/2sa/23/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Ujumla + +Hii inaendeleza orodha ya mashujaa wa Daudi. + +# Jeshi likarudi baada ya Eleaza + +Hii inamaana jeshi lilirudi baada ya Eleaza kurudi kutoka vitani. Yaweza pia kuwa "Jeshi la Israeli lilirudi kwenye uwanja wa vita baada ya Eleaza kuwa ameshinda vita" + +# kwa ajili tu ya kuteka nyara miili + +"Kuchua pekee walivyotaka katika maiti za maadui" + diff --git a/2sa/23/11.md b/2sa/23/11.md new file mode 100644 index 00000000..73c05b83 --- /dev/null +++ b/2sa/23/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Ujumla + +Hii inaendeleza orodha ya mashujaa wa Daudi + +# shamba la dengu + +"katika shamba ambalo mtu alikuwa amepanda zao la dengu" + +# dengu + +mbegu ya bapa, inaliwa kama maharage + +# jeshi lilikimbia + +"jeshi la Waisraeli lilikimbia" + diff --git a/2sa/23/13.md b/2sa/23/13.md new file mode 100644 index 00000000..b9e964b1 --- /dev/null +++ b/2sa/23/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Watatu kati ya thelathini + +Hawa siyo askari waliotajwa katika 23:8 + +# thelathini + +"30" au "Askari thelathini wa Israeli waliokuwa mashujaa zaidi" + +# Pango la Adulamu + +"Pango lililopo karibu na mji wa Adulamu." "Adulamu ipo karibu na Bethlehemu. + +# Bondel la Mrefai + +Mrefai ni mtu aliyekuwa mmiliki wa bonde. + +# katika ngome yake + +"katika eneo lake la ulinzi" + +# Wafilisiti wlikuwa wamejieneza katika Bethlehemu + +"Baadhi ya askari wa Wafilisiti walikuwa wakimiliki kijiji cha Bethlehemu" + diff --git a/2sa/23/15.md b/2sa/23/15.md new file mode 100644 index 00000000..d76a01d2 --- /dev/null +++ b/2sa/23/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kupita kati ya jeshi + +"walipigania njia yao kupitia jeshi la adui" + +# Je ninywe damu ya watu waliohatilisha maisha yao? + +Daudi analinganisha maji na damu kwa sababu wale watu walihatarisha maisha yao ili kuyalete kwake. Anatumia swali kusisitiza hili. + diff --git a/2sa/23/18.md b/2sa/23/18.md new file mode 100644 index 00000000..23579b30 --- /dev/null +++ b/2sa/23/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Abishai ... Seruya. + +Haya ni majina ya wanaume + +# kapteni juu ya watatu + +Inamaana Abishai alikuwa kiongozi wa wale watatu walikwenda kumchukulia Daudi maji. + +# watu mia tatu + +"watu 300" + +# alitajwa pamoja na wale askari watatu. + +"Watu walimtaja walipozungumzia wale mashujaa zaidi watatu" + +# hakuwa maarufu zaidi ya wale watatu? + +Swali linasisitiza jinsi alivyokuwa maarufu. + +# wale mashujaa watatu + +Hii inarejerea kwa Yoshebu Bashebethi, Eleaza na Shama. Abishai hakuwa maarufu kama hawa askari hawa. + diff --git a/2sa/23/20.md b/2sa/23/20.md new file mode 100644 index 00000000..74f36a68 --- /dev/null +++ b/2sa/23/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kabseeli + +Hili ni jina la mji. + +# Yehoiyada + +Hili ni jina la mwanamme. + +# Arieli + +Hili ni jina la mwanamme. + diff --git a/2sa/23/22.md b/2sa/23/22.md new file mode 100644 index 00000000..51057eb7 --- /dev/null +++ b/2sa/23/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# alifanya matendo haya + +"alifanya matendo haya makuu" + +# naye alitajwa kati ya mashujaa watatu + +"watu walimsifu kama wale mashujaa watatu" + +# Alikuwa na heshima kuliko mashujaa thelathini kwa ujumla wao, lakini hakuwa na heshima kama wale mashujaa watatu + +"Alikuwa maarufu zaidi ya askari wale 30 isopokuwa wale watatu bora zaidi" + +# wale mashujaa zaidi watatu + +Hii inamaanisha Yoshebu Bashebethi, Eleaza, na Shama. + +# mlinzi wake + +Kundi la askari waliowajibika kumlinda Daudi + diff --git a/2sa/23/24.md b/2sa/23/24.md new file mode 100644 index 00000000..0ad154f2 --- /dev/null +++ b/2sa/23/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Ujumla + +Hii ni orodha ya mashujaa wa Daudi + +# Thelathini + +"Askari 30 maarufu zaidi" + diff --git a/2sa/23/29.md b/2sa/23/29.md new file mode 100644 index 00000000..9955f8ad --- /dev/null +++ b/2sa/23/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Ujumla + +Hii inaendeleza orodha ya mashujaa wa Daudi + diff --git a/2sa/23/33.md b/2sa/23/33.md new file mode 100644 index 00000000..9955f8ad --- /dev/null +++ b/2sa/23/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Ujumla + +Hii inaendeleza orodha ya mashujaa wa Daudi + diff --git a/2sa/23/37.md b/2sa/23/37.md new file mode 100644 index 00000000..c4fd7bbd --- /dev/null +++ b/2sa/23/37.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Ujumla + +Hii inahitimisha orodha ya mashujaa wa Daudi + +# Jumla yao thelathini na saba + +jumla yao saba** - "kulikuwa na 37 jumla yao" + diff --git a/2sa/24/01.md b/2sa/24/01.md new file mode 100644 index 00000000..a90a5768 --- /dev/null +++ b/2sa/24/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hasira ya Yahwe iliwaka juu ya Israeli + +Neno "kuwaka" linamaanisha kuwasha moto. Hasira ya Yahwe inalinganishwa hapa na kule kuwasha moto + +# alimchochea Daudi kinyume chao + +"alimfanya Daudi kuwapinga" + +# Nenda, wahesabu Israeli na Yuda + +Katika sheria ya Musa, Mungu alizuia wafalme wa Israeli kuhesabu wapiganaji. + +# Dani hadi Beersheba + +Kifungu kinatumia majina mawili, Dani kaskazini ya mbali na Bersheba, kusini ya mbali, kuwakilisha nchi nzima. + +# Hesabu watu wote... wanaofaa kwa vita + +Hii inamaanisha wanaume wote isipokuwa walio watoto, wazee, au wasioweza kupigana kwa sababu ya udahifu wa miili yaoo. + diff --git a/2sa/24/03.md b/2sa/24/03.md new file mode 100644 index 00000000..e2770cac --- /dev/null +++ b/2sa/24/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wazidishe... mara mia zaidi + +Inamaanisha "kuzalisha watu mia moja kwa kila mtu aliyekuwepo wakati huo." + +# neno la mfalme lilikuwa la mwisho dhidi ya Yoabu + +Yoabu na majemedari wengine wa Mfalme Daudi hawakufanikiwa kumshawishi Daudi kutochukua sensa. + +# neno la mfalme + +Kifungu kinawakilisha agizo la mfalme juu yao. + diff --git a/2sa/24/05.md b/2sa/24/05.md new file mode 100644 index 00000000..b1c0c1ed --- /dev/null +++ b/2sa/24/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Walivuka + +"Yoabu na majemedari wengine wa jeshi walivuka" + +# Aroeri + +Huu ulikuwa mji katika ukingo wa Mto Arnoni. + +# Yazeri + +Huu ni mji huko Gadi. + +# Tahitimu Hodshi + +Huu waweza kuwa mji wa Kadehsi katika nchi ya Wahiti. + diff --git a/2sa/24/08.md b/2sa/24/08.md new file mode 100644 index 00000000..ee9cf2a1 --- /dev/null +++ b/2sa/24/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# walikuwa wameondoka + +"Yoabu na majemedari walikuwa wameondoka" + +# miezi minane na siku ishirini + +"miezi 9 na siku 20" + +# Ndipo Yoabu alipotoa taarifa ya hesabu kamili kwa mfalme kuhusu watu wawezao kupigana vita + +Ndipo Yoabu alipomwambia mfalme jumla ya watu waliotayari kwa vita" + +# Katika Israeli + +Hii inahusu makabila ya kaskazini mwa Israeli. + +# 800,000... 500,000 + +"mia nane elfu... mia tano elfu" + +# wafutao upanga + +Hii inamaanisha watu waliokuwa tiyari kwa vita jeshini. + +# wa Yuda + +Hii inamaanisha kabila ya Yuda. + diff --git a/2sa/24/10.md b/2sa/24/10.md new file mode 100644 index 00000000..1d115027 --- /dev/null +++ b/2sa/24/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# moyo wa Daudi ukamchoma + +"moyo" hapa unamaanisha hisia na dhamira ya Daudi. + +# Sasa, Yahwe, iondoe hatia ya mtumishi wako + +Daudi anajitaja kama "mtumishi wako." Hii ni njia ya upole ya kuongea na mwenye mamlaka. + diff --git a/2sa/24/11.md b/2sa/24/11.md new file mode 100644 index 00000000..01baeebf --- /dev/null +++ b/2sa/24/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# neno la Yahwe likaja + +Inamaanisha Yahwe aliongea. "Yahwe aliongea ujumbe wake." + +# neno la Yahwe + +Hapa "neno" linawakilisha ujumbe wa Yahwe. + +# mwonaji wa Daudi + +Hii inamaanisha Gadi alikuwa nabii wa ikulu. + diff --git a/2sa/24/13.md b/2sa/24/13.md new file mode 100644 index 00000000..99cd6c67 --- /dev/null +++ b/2sa/24/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# nipo katika shida kubwa + +"nipo katika shida ya kutisha" + +# Haya na tuanguke katika mikono ya Yahwe kuliko kuanguka katika mikono ya mwanadamu + +Hapa "mikono" inamaanisha mamlaka au umilki. + diff --git a/2sa/24/15.md b/2sa/24/15.md new file mode 100644 index 00000000..5f5b3bd4 --- /dev/null +++ b/2sa/24/15.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# muda uliopangwa + +Huu ni muda Mungu aliokuwa amepanga kusitisha tauni. + +# elfu sabini + +"70,000" + +# kutoka Dani hadi Beersheba + +Hii inamaanisha taifa lote + +# 6Malaika aliponyosha mkono wake kuelekea Yerusalemu ili kuuharibu + +"mkono" unawakilisha nguvu ya malaika. + +# Yahwe akabadilisha nia yake kuhusu madhara + +Inamaanisha Yahwe alisitisha baya alilokuwa amemruhusu malaika kufanya. + +# Basi rudisha mkono wako + +"mkono" unamaanisha nguvu ya malaika. + +# Arauna + +Hili ni jina la mwanamme + +# sakafu ya kupulia + +Hii ilikuwa ni sehemu ngumu, iliyo na ubapa mahali nafaka zilikuwa zinapulwa. + diff --git a/2sa/24/17.md b/2sa/24/17.md new file mode 100644 index 00000000..35ff3644 --- /dev/null +++ b/2sa/24/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nimetenda dhambi, na nimetenda kwa ukaidi + +Hivi vifungu vinamaanisha kitu kimoja na vimetumika kwa msisitizo. + +# Lakini kondoo hawa, wamefanya nini? + +Daudi anatumia swali na analinganisha watu na kondoo kusisitiza kwamba hawajakosa. + +# Tafadhari mkono wako uniadhibu mimi + +Hapa "mkono" unamaanisha nguvu. + diff --git a/2sa/24/18.md b/2sa/24/18.md new file mode 100644 index 00000000..e03f9df4 --- /dev/null +++ b/2sa/24/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kumsujudia mfalme uso wake mpaka juu ya ardhi + +Alikuwa akionesha heshima kubwa kwa mfalme. + diff --git a/2sa/24/21.md b/2sa/24/21.md new file mode 100644 index 00000000..8e079a4d --- /dev/null +++ b/2sa/24/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ili tauni iondolewe miongoni mwa watu + +"Ili kwamba Yahwe aiondoe tauni kutoka kwa watu" + +# Ulifanyie lolote lolote lililojema machoni pako + +Kifungu "machoni pako" kinawakilisha wazo au oni la Daudi. + +# miganda ya kupuria + +fito zilizotumika kupuria ngano. + diff --git a/2sa/24/24.md b/2sa/24/24.md new file mode 100644 index 00000000..f64e514a --- /dev/null +++ b/2sa/24/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sitatoa chochote... nisichokigharimia + +"Nitatoa tu kile nilichokilipia" + +# shekeli hamsini + +"shekeli 50." Shekeli ni sawa na gramu 11. + +# badala ya nchi + +Neno "nchi" linawakilisha watu wa Israeli. + diff --git a/README.md b/README.md index 025390bf..0049d56b 100644 --- a/README.md +++ b/README.md @@ -1,5 +1,5 @@ -# sw_tn - -Swahili translation Notes +# Swahili translation Notes -STR https://git.door43.org/Door43/SourceTextRequestForm/issues/173 \ No newline at end of file +STR https://git.door43.org/Door43/SourceTextRequestForm/issues/173 (NT) + +STR https://git.door43.org/unfoldingWord/SourceTextRequestForm/issues/305 (OT) \ No newline at end of file diff --git a/amo/01/01.md b/amo/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..b2ddd4f0 --- /dev/null +++ b/amo/01/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mambo ambayo...Amosi...aliyapokea katika ufunuo + +Kila kitu ambacho Mungu amemfanya Amosi kuelewa kupitia ambacho Amosi amekiona au kusikia. + +# Yahwe atanguruma kutoka Sayuni; atainua sauti yake kutoka Yerusalemu + +Hii mistari miwili inashirikiana maana moja. Yote inasisitiza kwamba Yahwe anapiga kelele kama ajiandaa kulihukumu taifa + +# Yahwe atanguruma + +kama 1) simba au 2) radi + +# Yahwe + +Hili ni jina la Yahwe ambalo alijifunua kwa watu wake katika kipindi cha Agano la Kale. Tazama ukurasa wa tafsri ya Neno kuhusu Yahwe kuhusiana na jinsi ya kutafsiri hii. + diff --git a/amo/01/03.md b/amo/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..bef88313 --- /dev/null +++ b/amo/01/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa dhambi tatu...hata kwa nne + +"Kwa dhambi nyingi...kwa dhambi nyingi sana" au "Kwa sababu...ana dhambi nyingi sana, anamefanya dhambi nyingi sana kuliko niwezavyo kuruhusu" + +# sitabadilisha adhabu + +"Hakika nitawaadhibu wale watu" + diff --git a/amo/01/05.md b/amo/01/05.md new file mode 100644 index 00000000..3de30b4f --- /dev/null +++ b/amo/01/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kumkatilia mbali mtu + +Hapa "katilia" inamaanisha aidha "kuharibu" au " kutoa." + +# yule mtu ashikaye fimbo ya kifalme katika Beth Edeni + +Baadhi ya matoleo ya kisasa yanatfsiri hii kuwa mtu mmoja aishiye katika Biqati Aveni + +# mtu ambaye aishiye katika Biqati Aveni. + +Baadhi ya matoleo ya kisasa yametafsiri hii kumaanisha, "Watu ambao waishio katika Biqati Aveni." Matoleo ambayo yana "mtu" kawaida yanatafsiri hii maana dhahiri kumaanisha mfalme. + +# Biqati Aven...Beth Edeni...Kiri + +jina la miji. + +# Edeni + +tofauti na Bustani ya Edeni + +# yule mtu ashikaye fimbo ya kifalme + +mfalme au mkuu + diff --git a/amo/01/06.md b/amo/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..ffbe1090 --- /dev/null +++ b/amo/01/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa dhambi tatu...hata nne, sintobadilisha adhabu + +tazama jinsi ya kutafsiri haya maneno katika 1:3. + diff --git a/amo/01/08.md b/amo/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..42a817f3 --- /dev/null +++ b/amo/01/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# katilia mbali + +Hapa "Katilia" inamaanisha aidha "kuharibu" au kutoa." + +# yule mtu aishiye katika Ashdodi + +Baadhi ya matoleo ya kisasa yanatafsri hii kumaanisha, "watu waishio katika Ashdodi." Matoleo ambayo yana "mtu" mara zote hutafsiri hii dhahiri kumaanisha mfalme. + +# mtu ashikaye fimbo ya kifalme kutoka Ashkeloni + +Baadhi ya matoleo ya kisasa yametafsiri hii kuwa mtu mmoja anayeishi Ashdodi. + +# Nitaugeuza mkono wangu dhidi ya Ekroni + +au "nitapigana dhidi ya Ekroni" + diff --git a/amo/01/09.md b/amo/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..d8cd28da --- /dev/null +++ b/amo/01/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa dhambi tatu...hata kwa nne, sintobadili adhabu + +Tazama jinsi ya kutafsiri haya maneno katika 1:3 + +# agano lao la undugu + +"makubaliano waliyoyafanya kuwatendea kama kaka" + diff --git a/amo/01/11.md b/amo/01/11.md new file mode 100644 index 00000000..8d6c1ca3 --- /dev/null +++ b/amo/01/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa dhambi tatu...hata kwa nne, sintobadilisha adhabu + +Tazama jinsi ya kutafsiri haya maneno katika 1:3. + +# ghadhabu yake ikabaki milele + +"ghadhabu yake imebaki hata leo" + +# Bozra + +Tazama: tafsiri ya majina + diff --git a/amo/01/13.md b/amo/01/13.md new file mode 100644 index 00000000..f1de8829 --- /dev/null +++ b/amo/01/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa dhambi tatu...hata kwa nne, sintobadilisha adhabu + +Tazama jinsi ya kutafsri haya maneno katika 1:3. + diff --git a/amo/01/14.md b/amo/01/14.md new file mode 100644 index 00000000..9509b53c --- /dev/null +++ b/amo/01/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# pamoja na dhoruba katika siku ya kimbunga + +"pamoja na mambo mengi mabaya yanayotokea yote kwa pamoja" + +# dhoruba...kimbunga + +aina mbili za upepo mkali sana + +# kimbunga + +dhoruba ambayo iendayo kuzunguka katika duara. + diff --git a/amo/02/01.md b/amo/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..25668a2b --- /dev/null +++ b/amo/02/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# "Kwa dhambi tatu...hata kwa nne, sintobadilisha adhabu + +Tazama jinsi ya kutafsiri haya maneno katika 1:3. + +# chokaa + +majivu yaliyobaki wakati + diff --git a/amo/02/02.md b/amo/02/02.md new file mode 100644 index 00000000..9471271e --- /dev/null +++ b/amo/02/02.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Keriothi + +Tazama: tafsiri ya majina + +# Moabu atakufa + +"Watu wa Moabu watakufa" + diff --git a/amo/02/04.md b/amo/02/04.md new file mode 100644 index 00000000..dcf2d84a --- /dev/null +++ b/amo/02/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa dhambi tatu...hata kwa nne, sintobadilisha adhabu + +Tazama jinsi ya kutafsiri haya maneno katika 1:3. + +# Uongo wao + +Hili neno hapa ni kama linamaasha "miungu ya uongo" au "sanamu." + +# kupotea...kutembea + +Kuabudu sanamu imezungumziwa kana kwamba watu walikuwa wakitembea nyuma ya hawa miungu wa uongo. + diff --git a/amo/02/06.md b/amo/02/06.md new file mode 100644 index 00000000..2771e328 --- /dev/null +++ b/amo/02/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa dhambi tatu...hata kwa nne, sintobadilisha adhabu + +Tazama jinsi ya kutafsiri haya maneno katika 1:3. + diff --git a/amo/02/07.md b/amo/02/07.md new file mode 100644 index 00000000..1d749c6e --- /dev/null +++ b/amo/02/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# hekalu + +dhuru kwa sababu maalumu na kurudi tena na tena kuendele + +# wanasukuma kukandamiza + +"walikataa kusikiliza wakati ukandamizaji usemapo wanawatenda vibaya" + diff --git a/amo/02/09.md b/amo/02/09.md new file mode 100644 index 00000000..24d1d4c6 --- /dev/null +++ b/amo/02/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi; alikuwa na nguvu kama mialoni + +"ambao walikuwa warefu kama miti mirefu uijuayo na imara kama mti imara zaidi uujuayo" + diff --git a/amo/02/11.md b/amo/02/11.md new file mode 100644 index 00000000..7197e272 --- /dev/null +++ b/amo/02/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yahwe asemavyo + +Mungu amesema + diff --git a/amo/02/13.md b/amo/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..5b18b99f --- /dev/null +++ b/amo/02/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tazama + +"Sikiliza" au "Kuwa makini kwa kile ninachotaka kukwambai." + diff --git a/amo/02/15.md b/amo/02/15.md new file mode 100644 index 00000000..cc6661e6 --- /dev/null +++ b/amo/02/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Apindaye upinde + +"apindaye upinde atakimbia" + +# mkimbiaji sana hatakimbia + +"mkimbiaji wa kwanza atanyakuliwa" + +# mwendesha farasi hatajiokoa + +"mwendesha farasi atakufa" + +# kimbia uchi + +Maana ziezekanazo 1) "kimbia bila silaha zake" au 2) "kimbia bila nguo." + +# Yahwe asemavyo + +Mungu ameagiza. + diff --git a/amo/03/01.md b/amo/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..4d4c0bea --- /dev/null +++ b/amo/03/01.md @@ -0,0 +1,34 @@ +# neno + +"Neno" linarejea kwenye kitu ambacho mtu amesema. Njia tofauti tofauti za kutafsiri neno "neno" au "maneno" inajumuisha, "kufundisha" au "ujumbe" au "habari" au "kusema" au "kilichosemwa." + Wakati inamrejelea Yesu kama "Neno," hili neno lingetafsiriwa kama "ujumbe" au "usemi." + +# Yahwe + +Neno "Yahwe" linatokana na jina ambalo alilojifunua wakati alipozungumza na Musa kwenye kichaka kilichokuwa kikiungua. +Neno "Yahwe" linatokana na neno linalomaanisha, "kuwa" au "kuishi." + +# Israeli, Waisraeli, taifa la Israeli + +Neno "Israeli" ni jina la Mungu alilokuwa amempa Yakobo. Linamaana, "amepambana na Mungu." + +# familia + +Neno "familia" linarejea kwenye kundi la watu ambao wanauhusiano wa ndugu na kawaida inamuhusisha baba, mama, na watoto. Mara chache inawahusisha ndugu kama vile babu na bibi, wajukuu, wajomba na shangazi. Neno "familia" pia limetumika kurejea kwa watu ambao wanauhusiano kiroho, kama vile watu ambao ni sehemu ya familia ya Mungu kwa sababu wanamwamini Yesu. + +# Misri, Wamisri + +Misri ni nchi katika upande wa kaskazini mwa Afrika, kuelekea kusini mashariki mwa nchi ya Kanaani. Mmisri ni mtu anayetoka nchi ya Misri. + +# aliyechaguliwa, chagua, watu waliochaguliwa, Aliyechaguliwa, teule + +Neno, "mteule" maana halisi "waliochaguliwa" au "watu waliochaguliwa" na inarejea kwa wale ambao Mungu amewateua au kuwachagua kuwa watu wake. "Aliyechaguliwa" au "Aliyechaguliwa na Mungu" ni jina linalomrejea Yesu, ambaye ni Masiha aliyechaguliwa. + +# adhibu, adhabu + +Neno "adhibu" linamaanisha kumsababisha mtu kuteseka kwa matokea hasi kwa kufanya jambo lisilo sahihi. Neno "adhabu" linarejea kwa matokeo hasi ambayo yametolewa kama matokeo ya hiyo tabia mbaya. + +# dhambi, enye dhambi, mwenye dhambi, kufanya dhambi + +Neno "dhambi" linarejea kwa matendo, mawazo, na maneno ambayo ni kinyume na mapenzi ya Mungu na sheria. Dhambia inaweza kurejewa kwa kutokufanya kitu ambacho Mungu anataka tufanye. + diff --git a/amo/03/03.md b/amo/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..500d4523 --- /dev/null +++ b/amo/03/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mungu atajibu haya maswali katika 3:7. + diff --git a/amo/03/05.md b/amo/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..500d4523 --- /dev/null +++ b/amo/03/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mungu atajibu haya maswali katika 3:7. + diff --git a/amo/03/07.md b/amo/03/07.md new file mode 100644 index 00000000..0e94f7a4 --- /dev/null +++ b/amo/03/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hakika Bwna Yahwe hatafanya kitu vinginevyo amewafunulia...manabii + +"Bwana Yahwe atajifunua kwanza...manabii kabla hafanya chochote" + diff --git a/amo/03/09.md b/amo/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..3f879385 --- /dev/null +++ b/amo/03/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yahwe asemavyo + +Usemi wa Mungu. + diff --git a/amo/03/11.md b/amo/03/11.md new file mode 100644 index 00000000..6759d12b --- /dev/null +++ b/amo/03/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kulalia + +kiti kikubwa laini kwa kulala juu yake + +# pamoja na pembe ya kulalia, au pembe ya kitanda + +Hiki kifungu kati Ebrania ni kigumu kuelewa, na baadhi ya matoleo yametafsiri kwa utofauti. Tafsiri ya UDB, imepangwa kwa baadhi ya matoleo ya kisasa, inatumia tashbihi. Inatamaana kwamba Waisraeli pekee wachache wataokoka, kama mmiliki wa nyumba angeweza kuokoa sehemu chache ya samani wakati nyumba yake inashika moto. + diff --git a/amo/03/13.md b/amo/03/13.md new file mode 100644 index 00000000..502712fa --- /dev/null +++ b/amo/03/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# asemavyo Bwana Yahwe + +Bwana Mungu Yahwe anazungumza. + +# pembe za madhabahu + +Hizi zinaonekana kama pembe za ng'ombe zikitoka kutoka ambapo pande zote kuja pamoja kwa juu na zilikuwa alama kuonyesha jinsi mungu alivyokuwa hodari. + diff --git a/amo/03/15.md b/amo/03/15.md new file mode 100644 index 00000000..76e2ce98 --- /dev/null +++ b/amo/03/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nyumba ya baridi pamoja na nyumba ya hari + +"nyumba zote" + +# pembe + +meno na pembe za wanyama wakubwa + +# asemavyo Yahwe + +Mungu anazungumza. + diff --git a/amo/04/01.md b/amo/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..710b9137 --- /dev/null +++ b/amo/04/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# watakapowaondoa kwa ndoana, wa mwisho wenu na ndoana za kuvulia samaki + +Hii mistari miwili kimsingi inamaanisha kitu kimoja na kusisitia kwamba adui atawanyakua watu kama watu wakatavyo samaki. "kuwashinda wote na kuwalazimisha kwanda nao pamoja" au "kuwaweka juu ya ndoana kama samaki na kukuchukua." + diff --git a/amo/04/03.md b/amo/04/03.md new file mode 100644 index 00000000..b8601f74 --- /dev/null +++ b/amo/04/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# bomolewa kwenye kuta za mji + +Sehemu ambazo adui alizivunja chini ukuta wamji kuingia + +# mtajitupa mbele ya Harmoni + +"watakutupa nje kuelekea Harmoni" au "maadui zako watakulazimisha kuondoka mjini na kwenda Harmoni" + +# Harmoni + +Hii inaweza kuwa sehemu ambayo hatuijui. Au unaweza kurejelewa mlima wa Hermoni, na baadhi ya matoleo ya kisasa yameitafsiri kwa njia hii. + +# hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo + +Hiki kirai kimetumika kuonyesha kwamba mambo aliyoyaongelea Mungu hakika yatatokea. Bwana Mungu anasema. + diff --git a/amo/04/04.md b/amo/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..5b4da412 --- /dev/null +++ b/amo/04/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nendeni Betheli na uovu, hata Gilgali mkaongeza dhambi + +"Kwa sababu mmekataa kutubu, sadaka mtoazo katika Betheli na Gilgali pekee huniongeza asira zaidi" + +# leteni dhabihu zenu...zaka zenu...toeni sadaka za shukrani...tangazeni sadaka za hiar; zitangazeni + +Kama lugha yako inanjia ya kuonyesha kwamba watu walikataa kuelewa kwamba kufanya haya mambo itawafanya vibaya lakini hayasimama kuwafanya, unaweza kutaka kuitumia hapa. + +# zaka zenu kila baada ya siku tatu + +Badala ya "kila baada ya siku tatu," baadhi ya matoleo yana "kila baada ya miaka mitatu." Hi ni kwa sababu Waisraeli walitakiwa kuleta zaka zao kwa Mungu mara moja kila baada ya miaka mitatu. + +# asemavyo Bwana Yahwe + +Bwana Mungu anasema. + diff --git a/amo/04/06.md b/amo/04/06.md new file mode 100644 index 00000000..d93ac8de --- /dev/null +++ b/amo/04/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# usafi wa meno + +"njaa" au "masumbuko" + +# hamkurudi kwangu + +"hamjaacha kutenda dhambi juu yangu" + +# asemavyo Yahwe + +Mungu Yahwe anazungumza. + diff --git a/amo/04/08.md b/amo/04/08.md new file mode 100644 index 00000000..4b51f7e0 --- /dev/null +++ b/amo/04/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nimewapiga kwa maradhi yanayosababisha kuvu + +"Wakati mwingine nawapatia mvua kidogo na wakati mwingine mvua kubwa" + +# maradhi + +ugonjwa ambao unakausha na kuua mimea + +# ukungu + +ukuaji mbaya kwenye vitu ambavyo vibakivyo na unyevu kwa mda mrefu + +# hamkunirudia + +"hamjaacha kutenda dhambi juu yangu" + +# asema Yahwe + +Bwana Mungu anazungumza. + diff --git a/amo/04/10.md b/amo/04/10.md new file mode 100644 index 00000000..6f2ac47e --- /dev/null +++ b/amo/04/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kuufanya uvundo wa kambi zenu na kuingiza kwenye pua zenu + +"Hewa iliyojazwa kwa + +# uvundo + +harufu mbaya sana, hasa ya watu waliokufa + +# Milikuwa kama kijinga kilichokuwa kikiteketea kwenye moto + +"Nimewavuta haraka kutoka kwenye moto kama mlikuwa kijinga kilichokuwa kikiteketea" au "Niwaache muungue sehemu kabla sijawavuta kutoka kwenye moto." + +# hamkunirudia + +"hamjaacha kutenda dhambi juu yangu" + +# asema Yahwe + +Mungu amezungumza + diff --git a/amo/04/12.md b/amo/04/12.md new file mode 100644 index 00000000..b00bbbf7 --- /dev/null +++ b/amo/04/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Israeli, Waisraeli, taifa la Israeli + +Neno "Israeli" ni jina ambalo Mungu alimpa yakobo. Linamaana, "ameshindana na Mungu." + +# Mungu + +Katika Biblia, neno "Mungu" linarejea kwenye kuwa milele aliyeumba ulimwengu wote kutoka bila kitu. Mungu anaisha kama Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu. Jina la Mungu ni "Yahwe." + +# funuo, ufunuo + +Neno "funuo" maana yake kusababisha jambo kujulikana. "ufunuo" ni kitu ambacho kilichukuwa kimefanywa kujulikana. + +# mahali pa juu + +Neno "mahali pa juu" linarejea kwenye madhabahu na sehemu takatifu iliyokuwa ikitumika kwa ajili ya kuabudu sanamu. Yalikuwa yamejengwa kawaida juu ya aridhi, kama juu ya mlima au pembeni ya mlima. + diff --git a/amo/05/01.md b/amo/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..9e1643b9 --- /dev/null +++ b/amo/05/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Bikira wa Israeli ameanguka...ata...ana...mwinue + +"watu wa Israeli kikatili...wata...wame...wainue" + diff --git a/amo/05/03.md b/amo/05/03.md new file mode 100644 index 00000000..c76a1d6c --- /dev/null +++ b/amo/05/03.md @@ -0,0 +1,15 @@ +# Bwana Yahwe, Yahwe Mungu + +Katika Agano la Kale, "Bwana Yahwe" mara kwa mara limetuika limerejea kwa Mungu wa kweli mmoja." + +# nyumba + +Neno "nyumba" mara nyingi limetumika katika Biblia. +*Wakati mwingine linamaanisha "kaya," kurejea watu waishio pamoja katika nyumba moja. +*Mara nyingi "nyumba" hurejea kwa ukoo wa mtu au ndugu wengine. Kwa mfano, kirai "nyumba ya Daudi" hurejea kwa koo zote za Mfalme Daudi. +*Maneno "nyumba ya Mungu" na "nyumba ya Yahwe" hurejea kwa hema au hekalu. Haya maelezo pia unaweza kurejea kiujumla mahali Mungu alipo au makao. + +# Israeli, Waisraeli, taifa la Israeli + +Neno "Israeli" ni jina ambalo Mungu alipatia Yakobo. Lina maana, "amepigana na Mungu." + diff --git a/amo/05/04.md b/amo/05/04.md new file mode 100644 index 00000000..5d9a7e72 --- /dev/null +++ b/amo/05/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nitafuteni + +"Njoo kwangu kwa ajili ya msaada" + +# Betheli haitakuwa kitu + +"Betheli ataharibiwa kabisa" "watu watakuja na kuiharibu Betheli kabisa" + diff --git a/amo/05/06.md b/amo/05/06.md new file mode 100644 index 00000000..74405558 --- /dev/null +++ b/amo/05/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# atawaka kama moto + +"atakuwa kama moto uwakao ghafla na kuharibu kila kitu" + +# kugeuza kutenda haki kuwa jambo chungu na kuiangusha haki chini + +kuita mambo maovu mema na kutenda mambo kama yasiyo muhimu + +# geuzao haki kuwa jambo chungu + +au "kugeuza haki" au "kufanya isiyo haki lakini kusema ni haki" + +# kuiangusha haki chini + +au "tena haki kama ingawa ilikuwa sio muhimu kama uchafu" + diff --git a/amo/05/08.md b/amo/05/08.md new file mode 100644 index 00000000..23956a86 --- /dev/null +++ b/amo/05/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Pleidezi na Orioni + +makundi ya nyota + diff --git a/amo/05/10.md b/amo/05/10.md new file mode 100644 index 00000000..5a5e08a3 --- /dev/null +++ b/amo/05/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kanyaga chini + +"uonevu mkubwa" + diff --git a/amo/05/12.md b/amo/05/12.md new file mode 100644 index 00000000..fb2cb58d --- /dev/null +++ b/amo/05/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kuwageuza wahitaji kwenye lango la mji + +"msiwaruhusu maskini kuleta kesi zao kwa mahakimu" + +# kila mtu mwenye busara atanyamaza kimya + +Wale ambao hawataki haki watu waovu kuwaumiza hawataongea kwa sauti juu ya matendo maovu. + diff --git a/amo/05/14.md b/amo/05/14.md new file mode 100644 index 00000000..f7292324 --- /dev/null +++ b/amo/05/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# imarisheni haki katika lango la mji + +au "ona haki imetendeka katika mahakama kwenye malango ya mji" + diff --git a/amo/05/16.md b/amo/05/16.md new file mode 100644 index 00000000..4c3f2089 --- /dev/null +++ b/amo/05/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kuomboleza + +mda mrefu, sauti, kilio cha huzuni + diff --git a/amo/05/18.md b/amo/05/18.md new file mode 100644 index 00000000..fbe83ffd --- /dev/null +++ b/amo/05/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini mnairefusha siku ya Yahwe? + +"Msiirefushe siku ya Yahwe!" + +# Itakuwa giza na sio nuru + +"Mambo mabaya, sio mambo mazuri, yatatokea siku hiyo" + +# Je siku ya Yahwe itakuwa giza na sio nuru? + +"Siku ya Yahwe itakuwa giza hakika na sio nuru!" au "Mambo mabaya, sio mambo mazuri, yatatokea hakika katika siku ya Yahwe!" + diff --git a/amo/05/21.md b/amo/05/21.md new file mode 100644 index 00000000..be1d20fb --- /dev/null +++ b/amo/05/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nachukia, nadharau sikukuu zenu + +Neno "dharau" ni neno zito kwa "chuki." Kwa pamoja maneno yote mawili yanasisitiza msisitizo wa chuki ya Yahwe kwa ajili ya sikukuu zao za kidini. "Nachukia sikukuu zenu sana." + diff --git a/amo/05/23.md b/amo/05/23.md new file mode 100644 index 00000000..fe4a4a66 --- /dev/null +++ b/amo/05/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kelele + +sauti mbaya + diff --git a/amo/05/25.md b/amo/05/25.md new file mode 100644 index 00000000..e256c44d --- /dev/null +++ b/amo/05/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je! Mmeniletea sadaka...Israeli? + +Uweekano 1) "sijawaamuru mniletee matoleo...Israeli!" au 2) "hamkuleta matoleo kwa ajili yangu!" 2) "hamkuniletea matoleo kwa ajili yangu...Israeli!" + +# Sikuthi...Kiuni + +miungu ya kipagani + +# Kiuni + +Au "Kiyuni" + diff --git a/amo/05/27.md b/amo/05/27.md new file mode 100644 index 00000000..60c7fe5c --- /dev/null +++ b/amo/05/27.md @@ -0,0 +1,18 @@ +# kuhamisha, uhamisho + +Neno "uhamisho" hurejea kwa watu kulazimishwa mahali fulani mbali kutoka nyumbani kwao. + +# Damaskasi + +Damaskasi ni mji mkubwa wa nchi ya Siria. Bado upo katika sihemu hiyo hiyo kama ilivyokuwa katika nyakati za Biblia. + +# Yahwe + +Neno "Yahwe" ni jina binafsi la Mungu ambalo alijifunua wakati alipoongea na Musa katika kicha kilichokuwa kikiteketea. + +# Yahwe wa majeshi, Mungu wa majeshi, jeshi + +Maneno "Yahwe wa majeshi" na "Mungu wa majeshi" kidogo yanaonyesha kwamba mamlaka ya Mungu zaidi ya maelfu ya malaika wanaomtii. +*Neno "jeshi" au "majeshi" ni neno ambalo linarejea kwa hesabu kubwa ya kitu, kama jeshi la watu au namba kubwa ya nyota. +*Katika Agano Jipya, kirai, "Bwana wa majeshi" inamaanisha kitu kile kile kama "Yahwe wa majeshi" lakini haiwezi kutafsiriwa kwa njia hiyo kwani neno la Kiebrania "Yahwe" halikutumika katika Agano Jipya. + diff --git a/amo/06/01.md b/amo/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..71e1d80d --- /dev/null +++ b/amo/06/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# starehe + +kustarehe na sio kuhusiana kwamba Mungu atawahukumu + +# Je ni wabora kuliko falme zenu mbili? + +"Si wabora kuliko falme zenu mbili." + +# je mpaka mkubwa kuliko mpaka wenu + +"Mipaka yao ni midogo kuliko yenu." au "Zile nchi ambazo ni ndogo kuliko Yuda na Samaria." + diff --git a/amo/06/03.md b/amo/06/03.md new file mode 100644 index 00000000..633d5ca1 --- /dev/null +++ b/amo/06/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# fanya ufalme kuwa kinyume kusogea karibu + +"tenda katika njika ambayo Mungu ataleta watu wakali sana kuwahukumu" + +# ufalme wa kinyume + +"adui wa kinyume na utawala" + +# lala...pumzika + +Israeli katika kipindi kile kawaida walikuwa wakila wakiwa wameketi juu ya nguo ya sakafu au kwenye kti rahisi. + +# vitanda vya pembe + +"vitanda pamoja na pembe juu yao kuwafanya kuonekana vizuri" au "vitanda vya gharama kubwa" + +# pembe + +meno na pembe za wanyama wakubwa + +# pumzika + +"kulala kama watu ambao hawataki kufanya kazi" + +# kochi + +viti laini vikubwa kutosha kulala juu + diff --git a/amo/06/05.md b/amo/06/05.md new file mode 100644 index 00000000..390a5320 --- /dev/null +++ b/amo/06/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wanatunga juu vyombo + +Maana ziwezekanazo: 1) wametunga nyimbo mpya na njia ya kucheza vyombe au 2) wametunga ala mpya. + +# bakuli + +bakuli zilitumika katika huduma za hekalu, kubwa kuliko zile zilizotumika kwa mtu katika mlo + +# hawahuzuniki + +"hajisikii huzuni na kutenda kama kupitia yule aliyependwa aliyekufa" + diff --git a/amo/06/07.md b/amo/06/07.md new file mode 100644 index 00000000..4d65de7e --- /dev/null +++ b/amo/06/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# asema Bwana Yahwe + +Mungu mwenyewe anatoa maagizo. + +# Nachukia boma zake + +"Nawachukia watu wa Israeli kwa sababu wanaamini boma zao, sio mimi, kuwalinda wao" + +# boma + +kuta zilizojengwa kuzunguka miji kuwalinda kutoka kwa washambuliaji + diff --git a/amo/06/09.md b/amo/06/09.md new file mode 100644 index 00000000..8ee251c3 --- /dev/null +++ b/amo/06/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ndugu wa mtu huyo atakapokuja kuchukua miili yao-yule ambaye awachomaye baada ya kuleta maiti katika nyumba-kama akisema kwa mtu katika nyumba,..."Je...wewe? + +Mana ya haya maneno hayako wazi. "Ndugu wa huyo mtu" ni yule atakaye "chukua miili yao" na kuichoma...maiti," na akaongea na yule aliyejificha katika nyumba baada ya watu wa familia kumi kufa. + +# choma + +choma maiti + +# maiti + +miili iliyokufa + diff --git a/amo/06/11.md b/amo/06/11.md new file mode 100644 index 00000000..8afa75e1 --- /dev/null +++ b/amo/06/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Tazama + +"Sikiliza" au "Kuwa makini kwa kile ninachotaka kuwaambia." + +# nyumba kubwa itapigwa kuwa vipande vipande, na nyumba ndogo kuwa na nyufa + +Hivi virai viwili vinashirikiana maana moja. Tofauti kati ya "nyumba kubwa" na "nyumba ndogo" inamaanisha kwamba hii inarejea kwa nyumba zote. Maana ziwezekanazo: 1) Yahwe atawaamuru wengine kuiharibu kila nyumba au 2) Yahwe mwenyewe ataiharibu kila nyumba mwenyewe kirahisi kwa kutoa amri. + +# nyumba kubwa itapigwa kuwa vipande vipande + +"adui ataiseta nyumba kubwa kuwa vipande vipande" + +# kuwa vipande vipande...kuwa vipande + +Unaweza kutumia neno hilo hilo kwa virai hivi vyote. + +# ndogo kuwa vipande vipande + +"nyumba ndogo itasetwa kuwa vipande vipande" + diff --git a/amo/06/12.md b/amo/06/12.md new file mode 100644 index 00000000..f23c98a8 --- /dev/null +++ b/amo/06/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Amosi anatumia maswali mawili yasiyokuwa na majibu kuvuta mawazo kuwakemea hao wafuatao. + +# Je farasi watakimbia juu ya mteremko wa miamba? + +Inawezekana kwa farasi kukimbia juu ya mteremko wa mwamba bila kuumia. Amosi anatumia swali hili lisilokuwa na majibu kuwaonya kwa matendo yao. + +# Je mtu atalima huko na ng'ome? + +Mmoja hatalima juu ya mwamba. Amosi anatumia hili swali lisilokuwa na majibu kuwakemea kwa matendo yao. + +# Bado mmegeuza haki kuwa sumu + +"Lakini umetengeneza sheria" + +# na tunda la haki kuwa uchungu + +"na huwaadhibu wale wafanyao yaliyo haki" + +# Lo Debari...Karnaimu + +Hakuna anayejua hii miji ilikuwa wapi. + diff --git a/amo/06/14.md b/amo/06/14.md new file mode 100644 index 00000000..0d09a3cf --- /dev/null +++ b/amo/06/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# tazama + +"sikiiza" au "kuwa makini kwa kile ninachotaka kukwambai." + +# asema Bwana Yahwe + +Hapa Mungu ananukuliwa. + +# kutoka Lebo Hamathi hata kijito cha Araba + +"kutoka mpaka wa kaskazini mwa mchi yako hata mpaka wa kusini" + +# kijito + +mto mdogo ambao hububujika kipindi cha majira ya unyevu pekee + diff --git a/amo/07/01.md b/amo/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..2c5a5cc1 --- /dev/null +++ b/amo/07/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tazama...tazama + +Mwandishi anawaambia wasomaji kwamba anataka kusema jambo la kushangaza. Lugha yako yaweza kuwa na njia ya kufanya hivi. + +# Je! Yakobo ataokokaje? + +"Yakobo hawezi kuokoka" + diff --git a/amo/07/04.md b/amo/07/04.md new file mode 100644 index 00000000..8aa138bd --- /dev/null +++ b/amo/07/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tazama + +Mwandishi anamwambia msomaji kwamba jambo la kushangaza linalotaka kutokea. Lugha yako inaweza kuwa na njia ya kufanya hivi. + +# Je! Yakobo ataishije? + +"Yakobo hataokoka hakika!" au "Tafadhali mwambie Yakobo kwamba anahitaji kufanya hivyo aweze kuishi!" + diff --git a/amo/07/07.md b/amo/07/07.md new file mode 100644 index 00000000..bfa732eb --- /dev/null +++ b/amo/07/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# uzi wa timazi + +kamba nyembamba pamoja na uzito upande mmoja wa mwisho uliotumika kuhakikisha kuta kusimama wima na chini + diff --git a/amo/07/09.md b/amo/07/09.md new file mode 100644 index 00000000..dd5a881c --- /dev/null +++ b/amo/07/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Isaka...Israeli + +watu wa ufalme wa kusini mwa Israeli + diff --git a/amo/07/10.md b/amo/07/10.md new file mode 100644 index 00000000..1c511671 --- /dev/null +++ b/amo/07/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kuhani + +Maana ziwekanazo: 1) Amazia alikuwa kuhani pekee katika Betheli au 2) Amazia mkuu wa makuhani katika Betheli. + +# amosi amefanya njama dhidi yako katikati ya nyumba ya Israeli + +"Amosi yuko hapa katika nchi ya Israeli, na anapanga kufanya mambo mabay kwako" + +# Nchi haiwezi kubeba maneno yote haya + +"Watu wanaweza kumwamini na kisha kufanya mambo mabaya yatakayo haribu taifa" + diff --git a/amo/07/12.md b/amo/07/12.md new file mode 100644 index 00000000..581281c2 --- /dev/null +++ b/amo/07/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hapo ule mkate na kutabiri + +"ona kama unaweza kuwapata watu huko wa kukulipa kwa ajili ya kutabiri" + diff --git a/amo/07/14.md b/amo/07/14.md new file mode 100644 index 00000000..c265bde0 --- /dev/null +++ b/amo/07/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mchungaji wa mifugo + +Hii hapa ni kama inamaanisha "yeye ambaye achungaye kondoo" tangu aitwe "mchungaji" katika 1:1. + diff --git a/amo/07/16.md b/amo/07/16.md new file mode 100644 index 00000000..bd3da599 --- /dev/null +++ b/amo/07/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# nchi najisi + +Huu usemi unasimama hapa kwa ajili ya yeyote ngeni, ambapo watu hawakubaliki kwa Mungu. + diff --git a/amo/08/01.md b/amo/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..2e685e60 --- /dev/null +++ b/amo/08/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tazama + +"sikiliza" au "Vuta usikivu kwa kile ninachotaka kukwambia." + +# Yahwe mwenye amezungumza + +asemavyo Bwana Yahwe + +# katika kila mahali + +"katika mahali pangu" + diff --git a/amo/08/04.md b/amo/08/04.md new file mode 100644 index 00000000..da8eed24 --- /dev/null +++ b/amo/08/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ninyi mkanyagao... na kumuondoa + +Amosi anazungumza na wale ambao "huuza" na "soko" + +# hekalu + +dhuru kwa sababu maalumu na kurudi tena na tena kuendelea + +# Husema, "Wakati mwezi mpya utakapoisha, hivyo tunaweza kuuza mazao tena? Wakati siku ya Sabato itakapoisha, ili kwamba tuuze ngano? + +"Mara zote wanauiza ni lini mwezi mpya utaisha ili wauze nafaka tena, na ni lini Sabato itaisha ili wauze ngano." + +# Tutafanya kipimo kidogo na kuongeza bei, tukidanganya kwa mizani za udanganyifu + +Wafanyabiashara wangetumia vipimo vya uongo vinavyoonyesha kile kiasi cha nafaka walichokuwa wakitoa kilikuwa kikubwa kuliko ilivyokuwa halisi na ule uzito wa malipo ulikuwa chini kuliko ilivyokuwa halisi. + +# na masikini kwa jozi moja ya kubadhi + +"na nunua jozi moja ya kubadhi kwa ajili ya mhitaji" + diff --git a/amo/08/07.md b/amo/08/07.md new file mode 100644 index 00000000..28abe5e3 --- /dev/null +++ b/amo/08/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yahwe ameapa kwa fahari ya Yakobo + +"Yahwe ameapa yeye mwenyewe, kusema" au Yahwe, ambaye ni fahari ya Yakobo, ameapa" + +# mto wa Misri + +jina jingine kwa ajili ya Mto naili + diff --git a/amo/08/09.md b/amo/08/09.md new file mode 100644 index 00000000..5263375a --- /dev/null +++ b/amo/08/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# asemavyo Bwana Yahwe + +Mungu mwenyewe ameagiza hivo + diff --git a/amo/08/11.md b/amo/08/11.md new file mode 100644 index 00000000..542c2095 --- /dev/null +++ b/amo/08/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# asemavyo Bwana Yahwe + +Mungu mwenyewe ameagiza + +# watatangatanga...watkimbia + +Baadhi watatembea polepole na kuanguka chini kirahis, kama mtu mwenye njaa, na wengine watakuwa hapa na huko upesi. + +# kutoka bahari hata bahari; watakimbia kutoka kaskazini kwenda magharibi kutafuta neno + +"kutoka bahari hata bahari na kutoka kaskazini hata magharibi. Watakuwa wakikimbia kutafuta neno." + +# kutoka bahari hata bahari...kutoka kaskazini kwenda magharibi + +Kwa ajili ya mtu aliyesimama Betheli, hii ingeweza kuwa mduara: Bahari mfu (kusini) hata Mediterania (magharibi) hata kasikazini hata magharibi. + diff --git a/amo/08/13.md b/amo/08/13.md new file mode 100644 index 00000000..3ea411f9 --- /dev/null +++ b/amo/08/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# zimia + +kupoteza nguvu zao zote + +# Kama njia ya iendayo Bersheba ionekanavyo + +Hii ni kama kumbukumbu kwenye barabara ambayo wanaohiji wangeichukua kwenda Bersheba kwa ajili ya kuabudu sanamu huko. + diff --git a/amo/09/01.md b/amo/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..5b14c6da --- /dev/null +++ b/amo/09/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Vivunje vipande + +Maana ziwezekanazo: 1) kuvunja vipande vya hekalu au 2) vunja ncha za nguzo. + +# Hata kama watachimba kwenye Sheoli, kuna mkono wangu utawachukua. Hata kama watapanda juu kwenda mbingunu, huko nitawaleta chini + +"Haijalishi wanajaribu kwenda wapi, intakuwa huko kuwashikilia." + diff --git a/amo/09/03.md b/amo/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..671ed600 --- /dev/null +++ b/amo/09/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# joka + +mnyama mkali wa baharini asiyejulikana, sio nyoka katika bustani ya Edeni na sio nyoka wa kawaida + +# Nitaelekeza macho yangu juu yao + +Kama lugha yako inamaneno ambayo yanamaanisha mzungumzaji anataka kufanyia wengine mazuri lakini pia inaweza kutumika wakati mzungumzaji anapotaka kufanya madhara, unaweza kuitumia hapa. + +# na sio kwa uzuri + +maneno kuhakikisha usikivu huelewa "kwa kuumiza" + diff --git a/amo/09/05.md b/amo/09/05.md new file mode 100644 index 00000000..f871fcb5 --- /dev/null +++ b/amo/09/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# yeye ndiye avijengaye vyumba vyake mbinguni + +Hizi ni kama hatua ambazo watu wa kale walitafakari kuongozwa kwenda sehemu ya Mungu mbinguni. Ingawa, baadhi ya matoleo ya kisasa yanategemea kusoma neno la Kiebrania tofauti kumaanisha "mahali" au "vyumba." Hapa "hatua zake" ni kama hutumika kama kirai kwa ajili ya mahali pa Mungu. + +# na kuimarisha kuba yake juu ya dunia + +Baadhi ya matoleo yametafsiri "ameimarisha mhimili wake juu ya dunia," hiyo ni, miundo ambayo dunia hupumzika. + diff --git a/amo/09/07.md b/amo/09/07.md new file mode 100644 index 00000000..84496848 --- /dev/null +++ b/amo/09/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# asema Yahwe + +Mungu mwenyewe amezungumza + diff --git a/amo/09/09.md b/amo/09/09.md new file mode 100644 index 00000000..0b00c2a9 --- /dev/null +++ b/amo/09/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mtu apepetaye ngano kwenye ungo, hivyo basi hakuna hata chembe ya jiwe itakayoanguka kwenye aridhi + +Hapa ni picha ya nafaka zinazoanguka kwenye ungo na mawe kutolewa nje. Baadhi ya matoleo yanaelewa "sio mawe madogo yatakayoanguka" kumaanisha nafaka nzuri hazitaangukia kwenye ungo pamoja na malghafi yasiyohitajika. + +# ungo + +uso wenye matundu madogo unaoruhusu vitu kupita na kuweka vitu vikubwa visipite + diff --git a/amo/09/11.md b/amo/09/11.md new file mode 100644 index 00000000..5a14e3a6 --- /dev/null +++ b/amo/09/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# hema...matawi...magofu + +Baada ya Yahwe kuuharibu ufalme wa Israeli, itakuwa kama hema ambazo nguzo zake za miti zimevunjika, ule ukuta uliokuwa umeanguka chini katika sehemu hiyo hiyo, na ile nyumba iliyokuwa imeangushwa chini. + +# matawi + +sehemu za ukuta ambazo zimeanguka + +# magofu + +kile kinachosalia wakati jengo limeharibiwa + +# mabaki ya Edomu + +vyovyote kile ambacho Israeli haijatakiwa katika mkoa au watu wa Edomu. + diff --git a/amo/09/13.md b/amo/09/13.md new file mode 100644 index 00000000..72749a58 --- /dev/null +++ b/amo/09/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tazama + +Mwandishi anawaambia wasomaji kwamba anaenda kusema jambo jipya. Lugha yako inaweza kuwa na namna ya kufanya hivi. + +# Milima itadondosha divai tamu, na milima yote itabubujika pamoja na hiyo. + +Hii mistari miwili kimsingi ni kitu kimoja na kusisitiza kwamba nchi itazalisha sana. + diff --git a/amo/09/14.md b/amo/09/14.md new file mode 100644 index 00000000..271f09f7 --- /dev/null +++ b/amo/09/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# hawatang'olewa tena kutoka kwenye nchi + +"hakuna mtu atakayeweza kuwang'oa tena kutoka kwenye nchi" "wataishi milele katika nchi kama mmea uwekavyo mizizi yake kwenye aridhi" + +# ng'oa + +vuta mmea mizizi yake nje ya aridhi + diff --git a/dan/01/01.md b/dan/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..eed92678 --- /dev/null +++ b/dan/01/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Nebukadneza + +Jina hili humrejelea Nebukadneza na wanajeshi wake, siyo yeye peke yake. + +# kuzuia mahitaji yake yote + +"Kuwazuia watu wasipokee mahitaji" + +# Yehoyakimu mfalme wa Yuda + +Hii inamrejelea Yehoyakimu na wanajeshi wake, siyo Yehoyakimu peke yake. + +# alimpatia + +Yehoyakimu alimpa Nebukadneza + +# alivipeleka ...aliviweka + +Ingawa Nebukadneza hakufanya vitu hivi peke yake, ni vizuri kwa msomaji kutumia umoja tu. + +# Alivipeleka + +Kiwakilishi 'vi' kinarejelea vitu/vifaa vitakatifu vilivyochukuliwa kutoka Yerusalemu. + +# hazina ya mungu wake + +Hiki kitendo kilikuwa na ibada kwa mungu wake + diff --git a/dan/01/03.md b/dan/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..5ce67fe7 --- /dev/null +++ b/dan/01/03.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# mfalme akamwambia + +inmrejelea Nebukadneza + +# Ashipenazi + +Huyu alikuwa na afisa wake mkuu + +# kiungwana + +hili ni tabaka la juu sana la kijamii + +# wasio na hila + +Maneno haya mawili ya kukanusha kwa pamoja yametumika kutilia mkazo wazo chanya. "wenye mwonekano kamili" + +# wenye kujawa na ufahamu na weledi + +Hii ni nahau. Hii ina maana ya kwamba walijua vitu vingi na waliweza kupanga na kutumia maelezo yale. + +# ikulu ya mfalme + +Hii ni nyumba au jengo kubwa mahali ambapo mfalme aliishi + +# Alitakiwa kuwafundisha + +"Ashipanezi alitakiwa kuwafundisha" + +# Mfalme aliwatengea kwa ajili yao + +Maafisa wa mfalme walifanya hivyo kwa niaba ya mfalme. + +# chakula kizuri + +Chakula maalumu, adimu na kizuri ambacho mfalme alikula. + +# Vijana hawa walitakiwa kufunzwa + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Ashipenazi alitakiwa kuwafunza vijana hawa" + +# kufunzwa + +"kufundisha maarifa" + diff --git a/dan/01/06.md b/dan/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..d272549f --- /dev/null +++ b/dan/01/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# miongoni mwao + +Miongoni mwa vijana kutoka Israeli + +# Afisa mkuu + +Inamrejelea Ashipenazi aliyekuwa afisa wa juu sana katika utawala wa Mfalme Nebukadneza. + +# Belteshaza...Shadraka...Meshaki...Abednego + +Haya yote ni majina ya wanaume. + diff --git a/dan/01/08.md b/dan/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..2c035486 --- /dev/null +++ b/dan/01/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Danieli alinuia katika akili yake + +Hapa neno "akili" linamrejelea Danieli mwenyewe. "Danieli aliamua mwenyewe" + +# asingejitia ujanisi + +"kujitia unajisi" ni kukifanya kitu fulani kuwa kichafu. Baadhi ya vyakula na vinywaji vya Kibabeli vingemfanya Danieli kuwa mchafu kutokana na sheria za Mungu. + +# chakula kizuri + +Hii inarejelea chakula maalumu,adimu na kizuri ambacho mfalme alikula. + +# Kwa nini awaone ninyi mkiwa mnaonekana vibaya kuliko vijana wengine wa umri wenu? + +Afisa allitumia swali hili ili kuelezea kile alichodhani kuwa kingetokea. Pia yaweza kuwa maelezo kama "Hataki kuwaoneni ninyi mkionekana kuwa wabaya zaidi ya vijana wengine wa umri wenu" + +# Mfalme aweza kukitwaa kichwa changu + +Hii ni nahau "Mfalme aweza kukikata kichwa changu" au "Mfalme aweza kuniua" + diff --git a/dan/01/11.md b/dan/01/11.md new file mode 100644 index 00000000..7a258e29 --- /dev/null +++ b/dan/01/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# ulinganishe mwonekano wetu na mwonekano + +Danieli alimwomba msimamizi kuangalia kama yeye na rafiki zake walionekana vibaya kuliko vijana wengine. + diff --git a/dan/01/14.md b/dan/01/14.md new file mode 100644 index 00000000..38425fff --- /dev/null +++ b/dan/01/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# aliwajaribu...mwonekano wao...ulikuwa...vyakula ..na vinywaji vyao + +Viwakilishi hivi vyote vinawarejelea akina Danieli, Hanania, Mishaeli na Azaria. + +# wenye afya + +Hii ina maana kwamba walikuwa wenye afya nzuri kutokana na kile walichokula. + diff --git a/dan/01/17.md b/dan/01/17.md new file mode 100644 index 00000000..44e78f23 --- /dev/null +++ b/dan/01/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mungu aliwapa uelewa na ufahamu + +Hii inaweza kuongezwa ili kwamba nomino dhahania "Uelewa na ufahamu" zaweza kuelezwa kwa kutumia vitenzi "kujifunza na kufahamu" yaani "Mungu aliwapa uwezo wa kujifunza na kufahamu kwa uwazi" + +# maandiko yote na hekima + +Haya ni maneno ya kutia chumvi kuonesha kwamba walikuwa na elimu na ufahamu mzuri + diff --git a/dan/01/19.md b/dan/01/19.md new file mode 100644 index 00000000..aa064999 --- /dev/null +++ b/dan/01/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mfalme aliongea nao + +Mfalme aliongea na vijana wanne (1:17) + +# miongoni mwa kundi lote hapo hapakuwa na wa kuwalinganisha na akina Danieli,Hanania, Mishaeli, na Azaria + +Hii yaweza kuelezwa kwa kutumia muundo kubalifu. "Danieli, Hanania, Mishaeli na Azaria walimfurahisha sana zaidi ya mtu yoyote katika kundi" + +# "Danieli, Hanania, Mishaeli na Azaria + +Haya ni majina ya wanaume. + +# mara kumi zaidi + +hapa maneno "mara kumi" yanatia chumvi kumaanisha ubora wa hali. + +# kwanza wa Mfalme Koreshi + +"mwaka wa kwanza wa mfalme Koreshi alitawala Babeli." + diff --git a/dan/02/01.md b/dan/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..88197966 --- /dev/null +++ b/dan/02/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# katika mwaka wa pili + +"ndani ya mwaka wa pili" + +# alikuwa na ndoto + +"Nebukadneza aliota ndoto" + +# akili yake ilisumbuka + +Hapa neno "akili" linarejelea mawazo yake. "mawazo yake yalimsumbua" + +# na hakuweza kulala + +Mawazo yake yaliyomsumbua yalimzuia asipate usingizi. + +# Ndipo mfalme alipowaita waganga + +"kisha mfalme aliwaita waganga" + +# wafu + +"watu waliokwisha kufa" + +# walikuja + +"waliingia ndani ya ikulu" + +# walisimama mbele + +"walisimama mbele ya " + diff --git a/dan/02/03.md b/dan/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..6708fc8e --- /dev/null +++ b/dan/02/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# akili yangu ina mashaka + +hapa neno "akili" linamrejelea mfalme mwenyewe. + +# mashaka + +"kusumbuka" + +# Kiaramaiki + +Hii ni lugha ambayo watu wa Babeli waliiongea. + +# " Mfalme, aishi milele! + +Watu waliyasema maneno haya kuonesha heshima kwa mfalme. "Mfalme, tunatumaini utaishi milele" + +# sisi, watumishi wako + +Watu walijiita wao wenyewe kuwa ni watumishi wa mfalme kuonesha heshima. + +# tutaifunua + +Hapa kiwakilishi 'tu' kinarejelea watu/wanaume ambao mfalme alikuwa akiongea nao na hakimjumuishi mfalme. + diff --git a/dan/02/05.md b/dan/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..8edecd22 --- /dev/null +++ b/dan/02/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Jambo hili limeshamalizika + +Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Nimeamua cha kufanya juu ya jambo hili" + +# miili yenu itakatwa vipande vipande na nyumba zenu zitafanywa kuwa vichuguu vya uchafu + +Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Nitawaamuru wanajeshi wangu kukata miili yenu katika vipande na kuzifanya nyumba zenu kuwa vichuguu vya uchafu" + +# mtapokea zawadi kutoka kwangu + +Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Nitawapeni zawadi" + diff --git a/dan/02/07.md b/dan/02/07.md new file mode 100644 index 00000000..b658b8f6 --- /dev/null +++ b/dan/02/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mfalme na atuambie + +Watu wenye hekima walimweleza mfalme kwa nafsi ya tatu kama ishara ya heshima. + +# mmeona maamuzi yangu ni magumu kuhusu jambo hili + +Maamuzi ambayo hayatabadilika yanasemwa kama ni kitu ambacho ni imara. "mmeona kwamba sitabadili maamuzi yangu juu ya hili" + +# kuna sentensi moja tu kwa ajili yenu + +"kuna hukumu moja kwa ajili yenu" + +# uongo na maneno ya kudanganya + +Maneno haya mawili kwa ukaribu yanamaanisha kitu kile kile na kutia mkazo kwamba huu ni "uongo uliokusudia kudanganya." + diff --git a/dan/02/10.md b/dan/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..324e7850 --- /dev/null +++ b/dan/02/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mkuu na mwenye nguvu + +Maneno haya mawili kimsingi yanamaanisha kitu kile kile na kutia mkazo juu ya ukubwa wa nguvu za Mfalme. + +# hakuna yeyote awezaye kumwambia mfalme isipokuwa miungu + +Maneno haya hameelezwa kwa kukanusha kwa ajili ya kutia mkazo. Yaweza pia kuelezwa kwa sentensi chanya. "Ni miungu tu yaweza kumwambia mfalme hili" + diff --git a/dan/02/12.md b/dan/02/12.md new file mode 100644 index 00000000..f1f1b0eb --- /dev/null +++ b/dan/02/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kasirike na kughadhabika + +Maneno haya kimsingi yanamaanisha kitu kile kile na kutia mkazo juu ukali wa hasira yake. + +# wale wote katika Babeli + +"watu wote katika Babeli" + +# Hivyo, amri ilitoka + +Amri inaongelewa kama ni kitu chenye uhai na chenye uwezo wa kwenda nje. "Mfalme aliipitisha amri" + +# wale wote waliojulikana kwa hekima yao ni lazima wauawe + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Wanajeshi walitakiwa kuwaua watu wote waliojulikana kwa hekima zao" + +# ili kwamba wauawe + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "kwa lengo la kuwaua" + diff --git a/dan/02/14.md b/dan/02/14.md new file mode 100644 index 00000000..46308e93 --- /dev/null +++ b/dan/02/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# busara na umakini + +Maneno haya mawili kimsingi yanamaanisha kitu kile kile na kutia mkazo juu ya ukubwa wa busara. + +# Arioki + +Hili ni jina la kamanda wa mfalme. + +# walinzi + +Hili ni kundi la watu ambao kazi yaoni kumlinda mfalme + +# ambaye alikuwa amekuja kuwaua + +ambaye mfalme alikuwa amemtuma ili kuua" + +# Danieli aliingia ndani + +Huenda Danieli alienda katika ikulu. "Danieli alienda katika ikulu" + +# akaomba ahadi ya muda wa kuonana na mfalme + +"aliomba muda maalumu uliopangwa ili kukutana na mfalme" + diff --git a/dan/02/17.md b/dan/02/17.md new file mode 100644 index 00000000..31b49387 --- /dev/null +++ b/dan/02/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nyumba yake + +Hii inarejelea nyumba ya Danieli + +# kile kilichotokea + +"kuhusu amri ya mfalme" + +# Aliwasihi kutafuta rehema + +"Aliwaomba waombe huruma" + +# ili kwamba yeye na wao wasije wakauawa + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Ili kwamba mfalme asije akawaua" + diff --git a/dan/02/19.md b/dan/02/19.md new file mode 100644 index 00000000..5c48bae4 --- /dev/null +++ b/dan/02/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Usiku ule siri ilifunuliwa + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Usiku ule Mungu aliifunua siri" + +# siri + +hii inarejelea ndoto ya mfalme na tafsiri yake. + +# "Litukuzwa jina la Mungu + +Hapa"jina" linamrejelea Mungu mwenyewe. "Mungu atukuzwe" + diff --git a/dan/02/21.md b/dan/02/21.md new file mode 100644 index 00000000..ce90177f --- /dev/null +++ b/dan/02/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mistari hii pia ni sehemu ya sala ya Danieli. + +# anaondoa wafalme + +"huyaondoa mamlaka ya kifalme ya kutawala" + +# kuweka wafalme katika viti vyao vya enzi + +Kuwa katika kiti cha enzi ina maana ya kutawala ufalme. "huwafanya wafalme wapya kutawala juu ya falme zao." + +# naye anaishi pamoja na mwanga. + +"Mwanga hutoka sehemu ambako Mungu aliko" + diff --git a/dan/02/23.md b/dan/02/23.md new file mode 100644 index 00000000..9f124b48 --- /dev/null +++ b/dan/02/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mstari huu pia ni sehemu ya sala ya Danieli. Aliacha kumwongelea Mungu kwa nafsi ya tatu na alianza kutumia nafsi ya pili. + +# umeyafanya yawe wazi kwetu yale tuliyokuomba + +"aliniambia marafiki zangu na nilikuomba utuambie." + +# umetujulisha mambo yamhusuyo mfalme + +"alituambia kile ambacho mfalme alitaka kujua" + diff --git a/dan/02/24.md b/dan/02/24.md new file mode 100644 index 00000000..f6f07dc2 --- /dev/null +++ b/dan/02/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Arioki + +Hili ni jina la Kamanda wa Mfalme. + +# kila mtu aliyekuwa na hekima + +"watu wenye hekima" + diff --git a/dan/02/25.md b/dan/02/25.md new file mode 100644 index 00000000..bac16821 --- /dev/null +++ b/dan/02/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Beliteshaza + +Hili ni jina ambalo Wababeli walimpa Danieli. + diff --git a/dan/02/27.md b/dan/02/27.md new file mode 100644 index 00000000..8cc751a1 --- /dev/null +++ b/dan/02/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Siri ambayo mfalme ameiomba haiwezi kufunuliwa na watu wenye hekima, wala wale wenye kuongea na wafu, wala wachawi, na wala wataalamu wa nyota + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Wale wenye hekima, wale wenye kuongea na wafu, waganga na wanajimu hawawezi kufunua siri kuhusu kile mfalme alichokiomba" + +# Siri ambayo mfalme ameiomba + +Kirai hiki knarejelea ndoto ya mfalme. + diff --git a/dan/02/29.md b/dan/02/29.md new file mode 100644 index 00000000..41a9799a --- /dev/null +++ b/dan/02/29.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Danieli anaendelea kuongea na Mfalme + +# yule afichuaye siri + +Kirai hiki kinamrejelea Mungu. "Mungu ambaye hufunua siri" + +# siri hii haikufunuliwa kwangu + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mungu hakuifunua siri hii kwangu" + +# Siri hii imefunliwa kwangu ili kwamba wewe + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. + +# Amefunua siri hii kwangu ili kwamba wewe + +Kirai hiki kinatumia kiwakilishi "wewe" kumrejelea mtu katika akili. + diff --git a/dan/02/31.md b/dan/02/31.md new file mode 100644 index 00000000..72b61561 --- /dev/null +++ b/dan/02/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Daniel anaendelea kuongea na mfalme + +# kilikuwa kimetengenezwa kwa dhahabu safi + +"kilikuwa cha dhahabu safi" au "ilikuwa dhahabu nzuri" + +# sehemu chuma na sehemu kwa udongo + +"ilikuwa kwa sehemu chuma na sehemu nyingine udongo" + diff --git a/dan/02/34.md b/dan/02/34.md new file mode 100644 index 00000000..440e3c13 --- /dev/null +++ b/dan/02/34.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Danieli anaendelea kuongea na mfalme. + +# jiwe lilikuwa limechongwa, ingawa si kwa mikono ya wanadamu, na lili... + +Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji kama yatagawanywa katika sehemu mbili. "mtu fulani alilikata jiwe kutoka mlimani, lakini si mtu aliyelikata jiwe. Jiwe..." + +# kama makapi yaliyo katika sakafu za kupuria kipindi cha kiangazi + +kirai hiki kinalinganisha vipande vya sanamu na vitu vidogo vilivyo vyepesi na ambavyo vinaweza kupeperushwa mbali na upepo. "kama vipande vikavu vya nyasi vinavyopeperushwa na upepo" + +# hakuna alama inayoachwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo chanya. "viliondolewa kabisa" + +# kuijaza dunia yote + +"kuenea dunia yote" + diff --git a/dan/02/36.md b/dan/02/36.md new file mode 100644 index 00000000..4168910a --- /dev/null +++ b/dan/02/36.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya jumla + +Danieli anaendelea kuongea na mfalme + +# Na sasa tutamwambia mfalme + +Hapa kiwakilishi "tu" kinamrejelea Danieli peke yake. Inawezekana ametumia muundo wa wingi katika unyenyekevu kuepuka kuchukua heshima kwa kujua maana ya ndoto ambayo Mungu ameifunua kwake. + +# mfalme wa wafalme + +"mfalme wa muhimu sana" au "mfalme anayetawala juu ya wafalme wengine" + +# nguvu, uweza + +Maneno haya kimsingi yanamaanisha kitu kile kile. + +# Amevitia mkononi mwako + +Hapa neno "mkono'' linarejelea utawala. "amekupa utawala" + +# sehemu ambazo binadamu huishi + +sehemu imetumika kuwakilisha watu ambao wanaishi hapo. + +# Amekupa wanyama wa mwituni na ndege wa angani katika mkono wako, + +Hapa neno "mkono" linarejelea utawala. "Amekupa utawala juu ya wanyama wa mwituni na ndege wa angani" + +# ndege wa angani + +hapa neno "angani" limetumika kumaanisha mbinguni. + +# Wewe u kichwa cha dhahabu cha sanamu + +Katika ndoto ya mfalme kichwa cha sanamu kinamwakilisha mfalme. "Kichwa cha dhahabu kinakumaanisha wewe mfalme" + diff --git a/dan/02/39.md b/dan/02/39.md new file mode 100644 index 00000000..4a7ff384 --- /dev/null +++ b/dan/02/39.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Danieli anaendelea kuongea na mfalme + +# ufalme mwingine utainuka + +Katika ndoto ya mfalme ilionekana kwamba ufalme wake ni wa dhahabu, hivyo ufalme mdogo utakuwa wa shaba. "ufalme mwingine ambao ni shaba utainuka" + +# hata ufalme wa tatu wa shaba + +"bado ufalme wa tatu ambao ni wa shaba" au kisha bado kuna ufalme mwingine ambao unawakilishwa na shaba katika sehemu ya sanamu" + diff --git a/dan/02/40.md b/dan/02/40.md new file mode 100644 index 00000000..2bd53ebd --- /dev/null +++ b/dan/02/40.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Danieli anaendelea kuongea na mfalme + +# kutakuwa na ufalme wa nne + +"kutakuwa na ufalme wa namba ya nne'' + +# wenye nguvu kama chuma + +Ufalme wa nne unaongelewa kuwa na nguvu kama chuma + +# Itaviharibu vitu hivi vyote na kuvisaga. + +Lugha hii mfano inamaana ya kwamba ufalme wa nne utashinda na kuchukua nafasi ya falme zingine. + +# vitu hivi vyote + +"falme zilizopita/zilizotangulia" + diff --git a/dan/02/41.md b/dan/02/41.md new file mode 100644 index 00000000..0ec7d6d6 --- /dev/null +++ b/dan/02/41.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Danieli anaendelea kuongea na mfalme + +# kama vile ulivyoona + +Nebukadneza alione miguu iliyo na udongo na chuma. Hakuweza kuona mchakato wa utengenezaji wa miguu. + +# vilikuwa kwa sehemu vimetengenezwa kwa udongo na kwa sehemu vimefanywa kwa chuma, + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ilikuwa ya mchanganyiko wa udongo na chuma" + +# hawatakaa kwa pamoja + +"hawatabaki wameshikamana" + diff --git a/dan/02/44.md b/dan/02/44.md new file mode 100644 index 00000000..ae2c8be2 --- /dev/null +++ b/dan/02/44.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Danieli anaendelea kuongea na mfalme + +# katika siku za wafalme hao + +Katika kifungu hiki maneno "wafalme hao" yanawarejelea watawala wa falme zinazooneshwa katika sehemu mbalimbali za sanamu + +# ambao hautaweza kuangushwa, wala kushindwa na watu wengine + +Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. " kwamba hakuna hata mmoja ambaya ataangamizwa, na ya kwamba watu wengine hawatashinda." + +# jiwe lilichongwa kutoka katika mlima, lakini si kwa mikono ya wanadamu + +Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "mtu fulani alilikata jiwa kutoka mlimani, lakini si mtu aliyelikata" + +# kuaminika + +aminifu na sahihi + diff --git a/dan/02/46.md b/dan/02/46.md new file mode 100644 index 00000000..21dc25cd --- /dev/null +++ b/dan/02/46.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# alianguka kifudifudi + +Tendo hili linaonesha kwamba mfalme alikuwa anamheshimu Danieli. "lala chini huku kichwa kimeelekea chini." + +# sadaka zitolewe na manukato yatolewe kwake + +Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Watumishi wake walitoa sadaka na kutoa manukato kwa Danieli." + +# Hakika Mungu wako + +"Ni kweli kwamba Mungu wako" + +# Mungu wa miungu, Bwana wa wafalme, + +"mkuu kuliko miungu mingine, na mfalme juu ya wafalme wengine wote" + +# ambaye hufunua mafumbo + +"yeye ambaye hufunua siri" + +# kufumbua mafumbo haya + +"kufunua siri za ndoto yangu" + diff --git a/dan/02/48.md b/dan/02/48.md new file mode 100644 index 00000000..0280028a --- /dev/null +++ b/dan/02/48.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Alimfanya kuwa mtawala + +"Mfalme alimfanya Danieli kuwa mtawala" + +# Shadraka...Meshaki....Abeddinego + +Haya yalikuwa ni majina ya Kibabeli waliyopewa vijana watatu wa Kiyahudi walikuwa wameletwa Babeli pamoja na Danieli. + diff --git a/dan/03/01.md b/dan/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..f47321a7 --- /dev/null +++ b/dan/03/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# urefu wa dhiraa sitini na upana dhiraa sita. + +"urefu wa takribani mita 27 na upana upatao mita tatu" + +# uwanda wa Dura + +Hii ni sehemu ndani ya ufalme wa Babeli. + +# magavana wote wa majimbo, magavana wa mikoa, na magavana wa vijiji + +Haya ni madaraja ya mamlaka juu ya himaya ya ukubwa fulani. + +# wahazini + +hawa ni maafisa walikuwa wanawajibika kwa mambo ya fedha + +# sanamu aliyokuwa ameiweka + +hii inamhusu Mfalme Nebukadneza ambaye aliweka sanamu iliyojengwa kana kwamba alijijenga mwenyewe. "Sanamu ambayo Nebukadneza aliwaagiza watu wake kuiweka." + diff --git a/dan/03/03.md b/dan/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..f2fc0f04 --- /dev/null +++ b/dan/03/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# magavana wa majimbo, magavana wa mikoa, na magavana + +Angalia ulivyotafsiri katika 3:1 + +# sanamu ambayo Nebukadneza aliyokuwa ameiweka + +hii inamhusu Mfalme Nebukadneza ambaye aliweka sanamu iliyojengwa kana kwamba alijijenga mwenyewe. "Sanamu ambayo Nebukadneza aliwaagiza watu wake kuiweka." + +# mtangazaji + +Huyu mtu ni mjumbe maalumu wa mfalme + +# mmeamriwa + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mfalme anawaagizeni ninyi" + +# zeze + +Hivi ni vyombo vya muziki ambavyo ni sawa na vinubi. Muundo wake ni wa pembe tatu na vina nyuzi nne. + +# kuanguka na kuisujudia ninyi wenyewe + +Haya ni matendo ya alama ya kuabudu. + diff --git a/dan/03/06.md b/dan/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..d47447ec --- /dev/null +++ b/dan/03/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Na yeyote asiyeanguka na kuiabuda, kwa wakati huo huo atatupwa katika tanuru la moto + +Sentensi hii yaweza kuandikwa kwa muundo tendaji. " Wanajeshi watamtupa katika tanuru liwakalo moto mtu yeyote ambaye hataanguka na kuabudu sanamu katika muda ule watakaposikia muziki." + +# kuanguka + +Hili ni tendo linaloonesha alama ya kuabudu. + +# tunuru liwakalo moto + +Hiki ni chumba kikubwa kilicho jazwa moto + +# watu wote, mataifa na lugha + +Maneno haya yanajumuisha kundi kubwa la maafisa kutoka katika miko mbalimbali waliokuwapo hapo. + +# sauti za pembe, filimbi, ala za muziki, zeze, vinubi na zumari na aina zote za muziki, + +Hivi ni vyombo vya muziki. + +# walianguka na kuisujudia wao wenyewe + +Haya ni matendo yanayoonesha ibada. + +# sanamu ya dhahabu ambayo Nebukadneza mfalme alikuwa ameiweka. + +Hii inaongelea juu ya Mfalme Nebukadneza kutoa agizo kwamba ijengwe sanamu kana kwamba aliijenga mwenyewe. "Sanamu ya dhahabu ambayo Mfalme Nebukadneza aliwaagizawatu wake waiweke." + diff --git a/dan/03/08.md b/dan/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..ef1c0131 --- /dev/null +++ b/dan/03/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mfalme aishi milele + +Hii ilikuwa na salamu ya kawaida kwa mfalme + +# auti ya pembe, filimbi, ala za muziki, zeze, vinubi na zumari, na aina zote za muziki, + +Angalia ulivyotafsiri orodha hii katika 3:3 + +# kuanguka na kuisujudia sanamu ya dhahabu. + +Haya ni matendo ya kuabudu. + diff --git a/dan/03/11.md b/dan/03/11.md new file mode 100644 index 00000000..cd4fdb30 --- /dev/null +++ b/dan/03/11.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Mtu yeyote asiyeanguka na kuiabudu sharti atupwe katika tanuru linalowaka moto + +Tungo hii yaweza kuelezwa kwa kutumia muundo tendaji. "Wanajeshi watawatupa katika tanuru liwakalo moto mtu yeyote ambaye hatalala chini na kuabudu." + +# kuanguka chini + +Hili ni tendo la ishara ya kuabudu + +# tanuru la moto + +Hiki ni chumba kikubwa chenye moto mkali + +# masuala + +"mambo" au "shughuli" + +# Shadraka, Meshaki, na Abednego + +Haya yalikuwa ni majina ya Kibabeli ya vijana watau wa Kiyahudi ambao walikuwa ni marafiki wa Danieli. + +# hawakutii wewe + +"hawakusikilizi wewe" + +# kuisujudia wenyewe + +Hii ni ishara ya tendo la kuabudu + +# sanamu ya dhahabu ambayo umeiweka + +Hii inazungumzia juu ya mfalme Nebukadneza kutoa amri ya kujengwa kwa sanamu kana kwamba yeye mwenyewe aliijenga. "Sanamu uliyowaagiza watu wako waijenge" + diff --git a/dan/03/13.md b/dan/03/13.md new file mode 100644 index 00000000..2215db02 --- /dev/null +++ b/dan/03/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# alijawa na hasira na ghadhabu + +Hasiria na ghadhabu ya mfalme Nebukadneza ilikuwa ni kubwa na ya kwamba inaongelewa kana kwamba ilikuwa imemjaa. Mahali hapa maneno "hasira na ghadhabu" yanamaanisha kitu kile kile na yametumika kuonesha mkao juu ya vile mfalme alivyokasirishwa. + +# Shadraka, Meshaki na Abednego + +Haya ni majina ya Kibabeli ya marafiki watatu wa Kiyahudi wa Danieli. + +# Je mmejipanga katika akili zenu + +hapa neno "akili" linarejelea juu ya kufanya maamuzi. Ni nahau yenye maana ya kuamua kwa dhati. + +# kuisujudia wenyewe + +Hili ni tendo la ishara ya kuabudu. + +# sanamu ile ya dhahabu ambayo nimeiweka + +Hii inazungumzia juu ya mfalme Nebukadneza kutoa amri ya kujengwa kwa sanamu kana kwamba yeye mwenyewe aliijenga. "Sanamu uliyowaagiza watu wako waijenge" + diff --git a/dan/03/15.md b/dan/03/15.md new file mode 100644 index 00000000..6642f31c --- /dev/null +++ b/dan/03/15.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# sauti pembe, filimbi, ala za muziki, zeze, vinumbi na zumari, aina zote za muziki + +Hivi ni vyombo au ala za Muziki + +# kuanguka chini na kuisujudia wenyewe + +Haya ni matendo yanayoashiria ibada. + +# mambo yote yatakuwa mazuri + +"hapatakuwa na shida zaidi' au "mtakuwa huru kwenda" + +# sanamu ile ambayo nimeitengeneza, + +Hii inazungumzia juu ya mfalme Nebukadneza kutoa amri ya kujengwa kwa sanamu kana kwamba yeye mwenyewe aliijenga. "Sanamu uliyowaagiza watu wako waijenge" + +# mtatupwa mara katika tanuru la moto + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "wanajeshi wangu + +# mtatupwa mara katika tanuru la moto + +hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "wanajeshi wangu watawatupeni ninyi katika moto uwakao." + +# tanuru la moto + +Hiki ni chumba kikubwa chenye moto + +# Ni mungu gani.... katika mikono yangu?" + +Mfalme hatarajii jibu. Anawatisha vijana watatu. "Hakuna mungu awezaye kuwaokoeni katika nguvu zangu" + +# kutoka katika mikono yangu + +Mahali hapa neno "mikono" lina maana ya nguvu, mamlaka ya kuhukumu. + diff --git a/dan/03/16.md b/dan/03/16.md new file mode 100644 index 00000000..96a43234 --- /dev/null +++ b/dan/03/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nebukadneza, hatuhitaji + +Katika sehemu hii watu watatu wanaongea na Mfalme bila kutumia wadhifa wake. Hii ni hali ya kuonesha dharau kwa mamlaka yao. + +# Kama sivyo, na ijulikane kwako, wewe mfalme, + +"Lakini mfalme unapaswa kujua kwamba hata kama Mungu wetu hatatuokoa sisi" + +# sanamu ya dhahabu uliyoiweka. + +Katika kirai hiki, kiwakilishi "u" hakimhusu mfalme kuiweka sanamu, bali mfalme aliamuru watu wake waisimamishe. + diff --git a/dan/03/19.md b/dan/03/19.md new file mode 100644 index 00000000..f232fda5 --- /dev/null +++ b/dan/03/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nebukadneza alijawa na ghadhabu + +Mfalme alikuwa amekasirika kwa kiwango kwamba hasira yake inasemwa kana kwamba ilikuwa imemjaa. + diff --git a/dan/03/21.md b/dan/03/21.md new file mode 100644 index 00000000..aee3405a --- /dev/null +++ b/dan/03/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kilemba + +Kilemba ni kipande cha nguo kinachovaliwa ili kufunika kichwa. + +# Kwasababu ya agizo la mfalme lilifuatwa + +Maneno haya yweza kuandikwa kwa muundo tendaji. "Kwasababu watu walilifuata agizo la mfalme kwa usahihi." + diff --git a/dan/03/24.md b/dan/03/24.md new file mode 100644 index 00000000..00ca397f --- /dev/null +++ b/dan/03/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je hatukutupa watu watatu wakiwa wamefungwa katika moto? + +"Tuliwatupa watu watatu katika moto wakiwa wamefungwa, sawa?" + +# Mng'ao wa mtu wa nne ni kama + +"Mtu wa nne anatao mng'ao mkali" + +# kama mwana wa miungu." + +miungu iliaminika kuwa ilikuwa iking'aa sana kwa mwanga. "Mtu wa nne anang'aa sana kama ing'aavyo miungu." + diff --git a/dan/03/26.md b/dan/03/26.md new file mode 100644 index 00000000..89ca4d2b --- /dev/null +++ b/dan/03/26.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Magavana wa majimbo, magavana wengine + +Haya ni madaraja ya mamlaka juu ya himaya tofauti tofauti. + +# nywele katika vichwa vyao hazikuungua + +Muundo tendaji waweza kutumika kwa tungo hii."moto haukuweza kuunguza nywele vichwani mwao." + +# Kuungua + +"kuchomeka" + +# mavazi yao yalikuwa hayajaharibiwa + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Moto haukuweza kuharibu mavazi yao." + +# na hawakuwa na harufu ya moto + +"hawakunukia harufu ya moto" + diff --git a/dan/03/28.md b/dan/03/28.md new file mode 100644 index 00000000..6597e6a3 --- /dev/null +++ b/dan/03/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# walipoikana amri yangu + +Kutokutii amri ya mfalme kunasemwa kana kwamba kilikuwa kitendo dhahiri cha kutoka na kwenda mbali. + +# waliitoa miili yao + +Kirai hiki kinawahusu watu watatu waliokuwa wamehialika kufa kwa kile wanachokiamini. + +# kusujudia + +Kitendo hiki kina maana ya kulala katika nchi, uso ukiwa umeelekea chini, katika hali ya kuabudu. + +# isipokuwa Mungu wao + +kwa mungu mwingine isipokuwa Mungu" + diff --git a/dan/03/29.md b/dan/03/29.md new file mode 100644 index 00000000..f752d432 --- /dev/null +++ b/dan/03/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# watu wote, taifa au lugha ambayo itazungumza kitu chochote kinyume na Mungu wa Shadraka, Meshaki na Abedinego lazima wakatwe vipande, na ya kwamba nyumba zao lazima zifanywe kuwa vichuguu vya uchafu + +Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "watumishi wangu watawaharibu watu wowote, taifa, au lugha... na kuzifanya nyumba zao kuwa vichuguu vya uchafu." + +# itazungumza kitu chochote kinyume na Mungu + +"kuongea maneno ambayo yamheshimu Mungu" + +# lazima wakatwe vipande + +"kukatwa kwa miili yao katika vipande + +# hakuna mungu mwingine anayeweza kuokoa kama hivi + +Muundo wa kubalifu waweza kutumika hapa. "Ni Mungu wao tu aweza kuwaokoa kama hivi" + diff --git a/dan/04/01.md b/dan/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..766248c6 --- /dev/null +++ b/dan/04/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla + +Katika surahii, Nebukadneza anasema kile ambacho Mungu alimfanyia. Katika mistari ya 1-18, Nebukadneza anaeleza ndoto yake kwa nafsi ya kwanza. Katikamistari ya 19-33 anageuka na kutumia nafsi ya tatu katika kuelezea hukuma ya Nebukadneza. Mistari ya 34-37 anabadilika tena na kutumia nafsi ya kwanza katika kuelezea jibu lake kwa Mungu. + +# Mfalme Nebukadneza aliituma + +Kirai hiki kinamrejelea mjumbe wa mfalme kana kwamba ni mfalme mwenyewe. "Mfalme aliwatuma wajumbe wake pamoja" + +# watu wote, mataifa, na lugha + +"watu wote wa kila taifa na lugha" + +# walioishi katika nchi + +Wafalme mara nyingi hutia chumvi kuhusu upana wa ufalme wao ulivyokuwa. Nebukadneza alitawala juu ya sehemu kubwa ya dunia inayojulikana katika kipindi ambacho kitabu hiki kiliandikwa. + +# amani yenu na iongezeke + +Hii ni salaamu ya kawaida. + +# ishara na maajabu + +Maneno haya yana maana sawa na yanarejelea vitu vya kushangaza ambavyo Mungu alikuwa amevifanya. + +# Ni kwa namna gani Ishara zake ni kubwa, na ni kwa namna gani maajabu yake + +Virai hivi viwili vina maana moja na vimetumika katika kutia mkazo juu ya ukubwa wa ishara na maajabu ya Mungu yalivyo. + +# Ufalme wake ni ufalme unaodumu milele, na utawala wake hudumu kizazi hadi kizaz + +Virai hivi vina maana moja na vimerudiwa ili kutia mkazo jinsi utawala wa Mungu ni wa milele. + diff --git a/dan/04/04.md b/dan/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..2980cbd5 --- /dev/null +++ b/dan/04/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Katika mistari ya 1-18 Nebukadneza anaelezea maono yake kutoka kwa Mungu kwa kutumia nafsi ya kwanza. + +# nilikuwa ninaishi kwa furaha katika nyumba yangu, na nilikuwa nikifurahia mafanikio + +Virai hivi viwili viko sambamba na vinamaanisha kitu kile kile. + +# nyumba yangu ....ikulu yangu + +Virai hivi kimsingi vina maana moja. + +# ndoto...taswira...maono... + +Maneno haya yana maana moja tu kimsingi. + +# iliniogopesha....ilinitaabisha + +Virai hivi viko sambasamba vina maana moja + +# watu wote wa Babeli walio na hekima + +"wote wenye hekima katika Babeli" + diff --git a/dan/04/07.md b/dan/04/07.md new file mode 100644 index 00000000..80d0c084 --- /dev/null +++ b/dan/04/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +katika mstari 1-18, Nebukadneza anaelezea maono yake kutoka kwa Mungu kwa kutumia nafsi ya kwanza. + +# huitwa Belteshaza + +Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambaye nilimwita Belteshaza." + +# Belteshaza + +Hili ni jina ambalo Wababeli walimpa Danieli. + +# roho ya miungu watakatifu + +Nebukadneza aliamini kwamba nguvu za Danieli zilitokana na miungu ya uongo ambayo Nebukadneza aliiabudu. + +# hakuna siri iliyo ngumu kwako + +tungo hii yaweza kuelezwa kwa kauli ya kukubali. "wewe unafahamu maana ya kila siri" + diff --git a/dan/04/10.md b/dan/04/10.md new file mode 100644 index 00000000..8028c0b5 --- /dev/null +++ b/dan/04/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Katika mistari ya 1-18, Nebukadneza anaeleza maono yakekutoka kwa Mungu katika nafsi ya kwanza. + +# niliyoyaona + +mambo ambayo unayoyaona + +# urefu wake ulikuwa ni mkubwa sana + +"ulikuwa ni mrefu sana" + +# Na sehemu ya juu yake ilifika mbinguni, uliweza kuonekana kutoka miisho ya dunia yote. + +Hii ni lugha ya mfano ambayo inatia chumvi juuu ya jinsi mti ulivyokuwa mrefu na jinsi ambavyo mti ulikuwa unajulikana. "Inaonekana kwamba sehemu ya juu ya ti ilifika angani na ya kwamba kila mtu katika dunia aliweza kuuona." + +# matunda yake yalikuwa ni mengi + +"kulikuwa na matunda mengi katika mti" + +# chakula kwa ajili ya wote + +"kilikuwa chakula cha watu wote na wanyama" + diff --git a/dan/04/13.md b/dan/04/13.md new file mode 100644 index 00000000..b228eb3a --- /dev/null +++ b/dan/04/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Katika mistari ya 1-18, Nebukadneza anaeleza maono yake kutoka kwa Mungu katika nafsi ya kwanza. + +# niliona katika akili zangu + +Hii inarejelea kitendo cha kuiona ndoto au maono. + +# Alipiga kelele na kusema + +Inaweza kuwekwa wazi kwamba mjumbe mtakatifu alikuwa akiongea na mtu zaidi ya mmoja + +# Wanyama na wakimbie kutoka chini yake na ndege wapae mbali kutoka katika matawi yake. + +"Wanyama watakimbia chini yake na ndege watapaa kutoka katika matawi yake." + diff --git a/dan/04/15.md b/dan/04/15.md new file mode 100644 index 00000000..4ed4ae33 --- /dev/null +++ b/dan/04/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Katika mistari ya 1-18, Nebukadneza anaeleza maono yake kutoka kwa Mungu katika nafsi ya kwanza + +# Maelezo ya jumla + +Mjumbe mtakatifu katika maono anaendelea kupiga kelele kwa baadhi ya watu. + +# kisiki cha mizizi yake + +Hii ni sehemy ya mti ambayo huuchwa ardhini baada ya mti kukatwa. + +# umande + +huu ni unyevu nyevu juu ya nchi ambao unapatikana wakati wa asubuhi. + +# Akili yake na ibadilishwe kutoka... mpaka ipite miaka saba + +Kwa kuwa mti unamwakilisha Nebukadneza, kwa hiyo viwakilishi vyote vimetumika katika kifungu hiki kumwongelea yeye. + diff --git a/dan/04/17.md b/dan/04/17.md new file mode 100644 index 00000000..27436c33 --- /dev/null +++ b/dan/04/17.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla + +Katika mistari ya 1-18, Nebukadneza anaeleza maono yake kutoka kwa Mungu katika nafsi ya kwanza + +# Ni uamuzi uliofanya na yeye aliye mtakatifu + +Kauli hii yaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Yeye aliye mtakatifu amefanya uamuzi." + +# mtakatifu + +Kirai hiki huenda kinawarejelea Malaika. "Malaika watakatifu" + +# hao walio hai + +"kila mtu aliye hai" au "kila mtu" + +# huwapa + +"huwapa falme" + +# Belteshaza + +Hili ni jina ambalo Wababeli walimpa Danieli. + +# anayeweza kunitafsiria + +"wewe unaweza kuitafsiri ndoto" + +# roho ya miungu watakatifu + +Nebukadneza aliamini kuwa nguvu za Danieli zilitoka kwa miungu ya uongo ambayo yey aliiabudu. Hii haina maana moja na "yey aliye mtakatifu" katika mstari wa 17. + diff --git a/dan/04/19.md b/dan/04/19.md new file mode 100644 index 00000000..c0d6a2f7 --- /dev/null +++ b/dan/04/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +katika mistari ya 19-33 inatumia nafsi ya tatu katitka kuelezea hukumu ya Nebukadneza. + +# Ndipo Danieli aliyeitwa pia Belteshaza + +hii nayo yew Ambaye mimi nilimwita Belteshaza + +# Ufahamu wa Danieli juu ya maono ndiyo yalimwasha. + +ndoto hii na iwe kwa ajili ya watu wanaokuchukia, na tafsiri yake na iwe kwa ajili ya adui zako. + +# ndoto hii na iwe kwa ajili ya watu wanaokuchukia, na tafsiri yake na iwe kwa ajili ya adui zako + +Danieli anazungumza matakwa yake kwamba ndoto hii haimhusu mfalme, ingawa alijua kuwa ndoto ilimhusu mfalme. + diff --git a/dan/04/20.md b/dan/04/20.md new file mode 100644 index 00000000..91177c17 --- /dev/null +++ b/dan/04/20.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mistari ya 19-33 inatumia nafsi ya tatu kuelezea hukumu ya Nebukadneza + +# Maelezo ya jumla + +Maneno mengi katika mistari hii inafanana kama katika 4:10 + +# mengi + +"mengi sana" + +# huu mti ni wewe, mfalme, + +"mti huu unakuwakilisha wewe mfalme" + +# Ukuu wako umeongezeka na kufika mbinguni, na mamlaka yako yamefika hata miisho ya dunia. + +Virai hivi viwili vina maana sawa + +# Ukuu wako umeongezeka + +Kirai hiki kinatumia neno "kuongezeka" kama njia ya kuuzungumzia ukuu wa mfalme uliokua. + +# mbinguni... hata miisho ya dunia + +Virai hivi viwili vinatia chumvi kwamba kila mtu kila mahali alijua namna ambavyo Nebukadneza alikuwa mkubwa. + diff --git a/dan/04/23.md b/dan/04/23.md new file mode 100644 index 00000000..3a540239 --- /dev/null +++ b/dan/04/23.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mistari ya 19-33 inatumia nafsi ya tatu kuelezea hukumu ya Nebukadneza + +# Maelezo ya jumla + +Mistari hii inafanana sawa sawa kama 4:13 na 4:15 + +# kisiki cha mizizi yake + +Hii ni sehemu ya mti ambayo huachwa juu ya ardhi baada ya mti kukatwa. + +# katikati ya mche mororo katika shamba + +"imezungukwa na miche nyororo ya shamba" + +# umande + +"unyevu nyevu ulio katika nchi wakati wa asubuhi" + diff --git a/dan/04/24.md b/dan/04/24.md new file mode 100644 index 00000000..ac73fcb2 --- /dev/null +++ b/dan/04/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mistari ya 19-33 inatumia nafsi ya tatu kuelezea hukumu ya Nebukadneza + +# Maelezo ya jumla + +Maneno mengi katika mistari hii inafanana sawa sawa kama 4:15 + +# ambalo limekufikia + +"ambalo umelisikia" + +# Utafukuzwa utoke miongoni mwa watu, + +Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Watu watakufukuza utoke miongoni mwao." + +# Utafanywa uwe unakula majani + +Hii yaweza pia kuelezwa kwa muundo tendaji. "utakula majani" + diff --git a/dan/04/26.md b/dan/04/26.md new file mode 100644 index 00000000..f60cecc3 --- /dev/null +++ b/dan/04/26.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mistari ya 19-33 inatumia nafsi ya tatu kuelezea hukumu ya Nebukadneza + +# mbingu inatawala + +Mahali hapa neno "mbingu" linamrejelea Mungu ambaye anaishi mbinguni. "Mungu wa mbingu ni mtawala wa wote" + +# ushauri wangu na ukubalike kwako + +Maneno haya yaweza kuelezeka kwa muundo tendaji. " tafadhali pokea ushauri wangu" + +# Geuka uache uovu wako + +kukataa uovu kunasemwa kna kwamba ni kugeuka na kuuacha. + +# walioonewa + +Nomina kivumishi hiki kinarejelea watu walioteswa + +# na itakuwa kwamba mafanikio yako yataongezwa + +Muundo tendaji waweza kutumika. "Mungu aweza kuongeza mafanikio yako" + diff --git a/dan/04/28.md b/dan/04/28.md new file mode 100644 index 00000000..bb6989bb --- /dev/null +++ b/dan/04/28.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mistari ya 19-33 inatumia nafsi ya tatu kuelezea hukumu ya Nebukadneza + +# Vitu hivi vyote...katika Babeli + +Maelezo katika 4:38 yamepangwa upya ili kwamba maana yake ieleweke kwa urahisi. + +# miezi wa kumi na miwili + +"miezi 12" + +# Je hii si Babeli kuu....kwa ajili ya utukufu wa enzi yangu? + +Nebukadneza anauliza swali hili kwa kutia mkazo katika utukufu wake mwenyewe. Maneno haya yaweza kuelezwa kwa maelezo. "Hii ni Babeli kuu...kwa utukufu wa enzi yangu." + +# kwa ajili ya utukufu wa enzi yangu + +"kuwaonesha watu heshima yangu na ukuu wangu" + diff --git a/dan/04/31.md b/dan/04/31.md new file mode 100644 index 00000000..2c8fecc5 --- /dev/null +++ b/dan/04/31.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mistari ya 19-33 inatumia nafsi ya tatu kuelezea hukumu ya Nebukadneza + +# Wakati maneno yakali katika midomo ya mfalme + +Nahau hii ina maana kwamba wakati mfalme akiwa akiongea + +# sauti ilisikika kutoka mbinguni + +"alisikia sauti kutoka mbinguni" + +# "Mfalme Nebukadneza.... umeondolewa kutoka kwako + +Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mfalme Nebukadneza, amri imetoka kinyume na wewe kuwa ufalme huu si miliki yako" + +# Utafukuziwa mbali kutoka miongoni mwa watu + +Kauli hii yaweza kuelezeka kwa muundo tendaji. "Watu watakufukuza uende mbali nao" + +# mtu yeyote amtakaye + +"Yeyote amchaguaye" + diff --git a/dan/04/33.md b/dan/04/33.md new file mode 100644 index 00000000..fe29fcc3 --- /dev/null +++ b/dan/04/33.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mistari ya 19-33 inatumia nafsi ya tatu kuelezea hukumu ya Nebukadneza + +# Agizo hili kinyume na Nebukadneza lilitekelezwa ghafla + +Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Amri hii iliyo kinyume na Nebukadneza ilitokea ghafla" + +# Aliondolewa miongoni mwa watu + +Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Watu walimfukuzia mbali mfalme atoke kwao" + +# makucha yake yalikuwa kama makucha ya ndege + +"Makucha yake ya vidole yalionekana kama makucha ya ndege" + diff --git a/dan/04/34.md b/dan/04/34.md new file mode 100644 index 00000000..8a32ca3c --- /dev/null +++ b/dan/04/34.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Katika mistari ya 34-37 Nebukadneza anaongelea katika nafsi ya kwanza katika kueleza jibu lake kwa Mungu. + +# katika mwisho wa siku + +Hii inarejelea miaka saba katika 4:31 + +# utimamu wa akili nilirudishiwa + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "utimamu wangu ulirudi kwangu" + +# nilimheshimu na kumtukuza + +Maneno yote yanarejelea kitendo kile kile + +# Kwa kuwa utawala wake ni wa milele, na ufalme wake unadumu katoka katika vizazi vyote hadi vizazi vyote. + +Virai vyote viwili vinamaanisha kimsingi kitu kile kile na vimetumika kwa kutia mkazo juu ya jinsi utawala wa Mungu usivyo na mwisho. + diff --git a/dan/04/35.md b/dan/04/35.md new file mode 100644 index 00000000..29c47cc9 --- /dev/null +++ b/dan/04/35.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya jumla + +Katika mistari ya 34-37 Nebukadneza anaongelea katika nafsi ya kwanza katika kueleza jibu lake kwa Mungu. + +# Wenyeji wote wa duniani huhesabiwa na yeye kuwa bure + +Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Huwahesabu wakaaji wote wa duniani kuwa si kitu" + +# Wenyeji wote wa duniani + +"watu wote katika dunia" + +# jeshi la mbinguni + +"jeshi la malaika huko mbinguni" + +# hufanya lolote limpendezalo + +"lolote linalotimiza kusudi lake" au kila kitu anachotaka kufanya" + +# Hakuna hata mmoja awezaye kumzuia + +Itakuwa na msaada kuongeza maelezo ya ziada. "Hakuna hata mmoja awezaye kumzuia kufanya kile alichoamua kufanya" + +# Hakuna hata mmoja awezaye kumwambia, "Mbona umefanya hivi?" + +Hii yaweza kuelezeka kwa kutumia nukuru isiyo ya moja kwa moja. "Hakuna awezaye kumwuliza kile anachofanya" + diff --git a/dan/04/36.md b/dan/04/36.md new file mode 100644 index 00000000..28f1da1c --- /dev/null +++ b/dan/04/36.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla + +Katika mistari ya 34-37 Nebukadneza anaongelea katika nafsi ya kwanza katika kueleza jibu lake kwa Mungu. + +# utimamu wa akili zangu uliponirudia + +Mahali hapa utimamu unaongelewa kana kwamba ulikuwa na uwezo wa kurudi kwa nguvu zake. + +# utukufu wangu na fahari yangu ilinirudia + +Mahali hapa utukufu wake na fahari kwa pamoja unaongelewa kana kwamba ulikuwa na uwezo wa kurudi kwa nguvu zake . + +# utukufu wangu na fahari yangu + +Maneno haya yana maana sawa na yametumika kutilia mkazo juu ya ukubwa wa utukufu wake. + +# watu wenye heshima walitafuta msaada wangu + +"Watu wangu wa heshima waliomba msaada wangu tena" + +# Nilirudishwa kwenye kiti changu cha enzi, na nilipewa ukuu zaidi + +Mahali hapamaneno "kiti cha enzi" yanarejelea mamlaka yake ya kutawala. Pia muundo tendaji waweza kutumika. "Nilirudi kutawala ufalme wangu tena, na nilipata ukubwa zaidi." + +# ninamsifu, ninamtukuza na kumheshimu + +Maneno haya matatu kimsingi yana maana moja na yametumika kutia mkazo juu ya jinsi alivyomsifu Mungu. + +# wanaotembea katika kiburi chao wenyewe. + +Kitenzi "kutembea" kinamrejelea mtu anayetenda kwa kiburi. + diff --git a/dan/05/01.md b/dan/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..86a4ec7b --- /dev/null +++ b/dan/05/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Belshaza + +Huyu ni mtoto wa kiume wa Nebukadneza ambaye alikuwa mfalme baada ya baba yake. + +# elfu moja + +"kwa 1,000" + +# alikunywa divai mbele + +"alikkunywa divai akiwa mbele za" + +# vyombo vilivyotengenezwa kwa dhahabu + +Hii yaweza kuandikwa kwa muundo tendaji. "vyombo vya dhahabu au fedha ambavyo waisraeli walikuwa wamevitengeneza" + +# vyombo + +Hivi vilikuwa vikombe na vifaa vingine ambavyo vilikuwa vidogo kwa mtu kuvishikilia na kuvinywea. + +# Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua + +Kirai hiki kinatumia jina Nebukadneza kurejelea jeshi la mfalme. "Jeshi la Nebukadneza baba yake walikuwa wamevichukua" + diff --git a/dan/05/03.md b/dan/05/03.md new file mode 100644 index 00000000..6f68fe56 --- /dev/null +++ b/dan/05/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# vyombo ya dhahabu vilivyokuwa vimechukulia katika hekalu, + +Muundo tendaji waweza kutumika. "vyombo vya dhahabu ambavyo jeshi la Nebukadneza walikuwa wamevichukua kutoka katika hekalu" + +# kutoka hekaluni, nyumba ya Mungu + +Kirai "nyumba ya Mungu" kinatueleza kitu zaidi juu ya hekalu. + diff --git a/dan/05/05.md b/dan/05/05.md new file mode 100644 index 00000000..f8a714b5 --- /dev/null +++ b/dan/05/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa wakati huo huo + +"Mara baada ya kufanya hivyo" au "ghafla" + +# ukuta uliopigwa lipu + +saruji au udongo uliosambazwa katika ukuta au darini ili kuleta ulaini katika sehemu ya juu baada ya kukauka + +# uso wa mfalme ulibadilika + +Hii ilisababishwa na hofu yake + +# magoti yake yalikuwa yakigongana kwa pamoja + +Haya yalikuwa ni matokeo ya hofu yake kubwa. + diff --git a/dan/05/07.md b/dan/05/07.md new file mode 100644 index 00000000..fa9ff059 --- /dev/null +++ b/dan/05/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wale waliojulikana kwa hekima katika Babeli + +Hii inarejelea nyuma kwa wale watu wanaodai kusema na wafu, watu wenye hekima na wanajimu + +# Yeyote atakayeyaeleza maandishi haya na maana yake atavikwa nguo za zambarau na atavikwa na mkufu wa dhahabu shingoni mwake + +Kauli hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Nitampa nguo za zambarau na shingo ya dhahabu kwa yeyote atakayeyaeleza maandishi yake na maana yake." + +# atavikwa nguo za zambarau + +Nguo za dhahabu zilikuwa adimu na zilitunzwa maalumu kwa ajili maafisa wa kifalme. + +# mtawala wa tatu wa juu + +"mtawala namba tatu" + diff --git a/dan/05/08.md b/dan/05/08.md new file mode 100644 index 00000000..1d718997 --- /dev/null +++ b/dan/05/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Belshaza + +Hili lilikuwa ni jina la mtoto wa kiume wa Nebukadneza ambaye alikuwa mfalme baada yake. + +# mwonekano wa uso wake ulibadilika + +Uso wa mfalme uliendelea kuonekana dhaifa na hafifu kuliko hata ulivyokuwa katika 5:5 + +# walishangazwa + +"kuchanganyikiwa" + diff --git a/dan/05/10.md b/dan/05/10.md new file mode 100644 index 00000000..ed3e71b1 --- /dev/null +++ b/dan/05/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Malkia + +Matoleo ya kisasa huelewa hili kuwa ni rejea kwa mama malkia, ambaye ni mama wa mfalme. Mama malkia alipewa heshima kubwa katika Babeli ya zamani. + +# Mfalme na aishi milele + +Hii ilikuwa ni njia ya kawaida ya kumsalimia mfalme. + +# Usiuruhusu mwonekano wa uso wako ubadilike. + +"Hakuna haja ya uso kubadilika na kuwa dhaifu" + diff --git a/dan/05/11.md b/dan/05/11.md new file mode 100644 index 00000000..2736e372 --- /dev/null +++ b/dan/05/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# roho ya miungu watakatifu + +Malkia aliamini kwamba nguvu za Danieli zilitoka kwa miungu ya uongo ambayo Nebukadneza aliiabudu. + +# Katika siku za baba yako + +"Wakati ambao baba yako alikuwa akitawala" + +# mwanga na weledi na hekima ya miungu ilipatikana ndani yake + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "alikuwa na mwanga na ufahamu na hekima kama hekima ya miungu" + +# Mfalme Nebukadneza, baba yako mfalme + +"Baba yako Mfalme Nebukadneza" + +# hizi ni sifa zilizopatikana kwa mtu huyu Danieli, ambaye mfalme alimwita Belteshaza. + +Muundo tendaji waweza pia kutumika."huyu Danieli ambaye mfalme alimwita Belteshaza, alikuwa na sifa hizi zote." + +# kile kilichoandikwa + +"kile kilichokuwa kimeandikwa ukatani" + diff --git a/dan/05/13.md b/dan/05/13.md new file mode 100644 index 00000000..bb3a568c --- /dev/null +++ b/dan/05/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ndipo Danieli alipoletwa mbele ya mfalme + +Hii yaweza kuelezwa kwa kutumia muundo tendaji. "Kisha walimleta Danieli mbele ya mfalme" au "wanajeshi walimleta Danieli mbele ya mfalme" + +# ambao baba yangu mfalme aliwaleta kutoka Yuda + +Katika kirai hiki, neno "baba" limetumika kumaanisha wanajeshi wote. + +# roho ya miungu + +Belshaza aliamini kuwa nguvu za Danieli zilitoka kwa miungu ya uongo ambayo Belshaza aliiabudu. + +# mwanga na ufahamu na hekima bora inapatikana ndani yako + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "una mwanga na ufahamu na hekima bora" + diff --git a/dan/05/15.md b/dan/05/15.md new file mode 100644 index 00000000..389dcd74 --- /dev/null +++ b/dan/05/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Na sasa watu wanaojulikana ....wamekwisha kuletwa mbele yangu + +Muundo tendaji waweza kutumika pia."sasa watu waliojulikana ....wamekuja mbele yangu" + +# kunijulisha + +"kuniambia" + +# utavikwa nguo za zambarau na kuwa na kuvalishwa mkufu wa dhahabu shingoni mwako + +Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji."Nitakupatia nguo za zambarau na mkufu wa dhahabu shingoni" + +# utavikwa nguo za zambarau + +Nguo za zambarau zilikuwa ni adimu na zilitunzwa kwa ajili ya maafisa wa kifalme. + +# mtawala wa tatu + +"mtawala wa namba ya tatu" + diff --git a/dan/05/17.md b/dan/05/17.md new file mode 100644 index 00000000..52af438f --- /dev/null +++ b/dan/05/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Zawadi yako na iwe kwa ajili yako + +"Sihitaji zawadi zako" + +# watu wote, mataifa, na lugha + +Kirai hiki kina neno "wote" ili kuwakilisha namba kubwa. + +# walimtetemekea na kumwogopa + +Maneno haya kimsingi yanamaanisha kitu kile kile na yametumika kwa ajili ya kutia mkazo juu ya ukubwa wa hofu. + +# Aliwauwa wale aliotaka wafe + +Kirai hiki cha maneno hakina maana ya kwamba mfalme Nebukadneza hakuwauwa watu yeye mwenyewe, bali wale aliowaagiza. + +# Aliwainua wale aliowataka + +"Aliwainua wale aliowataka kuwainua" + +# aliwashusha wale aliowataka. + +"aliwashusha wale aliotaka kuwashusha" + diff --git a/dan/05/20.md b/dan/05/20.md new file mode 100644 index 00000000..30b088fa --- /dev/null +++ b/dan/05/20.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# moyo ulipokuwa na kiburi + +Mahali hapa neno "moyo" linamrejelea mfalme mwenyewe. + +# roho yake ilifanywa kuwa mgumu + +Mahali neno "roho" linamaanisha mfalme mwenyewe. Kiburi chake kinasemwa kana kwamba kilikuwa kimefanywa kuwa kigumu. + +# kwa kiburi + +"kwa kiburi na zaidi ya kujiamini + +# alishushwa kutoka kiti chake cha enzi cha kifalme + +Mahali "kiti cha enzi" kina maana ya mamlaka yake ya kutawala. Hii pia yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Watu waliutwaa ufalme wake." + +# Aliondolewa katika ubinadamu + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. Watu walimfukuza atoke kati yao" + +# alikuwa na akili za mnyama, + +Mahali hapa neno "akili" lina maana ya mawazo. "Alifikiri kama vile mnyama anavyofikiri" + +# umande + +Ni unyevu nyevu ulio juu ya nchi ambao hupatikana nyakati za asubuhi. + +# yeyote amtakaye + +"yeyote amchaguaye" + diff --git a/dan/05/22.md b/dan/05/22.md new file mode 100644 index 00000000..e6727351 --- /dev/null +++ b/dan/05/22.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Belshaza + +Hili lilikuwa ni jina la mtoto wa kiume wa Nebukadneza ambaye alikuwa mfalme baada yake + +# haujaunyenyekeza moyo wako + +Mahali hapa neno 'moyo' linamwakilisha Nebukadneza mwenyewe. + +# umwenyewe kinyume cha Bwana + +Kitendo cha kuasi kinyume na Mungu kinasemwa kana kwamba ni kujiinua mtu mwenyewe. + +# kutoka katika nyumba yake + +Kirai "nyumba yake" kinaeza kuelezwa kwa uwazi sna "kutoka kwa hekalu la mfalme." + +# njia zako zote" + +"kila kitu uanchokifanya" + +# Mungu ambaye anaishikilia pumzi yako katika mkono wake + +Mahali hapa neno 'pumzi" lina maana ya fedja ma memp "mkono" lina maana ya mamlaka au utawala. + +# maandishi haya yaliandikwa + +Muundo tendaji waweza kutumika. "iliandika ajumbe huu" + diff --git a/dan/05/25.md b/dan/05/25.md new file mode 100644 index 00000000..bd040f23 --- /dev/null +++ b/dan/05/25.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Haya ndiyo maandishi ambayo yaliandikwa + +Kwa kutumia muundo tendaji twaweza kusema. " huu ni ujumbe ambao uliandikwa na mkono" + +# 'Mene, Mene, Tekeli na Peresin. + +Haya ni maneno ya Kiramaiki ambayo yalikuwa yameandikwa ukutani. + +# 'Mene,' 'Mungu ameuhesabu + +"mene' ina maana ya kuwa Mungu amehesabu" + +# Tekeli' 'umepimwa katika mizani + +"Tekeli' ina maana ya wewe umepimwa" + +# Peresi' 'ufalme wako + +"Peresi" ina maana ya ufalme wako + +# 'umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua + +kuhukumu na kuamua juu ya uthamani kwa mfalme katika kutawala unasemwa kana kwamba ni kumpima. Hii ina maana ya kwamba mfalme hafai kuongoza/kutawala. + +# 'ufalme wako umegawanyika na wamepewa Wamedi na Waajemi.'" + +Kwa kutumia muundo tendaji twaweza kusema. "Mungu ameugawa ufalme wako na amewapa Wamedi na Waajemi. + diff --git a/dan/05/29.md b/dan/05/29.md new file mode 100644 index 00000000..ea6b1cd8 --- /dev/null +++ b/dan/05/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mkufu wa dhahabu walimvisha shingoni + +Hii yaweza kuelelzwa kwa muundo tendaji. " Waliuweka mkufu wa dhahabu shingoni mwake" + +# mtawala mwenye mamlaka ya nafasi ya tatu + +"mtawala wa namba ya tatu" + +# aliuchukua ufalme + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "alikuwa mtawala wa ufalme" + +# alipokuwa na miaka ipatayo sitini na miwili. + +"wakati alipokuwa takribani miaka 62" + diff --git a/dan/06/01.md b/dan/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..ad21c0ec --- /dev/null +++ b/dan/06/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi kiunganishi + +Matukio katika sura hii yalitukia baada ya Waajemi kuwaangusha Wababeli na Dariuo Mmedi alianza kutawala juu ya Babeli. + +# Ilimpendeza Dario + +"Mfalme Dario aliamua" + +# magavana wa majimbo 120 + +"Magavana wa majimbo wapatao mia na ishirini" + +# juu yao + +Neno 'wao' linawarejelea magavana 120 + +# ili kwamba mfalme asipate hasara. + +"ili kwamba chochote kisiibiwe kutoka kwa mfalme" + +# alipambanuliwa juu + +"alifaulu juu ya " au " alikuwa na uwezo kuliko" + +# likuwa na roho isiyo ya kawaida + +Mahali hapa "roho" inamrejelea Danieli. Inamaanisha kuwa kile alichokuwa nacho kilikuwa si cha kawaida kwa watu. "alikuwa ni mtu wa kipekee" + +# isiyo kawaida + +"ya kuvutia" au "bora" + +# kumweka juu ya + +"kumpa mamlaka juu ya " au " kumweka kuwa masimamizi wa " + diff --git a/dan/06/04.md b/dan/06/04.md new file mode 100644 index 00000000..5d3bc2d5 --- /dev/null +++ b/dan/06/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Basi watawala wakuu wengine na magavana wa majimbo .... kwa ufalme + +Watawala wengine walimwonea Danieli wivu. Hii yaweza kuwekwa dhahiri. "kisha watawala wengine na magavana wa majimbo walikuwa na wivu. Hivyo, wakatafuta makosa katika kazi za Danieli alizozifanya kwa ajili ya ufalme. " + +# Hakuna kosa au uzembe uliopatikana ndani yake + +Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Hawakuweza kupata makosa au uzembe katika kazi yake." + +# kumshitaki huyu Danieli + +"kumlalamikia Danieli" + diff --git a/dan/06/06.md b/dan/06/06.md new file mode 100644 index 00000000..6f5140f3 --- /dev/null +++ b/dan/06/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# walileta mpango mbele ya mfalme + +"waliwasilisha mpango kwa mfalme" + +# Mfalme Dario, uishi milele! + +Hii ilikuwa ni njia ya kawaida ya kumsalimia mfalme. + +# siku thelathini + +"kwa siku 30" + +# mtu yeyote anayefanya dua + +"yeyote atakayetoa ombi" + +# mtu huyo lazima atupwe katika tundu la simba + +Maneno haya yaweza kuelezeka kwa muundo tendaji. "wanajeshi wako lazima wamtupe mtu huyo katika tundu la simba" + +# tundu la simba + +Hii inarejelea chumba au shimo mahali ambapo simba walikuwa wametunzwa + diff --git a/dan/06/08.md b/dan/06/08.md new file mode 100644 index 00000000..8f885d1f --- /dev/null +++ b/dan/06/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi kiunganishi + +Katika mstari wa 8, watawala wanaendelea kuongea na mfalme + +# kama ilivyoelekezwa katika sheria + +"kutokana na sheria" + +# haiweze ikabatilishwa + +"haiwezi kusitishwa" + +# kuifanya amri kuwa sheria + +"kulifanya agizo kuwa sheria" + diff --git a/dan/06/10.md b/dan/06/10.md new file mode 100644 index 00000000..83503150 --- /dev/null +++ b/dan/06/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Danieli alipojua kuwa nyaraka imekwisha kusainiwa kuwa sheria + +Ni muhimu katika habari hii kueleza wazi kwamba Daniel alijua juu ya sheria mpaya kabla hajamwomba Mungu. + +# madirisha yake katika chumba cha juu yalikuwa wazi kuelekea Yerusalemu + +Haya ni maelezo ya muhimu ambayo yanaelezea jinsi maadui wa Danieli walijua kuwa Danieli alikuwa akiomba kwa Mungu wake. + +# kushukuru mbele ya Mungu wake, + +"alitoa shukrani kwa Mungu wake" + +# hila + +mpango wenye kusudi ovu + diff --git a/dan/06/12.md b/dan/06/12.md new file mode 100644 index 00000000..7d0294ea --- /dev/null +++ b/dan/06/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Je .haukuweka amri ....simba? + +Walimwuliza swali hili ili kumfanya mfalme ahakikishe kuwa alikuwa ametoa amri. + +# mtu yeyote akayefanya maombi + +"ambaye afanyaye maombi" + +# tundu la simba + +Hii inarejelea chumba au shimo mahali simba walikuwa wanatunzwa. + +# kama ilivyoelekezwa katika sheria + +"kutokana na sheria" + diff --git a/dan/06/13.md b/dan/06/13.md new file mode 100644 index 00000000..00f24bda --- /dev/null +++ b/dan/06/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mtu yule Danieli + +Hii si njia ya heshima ya kumzungumzia Danieli. Walitumia maelezo haya kimakusudi ili kutompa Danieli heshima aliyostahili kama mtawala mkuu. + +# ambaye ni mmoja wa watu wa mateka kutoka Yuda, + +"ambaye ni mhamiaji kutoka Yuda" + +# hakutii wewe + +Hii ni nahau inayoonesha kuwa anakatalia Mfalme "Hakutii wewe" + +# , alitumia akili + +Mahali hapa neno "akili"linarejelea fikra zake. + +# Alisumbuka sana + +Hii inarejelea masumbuko ya kiakili badala ya masumbuko ya kimwili. + diff --git a/dan/06/15.md b/dan/06/15.md new file mode 100644 index 00000000..273f1c30 --- /dev/null +++ b/dan/06/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hakuna amri....yaweza kubadilishwa + +maelezo ya ziada yaweza kuongezwa hapa ili kusaidia ufahamu. "hakuna amri... yaweza kubadilishwa. Lazima wamtupe Danieli katika shimo la simba" + diff --git a/dan/06/16.md b/dan/06/16.md new file mode 100644 index 00000000..f0ef3069 --- /dev/null +++ b/dan/06/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# walimleta ndani Danieli + +"wanajeshi wake walienda na kumleta Danieli" + +# tundu la simba + +Hii inarejelea chumba au shimo mahali simba walikuwa wanatunzwa. + +# Mungu wako..... na akuokoe + +Mfalme anaelezea matakwa yake kwa ya Mungu kumwokoa Danieli. + +# akuokoe + +"kukuokoa kutoka katika simba" + diff --git a/dan/06/17.md b/dan/06/17.md new file mode 100644 index 00000000..58a793c7 --- /dev/null +++ b/dan/06/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# tundu + +Hii inarejelea chumba au shimo mahali simba walikuwa wanatunzwa. + +# mfalme alilitia muhuri wa pete yake mwenyewe na pamoja na muhuri wa wakuu wake.... kuhusiana na Danieli + +Kazi ya pete yea muhuri yaweza kuelezewa kwa uwazi. Mfalme pamoja na wakuu wake walikandamiza pete katika chapa iliyotengenezwa kwa nta. + +# na usiku ule alikuwa na mfungo + +Hili ni tendo linaloashiria kwamba mfalme alikuwa na wasiwasi kuhusu Danieli. + +# chochote kisiweze kubadilishwa kuhusiana na Danieli + +"hakuna awezaye kumsaidia Danieli" + +# Hakuna starehe yoyote iliyoletwa mbele yake + +maneno haya yaweza kuelezwa kwa kutumia muundo tendaji. " Hapakuwa na mtu yeyote wa kumburudisha" + +# nao usingizi ulimkimbia + +Usingizi unaongelewa kana kwamba unaweza kukimbia kutoka kwa mfalme. "hakulala kabisa usiku wote ule" + diff --git a/dan/06/19.md b/dan/06/19.md new file mode 100644 index 00000000..20783ad6 --- /dev/null +++ b/dan/06/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# tundu la simba + +Hii inarejelea chumba au shimo mahali simba walikuwa wanatunzwa. + diff --git a/dan/06/21.md b/dan/06/21.md new file mode 100644 index 00000000..985bfe2a --- /dev/null +++ b/dan/06/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa kuwa sikuwa na hatia yoyote + +Muundo tendaji waweza kutumika. " Anajua kuwa sijafanya chochote kibaya" + +# sijakufanyia jambo lolote la kukudhuru + +"Sijakudhuru wewe kabisa" + diff --git a/dan/06/23.md b/dan/06/23.md new file mode 100644 index 00000000..04db7056 --- /dev/null +++ b/dan/06/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# tundu la simba + +Hii inarejelea chumba au shimo mahali simba walikuwa wanatunzwa + +# Hakuna dhara lolote lililoonekana kwake + +Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Hawakuona jeraha lolote kwa Danieli" + diff --git a/dan/06/24.md b/dan/06/24.md new file mode 100644 index 00000000..3ceb9750 --- /dev/null +++ b/dan/06/24.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# tundu la simba + +Hii inarejelea chumba au shimo mahali simba walikuwa wanatunzwa + +# Kabla hawajafika sakafuni + +"kabla hawajafika chini katika tundu la simba" + +# kuvunjavunja mifupa yao vipande vipande + +"kuvunja mifupa yao" + +# watu wote, mataifa na lugha + +"watu wa mataifa yote na lugha" + +# katika dunia yote: + +Mfalme Dario aliandika ujumbe huu kwa ufalme wake wote ulikuwa mkubwa. Hapa anatumia maneno "dunia yote" kutilia mkazo juu ya ukubwa wa ufalme wake ulivyokuwa, ingawa haukuwa kwa watu wote wa duniani" + +# Amani na iongezeke kwenu + +Huu ni muundo wa salaamu iliyotumika kwa kumtakia mtu mema katika sehemu zote za maisha. + diff --git a/dan/06/26.md b/dan/06/26.md new file mode 100644 index 00000000..e35f827b --- /dev/null +++ b/dan/06/26.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo kiunganishi + +Hii inaendelea kueleza ujumbe ambao Dario aliutuma kwa kila mtu katika ufalme wake. + +# watetemeka na kumcha + +Maneno haya yana maana sawa na yanaweza kuunganishwa. "kutetemeka kwa hofu" + +# Mungu wa Danieli + +"Mungu ambaye Danieli alimwabudu" + +# kwa kuwa ni Mungu aliye hai na huishi milele + +Virai hivi viwili "Mungu aliye hai" na "aishiye milele" vinaelezea dhana moja, kwamba Mungu huishi milele. + +# ufalme wake ha....; utawala wake uta.. + +Virai hivi vyote viko sambasamba, na vinatia nguvu juuu ya jinsi ufalme wa Mungu hautakuwa na mwisho." + +# ufalme wake hauwezi kuharibiwa + +Maneno haya yaweza kuelezwa katika muundo tendaji. " hakuna yeyote aweza kuuangusha ufalme wake" au "ufalme wake utadumu milele" + +# utawala wake utakuwepo hadi mwisho. + +"atatawala milele" + +# amemhifadhi Danieli salama dhidi ya uwezo wa simba. + +"hajawaruhusu simba wenye nguvu kumdhuru Danieli" + diff --git a/dan/06/28.md b/dan/06/28.md new file mode 100644 index 00000000..dfe5decf --- /dev/null +++ b/dan/06/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# atika utawala wa Dario na katika utawala wa Koreshi Mwajemi + +Koreshi Mwajemi alikuwa mfalme aliyetawala baada ya Dario. + diff --git a/dan/07/01.md b/dan/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..3bce67ef --- /dev/null +++ b/dan/07/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Sura ya 7 na ya 8 haziko katika mpango wa mtiririko wa kawaida. Zilitokea wakati Belshaza alipokuwa akali ni mfalme, kabla ya utawala wa Dario na Koreshi walioongelewa katika sura ya 6. + +# Maelezo ya jumla + +Katika maono ya Danieli, aliona wanyama waliokuwa ni ishara ya mambo mengine. Baadaye katika maono mtu fulani alifafanua maana ya ishara hizo. + +# Belshaza + +Hili ni jina la mtoto wa kiume wa Nebukadneza, ambaye alikuwa mfalme baada yake. + +# ndoto na maono + +Maneno haya "ndoto na maono" yote yanarejelea ndoto ile ile iliyoelezewa katika sura hii. + +# pepo nne za mbinguni + +"pepo kutoka kila sehemu" au "pepo zenye nguvu kutoka sehemu zote nne za mwalekeo" + +# zinaitikisa + +"piga piga" au "kusababisha mawimbi makubwa" + diff --git a/dan/07/04.md b/dan/07/04.md new file mode 100644 index 00000000..a3659288 --- /dev/null +++ b/dan/07/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mnyama wa kwanza alikuwa kama simba + +Huyu ni mnyama wa ishar, na si mnyama halisi anayeishi. + +# mabawa yake yalikuwa yamepasuka na alikuwa ameinuliwa katika ardhi na alikuwa amesimama kwa miguu miwili kama mtu + +Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "mtu fulani alipasua mabawa yake na kumwinua kutoka chini na kumifanya asimame kwa miguu miwili kama binadamu." + +# Na alipewa akili za kibinadamu + +Mahali hapa neno "akili" limetumika kumaanisha "fikra.' Muundo tendaji waweza kutumika. "Mtu fulani alimpa uwezo wa kufikiri kama mtu" + +# kulikuwa na mnyama wa pili, alikuwa kama dubu + +Huyu hakuwa dubu halisi, bali ni mnyama wa ishara ambaye alifanana na dubu. + +# mbavu + +Mifupa mikubwa ya kifuani iliyopinda ambayo imeungana na uti wa mgongo. + +# aliambiwa + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mtu fulani alimwambia" + diff --git a/dan/07/06.md b/dan/07/06.md new file mode 100644 index 00000000..0029a292 --- /dev/null +++ b/dan/07/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mnyama mwingine ambaye alionekana kama chui + +Huyu hakuwa chui halisi, bali mnyama wa ishara ambaye alikuwa akifanana na chui. + +# mabawa manne ....vichwa vinne + +Mabawa manne na vichwa vinne ni mifano/ishara, lakini maana zake haziko wazi. + +# alikuwa na vichwa vinne. + +"mnyama alikuwa na vichwa vinne" + +# Alipewa mamlaka ya kutawala + +Kauli hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mtu fulani alimpa mamlaka ya kutawala" + +# mnyama wa nne...alikuwa na pembe kumi + +Huyu pia si mnyama halisi. Ni mnyama wa mfano. + +# kusaga saga katika miguuni + +"kutembea juu yake na kuvunja vunja'' + diff --git a/dan/07/08.md b/dan/07/08.md new file mode 100644 index 00000000..490fc034 --- /dev/null +++ b/dan/07/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Danieli anaendelea kuyaelezea maono yake ya mnyama wa nne ambayo aliyoyaona katika 7:6 + +# pembe + +Watafsiri waweza kuandika tanbihi chini ya ukurasa. "Pembe" ni alama au ishara ya ngur + +# Mizizi ya pembe tatu kati ya pembe za mwanzo iling'olewa + +Tungo hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Pembe ndogo ilichomoza kati ya pembe tatu za mwanzo." + +# mdomo ambao ulikuwa ukijivuna kwa mambo makubwa. + +Mahali hapa kuna pembe ilikuwa inajivuna kwa kutumia mdomo wake. "pembe ilikuwa na mdomo na ulijivuna kuhusu kufanya mambo makubwa" + diff --git a/dan/07/09.md b/dan/07/09.md new file mode 100644 index 00000000..ddae2d73 --- /dev/null +++ b/dan/07/09.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya jumla + +Vifungu vingi vya mistari 9-14 ni lugha ya picha ikiwa na mistari sambamba iliyo na maana sawa. + +# viti vya enzi vilikuwa vimewekwa + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. " mtu fulani aliviweka viti vya enzi katika sehemu zake" + +# Mtu wa Siku za Kale + +Hili jina la Mungu ambalo lina maana kwamba yeye ni wa milele. + +# alikaa sehemu yake...mavazi yake... nywele zake + +"Kifungu hiki kinamwelezea Mungu akiwa amekaa, akiwa na mavazi na nywele kama mtu. Hii haina maana kwamba Mungu yuko hivyo, bali ni vile ambavyo Danieli alivyomwona Danieli katika maono. + +# alikaa sehemu yake + +Hii ni lugha ya picha ikiwa na maana ya kwamba Mungu alikaa katika kiti chake cha enzi. + +# Mavazi yake yalikuwa meupe kama theruji + +Mavazi yake yanalinganishwa na theruji kuonesha kwamba zilikuwa ni nyeupe sana. "nguo zake zilikuwa nyeupe sana" + +# ywele zake katika kichwa chake zilikuwa safi kama sufu + +nywele za Mungu zilionekana kama sufu. maana zinazokkubalika ni 1) zilikuwa ni nyeupe sana 2) zilikuwa ni nzito na zilizopinda pinda. + +# sufu safi + +"sufu nzuri" au "sufu zilizooh + +# Kiti chake cha enzi kilikuwa na miali ya moto, na magurudumu yake yalikuwa yanawaka moto + +Hii inafafanua juu ya kiti cha enzi cha Mungu na magurudumu yake kana kwamba yalikuwa yametenenezwa kwa moto. Maneo''miali ya moto' na 'kuwaka moto" kimsingi yanamaanisha kitu kile kile na inaweza kufasiriwa kwa namna ile ile. + +# magurudumu yake + +Haiko wazi sana kwanini kiti cha enzi cha Mungu kinaelezwa kuwa na magurudumu. Viti vya enzi kikawaida huwa havina maguruduma, lakini kifungu kwa uwazi kinaelezea kwamba kiti hiki cha enzi kilikuwa na magurudumu. + diff --git a/dan/07/10.md b/dan/07/10.md new file mode 100644 index 00000000..615fab65 --- /dev/null +++ b/dan/07/10.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla + +Danieli anaendelea kuelezea maono yake juu ya jibu kutoka mbingu kwa mnyama wa nne ambaye alimwona katika 7:6 + +# Maelezo ya jumla + +Vifungu vingi vya mistari ya 9-14 ni lugha ya picha yenye mistari sambamba iliyo na maana sawa. + +# Mto wa moto ulitiririka kutoka mbele yake + +Kitendo cha moto kutoka kwa haraka mbele za Bwana kunasemwa kana kwamba ni maji yanatiririka. + +# mbele yake + +Neno "yake" inamrejelea Mungu, Siku za Kale kutoka 7:9 + +# mamilioni + +Hii huenda inarejelea kundi kubwa kulilka hesabu ndogo. "Maelfu elfu" au "hesabu kubwa ya watu" + +# mia moja milioni + +Hii huenda inarejelea kundi kubwa kulilka hesabu ndogo. "makumi elfu mara makumi elfu" au "watu wasio hesabika" + +# mahakama iliitishwa + +Hiii ina maana kwamba Mungu, hakimu, alikuwa tayari kuchunguza ushahidi na kufanya hukumu yake. + +# vitabu vilifunguliwa + +Hivi ni vitabu ambavyo vimejumuisha ushahidi utakaotumika katika mahakama. "vitabu vya ushahidi vilifunguliwa" + diff --git a/dan/07/11.md b/dan/07/11.md new file mode 100644 index 00000000..9c7bdb5e --- /dev/null +++ b/dan/07/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Danieli anaendelea kuelezea maono yake ya mahakama ya mbinguni katika kujibu mnyama wa nne aliyemwona katika 7:6 + +# mnyama anauliwa...kwa ajili ya kuchomwa moto + +Kauli hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "walimwua mnyama wa nne, wakaharibu mwili wake na wakampa mtu fulani ili auchome." + +# mnyama + +Hii inamrejelea mnyama wa nne ambaye alikuwa na pembe kumi na pembe ile iliyojivuna. + +# Na kwa wale wanyama wanne waliosalia, + +Inaweza kuwa wazi kusema, "wanyama wengine watatu" + +# mamlaka yao yalitwaliwa mbali, + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "hakimu aliyachukua mamlaka yao ya kutawala" au "mamlaka yao ya kutawala yalikoma' + +# maisha yao yaliendelezea kwa kipindi fulani cha muda + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. " waliendelea kuishi kwa kipindi fulani cha muda" au "hakimu aliwaacha waishi kidogo" + diff --git a/dan/07/13.md b/dan/07/13.md new file mode 100644 index 00000000..779543f6 --- /dev/null +++ b/dan/07/13.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya jumla + +Vifungu vingi vya mistari ya 9-14 ni lugha ya picha yenye mistari sambamba iliyo na maana sawa. + +# nilimwona mtu mmoja anakuja ... kama mwana wa mtu + +Mtu ambaye Danieli alimwona hakuwa ni mtu wa kawaida, lakini alikuwa na mwonekano kama wa kibidamu. "Niliona usiku ule mtu fulani ambaye anafanana na na mwana wa mtu, yaani alikuwa na umbo la kibinadamu" + +# katika mawingu ya mbinguni + +"pamoja na mawingu ya angani" + +# kwa Mzee wa Siku + +Hii inamrejelea Mungu ambaye ni wa milele. + +# aliletwa mbele zake + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. 'walimleta huyu mwana wa mtu kwa Mzee wa Siku" au "alisimama mbele yake" + +# Naye alipewa mamlaka ya kiutawala na utukufu na mamlaka ya kifalme + +Maelezo haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. " Yeye aliyeonekana kama mwana wa mtu alipokea mamlaka ya kutawala, utukufu, na nguvu za kifalme." + +# nguvu za kifalme + +Hii inarejelea "mamlaka" + +# hayatapita,..... hautaangamizwa + +Virai hivi viwili vina maana ile ile + +# ule ambao hautaangamizwa + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. " kwamba hakuna hata mmoja atakayeangamiza" + diff --git a/dan/07/15.md b/dan/07/15.md new file mode 100644 index 00000000..7ab1d050 --- /dev/null +++ b/dan/07/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# roho yangu ilihuzunishwa ndani yangu, na maono niliyoyaona katika akili zangu yalinisumbua. + +Virai hivi viwili vinaelezea jinsi Danieli alivyokuwa akijisikia. Kirai cha pili kinatoa maelezo ya ziada juu ya kirai cha kwanza, kikieleza juu ya roho inayosumbuka. + +# roho yangu ilihuzunishwa ndani yangu + +Mahali hapa maneno "roho yangu" inamrejelea Danieli mwenyewe. "Nilikuwa na huzuni ndani yangu" + +# mmoja wa hawa walikuwa wamesimama hapo + +Huyu ni moja wa viumbe vya mbinguni aliyekuwa amesimama mbele ya kiti cha enzi cha Mungu. Maana zinazokubalika 1) hawa ni malaika, roho zinazomtumikia Mungu 2) hawa ni watu walikwisha kufa na sasa wako mbinguni. + +# anioneshe + +"kuniambia mimi" + +# mambo haya + +"mambo niliyokuwa nimeyaona" + diff --git a/dan/07/17.md b/dan/07/17.md new file mode 100644 index 00000000..d54fcc36 --- /dev/null +++ b/dan/07/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hawa wanyama nne wakubwa + +"Hawa ni wanyama wakubwa" + +# ni wafalme wanne + +"inawakilisha wafalme wanne" + +# wafalme wanne ambao watatoa katika nchi + +Hapa maneno "kutoka katika nchi" ina maana ya kuwa ni watu wa kawaida. + +# wataumiliki + +"watatawala juu yake" + +# milele na milele + +Haya mawazo ya kujirudia yanatia mkazo kwamba ufalme huu hautakuwa na mwisho. + diff --git a/dan/07/19.md b/dan/07/19.md new file mode 100644 index 00000000..11507602 --- /dev/null +++ b/dan/07/19.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# alikuwa wa kutisha + +"wa kuogofya sana" + +# alisaga saga kwa miguu yake + +"alitembea juu yake na kukanyaga" + +# pembe kumi katika kichwa chake + +"pembe kumi juu ya kichwa cha mnyama wa nne" + +# iliyochomoza, na ambayo mbele yake pembe zingine tatu zilianguka chini + +"ilikua na pembe takribani tatu zilianguka chini mbele yake" au "ilichomoza na kuhusu pembe tatu ambazo zilianguka chini kwa sababu yake." + +# ambayo mbele yake pembe zingine tatu zilianguka chini + +Hapa neno "kuanguka chini" ni tafsida ambayo ina maana kwamba ziliteketezwa" + +# mdomo uliokuwa unajisifu + +"mdomo wake wenye kujisifu" au "mdomo wa pembe mpya ambao unajisifu" + +# ambayo ilionekana kuwa ni kubwa kuliko zingine + +pembe yenye macho na mdomo ilionekana kuwa kubwa kuliko pembe zingine + diff --git a/dan/07/21.md b/dan/07/21.md new file mode 100644 index 00000000..265469da --- /dev/null +++ b/dan/07/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# pembe hii + +"pembe hii ya nne" Hii inarejelea pembe ambayo imeelezewa katika 7:19 + +# mpaka pale Mzee wa Siku alipokuja, na haki alipewa + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji "mpaka Mzee wa Siku alipokuja na kuleta haki" + +# Mzee wa Siku + +Hili ni jina la Mungu ambalo linatia mkazo kwamba Yeye ni wa milele. + +# watu watakatifu waliupokea ufalme + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. " Mungu aliwapa watu wake watakatifu ufalme wake" + diff --git a/dan/07/23.md b/dan/07/23.md new file mode 100644 index 00000000..70d062f8 --- /dev/null +++ b/dan/07/23.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya jumla + +Vifungu vingi vya mistari ya 23-27 ni lugha ya picha. + +# Hiki ndicho mtu yule alichokisema + +Huyu niNa kuhusu pembe kumi mtu ambaye Danieli alimkaribia katika 7:15 + +# mtu yule alichokisema + +mtu yule alijibu + +# Kwa habari ya mnyama wanne...Na kuhusu pembe kumi + +"kuhusu mnyama wa nne...kuhusu pembe kumi" + +# Utaimeza ..... vipande vipande + +Hii haina manna kwamba ufalme wa nne utaiharibu sayari, bali ni kwamba utashambulia, kushinda na kuharibu falme zingine zote za duniani. + +# kutoka katika ufalme huu, wafalme kumi watainuka + +Watatawala mmoja baada ya mwingine. Hii yaweza kuwekwa wazi. "wafalme kumi watautwala ufalme wa nne, mmoja baada ya mwingine" + +# mwingine atainuka baada yao + +Mfalme huyu si mmoja wa wale kumi. Ni vizuri kumrejelea kama mfalme wa kumi na moja. + +# Atakuwa wa tofauti na wale waliomtangulia, + +"atakuwa tofauti na waflme wengine kumi" + +# atawashinda wale wafalme watatu + +Atawashinda wafalme halisi watatu. inaeza kusaidia kueleza kuwa wale wafalme watatu wanawakilishwa ba pembe tatu zilizong'olewa. + diff --git a/dan/07/25.md b/dan/07/25.md new file mode 100644 index 00000000..2bacab85 --- /dev/null +++ b/dan/07/25.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mtu ambaye Danieli alimwona katika maono anaendele kuongea na Danieli. + +# Maelezo ya jumla + +vifungu vingi vya mistari ya 23-27 vinatumia lugha ya picha. + +# Atazungumza maneno kinyume cha Yeye Aliye Juu sana + +Hii ina maana kwamba mfalme mpya ajaye atamkataa wazi wazi na kusema maneno mabaya juu ya Yeye aliye juu sana. + +# Atajaribu.....katika mikono yake. + +Kiwakilishi "a" na kimilikishi "yake" vinamrejelea mfalme mpaya, siyo Yeye aliye juu sana. + +# watu watakatifu + +Watu wakatifu wa Mungu + +# kuzibadili sikukuu na sheria. + +Maneno yote rana rejelea sheria za Musa. Sikukuu zilikuwa nia muhimu katika masuala ya kidini katika Israeli katika Agano lake. + +# Mambo haya atapewa mikononi mwake + +hapa maneno "mkono wake" inarejelea utawala. Hii yaeza kuelezwa kwa muundo tendaji " Mfalme mpya atatawala sikukuu zote za dini na sheria. + +# mwaka mmoja, miaka miwili na nusu mwaka. + +Hii ina maana ya "miaka mitatu na nusu" Hii si njia ya kawaida ambayo Waisraeli walitumia katika kuhesabu. + +# mahakama kitaitishwa + +Hii ina maana kwamba hakiku atakuwa tayari kuchunguza ushahidi na kufanya hukumu yake. + +# watazichukua nguvu zake za kifalme + +Wanachama katika mahakama watazitwaa nguvu zake za kifalme kutoka mfalme mpya. + +# nguvu za kifalme + +Hii inarejelea "mamlaka" + +# aweza kuharibiwa na kuteketezwa + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "na kuharibu na kuangamiza mwishoni" + diff --git a/dan/07/27.md b/dan/07/27.md new file mode 100644 index 00000000..f1b78ab3 --- /dev/null +++ b/dan/07/27.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya jumla + +Danieli anaendelea kuongea na mtu yule aliyemwona katka maono. + +# maelezo ya jumla + +Vifungu vingi vya mistari ya 23-17 vinatumia lugha ya picha. + +# Ufalme na utawala....watapewa watu walio wa wat + +Hii yaweza kuelezwa kwa muuundo tendaji. "Mungu atawapa watu...ufalme na utawala... + +# Ufalme na utawala + +Maneno haya maweili yana maana ile ile na yanatia mkazo juu ya miundo yote ya mamlaka rasmi + +# ukubwa wa falme + +Nomino dhahania "ukubwa" yaweza kutafsiriwa kwa kivumishi "kubwa" + +# chini ya mbingu yote + +Nahau "chini ya mbingu yote" inarejelea falme juu ya nchi. + +# ufalme wake + +"ufalme wa Mungu aliye juu" + +# ufalme wa milele + +"ufalme ambao utadumi milele" au " ufalme ambao hautakoma" + +# Na huu ndio mwisho wa mambo + +Hii ina maana kwamba Danieli amemaliza kuelezea maono yake. + +# mwonekano wa uso wangu ulibadilika + +"uso wangu ulikuwa dhaifu/hafifu" + diff --git a/dan/08/01.md b/dan/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..c9646229 --- /dev/null +++ b/dan/08/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla + +Sura ya 7 na ya 8 haziko katika mtiririko maalumu. Zilitokea wakati Belshaza alipokuwa angali ni mfalme, kabla ya utawala wa Dario na Koreshi ambazo zimeongelewa katika sura ya 6. + +# Maelezo ya jumla + +Katika maono ya Danieli, aliona wanyama waliokuwa ni ishara ya mambo mengine. Baadaye katika maono mtu fulani alimwelezea maana ya ishara hizo. + +# Katika mwaka wa tatu + +"Ndani ya mwaka wa tatu" + +# niliona maono (baada ya maono ya awali yaliyonipata) + +Haya ni maelezo ya nyuma ili kumkumbusha msomaji kwamba haya yalikuwa ni maono ya pili kwa Danieli. + +# Belshaza + +Huyu ni mtoto wa kiume wa Nebukadneza ambaye alikuwa mfalme baada ya baba yake. + +# ngome + +kulindwa na kuhifadhiwa + +# Shusha....Elamu...Mfereji wa Ulai + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + +# Mfereji + +Mfereji ni njia nyembamba ya maji iliyotengenezwa na mwanadamu. + diff --git a/dan/08/03.md b/dan/08/03.md new file mode 100644 index 00000000..d0afefd1 --- /dev/null +++ b/dan/08/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kondoo dume lenye mapembe mawili + +kondoo dume lenye mapembe mawili ni kawaida kwa beberu kuwa na pembe mbili. ingawa, Mapembe haya yana maana yanayoiashiria. + +# lakini pembe ndefu .....ilirefuka na kuizidi nyingine. + +"lakini pembe ndefu ilikua pole pole kuliko ile fupi, na pembe fupi ilikua na kuwa ndefu kuliko ile." + +# Niliona kondoo mme akiishambulia + +"Nilimwona kondoo mme akiharakisha" au "nilimwona beberu akikimbia kwa haraka sana" + +# kumwokoa yeyote katika mkono wake + +"Beberu huwa hazina mikono. Mahali hapa "mkono" unarejelea 'nguvu za kondoo" + diff --git a/dan/08/05.md b/dan/08/05.md new file mode 100644 index 00000000..d7f5004f --- /dev/null +++ b/dan/08/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kuvuka katika uso wa dunia yote + +Mahali hapa neno "uso" linarejelea sehemu ya juu ya nchi. Kirai "dunia yote" kinatia chumvi chenye maana kwamba alikuja kutoka mbali sana. + +# Mbuzi huyo alikuwa na pembe kubwa katikati ya macho yake + +Mbuzi huwa na pembe mbili katika pande mbili za vichwa vyao. Sura hii lazima ielezeke kama "Mbuzi alikuwa na pembe moja kubwa katikati ya kichwa chake" + +# nilikuwa nimemwona kondoo dume amesimama katika ukingo wa mfereji + +Kirai hiki kimechomekwa ili kuleta maelezo ya nyuma ili kuelezea mahali ambapo beberu alikuwa. + +# kwa hasira kali + +"na alikuwa na hasira kali" + diff --git a/dan/08/07.md b/dan/08/07.md new file mode 100644 index 00000000..266cac3c --- /dev/null +++ b/dan/08/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# akamkanyaga + +Kukanyaga kitu fulani kwa kutembea juu yake. + +# kutoka katika nguvu zake + +"kondoo kutoka kwa mbuzi kwasababu ya nguvu zake" + +# mbuzi alikua akawa mkubwa + +"mbuzi alikuwa mkubwa na mwenye nguvu" + +# pembe kubwa ilivunjwa, + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Kitu fulani kiliivunja pembe kubwa" + +# kuelekea pepo nne za mbingu. + +Mahali hapa "pepo nne za mbinguni" ni nahau inayorejelea pembe kuu nne (kaskazini, mashariki, magharibi na kusini) kutoka huko pepo huvuma. + diff --git a/dan/08/09.md b/dan/08/09.md new file mode 100644 index 00000000..ff31b282 --- /dev/null +++ b/dan/08/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ilikuwa pembe kubwa + +"lakini ilikuwa kubwa sana" + +# upande wa kusini, na mashariki, na katika nchi ya uzuri + +Hii huenda ina maana ya kwamba pembe imeelekea sehemu hizo. "na imeelekea upande wa kusini na kisha upande wa mashariki na kisha nchi nzuri ya Israeli" + +# ilikuwa kubwa na matokeo yake iliinua vita + +Mahali hapa pembe amepewa sifa za mtu na anajihusisha katika vita. + +# Baadhi ya jeshi na nyota kadhaa zilitupwa chini duniani + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. Pembe ilitupa baadhi ya jeshi na baadhi ya nyota chini ya dunia. + +# zilikanyagwa. + +mahali hapa "pembe" imepewa sifa za binadamu na amezikanyaga nyota na juu ya jeshi. + diff --git a/dan/08/11.md b/dan/08/11.md new file mode 100644 index 00000000..e86d8931 --- /dev/null +++ b/dan/08/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Alizidi kuwa mkubwa, mkubwa kama + +Hapa pembe ya mbuzi inasemwa kana kwamba ilikuwa ni mtawala ambaye alifanyika mkuu. + +# Sadaka za kuteketezwa za kila siku ziliondolewa mbali na yeye + +Neno "ziliondolewa" lina maana ya alizizuia sadaka. Pembe inaongelewa kana kwamba alikuwa ni mtawala wa kibinadamu. + +# sehemu yake takatifu zilitiwa unajisi + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Ilitengeneza sehemu yake takatifu kuwa najisi" + +# Pembe itautupa ukweli chini ardhini + +Hii ina maana kwamba pembe itakataa ukweli na utauwa. Pembe inasemwa kana kwamba alikuwa ni mtawala wa kibinadamu. + diff --git a/dan/08/13.md b/dan/08/13.md new file mode 100644 index 00000000..edb84bbe --- /dev/null +++ b/dan/08/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mtakatifu mmoja + +"malaika" + +# ukabidhiajia wa sehemu takatifu + +"kutiisha sehemu takatifu" + +# jeshi la mbinguni kukanyagwa + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "pembe ilikanyaga juu ya jeshi la mbinguni" + +# jioni na asubuhi zipatazo 2,300 + +Mahali hapa maneno "jioni na asubuhi" yanarejelea kila kitu kilicho katikati yake, iliyo na maana ya siku kamili. + +# mahali patakatifu patawekwa sawa. + +"hekalu litasafishwa na kuwekwa katika utaratibu tena. " + diff --git a/dan/08/15.md b/dan/08/15.md new file mode 100644 index 00000000..d8a5383e --- /dev/null +++ b/dan/08/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mfereji wa Ulai + +Mfereji ni shimo lililotengenezwa na watu kwa ajili ya kupitisha maji. + +# sauti ya mtu ikiita + +Mahali mtu amerejelewa kwa sauti yake. "mtu alikuwa akiita kutoka mfereji wa Ulai" + +# nilisujudia hadi chini + +Hili ni tendo la ibada ambalo katika hilo mtu fulani hulala wima juu ya nchi. + +# wakati wa mwisho + +"siku za mwisho" au "mwisho wa dunia" Hii hairejelei mwisho wa muda kidogo, bali matendo ambayo yatatokea ghafla kabla ya mwisho. + diff --git a/dan/08/18.md b/dan/08/18.md new file mode 100644 index 00000000..4e4c3e86 --- /dev/null +++ b/dan/08/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# usiingizi mzito + +Hii ni aina ya usingizi ambao mtu hulala fofo na hawezi kuamka kiurahisi. + +# kipindi cha ghadhabu + +Hii inarejelea wakati ambapo Mungu atahukumu. + +# wakati wa mwisho uliopangwa + +"wakati ambapo dunia itafikia mwisho" + diff --git a/dan/08/20.md b/dan/08/20.md new file mode 100644 index 00000000..0c46193f --- /dev/null +++ b/dan/08/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Katika mistari hii, malaika anamwelezea Danieli maana ya kimfano ya vitu alivyoviona katika maono yake. Wanyama na pembe kiuhalisia zinawakilisha watawala wa kibinadamu na falme. + +# pembe mbili ni + +"pembe mbili zinawakilisha" + +# wafalme wa Umedi na Uajemi + +Maana zinazokubalika ni 1) hii inarejelea wafalme wa Umedi na Uajemi au 2) hiki ni kiwakilishi cha falme za Umedi na Uajemi. + +# mfalme wa Ugiriki + +Maana zinazokubalika 1) hii inarejelea mfalme wa Ugiriki au 2) hiki ni kiwakilishi cha ufalme wa Ugiriki. + +# Pembe kubwa katikati ya macho yake + +"Pembe kubwa katikati ya macho yake inawakilisha" + diff --git a/dan/08/22.md b/dan/08/22.md new file mode 100644 index 00000000..60ec7029 --- /dev/null +++ b/dan/08/22.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Na kuhusu pembe iliyovunjika.... pembe zingine nne zilichipuka + +"mahali ambapo pembe kubwa ilivunjikia, pembe zingine nne zilizuka" + +# Maelezo ya jumla + +Katika mistari hii, malaika anamwelezea Danieli maana ya mifano ya vitu vile alivyoona katika maono yake. Pembe kiuhalisia zinawawakilisha watawala wa kibinadamu au falme. + +# falme nne zitakazoinuka kutoka katika taifa lake + +Pembe nne zinawakilisha falme mpya nne. Hii yaweza kuwekwa wazi. " zinawakilisha falme nne ambazo ndani yake ufalme wa mfalme wa kwanza utagawanyika." + +# lakini hazitakuwa na nguvu kubwa + +"lakini hazitakuwa na nguvu nyingi kama mfalme aliyewakilishwa na pembe ndefu" + +# Katika siku zijazo za falme hizo, + +Kama falme zile zilipokaribia mwisho" + +# watakuwa wamefikia kikomo + +"wamefikia ukamilifu wao" + +# uso katili + +Hii ina maana kwamba mtu huyo anaonekana akiwa na ukatili au mkaidi aliyekataa kutii. + diff --git a/dan/08/24.md b/dan/08/24.md new file mode 100644 index 00000000..d9d5d9db --- /dev/null +++ b/dan/08/24.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Katika mistari hii, malaika anamwelezea Danieli maana ya ishara ya vitu ambavyo aliviona katika maono yake. Wanyama na pembe zinawakilisha watawala wa kibinadamu au falme. + +# lakini si kwa nguvu zake mwenyewe + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo chanya. "lakini mtu fulani atampa nguvu zake" + +# Ataufanya udanganyifu usitawi + +Hapa neno "udanganyifu" unaongelewa kana kwamba alikuwa ni mtu ambaye atafanikiwa. "kiwango cha uongo utaongezeka" + +# chini ya mkono wake + +Hapa "mkono" unarejelea utawala wake. "chini ya utawala wake." + +# Mfalme wa wafalme + +HIi inamrejelea Mungu + +# akini si kwa mkono wowote wa binadamu + +Neno ''mkono'' lina maana ya nguvu/mtawala. + diff --git a/dan/08/26.md b/dan/08/26.md new file mode 100644 index 00000000..79eed636 --- /dev/null +++ b/dan/08/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Malaika anaendelea kumwagiza Danieli juu ya maono ambayo Danieli aliyaona. + +# uyafunge maono haya + +Malaika anaongea juu ya maono kana kwamba lilikuwa ni gombo ambalo laweza kufungwa kwa chapa ya nta. Na hii humzui kila mtu asiweze kuona kile kilichomo mpaka pale chapa yake itakapovunjwa. + diff --git a/dan/08/27.md b/dan/08/27.md new file mode 100644 index 00000000..8ed64bab --- /dev/null +++ b/dan/08/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nilichoka sana na nikalala nikiwa dhaifu kwa siku kadhaa + +"alikuwa amechoka na alilala kitandani akiwa anaumwa kwa siku kadhaa" + +# nikaenda kufanya kazi za mfalme + +"nilifanya kazi ambazo Mfalme alikuwa amenipangia" + +# nilikuwa nimetishwa sana na maono + +"Nilikuwa nimeshangazwa na maono" au " nilichanganywa na maono" + diff --git a/dan/09/01.md b/dan/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..33026834 --- /dev/null +++ b/dan/09/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Sura ya 7 na ya 8 haziko katika mtririko wa moja kwa moja. Zilitokea wakati Belshaza alipokuwa akali ni mfalme. Sura ya 8 imeyarudia matukio ya utawala wa Dario ambaye alikuwa mfalme katika sura ya 6. + +# Alikuwa na Ahasuero ambaye alifanywa mfalme juu ya ufalme wa watu wa Babeli. + +Haya ni maelezo ya nyuma kumhusu Ahasuero alikuwa ni nani. + +# ambaye alifanywa mfalme juu ya ufalme wa watu wa Babeli. + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambaye alikuwa mfalme juu ya Wababeli" au "ambaye aliwashinda Wababeli." + +# juu ya ufalme + +"juu ya nchi" + +# kungekuwa na miaka sabini hadi mwisho wa kuachwa kwa Yerusalemu ungefika. + +"tangu kipindi cha kuangushwa kwa Yerusalemu, itabaki katika hali ya ukiwa kwa miaka 70" + +# kuachwa + +Hii ina maana ya kwamba hakuna ambaye angeweza kusaidia au kuijenga tena Yerusalemu katika kipindi kile. + diff --git a/dan/09/03.md b/dan/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..1eb11621 --- /dev/null +++ b/dan/09/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Niliugeuza uso wangu kumwelekea Bwana Mungu + +Hapa "uso" unawakilisha kusudi la Danieli. "Nililielekeza kusudi langu kwa Bwana Mungu" + +# kumtafuta yeye + +Wale wanaotaka kumjua Yahweh na kumpendeza Yeye wanasemwa kana kwamba walikuwa wakimtafuta ili kumpata Yahweh. + +# kufunga, na kuvaa nguo za magunia na kukaa katika majivu. + +Hizi ni ishara za matendo ya toba na huzuni + +# niliungama dhambi zetu + +"Nilikiri dhambi zetu" + +# hutunza maagano na uliye mwaminifu katika kuwapenda wale wanaokupenda + +"hufanya kile alichokisema angelikifanya katika agano lake na hutunza ahadi zake ili kuwapenda wale" + diff --git a/dan/09/05.md b/dan/09/05.md new file mode 100644 index 00000000..3739536d --- /dev/null +++ b/dan/09/05.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya jumla + +Danieli anaendelea kumwomba Mungu juu ya watu wa Israeli. + +# Tumetenda dhambi na tumefanya yaliyo mabaya + +Virai hivi viwili vinaelezea wazo moja katika njia mbili ili kutia mkazo. + +# Tumeenenda kwa uovu na tumeasi + +Virai hivi viwili vinaelezea wazo moja katika njia mbili ili kutia mkazo. + +# amri na maagizo yako + +Maneno haya "amri na maagizo" yana maana moja na yanarejelea sheria zote kwa ujumla. + +# Hatujawasikiliza watumishi wako + +Mahali hapa "hatujawasikiliza" ina maana kwamba hawakuutii ujumbe wao. + +# kwa jina lako + +Neno "jina" linarejea mamlaka ya Mungu. "kuzungumza kwa mamlaka" + +# watu wote wa nchi + +Mahali hapa neno "nchi" linairejelea Israeli. "watu wa Israeli." + diff --git a/dan/09/07.md b/dan/09/07.md new file mode 100644 index 00000000..e798f997 --- /dev/null +++ b/dan/09/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Danieli anaendelea kumwomba Bwana kwa ajili ya watu wa Israeli. + +# Kwako Bwana, kuna uadilifu + +Nomino dhahania "uadilifu" yaweza kuelezwa kwa kutumia kitenzi. "Bwana, wewe unatenda kwa uadilifu" + +# Hata hivyo, kwetu kuna aibu katika nyuso zetu, kwa.. + +Nomino dhania "aibu" yaweza kuelezwa kama kitenzi. "Lakini kwetu, tumeaibika kwa ajili ya hayo ambayo tumeyatenda" + +# kwetu sisi + +neno "sis" linamjumuisha Danile na waisraeli, lakini halimjumuishi Mungu. + +# kuna aibu katika nyuso + +Nahau hii ina maana ya aibu yao inaonekana kwa watu wote. + +# kwasababu ya udanganyifu mkubwa tulioufanya + +"kwa kuwa tumekusaliti wewe " au "kwasababu tumekuwa si waaminifu kwako" + diff --git a/dan/09/09.md b/dan/09/09.md new file mode 100644 index 00000000..f45a8b66 --- /dev/null +++ b/dan/09/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Danieli anaendelea kumwomba Bwana kwa ajili ya watu wa Israeli. + +# Kwa Bwana Mungu wetu kuna huruma na msamaha + +Kuwa na sifa hizi kunasemwa kana kwamba kumilikiwa na Bwana. "Bwana Mungu wetu ni mwenye huruma na msamaha." + +# Hatujaitii sauti ya Yahweh + +Mahali "sauit'' inarejelea maagizo ambayo Yahweh aliyasema. "hatujatii kile ambacho Yahweh ametuambia kukifanya" + +# kugeukia upande, + +Maneno "kugeukia upande" yana maana kwamba Israeli iliacha kuzitii sheria za Mungu. + +# vilivyoandikwa katika sheria ya Musa + +Maneno haya yaweza kuandikwa kwa muundo tendaji. "ambavyo Musa aliyaandika katika sheria" + +# zimemwagwa juu yetu + +Wingi wa laana na kiapo vinasemwa kana kwamba yalikuwa ni maji yamemwaga. "Umeleta juu yetu" + diff --git a/dan/09/12.md b/dan/09/12.md new file mode 100644 index 00000000..96175d30 --- /dev/null +++ b/dan/09/12.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla + +Danieli anaendelea kumwomba Bwana kwa ajili ya watu wa Israeli. + +# Kwa kuwa chini ya mbingu yote ...... na kile kilichofanyika huko Yerusalemu + +Danieli anatia chumvi kuonesha huzuni yake kubwa juu ya Yerusalemu. Miji mingi imekwisha haribiwa kweli. + +# haijawahi kufanyika kitu chochote + +"hakuna kilichofanyika" + +# kile kilichofanyika huko Yerusalemu + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Kile mlichokifanya katika Yerusalemu" + +# kama ilivyoandikwa kwenye sheria ya Musa + +Muundo tendaji waweza kutumika. " Kama Musa alivyoandika katika sheria" + +# kugeuka na kuacha maovu yetu + +Kuacha matendo mabaya kunasemwa kana kwamba ni kugeuka kutoka katika uovu. "kuacha matendo yetu mabaya" + +# Yahweh ameyaweka tayari maafa + +"Yahweh amekwisha kuandaa majanga" + +# bado hatujaitii sauti yake. + +mahali hapa "sauti" inarejelea mambo ambayo Yahweh alikuwa ameyaagiza. "hatujafanya yale uliyotuambia tuyafanye" + diff --git a/dan/09/15.md b/dan/09/15.md new file mode 100644 index 00000000..749831a5 --- /dev/null +++ b/dan/09/15.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# mkono wenye nguvu + +Mahali "mkono wenye nguvu" una maana ya "nguvu" + +# umejifanyia jina maarufu kwa ajli yako mwenyewe, hata siku hii ya leo + +"umewafanya watu kujua jinsi ulivyo mkuu, kama vile ulivyo hata leo" + +# Lakini bado tumekutenda dhambi; tumefanya mambo ya hila + +Vishazi hivi viwili kimsingi vinamaanisha kitu kimoja na vimetumika kwa pamioja kwa ajili ya kutia mkazo juu ya dhambi ilivyo mbaya. + +# tumekutenda dhambi; tumefanya mambo ya hila + +Danieli na Waisraeli walitenda dhambi na kufanya mambo mabaya, lakini kiwakilishi "tu"hakimjumuishi Mungu. + +# hasira na ghadhabu yako + +Maneno " hasira na ghadhabu" yana maana moja na yametumika hapa kwa ajili ya kutia mkazo juu ya hasira ya Mungu ni ya hatari inapotenda kazi" + +# Mlima wako mtakatifu + +Mlima huu waweza kuwa mtakatifu kwasababu Hekalu la Mungu liko pale. "Mlima ambako hekalu lako takatifu liko" + +# dhambi zetu....baba zetu + +Mahali hapa neno "zetu" linamrejelea Danieli na Israeli, lakini si kwa Mungu. + +# kitu cha kudharauliwa + +"lengo la kutoheshimiwa" + diff --git a/dan/09/17.md b/dan/09/17.md new file mode 100644 index 00000000..02671a04 --- /dev/null +++ b/dan/09/17.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Basi sasa + +Hii haina maana ya "wakati huu", bali ni njia ya kuonesha kwamba jambo jingine linalofuata katika maombi ya Danieli liko karibu kuanza. + +# mtumishi wako na maombi yake kwa ajili ya rehema; + +Maneno "mtumishi wako" na "yake" yanamrejelea Danieli. Anajiongelea yeye mwenyewe katika nafsi ya tatu kama ishara ya heshima kwa Mungu. + +# maombi kwa ajili ya rehema + +"dua kwa ya huruma" + +# ufanye uso wako ung'ae + +Mwandishi anamwongelea Yahweh akitenda kwa neema kana kwamba Uso wa Yahweh uling'aa kwa mwanga. + +# sehemu yako takatifu + +Inarejelea hekalu la Yerusalemu + +# fungua masikio yako na usikie + +"kufungua masikio yako na kusikia" ni nahau yenye maana ya kusikia. Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kile kile na kukazia hamu ya Danieli kwa Mungu ili ayasikilize maombi yake. + +# unaoitwa kwa jina lako + +Mahali hapa "jina'' linawakilisha umiliki. "ni mali yako" + +# usichelewe + +Hii yaweza kuelezwa kwa sentensi chanya. "fanya haraka" + diff --git a/dan/09/20.md b/dan/09/20.md new file mode 100644 index 00000000..84b821e1 --- /dev/null +++ b/dan/09/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# watu wangu + +"watu wa Israeli ambako mimi ninatokea" + +# Mlima mtakatifu wa Mungu + +Mlima waweza kuwa mtakatifu kwasababu ya hekalu. "mlima ambako kuna hekalu takatifu la Mungu" + +# mtu Gabrieli + +Huy ni Gabrieli yule yule ambaye alionekana katika umbo la Mwanadamu katika 8:15 + +# katika ndoto hapo awali, + +Hii yaweza kurejelea maono ya mwanzo ambayo Danieli aliyaona wakati alipokuwa macho. + +# alipaa kwa kasi kushuka kuja nilipo + +"alipaa haraka akija nilipo" + +# wakati wa sadaka ya jioni + +Watu wa Kiyahudi walitoa sadaka kila jioni kabla jua halijazama. + diff --git a/dan/09/22.md b/dan/09/22.md new file mode 100644 index 00000000..6e4431e7 --- /dev/null +++ b/dan/09/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# utambuzi na ufahamu + +Maneno "utambuzi na ufahamu" yanamaanisha kitu kile kile na yanatia mkazo kwamba Gabrieli atamsaidia Danieli kuuelewa ujumbe. + +# amri ilitolewa + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mungu alitoa amri" + +# tafakari neno hili + +Mahali hapa "neno" linarejelea ujumbe wote. "firikiria juu ya ujumbe huu" + +# ufunuo + +Hii inarejea nyuma kwa unabii wa Yeremia katika 9:1 + diff --git a/dan/09/24.md b/dan/09/24.md new file mode 100644 index 00000000..e0f43a8d --- /dev/null +++ b/dan/09/24.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Miaka sabini na saba zimeamriwa kwa ajili ya watu wako na mji wako mtakatifu + +Mungu alitoa amri kwamba angefanya mambo kwa ajli ya watu na mji mtakatifu + +# Miaka sabini na saba...majuma saba na majuma sitini na mbili. + +Hii si njia ya kawaida ya kuhesabu kwa Waisraeli. Kama itawezekana tafsiri kwa njia ambayo itatunza matumizi ya namba saba. "sabini mara miaka saba...saba mara miaka saba... sitini na mbila mara miaka saba" + +# watu wako na mji wako mtakatifu + +Neno "wako" linamrejelea Danieli. Watu ni Waisraeli na mji mtakatifu ni Yerusalemu. + +# kukomesha hatia na kumaliza dhambi + +Wazo limerudiwa ili kutia mkazo juu ya jinsi jambo hili litakavyotokea. + +# kutimiza maono + +Hapa maneno 'kutimiza maono" ni nahau yenye maana ya kuhitimisha. "kukamilisha maono" + +# maono na unabii + +Maneno haya katika muktadha huu yana maana moja. Yanatoa uhakika kwa Danieli kwamba maono ya Yeremia yalikuwa ni unabii kweli. + +# Ujue na kufahamu + +Maneno haya yametumika kwa pamoja kuonesha na kuufanya umuhimu uwe wazi. + +# Mpakwa mafuta + +Kutia mafuta ni tendo la ishara linaloonesha kwamba mtu fulani alichaguliwa. "Mtu yule ambaye Mungu anamtia mafuta" + +# kutakuwa na majuma saba na majuma sitini na mbili. + +Haya yakiwekwa pamoja ni 69 kati ya 70 saba ilivyoongelewa ni 24. + +# Yerusalemu itajengwa + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "watu wataijenga Yerusalemu" + +# handaki + +ni shimo chini ya ardhi kuuzunguka mji au jengo, mara kwa mara huwa na maji ndani yake. + +# kwa nyakati za shida + +"muda wa mateso makubwa" + diff --git a/dan/09/26.md b/dan/09/26.md new file mode 100644 index 00000000..4993ac4b --- /dev/null +++ b/dan/09/26.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# sitini na mbili saba + +Hii si njia ya kawaida ya kuhesabu kwa Waisraeli. Kama inawezekana jaribu kuhifadhi matumizi ya namba saba. + +# mtiwa mafuta ataharibiwa na atakuwa hana kitu chochote + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "watu watamharibu mpakwa mafuta na hatakuwa na kitu" + +# mpakwa mafuta + +kupaka mafuta ni tendo la ishara linaloonesha kwamba mtu fulani amechaguliwa. + +# kiongozi ajaye + +Huyu ni mtawala wa kigeni, si "mpakwa mafuta" + +# Mwisho wake utatatokea kwa gharika, + +Jeshi litauharibu mku na sehemu takatifu kama vila gharika linavyoharibu vitu. + +# Uharibifu umekwisha amriwa. + +Kauli hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mungu amekwisha amuru kuuharibu mji na mahali patakatifu." + diff --git a/dan/09/27.md b/dan/09/27.md new file mode 100644 index 00000000..1594ad65 --- /dev/null +++ b/dan/09/27.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Ata....ata... + +Hii inamrejelea mtawala akayekuja ambaye atamharibu mpakwa mafuta. + +# miaka saba...Katikati ya miaka saba + +Mahali neno "saba" limetumika kurejelea kipindi cha miaka saba. + +# atakomesha + +"kuacha" au "kusimamisha" + +# dhabihu na sadaka + +maneno haya kimsingi yanamaanisha kitu kile kile. Marudio yanaonesha kwamba mtawala ajayea atakomesha aina zote za sadaka. + +# mtu atakayeleta ukiwa + +Mtu ambaye atateketeza kabisa" + +# Mwisho kamili na uharibifu umeamriwa kutokea kwa yeye aliyesababisha ukiwa. + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mungu ameamuru kwamba ataleta mwisho kamili na uharibifu" + +# Mwisho kamili na uharibifu + +Maneno haya mawili yana maana moja. Yanatia mkazo juu ya uhalali na ukamilifu wa uharibifu. + +# yeye aliyesababisha ukiwa + +"mtu ambaye ataleta uharibifu" + diff --git a/dan/10/01.md b/dan/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..0b0b1637 --- /dev/null +++ b/dan/10/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Katika mwaka wa tatu wa Koreshi mfalme + +"mwaka wa 3 wa utawala wa Koreshi mfalme" + +# ujumbe ulifunuliwa kwa Danieli + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mungu aliufunua ujumbe kwa Danieli" + +# ufumbuzi + +"ufahamu" + diff --git a/dan/10/02.md b/dan/10/02.md new file mode 100644 index 00000000..dd4ecc93 --- /dev/null +++ b/dan/10/02.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sikula chakula kizuri + +Hakuna chakula cha gharama kubwa au chakula adimu + +# mpaka ukamilifu wa wiki tatu nzim + +"hadi mwisho wa majuma matatu mazima" + diff --git a/dan/10/04.md b/dan/10/04.md new file mode 100644 index 00000000..bbf0beaa --- /dev/null +++ b/dan/10/04.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# 4Katika siku ya ishirini na nne ya mwezi wa kwanza, + +Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya ishirini na nne iko karibu na katikati ya mwezi wa Aprili matika kalenda ya Magharibi. + +# akiwa na mkanda kiunoni mwake + +"na alikuwa amevaa mkanda" + +# Ufazi + +Ufazi ni sehemu. sehemu yake haijulikanai. + +# Mwili wake ulikuwa kama kito + +Mwlii wake uling'ara kwa mwanga wa bluu na njano kana kwamba ulikuwa umetengenezwa kwa kito. + +# kito + +jiwe la thamani lenye rangi ya bluu au njano. + +# na sura yake ilikuwa kama radi + +Sura yake iling'aa kama mwali wa radi unavyong'ara. + +# Macho yake yalikuwa kama miali ya tochi + +Macho yake yalikuwa yanang'aa kwa mwanga kana kwamba yalikuwa miali ya tochi. + +# mikono yake na miguu yake ilikuwa kama shaba iliyosafishwa + +Mikono yake na miguu yake ilikuwa iking'aa kana kwamba ilikuwa imetengenezwa kwa shaba iliyosafishwa. + +# Sauti ya maneno yake ilikuwa kama sauti ya umati mkubwa wa watu + +Sauti yake ilikuwa na nguvu sana kwamba ilikuwa ni kundi kubwa la watu wengi likiongea kwa sauti ya juu. + diff --git a/dan/10/07.md b/dan/10/07.md new file mode 100644 index 00000000..cc24bb3e --- /dev/null +++ b/dan/10/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hivyo niliachwa peke yangu + +"Hakuna yeyote aliyekuwa pamoja nami, na niliona" + +# mwonekano wangu wa kung'aa ulibadilika na kuwa mwonekano wa uharibifu + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "mwonekano wangu unaong'aa ulibadilika kuwa katika mwonekano ulioharibiwa" + +# mwonekano wangu wa kung'aa + +Hii inaelezea juu ya uso wa mtu fulani ambaye ana afya nzuri. + +# Mwonekano ulioharibiwa + +Uso mbaya, usio na afya na wa kikatili unasemwa kana kwamba ni jengo. + +# Nilisikia maneno yake + +Hii ina maana kwamba mtu fulani alikuwa anazungumza katika maono. Hii yaweza kuwekwa wazi. "Nilisikia maneno ya mtu aliyekuwa anaongea" + +# nilianguka kifudifudi na kupata usingizi mzito + +Danieli aliogopeshwa na kile alichokiona na ya kwamba huenda alilala chini ardhini, mahali ambapo alizimia. + diff --git a/dan/10/10.md b/dan/10/10.md new file mode 100644 index 00000000..b1bf756b --- /dev/null +++ b/dan/10/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mkono ulinigusa + +Hii ni lugha ya picha inayowakilisha mtu, huenda ni mtu yule ambaye Danieli alimwona. + +# Danieli, mtu aliyetunzwa + +Hii pia yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji."Danieli, wewe ambaye Mungu anakuhifadhi sana" + +# aliyetunzwa sana + +anayethaminiwa na kupendwa sana + diff --git a/dan/10/12.md b/dan/10/12.md new file mode 100644 index 00000000..d8ee5b9f --- /dev/null +++ b/dan/10/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ulipoiweka akili yako kutaka kufahamu + +"ulihitaji kufahamu maono" + +# maneno yako yalisikiwa + +Kauli hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mungu aliyasikia maneno yako" + +# Mwana wa mfalme + +hii inarejelea roho ambayo ina mamlaka juu ya taifa la mtu. + +# mfalme wa Uajemi + +Hii huenda inarejelea wafalme mbalimbali waliotawala mataifa mbalimbali katika dola ya Uajemi, na wale waliopaswa kumtii mfalme wa Uajemi. + diff --git a/dan/10/14.md b/dan/10/14.md new file mode 100644 index 00000000..440e627e --- /dev/null +++ b/dan/10/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Malaika anaendelea kuongea na Danieli + +# niligeuza uso wangu na kuuelekeza chini + +"Niliangalia chini ardhini" Danieli huenda alifanya hivi ili kuonesha unyenyekevu katika heshima kubwa, au kwasababu alikuwa ameogopa. + diff --git a/dan/10/16.md b/dan/10/16.md new file mode 100644 index 00000000..8ed33188 --- /dev/null +++ b/dan/10/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yeye aliyekuwa kama wana wa mtu + +Kauli hii inamrejelea yeye ambaye alikuwa ameongea na Danieli. Ingawa, baadhi ya matoleo hutafsiri kwamba alikuwa anamrejelea mtu mwingine tofauti. + +# kama wana wa mtu + +Maelezo haya yanawarejelea watu kwa ujumla + +# masumbuko + +mateso makali ya kihisia + +# Mimi ni mtumishi wako. Je ninawezaje kuongea na Bwana wangu? + +Danieli anauliza swali hili kumaanisha kwamba yeye hawezi kuongea na malaika kwasababu yeye halingani na malaika. Sentensi hizi zaweza kuunganishwa. "siwezi kukujibu wewe kwasababu mimi ni mtumishi wako" + +# hakuna pumzi iliyosalia ndani yangu." + +Nahau hii inarejelea upumuaji. "Siwezi kupumua" au "ni vigumu sana kupumua" + diff --git a/dan/10/18.md b/dan/10/18.md new file mode 100644 index 00000000..0a96a5b1 --- /dev/null +++ b/dan/10/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ule mwenye mwonekano wa mtu + +"Yeye anayeonekana kama mtu" + +# Uwe mwenye nguvu, uwe na nguvu + +Maneno "Uwe mwenye nguvu" yamerudiwa kwa ajili ya kutia mkazo. + +# mtu ulithaminiwa sana + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "wewe ambaye Mungu amekuthamini sana" + +# umenitia nguvu + +Kauli hii pia yaweza kuandikwa kwa muundo tendaji."Nilikuwa mwenye nguvu" + diff --git a/dan/10/20.md b/dan/10/20.md new file mode 100644 index 00000000..b21bab26 --- /dev/null +++ b/dan/10/20.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# mkuu wa Uajemi + +"mkuu" hurejelea roho ambayo inatawala na kulilinda taifa la watu. "mkuu wa roho ya uajemi" + +# Lakini nitakwambia + +Hii ina maana kwamba Malaika atamwambia Danieli juu ya hili muda mfupi kabla hajaenda mbali. + +# kile kilichoandikwa katika Kitabu cha Ukweli + +Kauli hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "kile Kitabu cha Ukweli kinayasema" au "kile ambacho mtu fulani alikiandika katika Kitabu cha Ukweli. + +# yeyote anayejionesha kuwa na nguvu + +"yeye anayejihakikisha kuwa na nguvu" + +# isipokuwa Mikaeli mkuu wenu + +Kirai hiki chaweza kuelezeka kama sentensi inayojitegemea. "Mikaeli mkuu wako ni yeye pekee ambaye huyatenda haya" + +# Mikaeli mkuu wenu + +Neno "wenu" liko katika wingi. Linamrejelea Danieli na watu wengine waliosalia wa Israeli. + +# Mkuu + +Angalia jinsi ulivyotafsiri "mkuu" inapomrejelea Mikaeli katika 10:12. + diff --git a/dan/11/01.md b/dan/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..22ed9a5b --- /dev/null +++ b/dan/11/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Katika Danieli 11:1 hadi 12:4, yeye aliyekuwa akiongea na Danieli katika sura ya 10 anamwambia kile kilichoandikwa katika kitabu cha ukweli. Hiki ni kama kile alichosema angekifanya katika 10:20. + +# Katika mwaka wa kwanza wa Dario + +Dario alikuwa ni Mfalme wa Umedi. "Mwaka wa kwanza" hurejelea mwaka wa kwanza ambao alikuwa Mfalme. + +# Wafalme watatu watainuka katika Uajemi, + +"Wafalme watatu watatawala juu ya Uajemi" + +# na mfalme wa nne atakuwa tajiri sana kuliko wengine wote + +"baada yao mfalme wa nne atakuja kutawala ambaye atakuwa na fedha nyingi kuliko watatu waliomtangulia" + +# nguvu + +Maana zinazoweza kukubalika ni 1)mamlaka au 2) nguvu za kijeshi + +# atamwamsha kila mtu + +"atamsababisha kila mtu atake kupigana" + diff --git a/dan/11/03.md b/dan/11/03.md new file mode 100644 index 00000000..64f64208 --- /dev/null +++ b/dan/11/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya jumla + +Malaika anaendelea kuongea na Danieli. + +# Mfalme wenye nguvu atainuka + +Wazo la kusimama au kuinuka mara kwa mara limetumika kwa ajili ya mtu anayekuwa na nguvu. + +# ambaye atatawala ufalme mkubwa + +Maana zinazokubalika ni 1)ukubwa wa ufalme huu utakuwa wa ajabu, au 2) kwamba mfalme angetawala ufalme wake kwa nguu kubwa. + +# falme wake utavunjika na utagawanyika + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ufalme wake utavunjika na kugawanyika" au "ufalme wake utavunjika katika vipande vipande" + +# pepo nne za mbinguni + +Angalia jinsi ulivyofasiri 7:1 + +# lakini hawatakuwa wazao wake mwenyewe, + +Wazo la kutokugawanywa linamaanishwa hapa. "Lakini hautagawanywa kwa watoto wake mwenyewe" + +# falme wake utang'olewa kwa ajili ya wengine tofauti na wazawa wake + +Ufalme unaongelewa kana kwamba ni mmea ambao mtu fulani anaweza kuuharibu kwa kuung'oa. Wazo hili laweza kuelezeka kwa muundo tendaji. "utawala mwingine utaung'oa na kuuharibu ufalme wake, na watu wengine ambao siyo watoto wake watautawala. + diff --git a/dan/11/05.md b/dan/11/05.md new file mode 100644 index 00000000..5df4eec2 --- /dev/null +++ b/dan/11/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Malaika anaendelea kuongea na Danieli + +# mmoja kati ya maamiri jeshi wake atakuwa mwenye nguvu kuliko yeye na atautawala ufalme wake kwa nguvu kubwa + +Kamanda wa mfalme wa Kusini atakuwa Mfalme wa Kaskazini. + +# watafanya mwungano + +Mfalme wa Kusini atafanya ushirika na Mfalme wa Kaskazini. Mwungano huu utakuwa wa makubaliano rasmi ambayo kila taifa lazima kuyafuata. + +# Binti wa mfalme wa Kusini atakuja kwa mfalme wa Kaskazini kuyathibitisha makubaliano yao. + +Mfalme wa Kusini atampa binti yake mfalme wa kusini ili amwoe. Ndoa itathibitisha makubaliano kati ya wafalme hawa wawili. + +# nguvu za mkono wake.... mkono wake + +Mahali hapa "mkono" unatumika kumaanisha nguvu. + +# Ataachwa + +Hii inarejelea hila ya kuuliwa kwa binti na wale ambao wamefanya mwungano. Kirai hiki chaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. " Watamwacha" + diff --git a/dan/11/07.md b/dan/11/07.md new file mode 100644 index 00000000..bf175c9b --- /dev/null +++ b/dan/11/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Malaika anaendelea kuongea na Danieli + +# tawi kutoka katika mizizi + +Familia inaongelea kana kwamba ni mti. Mizizi inawakilisha mababu, na matawi yanawakilisha wazawa. + +# mizizi yake + +Neno "yake" inarejelea kwa binti wa mfalme wa Kusini katika 11:5 + +# Atalishambulia jeshi + +Kiwakilishi "a" kinarejelea uzao wake, na hapa pia inawakilisha jeshi lake. + +# Atapigana nao + +Mahali hapa neno "nao" inawakilisha wanajeshi wa jeshi la adui. + +# lakini atajitoa + +Kiambishi 'a' kinamrejelea mfalme wa Kaskazini. + diff --git a/dan/11/10.md b/dan/11/10.md new file mode 100644 index 00000000..9276e51a --- /dev/null +++ b/dan/11/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Malaika anaendelea kuongea na Danieli + +# Wana wake + +"wana wa mfalme wa Kaskazini" + +# kuunganisha jeshi kubwa + +"kukusanya watu wengi kwa pamoja ambao wanaweza kupigana katika vita" + +# litagharikisha kila kitu + +Kitendo cha jeshi kubwa kuivamia na kuijaza nchi yote kitakuwa sawa na maji ya gharika. + diff --git a/dan/11/11.md b/dan/11/11.md new file mode 100644 index 00000000..8a80f617 --- /dev/null +++ b/dan/11/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya jumla + +Malaika anaendelea kuongea na Danieli. + +# atainua jeshi kubwa + +"atakusanya jeshi kubwa" + +# jeshi litatiwa katika mkono wake + +Mahali hapa neno "mkono" linawakilisha utawala wa mfalme + +# Jeshi litachukuliwa + +Hii yaweza kuandikwa kwa muundo tendaji. "Mfalme wa Kusini ataliteka jeshi la Kaskazini" + +# utainuliwa juu + +Kuinuliwa juu kunawakilisha wazo wa kuwa na kiburi. + +# atawafanya makumi maelfu kuanguka + +Mahali hapa kuanguka kunawakilisha kufa katika vita. + +# makumi maelfu + +"Maelfu mengi" + diff --git a/dan/11/13.md b/dan/11/13.md new file mode 100644 index 00000000..df99fc24 --- /dev/null +++ b/dan/11/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Malaika anaendelea kuongea na Danieli. + +# jeshi kubwa likiwa na vifaa vingi + +Hii pia yaweza kuandikwa kwa muundo tendaji. "jeshi kubwa ambalo litakua na zana za kutosha" + diff --git a/dan/11/14.md b/dan/11/14.md new file mode 100644 index 00000000..4d5f0c71 --- /dev/null +++ b/dan/11/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Malaika anaendelea kuongea na Danieli. + +# wengi watainuka kinyume na mfalme + +Mahali hapa wazo la kuinuka linawakilisha uasi. "watu wengi wataasi kinyume na mfalme" + +# Wana wa vurugu + +Maelezo haya yanasimama kwa ajili ya watu wenye vurugu + +# watajikwaa + +Mahali hapa kitendo cha kujikwaa kinamaanisha kuanguka. + diff --git a/dan/11/15.md b/dan/11/15.md new file mode 100644 index 00000000..a092d786 --- /dev/null +++ b/dan/11/15.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya jumla + +Malaika anaendelea kuongea na Danieli. + +# Mfalme wa Kaskazini atakuja + +Hapa "mfalme wa Kaskazini" anajumuisha na jeshi lake pia. "Jeshi la mfalmw wa Kaskazini litakuja" + +# kuizingira nchi kwa kuweka vilima + +Hii inarejelea kitendo cha kurundika udongo ili wanajeshi waweza kuufikia urefu wa ukuta wa mji iili kuwashambulia. Wanajeshi na watumwa wataweka udongo kwenye vikapu na kuvibeba hadi mahali sahihi, na kuumwaga ili kuinua kilima cha udongo. + +# Mfalme wa Kaskazini atakuja, kuizingira nchi kwa kuweka vilima + +"Mfalme wa Kaskazini" hapa inamaanisha wanajeshi katika jeshi la mfalme, ambao wangefanya kazi halisi ya kutengeneza vilima vya udongo. + +# ngome + +Kuta na vitu vingine vilivyojengwa ili kulinda mji + +# Hawatakuwa na nguvu za kusimama + +Mahali hapa kitendo cha kusimama kinawakilisha uwezo wa kupigana. + +# yeye ajaye ataenenda kwa kufuata tamaa zake kinyume chake + +"Mfalme atakayevamia atafanya kili kitu anachokitaka kinyume na mfalme mwingine." + +# Atasimama + +Mahali hapa kusimama kuna maana ya kutawala + +# nchi ya uzuri + +Hii inarejelea nchi ya Israeli . angalia ulivyotafsiri katika 8:9 + +# uharibifu utakuwa mkononi wake + +Mahali hapa "uharibifu" unawakilisha nguvu ya kuharibu. Pia, nguvu ya kuharibu inasemwa kana kwamba kilikuwa ni kitu ambacho mtu anaweza kukishikilia katika mikono yake. + diff --git a/dan/11/17.md b/dan/11/17.md new file mode 100644 index 00000000..49f0e63f --- /dev/null +++ b/dan/11/17.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla + +Malaika anaendelea kuongea na Danieli + +# atauelekeza uso wake + +"kuamua" + +# kuja kwa nguvu + +Hii huenda inarejelea juu ya nguvu za kivita. + +# binti wa wanawake + +Hii ni njia ya madaha ya kusema "mwanamke" + +# atakikomesha kiburi chake + +"atamfanya mfalme wa Kaskazini asiwe na atakisababisha kiburi chake kiishekiburi" + +# atakisababisha kiburi chake kiishe + +"atamsababisha mfalme wa Kusini ateseke kwasababu alikuwa na kiburi dhidi ya wengine" + +# atafuatilia + +"Mfalme wa Kaskazini atazingatia" + +# hatapatikana + +Hii ni njia ya kusema kuwa atakufa. Wazo hili laweza kuandikwa kwa muundo tendaji. "atatoweka" au "atakufa" + diff --git a/dan/11/20.md b/dan/11/20.md new file mode 100644 index 00000000..198805ea --- /dev/null +++ b/dan/11/20.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# mtu mwingine atainuka + +Kuinuka katika nafasi ya mfalme inawakilisha kufanyika kuwa mfalme katika nafasiya mfalme aliyepita. + +# atamfanya mtoza ushuru apite + +mtoza ushuru atapita katika nchi akiwalazimisha watu walipe kodi. + +# atakatiliwa mbali + +Kiambishi 'a' kinamrejelea mfalme mpya. Kukatiliwa mbali ina maana ya kufa. + +# lakini si kwa hasira + +Maana zinazokubalika 1) hakuna hata mmoja aliyekuwa na hasira na mfalme 2) tuko hilo na sababu ya kifo cha mfalme yalitunzwa kama siri. + +# mtu wa kudharauliwa ambaye watu hawatampa heshima ya nguvu ya kifalme + +Watu watakataa kumheshimu kama mfalme kwasababu yeye si mzawa wa wafalme. + +# jeshi litafutiliwa mbali kama gharika + +Kufutiliwa mbali kunawakilisha hali ya kuharibiwa. Hii pia yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji."jeshi lake litaangamiza kabisa jeshi kubwa kama gharika linavyoteketeza kila kitu katika njia yake" + +# Jeshi na kiongozi wa agano wataangamizwa wote kwa pamoja + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ataliangamiza jeshi na kiongozi wa agano" + +# kiongozi wa agano + +Kirai hiki kinamrejelea mtu alijawa na nafasi muhimu ya kidin ambayo Mungu anaihitaji katika agano, ambaye ni kuhani mkuu (ambaye aliuawa katika mwama 171 KK) + diff --git a/dan/11/23.md b/dan/11/23.md new file mode 100644 index 00000000..3fc47c03 --- /dev/null +++ b/dan/11/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tangu katika kipindi kile ambacho makubaliano yalifanywa pamoja naye + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "wakati viongozi wengine walipofanya mkataba wa amani pamoja naye" + +# Atagawanya mateka, nyara, na mali zake miongoni mwa wafuasi wake + +"atagawa kwa wafuasi wake" + +# mateka, nyara, na mali + +"vitu vya thamani ambaye yeye na jeshi lake walichkua kutoka kwa watu waliowashinda" + diff --git a/dan/11/25.md b/dan/11/25.md new file mode 100644 index 00000000..fef211ec --- /dev/null +++ b/dan/11/25.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Ataamsha nguvu zake na moyo wake + +Nguvu na moyo (ni ujasiri) vinaongelewa kana kwamba walikuwa ni watu ambao mtu fulani angeweza kuwaamsha ili watendo tendo. + +# moyo + +Mahali hapa unawakilisha ujasiri + +# atapigana vita + +"atapigana kinyume chake" + +# jeshi kubwa + +"pamoja na jeshi kubwa ambalo atalikusanya" + +# hataweza kusimama + +Kutokusimama kunawakilisha hali ya kushindwa. + +# wanaokula chakula chake kizuri + +Hii inarejelea washauri wa mfalme. Ilikuwa na kawaida kwa washauri waliominiwa na mfalme kula chakula pamoja naye. + +# jeshi lake litakatiliwa mbali kama gharika, + +Mahali hapa kushindwa kabisa kwa jeshi kunasemwa kana kwamba lilikuwa ni gharika la maji ambalo hulifutilia mbali. + +# wengi wao watauawa + +Hii inarejelea kufa katika vita. + +# wakiwa na mioyo yao imejawa na uovu kinyume na mwenzake + +Mahali hapa neno "moyo" linawakilisha tamaa za mtu. Tamaa zinaongelewa kana kwamba kilikuwa ni kitu ambacho mtu anaweza kukiweka katika mkao fulani. + +# watakaa katika meza moja + +Kukaa katika meza moja kuna maanisha kitendo cha kuongea pamoja na mtu mwingine. + +# haitakuwa na maana yoyote + +"lakini mazungumzo yao hayatawasaidia" + +# Kwa kuwa mwisho utatokea katika kipindi ambacho kimeshapangwa + +Hii inatuambia kwamba mkutano wao hautakuwa na mafanikio. + diff --git a/dan/11/28.md b/dan/11/28.md new file mode 100644 index 00000000..e4b4e8a1 --- /dev/null +++ b/dan/11/28.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# moyo wake ukipinga vikali agano takatifu + +Hii inarejelea tamaa ya mfalme ya kupinga agano la Mungu na waisraeli. Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Atafahamika kwa kupinga agano takatifu." + +# moyo + +Hii inarejelea tamaa za mfalme + +# agano la takatifu + +Mahali hapa "takatifu" inaelezea juu ya agano la Mungu na Israeli. Ina maana kwamba agano lazoma liheshimiwe na liheshimiwe kwasababu linatoka kwa Mungu mwenyewe. + +# ukipinga vikali agano takatifu + +Hamu ya mfalme kutenda kinyume na agano takatifu inawakilisha hamu yake kuwazuia waisraeli waache kulitii agano takatifu. + +# atatenda + +Hii ina maana kwamba mfalme atafanya matendo fulani katika Israeli. + diff --git a/dan/11/29.md b/dan/11/29.md new file mode 100644 index 00000000..6dee4619 --- /dev/null +++ b/dan/11/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# meli kutoka Kitimu zitamshambulia + +Meli zinawakilisha jeshi likitoka katika meli hizo. + +# Kitimu + +Hii inarejelea makazi katika kisiwa cha Kipro katika Bahari ya Meditraniani. + +# Atakuwa mwenye hasira + +"atakasirika sana" + +# atawaonyesha mema wale + +"atatenda kwa wema kwa wale" au "atawasaidia wale" + diff --git a/dan/11/31.md b/dan/11/31.md new file mode 100644 index 00000000..9515cb37 --- /dev/null +++ b/dan/11/31.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Majeshi yake yatainuka + +"Jeshi lake litatokea" au "jeshi lake litakuja" Neno "lake" linamrejelea mfalme wa Kaskazini. + +# sehemu takatifu katika ngome + +"sehemu takatifu ambayo watu huitumia kama ngome" + +# Wataziondoa sadaka za kawaida + +Kuondolewa kwa sadaka kunawakilisha kuwazuia watu wasitoe sadaka. "Watawazuia makuhani wasitoe sadaka za kawaida za kuteketezwa" + +# chukizo la uharibifu litakalosababisha ukiwa. + +Hii inarejelea sanamu ambayo italifanya hekalu kuwa ukiwa, hii ina maana kwamba itamfanya Mungu aliache hekalu lake. + +# walioenenda kwa ouvu kinyume na agano + +"waliliasi agano kwa kutenda uovu" + +# kuwatia uovu + +"kuwashawishi watende dhambi" + +# wale wanaomjua Mungu wao + +Mahali hapa neno "kujua" lina maana ya "kuwa mwaminifu," + +# watakuwa jasiri na watachukua hatua. + +"watakuwa imara na kuwapinga" + diff --git a/dan/11/33.md b/dan/11/33.md new file mode 100644 index 00000000..c25b4f7a --- /dev/null +++ b/dan/11/33.md @@ -0,0 +1,64 @@ +# watajikwaa + +Mahali hapa " kujikwaa" inawakilisha kupatwa na majanga ya aina hii au nyingine, ikijumuisha na kifo chenyewe. + +# Upanga + +Mahali hapa "upanga"unawakilisha mapigano na vita. + +# miali ya moto + +Mahali hapa "miali" inawakilisha moto. + +# watatiwa mateka + +"kufanywa kuwa mtumwa" + +# kunyang'anywa + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Maadui zao watawaibia mali zao" + +# watasaidiwa kwa msaada kidogo + +Hii yaweza kuwekwa katika muundo tendaji. " watu wengine watampa msaada kidogo" + +# Watu wengi watajiunga nao wenyewe katika unafiki + +Hii inarejelea watu wengine ambao watajifanya kuwasaidia watu wenye hekima, lakini si kwasababu wamekusudia kuwasaidia kweli. + +# watajiunga nao + +Mahali hapa "watajiunga nao" ina maana ya "kuja na kuwasaidia" + +# ili kujisafisha kutokee kwao, + +Neno "ili" lina maana kwamba "matokeo kwamba" + +# Baadhi ya watu wenye hekima watajikwaa + +Mahali hapa " kujikwaa" inawakilisha kupatwa na majanga ya aina hii au nyingine, ikijumuisha na kifo chenyewe + +# kujisafisha kutokee kwao, na kujiosha, na kujitakasa + +Matendo haya yanaelezwa hapa kana kwamba ilikuwa ni vitu. Ingawa, yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji au tendewa. "watasafishwa, kuoshwa na kutakaswa" + +# kujisafisha + +Hii inarejelea kusafisha kito kwa kukiyeyusha katika moto. Wakati Mungu anawatengeneza watu wake ili wawe waaminifu kwake, kunasemwa kana kwamba walikuwa ni vito ambavyo mfanyakazi alikuwa akivifanya kuwa safi zaidi kwa kuviweka katika moto. + +# kujiosha, + +Hii inarejelea kitendo cha kuwatengeneza watu, sehemu au vitu ili vifae kwa ajili ya Mungu kwa kuvitenga na dhambi au aina nyingine yoyote ya ubaya. Uovu unasemwa kana kwamba ni uchafu wa kawaida. + +# kujitakasa, + +Hili wazo ni sawa na kujisafisha, lililojadiliwa awali. Kito kilichosafishwa chaweza kusemwa kwamba chaweza kutakaswa. + +# wakati wa mwisho. + +"siku za mwisho" au " mwisho wa ulimwengu. + +# Kwa kuwa wakati ulioamriwa haujaja bado + +Mahali hapa 'wakati ulioamriwa' ina maana kwamba Mungu amepanga muda. Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Yahweh amepanga muda kwa wakati ujao" + diff --git a/dan/11/36.md b/dan/11/36.md new file mode 100644 index 00000000..fb4593ff --- /dev/null +++ b/dan/11/36.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Mfalme atafanya kutokana na matakwa yake + +Mfalme atafanya chochote akitakacho" + +# Mfalme + +Hii inamrejelea mfalme wa Kaskazini. + +# Atajiinua mwenyewe na kujifanya mkubwa + +Kirai "Atajiinua mwenyewe" na "kujifanya kuwa mkubwa" vina maana sawa na vinaonesha kwamba mfalme atakuwa na kiburi. + +# Atajiinua mwenyewe + +Mahali ina maana ya kuwa na kiburi. + +# kujifanya mkubwa + +Hapa ina maana ya kujifanya kuwa mtu wa muhimu na mwenye nguvu. + +# atasema vitu vibaya + +"vitu vya ajabu" au "vitu ya kusikitisha" + +# mpaka pale ghadhabu itakapokuwa imekamilika + +Kirai hiki kinaonesha picha kwamba Mungu huhifadhi ghadhabu mpaka pale stoo yake itakapokuwa imejaa na kisha atakuwa tayari sawasawa na hasira hiyo. + +# Mungu wa miungu + +Hii inamrejelea Mungu mmoja na wa kweli. "Mungu mkuu" au "Mungu pekee wa kweli" + +# mungu anayependwa na wanawake + +Hii inaonekana kurejelea mungu wa kipagani aliyeitwa Tamuzi. + diff --git a/dan/11/38.md b/dan/11/38.md new file mode 100644 index 00000000..364671a6 --- /dev/null +++ b/dan/11/38.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mungu wa ngome + +Huenda mfalme aliamini kwamba huyu mungu wa uongo angemsaidia kuzishambulia ngome za watu wengine na kuitunza ngome yake. + +# badala ya haya + +Neno "haya" linarejelea miungu iliyotajwa + +# ataigawanya nchi kama thawabu + +Maana zinazokubalika ni 1)"atawapa wafuasi wake nchi kama thawabu au 2) ataiuza nchi kwa wafuasi wake. + diff --git a/dan/11/40.md b/dan/11/40.md new file mode 100644 index 00000000..5b791642 --- /dev/null +++ b/dan/11/40.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# wakati wa mwisho + +"siku za mwisho" au " mwisho wa ulimwengu" + +# mfalme wa Kusini ...... Mfalme wa Kaskazini + +Virai hivi vimesimama hapa kuwakilisha wafalme na majeshi yao. + +# atamshambulia + +Hili ni shambulio la vurugu la jeshi linasemwa kana kwamba ni dhoruba imetokea. + +# kuwagharikisha + +Kitendo cha jeshi kusambaa katika nchi kunasemwa kana kwamba ni gharika limetokea. + +# kupita katikati + +jeshi hitazuiliwaa na chochote. + +# nchi ya uzuri, + +Hii inarejelea nchi ya Israeli. + +# wataanguka + +Mahali hapa kuanguka kuna maana ya kitendo cha kufa. + +# Lakini watu hawa watatoroka kutoka katika mkono wake + +Mahali hapa "mkono" una maana ya nguvu. "Lakini watu hawa watatoroka kutoka katika nguvu zake" + diff --git a/dan/11/42.md b/dan/11/42.md new file mode 100644 index 00000000..a6f3e509 --- /dev/null +++ b/dan/11/42.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Hii bado inamhusu mfalme wa Kaskazini. + +# Naye ataunyosha mkono katika nchi + +Mahali hapa "mkono" unawakilisha nguvu na utawala. + +# Katika nchi + +Hapa wazo ni kwamba nchi nyingi au nchi kadhaa + +# nchi ya Misri haitaokolewa + +Hii yaweza kuwekwa katika muundo tendaji. ""Nchi ya Misri haitatoroka" + +# watu wa Libya na Ethiopia watakuwa chini katika nyayo za miguu yake + +Hapa " nyayo za miguu" inawakilisha hali ya kujishusha/ utii. "watu wa Libya na Ethiopia watamtumikia" + +# watu wa Libya na Ethiopia + +"watu waLIbya na Ethiopia" Libya ni nchi ya Magharibi mwa Misri, na Ethiopia ni nchi iliyo Kusini mwa Misri. + diff --git a/dan/11/44.md b/dan/11/44.md new file mode 100644 index 00000000..8c566b14 --- /dev/null +++ b/dan/11/44.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Hii bado inamhusu mfalme wa Kaskazini. + +# naye atatoka akiwa mwenye hasira nyingi + +Nomino dhahania "hasira" yaweza kuelezwa kwa neno "ghadhabu" Yaweza kuelezwa wazi kwamba ataenda nje pamoja na jeshi lake. + +# atatoka + +Hapa inawakilisha kitendo cha kuwashambulia maadui. + +# na kuwahifadhi kwa ajli ya uharibifu + +"Kuwaharibu watu wengi" + +# hema ya makao yake + +Hii inarejelea hema za starehe za mfalme ambazo aliishi ndani yake wakati alipokuwa pamoja na jeshi lake katika wakati wa vita. + +# milima ya uzuri wa utakatifu + +Hii inarejelea mlima wa Yerusalemu mahali ambapo hekalu la Mungu lilikuwa. + diff --git a/dan/12/01.md b/dan/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..3b4ffccc --- /dev/null +++ b/dan/12/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Malaika anaendelea kumwagiza Danieli. Alianza katika 10:20 + +# Mikaeli, jemedari mkuu + +Mikaeli ni malaika mkuu. Mahali hapa pia amepewa jina jingine "jemedari mkuu" + +# watu wako wataokolewa + +Mungu alifanya kitendo cha kuwaokoa watu. " Mungu ataokoa watu wako" + +# yeyote ambaye jina lake litapatikana katika kitabu + +Mungu hufanya kazi ya kuandika katika kitabu. "wale ambao majina yao Mungu ameyaandika katika kitabu" + +# watu wako wataokolewa + +Hii inarejelea tukio kubwa la kiroho ambapo watu wa Mungu watapewa maisha mapya, wote walio hai na walio kufa, na watu waovu watakatiliwa mbali katika hukumu ya milele. + diff --git a/dan/12/03.md b/dan/12/03.md new file mode 100644 index 00000000..569a2a15 --- /dev/null +++ b/dan/12/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# watang'ara kama mng'ao wa anga la juu, + +Hii inawarejelea watu wa Mungu wakiwa wamejawa na utukufu wake kwahiyo watang'aa kama anga wakati juu likiwa linaangaza. + +# wale wenye kuwaelekeza wengine katika haki + +Wale ambao huwasaidia wengine kuelewa kwamba wametengwa na Mungu wanasemwa kana kwamba walikuwa wanabadili mwelekeo walikuwa wakielekea. "ambaye huwafundisha wengine waishi katika haki" + +# watakuwa kama nyota milele na milele + +Watu hawa watang'aa kama nyote. Hii ni tabia ya watu waliojawa na utukufu wa Mungu. + +# yafunge maneno haya; kihifadhi kitabu kikiwa kimetiwa chapa + +Kuna mambo ambayo Danieli alikuwa ameoneshwa na kufunzwa na ya kwamba Danieli alikuwa ameambiwa kwamba asiyafunue katika kitabu hiki. + +# nyakati za mwisho + +"siku za mwisho" au "mwisho wa ulimwengu" + +# Watu wengi watakimbia huku na kule, na maarifa yataongezeka. + +Mambo haya yanaonekana kutokea wakati wa kufungwa kwa kitabu. Hii yaweza kuwekwa wazi. "Kabla ya kutokea haya, watu wengi watasafiri hapa na kule, wakijifunza mengi na mengi zaidi kuhusu vitu vingi" + diff --git a/dan/12/05.md b/dan/12/05.md new file mode 100644 index 00000000..cdb0b4ff --- /dev/null +++ b/dan/12/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Malaika amemaliza kuongea, na Danieli anaendelea kusema kile alichokiona baadaye katika maono yake tangu katika 10:4 + +# kulikuwa na malaika wengine wawili wamesimama + +"kulikuwa na malaika wengine wawili wamesimama" + +# Mmoja wao alimwambia mtu aliyevaa nguo za kitani, + +Hii inamrejelea mtu aliyekuwa akiongea na Danieli, siyo mmoja wale watu waliokuwa wamesimama pembeni mwa mtu. + +# ukingo wa mto, + +Maana zinazoweza kukubalika 1) malaika alikuwa juu ya mto au 2) malaika alikuwa mbali katika ukingo sambamba na mto. + +# Je itachukua muda gani mpaka mwisho wa matukio haya ya kushangaza? + +"Matukio haya ya kushangaza yatadumu kwa muda gani?" Hii inarejelea mwanzo hadi mwisho wa matukio. + +# matukio haya ya kushangaza + +Katika muda ule ambao malaika alikuwa akiongea na Danieli, hakuna hata tukio hata moja lilikuwa limetokea. Hii kwa uhalisia inarejelea matukio katika 12:1, na huenda yalijumuisha matukio yaliyo katika maono kutoka sura ya 11. + diff --git a/dan/12/07.md b/dan/12/07.md new file mode 100644 index 00000000..94c7f6a5 --- /dev/null +++ b/dan/12/07.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# mtu yule aliyevaa nguo za kitani + +Hii yaweza kuelezwa katika muundo tendaji. " mtu aliyekuwa amevaa nguo za kitani" + +# mkondo wa mto + +Maana zinazoweza kukubalika 1) malaika alikuwa juu ya mto au 2) malaika alikuwa mbali katika ukingo sambamba na mto. + +# yeye aishiye milele + +"Mungu ambaye anaishi milele" + +# itakuwa kwa wakati, nyakati, na nusu wakati + +Ni vizuri kuiacha katika utata kama ilivyoanza. Na kama utachagua sehemu ya kuanzia, miaka mitatu na nusu huenda itaanza pamoja na matukio ya 12:1. + +# wakati, nyakati, na nusu wakati + +"miaka mitatu na nusu: Maneno "nyakati au wakati" kwa ujumla yanapaswa kufahamika kuwa yanarejelea miaka. Mwaka mmoja na miwili na nusu ni sawa na miaka mitatu na nusu. + +# mambo haya yote yatakuwa yamemalizika + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mambo haya yote yatatokea" + +# Mambo haya yote + +Katika muda ule ambao malaika alikuwa akiongea na Danieli, hakuna hata tukio hata moja lilikuwa limetokea. Hii kwa uhalisia inarejelea matukio katika 12:1, na huenda yalijumuisha matukio yaliyo katika maono kutoka sura ya 11. + diff --git a/dan/12/08.md b/dan/12/08.md new file mode 100644 index 00000000..6ba80466 --- /dev/null +++ b/dan/12/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mambo haya yote + +Katika muda ule ambao malaika alikuwa akiongea na Danieli, hakuna hata tukio hata moja lilikuwa limetokea. Hii kwa uhalisia inarejelea matukio katika 12:1, na huenda yalijumuisha matukio yaliyo katika maono kutoka sura ya 11. + +# maneno yamefungwa na kutiwa chapa + +Maono ambayo Danieli alikuwa amepewa hayakupaswa kufafanuliwa kana kwamba kitabu kilikuwa kimefungwa na hakuna mtu yeyote awezaye kukifungua. + +# wakati wa mwisho. + +"siku za mwisho: au "mwisho wa ulimwenguni" + diff --git a/dan/12/10.md b/dan/12/10.md new file mode 100644 index 00000000..2acd0bea --- /dev/null +++ b/dan/12/10.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya jumla + +Malaika anaendelea kuongea na Danieli. + +# Watu wengi watakuwa wametakaswa, wameoshwa, na kusafishwa + +Yahweh anafanya kazi ya kutakasa. Maneno haya matatu kimsingi yanamaanisha kitu kile kile. + +# kusafishwa + +kusafishwa kwa kuondoa kila kitu kisichotakiwa sehemu ile. + +# lakini waovu wataenenda katika uovu + +Watu waovu watateda yaliyo maovu au mambo ya dhambi. + +# Hakuna kati ya waovu atakayefahamu + +Watu waovu hawawezi kufahamu mambo ya kiroho. + +# Lakini wenye hekima watafahamu + +Hii inarejelea watu wale wenye hekima katika kumtii Yahweh watafahamu. + +# sadaka ya kawaida ya kuteketezwa ...imeondolewa + +Mfalme wa Kaskazini ndiye atakayekomesha sadaka katika hekalu. + +# chukizo la uharibifu liliosababisha ukiwa + +Hii inarejelea sana ambayo italifanya hekalu liwe ukiwa, na hiyo ndiyo itamsababisha Mungu aliache hekalu katika hali ya ukiwa. + +# siku zipatazo 1,290 + +Mahali hapa "siku" inarejelea kipindi cha muda. Mara nyingine hueleweka kama siku, ingawa pia ina maana ya miaka. + diff --git a/dan/12/12.md b/dan/12/12.md new file mode 100644 index 00000000..ea786805 --- /dev/null +++ b/dan/12/12.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla + +Malaika anaendelea kuongea na Danieli. + +# Ana heri mtu yule anayengojea + +"amebarikiwa mtu ambaye anasubiri" au "ana heri yeyote anayengojea" + +# anayengojea + +"kuvumilia" au "kubakia mwaminifu" + +# siku 1,335 + +Mahali hapa "siku" inarejelea kipindi cha muda. Mara nyingine hueleweka kama siku, ingawa pia ina maana ya miaka. + +# Unapaswa uondoke + +"Danieli, lazima uende" Hii inamrejelea Danieli kuendelea kuishi na kumtumikia mfalme mpaka muda uliopangwa wa kifo chake. + +# utapumzika + +Hii ni njia ya upole ya kusema kuwa "utakufa" + +# Utainuka + +Hii inarejelea Ufufuo wa kwanza wa wafu wakati ambao watu wenye haki watafufuliwa. + +# ehemu uliyopewa + +"sehemu ambayo Mungu amekupatia wewe" + diff --git a/deu/01/01.md b/deu/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..0218d954 --- /dev/null +++ b/deu/01/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# zaidi ya Yordani + +Hii urejea kwa nchi kuvuka mto wa Yordani, mashariki mwa Israel. Musa alikuwa mashariki mwa Yordani wakati alipozungumza na wanaIsraeli. + +# Sufu...Parani...Tofeli...Labani...Hazarothi...DiZahabu + +Haya ni majina ya sehemu. + +# Ni safari ya siku kumi na moja kutoka Horebu... kwenda Kadeshi ya Barnea. + +"Huchukua siku kumi na moja kutembea kutoka Horebu...kwenda Kadeshi ya Barnea" + +# Kumi na moja + +11 + diff --git a/deu/01/03.md b/deu/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..455384b9 --- /dev/null +++ b/deu/01/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Ilitokea katika mwaka wa arobaini, katika mwezi wa kumi na moja, siku ya kwanza ya mwezi, ambayo Musa alizungumza. + +"Walikuwa wameishi jangwani miaka 40, miezi 11, na 1 siku, wakati Musa alipozungumza" + +# Arobaini + +40th + +# katika mwezi wa kumi na moja, katika siku ya kwanza ya mwezi. + +Huu ni mwezi wa kumi na moja wa Kiabrania. Siku ya kwanza iko karibu katikati mwa mwezi Januari kwa kalenda za Magharibi. + +# kumi na moja + +11th + +# Yahwe alikuwa amevamia + +"Yahwe alikuwa amewawezesha wanaisraeli kushinda" + +# Sihon...Og + +Haya ni majina ya wafalme. + +# Heshbon... Ashtarothi ya Edrei + +Haya ni majina ya miji + diff --git a/deu/01/05.md b/deu/01/05.md new file mode 100644 index 00000000..22f72950 --- /dev/null +++ b/deu/01/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Zaidi ya Yordani + +Hii urejea kwa nchi kuvuka mto wa Yordani, mashariki mwa Israeli. Musa alikuwa mashariki mwa Yordani aliposema hivi. + +# kuzunguma nasi + +Neno "nasi" urejea kwa Musa na watu wengine wa Israel. + +# Umeishi muda wa kutosha katika nchi ya mlima + +Hii ni nahau. "Hauhitaji kukaa karibu na mlima zaidi tenda. + diff --git a/deu/01/07.md b/deu/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..85f68f95 --- /dev/null +++ b/deu/01/07.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya jumla + +Musa anaendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kile alichosema Yahwe kwao. + +# Geuka na anza safari yako + +"Anza tena safari yako" + +# nchi ya mlima...Euphrates + +Yahwe anaeleza maeneo katika nchi kwamba ameahidi kuwapa wanaisraeli. + +# nchi ya mlima + +Hili ni eneo katika milima karibu na eneo ambapo Wamorites waliishi. + +# nchi ya chini + +eneo la nchi ambayo liko chini na tambarare + +# Tazama + +"Zingatia yale ninayoenda kusema" + +# Nimeweka nchi mbele yako + +"Sasa naenda kukupa nchi hii" + +# kwamba Yahwe aliapa + +Yahwe anazungumza kama alikuwa mtu mwingine. + +# baba + +Neno "baba" ni neno lenye maana sawa na mababu. + diff --git a/deu/01/09.md b/deu/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..15708bc5 --- /dev/null +++ b/deu/01/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya jumla + +Musa aliendelea kuwakumbusha watu wa Israeli ambayo Yahwe alivyosema nao. + +# Niliongea nanyi kwa watkia huo + +Hapa "Ni" urejea kwa Musa. Maneno "kwa wakati huo" urejea kwa wakati wanaisrael walipokuwa Horebu, ambayo ni sawa kama mlima Sinai. + +# Siwezi kuwabeba mimi peke yangu + +Hapa "kuwabeba" umaanisha "kuwaongoza ninyi" au kuwatawala ninyi." "Hii ni zaidi kwangu kuwaongoza mwenyewe" + +# kama umati wa nyota za mbinguni + +Hii ni kutia chumvi ambako kunamaanisha Mungu ameongeza idadi ya wanaisraeli + +# mara elfu + +Maneno "mara elfu" ni fumbo la "nyingi sana" + +# elfu + +1000 + diff --git a/deu/01/12.md b/deu/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..e2367144 --- /dev/null +++ b/deu/01/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya jumla + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli + +# Lakini ni kwa namna gani mimi peke yangu nibebe shehena zenu, mizigo yenu, na mizozo yenu? + +Musa anatumia swali kusisitiza kwamba hawezi kutatua shida zao yeye mwenyewe. Swali hili la kejeli linaweza kutofasiriwa kama taarifa. + +# beba shehena zenu, mizigo yenu + +Musa anazungumza kama shida za watu na malalamiko aliyohitaji kushughulikia vilikuwa vitu vizito ambavyo alikuwa amebeba. + +# migogoro yenu + +"mabishano yenu" au "kutokubaliana kwenu" + +# watu wa tabia nzuri kutoka kila kabila + +"watu ambayo watu wa kila kabila la Israeli huwatii" + diff --git a/deu/01/15.md b/deu/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..88222f7a --- /dev/null +++ b/deu/01/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza kwa watu wa Israeli. + +# na watu wa tabia nzuri + +"na watu ambao watu wako waliwaheshimu." + +# maelfu...mamia...hamsini...makumi + +"ya makundi ya 1,000... ya makundi ya 100...ya makundi ya hamsini... na makundi ya 10" + +# nahodha...,maafisa + +Hivi ni vyeo kwa viongozi tofauti katika serikali ya Israeli. + +# kabila kwa kabila + +"kutoka kila kabila lenu" + +# hukumu kwa haki kati ya mtu na ndugu yake + +"fanya sawa na maamuzi ya haki kuhusu migogoro wanaisraeli walio nayo wao kwa wao" + diff --git a/deu/01/17.md b/deu/01/17.md new file mode 100644 index 00000000..c1e2d919 --- /dev/null +++ b/deu/01/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na waamuzi, basi amri ni wingi. + +# Hautaonesha upendeleo + +"Usioneshe upendeleo" + +# utasikia madogo na makubwa sawasawa + +Huku kulikokithiri kuwili "madogo" na "makubwa" uwakilisha watu wote. + +# Hautaogopa uso wa mtu + +Hapa neno "uso" ni neno badala ya mtu kamili. "Hauta" ni amri. "Usimuogope yeyote" + +# kwa wakati ule + +Hii umaanisha wakati walipokuwa huko Horebu, katika mlima wa Sinai. + diff --git a/deu/01/19.md b/deu/01/19.md new file mode 100644 index 00000000..23c920c1 --- /dev/null +++ b/deu/01/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel nini kizazi cha awali cha Israel walifanya. + +# jangwa la ajabu mliloliona + +"jangwa kubwa na hatari ambalo mlivuka" + diff --git a/deu/01/20.md b/deu/01/20.md new file mode 100644 index 00000000..db048240 --- /dev/null +++ b/deu/01/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel ambacho kizazi cha awali cha wanaisrael walifanya. + +# Tazama...Mungu wenu...mbele yenu;nenda juu, miliki...baba zenu...kwenu; usiogope, wala kukatishwa tamaa. + +Musa anazungumza na wanaisraeli kama alikuwa anazungumza na mtu mmoja, basi fomu hizi zinapaswa kuwa umoja, siyo wingi. + +# ametayarisha nchi mbele yenu + +"sasa anawapa nchi hii kwenu." + diff --git a/deu/01/22.md b/deu/01/22.md new file mode 100644 index 00000000..3aaa70ba --- /dev/null +++ b/deu/01/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel nini kizazi cha awali cha wanaisraeli walifanya. + +# watu kumi na mbili + +"12 wanaume" + +# Waligeuka na kwenda + +"Waliondoka eneo hilo na kwenda" + +# bonde la Eshcoli + +Hili ni bonde katika mji wa Hebroni, ambao uko kusini mwa Yerusalemu. + +# waliutafuta + +"walitazama kwa ajili ya maeneo wataweza kuvamia" + diff --git a/deu/01/25.md b/deu/01/25.md new file mode 100644 index 00000000..d01a06ba --- /dev/null +++ b/deu/01/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla: + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel kile kizazi cha awali cha wanaisraeli walifanya + +# Walichukua + +"Wanaume 12 walichukua" + +# walichukua baadhi ya mazao ya nchi katika mikono yao + +"walichukua baadhi ya mazao ya nchi" + +# walileta kwetu neno na kusema + +Msemaji anazungumza kama vile "neno" vilikuwa vitu halisi ambavyo mtu fulani angeweza kuleta. + +# walisema, Ni nchi nzuri ambayo Yahwe Mungu wetu anatupa sisi! + +Nukuu ya moja kwa moja inaweza kutofasiriwa kama nukuu ambayo siyo ya moja kwa moja. "kusema kuwa nchi ambayo Yahwe Mungu wetu alikuwa anatupa ilikuwa nzuri" + diff --git a/deu/01/26.md b/deu/01/26.md new file mode 100644 index 00000000..3aa5ba1f --- /dev/null +++ b/deu/01/26.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya ujumla: + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel kile kizazi cha awali cha wanaisraeli walifanya. + +# Bado mlikataa kuvamia + +Mungu aliwaamuru wanaisraeli kuvamia na kuwamaliza Wamorites, lakini wanaisraeli waliwaogopa na kukataa kupigana nao. + +# katika mkono wa Wamorites + +Hapa "katika mkono" anamaanisha kuwapa Wamorites nguvu juu yao. + +# Tuende wapi sasa? + +Hapa swali hili linasisitiza namna gani walikuwa wameogopa. Swali hili la fumbo linaweza kutofasiriwa kama maelezo. + +# kufanya mioyo yetu kusinyaa + +Hii inamaanisha kwamba waliogopa. + +# na yenye boma kuelekea mbinguni + +Huku ni kutia chumvi ambako kunasisitiza namna ya watu waliovyotishwa walivyokuwa kwa sababu miji ilikuwa mipana na imara. + +# yenye boma kuelekea juu + +"kuwa na kuta ambazo ziko juu kama" + +# wana wa Anakimu + +Hawa ni wazao wa Anak watu ambayo walikuwa wakubwa na katili + diff --git a/deu/01/29.md b/deu/01/29.md new file mode 100644 index 00000000..352ca8ed --- /dev/null +++ b/deu/01/29.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aliendelea kuwakumbusha watu wa Israel nini kizazi kilichopita cha Israel kilivyofanya. + +# Nilikuambia + +"Niliwambia mababu zenu" + +# mbele ya macho yenu + +Hapa maneno haya "mbele ya macho yenu" urejea kile walichokiona. + +# ulichokiona...Yahwe Mungu wenu aliwabeba...mlienda...mlikuja + +Musa anazungumza na wana Israel kama walikuwa mtu mmoja, basi mifano ya "wewe" na "vyako" ni umoja. + +# Yahwe Mungu wenu aliwabeba, kama mtu anavyombeba mtoto wake. + +Hapa kujali kwa Yahwe kwa watu wake kunalinganishwa kama kwa baba. "Yahwe Mungu wenu amewajali, kama baba anavyomjali mtoto wake" + +# mpaka ulipokuja katika eneo hili + +"mpaka ulipokuja katika nchi hii ambayo Mungu ameahidi kukupa" + diff --git a/deu/01/32.md b/deu/01/32.md new file mode 100644 index 00000000..5108b021 --- /dev/null +++ b/deu/01/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel nini kizazi cha awali cha Israel kilivyofanya. + +# Yahwe Mungu wenu...yupi alienda mbele yenu + +Musa anawakumbusha wao kwa njia za Yahwe alivyoenda mbele ya Israel wakati ya safair zao wakati zamani. + +# tengeneza kambi + +"weka mahema yenu" + diff --git a/deu/01/34.md b/deu/01/34.md new file mode 100644 index 00000000..8a67a65a --- /dev/null +++ b/deu/01/34.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel nini Yahwe alivyosema nao. + +# alisikia sauti ya maneno yao + +"alisikia kile mlikuwa mnasema" + +# aliapa na kusema + +Mungu alifanya kiapo si kuwaruhusu wale walioasi dhidi yake kuingia nchi aliyowaahidia kuwapa. + +# utaona + +"utaingia" + +# muokoe Kalebu + +"isopokuwa Kalebu" + +# Jephunnehi + +Hili ni jina la baba yake na Kalebu. + +# alimfuata kikamilifu Yahwe + +Yahwe anazungumza kama alikuwa mtu mwingine. + diff --git a/deu/01/37.md b/deu/01/37.md new file mode 100644 index 00000000..29abde05 --- /dev/null +++ b/deu/01/37.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel kile kizazi cha awali cha Israeli kilichofanya. + +# Yahwe alikuwa na hasira nami kwa sababu yako + +Hii urejea kwa wakati Musa aliposhindwa kutii kile Yahwe alichokuwa amemwambia kufanya kwa sababu Musa alikuwa na hasira na watu wa Israel. + +# Nun + +Hili ni jina la baba yake Yoshua + +# yupi asimamae mbele yako + +Kwanini Yoshua anasimama mbele ya Musa kunaweza kutajwa kwa ufasaha. "yupi anasimama mbele yako kama mtumishi" au "yupi anayekusaidia" + diff --git a/deu/01/39.md b/deu/01/39.md new file mode 100644 index 00000000..1f09f68c --- /dev/null +++ b/deu/01/39.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel kile kizazi cha awali cha Israel kilichofanya. + +# hakuna maarifa mazuri au mabaya + +Hawajui bado kipi kizuri na kipi kibaya. + +# geuka na anza safari yako + +"geuka nyuma na uende tena kwa njia uliopitia" + diff --git a/deu/01/41.md b/deu/01/41.md new file mode 100644 index 00000000..834e2eec --- /dev/null +++ b/deu/01/41.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel nini kizazi cha awali cha Israeli kilichofanya + +# kufanya dhambi dhidi ya Yahwe + +"tumeasi dhidi ya Yahwe kwa kutomtii yeye" + +# tutamfuata + +"tutamtii" + +# kuvamia nchi ya mlima + +Hapa maneno "nchi ya mlima" uwakilisha watu ambao wanaishi huko. "kuwavamia watu wanaoshi kwenye nchi ya mlima." + +# kwa kuwa sitakuwa na wewe, na utashindwa na adui zako + +Hii inaweza kutajwa katika kauli tendaji. "maadui zako watakushinda kwa sababu sitakuwa pamoja nawe." + diff --git a/deu/01/43.md b/deu/01/43.md new file mode 100644 index 00000000..db173b8a --- /dev/null +++ b/deu/01/43.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# kuvamia nchi ya mlima + +Haya maneno "nchi ya mlima" husimama kwa ajili ya watu ambao wanaishi huko. "wavamie watu ambayo wanaoishi kwenye nchi ya mlima" + +# kuwafukuza kama nyuki + +Nyuki ni mdudu mdogo, arukae kwa kundi kubwa na kuuma watu wanaowatishia. Hii inamaanisha kwamba Wamorites wengi waliwavamia askari wa Israeli kwamba wanapaswa kuacha vita. + +# kukupiga chini huko Seir, mbali kama Hormah + +"kukupiga wewe chini katika nchi ya Seir na kukufukuza wewe mbali kama mji wa Hormah" + +# kukupiga wewe chini + +"kuua askari wengi wako" + diff --git a/deu/01/45.md b/deu/01/45.md new file mode 100644 index 00000000..f96133f6 --- /dev/null +++ b/deu/01/45.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel nini kizazi cha awali cha Israeli kilichofanya. + +# kurudi + +"kurudi Kadeshi" + diff --git a/deu/02/01.md b/deu/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..fbb141d9 --- /dev/null +++ b/deu/02/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel nini kizazi cha awali cha Israeli kilichofanya. + +# Kisha tuligeuka na kuanza safari yetu + +"Kisha tuligeuka nyuma na kwenda" + +# tulienda nyuma Mlima wa Seir kwa siku nyingi + +Maana zinazowekana ni 1) Wanaisraeli walisafiri karibu na mlima wa unaoitwa Seir kwa muda mrefu 2) Wanaisraeli walitangatanga katika mkoa unaoitwa Mlima wa Seir kwa muda mrefu. + +# Mlima Seir + +Hili ni eneo la mlima kusuni mwa bahari mvu. Hii eneo linaitwa Edom. + +# siku nyingi + +Lugha baadhi zinatofasiri hii kama "usiku mwingi" + diff --git a/deu/02/04.md b/deu/02/04.md new file mode 100644 index 00000000..f2484b30 --- /dev/null +++ b/deu/02/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Yahwe aendelea kuzungumza na Musa + +# wa ndugu zako, wazao wa Esau + +"wa ndugu zako, wazao wa Esau" + +# Nimeutoa mlima Seir kwa Esau kama miliki + +Yahwe anawakumbusha wanaisraeli kwamba amewapa eneo hili kwa wazao wa Esau. + diff --git a/deu/02/06.md b/deu/02/06.md new file mode 100644 index 00000000..d70ec786 --- /dev/null +++ b/deu/02/06.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuelekeza Israel kwa namna watakavyowatendea wazao wa Esau + +# Utanunua chakula toka kwao + +Yahwe anawapa ruhusa au maelekezo, siyo amri, na anawambia wasiibe. "Ninakuamuru kununua chakula kutoka kwao" au "kama unahitaji chakula, utanunua kutoka kwao" + +# kutoka kwao + +"kutoka uzao wa Esau" + +# kwa pesa + +Kama haya maneno hayaitajiki au kufanya tofasiri kutokuwa sahihi, unaweza kuyatoa. + +# Mungu wenu amewabariki ninyi...mikono yenu...kutembea kwenu...Mungu wenu...pamoja nanyi, na hamjapungukiwa. + +Musa azungumza kwa wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja, basi mifano "wewe" na "vyao" ni umoja + +# nyie katika kazi zenu za mkono + +Hii "kazi za mkono yenu" urejea kwa kazi yote waliofanya. + +# amejua kutembea kwenu + +Hili ni neno lenye maana sawa kwa "anajua kile kilichotokea kwenu wakati mlipokuwa mnatembea." + +# miaka arobaini + +40 miaka + +# hamjapungukiwa kitu chochote + +Hii inatumika kama takwimu ya hotuba "umekuwa na kila kitu ulichohitaji." + diff --git a/deu/02/08.md b/deu/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..0d3558d7 --- /dev/null +++ b/deu/02/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza kwa watu wa Israel. + +# kwa ndugu zetu + +"kwa ndugu zetu" + +# Elathi...Ezioni Geberi + +Haya ni majina ya miji + +# tuligeuka + +"tuliendelea kwenda" + diff --git a/deu/02/09.md b/deu/02/09.md new file mode 100644 index 00000000..fef4f4b1 --- /dev/null +++ b/deu/02/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Huu ni mwisho wa sehemu wa hotuba ya Musa akiwakumbusha wanaisraeli kwa namna Yahwe alivyowaongoza jangwani. + +# Usiwasumbue Moabu + +Neno "Moabu" ni neno lenye maana sawa na watu wa Moabu. + +# Ar + +Hili ni jina la mji huko Moabu + +# uzao wa Lutu + +Watu wa Israel walihusiana na uzao wa Maobu. Maobu alikuwa mtoto wa Lutu. Lutu alikuwa mpwa wa Abrahamu + diff --git a/deu/02/10.md b/deu/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..d76238bc --- /dev/null +++ b/deu/02/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Mwandishi anaanza kutoa taarifa za nyumba kuhusu watu wa nchi. Haya maneno siyo sehemu hotuba ya Musa kwa wanaisraeli. + +# Emim aliishi...kuwaita wao Emim + +Haya maneno yanatoa taarifa ya nyuma kuhusu watu wa Emim, walioishi kwenye nchi kabla ya Moabites. Lugha yako inaweza kuwa na njia maalumu ya kuweka alama ya taarifa ya nyuma. + +# Emim...Rephaimu + +Haya ni majina ya watu wa makundi ambayo yalijulikana kama watu wakubwa + +# Anakimu + +Hawa ni wazao wa Anak watu waliokuwa wakubwa na katili. + diff --git a/deu/02/12.md b/deu/02/12.md new file mode 100644 index 00000000..17c55001 --- /dev/null +++ b/deu/02/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Hii inaendeleza taarifa ya nyuma kuhusu watu wa makundi tofauti walioishi katika nchi. + +# Horites + +Hili ni jina la kundi la watu + +# kuwateketeza wao kutoka mbele zao + +"Kuwaua wote hivyo hakuna yeyote kati yao waliobaki kuishi nao" au "kuwaondoa kutoka katika uwepo wao kwa kuwaua wote" + diff --git a/deu/02/13.md b/deu/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..79b30a05 --- /dev/null +++ b/deu/02/13.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha wanaisraeli nini kilitokea kwao jangwani. + +# 'Sasa inuka...Zeredi! hivyo + +"Kisha Yahwe alisema, "Sasa inuka...Zeredi! hivyo" Hii inaweza kutofasiriwa kama nukuu ambayo siyo ya moja kwa moja. Kisha Yahwe alituambia kuinuka...Zeredi. Hivyo" + +# inuka + +anza kufanya jambo fulani + +# kijito cha Zeredi + +Mkondo huu utiririka kuelekea bahari iliyokufa kutoka kusini mashariki na utengeneza mpaka kati ya Edomu na Moabu. + +# Sasa siku + +Neno "sasa" uweka alama ya badiliko kutoka hadithi kwenda taarifa ya nyuma kuhusu namna ya umbali wa watu wa Israel walivyotembea na kuhusu hasira ya Mungu kwa kizazi hicho. Kama lugha yenu ina njia ya kuonesha kwamba kile kifuatacho ni taarifa ya nyuma, unapaswa kuitumia hapa. + +# miaka thelasini na nane + +miaka minane""- miaka 38 + +# walikwisha enda kutoka kwa watu + +Hii ni njia ya kusema kwa upole "amekwisha kufa." + +# mkono wa Yahwe ulikuwa kinyume + +Hapa "mkono wa Yahwe" urejea kwa nguvu ya Yahwe. "Yahwe alitumia nguvu zake kinyume" au Yahwe aliadhibu + diff --git a/deu/02/16.md b/deu/02/16.md new file mode 100644 index 00000000..c31c9c20 --- /dev/null +++ b/deu/02/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel kwa kile kilichotokea nyuma + +# Wewe...umekuja...usihangaike...nakupa + +Musa anazungumza kwa wanaisrael kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote "wewe" na amri "usihangaike" ni umoja + +# pita juu ya Ar + +Hili ni jina la mji wa Moabu. + +# uzao wa Lutu + +Hawa watu wa Israel walihusiana na uzao wa Ammoni. Ammoni alikuwa mtoto wa Lutu. Lutu alikuwa mpwa wa Abrahamu. + diff --git a/deu/02/20.md b/deu/02/20.md new file mode 100644 index 00000000..823f0465 --- /dev/null +++ b/deu/02/20.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Hii mistari inaanza kutoa taarifa ya nyuma kuhusu makundi ya watu yaliyokwisha ishi kwenye nchi hiyo. Kama lugha yenu ina njia ya kuonesha kwamba kile kifuatacho ni taarifa ya nyuma, inapaswa itumiwe hapa. + +# Hilo pia linafikiriwa + +Hii inaweza kutajwa katika kauli tendaji. + +# Rephaimu + +Hili ni jina la kikundi cha watu. + +# Zamzummim + +Hili ni jina jingine la kikundi cha watu wa Rephaim. + +# Anakimu + +Hili ni jina la kikundi cha watu + +# uwaharibu wao mbele ya Ammonites + +"waliruhusu Ammonites kuwashinda wao" au "waliruhusu Ammonite kuwaua wote" + +# waliwaondoa na kuishi katika nchi yao + +"Ammonites walichukua kila kitu Rephaim walivyokuwa wamemiliki na kuishi walikoishi Rephaim" + +# Horites + +Hili ni jina la kikundi cha watu + +# waliwaondoa na kuishi katika eneo lao + +"kuchukua kila kitu cha watu wa Horites walivyomiliki na kuishi ambako waliishi Horites" + diff --git a/deu/02/23.md b/deu/02/23.md new file mode 100644 index 00000000..92e4a7d1 --- /dev/null +++ b/deu/02/23.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Mwandishi anamalizia kufafanua namna Mungu alivyomuwezesha Esau kuchukua nchi ambayo Esau anaishi kwa sasa + +# Avvites...Caphtorim + +Haya ni majina ya makundi ya watu + +# Caphtor + +Hili ni jina la eneo. Inaweza kuwa jina jingine la kisiwa cha Krete kinachopatikana katika bahari ya Mediterranean. + +# kuwaangamiza + +"kuwaangamiza Avvim" + +# waliishi kwenye eneo lao + +"waliishi ambako Avvim waliwahi kuishi" + diff --git a/deu/02/24.md b/deu/02/24.md new file mode 100644 index 00000000..a55eb165 --- /dev/null +++ b/deu/02/24.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Mwandishi amemaliza kutoa taarifa za nyuma na sasa tena anaeleza kile Musa alisema kwa wanaisraeli + +# Sasa inuka + +Yahwe anamwambia Musa nini watu wanapaswa kufanya. "Sasa inuka" au "Sasa nenda" + +# nenda katika njia yako + +"endelea safari yako" + +# bonde la Arnon + +Hili ni jina la bonde la mto wa Arnon. Utengeneza mpaka kati ya Moabu na Amorites. + +# Nimejiweka katika mkono wako + +Haya maneno "katika mkono wako" unamaanisha "kwenye utawala au nguvu yako" "Nimekupa nguvu ya kushinda" + +# mkono wako...Kuanza kumiliki...kupigana...kukutisha...habari kuhusu wewe...kwa sababu yako + +Musa anazungumza kwa wanaisraeli kama alikuwa mtu mmoja, hivyo mifano mingi ya "wewe" na "yako" na amri " kuanza kumiliki" na "kupigana" ni umoja. + +# Sihoni + +Hili ni jina la mfalme. + +# Heshboni + +Hili ni jina la mji. + +# pigana naye + +"pigana dhidi yake na jeshi lake" + +# weka uoga na utisho + +Haya maneno "uoga" na "utisho" unamaanisha kwa msingi kitu kile kile na kusisitiza kwamba uoga ni mkubwa + +# watu ambao wako chini ya anga lote + +Hii ni nahau "watu katika kila nchi" + +# kutetemeka na kuwa katika uchungu + +Haya ni maelezo ya wazo moja katika maneno mawili na kusisitiza kwamba watu wata "ogopa kwa uchungu" + diff --git a/deu/02/26.md b/deu/02/26.md new file mode 100644 index 00000000..764b4575 --- /dev/null +++ b/deu/02/26.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israel. + +# Nakutuma + +Hapa "na" urejea kwa Musa + +# jangwa la Kedemoth + +Hili ni jina la eneo karibu na bonde la Arnon. + +# Sihon...Heshbon + +Haya ni majina ya mwanaume na eneo. + +# pamoja na maneno ya amani + +Hapa "maneno ya amani" umaanisha "pamoja na toleo la amani" au "pamoja na ujumbe kutoka kwangu kuuliza kwa ajili ya amani." + +# Nitageuka wala kwa mkono wa kulia wala wa kushoto. + +Haya maneno yanasisitiza kwamba wakati wote wataenda kwa upande uleule. Inaweza kutajwa katika kauli chanja. "Nitageuza uelekeo" au "Nita wakati wote katika njia" + diff --git a/deu/02/28.md b/deu/02/28.md new file mode 100644 index 00000000..571af847 --- /dev/null +++ b/deu/02/28.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Hii inaendeleza ujumbe wa Musa kwa mfalme Sihoni + +# Utaniuzia chakula mimi kwa pesa, ili kwamba niweze kula; nipe maji kwa pesa, ili kwamba niweze kunywa. + +Musa anamwambia Sihon kwamba wanaisraeli hawataiba kutoka kwa Amorite na maombi kwamba Sihon na watu wake wanauza chakula na maji kwa wanaisraeli; hawapi amri. "Nategemea kulipa kwa ajili ya chakula ili kwamba niweze kula na kulipa kwa ajili ya maji ili niweze kunywa" + +# niuzie mimi...niweze kula...nime mimi...niweze kunywa + +Musa anarejea kwa watu wa Israel kama walikuwa Musa mwenyewe. "Niuzie maji na watu wangu...tuweze kula...tupe...tuweze kunywa" + +# pekee niruhusu nipite kwa miguu yangu + +"pekee niruhusu kutembea kupitia mkono wako" + +# Ar + +Hili ni jina la eneo. + diff --git a/deu/02/30.md b/deu/02/30.md new file mode 100644 index 00000000..6ec17fec --- /dev/null +++ b/deu/02/30.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu kwa kile kilichotokea nyuma. + +# Sihoni...Heshbon + +Haya ni majina ya mwanaume na eneo + +# Mungu wako...uwezo wako + +Musa anazungumza kwa wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" viko katika umoja + +# kufanya akili yake kuwa ngumu na kufanya moyo wake wa ukaidi + +Ote maneno yanamaanisha kitu kilekile na kusisitiza kwamba Yahwe "alisababisha afanyike kaida sana." + +# kuwaokoa Sihon na nchi yake mbele yako + +"kukupa Sihoni na nchi yake kwako" + +# anza kuimiliki, ili kwamba uweze kuirithi nchi yake + +"chukua miliki ya nchi yake, ili kwamba uweze kuimiliki" + diff --git a/deu/02/32.md b/deu/02/32.md new file mode 100644 index 00000000..e56ba96f --- /dev/null +++ b/deu/02/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel kuhusu kile kilichotokea hapo nyuma + +# Sihoni + +Hili ni jina la mwanaume. + +# Jahazi + +Hili ni jina la mji wa Moabu + diff --git a/deu/02/34.md b/deu/02/34.md new file mode 100644 index 00000000..91258baf --- /dev/null +++ b/deu/02/34.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu kuhusu kile kilichotokea hapo nyuma. + +# Tulichukua miji yake yote + +"Tuliiteka miji yote ya mfalme Sihoni. + +# kuharibu kabisa kila mji + +"kuua watu wote walioishi kwenye kila mji" + diff --git a/deu/02/36.md b/deu/02/36.md new file mode 100644 index 00000000..7ecbf6da --- /dev/null +++ b/deu/02/36.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Aroer + +Hili ni jina la mji ulioko kaskazini ukingoni mwa mto Arnon. + +# bonde la Arnon + +"Arnon: ni jina la mto. + +# hapakuwa na mji mrefu kwetu + +Taarifa hii iliyo chanya inatumika kusisitiza mafanikio yao kwenye vita. Hii inaweza kutajwa katika hali ya chanya. "tuliweza kuwashinda watu wa kila mji hata kama mji ulikuwa na kuta ndefu kuizunguka." + +# haukuenda + +Musa anazungumza kwa wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo "wewe" ni umoja + +# Mto Jabboki + +Hili ni jina la mto ambao ulitengeneza mpaka kati ya nchi ya Sihoni na nchi ya Ammonites. + diff --git a/deu/03/01.md b/deu/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..e56b000c --- /dev/null +++ b/deu/03/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kwa kile kilichotokea hapo nyuma. + +# Ogi...Sihoni + +Haya ni majina ya wafalme + +# Edrei...Heshbon + +Haya ni majina ya miji. + +# Yahwe alisema nami, 'Usimuogope; ...nimekupa...chini ya utawala wako...Utafanya...kama ulivyofanya...huko Heshbon.' + +Yahwe anazungumza na Musa kama Musa alikuwa mwanaisraeli, hivyo amri "usiogope" na mifano yote ya "wewe" na "yako" viko katika wingi. + +# muogope yeye...juu yake...watu wake na nchi yake + +Hapa maneno "yeye" na "yake" urejea kwa Ogi + +# Nimekwisha kukupa ushindi + +Yahwe anazungumza kwa kile atakachofanya kama vile amekwisha fanya. + +# Utafanya kwake kama ulivyofanya kwa Sihoni + +Neno "kwake" ni neno la badala la "watu wake." "Utamharibu Ogi na watu wake kama ulivyofanya kwa Sihoni" + diff --git a/deu/03/03.md b/deu/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..d15f8ab6 --- /dev/null +++ b/deu/03/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# na watu wake wote waliwekwa chini ya utawala wetu + +Hii inaweza kutajwa katika hali tendaji. "na Yahwe aliwaweka watu wa Ogi chini ya utawala wetu" + +# tulimpiga kufa + +Neno "tu" urejea kwa neno badala la watu wake wote. "tuliwauwa watu wake wote" + +# hakuna hata mmoja wa watu wake walibaki + +Hii ni neno rahisi linalotumika kusisitiza kwamba wanasraeli hawakuacha yeyote kuishi. "watu wake wote waliuwawa" + +# hapakuwa na mji mmoja ambao hatukuuchukua + +Hii ni maradufu ya hasi ambayo inasisitiza kwamba walichukua miji 60 yote. "tulichukua kila mmoja ya miji" + +# miji sitini + +"60 miji" + +# mkoa wa Argobi + +Hili ni jina la mkoa ndani ya Bashani + diff --git a/deu/03/05.md b/deu/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..5d664ca2 --- /dev/null +++ b/deu/03/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel kwa kile kilichotokea hapo nyuma. + +# Hii ilikuwa ni miji yenye ngome yote + +"Hii ilikuwa miji iliyolindwa yote" + +# badala ya + +"kwa nyongeza" au "si pamoja" + +# Sihoni + +Hili ni jina la mfalme. + +# Heshbon + +Hili ni jina la mji. + +# kuharibu kikamilifu kila mji + +"kuua watu wote walioishi kwenye kila mji" + diff --git a/deu/03/08.md b/deu/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..e3d7adea --- /dev/null +++ b/deu/03/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# nje ya mkono wa wafalme wawili + +Hapa maneno "nje ya mkono wa" unamaanisha 'kutoka utawala wa." "kutoka utawala wa wafalme wawili" au "toka kwa wafalme wawili" + +# Amorites...Bashani...Edrei...Ogi + +"Watu wa Amorite...nchi ya Bashani...mji wa Edrei...mfalme wa Ogi: + +# ng'ambo ya pili ya Yordani + +Hii urejea kwa nchi kuvuka mto Yordani kuelekea mashariki mwa Israeli. Musa alikuwa mashariki mwa Yordani wakati aliposema hivi: "mashariki mwa mto Yordani" + +# Mlima wa Hermoni...Sirioni...Seniri + +Haya ni majina ya mlima ule ule ambao uko kaskazini mwa mpaka wa Bashani. + +# ya tambarare + +Hii ni juu, nchi tambarare kati ya mto Arnon na Mlima Gileadi. + +# Salekah + +Hili ni jina la mji uliokaribu na Edrei. + diff --git a/deu/03/11.md b/deu/03/11.md new file mode 100644 index 00000000..8fd5a540 --- /dev/null +++ b/deu/03/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli + +# Kwa masalio...namna watu wanavyopima + +Hii ni taarifa ya nyumba kuhusu mfalme Ogi + +# Tazama! + +"Zingatia mambo muhimu ambayo naenda kukuambia" + +# Haikuwa kwa Rabbah..kuishi? + +Mwandishi anatumia swali kuwakumbusha watu wa Israel kwamba wataweza kwenda Rabbab na kuona namna alivyofikia ukubwa Ogi. Hili swali linaweza kutofasiriwa kama maelezo . Maana zinazowezekana ni 1) "Ilikuwa ni huko Rabbah, ...kuishi." 2)"Ni huko Rabbah... kuishi." + +# thiraa + +Thiraa ni sentimeta 46 + +# namna watu wanapima + +"kulingana na thiraa watu wengi wanatumia" + diff --git a/deu/03/12.md b/deu/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..60ac3df1 --- /dev/null +++ b/deu/03/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu kile kilichotokea hapo nyuma. + +# Ni eneo lilelile linaitwa nchi ya Rephaim + +Mwandishi anaanza kuwasilisha taarifa ya nyuma kuhusu nchi ambayo watu wa Israeli waliiteka. Kama lugha yenu ina namna ya kuonesha kwamba kile kinachofuata ni taarifa ya nyuma, unapaswa kuitumia hapa. + diff --git a/deu/03/14.md b/deu/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..2c53c497 --- /dev/null +++ b/deu/03/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Hii inaendeleza taarifa ya nyuma kuhusu nchi ambayo watu wa Israeli waliiteka. + +# Jair + +Hili ni jina la mwanaume. + +# Geshunites na Maacathites + +Haya ni makundi ya watu walioishi magharibi mwa Bashani. + +# Havvoth Jair + +Mtofasiri anaweza kuweka maelezo haya kwa kusema: "Jina la 'Havvoth Jair' linamaanisha 'mahema ya kijijini Jair' au 'ulimwengu wa Jair" + diff --git a/deu/03/15.md b/deu/03/15.md new file mode 100644 index 00000000..3c6ea5a0 --- /dev/null +++ b/deu/03/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Nilimpa + +Hapa "Ni" urejea kwa Musa. + +# kwa Machir + +"kwa uzao wa Machir." Huyu ni mwana wa Manasseh. Alikufa kabla Musa hajatoa nchi hii. + +# bonde la Arnon + +Hili ni jina la bonde la mto wa Arnon. Inatengeneza mpaka kati ya Moabu na Amorites. + +# Mto Jabbok + +Hili ni jina la mto ambao ulitengeneza mpaka kati ya nchi ya Sihoni na nchi ya Ammonites. + diff --git a/deu/03/17.md b/deu/03/17.md new file mode 100644 index 00000000..dd72a72c --- /dev/null +++ b/deu/03/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli + +# Moja ya mipaka mingine pia + +"Mpaka wa magharibi wa Rubeni na wilaya ya Gadi" + +# Chinnerethi + +"bahari ya mchumvi." Hili ni eneo sawa kama "Bahari ya Galilaya" au "Ziwa la Genesareti" + +# Mlima Pisgah + +Hili ni jina la mlima huko sehemu ya kaskazini wa mlima Abarimu + diff --git a/deu/03/18.md b/deu/03/18.md new file mode 100644 index 00000000..c55d8aae --- /dev/null +++ b/deu/03/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Nilikuamuru kwa wakati huo + +Musa anawakumbusha kabila la Reubeni, kabila la Gadi, na nusu ya kabila la Manasseh kwamba wanapaswa kuwasaidia waisraeli wengine kushinda nchi ambayo Mungu aliwaahidi. + +# tutapita tukiwa na silaha mbele + +"tutachukua silaha zao na kuvuka mto Yordani mbele yao" + +# ndugu zenu, watu wa Israeli + +"ndugu zenu wanaisraeli" + diff --git a/deu/03/19.md b/deu/03/19.md new file mode 100644 index 00000000..841fb752 --- /dev/null +++ b/deu/03/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza kwa makabila ya Reuben na Gadi na nusu ya kabila la Manasseh. + +# Yahwe awapa ndugu zenu pumziko + +Mwandishi anazungumza kama uwezo wa kupumzika ulikuwa ni suala la kimwili ambalo linaweza kutolewa kama zawadi. Neno "pumziko" pia ni mfano kwa maisha ya amani ambayo hayana vita. "Yahwe awaruhusu ndugu zenu kupumzika" au "Yahwe awaruhusu ndugu zenu kuacha kupigana vita na kuishi kwa amani" + +# ng'ambo ya Yordani + +Hii inarejea kwa nchi kuvuka mto Yordani, mashariki mwa Israeli. Musa alikuwa mashariki mwa Yordani wakati aliposema hiki. "mashariki mwa mto Yordani." + +# kisha utarudi + +Musa anasisitiza kwamba makabila mengine yanapaswa kumiliki maeneo yao kabla ya Yahwe ataruhusu haya makabila matatu kumili nchi yao. "kisha mtarudi peke yenu." + diff --git a/deu/03/21.md b/deu/03/21.md new file mode 100644 index 00000000..31c77bc2 --- /dev/null +++ b/deu/03/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kuhusu kile kilichotokea huko nyuma. + +# Macho yako yameona + +Hapa "macho" urejea kwa Yoshua. + diff --git a/deu/03/23.md b/deu/03/23.md new file mode 100644 index 00000000..5b4d050b --- /dev/null +++ b/deu/03/23.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu kuhusu kile kilichotokea huko nyuma + +# Niliwasihi + +Hapa "Ni" urejea kwa Musa. Hii inamaanisha alimuuliza Mungu kwa uhodari kabisa, kihisia. + +# kumuonesha mtumwa wako + +Hapa "mtumwa wako" ni njia ya utulivu kuzungumza kwa mwingine na mamlaka makubwa. + +# mkono wako wa nguvu + +Hapa neno "mkono" umaanisha utawala au nguvu. + +# kwa mungu yupi hapo...matendo? + +Musa anatumia swali kusisitiza kwamba Yahwe ni Mungu pekee aliye na nguvu kufanya kazi alizozifanya. Swali hili linaweza kutofasiriwa kama maelezo. "kwa kuwa hakuna mungu...matendo." + +# huko mbinguni au duniani + +Huku kulikothiri mara mbili kwa pamoja unamaanisha "popote." + +# Ng'ambo ya Yordani + +"magharibi mwa mto Yordani." Wakati Musa alizungumza haya maneno kwa Yahwe, alikuwa mashariki mwa mto Yordani huko Moabu. + diff --git a/deu/03/26.md b/deu/03/26.md new file mode 100644 index 00000000..7acef8a7 --- /dev/null +++ b/deu/03/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwaambia watu wa Israel kile kilichotokea huko nyuma + +# Yahwe alikasirika juu yangu kwa sababu + +Hii inarejea kwa wakati Musa hakutii kile Yahwe alimwambia kufanya kwa sababu Musa alikuwa amewakasirikia watu wa Israeli. + +# inua macho yako + +Haya maneno "Inua macho yako" yako ni maneno ambayo yana maanisha kutazama. + diff --git a/deu/03/28.md b/deu/03/28.md new file mode 100644 index 00000000..2771fef3 --- /dev/null +++ b/deu/03/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Yahwe aendelea kuzungumza na Musa + +# Betho Peor + +Hili ni jina la mji huko Moab karibu na mlima Pisgah + diff --git a/deu/04/01.md b/deu/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..550f124d --- /dev/null +++ b/deu/04/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni karibu kukufundisha + +Musa anawambia watu wa Israeli kile Mungu anataka wao kufanya. + +# kuwafanyia + +"na kuwatii" + +# Hautayaongeza maneno ...wala kuyapunguza + +Yahwe hataki watu wake kutengeneza sheria mpya, au kupuzia zile alizowapa tayari. + diff --git a/deu/04/03.md b/deu/04/03.md new file mode 100644 index 00000000..3b0f0461 --- /dev/null +++ b/deu/04/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli + +# Macho yako yameona + +Hapa "macho" urejea kwa watu wa Israeli + +# Kwa sababu ya Baali Peor + +Maana kamili ya maelezo haya yanaweza kufanywa wazi. "kwa sababu ya dhambi ulifanya kwa Baali Peor" + +# Yahwe Mungu wako amewaangamiza kutoka kwenu + +Musa anazungumza kwa watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo "yako" na "wewe" ni umoja. + +# wewe ulimshikilia Yahwe + +Mwandishi anazungumza kama kumtegemea Yahwe na kumtii yeye kulikuwa kama kumshikilia mtu kimwili. + diff --git a/deu/04/05.md b/deu/04/05.md new file mode 100644 index 00000000..18ad23f4 --- /dev/null +++ b/deu/04/05.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Tazama + +"Zingatia" + +# kwamba ufanye hivyo katikati mwa nchi + +"kwamba uwatii wakati unaishi kwenye nchi" + +# zishike na kuzifanya + +Haya makundi mawili ya maneno kwa msingi yana maanisha vilevile na kusisitiza kwamba watawaitii. + +# hii ni hekima yako na uelewa wako kwa mtazamo wa watu + +Maneno "hekima" na "uelewa" ni maneno mbadala wa imani ya watu kwamba wanaisraeli walikuwa na hekima na uelewa kwa kile cha umuhimu. "hiki ndicho kitaonesha watu hekima yako na uelewa wako" + +# machoni pa watu + +Maneno "machoni pa" unamaanisha "kwa mtazamo wa." Hii inamaanisha watu wengine watawatazama watu wa Israel kuwa na hekima. + +# hili taifa kubwa ni la watu wa hekima na uelewa. + +Neno "taifa" ni neno kwa kwa ajili ya watu wa taifa hilo. + diff --git a/deu/04/07.md b/deu/04/07.md new file mode 100644 index 00000000..af428e91 --- /dev/null +++ b/deu/04/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli + +# Kuna taifa gani jingine la vile liko hapo ...yeye? Kuna taifa gani jingine kubwa la vile liko hapo...leo? + +Haya maswali yanaweza kutofasiriwa kama maelezo. "Kwa kuwa hakuna taifa kubwa jingine...yeye. Hakuna taifa kubwa jingine leo." + diff --git a/deu/04/09.md b/deu/04/09.md new file mode 100644 index 00000000..a782a9eb --- /dev/null +++ b/deu/04/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Zingatia peke na kuwa makini ... kujilinda, usisahau ... macho yako... moyo wako ... maisha yako... yafanye yajulikane kwa watoto wako na wana watoto wako ... uliyosimama mbele ya Yahwe Mungu wako + +Musa anazungumza kwa wanaisraeli kama alikuwa mtu mmoja, hivyo mifano ya "wewe", "yako" na "mwenyewe," "linda," na "fanya ujulikane" ni umoja. + +# Zingatia kwa pekee na kwa makini ujilinda, + +"Zingatia kwa makini na uwe na uhakika kukumbuka haya mambo daima" + +# usisahau...haziuwachi moyo wako + +Haya maneno umaanisha kitu kilekile na kusisitiza kwamba watu wa Israel wanapaswa kukumbuka kile walichokiona. + +# macho yako yameoana + +Hapa "macho " inasimama kwa nafsi. + +# Nikusanyie watu + +"Walete watu kwa pamoja na walete kwangu" + diff --git a/deu/04/11.md b/deu/04/11.md new file mode 100644 index 00000000..4590f9e7 --- /dev/null +++ b/deu/04/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha wanaisraeli historia yao. + +# pamoja na moto kwa moyo wa mbinguni + +Haya maneno "Moyo wa" unamaanisha " katikati ya" au "sehemu ya ndani zaidi," na "mbingu" hapa urejea kwa anga. "pamoja na moto ambao ulienda angani" + +# kwa giza, mawingu, na giza nene + +Hapa "giza nene" uelezea mawingu. "kwa nene, wingu la giza" + +# giza nene + +Maana nyingine ni "wingu zito" + diff --git a/deu/04/13.md b/deu/04/13.md new file mode 100644 index 00000000..9e91d935 --- /dev/null +++ b/deu/04/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza kwa watu wa Israeli. + +# Alitangaza + +"Yahwe alitangaza" + +# kwako + +Hapa "kwako" urejea kwa wanaisraeli walioenda kwenye mlima Horebu. + +# katika nchi ambayo ulikuwa unavuka kuchukua miliki ya + +"baada ya kuvuka mto wa Yordani na kuchukua miliki ya nchi" + diff --git a/deu/04/15.md b/deu/04/15.md new file mode 100644 index 00000000..b6d347a2 --- /dev/null +++ b/deu/04/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu Israeli + +# Kwa hiyo chukua tahadhari kubwa mwenyewe + +Maana 1) "Kwa hiyo unahitaji kuwa makini namna unavyotenda" au 2) "Linda nafsi yako kwa makini." + +# usiwe fisadi mwenyewe + +"usifanye kile kilichokibaya" + +# huenda kwa ardhi + +tambaa juu ya ardhi" + diff --git a/deu/04/19.md b/deu/04/19.md new file mode 100644 index 00000000..f7074b57 --- /dev/null +++ b/deu/04/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hautainua macho yako...na kutazama... na kusogezwa... Yahwe Mungu wako + +Musa anazungumza kwa wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "yako" na maneno "inua," "tazama," na "kusogezwa" ni umoja. + +# Hautainua ... na kusogezwa mbali kuabudu + +Hii inaweza kutofasiri katika kauli. "Usi... na usimwaache yoyote akufanye uabudu" au " Usi...na usikubali mwenyewe kuabudu" + +# jeshi lote la mbinguni + +"chochote unachoweza kuona angani." Hii ni njia nyingine wa kurejesha kwa jua, mwezi, na nyota. + +# ambayo Yahwe Mungu wenu amewapa ushiriki watu wote + +Hii ni nahau. Musa anazungumza juu ya nyota kama zilikuwa vitu vidogo kama chakula ambacho Yahwe alikuwa anagawa na kuwapa makundi ya watu. "kwamba Yahwe Mungu wenu ameweka hapo kusaidia makundi yote ya watu." + +# aliwatoa kutoka tanuru la chuma + +Musa anazungumza juu ya Misri na kazi ngumu wanaisraeli walifanya huko kama vile oveni ambayo chuma kinachomwa na wanaisraeli walikuwa ni chuma. + diff --git a/deu/04/21.md b/deu/04/21.md new file mode 100644 index 00000000..6425e359 --- /dev/null +++ b/deu/04/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza kwa watu wa Israeli. + +# Yahwe alikuwa amekasirika juu yangu kwa sababu + +Hii inarejea wakati Musa alishindwa kutii kile Yahwe alimwambia kufanya kwa sababu Musa alikuwa amekasirika juu ya watu wa Israeli. Maana kamili ya maelezo haya inaweza kufanywa wazi. + +# Yahwe Mungu wenu anawapa + +Musa anazungumza kwa wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo "wewe" na "wako" ni umoja. + diff --git a/deu/04/23.md b/deu/04/23.md new file mode 100644 index 00000000..dcc804c2 --- /dev/null +++ b/deu/04/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Zingatia mwenyewe + +"Zingatia kwa makini" + +# Yahwe Mungu wenu amewakataza... Yahwe Mungu wenu + +Musa anazungumza kwa wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno, "wewe" na "wako" ni umoja. + +# Yahwe Mungu wenu ni Mungu wa moto wa mawindo, wivu. + +Musa analinganisha namna Yahwe anafanya wakati anakasirika kwa njia ya moto unavyoharibu vitu. " Yahwe Mungu wenu atawahukumu kwa ukali na kuwaharibu kama moto ufanyavyo kwa sababu hataki muwabudu miungu mingine" + diff --git a/deu/04/25.md b/deu/04/25.md new file mode 100644 index 00000000..5281efd3 --- /dev/null +++ b/deu/04/25.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# unazaa... Yahwe Mungu wenu + +Maneno "wewe" na "wako" ni umoja hapa. + +# kuzaa + +unakuwa baba wa, au unakuwa babu wa + +# kama mnakuwa na tabia mbaya wenyewe + +"kama mnafanya vibaya." maneno ya kufanana yanaonekana katika 4:15 + +# na fanya kile kilicho kibaya mbele ya Yahwe Mungu wenu, kumkasirisha hasira yake + +Hii ni nahau. "na unamfanya Yahwe Mungu wenu kukasirika kwa kufanya kile anachosema ni kiovu" + +# Naita mbingu na dunia kushuhudia + +Maana zinazowezekana ni 1) Musa anaita wote wale wanaoishi mbinguni na duniani kuwa mashahidi kwa kile anachosema au 2) Musa anazungumza na mbingu na dunia kama walikuwa watu, na anawaita kuwa mashahidi kwa kile anachokisema. + +# utaziongeza siku zako + +Siku ndefu ni mfano wa maisha marefu. + +# lakini utaangamiza kabisa + +Kama inavyoonyeshwa katika 4:27, si kila mwisraeli atauwawa. Hapa "kuharibu kabisa" ni kusisitiza kwamba wanaisraeli wengi watakufa. "lakini Yahwe atawaangamiza wengi wao" + diff --git a/deu/04/27.md b/deu/04/27.md new file mode 100644 index 00000000..bbe73cef --- /dev/null +++ b/deu/04/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Yahwe atawatawanyisha miongoni mwa watu + +Musa anazungumza kama watu walikuwa mbegu ambayo Yahwe ataitawanyisha kuzunguka eneo. "Yahwe atawatuma ninyi kwa maeneo mengi tofauti na kuwalazimisha kuishi huko" + +# atawaongoza mbali + +"atawatuma" au "atasababisha adui zenu kuwapeleka mbali" + +# kazi ya mikono ya watu, mbao na mawe + +Hapa "mikono ya watu" urejea kwa wanaume wenyewe, na "kazi...mbao na mawe" kwa sanamu ambazo wamezichonga. "sanamu za mbao na mawe ambazo wanaume wamefanya" + diff --git a/deu/04/29.md b/deu/04/29.md new file mode 100644 index 00000000..3ede85c7 --- /dev/null +++ b/deu/04/29.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. Anazungumza kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "wako" ni umoja. + +# Lakini kutoka huko + +"Lakini wakati mlipokuwa katika mataifa yale mengine" + +# utatafuta + +Neno "u" hapa ni wingi. + +# wakati utakapo nitafuta + +"wakati unapojaribu kumtafuta yeye" au " wakati unajaribu kumjua yeye" + +# kwa moyo wako na nafsi yako + +Hii ni nahau "kwa ote....moyo" unamaanisha "kabisa" na pamoja na ote...nafsi" umaanisha "na utu wetu wote." Haya maneno yana maana ile ile. + diff --git a/deu/04/30.md b/deu/04/30.md new file mode 100644 index 00000000..0d9fd508 --- /dev/null +++ b/deu/04/30.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# yatakuwa yamekuja + +"yametokea kwa" + +# katika siku zile + +"baada ya hapo" au "kisha" + +# sikiliza sauti yake + +Hapa "sikiliza" ina maana kusikia na kutii, na "sauti yake" urejea kwa Yahwe na kile anachosema. "tii kile anachosema" + diff --git a/deu/04/32.md b/deu/04/32.md new file mode 100644 index 00000000..dd5b13e6 --- /dev/null +++ b/deu/04/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na amri "uliza sasa" ni umoja. + +# Imeshawahi watu kusikia ya Mungu anazungumza katikati mwa moto, kama umekwisha sikia, na kuishi? + +Hapa watu wa Israeli wanakumbushwa kwa namna Yahwe amezungumza nao kwa njia ya ajabu siku za nyuma. Hili swali linaweza kutofasiriwa kama maelezo. + +# sikiliza sauti ya Mungu anazungumza + +Neno "sauti" ni maneno kwa ajili ya Mungu, alikuwa anazungumza. "Sikiliza sauti ya Mungu azungumzapo" + diff --git a/deu/04/34.md b/deu/04/34.md new file mode 100644 index 00000000..d59c798c --- /dev/null +++ b/deu/04/34.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli + +# na kwa mkono wa ushujaa, na kwa mkono ulionyoshwa + +Hapa "mkono wa ushujaa" na "mkono kunyoshwa" ni mifano ya nguvu ya Yahwe. + +# mbele ya macho yenu + +Hapa "macho" urejea kwa mtu mzima + diff --git a/deu/04/35.md b/deu/04/35.md new file mode 100644 index 00000000..99139514 --- /dev/null +++ b/deu/04/35.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "wako" ni umoja. + +# Kwako mambo haya yalionyeshwa + +Hii inaweza kutajwa katika kauli tendaji. "Yahwe aliwaonyesha mambo haya" + +# aliwafanya kusikia...aliwafanya kuona + +"alihakikisha mnasikia...alihakikisha mmeona" + +# kuwafanya ... mlisikia + +Musa anazungumza kama watu waliokuwa anaongea nao walikuwa ni watu alioongea nao kwenye mlima Sinai miaka mingi ya mwanzoni. Watu katika mlima Sinai kwa uhalisia walikuwa baba wa watu ambayo alikuwa anaongea maneno haya. + diff --git a/deu/04/37.md b/deu/04/37.md new file mode 100644 index 00000000..678738bf --- /dev/null +++ b/deu/04/37.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "yako" ni umoja. + +# baba zako + +Hii inarejea kwa Abraham, Isaka, Yakobo, na wana wa Yakobo. + +# pamoja na uwepo wake, pamoja na nguvu zake kuu + +"pamoja na nguvu kuu ambayo huja kutoka kwenye uwepo wake" au "pamoja na nguvu kuu" + diff --git a/deu/04/39.md b/deu/04/39.md new file mode 100644 index 00000000..81bc4420 --- /dev/null +++ b/deu/04/39.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "yako" ni umoja + +# iweke juu ya moyo wako + +Hii ni nahau. "ikumbuke" + +# mbinguni zaidi na chini ya dunia + +Haya maneno "mbinguni" na "duniani" uonyesha kukubwa kuwili na ina maanisha "kila sehemu." + +# kuongoza siku zako + +Siku ndefu ni mfano wa maisha marefu. "kuweza kuishi maisha marefu." + diff --git a/deu/04/41.md b/deu/04/41.md new file mode 100644 index 00000000..e4b98201 --- /dev/null +++ b/deu/04/41.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Hotuba ya Musa, ambayo inaanza katika 1:5, imekwisha,na mwandishi aendelea na simulizi ambayo inakoma katika 1:5 + +# Bezeri... Ramothi... Golani + +Haya ni majina ya miji + diff --git a/deu/04/44.md b/deu/04/44.md new file mode 100644 index 00000000..d534e618 --- /dev/null +++ b/deu/04/44.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hii ni sheria + +Hii inarejea kwa sheria za Musa zitakazotelewa katika sura zifuatazo. + +# Beth Peori + +Hili ni jina la mji huko Moabu karibu na mlima Pisgah. + +# Sihoni...Amorites... Heshboni + +"Mfalme Sihoni...watu wa Amorite...mji wa Heshboni." + diff --git a/deu/04/47.md b/deu/04/47.md new file mode 100644 index 00000000..3f29ca0d --- /dev/null +++ b/deu/04/47.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# nchi yake + +nchi ya mfalme Sihoni + +# ng'ambo ya Yordani kuelekea mashariki...upande wa mashariki ng'ambo ya Yordani + +Hii inarejea kwa nchi kuvuka mto Yordani, kuelekea mashariki mwa Israeli. Musa alikuwa Mashariki mwa Yordani wakati aliposema hivi. "kutoka upande wa mto Yordani kuelekea mashariki... upande wa mashariki kutoka upande wa mto Yordani" + +# Aroeri + +Hili ni jina la mji. + +# bonde la Arnon + +Hili ni jina la eneo. + +# Mlima Sioni...Mlima Hermoni + +Haya ni majina ya milima. + diff --git a/deu/05/01.md b/deu/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..5f562883 --- /dev/null +++ b/deu/05/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# kuitwa kwa Israeli yote + +Musa alitaka kila mmoja Israeli kusikiliza na kutii maneno yake, lakini sauti yake inawezekana haikuwa kubwa kwamba kila mmoja kumsikia. + +# kwamba nitazungumza katika masikio yenu leo + +Hapa "masikio" urejea kwa mtu ote. Huu mfano unasisitiza kwamba watu wanajua kile Musa alichosema kwao, ili kwamba wasitende dhambi na kisha wasiseme hawakujua kuwa walikuwa wanafanya dhambi. + +# Yahwe hakufanya agano hili na baba zenu + +Maana zinawezekana ni 1) Yahwe hakufanya pekee agano na wale waliokuwa huko Horebu; agano pia lilikuwa na kizazi cha badae cha Israeli au 2) Yahwe hakufanya agano hili na baba zenu wa mbali, kama vile Abrahamu, Isaka, na Yakobo; badala yake, agano hili lilianza na wanaisraeli huko Horebu. + diff --git a/deu/05/04.md b/deu/05/04.md new file mode 100644 index 00000000..57fc6784 --- /dev/null +++ b/deu/05/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# ana kwa ana + +Tumia lugha ya mifano kwa watu wawili ambao wana karibiana na kutazamana wakati wanazungumza wao kwao wao. + +# juu ya mlima + +"juu ya mlima" + +# kwa wakati huo + +Musa anarejea kwa tukio ambalo lilitokea yapata miaka 40 ya mapema. + +# nje ya nyumba ya utumwa + +Hapa maneno "nyumba ya utumwa" urejea kwa Misri ambako watu wa Israeli walikuwa watumwa. + diff --git a/deu/05/07.md b/deu/05/07.md new file mode 100644 index 00000000..6e3b0ea3 --- /dev/null +++ b/deu/05/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu kile Yahwe amewaamuru. Maneno "uta" na "hauta" amriwa. Anazungumza na wanaisraeli kama vile walikuwa mtu mmoja. + +# Hamtakuwa na miungu mingine mbele zangu + +"Haupaswi kuabudu miungu yoyote lakini mimi" + +# hiyo iko chini ya dunia, au hiyo iko chini ya maji + +Hii inaweza kufanywa kwa uwazi. "kwamba iko katika dunia chini ya miguu, au iko kwenye mahi chini ya dunia" + diff --git a/deu/05/09.md b/deu/05/09.md new file mode 100644 index 00000000..04fe92a7 --- /dev/null +++ b/deu/05/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "yako" ni umoja. + +# Hautavipigia magoti au kuvitumia + +"Hautaabudu sanamu za kuchonga au fanya kama wanavyowa waamrisha" + +# Hauta + +"Hapana" + +# Mimi...ni Mungu wa wivu + +"Mimi...nataka mniabudu mimi pekee" + +# kwa maelfu, kwa wale wanapendao + +Tofasiri zingine usoma " kwa vizazi elfu ambao wananipenda." Neno "elfu" ni mfano wa namba inayozidi kuhesabu. + diff --git a/deu/05/11.md b/deu/05/11.md new file mode 100644 index 00000000..8c7e444f --- /dev/null +++ b/deu/05/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano ya "wewe" na "yako" ni umoja + +# Hautalichukua jina la Yahwe + +"Hautalitumia jina la Yahwe" + +# kwa utupu + +"kutojali" au "kutokuwa na heshima sahihi" au "kwa kusudi baya" + +# Yahwe hatamshikilia kuwa ana hatia + +Hii inaweza kutajwa katika hali chanya. "Yahwe atamchukulia kuwa ana hatia" au "Yahwe atamhukumu" + diff --git a/deu/05/12.md b/deu/05/12.md new file mode 100644 index 00000000..084c2ac5 --- /dev/null +++ b/deu/05/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "yako" ni umoja + +# kuiweka takatifu + +"weka wakfu kwa Mungu" + +# fanya kazi yako yote + +"fanya majukumu yako za kawaida" + +# siku ya saba + +"Siku ya 7" Hapa "siku ya saba" ni namba ya kawaida kwa ajili ya saba + +# Juu yake hautafanya + +"Siku ile usifanye" + +# ndani ya malango yako + +Hapa "malango" ni rejeo ya mji wenyewe. "ndani ya jamii yako" au " ndani mji wako" au "kuishi pamoja nanyi" + diff --git a/deu/05/15.md b/deu/05/15.md new file mode 100644 index 00000000..75c4f8a2 --- /dev/null +++ b/deu/05/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "yako" ni umoja + +# Utaita akilini + +Huu ni mfano. "Unapaswa kukumbuka" + +# kuwa mkono hodari na mkono ulionyoshwa + +Hapa "mkono hodari" na "mkono uluonyoshwa" ni mifano ya nguvu za Yahwe. Tofasiri hii kama ilivyo katika 4:34. + diff --git a/deu/05/16.md b/deu/05/16.md new file mode 100644 index 00000000..5015a34a --- /dev/null +++ b/deu/05/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "yako" ni umoja + diff --git a/deu/05/17.md b/deu/05/17.md new file mode 100644 index 00000000..4b2816ae --- /dev/null +++ b/deu/05/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "yako" ni umoja + +# Hautazini + +"Hautalala na yoyote tofauti na mwenzi wako" + +# Hautashuhudia uongo dhidi ya jirani yako + +"Hautasema uongo kuhusu mtu yeyote" + diff --git a/deu/05/21.md b/deu/05/21.md new file mode 100644 index 00000000..5015a34a --- /dev/null +++ b/deu/05/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "yako" ni umoja + diff --git a/deu/05/22.md b/deu/05/22.md new file mode 100644 index 00000000..4734f945 --- /dev/null +++ b/deu/05/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kile alichosema Yahwe. + diff --git a/deu/05/23.md b/deu/05/23.md new file mode 100644 index 00000000..959382d5 --- /dev/null +++ b/deu/05/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kile kilichotokea nyuma + +# kusikia sauti + +Neno "sauti" ni maneno kwa ajili ya mlio wa sauti au kwa ajili ya mtu aliyekuwa anazungumza. "kusikia mlio wa sauti" au "kusikia Yahwe anazungumza" + diff --git a/deu/05/25.md b/deu/05/25.md new file mode 100644 index 00000000..b9879c21 --- /dev/null +++ b/deu/05/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha wanaisraeli kile walichokuwa wamesema kwa Musa + +# Lakini tufe? + +Walikuwa wameogopa kwamba watakufa kama alizungumza nao. Hili swali linaweza kutofasiriwa kama maelezo. "Tunaogopa kuwa tutakufa" + +# Nani badala yetu yuko hapo...amefanya? + +Hili swali linaweza kutofasiriwa kama maelezo. "Hakuna watu badala yetu...wamefanya" + +# nyama yote + +Hili ni neno kwa ajili ya "watu wote" au "viumbe vyote." + diff --git a/deu/05/28.md b/deu/05/28.md new file mode 100644 index 00000000..5448647b --- /dev/null +++ b/deu/05/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wakati ulipozungumza na mimi + +Hapa "mimi" urejea kwa Musa + +# Oh, kwamba walikuwa + +Kama lugha yako ina maneno ya kueleza hamu ya nguvu kwa ajili ya kitu fulani, unaweza kutumia hapa. + diff --git a/deu/05/31.md b/deu/05/31.md new file mode 100644 index 00000000..9c432ce4 --- /dev/null +++ b/deu/05/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Yahwe aendelea kuzungumza na Musa + +# utawafundisha + +"utawafundisha watu wa Israeli" + diff --git a/deu/05/32.md b/deu/05/32.md new file mode 100644 index 00000000..3795ec42 --- /dev/null +++ b/deu/05/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Utaishika + +Musa anawapa amri watu wa Israeli. + +# hautageukia mkono wa kulia wala kushota + +Hii inalinganisha mtu kutomtii Mungu na mtu kuiacha njia sahihi. + +# kuongeza siku zako + +Siku ndefu ni mfano wa maisha marefu. + diff --git a/deu/06/01.md b/deu/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..6b6572e2 --- /dev/null +++ b/deu/06/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea na hotuba kwa watu wa Israeli anaanza 5:1. Kuanzia mstari wa 2, anazungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja. + +# kushika kwa nguvu...kushika + +"utii kwa nguvu...kutii" + +# kwenda zaidi ya Yordani + +"kwenda upande mwingine wa mto Yordani" + +# kwamba siku zako ziweze kuongezeka + +Siku ndefu ni mfano wa maisha marefu. Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. Hii inaweza kutofasiriwa sawasawa na "kuongeza siku zako" 4:25 "kwamba niweze kuongeza siku zako" au "kwamba nikusababishe uishi muda mrefu" + diff --git a/deu/06/03.md b/deu/06/03.md new file mode 100644 index 00000000..508dbe44 --- /dev/null +++ b/deu/06/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli walikuwa mtu mmoja. + +# wasikilize wao + +Hapa "wasikilize" ina maana kutii, na "wao" urejea kwa amri za Yahwe. Maana kamili ya maelezo haya yanaweza kufanya wazi. "sikiliza amri za Yahwe, sheria na amri" + +# kuwatii wao + +"watii wao" + +# nchi itiririkayo maziwa na asali + +Hii ni nahau. "nchi ambako maziwa na asali ya wingi utiririka" au " nchi ambayo iko vizuri kwa mifugo na kilimo" + diff --git a/deu/06/04.md b/deu/06/04.md new file mode 100644 index 00000000..920afa00 --- /dev/null +++ b/deu/06/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja. + +# Yahwe Mungu wetu ni mmoja + +"Mungu Yahwe wetu ni mmoja na pekee Mungu" + +# kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, na nguvu zako zote + +Haya maneno yaliounganishwa yanasisitiza kwamba mtu anapaswa kumpenda Mungu kabisa na kwa ukamilifu kujitoa kwake. + diff --git a/deu/06/06.md b/deu/06/06.md new file mode 100644 index 00000000..ee288b03 --- /dev/null +++ b/deu/06/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli walikuwa mtu mmoja. + +# Ninakuamuru wewe + +Musa anazungumza amri za Mungu kwa watu wa Israeli + +# itakuwa katika moyo wako + +Hii ni nahau. "unapaswa daima kukumbuka" + +# utafundisha kwa bidii... utaongea + +"Ninakuamuru wewe kufundisha kwa bidii...Ninakuamuru wewe kuongea." Msomaji anapaswa kuelewa haya kama amri. + diff --git a/deu/06/08.md b/deu/06/08.md new file mode 100644 index 00000000..c4e1e8c0 --- /dev/null +++ b/deu/06/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja. + +# yafunge + +Hii ni neno kwa ajili ya "andika haya maneno kwenye ngozi, weka ngozi kwenye mkoba, na ufunge mkoba." Hili ni neno kwa nyogeza linaweza kuwa mfano kwa ajili ya "kutii haya maneno ili iwe kama yalikuwa kimwili hapo." + +# kama ishara juu ya mkono wako + +"kama kitu fulani kufanya wewe kukumbuka sheria zangu" + +# nazo zitatumika kama utepe + +Hii ni neno kwa ajili ya "andika haya maneno kwenye ngozi, weka ngozi kwenye mkoba, na ufunge mkoba kwenye kichwa chako ili ukae." Hili ni neno kinyume linaweza kuwa mfano kwa ajili ya "kutii haya maneno ili kwamba iwe kama vile vilikuwa katika uhalisia hapo." + +# utepe + +mapambo mtu uvaa kwenye paji la uso + +# Utaandika + +Hii ni amri + diff --git a/deu/06/10.md b/deu/06/10.md new file mode 100644 index 00000000..a55ffe91 --- /dev/null +++ b/deu/06/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja. + +# kubwa na miji mizuri sana ambayo hamkujenga + +Miji hii yote itakuwa ya watu wa Israeli wakati wanawateka watu wa Canaan. + +# nje ya nyumba ya utumwa + +Hapa maneno "nyumba ya utumwa" urejea kwa Misri, eneo ambalo watu wa Israeli walikuwa watumwa. + diff --git a/deu/06/13.md b/deu/06/13.md new file mode 100644 index 00000000..45e253ce --- /dev/null +++ b/deu/06/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja. + +# Utamheshimu Yahwe Mungu wako; yeye utamwabudu, na utaapa kwa jina lake + +"Ni Yahwe Mungu wenu na hakuna mmoja mwingine ambaye mtaheshimu; ni yeye peke yake ambaye mtamwabudu, na ni kwa jina lake na jina lake pekee mtaapa." Lugha yenu inaweza kuwa na njia nyingine ya kusisitiza kwamba Yahwe anawaambia wanaisraeli kutomwabudu au kumtumikia mungu mwingine. + +# utaapa kwa jina lake + +Kuapa kwa jina la Yahwe ina maana kumfanya Yahwe msingi au nguvu ambayo inatumiwa kufanya kiapo. Maneno "jina lake" urejea kwa Yahwe mwenyewe. + +# katikati yenu + +"ambaye anaishi miongoni mwenu" + +# hasira ya Yahwe Mungu wenu itawashwa dhidi yenu + +Musa analinganisha hasira ya Yahwe na yeyote anawasha moto kuharibu vitu. Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. Kuwasha hasira ni mfano wa kuwa na hasira sana. + +# kuwaharibu ninyi toka + +"kuwaharibu ili kwamba hakuna chochote kilichobaki kwenu popote" + diff --git a/deu/06/16.md b/deu/06/16.md new file mode 100644 index 00000000..8be72800 --- /dev/null +++ b/deu/06/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja. + +# Hauta mjaribu Yahwe + +Hapa "kujaribu" ina maana kutoa changamoto kwa Yahwe na kumlazimisha kujithibitisha. + +# Massah + +Hili ni jina la eneo huko jangwani. Mtofasiri anaweza kuongeza maneno kusema: "Jina la 'Massah' umaanisha 'kujaribu' + diff --git a/deu/06/18.md b/deu/06/18.md new file mode 100644 index 00000000..f6b6a087 --- /dev/null +++ b/deu/06/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja. + +# Utafanya kilicho sawa na kizuri mbele ya Yahwe + +Hii nahau ni amri na baraka. Kama wanaisraeli wanamtii Yahwe, watapokea baraka kutoka kwa Yahwe. + diff --git a/deu/06/20.md b/deu/06/20.md new file mode 100644 index 00000000..2a4f877c --- /dev/null +++ b/deu/06/20.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja + +# Ni zipi amri za agano...amrisha ninyi + +Hili swali ni maneno. "Nini amri za agano...aliamuru umaanisha kwako" au "Kwanini tunapaswa kutii amri za agano...amrisha ninyi" + +# mwana wako + +Hii urejea kwa watoto wa watu wakubwa wa Israeli ambao Musa alikuwa anazungumza maneno ya Yahwe. + +# na mkono hodari + +Hapa "mkono hodari" urejea kwa nguvu ya Yahwe/ + +# na juu ya nyumba yake yote + +Hapa maneno "nyuma yake" urejea kwa watu wa Yahwe. + +# mbele za macho yenu + +Hapa neno "macho" urejea kwa mtu kamili + +# kuweza kutuleta sisi ndani + +Maana kamili ya maelezo haya inaweza kufanywa wazi. + diff --git a/deu/06/24.md b/deu/06/24.md new file mode 100644 index 00000000..2fc0d93a --- /dev/null +++ b/deu/06/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja. Anawaambia kile wanachopaswa kuwaambia watoto wao kuhusu amri za Yahwe. + +# mbele ya Yahwe + +"katika uwepo wa Yahwe" au "wapi Yahwe anaweza kutuon sisi" + +# shika + +"tii" + +# hii itakuwa haki yetu + +Hili ni neno. "atatuangalia sisi wenye haki" + diff --git a/deu/07/01.md b/deu/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..54e3d35f --- /dev/null +++ b/deu/07/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja. + diff --git a/deu/07/02.md b/deu/07/02.md new file mode 100644 index 00000000..0aadf716 --- /dev/null +++ b/deu/07/02.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja. + +# anawapa ninyi ushindi juu yenu + +Musa anazungumza ushindi kama vile ulikuwa kitu halisi mtu mmoja angeweza kumpa mwingine. + +# juu yao + +Hapa "wao" urejea kwa mataifa saba kutoka + diff --git a/deu/07/04.md b/deu/07/04.md new file mode 100644 index 00000000..d62902f7 --- /dev/null +++ b/deu/07/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja. + +# Kwa watakuwa + +"Kama mtaruhusu watoto wenu kuoa watu kutoka mataifa mengine, watu kutoka mataifa watakuwa" + +# Kwa hiyo hasira ya Yahwe itawashwa dhidi yenu + +Musa analinganisha hasira ya Yahwe kwa yeyote anawasha moto. Hii inasisitiza nguvu ya Yahwe kuharibu kile kimsababisha yeye kukasirika. Hii inaweza kutajwa katika kauli tendaji. + +# dhidi yenu + +Neno "wewe" urejea kwa wanaisraeli wote na kwa hiyo ni wingi. + +# utashughulika...utavunja...kata..choma + +Musa anazungumza na wanaisraeli wote, kwa hiyo haya maneno ni wingi. + diff --git a/deu/07/06.md b/deu/07/06.md new file mode 100644 index 00000000..62147e4c --- /dev/null +++ b/deu/07/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa awaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja. + +# u taifa lililowekwa wakfu + +Yahwe kuchagua watu wa Israeli kuwa watu wake katika njia maalumu inazungumzwa kama Yahwe kuwatenga toka mataifa mengine. + +# ambao wako juu wa uso wa dunia + +Hii ni nahau. "ambao uishi juu ya dunia" + diff --git a/deu/07/07.md b/deu/07/07.md new file mode 100644 index 00000000..1b78a341 --- /dev/null +++ b/deu/07/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe. Mifano yote ya "wewe" na "yako" ni uwingi. + +# hakuweka upendo wake juu yenu + +"hakuwapenda ninyi" + +# pamoja na mkono hodari + +Hapa "mkono hodari" urejea kwa nguvu ya Yahwe. + +# kuwakomboa toka nyumba ya utumwa + +Musa anazungumza juu ya Yahwe kuwakomboa watu wa Israeli kutoka katika utumwa kama vile Yahwe amelipa pesa kwa mmiliki wa mtumwa. + +# nyumba ya utumwa + +Hapa maneno "nyumba ya utumwa" urejea kwa Misri, eneo ambalo watu wa Israeli walikuwa watumwa. + +# mkono wa Farao + +Hapa "mkono" una maana "utawala wa" "utawala wa Farao" + diff --git a/deu/07/09.md b/deu/07/09.md new file mode 100644 index 00000000..d0fe9716 --- /dev/null +++ b/deu/07/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja. + +# kwa vizazi elfu + +"kwa 1,000 kizazi" + +# walipe wale wanaomchukia kwenye uso wao + +Hii nahau ina maanisha "kuwalipa kwa haraka na uwazi ili kwamba wajue Mungu amewaadhibu." + +# hatakuwa na huruma kwa yeyote anayemchukia + +"Yahwe atawahukumu kwa ukali wowote wanaomchukia" + diff --git a/deu/07/12.md b/deu/07/12.md new file mode 100644 index 00000000..059cf367 --- /dev/null +++ b/deu/07/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe. Anazungumza kama vile wanaisraeli wako mtu mmoja katika mstari wa 12 na kwa wote wale kama kundi katika mstari 13. + +# na kuwazidisha + +"na kuongeza idadi ya watu wako" + +# matunda ya mwili wako + +Hii ni nahau kwa ajili ya "watoto wako" + +# matunda ya ardhi yako + +Hii ni nahau kwa "mazao yako" + +# kuzidisha kwa mifugo yako + +"mifugo yako hivyo itakuwa mingi" + diff --git a/deu/07/14.md b/deu/07/14.md new file mode 100644 index 00000000..a224048d --- /dev/null +++ b/deu/07/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama vile wanaisraeli wako mtu mmoja. + +# Utabarikiwa zaidi kuliko watu wengine wote + +Hii inaweza kutajwa katika kauli tendaji. "Nitakubariki zaidi kuliko ninavyowabariki watu wengine wowote." + +# hapatakuwa na utasa wa kiume au wa kike miongoni mwenu au miongoni mwa mifugo yenu + +Musa atumia maelezo hasi kusisitiza kwamba wote wataweza kuwa na watoto. Hii inaweza kutajwa katika hali chanya. "Wote ninyi mtaweza kuwa na watoto na mifugo wataweza kuzaa" + +# miongoni mwenu...mifugo + +Maneno haya "wewe" na "yako" viko katika wingi. + +# chukua mbali na magonjwa yako yote + +"hakikisha haumwi" au "jiweke kabisa na afya" + +# hakuna hata magonjwa mabaya ... atakayoweka juu yenu, lakini atayaweka juu ya wale wanaomchukia. + +Musa anazungumza kama ugonjwa ulikuwa kitu kizito ambacho Yahwe angeweka juu ya watu. " + diff --git a/deu/07/16.md b/deu/07/16.md new file mode 100644 index 00000000..daae7a0f --- /dev/null +++ b/deu/07/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja. + +# Mtaondoa makundi ya watu wote + +"Ninakuamuru kuharibu kabisa makundi ya watu wote" + +# jicho lako halitawaonea huruma + +Hii ni amri. Musa azungumza kama vile jicho lionavyo lilikuwa jicho lenyewe. "Usiruhusu kile unachoona kusababisha kuwahurumia" au "usiwe na huruma kwa sababu ya kile unachofanya kinawaumiza" + +# hautaabudu + +"kamwe kuabudu" + +# kwamba itakuwa mtego kwako + +Kama watu wanaabudu miungu mingine, watakuwa kama mnyama aliyeshikwa kwenye mtengo wa mawindo, na hawataweza kutoroka. + diff --git a/deu/07/17.md b/deu/07/17.md new file mode 100644 index 00000000..3a4a92b2 --- /dev/null +++ b/deu/07/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja. + +# Kama unasema kwenye moyo wako... usiogope + +Watu hawapaswi kuogopa hata kama wanagundua kwamba mataifa yako na nguvu kuliko wao. "Hata kama mnasema moyoni mwenu" + +# sema kwenye moyo wako + +"fikiri" + +# namna gani ataweza kuwafukuza wao? + +Musa atumia swali kusisitiza kwamba watu wataweza kujihisi kuogopa mataifa mengine. Hili swali linaweza kutofasiriwa kama maelezo. "Siwezi kuwashinda wao" + +# mtafikiri akilini + +Hii ni nahau. "unapaswa kukumbuka" + +# kile macho yenu yameona + +Hapa "macho" urejea kwa watu walichoona. + +# mkono hodaru, na mkono ulionyoka + +Hapa "mkono hodari" na "mkono ulionyoka" ni mifano ya nguvu ya Yahwe + diff --git a/deu/07/20.md b/deu/07/20.md new file mode 100644 index 00000000..1f2b9ef9 --- /dev/null +++ b/deu/07/20.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja. + +# Zaidi ya hayo + +"Na pia" + +# tuma nyigu + +Yamkini maana ni 1)Mungu atatuma wadudu walikuo ambao wanauuma watu na kusababisha maumivu, au 2) Mungu atasababisha watu kuogopa na kutaka kukimbia. + +# kuangamia kutoka uweponi mwako + +"kufa ili usiwaone tena" + +# Hautakuwa + +"Kamwe" + +# mkuu na Mungu wa kutisha + +"mkuu na Mungu wa kutisha" au "Mungu mkuu asababishae watu kuogopa" + +# kidogo kwa kidogo + +"polepole" + diff --git a/deu/07/23.md b/deu/07/23.md new file mode 100644 index 00000000..50216ec1 --- /dev/null +++ b/deu/07/23.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja. + +# kuwapa ninyi ushindi + +"kuwawezesha ninyi kushinda" + +# ushindi juu yao + +Ushindi juu ya majeshi toka mataifa mengine" + +# atawachanganya kabisa + +"atawafanya wao ili wasiweze kufikiri vizuri" + +# mpaka waangamizwe + +Hii inaweza kutajwa katika kauli tendaji. + +# utafanya jina lao kuangamia toka chini ya mbingu + +Wanaisraeli kabisa watawaangamiza watu toka mataifa hayo, na mbeleni hakuna atakayewakumbuka. + +# kusimama mbele yenu + +"kusimama dhidi yako" au "kujitetea wao dhidi yenu" + diff --git a/deu/07/25.md b/deu/07/25.md new file mode 100644 index 00000000..c0ce1e74 --- /dev/null +++ b/deu/07/25.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe. Katika mstari wa 25 azungumza na makundi kama makundi, kwa hiyo mifumo ya "wewe" viko kwa wingi, lakini mstari wa 26 azungumza kama wanaisraeli wako mtu mmoja, kwa hiyo mifumo iko kwa umoja. + +# Utachoma + +Hii ni amri + +# miungu yao + +"miungu ya mataifa mengine" + +# usitamani...utanaswa nayo + +Haya maneno yaongeze kwa maelekezo ya kuchoma sanamu. + +# utanaswa nayo + +Hata kama kuchukua dhahabu na fedha kwenye sinamu kungesababisha watu kuanza kuiabudu. Kwa kufanya hivyo watakuwa kama mnyama aliyeshikwa kwenye mtego. Hii inaweza kutajwa katika mfumo tendaji. + +# kwa kuwa ni chukizo kwa Yahwe Mungu wenu + +Haya maneno uwambia kwanini Yahwe ataka watu kuchoma sanamu. "fanya hivi kwa sababu Yahwe Mungu achukua sana" + +# Kwa hakika utachukizwa na kuzuia + +Maneno "kuchukiza" na "chukia" kwa msingi umaanisha kitu kile kilie na kusisitiza kiwango cha chukizo. + +# kwa kuwa imetengwa kwa ajili ya uharibifu + +Yahwe analaani kitu fulani na kuahidi kukiharibu kama ilinavyozungumzwa kama Yahwe alikuwa anaweka kitu fulani tofauti na kila kitu. Hii inaweza kutajwa kwa mfumo tendaji. :"kwa kuwa Yahew amekwisha tenga kwa maangamizi" + diff --git a/deu/08/01.md b/deu/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..14935aa8 --- /dev/null +++ b/deu/08/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja + +# Unapaswa kushika...uweze kuishi na kuongozeka, na kuingia ndani na kumiliki...baba zenu + +Mifano yote ya "wewe" na "yako" na vitendo viko kwa wingi + +# miaka arobaini + +"miaka 40" + +# apate kuwanyenyekeza + +"apate kuwaonyesha ninyi namna mlivyo dhaifu na wenye dhambi" + +# Utafakari akilini + +Hii ni nahau. "Unapaswa kukumbuka" + +# kujua + +"kudhihirisha" au "kuonyesha" + +# nini kilikuwa katika moyo wenu + +Moyo ni ishara ya tabia ya mtu. + diff --git a/deu/08/03.md b/deu/08/03.md new file mode 100644 index 00000000..8364bc2f --- /dev/null +++ b/deu/08/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja. Aendelea kuwakumbusha nini wanapaswa "kutafakari akilini" + +# Aliwanyenyekeza + +"Yahwe aliwaonyesha namna mlivyo dhaifu na wenye dhambi" Ona namna "anaweza kuwanyenyekeza" imetofasiriwa katika 8:1 + +# aliwalisha kwa manna + +"aliwapa manna kula" + +# si kwa mkata tu kwamba watu waishi + +Hapa "mkate" uwakilisha chakula. "chakula si kitu pekee watu wanahitaji ili waishi" + +# ni kwa kila kitu ambacho hutoka kinywani mwa Yahwe ambacho watu wanaishi + +Hapa "kinywani mwa Yahwe" ni maneno ya Yahwe anayosema. "watu wanapaswa kutii amri za Yahwe ili kwamba waweze kuishi" au " watu wanapaswa kufanya kila Yahwe awaambia kufanya ili kwamba waweze kuishi" + diff --git a/deu/08/04.md b/deu/08/04.md new file mode 100644 index 00000000..966fe369 --- /dev/null +++ b/deu/08/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja. + +# Mavazi yenu...miaka arobaini + +Hiki ni kifungu cha mwisho wanapaswa kukumbuka "tafakari akilini" + +# miaka arobaini + +"miaka 40" + +# Utafikiri...Utashika... tembea katika njia zake na kumheshimu + +Hii yaendeleza orodha ya amri ambazo zimeanza katika 8:1 + +# Utafikiri kuhusu katika moyo wako + +Hapa neno "moyo" uwakilisha mawazo na uelewa wa mtu. + diff --git a/deu/08/07.md b/deu/08/07.md new file mode 100644 index 00000000..5b1b8ae6 --- /dev/null +++ b/deu/08/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja + +# nchi ya + +"nchi pamoja" au "nchi ambayo ina" + diff --git a/deu/08/09.md b/deu/08/09.md new file mode 100644 index 00000000..8a989622 --- /dev/null +++ b/deu/08/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja. + +# nchi ambayo mtakula mkate pasipo kupungukiwa + +"nchi ambapo kutakuwa chakula kingi kwa ajili yenu" + +# ambapo hautaenda pasipo kuwa na kitu + +Hii inaweza kutajwa katika mfumo chanya. "ambapo utakuwa na kila kitu unachohitaji" + +# mawe yaliyotengenezwa kwa chuma + +Mawe yaliyojaa madini ya chuma. Chuma ni kigumu utumika kwa upanga na plau. + +# chimba shaba + +"mgodi wa shaba." Shaba chuma kiliani utumika kwa kutengenezea vyombo vya nyumbani. + +# Mtakula na kushiba + +"Mtakuwa na chakula cha kutosha kula mpaka mnashiba" + +# mtabariki + +"mtasifu" au "mtatoa shukrani kwa" + diff --git a/deu/08/11.md b/deu/08/11.md new file mode 100644 index 00000000..e30045f9 --- /dev/null +++ b/deu/08/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumzza na wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja. + +# usipuuzie amri zake + +"usiache kutii amri zake" au "kuendelea kutii amri zake" + +# Uwe makini kwamba, wakati unakula... ishi kwazo + +Musa aanza kuwaambia kitu cha pili wanachohitaji kuwa makini nacho. Hii ni orodha ndefu ambayo inaendelea katika mistari ifuatayo. + +# Uwe makini kwamba, wakati unakula na kushiba, na wakati unajenga + +Yamkini maana nyingine ni kwamba hizi si "wakati" vishazi lakini ni mbadala ya mwanzo wa orodha ya matokeo ya kuupuzia amri za Yahwe: "Kama unapuuzia amri zake, utakula na kushiba na kujenga." + +# wakati unapokula na unashiba + +"wakati unakuwa na chakula cha kutosha kula" + diff --git a/deu/08/13.md b/deu/08/13.md new file mode 100644 index 00000000..f00ee648 --- /dev/null +++ b/deu/08/13.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja. + +# wakati kundi la wanyama...dhahabu inaongezeka + +Haya maneno ni ya mwisho katika orodha ya "wakati" vishazi ambavyo huanza pamoja na "wakati unakula" 8:11 + +# kundi la wanyama wako na mifugo yako + +"kundi la ng'ombe wako na kundi la kondoo wako na mbuzi" + +# kuongezeka + +"kuongezeka kwa namba" au "kuwa wengi" + +# vyote ambavyo umezidisha + +"una vitu vingi zaidi" au "una umiliki mwingi zaidi" + +# kwamba wakati ule moyo wako ulipoiunuliwa... ulimsahau Yahwe + +Musa ambia mambo mawili ambayo yatatokea kama wote "wakati" maelezo 8:11 yanakuwa kweli. + +# moyo wako umefanyika kuinuliwa juu + +Hii ni nahau "unaweza kuwa na kiburi" + +# nani alikuleta nje + +Musa anaanza kuwakumbusha wanaisraeli kwa kile wanachojua kuhusu Yahwe. + +# nje ya nyuma ya utumwa + +Huu ni mfano wa wakati walipokuwa watumwa huko Misri. + diff --git a/deu/08/15.md b/deu/08/15.md new file mode 100644 index 00000000..5bea12b0 --- /dev/null +++ b/deu/08/15.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja. + +# nani aliwaongoza...huko mwishoni + +Musa aendelea kuwakumbusha wanaisraeli kwa kile wanachojua kuhusu Yahwe + +# na kupitia + +"na kuwaongoza kupitia" + +# nyoka wa moto + +"nyoka wa sumu" + +# ardhi ya kiu + +Haya maneno yanaelezea ardhi kuwa na kiu kama vile mtu anavyokuwa na kiu wakati anapohitaji maji. "ardhi kavu" + +# nani aliongoza...nani alileta...nani alimlisha + +"Yahwe, ndiye aliongoza...Yahwe,ndiye aliyeleta...Yahwe, ndiye alimlisha" + +# kukufanya wewe vizuri + +"kukusaidia wewe" au "kwasababu itakuwa vizuri kwako" + +# na unasema moyoni mwako + +Hili ni jambo la tatu watu wanaweza kufanya wakati mioyo yao "kuinuliwa juu" na wana "msahau Yahwe" 8:13. Hapa "moyo" ni maneno mbadala wa mawazo ya ndani ya mtu. + +# Nguvu yangu na mkono hodari wangu umepata utajiri wote huu. + +Hapa "mkono" urejea kwa nguvu za mtu au uwezo. "Nimepata utajiri huu kwa sababu niko imara na nguvu" au "Nimepata vitu hivi vyote kwa nguvu zangu na uwezo wangu" + diff --git a/deu/08/18.md b/deu/08/18.md new file mode 100644 index 00000000..33be56d9 --- /dev/null +++ b/deu/08/18.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja. + +# Lakini utafikiri akilini + +Hii nahau ni amri. "Lakini kumbuka" + +# kwamba aweze + +"kwa hiyo anaweza" + +# kwamba aweze kuanzisha + +Yamkini maana ni 1) "kwa njia hii anaanzisha" au 2) "kwa njia hii ni mwaminifu kuanzisha." + +# kuanzisha + +"kutimiza" au "kushika" + +# kama ilivyo leo + +"kama anavyofanya sasa" au "kama anavyoanzisha agano lako sasa" + +# tembea baada ya miungu mengine + +kutembea ni mfano wa kutii. "tumikia miungu mingine" + +# dhidi yako...uta...mbele yako...utaangamia...usinge...Mungu wako + +Hii ni mifano ya "wewe" viko kwenye uwingi. + +# Nashuhudia dhidi yako + +"Ninakuonya" au "Nakwambia mbele ya mashahidi " + +# utaangamia hakika + +"hakika utakufa" + +# mbele yako + +"mbele yako wewe" + +# hautasikiliza sauti ya Yahwe + +Hapa "sauti ya Yahwe" ina maana kwamba Yahwe awambia watu wako kufanya. + diff --git a/deu/09/01.md b/deu/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..1ad96130 --- /dev/null +++ b/deu/09/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja. + +# Sikia, Israeli + +"Sikiliza, watu wa Israeli." Neno "Israeli" ni maneno kwa ajili ya watu wa Israeli. + +# kuwafukuza + +"kuchukua ardhi toka" + +# kuimarisha juu ya mbingu + +Huku ni kutia chumvi ambako kunasisitiza namna watu waliogopa walivyokuwa kwa sababu miji ilikuwa mkubwa na imara. "ilikuwa na kuta ndefu" + +# Mwana wa Anakimu + +Wazao wa Anak watu waliokuwa wakubwa na wakali. + +# Nani anaweza kusimama mbele ya wana wa Anak? + +Hii ina maana kwamba wana wa Anak walikuwa na nguvu na watu waliwaogopa. Hili ni swali la kejeli linaweza kutofasiriwa kama maelezo. "Hakuna yeyote anayeweza kutetea mwenyewe dhidi ya wana wa Anaki." + diff --git a/deu/09/03.md b/deu/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..f64d5680 --- /dev/null +++ b/deu/09/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja. + +# leo + +"sasa" + +# kama moto ulao + +Yahwe ana nguvu na kuweza kuharibu majeshi ya mataifa mengine. + +# kuwaitiisha mbele zenu + +"kuwafanya kuwa dhaifu ili muweze kuwatawala" + diff --git a/deu/09/04.md b/deu/09/04.md new file mode 100644 index 00000000..859deed7 --- /dev/null +++ b/deu/09/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja. + +# Usiseme katika moyo wako + +Hapa "katika moyo wako" ina maana "katika mawazo yako" + +# amewatupa nje + +"amewaondoa watu wengine nje" + diff --git a/deu/09/05.md b/deu/09/05.md new file mode 100644 index 00000000..4f3f89ce --- /dev/null +++ b/deu/09/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja. + +# unyofu wa moyo wako + +"kwa sababu daima unafikiri na kutamani vitu sahihi" + +# ili kwamba aweze kufanya kuwa kweli neno + +Hapa ni maneno "neno" urejea kwa kile Mungu ameahidi."ili kwamba aweze kutimiza ahadi" + +# babu zenu, Abrahamu, Isaka, na Yakobo + +Abrahamu, Isaka, na Yakobo ni "mababu" ambao Musa anazungumza + diff --git a/deu/09/06.md b/deu/09/06.md new file mode 100644 index 00000000..83c96f73 --- /dev/null +++ b/deu/09/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja. + diff --git a/deu/09/07.md b/deu/09/07.md new file mode 100644 index 00000000..7ef6e7bb --- /dev/null +++ b/deu/09/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja. + +# Kumbuka na usisahau + +Musa arudia amri ile ile vyote kwa chanya na hasi kusisitiza umuhimu wa kukumbuka. + +# namna mlivyomchochea Yahwe + +Hapa "wewe" urejea kwa wanaisraeli ambao wako pamoja na Musa na pia wanaisraeli wa kizazi cha nyuma. + +# mlikuja eneo hili, mmekuwa waasi...mmechochea...pamoja na wewe kuharibu wewe + +Mifano ya "wewe" ni uwingi. + +# kwenye eneo hili + +Hii irejea kwenye mto Yordani wa bondeni. + diff --git a/deu/09/09.md b/deu/09/09.md new file mode 100644 index 00000000..01343eb0 --- /dev/null +++ b/deu/09/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa anawakumbusha watu wa Israeli nini kilitokea nyuma. + +# mbao za jiwe, mbao za agano ambalo Yahwe alifanya na ninyi + +Hapa kikundi cha maneno ya pili ufafanua kwamba "mbao za jiwe" ni zile Mungu aliandika amri kumi. + +# siku arobaini na usiku arobaini + +"siku 40 na usiku 40" + +# juu yake ziliandikwa kila kitu kama maneno yote ambayo Yahwe alitangaza kwenu + +Hii inaweza kutofasiriwa katika kauli tendaji. "Yahwe aliandika juu yake maneno yale yale aliyosema kwenu" + +# Yahwe alitangaza...nje katikati ya moto + +Ilikuwa kama Yahwe alikuwa mtu anasimama katikati mwa moto na kuzungumza kwa sauti kubwa. + +# katika siku ya kusanyiko + +Nomino kufikirika "kusanyiko" inaweza kuelezwa kama tendo "kusanya kwa pamoja." "katika siku wakati ninyi wanaisraeli wote mlikuja na kukutana pamoja eneo moja" + diff --git a/deu/09/11.md b/deu/09/11.md new file mode 100644 index 00000000..2ea9bdc9 --- /dev/null +++ b/deu/09/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# siku arobaini na usiku arobaini + +"siku 40 na usiku arobaini" + +# mbao mbili za jiwe, mbao za agano + +Kundi la maneno la pili ufafanua kwamba "mbao mbili za jiwe" ni zile ambazo Mungu aliandikwa amri kumi . + +# watu wako...wamekuwa wafisadi wenyewe + +"watu wako...wanafanya kile kilichokibaya." + +# Wamegeuka kwa haraka kando nje ya njia amgayo niliwaamuru + +Musa azungumza kama kutii amri za Mungu walikuwa wanatembea kando ya njia. "Tayari wameshindwa kutii amri zangu" + diff --git a/deu/09/13.md b/deu/09/13.md new file mode 100644 index 00000000..54670d41 --- /dev/null +++ b/deu/09/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kuyafuta majina yao toka chini ya mbingu + +"kufanya majina yao kupotea kabisa" au "kuwauwa wote ili asiwepo mmoja atakayewakumbuka." + diff --git a/deu/09/15.md b/deu/09/15.md new file mode 100644 index 00000000..04e05fff --- /dev/null +++ b/deu/09/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kile kilichotokea nyuma + +# tazama + +Neno "tazama" hapa uonesha kwamba Musa alishangazwa kwa kile alichokiona + +# mmejitengenezea wenyewe ndama + +Wanaisraeli wa kizazi cha mwanzo walikuwa wamemuuliza Aaaroni kutengeneza ndama wa chuma ili wamwabudu. Maana kamili ya maelezo haya yanaweza kuwekwa wazi. + +# Umegeuka kwa haraka kando nje ya njia ambayo Yahwe alikuwa amekuamuru. + +Musa azungumza kama kutii amri za Mungu kulikuwa kutembea kando ya njia. "Kwa haraka umeshindwa kutii kile Yahwe alichokuwa amekuamuru." + diff --git a/deu/09/17.md b/deu/09/17.md new file mode 100644 index 00000000..1f5a3b5e --- /dev/null +++ b/deu/09/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kuhusu kile kilichotokea zamani. + +# Niliwavunjwa mbele ya macho yenu + +Hapa "macho yenu" ni neno lenye maana sawa na watu wa Israeli. + +# kulala kifudifudi + +"kulala pamoja na uso wangu kuelekea kwenye ardhi." Hii ni njia ya kuonesha kwamba Yahwe alikuwa mkuu na Musa hakuwa. + +# siku arobaini na usiku arobaini + +"siku 40 na usiku 40" + diff --git a/deu/09/19.md b/deu/09/19.md new file mode 100644 index 00000000..cf7dd2f1 --- /dev/null +++ b/deu/09/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kile kilichotokea zamani. + +# Kwa kuwa nilikuwa nimeogopa hasira na gadhabu kali ambayo Yahwe alikuwa amekasirika vya kutosha dhidi yenu kuwaangamiza + +Maneno "hasira na gadhabu kali" ni mbadala wa kile Yahwe atafanya kwa sababu ya hasira na kuchukizwa. "Yahwe aliwakasirikia ninyi - alichukizwa sana nanyi-- alikasirika vya kutosha kuwaangamiza ninyi, na kwa hiyo niliogopa kwa kile atakifanya" + diff --git a/deu/09/21.md b/deu/09/21.md new file mode 100644 index 00000000..3e0a7574 --- /dev/null +++ b/deu/09/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kuhusu kile kilichotokea zamani + +# Nilichukua...kuchoma...kupiga....arhini...kuwatupa + +Yamkini Musa aliwaamuru watu wengine kufanya kazi halisi. + +# dhambi zenu + +ndama wa dhahabu. "sanamu mlifanya dhambi kwa kumtengeneza" + diff --git a/deu/09/22.md b/deu/09/22.md new file mode 100644 index 00000000..392ec164 --- /dev/null +++ b/deu/09/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kuhusu kile kilichotokea zamani + +# Taberah...Massah...Kibrothi...Hattaavah + +Haya ni majina ya maeneo ambayo watu wa Israeli walipita wakati wakiwa jangwani. + +# Nenda juu + +Walikuwa kwenye nchi ya chini, na nchi Yahwe alikuwa amekwisha waambia kuichukua ilikuwa kwenye mlima, kwa hiyo walipaswa kwenda juu ya mlima kuichukua. + +# waliasi dhidi ya amri + +Neno "amri" ni mbadala wa Yahwe mwenyewe. "Mliasi dhidi ya Yahwe; hamkutii amri" + +# sikiliza sauti yake + +Hapa "sauti yake" ina maana kile Mungu alikwisha sema. + +# kutoka siku ambayo nilikujua + +"kutoka muda nilianza kukuongoza wewe." Tofasiri zingine usoma "kutoka siku ambayo nilikujua wewe," siku ambayo Yahwe kwanza aliwajua. + diff --git a/deu/09/25.md b/deu/09/25.md new file mode 100644 index 00000000..138864ec --- /dev/null +++ b/deu/09/25.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kuhusu kile kilichotokea zamani. + +# lala kifudifudi mbele ya Yahwe + +"lala pamoja na uso kuelekea kwenye ardhi." + +# siku arobaini na usiku arobaini + +"siku 40 na usiku 40" + +# umekwisha okoa + +Musa azungumza kama Yahwe amekwisha kuwaokoa wanaisraeli kwa kulipa pesa kuwaweka huru kutoka utumwani. + +# kupitia ukuu wako + +Neno "ukuuu" ni mbadala wa maneno kwa ajili ya nguvu kuu ya Yahwe. + +# kwa mkono hodari + +Hapa "mkono hodari" urejea kwa nguvu ya Yahwe. + diff --git a/deu/09/27.md b/deu/09/27.md new file mode 100644 index 00000000..5fa206cd --- /dev/null +++ b/deu/09/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuomba kwa Yahwe ili aweze kuwaharibu watu wa Israeli. + +# Akilini + +Hii ni nahau. "Kumbuka" + +# ili kwamba nchi ambayo ulitutoa + +Maneno "nchi" ni maneno kwa ajili ya watu wa Israeli. + +# wapate kusema + +"waweze kusema" + +# kwa nguvu zako kuu na kwa kuonesha mamlaka yako, + +Haya maneno kwa msingi umaanisha kitu kile kile na kusisitiza ukuu wa nguvu za Yahwe ambao aliutumia kuwaokoa watu wake. + diff --git a/deu/10/01.md b/deu/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..fbfce9ce --- /dev/null +++ b/deu/10/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla: + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kuhusu kile kilichotokea zamani. + +# Kwa wakati ule + +"Baada ya kumaliza kuomba" + +# kwanza + +"kwanza: ni namba ya makutano kwa moja. Urejea kwa seti ya kwanza ya mbao ambazo Musa alizokuwa amevunja. + +# juu ya ule mlima + +Hapa "mlima ule" urejea kwa mlima Sinai. + diff --git a/deu/10/03.md b/deu/10/03.md new file mode 100644 index 00000000..494e4cfd --- /dev/null +++ b/deu/10/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kuhusu kile kilichotokea zamani + +# kama kwanza + +Hapa "kwanza" urejea kwa mbao za kwanza za jiwe. "kama mbao mbili za kwanza za jiwe" + +# alienda juu ya mlima + +"alienda juu ya mlima Sinai" + +# nje katikati ya moto + +Ilikuwa kama Yahwe alikuwa mtu anasimama katikati mwa moto na kuzungumza kwa sauti kubwa. + +# kwenye siku ya kusanyiko + +Nomino ya kufikiri "kusanyiko" inaweza kuelezwa kama tendo "kusanya pamoja" + diff --git a/deu/10/05.md b/deu/10/05.md new file mode 100644 index 00000000..b44f76dd --- /dev/null +++ b/deu/10/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kuhusu kile kilichotokea zamani. + +# Niligeuka + +Hapa "Ni" urejea kwa Musa. + +# kuja chini kutoka kwenye mlima + +kuja chini kutoka kwenye mlima Sinai" + +# kwenye safina + +"kwenye boksi" au "kwenye kifua" + diff --git a/deu/10/06.md b/deu/10/06.md new file mode 100644 index 00000000..ee32ed0c --- /dev/null +++ b/deu/10/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Mwandishi atoa sababu fupi wapi wanaisraeli walikuwa wamesafiri. + +# Watu wa Israeli...nchi yenye vijito vya maji + +Hii utupa taarifa ya nyuma kuhusu wapi watu wa Israeli walisafiri. Pia inagusa kifo cha asili cha Moserathi. + +# Beerothi Bene Jaakani kwa Moserathi...Gudgodah...Jotbathah + +Haya ni majina ya maeneno tofauti watu wa Israeli walipita wakati wakiwa jangwani. + +# Beerothi Bene Jaakan + +Mtofasiri anaweza kuongeza maelezo: "Jina 'Beerothi Bene Jaakan' umaanisha "visima ambavyo vilikuwa vya watu wa Jaakan." + +# huko alizikwa + +Hii ina kutofasiriwa kwa kauli tendaji. "Huko ndiko walikomzika" au wanaisraeli walimzika huko" + +# Eleazari + +Hili ni jina la mwana wa Aaroni + diff --git a/deu/10/08.md b/deu/10/08.md new file mode 100644 index 00000000..e2aacbb8 --- /dev/null +++ b/deu/10/08.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Mwandishi atoa taarifa ya nyumba kuhusu kabila la Lawi. + +# kusimama mbele ya Yahwe kumtumikia + +"kutoa dhabihu ambayo Yahwe anahitaji" + +# katika jina lake + +"kwa mamlaka ya Yahwe" au "kama mwakilishi wa Yahwe" + +# kama leo + +"kama wanavyofanya leo" + +# hakuna sehumu wala urithi wa nchi + +Kabila la Lawi hawakupokea sehemu ya ahadi ya nchi wakati walipofika huko. Maana kamili ya maelezo haya inaweza kuwekwa wazi. + +# Yahwe ni mrithi wake + +Yahwe azungumza kwa mahusiano maalamu ambayo Aaron na uzao wake watakuwa pamoja naye kama Yahwe alikuwa kitu watakachoridhi. + +# Yahwe Mungu wenu + +Musa azungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja, hivyo neno "wewe" hapa ni umoja. + +# kuzungumzwa kwake + +"kuzungumzwa kwa kablia la Lawi." + diff --git a/deu/10/10.md b/deu/10/10.md new file mode 100644 index 00000000..e20f7a24 --- /dev/null +++ b/deu/10/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kuhusu kile kilichotokea zamani. + +# kama kwa wakati wa kwanza + +"kwanza" ni namba ya makutano kwa ajili ya moja. Hapa urejea kwa wakati wa kwanza Musa alienda juu kwenye mlima wa Sinai kupokea mbao mbili toka Yahwe. "kama nilivyofanya kwanza" + +# siku arobaini na usiku arobaini + +"siku 40 na usiku 40" + +# kuwaharibu + +Musa azungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja, hivyo neno "wewe" hapa ni umoja. + +# kumiliki nchi + +"chukua nchi" au "chukua miliki ya nchi" + +# mababu wenu + +Hii inarejea kwa Abrahamu, Isaka, na Yakobo + +# kuwapa wao + +"ambacho nitawapa ninyi, wazao wao" + diff --git a/deu/10/12.md b/deu/10/12.md new file mode 100644 index 00000000..416ba9bf --- /dev/null +++ b/deu/10/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa anazungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja. + +# Sasa, Israeli + +Hapa neno "Israeli" urejea kwa watu wa Israeli. + +# nini Yahwe Mungu wenu uhitaji kwenu, isopokuwa kumuogopa...kwa uzuri wenu + +Musa atumia swali kuwafundisha watu wa Israeli. Hili swali la kejeli linaweza kutofasiriwa kama maelezo. "hiki ndicho Yahwe Mungu wenu uhitaji ninyi kufanya: kumuogopa...kwa uzuri wenu + +# kutembea katika njia zake zote + +Musa azungumza kama kumtii Yahwe kulikuwa kutembea kwenye njia. + +# kwa moyo wenu wote na roho yenu yote + +Hii nahau "kwa moyo wenu wote" umaanisha "kabisa" na "kwa roho yenu" umaanisha "kwa utu wenu wote." Haya maneno yana maana ileile. + diff --git a/deu/10/14.md b/deu/10/14.md new file mode 100644 index 00000000..ef069bae --- /dev/null +++ b/deu/10/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja. + +# Tazama + +Neno "tazama" usisitiza kwamba kile kilichosemwa badae ni muhimu. "Zingatia" au "Tazama" au "Sikiliza" + +# mbingu...ardhi + +Haya maneno yanaonyesha kubwa mbili, na yameunganishwa kumaanisha kwamba vitu vyote popote ni mali ya Yahwe. + +# mbingu za mbingu + +Hii urejea kwa maeneo ya juu zaidi huko mbinguni. Kila kitu mbinguni ni mali ya Mungu. + +# alikuchagua wewe + +Hapa neno "wewe" urejea kwa wanaisraeli wote na liko kwa wingi. + diff --git a/deu/10/16.md b/deu/10/16.md new file mode 100644 index 00000000..fae145b1 --- /dev/null +++ b/deu/10/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa hiyo + +"Kwa sababu hii" + +# kutaili govi la moyo wako + +Neno "govi" urejea kwa ngozi iliyojikunja kwa sehemu ya siri ya mwanaume ambayo uondolewa wakati wa kutaili. Hapa Musa anarejea kwa utalili wa kiroho. Hii ina maana watu wanapaswa kuiondoa dhambi toka maishani mwao. + +# Mungu wa miungu + +"Mungu mkuu" au "Mungu pekee wa kweli" + +# Bwana wa bwana + +"Bwana mkuu" au "Bwana mkuu" + +# wa kutisha + +"yeye anayesababisha watu kuogopa" + diff --git a/deu/10/18.md b/deu/10/18.md new file mode 100644 index 00000000..1b6966b2 --- /dev/null +++ b/deu/10/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Nitafanya haki kwa yatima + +"Yahwe anahakikisha kwamba watu wanafanyia haki yatima" + +# yatima + +Hawa ni watoto ambao wazazi wote wamekwisha kufa na hawana ndugu wa kuwajali. + +# mjane + +Mjane wa kweli ni mwanamke ambaye mme amekwisha kufa na hana watoto wa kumjali kwa umri wake wa uzee. + +# Kwa hiyo + +"Kwa sababu hii" + diff --git a/deu/10/20.md b/deu/10/20.md new file mode 100644 index 00000000..3a486c52 --- /dev/null +++ b/deu/10/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa azungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja, hivyo mifano yote "wewe" na "wako" ni umoja. + +# yeye mtamwabudu + +"ni yeye mnayepaswa kumwabudu" + +# Kwake mnapaswa kushikamana + +Kuwa na uhisiano mzuri pamoja na Yahwe na kumtegemea kabisa yeye aliyezungumzwa kama watu walikuwa wanashikama kwa Yahwe. "Unapaswa kumtegemea" au "Ni yeye unayepaswa kumtegemea" + +# kwa jina lake utaapa + +Kuaapa kwa jina la Yahwe kuna maanisha kumfanya Yahwe msingi au nguvu ambayo kiapo kitafanywa. + +# ambacho macho yako yameona + +Hapa "macho" urejea kwa mtu kamili. + +# Yeye ni sifa yenu + +Yamkini maana ni 1) "Ni yeye unapaswa kumsifu" au 2) "Ni kwa sababu unamwabudu yeye kwamba watu wengine watamsifu yeye" + diff --git a/deu/10/22.md b/deu/10/22.md new file mode 100644 index 00000000..d6aa02f5 --- /dev/null +++ b/deu/10/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama wako mtu mmoja, hivyo "wewe" na "wako" viko kwa umoja. + +# alienda chini Misri + +"alisafiri kusini mwa Misri" au "alienda Misri" + +# watu sabini + +"watu 70" + +# nyingi kama nyota za mbinguni + +Hii inasisitiza namba kubwa wanaisraeli ambao walikuwa na Musa. + diff --git a/deu/11/01.md b/deu/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..2f409d21 --- /dev/null +++ b/deu/11/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# daima shika + +"daima tii" + diff --git a/deu/11/02.md b/deu/11/02.md new file mode 100644 index 00000000..f27f7660 --- /dev/null +++ b/deu/11/02.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ambao hawajui wala hawajaona + +"ambao hawajapata uzoefu" + +# mkono wako hodari, au mkono wake ulionyoshwa + +Hapa "mkono hodari" na "mkono ulionyoshwa" ni mifano kwa ajili ya nguvu ya Yahwe. Maneno yaleyale yanaonekana katika 4:34. + +# katikati mwa Misri + +"katika Misri" + +# kwa nchi yake yote + +Hapa "nchi" uwakilisha watu. "kwa watu wake wote" + diff --git a/deu/11/04.md b/deu/11/04.md new file mode 100644 index 00000000..57705444 --- /dev/null +++ b/deu/11/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza kwa wanaisraeli wakubwa ambao walikuwa na umri wa kutosha kuona yale Mungu alifanya huko Misri. + +# Wala hawakuona kile alichofanya + +"Wala hawakuona watoto wao kile alichofanya Yahwe" + +# jeshi la Misri + +"Wanajeshi wa kimisri" + +# waliwashawishi baada yao + +Hapa "yao" umaanisha wanaisraeli ambao waliishi miaka 40 mapema. + +# kwa eneo hili + +Hii inamaanisha tambarare ya bonde la mto Yordani ambako Musa anazungumza nao kabla ya kuvuka kuingia Kanani + diff --git a/deu/11/06.md b/deu/11/06.md new file mode 100644 index 00000000..4e35bb9c --- /dev/null +++ b/deu/11/06.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuwakumbusha watu wakubwa kuwafundisha watoto wao matendo makubwa ya Mungu. + +# Dathani na Abiramu, wana Eliabu + +Musa anarejea kwa tukio la zamani wakati Dathani na Abiramu waliasi dhidi ya MUsa na Aaroni. Maana kamili ya maelezo haya inaweza kufanywa wazi. + +# Dathani...Abiramu...Eliabu + +Haya ni majina ya wanaume + +# mwana wa Reubeni + +"uzao wa Reubeni" + +# ardhi ilifungua mdomo wake na kuwameza + +Yahwe anasababisha nchi kugawanyika kufungua ili kwamba watu waanguke ndani ilizungumzwa kama nchi ilikuwa na mdomo na uwezo wa kumeza watu. + +# kila kiumbe hai kilichowafuata + +Hii urejea kwa watumishi wao na wanyama + +# katikati mwa Isralie yote + +Hii ina maanisha watu wote wa Israeli walishuhudia kile kilichotokea kwa Dathani, Abiramu, familia zao, na miliki zao. + +# Lakini macho yenu yameona + +Hapa "macho" uwakikilisha mtu kamili + diff --git a/deu/11/08.md b/deu/11/08.md new file mode 100644 index 00000000..bdca10c1 --- /dev/null +++ b/deu/11/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# kumiliki nchi + +"chukua nchi" + +# kule unaenda katika kuimiliki + +Maneno haya "unaenda katika" inatumika kwa sababu ya watu wa Israeli watapaswa kuvuka mto Yordani kuingia Kanani. + +# kuongeza siku zenu + +Siku ndefu ni mifano ya maisha marefu. + +# nchi imiminikayo maziwa na asali + +Hii ni nahau. "nchi ambayo maziwa na asali ya kutosha yanamiminika" au "nchi ambayo iko vizuri kwa mifugo na kilimo" + diff --git a/deu/11/10.md b/deu/11/10.md new file mode 100644 index 00000000..d35e1fa4 --- /dev/null +++ b/deu/11/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kuimwagilizia kwa mguu yao + +Yamkini maana ni 1) "mguu" ni neno ambalo linawakilisha kazi ngumu ya kutembea kubeba maji kwa mashamba au 2) wangeweza kutumia miguu yao kugeuza gurudumu la maji ambalo linatoa maji kwa mashamba. + +# bustani ya mimea + +"bustani ya mboga" au "bustani ya mboga mboga" + +# kunywa maji ya mvua ya mbiguni + +Nchi inapokea na kufyonza vya kutosha mvua inazungumzwa kama nchi inakunywa maji. + +# macho ya Yahwe Mungu wenu daima yako juu yake + +Hapa "macho" uwakilisha uangalifu na utunzaji + +# tokea mwanzo wa mwaka kwenda mwishoni mwa mwaka + +Hapa kubwa hizi mbili "mwanzo" na "mwisho" zinatumiwa kwa pamoja kumaanisha mwaka mzima. + diff --git a/deu/11/13.md b/deu/11/13.md new file mode 100644 index 00000000..01a022f2 --- /dev/null +++ b/deu/11/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Itatokea, kama + +Hii ina maana kwamba kile Yahwe anachoahidi kitatokea kama wanaisraeli wanatii amri zake. + +# ambayo nakuamuru + +Hapa "na" urejeaa kwa Musa. + +# kwa moyo wako wote na roho yako yote + +Hii nahau "kwa moyo wako wote" umaanisha "kabisa" na "kwa ...roho" umaanisha "na utu wako wote" Haya makundi ya maneno yana maana ileile. + +# Nitatoa mvua kwa nchi yenu kwa majira yake + +"Nitasababisha inyeshe kwenye nchi yenu kwa majira sahihi" + +# Nitatoa + +Hapa "ni" urejea kwa Yahwe. Hii inaweza kutajwa katika nafsi ya tatu. + +# mvua ya awali na mvua ya badae + +Hii urejea kwa mvua za mwanzo wa majira ya kupanda na mvua za kukomaza mazao kwa ajili ya mavuno. + diff --git a/deu/11/16.md b/deu/11/16.md new file mode 100644 index 00000000..32020ce3 --- /dev/null +++ b/deu/11/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli + +# Zingatia mwenyewe + +"Uwe makini" au "jihadhari" + +# ili kwamba moyo wako usidanganywe + +Hapa "moyo" uwakilisha hamu ya mtu au mawazo. Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. + +# unageuka upande na kuabudu miungu mingine + +Kumkataa Yahwe na kuabudu miungu mingine inazungumzwa kama mtu anayeweza kugeuka kimwili na kwenda mwelekeo mwingine mbali na Yahwe. + +# ili kwamba hasira ya Yahwe iwashwe dhidi yenu + +Mungu kuwa na hasira inazungumzwa kama ilikuwa ni moto ambao unaanza. Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. "ili kwamba Yahwe asiwe na hasira nanyi" + +# ili kwamba asifunge mbingu ili kwamba hapatakuwa na mvua, na nchi haitazaa matunda + +Mungu anasababisha kukosekana mvua kudondoka toka angani inazungumzwa kama alikuwa anafunga anga. + diff --git a/deu/11/18.md b/deu/11/18.md new file mode 100644 index 00000000..c130d9b2 --- /dev/null +++ b/deu/11/18.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# yaweke haya maneno yangu ndani ya moyo na roho yako + +Mtu daima ufikiri kuhusu na kuzingatia kile Musa aamuru inazungumzwa kama vile moyo na roho vilikuwa ni chombo cha maneno ya Musa yalikuwa ni maudhui kujaza chombo + +# haya maneno yangu + +Hapa "maneno" uwakilisha amri za Musa ambazo anazungumza. + +# moyo wako na roho + +Hapa "moyo: na "roho" uwakilisha akili ya mtu au mawazo. + +# zifunge + +"yafunge haya maneno" Neno hili uwakilisha mtu akiandika maneno kwenye ngozi, kuweka ngozi kwenye mkoba, na kuufunga mkoba. Hili neno linaweza kuwa mfano kumaanisha watu wanapaswa kuwa waangalifu kutii amri za Musa. + +# kama ishara kwenye mkono wako + +"kama kitu cha kukufanya wewe kukumbuka sheria zangu" + +# yawe utepe katikati ya macho yako + +"yawe utepe katikati ya macho yako." Haya ni maneno badala ambayo uwakilisha mtu kuandika maneno ya Musa kwenye ngozi, kuweka ngozi kwenye mkoba, na kuifunga ili ikae kati ya macho yako. Mbadala huu unaweza kuwa mfano ambao unamaanisha mtu anapaswa kuwa mwangalifu kutii amri zote za Musa. + +# utepe + +urembo mtu uvaa kwenye paji la uso + +# wakati unapoketi kwenye nyumba yako, wakati unapotembea njiani, wakati unapo lala chini, na wakati unapo nyanyuka. + +Kutumia maeneo tofauti "kwenye nyumba" na "njiani," na kinyume "wakati unapo lala" na "kunyanyuka," uwakilisha popote, wakati wowote. Watu wa Israeli walipaswa kujadili amri za Mungu na kuzifundisha kwa watoto wao wakati wowote na popote. + diff --git a/deu/11/20.md b/deu/11/20.md new file mode 100644 index 00000000..bfa24907 --- /dev/null +++ b/deu/11/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# kwamba siku zenu na siku za watoto wenu ziweze kuongezeka + +Hapa "siku" uwakilisha muda mrefu wa wakati. Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. "ili kwamba Yahwe aweze kuwasababisha ninyi na watoto wenu kuishi muda mrefu" + +# kwa mababu zenu + +Hii urejea kwa Abrahamu, Isaka, na Yakobo. + +# kuwapa maadamu mbingu ziko juu ya ardhi. + +Hii ulinganisha kwa muda kiasi gani watu hawa wataweza kuishi katika nchi kwa muda kiasi anga litakuwepo juu ya ardhi. Hii ni njia ya kusema "milele" + diff --git a/deu/11/22.md b/deu/11/22.md new file mode 100644 index 00000000..0b0fdf1f --- /dev/null +++ b/deu/11/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya ujumla + +Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli + +# Kama mtayashika kwa bidii maagizo haya yote ambayo ninawaamuru nyinyi, ili kwamba myafanye + +"Kama mnakuwa makini kufanya kila kitu nilichokuamuru" + +# tembea katika njia zake zote + +Namna gani Yahwe anahitaji mtu aishi na kutenda inazungumza kama walikuwa njia au barabara ya Yahwe. Mtu kumtii Yahwe kunasemwa kama alikuwa anatembea kwenye njia au barabara ya Yahwe. + +# kushikama naye + +Kuwa na ushirika na Yahwe na kumtegemea yeye kunazungumza kama mtu anayeshikamana na Yahwe. + +# yote haya mataifa toka mbele yako,na utawafukuza mataifa + +Hapa "mataifa" uwakilisha makundi ya watu tayari yanaishi huko Kanaani. "Yote haya makundi ya watu kutoka mbele yako, na utachukua ardhi kutoka makundi ya watu" + +# Kubwa na nguvu zaidi kuliko ninyi + +Ingawa jeshi la Israeli ni dogo na dhaifu zaidi kuliko vikundi vya watu wanaoishi Kanaani, Yahwe atawawezesha watu wa Israeli kuwashinda. + diff --git a/deu/11/24.md b/deu/11/24.md new file mode 100644 index 00000000..8904e55e --- /dev/null +++ b/deu/11/24.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Habari za jumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Kila mahali ambapo unyao wa mguu wako utaenda + +Hapa "unyao wa mguu wako" uwakilisha mtu mzima. + +# kutoka kwenye mto, mto Euphrates + +"kutoka kwenye mto Euphrates" + +# Hakuna mwanaume ataweza kusimama mbele yako. + +Maneno "kusimama mbele yako" ni nahau. "hakuna mtu ataweza kukusimamisha" au "hakuna mtu ataweza kukupinga wewe" + +# Yahwe Mungu wako ataiweka hofu yako na hofu yako juu ya nchi yote unayoenda. + +Yahwe anasababisha watu kuwa waoga sana inazungumwa kama kuogopa na hofu kilikuwa kitu ambacho ataweka juu ya watu. + +# kuogopa kwako na hofu yako + +Maneno "kuogopa" na "hofu" umaanisha kitu kile kile na kusisitiza kiwango cha hofu. + +# juu ya nchi yote unayoiendea + +Hapa "nchi" ni kielezo cha watu wote katika nchi. + diff --git a/deu/11/26.md b/deu/11/26.md new file mode 100644 index 00000000..9d1968df --- /dev/null +++ b/deu/11/26.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Habari ya jumla + +Hapa Musa afanya muhtasari wa chaguzi mbili za watu wa Israeli wanaweza kuchagua. Wanaweza kuchagua kumtii na kupokea baraka za Mungu au wanaweza kuchagua kutomtii na kupokea adhabu ya Mungu. + +# Tazama, naweka mbele yako leo baraka na laana. + +Kuwapa watu chaguzi kama wao wanahitaji kubarikiwa au kulaaniwa huzungumzwa kwama baraka na laana ni vitu ambavyo Musa anaweka mbele yenu. + +# Baraka + +Kitambulisho hiki kinaweza kutajwa kama kitenzi. "Mungu atawabariki ninyi" + +# laana + +Kitambulisho hiki kinaweza kutajwa kama kitenzi. "Mungu atawalaani ninyi" + +# Lakini jiepushe na njia ambayo ninakuagiza leo, kufuata miungu mingine + +Hizi amri za Yahwe ambazo Musa anawaambia watu huzungumzwa kama ilikuwa njia au barabara ya Mungu. Kutotii amri za Mungu husemwa kama mtu hugeuka kimwili mbali na Yahwe kufuata miungu mingine. + +# kufuata miungu mingine ambayo hujui + +Maneno "miungu ambayo hujui" urejea kwa miungu ambayo makundi mengine uabudu. Waisraeli wanamjua Yahwe kwa sababu amejifunua mwenyewe kwao na wamepata uwezo wako. + diff --git a/deu/11/29.md b/deu/11/29.md new file mode 100644 index 00000000..92103053 --- /dev/null +++ b/deu/11/29.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# utaweka baraka juu ya mlima Gerizimu, na laana juu ya Mlima Ebali + +Baraka na laana huzungumzwa kama vilikuwa vitu ambavyo mtu ataweka kwenye milima. "baadhi yenu wanapaswa kusimama juu ya Mlima wa Gerazimu na kutangaza nini kitakachomfanya Yahwe awabariki, and wengine wanapaswa kusimama juu ya Mlima wa Ebali na kutangaza nini kitamsababisha Yahwe kuwalaani" + +# Mlima Gerizimu...Mlima Ebali + +Haya ni majina ya milima huko upande wa mashariki mwa mto Yordani. + +# Je, si zaidi ya Yordani..Moreh? + +Waisraeli wkao upande wa mashariki mwa mto Yordai. Musa atumia swali kuwakumsha watu ambapo milima hii iko wapi. Swali hili linaweza kutajwa kama taarifa. + +# zaidi ya Yordani + +"upande wa magharibi wa Mto Yordani" + +# magharibi ya barabra ya magharibi + +"magharibi" + +# juu ya Gilgal + +"karibu na Gilgal" Hii inaweza kuwa si sawa na mji karibu na Jeriko. Musa anaweza kuwa akimaanisha mahali karibu na Schechem. + +# Oaks ya Moreh + +Hii ni miti takatifu karibu na Gilgali. + diff --git a/deu/11/31.md b/deu/11/31.md new file mode 100644 index 00000000..3adf01e2 --- /dev/null +++ b/deu/11/31.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# amri zote na amri + +Hizi ni amri na amri Musa atawapa katika Kumbukumbu la Torati 12-26 + +# Ninaweka mbele yenu leo + +Hii haina maana hizi ni mpya. Musa anatazama amri sawa na amri ambazo alitoa miaka 40 mapema. + +# Ninaweka mbele yenu + +Amri za Mungu na amri, ambazo Musa anawaambia watu, huzungumzwa kama vilikuwa ambavyo Musa anaweka mbele ya watu. + diff --git a/deu/12/01.md b/deu/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..8bd51ad7 --- /dev/null +++ b/deu/12/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari ya jumla + +Musa bado anaongea na watu wa Israeli. + +# utazishika + +"unapaswa kutii" + +# siku zote ambazo unaishi juu ya ardhi + +Hapa "siku"uwakilisha muda mrefu zaidi. Pia, "kuishi juu ya ardhi" ni nahau ambayo inamaanisha muda mrefu mtu anaishi. + +# hakika utaangamiza + +"Unapaswa kuangamiza" + +# mataifa utakayofukuza + +Hapa "mataifa" uwakilisha makundi ya watu ambayo wanaishi huko Kanaani. + diff --git a/deu/12/03.md b/deu/12/03.md new file mode 100644 index 00000000..3caf89cd --- /dev/null +++ b/deu/12/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Habari ya jumla + +Musa bado anazungumza na watu wa Israeli. + +# utavunja madhabahu zao + +"lazima uondoe madhabahu ya mataifa hayo" au lazima uharibu madhabahu ya mataifa hayo" + +# vunja katika vipande vipande + +"vunja vipande vipande au kupasua" + +# utakata chini + +"unapaswa kukata" + +# haribu majina yao + +Hapa "majina yao" uwakilisha "kumbukumbu zao. + +# mahali hapo + +Hii urejea kwa kila eneo ambapo mataifa waliabudu miungu mingine. + +# Hutamwabudu Yahwe Mungu wako kama hivyo + +"Haupaswi kumwabudu Yahwe Mungu wako kama vile haya matiafa mengine waliabudu miungu yao" + diff --git a/deu/12/05.md b/deu/12/05.md new file mode 100644 index 00000000..159041d9 --- /dev/null +++ b/deu/12/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mahali ambapo Yahwe Mungu wako atachagua katika kabila zako zote ili kuweka jina lake + +Hapa "jina lake" urejea kwa Mungu mwenyewe. Yahwe atachagua eneo moja ambako atakaa na watu watakuja kumwabudu huko. + +# ni huko mtaende + +Wataenda kumwabudu ambako Mungu ameamua. + +# sadaka iliyotolewa kwa mkono wako + +Hapa "mkono" uwakilisha mtu mzima. + +# "sadaka zako kwa ajili ya viapo, sadaka zako za uhuru + +"sadaka zako hutimiza kiapo, sadaka zako za hiari. Hizi ni aina za sadaka. + +# mzaliwa wa kwanza wa ng'ombe zako na kondoo + +Mungu anahitaji kwamba watu wampe kila mwanaume wa kwanza mazaliwa wa mifugo yao. + diff --git a/deu/12/07.md b/deu/12/07.md new file mode 100644 index 00000000..fbdbe8e5 --- /dev/null +++ b/deu/12/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni pale + +Hii urejea kwa eneo ambalo Yahwe atachagua kwa watoto wa Israeli kuabudu. + +# furahia juu ya kila kitu ambacho umeweka mkono wako + +Hapa "umeweka mkono wako" uwakilisha mtu mzima na kazi aliyofanya. + diff --git a/deu/12/08.md b/deu/12/08.md new file mode 100644 index 00000000..63a780c0 --- /dev/null +++ b/deu/12/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hauwezi kufanya mambo yote tunayofanya leo leo. + +"Huwezzi kufanya kama tunavyofanya hapa leo." Hii ina maana kwamba wangeabudu katika nchi iliyoahidiwa tofauti na jinsi walivyokuwa wanaabudu wakati huo. + +# sasa kila mtu anafanya chochote kilicho sahihi machoni pake mwenyewe. + +Hapa "machoni" uwakilisha mawazo ya mtu au maoni. + +# kwa wengine + +Jina hili "kwa wengine" linaweza kutajwa kama tendo. + +# kwa urithi ambao Yahwe Mungu wenu anawapa ninyi + +Nchi ambayo Mungu anawapa watu wa Israeli huzungumzwa kama miliki ambayo baba huacha kama urithi kwa watoto wake. + diff --git a/deu/12/10.md b/deu/12/10.md new file mode 100644 index 00000000..d6aa51cd --- /dev/null +++ b/deu/12/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# na kuishi katika nchi + +Hii urejea kwa nchi ya Kanani. + +# katika nchi ambayo Yahwe Mungu anawasababisha kurithi + +Mungu anawapa nchi ya Kanani kwa watu wa Israeli huzungumzwa kama walikuwa baba anawapa kama urithi watoto wake. + +# wakati anawapa ninyi pumziko toka maadui zenu wote waliowazunguka + +wakati anawapa ninyi amani toka maadui zenu wote waliowazunguka" + +# kisha itakuwa kwamba kwa eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua kusababisha jina lake kuishi + +Hapa "jina" uwakilisha Mungu mwenyewe. + +# sadaka iliyotolewa kwa mkono wako + +Hapa "mkono" uwakilisha mtu mzima + +# matoleo yako yote ya kuchagua kwa ajili ya viapo + +"sadaka zako zote za hiari ili kutimiza ahadi + diff --git a/deu/12/12.md b/deu/12/12.md new file mode 100644 index 00000000..4ca4dd29 --- /dev/null +++ b/deu/12/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# furahi mbele za Yahwe + +"furahi katika uwepo wa Yahwe" + +# Walawi ambao wako ndani ya lango lako + +Hapa " malango" kumbukumbu ya mji wenyewe. + +# kwa sababu hana sehemu au urithi miongoni mwenu + +Ukweli kwamba Yahwe hawezi kutoa yoyote ya ardhi kwa Walawi huzungumzwa kama baba hakuwa anawapa urithi. + +# yeye hana sehemu + +Hapa "yeye" urejea kwa Mlawi. Mlawi uwakilisha watoto wake + diff --git a/deu/12/13.md b/deu/12/13.md new file mode 100644 index 00000000..6ae8f79b --- /dev/null +++ b/deu/12/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Jihadhari wewe mwenyewe + +kuwa mwangalifu + +# kila eneo ambalo unaloliona + +"eneo lolote ambalo linakubariki wewe" au " popote unataka" + +# lakini ni mahali ambapo Yahwe atachagua + +Sadaka za kuteketeza zinapaswa kufanywa hekaluni. Yahwe mwenyewe atachagua wapi hekalu liwekwe. + diff --git a/deu/12/15.md b/deu/12/15.md new file mode 100644 index 00000000..e52d96a1 --- /dev/null +++ b/deu/12/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hata hivyo, unaweza kuua na kula nyama ndani ya milango yako yote + +Watu wataweza peke kuua wanyama kama dhabihu katika eneo ambalo Yahwe atachagua. Wangeweza kuua wanyama kwa ajili ya chakula popote wangetaka. Maana kamili ya maelezo haya yanaweza kufanywa wazi. + +# ndani ya malango yako + +Hapa "malango" uwakilisha mji wote. + +# si mfsafi...watu + +Watu ambao hapokelewi kwa makusudi ya Mungu huzungumzwa kama mtu ambaye si msafi. + +# watu safi + +Mtu ambaye anapokelewa kwa makusudi ya Mungu huzungumzwa kama mtu ambaye ni msafi. + +# kulungu na paa + +Hawa ni wanyama wa mwitu wenye miguu mrefu mwembamba ambayo inaweza kukimbia haraka + +# Lakini hautakula damu + +Damu uwakilisha maisha na Mungu hakuruhusu watu kula damu sambamba na nyama. + diff --git a/deu/12/17.md b/deu/12/17.md new file mode 100644 index 00000000..78498b45 --- /dev/null +++ b/deu/12/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anaelezea kwa watu sadaka zote maalumu na dhabihu ambazo zinapaswa kufanywa hekaluni. + +# ndani ya malango + +Hapa "malango" uwakilisha mji mzima. + +# wala ile ya sadaka uliyoitoa kwa mkono wako + +Hapa "mkono" uwakilisha mtu mzima. + diff --git a/deu/12/18.md b/deu/12/18.md new file mode 100644 index 00000000..e2c36d84 --- /dev/null +++ b/deu/12/18.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Habari ya jumla + +Yahwe aendelea kuzungumza kwa watu wa Israeli. + +# utakula + +"utakula sadaka zako" + +# mbele ya Yahwe + +"katika uwepo wa Yahwe + +# Mlawi aliyeko ndani ya malango yako + +Hapa "mlango" uwakilisha mji mzima. + +# kila kitu ambacho unaweka mkono wako + +Hapa "kuweka mkono wako" uwakilisha mtu mzima na kazi ambayo umefanya. + +# Uwe makini mwenyewe + +"uwe mwangalifu" + +# kwamba usiache + +Hii inaweza kutajwa kwa kauli chanya + diff --git a/deu/12/20.md b/deu/12/20.md new file mode 100644 index 00000000..0c4bad1f --- /dev/null +++ b/deu/12/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kuza mipaka yako + +"kuza eneo lako" au "jipe eneo kubwa zaidi" + +# unasema, 'nitakula nyama; kwa sababu ya hamu ya kula nyama + +hii ni nukuu ndani ya nukuu. Hii ni nukuu ya moja kwa moja inaweza kutajwa kama nukuu ya siyo ya moja kwa moja. + +# kama hamu za royo yako + +Hapa "roho" urejea kwa mtu mzima + diff --git a/deu/12/21.md b/deu/12/21.md new file mode 100644 index 00000000..8f66395f --- /dev/null +++ b/deu/12/21.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuzungumza kwa watu wa Israeli. + +# anachagua kuweka jina lake + +Hapa "jina" urejea kwa Mungu mwenyewe. Yahwe angeweza kuchagua eneo ambapo ataishi na watu watakuja kumwabudu yeye. + +# ndani ya malango yako + +Hapa "malango" uwakilisha mji mzima + +# kama hamu ya nafsi yako + +Hapa "nafsi" urejea kwa mtu mzima + +# Kama paa na kulungu wanaliwa + +Hii inaweza kutofasiriwa kwa kauli tendaji. + +# paa na kulungu + +Hawa ni wanyama wa mwituni mwenye miguu mirefu miembamba ambayo ukimbia kwa haraka. + +# asiye mfsafi...watu + +Mtu asiyekubalika kwa kusudi la Mungu imesemwa kama mtu huyo alikuwa najisi kimwili. + +# watu safi + +Mtu anayekubalika kwa kusudi la Mungu imesemwa kama mtu huyo alikuwa msafi kimwili. + diff --git a/deu/12/23.md b/deu/12/23.md new file mode 100644 index 00000000..821e101b --- /dev/null +++ b/deu/12/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# damu ni uhai + +hapa njia ambayo damu huimarisha uhai inazungumzwa kama kama damu ilikuwa maisha yenyewe. + +# hautakula maisha pamoja na nyama + +Neno "maisha" hapa uwakilisha damu ambayo inaimarisha maisha. + +# kipi ni sawa machoni pa Yahwe + +Hapa "macho" uwakilisha mawazo na maoni. + diff --git a/deu/12/26.md b/deu/12/26.md new file mode 100644 index 00000000..da21121b --- /dev/null +++ b/deu/12/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sadaka za viapo vyako + +"sadaka kutimiza viapo" au "sadaka ya kiapo" + +# damu ya dhabihu zako itamwangwa nje + +Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. "kuhani atamwanga damu ya dhabihu" + +# utakula nyama + +Sheria ya Mungu inafafanua sehemu za mnyama ni za sadaka za kuteketezwa, ambayo sehemu ni za kuhani na ni sehemu gani za mtoaji. + diff --git a/deu/12/28.md b/deu/12/28.md new file mode 100644 index 00000000..89b98f57 --- /dev/null +++ b/deu/12/28.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuzungumzwa kwa watu wa Israeli. + +# Chungunza na kusikiliza kwa maneno haya ambayo ninakuamuru + +Hapa "maneno" uwakilisha nini Musa anasema. + +# ili iweze kukufanya vizuri wewe na watoto wako baada yako + +Hapa "watoto" umaanisha watoto wako wote. + +# wakati unafanya kile kizuri na sawa + +Maneno "uzuri" na "sawa" yana maana ya kufanana na msisitizo wa umuhimu wa tabia nzuri. + +# katika macho ya Yahwe + +Hapa "macho" uwakilisha mawazo na maoni + diff --git a/deu/12/29.md b/deu/12/29.md new file mode 100644 index 00000000..c6ec0639 --- /dev/null +++ b/deu/12/29.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# hukataa mataifa + +Yahwe kuwaharibu makundi ya watu huko Kanani huzungumza kama alikuwa akiwakata, kama mmoja angeweza kukata kwa vipande ngua au kukata tawi toka kwenye mti. + +# mataifa + +Hapa "mataifa" uwakilisha watu kuishi huko Kanani. + +# wakati unapoenda kuwaondoa, na kuwaondoa + +"wakati mnachukua vyote toka kwao" + +# uwa makini mwenywe + +"uwe mwangalifu" + +# kwamba hujaingizwa katika kufuata...waliingia ndani ya kuchunguza miungu yao, kuuliza + +Mtu kujifunza kuhusu na kuabudu miungu mingine huzungumzwa kama wameshikwa mtego wa mawindo. Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. + +# si kuingizwa ndani ya kufuata + +Waisraeli kuabudu sanamu kama makundi ya watu Kanani kuabudu sanamu huzungumzwa kama Waisraeli walikuwa wanafuata nyuma ya makundi mengine ya watu. + +# baada ya kuharibiwa toka mbele yako + +Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. "baada Yahwe awaharibu mbele yako" + +# katika kuuliza, "mataifa haya yanaabudu miungu yao? nitafanya hivyo' + +Hii nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja inaweza kutajwa kama nukuu ambayo si ya moja kwa moja. + diff --git a/deu/12/31.md b/deu/12/31.md new file mode 100644 index 00000000..90797819 --- /dev/null +++ b/deu/12/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Usiongeze au usiondoe + +Hawapaswi kutengeneza sheria zaidi wala hawapaswi kupuuzia sheria ambazo Mungu amewapa. + diff --git a/deu/13/01.md b/deu/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..c643145d --- /dev/null +++ b/deu/13/01.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuzungumza kwa watu wa Israeli. + +# Ikiwa inainuka kati yenu + +"Ikiwa inatokea miongoni mwenu" au "Ikiwa mmoja miongonu mwenu anadai kuwa" + +# mwotaji wa ndoto + +Huyu ni yeyote ambaye anapokea ujumbe toka kwa Mungu kupitia ndoto. + +# ishara au maajabu + +Haya ni maneno mawili yaliyo na maana ya kufanana na urejea kwa miujiza tofauti. + +# inakuja kuhusu + +"inafanyika" au "hutokea" + +# ambayo alikuambia na akasema, 'hebu tufuate miungu mingine ambayo hamjui na tuiabudu. + +Hii inaweza kutofasiriwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. + +# Hebu tufuate miungu mingine. + +Kuabudu miungu mingine huzungumzwa kama walikuwa wanaifuata au kufuata miungu mingine. + +# kufuata miungu mingine, ambayo hamjaijua + +Maneno "miungu, ambayo hamjaijua" urejea kwa miungu ambayo makundi mengine ya watu kuabudu. Waisraeli wamjua Yahwe kwa sababu amejifunua mwenyewe kwao na wamepata udhoefu wa nguvu zake. + +# usisikilize maneno ya nabii, wala ya mwotaji wa ndoto + +Hapa "maneno" uwakilisha kilichosemwa. + +# kwa moyo wako wote na roho yako yote + +Hii ni nahau "kwa moyo wako wote" inamaanisha "kabisa" na "kwa ...roho" inamaanisha "kwa uzima wako wote. Haya maneno yana maana ileile. + diff --git a/deu/13/04.md b/deu/13/04.md new file mode 100644 index 00000000..996d81de --- /dev/null +++ b/deu/13/04.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Utakwenda kumfuata Yahwe Mungu wako + +Kumtii na kumwabudu Yahwe huzungumzwa kama watu walikuwa wanatembea au kumfuata Yahwe. + +# tii sauti yake + +Hapa 'sauti' uwakilisha nini Yahwe asema. + +# kuambatana naye + +Kuwa na mahusiano mazuri pamoja na Yahwe na kabisa kumtegemea huzungumzwa kama mtu ameshikamana kwa Yahwe. + +# utauawa + +Hii inaweza kutajwa kwa kauli kazi + +# amezungumza uasi + +Jina "uasi" linaweza kutajwa kama kitenzi + +# aliyekukomboa katika nyumba ya utumwa + +Yahwe kuokoa watu wa Israeli toka utumwa huko Misri huzungumzwa kama Yahwe alilipa pesa kuwaokoa watu wako toka utumwani. + +# nyumba ya utumwa + +Hapa "nyumba ya utumwa" uwakilisha Misri ambapo watu wa Yahwe walikuwa watumwa. + +# kukuchochea njia ambayo Yahwe Mungu wako alikuamuru uende. + +Jinsi Mungu anataka mtu kuishi au kuzungumwa kama kama njia au barabara ambalo Mungu wake watembee. Mtu anayejaribu kumfanya mtu mwingine ache kumtii Mungu huzungumzwa kama mtu huyo alikuwa anajaribu kumfanya mtu mwingine aende njia ya Mungu au barabara. + +# Basi weka mbali uovu mbali miongoni mwenu + +Hapa "uovu" urejea kwa mtu muovu au tabia mbaya. Hili jina kivumushi linaweza kutajwa kama kivumishi. "Unapaswa kumwondoa miongoni mwa watu wa Israeli mtu anayefanya kitu kiovu" au " Unapaswa kumuuwa mtu huyu muovu" + diff --git a/deu/13/06.md b/deu/13/06.md new file mode 100644 index 00000000..15b088bc --- /dev/null +++ b/deu/13/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# mke wa kifua chako + +Kifua ni kifua cha mtu. Hii ni nahau ambayo anashikilia karibu na kifua chake, ambayo inamaanisha anampenda na kumthamini. + +# rafiki ambaye kwako ni kama nafsi yako + +Hapa "nafsi" uwakilisha maisha ya mtu. Hii ina maana mtu anamjali rafiki wake zaidi kama anavyojali maisha yake mwenye. + +# kwa siri hukushawishi na kusema, hebu tuende na kuabudu mwisho mwingine wa dunia + +Hii inaweza kutofasiriwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. "kwa siri ujaribu kukushawishi uende na kuabudu... mwisho mwingine wa dunia." + +# ambayo ni pande zote karibu nawe + +ambayo ni karibu nawe + +# kutoka mwisho wa dunia mpaka mwisho mwingine wa dunia + +Hii ni kumbukumbu ya kutaja juu ya mambo makuu mawili ya dunia inamaanisha kila mahali duniani. + diff --git a/deu/13/08.md b/deu/13/08.md new file mode 100644 index 00000000..e844a0d8 --- /dev/null +++ b/deu/13/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# usimkubali + +"Usikukabali kwa kile anataka " + +# Wala jicho lako lisimhurumie + +Hapa "jicho lako" urejea kwa mtu mzima. + +# wala hautamzuia au kumficha + +"wala hautamuonyesha huruma au kujificha kutoka kwa wengine kile alichokifanya" + +# mkono wako utakuwa wa kwanza kumuawa + +Hii inamaanisha kwamba alikuwa wa kutupa jiwe la kwanza kwa mtu aliye na hatia. Neno "mkono" uwakilisha mtu mzima. + +# mkono wa watu wote + +Hapa "mkono" uwakilisha mtu mzima. "watu wengine wataungana nawe" + diff --git a/deu/13/10.md b/deu/13/10.md new file mode 100644 index 00000000..7af58fd7 --- /dev/null +++ b/deu/13/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# amejaribu kukuchochea kutoka kwa Yahwe + +"kugeuka mbali toka kwa Yahwe." Mtu anajaribu kusababisha mtu mwingine ache kumtii Yahwe husemwa kama mtu alikuwa anajaribu kumsababisha mtu kimwili kugeuka na kumwacha Yahwe. + +# nje na nyumba ya utumwa + +Hapa "nyumba ya utumwa" uwakilisha Misri ambapo watu wa Yahwe walikuwa watumwa. + +# Israeli yote atasikia na kuogopa + +Ilimaanisha kwamba wakati watu wanasikia kuhusu mtu aliyeuawa, watakuwa na hofu ya kutenda kama alivyofanya. + diff --git a/deu/13/12.md b/deu/13/12.md new file mode 100644 index 00000000..69a478a6 --- /dev/null +++ b/deu/13/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Wenzake wengine waovu wamekwenda kati yenu + +Maneno haya "kati yenu" umaanisha kwamba wanaume hawa waovu walikuwa Waisraeli walioishi kwenye jamii zao. + +# wamewaondoa wenyeji wa jiji lao na kusema tuache na kuabudu miungu mingine ambayo hamjui + +Hii inaweza kutofasiriwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. + +# amewaondoa wenyeji mbali na mji wao + +Mtu anasababisha mtu mwingine kuacha kumtii Yahwe husemwa kama mtu aliyemsababisha mtu mwingine kimwili kugeuka na kumwacha Yahwe + +# kuchunguza ushahidi, kufanya utafutaji, na kuchunguza vizuri + +Haya maneno yote umaanisha kimsingi kitu kilekile. Musa anasisitiza kwamba wanapaswa kwa umakini kujua nini kilichotokea kweli katika mji + +# kwamba kitu hicho cha machukizo kimefanyika kati yenu + +Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. "kwamba watu wa mji wamefanya kitu kibaya" + diff --git a/deu/13/15.md b/deu/13/15.md new file mode 100644 index 00000000..78e1f830 --- /dev/null +++ b/deu/13/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kwa makali ya upanga + +Hapa "makali" uwakilisha upanga mzima. + +# nyara zote + +"nyara zote." Hii urejea kwa milki na hazina ambazo jeshi linakusanya baada ya kushinda vita + +# chungu cha uharibifu + +"rundo la uharibifu" + +# kwamwe isijengwe tena + +Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. "hakuna mmoja anapaswa kujenga mji huu" + diff --git a/deu/13/17.md b/deu/13/17.md new file mode 100644 index 00000000..9015350d --- /dev/null +++ b/deu/13/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hakuna vitu vilivyotengwa kwa ajili ya uharibifu lazima viingie mkononi mwako + +Yahwe alaani kitu fulani na kuahidi kukiharibu husemwa kama Yahwe alikuwa anaweka kitu mbali na vitu vingine. Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. + +# lazima viingine mkononi mwako + +Hii ni nahau. "Unapaswa kuishika" + +# Yahwe atageuka kutoka kwa hasira yake kali + +Yahwe hana hasira tana inaelezewa kuwa hasira yake ilikuwa kitu na Yahwe kimwili anageuka mbali nayo" + +# kwa baba zako + +Hapa "baba" umaanisha babu ua baba waliotangulia. + +# unasikiliza sauti ya Yahwe + +Hapa "sauti" uwakilisha nini Yahwe asema. "unatii kile Yahwe asema" + +# ambacho ni sahihi machoni pa Yahwe Mungu wenu + +Hapa "machoni" uwakilisha mawazo au maoni. + diff --git a/deu/14/01.md b/deu/14/01.md new file mode 100644 index 00000000..b119f521 --- /dev/null +++ b/deu/14/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Ninyi ni watu...ninyi ni taifa...amewachagua + +tukio lote la "wewe" urejea kwa watu wa Israeli. Musa alijumuishwa kama sehemu ya watu. + +# Msijivunue, wala msiweke sehemu yoyote ya uso wako kwa wafu + +Hizi zilikuwa njia za makundi ya watu waishio Kanani walionyesha kwamba walikuwa wakihuzunika juu ya watu walio kufa. Musa anawambia watu wa Israeli wasifanya kama wao. Maana kamili ya maelezo haya inaweza kuwa wazi. + +# wala kunyoa sehemu ya uso wao + +"wala kunyoa mbele ya kichwa chako" + +# wewe ni taifa ambalo limetengwa kwa Yahwe Mungu wako. + +Yahwe anachagua watu wa Israeli kuwa wake katika njia maalumu husemwa kama Yahwe aliwatenga kutoka mataifa mengine yote. + +# Yahwe amewachagua ninyi kuwa watu kwa ajili ya miliki yake. + +Hii humaanisha kimsingi kitu kile kama sehemu ya kwanza ya sentensi. Vyote humaanisha watu wa Israeli kuwa sehemu ya Yahwe kwa njia maalumu. + +# watu kwa ajili ya miliki yake + +"watu kwa ajili ya miliki ya hazina" au "watu wake" + +# zaidi ya watu wote ambao wako juu wa uso wa ardhi. + +nje ya makundi wa watu katika ulimwengu. + diff --git a/deu/14/03.md b/deu/14/03.md new file mode 100644 index 00000000..a90be4e3 --- /dev/null +++ b/deu/14/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Haupaswi kula kitu chochote chukizo + +Watu wa Israeli hakuwapaswa kula kitu chochote ambacho Mungu alisema hakikua kizuri kwa kuliwa. + +# paa, kulungu na kulungu wa kiume + +Hizi ni aina za paa. Kama katika lugha yako hauna neno kwa kila mnyama inaweza kutofasiriwa kama "aina yote ya paa" + +# Kulungu + +Huyu ni mnyama wa mwituni akiwa na miguu mirefu mwembamba ambayo inaweza kukumbia kwa haraka. + +# Kulungu wa kiume + +aina ya paa + +# bebe, na swala + +Wote hawa ni aina ya swala. Kama lugha yako haina neno kwa ajili ya mnyama inaweza kutofasiriwa kama "aina yote ya swala." + diff --git a/deu/14/06.md b/deu/14/06.md new file mode 100644 index 00000000..2978ea0d --- /dev/null +++ b/deu/14/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# sehemu hiyo ya kwato + +"ambayo wamegawanyika kwato" Hii ni kwato ambayo imegawanyika katika sehemu mbili badala ya kuwa moja kamili. + +# utafuna macheuo + +Hii umaanisha wanyama uleta chakula chake juu toka tumboni na kutafuna tena. + +# sungura + +Huyu ni mnyama mdogo mwenye masikio marefu ambaye huishi kwenye mashimu ya ardhi. + +# pomono + +Huyu ni mnyama mdogo ambaye huishi kwenye maeneo ya miamba. + +# wako najisi kwenu + +Kitu chochote Yahwe usema hakifai kwa watu wake kula husemwa kama kilikuwa najisi kimwili. + diff --git a/deu/14/08.md b/deu/14/08.md new file mode 100644 index 00000000..75703586 --- /dev/null +++ b/deu/14/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nguruwe ni najisi kwenu + +Kitu chochote Yahwe usema hakifai kwa watu wake kula husemwa kama kilikuwa najisi kimwili. + diff --git a/deu/14/09.md b/deu/14/09.md new file mode 100644 index 00000000..9920531a --- /dev/null +++ b/deu/14/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Kwa vitu hivi ambavyo viko kwenye maji mnaweza kula + +"Mnaweza kula aina hii ya wanyama ambayo huishia kwenye maji" + +# mapesi + +mapesi, sehemu tambarare ambayo samaki hutumia kwenda kupitia maji + +# magamba + +sahani ndogo zinazofunika mwili wa samaki + +# wao ni najisi kwa ajili yenu + +Kitu Yahwe usema hakifai kwa ajili ya watu wake kula husemwa kama kilikuwa najisi kimwili. + diff --git a/deu/14/11.md b/deu/14/11.md new file mode 100644 index 00000000..92c51d13 --- /dev/null +++ b/deu/14/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ndege wote safi + +Mnyama ambaye Mungu usema anafaa kwa ajili ya watu wake kula husemwa kama mnyama aliye msafi kimwili. + +# tai...tumbusi...kipungu...mwewe mwekundu na mweusi...kipanga. + +Hizi ni ndege ambazo zinaweza kuamka usiku au kula wanyama wadogo na wanyama waliokufa. + diff --git a/deu/14/14.md b/deu/14/14.md new file mode 100644 index 00000000..c34fa2f8 --- /dev/null +++ b/deu/14/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kunguru...mnandio + +Hizi ni aina yote ya ndege ambao wanaweza kuamka usiku au kula wanyama wadogo na wanyama waliokufa. + diff --git a/deu/14/18.md b/deu/14/18.md new file mode 100644 index 00000000..9b4b4ffb --- /dev/null +++ b/deu/14/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# korongo...kongoti, hudihudi + +Hizi ni aina za ndege ambao hula wanyama wadogo na mijusi. + +# popo + +mnyama aliye na mabawa na mwili wa manyoya ambao umeamka hasa usiku na hula wadudu na panya. + +# vitu vyote vilivyo na mabawa, vyema + +Hii umaanisha wadudu wote warukao ambao utembea kwa makundi makubwa. + +# wao ni najisi kwenu + +Wanyama ambao Mungu usema hawafai kwa ajili ya watu wake kula husemwa kama wanyama walio najisi kimwili. + +# hawapaswi kuliwa + +Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. "haupaswi kuwala" + +# vitu vyote visafi virukavyo + +Wanyama ambayo Mungu husema wanafaa kwa ajili ya watu wake kula husemwa kama wanyama walio safi kimwili. + diff --git a/deu/14/21.md b/deu/14/21.md new file mode 100644 index 00000000..b428f3e8 --- /dev/null +++ b/deu/14/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli + +# kitu chochote ambacho hufa chenyewe + +Hii ina maanisha mnyama ambaye hufa kwa kifo cha kawaida. + +# Kwa kawa u taifa ambalo limewekwa wakfu kwa Yahwe Mungu wenu. + +Yahwe kuchagua watu wa Israeli kuwa ni wake kwa anjia maalumu husemwa kama Yahwe amewatenga toka mataifa mengine. + diff --git a/deu/14/22.md b/deu/14/22.md new file mode 100644 index 00000000..219687fa --- /dev/null +++ b/deu/14/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# toa sehemu ya kum ya mazaoa ya mbegu yako + +Hii umaanisha wanapaswa kutoa moja ya sehemu nje ya kila kumi sawa na sehemu toka mazaoa yao. + +# miaka baada ya miaka + +"kila mwaka" + +# mbele ya Yahwe + +"kwenye uwepo wa Yahwe" + diff --git a/deu/14/24.md b/deu/14/24.md new file mode 100644 index 00000000..a9124e8c --- /dev/null +++ b/deu/14/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ibebbe + +Hapa "i" urejea kwa kumi ya mazao na mifugo. + +# utabadilisha sadaka kwa fedha + +"utauza sadaka yako kwa fedha" + +# funga fedha katika mkono wako, uende + +"weka fedha kwenye mkoba na uchukue pamoja nawe" + diff --git a/deu/14/26.md b/deu/14/26.md new file mode 100644 index 00000000..1fdb63ae --- /dev/null +++ b/deu/14/26.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kwa chochote utamanicho + +"kwa chochote unataka" + +# mbele ya Yahwe + +"kwenye uwepo wa Yahwe" + +# Mlawi aliye ndani ya malango yako + +Hapa "lango" uwakilisha mji wote. + +# usimsahau yeye + +Hii inaweza kutajwa kwa kauli chanya. "hakikisha unatoa moja ya kumi yako kwa Mlawi" + +# kwa kawa hana sehemu wala urithi pamoja nawe + +Kabila la Lawi halikupokea sehemu ya ardhi kama urithi. Mgao wao wa urithi ulikuwa heshima ya kumtumikia Yahwe kama makuhani wake. Maana kamili ya maelezo haya inaweza kuwafanywa wazi. + +# hakuna sehemu wala urithi pamoja nawe + +Mungu hakutoa ardhi kwa Walawi husemwa kama hakuwapa urithi. + diff --git a/deu/14/28.md b/deu/14/28.md new file mode 100644 index 00000000..33737ff5 --- /dev/null +++ b/deu/14/28.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kila baada miaka mitatu utawasilisha sehemu ya kumi ya mazao yako + +Mara moja kwa kila miaka mitatu Waisraeli walipaswa kutunza moja ya kumi zao ndani ya miji yao ingetumika kutoa kwa Walawi, yatima, wajane na wageni. + +# ndani ya malango yenu + +Hapa "malango" uwakilisha mji wote + +# kwa sababu hana sehemu wala urithi pamoja nawe + +Mungu hawapi ardhi yoyote Walawi husemwa kama hakuwapa urithi. + +# yatima + +Hawa ni watoto ambao wazazi wao wote wamekufa na hawana ndugu wa kuwajali. + +# mjane + +Huyu ni mwanamke ambaye mme wake amekwisha kufa na hana watoto wa kumjali katika umri wake wa uzee. + +# kwa kazi yote mkon wako ambayo unafanya. + +Hapa "mkono" uwakilisha mtu mzima. HIi inaweza kurejea kwa kazi ya mtu hufanya. + diff --git a/deu/15/01.md b/deu/15/01.md new file mode 100644 index 00000000..132e4784 --- /dev/null +++ b/deu/15/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# miaka saba + +"miaka 7" + +# unapaswa kufuta madeni + +"msamehe kila kitu ambacho watu bado wanadaiwa" + +# Hii ndiyo njia ya kutolewa + +"Hii ni namna ya kufuta madeni" + +# mkopaji + +mtu anayekopesha watu wengine fedha. + +# jirani yake au ndugu yake + +Maneno "jirani" na "ndugu" kushiriki maana zilezile na msisitizo wa uhusiano wa karibu ambao wana nao na Waisraeli wenzake. + +# kwa sababu kufuta kwa madeni ya Yahwe kumetangazwa + +Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. "kwa sababu Yahwe amehitaji kwamba kufutwe madeni" + +# mkono wako unapaswa kutolewa + +Hii ni nahau. "unapaswa kudai tena" au " unapaswa ulipaji" + diff --git a/deu/15/04.md b/deu/15/04.md new file mode 100644 index 00000000..b11f4287 --- /dev/null +++ b/deu/15/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# hakuna masikini + +Kitenzi cha jina "masikini" kinaweza kutajwa kama kitenzi. "hakuna watu masikini" au "hakuna mmoja ambaye ni masikini" + +# ardhi ambayo ametoa + +Hii urejea kwa nchi ya Kanani. + +# anawapa ninyi kama urithi wa kumiliki + +Nchi ambayo Yahwe anawapa watu wake husemwa kama ilikuwa ni urithi ambao Yahwe anawapa. + +# kama peke kwa bidii unasikiliza sauti ya Yahwe Mungu wako + +Hapa maneno "sauti ya Yahwe" urejea kwa kile Yahwe mwenyewe asema. "kama peke unakuwa mwangalifu kutii kile Yahwe Mungu wako anasema" + +# utakopesha mikopo...huwezi kukopa + +Neno "pesa" linaeleweka. Unaweza kufanya maana kamili ya maelezo haya wazi. + +# kwa mataifa mengi...juu ya mataifa mengi + +Hapa "mataifa" uwakilisha watu. "kwa watu wa mataifa mengi...juu ya watu wa mataifa mengi" + +# utaongoza juu ya mataifa mengi, lakini hawatawaongoza juu yenu + +Hapa "juu yenu" umaanisha kuwa mkuu wa kifedha. Hii umaanisha kimsingi kitu kile kama sehemu ya awali ya sentensi. + diff --git a/deu/15/07.md b/deu/15/07.md new file mode 100644 index 00000000..f9f8017f --- /dev/null +++ b/deu/15/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kama kuna mtu maskini + +Hapa "mtu" umaanisha mtu kwa ujumla. + +# moja wa ndugu zenu + +"mmoja wa Waisraeli wenzako" + +# ndani ya malango yako + +Hapa "malango" uwakilisha mji mzima. + +# haupaswi kuufanya mgumu moyo wako + +Kuwa mkaidi husemwa kama mtu huyo alifanya mgumu moyo wao. + +# wala usifungi mkono wako kutoa kwa ndugu yako masikini. + +Mtu ambaye akataa kuto kwa mtu maskini husemwa kama anafunga mkono wake kwamba mtu masikini hawezi kupata chochote toka kwake. + +# lakini unapaswa kwa uhakika kuufungua mkono wako kwake + +Mtu anamsaidia mtu masikini husemwa kama alifungua mkono wake kwake. + diff --git a/deu/15/09.md b/deu/15/09.md new file mode 100644 index 00000000..451b12c1 --- /dev/null +++ b/deu/15/09.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# hapana kuwa na mawazo maovu ndani ya moyo wako, kusema + +Hapa "moyo" uwakilisha akili ya mtu. "usifikiri mawazi maovu" + +# Mwaka wa saba, mwaka wa kutolewa, u karibu + +Ina maana kuwa kwa haraka mtu anafikiria hii atakuwa na wasiwasi kumsaidia mtu maskini kwa sababu inawezekana kwamba mtu maskini hatastahili kulipa tena. Maana kamili ya maelezo haya inaweza kufanywa wazi. + +# Mwaka wa saba + +Neno "saba" ni namba ya upeo ya saba. + +# mwaka wa kutolewa + +"mwaka wa kufuta madeni" + +# u karibu + +Kitu fulani kitatokea mapema husemwa kama kilikuwa karibu kimwili. + +# ili usiwe na uchungu juu ya ndugu yako maskini na usimpe kitu + +"ili usije ukaidi na kukataa kutoa chochote kwa Waisraeli wenzako" + +# lila kwa Yahwe + +"piga kelele kwa Yahwe kwa ajili ya msaada" + +# itkauwa dhambi kwako + +"Yahwe atachunguza yale uliyoyatenda kuwa ya dhambi + +# moyo wako lazima usiwe na huruma + +Hapa "moyo" uwakilisha mtu mzima + +# katika yote ambayo unaweka mkono wako + +Hapa "kuweka mkono wako" uwakilisha mtu mzima na kazi ambazo amefanya. + diff --git a/deu/15/11.md b/deu/15/11.md new file mode 100644 index 00000000..29804680 --- /dev/null +++ b/deu/15/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa kuwa masikini kamwe wataacha kuishi kwenye nchi + +Hii inaweza kutajwa kwa mfumo chanya. "Kwa kuwa daima kutakuwa na watu maskini katika nchi" + +# kwa masikini + +Jina kitenzi "maskini" linaweza kutajwa kama kitenzi. + +# Nakuamuru na kusema, "Unapaswa hakika kufungua mkono wako...kwenye nchi yako.' + +Hii ina nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja inaweza kutajwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. + +# fungua mkono wako kwa ndugu yako, kwa mhitaji, na masikini wako + +Mtu ambaye ana utayari kumsaidia mtu mwingine husemwa kama mkono wake uko wazi. + +# ndugu yako, kwa mhitaji wako, na masikini wako + +Maneno "mhitaji" na "masikini" umaanisha kimsingi kitu kile kile na kusisitiza kwamba hawa ni watu ambao hawezi kujisaidia wenyewe. + diff --git a/deu/15/12.md b/deu/15/12.md new file mode 100644 index 00000000..4cba4497 --- /dev/null +++ b/deu/15/12.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Kama ndugu yako + +Hapa "ndugu" umaanisha Mwisraeli kwa ujumla, kama ni mwanaume au mwanamke. + +# imeuzwa kwako + +Kama watu wasingeweza kulipa madeni, kwa wakati mwingine wanajiuza wenyewe kwa biashara ya utumwa kuplipa kile walichodaiwa. + +# miaka sita + +"miaka 6" + +# mwaka wa saba + +"mwaka wa saba." Huu "mwaka wa sabab ni namba ya upeo ya saba. + +# usiruhu aende zako mkono tupu + +Mtu ambaye hana mali ya kujitolea mwenyewe au familia yake inazungumzwa kama kama mikono yake ilikuwa tupu. + +# kutoa kwa hiari + +"hiari utoa kwake" + diff --git a/deu/15/15.md b/deu/15/15.md new file mode 100644 index 00000000..385f294e --- /dev/null +++ b/deu/15/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kumbuka ulikuwa mtumwa + +Hapa "u" inajumuisha babu ambao walikuwa watumwa kwa miaka mingi. + +# kwamba Yahwe Mungu wenu aliwakomboa + +Yahwe kuwaokoa watu wa Israeli kutoka utumwa huko Misri husemwa kama Yahwe alilipa pesa kuwaokoa watu wake kutoka utumwani. + +# kama anasema kwenu, "Sitaenda mbali nanyi" + +Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja inaweza kutajwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. + +# nyumba yako + +Hapa "nyumba" uwakilisha familia ya mtu. + +# basi unapaswa kuchukua uma na kuifanya kupitia sikio lake kwa mlango + +"basi utaweka mkono wako karibu na fremu ya mlango wa mbao kwenye nyumba yako, na kisha weka fikra za uma kupitia sikio ndani ya kuni" + +# uma + +kikali, kifaa chenye ncha utumiwa kufanya shimo + +# milele + +"mpaka mwisho wa maisha yake" au "mpaka afe" + diff --git a/deu/15/18.md b/deu/15/18.md new file mode 100644 index 00000000..81dc6811 --- /dev/null +++ b/deu/15/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Haipaswi kuonekana ngume kwenu kumruhusu yeye aende huru toka kwenu + +Hii ina maana kwamba hawapendi wakati wa kuruhusu mtu aende huru. + +# kupewa mara mbili thamani ya mtu aliyeajiriwa + +Hii ina maana mmiliki peke alipaswa kulipa ana kiasi kwa ajili ya mtumwa huyu kufanya kazi kuliko angemwajiri mtu kufanya kazi. + +# mtu kuajiriwa + +Huyu ni mtu anayefanya kazi kwa malipo. + diff --git a/deu/15/19.md b/deu/15/19.md new file mode 100644 index 00000000..7f3aeff9 --- /dev/null +++ b/deu/15/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# kumnyoa + +kukata pamba au nywele + +# mbele ya Yahwe + +"kwenye uwepo wa Yahwe" + +# mwaka kwa mwaka + +"kila mwaka" au "kila mwaka" + +# kipofu + +walemavu au asiyejiweza kimwili. + diff --git a/deu/15/22.md b/deu/15/22.md new file mode 100644 index 00000000..5dcae71b --- /dev/null +++ b/deu/15/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ndani ya malango + +Hapa "malango" uwakilisha mji mzima. + +# najisi... watu + +Mtu ambaye hakubaliki kwa makusudi ya Mungu husemwa kama mtu najisi kimwili. + +# watu wasafi + +Mtu ambaye anakubalika kwa makusudi ya Mungu husemwa kama mtu msafi kimwili. + +# paa na kulungu + +Hawa ni wanyama wa mwitu wakiwa na miguu mirefu na mwembamba ambao hukimbia kwa haraka. + +# haupaswi kula damu yake + +"haupaswi kula damu yake." Yahwe hakuwaruhusu waisraeli kula damu kwa sababu damu iliwakilisha uhai. + diff --git a/deu/16/01.md b/deu/16/01.md new file mode 100644 index 00000000..e673ed1d --- /dev/null +++ b/deu/16/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# mwezi wa Abibu + +Huu ni mwezi wa kwanzza wa kalenda ya Kiebrania. Inaonyesha wakati Mungu aliwatoa watu wa Israeli toka Misri. Ni wakati wa sehemu ya mwisho wa mwezi wa tatu na sehemu ya kwanza ya mwezi wa nne kwa kalenda ya Magharibi. + +# ishike pasaka + +Inamaanisha kwa "kushika pasaka" ambayo walikuwa wanasherehekea na kula chakula cha pasaka. + +# utatoa dhabihu ya pasaka + +Hapa "Pasaka" uwakilisha mnyama ambaye anatolewa dhabihu kwa ajili ya sherehe. + diff --git a/deu/16/03.md b/deu/16/03.md new file mode 100644 index 00000000..9517d387 --- /dev/null +++ b/deu/16/03.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# nayo + +Hapa "nayo" urejea kwa mnyama atakayetolewa dhabihu na kuliwa. + +# siku saba + +"siku 7" + +# mkate wa taabu + +Hii ilikuwa jina la mkate usiotiwa chachu.Maana kamili inaweza kutajwa kwa waziwazi. + +# nje ya ardhi ya Misri kwa haraka + +Watu walipaswa kuondoka Misri kwa haraka ambako hakuwa na muda wa kutosha kufanya mkate wa amila. + +# Fanya hili kwa siku zote za maisha yako + +"Fanya hili kwa muda mrefu unapoishi" + +# kumbuka akilini + +Hii ni nahau. "kumbuka" + +# Hakuna chachu lazima ionekane kati yenu + +Hii inaweza kutajwa kwa mfumo tendaji. "Haupaswi kuwa na chachu yoyote miongoni mwenu" + +# ndani ya mipaka yenu + +"ndani ya wilaya yako yote" au "katika nchi yako yote" + +# siku ya kwanza + +Hii "kwanza" ni namba ya upeo kwa moja. + diff --git a/deu/16/05.md b/deu/16/05.md new file mode 100644 index 00000000..a5c94e1e --- /dev/null +++ b/deu/16/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Huwezi kutoa dhabihu Pasaka + +Hapa "Pasaka" uwakilisha mnyama ambaye atatolewa dhabihu. + +# ndani ya milango yako yote ya jiji + +Hapa "milango" uwakilisha miji + +# wakati wa jua kwenda chini + +"wakati wa jua kwenda chini" + diff --git a/deu/16/07.md b/deu/16/07.md new file mode 100644 index 00000000..73cef4d8 --- /dev/null +++ b/deu/16/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# lazima uipike + +"Unapaswa kuipika" + +# siku sita + +"siku 6" + +# siku ya saba + +"saba" ni namba ya upeo kwa saba + +# mkusanyiko mzuri + +"mkusanyiko maalumu" + diff --git a/deu/16/09.md b/deu/16/09.md new file mode 100644 index 00000000..8fc68ba2 --- /dev/null +++ b/deu/16/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# hesabu wiki saba + +"hesabu wiki 7" + +# tangu wakati unapoanza kuweka sungura kwenye nafaka zilizosimama. + +Haya maneno "kuweka mundu kwenye nafaka" ni njia ya kurejea mwanzo wa muda wa kuvuna. + +# mundu + +ni kifaa kilicho na wembe iliyopigwa kwa kukata nyasi, nafaka, na mizabibu. + +# pamoja na mchango wa sadaka ya kujitolea kutoka kwa mkono wako ambao utakupa + +Hapa "mkono" uwakilisha mtu mzima. + +# kulingana na Yahwe Mungu wako amekubariki + +"kulingana na mavuno ambayo Yahwe Mungu amekupa" Hii inamaanisha kwamba watu itatokana na kiasi ambacho wanatoa juu ya kiasi gani walichovuna mwaka huo. + diff --git a/deu/16/11.md b/deu/16/11.md new file mode 100644 index 00000000..240deeb7 --- /dev/null +++ b/deu/16/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mwana wako, binti yako, mjakazi wako wa kiume, mjakazi wako wa kike, Mlawi + +Hawa hawarejei kwa mtu maalumu. Ina maana hawa ni aina ya watu kwa jumla. + +# ndani ya malango yako + +Hapa "malango" uwakilisha miji + +# mgeni, yatima na mjane + +Hii urejea kwa aina ya watu hawa kwa jumla + +# yatima + +Hawa ni watoto ambao wazazi wao wote walifuga na hawana ndugu wa kuwajali. + +# mjane + +Hii ina maana ya mwanamke ambaye mme wake amekufa na hana watoto wa kumjali kwa umri wa uzeeni. + +# kumbuka akilini + +Hii ni nahau. "kumbuka" + diff --git a/deu/16/13.md b/deu/16/13.md new file mode 100644 index 00000000..9e7eae93 --- /dev/null +++ b/deu/16/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sherehe ya vipanda + +Majina mengine ya sherehe ni "Sikukuu ya mahema," Sherehe ya vibanda," na "Sikukuu ya kukusanya." Wakati wa mavuno, wakulima wanategeneza vibanda vya muda kwenye mashamba. Hii sikukuu ilifanyika baada ya mavuno ya mwisho wa mwaka. + +# siku saba + +"siku 7" + +# ndani ya malango + +Hapa neno "malango" uwakilisha miji au mji. + diff --git a/deu/16/15.md b/deu/16/15.md new file mode 100644 index 00000000..474dd6eb --- /dev/null +++ b/deu/16/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# sikukuu + +"sikukuu ya vibanda" + +# kazi yote ya mikono yenu + +Hapa "mikono" uwakilisha mtu mzima. + diff --git a/deu/16/16.md b/deu/16/16.md new file mode 100644 index 00000000..73abf6fd --- /dev/null +++ b/deu/16/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wanaume wote wanapaswa kuonekana mbele ya Yahwe + +Wanawake waliruhusiwa, lakini Yahwe hakuwahitaji kwamba waje. Wanaume wangeweza kuwakilisha familia zao zote. + +# wanapaswa kuonekana mbele ya Yahwe + +"wanapaswa kuja na kusimama kwenye uwepo wa Yahwe" + +# hawataonekana mbele ya Yahwe mikono mitupu; badala yake, kila mtu + +mitupu; badala yake, kila mtu- hawatakuja mbele ya Yahwe bila kuwa na sadaka; badala yake, kila mtu." Hizi sentensi mbili hasi kwa pamoja zina maana chanya. + diff --git a/deu/16/18.md b/deu/16/18.md new file mode 100644 index 00000000..b03e6c23 --- /dev/null +++ b/deu/16/18.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Mnapaswa kuwa na majaji + +"Mnapaswa kuteua majaji" au " Mnapaswa kuchagua majaji" + +# ndani ya malango ya mji wenu + +Hapa "malango" uwakilisha mji. "ndani ya miji yenu yote" + +# watachukuliwa + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo tendaji. "utawachagua" + +# wahukumu watu kwa hukumu ya haki + +"hukumu watu kwa haki" + +# Usiondoe haki kwa nguvu + +Musa azungumzia haki kama kilikuwa kitu halisi ambacho mtu mwenye nguvu anaweza kwa ukali kutoa kwa mtu dhaifu. "Haupaswi kuwa na upendeleo wakati unahukumu. Hii inaweza kusemwa kwa mfumo chanya. Lugha yako inaweza kuwa na neno moja ambalo lina maanisha "tumia nguvu kuondoa." "Unapaswa kufanya maamuzi ya haki" + +# hampaswi + +Hapa "m" urejea kwa wale watateuliwa kama majaji na maafisa. + +# kwa kuwa rusha upofusha macho ya hekima na kupotosha maneno ya wenye haki + +Kuchukua rusha husemwa kama rushwa uwaharibu watu. "kwa kuwa hata mtu wa hekima ambaye apokea rushwa atakuwa kipofu, na hata mtu mwenye haki apokea rushwa atasema uongo" + +# rushwa upofusha macho ya mwenye hekima + +Mtu wa hekima apokeae rushwa ili asiongee dhidi ya kitu kiovu husemwa kama amekuwa kipofu. + +# mwenye hekima + +Kivumishi jina "mwenye hekima" kinaweza kutofasiriwa kama kivumishi. + +# na kupotoshwa maneno ya mwenye haki + +Kivumishi jina "haki" kinaweza kutofasiriwa kama kivumishi. + +# kufuata baada ya haki, baada ya haki pekee + +haki husemwa kama mtu ambaye anatembea. Mtu ambaye anafanya kile kilicho sawa na haki husemwa kama alikuwa anafuta kwa karibu nyuma ya haki. + +# urithi nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa + +Kupokea nchi ambayo Mungu anawapa watu husemwa kama watu walikuwa wanarithi nchi kutoka kwa Mungu. + diff --git a/deu/16/21.md b/deu/16/21.md new file mode 100644 index 00000000..ad3ba478 --- /dev/null +++ b/deu/16/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hampaswi + +Hapa "m" urejea kwa watu wote wa Israeli. + +# nguzo yoyote ya jiwe takatifu, ambayo Yahwe Mungu wako huchukia. + +Maneno "ambayo Yahwe Mungu wako huchukia" inakupa taarifa zaidi kuhusu jiwe takatifu. + +# nguzo ya jiwe takatifu + +Hii urejea kwa nguzo ambazo ni sanamu hutumiwa kuabudu miungu wa uongo. + diff --git a/deu/17/01.md b/deu/17/01.md new file mode 100644 index 00000000..2cc861c8 --- /dev/null +++ b/deu/17/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Habari ya jumla + +Musa bado anazungumza na watu wa Israeli. + +# ambayo ni kosa lolote + +"ambayo ina kosa" au "ambayo ina kitu kibaya" Mnyama anapaswa kuonekana mwenye afya pasipo kuwa na ulemavu. + +# hiyo itakuwa chukizo kwa Yahwe + +"ambayo itakuwa machukizo kwa Yahwe" + diff --git a/deu/17/02.md b/deu/17/02.md new file mode 100644 index 00000000..ba16798a --- /dev/null +++ b/deu/17/02.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# kama kunapatikana miongoni mwenu + +Hii inaweza kusemwa kwa kauli tendaji. "Kama unampata mtu" au "Kama kuna mtu yeyote miongoni mwenu" + +# ndani ya malango ya mji wenu wowote + +Hapa "malango" uwakilisha miji. "kuishi kwenye moja ya miji yenu" + +# Je, ni jambo baya machoni pa Yahwe Mungu wako + +Hapa, "machoni pa Yahwe" umaanisha nini Yahwe azingatia au kufikiri kuhusu kitu fulani. "kitu fulani ambacho Yahwe Mungu hufikiri ni kiovu" + +# huvujika kwa agano lake + +"kutotii agano lake" + +# yeyote ambaye ameshaenda + +"kama unamkuta yoyote ambaye ameshaenda" + +# yeyote wa jeshi la mbinguni + +"nyota yoyote" + +# hakuna kitu nilichokuamuru + +"ambayo sijamwamuru yoyote kufanya" + +# ikiwa umeambiwa juu ya hili + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo tendaji. "kama mtu anakuambia kuhusu hili tendo la kutotii" + +# fanya uchunguzi wa makini + +Jina dhahania "uchunguzi" inaweza kusemwa kama kitenzi. "unapaswa kwa uangalifu uchunguzi kilichotokea" + +# Hitilafu hiyo imefanywa nchini Israeli. + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. + diff --git a/deu/17/05.md b/deu/17/05.md new file mode 100644 index 00000000..ed08394b --- /dev/null +++ b/deu/17/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa kinywa cya mashahidi wawili, au watatu, yeye atakayekufa atauawa + +Hapa "kinywa" uwakilisha ushuhuda wa mashahidi. Hii inaweza kutofasiriwa kwa mfumo kazi. + +# lakini kwa kinywa cha shahidi moja peke hapaswi kuawa + +Hapa "kinywa" uwakilisha ushuhuda wa shahidi. Hii inaweza kutofasiriwa kwa mfumo kazi. "kama mtu mmoja peke anazungumza dhidi yake, basi unapaswa kumuawa" + +# Mkono wa shahidi unapaswa kuwa wa kwanza kumuawa, na baada ya hapo mkono wa watu wote + +Hapa "mkono" uwakilisha mtu mzima. "Mashahidi wenyewe wanapaswa kuwa wa kwanza kumponda mawe. Basi watu wote watamuawa kwa mponda mawe" + +# na utaondoa uovu kutoka miongonu mwenu + +Jina kuvumshi "uovu" inaweza kusemwa kama kuvumishi. "unapaswa kumuondoa miongoni mwa Waisraeli mtu huyu ambaye afanya uovu huu" au unapaswa kumuawa mtu huyu muovu" + diff --git a/deu/17/08.md b/deu/17/08.md new file mode 100644 index 00000000..6d993e22 --- /dev/null +++ b/deu/17/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# ikiwa jambo linatokea + +"kama kuna jambo" au "kama kuna hali" + +# haki ya mtu mmoja na mwingine + +"haki" ni mamlaka ya kisheria kufanya kitu fulani au kumiliki kitu fulani. + +# ndani ya malango ya mji wako + +Hapa "malango ya mji" uwakilisha miji. "ndani ya miji yenu" + +# utatafuta ushauri wako + +Jina "ushauri" inaweza kusemwa kama kitenzi. "utawauliza wakushauri" + +# watakupa uamuzi + +Jina "uamuzi" inaweza kusemwa kama kitenzi. "watafanya maaumuzi juu ya mambo" + diff --git a/deu/17/10.md b/deu/17/10.md new file mode 100644 index 00000000..70d30037 --- /dev/null +++ b/deu/17/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Unapaswa kufuata sheria uliyokupa + +Mtu kutii kile makuhani na mwamuzi wanachoamua husemwa kama mtu kimwili anafuata kwa nyuma sheria. Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Unapaswa kutii kile mwamuzi na makuhani wanamua kuhusu jambo" + +# Usigeuke kwa kile wanachokuambia, kwa mkono wa kulia au kushoto. + +Mtu asipofanya hasa kila mwamuzi na makuhani wanasema anasemwa kama alikuwa ameiacha njia sahihi/ + diff --git a/deu/17/12.md b/deu/17/12.md new file mode 100644 index 00000000..b578c770 --- /dev/null +++ b/deu/17/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa kutomsikiliza kuhani...wala kwa kutomsikiliza mwamuzi + +"na hakuna kumtii kuhani...wala hakuna kumtii mwamuzi" + +# utaondoa mbali uovu toka Israeli. + +Jina kivumushi "uovu" inaweza kutofasiriwa kama kivumushi. "unapaswa kumwondoa mtu toka miongoni mwa Waisraeli mtu afanyae kitu kiovu" au "unapaswa kumuawa mtu huyu muovu" + +# Watu wote wanapaswa kusikiliza na kuogopa, na kutotenda kwa kiburi tena + +Inamaanisha kwamba wakati watu wanasikia kuhusu mtu aliyeuawa kwa kufanya kwa kiburi, wataogopa na hawatafanya kwa kiburi wenyewe. + diff --git a/deu/17/14.md b/deu/17/14.md new file mode 100644 index 00000000..6bb1bc1f --- /dev/null +++ b/deu/17/14.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Wakati ulipokuja kwenye nchi + +Neno "kuja kwenye" linaweza kutofasiriwa kama "kwenda kwa" au "kuingia." + +# basi unasema, 'Nitaweka mfalme juu yangu, kama mataifa yote ambayo yananizunguka' + +Hii ina nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja inaweza kusemwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. "basi unaweza kuamua kwamba unahitaji mfalme kama wa watu wa mataifa ambayo yana wafalme" + +# weka mfalme juu yangu + +Kumpa mtu mamlaka kutawala kama mfalme huko Israeli husemwa kama watu walikuwa wanamweka mtu katika sehemu iliyo juu yao. + +# kama matiafa yote ambayo yananizunguka mimi + +"kama mataifa yaliozunguka" + +# mataifa yote + +mataifa yote Hapa "matiafa" uwakilisha mtu anaishi kwenye mataifa. + +# moja kutoka miongoni mwa ndugu zenu + +"moja ya Waisraeli wenzako" + +# mgeni, ambaye siyo ndugu yako + +Yote haya makundi ya maneno umaanisha kitu kile. Ote urejea kwa mtu ambaye siyo Mwiisraeli. + diff --git a/deu/17/16.md b/deu/17/16.md new file mode 100644 index 00000000..92d46d31 --- /dev/null +++ b/deu/17/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kwa kuwa Yahwe alikwisha sema kwako, "Haupaswi kuanzia sasa kamwe usirudi njia hiyo tena' + +Hii imekuwa nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja inaweza kusemwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. "kwa kuwa Yahwe amekwisha sema kwamba haupaswi kamwe kurudi Misri tena" + +# ili moyo wake usiondoke kutoka kwa Yahwe + +Hapa "moyo" urejea kwa mtu mzima. Wafalme mara nyingi walioa wanawake kutoka mataifa mengine ambayo yaliabudi miungu tofauti. Mfalme wa Israeli ambaye anaanza kuabudu miungu ya uongo wa mke wake husemwa kama moyo wake umegeuka mbali kutoka Yahwe. + diff --git a/deu/17/18.md b/deu/17/18.md new file mode 100644 index 00000000..cda8c99d --- /dev/null +++ b/deu/17/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wakati akaapo kwenye kiti cha enzi chake cha ufalme + +Hapa "kiti cha enzi" uwakilisha ngu ya mtu na mamlaka kama mfalme. Kukaa kwneye kiti cha enzi umaanisha kuwa mfalem. + +# kutoka sheria ambayo ilikuwa mbele ya makuhani, ambao ni Walawi + +"kutoka kwenye nakala ya sheria ambayo makuhani wa kilawi walitunza" + +# ili kuyashika yote maneno ya sheria na amri hizi, kuzitama + +Haya makundi ya maneno umaanisha kimsingi kitu kilekile na kusisitiza kwamba mfalme anapaswa kutii sheria zote za Mungu. + diff --git a/deu/17/20.md b/deu/17/20.md new file mode 100644 index 00000000..7e114f09 --- /dev/null +++ b/deu/17/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ili kwamba moyo wako haujainuliwa zaid ya ndugu zake + +Hapa "moyo wake" ujrea kwa mtu mzima. Mfalme kuwa na kiburi inasemwa kama moyo uliinuliwa + +# ili kwamba asiache njia kutoka kwa amri, kwa mkono wa kulia na wa kushoto. + +Mfalem kutotii amri za Mungu husemwa kama mtu anaiacha njia sahihi. + +# kuongoze maisha yake + +Siku ndefu ni mfano wa maisha marefu. Hii inaweza kutofasiriwa sawasawa na "kuzidisha siku yako" katika 4"25 + diff --git a/deu/18/01.md b/deu/18/01.md new file mode 100644 index 00000000..120188b5 --- /dev/null +++ b/deu/18/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuwambia watu kile Yahwe anahitaji wao wafanye. + +# hatutakuwa na sehemu wala urithi pamoja na Israeli. + +Walawi hawapokei ardhi yoyote kutoka kwa Yahwe husemwa kama hawatapokea urithi. + +# hakuna sehemu + +"hakuna sehemu" au "hakuna sehemu" + +# miongoni mwa ndugu zake + +"miongoni mwa makabila mengine ya Israeli" au miongoni mwa Waisraeli" + +# Yahwe ni urithi wao + +Musa azungumza kwa heshima kwa Aroni na wazao wake watakuwa kwa kumtumikia Yahwe kama makuhani kama Yahwe alikuwa kitu watakachorithi. + diff --git a/deu/18/03.md b/deu/18/03.md new file mode 100644 index 00000000..bef89691 --- /dev/null +++ b/deu/18/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# yu kuhani + +"madai ya makuhani" au "kushiriki kwa makuhani" + +# sehemu za ndani zaidi + +Hii ni tumbo na matumbo. + +# unapaswa kumpa + +"unapaswa kutoa kwa kuhani" + +# amemchagua yeye + +Hapa "yeye" uwakilisha Walawi wote + +# kusimama kwa kutumika kwa jina la Yahwe + +Hapa "jina la Yahwe" usimama kwa Yahwe mwenyewe na mamlaka yake. "kuwa watumishi wake maalumu" au " kutumika kama wawakilishi wa Yahwe" + +# yeye na watoto wake milele + +Hapa "yeye" uwakilisha Walawi wote. + diff --git a/deu/18/06.md b/deu/18/06.md new file mode 100644 index 00000000..cf293387 --- /dev/null +++ b/deu/18/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kutamani kwa roho yake yote + +Hii ni nahau. "anatamani sani" au "anataka kweli" + +# basi anapaswa kutumika kwa jina la Yahwe Mungu wake + +Hapa "jina" uwakilisha Yahwe na mamlaka yake. "kisha anapaswa kumtumikia Yahwe na Mungu wake kama kuhani" + +# anasimama huko mbele ya Yahwe + +"ambaye anatumika kwenye mahali patakatifu kwa uwepo wa Yahwe" + +# urithi wa familia yake + +Hiki ndicho kuhani angeweza kurithi kutoka kwa baba yake + diff --git a/deu/18/09.md b/deu/18/09.md new file mode 100644 index 00000000..d602b8df --- /dev/null +++ b/deu/18/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Wakati unapokuja + +Hapa "kuja" kunaweza kutofasiriwa kama "kwenda" au "kuingia" + +# haupaswi kujifunza kuchunguza machukizo ya mataifa hayo + +Mungu achukia shughuli za kidini za watu kwa mataifa yanayowazunguka. Anawazingatia kuwa mbaya sana. Hapa "mataifa" uwakilisha watu. + +# haipaswi kupatikana kati yenu yeyote + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Pasiwepo miongoni mwenu" + +# kumweka kijana wake au binti wake kwenye moto + +"kutoa dhabihu watoto wake kwenye moto juu ya madhabahu" + +# yoyote atumiae uchawi ...aongea na roho + +Hawa ni watu tofauti wanaotumia uchawi. Mungu amekataza kila aina ya uchawi. Kama hauna neno kwa aina hii ya watu, inaweza kusemwa kwa ujumla. "yeyote atumiae uchawi kujaribu kungundua nini kitatokea badae, kuelezea, au kuongea na roho wafu" + +# kufungua + +kutumia uchawi kutabili baadaye + diff --git a/deu/18/12.md b/deu/18/12.md new file mode 100644 index 00000000..b5067273 --- /dev/null +++ b/deu/18/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kuwaondoa + +Hapa "wao" urejea kwa watu tayari wanaishi huko Kanani. + +# Kwa mataifa haya + +Hapa "mataifa" usimama kwa ajili ya makundi ya watu ambao wanaishi Kanani. + +# kuwaondoa + +"kuwaondoa" au kuwatoa nje" + diff --git a/deu/18/15.md b/deu/18/15.md new file mode 100644 index 00000000..7fd465be --- /dev/null +++ b/deu/18/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Yahwe Mungu wenu atainua kwa ajili yenu nabii + +Yahwe kuteua mtu kuwa nabii husemwa kama Yahwe uinua mtu juu. + +# moja ya ndugu zenu + +"moja ya ndugu Waisraeli" + +# Hiki ndicho ulichouliza + +Hapa "wewe" urejea kwa Waisraeli huko kwenye Mlima Horebu kuhusu miaka 40 ya awali. + +# huko Horebu siku ile ya kusanyiko + +"siku ile mlipokusanyika pamoja huko Horebu" + +# siku ya kusanyiko, kusema, "Hebu tuache kusikia tena sauti ya Yahwe Mungu wetu, wala kuona moto wake mkuu tena, au tutakufa' + +Hii ina nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja inaweza kusemwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. "siku ya kusanyiko wakati uliposema kwamba haukutaka kusikia sauti ya Yahwe Mungu wetu, wala kuona moto mkuu tena, kwa sababu uliogopa kwamba utakufa" + +# Hebu tuache kusikia tena sauti ya Yahwe Mungu wetu + +Hapa "sauti" uwakilisha Yahwe anazungumza. "Hebu tuache kumsikia Yahwe Mungu wetu anazungumza tena" + diff --git a/deu/18/17.md b/deu/18/17.md new file mode 100644 index 00000000..d330a134 --- /dev/null +++ b/deu/18/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nitaunua nabii kwa ajili yenu + +Yahwe kuteua mtu kuwa nabii husemwa kama Yahwe angeinua mtu juu. + +# kutoka miongoni mwa ndugu zenu + +"kutoka miongoni wenzenu Waisraeli" + +# Nitaweka maneno yangu kwenye kinywa chake + +Yahwe kumwambia nabii nini cha kusema husemwa kama Yahwe angeweka maneno kwenye kinywa cha nabii. + +# zungumza nao + +"zungumza na watu wa Israeli" + +# usisikilize maneno yangu ambayo anazungumza kwa jina langu + +Hapa "maneno" uwakilisha nini Yahwe asema. Hapa maneno "jina langu" uwakilisha Yahwe na mamlaka yake. "usimsikilize wakati azungumzapo ujumbe wangu" + +# kuhitaji hivyo + +"Mimi nitamshikilia kuwajibika" au "Nitamwadhibu." Hapa "yeye" urejea kwa mtu asiyemsikiliza nabii. + diff --git a/deu/18/20.md b/deu/18/20.md new file mode 100644 index 00000000..7659df04 --- /dev/null +++ b/deu/18/20.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Habari ya jumla + +Yahwe aendelea kuzungumza + +# ambaye aongea neno kwa kiburi + +Hapa "neno" uwakilisha ujumbe. + +# kwa jina langu + +Hapa "jina langu" urejea kwa Yahwe mwenye na mamlaka yake. + +# neno ambalo sijakuamuru + +Hapa "neno" uwakilisha ujumbe "ujumbe ambao sijakuamuru" + +# ambaye azungumza kwa jina la miungu mingine + +Hapa "jina" uwakilisha miungu yenyewe au mamlaka yao. Hii inamaanisha nabii adai kwamba miungu ya uongo alimwambia kuzungumza ujumbe fulani. + +# Hivi ndivyo unapaswa kusema kwenye moyo wako + +Hapa "moyo" uwakilisha mawazo ya mtu. "Unazungumza mwenywe" au "Unapaswa kusema mwenywe" + +# Tutagundua je ujumbe wa Yahwe ambao hajazungumza? + +"Namna gani tunaweza kujua kama ujumbe ambao nabii amezungumza umetoka kwa Yahwe? Hapa "tu" urejea kwa watu wa Israeli. + diff --git a/deu/18/22.md b/deu/18/22.md new file mode 100644 index 00000000..0ec981c8 --- /dev/null +++ b/deu/18/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Habari ya jumla + +Yahwe aendelea kuzungumza + +# nabii azungumza kwa jina la Yahwe + +Hapa "jina la Yahwe" urejea kwa Yahwe mwenyewe na mamlaka yake. "nabii adai kuzungumza nami" au "nabii adai kuzungumza na mamlka yangu" + +# nabii amezungumza kwa kiburi + +"nabii amezungumza ujumbe huu pasipo mamlaka yangu" + diff --git a/deu/19/01.md b/deu/19/01.md new file mode 100644 index 00000000..d5b97670 --- /dev/null +++ b/deu/19/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Habari ya jumla + +Musa bado anazungumza na watu wa Israeli. + +# Wakati Yahwe Mungu wenu huyapunguza mataifa + +Yahwe kuwaharibu watu wanaoishi Kanani husemwa kama wamepungunzwa, kama mmoja angewapungunza kwa vipande vya nguo au kupungunza tawi la mti + +# mataifa + +Hii uwakilisha makundi ya watu ambayo huishi huko Kanani. + +# wale ambao nchi Yahwe Mungu wenu anawapa + +"yale mataifa ambayo yalikuwa yanaishi katika nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa" + +# kuja baada yao + +"chukua nchi kutoka mataifa yale" au "miliki nchi baada ya yale mataifa yaliyoenda" + +# chagua miji mitatu + +"chagua miji 3" + +# Unapaswa kujenga barabara + +Walikuwa wanajenga barabara ili kwamba iwe rahisi kwa watu kusafiri kwa miji hii. + +# gawa mipaka ya ardhi yako kwa sehemu tatu + +Ina maanisha kwamba moja ya miji waliochagua unapaswa kuwa kila sehemu ya nchi. + +# nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anasababisha ninyi kurithi + +Yahwe atoa nchi kwa watu wa Israeli husemwa kama watu walikuwa wanarithi nchi. + diff --git a/deu/19/04.md b/deu/19/04.md new file mode 100644 index 00000000..76e5bcf4 --- /dev/null +++ b/deu/19/04.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Hii sheria mpya + +"Haya ni maelekezo" au "Huu ni mwelekeo" + +# kwa yeyote anayemuuwa mwingine + +Neno "mtu" linaeleweka. "kwa mtu ambaye anamuuwa mtu mwingine" + +# na ambaye anakimbilia huko + +"na ambaye hutorokea kwa moja ya miji hii" au "na ambaye akimbilia kwa moja ya miji hii" + +# kuishi + +"kuokoa maisha yake." Maana kamili ya maelezo haya inaweza kufanywa wazi. "ili familia ya mtu aliyekufa hamuuwi kwa kulipiza kisasi" + +# yeyote anayemwua jirani yake hajui + +Hapa "jiran" umaanisha mtu kwa jumla. "mtu yeyote ambaye anamwua mtu mwingine kwa ajali" + +# na hakumchukia hapo awali + +"lakini hakumchukia jirani yako kabla hajamuuwa." Hii inamaanisha hapakuwa na kisababishio cha yeye kumuuwa jirani yake kwa makusudi. + +# kama wakati mtu huenda kwenye msitu...kukata kuni + +Mwandishi hutoa hali ya kufikiri ambapo mtu amuuwa mtu mwingine kwa ajali. + +# kichwa kinapiga kutoka shimoni + +sehemu ya chuma ya shoka hutoka kwenye kushughulikia. + +# kumpiga jirani yake ili afe + +Hii inamaanisha kichwa cha shoka hugonga na kumuuwa jirani. + +# kwa moja ya miji hii na kuishi + +"kwa moja ya miji hii kuokoa maisha yake." Inamaanisha kwamba familia ya mtu aliyekufa yaweza kulipisa kisasi. Mtu aliyemuuwa anayeweza kukimbilia kwa moja ya miji hii, na watu wa huko watamlinda. + diff --git a/deu/19/06.md b/deu/19/06.md new file mode 100644 index 00000000..21267218 --- /dev/null +++ b/deu/19/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Habari ya jumla + +Musa bado anazungumza na watu wa Israeli. + +# mlipuko wa damu + +Hapa "damu" uwakilisha mtu ambaye aliyeuwawa. "mlipuko wa damu" ni ndugu wa karibu wa mtu aliyeuwawa. Huyu ndugu anawajibika kwa kumwadhibu muuaji. + +# mmoja aliyechukua maisha + +Hii ni nahau. "yule aliyemwua mtu mwingine" + +# kwa hasira kali + +mtu aliye na hasira sana anazungumzwa kama hasira ni kitu kinachoweza kuwa moto. + +# Na anampiga + +"Na mlipuko wa damu huwapiga mtu aliyemwua mtu mwingine" + +# ingawa mtu huyo hakuwastahili kufa, na hivyo hastahili adhabu ya kifo tangu hakumchukia jirani yake kabla ya hili kutokea + +"ingawa mtu huyo hakuwastahili kufa tangu alimuuwa kwa ajali mtu mwingine na hakuwa adui wake" + diff --git a/deu/19/08.md b/deu/19/08.md new file mode 100644 index 00000000..0361bfe6 --- /dev/null +++ b/deu/19/08.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Habari ya jumla + +Musa bado anazungumza kwa watu wa Israeli + +# kukuza mipaka yako + +"ukupa ardhi zaidi kumiliki" + +# kama alivyowaapia baba zako kufanya + +"kama alivyowaahidi babu zenu kwamba atafanya" + +# kama utayashika hizi amri kuzifanya + +"kama unatii amri zote hizi" + +# daima kutembea kaitka njia zake + +Namna Mungu anahitaji mtu aishi au kutenda husemwa kama ilikuwa njia ya Yahwe au barabara. Mtu ambaye anamtii Yahwe husemwa kama alikuwa anatembea kwenye njia ya Yahwe au barabara. + +# kisha unapaswa kuongeza miji mitatu au zaidi kwa ajili yako + +Maana kamili ya maelezo haya inaweza kufanywa wazi. "kisha unapaswa kuchagua miji mitatu zaidi kwa ajili ya mtu kutoroka kama amemuuwa mtu kwa ajili" + +# badala ya hii mitatu + +"kwa nyongeza ya miji mitatu uliyoanzisha tayari" + +# Fanya hivi ili damu ya asiye na hatia isimwangwe. + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo wa kazi. "Fanya hivi ili kwamba ndugu wa familia wasiuwe mtu asiye na hatia" + +# katikati mwa nchi + +"kwenye ardhi" au "kwenye wilaya" + +# Yahwe Mungu wenu anawapa kama urithi + +Nchi ambayo Yahwe anawapa watu wa Israeli husemwa kama ilikuwa urithi. + +# ili usiwe na hatia ya damu kwako + +Watu wa Israeli kuwa na hatia kwa ajili ya mtu kufa kwa sababu hawakujenga mji ambao angekuwa salama kutoka kwa "mlipizi wa damu" inasemwa kama hatia ya kifo chake kiko juu yao. + +# damu ya hatia + +Hapa "damu" uwakilisha uhai na "hatia ya damu" urejea kwa hatia ya mtu aliyo nayo kwa kuuwa mtu asiye na hati. + +# labda iwe juu yenu + +Hii ina maana ya kwamba ndugu wa familia anauwa mtu asiye na hati, basi watu wote wa Israeli watakuwa na hatia kwa kuruhusu hilo kufanyika. + diff --git a/deu/19/11.md b/deu/19/11.md new file mode 100644 index 00000000..75b51e6b --- /dev/null +++ b/deu/19/11.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# jirani yake + +Hapa "jirani" umaanisha mtu yeyote kwa jumla. + +# amelala kumngojea yeye + +Maana kamili ya maelezo haya yanaweza kufanywa wazi. "jifiche na kusubiri kwa kusudi la kumuuwa" au " kupanga kumuwa yeye" + +# kuinuka dhidi yake + +Hii ni nahau. "kumvamia yeye" + +# na kujeruhiwa na kufa + +"na kuumiza yeye ili kwamba afe" au "na kumuuwa yeye" + +# unapaswa kutuma na kumleta nyuma kutoka huko + +"unapaswa kutuma mtu kumchukua yeye na kumleta nyuma kutoka kwenye mji ambao alotorokea" + +# kumgeuza + +Hii ni nahau "kumtoa yeye" + +# kwenye mkono wa ndugu wahusika + +Hapa "mkono" uwakilisha mamlaka ya mtu. + +# anaweza kufa + +"muuaji anaweza kufa" au " ndugu ahusikiae anaweza kumuuwa muuaji" + +# Macho yako hayapaswi kumuonea huruma + +Hapa "macho yako" uwakilisha mtu mzima. + +# unapaswa kuondosha kutoka Israeli + +Hapa "hatia ya damu" uwakilisha hatia kwa muuajia mtu asiye na hatia. + +# kutoka Israeli + +Hapa "Israeli" urehea kwa watu wa Israeli. + diff --git a/deu/19/14.md b/deu/19/14.md new file mode 100644 index 00000000..45691da3 --- /dev/null +++ b/deu/19/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari ya jumla + +Musa bado anazungumza na watu wa Israeli. + +# Haupaswi kuondoa alama ya ardhi kwa jirani yako + +Maana kamili ya maelezo haya inaweza kufanywa wazi. "Haupaswi kuchukua ardhi kutoka kwa jirani yako kwa kuondoa alama kwenye mipaka ya ardhi yake" + +# wao kuweka mahali + +"ambayo babu zenu waliweka" + +# muda mrefu uliopita + +Musa anamaanisha kwamba wakati watu walipoishi kwenye nchi kwa muda mrefu, hawapaswi kuondoa mipaka ambayo babu zao walifanya wakati walipochukua nchi. + +# katika urithi wenu ambayo mtarithi, katika nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa kumiliki + +Yahwe kuwapa nchi kwa watu wa Israeli husemwa kama walikuwa wanarithi nchi. + diff --git a/deu/19/15.md b/deu/19/15.md new file mode 100644 index 00000000..ec24965a --- /dev/null +++ b/deu/19/15.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Habari ya jumla + +Musa bado anazungumza na watu wa Israeli. + +# Shahidi mmoja pekee + +"Shahidi mmoja" au "shahidi mmoja pekee" + +# hapaswi kuinuka dhidi ya mtu + +Hapa "kuinuka" umaanisha kusimama mahakamani na kusema kinyume ya mtu kwa jaji. "haupaswi kusema kwa majaji kuhusu kibaya alichofanya mtu" + +# katika jambo lolote ambalo amefanya dhambi + +"wakati wowote ambao mtu ufanya kitu kibaya" + +# kwa kinywa cha mashahidi wawili, au kwa kinywa cha mashahidi watatu + +Hapa "kinywa" uwakilisha nini mashahidi wanasema. Inamaanisha kwamba kunapaswa angalau kuwa na mashahidi wawili au watatu. + +# lazima jambo lolote lihakikishwe + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "utahakikisha kwamba mtu ana hatia" + +# Kama hivyo + +"Wakati" au "kama" + +# shahidi asiye wa haki + +"shahidi ambaye anatarajia kumdhuru mtu mwingine" + +# kuinuka kinyume cha mtu yoyote kushuhudia kinyume cha uovu wake. + +Hapa "kuinuka" umaanisha kusimama mahakamani na kusema kinyume cha mtu kwa jaji. "umwambia jaji kwamba mtu alifanya dhambi ili kumuingiza mtu kwenye shida" au "umwambia jaji kwamba mtu alifanya dhambi, ili kwamba jaji amhukumu" + diff --git a/deu/19/17.md b/deu/19/17.md new file mode 100644 index 00000000..5a0cd02a --- /dev/null +++ b/deu/19/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# mmoja kati ya yule utata upo + +"mmoja kati hakubaliani na mwingine" + +# anapaswa kusimama mbele ya Yahwe, mbele ya makuhani na waamuzi + +Hii inamaanisha watu wawili wanapaswa kwenda mahali patakatifu ambapo uwepo wa Yahwe ukaa. Mahali patakatifu wako makuhani na waamuzi ambao wana mamlaka kufanya maaumizi ya kisheria kwa Yahwe. + +# kusimama mbele ya Yahwe, mbele ya makuhani na waamuzi + +Maneno "kusimama mbele" ni nahau. Inamaanisha kwenda kwa mtu aliye na mamlaka na kumwacha afanye maamuzi ya kisheria kuhusu jambo. + +# Waamuzi wanapaswa kuchunguza kwa uangalifu + +"Waamuzi wanapaswa kufanya kazi kwa nguvu sana kuamua kilichotokea" + +# basi lazima umfanyie, kama alivyotaka kumfanyia ndugu yake + +"basi unapaswa kumwadhibu shahidi muongo vilevile kama alivyokutaka wewe umwazibu mtu mwingine" + +# utaondoa uovu kutoka miongoni mwenu + +Hili jina"uovu" linaweza kusemwa kama kivumishi. "kwa kumwadhibu shahidi muongo, utaacha uovu huu ndani ya taifa lenu" + diff --git a/deu/19/20.md b/deu/19/20.md new file mode 100644 index 00000000..4a4cdd65 --- /dev/null +++ b/deu/19/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Basi wale wanaobaki + +"Wakati unapomwadhibu shahidi muongo, watu wengine " + +# watasikia na kuogopa + +Maana kamili ya maelezo haya inaweza kufanywa wazi. "watasikia kuhusu adhabu na kuogopa kupata adhabu" + +# hawatafanya tena aina ya uovu + +"kamwe tena hawatafanya uovu kama huo" + +# Macho yako hayapaswi kuona huruma + +Hapa "macho" urejea kwa mtu mzima. "Haupaswi kumuonea huruma" au "Haupaswi kumuonyesha huruma" + +# maisha yatalipa kwa maisha... mguu kwa mguu. + +Hapa maneno yamefupishwa kwa sababu maana inaeleweka. Inamaanisha watu wanapaswa kumwadhibu mtu kwa njia ileile alivyo mfanyia mwingine. + diff --git a/deu/20/01.md b/deu/20/01.md new file mode 100644 index 00000000..2d060223 --- /dev/null +++ b/deu/20/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Pindi utokapo kwenda vitani kupigana dhidi ya adui zako + +"Utakapokwenda kupigana katika vita dhidi ya adui zako" + +# na kuona farasi, vibandawazi + +Watu walichukulia jeshi lenye farasi wengi na vibandawazi kuwa na nguvu sana. Maana kamili ya kauli hii yaweza kuwekwa wazi. + +# yeye aliyekuleta juu kutoka nchi ya Misri. + +Yahwe aliwaleta watu kutoka Misri hadi Kaanani. Ilikuwa kawaida kutumia neno la "juu" kuzungumzia safari ya kutoka Misri kwenda Kaanani. "Yahwe aliyekuongoza kutoka katika nchi ya Misri" + diff --git a/deu/20/02.md b/deu/20/02.md new file mode 100644 index 00000000..7717ae68 --- /dev/null +++ b/deu/20/02.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa aliendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# kuongea na watu + +"zungumza na maaskari wa Israeli" + +# Msidhofishe moyo wenu. Msiohofu au kutetemeka. Msiwaogope + +Misemo hii minne yote ina maana moja na inasisitiza kwa nguvu ya kwamba hawapaswi kuogopa. Iwapo lugha yako haina njia nne ya kuelezea wazo hili, unaweza kutumia chini ya njia nne. + +# Msidhofishe moyo wenu + +Hapa "moyo" inawakilisha ujasiri wa watu. Kwa moyo kudhoofika ni lugha nyingine inayomaanisha "Usiogope" + +# Yahwe Mungu wenu ndiye aendae pamoja nanyi kupigana kwa ajili yenu dhidi ya maadui zenu + +Yahwe kuwashinda adui wa watu wa Israeli inazungumziwa kana kwamba Yawhe alikuwa mpiganaji ambaye angepigana pamoja na watu wa Israeli. + +# kuwaokoa + +"kukupa ushindi" + diff --git a/deu/20/05.md b/deu/20/05.md new file mode 100644 index 00000000..31e79d1f --- /dev/null +++ b/deu/20/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anasema kile ambacho maakida wa jeshi wanapaswa kuzungumza kwa watu wa Israeli kabla ya vita. + +# Maakida wanapaswa kuzungumza + +Moja ya kazi za maakida ilikuwa kuamua nani ataondoka jeshini. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. + +# Ni mtu yupi ... Acha aende na arudi nyumbani kwake + +"Iwapo askari yeyote hapa amejenga nyumba mpya na hajaiweka wakfu, anapaswa kurudi katika nyumba yake" + +# ili kwamba asife vitani na mtu mwingine aiweke wakfu + +Maafisa wanaelezea tukio ambalo lingeweza kutokea kwa askari. "ili kwamba, kama atakufa vitani, mtu mwingine hataweka wakfu nyumba yake badala yake" + diff --git a/deu/20/06.md b/deu/20/06.md new file mode 100644 index 00000000..daf1f96e --- /dev/null +++ b/deu/20/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuelezea matukio yanayomruhusu mtu kuondoka jeshini. + +# Kuna yeyote ambaye amepanda ... Acha aende nyumbani + +"Iwapo askari yeyote hapa ana shamba la mzabibu, lakini bado hajavuna matunda yake, anapaswa kurudi nyumbani kwake" + +# ili kwamba asife vitani na mtu mwingine afurahie matunda yake + +Afisa anaelezea tukio ambalo linaweza kutokea kwa askari. "ili kwamba, kama atakufa vitani, mwanamume mwingine asivune matunda yake badala yake" + +# Ni mtu yupi aliyeposa kuoa mwanamke ... Acha aende nyumbani + +"Iwapo askari yeyote hapa ameahidi kumuoa mwanamke, lakini bado hajamuoa, anapaswa kurudi nyumbani kwake" + +# ili kwamba asife vitani na mume mwingine amuoa + +Afisa anaelezea tukio ambalo linaweza kutokea kwa askari. "ili kwamba, kama atakufa vitani, mwanamume mwingine asimuoe mwanamke badala yake" + diff --git a/deu/20/08.md b/deu/20/08.md new file mode 100644 index 00000000..ba22ce80 --- /dev/null +++ b/deu/20/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuelezea matukio yanayomruhusu mtu kuondoka jeshini. + +# Ni mwanaume gani aliye hapa ambaye ni mwenye hofu au mnyonge? Acha aende na arudi nyumbani kwake + +"Kama askari yeyote hapa ana hofu na sio jasiri, anapaswa kurudi nyumbani kwake" + +# hofu au mnyonge + +Maneno haya yote mawili yana maana moja. "anaogopa kupigana vitani" + +# moyo wa ndugu yake usiyeyuke kama moyo wake mwenyewe + +Hii ni lahaja. "Muisraeli mwingine hawi na hofu kama anaogopa" + +# moyo wa ndugu yake ... moyo wake mwenyewe + +Hapa "moyo" unawakilisha ujasiri wa mtu. + +# wanapaswa kuteua majemedari juu yao + +"maafisa wanapaswa kuteua watu kuwa majemedari na kuwaongoza watu wa Israeli" + diff --git a/deu/20/10.md b/deu/20/10.md new file mode 100644 index 00000000..6d93f7c2 --- /dev/null +++ b/deu/20/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Wakati mtokapo kushambulia mji + +Hapa "mji" unawakilisha watu. "Utakapokwenda kushambulia watu wa mji" + +# wafanye watu hao toleo la amani + +"wape watu wa mji fursa ya kujisalimisha" + +# kufungua malango yao kwako + +Hapa "malango" yana maana ya malango ya mji. Msemo wa "kufungua malango yao kwako" inawakilisha watu kujisalimisha na kuruhusu Waisraeli kuingia katika mji. "kuruhusu kuingia mji wao kwa amani" + +# watu wote wanaopatikana ndani yake + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "watu wote katika mji" + +# wanapaswa kulazimishwa kukufanyia kazi na wanapaswa kukutumikia. + +"wanapaswa kuwa watumwa wako" + diff --git a/deu/20/12.md b/deu/20/12.md new file mode 100644 index 00000000..76ab775f --- /dev/null +++ b/deu/20/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Lakini kama haitengenezi amani kwenu + +Hapa "haitengenezi" ina maana ya mji ambao unawakilisha watu. "Lakini kama watu wa mji hawatajisalimisha" au "Lakini kama watu wa mji hawatapokewa ahadi ya amani" + diff --git a/deu/20/14.md b/deu/20/14.md new file mode 100644 index 00000000..c37c9d61 --- /dev/null +++ b/deu/20/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wadogo + +"watoto" + +# na nyara zake zote + +"na vitu vyote vya thamani" + +# mateka + +Hivi ni vitu vya thamani ambavyo watu wanaoshinda vita huchukua kutoka kwa watu waliowashambulia. + +# miji yote + +Hapa "miji" inawakilisha watu. "watu wote wanaoishi katika miji" + diff --git a/deu/20/16.md b/deu/20/16.md new file mode 100644 index 00000000..6fe5defc --- /dev/null +++ b/deu/20/16.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Katika miji ya watu hawa ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa kama urithi + +Miji ya Kaanani ambayo Yahwe anawapa watu inazungumziwa kana kwamba miji ilikuwa urithi wa watu. + +# mnapaswa kutunza chochote kilicho na uhai + +"hampaswi kuacha kiumbe chochote hai". Hii inaweza kuwekwa katika hali ya chanya. "Mnapaswa kuua kila kiumbe hai" + +# mnapaswa kabisa kuwaangamiza + +"mnapaswa kuwaangamiza kabisa makundi haya ya watu" + +# Fanya hivi ili kwamba + +"Yaangamize mataifa haya ili kwamba" + +# kufanya katika njia za machukizo ... miungu yao + +"kufanya katika njia za machukizo kama watu wa mataifa walivyofanya kwa miungu yao" + +# Kama mtafanya, mtafanya dhambi dhidi ya Yahwe Mungu wenu + +"Kama mtafanya kama watu hawa, mtafanya dhambi dhidi ya Yahwe Mungu wenu" + diff --git a/deu/20/19.md b/deu/20/19.md new file mode 100644 index 00000000..8f29c2f1 --- /dev/null +++ b/deu/20/19.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# mkipigana + +"kupigana vitani" + +# kwa kushika shoka dhidi yao + +"kwa kukata chini miti kwa shoka" + +# Kwa maana mti wa kondeni mtu ambaye atauzingira? + +Swali hili la balagha linawakumbusha watu kile ambacho walipaswa kukijua. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Kwa maana mti ya kondeni sio watu, kwa hiyo sio adui zako" + +# unaijua siyo miti ya chakula + +"unajua sio miti ambayo huotesha matunda ya kula" + +# utajenga maburuji + +Hivi ni vifaa na miundo, kama vile ngazi na minara, ambayo inahitajika kujenga maburuji kwa mji. + +# mpaka ianguke + +Hii ni lahaja. "mpaka watu wa mji watakaposhindwa vita" + +# ianguke + +Hapa "ianguke" ina maana ya mji ambao unawakilisha watu wa mji. + diff --git a/deu/21/01.md b/deu/21/01.md new file mode 100644 index 00000000..1204c914 --- /dev/null +++ b/deu/21/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Iwapo mtu amekutwa kauwawa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. Iwapo mtu amemkuta mtu ambaye mtu mwingine amemuua" + +# kalala shambani + +Mtu aliyekufa amelala shambani. + +# haijulikani aliyemshambulia + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na hakuna mtu anayejua aliyemshambulia" + +# wanapaswa kupima katika miji + +"wanapaswa kupima urefu katika miji" + +# yule aliyeuawa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "yeye ambaye mtu amemuua" au "maiti" + diff --git a/deu/21/03.md b/deu/21/03.md new file mode 100644 index 00000000..87466289 --- /dev/null +++ b/deu/21/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hajawahi kubebeshwa nira + +"hajawahi kuvaa nira" + +# litiririkalo maji + +Hii ni lahaja ya maji yanayotiririka. "kijito" + +# bonde ambalo halijawahi kulimwa wala kupandwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "bonde ambalo hakuna mtu hajalima nchi wala kupandwa mbegu" + diff --git a/deu/21/05.md b/deu/21/05.md new file mode 100644 index 00000000..f434560a --- /dev/null +++ b/deu/21/05.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# wanapaswa kuja mbele + +"wanapaswa kuja bondeni" + +# kwa maana Yahwe Mungu wako amewachagua wamtumikie yeye + +"kwa sababu makuhani ndio wao ambao Yahwe Mungu wako amewachagua kumtumikia" + +# Yahwe Mungu wako + +Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba alikuwa akizungumza na mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" ni katika umoja. + +# kutoa baraka kwa watu + +"kubariki watu wa Israeli" + +# katika jina la Yahwe + +Hapa lugha nyingine "katika jina la" ina maana ya Yahwe na mamlaka yake. "kama yule asemavyo na kufanya kile Yahwe mwenyewe angesema na kufanya" + +# sikiliza ushauri wao + +"sikiliza kile makuhani wanachosema" + +# kwa maana neno lao litakuwa hukumu + +Hapa lugha nyingine "neno lao" ina maana ya kile makuhani wanachosema. "kwa sababu chochote makuhani wanchosema, huo utakuwa uamuzi wao" + +# katika kila mtafaruku na ugomvi + +"kila wakati watu wanapokuwa mahakamani kwa sababu ya kutokuelewana baina yao au mtu kudhuru mtu mwingine" + diff --git a/deu/21/06.md b/deu/21/06.md new file mode 100644 index 00000000..2259494f --- /dev/null +++ b/deu/21/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# mtamba aliyevunjwa shingo + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "mtamba ambaye shingo yake ilivunjwa na makuhani" + +# na wanapaswa kutoa suhulisho juu ya jambo hilo + +"na wanapaswa kushuhudia kwa Yahwe juu ya jambo hili" + +# Mikono yetu haijamwaga damu hii + +Hapa "mikono" ni lugha nyingine ya mtu mzima na "kumwaga damu" ni lugha nyingine ya kumuua mtu asiye na hatia. "Hatukumuua mtu huyu asiyekuwa na hatia" + +# wala macho yetu hayajaona suala hili + +Hapa "macho" yana maana ya mtu mzima. "na hatuona mtu yeyote akimuua mtu huyu" + diff --git a/deu/21/08.md b/deu/21/08.md new file mode 100644 index 00000000..2bf704c6 --- /dev/null +++ b/deu/21/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuwaambia viongozi kile wanachopaswa kusema watakapoosha mikono yao juu ya mtamba. Anazungumza nao kana kwamba anazungumza na mtu mmoja, kwa hiyo maneno "wako" na "kwao" ni katika umoja. + +# ambao umewakomboa + +Yahwe kuwaokoa watu wa Israeli kutoka utumwani Misri inazungumziwa kana kwamba Yahwe alilipa pesa kuwakomboa watu wake kutoka utumwani. + +# na usiweke hatia juu ya umwagaji damu usio na kosa miongoni mwa watu wako Israeli + +Hii ni lahaja. "na usiwafanye watu wa Israeli kana kwamba wana hatia ya kuua mtu asiyekuwa na hatia" + +# Kisha umwagaji damu utasamehewa kwao + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Kisha Yahwe atasamehe watu wake Israeli kwa kifo cha mtu asiyekuwa na hatia" + +# utaweka mbali umwagaji damu usio na hatia miongoni mwenu + +"hautakuwa na hatia tena kwa kuua mtu asiyekuwa na hatia" + +# yaliyo mema machoni pa Yahwe + +Maneno "machoni pa Yahwe" ni lugha nyingine ya "kile Yahwe anachofikiri ni sahihi" + diff --git a/deu/21/10.md b/deu/21/10.md new file mode 100644 index 00000000..804409ff --- /dev/null +++ b/deu/21/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba alikuwa akizungumza na mtu mmoja, kwa hiyo maneno "zako" na "yako" ni katika umoja. + +# Utakapokwenda + +"nyie ambao ni askari nendeni nje" + +# nawe ukamtamani + +"Unataka kulala naye" + +# kutaka kujitwalia awe mke wako + +"unataka kumuoa" + +# atanyoa nywele zake + +"atanyoa nywele kutoka katika kichwa chake" + +# kukata kucha zake + +"kukata kucha zake" + diff --git a/deu/21/13.md b/deu/21/13.md new file mode 100644 index 00000000..7b1572b8 --- /dev/null +++ b/deu/21/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba alikuwa akizungumza na mtu mmoja, kwa hiyo maneno "zako" na "yako" ni katika umoja. + +# atazivua nguo alizokuwa amezivaa + +Atafanya hivi baada ya mwanamume kumleta katika nyumba yake na atakaponyoa nywele na kukata kucha kama zilivyotajwa katika 21:10. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "atazivua nguo zake za watu wake na kuvaa nguo za Kiisraeli" + +# wakati alipochukuliwa mateka + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ulipomchukua mateka" + +# mwezi mzima + +"mwezi mzima kamili" au "mwezi kamili" + +# Lakini usipofurahishwa naye + +Unaweza kufanya hivi kuwa wazi ya kwamba mwanamume alilala na mwanamke. "Lakini ukilala naye na kisha kuamua ya kwamba haumtaki kama mkeo" + +# kumruhusu aondoke apendaye yeye + +"mruhusu aondoke atakapo yeye" + +# kwa sababu umemdhalilisha + +"kwa sababu umemuabisha kwa kulala naye na kisha kumfukuza" + diff --git a/deu/21/15.md b/deu/21/15.md new file mode 100644 index 00000000..2382575c --- /dev/null +++ b/deu/21/15.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# a mmoja wao amempenda na mwingine kamchukia + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. Maana zaweza kuwa 1) "na mwanamume anampenda mmoja wa wake zake na kumchukia mke mwingine" au 2) "na mwanamume anampenda mke mmoja zaidi ya anavyompenda mke mwingine" + +# na wote wamekwisha mzalia watoto + +"na wake wote wawili wakapata watoto kupitia kwake" + +# kama mzawa wa kwanza ni wa mke asiyependwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "kama mzawa wa kwanza ni wa mke ambaye mwanamume anamchukia" + +# basi katika siku ambayo mwanamume + +"pale ambapo mwanamume" + +# mwanamume atakapowarithisha mali zake wanawe + +"mwanamume akatoa mali yake kwa wanawe kama urithi" + +# hapaswi kumfanya mwana wa mke ampendaye kuwa mzawa wa kwanza kabla ya mwana wa mke amchukiaye + +"hapaswi kumfanya mwana wa mke anayempenda kana kwamba alikuwa mwana wa kwanza badala ya mwana wa mke asiyempenda" + +# mara mbili ya sehemu + +"mara mbili zaidi" + +# huyo mwana ni mwanzo wa nguvu zake + +Hii ni lahaja. "mwana huyo ndiye anayeonyesha ya kwamba mwanamume huyo anaweza kuwa baba wa wanawe" + diff --git a/deu/21/18.md b/deu/21/18.md new file mode 100644 index 00000000..f741d03d --- /dev/null +++ b/deu/21/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# ambaye hatatii sauti ya baba yake au sauti ya mama yake + +Hapa "sauti" ni lugha nyingine kwa kile mtu anachozungumza. "ambaye hatatii kile baba yake au mama yake anasema" + +# kurekebishwa + +"wanamuadhibu kwa kutenda ubaya wake" au "wanamfundisha na kumuelekeza" + +# anapaswa kumshika na kumleta mbele + +"wanapaswa kumlazimisha kutoka nje" + diff --git a/deu/21/20.md b/deu/21/20.md new file mode 100644 index 00000000..7c8f94c1 --- /dev/null +++ b/deu/21/20.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja. + +# Huyu mwanetu + +"Mwana wetu" + +# hataki kusikia sauti zetu + +Hapa "sauti" ni lugha nyingine kwa kile mtu anasema au lugha nyingine ya mtu mzima. "hatafanya kile ambacho tunamwambia kufanya" au "hatatutii". + +# mwasherati + +mtu ambaye hula na kunywa sana + +# mlevi + +mtu ambaye hunywa sana kileo na kulewa mara kwa mara. + +# kumpiga kwa mawe hadi kufa + +"kutupa mawe kwake mpaka afe" + +# mtaondoa uovu miongoni mwenu + +Kivumishi "uovu" kinaweza kutafsiriwa kama msemo wa nomino. "unapaswa kuondoa miongoni mwa Waisraeli mtu ambaye anafanya uovu huu" au "mnapaswa kumuua mtu huyu muovu" + +# Israeli yote + +Neno "Israeli" ni lugha nyingine la watu wa Israeli. "Watu wote wa Israeli" + +# tasikia juu ya hili na kuogopa + +Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "atasikia juu ya kilichotokea kwa mwana na kuogopa ya kwamba watu watamuadhibu pia" + diff --git a/deu/21/22.md b/deu/21/22.md new file mode 100644 index 00000000..3f01b3ca --- /dev/null +++ b/deu/21/22.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba alikuwa akizungumza na mtu mmoja, kwa hiyo maneno "zako" na "yako" ni katika umoja. + +# Iwapo mwanamume kafanya dhambi inayostahili kifo + +"Iwapo mwanamume amefanya jambo baya sana hadi unahitajika kumuadhibu kwa kumuua" + +# akauwawa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "kumuua" au "utamuua". + +# kwa kunyongwa juu ya mti + +Maana zaweza kuwa 1) "na baada ya kufa unamnyonga ju ya mti" au 2) "na utamuua kwa kumyonga katika nguzo ya mbao" + +# unamzika siku hiyo + +"mzike katika siku hiyo hiyo ambayo umemuua" + +# kwa maana yeyote anyongwaye amekwisha laaniwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. Maana zaweza kuwa 1) "kwa sababu Mungu hulaani kila mtu ambaye watu humyonga kwenye miti" na 2) "watu huwanyonga mtini wale ambao Mungu amewalaani" + +# usitie najisi nchi + +kwa kukiacha kitu ambacho Mungu amekilaani kikining'inia juu ya mti. + diff --git a/deu/22/01.md b/deu/22/01.md new file mode 100644 index 00000000..6de99b70 --- /dev/null +++ b/deu/22/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba alikuwa akizungumza na mtu mmoja, kwa hiyo maneno "zako" na "yako" ni katika umoja. + +# akikosea njia + +"kutembea kutoka kwa mmiliki wake" + +# ukajificha kwao + +Hii ni lahaja. "fanya kama vile hauwaoni" au "ondoka bila kutenda jambo lolote" + +# Iwapo Muisraeli mwenzako hayupo karibu nawe + +"Kama Muisraeli mwenzako anaishi mbali na kwako" + +# au kama haumfahamu + +"au kama haujui ni nani mmiliki wa mnyama ni nani" + +# na lazima uwe naye mpaka pale mwenyewe atakapomtafuta + +"na unapaswa kukaa na mnyama mpaka pale mmiliki atakapokuja kumtafuta" + diff --git a/deu/22/03.md b/deu/22/03.md new file mode 100644 index 00000000..93f07340 --- /dev/null +++ b/deu/22/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "unapaswa" ni katika umoja + +# Unapaswa kufanya vivyo hivyo kwa punda wake + +"Unapaswa kurudisha punda wake katika njia hiyo hiyo" + +# unapaswa kufanya vivyo hivyo na vazi lake + +"Unapaswa kurudisha mavazi yake katika njia hiyo hiyo" + +# hautakiwi kujificha + +Hii ni lahaja. "haupaswi kufanya kana kwamba hauoni ya kuwa amepoteza kitu" au "haupaswi kuondoka bila kufanya kitu" + +# hakika unapaswa kumsaidia kumwinua tena + +"unapaswa kumsaidia Muisraeli mwenzako kumuinua mnyama asimame kwa miguu yake" + diff --git a/deu/22/05.md b/deu/22/05.md new file mode 100644 index 00000000..b68c1191 --- /dev/null +++ b/deu/22/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa bado anazungumza na watu wa Israeli. + +# kinachokusudiwa kwa mwanamume + +"nguo za wanaume" + diff --git a/deu/22/06.md b/deu/22/06.md new file mode 100644 index 00000000..3e7e2510 --- /dev/null +++ b/deu/22/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "yako" ni katika umoja. + +# kiota cha ndege + +nyumba ambayo ndege hujitengenezea kwa kutumia vijiti, nyasi, mimea, na matope. + +# kikiwa na makinda ya ndege au mayai ndani mwake + +"na watoto wa ndege aumayai ndani ya kiota" + +# na mama yao akiwa juu yao + +"na mama wa ndege akikalia juu ya makinda ya ndege" + +# siku zako ziweze kurefushwa + +Siku ndefu ni lugha nyingine kwa maisha marefu. "kuweza kuishi muda mrefu". + diff --git a/deu/22/08.md b/deu/22/08.md new file mode 100644 index 00000000..b52e4a39 --- /dev/null +++ b/deu/22/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifaya Jumla: + +Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "yako" hapa ni katika umoja. + +# kitalu kwa ajili ya paa yako + +uzio ulio chini ukizunguka ukingo wa paa ili watu wasianguke kutoka kwenye paa. + +# ili usilete damu juu ya nyumba yako + +Damu ni alama ya kifo. "ili kwamba isiwe kosa ya nyumba yako iwapo mtu atakufa" + +# mtu akianguka kutoka pale + +"kama mtu yeyote ataanguka kutoka kwenye paa kwa sababu haiukuweka kitalu" + diff --git a/deu/22/09.md b/deu/22/09.md new file mode 100644 index 00000000..89874ddc --- /dev/null +++ b/deu/22/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifaya Jumla: + +Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "yako" hapa ni katika umoja. + +# ili kwamba mavuno yote yasichukuliwe na sehemu takatifu + +Maneno "sehemu takatifu" ni lugha nyingine ya makuhani wanaofanya kazi katika sehemu takatifu. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ili kwamba makuhani katika sehemu takatifu ya Yahwe wasichukue mavuno yote" au "ili kwamba usitie najisi mavuno yote na makuhani wasikuruhusu kuyatumia". + +# na matunda ya mzabibu + +"na matunda ambayo huota katika shamba la mzabibu" + +# sufu + +manyoya malaini, yalikunjika ambayo huota kwa kondoo + +# kitani + +uzi unaotengezwa kutokana na mmea wa kitani + diff --git a/deu/22/12.md b/deu/22/12.md new file mode 100644 index 00000000..5ae36181 --- /dev/null +++ b/deu/22/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "yako" hapa ni katika umoja. + +# pembe + +"manyamunyamu". Hizi ni nyuzi ambazo zimefungwa pamoja na kuning'inizwa kutoka kwenye pembe moja ya joho. + +# za nguo + +Nguo ndefu ambalo mtu huvaa juu ya mavazi yake mengine. + diff --git a/deu/22/13.md b/deu/22/13.md new file mode 100644 index 00000000..516a4dc3 --- /dev/null +++ b/deu/22/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifaya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# na kisha kumtuhumu kwa vitu vya aibu + +"na kisha kumtuhumu yeye kulala na mtu mwingine kabla hajaolewa" + +# na kumharibia sifa yake + +Nomino inayojitegemea ya "sifa" inaweza kutafsiriwa kama msemo wa kitenzi. "na kufanya watu wengine kufikiri kuwa yeye ni mtu mbaya" + +# lakini nilipomkaribia + +Hii ni njia ya upole ya kusema "kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu". "lakini nilipolala naye" + +# sikukuta ushahidi wa ubikira kwake + +Nomino inayojitegemea ya "ushahidi" inaweza kutafsiriwa kama msemo wa kitenzi. "hakuweza kutoa ushahidi kwangu ya kwamba alikuwa bikira" + diff --git a/deu/22/15.md b/deu/22/15.md new file mode 100644 index 00000000..4ee3c771 --- /dev/null +++ b/deu/22/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# wanatakiwa kupeleka ushahidi wa ubikira wake + +Nomino inayojitegemea ya "ushahidi" inaweza kutafsiriwa kama msemo wa kitenzi. "anapaswa kupeleka kitu ambacho kitakuwa ushahidi ya kwamba alikuwa bikira" + diff --git a/deu/22/16.md b/deu/22/16.md new file mode 100644 index 00000000..00de57c2 --- /dev/null +++ b/deu/22/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa bado anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# amemtuhumu na vitu vya aibu + +Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "amemtuhumu kwa kulala na mtu mwingine kabla hajamuoa" + +# Sikukuta ushahidi wa ubikira kwa binti yako + +Nomino zinazojitegemea za "ushahidi" na "bikira" zinaweza kutafsiriwa kama misemo ya vitenzi. "Binti yenu hakuweza kuthibitisha ya kuwa alikuwa bikira" + +# Lakini ushahidi huu hapa wa ubikira wa binti yangu + +Nomino zinazojitegemea za "ushahidi" na "bikra" vinaweza kutafsiriwa kama misemo ya vitenzi. "Lakini hii inathibitisha ya kuwa binti yangu alikuwa bikira" + +# Kisha watatandaza shuka mbele ya wazee wa mji + +Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "Na kisha mama na baba watatoa nguo yenye doa la damu kwa wazee kama ushahidi ya kuwa alikuwa bikira" + diff --git a/deu/22/18.md b/deu/22/18.md new file mode 100644 index 00000000..e5b6ae48 --- /dev/null +++ b/deu/22/18.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# nao wanapaswa kumtoza faini + +"na wanapaswa kumfanya alipe kama adhabu" + +# shekeli mia moja + +"Shekeli 100" + +# na kumpatia baba wa binti + +"na kumpa pesa kwa baba wa binti" + +# kasababisha sifa mbaya kwa bikra wa Israeli + +Nomino inayojitegemea "sifa" inaweza kutafsiriwa kama msemo wa kitenzi. "amesababisha watu kufikiri ya kwamba bikira wa Israeli ni mtu mbaya" + +# hatakiwi kumfukuza + +"usimruhusu amuache" + +# katika siku zake zote + +Hii ni lahaja. "katika maisha yake yote" + diff --git a/deu/22/20.md b/deu/22/20.md new file mode 100644 index 00000000..81077646 --- /dev/null +++ b/deu/22/20.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Ila kama jambo hili ni la kweli + +"Lakini kama ni kweli" au "Lakini kama kile ambacho mwanamume anasema ni kweli" + +# kwamba ushahidi wa bikira ya binti haukupatikana kwa binti + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ya kwamba mwanamume hakupata ushahidi ya kwamba binti alikuwa bikira" + +# ushahidi wa bikra + +Nomino zinazojitegemea za "ushahidi" na "bikira" zinaweza kutafsiriwa kama misemo ya vitenzi. "kitu kinachothibitisha ya kwamba binti alikuwa bikira" + +# basi wanapaswa kumpeleka binti + +"kisha wazee wanapaswa kumtoa binti nje" + +# kumpiga kwa mawe hadi afe + +"kutupa mawe kwake mpaka afe" + +# kwa sababu amefanya jambo la aibu katika Israeli + +"kwa sababu amefanya jambo la aibu katika Israeli" + +# kwa kutenda kama kahaba chini ya nyumba ya baba yake + +"kutenda kama kahaba angali akiishi katika nyumba ya baba yake" + +# mtakuwa mmeondoa uovu + +Kivumishi "uovu" kinaweza kutafsiriwa kama msemo wa nomino. "unapaswa kutoa miongoni mwa Waisraeli mtu ambaye anafanya jambo hili ovu" au "unapaswa kumuua mtu huyu muovu" + diff --git a/deu/22/22.md b/deu/22/22.md new file mode 100644 index 00000000..27b253bd --- /dev/null +++ b/deu/22/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "yako" hapa ni katika umoja. + +# Iwapo mwanamume kakutwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Kama mtu anamkuta mwanamume" + +# anyi mtakuwa mmeondoa + +"kwa njia hii utakuwa umetoa" + diff --git a/deu/22/23.md b/deu/22/23.md new file mode 100644 index 00000000..03810ea2 --- /dev/null +++ b/deu/22/23.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "yako" hapa ni katika umoja. + +# amechumbiwa na mwanamume + +"'ambaye ameahidiwa kuolewa na mwanamume" + +# wachukueni ... kuwapiga mawe + +Amri hizi zinatamkwa kwa Israeli kama kundi na kwa hiyo zipo katika wingi. + +# wachukueni wote wawili + +"kisha unapaswa kuwaleta wote msichana na mwanamume aliyelala naye" + +# kwa sababu hakupaza sauti + +"kwa sababu hakupaza sauti kuomba msaada" + +# kwa sababu amemwingilia mke wa jirani yake + +Katika wakati huo Waisraeli walimchukulia mwanamume na mwanamke ambao walikuwa wamechumbiana kwa ajili ya ndia kama mume na mke. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "kwa sababu alilala na msichana ambaye alikuwa wa Muisraeli mwenzake" + +# nanyi mtakuwa mmeondoa uovu miongoni mwenu + +Kivumishi cha "uovu" kinaweza kutafsiriwa kama msemo wa nomino. "unapaswa kuondoa miongoni mwa Israeli mtu ambaye anafanya jambo hili ovu" au "unapaswa kumuua mtu huyu muovu" + diff --git a/deu/22/25.md b/deu/22/25.md new file mode 100644 index 00000000..d3b7bd0a --- /dev/null +++ b/deu/22/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# msichana aliyechumbiwa + +Hii ina maana msichana ambaye wazazi wamekubali aolewe na mwanamume fulani, lakini msichana bado hajaolewa. + +# basi mwanamume pekee aliyelala naye ndiye lazima afe + +"kisha unapaswa kumuua mwanamume tu ambaye alilala naye" + +# hakuna dhambi inayostahili kifo kwake msichana + +"hautakiwi kumuadhibu kwa kumuua kwa kile alichofanya" + +# Kwa maana suala hili ni kama mwanamume amshambuliapo jirani yake na kumuua + +"Kwa kwa sababu suala hili ni kama suala la mtu kumshambulia mtu mwingine na kumuua" + +# Kwa maana alimkuta shambani + +"Kwa sababu mwanamume alimkuta msichana akifanya kazi shambani" + diff --git a/deu/22/28.md b/deu/22/28.md new file mode 100644 index 00000000..0ca4ddb8 --- /dev/null +++ b/deu/22/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# lakini hajachumbiwa + +"lakini ambaye wazazi wake hawajamuahidi mwanamume mwingine ya kuwa ataolewa na yeye" + +# na kama wakagundulika + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na kama mtu akagundua kilichotokea" + +# shekeli hamsini za fedha + +Shekeli ina uzito wa gramu kumi na moja. "vipande hamsini vya fedha" au "gramu 550 za fedha" + +# Hatakiwi kumfukuza katika siku zake zote + +Hii ni lahaja. "Hatakiwi kumpa talaka katika maisha yake yote" + diff --git a/deu/22/30.md b/deu/22/30.md new file mode 100644 index 00000000..ccffd6df --- /dev/null +++ b/deu/22/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hapaswi kumchukua mke wa baba yake kama wake + +Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "hatakiwi kumuoa mke wa zamani wa baba yake, hata kama si mama yake" + diff --git a/deu/23/01.md b/deu/23/01.md new file mode 100644 index 00000000..01097740 --- /dev/null +++ b/deu/23/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mwanamume aliyejeruhiwa kwa kupondwa au kukatwa + +"mwanamume ambaye sehemu zake za siri zimepondwa au kukatwa" + +# kuingia katika kusanyiko la Yahwe + +Hii ni lahaja. "anaweza kuwa mshiriki kamili wa jamii ya Israeli" + +# Mwana haramu + +Maana zaweza kuwa 1) mtoto aliyezaliwa kwa wazazi ambao walijamiiana kwa maharimu au kuzini au 2) mtoto aliyezaliwa kwa kahaba. + +# kutoka hadi kizazi cha kumi cha uzao wake + +Hii "kumi" ni nambari ya mpango ya kumi. "hata baada ya kizazi cha kumi cha vizazi vya mwana haramu" + +# hakuna kati yao + +"hakuna kati ya vizazi hivi" + diff --git a/deu/23/03.md b/deu/23/03.md new file mode 100644 index 00000000..526f0447 --- /dev/null +++ b/deu/23/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# haruhusiwi kuwa miongoni mwa kusanyiko la Yahwe + +Hii ni lahaja. "hawezi kuwa mshiriki kamili wa jamii ya Israeli" + +# kutoka hadi kizazi cha kumi cha uzao wake + +Hii "kumi" ni mpangilio wa nambari kwa ajili ya kumi. "hata baada ya kizazi cha kumi cha uzao wake" + +# hawaku kutana nanyi kwa mkate na maji + +Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "hawaku kukaribisha kwa kukuletea chakula na kinywaji" + +# dhidi yako ... awalaani + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + diff --git a/deu/23/05.md b/deu/23/05.md new file mode 100644 index 00000000..b901762e --- /dev/null +++ b/deu/23/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno ya "wako" na "yako" hapa ni katika umoja. + +# hakumsikiliza + +Hii ni lahaja. "hakuwa msikivu" + +# aligeuza laana kuwa baraka + +"akamfanya ambariki na kutokulaani" + +# Hamtakiwi kutafuta amani au mafanikio yao + +Maana zaweza kuwa 1) "Haupaswi kufanya makubaliano ya amani na Waamori na Wamoabu" au 2) "Haupaswi kufanya jambo lolote kusababisha masuala kwenda vizuri kwa yale makundi mawili ya watu kuwawezesha wafanikiwe" + +# katika siku zenu zote + +Hii ni lahaja. "ikiwa bado wewe ni taifa" + diff --git a/deu/23/07.md b/deu/23/07.md new file mode 100644 index 00000000..cc5c38e1 --- /dev/null +++ b/deu/23/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja + +# Hutakiwi kumchukia Muedomi + +"Usimchukie Muedomi" + +# kwa maana ni ndugu yako + +"kwa sababu ni jamaa yako" + +# hutakiwi kumchukia Mmisri + +"Usimchukie Mmisri" + +# Wazawa wa kizazi cha tatu wanaozaliwa kwao wanaweza kuwa katika kusanyiko la Yahwe + +Hii "tatu" ni mpangilio wa nambari ya tatu. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "Kama Muedomi au Mmisri anakuja kuishi katika jamii ya Kiisraeli, wajukuu wake wanaweza kuwa washiriki kamili wa jamii" + diff --git a/deu/23/09.md b/deu/23/09.md new file mode 100644 index 00000000..286371a6 --- /dev/null +++ b/deu/23/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Utakapotembea kijeshi dhidi ya maadui zako, basi unapaswa kujitenga + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# dhidi ya maadui zako + +"kupigana dhidi ya maadui zako" + +# kujitenga na kila aina ya uovu + +"jitenge na mambo yote mabaya" + +# mwanamume ambaye sio msafi kwa sababu ya jambo lililofanyika kwake usiku + +Hii ni njia ya upole ya kusema ya kwamba alikuwa na kutokwa kwa shahawa . "mwanamume yeyote ambaye ni mchafu kwa sababu alikuwa akitokwa na shahawa alipokuwa amelala" + diff --git a/deu/23/12.md b/deu/23/12.md new file mode 100644 index 00000000..813e24c7 --- /dev/null +++ b/deu/23/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# na utakuwa na kitu katika zana zako cha kuchimbia + +"na unatakiwa kuwa na kifaa utakachotumia kuchimbia" + +# utakapochuchumaa kujisaidia + +Hii ni njia ya upole ya kusema kunya. "unapochuchumaa chini kunya" + +# unapaswa kuchimbia nacho + +"unapaswa kuchimba shimo kwa kifaa" + +# kufunika kile kilichotoka kwako + +"funika kinyesi chako" + +# ili kwamba asione kitu chochote kichafu miongoni mwenu + +"ili kwamba Yahwe asione kitu chochote kichafu miongoni mwenu" + diff --git a/deu/23/15.md b/deu/23/15.md new file mode 100644 index 00000000..ff7e5250 --- /dev/null +++ b/deu/23/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# mtumwa aliyetoroka kwa bwana wake + +Maana kamili inaweza kuwekwa wazi. "mtumwa kutoka katika nchi nyingine aliyetoroka kwa bwana wake na kuja Israeli" + +# Mruhusu aishi pamoja nawe + +"Mruhusu mtumwa kusihi miongoni mwa watu wenu" + diff --git a/deu/23/17.md b/deu/23/17.md new file mode 100644 index 00000000..67eca900 --- /dev/null +++ b/deu/23/17.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja. + +# kahaba wa kidini ... kahaba wa kidini ... kahaba ... mbwa + +Yahwe anatoa orodha kamili ya aina mbili za ukahaba za wanamume na wanawake kukataza ukahaba wa mtu kwa sababu yoyote ile. + +# kahaba wa kidini ... miongoni mwa mabinti ... miongoni mwa wana wa kiume + +Maana zaweza kuwa ya kwamba Musa 1) alikataza wazi wanawake na wanamume kufanya matendo ya ngono kama sehemu ya ibaada hekaluni au 2) anatumia tasifida kukataza wanawake na wanamume kufanya matendo ya ngono kupokea pesa. + +# Hautakiwi kuleta mshahara wa kahaba ... katika nyumba + +"Mwanamke anayepata pesa kama kahaba hatakiwi kuleta pesa hiyo ... katika nyumba" + +# mbwa + +mwanamume ambaye anaruhusu wanamume kufanya ngono na yeye kwa pesa + +# katika nyumba ya Yahwe Mungu wako + +"katika hekalu" + +# kwa kiapo chochote + +"kutimiza kiapo" + +# vyote hivi + +mshahara wa kahaba wa kike na kahaba wa kiume. + diff --git a/deu/23/19.md b/deu/23/19.md new file mode 100644 index 00000000..9bfb4e54 --- /dev/null +++ b/deu/23/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja. + +# Hutakiwi kumkopesha Muisraeli mwenzako kwa riba + +"Kama utakopesha kitu kwa Muisraeli mwenzako, hautakiwi kumfanya alipe zaidi ya alivyokopa" + +# kukopesha kwa riba + +kumkopesha mtu na kumlazimisha mtu huyo kulipa zaidi ya kile alichokopa + +# riba ya fedha ... kitu chochote kinachokopeshwa kwa riba + +"hautakiwi kulipiza riba unapomkopesha mtu pesa, chakula, au kitu chochote" + +# kila jambo uwekalo mkono wako + +Hii ni lahaja. "kila unachofanya" + diff --git a/deu/23/21.md b/deu/23/21.md new file mode 100644 index 00000000..2f6e1a32 --- /dev/null +++ b/deu/23/21.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "kwako" na "wako" hapa ni katika umoja. + +# haupaswi kukawia kuikamilisha + +"hautakiwi kutumia muda mrefu kukamilisha kiapo hiki" + +# maana Yahwe Mungu wako hakika atadai kiapo hicho + +"kwa sababu Yahwe Mungu wako atakulaumu na kukuadhibu iwapo hautakamilisha kiapo chako" + +# Lakini iwapo utajizuia kutoa kiapo, haitakuwa dhambi kwako + +Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "Lakini, kama hautatoa kiapo, hautakuwa umetenda dhambi kwa sababu hautakuwa na kiapo cha kutimiza" + +# Kile ambacho kimetoka kinywani mwako + +Hii ni lahaja. "Maneno uliyozungumza" + +# kulingana na kiapo ulichotamka kwa Yahwe Mungu wako + +"chochote ulichoapa kwa Yahwe Mungu wako ambacho utafanya" + +# chochote ulichotamka kwa hiari kwa kinywa chako + +"chochote ambacho watu wamesikia ukiahidi kufanya kwa sababu ulitaka kukifanya" + +# kinywa chako + +"ili kwamba watu wasikie ukikitamka" + diff --git a/deu/23/24.md b/deu/23/24.md new file mode 100644 index 00000000..e01b11cd --- /dev/null +++ b/deu/23/24.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno ya "wako" na "yako" hapa ni katika umoja. + +# unaweza kula mizabibu idadi yoyote unayotaka + +"kisha unaweza kufurahia kula mizabibu mpaka utosheke" + +# lakini usiweke yoyote katika kikapu chako + +Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "lakini haupaswi kuweka mizabibu yoyote katika kikapu chako kubeba pamoja nayo" + +# Utakapokwenda katika shamba la zao lililoiva la jirani yako + +"Utakapokwenda katika shamba la jirani yako ambapo kuna zao linaota" + +# unaweza kuvuna kichwa cha mavuno kwa mkono wako + +"kisha unaweza kula viini vya mbegu kwa mikono yako" + +# lakini haupaswi kutumia mundu kuvuna zao lililoiva la jirani yako + +"lakini usikate chini mazao yalioiva ya jirani yako na kuchukua" + +# mundu + +kifaa chenye ncha kali ambacho wakulima hutumia kuvuna ngano + diff --git a/deu/24/01.md b/deu/24/01.md new file mode 100644 index 00000000..c166a8c7 --- /dev/null +++ b/deu/24/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Mwanamume akimchukua mke na kumuoa + +Misemo "kuchukua mke" na "kumuoa" ina maana moja. "Mwanamume anapomuoa mwanamke" + +# asipokubalika machoni pa mumewe + +Hapa "machoni pake" ina maana ya mtu mzima. "akiamua ya kwamba hampendi" + +# kwa sababu kagundua jambo ambalo si jema kwake + +"kwa sababu fulani ameamua ya kwamba hataki kukaa naye" + +# anatakiwa amwandikie talaka + +"anapaswa kumpa mke wake karatasi rasmi inayosema ya kwamba hawajoana tena" + +# anaweza kwenda na kuwa mke wa mwanamume mwingine + +"anaweza kuondoka na kuolewa na mwanamume mwingine" + diff --git a/deu/24/03.md b/deu/24/03.md new file mode 100644 index 00000000..fbaed515 --- /dev/null +++ b/deu/24/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli juu ya mwanamume anayepata talaka na kuoa mwanamume mwingine. + +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# Iwapo mume wa pili akamchukia + +"Kama mume wa pili akaamua ya kwamba anamchukia mwanamke huyu" + +# talaka + +Hii ni karatasi rasmi inayosema ya kwamba mwanamume na mwanamke hawajaoana tena. + +# akaiweka mkononi mwake + +"kumpatia mwanamke" + +# mwanamume aliyemchukua kuwa mke wake + +"mwanamume wa pili aliyemuoa mwanamke" + +# baada ya yeye kuwa mchafu + +Maana kamili ya kauli hii inawez akuwekwa wazi. "baada ya kuwa mchafu kwa talak na ndoa nyingine kwa mwanamume mwingine" + +# Hautakiwi kusababisha nchi iwe na hatia + +Nchi inazungumziwa kana kwamba inaweza kutenda dhambi. "hautakiwi kusambaza hatia katika nchi" + diff --git a/deu/24/05.md b/deu/24/05.md new file mode 100644 index 00000000..e0518c4e --- /dev/null +++ b/deu/24/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa bado anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Mwanamume atakapochukua mke mpya + +"Mwanamume anapokuwa ameoa mke mpya" + +# na wala hataamrishwa kwenda kwenye shughuli yoyote ya kulazimishwa + +Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "na hakuna mtu wa kumlazimisha kuishi mbali na nyumba yake na kufanya aina yoyote ya kazi" + +# atakuwa huru kuwa nyumbani + +"atakuwa huru kuishi nyumbani" + diff --git a/deu/24/06.md b/deu/24/06.md new file mode 100644 index 00000000..c30cf72b --- /dev/null +++ b/deu/24/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kinu + +kifaa kinachotumika kutengeneza unga kwa kusaga mbegu katikati ya mawe mawili mazito. + +# jiwe la kinu + +sehemu ya juu ya jiwe katika kinu + +# kwa maana hivyo itakuwa kuchukua maisha ya mtu kama dhamana + +Neno "maisha" ni lugha nyingine ya kile mtu anachohitaji kuweza kuishi. "kwa sababu atakuwa amechukua kutoka kwa mtu kile ambacho mtu anahitaji kutengeneza chakula kwa ajili ya familia yake" + diff --git a/deu/24/07.md b/deu/24/07.md new file mode 100644 index 00000000..6e782b33 --- /dev/null +++ b/deu/24/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# Iwapo mwanamume kakutwa kamteka + +Hii ni lahaja kwa ajili ya "Kama mwanamume anamteka". Inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "kama utamkuta mwanamume amemteka" + +# kamteka + +kutumia nguvu kwa lazima kumchukua mtu asiye na hatia kutoka nyumbani kwake na kumfunga mateka + +# moja wa kaka zake miongoni mwa watu wa Israeli + +"moja kati ya Waisraeli wenzake" + +# huyo mwizi lazima afe + +"kisha Waisraeli wengine wanapaswa kumuua mwizi huyo kama adhabu ya kile alichofanya" + +# na utakuwa umeondoa uovu miongoni mwenu + +Kivumishi cha "uovu" kinaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "na unatakiwa kumtoa miongoni mwa Waisraeli mtu anayefanya uovu huu" au "nawe unapaswa kumuua mtu huyu muovu" + diff --git a/deu/24/08.md b/deu/24/08.md new file mode 100644 index 00000000..6064ba49 --- /dev/null +++ b/deu/24/08.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Kuwa mwangalifu ... makini katika kuchunguza ... Kumbukeni nini Yahwe Mungu wako + +Musa anazungumza na Waisraeli hapa kana kwamaba wao ni mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" na amri "kuwa mwangalifu" na "kumbukeni" ni katika umoja. + +# Kuwa mwangalifu kuhusu kiini chochote cha ukoma + +"kuwa makini iwapo utapata ukoma" au "Kuwa makini kama utakuwa na ukoma" + +# kila agizo linalopewa kwako ambalo makuhani, Walawi, wanakufundisha + +Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "maagizo yote ambayo nimekupatia na ambayo makuhani, ambao ni Walawi, wanakufundisha kufanya" + +# wanakufundisha ... utekeleze ... ulipokuwa ukitoka + +Musa hapa anazungumza na Waisraeli kama kikundi kwa hiyo maneno "ukitoka" ni katika wingi. + +# kama nilivyowaamuru, ili utekeleze + +"unapaswa kuhakikisha ya kwamba unafanya kama nilivyowaamuru wao" + +# nilivyowaamuru + +Neno la "wao" lina maana ya makuhani, ambao ni makuhani. + +# Kumbukeni + +Hii ni lahaja. "Kumbuka" + +# ulipokuwa ukitoka Misri + +"katika kipindi ambacho ulikuwa unaondoka Misri" + diff --git a/deu/24/10.md b/deu/24/10.md new file mode 100644 index 00000000..fe4a3d51 --- /dev/null +++ b/deu/24/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" na "wako" hapa ni katika umoja. + +# Utoapo mkopo wa aina yoyote kwa jirani yako + +"Unapotoa mkpo wa kitu kwa jirani yako" + +# kutafuta dhamana yake + +"kuchukua dhamana yake" + +# dhamana yake + +Hii ni lugha nyingine ya "kile alichoahidi angefanya kutoa kama angeshindwa kulipa kile alichokopa" + +# Utasimama nje + +"unatakiwa kusubiri nje ya nyumba" + diff --git a/deu/24/12.md b/deu/24/12.md new file mode 100644 index 00000000..e2111ac8 --- /dev/null +++ b/deu/24/12.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# hautakiwi kulala na dhamana yake ikiwa mikononi mwako + +"Hautakiwi kubaki na koti lake usiku wote" + +# dhamana yake + +Hii ni lugha nyingine ya "kile alichoahidi angefanya kutoa kama angeshindwa kulipa kile alichokopa" + +# kumrejeshea dhamana yake + +"umrudishie alichokupatia kukuonyesha ya kwamba atalipa mkopo wake" + +# ili aweze kulala ndani ya vazi lake na akubariki + +Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "ili kwamba aweze kuwa na koti lake kujipatia joto anapolala, na kuwa na shukurani kwako" + +# vazi + +Koti au nguo nyingine ambayo humpatia mtu joto wakati wa usiku. Yawezekana hii ilikuwa "dhamana" ambayo Musa alikuwa akizungumzia katika 24:10. + +# itakuwa utakatifu kwako mbele za Yahwe Mungu wako + +"Yahwe Mungu wako atatoa kibali kwa jinsi ulivyosimamia suala hili" + diff --git a/deu/24/14.md b/deu/24/14.md new file mode 100644 index 00000000..24b8e5d4 --- /dev/null +++ b/deu/24/14.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "yako" na "wako" hapa ni katika umoja. + +# Hautakiwi kumuonea mtumishi wa kuajiriwa + +"Hautakiwi kumtendea mtumishi wa kuajiriwa vibaya" + +# mtumishi wa kuajiriwa + +mtu ambaye hulipwa kila siku kwa kazi yake + +# maskini na muhitaji + +Maneno haya mawili yana maana za kufanana na husisitiza ya kwamba mtu huyu hawezi kujisaidia mwenyewe. + +# ndani ya malango ya mji wako + +Hapa "malango ya mji" ina maana ya miji au mjini. "moja ya miji yenu" + +# Kila siku unapaswa kumlipa mshahara wake + +"Unapaswa kumpatia mwanamume pesa anayopata kila siku" + +# jua halipaswi kuzama kabla ya suala hili kutatuliwa + +Hii ni lahaja. Waisraeli walichukulia siku mpya kuanza pale jua linapozama. "unatakiwa kumlipa mtu katika siku hiyo anayofanya kazi" + +# kwa maana ni maskini na anautegemea + +Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "kwa sababu ni maskini na anategemea mshahara wake kununua chakula chake cha siku inayofuata" + +# asilie dhidi yako kwa Yahwe + +"asipaze sauti kwa Yawhe na kumuomba akuadhibu" + diff --git a/deu/24/16.md b/deu/24/16.md new file mode 100644 index 00000000..f2e89496 --- /dev/null +++ b/deu/24/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wazazi hawapaswi kuuwawa kwa niaba ya watoto wao + +Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Haupaswi kuwaua wazazi kwa sababu ya jambo baya ambalo mmoja wa watoto wamefanya" + +# na wala watoto hawapaswi kuuawa kwa niaba ya wazazi wao + +Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "na haupaswi kuwaua watoto kwa sababu ya jambo baya ambalo wazazi wao wamefanya" + +# kila mtu anapaswa kuuwawa kwa dhambi yake mwenyewe + +Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "unapaswa kumuua mtu kwa sababa ya jambo baya alilofanya mwenyewe tu" + diff --git a/deu/24/17.md b/deu/24/17.md new file mode 100644 index 00000000..71ebbc29 --- /dev/null +++ b/deu/24/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja. + +# Haupaswi kutumia nguvu kuchukua haki inayomhusu mgeni au yatima + +Musa anazungumzia haki kana kwamba ilikuwa kitu halisi ambacho mtu mwenye nguzu zaidi anaweza kukivuta kwa nguvu kutoka kwa mtu mnyonge. "Haupaswi kumtendea mgeni au yatima kinyume na haki" + +# yatima + +Hii ina maana ya watoto ambao wazazi wote wamefariki na hawana ndugu wa kuwatunza. + +# wala kuchukua vazi la mjane kama dhamana + +Mkopeshaji huchukua kitu kutoka kwa mkopaji kuhakikisha ya kuwa angewez kumlipa. Hakuruhusiwa kuchukua vazi lake kwa maana alihitaji kumpatia joto. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "na usichukue vazi la mjane kama dhamana kwa sababu anahitaji kuwa na joto" + +# ukumbuke + +Hii ni lahaja. "kumbuka" + diff --git a/deu/24/19.md b/deu/24/19.md new file mode 100644 index 00000000..db0d5d00 --- /dev/null +++ b/deu/24/19.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# Utakapovuna zao lako shambani mwako + +"Utakapokata zao la shamba lako" + +# tita + +mazao ambayo mvunaji amezifunga pamoja + +# kinapaswa kuwa cha mgeni, cha yatima, au cha mjane + +Unaweza kufanya taarifa ieleweke. "unatakiwa kubakia tita ili kwamba mgeni, na yatima, au mjane anaweza kuchukua" + +# katika kazi ya mikono yako + +Hapa "mikono" ina maana ya mtu mzima. "katika kazi yako yote unayofanya" + +# Utakapotikisa mti wako wa mzeituni + +Unaweza kufanya taarifa ieleweke. "Unapotikisa matawi ya mti wa mzeituni, kusababisha mzeituni kuanguka kwenye nchi ili uweze kuchukua" + +# haupaswi kupanda juu ya matawi tena + +"usiokote kila tawi moja kutoka kwenye mti" + +# itakuwa kwa ajili ya mgeni, kwa yatima na kwa mjane + +Unaweza kufanya taarifa ieleweke. "mizeituni inayobaki katika matawi ni kwa ajili ya wageni, yatima, na wajane kuokota na kuondoka navyo" + diff --git a/deu/24/21.md b/deu/24/21.md new file mode 100644 index 00000000..34f10dff --- /dev/null +++ b/deu/24/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# kitakuwa cha mgeni, cha yatima na cha mjane + +"mizabibu ambayo hautaokota itakuwa kwa ajili ya mgeni, yatima, na mjane kuokota" + +# cha mgeni, cha yatima na cha mjane + +Hii ina maana yamakundi ya watu. "kwa ajili ya wageni, kwa wale yatima, au kwa wajane" + +# ukumbuke + +Hii ni lahaja. "kumbuka" + diff --git a/deu/25/01.md b/deu/25/01.md new file mode 100644 index 00000000..05b5ee62 --- /dev/null +++ b/deu/25/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Iwapo mwanamume mwenye hatia anastahili kupigwa + +Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Kama muamuzi ataamuru wampige mtu mwenye hatia" + +# na kupigwa mbele zake + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na atawatazama wakimpiga" + +# kwa idadi iliyoamriwa kulingana na kosa lake + +"idadi ya namba aliyoamuru kwa sababu ya matendo mabaya aliyoyafanya" + diff --git a/deu/25/03.md b/deu/25/03.md new file mode 100644 index 00000000..32de8b98 --- /dev/null +++ b/deu/25/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Muamuzi anaweza kumpatia mapigo arobaini + +"Muamuzi anaweza kusema ya kwamba wanatakiwa kumpiga mtu mwenye hatia mara 40" + +# lakini hapaswi kuvuka idadi hiyo + +"lakini muamuzi hapaswi kuwaamuru wampige zaidi ya mara 40" + +# kwa maana akivuka idadi hiyo na kumpiga kwa mapigo mengi zaidi + +"kwa sababu kama muamuzi atawaamuru kumpiga zaidi ya mara 40" + +# basi Muisraeli mwenzako atakuwa kaaibishwa mbele ya macho yenu + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "kisha muamuzi atamuaibisha Muisraeli mwenzako mbele ya watu wote wa Israeli" + +# kaaibishwa mbele ya macho yenu + +Hapa lugha nyinginr ya "mbele ya macho yenu" ina maana ya kile watakachokiona. "kuaibishwa, nanyi wote mtaona". Maneno ya kufanana hujitokeza katika 1:7 + diff --git a/deu/25/04.md b/deu/25/04.md new file mode 100644 index 00000000..9be91b9a --- /dev/null +++ b/deu/25/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Haupaswi kumfunga punda + +"Hautakiwi kuweka kitu kwenye mdomo wa punda" + +# anapokuwa akilima shamba + +wakati akitenganisha mazao na makapi kwa kutembea juu yake au kuburuza mbao nzito juu yake + diff --git a/deu/25/05.md b/deu/25/05.md new file mode 100644 index 00000000..c1921a0a --- /dev/null +++ b/deu/25/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Iwapo kaka wanaishi pamoja + +Maana zaweza kuwa 1) "kama ndugu wanaishi katika mahali pamoja" au 2) "kama ndugu wanaishi karibu na mwenzake". + +# basi mke wa marehemu hatakiwi kuolewa na mtu + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "kisha familia ya mtu aliyekufa anapaswa kumruhusu mjane aolewe na mtu" + +# na kutekeleza wajibu wa kaka wa mume kwake + +"na kufanya kile ambacho kaka wa mume aliyefariki anatakiwa kufanya" + +# atarithi chini ya jina la kaka yake mwanamume aliyefariki + +Neno "jina" ni lugha nyingine ya ukoo wa mtu. "ataendeleza ukoo wa kaka wa mtu aliyekufa" + +# ili jina lake lisiangamie ndani ya Israeli + +Neno "jina" ni lugha nyingine ya ukoo wa mtu. "ili kwamba ukoo wake usipotee kutoka Israeli" + diff --git a/deu/25/07.md b/deu/25/07.md new file mode 100644 index 00000000..a27852b4 --- /dev/null +++ b/deu/25/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# napaswa kwenda malangoni mpaka kwa wazee + +Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "unapaswa kwenda juu katika malango ya mji ambapo wazee huamua masuala" + +# amekataa kuwajibika kwa niaba ya jina la kaka yake + +Hapa "jina" ina maana ya kumbukumbu ya mtu kupitia uzao wake. "anakataa kumpatia kaka yake mwana" + +# hataki kufanya wajibu wa kaka wa mume kwangu + +"hatafanya kile ambacho kaka wa mume wake anatakiwa kufanya na kunioa" + +# Sitaki kumchukua + +"Sitaki kumuoa yeye" + diff --git a/deu/25/09.md b/deu/25/09.md new file mode 100644 index 00000000..c42fa97c --- /dev/null +++ b/deu/25/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# anatakiwa kuja kwake mbele ya wazee + +"anapaswa kutembea kwake huku wazee wakimuangalia" + +# asiyetaka kujenga nyumba ya kaka yake + +Hapa "nyumba" ni lugha nyingine ya familia. "ambaye hampatii kaka yake mwana na kuendeleza ukoo wa kaka yake" + +# Jina lake Israeli litaitwa + +"Watu wa Israeli watajua familia yake kama" + +# Nyumba ya mtu aliyevuliwa ndara zake + +Hapa kutoa ndara inaashiria ya kwamba kaka asingepokea mali yoyote ya kaka yake aliyefariki. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Nyumba ya yule ambaye ndara yake ilivuliwa na mjane wa kaka yake aliyekufa ambaye hakumuoa" au "familia ambayo kila mtu anaichukia" au "Familia ambayo ni ya aibu" + diff --git a/deu/25/11.md b/deu/25/11.md new file mode 100644 index 00000000..d8b874aa --- /dev/null +++ b/deu/25/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "lako" hapa ni katika umoja. + +# kutoka mikononi mwa yule aliyempiga + +Hapa "mkono" una maana ya nguvu au utawala. "kwa hiyo yule aliyempiga hatampiga tena" au "kutoka kwa mwanamume aliyempiga" + +# jicho lako halipaswi kuwa na huruma + +Hapa "jicho" lina maana ya mtu mzima. "hautakiwi kumhurumia" au "hautakiwi kuonyesha huruma kwake" + diff --git a/deu/25/13.md b/deu/25/13.md new file mode 100644 index 00000000..979e23aa --- /dev/null +++ b/deu/25/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# Haupaswi kuwa na mizani ya uzito tofauti katika mfuko wako, mkubwa na mdogo + +Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. Unaweza kuweka wazi taarifa inayoeleweka. "Hautakiwi kudanganya watu kwa kutumia uzito ambao ni mkubwa kuliko jinsi ulivyosema ulikuwa unaponunua vitu na kwa kutumia uzito ambao ni mdogo zaidi ya ulivyosema ulikuwa unapouza vitu" + +# mizani + +Mizani ni mawe yanayotumika juu ya usawa kuthibitisha jinsi gani kitu kina uzito + +# Hautakiwi kuwa na vipimo tofauti ndani ya nyumba yako, vikubwa na vidogo + +Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. Unaweza kuweka wazi taarifa inayoeleweka. "Hautakiwi kudanganya watu kwa kutumia uzito ambao ni mkubwa kuliko jinsi ulivyosema ulikuwa unaponunua vitu na kwa kutumia uzito ambao ni mdogo zaidi ya ulivyosema ulikuwa unapouza vitu" + +# vipimo + +Kipimo kilikuwa kikapu au chombo kingine cha kupimia jinsi gani kitu kilikuwa na ujazo. + diff --git a/deu/25/15.md b/deu/25/15.md new file mode 100644 index 00000000..ba780db7 --- /dev/null +++ b/deu/25/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba alikuwa akizungumza na mtu mmoja, kwa hiyo maneno "zako" na "wako" ni katika umoja. + +# kamili na wa haki + +"sahihi na haki" + +# uzito ... vipimo + +Uzito ni mawe yanayotumika juu ya usawa kuthibitisha jinsi gani kitu kina uzito. Kipimo kilikuwa kikapu au chombo kingine cha kupimia jinsi gani kitu kilikuwa na ujazo. + +# siku zako ziwe ndefu + +Hii ni lahaja. "unaweza kuishi kwa muda mrefu" + +# Kwa maana wote wanaofanya vitu hivi, wote wanaovunja haki + +"kwa sababu kila mtu anayedanganya watu kwa kutumia ukubwa tofauti wa uzito na vipimo. + diff --git a/deu/25/17.md b/deu/25/17.md new file mode 100644 index 00000000..c2bee473 --- /dev/null +++ b/deu/25/17.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# Kumbuka ni jambo gani Amaleki alichofanya kwako + +Hii ni lahaja, na "Amaleki" ni lugha nyingine kwa ajili ya watu wa Amaleki. "Kumbukeni kile Waamaleki walichowafanyia" + +# ulipokuwa ukitoka + +Neno "ukitoka" hapa ni katika wingi. + +# jinsi alivyokutana na wewe barabarani + +"jinsi walivyokutana na wewe njiani" + +# na kuwashambulia kati yenu kwa nyuma + +"na kushambulia wale watu wenu waliokuwa mstari wa nyuma" + +# wale waliokuwa wamelegea nyuma + +"watu wote waliokuwa dhaifu nyuma ya mstari" + +# dhaifu na kuchoka + +Maneno haya yana maana moja na yanasisitiza jinsi watu walivyokuwa wamechoka. "kuchoka na kuchoka kabisa" + +# hakumheshimu Mungu + +Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "hakuwa anaogopa adhabu ya Mungu" au "hakumheshimu Mungu" + +# unapaswa kufuta kumbukumbu ya Waamaleki chini ya mbingu + +"unatakiwa kuwaua Waamaleki wote ili kwamba hakuna yeyote atakayewakumbuka tena" + diff --git a/deu/26/01.md b/deu/26/01.md new file mode 100644 index 00000000..980a4d11 --- /dev/null +++ b/deu/26/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# baadhi ya mavuno yote ya kwanza + +"baadhi ya matunda ya kwanza ya mavuno" au "baadhi ya mazao ya kwanza ya mavuno". Hii "kwanza" ni mpangilio wa nambari ya moja. + diff --git a/deu/26/03.md b/deu/26/03.md new file mode 100644 index 00000000..096a3165 --- /dev/null +++ b/deu/26/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja. + diff --git a/deu/26/05.md b/deu/26/05.md new file mode 100644 index 00000000..6e2da703 --- /dev/null +++ b/deu/26/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja. + +# Babu yangu alikuwa Mwaremi mzururaji + +Huu ni mwanzo wa kauli ya kwamba mwanamume wa Kiisraeli anatakiwa kutengeneza anapoleta kikapu chake. + +# Mwaremi mzururaji + +Hii ina maana ya Yakobo, ambaye alikuwa baba wa Waisraeli wote. Aliishi miaka mingi katika Aramu-Nahairamu, eneo lililopo Shamu. + +# na kukaa kule + +"na kuishi maisha yake yote kule" + +# Kule akawa + +Neno "akawa" ni lugha nyingine kwa ajili ya "uzao wa Yakobo" + +# kubwa, lenye nguvu + +Maneno haya kimsingi yana maana moja. Yanasisitiza ya kwamba Israeli ikawa taifa kubwa na lenye nguvu. "kubwa sana" + diff --git a/deu/26/06.md b/deu/26/06.md new file mode 100644 index 00000000..aa51f549 --- /dev/null +++ b/deu/26/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Hii inaendeleza kile Muisraeli anapswa kulema anapoleta mazao yake ya kwanza kwa Yahwe. + +# walitutendea vibaya na kututesa + +Misemo hii miwili kimsingi inasema kitu kimoja. Inasisitiza ya kwamba Wamisri walitenda kwa ukatili sana. + +# walitutendea + +Hapa "walitutendea" ina maana ya watu wa Israeli ambao walikuwa wakiishi Misri. Mwandishi anajijumuisha mwenyewe kama mmoja wa watu hata kama aliishi Misri au la. + +# akasikia sauti yetu + +Hapa "sauti" ina maana ya mtu mzima na kilio au maombi yake. "alisikia vilio vyetu" au "alisikia maombi yetu" + +# mateso yetu, kazi zetu na mateso yetu + +"ya kwamba Wamisri walikuwa wakitutesa, ya kwamba tulikuwa tukifanya kazi ngumu sana, na kwamba Wamisri walikuwa wakitutesa" + diff --git a/deu/26/08.md b/deu/26/08.md new file mode 100644 index 00000000..3c6281bd --- /dev/null +++ b/deu/26/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Hii inaendeleza kile ambacho Muisraeli anatakiwa kusema pale anapoleta mazao yake ya kwanza kwa Yahwe. + +# Yahwe alituondoa + +Hapa "alituondoa" ina maana ya watu wa Israeli ambao walikuwa wakiishi Misri. Mwandishi anajijumlisha mwenyewe kama mmoja wa watu hata kama aliishi Misri au la. + +# kwa mkono wake mkuu, kwa mkono wake ulionyoshwa + +Hapa "mkono mkuu" na "mkono ulionyoka" ni sitiari kwa nguvu ya Yahwe. "kwa kuonyesha nguvu yake" Maneno kama haya hujitokeza katika 4:34. + +# kwa hofu kuu + +"kwa matendo ambayo yaliwatisha watu waliyoyaona" + +# nchi inayotiririka kwa maziwa na asali + +Hii ni lahaja. "nchi yenye maziwa mengi na mtiririko wa asali" au "nchi ambayo inafaa kwa mifugo na ukulima" + diff --git a/deu/26/10.md b/deu/26/10.md new file mode 100644 index 00000000..48bebcad --- /dev/null +++ b/deu/26/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuwaambia Waisraeli kile wanachotakiwa kusema pale watakapoleta mazao yao ya kwanza kwa Yahwe. Anazungumza kwao kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" na "yako" hapa ni katika umoja. + +# mavuno ya kwanza + +"matunda ya kwanza ya mavuno" au "mazao ya kwanza ya mavuno" + +# Unapaswa kuweka chini + +"Unapaswa kuweka kikapu chini" + +# unapaswa kufurahia katika mema yote ambayo Yahwe Mungu wako amekufanyia + +"unapaswa kufurahi na kushukuru kwa mambo yote mazuri ambayo Yahwe Mungu wako amekufanyia" + diff --git a/deu/26/12.md b/deu/26/12.md new file mode 100644 index 00000000..490adb1d --- /dev/null +++ b/deu/26/12.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" na "yako" hapa ni katika umoja. + +# katika mwaka wa tatu + +Hapa "tatu" ni mpangilio wa nambari ya tatu. Kila miaka mitatu watu wa Israeli walitoa moja ya kumi ya mavuno kwa maskini. + +# yatima + +Hawa ni watoto ambao wazazi wao wote wamefariki na hawana jamaa wa kuwatunza. + +# mjane + +Hii ina maana mwanamke ambaye mume wake amefariki na hana watoto wa kumtunza sasa akiwa mzee. + +# kula ndani ya malango yenu ya mji na kujazilishwa + +Hapa "malango" ina maana ya miji au mji. "ili kwamba wale wanaoishi ndani ya miji yenu wawe na chakula cha kutosha kwa kula" + +# Nimetoa kutoka + +Haya ni maneno ya kwanza ya kauli nyingine ambayo Muisraeli alitakiwa kusema. + +# wala sijazisahau. + +Hii ina maana ya kwamba ametii amri zote za Mungu. + diff --git a/deu/26/14.md b/deu/26/14.md new file mode 100644 index 00000000..8b35b8a0 --- /dev/null +++ b/deu/26/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Hii inaendeleza kile ambacho Muisraeli anapaswa kusema kwa Yahwe anapotoa zaka yake kwa maskini. + +# Sijala kati yao wakati wa maombolezo yangu + +"Sijala chochote katika zaka nilipokuwa nikiomboleza" + +# nilipokuwa mchafu + +Hapa "mchafu" ina maana ya mtu ambaye sio msafi kulingana na Sheria. Mungu haruhusu mtu aliye mchafu kugusa zaka anayotoa kwa Mungu. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "nilipokuwa mchafu kulingana na Sheria" au "sheria inaposema siwezi kuigusa" + +# Nimesikiliza sauti ya Yahwe Mungu wangu; Nimetii kila kitu ulichoniamuru kukifanya + +Hapa "sauti ya Yahwe" ni lugha nyingine kwa kile Yahwe alichosema. Kauli hizi mbili zinatumia maana moja. Zinasisitiza ya kwamba mtu ametii amri zote za Mungu. + +# kutoka mahali patakatifu unapoishi, kutoka mbinguni + +Misemo hii miwili ina maana moja. "kutoka mbinguni, sehemu yako takatifu" + +# nchi inayotiririka kwa maziwa na asali. + +Hii ni lahaja. "nchi ambapo kuna maziwa na asali inayotiririka" au "nchi ambayo inafaa sana kwa mifugo na kilimo" + diff --git a/deu/26/16.md b/deu/26/16.md new file mode 100644 index 00000000..0b4b5658 --- /dev/null +++ b/deu/26/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla + +Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote + +Lahaja ya "kwa moyo wako" ina maana "kikamilifu" na "kwa nafsi yote" ina maana ya "nafsi yako yote". Misemo hii miwili ina maana moja. "kwa nafsi yako yote" au "kwa nguvu zako zote". + +# kwamba utatembea katika njia zake na kushikilia sheria zake, maagizo yake na amri zake, na kwamba utaisikiliza sauti yake + +Maneno "utatembea", "kushikilia", na "utasikiliza" ina maana ya kufanana hapa. Hapa "sauti" ina maana ya kile Mungu alichosema. "ya kwamba utatii kikamilifu kila kitu Yahwe anachoamuru" + diff --git a/deu/26/18.md b/deu/26/18.md new file mode 100644 index 00000000..539eb11e --- /dev/null +++ b/deu/26/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja. + +# watu ambao ni mali yake + +"watu ambao ni wa kwake" + +# atawaweka juu zaidi + +Hii ni lahaja. "atakufanya uwe wa muhimu zaidi kuliko" au "atakufanya uwe mkubwa zaidi ya" + +# atawaweka juu zaidi ya mataifa mengine aliyoyaumba nanyi mtapokea sifa, umaarufu na heshima + +Maana zaweza kuwa 1) "atakusababisha uwe mkubwa kuliko taifa lingine lolote ambalo ameimarisha, naye atakuwezesha kumsifu na kumheshimu" au 2) "atakuwa na watu wakimsifu zaidi ya jinsi wanavyosifu taifa lingine ambalo alifanya; watu watasema ya kwamba wewe ni bora zaidi ya taifa lingine, nawe watakuheshimu" + +# Mtakuwa watu waliowekwa kando kwa Yahwe Mungu wako + +Yahwe kuchagua watu wa Israeli wawe wake ni njia maalumu ambayo inazungumziwa kana kwamba Yahwe aliwaweka kando kutoka kwa matiafa mengine. Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Yahwe Mungu wako atakuweka kando kutoka kwa mataifa mengine" + diff --git a/deu/27/01.md b/deu/27/01.md new file mode 100644 index 00000000..beead04e --- /dev/null +++ b/deu/27/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo isipokuwa, maneno "yake" ni katika umoja. + +# ninazowaamuru leo ... mtakapopita + +Musa anazungumza na Waisraeli kama kundi, kwa hiyo sehemu zote mbili za neno "wako" ni katika wingi. + +# ninazowaamuru + +Hapa "ninazowaamuru" ina maana ya Musa. Wazee wapo pale kwa makubaliano na Musa, lakini ni yeye peke yake anayezungumza. + +# kuyachapa kwa lipu + +Lipu mara kwa mara ni mchanganyiko wa chokaa, mchanga, na maji ambazo husambazwa juu ya kitu. + +# nchi inayotiririka kwa maziwa na asali + +Hii ni lahaja. "nchi ambayo maziwa mengi na asali hutiririka" au "nchi ambayo ni sahihi kwa mifugo na kilimo" + diff --git a/deu/27/04.md b/deu/27/04.md new file mode 100644 index 00000000..22c7a8d6 --- /dev/null +++ b/deu/27/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja. + +# Mtakapovuka ... yapangane ... ninayowaamuru + +Musa anawataarifu Waisraeli kama kundi, kwa hiyo sehemu za "wako" na amri "yapangane" ni katika wingi. + +# myapige kwa lipu + +"sambaza lipu juu yao" au "zitengeneze ili kwamba uweze kuandika juu yao" + +# mlima wa Ebali + +Huu ni mlima karibu na Shekemu. + +# hautakiwi kuinua chombo cha chuma kujenga mawe + +Hii ina maana ya patasi ambayo zingetengeneza mawe kuwa laini, ili yaweze kutosha pamoja vizuri zaidi. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "hautachonga mawe ya madhabahu kwa vifaa vya chuma" + diff --git a/deu/27/06.md b/deu/27/06.md new file mode 100644 index 00000000..7e6e233b --- /dev/null +++ b/deu/27/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja. + +# mawe yasiyokuwa na kazi + +mawe yaliyo katika maumbo yao ya asili ambayo hakuna mtu aliyeyachonga kwa vifaa vya chuma + +# Utaandika juu ya mawe + +Hii ina maana ya mawe yaliyowekwa juu ya mlima wa Ebali na kufunikwa kwa lipu. + diff --git a/deu/27/09.md b/deu/27/09.md new file mode 100644 index 00000000..2316dfb2 --- /dev/null +++ b/deu/27/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# utii sauti ya Yahwe Mungu wako + +Hapa lugha nyingine ya "sauti ya Yahwe" ina maana ya kile anachosema. "tii kile Yahwe Mungu wako anachosema" + +# ninawaamuru + +Musa anawaamuru. Walawi wapo pale kukubaliana na Musa, lakini ni yeye peke yake anayezungumza. + diff --git a/deu/27/11.md b/deu/27/11.md new file mode 100644 index 00000000..188359df --- /dev/null +++ b/deu/27/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Makabila haya + +Hapa lugha nyingine ya "makabila" ina maana ya watu kutoka kwa makabila ya Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Yusufu, na Benyamini. "Watu kutoka kwa makabila haya" + +# mlima Gerizimu + +Mlima mdogo kaskazini mwa Mlima Ebali. + +# Yusufu + +Hii inajumlisha makabila ya Efraimu na Manase, ambao ni vizazi vya Yusufu. + diff --git a/deu/27/13.md b/deu/27/13.md new file mode 100644 index 00000000..11d6a0b7 --- /dev/null +++ b/deu/27/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mlima Ebali + +Haya ni maneno ya milima iliyo upande wa magharibi wa Mto Yordani. + +# kutamka laana + +"kusema kwa sauti kuu jinsi Yahwe atakavyokulaani Israeli" + diff --git a/deu/27/15.md b/deu/27/15.md new file mode 100644 index 00000000..92d3b5dd --- /dev/null +++ b/deu/27/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Alaaniwe mwanamume ... ataifanya sirini + +Hii ni kauli ambayo Walawi wanapaswa kupaza sauti kwa watu wote wa Israeli. Inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Yahwe na alaani mtu ... kuwekwa kando sirini" + +# kazi ya mikono ya fundi + +Hii ni lahaja. "jambo ambalo mtu amefanya" + +# fundi + +mwanamume ambaye anajua kufanya mambo yawe bora + diff --git a/deu/27/16.md b/deu/27/16.md new file mode 100644 index 00000000..98a42341 --- /dev/null +++ b/deu/27/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuwaambia Walawi na watu kile wanachopaswa kusema. + +# Alaaniwe mwanamume + +Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Na Yahwe na alaani mwanamume" + +# anayetoa alama ya ardhi ya jirani yake + +Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "ambaye anachukua ardhi kutoka kwa jirani yake kwa kutoa alama za mipaka ya ardhi yake" + diff --git a/deu/27/18.md b/deu/27/18.md new file mode 100644 index 00000000..158fd4eb --- /dev/null +++ b/deu/27/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuwaambia Walawi na watu kile wanachopaswa kusema. + +# Alaaniwe mwanamume + +Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Na Yahwe alaani mwanamume" + +# atumiaye nguvu kupokonya haki inayomstahili mgeni ... mjane + +Musa anazungumzia haki kana kwamba ilikuwa kitu halisia ambayo mtu mwenye nguvu anaweza kuvuta kwa nguvu kutoka kwa mtu dhaifu. Lugha yako inaweza kuwa na neno moja yenye maana "kutumia nguvu kuchukua". Maana zingine zinajitokeza katika 24:17."kumtendea mgeni ... mjane bila haki" + +# yatima + +Hawa ni watoto ambao wazazi wake wawili wamefariki na hawana jamaa wa kuwatunza. + +# mjane + +Hii ina maana ya mwanamke ambaye mume wake amefariki na hana watoto ambao wanamtunza katika uzee wake. + diff --git a/deu/27/20.md b/deu/27/20.md new file mode 100644 index 00000000..eb561c36 --- /dev/null +++ b/deu/27/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuwaambia Walawi na watu kile wanachotakiwa kusema. + +# Alaaniwe mwanamume + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Na Yahwe amlaani mtu" + +# mke wa baba yake + +Hii haimaanishi mama wa mwanamume, lakini mke mwingine wa baba yake. + +# amechukua haki za baba yake + +Mwanamume anapomuoa mwanamke, ni yeye pekee ana haki halali ya kulala naye. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "amechukua haki halali za baba yake" + +# atakayelala na aina yoyote ya mnyama + +Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "anayelala na aina yoyote ya mnyama kwa namna ambayo mwanamume hulala na mwanamke" + diff --git a/deu/27/22.md b/deu/27/22.md new file mode 100644 index 00000000..677e00de --- /dev/null +++ b/deu/27/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuwaambia Walawi na watu kile wanachotakiwa kusema. + +# Alaaniwe mwanamume + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na Yahwe amlaani mtu" + +# binti wa baba yake, au binti wa mama yake + +Hii ina maana mwanamume hatakiwi kulala na dada yake, hata kama ana mama au baba tofauti. + diff --git a/deu/27/24.md b/deu/27/24.md new file mode 100644 index 00000000..128eba0b --- /dev/null +++ b/deu/27/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuwaambia Walawi na watu kile wanachotakiwa kusema. + +# Alaaniwe mwanamume + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na Yahwe amlaani mtu + diff --git a/deu/27/26.md b/deu/27/26.md new file mode 100644 index 00000000..1b8bc291 --- /dev/null +++ b/deu/27/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuwaambia Walawi na watu kile wanachotakiwa kusema + +# Alaaniwe mwanamume + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na Yahwe amlaani mtu + diff --git a/deu/28/01.md b/deu/28/01.md new file mode 100644 index 00000000..c39353de --- /dev/null +++ b/deu/28/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari ya jumla + +Musa uzungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "wewe" na "wako" hapa ni umoja + +# kwa sauti ya Yahwe Mungu wako + +Hapa maneno "sauti ya Yahwe" urejea kwa kile asemavyo. "Kwa kile Yahwe Mungu wenu asemavyo" + +# ili kushika + +"na kutii" + +# jiweke juu + +Musa uzungumza kuwa muhimu au kuwa kuu kama ilikuwa kubwa kimwili, kama juu ya mlima."kukufanya wewe muhimu zaidi kuliko" au kukufanya wewe mkuu kuliko" + +# Baraka hizo zote zitakuwa kwako na kukupita + +Musa aelezea baraka kama mtu ambaye angeweza kukuwavamia kwa mshituo au nafasi na kuzishika. "Yahwe atakubariki kwa njia hizi ambazo zitakushitusha kabisa, na itakuwa kama hautakwepa yeye kukubariki" + diff --git a/deu/28/03.md b/deu/28/03.md new file mode 100644 index 00000000..277d7c6e --- /dev/null +++ b/deu/28/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari ya jumla + +Musa uzungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "wako" hapa ni umoja. + +# Kubarikiwa itakuwa kwako + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Yahwe atakubariki" + +# kwenye mji...kwenye shamba + +Hii "merism" umaanisha kwamba Yahwe atawabariki popote. + +# matunda ya mwili wako, na matunda ya ardhi yako, na matunda ya wanyama + +Hizi ni nahau kwa " watoto wako, na mazao yako, na wanyama wote wako" umbo la "merism" kwa kila kitu Waisraeli wathaminio. + +# matunda ya wanyama, ongezeko la mifugo yako, na kundi la wanyama wadogo + +Kujirudiarudia mara mbili kuko katika njia tatu za kusema kwamba Yahwe atawafanya wanyama wa Waisraeli wengi na wenye nguvu. "wanyama wako wote pamoja na ndama wa ng'ombe na kundi la kondoo" + diff --git a/deu/28/05.md b/deu/28/05.md new file mode 100644 index 00000000..77149c87 --- /dev/null +++ b/deu/28/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Habari ya jumla + +Musa uzungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja. + +# Ubarikiwa + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Yahwe atakubariki" + +# vikapu vyako na chombo cha kukandia + +Waisraeli walitumia kikapu kubeba nafaka. Chombo cha kukandia lilikuwa bakuri walilotumia kuchanganyia nafaka na kutengeneza mkate. + +# wakati unakuja ndani...wakati unaenda nje + +"merism" urejea kwa shughuli zote za maisha kila sehemu walipoenda. + diff --git a/deu/28/07.md b/deu/28/07.md new file mode 100644 index 00000000..9b5085e2 --- /dev/null +++ b/deu/28/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Habari ya jumla + +Musa azungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja. + +# kusababisha maadui zako wanaoinuka dhidi yako kupigwa chini mbele zako + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "kusababisha wewe kuwashinda majeshi ambayo yanawavamia" + +# lakini watakimbia mbele yako njia saba + +"lakini watakimbia mbali kutoka kwako kwa njia saba" + +# njia saba + +"kwa njia nyingi tofauti" + +# Yahwe ataamuru baraka kuja kwako katika maghala yako + +Musa amwelezea Yahwe kuwabariki Waisraeli kama Yahwe alikuwa anamwamuru mtu kuwavamia kwa kumshangao. + +# na kwa yote ambayo unaweka mkono wako + +Hii ni nahau. "na kila kitu unachofanya" + diff --git a/deu/28/09.md b/deu/28/09.md new file mode 100644 index 00000000..6e2da402 --- /dev/null +++ b/deu/28/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja. + +# Yahwe atakuanzisha wewe kama watu ambao wametengwa kwa ajili yake + +Yahwe kuchagua watu wa Israeli kuwa wake kwa njia maalumu husemwa kama Yahwe amewaweka katika eneo tofauati kutoka eneo la mataifa mengine yote yanaoishi humo. "Yahwe atakufamya wewe kuwa watu watakatifu ambao ni wake" + +# mnaitwa kwa jina la Yahwe + +Hapa maneno "kuitwa kwa jina la Yahwe" inamaanisha kuwa wake. Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Yahwe amewaita wake" + diff --git a/deu/28/11.md b/deu/28/11.md new file mode 100644 index 00000000..17254386 --- /dev/null +++ b/deu/28/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja. + +# matunda ya mwili wako, katika matunda ya ng'ombe zako, katika matunda ya ardhi yako + +Hii ni nahau. "pmaoja na watoto, wanyama, na mazao" + +# ghala lake la mbinguni + +Musa anazungumza juu ya mawingu ambayo mvua huanguka kama walikuwa ni jengo ambao anatunzia mvua. + +# kwa mkono wa kulia + +"wakati mazao uhitaji" + +# kazi zote za mikono yako + +Neno "mkono" ni neno badala la mtu mzima. + diff --git a/deu/28/13.md b/deu/28/13.md new file mode 100644 index 00000000..1285c1d3 --- /dev/null +++ b/deu/28/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja. + +# kichwa, na wala siyo mkia + +Hii uelezea taifa la Israeli kama mnyama na umaanisha Waisraeli daima watakuwa viongozi juu ya mataifa mengine na kamwe watumishi watawafuata kwa nyuma. Waisraeli watakuwa bora kwa nguvu, pesa, na heshima. + +# watakuwa pekee juu...kamwe hawatakuwa chini + +Waisraeli wataongoza wengine lakini kamwe hawatawapa wengine kuwatawala. + +# Ninakuamuru wewe + +Musa anazungumza na Waisraeli wote, hivyo maneno "wewe" ni wingi. + +# kama hautageuka mbali kutoka...kwenda mkono wa kulia au kwenda wa kushoto + +"kama hautatii... kwa njia yoyote" + diff --git a/deu/28/15.md b/deu/28/15.md new file mode 100644 index 00000000..6f416de1 --- /dev/null +++ b/deu/28/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja + +# lakini kama + +Hapa Musa aanza kuelezea laana watu watapata kama hawatatii. + +# Sauti ya Yahwe Mungu wenu + +Hapa maneno "sauti ya Yahwe"umaanisha kile Yahwe asemavyo. "nini Yahwe Mungu wenu anasema" + +# basi laana hizi zote zitakuja kwako na kukupita + +Musa aelezea laana kama mtu anavyowavamia kwa mshituko au kwa nafasi na kuwashika. "Yahwe atakulaani hivi katika njia ambazo kabisa zitakushangaza, na itakuwa kama hautatoroka akulaanipo" + diff --git a/deu/28/16.md b/deu/28/16.md new file mode 100644 index 00000000..c7dd6842 --- /dev/null +++ b/deu/28/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza na Waisraeli kam walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja. + +# Habari ya jumla + +Haya maneno yalitokea mapema katika sura. + +# Utalaaniwa + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Yahwe atakulaana wewe" + +# katika mji...katika shamba + +Hii "merism" umaanisha kwamba Yahwe atawabariki wao kila sehemu. + +# kikapu chako na chombo cha kukandia + +Waisraeli walitumia kikapu kubeba nafaka. "chombo cha kukandia" kilikuwa ni bakuri walilotumia kuchanganyia nafaka na kutengeneza mkate. + diff --git a/deu/28/18.md b/deu/28/18.md new file mode 100644 index 00000000..5f4d25ca --- /dev/null +++ b/deu/28/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja. + +# Habari ya jumla + +Haya maneno yalitokea mapema katika sura. + +# Utalaaniwa + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Yahwe atawalaani" + +# matunda ya mwili wako, matunda ya ardhi yako + +Hii ni nahauu kwa ajili "watoto wako, mazao yako" + +# ongezeko la ng'ombe wako, na kundi la kondoo wako + +Kujirudiarudia mara mbili mbili kuko kwa njia mbili kusema kwamba Yahwe atawafanya wanyama wa Waisraeli wengi na imara. + +# wakati unakuja ndani...wakati unaenda nje + +Hii "merism" urejea kwa shughuli zote za kimaisha popote waendako. + diff --git a/deu/28/20.md b/deu/28/20.md new file mode 100644 index 00000000..b429b4ac --- /dev/null +++ b/deu/28/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja + +# laana, machafuko, kukemea + +"maafa, hofu, na kukatisha tamaa" + +# kwa yote unayoweka mkono wako + +Hii ni nahau. "kila kitu unachofanya" + +# mpaka uharibiwe + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "mpaka maadui zako wakuharibu wewe" + +# kuniacha mimi + +Hapa "mimi" urejea kwa Yahwe + +# kushikamana + +kubaki kwako" + diff --git a/deu/28/22.md b/deu/28/22.md new file mode 100644 index 00000000..48669fa8 --- /dev/null +++ b/deu/28/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari ya jumla + +Musa azungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa viko kwenye umoja + +# magonjwa ya kuambukiza, kwa homa, kwa uvimbe + +Haya yote urejea kwa magonhwa ambayo husababisha watu kuwa wadhaifu na kufa. "magonjwa na kuwaka homa ambayo itawafanya kuwa dhaifu" + +# kwa kiangazi + +"kwa upungufu wa mvua" + +# ukungu + +ukungu ambao ukuwa kwenye mazao na kuyasababisha kuoza + +# Hivi vitakufukuza + +Musa anazungumza kwa mambo mabaya ambayo yangeweza kutokea kwa Waisraeli kama walikuwa watu au wanyama ambayo wangewakimbiza baada ya Waisraeli. + diff --git a/deu/28/23.md b/deu/28/23.md new file mode 100644 index 00000000..a9494cf1 --- /dev/null +++ b/deu/28/23.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa viko kwenye umoja. + +# mbingu...zitakuwa shaba + +Musa anazungumza juu ya mbingu kuwa kama shaba kwa sababu hapatakuwa na mvua. + +# ardhi...itakuwa chuma + +Musa anazungumza na ardhi kuwa kama chuma kwa sababu hakuna mazao yatakuuwa. + +# fanya mvua ya ardhi yako kuwa unga na vumbi + +"badala ya mvua, kutakuwa na kivumbi" + +# hadi utakapoangamizwa + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "mpaka ikuangamize" + diff --git a/deu/28/25.md b/deu/28/25.md new file mode 100644 index 00000000..551c4e57 --- /dev/null +++ b/deu/28/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa viko kwenye umoja. + +# Yahwe atakusababishia upigwe mbele ya maadu zako + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Yahwe atasababisha maadui zako kukupiga wewe chini" + +# utakimbia mbele zao kwa njia saba + +Hii ina maanisha Waisraeli wataogopa na hofu na kukimbia kutoka kwa maadui zao. + +# njia saba + +"kwa pande nyingi tofauti" + +# Utapelekwa huku na kule miongoni mwa falme + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Watu wa mataifa mengine watawaondoa toka tafaifa moja kwa jingine" + diff --git a/deu/28/27.md b/deu/28/27.md new file mode 100644 index 00000000..787c41a9 --- /dev/null +++ b/deu/28/27.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja + +# majipu ya Misri + +"ugonjwa ule ule wa ngozi ambao niliwalaani Wamisri" + +# majipu...vidonda , kiseyeye + +Haya ni aina ya magonjwa ya ngozi + +# ambazo hautapona + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "ambazo hakuna mmoja ataweza kuwaponya" + +# Utapapasa papasa mchana kama kipofu apapasavyo gizani + +Waisraeli watakuwa na maisha magumu hata wakati kila mmoja anafurahia maisha. "watakuwa kama watu vipofu ambao upapasa gizani hata wakati wa mchana" + +# daima utakandamizwa na kuporwa + +"watu wa nguvu sana daima watawakandamiza na kuwapora" + diff --git a/deu/28/30.md b/deu/28/30.md new file mode 100644 index 00000000..65deb8e8 --- /dev/null +++ b/deu/28/30.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja. + +# Ng'ombe wako atachinjwa mbele ya macho yako + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Utashuhudia mtu fulani anamuawa ng'ombe wako" + +# punda wako atachukuliwa kwa nguvu mbele yako na hatarejeshwa kwako. + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "mtu fulani atamchukua punda wako kwa nguvu na hatamrudisha" + +# Kondoo wako watapewa maadui zako + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Nitawapa kondoo zako maadui wako" au "Nitawaruhusu maadui zako kuchukua kondoo wako" + diff --git a/deu/28/32.md b/deu/28/32.md new file mode 100644 index 00000000..9f602e10 --- /dev/null +++ b/deu/28/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Habari ya jumla + +Mus anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja. + +# Watoto wa kiume na mabinti zako watapewa kwa watu wengine + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Nitawapa watoto na binti zako kwa watu wengine" au " Maadui zako watawachukua watoto na binti zako" + +# macho yako yatawatafuta siku nzima, lakini yatashindwa kwa shauku juu yao. + +Hapa "macho yako" urejea kwa mtu mzima. "utachoka wakati udumu kuwatazama na kutamani kuwaona tena." + +# Hakutakuwa na nguvu mikononi mwako. + +Hapa "nguvu mkononi mwako" urejea kwa nguvu. + diff --git a/deu/28/33.md b/deu/28/33.md new file mode 100644 index 00000000..e7604bad --- /dev/null +++ b/deu/28/33.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja. + +# taifa + +Hapa neno "taifa" umaanisha watu toka kwa taifa. + +# daima utaonewa na kugandamizwa + +Maneno "kuonewa" na "kugandamizwa" kimsingi umaanisha kitu kile kile. Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "daima wataonewa na kugandamizwa" au " watawaonea daima" + +# upatwe na wazimu kwa yale utakayoona yakitendeka + +"kile unachoona kitakufanya kuwa wazimu" + +# ambayo hutaweza kupona + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "kwamba hakuna mmoja atakayeweza kuponya" + diff --git a/deu/28/36.md b/deu/28/36.md new file mode 100644 index 00000000..6ba8647c --- /dev/null +++ b/deu/28/36.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja. + +# mithali, na uvumi, miongoni mwa watu wote ambako Yahwe atakupeleka. + +Maneno "mithali" na "uvumi" kimsingi umaanisha kitu kile kile. Hii inaweza kutofasiriwa kama sentensi mpya. "na watu watafanya mithali na uvumi kuhusu wewe" au "Yahwe atakutuma wewe kwa watu ambao watakucheka wewe na kukuziaki." + +# uvumi + +neno au kikundu cha maneno ambayo watu utumia kuwaabisha wengine. + diff --git a/deu/28/38.md b/deu/28/38.md new file mode 100644 index 00000000..bedd148b --- /dev/null +++ b/deu/28/38.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja/ + +# lakini utakusanya mbegu chache + +"lakini utavuna chakula kidogo sana" + diff --git a/deu/28/40.md b/deu/28/40.md new file mode 100644 index 00000000..6b964fb1 --- /dev/null +++ b/deu/28/40.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kuelezea laana za Mungu kama watu hawatamtii. Anazungumza na Waisraeli kam walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja. + +# lakini hautajipaka mafuta yoyote ju yako + +Watu wangejipaka mafuta ya mizeituni juu yao kufanya ngozi yao kuwa na afya. + +# mti wako wa mzeituni utaangusha matunda yake + +"mti wako wa mzeituni utaangusha matunda yake kabla hayajaiva" au "mzeituni utaanguka kwa miti ya mzeituni kabla hayajaiva" + diff --git a/deu/28/42.md b/deu/28/42.md new file mode 100644 index 00000000..1f6e46b7 --- /dev/null +++ b/deu/28/42.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja. + +# atainuka juu zaidi yako juu na juu; wewe mwenyewe utashuka chini na chini. + +Hii ni nahau inayomaanisha mgeni atakuwa zaidi na nguvu, pesa, na heshima kuliko Waisraeli. + +# atakuwa kichwa, nawe utakuwa mkia + +Hii inamaanisha mgeni atakuwa kiongozi wa Waisraeli. + diff --git a/deu/28/45.md b/deu/28/45.md new file mode 100644 index 00000000..22cd7a73 --- /dev/null +++ b/deu/28/45.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja. + +# Laana hizi zote zitakujia juu yako na kukuandama na kukupita hadi utakapoangamizwa. + +Musa aelezea laana kama mtu ambaye angewavamia kwa mshutuko au kuwakimbiza na kuwashika. + +# sauti ya Yahwe Mungu wako + +Hapa maneno "sauti ya Yahwe" ni maneno kwa kile Yahwe alisema. + +# amri na maagizo yake + +Maneno "amri" na "maagizo" ni ya kujirudiarudia mara mbili mbili kwa "yote yale Yahwe amekuamuru kufanya." + diff --git a/deu/28/47.md b/deu/28/47.md new file mode 100644 index 00000000..e0ffca29 --- /dev/null +++ b/deu/28/47.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja. + +# shangwe na furaha moyoni + +Hapa "shangwe" na "furaha moyoni" umaanisha kitu kile kile. Yanasisitiza kwamba watu wanapaswa kuwa na furaha kumwabudu Yahwe. + +# Ataweka mzigo wa chuma juu ya shingo yako + +Huu ni mfano kwa ajili ya Yahwe kumruhusu adui kuwafanyia Waisraeli kwa ukatili na kuwafanya watumwa. + diff --git a/deu/28/49.md b/deu/28/49.md new file mode 100644 index 00000000..13f9be00 --- /dev/null +++ b/deu/28/49.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yapo kwenye umoja. + +# kutoka mwisho wa ulimwengu + +Haya makundi ya maneno umaanisha kitu kile kile na kusisitiza kwamba adui atatokea taifa ambalo liko mbali sana na Israeli. + +# kutoka mwisho wa ulimwengu + +Hii ni nahau. "kutoka maeneo ambayo haujui kitu chochote kuhusu" + +# kama tai arukaye kwa mhanga wake + +Hii umaanisha adui atakuja kwa ghafla na Waisraeli hawataweza kuwazuia. + +# taifa lenye sura katili ambayo haiheshimu wazee na haionyeshi fadhila + +Neno "taifa" ni mfano wa neno kwa ajili ya watu wa taifa hilo. + +# hadi mmeangamizwa + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "hadi waangamize" au " hadi wawaache bila kitu" + diff --git a/deu/28/52.md b/deu/28/52.md new file mode 100644 index 00000000..dceccf6b --- /dev/null +++ b/deu/28/52.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Habari ya jumla + +Musa aendelea kueleza jeshi ambalo litawavamia Waisraeli kama hawatamtii Yahwe. Anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja. + +# malango ya mji yenu + +Hapa kukindi cha maneno "malango ya mji" uwakilisha mji + +# tunda la mwili wako mwenyewe, nyama ya watoto wa kiume na binti zako + +Hapa "nyama ya watoto wako na binti zako" uelezea mfano "tunda la mwili wako mwenyewe." Watu watakuwa na njaa baada ya jeshi la maadui kuuzunguka mji wao ambao watakula watoto wao. + +# tunda la mwili wako mwenyewe + +Hii ni nahau. "watoto wako mwenyewe" + diff --git a/deu/28/54.md b/deu/28/54.md new file mode 100644 index 00000000..23cd793c --- /dev/null +++ b/deu/28/54.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja. + +# ambaye ni laini na mlegevu miongoni mwenu-a + +Musa anasema kwamba si wale peke yao mmoja angetegemea kula watoto wao, lakini hata mtu wa mwisho angetegemea kula watoto wake mwenyewe atakula watoto wake. "ambaye ni laini na mlegevu sana miongoni mwenu - hata yeye" + +# miongoni mwenu + +Musa anazungumza kwa Waisraeli wote kama kundi, hivyo maneno "wewe" hapa ni uwingi. + +# malango yote ya mji wenu + +Hapa "malango ya mji" uwakilisha miji. + diff --git a/deu/28/56.md b/deu/28/56.md new file mode 100644 index 00000000..0f646ec7 --- /dev/null +++ b/deu/28/56.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja. + +# Mwanamke laini na mlegevu miongoni mwenu...maringo + +Musa anasema kwamba siyo wale peke mmoja anategemea kula watoto wao, lakini hata wanawake wa uzao wa heshima na upole wa kawaida, ambao mmoja kamwe asingetegemea kula watoto wao, watakula watoto wao. Neno "wewe" hapa ni umoja. + +# ambaye hatadiriki kuweka tako la mguu wake ardhini kwa sababu ya ulaini na maringo yake + +Musa anatia chumvi. Anasisitiza kwamba mwanamke wa heshima yuko tajiri sana na huishi katika kifahari kwamba hataweza kujiruhusu mwenyewe kuwa mchafu. + +# ulaini na maringo + +Hii jina "ulaini" na "maringo" yanaweza kusemwa kama kishazi + +# ndani ya malango ya mji wako + +Hapa "malango ya mji" uwakilisha miji yenyewe. + diff --git a/deu/28/58.md b/deu/28/58.md new file mode 100644 index 00000000..33357b83 --- /dev/null +++ b/deu/28/58.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja. + +# ambayo yalioandikwa + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "ambayo nimeyaandika" + +# hili tukufu na la kutisha jina, Yahwe Mungu wako + +Hapa "jina" urejea kwa Yahwe mwenyewe. "Yahwe Mungu wako ni wa utukufu na wa kushangaza" + +# Yahwe atafanya mapigo yako kuwa ya kutisha, na yale ya wazao wako; + +"Yahwe atatuma mapigo ya kutisha juu yako na uzao wako" au "Yahwe atahakikisha kwamba wewe na uzao wako utateseka kwa mapigo ya kutisha" + diff --git a/deu/28/60.md b/deu/28/60.md new file mode 100644 index 00000000..5b31771c --- /dev/null +++ b/deu/28/60.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja. + +# Ataleta juu yako mara nyingine magonjwa yote ya Misri + +"Atahakikisha kuwa tena unateseka kwa magonjwa ya Misri" + +# yatakung'ang'ania + +magonjwa hayataacha, na hakuna mmoja ataweza kukuponya kwayo" + +# kila ugonjwa na pigo ambalo halijaandikwa + +Huku kupigwa chuku kunaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "hata magonjwa na mapigo ambayo sijaandika" + +# hadi umeangamizwa + +Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "hadi amewaangamiza" + +# Utabaki wachache kwa idadi... mlikuwa kama...hamkusikiliza + +Musa anazungumza kwa Waisraeli kama kundi hivyo mifano yote ya "wewe" ni uwingi. + +# ulikuwa kama nyota wa mbinguni kwa idadi + +Hii ina maanisha kwamba zamani kulikuwa na Waisraeli wengi. + +# sauti ya Yahwe + +Hapa maneno "sauti ya Yahwe" urejea kwa kile Yahwe asemavyo. + diff --git a/deu/28/63.md b/deu/28/63.md new file mode 100644 index 00000000..17434f45 --- /dev/null +++ b/deu/28/63.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# juu yako na kutenda mema, na kuwazidisha...atafurahia juu yako kwa kufanya upotee na kwa kukuangamiza. Utang’olewa + +Musa anazungumza kwa Waisraeli kama kundi, hivyo mifano yote ya "wewe" ni uwingi. + +# utakayoenda...atakusambaza...utaabudu...ambayo hujawajua...wewe wala mababu zako + +Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja + +# Awali Yahwe alivyofurahia juu yako kwa kutenda mema, na kuwazidisha + +"Yahwe awali alivyofurahia kutenda mema na kukusababisha wewe kuwa wengi" + +# atafurahia juu yako kwa kufanya upotee + +"atafurahia kukufanya wewe kufa" + +# Utang’olewa katika nchi utakayoenda kuimiliki. + +Musa anazungumza juu ya watu kama walikuwa matunda ambayo Yahwe atayaondoa kwa kichaka. Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "Atawaondoa kutoka kwenye nchi ambayo mnaingia kuimiliki" + +# kutoka mwisho mmoja wa dunia hadi mwisho mwingine wa dunia; + +Hizi kulikokithiri kuwili kwa pamoja umaanisha kila sehemu duniani. + diff --git a/deu/28/65.md b/deu/28/65.md new file mode 100644 index 00000000..74f73c73 --- /dev/null +++ b/deu/28/65.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" ma "yako" hapa yako kwenye umoja. + +# hakutakuwa na pumziko chini ya miguu yako + +Hapa kikundi cha maneno "chini ya miguu yako" urejea kwa mtu mzima. + +# Yahwe atakupatia huko moyo wa kutetemeka, macho yanayofeli na nafsi inayoomboleza. + +Hii ni nahau. "Yahwe atakusababisha wewe kuogopa, pasipo tumaini, na huzuni" + +# Maisha yako yataning'inia kwa mashaka mbele yako + +"Hautajua kama utaishi au kufa" + diff --git a/deu/28/67.md b/deu/28/67.md new file mode 100644 index 00000000..3480223d --- /dev/null +++ b/deu/28/67.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Habari ya jumla + +Musa anazungumza kwa Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa yako kwenye umoja. + +# kwa sababu ya hofu moyoni mwenu + +Hii ni nahau. "kwa sababu ya hofu mliyonayo" + +# vitu ambavyo macho yako italazimu kuona + +Hapa "macho" urejea kwa mtu mzima. + +# nilikuambia + +Hapa "ni" urejea kwa Yahwe. + +# utajitoa kuuzwa kwa maadui zako...kuwanunua + +Musa anazungumza kwa Waisraeli kama kundi, hivyo mifano yote ya "wewe" na "yako mwenyewe" ni uwingi. + diff --git a/deu/29/01.md b/deu/29/01.md new file mode 100644 index 00000000..9177c72d --- /dev/null +++ b/deu/29/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Haya ni maneno ambayo Yahwe alimuamuru Musa kuwaambia + +Hii ina maana ya maneno ambayo Musa anataka kuzungumza. + +# katika nchi ya Moabu + +Hii ipo mashariki mwa upande wa Yordani ambapo Waisraeli walikuwa wakikaa kabla hawajaingia katika nchi ya Kaanani. "walipokuwa katika nchi ya Moabu" + +# maneno ambayo yaliongezwa katika agano ... kule Horebu + +Hizi amri za ziada zilitolewa kufanya agano la Yahwe kueleweka vizuri zaidi kwa watu pale watakapokaa katika nchi yao mpya. Amri hizi mpya hazikuwa za agano jipya, lakini ongezeko kwa agano la awali. + diff --git a/deu/29/02.md b/deu/29/02.md new file mode 100644 index 00000000..a454ae0b --- /dev/null +++ b/deu/29/02.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mmeona kila kitu ambacho Yahwe alifanya mbele ya macho yenu + +Hapa "macho" yanasisitiza ya kwamba Yahwe alitarajia wao kukumbuka ya kwamba walikiona. "Mmeona yote ambayo Yahwe alifanya ili kwamba muone na kukumbuka alichofanya" + +# mateso makubwa ambayo macho yenu yaliona + +Hapa "macho" yanasisitiza ya kwamba Yahwe alitarajia wao kukumbuka ya kwamba walikiona. "mmeona wenyewe ya kwamba watu waliteseka vibaya" + +# macho yako + +Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# ishara, pamoja na ile miujiza mikubwa + +Maneno "ishara" na "miujiza" yote ina maana ya mapigo ambayo Yahwe alituma juu ya Misri. "na vitu vyote vyenye uwezo ambavyo Yahwe alifanya" + +# Yahwe hajawapatia moyo wa kufahamu, macho ya kuona, au masikio ya kusikia + +Watu wana mioyo, macho, na masikio. Lugha hii inasema ya kwamba Yahwe hajawawezesha kuelewa kile walichokiona na kusikia kutoka kwa Yahwe, na kwa nini na namna gani wanapaswa kumtii" + +# hajawapatia moyo wa kufahamu + +Hii ni lahaja. "kuwawezesha kuelewa" + diff --git a/deu/29/05.md b/deu/29/05.md new file mode 100644 index 00000000..9c85cf40 --- /dev/null +++ b/deu/29/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nimewaongoza + +Yahwe anazungumza na watu wa Israeli. + +# miaka arobaini + +"miaka 40" + +# ndala zako ... miguuni mwenu + +Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# kinywaji chochote chenye ulevi + +Vinywaji vyenye vileo yawezekana vilivyotengenezwa kwa mazao ya kuvundikwa. havikuwa pombe iliyochujwa. + diff --git a/deu/29/07.md b/deu/29/07.md new file mode 100644 index 00000000..6cd77205 --- /dev/null +++ b/deu/29/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sihoni, mfalme wa Heshboni, na Ogu, mfalme wa Bashani + +Haya ni majina ya wafalme. + +# walikuja dhidi yetu + +Hapa "yetu" ina maana ya Musa na watu wa Israeli. + +# shikilia maneno ya agano hili na kuyatenda + +Misemo hii miwili ina maana moja na inasisitiza ya kwamba watu walipaswa kutii amri za Mungu. "tii maneno yote ya agano hili" + diff --git a/deu/29/10.md b/deu/29/10.md new file mode 100644 index 00000000..9b8ce5ad --- /dev/null +++ b/deu/29/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# miongoni mwa kambi yenu ... mbao zenu ... maji yako + +Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# mgeni ambaye yumo miongoni mwa kambi yenu, kutoka kwa yule anayekata mbao zenu mpaka kwa yule atekaye + +Kulikuwa na wageni wengi miongoni wa Waisraeli. "wageni ambao wamo miongoni mwenu katika kambi yenu, kutoka kwao wale wanaokata mbao na wale wanaoteka maji" + diff --git a/deu/29/12.md b/deu/29/12.md new file mode 100644 index 00000000..04593f89 --- /dev/null +++ b/deu/29/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja. + +# muingie katika agano la Yahwe Mungu wenu na katika kiapo ambacho Yahwe Mungu wako anafanya na wewe leo + +"kukubaliana na agano na kuapa ya kwamba utatii yote ambayo Yahwe Mungu wako anaamuru" + +# watu kwa ajili yake + +"kikundi cha watu kinachokuwa cha kwake pekee" + diff --git a/deu/29/14.md b/deu/29/14.md new file mode 100644 index 00000000..7b16df0e --- /dev/null +++ b/deu/29/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ninafanya + +Hapa "ninafanya" ina maana ya Yahwe. "Yahwe anafanya" + +# aliyesimama hapa pamoja nasi + +Hapa "nasi" ina maana ya Musa na watu wa Israeli. + +# wale ambao hawapo hapa + +"vizazi vya baadaye, ambavyo havipo hapa" + +# tulivyoishi + +"tulikuwa watumwa" + diff --git a/deu/29/17.md b/deu/29/17.md new file mode 100644 index 00000000..7fcb49f0 --- /dev/null +++ b/deu/29/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# moyo wake unamuacha Yahwe Mungu wetu leo + +Hapa "moyo" ina maana ya mtu mzima, na "kumuacha" ina maana ya kukoma kutii. "ambaye hamtii Yahwe Mungu wetu tena" + +# mzizi wowote utakaozaa nyongo na pakanga + +Musa anazungumza na mtu ambaye humsifu Mungu mwingine sirini kana kwamba alikuwa mzizi, na matendo ya uovu anayofanya kutumikia mungu huyo, na ambayo anamtia moyo wengine kufanya vile. "mtu yeyote anayeabudu miungu na kusababisha wengine kutomtii Yahwe" + +# mtu huyo + +Mtu aliyeelezwa katika mstari wa 18. + +# atajifariji moyoni mwake + +Hii ni lahaja. "akajipongeza" au "akajitia moyo" + +# ingawa natembea katika ukaidi wa moyo wangu + +Hii ni lahaja. "ingawa bado ninakataa kumtii Yahwe" + +# Hii itaangamiza ubichi pamoja na ukavu + +Hapa maneno "ubichi" na "ukavu" ni sitiari ya watu watakatifu na watu waovu. Hii inaunda mkusanyiko wa maneno yenye maana mbili tofauti ya "kila mmoja". "Hii ingesababisha Yahwe kuangamiza wote watakatifu na waovu katika nchi" + +# ubichi ... ukavu + +Vivumishi hivi vya nambari vinaweza kutafsiriwa kama nomino. Kwa sababu mara kwa mara nchi ilikuwa kavu na watu walihitaji mvua ili mazao yao yaote, maneno haya ni sitiari kwa "kuishi ... kufa" au "mema ... mabaya". "vitu vibichi ... vitu vikavu" au "watu wema .. watu wabaya" + diff --git a/deu/29/20.md b/deu/29/20.md new file mode 100644 index 00000000..736ec333 --- /dev/null +++ b/deu/29/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# hasira ya Yahwe na wivu wake utambanika + +Kama vile moto unavyokua katika makali, kwa hiyo hasira ya Mungu na wivu unakua katika makali. "hasira ya wivu ya Yahwe utaota kama moto" + +# hasira ya Yahwe na wivu wake + +Hapa neno "wivu" inaelezea "hasira ya Yahwe". "Hasira ya wivu wa Yahwe" + +# zilizoandikwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ambayo nimeandika" + +# laana zilizoandikwa katika kitabu hiki vitakuwa juu yake + +Musa anaeleza laana kama mtu atakayemshambulia kwa mshtuko. "Yahwe atamlaani na laana zilizoandikwa ndani ya kitabu hiki kwa njia ambazo zitamshangaza kabisa". Maneno yanayofanana yanajitokeza katika 28:15. + +# Yahwe ataliondoa jina lake kutoka mbinguni + +Hii ina maana Mungu atawaangamiza kabisa mtu na familia yake. Baadaye watu hawatamkumbuka. Msemo wa kufanana unajitokeza katika 7:23. + diff --git a/deu/29/22.md b/deu/29/22.md new file mode 100644 index 00000000..69a48410 --- /dev/null +++ b/deu/29/22.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Kizazi kifuatacho, watoto wako watakaoinuka baada yako + +Maneno "watoto wako ...baada yako" kusema nani "kizazi kifuatacho" ni kipi. + +# mapigo juu ya nchi hii na magonjwa ambayo Yahwe ameyafanya yawe + +"jinsi Mungu alivyolaani nchi ya Kaanani na mapigo na maradhi" + +# watakapoona kuwa nchi yote imekuwa salfa na chumvi ichomayo + +Watu waliweka salfa na chumvi juu ya ardhi kuzuia kitu kuota. "watakapoona ya kwamba Yahwe amechoma nchi kwa salfa na chumvi" + +# ambapo hakuna kitu kipandwacho au kuzaa matunda + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "pale ambapo hakuna mtu awezaye kupanda mbegu na mazao hayawezi kuzaa matunda" + +# kama anguko la Sodoma na Gomora + +Nomino inayojitegemea "anguko" inaweza kuwekwa kama ibara. "kama vile Yahwe alivyowaangamiza kabisa Sodoma na Gomora" + +# Adma na Seboimu + +Haya ni majina ya miji ambayo Yahwe aliangamiza pamoja na Sodoma na Gomora. + +# katika ghadhabu na hasira yake + +Nomino inayojitegemea "hasira" na "ghadhabu" kimsingi ina maana ya kitu kimoja na inaweza kutafsiriwa kama msemo wa kivumishi. "alipokuwa na hasira sana" + +# watasema pamoja na mataifa mengine ... inamaanisha nini? + +Hii inaweza kutafsiriwa kama nukuu isiyokuwa moja kwa moja. "watauliza pamoja na mataifa mengine yote kwa nini Yahwe amefanya hili juu ya nchi, na maana ya joto la hasira hii kuu ina maana gani" + +# watasema pamoja na mataifa mengine + +"vizazi vyako na watu wa mataifa mengine yote watasema" + +# Joto ya hasira hii kali inamaanisha nini? + +Mwandishi anawasilisha wazo moja kutumia maneno mawili. "Hasira hii mbaya ina maana gani?" + diff --git a/deu/29/25.md b/deu/29/25.md new file mode 100644 index 00000000..1b8a80c5 --- /dev/null +++ b/deu/29/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni kwa sababu walitelekeza agano la Yahwe, Mungu wa mababu zao + +Hili ni jibu la "Kwa nini Yahwe alifanya hivi katika nchi hii?" 29:22. "Yahwe amefanya hivi katika nchi kwa sababu Waisraeli hawakufuata ahadi na sheria za agano lake" + +# kutumikia miungu mingine na kuzisujudu + +"walitii miungu mingine na kuiabudu" + diff --git a/deu/29/27.md b/deu/29/27.md new file mode 100644 index 00000000..2e900af3 --- /dev/null +++ b/deu/29/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# hasira ya Yahwe imewaka dhidi ya nchi hii + +Musa analinganisha Yahwe kuwa na hasira na mtu anayeanzisha moto. Hii inasisitiza nguvu ya Mungu ya kuangamiza chochote kinachomkasirisha, na inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Yahwe amekuwa na hasira sana na nchi hii" + +# nchi hii, ili kuleta + +Hapa "nchi" ni lugha nyingine inayowakilisha watu. "watu wa nchi hii, ili kwamba kuleta juu yao" + +# zilizoandikwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ambayo nimeandika" + +# Yahwe amewang’oa kutoka nchini ... na kuwatupa + +Israeli analinganishwa na mmea mbaya ambao Yahwe ameong'oa na kuutupa nje ya bustani. "Yahwe amewaondoa kutoka katika nchi yao ... na amewalazimisha wao kuondoka" + +# kwa hasira, kwa ghadhanu, na kwa ghadhabu kali + +Maneno "hasira" na "ghadhabu" kimsingi yana maana ya kitu kimoja na yanasisitiza ukubwa mpana wa hasira ya Yahwe. "katika hasira kubwa sana" au "kwa sababu alikuwa na hasira sana" + diff --git a/deu/29/29.md b/deu/29/29.md new file mode 100644 index 00000000..9e868456 --- /dev/null +++ b/deu/29/29.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mambo ya siri ni ya Yahwe Mungu wetu pekee + +"Baadhi ya mambo Yahwe Mungu wetu hajayafunua, na ni yeye pekee anayajua" + +# yaliyofichuliwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ambayo ameyafunua" + +# tufanye maneno yote ya sheria hii + +Maneno "maneno" ni lugha nyingine kwa "amri". "tunaweza kufanya kila kitu ambacho sheria hii inatuamuru kufanya" + diff --git a/deu/30/01.md b/deu/30/01.md new file mode 100644 index 00000000..db969ca1 --- /dev/null +++ b/deu/30/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja. + +# Vitu hivi vitakavyokuja juu yako + +Hapa "vitu hivi" ina maana ya baraka na laana inayoelezwa katika sura ya 28-29. Msemo "itakavyokuja juu yako" ni lahaja ambayo ina maana ya kutokea. "Vitu hivi vyote vitakavyotokea kwako" + +# ambazo nimeziweka mbele yako + +Hii inazungumzia juu ya baraka na laana ambazo Musa aliwaambia watu kana kwamba walikuwa vyombo ambavyo aliviweka kando mbele yao. "ambayo nimekwisha kukuambia sasa hivi + +# utakapozirejea akilini + +Hii ni lahaja. "kumbukeni" + +# miongoni mwa mataifa mengine + +"utakapokuwa ukiishi katika mataifa mengine" + +# kawapeleka + +"amekulazimisha kuondoka" + +# kutii sauti yake + +Hapa "sauti" ina maana ya kile Yahwe anachosema. "tii kile anachosema" + +# kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote + +Lahaja ya "kwa moyo .... wote" ina maana ya "yote" na "yako yot ... nafsi" ina maana "na nafsi yako yote". Misemo hii miwili ina maana moja. "kwa nafsi yako yote" au "kwa nguvu zako zote" + +# atageuza kutekwa kwako + +"kuwaweka huru kutoka kifungoni kwako". Nomino inayojitegemea ya "kutekwa" inaweza kutafsiriwa kama kishazi. "kukuweka huru kutoka kwa yule aliyekukamata" + diff --git a/deu/30/04.md b/deu/30/04.md new file mode 100644 index 00000000..a0a65c47 --- /dev/null +++ b/deu/30/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# Iwapo yeyote ya watu walio uhamishoni wapo katika sehemu za mbali sana + +"Hata wale watu walio uhamishoni ambao wapo katika sehemu za mbali sana" + +# chini ya mbingu + +"chini ya mbingu" au "juu ya dunia" + diff --git a/deu/30/06.md b/deu/30/06.md new file mode 100644 index 00000000..dc60dad0 --- /dev/null +++ b/deu/30/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja. + +# atatahiri moyo wako + +Hii sio kutoa kwa nyama kihalisia. Ina maana ya kuwa Mungu atatoa dhambi yao na kuwawezesha kumpenda na kumtii yeye. + +# kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote + +Hii lahaja ya "kwa moyo .... wote" ina maana ya "yote" na "yako yot ... nafsi" ina maana "na nafsi yako yote". Misemo hii miwili ina maana moja. "kwa nafsi yako yote" au "kwa nguvu zako zote" + +# kutii sauti ya Yahwe + +Hapa "sauti" ina maana ya kile Yahwe anasema. "tii kile Yahwe anasema" + +# ataweka laana hizi zote kwa maadui zako + +Musa anazungumzia laana kana kwamba walikuwa mzigo au kifuniko ambacho mtu angeweza kuweka kihalisia juu ya mtu. "atasababisha adui zako kuteseka kutokana na laana hizi" + diff --git a/deu/30/09.md b/deu/30/09.md new file mode 100644 index 00000000..d6015707 --- /dev/null +++ b/deu/30/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# kazi yote ya mkono wako + +Hapa "mkono" ina maana ya mtu mzima. "katika kazi yako yote unayofanya" + +# katika matunda ya mwili wako ... katika matunda ya mifugo yako ... katika matunda ya nchi yako + +Misemo hii mitatu ni lahaja ya "kwa watoto ... kwa ndama ... kwa mazao." + +# zilizoandikwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ambayo nimeandika" + +# kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote + +Hii lahaja ya "kwa moyo .... wote" ina maana ya "yote" na "yako yot ... nafsi" ina maana "na nafsi yako yote". Misemo hii miwili ina maana moja. "kwa nafsi yako yote" au "kwa nguvu zako zote" + diff --git a/deu/30/11.md b/deu/30/11.md new file mode 100644 index 00000000..e88f394a --- /dev/null +++ b/deu/30/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# wala haipo nje ya uwezo wako kufikia + +Musa anazungumza kuweza kuelewa amri inahitaji mtu afanye nini kana kwamba mtu huyo anaweza kufikia kitu halisia. "wala sio vigumu sana kwako kuelewa kile Yahwe anahitaji ufanye" + +# Nani atayekwenda kwa ajili yetu mbinguni na kutuletea kwetu na kutufanya tuisikie, ili tuweze kuifanya? + +Hapa Musa anatumia swali la balagha kusisitiza ya kwamba watu wa Israeli wanafikiri kuwa amri za Yahwe ni ngumu sana kwao kuzifahamu. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Mtu anaweza kusafiri kwenda mbinguni kujifunza amri za Mungu na kisha kurudi kutuambia walichokiona ili tuweze kukitii" + diff --git a/deu/30/13.md b/deu/30/13.md new file mode 100644 index 00000000..1ccae736 --- /dev/null +++ b/deu/30/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja. + +# Nani atakwenda ng’ambo ya pili ya bahari kwa ajili yetu na kutuletea kwetu na kutufanya tuisikie, ili tuweze kuifanya? + +Hili swali la balagha linaendeleza wazo ya kwamba watu wa Israeli wanafikiri amri za Yahwe ni ngumu sana kufahamu. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Mtu anatakiwa kusafiri katika bahari kujifunza amri za Mungu na kisha kurudi na kutuambia zikoje" + +# katika kinywa chako na moyo wako + +Hii ina maana watu tayari wanajua amri za Mungu na wanaweza kuzisema kwa wengine. + diff --git a/deu/30/15.md b/deu/30/15.md new file mode 100644 index 00000000..ea6f0b9d --- /dev/null +++ b/deu/30/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# nimeweka mbele yako + +Kuweka kitu pale ambapo mtu mwingine anawez kukona ni sitiari ya kumwambia mtu jambo. "nimekuambia kuhusu" + +# uzima na wema, mauti na uovu + +Unaweza kuweka wazi maana inayojitokeza. "ni nini kizuri na kitasababisha uishi, na nini ni kiovu na kitasababisha ufe" + +# na kuongezeka + +"na kuwa na vizazi vingi" + diff --git a/deu/30/17.md b/deu/30/17.md new file mode 100644 index 00000000..90560104 --- /dev/null +++ b/deu/30/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "zako" hapa ni katika umoja. + +# Lakini moyo wako ukigeuka ... badala yake unavutwa na kusujudia miungu mingine na kuwaabudu + +Hapa "moyo" una maana ya mtu mzima. Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "ukiacha kuwa mwaminifu kwa Mungu .. na watu waishio katika nchi hiyo kukushawishi kuinama chini na kuabudu miungu mingine" + +# kwako leo ya kwamba ... siku zako hazitaongezeka + +Musa anaongea na Waisraeli kama kundi. + +# siku zako hazitaongezeka + +Siku kuongezeka ni sitiari ya maisha marefu. "uweze kuishi muda mrefu" + diff --git a/deu/30/19.md b/deu/30/19.md new file mode 100644 index 00000000..c2065a98 --- /dev/null +++ b/deu/30/19.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaongea na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, isipokuwa pale inapoandikwa neno "yako" ni katika umoja. + +# Naziita mbingu na nchi kushuhudia + +Maana zaweza kuwa 1) Musa anawaita wale wanaoishi mbinguni na duniani kwa mashahidi kwa kile anachosema, au 2) Musa anazungumza kwa mbingu na dunia kana kwamba ni watu, na kuziita kama mahsahidi kwa kile anachosema. + +# kushuhudia dhidi yako + +"kuwa tayari kusema ya kwamba umefanya mambo maovu" + +# dhidi yako leo + +Musa anazungumza na Waisraeli kama kundi. + +# kutii sauti yake + +Hapa "sauti" ina maana ya kile Yahwe alischosema. "tii kile anachosema" + +# na kung’ang’ania kwake + +"na kumtegemea yey" + +# Kwa maana yeye ni uzima wako na urefu wa siku zako + +"Uzima wako" na "urefu wa siku zako" ni lugha nyingine kwa yule ambaye hutoa uhai na urefu wa siku. Unaweza kuunganisha misemo hii miwili ukihitaji. "Yahwe ni yeye pekee anayeweza kukuwezesha kuishi maisha marefu" + +# aliapa kwa mababu zako + +udondoshaji wa maneno unaweza kujazwa. "aliapa ya kwamba angewapa mababu zako" + diff --git a/deu/31/01.md b/deu/31/01.md new file mode 100644 index 00000000..482a0ce1 --- /dev/null +++ b/deu/31/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# umri wa miaka mia moja na ishirini + +"umri wa miaka 120" + +# Siwezi kutoka na kuingia tena + +Hapa upeo wa "kutoka" na "kuingia" inatumika pamoja kumaanisha ya kwamba Musa hawezi tena kufanya kile ambacho mwenye afya anaweza kufanya. "Siwezi kwenda sehemu zote unazohitaji kwenda, kwa hiyo siwezi kuwa kiongozi wenu tena" + +# Mungu wako ... mbele yako ... mbele yako ... utawanyanganya ... mbele yako + +Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" na "wako" hapa ni katika umoja. + +# utawanyanganya + +"utachukua nchi yao" + +# Yoshua atakwenda kabla yako, kama Yahwe alivyonena + +"Yoshua atawaongoza kupita mto, kama Yahwe alivyoahidi" + diff --git a/deu/31/04.md b/deu/31/04.md new file mode 100644 index 00000000..da1880b0 --- /dev/null +++ b/deu/31/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na Waisraeli. + +# alivyofanya kwa Sihoni na kwa Ogu, wafalme wa Waamori + +Hapa "Sihoni" na "Ogu" ina maana ya wafalme wawili wa Waamori na majeshi yao. "alifanya kwa Sihoni na Ogu, wafalme wa Waamori, na kwa majeshi wake" + +# Uwe hodari na mwenye ujasiri mwema + +"uwe hodari na jasiri" + +# usiogope, na usiwaogope + +"usiwaogope kabisa" + +# Yahwe Mungu wako ... pamoja nawe ... hatakuangusha wala kukuacha + +Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" na "wako" hapa ni katika umoja. + +# hatakuangusha wala kukuacha + +Hii inaweza kuwekwa kama tamshi poza na kutafsiriwa kwa chanya. "siku zote atatimiza ahadi zake kwako na atakuwa pamoja nawe siku zote" + diff --git a/deu/31/07.md b/deu/31/07.md new file mode 100644 index 00000000..48f94465 --- /dev/null +++ b/deu/31/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" na "wako" hapa ni katika umoja. + +# machoni pa Israeli yote + +Hii ina maana ya kwamba watu wote wa Israeli walikuwa pale. "katika uwepo wa Waisraeli wote" + +# Uwe hodari na mwenye ujasiri mwema + +"uwe hodari na jasiri" + +# utasababisha wairithi + +"utawasaidia kuchukua nchi" + diff --git a/deu/31/09.md b/deu/31/09.md new file mode 100644 index 00000000..9be1fb29 --- /dev/null +++ b/deu/31/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kuwapatia makuhani, wana wa Walawi + +"kuwapatia Walawi, ambao ni makuhani" + +# miaka saba + +"miaka 7" + +# wa kudumu kwa ajili ya kufuta madeni + +"kwa kufuta madeni" + +# Sikukuu ya Vibanda + +Majina mengine ya sikukuu hii ni "Sikukuu ya Tabenakulo", "Sikukuu ya Vibanda", na "Sikukuu ya Kusanyiko". Wakati wa mavuno, wakulima hutenga makazi ya muda shambani. Sikukuu hii ilifanyika baada ya mavuno ya mwisho ya mwaka. + +# Yahwe Mungu wako ... utasoma + +Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" na "wako" hapa ni katika umoja. + +# katika kusikia kwao + +"ili kwamba waweze kusikia" + diff --git a/deu/31/12.md b/deu/31/12.md new file mode 100644 index 00000000..f2e128ed --- /dev/null +++ b/deu/31/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na makuhani na wazee. + +# mgeni wako aliye miongoni mwa malango yako + +Hapa "malango ya mji" yanawakilisha wao wenyewe. Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu moja, kwa hiyo sehemu za "wao" hapa ni katika umoja. "mgeni wako anayeishi ndani ya miji yako" + +# kushika maneno yote ya sheria hii + +"kutii kwa uangalifu amri zote katika sheria hii" + diff --git a/deu/31/14.md b/deu/31/14.md new file mode 100644 index 00000000..0c708e70 --- /dev/null +++ b/deu/31/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tazama + +"Vuta nadhari kwa kile ninachotaka kukuambia" + +# nguzo ya wingu + +Hii ilikuwa wingu zito la moshi katika umbo la mnara uliosimama. + diff --git a/deu/31/16.md b/deu/31/16.md new file mode 100644 index 00000000..dec3c885 --- /dev/null +++ b/deu/31/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tazama + +"Vuta nadhari kwa kile ninachotaka kukuambia" + +# utalala na baba zako + +Hii ni njia ya upole ya kusema "utakufa". "utakufa na kujiunga na mababu zako ambao wameshakufa kabla yako" + +# watainuka na kujifanya kama kahaba + +Kuwa kahaba ni sitiari ya kuabudu miungu mingine tofauti na Yahwe. "kuanza kutokuwa mwaminifu kwangu" + diff --git a/deu/31/17.md b/deu/31/17.md new file mode 100644 index 00000000..6d53ad03 --- /dev/null +++ b/deu/31/17.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kuzungumza na Musa. + +# hasira yangu itawaka dhidi yao + +Yahwe analinganisha hasira na mtu anayewasha moto. Hii inasisitiza nguvu ya Mungu kuangamiza chochote kinachomkasirisha. Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Nitawasha hasira yangu dhidi yao" au "Nitakuwa na hasira na wao" + +# Nitaficha uso wangu kwao + +Hii ni lahaja. "Sitawasaidia" + +# watamezwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Nitawameza" au "Nitaruhusu maadui zao kuwameza" + +# watamezwa + +Hii ni sitiari ya "kuangamizwa kabisa". + +# Maafa na taabu nyingi zitawakumba + +Hii inaelezea maafa na taabu kama yalikuwa binadamu. "Watapatwa na maafa na taabu nyingi" + +# Maafa haya hayajaja kwetu ... kati yetu? + +Hii inaelezea maafa na taabu kama yalikuwa binadamu. Swali hili la balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Maafa haya yananiangamiza .. kati yetu." + +# Mungu hayupo kati yetu + +"Mungu hatulindi tena" au "Mungu ametuacha peke yetu" + diff --git a/deu/31/19.md b/deu/31/19.md new file mode 100644 index 00000000..1aadace6 --- /dev/null +++ b/deu/31/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Yahwe anaendlea kuzungumza na Musa kuhusu Waisraeli. + +# Uweke vinywani mwao + +Hii ni lahaja. "Wafanye wakariri na kuimba" + +# nchi inayotiririka kwa maziwa na asali + +Hii ni lahaja. "nchi ambayo maziwa na asali zinatiririka kwa wingi" au "nchi ambayo ni sahihi kwa mifugo na kilimo". + diff --git a/deu/31/21.md b/deu/31/21.md new file mode 100644 index 00000000..63be09c4 --- /dev/null +++ b/deu/31/21.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maovu na taabu nyingi zitakapokuja juu ya watu hawa + +Hapa maovu na taabu zinaelezwa kana kwamba ni binadamu na inweza kuwapata watu. "Watu hawa watapopitia maovu na taabu nyingi" + +# wimbo huu utashuhudia mbele yao kama shahidi + +Hii inazungumzia juu ya wimbo kana kwamba ilikuwa shahidi wa kibinadamu akishuhudia mahakamani dhidi ya Israeli. + +# hautasahaulika vinywani mwa uzao wao + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "vizazi vyake havitasahau kushika kinyani mwao" + +# hautasahaulika vinywani mwa uzao wao + +Hii inaweza kuwekwa kama chanya. "uzao wao watakumbuka kushika kinywani mwao" + +# hautasahaulika vinywani mwa uzao wao + +Lahaja ya "kusahau kutoka kinywani mwao" ina maana ya kuacha kuzungumzia juu yake. "uzao wao wataacha kuzungumzia juu yake baina yao" + +# mipango wanayotengeneza + +Kile ambacho watu hupanga kufanya inazungumziwa kana kwamba ilikuwa kitu halisia. "kile walichopanga kufanya" + +# nchi niliyowaahidi + +"nchi ambayo nilikuahidi ningewapatia wao" + diff --git a/deu/31/22.md b/deu/31/22.md new file mode 100644 index 00000000..fb702618 --- /dev/null +++ b/deu/31/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Uwe hodari na mwenye ujasiri mwema + +"Uwe hodari na jasiri" + diff --git a/deu/31/24.md b/deu/31/24.md new file mode 100644 index 00000000..527bbddc --- /dev/null +++ b/deu/31/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# ushahidi dhidi yako + +Musa anazungumza na Walawi kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" ni katika umoja. + diff --git a/deu/31/27.md b/deu/31/27.md new file mode 100644 index 00000000..6df0df8a --- /dev/null +++ b/deu/31/27.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na Walawi kuhusu watu wote wa Israeli. + +# uasi wako na shingo yako ngumu + +Musa anazungumza na Walawi kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" ni katika umoja. + +# shingo yako ngumu + +"mkaidi" + +# itakuaje baada ya kifo changu? + +Swali hili la balagha linasisitiza jinsi watu walivyokuwa waasi. Inaweza kutafsiriwa kama kauli. "utakuwa muasi zaidi baada ya kufa kwangu" + +# ili nizungumze maneno haya masikioni mwao + +Hapa "masikioni mwao" ina maana ya watu wenyewe. "ili kwamba niweze kuzungumza maneno ya wimbo huu kwao" + +# kuziita mbingu na nchi kushuhudia dhidi yao + +Maana zaweza kuwa 1) Musa anawaita wale wote wanaoishi mbinguni na duniani kushuhudia kile asemacho au 2) Musa anazungumza na mbingu na dunia kana kwamba vilikuwa binadamu, na anawaita wawe mashahidi kwa kile asemacho. Msemo kama huu unajitokeza katika 30:19 + +# mtajiharibu kabisa + +"mtafanya kile ambacho ni kibaya kabisa" + +# kugeuka kuiacha njia niliyowaamuru + +"acha kufuata maagizo niliyokupatia" + +# kwa sababu mtafanya yaliyo maovu machoni pa Yahwe + +Hapa "machoni pa Yahwe" ina maana "kwa maoni ya Yahwe" + +# kwa mikono ya kazi yenu + +Hapa "mikono yako" ina maana ya watu wenyewe. "kwa sababu ya kile ulichotengeneza" + diff --git a/deu/31/30.md b/deu/31/30.md new file mode 100644 index 00000000..2694e19d --- /dev/null +++ b/deu/31/30.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Musa alinena masikioni mwa kusanyiko lote la Israeli + +Hapa "masikio" ina maana ya mtu mzima. "Musa alinena kwa watu wote wa Israeli" + +# alinena + +Maana zaweza kuwa 1) "aliimba" au 2) "alizungumza" + +# maneno yote ya wimbo huu + +Unaweza kuweka wazi taarifa inayoeleweka. "maneno ya wimbo ambayo Yahwe alimfundisha" + diff --git a/deu/32/01.md b/deu/32/01.md new file mode 100644 index 00000000..e7190427 --- /dev/null +++ b/deu/32/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. + +# Tega sikio, enyi mbingu ... Acha dunia isikie + +Yahwe anazungumza kwa mbingu na dunia kana kwamba zinasikiliza. Maana zaweza kuwa 1) Yahwe anazungumza na wakazi wa mbinguni na duniani au 2) Yahwe anazungumza na mbingu na dunia kana kwamba ni wanadamu. + +# Acha mafundisho yangu yamwagike chini kama mvua ... kama mvua tulivu juu ya majani laini + +Hii ina maana Yahwe anataka watu kutaka kupokea fundisho lake lenye msaada. + +# udondoke + +Kujitokeza kwa umande. + +# umande + +maji yanajiunda juu ya majani na nyasi juu ya asubuhi baridi. + +# majani laini + +"mimea mipya" + +# mvua tulivu + +mvua nzito + diff --git a/deu/32/03.md b/deu/32/03.md new file mode 100644 index 00000000..ee6033bf --- /dev/null +++ b/deu/32/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. + +# nitatangaza jina la Yahwe + +Hii ni lahaja. "kusema jinsi gani Yahwe ni mwema" + +# kumpatia ukuu Mungu wetu + +"hakikisha watu wanajua ya kwamba Mungu wetu ni mkuu" + +# Mwamba + +Hii ni jina sahihi ambalo Musa anampatia Yahwe, ambaye, kama mwamba, ni mwenye nguvu na anaweza kulinda watu wake. + +# kazi yake + +"kila kitu afanyacho" + +# njia zake zote ni za haki + +"anafanya kila kitu kwa njia ya haki" + +# Yeye ni wa haki na mwadilifu + +Maneno haya mawili kimsingi yana maana moja na yanasisitiza ya kwamba Yahwe ni mwenye haki na anafanya kilicho sahihi. + diff --git a/deu/32/05.md b/deu/32/05.md new file mode 100644 index 00000000..7ad2c0e8 --- /dev/null +++ b/deu/32/05.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Musa anaendelea kutumia lugha ya kufanana kusisitiza kile anachosema. + +# Wamefanya yaliyo maovu dhidi yake + +"alimzuia kwa kufanya kilicho kiovu" Maneno ya kufanana yanajitokeza katika 4:15. + +# kizazi kiovu na kilichopindika + +Maneno "kiouvu" na "kilichopindika" kimsingi ina maana moja. Musa anazitumia kusisitiza jinsi kizazi kilivyokuwa kiovu. "kizazi kilicho kiovu kabisa" + +# Je! Unamzawadia Yahwe kwa njia hii ... watu? + +Musa anatumia swali kukaripia watu. "Unatakiwa kumpatia yahwe sifastahiki ... watu" + +# enyi watu wapumbavu na msiojitambua + +Maneno "wapumbavu" na "msiojitambua" ina maana ya kitu kimoja na inasisitiza jinsi watu walivyo wapumbavu kwa kutomtii Yahwe. "nyie watu wapumbavu kabisa" + +# baba yenu ... aliwaumba ... Aliwafanya na kuwaimarisha + +Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# Je! yeye si baba yenu, yule ambaye aliwaumba? + +Musa anatumia swali kukaripia watu. Swali hili la balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Yahwe ni baba yako na yule aliyekuomba" + diff --git a/deu/32/07.md b/deu/32/07.md new file mode 100644 index 00000000..1232e3f5 --- /dev/null +++ b/deu/32/07.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. + +# Kumbukeni ... tafakari ... baba yako ... atakuonyesha ... wazee wako ... watakuambia + +Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# Kumbukeni + +Hii ni lahaja. "Kumbuka" + +# siku zile za zamani + +"siku za zamani". Musa ana maana ya kipindi ambapo mababu wa watu wa Israeli walikuwa hai. + +# tafakari juu ya miaka mingi ya nyuma + +Haya ni marudio ya kile ambacho Musa amemaliza kusema katika sehemu iliyopita. Musa anataka watu wa Israeli kulenga historia yao kama taifa. + +# atakuonyesha + +"atafanya iwe wazi kwako" au "atakuwezesha kuelewa" + +# alipowapatia mataifa urithi wao + +Hii ni lahaja. "kuweka mataifa katika sehemu ambazo wangeishi". Maneno yanayofanana, "kuwapatia kama urithi," inajitokeza katika 4:21. + +# na kuweka mipaka ya watu, na alipoimarisha idadi ya miungu yao + +Mungu aliwapa kila kundi la watu, pamoja na miungu yao, eneo lake mwenyewe. Kwa njia hii, alipunguza ushawishi wa miungu ya kundi la watu. + diff --git a/deu/32/09.md b/deu/32/09.md new file mode 100644 index 00000000..3d564591 --- /dev/null +++ b/deu/32/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anavyozungumza kwa Waisraeli, anaongea juu yao kana kwamba walikuwa mtu mwingine na kana kwamba walikuwa mtu mmoja. + +# Kwa maana fungu la Yahwe ni watu wake; Yakobo ni mgao wa urithi wake + +Misemo hii miwili kimsingi ina maana moja na inaweza kuunganishwa. "Uzao wa Yakobo ni urithi wa Yahwe" + +# Alimpata ... alimkinga na kumtunza ... alimlinda + +"Alimpata Yakobo ... alimkinga na kumtunza ... alimlinda" Unaweza kutafsiri hii kana kwamba Musa alikuwa akizungumza kuhusu Waisraeli kama watu wengi. "Aliwapata mababu zetu ... akawakinga na kuwatunza .. akawalinda" + +# jangwa kame na livumalo upepo + +Hapa "livumalo" ina maana ya sauti ambayo upepo inafanya inapovuma katika nchi tupu. + +# alimlinda kama mboni ya jicho lake + +Hii ni lahaja. Mboni ya jicho ina maana ya sehemu ya giza ya jicho ambayo humruhusu mtu kuona. Hii ni sehemu muhimu sana ya mwili. Hii ina maana ya kwamba watu wa Israeli ni muhimu sana kwa Mungu na kitu anachokilinda. "alimlinda kama kitu chenye thamani sana. + diff --git a/deu/32/11.md b/deu/32/11.md new file mode 100644 index 00000000..09e0f7a6 --- /dev/null +++ b/deu/32/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. + +# Kama tai akichungaye kiota chake na kupiga piga mabawa juu ya makinda yake, Yahwe alitandaza mabawa yake na kuwachukua, na kuwabeba kwenye mapapatio yake + +Hii ina maana Yahwe aliwachunga na kuwalinda Waisraeli walipokuwa jangwani. + +# mapapatio + +sehemu ya nje ya ukingo wa mabawa ya ndege + +# alimuongoza ... pamoja naye + +Musa anazungumza na Waisraeli tena kama "Yakobo" (32:9). Unaweza kuhitaji kutafsiri kana kwamba Musa alikuwa akizungumza na Waisraeli kama watu wengi. "aliwaongoza .. pamoja nao" + diff --git a/deu/32/13.md b/deu/32/13.md new file mode 100644 index 00000000..4924037d --- /dev/null +++ b/deu/32/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. + +# Alimfanya aendeshe katika maeneo ya juu ya nchi + +Hii ni lahaja. Neno "alimfanya" ina maana ya watu wa Israeli. "Yahwe aliwafanya waendeshe juu sehemu za juu ya nchi" au "Yahwe aliwasaidia kuchukua na kukaa juu ya nchi" + +# Alimfanya aendeshe ... alimlisha ... alimrutubisha + +Musa anaendelea kuzungumza na Waisraeli kama "Yakobo" (32:9). Unaweza kutafsiri hiki kana kwamba Musa alikuwa akizungumzia Waisraeli kama watu wengi. "alifanya mababu zetu kuendesha ... aliwalisha .. aliwarutubisha" + +# alimlisha matunda ya mbugani + +"alimleta katika nchi ya mazao mengi awezavyo kula" + +# alimrutubisha kwa asali kutoka kwenye jiwe, na mafuta kutoka kwenye mwamba mgumu sana + +Nchi ilikuwa na nyuki pori nyingi, ambazo hutoa asali, pamoja na mzinga wa nyuki ndani ya mashimo ya mawe. Kulikuwa na miti mingi ya mizeituni, ambayo hutoa mafuta, na huota juu ya mawe, vilima na milima. + +# alimrutubisha kwa asali + +Hii ni kama mama akimpatia mchanga ziwa lake. "alimruhusu kunyonya asali" + diff --git a/deu/32/14.md b/deu/32/14.md new file mode 100644 index 00000000..ec9fcb33 --- /dev/null +++ b/deu/32/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anazungumza kwa Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# Alikula + +Musa anaendelea kuzungumza na Waisraeli kama "Yakobo" (32:9). Unaweza kutafsiri hiki kana kwamba Musa alikuwa akizungumzia Waisraeli kama watu wengi. "Mababu zetu walikula" + +# mafuta ya wanakondoo, kondoo dume wa Bashani na mbuzi + +Watu wa Israeli walikuwa na makundi mengi yenye afya ya wanyama. + diff --git a/deu/32/15.md b/deu/32/15.md new file mode 100644 index 00000000..d971375a --- /dev/null +++ b/deu/32/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. + +# Yeshuruni + +Musa anazungumzia Waisraeli kana kwamba walikuwa mnyama aliyelishwa vizuri ambaye mmiliki wake alimuita Yeshuruni. Unaweza kuongeza maandishi yanayosema, "Jina la "Yeshuruni" ina maana ya "mnyoofu". Kama lugha yako haiwezi kuzungumza juu ya Waisraeli kama Yeshuruni, unaweza kuwasema Waisraeli kama watu wengi. + +# akakua kwa unene na kupiga mateke + +Yeshuruni, mnyama aliyelishwa vizuri ambaye hupiga mateke badala ya kuwa mpole ni sitiari ya Waisraeli, ambao waliasi ingawa Mungu aliwatunza. + +# ulikua kwa unene, ulikua mnene sana, na ulikuwa umekula ujazo wako + +Musa anawakaripia Waisraeli kwa kuzungumza ndani ya wimbo kwa Yeshuruni. "ukawa mnene, ukwa mnene zaidi, na ukawa mnene kadri uwezavyo kuwa" + +# Mwamba wa wokovu wake + +Hii ina maana Yahwe ana nguvu kama mwamba na anaweza kuwalinda watu wake. + +# Mwamba + +Hii ni jina stahiki ambalo Musa anampatia Yahwe, ambaye, kama mwamba, ana nguvu na anaweza kuwalinda watu wake. + +# Walimfanya Yahwe apatwe wivu + +Waisraeli walimfanya Yahwe awe na wivu. + diff --git a/deu/32/17.md b/deu/32/17.md new file mode 100644 index 00000000..d208b416 --- /dev/null +++ b/deu/32/17.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. + +# Walitoa sadaka + +"Watu wa Israeli walitoa sadaka" + +# miungu ambayo imejitokeza hivi karibuni + +Hii ina maana Waisraeli hivi karibuni walijua kuhusu miungu hawa. + +# baba zako + +Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika wingi. + +# Umetelekeza ... baba yako ... ukasahau ... aliyekuzaa + +Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" na "wako" hapa ni katika umoja. + +# Umetelekeza Mwamba + +Hapa Yahwe anaitwa mwamba kwa sababu ana nguvu na analinda. "Umeacha matunzo ya kilinzi ya Yahwe" + +# Mwamba + +Hii ni jina stahiki ambalo Musa anampatia Yahwe, ambaye, kama mwamba, ana nguvu na anaweza kuwalinda watu wake. + +# ambao ulikuwa baba yako ... aliyekuzaa + +Hii inamlinganisha Yahwe na baba na mama. Hii ina maana ya kwamba Mungu aliwasababisha waishi kuwa taifa. "aliyekuwa baba yako ... aliyekupa uhai kwako" + diff --git a/deu/32/19.md b/deu/32/19.md new file mode 100644 index 00000000..ef9e4651 --- /dev/null +++ b/deu/32/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. + +# wana wake wa kiume na mabinti zake + +Hii ina maana ya watu wa Israeli ambaye Yahwe aliwapa uzima na kuwafanya kuwa taifa. + +# Nitaficha uso wangu kwao + +Hii ni lahaja. "Nitageuka kutoka kwao" au "Nitaacha kuwasaidia" + +# nitaona mwisho wao utakuaje + +"Nitaona nini kitatokea kwao" + diff --git a/deu/32/21.md b/deu/32/21.md new file mode 100644 index 00000000..7860206d --- /dev/null +++ b/deu/32/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anaendelea kutoa nukuu maneno ya Yahwe. + +# Wamenifanya kuwa na wivu + +Hapa "wamenifanya" ina maana ya Yahwe. + +# kile ambacho sio mungu + +"ambayo ni miungu ya uongo" + +# mambo yao yasiyo na maana + +Unaweza kuweka wazi ambayo "vitu" ni nini. "sanamu zisizo na maana" + +# wale ambao sio taifa + +"watu ambao hawapo miongoni mwa kundi moja la watu" + +# taifa pumbavu + +Maneno "wapumbavu" na "msiojitambua" ina maana ya kitu kimoja na inasisitiza jinsi watu walivyo wapumbavu kwa kutomtii Yahwe. "nyie watu wapumbavu kabisa" + diff --git a/deu/32/22.md b/deu/32/22.md new file mode 100644 index 00000000..ffc3b2e8 --- /dev/null +++ b/deu/32/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anaendelea kutoa nukuu maneno ya Yahwe. + +# Kwa maana moto kuwashwa kwa hasira yangu ... misingi ya milima + +Yahwe analinganisha hasira yake na moto. Hii inasisitiza nguvu yake ya kuangamiza kile kinachomkasirisha. + +# moto kuwashwa kwa hasira yangu na inawaka ... inameza ... inawasha + +Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Ninaanza moto kwa sababu nimekasirika, na inachoma .. inameza ... inawasha" au "napokuwa nimekasirika, ninaangamiza adui zangu kama moto, na ninaangamiza kila kitu juu ya nchi na ndani .. ninameza ... ninawasha" + +# hadi chini mwa Sheoli + +"hadi katika dunia ya wafu" + diff --git a/deu/32/23.md b/deu/32/23.md new file mode 100644 index 00000000..b8818d9d --- /dev/null +++ b/deu/32/23.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anaendelea kutoa nukuu maneno ya Yahwe. + +# Nitarundia maafa juu yao + +Yahwe anazungumzia mambo mabaya ambayo yangetokea kwa Waisraeli kana kwamba ilikuwa kitu kama uchafu ambao unaweza kurundikana juu ya Waisraeli. "Nitahakikisha ya kuwa mambo mengi mabaya yanatokea kwao" + +# nitafyatua mishale yangu yote kwao + +Hapa Yahwe analinganisha mambo mabaya ambayo atahakikisha yanatokea kwa Waisraeli kwa mtu anavyofyatua mishale kutoka kwenye upinde. "Nitafanya kila niwezalo kufanya kuwaua" + +# Watapotea kwa njaa + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. Nomino inayojitegemea ya "njaa" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi "kuwa na njaa". "Watakuwa wadhaifu na kufa kwa sababu wana njaa" + +# Wata ... njaa na kumezwa kwa joto liwakalo na uharibifu mchungu + +Labda maana ya "joto liwakalo" ni 1) Waisraeli watateseka kutokana na homa au 2) hali ya hewa itakuwa na joto ajabu wakati wa kiangazi na njaa. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Wata ... njaa, na joto liwakalo na maafa mabaya yatawameza" au "Wata ... njaa, na watakufa kutokana na joto lichomalo na maafa mabaya" + +# nitatuma kwao meno ya wanyama wa mwituni, pamoja na sumu ya vitu vitambaao mavumbini + +Meno na sumu ni lugha nyingine ya wanyama wanaotumia vitu hivi kuua. "Nitatuma wanyama pori kuwauma, na vitu vitambaacho mavumbini kuwauma na kuwatia sumu" + diff --git a/deu/32/25.md b/deu/32/25.md new file mode 100644 index 00000000..5d30fb6f --- /dev/null +++ b/deu/32/25.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anaendelea kutoa nukuu maneno ya Yahwe. + +# Nje panga litawatwaa + +Hapa "panga" inawakilisha jeshi la maadui. "Waisraeli wanapokuwa nje, jeshi la adui litawaua" + +# hofu kuu itafanya hivyo + +Yahwe anazungumzia kuwa na hofu kana kwamba ilikuwa mtu anayekuja ndani ya nyumba na kuua wale waishio ndani yake. "utakufa kwa sababu unaogopa" + +# mwanamume kijana na bikra nitawaangamiza, mchanga anyonyaye, na mwanamume mwenye mvi + +Misemo hii inayoelezea watu wa umri tofauti imeunganishwa kumaanisha ya kuwa kila aina ya watu watakufa. + +# Nilisema nita ... mbali, kwamba nita ... wanadamu + +Hii inaweza kutafsiriwa kama nukuu iliyo moja kwa moja. "Nilisema, "nita .. mbali, na nita... binadamu" + +# nitafanya kumbukumbu yao kukoma miongoni mwa wanadamu + +"Nitawafanya watu wote kusahau kuhusu wao" + diff --git a/deu/32/27.md b/deu/32/27.md new file mode 100644 index 00000000..a96712fa --- /dev/null +++ b/deu/32/27.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anaendelea kutoa nukuu maneno ya Yahwe. + +# Isingekuwa kwamba naogopa uchokozi wa adui + +"Niliogopa uchokozi wa adui" + +# uchokozi wa adui + +Nomino hii inayojitegemea inaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "ya kwamba adui angenichokoza" au "ya kwamba adui angenifanya niwe na hasira" + +# adui + +Yahwe anazungumzia kuhusu maadui wake kana kwamba walikuwa mtu mmoja. "adui wangu" au "maadui wangu" + +# wangehukumu kimakosa + +"hawakueleweka" + +# Mkono wetu umeinuliwa + +Hapa "mkono" inawakilisha nguvu na uwezo wa mtu. Kuinuliwa ni lahaja ya kumshinda adui. "Tumemshinda adui kwa sababu tuna nguvu zaidi" + diff --git a/deu/32/28.md b/deu/32/28.md new file mode 100644 index 00000000..12832a53 --- /dev/null +++ b/deu/32/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anaendelea kutoa nukuu maneno ya Yahwe. + +# Laiti wangekuwa na hekima, wangeelewa hili, na kuzingatia ujio wa hatima yao + +Musa anasema jambo ambalo anatamani lilikuwa kweli, lakini anajua ya kwamba hawana hekima na hawaelewi ya kuwa kutokutii kwao kutasababisha Yahwe kuleta maafa haya juu yao. + +# ujio wa hatima yao + +Nomino inayojitegemea ya"hatima" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "kile kinachokwenda kutokea kwao" + diff --git a/deu/32/30.md b/deu/32/30.md new file mode 100644 index 00000000..48bffc34 --- /dev/null +++ b/deu/32/30.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumzia wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anaendela kunukuu maneno ya Yahwe na kuwaambia zaidi ya yale waliyopaswa kuelewa iwapo wangekuwa na hekima (32:28). + +# Inawezekanaje mmoja kufukuza maelfu ... Yahwe hajawaachilia kwao? + +Musa anatumia swali kukaripia watu kwa kutokuwa na hekima ya kutosha kuelewa kwa nini adui zao wanawashinda. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli. + +# Inawezekanaje mmoja kufukuza maelfu, na wawili kuweka makumi elfu mbioni + +Unaweza kuweka wazi taarifa inayoeleweka. "Inawezekanaje askari adui mmoja kufukuza wanamume 1,000, na maaskari wawili adui kusababisha wanamume wako 10,000 kukimbia" + +# isipokuwa Mwamba wao hajawauza + +Neno la "Mwamba" lina maana ya Yahwe amnaye ana nguvu na anaweza kulinda watu wake. "isipokuwa Yahwe, Mwamba wao, asingewapa kwao" + +# Mwamba wao ... Mwamba wetu + +"Mwamba" ni jina stahiki ambalo Musa anamptia Yakwe, ambaye, kama mwamba, ana nguvu na anaweza kulinda watu wake. + +# mwamba wa maadui zetu si kama Mwamba wetu + +Sanamu za maadui na miungu ya uongo havina nguvu kama za Yahwe. + +# kama vile maadui zetu wanavyokiri + +"sio tu hatusemi hivyo, lakni adui wetu wanasema hivyo pia" + diff --git a/deu/32/32.md b/deu/32/32.md new file mode 100644 index 00000000..63171799 --- /dev/null +++ b/deu/32/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anaendelea kutoa nukuu maneno ya Yahwe. + +# Kwa maana mzabibu wao unatoka kwenye mzabibu wa Sodoma ... vishada vyao ni vichungu + +Musa analinganisha adui ambao huabudu miungu ya uongo na watu waovu wanaoishi Sodoma na Gomora na mzabibu ambayo huzaa matunda ya sumu. Hii ina maana adui zao ni waovu na watasababisha Waisraeli kufa kama Waisraeli wataanza kutenda kama watu wanavyoishi ambao wanawazunguka. + +# mzabibu wao unatoka kwenye mzabibu wa Sodoma, na kwenye mashamba ya Gomorra + +Mzabibu ni sitiari ya kundi la watu. Ni kana kwamba mzabibu wao ulikuwa tawi la mzabibu ambalo liliota katika shamba la Sodoma na Gomora. "wanafanya ouvu kwa njia hiyo hiyo ambayo watu walioishi Sodoma na Gomora walifanya" + +# vishada vyao + +"vishada vyao vya mizabibu" + diff --git a/deu/32/33.md b/deu/32/33.md new file mode 100644 index 00000000..3efb8944 --- /dev/null +++ b/deu/32/33.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anaendelea kutoa nukuu maneno ya Yahwe. + +# Mvinyo yao ni sumu ya nyoka na sumu katili ya nyoka + +Musa anaendelea kulinganisha adui wa watu wa Israeli kwa mizabibu ambayo kuzaa matunda ya sumu na divai. Hii ina maana adui wao ni waovu. + +# nyoka + +"nyoka" + +# Huu mpango haujafichwa kwangu kwa siri, na kufungwa kabisa katika hazina zangu? + +Swali hili linasisitiza ya kwamba mipango ya Yahwe kwa watu wa Israeli inawekwa siri kama hazina ya thamani. Swali hili la balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. Linaweza kuwekwa pia katika hali ya kutenda. "NInajua kile nilichopanga kufanya kwa watu wa Israeli na kwa adui zake, na nimefungia mipango hiyo kama mtu anavyofungia mali yake ya thamani" + diff --git a/deu/32/35.md b/deu/32/35.md new file mode 100644 index 00000000..e0093c55 --- /dev/null +++ b/deu/32/35.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Huu ni mwisho wa nukuu ya Musa ya maneno ya Yahwe ambayo inaanza katika 32:19. + +# Kisasi ni changu kutoa, na fidia + +Maneno "kisasi" na "fidia" kimsingi ina maana moja. "Nitakuwa na kisasi na kuadhibu adui wa Israeli" + +# fidia + +kuadhibu au kuzawadia mtu kwa kile alichofanya + +# mguu wao utakapotereza + +Jambo baya limefanyika kwao. "hawajiwezi" + +# siku ya maafa kwao + +"wakati wangu kuwaangamiza" + +# na vitu vitakavyokuja juu yao vitaharakisha kutendeka + +Yahwe anazungumzia kuhusu mambo mabaya yatakayotokea kwa adui zake kana kwamba mambo mabaya walikuwa watu wanaokimbia kwa shauku kuwaadhibu. "na nitawaadhibu haraka" + diff --git a/deu/32/36.md b/deu/32/36.md new file mode 100644 index 00000000..694229fb --- /dev/null +++ b/deu/32/36.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. + +# Kwa maana Yahwe atatoa haki kwa watu wake + +Nomino inayojitegemea ya "haki" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "Kwa Yahwe atatenda haki kwa watu wake" + +# atawahurumia watumishi wake + +"atahisi ya kuwa anahitaji kusaidia watumishi wake" + diff --git a/deu/32/37.md b/deu/32/37.md new file mode 100644 index 00000000..6df87943 --- /dev/null +++ b/deu/32/37.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. + +# wako wapi miungu yao, mwamba ambao wamekimbilia? + +Yahwe anakaripia watu wa Israeli kwa kutafuta ulinzi kutoka kwa miungu mingine. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Tazama, miungu ambayo Waisraeli walifikiri ingewalinda haijaja kuwaokoa" + +# miungu iliyokula sadaka zao nene na kunywa mvinyo wa sadaka zao za kinywaji? + +Hapa Yahwe anawadhihaki watu wa Israeli kwa kutoa sadaka kwa miungu mingine. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Miungu ambayo Waisraeli walitoa nyama na divai kwao hawajaja kuwasaidia" + +# Na wainuke na kukusaidia; na wawe ulinzi kwako. + +Yahwe anasema hivi kuwadhihaki Waisraeli. Anajua kuwa miungu hawa hawawezi kuwasaidia. "Sanamu hizi hata hawawezi kusimama na kuwasaidia au kuwalinda" + diff --git a/deu/32/39.md b/deu/32/39.md new file mode 100644 index 00000000..ae75509d --- /dev/null +++ b/deu/32/39.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. + +# mimi, hata mimi + +"Mimi, mimi" au "mimi mwenyewe". Yahwe anarudia "mimi" kusisitiza ya kuwa yeye pekee ndiye Mungu. + +# ninainua mikono yangu mbinguni na kusema + +"Ninainua mkono wangu mbinguni na kuapa" au "Nimetamka kiapo". Kwa kuinua juu mkono ni ishara ya kutoa kiapo. + +# Niishivyo milele + +"Niishivyo milele" au "Ninaapa kwa maisha yangu ambayo hayana mwisho". Kauli hii inawahakikishia watu ya kwamba kile asemacho Mungu katika 32:41-32-42 kitatokea. + diff --git a/deu/32/41.md b/deu/32/41.md new file mode 100644 index 00000000..e53e539b --- /dev/null +++ b/deu/32/41.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. + +# Nitakaponoa panga langu lingaaro + +Hii ina maana Mungu anaandaa kuhukumu na kuadhibu adui zake. "Ninaponoa panga langu ling'aaro" au "Nitakapokuwa tayari kuhukumu adui zangu" + +# mkono wangu utakapoanza kuleta haki + +Hapa "mkono" inawakilisha mtu mzima. "nitakapokuwa tayari kuhukumu waovu" + diff --git a/deu/32/42.md b/deu/32/42.md new file mode 100644 index 00000000..2a43f414 --- /dev/null +++ b/deu/32/42.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. + +# Nitafanya mishale yangu kulewa na damu, na panga langu litameza nyama kwa damu + +Yahwe anazungumzia mishale kana kwamba ni watu ambao angewapa kilevi na kuwafanya walewe, na kuhusu panga kana kwamba lilikuwa mtu ambaye alikuwa na njaa sana hadi aweze kula mnyama kabla ya kutoa damu nje. Sitiari hizi ni lugha nyingine kwa askari kutumia mishale na upanga kuwaua maadui wengi. Hii pia ni lugha nyingine ya Yahwe kuwaua adui zake vitani. + +# kutoka kwa vichwa vya viongozi wa adui + +Maana yaweza kuwa "kutoka kwa vichwa vyenye nywele nyingi vya maadui" + diff --git a/deu/32/43.md b/deu/32/43.md new file mode 100644 index 00000000..491198c8 --- /dev/null +++ b/deu/32/43.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Huu ni mwisho wa wimbo wa Musa. + +# Furahi, enyi mataifa + +Musa anaongea na watu wa mataifa yote kana kwamba walikuwa wakisikiliza. + +# kwa maana atalipiza kisasi damu ya watumishi wake; atalipiza kisasi juu ya maadui zake + +Hapa "damu ya watumishi wake" inawakilisha maisha ya watumishi wake wasio na hatia ambao waliuawa. "kwa maana atalipiza kisasi kwa adui zake, ambao waliwaua watumishi wake" + diff --git a/deu/32/44.md b/deu/32/44.md new file mode 100644 index 00000000..7cb6e20d --- /dev/null +++ b/deu/32/44.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kunena ...ananena + +Maana zaweza kuwa 1) "alizungumza ... kuzungumza" au 2) "aliimba ... kuimba" + +# masikioni mwa watu + +Hapa "masikio" yanawakilisha watu wenyewe na yanasisitiza ya kwamba Musa alitaka kuhakikisha walisikia wimbo vizuri. "kwa watu ili waweze kuwa na uhakika wa kuusikia" + diff --git a/deu/32/46.md b/deu/32/46.md new file mode 100644 index 00000000..44bcfcb7 --- /dev/null +++ b/deu/32/46.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Aliwaambia + +"Musa alisema kwa watu wa Israeli" + +# Imarisheni akili yenu kwa + +Hii ni lahaja. "Vuta nadhari kwa" au "Fikiri kuhusu" + +# nimewashuhudia kwenu + +Maana zaweza kuwa 1) "nimeshuhudia kwako" ikimaanisha kwa kile Yahwe alichosema atafanya kwa Waisraeli iwapo hawatatii, au 2) "Nimekuamuru" inamaana ya kile Yahwe alichowaamuru kufanya. + +# watoto wenu + +"watoto na uzao wenu" + +# hili + +"sheria hii ni" + +# jambo dogo + +Tamshi poza hizi zinaweza kuwekwa katika hali ya chanya. "jambo muhimu sana" + +# kwa sababu ni uzima wako + +"kwa sababu utaishi kama utaitii" + +# utarefusha siku zako + +Siku ndefu ni sitiari ya maisha marefu. "kuweza kuishi muda mrefu" + diff --git a/deu/32/48.md b/deu/32/48.md new file mode 100644 index 00000000..a16b9015 --- /dev/null +++ b/deu/32/48.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# milima wa Abarimu + +Hili ni jina la usawa wa mlima Moabu. + +# Abarimu, juu ya mlima wa Nebo + +"Abarimu na kupanda juu wa mlima Nebo" + +# mlima wa Nebo + +Hii ni sehemu ya juu kabisa katika milima ya Abarimu. + +# mkabala na Yeriko + +"katika upande mwingine wa mto wa Yordani" + diff --git a/deu/32/50.md b/deu/32/50.md new file mode 100644 index 00000000..2f047f74 --- /dev/null +++ b/deu/32/50.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Yahwe anamaliza kuzungumza na Musa. + +# utakusanywa kwa watu wako + +Hii ni njia ya upole ya kusema roho ya Musa itaungana na roho za ndugu zake katika ulimwengu wa wafu. "jiunge na mababu zako ambao walikufa kabla yako" + +# mlima wa Hori + +Hili ni jina la mlima katika mpaka wa Edomu. + +# Meriba + +Hili ni jina la sehemu katika jangwa ambapo Musa hakumtii Mungu. + +# jangwa la Sini + +Hili ni jina la nyika katika mpaka wa kusini wa Yuda. + diff --git a/deu/33/01.md b/deu/33/01.md new file mode 100644 index 00000000..86d12151 --- /dev/null +++ b/deu/33/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaanza kuwabariki makabila ya Israeli. Musa anazungumza baraka kwa njia ya shairi fupi. + +# Yahwe alikuja kutoka Sinai na akainuka kutoka Seiri juu yao. Alingara kutoka Mlima wa Paramu + +Musa analinganisha Yahwe na kuchomoza kwa jua. "Yahwe anapokuja Sinai, aliwatazama kama jua linavyochomoza kutoka Seiri na kung'aa kutoka mlima Parani" + +# juu yao + +"juuya watu wa Israeli" + +# elfu kumi ya watakatifu + +"malaika 10,000" + +# katika mkono wake wa kuume radi zilimulika + +Maana zingine zaweza kuwa 1) "katika mkono wake wa kuume kulikuwa miale ya moto" au 2) "Aliwapa sheria ya moto" au 3) "Alikuja kutoka kusini, chini ya miteremko ya mlima wake" + diff --git a/deu/33/03.md b/deu/33/03.md new file mode 100644 index 00000000..e578ff01 --- /dev/null +++ b/deu/33/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, ambapo alianza kufanya katika 33:1; Musa anazungumza baraka kwa njia ya shairi fupi. + +# Taarifa ya Jumla: + +Mistari hii ni migumu kuelewa. + +# watu + +"watu wa Israeli" + +# watakatifu wake wote wapo mikononi mwako ... mguuni mwako ... maneno yako + +Viwakilishi nomino "mwako" na "yako" ina maana ya Yahwe. "watakatifu wa Yahwe wote wapo mikononi mwake .. miguuni mwake ... maneno yake" + +# watakatifu wake wote wapo mikononi mwako + +Mkononi ni lugha nyingine ya nguvu na ulinzi. "unalinda watakatifu wake wote" + +# urithi + +"miliki" au "miliki ya thamani" + diff --git a/deu/33/05.md b/deu/33/05.md new file mode 100644 index 00000000..01725a8a --- /dev/null +++ b/deu/33/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, ambapo alianza kufanya katika 33:1; baraka ni shairi fupi. + +# Taarifa ya Jumla: + +Mstari wa 5 ni mgumu kuelewa. + +# pakawa na mfalme + +"Yahwe akawa mfalme" + +# Yeshurumu + +Hili ni jina lingine la Israeli. + +# Ruhusu Rubeni aishi + +Hii inaanza baraka za Musa kwa kabila binafsi za Israeli. + +# lakini wanaume wake wawe wachache + +Maana zingine zaweza kuwa 1) "na wanamume wake wawe wachache" au 2) "hata kama wanamume wake ni wachache" + diff --git a/deu/33/07.md b/deu/33/07.md new file mode 100644 index 00000000..278fd6a6 --- /dev/null +++ b/deu/33/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, ambapo alianza kufanya katika 33:1; baraka ni shairi fupi. + +# sauti ya Yuda + +Hapa "sauti ya Yuda" ina maana ya vilio na maombi ya watu wa Yuda. "watu wa Yuda watakapoomba kwako" + +# kuwa msaada + +Nomino inayojitegema "msaada" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "msaidie kupigana" + diff --git a/deu/33/08.md b/deu/33/08.md new file mode 100644 index 00000000..a37bf1fc --- /dev/null +++ b/deu/33/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, ambapo alianza kufanya katika 33:1; baraka ni shairi fupi. + +# Thumimu yako na Urimu yako + +Haya yalikuwa mawe matakatifu ambayo kuhani wakuu alibeba kifuani kwake na kutumia mara zingine kuamua mapenzi ya Mungu. Hapa "yako" ina maana ya Yahwe. + +# ya mwaminifu wako + +"mtakatifu wako" au "yule ambaye anatafuta kukufurahisha". Hii ina maana ya kabila la Lawi. + +# Masa + +Jina la "Masa" lina maana ya "kujaribu". + +# Meriba + +Jina la "Meriba" lina maana ya "bishana" au "ugomvi". + diff --git a/deu/33/09.md b/deu/33/09.md new file mode 100644 index 00000000..b21c1ff5 --- /dev/null +++ b/deu/33/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, ambapo alianza kufanya katika 33:1; baraka ni shairi fupi. Anaendelea kufafanua kabila la Lawi, ambapo alianza kufanya katika 33:8. + +# kwa maana alilinda neno lako + +Hapa "neno" lina maana ya amri za Yahwe. "kwa maana walitii amri zako" + +# alilinda ... kushika + +Maneno haya yote ina maana ya kuangalia na kulinda. Mara kwa mara zilikuwa sitiari kwa "kutii", lakini hapa zinaweza kutafsiriwa kwa sababu zinamaana ya muda ambapo Walawi waliwaua watu waliokuwa wakiasi dhidi ya Yahwe. + diff --git a/deu/33/10.md b/deu/33/10.md new file mode 100644 index 00000000..e5c982bf --- /dev/null +++ b/deu/33/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli; baraka ni shairi fupi. Anaendelea kuelezea kabila la lawi, ambapo alianza kufanya katika 33:8. + +# yako ... lako ... yako ... lako + +Musa anazungumza na Yahwe, kwa hiyo maneno haya yote ni katika umoja. + diff --git a/deu/33/11.md b/deu/33/11.md new file mode 100644 index 00000000..4f237140 --- /dev/null +++ b/deu/33/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli; baraka ni shairi fupi. Anaendelea kuelezea kabila la Lawi, ambalo alianza kufanya katika 33:8. + +# kubali + +"kufurahishwa na" au "kufurahia kupokea" + +# kazi ya mikono yake + +Hapa neno "mikono" lina maana ya mtu mzima. "kazi yote ambayo anafanya" + +# Vunja viuno vya + +Viuno vilichukuliwa kiini cha nguvu. "Kuondoa nguvu ya" au "Kuangamiza kabisa" + +# wanaoinuka ... wanaoinuka + +Msemo huu unatumika mara mbili kama sitiari. "kuinuka kupigana ... kusababisha matatizo zaidi" + +# wanaoinuka dhidi + +Hii ni lahaja. "kupigana dhidi" + diff --git a/deu/33/12.md b/deu/33/12.md new file mode 100644 index 00000000..715530f8 --- /dev/null +++ b/deu/33/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, baraka ni shairi fupi. + +# Yule anayependwa na Yahwe anaishi + +Hapa Musa anamaanisha ya washiriki wa kabila la Benyamini. Hii inaweza kuwekwa kwa hali ya kutenda. "Wale ambao Yahwe anawapenda anaishi" + +# anaishi kwa usalama + +Nomino inayojitegemea "usalama" inaweza kutafsiriwa kutumia kitenzi. "anaishi ambapo hakuna mtu wa kumdhuru" + +# huishi katikati ya mikono ya Yahwe + +Maana zaweza kuwa 1) Yahwe hulinda kabila la Benyamini kwa nguvu yake au 2) Yahwe anaishi katika eneo la mlima wa kabila la Benyamini. Katika tafsiri zote mbili, ina maana yahwe huwatunza. + diff --git a/deu/33/13.md b/deu/33/13.md new file mode 100644 index 00000000..9835f166 --- /dev/null +++ b/deu/33/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, baraka ni shairi fupi. + +# Kuhusu Yusufu + +Hii ina maana ya kabila la Efraimu na kabila la Manase. Kabila zote mbili zilitokana kwa Yusufu. + +# Nchi yake na ibarikiwe na Yahwe + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na Yahwe abariki nchi yao" + +# na vitu vya thamani vya mbinguni, na umande + +"kwa umande wa thamani kutoka mbinguni" au "kwa mvua ya thamani kutoka mbinguni" + +# umande + +maji ambayo hujiunda juu ya majani na nyasi katika asubuhi za baridi. + +# kina kilalacho chini + +Hii ina maana ya maji chini ya ardhi. + diff --git a/deu/33/14.md b/deu/33/14.md new file mode 100644 index 00000000..836b6112 --- /dev/null +++ b/deu/33/14.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli; baraka ni shairi fupi. Anaendelea kuelezea kabila la Yusufu, ambalo alianza kufanya katika 33:13. + +# Nchi yake na ibarikiwe + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Na Yahwe abariki nchi yake". + +# na vitu vya thamani mavuno ya jua + +"kwa mazao bora ambayo jua ilisababisha kuota" + +# na vitu vya thamani mazao ya miezi + +"kwa mazao bora kabisa ambayo huota mwezi hadi mwezi" + +# vitu vizuri ... vitu vya thamani + +Musa yawezekana anamaanisha mazao ya chakula. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "matunda bora kabisa ... matunda ya thamani" + +# milima ya zamani + +"milima ambayo ilikuwepo zamani" + +# milima ya milele + +"milima itakayokuwepo milele" + diff --git a/deu/33/16.md b/deu/33/16.md new file mode 100644 index 00000000..12b4ab5e --- /dev/null +++ b/deu/33/16.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli; baraka ni shairi fupi. Anaendelea kuelezea kabila la Yusufu, ambalo alianza kufanya katika 33:13. + +# Nchi yake ibarikiwe + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Na Yahwe abariki mkono wake" + +# wingi wake + +Nomino inayojitegemea "wingi" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "kile inachotoa kwa idadi kubwa" + +# yule aliyekuwa kichakani + +Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "Yahwe, ambaye alizungumza na Musa kutoka katika kichaka kiwakacho moto" + +# Baraka na ifike juu ya kichwa cha Yusufu + +Sitiari hii ni ya mtu anayeweka mkono wake juu ya kichwa cha mwana na kumuomba Mungu kumbariki mwana huyo. Mtu huyo hapa ni Yahwe. "Yahwe ambariki Yusufu kama baba anavyombariki mwanawe" + +# ifike juu ya kichwa cha Yusufu, na juu ya kichwa cha yule + +Hapa "kichwa" na "juu ya kichwa" ina maana ya mtu mzima na inalenga uzao wa Yusufu. "iwe juu ya uzao wa Yusufu" + +# juu ya kichwa + +Maana nyingine yaweza kuwa "nyusi" au "kipaji cha uso" + diff --git a/deu/33/17.md b/deu/33/17.md new file mode 100644 index 00000000..f3946ba3 --- /dev/null +++ b/deu/33/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli; baraka ni shairi fupi. Anaendelea kuelezea kabila la Yusufu, ambalo alianza kufanya katika 33:13. + +# Mzawa wa kwanza wa ng’ombe, katika utukufu wake + +Ng'ombe ni sitiari ya kitu kikubwa chenye nguvu. Neno "mzawa wa kwanza" ni sitiari ya heshima. "Watu wataheshimu uzao wa Yusufu, ambao ni wengi na wenye nguvu" + +# pembe zake ni pembe za + +Pembe ni sitiari kwa nguvu. "ana nguvu kama" + +# kwa hawa atawasukuma + +Kusukuma kwa pembe zake ni sitiari ya nguvu. "Ana nguvu kiasi kwamba atawasukuma" + +# maelfu makumi ya Efraimu ... maelfu wa Manase + +Hii ina maana ya kabila la Efraimu litakuwa lenye nguvu kuliko kabila la Manase. "watu wa Efraimu, ambao huhesabika mara nyingi kama 10,000 ... watu wa Manase, ambao huhesabika mara nyingi kuwa 1,000" + diff --git a/deu/33/18.md b/deu/33/18.md new file mode 100644 index 00000000..2c8f749e --- /dev/null +++ b/deu/33/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kubariki kila kabila la Israeli; baraka ni shairi fupi. Anazungumza na kabila za Zabuloni na Isakari kana kwamba wao ni mtu mmoja, kwa hiyo neno "kwako" na "yako" na amri "furahi" hapa ni katika umoja. + +# Furahi, Zabuloni, katika kutoka kwako, na wewe, Isakari, katika mahema yako + +Watu wa Zabuloni walikuwa karibu na bahari kuu. Walisafiri kwa bahari na kufanya biashara na watu wengine. Watu wa Isakari walipendelea kuishi kwa amnai na kulima ardhi na kufuga mifugo. Unaweza kufanya wazi taarifa inayoeleweka. + +# Huko watatoa + +"Ni huko ambako watatoa" + +# sadaka za utakatifu + +"sadaka zinazokubalika" au "sadaka zinazofaa" + +# Maana watanyonya wingi wa bahari, na mchanga wa ufukweni + +Maana zaweza kuwa 1) watafanya biashara na watu kutoka upande wa pili wa bahari au 2) walianza kutumia mchanga kutengeneza ufinyanzi" + +# Maana watanyonya wingi wa bahari + +Neno la Kiebrania linalotafsiriwa "kunyonya" hapa lina maana ya namna mtoto ananyonya katika ziwa la mama yake. Ina maana ya watu watapata utajiri kutokana na bahari kama mtoto anavyopata maziwa kutoka kwa mama yake" + diff --git a/deu/33/20.md b/deu/33/20.md new file mode 100644 index 00000000..7162dda2 --- /dev/null +++ b/deu/33/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, baraka ni shairi fupi. + +# Abarikiwe yule amkuzaye Gadi + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. Maana zaweza kuwa 1) "Yahwe ambariki Gadi na kumpatia nchi kubwa kuishi ndani mwake" au 2) "Watu wanatakiwa kusema ya kwamba Yahwe ni mwema kwa sababu amempatia Gadi nchi kubwa ya kuishi" + +# Ataishi pale kama simba jike, naye atanyakua mkono au kichwa + +Hii ina maana watu wa Gadi wana nguvu na wako salama, na watawashinda adui zao vitani" + diff --git a/deu/33/21.md b/deu/33/21.md new file mode 100644 index 00000000..83fc6973 --- /dev/null +++ b/deu/33/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli; baraka ni shairi fupi. Anaendelea kuelezea kabila la Gadi kama mtu mmoja, ambalo alianza kufanya katika 33:20. + +# fungu la kiongozi + +Hii ina maana ya kipande kikubwa cha ardhi ambacho kiongozi mara nyingi alichukua. + +# Alikuja na vichwa vya watu + +"Walikutana na viongozi wote wa Waisraeli" + +# Alitekeleza haki ya Yahwe na maagizo yake pamoja na Israeli + +"Walitii yote ambayo Yahwe aliwaamuru Waisraeli" + diff --git a/deu/33/22.md b/deu/33/22.md new file mode 100644 index 00000000..02fef56a --- /dev/null +++ b/deu/33/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, baraka ni shairi fupi. + +# Dani ni mwana wa simba arukaye kutoka Bashani + +Watu wa Dani wana nguvu kama mwana wa simba, na wanashambulia adui zao waishio Bashani. Unaweza kuweka taarifa inayoeleweka wazi. + diff --git a/deu/33/23.md b/deu/33/23.md new file mode 100644 index 00000000..c7d97c55 --- /dev/null +++ b/deu/33/23.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli; baraka ni shairi fupi. Anazungumza na uzao wa Naftali kana kwamba wao ni mtu mmoja. + +# aliyeridhika na fadhila + +Yahwe kufurahishwa na Naftali inazungumziwa kama "fadhila" ilikuwa chakula ambacho Naftali alikuwa hadi akawa hana njaa tena. "ambaye ana mambo yote mazuri anayotamani kwa sababu Yahwe amefurahishwa naye" + +# kujaa kwa baraka za Yahwe + +Baraka zinazungumziwa kana kwamba zilikuwa chakula ambacho Naftali alikula mpaka hakuhitaji tena. "ambaye Yahwe alimbariki ili kwamba akawa na kila kitu anachohitaji" + +# miliki + +Musa anazungumza kana kwamba kabila la Naftali ni mtu mmoja, kwa hiyo maneno haya ni katika umoja. + +# nchi iliyopo magharibi na kusini + +Hii ina maana ya nchi inayozunguka ziwa la Galilaya. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. + diff --git a/deu/33/24.md b/deu/33/24.md new file mode 100644 index 00000000..cda5929e --- /dev/null +++ b/deu/33/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, baraka ni shairi fupi. + +# achovye mguu wake ndani ya mafuta ya zeituni + +Mafuta ya zeituni yalitumika kwa chakula na kwa ajili ya ngozi ya usoni na mikononi. Miguu ilikuwa michafu, kwa hiyo kuweka miguu katika mafuta ya zeituni ilikuwa kuharibu mafuta ya thamani. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "kuwa na mafuta mengi ya zeituni hadi anaweza kuyapoteza" + +# Vyuma vya mji wako ... siku zako ... usalama wako + +Musa anaendelea kuzungumza na kabila la Asheri kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + +# Vyuma vya mji wako na viwe chuma na shaba + +Miji ilikuwa na vyuma vikubwa katika malango yao kuwaweka adui nje. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "Na uwe salama na mashambulizi ya adui zako" + diff --git a/deu/33/26.md b/deu/33/26.md new file mode 100644 index 00000000..46a06955 --- /dev/null +++ b/deu/33/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yeshurumu + +Hili ni jina lingine la watu wa Israeli. Ina maana ya "mwenye haki". + +# anayeendesha katika mbingu ... juu ya mawingu + +Hii ni picha ya Yahwe akiendesha juu ya mawingu katika mbingu kama mfalme juu ya kibandawazi katika kiwanja cha vita. "anaendesha katika mbingu kama mfalme anavyoendesha katika kiwanja cha vita ... juu ya mawingu kama mfalme juu ya kibandawazi chake" + +# kukusaidia + +"kukusaidia". Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja. + diff --git a/deu/33/27.md b/deu/33/27.md new file mode 100644 index 00000000..5907eb34 --- /dev/null +++ b/deu/33/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mungu wa milele ni kimbilio + +Nomino inayojitegemea ya "kimbilio" ambayo ina maana ya hifadhi au sehemu salama na hatari, inaweza kuwekwa kama kitenzi. "Mungu wa milele atalinda watu wake" + +# chini yake kuna mikono ya milele + +Maneno "mikono ya milele" ni sitiari kwa ajili ya ahadi za Yahwe kulinda watu wake milele. "atawaimarisha na kuwatunza watu wake milele" + +# Husukuma ... naye alisema + +Musa anazungumzia muda wa baadaye kana kwamba ilikuwa muda wa nyuma kusisitiza ya kwamba kile anachosema kitakuwa kweli. ""Atasukuma nje ... atasema" + +# mbele yako ... Angamiza + +Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" na amri "angamiza" hapa ni katika umoja. + +# alisema, “Angamiza!” + +Kama nukuu ya moja kwa moja haitafanya vizuri katia lugha yako, unaweza kuiweka kama nukuu isiyo moja kwa moja. "atakuambia kuwangamiza!" + diff --git a/deu/33/28.md b/deu/33/28.md new file mode 100644 index 00000000..ec6538ab --- /dev/null +++ b/deu/33/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Israeli waliishi ...Wana wa Yakobo walikuwa salama + +Maana zaweza kuwa 1) Musa anazungumzia hapo baadaye kana kwamba ilikuwa zamani kusisitiza ya kwamba alichosema kitakuwa kweli, "Israeli ataishi ... uzao wa Yakobo watakuwa salama" au 2) Musa anambariki Israeli, "Israeli aishi ... na uzao wa Yakobo uweze kuwa salama" + +# Wana wa Yakobo + +Maana zaweza kuwa 1) nyumba ya Yakobo au 2) vizazi vya Yakobo. + +# mbingu na idondoshe umande + +Umande inazungumziwa kama kuwa mwingi sana hadi kuwa kana kwamba ilikuwa ikinyesha. Maana zaweza kuwa 1) Musa anabariki Israeli, "na umande mwingi ufunike nchi kama mvua" au 2) Musa anasema kitakachotokea hapo baadaye, "umande mwingi utafunika nchi kama mvua" + +# umande + +maji ambayo hujiunda juu ya majani na nyasi katika asubuhi za baridi. + diff --git a/deu/33/29.md b/deu/33/29.md new file mode 100644 index 00000000..144a6ff2 --- /dev/null +++ b/deu/33/29.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" na "zako" hapa ni katika umoja. + +# Nani kama wewe, watu waliokombolewa na Yahwe ... utukufu? + +Swali hili la balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. Linaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Hakuna kundi la watu wengine kama wewe ... utukufu" + +# ngao ...upanga + +Lugha hii ya kujumlisha inamzungumzia Yahwe kuwatetea Waisraeli kutoka kwa adui zao na kuwawezesha kushambulia adui zao. + +# ngao ya msaada wako + +Neno "ngao" ni sitiari ya Yahwe kulinda na kuteteta Waisraeli. Nomino inayojitegemea "msaada" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "yule ambaye anakulinda na kukusaidia" + +# upanga wa utukufu wako + +Neno "upanga" ni sitiari kwa ajili ya nguvu ya kuua kwa upanga ili kushinda vita. "yule ambaye anakuwezesha kushinda vita na kuwa na utukufu" + +# utakanyanga sehemu zao zilizoinuka + +Maana zaweza kuwa 1) Waisraeli wataangamiza sehemu ambazo watu wengine wanaabudu miungu ya uongo au 2) Waisraeli watatembea juu ya migongo ya adui zao Waisraeli watakapowashinda. + diff --git a/deu/34/01.md b/deu/34/01.md new file mode 100644 index 00000000..8cb2dc91 --- /dev/null +++ b/deu/34/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mlima wa Nebo + +Hii ni sehemu ya juu ya mlima Pisga ambao upo sehemu ya magharibi ya usawa wa mlima wa Abarimu. + +# Pisga + +Hili ni jina la mlima sehemu ya magharibi wa usawa wa mlima wa Abarimu. + +# mji wa mitende + +Hili ni jina lingine la Yeriko + diff --git a/deu/34/04.md b/deu/34/04.md new file mode 100644 index 00000000..138764a1 --- /dev/null +++ b/deu/34/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Beth-peori + +Huu ulikuwa mji Moabu. + +# uitazame kwa macho yako + +"jionee mwenyewe" + +# hadi leo hii + +Hii ina maana ya muda ambao hii iliandikwa au kurekebishwa, sio kipindi cha sasa cha karne ya ishirini na moja. + diff --git a/deu/34/07.md b/deu/34/07.md new file mode 100644 index 00000000..b7ec8c56 --- /dev/null +++ b/deu/34/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# miaka mia moja na ishirini ... siku thelathini + +"miaka 120 .. siku 30" + +# macho yake hayakufifia, wala nguvu asili zake hazikupungua + +Hii ina maana macho yake na mwili ulikuwa bado na nguvu na afya njema. + diff --git a/deu/34/09.md b/deu/34/09.md new file mode 100644 index 00000000..5f775116 --- /dev/null +++ b/deu/34/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mwana wa Nuni + +Hili ni jina la baba yake Yoshua. + +# Yoshua ... alikuwa amejaa na roho ya hekima + +Mwandishi anazungumza kana kwamba Yoshua alikuwa chombo na roho ilikuwa kitu halisia ambacho kinaweza kuwekwa ndani ya chombo. "Yahwe alimwezesha Yoshua .. kuwa na hekima sana" + +# Musa alimwekea mkono juu yake + +Maana kamili ya kauli inaweza kuwekwa wazi. "Musu aliweka mikono yake juu yake kumweka Yoshua kando ili Yoshua amtumikie Yahwe" + diff --git a/deu/34/10.md b/deu/34/10.md new file mode 100644 index 00000000..1ef17d39 --- /dev/null +++ b/deu/34/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yahwe alimjua uso kwa uso + +Hii ni lahaja. Ina maana ya kwamba Yahwe na Musa walikuwa na uhusiano wa karibu sana. + +# mambo makubwa + +"ambaye alifanya mambo yote makubwa" + diff --git a/ecc/01/01.md b/ecc/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..174d59bd --- /dev/null +++ b/ecc/01/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kama mvuke wa ukungu, kama upepo mwanana katika upepo + +Hii ni misemo miwili inayomaanisha kitu kimoja na vimeunganishwa kwa ajili ya msisitizo. + +# Ni faida gani wanadamu huipata ... chini ya jua? + +"Binadamu hapati faidi ... chini ya jua." + diff --git a/ecc/01/04.md b/ecc/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..9d07afac --- /dev/null +++ b/ecc/01/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaonesha hali halisi ya mpangilio wa maisha jinsi aelewavyo.. + diff --git a/ecc/01/07.md b/ecc/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..28337a63 --- /dev/null +++ b/ecc/01/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendela na mpangilio halisi wa mtazamo. + +# Kila kitu huwa uchovu + +Kwa kuwa binadamu hawezi kueleza vitu hivi, inakuwa haina maana kujaribu. "kila kitu kinachosha" + +# Jicho halishibi na kile linachokiona + +Mtu hawezi kufikia maelezo rahisi kwa kila anachokiona. "Mtu haridhiki na kile ambacho macho yake yanaona" + +# wala sikio halishibi na kile linachosikia + +Mtu hawezi kufikia maelezo rahisi kwa kila anachosikia. "wala mtu haridhiki na kile ambacho masikio yake yanasikia"" + diff --git a/ecc/01/09.md b/ecc/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..535b34aa --- /dev/null +++ b/ecc/01/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Hakuna kitu jipya kuhusu binadamu na shughuli zake. + +# kila kilichofanyika ndicho kitakachofanyika + +"kile ambacho watu wamefanya ndicho ambacho watu watafanya siku za usoni" + +# Je kuna jambo lolote ambalo watu wanaweza kusema, 'Tazama, hili ni jipya'? + +"Hakuna kitu ambacho mtu anaweza kusema, 'Tazama, hiki ni kipya." + +# nayo hayatakumbukwa + +"watu wanaweza wasiyakumbuke pia" + diff --git a/ecc/01/12.md b/ecc/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..796d063f --- /dev/null +++ b/ecc/01/12.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Nilitia akili yangu + +"Nikusudia" au "Niliamua" + +# kusoma na kutafuta + +Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na inasisitiza alisoma kwa bidii. + +# wana wa watu + +"binadamu" + +# matendo yote ambayo yanafanyika + +"kila kitu ambacho watu hufanya" + +# mvuke + +"umande" au "pumzi." Haidumu. "cha muda" au "haina maana." Kile ambacho watu wanafanya ni kama umande kwa sababu hakidumu na hakina maana. + +# kujaribu kuuchunga upepo + +Mwalimu anasema kwamba vitu ambavyo watu hufanya ni kama kujaribu kuushika upepo au kuuzuia upepo kupuliza. + +# Palipopinda hapawezi kunyoshwa! Kisicho kuwepo hakiwezi kuhesabiwa! + +"watu hawawezi kunyosha vitu vilivyopinda! Hawawezi kuhesabu kisichokuwepo!" + diff --git a/ecc/01/16.md b/ecc/01/16.md new file mode 100644 index 00000000..5b9d65a0 --- /dev/null +++ b/ecc/01/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nimetia moyo wangu + +"Nikusudia" au "Niliamua" + +# upumbavu na ujinga + +Maneno "upumbavu" na "ujinga" yana maana ya kufanana na zinamaanisha kufikiri kwa kijinga na matendo. + +# kujaribu kuuchunga upepo + +Mwalimu anasema kwamba vitu ambavyo watu hufanya ni kama kujaribu kuushika upepo au kuuzuia upepo kupuliza. + diff --git a/ecc/02/01.md b/ecc/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..d7893a0e --- /dev/null +++ b/ecc/02/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nikasema moyoni + +"Nikajiambia" + +# nitakujaribu kwa furaha + +Hapo atakayejaribiwa inamaanisha ni yeye mwenyewe. "Nitajijaribu mwenyewe na vitu vinavyonipa furaha" + +# Kwa hiyo furahia + +"Kwa hiyo nitafurahia vitu vinavyo nipendeza" + +# Nikasema juu ya kicheko, "Ni wazimu," + +"Nikasema kuwa ni wazimu kucheka wakati mwingine" + +# Yafaa nini? + +"ni batili" + diff --git a/ecc/02/03.md b/ecc/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..b3527a20 --- /dev/null +++ b/ecc/02/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nikajipeleleza moyoni mwangu + +"Nikawaza sana kuhusu" + +# kutimiza hamu yangu kwa mvinyo + +"kutumia mvinyo kujipa furaha" + +# Nikaruhusu akili yangu iongozwe na hekima + +"Nikawaza kuhusu vitu amabvyo watu wenye hekima walinifundisha" + +# wakati wa siku za maisha yao + +"ili mradi wakiwa hai" + diff --git a/ecc/02/04.md b/ecc/02/04.md new file mode 100644 index 00000000..0397148c --- /dev/null +++ b/ecc/02/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nilijenga nyumba kwa ajili yangu na kupanda miti ya mizabibu + +Huenda mwandishi aliwaambia watu kuifanya hiyo kazi. "Niliwafanya watu wanijengee nyumba na kunipandia miti ya mizabibu" + +# bustani na viwanja + +Maneno haya mawili yana maana zikukaribiana na zinamaanisha mashamba mazuri ya miti ya matunda. + +# kumwagilia msitu + +"kutoa maji kwa ajili ya msitu" + +# msitu mahali miti ilikuwa imepandwa + +"msitu ambapo miti huota" + diff --git a/ecc/02/07.md b/ecc/02/07.md new file mode 100644 index 00000000..ae797444 --- /dev/null +++ b/ecc/02/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nilikuwa na watumwa waliozaliwa katika ikulu yangu + +"watumwa wangu walizaa watoto nao pia walikuwa watumwa wangu" + +# hazina ya wafalme na majimbo + +Hii inamaanisha dhahabu na utajiri mwingine ambao nchi jirani ulilazimishwa kulipa kwa mfalme wa Israeli. + +# kufurahia kutoka kwa wana wa wanadamu, masulia na wanawake + +"Niliwafurahia sana wake wangu wengi na masulia kama mwaname yeyote ambavyo angewafurahia" + diff --git a/ecc/02/09.md b/ecc/02/09.md new file mode 100644 index 00000000..4e468dc8 --- /dev/null +++ b/ecc/02/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# hekima yangu ilikuwa ndani yangu + +"nikaendelea kutenda matendo kwa hekima" au "nikaendelea kuwa na hekima" + +# Lolote ambalo macho yangu yalikitamani + +"Chochote nilichoona na kutamani" + +# sikuyazuia + +Hii naweza kuweka katika hali chanya. "nilijipatia" + +# Sikuuzuia moyo wangu katika furaha yeyote + +Hii naweza kuweka katika hali chanya. "Nilijiruhusu kufurahia kila kitu kilichonipa furaha" + +# moyo wangu ulifurahi + +"Nilifurahi" + diff --git a/ecc/02/11.md b/ecc/02/11.md new file mode 100644 index 00000000..b5d60b85 --- /dev/null +++ b/ecc/02/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# matendo yote ambayo mikono yangu iliyokwisha kuyatimiliza + +"yote niliyotimiza" + +# mvuke na kujaribu kuuchunga upepo + +walimu anasema kwamba vitu ambavyo watu hufanya ni kama kujaribu kuushika upepo au kuuzuia upepo kupuliza. + +# upumbavu na ujinga + +Maneno "upumbavu" na "ujinga" yana maana ya kufanana na zinamaanisha kufikiri kwa kijinga na matendo. + +# Kwa maana ni kitu gani mfalme anayekuja baada yangu afanye ... ambacho hakijafanyika? + +Mwandishi anatumia swali hili kusisitiza wazo kuwa mfalme ajaye hatawezi kufanya jambo lolote la maana zaidi la yale aliyokwisha yafanye yeye. "Kwa kuwa mfalme ajaye hawezi kufany a kitu ... ambacho tayari hakijafanyika." + +# mfalme anayekuja ... baada yangu + +"mfalme ... anayemridhi mfalme aliyepo." Hii huenda iliandikwa na mfalme aliyekowepo katika utawala, kwa hiyo "baada ya mfalme" inaweza kutafsiriwa "baada yangu" + diff --git a/ecc/02/13.md b/ecc/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..28364610 --- /dev/null +++ b/ecc/02/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# hekima ina faida kuliko upumbavu, kama nuru ilivyo bora kuliko giza + +hekima ni bora kuliko upumbavu, kama vile nuru ilivyo bora kuliko giza. + +# Mwenye hekima hutumia macho yake katika kichwa chake kuona mahali anakoenda + +"Mtu mwenye hekima ni kama mtu anayetumia macho yake kuona anapoenda" + +# hutumia macho yake katika kichwa chake + +"anaona" + +# mpumbavu hutembea katika giza + +"mpumbavu ni kama mtu anayetembea katika giza" + diff --git a/ecc/02/15.md b/ecc/02/15.md new file mode 100644 index 00000000..ffb230e9 --- /dev/null +++ b/ecc/02/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# nikasema moyoni mwangu + +"nikajiambia" + +# Hivyo kuna utofauti gani kama mimi ni mwenye hekima sana? + +Mwandishi anatumia swali kusisitiza wazo lake kuwa hakuna faida ya kuwa na hekima. "Kwa hivyo haina tofauti kama nina hekima sana." + +# Nikahitimisha moyoni mwangu + +"nikahitimisha" + +# mvuke + +"umande" au "pumzi." Haidumu. "cha muda" au "haina maana." Kile ambacho watu wanafanya ni kama umande kwa sababu hakidumu na hakina maana. + +# mwenye hekima, kama mpumbavu, hakumbukwi kwa muda mrefu + +"watu hawatamkumbuka mwenye hekima kwa muda mrefu, kama tu ambavyo hawamkumbuki mpumbavu kwa muda mrefu" + +# kila kitu kitakuwa kimesahauliwa + +"watu watakuwa wamekishwa sahau kila kitu" + diff --git a/ecc/02/17.md b/ecc/02/17.md new file mode 100644 index 00000000..275e39df --- /dev/null +++ b/ecc/02/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kazi zote zilizofanyika + +"kazi zote ambazo watu hufanya" + +# mvuke na kujaribu kuuchunga upepo + +Mwalimu anasema kwamba vitu ambavyo watu hufanya ni kama kujaribu kuushika upepo au kuuzuia upepo kupuliza. + diff --git a/ecc/02/19.md b/ecc/02/19.md new file mode 100644 index 00000000..613e0cf4 --- /dev/null +++ b/ecc/02/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Na ni nani ajuaye kama atakuwa mwenye hekima au mpumbavu? + +"Kwa kuwa hakuna ajuaye kama atakuwa mwenye hekima au mpumbavu." + +# atakuwa + +Hapa inamaanisha mtu yule atakaye rithi utajiri wa Sulemani. + +# moyo wangu ukaanza kukata tamaa + +"Nikaanza kusononeka" + diff --git a/ecc/02/21.md b/ecc/02/21.md new file mode 100644 index 00000000..31e4cee1 --- /dev/null +++ b/ecc/02/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# hatari kubwa + +"janga kubwa" + +# Kwa maana ni faida gani mtu hupata ambaye hufanya kazi kwa juhudi na kujaribu moyoni mwake kutimiza kazi zake chini ya jua? + +"Kwa kuwa mtu anayefanya kazi sana na kujaribu moyoni mwake kukamilisha kazi zake chini ya jua hafaidi kitu." + +# ambaye hufanya kazi kwa juhudi na kujaribu moyoni mwake + +Misemo hii miwili inamaana moja na inasisitiza jinsi gani mtu anavyofanya kazi kwa nguvu nyingi. + +# kujaribu moyoni mwake + +"kujaribu kwa wasiwasi" + +# maumivu na masikitiko + +Maneno haya mawili yana maana sawa na yanasisitiza jinsi gani kazi ya mtu ilivyo ngumu. + +# roho yake haipumziki + +"akili yake haipumziki" au "anaendelea kuwa na wasiwasi" + diff --git a/ecc/02/24.md b/ecc/02/24.md new file mode 100644 index 00000000..71e6fec8 --- /dev/null +++ b/ecc/02/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ukweli huu unatoka kutoka mkononi mwa Mungu + +"ukweli huu unatoka kwa Mungu" + +# Kwa kuwa ni nani anaweza kula au anaweza kupata furaha yoyote tofauti na Mungu? + +"Kwa kuwa hakuna awezaye kula au kuwa na furaha yoyote tofauti na Mungu." + diff --git a/ecc/02/26.md b/ecc/02/26.md new file mode 100644 index 00000000..6714b8dd --- /dev/null +++ b/ecc/02/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ili kwamba ampe mtu anayempendeza Mungu + +Yule amabaye "ampaye" inaweza kumaashiria ni Mungu au mtenda dhambi. Kinachopewa ni kila ambacho mwenye dhambi amekusanya na kutunza. Tafsiri ifuatayo njia moja ya kusema hivi bila kuweka wazi ni nani anayegawa vitu vilivyotunzwa. "ili kwamba yule anayempendeza Mungu awe navyo" + +# mvuke na kujaribu kuuchunga upepo + +Mwalimu anasema kwamba vitu ambavyo watu hufanya ni kama kujaribu kuushika upepo au kuuzuia upepo kupuliza. + diff --git a/ecc/03/01.md b/ecc/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..6d48cc14 --- /dev/null +++ b/ecc/03/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anahama na kuanza kueleza tofauti za maisha. + +# Kwa kuwa kila kitu na wakati wake, na majira kwa kila kusudi + +Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na imeunganishwa kuleta msisitizo. + +# kuzaliwa na ... kufa ... kuua na ... kuponya + +Hizi ni sehemu mbali mbali za maisha kama zinavyoelezwa kutoka tofauti moja kabisa hadi nyingine. + +# wakati wa kung'oa yaliyopandwa + +Maana zinazowezekana ni 1) "wakati wa kuvuna" au 2) "wakati wa kutoa magugu" au 3) "wakati wa kung'oa." + diff --git a/ecc/03/04.md b/ecc/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..08869d02 --- /dev/null +++ b/ecc/03/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendelea na tofauti za maisha. + +# kulia na ... kucheka ... kuombolezana ... kucheza + +Hizi ni sehemu mbali mbali za maisha kama zinavyoelezwa kutoka tofauti moja kabisa hadi nyingine. + diff --git a/ecc/03/06.md b/ecc/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..588a00d1 --- /dev/null +++ b/ecc/03/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendelea na tofauti za maisha. + diff --git a/ecc/03/08.md b/ecc/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..e770dfbe --- /dev/null +++ b/ecc/03/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendelea na tofauti za maisha. + +# Ni faida gani mfanyakazi aipatayo katika kazi yake? + +Hili ni swali la kumfanya mtu kufikiri ili kumelekeza msomaji katika mada yamajadiliano yafuatayo. + diff --git a/ecc/03/11.md b/ecc/03/11.md new file mode 100644 index 00000000..7e277654 --- /dev/null +++ b/ecc/03/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# ameweka umilele ndani ya mioyo yao + +Hapa "yao" inamaanisha binadamu. "ameweka umilele ndani ya mioyo ya binadamu" + diff --git a/ecc/03/12.md b/ecc/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..328dc14e --- /dev/null +++ b/ecc/03/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# anapaswa kuelewa jinsi ya kufurahia + +Mwandishi anasisitiza zoezi la mtu kufurahia kazi yake, sio ufahamu wa kiakili ya jinsi ya mtu kufurahia kazi yake. + diff --git a/ecc/03/14.md b/ecc/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..9d8acba6 --- /dev/null +++ b/ecc/03/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Chochote kilichopo kimekwisha kuwepo + +Hakuna kitu jipya kuhusu binadamu na shughuli zake. + diff --git a/ecc/03/16.md b/ecc/03/16.md new file mode 100644 index 00000000..e5fd5d9a --- /dev/null +++ b/ecc/03/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nimeona ... ubaya upo ... ina ubaya + +Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na inasisitiza jinsi gani tabia ya uovu ni kawaida. + +# ubaya upo + +"kawaida watu wanapata ubaya" + +# Nikasema moyoni mwangu + +"Nikajiambia" + +# kila jambo na kila tendo + +Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na zinaashiria kila tendo wafanyao binadamu. + diff --git a/ecc/03/19.md b/ecc/03/19.md new file mode 100644 index 00000000..83030706 --- /dev/null +++ b/ecc/03/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hakuna faida kwa mwanadamu zaidi ya wanyama + +"Binadamu hayuko bora zaidi ya wanyama" + +# kuwa hakuna kila kitu isipokuwa pumzi? + +"Kila kitu ni pumzi tu" + diff --git a/ecc/03/21.md b/ecc/03/21.md new file mode 100644 index 00000000..a48907c4 --- /dev/null +++ b/ecc/03/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni nani ajuaye kama roho ... chini ya nchi? + +Mwandishi anadai kuwa wanyama wana roho. "Hakuna ajuaye kama roho ... chini ya nchi." + +# hakuna lililo jema kwa yeyote zaidi ya + +Mwandishi anasisitiza zoezi la mtu kufurahia kazi yake, sio ufahamu wa kiakili ya jinsi ya mtu kufurahia kazi yake. + +# Ni nani awezaye kumleta ... baada yake? + +Hakuna yeyote aliyewahi kumfufua mtu au mnyama kutoka wafu. "Hakuna awezaye kumleta ... baada yake." + diff --git a/ecc/04/01.md b/ecc/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..a455363a --- /dev/null +++ b/ecc/04/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nguvu iko katika mikononi mwa watesaji + +"Watesi wao wana mamlaka makubwa" + +# lakini wateswaji hawana mfariji + +Hakuna mwenye mamlaka anayewatetea wanao teswa" + diff --git a/ecc/04/02.md b/ecc/04/02.md new file mode 100644 index 00000000..e5b9423c --- /dev/null +++ b/ecc/04/02.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# bahati zaidi kuliko wote wawili ni yule ambaye hajaishi + +"yule ambaye bado hajazaliwa ni bora zaidi yao" + diff --git a/ecc/04/04.md b/ecc/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..1538f261 --- /dev/null +++ b/ecc/04/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wivu wa jirani ya mtu + +Maana zinazowezekana ni 1) Jirani ana wivu na kitu alichounda jirani yake au 2) jirani ana wivu na ufundi alionao jirani yake. + +# mvuke na kujaribu kuchunga upepo + +Hakuna awezaye kuchunga upepo kama vile wanyama. Mwalimu anasema kwamba vitu ambavyo watu hufanya ni kama kujaribu kuushika upepo au kuuzuia upepo kupuliza. + diff --git a/ecc/04/05.md b/ecc/04/05.md new file mode 100644 index 00000000..d0f2c8bf --- /dev/null +++ b/ecc/04/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hukunja mikono yake na hafanyi kazi + +kukunja mikono ni ishara ya uvivu na ni njia nyingine ya kusema kuwa mtu amekataa kufanya kazi. + +# hivyo chakula chake in mwili wake + +"matokeo yake ni kusababisha uharibifu wake mwenyewe." + +# kazi ambayo hujaribu kuuchunga upepo + +Sio kila kiza ina faida. Kazi zingine hazina faida kama kuchunga upepo. + diff --git a/ecc/04/07.md b/ecc/04/07.md new file mode 100644 index 00000000..a894439b --- /dev/null +++ b/ecc/04/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hana mwana, wala ndugu + +Mtu huyu hana familia. + +# macho yake hayatosheki + +"haridhiki" + +# Ninajisumbua na kuharibu furaha yangu kwa ajili ya nani? + +"Kuna mtu atakaye faidi kutokana na mimi kufanya kazi kwa bidii na kutofurahi?" au "Kazi yangu hamfaidishi yeyote na sina furaha" + diff --git a/ecc/04/09.md b/ecc/04/09.md new file mode 100644 index 00000000..b3a980ed --- /dev/null +++ b/ecc/04/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kama wawili wakilala pamoja, wanaweza kupata joto + +Mwandishi anazungumzia watu wawili kupatiana joto kwenye usiku wa baridi. + +# mtu mmoja anawezaje kupata joto akiwa mwenyewe? + +"mtu hawezi kuwa na joto akiwa mwenyewe." + diff --git a/ecc/04/12.md b/ecc/04/12.md new file mode 100644 index 00000000..73fcbeb0 --- /dev/null +++ b/ecc/04/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kusimama katika shambulio + +"kujilinda dhidi ya mashambulio" + +# na kamba ya nyuzi tatu haikatika upesi + +kamba yenye meno haikatika kwa wepesi** "watu hawawezi kukata kwa wepesi kamba ya meno matatu" + diff --git a/ecc/04/13.md b/ecc/04/13.md new file mode 100644 index 00000000..a4055531 --- /dev/null +++ b/ecc/04/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# alizaliwa masikini katika ufalme wake + +"alizaliwa kwa wazazi masikini walioishi katika nchi ambayo siku moja atatawala" + diff --git a/ecc/04/15.md b/ecc/04/15.md new file mode 100644 index 00000000..f44e1ecd --- /dev/null +++ b/ecc/04/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Badala ya kuchagua vijana wenye hekima, watu wanamchagua mwana wa mfalme ambaye anaweza asiwe na hekima zaidi. + +# hai na kuzunguka + +Maneno "hai" na "kuzunguka" yanamaanisha kitu kimoja na yamewekwa pamoja kwa ajili ya msisitizo. + +# Hakuna mwisho kwa watu wote + +"Kuna watu wengi sana" + +# mvuke na kujaribu kuuchunga upepo + +Mwalimu anasema kwamba vitu ambavyo watu hufanya ni kama kujaribu kuushika upepo au kuuzuia upepo kupuliza. + diff --git a/ecc/05/01.md b/ecc/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..9c43649a --- /dev/null +++ b/ecc/05/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nenda kule usikilize + +Ni muhimu zaidi kwenda hekaluni kusikiliza na na kujifunza sheria ya Mungu ili kumtii Mungu kuliko kutoa sadaka lakini kuendelea kutenda dhambi dhidi ya Mungu. + diff --git a/ecc/05/02.md b/ecc/05/02.md new file mode 100644 index 00000000..b88456e7 --- /dev/null +++ b/ecc/05/02.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kuongea kwa mdomo wako + +Kuweka ahadi au kiapo kwa Mungu. + +# Usiwe mwepesi sana ... usiufanye moyo wako uwe mwepesi sana + +Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja. + +# maneno yako yawe machache + +"usiseme sana" + diff --git a/ecc/05/04.md b/ecc/05/04.md new file mode 100644 index 00000000..e632c467 --- /dev/null +++ b/ecc/05/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwa kuwa Mungu hafurahii wapumbavu + +Tabia moja ya mpumbavu nikuweka ahadi au viapo ambazo hawana mpango wakutimiza. + diff --git a/ecc/05/06.md b/ecc/05/06.md new file mode 100644 index 00000000..39a688df --- /dev/null +++ b/ecc/05/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Usiuruhusu mdomo wako kusababisha mwili wako kutenda dhambi + +"Usiruhusu kile unenacho kikusababishe utende dhambi" + +# kwa nini kumfanya Mungu ...mikono + +"Itakuwa upumbavu kumfanya Mungu akasirike ... mikono + +# aharibu kazi ya mikono yako + +"aharibu kila kitu ufanyacho" + +# Kwa kuwa katika ndoto nyingi, kama ilivyo katika maneno mengi, kuna mvuke ubatili + +"Kuzidisha maneno haiipi umbo, kama vile kuwa na ndoto nyingi haizifanyi kuwa kweli zaidi." + diff --git a/ecc/05/08.md b/ecc/05/08.md new file mode 100644 index 00000000..fed39586 --- /dev/null +++ b/ecc/05/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# masikini akiteswa na kunyang'anywa + +"watu kuwatesa watu masikini na kuwaibia" + +# haki na kutendewa vibaya + +Hii inamaanisha aina ya matendo ambayo watu wanastahili. "kutendwa sawa." + +# usishangae + +"usishtuke" + +# kuna watu katika mamlaka + +"kuna watu wenye mamlaka" + +# hata walio juu yao + +Kuna wanaume wengine wana utawala juu ya wanaume walio kwenye madaraka. "wanaume walio na mamlaka zaidi yao" + +# uzalishaji wa ardhi + +"chakula ambacho ardhi inazalisha" + diff --git a/ecc/05/10.md b/ecc/05/10.md new file mode 100644 index 00000000..db632447 --- /dev/null +++ b/ecc/05/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Huu pia ni mvuke + +Kama vile mvuke hauna umbo, vivyo hivo hakuna kuridhika katika kutamani pesa. + +# Kadri mafanikio yanapoongezeka + +"Kadri mtu anavyofanikiwa" + +# ndivyo wanavyoongezeka watu wanaotumia + +Maana zinazowezekana ni 1) "ndivyo mtu anavyotumia pesa zaidi" au 2) "ndivyo pia watukuwepo watu zaidi wakutumia utajiri wake." + +# Kuna faida gani katika utajiri kwa mmiliki isipokuwa kuutazama kwa macho yake? + +"Faida pekee ambayo mmiliki alionao kutokana na utajiri wake ni kwamba anaweza kuutazama tu" + diff --git a/ecc/05/12.md b/ecc/05/12.md new file mode 100644 index 00000000..c71ead32 --- /dev/null +++ b/ecc/05/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Usingizi wa mfanyakazi ni mtamu + +mtu ambaye anafanya kazi nzuri au ya ukweli anaweza kuridhika akijua alifanya kazi nzuri bila kujali malipo. + +# kama anakula kidogo au sana + +"kama anakula chakula kidogo au chakula kingi" + +# haumuruhusu yeye kulala vizuri + +mtu tajiri haridhiki na utajiri wake. Anabaki macho usiku akiwaza pesa zake. "humweka macho usiku" + diff --git a/ecc/05/13.md b/ecc/05/13.md new file mode 100644 index 00000000..f0f390c9 --- /dev/null +++ b/ecc/05/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mali iliyowekwa akiba na mwenye nayo + +"mwenye mali anatunza utajiri" + +# kwa bahati mbaya + +Maana zinazowezekana ni 1) "kupitia bahati mbaya" au 2) "kwa makubaliano mabovu ya kibiashara." + +# mwana wake ... habakiziwi chochote mikononi mwake + +Hapa usemi "mikononi mwake" inamaanisha umiliki. "haachi mali kwa ajili ya mwana wake" + diff --git a/ecc/05/15.md b/ecc/05/15.md new file mode 100644 index 00000000..ee1bf389 --- /dev/null +++ b/ecc/05/15.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# mtu azaliwavyo uchi ... ataondoka katika maisha haya akiwa uchi + +Kwa kuongezea na kutokua na nguo, neno"uchi" hapa linasisitiza kuwa watu wanazaliwa bila kitu chochote. "mtu yu uchi na hamiliki kitu anapozaliwa ...ataondoka maisha haya kwa njia vivyo hivyo. + +# ataondoka katika maisha haya + +"atakufa" + +# Hachukui chochote + +"hachukui chochote mkononi mwake" + +# kama mtu alivyo kuja ni lazima aende vivyo hivyo + +Hii inamaanisha kuzaliwa na kufa kwa mtu na inaashiria wazo sawa na mstari uliopita. + +# Hivyo ni faida gani mtu yeyote aipatayo katika kufanya kwa ajili ya upepo? + +Mwandishi anatumia swali hili kusisitiza wazo lake kuwa hakuna faida kufanya kazi kwa ajili ya upepo. "Hakuna anayepata faida yoyote kwa kufanyia kazi upepo." + +# kufanya kwa ajili ya upepo + +Maana zinazowezekana ni 1) "kujaribu kuushika upepo" au 2) "kufanyia kazi pumzi apumuayo" + +# Wakati wa siku zake anakula gizani + +Hapa neno "giza" linamaanisha hali ya huzuni. Maana zinazowezekana ni 1) "Wakati wa maisha yake anakula kwa kuomboleza" au 2) "Maisha yake anaishi kwa kuomboleza" + +# na anafedheheshwa sana na magonjwa na hasira + +"na kuteseka sana, kwa kuugua na hasira" + diff --git a/ecc/05/18.md b/ecc/05/18.md new file mode 100644 index 00000000..bbe46d35 --- /dev/null +++ b/ecc/05/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Tazama + +"kuwa makini" au "sikiliza" + +# kile nilichokiona kuwa kizuri kufaaa + +Hapa maneno "kizuri" na "kufaa" zinamaana moja. Ya pili inakazia maana ya ile ya kwanza. "kile nilichokiona kuwa bora zaidi kufanya." + +# wakati wa siku za maisha haya ambayo Mungu ametupa + +"kadri Mungu atakavyo turuhusu kuishi" + +# wajibu wa mtu + +Maana zinazowezekana ni 1) "dhawabu ya mtu" au 2) "fungu la mtu maishani" + diff --git a/ecc/05/19.md b/ecc/05/19.md new file mode 100644 index 00000000..fe791e8b --- /dev/null +++ b/ecc/05/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mali na utajiri + +Maneno haya mawili yana maana moja. Yanamaanisha pesa na vitu ambavyo anaweza kununua kwa pesa. + +# kupokea sehemu yake na kufurahi katika kazi yake + +Hii inaonesha uwezo wa kuridhika na mtu kufurahia kazi yake. + +# hakumbuki + +Ambaye hakumbuki ni mtu ambaye Mungu amempa zawadi. + +# siku za maisha yake + +"vitu vilivyotokea wakati wa maisha yake. + +# kuhangaika + +"kushughulika" + diff --git a/ecc/06/01.md b/ecc/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..d9a4214d --- /dev/null +++ b/ecc/06/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ni mbaya kwa watu + +"inasababisha ugumu kwa watu" + +# mali na utajiri + +Maneno haya mawili yana maana moja. Yanamaanisha pesa na vitu ambavyo anaweza kununua kwa pesa. + +# hakosi chochote + +"ana kila kitu" + +# Mungu ... hampi uwezo wa kukifurahia + +Kukusanya utajiri na mali na kushindwa kuufaidi ni bure. + +# Huu ni mvuke, teso baya + +Mtu kutoweza kufaidi mali yake ni teso baya au laana. + diff --git a/ecc/06/03.md b/ecc/06/03.md new file mode 100644 index 00000000..b4406543 --- /dev/null +++ b/ecc/06/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# akizaa watoto mia moja + +"akizaa watoto 100" + +# kuishi miaka mingi, ili kwamba siku za miaka yake ni nyingi + +Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na imeunganishwa kuleta msisitizo. + +# moyo wake hautosheki kwa mema + +"haridhika na vitu vizuri" + +# hazikwi kwa heshima + +Maana zinazowezekana ni 1)"hakuna atakayemzika" au 2) "hakuna atakayemzika vizuri" + +# Hata mtoto huyo amezaliwa bila faida + +"mtoto wa hivyo amezaliwa bure" + +# anapita katika giza + +Hapa neno "giza" linaweza kumaanisha kati ya dunia ya wafu au kitu ambacho ni kigumu kuelewa. "anakufa bila kuelewa" + +# jina lake linabaki limefichika + +"hakuna ajuaye jina lake" + diff --git a/ecc/06/05.md b/ecc/06/05.md new file mode 100644 index 00000000..7461b75e --- /dev/null +++ b/ecc/06/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ana pumziko ingawa mtu huyo hakupumzika + +Mtoto ambaye hakuzaliwa hapitia taabu, anabaki katika mapumziko. wakati mtu aliyeishi miaka mingi bila kuridhika anakosa pumziko. + +# Hata kama mtu akiishi miaka elfu mbili + +Hii ni kukuza neno kuonesha kuwa haijalishi ni muda gani mtu ataishi kama hatafurahia vitu vizuri maishani. + +# miaka elfu mbili + +"miaka 2000" + +# lakini hajifunzi kufurahia vitu vizuri + +Hili ndilo lengo, kuwa mtu anapaswa kufaidi vitu vizuri kutoka katika maisha. + diff --git a/ecc/06/07.md b/ecc/06/07.md new file mode 100644 index 00000000..4dc91d91 --- /dev/null +++ b/ecc/06/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kujaza mdomo wake + +"kuweka chakula mdomoni mwake" au "kula" + +# hamu yake haishibi + +"haridhishi hamu yake" + +# ni faida gani aliyo nayo mwenye hekima kuliko mpumbavu? + +Hekima ya mtu mwenye hekima haimfanyi kuwa na starahe za ziada. "mtu mwenye hekima hada nafuu juu ya mpumbavu." + +# Ni faida gani aliyo nayo masikini hata kama anajua jinsi ya kutenda mbele ya watu? + +"Mtu masikini hana nafuu hata kama anajua kutenda mbele ya watu wengine." + diff --git a/ecc/06/09.md b/ecc/06/09.md new file mode 100644 index 00000000..5eed6b56 --- /dev/null +++ b/ecc/06/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kile ambacho macho hukiona + +Mtu anaweza kuona vitu kwa sababu tayari anavyo. "kile ambacho mtu anacho" + +# kutamani kile ambacho hamu isiyo tulia inatamani + +Hii inamaanisha vitu ambavyo mtu anatamani ila hana. "kutamani kile ambacho hana" + +# mvuke na kujaribu kuuchunga upepo + +Mwalimu anasema kwamba vitu ambavyo watu hufanya ni kama kujaribu kuushika upepo au kuuzuia upepo kupuliza. + +# Chochote ambacho kimekuwepo + +"Watu tayari wameshavipatia majina vitu vilivyopo" + +# vile mtu alivyo ni kama tayari amekwisha fahamika + +"watu tayari wanajua vile binadamu alivyo" + diff --git a/ecc/07/01.md b/ecc/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..78a4f990 --- /dev/null +++ b/ecc/07/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Jina zuri + +"Sifa nzuri" + +# watu wanaoishi ni lazima waweke hili moyoni + +Wanahitaji kuzingatia ni aina gani ya jina au sifa waliyonayo na watakayoacha wakifa. "wale walio hai wanapaswa kufikiri kwa makini kuhusu hili." + diff --git a/ecc/07/03.md b/ecc/07/03.md new file mode 100644 index 00000000..e452e4ee --- /dev/null +++ b/ecc/07/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# uso wa huzuni + +Hii inamaanisha kuwa na huzuni. "tukio linalomfanya mtu kuwa na huzuni" + +# furaha ya moyo + +Hapa neno "moyo" linamaanisha mawazo na hisia ya mtu. Furaha inafafanua hali ya hisia ya kuwa mwenye furaha na amani . "kufikiri sawa" + +# Moyo wa mwenye hekima uko katika nyumba ya maombolezo + +"Watu wenye hekima huwaza kwa makini kuhusu kifo" + +# lakini moyo wa wapumbavu uko katika nyumba ya karamu + +"lakini mpumbavu anawazu tu jinsi ya kufurahi" + +# nyumba ya maombolezo ... nyumba ya karamu + +Misemo hii inamaanisha nini kinatokea katika sehemu hizi. + diff --git a/ecc/07/05.md b/ecc/07/05.md new file mode 100644 index 00000000..a315d061 --- /dev/null +++ b/ecc/07/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# maonyo ya mtu mwenye hekima + +"watu wenye hekima wakikuonya" + +# kusikiliza wimbo wa wapumbavu + +"kusikiliza wapumbavu wakiimba" + +# kama mlio wa miiba chini ya chungu, ndivyo kilivyo kicheko cha wapumbavu + +"kicheko cha wapumbavu" kinalinganishwa na kuchomwa kwa miba ambayo ina kelele ila inateketea upesi. + diff --git a/ecc/07/07.md b/ecc/07/07.md new file mode 100644 index 00000000..517f3cae --- /dev/null +++ b/ecc/07/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kuchukua kwa nguvu (jeuri) + +Hii ina maanisha kumlazimisha mtu kumpa pesa au vitu vingine vya dhamani mtu mwingine ili asimdhuru. Hii inadhaniwa kuwa kosa. + +# humfanya mtu mwenye hekima kuwa mpumbavu + +Maana zinazowezekana ni 1) "humgeuza mtu mwenye hekima kuwa mpumbavu" au 2) "hufanya ushauri wa mwenye hekima kuonekana kama ushauri wa kipumbavu." + +# huharibu moyo + +Hapa neno "moyo" inamaanisha akili. "huharibu uwezo wa mtu kuwaza na kuamua vizuri" + diff --git a/ecc/07/08.md b/ecc/07/08.md new file mode 100644 index 00000000..502100f2 --- /dev/null +++ b/ecc/07/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# watu wenye uvumilivu ni bora kuliko wenye majivuno rohoni + +Hapo neno "rohoni" inamaanisha mwenedao wa mtu. "watu wenye subira ni bora kuliko watu wenye majivuno" au "tabia ya uvumilivu ni bora kuliko tabia ya majivuno" + +# Usikasirike haraka rohoni mwako + +"Usiwe mwepesi wa hasira" au "Usiwe na hasira kali" + +# hasira hukaa katika mioyo ya wapumbavu + +Hasira inalinganishwa na kitu kinachoishi ndani ya wapumbavu. "watu wapumbavu wamejaa hasira" + diff --git a/ecc/07/10.md b/ecc/07/10.md new file mode 100644 index 00000000..7f460f0a --- /dev/null +++ b/ecc/07/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini siku za zamani zilikuwa bora kuliko siku hizi? + +Mtu anauliza swali hili ili kulalamika kuhusu wakati wa sasa. "Vitu vilikuwa nafuu zamani kuliko sasa" + +# sio kwa sababu ya hekima kwamba unauliza swali hili + +Mtu anayesema maneno haya halinganishi wakati wa sasa na wa zamani kwa mantiki, lakini kulingana na uelewa wake. "ungekuwa na hekima usingeuliza swali hili" au "kuuliza swali hili inaonesha kuwa hauna hekima" + diff --git a/ecc/07/11.md b/ecc/07/11.md new file mode 100644 index 00000000..3b5c078a --- /dev/null +++ b/ecc/07/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wale wanaoliona jua + +"wale walio hai" + +# faida ya maarifa ni kwamba hekima humpa uhai + +Maana zinazowezekana ni 1) mwandishi anatumia maneno "maarifa" na "hekima" kumaanisha kitu kimoja, au 2) "faida ya kujua hekima ni kwamba inakupa uhai." + +# humpa uhai kwa yeyote aliye nayo + +Inayompa uhai ni hekima. Maarifa na hekima "humpa uhai" kwa njia tofauti. Kuchagua uwekezaji mwema, kuwa na marafiki wazuri, kuchagua hali nzuri ya kuishi kiafya, kuishi kwa amani na wengine ni baadhi ya njia amabvyo hekima "humpa uhai." + diff --git a/ecc/07/13.md b/ecc/07/13.md new file mode 100644 index 00000000..2113517f --- /dev/null +++ b/ecc/07/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani awezaye kuimarisha chochote alichokipindisha? + +"Hakuna awezaye kunyoosha kitu alichokikunja." + diff --git a/ecc/07/14.md b/ecc/07/14.md new file mode 100644 index 00000000..b8c129c1 --- /dev/null +++ b/ecc/07/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wakati nyakati ni njema ... wakati nyakati ni mbaya + +"Vitu vizuri vinapotokea ... vitu vibaya vinapotokea" + +# ishi kwa furaha katika hali hiyo + +"uwe na furaha kuhusu vitu hivyo vizuri" + +# zote ziwepo pamoja + +"zote ziwepo kwa wakati mmoja" + +# chochote kinacho kuja baada yake + +Maana zinazowezekana ni 1) "chochote kitakachotokea siku za usoni" au 2) "chochote kitakachotokea duniani baada ya yeye kufa" au 3) "chochote kitakachotokea kwake baada ya kufa." + diff --git a/ecc/07/15.md b/ecc/07/15.md new file mode 100644 index 00000000..1856c129 --- /dev/null +++ b/ecc/07/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# licha ya kwamba wana haki + +"hata kama wana haki" + +# mwenye haki katika macho yako mwenyewe + +mwenye haki, hekima machoni mwako mwenyewe** -Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na imeunganishwa kuleta msisitizo. + +# Usiwe mwenye haki + +haki** - "Usidhani una haki zaidi ya ambavyo ulivyo" + +# hekima machoni mwako + +"mwenye hekima kwa mawazo yako" + +# Kwa nini kujiharibu mwenyewe? + +Mwandishi anatumia swali kusisitiza kwamba kujiona una haki ni kujiangamiza. "Hakuna sababu ya kujiangamiza." + diff --git a/ecc/07/17.md b/ecc/07/17.md new file mode 100644 index 00000000..17e262f7 --- /dev/null +++ b/ecc/07/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa nini ufe kabla ya wakati wako? + +"Hakuna sababu ya wewe kufa kabla ya unavyotakiwa" + +# ushike hekima hii + +"jikabidi kwa hekima" + +# usiache haki iende zake + +"usiache kujaribu kuwa mwenye haki" au "unapaswa kuendelea kujaribu kuwa mwenye haki" + +# atatimiza ahadi zake zote + +"atafanya kila kitu ambacho Mungu anatarajia kwake" + diff --git a/ecc/07/19.md b/ecc/07/19.md new file mode 100644 index 00000000..5ef4a892 --- /dev/null +++ b/ecc/07/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# zaidi ya watawala kumi katika mji + +Hekima inalinganishwa na watawala wengi wa miji. Hekima inaweza kumfanya mtu kuwa wa muhimu zaidi kuliko watawala wa miji. + +# anayefanya mema na hatendi dhambi + +"anayefanya matendo mazuri na hatendi dhambi" + diff --git a/ecc/07/21.md b/ecc/07/21.md new file mode 100644 index 00000000..77638a9e --- /dev/null +++ b/ecc/07/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kila neno linaongelewa + +"kila kitu wanachosema watu" + +# unafahamu mwenyewe + +"wewe mwenyewe unafahamu." Hapa "mwenywe" inatumika kusisitiza "unafahamu." + +# ndani ya moyo wako + +"katika mawazo yako" + diff --git a/ecc/07/23.md b/ecc/07/23.md new file mode 100644 index 00000000..be2f09d9 --- /dev/null +++ b/ecc/07/23.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Haya yote nimeyathibitisha + +"Hivi vyote amabvyo nimekwisha andaki nimevithibitisha" + +# ilikuwa zaidi ambavyo ningekuwa + +"ilikuwa zaidi ya uwezo wangu kuelewa" + +# mbali na kina sana + +Hekima ilikuwa ngumu kushika. Wakati ulipokuwepo uelewa, ulikuwa mdogo. Ilihitaji utambuzi wa kina zaidi ya vile ambavyo mwandishi aliweza kupata. "ngumu kuelewa" + +# Ni nani awezaye kuipata? + +Mwandishi anatumia swali hili kusisitiza ugumu wa kuelewa hekima. "Hakuna awezaye kuelewa." + +# Nikageuza moyo wangu + +Hapa neno "moyo" inamaanisha akili. "Nikageuza mawazo yangu" au "nikakusudi" + diff --git a/ecc/07/26.md b/ecc/07/26.md new file mode 100644 index 00000000..ec7d4cc5 --- /dev/null +++ b/ecc/07/26.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mwanamke yeyote ambaye moyo wake umejaa mitego na nyavu, na ambaye mikono yake ni minyororo + +Mwandishi anasema mwanamke mshawishi ni kama mitego ambayo mwindaji anatumia kushika wanyama. + +# ambaye moyo wake umejaa mitego na nyavu + +Hapa neno "moyo" linamaanisha mawazo na hisia. Huyu ni mwanamke ambaye anajali ya kwake tu. "anayetaka kumtega mtu" + +# mitego na nyavu + +Maneno haya mawili yote yanaonesha njia ambazo watu wanatega wanyama. Anaendelea kufikiria njia za kuwatega wanaume ili wampe vitu. + +# mikono yake ni minyororo + +Hapa neno "mikono" inamaanisha nguvu au mamlaka ya kuongoza. "ambaye hakuna awazaye kutoroka" + +# mwenye dhambi atachukuliwa naye + +"atamkamata mwenye dhambi" + diff --git a/ecc/07/27.md b/ecc/07/27.md new file mode 100644 index 00000000..b743d6d4 --- /dev/null +++ b/ecc/07/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nikiongeza uvumbuzi mmoja hadi mwingine + +"kugundua kitu kimoja baada ya kingine" + +# ili kwamba nipate ufafanuzi wa ukweli + +"ili niweza kufafanua maisha" + +# mwanamme mmoja mwenye haki miongoni mwa elfu + +Mwanamme mmoja tu mwenye haki aliweza kupatikana kati ya wanaume 1,000. "1 mwenye haki kati ya wanaume 1,000" + +# mwanamke miongoni mwa wale wote + +Hakuwepo mwanamke yeyote mwenye haki aliyepatikana katika kundi la wanawake 1,000. + diff --git a/ecc/07/29.md b/ecc/07/29.md new file mode 100644 index 00000000..da06d584 --- /dev/null +++ b/ecc/07/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wametoka katika hali ya unyofu wakitafuta magumu mengi + +Maana zinazowezekana ni 1) "wamefanya mipango mingi ya dhambi" au 2) "wamefanya maisha yao wenyewe kuwa magumu." + +# wametoka + +Hapa waliotoka ni wanadamu. + diff --git a/ecc/08/01.md b/ecc/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..841cad46 --- /dev/null +++ b/ecc/08/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni mtu gani mwenye hekima? Ambaye anafahamu matukio yana maana gani katika maisha? + +Mwandishi anauliza haya kama maswali yanayoongoza kutoa majibu katika yale atakayoyasema baadaye. + +# husababisha uso wake kung'ara + +Hii inamaanisha kwamba uso wa mtu utaonesha kuwa ana hekima. "inaonekana usoni mwake" + +# ugumu wa uso wake + +"muenekano wake usiopendeza" + diff --git a/ecc/08/02.md b/ecc/08/02.md new file mode 100644 index 00000000..a6120ad1 --- /dev/null +++ b/ecc/08/02.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kiapo cha Mungu cha kumlinda yeye + +"kiapo ulichoapa mbele za Mungu kumlinda" + +# Usiharakishe kuondoka mbele ya uwepo wake + +Maana zinazowezekana ni 1) usiwe mwepesi kuondoka kimwili katika uwepo wake au 2) kubaki mwaminifu kwa Mfalme, usimuache kwa haraka kwa ajili ya mwingine. + +# Neno la mfalme hutawala + +"Asemacho mfalme ni sheria" + +# ni nani atakaye mwambia + +"hakuna awazaye kumwambia" + +# Unafanya nini? + +"Haupaswi kufanya unachofanya." + diff --git a/ecc/08/05.md b/ecc/08/05.md new file mode 100644 index 00000000..e331dae8 --- /dev/null +++ b/ecc/08/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Moyo wa mwenye hekima hutambua + +"moyo" unamaanisha mawazo. "Mtu mwenye hekima anatambua" + +# Ni nani awezaye kumwambia nini kinacho kuja? + +Swali hili linasisitiza kuwa hakuna ajuaye kitakachotokea baadaye. "Hakuna awazaye kumwambia kinachokuja." + diff --git a/ecc/08/08.md b/ecc/08/08.md new file mode 100644 index 00000000..838c7720 --- /dev/null +++ b/ecc/08/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hakuna aliye mtawala wa pumzi yake hata kuizuia pumzi ... hakuna aliye na nguvu juu ya siku yake ya mauti. + +Kama vile ambavyo mtu hana uwezo wa kujizuia kupumua, mtu hawezi kuendelea kuishi pale muda wake wa kufa ukifika. + +# uovu hautawasaidia wale amabao ni watumwa wake + +Mwandishi anazungumzia uovu kana kwambani mkuu aliye na watumwa. + +# nimetia moyo wangu + +"Nikusudia" au "Niliamua" + +# kila aina ya kazi ambayo inafanywa + +"kila aina ya kazi ambayo watu hufanya" + diff --git a/ecc/08/10.md b/ecc/08/10.md new file mode 100644 index 00000000..01d6cdd8 --- /dev/null +++ b/ecc/08/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wabaya wakizikwa hadharani + +Watu waovu waliokufa walipewa mazishi ya heshima. Inaashiria kuwa miili yao ilipaswa kutupwa katika rundo lililokataliwa la mji au kitu kama hicho. "watu wanawazika waovu hadharani" + +# Waliondolewa mahali patakatifu na kuzikwa mahali waliposifiwa na watu + +"Watu waliwatowa kutoka eneo takatifu na kuwazika na kuwasifu" + +# Wakati hukumu dhidi ya tendo ovu halihukumiwi haraka + +"Wakati watu katika madaraka hawatoi upesi hukumu dhidi ya tendo la uovu" + +# hushawishi mioyo ya wanadamu + +Hapa neno "moyo" linamaanisha mapenzi. "humshawishi binadamu" + diff --git a/ecc/08/12.md b/ecc/08/12.md new file mode 100644 index 00000000..c8ceb165 --- /dev/null +++ b/ecc/08/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mara mia moja + +"Mara 100" + +# itakuwa vyema kwa wale wanao muheshimu Mungu + +"maisha yataenda vyema kwa wale wanaomheshimu Mungu" + +# wanao mheshimu Mungu, wanaouheshimu uwepo wake + +Misemo hii miwili ina maana moja na imeunganishwa kwa ajili ya msisitizo. + +# maisha yake hayatarefushwa + +"Mungu hatarefusha maisha yake" + +# Siku zake kama kivuli kitowekacho + +Maana zinazowezekana ni 1) mwandishi analinganisha urefu wa maisha mtu muovu na kivuli kinachopita upesi au 2) ubora au furaha ya maisha hutoweka kama mtu muovu, hakuna kitu dhabiti katika maisha yake. + diff --git a/ecc/08/14.md b/ecc/08/14.md new file mode 100644 index 00000000..1ff103dd --- /dev/null +++ b/ecc/08/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kuna mvuke mwingine usio faa + +"kutokuwa na maana" au "ubatili". Vitu vinatokea ila havipaswi. Kama vile vitu vizuri kuwatokea watu waovu na vitu vibaya kuwatokea watu wema. + +# jambo jingine linaofanyika juu ya dunia + +"kitu kingine ambacho watu wanafanya duniani" + +# kwa siku zote za maisha yake ambayo Mungu amempa + +"kadri Mungu anavyomruhusu kuishi" + diff --git a/ecc/08/16.md b/ecc/08/16.md new file mode 100644 index 00000000..4c85ef81 --- /dev/null +++ b/ecc/08/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nikauweka moyo wangu + +"Nikusudia" au "Niliamua" + +# kazi inayofanyika juu ya nchi + +"kazi ambayo watu wanafanya duniani" + +# pasipo kufumba macho + +"bila kulala" + +# kazi inayofanyika chini ya jua + +Maana zinazowezekana ni 1) "kazi ambayo Mungu anafanya chini ya jua" au 2) "kazi ambayo Mungu anaruhusu watu kufanya chini ya jua" + diff --git a/ecc/09/01.md b/ecc/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..c4b5b54e --- /dev/null +++ b/ecc/09/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nilifikiri haya yote katika akili yangu + +"Niliwaza kwa kina sana kuhusu haya yote" + +# Wote wako katika mikono ya Mungu + +Hapa neno "wote" inamaanisha "wenye haki na watu wenye hekima" pamoja na "matendo yao" + +# mikono ya Mungu + +Hapa neno "mikono" linamaanisha nguvu na mamlaka. "chini ya umiliki wa Mungu" + diff --git a/ecc/09/02.md b/ecc/09/02.md new file mode 100644 index 00000000..89212ac3 --- /dev/null +++ b/ecc/09/02.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# watu wenye haki na waovu + + + +# walio safi na wasio safi + + + +# yeye atoaye dhabibu na yule asiye dhabihu + + + +# Kama vile watu wema ... wenye dhambi nao watakufa vivyo hivyo + + + +# yule anayeapa ... vivyo hivyo mtu yule aogopaye kuweka kiapo + + + diff --git a/ecc/09/03.md b/ecc/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..ec91efeb --- /dev/null +++ b/ecc/09/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kila kitu kinachofanyika + +"kila kitu amabacho watu hufanya" + +# mwisho mmoja + +hapa neno "mwisho" linamaanisha kifo. + +# Mioyo ya wanadamu imejaa uovu, na wazimu uko katika mioyo yao + +Hapa neno "mioyo" linamaanisha mawazo na hisia. "Wanadamu wamejaa uovu, na fikra zao ni wazimu" + +# wanaenda kwa wafu + +"wanaenda sehemu ya wafu" au "wanakufa" + diff --git a/ecc/09/04.md b/ecc/09/04.md new file mode 100644 index 00000000..abeed6fb --- /dev/null +++ b/ecc/09/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kumbukumbu yao imesahaulika + +"watu huwasahau" + diff --git a/ecc/09/06.md b/ecc/09/06.md new file mode 100644 index 00000000..d9b11e55 --- /dev/null +++ b/ecc/09/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# chochote kinachofanyika chini ya jua + +"chochote ambacho watu hufanya chini ya jua" + +# kula mkate wako kwa furaha, na kunywa mvinyo wako na moyo wa furaha + +Misemo hii miwili inamaana za kufanana na inasisitiza umuhimu wa kufurahia mambo ya msingi ya maisha. + +# kula mkate wako kwa furaha + +"furahia chakula chako" + +# kunywa mvinyo wako na moyo wa furaha + +Hapa neno "moyo" linamaanisha hisia. "kunywa mvinyo kwa furaha" + +# Nguo zako ziwe nyeupe siku zote, na kichwa chako kipake mafuta + +Kuvaa nguo nyeupe na kupaka kichwa mafuta zilikuwa ishara ya furaha na kusherehekea. + +# kichwa chako kipake mafuta + +"pakaa kichwa chako mafuta" + diff --git a/ecc/09/09.md b/ecc/09/09.md new file mode 100644 index 00000000..c50ebff4 --- /dev/null +++ b/ecc/09/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ishi kwa furaha na mwanamke umpendaye + +Mtu anapaswa kumpenda mke aliye naye. "Kwa sababu una mke umpendaye, ishi naye kwa furaha" + +# Chochote mkono wako utakachopata kufanya + +"Chochote utakachoweza kufanya" + +# hakuna kazi, au ufafanuzi au ujuzi au hekima + +"wafu hawafanyi kazi au kufafanua au kujua au kuwa na hekima" + diff --git a/ecc/09/11.md b/ecc/09/11.md new file mode 100644 index 00000000..f202ef6d --- /dev/null +++ b/ecc/09/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# muda na bahati huwaathiri wao wote + +"kinachotokea na kitakapotokea huwaathiri wote" + +# huwaathiri wao wote + +Hapa maneno "wao wote" inamaanisha mbio, vita, mkate, utajiri, na upendeleo. + +# kama vile samaki ... kama ndege ... Kama wanyama, wanadamu + +Kifo huwashika wanadamu wakati wasiotarajia, kama vile watu wanavyokamata wanyama wakati wasipotarajia. + +# katika nyakati mbaya ambazo ghafla huwaangukia + +Maana zinazowezekana ni 1) "katika hali mbaya ambayo inawatokea ghafla" au 2) "kwa kifo kinachowapata ghafla." + diff --git a/ecc/09/13.md b/ecc/09/13.md new file mode 100644 index 00000000..29598918 --- /dev/null +++ b/ecc/09/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# katika mji kulikuwa na masikini, mtu mwenye hekima + +"katika mji, watu walimkuta mtu masikini mwenye hekima" au "mtu masikini, mwenye hekima aliishi katika mji" + diff --git a/ecc/09/16.md b/ecc/09/16.md new file mode 100644 index 00000000..d81d9cc9 --- /dev/null +++ b/ecc/09/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# hekima ya mtu masikini hudharauliwa + +Kwa sababu mtu huyu alikuwa masikini, watu hawakuutambua hekima yake, wala kumheshimu kwa hekima yake. "watu husharau hekima ya mtu masikini" + +# maneno yake hayasikilizwi + +Watu waliacha kumsikiliza. "hawasikiliza kile anachokisema" au "hawachukui ushauri wake" + diff --git a/ecc/09/17.md b/ecc/09/17.md new file mode 100644 index 00000000..9f1bf7f8 --- /dev/null +++ b/ecc/09/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# yanasikiwa vizuri zaidi + +"yanaeleweka vizuri zaidi" + diff --git a/ecc/10/01.md b/ecc/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..a6f2d4cb --- /dev/null +++ b/ecc/10/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kama nzi walio kufa ... hivyo hivyo upumbavu kidogo + +Kama vile ambavyo nzi wanaweza kuharibu manukato, vivyo hivyo upumbavu unaweza kuharibu sifa ya mtu kwa hekima na heshima. + +# Moyo wa mtu mwenye hekima ... moyo wa mpumbavu + +Hapa neno "moyo" inamaanisha akili na nia. "Jinsi mtu mwenye hekima anavyowaza ... jinsi mpumbavu anavyowaza" + +# huelekea kulia ... huelekea kushoto + +Hapa maneno "kulia" na "kushoto" yanamaanisha yalio sawa na yasiyo sawa. "hufanya yaliyo sawa .. hufanya yasiyo sawa" + +# fikira zake zina upungufu + +"ni mjinga" + diff --git a/ecc/10/04.md b/ecc/10/04.md new file mode 100644 index 00000000..cefad8a0 --- /dev/null +++ b/ecc/10/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kama jazba za mtawala zikiinuka kinyume na wewe + +"kama mtawala akiwa na hasira na wewe" + diff --git a/ecc/10/05.md b/ecc/10/05.md new file mode 100644 index 00000000..b2797da5 --- /dev/null +++ b/ecc/10/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wapumbavu wanapewa nafasi za uongozi + +"Watawala wanawapa wapumbavu nafasi za uuongozi" + +# watu walio fanikiwa wanapewa nafasi za chini + +"wanawapa nafasi za chini watu waliofanikiwa" + diff --git a/ecc/10/08.md b/ecc/10/08.md new file mode 100644 index 00000000..a9c36798 --- /dev/null +++ b/ecc/10/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Kazi haikosi hatari. + +# anaweza kuumizwa nayo + +"mawe hayo yanaweza kumuumiza" + diff --git a/ecc/10/10.md b/ecc/10/10.md new file mode 100644 index 00000000..177300b1 --- /dev/null +++ b/ecc/10/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mithali kidogo + +# hekima hutoa faida kwa mafanikio + +Mtu mwenye hekima angenoa bapa lake na asingelazimika kufanya kazi sana. + +# kabla hajafurahi + +"kabla anayechezea nyoka hajamchamsha" + diff --git a/ecc/10/12.md b/ecc/10/12.md new file mode 100644 index 00000000..66d7bddf --- /dev/null +++ b/ecc/10/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mithali inaendelea. + +# Maneno ya kinywa cha mtu mwenye hekima yana huruma + +"Vitu ambavyo mtu mwenye hekima husema vina huruma" + +# midomo ya mpumbavu humumeza mwenyewe + +Hapa neno "kumeza" inaashiria kuteketeza. "Vitu ambavyo mtu mpumbavu hunena humteketeza" + diff --git a/ecc/10/13.md b/ecc/10/13.md new file mode 100644 index 00000000..a99f9a08 --- /dev/null +++ b/ecc/10/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kama maneno yanavyo anza kutiririka mdomoni mwa mpumbavu + +"Kama mpumbavu anavyoanza kuongea" + +# mwisho mdomo wake hutiririka wazimu mbaya + +"anapomaliza kuonge, anaongea wazimu mbaya" + +# Mpumbavu huongeza maneno + +"Mpumbavu huendelea kuongea" + +# hakuna ajuaye kinachokuja + +Swali hili linasisitiza kuwa hakuna ajuaye kitakachotokea baadaye. "Hakuna awazaye kumwambia kinachokuja." + +# Ni nani ajuaye baada yake? + +Mwandishi anauliza hili swali kusisitiza kuwa hakuna ajuaye kitakachotokea baadaye. "Hakuna ajuaye kitakachokuja baada yake." + diff --git a/ecc/10/15.md b/ecc/10/15.md new file mode 100644 index 00000000..640454fb --- /dev/null +++ b/ecc/10/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# huwachosha + +"huwasababisha kujisikia uchovu" + +# hata hawajui barabara ya kwenda mjini + +Maana zinazowezeka ni 1) kwamba mtu mpumbavu anachoka sana kutokana na kufanya kazi sana hadi anashindwa kujua njia ya kwenda popote, au 2) kwamba mtu mpumbavu anachoka kutokana na kufanya kazi sana kwa sababu hajui ya kutosha kwenda nyumbani. + diff --git a/ecc/10/16.md b/ecc/10/16.md new file mode 100644 index 00000000..1a8e8b5d --- /dev/null +++ b/ecc/10/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ole wako ardhi ... umebarikiwa ardhi + +Katika mstari huu, mwandishi anazungumza na taifa kana kwamba ni mtu. + +# kama mfalme wako ni kijana mdogo + +Hii inamaanisha kuwa mfalme hana uzoefu au hajapevuka kiakili. Lakini tafsiri zingine za kisasa zinatafsiri neno la Kihebrania kama "mtumishi" + +# huanza karamu ahsubuhi + +Hii huashiria kuwa viongozi wanajali zaidi kuwa na wakati mzuri kuliko kuongoza taifa. + +# mfalme wako ni mwana wa waungwana + +Hii huashiria kuwa mwana huyu amefundishwa vizuri na wakubwa wake katika desturi za kuwa mfalme mzuri. + diff --git a/ecc/10/18.md b/ecc/10/18.md new file mode 100644 index 00000000..76c4dbec --- /dev/null +++ b/ecc/10/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa sababu ya uvivu paa huanguka + +Mtu mvivu hawezi kuitunza nyumba kwa kawaida. + +# kwa sababu ya mikono isiyo fanya kazi + +"kwa sababu ya mtu asiye fanya kazi" + +# Watu huandaa chakula kwa ajili kicheko + +"Watu huandaa chakula kwa ajili ya kucheka" + +# divai huleta furaha maishani + +"divai husaidia watu kufurahia maisha" + +# fedha hutimiza hitaji kwa kila kitu + +Maana zinazowezekana ni 1) "fedha husaidia kila hitaji" au 2) "fedha husaidia kwa ajili ya chakula na divai." + diff --git a/ecc/10/20.md b/ecc/10/20.md new file mode 100644 index 00000000..be4ef55d --- /dev/null +++ b/ecc/10/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hata katika akili + +"hata katika mawazo yako" + +# wenye mali katika chumba chako + +"watu matajiri ukiwa chumbani mwako." Hii inamaanisha usiwalaani watu matajiri hata katika sehemu yako ya faragha ambapo hakuna yeyote atakayekusikia. + +# Kwa kuwa ndege wa angani ... kinaweza kusambaza jambo + +Mistari hii miwili inamaanisha kitu kimoja na imeunganishwa kwa ajili ya msisitizo. Mwandishi unatumia sitiari ya ndege kusema kuwa watu watajua ulichosema kwa njia moja au nyingine. + diff --git a/ecc/11/01.md b/ecc/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..381c519a --- /dev/null +++ b/ecc/11/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Peleka mkate wako juu ya maji, kwa kuwa utaupata tena baada ya siku nyingi + +Maana zinazowezekana ni 1) kuwa mtu anapaswa kuwa mkarimu na mali yake na kisha atapokea ukarimu kutoka kwa wengine (UDB), au 2) kuwa mtu anapaswa kuwekeza mali zake ng'ambo na atapata faida humo. + +# Shiriki mkate na watu saba, hata wanane + +Maana zinazowezekana ni 1) kugawana mali zako na watu wengi, au 2) kuwekeza mali zako sehemu nyingi. + +# saba, hata wanane + +"7, hata 8" au "wengi" + +# majanga gani yanayo kuja juu ya nchi + +Hapa msemo "juu ya nchi" inamaanisha "duniani" au "katika jamii." + +# yanajivua yenyewe chini ya nchi + +Hapa neno "nchi" inamaanisha "katika ardhi." + +# kuelekea kusini au kuelekea kaskazini + +"katika upande wowote" + diff --git a/ecc/11/04.md b/ecc/11/04.md new file mode 100644 index 00000000..ec6131c9 --- /dev/null +++ b/ecc/11/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yeyote autazamaye upepo yawezekana asipande + +Maana zinazowezekana ni 1) "Mkulima yeyote anayetilia maanani upepo hatapanda wakati upepo unapopuliza upande usiofaa" au 2) "Mkulima yeyote anayetilia maanani sana upepo hatapanda." + +# yeyote atazamaye mawingu yawezekana asivune + +Maana zinazowezekana ni 1) "Mkulima yeyote anayetilia maanani mawingu hatavuna inapotaka kunyesha" au 2) "Mkulima yeyote anayetilia maanani sana mawingu hatavuna." + +# ambavyo mifupa ya mtoto ikuavyo + +Maana zinazowezekana ni 1) "jinsi mtoto anavyokuwa" au 2) "jinsi mifupa ya mtoto inavyokua." + diff --git a/ecc/11/06.md b/ecc/11/06.md new file mode 100644 index 00000000..85934916 --- /dev/null +++ b/ecc/11/06.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# kwa mikono yako + +"endelea kufanya kazi" + +# jioni au asubuhi, au hii au ile + +Misemo hii miwili inamaana moja na inasisitiza kuwa kazi ya mtu inaweza kufanikiwa, bila kujali ni muda gani aliifanya. "hata kama ni mbegu uliyoipanda asubuhi au mbegu uliyoipanda jioni." + +# nuru ni tamu + +Hapa neno "nuru" inamaanisha kuweza kuona jua hivyo kuwa hai. "kuweza kuliona jua ni tamu" au "kuwa hai ni tamu." + +# kwa macho kuona jua + +Msemo huu unamaana moja na usemi uliopita. "kwa mtu kuliona jua" au "kuwa hai." + +# aifurahie yote + +Hapa neno "yote" inamaanisha miaka ambayo mtu yuko hai. + +# siku zijazo za giza + +Hapa neno "giza" inamaanisha kifo. "atakuwa amekufa ziku ngapi." + +# kwa kuwa zitakuwa nyingi + +Hapa "zitakuwa" inamaanisha "siku za giza." "kwa kuwa atakuwa amekufa siku nyingi zaidi ya zile atakavyokuwa hai au "kwa kuwa atakufa milele." + +# Kila kitu kijacho + +Maana zinazowezekana ni 1) "Kila kitu kinachotokea baada ya kifo" au 2) "Kila kitu kitakachotokea baadaye." + diff --git a/ecc/11/09.md b/ecc/11/09.md new file mode 100644 index 00000000..eabe9b00 --- /dev/null +++ b/ecc/11/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Furahia kijana, katika ujana wako, na moyo wako ufurahie siku za ujana wako + +Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na imeunganishwa kwa ajili ya msisitizo. + +# moyo wako ufurahie + +Hapa neno "moyo" inamaanisha hisia. "uwe na furaha" + +# Fuatilia yale mema ya moyo wako + +Hapa neno "moyo" inaweza kumaanisha akili au hisia. "Fuatilia vitu vizuri unavyotamani" au "Fuatilia vitu vyema ulivyokusudia kufuatilia" + +# chochote kilicho mbele ya macho yako + +"Chochote unachoona na kutamani" au "chochote unachoona kinafaa" + +# Mungu atakuleta hukumuni kwa ajili ya vitu hivi vyote + +"Mungu atakuwajibisha kwa matendo yako yote" + +# Ondoa hasira kutoka moyoni mwako + +"Kataa kuwa na hasira" + diff --git a/ecc/12/01.md b/ecc/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..a64efd21 --- /dev/null +++ b/ecc/12/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mkumbuke + +"kumbuka" + +# Mimi sina furaha katika hizo + +Hapa neno "hizo" linamaanisha "miaka." + diff --git a/ecc/12/03.md b/ecc/12/03.md new file mode 100644 index 00000000..7949fc73 --- /dev/null +++ b/ecc/12/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaelezea nyumba ambayo matendo mbali mbali yanakoma. Hii inaonekana kuwa sitiari ya mwili wa binadamu unapozeeka. + +# wanawake wanao saga kukoma, kwa sababu ni wachache + +"wanawake wanaosaga nafaka wanaacha kusaga nafaka kwa sababu ni wachache" + diff --git a/ecc/12/04.md b/ecc/12/04.md new file mode 100644 index 00000000..b1cb6416 --- /dev/null +++ b/ecc/12/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendeleza sitiari yake. + +# milango imefungwa katika mtaa + +"watu walifunga milango iliyoelekea katika mtaa" + +# wakati wanaume watasitushwa kwa mlio wa ndege + +"wakati sauti ya ndege itakapowashtua" + diff --git a/ecc/12/05.md b/ecc/12/05.md new file mode 100644 index 00000000..c6c1b263 --- /dev/null +++ b/ecc/12/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendeleza sitiari yake. + +# wakati ambapo hamu za asili zitakaposhindwa + +"wakati ambapo watu hawatamani tena kile walichokuwa wanatamani kwa asili" + +# wakati ambapo mlozi utachanua maua + +mti wa "mlozi" ni mti unaochanua wakati wa baridi na maua meupe. + +# mtu aenda katika nyumba yake ya milele + +inamaanisha kifo. + +# waombolezaji watelemka mitaani + +Maana zinazowezekana ni 1) waombolezaji wanaenda katika mtaa kuhudhuria mazishi, au 2) kwamba waombolezaji wanaenda mtaani kwenye nyumba ya mtu anayekaribia kufa. + diff --git a/ecc/12/06.md b/ecc/12/06.md new file mode 100644 index 00000000..d609da5f --- /dev/null +++ b/ecc/12/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mkumbuke + +"kumbuka" + +# kabla ya kamba ya fedha kukatwa ... au torori la maji kuvunjika kisimani + +Mwandishi anafananisha kifo na vitu mbali mbali vilivyovunjika. Kifo kitavunja mwili ghafla kama watu wavunjavyo hivi vitu wakati wakivitumia. + +# kamba ya fedha kukatwa + +"mtu anakata kamba ya fedha" + +# bakuli ya dhahabu kupasuka + +"mtu anapasua bakuli la dhahabu" + +# gudulia kuvunjwa + +"Mtu anavunja gudulia" + +# torori la maji kuvunjika + +"mtu anavunja torori la maji" + +# mavumbi kurudia aridhini + +Hapa neno "mavumbi" inamaanisha mwili wa binadamu uliooza. + diff --git a/ecc/12/08.md b/ecc/12/08.md new file mode 100644 index 00000000..62809478 --- /dev/null +++ b/ecc/12/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kila kitu ni mvuke upoteao + +"kila kitu kinadumu muda mfupi tu, kama mvuke unapotea." + +# kutafakari na kupanga + +"aliwaza sana kuhusu na kupanga" au "aliwaza sana na kuandika chini" + diff --git a/ecc/12/10.md b/ecc/12/10.md new file mode 100644 index 00000000..09c1ee9a --- /dev/null +++ b/ecc/12/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maneno ya watu wenye hekima ... yamefundishwa na mchungaji mmoja + +Mwandishi anamfananisha mwalimu anayetumia maneno yake kuelekeza watu na mchungaji anayetumia vifaa vyake kuongoza kundi lake. + +# Maneno ya watu wenye hekima ni kama mchokoo + +"Watu wenye hekima wanatutia moyo kutenda, kama fimbo iliyochongoka inavyo watia hamasa wanyama kusogea. + +# Kama misumari ilivyogongomewa kwa undani, ndivyo yalivyo maneno ya mabwana katika mkusanyiko wa mithali zao + +"Kama vile unavyoweza kuutegemea msumari uliozamishwa chini, ndivyo unaweza kutegemea mithali zilizoandikwa na watu wenye hekima." + +# maneno ya mabwana katika mkusanyiko wa mithali zao + +"maneno ya wale ambao ni mahiri katika mikusanyiko ya mithali" + +# yamefundishwa na mchungaji mmoja + +"ambayo mchungaji mmoja anafundisha" + diff --git a/ecc/12/12.md b/ecc/12/12.md new file mode 100644 index 00000000..eea31257 --- /dev/null +++ b/ecc/12/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# utengezaji wa vitabu vingi, ambapo hakuna mwisho + +"watu hawatakoma kutengeneza vitabu vingi" + +# huleta uchovu mwilini + +"humchosha mtu" + diff --git a/ecc/12/13.md b/ecc/12/13.md new file mode 100644 index 00000000..a8cfee83 --- /dev/null +++ b/ecc/12/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwisho wa jambo + +"hitimisho la mwisho la jambo" + +# baada ya kila kitu kusikika + +"baada ya kusikia kila kitu" + diff --git a/est/01/01.md b/est/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..14eedbdf --- /dev/null +++ b/est/01/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Katika siku za Ahasuero + +"Katika wakati wa Ahasuero" au "wakati Ahasuero alipokuwa akitawala kama mfalme." + +# 127 + +(Tazama: tafsiri nambari) + +# majimbo + +"Jimbo" ni sehemu kubwa ambayo katika hiyo baadhi ya nchi zimegawanywa kwa makusudi ya serikali. + +# Ngome + +Ngome, boma au kambi iliyoimarishwa. + +# Shushani + +Mji wa utawala wa wafalme wa Uajemi. + diff --git a/est/01/03.md b/est/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..8d85297c --- /dev/null +++ b/est/01/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mwaka wa tatu + +"baada ya miaka 2" + +# 180 + +(Tazama: tafsiri nambari) + diff --git a/est/01/05.md b/est/01/05.md new file mode 100644 index 00000000..b8d9793f --- /dev/null +++ b/est/01/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Saba + +"7" + +# ikulu + +tumia neno lile lililotumika katika 1:1. + +# Shushani + +Tumia neno lile lilelililotumika katika 1:1. + diff --git a/est/01/07.md b/est/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..ca8c345e --- /dev/null +++ b/est/01/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ukarimu + +"utayari mkubwa wa kuwapa" + +# Mfalme alikuwa amewaamuru wahudumu wake wote wa ikulu kuwatenda vyovyote kila mgeni alivyotaka + +kauli hii inamaanisha kwamba mfalme aliwaambia wafanyakazi wake kuwapa wageni wote ambao walio wataka. + diff --git a/est/01/09.md b/est/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..095c22c5 --- /dev/null +++ b/est/01/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# siku ya saba + +"baada ya siku 6" + +# wakati moyo wa mfalme ulipokuwa ukijisikia fu kwa sababu ya mvinyo + +"baada ya mfalme alipokuwa amelewa kwa mvinyo" + +# Mahumani, Biztha, Harbona, Bigtha, Abagatha, Zethari na Karkas + +(Tazama: Tafsiri majina) + +# saba + +"7" + diff --git a/est/01/12.md b/est/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..551d2617 --- /dev/null +++ b/est/01/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini mfalme alikasirika sana? + +Mfalme alikasirika sana kwa sababu Malkia Vashiti alikataa kuja kama mfalme alivyokuwa ameagiza. + diff --git a/est/01/13.md b/est/01/13.md new file mode 100644 index 00000000..066259b2 --- /dev/null +++ b/est/01/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Carshena, Shethar, Admatha, Tarshish, Meres, Marsena na Memucan + +(Tazama: tafsiri majina) + +# saba + +"7" + +# katika kutekeleza sheria + +"Katika kutekeleza sheria au katika kutii sheria + diff --git a/est/01/16.md b/est/01/16.md new file mode 100644 index 00000000..300299ee --- /dev/null +++ b/est/01/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mumekani + +(Tazama: tafsiri majina) + +# Majimbo + +Tumia neno lile lile lililotumika katika 1:1. + diff --git a/est/01/19.md b/est/01/19.md new file mode 100644 index 00000000..accce101 --- /dev/null +++ b/est/01/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wote/kubwa mno + +"kubwa" au "kubwa sana" + diff --git a/est/01/21.md b/est/01/21.md new file mode 100644 index 00000000..cec77e67 --- /dev/null +++ b/est/01/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Memkani + +(Tazama: tafsiri majina) + +# jimbo + +Tumia neno lile lile lililotumika katika 1:1. + diff --git a/est/02/01.md b/est/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..875243bd --- /dev/null +++ b/est/02/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# tangazo/ mbiu + +Hii inarejea kwenye tangazo katika 1:19. + diff --git a/est/02/03.md b/est/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..389ea6d4 --- /dev/null +++ b/est/02/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Majimbo + +Tumia neno lile lile lililotumika katika 1:1. + +# haremu + +"mahali ambapo wake wa watawala wanatunzwa" + +# ikulu + +Tumia neno lile lile lililotumika katika 1:5. + +# Sushani + +Tumia neno lile lile lililotumika katika 1:1. + +# Hegai + +(Tazama: tafsiri majina) + +# vipodozi vyao + +"Kipodozi" in kitu kama kirimu, losheni, au poda ambayo mara nyingi wanawake ujipaka katika uso au mwili ili kupendezesha muonekano wao. + diff --git a/est/02/05.md b/est/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..ac2c11fa --- /dev/null +++ b/est/02/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sushani + +Tumia jina lile lile lililotumika katika 1:1. + +# mwana wa Jaira mwana wa Shimei mwana wa Kishi + +'"Jaira," "Shimei" na"Kishi" ni wanaume ambao "Modekai" ni mwana wa kiume anatoka. + +# Mbenjamini + +"wa kabila la Benjamini" + +# Alikuwa amechukuliwa kutoka Yerusalemu + +Andiko la Kiebrania haliweki wazi anayezungumziwa hapa. Pengini ni Kishi, ambaye inaonekana alikuwa baba yake na babu wa Modekai. Kama ilikuwa Modekai mwenyewe, hivyo angekuwa mzee sana kwa wakati wa matukio yanayomhusu Esta. Matoleo mengi ya kisasa haziliweki wazi hili. Ni matoleo machache likiwemo la UDB, linahisi kuwa Modekai ndiye aliyekuwa amechukuliwa kutoka Yerusalem. + +# Yekonia, mfalme wa Yuda + +(Tazama: tafsiri majina) + diff --git a/est/02/07.md b/est/02/07.md new file mode 100644 index 00000000..5c46282c --- /dev/null +++ b/est/02/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hadasa + +Hili ni jina la Kiebrania la Esta. + +# binti wa mjomba wake + +"binamu yake' + +# Hakuwa na baba wala mama + +"baba na mama yake walikufa" + diff --git a/est/02/08.md b/est/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..d9d9971e --- /dev/null +++ b/est/02/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# alitangaza + +"alitangaza" + +# ikulu + +Tumia neno lile lile lililotumika katika 1:5. + diff --git a/est/02/10.md b/est/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..bae4b153 --- /dev/null +++ b/est/02/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kuhusu habari ya Esta + +"vile ambavyo Esta alivyokuwa akiendelea" au "kuhusu hali ya Esta" + diff --git a/est/02/12.md b/est/02/12.md new file mode 100644 index 00000000..f6f3a6cf --- /dev/null +++ b/est/02/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kufuata maelekezo kwa ajili ya wanawake + +"kutenda sawa sawa na ni mahitaji kwa ajili ya wanawake" + +# ya matibabu ya urembo + +Mambo yafanywayo ili kuwafanya wasichana kuonekana warembo zaidi na kunukia vizuri. + +# vipodozi + +Tumia neno lile lile lililotumika katika 2:3. + +# ikulu + +Tumia neno lililotumia katika 1:5. + diff --git a/est/02/14.md b/est/02/14.md new file mode 100644 index 00000000..b5471c1f --- /dev/null +++ b/est/02/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wakati wa ahsubuhi + +"ahsubuhi inayofuata" + +# nyumba ya pili + +"nyumba nyingine" + +# msimamizi + +"kuangalia" au "ulinzi" + +# Shaashigazi + +(Tazama: tafsiri majina + diff --git a/est/02/15.md b/est/02/15.md new file mode 100644 index 00000000..bee9debf --- /dev/null +++ b/est/02/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Abihali + +"Abihaili"alikuwa baba yake na Esta na mjomba wa Modekai. + +# Hegai + +Tumia neno lile lile liliotumika katika 2:3 + +# mwezi wa kumi, ambao ni mwezi wa Teneti + +"Tibeti" ni jina la mwezi wa kumi kwa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa sehemu ya mwisho wa Desemba na sehemu ya kwanza ya January kwa kalenda ya Magharibi. + +# mwaka wa saba + +"mwaka namba7" + diff --git a/est/02/17.md b/est/02/17.md new file mode 100644 index 00000000..0fbab552 --- /dev/null +++ b/est/02/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mfalme alipenda + +Hili ni neno la kihisia la "upendo". + +# ushuru + +"ukusanyaji wa ushuru" + +# majimbo + +Tumia neno lile lile lililotumika katika 1:1 + diff --git a/est/02/19.md b/est/02/19.md new file mode 100644 index 00000000..78e687d7 --- /dev/null +++ b/est/02/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mara ya pili + +"mara moja zaidi" au"muda mwingine" + +# alimuelekeza + +"alimwambia" + +# Bigthani na Tereshi + +Haya yalikuwa majina ya walinzi wawili waliolinda ikulu. + diff --git a/est/02/22.md b/est/02/22.md new file mode 100644 index 00000000..a143bb01 --- /dev/null +++ b/est/02/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mti + +umbo ambalo mtu hunyongwa kwa kufunga kamba shingoni mwake na kuuning'niza mwili pasipo msaada wowote chini. + diff --git a/est/03/01.md b/est/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..8b97f095 --- /dev/null +++ b/est/03/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hamani mwana wa Hammedatha Mwagagi + +Hili ni jina na wadhifu wa Hamani, mmoja wa wasimamizi wa mfalme. + +# aliweka kiti chake cha mamlaka + +"alipandisha cheo" + +# walijinyenyekezea kwa Hamani + +"Walijinyenyekeza na kulala kifudifudi juu ya ardhi mbele ya Hamani" + diff --git a/est/03/03.md b/est/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..e8bb8ca0 --- /dev/null +++ b/est/03/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# amrisha, kuamrisha, amri + +Neno "kuamrisha" maana yake kumuagiza mtu kufanya kitu. "Amuru" au "amri" ni kile ambacho mtu aliagizwa kufanya. + +# Myahudi, Uyahudi, Wayahudi + +Wayahudi ni watuambao ni uzao wa mjukuu wa Abrahamu, Yakobo. Neno "Myahudi" linatokana na neno "Yuda." + diff --git a/est/03/05.md b/est/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..e1b045ab --- /dev/null +++ b/est/03/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hakupenda kwa wazo la kumuua Modekai pekee + +"Alikataa wazo la kumuua Modekai pekee" + +# Kuwakatilia mbali Wayahudi + +"kuwaondoa Wayahudi wote" au "Kuwakatilia mbali Wayahudi wote" + diff --git a/est/03/07.md b/est/03/07.md new file mode 100644 index 00000000..e2d300d5 --- /dev/null +++ b/est/03/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Katika mwaka wa kwanza (ambao ni mwezi wa Nisani) + +"Nisani" ni jian la mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Ni sehemu ya mwisho ya wakati wa Machi na sehemu ya kwanza ya Aprili kwa kalenda ya Kimagharibi. + +# wakapiga Puri/ kura + +"wakapiga kura" + +# mwezi wa kumi na mbili (mwezi wa Adari) + +"Adari" ni jina kumi na mbili na mwezi wa mwisho wa kalenda ya kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa sehemu ya mwisho ya Februari na sehemu ya kwanza ya machi katika kalenda za Magharibi. + diff --git a/est/03/08.md b/est/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..acb8330c --- /dev/null +++ b/est/03/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# watu fulani + +"kikundi cha watu" + +# majimbo + +Tumia neno lile lile lililotumikka kama lilivyotumika katika 1:1 + +# talantaelfu kumi za fedha + +"talanta 10,0000 za fedha" + diff --git a/est/03/10.md b/est/03/10.md new file mode 100644 index 00000000..1e6c0591 --- /dev/null +++ b/est/03/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# pete ya muhuri + +pete maalum ambaye ilitumiwa kugonga nyalaka za Mfalme kwenye matangazo. + diff --git a/est/03/12.md b/est/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..5c2d21ef --- /dev/null +++ b/est/03/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kwanza + +Huu ni mwezi wa kwanza wa Kalendda uya Kebrania. Siku ya kumi na tatu ni karibu na mwanzo wa Mwezi Aprili katika kalenda za Magharibi. + +# wasimamizi wa majimbo wa mfalme + +"wasimamizi wa majimbo" Tumia neno lile lile lililotumika kwa jimbo katika 1:1. + +# siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili (ambao ni mwezi wa Adari) + +Adari" ni jina la kumi na mbili na mwezi wa mwisho wa kalenda ya Kiebrania. Kumi na tatu ni karinu na mwanzo wa machi kwa kalenda za Magharibi. + diff --git a/est/03/14.md b/est/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..915cd1d7 --- /dev/null +++ b/est/03/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# jimbo + +Tumia neno lile lile katika 1:1 + +# Shushani + +(Tazama: tafsiri majina) + +# ulikuwa katika msukosuko + +"ulikuwa katika hai ya msukosuko mkubwa" + diff --git a/est/04/01.md b/est/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..43075263 --- /dev/null +++ b/est/04/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# jimbo + +Tumia neno lile lile kama lililotumika katika 1:1. + diff --git a/est/04/04.md b/est/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..2ace9ec9 --- /dev/null +++ b/est/04/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# majonzi + +"mahangaiko makubwa" + +# Hathaki + +(Tazama: tafsiri majina) + diff --git a/est/04/06.md b/est/04/06.md new file mode 100644 index 00000000..33f7c233 --- /dev/null +++ b/est/04/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hathaki + +(Tazama: tafsiri majina) + +# mbele ya lango la mji + +" soko" + +# Hamani + +Tumia neno lilelile kama liliotumika katika 3:1. + diff --git a/est/04/09.md b/est/04/09.md new file mode 100644 index 00000000..2347bce4 --- /dev/null +++ b/est/04/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# siku thelathini + +"siku 30" + diff --git a/est/04/13.md b/est/04/13.md new file mode 100644 index 00000000..e8728a91 --- /dev/null +++ b/est/04/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ni nani ajuaye kama umekuja katika nafasi hii kwa wakati muafaka kama huu? + +Kusudi la swali hili ni kumfanya Esta kufikiri kwa undani kuhusu nafasi yake katika swala hili. "Ni nani ajuaye, pengineiikuwa kwa muda kama huu kwamba ulifanywa kuwa malkia." + diff --git a/est/04/15.md b/est/04/15.md new file mode 100644 index 00000000..1ecad0a6 --- /dev/null +++ b/est/04/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Shushani + +Tafsiri kama katika 1:1. + +# siku tatu + +"siku 3" + diff --git a/est/05/01.md b/est/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..92fae509 --- /dev/null +++ b/est/05/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# siku tatu + +"siku 3" + diff --git a/est/05/03.md b/est/05/03.md new file mode 100644 index 00000000..9f114062 --- /dev/null +++ b/est/05/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hamani + +Tafsiri kama katika 3:1 + +# kwa ajili yake + +"kwa ajili ya mfalme" + diff --git a/est/05/05.md b/est/05/05.md new file mode 100644 index 00000000..45a7630c --- /dev/null +++ b/est/05/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# hitaji + +"ombi kwa mfalme" + +# utapewa + +"ombi lako utapewa" + diff --git a/est/05/07.md b/est/05/07.md new file mode 100644 index 00000000..944fef11 --- /dev/null +++ b/est/05/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ikikupendeza, inayopendeza, upendeleo + +Neno ikikupendeza" inamaanisha kufanya kitu kunufaisha mtu ambaye ameheshimiwa. + +# kuheshimu + +Neno heshimu" inamaanisha kumpa mtu heshima. + diff --git a/est/05/09.md b/est/05/09.md new file mode 100644 index 00000000..ccbc321c --- /dev/null +++ b/est/05/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# hasira + +"hasira kali" + +# Zereshi + +(Tazama: tafsiri majina) + diff --git a/est/05/12.md b/est/05/12.md new file mode 100644 index 00000000..89467595 --- /dev/null +++ b/est/05/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# haya yote sio kitu kwangu + +"halinifanya mimi kufurahia" au " hainitoshelezi" + diff --git a/est/05/14.md b/est/05/14.md new file mode 100644 index 00000000..1b523d0f --- /dev/null +++ b/est/05/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# miti + +tafsiri kama katika 2:22 + +# futi hamsini + +"futi 50" + diff --git a/est/06/01.md b/est/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..793f286d --- /dev/null +++ b/est/06/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Bigithatna na Tereshi + +Tafsiri kama katika 2:19 + +# "walinzi wawili wa mfalme" + +"wasimamizi 2 wa mfalme" + +# Hakufanyiwa kitu chochote + +Mfalme hakufanya chochote kwa Modekai." + diff --git a/est/06/04.md b/est/06/04.md new file mode 100644 index 00000000..ce78b02f --- /dev/null +++ b/est/06/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Hamani + +Tafsiri kama katika 3:1 + +# ua wa nje + +"ua wa kwanza kutoka nje" + +# kumtundika Modekai + +"kumweka Modekai kwenye kifo kwa kumtundika" + +# miti ya kutundikia + +Tafsiri hili kama katika 2:22 + +# kuweka + +"kujenga" + +# akasema moyoni mwake + +"akafikiri mwenyewe" + +# Ni nani ambaye mfalme apenda kumuheshimu zaidi yangu? + +'Hakika hakuna mwingine ambaye mfalme apenda kumuheshimu zaidi yangu!" + diff --git a/est/06/07.md b/est/06/07.md new file mode 100644 index 00000000..0af59688 --- /dev/null +++ b/est/06/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mavazi ya kifalme yaletwe + +"watumishi walete mavazi ya kifalme" + +# ametumiwa/ameendeshwa + +"Hii ni sentensi ya wakati uliopita wa endesha" + +# taji ya kifalme + +umbo maalum iliyowakilisha familia ya mfalme + +# Hivyo mavazi na farasi apewe + +"Hivyo mpe mavazi na farasi" + +# Watangaze + +"Watumishi na wasimamizi wakuu watangaze" + diff --git a/est/06/10.md b/est/06/10.md new file mode 100644 index 00000000..07194d04 --- /dev/null +++ b/est/06/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Modekai + +Modekai alikuwa mwanamme myahudi akiishi katika nchi ya Waajemi. Alikuwa mlezi wa binamu yake Esta, ambaye baadaye alikuwa mke wa mfalme wa Uajemi, Ahausiero. + +# Muyahudi, Wayahudi + +Wayahudi ni uzao wa mjukuu wa Abrahamu, Yakobo. Neno Yahudi linatokana na neno Yuda. + +# lango, komeo + +"lango" ni kizuizi kilichowekwa mahali pa kuingilia katika fensi au ukuta unaozunguka nyumba.Komeo inamaanisha ubao au chuma ambacho kinaweza kusogezwa katika sehemu ili kufunga lango. + +# tangaza, mbiu + +ni kutangaza au kutangaza kitu kwenye hadhara na kwa ujasiri. + diff --git a/est/06/12.md b/est/06/12.md new file mode 100644 index 00000000..d85434e7 --- /dev/null +++ b/est/06/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Zereshi + +(Tazama: tafsiri majina) + diff --git a/est/07/01.md b/est/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..e8f3bf4e --- /dev/null +++ b/est/07/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hamani + +Tafsiri kama katika 3:1 + +# katika siku ya pili + +"katika karamu hii ya 2" + +# haja/ombi + +tafsiri kama katika 5:5 + +# utapewa + +"nitakupa" + diff --git a/est/07/03.md b/est/07/03.md new file mode 100644 index 00000000..19bca7d1 --- /dev/null +++ b/est/07/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# machoni pako + +"kutoka kwako" + +# nipewe + +"nihudumiwe" + +# Kwa kuwa tumeuzwa + +"Kwa kuwa mbiu imetuuza sisi" + +# tuharibiwe, tuuwawe na tuangamizwe + +Maneno haya matatu yana maana moja ila yametuika kuweka msisitizo. + diff --git a/est/07/06.md b/est/07/06.md new file mode 100644 index 00000000..5b6f6209 --- /dev/null +++ b/est/07/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hofu + +"woga mkubwa" + +# hasira + +"hasira kali" + diff --git a/est/07/08.md b/est/07/08.md new file mode 100644 index 00000000..a0e95774 --- /dev/null +++ b/est/07/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mvinyo ulikuwa umetengwa + +"watumishi walikuwa wameleta mvinyo" + +# kochi + +kipande kirefu cha samani ambapo mtu hukaa au kulala. + +# atamdharirisha malkia + +Hii neno ni namna ya upole ya kuuliza kama atashika na kulala naye. + +# Atamdharirisha malkia mbele yangu katika nyumba yangu? + +"Unajaribu kumdharirisha malkia wakati akiwa hapa nami katika ikulu yangu!" + +# watumishi wakamfunga Hamani uso + +baadhi ya watumishi walifunga kichwa cha Hamani, kama walivyofanya watu walikuwa tayari kwa kutundikwa. + diff --git a/est/07/09.md b/est/07/09.md new file mode 100644 index 00000000..4c0366f7 --- /dev/null +++ b/est/07/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Haribona + +Hili ni jina la mwanamme. (Tazama: tafsiri majina) + +# miti + +Tazama jinsi ulivyotafsiri hili katika 2:22 + +# futi hamsini + +"futi 50" + diff --git a/est/08/01.md b/est/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..8d147b09 --- /dev/null +++ b/est/08/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hamani + +Tafsirfi kama katika 3:1 + +# pete ya muhuri + +pete maalum ambayo iliweza kutumiwa kupiga muhuri mbiu/ tangazo la Mfalme. + diff --git a/est/08/03.md b/est/08/03.md new file mode 100644 index 00000000..6510f739 --- /dev/null +++ b/est/08/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# akasihi + +"akaomba" + +# Mwagagi + +Tafsiri kama katika 3:1 + +# mpango ambao alikuwa ameupanga + +"mbinu ambao alikuwa ameipangaa" + diff --git a/est/08/05.md b/est/08/05.md new file mode 100644 index 00000000..9cbcc9c7 --- /dev/null +++ b/est/08/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# batilisha + +"kufuta rasmi" + +# Hammedatha + +(Tazama:tafsiri majina) + +# majimbo + +Tafsiri kama katika 1:1. + +# Ninawezaje kuona ubaya ukiwapata watu wangu? Ninawezaje kutazama uharibifu wa jamaa zangu? + +"Siwezikuvumilia kuona ubaya unawaangukia Wayahudi. Siwezi kuvumilia kutazama jamaa zangu wakiuwawa." + diff --git a/est/08/07.md b/est/08/07.md new file mode 100644 index 00000000..1c6248ba --- /dev/null +++ b/est/08/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# miti ilitumika kutindikia waharifu + +Tafsirikama katika 2:22 + +# Andika mbiu nyingine + +Inamaanisha kuwa Moderkai na Esta waliandika barua. + +# haiwezi kutanguliwa + +"hakuna mtu anaweza kuibatilisha" au" hakuna mtu awezaye kuifuta rasmi" + diff --git a/est/08/09.md b/est/08/09.md new file mode 100644 index 00000000..a29d1844 --- /dev/null +++ b/est/08/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# aliita + +"alikusanya" + +# mwezi wa tatu, ambao ni mwezi wa Sivani, katika siku ya ishirini na tatu ya mwezi + +siku ya tatu ya mwezi "sivani"ni jina la mwezi wa tatu katika kalenda ya Kiebrania, siku ya ishirini na tatuni kati katika ya mweziJuni kwa kalenda za Magharibi. + +# majimbo + +Tazama jinsi ulivyotafisiri hii katika 1:1 + +# 127 + +(Tazama: tafsiri majina) + diff --git a/est/08/10.md b/est/08/10.md new file mode 100644 index 00000000..78b86c32 --- /dev/null +++ b/est/08/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# pete ya muuri + +Tafsiri kama katika 3:1 + +# matarishi + +"watu wanaobeba ujumbe" + +# waliozaliwa kwa mfalme + +ni farasi aliyestafishwa katika mashindano ambaye ametunzwa kwa ajili ya uzalishaji wa farasi wengine wa mashindano + +# ruhusa + +"haki" + +# kukusanyika na kujilinda + +Hili ni neno lililotumika likimaanisha kupigana wala sio kukimbia. + +# siku ya ishirini ya mwezi wa kumi na mbili, ambao ni mwezi wa Adari + +Tazama jinsi ulivyotafsiri hii katika 3:12 + diff --git a/est/08/13.md b/est/08/13.md new file mode 100644 index 00000000..77228e2f --- /dev/null +++ b/est/08/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kulipa kisasi + +tendo la kumuumiza mtu aliyekuumiza. + +# Shushani + +Tafsiri kama katika 1:1 + diff --git a/est/08/15.md b/est/08/15.md new file mode 100644 index 00000000..1c9acd53 --- /dev/null +++ b/est/08/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nuru + +"furaha" + +# jimbo + +Tafsiri kama katika1:1 + +# sikukuu + +"maadhimisho" + diff --git a/est/09/01.md b/est/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..2b986c16 --- /dev/null +++ b/est/09/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mwezi wa kumi na mbili, siku ya kumi na tatu ambayo ni siku ya Adari katika siku ya kumi na tatu + +Tazama jinsi ulivyotafsiri hili katika 3:12. + +# walitarajia kutekeleza + +"tekeleza" + +# majimbo + +Tafsiri kama katika 1:1. + +# kutia mikono juu ya wale waliokusudia ubaya juu yao + +"kuwapiga maadui zao" + diff --git a/est/09/03.md b/est/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..a61fbe59 --- /dev/null +++ b/est/09/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# majimbo + +Tafsiri kama katika 1:1. + +# maakida na magavana + +"magavana wa majimbo" + +# umaarufu + +"ukuu" au "kutambuliwa" + diff --git a/est/09/06.md b/est/09/06.md new file mode 100644 index 00000000..f937870a --- /dev/null +++ b/est/09/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Shushani + +Tafsiri kama katika 1:1. + +# ngome + +ngome + +# wanaumemia tano + +wanaume500. + +# Parishandatha, Dalphoni, Aspatha, Poratha, Adalia, Aridatha, Parimashita, Arisai, Aridai, Vaizatha + +(Tazama: tafsiri majina) + +# wana kumi + +"wana 10" + +# Hamani + +(Tazama: tafsiri majina) + +# Hammedatha + +(Tazama: tafsiri majina) + diff --git a/est/09/11.md b/est/09/11.md new file mode 100644 index 00000000..fb77b842 --- /dev/null +++ b/est/09/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mji wa ngome + +ngome + +# wanaume mia tano + +wanaume 500 + +# wana kumi + +"wana 10" + +# Je wamefanya nini katika majimbo mengine? + +"Ni nini walipaswa kufanya katika majimbo mengine ya mfalme!" + +# matakwa + +"ombi" + diff --git a/est/09/13.md b/est/09/13.md new file mode 100644 index 00000000..bcf6036d --- /dev/null +++ b/est/09/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wana kumi + +"wana 10" + +# mti uilotumika ktundikia waharifu + +tafsiri kama katika 2:22 + diff --git a/est/09/15.md b/est/09/15.md new file mode 100644 index 00000000..0f5b7639 --- /dev/null +++ b/est/09/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# siku ya kumi na nne ya mwezi wa Adari + +Adari ni jina la mwezi wa kumi na mbili na mwezi wa mwisho kwa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi na nne karibia na mwezi Machi. + +# Majimbo + +Tafsiri hii kama ulivyotafsiri hii katika 1:1 + +# elfu sabini na tano + +sabini na tano 75000 + diff --git a/est/09/17.md b/est/09/17.md new file mode 100644 index 00000000..04f93d2b --- /dev/null +++ b/est/09/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# siku ya kumi na tana ya mwezi wa Adari + +Tazama ulitafsiri hii katika 3:12. + +# siku ya kumi na nne + +Tazama vile ulivyotafsiri hii katika 915. + +# Shuani + +Tazama ulivyotafsiri hii katika 1:1. + +# siku ya kumi na tano + +"siku 15" + +# furaha + +'shangwe" + diff --git a/est/09/20.md b/est/09/20.md new file mode 100644 index 00000000..f5c0ed22 --- /dev/null +++ b/est/09/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# siku ya kumi na nne na kumi na tano + +"siku 14 na 15" + +# sikukuu + +"maadhimisho" au "karamu" + diff --git a/est/09/23.md b/est/09/23.md new file mode 100644 index 00000000..4ac73987 --- /dev/null +++ b/est/09/23.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Aya hiiinafupisha sehemu kubwa ya simulizi ya Esta ii kufafanua sababu ya sherehe ya Purimu. + +# Hamani + +(Tazama: tafsiri majina) + +# Hammedatha + +(Tazama: tafsiri ya majina) + +# Mwagagi + +Hawa ni watu wa kundi la Hamani. + +# alipiga Puri (alipiga kura) + +"alipiga kura kubashiri ili kupata siku ya bahati katika mwaka ambayo atakayotekeleza mpango wake" + +# Puri + +"Purimu au kura" + +# Lakini taarifa ilipofika mbele ya mfalme + +Biblia ya Kiebrania inaweza pia kutasiriwa kwa kumaanisha, "Lakini Esta alipokuja mbele ya mfalme." + diff --git a/est/09/26.md b/est/09/26.md new file mode 100644 index 00000000..6ee0a303 --- /dev/null +++ b/est/09/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Purimu + +Sikukuu iliyosherehekewa kukumbuza wokovu wa Wayahudi katika Uajemi kutoka kwa njama ya Hamani ya kuharibu na kuua Wayahudi wote ndani ya siku moja. + +# mbili + +"2" + +# Siku hizi zilipawa kusherehekewa na kutunzwa + +"Wayahudi walipaswa kusherehekea na kuzitunza siku hizi" + +# "wasikome kuzitunza kwa uaminifu" + +"kutunza kwa uaminifu mara zote" + diff --git a/est/09/29.md b/est/09/29.md new file mode 100644 index 00000000..3d3159af --- /dev/null +++ b/est/09/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Abihaili + +(Tazama: tafsiri ya majina) + +# barua ya pili + +"barua ya nyongeza" + diff --git a/est/09/30.md b/est/09/30.md new file mode 100644 index 00000000..983273b9 --- /dev/null +++ b/est/09/30.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# 127 + +(Tazama: tafsiri ya namba) + +# majimbo + +Tumia neno lile lile kama lilivyotumika katika 1:1. + +# walivyowaelekeza + +"walijiweka" + +# sheria + +mpangilio" au uendeshaji" + diff --git a/est/10/01.md b/est/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..f5404fa8 --- /dev/null +++ b/est/10/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# akaweka + +"toza" + +# mafanikio + +"yaliyotimizwa" + diff --git a/est/10/03.md b/est/10/03.md new file mode 100644 index 00000000..05052ded --- /dev/null +++ b/est/10/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# pili + +"namba 2" + +# alitafuta + +"taka" au "hitajika" + +# hali njema + +"kuwa katika hali nzuri" + diff --git a/exo/01/01.md b/exo/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..eec37005 --- /dev/null +++ b/exo/01/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# jamii + +Hii inahusu watu wote wanao ishi katika nyumba pamoja, hususani familia kubwa yenye watumishi. + +# sabini + +"70" + +# yusufu alikuwa Misri tayari + +"Yusufu aliishi Misri kabla ya kaka zake" + diff --git a/exo/01/06.md b/exo/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..6d8b4166 --- /dev/null +++ b/exo/01/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kaka zake wote + +kaka zake wakubwa 10 na mdogo 1. + +# Walikuwa wamatunda + +Uzao wa watoto kwa Waisraeli unasemekana kama vile mimea inayo zaa matunda. + +# nchi ili jazwa nao + +Hii ya weza wekwa kwenye tensi tendaji. "Walijaza nchi" + +# pamoja nao + +Neno "wao" la husu Waisraeli. + diff --git a/exo/01/08.md b/exo/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..bbd7c7a5 --- /dev/null +++ b/exo/01/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# akainuka juu ya Misri + +Hapa "Misri" ya husu watu wa Misri. + +# Akasema kwa watu wake + +"Mfalme akasema kwa watu wake" + +# watu wake + +Hawa walikuwa watu waliyo ishi Misri, Wamisri. + +# na tufanye + +Neno "sisi" lina jumuisha na kuhusu mfalme na watu wake, Wamisri. + +# Vita vikalipuka + +Hapa vita vinatajwa kama mtu anaye weza kufanya matendo. + +# kuondoka nchini + +"kuondoka Misri" + diff --git a/exo/01/11.md b/exo/01/11.md new file mode 100644 index 00000000..692d9fa1 --- /dev/null +++ b/exo/01/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mabwana wa kazi + +"waendesha watumwa." Hawa walikuwa Wamisri ambao kazi yao ilikuwa kulazimisha Waisraeli kufanya kazi ngumu. + +# kuwa kandamiza kwa kazi ngumu + +"kuwa lazimisha Waisraeli kufanya kazi ngumu ya Wamisri" + +# miji ya ghala + +Hizi zilikuwa sehemu viongozi walipo weka chakula na vitu vingine muhimu kuviweka salama. + diff --git a/exo/01/13.md b/exo/01/13.md new file mode 100644 index 00000000..d6ec1031 --- /dev/null +++ b/exo/01/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kufanya ... kazi kwa juhudi + +"kufanya ... fanya kazi kwa nguvu" au "kwa vikali fanya ... kazi" + +# walifanya maisha yao machungu + +Maisha magumu ya Waisraeli yanazungumzwa kama vile yalikuwa chakula kichungu ambacho kili kuwa kigumu kula. + +# chokaa + +Hii ilikuwa gundi ya maji au matope kati ya matofali au mawe yaliyo yashika pamoja yalipo kauka. + +# Kazi zao zote zilikuwa ngumu + +"Wamisri waliwafanya wafanye kazi kwa nguvu sana" au "Wamisri waliwalimizimisha kufanya kazi kwa ngumu" + diff --git a/exo/01/15.md b/exo/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..753ca091 --- /dev/null +++ b/exo/01/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mfalme wa Misri + +Wafalme wa Misri aliitwa Farao. + +# wakunga + +Hawalikuwa wanawake waliyo wasaidia mwanawake kuzaa mtoto. + +# Shifira ... Pua + +Haya ni majina ya wanawake wa Kiebrania. + +# katika kiti cha kujifungulia + +Wanawake waliketi kwenye ichi kiti walipo jifungua. Hivyo basi, ina hashiriwa na kujifungua. + diff --git a/exo/01/18.md b/exo/01/18.md new file mode 100644 index 00000000..d06707f4 --- /dev/null +++ b/exo/01/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wakunga + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 1:15 + +# Kwanini umefanya hivyo, na kuwaacha watoto kuishi? + +Farao aliuliza hili swali kukemea wakunga kwa kuruhusu watoto kuishi. + +# Wanawake wa Kiebrania hawapo kama wanawake wa Kimisri + +Wakungu walijibu kwa hekima kuridhisha hasira ya Farao. + diff --git a/exo/01/20.md b/exo/01/20.md new file mode 100644 index 00000000..1558f48f --- /dev/null +++ b/exo/01/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nini Farao aliagiza watu wake kufanya kwa watoto wa kiume? + +Farao aliagiza watu wake wote, "Lazima mtupe kila mtoto wa kiume anaye zaliwa kwenye mto." + diff --git a/exo/02/01.md b/exo/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..24c66bcb --- /dev/null +++ b/exo/02/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sasa + +Neno hili linatumika hapa kuweka alama ya mapumziko katika matukio muhimu. Hapa mwandishi anaanza kusimulia sehemu mpya. + +# tatu + +"3" + diff --git a/exo/02/03.md b/exo/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..7b8f5f75 --- /dev/null +++ b/exo/02/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kisafina cha manyasi + +Hichi ni chombo kilicho tengenezwa kutokana nyasi inayo ota kando ya Mto wa Misri. + +# akakipaka sifa na lami + +Unaeza elezea kuwa hii ilikuwa kwa ajili ya kuzuuia maji. + +# sifa + +Hii ni gundi iliyo tengenezwa kwa petroli. Yaweza kutumika kuzuia maji. + +# lami + +Hii ni gundi ya rangi kawia au nyeusi inayo weza kutengenezwa kwa utomvu wa mti au petroli. Hivyo basi "lami" itajumuisha sio tu "sifa" bali pia mimea yenye utomvu. Yaweza tumika kuzuia maji. + +# majani + +Haya "majani" yalikuwa haina ya nyasi ndefu yaliyo ota sehemu nyevu na tambarare. + +# akasimama mbali + +Hii ina maana ya kuwa alisimama umbali ambao hakuweza kuonekana, lakini kwa ukaribu ambao aliweza kuona sanduku. + diff --git a/exo/02/05.md b/exo/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..3dc6655a --- /dev/null +++ b/exo/02/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# vijakazi + +"watumishi" + +# Tazama + +Neno "Tazama" la hashiria maelezo yanayo shangaza yafuatayo. + diff --git a/exo/02/07.md b/exo/02/07.md new file mode 100644 index 00000000..297408c6 --- /dev/null +++ b/exo/02/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# akunyonyeshe + +"kunyonyesha" + diff --git a/exo/02/09.md b/exo/02/09.md new file mode 100644 index 00000000..bc369f61 --- /dev/null +++ b/exo/02/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# akamleta + +"mwanamke wa Kiebrania akamleta" + +# akawa mwana wake + +"akawa mwana wa kupanga wa binti wa Farao" + +# Kwasababu nilimtoa kwenye maji + +Watafsiri wanaweza kuongeza alama inayo sema "Jina Musa linaeleweka kama jina la Kiebrania linalo maanisha "kuvuta." + +# nilimtoa + +"kumvuta" + diff --git a/exo/02/11.md b/exo/02/11.md new file mode 100644 index 00000000..eb38e001 --- /dev/null +++ b/exo/02/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# akampiga + +"kumgonga" + +# Akatazama huko na huko + +Haya maeneo tofauti yana maana moja ya "kila sehemu." + diff --git a/exo/02/13.md b/exo/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..9c8f3bb1 --- /dev/null +++ b/exo/02/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Akatoka + +"Musa akatoka" + +# Tazama + +Neno "tazama" hapa la onyesha kwamba Musa alishangazwa kwa alicho kiona. + +# yeye aliye kuwa na makosa + +Hii ilikuwa ni namna ya kusema "yeye alianza pambano" + +# nani aliye kufanya kiongozi na muamuzi juu yetu? + +Mtu aliye tumia hili swali kumkemea Musa kwa kuingilia pambano. + +# Unataka kuniua kama ulivyo muua yule Mmisri? + +Mwanaume huyu alitumia swali kwa kejeli. + diff --git a/exo/02/15.md b/exo/02/15.md new file mode 100644 index 00000000..a7e9896b --- /dev/null +++ b/exo/02/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sasa Farao alipo sikia kuhusu hili + +Neno "sasa" linatumika hapa kuweka alama ya pumziko katika tukio. Hapa mwandishi anaanza kueleza sehemu mpya ya tukio. + +# Sasa kuhani wa Midiani alikuwa na mabinti saba + +Neno "sasa" linatumika hapa kuweka alama ya pumziko katika tukio. Hapa mwandishi anaeleza watu wapya katika simulizi. + +# chota maji + +Hii ina maana walichota maji kwenye kisima. + +# birika + +chombo kirefu cha wazi, chemba, kinacho wanacho tumia wanyama kulia au kunywea. + +# kuwafukuza + +"kuwakimbiza" + +# akawasaidia + +"akawaokoa" + diff --git a/exo/02/18.md b/exo/02/18.md new file mode 100644 index 00000000..d9699296 --- /dev/null +++ b/exo/02/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwanini ulimuacha mwanaume? + +Hili swali ni kemeo kwa mabinti kwa kutomkaribisha Musa nyumbani kwao kwa kadiri ya mapokezi ya utamaduni. + diff --git a/exo/02/21.md b/exo/02/21.md new file mode 100644 index 00000000..465f72b8 --- /dev/null +++ b/exo/02/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Musa akakubali kukaa na huyo mwanaume + +"Musa akakubali kuishi na Reueli" + +# Zipora + +Huyu ni binti wa Reueli. + +# Gerishomu + +Huyu ni mwana wa Musa + +# wakazi katika nchi ya kigeni + +"wageni katika nchi ya kigeni" + diff --git a/exo/02/23.md b/exo/02/23.md new file mode 100644 index 00000000..7dd97e21 --- /dev/null +++ b/exo/02/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sononeka + +Walifanya hivi kwasababu ya uzuni na mateso yao. + +# maombi yao yakaenda kwa Mungu + +kilio chao Waisraeli kikaenda kinazungumziwa kama ni mtu na anaweza kwenda Mungu alipo. + +# Mungu akakumbuka agano lake + +Hii ilikuwa namna ya kitamaduni yakusema Mungu aliwaza kuhusu alicho kiahidi. + diff --git a/exo/03/01.md b/exo/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..95d805f4 --- /dev/null +++ b/exo/03/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# malaika wa Yahweh + +Huyu alikuwa Yahweh mwenyewe aliyekuwa anajitokeza kama malaika, na sio kama malaika Yahweh aliye mtuma. + +# Yahweh + +Hili ni jina la Mungu alilo lirihidhisha kwa watu wake wa Agano la Kale. + +# Tazama + +Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba Musa aliona kitu kilicho kuwa cha tofauti na alicho tegemea. + diff --git a/exo/03/04.md b/exo/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..9fe23c8b --- /dev/null +++ b/exo/03/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kutengwa + +"kilicho fanywa takatifu" + +# Mungu wa baba yako, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo + +Hawa wanaume wote walimuabudu Mungu mmoja. + +# baba yako + +Maana inayo wezekana ni 1) "babu yako" au 2) "baba yako." Kama ina maana babu yako," kisha basi maneno yafuatayo ya fafananua nani "baba yako" ina muhusu: ina muhusu Ibrahimu, Isaka, na Yakobo. Kama ina maana ya "baba yako," kisha basi ina muhusu baba yake Musa. + diff --git a/exo/03/07.md b/exo/03/07.md new file mode 100644 index 00000000..5b0465b8 --- /dev/null +++ b/exo/03/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wasimamizi + +"waendesha watumwa." Hawa walikuwa wa Misri ambao kazi yao ilikuwa kuwalazimisha Waisraeli kufanya kazi. + +# nchi inayo tiririka kwa maziwa na asali + +"nchi ambayo maziwa na asali yatiririka." Mungu akazungumza kwa habari ya nchi kuwa nzuri kwa ajili ya wanyama na mimea kama maziwa na asali kutoka kwa hao wanyama na mimea ilikuwa ya tiririka kwenye nchi. + +# tiririka kwa + +"imejawa na" au "na utele wa" + +# maziwa + +Kwa maana maziwa yanatoka kwa ng'ombe na mbuzi, hii yawakilisha chakula kinacho tokana na mifugo. + +# asali + +Kwa maana asali yatokana na mau, hii ya wakilisha chakula cha mazao. + diff --git a/exo/03/09.md b/exo/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..46378d5c --- /dev/null +++ b/exo/03/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kelele za watu Waisraeli zimekuja kwangu + +Hapa neno "kelele" inazungumziwa kama ni watu wanao weza kusogea mwenyewe. + diff --git a/exo/03/11.md b/exo/03/11.md new file mode 100644 index 00000000..ae20a51a --- /dev/null +++ b/exo/03/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mimi ni nani, hadi niende kwa Farao ... Misri? + +Musa anatumia hili swali kumuambia Mungu kwamba Musa sio kitu na hakuna atakaye msikiliza. + diff --git a/exo/03/13.md b/exo/03/13.md new file mode 100644 index 00000000..0a1ea4ee --- /dev/null +++ b/exo/03/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mungu akamwambia Musa, "MIMI NIKO AMBAYE NIKO." + +Hili ndilo jibu la Mungu kwa swali la Musa kuhusu jina la Mungu. + +# MIMI NIKO AMBAYE NIKO + +Maana inayo wezekana hapa ni 1) hii sentesi yote ni jina la Mungu au 2) Mungu hasemi jina lake lakini kitu kuhusu yeye. Kwa kusema hili, Mungu anafundisha kuwa yeye ni wa milele; aliishi na ataishi. + diff --git a/exo/03/16.md b/exo/03/16.md new file mode 100644 index 00000000..c628e750 --- /dev/null +++ b/exo/03/16.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mungu anaendelea kuzungumza na Musa. + +# Mungu wa mababu zako, Mungu wa Ibrahimu, wa Isaka, na wa Yakobo + +Ibrahimu, Isaka na Yakobo walikuwa ni mababu wa tatu wa Musa. Wote walimuabudu Mungu mmoja. + +# Hakika nimekutathimini + +Neno "wewe" la husu watu wa Israeli. + +# nchi inayo tiririka maziwa na asali + +Mungu aliongelea nchi kuwa nzuri kwa wanyama na mimea kana kwamba maziwa na asali kutoka kwa hao wanyama yalikuwa ya tiririka kwenye nchi. + +# tiririka + +"iliyo jawa" au kwa utele wa" + +# maziwa + +Kwa maana maziwa yanatoka kwa ng'ombe na mbuzi, hii ya wakilisha chakula kinacho tokana na mifugo. + +# asali + +Kwa maana asali yanatoka kwenye mau, hii ya wakilisha chakula kinacho tokana na mazao. + +# Watakusikiliza wewe + +Neno "wewe" la muhusu Musa. + diff --git a/exo/03/19.md b/exo/03/19.md new file mode 100644 index 00000000..204097bb --- /dev/null +++ b/exo/03/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mungu anaendelea kusema na Musa. + +# hadi mkono wake ulazimishwe + +Hii yaweza andikwa katika tenzi tendaji. Neno "mkono" linasimama katika nafasi ya nguvu ya mwenye mkono. Maana inayo wezekana ni 1) "pale tu atakapoona hana nguvu ya kufanya kitu kingine chochote" 2) "pale tu nitakapo mlazimisha kuacha muende" au 3) "ata kama nitamlazimisha kuwaacha muende" + +# Nitanyoosha mkono wangu na kushambulia + +Hapa "mkono" wa husu nguvu ya Mungu. + +# sitaenda mikono mitupu + +Hapa neno "mikono mitupu" linatumika kueleza maana tofauti. + +# wanawake wowote wanao ishi nyumbani kwa jirani + +"Misri yeyote anaye ishi nyumbani kwa jirani yake wa Kimisri" + diff --git a/exo/04/01.md b/exo/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..9cb3ddba --- /dev/null +++ b/exo/04/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kama wasipo amini + +"kama Waisraeli wasipo amini" + diff --git a/exo/04/04.md b/exo/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..186874d3 --- /dev/null +++ b/exo/04/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# shika kwenye mkia + +"nyanyua kwenye mkia" au "chukuwa kwenye mkia" + +# likawa gongo + +"geuka kuwa gongo" au "badilika kuwa gongo" + +# Mungu wa mababu zao, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo + +Ibrahimu, Isaka na Yakobo walikuwa ni mababu wa tatu wa Musa. Wote walimuabudu Mungu mmoja. + diff --git a/exo/04/06.md b/exo/04/06.md new file mode 100644 index 00000000..c92f674a --- /dev/null +++ b/exo/04/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# tazama + +Hili neno linatumika kuweka mshangao + +# nyeupe kama theluji + +Neno "kama" hapa linatumika kulinganisha mkono wa Musa ulivyo onekana. Ukoma una sababisha ngozi kuonekana nyeupe. + diff --git a/exo/04/08.md b/exo/04/08.md new file mode 100644 index 00000000..7bead99d --- /dev/null +++ b/exo/04/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kuwa makini + +"tambua" au "kubali" + diff --git a/exo/04/10.md b/exo/04/10.md new file mode 100644 index 00000000..700876f7 --- /dev/null +++ b/exo/04/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# mnenaji hodari + +"mnenaji mzuri" + +# mimi ni mtaratibu wa kuongea na mtaratibu wa ulimi + +Haya maneno "mtaratibu wa kuongea" na "mtaratibu wa ulimi" yana maana moja. Musa alitumia kuwe mkazo kuwa sio msemaji mzuri. + +# mtaratibu wa ulimi + +Hapa "ulimi" wa husu Musa na uwezo wake wa kuongea. + +# Nani aliye ufanya mdomo wa mwanadamu? + +Yahweh anatumia swali kuweka mkazo kwamba yeye ni muumbaji anaye wezesha watu kuzungumza. + +# Nani anaye mfanya mtu bubu au kiziwi au kuona au kipofu? + +Yahweh anatumia swali kuweka mkazo kwamba yeye ndiye anaye amua kama watu wataongea na kusikia, na kama wataona. + +# Siye mimi, Yahweh? + +Yahweh anatumia swali kuweka mkazo kwamba yeye ndiye mwenye maamuzi haya. + +# nitakuwa na mdomo wako + +Hapa "mdomo" wa husu Musa na uwezo wake wakuongea. + diff --git a/exo/04/14.md b/exo/04/14.md new file mode 100644 index 00000000..7dae3287 --- /dev/null +++ b/exo/04/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# ata kuwa na furaha moyoni mwake + +Hapa "moyo" wa husu mawazo ya ndani na hisia. + +# eka maneno ya kusema modomoni mwake + +Maneno hapa yanazungumzwa kama ni vitu vinavyo weza kuwekwa mdomoni mwa mtu. Hapa maneno yana maana ya ujumbe. + +# nitakuwa na mdomo wako + +Neno "mdomo" hapa lina wakilisha uchaguzi wa maneno ya Musa. + +# mdomo wake + +Neno "mdomo" hapa lina wakilisha uchaguzi wa maneno ya Aruni. + +# Ata kuwa na mdomo wako + +Neno "mdomo" hapa lina wakilisha marudio ya yale Aruni aliyo ambiwa na Musa. + +# utakuwa kwake kama kwangu, Mungu + +Neno "kama" hapa la maanisha Musa ata wakilisha mamlaka hayo kwa Aruni kama Mungu alivyo fanya kwa Musa. + diff --git a/exo/04/18.md b/exo/04/18.md new file mode 100644 index 00000000..a41a2657 --- /dev/null +++ b/exo/04/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# baba mkwe + +Hii ya husu baba wa mke wa Musa. + diff --git a/exo/04/21.md b/exo/04/21.md new file mode 100644 index 00000000..68fc2392 --- /dev/null +++ b/exo/04/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ata fanya moyo wake mgumu + +Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungmziwa kama moyo wake ni mgumu. + +# Israeli ni mwana wangu + +Neno "Israeli" hapa lina wakilisha watu wote wa Israeli. + +# ni mwana wangu, mzaliwa wangu wa kwanza + +Hapa watu wa Israeli wanazungumziwa kama wazaliwa wa kwanza anaye sababisha furaha na kiburi. + +# Nitaua mwanao hakika, mzaliwa wako wa kwanza + +Neno "mwana" hapa la husu mwana halisi wa Farao + diff --git a/exo/04/24.md b/exo/04/24.md new file mode 100644 index 00000000..7110b63c --- /dev/null +++ b/exo/04/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yahweh alikutana na Musa na akajaribu kumuua + +Hii yaweza kuwa kwasababu Musa hakumtairi mwanae. + +# Zipora + +Hili ni jina la mke wa Musa + +# kisu cha jiwe + +Hichi kilikuwa kisu kliicho undwa kwa jiwe. + +# kwenye miguu yake + +Ina wezekana kuwa neno "miguu" hapa limetumika kama namna ya heshima ya kutaja sehemu zake za siri za mwili. + +# wewe ni bwana arusi kwangu kwa damu + +Maana ya umbo hili sio wazi. Yaweza kuwa ulikuwa msemo unao fahamika kwenye utamaduni wao. + diff --git a/exo/04/27.md b/exo/04/27.md new file mode 100644 index 00000000..c055abc7 --- /dev/null +++ b/exo/04/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yahweh akamwambia Aruni + +Unaweza taka kuongeza neno linalo weza kuweka alama mwanzo wa sehemu mpya wa hadithi. + +# katika mlima wa Mungu + +Huu waweza kuwa mlima wa Sinai, lakini ukurasa hauelezi maelezo haya. + +# alimtuma yeye kusema + +Neno "yeye" lamuhusu Yahweh. + diff --git a/exo/04/29.md b/exo/04/29.md new file mode 100644 index 00000000..2d7861d6 --- /dev/null +++ b/exo/04/29.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# katika macho ya watu + +"mbele ya watu" au "katika uwepo wa watu" + +# aliwatathimini Waisraeli + +"aliwaona Waisraeli" au "alijali kuhusu Waisraeli" + +# waliinamisha vichwa vyao + +Maana zinazo wezakana ni 1) "aliinamisha vichwa vyao kwa mshangao" au 2) "aliinama chini kwa kuabudu" + diff --git a/exo/05/01.md b/exo/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..76a7943c --- /dev/null +++ b/exo/05/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Baada ya hivi vitu kutokea + +Sio wazi muda gani ambao Musa na Aruni walisubiri mpaka walipo muuona Farao. + +# sherehe kwa ajili yangu + +Hii ni sherehe ya kumuabudu Yahweh. + +# Yahweh ni nani? + +Farao anatumia hili swali kuonyesha kuwa hamtambui Yahweh kama mungu halali. + +# Kwanini mimi ... ach Israeli iende? + +Farao anatumia hili swali kuonyesha kwamba anatamanio la kumtii Yahweh au kuwaacha Waisraeli waende kumuabudu Mungu. + +# sikiliza sauti yako + +Maneno "sauti yako" yana wakilisha Mungu aliyo ya sema. + diff --git a/exo/05/03.md b/exo/05/03.md new file mode 100644 index 00000000..9a64ba3c --- /dev/null +++ b/exo/05/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mungu wa Waebrania + +Hili ni neno linalo tumika kwa ajili ya Mungu wa Waisraeli au Yahweh. + +# au kwa upanga + +Hapa "upanga" ya wakilisha vita au shambulizi la maadui. + +# kwanini unachukuwa watu kutoka kazini kwao? + +Farao anatumia swali hili kuonyesha hasira yake kwa Musa na Aruni kuwatoa Waisraeli kwenye kazi yao. + diff --git a/exo/05/06.md b/exo/05/06.md new file mode 100644 index 00000000..7d78207b --- /dev/null +++ b/exo/05/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wasimamizi + +"waendesha watumwa" Hawa walikuwa Wamisri ambao kazi yao ilikuwa kuwalazimisha Waisraeli kufanya kazi ngumu. + +# wewe haupaswi kutoa tena + +Neno "wewe" katika hii mistari ni wingi na ya husu wasimamizi na mabwana. + diff --git a/exo/05/10.md b/exo/05/10.md new file mode 100644 index 00000000..704b0f82 --- /dev/null +++ b/exo/05/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wasimamizi + +"waendesha watumwa" Hawa walikuwa Wamisri ambao kazi yao ilikuwa kuwalazimisha Waisraeli kufanya kazi ngumu. + +# sitakupatia wewe mrija wowote tena .. pata mriji popote utakapo upata + +Neno "wewe" katika hii mistari ni wingi na ya husu watu wa Israeli. + +# nyinyi wenyewe lazima muende + +Hapa "wenyewe" la tilia mkazo kuwa Wamisri hawata wasaidia. + +# mzigo wa kazi zenu hazitapunguzwa + +Hii yaweza andikwa katika mfumo endelevu. + diff --git a/exo/05/12.md b/exo/05/12.md new file mode 100644 index 00000000..3f238e92 --- /dev/null +++ b/exo/05/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nchi yote ya Misri + +Huu ni msisitizo wa kuonyesha juhudi la ziada + +# wasimamizi + +"waendesha watumwa" Hawa walikuwa Wamisri ambao kazi yao ilikuwa kuwalazimisha Waisraeli kufanya kazi ngumu. + +# kapi + +sehemu ya mmea ambayo inabaki baada ya mavunop + +# kwanini ujatengeneza matofali yote yanayo kupasa ... hapo awali? + +Wasimamizi walitumia maswali kuonyesha wana hasira kwa upungufu wa matofali. + diff --git a/exo/05/15.md b/exo/05/15.md new file mode 100644 index 00000000..7a89423c --- /dev/null +++ b/exo/05/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wakalia + +"wakalalamika" + +# bado wanatuambia 'tengeneza matofali!' + +Hapa "wana" ya husu wasimamizi wa Kimisri. + diff --git a/exo/05/19.md b/exo/05/19.md new file mode 100644 index 00000000..75bff0ea --- /dev/null +++ b/exo/05/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# walipo ambiwa + +Hii yaweza andikwa katika sentensi tendaji. + +# jumba + +Hii ni nyumba kubwa sana mfalme anayo ishi. + +# mmetufanya chukizo + +Wamisri wali wajibu Waisraeli kama walivyo kuwa wakijibu wanapo sikia harafu chafu. + +# wameweka upanga mkononi mwetu kutuua + +Hapa "upanga" wawakilisha nafasi ya kuteketeza maadui. + diff --git a/exo/05/22.md b/exo/05/22.md new file mode 100644 index 00000000..55a502da --- /dev/null +++ b/exo/05/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Bwana kwanini umesababisha matatizo kwa hawa watu? + +Hili swali la onyesha jinisi alivyo kata tamaa kuwa Wamisri wana wa tendea vibaya Waisraeli kwa ukali zaidi sasa. + +# kwanini ulinituma mimi kwanza? + +Hili swali la onyesha jinsi Musa alivyo kata tamaa kuwa Mungu alimtuma Misri. + +# ongea nae kwa jina lake + +Neno "jina" hapa la wakilisha ujumbe wa Mungu. + diff --git a/exo/06/01.md b/exo/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..09fa5e5d --- /dev/null +++ b/exo/06/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mkono wangu hodari + +Neno "mkono" hapa wa wakilisha matendo ya Mungu au kazi. + diff --git a/exo/06/02.md b/exo/06/02.md new file mode 100644 index 00000000..8cb01915 --- /dev/null +++ b/exo/06/02.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nilimtokea Ibrahimu, Isaka, na Yakobo + +"Nilijionyesha kwa Ibrahimu, Isaka, na Yakobo" + +# sikujuliikana kwao + +Hii yaweza andikwa katika sentensi tendeaji. + +# kilio + +Hii ina maana ya kufanya sauti za uzuni kwasababu ya maumivu na mateso. + diff --git a/exo/06/06.md b/exo/06/06.md new file mode 100644 index 00000000..b89e828d --- /dev/null +++ b/exo/06/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# sema kwa Waisraeli + +Hii ni amri kutoka kwa Yahweh kwa Musa. + diff --git a/exo/06/08.md b/exo/06/08.md new file mode 100644 index 00000000..d322bc1f --- /dev/null +++ b/exo/06/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# muahidi + +"apa" au "niliyo sema nita" + diff --git a/exo/06/10.md b/exo/06/10.md new file mode 100644 index 00000000..6bcd4e97 --- /dev/null +++ b/exo/06/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kama Waisraeli hawajanisikiliza mimi , kwa nini Farao anisikillize mimi, tangu mimi sio mzuri wakuzungumza? + +Musa aliuliza hili swali akitumaini Mungu atabadilisha nia yake ya kumtumia Musa. + diff --git a/exo/06/14.md b/exo/06/14.md new file mode 100644 index 00000000..38921867 --- /dev/null +++ b/exo/06/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# vichwa wa nyumba za baba yao + +Hapa "vivhwa" ya husu mababu wa hasili wa ukoo. + +# Hanoki ... Shauli + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/exo/06/16.md b/exo/06/16.md new file mode 100644 index 00000000..0c0f3d68 --- /dev/null +++ b/exo/06/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Gerishoni ... Merari + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Amramu ... Uzieli + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/exo/06/20.md b/exo/06/20.md new file mode 100644 index 00000000..0007e9ef --- /dev/null +++ b/exo/06/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Izhari ... Kora ... Zikri + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Uzieli .. Mishaeli ... Sithri + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/exo/06/23.md b/exo/06/23.md new file mode 100644 index 00000000..22350ade --- /dev/null +++ b/exo/06/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nadabu ... Ithamari + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Fineazi + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Hawa walikuwa vichwa wa nyumba za baba yao + +Neno "vichwa" ya wakilisha viongozi wa familia. + diff --git a/exo/06/26.md b/exo/06/26.md new file mode 100644 index 00000000..ae946cf4 --- /dev/null +++ b/exo/06/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwa makundi ya wanaume wapiganaji + +"kabila moja kwa wakati" au "kundi la familia moja baada ya lingine" + diff --git a/exo/06/28.md b/exo/06/28.md new file mode 100644 index 00000000..e5e79f06 --- /dev/null +++ b/exo/06/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mimi sio mzuri ... kwanini Farao anisikilize mimi? + +Musa anauliza hili swali akitumaini kubadilisha nia ya Mungu. + diff --git a/exo/07/01.md b/exo/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..179a2df5 --- /dev/null +++ b/exo/07/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# nimekufanya kama mungu + +"nitamsabisha Farao akuchukulie kama mungu" + diff --git a/exo/07/03.md b/exo/07/03.md new file mode 100644 index 00000000..1ccd3a4c --- /dev/null +++ b/exo/07/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# moyo wa Farao mgumu + +Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumziwa kama moyo mgumu. + +# ishara nyingi ... maajabu mengi + +Maneno "ishara" na "maajabu" yana maana moja. Mungu anatumia kukazia ukuu wa atakayo ya fanya Misri. + +# nitaueka mkono wangu juu ya ... nyoosha mkono wangu kwa + +Maneno "mkono wangu" ya wakilisha nguvu kubwa ya Mungu. + diff --git a/exo/07/06.md b/exo/07/06.md new file mode 100644 index 00000000..50f594ff --- /dev/null +++ b/exo/07/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# na miaka themanini na tatu + +"na Aruni alikuwa na miaka themanini na tatu + diff --git a/exo/07/08.md b/exo/07/08.md new file mode 100644 index 00000000..befefeb6 --- /dev/null +++ b/exo/07/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati Farao atakapo waambia, 'Fanya muujiza,' utamwambia Aruni, 'Chukuwa gongo lako na ulirushe chini mbele ya Farao, ililigeuke nyoka + +Hii yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. + diff --git a/exo/07/11.md b/exo/07/11.md new file mode 100644 index 00000000..8a02fde8 --- /dev/null +++ b/exo/07/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# lilimeza + +"lilikula" au "liliharibu" + +# Moyo wa Farao ulikuwa mgumu + +Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumziwa kama moyo wake ulikuwa mgumu. + diff --git a/exo/07/14.md b/exo/07/14.md new file mode 100644 index 00000000..e13f95c0 --- /dev/null +++ b/exo/07/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Moyo wa Farao ni mgumu + +Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi ya zungumziwa kama moyo wake ulikuwa mgumu. + +# anapoenda kwenye maji + +Maana kamili ya sentesi yaweza fanya halisi. + diff --git a/exo/07/16.md b/exo/07/16.md new file mode 100644 index 00000000..b430631b --- /dev/null +++ b/exo/07/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwambie + +"Sema kwa Farao" + +# piga maji + +"gonga maji" + diff --git a/exo/07/19.md b/exo/07/19.md new file mode 100644 index 00000000..b37c9da5 --- /dev/null +++ b/exo/07/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# nzima + +"kila sehemu" + diff --git a/exo/07/20.md b/exo/07/20.md new file mode 100644 index 00000000..1191f632 --- /dev/null +++ b/exo/07/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# moyo wa Farao ukawa mgumu + +Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi ya zungumziwa kama moyo mgumu. + +# kwenye mto + +Jina la mto la weza fanywa alisi. + diff --git a/exo/07/23.md b/exo/07/23.md new file mode 100644 index 00000000..10460184 --- /dev/null +++ b/exo/07/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wamisri wote + +Neno "wote" hapa la ni msisitizo wa kukazia jinsi tatizo lilivyo kuwa kubwa. + diff --git a/exo/08/01.md b/exo/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..54712bbf --- /dev/null +++ b/exo/08/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mto + +"Mto Nile" + +# vyombo vya kukandia mkate + +Hivi ni vyombo vya mkate watengenezewa + diff --git a/exo/08/08.md b/exo/08/08.md new file mode 100644 index 00000000..f972218c --- /dev/null +++ b/exo/08/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kisha Farao akawaita Musa na Aruni + +"Kisha Farao akawatuma Musa na Aruni" + +# Unaweza chukuwa fursa ya kuniambia lini nikuombee wewe + +"Unaweza chagua lini ni kuombee wewe" au "Unaweza chagua muda wa kukuombea" + diff --git a/exo/08/13.md b/exo/08/13.md new file mode 100644 index 00000000..bf1f807c --- /dev/null +++ b/exo/08/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# aliufanya moyo wake kuwa mgumu + +"Farao akaufanya moyo wake mgumu." Hapa "mgumu" ya maanisha akawa na kiburi. + +# kama Yahweh alivyo sema + +"kama Yahweh alivyo sema Musa ata fanya" + diff --git a/exo/08/18.md b/exo/08/18.md new file mode 100644 index 00000000..33db954c --- /dev/null +++ b/exo/08/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hichi ni kidole cha Mungu + +Maneno "kdiole cha Mungu" ya wakilisha nguvu ya Mungu. + +# moyo wa Farao ulikuwa Mgumu + +Hapa "moyo" wa husu Farao. + diff --git a/exo/08/20.md b/exo/08/20.md new file mode 100644 index 00000000..0f64c761 --- /dev/null +++ b/exo/08/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# usimame mbele ya Farao + +"jiwakilishe kwa Farao" + +# Acha watu wangu waende + +"waeke watu wangu huru" + diff --git a/exo/08/22.md b/exo/08/22.md new file mode 100644 index 00000000..ea1b2d52 --- /dev/null +++ b/exo/08/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuzungumza na Farao kupitia Musa. + +# nchi iliharibiwa na makundi ya nzi + +Hii yaweza tafsiriwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/08/25.md b/exo/08/25.md new file mode 100644 index 00000000..484222fe --- /dev/null +++ b/exo/08/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mbele ya macho yao + +Hii ilikuwa desturi ya kusema "mbele ya uwepo wa mtu" + +# hawata tupiga mawe? + +Musa ana uliza hili swali kumuonyesha Farao kuwa Wamisri wata waruhusu Waisraeli kumuabudu Yahweh. + diff --git a/exo/08/28.md b/exo/08/28.md new file mode 100644 index 00000000..074bfe70 --- /dev/null +++ b/exo/08/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# usifanye udhalimu tena kwa kutowaacha watu wetu waende + +Hii yaweza andikwa katika mfumo halisi. + +# Lakini usifanye udhalimu + +"Lakini husitudanganye sisi" + diff --git a/exo/08/30.md b/exo/08/30.md new file mode 100644 index 00000000..cf28dbbc --- /dev/null +++ b/exo/08/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Farao aliufanya moyo wake mgumu + +Hapa "moyo" wa husu Farao. + diff --git a/exo/09/01.md b/exo/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..3bd1750d --- /dev/null +++ b/exo/09/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuzungumza na Musa kuhusu kushughulika na Farao na kuwaleta watu Waebrania njee ya Misri. + +# ukikataa kuwaruhusu waende, kama utaendelea kuwa bakiza nyuma + +Hii mistari miwili ina maana moja. Watamsisitiza Farao nini kitakacho watokea Farao akifanya hivi. + +# basi mkono wa Yahweh utakuwa kinyume dhidi + +Neno "mkono" hapa wa wakilisha nguvu ya Yahweh ya kuwa dhuru wanyama kwa magonjwa. + +# ya mifugo yako + +Neno "yako" hapa la husu watu wote wa Misri waliyo miliki mifugo. + +# mifugo ya Israeli + +Hapa "Israeli" ya husu watu wa Israeli. + +# mifugo Misri + +Neno "Misri" hapa la husu watu wa Misri + diff --git a/exo/09/05.md b/exo/09/05.md new file mode 100644 index 00000000..691d5d52 --- /dev/null +++ b/exo/09/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# ametenga muda + +"ameeka muda" au "ameandaa muda" + +# mifugo yote ya Misri ikafa + +Hii iwe ongezewa kukazia umakini wa tukio. + +# mifugo ya Misri + +Hapa "Misri" ya husu watu wa Misri. + +# Farao akafanya utafiti + +Farao akakusanya ukweli kuhusu hali. + +# tazama + +Neno "tazama" hapa laonyesha kwamba Farao alishangazwa kwa alicho kiona. + +# moyo wake ulikuwa mjeuri + +Hapa "moyo" wa husu Farao. + diff --git a/exo/09/08.md b/exo/09/08.md new file mode 100644 index 00000000..17f59e5c --- /dev/null +++ b/exo/09/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# tanuru + +"shimo la moto" + +# safi + +"kidogo sana" + +# kutokea kwa + +"kutokea kwa haraka kwa watu" + diff --git a/exo/09/11.md b/exo/09/11.md new file mode 100644 index 00000000..aa68814f --- /dev/null +++ b/exo/09/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yahweh akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu + +Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumzwa hapa kama moyo wake mgumu. + diff --git a/exo/09/13.md b/exo/09/13.md new file mode 100644 index 00000000..bd2a7da1 --- /dev/null +++ b/exo/09/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kwako wewe + +Hii ina maana kuwa ata Farao ata umizwa kwa mapigo. + +# Nitafanya hivi ili ujue + +Neno "hivi" la husu mapigo ambayo Musa alimwambia Farao kuhusu. + diff --git a/exo/09/15.md b/exo/09/15.md new file mode 100644 index 00000000..94ea7c47 --- /dev/null +++ b/exo/09/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ningeweza kuunyosha mkono wangu na kukushambulia wewe + +Hapa "mkono wangu" wa husu nguvu ya Mungu. + +# ili kwamba jina langu litangazwe dunia nzima + +Hapa "jina langu" la wakilisha sifa ya Yahweh. + +# unajiinua dhidi ya watu wangu + +Upinzani wa Farao kuto waachia wa Israeli kwenda kumuabudu Yahweh unazungumziwa kama anajiinua yeye kuwa kikwazo kwao. + diff --git a/exo/09/18.md b/exo/09/18.md new file mode 100644 index 00000000..94850615 --- /dev/null +++ b/exo/09/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sikiliza! + +"Kuwa makini kwa kitu muhimu ninacho kuambia" + diff --git a/exo/09/27.md b/exo/09/27.md new file mode 100644 index 00000000..176410ddc --- /dev/null +++ b/exo/09/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# waite + +"kuita" + diff --git a/exo/09/29.md b/exo/09/29.md new file mode 100644 index 00000000..1075b26d --- /dev/null +++ b/exo/09/29.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Musa akamwambia + +"Musa akasema kwa Farao" + +# nitaitanua mikono yangu kwa Yahweh + +Hili tendo la ishara la ambatana na maombi. + +# mheshimu Yahweh Mungu + +Kumheshimu Mungu kwa husu kumtii na kuishi kwa namna inayoonyesha jinsi alivyo mkuu. + diff --git a/exo/09/31.md b/exo/09/31.md new file mode 100644 index 00000000..e43baff5 --- /dev/null +++ b/exo/09/31.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kitani + +Huu ni mmea unao zalisha nyuzi zinazo tengeneza nguo. + +# shayiri + +Hii ni aina ya mbegu inayo tumika kutengeneza mkate; pia ya tumika kulisha mifugo. + +# kusemethu + +Hii ni aina ya ngano + +# alitanua mikono yake kwa Yahweh + +Hii ishara ya ambatana na maombi + diff --git a/exo/09/34.md b/exo/09/34.md new file mode 100644 index 00000000..269d154d --- /dev/null +++ b/exo/09/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kufanya moyo wake kuwa mgumu + +Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumzwa hapa kama moyo wake mgumu. + +# Moyo wa Farao ulikuwa mgumu + +Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumzwa hapa kama moyo wake mgumu. + diff --git a/exo/10/01.md b/exo/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..c0e82d47 --- /dev/null +++ b/exo/10/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# nimeufanya moyo wake mgumu na moyo wa watumishi wake + +Yahweh anazungumza kuhusu kumfanya Farao na watumishi wake kuwa na kiburi kama alikuwa anafanya mioyo yao migumu. + +# tofauti + +"aina mbali mbali" + diff --git a/exo/10/03.md b/exo/10/03.md new file mode 100644 index 00000000..6df9bea4 --- /dev/null +++ b/exo/10/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# sikiliza + +Hili neno la tilia mkazo kwa alicho sema mbeleni + diff --git a/exo/10/05.md b/exo/10/05.md new file mode 100644 index 00000000..340e2554 --- /dev/null +++ b/exo/10/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mvua ya barafu ya mawe + +mvua ya barafu ya mawe ni mtone ya mvua yanayo ganda mawinguni. + +# halikuwai shuhudiwa + +Hii yaweza wekwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/10/07.md b/exo/10/07.md new file mode 100644 index 00000000..6f3c6368 --- /dev/null +++ b/exo/10/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# msumbufu + +Mtu "msumbufu" ni mtu anaye leta shida au madhara. + +# Mpaka lini huyu mwanaume ata kuwa msumbufu kwetu? + +Watumishi wa Farao wanauliza hili swali kumuonyesha Farao kiasi cha uharibifu wa Misri. + +# Bado haujatambua kuwa Misri imeharibiwa? + +Watumishi wa Farao wanauliza hili swali kumleta Farao atambue anacho kataa kuona. + +# Misri imeharibiwa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/10/09.md b/exo/10/09.md new file mode 100644 index 00000000..3fd6b69c --- /dev/null +++ b/exo/10/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kama nitawaacha muende na wadogo zenu waende + +Farao anasema hivi kukazia kwamba hata muacha Musa awachukuwe watoto kwenda muabudu Yahweh. + +# Kisha Musa na Aruni wakaondolewa uweponi mwa Farao + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/10/14.md b/exo/10/14.md new file mode 100644 index 00000000..fb853549 --- /dev/null +++ b/exo/10/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# ikawa giza + +kulikuwa na nzige wengi nchi ikaonekana kuwa giza. Kisha hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/10/16.md b/exo/10/16.md new file mode 100644 index 00000000..09ff83b4 --- /dev/null +++ b/exo/10/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wakati huu + +"mara ingine tena" + +# aondoe hichi kifo kwangu + +Neno "kifo" hapa la eleza uharibifu wa nzige kwa mimea yote Misri, ambayo hatimae itapelekea vifo vya watu kwasababu hakuna mazao. Maana yote ya hii sentesi yaweza andikwa kwa uhalisi. + diff --git a/exo/10/19.md b/exo/10/19.md new file mode 100644 index 00000000..8ba27b07 --- /dev/null +++ b/exo/10/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wachukuwa wale nzige + +"kuwapeleka nzige juu" + +# Yahweh aliufanya moyo wa Farao mgumu + +Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumzwa hapa kama moyo wake mgumu. + diff --git a/exo/10/21.md b/exo/10/21.md new file mode 100644 index 00000000..6112cb59 --- /dev/null +++ b/exo/10/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# giza linalo weza kuhisiwa + +Yahweh anazungumzia giza lililo pitiliza kana kwamba ni nene sana hadi watu wanaweza shika mikononi mwao. Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/10/24.md b/exo/10/24.md new file mode 100644 index 00000000..396e87d1 --- /dev/null +++ b/exo/10/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# ata mmoja hawezi kubaki + +Hapa "ata mmoja" ya husu wanyama wote. Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/10/27.md b/exo/10/27.md new file mode 100644 index 00000000..66dcfe0a --- /dev/null +++ b/exo/10/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yahweh aliufanya moyo wa Farao mgumu + +Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumzwa hapa kama moyo wake mgumu. + +# hakuwaacha waende + +"Farao hakuwaacha waende" + +# Kuwa muangalifu na jambo moja + +"Hakikisha jambo moja" au "Kuwa na uhakika kuhusu jambo moja" + +# uona uso wangu + +Hapa neno "uso" la husu mtu wote" + +# Wewe mwenyewe umesema + +Kwa haya maneno, Musa anakazia kuwa Farao amesema ukweli. + diff --git a/exo/11/01.md b/exo/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..467cb000 --- /dev/null +++ b/exo/11/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# atakuacha uondoke hapa + +Kila muonekano wa neno "ataku" katika huu mstari ni katika wingi na la husu Musa na Waisraeli wote. + diff --git a/exo/11/04.md b/exo/11/04.md new file mode 100644 index 00000000..c6912176 --- /dev/null +++ b/exo/11/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# manane + +Huu ni muda kati ya saa 6 usiku + +# Wazaliwa wa kwanza ... mzaliwa wa kwanza wa Farao ... mzaliwa wa kwanza wa misichana mtumwa ... wazaliwa wa kwanza wa mifugo + +"Mzaliwa wa kwanza" mara zote wa husu mzao mkubwa wa kiume. + +# anaye keti kiti chake cha enzi + +Hii ya husu Farao + +# anaye saga mbegu + +"anaye saga katika jiwe la kusagia" + diff --git a/exo/11/06.md b/exo/11/06.md new file mode 100644 index 00000000..8e07b3a7 --- /dev/null +++ b/exo/11/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baada ya hapo nitaondoka + +Hii ina maana ya kuwa Musa na watu wa Israeli wataondoka Misri. + diff --git a/exo/11/09.md b/exo/11/09.md new file mode 100644 index 00000000..854eef6a --- /dev/null +++ b/exo/11/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yahweh aliufanya moyo wa Farao mgumu + +Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumzwa hapa kama moyo wake mgumu. + diff --git a/exo/12/01.md b/exo/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..17732569 --- /dev/null +++ b/exo/12/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwako wewe, mwezi huu utakuwa mwanzo wa miezi, mwezi wa kwanza wa mwaka kwako + +Hii mistari miwili ina maana moja na kukazia kuwa mwezi ambao haya matukio yana tokea ndio utakuwa mwanzo wa mwaka wa wao wa kalenda. + +# mwezi wa kwanza wa mwaka + +Mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania ya jumuisha sehemu ya mwisho ya Machi na sehemu ya kwanza ya Aprili katika kalenda za Magharibi. Ina weka alama wakati Yahweh alipo waokoa Waisraeli kutoka Misri. + diff --git a/exo/12/03.md b/exo/12/03.md new file mode 100644 index 00000000..6f06ca93 --- /dev/null +++ b/exo/12/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kama hiyo nyumba ni ndogo sana kwa mwana kondoo + +Hii ina maana hakuna watu wakutosha katika familia kula mwana kondo mzima. + +# mwanaume na jirani yake + +Hapa "mwanaume" ya husu mwanaume aliye kiongozi wa familia. + diff --git a/exo/12/05.md b/exo/12/05.md new file mode 100644 index 00000000..751b9217 --- /dev/null +++ b/exo/12/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# jioni + +Hii ya husu muda wa jioni baada ya jua kuzama lakini bado pakiwa na mwanga. + +# kwenye sehemu mbili za mihimili ya milango na juu ya fremu za milango + +"pembeni na juu ya njia ya kuingia" + +# Kula na mkate ulio andaliwa kwa hamira + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# mimea michungu + +Haya ni majani madogo yenye ladha kali na mbaya. + diff --git a/exo/12/09.md b/exo/12/09.md new file mode 100644 index 00000000..a6b23c5c --- /dev/null +++ b/exo/12/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Usiile mbichi + +"Usile mwana kondo au mbuzi bila kupika" + +# Usiache ata kidogo kubaki mpaka asubui + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# mkanda + +Hii ya husu mshipi wa ngozi au kitambaa cha kufunga kiunoni. + +# ule kwa haraka + +"kula kwa haraka" + +# Ni Pasaka ya Yahweh + +Hapa neno "ni" la husu kula mnyama siku ya kumi ya mwezi. + diff --git a/exo/12/12.md b/exo/12/12.md new file mode 100644 index 00000000..2ada6c98 --- /dev/null +++ b/exo/12/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nitaleta pigo kwa miungu yote ya Misri. + +Hii yaweza andikwa katika kwa tensi nenaji + +# ya kuja kwangu + +Hii ya hashiria kwamba Yahweh ataona damu ambayo yaonyesha nyumba ya Misraeli. + +# nitapita + +Neno "kupita" ilikuwa desturi ya kusema husitembelee au kuingia. + +# kwenu pia, kwenye vizazi vyote vya watu wenu + +"kwako wewe na vizazi vyote vya uzao wako" + diff --git a/exo/12/15.md b/exo/12/15.md new file mode 100644 index 00000000..ec9f2588 --- /dev/null +++ b/exo/12/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# huyo mtu lazima akatwe kutoka Israeli + +Mafumbo "akatwe" ina maana kama tatu zinazo wezekana. Inaweza elezewa katika tensi tendaji: 1)"watu wa Israeli lazima wamuondoe" au 2) "sitamuhesabu kuwa mmoja wa watu wa Israeli" au 3) "watu wa Israeli lazima wamuue" + +# kusanyiko lililo tengwa kwa ajili yangu + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# Hakuna kazi itakayo fanywa hizi siku + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# Hiyo ndio kazi pekee itakayo fanywa na wewe + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/12/17.md b/exo/12/17.md new file mode 100644 index 00000000..8f66ba42 --- /dev/null +++ b/exo/12/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# makundi yaliyo na silaha, kwa makundi yaliyo na silaha + +Neno lilotumika kwa haya makundi ni neno la kijeshi ikimaanisha idadi kubwa ya wanajeshi. + +# jiono + +Hii ina maana ya muda ambao jua limezama wakati bado kuna mwanga. + +# siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza + +Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi na nne ni karibu na mwanzo wa Aprili katika Kalenda za Magharibi. + +# siku ya ishirini na moja ya mwezi + +siku ya ishirini na moja ya mwezi wa kwanza. Hii ni karibu na katikati ya Aprili kwa Kalenda za Magharibi. + diff --git a/exo/12/19.md b/exo/12/19.md new file mode 100644 index 00000000..005c9f30 --- /dev/null +++ b/exo/12/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nyumbani mwenu kusipatikane na hamira + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# lazima akatwe kutoka jamii ya Israeli + +Mafumbo "akatwe" ina maana kama tatu zinazo wezekana. Inaweza elezewa katika tensi tendaji: 1)"watu wa Israeli lazima wamuondoe" au 2) "sitamuhesabu kuwa mmoja wa watu wa Israeli" au 3) "watu wa Israeli lazima wamuue" + +# mkate usio na hamira + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji + diff --git a/exo/12/21.md b/exo/12/21.md new file mode 100644 index 00000000..03ac0405 --- /dev/null +++ b/exo/12/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# waita + +"kuwaita rasmi" + +# hisopu + +Huu ni mmea katika jamii ya mnaa, + +# juu ya fremu ya mlango na kwenye mihimili miwili ya mlango + +"pembeni na juu ya njia ya kuingia nyumbani" + diff --git a/exo/12/23.md b/exo/12/23.md new file mode 100644 index 00000000..7f164745 --- /dev/null +++ b/exo/12/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# atapita mlango wako + +Hapa neno "mlango" una maana ya nyumba nzima. Hii ina maana kwamba Mungu ata wanusuru Waisraeli wenye damu mlangoni. + diff --git a/exo/12/24.md b/exo/12/24.md new file mode 100644 index 00000000..3100bb1c --- /dev/null +++ b/exo/12/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hili tukio ... hili tendo la ibada + +Hii mistari ya husu Pasaka au Sherehe ya Mikate isiyo tiwachachu. Kuadhimisha Pasaka ilikkuwa tendo la kumuabudu Yahweh. + diff --git a/exo/12/26.md b/exo/12/26.md new file mode 100644 index 00000000..969146ff --- /dev/null +++ b/exo/12/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Aliweka nyumba zetu huru + +Hii ina maana kwamba Yahweh alinusuru wana wa kwanza wa kuzaliwa wa Waisraeli. + +# kama Yahweh alivyo waamuru Musa na Aruni + +"kila kitu Yahweh alicho mwambia Musa na Aruni kufanya" + diff --git a/exo/12/29.md b/exo/12/29.md new file mode 100644 index 00000000..903f7a08 --- /dev/null +++ b/exo/12/29.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# usiku wa manane + +"katikati ya usiku" + +# wazaliwa wote wa kwanza wa nchi ya Misri + +Hapa "wazaliwa wa kwanza" mara zote ina maana ya mzao mkubwa wa kiume. + +# aliye keti kiti chake cha enzi + +Hii ya husu Farao. + +# mzaliwa wa kwanza wa mtu aliye gerezani + +Hii ya husu wafungwa, kwa ujumla, na sio mtu maalumu gerezani. + +# Palikuwa na kelele za maombolezo Misri + +Hii yaweza andikwa katika tensi nenaji. + +# kwa kuwa hakukuwa na nyumba ambayo hamna mtu hakufa + +Hii hasi mbili ina sisitiza chanya. + diff --git a/exo/12/31.md b/exo/12/31.md new file mode 100644 index 00000000..4bd0b7fa --- /dev/null +++ b/exo/12/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sisi ni watu tuliokufa + +Wamisri wanatumia tensi endelevu kusisitiza kuwa watakufa hakika kama Waisraeli hawata ondoka Misri. + diff --git a/exo/12/34.md b/exo/12/34.md new file mode 100644 index 00000000..378ca05f --- /dev/null +++ b/exo/12/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Bakuli zao zakukandia ngano zilifungiwa kwenye nguo zao na kwenye mabega yao + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/12/37.md b/exo/12/37.md new file mode 100644 index 00000000..08186be5 --- /dev/null +++ b/exo/12/37.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ramesi + +Ramesi ulikuwa mji mkuu sana Misri ambapo mbegu zilihifadhiwa. + +# Walikuwa na idadi ya wanaume 600,000 + +"Idadi ya jumla ya wanaume ilikuwa 600,000" + +# waliondolewa Misri + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/12/41.md b/exo/12/41.md new file mode 100644 index 00000000..e9d3fd0c --- /dev/null +++ b/exo/12/41.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# majeshi yote ya Yahweh yalio jiami + +Hii ina husu makabila ya Israeli. + +# kuadhimishwa na Waisraeli wote + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# Waisraeli wote na watu wa vizazi vyao vyote + +"Waisraeli wote na vizazi vya uzao wao" + diff --git a/exo/12/43.md b/exo/12/43.md new file mode 100644 index 00000000..aa136c40 --- /dev/null +++ b/exo/12/43.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hakuna mgeni anaye ruhusiwa kuila + +"kuila" ina husu chukula cha Pasaka. + +# kila mtumwa wa Misraeli + +"mtumwa yeyote wa Muisraeli" + +# nunuliwa kwa pesa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/12/45.md b/exo/12/45.md new file mode 100644 index 00000000..810d032b --- /dev/null +++ b/exo/12/45.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Chakula chapaswa kuliwa ndani ya nyumba moja + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/12/47.md b/exo/12/47.md new file mode 100644 index 00000000..cf22efcc --- /dev/null +++ b/exo/12/47.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ndugu zake wote wa kiume wapaswa kutahiriwa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# watu walio zaliwa kwenye nchi + +Hapa neno "nchi" ya husu Kanani. Msemo "walio zaliwa katika nchi' ina maana ya Misraeli halisi. + +# hakuna mtu asiye tahiriwa anaruhusiwa kula + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/12/49.md b/exo/12/49.md new file mode 100644 index 00000000..d52b0f65 --- /dev/null +++ b/exo/12/49.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kama Yahweh alivyo waamuru Musa na Aruni. + +"kila kitu Yahweh alicho mwambia Musa na Aruni kufanya" + +# Ikaja kuwa + +Huu mstari unatumika hapa kuweka alama ya tukio muhimu katika adithi. + +# kwa makundi yalio jiami + +Neno lilotumika kwa haya makundi ni msemo wa kijeshi unao husu idadi kubwa ya wanajeshi. + diff --git a/exo/13/01.md b/exo/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..a0c6ae82 --- /dev/null +++ b/exo/13/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nitengee ... kila mzaliwa wa kwanza + +Mungu anataka kila mzaliwa wa kwanza wa kiume atengwe kwa ajili yake. + diff --git a/exo/13/03.md b/exo/13/03.md new file mode 100644 index 00000000..49ec0030 --- /dev/null +++ b/exo/13/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kumbukeni hii siku, + +Hii ilikuwa ni namna ya kidesturi ya kumwambia mtu azingatie. + +# nyumba ya utumwa + +Musa anazungumzia Misri kama nyumba watu wanapo hifadhia watumwa. + +# mkono hodari wa Yahweh + +Hapa neno "mkono" ya husu nguvu. + +# Hakuna mkate wa hamira waruhusiwa kuliwa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# mwezi wa Abibu + +Hili ni jina la mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Abibu ni wakati wa sehemu ya mwisho ya Machi na sehemu ya kwanza ya Aprili kwa kalenda za Magharibi. + +# nchi inayo tiririka kwa maziwa na asali + +Tangu maziwa yanatoka kwa ng'ombe na mbuzi, "maziwa" uwakilisha chakula kizalishwacho na mifugo. Kwasababu asali utengenezwa na maua, "asali" uwakilisha chakula cha mazao. + +# wapaswa kuadhimisha hili tendo la ibada + +Wakati Waisraeli watakapo ishi Kanani, lazima wa shereheke Pasaka hii siku kila mwaka. + diff --git a/exo/13/06.md b/exo/13/06.md new file mode 100644 index 00000000..a8ac227e --- /dev/null +++ b/exo/13/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Musa anaendelea kuongea na watu wa Israeli. + +# Kwa siku saba + +"Kwa siku 7" + +# Mkate usio na hamira wapaswa kuliwa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# hakuna mkate ulio na hamira wapaswa kuliwa miongoni mwenu + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# Hakuna hamira yapaswa kuonekana + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# kwenye mipaka yenu + +"katika mipaka yenu yeyote ya nchi" + diff --git a/exo/13/08.md b/exo/13/08.md new file mode 100644 index 00000000..63949d05 --- /dev/null +++ b/exo/13/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hiyo siku utasema kwa watoto wako, 'Hii ni kwasababu ya kile Yahweh alichofanya kwangu nilipo taka Misri.' + +Nukuu yaweza kwa namna isiyo ya moja kwa moja. + +# Hii itakuwa kumbukumbu mkononi mwako, na kumbukumbu kwenye paji la uso wako + +Hii ni kumbukumbu mbili za mwilini ili watu wasisahau kitu muhimu. + +# kumbukumbu mkononi mwako + +Musa anazungumza kuhusu kusherehekea siku kuu kana kwamba inafunga kitu mikononi mwao kuwakumbusha nini Yahweh amefanya. + +# kumbukumbu kwenye paji la uso wako + +Musa anazungumza kuhusu kusherehekea siku kuu kana kwamba inafunga kitu mikononi mwao kuwakumbusha nini Yahweh amefanya. + +# ili sheria ya Yahweh iwe kinywani mwako + +Maneno "kinywani mwako" hapa ya husu maneno wanayo sema. + +# mkono hodari + +Neno "mkono hapa wa wakilisha matendo ya Mungu au kazi. + diff --git a/exo/13/11.md b/exo/13/11.md new file mode 100644 index 00000000..a76fba79 --- /dev/null +++ b/exo/13/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# na atakapo wapa nchi ninyi + +"na atakapo wapa nchi ya Wakanani ninyi" + +# Kila mzaliwa wa kwanza wa punda + +Israeli inapewa uchaguzi wa kuua mzaliwa wa kwanza wa punda au kumnunua tena kwa mwana kondoo. + +# kila mzaliwa wa kwanza wakiume miongoni mwenu + +Kila mtu Israeli aliye kuwa na mwana wa kwanza kuzaliwa, lazima amnunue tena. + diff --git a/exo/13/14.md b/exo/13/14.md new file mode 100644 index 00000000..f24d8ba1 --- /dev/null +++ b/exo/13/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mwanae atakapo kuuliza baadae, 'Hii ina maana gani?' kisha utamwambia + +Nukuu ya kwanza yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. + +# mkono hodari + +Neno "mkono" hapa ya wakilisha matendo ya Mungu au kazi. + +# nyumba ya utumwa + +Musa ana i zungumzia Misri kama ni nyumba watu wana hifadhia watumwa. + +# kumbukumbu mikononi mwako na kumbukumbu kwenye paji lako la uso + +Hii ni kumbukumbu mbili ili watu wasisahau kitu muhimu. + diff --git a/exo/13/17.md b/exo/13/17.md new file mode 100644 index 00000000..35671b2b --- /dev/null +++ b/exo/13/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# karibu + +"karibu na eneo walilo kuwepo" + +# watu watabadili nia zao ... na ... watarudi Misri + +Tangu Waisraeli waliishi utumwani maisha yao yote, walizoea amani zaidi ya vita na radhi wa rudi utumwani kuliko kupigana. + diff --git a/exo/13/19.md b/exo/13/19.md new file mode 100644 index 00000000..2ce3ad22 --- /dev/null +++ b/exo/13/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kuweka kambi Ethamu + +Ethamu ipo kusini mwa njia ya kuelekea kwa Wafilisti, katika mpaka wa nyikani. + +# nguzo ya wingu ... nguzo ya moto + +"wingu kwa mfumo wa mnara ... moto kwa mfumo wa mnara." Mungu yupo nao kwa wingu mchana na moto usiku. + diff --git a/exo/14/01.md b/exo/14/01.md new file mode 100644 index 00000000..1dedd105 --- /dev/null +++ b/exo/14/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Pi Hahirothi ... Migdoli ..Baali Zefoni + +Hii ni miji ya mashriki ya mipaka ya Misri. + +# Wapaswa kueka kambi + +Hapa neno "wapaswa" ni wingi na la husu Musa na Waisraeli. + +# Farao atasema kuhusu Waisraeli, 'Wanaangaika kwenye nchi. Nyikani imewafunika.' + +Hii ya weza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. + +# Nyikani imewafunika + +Farao anaingelea nyikani kama mtu aliye wakamata Waisraeli. + diff --git a/exo/14/04.md b/exo/14/04.md new file mode 100644 index 00000000..ac5a3f43 --- /dev/null +++ b/exo/14/04.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwelekeza Musa wapi pa kwenda na nini Yahweh atafanya. + +# Nitaufanya moyo wa Farao mgumu + +Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabai yake ya kiburi inazungumziwa kama moyo wake ni mgumu. + +# yeye ata wakimbiza + +"Farao ata wakimbiza Waisraeli" + +# Nitapata utukufu + +"Watu watani heshimu" + +# Wamisri watajua mimi ni Yahweh + +"Wamisri wataelewa kwamba mimi ni Yahweh, Mungu mmoja wa kweli" + +# Kisha Waisraeli wakaeka kambi kama walivyo elekezwa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# Mfalme wa Misri alipo ambiwa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# Mfalme wa Misri + +Hii ya husu Farao. + +# wametoroka + +"wamekimbia" + +# , nia ya Farao na watumishi wake ikageuka dhidi ya watu + +Hapa neno "nia" ya husu tabia zao kwa Waisraeli. + +# Tumefanya nini kwa kuwaacha Waisraeli waende huru na wasitutumikie? + +Waliuliza hili swali wakidhani kuwa wamefanya kitu cha kijinga. + diff --git a/exo/14/06.md b/exo/14/06.md new file mode 100644 index 00000000..35058311 --- /dev/null +++ b/exo/14/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Alichukuwa magari ya farasi mia sita imara + +"Alichukuwa magari yake ya farasi 600 bora" + +# Yahweh akafanya mgumu moyo wa Farao + +Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumizwa kama moyo wake mgumu. + +# Pi Hahirothi ... Baali Zefoni + +Hii miji mashariki mwa mipaka ya Misri. + diff --git a/exo/14/10.md b/exo/14/10.md new file mode 100644 index 00000000..46b82af5 --- /dev/null +++ b/exo/14/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Farao alipo kuja karibu + +Neno "Farao" hapa ya wakilisha jeshi lote la Misri. + +# waliogopa + +"Waisraeli waliogopa" + +# Ni kwasababu hakukuwa na makaburi Misri, hadi umetuleta tufe huku nyikani? + +Waisraeli wanauliza hili swali kuonyesha uchovu wao hofu ya kufa. + +# Kwanini umetutendea hivi, kwa kututoa Misri? + +Waisreali wanauliza hili swali kumkemea Musa kwa kuwaleta kwenye jangwa kufa. + +# Hili si ndilo tulilo kwambia Misri? + +Waisreali wanauliza hili swali kusisitiza kwamba hili ndilo walillo mwambia Musa. + +# Tulikwambia, 'Utuache, ili tuwafanyie Wamisri kazi.' + +Hii yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. + diff --git a/exo/14/13.md b/exo/14/13.md new file mode 100644 index 00000000..037e5679 --- /dev/null +++ b/exo/14/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Musa akawaambia watu + +Musa anajibu hofu za Waisraeli. + +# atakao uleta kwenu + +"kwenu" ya husu Waisraeli wote + +# Kwa maana hamtawaona tena Wamisri + +Musa alitumia lugha ya busara kusema Mungu anaenda kuangamiza jeshi la Wamisri. + diff --git a/exo/14/15.md b/exo/14/15.md new file mode 100644 index 00000000..ae517f0e --- /dev/null +++ b/exo/14/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwanini wewe, Musa, unaendelea kuniita mimi? + +Musa ni wazi alikuwa akiomba kwa Mungu kwa msaada hivyo Mungu anatumia hili swali kumshawishi Musa kutenda. + +# uigawanye sehemu mbili + +"gawanya bahari katika sehemu mbili" + +# Jitahadharishe + +"jua" + +# nitafanya mioyo ya Wamisri kuwa migumu + +Hapa "mioyo" ya husu Wamisri wenyewe. Tabia zao za kiburi zinatajwa kama mioyo yao migumu. + +# ili wawafuate + +"ili kwamba Wamisri wataenda kwenye bahari baada ya Waisraeli" + diff --git a/exo/14/19.md b/exo/14/19.md new file mode 100644 index 00000000..5a853baf --- /dev/null +++ b/exo/14/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kambi ya Misri na kambi ya Israeli + +"jeshi la Wamisri na watu wa Israeli" + +# hivyo upande mmoja haukuweza kuja karibu ya mwingine + +Hii ina maana kuwa Wamisri na Waisraeli hawakuweza fikiana. + diff --git a/exo/14/21.md b/exo/14/21.md new file mode 100644 index 00000000..38eeb99e --- /dev/null +++ b/exo/14/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# upepo mkali wa mashariki + +Upepo wa mashariki watoka mashariki na wapiga magharibi. + +# mashariki + +jua linapo chomoza + +# maji yaligawanyika + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# mkono wao wa kulia na mkono wao wa kushoto + +"kila upande wao" au "pande zao mbili" + diff --git a/exo/14/23.md b/exo/14/23.md new file mode 100644 index 00000000..9054683d --- /dev/null +++ b/exo/14/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Alisababisha hofu miongoni mwa Wamisri + +Hofu ni pale mtu anapo ogopa hadi hawezi fikiri kawaida. + +# Magari yao ya farasi yalikuwa yana kwama matairi + +Hii yaweza anadikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/14/26.md b/exo/14/26.md new file mode 100644 index 00000000..4c9af5d3 --- /dev/null +++ b/exo/14/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yahweh akamwambia Musa, "Nyoosha mkono ... na wapanda farasi wao." + +Hii yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. + +# yawarudie + +"kuwaangukia" + +# Wamisri walikimbilia ndani ya bahari + +Tangu bahari ilikuwa inafunga juu ya Wamisri, badala ya kutoroka, walikuwa wanakimbia ndani ya maji. + +# Yahweh akawaingiza Wamisri + +"Yahweh akawasukuma Wamisri" au "Yahweh akawatupa Wamisri" + diff --git a/exo/14/29.md b/exo/14/29.md new file mode 100644 index 00000000..d57436da --- /dev/null +++ b/exo/14/29.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Israeli + +Kila tokeo la "Israeli" ya husu watu wa Israeli. + +# kutoka mkono wa Wamisri + +Hapa neno "mkono" ya husu nguvu. + +# ufukweni + +"katika nchi kando ya bahari" + diff --git a/exo/15/01.md b/exo/15/01.md new file mode 100644 index 00000000..2c7c8a98 --- /dev/null +++ b/exo/15/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Huu ni wimbo wa matukio yaliyo tokea 14:16 + +# farasi na dereva wake amewatupa kwenye bahari + +Musa aliimba kuhusu Mungu kusababisha bahari kufunika na kuzamisha farasi na dereva kana kwamba Mungu kawatupa baharini. + +# farasi na dereva wake + +Hii inahusu wote au farasi wengi wa Wamisri na madereva waliyo kuwa wakiwafukuzia Waisraeli. + +# dereva + +Huyu ni mtu anaye keti kwenye farasi au ana safiri kwa gari la farasi linalo vutwa na farasi. + diff --git a/exo/15/02.md b/exo/15/02.md new file mode 100644 index 00000000..f18c9969 --- /dev/null +++ b/exo/15/02.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yahweh ni uweza wangu + +Maana zinazo wezekana ni 1) "Yahweh ndiye anaye nipa uweza" au 2) "Yahweh ndiye mwenye nguvu anaye ni linda mimi." + +# na nyimbo + +Musa anamuita Yahweh nyimbo yake kwasababu Yahweh ndiye anaye imba kuhusu. + +# amekuwa wokovu wangu + +Musa anamuita Mungu wakovu wake kwasababu Mungu amemuokoa. + +# Yahweh ni shujaa + +Musa anamuita Mungu shujaa kwasababu Mungu kwa nguvu alipigana dhidi ya Wamisri na kushinda. + diff --git a/exo/15/04.md b/exo/15/04.md new file mode 100644 index 00000000..5463604c --- /dev/null +++ b/exo/15/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ametupa magari ya farasi ya Farao na jeshi lake kwenye bahari + +Musa anaimba kuhusu Mungu kusababisha bahari kufunika magari ya Farao na jeshi kana kwamba Mungu amewatupa baharini. + +# walienda kwenye kina kama jiwe + +Kama jiwe lisivyo elea lakini la zama chini ya bahari, majeshi ya maadui yamezama chini ya bahari. + diff --git a/exo/15/06.md b/exo/15/06.md new file mode 100644 index 00000000..c12fedbf --- /dev/null +++ b/exo/15/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mkono wako wakulia, Yahweh, una nguvu ya utukufu + +Musa anamzungumzia Mungu kama Mungu ana mikono. Mkono wa kulia wa husu nguvu ya Mungu au vitu Mungu anavyo fanya kwa nguvu. + +# mkono wako, Yahweh, umewavunja adui + +Musa anamzungumzia Mungu kama Mungu ana mikono. Mkono wa kulia wa husu nguvu ya Mungu. + +# umewavunja adui + +Musa anazungumzia adui kana kwamba ni dhahifu na waweza vunjwa kama kio au chungu. + +# walio inuka dhidi yako + +Kuasi dhidi ya Mungu kuna zungumziwa kama kujiinua dhidi yake. + +# Umetuma gadhabu + +Musa anazungumzia gadhabu ya Mungu kana kwamba ni mtumishi aliye mtuma kufanya kitu + +# imewateketeza kama karatasi + +Musa anazungumzia gadhabu ya Mungu kana kwamba ni moto unao weza kuchoma vitu. Maadui zake waliharibiwa kabisa kama karatasi. + +# Kwa pumzi ya pua yako + +Musa anamzungumzia Mungu kana kwamba Mungu ana pua, na upepo kana kwamba Mungu kapuliza upepo kwa kutoka puani mwake. + diff --git a/exo/15/09.md b/exo/15/09.md new file mode 100644 index 00000000..d83a5159 --- /dev/null +++ b/exo/15/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# tamanio langu litatimizwa kwao + +Hii yaweza elezwa katika tensi tendaji. + +# mkono wangu utawaharibu wao + +Maadui wanaongea kuwaharibu Waisraeli kwa nguvu ya mkono wao kana kwamba ni mikono itakyo waharibu. + +# Lakini ulipuliza kwa upepo wako + +Musa aliongea kuhusu Mungu kufanya upepo upulize kana kwamba Mungu alipuliza upepo kupitia pua au mdomo. + +# walizama kama chuma nzito kwenye maji mengi + +Chuma ni kifaa kizito kinacho tumika kawaida kufanya vitu vizame majini. Neno "chuma" linatumika hapa kuonyesha jinsi Mungu alivyo haribu maadui zake. + +# Ni nani kama wewe, Yahweh, miongoni mwa miungu? + +Musa anatumia hili swali kuonyesha jinsi alivyo mkuu. + +# Nani kama ... fanya miujiza? + +Musa anatumia hili swali kuonyesha jinsi alivyo mkuu. + diff --git a/exo/15/12.md b/exo/15/12.md new file mode 100644 index 00000000..f16483b8 --- /dev/null +++ b/exo/15/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mkono wako wa kulia + +Maneno "mkono wakulia" ya wakilisha nguvu kuu ya Mungu. + +# Ulinyoosha mkono wako wa kulia + +Musa anaongea kuhusu Mungu kusababisha kitu kitokee kana kwamba Mungu alinyoosha mkono wake. + +# dunia ikawameza + +Musa ana nafsisha dunia kana kwamba inaweza kumeza au kurarua kwa mdomo wake. + diff --git a/exo/15/14.md b/exo/15/14.md new file mode 100644 index 00000000..ebc5fcd2 --- /dev/null +++ b/exo/15/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# tetemeka + +Hii ina maana kutikisika kwasababu una ogopa. + +# hofu itawakumba wakazi wa Filistia + +Musa anaongelea hofu kana kwamba ni mtu anaye weza kuchukuwa kwa nguvu mtu na kumfanya aogope sana. + +# watayayuka + +Musa anaongelea watu kuwa wadhaifu kutokana na hofu ya kuyayuka. + diff --git a/exo/15/16.md b/exo/15/16.md new file mode 100644 index 00000000..667cb43c --- /dev/null +++ b/exo/15/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi + +Musa anaendelea kuimba kuhusu jinsi watu wa mataifa mengine watajisikia watakapo waona watu wa Mungu. + +# Mshituko na hofu vitawaangukia + +Haya maneno mawili yana maana hofu itakuja juu yao. + +# hofu + +Hofu ni uwoga au wasiwasi kuhusu kitu kinachoenda tokea au kilicho tokea. + +# Kwasababu ya nguvu ya mkono wako + +Mkono wa Mungu wa wakilisha uweza wake mkuu. + +# watakuwa kimya kama jiwe + +Maana zinazo wezekana ni 1) "Watakuwa tulivu kama jiwe" au 2) "Hawata sogea kama jiwe" + diff --git a/exo/15/17.md b/exo/15/17.md new file mode 100644 index 00000000..62a23b0e --- /dev/null +++ b/exo/15/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Utawaleta + +Pale Mungu atakapo waleta yaweza andikwa wazi. Tangu Musa bado hakuwa Kanani, baadhi ya lugha zitatumia "chukuwa" badala ya "leta" + +# kuwapanda kwenye mlima + +Musa anaongelea kuhusu Mungu kuwapa watu wake nchi ya kuishi kana kwamba wao ni mti ambao Mungu anaupanda. + +# mlima wa urithi wako + +Hii ya husu Mlima Sayuni katika nchi ya Kanani. + +# wa urithi wako + +Musa anaongelea kuhusu Mungu kuahidi kuwapa watu mlima milele kana kwamba alikuwa anawapa urithi. + +# mikono yako iliyo jenga + +Maneno "mikono yako" ya husu nguvu ya Mungu. + diff --git a/exo/15/19.md b/exo/15/19.md new file mode 100644 index 00000000..f40b91e1 --- /dev/null +++ b/exo/15/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Miriamu .. Aruni + +Miriamu alikuwa dada wa kwanza wa Musa na Aruni. + +# tari + +Hichi ni chombo cha muziki kama ngoma ndogo yenye vipande vya chuma pembeni vinavyo toa sauti vikitikizwa + +# ameshinda kwa utukufu + +"ameshinda kwa utukufu juu ya maadui zake" + +# Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini + +Musa aliimba kuhusu Mungu kusababisha bahari kufunika na kuzamisha farasi na madereva kana kwamba Mungu aliwatupa baharini. + diff --git a/exo/15/22.md b/exo/15/22.md new file mode 100644 index 00000000..7054b3b0 --- /dev/null +++ b/exo/15/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Musa akaongoza Israeli + +Neno "Israeli" la wakilisha watu wa Israeli. + +# nyikani ya Shuri ...Mara + +Hatujui maeno ya hizi sehemu. + diff --git a/exo/15/24.md b/exo/15/24.md new file mode 100644 index 00000000..670d9eab --- /dev/null +++ b/exo/15/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wakamlalamikia Musa na kusema + +"hawakufurahi na kumwambia Musa" au "kwa hasira wa kamwambia Musa" + +# sauti ya Yahweh Mungu wako + +Yahweh anazungumza kuhusu sauti yake. + +# kufanya yalio sahihi machoni pake + +Maneno "machoni pake" hapa ya wakilisha kile Mungu alicho amini au kuamua. + +# sitawaekea ninyi magonjwa + +Mungu anaongea kusababisha watu kuwa na magonjwa kam kuweka magonjwa juu yao. + diff --git a/exo/15/27.md b/exo/15/27.md new file mode 100644 index 00000000..fe69d394 --- /dev/null +++ b/exo/15/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Elimu + +Hii ni sehemu ya mapumziko jangwani, sehemu yenye maji na vivuli vya miti. + +# kumi na mbili + +"12" + +# sabini + +"70" + diff --git a/exo/16/01.md b/exo/16/01.md new file mode 100644 index 00000000..cd7f6a74 --- /dev/null +++ b/exo/16/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# nyikani mwa Sinu + +Neno "Sinu" hapa ni jina la Kiebrania la nyikani. Sio neno la kiengereza lenye maana ya "dhambi" + +# siku ya kumi na tano ya mwezi wa pili + +Huu muda unaingiliana na mwisho wa Aprili na mwanzo wa Mei katika kalenda za Magharibi. + +# Jamii yote ya Waisraeli + +"Waisraeli woe" Huu ni ujumla. Musa na Aruni hawakulalamika. + +# lalamika + +"walikuwa na hasira na kusema" + +# Kama tu tungekufa + +Hii ni namna ya kusema wangetamani kufa. + +# kwa mkono wa Yahweh + +Manaeno "mkono wa Yahweh" wa wakilisha matendo ya Yahweh. + diff --git a/exo/16/04.md b/exo/16/04.md new file mode 100644 index 00000000..b57f462e --- /dev/null +++ b/exo/16/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nitakunyeshea mvua ya mkate. + +Mungu anaongelea chakula kutoka mbinguni kana kwamba ni mvua. + +# mkate + +Mungu anaongelea chakula ambacho atakituma kana kwamba ni mkate. Waisraeli watakula hichi chakula kila siku, kama walivyo kula mkate kila siku kabla ya hichi. + +# wataendelea kushika sheria yangu + +Mungu anaongelea kutii sheria yake kama kutembea ndani yake. + +# sheria yangu + +"amri yangu" + +# Itakuja kuwa siku ya sita, kwamba wata + +"itatokea siku ya sita kwamba wata" au "siku ya sita wata" + +# siku ya sita + +"siku ya 6" + diff --git a/exo/16/06.md b/exo/16/06.md new file mode 100644 index 00000000..e3726cab --- /dev/null +++ b/exo/16/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sisi ni nani hadi mtulalamikie? + +Musa na Aruni walitumia hili swali kuonyesha watu kwamba ilikuwa ni upumbavu kuwalalamikia wao. + +# mkate + +Mungu anaongelea chakula ambacho atakituma kana kwamba ni mkate. Waisraeli watakula hichi chakula kila siku, kama walivyo kula mkate kila siku kabla ya hichi. + +# Nani ni Aruni na mimi? + +Musa anatumia hili swali kuwaonyesha watu kuwa yeye na Aruni hawakuwa na nguvu yakuwapa walicho taka. + +# Malalamishi yenu sio dhidi yetu; ni dhidi ya Yahweh + +Watu walikuwa wana lalamika dhidi ya Musa na Aruni, ambao walikuwa watumishi wa Yahweh. Hivyo kwa kulalamika dhidi yao, watu kihalisi walikuwa wana lalamika dhidi ya Yahweh. + diff --git a/exo/16/09.md b/exo/16/09.md new file mode 100644 index 00000000..a8282035 --- /dev/null +++ b/exo/16/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ikawa + +Hili neno linatumika kuweka alama ya tukio muhimu katika historia. Tukio muhimu hapa ni watu kuona utukufu wa Yahweh. + +# tazama + +Neno "tazama" hapa la onyesha kwamba watu waliona kitu cha kuvutia. + +# mkate + +Mungu anaongelea chakula ambacho atakituma kana kwamba ni mkate. Waisraeli watakula hichi chakula kila siku, kama walivyo kula mkate kila siku kabla ya hichi. + diff --git a/exo/16/13.md b/exo/16/13.md new file mode 100644 index 00000000..8fe6bcd8 --- /dev/null +++ b/exo/16/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ikaja kuwa kwamba + +Hili neno linatumika kuweka alama ya tukio muhimu. + +# kware + +Hawa ni ndege wadogo na wanene. + +# kama barafu + +Wasomaji wa mwanzo walijua barafu ilivyo kuwa, hivyo neno hili litawasaidia kuelewa nini hiyo theluji ilivyo kuwa. Theluji ni umande ulio ganda unao undika kwenye ardhi. Ni nyeupe sana. + +# mkate + +Mungu anaongelea chakula ambacho atakituma kana kwamba ni mkate. Waisraeli watakula hichi chakula kila siku, kama walivyo kula mkate kila siku kabla ya hichi. + diff --git a/exo/16/16.md b/exo/16/16.md new file mode 100644 index 00000000..931f1af5 --- /dev/null +++ b/exo/16/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi Unganishi + +Musa anaendelea kuwaambia watu kuhusu chakula Mungu anacho wapa. + +# lita + +"lita mbili" + +# hawakuwa na kilicho salia + +"hawakukosa chochote" au "walitosheka" + diff --git a/exo/16/22.md b/exo/16/22.md new file mode 100644 index 00000000..355eafbe --- /dev/null +++ b/exo/16/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# siku ya sita + +"siku ya 6" + +# mkate + +Hii ya husu mkate uliyo tokea kama barafu kwenye ardhi kila asubui. + +# kujiliwaza + +"umakini" au "tulivu na kuwaza" + diff --git a/exo/16/24.md b/exo/16/24.md new file mode 100644 index 00000000..8c28f6aa --- /dev/null +++ b/exo/16/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Haikuharibika + +"haikunuka vibaya" + +# leo ni siku iliyo tengwa ya kumtukuza Yahweh + +"leo ni Sabato na itumike tu kwa kumtukuza Yahweh. + diff --git a/exo/16/26.md b/exo/16/26.md new file mode 100644 index 00000000..ba75c854 --- /dev/null +++ b/exo/16/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# lakini siku ya saba + +lakini katika siku ya saba" + +# manna + +Hili lilikuwa jina Waisraeli walilipa mkate Yahweh aliyo usababisha utokea kila asubui. + +# hawakukuta + +"hawakukuta mana yeyote" + diff --git a/exo/16/28.md b/exo/16/28.md new file mode 100644 index 00000000..b36850c1 --- /dev/null +++ b/exo/16/28.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaongea na Musa, lakini neno "wewe" la husu watu wote wa Israeli. + +# Kwa muda gani utaendelea kukataa kushika amri zangu na sheria zangu? + +Mungu anatumia hili swali kuwa kemea watu maana hawakutii sheria zake. + +# kushika amri zangu na sheria zangu + +"kutii amri zangu na sheria zangu" + +# Yahweh amekupa Sabato + +Yahweh anaongea kuhusu kufundisha watu kupumzika Sabato kana kwamba Sabato ni zawadi. + +# siku ya sita ... siku mbili ... siku ya saba + +"siku ya 6 ... siku 2 ... siku ya 7" + +# mkate + +Hii ya husu mkate uliyo tokea kama barafu kwenye ardhi kila asubui. + diff --git a/exo/16/31.md b/exo/16/31.md new file mode 100644 index 00000000..b6f56e1f --- /dev/null +++ b/exo/16/31.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# manna + +Hili likuwa jina Waisraeli walilo lipa mkate ambao Yahweh alisababisha kutokea kila asubui. + +# mbegu ya mgiligani + +Watu wanakausha mbegu na kusaga katika unga na kuweka kwenye chakula kuleta ladha. + +# maandazi + +membamba kama biskuti + +# lita + +"lita mbili" + +# mkate + +Hii ya husu mkate uliyo tokea kama barafu kwenye ardhi kila asubui. + diff --git a/exo/16/33.md b/exo/16/33.md new file mode 100644 index 00000000..16f20507 --- /dev/null +++ b/exo/16/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Lita mbili ni makumi ya efa + +Hivi ni vyombo vya vipimo. Wasomi wa kwanza waliweza jua kiasi gani efa ilikuwa. Hii sentensi ya weza saidia kujua kiasi gani lita ilikuwa. + +# lita + +"lita mbili" + diff --git a/exo/17/01.md b/exo/17/01.md new file mode 100644 index 00000000..79ab3dd8 --- /dev/null +++ b/exo/17/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nyikani ya Sinu + +Neno "Sinu" hapa ni jina la Kiebrania la nyikani. Sio neno la kiengereza lenye maana ya "dhambi" + +# Refidimu + +Hii ina maana ya "sehemu ya kupumzika" sehemu ya kupumzika katika safari ndefu nyikani. + +# Kwanini mnagombana na mimi? Kwanini mnajaribu Yahweh? + +Musa anatumia haya maneno kukemea watu. + +# Ili utuue sisi na watoto wetu na mifugo yetu kwa kiu? + +Watu wanatumia hili swali kumshitaki Musa kwa kutaka kuwaua. + diff --git a/exo/17/04.md b/exo/17/04.md new file mode 100644 index 00000000..9c81f298 --- /dev/null +++ b/exo/17/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Massa + +"sehemu katika jangwa ambalo jina lake la maanisha "jaribu" + +# Meriba + +"sehemu katika jangwa ambalo jina lake la maanisha "lalamika" + diff --git a/exo/17/08.md b/exo/17/08.md new file mode 100644 index 00000000..68343f26 --- /dev/null +++ b/exo/17/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Refidimu + +Hii ilikuwa sehemu jangwani. + +# Hivyo Yoshua akapigana na Ameleki + +Yoshua ana wakilisha Waisraeli aliyo waongoza kwenye pambano. + +# Huri + +Huri alikuwa rafiki wa Musa na Aruni. + diff --git a/exo/17/11.md b/exo/17/11.md new file mode 100644 index 00000000..f4bfb7a0 --- /dev/null +++ b/exo/17/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Israeli ilikuwa yashinda ... Ameleki alianza kushinda + +Maneno "Israeli" na "Ameleki" wana wakilisha wapiganaji kutoka hizo sehemu. + +# Mikono ya Musa alipo kuwa mizito + +Mwandishi ana andika mikono ya Musa kuchoka kana kwamba mikono yake imekuwa mizito. + +# kwa upanga + +Upanga wawakilisha pambano. + diff --git a/exo/17/14.md b/exo/17/14.md new file mode 100644 index 00000000..471865a6 --- /dev/null +++ b/exo/17/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nitaondoa kumbukumbu ya Ameleki + +Mungu anaongea kuharibu Ameleki kana kwamba anaondoa kumbukumbu ya watu kuhusu Ameleki. Wakati kundi la watu linapo haribiwa, hakuna cha kuwakumbusha watu kuhusu wao. + +# mkono ulinyanyuliwa juu + +Watu waliinua mkono wao wakati walipo weka ahadi au deni. + +# mkono ulinyanyuliwa juu + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# Ameleki + +Hii ya husu Waameleki. + diff --git a/exo/18/01.md b/exo/18/01.md new file mode 100644 index 00000000..580e2fe0 --- /dev/null +++ b/exo/18/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# baba mkwe wake Musa + +Hii ya husu baba wa mke wa Musa. + +# akamchukuwa Zipora, mke wa Musa ... na wana wake wawili + +Maana zinazo wezekana ni 1) Yethro alimchukuwa Zipora na wana wake wawili kwa Musa, au 2) Yethro alimkaribisha awali Zipora na wana wake wawili. + +# baada ya kumpeleka nyumbani + +Hichi ni kitu Musa alicho fanya hapo awali. Maana yote yaweza fanywa wazi. + +# Gershomu + +Huyu ni mwana wa Musa na Zipora, ambaye jina lake lina maana ya "mgeni" + +# Eliezeri + +Huyu ni mwana wa Musa na Zipora ambaye jina lake lina maana ya "Mungu ndiye anaye ni saidia" + diff --git a/exo/18/05.md b/exo/18/05.md new file mode 100644 index 00000000..51b2a238 --- /dev/null +++ b/exo/18/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# alipo eka kambi + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/18/07.md b/exo/18/07.md new file mode 100644 index 00000000..aad5a2df --- /dev/null +++ b/exo/18/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# akamwinamia, na kumbusu + +Haya matendo ya ishara yalikuwa namna ya kawaida watu walionyesha heshima kubwa na upendo katika huo utamaduni + +# kwa ajili ya Waisraeli + +Neno "Israeli" la wakilisha watu wa Israeli. + +# magumu yote yaliyo watokea + +Musa ana andika magumu kuwa tokea kana kwamba magumu yamewatokea. + diff --git a/exo/18/09.md b/exo/18/09.md new file mode 100644 index 00000000..c5d85288 --- /dev/null +++ b/exo/18/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mkono wa Wamisri ... mkono wa Farao + +Mkono una maana ya nguvu ya mtu kufanya kitu. + diff --git a/exo/18/13.md b/exo/18/13.md new file mode 100644 index 00000000..3e07f0d3 --- /dev/null +++ b/exo/18/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni nini unachofanya na watu? + +Yethro anatumia hili swali kumuonyesha Musa kwamba alicho kuwa anafanya si sawa? + +# Kwanini unaketi peke yako ... asubui hadi jioni? + +Yethro anatumia swali kumuonyesha Musa alikuwa anafanya sana. + +# unaketi peke yako + +Neno "keti" hapa ni mbadala wa "hukumu" Waamuzi walikuwa wana keti wanapo sikiliza malalamishi ya watu. + diff --git a/exo/18/17.md b/exo/18/17.md new file mode 100644 index 00000000..79ffda8d --- /dev/null +++ b/exo/18/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hakika utajichosha + +"utajifanya kuchoka sana" + +# Huu mzigo ni mzito sana kwako + +Yethro anazungumzia kazi ngumu Musa anayo fanya kana kwamba ni kazi ya mwili Musa alikuwa anabeba. + +# ushauri + +"mwongozo" au "maelekezo" + +# Mungu ata kuwa na wew + +Yethro anaongelea Mungu kumsaidia Musa kana kwamba Mungu ata kuwa na Musa. + +# leta malumbano yao kwake + +Yethro anaongelea Musa kumwambia Mungu kuhusu malumbano kana kwamba Musa ana leta malumbano yao kwa Mungu. + +# Lazima uwafundishe njia yakutembea + +Yethro anaongelea kuishi au kutenda kama kutembea. + diff --git a/exo/18/21.md b/exo/18/21.md new file mode 100644 index 00000000..9d094ee8 --- /dev/null +++ b/exo/18/21.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi Unganishi + +Yethro anaendelea kuongea na Musa. + +# Mbali zaidi, lazima uchague + +"kwa niongeza, lazima uchague" + +# maelfu, mamia, hamsini, na makumi + +"makundi ya 1,000, makundi ya 100, makundi ya 50, na makundi ya 10" + +# Lazima uwaeke juu ya watu + +Yethro anaongelea kuwapa mamlaka juu ya watu kama kuwaweka juu ya watu. + +# kesi za kawaida + +"kesi rahisi" + +# kesi ngumu wataleta kwako + +Yethro anaongelea kumwambia Musa kuhusu kesi ngumu kama kumletea kesi ngumu. + +# watabeba mzigo na wewe + +Yethro anaongelea kazi ngumu ambayo watafanya kana kwamba ni mzigo watao beba. + +# kuvumilia + +kila watakaacho vumilia cha weza wekwa wazi. + diff --git a/exo/18/24.md b/exo/18/24.md new file mode 100644 index 00000000..2336293a --- /dev/null +++ b/exo/18/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# vichwa juu ya watu + +Musa ana andika viongozi wa watu kana kwamba ni kichwa cha mwili. + +# wanaume wenye uwezo + +Kilicho kuwa wanaweza kufanywa cha weza andikwa wazi. + +# hali + +"mazingira" + +# Kesi ngumu walimletea Musa + +Mwandishi ana andika kumwambia Musa kuhusu kesi ngumu kama kumletea kesi ngumu. + +# kesi ndogo + +"kesi zilizo rahisi" + diff --git a/exo/19/01.md b/exo/19/01.md new file mode 100644 index 00000000..bea7855a --- /dev/null +++ b/exo/19/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Katika mwezi wa tatu ... siku hiyo + +Hii ina maana walifika nyikani siku ya kwanza ya mwezi kama walivyo ondoka Misri siku ya kwanza ya mwezi. Siku ya kwanza ya mwezi wa tatu kwenye kalenda ya Kiebrania ni karibu na katikati ya Mei katika kalenda za Magharibi. + +# kutoka + +"waliondoka" + +# Refidimu + +Hii ni sehemu kando ya nyikani ya Sinai ambapo watu wa Israeli walikuwa kambini. + diff --git a/exo/19/03.md b/exo/19/03.md new file mode 100644 index 00000000..e3429fb7 --- /dev/null +++ b/exo/19/03.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# nyumba ya Yakobo + +Neno "nyumba" hapa la wakilisha familia na uzao wa Yakobo. + +# nyumba ya Yakobo, watu wa Israeli + +Neno "watu wa Israeli" ina eleza nini "nyumba ya Yakobo" ina maanisha. + +# Uliona + +Neno "Uliona" hapa linawakilisha Waisraeli. Yahweh anamwambia Musa nini cha kuwaambia Waisraeli. + +# nilivyo kubeba kwa mabawa ya tai + +Mungu anaongelea kujali watu wake wakati walipo safiri kana kwamba yeye alikuwa tai na kuwabeba kwa mabawa yake. + +# ukinisikiliza kwa utii + +Utii yaweza andikwa kama kitenzi. + +# sauti yangu + +Sauti ya Munguya wakilisha anachosema. + +# kushika agano langu + +"fanya kile agano langu linataka mfanye" + +# mali yangu ya pekee + +"hazina" + +# ufalme wa kikuhani + +Mungu anaongelea watu wake kana kwamba ni makuhani. + diff --git a/exo/19/07.md b/exo/19/07.md new file mode 100644 index 00000000..b7e491cd --- /dev/null +++ b/exo/19/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Aliweke mbele yao maneno yote + +Mwandishi ana andika kuhusu Musa kuwaambia watu vitu kana kwamba alikuwa ana weka maneno mbele yao. + +# maneno yote haya Yahweh aliyo muamuru + +Neno "maneno" ya husu kile Yahweh alicho sema. + +# musa akaja kutoa taarifa + +Pale Musa alipo enda pa weza andikwa wazi. + +# maneno ya watu + +Neno "maneno" ya husu kile watu walicho sema. + diff --git a/exo/19/10.md b/exo/19/10.md new file mode 100644 index 00000000..532cfe68 --- /dev/null +++ b/exo/19/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# lazima uwatenge + +Hii inaweza kuwa "waambie wajitoe kwangu" au "waambie wajitakase" + +# mavazi + +"nguo" + +# Kuwa tayari + +Hili lilikuwa amri kwa watu wa Israeli. + diff --git a/exo/19/12.md b/exo/19/12.md new file mode 100644 index 00000000..13167c0b --- /dev/null +++ b/exo/19/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maeleo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuzungumza na Musa + +# Yeyote atakaye shika mlima ata uawa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# Yeyote atakaye shika + +"Mtu yeyote atakaye gusa" + +# mtu huyu + +"ambaye atafanya hivi" + +# lazima apigwe mawe au kuchomwa mshale + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# kuchomwa + +Hii ya husu kufa kwa mtu anaye piga mishale kutoka kwenye upinde au jiwe kwenye manati. + diff --git a/exo/19/14.md b/exo/19/14.md new file mode 100644 index 00000000..8b1bcec9 --- /dev/null +++ b/exo/19/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# msiwakaribie wake zenu + +Hii ni njia ya kistarabu ya kusema usilale na mke wako. + diff --git a/exo/19/16.md b/exo/19/16.md new file mode 100644 index 00000000..5dd4db16 --- /dev/null +++ b/exo/19/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# waliogopa + +"walitetemeka kwa hofu" + +# alishuka + +"teremka chini" + +# kama moshi wa tanuru + +Hii yaonyesha ni moshi mkubwa sana ulikuwa. + +# tanuru + +shimo linalo weza fanywa kali sana kwa moto + diff --git a/exo/19/19.md b/exo/19/19.md new file mode 100644 index 00000000..9849f454 --- /dev/null +++ b/exo/19/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ongezeka na zaidi + +"ikaendelea kuwa kubwa na kubwa" + +# kwa sauti + +Neno "sauti" hapa ya husu sauti Mungu aliyo fanya. Maana inayo wezekana ni 1) kwa kuongea kwangu kama radi" au 2) "kwa kuongea" au 3) "kusababisha radi iongee" + +# akamuita Musa + +"alimuita Musa kuja juu" + +# wasipite + +Mungu aliongea kuhusu kupita mipaka kana kwamba wataweza vunja kizuio na kupita. + diff --git a/exo/19/23.md b/exo/19/23.md new file mode 100644 index 00000000..3b101f0a --- /dev/null +++ b/exo/19/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# shuka chini + +"nenda chini" + +# kupita vizuizi + +Mungu aliongea kuhusu kupita mipaka kana kwamba wataweza vunja kizuio na kupita. + diff --git a/exo/20/01.md b/exo/20/01.md new file mode 100644 index 00000000..12f3e6e1 --- /dev/null +++ b/exo/20/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# nyumba ya utumwa + +"sehemu mlliyo kuwa watumwa" + +# Msiwe na miungu mingine ila mimi tu + +"Msiabudu miungu mingine zaidi yangu" + diff --git a/exo/20/04.md b/exo/20/04.md new file mode 100644 index 00000000..b265fb18 --- /dev/null +++ b/exo/20/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kufananisha + +"na usitengeneze cha kufanana" + +# wivu + +Mungu anataka watu wake wamuabudu yeye tu. + +# Nitaadhibu uovu wa mabubu kwa kuleta adhabu juu ya kizazi + +Mungu ata hadhibu watu kwa dhambi za wazazi wao + +# cha tatu hadi kizazi cha nne + +"kizazi ch 3 na cha 4" + +# agano la uaminifu kwa maelfu + +"kwasababu ya agano langu, ni mwaminifu kwa maelfu" au "napenda maelfu kwa uaminifu" + +# kwa maelfu watakao + +"vizazi vingi vya hao" + diff --git a/exo/20/07.md b/exo/20/07.md new file mode 100644 index 00000000..a60e4765 --- /dev/null +++ b/exo/20/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Usilitaje bure jina + +"kutumia jina langu" + +# bure + +"bila kujali" au "bila heshimu" + diff --git a/exo/20/08.md b/exo/20/08.md new file mode 100644 index 00000000..6f02b770 --- /dev/null +++ b/exo/20/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ufanye kazi zako + +"fanye kazi za kila siku" + +# malango yako + +Miji mara nyingi ilikuwa na ukuta ikizunguka kuweka mbali maadui, na milango watu kuingia na kutoka. + +# siku ya saba + +Hapa "saba" ni namba "7" + +# aliibariki siku ya Sabato + +Maana zinazo wezekana ni 1) Mungu alisababisha Sababto kuzalisha matokea mazuri, au 2) Mungu alisema siku ya Sabato ni nzuri. + +# kuitenga + +"kuitenga kwa kusudi maalumu" + diff --git a/exo/20/12.md b/exo/20/12.md new file mode 100644 index 00000000..87a0430f --- /dev/null +++ b/exo/20/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Usifanye uasherati + +"usifanye ngono na mtu yeyote zaidi ya mpenzi wako" + diff --git a/exo/20/15.md b/exo/20/15.md new file mode 100644 index 00000000..7d031554 --- /dev/null +++ b/exo/20/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Usishuhudie uongo + +"usiongea taarifa ya uongo" + +# Usitamani + +"usitamani kuwa nacho sana" au "usitake kuchukuwa" + diff --git a/exo/20/18.md b/exo/20/18.md new file mode 100644 index 00000000..72a0f879 --- /dev/null +++ b/exo/20/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mlima ukitoa moshi + +"moshi ukitoka mlimani" + +# walitetemeka + +"walitetemeka kwa hofu" + +# walisimama mbali + +"walisimama kando" + +# ili heshima yake iwe ndani yenu, kwa hiyo msitende dhambi + +"ili mumheshimu yeye na msitende dhambi" + +# alikaribia + +"alisogea karibu na" + diff --git a/exo/20/22.md b/exo/20/22.md new file mode 100644 index 00000000..1d238048 --- /dev/null +++ b/exo/20/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ni lazima uwaambie hili Waisraeli + +"Waambie Waisraeli hili" + +# Wewe mwenyewe umeona niliongea na wewe kutoka mbinguni + +"Umesikia nikiongea na wewe kutoka mbinguni" + +# Misjitengenezee miungu mingine pamoja nami + +"Usifanye sanamu kama miungu mingine zaidi yangu" + +# miungu ya fedha au miungu ya dhahabu + +"miungu iliyo tengenezwa kwa fedha au dhahabu" + diff --git a/exo/20/24.md b/exo/20/24.md new file mode 100644 index 00000000..25f3f0af --- /dev/null +++ b/exo/20/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# madhabahu ya udongo + +madhabahu iliyo tengenezwa kwa vitu vya ardhini, kama mawe, mchanga, au udogo + +# ntakapotaka jina langu liheshimiwe + +Hapa "jina" linasimama kwa niaba ya utu wa Mungu. + +# msije juu ya madhabahu yangu kwa hatua zenu + +"Msitengeneze madhabahu yenye ngazi" + +# msioneshe sehemu zenu za siri + +"kuonyesha mwili wenu wa uchi" + diff --git a/exo/21/01.md b/exo/21/01.md new file mode 100644 index 00000000..c03ca49e --- /dev/null +++ b/exo/21/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa + +# utakazoweka kabla yao + +"lazima uwape" au "utawaambia" + diff --git a/exo/21/02.md b/exo/21/02.md new file mode 100644 index 00000000..97e0311b --- /dev/null +++ b/exo/21/02.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anamwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli. + +# Kama alikuja mwenyewe, ataenda huru kwa ridhaa yake + +"Mwenyewe" inaweza andikwa wazi. + +# mwenyewe + +"pekee yake" au "bila mke" + diff --git a/exo/21/05.md b/exo/21/05.md new file mode 100644 index 00000000..ffa4920a --- /dev/null +++ b/exo/21/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# atasema waziwazi + +"kusema wazi" + +# sitaenda nje huru + +"sitaki bwana wangu aniachie huru" + +# atatoboe sikio lake + +"kuweka tobo sikioni" + +# sindano + +kipini kinacho tumika kueka shimo + +# maisha yake yote + +"mpaka mwisho wa maisha yake' + diff --git a/exo/21/07.md b/exo/21/07.md new file mode 100644 index 00000000..c628e909 --- /dev/null +++ b/exo/21/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# aliye mtenga + +"aliye chague" + +# lazima amnunue tena + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# Hana ruhusa ya kumuuza + +"hana mamlaka ya kumuuza" + +# amemtendea kwa hila + +"kamadanganya" + diff --git a/exo/21/09.md b/exo/21/09.md new file mode 100644 index 00000000..93e9ce2e --- /dev/null +++ b/exo/21/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# aliyetenga + +"chagua" + +# apaswi kupunguza chakula chake, mavazi, au haki za ndoa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# punguza + +"kuchukuwa" + +# haki za ndoa + +Hii ina husisha vitu mme wake anapaswa kufanya kwa ajili ya mke wake, pamoja na kulala naye. + diff --git a/exo/21/12.md b/exo/21/12.md new file mode 100644 index 00000000..a293a897 --- /dev/null +++ b/exo/21/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# piga + +"shambulia" + +# huyo mtu lazima auwawe + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# kufanya pasipo kukusudia + +"hakupanga kufanya" au "hakufanya kwa kusudia" + +# nitaanda sehemu ya yeye kukimbilia + +Kusudi la kuchagua sehemu laweza andikwa wazi hapa. + +# kwa kadiri ya mbinu erevu + +"baada ya kufikiria kwa uangalifu" + +# Hili afe + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/21/15.md b/exo/21/15.md new file mode 100644 index 00000000..e5334256 --- /dev/null +++ b/exo/21/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yeyote atakaye mpiga baba au mama yake lazima auawe + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# lazima + +"hakika" + +# mali yake + +"pamoja naye" + +# huyo mtekaji lazima auawe + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# eyote atakaye mlaani baba au mama yake lazima auawe + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/21/18.md b/exo/21/18.md new file mode 100644 index 00000000..6ba25f86 --- /dev/null +++ b/exo/21/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# alazwe kitandani + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# akapona + +"akapata nafuu" + +# gongo + +Hii ni fimbo inayo weza egemewa wakati wakutembea. + +# muda aliye mpotezea + +Hii ya husu hali wakati mtu hawezi pata pesa. + +# alipe matibabu yake yote + +"gharama za matibabu" + diff --git a/exo/21/20.md b/exo/21/20.md new file mode 100644 index 00000000..1df4a849 --- /dev/null +++ b/exo/21/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa madhara ya pigo + +"kwasababu ya majeraha" + +# huyo mtu lazima ahadhibiwe + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# kwa kuwa atateseka kupoteza mtumishi huy + +Waweza eleza wazi katika tafsiri mtumishi alikuwa na dhamani kwa bwana wake. + diff --git a/exo/21/22.md b/exo/21/22.md new file mode 100644 index 00000000..97a76783 --- /dev/null +++ b/exo/21/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mimba na kuiharibu + +"mtoto akafa tumboni mwake" + +# mwanaume mwenye hatia lazima alipe + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# kama hakimu anavyo kusudia + +"alicho amuua muamuzi" + +# lazima utoe uhai kwa uhai, jicho kwa jicho + +Hii ina maana kama kaumia, mtu aliye muumiza lazima aumizwe vivyo hivyo. + diff --git a/exo/21/26.md b/exo/21/26.md new file mode 100644 index 00000000..707ee8c7 --- /dev/null +++ b/exo/21/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kama mwanaume + +Hapa "mwanaume" ya husu mmiliki wa mtumwa. + +# fidia + +Fidia ni kitu mtu anafanya kwa mtu mwingine au anampa mtu mwingine kwa kile alicho sababisha kupoteza. + diff --git a/exo/21/28.md b/exo/21/28.md new file mode 100644 index 00000000..c9b7413a --- /dev/null +++ b/exo/21/28.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ng'ombe lazima apigwe mawe + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# nyama yake hairuhusiwi kuliwa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# mmiliki wa ng'ombe lazima awe huru + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# mmiliki wake lazima auawe pia + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# Kama malipo ya uhai yanaitajika + +Kama mmiliki wa ng'ombe anaweza kulipa gharama ya kuokoa maisha yake, kisha anapaswa kulipa chochote waamuzi wanachotaka. + diff --git a/exo/21/31.md b/exo/21/31.md new file mode 100644 index 00000000..73120aee --- /dev/null +++ b/exo/21/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ng'ombe amempiga + +"kajeruhi kwa pembe zake" + +# shekeli thelathini za fedha + +"gramu 330 za fedha" + +# ng'ombe lazima apigwe mawe + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/21/33.md b/exo/21/33.md new file mode 100644 index 00000000..72accb03 --- /dev/null +++ b/exo/21/33.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# akifungua shimo + +"funua shimo kwenye ardhi" + +# alipe madhara + +Mmiliki lazima alipe kwa madhara ya mnyama. + +# atakuwa wake + +Aliye lipa madhara ya mnyama atakuwa mmliki wa mnyama aliye kufa na anaweza fanya ancho taka. + diff --git a/exo/21/35.md b/exo/21/35.md new file mode 100644 index 00000000..d7fd760f --- /dev/null +++ b/exo/21/35.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kugawana gharama + +"gawanya pesa" + +# kama ilijulikana + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# tabia ya kupiga hapo awali + +"kapiga wanyama wengine kabla" + +# mmiliki wake hakumfunga ndani + +Hii ina maana mmiliki hakumhifadhi ng'ombe kwa usalama ndani ya uzio. + +# lazima alipe ng'ombe kwa ng'ombe + +Mmiliki wa ng'ombe aliye ua lazima atoe ng'ombe kwa aliye poteza ng'ombe wake. + diff --git a/exo/22/01.md b/exo/22/01.md new file mode 100644 index 00000000..2ea310ef --- /dev/null +++ b/exo/22/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa ajili ya watu wa Israeli. + +# Kama mwizi akikutwa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# anavunja ndani + +"akitumia nguvu kuingia ndani ya nyumba" + +# kama akipigwa na kufa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# hakutakuwa na hatia ya mauaji hayatakuwa juu ya mtu yeyote + +"hakuna atakaye kuwa na hatia ya kumuua" + +# kama jua limechomoza kabla ya yeye kuvunja ndani + +"kama kuna mwanga kabla hajaingia" + +# hatia ya mauaji itakuwa juu ya aliyemuua. + +"huyo mtu atakaye muua akatakuwa na hatia ya mauaji" + +# lazima auzwe kwa uwizi wake + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# Kama mnyama amekutwa hai eneo lake + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/22/05.md b/exo/22/05.md new file mode 100644 index 00000000..eb1d91c1 --- /dev/null +++ b/exo/22/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kama mwanaume akiwapeleka malishoni mifugo yake + +"kama mwanaume akimuacha mnyama wake kulala mimea" + +# malishoni + +"inapo kula mimea" + +# lazima afanye malipo + +Lazima amlipe mmiliki wa hilo shamba" + diff --git a/exo/22/06.md b/exo/22/06.md new file mode 100644 index 00000000..5f7d2a8d --- /dev/null +++ b/exo/22/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kama moto ukitokea na kusambaa kwenye miba + +"Kama mtu akianza moto na kusambaa kwenye miba" + +# kusambaa kwenye miba + +"kupita kwenye mimea iliyo kauka" + +# shamba kuteketezwa + +"moto kuteketeza shamba" + +# lazima afanye malipo + +"lazima alipe mbegu moto ulizo haribu" + diff --git a/exo/22/07.md b/exo/22/07.md new file mode 100644 index 00000000..66dd7ae6 --- /dev/null +++ b/exo/22/07.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# amtunzie + +"kuangaliza" au "kuweka salama" + +# kama itaibiwa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# mwizi + +mtu anaye iba + +# kama mwizi akipatikana + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# kuja mbele za waamuzi + +"kuja mbele za waamuzi ili waweze jua kama" + +# ameeka mkono wake kwenye mali za jirani yake + +Huu ni msemo. Kama namna ya kusema hivi katika lugha yako, waweza sema hapa. + +# malalamiko ya pande zote lazima zije kwa waamuzi + +Waamuzi lazima wasikilize watu wote wawili wanao dai vitu ni vyao na waamuzi wataamua nani ana hatia. + diff --git a/exo/22/10.md b/exo/22/10.md new file mode 100644 index 00000000..47ccab49 --- /dev/null +++ b/exo/22/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kiapo kwa Yahweh lazima wafanye wote wawili + +Mtu aliye shutumiwa kuiba mnyama lazima aape kiapo. Mmiliki wa mnyama aliye potea lazima akubali kiapo kilicho apiwa. + +# Lakini kama iliibwa kwake + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# Kama mnyama alikatwa vipande + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# Hatalipa kwa ajili ya vile vipande + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/22/14.md b/exo/22/14.md new file mode 100644 index 00000000..b362dee2 --- /dev/null +++ b/exo/22/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# lazima afanya malipo + +"lazima alipe kwa mnyama mwingine" + +# kama mnyama aliazimwa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# atalipwa kwa gharama ya kuazima + +Aliye azima mnyama hata mlipa mmiliki zaidi ya ada au gharama ya kukodisha. Hii ada italipa kwa nyama aliye potea. + +# gharama ya kuazima + +"ada ya kukodisha" au "pesa iliyo lipwa kukodisha mnyama" + diff --git a/exo/22/16.md b/exo/22/16.md new file mode 100644 index 00000000..2d62f198 --- /dev/null +++ b/exo/22/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# akimtongoza + +"kushawishi" + +# hana mchumba + +"haja ahidiwa kuolewa" + +# akilala naye + +Kulala na mtu ni tafsida ya kufanya ngono. + +# gharama za bibi arusi + +"mahari" + diff --git a/exo/22/18.md b/exo/22/18.md new file mode 100644 index 00000000..40bdd316 --- /dev/null +++ b/exo/22/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yeyote atakaye lala na mnyama lazima auawe + +Hapa "lala na mnyama" ni tafsida yenye maana ya kufanya ngono na mnyama. + diff --git a/exo/22/20.md b/exo/22/20.md new file mode 100644 index 00000000..6a631e21 --- /dev/null +++ b/exo/22/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yahweh lazima auawe + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# mkosea mgeni + +"kutendea vibaya mgeni" + diff --git a/exo/22/22.md b/exo/22/22.md new file mode 100644 index 00000000..ff63ec49 --- /dev/null +++ b/exo/22/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hauruhusiwi kumtendea vibaya mjane au mtoto asiye kuwa na baba + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# mjane + +"mwanamke aliye poteza mme wake" + +# mtoto asiye kuwa na baba + +"yatima" + +# nitakuua kwa upanga + +Kuuawa "kwa upanga" ni mbadala yenye maana mtu atakufa vibaya sana. + diff --git a/exo/22/25.md b/exo/22/25.md new file mode 100644 index 00000000..cccb24ee --- /dev/null +++ b/exo/22/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kutoza faida + +"kulipisha kwa pesa ya faida kwa kuazima" + +# funiko lake + +"koti pekee" + +# Nini tena ambacho anaweza kulalia? + +Hili swali latilia msisitizo. + +# mwenye huruma + +"rehema" au "neema" + diff --git a/exo/22/28.md b/exo/22/28.md new file mode 100644 index 00000000..f10db3ab --- /dev/null +++ b/exo/22/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Husinikufuru mimi, Mungu + +"Husimtukane Mungu" + +# wala kumtukana mtawala + +"na usimuombe Mungu kufanya kitu kibaya kwa mtawala" + diff --git a/exo/22/29.md b/exo/22/29.md new file mode 100644 index 00000000..5f3c6518 --- /dev/null +++ b/exo/22/29.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Husizuie sadaka + +Hii yaweza andikwa katika tensi chanya. + +# unipe mzaliwa wa kwanza wa wana wako + +"waweke wakfu wazaliwa wenu wa kwanza kwangu" + +# ufanye hivyo hivyo kwa + +"niwekee wakfu wazaliwa wa kwanza wa" + +# Kwa siku saba + +Hii yaweza andikwa kama namba + +# siku ya nane + +Hii yaweza andikwa kama namba. + +# unipe mimi + +"waweke wakfu kwangu" + diff --git a/exo/23/01.md b/exo/23/01.md new file mode 100644 index 00000000..a6fb9ace --- /dev/null +++ b/exo/23/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumuambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli. + +# taarifa ya uongo + +Hii ni sawa na kudanganya au shuhuda ya uongo + +# wala kutoa ushahidi + +"na wewe husizungumze" + +# ukiwa na umati + +Hili ni fumbo linalo eleza mtu kukubaliana na kundi la watu kana kwamba alienda na kusimama na hilo kundi. + +# kupotosha haki + +fanya yasio halali au matendo yasio ya kijamii yenye matokeo ya uwamuzi usio haki + diff --git a/exo/23/04.md b/exo/23/04.md new file mode 100644 index 00000000..fa67318d --- /dev/null +++ b/exo/23/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli. + diff --git a/exo/23/06.md b/exo/23/06.md new file mode 100644 index 00000000..e81288f7 --- /dev/null +++ b/exo/23/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli. + +# Haupaswi kupotosha haki + +"Husifanye matendo yanayo zalisha matokea yasio halali" ambayo uleta uhuru kwa mwenye hatia au hukumu kwa hasiye na hatia. + +# sitamuacha muovu + +"sitampata muovu bila hatia" + +# rushwa inawapofusha ... kupotosha + +Hapa "rushwa" inaelezwa kama ni mtu. + diff --git a/exo/23/10.md b/exo/23/10.md new file mode 100644 index 00000000..fc3576a9 --- /dev/null +++ b/exo/23/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli. + +# mazao + +"chakula kutoka kwenye mimea" + +# hakujalimwa + +"hakujapaliliwa" + +# ili kwamba maskini miongoni mwenu wale + +Maskini wale chakula chochote kinacho ota chenyewe shamba lisilo paliliwa. + diff --git a/exo/23/12.md b/exo/23/12.md new file mode 100644 index 00000000..83115259 --- /dev/null +++ b/exo/23/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli. + +# Kuwa makini kwa + +"fanya" au "tii" + +# ng'ombe na punda wako + +"wanyama wa kazi zako" + +# wageni wapumzike na kupata hauweni + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# Husitaje majina ya miungu mingine + +Hapa "majina" ni mbadala wa kuomba kwa miungu mingine. + diff --git a/exo/23/14.md b/exo/23/14.md new file mode 100644 index 00000000..3c71541b --- /dev/null +++ b/exo/23/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli. + +# Abibu + +Hili ni jina la mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Abibu ni wakati wa sehemu ya mwisho ya Machi na sehemu ya kwanza ya Aprili kwa kalenda za Magharibi. + diff --git a/exo/23/16.md b/exo/23/16.md new file mode 100644 index 00000000..08455e73 --- /dev/null +++ b/exo/23/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli. + +# Lazima uadhimishe + +"Lazima uheshimu" + +# Sherehe ya Ukusanyaji + +Hii sherehe ya sherekewa mwishoni mwa mavuno ya mazao ya mwaka. + +# Wanaume wote wako lazima wajitokeze + +Hapa "kujitokeza" kuna maana ya kukusanyika kwa ibada. + diff --git a/exo/23/18.md b/exo/23/18.md new file mode 100644 index 00000000..163cfaff --- /dev/null +++ b/exo/23/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli. + +# Mafuta kutoka kwa dhabihu + +Mafuta yalichomwa kama sadaka kwa Yahweh na hayakuliwa. + +# matunda ya kwanza bora + +"bora na mazao ya kwanza ya mavuno" + +# Haupaswi kumchemsha mbuzi mtoto akiwa bado ananyonya + +Hii ilikuwa zoezi la kishirikina miongoni mwa Wakanani, ambalo Waisraeli hawakuruhusiwa kushiriki. + diff --git a/exo/23/20.md b/exo/23/20.md new file mode 100644 index 00000000..2bc2f8e5 --- /dev/null +++ b/exo/23/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli. + +# Kuwa makini naye + +"Msikilize" + +# Husimkasirishe, kwa kuwa hatasamehe + +"hukimkasirisha, hatasamehe" + +# Jina langu liko kwake + +Hapa "jina" la husu mamlaka ya Mungu. + +# hakika ukimtii sauti yake + +Hapa "sauti" ya wakilisha kile malaika anasema. + +# adui kwa adui zako na mpinzani kwa wapinzani wako + +Hii mistari miwili ina maana ya kitu kimoja na yana tumika kuweka mkazo. + diff --git a/exo/23/23.md b/exo/23/23.md new file mode 100644 index 00000000..da2a62fe --- /dev/null +++ b/exo/23/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli. + +# Haupaswi ... kufanya wanavyo fanya + +Waisraeli hawapaswi kuishi kama watu wanao muabudu Mungu mwingine. + diff --git a/exo/23/26.md b/exo/23/26.md new file mode 100644 index 00000000..f124b3c0 --- /dev/null +++ b/exo/23/26.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli. + +# Hakuna mwanamke atakaye kuwa tasa au mimba kuharibika katika nchi yako + +Hii yaweza andikwa katika tensi chanya. + +# mimba kuharibika + +mimba kufika mwisho mapema na pasipo tarajia + +# mavu + +mdudu anaye paa na anaweza uma watu na kusababisha maumivu + +# au nchi itakuwa imetelekezwa + +"kwasababu hakuna atakaye kuwa anaishi nchini" + diff --git a/exo/23/30.md b/exo/23/30.md new file mode 100644 index 00000000..b0ab242e --- /dev/null +++ b/exo/23/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa ajili ya watu wa Israeli. + +# hakika watakuwa mtego kwako + +Hii ina maana ya kuabudu miungu mingine itawapeleka watu wa Israeli kwa uharibifu. + diff --git a/exo/24/01.md b/exo/24/01.md new file mode 100644 index 00000000..7bdb7f52 --- /dev/null +++ b/exo/24/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nadabu ... Abihu + +Haya ni majina ya wanaume. + +# wazee sabini wa Israeli + +"wazee 70 wa Israeli" + diff --git a/exo/24/03.md b/exo/24/03.md new file mode 100644 index 00000000..7f34f895 --- /dev/null +++ b/exo/24/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kwa sauti moja + +Huu ni msemok wenye maana watu walikubaliana. + +# mguu wa mlima + +"tako la mlima" + diff --git a/exo/24/05.md b/exo/24/05.md new file mode 100644 index 00000000..24d3637e --- /dev/null +++ b/exo/24/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Musa allichukuwa nusu ya damu na kuweka kwenye mabeseni + +Musa alikusanya nusu ya damu kwenye mabesini ili kuwanyunyuzia watu 24:7. Hii itawathibitishia watu ushiriki wao katika agano kati ya watu wa Israeli na Mungu. + +# alinyunyuzia nusu ingine kwenye madhabahu + +Hapa madhabahu ya wakilisha Mungu. Hii itathibitisha ushiriki wa kati ya Mungu na watu wa Israeli. + diff --git a/exo/24/07.md b/exo/24/07.md new file mode 100644 index 00000000..831c219a --- /dev/null +++ b/exo/24/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tutakuwa watiifu + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# Kisha Musa akachukuwa damu + +Hii ya husu damu ambayo Musa aliweka kwenye bakuli. + diff --git a/exo/24/09.md b/exo/24/09.md new file mode 100644 index 00000000..494574e2 --- /dev/null +++ b/exo/24/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Nadabu ... Abihu + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Chini ya miguu + +Hii ina muongelea Mungu kana kwamba alikuwa na miguu ya mwanadamu. + +# sakafu iliyo jengwa kwa jiwe la yakuti samawi + +"sakafu iliyo tengenezwa kwa mawe ya buluu yanayo itwa yakuti samawi" + +# sakafu + +ardhi ngumu iliyo tengenezwa kwa kutembelea au kuendeshea + +# jiwe la yakuti samawi + +Hii ni dini ambalo ni buluu kwa rangi. + +# safi kama mbingu yenyewe + +Hili ni fumbo. + +# Mungu hakugusa na mkono kwa hasira viongozi Waisraeli + +Hii ina maana kuwa Mungu hakujeruhi viongozi. + diff --git a/exo/24/12.md b/exo/24/12.md new file mode 100644 index 00000000..9b95f9b1 --- /dev/null +++ b/exo/24/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# saani za mawe na sheria na amri + +Mungu aliandika sheria na amri katika saani za mawe. + +# na msaidizi wake Yoshua + +"na Yoshua aliye msaidia" + diff --git a/exo/24/14.md b/exo/24/14.md new file mode 100644 index 00000000..b2f14eb5 --- /dev/null +++ b/exo/24/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mtusubiri + +"msubiri Yoshua na mimi" + +# Huri + +Huri alikuwa mwanaume aliye kuwa rafiki wa Musa na Aruni. + diff --git a/exo/24/16.md b/exo/24/16.md new file mode 100644 index 00000000..2d7573b2 --- /dev/null +++ b/exo/24/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Utukufu wa Yahweh + +Huu ulikuwa mwanga mzuri wa uwepo wa Mungu. + +# kama moto ulao + +Hii ina maana ya utukufu wa Yahweh ulikuwa mkubwa una ulionekana kuwaka kwa mwanga kama moto. + +# kwenye macho ya Waisraeli + +Hapa "macho" ya husu mawazo ya kuhusu walicho kiona + +# siku arobaini na usiku arobaini + +"siku 40 na usiku 40" + diff --git a/exo/25/01.md b/exo/25/01.md new file mode 100644 index 00000000..9259059e --- /dev/null +++ b/exo/25/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# atakayetoa kwa moyo mkunjufu + +Huu ni msemo unao hashiria tamanio la mtu kutoa sadaka. + +# Lazima upokee + +Neno "upokee" la husu Musa na viongozi. + diff --git a/exo/25/03.md b/exo/25/03.md new file mode 100644 index 00000000..3d227bc3 --- /dev/null +++ b/exo/25/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa ni watu wafanye. + +# buluu, zambarau na nyekundu + +Maana zinazo wezekana ni 1) "vitu iliyo tiwa buluu, zambarau, na nyekundu," 2) "buluu, zambarau na nyekundu" kupaka kitambaaa. + +# pomboo + +mnyama mkubwa anaye ishi baharini na kula mimea + +# shohamu + +jiwe la thamani lenye miisho meupe na meusi, nyekundu au kijivu. + +# mawe mengine ya kutiwa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/25/08.md b/exo/25/08.md new file mode 100644 index 00000000..cd4b2932 --- /dev/null +++ b/exo/25/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa ni watu wafanye. + +# patakatifum ... maskani + +Haya maneno yana maana moja. + +# Lazima ufanye + +Hapa "ufanye" ni wingi na ya husu Musa na watu wa Israeli. + +# nikuoneshayo mfano + +"kukuonyesha katika mpango wake" au "nikuonyeshayo katika ramani" + diff --git a/exo/25/10.md b/exo/25/10.md new file mode 100644 index 00000000..c700a40f --- /dev/null +++ b/exo/25/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# dhiraa mbili na nusu ... dhiraa moja na nusu + +"dhiraa 2.5 ... dhiraa 1.5" + diff --git a/exo/25/12.md b/exo/25/12.md new file mode 100644 index 00000000..2d6f5518 --- /dev/null +++ b/exo/25/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# viduara vinne vya dhahabu + +Hii ilikuwa namna dhahabu ya yayushwa, ilikuwa ya miminwa katika chombo cha mviringo, kisha kuwachwa kuwa ngumu. + +# ili kulichukua hilo sanduku + +"ili uweze kubeba sanduku" + diff --git a/exo/25/15.md b/exo/25/15.md new file mode 100644 index 00000000..e2c71b34 --- /dev/null +++ b/exo/25/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# kifuniko cha dhahabu + +Hichi ni kifuniko kinacho keti juu ya sanduku ambapo sadaka ya maombezi ufanyika. + +# dhiraa mbili na nusu ... dhiraa moja na nusu + +"dhiraa 2.5 ... dhiraa 1.5" + diff --git a/exo/25/19.md b/exo/25/19.md new file mode 100644 index 00000000..379fbba9 --- /dev/null +++ b/exo/25/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# kifuniko cha dhahabu + +Hichi ni kifuniko kinacho keti juu ya sanduku ambapo sadaka ya maombezi ufanyika. + +# Lazima uweke + +Hapa "uweke" ya husu Musa na watu wa Israeli. + diff --git a/exo/25/22.md b/exo/25/22.md new file mode 100644 index 00000000..d26705bb --- /dev/null +++ b/exo/25/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa. + +# nitaonana nawe hapo katika sanduku + +"Nitakutana na wewe katika sanduku" + +# kifuniko cha dhahabu + +Hichi ni kifuniko kinacho keti juu ya sanduku ambapo sadaka ya maombezi ufanyika. + diff --git a/exo/25/23.md b/exo/25/23.md new file mode 100644 index 00000000..c700a40f --- /dev/null +++ b/exo/25/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# dhiraa mbili na nusu ... dhiraa moja na nusu + +"dhiraa 2.5 ... dhiraa 1.5" + diff --git a/exo/25/25.md b/exo/25/25.md new file mode 100644 index 00000000..7a9c5069 --- /dev/null +++ b/exo/25/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# fremu ya kuizunguka + +"fremu ya meza" + +# ilipo kuwa + +"ilipo" + +# kuichukulia + +"ili kubeba" + diff --git a/exo/25/28.md b/exo/25/28.md new file mode 100644 index 00000000..296512eb --- /dev/null +++ b/exo/25/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# ile meza ichukuliwe kwayo + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# vya kumiminia + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# mikate ya wonyesho + +Huu mkate uliwakilisha uwepo wa Mungu. + diff --git a/exo/25/31.md b/exo/25/31.md new file mode 100644 index 00000000..7e9a809d --- /dev/null +++ b/exo/25/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# dhahabu safi + +"dhahabu iliyo gongwa" + +# kinara na kifanywe + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# kitako chake, na mti wake, vikombe vyake, na matovu yake, na maua yake, vyote vitakuwa vya kitu kimoja nacho + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/25/33.md b/exo/25/33.md new file mode 100644 index 00000000..b6618023 --- /dev/null +++ b/exo/25/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mungu anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. Yahwe anaelezea kinara cha taa. + +# maua ya mlozi + +nyeupe au maua ya pinki yenye majani matano + diff --git a/exo/25/35.md b/exo/25/35.md new file mode 100644 index 00000000..3b97aa5e --- /dev/null +++ b/exo/25/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# kitu kimoja nacho + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/25/37.md b/exo/25/37.md new file mode 100644 index 00000000..0ec38943 --- /dev/null +++ b/exo/25/37.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# zitoe nuru mbele yake + +"hivyo watoa mwangaa" + +# Na makoleo yake, na visahani vyake, vyote vitakuwa vya dhahabu safi + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# talanta moja + +Talanta ina kilogramu 34 + +# na vyombo + +makoleo na visahani + +# uliooneshwa mlimani + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/26/01.md b/exo/26/01.md new file mode 100644 index 00000000..1b8731f9 --- /dev/null +++ b/exo/26/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# Lazima ufanye + +Yahweh anaongea na Musa, hivyo neno "ufanye" la husu yeye. Yahweh inawezekana alitarajia Musa kumwambia mtu mwingine kufanya kazi, lakini Musa atakuwa ana wajibika kuona kuwa kazi imefanywa sahihi. + +# mapazia + +Haya yalikuwa vitambaa vikubwa vya kushona vilivyo tumika kutengeneza kifuniko na kuta za kugawanya patakatifu. + +# dhiraa ishirini na nane ... dhiraa nne + +"dhiraa 28 ... dhiraa 4." Dhiraa ni sentimita 46. + +# Mapazia matano yataungwa pamoja ... yataungwa pamoja + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/26/04.md b/exo/26/04.md new file mode 100644 index 00000000..cfd8c980 --- /dev/null +++ b/exo/26/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# tanzi ... vifungo + +Vifungo vinatoshea kwenye tanzi ili kushikilia pazia pamoja. + +# fungu + +"fungu moja la mapazia matano" + +# fungu la pili + +"fungu la pili la mapazia matano" + diff --git a/exo/26/07.md b/exo/26/07.md new file mode 100644 index 00000000..f3863fc1 --- /dev/null +++ b/exo/26/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# kumi na moja ... thelethini ... nne + +"11 ... 30 ... 4" + +# dhiraa + +Dhiraa ni sentimita 46 + diff --git a/exo/26/10.md b/exo/26/10.md new file mode 100644 index 00000000..7d4749d4 --- /dev/null +++ b/exo/26/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# tanzi ... vifungo + +Vifungo vinatoshea kwenye tanzi ili kushikilia pazia pamoja. + diff --git a/exo/26/12.md b/exo/26/12.md new file mode 100644 index 00000000..350638ca --- /dev/null +++ b/exo/26/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# dhiraa + +Dhiraa ni sentimita 46 + diff --git a/exo/26/15.md b/exo/26/15.md new file mode 100644 index 00000000..6c4a2817 --- /dev/null +++ b/exo/26/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# fremu + +Hii ya husu fremu walizo tengeneza kwa kuunganisha mbao ndogo vya vipande. + +# dhiraa kumi ... dhiraa moja na nusu + +"dhiraa 10 ... dhiraa 1.5" + diff --git a/exo/26/19.md b/exo/26/19.md new file mode 100644 index 00000000..ab4f1ac9 --- /dev/null +++ b/exo/26/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# vitako vya fedha + +Hivi vilikuwa vitofali vya fedha vyenye mpangilio kuweza ustahimili. + +# Lazima kuwe na vitako viwili + +Hii ina weza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/26/22.md b/exo/26/22.md new file mode 100644 index 00000000..a3879fb1 --- /dev/null +++ b/exo/26/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# Hizi fremu zitakuwa zimetengana upande wa chini, lakini zimeshinkana kwa juu ya duara moja + +Hii ya weza andika katika tensi tendaji. + +# vitako vya fedha + +Haya yalikuwa matofali yenye mpangilio kuweka fremu sehemu yake. + diff --git a/exo/26/26.md b/exo/26/26.md new file mode 100644 index 00000000..466d18c0 --- /dev/null +++ b/exo/26/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# mataruma + +Hizi ni nguzo zinazo weka imara jengo. + +# maskani ulio nyuma kuelekea magharibi + +Mbele ya maskani ili elekea mashariki. + diff --git a/exo/26/29.md b/exo/26/29.md new file mode 100644 index 00000000..ffcf82fe --- /dev/null +++ b/exo/26/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa jinsi maskani itengenezwe. + +# kuwa kama vishikizo + +"vitakavyo shika mataruma" + +# mataruma + +Hizi ni nguzo zinazo weka imara jengo. + +# uliooneshwa mlimani + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/26/31.md b/exo/26/31.md new file mode 100644 index 00000000..03c1b319 --- /dev/null +++ b/exo/26/31.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa jinsi maskani itengenezwe. + +# Nawe fanya + +Yahweh anazungumza na Musa, hivyo neno "nawe" la muhusu yeye. Yahweh inawezekana alitarajia Musa kumwambia mtu mwingine kufanya kazi, lakini Musa atakuwa ana wajibika kuona kuwa kazi imefanywa sahihi. + +# vifungo + +Vifungo vintoshea kwenye tanzi kushikilia pazia pamoja. + +# nawe lete lile sanduku la ushuhuda + +Sanduku la agano ni chombo linalo hifadhi amri. + +# Lile pazia litawagawanyia kati ya patakatifu + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/26/34.md b/exo/26/34.md new file mode 100644 index 00000000..cc9fe421 --- /dev/null +++ b/exo/26/34.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# juu ya lile sanduku la ushuhuda + +"kwenye chombo chenye amri" + +# Lile meza utaiweka upande wa kaskazini. + +Hii ni meza inayo shikilia mkate unao wakilisha uwepo wa Mungu. + diff --git a/exo/26/36.md b/exo/26/36.md new file mode 100644 index 00000000..848fc6f4 --- /dev/null +++ b/exo/26/36.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa jinsi ya kutengeneza patakatifu. + +# kisitiri + +Hili lilikuwa pazia kubwa lilo tengenezwa kwa kitambaa. + +# buluu, zambarau, na nyekundu + +Maana zinazo wezekana ni 1) "vitu iliyo tiwa buluu, zambarau, na nyekundu," 2) "buluu, zambarau na nyekundu" kupaka kitambaaa. + +# kitani nzuri yenye kusokotwa + +Hii ilikuwa kitambaa kilicho tengenezwa kutokana uzi ambao mtu alizokota pamoja kufanya uzi mgumu. + +# mshonaji + +"mtu anaye shona michoro ya vitambaa" + diff --git a/exo/27/01.md b/exo/27/01.md new file mode 100644 index 00000000..a0633998 --- /dev/null +++ b/exo/27/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# urefu wake dhiraa tano na upana wake dhiraa tano + +"mita 2.2 kila upande" + +# madhabahu itakuwa mraba na kwenda juu kwake kutakuwa dhiraa tatu + +"madhabahu itakuwa mraba na mita 1.3 kwenda juu" + +# dhiraa + +dhiraa ni sentimita 46 + +# Nawe fanya pembe nne kama mfano wa pembe za ng'ombe + +"Nawe fanya muonekano wake kama pembe za ng'ombe katika miisho yake" + +# pembe zitakuwa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji + +# utayafunika + +" lazima ifunike madhabahu na pembe" + diff --git a/exo/27/03.md b/exo/27/03.md new file mode 100644 index 00000000..9b4d0714 --- /dev/null +++ b/exo/27/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# mabakuli + +"mabeseni" + +# meko + +Kulikuwa na meko iliyo shika makaa kutoka madhabahuni. + +# Vyombo + +Haya yalikuwa vifaa au vitu vilivyo tumika kwa kusudi. + +# Nawe uifanyie hiyo madhabahu wavu wa shaba + +"Nawe ufanye wavu wa shaba kwa ajili ya madhabahu" + diff --git a/exo/27/05.md b/exo/27/05.md new file mode 100644 index 00000000..4e6040b5 --- /dev/null +++ b/exo/27/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# Nawe lazima uweke huo wavu chini ya kizingo kiizungukacho madhabahu + +Wavu uliwekwa ndani ya madhabahu. + +# Nawe fanya miti kwa ajili ya madhabahu + +Hii miti ilitumika kubeba madhabahu. + diff --git a/exo/27/07.md b/exo/27/07.md new file mode 100644 index 00000000..7743d902 --- /dev/null +++ b/exo/27/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# Na hiyo miti itatiwa katika viduara, na ile miti itakuwa katika pande mbili za madhabahu, wakati wa kuichukua + +Hii yaweza andikwa katika sentensi tendaji. + +# ulivyooneshwa mlimani + +Hii yaweza andikwa katika sentensi tendaji. + diff --git a/exo/27/09.md b/exo/27/09.md new file mode 100644 index 00000000..f98110d2 --- /dev/null +++ b/exo/27/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kutakuwa na chandarua ya nguo + +Hii yaweza andikwa katika sentensi tendaji. + +# chandarua ya nguo ya kitani nzuri yenye kusokotwa + +chandarua ilikuwa pazia kubwa lilio tengenezwa na kitambaa + +# kitani nzuri yenye kusokotwa + +Hichi kilikuwa kitambaa kutokana na nyuzi mtu alizo zokota pamoja kufanya uzi mgumu. + +# dhiraa mia moja + +"mita 44" + +# nguzo + +kipande kigumu cha mbao kilicho nyooshwa na kutumika kushikilia + diff --git a/exo/27/11.md b/exo/27/11.md new file mode 100644 index 00000000..05cf1fd0 --- /dev/null +++ b/exo/27/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# hiyo chandarua utakuwa + +Hii yaweza andikwa kama amri. + +# nguzo zake kumi + +Hii yaweza andikwa kama amri. + +# Na upana wa ule ua upande wa mashariki kuelekea mashariki utakuwa ni dhiraa hamsini + +Hii yaweza andikwa kama amri. + diff --git a/exo/27/14.md b/exo/27/14.md new file mode 100644 index 00000000..784e30c4 --- /dev/null +++ b/exo/27/14.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# Chandarua + +Hii ilikuwa pazia lililo tengenezwa kwa kitambaa. + +# nguzo + +Hizi zilikuwa vipande vigumu vya mbao vilivyo nyooshwa juu. + +# vitako + +Hizi zilikuwa matofali ya chuma yenye nafasi ya kushikilia nguzo + +# dhiraa kumi na tano + +kiasi cha mita saba + +# Na kwa lile lango la ua patakuwa na kisitiri cha dhiraa ishirini + +Hii yaweza andikwa kama amri. + +# kitakuwa cha nguo ... kitani nzuri yenye kusokotwa, kazi ya mshonaji + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# buluu, zambarau na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa + +Maana inayo wezekana ni 1) "kitambaa kilicho tiwa buluu, zambarau, na nyekundu," 2) "buluu, zambarau, na nyekundu" + +# mshonaji + +mtu anaye shona mishono kwenye nguo + diff --git a/exo/27/17.md b/exo/27/17.md new file mode 100644 index 00000000..228f3525 --- /dev/null +++ b/exo/27/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# dhiraa mia moja + +"dhiraa 100" + +# yawe ya nguo ya kitani nzuri + +Hii ilikuwa nguo iliyo tengenezwa kwa nyuzi mtu aliye sokota kufanya uzi mgumu. + +# Vyombo vyote vya maskani vitumiwavyo katika utumishi wake wote, na vigingi vyake vyote, na vigingi vyote vya ule ua, vitakuwa vya shaba + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/27/20.md b/exo/27/20.md new file mode 100644 index 00000000..04e04dfb --- /dev/null +++ b/exo/27/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# hema ya kukutania + +Hili ni jina lingine la maskani. + +# itakuwa ni amri ya milele + +"nianataka watu wafanye hii kama amri ya kudumu" + diff --git a/exo/28/01.md b/exo/28/01.md new file mode 100644 index 00000000..9e1b8971 --- /dev/null +++ b/exo/28/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# Umuite + +Neno "Umuite" lina husu Musa. + +# Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamar + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Nawe utamfanyia + +Hapa "Nawe" ya husu watu. + diff --git a/exo/28/04.md b/exo/28/04.md new file mode 100644 index 00000000..838ec893 --- /dev/null +++ b/exo/28/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# kanzu ya kazi ya urembo + +"kanzu iliyo shoneshewa urembo" + +# kilemba + +kitambaa kirefu cha kichwa kinacho zungushwa kichwani mara kadhaa. + +# mshipi + +kipande cha kitambaa watu wanacho vaa kwenye kiuno au kwenye kifua + diff --git a/exo/28/06.md b/exo/28/06.md new file mode 100644 index 00000000..86d8be3a --- /dev/null +++ b/exo/28/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# kitani nzuri yenye kusokotwa + +Hii ilikuwa nguo iliyo tengenezwa kwa nyuzi mtu aliyo sokotwa pamoja kufanya uzi mgumu. + +# kazi ya mstadi + +mtu anaye weza kufanya vitu vizuri kwa mkono + +# ya vitu vile vile + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# shohamu + +Haya ni mawe yenye miisho meupe na meusi, nyekundu au kahawia. + diff --git a/exo/28/10.md b/exo/28/10.md new file mode 100644 index 00000000..e8282e5e --- /dev/null +++ b/exo/28/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# Kwa kazi mtu mwenye kuchora mawe kama vile muhuri ichorwavyo + +"Jinsi mtu anavyo chora kwenye muhuri" + +# mtu mwenye kuchora + +mtu anaye kata michoro kwenye vitu vigumu kama mbao, jiwe, au chuma + +# vijalizo + +vipande vya chuma vinavyo shikilia jiwe kwenye naivera + diff --git a/exo/28/13.md b/exo/28/13.md new file mode 100644 index 00000000..85d80980 --- /dev/null +++ b/exo/28/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# vijalizo + +vipande vya chuma vinavyo shikilia jiwe kwenye naivera + +# mikufu miwili ya dhahabu safi; utaifanya iwe mfano wa kamba + +"mikufu miwili ya dhahabu yenye kusokotwa kama kamba" + diff --git a/exo/28/15.md b/exo/28/15.md new file mode 100644 index 00000000..6e2b2321 --- /dev/null +++ b/exo/28/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# kazi ya fundi stadi; utakifanya kwa kuiandama ile kazi ya hiyo naivera + +"fundi stadi atafanya kama ile naivera" + +# shibiri + +Shibiri ni sentimita 22. + diff --git a/exo/28/17.md b/exo/28/17.md new file mode 100644 index 00000000..f8060148 --- /dev/null +++ b/exo/28/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# vito + +"madini ya dhamani" au "madini ya hazina" + +# akiki ... yaspi + +Haya ni madini ya thamani. + +# yakuti + +Hili ni jiwe la dini lenye rangi ya buluu + +# shohamu + +Hili ni jiwe la thamani lenye miisho meupe na meusi, nyukundu au kahawia. + +# Vito hivyo vitakazwa ndani ya dhahabu kwa kujaa mahali pake + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/28/21.md b/exo/28/21.md new file mode 100644 index 00000000..dd1e6aed --- /dev/null +++ b/exo/28/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# Na vile vito vitakuwa sawasawa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# mfano wa kamba, ya kazi ya kusokotwa, ya dhahabu safi + +"mikufu iliyo fanywa kwa dhahabu safi na imesokotwa kama kamba" + diff --git a/exo/28/25.md b/exo/28/25.md new file mode 100644 index 00000000..9df43674 --- /dev/null +++ b/exo/28/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# mikufu miwili ya kusokotwa + +"mikufu iliyo sokotwa kama kamba" + +# vile vijalizo viwili + +Hizi ni vijalizo viwili vinavyo funga mawe. + diff --git a/exo/28/27.md b/exo/28/27.md new file mode 100644 index 00000000..2c904cbf --- /dev/null +++ b/exo/28/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# mshipi wa naivera uliosukwa kwa ustadi + +Huu ulikuwa mkanda wa kitambaa uliyo tengenezwa kwa nyuzi nyembamba mtu alizo zokota kufanya uzi mgumu. + +# ili kwamba kikae + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# ili kwamba kifuko cha kifuani kisiachane na naivera + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/28/29.md b/exo/28/29.md new file mode 100644 index 00000000..adc48ef9 --- /dev/null +++ b/exo/28/29.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# atayachukua majina ya wana wa Israeli katika kile kifuko cha kifuani + +Hii ya husu majina ya makabila yaliyo chorwa katika mawe kumi na mbili. + +# cha kifuani + +"katika moyo wa Aruni" au "kifuani mwake" + +# hizo Urimu na Thumimu ... atachukua hukumu ya + +Huu mstari wapili unaeleza hizo Urimu na Thumimu na kusudi lake. + +# hizo Urimu na Thumimu + +Haiko wazi hizi ni nini. Vilikuwa vitu, labda mawe, ambayo makuhani walitumia kufahamu mapenzi ya Mungu. + diff --git a/exo/28/31.md b/exo/28/31.md new file mode 100644 index 00000000..faba2ebe --- /dev/null +++ b/exo/28/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + diff --git a/exo/28/33.md b/exo/28/33.md new file mode 100644 index 00000000..e8d3bced --- /dev/null +++ b/exo/28/33.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# komamanga + +Komamanga ni tunda la mviringo lenye ganda jekundu. + +# Kengele ya dhahabu na komamanga + +Huu mstari umerudiwa kuonyesha ramani ya mchoro kwenye kanzu. + +# na sauti ya hizo kengele itasikilikana + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# ili kwamba asife + +Ina hashiriwa kwamba ata kufa kwasababu hakumtii Yahweh. + diff --git a/exo/28/36.md b/exo/28/36.md new file mode 100644 index 00000000..7521e2f7 --- /dev/null +++ b/exo/28/36.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wafanye. + +# kuchora juu yake, mfano wa machoro ya muhuri + +"andika juu yake jinsi mtu anavyo chora kwenye muhuri" + +# kilemba + +kitambaa kirefu cha kichwa kinacho zungushwa kichwani mara kadhaa. + +# Nalo litakuwa katika kipaji cha uso cha Aruni + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# alo litakuwa katika kipaji chake cha uso sikuzote + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/28/39.md b/exo/28/39.md new file mode 100644 index 00000000..2a086d58 --- /dev/null +++ b/exo/28/39.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mungu anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# kilemba + +kitambaa kirefu cha kichwa kinacho zungushwa kichwani mara kadhaa. + +# mshipi + +Mshipi ni kipande cha kitambaa ambacho mtu anavaa kwenye kiuno chake au kwenye kifua. + +# kazi ya mwenye kutia taraza + +Mtia taraza ni mtu anaye shona michoro kwenye kitambaa. + diff --git a/exo/28/40.md b/exo/28/40.md new file mode 100644 index 00000000..d3eab853 --- /dev/null +++ b/exo/28/40.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mungu anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# mshipi + +kipande cha kitambaa watu wanacho vaa kwenye kiuno au kwenye kifua + +# kofia + +Kofia hii ni nyembamba, ya urembo ambayo mtu ni kitambaa mtu anacho vaa kichwani juu ya macho. + +# Nawe mvike huyo nduguye Aruni + +Aruni alikuwa kaka mkubwa wa Musa. + diff --git a/exo/28/42.md b/exo/28/42.md new file mode 100644 index 00000000..6182a238 --- /dev/null +++ b/exo/28/42.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mungu anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# suruali za nguo ya kitani + +Hizi zilikuwa nguo za ndani, nguo zinazo valia njee ya nguo za njee, karibu na ngozi. + +# hema ya kukutania + +Hili ni jina lingine la maskani. + +# amri ya milele + +"sheria hisiyo kwisha" + diff --git a/exo/29/01.md b/exo/29/01.md new file mode 100644 index 00000000..07f53c8b --- /dev/null +++ b/exo/29/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sasa + +Neno "sasa" linaeka alama katika somo kutoka mavazi ya makuhani kwenda kutengwa kwa makuhani. + +# wapaswa kufanya + +Hapa "wapaswa" ya husu Musa. + +# kuwatenga + +"kumtenga Aruni na wana wake" + +# wanitumikie + +Hii ya husu Yahweh. + +# mtoto wa ng'ombe dume + +ng'ombe dume + +# Pia chukuwa maandazi bila hamira yalio pakwa mafuta + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# mkate ... keki ... maandazi + +Hivi ni aina tofauti vya vyakula vya ngano. + diff --git a/exo/29/03.md b/exo/29/03.md new file mode 100644 index 00000000..6f752151 --- /dev/null +++ b/exo/29/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa + +# Lazima uweke + +"Lazima uweke mkate, keki, na maandazi" + +# na kuleta pamoja na ng'ombe dume na wana kondoo wawili + +Hpa "kuleta" ina maana ya kutoa dhabihu. Maana kamili ya hii yaweza tafsiriwa kwa wazi. + +# hema la kukutania + +Hili ni jina lingine la maskani. + diff --git a/exo/29/05.md b/exo/29/05.md new file mode 100644 index 00000000..80c54c34 --- /dev/null +++ b/exo/29/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa. + +# kanzu + +Hili lilikuwa kanzu lilo shoneshewa mchoro. + +# mshipi wa naivera uliosukwa kwa ustadi + +Hii ilikuwa nguo iliyo tengenezwa kwa nyuzi mtu aliyo sokotwa pamoja kufanya uzi mgumu. + +# kilemba + +kitambaa kirefu cha kichwa kinacho zungushwa kichwani mara kadhaa. + +# taji takatifu + +Hili taji limeelezewa katika 29:5 kuwa limechorwa kwa maneno "tolewa kwa ajili ya Yahweh" + diff --git a/exo/29/08.md b/exo/29/08.md new file mode 100644 index 00000000..c578032a --- /dev/null +++ b/exo/29/08.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa. + +# walete hao wanawe + +"walete wana wa Aruni" + +# kanzu + +Hili lilikuwa kanzu lilo shoneshewa mchoro. + +# mshipi + +kipande cha kitambaa watu wanacho vaa kwenye kiuno au kwenye kifua. + +# kofia + +Kofia hii ni nyembamba, ya urembo ambayo mtu ni kitambaa mtu anacho vaa kichwani juu ya macho. + +# kwa kazi takatifu + +"wajibu wa kuwa makuhani" + +# watakuwa na huo + +Wajibu wa kuwa makuhani pia utakuwa na zao la wana wa Aruni. + +# amri ya milele + +"sheria isiyo na mwisho" + diff --git a/exo/29/10.md b/exo/29/10.md new file mode 100644 index 00000000..f0159cf8 --- /dev/null +++ b/exo/29/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa. + +# hema ya kukutania + +Hili ni jina lingine la maskani. + +# Kisha utamchinja huyo ng’ombe + +Sadaka ya ng'ombe ilikuwa ichinjwe na Musa, na sio makuhani, njiani mwa mlango, sio ndani ya hema la kukutania. + diff --git a/exo/29/12.md b/exo/29/12.md new file mode 100644 index 00000000..293e3bd4 --- /dev/null +++ b/exo/29/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kungea na Musa. + +# pembe + +Hii ilikuwa mifano ya pembe za ng'ombe zilizokuwa zimewekwa kwenye miisho minne ya madhabahu. + +# damu yote + +"damu iliyo baki" + +# yafunikayo matumbo + +"yanayofunika viungo vya ndani" + +# ini ... figo + +Hivi ni viungo mwilini. + +# Lakini nyama yake huyo ng’ombe, na ngozi yake, na mavi yake + +"Lakini kwa viungo vilivyo baki vya ng'ombe" + diff --git a/exo/29/15.md b/exo/29/15.md new file mode 100644 index 00000000..27fec8d9 --- /dev/null +++ b/exo/29/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Pia mtwae kondoo + +Kwa hizi dhabihu za kutengwa za makuhani, alikuwa Musa, sio Aruni wala wana wake, aliye hua wanyama. + +# katika madhabahu + +Tofauti na sadaka ya ng'ombe iliyo chomwa nje ya hema, kondoo allichomwa katika madhabahu ya ndani. + +# matumbo yake + +"viungo vya ndani" + diff --git a/exo/29/19.md b/exo/29/19.md new file mode 100644 index 00000000..6e287d2a --- /dev/null +++ b/exo/29/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa. + +# Kisha utamchinja kondoo + +Kondoo aliuliwa kwa kukata koromeo lake. + diff --git a/exo/29/21.md b/exo/29/21.md new file mode 100644 index 00000000..1afa3698 --- /dev/null +++ b/exo/29/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa. + diff --git a/exo/29/22.md b/exo/29/22.md new file mode 100644 index 00000000..095cefee --- /dev/null +++ b/exo/29/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa. + +# matumbo ... ini ... figo + +Hivi ni viungo vya ndani. + +# Utwae na mkate mmoja ... mbele ya Yahweh + +Kwa ajili ya 29:23 ona jinsi ulivyo tafsiri maneno kama hayo 29:1 + diff --git a/exo/29/24.md b/exo/29/24.md new file mode 100644 index 00000000..3266a8f7 --- /dev/null +++ b/exo/29/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mungu anaendelea kuongea na Musa. + +# Nawe utavitia hivi + +Hapa "hivi" lina husu sehemu za dhabihu vilivyo tajwa katika mistari ya awali. + +# ni sadaka iliyotengenezwa kwangu kwa njia ya moto + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/29/26.md b/exo/29/26.md new file mode 100644 index 00000000..e78d6bca --- /dev/null +++ b/exo/29/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa. + +# kondoo wa kuwekwa + +"kondoo uliye mtoa" au "kondoo uliye muua" + +# kondoo wa kuwekwa kwake Haruni + +"kondoo uliye kuwa ukimwekea Aruni" + diff --git a/exo/29/29.md b/exo/29/29.md new file mode 100644 index 00000000..cfb8f584 --- /dev/null +++ b/exo/29/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa. + +# Na hayo mavazi matakatifu ya Aruni yatakuwa ya wanawe baada yake + +Haya mavazi yalikuwa ni ya kikuhani ni sio ya Aruni peke yake. + +# wayavae watakapotiwa mafuta, na watakapowekwa kwa kazi takatifu + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# hema ya kukutania + +Hili ni jina llingine la maskani. + diff --git a/exo/29/31.md b/exo/29/31.md new file mode 100644 index 00000000..1a973429 --- /dev/null +++ b/exo/29/31.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa. + +# kondoo mume aliyekuwa wa kuwekwa kwa kazi takatifu + +"kondoo uliye muua kwa kazi takatifu" + +# katika mahali patakatifu + +Hii sio mahali patakatifu njee na mahali patakatifu + +# hema ya kukutania + +Hili ni jina lingine la maskani. + +# havitaliwa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# maana, ni vitu vitakatifu + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/29/35.md b/exo/29/35.md new file mode 100644 index 00000000..73dc7a5c --- /dev/null +++ b/exo/29/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa. + +# Ni hivyo utakavyowatendea Aruni na wanawe kama nilivyo kuagiza + +"Nimekuamuru kumtendea Aruni na wana wake hivi" + diff --git a/exo/29/38.md b/exo/29/38.md new file mode 100644 index 00000000..f8c2fd87 --- /dev/null +++ b/exo/29/38.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa. + +# Lazima utoe kwenye madhabahu wana-kondoo wa mwaka mmoja wawili siku baada ya siku + +"Kila siku utoe sadaka katika madhabahu" + diff --git a/exo/29/40.md b/exo/29/40.md new file mode 100644 index 00000000..070c8436 --- /dev/null +++ b/exo/29/40.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa. + +# vibaba vitatu ... kibaba na robo + +"1/10 ... 1/4" + +# kibaba + +kibaba ni lita 22. + diff --git a/exo/29/41.md b/exo/29/41.md new file mode 100644 index 00000000..e3e8367d --- /dev/null +++ b/exo/29/41.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa. + +# ni dhabihu ya kusongezwa kwangu kwa njia ya moto + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# katika vizazi vyenu vyote + +"katika vizazi vyote vya uzao wenu" + +# hema ya kukutania + +Hili ni jina lingine la maskani. + diff --git a/exo/29/43.md b/exo/29/43.md new file mode 100644 index 00000000..8d913808 --- /dev/null +++ b/exo/29/43.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa. + +# na hiyo hema itafanywa takatifu na utukufu wangu + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/29/45.md b/exo/29/45.md new file mode 100644 index 00000000..1afa3698 --- /dev/null +++ b/exo/29/45.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa. + diff --git a/exo/30/01.md b/exo/30/01.md new file mode 100644 index 00000000..911a4a82 --- /dev/null +++ b/exo/30/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa jinsi ya kujenga vifaa vya kuabuduia. + +# Nawe fanya + +Hapa "nawe" ya husu Musa na watu wa Israeli. + +# pembe zake zitakuwa + +Hizi zilikuwa mifano ya pembe za ng'ombe zilizo wekwa kwenye miisho ya madhabahu. + diff --git a/exo/30/03.md b/exo/30/03.md new file mode 100644 index 00000000..4ca793b8 --- /dev/null +++ b/exo/30/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini watu wake wafanye. + +# utazifanya + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/30/05.md b/exo/30/05.md new file mode 100644 index 00000000..f33654f9 --- /dev/null +++ b/exo/30/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# sanduku la ushuhuda + +Sanduku ni chombo chenye zile amri. + +# nitakapokutana nawe + +Hapa "nawe" ya husu Musa. + diff --git a/exo/30/07.md b/exo/30/07.md new file mode 100644 index 00000000..b80599f0 --- /dev/null +++ b/exo/30/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# katika vizazi vyenu vyote + +"katika vizazi vya uzao wenu wote" + diff --git a/exo/30/10.md b/exo/30/10.md new file mode 100644 index 00000000..b0b8ed4c --- /dev/null +++ b/exo/30/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa. + +# pembe + +Hizi zilikuwa mifano iliyo onekana kama pembe za ng'ombe zilizo katika miisho minne ya madhabahu. + +# katika vizazi vyenu vyote + +"katika vizazi vyote vya uzao wenu" + diff --git a/exo/30/11.md b/exo/30/11.md new file mode 100644 index 00000000..201e0899 --- /dev/null +++ b/exo/30/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Utakapowahesabu wana wa Israeli + +Viongozi waliwahesabu wanaume tu. + +# Kila mtu apitaye kwa wale waliohesabiwa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. Walihesabu wanaume tu. + +# nusu shekeli + +"1/2 shekeli" + +# gera ishirini + +"20 gera" + +# miaka ishirini, au zaidi + +Namba kubwa zinaongelewa kwa kuwa juu au juu ya namba ndogo. + diff --git a/exo/30/15.md b/exo/30/15.md new file mode 100644 index 00000000..9a097f37 --- /dev/null +++ b/exo/30/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# Watu + +Wanaume tu walifanya hii sadaka. + +# Ili kwamba ziwe ukumbusho kwa ajili ya wana wa Israeli mbele yangu ili kufanya upatanisho kwa ajili ya roho zenu + +Maana zinazo wezekana ni 1) "itawakumbusha Waisraeli kufanya upatanisho kwa ajili ya roho zao" au 2) "itawakumbusha Waisraeli wamefanya upatanisho kwa ajili ya roho zao" + diff --git a/exo/30/17.md b/exo/30/17.md new file mode 100644 index 00000000..68836101 --- /dev/null +++ b/exo/30/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# birika + +"bakuli" + +# tako lake la shaba + +Hili ndilo litakalo wekewa bakuli. + +# ili kuogea + +Hili neno la elezea nini makuhani walitumia bakuli kubwa kwa ajili gani. + +# madhabahu + +madhababu ya sadaka + diff --git a/exo/30/19.md b/exo/30/19.md new file mode 100644 index 00000000..42d3d53e --- /dev/null +++ b/exo/30/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# kwake yeye na kwa wazao wake katika vizazi vyao vyote + +"kwa Aruni na vizazi vyote vya uzao wake" + diff --git a/exo/30/22.md b/exo/30/22.md new file mode 100644 index 00000000..84f91751 --- /dev/null +++ b/exo/30/22.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# manukato + +mimea iliyo kauka watu wanayo kausha kuwa unga na kuweka kwenye mafuta au chakula kutoa harufu nzuri au ladha. + +# shekeli mia tano ... shekeli 250 + +"shekeli 500 ... shekeli 250" Shekeli ni kama gramu 11. + +# mdalasini ... kane ... kida + +Haya ni manukato mazuri. + +# kwa kuiandama shekeli ya mahali patakatifu + +Dhahiri kulikuwa na shekeli zenye uzito zaidi ya moja kipindi hicho. + +# kazi ya ustadi ya mtengezaji manukato + +Maana zinazo wezekana ni 1) Musa alikuwa na mtengeneza manakuto afanye hii kazi au 2) Musa alikuwa afanye hii kazi kama mtengeneza manukatao anavyo fanya. + +# mtengezaji manukato + +mtu mwenye utaalamu wa kuchanganya manukato na mafuta + diff --git a/exo/30/26.md b/exo/30/26.md new file mode 100644 index 00000000..7c79ac53 --- /dev/null +++ b/exo/30/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa. + +# Nawe utaipaka + +Hapa "nawe" ya husu Musa. + +# sanduku la ushuhuda + +Sanduku ni chombo chenye amri. + +# madhabahu ya kufukizia uvumba + +"madhabahu ambayo sadaka ziliteketezwa" + diff --git a/exo/30/29.md b/exo/30/29.md new file mode 100644 index 00000000..2f7efdae --- /dev/null +++ b/exo/30/29.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa. + +# utavitakasa + +Hii ya husu vitu vilivyo orodheshwa 30:26 + +# katika vizazi vyenu vyote + +"vizazi vyote vya uzao wenu" + diff --git a/exo/30/32.md b/exo/30/32.md new file mode 100644 index 00000000..bd61e841 --- /dev/null +++ b/exo/30/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# Hayatamiminwa katika kiwiliwili cha binadamu + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# mfano wa haya + +"kwa viungo hivyo" au "kwa vitu hivyo" + +# mtu huyo atakatiliwa mbali na watu wake + +Umbo "katiliwa" lina maana sio chini ya tatu. Inaweza elezewa katika tensi tendaji. 1) "hatahesabiwa kuwa moja wa watu wa Israeli" 2)"watu wa Israeli lazima wamuondoe" au 3) "watu wa Israeli lazima wa muue" + diff --git a/exo/30/34.md b/exo/30/34.md new file mode 100644 index 00000000..851152b4 --- /dev/null +++ b/exo/30/34.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini cha kufanya. Yahweh anampa amri Musa tu. + +# natafi, na shekelethi, na kelbena + +Haya ni manukato. + +# Nawe utafanya uvumba wa vitu hivyo, manukato ya kazi ya ustadi wa mtengenazaji manukato, yatakuwa yamekolea + +Neno "yamekolea" la weza tafsiriwa katika tensi tendaji. + +# mtengenazaji manukato, yatakuwa yamekolea + +Maana zinazo wezekana ni 1) Musa alipaswa kumpa mtengeneza manukato kufanya kazi au 2) Musa alipaswa kufanya kazi peke yake. + +# utayaponda + +"utasaga" + diff --git a/exo/30/37.md b/exo/30/37.md new file mode 100644 index 00000000..7448612f --- /dev/null +++ b/exo/30/37.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# hamtajifanyia + +Hii ya husu watu wa Israeli. + +# sawasawa + +"kwa viungo kama hivyo" + +# utakuwa kwenu mtakatifu + +"Utahesabu kuwa takatifu" + +# atakatiliwa mbali na watu wake + +Umbo "katiliwa" lina maana sio chini ya tatu. Inaweza elezewa katika tensi tendaji. 1) "hatahesabiwa kuwa moja wa watu wa Israeli" 2)"watu wa Israeli lazima wamuondoe" au 3) "watu wa Israeli lazima wa muue" + diff --git a/exo/31/01.md b/exo/31/01.md new file mode 100644 index 00000000..d7d8193d --- /dev/null +++ b/exo/31/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# nimemwita kwa jina + +Mungu anzungumza kuchagua watu maalumu kwa kuwaita majina yao. + +# Bezaleli ... Uri ... Huri + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/exo/31/03.md b/exo/31/03.md new file mode 100644 index 00000000..78270232 --- /dev/null +++ b/exo/31/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuzungumza na Musa. + +# nimemjaza Bezaleli na roho ya Mungu + +Yahweh anazungumza kumpa Bezaleli Roho yake kana kwamba Bezaleli ni birika na Roho ya Mungu ni maji. + diff --git a/exo/31/06.md b/exo/31/06.md new file mode 100644 index 00000000..27691a92 --- /dev/null +++ b/exo/31/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuzungmza na Musa. + +# Oholiabu ... Ahisamaki + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Nami nimetia hekima katika mioyo ya wote wenye moyo wa hekima + +Mungu anazungumza kufanya watu kuweza kutengeneza vitu kana kwamba uwezo alikuwa anaweka kwenye mioyo yao. + +# hema la kukutania + +Hili ni jina lingine la maskani. + +# sanduku la ushuhuda + +Sanduku ni chombo kinacho hifadhi amri. + +# madhabahu ya kufukizia uvumba + +"madhabahu ya kuteketeza uvumba" + +# madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa + +"madhabahu ambayo sadaka ili teketezwa" + diff --git a/exo/31/10.md b/exo/31/10.md new file mode 100644 index 00000000..6ae158f7 --- /dev/null +++ b/exo/31/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuzungumza na Musa. + +# mavazi yenye kufumwa kwa uzuri + +Hii ilikuwa nguo iliyo tengenezwa kwa nyuzi mtu aliyo sokotwa pamoja kufanya uzi mgumu. + diff --git a/exo/31/12.md b/exo/31/12.md new file mode 100644 index 00000000..becd02b6 --- /dev/null +++ b/exo/31/12.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Hakika mtazishika Sabato zangu + +Mungu anazungumza kutii maelekezo yake kuhusu Sabato kama kushika Sabato. + +# kati ya mimi na ninyi katika vizazi vyenu vyote + +"kwa vizazi vyote vya uzao wenu" + +# niwatakasaye ninyi + +Mungu anaongelea kuchagua kuwa wake kwa kuwatenga kwake. + +# ni takatifu kwenu + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# kila mtu atakayeitia unajisi + +Mungu anazungmzia kutoheshimu Sababto kama kuinajisi. + +# hakika yake atauawa + +"lazima hakika auawe" Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# itakatiliwa mbali na watu wake + +Umbo "katiliwa" lina maana sio chini ya tatu. Inaweza elezewa katika tensi tendaji. 1) "hatahesabiwa kuwa moja wa watu wa Israeli" 2)"watu wa Israeli lazima wamuondoe" au 3) "watu wa Israeli lazima wa muue" + +# lakini siku ya saba + +"lakini siku ya 7" + diff --git a/exo/31/16.md b/exo/31/16.md new file mode 100644 index 00000000..86c4838b --- /dev/null +++ b/exo/31/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa nini awaambie watu wa Israeli. + +# wataishika Sabato + +Mungu anaongelea kutii maelekezo yake kuhusu Sabato kama kushika Sabato. + +# Kuiangalia sana hiyo Sabato katika vizazi vyao vyote + +"Wao na vizazi vyote vya watu wao wa itunze" + +# agano la milele + +"sheria isiona mwisho" + diff --git a/exo/31/18.md b/exo/31/18.md new file mode 100644 index 00000000..a199d2d0 --- /dev/null +++ b/exo/31/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# zilizoandikwa kwa mkono wake + +Hii yaweza tafsiriwa kwa tensi tendaji. + diff --git a/exo/32/01.md b/exo/32/01.md new file mode 100644 index 00000000..771c3aef --- /dev/null +++ b/exo/32/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# watu walipoona + +Hapa kuelewa kitu kuna zungumziwa kama kinaonekana. + +# Njoo, katufanyizie sanamu + +Neno "njoo" lina imarisha nguvu ya agizo linalo fuata. Watu walikuwa wanataka Aruni awafanyie sanamu kwa ajili yao. + +# itakayokwenda mbele yetu + +"tuongoza sisi" au "kuwa kiongozi wetu" + +# mkaniletee + +Neno "wao" la husu pete za dhahabu. + diff --git a/exo/32/03.md b/exo/32/03.md new file mode 100644 index 00000000..ca7b0567 --- /dev/null +++ b/exo/32/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watu wote + +Hii ya husu watu wote waliyo mkataa Musa kama kiongozi wao na Mungu wa Musa kama Mungu wao. + +# akaitengeneza kwa patasi, akaifanya iwe sanamu ya ndama kwa kuiyeyusha + +Aruni aliyayusha dhahabu na kumimina kwenye patasi iliyo kuwa na umbo la ndama. Dhahabu ilipo kuwa ngumu, aliondoa patasi, na dhahabu iliyo ngumu ikawa na umbo la ndama. + diff --git a/exo/32/05.md b/exo/32/05.md new file mode 100644 index 00000000..270b911e --- /dev/null +++ b/exo/32/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Haruni alipoona jambo hili + +"Aruni alipoona kile watu walicho fanya" + +# wakaondoka wacheze + +"kuwa na sherehe ya kukithiri." Watu yawezakana walifanya matendo ya kimapenzi ya kuchukiza. + diff --git a/exo/32/07.md b/exo/32/07.md new file mode 100644 index 00000000..82cae49f --- /dev/null +++ b/exo/32/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wamepotoka upesi kuiacha ile njia niliyowaamuru + +Hapa Mungu anaongelea watu kutotii alicho waamuru kana kwamba aliwaambia waenende kwenye njia maalumu na wakaiacha. + +# wamejifanyizia ndama ya kuyeyusha + +"Wamefanya sanamu ya dhahabu iliyo kama ndama" + diff --git a/exo/32/09.md b/exo/32/09.md new file mode 100644 index 00000000..2ffaa30a --- /dev/null +++ b/exo/32/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mimi nimewaona watu hawa + +Hapa Yahweh analinganisha kuwajua watu na kuwaona. + +# watu wenye shingo ngumu + +Yahweh anaongelea watu kuwa wajehuri kana kwamba wana shingo ngumu. + +# Basi sasa + +Neno "sasa" linatumika hapa kuweka pumziko kwa kile Yahweh alikuwa anamwambia Musa. Hapa Yahweh anasema nini ata wafanyia watu. + +# hasira zangu ziwake juu yao + +Yahweh anazungumzia hasira yake kana kwamba ni moto unao weza waka sana. + +# wewe uwe + +Neno "wewe" la husu Musa. + +# kwa nini hasira zako kuwaka juu ya watu wako + +Musa alitumia ili swali kujaribu kumshawishi Yahweh asiwe na hasira sana na watu wake. + +# uweza mkuu ... mkono wenye nguvu + +Hii mistari miwili ina maana moja na iwe ambatanishwa kwa mkazo. + diff --git a/exo/32/12.md b/exo/32/12.md new file mode 100644 index 00000000..2d7ee7a9 --- /dev/null +++ b/exo/32/12.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Musa anaendelea kujadiliana na Mungu asiharibu Israeli. + +# Kwa nini Wamisri kusema, 'Amewatoa ... kuwaondoa watoke juu ya uso wa nchi?' + +Musa ametumia ili swali kumshawishi Mungu asiharibu watu wake. + +# uso wa nchi + +"kutoka kwneye uso wa dunia" au "kutoka kwenye dunia" + +# Geuka katika hasira yako kali + +"acha hasira yako kali" au "acha kuwa na hasira sana" + +# hasira yako kali + +Musa anazungumzia hasira ya Mungu kana kwamba ni moto uliyo kuwa wa waka. + +# Mkumbuke Ibrahimu + +"Fikiria kuhusu Ibrahimu" + +# kuwaambia + +"alifanya nadhiri" + +# watairithi milele + +Mungu anazungumzia kuhusu wao miliki nchi kana kwamba watairithi. + diff --git a/exo/32/15.md b/exo/32/15.md new file mode 100644 index 00000000..9316236a --- /dev/null +++ b/exo/32/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mbao mbili za mawe + +Hizi ni mbao mbili za mawe ambazo Mungu aliandika amri zake. + +# Na zile mbao zilikuwa kazi ya Mungu nayo maandiko yalikuwa maandiko ya Mungu + +Hii mistari miwili ina maana moja. Wa pili waeleza jinsi hizi mbao zilikuwa "kazi pekee ya Mungu" + diff --git a/exo/32/17.md b/exo/32/17.md new file mode 100644 index 00000000..f8819283 --- /dev/null +++ b/exo/32/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# akamwambia Musa + +Ina kadiriwa kuwa Yoshua alikutana na Musa wakati Musa akirudi kambini. + diff --git a/exo/32/19.md b/exo/32/19.md new file mode 100644 index 00000000..62ef7104 --- /dev/null +++ b/exo/32/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# zile mbao + +"zile mbao mbili Yahweh alizo ziandikia" + diff --git a/exo/32/21.md b/exo/32/21.md new file mode 100644 index 00000000..a776c814 --- /dev/null +++ b/exo/32/21.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Musa akamwambia Aruni, "Watu hawa ... dhambi hii kuu juu yao? + +Hii yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. + +# ukaleta dhambi hii kuu juu yao? + +Musa aliongea kusababisha watu kufanya dhambi kana kwamba dhambi ni kitu na Aruni aliwawekea. + +# Hasira yako isiwake + +Aruni aliongelea hasira ya Musa kana kwamba ni moto unao weza kuchoma. "Usiwe na hasira sana" + +# wamejielekeza kwa mabaya + +Kupania kufanya uovu kunaongelewa kama kuwekwa kwenye uovu. + +# huyo Musa + +Watu walionyesha kutoheshimu kwa kuweka "huyo" kabla ya jina lake, kana kwamba Musa laikuwa mtu wasio mjua na hawawezi muamini. + +# Nikawaambia, 'Mtu ye yote aliye na dhahabu na aivue + +Hii yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. + +# nikaitupa ndani ya moto, akatoka ndama huyu + +Badala ya kuchukuwa umiliki wa kutengeneza ndama, Aruni anadai ndama alitoka kwenye moto kimuujiza. + diff --git a/exo/32/25.md b/exo/32/25.md new file mode 100644 index 00000000..b3b62afb --- /dev/null +++ b/exo/32/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wameasi + +"walikuwa wanatenda kinyama" au "hawakuwa wanajizuia" + +# Ndipo Musa akasimama katika mlango ... "Mtu awaye yote aliye upande wa Yahweh na aje kwangu." + +Hii yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. + +# Mtu awaye yote aliye upande wa Yahweh + +Musa anazungumza kwa mwaminifu kwa Yahweh kama kuwa upande wa Yahweh. + +# akapite huko na huko toka mlango hata mlango + +"nenda ndani na nje kutoka mlango mmoja wa kambi kwenda mwingine" + diff --git a/exo/32/28.md b/exo/32/28.md new file mode 100644 index 00000000..a3568115 --- /dev/null +++ b/exo/32/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# watu elfu tatu + +"watu 3000" + +# kila mtu juu ya mwanawe na juu ya ndugu yake + +Ukweli kwamba wamefanya hivi kwa kutomtii Mungu yaweza andikwa kwa wazi. + diff --git a/exo/32/30.md b/exo/32/30.md new file mode 100644 index 00000000..b90a82b8 --- /dev/null +++ b/exo/32/30.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mmetenda dhambi kuu + +Waliabudu sanamu. + +# Labda nitafanya upatanisho kwa ajili ya dhambi yenu + +Musa aliongea kumshawishi Mungu kuwasamehe watu kana kwamba aliweza fanya upatanisho kwa ajili ya dhambi. + +# unifute, nakusihi, katika kitabu + +Hapa Musa anaongelea jina lake. + +# kitabu chako ulichoandika + +Mungu alicho andika katika kitabu cha weza andikwa wazi. + diff --git a/exo/32/33.md b/exo/32/33.md new file mode 100644 index 00000000..b9f03888 --- /dev/null +++ b/exo/32/33.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mtu ye yote aliyenitenda dhambi ndiye nitakayemfuta katika kitabu changu + +Maneno "mtu ye yote" ya wakilisha "hilo jina la mtu" + +# kitabu changu + +Hii ya husu kitabu cha Yahweh Musa alicho zungumzia katika 32:30 + +# Yahweh akawapiga hao watu + +Hili pigo la weza kuwa ugonjwa mkali. + +# alivyoifanya ile ndama, ambayo Aruni aliifanya + +Japo kuwa Aruni alifanya ndama, watu walikuwa na hatia kwasababu walimwambia Aruni afanye. + diff --git a/exo/33/01.md b/exo/33/01.md new file mode 100644 index 00000000..3c56037d --- /dev/null +++ b/exo/33/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa hasira yake. + +# hiyo nchi, inayo tiririka kwa maziwa na asali + +Nchi ilikuwa nzuri kwa kufuga mifugo na kuotesha mazao. + +# inayo tiririka + +"imejawa na" au "yenye utele wa" + +# maziwa + +Sababu maziwa yanatoka kwa ng'ombe na mbuzi, hii inawakilisha chakula cha mifugo. + +# asali + +Sababu asali inatokana na mahua, hii inawakilisha chakula cha mazao. + +# watu wajehuri + +"watu wanao goma kubadilika" + diff --git a/exo/33/04.md b/exo/33/04.md new file mode 100644 index 00000000..4a1df763 --- /dev/null +++ b/exo/33/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mikufu + +nguo nzuri pamoja na mikufu na pete yenye madini ndani yake + +# watu wajehuri + +"watu wanao goma kubadilika" + diff --git a/exo/33/07.md b/exo/33/07.md new file mode 100644 index 00000000..22301858 --- /dev/null +++ b/exo/33/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# nguzo ya wingu + +Wingu lilikuwa na umbo la nguzo. + +# ilishuka chini + +Lilipo shuka kutoka yaweza andikwa wazi. + diff --git a/exo/33/10.md b/exo/33/10.md new file mode 100644 index 00000000..044d8fdf --- /dev/null +++ b/exo/33/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yahweh alizungumza na Musa uso kwa uso + +Kuzungumza moja kwa moja pasipo ndoto na maono, inaongelewa kana kwamba Musa na Mungu walionana uso walipo ongea. + +# kijana + +mkubwa wakutosha kuwa mwanajeshi (17:8), lakini mdogo kwa Musa + diff --git a/exo/33/12.md b/exo/33/12.md new file mode 100644 index 00000000..5a5d45b9 --- /dev/null +++ b/exo/33/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ona + +"Tazama!" au "Sikia!" au "Kuwa makini kwa nitakalo kwambia." + +# Nina kujua kwa jina + +Kumjua mtu kwa jina ni kumjua vizuri. + +# umepata upendeleo kwangu + +Hii ni moja ya ambacho Mungu alimwambia Musa. + +# Kama nimepata upendeleo machoni pako + +Hii ni moja ya Musa aliyo mwambia Mungu. + +# nionyeshe njia zako + +Maana inayo wezekana ni 1) "nionyeshe unacho kwenda kufanya mbeleni" au 2) "nionyeshe jinsi watu wanawezaje kufanya yanayo kupendeza" + diff --git a/exo/33/14.md b/exo/33/14.md new file mode 100644 index 00000000..7b3709e1 --- /dev/null +++ b/exo/33/14.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Uwepo wangu utaenda + +"Uwepo wa Mungu una muwakilisha yeye" + +# utaenda nawe ... nitakupa + +Neno "nawe" lina husu Musa. + +# nitakupa pumziko + +"Nitaacha upumzike" + +# Au je + +"Kama uwepo husipo enda nasi" + +# itajulikanaje + +Hii yaweza elezwa kwa tensi tendaji. + +# itajulikanaje + +Musa alitumia hili swali kusisitiza kwamba kama Mungu hasipo enda nao, hakuna mtu atakaye jua kuwa Musa kapata upendeleo machoni pa Mungu. + +# Haitakuwa kuwa tu kama + +"Haitajulikana tu kuwa kama" + diff --git a/exo/33/17.md b/exo/33/17.md new file mode 100644 index 00000000..f0011d78 --- /dev/null +++ b/exo/33/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anapo tumia neno "nawe" katika huu mstari, ni katika uchache na lina husu Musa. + +# umepata upendeleo machoni mwangu + +Huu ni msemo wenye maana kwamba Mungu kapendezwa naye. + +# nina kujua kwa jina + +Kumjua mtu kwa jina ni kumjua vyema. + diff --git a/exo/33/19.md b/exo/33/19.md new file mode 100644 index 00000000..29b490e1 --- /dev/null +++ b/exo/33/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nitafanya wema wangu wote ujulikani kwako + +Mungu anaongelea kutembea mbele ya Musa ili Musa aone wema kana ni wema wake tu utakao pita kwa Musa. + diff --git a/exo/33/21.md b/exo/33/21.md new file mode 100644 index 00000000..29083b2c --- /dev/null +++ b/exo/33/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ona + +"Tazama!" au "Sikia!" au "Kuwa makini kwa nitakacho kwambia" + +# utaona mgongo wangu + +Hii ni kwasababu Yahweh atakuwa akiondoka kwa Musa. + +# ila uso wangu hautaonekana + +Hii yaweza elezezwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/34/01.md b/exo/34/01.md new file mode 100644 index 00000000..9e216d30 --- /dev/null +++ b/exo/34/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mbao + +"mbao za mawe" + diff --git a/exo/34/03.md b/exo/34/03.md new file mode 100644 index 00000000..03b81360 --- /dev/null +++ b/exo/34/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa + +# Usiruhusu mtu yeyote aonekana popote kwenye mlima + +Kuonekana kufanya kitu ya wakilisha kufanya hicho kitu. + +# Hakuna kundi la mifugo wanao ruhusiwa ata kula mbele ya mlima + +"Ata mifugo hawaruhusiwi kuja karibu na mlima kula" + diff --git a/exo/34/05.md b/exo/34/05.md new file mode 100644 index 00000000..e1061bc3 --- /dev/null +++ b/exo/34/05.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# akasima mbele za Musa + +"akasimama na Musa katika mlima" + +# akatamka jina "Yahweh" + +Maana zinazo wezekana ni 1) "alitaja jina "Yahweh"' au 2) "alikiri Yahweh ni nani." Kwa maana ya pili, "jina" lina wakilisha Mungu ni nani. + +# Yahweh, Yahweh, Mungu ni wa rehema na wa neema + +Mungu anaongea kuhusu yeye. + +# anadumu katika uwaminifu wa agano na uadilifu + +"mara zote anaonyesha uwaminifu wa agano na uadilifu" + +# anadumu katika uwaminifu wa agano + +"mara zote ni mwaminifu wa agano langu" + +# anadumu katika ... uadilifu + +"mara zote uwa mwadilifu" + +# Lakini + +Yahweh anazungmza kuhusu yeye. + +# hamsafishi mwenye hatia + +Yahweh anazungmza kuhusu yeye. + +# hamsafishi mwenye hatia + +"hakika hasafishi mwenye hatia" au "hakika hatasema kwamba mwenye hatia hana makosa" au "hata wa weka huru watu wenye hatia" + +# Ataleta adhabu ya dhambi za baba kwa watoto wao + +Kutoa hadhabu kuna ongelewa kana kwamba hadhabu ni kitu mtu anaweza kuleta kwa watu. + +# watoto wao + +Neno "watoto" la wakilisha uzao. + diff --git a/exo/34/08.md b/exo/34/08.md new file mode 100644 index 00000000..52f429cb --- /dev/null +++ b/exo/34/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kama sasa nimepata upendeleo machoni pako + +Kumpendeza mtu kuna zungumziwa kama kupata upendeleo machoni pao. + +# maasi yetu na dhambi zetu + +Maneno "maasi" na "dhambi" kimzingi ina maana moja na yame unganishwa kwa msisitizo. + +# utuchukuwe kama urithi wako + +Kitu ambacho mtu ana miliki milele kina zungumziwa kana kwamba ni kitu mtu alirithi. + diff --git a/exo/34/10.md b/exo/34/10.md new file mode 100644 index 00000000..90281971 --- /dev/null +++ b/exo/34/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# watu wako + +Hapa "wako" ya husu Musa. + +# ni kitu cha hofu ninacho fanya kwako + +Kitu cha hofu ni kitu kinacho sababisha watu kuogopa. Katika hoja hii, watu watamuogopa Mungu watakapo ona anacho fanya. + +# ninacho fanya kwako + +Hapa "kwako" ya husu Musa na watu wa Israeli. + diff --git a/exo/34/12.md b/exo/34/12.md new file mode 100644 index 00000000..db5f9677 --- /dev/null +++ b/exo/34/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa. Hapa ana mwambia nini Musa na watu wafanye. + +# wata kuwa mtego kwako + +Watu wanao jaribu wengine kufanya dhambi wana zungumziwa kama ni mtego. + +# ambaye jina lake ni Uwivu + +Neno "jina" hapa la wakilisha tabia ya Mungu. + +# Yahweh, ambaye jina lake ni Uwivu + +Neno "Uwivu" hapa lina maana ya kuwa Mungu anajali kutunza hesima yake. Kama watu wake wakiabudu miungu mingine, ana poteza heshima, kwasababu watu wasipo muheshimu, watu wengine pia hawata muheshimu. + diff --git a/exo/34/15.md b/exo/34/15.md new file mode 100644 index 00000000..b87263da --- /dev/null +++ b/exo/34/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi Unganishi + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa jinsi watu wake wana paswa kutenda kwa watu wa njee. + +# kwa kuwa wanajifanyia ukahaba kwa miungu yao + +Mungu anaongelea watu wengine kuabudu miungu mingine kana kwamba ni makahaba wanaenda kwa wanaume wengine. + +# na wewe utakula baadhi ya dhabihu zake + +Madhara ya kula chakula kilicho tolewa dhabihu kwa mungu mwingine yaweza andikwa wazi. + diff --git a/exo/34/18.md b/exo/34/18.md new file mode 100644 index 00000000..d8232ccd --- /dev/null +++ b/exo/34/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# siku saba + +"siku 7" + +# mwezi wa Abibu + +Hili ni jina la mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Abibu ni wakati wa sehemu ya mwisho ya Machi na sehemu ya kwanza ya Aprili kwa kalenda za Magharibi. + diff --git a/exo/34/19.md b/exo/34/19.md new file mode 100644 index 00000000..88495000 --- /dev/null +++ b/exo/34/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# umnunue tena + +Wazaliwa wa kwanza na wazaliwa wa kwanza wa punda walikuwa ni wa Yahweh, lakini Yahweh Yahweh hakutaka watolewe dhabihu kwake. Badala yake, Waisraeli walikuwa watoe dhabihu ya kondoo katika nafasi yake. Hii ili waruhusu Waisraeli kununua punda na wanao kutoka kwa Yahweh. + +# Hakuna ata mmoja atakye kuja kwangu mikono mitupu + +Mungu anaongelea sadaka kana kwamba mtu alikuwa abebe mikononi mwake. + diff --git a/exo/34/21.md b/exo/34/21.md new file mode 100644 index 00000000..22e0a593 --- /dev/null +++ b/exo/34/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# Ata wakati wakilimo na wa mavuno + +"Ata unapo andaa ardhi au kukusanya mazao" + +# Sherehe ya Makusanyo + +Sherehe ilijulikana kama pia Sherehe ya Mahifadhi au Sherehe ya Mabanda. Wazao lilikuja kutoka kwa walimaji walipo ishi kwenye vibanda vya muda mfupi, au nyumba za nyasi, nje kwenye mashamba kulinda mazao yanapo komaa. Neno "Makusanyo" ina maana wanapo vuna mazao yao. + diff --git a/exo/34/23.md b/exo/34/23.md new file mode 100644 index 00000000..6e33043c --- /dev/null +++ b/exo/34/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + diff --git a/exo/34/25.md b/exo/34/25.md new file mode 100644 index 00000000..7d7f3cab --- /dev/null +++ b/exo/34/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# damu ya dhabihu yangu + +Ukweli kwamba damu ni ya wanyama ina weza andikwa wazi. + +# hamira yeyote + +Ukweli kwamba hamira ye yote yaweza kuwa kwenye mkate yaweza andikwa wazi. + diff --git a/exo/34/27.md b/exo/34/27.md new file mode 100644 index 00000000..04de35f6 --- /dev/null +++ b/exo/34/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Musa alikuwa huko + +"Musa alikuwa kwenye mlima" + +# siku arobaini + +"siku 40" + +# siku arobaini na usiku + +"kwa siku arobaini, mchana na usiku" + +# Aliandika + +"Musa aliandika" + diff --git a/exo/34/29.md b/exo/34/29.md new file mode 100644 index 00000000..571d2e79 --- /dev/null +++ b/exo/34/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ulikuwa wa'ngaa + +"ulianza kuwaka" + +# wakaja kwake + +"wakamfuata" au "wakamuendea." Hawa kwenda kwenye mlima juu. + diff --git a/exo/34/32.md b/exo/34/32.md new file mode 100644 index 00000000..d35c7787 --- /dev/null +++ b/exo/34/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# amri zote Yahweh alizo mpa + +Kutoa amri kuna zungumziwa kana kwamba amri zilikuwa ni vitu vinavyo weza kutolewa. + diff --git a/exo/34/34.md b/exo/34/34.md new file mode 100644 index 00000000..43882db1 --- /dev/null +++ b/exo/34/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# aliondoa + +"Musa aliondoa" + +# alicho amriwa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/35/01.md b/exo/35/01.md new file mode 100644 index 00000000..29c33fe3 --- /dev/null +++ b/exo/35/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# siku ya saba + +"siku ile ya saba" au "Juma mosi" + +# Yeyote atakaye fanya kazi hiyo siku lazima auawe + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/35/04.md b/exo/35/04.md new file mode 100644 index 00000000..594709a7 --- /dev/null +++ b/exo/35/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Musa akawambia Waisraeli wafanye vitu Yahweh alivyo muamuru katika 25:3 + +# Chukuwa sadaka kwa ajili ya Yahweh + +"Chukuwa matoleo kwa ajili ya Yahweh" + +# wote wenye moyo mkunjufu + +Hapa "moyo" ya husu mtu anaye leta sadaka. + diff --git a/exo/35/10.md b/exo/35/10.md new file mode 100644 index 00000000..005f8a1a --- /dev/null +++ b/exo/35/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Musa anaendelea kuwaambia watu nini Mungu kawaamuru kufanya. + +# Kila mwanaume mwenye ustadi + +"Kila mwanaume aliye na ustadi" + +# vifungo + +Vifungo vinatoshea kwenye vishimo vyake kushikilia pazia pamoja. + +# sakafu + +Hivi ni vitu vizito vinavyo kaa chini na kuwezesha visisogee. + +# kiti cha rehema + +Hichi ni kiti kinacho keti juu ya sanduku ambapo sadaka ya upatanisho yatolewa. + diff --git a/exo/35/13.md b/exo/35/13.md new file mode 100644 index 00000000..f039f11b --- /dev/null +++ b/exo/35/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Walileta + +"Watu wa Israeli walileta" + +# mkate wa wonyesho + +Huu mkate uliwakilisha uwepo wa Mungu. + +# kitunzi cha shaba + +Hii ni fremu ya chuma za shaba za kushikilia mbao zinapo chomeka. + diff --git a/exo/35/17.md b/exo/35/17.md new file mode 100644 index 00000000..d97eec71 --- /dev/null +++ b/exo/35/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# vishikizo + +Hizi zilikuwa pazia kubwa zilizo tengenezwa kwa kitambaa. + +# nguzo + +Hizi zilikuwa vipande vigumu vya mbao vilivyo nyooshwa na kutumika kama vishikizo. + +# sakafu + +Hizi zilikuwa tofali zenye shikizo ndani yake kushikilia mbao. + +# misumari ya hema + +vipande vikali vya mbao au chuma vilivyo tumika kuhifadhi miisho ya hema kwenye ardhi. + diff --git a/exo/35/20.md b/exo/35/20.md new file mode 100644 index 00000000..373f6439 --- /dev/null +++ b/exo/35/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# makabila yote ya Israeli + +Hii ya husu watu katika makabila. + +# mtu moyo wake ulimchochea + +Hapa "moyo" wa husu mtu. Moyo uliyo mjibu Mungu unazungumziwa kana kwamba ni maji yaliyo tibuliwa na mafuriko. + +# aliye andaliwa na roho yake + +Hapa "roho" ya husu mtu. + +# wote waliokuwa na moyo wa utayari + +Hapa "moyo" wa husu mtu. + +# madini, hereni, pete, na vitu vya thamani + +Hizi ni aina ya mikufu. + diff --git a/exo/35/23.md b/exo/35/23.md new file mode 100644 index 00000000..6e6a4787 --- /dev/null +++ b/exo/35/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kila mmoja alikuwa na ... walivileta + +Kwa 35:23 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:3 + diff --git a/exo/35/25.md b/exo/35/25.md new file mode 100644 index 00000000..d9b2af7e --- /dev/null +++ b/exo/35/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# buluu, dhambarau, au sufu nyekundu + +Maana zinazo wezekana ni 1) "vitu vilivyo tiwa buluu, zambarau, na sufu nyekund," 2) "buluu, zambarau na iliyo tiwa sufu nyekundu" + +# wenye mioyo iliyochochewa + +Hapa "mioyo" ya husu wanawake. Mioyo ya wanawake iliyo mjibu Mungu inazungumziwa kana kwamba ni maji yaliyo tibuliwa na mafuriko. + diff --git a/exo/35/27.md b/exo/35/27.md new file mode 100644 index 00000000..3c8e640f --- /dev/null +++ b/exo/35/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Viongozi walileta + +Kwa 35:27-29 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:1 na 25:3 + +# ambao mioyo yao ilikuwa tayari + +Hapa "moyo" wa husu Musa. + diff --git a/exo/35/30.md b/exo/35/30.md new file mode 100644 index 00000000..171674a3 --- /dev/null +++ b/exo/35/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Aliijaza Bezaleli kwa Roho yake + +Roho wa Mungu aliye mpa Bezaleli uwezo wa kufanya kazi una ongelewa kama kama kitu kilicho mjaza Bezaleli. + +# ubunifu na ujenzi + +Kwa 35:30-33 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno. + diff --git a/exo/35/34.md b/exo/35/34.md new file mode 100644 index 00000000..c1a7ca37 --- /dev/null +++ b/exo/35/34.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Musa anaendelea kuongea na watu. + +# Aliiweka kufundisha ndani ya moyo wake + +Hapa "moyo" wa husu Bezaleli. Uwezo wa kufundisha unazungumziwa kana kwamba ni kitu kinachoweza kuwekwa kwenye moyo. + +# Aliwajaza kwa ustadi + +Ustadi wa kutengeneza vitu vizuri unazungumziwa kana kwamba ni kitu kinacho weza kumjaza mtu. + +# Oholiabu mwana wa Ahisamaki, kutoka kabila la Dani + +"Oholiabu" na "Ahimasaki" ni majina ya wanaume. + +# mwerevu + +mtu anaye kata michora kwenye vitu vigumu kama mbao, mawe, au chuma + +# washonaji + +mtu anaye tengeneza nguo kutumia uzi + +# wabunifu wa sanaa + +mtu anaye tengeneza uzuri kwa vifaa + diff --git a/exo/36/01.md b/exo/36/01.md new file mode 100644 index 00000000..5d4fff77 --- /dev/null +++ b/exo/36/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Musa anaendelea kuongea na watu. + +# Bezaleli + +Hili ni jina la mwanaume. + +# Oholiabu + +Hili ni jinala mwanaume + +# ambaye Yahweh aliye mpa ustadi na uwezo + +Hapa ustadi na uwezo unaongelewa kana kwamba ni kitu Yahweh anacho weza kuweka ndani ya mtu + +# kadiri ya yote Yahweh aliyo amuru + +"kama Yahweh alivyo amuru" + diff --git a/exo/36/02.md b/exo/36/02.md new file mode 100644 index 00000000..d2190ca7 --- /dev/null +++ b/exo/36/02.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Bezaleli + +Hili ni jinala mwanaume + +# Oholiabu + +Hili ni jinala mwanaume + +# ambaye moyoni mwake ulichochewa + +Hapa "moyo" una husu mtu. Moyo uliyo mjibu Mungu unaongelewa kana kwamba ni maji yaliyo tibuliwa na mafuriko. + diff --git a/exo/36/05.md b/exo/36/05.md new file mode 100644 index 00000000..f5d38f0e --- /dev/null +++ b/exo/36/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wachonga mawe walimwabia Musa ... aliyo tuamuru + +Hii yaweza andikwa kama nukuu ya moja kwa moja. + +# Wachonga mawe walimwabia Musa + +"Wanaume walikuwa wanafanya kazi ndani ya hekalu walimwambia Musa" + diff --git a/exo/36/08.md b/exo/36/08.md new file mode 100644 index 00000000..4c8d7459 --- /dev/null +++ b/exo/36/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hivyo wachonga mawe ... akaviunganisha pamoja + +Kwa 38:8-10 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno kwenye 26:1 + +# mapazia kumi yaliyo jengwa kitamba kizuri + +Haya mapazia ni vipande vya nguo vilivyo shonwa na pomaja ili viweze kuunda ukuta au hema + +# Bezaleli + +Hili ni jinala mwanaume + diff --git a/exo/36/11.md b/exo/36/11.md new file mode 100644 index 00000000..f76a6a93 --- /dev/null +++ b/exo/36/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kisha akafanya vitanzi ... ikawa maskani moja + +Kwa 36:11-13 ona jinsi ulivyo tafsiri maneno haya 26:4 + +# vitanzi vya uzi wa bluu + +vitanzi vya vitambaa vya bluu + +# kitambaa + +Haya yalikuwa vitambaa vikubwa vya kushona vilivyo tumika kutengeneza kifuniko na kuta za kugawanya patakatifu. + +# Akafanya + +Hapa "akafnya" ya husu Bezaleli, lakini ina husisha wanaume wanao fanya kazi hekaluni. + +# kulabu hamsini za dhahabu + +"kulabu 50 za dhahabu" + diff --git a/exo/36/14.md b/exo/36/14.md new file mode 100644 index 00000000..2f140466 --- /dev/null +++ b/exo/36/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Bezaleli akafanya vitambaa ... + +Kwa 36:14-17 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:7 na 26:10 + +# kumi na moja ndivyo alivyofanyiza + +"alifanya 11" + +# mikono thelathini + +"mikono 30" + +# vitanzi hamsini + +"vitanzi 50" + diff --git a/exo/36/18.md b/exo/36/18.md new file mode 100644 index 00000000..5775c5ab --- /dev/null +++ b/exo/36/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Bezaleli akafanya ... upande wa juu + +Kwa 36:18-19 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:10 na 26:12 + +# kulabu hamsini za shaba + +"kulabu 50 za shaba" + diff --git a/exo/36/20.md b/exo/36/20.md new file mode 100644 index 00000000..b1770bc1 --- /dev/null +++ b/exo/36/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Bezaleli akafanya ... kwa ajili ya upande kuelekea kusini + +Kwa 36:20-23ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:15 + +# mikono kumi ... mkono mmoja na nusu + +"mikono 10" ... 1.5" + +# ndimi mbili zilizounganishwa + +Ndimi ni kipande kidogo cha mbao kinacho tokeza mwisho wa mbao ilikuwa salama + diff --git a/exo/36/24.md b/exo/36/24.md new file mode 100644 index 00000000..6cc69e51 --- /dev/null +++ b/exo/36/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Bezaleli akafanya ... + +Kwa 36:24-26ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:19 + +# vikalio arobaini vya fedha + +"vikalio 40 vya fedha" + +# viunzi ishirini + +"viunzi 20" + diff --git a/exo/36/27.md b/exo/36/27.md new file mode 100644 index 00000000..368ade27 --- /dev/null +++ b/exo/36/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Na kwa ajili ya zile pande za nyuma ... ya maskani + +Kwa 36:27-28 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:22 + +# kuelekea magharibi + +upande uliyo magharibi + +# kwenye pande zake mbili za nyuma + +kwenye pande za nyuma ya maskani + diff --git a/exo/36/29.md b/exo/36/29.md new file mode 100644 index 00000000..7da25736 --- /dev/null +++ b/exo/36/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hizi zilikuwa ... + +Kwa 36:29-30 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:22 + +# vikalio vyake kumi na sita + +"vikalio vyake 16" + diff --git a/exo/36/31.md b/exo/36/31.md new file mode 100644 index 00000000..a8e9bcaf --- /dev/null +++ b/exo/36/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Bezaleli akafanya + +Kwa 36:31-34 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:26 na 26:29 + +# magharibi + +katika upande wa magharibi + +# mwisho mmoja mpaka ule mwingine + +upande mmoja wa maskani kwenda mwingine + diff --git a/exo/36/35.md b/exo/36/35.md new file mode 100644 index 00000000..5aaa5c9f --- /dev/null +++ b/exo/36/35.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Bezaleli akafanya ... vikalio vinne vya fedha + +Kwa 36:35-36 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:31 + diff --git a/exo/36/37.md b/exo/36/37.md new file mode 100644 index 00000000..b33bf149 --- /dev/null +++ b/exo/36/37.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Naye akafanya ... vilikuwa vya shaba + +Kwa 36:37-38 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 26:36 + +# Naye akafanya + +Hapa "naye" ya husu Bezaleli na wanao mfanyia kazi. "Bezaleli na wanaume wake wakafanya" + +# kisitiri + +pazia + diff --git a/exo/37/01.md b/exo/37/01.md new file mode 100644 index 00000000..5e8cb5f3 --- /dev/null +++ b/exo/37/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Bezalel + +Hili lilikuwa jina la mwanaume. + +# Mikono miwili na nusu urefu + +"mikono 2.5 ... mikono 1.5" + +# miguu yake minne + +Hivi vipande viwili vya mbao vilivyo saidia sanduku vinazungumziwa kama ni mwanadamu au miguu ya mnyama. + diff --git a/exo/37/04.md b/exo/37/04.md new file mode 100644 index 00000000..941f8a1d --- /dev/null +++ b/exo/37/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Kazi ya Bezaleli na kundi lake la endelea kujenga maskani na vivyombo vyake. + +# Kisha akafanya ... Mikono miwili na nusu + +Kwa 37:4-6ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:12 na 25:15 + +# Kisha akafanya + +Japo "akafanya" ya husu Bezaleli, "akafanya" yaweza husisha wafanya kazi wote waliyo msaidia. + +# Mikono miwili na nusu ... mkono mmoja na nusu + +"mikono 2.5" ... mikono 1.5" + diff --git a/exo/37/07.md b/exo/37/07.md new file mode 100644 index 00000000..01e7fb00 --- /dev/null +++ b/exo/37/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Kazi ya Bezaleli na kundi lake la endelea kujenga maskani na vivyombo vyake. + +# Bezaleli akafanya ... + +Kwa 37:7-9 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:15 na 25:19 + +# Nao wakawa makerubi wanaonyoosha mabawa yao mawili kuelekea juu, wakisitiri + +Bezaleli aliweka sanamu za makerubi kana kwamba walikuwa ni wa kweli waliyo nyoosha mabawa yao na na kusitiri kiti cha rehema. + +# Nyuso za makerubi hao zilielekea + +Bezaleli aliweka sanamu za makerubi kana kwamba walikuwa ni wa kweli waliyo nyoosha mabawa yao na na kusitiri kiti cha rehema. + diff --git a/exo/37/10.md b/exo/37/10.md new file mode 100644 index 00000000..6543d3d2 --- /dev/null +++ b/exo/37/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa. + +# Bezaleli akafanya ... ile miguu minne + +Kwa 37:10-13 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:23 na 25:25 + +# Mikono miwili ... mkono mmoja ... mkono mmoja na nusu + +"mikono 2" ... mkono 1 ... 1.5" + +# upana wa kiganja + +Huu ulikuwa upana wa mkono wa mwanaume na vidole vimetanuliwa + +# ile miguu minne + +Hivi vipande vinne vya mbao vilivyo saidia sanduku vinazungumziwa kana kwamba ni mwanadamu au miguu ya mnyama. + diff --git a/exo/37/14.md b/exo/37/14.md new file mode 100644 index 00000000..b2e7aa61 --- /dev/null +++ b/exo/37/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa. + +# Pete hizo ... kutokana na dhahabu safi + +Kwa 37:14-16 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:25 na 25:28 + +# Pete hizo zilikuwa karibu + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# vyombo vilivyo juu ya meza, sahani zake na vikombe vyake na mabakuli yake na mitungi yake iliyotumiwa kumimina matoleo + +Ni mabakuli pekee na mitungi inayo tumika kumimina matoleo. + diff --git a/exo/37/17.md b/exo/37/17.md new file mode 100644 index 00000000..8b6caaf0 --- /dev/null +++ b/exo/37/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa. + +# Kisha akafanya ... yakitoka katika kile kinara cha taa + +Kwa 37:17-19 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:31 na 25:33 + +# na vikombe vitatu vyenye umbo la maua ya mlozi + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# maua ya mlozi + +Maua ya mlozi ni meupe yenye mashina matano yanayo ota kwenye huo mti. + diff --git a/exo/37/20.md b/exo/37/20.md new file mode 100644 index 00000000..5ee3ec6d --- /dev/null +++ b/exo/37/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Na kwenye kile kinara cha taa ... cha dhahabu safi. + +Kwa 37:20-22 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:33 na 25:35 + +# kulikuwa na vikombe vinne vyenye umbo la maua ya mlozi + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/37/23.md b/exo/37/23.md new file mode 100644 index 00000000..d386a33c --- /dev/null +++ b/exo/37/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa. + +# Kisha akafanya ... talanta ya dhahabu safi + +Kwa 37:23-24 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 25:37 + +# vyetezo + +Hichi ni kifaa kilicho tengenezwa kwa mifombo mbili au chuma iliyo unganishwa mwisho na kutumika kunyanyulia vitu. + +# talanta + +"kilogramu 34" + diff --git a/exo/37/25.md b/exo/37/25.md new file mode 100644 index 00000000..29b1011d --- /dev/null +++ b/exo/37/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa. + +# Sasa akafanya ... wa dhahabu + +Kwa 37:25-26 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 30:1 na 30:3 + +# Mkono + +Mkono ni sentimita 46. + +# Pembe zake zilitoka kwake + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/37/27.md b/exo/37/27.md new file mode 100644 index 00000000..1bf3b69c --- /dev/null +++ b/exo/37/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa. + +# Naye akaifanyia pete mbili za dhahabu ... + +Kwa 37:27-28 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 30:3 na 30:5 + +# kazi ya mtengenezaji wa marhamu + +Mmarhamu ana ujuzi katika kuchanganya viungo na mafuta. + diff --git a/exo/38/01.md b/exo/38/01.md new file mode 100644 index 00000000..afc6d186 --- /dev/null +++ b/exo/38/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa. + +# Naye akafanya ... Vyombo vyake vyote alivifanya kwa shaba + +Kwa 38:1-3 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 27:1 na 27:3 + +# Mikono + +Mkona mmoja ni sentimita 46 + +# Pembe zake zilitoka kwake + +Hii yaweza andikwa tensi tendaji. + diff --git a/exo/38/04.md b/exo/38/04.md new file mode 100644 index 00000000..1da06ba4 --- /dev/null +++ b/exo/38/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa. + +# Tena akaifanyia ... ile miti + +Kwa 38:4-5 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 27:3 na 27:5 + +# mtandao wa shaba + +Hii yaweza tensi tendaji. + diff --git a/exo/38/06.md b/exo/38/06.md new file mode 100644 index 00000000..819b9c86 --- /dev/null +++ b/exo/38/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa. + diff --git a/exo/38/08.md b/exo/38/08.md new file mode 100644 index 00000000..695aaef6 --- /dev/null +++ b/exo/38/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa. + +# beseni ya shaba na kinara chake cha shaba + +Kinara kilisaidia beseni ya shaba. + +# Kwa kutumia vioo + +Shaba ilitoka kwa vioo. + +# vioo + +Kioo ni kipande cha chuma kilicho ng'arishwa au glasi inayo onyesha umbo. + diff --git a/exo/38/09.md b/exo/38/09.md new file mode 100644 index 00000000..e0c50034 --- /dev/null +++ b/exo/38/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa. + +# Naye akafanya ... na viungo vyake vilikuwa vya fedha + +Kwa 38:9-10 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 27:9 + +# mia moja ... ishirini + +"100 ... 20" + +# Mikono + +Mkono ni sentimita 46. + diff --git a/exo/38/11.md b/exo/38/11.md new file mode 100644 index 00000000..c5289275 --- /dev/null +++ b/exo/38/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Pia, kwa ajili ya upande wa kaskazini ... viungo vyake vilikuwa vya fedha + +Kwa 38:11-12 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 27:11 + +# mikono mia ... ishirini ... hamsini ... kumi + +"100 ... 20 ... 50 ... 10" + +# Mikono + +Mkono ni sentimita 46 + diff --git a/exo/38/13.md b/exo/38/13.md new file mode 100644 index 00000000..0334963a --- /dev/null +++ b/exo/38/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hamsini ... kumi na mitano ... tatu + +"50 ... 15 ... 3" + +# Mikono + +Mkono ni sentimita 46 + +# Mapazia yote ya ua kuzunguka pande zote yalikuwa ya kitani + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/38/17.md b/exo/38/17.md new file mode 100644 index 00000000..0684f044 --- /dev/null +++ b/exo/38/17.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Navyo vikalio ... maskani na kwa ajili ya ua kuzunguka pande zote ilikuwa ya shaba + +Kwa 38:17-20 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 27:14 na 27:17 + +# Navyo vikalio vya nguzo vilikuwa vya shaba + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# Vibanio vya vikalio na viungo vyake vilikuwa vya fedha + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# kulikuwa na viungo vya shaba kwa ajili ya nguzo zote za ua + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# ishirini ... tano ... nne + +"20 ... 5 ... 4" + +# Mikono + +Mkono ni sentimita 46 + +# utando wa vichwa vyake na viungo vyake ulikuwa wa fedha + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# Na misumari yote ya hema kwa ajili ya maskani na kwa ajili ya ua kuzunguka pande zote ilikuwa ya shaba + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/38/21.md b/exo/38/21.md new file mode 100644 index 00000000..ca0e0d39 --- /dev/null +++ b/exo/38/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa. + +# vilivyohesabiwa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# Ithamari + +Hili ni jina la mwanaume. + +# Bezaleli mwana wa Uri mwana wa Huru + +"Bezaleli" na "Uri" ni majina ya wanaume. + +# Yahweh alikuwa amemwamuru Musa + +"kila kitu Yahweh alicho kuwa amemuamuru Musa kufanya" + +# Oholiabu mwana wa Ahisamaki + +"Oholiabu" na "Ahisamaki" ni majina ya wanaume. + diff --git a/exo/38/24.md b/exo/38/24.md new file mode 100644 index 00000000..6c84b546 --- /dev/null +++ b/exo/38/24.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Dhahabu yote iliyotumiwa kwa ajili ya kazi + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# alanta ishirini na tisa ... talanta mia moja + +"talanta 29 ... talanta 100." Talanta ni kilogramu 34. + +# shekeli 730 ... shekeli 1,775 + +Shekeli ni gramu 11. + +# kulingana na shekeli ya mahali patakatifu + +Ni wazi kulikuwa na shekeli zenye uzito zaidi ya moja kipindi hicho. Hii ili eleza ipi kutumika. + +# Nayo fedha ya wale walioandikishwa kati ya kusanyiko + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# nusu shekeli + +"1/2 shekeli" + +# miaka ishirini + +"miaka 20" + diff --git a/exo/38/27.md b/exo/38/27.md new file mode 100644 index 00000000..7977f1cb --- /dev/null +++ b/exo/38/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Na talanta mia moja za fedha zilitumiwa kutengeneza + +Talanta ni kilogramu 34. + +# mia moja ... sabini + +"100 ... 70" + +# shekeli + +Shekeli ni gramu 11 + +# Bezaleli + +Hili ni jina la mwanaume. + diff --git a/exo/38/30.md b/exo/38/30.md new file mode 100644 index 00000000..3138073d --- /dev/null +++ b/exo/38/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kujenga maskani na vifaa. + +# kiunzi + +Hii ni fremu ya chuma ya kushikilia mbao inapo chomwa. + diff --git a/exo/39/01.md b/exo/39/01.md new file mode 100644 index 00000000..b0667ced --- /dev/null +++ b/exo/39/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bezaleli na kundi lake wanaanza kutengeneza mavazi ya kikuhani. + +# wakafanya + +Neno "wakafanya" lina husu Bezaleli, Oholiabu, na wafanya kazi wingine. + +# kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamuru Musa + +"sawa na Yahweh alivyo mwambia Musa kufanya" + diff --git a/exo/39/02.md b/exo/39/02.md new file mode 100644 index 00000000..057f8fac --- /dev/null +++ b/exo/39/02.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani. + +# Bezaleli + +Hili ni jina la mwanaume. + diff --git a/exo/39/04.md b/exo/39/04.md new file mode 100644 index 00000000..f6c58d2c --- /dev/null +++ b/exo/39/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani. + +# ulikuwa wa kitambaa kilekile, kitani bora kilichosokotwa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamuru Musa + +"sawa na Yahweh alivyo mwambia Musa kufanya" + diff --git a/exo/39/06.md b/exo/39/06.md new file mode 100644 index 00000000..8d8e4b09 --- /dev/null +++ b/exo/39/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani. + +# muhuri + +Hili lilikuwa jiwe lilochorwa ambalo lilitumika kutia alama ya mchoro kwenye kitambaa kibichi. + +# kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa + +"sawa na Yahweh alivyo mwambia Musa kufanya" + diff --git a/exo/39/08.md b/exo/39/08.md new file mode 100644 index 00000000..ebaa5fa5 --- /dev/null +++ b/exo/39/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani. + +# Kisha akafanya + +"Bezaleli akafanya" au "Bezaleli na wafanya kazi wakafanya" + +# shubiri + +Shubiir ni sentimita 23. + diff --git a/exo/39/10.md b/exo/39/10.md new file mode 100644 index 00000000..a8651bda --- /dev/null +++ b/exo/39/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani. + +# Kisha wakakijaza + +"Wafanya kazi wakaweka kwenye mshipi" + +# zabarijadi ... yaspi + +Baadhi ya lugha zinaweza zisiwe na maneno ya baadhi ya haya mawe. Kitu cha muhimu ni kwamba yalikuwa na dhamani na yalitofautiana. + +# Yaliwekwa katika mapambo ya dhahabu + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/39/14.md b/exo/39/14.md new file mode 100644 index 00000000..45a2a42b --- /dev/null +++ b/exo/39/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani. + +# Na mawe hayo yalikuwa kulingana + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/39/17.md b/exo/39/17.md new file mode 100644 index 00000000..59167577 --- /dev/null +++ b/exo/39/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani. + +# kamba mbili + +"kamba zilizo tengenezwa kwa dhahabu safi na kusokotwa kama waya" + diff --git a/exo/39/19.md b/exo/39/19.md new file mode 100644 index 00000000..239bd307 --- /dev/null +++ b/exo/39/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani. + +# mshipi + +Hii ilikuwa nguo iliyo tengenezwa kwa nyuzi mtu aliyo sokotwa pamoja kufanya uzi mgumu. + diff --git a/exo/39/21.md b/exo/39/21.md new file mode 100644 index 00000000..e83f2e48 --- /dev/null +++ b/exo/39/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani. + +# ili kipate kuwa juu ya + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# kifuko cha kifuani kisiondoke juu ya efodi + +"kifuko cha kifuani kitabaki kwenye efodi" + diff --git a/exo/39/22.md b/exo/39/22.md new file mode 100644 index 00000000..057f8fac --- /dev/null +++ b/exo/39/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani. + +# Bezaleli + +Hili ni jina la mwanaume. + diff --git a/exo/39/25.md b/exo/39/25.md new file mode 100644 index 00000000..715adb14 --- /dev/null +++ b/exo/39/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani. + +# kengele za dhahabu safi + +Hizi zilikuwa kengele ndogo. + +# kengele na komamanga, kengele na komamanga + +Hivi ndivyo mfumo una paswa kurudiwa chini ya pindo la joho. + diff --git a/exo/39/27.md b/exo/39/27.md new file mode 100644 index 00000000..010c2f4a --- /dev/null +++ b/exo/39/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani. + +# Kisha wakafanya ... amemwamuru Musa + +Kwa 39:27-29 ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno katika 28:39 na 28:40 na 28:42 + +# kilemba + +Hichi ni kifuniko cha kichwa kinacho valiwa na wanaume kilicho tengenezwa na mistari mirefu ya kitambaa. + +# ukumbuu + +Hichi ni kitambaa kirefu kinacho valiwa mabegani au kufungwa kiunoni. + diff --git a/exo/39/30.md b/exo/39/30.md new file mode 100644 index 00000000..d15392b1 --- /dev/null +++ b/exo/39/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani. + +# ishara takatifu + +Hichi kilikuwa ni taji lilo wafanya kwa dhahabu safi. + diff --git a/exo/39/32.md b/exo/39/32.md new file mode 100644 index 00000000..2c248412 --- /dev/null +++ b/exo/39/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Waisraeli wana maliza kufanya vitu Yahweh alivyo waamuru katika 35:4 na 35:10 + +# Basi kazi ya ile maskani ya hema la mkutano ikafikia mwisho wake. Kwa maana wana wa Israeli waliendelea kufanya kulingana na yote + +"Maskani" na "hema la kukutani" ni kitu kimoja. Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# viunzi + +Vifungo vinatoshea kwenye tanzi ili kushikilia pazia pamoja. + diff --git a/exo/39/36.md b/exo/39/36.md new file mode 100644 index 00000000..b7809839 --- /dev/null +++ b/exo/39/36.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bezaleli na kundi lake wanaendelea kuonyesha yote waliyo mtengenezea Musa. + +# mkate wa wonyesho + +Huu mkate uliwakilisha uwepo wa Mungu. + +# kiunzi + +Hii ni fremu ya chuma iliyo shikilia mbao wakati inapo waka. + diff --git a/exo/39/40.md b/exo/39/40.md new file mode 100644 index 00000000..72d2765f --- /dev/null +++ b/exo/39/40.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Bezaleli na kundi lake wanaendelea kuonyesha yote waliyo mtengenezea Musa. + +# Wakaleta + +"Watu wa Israeli wakaleta" + +# maskani, kwa ajili ya hema ya kukutania + +Hii ina maana ya kitu kimoja. + diff --git a/exo/39/42.md b/exo/39/42.md new file mode 100644 index 00000000..8c1a9185 --- /dev/null +++ b/exo/39/42.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kulingana na yote + +"Na kisha watu" + +# tazama + +Neno "tazama" hapa linaleta umakini wa maelezo yanayo fuata. + +# kama vile Yahweh alivyokuwa ameamuru. Hivyo ndivyo walivyokuwa wamefanya. + +Walifanya kama Yahweh alivyo waamuru" + diff --git a/exo/40/01.md b/exo/40/01.md new file mode 100644 index 00000000..549a9d42 --- /dev/null +++ b/exo/40/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza ya mwaka + +Mwaka mpya una hashiria wakati ambao Mungu aliwaokoa watu wake kutoka Misri. Hii inatokea wakati wa Machi kwa kalenda za Magharibi. + diff --git a/exo/40/03.md b/exo/40/03.md new file mode 100644 index 00000000..9009720a --- /dev/null +++ b/exo/40/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendela kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# Utaweka sanduku la ushuhuda ndani yake + +"weka sanduku la amri za agano katika kitunzi takatifu" + +# utaziba sanduku kwa pazia + +"weka sanduku nyuma ya pazia" + diff --git a/exo/40/05.md b/exo/40/05.md new file mode 100644 index 00000000..cb4401c8 --- /dev/null +++ b/exo/40/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendela kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# sanduku la ushuhuda + +Hii ya husu "kitunzi takatifu" + diff --git a/exo/40/08.md b/exo/40/08.md new file mode 100644 index 00000000..07cbd75a --- /dev/null +++ b/exo/40/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendela kumwambia Musa nini watu wafanye. + +# samani zake + +"vitu vyote ambavyo ni sehemu yake" + diff --git a/exo/40/12.md b/exo/40/12.md new file mode 100644 index 00000000..fb919243 --- /dev/null +++ b/exo/40/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa. + +# Umlete + +Musa atafanya hivi vitu mwenyewe. + +# yaliyo tengwa kwa ajili yangu + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/exo/40/14.md b/exo/40/14.md new file mode 100644 index 00000000..eb178813 --- /dev/null +++ b/exo/40/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Musa + +# vizazi vyote vya watu wao + +"katika vizazi vyote vya uzao wao" + diff --git a/exo/40/17.md b/exo/40/17.md new file mode 100644 index 00000000..db091c2d --- /dev/null +++ b/exo/40/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hivyo hema la kukutania liliandaliwa + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# siku ya kwanza ya mwezi + +Mwaka mpya una hashiria wakati ambao Mungu aliwaokoa watu wake kutoka Misri. Hii inatokea wakati wa Machi kwa kalenda za Magharibi. + +# mwaka wa pili + +Huu ni mwaka wa pili Yahweh alipo watoa watu wake Misri. + +# Musa alianda + +Musa alikuwa kiongozi. Watu walisaidia kuandaa maskani. + +# nguzo + +kipande kigumu cha mbao kilicho nyooshwa wima kusaidia + diff --git a/exo/40/21.md b/exo/40/21.md new file mode 100644 index 00000000..baf6c96b --- /dev/null +++ b/exo/40/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Aliichukuwa + +Musa alikuwa kiongozi. Alikuwa na wafanya kazi wakimsaidia + +# ili lizibe + +"mbele ya" + diff --git a/exo/40/24.md b/exo/40/24.md new file mode 100644 index 00000000..4afdaaf7 --- /dev/null +++ b/exo/40/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Alieka kinara cha taa kwenye hema la kukutania + +Musa aliwaelekeza kusogeza kinara. Hii yaweza andikwa kwa wazi katika tafsiri. + diff --git a/exo/40/26.md b/exo/40/26.md new file mode 100644 index 00000000..ccc8b064 --- /dev/null +++ b/exo/40/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mbele ya pazia + +Hili pazia lilitenganisha sehemu takatifu kutoka sehemu takatifu sana. Hii yaweza andikwa wazi katika tafsiri. + diff --git a/exo/40/31.md b/exo/40/31.md new file mode 100644 index 00000000..873b4c2a --- /dev/null +++ b/exo/40/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# waliosha mikono yao na miguu kwenye beseni + +Waliosha na maji kutoka kwenye beseni. + +# Katika hili + +"Na kisha" + diff --git a/exo/40/34.md b/exo/40/34.md new file mode 100644 index 00000000..42b381cd --- /dev/null +++ b/exo/40/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# tukufu wa Yahweh ukafunika + +"Uwepo mzuri wa Yahweh ukafunika" + diff --git a/exo/40/36.md b/exo/40/36.md new file mode 100644 index 00000000..a673cd23 --- /dev/null +++ b/exo/40/36.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# lilipo chukuliwa juu kutoka + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + +# lilipo nyanyuliwa juu + +Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji. + diff --git a/ezk/01/01.md b/ezk/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..d20d65da --- /dev/null +++ b/ezk/01/01.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Katika mwaka wa kumi na tatu + +Huu ni mwaka wa kumi na tatu ya uhai ya Ezekieli. + +# mwezi wa nne, na siku ya siku ya tano ya mwezi + +"siku ya tano ya mwezi wa tano." Huu ni mwezi wa nne wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya tano inakaribia mwishoni mwa mwezi wa sita kwenye kalenda za Magharibi. + +# Ikawa kwamba + +Hili neno limetumika hapa kuonyesha tukio muhimu katika hadithi. + +# Nilikuwa nikiishi miongoni mwa mateka + +Neno "Mimi" inamrejelea Ezekieli. "Nilikuwa miongoni mwa mateka" + +# Nikaona maono ya Mungu + +"Mungu alinionyesha mambo yasiyo ya kawaida" + +# ilikuwa mwaka wa tano wa uhamisho wa Mfalme Yehoyakini + +Kupitia hiki kitabu, Ezekieli ataandika tarehe juu ya lini Wababeli waliwalazimisha Yehoyakini kuondoka Yerusalemu. + +# kwa Ezekieli ... juu yake huko + +Ezekieli anajizungumzia yeye mwenyewe kana kwamba alikuwa mtu mwingine. + +# neno la Yahwe lika kwa nguvu kwa Ezekieli + +"Yahwe alinena kwa nguvu na Ezekieli" + +# Buzi + +jina la kiume + +# Keberi Kanali + +Huu ni mto ambao watu katika Kaldea walichimba kupeleka maji kwenye bustani zao. "Mto Keberi" + +# mkono wa Yahwe ulikuwa juu yake + +Neno "mkono" mara nyingi limetumika kurejelea nguvu ya mtu au tendo. + +# Yahwe + +Hili ni jina la Mngu ambaye aliyejifunua kwa watu wake katika Agano la Kale. + diff --git a/ezk/01/04.md b/ezk/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..e078e458 --- /dev/null +++ b/ezk/01/04.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Ezekieli anaendelea kuelezea ono lake. + +# upepo wa dhoruba + +Hii ni dhoruba ambayo yenye upepo mwingi. + +# unakuja kutoka kaskazini + +Kaskazini ni uelekeo wa mkono wako wakati utazamapo jua linapokuwa linachomoza. + +# wingu kubwa lenye moto ndani yake + +Hili linaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya: "Hii dhoruba ilikuwa kubwa pamoja na moto ukiwaka ndani yake" + +# moto ukiwaka + +Maana ziwezekanazo 1) "mwanga ukiwaka" au 2) ukiwaka wakati wote." + +# na nuru ndani yake na kung'aa ukizunguka ndani yake + +"na nuru kali sana ikimulika ilikuwa imelizunguka wingu ndani yake". + +# rangi ya kaharabu + +"njano inayong'aa kama kaharabu" au "njano inayong'aa" + +# kaharabu + +utomvu wa njano ngumu ambayo ilitumika kama pambo zuri juu ya kito + +# Katikati + +"katikati ya dhoruba" + +# ulikuwa kama mwonekano wa viumbe hai vinne + +"kulikuwa na vitu ambavyo vilifanana kama viumbe vinne" + +# Huu ulikuwa mwonekano wao + +"Hivi ndivyo ambayo viumbe vinne vilivyokuwa vikionekana" + +# vilikuwa vikifanana na mtu + +"vile viumbe vinne vilifanana na watu" + +# lakini vilikuwa na sura nne kila mmoja, na kila kiumbe kilikuwa na mabawa manne + +"lakini kila kiumbe kilikuwa na sura tofauti tofauti na mabawa manne." Kila kiumbe kilikuwa na uso mmoja kwa mbele, uso mmoja upande wa nyuma, na uso mmoja kwa kila upande wa kichwa chake. + diff --git a/ezk/01/07.md b/ezk/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..c466d72f --- /dev/null +++ b/ezk/01/07.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Ezekieli anaendelea kueleza ono lake. + +# lakini nyao za miguu yao zilikuwa kama kwato za ndama + +"lakini miguu yao ilionekana kama kwato za ndama" + +# kwato za ndama + +sehemu ngumu ya mguu wa ndama + +# zilizokuwa zinang'aa kama shaba iliyosuguliwa + +"zilizokuwa zimeng'aa kama shaba ambayo iliyokuwa imeoshwa." Hii inaelezea miguu ya viumbe. + +# juu ya pande zote nne + +"juu ya pande zote nne za miili yao" + +# Kwa zote nne, nyuso zao na mabawa zilikuwa kama hivi" + +"Kwa viumbe vyote vinne, mabawa yao na nyuso zao zilikuwa kama hivi" + +# na hawakugeuka walipokuwa wakienda + +"na viumbe havikugeuka vilipokuwa vikitembea" + diff --git a/ezk/01/10.md b/ezk/01/10.md new file mode 100644 index 00000000..9e3c5f1e --- /dev/null +++ b/ezk/01/10.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi Unganisha: + +Ezekieli anaendelea kuelezea maono yake + +# Mwonekano wa nyuso zao zilikuwa kama uso wa mwanadamu + +Ezekieli anaelezea nyuso za hao viumbe kwa upande wa mbele. "Nyuso za kila kiumbe zilionekana kama hivi: Mbele ya uso palionekana kama uso wa mwanadamu" + +# uso wa simba kwa upande wa kuume + +"kwa upande wa kulia wa kichwa chake palionekana kama uso wa simba" + +# "uso ulikuwa wa maksai uapnde wa kushoto + +"upande wa kushoto wa uso wa kichwa ulikuwa unafanana na uso maksai" + +# mwishoni, uso wa tai + +"mwishoni, uso wa upande wa nyuma wa kichwa chake ulifanana kama uso wa tai" + +# mabawa yao yalikuwa yametawanyika juu, hivyo basi kila kiumbe kilikuwa na jozi ya za mabawa yaliyokuwa yameshikamana na bawa la kiumbe kingine + +"kila kiumbe kilishikilia mabawa yake mawili ili bawa moja liligusa bawa la kiumbe upande mwingine wa kiumbe kingine, na bawa jingine liligusa kiumbe kwa upande mwingine wa kiumbe kingine" + +# na pia njozi ya mabawa iliyokuwa imefunika miili yao + +"Mabawa mengine mawili ya kila kiumbe yalifunika mwili wake" + +# Kila mmoja alienda mbele + +"Kila kiumbe kilienda na uso ukiwa umetazama mbele" + diff --git a/ezk/01/13.md b/ezk/01/13.md new file mode 100644 index 00000000..b469b1ee --- /dev/null +++ b/ezk/01/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Ezekieli anaendelea kuelezea maono yake. + +# ulifanana kama mkaa uliochomwa, au kama tochi + +"uling'aa kama mkaa katika moto mkali, au kama tochi" + +# na kulikuwa na tochi imewaka + +"na mwanga ulikuja kutoka kwenye moto." + +# Hao viumbe hai vilikuwa vikihama mbio mbele na nyuma, na walikuwa na mwonekano wa radi + +Tochi zilizowaka na kupotea upesi, na viumbe walienda kutoka upande mmoja kwenda mwingine upesi. + diff --git a/ezk/01/15.md b/ezk/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..841f7730 --- /dev/null +++ b/ezk/01/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Ezekieli anaendelea kuelezea maono yake. + +# kulikuwa na gurudumu moja juu ya nchi karibu na viumbe hai + +"kulikuwa na gurudumu moja juu ya nchi karibu na kila mmoja wa viumbe hai, gurudumu moja kwa kila mweliekeo viumbe walipokuwa wameelekea" + +# Huu ndio ulikuwa mwonekano na umbo wa hizo gurudumu + +"Hivi ndivyo magurudumu yalivyofanana na jinsi yavyokuwa yametengenezwa" + +# kama zabarajadi + +Zabarajadi ni aina ya weupe, jiwe la thamani, mara nyingi la njano au rangi ya dhahabu."jeupe na manjano kama jiwe la zabarajadi" + +# hayo manne yote yalikuwa sawa sawa + +"yote manne ya magurudumu yalifanana" + +# walifanana kama gurudumu linalofanana na jingine + +"yalitengenezwa na gurudumu moja linaloenda kupitia gurudumu jingine" + diff --git a/ezk/01/17.md b/ezk/01/17.md new file mode 100644 index 00000000..34c56e0c --- /dev/null +++ b/ezk/01/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi: + +Ezekieli anaendelea kulezea maona yake + +# walienda bila kugeuka mahali popote viumbe walipokuwa wameelekea + +"magurudumu yalikuwa yanaweza kwenda katika mahali popote penye njia nne ambapo viumbe walipokuwa wameelekea" + +# Kama kwa ajili ya kingo zao + +"Hivi ndivyo kingo za magurudumu zilifanana" + +# walikuwa warefu na wakutisha + +"kingo zilikuwa ndefu na zakutisha" + +# kingo zikuwa zimejaa macho yaliyozunguka + +"kwa sababu kingo zilikuwa zilikuwa nyingi sana kuzunguka magurudumu yote manne" + diff --git a/ezk/01/19.md b/ezk/01/19.md new file mode 100644 index 00000000..eb0b3eb3 --- /dev/null +++ b/ezk/01/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Wakati viumbe hai walipoinuka kutoka kwenye nchi + +Viumbe vilikuwa vikiruka katika anga baada kuondoka kwenye nchi. "Hivyo wakati viumbe walipoicha nchi na kwenda juu kwenye anga." + +# roho wa kiumbe hai + +"roho yule yule aliyetoa uhai kwa viumbe pia alitoa uhai kwa magurudumu." + +# magurudumu pia yaliiuka + +"magurudumu pia yaliiacha nchi na kwenda kwenye anga" + +# Popote Roho alipoenda, walienda + +Neno "wao" hurejelea kwa viumbe. + +# magurudumu waliinuka juu karibu nao + +"magurudumu yalipanda juu kwenye anga pamoja na viumbe hai" + diff --git a/ezk/01/22.md b/ezk/01/22.md new file mode 100644 index 00000000..d3a265e9 --- /dev/null +++ b/ezk/01/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# anga itanukayo + +Kuba huonekana kama mpira mtupu uliokatwa nusu. "Kutanuka" maana yake kubwa sana. + +# fuwele inayovutia + +fuwele inayovutia**- "barafu inayong'aa" + +# yaliyonyooshwa kuelekea juu ya vichwa vyao + +"na kuba inayotanuka ilikuwa imesambazwa juu ya vichwa vya viumbe" + +# Benethi kuba + +"chini ya kuba" + +# Kila viumbe hai pia vilikuwa na njozi moja kujifunika wenyewe; kila kiumbe kilikuwa na njozi moja kufunika mwili wake mwenyewe + +"Kila viumbe hai pia vilikuwa na mabawa mawili mengine, ambavyo walitumia kufunika miili ya" + diff --git a/ezk/01/24.md b/ezk/01/24.md new file mode 100644 index 00000000..f8993b39 --- /dev/null +++ b/ezk/01/24.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ezekieli anaendelea kueleza kuhusu maono ya viumbe hai. + +# Kisha nikasikia sauti ya mabawa yao. Kama mlio wa maji mengi. Kama sauti ya mwenye enzi popote walipoelekea. Kama + +"Popote walipoelekea, nalisikia sauti ya mabawa yao. Kama sauti ya maji yanayoruka. + +# Kama ... maji. Kama ... tembea. Kama ... dhoruba ya mvua. Kama ... jeshi + +Hizi sentensi hazijakamilika kwa sababu Ezekieli alikuwa akionyesha kwamba alikuwa na furaha kubwa kuhusu alichokiona. "Mabawa yalisikika kama ... maji. Yalisikika kama ... tembea. Yalisikika kama ... dhoruba ya mvua. Yalisikika ... jeshi." + +# maji yaliyotibuka + +Hii inamaana rahisi "maji mengi." Ingeweza kurejelewa kwa "mto wenye sauti kubwa" + +# Kama sauti ya enzi + +Wakati mwingine Biblia inarejea radi kama "sauti ya enzi." "Ilisikika kama sauti ya mwenyezi Mungu" + +# Kama sauti ya dhoruba ya mvua + +"Kama sauti ya dhoruba kubwa sana" + +# Popote waliposimama + +"Popote viumbe walipoacha kutembea" + +# walishusha mabawa yao + +"hao viumbe waliacha mabawa yao kuning'ining'a chini karibu na sehemu zao." Walifanya hivyo wakati walipoacha kutumia mabawa yao kuruka. + +# Sauti ikaja kutoka juu ya anga + +"Mtu aliyekuwa juu ya anga akinena." Kama unahitaji kueleza sauti hii ni ya nani, unaweza kujaribu kuitambua kama sauti ya Yahwe + +# anga juu ya vichwa vyao + +"anga lililokuwa juu ya vichwa vya viumbe" + +# anga + +huonekana kama mpira mtupu uliokatwa juu na chini. + diff --git a/ezk/01/26.md b/ezk/01/26.md new file mode 100644 index 00000000..b3e1eda5 --- /dev/null +++ b/ezk/01/26.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# juu ya vichwa + +"juu ya vichwa vya viumbe hai" + +# ulikuwa na mwonekano wa kiti cha enzi + +"kulikuwa na kitu kilichofanana kama kiti cha enzi" + +# samawati + +jiwe la thamani sana ambalo ni blu safi na ling'aalo sana + +# juu ya kiti cha enzi kulikuwa + +"juu ya kiti cha enzi kulikuwa" + +# mwonekano wa mmoja aliyefanana kama mwanadamu + +"mtu aliyefanana na mwanadamu" + diff --git a/ezk/01/27.md b/ezk/01/27.md new file mode 100644 index 00000000..b3609177 --- /dev/null +++ b/ezk/01/27.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ezekieli anaendelea kueleza kuhusu maono. + +# kutoka kwenye nyonga juu + +Mwili wa mwanadamu juu ya nyonga palifanana kama chuma kinachong'aa kilichokuwa na moto ndani mwake. + +# kuzunguka kote + +"kuzunguka kote mtu aliyeketi juu ya kiti cha enzi" + +# kutoka kwenye nyonga kwa chini palionekana kama moto na mng'ao ulozunguka kote + +"Kumzunguka kote chini ya nyonga, niliona kilichofanana kama moto na mwanga ung'aao." + +# Ilionekana kama upinde wa mvua unaoonekana katika mawingu katika siku ya mvua, na kama mwanga unaong'aa ukiizunguka + +"Mwanga ambao ulikuwa umemzunguka kote ulifanana kama upinde wa mvua uonekanao katika mawingu katika siku ya mvua inyeshapo." + +# upinde wa mvua + +rangi nzuri ya mustari wa mwanga uonekanao katika mvua wakati jua liwakapo kutoka nyuma ya mwonekano + +# Huu ulionekana kama mfanano wa utukufu wa Yahwe + +"Mwanga unaong'aa ulifanana kama kitu ambacho kilichofanana na utukufu wa Yahwe." + +# niliusikia kwenye uso wangu + +"nilisujudu hata chini kwenye nchi" Ezekieli hakuanguka kwa ajali. Alienda chini hata kwenye nchi kuonyesha kwamba aliheshimu na kumwogopa Yahwe. + +# nilisikia sauti ikinena + +Neno "sauti" ni picha ya mtu. "nikasikia sauti ikinena" + diff --git a/ezk/02/01.md b/ezk/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..b3861da8 --- /dev/null +++ b/ezk/02/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ezekieli anaendelea kueleza kuhusu maono aliyoyaona. + +# Akanambia + +"yule aliyefanana na mwanadamu". (1:2). Hakuwa "yule Roho." + +# ROho + +"roho" au "upepo." + +# Mwana wa mtu + +"Mwana wa mwanadamu" au "Mwana wa binadamu." Mungu anamuita Ezekieli hivi kusisitiza kwamba Ezekieli ni mwanadamu tu. Mungu ananguvu na huishi milele, lakini watu hawawezi. "utu wa kufa" au "Binadamu" + +# kwa watu wa Israeli, kwa taifa lililo asi + +"kwa Waisraeli, kwa watu walioasi." Manano haya mawili huwarejea watu wale wale. "kwa watu wa Israeli, ambao ni waasi." + +# hata hivi leo + +Hii inamaanisha kwamba watu wa Israeli waliendelea kutokumtii Mungu. "hata sasa" au "hata leo." + diff --git a/ezk/02/04.md b/ezk/02/04.md new file mode 100644 index 00000000..b47b6ffa --- /dev/null +++ b/ezk/02/04.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mungu anaenedelea kunena na Ezekieli. + +# Uzao wao + +Uzao wa kizazi kilichopita cha Israeli aliye asi juu ya Mungu, inawarejelea watu wa wa Israeli kipindi Ezekeieli anapoandika. + +# sura za kikaidi na mioyo miguma + +Maneno "sura za kikaidi" inarejelea jinsi walivyotenda nje, na neno "moyo mgumu" inarejea jinsi wafikiriavyo na kusikia. Yote yanasisitiza kwamba watu wa Israeli hawatabadilika jinsi walivyoishi ili kumtii Mungu. + +# wana nyuso za kikaidi + +"wana sura kwenye nyuso zao zinazoonyesha kwamba ni wakaidi" + +# kaidi + +"wasiotaka kubadilika" + +# moyo mgumu + +Jiwe haliwezi kubadilika na laini, na hawa watu hawawezi kubadilika na kujuta wakati wafanyapo mambo maovu. + +# nyumba + +Huu ni mfano kwa ajili ya familia inayoishi katika nyumba, kwa kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi. "kundi la watu" + +# nabii alikuwa miongoni mwenu + +"yule waliye mkataa kumsikiliza alikuwa nabii" + diff --git a/ezk/02/06.md b/ezk/02/06.md new file mode 100644 index 00000000..3010ccd7 --- /dev/null +++ b/ezk/02/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mungu anaendelea kunena na Ezekieli + +# mwana wa Adamu + +"Mwana wa mwanadamu" Mungu anamuita Ezekieli kusisitiza kwamba Ezekieli ni mwanadamu tu. Mungu ana nguvu na huishi milele, lakini watu hawaishi milele. + +# mitemba na miiba na ... nge + +Haya maneno yanawaeleza wana wa Israeli ambao watamtendea Ezekieli ukarimu wakati awaambiapo ambavyo Mungu asemavyo. + +# mitembe na miiba + +Mitembe ni vichaka vilivyochongoka juu ya matawi. Zile sehemu zilizochongoka juu ya matawi zinaitwa miiba. + +# nge + +Nge ni mnyama mdogo mwenye kucha mbeli, miguu sita, na mkia mrefu pamoja na mwiba wenye sumu. Mwiba wake una maumivu makali sana. + +# Usiyaogope maneno yao + +"Usiyaogope yale wasemayo." + +# hofu kwa nyuso zao + +Neno "nyuso zao" ni mfano kwa ujumbe watu wanaueleza kwa nyuso zao. "poteza shauku kuniokoa kwa sababu ya jinsi wakutazamavyo" + diff --git a/ezk/02/07.md b/ezk/02/07.md new file mode 100644 index 00000000..a75c9f0d --- /dev/null +++ b/ezk/02/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelelzo ya Jumla: + +Mungu anaendelea kunena na Ezekieli. + +# ni waasi mno + +"ni waasi sana" au "kuasi kabisa juu yangu" + +# nyumba + +Huu ni inasimama kwa familia inayoishi katika nyumba, kwa kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi. + diff --git a/ezk/02/09.md b/ezk/02/09.md new file mode 100644 index 00000000..9b420c97 --- /dev/null +++ b/ezk/02/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# na mkono ulikuwa umenyooshwa kwangu + +Ilikuwa kana kwamba, mtu katika mbingu alinyoosha mkono kumwelekea Ezekieli na Ezekieli angeweza kuona kutoka mkono hata kiwiko au bega + +# hati moja ya kukunja + +"hati iliyokuwa imeandikwa" + +# Aliisambaza + +Neno "Yeye" inarejelea kwa "yule aliyefanana na mtu" (1:26). + +# ilikuwa imeandikwa sehemu zote mbele na nyuma yake + +"mtu mmoja alikuwa ameandika pande zote mbele na nyuma yake" + +# yaliandikwa maombelezo, huzuni na majonzi + +"maombolezo," "huzuni," na "majonzi" "mtu mmoja aliandika juu yake kwamba hawa watu watahuzunika, kuhuzunika vile watakavyokuwa kama yule waliyempenda alikufa, na kuwa na mambo mabaya yaliwatokea" + diff --git a/ezk/03/01.md b/ezk/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..ee9e44d5 --- /dev/null +++ b/ezk/03/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ezekieli anaendelea kuelelza kuhusu maono aliyoyaona. + +# Alinambia + +Neno "Yeye" inarejelea kwa ""yule aliyefanana na mwanadamu" (1:26). + +# Mwanadamu + +"Mwana wa mwanandamu" Mungu anamuita Ezekilei hivi kusisitiza kwamba Ezekieli ni mwanadamu tu. Mungu ana nguvu na huishi milele, lakini watu hawataishi milele. + +# umepata nini + +Hii inarejelea kwa hati ya kukunja ambao Mungu aliyokuwa akimpa. + +# nyumba ya Israeli + +Neno "nyumba" ni mfano kwa familia inayoishi katika nyumba, katika kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi. "kundi la watu wa Israeli" + +# hiyo hati ya kukunja + +Matoleo mengi yana "hati ya kukunjua" au "hii hati ya kukunjua." + +# lisha tumbo lako na jaza tumbo lako kwa hii hati ya kukunjua + +Neno "tumbo" linarejelea kwenye sehemu ya mwili watu wanayoweza kuiona kutoka nje. Neno "tumbo" linarejelea ndani ya ogani ndani ya tumbo. + +# ilikuwa tamu kama asali + +Asali ina ladha tamu, na hati ya kukunjua inaladha tamu. + diff --git a/ezk/03/04.md b/ezk/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..b339597c --- /dev/null +++ b/ezk/03/04.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ezekieli anaendelea kutueleza kuhusu maono aliyoyaona. + +# akanambia + +"yule aliyefanana na mwanadamu" (1:26). Hakuwa "roho." + +# nyumba ya Israeli + +Neno "nyumba" ni mfani kwa familia inayoishi katika nyumba, katika kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya mika mingi. "kundi la Waisraeli" + +# maneno ya kushangaza au lugha ngumu + +"anayenena manenu magumu" + +# sio kwa taifa lenye nguvu la maneno magumu + +"Sikupeleki kwa taifa lenye nguvu ambalo watu wananena maneno magumu" + +# Kama nikikupeleka kwao, wataweza kukusikiliza + +Hii ni hali swali lisilohitaji kujibiwa ambalo litatokea lakini halitatokea. Yahwe hakumsimamisha Ezekieli kwa watu ambao hawakuweza kuelewa lugha yake. + +# Kama nikikupeleka + +Neno "wao" linarejelea kwa taifa lenye nguvu tofauti na Israeli. + +# paji gumu na moyo mgumu + +"uasi sana" au "kaidi sana" + +# paji gumu + +lisilotaka kubadilika + +# moyo mgumu + +Hili neno linashauri kwamba watu humpinga Mungu na hawataki kumtii. Moyo umetumika kueleza sehemu katika mwili ambapo mtu huamua kile wanachotaka kukifanya. + diff --git a/ezk/03/08.md b/ezk/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..ca6b4b8e --- /dev/null +++ b/ezk/03/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Roho wa Mungu anaendelea kunena na Ezekieli. + +# Tazama! + +Neno "Tazama" hapa linamtaharisha Ezekieli kuwa makini kwa habari mpya inayofuata. + +# Nimeufanya uso wako wa ukaidi kama nyuso zao + +Neno "sura" limetumika kusimama kwa ajili ya watu. "Nimekufanya kaidi kama walivyo." + +# Nimekufanya ... paji la uso kuwa gumu kama mapaji yao + +"Paji" ni sehemu ya mbele ya kichwa au nyusi za macho na ni mfano wa mtu. "Nimefanya ... wewe imara ili usisimame kufanya unachokifanya" + +# nimezifanya nyusi zako kama almasi, ngumu kama jiwe la kiberiti + +"Nimezifanya nyusi zako kama jiwe gumu kabisa, nguma kuliko jiwe gumu sana." + +# jiwe gumu sana + +jiwe ambalo ni gumu kuanzisha moto kwa kulichoma kwa chuma au jiwe jingine + +# nyumba + +Huu ni mfano wa familia inayoishi katika familia, kwa kwesi hiiWaisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi. "kundi la watu" + diff --git a/ezk/03/10.md b/ezk/03/10.md new file mode 100644 index 00000000..e5fec47f --- /dev/null +++ b/ezk/03/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wachukulie kwenye moyo wako na wasikilize kwa masikio yako + +"wakumbuke na wasikilize kwa makini" + +# Kisha nenda kwa mateka + +Neno "mateka" inarejelea kwa watu wa Israeli waliokuwa wakiishi katika Babebli. + +# watu wako + +"kundi la watu wako." Ezekieli aliishi katika Yuda kabla Wababeli kumchukua kwenda Babeli. + +# Bwana Yahwe + +Hili ni jina la Mungu. + diff --git a/ezk/03/12.md b/ezk/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..5b66fd48 --- /dev/null +++ b/ezk/03/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ezekieli anaendelia kueleza kuhusu maono aliyaona. + +# nikasikia nyuma yangu sauti yenye tetemeko la aridhi: "Ubarikiwe utukufu wa Yahwe kutoka mahali pake!" + +Baadhi ya matoleo yanachukua "Baraka .. mahali!" kama maneno ambayo "tetemeko kubwa" iliyonenwa. "Nimesikia nyumba yangu sauti ya tetemeko kubwa, lisemalo, 'Utukufu u kwa Yahwe kutoka mahali pake!"' + +# sauti ya tetemeko kubwa + +Haiko wazi kama sauti ilitoka kutoka kwenye tetemeko, kutoka kwenye sauti kulikuwa na sauti kubwa kama tetemeko, au kutoka kwenye mabawa na magurudumu. sauti kama sauti ya tetemeko kubwa" au "sauti ikinena; sauti ilisikika kama tetemeko kubwa" + +# utukufu wa yahwe + +sifa kuu ya Yahwe + +# sauti ya tetemeko kuu + +"sauti kuu na ngurumo yenye nguvu kama sauti ya tetemeko" + diff --git a/ezk/03/14.md b/ezk/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..4dc8a8e3 --- /dev/null +++ b/ezk/03/14.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ezekieli anaonekana alinkuwa na hasira kwa sababu Yahwe alimpeleka kunena na watumwa Waisraeli, hivyo kuasi juu ya Yayhwe mwenyewe. Ingawa alipaswa kunena nao, alikuwa kimya kwa mda wa siku saba, ingawa aliisikia hasira ya Yhawe. + +# kwa uchungu katika hasira kali rohoni mwangu + +Neno "uchungu" na "hasira" ni aina ya hasira. "nilikuwa mwenye uchungu na roho yangu alikuwa amejaa hasira" au "nilikuwa na uchungu sana na hasira." + +# uchungu + +Ezekieli anazungumzia hasira yake kwa Yahwe kana kwamba kulikuwa na ladha mbaya kinywani kwa sababu Yahwe alimlazimisha kitu ambacho kinaladha mbay. + +# kwa kuwa mkono wa Yahwe alikuwa na nguvu zikigandamiza juu yangu + +Ezekieli anazungumzia kuwa na huzuni na kuchoka kwa sababu Yahwe alimwamuru kufanya mambo ambayo hakuyataka kuyafanya kana kwamba Yahwe alikuwa akimsukuma chini kwenye nchi. + +# mkono wa Yahwe + +neno "mkono" mara nyingi limetumika kurejea nguvu ya mtu au tendo "uweza wa Yahwe." + +# Tel Abibu + +Mji katika Babeli, kama kilomita 80 kusini mashariki mwa mji mkuu, ambayo iliitwa Babeli pia. + +# Kebari Kanali + +Huu mtu ambao watu katika Kaldea walichimba kupeleka maji kwenye bustani zao. + +# kushinda katika mshangao + +"kutoweza kufanya jambo lolote kwa sababu nilikuwa nimeshangazwa" + diff --git a/ezk/03/16.md b/ezk/03/16.md new file mode 100644 index 00000000..6fbd33b5 --- /dev/null +++ b/ezk/03/16.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ezekieli anaeleza kuhusu uzoefu wake huko Tel-Abibu. + +# neno la Yahwe likanijia + +"Yahwe alinena nami." + +# mwangalizi + +Mungu alimwambia Ezekieli kuwaonya wana wa Israeli kama mwangalizi alivyowaonya watu wa mji kama maaduli walikuwa wakija, hivyo wangeweza kujiandaa na kuwa salama. + +# nyumba ya Israeli + +Neno "nyumba" inasimama kwa ajili ya familia iishiyo katika nyumba, kwa kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi. "kundi la watu Waisraeli" + +# onyo kwa waovu kuhusu matendo yao maovu ili aishi + +"onyo kwa watu waovu kuacha kufanya mambo yake maovu ili aweze kuishi" + +# mwovu + +"watu waovu" + +# kutaka damu yake kutoka kwenye mkono wako + +Hii ni lugha inayoshikilia wajibu au hatia ya kuua. "nitakutenda kana kwamba ulikuwa umemuua" + +# hawezi kugeuka kutoka uovu wake au kutoka matendo yao maovu + +Neno "matendo maovu" maana yake kitu kimoja kama "uovu." hakuacha kufanya mambo maovu." + diff --git a/ezk/03/20.md b/ezk/03/20.md new file mode 100644 index 00000000..aa89b831 --- /dev/null +++ b/ezk/03/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# weka kizuizi mbele yake + +"fanya jambo baya litokee kwake" au "kumfanya atende dhambi wazi." + +# atakufa katika dhambi yake + +"atakufa mapema" au "atakufa kama mtu mwenye hatia kwa sababu hajanitii" + +# nitaiaka damu yake kutoka mkono wako + +Hii ni lugha ya kushikilia wajibu wa mtu au hatia ya uuaji. "nitakutenda kana kwamba ulikuwa umemuua" + +# kwa kuwa alikuwa ameonywa + +"tangu ulipomuonya" + diff --git a/ezk/03/22.md b/ezk/03/22.md new file mode 100644 index 00000000..c40c8f2c --- /dev/null +++ b/ezk/03/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mkono wa Yahwe + +Neno "mkono" mara nyingi limetumika kurejea kwa nguvu ya mtu au tendo. "nguvu ya Yahwe." + +# utukufu wa Yahwe + +fahari ya Yahwe + +# Kebari Kanali + +Huu ni mto ambao watu katika Kaldea waliuchimba kupatia bustani zao maji. + +# nikaanguka kifudifudi + +"nikasujudu chini hata chini" au "nikalala kwenye nchi." Ezekieli hakuanguka kwa ajali. Alianguka chini hata chini kuonyesha kwamba aliheshimu na kumuogopa Yahwe. + diff --git a/ezk/03/24.md b/ezk/03/24.md new file mode 100644 index 00000000..292452a0 --- /dev/null +++ b/ezk/03/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# akanena nami + +"yule aliyefanana na mtu." Hakuwa "Roho." + +# wataweka kamba juu yako na kukufunga ili usiweze kutoka nje miongoni mwao + +Hii ni tafsiri nzuri halisi. + diff --git a/ezk/03/26.md b/ezk/03/26.md new file mode 100644 index 00000000..ff38c8e8 --- /dev/null +++ b/ezk/03/26.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Roho anaendelea kunena na Ezekieli. + +# paa ya kinywa chako + +"juu ya kinywa chako" + +# utakuwa kimya + +"hutaweza kunena" + +# nyumba + +Hii ni mfano kwa ajili ya familia iishiyo katika nyumba, katika kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaindi ya mika mingi. kundi la watu" + +# nitakufungua kinywa chako + +"nitakufanya uweze kunena" + +# yule atakayeshindwa kusikiliza hataweza kusikiliza + +"yule akataaye kisikiliza hataweza kusikiliza" + +# Bwana Yahwe + +Jina la Mungu + diff --git a/ezk/04/01.md b/ezk/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..8de09e30 --- /dev/null +++ b/ezk/04/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli. Anamwambia Ezekieli kuchukua tofali na udongo na vipande vya mbao na kutenda kana kwamba alikuwa Yahwe akiuharibu mji wa Yerusalemu. + +# mwanadamu + +"mwana wa mwanadamu" Mungu anamwita Ezekieli hivi kusisitiza kwamba Ezekieli ni mwanadamu tu. Mungu ananguvu na anaishi milele, lakini watu hawaishi milele. + +# chonga mji wa Yerusalemu + +"chonga picha ya mji wa Yerusalemu" + +# laza ngome juu yake + +"zunguka mji ili kuunyakua" + +# jenga ngome juu yake + +"jenga kuta juu yake." "Kuta zitawahifadhi watu wasiuache mji. + +# Anza kushambulia juu yake + +"jenga hanamu nje ya hiyo kwa ajili ya maadui kuingia ndani." Yerusalemu ilikuwa na ukuta kuizunguka kuwalinda watu ndani. + +# Weka shambulio la ghasia kuizunguka + +"Shambulio la ghasia" ni miti mikubwa au nguzo ambazo watu katika vita wangechukua na kupiga juu ya ukuta au mlango hivyo wangeuangusha chini na kuingia ndani. "Weka kuizunguka nguzo kubwa watu watumie kuvunja malango na kuingia ndani" + +# weka uso wako juu yake + +"itazame kwa uso wa hasira" + +# nyumba ya Israeli + +Neno "nyumba" ni mfano wa familia iishiyo katika nyumba, katika kesi hii Waisraeli, uzao wa yakobo zaidi ya miaka mingi. + diff --git a/ezk/04/04.md b/ezk/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..dba03c0a --- /dev/null +++ b/ezk/04/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anendela kunena na Ezekieli. + +# weka dhambi ya nyumba ya Israeli juu yake + +"teseka kwa kulaza upande wako kwa sababu ya dhambi zao." + +# nyumba ya Israeli + +Neno "nyumba" ni mfano wa familia iishiyo katika nyumba, kwa kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi iliyopita. + +# utachukua dhambi zao + +"utakuwa na hatia za dhambi zao" au "utaadhibiwa kwa ajili ya dhambi zao" + +# lala chini juu ya nyumba ya Israeli + +"lala kuelekea ufalme wa Israeli." + +# Mimi mwenyewe nakuagiza kwako siku moja kuwakilisha kila mwaka wa adhabu yao + +"Mimi mwenyewe nimekuamuru kulala upande wako kwa namba ile ile ya siku kama namba ya miaka ambayo nitakayo waadhibu." + +# kila mwaka wa ghadhabu yao + +kila mwaka watakaoadhibiwa kwa ajili ya dhambi zao + diff --git a/ezk/04/06.md b/ezk/04/06.md new file mode 100644 index 00000000..96ab57f6 --- /dev/null +++ b/ezk/04/06.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Roho anaendelea kunena na Ezekieli. + +# siku hizi + +siku Ezekieli alipolala chini upande wake wa kushoto kuelezea ngome ya ufalme wa Israeli + +# utachukua uovu + +"utakuwa na hatia ya uovu" au "utaadhibiwa kwa ajili ya uovu wao." + +# Nyumba ya Yuda + +Neno "nyumba" ni mfano wa familia iishiyo katika nyumba, katika kesi hii uzao wa Yuda zaidi ya miaka mingi. "kundi la watu wa Yuda" au "watu wa Yuda" + +# Nakuteua siku moja kwa kila mwaka + +"Nitakufanya kufanya kufanya siku moja kwa kila mwaka ambao nitakughadhibu." + +# tabiri juu yake + +"tabiri kuhusu mambo mabaya yatakayotokea kwa Yerusalemu" + +# tazama! + +"ona!" au "sikiliza!" "kuwa makini kwa kile ninachotaka kukwambia!" + +# Naweka vifungu juu yako + +Vifungo ni kamba au minyororo inayomfanye mtu asitembee. Haiko wazi kama neno "vifungo" ni mfano kwa jambo Yahwe analolifanya ambalo ni kama alikuwa amemfunga Ezekieli + diff --git a/ezk/04/09.md b/ezk/04/09.md new file mode 100644 index 00000000..92a5f553 --- /dev/null +++ b/ezk/04/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Roho anaendelea kunena na Ezekieli. + +# ngano, shayiri, ... mtama, na kusemethi + +Hii ni aina tofauti tofauti za nafaka. + +# maharagwe + +mbegu za mizabibu, ambao humea katika safu moja ndani yake njia nyingine tunda tupu, linaweza kuliwa + +# dengu + +Haya ni kama maharagwe, lakini mbegu zake ni ndogo, mviringo, na sawasawa. + +# shekeli ishirini kwa siku + +"shekeli 20 kwa siku." gram 200 za mkate kila siku" + +# sita ya hini + +" hini1/6" au "sehemu ya sita ya hini" au "takriban nusu lita" (UDB) + diff --git a/ezk/04/12.md b/ezk/04/12.md new file mode 100644 index 00000000..9494d916 --- /dev/null +++ b/ezk/04/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Roho anaendelea kunena na Ezekieli. + +# Utalila + +mkate + +# shayiri + +mkate bapa wa shayiri + +# keki za shayiri + +mkate wa bapa uliotengenezwa na shayiri + +# utauoka kwenye kinyesi kikavu cha mwanadamu + +"utaupika juu ya moto uliotengenezwa kwa viapande vya uchafu mgumu wa mwanadamu." + +# nitawafukuza + +peleka mabali kwa nguvu + diff --git a/ezk/04/14.md b/ezk/04/14.md new file mode 100644 index 00000000..d56d7960 --- /dev/null +++ b/ezk/04/14.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Ee + +Ezekieli anataabika kwa kile Bwana alichomwambia afanye. "Itakuwa si sawa kwa mimi kufanya hivyo" + +# Bwana Yahwe + +Jina la Mungu. Hapa Ezekieli ananena na Bwana. + +# nyama ya kunuka + +Hii inarejea kwa nyama ambayo ni najisi kwa sababu imekuja kutoka mnyama aliyekufa kwa ugonjwa au aliyezeeka au aliyeuawa na mnyama mwingine. Neno "kunuka" hunyesha karaha yake juu ya nyama kama hii. "kuchukiza, nyama najisi" + +# nyama ya kunuka haijawahi kuingia katika kinywa changu + +"sijawahi kula nyama ya kunuka." + +# Tazama! + +"Sikia" au "kuwa makini kwa jambo la muhimu nitakalokwambia sasa" + +# nimekupatia + +"nitakuruhusu kutumia" + +# mbolea ya ng'ombe + +uchafu mgumu kutoka kwenye ng'ombe au mbolea ya ng'ombe. + +# kinyama cha binadamu + +uchafu wa mwanadamu. + diff --git a/ezk/04/16.md b/ezk/04/16.md new file mode 100644 index 00000000..b18801a9 --- /dev/null +++ b/ezk/04/16.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Tazama! + +"Tazama!" au "Sikia!" au "Kuwa makini kwa kile ninachotaka kukwambai!" + +# Nalivunja gongo la mkate katika Yerusalemu + +"nitasimamisha usambazaji wa chakula kwa Yerusalemu." + +# mkate wa gongo + +Kusambaza kunaitwa gongo kwa sababu baadhi ya watu wanahitaji gongo kutembelea na kufanya kazi zao, na watu wanahitaji mkate kuishi. Mkate unawakilisha aina zote za mkate. "kusambaza chakula" + +# Yerusalemu + +"watapungukiwa makate na maji" hata "Nalivunja gongo la mkate" ni "Yerusalemu - wata ... tetemeka - ili" + +# watakula mkate ukiwa unagawa katika wasiwasi + +"watagawanya kwa makini mkate wao kwa sababu wanahofia kwamba hautatosha" + +# kugawa + +kutoa kiasi kidogo cha kitu kwa watu wengi ambachi hatoshi + +# kugawa kwa kutetemeka + +"kuugawa ukiwa unatetemeka" au "kuugawa katika hofu" + +# kila mtu atafadhaishwa na ndugu yake na kumpoteza + +"kila mmoja atamtazama ndugu yake na kuhofu kuhusu ni kiasi gani cha chakula ndugu yake hula na kupoteza" + +# poteza + +Hili neno mara zote limetumika nyama au kuchimbua mabao. Hapa ni mfano kwa watu waovu kuwa wembamba na kufa kwa sababu hawana chakula. + diff --git a/ezk/05/01.md b/ezk/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..dfc4680d --- /dev/null +++ b/ezk/05/01.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli. Kila mifano ya "miji" inarejea kwa "mji" ambao Ezekieli kuchonga kwenye tofali (4:1). + +# mwana wa adamu + +"mwana wa mwanadamu" au "mwana wa binadamu." Mungu anamwita Ezekieli hivi kusisitiza kwamba Ezekieli ni mwanadamu tu. Mungu ananguvu na huishi milele, lakini watu hawawezi kushi milele. + +# kiwembe cha kinyozi + +"ubapa kwa ajili ya kunyolea nywele" + +# pitisha wembe juu ya kichwa chako na ndevu + +"nyoa kichwa chako na uso wako" au "ondoa nywele zako kutoka kichwa chako na ndevu kutoka uso wako" + +# Choma theluthi ya tatu ya hiyo + +"Choma theluthi ya tatu ya nywele zako" + +# kati + +katikati + +# wakati siku za ngome zitakapokamilika + +"wakati siku za ngome ya Yerusalemu zitakapoisha" + +# chukua theluthi ya tatu ya nywele + +"chukua moja ya tatu ya manyoya ya nywele" + +# na uipige kwa upanga kuzunguka mji wote + +"na ipige kwa upanga wako mji wote" + +# tawanya theluthi yake kwenye upepo + +"ruhusu upepo uvume theluthi ya mwisho ya nywele zako katika mwelekeo tofauti" + +# Nitasogeza upanga kufata watu + +Neno "upanga" ni mfano kwa ajili ya adui maaskari ambao watawashambulia kwa panga zao, na kwa "kusogeza upanga" ni kupeleka maadui kuwafatilia na kuwashambulia kwa uapanga. (UDB) + +# Nitakusogoza mbali kwa upanga + +"Nitauvuta upanga nje ya kibebeo chake" + diff --git a/ezk/05/03.md b/ezk/05/03.md new file mode 100644 index 00000000..cbc43f7f --- /dev/null +++ b/ezk/05/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli. + +# Lakini chukua ... kisha chukua + +Ezekieli alikuwa afanye hivi wakati aliponyoa nywele zake na ndevu (5:1) na kabla hajachoma nywele (5:1). + +# hesabu ndogo ya nywele kutoka kwao + +"nywele chache kutoka manyoya laini ya nguo" + +# zifunge + +Neno "wao" inarejelea nywele. nywele zilkuwa ndefu tayari hivyo Ezekieli angeweza kuzifunga. + +# pindo za nguo zako + +Maana ziwezekanazo 1) "nguo kwenye mikono yako" ("mikono ya vazi lako") (UDB) au 2) mwishoni mwa vazi kwenye joho lako" (pindo lako"). + +# kutoka hapo utatoka nje kwenda nyumba zote za Israeli + +"kutoka huko moto utasambaa na kuwachoma watu wote wa Israeli." Yahwe anazungumzia jinsi atakavyo iadhibu Israeli kana kwamba alikuwa akienda kuweka moto kwenye nyumba na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa familia iishiyo katika nyumba. + +# nyumba ya Israeli + +Neno "nyumba" mfano kwa ajili ya familia iishiyo katika nyumba, katika kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi. "kundi la watu wa Israeli" + diff --git a/ezk/05/05.md b/ezk/05/05.md new file mode 100644 index 00000000..6c6454b9 --- /dev/null +++ b/ezk/05/05.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +YAhwe anaendelea kunena. + +# Bwana Yahwe + +Jina la Mungu + +# Hii ndio Yerusalemu + +"Hili pango linawakilisha Yerusalemu" + +# katikati ya Mataifa + +Maana ziwezekanazo 1) mataifa mengine yalikuwa pande zote za Yerusalemu au 2) "muhimuz aidi kuliko mataifa mengine." + +# nimemuweka + +Yerusalemu inarejelewa kama "yeye" na "-kike." + +# nchi nyingine + +"nchi jirani" au "nchi zinazozunguka" + +# Watu wamezikataa hukumu zangu + +"Watu wa Israeli na Yerusalemu wamekataa kutii hukumu zangu." + diff --git a/ezk/05/07.md b/ezk/05/07.md new file mode 100644 index 00000000..bcf318d6 --- /dev/null +++ b/ezk/05/07.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na watu wa Israeli na Yuda. + +# Bwana Yahwe + +Jina la Mungu + +# Kwa sababu mmekuwa kikwazo kuliko + +"kwa sababu hali yenu ya dhambi ni mbaya kuliko" au "kwa sababu ninyi ni makaidi kuliko" + +# yanayowazunguka + +"yote yanayowazunguka." + +# kuacha kuenenda katika amri zangu + +"Kuenenda ni mfano kwa njia mtu aishiyo. "kutokuishi kulingana na amri zangu" au "bila kuzitii amri zangu" + +# au tenda kulingana na maagizo yangu + +"au kutii maagizo yangu" + +# Tazama! + +"Tazama!" au "Sikia" au "Kuwa maini kwa kile nnachotaka kukwambia!" + +# nitatekeleza hukumu kati yako + +"nitakuhumu katika njia tofauti tofauti" au "nitakuadhibu" (UDB). + diff --git a/ezk/05/09.md b/ezk/05/09.md new file mode 100644 index 00000000..8519850a --- /dev/null +++ b/ezk/05/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na watu wa Israeli na Yerusalemu. + +# yale ambayo sijawahi kuyafanya na kile ambacho sintokifanya tena + +"kama sijawahi kufanya na sintafanya katika njia ile ile tena" au "kama sijawahi kufanya tena na sitafanya tena" (UDB). + +# Kwa sababu ya matendo yenu maovu + +"kwa sababu ya matendo yenu yote maovu muyafanyayo." Mungu alikuwa na hasira kwa sababu watu walikuwa wakiabudu sanamu na miungu ya uongo. + +# mababa watawala watoto wao kati yenu, na wana watawala baba zao + +Huenda Ezekieli anaeleza nini kitatokea hasa wakati watakapo kosa chakula. + +# nitatekeleza hukumu juu yako + +"nitakuhukumu" au "nitakuadhibu kwa ukali" (UDB) + +# na kuwatawanya kila upande wote walio ondoka + +"na nitawalazimisha wote walio ondoka kwenda sehemu tofauti tofauti." + diff --git a/ezk/05/11.md b/ezk/05/11.md new file mode 100644 index 00000000..c8be02e6 --- /dev/null +++ b/ezk/05/11.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na watu wa Israeli na Yuda. + +# ishi-huu ndio usemi wa Bwana Yahwe-hii + +Yahwe anajinenea yeye mwenyewe kana kwamba kulikuwa na mtu mwingine, au Ezekieli anawakumbusha wasomaji wake kwamba anamnukuu Yahwe. + +# kama niishivyo + +"kama niishivyo hakika." au "kama kweli iko hivyo ni hai, ni hakika pia kwamba" + +# Bwana Yahwe + +jina la Mungu + +# najisi ... patakatifu + +haribu mahali ambapo Yahwe alipokuwa ameweka karibu kuwa kwa matumizi yake pekee + +# kwa mambo ya yanayoumiza + +"kwa mambo yote yako yanayoumiza." "kwa sanamu zako zote, nizichukiazo" au "kwa sanamu zako zote za kuchukiza" (UDB) + +# na kwa matendo yako maovu + +"na kwa mambo yenu yote ya machkizo mliyoyafanya" + +# jicho langu halitakuwa na huruma juu yako + +Neno "jicho" ni mfano wa Yahwe. "sitakuwa na huruma juu yako" + +# sitokuharibu + +"nitakuadhibu hakika" + +# wataliwa kwa njaa kati yako + +"wengi wao watakufa kwa sababu ya njaa" + diff --git a/ezk/05/13.md b/ezk/05/13.md new file mode 100644 index 00000000..cd9bb228 --- /dev/null +++ b/ezk/05/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na watu wa Israeli na Yuda. + +# ghadhabu yangu itatimia + +"sitakuwa na hasira tena kwa sababu nimefanya kila kitu nilichotaka kukifanya kwa sababu nilikuwa na njaa" + +# nitaifanya ghadhabu yangu juu yao hata kulala + +Neno "ghadhabu" maana yake hasira kali sana, na hapa inarejelea kwa adhabu. "nitaacha kukuadhibu kwa sababu nimewaadhibu kwa uaminifu." + +# nitaridhika + +"nitaridhika kwamba nimewaadhibu mno" + +# wakati nitakapokamilisha ghadhabu yangu juu yao + +"wakati nitakapomaliza kuwaadhibu" + diff --git a/ezk/05/15.md b/ezk/05/15.md new file mode 100644 index 00000000..d6fea118 --- /dev/null +++ b/ezk/05/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na watu wa Israeli na Yuda. + +# katika hasira na ghadhabu + +Neno "hasira" na "ghadhabu" kimsingi yana maana moja na kusisitiza mkazo wa hasira. "kwa sababu nitakuwa na hasira nanyi mno." + +# mishale mikali + +"mkazo wa njaa" + +# vunja gongo lenu la mkate + +"Gongo" kilikuwa kitu ambacho watu waliegama juu ya kuwasaidia. Hili neno ni mfano maana yake "kuondoa kusambaza chakula ambacho ukitegemeach." "katilia chakula chenu" (UDB) + +# Pigo na damu vitapita juu yenu + +"Pigo na kifo kikali sana kitapita juu yenu." Hiki kifo kikali kitasababishwa na vita. + diff --git a/ezk/06/01.md b/ezk/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..f71416e4 --- /dev/null +++ b/ezk/06/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anamwambia Ezekieli kunena na milima kana kwamba walikuwa watu ili kwamba watu wa Israeli wangesikia maneno na kujua kwamba maneno ya Ezekieli yalikuwa kwa ajili yao. + +# Neno la Yahwe likanijia + +"Yahwe akanena nami." + +# Mwana wa adamu + +"Mwana wa mwanadamu" au "Mwana wa bianadamu." + +# weka uso wako juu ya milima ya Israeli + +"tazama milima ya Israeli kwa uso wa nguvu." + +# milima ya Israeli + +"milima ya Israeli katika nchi ya Israeli." + +# Tazama! + +"Tazama!" au "Sikiliza!" au "Kuwa makini kwa kile ninachotaka kukwambia!" + +# Bwana Yahwe + +Jina la Mungu + +# naleta upanga juu yako + +Neno "upanga" hapa linarejelea vita. "ninaleta vita juu yako." + diff --git a/ezk/06/04.md b/ezk/06/04.md new file mode 100644 index 00000000..bbdd887f --- /dev/null +++ b/ezk/06/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Haya ni maneno ya Yahwe kwa watu wa Israeli. + +# Kisha madhabahu zenu zitakuwa ukiwa na nguzo zenu zitaharibiwa + +"Hakutakuwa na yeyote wakuabudu madhabahu zenu na adui wataziharibu nguzo zenu" + +# nitwatupa chini ... nitailaza ... na kutawanya + +Yahwe alikuwa akinena juu ya kuwapeleka maaskari kuwatupa chini ... watalala ... na kutawanya." + +# maiti zenu + +"watu wenu waliokufa" + diff --git a/ezk/06/06.md b/ezk/06/06.md new file mode 100644 index 00000000..e82338a5 --- /dev/null +++ b/ezk/06/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Haya ni maneno ya Yahwe kwa watu wa Israeli. + +# miji itaharibiwa + +"Wanajeshi maadui wataiharibu miji yenu" + +# zitavunjwa + +"madhabahu zenu zitavunjwa" au "wanajeshi maadui watazivunja." + +# nguzo zenu zitaangushwa chini + +"wataziangusha nguzo zenu." + +# kazi zenu zitafutiliwa mbali + +"hakuna atakayekumbuka ulichokifanya" + +# Maiti zitaanguka chini kati yenu + +"Umuona adui akiwaua watu waengi" + +# jua kwamba mimi ndiye Yahwe + +Maana ziwezekanazo ni 1) "tambua mimi, Yahwe, ni nani" au 2) "tambua kwamba mimi ni Yahwe, Mungu wa kweli." + diff --git a/ezk/06/08.md b/ezk/06/08.md new file mode 100644 index 00000000..3f0105f7 --- /dev/null +++ b/ezk/06/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Haya ni maneno ya Yahwe kwa watu wa Israeli. + +# baadhi yao ambao walioukimbia upanga + +"baadhi yao waliouawa katika vita." Upanga unawakilisha kuuawa katika vita. + +# wakati mtakapo tawanyika miongoni mwa nchi tofauti tofauti + +"wakati mtakapoenda ishi katika nchi tofauti tofauti" + +# nitakavoyowaponda mioyo yao ya kikahaba ambayo imeniacha + +Yahwe anawazungumzia Waisraeli kana kwamba walikuwa mwanamke anayelala na watu wengi. "nilikuwa na huzuni kwa sababu walikuwa kama mke aliyeniacha na kulala na wanaume wengine" + +# na kwa macho yao ya kikahaba kufuata sanamu zao + +Yahwe anawazungumzia Waisraeli kana kwamba walimuoa mwanamke anayetafuta wanaume wengine na kutamani kulala nao. "na kwa njia waliyoitamani kwa nguvu kuabudu sanamu" + +# wataonyesha chuki kwenye nyuso zao kwa udhaifu walioufanya + +Maana zinazowezekana ni 1) "watajichukia wenyewe kwa sababu ya mambo yao maovu waliyoyafanya" au 2) "watayachukia mambo maovu waliyoyafanya." "Nyuso zao zitaonyesha chuki zao kwa uovu walioufanya." + diff --git a/ezk/06/11.md b/ezk/06/11.md new file mode 100644 index 00000000..80ea0e1a --- /dev/null +++ b/ezk/06/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli. + +# Bwana Yahwe + +Jina halisi la Mungu wa Kweli alilojifunua kwa wa Israeli. + +# Piga makofi na kanyaga kwa mguu wako + +Ezekieli alikuwa afanye hili tendo la ishara kupata umakini wa watu. Hii haikuwa makofi. + +# Ole + +Neno "Ole" limetumika kuelezea huzuni. + +# nyumba ya Israeli + +Neno "nyumba" ni mfano kwa ajili ya familia iishiyo katika nyumba, katika kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi. "kundi la watu wa Israeli" + +# Kwa kuwa wataanguka kwa upanga, njaa, na tauni. + +"Kwa kuwa watakufa kwa upanga, njaa, na tauni." "Upanga", "njaa", na "tauni" ni njia mbali mbali watakazokufa. Upanga "upanga" inawakilisha vita. + +# nitaikamilisha ghadhabu yangu juu yao + +"nitatosheleza hasira yangu juu yao" + diff --git a/ezk/06/13.md b/ezk/06/13.md new file mode 100644 index 00000000..0521d17d --- /dev/null +++ b/ezk/06/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Haya ni maneno ya Yahwe kwa watu wa Israeli. + +# jua kwamba mimi ndimi Yahwe + +Maana zinazowezekana ni 1) "tambua mimi ndiye, ambaye, Yahwe, au 2)"tambua kwamba mimi Yahwe, ndiye Mungu wa kweli" + +# kuzunguka madhabahu zao, kwa kila mlima mrefu + +Maana nyingine inayowezekana ni "kuzunguka madhabahu zao, ambazo zipo katika kila mlima mrefu" + +# mlima mrefu-juu ya vilele vya mlima, na chini ya mti wenye majani mabichi na mwaloni + +Maana nyingine zinazowezekana ni "mlima, juu ya vilele vya milima yote, chini ya mti uliostawi, na chini ya kila mwalo mkubwa." + +# kustawi + +yenye afya na inayokua + +# mwaloni + +mti mkubwa wenye mbao imara zinazo andaliwa kwa ajili ya kivuli cha kuabudia + +# Dibla + +Baadhi ya maandiko yanasema Ribla. Hili lilikuwa jina la mji katika kaskazini. + diff --git a/ezk/07/01.md b/ezk/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..5f0307c3 --- /dev/null +++ b/ezk/07/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hii inaanza na utabiri wa hukumu ya Yahwe juu ya Israeli. + +# Neno la Yahwe likanijia + +"Yahwe akanena nami." + +# Wewe, mwana wa adamu + +"Mwana wa adamu, nataka uwe makini kwa kile ninachoenda kukwambia" + +# Bwana Yahwe + +Hili jina la Mungu wa kweli alilojifunua katika taifa la Israeli. + +# kwa nchi ya Israeli + +"kwa watu wa Israeli". + +# Mwisho! + +"Mwisho umefika!" + +# mipaka minne ya nchi + +Hii inarejelea kwa nchi nzima ya Israeli. + diff --git a/ezk/07/03.md b/ezk/07/03.md new file mode 100644 index 00000000..29c7ccda --- /dev/null +++ b/ezk/07/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumala: + +Haya ni maneno ya Yahwe kwa watu wa Israeli + +# mwisho uko juu yako + +"uhai wako umeisha" au "mwisho wa mda wako umefika" + +# kutokana na njia zako + +"kulingana na mambo unayoyafanya" au "kwa sababu ya mambo maovu ufanyayo" + +# nitaleta machukizo yako yote juu yako + +"nitaufanya uzoefu wako matokeo ya tabia yako ya machikizo" au "nitakuadhibu kwa kufanya haya mambo ninayoyachukia sana" + +# machukizo + +Hii inarejelea kwa tabia ambayo Mungu aichukiayo. + +# Kwa kuwa macho yangu hayatakuhurumia + +"Kwa kuwa sitakutazama kwa huruma" + +# nitaleta njia zako juu yako + +"nitakufanya mzoefu wa matokeo ya tabia yako mbaya" au "nitakuadhibu kwa mambo mabaya uyafanyayo." + +# machukizo yako yatakuwa katikati yako + +"matokeo ya tabia yako ya chuki yatakuzunguka" au 2) "sanamu zako zitakuwa pamoja nawe na hazitakuwa na uwezo." + diff --git a/ezk/07/05.md b/ezk/07/05.md new file mode 100644 index 00000000..e9a38bdb --- /dev/null +++ b/ezk/07/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Haya ni maneno ya Yahwe kwa watu wa Israeli. + +# Bwana Yahwe + +Jina la Mungu linaloonyesha kwamba yeye ni Mungu wa uwezo wote. + +# Msiba! Msiba wa pekee! Tazama, unakuja. + +Hili tamko linamaanisha kufanya ujumbe imara sana. "Tazama, msiba wa kutisha unakuja, ambao hakuna ambaye amewahi kuupata." + +# Tazama + +Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kifuatacho. "Tazama" au "Sikiliza" au "Kuwa makini kuhusu ninachotaka kukwambia." + +# Mwisho umeinuka juu yako + +Hukumu inayokuja inachukuliwa kana kwamba alikuwa adui akiamka kutoka usingizini. + +# milima haitakuwa na shangwe tena + +"watu juu ya milima hawatakuwa na shangwe tena." + diff --git a/ezk/07/08.md b/ezk/07/08.md new file mode 100644 index 00000000..77a13936 --- /dev/null +++ b/ezk/07/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Haya ni maneno ya Yayhwe kwa watu wa Israeli. + +# Sasa hivi punde + +"Hivi punde baada ya mda mfupi sana" + +# nitamwaga ghadhabu yangu juu yako na kujaza hasira yangu juu yako + +Yahwe anatumia haya maneno "mwaga" na "kujaza" kulinganisha utendaji wake na kumwaga maji na kujaza chupa. Haya maneno mawili kimsingi yana maanisha kitu kimoja na kusisitiza ukali wa adhabu ya Yahwe. "nitakiuadhibu vikali kwa sababu ninahasira sana.." + +# ghadhabu + +"hasira" au "hasira kubwa" + +# Kwa kuwa jicho langu halitatazama kwa huruma + +Neno "jicho langu" linamaanisha Mungu mwenyewe. "Kwa kuwa sitatazama kwa huruma" + +# sitakuharibu + +"sitakuacha bila adhabu" au "nitakuadhibu" + +# machukizo yako yatakuwa katikati yako hivyo utajua kwamba ni mimi Yahwe + +"nitaufanya uzoefu wako matokeo ya tabia yako ya machikizo" au "nitakuadhibu kwa kufanya haya mambo ninayoyachukia sana" + diff --git a/ezk/07/10.md b/ezk/07/10.md new file mode 100644 index 00000000..87efd8bf --- /dev/null +++ b/ezk/07/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Israeli. + +# Tazama! + +"Tazama!" ai "Sikiliza" au "Kuwa makini kwa kile ninachotaka kukwambai!" + +# Siku inakuja + +"Siku ya hukumu yako inakuja." + +# Kifo kimetoweka + +Hii inaonyesha kwamba yamkini hicho kifo kitakuja kwa Israeli. "Kifo kimeanza kuja kwa Israeli" au "Mambo ya kuogofya yameanza kutokea." + +# Gongo limechipua kwa maua mengi ya kiburi + +"Ua limeanza kukua juu ya fimbo na umekua pamoja na kiburi." Hapa neno gongo linawakilisha pengine Israeli au udhalimu. Maana zinazowezekana 1) "Watu wa Israeli wamekuwa na kuburi sana" au "Watu wa Israeli wamekuwa na wadhalimu na kiburi sana." + +# Udhalimu umekuwa kwenye gongo la uovu + +"Udhalimu wa watu umewapeleka kufanya mambo maovu zaidi" + diff --git a/ezk/07/12.md b/ezk/07/12.md new file mode 100644 index 00000000..9256c307 --- /dev/null +++ b/ezk/07/12.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Israeli. + +# Wakati unakuja; siku imekaribia + +Yote "mda" na "siku" zinarejelea kwenye muda wakati Mungu atakapo waadhibu watu wa Israeli. "adhabu ya Israeli itakuwa hivi punde sana" + +# maono yako juu yako kikundi kizima + +"kile Mungu alichoonyesha kitatokea kwenye kundi" + +# kundi + +kundi la watu wengi sana. Hapa inarelea kwa watu wa Israeli. + +# kadiri wanapoendelea kuishi + +Neno "wao" linarejelea kwa watu wa Israeli wauzao vitu. + +# Hatarudi + +"hawatarudi Israeli." + +# hakuna mtu anayeishi kwenye dhambi atakayejitia uwezo + +Neno "uwezo" linamrejea msaada wa Mungu anamsaidia mtu kuendelea kwenda wakati mambo ni magumu kupitia tumaini, faraja na nguvu ya mwili. "hakuna aliye hai anayeendelea kumuasi Mungu atakayesaidiwa na Mungu." + diff --git a/ezk/07/14.md b/ezk/07/14.md new file mode 100644 index 00000000..27b059c7 --- /dev/null +++ b/ezk/07/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Israeli. + +# Wamepiga tarumbeta + +"Wamepiga tarumbeta kuwaita watu kupigana juu ya adui. + +# Upanga uko nje + +Upaga unawakilisha mapambano au vita. "Kuna mapigano nje." + +# pigo la njaa lipo ndani ya jengo + +Kimsing jungo hurejea kwenye mji + +# wakati njaa na tauni zitakapowala wale waliopo kwenye mji + +Hapa neno "kula" linamaanisha "haribu kabisa." "na watu wengi katika mji watakufa kutokana na njaa na ugonjwa." + +# Kama hua wa mabondeni, wote watalia + +Hua hufanya kambi chini kunusa hiyo milio kama mlio mtu afanyayo wakati akiwa katika maumivu ya kawaida au maumivu ya ndani. + diff --git a/ezk/07/17.md b/ezk/07/17.md new file mode 100644 index 00000000..44baf8d9 --- /dev/null +++ b/ezk/07/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Israeli. + +# na hofu kuu itawafunika + +"watajawa na hofu" au "na watakuwa na wasi wasi sana" + +# katika siku ya ghadhabu ya Yahwe + +"katika siku wakati Yahwe atakapotenda juu ya hasira yake" au "wakati Yahwe atakapowaadhibu" + +# hawatashibishwa njaa yao + +"hawatakuwa na chakula cha kula" + +# uovu wao umekuwa kizuizi + +Maana ziwezekanazo 1) "kwa sababu kumiliki dhahabu nyingi na fedha zimewapelekea kuasi" (UDB) au 2) "kwa sababu ni waovu, wanafanya dhambi hiyo inaonyesha jinsi walivyo waovu." + diff --git a/ezk/07/20.md b/ezk/07/20.md new file mode 100644 index 00000000..31b0ce5d --- /dev/null +++ b/ezk/07/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Israeli. + +# nitawapatia hivyo vitu kwenye mikono ya wageni + +Neno "mkono" umetumika unarejelea mamlaka. "nitazitoa hizo sanamu kwenye mamlaka ya watu wasio wajua" au "nitazitoa hizo sanamu kwa watu wasio wajua" + +# mateka + +viyu vilivyopotea au kuchukuliwa kwa nguvu + +# watawanajisi + +Wageni na watu waovu watazinajisi sanamu ambazo watu wa Israeli walizo zitengeneza. + +# nitaurudisha uso wangu mbali + +"sitakuwa makini" au "sitatazama" + +# mahali pangu pa siri + +"mahali nipapendapo" Hii inarejelea kwa hekalu la Mungu. + diff --git a/ezk/07/23.md b/ezk/07/23.md new file mode 100644 index 00000000..c32604be --- /dev/null +++ b/ezk/07/23.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Haya ni maneno ya Yahwe kwa Ezekieli kuhusu Israeli. + +# Tengeneza mnyororo + +Minyororo hutumika kushikilia watumwa au wafungwa. Mungu anasema hivi kuonyesha watu ambao watakuwa watumwa au wafungwa. + +# nchi imejawa na hukumu ya damu + +"kila sehemu katika nchi Mungu anawahukumu watu kwa sababu wamewaua watu wengine vikali sana." + +# mji umejaa udhalimu + +"Udhalimu u kila mahali katika mji" au "watu wengi katika mji wanafanya mambo maovu kwa wengine" + +# na watamiliki nyumba zao + +"waovu watazichukua nyumba za Israeli" + +# nitaleta mwisho kwenye fahari ya uweza + +nitawafanya watu wenye nguvu katika Israeli kuacha kujiona fahari" + +# mahali pao patakatifu patanajisiwa! + +Maadui watapanajisi mahali mnapo abudia." + +# mahali pao patakatifu + +mahali ambapo walipoabudia sanamu. + +# Hofu itakuja + +"Watu watakuwa na hofu" + +# Wataitafuta amani + +"Watatumaini tumaini kwa ajili ya amani" au "Watajaribu kufanya amani pamoja na maadui zao" + diff --git a/ezk/07/26.md b/ezk/07/26.md new file mode 100644 index 00000000..c141766d --- /dev/null +++ b/ezk/07/26.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Israeli. + +# watatafuta maono kutoka kwa nabii + +"watawauliza manabii ni maono gani waliyoyaona." + +# sheria itawaangamiza kutoka kwa kuhani na shauri kutoka kwa wazee + +"Hawa makuhani hawatafundisha sheria na wazee hawataweza kutoa ushauri mzuri." Hii ni kwa sababu Mungu hawapatia hekima. + +# mwan mfalme + +Maanza zinazo wezekana 1) "mwana wa mfalme" (UDB) au 2) kila mwanmume wa familia ya kifalme isipokuwa mfalme. + +# atakata tamaa + +Maana zinazo wezekana 1) "hatakuwa na tumaini" au 2) "atavaa mavazi ambayo yataonyesha anaomboleza." + +# mikono ya watu wa nchi itatetemeka kwa hofu + +"watu wa nchi watakuwa na hodu kubwa kwamba mikono yao itatetemeka" + +# jua kwamba mimi ni Yahwe + +"jua kwamba mimi, Yahwe, ndimi" + diff --git a/ezk/08/01.md b/ezk/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..dc9bdda6 --- /dev/null +++ b/ezk/08/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ezekieli anaeleza kuhusu ono jingine aliloliona. + +# Hivyo ikawa + +Hili neno limetumika hapa kuonyesha mwanzo wa mwanzo wa sehemu ya hadithi. + +# katika mwaka wa sita + +"katika mwaka wa sita wa uhamisho wa Mfalme Yehoyakini" + +# mwezi wa sita, katika siku ya tano ya mwezi + +"siku ya sita ya mwezi." Huu ni mwezi wa sita wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya tano inakaribia mwezi wa tisa katika kalenda za Magharibi. + +# mkono wa Bwana Yahwe ukanguka tena juu yangu + +baaaye Ezekieli alipoona kitu kama mkono. Wengine wanaweza kuchagua kufikiria mkono sitiari kwa ajili ya uwepo wa Yahwe au uweza. (UDB) + +# Bwana Yahwe + +Jina la Mungu aliye hai. + +# anguka juu + +"shikilia" + +# mng'ao wa chuma + +Wakati ikiwa yamoto sana, hung'aa kwa njano au mwanga wa chungwa. + diff --git a/ezk/08/03.md b/ezk/08/03.md new file mode 100644 index 00000000..5a1b395e --- /dev/null +++ b/ezk/08/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ezekieli anaendelea kueleza kuhusu maono kutoka kwa Mungu. + +# akanyoosha + +Neno "yeye" huenda linarejelea kwa "picha kama mtu" + +# kati ya mbungu na nchi + +"kati ya anga na ardhi" + +# katika maono kutoka kwa Mungu, akanileta hata Yerusalemu + +Neno "katika maono" inamaana kwamba huu uzoefu unatokea katika mawazo ya Ezekieli. Angeendelea kubakia nyumbani kwake wakati Mungu anapomwonyesha haya mambo. + +# lango la ndani la kaskazini + +"lango la ndani la kaskazini mwa hekalu" + +# sanamu ile iletayo wivu mkubwa + +"sanamu yule aletaye wivu mkubwa" au "yule sanamu anayemsababisha Mungu kuwa na wivu" + +# ambaye mwonekano wake ulikuwa ule ule nilipoona katika uwanda + +"aliyeonekana sawa kama yule niliyemuona katika uwanda" + +# uwanda + +eneo kubwa la nchi ya tambarare ambalo lina miti michache. + diff --git a/ezk/08/05.md b/ezk/08/05.md new file mode 100644 index 00000000..f67c7643 --- /dev/null +++ b/ezk/08/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +"Picha kama ya mtu" (8:1) inanena na Ezekieli. + +# Mwanadamu + +"Mwana wa mwanadamu" au "mwana wa binadamu." + +# inua macho yako juu + +"tazma" au "geuza kichwa chako na tazama" + +# lango linaloelekea kwenye madhabahu + +"lango kupitia watu wanaotembea hivyo wanaweza kwenda kwenye madhabahu" + +# unaona kile wanachokifanya? + +Mungu anatumia hili swali kuvuta usikivu wa Ezekieli kwa kile watu walichokuwa wakikifanya. "nataka kufahamu kwa nini nachukia kile watu wanachokifanya hapa." + +# nyumba ya Israeli + +Neno "nyumba" ni badala ya familia inayoishi katika nyumba, katika kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi. + diff --git a/ezk/08/07.md b/ezk/08/07.md new file mode 100644 index 00000000..1da3d36e --- /dev/null +++ b/ezk/08/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# ua + +"ua wa hekalu" + diff --git a/ezk/08/10.md b/ezk/08/10.md new file mode 100644 index 00000000..f7579ee1 --- /dev/null +++ b/ezk/08/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Tazama! + +Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba Ezekieli alishangazwa kwa kile alichokiona. + +# Kulikuwa na kila umbo la vitu vikitembea + +"vitu vilivyo chongwa katika ukuta wa kila aina ya wanyama watambaao na wanyama wa karaha." Neno kitu kitambaacho" linarejea wadudu na wanyama wengine wadogo. + +# nyumba ya Israeli + +Neno "nyumba" linasimama badala ya familia inaishi katika nyumba, katika kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi. + +# Yaazania mwana wa Shafani + +hili ni jina la kiume + +# chetezo + +sufuria ambayo watu hutumia kwa kuchomea ubani ndani wakati wakimwabudu Mungu au miungu ya uongo + diff --git a/ezk/08/12.md b/ezk/08/12.md new file mode 100644 index 00000000..48ee59ce --- /dev/null +++ b/ezk/08/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# unaona kile ambacho wazee wa nyumba ya Israeli wanachokifanya kwenye giza + +Mungu aliuliza hili swali hivyo Ezekieli angeona kile ambacho Mungu alichokuwa akimwambia kutazama. + +# nyumba ya Israeli + +Neno "nyumba" ni mfano kwa ajili ya familia inayoishi katika nyumba, katika kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi. + +# humba kilichojificha cha sanamu yake + +"hapa chumba ambacho hakuna anayeweza kumuona akiabudu sanamu wake" + diff --git a/ezk/08/14.md b/ezk/08/14.md new file mode 100644 index 00000000..47d3b42d --- /dev/null +++ b/ezk/08/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# lango la kuingia la nyumba ya Yahwe lililokuwa upande waa kaskazini + +Hili lilikuwa lango la nje kaskazini sio kama lili la katika 8:3 + +# tazama! + +Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba Ezekieli alishangazwa kwa kile alichokiona. + +# wakimlilia Tamuzi + +"kuhuzunika kwa sababu kwa sababu mungu wa uongo Tamuzi alikuwa amekufa. + diff --git a/ezk/08/16.md b/ezk/08/16.md new file mode 100644 index 00000000..4119e5ed --- /dev/null +++ b/ezk/08/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# tazama! + +Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba Ezekieli alishangazwa kwa kile alichokiona. + +# varanda yenye matao na nguzo + +vinyago mbele ya lango la kuingia pamoja na safu au mihimili kwa ajili ya kusaidia + +# na ntuso zao kuelekea mashariki + +"na walikuwa wakitazama kuelekea mashariki" + diff --git a/ezk/08/17.md b/ezk/08/17.md new file mode 100644 index 00000000..b0996d2f --- /dev/null +++ b/ezk/08/17.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Je ni kitu kidigo kwa ajili ya nyumba ya Yuda kufanya haya machukizo wanayoyafanya hapa + +Mungu anatumia hili swali kuonyesha hasira yake ambayo watu wa Yuda hawafikirii kwamba kuabudu sanamu ni kitu kibaya sana. + +# nyumba ya Yuda + +Neno "nyumba" ni mfano kwa ajili ya familia iishiyo katika nyumba, katika kesi hii uzao wa Yuda zaidi ya miaka mingi. + +# wameijaza nchi kwa udhalimu + +"nchi yote wanafanya mambo ya udhalimu au "nchi yote wanashambuliana kila mmoja" + +# kunichochea hasira + +"kunikasirisha" + +# kuweka tawi kwenye pua zao + +Hii inaweza kumaanisha "kushikilia matawi kwenye pua zao katika ibaada ya uongo." + +# sitaacha kuwaharibu + +"bado nitawaadhibu." + +# hata watalia kwenye masikio yangu kwa sauti kubwa + +"Hata watapiga yowe kwangu kwenye maombi yao kwa sauti kubwa" + +# sitawasikia + +"sitawasikiliza" + diff --git a/ezk/09/01.md b/ezk/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..85d28888 --- /dev/null +++ b/ezk/09/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ezekieli anaendelea kueleza kuhusu maono aliyopewa na Mungu. + +# akalia katika masikio yangu + +"nilimsikia akiniita kwa sauti" + +# walinzi + +watu ambao hulinda kitu. + +# silaha ya uharibifu + +silaha kwa ajili ya kuharibu watu auvitu + +# silaha ya kuchinja + +silaha kwa ajili ya kuchinja watu wengi + +# tazama! + +Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kinachofuata. + +# nguo ya kitani + +imara, nguo laini iliyo tengenezwa kutokana na mmea. ilivaliwa na watu sehemu ambazo ni moto. + +# kifaa cha uandishi + +vifaa ambavyo waandishi hutumua kuandikia + +# shaba + +chuma kilichopakwa rangi ya dhahabu nyeusi. Imetengezwa na shaba nyekundu sana pamoja kuongezwa chuma kwa uimara. + diff --git a/ezk/09/03.md b/ezk/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..d0637d2c --- /dev/null +++ b/ezk/09/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kutoka kwa kerubi ambapo ilikuwa + +"kutoka juu ya mabawa manne ya viumbe" + +# kisingiti cha nyumba + +"Nyumba" inarejea kwa hekalu la Mungu. + +# kitani + +imara, nguo laini iliyo tengenezwa kutokana na mmea. ilivaliwa na watu sehemu ambazo ni moto. + +# kifaa cha uandishi + +vifaa ambavyo waandishi hutumua kuandikia + +# waliolemewa na kushusha/kuvuta pumzi + +Hizi ni sauti ambazo watu hufanya wakati wanapojisikia huzuni sana au kusikitishwa kuhusu jambo + +# machukizo yanafanyika kati ya mji + +"mambo ya kutisha yamekuwa yakifanyika katika mji" + diff --git a/ezk/09/05.md b/ezk/09/05.md new file mode 100644 index 00000000..c91e0ea0 --- /dev/null +++ b/ezk/09/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# akaongea na wengine kupitia kusikia + +Neno "wengine" linarejea kwa walinzi. + +# Msiache macho yenu yawe na huruma + +"Msiwe na huruma juu ya watu mnaowaona. + +# msiogope + +"msiepuke kuuawa" + +# alama juu ya kichwa chake + +Hawa walikuwa watu waliogugumia kuhusu machukizo yanayotokea katika Yerusalemu. + +# Anzeni katika patakatifu pangu + +"Kuanza kuwaua wale ambao hawana alama katika patakatifu pangu" + +# wazee + +Maana zinazowezekana 1) "wazee sabini wa nyumba ya Israeli" 2) "mzee yeyote" + diff --git a/ezk/09/07.md b/ezk/09/07.md new file mode 100644 index 00000000..9b053989 --- /dev/null +++ b/ezk/09/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mungu anaendelea kunena na walinzi kuwahukumu watu wa Israeli. + +# kuushambulia mji + +"kuwashambulia watu katika mji" + +# nikaangukia kwenye uso wangu + +"nisujudu chini kwenye nchi" au "nikalala kwenye aridhi." Ezekieli hakuanguka kwa ajali. Alienda chini haya kwenye aridhi kuonyesha kwamba alimuheshimu na kumuogopa Yahwe. + +# Ee, Bwana Yahwe + +Ezekieli alisema hivi kwa sababu anataabika sana kwa kile Bwana alichowaambia watu kuifanya Yerusalemu. + +# je, utayaharibu mabaki yote ya Israeli wakati wa kumwaga ghadhabu yao juu ya Yerusalemu? + +"je itawaharibu mabaki yote ya Israeli kwa kumwaga gadhabu yako juu ya Yerusalemu?" Ezekieli anajitetea kwa Yahwe asiwaharibu mabaki. + diff --git a/ezk/09/09.md b/ezk/09/09.md new file mode 100644 index 00000000..4f2d9a94 --- /dev/null +++ b/ezk/09/09.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# nyumba ya Israeli + +Neno "nyumba" ni mfano kwa ajili ya familia iishoyo katika nyumba, katika kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi. + +# unaongezeka sana + +"kubwa sana" + +# Nchi imejaa damu + +"nchi imejaa udhalimu" au "Nchi yote watu wanawaua watu" + +# mji umejaa upotovu + +"mji umejaa watu wanaofanya mambo ya upotovu." + +# jicho langu halitatazama kwa huruma + +"sitawatazama kwa huruma" + +# nitaileta juu ya vichwa vyao + +"leta madhara ya waliyoyafanya juu ya vichwa vyao." Inamaana "nitawalipa kwa kile walichokifanya" + +# tazama! + +Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kinachofuata. + +# nguo ya kitani + +imara, nguo laini iliyo tengenezwa kutokana na mmea. ilivaliwa na watu sehemu ambazo ni moto. + +# Alitoa taarifa na kusema + +"Alitoa taarifa kwa Yahwe na kumwambia" + diff --git a/ezk/10/01.md b/ezk/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..153ea876 --- /dev/null +++ b/ezk/10/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ezekieli anaendelea kueleza kuhusu ono lililoelezwa katika 8:1. + +# kueleka kuba + +"kuelekea paa iliyofunikwa" + +# kerubi + +mnyama mwenye mabawa manne + +# kama rangi ya samawati + +Rangi ya samawati ni jiwe la thamani lenye rangi ya blii au kijani. + +# mwonekano wake ulikuwa kama kiti cha enzi + +"inayofanana kama kiti cha enzi" + +# mtu aliyevaa nguo ya kitani + +imara, nguo laini iliyo tengenezwa kutokana na mmea. ilivaliwa na watu sehemu ambazo ni moto. + +# Nenda kati ya magurudumu + +Tanzama katika sura ya 1:15. + +# vipande vya mbao vilivyoungua + +Hivi ni vipande vya mbao vilivyobaki baada ya moto. Ni vyeusi, vinang'aa rangi nyekundu na chungwa wanapokuwa vyamoto sana. + +# watawanye juu ya nchi + +"wanyunyize juu ya mji" au "watawanye juu ya mji" + diff --git a/ezk/10/03.md b/ezk/10/03.md new file mode 100644 index 00000000..7d57dbee --- /dev/null +++ b/ezk/10/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kerubi + +Tazama ilivyotafsiriwa katika 10:3. + +# upande kuume + +inayoelekea mashariki, "upande wa kulia" inaelekea kusini. + +# utukufu wa Yahwe + +Tazama ilivyotafsiriwa katika 1:27. + +# ukauijaza nyumba + +Neno "uka" inarejea kwa utukufu wa Mungu. + diff --git a/ezk/10/06.md b/ezk/10/06.md new file mode 100644 index 00000000..fdf7276e --- /dev/null +++ b/ezk/10/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ikawa kuhusu + +Hili neno limetumika hapa kuonyesha tendo linaanzia wapi. + +# Mungu alipoamwamuru yule mtu aliyekuwa amevaa nguo za kitani na kusema + +Hii inarejea habari iliyokuwa imetolewa katikka 10:1. Baada ya kuchukua kerubi na utukufu wa Mungu katika 10:3-5, Ezekieli anarudi kueleza kuhusu yule mtu aliyekuwa amevalia nguo ya kitani. + +# yule mtu aliyevalia nguo ya kitani + +Tazama maana ya nguo ya kitani ilivyotafsiriwa katika 9:1. + +# pembeni ya gurudumu + +Tazama neno gurudumu lilivyotafsiriwa katika 1:15. + +# Nikaona juu ya kerubi kitu kama mkono wa mtu juu ya mabawa yao + +"nikaona yule kerubi alikuwa na kitu kama mkono wa mtu chini ya mabawa yao" + diff --git a/ezk/10/09.md b/ezk/10/09.md new file mode 100644 index 00000000..f689a11c --- /dev/null +++ b/ezk/10/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# tazama! + +Neno "tazama" linaonyesha kwamba Ezekieli alishangazwa kwa kile alichokiona. + +# magurudumu + +Tazama ilivyotafsiriwa katika 1:15. + +# kerubi + +mnyama mwenye mabawa manne + +# kama jiwe la zabarajadi + +"Zabarajadi" ni ngumu sana, jiwe la thamani. Hii zabarajadi ilikuwa ni kama kijani au bluu. Zumaridi ni kijani aina ya zabarajadi na zumaridi ina aina ya bluu ya zabarajadi. + +# gurudumu linalokingamana na gurudumu jingine + +Neno "kingamana" linamaanisha "kukingama" au "kukutana" au "kugusana." + +# popote kichwa kilipoelekea + +"popote kerubi lilipoelekea" au "popote kerubi lilipoelekea" + +# kichwa + +Hii inarejea kwa kichwa cha kerubi lolote. + diff --git a/ezk/10/12.md b/ezk/10/12.md new file mode 100644 index 00000000..abdffd25 --- /dev/null +++ b/ezk/10/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mwili wao wote + +"Miili yote ya kerubi" + +# magurudumu + +Tazama jinsi ilivyotafsiriwa katika 1:15. + +# magurudumu yalikuwa yakiitwa "kuzunguka." + +Neno "kuzunguka." Hapa ni neno la magurudumu. "mtu mmoja aliitwa magurudumu, "kuzunguka'" + +# Walikuwa na sura nne kila mmoja + +"Kila kerubi alikuwa na sura nne" "Kila kiumbe kilikuwa na sura mbele, sura upande wa nyuma, na sura kila upande wa kichwa chake, na sura katika kila upande wa kichwa. + +# Kerubi + +mnyama mwenye mabawa manne + diff --git a/ezk/10/15.md b/ezk/10/15.md new file mode 100644 index 00000000..fba56b6f --- /dev/null +++ b/ezk/10/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kerubi + +mnyama mwenye mabawa manne + +# kiumbe hai + +hawa viumbe hai walikuwa na mwonekano wa radi. + +# Keberi Kanali + +Huu ni mto ambao watu katika Kaldayo walichimba kwa ajili ya kumwagilia bustani zao. + +# kuinuka + +"kwenda juu kwenye anga" + +# Yaliendelea kuwa karibu nao + +"Magurudumu yakuwa pamoja na kerubi." "Magurudumu yalihama pamoja na kerubi." + +# pia yalisimama + +"pia yalisimama" au "hayakuhama" + +# roho wa vile viumbe hai walikuwa kwenye magurudumu + +"roho wa viumbe hai aliongoza magurudumu" + diff --git a/ezk/10/18.md b/ezk/10/18.md new file mode 100644 index 00000000..6ba1a8b5 --- /dev/null +++ b/ezk/10/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# utkufu wa Yahwe + +Tazama ilivotafsiriwa katika 1:17. + +# nyumba + +Inarejea kwa hekalu la Mungu. + +# "kusimama" + +"baki" + +# simama + +Hapa neno "simama" linamaanisha "kusimama" au "kusubiri." + +# ukaja juu yao kutoka juu + +"kwenda juu ya kerubi" + diff --git a/ezk/10/20.md b/ezk/10/20.md new file mode 100644 index 00000000..4fcc9051 --- /dev/null +++ b/ezk/10/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# viumbe hai + +Tazama ilivyotafsiriwa katika 1:13. + +# Keberi Kanali + +Huu ni mto ambao watu katika Kaldayo walichimba kwa ajili ya kumwagilia bustani zao. + +# alienda mbele + +"elekea mbele" au "alitazama kuelekea mbele" + diff --git a/ezk/11/01.md b/ezk/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..260bf57d --- /dev/null +++ b/ezk/11/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ezekieli anaendelea kueleza kuhusu ono aliloeleza katika 8:1. + +# kuelekea mashariki + +"inayoelekea mashariki." "Lango la mashariki" iliyoelekea mashariki. + +# tazama + +Neno "tazama" hapa linatutahadharisha kuwa makini kwa habari za kushangaza kwa kinachofuata. + +# Nyumba ya Yahwe + +sehemu ya hekalu + +# miongoni mwao + +"miongoni mwa watu ishirini na tano" + diff --git a/ezk/11/02.md b/ezk/11/02.md new file mode 100644 index 00000000..de463430 --- /dev/null +++ b/ezk/11/02.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ezekieli anaendelea kueleza kuhusu maono. + +# Mwanadamu + +"Mwana wa binadamu" Mungu anamuita Ezekieli hivi kusisitiza kwamba Ezekieli ni binadamu tu. Mungu ana uweza na anaishi milele, lakini si watu. + +# huu mji ni sufuria, na sisi ni nyama + +Watu wanajizungumzia wenyewe kana kwamba walikuwa wakataji wa nyama wazuri na mji kana kwamba ulikuwa sufuria ambalo lilihifadhi nyama. + +# sufuria + +sufuria kwa ajili ya kutunzia nyama au sufuria ya kupikia nyama. + diff --git a/ezk/11/05.md b/ezk/11/05.md new file mode 100644 index 00000000..c1b5790e --- /dev/null +++ b/ezk/11/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na nabii Ezekieli. + +# Roho wa Yahwe akanijaza + +Ezekieli anamzungumzia Roho wa Yahwe kutia moyo na kumtia nguvu kutabiri kana kwamba Roho wa Yahwe amejaa juu yake. + +# nyumba ya Israeli + +Neno "nyumba" ni mfano kwa ajili ya familia, katika kesi hii Waisraeli ambao ni uzao wa Yakobo. + +# kama unavyosema + +"Unanena haya mambo." Hii inarejea kwa kile watu walichokuwa wakikisema katika 11:2. + +# watu mliowaua ... ni nyama, na huu mji ni sufuria + +Yahwe anawazungumzia watu waliouawa kana kwamba walikuwa wakata nyama wazuri na mji kana kwamba ilikuwa sufuria ambayo nyama ilikuwa imehifadhiwa au kupikwa. + +# Lakini mnaenda kutolewa nje kutoka + +"Lakini ninakwenda kuwatoa nje" + diff --git a/ezk/11/08.md b/ezk/11/08.md new file mode 100644 index 00000000..f60d6cf0 --- /dev/null +++ b/ezk/11/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Israeli. + +# Mmeuogopa upanga, kwa hiyo nauleta huo upanga juu yenu + +Neno "upanga" linasimama badala ya adui maadui ambao watashambulia kwa upanga wao. + +# kuwaweka kwenye mikono ya wageni + +Hapa neno "mikono" hapa linawakilisha nguvu au utawala. "nitawawezesha wageni kuwachukua" + +# Mtaanguka kwa upanga + +Neno "upanga" linasimama badala ya adui maadui ambao watawashambulia kwa upanga zao. "Kuanguka kwa upanga" inamaana kwamba watauawa kwa upanga. + +# mtajua yakwamba mimi ni Yahwe + +"mtaelewa kwamba mimi ni Yahwe. + diff --git a/ezk/11/11.md b/ezk/11/11.md new file mode 100644 index 00000000..9c016aa0 --- /dev/null +++ b/ezk/11/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Israeli. + +# Huu mji hautakua sufuria yenu ya kupikia, wala hamtakuwa nyama ndani yake + +Watu wanajizungumzia wenyewe kana kwamba walikuwa wakataji wa nyama wazuri na mji kana kwamba ulikuwa sufuria ambalo lilihifadhi nyama. + +# kati ya mipaka + +Hii inaonyesha matumizi ya mipaka kuwakilisha Israeli. + +# mipaka + +ukingo wa nje ya nchi au eneo + +# mtajua ya kwamba mimi ni Yahwe + +Tazama katika 6:6 + diff --git a/ezk/11/13.md b/ezk/11/13.md new file mode 100644 index 00000000..5984c8f9 --- /dev/null +++ b/ezk/11/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ikawa kwamba + +Hili neno limetumika hapa kuonyesha tukio la muhimu katika hadithi. + +# Pelatia mwana wa Benaya + +Alikuwa mmoja wa viongozi waovu wa Israeli aliyetajwa katika 11:1. + +# ukanijaza kwenye uso wangu + +Tazama tafsiri yake katika 1:27. + +# Ee + +Ezekieli anasema hivi kuonyesha hofu yake kuhusu nini kitatokea kwa watu waliosalia huko. + diff --git a/ezk/11/14.md b/ezk/11/14.md new file mode 100644 index 00000000..db9209de --- /dev/null +++ b/ezk/11/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Neno la Yahwe likaja + +"Yahwe alinena neno lake." + +# ndugu zako! Ndugu zako! + +Hii imetajwa mara mbili kwa msisitizo. + +# nyumba ya Israeli + +Tazama ilivyo tafsiriwa katika 3:1. + +# Wote hao ndio hao ambao inasemekana wale wanaoishi Yerusalemu + +"Watu wanaoishi Yerusalemu wansema kuhusu wote" + +# Wote hao ndio hao ambao inasemekana + +Baadhi ya matoleo ya kisasa yana "Wote ni wale ambao ilisema." + diff --git a/ezk/11/16.md b/ezk/11/16.md new file mode 100644 index 00000000..c15c5635 --- /dev/null +++ b/ezk/11/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anampatia Ezekieli ujumbe wake kwa Israeli kuhusu wale waliotawanyika. + +# nimekuwa mtakatifu kwa ajili yao + +"nimekuwa pamoja nao kuwalinda." + +# nchi ambazo walizoend + +"mataifa ambayo waliyochukuliwa" + +# Nitawakusanya kutoka kwa watu, na kuwakutanisha kutoka kwenye nchi + +Yahwe amesema hii ahadi mara mbili katika njia tofauti tofauti kwa ajili ya kuonyesha kwamba ni muhimu. + +# chukizo + +"ya kutisha," au "ya kuchukiza" + diff --git a/ezk/11/19.md b/ezk/11/19.md new file mode 100644 index 00000000..a244cc0f --- /dev/null +++ b/ezk/11/19.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mungu anaendelea na unabii wa kile kitakachotokea kwa Wasraeli waliotawanyika. + +# oyo wa jiwe kutoka kwenye miili yao + +Hii ni njia ya kusema kwamba Mungu atabadilisha mwonekano wao kutoka ukaidi wa uasi. "ukaidi wao" + +# moyo wa nyama + +Hii ni njia ya kusema kwamba Mungu atabadilisha mwonekano wao kukubali kanuni yake. "utayari wa kutii" + +# watatembea kwenye amri zangu, watayachukua maagizo yangu na kuyatenda + +Kila moja ya haya maneno inaelezea watu kama kutii kile Yahwe alichowaamuru kufanya. + +# tabia ya kujifanya + +"moyo wa ibaada" + +# mambo maovu + +"mambo ya karaha" au "mambo ya machukizo" + +# mwenendo + +"matendo" + +# juu ya vichwa vyao wenyewe + +"rudi juu ya wale watu." + +# tamko + +"kauli" + diff --git a/ezk/11/22.md b/ezk/11/22.md new file mode 100644 index 00000000..0848329c --- /dev/null +++ b/ezk/11/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yule kerubi wa Sura ya 10 akaondoka kwenye hekalu na karibu na utukufu wa Mungu. + +# magurudumu yaliyokuwa karibu nao + +Tazama tafsiri yake katika 1:15. + diff --git a/ezk/11/24.md b/ezk/11/24.md new file mode 100644 index 00000000..d7a6565c --- /dev/null +++ b/ezk/11/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# uhamisho + +"uhamisho" inarejelea kwa Waisraeli walilazimisha kuishi katika Kaldea. + diff --git a/ezk/12/01.md b/ezk/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..38d415c9 --- /dev/null +++ b/ezk/12/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Neno la Yahwe likanijia + +"Yahwe akanena neno lake." + +# wana macho ya kuona lakini hawaoni; na wana masikio ya kusikia lakini hawasikii + +Haya maneno yote yanatumia pengine macho au masikio kurejea kwa uwezo wa watu kujifunza. + diff --git a/ezk/12/03.md b/ezk/12/03.md new file mode 100644 index 00000000..c52aba5c --- /dev/null +++ b/ezk/12/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ezekieli anatekeleza fumbo jingine. + +# Kwa hiyo wew + +"Hivyo hii ni kwa ajili yako" + +# Labda wataanza kuona, kuwa wao ni nyumba ya uasi + +"Pengine wataanza kuelewa kile unacho kieleza" Neno "ona" limetumika kurejea uwezo wa Wayahudi kuelewa. + diff --git a/ezk/12/04.md b/ezk/12/04.md new file mode 100644 index 00000000..69c675a9 --- /dev/null +++ b/ezk/12/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mungu ananena na Ezekieli kueleza jinsi atakavyotenda lile fumbo. + +# katika uso wao + +Neno "wao" inarejea kwa watu wa Israeli. + +# Nyumba ya Israeli + +Tazama tafsiri yake katika 3:16. + +# nimekuweka kama ishara + +"nimekuweka kama sahihisho kwa kufikiria kwao" + diff --git a/ezk/12/07.md b/ezk/12/07.md new file mode 100644 index 00000000..c3940f63 --- /dev/null +++ b/ezk/12/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ezekieli anawaonyesha watu wa Israeli pundi watalazimika kwenye uhamishoni. + +# chimba shimo kwenye ukuta kwa mkono + +"chimba shimo kwenye ukuta kwa mkono wangu" + +# nje katika giza + +"nje usiku wakati kuna giza" + diff --git a/ezk/12/08.md b/ezk/12/08.md new file mode 100644 index 00000000..a29454e5 --- /dev/null +++ b/ezk/12/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe alinena neno lake." + +# nyumba ya Isaraeli + +Tazama tafsiri yake katika 3:16. + +# Mwanadamu, je nyumba ya Israeli, ile ni nyumba ya uasi, hawakukwambia, 'Unafanya nini? + +Mungu anamuuliza hili swali Ezekieli kuonyesha kwamba watu wa Israeli wametangaza kile Ezekieli anachokifanya. + +# walio kati yao + +"walio miongoni mwao" + diff --git a/ezk/12/11.md b/ezk/12/11.md new file mode 100644 index 00000000..6c7764df --- /dev/null +++ b/ezk/12/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# katika giza + +"usiku wakati kuna giza" + +# Nitausambaza wavu wangu juu yake naye atanaswa kwenye mtego wangu + +Neno "wavu" na "mtego" yametumika kwa sababu hii ni njia tofauti kukamata mnyama. Mungu anajua kiongozi wa Yerusalemu atafanya nini na ameweka matukio ili kwamba anyakuliwe kama anapojaribu kukimbia. + +# nitamleta hata Babeli + +"nitamfanya achuliwe kwenda Babeli" + diff --git a/ezk/12/14.md b/ezk/12/14.md new file mode 100644 index 00000000..db21f314 --- /dev/null +++ b/ezk/12/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nitaleta upanga mbele yao + +Neno "upanga" limetumika kurejea kwa jeshi la watu wanaobeba panga. + +# wakati nitakapo watawanya kwenye nchi zote + +Haya maneno mawili kimsingi yana maanisha kitu kimoja. "nitakapowafanya wasambaratike kila mmoja na kuishi katika mataifa tofauti tofauti." + +# kutoka ule upanga + +Neno "upanga" linarejea kuuawa katika kupigana. + diff --git a/ezk/12/17.md b/ezk/12/17.md new file mode 100644 index 00000000..9b8c5f29 --- /dev/null +++ b/ezk/12/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# Mwanadamu + +Tazama tafsiri yake katika 2:1. + +# kula mkate wako kwa kutetemeka, na kunywa maji yako kwa mtetemo na hofu + +"ishi maisha yako ya kila siku kwa hofu kubwa." Kula na kunywa ni mambo ya kawaida yanayofanyika katika maisha na hivyo mwambie Ezekieli kuishi kwa hofu kubwa. + diff --git a/ezk/12/19.md b/ezk/12/19.md new file mode 100644 index 00000000..773a34b5 --- /dev/null +++ b/ezk/12/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Watakula mikate yao kwa kutetemeka na kunywa maji yao wakiwa wanatetemeka + +Haya maneno mawili yana maana moja na kusisitiza kwamba watu wataogopa sana, hata wakati wa kufanya mambo ya msingi kama kula na kunywa. + +# miji iliyokuwa wenyeji itahuzunishwa + +"huzuni" inaeleza mahali ambapo hakuna mtu anayeishi. "watu katika miji wataondoka au kufa" + +# mtajua kwamba mimi ni Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika 6:6. + diff --git a/ezk/12/21.md b/ezk/12/21.md new file mode 100644 index 00000000..d15026fc --- /dev/null +++ b/ezk/12/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# neno la Yahwe likanija + +"Yahwe ananena neno lake." + +# Siku zimerefushwa, na kila ono linaanguka + +Huu ulikuwa usemi wa watu wa Israeli ambao hakuamini kwamba Mungu angewahukumu. + +# Siku zinakaribia + +Hili neno linarejea kwa siku ambazo Israeli itahukumiwa. + +# kila ono litatimizwa + +Haya maono Mungu anayoyatoa kwa manabii yatakuwa kweli. "kila unabii utatokea" + diff --git a/ezk/12/24.md b/ezk/12/24.md new file mode 100644 index 00000000..728b39ab --- /dev/null +++ b/ezk/12/24.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe ananena na watu wa Israeli. + +# nyumba ya Israeli + +Tazama tafsiri katika 3:1. + +# Hakuna kitu kitakacho chelewesha + +"Kile nilicho kitabiri kitatokea punde" + +# Hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo + +Tazama taffsiri yake katika 5:11. + +# nena hili neno + +"nena huu ujumbe" au "nena huu unabii" + +# katika siku zenu + +"wakati mkiwa hai" + diff --git a/ezk/12/26.md b/ezk/12/26.md new file mode 100644 index 00000000..8cf12528 --- /dev/null +++ b/ezk/12/26.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe alinena neno lake." + +# kunijia ... ono ambalo ona ... na ametabiri + +Maneno "mimi" na "yeye" yanamrejea Ezekieli. + +# waambie + +Neno "wao" linarejea kwa watu wa Israeli. + +# Tazama + +Neno "Tazama" hapa linatutahadharisha kuwa makini kwa kushangaza habari inayofuata. + +# 'Lile ono alionalo ni kwa siku nyingi kutoka sasa, na ametabiri kipindi kilicho mbali sana + +Haya maneno yote ni njia ya watu wa Israeli wanasema maonyo ya Ezekieli hayatatokea katika kipindi cha maisha lakini yatatokea huko mbeleni sana. + +# Maneno yangu hayatacheleweshwa sana, lakini lile neno nililoliongea litatimizwa + +Haya maneno ni njia zote Mungu anawaambia watu wa Israeli kwamba mambo aliyoyaonya, yatatokea punde. + +# hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo! + +Tazama tafsiri yake katika 5:11. + diff --git a/ezk/13/01.md b/ezk/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..16a3f578 --- /dev/null +++ b/ezk/13/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe alinena neno lake." + +# mwanadamu + +(mimi) Ezekieli + +# wanotabiri nje ya fikra zao wenyewe + +kutabiri kutokana na mawazo yao wenyewe + +# fuata roho zao wenyewe + +Hili neno limetumika kwa nabii kufanya kile wanachotaka. Neno "roho" linarejea kwa mawazo yao na neno "fuata" linarejea kwa kile wanachokifanya. + +# mbweha + +wanyama wa porini kama mbwa au mbweha mwitu. + +# kama mbeha kwenye aridhi iliyoharibiwa + +Kama mbweha aliyeiba chakula kutoka wanyama wengine katika jangwa, manabii huiba kutoka watu wa Israeli wakati wanapodanganya kuhusu kuwa na ujumbe kutoka kwa Mungu. + diff --git a/ezk/13/05.md b/ezk/13/05.md new file mode 100644 index 00000000..ac720a06 --- /dev/null +++ b/ezk/13/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# nyumba ya Israeli + +Tazama tafsiri yake katika 3:1. + +# kupinga katika vita + +"kujilinda" + +# Je hamkuwa na maono ya uongo ... Wakati mimi mwenyewe sikuongea? + +Yahwe anatumia hili swali kuwakemea manabii wa uongo. + +# mlikuwa maono ya uongo na kufanya utabiri wa uongo + +Tangu manabii wa uongo wakose kupokea ujumbe wa kweli kutoka kwa Yahwe, kile wanacho tabiri kuhusu baadaye sio kweli. + +# Hivi na hivi + +Hili ni nenao lililotumika kurejea kwa kitu chochote nabii ameweza kusema. + +# Agizo la Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika 5:11. + diff --git a/ezk/13/08.md b/ezk/13/08.md new file mode 100644 index 00000000..58e81ad5 --- /dev/null +++ b/ezk/13/08.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe ananena na watu wa Israeli na kurudia maneno katika njia tofauti tofauti kueleza jinsi walivyo wakweli. + +# mmekuwa na maono ya uongo na kuwaambia uongo + +"mmedanganya kuhusu kuwa na jumbe kutoka kwa Mungu" + +# Tangazo la Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika 5:11. + +# Mkono wangu utakuwa juu ya manabii + +Neno "mkono" mara nyingi limetumika katika njia tafauti tofauti kwa uweza wa Yahwe. + +# mliodanganya maono na wale waliofanya unabii wa uongo + +"aliye na jumbe kutoka kwa Mungu lakini anadanganya" + +# katika kusanyiko la watu wangu, au kuandikishwa katika kumbukumbu ya nyumba ya Israeli + +"walio orodheshwa kama watu wangu" Hii ni njia mbili kueleza jambo moja." + +# nyumba ya Israeli + +Tazama tafsiri yake katika 3:1. + +# mtajua yakwamba mimi ndimi Bwana Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika 6:6. + diff --git a/ezk/13/10.md b/ezk/13/10.md new file mode 100644 index 00000000..4b11f7b3 --- /dev/null +++ b/ezk/13/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kwa sababu hii + +Neno "hii" linarejea kwa ahadi ya Bwana kulazimisha manabii wa uongo nje ya Israeli. + +# wamewaongoza watu wangu + +Neno "wao" linarejea kwa manabii wa uongo katika nchi ya Israeli. + +# wanajenga ukuta ambao wataupaka chokaa + +Hapa "ukuta" unasimama kwa ajili ya amani na ulinzi ambao manabii wa uongo wamewaambia watu kwamba Yahwe aliahidi kuwapatia. + +# kupaka chokaa ... chokaa + +"chokaa" ni kimiminika cheupe kilichochanganywa kwa kufanya sehemu ya juu ya kitu (kama vile kuta au wigo) + +# mvua ya kufurika ... mvua ya mawe ... upepo wa dhoruba + +Haya yote ni sehemu ya dhoruba mbaya sana. Mungu anatumia dhoruba kurejea majeshi yatakayoishambulia Yerusalemu. + +# mvua ya mawe + +vigololi vya barafu ambavyo wakati mwingine vinaanguka kutoka angani kipindi cha dhoruba ya mvua. + +# wengine hawakukwambia + +Ezekieli anauliza hili swali kushinikiza jibu. + diff --git a/ezk/13/13.md b/ezk/13/13.md new file mode 100644 index 00000000..f69bac77 --- /dev/null +++ b/ezk/13/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# upepo wa dhoruba ... mafuriko ya mvua ... Mvua ya mawe + +Hizi sehemu zote ni dhoruba mbaya sana. Mungu anatumia dhoruba kurejea majeshi yatakayoiteka Yerusalemu. + +# Nitaleta upepo wa dhoruba katika ghadhabu yangu + +"wakati nitendapo ghadhabu yangu nitaleta upepo wa dhoruba" + +# kutakuwa na mafuriko ya mvua kwenye ghadhabu yangu + +"wakati nitendapo hasira yangu nitaleta kiasi kikubwa cha mvua" + +# Mvua ya mawe katika ghadhabu yangu itauharibu kabisa + +"Wakati nitendapo juu ya hasira yangu nitaleta mvua ya mawe kuharibu kuta wanaoujenga watu" + +# kufunua + +"isiyofunikwa" + +# mtaangamizwa + +"kuangamizwa kabisa" + +# kujuwa kwamba mimi ndimi Yahwe + +"kutambua kwamba mimi ndimi Yahwe, yule Mungu wa kweli" + diff --git a/ezk/13/15.md b/ezk/13/15.md new file mode 100644 index 00000000..87de9656 --- /dev/null +++ b/ezk/13/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mimi + +inamrejea Yahwe + +# nitakavo uangamiza kwa ghadhabu yangu + +"wakati nitendapo juu ya hasira yangu nitaleta mwisho" + +# kuupaka chokaa + +"kuupaka ukuta rangi nyeupe" + +# Ukuta hautaonekana tena, wala watu wanaoupaka + +"Ukuta hauko huko tena, wala watu" + +# monoa amani kwa ajili yake + +Neno "yeye" inarejea kwa Yerusalemu. + +# hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo + +Tazma tafsiri yake katika 5:11. + diff --git a/ezk/13/17.md b/ezk/13/17.md new file mode 100644 index 00000000..24fe97dc --- /dev/null +++ b/ezk/13/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mwanadamu + +Tazama tafsiri yake katika 2:1. + +# weka uso wako dhidi + +Tazama tafsiri yake katika 4:1. + +# binti za watu wako + +wanawake wa Israeli + +# kutabiri dhidi yao + +Hii inamaanisha kuunda unabii kutoka kutokana na fikra zao wenyewe. + +# hirizi + +vitu vilivyoaminika vina nguvu za miujiza. + +# kutengeza vitambaa vya shela kwa ajili ya vichwa vyao kwa kila kipimo, ili kuwinda watu + +Mapambo yaliyovaliwa na manabii yalikuwa kama "mtego" kwa sababu walikuwa wakitumia uzuri, fumbo na uongo kutega watu ili wawaamini na kuasi juu ya Mungu. + diff --git a/ezk/13/19.md b/ezk/13/19.md new file mode 100644 index 00000000..f948e5ac --- /dev/null +++ b/ezk/13/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunane na juu ya unabii wa uongo katika Israeli. + +# makonzi ya shayiri na vipande vya mkate + +Shayiri ni nafaka iliyotumika kutengenezea mkati na neno "vipande vya mkate" ni kiasi kidogo cha mkate. + diff --git a/ezk/13/20.md b/ezk/13/20.md new file mode 100644 index 00000000..22b1b175 --- /dev/null +++ b/ezk/13/20.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Bwana Yahwe asema hivi + +Tazama tafsiri yake katika 5:5. + +# hirizi + +vitu ambavyo vinavyoaminika vina nguvu ya muujiza + +# kukamata + +"kukamata" + +# kuyakamata kwa hila maisha ya watu kana kwamba wamekuwa ndege ... watu ambao umewakamata kama ndege + +Yahwe analinganisha mapambo ya unabii kukamata kwa ajili ya ndege. + +# nitazichana kutoka kwenye mikono yenu + +Neno "mikono" inarejea inakuja kutawaliwa na unabii. Waongo watatumia utawala wa watu wa Israeli ni kama mikono ambayo imewakamata kurudi kutokana na kukimbia. + +# havitakamatwa tena katika mikono wako + +Kusema hawatakamatwa ni sawa kama kusema watakuwa huru. + +# kujua kwamba mimi ndimi Yahwe + +"kujua kwamba mimi ndimi Yahwe, Mungu wa kweli" + diff --git a/ezk/13/22.md b/ezk/13/22.md new file mode 100644 index 00000000..af6399aa --- /dev/null +++ b/ezk/13/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mmeuvunja moyo wa mtu mwenye haki + +Moyo wa mtu mwenye haki imetumika kurejea kwa hisia zao. + +# geuka kutoka kwenye njia yake + +Kuacha kufanya kitu kinachorejea kurudi katika mwelekeo tofauti. + +# maono ya uongo au kuendelea kufanya utabiri + +Haya maneno yote yanarejea kueleza kuhusu kile kitakachotokea baadaye. + +# kutokana na mkono wako + +Neno "mkono" limetumika kurejea kutawala unabii. + +# mtajua kwamba mimi ndimi Yahwe + +"kutambua kwamba mimi ndimi Yahwe, Mungu wa kweli" + diff --git a/ezk/14/01.md b/ezk/14/01.md new file mode 100644 index 00000000..c30c2333 --- /dev/null +++ b/ezk/14/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe alinena neno lake." + +# wamechukua sanamu zao kwenye mioyo yao + +"kufikiria sanamu zao kuwa muhimu sana" + +# mbele ya nyuso zao + +Mungu anasema watu wamehifadhi sanamu ambapo wanaweza kuwaona. Hii inaonyesha sanamu ni muhimu kwao. + +# pingamizi la uovu wao + +Sanamu zinarejea kama kitu dhambi zao zimewafanya kuanguka. + +# Je naweza kuulizwa yote na wao? + +"Hawataniuliza kwa chochote." + diff --git a/ezk/14/04.md b/ezk/14/04.md new file mode 100644 index 00000000..7728df3e --- /dev/null +++ b/ezk/14/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kwa hiyo watangazie hivi + +Neno "wao" linarejea kwa "watu kutoka wazee wa Isareli" + +# achukuaye sanamu moyoni mwake + +"anayefikiria sanamu zake kuwa muhimu sana" + +# awekeye pingamizi la uovu mbele ya uso wake + +Neno "mbele ya uso waake" inamaanisha "kwa uangalifu mkubwa." + +# kisha yule ajaye kwa nabii + +Mtu aendaye kwa nabii ili kusikia Mungu anasemaje. + +# idadi ya sanamu zake + +"ana kiasi gani cha sanamu." + +# niweze kuirudisha nyumba ya Israeli katika mioyo yao + +"nitawafanya watu wa Israeli wanipende tena" + +# kuirudisha ... mbali nami + +Anasema atawarudisha ili kuwafanya wampende hata kama sanamu zao zimewasukuma mbali na Mungu. + diff --git a/ezk/14/06.md b/ezk/14/06.md new file mode 100644 index 00000000..7dd71b65 --- /dev/null +++ b/ezk/14/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nyumba ya Israeli + +Tazama tafsiri yake katika 3:1. + +# Tubuni na rudini kutoka kwenye sanamu zenu! Rudisheni nyuma nyuso zenu kutoka kwenye kachukizo yenu yote + +Haya maneno yote ni njia ya kuwaeleza watu wa Israeli kuacha kuabudu sanamu. + +# Tubuni na rudini + +Maneno "Tubu" na "geuka" kimsingi yana maana moja. Kwa pamoja waliimarisha amri ya kuacha kuabudu sanamu. + diff --git a/ezk/14/07.md b/ezk/14/07.md new file mode 100644 index 00000000..0cb75233 --- /dev/null +++ b/ezk/14/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# achukuaye sanamu zake kwenye moyo wake + +"ambaye afikiriaye sanamu zake kuwa muhimu sana" + +# na kuweka kwazo la uovu wake mbele ya uso wake mwenyewe + +"sanamu ambayo aliyoitumia imetumika kuasi kwa kuiabudu" + +# nitauweka uso wangu juu ya huyo mtu + +"nitakuwa juu yake" au "nitatoa umakini wangu kuwa juu yake" + +# kumfanya ishara na mithali + +Hapa maneno "ishara" na "mithali" yanarejea kwa kitu kinachohifadhi kama kuonya wengine kuhusu matokeo mabaya ya tabia mbaya. + diff --git a/ezk/14/09.md b/ezk/14/09.md new file mode 100644 index 00000000..88728ab0 --- /dev/null +++ b/ezk/14/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nitanyoosha mkono wangu juu yake + +mkono wa Mungu unarejea kwa kile afanyacho. "nitashughulika juu yake" + +# Watabeba uovu wao wenyewe + +"Watawajibika kwa ajili ya kile kibaya walichokifanya" + +# haitaenda mbali kutoka kunifuata mimi + +Neno "mbali kutoka kunifuata" halilingani na kile Mungu anachotaka kwenda mbali naye. + diff --git a/ezk/14/12.md b/ezk/14/12.md new file mode 100644 index 00000000..99ec9e6d --- /dev/null +++ b/ezk/14/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# neno la Yahwe likanijia + +"Yahwe akanena neno lake." + diff --git a/ezk/14/15.md b/ezk/14/15.md new file mode 100644 index 00000000..ecb723cb --- /dev/null +++ b/ezk/14/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hawa watatu + +Nuhu, Danieli, na Ayubu + +# kama niishivyo, asema Bwana Yahwe + +"Bwana Yahwe asema. "kama niishivyo" + +# isipokuwa maisha yao yataokolewa + +"Yahwe pekee angeokoa maisha yao" + diff --git a/ezk/14/17.md b/ezk/14/17.md new file mode 100644 index 00000000..bd900db1 --- /dev/null +++ b/ezk/14/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# hawa watu watatu + +Nuhu, Danieli, na Ayubu + +# kama niishivyo, asema Bwana Yahwe + +"Bwana Yahwe asema. "kama niishivyo" + diff --git a/ezk/14/19.md b/ezk/14/19.md new file mode 100644 index 00000000..2e7cbef3 --- /dev/null +++ b/ezk/14/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kumwaga ghadhabu yangu + +Kama chupa ibebavyo maji, Mungu alikuwa akirudisha hukumu. Hivyo "mwaga ghadhabu yangu" inamaanisha Mungu harudisha tena kutoka kutenda hasira yake lakini atatenda juu ya hasira yake juu ya watu wa Israeli. + +# kuwakatilia wote mtu na mnyama + +Haya maneno yanarejea kuuawa kama tendo la hukumu ya kimungu kwa ajili ya dhambi. "ua wote mtu na mnyama" + diff --git a/ezk/14/21.md b/ezk/14/21.md new file mode 100644 index 00000000..c8ef6899 --- /dev/null +++ b/ezk/14/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kutoka kwake + +Neno "yeye" inarejea kwa Yerusalemu. + diff --git a/ezk/14/22.md b/ezk/14/22.md new file mode 100644 index 00000000..b1f37b1f --- /dev/null +++ b/ezk/14/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kuhusu adhabu ya watu wa Israeli. + +# Tazama! + +Neno "Tazazama!" hapa linatutahadharisha kuwa makini kwa habari inayofuata. + +# salia kwake ... fanya juu yake + +Neno "yeye" linarejea kwa Yerusalemu. + +# njia zao na matendo yao + +Maneno haya yote yanarejea kwa kile watu wa Israeli walichokifanya. "vile waishivyo" au "mambo wafanyayo" + diff --git a/ezk/15/01.md b/ezk/15/01.md new file mode 100644 index 00000000..1272d630 --- /dev/null +++ b/ezk/15/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumala: + +Yahwe ananena na Ezekieli katika hii sehemu. + +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe alinena neno lake." + +# je ni jisni gani mzabibu ulivo bora kuliko mti na matawi yaliyomo kwenye miti katika msitu? + +"mzabibu si bora kuliko mti wowote pamoja na matawi ambayo ni miongoni mwa miti katika msitu." + +# Je watu huwa wanachukua mbao kutoka kwenye mzabbibu kufanyia chochote? + +"Watu hawachukui mbao katika mzabibu kufanya chochote." + +# uwa wanatengenezea kitu kutokana na huo + +"hawatengenezi kitu kutoka huo kuning'iniza vitu juu yake." + +# Kama umetupwa kwenye moto kama kuni, na kama moto umezichoma ncha zake zote na katikati pia, je unafaa kwa chochote? + +kama moto ume mwisho wa ncha zake na pia katikati, yamkini sio vyema kwa kitu chochote! + diff --git a/ezk/15/05.md b/ezk/15/05.md new file mode 100644 index 00000000..6c8358e3 --- /dev/null +++ b/ezk/15/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumala: + +Yahwe anaendelea kuzungumzia kuhusu mzabibu. + diff --git a/ezk/15/07.md b/ezk/15/07.md new file mode 100644 index 00000000..2aa804ba --- /dev/null +++ b/ezk/15/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kuhusu watu wa Israeli. + +# ukiwa + +ni mahali ambapo kila mtu ameondoka. + +# wamefanya dhambi + +"wameasi" + +# hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo + +Tazama tafsiri yake katika 5:11. + diff --git a/ezk/16/60.md b/ezk/16/60.md new file mode 100644 index 00000000..a804d7cf --- /dev/null +++ b/ezk/16/60.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumrejea Yerusalemu kama mke mzinzi na mataifa mengine kama ndugu wa Yerusalemu. + +# kumbuka + +"kukumbuka" + diff --git a/ezk/16/62.md b/ezk/16/62.md new file mode 100644 index 00000000..51eb4cb3 --- /dev/null +++ b/ezk/16/62.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kumbuka kila kitu + +"kumbuka kila kitu" + +# hutafungua mdomo wako tena kusema + +"hutasema kitu tena + diff --git a/ezk/17/01.md b/ezk/17/01.md new file mode 100644 index 00000000..27b66783 --- /dev/null +++ b/ezk/17/01.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ezekieli anasimulia ujumbe ambao aliopewa na Mungu. + +# Neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# Mwanadamu + +Hii inamrejea Ezekieli. Hili neno ni mwanzo wa maneno ya Yahwe aliyoyanena kwa Ezekieli. + +# tega kitendawili na sema fumbo + +"toa fumbo kwao kufikiria" + +# nyumba ya Israeli + +Tazama tafsiri yake katika 3:1. + +# Tai mkubwa + +"tai mkubwa sana" + +# vipapatio vya kuku, mwenye kujaa manyoya + +Neno "kipapatio" linamaanisha mwisho wa nje ya mabawa. "mwishoni mwa mabawa yake kulijawa na mabawa na manyota." + +# kulikuwa na rangi nyingi + +Hii inamrejea tai. + +# Akakata ncha za matawi + +"Akavunja sehemu ndefu sana ya miti" + +# kuyachukua + +"kuchukua sehemu ya juu ya mti" au "chukua matawi" + +# akaipanda katika mji wa wafanya biashara + +Mfanya biashara ni mtu anayeuza vitu. + diff --git a/ezk/17/05.md b/ezk/17/05.md new file mode 100644 index 00000000..cbf3b530 --- /dev/null +++ b/ezk/17/05.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Huu ni mwendelelzo wa fumbo kuhusu tai. + +# Pia akachukua + +Neno "Yeye" ni tai katika fumbo. + +# aridhi tayari kwa kupanda + +"shamba lililokuwa tayari kwa kupandwa mbegu katika hilo." "aridhi yenye rutba" au "katika aritdhi nzuri." + +# Aliupanda karibu na maji mengi + +"tai alipanda mbegu katika mahali ambapo palikuwa na maji mengi" + +# kuipanda ... kama mti mti umeao karibu na maji + +Miti imeao karibu na maji hukua katika mahali ambapo kuna maji mengi. Kama tai alipanda mbegu kama mti umeao karibu na maji, ina maana kwamba aliupanda katika mahali penye maji mengi. + +# Kisha ukachipusha + +"Kisha mbegu ikaanza kukua kwenye mmea" + +# mzabibu wenye kutanda + +"mzabibu utandao juu ya nchi" + +# Matawi yake yakamwelekea yeye + +Matawi ya mzabibu yakamgeukia tai. + +# mizizi yake ikamea juu yake + +Miziz ya mzabibu ikamea chini ya tai. + +# Hivyo ukawa mzabibu + +"Ambavyo mzabibu humea" + +# kuzaa matawi na kutoa matawi + +"mea matawi na kusambaa mizizi yake" + diff --git a/ezk/17/07.md b/ezk/17/07.md new file mode 100644 index 00000000..96d19122 --- /dev/null +++ b/ezk/17/07.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Utambulisho "lakini" huonyesha kwamba tai mwingine ameelezwa kulikuwa yule wa awali. + +# tai mkubwa + +Tai ni mkubwa, mwenye uwezo, na ndege mwenye kuvutia. + +# Tazama! + +Neno "Tazama" hapa linatahadharisha kuwa makini kwa habari ya kushangaza inayofuata. + +# Huu mzabibu ukabadilisha mizizi yake kumwelekea tai + +"Mizizi ya mzabibu ikamea kumwelekea tai" + +# upate kumwagiliwa + +"hivyo tai akamwagilia mzabibu" + +# Ulikuwa umepandwa + +"yule tai wa awali aliupanda mzabibu." + +# karibu na kilindi cha maji + +"katika mahali ambapo kulikuwa na maji mengi" + +# hivyo ungezaa matawi na kuanza kutoa matunda, ili kuwa mzabibu mzuri kabisa + +"ili mzabibu ukue matawi na matunda na kuwa mzabibu unaovutia" + diff --git a/ezk/17/09.md b/ezk/17/09.md new file mode 100644 index 00000000..4fc08faa --- /dev/null +++ b/ezk/17/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Utafanikiwa? + +"Hautafanikiwa." + +# Je! Haitaing'oa mizizi yake na kuyakata matunda yake ili kwamba unyauke, na majani yake yote mabichi yanyauke? + +"Atang'oa mizizi yake na kukonyoa au kuchuma matunda yake hivyo ukuaji wa majani yake yote yatanyauka." + +# tazama! + +Neno "tazama!" hapa inaongeza msisitizo kwa kile kinachofuata. "kuwa macho kwa kile ninachotaka kukueleza!" + +# utamea? + +"hautamea." + +# Je hautanyauka wakati upepo wa mashariki utakapoupiga? + +"Utanyauka wakati upepo wa mashariki uugusapo." + diff --git a/ezk/17/11.md b/ezk/17/11.md new file mode 100644 index 00000000..2088f11f --- /dev/null +++ b/ezk/17/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# Je! hamjui haya mambo yana gana gani? + +"Mngetakiwa kujua kwamba hivi vitu nina maana gani." + +# Tazama! + +"Tazama!" au "Sikiliza" au "Kuwa macho kwa kile ninachotaka kukueleza!" + diff --git a/ezk/17/13.md b/ezk/17/13.md new file mode 100644 index 00000000..8f41d9a0 --- /dev/null +++ b/ezk/17/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ukoo wa kifalme + +Neno "ukoo wa kifalme" linawaelezea watu na vitu ambavyo vinavyohusiana na mfalme au malkia. + +# uzao, muundo wa uzao + +"Uzao" ni mtu mwenye uhusiano wa damu moja kwa moja toka kwa mtu mwingine wa mbali katika historia ya familia fulani. + +# agano + +Agano ni makubaliano rasmi, yenye ahadi za viapo baina ya pande mbili ambapo upande mmoja au pande zote zinalazimika kulitimiza. + +# nadhiri, kiapo, kujiapiza + +Katika Biblia, nadhiri ni ahadi rasmi ya kufanya jambo fulani. Mtu anayefanya nadhiri hutakiwa kuitimiza ahadi hiyo. Nadhiri inahusisha mtu kujitoa kuwa mwaminifu na mkweli. + diff --git a/ezk/17/15.md b/ezk/17/15.md new file mode 100644 index 00000000..d3856d04 --- /dev/null +++ b/ezk/17/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa za Ujumla: + +Yehova anazungumza juu ya ufalme wa Yerusalem ulivyoasi dhidi ya mfalme wa Babeli. + +# Je atafanikiwa? + +La hasha ! hatafanikiwa. + +# Je afanyaye mambo haya atatoroka? + +"Afanyaye mambo haya hatatoroka!" + +# Je ataweza kutoroka Iwapo atalivunja agano? + +Iwapo atalivunja agano hatatoroka. + diff --git a/ezk/17/17.md b/ezk/17/17.md new file mode 100644 index 00000000..0b049aef --- /dev/null +++ b/ezk/17/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Ujumla: + +Yehova anzungumza juu ya mfalme wa Yerusalemu. + +# Jeshi kubwa na kusanyiko la wengi kwa ajili ya vita. + +Vifungu hivi vya maneno kimsingi vina maana sawa na vinasisitiza ni kwa namna gani jeshi la Farao ni kubwa na lenye nguvu. + +# Hawatamlinda + +Hapa neno "hawatamlinda "linarejea kwa mfalme wa Yuda. + +# Kuta zenye minara + +Hii ina maana ya mnara wa wenye ngazi zinazoweza kuwekwa ukutani na kuruhusu wanajeshi kuruka ukuta na kuingia katika mji. + diff --git a/ezk/17/19.md b/ezk/17/19.md new file mode 100644 index 00000000..56e21e65 --- /dev/null +++ b/ezk/17/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je hiki hakikuwa kiapo changu kwamba alidharau na agano lango alilolivunja? + +"kilikuwa kiapo changu kuwa mfalme wa Yerusalemu alidharau na agano langu alilolivunja" + +# Nitaileta adhabu yake juu ya kichwa chake mwenyewe. + +"Nitamuadhibu" + +# Ataanguka kwa upanga + +"atauawa na jeshi la Wababeli" + diff --git a/ezk/17/22.md b/ezk/17/22.md new file mode 100644 index 00000000..c5a23304 --- /dev/null +++ b/ezk/17/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa za Ujumla: + +Yehova anazungumzia juu ya Yerusalemu kana kwamba ni tawi lililopandwa katika milima ya Israeli. + +# Kuzaa matawi + +"yatazalisha matawi mapya" + diff --git a/ezk/17/24.md b/ezk/17/24.md new file mode 100644 index 00000000..59a47b38 --- /dev/null +++ b/ezk/17/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa za Ujumla: + +Yehova anazungumzia juu ya miti kana kwamba ni miji. + +# Kisha miti yote katika shamba itafahamu kuwa mimi ndimi Yehova. + +Vitu kuvikwa uhusika kama binadamu. + +# Miti mirefu...Miti mifupi + +Lugha ya picha/fumbo + +# Kupukutika + +wakati ambapo mmea hunyauka na kufa. + diff --git a/ezk/18/01.md b/ezk/18/01.md new file mode 100644 index 00000000..137dcdfa --- /dev/null +++ b/ezk/18/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Neno la Yehova likanijia + +"Yehova alizungumza neno lake." Angalia namna ulivyotafsiri katika 1:1 + +# Mnamaanisha nini, ninyi mnaotumia mithali hii...'wababa wanakula zabibu chachu, na meno ya watoto yametiwa ganzi' + +God anawaonya watu kwa kufikiri kuwa wanaadhibiwa kwa dhambi za wazazi wao, lakini wakiamini kuwa wao wenyewe hawana dhambi + +# Wababa wanakula zabibu chachu, na meno ya watoto yametiwa ganzi + +Mithali hii ina maana kuwa watoto wanaadhuibiwa kwa sababu ya matendo maovu ya wazazi wao. + diff --git a/ezk/18/03.md b/ezk/18/03.md new file mode 100644 index 00000000..6e4d5aaa --- /dev/null +++ b/ezk/18/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tazama! + +Neno "Tazama" hapa linaongeza msisitizo juu ya kile kinachofuata. Linaweza pia kutafsiriwa kama " Haswaa! hii inaweza kutafsiriwa pia kama "ona" au "Sikikiliza" au "zingatia kile ninachoenda kukwambia" + diff --git a/ezk/18/05.md b/ezk/18/05.md new file mode 100644 index 00000000..9d07aee5 --- /dev/null +++ b/ezk/18/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hajakula juu ya milima...hajainua macho yake kuzielekea sanamu + +Vifungu hivi vya maneno vinarejea katika ibada ya sanamu. watu walikula chakula ch amatambiko katika vichaka vya mmlima kuzitukuza sanamu. Kifungu cha maneno "kuinua macho yake" ni rejea ya tukio la kuzitazama sanamu na kuzitukuza. + diff --git a/ezk/18/07.md b/ezk/18/07.md new file mode 100644 index 00000000..76f8c896 --- /dev/null +++ b/ezk/18/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# alirudisha amana + +Mungu anafurahishwa na mkopeshaji anayerudisha amana ya mkopo kwa mkopaji hata kabla ya mkopaji kumlipa mkopeshaji. + +# Huwapa chakula wenye njaa. Na kuwavika nguo walio uchi. + +Mungu anapendezwa na walio wakarimu kwa wasio na chakula na mavazi. + diff --git a/ezk/18/10.md b/ezk/18/10.md new file mode 100644 index 00000000..196a5c36 --- /dev/null +++ b/ezk/18/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# humwaga damu + +Kifungu hiki cha maneno kinamaanisha kuuwa mtu. + +# moja kati ya mambo hayo + +Hii inamaanisha matendo maovu yaliyotajwa katika 18:11-18:12. + diff --git a/ezk/18/12.md b/ezk/18/12.md new file mode 100644 index 00000000..0c6ffa5a --- /dev/null +++ b/ezk/18/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa za Ujumla: + +Yehova anaendelea kuzungumza juu ya mwana mkorofi + +# maskini na wahitaji + +Maneno "Maskini" na "muhitaji" yasisitiza kuwa hawa ni watu wasioweza kujisaidia wenyewe. + +# kutoza riba + +Neno "riba" linamaanisha fedha ya nyongeza inayolenga faida juu ya deni. + +# riba + +Neno hili linamaanisha pesa inayolipwa na mtu ili atumie pesa ya mkopo. Hata hivyo baadhi ya tafsiri za leo za neno hilo hutaja kama "riba yoyote" katika kifungu hiki cha maandiko kama "riba kubwa sana" + diff --git a/ezk/18/14.md b/ezk/18/14.md new file mode 100644 index 00000000..c63bb3b2 --- /dev/null +++ b/ezk/18/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tazama + +Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo juu ya mambo yanayofuata. + +# tenda + +amefanya + diff --git a/ezk/18/16.md b/ezk/18/16.md new file mode 100644 index 00000000..dbc185b8 --- /dev/null +++ b/ezk/18/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa za Msingi: + +Yehova anaendelea kuzungumza juu ya mwana asiyetenda dhambi kama za baba yake. + +# walio uchi + +Hii inaweza kumaanisha watu wasio na nguo kabisa, lakini kwa sehemu kubwa inamaanisha watu wenye mavazi chakavu, mavazi duni sana. + +# huwavika nguo walio uchi + +Kuwapatia nguo watu wenye uhitaji wa nguo linazungumziwa kama tendo la kuwavalisha nguo katika miili yao. (lugha ya picha) + +# huuondoa mkono wake kwa maskini + +Hapa neno "mkono" linasimama badala ya maneno "kutenda matendo yasiyo haki" + diff --git a/ezk/18/18.md b/ezk/18/18.md new file mode 100644 index 00000000..8b927d6b --- /dev/null +++ b/ezk/18/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa za Ujumla: + +Yehova anazungumza juu ya baba wa mwana ambaye hajaitii sheria ya Mungu. + +# kupora + +kuchukua kitu cha mtu mwingine kwa kutumia vitisho au mabavu. + +# tazama + +Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa jambo linalofuata. + diff --git a/ezk/18/19.md b/ezk/18/19.md new file mode 100644 index 00000000..3d709417 --- /dev/null +++ b/ezk/18/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwanini mwana asibebe uovu wa baba yake? + +"kwanini mwana hawajibiki juu ya uovu huo?" + +# Haki ya kila mtenda mema itakuwa juu yake mwenyewe. + +"Kila atendaye kwa haki ataitwa mwenye haki" + +# uovu wa mtu muovu utakuwa juu yake mwenyewe + +"mtu atendaye maovu ataitwa muovu" + diff --git a/ezk/18/21.md b/ezk/18/21.md new file mode 100644 index 00000000..929ee04d --- /dev/null +++ b/ezk/18/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anazungumza juu ya mtu muovu anayebadirika na kutenda mema. + +# kuzingatiwa akilini + +"kukumbukwa" + +# Ataishi kwa haki aitendayo + +Ataendelea kuishi kwa sababu anatenda kwa wema" + diff --git a/ezk/18/23.md b/ezk/18/23.md new file mode 100644 index 00000000..b7f67821 --- /dev/null +++ b/ezk/18/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yehova anazungumza juu ya shauku yake kwa ajili ya watu waovu. + +# Je nitafurahia sana juu ya kifo cha mwovu...na si katika kugeuka kwake kutoka katika njia zake mbaya ili aishi? + +"sifurahishwi na kifo cha mwovu, bali ninafurahia anapogeuka na kuyaacha matendo yake maovu na akaishi." + +# Hili ni tamko la Bwana, Yahwe mwenyewe + +angalia tafsiri ya 5:11 + +# si katika kugeuka kwake + +"asipobadirika na kuyaacha matendo yake maovu na kutenda mema. + diff --git a/ezk/18/24.md b/ezk/18/24.md new file mode 100644 index 00000000..66cec7ad --- /dev/null +++ b/ezk/18/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yehova anatoa mfano wa mtu anayegeuka kutoka katika haki na kuugeukia uovu. + +# je ataishi? + +"atakufa tu" + +# hatazingatiwa akilini + +"hatakumbukwa" + +# Uhaini + +kosa ambalo mtu hutenda dhidi ya nchi au dhidi ya Mungu kwa lengo la kusaliti na kujitwalia heshima. + +# hivyo atakufa katika dhambi anaoutenda + +"Hivyo, atakufa kwa ajili yadhambi alizozitenda" + diff --git a/ezk/18/25.md b/ezk/18/25.md new file mode 100644 index 00000000..85c275e5 --- /dev/null +++ b/ezk/18/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kufa kwa sababu ya hayo ... kufa katika alioufanya + +Haya maneno yanarudia wazo la mtu anayekufa kwa sababu ya dhambi zake kuonyesha kwamba lilikuwa kosa lake na halikuwa kosa la mtu mwingine yeyote. + diff --git a/ezk/18/27.md b/ezk/18/27.md new file mode 100644 index 00000000..979a655b --- /dev/null +++ b/ezk/18/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# ameona + +ametambua jambo. + diff --git a/ezk/18/29.md b/ezk/18/29.md new file mode 100644 index 00000000..77aac3ad --- /dev/null +++ b/ezk/18/29.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kufundisha watu wa Israeli kwa nini njia zake ni za haki. + +# Je ni namna gani njia zangu haziko sawa, nyumba ya Israeli? + +"Huenda njia zangu zi sawa, watu wa Israeli." + +# Je, ni kwa namna gani njia yako haiko sawa? + +"Je, ni namna njia yako i sawa?" "Ni njia yako ambayo + +# kila mtu miongoni mwenu kulingana na njia zake + +"matendo la kila mtu." + +# ili msiwe + +"wao" inarejea kwa makosa ya watu wa Israeli. + diff --git a/ezk/18/31.md b/ezk/18/31.md new file mode 100644 index 00000000..bf617236 --- /dev/null +++ b/ezk/18/31.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na watu wa Israeli. + +# jifanieni moyo mpya na roho mpya + +"kujibadilisha kabisa ulivyo" + +# nyumba ya Israeli + +Tazama tafsiri yake katika 3:1. + +# hili ni tangazo la Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika 5:11. + diff --git a/ezk/19/01.md b/ezk/19/01.md new file mode 100644 index 00000000..510a98d5 --- /dev/null +++ b/ezk/19/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anamweleza Ezekieli kunena na watu wa Israeli. + diff --git a/ezk/19/05.md b/ezk/19/05.md new file mode 100644 index 00000000..6cde3640 --- /dev/null +++ b/ezk/19/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaenedela kuelezea taifa la Israeli kama simba jike na wafalme wa ufalme wa Yuda kama wanasimba wake. + +# hivyo alimchukua mwingine miongoni mwa watoto wake + +Sasa Yahwe anamlinganisha Yehoyakini na mwana simba mdogo. + +# Akawakamata wajane na kuiharibu miji + +Haya maelezo ni mfano kwa ajili ya Mungu akiruhusu maadui wa Israeli kuyafanya haya mambo. + +# na viijazvyo + +"na kila kitu katika huo" + diff --git a/ezk/19/08.md b/ezk/19/08.md new file mode 100644 index 00000000..cfebc65d --- /dev/null +++ b/ezk/19/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kulielezea taifa la Isaraeli kama simba jike na wafalme wa ufalme wa Yuda kama wana simba wake. + +# juu yake + +Neno "yeye" linarejea kwa mwana simba mdogo, anayemuwakilisha Yehoyakini. + +# kutoka mikoa inayozunguka + +"kutoka mikoa inayoizunguka nchi ya Israeli." + +# mikoa + +nchi zilizokuwa zimetawaliwa na Babeli + diff --git a/ezk/19/10.md b/ezk/19/10.md new file mode 100644 index 00000000..a897061a --- /dev/null +++ b/ezk/19/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mama + +Yahwe anaelezea taifa la Israeli ingawa ilikuwa mama wa wana wa Israeli. + +# mzabibu uliopandwa katika damu yako + +"damu" inawakilisha machafuko ya wafalme wa wafalme wa Yuda ambao waliwaua watu. + diff --git a/ezk/19/12.md b/ezk/19/12.md new file mode 100644 index 00000000..e79a92a6 --- /dev/null +++ b/ezk/19/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kulinganisha Israeli na mzabibu na viongozi wake pamoja na matawi imara ya mzabibu. + +# uliovunjika + +"amevunjika" + diff --git a/ezk/19/14.md b/ezk/19/14.md new file mode 100644 index 00000000..ca5dba83 --- /dev/null +++ b/ezk/19/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kulinganisha Israeli na mzabibu na viongozi wake pamoja na matawi imara ya mzabibu. + +# kutawala + +"kwamba mfalme angetumia kutawala" + diff --git a/ezk/20/01.md b/ezk/20/01.md new file mode 100644 index 00000000..e82f1e13 --- /dev/null +++ b/ezk/20/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ikawa + +Hili neno limetumika kuonyesha mwanzo wa sehemu ya mwanzo wa hadithi. + +# katika mwaka wa saba + +"katika mwaka wa uhamisho wa Mfalme Yohoyakini" + +# siku ya kumi ya mwezi wa tano + +Hii ni siku ya tano ya mwezi wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi ikaribu mwanzoni mwa mwazi wa Nane katika kalenda za magharibi. + +# mbele yangu + +"mbele yangu" + diff --git a/ezk/20/02.md b/ezk/20/02.md new file mode 100644 index 00000000..8d6bc7f4 --- /dev/null +++ b/ezk/20/02.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# Kama niishivyo + +Tazama tafsiri yake katika 5:11. + +# sitaulizwa swali na ninyi + +"Sitawaruhusu kuuliza ujumbe wowote kutoka kwangu." + diff --git a/ezk/20/04.md b/ezk/20/04.md new file mode 100644 index 00000000..5e08031a --- /dev/null +++ b/ezk/20/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Utawahukumu? Utamuhukumu, mwanadamu + +"Wahukumu, mwanadamu." + +# Ulikuwa ukitiririka maziwa na asali + +"Nchi yenye wingi wa maziwa na asali ikitiririka." "Ilikuwa nchi yenye rutuba sana." + diff --git a/ezk/20/07.md b/ezk/20/07.md new file mode 100644 index 00000000..9091482f --- /dev/null +++ b/ezk/20/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa viongozi wa Israeli. + +# kwao + +"kwa uzao wa nyumba ya Yakobo" + +# kutoka mbele ya macho yake + +Hili neno lina maanisha kwamba "kwamba anapenda" au "kwamba anaabudu." + diff --git a/ezk/20/08.md b/ezk/20/08.md new file mode 100644 index 00000000..1dde7187 --- /dev/null +++ b/ezk/20/08.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa viongozi wa Israeli. + +# wameasi juu yangu + +Neno "wao" linarejea kwa "uzao wa nyumba ya Yakobo." + +# hawakuwa tayari kunisikiliza + +"hawakuweza kunitii" + +# hivyo haikunajisi katika macho ya mataifa + +Hili neno linamaanisha "hivyo mataifa hayatafikiri kwamba jina langu halikuwa takatifu." + +# walikuwa wakiishi + +"walikuwa wakiishi." + +# Nilijifanya mwenyewe kujulikana kwao + +"Nimewaonyesha mataifa mimi ni nani" + +# katika macho yao + +"katika hali yakwamba mataifa wanaweza kuona" + +# kuwaleta + +"kuwaleta watu wa nyumba ya Yakobo" + diff --git a/ezk/20/10.md b/ezk/20/10.md new file mode 100644 index 00000000..8a89ae86 --- /dev/null +++ b/ezk/20/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wazee wa Israeli. + +# nimewapeleka + +Neno "wao" linarejea kwa "uzao wa nyumba ya Yakobo." + diff --git a/ezk/20/13.md b/ezk/20/13.md new file mode 100644 index 00000000..6f36550b --- /dev/null +++ b/ezk/20/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wazee wa Israeli. + +# mwaga ghadhabu yangu + +Tazama tafsiri yake katika 20:8 + +# nilifanya kwa ajili ya jina langu hivyo lisinajisiwe katika macho ya mataifa + +Tazama tafsiri yake katika 20:8. + diff --git a/ezk/20/15.md b/ezk/20/15.md new file mode 100644 index 00000000..4493a6bd --- /dev/null +++ b/ezk/20/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wazee wa Israeli. + +# nimeinua mkono wangu kuapa kiapo + +Tazama tafsiri yake katika 20:4. + +# kwao + +"kwa nyumba ya Israeli" + +# Lakini jicho langu lilikuwa na huruma kwao + +"Lakini bado nawahurumia." + +# kwa sababu ya uharibifu wao + +"lakini sikuwaharibu" + diff --git a/ezk/20/18.md b/ezk/20/18.md new file mode 100644 index 00000000..e95faab2 --- /dev/null +++ b/ezk/20/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wazee wa Israeli. + +# Msitembee kama wazazi wenu + +"Msifanye mambo ambayo wazazi wenu waliyawaamuru kuyafanya" + +# msitunze maagizo yao + +"msizitii kanuni zao" + +# tunza maagizo yangu na yatii! + +"Kutunza" maagizo ya Yahwe ni sawa na "kuyatii." + +# mtajua yakwamba mimi ni Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika 6:6. + diff --git a/ezk/20/21.md b/ezk/20/21.md new file mode 100644 index 00000000..b85bb5c1 --- /dev/null +++ b/ezk/20/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wazee wa Israeli. + +# Hawakuenenda katika amri zangu + +Tazama tafsiri hii katika 20:13. + +# hivyo nimeamua kumwaga ghadhabu yangu juu yao kutimiza ghadhabu yangu + +Tazama hii tafsiri katika 20:8. + diff --git a/ezk/20/23.md b/ezk/20/23.md new file mode 100644 index 00000000..06f9b581 --- /dev/null +++ b/ezk/20/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wazee wa Israeli. + +# nimeuinua mkono wangu kuapa juu yao + +Ilikuwa ni mazoea ya kawaida kuapa kiapo kwa kuinua mkono kuelekea mbinguni. + +# nitawatawanya kati ya maifa na kuwatawanya miongoni mwa nchi mabali mbali + +Tazama tafsiri hii katika 12:14. + +# Macho yao yalizitamani sanamu za baba zao + +"walikuwa na shauku ya kuabudu sanamu ambazo wazazi wao walizoziabudu." + diff --git a/ezk/20/25.md b/ezk/20/25.md new file mode 100644 index 00000000..335d7835 --- /dev/null +++ b/ezk/20/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wazee wa Israeli. + +# Kisha niliwapa amri ambazo hazikuwa nzuri, na maagizo ambayo hawakuweza kuishi kwayo + +Maneno amri katika hili neno halirejelei sheria ya Mungu. Mungu aliwaruhusu kuishi kwa sheria ya mwanadamu na hukumu ambazo hazikuwa nzuri. + +# kuwapatia + +Neno "wao" linarejea kwa watoto ambao Yahwe aliwatoa Misri. + +# kwa zawadi zao + +"kwa zawadi ambazo walizokuwa wamenipatia." + +# waweke kwenye moto + +Hii inamaanisha kutoa sadaka mtoto kwa sanamu kwa kuwachoma wakiwa hai. + diff --git a/ezk/20/27.md b/ezk/20/27.md new file mode 100644 index 00000000..9e35fa25 --- /dev/null +++ b/ezk/20/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nini maana ya mahali palipoinuka ambapo mmeleta sadaka huko + +"Hii ni mahali pa juu ambapo unatakiwa kuleta sadaka!" + +# jina lake linaitwa Bama + +"Watu wemeiita hapo mahali Bama" "Bama" maana yake "mahali pa juu," mahali kwa ajili kuabudu sanamu. + diff --git a/ezk/20/30.md b/ezk/20/30.md new file mode 100644 index 00000000..e4cd4d86 --- /dev/null +++ b/ezk/20/30.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa njumba ya Israeli. + +# weka wana wako kwenye moto + +Hii inamaanisha kutoa sadaka watoto kwa sanamu kwa kuwachoma wakiwa hai. + +# Hivyo kwa nini nikuache unihoji mimi ... Israeli? + +"Hauna haki ya kuniuliza ujumbe ... Israeli." + diff --git a/ezk/20/33.md b/ezk/20/33.md new file mode 100644 index 00000000..44482194 --- /dev/null +++ b/ezk/20/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli. + +# mkono wenye nguvu, mkono ulionyooshwa + +Maneno haya yote yanarejea kwa uweza mkubwa. + diff --git a/ezk/20/36.md b/ezk/20/36.md new file mode 100644 index 00000000..92e13701 --- /dev/null +++ b/ezk/20/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli. + diff --git a/ezk/20/39.md b/ezk/20/39.md new file mode 100644 index 00000000..b9e7a63f --- /dev/null +++ b/ezk/20/39.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli. + +# nyumba ya Israeli + +Tazama jinsi ya kutafsiri hii katika 3:1. + +# kunisikiliza + +"kunitii" au "kuvuta usikivu kwangu" + diff --git a/ezk/20/40.md b/ezk/20/40.md new file mode 100644 index 00000000..bc0381b3 --- /dev/null +++ b/ezk/20/40.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli. + +# kutaka + +"kulazimu kuleta" + +# malimbuko ya kodi zenu + +Hapa "malimbuko" huenda inamaanisha vitu bora miongoni mwa sadaka zote zilizowekwa pembeni kutoa kwa Mungu. + +# vitu vyako vitakatifu + +"sadaka ulizoziweka pembeni kunitolea" + +# nitakapowatoa kutoka wale watu na kuwakusanya toka nchi ambazo mlizotawanyika + +Haya maneno mawili yanamaanisha kitu kimoja na kusisitiza kwamba Yahwe atawarudisha watu wake kutoka mataifa yote ambayo aliyokuwa amewatawanya. + +# mlikuwa mmetawanyika + +"nimewatawanya." + +# Nitajifunua mimi mwenyewe kama mtakatifu ndani yenu kwa ajili ya mataifa waone + +"nitakutumia kuonyesha mataifa kwamba mimi ni mtakatifu" + diff --git a/ezk/20/42.md b/ezk/20/42.md new file mode 100644 index 00000000..96bf00dd --- /dev/null +++ b/ezk/20/42.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpataia Ezekieli ujumbe wake kwenye nyumba ya Israeli. + +# inua mkono wangu + +Hili neno linamaanisha "nimeapa" au "nimeahidi." + +# mtajua kuwa mimi ndimi Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika 6:6. + +# hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo. + +Tazama tafsiri yake katika 5:11. + diff --git a/ezk/20/45.md b/ezk/20/45.md new file mode 100644 index 00000000..bca0bfec --- /dev/null +++ b/ezk/20/45.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + diff --git a/ezk/20/48.md b/ezk/20/48.md new file mode 100644 index 00000000..a4a35413 --- /dev/null +++ b/ezk/20/48.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwenye msitu wa Negevu. + +# wataona + +"wataelewa" + +# Ee + +neno linaloonyesha kuteseka au huzuni + +# e! yeye sio mwenye kusema mafumbo? + +Anaeleza hadithi" + diff --git a/ezk/21/01.md b/ezk/21/01.md new file mode 100644 index 00000000..f1768ce1 --- /dev/null +++ b/ezk/21/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mwana wa adamu + +"Mwana wa mwanadamu" Mungu anamuita Ezekieli hivi kusisitiza kwamba Ezekieli ni mwanadamu tu. Mungu ana uwezo na huishi milele, lakini watu hapana. + +# neno la Yahwe likanijia + +"Yahwe akanipatia ujumbe." + +# weka uso wako kulekea Yerusalemu + +Hii ni lahaja. Hii inamaanisha kwamba Yahwe anatupa hukumu juu ya Yerusalemu na kunena hukumu juu yake. + +# Nitautoa upanga wangu kutoka kwenye ala yake na kuwakatilia mbali wote yaani mtu mwenye haki na mtu mwovu kutoka kwako + +Hii inazungumzia Yahwe akiwafanya hawa watu kufa kana kwamba amewaua kweli kwa upanga wake mwenyewe. + +# mtu mwenye haki na mtu mwovu kutoka kwako! + +watu wenye haki na watu waovu." Hii inarejea kwa watu wengi, sio mtu mmoja menye haki na mtu mmoja mwovu. + +# ala + +kitu kinachoshikilia na kufunika upanga wakati unapokuwa hautumiki + +# katilia mbali + +Hii inamaanisha kuua "ua" + diff --git a/ezk/21/04.md b/ezk/21/04.md new file mode 100644 index 00000000..a90d1dc4 --- /dev/null +++ b/ezk/21/04.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe kwa nchi ya Israeli. + +# katilia mbali + +Hii inamaanisha kuua "ua" + +# mwenye haki ... mwovu + +Hii inarejea kwa watu wenye haki na waovu. "wale ambao ni wenye haki ... wale walio waovu" au "watu wenye haki ... watu waovu" + +# kutoka kwako + +"miongoni mwako" + +# upanga wangu utatoka kutoka kwenye ala yake dhidi ya + +Hii inamzungumzia Yahwe akifanya hawa watu kufa kana kwamba amewau hasa kwa upanga wake mwenyewe. + +# wenye miili wote + +Hapa "mwili" ni mfani kwa "watu" "watu wote" + +# kutoka kusini kwenda kaskazini + +Hii inarejea kwa eneo la kaskazini, na kusini, na maeneo yote ya katikati. "katika kila uelekeo" "kila mahali" + +# kwamba mimi, Yahwe, nimeutoa upanga wangu kutoka kwenye ala yake + +Hii inamwongelea Yahwe akisababisha watu kufa kana kwamba amewaua kweli kwa upanga wake. + +# Hautarudi tena + +Hii inamzungumzia Yahwe haurudishi upanga wake kutoka kuwashambulia watu kana kwamba upanga ulikuwa mtu ambaye hakuwa ameshikilia upanga wenyewe kuurudisha kutoka kushambulia. + diff --git a/ezk/21/06.md b/ezk/21/06.md new file mode 100644 index 00000000..ea88a9c2 --- /dev/null +++ b/ezk/21/06.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe ananena na Ezekieli. + +# mwana wa adamu + +"mwana wa mwanadamu" + +# gumia kama kuvunjika kwa viuno vyako + +Yahwe anamwambia Ezekieli kugugumia kama ishara ya kuusindikiza ujumbe wake. Anamwambia kugugumia kwa kina kana kwamba tumbo lake lilikuwa kwenye maumivu makubwa sana. + +# Katika uchungu wa gumia + +"Kwa huzuni kubwa" + +# mbele ya macho yao + +Hapa Waisraeli wanarejelewa kwa "macho" yao kusisitiza kile wakionacho. "mbele yao" au "mbele ya watu wa Israeli" + +# ile habari inayokuja + +Hii inazungumzia "habari" kana kwamba ilikuwa mtu ambaye alikuwa akija kwao punde. + +# kwa kila moyo utakaozimia + +Hii inazungumzia watu kuogopa kana kwamba mioyo yao ilikuwa ikizimia. + +# utasita + +"utakuwa dhaifu" + +# Kila roho itazimia + +Hii inazungumzia watu kuwa na hofu katika roho zao kana kwamba roho zao zilitaka kuzimia. + +# kila goti litatiririka kama maji + +"kila goti litakuwa dhaifu kama maji" + diff --git a/ezk/21/08.md b/ezk/21/08.md new file mode 100644 index 00000000..cca92d39 --- /dev/null +++ b/ezk/21/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe ananena neno lake." + +# Utachongwa na kung'aa + +"Li kali na lililosuguliwa." Hili neno linaonyesha kwamba upanga u tayari kwa ajili ya mtu kuutumia. + +# kung'aa + +Mtuu kuufanya upanga laini, unaong'aa, na safi kwa kuusugua kwa kwa kifaa kinacho kwaruza + diff --git a/ezk/21/10.md b/ezk/21/10.md new file mode 100644 index 00000000..c49d501d --- /dev/null +++ b/ezk/21/10.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Yerusalemu na wa nchi ya Israeli. + +# Utanolewa ... utang'arishwa ili + +"nitaunoa ... nitaunoa ili kwamba uta" + +# ili uwe kama mng'ao wa radi + +Hii inamaanisha kwamba utang'aa sana huo mwanga utaakisi na kung'aa. "Hivyo utawaka kama nuru" + +# Je! Tufanye furaha katika fimbo ya mwana wa mfalme? + +Hili swali lisilohitaji majibu linasisitiza kwamba watu wa Israeli hawatasheherekea uwezo wa ufalme wao, kwa sababu hautaweza kuupitisha "upanga." + +# Tuta + +Neno "sisi" linamrejea Ezekieli na watu wa Israeli. + +# katika mwana wangu wa kifalme + +Hapa Yahwe anarejea kwa mfalme wa Yuda kama mwana wake. Fimbo ya mfalme inawakilisha utawala wake kama mfalme. + +# Upanga ujao huchukia kila hiyo fimbo + +Hapa neno "upanga" Hii inazungumzia mfalme kutoweza kuupitisha "upanga" kama "upanga" unauichukia fimbo ya mfalme. + +# hiyo fimbo + +Hili neno limetumika kuidhihaki fimbo ya mfalme kwa kuiita "fimbo." "hiyo fimbo" + +# upanga utatolewa kung'arishwa + +"nitaung'arisha upanga" + +# kisha kushikika kwa mkono + +"kisha mtu sahihi ataushika katika mkono wake" + +# utatolewa kwenye mkono wa yule auaye + +"u tayari kwa ajili ya matumiziya kuua" + diff --git a/ezk/21/12.md b/ezk/21/12.md new file mode 100644 index 00000000..1e66bc92 --- /dev/null +++ b/ezk/21/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe kwa watu wa Yerusalemu na nchi ya Israeli. + +# Wametolewa dhidi ya upanga pamoja na watu wangu + +"Wameuawa kwa upanga pembeni ya watu wangu" + +# lakini itakuwaje kama fimbo ya kifalme haitakuwepo tena? + +"na itakuwa hofu kubwa sana kama upanga utaiharibu fimbo na fimbo ikaenda." + diff --git a/ezk/21/14.md b/ezk/21/14.md new file mode 100644 index 00000000..f8df0cdc --- /dev/null +++ b/ezk/21/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake. + +# Upanga kwa wale watakaochinjwa + +"Upanga kwa ajili ya kuchinja watu." + +# ukiwatoboa + +Neno "wao" linarejea kwa watu wa Yerusalemu na wa nchi ya Israeli. + diff --git a/ezk/21/15.md b/ezk/21/15.md new file mode 100644 index 00000000..617b6f5f --- /dev/null +++ b/ezk/21/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Yuerusalemu na wa nchi ya Israeli. + +# kuongeza kuanguka kwao + +Hapa "kuanguka" inarejea kwa watu kuuawa katika vita. "kuwaua watu miongoni mwao" + +# malango yao + +Neno "yao" inarejea kwa watu wa Yerusalemu. + +# Wewe, upanga! Nyooka upande wa kuume! ...Nenda popote ulipoelekeza uso wako + +Ipo kama Yahwe alikuwa akinena na upanga. + +# popote ulipoelekeza uso wako + +"Popote nilipoelekeza ubapa wako." + +# uso wako + +Hapa "uso" inasimama kwa ajili ya makali ya upanga. + diff --git a/ezk/21/18.md b/ezk/21/18.md new file mode 100644 index 00000000..14010ce4 --- /dev/null +++ b/ezk/21/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# mwana wa adamu + +Tazama tafsiri ya hii katika 2:1. + +# upanga + +"vita." + diff --git a/ezk/21/21.md b/ezk/21/21.md new file mode 100644 index 00000000..61eb0418 --- /dev/null +++ b/ezk/21/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake. + +# mitambo ya kubomolea + +mashine kubwa ambazo watu walizitumia kuangusha chini kuta au minara + +# juu yake + +"juu ya Yerusalemu + +# kujenga ngazi + +Hizi zilikuwa ngazi kubwa ambazo mfalme wa babeli alizijenga ili kwamba maaskari wake waweze kuingia kwenye kuta za Yerusalemu. + +# minara ya boma + +Hii ilikuwa minara ya mbao ambayo mfalme wa Babeli aliijenga kuzunguka Yerusalemu kuwawezesha maaskari wa Babebli kurusha mishale juu ya kuta za Yerusalemu. + diff --git a/ezk/21/24.md b/ezk/21/24.md new file mode 100644 index 00000000..144e765c --- /dev/null +++ b/ezk/21/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Yerusalemu. + +# Kwa sababu umeuleta uovu wako kwenye kumbukumbu zangu + +"Kwa sababu umenikumbusha uovu wako" + +# uovu wako kwenye kumbukumbu zangu, makosa yenu yatafunuliwa! Dhambi zenu zitaonekana katika matendo yenu yote + +"kwa kuufunua uovu wako, dhambi zako zitaonyeshwa wazi kwa kila mtu." + +# Kwa sababu hii utamkumbusha kila mtu kwamba + +"Kwa sababu hii kila mtu ataelewa kwamba" + +# utatekwa kwa mkono wa adui zako + +"mfalme wa Babeli atakuteka." + diff --git a/ezk/21/25.md b/ezk/21/25.md new file mode 100644 index 00000000..c06dff47 --- /dev/null +++ b/ezk/21/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anampatia Ezekieli ujumbe wake kwa mtwala wa Israeli. + +# siku ya nani inakuja + +Hili neno linamaanisha "sasa Yahwe atamwadhibu nani." + +# mda wa nani wa kufanya dhambi umekoma + +"mda wakati Yahwe akomeshapo uovu" + +# kilemba + +kipande cha nguo kizuri ambacho mfalme huvaa kwenye vichwa vyao kama ishara ya mamlaka yao + +# tukuza unyenyekevu + +"na tukuza ya chini" + diff --git a/ezk/21/28.md b/ezk/21/28.md new file mode 100644 index 00000000..8b46d5b6 --- /dev/null +++ b/ezk/21/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mwana wa adamu + +Tazama tafsiri yake katika 2:1. + +# umetolewa + +"umtolewa nje ya ala yake" + +# Wakati manabii waonapo maono kwa ajili yako + +Neno "wew" inarejea kwa taifa la Amoni. + +# maono matupu + +"maono ya uongo" + diff --git a/ezk/21/30.md b/ezk/21/30.md new file mode 100644 index 00000000..aa51a212 --- /dev/null +++ b/ezk/21/30.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Amoni. + +# ala + +tazama tafsiri yake katika 21:1. + +# Katika mahali pako pa uumbaji + +"Katika mahali ambapo nilipo kuumbia" + diff --git a/ezk/21/32.md b/ezk/21/32.md new file mode 100644 index 00000000..2770a3a8 --- /dev/null +++ b/ezk/21/32.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Amoni. + +# Utakuwa kuni kwa ajili ya moto + +"Moto utakuchoma" + diff --git a/ezk/22/01.md b/ezk/22/01.md new file mode 100644 index 00000000..2f2ff2f4 --- /dev/null +++ b/ezk/22/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# Sasa wewe, mwanadamu, Je! Utanihukumu? Utauhukumu mji kwa damu? + +"Mwana wa adamu, nenda kahukumu. Nenda na uhukumu mji wa damu." + +# mji wa damu + +Yahwe anarejea kwa Yerusalemu kama mji wa damu. Hii inarejea kwa wauaji na machafuko yaliyotokea katika Yerusalemu. + +# yeye ... yeye mwenyewe + +Neno "yeye" linairejea Yerusalemu. Miji ilikuwa ikifikiriwa kama mwanamke. Hii inaendelea hadi mstari wa 32. + diff --git a/ezk/22/04.md b/ezk/22/04.md new file mode 100644 index 00000000..da9f8912 --- /dev/null +++ b/ezk/22/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaenedela kunena na Ezekieli kwa watu wa Yerusalemu. + +# Kwa kuwa umezileta karibu siku zako na kuzikaribia miaka yako ya mwisho + +Maneno haya yote yanamaanisha kwamba wakati mda Yahwe atakapoiadhibu Yerusalemu u karibu. + +# kujaa machafuko + +watu wengi katika Yerusalemu wamechanganyikiwa + diff --git a/ezk/22/06.md b/ezk/22/06.md new file mode 100644 index 00000000..efdb7d41 --- /dev/null +++ b/ezk/22/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anazungumzia kuhusu mtawala wa Israeli katika Yerusalemu. + +# Tazama + +"Tazama" au "Sikia" au "Vuta usikivu kwa kile ninachotaka kukwambia." + +# wamekuja kwako ... kati yako + +Hili neno "wewe" na "yako" inarejea kwa Yerusalemu. + +# wamekula kwenye milima + +Hapa "milima" linarejea kwa madhabahu kwa sanamu ambazo zi juu ya milima. Wakala nyama ambazo zilizokuwa zimetolewa kwa sanamu kwa ajili ya kuwa na baraka ya miungu. + +# Wamefanya uovu kati yako + +Hii inamaanisha kwamba wanafanya mambo maovu ndani ya mji wa Yerusalemu. + diff --git a/ezk/22/10.md b/ezk/22/10.md new file mode 100644 index 00000000..965c04fd --- /dev/null +++ b/ezk/22/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kupitia Ezekieli kuhusu mambo mabaya ambayo watu wa Yerusalemu waliyoyafanya. + +# ninyi ... wao + +Hivi viwakilishi majina vinarejea kwa Yerusalemu (watu wa Yerusalemu). + +# Uchi wa baba umefunuliwa + +Huyu ni mke wa baba. Ni uchi ambao unaomaanisha kwa yeye kuona. + +# Wamemtukana ... waliofanya machukizo pamoja ... kuwafanya uchafu wa aibu kwa mke wa mwanao mwenyewe + +uchafu wa aibu** - Hizi ni njia zote za kueleza kwamba wanaume wamelala na wanwake ambao hawakutakiwa na jinsi matendo yao ya dhambi yalivyo. + +# vutia + +Hili neno linarejea kwenye pesa zilizolipwa na mtu kutumia pesa iliyoazimwa. Ingawa baadhi ya baadhi ya matoleo ya kisasa yanatafsiri "kuvutia" katika kifungu hiki kama "kuvutia sana." + +# umenisahau + +kukataa kumtii Yahwe ni kama kusahau kwamba anaishi. + diff --git a/ezk/22/13.md b/ezk/22/13.md new file mode 100644 index 00000000..edfd103f --- /dev/null +++ b/ezk/22/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na watu wa Yerusalemu kwa kunena moja kwa moja na mji wa Yerusalemu. + +# nimeipiga faida mdanganyifu ... damu + +Neno "piga" linarejea kwa Yahwe kuchukua uamuzi juu ya hivi vitu. + +# e! Moyo wako utasimama, mikono yako itakuwa hodari katika siku wakati mimi mwenyewe nitakapo kushughulikia? + +"Moyo wako hautasiamama, mikono yako haitakuwa imara katika siku wakati mimi nitakapo shughulika na wewe. + +# nitakutawanya kati ya mataifa na kukutawanya kati ya nchi mbali mbali + +Tazama tafsiri yake katika 12:14. + +# safisha + +toa kitu ambacho hakitakiwi. + +# katika macho ya mataifa + +"katika wazo la watu katika mataifa mengine" + diff --git a/ezk/22/17.md b/ezk/22/17.md new file mode 100644 index 00000000..fe1e6e5f --- /dev/null +++ b/ezk/22/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# takataka + +"haina thamani" + +# Wote wamekuwa masazo ya shaba na bati, na chuma na risasi kati yenu + +"Watu wote waliokuzunguka hawana thamani" + diff --git a/ezk/22/20.md b/ezk/22/20.md new file mode 100644 index 00000000..08321f97 --- /dev/null +++ b/ezk/22/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mungu anaendelea kueleza adhabu yake ya watu kama Yerusalemu kama vitu vilivyokuwa vimeyeyushwa na kusafishwa katika tanuu. + +# Nitakuyeyusha + +Adhabu ya Mungu inarejewa kama moto wa tanuu unaoisafisha Yerusalemu kama tanuu inayoisambaratisha vifaa isiyo na thamani kutoka vifaa vyenya thamani wakati wanapoiyeyusha. + diff --git a/ezk/22/23.md b/ezk/22/23.md new file mode 100644 index 00000000..90a59a50 --- /dev/null +++ b/ezk/22/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anamwambia Ezekieli kunena na Yerusalemu. + +# Neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# Hakuna mvua katika siku ya ghadhabu + +Mvua imetumika kama mfano wa baraka ya Mungu. "Hakuna baraka katika siku ya ghadhabu" + +# njama + +mpango wa siri wa watu wawili au zaidi kufanya kitu kiumizacho au kuvunja sheria. + diff --git a/ezk/22/26.md b/ezk/22/26.md new file mode 100644 index 00000000..1d16112b --- /dev/null +++ b/ezk/22/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# yeye + +Hiki kiwakilishi cha jina kinarejea kwa Yerusalemu. + +# Wamemwaga damu na kuharibu maisha + +Haya maneno mawili kimsingi yanamaanisha kitu kimoja na kusisitiza machafuko ambayo wana mfalme wa Yerusalemu wanayoyafanya. "Wanawaua watu" + diff --git a/ezk/22/30.md b/ezk/22/30.md new file mode 100644 index 00000000..64b2c14c --- /dev/null +++ b/ezk/22/30.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anawalinganisha viongozi wa Yerusalemu kwenye ukuta na yeye mwenyewe kwa kushambilia jeshi. + +# mtu kutoka kwao ambaye ataweza kujenga ukuta + +kiongozi akijikabidhi yeyey mwenyewe kati ya Yahwe na watu kwa kuchukua wajibu kuwaongoza kurudi kutoka kwenye haki. "mtu kutoka kwao ambaye ataweza kufanya kama ukuta" + +# kusimama mbele yangu katika uvunjaji wake + +kusimama katika mahali ukuta ulipo vunjika. Kiongozi anawatetea watu wa Israeli ni kama shujaa kuutetea mji katika vita. + +# nitaimwaga ghadhabu yangu juu yao! + +huku itakayoweza kumwagwa kama maji kutoka kwenye bakuli. + +# moto wa ghadhabu yangu + +hukumu ya Mungu ni kama moto kwa sababu ni kali sana. + +# weka njia zao katika vichwa vyao wenyewe + +Kuweka kitu juu ya kichwa cha mtu inarejea kwa kuwafanya kuibeba au kuchukua wajibu kwa kuweja juu yake. "wafanye kuchukua wajibu kwa kile walichokifanya" + diff --git a/ezk/23/01.md b/ezk/23/01.md new file mode 100644 index 00000000..8986edef --- /dev/null +++ b/ezk/23/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anamwambia Ezekieli hadithi kuhusu mabinti wawili katika Misri kuelezea jinsi alivyoona tabia ya watu wa Israeli. + +# Neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# maziwa yao yalikuwa yamebanwa + +"Wanaume waliyabana maziwa yao." + +# ubikira wa chuchu zao zilipapaswa huko + +Kimsingi haya maneno yanamaanisha kitu kimoja kama neno lililopita na kusisitiza tabia mbaya ya wasichana wawili. + +# papaswa + +kushikwa pole pole + +# Ohola + +Hili ni jina la kike linalomaanisha "hema yake." + +# Oholiba + +Hili ni jina la kike linalomaanisha "hima yake yu katikati yake." + diff --git a/ezk/23/05.md b/ezk/23/05.md new file mode 100644 index 00000000..87702bd0 --- /dev/null +++ b/ezk/23/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendela kumweleza Ezekieli hadithi yake kuhusu uznifu wa mke wake Ohola. + +# nguvu + +"katika utawala" + +# watu bora wote wa Ashuru + +Hii inatambulisha mwenye neno "wao" inarejewa kwa. + diff --git a/ezk/23/08.md b/ezk/23/08.md new file mode 100644 index 00000000..1e4da6fe --- /dev/null +++ b/ezk/23/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumweleza Ezekieli kuhusu uzinifu wa mke wake Ohola + +# wakati walipoanza kummwagia tabia ya uzinzi + +Neno "mwaga" linatumia wazo la maji kumwagwa kueleza kitu kikitokea katika mlima mkubwa. + +# kwenye mkono wa mpenzi wake, kwenye mkono wa Waashuru + +Neno "mkono" linarejea kwa nguvu au mamlaka. Neno la pili linaeleza kwamba "wapenzi wake" walikuwa "Waashuru." + diff --git a/ezk/23/11.md b/ezk/23/11.md new file mode 100644 index 00000000..f72f7f6e --- /dev/null +++ b/ezk/23/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe akaanza kumweleza Ezekieli kuhusu uzinifu wa mke wake Oholiba, dada yake na Ohola. + +# Oholiba + +Hili ni jina la kike linalomaanisha "hima yake yu katikati yake." + +# waliokuwa wamevaa ngua za ushawishi, walikuwa watu waendesha farasi + +Maneno haya yote yanaelezea watu ambao ni matajiri. "waliokuwa matajiri" + +# Ilikuwa kama kwa dada wote + +"Dada wote wakawa najisi kupitia matendo yao ya ukahaba" + diff --git a/ezk/23/14.md b/ezk/23/14.md new file mode 100644 index 00000000..846963c8 --- /dev/null +++ b/ezk/23/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kueleza hadithi kuhusu mke wake mzinifu Oholiba kwa Ezekieli. + +# vilemba + +chepeo zilizotengenezwa kwa nguo ndefu na kufunika juu ya kichwa cha mtu. + diff --git a/ezk/23/16.md b/ezk/23/16.md new file mode 100644 index 00000000..51b773a3 --- /dev/null +++ b/ezk/23/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kueleza hadithi kuhsu mke mzinifu Oholiba kwa Ezekieli. + +# basi akageuka mwenyewe kutoka kwao katika karaha + +"mohemko yake kuhusu wao ilibadilika kutoka kutamani hata karaha" + diff --git a/ezk/23/18.md b/ezk/23/18.md new file mode 100644 index 00000000..64527093 --- /dev/null +++ b/ezk/23/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# akakumbuka na kutafakari siku za ujana wake + +"kumbuka na kufanya vitu vile vile kama alivyokuwa amefanya wakati alipokuwa kijana" + diff --git a/ezk/23/20.md b/ezk/23/20.md new file mode 100644 index 00000000..125f41fe --- /dev/null +++ b/ezk/23/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anamalizia kuzungumzia kuhusu Oholiba na Waashuri na kuanza kuzungumza na Oholiba. + +# ambao sehemu zao za siri zilikuwa kama zile za punda, na kile kizaliwacho hutoka kilikuwa kama wale farasi + +ili kuonyesha jinsi Oholiba alivyokuwa na tamaa ya kutamani. + diff --git a/ezk/23/22.md b/ezk/23/22.md new file mode 100644 index 00000000..6c2fb39f --- /dev/null +++ b/ezk/23/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tazama + +"Ona" au "Sikiliza" au "Kuwa makini kwa kile ninachotaka kukuambia." + +# Pekodi, Shoa, na Koa + +Haya ni makundi ya watu waliooshi Babeli. + diff --git a/ezk/23/24.md b/ezk/23/24.md new file mode 100644 index 00000000..70792b85 --- /dev/null +++ b/ezk/23/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sialaha + +Neno la Kiebrani hapa limetafsiri kama "silaha" ni adimu. Matoleo mengi ya kisasa yanaitafsiri katika njia hii, lakini baadhi ya matoleo yameiacha kama ilivyo. + +# Watapanga ngao kubwa, ngao ndogo, na kofia za chuma juu yako + +Hizi njia za utetezi zimetumika kurejea kwa aina tofauti tofauti za maaskari katika jeshi. + +# Wataikata pua yako na maskio yako + +Hii inaelezea adhabu katika Babeli kwa mwanamke aliyeoolewa ambaye alilala na wanaume ambao sio waume zao. "Watawaadhibu kama wazinzi" + diff --git a/ezk/23/26.md b/ezk/23/26.md new file mode 100644 index 00000000..43870973 --- /dev/null +++ b/ezk/23/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hutayainuja macho yako + +Hii ni njia ya kumrejea mtu kugeuza kichwa chao kutazama kitu. "Hutaona" + +# hutaikumbuka Misri tena + +Hili nenao "fikiria Misri" linarejea kwa matendo ya kikahaba aliyojifunza katika Misri. Hatawafikiria tena kwa sababu amejifunza hawatampatia vitu vizuri ambavyo Wamisri, na Waashuru walivyonavyo. Badala yake, matendo ya kikahaba vimemsababisha yeye kuadhibiwa na hatataka kufikiria kuhusu kuwafanya tena. + diff --git a/ezk/23/28.md b/ezk/23/28.md new file mode 100644 index 00000000..5dec2a91 --- /dev/null +++ b/ezk/23/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tazama + +Neno "tazama" hapa linamalizia kusisitiza kile kinachofuata. + +# uchi na kuweka wazi + +Haya maneno mawili yanamaanisha jambo moja na kusisitiza kwamba atakuwa uchi kabisa. + +# tabia yako ya aibu na uzinzi wako + +Haya maneno yote yanaelezea ukahaba wake na kusisitiza jinsi tabia yake hii ilivyokuwa mbaya. + diff --git a/ezk/23/30.md b/ezk/23/30.md new file mode 100644 index 00000000..dd8109c3 --- /dev/null +++ b/ezk/23/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# umetenda kama kahaba, tamaa za mataifa + +Oholiba anatenda kama kahaba pamoja na mataifa kwa sababu wanaume aliolala nao ni alama ya utajiri na nguvu ya haya mataifa. + +# nitakiweka kikombe chake + +Neno "kikombe" linajea kwa hukumu ya Oholiba. Inawakilisha kitu alichokipokea. + diff --git a/ezk/23/32.md b/ezk/23/32.md new file mode 100644 index 00000000..696ac990 --- /dev/null +++ b/ezk/23/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Utakinyea kikombe cha dada yako + +Kunywa kutoka kikombe kimoja ni njia nyingine ya kusema watazoea jambo moja. "Utazoea hukumu ileile kama dada yako" + +# ambacho ni kirefu na kikubwa + +Hii inarejea kwa kiasi cha hukumu kilichopokelewa. "hiyo ni kali" + +# dhihaka ... kitu kwa ajili ya dhihaka + +maneno haya yoye yanarejea kwa mtu anayechekwa na + +# kikombe kimejaa kiasi kikubwa + +Hii sentensi haisemi nini kilichopo katika kakombe kwa sababu imeeleweka kwa kusoma 23:30. + diff --git a/ezk/23/33.md b/ezk/23/33.md new file mode 100644 index 00000000..c036694e --- /dev/null +++ b/ezk/23/33.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kikombe cha ushangao na uharibifu + +"kikombe kinachosababisha mshangao na uharibifu." neno "uharibifu" na "mshangao yanashirikiana maana moja hapa na kusisitiza jinsi hukumu yake itakavyokuwa ya kutisha. + +# kikombe cha dada yako Samaria + +Oholiba dada yake na Ohola amewakilisha Samaria. Samaria imeitwa kwa jina lake lakini bado inarejelewa kama dada. Kikombe ni ishara ya adhabu aliyoipokea. + +# hivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo + +Tazama jinsi ya ilivyotafsiriwa katika 5:11. + diff --git a/ezk/23/35.md b/ezk/23/35.md new file mode 100644 index 00000000..fcf56986 --- /dev/null +++ b/ezk/23/35.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# na kunitupa mbali nyumba ya mgongo wako + +Yahwe anasema Oholiba hajali kuhusu yeye. + diff --git a/ezk/23/36.md b/ezk/23/36.md new file mode 100644 index 00000000..3d7b2249 --- /dev/null +++ b/ezk/23/36.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwanadamu, Je! utamhukumu Ohola na Oholiba? + +"Mwanadamu, utamuhumu Ohola na Oholiba!" + +# kuna damu juu ya vichwa vyao + +Damu ni matokea ya kuwaua watu, na kwa hiyo inawakilisha mauaji. "Wamewaua watu." + diff --git a/ezk/23/38.md b/ezk/23/38.md new file mode 100644 index 00000000..dddbd845 --- /dev/null +++ b/ezk/23/38.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe ananena na Ezekieli kuhusu Ohola na Oholiba. + +# na katika siku hiyo hiyo wakainajisi Sabato zangu + +Neno "siku hiyo hiyo" linarejea kwa neno lililopita "fanya patakatifu pangu najisi." "na juu ya siku hiyo hiyo wamepafanya patakatifu pangu najisi, wamezinajisi Sabato zangu" + +# wakaja hata patakatifu pangu siku hiyo hiyo kupanajisi + +"wakaja kupanajisi patakatifu pangu siku hiyo hiyo wakiwachinja watoto wao kwa ajili ya miungu yao" + +# tazama! + +Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kifuatacho. "hasa!" + diff --git a/ezk/23/40.md b/ezk/23/40.md new file mode 100644 index 00000000..db8d16c2 --- /dev/null +++ b/ezk/23/40.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ezekieli ananena na Ohola na Oholiba. + +# tazama! + +"tazama" au "sikiliza" au "kuwa makini kwa kile ninachotaka kukueleza!" + +# uliojiosha kwa ajili yao, uliweka rangi macho yako, na kujipamba kwa mapambo ya vito + +Haya mabo yalifanywa na mwanamke mmoja kumfanya aonekane mrembo zaidi kwa mwanamume. + +# ubani wangu na mafuta yangu + +vitu vilivyotumika katika kumwabudu Yahwe. + diff --git a/ezk/23/42.md b/ezk/23/42.md new file mode 100644 index 00000000..34784e61 --- /dev/null +++ b/ezk/23/42.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sauti za kundi la watu waliokuwa pamoja na wapiganaji zilikuwa pamoja nawe + +Sauti za kundi la watu imetumika kurejea kwa kundi la watu. + +# walevi + +watu ambao mara nyingi hulewa. Ingawa baadhi ya matoleo ya kisasa yanatafsiri Washeba," ambayo ni, watu kutoka Sheba. + +# mapambo + +pamba au kuchonga kufanya nzuri zaidi. + diff --git a/ezk/23/43.md b/ezk/23/43.md new file mode 100644 index 00000000..b0b644ad --- /dev/null +++ b/ezk/23/43.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# juu yake aliyekuwa ameonywa kwa uzinzi + +juu yake aliyekuwa ameonywa kwa uzinzi** -Ezekieli anarejea kwa Ohola na Ohobila pamoja na maelezo. + +# walivyokuwa kama kahaba yeyote + +"walipokuwa wakimpenyeza kahaba yeyote" + +# wana damu juu ya vichwa vyao + +Hili neno linatumia ushahidi wa nguvu kusema wana nguvu ya hatia. + diff --git a/ezk/23/46.md b/ezk/23/46.md new file mode 100644 index 00000000..ed133af1 --- /dev/null +++ b/ezk/23/46.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# inua kundi la watu + +Hili neno "inua" linarejea kuongeza hesabu ya watu. "kusanya kundi kubwa la watu" + +# kuwatoa + +Yahwe anatoa wajibu kuwaangalia na kuwaruhusu kutaabika kwa uchaguzi wao. + +# kuwa kitisho na kuteka nyara + +"kwa kundi kutisha na kuwateka nyara." + diff --git a/ezk/23/48.md b/ezk/23/48.md new file mode 100644 index 00000000..f378d5de --- /dev/null +++ b/ezk/23/48.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# weka tabia yenu ya aibu juu yenu + +"kuwafanya kukubali majukumu kwa ajili ya tabia zenu za aibu" + +# chukua hatia ya dhambi zenu + +"kubali majukumu kwa ajili ya hatia ya dhambi zenu" + diff --git a/ezk/24/01.md b/ezk/24/01.md new file mode 100644 index 00000000..3cfd8cb2 --- /dev/null +++ b/ezk/24/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe ananena na Ezekieli. + +# Neno la Yahwe likanijia + +"Yahwe akanena neno lake." + +# katika mwaka wa tisa + +"katika mwaka wa tisa wa uhamisho wa Mfalme Yehoyakini" + +# mweziwa kumi, na katika siku ya kumi ya mwezi + +"siku ya kumi ya mwazi wa kumi." Huu ni mwezi wa kumi wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi ni karibu na mwanzoni mwa mwezi wa kwanza katika kalenda za Magharibi. + +# mfalme wa Babeli ameizingira Yerusalimu + +Jeshi la Babeli linarejewa kwa sababu ya kiongozi wake. + diff --git a/ezk/24/03.md b/ezk/24/03.md new file mode 100644 index 00000000..c4310383 --- /dev/null +++ b/ezk/24/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# jaza mifupa chini yake + +Baadhi ya tamaduni huchoma mifupa kuichoma kwa sababu huungua mda mrefu kuliko kuni. + diff --git a/ezk/24/06.md b/ezk/24/06.md new file mode 100644 index 00000000..d6b30fbd --- /dev/null +++ b/ezk/24/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# chungu kinachopikwa + +Yahwe anailinganisha Yerusalemu na chungu kinachopikwa. + +# kutu + +ni kitu chekundu kilichotengenezwa juu ya chuma. Kutu hula chuma na mwishowe huiharibu chuma + +# Chukua + +Yahwe hatoi hii amri kwa mtu maalumu, badala yake anaamuru baadhi picha ya mtu ambaye ni sehemu ya mfano. + diff --git a/ezk/24/07.md b/ezk/24/07.md new file mode 100644 index 00000000..5191d7f2 --- /dev/null +++ b/ezk/24/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Yerusalemu. + +# yeye + +Neno "yeye" linarejea kwa Yerusalemu, ambayo inawakilishwa na chungu kinachopikwa. + +# imeiweka juu ya jiwe laini + +"ameweka damu juu ya mawe yaliyofunuliwa" + +# kuifunika kwa vumbi + +"na kuifunika kwa vumbi" + diff --git a/ezk/24/09.md b/ezk/24/09.md new file mode 100644 index 00000000..5a2543e2 --- /dev/null +++ b/ezk/24/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kuilinganisha Yerusalemu na chungu kinachipikwa. + +# pia niataongeza chungu cha kuni + +Inaonyesha kwamba nguzo ya mbao i chini ya chungu kunachopikwa, ambacho kinaiwakilisha Yerusalemu. + +# weka ... washa ... pika ... acha mifupa iteketee + +Yahwe anato amri hii kufikirika watu ambao ni sehemu ya mfano. + +# acha mifupa iteketee + +"choma mifupa" + diff --git a/ezk/24/11.md b/ezk/24/11.md new file mode 100644 index 00000000..00832270 --- /dev/null +++ b/ezk/24/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kuchoma + +kuchoma uso wa kitu + +# kutu + +Wakati kitu kinasababisha chuma kuvunjika vipande kwa kutu. + +# kula + +"kuchomwa" + +# Amekuwa muoga + +"Yerusalemu imechoka" + +# kazi na taabu + +kazi ngumu + diff --git a/ezk/24/13.md b/ezk/24/13.md new file mode 100644 index 00000000..16203734 --- /dev/null +++ b/ezk/24/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendlea kunena na Yerusalemu kwa kuilinganisha na chungu kilichopikwa. + diff --git a/ezk/24/14.md b/ezk/24/14.md new file mode 100644 index 00000000..ca5844fa --- /dev/null +++ b/ezk/24/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kazi zako, watakuhukumu + +kile walichokifanya kinaonyesha wana hatia ya dhambi. + +# hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo + +huu ni usemi wa Bwana Yahwe. + diff --git a/ezk/24/15.md b/ezk/24/15.md new file mode 100644 index 00000000..6ad6a350 --- /dev/null +++ b/ezk/24/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# tamaa ya macho yako + +Hii inarejea kwa mke wa Ezekieli. Yahwe anarejea kwa Ezekieli kwa sehemu ya mwili wake anatumi kumuona mke wake. + +# lakini hutakiwi kuomboleza wala kulia, na machozi yako hayatatoka + +Haya maneno kimsingi yanamaanisha kitu kimoja na kusisitiza kwamba Ezekieli hatakiwi kumlilia mke wake anapokufa. "hutakiwi kuonyesha huzuni yako" + +# kilemba + +kitambaa kirufu kilichotengezwa kwa ajili ya kufunga kwa kuzunguka kichwa. + +# makubadhi + +viatu rahisi vinavyo valiwa kwenye miguu. + +# akini usivalishe shela nywele zako + +Katika Israeli, wanaume walinyoa ndevu zao kuonyesha huzuni, kisha kufunika nyuso zao hata kwenye nywele zao. Yahwe alimwambia Ezekieli asiufunike nywele zake za mbele kuonyesha kwamba hakuwa amenyoa uso wake kuonyesha huzuni. + diff --git a/ezk/24/19.md b/ezk/24/19.md new file mode 100644 index 00000000..29d7a9c2 --- /dev/null +++ b/ezk/24/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Watu wa Israeli wanamuuliza Ezekieli na Ezekieli anawaambia Yahwe alichowaambia. + +# Neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# kiburi cha nguvu zako + +"kiburi katika kujenga kile ulicho kitengeneza" + +# tamaa ya macho yakow + +"kutengeneza kile ulichokufurahisha kukitazama" + diff --git a/ezk/24/22.md b/ezk/24/22.md new file mode 100644 index 00000000..ee4ddcf6 --- /dev/null +++ b/ezk/24/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# utayeyuka + +Hapa kupotea na kufa inazungumziwa kama kuyeyuka. + +# katika uovu wako + +Hii inaonyesha kwamba Mungu hatasamehe dhambi za hawa watu. Ingawa, baadhi ya matoleo ya kisasa yanatafsiri "kwa sababu ya dhambi zako" + +# gugumia + +sauti mtu afanyayo anapohitaji msaada, lakini maumivu au huzuni inakuwa kali sana kwamba hawawezi kuzungumza. + diff --git a/ezk/24/25.md b/ezk/24/25.md new file mode 100644 index 00000000..6bc2a15f --- /dev/null +++ b/ezk/24/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mkimbizi + +mtu aliyelazimishwa kuondoka kwenye nchi yao kwa sababu ya vita au janga jingine. + +# kinywa chako kitafunuliwa + +"Yahwe atafunua kinywa chako" Hii inaelezea mtu kueleweshwa na uwezo wa kuzungumza kuhusu kitu. + +# utaongea-hutakuwa bubu tena + +Haya maneno yote yanamaanisha watu wa Israeli watazungumza. Inasema tena kama hasi kusisitiza chanya. + +# itakuwa ishara + +Hii inarejea kwa watu wa Israeli kama ishara kwa sababu watawasaidia wakimbizi kuelewa kwa nini Yerusalemu iliharibiwa. + diff --git a/ezk/25/01.md b/ezk/25/01.md new file mode 100644 index 00000000..afffddc8 --- /dev/null +++ b/ezk/25/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# Mwanadamu + +Tazama tafsiri yake katika 2:1. + +# weka uso wako juu ya + +Tazama tafsiri yake katika 4:1. + +# watu wa Amoni + +"uzao wa Amoni" au "wale waishio katika nchi ya Amoni" + +# na tabiri juu ya + +Tazama tafsiri yake katika 4:6. + diff --git a/ezk/25/03.md b/ezk/25/03.md new file mode 100644 index 00000000..830117b2 --- /dev/null +++ b/ezk/25/03.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anamwambia Ezekieli kuwaeleza watu wa Amoni. + +# watu wa Amoni + +uzao wa Amoni" au "wale waishio katika nchi ya Amoni + +# Sikia neno la Bwana Yahwe + +"Sikiliza huu ujumbe kutoka kwa Bwana Yahwe" + +# umesema, "Anhe! + +Neno "Enhe" ni sauti ambayo watu hufanya wakati wakiwa na furaha kuhusu jambo. Katika kesi hii watu walikuwa na furaha kwa sababu mambo mabaya yalitokea kwa watu wa Israeli na Yuda. "umecheka" + +# juu ya patakatifu pangu wakati palipokuwa pamehasiwa + +"juu ya patakatifu pangu wakati adui alipo paasi." "wakati adui wa kijeshi alipohasi hekalu langu" + +# juu ya nchi ya Israeli wakati ilipokuwa ukiwa + +"wakati nchi ya Israeli ilipokuwa katika uharibifu" + +# juu ya nyumba ya Yuda wakati walipoenda kwenye uhamisho + +"wakati walipo watazama watu wa Yuda mbali na watumwa." + +# tazama! + +"tazama!" au sikiliza!" + +# niakupatia watu katika mashariki kama milki yao + +"nitalifanya jeshi kutoka nchi ambayo ni mashariki yako kuja na kukutawala" + +# Wataweka kambi juu yako na kuweka hema zao miongoni mwako + +Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya: "Wataweka hema na kuishi katika nchi yako." + +# watu wa Amoni shamba kwa ajili ya mifugo + +Hapa "watu wa Amoni" inarejea kwa nchi ambayo ni mali ya watuwa Amoni. + diff --git a/ezk/25/06.md b/ezk/25/06.md new file mode 100644 index 00000000..f43aa635 --- /dev/null +++ b/ezk/25/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# pamoja na dharau ndani yako dhidi ya nchi ya Israeli + +"pamoja na chuki yote uliyoijaza mbele ya watu wanaoishi katika Israeli" + +# tazama! + +"tazama!" au "sikiliza!" + +# nitakunyooshea mkono wangu + +"nitakupiga kwa mkono wangu wenye nguvu" au nitakuadhibu" + +# na kukutoa kama mateka kwa mataifa + +"na nitayafanya mataifa kuja na kuchukua kila kitu mbali nanyi" + +# nitakukatilia mbali kutoka watu ... kukufanya adhabu miongoni mwa mataifa. + +Haya maneno kimsingi yanamaanisha jambo moja na kusisitiza Yahwe atawaangamiza kabisa watu wa Amoni ili kwamba wasiwe taifa tena. + +# utajua yakwamba mimi ni Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika 6:6. + diff --git a/ezk/25/08.md b/ezk/25/08.md new file mode 100644 index 00000000..f4f76cfa --- /dev/null +++ b/ezk/25/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# tazama! + +"Ona!" au "sikia!" + +# ntafungua miinuko ya Moabu, kuanzia kwenye miji yake juu ya mpaka + +"nitaifungua njia ya kwenda Moabu kwa kuiangamiza miji juu ya mpaka wake." + +# uzuri wa Beth Yeshimothi, Baal Meoni, na Kiriathaimu + +"nitaanza na miji mikubwa ya Beth Yeshimothi, Baali Meoni, na Kiriathaimu." + +# kwa watu wa mashariki waliokuwa juu ya watu wa Amoni + +"nitatuma jeshi lile lile kutoka mataifa katika mashariki aliyeiteka Amoni." + +# Nitawapatia kama milki ili kwamba watu wa Amoni hawatakumbukwa miongoni mwa mataifa + +"nitayafanya majeshi kuishinda Amoni ili kwamba pasiwe na mtu hata wa kuwakumbuka." + +# watajua yakwamba mimi ni Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika 6:6. + diff --git a/ezk/25/12.md b/ezk/25/12.md new file mode 100644 index 00000000..0a8773b3 --- /dev/null +++ b/ezk/25/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nitaunyoosha mkono wangu juu ya Edomu + +Tazama tafsiri yake katika 25:6. + +# kutoka Temani hata Dedani + +Haya ni majiji mawili mkabala na Edomu. Hii inamaanisha kwamba Mungu ataiangamiza Edomu yote. + +# Wataanguka kwa upanga + +Neno "anguka" inawakilisha kuuawa na "upanga" inarejea kwa vita. "Maadui zao watawaua kwa upanga wao" + diff --git a/ezk/25/14.md b/ezk/25/14.md new file mode 100644 index 00000000..46443501 --- /dev/null +++ b/ezk/25/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nitaweka kisasi changu juu ya Edomu kwa mkono wa watu wangu Israeli + +"nitawatumia watu wa Israeli kulipa kisasi juu ya watu wa Edom" + +# watafanya kwa Edomu kulingana na hasira yangu na ghadhabu yangu + +"wataionyesha Edomu hasira yangu na ghadhabu" + +# hasira yangu na ghadhabu yangu + +Neno "ghadhabu" kimsingi linamaanisha kitu kimoja na kuongeza neno "hasira." "hasira yangu ya ghadhabu" + +# watakijua kisasi changu + +"watu wa Edomu watajua ya kuwa nimelipa kisasi juu yao" + +# hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo + +"Hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo" "Hivi ndivyo Bwana asemavyo itakuwa" + diff --git a/ezk/25/15.md b/ezk/25/15.md new file mode 100644 index 00000000..e1a046e3 --- /dev/null +++ b/ezk/25/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Wafilisti wamelipiza kisasi pamoja na uovu na kutoka ndani yao wamejaribu kuiharibu Yuda tena na tena + +"Kwa sababu Wafilisti waliwachukia watu katika Yuda na kujaribu kulipa kisasi juu yao na tena" + +# Tazama! + +"Tazama!" au "Sikia!" + +# Nitanyoosha mkono wangu dhidi ya Wafilisti + +"nitaurudisha mkono wangu wa uweza juu ya Wafilisti" + +# nitakatilia + +"nitaangamiza" + +# Wakerethi + +"Watu wa Kerethi." Hawa ni watu walioishi katika Filisti + +# watajua yakwamba mimi ni Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika 6:6. + diff --git a/ezk/26/01.md b/ezk/26/01.md new file mode 100644 index 00000000..57e970ae --- /dev/null +++ b/ezk/26/01.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# katika mwaka wa kumi na moja + +"katika mwaka wa kumi na moja ya uhamisho wa Mfalme Yehoyakini" + +# katika siku ya kwanza ya mwezi + +Haijulikani ni mwezi gani wa kalenda ya Kiebrania Ezekieli alio umaanisha. + +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe alinena neno lake." + +# Mwanadamu + +Tazama tafsiri yake katika 2:1. + +# Tire alisema juu ya Yerusalemu + +"watu wa Tire wamesema juu ya watu wa Yerusalemu." + +# Enhe! + +"Ndiyo!" au "vizuri sana!" + +# Malango ya watu yamevunjwa + +Watu wa Tire wanatumia haya maneno kurejea kwa Yerusalemu kana kwamba ilikuwa lango la mji ambalo wafanya biashara walipitia kutoka mataifa yaliyozunguka yalipitia. + +# Amenigeukia + +Hapa neno "yeye" inarejea kwa neno "malango" ambayo "imegeuka" juu ya bawaba kufungua kwenda Tire. + +# nitajazwa + +Hapa "kujazwa" inamaanisha kustawi. "nitafanikiwa" + +# ameharibiwa + +"Yerusalemu imeharibiwa" + diff --git a/ezk/26/03.md b/ezk/26/03.md new file mode 100644 index 00000000..c77a59eb --- /dev/null +++ b/ezk/26/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Tazama! + +"Tazama!" au "Sikia!" + +# nitayainua mataifa mengi juu yako kama bahari iiunuavyo mawimbi yake + +Hapa neno "mataifa" inarejea kwa majeshi yao. "nitalikusanya jeshi kutoka mataifa ambayo ni makubwa na nguvu kama mawimbi katika bahari ya kitambaa." + +# minara + +Mnara ni jengo refu lilitumika kuona kwa ajili maadui au kuficha ndani. + +# Nitafagia mavumbi yake mbali na kumfanya kama jiwe tupu + +"nitalifanya jeshi kuuharibu mji kabisa, na hawatakuwa na kitu hapa hivyo utakuwa kama jiwe ambalo halina kitu juu yake." + diff --git a/ezk/26/05.md b/ezk/26/05.md new file mode 100644 index 00000000..6da2af79 --- /dev/null +++ b/ezk/26/05.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Atakuwa + +Mara nyingi miji inarejewa kama "yeye." "Tire itakuwa" au "Itakuwa." + +# sehemu ya kuwekea nyavu kati ya bahari + +Sehemu ya Tire ilikuwa kisiwa. "kisiwa kisichokuwa na kitu kilitumika kwa ajili kukaushia nyavu za samaki" + +# hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo + +Tazama tafsiri yake katika 5:11. + +# pora + +vitu ambavyo watu walivyovipoteza + +# atakuwa mateka kwa mataifa + +"majeshi kutoka mataifa wataiba kila kitu kutoka Tire." + +# Binti zake walioko mashambani watachinjwa kwa panga + +"Adui wa jeshi atawaua mabinti zake ambao wapo katika uwanda." + +# Binti zake waliopo katika uwanda + +Wakati mwingine vijiji viliitwa mabinti vya miji iliyotawala juu yao. wasichana wa Tire waliokuwa wakifanya kazi katika mashamba. + +# watajua yakuwa mimi ni Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika 6:6 + diff --git a/ezk/26/07.md b/ezk/26/07.md new file mode 100644 index 00000000..fb31b35d --- /dev/null +++ b/ezk/26/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Tazama! + +"Ona!" "Sikia!" + +# namleta Nebukadreza + +Mungu anamtumia Nebukadreza kuleta kuhusu mapenzi yake. + +# mfalme wa waflme + +"mfalme mwenye nguvu zaidi" + +# watu wengi sana + +Haya maelezo yansisitiza ukubwa wa jeshi la Nebukadneza. + +# Atawaua mabinti zako + +Hapa neno "Yeye" linamrejea Nebukadreza ni mfano kwa jeshi. + diff --git a/ezk/26/09.md b/ezk/26/09.md new file mode 100644 index 00000000..bcb277b7 --- /dev/null +++ b/ezk/26/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Tire. + +# Ataweka + +Neno "yeye" inamrejea Nebukadneza, mfalme wa Babeli. + +# vyombo vya kubomolea + +Tazama tafsiri yake katika 4:1. + +# vifaa vyake + +"vifaa vyake vya vita" + diff --git a/ezk/26/12.md b/ezk/26/12.md new file mode 100644 index 00000000..d398ade4 --- /dev/null +++ b/ezk/26/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendela kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa Tire. + diff --git a/ezk/26/15.md b/ezk/26/15.md new file mode 100644 index 00000000..adf2eacc --- /dev/null +++ b/ezk/26/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Tire. + +# visiwa havitatetemeka ... kati yako + +"Tetemeko la kisiwa ... kati yako." + diff --git a/ezk/26/17.md b/ezk/26/17.md new file mode 100644 index 00000000..b04e96ca --- /dev/null +++ b/ezk/26/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Tire. + diff --git a/ezk/26/19.md b/ezk/26/19.md new file mode 100644 index 00000000..5e33f088 --- /dev/null +++ b/ezk/26/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Tire. + +# kukufanya + +Neno "wewe" linarejea kwa mji wa Tire. + diff --git a/ezk/27/01.md b/ezk/27/01.md new file mode 100644 index 00000000..6a0b9c17 --- /dev/null +++ b/ezk/27/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# anayeishi kati ya malango ya bahari + +"anayeishi kwenye malango ya bahari." "aishiye karibu na bandari ya bahari." + diff --git a/ezk/27/04.md b/ezk/27/04.md new file mode 100644 index 00000000..0d4056f1 --- /dev/null +++ b/ezk/27/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Tire. + +# mipaka yako + +"Mipaka ya himaya yako" + +# mlingoti + +ni nguzo ndefu inayoshika matanga ya meli. + diff --git a/ezk/27/06.md b/ezk/27/06.md new file mode 100644 index 00000000..a0b41273 --- /dev/null +++ b/ezk/27/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa Tire. + +# makasia + +vipande virefu vya mbao ambavyo watu hutumia kutengenezea boti kutembea + +# sitaha + +ni sehemu za boti ambazo watu wanaweza kutembea juu yake + +# pembe + +nyeupe, nzuri, na nyenzo ngumu ambayo imetengenezwa kutokana na meno ya wanyama. + +# tanga + +vipande vya nguo vinavyoendesha meli wakati upepo uvumapojuu yao + diff --git a/ezk/27/08.md b/ezk/27/08.md new file mode 100644 index 00000000..36396c0c --- /dev/null +++ b/ezk/27/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa Tire. + +# marubani + +watu wanaoelekeza meli wapi iende + +# jaza mishono yako + +"kukutengeneza nyufa" + +# maharia + +watu wanaotanga meli katia bahari + diff --git a/ezk/27/10.md b/ezk/27/10.md new file mode 100644 index 00000000..6574cdf8 --- /dev/null +++ b/ezk/27/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa tire. + +# watu wa vita + +"watu waliopigana katika vita vyako" au "kutumika kama wapiganaji wako" + +# walionyesha uzuri wako + +"walikutoa uzuri wako!" + diff --git a/ezk/27/12.md b/ezk/27/12.md new file mode 100644 index 00000000..b6152f44 --- /dev/null +++ b/ezk/27/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekeili ujumbe wake kwa Tire. + +# chuma + +chuma kigumu kilichokuwa kizuri kwa kutengenezea silaha na kujengea vitu + +# bati + +chuma kilicho bakia baada kusafisha dhahabu, fedha au chuma + +# risasi + +ni chuma cha thamani ambacho ni kizito sana na kilaini kuliko vyuma vyote + +# Yavani + +ni taifa katika ufunkwe wa magharibi mwa Asia ndogo. + diff --git a/ezk/27/14.md b/ezk/27/14.md new file mode 100644 index 00000000..d1fd10bf --- /dev/null +++ b/ezk/27/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa Tire. + +# farasi dume + +farasi dume mwenye nguvu + +# Bidhaa zilikuwa mkononi mwako + +"Umemiliki mizigo." + diff --git a/ezk/27/16.md b/ezk/27/16.md new file mode 100644 index 00000000..ce24c46a --- /dev/null +++ b/ezk/27/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendela kumpatiaEzekieli ujumbe wake kwa Tire. + +# zambarau + +"nguo ya zambarau" + +# lulu + +vipande vya kitambaa cheupe kigumu ambacho hutoka viumbe katika bahari + +# keki + +"chakula kizuri kilicho tengenezwa kwa unga." + +# rubi + +mawe mekundu ambayo ni ya thamani sana + +# lihamu + +utomvu utokao kwenye mti + diff --git a/ezk/27/19.md b/ezk/27/19.md new file mode 100644 index 00000000..7985426d --- /dev/null +++ b/ezk/27/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Tiro. + +# mdalasini + +aina ya kiungo kinachotoka kwenye gome la mti. + +# mchai chai + +ni aina ya majani ambayo watu hutumia kama manukato na kwa ajili ya dawa. + +# blangeti la shogi + +kipande cha nguo ambacho watu wameweka juu ya farasi chini ya shogi + diff --git a/ezk/27/22.md b/ezk/27/22.md new file mode 100644 index 00000000..f5a3d876 --- /dev/null +++ b/ezk/27/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa Tire. + +# vito vya thamani + +"mawe ya thamani" + diff --git a/ezk/27/24.md b/ezk/27/24.md new file mode 100644 index 00000000..66a06d74 --- /dev/null +++ b/ezk/27/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumal: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Tire. + +# mapambo ya joho ya nguo za urujuani pamoja na rangi + +"majoho ya zambarau pamoja na rangi nyingine tofauti tofauti" + +# blangeti za zenye rangi tofauti tofauti, nakshiwa, na nguo zilizo sanifiwa vizuri + +nguo zilizosanifiwa** - "blangeti zenye rangi tofauti tofauti zilizokuwa zimebuniwa na kuvaliwa kwa hali ya juu" + +# katika moyo wa bahari + +"katikati ya njia zote za biashara kwa ajili ya bahari ya biashara." + diff --git a/ezk/27/26.md b/ezk/27/26.md new file mode 100644 index 00000000..1e5b50cc --- /dev/null +++ b/ezk/27/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa Tire. + +# Wapiga makasia wako walikuleta kwenye bahari kuu mno + +"Watu wapigao kasia wamekuleta kutoka kwenye bahari" + +# katikati yao + +"katikati ya bahari" + diff --git a/ezk/27/28.md b/ezk/27/28.md new file mode 100644 index 00000000..77776d82 --- /dev/null +++ b/ezk/27/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa tire. + +# watalia kwa sauti + +"watapiga unyende kwa huzuni kubwa" + diff --git a/ezk/27/31.md b/ezk/27/31.md new file mode 100644 index 00000000..946bb7cb --- /dev/null +++ b/ezk/27/31.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Tire. + +# watanyoa vichwa vyao upaa + +"watanyoa vichwa vyao hivyo hawatakuwa na nywele" + +# Ni nani aliye kama Tire + +"Hakuna mji mwingine kama Tire." + +# ambaye sasa ameletwa kunyamazishwa + +"nani ameangamizwa." + +# ufukwe + +"juu ya nchi" + diff --git a/ezk/27/34.md b/ezk/27/34.md new file mode 100644 index 00000000..30106a91 --- /dev/null +++ b/ezk/27/34.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Tire. + +# walikuogopa + +"walishtuka na kuogopa kwa kile kilichotokea kwako" + +# kukuzomea + +Kuzomea ni njia ya kuonyesha huzuni. + +# umekuwa tishio + +"imekuwa tishio kwa watu kufikiria kuhusu wewe" + diff --git a/ezk/28/01.md b/ezk/28/01.md new file mode 100644 index 00000000..c0e822db --- /dev/null +++ b/ezk/28/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno alake." + +# katika moyo wa bahar + +Tazama tafsiri yake katika 27:4. + +# umeufanya moyo wako kama moyo wa mungu + +"unafikiri kwamba kumbukumbu wa mungu" + diff --git a/ezk/28/04.md b/ezk/28/04.md new file mode 100644 index 00000000..74f7d57a --- /dev/null +++ b/ezk/28/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa mtawala wa Tire. + +# kwa hekima na ujuzi + +"kwa hekima yako na uelewa wako" + +# na kujipatia + +"na kujihifadhia" + +# hazina + +mahali pa kuhifadhia vitu vya thamani na kuviweka salama + diff --git a/ezk/28/06.md b/ezk/28/06.md new file mode 100644 index 00000000..6a615d72 --- /dev/null +++ b/ezk/28/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa mtawala wa Tire. + +# umetengeza moyo wako kama moyo wa mungu + +Tazama ilivyo tafsiriwa katika 28:1, "umeufanya moyo wako kama moyo wa mungu. + +# uzuri wa hekima yako + +"uzuri wa mji ambao ulioujenga kwa hekima yako." + diff --git a/ezk/28/08.md b/ezk/28/08.md new file mode 100644 index 00000000..a5a32888 --- /dev/null +++ b/ezk/28/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea lumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa mtawala wa Tire. + +# Je! kweli utasema, "Mimi ni mungu" + +"Hutatakiwa kutamani kusema, "mimi ni mungu." + +# nimesema hili-asema Bwana Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika 5:11. + diff --git a/ezk/28/11.md b/ezk/28/11.md new file mode 100644 index 00000000..54672342 --- /dev/null +++ b/ezk/28/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Neno la Yahwe la Yahwe + +"Yahwe akanena neno lake." + +# inua maombolezo + +"imba nyimbo ya msiba" au "imba wimbo wa kuomboleza" + +# Ulikuwa mfano wa ukamilifu + +"Ulikuwa mkalifu." + +# umejaa hekima na ukamilifu wa hekima + +"hekima kubwa na mwenye umbile zuri sana" + +# Kila jiwe la thamani lilikufunika + +"ulivaa kila aina ya jiwe la thamani." Hii inaonyeshaalikuwa tajiri sana. + +# almasi, zabarajadi, shohamu,yaspi, yakuti samawi, zumaridi, baharamani, na dhahabwamba mfalme + +Haya yote ni mawe ya thamani ya rangi tofauti tofauti. + diff --git a/ezk/28/14.md b/ezk/28/14.md new file mode 100644 index 00000000..9c574b4d --- /dev/null +++ b/ezk/28/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa mfalme wa Tire. + +# mawe ya moto + +"mawe ya moto." + +# kutoka siku ulipoumbwa + +" tangu siku niliyokuumba." + diff --git a/ezk/28/16.md b/ezk/28/16.md new file mode 100644 index 00000000..46cea633 --- /dev/null +++ b/ezk/28/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa mfalme wa Tire. + +# mawe ya moto + +Tazama tafsiri yake katika 28:14. + +# mbele + +"mbele ya" + diff --git a/ezk/28/18.md b/ezk/28/18.md new file mode 100644 index 00000000..46d97043 --- /dev/null +++ b/ezk/28/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa mfalme wa Tire. + +# watakuwa watu wa kutisha, na hutakuwepo tena milele + +Tazama tafsiri yake katika 27:34. + diff --git a/ezk/28/20.md b/ezk/28/20.md new file mode 100644 index 00000000..3711eafb --- /dev/null +++ b/ezk/28/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# Mwanadamu + +Tazama tafsiri yake katika 2:1. + +# weka uso wako juu ya + +Tazama tafsiri yake katika 4:1. + +# tabiri juu ya + +Tazama tafsiri yake katika 4:6. + +# Tazama! + +"Ona!" au "Sikia!" + diff --git a/ezk/28/23.md b/ezk/28/23.md new file mode 100644 index 00000000..144a438e --- /dev/null +++ b/ezk/28/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Sidoni. + +# 4Kisha hakutakuwa na mtemba uchomao na maumivu ya miba kwa ajili ya nyumba ya Israeli kutoka wale wote waliomzunguka wanaowadharau watu wake + +"Hakutakuwa na watu mahali popote kuzunguka watu wa Israeli waliowajeruhi kama mitembe inayoparua na kuwaumiza kama miiba inayosababisha maumivu." + diff --git a/ezk/28/25.md b/ezk/28/25.md new file mode 100644 index 00000000..539dafba --- /dev/null +++ b/ezk/28/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kati yake + +"katika nchi" + diff --git a/ezk/29/01.md b/ezk/29/01.md new file mode 100644 index 00000000..3204a598 --- /dev/null +++ b/ezk/29/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Katika mwaka wa kumi + +"Katika mwaka uhamisho wa Mfalme Yehoyakini" + +# katika mwezi wa kumi katika siku ya kumi na mbili ya mwezi + +"katika siku ya kumi na mbili ya mwezi wa kumi." Huu ni mwezi wa kumi wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi na mbili iliyo karibu na Mwezi wa kwanza katika kaelenda za Magharibi. + +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." Tazama tafsiri yake katika 1:1. + +# joka kubwa + +"dubwana kubwa liishilo katika maji." Yahwe anaanza kumlinganisha Farao na dubwana liishilo katika maji. Dubwana linafanana kama mambo. + diff --git a/ezk/29/04.md b/ezk/29/04.md new file mode 100644 index 00000000..445fe772 --- /dev/null +++ b/ezk/29/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Faro, akimlinganisha na dubwana katika maji. + +# ndoana + +vipande vikali au ubao ambao watu hutumia kukamatia samaki na wanya wengine katika maji + +# maganda + +vipande vigumu vilivyo juu ya samaki, mambo na wanyama wengine + diff --git a/ezk/29/06.md b/ezk/29/06.md new file mode 100644 index 00000000..d1ccc927 --- /dev/null +++ b/ezk/29/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe kwa Farao. + +# wamekuwa mwanzi wa kutegemewa + +Yahwe anawalinganisha watu wa Misri na Farao na mwanzi kwa sababu watu wa Israeli waliwategemea Wamisri kuwasaidia katika vita, lakini Wamisri hawakuwa imara kuwasaidia. + +# mwanzi + +mmea ukuao karibu na maji na unafanana na majani marefu + +# shina + +sehemu ya mwanzi ambayo ni ndefu kama fimbo nyembamba. Watu wanaweza kuzitumia kama fimbo. + +# watakapo kushika + +Neno "wewe" linamreja Farao. + diff --git a/ezk/29/08.md b/ezk/29/08.md new file mode 100644 index 00000000..821bce56 --- /dev/null +++ b/ezk/29/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa Faro. + +# Tazama! + +"Ona!" au "Sikia!" + +# upanga juu yako + +Neno "wewe" ni imoja wa mwanamke na inarejea kwa taifa la Misri. + +# juu yako + +Neno "wewe" umoja wa mwanamume na inamrejea Farao. + +# kutoka Migdoli hata Sewene + +"Katika Misri yote" au "kutoka mpaka wa kaskazini mwa Misri hata mpaka wa kusini mwa Misri." + diff --git a/ezk/29/11.md b/ezk/29/11.md new file mode 100644 index 00000000..b394900c --- /dev/null +++ b/ezk/29/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Farao. + +# hakuna mguu wa wanyama pori watakao upitia + +"hakuna hata mnyama atatembea humo" + diff --git a/ezk/29/13.md b/ezk/29/13.md new file mode 100644 index 00000000..42458dbd --- /dev/null +++ b/ezk/29/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Farao. + +# walikuwa wametawanyika + +"nimewatawanya." + +# nitawarudisha wageni wa Misri + +"kuwapatia Misri kile kilichokuwa kimepotea" + +# mkoa wa Pathrosi + +sehemu ya kusini mwa Misri kati ya Delta na nchi ya Kushi. Hii pia inaitwa Misri juu. + diff --git a/ezk/29/15.md b/ezk/29/15.md new file mode 100644 index 00000000..a7eccb99 --- /dev/null +++ b/ezk/29/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Farao. + +# Wamisri hawatakuwa sababu kwa ajili ya imani kwa ajili ya nyumba ya Israeli + +"Taifa la Israeli halitaaminika kwa Wamisri" + +# walipogeukia Misri kwa ajili ya msaada + +"Popote walipoenda hata Misri kwa ajili ya msaada" + diff --git a/ezk/29/17.md b/ezk/29/17.md new file mode 100644 index 00000000..a1e9c409 --- /dev/null +++ b/ezk/29/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# katika mwaka wa ishirini na saba + +mwaka wa saba** - "katika mwaka wa ishirini na saba ya uhamisho wa Mfalme Yehoyakini" + +# katika siku mwezi wa kwanza + +"katika siku ya kwanza ya mwezi." Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Hii siku ya kwanza ipo karibu na mwanzoni mwa Mwezi wa nne. + +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# Mwanadamu + +Tazama tafsiri yake katika 2:1. + diff --git a/ezk/29/19.md b/ezk/29/19.md new file mode 100644 index 00000000..74beec62 --- /dev/null +++ b/ezk/29/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tazama! + +"Ona!" au "Sikia!" + diff --git a/ezk/29/21.md b/ezk/29/21.md new file mode 100644 index 00000000..6cfb68fc --- /dev/null +++ b/ezk/29/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# nitachipusha pembe kwa ajili ya nyumba ya Israeli + +Hili neno linamaanisha "nitaifufua nguvu ya nyumba ya Israeli." + +# kati yao + +"kwao" + diff --git a/ezk/30/01.md b/ezk/30/01.md new file mode 100644 index 00000000..23fd9729 --- /dev/null +++ b/ezk/30/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ezekieli anaeleza kuhusu ujumbe ambao Yahwe alio mpatia. + +# Neno la Yahwe likja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# Mwanadamu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1. + +# Maombolezo + +"Lia kwa huzuni" Hii amri ni kwa Misri na mataifa yanayoizunguka Misri. + +# Ole inakuja siku hiyo + +"Hiyo siku itakuwa chungu sana" au "Mambo mabaya yatatokea siku hiyo" + +# Siku i karibu + +Inaonyesha "hiyo siku" ilikuwa mda wakati watu wataomboleza. + +# Siku ikaribu kwa ajili ya Yahwe. Itakuwa + +Hii inaonyesha kwamba siku hiyo, Yahwe atawaadhibu watu. + +# siku ya mawingu + +"Itakuwa kama siku yenye giza la mawingu" + +# mda wa hukumu kwa ajili ya mataifa + +"mda wakati mambo mabaya yatakapotokea kwa mataifa" + diff --git a/ezk/30/04.md b/ezk/30/04.md new file mode 100644 index 00000000..352dcb2c --- /dev/null +++ b/ezk/30/04.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Misri + +# Kisha upanga utakuja juu ya Misri + +Neno "upanga" hapa linarejea kwa vita au shambulizi. "Kutakuwa na vita juu ya Misri" + +# kutakuwa na maumivu makali katika Kushi + +"Kushi itakuwa na huzuni sana" au "watu wa Kushi watakuwa na huzuni kubwa sana" + +# wakati wauaji wa watu watakapoanguka katika Misri + +"wakati watu wa Misri watakapouawa" au "wakati watu wengi katika Misri watakapokufa katika vita." + +# wakati watakapochukua utajiri wake + +"Washambuliaji watauchukua utajiri wa misri" + +# wakati msingi wake utakapoharibiwa + +"Washambuliaji wataiharibu hata misingi ya majengo katika Misri" + +# Libya + +Libya ni nchi ya magharibi mwa Misri. + +# Ludi + +Hii ni kama inaurejea ufalme wa Ludi ambayo kwa sasa ni Uturuki. Ezekieli anaiita mkoa wa Ludi. + +# watu wa nyumba ya agano + +"Wayahudi wanaoishi Misri" + +# wataanguka kwa upanga + +"watakufa kwa mapambano" au "watakufa kwa upanga." Hii haimaanishi kwamba kila mtu atakufa, lakini kwamba watu wengi kutoka hizi nchi zote watakufa. + diff --git a/ezk/30/06.md b/ezk/30/06.md new file mode 100644 index 00000000..64752f77 --- /dev/null +++ b/ezk/30/06.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Yahwe asema hivi + +"Hivi ndivyo Yahwe asemavyo." Hii sentensi inatambulisha ambacho Yahwe atakisema. + +# Basi wale + +"Katika njia hii" au "Katika namna hii, mataifa" + +# anayeisaidia Misri + +"anayeisaidia misri" + +# wataanguka + +"watakufa" au "wataharibiwa" + +# kiburi cha nguvu yake kitashushwa + +"nguvu ya Misri, ambayo inaifanya ijiinue, itaondoshwa" + +# Kutoka Migdoli hata Sewene + +Ezekieli ameipa miji majina upande wa mipaka ya Misri ili kuirejea Misri yote. + +# maaskari wao watanguka kwa upanga + +Maaskari wa Misri watakufa kwa uapnga." + +# Wataogofya kati ya nchi zilizotupwa + +"Maaskari wa washirika wa Misri wataogopwa wakati watakapoachwa wamezungukwa bila kitu lakini nchi tupu" + +# kati ya + +"miongoni" au "kuzungukwa na" + +# miji yao itakuwa miongoni mwa miji yote iliyoangamizwa + +"miji yao itazungukwa na miji iliyoharibiwa karibu na mataifa" + diff --git a/ezk/30/08.md b/ezk/30/08.md new file mode 100644 index 00000000..8eaee511 --- /dev/null +++ b/ezk/30/08.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Haya ni maneo ya Yahwe kuhusu Misri. + +# Kisha wata + +"Kisha watu" au "Kisha Wamisri" + +# watajua kwamba mimi ndimi Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6. + +# wakati nitakapoweka moto katika Misri + +Moto unarwjea kwa moto ambao mara nyingi umetokea katika vita. + +# wasaidizi wake wote wameangamizwa + +"nawaangamiza wote wanaohusiana na Misri" au "ninawavunja wote wanaoisaidia Misri." + +# wajumbe watatoka mbele yangu katika meli ili kuitia hofu Kushi + +Wajumbe wataleta ujumbe wa kuingamiza Misri hata Kushi, nani atakuwa tishio kwa hii habari. + +# kuitia hofu Kushi + +"ili kuitishia Kushi, ambaye sasa anajisikia yuko salama kutoka hatari" + +# kutakuwa na maumivu makali miongoni mwao katika siku ya kuangamizwa Misr + +"watu wa Kushi pia watakuwa na maumivu makali nitakapoiadhibu Misri" + +# Inakuja + +"ina" inarejea kwa "maumivu makali" au "huzuni kubwa" ambayo Kushi watakuwa nayo wakati watakapoadhibiwa pembeni ya Misri. + diff --git a/ezk/30/10.md b/ezk/30/10.md new file mode 100644 index 00000000..e24b678a --- /dev/null +++ b/ezk/30/10.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Bwana Yahwe asema hivi + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:5. + +# Nitaufanya mwisho wa watu wa Misri + +"nitafanya hivyo ili Misri isiwe na watu wengi." + +# kwa mkono wa Nebukadreza + +Nebukadreza atakuwa yule ambaye aletaye hii hukumu. + +# Yeye pamoja na jeshi lake ... italetwa kuiharibu nchi + +"nitamleta Nebukadreza na jeshi lake ... kuingamiza nchi" + +# Yeye pamoja na jeshi lake, hofu ya mataifa + +Yahwe anamuita Nebukadrea "hofu ya mataifa" kwa sababu mataifa yote yana hofu kubwa ya jeshi lake. + +# kuiangamiza nchi + +"hivyo wataiangamiza nchi." Yahwe atamleta Nebukadreza na watu wake ili waiangamize nchi. + +# watafuta panga zao juu ya Misri + +"pigana juu ya Misri" + +# jaza nchi kwa maiti za watu + +Hii ni kutia chumvi kuonyesha kwamba Wababeli watawaua Wamisri wengi sana. + diff --git a/ezk/30/12.md b/ezk/30/12.md new file mode 100644 index 00000000..fcd3ca4c --- /dev/null +++ b/ezk/30/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Misri. + +# Nitaifanya mito kuwa nchi kavu + +"Nitaikausha mito ya Misri" + +# nitaiuza nchi kwenye mkono wa watu waovu + +Yahwe atawapatia Wababeli kutawala juu ya Misri kama mtu auzaye kitu kumpatia yule akununuaye kukitawala hicho kitu. + +# Nitaifanya nchi na viijazavyo ukiwa kwa mkono wa wageni + +"Nitawafanya watu kutoka taifa jingine kuiharibu nchi na kila kitu ndani yake" + +# viijazavyo + +"kila kitu katika nchi" + diff --git a/ezk/30/13.md b/ezk/30/13.md new file mode 100644 index 00000000..40adb1a0 --- /dev/null +++ b/ezk/30/13.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Bwana Yahwe asema hivi + +Tazama tafsri yake katika sura ya 5:5. + +# nitaleta mwisho wa sanamu za ubatili + +"angamiza sanamu zisizo na maana" + +# Memfizi + +Memfizi ulikuwa mji muhimu sana katika Misri. Ulikuwa karibu na Kairo ya mpya. + +# mwana mfalme katika nchi ya Misri + +"mtawala muhimu katika nchi ya Misri" + +# nitaweka hofu katika nchi ya Misri + +"nitawafanya watu wa Misri kuogopa sana" + +# Pathrosi + +Huu ulikuwa mkoa katika kusini mwa Misri. + +# kuweka moto katika Soani, + +"nitaichoma Soani kwa moto" + +# Soani + +Soani ulikuwa mji mwingine muhimu katika Misri. + +# Thebesi + +Huu ulikuwa mji mkuu wa kusini mwa Misri. + diff --git a/ezk/30/15.md b/ezk/30/15.md new file mode 100644 index 00000000..c2e323c8 --- /dev/null +++ b/ezk/30/15.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Misri. + +# Kwa kuwa nitamwaga ghadhabu yangu juu Sini + +"Kwa kuwa nitatenda hasira yangu juu ya Sini" au "Kwa sababu nina hsira sana, nitaiadhibu Sini mmoja mmoja" + +# Sini + +Huu ulikuwa mji wa muhimu kaskazini mwa Misri. + +# kuwakatilia mbali kundi la Tebesi + +"kuua hesabu kubwa ya watu katika Tebesi" + +# Tebesi + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 30:13. + +# Kisha nitaweka moto katika Misri + +"nitaichoma Misri kwa moto" + +# Tebesi itavunjwa + +"Tebesi itaangamizwa." + +# Kisha niweka moto katika Misri + +"nitaichoma Misri kwa moto" + +# itakuwa katika dhiki kuu + +"itakuwa katika maumivu makali" + diff --git a/ezk/30/17.md b/ezk/30/17.md new file mode 100644 index 00000000..264a58d4 --- /dev/null +++ b/ezk/30/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Misri. + +# Heliopolisi na Pi-besethi + +Hii ilikuwa miji katika upande wa kaskazini mwa Misri. + +# ataanguka kwa upanga + +Neno "upanga" limetumika kurejea kwa mapambano au vita" au "watakufa kwa upanga." + +# miji yao itakwenda kwenye utumwa + +"watu wa miji yao watakuwa mateka" + +# Tapanesi + +Huu ulikuwa mji wa muhimu katika kaskazini mwa Misri. + diff --git a/ezk/30/20.md b/ezk/30/20.md new file mode 100644 index 00000000..97d53b81 --- /dev/null +++ b/ezk/30/20.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Kisha ikawa + +Hili neno limetumika hapa kuonyesha mwanzoni mwa shemu ya kwanza ya hadithi. + +# katika mwaka wa kumi na moja + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 26:1. + +# katika mwezi wa kwanza, siku ya saba ya mwezi + +"katika siku ya saba ya mwezi." Hii ni siku ya kwanza ya mwezi ya kalenda ya Kiebrania. Siku ya saba ni karibu na mwanzoni mwa mwzi wa Nne katika kalenda za Magharibi. + +# neno la Yahwe likaja + +Yahwe akanena neno lake." + +# Mwanadamu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1. + +# vunja mkono wa Farao + +Hapa "mkono" unawakilisha uweza wa mfalme. + +# Tazama! + +Neno "Tazama" Hapa linatuweka macho kwa habari inayoshangaza kwa kile kifuatacho. + +# Haukufungwa, au kufungwa kwa kitambaa cha bendeji + +"Mkono wake haujafungwa na hauna dawa ili uweze kupona" + +# bendeji + +kipande laini ambacho watu huweka juu ya vidonda ili wapone + +# hivyo basi uweze kuwa imara kushika upanga + +Hapa "upanga" unawakilisha uweza wa mfalme katika vita. "hivyo mkono wake hautakuwa hodari kutumia upanga" + diff --git a/ezk/30/22.md b/ezk/30/22.md new file mode 100644 index 00000000..29d76124 --- /dev/null +++ b/ezk/30/22.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Bwana Yahwe asema hivi + +tazama tafsiri yake katika sura ya 3:10. + +# wote yule aliye hodari na yule aliyevunjika + +"wote mkono ambao ni mzima na mkono ambao umevunjika tayari" + +# nitaitawanya Misri miongoni mwa mataifa na kuwatawanya katika nchi mbali mbali + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 20:23. + +# nchi + +"nchi" + +# Nitaunyoosha mikono kwa mfalme wa Babeli + +"nitaifanya mikono ya mfalme wa Babeli kuwa imara" + +# Atagugumia mbele ya mfalme wa Babeli + +Wakati mfalme wa Babeli atakapokuja kuiteka Misri, Farao atagugumia. + +# gugumia + +"Gugumia ni sauti kubwa ambayo watu hufanya wakati wanapokuwa na maumivu au kufa. + +# kwa mgumio wa mtu anayekufa + +"kama mtu anayekufa agumiavyo" au "kama mtu anayekufa" + diff --git a/ezk/30/25.md b/ezk/30/25.md new file mode 100644 index 00000000..77187566 --- /dev/null +++ b/ezk/30/25.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# 5Kwa kuwa nitainyoosha mikono ya mfalme wa Babeli + +"nitaufanya mikono imara ya mfalme wa Babeli." + +# wakati mkono wa Farao utakapoanguka + +"lakini Farao hataweza kutumia mikono yake" au "mikono ya Farao itakuwa dhaifu kwamba hataweza kuitumia" + +# Kisha wata + +Neno "wao" "Wamisri" au "watu wote wasikiao kile Yahwe alichokifanya." + +# jua kwamba mimi ndimi Yahwe + +tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6. + +# kwa kuwa ataishambulia nchi ya Misri kwa huo + +"na mfalme wa Babeli ataishambulia nchi ya Misri pamoja na upanga" + +# nitaitawanya miongoni mwa mataifa na kuyatawanya kwenye nchi tofauti tofauti + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 20:23. + diff --git a/ezk/31/01.md b/ezk/31/01.md new file mode 100644 index 00000000..483b8759 --- /dev/null +++ b/ezk/31/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# ikawa + +Hili neno limetumika hapa kuonyesha mwanza wa sehemu nyingine ya hadithi. + +# katika mwaka wa kumi na moja + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 26:1. + +# katika tatu ya mwezi, siku ya tatu ya mwezi + +"katika siku ya kwanza ya mwezi wa tatu." + +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# mwanadamu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1. + +# Katika ukuu wako, wewe ni kama nani? + +"Ni nani aliye mkuu kama wewe?" Yahwe anatumia hili swali kutambulisha mada mpya. Farao alifikiri kwamba taifa lake lilikuwa kubwa zaidi, lakini Mungu anataka kuzungumzia taifa jingine. + diff --git a/ezk/31/03.md b/ezk/31/03.md new file mode 100644 index 00000000..e97a9191 --- /dev/null +++ b/ezk/31/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Haya ni maneno ya Mungu kwa Farao kuhusu Ashuru. Mungu anatoa ujumbe wake katika mfumo wa fumbo kuhusu mti mkubwa wa mkangazi. + +# Tazama! + +"Tazama!" au "Sikiliza!" + +# kivuli kwenye msitu + +"inayo andaa kivuli kwa ajili ya miti mingine katika msitu." + +# na mrefu katika kimo, + +"ndefu sana" + +# Urefu wa mti wake ulikuwa juu ya mawingu + +"Urefu wa mti ulikuwa katika mawingu" + +# Maji mengi yaliufanya kuwa mrefu + +"Kwa sababu mkangazi ulikuwa na maji mengi, ulirefuka sana" + +# vilindi vya maji yaliufanya mkubwa + +"kilindi cha maji katika aridhi uliufanya mkangazi kuwa mkubwa sana" + +# mifereji yake ilitoa kuelekea kwenye miti yote katika shamba + +"na mifereji ilitoa kutoka kwenye mito kwenda kwenye miti yote ya shamba." + diff --git a/ezk/31/05.md b/ezk/31/05.md new file mode 100644 index 00000000..ef506cfb --- /dev/null +++ b/ezk/31/05.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Fumbo la Yahwe kuhusu mwerezi linaendelea. + +# Kimo chake kikubwa kilikuwa zaidi kuliko miti mingine yote katika shamba + +"Mwerezi ulikuwa mrefu kuliko miti mingine yote ya shambani" + +# matawi yake yakawa mengi + +"ulimea matawi mengi sana" + +# kwa sababu ya maji mengi ilimea + +"kwa sababu ulikuwa na maji mengi" + +# Kila ndege wa mbinguni alitengeza kiota kwenye matawi yake + +"Iina zote za ndege warukao angani walitengeza viota katika matawi yake" + +# wakati kila kiumbe hai cha shambani kilizaa mtoto chini ya tawi + +"na viumbe vyote viishivyo katika shamba walizaa chini yamatawi ya mwerezi" + +# Mataifa mengi yote yaliishi chini ya kivuli chake + +"mataifa yote yenye nguvu yaliishi katikakivuli chake" + +# ulikuwa uzuri katika ukuu wake na kimo cha matawi yake + +"Ulikuwa mzuri kwa sababu ulikuwa mkubwa na matawi yake yalikuwa marefu sana" + diff --git a/ezk/31/08.md b/ezk/31/08.md new file mode 100644 index 00000000..cb908f15 --- /dev/null +++ b/ezk/31/08.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Fumbo la Yahwe kuhusu mkangazi linaendelea + +# Mikangazi katika bustani ya Mungu haiwezi kuwa sawa + +"Mwerezi katika bustani haukuwa mkubwa kama huo mti." + +# bustani ya Mungu + +Hii ni njia nyingine ya kurejea bustani ya Edeni." + +# Hakuna miongoni mwa miti ya mivinje iliyofanana matawi yake + +Yahwe alikuwa akinganisha kulikuwa na matawi mangapi. + +# miti ya mivinje + +Miti ya mivinje ina matawi mengi sana. Yanaweza kurefuka sana. + +# miamori haikuweza kuwa sawa na majani yake + +Ilikuwa inamwonyesha Yahwe kulinganisha matawi marefu ya mti wa mwerezi pamoja na matawi marefu ya mwamori. + +# mierezi + +Mierezi ni mirefu, miti yenye majani na matawi imara. Inafanana na mikuyu. + +# ulikuwa kama huo katika uzuri wake + +"ulikuwa mzuri kama mti wa mwerezi" + +# Nimeufanya kuwa mzuri pamoja na matawi yake + +"Nimeufanya mwerezi kuwa mzurri kwa kuupatia matawi marefu." + +# aliuonea wivu + +"alikuwa na wivu wa mti wa mkangazi" + diff --git a/ezk/31/10.md b/ezk/31/10.md new file mode 100644 index 00000000..0448f41f --- /dev/null +++ b/ezk/31/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Fumbo la Yahwe kuhusu mkangazi linaendelea + +# weka urefu wake + +Hili fungu linaendelea kumrejea mfalme wa Ashuru, ambaye aliwakilishwa na mkangaze. + +# Nimeuweka kwenye mikono ya yeye mwenye uweza wa mataifa + +"nimemuweka kwenye nguvu ya taifa imara zaidi." Neno "mkono" linawakilisha utawala. + +# Nimeufukuza + +"nimeupeleka mkangazi mbali kutoka nchi ya mkangazi kwa sababu mkangazi ulikuwa dhaifu" + diff --git a/ezk/31/12.md b/ezk/31/12.md new file mode 100644 index 00000000..8ea3d8f4 --- /dev/null +++ b/ezk/31/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Fumbo la Yahwe kuhusu mkangazi linaendelea. + +# waliokuwa wakiogofya mataifa yote + +"walio wafanya mataifa yote kuogopa" + +# kuukatilia mbali + +"kuukatilia mkangazi chini" + +# matawi yake yameanguka + +"wageni walivunja matawi ya mkangazi" + +# matawi + +Ni matawi marefu yameayo kwenye miti. + +# wakatoka nje kutoka chini ya kivuli + +"acha kivuli cha mkangazi" + diff --git a/ezk/31/13.md b/ezk/31/13.md new file mode 100644 index 00000000..667b2437 --- /dev/null +++ b/ezk/31/13.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +fumbo la Yahwe kuhusu mkangazi linaendelea. + +# Ndege wote wa angani + +"Ndege wote warukao angani" + +# wakapumzika juu ya shina lake + +"wakaishi juu ya mkangazi uliosalia" + +# shina + +ni sehemu nene sana ya mti ambao hutoka aridhini na kuzishikilia sehemu nyingine za mtu. + +# wanyama wa shambani atakuja kwenye matawi yake + +"wanyama pori waliishi katika matawi ya mkangazi" + +# mwagilia maji + +"miti ipatayo maji mengi" + +# hakuna mti mwingine utakayomea karibu na maji itakayofikia kwenye huo urefu + +"na hakuna miti mingine ambayo itapata maji mengi itarefuka huo urefu ttena" + +# chini kabisa hata kwenye nchi + +"na nimeufanya ili waende chini ya aridhi." + +# katikati ya watu wa mwanadamu aliyeenda chini hata kwenye shimo + +"kuwa na hao watu waliokufa na kwenda chini kwenye kaburi" + diff --git a/ezk/31/15.md b/ezk/31/15.md new file mode 100644 index 00000000..484d269a --- /dev/null +++ b/ezk/31/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +fumbo la Yahwe kuhusu mkangazi linaendelea. + +# Katika siku ambayo mkangazi utakapo shuka kwenda Sheoli + +Neno "kwenda chini hata Sheoli" maana yake "kufa." "Katika siku ambayo mkangazi utakapokufa" + +# nilileta maombolezo kwenye dunia + +"nimeifanya nchi kuomboleza." + +# Nilifunika vilindi vya maji juu yake + +Neno "funika" ni kama linarejea juu ya mavazi kwa ajili ya kuomboleza. "nimefanya maji kutoka chemichemi kuomboleza kwa ajili ya mkangazi" + +# nikayarudisha maji ya bahari + +"nilitunza maji katika bahari kutoka kumwagilia nchi" + +# Nilizuia maji makuu + +"Nilifanya hivyo ili kusiwe na maji mengi tena" + +# nikaleta maombolezo hata Lebanoni kwa ajili yake. + +"na nikaitengeneza Lebanoni kwa ajili ya mkangazi" + diff --git a/ezk/31/16.md b/ezk/31/16.md new file mode 100644 index 00000000..f8819ee0 --- /dev/null +++ b/ezk/31/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +fumbo la Yahwe kuhusu mkangazi linaendelea + +# wakati nitakapo mtupa chini hata Sheoli + +"wakati nitakapomtupa chini hata Sheoli. "Hili neno linamaanisha, "wakati nitakapouua mkangazi." + +# pamoja na wote walioenda chini kwenye shimo + +"pamoja na kila mmoja aliyekuwa amekufa na kwenda kwenye nchi" + +# sehemu za chini kabisa za nchi + +"zilikuwa zimeenda chini tayari kwenda chini ya aridhi" + +# imechaguliwa na miti iliyokuwa bora ya Lenanoni; miti iliyokunywa maji. + +"miti bora ambayo kila mmoja atataka, miti ambayo ina maji mengi" "Hii ni miti ya Edeni ambayo ilikuwa katika sehemu ya mwisho ya ardhi. + +# chaguliwa + +"Hiki ni kitu ambacho kila mtu atakitaka kwa sababu ni chema sana. + diff --git a/ezk/31/17.md b/ezk/31/17.md new file mode 100644 index 00000000..60f6b0b7 --- /dev/null +++ b/ezk/31/17.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +fumbo la Yahwe kuhusu mkangazi linaendelea. + +# walishuka chini pamoja nayo hata Sheoli + +"Hiyo miti ya Lebanoni pia imekufa na kushuka chini hata Sheoli pamoja na mkangazi" + +# walikuwa wameuawa kwa upanga + +"ambao maadui waliuawa kwa upanga" au "waliokufa katika mapigano" + +# Hili lilikuwa jeshi lake imara + +"Hii miti ya Lebanoni ilikuwa jeshi lake imara." Neno "jeshi imara" maana yake "nguvu." + +# 8Umefanana na nani hivi katika utukufu na ukuu kati ya mti wa Edeni? + +Mungu anamuuliza Farao jili swali kumwonyesha kwamba fumbo linatumika kwake na nchi yake. + +# Kwa kuwa utashushwa chini + +"Kwa kuwa nitakusha chini" + +# pamoja na miti ya Edeni + +"kama miti mingine ya Edeni" + +# hata sehemu za mwisho za nchi + +"hata sehemu ya chini katika aridhi" + +# miongoni mwa wasiotahiriwa + +"utakuwa wapi na watu ambao hawajatahiriwa" + +# hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + diff --git a/ezk/32/01.md b/ezk/32/01.md new file mode 100644 index 00000000..53318295 --- /dev/null +++ b/ezk/32/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kisha ikatokea + +hili neno limetumika hapa kuonyesha mwanzao wa sehemu mpya wa hadithi. + +# katika mwezi wa kumi na mbili ... katika siku ya kwanza ya mwezi + +Hii ni siku ya kumi na mbili na mwezi wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kwanza i karibu na mwishoni mwa Mwezi wa pili. + +# ya mwaka wa kumi na mbili + +"ya mwaka wa kumi na mbili ya uhamisho wa Mfalme wa Yehoyakini" + +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# Mwanadamu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1. + +# Wewe ni kama mwana simba ... kama dubwana katika bahari + +"Alifikiri alikuwa kama simba, lakini alikuwa kama jitu la kutisha kabisa. + +# kama mwana simba miongoni mwa mataifa + +Misri ilikuwa imara kuliko mataifa mengine, kama simba ambao ni shupavu kuliko wanyama wengine. + diff --git a/ezk/32/03.md b/ezk/32/03.md new file mode 100644 index 00000000..4a26bbf4 --- /dev/null +++ b/ezk/32/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Farao na kumfananisha na jitu la kutisha liishilo katika maji. + +# Bwana Yahwe asema hivi + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:5. + +# Basi nitautandaza wavu wangu juu yako katika kusanyiko la watu wengi + +"Basi nitawakusanya watu wengi na kutupa wavu wangu juu yako." + +# watawainua juu katika wavu wangu + +"kutumia wavu wangu, watu watakuvuta kutokakwenye maji" + +# Nitakuacha katika nchi + +"Nitakuacha bila msaada katika nchi." Jitu la kutisha lililokuwa linatisha wakati lilipokuwa ndani ya maji haliwezi kufanya chochote wakati likiachwa juu ya nchi kavu. + +# ndege wote wa angani + +"ndege wote warukao katika anga" + +# njaa ya wanyama wote waishio juu ya nchi watashibishwa na wewe + +"nitawaacha wanyama wote wa nchi wataula mwili wako hadi njaa iwaishe" + diff --git a/ezk/32/05.md b/ezk/32/05.md new file mode 100644 index 00000000..532f9c77 --- /dev/null +++ b/ezk/32/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Farao na kumlinganisha na dubwana liishilo ndani ya maji. + +# funza wako waliokufa + +"mwili wako uliokufa" + +# Kisha nitamwaga damu yako juu ya milima + +"nitaifurika nchi damu kwa damu moja kwa moja hata kwenye milima." + +# vitanda vya kijito vitajazwa kwa damu yako + +"nitaijaza mito kwa damu yako" + diff --git a/ezk/32/07.md b/ezk/32/07.md new file mode 100644 index 00000000..95d8aac5 --- /dev/null +++ b/ezk/32/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumwambia Farao atafanya nini juu ya Misri. + +# Kisha wakati nitakapo izimisha taa yako + +"Yahwe analinganisha jinsi atakavyo muangamiza Farao kwa jinsi atakavyoweka moto wa taa. "Wakati nitakapokuharibu" + +# nitazifunika mbingu + +Yahwe ataifunika anga ili kwamba watu wa nchi hawawezi kuona mwanga wa nyota, jua na mwezi. + +# giza na nyota zake + +"nitazifanya nyota giza." Hakutakuwa na nuru. + +# nitaweka giza juu ya nchi + +"nitalifanya giza katika nchi yako" + +# hili ni tangazo la Bwana Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + diff --git a/ezk/32/09.md b/ezk/32/09.md new file mode 100644 index 00000000..60e2c130 --- /dev/null +++ b/ezk/32/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Farao. + +# nitaitisha mioyo ya watu wengi + +"nitaifanya mioyo ya watu wengi kuogopa" + +# katika nchi ambao huwajui + +Jinsi ambavyo Yahwe atakavyoiangamiza Misri itaogofya hata watu katika nchi ambayo Farao hajawahi kuifahamu ataifahamu. + +# wakati nitakapoleta kuhusu uvunjifu miongoni mwa mataifa + +"wakati mataifa watakaposikia kuhusu jinsi nitakavyokuangamiza" + +# Nitawashangaza watu wengi kuhusiana na wewe + +"nitawafanya watu wengi kuogopa kwa sababu ya kile kilichotokea kwako" + diff --git a/ezk/32/11.md b/ezk/32/11.md new file mode 100644 index 00000000..6e9e93ca --- /dev/null +++ b/ezk/32/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Farao. + +# Upanga wa mfalme wa Babeli utakuja juu yako + +Neno "upanga" inarejea hapa kwa jeshi. "Jeshi la mfalme wa Babeli watakushambulia" + +# Nitawafanya watu wako kuanguka kwa panga za mashujaa + +"nitawafanya watu wako kuanguka kwa sababu ya panga za watu wenye uweza" + +# kila shujaa ni tishio la mataifa + +"Kila shujaa ataogofya mataifa" + +# na kuangamiza watu wake wote + +"na kuua hesabu kubwa ya watu waishio katika Misri" + diff --git a/ezk/32/13.md b/ezk/32/13.md new file mode 100644 index 00000000..017fa841 --- /dev/null +++ b/ezk/32/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendela kunena + +# mifugo yote + +Mifugo ni wanyama ambao watu wanao kwa ajili ya kula na kwa sababu nyingine. Ng'ombe, kondoo, na mbuzi vyote ni mifugo. + +# karibu na maji mengi + +"kutoka mahali ambapo kuna maji mengi" + +# mguu wa mtu + +"miguu ya watu" + +# Kisha nitayafanya maji kuwa masafi + +"nitayafanya maji kuwa masafi." + +# fanya mito yao kukimbia kama mafuta + +Mafuta hutiririka pole pole na laini. + +# hili ndilo tangazo la Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + diff --git a/ezk/32/15.md b/ezk/32/15.md new file mode 100644 index 00000000..e3bbe39d --- /dev/null +++ b/ezk/32/15.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Yahwe anaendelea kunena. + +# nchi iliyojaa + +"nchi iliyojaa viumbe hai" + +# wakati nitakapo washambulia wenyeji wote + +"wakati nitakapowaangamiza waishio huko" + +# jua ya kwamba mimi ndimi Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura yha 6:6. + +# Kutakuwa na maombolezo + +"Huu ni wimbo wa kuomboleza ambao watu wataimba" + +# binti za mataifa + +"wanawake wa mataifa yote" + +# wataomboleza juu yake + +Neno "yeye"linarejea kwa nchi ya Misri. + +# hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + diff --git a/ezk/32/17.md b/ezk/32/17.md new file mode 100644 index 00000000..d227009e --- /dev/null +++ b/ezk/32/17.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Kisha ikawa + +Hili nenao limetumika kuonyesha mwanzoni mwa ujumbe. + +# katika mwaka wa kumi na mbili + +"Hii ilitokea katika mwaka wa kumi na mbili baada ya Wababeli kuwachukua Waisraeli kwenda Babeli. + +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# Mwanadamu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1. + +# omboleza kwa ajili ya watumishi wa Misri + +"lia kwa sauti kwa ajili ya jeshi la Misri" + +# walete chini-yeye na binti za mataifa mashuhuri + +"itupe Misri chini na binti za mataifa mashuhuri chini" + +# binti za mataifa mashuhuri + +"watu wa mataifa yenye nguvu" + +# chini ya nchi + +"sehemu chini ya ardhi." + +# pamoja na wale walioshuka chini kwenye shimo + +"pamoja na kila mmoja yeyote aliyekuwa amekufa na kwenda aridhini" + +# shimo + +"shimo" inarejea kwa kaburi. Ni shimo katika aridhi ambayo watu huenda baada ya kufa. + diff --git a/ezk/32/19.md b/ezk/32/19.md new file mode 100644 index 00000000..61950964 --- /dev/null +++ b/ezk/32/19.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli + +# Waulize + +"Waulize Misri na jeshi lake" + +# Nenda chini + +Inaonyesha kwamba wanaenda chini hata Sheoli. + +# Wao + +"Misri na jeshi lake" + +# wataanguka + +"watakufa" + +# waliokuwa wameuawa kwa upanga + +"ambao walikufa katika mapigano" + +# Misri amepatiwa upanga + +"Maadui wataishambulia Misri" + +# maadui zake watamkamata na watumishi wake." + +watumishi wake + +# kuhusu Misri na washirika wake + +"kuhusu Misri na wale waliojiunga nao" + diff --git a/ezk/32/22.md b/ezk/32/22.md new file mode 100644 index 00000000..38e68bc6 --- /dev/null +++ b/ezk/32/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kuhusu mataifa katika Sheoli. + +# Ashuru yupo huko pamoja na kusanyiko lake + +"Watu wa Ashuru na jeshi lake lote wote wapo katika Sheoli" + +# wote waliuawa kwa upanga + +"wote waliuawa kwa upanga" au "wote waliuawa katika mapigani" + +# yamewekwa katika maficho ya shimo + +"yamewekwa katika sehemu ya chini kabisa ya shimo" + +# wote waliokuwa wameuawa, walioanguka kwa upanga + +"wote ambao ni maadui waliuawa kwa upanga" + +# wale walioleta hofu juu ya nchi ya walio hai + +"wale walisababisha watu katika nchi ya uhai kuogopa sana" + diff --git a/ezk/32/24.md b/ezk/32/24.md new file mode 100644 index 00000000..673ff3c0 --- /dev/null +++ b/ezk/32/24.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kuhusu mataifa katika Sheole. + +# Elamu yupo huko + +Hapa "Elamu" linarejea kwa watu wa hiyo nchi. "Watu wa Elamu pia wapo huko katika Sheoli" + +# watumishi wake + +watu wake wengi au jeshi lake. + +# Makaburi yake yamemzunguka + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 32:22. + +# wote waliuawa + +"Hapa maadui waliwaua wote" + +# Wale walioanguka kwa upanga + +"walio anguka kwa upanga" katika 32:22. + +# waliokwenda chini wasiotahiriwa + +"ambao walikuwa hawajatahiriwa wakati waliposhuka chini" + +# sehemu ya chini kabisa ya nchi + +"sehemu za chini kabisa katika aridhi" + +# aliwaleta mashujaa wao juu ya nchi ya walio hai + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 32:22. + +# Wameweka vitu vya kitandani kwa ajili ya Elamu na watumishi wake + +"Walimpatia Elamu vitanda na watumishi wake wote." + +# katikati ya wachinjaji + +"pamoja na watu wote waliokuwa wameuawa." + +# Wote hawajatahiriwa + +Wamisri waliwachukia watu ambao walikuwa wametahiriwa. + +# Elamu yu miongoni mwa wale waliokuwa wameuawa + +"Maiti zilimpatia Elamu mahali kulala miongoni mwao wenyewe" + diff --git a/ezk/32/26.md b/ezk/32/26.md new file mode 100644 index 00000000..fadeca47 --- /dev/null +++ b/ezk/32/26.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi + +Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kuhusu mataifa katika Sheoli. + +# watumishi wao wote + +"jeshi lao lote" au "watu wao wote." + +# Makaburi yao yamewazunguka + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 32:22, "kaburi lake limemzunguka." + +# Wote ... nchi ya uzima + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 32:24. + +# kinga yao imewekwa juu ya mifupa yao + +Kutompenda mwingine asiyetahiriwa, Meshaki na watu wa Tubali walipewa mazishi yanayofaa. + +# Kwa kuwa walikuwa tishio kwa mashujaa katika nchi ya walio hai + +"kwa sababu, wakati wakiwa bado hai, waliwafanya mashujaa kuogopa sana" + diff --git a/ezk/32/28.md b/ezk/32/28.md new file mode 100644 index 00000000..6fa2f4fa --- /dev/null +++ b/ezk/32/28.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena. + +# utaangamizwa + +"nitakuangamiza." + +# kati yao wasiotahiriwa + +"karibu na watu wasiotahiriwa" + +# wale waliouawa kwa upanga + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 32:24. + +# Edomu yuko huko na wafalme na viongozi wake wote + +"Edomu yupo katika Sheoli pamoja na wafalme na viongozi wake wote." + +# Walikuwa na nguvu + +"Walikuwa na nguvu nyingi" + diff --git a/ezk/32/30.md b/ezk/32/30.md new file mode 100644 index 00000000..5f02e85b --- /dev/null +++ b/ezk/32/30.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mwana mfalme wa kaskazini + +"Wana mfalme waliotawala mataifa katika kaskazini" + +# wapo huko + +"wapo katika Sheoli" + +# kwenda chini + +"kwenda chini hata Sheole" + +# pamoja na maiti + +"pamoja na wale waliokuwa wameuawa" + +# ambao waliokuwa wameuawa kwa upanga + +"waliokuwa wameuawa kwa upanga" + +# Wamebeba aibu yao wenyewe, pamoja nao waendao kwenye shimo + +"wamebeba aibu yao wenyewe, pamoja na wale wanaokwenda chini" + diff --git a/ezk/32/31.md b/ezk/32/31.md new file mode 100644 index 00000000..8b817c37 --- /dev/null +++ b/ezk/32/31.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Farao ataona + +"Farao ataona maiti zote kutoka mataifa mengine." + +# na kupata faraja kuhusu watumishi wake + +Inaonyesha kwamba Farao atafarijiwa kwa sababu maadui wa wafalme wengine wakubwa wamekufa pia. + +# ambao waliuawa kwa upanga + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 31:17. + +# hili ndilo tangazo la Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + +# Natamuweka kama utiisho katika nchi ya walio hai + +"Wakati Farao alipokuwa bado yupo hai, nilimruhusu kuwaogofya watu" + +# atakuwa amelala chini katikati yao wasiotahiriwa + +Hapa "lala chini" inarejea kwa mwili wake kuwekwa katika kaburi wakati atakapokufa. + diff --git a/ezk/33/01.md b/ezk/33/01.md new file mode 100644 index 00000000..117bd895 --- /dev/null +++ b/ezk/33/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# Mwanadamu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1. + +# upanga juu ya nchi + +Neno "upanga" linarejea kwa adui wa jeshi lishambulialo. + +# kumfanya mlinzi + +"kumteua kama mlinzi" + +# usitilie manani + +"puuza onyo" + +# damu ya kila mmoja iko juu ya kichwa chake mwenyewe + +"ni kosa lao wenye kama wakifa" + diff --git a/ezk/33/05.md b/ezk/33/05.md new file mode 100644 index 00000000..82ac13e7 --- /dev/null +++ b/ezk/33/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Waisraeli. + +# damu yake i juu yake + +"itakuwa ni kosa lake mwenyewe kwamba amekufa" + +# okoa maisha yake mwenyewe + +"atajiokoa mwenyewe kutoka kifo" + +# upanga kama ujavyo + +Neno "upanga" inarejea kwa adui wa jeshi. + +# upanga ujao na kuchukua uhai wa mtu + +"upanga ujao kumuua yeyote" + +# mtu akafa kwenye dhambi yake mwenyewe + +"mtu atakufa kwa sababu ya dhambi yake mwenyewe" + diff --git a/ezk/33/07.md b/ezk/33/07.md new file mode 100644 index 00000000..418cc00e --- /dev/null +++ b/ezk/33/07.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli. + +# nyumba ya Israeli + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:1. + +# kutoka kwenye kinywa changu + +"kutoka kwangu." + +# waonye badala yangu + +"waonye kama muwakilishi wangu" + +# usitangaze hivi + +"usiseme hivi" + +# kuhusu njia yake + +"jinsi anavyotenda" + +# atakufa katika dhambi yake + +Hii inaonyesha kwamba Mungu atasamehe dhambi za huyu mtu. + +# taka damu yake kutoka mkono wake + +Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 3:16. + +# asipogeuka kutoka njia yake + +"hataacha kutenda njia yake mbaya" au "hataacha kufanya mambo yake mabaya" + +# wewe mwenyewe utakuwa umeokoa maisha yako + +"utajitunza mwenyewe hai" + diff --git a/ezk/33/10.md b/ezk/33/10.md new file mode 100644 index 00000000..71c380fa --- /dev/null +++ b/ezk/33/10.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Wasraeli. + +# nyumba ya Israeli + +Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 3:1. + +# Mnasema hivi + +"Hivi ndivyo ulivyosema" + +# Makosa yetu na dhambi zetu + +wanajisikia haitia kwa makosa yao na dhambi + +# na tunadhoofika kwa ajili yao + +Hili neno linalinganisha jinsi dhambi inavyo muharibu mtu. + +# kati yao + +Hii inamaanisha watu wanajua Mungu hatawasamehe. + +# Nitaishije? + +Watu huuliza hili swali kusisitiza kwamba hawana tumaini la kuishi. + +# Kama niishivyo + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + +# hili ndilo tangazo la Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + +# kama mwovu akitubu kutoka njia yake? + +"kama mtu muovu akiacha kufanya mambo mabaya" + +# kwa nini mnataka kufa + +Yahwe anatumia hili swali kusisitiza kwamba hataki watu wa Israeli kufa. + diff --git a/ezk/33/12.md b/ezk/33/12.md new file mode 100644 index 00000000..8b7ea5d3 --- /dev/null +++ b/ezk/33/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Israeli. + +# Haki ya mwenye haki haitamwokoa kama akikosa! + +"Kama watu wenye haki wakianza kuasi, ukweli ni kwamba walikuwa wenye haki kabla hawatawaokoa" + +# kama akiamini katika haki yake + +"kama akitegemea juu ya haki yake." Mtu anafikiri kwamba kwa sababu alikuwa na haki Yahwe hatamwadhibu, hata kama akiasi. + +# fanya isiyo haki + +"fanya yaliyo maovu" + +# kwa ajili ya uovu alioufanya + +kwa sababu ya mambo maovu aliyoyafanya. + diff --git a/ezk/33/14.md b/ezk/33/14.md new file mode 100644 index 00000000..3732c022 --- /dev/null +++ b/ezk/33/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa Waisraeli. + +# kama akirudisha dhamana + +"kama akirudisha dhamana" + +# dhamana + +kitu ambacho mtu huacha kwa mtu mwingine kuonyesha kwamba atatunza ahadi yake kurudisha kile alichokiazima. + +# akirudisha kwa kile alichokipoteza + +"rudisha kile alichokipoteza" + +# tembea katika maagizo yatoayo uzima + +"kuishi kulinagana na sheria zitoazo uzima" + +# Dhambi alizozifanya hazitakumbukwa kwa ajili yake + +"sitashikilia dhambi yake yoyote juu yake." + diff --git a/ezk/33/17.md b/ezk/33/17.md new file mode 100644 index 00000000..712c5c58 --- /dev/null +++ b/ezk/33/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Waisraeli. + +# watu wako + +Hawa ni watu wa Israeli. Neno "wako" linamrejea Ezekieli. + +# lakini i kwenye njia zako + +Neno "yako" linawarejea wana wa Israeli. "lakini ni njia zenu." + +# kufa katika hiyo + +"kufa kwa sababu ya dhambi" + +# geuka kutoka uovu wake + +"acha kufanya mambo maovu" + +# kwa sababu ya hayo mambo + +"kwa sababu hufanya kilicho haki na haki" + +# enyi watu + +Hawa ni watu wa Israeli. + diff --git a/ezk/33/21.md b/ezk/33/21.md new file mode 100644 index 00000000..f791c986 --- /dev/null +++ b/ezk/33/21.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa kumi + +Huu ni mwezi wa kumi wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi na tano ni karibu na mwanzoni mwa Mwezi wa kwanza katika kalenda za Magahribi. + +# mateka wetu + +Hapa "wetu" inarejea kwa Ezekieli na Waisraeli ambao walikuwa katika Babeli tangu wakati Wababeli walipomlazimisha Mfalme Yehoyakini kuondoka Yerusalemu. + +# mtu mmoja akatoroka kutoka Yerusalemuna + +"mtu mmoja alitoroka kutoka Yerusalemu na kuja kwangu." Wababeli waliiangamiza Yerusalemu na kuwaua watu wa Yerusalemu, lakini watu walikimbia. + +# Mji ulikuwa umetekwa + +"Wababeli wameuangamiza mji." Neno "mji" linairejea "Yerusalemu." + +# Mkono wa Yahwe ulikuwa juu yangu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 1:1, "mkono wa Yahwe ulikuja juu yangu." + +# mapambazuko + +"Mapambazuko" ni mda wa asubuhi sana wakati mwanga wa jua unapoanza kuchomoza. + +# kinywa changu kilifunuliwa + +"Yahwe alifungua kinywa chake." "nitafungua kinywa chako" + +# sikuwa bubu tena + +"niliweza kuzungumza sasa" Ezekieli hakuweza kuzungumza chochote isipokuwa maneno ya kinabii tangu 3:26. + diff --git a/ezk/33/23.md b/ezk/33/23.md new file mode 100644 index 00000000..0fe23d34 --- /dev/null +++ b/ezk/33/23.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# neno la Yahwe likaja + +Yahwe akanena neno lake." + +# wale waishio mahali palipoharibika + +"wale walio iharibu miji" + +# nchi + +"nchi ya Israeli" + +# Tumepatiwa nchi + +"Yahwe ametupatia nchi." + +# kama wamiliki + +"ili tuweze kuimiliki" au "kama warithi." + diff --git a/ezk/33/25.md b/ezk/33/25.md new file mode 100644 index 00000000..c8164028 --- /dev/null +++ b/ezk/33/25.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kuhusu watu waliokuwa wakiishi katika uharibifu wa Israeli. + +# Mmekula damu + +Inaonekana kwamba wanakula damu kwa kula nyama ambayo bado inadamu ndani yake. "Manakula nyama yenye damu ndani yake." + +# mmeziinulia macho yenu sanamu + +"mnazitegemea sanamu zenu." Hii inamaanisha kwamba "mnaziabudu sana zenu" + +# mnazimwagia damu za watu + +"mnamwaga damu." Hii inamaanisha "mnawaua watu." + +# Je! mna uhakika wa kuimiliki hii nchi? + +Yahwe anatumia hili swali kuwaonya watu. "Hamtakiwi kumiliki hii nchi" au "Hamstahili hii nchi." + +# Mnategemea upanga wenu + +"Mmetumia upanga wenu kupata kile mnachokitegemea." + +# mmetenda mambo maovu + +"tenda mambo ambayo ninayoyachukia sana" + +# kila mwanamume amemnajisi mke wa jirani yake + +Inamaanisha kwamba wamewanajisi wake za majirani zao kwa kulala nao. + diff --git a/ezk/33/27.md b/ezk/33/27.md new file mode 100644 index 00000000..17a84e84 --- /dev/null +++ b/ezk/33/27.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na ezekieli kuhusu watu waliokuwa wakiishi katika uharibifu wa Israeli. + +# Kama niishivyo + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + +# anguka kwa upanga + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + +# walio katika ngome na katika mapango watakufa kwa tauni + +"tauni itawaua watu waishio katika ngome na mapango" + +# ngome + +Ngome ni jengo ambalo watu hujenga kujilinda wenyewe na maadui wanao washambulia. + +# mapango + +Mapango ni mashimo ya asili katika upande wa mlima au ndani ya aridhi. + +# na tishio + +"Tishio" ni kitu ambacho kinwafanya watu kuogopa sana wanapokiona. "na watu wataogopa sana kwa sababu ya hiyo" + +# kiburi cha uweza wake kitaisha + +Neno "yake" linarejea kwa nchi, ambayo inarejea kwa watu wa nchi. "watu wa nchi hawatajiinua tena kwamba wako hodari." + +# milima ya Israeli itakuwa jangwa + +"hakuna atakayeishi katika milima ya Israeli" + +# hakutakuwa na mtu wa kupitia miongoni mwao + +"hakutakuwa na yeyote atakaye achwa kusafiri kupitia kwenye nchi au juu ya milima" + +# mtajua yakwamba mimi ni Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6. + +# wamemaliza + +"watu wamemaliza" + +# machukizo yote waliyafanya + +"mambo yote waliyafanya ninayachukia" + diff --git a/ezk/33/30.md b/ezk/33/30.md new file mode 100644 index 00000000..88406799 --- /dev/null +++ b/ezk/33/30.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Ezekili + +# Mwanadamu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1. + +# ile itokayo kutoka kwa Yahwe + +"ile Yahwe aipelekayo" + +# Maneno ya hako hapo juu ya vinywa vyao + +"maneno ya upendo yapo katika vinywa vyao" + +# mioyo yao inafuata udhalimu kwa faida yao + +"katika mioyo yao wanataka kujipatia udhalimu" au "wanataka kujipatia vitu katika njia ambazo si sahihi." + diff --git a/ezk/33/32.md b/ezk/33/32.md new file mode 100644 index 00000000..ccd3e14a --- /dev/null +++ b/ezk/33/32.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kuhusu watu wa Israeli. + +# wewe ni kama wimbo mzuri kwao + +"wanafikiri kwamba wewe ni kama wimbo mzuri" + +# wimbo mzuri + +Maana zinazowezekana "wimbo mzuri" au "wimbo wa mapenzi" au wimbo kuhusu mapenzi." + +# nzuri awezaye kucheza kinanda vizuri + +"ambayo mtu hucheza vizuri kwenye kinanda kizuri." + +# wakati haya yote yatokeapo + +Neno "haya" inarejea kwa mambo yote ambayo Mungu aliyasema yatatokea na kwamba Ezekieli aliwaambia watu. + +# tazama! + +Neno "tazama" hapa linaongeza kusisitiza kwa kile kifuatacho. + +# yule nabii aliyekuwa miongoni mwao + +"kwamba kweli nimekutumia nabii." + diff --git a/ezk/34/01.md b/ezk/34/01.md new file mode 100644 index 00000000..483d5790 --- /dev/null +++ b/ezk/34/01.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# wachungaji wa Israeli + +Hili neno linawalinganisha viongozi wa Israeli ambao wanaotakiwa kuangalia watu wao pamoja na wachungaji ambao wanaotakiwa kuangalia kundi lao. "viongozi wa Israeli walio kama kondoo" + +# Tabiri na sema + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 21:8. + +# wanajichunga wenyewe + +"wanajilisha na kujichunga wenyewe." + +# Je! wachungaji hawapaswi kulilinda kundi? + +Yahwe anatumia hili swali kuwakaripia viongozi kwa kuacha kuwaangalia watu. + +# Mnakula mafungu yaliyonona + +Inaonyesha kwamba fungu lililonona hutoka kwenye kondoo na mbuzi. "Mnakula sehemu za kondoo na mbuzi zilizonona" + +# mnavaa sufu + +"vaa sufu kutoka kondoo" + +# Mnachinja walionona + +"Mnachinja mifugo wanene ili muweze kuwala" + +# wanene + +"kondoo mwenye afya na mbuzi" au "kondoo na mbuzi walio nona kabia" + +# hamkuwalisha siku zote + +"msiwalishe na kulichunga kundi" + diff --git a/ezk/34/04.md b/ezk/34/04.md new file mode 100644 index 00000000..e0fd8a2e --- /dev/null +++ b/ezk/34/04.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa viongozi wa Israeli + +# wenye maradhi + +"wanaumwa" au "wako dhaifu" + +# funga + +"Hamuwafungi kuzungusha nguo vidonda na mifupa iliyovunjika" + +# wale waliovunjika + +"kondoo waliovunjika mifupa" au "kondoo aliyeumia" + +# hamuwarudishi + +"hamuwarudishi" + +# waliofukuzwa + +"kondoo aliyekuwa amefunkuzwa" au "kondoo dhaifu amefukuzwa na kondoo shupavu" + +# aliyepotea + +"kondoo au mbuzi aliyepotea" + +# kwa nguvu na vurugu + +"kwa kulazimisha na kikatili" + +# bila mchungaju + +"kwa sababu hawana mchungaji." + +# wakawa chakula kwa wanyama wote waishio katika mashamba + +"wanyama wote wa porini waliwashambulia na kuwala" + +# limetawanyika juu ya uso wote wa dunia + +"kundi langu limetwanyika juu ya dunia nzima" + diff --git a/ezk/34/07.md b/ezk/34/07.md new file mode 100644 index 00000000..a16884b2 --- /dev/null +++ b/ezk/34/07.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Israeli. + +# tangazo la Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + +# Kama niishivyo + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + +# hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + +# kwa sababu kundi langu limekuwa mateka na chakula kwa ajili ya wanyama katika mashamba + +"kwa sababu wanyama katika shamba wamekuwa wakiiba kundi langu na kuwala" + +# mateka + +"vitu vilivyopotea. + +# wanyama katika mashamba + +"wanyama wa porini" + +# kwa sababu hapakuwa na mchungaji + +"kwa sababu hawana mchungaji" + +# wanajichunga wenyewe + +"wanajichunga wenyewe" + +# hawakulilisha kundi langu + +"hawakulilisha na kulichunga" + diff --git a/ezk/34/09.md b/ezk/34/09.md new file mode 100644 index 00000000..aa55908d --- /dev/null +++ b/ezk/34/09.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa viongozi wa Israeli. + +# Kwa hiyo, wachungaji, lisikilizeni neno la Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 34:7. + +# Tazama! + +Neno "Tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kifutacho. + +# Niko juu ya wachungaji + +"nitawaadhibu wachungaji." + +# nitalitaka kundi langu kutoka mkononi mwao + +"nitawaadhibu kwa mambo yote mabaya waliyaacha kutokea kwa kundi langu." + +# nitawasitisha mbali na kuchunga kundi + +"sitawaacha kulichunga kundi tena" + +# watajichunga wenyewe + +"kujilisha na kujichunga wenyewe" + +# kutoka vinywani mwao + +"hivyo hawataweza kuwala." + +# kundi langu halitakuwa chakula chao tena + +"wachungaji hawatawala tena kondoo na mbuzi wa kundi langu" + diff --git a/ezk/34/11.md b/ezk/34/11.md new file mode 100644 index 00000000..34c05c9e --- /dev/null +++ b/ezk/34/11.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendela kumptaia ezekieli ujumbe wake kwa viongozi wa Israeli. + +# Tazama! + +Neno "Tazama" hapa linatahadharisha wachungaji kuwa makini kwa habari ifutayo ya kushangaza. + +# nitawatafuta + +"nitawatafuta" + +# ndani ya kundi lake lililotawanyika. + +"pamoja na kundi lake" + +# waliotawanyika + +Kundi halipo sehemu moja. Kondoo na mbuzi wapo katika sehemu tofauti tofauti walipopotea na katika hatari. + +# katika siku ya mawingu na giza + +"katika siku ya wingu na siku ya giza." Hii inarejea wakati majanga mengi yatakapo tokea. "wakati majanga mabaya yatakapowatokea." + +# warudishe + +"rudisha kondoo na mbuzi wangu" + +# kutoka miongoni mwa watu + +"kutoka mahali ambapo walipoishi pamoja na watu wengine" + +# malisho + +nchi ambayo ina majani na mimea midogo ambayo kondoo na mbuzi wanaweza kula + +# makazi + +sehemu ambapo watu huishi. Siku zote wanaishi katika nyumba za makazi. + diff --git a/ezk/34/14.md b/ezk/34/14.md new file mode 100644 index 00000000..f45507ce --- /dev/null +++ b/ezk/34/14.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo ya Juma: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa viongozi wa Israeli + +# sehemu za malisho yao + +"mahali ambapo wanaweza kula" + +# malisho mazuri + +nchi zenye majana mengi na mimia + +# malisho + +kula majani na mimea mingine + +# mimi mwenyewe + +Neno "mimi mwenyewe" linaongeza msisitizo. Mungu atafanya hivi kwa sababu wachungaji hawakuwa wanafanya sahihi. + +# watalisha + +"watalisha na kuwaangalia" + +# watawafanya kulala chini + +"watawaacha walale chini" + +# hili ni tangazo la Bwana Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + +# waliopotea + +"wale waliopotea." "kondoo yeyote au mbuzi aliyepotea" + +# rudisha waliopotea + +"kuwarudisha wale waliokuwa wamefukuzwa mbali" + +# funga kondoo aliyevunjika + +"zungusha nguo kwa kondoo yeyote aliyevunjika mfupa" + diff --git a/ezk/34/17.md b/ezk/34/17.md new file mode 100644 index 00000000..cf78527a --- /dev/null +++ b/ezk/34/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake. Sasa ni watu wa Israeli. + +# tazama + +Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kifuatacho. + +# nitakuwa hakimu kati ya kondoo + +"nitakuwa hakimu kati ya kondoo, kondoo dume, na mbuzi" + +# kondoo dume na mbuzi dume + +Kondoo dume na mbuzi huwa ni shupavu katika mifugo na wanaweza kufika popote watakapo kutoka wanyama wengine katika mifugo. + +# Haitoshi ... miguu + +Huu ni mwanzo wa swali ambalo Mungu anatumia kukaripia wale shupavu kwa sababu si wakarimu kwa wale wadhaifu. + diff --git a/ezk/34/20.md b/ezk/34/20.md new file mode 100644 index 00000000..78db30cc --- /dev/null +++ b/ezk/34/20.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Tazama! + +Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kifuatacho. + +# mimi mwenyewe + +Neno "nini mwenyewe" linasisitiza kwamba ni Yahwe ndiye atakaye hukumu. + +# nitahukumu kati ya kondoo mnene na yule mwembamba + +"nitahakikisha kwamba kondoo mnene na mbuzi na kondoo wembamba na mbuzi wanatendeana kila mmoja vyema" + +# kwa ajili yako + +"Neno "wewe" linarejea kwa kondoo na mbuzi ambazo hazikuwa zinawatenda vyema kondoo wengine na mbuzi. + +# kwa upande wako + +"kwa upande wa mwili wako" + +# amewapiga + +"amewasukuma" + +# kuwatawanya + +"kuwafanya waende katika mahali tofauti tofauti" + +# mbali na nchi + +"mbali na nchi ya Israeli" + diff --git a/ezk/34/22.md b/ezk/34/22.md new file mode 100644 index 00000000..55b54f8c --- /dev/null +++ b/ezk/34/22.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# mateka + +"vitu vilivypotea." Wachungaji na wanyama wa porini wamekuwa wakiiba kondoo na mbuzi kutoka kwa mifugo ya Yahwe. + +# nitahukumu kati ya kondoo mmoja na mwingine + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 34:17, "nitahukumu miongoni mwa kondoo." + +# Nitaweka juu yao mchungaji mmoja + +"nitamtuma mchungaji mmoja kuwa kiongozi wa kondoo na mbuzi wangu" + +# mtumishi wangu Daudi + +Yahwe amesema "Daudi" inarejea kwa uzao wa Dausi. "uzao wa mtumishi wangu Daudi." + +# nitakuwa Mungu wao + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 11:19. + +# atakuwa mwana mfalme miongoni mwenu + +"atakuwa mtawala" + +# mimi, Yahwe, nimetangaza hivi + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:15. + diff --git a/ezk/34/25.md b/ezk/34/25.md new file mode 100644 index 00000000..42fed1f6 --- /dev/null +++ b/ezk/34/25.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Israeli. + +# agano la amani + +"agano lile liletalo amani" + +# wanyama waovu wa porini + +Hawa ni wanyama wa porini ambao waliwaua kondoo na mbuzi. + +# Pia nitaleta baraka juu yao na juu ya maeneo yazungukao kilima changu + +Baadhi ya matolea ya kisasa yanatafsiri "pia nitawarudisha na maeneo yanayozunguka kilima changu kwenye baraka." + +# katika wakati wake + +"kwa wakati sahihi" + +# Hizi zitakuwa mvua za baraka + +"Hii mvua itatolewa kama baraka" + +# na dunia itashindwa kuzaa matunda yake + +"nchi itaotesha chakula" Chakula kitamea juu ya nchi + +# wataokoka + +"watakuwa salama" + +# watajua yakwamba mimi ndimi Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6. + +# fito za kongwa zao + +"fito zinazoshikilia kongwa zao pamoja" + diff --git a/ezk/34/28.md b/ezk/34/28.md new file mode 100644 index 00000000..93bc000b --- /dev/null +++ b/ezk/34/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Israeli. + +# mateka + +Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 7:20. + +# sehemu ya kupanda nzuri + +"bustani watakayo kuwa katika amani" au bustani ambayo itakuwa mashuhuri" + +# angamia kwa njaa + +"njaa" au "au kuangamia kwa sababu ya ukosefu wa chakula: + diff --git a/ezk/34/30.md b/ezk/34/30.md new file mode 100644 index 00000000..3309dc9b --- /dev/null +++ b/ezk/34/30.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mimi, Yahwe Mungu wao, niko pamoja nao + +"mimi, Yahwe Mungu wao, ninawasaidia" + +# Ni watu wangu + +"na ni watu wangu" + +# hili ni tangazo la Yahwe + +Tazama tafsiri yake ktika sura ya 5:11. + +# nitakuwa Mungu wako + +"ndimi Mungu wako" + diff --git a/ezk/35/01.md b/ezk/35/01.md new file mode 100644 index 00000000..89a821c9 --- /dev/null +++ b/ezk/35/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# Mwanadamu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1. + +# weka uso wako juu ya + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 4:1. + +# Mlima Seiri + +"mlima Seiri." huu unarejea kwa wtu walioishi katika Edomu kwa sababu waliishi katika mlima Seiri. "watu wa Edomu" + +# kwa huo + +"mlima" au "watu wa Edomu" + +# Tazama! + +Neno "Tazama hapa linaongeza msisitiza kwa kile kifuatacho. + +# ni juu yako + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 21:1. + +# nitakupiga kwa mkono wangu + +"nimeunyoosha mkono wangu juu yako." Hii inamaanisha "ni karibu kukushambulia." + +# ukiwa na tishio + +Tazama jinsi ilivyo tafsriwa katika sura ya 33:27. + diff --git a/ezk/35/04.md b/ezk/35/04.md new file mode 100644 index 00000000..a9b0bff3 --- /dev/null +++ b/ezk/35/04.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa watu wa Mlima Seiri. + +# utajua yakwamba mimi ndimi Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6. + +# umewatoa kwenye mikono ya upanga + +"umewatoa juu ya maadui zao waliowaua kwa upanga" au "umewaua kwa upanga" + +# wakati adhabu yao + +"katika kipindi wakati walipokuwa katika janga" + +# kama niishivyo + +Tazama jinsi ilivyotafsiriwa katika sura ya 5:11. + +# hili ndilo tangazo la Bwana Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + +# nitakuandaa kwa ajili ya damu + +"nitakuandaa kwa kuipoteza damu yako." Hii inarejea kwa kujeruhuwa au kuuawa. + +# damu itakufuatilia + +Yahwe anawakilisha damu kama mtu ambaye angewafukuza. "maadui zako wataendelea kukuchinja" + +# Kwa kuwa hukuichukia damu + +"Tangu ulipoichukia wakati watu wengine walipouawa kikatili." + diff --git a/ezk/35/07.md b/ezk/35/07.md new file mode 100644 index 00000000..9dbdbbf2 --- /dev/null +++ b/ezk/35/07.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa Mlima Seiri. + +# wakati nitakapoukatilia mbali kutoka huo yeyote apitaye na arudiye tena + +"nitamwangamiza kila auingiaye au kuuacha" + +# waliouawa kwa upanga + +Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 31:17. + +# mkiwa daima + +"ukiwa daima" Hii ni kutia chumvi kusisitiza uharibifu. + +# Miji yako haitakaliwa + +"watu hawataishi katika miji yako" + +# lakini mtajua + +Hapa "ninyi" ni wingi. Mungu ananena na watu wa Mlima Seiri, kuliko na mlima mmoja. + +# mtajua kwamba mimi ni Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6. + diff --git a/ezk/35/10.md b/ezk/35/10.md new file mode 100644 index 00000000..e5ca2ece --- /dev/null +++ b/ezk/35/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa watu wa Milima Seiri. + +# Umesema + +Neno "Wewe" linarejea kwa mlima wa Seiri ambao unawakilisha taifa la Edomu. + +# na sisi + +Neno "sisi" linarejea watu wa Edomu. + +# hata wakati Yahwe alipokuwa pamoja nao + +Inaonyesha kwamba Yahwe alikuwa akiilinda Israeli na Yuda. "Lakini Yahwe alikuwa huko akiilinda Israeli na Yuda" + +# kama niishivyo + +Tazama jisni ilivyo tafsiriwa katika sura ya 5:1. + +# hili ndilo tangazo la Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + +# itafanya kulingana na hasira yako na kulingana na wivu wako + +"nitakuadhibu kwa sababu ya hasira yako na wivu" + diff --git a/ezk/35/12.md b/ezk/35/12.md new file mode 100644 index 00000000..659006d9 --- /dev/null +++ b/ezk/35/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa watu wa Mlima . + +# watajua yakwamba mimi ndimi Yahwe + +Tazama jinsi ilivyotafsiriwa katika sura ya 6:6. + +# wametolewa kwetu tuwale + +"milima ya Israeli ni kwa aji yetu ili kutula" au tunaweza kuchukua chochote tutakacho kutoka kwao" + diff --git a/ezk/35/14.md b/ezk/35/14.md new file mode 100644 index 00000000..3f2485d3 --- /dev/null +++ b/ezk/35/14.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa watu wa Mlima Seiri. + +# Bwana Yahwe asema hivi + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:10. + +# kufanya ukiwa + +Neno "wewe" linarejea kwa "mlima Seiri ambao unawakilisha nchi ya Edomu. "nitaifanya nchi yako ukiwa." + +# nitakavyokutenda wewe + +"nitaifanya nchi yako ukiwa" au "nitafanya shangwe wakati nchi yako ikiwa ukiwa" + +# Mlima Seiri + +Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 35:1. + +# Kisha watajua + +Neno "wao" yamkini linarejea kwa "watu wa dunia" au "watu wa Israeli na Yuda." + +# watajua kwamba mimi ndimi Yahwe + +Tazama ilivyo tafsiriwa katika sura ya 6:6. + diff --git a/ezk/36/01.md b/ezk/36/01.md new file mode 100644 index 00000000..f82ae92f --- /dev/null +++ b/ezk/36/01.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Ezekeili. Sasa ujumbe wake ni kwa milima ya Israeli. + +# mwanadamu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1. + +# tabiri juu ya milima ya Israeli + +Mungu anamtaka Ezekilei kunena na milima kana kwamba walikuwa watu. + +# Enhe + +Hii inaonyesha shangwa. Inaweza kutafsiriwa kama "nina furaha sana" + +# Mahala pa juu pa zamani + +Hii inarejea kwa milima mirefu ya Israeli. + +# imekuwa milki yetu + +"sasa ni mali yetu" + +# Kwa sababu ya ukiwa wenu + +"Kwa sababu ninyi milima mmekuwa ukiwa" + +# kwa sababu mashambulizi yaliyokuja juu yenu kutoka pande zote + +"kwa sababu mliishambulia kutoka kila mahali" + +# mmeambiwa kwa midomo yao waongeao, na kwa masingizio ya watu + +"watu wanasema mambo mabaya kuhusu wewe, na mataifa wanasema hadithi mbaya kuhusu wewe" + +# midomo ya uzushi na ndimi + +"maneno ya uzushi" + diff --git a/ezk/36/04.md b/ezk/36/04.md new file mode 100644 index 00000000..76adfcbd --- /dev/null +++ b/ezk/36/04.md @@ -0,0 +1,56 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa milima ya Israeli. + +# sikiliza neno la Bwana Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:1. + +# mahali palipoharibika kuwa ukiwa + +"miji mikiwa ambayo hakuna watu wanaoishi katika hiyo" + +# miji iliyoachwa + +"miji ambayo watu wamiacha nyuma" + +# imekuwa mateka + +"hao maadui wamepotea" + +# huru kwa kutaniwa na mataifa yaliyowazunguka + +"ambayo wengine, wanayoyazunguka mataifa wanadhihaki" + +# katika ghadhabu ya moto wangu + +Yahwe anaipenda Israeili sana, hivyo amekuwa na wivu na hasira wakati mataifa mengine wanapoidhihaki. + +# juu ya Edom na wote + +"na juu ya Edom yote" + +# wote walikuwa na shangwa katika moyo wao na dharau katika roho zao + +"wameitukana watu wako Israeli. + +# shangwe katika moyo wake + +"kwa shangwe katika mioyo yao" + +# dharau katika roho zao + +inaonyesha kwamba dharau yao ni kwa ajili ya Israeli. + +# Tazama! + +Neno "Tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kifuatach. + +# Katika ghadhabu yangu na hasira yangu + +Maneno "ghadhabu" na "hasira" kimsingi yana maana moja. Yote yanasisitiza mkazo wa hasira. + +# mmechukua fedheha za mataifa + +"mataifa mengine yamekufedhehesha" + diff --git a/ezk/36/07.md b/ezk/36/07.md new file mode 100644 index 00000000..4fcbf07e --- /dev/null +++ b/ezk/36/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa mataifa ya Israeli. + +# Mimi mwenyewe nitainua mkono wangu kuapa + +"mimi mwenyewe nitainua mkono wangu kuapa" Kuinua mkono inaonyesha kwamba kweli atafanya kile alicho kiapia' + +# kwamba mataifa yanayowazunguka yamkini yatawabebea aibu yao + +"yamkini watu wakawadhihaki mataifa yaliyokuzunguka" + +# kuzunguka + +Neno "wewe" linarejea kwa milima ya Israeli. + diff --git a/ezk/36/08.md b/ezk/36/08.md new file mode 100644 index 00000000..26873a50 --- /dev/null +++ b/ezk/36/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa milima ya Israeli. + +# mtachipuza matawi na kuzaa matunda + +"miti yenu itachipuza matawi na kuzaa matunda." + +# tazama + +Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kinachofuata." + +# nipo kwa ajili yenu + +"nataka kufanya mambo mazuri kwenu" Neno "ninyi" linarejea kwa milima ya Israeli. + +# na ninawatenda kwa fadhili + +"nitakuwa mkarimu kwenu" (UDB) + +# mtalimwa na kupandwa mbegu + +"Watu wangu, watalima aridhi yako na kuipanda mbegu." Kulima inamaanisha kukata matuta katika aridhi ili kupanda mbegu katika hiyo. + diff --git a/ezk/36/10.md b/ezk/36/10.md new file mode 100644 index 00000000..aa7d2777 --- /dev/null +++ b/ezk/36/10.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa mataifa ya Israeli. + +# nyumba ya Israeli + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:1. + +# Miji itakaa na palipoharibiwa kujengwa + +"Kisha watu wataishi katika miji na watayajenga tena magofu." + +# wataongezeka na kuzaa + +"watakuwa watu wengi sana na watoto wengi sana" + +# nitawafanya kuishi kama mlivyokuwa + +"watu kuishi juu yako milima kama walivyofanya kabla" + +# mtajua yakwamba mimi ni Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6. + +# watakumiliki + +Neno "wewe" ni umoja na linarejea kwa "nchi ya Israeli." + +# hutasababisha tena watoto wao kufa + +Hii inaonyesha kwamba zamani watoto walikufa kwa sababu hapakuwa na chakula cha kutosha katika nchi. Kisha nchi ilizalisha chakula cha kutosha. + diff --git a/ezk/36/13.md b/ezk/36/13.md new file mode 100644 index 00000000..c843c0c9 --- /dev/null +++ b/ezk/36/13.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Huu ni mwendelezo wa ujumbe wa Yahwe kwa milima ya Israeli. + +# wanakwambia + +"mataifa mengine yanakwambia milima" + +# Umewala watu + +"Umewafanya watu wangu kufa." Neno "ume" ni umoja na linarejea kwa "nchi ya Israeli." + +# watoto wako wa taifa wamekufa + +"umewafanya watoto wa watu wako kufa." Hii inaonyesha kwamba milima hufanya hivi kwa kuacha kuotesha mbegu nzuri. + +# Hili ndilo tangazo la Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + +# Wala sintokuruhusu kusikiliza fedhiha za mataifa tena + +"sitayaruhusu mataifa mengine tena kukufedhehesha." + +# hautachukua tena aibu ya watu + +"watu hawatakusababisha kujisikia aibu" + +# au kufanya taifa lako kuanguka + +"na ninyi milima fanyeni taifa lenu lishinde" + diff --git a/ezk/36/16.md b/ezk/36/16.md new file mode 100644 index 00000000..c187310d --- /dev/null +++ b/ezk/36/16.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# Mwanadamu + +Tazama tafsir yake katika sura ya 2:1: + +# Nyumba ya Israeli + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:1. + +# pamoja na njia zao na matendo yao + +"jinsi walivyoishi na mambo waliyoyafanya" + +# Njia zao zilikuwa kama uchafu wa hedhi ya mwanamke mbele yangu + +"Njia zao zilikuwa kama machukizo kwangu kama uchafu wa hedhi ya mwanamke" + +# hedhi ya mwanamke + +ni damu itokayo kwa mwanamke kila mwezi wakati anapokuwa hana mimba + +# nimeimwaga ghadhabu yangu juu yao + +"nimefanya mambo kwao yanayoonyesha jinsi nilivyokuwa na hasira." + +# kwa ajili ya damu waliyoimwaga juu yanchi + +"kwa sabababu wamefanya damu ya watu wengi kusambaa kwenye nchi" au "kwa sababu wamewaua watu wengi." + +# na kwa ajili ya uchafu wa hiyo kwa sanamu zao + +"na kwa sababu wameinajisi nchi yangu kwa sanamu zao" + diff --git a/ezk/36/19.md b/ezk/36/19.md new file mode 100644 index 00000000..45d48f0a --- /dev/null +++ b/ezk/36/19.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kuhusu Israeli. + +# Nimewatawanya miongoni mwa mataifa; walitawanyika katika nchi tofauti tofauti. + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 12:14. + +# walitawanyika katika nchi tofautitofauti + +"nimewatawanya kupitia nchi tofauti tofauti" + +# njia zao na matendo yao + +"mambo ambayo waliyoyafanya" + +# wakati watu + +"kwa sababu watu wengine wamesema" + +# nchi yake + +Hii inarejea kwa nchi Israeli. + +# nalikuwa na huruma kwa ajili ya langu langu takatifu + +"najali kusu jina langu." "nalitaka watu wajue kwamba mimi ndimi Yahwe." + +# nyumba ya Israeli + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:1. + diff --git a/ezk/36/22.md b/ezk/36/22.md new file mode 100644 index 00000000..7bbadc4a --- /dev/null +++ b/ezk/36/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli, na kumpatia ujumbe Israeli. + +# nyumba ya Israeli + +Tazama tafsiri yake katika 3:1. + +# kwa ajili yako + +"kwa sababu yako" + +# lakini kwa ajili ya jina langu takatifu + +"ili watu wajue kwamba mimi ni mtakatifu" + +# mtajua kwamba mimi ndimi Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6. + +# hili ni tangazo la Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + diff --git a/ezk/36/24.md b/ezk/36/24.md new file mode 100644 index 00000000..fdad319e --- /dev/null +++ b/ezk/36/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Israeli. + +# nyunyiza maji masafi + +"kupitia maji masafi" + +# kutoka kwenye uchafu wako wote + +"mambo yote yanayokufanya kuwa najisi" + diff --git a/ezk/36/26.md b/ezk/36/26.md new file mode 100644 index 00000000..36881aca --- /dev/null +++ b/ezk/36/26.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Israeli. + +# moyo mpya na roho mpya + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 11:19. + +# katika sehemu zenu za ndani + +"ndani yenu" + +# moyo wa jiwe + +Hii inalinganishwa na mioyo ya ukaidi na moyo wa jiwe. + +# nyama zako + +"mwili wako" + +# mwili wa nyama + +Huu ni moyo ambao sio mkaidi, lakini unatamani kumtii Mungu. + +# tembea katika maagizo yangu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 11:9. + +# tunza maagiza yangu, hivyo utawafanya + +"utayashika maagizo yangu na kuyafanya" + +# watu wangu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 11:19 + diff --git a/ezk/36/29.md b/ezk/36/29.md new file mode 100644 index 00000000..abf8fc5f --- /dev/null +++ b/ezk/36/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Israeli. + +# nitatia unga + +"nitaita unga uje" Hili neno linawakilisha unga kama mtumishi wa Yahwe. + +# hamtazaa tena aibu ya njaa miongoni mwa mataifa + +"mataifa hayatakufanya kujisikia aibu kwa sababu mnateseka na njaa" + +# matendo maovu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:9. + diff --git a/ezk/36/32.md b/ezk/36/32.md new file mode 100644 index 00000000..a2700b07 --- /dev/null +++ b/ezk/36/32.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Israeli. + +# kwa ajili yako + +"kwa ajili yako" + +# hili ndilo tangazo la Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + +# ijulikane kwenu + +"unaweza kuwa na uhakika na hili" + +# Hivyo tahayarikeni na kufadhaika + +Maneno "tahayarika" na "kufadhaika" yana maana moja. Yote yanasisitiza mkazo wa tahayari. + +# kwa sababu ya njia zako + +"kwa sababu ya kile ufanyacho" + +# nyumba ya Israeli + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:1. + +# mtailima nchi iliyoharibiwa + +"mtailima nchi iliyoharibiwa" + +# mbele za macho ya wote wapitao karib + +"na wasafiri wote katika nchi wataiona" + diff --git a/ezk/36/35.md b/ezk/36/35.md new file mode 100644 index 00000000..381bb15d --- /dev/null +++ b/ezk/36/35.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Israeli. + +# Kisha waka + +Neno "waka" llinarejea kwa watu wanaotembea kupitia nchi ya Israeli. + +# palipokuwa pamebomolewa + +"maadui walipaangusha chini" + +# watajua yakwamba mimi ndimi Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6. + +# kwamba nimeyajenga magofu + +"na kuijenga miji ambayo maadui walipokuwa wamepabomoa" + +# kuipanda mbegu sehemu zilizokuwa ukiwa + +"kupanda mbegu katika nchi kiwa" + diff --git a/ezk/36/37.md b/ezk/36/37.md new file mode 100644 index 00000000..0fbf7f69 --- /dev/null +++ b/ezk/36/37.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli. + +# kuwaongeza kama kundi la watu + +"kuwafanya kama kundi la kondoo." Kondoo huongezeka haraka. kuwafanya watu kuongezeka haraka kama kondoo." + +# watajua kwamba mimi ndimi Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6. + diff --git a/ezk/37/01.md b/ezk/37/01.md new file mode 100644 index 00000000..a187638f --- /dev/null +++ b/ezk/37/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ezekieli ananena + +# Mkono wa Yahwe ulikuwa juu yangu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 1:1, "mkono wa Yahwe ukaja juu yangu." + +# katikati + +"katikati" + +# kuzunguka pote + +"katika kila mahali" + +# Tazama! + +Neno "Tazama" hapa linatutahadharisha kuwa makini kwa habari zifuatazo za kushangaza. + +# mwandamu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1. + diff --git a/ezk/37/04.md b/ezk/37/04.md new file mode 100644 index 00000000..65a14110 --- /dev/null +++ b/ezk/37/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe ananena na Ezekieli. + +# Sikiliza neno la Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 13:1. + +# Tazama + +"Ona" au "Sikia" + +# mishipa + +sehemu ya miili ya mwanadamu ambayo ni kama gidamu ngumu na hushikkamana na mifupa na misuli pamoja + +# weka pumzi miongoni + +Hapa "pumzi" inarejea kwa kupumua. "nitakufanya kupumua" + +# pumzi + +Neno la Kiebrania limetafsiriwa kama "pumzi" katika mstari huu limetafsiriwa kama "roho" pia limetafsiriwa katika matoleo mengine machache kama "upepo" + +# mtajua kwamba mimi ndimi Yahwe + +Tazama tafsiri yakekatika sura ya 6:6. + diff --git a/ezk/37/07.md b/ezk/37/07.md new file mode 100644 index 00000000..e4bc8415 --- /dev/null +++ b/ezk/37/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ezekieli ananena + +# kama nilivyokuwa nimeamuru + +"kama yahwe alivyokuwa ameniamuru kunena." + +# tazama + +Neno "tazma" hapa linaonyesha kwamba ezekieli alishangazwa kwa kile alichokiona. + +# mishipa + +Hii inarejea kwa sehemu za binadamu ambazo ni kama gidamu ngumu na kushika mifupa na misuli pamoja. + +# Lakini hapakuwa na pumzi juu yao + +Hapa "pumzi" inarejea kwa tendo la kupumua. "lakini hawakuwa wanapumua" au "hawakuwa hai" + diff --git a/ezk/37/09.md b/ezk/37/09.md new file mode 100644 index 00000000..d1afd458 --- /dev/null +++ b/ezk/37/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mwanadamu + +tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1. + +# pumzi + +"pumzi" au "roho" au "upepo" + +# kutokakwenye pepo nne + +"kutoka pande ambazo upepo unaweza kuvuma" au "kutoka kila upande" + +# hawa waliouwa + +"hawa watu ambao ni maadui na maafa wameawa." + +# kama nilivyokuwa nimeamuru + +"kama Yahwe alivyo niamuru" + diff --git a/ezk/37/11.md b/ezk/37/11.md new file mode 100644 index 00000000..d3351574 --- /dev/null +++ b/ezk/37/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mwanadamu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1. + +# nyumba yote ya Israeli + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:1. + +# Tazama! + +Neno "Tazama" hapa linaongeza kusisitiza kwa kile kifuatacho. + +# tabiri na sema + +Tazama tafsiri yake katika kumbu ya bibilia 21:08. + +# Tazama + +"Ona" au "Sikia" + diff --git a/ezk/37/13.md b/ezk/37/13.md new file mode 100644 index 00000000..65dbfd80 --- /dev/null +++ b/ezk/37/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Haya ni maneno ya Yhawe kwa watu wa Israeli. + +# watajua yakwamba mimi ndimi Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6. + +# mabaki ya nchi yako + +"kuishi kwa amani katika nchi yako mwenyewe" + +# hili ni tangazo la Yahwe + +Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 5:11. + diff --git a/ezk/37/15.md b/ezk/37/15.md new file mode 100644 index 00000000..c6a09a3d --- /dev/null +++ b/ezk/37/15.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# neno la Yahwe likaja + +"yahwe akanena neno lake." Tazama tafsiri yake katika sura ya 1:1. + +# mwanadamu + +tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1. + +# Kwa ajili ya Yuda + +"Inawakilisha Yuda" + +# Yuda + +Kabila la Yda liliishi uapande wa utawala wa kuskazini mwa Israeli ambayo iliitwa Yuda. hapa hili jina limetumika kurejea ufalme wote wa kusini. + +# watu wa wote Israeli, wenzake + +Hii inarejea kwa Waisraeli walioishi katika ufalme wa kusini mwa Yuda. + +# Efraimu + +Kabila la Efraimu liliishi katika ufalme wa kusini mwa Israeli. Hapa hili jina limetumika kurejea ufalme wote wa kaskazini. + +# watu wote wa Israeli, wenzao + +Hii inarejea kwa Waisraeli walioishi upande wa ufalme kaskazini mwa Israeli. + +# kwenye fimbo moja + +"ili kwamba wawe fimbo moja" + diff --git a/ezk/37/18.md b/ezk/37/18.md new file mode 100644 index 00000000..098fa7f3 --- /dev/null +++ b/ezk/37/18.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Ezekili. + +# watakaponena na wea na kusema + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 33:23. + +# haya mambo yako yana maana gani + +"fimbo zako nina maana gani" au "kwa nini upo na hizi fimbo" + +# Tazama! + +"Ona" au "Sikia!" + +# chipukizi la Yuda + +"chipukizi la Yuda." Hii inawakilisha utawala wa Israeli. + +# lipo kwenye mkono wa Efraimu + +Neno "mkono" linarejea kwa uweza. "ambalo ni kabila la Efraimu kutawala" + +# kabila za Israeli wenzake + +"makabila mengine ambayo ni wenzao na Israeli. au "makabila mengine ya Israeli ambayo ni sehemu ya huo ufalme" + +# tawi la Yuda + +"fimbo ya Yuda." Hii inawakilisha ufalme wa yuda. + +# mbele ya macho yao + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 21:16. + diff --git a/ezk/37/21.md b/ezk/37/21.md new file mode 100644 index 00000000..646aec9b --- /dev/null +++ b/ezk/37/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Ezekilei. + +# Tazama! + +"Ona!" au "Sikia!" + +# mambo ya machukizo + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + +# watakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wao + +tazama tafsir yake katika sura ya 11:19. + diff --git a/ezk/37/24.md b/ezk/37/24.md new file mode 100644 index 00000000..648be63d --- /dev/null +++ b/ezk/37/24.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli. + +# Daudi mtumishi wangu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 34:22. + +# juu yao + +"juu ya watu wa Israeli" + +# mchungaji mmoja juuyao + +tazama tafsiri yake katika sura ya 34:22. + +# wataenenda kulingana na amri zangu + +"wataishi kama nilivyo amuru" + +# watazitunza amri zangu na kuzitii + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 18:19. + +# alikaa + +"aliishi" + +# mkuu + +"mwana mfalme" + diff --git a/ezk/37/26.md b/ezk/37/26.md new file mode 100644 index 00000000..547c16bf --- /dev/null +++ b/ezk/37/26.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anazungumzia kuhusu watu wa israeli. + +# Nitaanzisha agano + +"nitaweka" + +# agano la amani + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 34:25. + +# nitayaimarisha + +Inaonyesha kwamba Yahwe wangeweza kuwaimarisha katika nchi ya Israeli. + +# zidisha + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 36:10 + +# mahali pangu patakatifu + +"patakatifu pangu" au "hekalu langu" + +# makao yangu + +"mahali ambapo ninaposhi" + +# nitakuwa Mungu wao, na wao watakuwa watu wangu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 11:19. + +# watajua yakuwa mimi ndimi Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6. + +# mahali pangu patakatifu + +"patakatifu pangu" au "hekalu langu" + +# kati yao + +"miongoni mwao" + diff --git a/ezk/38/01.md b/ezk/38/01.md new file mode 100644 index 00000000..5079e073 --- /dev/null +++ b/ezk/38/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Neno la Yahwe likaja + +"Yahwe akanena neno lake." + +# Gogu + +Hili ni jina la kiongozi au mfalme aliyetawala katika nchi ya Magogu. + +# nchi ya Magogu + +Inaonyesha kwamba hii ni nchi ambayo Gogu alitawala. + +# Magogu + +jina la zamani la taifa ambalo kwa sasa ni Uturuki. + +# kiongozi mkuu wa Mesheki na Tubali + +Usemi huu umetokea mara mbili katika mistari hii. + diff --git a/ezk/38/04.md b/ezk/38/04.md new file mode 100644 index 00000000..9faa0638 --- /dev/null +++ b/ezk/38/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Yahwe ananena na Gogu + +# weka ndoana katika taya yako + +Watu huweka ndoana katika midomo ya wanyama ili waweze kuongoza wanyama popote watakapo. + +# Puti + +taifa lililoishi katika mahali ambapo ni Libya kwa sasa. + +# Beth-Togarma + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 27:14. + diff --git a/ezk/38/07.md b/ezk/38/07.md new file mode 100644 index 00000000..7ec3d934 --- /dev/null +++ b/ezk/38/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe ananena na Gogu. + +# Utaitwa + +"nitakuita kuta kwa ajili ya vita." + +# makundi yako ya jeshi yatakusanyika pamoja nawe + +"makundi yako yote ya jeshi ambayo umeyakusanya kwako" + +# uliyokuwa umeyakusanya + +"na wale watu uliowakusanya." + diff --git a/ezk/38/10.md b/ezk/38/10.md new file mode 100644 index 00000000..00d9008e --- /dev/null +++ b/ezk/38/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Itakuwa siku hiyo hayo + +"katika kipindi hicho" + +# mawazo yataingia katika mioyoni yenu + +"mawazo yatakuja kwenye akili zenu" + diff --git a/ezk/38/13.md b/ezk/38/13.md new file mode 100644 index 00000000..8fca121e --- /dev/null +++ b/ezk/38/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe ananena na Gogu. + +# Sheba + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 27:22. + +# Denani + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 25:12. + +# mifugo + +kondoo, mbuzi, ng'ombe + diff --git a/ezk/38/14.md b/ezk/38/14.md new file mode 100644 index 00000000..c2dddba8 --- /dev/null +++ b/ezk/38/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Gogu. + +# Katika siku hiyo ... jifunze kuhusu wao + +Yahwe anatumia hili swali kusisitiza kwamba Gogu atasikia hasa kuhusu watu wanaoishi katika Israeli. + +# wanaweza kunijua + +"wanaweza kunijua mimi ni nani" + diff --git a/ezk/38/17.md b/ezk/38/17.md new file mode 100644 index 00000000..eee6344d --- /dev/null +++ b/ezk/38/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe kuhusu Gogu. + +# e, wewe siye yule ambaye ... yao? + +Yahwe anatumia hili swali kusisitiza kwamba ni yeye ndiye aliyekuwa amemleta Gogu kwenye nchi ya Israeli. + +# yule ambaye niliyeongea naye + +"ambaye ninaye mzungumzia" + +# juu yao + +"juu ya watu wa Israeli" + diff --git a/ezk/38/19.md b/ezk/38/19.md new file mode 100644 index 00000000..dcbc35f5 --- /dev/null +++ b/ezk/38/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe kuhusu Gogu. + +# Milima itaangushwa chini + +"Yahwe ataifanya milima kuanguka chini." + diff --git a/ezk/38/21.md b/ezk/38/21.md new file mode 100644 index 00000000..c5f1eb82 --- /dev/null +++ b/ezk/38/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa gogu. + +# natafurika mvua, na mvua ya mawe ya moto. Nitaleta mvua ya kiberiti + +"na nitanyeshea nchi mafuriko ya mvua, mvua ya mawe na kuchoma salfa" + +# mvua ya mawe + +barafu ambayo huanguka chini kutoka angani + +# kiberiti + +"salfa" + +# nitaonyesha ukuu wangu na utakatifu wangu + +"onyesha kwamba mimi ni mkubwa na mtakatifu" + diff --git a/ezk/39/01.md b/ezk/39/01.md new file mode 100644 index 00000000..a66674cc --- /dev/null +++ b/ezk/39/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe kwa Gogu. + +# Tazama! + +"Ona" au "Sikia!" + +# mkuu wa Mesheki na Tubali + +Haya maelezo yalitokea mara mbili katika hii mistari. + diff --git a/ezk/39/04.md b/ezk/39/04.md new file mode 100644 index 00000000..baf82f2f --- /dev/null +++ b/ezk/39/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatiak Ezekieli ujumbe kwa Gogu. + +# Magogu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 38:1. + +# watajua ya kwamba mimi ni Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6. + diff --git a/ezk/39/07.md b/ezk/39/07.md new file mode 100644 index 00000000..32db2314 --- /dev/null +++ b/ezk/39/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpattia Ezekieli ujumbe wake kwa Gogu. + +# nitalifanya jina langu takatifu lijulikane kati ya watu wangu Israeli + +"nitawafanya watu wangu, Israeli, kujua jina langu takatifu." + +# Tazama! + +"Tazama!" au "Sikia!" + diff --git a/ezk/39/09.md b/ezk/39/09.md new file mode 100644 index 00000000..25a24e11 --- /dev/null +++ b/ezk/39/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kuhusu Gogu. + +# rungu + +mbao zilizotengenezwa kwa mbao kama silaha + +# watawateka nyara + +tazama tafsiri yake katika sura ya 23:46. + diff --git a/ezk/39/11.md b/ezk/39/11.md new file mode 100644 index 00000000..aafb3b35 --- /dev/null +++ b/ezk/39/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumala: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kuhusu Gogu. + +# itakuwa ... kwamba + +tukio la mihimu litafanywa. + +# magharibi mwa bahari + +matoleo ya kisasa yanatafsiri maelezo ya Kiebrania hapa kama "upande wa magharibi kuelekea bahari." + +# Itazuia + +"jefu lililokufa litazuia" + +# Huko wata + +"Huko nyumba ya Israeli" + +# Watapaita + +"Watu watapaita" + +# bonde la Hamon-Gogu + +"Bonde la Jeshi Kubwa la Gogu" + diff --git a/ezk/39/12.md b/ezk/39/12.md new file mode 100644 index 00000000..ba2a9c8c --- /dev/null +++ b/ezk/39/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kuhusu Gogu. + +# mwezi wa saba + +"mweza wa 7" + +# kuwazika + +"kuwazika watu wa jeshi la gogu" + +# hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + diff --git a/ezk/39/14.md b/ezk/39/14.md new file mode 100644 index 00000000..c883a85c --- /dev/null +++ b/ezk/39/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kuhusu Gogu. + +# kupitia nchi + +"kupitia nchi ya Israeli" + +# Hamoni + +Hili ni jina la "Jeshi Kubwa." + diff --git a/ezk/39/17.md b/ezk/39/17.md new file mode 100644 index 00000000..0f2ebe2b --- /dev/null +++ b/ezk/39/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia ujumbe wake kwa ndege na wanyama wa porini. + +# kwenye sadaka + +"kwenye karamu" au "kuchinja" Yahwe alimaanisha kwamba atawapatia ndege na wanyama chakula kizuri na sio kuwaabudu. + +# wote walikuwa wanene katika Basheni + +"wote wakawa wanene wakati wakiwa wanachunga Basheni." + diff --git a/ezk/39/19.md b/ezk/39/19.md new file mode 100644 index 00000000..d0986b90 --- /dev/null +++ b/ezk/39/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa ndege na wanyama wa porini. + +# farasi + +"watu ambao huendesha farasi." + +# hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + diff --git a/ezk/39/21.md b/ezk/39/21.md new file mode 100644 index 00000000..a212bf9d --- /dev/null +++ b/ezk/39/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kuhusu Gogu. + +# Nitauweka utukufu wangu kati ya mataifa + +"nitayafanya mataifa kuona utukufu wangu" + +# hukumu yangu ninayoionyesha na mkono wangu nimeuweka juu yao + +Maneno haya yote yanarejea kwa hukumu ambayo Yahwe ataadhibu juu ya Israeli. + +# mkono wangu + +Hapa neno "mkono" inarejea uweza wa Yahwe ambao huutumia kuleta hukumu. + +# juu yao + +"juu ya watu wa jeshi kubwa la Gogu" + diff --git a/ezk/39/23.md b/ezk/39/23.md new file mode 100644 index 00000000..59afac10 --- /dev/null +++ b/ezk/39/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe kuhusu Gogu. + +# naficha uso wangu + +"niliacha kuwalinda na kuwajali." + +# anguka kwa upanga + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 32:22. + diff --git a/ezk/39/25.md b/ezk/39/25.md new file mode 100644 index 00000000..eb512b2c --- /dev/null +++ b/ezk/39/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kuhusu nyumba ya Israeli. + +# nitawarudisha watu wa Yakobo + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 16:53. + +# uhaini + +"-sio aminifu" + +# nitajifunua mimi mwenyewe kuwa mtakatifu kwenye uso wa mataifa mengi + +"mataifa mengi watajua kwamba mimi ni mtakatifu kwa sababu ya kile kilichofanyika kwa nyumba ya Israeli." + diff --git a/ezk/39/28.md b/ezk/39/28.md new file mode 100644 index 00000000..705bff22 --- /dev/null +++ b/ezk/39/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kuhusu nyumba ya Israeli. + +# wakati nitakapomwaga Roho wangu juu ya nyumba ya Israeli + +"wakati nitakapoijaza nyumba ya Israeli ujazo wa Roho wangu" + diff --git a/ezk/40/01.md b/ezk/40/01.md new file mode 100644 index 00000000..09ee3438 --- /dev/null +++ b/ezk/40/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# miaka ishirini na tano ... miaka kumi na nne + +miaka mitano ... miaka kumi na nne** - + +# ya utumwa wetu + +Hapa "yetu" inamrejea Ezekieli na Waisraeli ambao walikuwa katika Babeli tangu kipindi Wababeli walipomlazimisha Mfalme Yehoyakini kuondoka Yerusalemu. + +# mwanzoni mwa mwaka siku ya kumi ya mwezi + +Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi ipo katika Mwezi wa nne kwa kalenda za Magharibi. + +# mji ulitekwa + +"Wababeli waliuteka mji wa yerusalemu" + +# mkono wa Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 1:1. + +# Akanileta kupumzika + +"Akaniweka chini" + diff --git a/ezk/40/03.md b/ezk/40/03.md new file mode 100644 index 00000000..87f75a6e --- /dev/null +++ b/ezk/40/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# akanipeleka huko + +Yahwe akanileta hata mahali ambapo palipokuwa na majengo" + +# Tazama + +Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba Ezekieli alishangazwa kwa kile alichokiona. + +# mshipi wa kitani + +"ni kama iliyotengenezwa kwa kitani." Hiki ni kifaa kwa ajili ya kupimia umbali mrefu. + +# fimbo ya kupimia + +Hiki ni kifaa kwa ajili ya kupimia umbali mfupi. + +# Mwanadamu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1. + +# elekeza moyo wako juu + +"fikiri kuhusu." + +# nyumba ya Israeli + +Tazama tafsiri yake katika 3:1 + diff --git a/ezk/40/05.md b/ezk/40/05.md new file mode 100644 index 00000000..19065c42 --- /dev/null +++ b/ezk/40/05.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# kuzunguka eneo la hekalu + +"kuelekea moja kwa moja kuzunguka eneo la hekalu" + +# dhiraa sita urefu + +"dhiraa sita urefu." Hii ilikuwa kama mita 3.2. + +# kila "urefu" unalingana na dhiraa na ujazo wa kiganja + +Kila urefu wa dhiraa ulikuwa kama sentimita 54. + +# ujazo wa kiganja + +"upana wa mkono." Hii ilikuwa kama sentimita 8. + +# upana wa ukuta + +"ni jinsi gani ukuta ulikuwa mpana." Ukuta ulikuwa mpana kama jengo. + +# mwanzi mmoja + +"ilikuwa mwanzi mmoja upana." Hii ni kama mita 3.2. + +# urefu mwanzi mmoja + +"na mwanzi mmoja urefu" + +# panda ngazi zake + +"na alipanda ngazi za lango" + +# kina + +"kutoka mbele ya kizingiti hata nyuma" + +# vyumba vya ulinzi + +Kulikuwa na vyumba vilivyokuwa vimejengwa ndani ya lango ambavyo walikaa walinzi kulinda lango. + +# dhiraa tano + +kama mita 2.7. + +# kati ya vyumba viwili + +"kati ya vyumba" + +# varanda + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 8:16. + diff --git a/ezk/40/08.md b/ezk/40/08.md new file mode 100644 index 00000000..e3ecea8b --- /dev/null +++ b/ezk/40/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# varanda + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 8:16. + +# mwanzi mmoja + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:5. + +# dhiraa mbili + +Kama mita moja. + +# dhiraa + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:5. + +# kipimo kile kile + +"vilikuwa kipimo kimoja" + diff --git a/ezk/40/11.md b/ezk/40/11.md new file mode 100644 index 00000000..9d74091e --- /dev/null +++ b/ezk/40/11.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# lango la kuingia + +"uwazi uliokuwa lango la kuingilia" + +# dhiraa kumi + +kama mita 5.4. + +# dhiraa kumi na tatu + +kama mita 7 + +# vyumba vya ndani + +"vyumba" + +# dhiraa sita + +kama mita 3.2 + +# dhiraa moja + +"mita 54" + +# dhiraa ishirini na tano + +dhiraa tano** - kama mita 13.5 + +# ambacho ni cha pili + +"lango la pembe ya pili" + diff --git a/ezk/40/14.md b/ezk/40/14.md new file mode 100644 index 00000000..8d7f7fc2 --- /dev/null +++ b/ezk/40/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# vyumba ya ulinzi + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:5. + +# dhiraa sitini + +kama mita thelathini na mbili. + +# dhiraa + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:5. + +# varanda + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 8:16. + +# dhiraa hamsini + +kama mita ishini na saba + +# madidirsha yote yalikuwa upande wa ndani + +"madirisha yalikuwa yamezunguka upande wa ndani" + diff --git a/ezk/40/17.md b/ezk/40/17.md new file mode 100644 index 00000000..146bea2e --- /dev/null +++ b/ezk/40/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# uwanja wa ndani + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 10:3. + +# Tazama! + +Neno "Tazama" hapa linatuonyesha kwamba Ezekieli ameona kitu kinachovutia. + +# kibamba + +sakafu iliyo sawa swa iliyotengenezwa kwa matofali + +# pamoja navyumba thelathini karibu na kibamba + +"na kulikuwa na vyumba thelathini vyote vimezunguka kibamba." + +# kupanda kuelekea + +"kwenda moja kwa moja kuelekea" + +# dhiraa mia moja + +Kama mita hamsini na nne. + +# dhiraa + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:5. + diff --git a/ezk/40/20.md b/ezk/40/20.md new file mode 100644 index 00000000..adcc0285 --- /dev/null +++ b/ezk/40/20.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# chumba cha ndani + +Tazama tafsiri yake katika 40:5. + +# kivaranda + +Tazama tafsiri yake katika 8:16. + +# kipimo kile kile + +"kulikuwa na kipimo kile kile" + +# dhraa hamsini + +kama mita ishirini na saba. + +# dhiraa + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:5. + +# dhiraa ishirini na tano + +dhiraa tano** -kama mita 13.5 + +# lango kuu + +lango ambalo lilikuwa upande wa magharibi mwa hekalu + diff --git a/ezk/40/22.md b/ezk/40/22.md new file mode 100644 index 00000000..b7572118 --- /dev/null +++ b/ezk/40/22.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Ezekieli anaendelea kuelezea maono ya hekalu na ya yule mtu anayefanana na shaba. + +# Madirisha yake + +Neno "yake" inarejea kwa lango ambalo lilikuwa upande wa kusini mwa uwanja wa nje. + +# vyumba vya ndani + +Tazama tafsiri yake tatika sura ya 40:5. + +# ilikabiliana na lango lililoelekea mashariki + +"ilikuwa kama lile lango lililoelekea mashariki" + +# uwanja wa ndani + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 8:16. + +# mbele ya lango linaloelekea kaskazini + +"moja kwa moja kukatiza kutoka lango linaelekea kaskazini" + +# pia kama kulikuwa na lango kuelekea magharibi + +"pia kama kulikuwa na lango lililokuwa limeelekea uwanja wa ndani mbele ya lango kuelekea magharibi" + +# lango moja kuelekea jingine + +"kutoka lango la nje upande wa kaskazini kuelekea lango la ndani upande wa kaskazini" + +# dhiraa + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:5. + +# dhiraa mia moja + +kama mita hamsini na nne + diff --git a/ezk/40/24.md b/ezk/40/24.md new file mode 100644 index 00000000..99b51fd4 --- /dev/null +++ b/ezk/40/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kama lango jingine la nje + +"kama hayo ya kaskazini na malango ya magharibi" + +# dhiraa + +Tazama tafsiri yake katika 40:5. + +# dhiraa hamsini + +Kama mita thelathini na saba. + +# dhiraa ishirini na tano + +dhiraa tano** -kama mita 13.5. + diff --git a/ezk/40/26.md b/ezk/40/26.md new file mode 100644 index 00000000..393ea0e7 --- /dev/null +++ b/ezk/40/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# varanda + +tazama tafsiri yake katika 8:16 + +# dhiraa + +Tazama tafsiri yake katika 40:5. + +# dhiraa mia moja + +kama mita hamsini na tano. + diff --git a/ezk/40/28.md b/ezk/40/28.md new file mode 100644 index 00000000..1d59398c --- /dev/null +++ b/ezk/40/28.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# ua wa ndani + +Tazama tafsiri yake katika 8:16. + +# vyumba vya ndani + +Tazama tafsiri yake katika 40:5. + +# varanda + +Tazama tafsiri yake katika 8:18. + +# dhiraa + +Tazama tafsiri yake katika 40:5. + +# dhiraa hamsini + +kama mita 27. + +# dhiraa ishirini na tano + +dhiraa tano** -kama mita 13.5 + +# dhiraa tano + +kama mita 2.7 + +# Hii varanda ilielekea ua wa nje + +"varanda ilikuwa mbele ya ua wa nje." Watu wangeweza kwenda ndani na nje yake kutoka kwenye ua. + +# pamoja na mitende + +"na ilikuwa na mapango ya mitende" + diff --git a/ezk/40/32.md b/ezk/40/32.md new file mode 100644 index 00000000..35a6eec5 --- /dev/null +++ b/ezk/40/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# dhiraa + +Tazama tafsiri yake katika 40:5. + +# dhiraa hamsini + +kama mita ishirini na saba. + +# dhiraa ishirini na tano + +dhiraa tano** - kama mita 13.5 + diff --git a/ezk/40/35.md b/ezk/40/35.md new file mode 100644 index 00000000..54af0318 --- /dev/null +++ b/ezk/40/35.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# dhiraa + +Tazama tafsiri yake katika 40:5. + +# dhiraa hamsini + +kama mita ishirini na saba. + +# dhiraa ishirini na tano + +dhiraa tano** - kama mita 13 + diff --git a/ezk/40/38.md b/ezk/40/38.md new file mode 100644 index 00000000..6f9ab8d5 --- /dev/null +++ b/ezk/40/38.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# karibu na kila lango la ndani + +"katika kila malango ya ndani" + +# walipooshea sadaka za kutekezwa + +Neno "wao" linarejea kwa watu au makuhani waliokuwa wakileta sadaka. + +# pande zote + +"pande zote" + +# sadaka ya kuteketezwa ilipochinjiwa + +"walijinja sadaka ya kuteketeza" au "waliua wanya ambao wangeteketezwa kama sadaka." + diff --git a/ezk/40/42.md b/ezk/40/42.md new file mode 100644 index 00000000..ed2621c5 --- /dev/null +++ b/ezk/40/42.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# jiwe lililochongwa + +"ambalo lilikuwa limetengenezwa kwa jiwe ambalo lililokuwa limekatwa" + +# dharaa + +Tazama tafsiri yake katika 40:5. + +# dhiraa moja na nusu + +Kama mita 0.8. + +# dhiraa moja + +kama nusu mita + +# Kulabu mbili ujazo wa kiganja urefu uliokuwa umeunganishwa katika ua pande zote + +"Kuzunguka varanda yote, watu walikuwa wameshambulia ndoana zilizokuwa zimejaa mkono mrefu na vidole viwili kila kimoja" + +# Kulabu mbili + +kitu ambacho hatua mbili za tao, ambayo watu watu wanaweza kuning'niza vitu juu + +# ujazo wa kiganja urefu + +kama mita nane. + +# nyama ya matoleo ilikuwa imewekwa juu ya meza + +"wataweka mwili wa sadaka juu ya meza + diff --git a/ezk/40/44.md b/ezk/40/44.md new file mode 100644 index 00000000..76be467e --- /dev/null +++ b/ezk/40/44.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# lango la ndani + +Hili ni lango la ndani upande wa kaskazini. + +# vyumba vya waimbaji + +"vyumba vya waimbaji" + +# Hiki chumba kilichoelekea kusini + +Hili neno linamaanisha "Chumba chenye lango lake la kuingia kwa upande wa kusini." + +# nani yu katika zamu katika hekalu + +"nani anafanya kazi katika hekalu" au "nani anawajibika kwa ajili ya kulinda hekalu" + diff --git a/ezk/40/46.md b/ezk/40/46.md new file mode 100644 index 00000000..ca077d4c --- /dev/null +++ b/ezk/40/46.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yule mtu anaendelea kunena na Ezekieli katika maono + +# chumba kinachoelekea kaskazini + +"ambacho kilikuwa na lango la kuingia upande wa kaskazini" + +# yeye + +"yule mtu" + +# dhiraa + +Tazama tafsiri yake katika 40:5. + +# dhiraa mia moja + +Kama mita arobaini na nne. + +# pamoja na madhabahu + +"na ilipokuwa madhabahu" + +# nyumba + +Hii inarejea kwa hekalu. + diff --git a/ezk/40/48.md b/ezk/40/48.md new file mode 100644 index 00000000..139ffee7 --- /dev/null +++ b/ezk/40/48.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# varanda + +Tazama tafsiri yake katika 8:6. + +# mhimili wake + +"mhimili wa nyumba" + +# dhraa + +Tazama tafsiri yake katika 40:5, "refu." + +# dhiraa mbili + +kama mita 2.7 + +# dhiraa kumi na nne + +kama mita 7.5 + +# dhiraa tatu + +kama mita 1:6 + +# dhiraa ishirini + +kama mita kumi na saba + +# dhiraa kumi na moja + +kama mita sita + +# nguzo + +vipande vya mawe ambavyo ni virefu na vyembamba na kusaidia majengo + diff --git a/ezk/41/01.md b/ezk/41/01.md new file mode 100644 index 00000000..c76d11de --- /dev/null +++ b/ezk/41/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yule mtu katika maono ya Ezekieli (40:) anaendelea kumuonyesha Ezekieli kuzunguka hekalu. + diff --git a/ezk/41/03.md b/ezk/41/03.md new file mode 100644 index 00000000..9ed252eb --- /dev/null +++ b/ezk/41/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# dhiraa + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 401:5 "urefu" + +# hata mbele ya ukumbi wa hekalu + +"kama upana wa mahali patakatifu" + diff --git a/ezk/41/08.md b/ezk/41/08.md new file mode 100644 index 00000000..9ee92f2b --- /dev/null +++ b/ezk/41/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# fimbo nzima + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 4:5, "fimbo" + diff --git a/ezk/41/10.md b/ezk/41/10.md new file mode 100644 index 00000000..0311cf8d --- /dev/null +++ b/ezk/41/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# vyumba vya pembeni vya kuhani + +"vyumba vya pembeni vya makuhani vilikuwa mbali na patakatifu" + diff --git a/ezk/41/12.md b/ezk/41/12.md new file mode 100644 index 00000000..07d7719a --- /dev/null +++ b/ezk/41/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# lazimisha + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:28. + diff --git a/ezk/41/15.md b/ezk/41/15.md new file mode 100644 index 00000000..5ac21963 --- /dev/null +++ b/ezk/41/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# juu + +"ubaraza wa ghorofa." Ubaraza wa ghorofa palikuwa mahali palipokuwa pamejengwa juu kuliko sehemu nyingine za jengo. Watu wanaweza kwenda kwenya ubaraza wa ghorofa na kutazama chini upande wa sakafu ya jengo. + +# varanda + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 8:16. + diff --git a/ezk/41/18.md b/ezk/41/18.md new file mode 100644 index 00000000..7f4aa744 --- /dev/null +++ b/ezk/41/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# pamba + +kufanya kitu kuwa kizuri hasa kwa kuweka kitu juu yake + +# nyumba + +"patakatifu" + diff --git a/ezk/41/21.md b/ezk/41/21.md new file mode 100644 index 00000000..89af0ce8 --- /dev/null +++ b/ezk/41/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kulikuwa na milango miwili kwa ajili ya mahali patakatifu na mahali patakatifu sana + +"mahali patakatifu na patakatifu sana kote kulikuwa na milango miwili" + +# Hii milango ilikuwa na bawaba mbili zilizokuwa zimeshikilia paneli za mlango yote + +"Kila mlango ulikuwa na sehemu mbili katika bawaba." Bawaba inaunganisha milango kwenye ukuta na kuruhusu milango kubembea. + +# paneli mbili kwa ajili ya mlango mmoja na paneli mbili kwa ajili ya mwingine + +"milango yote kwa sehemu zote mahali patakatifu na mahali pa juu sana palikuwa na sehemu mbili" + diff --git a/ezk/41/25.md b/ezk/41/25.md new file mode 100644 index 00000000..8b38ba34 --- /dev/null +++ b/ezk/41/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kama kutu zilivyokuwa zimepambwa + +"kama vile pia kuta zilivyokuwa na mapango ya kerubi na minazi" + +# varanda + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 8:16. + diff --git a/ezk/42/01.md b/ezk/42/01.md new file mode 100644 index 00000000..001fc5d3 --- /dev/null +++ b/ezk/42/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ua wa nje + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 10:3. + +# ua wa ndani + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 8:16. + +# na palikuwa pamefunguliwa kwa ajili yao + +"na palionekana nje kwenye ua wa ndani" + +# kuwa na njia ya kutembea + +"kwa sababu kulikuwa na mahali ambapo ungeweza kutembea karibu na vyumba" + diff --git a/ezk/42/04.md b/ezk/42/04.md new file mode 100644 index 00000000..6d71750c --- /dev/null +++ b/ezk/42/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kiasi kidogo kulinganisha na vyumba + +"ndogo kuliko vyumba" + diff --git a/ezk/42/07.md b/ezk/42/07.md new file mode 100644 index 00000000..6dbc98b5 --- /dev/null +++ b/ezk/42/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kuelekea + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:8. + diff --git a/ezk/42/10.md b/ezk/42/10.md new file mode 100644 index 00000000..01ed81e1 --- /dev/null +++ b/ezk/42/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwenye kichwa chake + +"mwanzo wake" + diff --git a/ezk/42/13.md b/ezk/42/13.md new file mode 100644 index 00000000..8595e00f --- /dev/null +++ b/ezk/42/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# sadaka ya chakula + +Hii ilikuwa sadaka ya unga. Watu walitoa "sadaka ya chakula" kuonyesha walikuwa na shukrani kwa Mungu. + diff --git a/ezk/42/16.md b/ezk/42/16.md new file mode 100644 index 00000000..ec839ade --- /dev/null +++ b/ezk/42/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Alipima + +Neno "ali" linarejea kwa yule mtu aliyefanana na shaba. + diff --git a/ezk/42/20.md b/ezk/42/20.md new file mode 100644 index 00000000..b7ef7065 --- /dev/null +++ b/ezk/42/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ilikuwa na ukuta umeizunguka ilikuwa dhiraa + +"Nyumba ilikuwa na ukuta umeizunguka ambao ulikuwa na urefu." + diff --git a/ezk/43/01.md b/ezk/43/01.md new file mode 100644 index 00000000..6de25ead --- /dev/null +++ b/ezk/43/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tazama! + +Neno "tazama" hapa linatutahadharisha kuwa makini kwa habari ya kushangaza inayofuata. + +# kama mlio wa maji mengi + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 1:24, "Kama sauti ya maji yanayotiririka. + +# nchi iling'aa + +"nchi ilikuwa na mg'ao wa mwanga" + diff --git a/ezk/43/03.md b/ezk/43/03.md new file mode 100644 index 00000000..7138a6d3 --- /dev/null +++ b/ezk/43/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Lilikuwa kama + +Neno "lili" inarejea kwa maono ya utukufu wa Mungu unaokuja kutoka mashariki. + +# wakati alipokuja kuiangamiza nchi + +"wakati Mungu wa Israeli alipokuja kuuangamiza mji" + diff --git a/ezk/43/06.md b/ezk/43/06.md new file mode 100644 index 00000000..655261d1 --- /dev/null +++ b/ezk/43/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mizoga ya wafalme wao + +Hapa "mizoga" inarejea kwa sanamu ambazo watu wa wafalme waliziabudu. Sanamu zinaitwa mizoga kwa sababu zimekufa haziko hai. + +# Wameasi + +"Nyumba ya Israeli imeasi" + +# matendo ya machukizo + +Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 5:9. + +# nimewala kwa hasira yangu + +Hili neno linamaanisha "nimewaangamiza kabisa kwa sababu nilikuwa na hasira." + diff --git a/ezk/43/09.md b/ezk/43/09.md new file mode 100644 index 00000000..2e1a5b21 --- /dev/null +++ b/ezk/43/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mizoga ya waflme wao + +Hapa "mizoga" inarejea kwa sanamu ambazo watu wa wafalme waliziabudu. Sanamu zinaitwa mizoga kwa sababu haziko hai. + diff --git a/ezk/43/10.md b/ezk/43/10.md new file mode 100644 index 00000000..36610618 --- /dev/null +++ b/ezk/43/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# namna + +"hii mbinu" + +# mbele ya macho yao + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 21:6 + +# watatunza ubunifu wake wote + +"watatunza kiolezo" + diff --git a/ezk/43/12.md b/ezk/43/12.md new file mode 100644 index 00000000..f33d24d0 --- /dev/null +++ b/ezk/43/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# maelekezo + +"kanuni" + +# mipaka inayozunguka + +Neno "mpaka" ni kama linarejea kwa ukuta ulioelekea moja kwa moja kuzunguka hekalu. + +# takatifu sana + +"takatifu hasa" + +# Tazama! + +Neno "Tazama" hapa linasisitiza kwa kile kifuatacho. + diff --git a/ezk/43/13.md b/ezk/43/13.md new file mode 100644 index 00000000..e278ed24 --- /dev/null +++ b/ezk/43/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mpaka unaozunguka machinjio + +"Mpaka unaoelekea kuzunguka machinjio yake" + +# Hii ilikuwa chini ya madhabahu + +"Hivi vilikuwa vipimo vya chini ya madhabahu." + +# chini ya madhabahu + +"chini kusaidia madhabahu" au "msingi wa msingi wa madhabahu" + diff --git a/ezk/43/15.md b/ezk/43/15.md new file mode 100644 index 00000000..d68f6efa --- /dev/null +++ b/ezk/43/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Moyo + +mahali ambapo dhabihu ambapo pengine zilipikwa au kuchomwa kwa moto + +# pembe + +Pembe zilikuwa ni sehemu za madhabahu kwenye pembe ya madhabahu zinazoshikilia juu sehemu nyingine za madhabahu. + diff --git a/ezk/43/18.md b/ezk/43/18.md new file mode 100644 index 00000000..88aa074b --- /dev/null +++ b/ezk/43/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# alisema + +"Yahwe alisema" + +# Mwanadamu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1. + +# taratibu + +"sheria" au "maelekezo" + +# Uta + +Neno "uta" ni umoja. + diff --git a/ezk/43/20.md b/ezk/43/20.md new file mode 100644 index 00000000..8c48e604 --- /dev/null +++ b/ezk/43/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kisha utachukua + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 43:18. + +# pembe nne + +Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 43:15. + diff --git a/ezk/43/22.md b/ezk/43/22.md new file mode 100644 index 00000000..4d50b2b8 --- /dev/null +++ b/ezk/43/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# katika siku ya pili ume + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 43:18. + +# Vitoe mbele ya Yahwe + +Madhabahu ambayo watatoa ng'ombe dume na kondoo dume, i mbele ya Hekalu ambapo uwepo wa Yahwe ulipo. + diff --git a/ezk/43/25.md b/ezk/43/25.md new file mode 100644 index 00000000..282d7b36 --- /dev/null +++ b/ezk/43/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wewe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 43:18. + +# itakuwa kusu hilo + +Hili neno limetumika ha hapa kuonyesha sehemu muhimu ya maelekezo. + +# sadaka zako za kuteketeza ... sadaka za amani ... kukupokea + +Neno "yako" na "wewe" ni nafsi ya pili umoja inarejea kwa watu wa Israeli kwa ujumla. + +# nitakupokea + +"nitakupokea kwa fadhila" au "nitafurahishwa na wewe" + diff --git a/ezk/44/01.md b/ezk/44/01.md new file mode 100644 index 00000000..e7f29bbf --- /dev/null +++ b/ezk/44/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# iliyoelekea mashariki + +Tazama jinsi ilivyotafsiriwa katika sura 40:5. + +# haitafunguliwa + +"hakuna mtu atakaye ufungua" + +# Mungu wa Israeli + +Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 8:3. + +# varanda + +Tazama tafsiri yake katika 8:16. + +# mbele ya Yahwe + +"mbele ya Yahwe" au "katika uwepo wa Yahwe" + diff --git a/ezk/44/04.md b/ezk/44/04.md new file mode 100644 index 00000000..a0aa0abd --- /dev/null +++ b/ezk/44/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kisha aka + +"Kisha yule mtu" au "Kisha Yahwe" + +# tazama + +Neno "tazama" hapa inaonyesha kwamba Ezekieli alishangazwa kwa kile alichokiona. + +# neno la Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:12. + +# nikaanguka kifudi fudi + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 1:27. + +# weka moyo wako + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:3. + +# taratifu zake zote + +"maelekezo yote kuhusu nyumba ya Yahwe" + diff --git a/ezk/44/06.md b/ezk/44/06.md new file mode 100644 index 00000000..e786a239 --- /dev/null +++ b/ezk/44/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Acheni matendo yenu maovu yatoshe kwa ajili yenu + +"Matendo yenu maovu yamezidi kwa ajili yenu" + +# matendo maovu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:9. + diff --git a/ezk/44/08.md b/ezk/44/08.md new file mode 100644 index 00000000..b03f48b6 --- /dev/null +++ b/ezk/44/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Israeli. + diff --git a/ezk/44/10.md b/ezk/44/10.md new file mode 100644 index 00000000..935e3578 --- /dev/null +++ b/ezk/44/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli. + +# ni watumishi katika patakatifu pangu + +"watakuwa watumishi katika hekalu langu" + +# kutazama malango ya nyumba + +"kufanya kazi ya ulinzi kwenye malango ya nyumba" + +# watasimama mbele ya watu na kuwaokoa + +"hawa Walawi watasimama mbele ya watu, ili kwamba waweze kuwaokoa watu" + +# nitainua mkono wangu kuapa kiapo + +"nimeinua mkono wangu kuapa kiapo" + diff --git a/ezk/44/13.md b/ezk/44/13.md new file mode 100644 index 00000000..4f339f3c --- /dev/null +++ b/ezk/44/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe kwa nyumba ya Israeli. + +# Wao + +"Hawa Walawi" + +# Watakuja karibu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:46. + +# watabeba lawama zao na hatia + +"wataaibika na kuteseka matokeo" + +# matendo ya machukizo + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:9. + +# watunzaji + +mtu ambaye kazi yake ni kulinda au kuangalia kitu au mtu + +# kitakacho fanyika ndani yake + +"kwamba wanataka kufanya ndani yake." + diff --git a/ezk/44/15.md b/ezk/44/15.md new file mode 100644 index 00000000..df964c22 --- /dev/null +++ b/ezk/44/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekili ujumbe wake kwa Israeli. + +# hao wana wa Zadoki waliokamilisha + +"ambao ni uzao wa Zadoki na kukamilisha" + +# walipokuwa mbali nami + +Hili neno linamaanisha "kuacha kumsikiliza na kunitii." + +# watakuja karibu nami + +"watanikaribia" + +# hili ndilo tangazo la Bwana Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + diff --git a/ezk/44/17.md b/ezk/44/17.md new file mode 100644 index 00000000..6f0e3c51 --- /dev/null +++ b/ezk/44/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli kuhusu uzao wa Zadoki wanao tumika kama makuhani. + +# Kwa hiyo itakuwa hivyo + +"Kwa hiyo" + +# ua wa ndani + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 8:16. + +# kitani + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 9:1. + +# sufu + +ngua iliyotengenezwa kwa nywele laini za kondaa + +# vilemba + +Kilemba ni kitu kinachofunika kichwani ambacho kimetengenezwa na nguo ndefu kuzunguka kichwa. + diff --git a/ezk/44/19.md b/ezk/44/19.md new file mode 100644 index 00000000..ef48d44a --- /dev/null +++ b/ezk/44/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumala: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli kuhusu uzao wa Zadoki unaotumika kama makuhani. + +# ua wa nje + +tazama tafsiri yake katika sura ya 10:3. + diff --git a/ezk/44/20.md b/ezk/44/20.md new file mode 100644 index 00000000..1ab8e299 --- /dev/null +++ b/ezk/44/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli kuhusu uzao wa Zadoki ambao ulitumika kama makuhani. + +# nyoa + +kata nywele za mtu kuwa fupi ili iwezekane kuona ngozi ya kichwa + +# punguza nywele za vichwa vyao + +"kata nywele juu ya vichwa ili ziweze kuwa ndefu au ndefu wala fupi" + +# mjane + +mwanamke ambaye amefiwa na mume wake + +# kutoka kwenye mstari wa nyumba ya Israeli + +"ambaye uzao wake ni watu wa Israeli" + +# nyumba ya Israeli + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:1 + diff --git a/ezk/44/23.md b/ezk/44/23.md new file mode 100644 index 00000000..09256fa9 --- /dev/null +++ b/ezk/44/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumala: + +Yahwe anaendela kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli kuhusu uzao wa Zadoki ambaye anatumika kama makuhani. + +# mjadala + +"majadiliano" + diff --git a/ezk/44/25.md b/ezk/44/25.md new file mode 100644 index 00000000..7bdfa992 --- /dev/null +++ b/ezk/44/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli kuhusu uzao wa Zadoki ambao ulitumika kama makuhani. + +# hili ni tangazo la Bwana Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + diff --git a/ezk/44/28.md b/ezk/44/28.md new file mode 100644 index 00000000..e9e23ca6 --- /dev/null +++ b/ezk/44/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli kuhusu uzao wa Zadoki ambaye hutumika kama makuhani. + +# na ninyi + +Hili neno "ninyi" linarejea kwa watu wa Israeli. + +# mali + +nchi ambayo mtu humiliki na hutumia kuandaa kwa ajili ya mahitaji ya familia yake + +# katika Israeli + +"katika nchi ya Israeli" + diff --git a/ezk/44/30.md b/ezk/44/30.md new file mode 100644 index 00000000..3b198141 --- /dev/null +++ b/ezk/44/30.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli kuhusu uzao wa Zadoki ambaye hutumika kama makuhani. + +# malimbuko + +Hapa "malimbuko" huenda inamaanisha kwamba vitu bora miongoni mwa sadaka zote zilizowekwa karibu kumtolea Mungu. + +# na kila kitu kitokanacho na sadaka + +"na kila zawadi ya kitu chochote kutoka zawadi zako zote" + +# ili kwamba baraka iweze kukaa katika nyumba zenu + +Hili neno linamaanisha "hivyo nitabariki familia yako na kila kitu ambacho ni mali yako." + +# au mnyama aliyeraruliwa, iwe ni ndege au mnyama + +"au kiumbe ambaye ni ndege au mnyama wa porini amerarua." + diff --git a/ezk/45/01.md b/ezk/45/01.md new file mode 100644 index 00000000..8c7ce5ed --- /dev/null +++ b/ezk/45/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli. + +# maeneo yote yanayoizunguka + +"eneo lote ndani ya mipaka inayoizunguka" + diff --git a/ezk/45/03.md b/ezk/45/03.md new file mode 100644 index 00000000..c266613c --- /dev/null +++ b/ezk/45/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaedelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli. + +# hili eneo + +hekalu na mpaka unaoizunguka + +# fungu + +"fungu la nchi" + +# dhiraa + +Tazama jinsi ilivyotafsiriwa katika sura ya 40:5. + diff --git a/ezk/45/06.md b/ezk/45/06.md new file mode 100644 index 00000000..6fe1f3b9 --- /dev/null +++ b/ezk/45/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli. + +# imewekwa akiba kwa ajili ya mahali patakatifu + +"ambayo uliyoitoa kwa ajili ya mahali patakatifu." + +# Urefu utalingana na urefu wa moja ya hayo mafungu + +Inaonyesha kwamba Ezekieli analinganisha nchi ya mwana mfalme na ukubwa wa nchi iliyotolewa kwa kila makabila. + +# kutoka magharibi hata mashariki + +Inaonyesha kwamba hii ilikuwa mipaka ya magharibi na mashariki mwa nchi ya Israeli. + diff --git a/ezk/45/08.md b/ezk/45/08.md new file mode 100644 index 00000000..e8404ebc --- /dev/null +++ b/ezk/45/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaedelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli + +# Hii nchi itakuwa mali ya mwana mfalme katika Isaraeli + +"Katika nchi, hii itakuwa mali ya mwana mfalme miongoni mwa watu wa Israeli" + diff --git a/ezk/45/09.md b/ezk/45/09.md new file mode 100644 index 00000000..b72142ea --- /dev/null +++ b/ezk/45/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Inatosha kwa ajili yako + +"Umefanya mengi kwa ajili ya hii" + +# vipimo + +ni kifaa ambacho kilichokuwa kikitumika kupimia vitu ambavyo watu walivyovinunua au kuuza + +# ili kwamba birika liwe la homeri + +"ili kwamba mabirika yatakuwa kiasi sawa kama homeri" + +# homeri + +kama lita 220 + +# shekeli + +kama gram 11 + +# gera + +kama gram 0.55 + +# mane + +kama gram 660 + diff --git a/ezk/45/13.md b/ezk/45/13.md new file mode 100644 index 00000000..d21a6cc3 --- /dev/null +++ b/ezk/45/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wana mfalme wa Israeli. + +# kwa kila homeri ya ngano + +Inaonyesha kwamba hiki kiasi cha ngano ambacho watu huvuna. "kwa kila homeri ya ngano kutoka mavuno." + +# Maelekezo ya sadaka ya mafuta itakuwa + +"Hii ni kanuni kuhusu mafuta, kuhusu birika la mafuta + +# mwagilia mikoa ya Israeli + +"sehemu za Israeli zinazopata kiasi kizuri cha maji" + +# itatumika + +"Utatumia hii migawanyiko kwa ajili" + diff --git a/ezk/45/16.md b/ezk/45/16.md new file mode 100644 index 00000000..a2af27f8 --- /dev/null +++ b/ezk/45/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wana mfalme wa Israeli. + +# sikukuu za kudumu + +"sikukuu zilizotengwa" + +# nyumba ya Israeli + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 3:1. + diff --git a/ezk/45/18.md b/ezk/45/18.md new file mode 100644 index 00000000..6e829076 --- /dev/null +++ b/ezk/45/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa wana mfalme wa Israeli. + +# Katika mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya mwezi + +Huu ni mwezi wa kalenda ya Kiebrania. + +# utachukua + +Neno "uta" ni umoja na linarejea kwa yeyote aliye mwana mfalme katika Israeli. + +# katika saba ya mwezi + +"siku ya saba ya mwezi wa kwanza" + +# kwa dhambi ya mtu yeyote kwa ajali + +"kwa kila mtu aliyefanya dhambi bila kukusudia" + +# au upuuzi + +"au aliasi kwa sababu hakujua vyema" + diff --git a/ezk/45/21.md b/ezk/45/21.md new file mode 100644 index 00000000..410fc044 --- /dev/null +++ b/ezk/45/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wana mfalme wa Israeli. + +# Katika siku ya mwezi siku ya kumi na nne ya mwezi + +Huu ni mwezi wa kalenda ya Kiebrani. + +# kwa ajili yanu + +Neno "yenu" ni wingi na inarejea kwa mwana mfalme na watu wengine wa nyumba ya Israeli. + diff --git a/ezk/45/23.md b/ezk/45/23.md new file mode 100644 index 00000000..98824d72 --- /dev/null +++ b/ezk/45/23.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wana mfalme wa Israeli. + +# sadaka ya chakula + +Hii pia inaitwa "sadaka ya unga." + +# ng'ombe dume saba na kondoo dume saba wasio na dosari + +ng'ombe dume na kondoo dume ambao wana afya kabisa" + +# efa + +"lita ishirini na mbili" + +# hini + +"lita ishirini na moja" + diff --git a/ezk/45/25.md b/ezk/45/25.md new file mode 100644 index 00000000..5db28118 --- /dev/null +++ b/ezk/45/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa wana mfalme wa Israeli. + +# Katika mwezi wa saba siku ya kumi na tano ya mwezi + +Huu ni mwezi wa kalenda yaKiebrania. + +# kwenye sikukuu + +Hii ni sikukuu tofauti kuliko sikukuu ambayo Ezekieli alikuwa akiielezea kabla. + diff --git a/ezk/46/01.md b/ezk/46/01.md new file mode 100644 index 00000000..22676bc9 --- /dev/null +++ b/ezk/46/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wana mfalme wa Israeli. + +# ua wa ndani + +Tazama tafsiri yakekatika sura ya 8:16. + +# kuelekea mashariki + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 11:1. + +# lango la ndani + +Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 40:17 + diff --git a/ezk/46/03.md b/ezk/46/03.md new file mode 100644 index 00000000..016a4e60 --- /dev/null +++ b/ezk/46/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa wana mfalme wa Israeli. + +# mbele ya Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 43:22. + diff --git a/ezk/46/06.md b/ezk/46/06.md new file mode 100644 index 00000000..4edf143f --- /dev/null +++ b/ezk/46/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa wana mfalme wa Israeli. + +# varanda + +Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 40:8. + diff --git a/ezk/46/09.md b/ezk/46/09.md new file mode 100644 index 00000000..248fe77e --- /dev/null +++ b/ezk/46/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mbele ya Yahwe + +Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 44:1 + +# sikukuu zilizoteuliwa + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 36:37. + diff --git a/ezk/46/11.md b/ezk/46/11.md new file mode 100644 index 00000000..cafc7e3d --- /dev/null +++ b/ezk/46/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwa ajili ya hiyo + +"kwa ajili yake" + diff --git a/ezk/46/13.md b/ezk/46/13.md new file mode 100644 index 00000000..f2254aa3 --- /dev/null +++ b/ezk/46/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia ezekieli ujumbe wake kwa wana mfalme wa Israeli. + +# kutia maji kidogo + +"ambayo italowa" + diff --git a/ezk/46/16.md b/ezk/46/16.md new file mode 100644 index 00000000..93ff69a1 --- /dev/null +++ b/ezk/46/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mwaka wa uhuru + +Huu ni mwaka ambao mtumishi alipata uhuru. Huu pia unaitwa "Mwaka wa Jubilii." + diff --git a/ezk/46/19.md b/ezk/46/19.md new file mode 100644 index 00000000..c8a9d116 --- /dev/null +++ b/ezk/46/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ambao ulielekea kaskazini + +"ambao ulikuwa malango yao makuu kuelekea kaskazini" + +# Tazama! + +Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba Ezekieli aliona kitu kinacho vutia. + +# ua wa nje + +Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 10:3. + diff --git a/ezk/46/21.md b/ezk/46/21.md new file mode 100644 index 00000000..87cc8575 --- /dev/null +++ b/ezk/46/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# ua wa ndani + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 10:3. + diff --git a/ezk/47/01.md b/ezk/47/01.md new file mode 100644 index 00000000..093302a0 --- /dev/null +++ b/ezk/47/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kuelekea mashariki + +Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 40:5. + +# hata kulia kwa madhabahu + +Huu ni upande wa kulia wa madhabahu wakati mtu alionekana katika huo wakati walipoelekea mashariki. + diff --git a/ezk/47/03.md b/ezk/47/03.md new file mode 100644 index 00000000..9c2aa2e6 --- /dev/null +++ b/ezk/47/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kipimo cha mstari + +ni gidamu au kamba ambayo watu hutumia kupimia umbali mrefu + diff --git a/ezk/47/06.md b/ezk/47/06.md new file mode 100644 index 00000000..f88d607a --- /dev/null +++ b/ezk/47/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwanadamu + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1. + +# unaona hii + +"Kuwa makini na hii" + diff --git a/ezk/47/09.md b/ezk/47/09.md new file mode 100644 index 00000000..e3f5489d --- /dev/null +++ b/ezk/47/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kisha itakuwa + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 21:6. + +# En Gedi + +ni chemichemi mkubwa upande wa magharibi mwa Bahari ya Chumvi + +# kukausha + +"kwa ajili ya watu kukausha" + +# En Eglaimu + +ni chemichemi kubwa upande wa magharibi mwa Bahari ya Chumvi + diff --git a/ezk/47/11.md b/ezk/47/11.md new file mode 100644 index 00000000..d8f90132 --- /dev/null +++ b/ezk/47/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# tapakaa maji + +maeneo ambayo yenye maji lakini pia tope + +# mabwawa + +mahali ambapo kuna kina kifupi cha maji + diff --git a/ezk/47/13.md b/ezk/47/13.md new file mode 100644 index 00000000..4f6c2cf0 --- /dev/null +++ b/ezk/47/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yusufu atakuwa na mafungu mawili + +"uzao wa Yusufu utapokea maeneo mawili ya nchi." + +# kila mtu na ndugu miongoni mwenu + +Hili neno linamaanisha "kila mtu apokee kiasi cha nchi sawa + +# nimeinua mkono wangu kuapa + +Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 20:4. + +# katika njia moja + +"hivyo, hasa, hii" + diff --git a/ezk/47/15.md b/ezk/47/15.md new file mode 100644 index 00000000..5994f5a2 --- /dev/null +++ b/ezk/47/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Hethloni + +ni jina la mahali ambapo palikuwa na njia ndogo za kaskazini na mashariki mwa Tripoli. + +# Zadadi + +ni jina la mji katika Lebanoni ambao ulikuwa katika sehemu moja ambayo ni Sadai kwa sasa. + +# Barota + +ni sehemu katika Lebanoni ambayo ipo kusini kidogo mwa Baalbeki ilipo + +# Sabraimu + +ni sehemu kati ya Damskasi na Hamathi + +# Hazeri Hatokoni + +ni sehemu ilikuwa karibu na kati ya Damaskasi na Haurani + +# Haurani + +Hii ni sehemu ya mashariki mwa Bahari ya Galilaya. + +# Hazari Enoni + +ni sehemu katika Siria. + diff --git a/ezk/47/18.md b/ezk/47/18.md new file mode 100644 index 00000000..6cbc0428 --- /dev/null +++ b/ezk/47/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tamari + +ni mji kama kilomita thelathi ni mbili kusini magharibi kutoka sehemu ya kusini ya Bahari ya Chunvi + +# Meriba Kadeshi + +ni sehemu ya mpaka kati ya Israeli na Misri, nusu ya njia kati ya Bahari ya Shamu na Bahari ya Mediteria + +# kijito cha Misri + +ni bonde kubwa sana katika sehemu ya kaskazi mwa Sinai + diff --git a/ezk/47/21.md b/ezk/47/21.md new file mode 100644 index 00000000..e0b1cfcc --- /dev/null +++ b/ezk/47/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa ajili yenu wenyewe + +Neno "yenu wenyewe" ni wingi na linarejea kwa watu wa Israeli. + +# Kisha itakuwa kwamba + +Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 21:6. + +# hili ndilo tangazo la Bwana Yahwe + +Tazama jinsi livyo tafsiriwa katika sura ya 5:11. + diff --git a/ezk/48/01.md b/ezk/48/01.md new file mode 100644 index 00000000..83a7afaa --- /dev/null +++ b/ezk/48/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# fungu moja la nchi + +"kipande kimoja cha nchi ambacho utakigawanya" + +# Hethloni ... Lebo ... Hazari Enani + +Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 47:15. + diff --git a/ezk/48/04.md b/ezk/48/04.md new file mode 100644 index 00000000..00c253c7 --- /dev/null +++ b/ezk/48/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# fungu moja + +"fungu moja la nchi" + +# kunyoosha kutoka upande wa mashariki kwenda upande wa magharibi + +Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 48:1. + diff --git a/ezk/48/08.md b/ezk/48/08.md new file mode 100644 index 00000000..e5aac508 --- /dev/null +++ b/ezk/48/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekile ujumbe wake kwa watu wa Israeli + +# dhiraa + +"urefu" + +# upana + +"kutoka kaskazini hata kusini" + diff --git a/ezk/48/10.md b/ezk/48/10.md new file mode 100644 index 00000000..ed14836a --- /dev/null +++ b/ezk/48/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sadaka kwa ajili yao itakuwa fungu la hii nchi takatifu sana + +"Hili fungu dogo ndani ya fungu takatifu la nchi litamilikiwa na hawa makuhani, fungu ambalo ni takatifu zaidi kuliko yote ya fungu takatifu la nchi" + diff --git a/ezk/48/13.md b/ezk/48/13.md new file mode 100644 index 00000000..125d7584 --- /dev/null +++ b/ezk/48/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# haya malimbuko + +"hii nchi ni malimbuko." Hapa "malimbuko" huenda inamaanisha vitu bora miongoni mwa sadaka zote zilizowekwa pembeni kumtolea Mungu. + diff --git a/ezk/48/15.md b/ezk/48/15.md new file mode 100644 index 00000000..78c5068e --- /dev/null +++ b/ezk/48/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# itakuwa kwa wote wanayoitumia hiyo nchi + +"itakuwa nchi ambayo imeungana na watu wa mji" + +# nyumba, na mahali pa malisho + +"mahali kwa ajili ya nyumba na kwa ajili ya sehemu za wazi" + diff --git a/ezk/48/17.md b/ezk/48/17.md new file mode 100644 index 00000000..86adf16b --- /dev/null +++ b/ezk/48/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# uzalishaji wake + +"vitu vinavyomea huko" + diff --git a/ezk/48/19.md b/ezk/48/19.md new file mode 100644 index 00000000..b5d0a6f4 --- /dev/null +++ b/ezk/48/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Israeli. + +# Kwa njia hii mtatengeneza matoleo matakatifu ya nchi, pamoja na nchi kwa ajili mji + +"Utatoa sadaka takatifu na pia mali ya mji" + +# ninyi + +Huu wingi unarejea kwa watu wa Israeli. + +# sadaka takatifu + +nchi ambayo watu wa Israeli waliyopewa na Yahwe kwa ajili ya Walawi, makuhani, na hekalu + diff --git a/ezk/48/21.md b/ezk/48/21.md new file mode 100644 index 00000000..2d35c885 --- /dev/null +++ b/ezk/48/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# sadaka takatifu + +Tazama jinsi ilivyotafsiriwa katika sura ya 48:17. + diff --git a/ezk/48/23.md b/ezk/48/23.md new file mode 100644 index 00000000..7935481f --- /dev/null +++ b/ezk/48/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# fungu moja + +Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 48:1, "fungu moja la nchi" + diff --git a/ezk/48/27.md b/ezk/48/27.md new file mode 100644 index 00000000..f826626a --- /dev/null +++ b/ezk/48/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Israeli. + +# Tamari ... Meriba Kadeshi ... kitabu cha Misri + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 47:18. + +# ninyi + +Huu wingi unarejea kwa watu wa Israeli. + +# Hili ndilo tangazo la Yahwe + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11. + diff --git a/ezk/48/30.md b/ezk/48/30.md new file mode 100644 index 00000000..87cc8c59 --- /dev/null +++ b/ezk/48/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# dhiraa + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:5. + +# dhiraa 4,500 + +kama kilomita 2.4 + diff --git a/ezk/48/33.md b/ezk/48/33.md new file mode 100644 index 00000000..18665beb --- /dev/null +++ b/ezk/48/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# dhiraa + +Tazama tafsiri yake katika sura ya 40:5. + +# dhiraa + +kama kilomita 2.4 + diff --git a/ezr/01/01.md b/ezr/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..aa6c9722 --- /dev/null +++ b/ezr/01/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# mwaka wa kwanza + +inarejea mwaka wa kwanza wa kutawala mfalme Koreshi + +# Yahwe + +Hili ni jina la Mungu ambalo alilifunua kwa watu wake katika agano la kale. Angalia neno la tafsiri kwenye ukurasa unaouhusu Yahwe kuhusiana na jinsi ya kutafsiri. + +# Yahwe akatimiza neno lake + +"Yahwe akafanya kile alichokisema kuwa atakifanya" + +# ambalo lilikuja kwa kusemwa na Yeremia + +Ambacho Yeremia alikiandika au kukiongea kuhusu. + +# Yahwe..... kuinua roho ya Koreshi + +Kuinua roho ni msemo wa kumfanya mtu atake kutenda "Yahwe .....akamfanya Koreshi atake kutenda" + +# Sauti ya Koreshi ikasambaa kote kwenye ufalme wake + +Sauti ni aina msemo wa ujumbe sauti inaongea, na ufalme ni msemo kwa watu ambao mfalme anawaongoza. AT: "Koreshi akatuma ujumbe kwa kila mmoja ambao anawaongoza" + +# Kitu gani kiliandikwa na kuongelewa + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa mfumo hai. Itakuwa vizuri kutafsiri ili kwamba wasomaji waelewe kwamba watu wengine walimsaidia Koreshi kupata ujumbe kwa watu ambao anawaongoza. AT:"Kile alichokiandika Koreshi na kile wajumbe wake walikisoma ili watu waweze kuwasikia wao" + +# Ufalme wote wa dunia + +Hii ni kukiuka, kana kwamba kulikuwa na ufalme ambao Koreshi alikuwa hauongozi + +# kwa yeye nyumba katika..... Yuda + +Ungependa kufanya........... kwamba nyumba ilikuwa kwa ajili ya watu kumwabudu Yahwe. AT:"nyumba katika....... Yuda ambapo watu wanaweza kumwabudu yeye" + diff --git a/ezr/01/03.md b/ezr/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..445e56a5 --- /dev/null +++ b/ezr/01/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# watu wake + +watu walio katika umiliki wa Yahwe + +# waliosalia katika nchi........ walipaswa kuwapa wao + +Wale waisraeli waliochagua kubaki pale walipo walipaswa kuwasaidia wale waliochagua kwenda Yerusalem kimwili na kiuchumi. + diff --git a/ezr/01/05.md b/ezr/01/05.md new file mode 100644 index 00000000..aaf47fcb --- /dev/null +++ b/ezr/01/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kazi zao + +Hii inarejea kazi ya watu katika mstari uliopita iliyohimizwa na Mungu. + +# kila mmoja ambaye roho wa Mungu alimwinua kwenda + +Kuinua Roho ni msemo kwa kumfamya mtu atake kufanya. AT: "kila mmoja ambaye Mungu alimfanya aweze kwenda" + diff --git a/ezr/01/07.md b/ezr/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..1058d3ac --- /dev/null +++ b/ezr/01/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mithredathi......... Sheshbaza + +Haya ni majina ya wanaume + +# akaviweka katika mikono ya Mithredathi mtunza fedha + +Kuweka kitu katika mikono ya mtu ni fumbo la kumruhusu mtu kufanya kile anachotaka kwa kitu ulichompa. Hapa wasomaji waelewe kwamba Koreshi alitegemea Methredathi kufanya ambacho Koreshi alimtaka akifanye.AT:"kumweka Methredathi mtunza fedha kiongozi wao" au "kumweka Methredathi mtunza fedha kuwajibika kwa ajili yao" + +# mtunza fedha + +kiongozi mhusika wa fedha + +# akavitoa na kuvihesabu kwa Sheshbaza + +kuhakikisha kwamba Sheshbaza anafahamu kwa uhakika vitu vyote vilivyo + diff --git a/ezr/01/09.md b/ezr/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..d35d8ede --- /dev/null +++ b/ezr/01/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii ni orodha ya idadi ya vitu + +# Therasini ....... moja elfu....... ishirini -tisa + +tisa** - "30..... 1,000.... 29" + +# beseni......mabakuli + +vyombo vilivyotumika kutunzia maji ya kunawia + +# 5,400 dhahabu na vitu vya fedha vyote + +jumla ya idadi ya vitu vilivyorudi Yerusalem kutoka Babeli, vimeorodheshwa hapo juu kwa kutenganishwa. + diff --git a/ezr/02/01.md b/ezr/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..220ec814 --- /dev/null +++ b/ezr/02/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii ni mwanzo wa orodha ya majina ya watu waliorudi kutoka mateka + +# kwenda + +Hii ni idom ambayo inarejea kutembea kuelekea Yerusalem. AT:"kurudi" au "kurudi tena" + +# Seraya,Reelaya,Mordekai,Bilshani,Mispari,Bigwai,Rehumu na Baana + +Haya ni majina ya wanaume + diff --git a/ezr/02/03.md b/ezr/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..9b2e0de3 --- /dev/null +++ b/ezr/02/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii inaendelea na orodha ya majina ya watu waliorudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kundi + +# Paloshi..... Shefatia..... Ara.....PathMoabu...... Yeshua + +Haya ni majina ya wanaume + diff --git a/ezr/02/07.md b/ezr/02/07.md new file mode 100644 index 00000000..9c986148 --- /dev/null +++ b/ezr/02/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii inaendelea na orodha ya majina ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kikundi + +# Zatu....Zakai......Binui + +Haya ni majina ya wanaume + diff --git a/ezr/02/11.md b/ezr/02/11.md new file mode 100644 index 00000000..e23b7444 --- /dev/null +++ b/ezr/02/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii inaendelea na orodha ya majina ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kikundi + +# Bebai.....Azgadi......Adonikamu + +Haya ni majina ya wanaume + +# Bigwai + +jina la mtu tafsiri kama ulivyofanya katika 2:1 + diff --git a/ezr/02/15.md b/ezr/02/15.md new file mode 100644 index 00000000..e7b3439d --- /dev/null +++ b/ezr/02/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii inaendelea na orodha ya majina ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kikundi + +# Adini....Ateri........Besai + +Haya ni majina ya wanaume + +# tisini-nane + +nane** "98" + diff --git a/ezr/02/19.md b/ezr/02/19.md new file mode 100644 index 00000000..ea4f3b8c --- /dev/null +++ b/ezr/02/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii inaendelea na orodha ya majina ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kikundi + +# Hashimu.....Gibeoni + +Haya ni majina ya wanaume + +# tisini-tano.......hamsini-sita + +tano........hamsini-sita** - "95......56" + +# Wanaume wa Bethlehemu + +Hii inaanza orodha ya idadi ya watu ambao watangulizi wao waliishi katika mji wa Yuda + +# Netofa + +Hii ni jina la mji katika Yuda + diff --git a/ezr/02/23.md b/ezr/02/23.md new file mode 100644 index 00000000..b252113c --- /dev/null +++ b/ezr/02/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii inaendelea na orodha ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kikundi ambao watagulizi walikuja kutoka sehemu zilizo orozeshwa + +# Anathothi.....Azmawethi....Kiriath- Yearimu....Kefira.......Beeerothi......Geba + +majina ya maeneo + +# arobaini - mbili + +mbili** - "42" + diff --git a/ezr/02/27.md b/ezr/02/27.md new file mode 100644 index 00000000..ce6527f7 --- /dev/null +++ b/ezr/02/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii inaendelea pamoja na idadi ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kikundi ambao watangulizi walikuja kutoka sehemu zilizoorodheshwa. + +# Mikmashi.....Nebo..Magbishi + +majina ya maeneo + +# hamsini-mbili + +mbili** - "52" + diff --git a/ezr/02/31.md b/ezr/02/31.md new file mode 100644 index 00000000..30304ac2 --- /dev/null +++ b/ezr/02/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii inaendelea na orodha ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi katika kila kikundi ambacho watangulizi walikuja kutoka maeneo yaliyo orodheshwa + +# Harimu.....Lodi......Hadidi........Ono + +majina ya maeneo + diff --git a/ezr/02/34.md b/ezr/02/34.md new file mode 100644 index 00000000..00d5903d --- /dev/null +++ b/ezr/02/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii inaendelea pamoja na idadi ya watu ambao walirudi kutoka mateka pamoja idadi katika kila kikundi ambao watangulizi walikuja kutoka maeneo yaliyo orodheshwa + +# Senaa + +majina ya maeneo + diff --git a/ezr/02/36.md b/ezr/02/36.md new file mode 100644 index 00000000..42740ceb --- /dev/null +++ b/ezr/02/36.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Sehemu hii inaorodhesha majina ya makuhani ambao wana wao walirudi kutoka matekani pamoja na idadi ya kila kikundi. + +# Yedaya.....Imeri.......Pashuri......Harimu + +majina ya wanaume + +# Yeshua + +jina la mtu + +# Harimu + +Harimu 2:31 ni jina la eneo, lakini hapa "Harimu" ni jina la mtu + diff --git a/ezr/02/40.md b/ezr/02/40.md new file mode 100644 index 00000000..f1344ddc --- /dev/null +++ b/ezr/02/40.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii sehemu inaonyesha idadi ya majina ya Walawi ambao wanao walirudi kutoka mateka pamoja na idadi ya kila kikundi + +# Kadmiel...Hodavia...Shalumu...Talmoni,Akubu,Hatita, na Shobai + +majina ya wanaume + +# Sabini na nne + +nne** "74" + +# walinzi + +wale wahusika ambao huenda kupitia geti la Hekalu + +# Ateri + +jina la mtu + diff --git a/ezr/02/43.md b/ezr/02/43.md new file mode 100644 index 00000000..04988c4b --- /dev/null +++ b/ezr/02/43.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii sehemu inaendelea kuoorodhesha majina ya Walawi ambao wanao walirudi kutoka mateka . + +# Siha,Hasufa,Tabothi,Keros,Siaha,Padoni,Hagaba...Hagaba,Salmai, na Hanani + +majina ya wanaume + +# Akubu + +Tafsiri kama ilivyo katika 2:40 + diff --git a/ezr/02/47.md b/ezr/02/47.md new file mode 100644 index 00000000..6bba6ad5 --- /dev/null +++ b/ezr/02/47.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii sehemu inaendelea kuorodhesha majina ya Walawi ambao wanao walirudi kutoka mateka. Haya ni majina yote ya wanaume + diff --git a/ezr/02/51.md b/ezr/02/51.md new file mode 100644 index 00000000..cc5bc522 --- /dev/null +++ b/ezr/02/51.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii sehemu inaendelea kuorodhesha majina ya walawi ambao walirudi kutoka mateka.Haya ni majina yote ya wanaume + diff --git a/ezr/02/55.md b/ezr/02/55.md new file mode 100644 index 00000000..73194d87 --- /dev/null +++ b/ezr/02/55.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii sehemu inaendelea kuoorodhesha majina ya Walawi ambao wana wao walirudi kutoka mateka + +# walikuwa wapatao 392 jumla ya wana + +Hii ni idadi ya watu wote katika hili kundi ambao walirudi kutoka mateka + diff --git a/ezr/02/59.md b/ezr/02/59.md new file mode 100644 index 00000000..ebc30fc5 --- /dev/null +++ b/ezr/02/59.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii ni orodha ya watu ambao walirudi Israeli kutoka baadhi ya miji ya Babeli lakini hawakuweza kuthibitisha kizazi chao. + +# Tel-mela,Tel charsha,Kerubu,Adani,na Imeri + +ni maeneo katika Babeli ambayo hayapo kwa sasa. + +# Delaya,Tobia, na Nekoda + +majina ya wanaume + diff --git a/ezr/02/61.md b/ezr/02/61.md new file mode 100644 index 00000000..226dbb6e --- /dev/null +++ b/ezr/02/61.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Habaya....Hakosi....Barzilai + +majina ya wanaume + +# kumbukumbu ya kizazi chao + +kumbukumbu ambayo ilielezea watangulizi walivyokuwa + +# hawakuweza kupatikana + +"hawakuweza kuyaona majina yao katika kumbukumbu ya makuhani" + +# waliweza kutolewa kutoka kwa makuhani kama wasiosafi + +Hii inaweza kutafsiliwa katika mfumo hai. Majina "Ukuhani" linaweza kutafsiliwa kama kitenzi "kazi kama ya kuhani." AT: makuhani wengine waliwachukulia wao kama wasio safi hawakuwaruhusu kufanya kazi kama makuhani" + +# wasiosafi + +kutokuwa sawa kuwa kuhani + +# Urimu na Thumimu + +vitu viwili kama dai ambavyo kuhani alivitumia kuamua kitu gani ambacho Mungu anataka wao wakifanye + diff --git a/ezr/02/64.md b/ezr/02/64.md new file mode 100644 index 00000000..43004e81 --- /dev/null +++ b/ezr/02/64.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kundi lote + +kundi lote ambalo lilirudi tena kwenye ardhi ya Yuda kutoka mateka + +# wasaidizi wao + +"watumishi wao wa kike" + +# mia mbili + +"200" + diff --git a/ezr/02/66.md b/ezr/02/66.md new file mode 100644 index 00000000..65c2fcb8 --- /dev/null +++ b/ezr/02/66.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii ni orodha ya wanyama pamoja na idadi ya kila aina ambao walirudi pamoja na watu kutoka mateka. + diff --git a/ezr/02/68.md b/ezr/02/68.md new file mode 100644 index 00000000..dfe05458 --- /dev/null +++ b/ezr/02/68.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# sitini-moja elfu...elfu tano...elfu moja + +elfu moja...elfu tano...mia moja** "61,000...5,000...100" + +# dhahabu za darkoni + +"darkoni" ilikuwa ni salafu ndogo ya dhahabu iliyotumika katika utawala wa uajemi + +# mane + +Mane ni kipimo cha uzito. mane moja ni sawa na gramu 550. mane kawaida ilihusishwa na vipimo vya fedha. + +# mavazi + +mavazi yaliyovaliwa juu ya ngozi + diff --git a/ezr/02/70.md b/ezr/02/70.md new file mode 100644 index 00000000..996f32b4 --- /dev/null +++ b/ezr/02/70.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# watu wote katika Israeli walikuwa katika miji yao + +Kila mmoja alirudi tena kwenye mji wa nyumbani Yuda. Si kila mmoja alikaa katika Yerusalem. + diff --git a/ezr/03/01.md b/ezr/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..f904d7d6 --- /dev/null +++ b/ezr/03/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mwezi wa saba + +huu ni mwezi wa saba katika kalenda ya kiebrania.Ni kipindi cha mwisho cha kiangazi na mwanzoni mwa nyakati za mvua. Ni kipindi cha mwisho cha mwezi wa tisa na kipindi cha mwanzo wa mwezi wa kumi kwa kalenda ya watu wa magharibi. + +# kama mtu mmoja + +mtu mmoja yuko katika sehemu moja na ana kusudi moja. AT: "kwa kusudi moja" + +# Yeshua + +Hili ni jina la mtu.Litafsiri kama katika 2:36 + +# Sheatieli + +Hili ni jina la mtu. + +# kuinuka na kujenga + +Kuinuka juu ni msemo wa kuanza kutenda. AT: "kuanza kutenda na kujenga" + +# kama ilivyoamliwa katika sheria ya Musa + +Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. Unatakiwa kufanya kile ambacho Yahwe alikiagiza. AT: "kama vile Yahwe alivyoagiza wao wafanye kama vile sheria ya Musa" + diff --git a/ezr/03/03.md b/ezr/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..d606a095 --- /dev/null +++ b/ezr/03/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wakaanzisha nadhabahu juu ya msingi + +"wakaunganisha madhabahu juu ya nguzo" au "wakaweka madhabahu juu ya nguzo ili ibaki pale" + +# hofu waliokuwa nayo + +huu ni msemo. AT"walikuwa na woga sana" + +# kwa sababu ya watu wa nchi + +Unapaswa kufanya uchunguzi kitu gani kiliwahusu watu wa nchi ambacho kiliwafanya wayahudi kuogopa. AT: "kwa sababu walifikiri watu nchi walitaka kuwavamia wao" + +# walitoa sadaka ya kuteketezwa kwa yahwe asubuhi na jioni + +kitu cha kwanza walichokifanya watu ni kuanza kutoa sadaka ya kujitoa. Hii ilikuwa kabla ya Hekalu kujengwa. + +# siku kuu ya vibanda + +Hii ilikuwa ni sherehe ambayo ilisheherekewa kwa siku nane katika kipindi cha mwezi wa saba wa kalenda ya kiebrania. ilikuwa ikihusiana na kipindi cha kutika wakati Waisraeli wakiiishi katika mahema. + diff --git a/ezr/03/06.md b/ezr/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..3c2fea69 --- /dev/null +++ b/ezr/03/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# siku ya kwanza ya mwezi wa saba + +Huu ni mwezi wa saba kwa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kwanza ilikaribia katikati ya mwezi wa tisa kwa kalenda ya watu wa magharibi. + +# hekalu lilikuwa bado halijapatikana + +Wayahudi walianza kusherehekea kwa ibada hata kabla hawajaanza kujenga hekalu. AT:"walikuwa bado hawajaanza msingi kwa ajili ya hekalu" + +# kama walivyoamriwa wao kwa Koreshi mfalme wa Uajemi + +Barua ilitumwa na Koreshi kuwapa wayahudi ruhusa ya kununua vifaa na kujenga hekalu. + diff --git a/ezr/03/08.md b/ezr/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..f7261003 --- /dev/null +++ b/ezr/03/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mwezi wa pili + +Huu ni mwezi wa pili kwa kalenda ya Kiebrania. Hiki ni kipindi cha kiangazi wakati watu wanavuna mazao. Ni kipindi cha mwisho mwezi wa nne na sehemu ya kwanza kwa mwezi wa tano kwa kalenda ya magharibi. + +# mwaka wa pili + +Hii ilikuwa ni kipindi cha mwaka ambacho baadae walirudi + +# kwa nyumba ya Mungu + +Unapaswa kufanya uchunguzi kwamba kulikuwa hakuna nyumba ya mungu iliyokuwepo wakati wanafika.AT:"ni wapi nyumba ya Mungu ilisimamishwa" au "ni wapi walipotaka kujenga nyumba ya Mungu" + +# Yeshua...Yosadaki...Henadadi + +Haya ni majina ya wanaume + +# miaka ishirini + +"20 miaka" + +# Kadmiel + +Hili ni jina la mtu. Tafsiri kama katika 2:40 + diff --git a/ezr/03/10.md b/ezr/03/10.md new file mode 100644 index 00000000..6c6df1b3 --- /dev/null +++ b/ezr/03/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kuweka msingi + +"msingi" kwa mantiki hiyo ilikuwa zaidi si matofali ya mawe kwa ajili ya kusaidia ukuta wa hekalu. Ilijumuisha sakafu yote ya hekalu iliwekewa mawe. Hii iliwawezesha wanaosifu hekaluni kuvaa mavazi lasmi na yaliwaweka kuwasafi. + +# nguo zao + +"mavazi yao maaalum" + +# mkono wa Daudi... uliagiza + +Mkono wa mfalme ni picha ya kumpa nguvu kutoa amri. AT:"kama Daudi alivyoagiza" + +# Shukrani + +Hisia na kujisikia kupongeza kwa ajili ya ukarimu wa mwingine. + diff --git a/ezr/03/12.md b/ezr/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..fa768291 --- /dev/null +++ b/ezr/03/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nyumba ya kwanza + +Hii inarejea hekalu la kwanza ambalo Selemani alijenga, nyumba ya Mungu. + +# mbele ya macho yao + +Macho yanawakilisha kuona.AT:"katika kuona kwao" au "na walitazama" + +# kulia kwa sauti + +Hii inaonyesha hisia ya uzuni ikiambatana na machozi na sauti ya kulia. + diff --git a/ezr/04/01.md b/ezr/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..fb7a56f4 --- /dev/null +++ b/ezr/04/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Watu wasio wayahudi kujitoa kusaidia kujenga hekalu + +# wale waliokuwa kifungoni + +Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"wale ambao wababeli waliwachukua kifungoni" + +# Esar-hadoni,mfalme wa Ashuru + +Alitawala Ashuru kabla ya Koreshi kutawala katika Uajemi + +# Zerubabeli + +Jina la mtu. Tafsiri kama katika 2:1 + +# Esar-hadoni, mfalme wa Ashuru + +Alitawala katika Ashuru kabla ya Koreshi kutawala Uajemi. + diff --git a/ezr/04/03.md b/ezr/04/03.md new file mode 100644 index 00000000..bf7c92c2 --- /dev/null +++ b/ezr/04/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yoshua + +Jina la mtu. Tafsiri kama katika 2:3 + +# Sio wewe, lakini sisindio lazima tujenge + +Maana yake inaweza kuwa 1)viongozi wa kiyahudi walifikiri kwamba Koreshi aliwaamuru wao peke yao kujenga hekalu au 2) ujenzi wa hekalu ilikuwa ni kazi iliyowatenga wayahudi na wasio wayahudi ndio watakaoruhusiwa kuchanga kwa ajili ya kazi. + diff --git a/ezr/04/04.md b/ezr/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..ec6fcb82 --- /dev/null +++ b/ezr/04/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# watu katika nchi + +"watu ambao walikuwa wakiishi katika nchi wakati ule" ambao ilihusisha wasio wayahudi na wayahundi ambao jamii haikuchukuliwa na Wababeli kifungoni + +# wakaifanya mikono ya wayahudi kudhoofika + +wakawavunja nguvu wayahudi + +# Wayahudi + +watu waliorudi kutoka Babeli na wakaweka makazi katika nchi ya Yuda + +# kuvuruga mipango yao + +"ili kutimiza hilo wayahudi hawakujenga hekalu kama walivyokuwa wamepanga. + +# waliandika mashitaka dhidi ya wenyeji wa Yuda na Yerusalem + +jina "mashitaka" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi "kushitaki" na kitendo "kuishi ndani" kuheshimika. Inakupasa kufanya uchunguzi kitu gani ambacho maadui waliwashitaki wayahudi kwa walichokifanya. AT: "waliandika barua ambayo waliwashitaki wale walioishi Yudana Yerusalem kwa kutomtii mfalme" + diff --git a/ezr/04/07.md b/ezr/04/07.md new file mode 100644 index 00000000..7b534360 --- /dev/null +++ b/ezr/04/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Bishlamu.....Mithredathi...Tabeeli.....Shimshai + +majina ya wanaume + +# Barua + +Hii ni barua iliyoongelewa katika $:4 + +# Kiaramu + +lugha iliyokuwa inatumika katika eneo hilo kwa wakati ule maalum kwa biashara + +# na kutafsiriwa + +katika Uajemi + +# Rehumu + +jina la mwanaume tafsiriwa kama katika + diff --git a/ezr/04/09.md b/ezr/04/09.md new file mode 100644 index 00000000..a13da67d --- /dev/null +++ b/ezr/04/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Waelemi.....Asur + +majina ya miji + +# Elamu + +jina la mji mkubwa katika nchi + +# Asurbanipal + +Hili ni jina la mtu + +# Jimbo ngambo ya mto + +Hili ni jina la mji ambao ulikuwa magharibi mwa mto Flati + diff --git a/ezr/04/11.md b/ezr/04/11.md new file mode 100644 index 00000000..28ca8c1e --- /dev/null +++ b/ezr/04/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hii ni nakala + +Ezra alijumuisha katika maandishi yake ujumbe wa barua kutuma kwa mfalme Artashasta + +# mji ngambo ya mto + +Hili ni jina la mji ambalo lilikuwa magharibi ya mto Efrati. Ilikuwa ni kuvuka mto kutoka mji wa Susa. Tafsiri kama katika 4:9 + +# mji wa uasi + +Mji ni kwa watu wanaoishi hapo. AT:"mji ambao walipanga kuishi na kuwapinga ninyi" + +# wamekarabati msingi + +"kukamilisha msingi" au "kurekebisha msingi" + diff --git a/ezr/04/13.md b/ezr/04/13.md new file mode 100644 index 00000000..c2e97715 --- /dev/null +++ b/ezr/04/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ikiwa mji utajengwa na ukuta utakamilika + +Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"Ikiwa watajenga mji na kukamilisha ukuta" + +# lakini watawadhuru wafalme + +Neno "kudhuru" linamaanisha kwa wayahudi kutoendelea kutoa fedha kwa wafalme. + diff --git a/ezr/04/14.md b/ezr/04/14.md new file mode 100644 index 00000000..69a6bc6f --- /dev/null +++ b/ezr/04/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# tumekula chumvi ya Ikulu + +Maana inayowezekana ni kwamab 1)mwandishi kuwa mtiifu kwa mfalme au 2)mfalme kumpa mwandishi heshima maalum. AT:"sisi ni watiifu kwako" au "umetuheshimu sisi kwa kutufanya kuwa maofisa wako" + +# mji wa uhalibifu + +Mji ni kwa watu ambao wanaishi ndani yake.AT:"mji wanaoishi watu waliopingana dhidi ya baba yako" + +# mji uliharibiwa + +Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai, ambapo itakulazimu kutaka kujua nani ambaye akiharibu mji. AT:"Wababeli waliharibu mji" + +# ikiwa mji huu na ukuta utajengwa + +Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"Ikiwa watajenga mji na ukuta" maneno haya yameonekana katika 4:13 + +# hakuna kitakachokua kimebakia kwa ajili yako + +Hii ni kumchanganya na kumfanya mfalme kufikiri kwamba hatakosa fedha nyingi za kodi iwapo wayahudi watampinga. + +# Mji ngambo ya mto + +Hili ni jina la mji ambalo lilikuwa magharibi ya mto Efrati. Ilikuwa ni kuvuka mto kutoka mji wa Susa. Tafsiri kama katika 4:( + diff --git a/ezr/04/17.md b/ezr/04/17.md new file mode 100644 index 00000000..0e3326fb --- /dev/null +++ b/ezr/04/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mji ngambo ya mto + +Hili ni jina la mji ambao ulikuwa magharibi ya mto Efrati. ilikuwa kuvuka mto kutoka mji wa Susa. Tafsiri kama katika 4:9 + +# Barua mliyonitumia imetafsiriwa na kusomwa + +Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai ambapo utatakiwa kufanya utafiti nani aliyetafsiri na kusoma barua kwa mfalme. AT:"Ninaye mtumishi kutafsiri na kusoma barua ambayo ulituma kwangu" + +# Rehumu + +jina la mtu tafsiri kama katika 2:1 + +# Shimshai + +jina la mtu. Tafsiri kama katika 4:7 + +# Mto + +mto Efrati + diff --git a/ezr/04/20.md b/ezr/04/20.md new file mode 100644 index 00000000..74a2db3c --- /dev/null +++ b/ezr/04/20.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mji ngambo ya mto + +Hili ni jina la mji ambalo liko magharibi ya mto efrati. Ilikuwa kuvuka mto kutoka mji wa Susa. Tafsiri kama katika 4:9 + +# Ada na kodi walilipwa wao + +hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:'Watu katika Yerusalem walilipa ada na kodi kwa wale wafalme" au "Wale wafalme waliweza kukusanya ada na kodi" + +# kuweka agizo + +"kuweka amri" + +# Uwe mwangalifu usipuuze hili + +"Uwe mwangalifu kufanya hili" + +# Kwa nini kuruhusu tishio hili kuongezeka na kusababisha hasara kwa matakwa ya mfalme? + +Artashasta alitumia swali kuwaambia wao kwamba anafahamu ya kuwa atapoteza kodi na heshima ikiwa mji utajengwa. AT:"Unapaswa kuhakikisha kwamba hili tishio halikuhi na kusababisha hasara zaidi kwa matakwa ya ufalme" + +# tishio kukua + +Hatari imeongelewa kana kwamba ulikuwa mmea ambao ungekuwa na kuongezeka kwa kimo. AT:"hatari ya kuja kuwa balaa" + +# kusababisha hasara zaidi kwa matakwa ya ufalme + +neno "matakwa ya ufalme" ni msemo kwa mfalme mwenyewe. AT:"kusababisha mabaya mengi kutokea kwa mfalme" + diff --git a/ezr/04/23.md b/ezr/04/23.md new file mode 100644 index 00000000..07b5f903 --- /dev/null +++ b/ezr/04/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Amri ya mfalme Artashasta ilisomwa + +Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. ambapo utakiwa kufanya utafiti nani alisoma amri kutoka kwa mfalme kwa maofisa. AT:"Wajumbe kutoka kwa mfalme Artashasta walisoma amri" + +# Rehumu + +Tafsiri kama katika + +# Shimshai + +Tafsiri kama katika + +# kazi ya nyumba ya Mungu ikasitishwa Yerusalem mpaka kutawala mara ya oili kwa mfalme Dario + +Huu uchelewaji ulikoma takribani miaka 16 + diff --git a/ezr/05/01.md b/ezr/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..0c9273f1 --- /dev/null +++ b/ezr/05/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ido...Yoshua ...Yosadaki + +majina ya wanaume + +# Sheatieli + +jina la mtu.Kama ilivyotafsiriwa + +# kujenga nyumba ya Mungu + +Hili lilikuwa hekalu la mungu. + diff --git a/ezr/05/03.md b/ezr/05/03.md new file mode 100644 index 00000000..dc6137be --- /dev/null +++ b/ezr/05/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tatenai...Shethar-Bozenai + +majina ya wanaume + +# mji ngambo ya mto + +Hili ni jina la mji ambalo ilikuwa magharibi ya mto efrati. Ilikuwa ni kuvuka mto katika mji wa Susa. Angalia kama ulivyotafsiri katika 4:9 + diff --git a/ezr/05/06.md b/ezr/05/06.md new file mode 100644 index 00000000..ccc72e7c --- /dev/null +++ b/ezr/05/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hii ni nakala ya barua + +Ezra anahusisha ujumbe wa barua kwa mfalme Dario kuhusiana na kazi ya hekalu. + +# mji ngambo ya mto + +Hili ni jina la mji ambalo ulikuwa magharibi ya mto efrati. Ilikuwa kuvuka mto katika mji wa Susa. Angalia kama ilivyotafsiriwa katika 4:9 + diff --git a/ezr/05/08.md b/ezr/05/08.md new file mode 100644 index 00000000..392b92ce --- /dev/null +++ b/ezr/05/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Barua kutoka kwa Tatenai kwenda kwa mfalme ambayo imeanza katika 5:6 + +# mbao + +ubao kwa ajili ya kujengea + +# nani aliyewapa waraka + +"nani aliyewapa ruhusa" + diff --git a/ezr/05/11.md b/ezr/05/11.md new file mode 100644 index 00000000..f0af38e6 --- /dev/null +++ b/ezr/05/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Barua kutoka kwa Tetai kwenda kwa mfalme ambaye alianza katika 5:6 inaendelea + +# Sisi tu watumishi wa mmoja + +Maana yake inawezekana ikiwa 1)walikuwa wakiwaita wayahudi watu wa Mungu au 2) wale waliokuwa wakijibu walikuwa wakitokea kabila la Lawi na Haruni, ambao ndio walikuwa wakiwajibika hekaluni kwa kuabudu na kutoa sadaka. + +# ambalo lilikuwa limejengwa miaka mingi iliyopita wakati ambapo mfalme mkuuu wa Israeli alipoujenga na kukamilisha hilo. + +Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"ambapo mfalme mkuu wa Israeli aliujenga na kusambaza vifaa vyote kwa " + diff --git a/ezr/05/12.md b/ezr/05/12.md new file mode 100644 index 00000000..31d400fd --- /dev/null +++ b/ezr/05/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Barua kutoka kwa Tetai kwenda kwa mfalme inaendelea. Tetai anaendelea kumwambia mfalme kile ambacho wayahudi walimwambia kuanzia katika 5:11 + +# kumchukiza Mungu wa mbinguni + +"kumfanya Mungu wa mbinguni kuwa mkali kwetu sisi" + +# aawatia katika mikono ya mfalme Nebukadineza wa Babeli, ambaye alivunja nyumba na kuwachukua watu + +Mkono ni mfano wa nguvu au kuongoza. Pia, "kuruhusu Nebukadineza mfalme wa Babeli na jeshi lake kuvunja hii nyumba na kuwachukua watu" + diff --git a/ezr/05/14.md b/ezr/05/14.md new file mode 100644 index 00000000..f7ffbd6b --- /dev/null +++ b/ezr/05/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Barua kutoka kwa Tetai kwenda kwa mfalmeambayo ilianza katika 5:6 inaendelea. Tetai anaendelea kumwambia mfalme kile ambacho wayahudi walimwambia yeye mwanzoni katika 5:11 + +# Sheshbaza + +Tafsiri kama katika + +# Yeye akavitunza vile + +Mfalme Koreshi akavirudisha vitu vya hekalu + +# Na nyumba ya Mungu iweze kujengwa + +Hii inaweza ktafsiriwa katika mfumo hai. AT:"ninataka wayahudi wajenge nyumba ya Mungu" + diff --git a/ezr/05/16.md b/ezr/05/16.md new file mode 100644 index 00000000..40b17128 --- /dev/null +++ b/ezr/05/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Barua kutoka kwa Tetai kwenda kwa mfalme ambayo ilianza katika 5:6 inaendelea. Tetai inaendelea kumwambia mfalme kile ambacho wayahudi wamemwambia yeye mwanzoni katika 5:11 + +# imeshajengwa, lakini bado haijakamilika + +Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"watu sasa wanajenga, lakini bado hajakamilisha kazi yote" + +# kujengwa + +kujenga + diff --git a/ezr/05/17.md b/ezr/05/17.md new file mode 100644 index 00000000..9e1afb2d --- /dev/null +++ b/ezr/05/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Barua kutoka kwa Tetai kwenda kwa mfalme ambayo inaanza katika 5:6 inaendelea. Tetai amemaliza kumwambia mfalme kile ambacho wayahudi wamemwambia yeye na sasa anamwuliza mfalme kuona kwamba kile wayahudi wamemwambia yeye ni kweli. + +# ikiwa hukumu ya mfalme Koreshi iko pale + +"ikiwa kuna kumbukumbu kule ambapo mfalme Koreshi alitoa amri" + diff --git a/ezr/06/01.md b/ezr/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..10be76e0 --- /dev/null +++ b/ezr/06/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# akaamuru uchunguzi ufanyike + +Neno "uchunguzi" inaweza kuelezeka pamoja na kitenzi "kuchunguza" au "kutafuta"AT:"aliamuru maofisa wake kutafuta" + +# aliamuru uchunguzi + +Waliambiwa kuchunguza nini inaelezwa wazi.AT:aliagiza maofisa wake kuchunguza kumbukumbu" au "aliamuru maofisa kutafuta na kujua kama kuna kumbukumbu ya mfalme Koreshi inayosema wayahudi kujenga nyumba ya Mungu katika Yerusalem" + +# nyumba ya kumbukumbu + +Hii ni nyumba ambayo mfalme alitunza kumbukumbu muhimu za kiserikali. + +# Akmetha + +Hili ni jina la mji + +# chuo kilionekana + +Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT:"waliona chuo" au "waliona chuo ambacho kinaeleza kuhusu Dario na Yerusalem" + diff --git a/ezr/06/03.md b/ezr/06/03.md new file mode 100644 index 00000000..845afd32 --- /dev/null +++ b/ezr/06/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii inaanza na kumbukumbu Mfalme Koreshi akiamuru kwamba wayahudi wajenge hekalu la Mungu katika Yerusalem. + +# Katika mwaka wa kwanza wa Mfalme Koreshi + +Inaweza kuelezwa wazi kwamba huu ni mwaka wa kwanza wa kutawala. AT:"Katika mwaka 1 wa kutawala Mfalme Koreshi" + +# Na nyumba iweze kujengwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. AT:"Na wayahudi wajenge nyumba" au "Wayahudi lazima wajenge nyumba" + +# upana sitini + +"60 upana" unaweza kuibadilisha kwa vipimo vya kisasa" AT:mita ishirini na saba" + +# sehemu tatu za mawe makubwa na sehemu ya mbao + +Maana inayowezekana ni 1) hii inaonyesha jinsi ya kujenga msingi. AT:"Ijengwe katika sehemu tatu za mawe makubwa ikizungukwa na sehemu za mbao" au 2) hii inaonyesha jinsi ya kujenga ukuta. AT:"Kujenga kuta zake kwa sehemu tatu zikiwa na mawe makubwa pamoja na sehemu moja inayozunguka ya miti" + +# Na gharama zilipwe na nyumba ya mfalme + +Msemo"nyumba ya mfalme" inamaanisha mali za mfalme Koreshi katika hazina ya ikulu. Hii inaweza kuelezwa katika mfumo hai. AT: "Nitalipa fedha hizo kutoka katika mfuko wa hazina" + diff --git a/ezr/06/06.md b/ezr/06/06.md new file mode 100644 index 00000000..a8803ad0 --- /dev/null +++ b/ezr/06/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii inaendeleza kumbukumbu za mfalme Koreshi kuagiza wayahudi kujenga hekalu la mungu katika Yerusalem, ambayo ilianza katika 6:3. + +# Tetanai...Shethar Bozenai + +Dario anaandika mja kwa moja kwa huyu mtu. Tafsiri majina yao kama katika 5:3 + +# mji ngambo ya mto + +Hili ni jina la mji ambao ulikuwa magharibi ya mto eflati. Ilikuwa ni kuvuka mto kutoka mji wa Susa. + diff --git a/ezr/06/08.md b/ezr/06/08.md new file mode 100644 index 00000000..91b0f105 --- /dev/null +++ b/ezr/06/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii inaendeleza kumbukumbu za Mfalme Koreshi agizo kwa wayahudi kujenga hekalu la Mungu katika Yerusalem, ambapo kilianza katika 6:3 + +# Mchango kutoka kwa mfalme ngambo ya mto utatumika katika kuwalipa hawa wanaume. + +Hii inaweza kuelezwa katika mfumo hai. AT:"Kutumia mfuko kutoka kwa mfalme ngambo ya mto utalipa hawa wanaume" + +# Mfuko kutoka hazina ya mfalme ngambo ya mto + +"Hazina ya mfalme" inaamanisha kodi wanazolipa watu kwa mfalme. AT:"Pesa ktoka kwenye kodi ambazo mfalme anakusanya kutoka kwa watu ngambo ya mto" + +# Chochote kinachohitajika + +Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"chochote wanachohitaji" + diff --git a/ezr/06/11.md b/ezr/06/11.md new file mode 100644 index 00000000..bd616812 --- /dev/null +++ b/ezr/06/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii inaendelea na kumbukumbu ya mfalme Koreshi agizo kwa wayahudi kujenga hekalu la Mungu katika Yerusalem, ambalo lilianza katika 6:3 + +# nguzo lazima itolewe katika nyumba yake na awekwe juu yake. Na nyumba yake itabadilishwa kuwa katika takataka. + +Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"Niliagiza maofisa wangu kutolewa vyuma katika nyumba na iwekwe juu yake. Na baadaye itabadilishwa nyumba kuwa katika takataka" + +# nguzo + +kipande kirefu cha mbao, kinachosaidia paa la nyumba + +# ambaye amenyosha mkono kubadilisha... au kuharibu + +Kunyoosha mkono inamaanisha kujaribu kufanya kitu fulani. AT:"ambaye anajaribu kubadilisha... au kuharibu"anayetaka kubadili au kuharibu" + +# kubadilisha hili agizo + +neno "agizo" linaweza kuelezwa hivi "kitu gani nilichoagiza" AT:"kubadili kitu nilichoagiza" au "kusema kwamba nimeagiza kitu kingine kabisa" + diff --git a/ezr/06/13.md b/ezr/06/13.md new file mode 100644 index 00000000..6df8cad4 --- /dev/null +++ b/ezr/06/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Tatenai...Sheshthar-Bozenai + +Tafsiri majina ya hawa wanaume kama ulivyofanya katika 5:3 + +# Nyumba ikawa imekamilika + +Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. Unatakiwa kuweka maelezo nyumba ipi iliyokamilika. AT:"Walikamilisha nyumba ya Mungu" au "Walimaliza kujenga hekalu" + +# siku ya tatu ya mwezi wa adari + +"adari" ni jina la kumi na mbili na mwezi wa mwisho katika kalenda ya kiebrania. Ni kipindi cha majira ya baridi. Siku ya tatu ni karibu ya katikati ya mwezi wa pili wa kalenda ya magharibi. + +# mwaka wa sita + +Mfalme dario amekuwa akiongoza kwa miaka mitano, hivyo sasa katika mwaka wa sita wa kutawala kwake. + diff --git a/ezr/06/16.md b/ezr/06/16.md new file mode 100644 index 00000000..f22cef77 --- /dev/null +++ b/ezr/06/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# waliobaki wa uamisho + +Hawa watu wameshikwa na kupelekwa Babeli. lakini walirudi Yerusalem. AT:"baadhi ya watu waliochukuliwa mateka kwenda Babeli na waliorudi yerusalem" au "baadhi ya watu waliorudi kutoka matekani" + +# ngombe mia moja...kondoo mia nne + +"100 ngombe...400 kondoo + +# kuwapa wajibu makuhani na walawi kufanya mgawanyo + +jina "mgawanyo wa kazi" unaweza kuelezewa katika msemo "kugawanya kazi katika vikundi" AT: "kugawanya makuhani na walawi katika vikundi vya kazi" + +# mgawanyo wa kazi + +"vikundi ambavyo vinafanya kazi pamoja" + diff --git a/ezr/06/19.md b/ezr/06/19.md new file mode 100644 index 00000000..8801ca0f --- /dev/null +++ b/ezr/06/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza + +Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi na nne ni karibu ya mwanzo wa mwezi wa nne kwa kalenda ya magharibi + +# wakajitakasa wenyewe + +"wakajiweka kuwa safi wenyewe" kuwa safi inaonyesha kukubaliwa na Mungu. AT:"wakajiweka kukubalika kwa Mungu" + diff --git a/ezr/06/21.md b/ezr/06/21.md new file mode 100644 index 00000000..62a6c65a --- /dev/null +++ b/ezr/06/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# wakajitenga wenyewe kutoka kwa watu wasio safi wa nchi + +Kujitenga wenyewe kutoka kwa wasio safi inaonyesha kukataa kufanya vitu ambavyo mtu kutokuwa safi. AT:"Kukataa kufanya vitu ambavyo watu wa nchi wakifanya huwafanya wao kutokuwa safi" + +# kutokuwa safi kwa watu wa nchi + +Hapa"kutokuwa safi" inawakilisha kutokukubaliwa na Mungu. AT:"vitu ambavyo watu wa nchi walivifanya na ikawafanya wasikubaliwe na Mungu" + +# kumchagua Yahwe + +Kumtafuta Yahwe inaonyesha kuchagua kumjua, kuabudu na kumtii yeye. AT:"kuchagua kumtii Yahwe" + +# kubadilisha moyo wa mfalme wa Ashuru + +Kubadilisha moyo wa Mfalme inaonyesha kumfanya yeye kufikiri tofauti kuhusu kazi ya hekalu. AT:"kubadilisha tabia ya mfalme wa Ashuru" au "kufanya mfalme wa Ashuru ku kutenda" + +# kuwatia nguvu mikono katika kazi ya nyumba yake + +kuwatia nguvu mikono yao katika kazi inaonyesha kuwasaidia wao kufanya kazi.Mfalme wa Ashuru alifanya hivi kwa kuwaabia wao kufanya kazi na kutoa fedha kwa ajili hiyo.AT:"kuwasaidia wao kufanya kazi ya nyumba yake" au "kufanya iwezekane kazi ya nyumba yake" + +# kazi ya nyumba yake + +Hii inamaanisha kujenga hekalu + diff --git a/ezr/07/01.md b/ezr/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..c6757f18 --- /dev/null +++ b/ezr/07/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +ukoo wa Ezra unaenda mpaka kwa kuhani wa kwanza Haruna + +# Ezra akaja kutoka Babeli + +Ezra kuja juu inaweza kutafsiriwa vizuri. AT:"Ezra akaja Yerusalem kutoka Babeli" + +# Seraya + +Tafsiri jina hili kama ulivyofanya katika 2:1 + +# Shalumu + +Tafsiri jina la mtu huyu kama ilivyofanya katika 2:40 + +# azaria,Hilkia,...Sadoki,Ahitubu,Amaria,Azaria,Merayothi,Zerahia,Uzi,Buki,Abishua,Fineasi,eliazari + +Hii orodha ni majina wanaume wote. + diff --git a/ezr/07/06.md b/ezr/07/06.md new file mode 100644 index 00000000..1471ae9d --- /dev/null +++ b/ezr/07/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mfalme akampa kila kitu alichoomba + +"Mfalme akampa Ezra chochote alichoomba kwake" + +# mkono wa Yahwe ulikuwa pamoja naye + +"mkono" wa Yahwe unawakilisha baraka za Yahwe au kusaidia. AT:"baraka za Yahwe zilikuwa pamoja na Ezra" au "Yahwe alikuwa akimbariki Ezra" + +# katika mwaka wa saba wa mfalme Artashasta + +Hii inarejea mwaka wa saba wa kutawala kwake. AT:"katika mwaka wa saba ambao mfalme alikuwa Artashasta" + diff --git a/ezr/07/08.md b/ezr/07/08.md new file mode 100644 index 00000000..fc6129f5 --- /dev/null +++ b/ezr/07/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# mwezi wa tano + +Huu ni mwezi wa tano kalenda ya Kiebrania. ni kipindi cha mwisho cha mwezi wa saba na sehemu ya awali ya mwezi wa nane katika kalenda ya Magharibi + +# siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza + +Hii ni karibu katikati ya mwezi wa tatu katika kalenda ya Magharibi + +# siku ya kwanza ya mwezi wa tano + +Hii ni karibu ya katikati ya mwezi wa sabakatika kalenda ya magharibi + +# mkono mzuri wa Mungu + +"mkono" inaonyesha nguvu au uongozi ambao Mungu anatumia kwa matokeo mazuri. + +# Ezra akaendeleza moyo wa kujisomea + +Kuendeleza moyo inamaanisha kuamua au kujitoa yeye binafsi kufanya kitu fulani. AT:"ezra alijitoa maisha yake katika kusoma" + +# kutoa nje + +"kutii" + +# maagizo na sheria za Yahwe + +Hizi ni sheria ambazo Mungu alizileta kwa Waisrael kwa kumtumia Musa + diff --git a/ezr/07/11.md b/ezr/07/11.md new file mode 100644 index 00000000..0c24954c --- /dev/null +++ b/ezr/07/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hili lilikuwa agizo + +ujumbe uliofuata maelezo lilikuwa agizo lililotolewa na mfalme Artashasta + +# Mfalme wa wafalme Artashasta + +"Mfalme wa wafalme" ulikuwa ni wasifu, ukiwa unamaanisha kwamba alikuwa mkuu wa wafalme, mfalme ambaye wafalme wengine walimtii. AT:"Mfalme mkuu Artashasta" au "Artashasta, mkuu mfalme" + +# Ninatoa amri kwamba mtu yeyote....ambaye anatamani kwenda Yerusalem + +Katika siku zile watu walipenda ruhusa kutoka kwa mfalme kurekebisha na kujenga katika eneo zamani liliharibiwa na wavamizi wa taifa jingine. + +# wanaweza kwenda pamoja na wewe + +Neno "wewe" linamaanisha Ezra. + diff --git a/ezr/07/14.md b/ezr/07/14.md new file mode 100644 index 00000000..a87999e7 --- /dev/null +++ b/ezr/07/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya kuhusisha + +Hii inaendelea na agizo la mfalme Artashasta alilompa ezra + +# Mimi, mfalme, na washauri wangu saba + +neno "mimi" na msemo "Mfalme" linamaanisha mtu huyo huyo. Mfalme anakumbusha watu ambao watasikia barua kwamba yeye ndio mhusika wa hiyo barua. + +# kufahamu kuhusu Yuda na Yerusalem kuhusiana na sheria ya Mungu + +kitu ambacho walitakiwa kuhulizia kinaweza kuelezewa vizuri zaidi. AT:"kuchunguza mwenendo katika Yuda na Yerusalem, ili kujifunza endapo au awatii sheria za Mungu" + +# Inakupasa kuleta dhahabu na fedha + +Kitu walichoambiwa kuleta kinaweza kuelezwa vizuri.AT:"Inakupasa kuleta Yerusalem fedha na dhahabu" + +# fedha na dhahabu ambazo walitoa kwa hiari + +"Hiari" inamaanisha hawakulazimishwa kutoa fedha. Walitoa kwa sababu walitaka. AT:"dhahabu na fedha ambazo walihiari kutoa" + +# Kitu gani cha hiari kilichotolewa na watu pamoja na makuhani + +Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. AT:"Kitu gani watu na makuhani walitoa kwa hiari" + diff --git a/ezr/07/17.md b/ezr/07/17.md new file mode 100644 index 00000000..5850e7b5 --- /dev/null +++ b/ezr/07/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# maelezo ya kuhusisha + +Hii inaendelea na agizo ambalo mfalme Artashasta alimpa Ezra + +# Basi ununue vyote...sadaka + +msemo"vyote" inamaanisha vingi na vya muhimu kumalizia kazi. Walipaswa kutumia dhahabu na fedha kununua vyote vinavyohitajika ili kumwabudu mungu katiak hekalu. AT:"Nunua vingi kondoo, beberu,unga na sadaka ya vinywaji kama inavyohitajika" + +# wewena ndugu zako + +Msemo "ndugu zako" inamaanisha watu ambao walifanya kazi pamoja na Ezra. AT:"watumishi wenzako" au "washirika wako" + diff --git a/ezr/07/19.md b/ezr/07/19.md new file mode 100644 index 00000000..54d61a80 --- /dev/null +++ b/ezr/07/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya kuhusisha + +hii inaendeleza agizo ambalo mfalme Artashasta alimpa Ezra. + +# vitu ambavyo ulipewa kwa hiari wew + +Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"Vitu ambavyo tumevitoa kwa hiari kwako" + +# Viweke vitu...mbele yake yeye + +Neno "yeye" linamaanisha Mungu + +# kwa huduma ya nyumba ya Mungu wako + +Neno "huduma" linaweza kuelezwa kwa kitendo "kuhudumia" au "kutumia" "kazi" au "kuabudu" AT:"kutumia katika nyumba ya Mungu wako" au :kutumika katika nyumba ya Mungu wako" + +# hazina + +sehemu ya usalama ambapo fedha inatunzwa + diff --git a/ezr/07/21.md b/ezr/07/21.md new file mode 100644 index 00000000..6326ff94 --- /dev/null +++ b/ezr/07/21.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya kuhusisha + +Hii inaendelea na agizo ambalo mfalme Artashasta alimpa Ezra + +# mji ngambo ya mto + +Hili ni jina la mji ambao ulikuwa magharibi mwa mto Efrati. Ilikuwa ni kuvuka mto kutoka mji wa Susa. Angalia ulivyotafsiri katika 4:9 + +# Chochote ambacho Ezra ataomba kwenu anapaswa kupewa chote + +Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. "Mpeni Ezra chote anacjooomba kwenu" + +# anapaswa kupewa chote + +Msemo "chote" hapa inamaanisha vyovyote muhimu vya kufanyia kazi. AT:"anapaswa kupewa vingi kadri anavyohitaji" + +# talanta mia moja za fedha + +"talanta 100 za fedha" Unaweza kuthamanisha hii kwa kiwango cha sasa. AT:"3,400 talanta za fedha" au "tani tatu na nusu" + +# vipimo miavya ngano + +Unaweza kuthamnisha katika kipimo cha sasa. 22,000 lita za ngano" au "ishirini na mbili elfu lita za ngano" + +# bathi mia za mafuta + +Unaweza kuzibadilisha katika kipimo cha sasa. AT:"22,000 lita za mafuta" au "lita elfu mbili za mafuta" + +# nyumba yake + +Hii inamaanisha hekalu la Mungu + +# Kwa nini hasira yake ije kwenye ufalme wangu na watoto wangu? + +Mfalme anatumia swali hili kusema kwamba hataki hasira ya mungu ifike kwao. Hii inaonyesha kwamba wasipompa ezra kile ambacho ametaka, ndipo Mungu ataupiga ufalme. AT:"Kwa kuwa hatutaki hasira ya Mungu ije kwetu katika ufalme wangu na watoto" au "kwa kuwa usipofanya vitu hivi , hasira ya Mungu itakuja juu ya ufalme wako na watoto wako" + +# Kwa nini hasira yake ije ufalme wangu na watoto wangu + +Hasira ya Mungu inamaanisha Mungu kuwaadhibu wao.AT:"Kwa nini Mungu kuadhibu ufalme wangu na watoto" au :Kwa kuwa usipofanya vitu hivi, Mungu ataadhibu ufalme wangu na watoto" + diff --git a/ezr/07/24.md b/ezr/07/24.md new file mode 100644 index 00000000..423a78bc --- /dev/null +++ b/ezr/07/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya kuhusisha + +Hii inaendelea kuhusisha agizo ambalo mfalme Artashasta alimpa Ezra. + +# Tutawapa taarifa wao kuhusu ninyi kwamba wasiwatoze ushuru au kodi + +"Tumewaambia wao wasiwatoze ushuru au kodi" + +# mwanamuziki + +watu wanaopiga vifaa vya muziki + diff --git a/ezr/07/25.md b/ezr/07/25.md new file mode 100644 index 00000000..7185b1ec --- /dev/null +++ b/ezr/07/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya kuhusisha + +Huu ni mwisho wa agizo la mfalme Artashasta alimpa Ezra + +# kwa hekima aliyokupa Mungu, inakulazimu kuteua waamuzi na mtu muelewa + +Jina "hekima" inaweza kuelezwa kwa neno "busara" na "hekima" AT:"Mungu amekupa hekima, hivyo hekima utateua waamuzi na mtu muelewa" + +# ikiwezekana kwa kifo, kuhamishwa, kuchukuliwa mali zake au kufungwa. + +jina linaweza kutafsiriwa kama kitendo. AT:"uenda kwa kuwaua wao,kuwahamisha,kutowesha vitu vyao, au kuwafunga wao" "unaweza kuwaua wao, kuwafukuza wao, kuchukua vitu wanavyomiliki au kuwaweka gerezani" + diff --git a/ezr/07/27.md b/ezr/07/27.md new file mode 100644 index 00000000..8c698918 --- /dev/null +++ b/ezr/07/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya kuhusisha + +Ezra anamtukuza Mungu kwa sababu ya agizo la mfalme Artashasta + +# aliweka ndani ya moyo wa mfalme ili kumtukuza nyumba ya Yahwe katika Yerusalem + +kuweka vitu ndani ya moyo wa mfalme inamaaanisha kusababisha yeye kuwa mawazo na matakwa. AT:"kusababisha mfalme kutaka kumtukuza nyumba ya Yahwe katika Yerusalem + +# Nyumba ya Yahwe + +Hii inamaanisha hekalu la Yahwe + +# Nilitiwa nguvu + +kutiwa nguvu inamaanisha kutiwa moyo. AT"Nimetiwa moyo" + +# kwa mkono wa Yahwe Mungu wangu + +Hapa mkono wa Mungu inamaanisha alichokifanya kumsaidia Ezra. AT:"kwa sababu Yahwe amenisaidia mimi" + diff --git a/ezr/08/01.md b/ezr/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..73e0aa2f --- /dev/null +++ b/ezr/08/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Kuna badiliko la umiliki kuanzia hapa. Sura ya 1 - 7 iliandikwa kana kwamba mhusika alikuwa akiandika kuhusu Ezra. Sura ya 8 iliandikwa kana kwamba mhusika ni Ezra + +# Taarifa kwa ujumla + +Mstari 2 - 14 ni orodha ya viongozi na watangulizi wao. Wote walikuwa ni wanaume + +# mwana wa Finehasi, Gershoni + +Hii ni kitu cha kwanza katika orodha. Inaweza kuandikwa pamoja na kitenzi "ilikuwa" AT:"Kiongozi wa wana wa Finehasi alikuwa Gershoni" au "Gershoni alikuwa kiongozi wa wana wa Finehasi" + +# wana wa Ithamari,Daniel + +Hiki ni kitu cha pili katika orodha. Kinaweza kuandikwa kwa kitendo "ilikuwa" AT:"Kiongozi wa wana wa Ithamari alikuwa Daniel" au "Daniel alikuwa kiongozi wa wana wa Ithamari" + +# Paroshi + +Tafsiri jina la huyu mtu kama ulivyofanya katika 2:3 + +# mwana wa Daudi, ambao walikuwa... Paroshi na Zakaria + +Hii ni kitu cha tatu katika orodha. inaweza kuandikwa kama kitendo "walikuwa" AT:"Viongozi wa wana wa Daudi walikuwa Hatishu ambaye alikuwa Paroshi na Zakaria" au "Kiongozi wa wana wa Daudi walikuwa Hatishu na Zakaria. Hatishu alikuwa kutoka ...Paroshi" + +# pamoja na yeye walikuwa 150 wanaume waliorodheshwa katika kumbukumbu ya ukoo. + +"pamoja na Zakaria walikuwa 150 wanaume waliorodheshwa katika kumbukumbu ya ukoo" + diff --git a/ezr/08/04.md b/ezr/08/04.md new file mode 100644 index 00000000..45d55cac --- /dev/null +++ b/ezr/08/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Orodha ya majina ya wanaume yanaendelea + +# wana wa Pahath-Moab,Eliehoenai mwana wa Zerahia + +"Elihoenai mwana wa Zerahia alikuwa kiongozi wa wana wa Pahath Moab" + +# na pamoja naye kulikuwa wanaume mia mbili + +"na pamoja Eliehoenai kulikuwa wanaume mia mbili" + +# Zerahia + +Tafsiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya katika 7:1 + +# Shekania + +Tafsiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya katika 8:1 + +# adini + +Tafsiri jina hili kama ulivyofanya katika2:15 + +# mia mbili...mia tatu...hamsini...sabini + +"200...300...50...70" + diff --git a/ezr/08/08.md b/ezr/08/08.md new file mode 100644 index 00000000..069cb79f --- /dev/null +++ b/ezr/08/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Orodha ya majina ya wanaume inaendelea + +# wana wa Shephatia,Zebadia mwana wa Mikaeli + +Hiki ni kitu cha pili katika orodha. Kinaweza kuandikwa pamoja na kitendo "ilikuwa." AT:"Kiongozi wa wana wa Shephatia alikuwa Zebadia mwana wa Mikaeli" au "Zebadia mwana wa Mikaeli alikuwa ni kiongozi wa wana wa Shephatia" + +# Shephatia + +Tafsiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya katika 2:3 + +# Mikaeli + +Hili ni jina la mtu. + +# na pamoja naye walikuwa wameorodheshwa wanaume themanini + +"na pamoja na Zebadia walikuwa wameorodheshwa wanaume themanini" + +# Bebai + +Tafsiri hii kama ulivyofanya katika 2:11 + +# themanini...ishirini...nane + +nane**- "80...28" + diff --git a/ezr/08/12.md b/ezr/08/12.md new file mode 100644 index 00000000..88710752 --- /dev/null +++ b/ezr/08/12.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Huu ni mwisho wa orodha ya majina ya wanaume + +# wana wa Azgadi,Yohana mwana wa Hakatani + +Hii ni kitu kinachofuata katika orodha. Inaweza kuandikwa pamoja na kitenzi "ilikuwa" AT:"Kiongozi wa wana wa Azgadi alikuwa Yohana mwana wa Hakatani" au "Yohana mwana wa Hakkatani alikuwa kiongozi wa wana wa Azgadi" + +# na pamoja naye walikuwa wameorodheshwa wanaume 110 + +"na pamoja na Yohana waliorodheshwa wanaume 110" + +# Wale wa wana wa adinikamu + +Neno "wale" linamaanisha viongozi. AT:"Viongozi wa wana wa Adonikamu" + +# AZgadi + +Tafsiri jina hili la mtu kama ulivyofanya katika 2:11 + +# Adonikamu + +Tafsiri jina hili la mtu kama ulivyofanya katika 2:11 + +# Bigvai + +Tafsiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya katika 2:1 + +# sitini...sabini + +"60...70" + diff --git a/ezr/08/15.md b/ezr/08/15.md new file mode 100644 index 00000000..b152c071 --- /dev/null +++ b/ezr/08/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Neno "mimi" katika sura 8 linamaanisha Ezra. Yeye ni mhusika. + +# Taarifa kwa ujumla + +Mstari 16 unajumuisha orodha ya majina ya wanaume + +# mto uliyokuwa unaelekea Ahava + +Maana inaweza kuwa kwamba "bandari" ilkuwa 1)njia ya maji ambayo watu walitengeneza au 2) mto wa kawaida. Inaweza kutafsiriwa kwa njia moja ya ujumla. AT:"njia ya maji ambayo inaelekea Ahava" + +# Ahava + +Hili ni jina la eneo + +# Shemaya + +Tafssiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya katika 8:12 + +# Elnathani...Elnathani...Elnathani + +Kulikuwa na uwezekano wanaume watatu pamoja waliofanana majina. + diff --git a/ezr/08/17.md b/ezr/08/17.md new file mode 100644 index 00000000..1f460c13 --- /dev/null +++ b/ezr/08/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ido + +hili ni jina la mtu + +# Kilichofuata niliwatuma wao kwa Ido + +Neno "wao" linamaanisha viongozi tisa na walimu wawili walioandikwa katika 8:15. AT:"kilichofuata niliwatuma wale wanaume kwa Ido" + +# Kasifia + +Hili ni jina la eneo + +# niliwaambia wao chakusema kwa Ido..kwamba , kutumakwetu watumishi kwa ajili ya nyumba ya Mungu + +Neno "kwamba" linaonyesha kuwa aliwaambia wao kusema. AT:"Niliwaambia wao kumwambia Ido...kutuma kwetu watumishi kwa ajili ya nyumba ya Mungu" + diff --git a/ezr/08/18.md b/ezr/08/18.md new file mode 100644 index 00000000..773ff8a8 --- /dev/null +++ b/ezr/08/18.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# sherebiah...Mali...Hashabiah...Yeshaya...Merari + +Haya ni majina ya wanaume + +# Hivyo wakatutuma sisi kwa Mungu na mkono mzuri wa mtu + +Mungu "mkono mzuri" unawakilisha ukarimu wake katika kuwapatia wao. AT:"Kwa sababu Mungu alikuwa mwema kwetu,walituma kwetu mtu" + +# mtu makini + +huyu ni mtu mwenye ufahamu na hekima. + +# mwana wa Levi mtoto wa Israeli + +Hapa "Israel" ni jina la mtu. Ni jina ambalo Mungu alimpa Yakobo. + +# kumi na nane...ishirini + +18,20. + +# Yeshaya + +Tafsiri jina hili kama ukatika 8:4 + +# maofisa + +watu ambao wana mamlaka maalum katika muundo wa Serikali + diff --git a/ezr/08/21.md b/ezr/08/21.md new file mode 100644 index 00000000..0ff55c7e --- /dev/null +++ b/ezr/08/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mto wa Ahava + +Hili ni jina la bandari ambayo elekeza maji eneo linaloitwa Ahava. Angalia ulivyotafsiri Ahava na bandari katika 8:15. + +# kutafuta njia ilinyooka kutoka kwakwe kwa ajili yetu,watoto wadogo na mali zetu zote + +Neno "kutafuta" inamaanisha kumwomba Mungu afanye kitu kwa ajili yao. Hapa "njia iliyonyooka" inawakilisha usalama wakati wanasafiri. AT:"tunapomwomba Mungu kutupa sisi, wadogo zetu, na mali zetu usalama wakati wa safari" au "Kumwomba Mungu kutulinda sisi, wadogo zetu na mali zetu zote wakati tunasafiri" + +# Mkono wa Mungu wetu uko pamoja na wale wanaomtafuta + +mkono wa Mungu unapokuwa pamoja na watu ni msemo kuwa Mungu husaidia watu. Kumtafuta Mungu ni msemo kuwa kumtumikia yeye" AT:"Mungu husaidi wote a,bao wanamtumikia yeye" + +# lakini uweza wake na ghazabu yake ni juu ya wale wote wanaomwasi yeye + +Uwezo wa Mungu na gjazabu kuwa juu ya watu ni msemo kwake kuwa atawaadhibu watu. kumsahau Mungu ni msemo kwamba kukataa kumtumikia yeye. AT:"lakini yeye hutoa adhabu kwa wote ambao wanakataa kumtumikia yeye" + +# Hivyo tulifunga na kumsihi Mungu kwa jambo hili + +Hapa kumtafuta mungu ni msemo wa kumwomba mungu afanye kitu kwa ajili yao. AT:"Hivyo tulifunga na kumwomba Mungu atusaidie sisi" + diff --git a/ezr/08/24.md b/ezr/08/24.md new file mode 100644 index 00000000..8654a82d --- /dev/null +++ b/ezr/08/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sherabia,Hashabia + +Tafsiri majina haya ya wanaume kama ulivyofanya katika 8:18 + diff --git a/ezr/08/26.md b/ezr/08/26.md new file mode 100644 index 00000000..2b8443e8 --- /dev/null +++ b/ezr/08/26.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# 650 talanta za fedha + +"650 talanta za fedha," Unaweza kuibadilisha hii katika kipimo cha sasa. AT:"22,000 kilogram za fedha" au "ishirini na mbili elfu kilogram za fedha" + +# talanta mia moja za vyombo vya fedha + +Unaweza kubadilisha hii katika kipimo cha sasa. AT:"3,400 kilogram vyombo vya fedha" + +# talanta mia moja za dhahabu + +Unaweza kuibadili hii katika kipimo cha sasa. AT:"3,400 kilogram ya dhahabu" + +# elfu moja darkoni + +"darkoni"ilikuwa ni salafu ndogo ya dhahabu ambayo watu wa utawala uajemi waliitumia. Unaweza kutafsiri kwa idadi ya salafu au kwa uzito wake. AT:"Salafu elfu moja za dhahabu ya Uajemi au "kilogram nane na nusu za dhahabu" + +# vyombo vilivonakshiwa + +Vyombo vilivyonakshiwa ni mchanganyiko wa shaba na chuma. Ina uimara zaidi ya shaba + diff --git a/ezr/08/28.md b/ezr/08/28.md new file mode 100644 index 00000000..7fd8acb6 --- /dev/null +++ b/ezr/08/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ndipo nikasema kwao + +"Ndipo nikawaambia maofisa kumi na mbili wa kikuhani" + +# ndipo mtakapovipima mbele ya makuhani,walawi na viongozi + +Walipofika Yerusalem , walipima fedha, dhahabu na vyombo ili kuonyesha kwamba hawakuchukua chochote kwa ajili yao binafsi. + +# Makuhani na Walawi + +Kulingana na sheria ya Musa, kabila la Levi walikuwa na kazi ya kutunza hekalu, mali zake pamoja na sadaka. + diff --git a/ezr/08/31.md b/ezr/08/31.md new file mode 100644 index 00000000..77b9e7d6 --- /dev/null +++ b/ezr/08/31.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Tukatoka kwenda mto Ahava + +"Tuliuacha mto Ahava" au "Tulianza kusafiri kutoka mto Ahava" + +# Mto Ahava + +hili ni jina la mto ambao unaosafiri kwenda sehemu inayoitwa ahava. Tafsiri hii kama ulivyofanya katika 8:21 + +# siku ya kumi na mbili ya mwezi wa kwanza + +Hii ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya kiebrania. Siku ya kumi na mbili ya karibu ya mwisho wa mwezi wa tatu kalenda ya magharibi. + +# Mkono wa Mungu ulikuwa juu yetu + +Mkono wa Mungu kuwa juu ya watu ni msemo wa Mungu kusaidia watu. AT:"Mungu alikuwa akitusaidia sisi" + +# alitulinda kutoka kwenye mikono ya adui na wale...njiani + +Mkono unawakilisha kile ambacho watu wangefanya. Inawalenga wao kuvamia kikundi ambacho walikuwa wanasafiri. AT:"alitulinda sisi kutokana na uvamizi wa adui na wale ambao walitaka kutuzuru tukiwa njiani" au " Aliwazuia maadui kutuvamia sisi na aliwazuia wanyanganyi kutotuzuru sisi tukiwa njiani" + +# wale waliotaka kutunfanyia fujo sisi + +Hii inamaanisha wezi na wanyanganyi ambao walitaka kuwavamia wao kwa kuchukua fedha. + diff --git a/ezr/08/33.md b/ezr/08/33.md new file mode 100644 index 00000000..5ff04066 --- /dev/null +++ b/ezr/08/33.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# fedha,dhahabu na vyombo vilipimmwa nje + +Hii inweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"maofisa kumi na wawili wa kikuhani walipima fedha,dhahabu na vyombo. + +# waliweza kupima nje...kwamkono wa Meremothi + +waliweza kupima nje..kwa mkono wa meremothi + +# Meremothi...Uriah...Eleazari...Phineasi...Yozabadi...Yoshuhua....Noadia..Binui + +Haya ni majina ya wanaume + +# Yoshua + +Tafsiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya katika 2:3 + diff --git a/ezr/08/35.md b/ezr/08/35.md new file mode 100644 index 00000000..677fa015 --- /dev/null +++ b/ezr/08/35.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Wale waliorudi kutoka mateka...watu wa kifungoni + +Hii misemo miwili inamaanisha wayahudi ambao walikuwa wakiishi Babeli utumwani na ambao walitoka Babeli na kurudi Yerusalem katika Yuda. AT:"wale waliorudi Yerusale kutoka kifungoni Babeli, watu wa matekani" + +# kumi na mbili...tisini...sita...sabini na saba...kumi na mbili + +sita...sabini-saba...kumi na mbili** "12...96...77...12" + +# maofisa katika mji ngambo ya mto + +Hawa walikuwa ni maofisa wa Babeli waliokuwa wakiongoza watu magharibi ya mto Efrati, pamoja na watu walioishi Yuda. + +# mji ngambo ya mto + +hili ni jina la mji ambao ulikuwa magharibi ya mto Efrati. Ilikuwa ni kuvuka mto kutoka mji wa Susa. Ilijumuisha Yuda. angalia ulivyotafsiri katika 4:9 + +# Nyumba ya Mungu + +hekalu + diff --git a/ezr/09/01.md b/ezr/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..8c92a4ee --- /dev/null +++ b/ezr/09/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hawakuweza kujitenga wenyewe + +wameoana na watu kutoka nchi nyingine na wamefuata dini zao + diff --git a/ezr/09/03.md b/ezr/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..652a5e08 --- /dev/null +++ b/ezr/09/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Niliposikia haya + +Ezra aliposikia kwamba Waisraeli wengi wameoa wanawake wa kigeni na walikuwa wakiabudu miungu yao + +# nikachana nguo zangu na kanzu yangu na kunyoa nwele kichwani na ndevu + +Ezra alikuwa akionyesha kila mmoja jinsi asivyopendezwa na watu walivyofanya mamboyaliyomchukiza Mungu + +# sadaka za jioni + +sadaka ambayo makuhani wangeitoa kipindi ambacho jua linazama + diff --git a/ezr/09/05.md b/ezr/09/05.md new file mode 100644 index 00000000..3b93cec8 --- /dev/null +++ b/ezr/09/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nafasi yangu nikiwa mnyenyekevu + +njia nyingine ya kusema yeye alikuwa "alikaa na aibu"(9:3). "nilipokuwa nimekaa kwenye kiwanja chini kuonyesha aibu niliyokuwa nayo" + +# nikapiga na kunyooosha mikono yangu + +"nikatoka na magoti yangu na kujinyoosha viungo nikiwa nimenyoosha mikono kuelekea angani + +# makosa yetu yamekuwa hadi kuvuka kichwani na maovu yetu yameongezeka kufika mbinguni + +Haya maneno yana jinsi mbili ya kuyaongea makosa na maovu kana kwamba ni mwili abao unaweza kukuwa na kuongezeka kama watu. Majina "makosa" na "maovu" yanaweza kuelezekeza kama jina na kivumishi. AT:"sisi tumetenda maovu na tuna makosa" + diff --git a/ezr/09/07.md b/ezr/09/07.md new file mode 100644 index 00000000..c3cb159e --- /dev/null +++ b/ezr/09/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# siku za watangulizi wetu + +"wakati ambapo watangulizi wetu walikuwa hai" + +# katika maovu makuu...katika makosa yetu + +Neno "maovu" na "makosa" yanaweza kutafsiriwa kama kitenzi na kitendo, respectively. AT:"maovukweli...Kwa sababu ya uovu tulioufanya: + +# sisi...tulikabidhiwa kwenye mikono ya mfalme + +Hii inaweza kutafsiriwa kwenye mfumo hai.AT:ulitupa sisi...kwenye mikono ya mfalme" + +# kwa upanga + +Upanga ni msemo wa watu kuua watu wengine. Mungu aliruhusu watu kuwaua wayahudi. + +# matekani + +Hili jina linaweza kutafsiriwa kama kitendo. Mungu aliruhusu watu kuwakamata wayahudi na kuwachukua na kuwapeleka. + diff --git a/ezr/09/08.md b/ezr/09/08.md new file mode 100644 index 00000000..dcab75f2 --- /dev/null +++ b/ezr/09/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# neema kutoka kwa Yahwe Mungu wetu imekuja + +Mungu ameamua kuonyesha rehema imesemwa kwetu ikiwa neema angekuwa mtu ambaye anaweza kutembea. AT:"Yahwe Mungu wetu ameamua kuwa mwenyerehema kwetu na" + +# ameendeleza agano kwa uaminifu kwa ajili yetu + +Agano la uaminifu limesemwa kana kwamba ni kitu ambacho mtu anaweza kukishirikilia mkononi mwake na kukigawa kwa mtu mwingine kukichukua. AT:"alitoa ili iwe uaminifu kwetu sisi na kutunza Agano lake" + +# mbele ya macho kwa mfalme wa Uajemi + +Kiualisia mfalme asingeweza kuona hekalu, lakini alijua kuhusu kilichokuwa kinatokea katika Yerusalem. Hapa "macho" ni msemo kwa kile ambacho mtu anafahamu. AT:"Hivyo mfalme wa Uajemi alijua kuhusu hilo" + +# Nyumba ya Mungu + +hekalu + +# atatupatia sisi msingi salama + +Msingi ambao utawaweka watu salama ni fumbo kwa Yahwe atawalinda watu wake. AT:"atatulinda sisi salama" + diff --git a/ezr/09/10.md b/ezr/09/10.md new file mode 100644 index 00000000..3b9f00d1 --- /dev/null +++ b/ezr/09/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwa wakati wote + +"mpaka mwisho wa wakati" + diff --git a/ezr/09/13.md b/ezr/09/13.md new file mode 100644 index 00000000..bfb68c49 --- /dev/null +++ b/ezr/09/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# matendo yetu maovu na makosa yetu makuu + +najina :maovu" na "makosa" yanaweza kutafsiriwa kama majina na kivumishi. AT:"kwa sababu ya mambo mabaya tuliyofanya na kwa sababu tulikuwa na makosa" + +# hukutazama makosa yetu na kutuadhibu tulivyostahili na kutuacha kama mabaki + +"ulikuwa na haki kama ungetuangamiza sote, lakini ukutuadhibu na matokeo yake ukatuacha tukiwa hai" + +# tunaweza kuvunja tena amri zako na kufanya...watu? + +Hii inaweza kutafsiriwa kama maelezo.AT: "hili ni kosa kubwa sana kwamba baadhi tumevunja amri zako na kufanya ...watu." + +# huwezi kuwa na hasira....kutoroka? + +Hii inaweza kutafsiriwa kama maelezo.AT:"ninaogopa kwamba utachukia....kutoroka" + diff --git a/ezr/09/15.md b/ezr/09/15.md new file mode 100644 index 00000000..93cb7b8f --- /dev/null +++ b/ezr/09/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Angalia + +"Kuwa makini kwa kile ambacho nataka kusema" + +# Tuko mbele yako na makosa yetu + +"Utaona kwamba sisi sote tuna makosa" + +# hakuna hata mmoja anayeweza kusimama mbele yako + +"hufikiri kwamba mtu yeyote ana kosa" + diff --git a/ezr/10/01.md b/ezr/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..5736ed92 --- /dev/null +++ b/ezr/10/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Akiwa Ezra anaomba na kutubu...akajirusha mwenyewe chini + +Ezra anajiongelea mwenyewe kana kwamba alikuwa mtu mwingine + +# akajirusha mwenyewe chini + +upesi kutoka katika hali ya kusimama na kuwa hali ya kulala uso ukiangalia chini + +# mbele ya nyumba ya Mungu + +mbele ya hekalu + +# Shekania + +Kama ilivyotafsiriwa katika 8:4 + +# Yehieli + +Kama ilivyotafsiriwa katika 8:8 + +# Tumekuwa sio waaminifu kwa Mungu wetu + +Hii ilifanywa kama toba ya hadharani, sio madai ya kujivuna + diff --git a/ezr/10/03.md b/ezr/10/03.md new file mode 100644 index 00000000..58ef9ff1 --- /dev/null +++ b/ezr/10/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sisi tuko pamoja nawe + +"sisi tutakusaidia wewe" + diff --git a/ezr/10/05.md b/ezr/10/05.md new file mode 100644 index 00000000..0097f8b9 --- /dev/null +++ b/ezr/10/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yehohanani...Eliashibu + +Haya ni majina ya wanaume + diff --git a/ezr/10/07.md b/ezr/10/07.md new file mode 100644 index 00000000..e6181f33 --- /dev/null +++ b/ezr/10/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yeyote ambaye hakuja...atachukuliwa mali zote na kutengwa + +" KTN: " Nitawaambia hekima hutoka wapi na mahali ufahamu ulipo" au "nitawaambia jinsi ya kuwa na busara na namna ya kujifunza vitu vya ufahamu" + +# Basi hekima hutoka wapi + +hekima inaongelewa kana kwamba ipo mahali fulani na huwajia watu. hii inamaanisha watu kujipatia busara. KTN: "Basi watu hupata wapi hekima" au "basi namna gani watu hupata busara" + +# Mahali pa ufahamu ni wapi + +Ufahamu umeongelewa kama kitu ambacho kipo hali. KTN: "Watu hupata wapi ufahamu" au "namna gani ya watu hufahamu vitu" + +# hekima imefichwa kutoka kwenye macho ya viumbe hai vyote + +Viumbe hai haviwezi kuiona hekima. KTN: "Hakuna kiumbe hai chenye kuweza kuiona hekima" + +# na imefichwa kutoka kwa ndege wa mbinguni + +"hata ndege ambao huruka katika anga hawawezi kuona hekima" + +# uharibifu na mauti husema + +hapa "uharibifu" na "mauti" ni tamathali kwa sehemu ambapo watu huelekea wakati wanapofariki. + diff --git a/job/28/23.md b/job/28/23.md new file mode 100644 index 00000000..c874d3ac --- /dev/null +++ b/job/28/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mungu inaifahamu njia yake; anapajua mahali pake + +"Mungu anajua jinsi ya kuipata hekima. Anajua mahali ilipo" + +# miisho ya nchi + +"sehemu za mbali za dunia" + +# aliyagawa maji kwa vipimo + +Mungu hufanya maamuzi ni maji kiasi gani yanapaswa kuwepo kwa kila sehemu. KTN: "aliamua ni maji kiasi gani yanapaswa kuwepo kwa kila sehemu" au "ameweka kiwango cha maji ambacho alikipanga kwa kila sehemu" + diff --git a/job/28/26.md b/job/28/26.md new file mode 100644 index 00000000..0dda670a --- /dev/null +++ b/job/28/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# na njia kwa mwanga wa radi + +maana yaake 1) aliamua namna yamapigo ya mwanga au 2) aliamua mahali pa kuelekea ngurumo za radi. + +# Hofu ya Bwana -ni hekima + +"hofu" au "heshima" KTN: " ukimheshimu Bwana- utakuwa na busara" + +# kujitenga na uovu ni ufahamu + +KTN: "Kukataa kutenda vitu viovu ni ufahamu" au " kama utaepuka kutenda vitu viovu, utaweza kufahamu mambo vizuri" + diff --git a/job/29/01.md b/job/29/01.md new file mode 100644 index 00000000..a3650198 --- /dev/null +++ b/job/29/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# La, ningekuwa kama nilivyokuwa katika miezi iliyopita + +"nitamani ningekuwa kama nilivyikuwa katika miezi ya kale" + +# wakati taa yake ilipong'aa juu ya kichwa changu + +Taa ya Mungu kung'aa juu Ayubu inawakilisha Mungu kumbariki Ayubu. KTN: "Wakati baraka za Mungu zilipokuwa kama taa iking'aa juu ya kichwa changu" + +# wakati nilipotembea gizani kwa nuru yake + +kutembe kwenye giza inawakilisha kukabiliwa na hali ngumu" + diff --git a/job/29/04.md b/job/29/04.md new file mode 100644 index 00000000..a0556528 --- /dev/null +++ b/job/29/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# katika kukomaa kwa siku zangu + +"nilipokwa kijana na mwenye nguvu" + +# wakati urafiki na Mungu ulikuwa kwenye hema yangu + +" Wakati Mungu alipokuwa rafiki yangu na alipoilinda nyumba yangu" + +# wakati njia yangu ilipooshwa katika malai + +"wakati njia yangu ilipomiminika malai" au "wakati ng'ombe wangu walipotoa malai kwa wingi" + +# na mwamba ulinimiminia mito ya mafuta + +" watumishi wangu walipo kamua mafuta ya mizeituni kwa wingi" au " wakati ambapo mafuta yalitiririka kama mito kutoka kwenye mwamba wa kusindikia" + diff --git a/job/29/07.md b/job/29/07.md new file mode 100644 index 00000000..9a14794c --- /dev/null +++ b/job/29/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# viunga vya mji + +Hili ni eneo wazi katika kijiji au mji ambapo ni makutano ya miji miwili au zaidi. + +# waliinuka na kusimama kwa ajili yangu + +hii ni alama ya heshima.KTN: "waliinuka na kusimama kwa kuniheshimu" + diff --git a/job/29/09.md b/job/29/09.md new file mode 100644 index 00000000..4e774e5e --- /dev/null +++ b/job/29/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nipokuja kwa wafalme wajizuia kuongea + +hii ilikuwa alama ya heshima + +# waliweka mkono wao juu ya kinywa chao + +hii ilikuwa alama ya heshima. Walifanya hivi kuonesha kuwa usingeweza kuongea. + +# sauti za waungwana zilinyamaza + +"waungwana walinyamazisha sauti zao" au "waungwana waliacha kuongea" + +# na ulimi wao gandamana kwenye makaakaa ya vinywa vyao + +maana yake walimweshimu Ayubu hadi kukosa neno la kusema. KTN: " walijihisi kushindwa kuongea" au "na hawakuwa na jambo lolote la kusema" + diff --git a/job/29/11.md b/job/29/11.md new file mode 100644 index 00000000..31e632c7 --- /dev/null +++ b/job/29/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# baada ya masikio yao kunisikia.... baada ya macho yao kuniona + +masikio yanawakilisha wale waliomsikia na macho yanawakilisha wale waliomwona. KTN: "baada ya kusikia nilichowaeleza ... baada ya kuniona" + +# waliweza kunishuhudia na kunithibitisha + +"waliweza kunishuhudia kwa kunithibitisha" + +# nilimwokoa mtu masikini aliyenililia + +Hapa"mtu masikini" inahusu mtu yeyote ambaye ni masikini. KTN: "niliwaokoa watu masikini ambao walinililia" + +# Baraka ya yule aliyekuwa karibu kupotea ilinijia + +baraka ya mtu kwenda kwa mwingine inawakilisha kitendo cha huyi mtu kumbariki mwingine.KTN: "yule aliyekuwa karibu kupotea aliweza kunibariki" + +# yeye aliyekuwa karibu kuangamia + +Mtu yeyote aliyekuwa anakaribia kufa. KTN: " wale ambao walikaribia kufa" + +# nilisababisha moyo wa mjane kuimba kwa furaha + +"moyo wa mjane" inamaana ya mjane yoyote. KTN: "Niliwafanya wajane waimbe kwa furaha kuu" + diff --git a/job/29/14.md b/job/29/14.md new file mode 100644 index 00000000..fb818dee --- /dev/null +++ b/job/29/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nilivaa haki, nayo ikanifunika + +watu wa wakati ule waliongelea haki kama vazi. KTN: "Nilitenda haki, nayo ikawa kama vazi la kujisitiri juu yangu" + +# uadilifu wangu ulikuwa kama joho na kilemba + +watu wa wakati ule waliongelea uadilifu kama vazi. KTN: "Nilitenda kwa adili, na ilikuwa kama joho na kilemba juu yangu" + +# kilemba + +vazi refu ambalo wanaume hufunga kuzunguka vichwa vyao, huvaa kama kofia. + +# nilikuwa macho kwa watu vipofu + +Hii inamaanisha kuwasaidia watu vipofu. KTN: "nilikuwa kama macho kwa ajili ya watu vipofu" au "niliwaongoza watu vipofu" + +# nilikuwa miguu kwa watu viwete + +"nilikuwa kama miguu kwa watu viwete" au "niliwasaidia watu viwete" + +# nilikuwa baba kwa watu wahitaji + +hapa neno baba linawakilisha kutoa kwa ajili ya watu. KTN: "Nilitoa kwa ajili ya watu wahitaji kama baba anavyotoa kwa ajili ya watoto wake" + diff --git a/job/29/17.md b/job/29/17.md new file mode 100644 index 00000000..e1a0324b --- /dev/null +++ b/job/29/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezoa ya jumla + +katika mistari ya 18-28 Ayubu anasimulia mambo ambayo alifanya kabla mambo mabaya hajatokea kwake. + +# nilivunja taya za ... nilimng'oa mwathirika + +" niliwafanya dhalimu waache kuwatesa watu, kam mtu anayevunja taya la mnyama mwitu na kuokoa mhanga kutoka katika meno yake" + +# nitakufa katika kiota changu + +" nitakufa kwenye nyumba yangu pamoja na familia yangu" au "nitakufa katika usalama wa nyumbani kwangu" + +# nitazidisha siku zangu kama mchanga + +"nitaishi maisha marefu" au "nitaishi miaka mingi " + +# Mizizi yangu ... matawi yangu + +Ayubu anaongea juu ya nguvu zake, anasema yeye ni kama mti imara uliomwagiliwa vizuri. + diff --git a/job/29/20.md b/job/29/20.md new file mode 100644 index 00000000..09c2c209 --- /dev/null +++ b/job/29/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# heshima ndani yangu ni mpya siku zote + +"watu hunipa heshima daima" au "watu huniheshimu mara kwa mara" + +# upinde wa nguvu zangu ni mpya daima mkononi mwangu + +"siku zote nipo imara kama upinde mpya" + +# hotuba yangu ilidondoka kama maji juu yao + +"hotuba yangu burudisha mioyo yao kama matone ya maji yanavyoburudisha miili ya watu" au nichosema kwao kiliwaburudisha kama matone ya maji" + diff --git a/job/29/23.md b/job/29/23.md new file mode 100644 index 00000000..3b9cf23a --- /dev/null +++ b/job/29/23.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# walinisubiri daima kama walivyosubiri mavua + +watu walimsubiri kwa subira na kutarajia kusikia mambo mema. + +# "walisubiri kwa hamu niongee ili wanufaike kutoka katika usemi wangu" + +kama walivyofanya kwa mvua ya masika + +# "wakulima walisubiri kwa hamu mvua ya masika" + +mvua ya masika + +# mvua ya masika + +hii ni mvua kubwa ambayo hunyesha kabla ya majira ya ukame + +# nilitabasamu kwa ajili yao + +"nilitabasamu kwa aji yao ili kuwafariji" + +# mwanga wa uso wangu + +hii inawakilisha ukarimu waliouna katika sura ya Ayubu + diff --git a/job/29/25.md b/job/29/25.md new file mode 100644 index 00000000..d8aefddf --- /dev/null +++ b/job/29/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# niliwachagulia njia zao + +hii inamaanisha kuwaamulia jambo wanalopaswa kutenda + +# niliketi kama mkuu wao + +"niliwaongoza kama mkuu wao" + +# niliishi kama mfalme kwenye jeshi lake + +watu walimtii Ayubu kama mfalme na walikuwa kama jeshi lake. + +# nilikuwa kama mtu anayewafariji waombolezaji + +"niliwafariji wakati wa kuomboleza kwao" + diff --git a/job/30/01.md b/job/30/01.md new file mode 100644 index 00000000..23ef5226 --- /dev/null +++ b/job/30/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# hawana kitu lakini mdhaha kwa ajili yangu + +"hunidhihaki tu" + +# ambao baba zao nigewakataza kufanya kazi sambamba na mbwa wa kundi langu + +"ambao baba zao niliwadharau na sikuwaruhusu kufanya kazi sambamba na mbwa wa kundi langu" + +# mbwa wa kundi langu + +"mbwa ambao walilinda kundi langu" + +# Je nguvu za mikono ya baba zao zingewezaje kunisaidia mimi... zimeharibika? + +"nguvu za mikono ya baba zao hazikunisaidia kunisaidia mimi... zimeharibika" + +# watu ambao nguvu zao za ukomavu wa umri wa o zimeharibika + +"watu ambao wamezeeka na hawana nguvu" au "watu ambao wamekuwa wazee na dhaifu" + +# walikonda kwa umasikini na njaa + +neno "wali.." ni kiambishi kwa kumaanisha baba wa vijana wenye dhihaka. + +# walikonda kwa umasikini na njaa + +"walikonda sana kwa sababu walikuwa masikini na hawakupata mahitaji ya kutosha" + +# tafuna kwenye ardhi kavu + +"walitafuna mzizi waliyoipata katika ardhi" au "kutafuna kwenye ardhi kavu" ni picha kuwa walikula chochote walichoweza kukipata katika ardhi kavu" + diff --git a/job/30/04.md b/job/30/04.md new file mode 100644 index 00000000..a5819821 --- /dev/null +++ b/job/30/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi + +Ayubu anaendelea kuongea kuhusu baba zao wenye kudhihaki + +# mboga ya chumvi ...majani ya vichakani...mizizi ya miretemu + +Hii ni mimea ambayo watu waliweza kula endapo hawakuwa kupata chakula kizuri. + +# mizizi ya miretemu kilikuwa chakula chao + +1) watu walikula mizizi ya miretemu au 2) watu waliota moto kwa kuchoma mizizi ya miretemu. + +# walifukuzwa kutoka kati ya watu ambao waliwapigia kelele... mwizi + +"walipigiwa kelele na watu ...mwizi na kulazimishwa kuondoka" + +# waliwapigia kelele kama mtu anavyompigia kelele mwizi + +"waliwapigia kelele kana kwamba walikuwa wezi" + diff --git a/job/30/07.md b/job/30/07.md new file mode 100644 index 00000000..12968a85 --- /dev/null +++ b/job/30/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# walilia kama punda + +"walilia kwa kupata njaa" + +# walikuwa uzao wa wapumbavu, naam, wa watu wasiofaa + +"walitenda kama watu wasiokuwa na akili" + +# walifukuzwa kwa mijeredi watoke kwenye nchi + +"walifukuzwa watoke nje ya nchi kama waharifu" + diff --git a/job/30/09.md b/job/30/09.md new file mode 100644 index 00000000..de9b06e4 --- /dev/null +++ b/job/30/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# hawaachi kunitemea mate usoni + +"hata hunitemea mate usoni" + +# Mungu amelegeza kamba ya upinde wangu na kunitesa + +"Mungu ameziondoa nguvu zangu kwa ajili ya kujitetea mwenyewe" + diff --git a/job/30/12.md b/job/30/12.md new file mode 100644 index 00000000..fb0eb7c9 --- /dev/null +++ b/job/30/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# juu ya mkono wangu wa kuume huinuka umati + +"kundi la vijana hushambulia nguvu zangu" au " makundi ya watu wanashabulia heshima yangu" + +# hujikusanya dhidi yangu kwa kunizunguka + +...adui wamejiandaa kumshambulia Ayubu, kama jeshi linavyojiandaa kushambulia... + diff --git a/job/30/14.md b/job/30/14.md new file mode 100644 index 00000000..b04df01e --- /dev/null +++ b/job/30/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kama jeshi kwenye ufa mpana katika ukuta wa mji + +Ayubu analinganisha hali yake na mji ambao upo katika mashambulizi wakati ukuta wake wa ulinzi unaufa + +# heshima yangu imefukuziwa mbali kama kwa upepo + +"upepo umepeperusha heshima yangu" + +# mafanikio yangu yanatoweka kama wingu + +Mali ya Ayubu imepotea kama wingi ambalo huonekana ghafula na hutoweka kutoka angani. + diff --git a/job/30/16.md b/job/30/16.md new file mode 100644 index 00000000..f577b44c --- /dev/null +++ b/job/30/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sasa uhai wangu unamiminika kutoka ndani yangu + +Ayubu anahisi yu karibu kufa + +# maumivu ambayo yanaguguna kwangu hayapumziki + +Ayubu anaongelea maumivu yake kam kitu chenye uhai. + diff --git a/job/30/18.md b/job/30/18.md new file mode 100644 index 00000000..3a80daee --- /dev/null +++ b/job/30/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# amenitupa kwenye matope + +Ayubu anasema amefedheheshwa na Mungu + diff --git a/job/30/20.md b/job/30/20.md new file mode 100644 index 00000000..44e8be9e --- /dev/null +++ b/job/30/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# katili + +neno hili linamaana ya kukosa huruma + +# kwa nguvu za mkono wako umenitesa + +Neno "mkono" linawakilisha nguvu za Mungu + diff --git a/job/30/22.md b/job/30/22.md new file mode 100644 index 00000000..8e16598c --- /dev/null +++ b/job/30/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# unaniinu juu kwenye upepo ...unanirusha nyuma na mbele katika dhoruba + +Hii inaelezea mateso makuu ambayo Mungu amfanya Ayubu avumilie + +# nyumba ya hatima kwa viumbe hai vyote + +"nyumba" inawakilisha sehemu ambapo wafu huelekea + +# viumbe hai vyote + +vitu vyote vilivyo hai kwa sasa lakini vitakufa siku moja + diff --git a/job/30/24.md b/job/30/24.md new file mode 100644 index 00000000..52ccf54f --- /dev/null +++ b/job/30/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# je hapana mtu wa kufikisha mkono wake kuomba msaada wakati anapoanguka? Je mtu mwenye shida hawezi kuomba msaada? + +1) "Niliwasaidia watu ambao walianguka wakati waliponiomba msaada . Niliwasaidia waliokuwa na taabu walipoomba msaada". au 2) "Nimeanguka na Mungu hapaswi kuona kama ninakosea ninapoomba msaada wake. Niko kwenye shida, naomba msaada!" + +# Je sikulia...shida? Je sikusononeka...mtu? + +"Unajua kwamba nililia ...shida, na nilisononeka ...mtu!" + +# Nilisubiri mwanga ...giza likaja + +Hapa "mwanga" unawakilisha baraka na kibali cha Mungu na "giza" linawakilisha shida na mateso. + diff --git a/job/30/27.md b/job/30/27.md new file mode 100644 index 00000000..3700ff9a --- /dev/null +++ b/job/30/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Moyo wangu umetaabika na wala haupumziki + +Ayubu anaongelea moyo wake kama ni mtu + +# Ninarandaranda na ngozi yenye giza lakini si kusababu ya jua + +"Daima nipo katika hudhuni na giza" + +# ndugu wa mbwa mwitu, mshirika wa mbuni + +Ayubu anafananisha mateso yake na kuomba kwake msaada kama kilio cha mbweha na mbuni. + diff --git a/job/30/30.md b/job/30/30.md new file mode 100644 index 00000000..8335ac71 --- /dev/null +++ b/job/30/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mifupa yangu imeungua kwa joto + +Hapa "mifupa" inawakilisha mwili wote, ambao unaugua katika homa + +# maombolezo + +"maombolezo" ni sauti kuu ya kilio chenye huzuni au maumivu. + diff --git a/job/31/01.md b/job/31/01.md new file mode 100644 index 00000000..c3b4e111 --- /dev/null +++ b/job/31/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Ayubu anaendelea kuzungumza + +# Nimefanya patano na macho yangu + +"Nimejiahidi mwenyewe kwamba sitamwangalia mwanamke kwa tamaa" + +# kwa namna gani tena napaswa kumtazama mwanamwali kwa tamaa? + +Ayubu anatumia swalli ili kutia mkazo kwamba hatavunja ahadi yake. + +# Ni sehemu gani kutoka kwa Mungu juu, na urithi gani kutoka kwake mwenye nguvu aliye juu? + +sentensi hizi mbili zina maana moja. Ayubu anatumia swali ili kukazi kwamba Mungu asingempa kitu kizuri kama angefanya dhambi na kuvunja ahadi yake. + diff --git a/job/31/03.md b/job/31/03.md new file mode 100644 index 00000000..7f2bcfaf --- /dev/null +++ b/job/31/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Ayubu anaendelea kuzungumza + +# Je Mungu hazioni njia zangu na kuzihesabu hatua zangu zote? + +Mahali hapa "njia zangu" na "hatua zangu" zinarejelea tabia za Ayubu. Ayubu anatumia swali kwa ajili ya mkazo. + diff --git a/job/31/05.md b/job/31/05.md new file mode 100644 index 00000000..858e9f21 --- /dev/null +++ b/job/31/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Ayubu anaendelea kuzungumza + +# kama nime... + +Katika 31:5-40 Ayubu anafafanua hali mbalimbali ambazo angesitahili kupata hukumu ya Mungu. Lakini anajua kuwa si ya kweli na yeye hana hatia. + +# nimetembea katika udanganyifu, kama mguu wangu umeharakisha katika uongo + +"kufanya kitu cha uongo au kumdanganya mtu kwa makusudi" + +# na nipimwe katika vipimo vilivyo sawa + +Watu hutumia mizani ili kupima vitu na kutambua uthamani wake. "Mungu na anihukumu kwa uadilifu" + diff --git a/job/31/07.md b/job/31/07.md new file mode 100644 index 00000000..451b0b4f --- /dev/null +++ b/job/31/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo alistahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli. + +# Kama hatua zangu zimegeuka kutoka katika njia sahihi + +"kama nimekoma kufanya kile kilicho sawa" + +# kama moyo wangu umetembea kwa kufuata macho yangu + +"kama nimefanya mambo yoyote maovu" + +# na kama doa lolote la uchafu limeng'ang'ania katika mikono yangu + +"kama nina hatia ya dhambi kabisa" + +# mavuno na yang'olewe katika shamba langu + +"mtu mwingine zaidi na aje na kuchukua mavuno kutoka katika shamba langu" + diff --git a/job/31/09.md b/job/31/09.md new file mode 100644 index 00000000..033a9480 --- /dev/null +++ b/job/31/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo alistahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli. + +# kama moyo wangu umevutiwa na mwanamke mwingine + +"kama nimemwakia tamaa mke wa mwanaume mwingine" + +# ikiwa nimelala na mke wa jirani yangu katika hali ya kusubiria katika mlango wake + +"na kama nimemsubiria aache nyumba yake ili niweleze kulala naye" + +# na ndipo mke wangu na asage nafaka kwa mwanaume mwingine + +Maana zinazokubalika ni 1) hii ni njia ya kusema kuwa mwanaume atalala na mke wa Ayubu au 2) in maana kwamba atakuwa mtumwa na kufanya kazi kwa mwanaume mwingine. + diff --git a/job/31/11.md b/job/31/11.md new file mode 100644 index 00000000..55ef348a --- /dev/null +++ b/job/31/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo alistahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli. + +# litakuwa ni kosa kubwa kuadhibiwa na waamuzi + +"Litakuwa ni kosa ambalo kwa ajili yake waamuzi watakuwa sahihi kuniad + +# Kwa kuwa ni moto ambao unateketeza kila kitu kwa uharibifu, na kwamba utaunguza mavuno yangu yote + +Ayubu anatia mkazo jinsi dhambi ya uzinzi iilivyo ya hatari na kuangamiza. + diff --git a/job/31/13.md b/job/31/13.md new file mode 100644 index 00000000..ad280ed0 --- /dev/null +++ b/job/31/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo alistahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli. + +# kisha nini basi ningefanya wakati Mungu anapoinuka ili kunishitaki mimi? Atakapokuja kunihukumu, nitamjibuje? + +Ayubu anatumia swali ili kutia mkazo. "kisha hakutakuwa na kitu kabisa nitakachoweza kusema ili kujilinda mwenyewe wakati Mungu atakapokuja kunihukumu" + +# Je yeye aliyenifanya mimi tumboni hakuwafanya wao pia? Je yeye si yeye yule aliyetuumba sisi wote katika tumbo? + +"Mungu, ambaye alinifanya mimi na kwa namna ile ile aliwafanya na wao, atanihukumu kwa jinsi ya haki ile ile kama anavyowahukumu wao." + diff --git a/job/31/16.md b/job/31/16.md new file mode 100644 index 00000000..3a88f363 --- /dev/null +++ b/job/31/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla . + +Ayubu anaanza kufafanua hali ambazo angestahili kupata hukumu ya Mungu, (zimeelezwa katika 31:22) lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli + +# nimesababisha macho ya wajane yafifie kwa kulia, + +Mahali hapa "yafifie" inarejelea mjane kuwa wa uwezo mbaya wa kuona kwasababu ya kulia sana. + +# kipande changu + +"chakula" + +# tangu ujana wangu yatima walikua pamoja nami kama kuwa na baba, nami nimemwongoza mama yake, mjane, tangu katika tumbo la mama yangu mwenyewe. + +Ayubu anaelezea jinsi alivyowatendea kweli mjane na yatima. "Niliwajali yatima na wajane tantu nilipokuwa mdogo sana" + diff --git a/job/31/19.md b/job/31/19.md new file mode 100644 index 00000000..fea76196 --- /dev/null +++ b/job/31/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla . + +Ayubu anaanza kufafanua hali ambazo angestahili kupata hukumu ya Mungu, (zimeelezwa katika 31:22) lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli + +# ikiwa moyo wake haujanibariki kwasababu amekuwa hajatiwa joto na sufu ya kondoo zangu, + +"Nimewapa watu wale nguo za sufu ili kupata joto, na hivyo wamenibariki, lakini kama ningekuwa sijafanya hivyo," + +# nimeinua juu mkono wangu kinyume + +"Nimetisha ili kudhuru" + +# katika lango la mji + +Hapa ni mahali ambapo watu muhimu wa mji hukusanyika na kufanya maamuzi. + diff --git a/job/31/22.md b/job/31/22.md new file mode 100644 index 00000000..3b682d16 --- /dev/null +++ b/job/31/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo alistahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli. + +# Ndipo bega langu na lianguake kutoka katika sehemu yake, na mkono wangu uvunjike katika kiungo chake + +"kisha mtu mmoja na alivunje bega langu na kuuvunja mkono wangu" + diff --git a/job/31/24.md b/job/31/24.md new file mode 100644 index 00000000..b99d0815 --- /dev/null +++ b/job/31/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo alistahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli. + +# kama ningesema kwa dhahabu safi, 'wewe unanifanya kuwa na tumaini'; + +Msitari huu una maana sawa na msitari uliotangulia. Kwa pamoja inasisitiza kwamba Ayubu hajategemea mali ili kumletea usalama. + +# mkono wangu umepata mali nyingi, + +"Nimepata mali nyingi kwa uwezo wangu" + diff --git a/job/31/26.md b/job/31/26.md new file mode 100644 index 00000000..be5586a2 --- /dev/null +++ b/job/31/26.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo alistahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli. + +# mwezi ukitembea + +"mwezi ukizunguka katika anga" + +# na kama moyo wangu umevutwa kwa siri + +"kama kwa siri nimetamani kuviabudu" + +# mdomo wangu umeubusu mkono wangu + +Hii ni ishara ya upendo na ibada. + +# kuadhibiwa na waamuzi, + +"kwa ajili yake waamuzi wangekuwa sawa kuhukumu" + diff --git a/job/31/29.md b/job/31/29.md new file mode 100644 index 00000000..2f1d0747 --- /dev/null +++ b/job/31/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo alistahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli. + +# Kwa kweli sijauruhusu hata mdomo wangu kutenda dhambi kwa kuuomba uhai wake kwa laana. + +Ayubu anaelezea ukweli wa jinsi alivyowatendea wale anaowachukia. "kwa ukweli, sikujihusisha mwenye katika dhambi kwa kuilaani sik yake" + diff --git a/job/31/31.md b/job/31/31.md new file mode 100644 index 00000000..eaca4f59 --- /dev/null +++ b/job/31/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo alistahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli. + +# Ikiwa watu wa hema yangu hawajasema,' Nani aweza kumpata mtu ambaye hayashibishwa na chakula cha Ayubu? + +"Watu wangu siku zote wamekuwa na uwezo wa kusema,"Kila mtu tunayemjua amekula chakula kingi cha Ayubu kama alivyotaka' Kama hayo hayakuwa ya kweli," + +# hata mgeni hajawahi kukaa katika pembe ya mji, kwa kuwa siku zote nimefungua milango yangu kwa ajili ya wasafiri + +Ayubu anaelezea jinsi ambayo aliwatendea wageni."Wageni hawakuwahi kulala mitaani. Mara zote niliwakaribisha nyumbani kwangu" + diff --git a/job/31/33.md b/job/31/33.md new file mode 100644 index 00000000..5d659da4 --- /dev/null +++ b/job/31/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo angestahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli. + +# kwa kuwa niliogopa kusanyiko kubwa, kwasababu ya matwezo ya familia yaliniogopesha + +Kauli hizi zinamaanisha kitu kimoja. Kwa pamoja zinatia mkazo kwamba mtu anaweza kuificha dhambi yake kwasababu anahofu juu kile ambacho watu wangesema. + diff --git a/job/31/35.md b/job/31/35.md new file mode 100644 index 00000000..36b3a992 --- /dev/null +++ b/job/31/35.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# hii ni saini yangu + +Ayubu anaelezea malalamiko yake kwa Mungu kana kwamba aliyaandika katika nyaraka rasmi. Angeandika jina lake juu yake kama ahadi ambayo kila kitu katika nyaraka ni za kweli. + +# Ikiwa nilikuwa na shitaka rasmi ambalo adui yangu ameliandika! + +"kama tu ningeweza kusoma mashitaka ya adui yangu dhidi yangu" + +# Hakika ningelibeba hadharani juu ya bega langu; ningeliweka juu kama taji + +Hii ina maana kama Mungu angeyaandika mashitaka kinyume na Ayubu, kisha Ayubu angeziweka nyaraka mahali ambapo kila mtu angeweza kuzisoma. + +# hatua zangu + +hii inarejelea matendo ya Ayubu + +# kama mwana wa mfalme mwenye kujiamini + +Hii ina maana kwamba Ayubu angemkaribia Mungu bila hofu. + diff --git a/job/31/38.md b/job/31/38.md new file mode 100644 index 00000000..4b747f62 --- /dev/null +++ b/job/31/38.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Hii inahitimisha maelezo ya Ayubu juu ya hali ambazo ndani yake angestahili hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa haikuwa kweli. + +# Kama nchi yangu ingelia dhidi yangu, na matuta yake yaomboleza pamoja + +Ayubu anaielezea nchi kana kwamba alikuwa mtu ambaye analia kwasababu Ayubu ameiiba kutoka kwa mmliki halali. + diff --git a/job/32/01.md b/job/32/01.md new file mode 100644 index 00000000..28f1295f --- /dev/null +++ b/job/32/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# katika macho yake mwenyewe + +''katka ufahamu wake mwenyewe" au "katika mawazo yake" + +# Ndipo iliwaka hasira ya Elihu mwana wa Barakeli Mbuzi, wa familia ya Ramu, iliwaka dhidi ya Ayubu + +Hii inalinganisha hasira ya Elihu na mtu anayewasha moto. + +# Elihu.....Barakeli.....Ramu + +Haya ni majina ya wanaume + +# mbuzi + +Hili ni jina la kikundi cha watu. + diff --git a/job/32/03.md b/job/32/03.md new file mode 100644 index 00000000..1cf4cb0c --- /dev/null +++ b/job/32/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hasira ya Elihu iliwaka pia kinyume cha marafiki zake watatu + +Hii inallingisha hasira ya Elihu na mtu anayewasha moto. + +# sasa + +Neno hili limetumika hapa kuonesha pumziko fupi katika habari kuu. Hii inatueleza habari za nyuma kuha + +# uwa hapakuwa na jibu katika midomo ya watu hawa watatu + +"kwamba watu hawa watatu walikuwa hawana kitu zaidi cha kusema" + +# hasira yake iliwaka + +Hii tena inalinganisha hasira ya Elihu na mtu anayewasha moto. "alikuwa mwenye hasira sana" + diff --git a/job/32/06.md b/job/32/06.md new file mode 100644 index 00000000..82d4373f --- /dev/null +++ b/job/32/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ninyi ni wazee + +mahali hapa 'ninyi' ni wingi na inarejelea Ayubu na marafiki zake. + +# Urefu wa siku utazungumza; na wingi wa miaka utatufundisha hekima + +Hii mistari miwili inamaanisha kitu kimoja. Elihu anatia mkazo kwa kuwa watu wazee ni wenye hekima kulika vijana, wanatakiwa kuwa wa kwanza kusema yale wanayoyajua. + diff --git a/job/32/08.md b/job/32/08.md new file mode 100644 index 00000000..eeffb2e1 --- /dev/null +++ b/job/32/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuzungumza na Ayubu na marafiki zake. + +# roho.... pumzi ya Mwenye nguvu + +Virai hivi vinamaanisha kitu kimoja. Elihu anakazia kwamba hekima ya watu hutoka kwa Mungu. + diff --git a/job/32/11.md b/job/32/11.md new file mode 100644 index 00000000..454d138a --- /dev/null +++ b/job/32/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# niliyasubiria maneno yenu + +Elihu anaongea na marafiki za Ayubu. "Nilisubiri nisikie yale ambayo mngesema" + diff --git a/job/32/13.md b/job/32/13.md new file mode 100644 index 00000000..d48177f6 --- /dev/null +++ b/job/32/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuzungumza na marafiki zake na Ayubu. + +# Tumepata hekima + +"sisi ni wenye hekima" + +# amemshinda Ayubu + +"kumshawishi Ayubu" au "kumjibu Ayubu" + diff --git a/job/32/15.md b/job/32/15.md new file mode 100644 index 00000000..6d085267 --- /dev/null +++ b/job/32/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuzungumza + +# Hawa watu watatu wamep igwa bumbuwazi; hawawezi kuendelea kumjibu Ayubu; hawana neno zaidi la kusema + +Vipande vitatu vya mstari hii vinamaanisha kitu kimoja. Elihu anakazia kwamba marafiki wa Ayubu wamesema kile walichoweza kusema. + +# Je ninapaswa kusubiria kwasababu hawazungumzi, kwa kuwa wamesimama pale kimya na wala hawajibu zaidi? + +Elihu anatumia swali kukazia kwamba hatasubiria tena ili azungumze + diff --git a/job/32/17.md b/job/32/17.md new file mode 100644 index 00000000..a6e4d8b4 --- /dev/null +++ b/job/32/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuzungumza kwa kutumia mtindo wa usambamba + +# nimejawa na maneno + +"nina mengi sana ya kusema" + +# roho ndani yangu inanisukuma + +"lazima niseme sasa" + +# kifua changu ni kama divai yenye chachu ambayo haina tundu; kama viriba vipya, kiko tayari kupasuka. + +Wakati divai inapochacha, gesi hujikusanya katika chombo. Kama gesi hiyo yaitaondolewa, chombo kitapasuka . Elihu anamaanisha kwamba anayo mengi ya kusema na kama hatayasema anajisikia kama atapasuka. + diff --git a/job/32/20.md b/job/32/20.md new file mode 100644 index 00000000..63999b45 --- /dev/null +++ b/job/32/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuzungumza kwa kutumia mtindo wa usambamba + +# niweze kuburudishwa + +"naweza kujisikia vizuri" + +# nitafungua kimya changu + +"fungua mdomo wako"au "sema" + +# wala sitatoa sifa za majina kwa mtu yeyote + +"wala sitamsifu mtu yeyote au kumpa mtu majina ya heshima" + +# Muumba wangu + +"Mungu aliyeniumba" + diff --git a/job/33/01.md b/job/33/01.md new file mode 100644 index 00000000..50046a49 --- /dev/null +++ b/job/33/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuzungumza + +# usikilize hotuba yangu; sikiliza maneno yangu yote + +Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kimoja. Elihu anatia mkazo kwamba Ayubu lazima asikilize kwa makini. + +# nimeufumbua mdomo wangu; ulimi wangu umesema maneno ndani ya mdomo wangu + +Kauli hizi zinamaanisha kitu kimoja. Elihu anatiza mkazo kwamba sasa ana utayari wa kuzungumza. + +# Maneno yangu yatasema uadilifu wa moyo wangu + +"Nitazungumza kwa ukamilifu wa uadilifu" + +# yatasema kwa unyofu yale ambayo mdomo wangu unayajua. + +"Nitakwambia kwa uaminifu mambo ninayoyajua" + diff --git a/job/33/04.md b/job/33/04.md new file mode 100644 index 00000000..94da2cfd --- /dev/null +++ b/job/33/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuzungumza na Ayubu + +# Roho ya Mungu imeniumba..... imenipatia uhai + +mistari hii miwili ina maana moja. Elihu inatia mkazo kwamba Mungu amemfanya yeye na kwa hivyo humpa mamlaka kwa kile anachokisema. + +# weka maneno yako katika mpangilio mbele yangu na kisha usimame + +"andaa kile utakachokisema na unijibu" + diff --git a/job/33/06.md b/job/33/06.md new file mode 100644 index 00000000..6ab897ec --- /dev/null +++ b/job/33/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuongea na Ayubu. + +# nimeumbwa pia kutoka katika udongo + +"Mungu amenifanya kutokana na udongo" + +# wala mzigo wangu hautakuwa mzito kwako. + +"Sitakutesa wewe kwa kile ninachokisema" au " nitazungumza na wewe kwa upole" + diff --git a/job/33/08.md b/job/33/08.md new file mode 100644 index 00000000..86e3b17c --- /dev/null +++ b/job/33/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuongea na Ayubu + +# nimeisikia sauti ya maneno yako yakisema + +"Nimekusikia ukisema" + +# 'Mimi ni safi na bila hila; sina hatia, na hakuna dhambi ndani yangu. + +Maelezo yote haya yanamaanisha kitu kile kile. "Mimi sina hatia ya kosa lolote" + diff --git a/job/33/10.md b/job/33/10.md new file mode 100644 index 00000000..d9e521ae --- /dev/null +++ b/job/33/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Elihu anaendelea kunukuru kile alichomsikia Ayubu akikisema + +"akiba" ni vizuizi ya mbao ambayo ilitumika na bwana jela ambaye aliiweka katika miguu ya wafungwa kuwazuia wasitoke. + +# njia zangu + +Hii inarejelea matendo ya Ayubu + +# nitakujibu + +Elihu anazungumza na Ayubu + diff --git a/job/33/13.md b/job/33/13.md new file mode 100644 index 00000000..5c32a41f --- /dev/null +++ b/job/33/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuzungumza na Ayubu + +# Kwanini unashindana naye? + +"hatutakiwi hata kujaribu kushindana na Mungu" + +# Huwa hahesabu matendo yake yoyote. + +"Yeye hawajibiki kutueleza sisi kila kitu anachokifanya" + +# Mungu huzungumza mara moja, naam, mara mbili, + +"Mungu huzungumza tena na tena kwa njia mbalimbali + +# Katika ndoto, katika maono ya usiku, + +Maneno haya yanamaanisha kitu kile kile. "ndoto ambayo katika maono ya usiku" + +# wakati usingizi mzito unapowapata watu, katika usingizi kitandani + +"wakati watu wakiwa wamesinzia kweli kitandani mwao" + diff --git a/job/33/16.md b/job/33/16.md new file mode 100644 index 00000000..76e323fe --- /dev/null +++ b/job/33/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuzungumza na Ayubu + +# Mungu hufungua masikio ya watu + +"ndipo Mungu hufunua mambo kwa watu" + +# Mungu huyaokoa maisha ya mwanadamu kutoka katika shimo, na uhai wake dhidi ya kifo. + +Maelezo ya haya yanamaanisha kitu kile kile. "Mungu huwakoa watu kutoka katika kaburi na katika kifo." + diff --git a/job/33/19.md b/job/33/19.md new file mode 100644 index 00000000..ff78327d --- /dev/null +++ b/job/33/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuongea na Ayubu + +# Mtu huadhidibiwa pia + +"Mungu pia humwadhibu mtu" + +# ili kwamba maisha yake yachukie chakula, na roho yake ichukie vyakula vizuri + +Virai hivi viwili kimsingi vinamaanisha kitu kile kile, kwamba mtu ni yuko katika maumivu makali ambayo yanamfanya anashindwa hata kula. + +# ichukie vyakula vizuri + +"kuchukia hata chakula chake anachokipendelea" + diff --git a/job/33/21.md b/job/33/21.md new file mode 100644 index 00000000..39ab501d --- /dev/null +++ b/job/33/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuzungumza na Ayubu + +# Nyama yake imeharibiwa ili kwamba usionekane; mifupa yake + +"Ugonjwa huufanya mwili wake uwe dhaifu na ukonde hata kwamba mtu anaweza hata kuona mifupa yake" + +# roho yake inasogea shimoni + +"yuko karibu kuingia katika kaburini" + +# uhai wake unasogea kwa wale wanaotaka kuuharibu. + +Kirai "wale wanaotaka kuuharibu" yaweza kurejelea watu wale ambao wako tayari katika sehemu ambapo wafu huenda. Yaweza pia kurejelea malaika wa kifo ambaye huja na kumfanya mtu afe. "Yuko karibu na kufa" + diff --git a/job/33/23.md b/job/33/23.md new file mode 100644 index 00000000..af01ba5d --- /dev/null +++ b/job/33/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuongea na Ayubu + +# kwa ajili yake + +Hii haimrejelei mtu maalumu. Elihu anaendelea kuongea na mtu yeyote kwa ujumla. + +# mmoja miongoni mwa maelfu ya malaika, + +"mmoja kutoka katika kundi kubwa la malaika" + diff --git a/job/33/25.md b/job/33/25.md new file mode 100644 index 00000000..dfdb86a0 --- /dev/null +++ b/job/33/25.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuongea na Ayubu + +# kisha + +"kama matokeo ya ombi la malaika kwa Mungu" + +# mwili wake utakuwa mororo kuliko mwili wa mtoto + +"mwili wa mtu mgonjwa utakuwa mpya tena kama mwili wa mtu mdogo" + +# atazirudia siku za nguvu za ujana wake. + +"atakuwa na nguvu tena" + +# auone uso wa Mungu akiwa mwenye furaha + +"humwabudu Mungu kwa furaha" + +# Mungu atampa mtu ushindi wak + +"Mungu atamwokoa mtu" au "Mungu atayafanya mambo ya mtu kuwa sawa" Hii pia yaweza kumaanisha kwamba mtu anatangaza kwa wengine jinsi Mungu alivyomwokoa. + diff --git a/job/33/27.md b/job/33/27.md new file mode 100644 index 00000000..abc89774 --- /dev/null +++ b/job/33/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anazidi kuzungumza na Ayubu + +# lakini dhambi yangu haikuadhibiwa + +"lakini Mungu hakuniadhibu mimi kwa kutenda dhambi" + +# ameiokoa roho yangu + +"aliniokoa mimi" + +# maisha yangu yataendelea kuuona mwanga + +Atauona mwanga wa maisha badala ya giza ambalo angeliliona katika kifo. "nitaendelea kuishi" + diff --git a/job/33/29.md b/job/33/29.md new file mode 100644 index 00000000..6bbea367 --- /dev/null +++ b/job/33/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anazidi kuzungumza na Ayubu + +# mara mbili, naam, hata mara tatu + +"tena na tena" + +# roho yake + +:yeye" + +# aweze kumlikwa na mwanga wa maisha. + +"aweza kuwa na furaha ya kubaki kuwa hai" + diff --git a/job/33/31.md b/job/33/31.md new file mode 100644 index 00000000..f15845d2 --- /dev/null +++ b/job/33/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anazidi kuongea na Ayubu + +# zingatia na unisikilize mimi; + +Virai hivi vinamaanisha kitu kile kile. "Nisikilize kwa umakini, Ayubu" + diff --git a/job/34/01.md b/job/34/01.md new file mode 100644 index 00000000..ee833b16 --- /dev/null +++ b/job/34/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Elihu + +Angalia jinsi alivyofasiri katika 32:1 + +# Sikilizeni maneno yangu + +"Sikiliza kile ninachokisema" + +# ninyi watu wenye hekima....ninyi mlio na maarifa + +Elihu anamkosoa Ayubu na marafiki zake. Hafikiri kama ni watu wenye hekima kweli. + +# Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama ambavyo kaakaa huonja chakula. + +Elihu anamaanisha kwamba watu wasikilize kwa makini ili kujua kilicho cha haki au kibaya kama tu vile ambavyo tunaonja chakula kutambua kama ni chakula kizuri au kibaya. + diff --git a/job/34/04.md b/job/34/04.md new file mode 100644 index 00000000..0226b53b --- /dev/null +++ b/job/34/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anazidi kuongea + +# Na tujichagulie sisi + +Hapa "sisi" inamrejelea Elihu, Ayubu, na marafiki wake watatu. + +# ameondoa haki zangu + +"amekataa kunipa haki " + +# , ninaangaliwa kama mwongo + +"marafiki zangu hudhani mimi ni mwongo" Hii huenda yaweza kumaanisha: "Mungu hasemi ukweli kuhusu mimi" + +# Kidonda changu hakiponyeki, + +"mimi ni mgonjwa na hakuna awezaye kuniponya" + diff --git a/job/34/07.md b/job/34/07.md new file mode 100644 index 00000000..39813228 --- /dev/null +++ b/job/34/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anazidi kuzungumza + +# Ni mtu gani aliye kama Ayubu + +Elihu anatumia swali hili kumkaripia Ayubu. " Hakuna mwingine zaidi kama Ayubu" + +# ambaye hunywa dharau kama maji + +Elihu anamshitaki Ayubu kwa kufurahia kuwadharau watu wengine. + +# ambaye hutembea pamoja na watu waovu + +"ambaye anaenenda kama watu waovu" + diff --git a/job/34/10.md b/job/34/10.md new file mode 100644 index 00000000..717589a4 --- /dev/null +++ b/job/34/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anazidi kuongea + +# enyi watu wenye ufahamu + +Elihu anamkosoa Ayubu na marafiki zake. Hadhani kabisa kama walikuwa ni watu wenye hekima. + +# iwe mbali na Mwenye enzi kwamba atatenda dhambi + +Hii ina maana sawa na sehemu nyingine ya sentensi iliyotangulia. Elihu anakazia kwamba Mungu siku zote hufanya yaliyo ya haki. + +# humfanya mtu apate thawabu za njia zake mwenyewe + +Hii inamaana sawa na sehemu nyingine ya sentensi iliyotangulia. Elihu anatia mkazo kwamba Mungu huwapa watu kile wanachostahili. + +# Mungu hatendi uovu, wala Mwenye nguvu hajaIpotosha haki. + +Hii ina maana sawa na sehemu nyingine ya sentensi iliyotangulia. Elihu anakazia kwamba Mungu siku zote hufanya yaliyo ya haki. + diff --git a/job/34/13.md b/job/34/13.md new file mode 100644 index 00000000..7335f5a6 --- /dev/null +++ b/job/34/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuzungumza + +# Ni nani aliyemweka kuwa mtawala wa dunia? Ni nani aliyeiweka dunia yote chini yake? + +Kauli hii ina maana moja. "hakuna hata mmoja ambaye anahitaji kumpa Mungu ruhusa ili anaye majukumu yake juu ya dunia yote. Yeye ni mwenye haki katika kuutawala ulimwengu wote." + +# nafsi yake na pumzi yake + +"nafsi yake na pumzi amabayo hutupa uzima" + +# miili yote + +"viumbe hai vyote " + diff --git a/job/34/16.md b/job/34/16.md new file mode 100644 index 00000000..60d9a95f --- /dev/null +++ b/job/34/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuzungumza + +# sasa + +Elihu anatumia neno hili ili kuleta usikivu wa kitu fulani muhimu ambacho alikuwa karibu kukisema. + +# sikilizeni sauti ya maneno yangu + +Hii ina ina maana ile ile na ya sehemu iliyotangulia ya sentensi. "sikiliza kile ninachosema" + +# Je yeye anayeichukia haki aweza kutawala? Je mtamhukumu Mungu kuwa ni mwenye makosa, ambaye ni mwenye haki na mwenye nguvu? + +"Yeye anayechukia haki hawezi kutegemea kuwa kiongozi juu + diff --git a/job/34/18.md b/job/34/18.md new file mode 100644 index 00000000..bc29c4da --- /dev/null +++ b/job/34/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuzungumza + +# Mungu ambaye humwambia mfalme, ' Wewe ni mbaya; au huwaambia wenye kuheshimiwa, 'Ninyi ni waovu'? + +Hii inaendeleza swali kutoka katika mstari uliotangulia. + +# mbaya + +"mwovu" au "asiyestahili" + +# , kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake + +Mahali hapa neno "mkono" linamaanisha nguvu. + +# wakati wa usiku watu watatikiswa na watapita + +"wakati wa usiku" ni wakati wa mwisho wa siku na mwanzo wa siku nyingine. + +# watu wenye nguvu watatwaliwa mbali,lakini si kwa mikono ya wanadamu. + +"Ni Mungu wala si wanadamu anayewafanya watu wa muhimu wafe. + diff --git a/job/34/21.md b/job/34/21.md new file mode 100644 index 00000000..c1e4ac4e --- /dev/null +++ b/job/34/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa kuwa macho ya Mungu yako juu ya njia za mtu; + +"kwa kuwa Mungu huangalia kila kitu anakifanyacho mtu + +# anaziona hatua zake zote + +"humwona kila aendako" + +# Hakuna giza, wala hakuna weusi mzito + +Maneno "weusi mzito" kimsingi yanamaanisha kitu kile kile na yanatia uzito juu ya neno "giza" + diff --git a/job/34/24.md b/job/34/24.md new file mode 100644 index 00000000..958c8f1d --- /dev/null +++ b/job/34/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuzungumza + +# Huwavunja vipande vipande watu wenye nguvu + +"Huwaharibu watawala" + +# kwa ajili ya njia zao ambazo hazihitaji uchunguzi zaidi + +"kwasababu anajua tayari kile alichokifanya" + +# huwaweka watu wengine katika nafasi zao + +"na anachagua watu wengine kutawala katika nafasi zao" + +# wakati wa usiku + +"wakati wasioutarajia" + diff --git a/job/34/26.md b/job/34/26.md new file mode 100644 index 00000000..1e2dd089 --- /dev/null +++ b/job/34/26.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuzungumza + +# dhahiri mbele za watu wengine + +"katika sehemu ambayo kila mtu anaweza kuona" + +# wamegeuka na kuacha kumfuata yeye + +"wangeacha kumtii yeye" + +# njia zake + +Hii inarejelea maagizo ya Mungu kwa jinsi ambavyo watu wanapaswa kuenenda. + +# wamekifanya kilio cha watu masikini kimfikie + +"waliwafanya watu masikini walie, na Mungu aliwasikia" + diff --git a/job/34/29.md b/job/34/29.md new file mode 100644 index 00000000..ef9132f0 --- /dev/null +++ b/job/34/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuzungumza + +# Na wakati akaapo kimya, nani aweza kumhukumu kuwa mkosaji? + +Elihu anatumia swali kwa ajili ya kumfundisha Ayubu. "Hakuna anayeweza kumkosoa Mungu kama akiamua kukaa kimya" + +# Kama akiuficha uso wake, ni nani awezaye kumjua? + +Elihu anatumia swali jingine kwa sababu ile ile. "Hakuna hata mmoja anayeweza kwenda na kumwona kama akiamua kujificha mwenyewe." + +# asiwepo mtu wa kuwanasa watu. + +Hii inawalinganisha watu watawaua na muwindaji ambaye hunasa nyara zake. + diff --git a/job/34/31.md b/job/34/31.md new file mode 100644 index 00000000..d7f0a7bc --- /dev/null +++ b/job/34/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuzungumza + +# nifunze kile ambacho siwezi kukiona + +"nifundishe kile nilichokifanya vibaya na hata sikukijua" + +# Je unadhani kwamba Mungu ataiadhibu dhambi ya mtu huyo, kwa kuwa unayachukia yale ambayo Mungu huyatenda? + +Elihu anatumia swali kwa ajili ya kutia mkazo. "Ingawa haupendi kile ambacho Mungu anakifanya, hakika hata haufikirii kwamba Mungu atamwadhibu mtu huyu" + diff --git a/job/34/34.md b/job/34/34.md new file mode 100644 index 00000000..c763628c --- /dev/null +++ b/job/34/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuzungumza + diff --git a/job/34/36.md b/job/34/36.md new file mode 100644 index 00000000..11d8ba56 --- /dev/null +++ b/job/34/36.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kama Ayubu alijaribiwa kwa kitu kidogo kabisa katika kesi yake + +"kama tu tungeweza kumpeleka Ayubu mahakamani ili kwamba hakimu aweze kumsikia kwa malalamiko yake yote." + +# anapiga makofi ya dharau kati yetu + +"Humdharau Mungu mbele yetu hasa" + +# anaweka maneno kinyume na Mungu + +"anaendelea kusema mambo mabaya kumhusu Mungu" + diff --git a/job/35/01.md b/job/35/01.md new file mode 100644 index 00000000..f88c7fe4 --- /dev/null +++ b/job/35/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je unadhani hii ni sawa ....'Haki yangu mbele ya Mungu? + +Elihu anatumia maswali ili kumtia changamoto Ayubu. "Lazima ufikiri wewe ni mwenye haki....haki yangu mbele za Mungu" + +# Je unadhani + +hapa kiambishi 'u' ni umoja na kinamwakilisha Ayubu. + +# Kwa kuwa unauliza, 'Inafaa nini kwangu' na 'Ingekuwa nzuri kwangu kama ningekuwa nimetenda dhambi? + +"kwa kuwa wasema haijalishi kuwa uko mwenye haki, na ya kwamba hakuna faida zaidi kwako kuliko kama ungekuwa umetenda dhambi" + diff --git a/job/35/04.md b/job/35/04.md new file mode 100644 index 00000000..c763628c --- /dev/null +++ b/job/35/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuzungumza + diff --git a/job/35/06.md b/job/35/06.md new file mode 100644 index 00000000..43056974 --- /dev/null +++ b/job/35/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi kiunganishi + +Elihu anaendelea kuongea + +# Kama umetenda dhambi, ni madhara gani huwa unayafanya kwa Mungu? + +Dhambi zako zote haziwezi kumharibu mtu au tabia za Mungu" + +# Ikiwa makosa yako yameongezeka zaidi, je huwa unafanya nini kwake? + +Swali hili linarudia wazo lile lile kama swali lililotangulia. "Ingawa unaendelea kutenda dhambi pamoja na matokeo makubwa, dhambi zako hazina athari juu yake. + +# Kama wewe ni mwenye haki, unaweza kumpa nini? Je atapokea nini mkononi mwako? + +Maswali haya mawili kimsingi yanamaanisha jambo lile lile, kwamba haki ya Ayubu haikuongeza chochote kwa Mungu. + +# kutoka mkononi mwako + +"kutoka kwako" + +# mwana wa mtu + +"mwanadamu mwenza" au "mtu mwingine" + diff --git a/job/35/09.md b/job/35/09.md new file mode 100644 index 00000000..82e3bb42 --- /dev/null +++ b/job/35/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuzungumza + +# katika mikono ya watu wenye nguvu + +Mahali hapa "mikono" ina maana ya ya nguvu au uwezo. + +# Lakini hakuna hata mmoja asemaye, ' Mungu Muumba wangu yuko wapi....ndege wa angani? + +"Lakini mtu wa haki kweli si mwenye kiburi hata kwa kusema kwamba Mungu amekataa kuwapa uwezo wa kuimba nyimbo za furaha, wakati wa mateso yao." + +# ambaye hutoa nyimbo wakati wa usiku, + +Hii ina maana kwamba ahadi za Mungu huwapa watu sababu ya kuwa na furaha hata wakati wakiwa katika mateso. + diff --git a/job/35/12.md b/job/35/12.md new file mode 100644 index 00000000..b3e1aeef --- /dev/null +++ b/job/35/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuzungumza + +# wanalia + +" watu walioteswa wanalia" + +# Ni kwa namna gani atakujibu + +"Hakika hatakujibu" + diff --git a/job/35/15.md b/job/35/15.md new file mode 100644 index 00000000..622b69a0 --- /dev/null +++ b/job/35/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Elihu anaendelea kuzungumza + +# Ni kwa jinsi gani atakujibu + +"Hakika hatakujibu" + +# huongeza maneno + +"anaendelea kuongea" + diff --git a/job/36/04.md b/job/36/04.md new file mode 100644 index 00000000..c7045326 --- /dev/null +++ b/job/36/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# maneno yangu hayatakuwa ya uongo; + +"Nitasema yale ya kweli" + +# angalia + +Neno 'angalia' mahali hapa linatia mkazo juu ya kile kinachofuata. "hakika" + +# yeye ni mwenye nguvu katika uweza wa ufahamu + +Kirai "mwenye nguvu katika uweza" kina maana "kuwa na nguvu zaidi" + diff --git a/job/36/06.md b/job/36/06.md new file mode 100644 index 00000000..d2a66adc --- /dev/null +++ b/job/36/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Haondoi macho yake kwa wenye haki + +"huwaangalia wale wenye haki" + +# huwaweka juu ya viti vya enzi kama wafalme + +Yahweh huwaheshimu watu kama watu wanavyowaheshimu wafalme. + +# nao wameinuliwa juu + +Maana zinazokubalika ni 1) anawafanya wengine" au 2)"anawafanya wengine wafanikiwe" + diff --git a/job/36/08.md b/job/36/08.md new file mode 100644 index 00000000..e8d09833 --- /dev/null +++ b/job/36/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wamefungwa minyororo + +Hapa kiambishi 'wa' kinawarejelea watu kwa ujumla. "mtu mmoja aliwafunga kwa minyororo'' + +# kunaswa katika kamba za mateso + +Elihu anaongelea juu ya mateso kana kwamba yanaweza kuwanasa watu kwa kamba. "kama mtu atawafanya wateseke" + diff --git a/job/36/10.md b/job/36/10.md new file mode 100644 index 00000000..a1297002 --- /dev/null +++ b/job/36/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hufungua pia masikio yao kwa ajili ya agizo lake + +"huwafanya wasikilize agizo lake" + +# siku zao....miaka yao + +Virai hivi viwili rinarejelea kipindi cha maisha ya mtu. + +# wataangamia kwa upanga + +"watakufa kifo cha vurugu" + diff --git a/job/36/13.md b/job/36/13.md new file mode 100644 index 00000000..e942afd2 --- /dev/null +++ b/job/36/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Na wale wasiomjua Mungu hutunza hasiria zao katika mioyo + +Mahali hapa neno "moyo" linarejelea "fikra na hisia" + diff --git a/job/36/15.md b/job/36/15.md new file mode 100644 index 00000000..fcb345c0 --- /dev/null +++ b/job/36/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hufungua masikio yao + +angalia ulivyotafsiria katika 36:10 + +# meza yenu ingewekwa + +"Watumishi wako wangeiweka meza yako" + +# chakula kilichojaa mafuta + +nyama yenye mafuta mengi ilikuwa ni ishara ya mafanikio kwasababu wanyama walikuwa na afya njema na walilishwa vizuri. "vyakula vizuri sana" + diff --git a/job/36/17.md b/job/36/17.md new file mode 100644 index 00000000..53de256c --- /dev/null +++ b/job/36/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wewe umejaa hukumu juu ya watu waovu + +Maana zinazokubalika ni 1)" Mungu anakuhukumu kama ambavyo angewahukumu watu waovu" au 2) "umejawa na kushikwa na hukumu ambayo watu waovu wanastahili" + +# hukumu na haki umeziachilia + +"Mungu amekuleta katika hukumu na amekupa haki" + +# Usiuache utajiri ukuvute katika udanganyifu; + +Usimruhusu mtu akuvute katika udanganyifu kwa mali. + +# sehemu kubwa ya rushwa isikugeuze upande kutoka katika haki. + +"Usimruhusu mtu akugeuze upande kutoka katika haki kwa rusha kubwa. + diff --git a/job/36/19.md b/job/36/19.md new file mode 100644 index 00000000..62e006c6 --- /dev/null +++ b/job/36/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Je utajiri wako waweza kukunufaisha, ili kwamba usiwe katika taabu, au nguvu zako zote za uwezo zaweza kukusaidia? + +Elihu anauliza maswali haya ili kutia mkazo kwamba pesa na nguvu hazitaweza kumsaidia Ayubu kama atatenda isivyo haki. + +# nguvu zako zote za uwezo + +"nguvu zako zote kubwa" + +# wakati ambapo mataifa hukatiliwa mbali katika nafasi zao + +Maana zinazokubalika ni 1)" wakati makundi ya watu yatakapotoweka kutoka katika sehemu yake au 2) " wakati watu watakapowavuta kutoka katika nyumba zao," + +# unajaribiwa kwa mateso + +"Mungu anakujaribu wewe kwa kukufanya uteseke" + diff --git a/job/36/22.md b/job/36/22.md new file mode 100644 index 00000000..a7edf0b2 --- /dev/null +++ b/job/36/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Angalia + +Neno 'angalia' mahali hapa linaongeza mkazo kwa kile kinachofuata + +# nani aliye mwalimu kama yeye? + +Jibu lililofichwa kwa swali hili ni "hakuna" "Hakuna mwalimu kama yeye" au "hakuna awezaye kufundisha kama anavyofanya yeye" + +# Ni nani alishamwalekeza njia yake? + +"Hakuna hata mmoja ambaye alishamwamuru yeye na kumwelekeza kitu cha kufanya. + diff --git a/job/36/25.md b/job/36/25.md new file mode 100644 index 00000000..18ec9846 --- /dev/null +++ b/job/36/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa mbali + +""Isiyo kamili" + +# Tazama + +Neno "tazama" mahalip hapa linaongeza kile kijacho. + +# hesabu ya miaka yake + +"umri wake" + diff --git a/job/36/27.md b/job/36/27.md new file mode 100644 index 00000000..8cf68695 --- /dev/null +++ b/job/36/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kuna hata mmoja awezaye kuelewa kwa undani kusambaa kwa mawingu na radi kutoka katika nyumba yake? + +Jibu lisilo la wazi ni "Hapana" + +# nyumba yake + +Mahali hapa ni "nyumba yake" inawakilisha anga la juu mahali ambapo Mungu hudhani kuwa huiishi huko. + diff --git a/job/36/30.md b/job/36/30.md new file mode 100644 index 00000000..c273459a --- /dev/null +++ b/job/36/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Angalia + +Neno 'angalia' mahali hapa linaongeza mkazo kwa kile kinachofuata. + diff --git a/job/36/32.md b/job/36/32.md new file mode 100644 index 00000000..34a36220 --- /dev/null +++ b/job/36/32.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yeye huuijaza mikono yake kwa mwanga + +Maana zinazokubalika ni 1) kwamba Mungu anashikilia vifungo vya mwanga mkononi mwake ili aweze kuzitupa au 2) kwamba Mungu huuficha vifungo vya mwanga katika mikono yake hadi pale alipo tayari kuvitumia. + +# ngurumo zake + +"Sauti ya mwangaza" + diff --git a/job/37/01.md b/job/37/01.md new file mode 100644 index 00000000..2d8b21fd --- /dev/null +++ b/job/37/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# moyo wangu hutetemeka...umeondolewa kutoka katika sehemu yake + +Virai hivi viwili kimsingi vina maana moja ile ile na kutia mkazo wa ukubwa wa hofu yake. + +# moyo wangu hutetemeka kwa hili + +Neno 'hili' linarejelea dhoruba katika 36:32 + +# umeondolewa kutoka katika sehemu yake + +Mapigo ya moyo wa Elihu yanaongelewa kana kwamba yalikuwa yanaruka nje ya kifua chake. + +# kelele za sauti yake, sauti inayotoka katika mdomo wake. + +Virai hivi viwili kimsingi vina maana ile ile. Elihu anaiongelea sauti ya radi kana kwamba ni sauti ya Mungu. + +# mipaka ya dunia + +"sehemu yeyote katika dunia" + diff --git a/job/37/04.md b/job/37/04.md new file mode 100644 index 00000000..297bd926 --- /dev/null +++ b/job/37/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sauti huunguruma baada yake...mshindo wa mwanga wakati sauti yake inaposikika + +Elihu anaendelea kuzungumzia radi kana kwamba ni sauti ya Mungu. + +# wakati sauti yake inaposikika + +"wakati watu wanapoisikia sauti yake" + diff --git a/job/37/07.md b/job/37/07.md new file mode 100644 index 00000000..6fd1e931 --- /dev/null +++ b/job/37/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Huuzuia mkono wa kila mtu + +"humzuia kila mtu" + +# Dhoruba hutoka katika chumba chake upande wa kusini na baridi kutoka katika pepo zilizotawanyika katika upande wa Kaskazini. + +Katika Israeli, upepo mkali wa dhoruba huvuma kutoka kusini na hewa ya baribi hufika kutoka kaskazini. + +# chumba chake upande wa kusini + +Elihu anaongelea dhoruba kuwa ina sehemu inapokaa mpaka + diff --git a/job/37/10.md b/job/37/10.md new file mode 100644 index 00000000..5a8725db --- /dev/null +++ b/job/37/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Barafu imetolewa kwa pumzi ya Mungu + +Elihu anaongelea juu ya upepo wa baridi wa kaskazini kana kwamba ni pumzi ya Mungu. "Pumzi ya Mungu hufanya barafu" + +# umeganda kama chuma + +wakati maji yanapoganda, huwa magumu kama chuma + diff --git a/job/37/14.md b/job/37/14.md new file mode 100644 index 00000000..1ccadb18 --- /dev/null +++ b/job/37/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je unajua ni kwa namna gani Mungu hushurutisha mawingu na kuufanya mwanga wa radi ung'ae ndani yake? + +Jibu lililojificha la swali hili ni ''hapana''. + diff --git a/job/37/16.md b/job/37/16.md new file mode 100644 index 00000000..b10747f5 --- /dev/null +++ b/job/37/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Je unafahamu kuelea kwa mawingu, matendo ya ajabu ya Mungu, Je ni nani aliyemkamilifu katika maarifa? + +"Haufahamu kuelea kwa mawingu, matendo ya ajabu ya Mungu, ambaye ni mkamilifu katika maarifa." + +# kuelea kwa mawingu + +"jinsi mawingu yanavyoelea" + +# matendo ya ajabu ya Mungu + +"njia za miujiza ambayo kwayo huyafanya mawingu yaelee katika anga" + +# Je unafahamu ni kwa jinsi gani mavazi yako huwa ya moto wakati nchi ikiwa imetulia kwasababu ya upepo unaotoka upande wa kusini? + +"Wewe haufahamu jinsi ya kuzuia kutoka kwa jasho katika nguo zako; ni hatari sana wakati upepo wa joto kali unapokoma kuvuma kutoka kusini na majani yote katika miti hutulia" + diff --git a/job/37/18.md b/job/37/18.md new file mode 100644 index 00000000..3fad4f92 --- /dev/null +++ b/job/37/18.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Je unaweza kulitandaza anga kama anavyofanya - anga ambalo lina nguvu kama kioo cha chuma kigumu? + +"Hauwezi kulitandaza anga kama anavyoweza kwa anga ambalo ni gumu kama kioo cha chuma kigumu" + +# nguvu kama kioo cha chuma + +Katika siku za Biblia, vioo vilitengenezwa kwa chuma. Elihu anaongelea anga kama anavyoangalia chuma kigumu wakati halitoi mvua. + +# chuma kigumu + +Hii inarejelea chuma kilichoyeyushwa, na kumwagwa + +# Tufundishe sisi kile tunachopaswa kumwambia yeye + +'mahali hapa maneno 'sisi' na kiambishi 'tu' yanamrejelea Elihu, Elifazi, Bildadi na Zofari, lakini si Ayubu. Elihu anatumia kirai hiki kwa kejeli. + +# kwasababu ya kiza katika akili zetu. + +"kwasababu hatufahamu" + +# je anapaswa kuambiwa kwamba ninapenda kuongea naye? + +"Sitakuwa na mtu wa kumwambia kwamba ninataka kuongea naye" + +# Je anapaswa kuambiwa + +"je nipate mtu wa kumwambia" + +# Je mtu angependa kumezwa? + +"Hakuna mtu ambaye angependwa kumezwa" + +# kumezwa + +"kwa ajili ya Mungu kumwua" + diff --git a/job/37/23.md b/job/37/23.md new file mode 100644 index 00000000..de8a82a0 --- /dev/null +++ b/job/37/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wale ambao ni wenye hekima katika akili zao wenyewe. + +"wale wanaojidhania kuwa ni wenye hekima" + diff --git a/job/38/01.md b/job/38/01.md new file mode 100644 index 00000000..46204364 --- /dev/null +++ b/job/38/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# "Huyu ni nani ...... bila maarifa? + +Yahweh anatumia swali hili ili kutia mkazo kwamba Ayubu alikuwa ameseam mambo ya kipumbavu. "Umeleta giza.... pasipo ufahamu." + +# aletaye giza katika mipango + +Giza linawakilisha ushari wa kipumbavu. + +# kwa njia ya maneno bila maarifa? + +"kwa kusema maneno lakini pasipokuwa na maarifa" + +# jifunge kiunoni mwako + +"jifunge nguo yako kiuoni" Wanaume wajifunga nguo kuzunguka viunoni mwao, ili kwamba miguu iwe huru katika vita au mashindano. + +# kama mwanaume + +"Kama shujaa" + +# lazima unijibu + +"lazima animbie majibu" + diff --git a/job/38/04.md b/job/38/04.md new file mode 100644 index 00000000..0bf2894c --- /dev/null +++ b/job/38/04.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu. + +# Wewe ulikuwa wapi... misingi + +Yahweh anaumia swali hili il kutia mkazo kwamba Ayubu hakuwepo wakati Mungu alipoumba dunia, hivyo Ayubu haelewi jinsi Mungu alivyoiumba dunia. + +# ilipoitandaza misingi ya dunia + +"Nilifanya misingi ya dunia" Yahweh anaelezea jinsi alivyoiumba dunia kana kwamba alikuwa akijenga jengo. + +# Niambie + +"Niambie jibu" + +# kama unao ufahamu zaidi + +"unadhani unajua sana" + +# ni nani aliyeamuru vipimo vyake + +Yahweh anatumia swali hili kutia mkazo kwamba ni yeye anayeamua namna ukubwa wa dunia unavyopaswa kuwa, hivyo ni yeye pekee anayejua jinsi alivyoifanya. + +# alivinyosha vipimo juu yake + +"aliipima dunia kwa kamba" + +# kipimo + +kamba ambayo watu waliitumia ili kuhakiki kuwa wanajenga jengo kwa kipimo halisi na kwa muundo sahihi. + diff --git a/job/38/06.md b/job/38/06.md new file mode 100644 index 00000000..6a05b036 --- /dev/null +++ b/job/38/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu + +# Ni nani............jiwe la pembeni + +Yahweh anatumia maswali haya kutia makazo kwamba Ayubu hajui jinsi Yahweh alivyoifanya dunia. + +# Misingi yake ilitandazwa juu ya nini? + +Ni juu ya nini misingi ya dunia iliwekwa. + +# nyota za asubuhi + +"nyota angavu ambazo huangaza asubuhi" + +# wakati nyota za asubuhi zilipoimba pamoja + +Yahweh anaelezea juu ya nyota kana kwamba walikuwa ni watu walioweza kuimba. + +# wana wa Mungu + +"malaika" + +# kwa furaha + +"kwasababu walikuwa na furaha imejaa" + diff --git a/job/38/08.md b/job/38/08.md new file mode 100644 index 00000000..f235c5e0 --- /dev/null +++ b/job/38/08.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu. + +# huifunga bahari + +Yahweh anatumia swali hili ili kutia mkazo kwamba aliifanya bahari. + +# huifunga bahari kwa milango + +Yahweh analinganisha njia aliyoitumia kuizuia bahari ili isiigharikishe dunia yote na kuishikilia bahari kwa nyuma. + +# kana kwamba inatoka katika tumbo + +Yahweh analinganisha uumbaji wake wa bahari na uzazi. + +# mavazi yake + +kama nguo kwa ajili ya bahari + +# giza nene + +:mawingu meusi sana" + +# na giza nene kuwa mkanda wake wa kujifungia + +"na kufunga katika mawingu mazito Kama mkanda wa kujifungia" + +# mkanda wake wa kujifungia + +Hiki ni kipande cha nguo ambacho watu walikitumia kuwafunga watoto wachanga baada ya kuzaliwa. + diff --git a/job/38/10.md b/job/38/10.md new file mode 100644 index 00000000..6888dc8c --- /dev/null +++ b/job/38/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu + +# apo ilikuwa wakati nilipoweka bahari mpaka wangu, + +Nlifanya mipaka kwa ajili ya bahari. + +# mpaka + +Yahweh aliumba mpka kuzunguka bahari kwamba bahari haziruhusiwi kuuvuka. + +# nilipoweka makomeo yake na milango, + +Yahweh analinganisha namna alivyotengeneza mpaka wa bahari na ya kwamba bahari ina milango na makomeo. "Hivyo niliweka vizuizi ili kwamba maji yasiweze kuvuka juu ya nchi." + +# makomeo + +ni kpande kirefu cha ubao au chuma ambacho hutumika kwa ajili ya kufungia mlango. + +# kwa fahari ya mawimbi yako + +Yahweh anazungumzia juu ya mawimbi kana kwamba walikuwa ni watu. Ina maana kwamba mawimbi yana fahari kwa kuwa yana nguvu. + diff --git a/job/38/12.md b/job/38/12.md new file mode 100644 index 00000000..badfe3f6 --- /dev/null +++ b/job/38/12.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh aendelea kumtia changamoto Ayubu. + +# Je tangu mwanzo wa siku zako, ulishawahi .....waovu watikiswe mbali nayo? + +Yahweh anatumia swali hili kutilia mkazo kwamba ni Mungu tu anazo nguvu juu ya asubuhu na Ayubu hana hizo nguvu. + +# tangu mwanzo wa siku zako + +Kirai hiki kina maana "tangu ulipozaliwa" au "katika siku + +# kuigiza asubuhi + +Yahweh anaeilezea asubuhi kana kwamba alikuwa ni mtu ambaye angeweze kupokea maagizo. + +# a kuyafanya mapambazuko yajue sehemu yake katika mpangilio wa vitu + +"uyaache mapambazuko yajue kule miliki yake iliko" + +# mapambazuko + +ni mwanga unajitokeza asubuhi kabla ya jua halijachomoza. + +# ili kwamba ishikilie sehemu za dunia + +Yahweh anaiongelea asubuhi kana kwamba ni mtu anayeshikila pembe za dunia kama pembe za mkeka. Mapambazuko yanaonekana kushikilia sehemu za dunia kwasababu mwanga wake huonekana kwanza pembezoni. + +# ili watu waovu watikiswe mbali nayo. + +''na kuwatikisa watu waovu nje ya dunia." Mwanga wa mapambazuko huwafanya watu waovu waende mbali kama kutikisa kwa mkeka kunavyotoa uchafu juu yake. + diff --git a/job/38/14.md b/job/38/14.md new file mode 100644 index 00000000..59ac0355 --- /dev/null +++ b/job/38/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Dunia imebadilishwa katika mwonekano kama udongo unavyobadilika chini ya muhuri; + +Watu hawawezi kuona vizuri kwa wakati wa usiku, lakini asubuhi hufunua wazi muundo wa kila kitu, kama vile muhuri unavyoumba mwonekano katika udongo. + +# Mwanga' wao umeondolewa kutoka kwa watu waovu + +"Asubuhi huondolea mbali mwanga wa watu waovu" + +# mwanga wao + +Watu waovu hudhani giza kuwa ndio mwanga wao, kwa kuwa wanafanya matendo yao maovu katika giza na wameizoelea giza. + +# mkono wao ulioinuliwa umevunjwa + +Mkono ulioinuliwa wa watu waovu unaonesha kwamba wana nguvu na nia ya kufanya mambo maovu, lakini mwanga wa asubuhi huvunja mkono wa ili kwamba wasiwe na uwezo wa kufanya maovu. + diff --git a/job/38/16.md b/job/38/16.md new file mode 100644 index 00000000..2fa4136d --- /dev/null +++ b/job/38/16.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh aendelea kumtia changamoto Ayubu. + +# Je ume...upana wake? + +Yahweh anatumia maswali haya ili kutia mkazo kwamba vitu hivi ambavyo Ayubu hajavifanya na ya kwamba kuna vitu vingi sana ambavyo Ayubu havijui. + +# vyanzo + +"chemichemi" + +# kilindi + +"maji"j au "bahari" au "vilindi vya maji" + +# Je malango ya mauti yamefunuliwa kwako? + +"Je kuna mtu amekuonesha malango ya kuzimu" + +# e umeifahamu dunia katika upana wake? + +"Je umekiangalia kila kitu kkwa umakini katika njia zake kwa sehemu za mbali sana za dunia" + +# kama unayajua yote hayo + +"kama umezoea dunia yote" au "kama unajua kila kitu kuhusu dunia" + diff --git a/job/38/19.md b/job/38/19.md new file mode 100644 index 00000000..720d99af --- /dev/null +++ b/job/38/19.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh aendelea kumtia changamoto Ayubu. + +# sehemu ya kupumzikia kwa mwanga, + +"sehemu ambayo mwanga hukaa" au " sehemu ambayo mwanga unaishi" Yahweh anauelezea mwanga kana kwamba alikuwa ni mtu. + +# sehemu zake za kazi + +"kwa mpaka wake' Mpaka huizunguka sehemu ya mwanga na giza. Wakati usiku unapoisha, giza hurudi katika sehemu yake. Na wakati siku inapoisha, mwanga hurudi katika sehemu yake. + +# Bila shaka......kubwa sana! + +Yahweh anatumia kejeli ya kinyume ili kutia mkazo kwamba Ayubu hauelewi mwanga na giza. "Ni wazi kwamba hauelewi kwa sababu ulikuwa bado haujazaliwa wakati nilipoviumba na haukuwa mtu mzima" + +# kwa kuwa ulizaliwa wakati huo + +Neno 'wakati" linarejelea muda ambao mwanga uliumbwa na kutengwa na giza. "kwa kuwa ulikuwa umezaliwa wakati nilipouumba ulimwengu" + +# hesabu ya siku zako ni kubwa sana! + +"umeishi miaka mingi sana ' au wewe ni mzee sana" + diff --git a/job/38/22.md b/job/38/22.md new file mode 100644 index 00000000..91a0429c --- /dev/null +++ b/job/38/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu + +# ume....juu ya dunia? + +Yahweh anatumea maswali haya kukazia kwamba Ayubu hajui jinsi ambavyo Yahweh hutuma barafu, mawe ya mvua, radi na upepo wa mashariki juu ya nchi. + +# mawe ya mvua + +vipande vya mviringo vya barafu ambavyo huanguka ardhini kutoka angani. + diff --git a/job/38/25.md b/job/38/25.md new file mode 100644 index 00000000..d305b1cf --- /dev/null +++ b/job/38/25.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu. + +# Ni nani aliyezitengeneza mifereji + +Yahweh anatumia swali hili kutia mkazo kwamba yeye ndiye hufanya mambo haya yote. + +# gharika ya mvua + +"mbubujiko wa nguvy wa mvua" + +# njia + +"barabara'' au "sehemu za kupita" + +# milipuko ya radi + +"sauti ya radi." Hii ni sauti kuu ya radi ambayo hutoka katika mawimbi ya hewa. + +# kuifanya mvua inyeshe + +Yahweh hutengeneza mifereji ya chemichemi ya maji ili kwamba aweze kutuma maji juu ya nchi sehemu ambazo hakuna watu. + +# hakuna mtu aishiye ndani yake + +"sehemu isiyo na watu" + +# ili kutimiza mahitaji + +"ili kwamba mvua iweze kukidhi mahitaji" + +# mikoa iliyo kame na yenye ukiwa + +"sehemu ambazo hazina mimea au wanyama au watu" + +# majani mororo + +majani ambayo kwanza yameanza kukua na bado machanga na laini + +# kuyastawisha + +"kuanza kukua" + diff --git a/job/38/28.md b/job/38/28.md new file mode 100644 index 00000000..c998ff3a --- /dev/null +++ b/job/38/28.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu. + +# Je kuna baba wa mvua? Ni nani aliyeyafanya matone ya umande? + +Yahweh anatumia maswa haya kukazia kwamba Ayubu hafahau jinsi Yahweh anavyoitengeneza mvua, umande, barafu, na theluji + +# Je kuna baba wa mvua? + +Yahweh anaiongelea mvua kana kwamba alikuwa ni mtu. + +# aliyeyafanya + +kazi ya baba katika kumfanya mtoto azaliwe + +# matone ya umande + +matone ya umande ambayo huunda mtonesho katika mmea na katika vitu vingine + +# Na ni nani aliyeizaa theluji nyeupe + +"ambaye ameizaa theluji nyeupe" + +# Maji hujificha menyewe + +katika kipindi cha masika barafu huficha maji chini yake. + +# vilindi + +Hii hurejelea maji ya kina kirefu kama vile maziwa, mito, na bahari + diff --git a/job/38/31.md b/job/38/31.md new file mode 100644 index 00000000..7a718826 --- /dev/null +++ b/job/38/31.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu + +# Je unaweza kuzifunga minyororo.....juu ya dunia + +Yahweh anatumia maswali haya kukazia kwamba Ayubu hajui jinsi ya kutawala na kuongoza nyota. + +# kuzifunga minyororo + +"kukaza minyororo" au "kufunga vifungo" + +# Kilimia...Orioni...dubu + +Haya ni majina ya makundi ya nyota. + +# kuvifungua vifundo vya Orioni + +"kuvunja vifungo vinavyoshikilia Orioni" + +# nyota + +Hii inarejelea aina kumi na mbili tofauti tofauti za nyota ambazo huonekana baada ya jua wakati linapozama. Mkusanyiko wa nyota huonekana nyuma ya jua kila mwezi. + +# kutokea katika nyakati zake + +"ili kwamba zionekanae kwa wakati sahihi" + +# watoto wake + +"vitoto vichanga vya dubu" + diff --git a/job/38/34.md b/job/38/34.md new file mode 100644 index 00000000..c62ea017 --- /dev/null +++ b/job/38/34.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu + +# Je waweza kupaza....sisi tupo hapa + +Yahweh anatumia maswali haya kukazi kwamba Ayubu hawezi kutawala mawingu, mvua au mwanga wa radi. + +# ili kwamba maji mengi ya mvua yakufunike + +"ili kwlamba maji mengi sana yatakufunika" + +# Je waweza kuagiza miali ya mwanga ili itokee + +"waweza kuamuru miali ya radi kutokea mahali unapotaka itokee na kwa kweli itatokea' + +# kukwambia + +"na watakwambia" + +# Sisi tupo hapa + +Kirai hiki kina maana, "sisi tupo hapa ili kwamba wewe utuambia kila unachotaka sisi tufanye" + diff --git a/job/38/36.md b/job/38/36.md new file mode 100644 index 00000000..c1dac537 --- /dev/null +++ b/job/38/36.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu + +# Ni nani ameweka hekima...kushikama kwa pamoja + +Yahweh anatumia maswali haya kukazi kwamba Mungu ana utawala juu ya mawingu na kwamba Ayubu hana uwezo huo + +# ameweka hekima katika mawingu + +'ameyapa mawingu hekima" Yahweh anaelezea mawingu kana kwamba walikuwa ni watu na alikuwa ameyapa hekima ili kwamba yajue kile cha kufanya. + +# Nani anaweza kuyahesabu mawingu + +Kirai hiki kina maana: "Ni nani awezaye kujua kuwa ni wembamba wa mawingu ni wa namna ganii katika anga" + +# viriba + +Hivi ni vitu vilivyotengenezwa na watu ili viweze kuhifadhi maji. Yahweh anayarejeleamawingu mazito kama "viriba" kwasababu kwa kuwa yanashikilia maji mengi kama viriba vya maji. + +# wakati mavumbi yanapoungana kuwa kitu kigumu + +"wakati matope ya mvua yanapoungana kwa pamoja kuwa kipande kimoja." Mvua huyafanay mavumbi makavu yaungane kwa pamoja kama kipande kimoja cha udongo. + +# mabonge ya dunia yanaposhikama kwa pamoja + +Vipande vya udongo hushikana kwa pamoja" + diff --git a/job/38/39.md b/job/38/39.md new file mode 100644 index 00000000..11773309 --- /dev/null +++ b/job/38/39.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu + +# Je waweza kuwinda... kulala katika hali ya kuvizia + +Yahweh anatumia maswali haya kukazia kwamba yeye anajua jinsi ya kulisha simba, lakini Ayubu hajui. + +# mawindo + +"nyara" Huyu ni mnyama ambaye anaweza kuliwa na simba + +# simba jike + +Huenda ni "simba" + +# au kutosheleza hamu ya watoto wadogo wa simba + +"au kuwapa simba wadogo chakula cha kutosha ili kwamba waweze kuishi" + +# watoto wake wadogo + +"simba wadogo." Hawa ni simba wadogo ambao wana umri unaotosha kuwinda wao wenyewe. + +# katika pango lao + +"katika sehemu ambazo wanaishi" au "sehemu za makao yao" + +# kukaa katika kificho + +"kulala katika uoto wa mimea minene" + +# kulala katika hali ya kuvizia + +"ambayo ni sehemu ya kuvizia" au "ni sehemu ambayo wanajificha ili kukamata wanyama wengine." Simba hujificha katika katika mimea minene na kusubiria mnyama apite na ili wamrukie na kumkamata mnyama huyo. + diff --git a/job/38/41.md b/job/38/41.md new file mode 100644 index 00000000..c413c9f3 --- /dev/null +++ b/job/38/41.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu + +# aletaye mawindo + +Yahwe anatumia swali hili kukazi kwamba ni yeye aletaye chakula kwa kunguru na ya kwamba Ayubu halijui hilo. + +# mawindo + +mnyama ambaye kunguru humtafuta na anaweza kumla + +# kunguru + +ndege aina ya kunguru + +# wanapomlilia Mungu + +"kumlilia Mungu ili kupata msaada" au " kumlilia Mungu ili awaokoe" + +# kutangatanga + +"kuzunguka zunguka" + +# kwa kukosa chakula + +"kwasababu hawana chakula" au "kwa kuwa hawana kitu cha kula" + diff --git a/job/39/01.md b/job/39/01.md new file mode 100644 index 00000000..78403e40 --- /dev/null +++ b/job/39/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu. + +# Je unajua ni wakati gani .... muda ambao huzaa watoto wao + +Yahweh anatumia maswali haya kutia mkazo kwamba anatunza mbuzi na paa ilihali Ayubu hawezi kufanya hivyo. + +# Je waweza kuwangalia paa wakati wanapozaa watoto wao? + +"wakai paa wanapozaa je waweza kuhakikisha kwamba kila kitu kinaenda sawa" + +# wanapozaa watoto wao + +"kuzaa" + +# "kuhesabu miezi ya kuchukua mimba + +"kuhakikisha kuwa wanakamilisha muda wa mimba zao" + +# wa.... + +Kiambishi hiki kinarejelea mbuzi na paa + +# muda ambao huzaa watoto wao + +wakati wao wa kuzaa" + diff --git a/job/39/03.md b/job/39/03.md new file mode 100644 index 00000000..9844e3e1 --- /dev/null +++ b/job/39/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu + +# Wanainama chini + +Kiambishi 'wa'inarejelea mbuzi na paa + +# kuzaa watoto wao + +"kuwafanya watoto wao watoke ndani yao" + +# kisha maumivu yao ya uzazi yanaisha + +Maneno "maumivu ya uzazi' yanarejelea uzao wa mbuzi na paa kwasababu ni matokeo ya kazi na maumivu ya mama zao. + +# uwanda wa wazi + +"nchi ya mashamba" au "porini" + +# hawarudi tena + +"hawatarudi tena kwao" au " kurudi kwa mama zao" + diff --git a/job/39/05.md b/job/39/05.md new file mode 100644 index 00000000..ccd43ffd --- /dev/null +++ b/job/39/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu + +# nani.....nchi ya chumvi + +Yahweh anatumia maswali haya ili kutia mkazo kwamba yeye huwalinda punda pori na ya kwamba Ayubu hawezi kufanya hivyo. + +# Punda mwtu.... punda wepesi + +Haya ni majina tofauti ya aina ile ile ya punda + +# vifungo + +kamba, minyororo ambayo hufunga mnyama na kumzuia asikimbie. + +# ni nyumba ya nani + +Yahweh anaiongolea punda kana kwamba alikuwa ni mtu ambaye ana nyumba. "Nilimpta Araba kama nyumba ya kuishi" + +# nchi ya chumvi + +nchi inayoizunguka Bahari ya Chumvi ambayo ina chumvi nyingi ndani yake. + diff --git a/job/39/07.md b/job/39/07.md new file mode 100644 index 00000000..7bc7c5c9 --- /dev/null +++ b/job/39/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu + +# hu... + +Kiambishi hiki kinarejelea punda mwitu + +# Hucheka kwa dharau + +Yahweh anaiongelea punda kana kwamba alikuwa ni mtu. Punda walichekka kwasababu wale walikuwa katika mji lazima wasikie sauti kubwa, ingawa alikuwa akiishi sehemu ya ukimya. + +# mwongozaji + +mtu ambaye anawalazimisha wanyama kufanya kazi. + +# malisho + +sehemu ambazo wanyama wanaweza kula mimea inayokua katika mashamba + diff --git a/job/39/09.md b/job/39/09.md new file mode 100644 index 00000000..07167c8d --- /dev/null +++ b/job/39/09.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu + +# je nyati...bonde kwa ajili yako? + +Yahweh anatumia maswali haya ili kutia mkazo kwamba Ayubu hawezi kuwatawala nyati. + +# Nyati + +Maana zinazowezekana ni 1) "ng'ombe wa porini" 2)"swala" aina fulani ya swala anayeonekana kama ng'ombe dume. + +# kuwa na furaha + +"kuridhia" + +# atakubali kukaa katika zizi lako + +"kukaa karibu na zizi wakati wote wa usiku" + +# hori/zizi + +Katika mazingira ya Israeli, hiki kilikuwa ni chombo cha kulishia wanyama + +# mtaro + +Ni mfereji mrefu uliotengenezwa katika sehemu chafu kwa kutumia plau. + +# kuchimba + +"kulima kwa plau" + +# kwa ajili yako + +"nyuma yako" wakati wa kulima kwa plau, mtu huongoza ng'ombe akiwa nyuma yake. + diff --git a/job/39/11.md b/job/39/11.md new file mode 100644 index 00000000..21fb3dfe --- /dev/null +++ b/job/39/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu + +# waweza kumtumaini...uwanda wako wa kupuria + +Yahweh anatumia maswali haya ili kutia mkazo kwamba Ayubu hawezi kuwatawala nyati. + +# kumtumaini + +Kiambishi 'm' kinamrejelea 'nyati" + +# kumwachia kazi yako ili aifanye + +"umwachie yeye aifanye kazi yako ngumu kwa ajili yako" + diff --git a/job/39/13.md b/job/39/13.md new file mode 100644 index 00000000..cf3716d1 --- /dev/null +++ b/job/39/13.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu + +# Mabawa... ya upendo + +Yahweh anatumia swali hii ili kutia mkazo kwamba Ayubu hawezi kuelezea kwanini mbuni wanaenenda jinsi wanavyofanya. + +# mbuni + +huyu ni ndege mkubwa ambaye anaweza kukimbia haraka, lakini hawezi kupaa. + +# kwa majivuno + +"kwenda kwa furaha" + +# mabawa + +haya ni manyoya marefu juu ya mabawa ya ndege + +# manyoya + +ni manyoya madogo yaliyoenea juu y mwili wote wa ndege + +# yana upendo + +Maana zinazowezana 1) "uaminifu" 2) "ya kurungu" Jina hili lilimaanisha "mwaminifu mmoja" au mwenye kupenda, kwasababu kunguru huwajali sana watoto wake. + +# katika nchi + +juu ya ardhi + +# kuyaharibu + +Neno hili linarejelea mayai. + +# kuyakanyaga + +"kukanyaga juu yao" + diff --git a/job/39/16.md b/job/39/16.md new file mode 100644 index 00000000..a6dfd3f2 --- /dev/null +++ b/job/39/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Huyatendea vibaya + +kiambishi 'hu' kinamrejelea mbuni jike + +# kazi yake + +kazi ile ambayo huifanya wakati wa kulalia mayai na kuwahudumia vifaranga. + +# yaweza kupotea bure, + +kama watoto watakufa, kazi yake yote itakuwa ni bure + +# amemnyima hekima + +humfanya asahau hekima + +# ufahamu + +Angalia ulivyofasiri katika 11:4 + +# huwacheka...mpanda farasi wake + +Ina maana kwamba hucheka kwasababu huenda kwa kasi kulliko farasi. "Hucheka... kwa mpanda farasi wake, kwasababu farasi hawezi kukimbia kwa kama yeye. + diff --git a/job/39/19.md b/job/39/19.md new file mode 100644 index 00000000..fc07c574 --- /dev/null +++ b/job/39/19.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu + +# Je umempa farasi ... panzi? + +Yahweh anatumia maswali haya kutia mkazo kwamba ni yeye ndiye huyafanya mambo haya ambayo Ayubu hayawezi. + +# umeivika shingo yake + +Neno 'kuvika" ni njia ya kuelezea jinsi ambavyo Yahweh alivyoifanya shingo ya farasi. + +# manyoya yake + +ni nywele ndefu ambazo hushuka chini kutoka katika shingo ya farasi na hutisika wakati farasi anapoondoka. + +# nzige + +ni aina kubwa ya panzi ambayo yaweza kuruka kwenda mbali na kwa haraka sana. + +# mlio + +ni sauti kubwa ambayo farasi huitoa katika pua zao. + diff --git a/job/39/21.md b/job/39/21.md new file mode 100644 index 00000000..096d2bc9 --- /dev/null +++ b/job/39/21.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Hurarua + +Kiambishi 'hu' kinarejelea farasi. Farasi huchimbua ardhi kwasababu anakuwa amesisimka kuanza kupigana. + +# hurarua + +"kuchimbua ardhi kwa kutumia kwato" + +# hudharau + +"kuchekelea" + +# hashangazwi + +"kuogopeshwa'' au ''kuhofu'' + +# harudi nyuma + +"hakimbii mbali'' + +# podo + +ni chombo ambacho hutunza mishale + +# hugongagonga + +"kutikisika na kutoa kelele'' + +# ubavuni + +sehemu za pembeni za farasi + +# fumo + +ni mti mrefu uliochongoka mwishoni ambao watu huurusha kwa maadui zao. + diff --git a/job/39/24.md b/job/39/24.md new file mode 100644 index 00000000..78758687 --- /dev/null +++ b/job/39/24.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# huimeza + +Kiambishi 'hu' kinarejelea farasi + +# huimeza nchi + +Farasi hukimbia kwa kasi juu ya ardhi na ya kwamba nchi hupita kama mtu anakunywa maji. + +# hasira na ghadhabu + +"kwa miondoko mikubwa na ya haraka" Farasi anaposisimuka huondoka kwa haraka na kwa nguvu. Na kwasababu hii, farasi hukimbia kwa haraka. + +# katika sauti ya tarumbeta, + +"wakati mtu fulani anapopuliza tarumbeta ili kutangaza kwamba vita imeanza." + +# hawezi kusimama sehemu moja + +"mara kwa mara huwahi kwenye vita" + +# husema Ooo! + +Watu hutoa Sauti Ooo! wakati wanapokuwa wamefurahia kitu fulani. Farasi huwa na furaha kwasababu huifurahia vita. + +# vishindo vya radi + +Hii ina maana kwamba farasi huvisikia vitu hivi. "husikia sauti ya radi" + +# kelele + +"Vita hupiga kelele" Watu huwa na kilio maalumu ambacho hukitumia kuonesha kuwa wao ni watu gani na nguvu zao kuu na ujasiri na kuwaogopesha maadui. + diff --git a/job/39/26.md b/job/39/26.md new file mode 100644 index 00000000..921b0033 --- /dev/null +++ b/job/39/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Je ni kwa hekima ... kwa upande wa kusini? + +Jibu lililofika la swali hili ni "hapana". Si kwa hekima yetu..." + +# Je ni kwa hekima yako kwamba mwewe hupaa + +"si wewe unayemfunza mwewe kuruka" + +# huyanyosha mabawa yake + +hupaa + +# kwa upande wa kusini + +Katika jiografia ya kibiblia, ndegu hupaa na kuelekea upande wa kusini katika kipindi cha masika ili kuishi katika hali ya joto. + diff --git a/job/39/27.md b/job/39/27.md new file mode 100644 index 00000000..754159fe --- /dev/null +++ b/job/39/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Je ni kwa agizo lako ... kiota chake katika sehemu za juu? + +Jibu lililofichika la swali hili ni ''hapana'' ''si kwa maagizo yako....kiota katika sehemu za juu" + +# Je ni kwa agizo lako + +"je ni kwasababu wewe unaiambia kufanya hivyo" + +# huruka juu + +"hupaa juu angani" + +# majabali + +ni vifusi virefu ni makao ya tai kwasababu wanyama ambao wangetaka kuwala hawawezi kuwafikia. + diff --git a/job/39/29.md b/job/39/29.md new file mode 100644 index 00000000..22e03753 --- /dev/null +++ b/job/39/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# hutafuta mawindo + +Kiambishi 'hu' kinarejelea tai + +# macho yake huyaona + +huwaona wao + +# pale walipo wafu + +"sehemu palipo na watu wafu'' Kirai hichi kinarejelea maiti zilizolala katika sehemu wazi, si miili iliyozikwa ardhini. + +# ndipo na yeye alipo. + +"yuko pale kuwala wao" + diff --git a/job/40/01.md b/job/40/01.md new file mode 100644 index 00000000..0dc00e27 --- /dev/null +++ b/job/40/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Je mtu yeyote anayetaka kukosoa na ajaribu kumsahihisha Mwenye enzi? + +Jibu linalotarajiwa hapa ni, 'hapana' + diff --git a/job/40/03.md b/job/40/03.md new file mode 100644 index 00000000..ecf23ec0 --- /dev/null +++ b/job/40/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mimi si mtu muhimu; + +sina umuhimu + +# je nawezaje kukujibu? + +"Siwezi kukujibu" + diff --git a/job/40/06.md b/job/40/06.md new file mode 100644 index 00000000..3da80ea0 --- /dev/null +++ b/job/40/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Jifunge sasa mkanda kiunoni mwako kama mwanaume + +Hii humlinganisha Ayubu na mtu anayejiweka tayari kwa ajili ya kazi. ''Jifunge mkanda kiunoni mwako'' ina maana ya kujifunga kipande cha nguo katika sehemu ya mkanda ili mtu aweze kufaya kazi. + diff --git a/job/40/08.md b/job/40/08.md new file mode 100644 index 00000000..3df3d658 --- /dev/null +++ b/job/40/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Je waweza kusema kwa hakika kwamba mimi si mwenye haki? + +Unasema mimi si mwenye haki" + +# je utanihukumu mimi ili useme wewe ni mwenye haki? + +Unanihukumu mimi ili wewe uweze kusema kwamba wewe ni mwenye haki." + +# mkono kama wa Mungu + +"nguvu kama nguvu za Mungu + +# Je waweza kutoa kishindo kwa sauti kama yeye? + +"Hakika hauna sauti ya nguvu kama ya Mungu, ambaye huileta radi. + diff --git a/job/40/10.md b/job/40/10.md new file mode 100644 index 00000000..bcaf0db9 --- /dev/null +++ b/job/40/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sambaza ziada ya hasira yako + +"Funua jinsi hasira yako ilivyo katika majivuno ya watu" + +# mtazame kila mmoja mwenye kiburi + +"angalia watu wote wenye kiburi" + +# umshushe chini. + +"mweke chini katika umuhimu" + diff --git a/job/40/12.md b/job/40/12.md new file mode 100644 index 00000000..1f4b4fc9 --- /dev/null +++ b/job/40/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# zifunge nyuso zao + +"wafunge hao" + +# katika sehemu zilizositirika + +Hii ni njia nyingine ya kusema 'sheoli' au sehemu ambapo watu wa agano la kale walienda baada ya kufa. + diff --git a/job/40/15.md b/job/40/15.md new file mode 100644 index 00000000..54589a9a --- /dev/null +++ b/job/40/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# anakula + +Kiambishi 'a' kinarejelea kiboko. + +# kama ng'ombe + +Hii inaelezea jinsi ambayo kiboko anavyokula majani + diff --git a/job/40/17.md b/job/40/17.md new file mode 100644 index 00000000..93b17395 --- /dev/null +++ b/job/40/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kama mti wa mwerezi + +"namna ambayo matawi ya mierezi yanavyokwenda.' + +# kama ya mirija ya shaba + +Mahali hapa, mifupa yake inalinganishwa na mirija iliyotengenezwa kwa shaba ili kuonesha jinsi mnyama alivyo mgumu + +# kama kipande cha chuma + +Huu mlinganisho wa mwisho unaelezea nguvu za mnyama mkubwa. + diff --git a/job/40/19.md b/job/40/19.md new file mode 100644 index 00000000..10b3f851 --- /dev/null +++ b/job/40/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# milima humpatia chakula + +Mwandishi anaongelea juu ya milima kana kwamba walikuwa ni watu wanaoweza kumpatia chakula. + +# mimea ya kivuli + +Mmea wa kivuli ni mmea wenye maua ambayo huelea juu ya maji katika sehemu zenye maji maji na tope + +# mianzi + +Majani marefu ambayo hupatikana katika sehemu za maji maji na matope au mabwawa. + diff --git a/job/40/22.md b/job/40/22.md new file mode 100644 index 00000000..593648db --- /dev/null +++ b/job/40/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# miti yenye vivuli + +angalia jinsi ulivyotafsiri hii katika 40:19 + +# kingo + +pande za mto + +# hata kama Mto wa Yordani unajaa hadi katika pua yake + +"hata kama gharika litakuja juu ya pua yake" + +# Je mtu yeyote aweza kumnasa kwa ndoano... kwa mtego? + +Hili ni swali hili la kejeli hupaswa kujibiwa kwa jibu la kukanusha. "Hakuna yeyote awezaye kumkamata kwa ndoano au kwa mtego" + diff --git a/job/41/01.md b/job/41/01.md new file mode 100644 index 00000000..351ffe25 --- /dev/null +++ b/job/41/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mungu anaendelea kuzungumza. Anatumia maswali mengi ya kejeli kumtia changamoto Ayubu. + +# Au kumfunga taya zake kwa kamba? + +"Hauwezi kumvua mamba kwa ndoano ya samaki" + +# Au kumfunga taya zake kwa kamba? + +Hii si sentensi kamili, lakini maana yake yaweza kufahamika kutoka katika muktadha kama " Au kumfunga taya zake kwa kamba? "au hauwezi kumfunga taya kwa kamba. + +# Je waweza kuweka kamba katika pua zake + +"Hauwezi kuweka kamba katika pua yake, au kuchoma taya zake kwa ndoano" + +# Je atafanya maombi mengi kwako? + +"Hawezi kufanya maombi kwako" + +# Je atazungumza na wewe kwa maneno laini? + +"Hataweza kuzungumza maneno laini" + diff --git a/job/41/04.md b/job/41/04.md new file mode 100644 index 00000000..72b34860 --- /dev/null +++ b/job/41/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Je atafanya agano na wewe, ili kwamba umchukue kwa ajili ya mtumishi milele? + +"Hatafanya agano na wewe, kwamba hautamfanya kuwa mtumishi milele" + +# Je utacheza pamoja naye kama ambavyo ungecheza na ndege? + +"Hautacheza naye kama ambavyo ungecheza na ndege" + +# Je utamfunga kwa ajili ya mtumishi wako wa kike? + +"Hautamfunga kwa ajili wa watumishi wako wa kike" + +# Je makundi ya wavuvi waweza kumfanyia biashara? + +"Makundi ya wavuvi hawataweza kufanya biashara naye" + +# Je watamgawanya ili kufanya biashara miongoni mwa wafanya biashara? + +"Hawatamgawanya kwa wafanya biashara" + +# watamgawanya + +"maundi ya wavuvi watamgawanya" + diff --git a/job/41/07.md b/job/41/07.md new file mode 100644 index 00000000..b43ef91a --- /dev/null +++ b/job/41/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# e waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia? + +"Hauwezi kumchoma ngozi yake kwa silaha za kuwindia, wala kumchoma kichwa chake kwa zana za kuvulia" + +# vyusa au kichwa cha mikuki + +chusa ni mkuki mkubwa ukiwa umechongoka ukitumika kuwindia samaki wakubwa au nyangumi. + +# je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake? + +"kila mmoja atatupwa chini ardhini mbele yake" + diff --git a/job/41/10.md b/job/41/10.md new file mode 100644 index 00000000..e6bfb29b --- /dev/null +++ b/job/41/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake? + +"Hakuna yeyote anayeweza kusimama mbele yangu/yake" + +# Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa? + +"Hakuna yeyote ambaye kwanza amenipa kitu fulani, ili kwamba niweze kumlipa. + +# Sitanyamaza kimya + +"Hakika nitasema" + +# miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake + +"mguu. Nitazungumza pia juu ya mambo yanayohusu nguvu zake" + +# nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri. + +"nguvu. Nitazungumzia pia juu ya umbo lake la neema" + diff --git a/job/41/13.md b/job/41/13.md new file mode 100644 index 00000000..db94becf --- /dev/null +++ b/job/41/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nani awezaye kuiondoa ngozi yake? + +"hakuna yeyote anayeweza kuondoa nguo yake ya nje" + +# Nani anaweza kumchoma kwa silaha mara mbili? + +"Hakuna awezaye kumchoma katika ngovi yake nene" + +# Nani awezaye kuifungua milango ya uso wake, imezungukwa na meno yake ambayo yanaogofya? + +Hakuna yeyote anaweza kuyapanua makanwa yake...yanaogofya" + +# yamefungwa kwa pamoja kama chapa + +Hii ina maana kwamba magamba yamekaribiana kwa ukaribu na yameungana kwa pamoja. + diff --git a/job/41/16.md b/job/41/16.md new file mode 100644 index 00000000..a85b1654 --- /dev/null +++ b/job/41/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Moja li karibu na jingine + +safu moja ya kinga iko karibu na nyingine. + +# hayawezi kutenganishwa + +"watu hawawezi kuwatenganisha" + diff --git a/job/41/19.md b/job/41/19.md new file mode 100644 index 00000000..50ef06ea --- /dev/null +++ b/job/41/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ndani ya mdomo wake hutoka miali ya mwanga, chembe za moto huruka nje + +"katika mdomo wake hutoka miali, cheche za moto zikiruka nje ya mdomo wake." Mungu anafafanua wazo lile lile kwa njia mbili tofauti ili kutia mkazo juu ya mwonekano wa kutisha wa mamba. + +# Katika pua zake hutoka moshi kama chungu kinachotokota juu ya moto ambao umechochewa ili uwe na joto sana + +Kutoka kwa moshi katika pua zake kunalinganishwa na chungu kinachochemshwa juu ya moto. + diff --git a/job/41/22.md b/job/41/22.md new file mode 100644 index 00000000..ce0f18c9 --- /dev/null +++ b/job/41/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# yake...hu + +Maneno ''yake'' na ''hu'' yanamrejelea mamba + +# haziwezi kuondolewa + +"hakuna yeyote awezaye kuyaondoa" + diff --git a/job/41/25.md b/job/41/25.md new file mode 100644 index 00000000..2e3915ff --- /dev/null +++ b/job/41/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hata miungu huogopa; + +"Hata watu wenye nguvu huwa waoga" + +# Yeye hufikiri juu ya chuma kana kwamba ni majani makavu + +"Hufikiri juu ya silaha zilizotengenezwa kwa chuma kana kwamba zilikuwa ni silaha zilizotengenezwa kwa majani makavu" Hii inaonesha jinsi ambavyo vyuma imara huwa dhaifa kwa mamba. + +# hufikiri juu ya fedha kana kwamba ni ubao uliooza + +"'Hufikiri juu ya silaha zilizotengenezwa kwa fedha kana kwamba zilikuwa ni silaha zilizotengenezwa kwa mbao zilizooza." + diff --git a/job/41/28.md b/job/41/28.md new file mode 100644 index 00000000..91215d74 --- /dev/null +++ b/job/41/28.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi. + +Hii ina kwamba mawe ya kombeo hayan matumizi tena kuliko makapi katika upepo dhidi ya mamba. + +# kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi. + +Hii ina maana kwamba rungu haitakuwa na faida tena kuliko makapi katika kumpiga mamba. + +# yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma + +Mamba anafananishwa na mtu anayechekelea kushindana naye kusiko na maana kwa kumrushia mikuki. + +# Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu + +Hii inazungumzia juu ya magamba yaliyo na ukali. + +# huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia. + +Sentensi hii inalinganisha mkia wake na chombo cha kusagia ambacho husugua ardhi na kuacha alama kana kwamba kilikuwa kinaenda. + diff --git a/job/41/31.md b/job/41/31.md new file mode 100644 index 00000000..1813558f --- /dev/null +++ b/job/41/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto + +"wakati anapopita katika ya maji, huacha mchirizo wa alama ukiotoa povu nyuma yake, kama ni chungu cha maji kilichochemka na kutoa povu." + +# huifanya bahari kama chungu cha lihamu + +Hii ina maana kwamba husuka suka bahari kama chupa ya marihamu ambavyo ingeonekana baada ya kutikiswa hasa. + +# mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe. + +Hii ina maana kwamba maji yote hupinduliwa juu wakati mamba anapoogelea kwasababu ya ukubwa wake, naye husababisha mchirizo wa alama ukitoa mapovu. + diff --git a/job/41/33.md b/job/41/33.md new file mode 100644 index 00000000..79e4829e --- /dev/null +++ b/job/41/33.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hakuna cha kumlinganisha + +"hakuna kiumbe kingine kama mamba" + +# Hukiona kila kitu chenye kiburi + +"yeye ana kiburi sana sana" + +# yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi. + +"Mamba ni kama mfalme wa viumbe vyenye kiburi" + diff --git a/job/42/01.md b/job/42/01.md new file mode 100644 index 00000000..06448fcb --- /dev/null +++ b/job/42/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# "Ninajua kwamba unaweza kufanya mambo yote, ya kuwa hakuna kusudi lako linaweza kuzuiliwa. + +"Ninajua kwamba wewe unaweza kufanya mambo yote. Ninajua kwamba hakuna kusudi lako lolote linaweza kuzuiliwa." Hili ni wazo lile lile limeelezwa kwa jinsi mbili tofauti. + +# hakuna kusudi lako linaweza kuzuiliwa + +"hakuna yeyote awezaye kuzuia kusudi lako lolote" + +# Ni nani huyo ambaye pasipo maarifa huificha mipango? + +Matoleo mengi ya kisasa hukubaliano kwamba Ayubu ananukuru maneno ya Mungu kutoka katika 38:1. Wafasiri wanaweza kuamua kuiweka wazi kwamba Mungu alimwuliza swali hili Ayubu, na ya kwamba Ayubu kwa sasa analikumbuka. + +# huificha mipango + +Hii ina maana kwamba, kuficha au kutoiwakilisha mipango ya Mungu na ushauri wake. + diff --git a/job/42/04.md b/job/42/04.md new file mode 100644 index 00000000..d18b02b2 --- /dev/null +++ b/job/42/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# lakini sasa jicho langu linakuona wewe + +"lakini sasa ninakufahamu wewe" + +# ninatubu kwa mavumbi na majivu + +Hii ni njia ya kiutamaduni ya kuonesha majuto na toba + diff --git a/job/42/07.md b/job/42/07.md new file mode 100644 index 00000000..2d2f7488 --- /dev/null +++ b/job/42/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Ilitokea baada ya kuwa + +Kirai hiki kimetumika hapa kuonesha tukio kubwa katika habari hii. Kama lugha yako ina jinsi ya kuweza kusema hili unaweza kutumia. + +# Elifazi Mtemani + +angalia ulivyofasiri hii katika 2:1 + +# mafahari saba + +mahafari 7 + +# Bildadi Mshuhi + +Angalia jinsi ulivyofasiri hii katika 2:11 + +# Zofari Mnaamathi + +Angalia jinsi ulivyofasiri hii katika 2:11 + +# Mungu alimtakabali Ayubu + +"Mungu anaipokea sala ya Ayubu kwa ajili ya marafiki zake watatu" + diff --git a/job/42/10.md b/job/42/10.md new file mode 100644 index 00000000..7434c176 --- /dev/null +++ b/job/42/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Waliomboleza pamoja naye na walimfariji + +Hizi kazi mbili za kuomboleza na kufariji hufanya kazi pamoja katika mchakato wa kumrejesha Ayubu. + diff --git a/job/42/12.md b/job/42/12.md new file mode 100644 index 00000000..48feb7f6 --- /dev/null +++ b/job/42/12.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# kuliko mwanzo wake + +"zaidi sana kuliko sehemu ya kwanza ya maisha yake" + +# kondoo kumi na nne elfu + +kondoo 14,000/= + +# ngamia elfu sita + +ngamia 6,000 + +# jozi elfu moja + +jozi za ng'ombe 1,000 + +# wana saba na mabinti watatu. + +wana 7 na binti 3 + +# Yemima + +binti wa kwanza wa Ayubu + +# Kezia + +binti wa pili wa Ayubu + +# Kerenihapuki + +binti wa tatu anaitwa Kerenihapuki + diff --git a/job/42/15.md b/job/42/15.md new file mode 100644 index 00000000..7027d33c --- /dev/null +++ b/job/42/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# hawakupatikana wanawake wazuri kama mabinti wa Ayubu. + +"Mabinti za Ayubu walikuwa wazuri zaida kuliko wanawake wengine" au "mabinti za Ayubu walikuwa ni wazuri sana" + +# akiwa mzee na akijawa na siku nyingi. + +Maneno "kujawa na siku" kimsingi yanamaanisha kitu kile kile ya kuwa 'mzee" Virai hivi viwili vinatengeneza nahau moja "kuwa mtu mzee sana" + diff --git a/jol/01/01.md b/jol/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..641a7d10 --- /dev/null +++ b/jol/01/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa za jumla + +Mungu anaongea kupitia Yoeli kwa watu wa Israeli wakitumia mashairi. + +# neno la Bwana lililomjia + +"neno ambalo Bwana Mungu alinena" + +# Pethueli + +Babayake Joeli + +# Je! Hii imewahi kuwa kabla ya siku zenu au katika siku za baba zenu + +AT "Hii haijawahi kutokea kabla ya yenu au baba zenu" + diff --git a/jol/01/04.md b/jol/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..58433c88 --- /dev/null +++ b/jol/01/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yale yaliyosazwa na tunutu + +vikundi vingi vya wadudu kama viwavi vinavyoruka pamoja na kula maeneo makubwa ya mazao ya chakula + +# Tunutu ..... Nzige .... Panzi ... Madumadu + +Hizi ni, kwa mtiririko huo, nzige wakubwa ambao wanaweza kuruka, nzige wawezao kuruka kwa urahisi, nzige wenye mbawa pia mdogo wa kuruka, na nzige wachanga ambayo bado hawajawa na mabawa. Tumia majina ambayo yataeleweka kwa lugha yako. + diff --git a/jol/01/05.md b/jol/01/05.md new file mode 100644 index 00000000..2865144f --- /dev/null +++ b/jol/01/05.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa za jumla + +Mungu anawaonya watu wa Israeli kuhusu jeshi la nzige linaloja. + +# enyi walevi, lieni! Omboleza, ninyi nyote mnywao divai + +Ikiwa lugha yako ina neno moja tu la 'kulia' na 'kusubiri,' unaweza kuunganisha mistari 'ninyi wanaopenda divai wanapaswa kulia kwa huzuni' + +# taifa + +kundi nzige ni kama jeshi la kuvamia. + +# Meno yake ... ana meno ... Amefanya ... Ameondoa + +Nzige ni kama taifa ambalo ni kama mtu mmoja. Unaweza kutaja taifa kama 'hilo,' au kwa nzige kama 'wao,' au kwa wavamizi kama mtu mmoja (ULB). + +# Meno yake ni meno ya simba, neye ana meno ya simba. + +Mstari miwili ina maana sawa. Marejeleo ya meno ya nzige kuwa mkali kama meno ya simba hutia nguvu uharibifu ambao huwaangamiza kabisa mazao yote ya ardhi. + +# Nchi ya Bwana......shamba la mizabibu....mtini wangu + +Nchi ya Bwana, shamba la mizabibu, na mtini + +# kutisha + +Wale ambao wanaona ardhi hushangaa au kutisha kwa sababu imeharibiwa kabisa. + diff --git a/jol/01/08.md b/jol/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..6736f377 --- /dev/null +++ b/jol/01/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa za jumla + +Mungu anaendelea kuongea na watu wa Israeli. + +# nchi imekuwa dhaifu + +Hapa nchi inazungumzwa kama kama mtu. Hata hivyo, matoleo mengine hutafsiri kifungu hiki kama mfano tofauti "Nchi huomboleza." + diff --git a/jol/01/11.md b/jol/01/11.md new file mode 100644 index 00000000..75257cfb --- /dev/null +++ b/jol/01/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa za jumla + +Mungu anaendelea kuongea na watu wa Israeli. + +# shayiri + +aina ya nyasi, kama ngano, ambayo mbegu zake zinaweza kutumiwa kufanya mkate + +# waliotauka + +kukauka na kufa + +# tini .... komamanga .... epo + +aina tofauti za matunda + diff --git a/jol/01/13.md b/jol/01/13.md new file mode 100644 index 00000000..4d25775e --- /dev/null +++ b/jol/01/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa za jumla + +Mungu anaongea na makuhani katika Israeli + +# Panda magunia na omboleza, enyi makuhani! Mwalia, enyi watumishi wa madhabahu. Njoo, ulala usiku wote kwenye magunia, enyi watumishi wa Mungu wangu + +Mungu anawaambia makuhani kujinyenyekeza wenyewe na kulia kwa huzuni. AT 'Wote makuhani huomboleza na kuomboleza na kujinyenyekeza kwa kutumia usiku wote katika magunia" + +# sadaka ya unga na sadaka ya kinywaji + +sadaka ya kawaida katika hekalu + +# nyumbani mwa Mungu wenu + +hekalu huko Yerusalemu + diff --git a/jol/01/15.md b/jol/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..bb47c353 --- /dev/null +++ b/jol/01/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa za jumla + +Hivi ndivyo Mungu anavyowaambia makuhani kusema. + +# Je, chakula hakikukatiliwa mbali mbele ya macho yetu, na furaha na kicheko kutoka nyumbani mwa Mungu wetu? + +AT 'Tumeona vifaa vyetu vya chakula vilivyotumiwa, na wamevunja furaha na furaha kutoka kwa nyumba ya Mungu wetu.' + +# mbele ya macho yetu + +'kutoka kwetu.' Hii inahusu taifa lote la Israeli. + +# furaha na kicheko + +Maneno haya mawili yanamaanisha kimsingi kitu kimoja. Pamoja wanasisitiza kuwa hakuna aina ya shughuli za furaha zinazofanyika hekaluni. + +# Magunia + +uvimbe wa uchafu + diff --git a/jol/01/18.md b/jol/01/18.md new file mode 100644 index 00000000..5d5d42b0 --- /dev/null +++ b/jol/01/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa za jumla + +Mungu anaendelea kuwaambia makuhani jinsi wanapaswa kuomba kwa Israeli. + +# Huria + +kufanya sauti ya kina kwa sababu ya maumivu + +# moto umekula ..... moto umeteketeza + +Maneno haya mawili yanayofanana yanafanya kazi pamoja ili kuonyesha kwamba nchi yote, ingawa kulimwa au la, iliharibiwa. + +# imekauka + +mito midogo + diff --git a/jol/02/01.md b/jol/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..1451bcce --- /dev/null +++ b/jol/02/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifaza jumla + +Joel anaendeleza mashairi ambayo yalianza katika sura ya awali. + +# Piga tarumbeta .... sauti ya kengele + +Yoeli anasisitiza umuhimu wa kuwaita Israeli pamoja katika maandalizi ya uharibifu unaokuja. + +# siku ya giza na weusi + +Maneno 'giza' na 'giza' yanashiriki maana sawa na kusisitiza ukubwa wa giza. Maneno mawili yanataja wakati wa maafa au hukumu ya Mungu. AT 'siku ambayo imejaa giza' au 'siku ya hukumu ya kutisha.' + +# weusi + +giza kabisa au kwa kiasi + +# siku ya mawingu na giza nene + +Kifungu hiki kinamaanisha kitu kimoja kama, na kuimarisha wazo la maneno ya awali. Kama vile maneno, wote 'mawingu' na 'giza giza' wanamaanisha hukumu ya Mungu. AT 'siku kamili ya mawingu ya dhoruba kali.' + +# Kama asubuhi inayoenea kwenye milima, jeshi kubwa na la nguvu linakaribia + +AT "Jeshi kubwa, jeshi linakuja juu ya milima katika nchi. Wao husambaa juu ya nchi kama nuru kutoka jua inayoinuka " + +# jeshi kubwa na la nguvu + +Maneno "kubwa" na "nguvu" yanashiriki maana sawa na hapa na kusisitiza nguvu za jeshi. AT "kundi kubwa la nzige" (UDB) au 'jeshi kubwa la binadamu.' + diff --git a/jol/02/03.md b/jol/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..5a237cbe --- /dev/null +++ b/jol/02/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa za jumla + +Maelezo ya Yoeli ya jeshi linalokuja yanaendelea. + +# nchi ni kama bustani ya Edeni + +Bustani ya Edeni ilikuwa mahali pazuri. + +# Nchi hiyo ni kama bustani ya Edeni mbele yake, lakini nyuma yake kuna jangwa lililoharibika + +Hii inaonyesha tofauti na kuonyesha uharibifu wa moto unaozalisha. + diff --git a/jol/02/04.md b/jol/02/04.md new file mode 100644 index 00000000..8d751e5b --- /dev/null +++ b/jol/02/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa za jumla + +Maelezo yanaendelea na sauti za jeshi la farasi. + +# Farasi + +Mnyama mkubwa na wa haraka na miguu minne. + +# Muonekano wa jeshi ni kama farasi + +Mkuu wa nzige anaonekana kama kichwa cha farasi mdogo na jeshi ni kali na haraka kama farasi. + +# wanakimbia kama wapanda farasi + +Jeshi linakwenda haraka, kama watu wanaoendesha farasi. + +# ruka + +farasi anaruka au huruka kwa kasi kama anakimbia haraka. + +# kelele kama ile ya magari..... kama kelele za muale wa moto.... kama jeshi la nguvu lililo tayari kwa vita + +Hizi zinalinganishwa na kelele ya jeshi la nzige. + diff --git a/jol/02/06.md b/jol/02/06.md new file mode 100644 index 00000000..00169989 --- /dev/null +++ b/jol/02/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa za jumla + +Joel anaendelea kuelezea jeshi la nzige la Yahweh. + +# Wanakimbia kama wapiganaji wenye nguvu..... wanapanda kuta kama askari + +Jeshi la nzige limeelezewa kuwa linafanya kama askari halisi. + +# kuta + +kuta karibu na miji + diff --git a/jol/02/08.md b/jol/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..201edc1e --- /dev/null +++ b/jol/02/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa za jumla + +Maelezo ya jeshi la nzige la Bwana yanaendelea. + +# wao huvunja kwa njia ya ulinzi + +Waliwashinda askari wa kulinda mji. + diff --git a/jol/02/10.md b/jol/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..9b802c7c --- /dev/null +++ b/jol/02/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nchi hutikisika mbele yao, mbingu hutetemeka, jua na mwezi ni giza, na nyota zinaacha kuangaza. + +Kuna nzige nyingi ambazo dunia na anga hutetemeka, na vitu vyote vilivyo mbinguni havionekani. + +# Bwana huinua sauti yake + +Bwana akaonyesha uwezo wa Mungu na amri juu ya jeshi. AT "Yahweh ina udhibiti" + +# kubwa na yakutisha sana + +Katika maneno haya yote maelezo yana maana kimsingi jambo moja. AT "kutisha sana" + +# Nani anayeweza kuishi? + +AT "Hakuna mtu atakuwa na nguvu ya kutosha kuishi hukumu ya Bwana." + diff --git a/jol/02/12.md b/jol/02/12.md new file mode 100644 index 00000000..0626786a --- /dev/null +++ b/jol/02/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote + +AT 'Ondoa mbali na dhambi zako na kujitolea kikamilifu kwangu' + +# Rarueni miyoyo yenu, si mavazi yenu + +Kuvaa nguo za mtu ni kazi ya nje ya aibu au toba. 'Kuvuta moyo' ina maana ya kuwa na mtazamo wa toba pia. + +# kugeuka + +simama + diff --git a/jol/02/14.md b/jol/02/14.md new file mode 100644 index 00000000..150f66cf --- /dev/null +++ b/jol/02/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Labda angegeuka ... Mungu? + +Labda Bwana atageuka kutoka ghadhabu yake ... Mungu. + diff --git a/jol/02/15.md b/jol/02/15.md new file mode 100644 index 00000000..e50f2755 --- /dev/null +++ b/jol/02/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# vyumba vyao. + +vyumba, kwa kawaida katika nyumba za wazazi, ambapo wanaharusi watangojea sherehe zao za harusi + diff --git a/jol/02/17.md b/jol/02/17.md new file mode 100644 index 00000000..efbdd17d --- /dev/null +++ b/jol/02/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# urithi wako + +watu wa Israeli, ambao ni watu maalum wa Mungu + +# Kwa nini wanapaswa kusema kati ya mataifa, "Yuko wapi Mungu wao?" + +AT "Mataifa mengine haipaswi kusema Mungu wa Israeli amewaacha watu wake." + diff --git a/jol/02/18.md b/jol/02/18.md new file mode 100644 index 00000000..a5e43cfe --- /dev/null +++ b/jol/02/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nchi yake + +Taifa la Israeli + +# watu wake + +watu wa Israeli + +# Tazama + +"Jihadharini na nini nitakavyosema" + +# aibu + +"hastahili kuheshimu" + diff --git a/jol/02/20.md b/jol/02/20.md new file mode 100644 index 00000000..25e12d55 --- /dev/null +++ b/jol/02/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa za jumla + +Mungu anaendelea ahadi yake kwa Israeli. + +# kaskazini .... mashariki....... magharibi + +Maelekezo haya yanatoka kwa mtazamo wa watu wanaoishi katika nchi ya Israeli. + diff --git a/jol/02/21.md b/jol/02/21.md new file mode 100644 index 00000000..c250d9ca --- /dev/null +++ b/jol/02/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Msiogope, nchi + +"Msiogope, enyi watu wa nchi," + +# ya jangwa yatakua + +mimea mzuri kwa ajili ya chakula itaongezeka juu ya nchi + +# mvua ya vuli na mvua ya masika + +mvua za kwanza za msimu wa mvua, mapema Desemba na mvua za mwisho mwezi wa Aprili na Mei + diff --git a/jol/02/24.md b/jol/02/24.md new file mode 100644 index 00000000..96acfb71 --- /dev/null +++ b/jol/02/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# vyombo + +vyombo vingi vya vinywaji + +# miaka ya mazao ambayo nzige warukao walikula + +'mazao uliyotunza kwa miaka mingi na kwamba nzige uliokwisha kula' + +# nzige warukao.... Palale, nzige wakuteketeza na nzige kuharibu + +Angalia jinsi ulivyotafasiri maneno haya katika 1: 4. + diff --git a/jol/02/26.md b/jol/02/26.md new file mode 100644 index 00000000..098f6afa --- /dev/null +++ b/jol/02/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa za jumla + +Bwana anaendelea kuahidi mambo mema kwa ajili ya watu wa Israeli. + diff --git a/jol/02/28.md b/jol/02/28.md new file mode 100644 index 00000000..f554872c --- /dev/null +++ b/jol/02/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa za jumla + +Bwana anaendelea kuahidi mambo mema kwa ajili ya watu wa Israeli. + +# nitamimina Roho yangu + +"Nitawapa kwa ukarimu njia ambayo mtu humimina maji" + +# miili yote + +"watu wote" + diff --git a/jol/02/30.md b/jol/02/30.md new file mode 100644 index 00000000..d60b4e22 --- /dev/null +++ b/jol/02/30.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa za jumla + +Bwana anaendelea kusema mambo ambayo atafanya wakati ujao. + +# damu, moto na nguzo za moshi + +"damu" inaashiria kifo cha watu. AT "kifo, moto na nguzo za moshi" + +# na mwezi kuwa damu + +Hapa neno 'damu' linamaanisha rangi nyekundu. Unaweza kutoa kitenzi cha maneno haya. AT 'na mwezi utakuwa nyekundu kama damu' + +# kubwa na ya kutisha + +Hapa neno "kubwa" linabadili neno "la kutisha." AT "siku ya kutisha sana." + diff --git a/jol/02/32.md b/jol/02/32.md new file mode 100644 index 00000000..27c54ef0 --- /dev/null +++ b/jol/02/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# juu ya Mlima Sayuni na Yerusalemu + +Hizi hutaja mahali sawa. AT 'juu ya Mlima Sayuni huko Yerusalemu.' + +# kati ya wale waliokoka, wale ambao Bwana anawaita. + +AT "wale ambao Yehova anawaita watakuwa waathirika" + +# waliosalia + +watu wanaoishi kuto kupatwa na tukio la kutisha kama vita au maafa + diff --git a/jol/03/01.md b/jol/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..7beb3226 --- /dev/null +++ b/jol/03/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa za jumla + +Mungu anaendelea kusema juu ya matukio ya baadaye. + +# Tazama + +Neno "Tazama" hapa linaongeza mkazo kwa ifuatavyo. + +# katika siku hizo na wakati huo + +Maneno 'wakati huo' yanamaanisha kitu kimoja kama, na inaongeza maneno 'katika siku hizo.' AT 'katika siku hizo' au 'wakati huo.' + +# nitakaporudi mateka wa Yuda na Yerusalemu + +AT "Wakati mimi kutuma wahamisho nyuma kwa Yuda na Yerusalemu" + +# watu wangu na warithi wangu Israeli + +Maneno haya mawili yanasisitiza jinsi Bwana anavyoona Israeli kama watu wake wa thamani. AT "watu wa Israeli, ambao ni urithi wangu." + +# walinunua kijana kwa ajili ya kahaba, kuuza msichana kwa divai ili waweze kunywa. + +Hizi ni mifano ya aina ya mambo waliyofanya na haonyeshi kile walichofanya kwa watoto wawili. AT "na kufanya vitu kama biashara ya kijana kwa ajili ya kahaba na kuuza msichana kwa divai, hivyo wangeweza kunywa" + diff --git a/jol/03/04.md b/jol/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..566e77bf --- /dev/null +++ b/jol/03/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa za jumla + +Mungu anaongea na watu wa mataifa yaliyozunguka Israeli. + +# kwa nini unanikasilikia + +Mungu hutumia swali hili kuwashawishi watu wa Tiro, Sidoni na Ufalme. AT "Huna haki ya kunikasikia" + +# Je! mutanirudishia malipo? + +'Je, utajipiza kisasi?' Mungu anatumia swali hili kuwafanya watu kufikiri juu ya kile wanachokifanya. AT 'Unafikiri unaweza kulipiza kisasi juu yangu' + +# mara moja nitawarudishia malipo yenu juu ya vichwa vyenu wenyewe + +Hapa neno "kichwa' linamaanisha mtu. Kisasi ambacho walitaka kuelekea Bwana, atawafanyia. AT "Nitawafanya uhukumiwe kwamba ulijaribu kuniweka" + +# nitawarudishia + +kulipiza kisasi" au "kulipa" + diff --git a/jol/03/07.md b/jol/03/07.md new file mode 100644 index 00000000..34017179 --- /dev/null +++ b/jol/03/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nje ya mahali ulipowauza + +Watu wa Israeli watatoka mahali ambapo walikuwa watumwa na kurudi katika nchi ya Israeli. + +# kurudisha malipo + +AT "kurudi kile unachostahiki" + +# kwa mkono wa watu wa Yuda + +AT "kwa uwezo wa watu wa Yuda' au 'na watu wa Yuda" + +# Sheba + +watu wa Sabea, ambayo pia huitwa Sheba. Watu hawa waliishi kusini mwa Israeli. + diff --git a/jol/03/09.md b/jol/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..7ae463f3 --- /dev/null +++ b/jol/03/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Jitayarisheni wenyewe kwa ajili ya vita ..... waamsheni mashujaa + +Maneno haya yote yanasema kujiandaa askari kwa vita. + +# waamsheni mashujaa + +"fanyeni watu wenye nguvu" + +# Yafueni majembe yenu kuwa panga na visu vyenu vya kuchongea kuwa mikuki + +Maneno haya mawili yanashiriki maana sawa. Wote wawili anawafundisha watu kurejea zana zao za kilimo katika silaha. + +# majembe + +zana ambazo hutumiwa kuvunja udongo ili kupanda mimea + +# Visu vya kuchongea + +visu ambavyo hutumiwa kukata matawi madogo + diff --git a/jol/03/11.md b/jol/03/11.md new file mode 100644 index 00000000..dbff9efd --- /dev/null +++ b/jol/03/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# jikusanyeni pamoja + +"kusanyikeni pamoja kwa vita." + +# Bwana, washushe mashujaa wako. + +Katikati ya ujumbe huu kwa maadui wa Israeli, hukumu hii inaelezwa kwa Yahweh. Labda hii ilikuwa kufanya maadui wao hofu ya jeshi la Bwana. + diff --git a/jol/03/12.md b/jol/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..c4dad9d6 --- /dev/null +++ b/jol/03/12.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa za jumla + +Bwana anaendelea kuongea na mataifa. + +# Naam, mataifa yajihimize yenyewe ..... mataifa yote ya jirani + +Maneno 'mataifa' na 'mataifa yanayozunguka' yanataja mataifa yale yanayozunguka Yuda. Bwana atawahukumu katika bonde la Yehoshafati kwa yale waliyoyatenda Yerusalemu. + +# Wekeni katiki mundu.... pipa la divai limejaa + +Inawezekana maana ni kwamba 1) mashambulizi ya mataifa ya dhambi ni kama kuvuna nafaka na kupiga zabibu, au 2) uharaka wa kuhukumu mataifa ya dhambi ni kama haraka ya kukusanya mazao yaliyoiva na kusagwa zabibu. + +# Wekeni katiki mundu, kwa maana mavuno yameiva + +Bwana anaongea juu ya mataifa kama kama shamba la mazao yaliyoiva kwa ajili ya kuvuna. AT 'Weka sungura, kwa kuwa mataifa ni kama mavuno ya kuiva' + +# Wekeni katiki mundu + +"Piga ngome kukata nafaka" + +# mundu + +kisu cha muda mrefu ambacho watu hutumia kukata nafaka + +# mavuno yameiva + +"nafaka iko tayari kuvuna" + +# Njoo, muponde zabibu, kwa ajiri pipa la divai limejaa + +Bwana anasema juu ya mataifa kama kwamba walikuwa kundi la zabibu katika viti la mvinyo, tayari kwa watu kuwaponda. AT 'Njooeni, mkawaangamize mataifa, kwa maana wao ni kama zabibu katika divai' + +# Vipuri vilivyofurika, kwa sababu uovu wao ni mkubwa sana. + +Bwana anasema uovu wa mataifa kama kama juisi iliyoyotoka kutoka kwenye divai ya maji hadi kwenye vats zilizokusanya. Vats sio vya kutosha kuwa na kiasi cha uovu unaoingia ndani yao. + diff --git a/jol/03/14.md b/jol/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..1cdf4d28 --- /dev/null +++ b/jol/03/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mshtuko, mshtuko + +Mshtuko ni kelele unasababishwa na umati mkubwa. Hii inarudiwa kuonyesha kuwa itakuwa kelele sana kutoka kwa watu wote. + +# bonde la hukumu + +Maneno haya yanarudiwa kuonyesha kwamba hukumu hakika kutokea. + diff --git a/jol/03/16.md b/jol/03/16.md new file mode 100644 index 00000000..4d372b4a --- /dev/null +++ b/jol/03/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Bwana atasunguruma kutoka Sayuni, na kuinua sauti yake kutoka Yerusalemu + +Neno zote mbili zinamaanisha Yahweh atasema kwa sauti kubwa, wazi na yenye nguvu kutoka Yerusalemu. Ikiwa lugha yako ina neno moja la kupiga kelele hii inaweza kutumika kama maneno moja. AT "Yahweh atasema kutoka Yerusalemu" + +# Bwana ataunguruma + +Maana iwezekanavyo ni 1) 'Bwana atanguruma kama simba' au 2) 'Yahweh atanguruma kama radi.' + +# Mbingu na nchi zitatikisika + +Sauti ya Bwana ni yenye nguvu sana kwamba itawafanya mbingu na dunia kutetemeka. + +# Bwana atakuwa makao kwa ajili ya watu wake, na ngome kwa wana wa Israeli + +Maneno haya yote yanamaanisha Yahweh atawalinda watu wake. Ngome ni makazi yenye nguvu ya kulinda watu wakati wa vita. AT 'Yahweh atakuwa ngome yenye nguvu kwa watu wake' + diff --git a/jol/03/18.md b/jol/03/18.md new file mode 100644 index 00000000..53ad9527 --- /dev/null +++ b/jol/03/18.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa za jumla + +Mungu anaendelea kusema juu ya siku ya Bwana. + +# milima itatiririsha divai nzuri + +"divai nzuri hupungua kutoka milimani." Hii ni kisingizio kuonyesha kwamba ardhi ni yenye rutuba sana. AT "Katika milima kutakuwa na mizabibu inayozalisha mvinyo mzuri" + +# Milima itatiririsha maziwa + +"maziwa yatatoka kutoka milimani." AT "juu ya milima mifugo na mbuzi wako watatoa maziwa mengi" + +# miito yote ya Yuda itapita katikati ya maji + +"maji yatapita kati ya miito yote ya Yuda" + +# maji ya bonde la Shitimu + +"atatuma maji kwenye bonde la Acacia." "Shitimu" ni jina la mahali upande wa mashariki wa Mto Yordani. Ina maana "Miti ya Acacia." + +# Misri itakuwa ukiwa + +AT "Misri itaharibiwa na watu watakuacha" au "Mataifa ya adui ataharibu Misri na watu wa Misri wataondoka nchi yao" + +# Edomu itakuwa jangwa tupu + +"Edomu itakuwa jangwa na watu watakuacha " + +# kwa sababu ya vurugu iliyofanyika kwa watu wa Yuda + +"kwa sababu ya mambo mabaya Misri na Edomu waliwafanyia watu wa Yuda" + +# kwa sababu walimwaga damu isiyo na hatia katika nchi yao. + +"damu isiyo na hatia" inamaanisha watu wasio na hatia waliouawa. AT "kwa sababu Misri na Edomu waliwaua watu wasio na hatia katika nchi ya watu wa Yuda" + diff --git a/jol/03/20.md b/jol/03/20.md new file mode 100644 index 00000000..00ca3d8d --- /dev/null +++ b/jol/03/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa za jumla + +Bwana anaendelea kusema juu ya siku ya Bwana. + +# Yuda utakua mwenyeji milele + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT 'Watu watakaa Yuda milele' + +# Yerusalemu itakuwa kizazi hata kizazi + +Katika: "Uzazi baada ya kizazi, watu watakaa Yerusalemu" + +# Nitawalipizia damu yao, ambayo sijajilipizia kisasi + +AT "Nitawaadhibu maadui ambao waliwaua watu wa Israeli na bado hawakuadhibiwa" + diff --git a/jon/01/01.md b/jon/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..cd2d3c6c --- /dev/null +++ b/jon/01/01.md @@ -0,0 +1,64 @@ +# neno la Bwana lilikuja + +Hii ni idiamu ambayo inamaanisha Yahweh alisema. "Yahweh alizungumza ujumbe wake" (Angalia: tini_idiamu) + +# neno la Bwana + +Hapa "neno" linawakilisha ujumbe wa Bwana. AT "ujumbe wa Bwana" + +# Bwana + +Hili ni jina la Mungu ambalo aliwafunulia watu wake katika Agano la Kale. Tazama tafsiri ya ukurasa kuhusu Bwana jinsi ya kutafsiri hii. + +# Amittai + +Hili ni jina la baba yake Yona. (Angalia tafsiri za majina) + +# Simama na uende Minawi, mji mkuu + +"Nenda kwenye mji muhimu wa Minawi" + +# Amka na uende + +Haya ni maelezo ya kawaida ya kusafiri kwa maeneo ya mbali. + +# piga kelele dhidi yake + +"kuwaonya watu" (UDB). Mungu anawakilisha watu wa mji huo. + +# uovu wao umeinuka mbele yangu + +"Najua wanaendelea kutenda dhambi" + +# akaondoka kukimbia kutoka mbele ya Bwana + +"alikimbia kutoka kwa Bwana." "ameamka" inaelezea Yona aliondoka ambako alikuwa. + +# na akaenda Taeshishi + +"na akaenda Tarshishi." Tarshishi ilikuwa kinyume cha Minawi. Hii inaweza kufanywa wazi. AT "na wakaenda kinyume chake, kuelekea Tarshishi" + +# Akatelemka mpaka Yafa + +"Yona akaenda Yafa" + +# Meli + +"Meli" ni aina kubwa sana ya mashua ambayo inaweza kusafiri baharini na kubeba abiria wengi au mizigo mizito. + +# Kwa hiyo akalipa nauli + +Yona akalipia safari + +# na akapanda Meli + +"na akaingia kwenye Meli" + +# pamoja nao + +Neno "yao" linamaanisha wengine ambao walikuwa wakisafiri kwenye meli. + +# mbali na uwepo wa Bwana + +Yona alitumaini kwamba Bwana hakuwapo Tarshishi + diff --git a/jon/01/04.md b/jon/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..3099e49f --- /dev/null +++ b/jon/01/04.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Karibuni ikaonekana + +Inaweza kufanywa wazi ambao walidhani meli itavunjwa. AT "Watu walidhani"(Angalia tini_zilizowazi) + +# inaweza kuvunjwa + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "kuvunja" + +# baharini + +watu ambao walifanya kazi kwenye Meli + +# Mungu wake mwenyewe + +Hapa "Mungu" ina maana ya miungu ya uongo na sanamu ambazo watu wanaabudu. + +# Wakatupa mizigo iliyokuwa kwenye Meli + +'Watu walitupa vitu vikali sana kwenye meli.' Hii ilifanyika ili meli isiweze kuzama.. + +# ili kuifungua + +Kuifanya Meli iweze kuwa nyepesi na kuweza kuelea vizuri, AT: "kusaidia meli kuelea vizuri" + +# Lakini Yona alikuwa ameshuka kwenye sehemu za ndani za meli + +Yona alifanya hivyo kabla ya dhoruba kuanza. + +# chini kataika sehemu za ndani ya Meli + +"ndani ya Meli" + +# alikuwa amelala huko usingizi uliopitiliza + +"alikuwa amelala haraka usingizi" au "alikuwa amelala pale na amelala kupitiliza." Kwa sababu hii, dhoruba haikumuamsha. + diff --git a/jon/01/06.md b/jon/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..85fc9e91 --- /dev/null +++ b/jon/01/06.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Basi nahoza akamwendea akamwambia + +"Mtu aliyesimamia meli akamuenda Yona na kusema" + +# kwa nini unalala? + +"Kwa nini unalala?' Alitumia swali hili la uongo ili kumwambia Yona. AT "Acha kulala!" + +# Amka + +Hii inamaanisha kufanya shughuli fulani. Kwa Yona, Kapteni anamwambia aamke na kumwomba mungu wake kwa kifungu salama. + +# Muite Mungu wako? + +'Swali kwa mungu wako! "Piga" ina maana ya kupata tahadhari ya mtu. + +# Labda mungu wako atatutambua na hatutapotea + +Maelezo ya wazi ambayo mungu wa Yona anaweza kuwaokoa inaweza kuwa wazi. AT "Labda mungu wako atasikia na kutuokoa ili tusife" + +# Wote wakaambiana + +"Wafanyabiashara wote walisema" + +# 'Njoni, tupige kura, ili tujue ni nani ndiye sababu ya mabaya haya yanayotupata. + +Tunapaswa kupiga kura ili kujua ambaye amesababisha shida hii.' Wanaume waliamini kwamba miungu ingeweza kudhibiti jinsi kura ilivyoanguka ili kuwaambia nini walitaka kujua. Hii ilikuwa aina ya uchawi. + +# ubaya huu + +Hii inahusu dhoruba kali. + +# Kura ikamuangukia Yona + +"kura hiyo ilionyesha kwamba Yona alikuwa mtu mwenye hatia" + diff --git a/jon/01/08.md b/jon/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..e9790675 --- /dev/null +++ b/jon/01/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kisha wakamwambia Yona + +"Kisha wale watu waliokuwa wakifanya kazi katika meli wakamwambia Yona" + +# Tafadhali tuambie ni nani ndiye sababu ya mabaya haya yanayotupata + +"Ni nani aliyesababisha jambo hili baya ambalo linatupata?" + +# kumhofia Bwana + +Neno "hofu" linamaanisha Yona anamheshimu sana Mungu. + +# Ni nini hiki ambaco umekifanya? + +Watu katika meli walitumia swali hili la kuvutia ili kuonyesha jinsi walipokuwa wakiwa na uchungu na Yona. AT "Umefanya jambo baya." + +# alikuwa akikimbia mbele za uwepo wa Bwana + +Yona alikuwa akimkimbia Bwana. Yona alikuwa akitaka kumkimbia Bwana kama Bwana alikuwapo tu katika nchi ya Israeli. + +# kwa sababu alikuwa amewaambia + +Nini aliwaambia inaweza kuelezwa wazi. AT "kwa sababu alikuwa amewaambia "ninajaribu kuondoka mbali na Bwana" + diff --git a/jon/01/11.md b/jon/01/11.md new file mode 100644 index 00000000..bf1d527a --- /dev/null +++ b/jon/01/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# walimwambia Yona + +"watu waliokuwa katika meli wakamwambia Yona" au "wasafiri walimwambia Yona" + +# tukutendee wewe ili kwamba Bahari iweze kutulia + +"kufanya nawe ili kufanya bahari kuwa tulivu" (UDB) + +# bahari ilikuwa imechafuka zaidi na zaidi. + +Hii ndiyo sababu watu waliuliza Yona nini wanapaswa kufanya. Sababu pia inaweza kupatikana mwanzoni mwa mstari wa 11 katika UDB. + +# kwa maana najua kwamba ni kwa sababu yangu kwamba tufani hii kubwa iwapate + +kwa sababu najua dhoruba hii kubwa ni kosa langu' + +# Hata hivyo, watu hao wavuta makasia kwa bidii ili kurudi nchi kavu + +Watu hawakutaka kumtupa Yona ndani ya bahari, kwa hiyo wakapiga kasia kwa nguvu kama vile wanalima ndani ya maji ili kurudi kwenye nchi + +# bahari ikawa imechafuka zaidi na zaidi + +"dhoruba ikawa mbaya zaidi, na mawimbi yakawa kubwa" + diff --git a/jon/01/14.md b/jon/01/14.md new file mode 100644 index 00000000..71fb3598 --- /dev/null +++ b/jon/01/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa hiyo + +Ilikuwa ni matokeo ya dhoruba ya kuwa mbaya zaidi ambayo ilisababisha jibu la pili. AT "Kwa sababu bahari ikawa imechafuka zaidi" + +# akamlilia Bwana + +watu wakamuomba bwana + +# usiache tuangamize kwa sababu ya maisha ya mtu huyu + +"Tafadhali usituue kwa sababu tumemfanya mtu huyu afe' au 'Tutakwenda kusababisha mtu huyu afe. Lakini tafadhali usituue" + +# wala usituwekee hatia ya kifo chake + +"na tafadhali usitulaumu kwa kifo chake" au "wala usichukue hatia wakati mtu huyu akifa." Mwandishi anazungumzia "hatia" kama ni kitu ambacho kinaweza kuwekwa juu ya mtu. Inahusu kumfanya mtu huyo awejibika kwa matendo yao. + +# bahari ikaacha kuchafuka + +"bahari iliacha kusonga kwa ukali" au "bahari ikawa tulivu" (UDB + +# walimuogopa sana Bwana + +"walishangaa sana kwa nguvu za Bwana" (UDB) + diff --git a/jon/01/17.md b/jon/01/17.md new file mode 100644 index 00000000..418d2a79 --- /dev/null +++ b/jon/01/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa za jumla + +Baadhi ya namba za matoleo kama mstari wa kwanza wa sura ya 2. Unaweza kutaka kuhesabu mistari kulingana na toleo kuu ambayo kikundi chako cha lugha hutumia. + +# Sasa + +Neno hili linatumika kwa Kiingereza ili kuanzisha sehemu mpya ya hadithi. + +# siku tatu na usiku wa tatu + +"siku tatu na usiku " + diff --git a/jon/02/01.md b/jon/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..c3d1b820 --- /dev/null +++ b/jon/02/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Bwana Mungu wake + +Hii inamaanisha "Bwana", Mungu aliyemwabudu." Neno "wake" haimaanishi kwamba Yona alikuwa na Mungu. + +# Akasema + +"Yona akasema" + +# Nimemwita Bwana juu ya shida yangu + +'Nilimwomba Bwana kuhusu shida yangu kubwa.' Ingawa Yona alikuwa akimwomba Bwana, alitumia jina la Bwana hapa na si "wewe." AT "Bwana, nimekuita juu ya shida yangu' + +# naye akanijibu + +"Bwana alinijibu" au "alinisaidia" + +# kutoka tumbo la Kuzimu + +"kutoka katikati ya Kuzimu' au 'kutoka sehemu ya kina ya Kuzimu.' Inawezekana maana ni 1) Yona alikuwa akizungumza kama alikuwa ndani ya tumbo la nyangumi alikuwa akiwa Kuzimu au 2) Yona aliamini kwamba alikuwa karibu kufa na kwenda Kuzimu au 3) Alizungumza kama alikuwa amekufa na kwenda huko. + diff --git a/jon/02/03.md b/jon/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..eb109b95 --- /dev/null +++ b/jon/02/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa za jumla + +Huu ni muendelea wa sala ya Yona ambayo ilianza katika 2 :1. Katika mstari wa 4 Yona alizungumza juu ya kitu ambacho alikuwa ameomba kabla ya sala hii. + +# katika kina, ndani ya moyo wa Bahari + +Hii inazungumzia ukubwa wa bahari alipokuepo Yona + +# ndani ya moyo wa bahari + +"chini ya bahari" + +# maji yaliyonizunguka + +"maji ya bahari yalikuwa karibu kunizunguka" + +# mawimbi na gharika + +Kulikuwa na mvurugo juu ya uso wa bahari. ((Angalia tini_ufunua) + +# Nimefukuzwa nje + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "Umenifukuza mbali" au "Umeniacha" (Angalia tini_washiriki) + +# kutoka mbele ya macho yako + +"kutoka kwako." Yona aliposema "macho yako" alikuwa akisema juu ya Bwana kwa ukamilifu wake. + +# lakini nitaangalia tena juu ya hekalu lako takatifu + +Yona ana matumaini kwamba, licha ya yote anayopita, ataona hekalu. (Angalia tani_kutaja) + diff --git a/jon/02/05.md b/jon/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..accf2ddf --- /dev/null +++ b/jon/02/05.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa za jumla + +Huu ni muendelezo wa sala ya Yona iliyoanzia 2:1 + +# Maji + +"Maji" yanarejea kwenye bahari + +# shingo yangu + +Matoleo mengine huelewa neno la Kiebrania katika neno hili kwa maana ya "maisha yangu." Katika tafsiri hiyo, maji yalikuwa karibu kumchukua maisha ya Yona. + +# kina kilinizunguka + +"maji ya kina yalikuwa yakinizunguka" + +# mwani + +"nyasi zinazopandwa baharini" + +# nchi na baa zake zimefungwa juu yangu milele + +Yona alitumia mfano wa kulinganisha dunia na gerezani. Kwenye "dunia ilikuwa kama gerezani ambayo ilikuwa karibu kunifunga kwa milele" (Angalia tini_mapira) + +# Lakini wewe umeinua uhai wangu shimoni + +Yona anazungumzia mahali pa wafu kama kama shimo. AT "Lakini umeokoa maisha yangu kutoka mahali pa wafu" au "Lakini umeniokoa kutoka mahali ambako watu wafu' "(Angalia tini_mapira) + +# Bwana, Mungu wangu! + +Katika lugha zingine, inaweza kuwa ya asili zaidi kuweka hii mwanzo wa sentensi au karibu na neno "wewe." + diff --git a/jon/02/07.md b/jon/02/07.md new file mode 100644 index 00000000..81be0736 --- /dev/null +++ b/jon/02/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa za jumla + +huu ni muendelezo wa sala ya Yona iliyoanzia 2:1 + +# nikamuita Bwana + +Tangu Yona alipomwomba Bwana, inaweza kuwa wazi zaidi katika lugha zingine kusema "Nilifikiri juu yako, Bwana" au "Bwana", nilifikiri juu yako." (UDB) + +# basi sala yangu ilikujia, katika hekalu lako takatifu + +Yona anasema kama sala zake zinaweza kusafiri kwa Mungu na hekalu lake. AT "basi wewe katika hekalu lako takatifu liliisikia sala yangu" (Angalia tini_mapira) + +# Wale wanaozingatia miungu isiyofaa + +"Watu wanaozingatia miungu isiyofaa" + +# kukataa uaminifu wako kwa wenyewe + +"wanakukataa, ambaye angekuwa mwaminifu kwao" + diff --git a/jon/02/09.md b/jon/02/09.md new file mode 100644 index 00000000..92b74a7c --- /dev/null +++ b/jon/02/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa za jumla + +Huu ni muendelezo wa sala ya Yona iliyoanzia 2:1 + +# Lakini mimi + +Maneno haya kwa Kiingereza yanaonyesha kwamba kuna tofauti kati ya watu Yona alikuwa amesema juu na yeye mwenyewe. Walizingatia miungu isiyofaa, lakini angependa kumwabudu Bwana. AT 'Lakini mimi' + +# nitakuchinjia kwa sauti ya shukrani + +Hii ina maana kwamba Yona angeweza kumshukuru Mungu wakati alipomtolea dhabihu dhabihu. Si wazi kama Yona alipanga kumshukuru Mungu kwa kuimba au kupiga kelele kwa furaha. + +# Wokovu kutoka kwa Bwana + +Hii inaweza kutafsiriwa ili jina la abstract "wokovu" linaelezewa kama kitenzi "salama." "Yahweh ndiye anayeokoa watu'" + +# juu ya nchi kavu + +"juu ya ardhi" au "kwenye pwani" + diff --git a/jon/03/01.md b/jon/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..8754e1b2 --- /dev/null +++ b/jon/03/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Neno la Bwana likaja + +Hii ni idiamu ambayo inamaanisha Yahweh alisema. Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1: 1. AT "Bwana alizungumza ujumbe wake' (Angalia tini_idiamu) + +# neno la Bwana + +Hapa "neno" linawakilisha ujumbe wa Bwana. AT "ujumbe wa Bwana" ( + +# "Ondoka, uende Ninawi, mji ule muhimu" + +"Nenda kwenye mji muhimu wa Ninawi" + +# Ondoka + +Hii inarejea kuondoka + +# uhubiri ujumbe ule ambao nitakuagiza + +"waambie watu kile ambacho nimekwambia uwaambie" + +# Basi Yona akaondoka akaenda Ninawi kwa kutii neno la Bwana + +"Wakati huu Yona alimtii Bwana na kwenda Ninawi" + +# Basi Yona akaondoka + +"Basi Yona akaondoka pwani." "akaondoka" ina maana ya kuondoka mahali Yona alikuwapo. + +# Sasa + +Neno hili linatumiwa hapa kuashiria mabadiliko kutoka kwenye hadithi hadi habari kuhusu Ninawi. + +# moja kati ya safari ya siku tatu + +"mji wa safari ya siku tatu". Mtu alipaswa kutembea kwa siku tatu ili apite kabisa. + diff --git a/jon/03/04.md b/jon/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..96b3efa5 --- /dev/null +++ b/jon/03/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# baada ya safari ya siku akapaza sauti + +Inawezekana maana ni 1) "baada ya Yona kutembea safari ya siku alipaza sauti" au 2) "wakati Yona alipokuwa akitembea siku ya kwanza, alipaza sauti." + +# baada ya safari ya siku + +"baada ya kutembea kwa siku." Safari ya siku ni umbali ambao watu huenda kusafiri kwa siku moja. AT "baada ya Yona kutembea kwa siku moja" + +# alipaza sauti na kusema + +"alihubiri" au "alipaza sauti" + +# siku arobaini + +siku 40" (Angalia: tafasili ya namba) + +# Wote hwakavaa nguo za magunia + +Kwa nini watu kuvaa magunia wanaweza kuelezwa wazi zaidi. AT 'Pia huvaa kitambaa kikubwa ili kuonyesha kwamba walikuwa na huruma kwa kuwa wamefanya dhambi' (UDB) (Angalia tini_izo wazi) + +# kutoka aliyemkubwa hata mdogo. + +"kutoka kwa walio wa muhimu zaidi hata wasio na umuhimu" au "ikiwa ni pamoja na watu wote muhimu na watu wote wasiomuhimu" (UDB) + diff --git a/jon/03/06.md b/jon/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..c0ff57a5 --- /dev/null +++ b/jon/03/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# habari + +"ujumbe wa Yona" + +# Akasimama kutoka kiti chake cha enzi + +Aliinuka kutoka kiti chake cha enzi' au 'Alisimama kutoka kiti chake cha enzi.' Mfalme alitoka kiti chake cha enzi kuonyesha kwamba alikuwa akifanya kwa unyenyekevu. + +# kiti cha enzi + +Kiti cha enzi ni kiti ambacho mfalme anakaa. Inaonyesha kwamba yeye ni mfalme. + +# Alitoa tangazo ambalo lisemalo + +"Alitoa tamko rasmi ambalo alisema" au "aliwatuma wajumbe wake kutangaza kwa watu wa Ninawi" + +# wakuu + +"washauri" (UDB). Hawa walikuwa watu muhimu ambao walimsaidia mfalme kutawala mji. + +# ng'ombe wala kundi + +Hii inahusu aina mbili za wanyama ambazo watu hutunza. AT "ng'ombe au kondoo" + +# Wao wasile wala kunywe maji. + +"Hawapaswi kula wala kunywa chochote." Sababu ambayo hawakula au kunywa chochote inaweza kuwa wazi kwa kuongeza "ili kuonyesha kuwa ni msamaha kwa dhambi zao." + diff --git a/jon/03/08.md b/jon/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..fb211436 --- /dev/null +++ b/jon/03/08.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa za jumla + +Huu ni muendelezo wa kile Mfalme aliwambia watu wa Ninawi. + +# Lakini wote + +"wote" + +# Lakini watu na wanyama wawe wamefunikwa kwa magunia + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "waache watu na wanyama huvaa magunia" au "waache watu na kujifunika wenyewe na wanyama wao kwa magunia" + +# wanyama + +Neno "mnyanya" inatambulisha wanyama ambao watu wanafuga. + +# kulia kwa sauti kuu kwa Mungu + +"ombe kwa bidii kwa Mungu." Walipaswa kuomba kwa ajili yao inaweza kuwekwa wazi. "Kulia kwa sauti kubwa kwa Mungu na kuomba huruma" + +# udhalimu uliyopo mikononi mwake + +Hii inamaanisha "mambo ya kidhalimu aliyofanya" + +# Nani ajuae? + +Mfalme alitumia swali hili la kuvutia ili kuwafanya watu kufikiri juu ya kitu ambacho hawangeweza kufikiri iwezekanavyo, kwamba kama watakapoacha kutenda dhambi, Mungu hawezi kuwaua. Inaweza kutafsiriwa kama taarifa 'Hatujui.' Au inaweza kuelezwa kama neno na kuwa sehemu ya hukumu ijayo "Labda." + +# Mungu anaweza kurejea na kubadili mawazo yake + +"Mungu anaweza kufanya kitu tofauti" au "Mungu hawezi kufanya kile alichosema atafanya" + +# tusiangamie + +"hatutakufa." maangamizi yake ni sawa na kuozea baharini. + diff --git a/jon/03/10.md b/jon/03/10.md new file mode 100644 index 00000000..85fbaa00 --- /dev/null +++ b/jon/03/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mungu akaona yale waliyoyafanya + +"Mungu alielewa kuwa waliacha kufanya vitendo mabaya" + +# wakaziacha njia zao mbaya + +Mwandishi anazungumzia watu wameacha kutenda dhambi kama wamegeukia kwenye kitu. + +# Mungu alibadili mawazo yake juu ya adhabu aliyowaambia angewafanyia, + +"Mungu alibadili mawazo yake juu ya adhabu aliyowaambia angewafanyia" au "Mungu aliamua kuwaadhibu kama alivyosema" + +# nae hakufanya hivyo + +Nini Mungu alipaswa kufanya inaweza kufanywa wazi. AT "na hakuwaadhibu' au 'na hakuwaangamiza" + diff --git a/jon/04/01.md b/jon/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..202db182 --- /dev/null +++ b/jon/04/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Eh, Bwana + +Neno "Eh" linaelezea hisia ya Yona ya kuchanganyikiwa. + +# haya sio yale niliyosema wakati niliporudi katika nchi yangu + +Yona alitumia swali hili la kumwonyesha Mungu jinsi alivyo hasira. Pia, kile Yona alisema wakati aliporudi katika nchi yake mwenyewe inaweza kuelezwa waziwazi. AT "Nilipokuwa bado katika nchi yangu nilijua kwamba kama nitawaonya watu wa Ninawi, watajibu, na huwezi kuwaangamiza" + +# Nilifanya kwanza na kujaribu kukimbia Tarishishi + +Inawezekana maana ni 1) 'Nilijaribu kuzuia hili kwa kukimbilia Tarshishi' au 2) 'Nilifanya haraka na kujaribu kukimbia Tarshishi' au 3) 'Nilifanya yote niliyoweza kukimbia Tarshishi.' + +# wingi katika uaminifu + +"mwaminifu sana" au "unapenda watu sana" (UDB) + +# unaghairi kutuma maafa + +Hii inamaanisha 'unasema kuwa utapeleka maafa juu ya wenye dhambi, lakini kisha usiamua.' AT 'unaamua kuwaadhibu watu ambao wanafanya dhambi' + +# uniondoe uhai wangu + +Sababu ya Yona ya kutaka kufa inaweza kuelezwa waziwazi. AT "kwa vile hutaangamiza Ninawi kama ulivyosema ungependa, tafadhali niruhusu nifariki" (UDB) + +# kwa maana ni bora kwangu kufa kuliko kuishi + +"Ningependa kufa kuliko kuishi" au "kwa sababu nataka kufa. Sitaki kuishi " + diff --git a/jon/04/04.md b/jon/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..c39bb303 --- /dev/null +++ b/jon/04/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ni vema kwamba umekasirika? + +Mungu alitumia swali hili la kuvutia ili kumwambia Yona kwa kuwa hasira juu ya kitu ambacho hakuwa na hasira juu yake. AT "Hasira yako si nzuri." + +# alitoka nje ya mji + +ametoka mji wa Ninawi + +# mji utakuwaje + +"nini kitatokea kwenye mji" (UDB). Yona alitaka kuona kama Mungu angeuharibu mji au hatauharibu. + diff --git a/jon/04/06.md b/jon/04/06.md new file mode 100644 index 00000000..be6b214a --- /dev/null +++ b/jon/04/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# juu ya Yona ili uwe kivuli juu ya kichwa chake + +"juu ya kichwa cha Yona kwa kivuli" + +# ili kupunguza dhiki yake + +"kumlinda Yona kutokana na joto la jua" + +# Lakini Mungu aliandaa mdudu + +"Mungu alimtuma mdudu" (UDB) + +# Alishambulia mmea + +"Mdudu hutafuta mmea" + +# mmea ukapooza + +Mmea ukakauka na kufa. AT: "mmea ukafa" + diff --git a/jon/04/08.md b/jon/04/08.md new file mode 100644 index 00000000..04c9ff20 --- /dev/null +++ b/jon/04/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mungu aliandaa upepo mkali wa mashariki + +Mungu alisababisha upepo mkali kutoka mashariki ili kumpiga Yona. Ikiwa upepo unaweza kumaanisha upepo baridi au baridi basi unaweza kujaribu hii. AT 'Mungu alimtuma joto la moto sana kutoka mashariki hadi Yona + +# jua lilipiga chini + +"jua lilikuwa kali sana" + +# kichwa cha Yona + +Yona anaweza kuwa amehisi joto kali juu ya kichwa chake. AT "juu ya Yona" + +# akaanguka + +"akawa dhaifu sana" au "alipoteza nguvu zake" + +# Ni bora kwangu kufa kuliko kuishi + +"Ningependa kufa kuliko kuishi" au "Kwa sababu nataka kufa. Sitaki kuishi. "Tazama jinsi ulivyotafasiri hii katika 4 1. + +# ni vema wewe kuwa na hasira juu ya mmea? + +Mungu anamjaribu Yona kwa kuwa na hasira kwamba mmea umekufa na bado Mungu alitaka kuwaua watu wa Ninawi. AT "Hasira yako juu ya mmea kufa sio nzuri." + +# Ni vyema kuwa nimekasirika hata kufa. + +"Ni vizuri kwamba nina hasira. Sasa nimekasirika hata kufa! " (UDB) + diff --git a/jon/04/10.md b/jon/04/10.md new file mode 100644 index 00000000..3e5d645b --- /dev/null +++ b/jon/04/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Bwana akasema + +"Bwana akamwambia Yona" + +# haikunipassa kuuhurumia Ninawi, mji mkuu, ...Ng'ombe? + +Mungu alitumia swali hili kusisitiza madai yake ya kwamba anapaswa kuwa na huruma juu ya Ninawi. AT 'Mimi hakika ni lazima nipate huruma kwa Ninawi, mji ule muhimu ... ng'ombe.' (Angalia tini_kutaja) + +# ambayo kuna zaidi + +Hii pia inaweza kuwa mwanzo wa sentensi mpya. AT "Kuna zaidi" au "Ina zaidi" + +# watu mia moja na Ishirini elfu + +Watu 120,000 + +# ambao hawajui tofauti kati ya mkono wao wa kulia na mkono wao wa kushoto + +Hii inaweza kuwa njia ya kusema "hawawezi kuelewa tofauti kati ya zuri na baya." + +# na pia Ng'ombe wengi + +Mwandishi anaelezea ukosefu wa toba ya Ninawi kwa kiasi ambacho Bwana anachukua ushiriki wa wanyama katika tendo la toba + diff --git a/jos/01/01.md b/jos/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..69f04373 --- /dev/null +++ b/jos/01/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Yahwe + +Hili ni jina la Mungu ambalo alilidhihirisha kwa watu wake katika Agano la Kale. + +# Nuni + +Baba yake na Yoshua + +# Vuka mto huu wa Yordani + +''Kuvuka" ina maana ya " kwenda upande mwingine wa mto,"au kusafiri kutoka upande mmoja wa mto hadi upande wa pili." + +# wewe pamoja na watu hawa + +Neno 'wewe' humrejelea Yoshua. + +# Nimewapeni ninyi + +Neno "ninyi' linarejelea Yoshua na taifa la Israeli. + +# Nyao za miguu yenu + +Ina maana ya sehemu zote ambazo Yoshua atazitembelea katika safari yake ng'ambo ya Mto Yordani. + diff --git a/jos/01/04.md b/jos/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..4ab4ff75 --- /dev/null +++ b/jos/01/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anaendelea kuzungumza na Yoshua + +# Nchi yenu + +Neno 'yenu' linarejelea makabila ya Israeli na si Yoshua pekee yake. + +# kusimama kinyume chako + +Katika mstari wa 5 maneno 'chako' na 'yako' yanamrejelea Yoshua. + +# Sitakupungukia wala kukuacha + +Maneno 'sitakupungukia' na 'kukuacha' kimsingi yanamaanisha kitu kile kile. Yahwe aliyatumia kwa pamoja ili kukazia na kuonesha kwamba hatayafanya mambo haya. "Nitakuwa pamoja nawe siku zote." + diff --git a/jos/01/06.md b/jos/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..e1bc8db3 --- /dev/null +++ b/jos/01/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahwe anampa Yoshua mfululizo wa maagizo + +# Uwe hodari na jasiri sana + +Yahwe anamwagiza Yoshua ashinde hofu zake kwa ujasiri. + +# Usikengeuke upande wa kulia au wa kushoto + +Maneno haya yaweza kumaanisha agizo halisi. "Ifuate sheria kwa hakika" au ''Zifuate kwa ukweli na hakika" + +# ili uweze kufanikiwa + +"kutimiza lengo lako" au "kufikia lengo lango" + diff --git a/jos/01/08.md b/jos/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..6c39d733 --- /dev/null +++ b/jos/01/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anaendelea kuongea na Yoshua + +# Siku zote uuongee + +Hii ina maana kwamba Yoshua alitakiwa kuongea juu kitabu cha sheria mara kwa mara. Neno 'mchana na usiku' huongeza mkazo na uzito. + +# Kisha utastawi na kufanikiwa + +Kimsingi maneno haya mawili yanamaanisha kitu kile kile na pia yanatia mkazo juu ya kufanikiwa kwa hali kubwa. + +# Je si mimi niliyekuagiza? + +Hii inamrejelea Yahweh akimwamuru Yoshua. "Ni mimi niliyekuagiza!" + +# Uwe hadori na jasiri! + +Yahweh anamwagiza Yoshua. + diff --git a/jos/01/10.md b/jos/01/10.md new file mode 100644 index 00000000..d5d0ffa3 --- /dev/null +++ b/jos/01/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nendeni katika kambi na waagizeni watu, 'andaeni... kuimilik + +Nukuu ya maneno yaliyo katika funga semi yaweza kuelezwa kama "Nendeni katika kambi na uwaamuru watu waandae mahitaji kwa ajili yao. Baada ya siku tatu watavuka mto huu wa Yordani na kuingia ndani yake na kuimiliki nchi ambayo Yahweh Mungu wao anawapa ili kuimiliki. + +# Watu + +Watu wa Israeli + +# katika siku tatu + +Siku tatu baada ya sasa + +# vukeni mto huu wa Yordani + +"kuvuka" ina maana ya kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine ya mto. + diff --git a/jos/01/12.md b/jos/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..fff52178 --- /dev/null +++ b/jos/01/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maneno ya jumla + +Makabila ya Rubeni, Gadi na nusu ya kabila la Manasee yalichagua kukaa mashariki mwa Mto wa Yordani. + +# Warubeni + +Hawa ni wazawa wa Warubeni. + +# Wagadi + +Hawa walikuwa ni wazawa wa Gadi. + diff --git a/jos/01/14.md b/jos/01/14.md new file mode 100644 index 00000000..8b2f64b4 --- /dev/null +++ b/jos/01/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo kwa ujumla + +Yoshua anaendelea kuongea na Warubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase. + +# Watoto wenu + +"watoto wenu wadogo" + +# ng'ambo ya Yordani + +Inarejelea upande wa mashariki wa mto Yordani. baadaye Waisraeli wengli waliweza kuishi magharibi wa Yordani, hivyo wakaaita sehemu ya mashariki "ng'ambo ya Yordani' Lakini kwa wakati huu watu wote wakali katika upande wa mashariki mwa Yordani. + +# kuwapa ndugu zenu pumziko + +Hii inarejelea waisraeli kuwashinda manabii wao wote wanaokaa katika nchi ya Kanaani ambao walipaswa kuwashinda. + +# uta........ na kuimiliki + +Hii ina maana ya kuishi maisha yao kwa amani katika nchi + +# ng'ambo ya Yordani, mahali jua linapochomoza + +Inarejelea upande wa mashariki mwa mto wa Yordani. + diff --git a/jos/01/16.md b/jos/01/16.md new file mode 100644 index 00000000..1d9d97f8 --- /dev/null +++ b/jos/01/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Waisraeli hawa walikuwa ni Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase ambao walimjibu Yoshua. + +# Yeyote anayeasi maagizo yako na kutotii maneno yako + +Virai hivi vya manane kimsingi vina maana moja tu na pia vinatia mkazo kuwa aina yoyote ya uasi itaadhibiwa. + +# atauawa + +Hii inaweza kuelezwa kwa kauli tendaji: ''Tutamwua'' + +# Uwe hodari na jasiri tu + +Mungu pamoja na Waisraeli walizingatia mambo yote kuwa ya muhimu kwa Yoshua kuendelea kama kiongozi wao. + diff --git a/jos/02/01.md b/jos/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..2726207e --- /dev/null +++ b/jos/02/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nuni + +Huyu ni baba yake na Yoshua + +# Shitimu + +Hili ni jina la mahali katika upande wa mashariki wa Mto wa Yordani. Ina maana ya "Miti ya Akasia." + +# Wapelelezi + +Hawa ni watu waliotembelea nchi ili kupata taarifa juu ya jinsi ya Israeli kuitwaa. + diff --git a/jos/02/04.md b/jos/02/04.md new file mode 100644 index 00000000..a3fda881 --- /dev/null +++ b/jos/02/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Rahabu yule kahaba aliwahifadhi wale wapelezi wawili wa Israeli ili wasidhuriwe. + +# Lakini mwanamke alikuwa amewachukua na kuwaficha + +Tukio hili lilifanyika kabla ya wajumbe wa wafalme hawajaongea naye. + +# Mwanamke + +Neno hili linamrejelea Rahabu, kahaba. + +# Machweo + +Huu ni muda ambao siku inaanza kubadilika na kuwa giza la usiku. + diff --git a/jos/02/06.md b/jos/02/06.md new file mode 100644 index 00000000..6529a343 --- /dev/null +++ b/jos/02/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Lakini alikuwa amewachukua.....darini + +Haya ni maelezo ya msingi na yanaeleza jinsi alivyowaficha wanaume katika 2:4 + +# Darini + +Dari lilikuwa bapa na imara, ambalo watu waweza kutembea tembea juu yake + +# kitani + +NI mmea ambao ulikuaukiwa na nyuzi nyuzi, ambazo zilitumika kwa kutengeneza nguo + +# Hivyo, watu waliwafuatilia njiani + +Watu waliwafuatilia wapelelezi kwasababu ya kile ambacho Rahabu alikuwa amewaambia katika 2:4 + +# vivuko + +Hizi ni sehemu za mto ambazo hazina kina kirefu cha maji kiasi kwamba watu wanaweza kuvuka kwa kutembea kwa miguu. + diff --git a/jos/02/08.md b/jos/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..a8802e06 --- /dev/null +++ b/jos/02/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# walikuwa hawajalala + +Hii inarejelea kwenda kulala wakati wa usiku + +# Ninajua kwamba Yahweh amewapa ninyi nchi + +Neno 'ninyi' linawarejelea watu wa Israeli + +# hofu juu yenu imetuingia + +"hofu yaweza kuelezewa kwa hali tofauti." " Sisi tunawaogopeni ninyi." + +# watayeyuka mbele yenu + +Watu wenye hofu wanalinganishwa na kuyeyuka kwa barafu na kutiririkia mbali. Maana zinazokubalika ni 1)watakuwa wadhaifu mbele za uwepo wa Waisraeli 2) watasambazwa. + diff --git a/jos/02/10.md b/jos/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..d15c273a --- /dev/null +++ b/jos/02/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Rahabu anaendelea kuongea na wapelelezi wa Kiisraeli. + +# Bahari ya mianzi + +Hili ni jina jingine la Bahari Nyekundu + +# Sihoni na Ogu + +Haya ni majina ya wafalme wa Waamori + +# mioyo yetu iliyeyuka na hapakuwa na ujasiri wowote uliosalia + +Virai hivi vya maneno vina maana sawa, yameunguanishwa ili kuonesha mkazo. Maneno "mioyo yetu ikayeyuka" yanalinganisha mioyo ya watu waoga na kuyeyuka kwa barafu na kutiririka. + diff --git a/jos/02/12.md b/jos/02/12.md new file mode 100644 index 00000000..2aacd05e --- /dev/null +++ b/jos/02/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Rahabu anaendelea kuongea na wapelelezi wa kutoka Israeli + +# tafadhali mniapie ... Nipeni ishara ya uhakika + +Maneno haya yanafanana kimaana kumhusu Rahabu akitafuta uhakika kutoka kwa wapelelezi. + +# Nimekuwa mwema kwenu + +Neno 'kwenu' linarejelea wapelelezi wawili + +# kuhifadhi maisha...mtatuokoa katika kifo + +Ni njia ya upole ya kusema "msituue sisi." + diff --git a/jos/02/14.md b/jos/02/14.md new file mode 100644 index 00000000..11a074dc --- /dev/null +++ b/jos/02/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Wapelelezi wa Kiisraeli wanatoa ahadi ambayo Rahabu aliiomba + +# Maisha yetu kwa ajli ya maisha yenu + +Hii ni njia nyingine ya kusema, " Kama tukifa, mtakufa. Kama tukiishi, nanyi mtaishi." + diff --git a/jos/02/15.md b/jos/02/15.md new file mode 100644 index 00000000..3f784438 --- /dev/null +++ b/jos/02/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Wapelelezi wa Israeli wanaendelea kuongea na Rahabu. + +# kama hautalifanya hili + +jambo hili linaelezea juu ya sharti la ahadi ambalo wapelelezi walikuwa wamelifanya kwa Rahabu. Neno 'hili' linarejelea juu ya kufunga kamba katika dirisha katika 2:18 + diff --git a/jos/02/18.md b/jos/02/18.md new file mode 100644 index 00000000..131e8add --- /dev/null +++ b/jos/02/18.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi kiunganishi + +Wapelelezi wa Kiisraeli wanafafanua sharti walilolisema katika 2:15 + +# Maelezo ya jumla + +Wapelelezi wa Kiisraeli wanaendelea kuongea na Rahabu + +# Na yeyote aendaye mtaani nje ya milango ya nyumba yako + +Maneno haya yanaelezea juu ya sharti kwa kuweka hali ambayo yaweza kutokea + +# damu yao itakuwa juu ya vichwa vyao + +Hii ina maana ya "kifo chao kitakuwa kwasababu ya makosa yao wenyewe" + +# juu ya vichwa vyao + +Neno "vichwa" linawakilisha uwajibikaji binafsi + +# hawatakuwa na hatia yoyote + +watakuwa waadilifu wasio na kosa + +# kama mkono utanyoshwa juu + +"kama tutasababisha madhara + diff --git a/jos/02/20.md b/jos/02/20.md new file mode 100644 index 00000000..64f5e9b0 --- /dev/null +++ b/jos/02/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Wapelelezi wa Kiisraeli wanaendelea kuonge na Rahabu juu ya ahadi zao kwake + +# Maelezo ya jumla + +Wapelelezi walimtaka Rahabu kukaa kimya juu ya safari yao la sivyo wangekuwa huru dhidi ya kiapo cha kuilinda familia yake. + +# Ikiwa utaongea + +kiwakilishi 'u' kinamrejelea Rahabu + +# Yote uliyoyasema nayatimie + +Rahabu alikubaliana na matakwa ya kiapo ili kuokoa familia yake + diff --git a/jos/02/22.md b/jos/02/22.md new file mode 100644 index 00000000..ed435cd8 --- /dev/null +++ b/jos/02/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Wapelelezi wa Israeli wanaondoka Yeriko + +# watu waliowafuatilia walirudi + +Wale watu waliowafuatilia walirudi katika mji wa Yeriko + +# bila kuwaona + +Hili linarejelea hao watu ambao hawakuwapata wapelelezi + diff --git a/jos/02/23.md b/jos/02/23.md new file mode 100644 index 00000000..20cc64c0 --- /dev/null +++ b/jos/02/23.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Wale watu wawili walirudi + +Watu wawili walirudi katika kambi ya Waisraeli + +# walirudi na kuvuka mto + +Haya maelezo ya maana sawa yakirejelea kurudi kule walikokuwa katika kambi ya Waisraeli + +# kuvuka + +"kuvuka'' ina maana ya kwenda upande wa pili wa ukingo wa mto. Kusafiri kutoka upande huu hadi upande wa pili wa Yordani" + +# Nuni + +Hili ni jina la kiume; baba yake na Yoshua + +# kila kitu kilichotokea kwao + +"mambo yote ambayo watu walikuwa wameyapata na kuyaona." + +# sisi + +Neno hili 'sisi' linawarejelea Waisraeli + +# Wenyeji wote wa nchi wanayeyuka + +Watu wa nchi mbele ya Israeli ni kama kitu kinachoyeyuka katika joto. + diff --git a/jos/03/01.md b/jos/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..1de87e1f --- /dev/null +++ b/jos/03/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Aliamka + +Maana ya neno "alimka'' ina maana ya ''kuinuka" + +# Shitimu + +Ni sehemu katika nchi ya Moabu, maghariibi mwa Mto Yordani mahali ambapo Waisraeli walikuwa wamepiga kambi kabla ya kuingi katika nchi ya Kanaani. + diff --git a/jos/03/02.md b/jos/03/02.md new file mode 100644 index 00000000..87cdaf21 --- /dev/null +++ b/jos/03/02.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maafisa + +Hawa ni watu walioshikilia nafasi za maamlaka na kutoa maagizo + +# watu + +Hili ni taifa la Israeli + +# dhiraa elfu mbili + +"dhiraa 2,000" Neno ''dhiraa'' ni kipimo ambacho ni sawa na umbali kutoka kwenye kiwiko cha mkono hadi mwisho wa vidole. + diff --git a/jos/03/05.md b/jos/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..00822af7 --- /dev/null +++ b/jos/03/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Jitakaseni ninyi wenyewe + +Maneno haya yanarejelea maandalizi maalumu ya kuwa safi kidini au kiroho mbele za Mungu. + +# Yahweh atafanya maajabu + +Yahweh atakuwa akifanya miujiza kwa ajili ya watu wote kuona na kushuhudia + +# Chukueni sanduku la agano + +Haya yanawarejelea walawi ambao hulichukua Sanduku la Agano kwa kusudi la kulibeba kutoka sehemu moja hadi nyingine. + diff --git a/jos/03/07.md b/jos/03/07.md new file mode 100644 index 00000000..c94a4b72 --- /dev/null +++ b/jos/03/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anamwambia Yoshua kile ambacho kuhani alipaswa kufanya + +# nitakufanya kuwa mtu mkubwa + +Yahweh atamheshimu Yoshua mbele ya watu wote wa Israeli. + +# macho ya Waisraeli + +Inawarejelea Waisraeli wote watakaoona tukio hili + +# ukingo wa maji ya Yordani, + +Yoshua ataukaribia ukingo wa Mto wa Yordani + diff --git a/jos/03/09.md b/jos/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..281b7be7 --- /dev/null +++ b/jos/03/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yoshua anawaambia kile ambacho Yahweh alikuwa yuko karibu kufanya + +# atawaondosha mbele yenu + +Yahweh atafukuzia mbali watu wengine walioishi katika ili watoke au wauwawe. + +# kuvuka + +"kuvuka" ina maana ya kwenda upande mwingie wa ukingo wa mto, au '' kusafiri kutoka upande kwenda upande mwingine." + diff --git a/jos/03/12.md b/jos/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..66203ff1 --- /dev/null +++ b/jos/03/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yoshua anaendelea kuwaambia Waisraeli juu ya miujiza ambayo Yahweh ataifanya + +# Maelezo ya jumla + +Kama vile baba wa Israeli walivyovuka katika Bahari nyekundu, watu hawa watashuhudia kuvuka Mto Yordani katika nchi kavu. + +# nyayo za miguu + +ina maana ya sehemu za chini ya miguu yao + +# chemichemi + +Neno hili linarejelea mwelekeo wa mtiririko wa maji ya mto Yordani kuelekea Israeli. + +# yatasimama katika chuguu moja + +Maji yatatulia katika sehemu moja. Hayatatiririka kuelekea waliko makuhani. + diff --git a/jos/03/14.md b/jos/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..3b8f0c62 --- /dev/null +++ b/jos/03/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sanduku la agano + +Neno ''sanduku'' hapa linarejelea sanduku ambalo lina mbao za mawe + +# ukingo wa maji + +Inarejelea sehemu ya juu ya maji kama vile ilivyo katika ukingo wa kisima ambapo maji hutiririkia katika sehemu kavu + +# Yordani hujaa hadi katika kingo zake zote katika kipindi chote cha mavuno + +Haya ni maelezo ya msingi na yanakazia yale ambayo Yahweh anayafanya. + diff --git a/jos/03/17.md b/jos/03/17.md new file mode 100644 index 00000000..ddd99ea2 --- /dev/null +++ b/jos/03/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Uvukaji wa kimuujiza wa Mto Yordani unaendelea + +# Yordani + +Neno hili linarejelea sehemu ya chini udongoni ya Mto Yordani + +# kuvuka + +Neno hili lina maana ya kwenda upande mwingine wa mto. Kusafiri kutoka upande mwingine kwenda upande wa pili. + diff --git a/jos/04/01.md b/jos/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..7f62c1e0 --- /dev/null +++ b/jos/04/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Ingawa Yahweh alikuwa anaongea moja kwa moja na Yoshua, matukio yote yalihusu Israeli. + +# kuvuka + +Neno hili lina maana ya kwenda upande mwingine wa mto. Kusafiri kutoka upande mwingine kwenda upande wa pili + +# Yordani + +Mto Yordani + +# Uwape agizo hili......... + +Nukuu hii inaweza kuelezwa kwa kauli isiyo ya moja kwa moja. "Uwape agizo hili wachukue mawe kumi na mbili kutoka katikati ya mto Yordani mahali ambapo makuhani walisimama katika nchi kavu na kuyaleta na kuyaweka mahali mtakapolala usiku huu." + diff --git a/jos/04/04.md b/jos/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..9455b5ee --- /dev/null +++ b/jos/04/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yoshua anawaambia watu kumi na wawili kitu cha kufanya + +# katikati ya Yordani. Kila mmoja wenu achukue jiwe moja mabegani + +Kila mtu kati ya watu kumi na wawili walitakiwa kuchukua mawe makubwa kutoka sehemu ya chini ya Mto Yordani na kuyabeba mpaka sehemu nyingine ili kujenga jengo la ukumbusho. + diff --git a/jos/04/06.md b/jos/04/06.md new file mode 100644 index 00000000..96c84742 --- /dev/null +++ b/jos/04/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yoshua anawaambia Waisraeli maana ya fungu la mawe kumi na mawili. + +# Maji ya Yordani yalitengwa mbele ya sanduku la Yahweh + +Sentesi hii inaweza kuelezwa katika kauli tendaji: "Yahweh aliyatenga maji ya Yordani mbele ya sanduku la agano lake" + +# Maji ya Yordani + +Mto Yordani + +# yalitengwa mbele ya sanduku la Yahweh + +Mto Yordani ulizuiliwa na Mungu ili usitiririke kuelekea sanduku la Agano ambalo lilikuwa limebebwa na makuhani. + +# maji ya Yordani yalisimamishwa + +Maji yaliyotiririka katika Mto Yordani yalikoma mbele ya sanduku ili kwamba kila mtu pamoja na agano lenyewe lisafiri katika nchi kavu. + diff --git a/jos/04/08.md b/jos/04/08.md new file mode 100644 index 00000000..7a81fea7 --- /dev/null +++ b/jos/04/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yoshua na Israeli wanaendelea kufanya kama Yahweh alivyowaagiza. + +# walichukua mawe kumi na mbili kutoka katikati ya Yordani + +Hii inawarejelea watu kumi na wawili waliochukua mawe kutoka udongo ulio katikati ya Mto Yordani + +# Kisha Yoshua akayapanga mawe kumi na mbili katikati ya Yordani + +Haya yalikuwa mawe kumi na mawili ya ziada, siyo yale mawe ambayo watu kumi na wawili waliyachukua kutoka katika undongo wa mto. + diff --git a/jos/04/10.md b/jos/04/10.md new file mode 100644 index 00000000..3767d1b1 --- /dev/null +++ b/jos/04/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yordani + +linarejelea Mto Yordani + +# Watu + +Linarejelea taifa la Israeli. + +# Kuvuka + +Hii ina maana ya kwenda upande mkabala wa ukingo wa mto. "kusafiri kutoka upande mmoja kwenda upande mwingine." + +# mbele za watu + +Hii inarejelea kuwa mbele za watu au katika macho ya watu wote. Kila mmoja aliliona sanduku lililokuwa limebebwa na makuhani. + diff --git a/jos/04/12.md b/jos/04/12.md new file mode 100644 index 00000000..5cee6f6e --- /dev/null +++ b/jos/04/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kabila la Rubeni, kabila la Gadi, na nusu ya kabila la Manase walipita kama jeshi + +Hawa walikuwa ni wanajeshi wa makabila matatu ambayo yalikuwa yanatimiliza wajibu wao wa kuwaongoza Waisraeli katika vita kwa ajili ya kukaa upande wa mashariki wa Mto Yordani. + +# kama ambavyo wa.... + +Neno 'wa' linarejelea watu wa Israeli + +# Walimheshimu Musa + +Neno hili halimaanishi to kuheshimu lakini pia kutii agizo lake na kumjali kama amiri jeshi wa jeshi lao kama walivyomfuata Musa. + diff --git a/jos/04/15.md b/jos/04/15.md new file mode 100644 index 00000000..515a9823 --- /dev/null +++ b/jos/04/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anamwambia Yoshua ili awaambie makuhani watoke katika Mto Yordani. + diff --git a/jos/04/17.md b/jos/04/17.md new file mode 100644 index 00000000..1ee1238a --- /dev/null +++ b/jos/04/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mwandishi alikuwa anakiweka wazi kile kilichogawanya Mto Yordani hakikuwa cha tofauti na kile kilichogawanya Bahari Nyekundu kwa ajili ya kizazi kilichotangulia. + +# maji ya Yordani yalirudi katika sehemu zake na kujaa hadi katika kingo zake + +Mto Yordani ulikuwa ukifurika katika kingo zake na kugharikisha eneo kabla na baada ya Israeli kuvuka katika nchi kavu. + +# Siku nne + +Siku 4 + diff --git a/jos/04/19.md b/jos/04/19.md new file mode 100644 index 00000000..fc50bc01 --- /dev/null +++ b/jos/04/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kukwea kutoka Yordani + +Hii inarejelea kipindi ambacho Israeli ilivuka Mto Yordani katika nchi kavu. + +# Katika siku ya kumi ya mwezi wa kwanza + +Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi iko karibu na mwisho wa mwezi wa tatu wa kalenda za Kimagharibi. + +# Mawe kumi na mawili ambayo yalichukuliwa katika Yordani + +Kila kabila lilitakiwa kuchukua jiwe moja kutoka katika Mto wa Yordani ili Yoshua aweze kutengeneza kumbukumbu ya tukio la kuvuka mto. + diff --git a/jos/04/22.md b/jos/04/22.md new file mode 100644 index 00000000..5c5b09f6 --- /dev/null +++ b/jos/04/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yoshua anaendelea kuwakumbusha watu kusudi la kurundika mawe. + +# waambieni watoto wenu + +Ilikuwa ni kazi ya Israeli kuwafundisha watoto wao juu ya miujiza ya Mungu ili kwamba waweze kumheshimu Yahweh milele. + +# mkono wa Yahweh ni nguvu + +Kifungu hiki kinarejelea Nguvu ya Yahweh kuwa ni wenye nguvu. "Yahweh ni Mwenye nguvu" + diff --git a/jos/05/01.md b/jos/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..815a1c26 --- /dev/null +++ b/jos/05/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mioyo yao ikayeyuka, na hapakuwa na moyo wowote ndani yao + +Virai hivi viwili kimsingi vinamaaanisha kitu kimoja na kutia mkazo zaidi juu ya hofu yao. + +# mioyo yao ikayeyuka + +Hapa "mioyo" inarejelea ujasiri wao. Walikuwa wameogopa sana kana kwamba ujasiri wao uliyeyuka kama sega la asali katika moto. "Walipoteza ujasiri wao wote." + +# hapakuwa na moyo wowote ndani yao + +Hapa neno "moyo" linarejelea juu ya utashi wao wa kupigana. "Hawana tena hamu ya kupigana" + diff --git a/jos/05/02.md b/jos/05/02.md new file mode 100644 index 00000000..98b4ccc5 --- /dev/null +++ b/jos/05/02.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tengenezeni visu vya mawe na mara moja mwatahiri wanaume wote + +Kulikuwa na watu waume zaidi ya 600,000/, hivyo na ijulikane kuwa wakati Yoshua alikua ni kiongozi wa kazi hii, watu wengi walimsaidia. Twaweza kusema pia "Yoshua na waisraeli wenyewe walijitengenezea visu vya mawe........ waliwatahiri wanaume wote. + +# Gibea Haaraloti + +Hili ni jina la mahali/sehemu ambalo lilikuwa ni kwa ajili ya kumbukumbu ya Waisraeli kujitoa kwao mbele kwa Yahweh. Ina maana ya "kilima cha magovi" + diff --git a/jos/05/04.md b/jos/05/04.md new file mode 100644 index 00000000..8ff7e94b --- /dev/null +++ b/jos/05/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Sababu ya kuwafanya wanaume wote watahiriwe imeelezwa + +# watu wa vita + +Hawa ni watu amba walikuwa na umri wa kutosha kuwa wanajeshi. + diff --git a/jos/05/06.md b/jos/05/06.md new file mode 100644 index 00000000..6deab2da --- /dev/null +++ b/jos/05/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# hawakuitii sauti ya Yahweh + +Hapa neno "sauti" linarejelea vitu ambavyo Yahweh aliyasema. "tii mambo yale ambayo Yahweh amewaagiza" + +# nchi inayotiririka maziwa na asali + +Mungu alizungumzia juu ya nchi ambayo ilikuwa nzuri kwa wanyama na mimea kana kwamba yalikuwa ni maziwa na asali kutoka kwa wanyama na mimea ilikuwa ikitiririka katika nchi. Pia twaweza kusema "Nchi ambayo ilikuwa ni ni nzuri kwa kufugia mifugo na kukuzia mazao." + diff --git a/jos/05/08.md b/jos/05/08.md new file mode 100644 index 00000000..429a67fc --- /dev/null +++ b/jos/05/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Siku hii nimeiondoa kwenu aibu ya Misri. + +Aibu yao imeongelewa kana kwamba ni jiwe kubwa lililozuia njia yao. Hapa neno "kuiondoa'' ina maana ya "kuihamisha" Au twaweza kusema, Siku hii ya leo nimeiondoa aibu yako ya Misri + diff --git a/jos/05/10.md b/jos/05/10.md new file mode 100644 index 00000000..ed3a265a --- /dev/null +++ b/jos/05/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# siku ya kumi na nne ya mwezi, + +Hii ni siku ya karibu na mwisho wa mwezi Marchi katika Kalenda ya Nchi za Magharibi. "Siku ya kumi na nne ya mwezi wa Kwanza" + diff --git a/jos/05/12.md b/jos/05/12.md new file mode 100644 index 00000000..72955379 --- /dev/null +++ b/jos/05/12.md @@ -0,0 +1,23 @@ +# Mana + +Mana kilikuwa ni chakula cheupe cha nafaka ambacho Mungu aliwapatia Wana wa Israeli ili wale katika kipindi cha miaka 40 walioishi jangwaani baada ya kuwa wametoka Misri. +*Mana ilionekana kama vipande vyeupe vilivyoonekana juu ya nchi kila asubuhi katika umande. Ilikuwa na ladha tamu kama asali. +*Waisraeli walikusanya mana kila siku isipokuwa siku ya Sabato. +*Siku moja kabla ya Sabato Mungu aliwaambia waisraeli kukusanya mana mara mbili ili wasikusanye siku ya kupumzika. +Neno 'mana' lina maana ya ''Hiki ni nini?" +*Katika Biblia neno 'Mana' pia hurejelewa kama "Mkate kutoka mbinguni" na "nafaka kutoka mbinguni." + +# Israeli, Waisraeli, taifa la Israeli. + +Istilahi hii "Israeli" ni jina ambalo Mungu alimpa Yakobo. Lina maana ya "Alishindana na Mungu." +*Uzao wa Yakobo ulikuja ukajulikana kama "Watu wa Israeli," "taifa la Israeli''l au Waisraeli. +*Mungu alifanya Agano na taifa la Israeli. Walikuwa ni watu wake wateule. +*Taifa la Israeli liliundwa na makabila kumi na mawili. . + +# Kanaani, Wakanaani + +Kanaani alikuwa ni mtoto wa Hamu, ambaye alikuwa ni mmoja kati ya wana wa Nuhu. Wakanaani walikuwa ni uzao wa Kanaani. +*Neno "Kaanani" au "nchi ya Kanaani" pia inarejelea sehemu ya nchi iliyo katikati ya Mto Yordani na Bahari Kuu (Meditraniani). +*Nchi hii ilikaliwa na Wakanaani, pamoja na baadhi ya makabila mengine. +*Mungu alimwahidi Ibrahimu kumpa nchi ya Kanaani na uzao wake, yaani Waisraeli. + diff --git a/jos/05/13.md b/jos/05/13.md new file mode 100644 index 00000000..0b5edf9f --- /dev/null +++ b/jos/05/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# aliinua macho + +Hapa, neno kuinua macho linazungumziwa kana kwamba Yoshua aliinua macho yake dhahiri katika mikono yake. Maneno haya yana maana ya "aliaangalia juu" + +# tazama + +Neno "tazama" linalotoa tahadhari kwetu ili tuweze kuzingatia kwa namna ya kipekee kwa maelezo mapya. + +# alikuwa amechomoa upanga wake na ulikuwa mkononi mwake + +Kiwakilishi 'a' na kimilikishi 'wake' yanmrejelea mtu yule aliyekuwa amesimama mbele ya Yoshua. + diff --git a/jos/05/14.md b/jos/05/14.md new file mode 100644 index 00000000..0d74f477 --- /dev/null +++ b/jos/05/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Akajibu + +Kiwakilishi 'a' kinawakilisha mtu yule ambaye Yoshua alimwona + +# la hasha + +Hili ni neno la mwanzoni la jibu la mtu kwa swali la Yoshua. "Je uko upande wetu au wa maadui zetu?"Jibu fupi hili laweza kuelezwa kama "Siko upande wenu wala upande wa adui zenu" + +# Yoshua akainamisha uso wake juu ya nchi akaabudu + +Hili lilikuwa ni tendo la ibada/ kuabudu + +# Vua viatu vyako miguuni mwako + +Hili lilikuwa ni tendo la heshima na unyenyekevu + diff --git a/jos/06/01.md b/jos/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..b3f542a5 --- /dev/null +++ b/jos/06/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Basi + +Neno hili limetumika hapa kuonesha pumziko katika masimulizi. Hapa msimlizi anatueleza kwanini malango ya Yeriko yalikuwa yamefungwa + +# nimeweka Yeriko katika mkono wako, mfalme wake pamoja na wanajeshi wake waliofunzwa. + +Sehemu hii maneno "katika mkono wako" yana maana kwamba Yahweh alimpa Yoshua uwezo wa kuwaangamiza. Pia twaweza kusema, "Ninakupatia nguvu za kuishinda Yeriko, mfalme wake, na wanajeshi wakeo waliofundishwa." + diff --git a/jos/06/03.md b/jos/06/03.md new file mode 100644 index 00000000..31da1b39 --- /dev/null +++ b/jos/06/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi kiunganishi + +Mungu anaendelea kuongea na Yoshua juu ya kile ambacho watu walitakiwa kukifanya. + +# Ni lazima mfanye hivi kwa siku sita + +"Ni lazima ufanye hivi mara moja kila siku kwa siku sita" + +# Makuhani saba lazima wabebe tarumbeta za pembe za kondoo waume mbele za sanduku + +Makuhani saba wangetembea mbele ya makuhani wengine ambao walikuwa wanalibeba sanduku na kutembea kuuzunguka mji. + diff --git a/jos/06/05.md b/jos/06/05.md new file mode 100644 index 00000000..8ecce0e6 --- /dev/null +++ b/jos/06/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi kiunganishi + +Mungu aendelea kuongea na Yoshua juu ya kile watu walichopaswa kufanya + +# watapuliza pembe za kondoo waume kwa nguvu kuu, + +Kiwakilishi 'wa' kinarejelea makuhani saba. "Pembe za kondoo" na "tarumbeta" ni tarumbeta za pembe za kondoo dume ambazo makuhani walikuwa wakizipuliza katika 6:3 + +# ukuta wa mji + +"Huu ulikuwa ni ukuta wa nje wa mji" au "ukuta uliouzingira mji." + diff --git a/jos/06/06.md b/jos/06/06.md new file mode 100644 index 00000000..0957e175 --- /dev/null +++ b/jos/06/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nuni + +Huyu ni baba yake na Yoshua + +# Lichukueni sanduku la agano + +"Libebeni sanduku la agano" + diff --git a/jos/06/08.md b/jos/06/08.md new file mode 100644 index 00000000..8aea5df5 --- /dev/null +++ b/jos/06/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Makuhani saba walibeba tarumbeta saba za pembe za kondoo mbele ya Yahweh + +Maana zinazoweza kukubalika juu ya "mbele za Yahweh ni 1)"katika utii kwa Yahweh" 2) sehemu ya mbele ya sanduku la Yahweh" + +# walipuliza tarumbeta + +"Walizipiga tarumbeta zao sana" au "makuhani walipuliza tarumbeta za pembe za beberu" + +# Sanduku la Yahweh liliwafuata kwa nyuma yao + +Inaweza kuelezwa dhahiri kuwa kulikuwa na watu waliobeba sanduku. au " Makuhani walikuwa wamelibeba sanduku la agano la Yahweh waliwafuata kwa nyuma yao."" + +# walipuliza tarumbeta zao + +"Walizipiga tarumbeta zao sana" au "makuhani walipuliza tarumbeta za pembe za beberu" + diff --git a/jos/06/10.md b/jos/06/10.md new file mode 100644 index 00000000..873353cf --- /dev/null +++ b/jos/06/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sauti yoyote isitoke vinywani Sauti yoyote isitoke vinywani + +Sauti kutoka vinywani mwao inarejelea kuongea au kupiga kelele kwao + +# Lakini Yoshua aliwaagiza watu + +Yoshua alikuwa amewaamuru watu kabla ya kuanza kutembea kwa kuuzunguka mji. + diff --git a/jos/06/12.md b/jos/06/12.md new file mode 100644 index 00000000..64d77353 --- /dev/null +++ b/jos/06/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wakipuliza tarumbeta + +Hii ina maana kwamba walizipuliza tarumbeta kiasi cha kuzifanya zitoe sauti kubwa kwa mara nyingi. Pia inaweza kumaanisha kuwa "Waliendelea kuzipiga tarumbeta zao kwa nguvu," au "Makuhani waliendelea kuzipuliza pembe za kondoo dume." + +# Walifanya hivi + +Hii ina maana ya "Waisraeli walitembea kuizunguka Yeriko mara moja kwa kila siku." + diff --git a/jos/06/15.md b/jos/06/15.md new file mode 100644 index 00000000..cb73e8e8 --- /dev/null +++ b/jos/06/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Watu + +Neno hili linawarejelea watu wa Israeli + +# walipiga tarumbeta + +"Waliziliza tarumbeta kwa nguvu" au "kuzipuliza tarumbeta za pembe za beberu" + +# amewapa ninyi + +Neno"ninyi" linarejelea taifa lote la Israeli. + diff --git a/jos/06/17.md b/jos/06/17.md new file mode 100644 index 00000000..99df8c59 --- /dev/null +++ b/jos/06/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi kiunganishi + +Yoshua anaendelea kuongea na watu wa israeli. + +# Mji pamoja na vitu vyote ndani yake vitatengwa kwa Yahweh kwa ajili ya uharibifu. + +Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa kauli tendaji: "Ni lazima kuzitenga kwa Yahweh mji na kila kitu ndani yake kwa ajili ya kuharibiwa" + +# iweni waangalifu juu ya kuchukua vitu + +Kuwa mwangalifu kunaongelewa kana kwamba wao ni walinzi wenyewe. "Iweni waangalifu msivichukue vitu" + +# mtaleta matatizo katika kambi + +Kufanya kitu fulani kinachofanya mambo mabayaa kutokea katika mji kunasemwa kama kuleta matatizo juu yake. + +# Hazina ya Yahweh + +Mkusanyiko wa vitu vilivyotengwa kwa ajili ya kumwabudia Yahweh. + diff --git a/jos/06/20.md b/jos/06/20.md new file mode 100644 index 00000000..a5eca01a --- /dev/null +++ b/jos/06/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# watu wakapiga kelele + +"Watu wa Israeli wapiga kelele" + +# Ilikuwa + +Neno hili limetumika hapa kuonesha tukio muhimu katika habari. + +# makali ya upanga + +Ingawa watu wengi wa Israeli hutumia upanga, katika sehemu hiii inarejelea mashambulizi yenye vurugu au vita kwa ujumla. Au twaweza kusema "Kwa panga zao zenye makali" au "katika vita" + diff --git a/jos/06/23.md b/jos/06/23.md new file mode 100644 index 00000000..3039be6c --- /dev/null +++ b/jos/06/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Na wakachoma mji + +kiwakilishi 'wa'kinawarejelea wanajeshi wa Kiisraeli. Hairejelei wale vijana wawili tu waliowatoa nje Rahabu na familia yake. + diff --git a/jos/06/25.md b/jos/06/25.md new file mode 100644 index 00000000..983a27a8 --- /dev/null +++ b/jos/06/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# anaishi Israeli + +Kiwakilishi 'a'kinamrejelea Rahabu na kinawakilisha uzao wake. Yaani "Uzao wake unaishi Israeli." + +# mpaka leo + +"sasa" au "hata leo" uzao wa Rahabu ulikuwa bado unaishi Israeli wakati mwandishi wa awali alipokuwa akiandika habari hii. + diff --git a/jos/06/26.md b/jos/06/26.md new file mode 100644 index 00000000..8fba996f --- /dev/null +++ b/jos/06/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Alaaniwe machoni pa Yahweh mtu yule anayeujenga mji huu + +kulaaniwa mbele la Yahweh ina maana ya kulaaaniwa na Yahweh. Yaani "Yahweh na amlaani mtu yule atakayejenga.." + +# Ataujenga msingi kwa gharama ya mzaliwa wake wa kwanza + +Matokeo ya mtu kuweka malango mapya kwa mji wa Yeriko ilikuwa ni kwamba mwana wake wa kwanza wa kiume angekufa. Hii inaongelewa kana kwamba ilikuwa ni gharama ambayo mtu alitakiwa kuilipa. "Kama utauweka msingi, atampoteza mwana wake wa kwanza. + +# kwa gharama ya mzaliwa wake wa pili atapachika milango yake + +Matokeo ya mtu kuweka malango mapya kwa mji wa Yeriko ilikuwa ni kwamba mtoto wake mdogo wa kiume angekufa. Hii inaongelewa kana kwamba ilikuwa ni gharama ambayo mtu alitakiwa kuilipa. "Kama utauweka msingi, atampoteza mwana wwake mdogo." + +# umaarufu wake ulienea + +"Umaarufu wa Yoshua ulienea" Kujulikana miongoni wa watu katika nchi yote, kunasemwa kama kuenea kwa umaarufu wake. "Yoshua alijulikana na kuwa maarufu katika nchi yote. + diff --git a/jos/07/01.md b/jos/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..b832d112 --- /dev/null +++ b/jos/07/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# vitu vilivyotengwa kwa ajili ya uharibifu + +"Vitu ambavyo Mungu alikuwa amevisema lazima vitengwe kwa ajili yake kwa kuviteketeza" + +# Akani...Karmi... Zabdi... + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Hasira ya Yahweh ikawaka + +"Hasira" na "kuwaka" yanaonesha uzito, siyo kwamba moto ulikuwapo dhahiri. "Hasira ya Yahweh iliwaka kama moto" + diff --git a/jos/07/02.md b/jos/07/02.md new file mode 100644 index 00000000..47790fb3 --- /dev/null +++ b/jos/07/02.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watu wote + +Inarejelea jeshi lote la Israeli. + +# watu ni wachache + +linarejelea watu wa Ai + diff --git a/jos/07/04.md b/jos/07/04.md new file mode 100644 index 00000000..b433be95 --- /dev/null +++ b/jos/07/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# watu wapatao elfu tatu tu kutoka katika jeshi + +Hawa ni wanaume walikuwa sehemu ya jeshi. "Watu elfu tatu waliokuwa ni sehemu ya jeshi waliopanda." + +# watu elfu tatu.... watu thelathini na sita + +wanaume sita..-"3,000 watu ... 36 wanaume" + +# mioyo ya watu iliogopa... ujasiri wao uliwatoka + +Vifungu hivi viwili vya maneno vina maana sawa na vimeunganishwa ili kutilia mkazo kwamba watu waliogopa sana. + +# mioyo ya watu + +Kirai hiki kinawarejelea wanajeshi wa Kiisraeli + +# ujasiri wao ukawatoka + +"hawakuwa na ujasiri tena ndani yao" + diff --git a/jos/07/06.md b/jos/07/06.md new file mode 100644 index 00000000..d48a9115 --- /dev/null +++ b/jos/07/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# alizirarua nguo zake. Yeye pamoja na wazewe wa Israeli waliweka mavumbi juu ya vichwa vyao na wakainamisha vichwa vyao hadi katika nchi mbele ya sanduku la Yahweh + +Walifanya vitu hivi ili kumwonesha Mungu jinsi walivyo na huzunisshwa na kufedheheshwa. + +# Kutuweka katika mikono ya Waamori ili kutuangamiza? + +Yoshua alikuwa anauliza kama hii ni sababu ya Mungu kuwaleta ng'ambo ya Yordani. "Je ulifanya hivi ili kututia katika mikono ya Waamori ili kututeketeza?" + +# Kutuweka katika mikono ya Waamori ili kutuangamiza? + +Katika mikono ya Waamori inawakilisha utawala na mamlaka. Kuwatia Waisraeli katika mikono ya Waamori ni kuwaruhusu Waamori kuwa na mamlaka juu ya Waisraeli na kuwaangamiza. + +# ikiwa kama tulifanya maamuzi tofauti + +Neno "ikiwa kama" linaonesha kuwa haya ni matakwa ambayo bado hayajatokea. "Ninatamani tungefanya maamuzi tofauti." + diff --git a/jos/07/08.md b/jos/07/08.md new file mode 100644 index 00000000..64a8fb99 --- /dev/null +++ b/jos/07/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yoshua anamwelezea Mungu juu ya wasiwasi uliokuwepo + +# niseme nini, baada ya Israeli kuwatega migongo maadui zao! + +Yoshua aliyasema haya kuonesha jinsi alivyokuwa amekatishwa tamaa kana kwamba alikuwa hana hata neno la kusema. "Sijui kitu cha kusema.Israeli imegeuka na kukimbia mbele za adui zao." + +# Israeli kuwatega migongo maadui zao + +Kufanya hivyo kunamaanisha kukimbia kutoka kwa maadui zao. "Israeli imekimbia kutoka kwa maadui zao." + +# watatuzunguka na kuwafanya watu wa nchi kulisahau jina letu + +Kuwafanya watu wasahau jina la Israeli ina maana ya kuwafanya waasahau Waisraeli. Kwa namna hii watalifanya hili kwa kuwaua Waisraeli. "Watatuzunguka na kutuua, na watu wa dunia watatusahau sisi." + +# Na utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu? + +Kifungu cha maneno "jina lako kuu" mahali hapa kina maana ya Sifa za Mungu na uweza. "Na je utafanya nini ili watu wajue kuwa wewe ni mkuu." + +# Na utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu? + +Yoshua alitumia swali hili kwa ajili ya kumtahadharisha Mungu kwamba kama Waisraeli watauwawa, ndipo watu wengine watadhani kuwa Mungu si mkuu. "Hakutakuwa na kitu utakachokifanya kwa ajili ya jina lako kuu" au "Watu hawatajua kwamba wewe ni mkuu." + diff --git a/jos/07/10.md b/jos/07/10.md new file mode 100644 index 00000000..9e33b029 --- /dev/null +++ b/jos/07/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yahweh anamwambia Yoshua kwanini Israeli imelaaniwa. + +# kwanini umelala kifudifudi? + +Mungu alitumia swali hili kumkemea Yoshua kwa kulala kifudifudi. "Acha kulala hapo kifudifudi katika uchafu!." + +# vitu vilivyokuwa vimetengwa + +Hivi ni vitu "viliwekwa kwa ajili ya kuharibiwa" kutoka katika 6:17 "Vitu vilivyolaaniwa" au "Vitu vile ambavyo Mungu amevilaani" + +# Wameiba na kisha pia wakaficha dhambi yao + +Kuficha dhambi ina maana ya kujaribu kuwafanya watu wengine wasijue kuwa wametenda dhambi. "Wameviiba vitu vile na kisha walijaribu kuwaficha watu wasijue kuwa wametenda dhambi" + +# hawataweza kusimama mbele za maadui zao + +Kusimama mbele ya maadui zao kuna maana ya kupigana kwa mafanikio dhidi ya maadui zao. Hivyo ina maana ya "hawataweza kupigana kwa mafanikio dhidi ya maadui zao" au "hawataweza kuwashinda maadui zao." + +# Walitega migongo yao kwa maadui zao + +Kutega migongo kuna maana ya kukimbia mbali kutoka kwa maadui zao. + +# Sitakuwa pamoja nanyi tena + +Kuwa pamoja na Israeli kuna maana ya kuwasaidia Waisraeli. "Sitawasaidieni tena." + diff --git a/jos/07/13.md b/jos/07/13.md new file mode 100644 index 00000000..795a5384 --- /dev/null +++ b/jos/07/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi kiunganishi + +Yahweh anaendelea kuongea na Yoshua na kumwambia kitu cha kuwaambia watu + +# Watu + +Inarejelea watu wa Israeli + +# Hamtaweza kusimama mbele ya maadui zenu + +Kusimama mbele za maadui zao kuna maana ya kupigana kwa mafanikio dhidi yao. "Hamtaweza kuwashinda maadui zenu" + diff --git a/jos/07/14.md b/jos/07/14.md new file mode 100644 index 00000000..34beaed1 --- /dev/null +++ b/jos/07/14.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi kiunganishi + +Yahweh anaendelea kumwambia Yoshua kile anachopaswa kuwaambia watu. + +# mtajisogeza wenyewe kwa makabila + +Kulikuwa na makabila kumi na mawili yaliyowafanya watu wa Israeli. Kifungu cha maneno "kwa makabila" kina maana ya "kila kabila" + +# Kabila lile ambalo Yahweh atalichagua litasogea karibu kwa koo zake + +Kabila hujengwa na makabila mengi. "Kutoka katika kabila ambalo Yahweh amelichagua, kila kabila litakaribia," + +# Kabila ambalo Yahweh atalichagua + +Viongozi wa Israeli watapiga kura, na kwa kufanya hivi, wangejifunza ni kabila gani Yahweh alikuwa amelichagua. + +# Ukoo ule ambao Yahweh atauchagua lazima usogee karibu kwa nyumba + +Ukoo ulijengwa na familia/nyumba kadhaa. "Kutoka katika ukoo ambao Yahweh ameuchagua, kila nyumba itasogea karibu." + +# Nyumba ambayo Yahweh ataichagua lazima isogee karibu kwa mtu mmoja mmoja + +Nyumba iliundwa na watu kadhaa. "Kutoka katika nyumba ambayo Yahweh ameichagua, kila mtu atasogea karibu" + +# Itakuwa hivi mtu yule atakayechaguliwa + +Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji "Yeye ambaye Yahweh anamchagua" + +# amelivunja agano la Yahweh + +Kuvunja agana kuna maana ya kutolitii. "Ameliasia agano la Yahweh" + diff --git a/jos/07/16.md b/jos/07/16.md new file mode 100644 index 00000000..141dae99 --- /dev/null +++ b/jos/07/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yoshua anafuata agizo la Yahweh la kuwaleta Waisraeli mbele za Yahweh. + +# aliwaleta Israeli karibu + +Maneno "kabila kwa kabila" lina maana ya kila kabila. + +# Kabila la Yuda lilichaguliwa + +Maneno haya yanaweza kuelezwa kawa muundo tendaji. "Yahweh alilichagua kabila la Yuda" + +# Akausogeza karibu ukoo wa Zera mtu kwa mtu, + +kirai "mtu kwa mtu" ina maana ya kila mtu. Watu katika sentensi hii walikuwa ni viongozi wa nyumba zao. + +# ukoo wa Zera + +Ukoo uliitwa kawa jina la mtu aliyeitwa Zera + +# Zabdi...Akani...Karmi...Zera + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/jos/07/19.md b/jos/07/19.md new file mode 100644 index 00000000..9b9f067c --- /dev/null +++ b/jos/07/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ufanye ukiri wako kwake + +Maneno "fanya ukiri wako" yaweza kufafanuliwa kwa kitenzi 'kiri' "Kiri kwake" + +# Usinifiche + +Kuficha maelezo ina maana ya kujaribu kumficha mtu asijue. "usinizuie kujua kile ulichokifanya." + +# Shekeli mia mbili + +Hii ni zaidi ya kilogramu mbili + +# shekeli hamsini + +Hii ni zaidi ya gramu 500 + +# Vimefichwa chini ardhini + +Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Nilivificha chini ardhini." + diff --git a/jos/07/22.md b/jos/07/22.md new file mode 100644 index 00000000..1fba2cb8 --- /dev/null +++ b/jos/07/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Walipoangalia + +"Watu wale Yoshua aliwatuma waliaangalia" + +# Walivimwaga + +kumwaga vitu vingi chini + diff --git a/jos/07/24.md b/jos/07/24.md new file mode 100644 index 00000000..da4e3bde --- /dev/null +++ b/jos/07/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# bonde la Akori + +Jina la maana ya "bonde la matatizo," lakini ni vizuri kulitafsiri jina Akori kama linavyosikika. + diff --git a/jos/07/25.md b/jos/07/25.md new file mode 100644 index 00000000..5613af00 --- /dev/null +++ b/jos/07/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# "Kwanini umetusumbua? + +Yoshua anatumia swali hili kumkemea Akani. "Umetutesa" + +# Na wakawachoma wote kwa moto, na wakawapiga mawe + +Maana zinazokubalika 1) Waisraeli waliichoma familia ya Akani hadi kifo na kisha wakawafunika kwa mawe. 2) Waisraeli waliipiga kwa mawe familia ya Akani na kisha wakaichoma kwa moto miili yao. + +# Yahweh akaachilia mbali hasira yake + +Kuachilia mbali hasira ina maana ya kuacha kuwa na hasira. Kuwaka kwa hasira ina maana ya kuwa na hasira kali. + +# hata leo + +Ilikuwa bado linaitwa bonde la Akori katika kipindi ambacho mwandishi aliandika. "hata leo" au "hata sasa" + diff --git a/jos/08/01.md b/jos/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..615697ff --- /dev/null +++ b/jos/08/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Usiogope; usivunjike moyo + +Vifungu hivi viwili vya maneno kimsingi vinamaanisha kitu kimoja. Yahweh ameviunganisha pamoja kutia mkazo kwamba hakuna sababu ya kuogopa. + +# nimemtia mkononi mwako mfalme wa Ai... na nchi yake + +Kuwatia katika mkono wa Israeli ina maana ya kuwapa waisraeli ushindi na kuwatawala. "Nimewapeni ushindi dhidi ya mfalme wa Ai na watu wake, na nimewapeni utawala juu ya mji wake na nchi yake." + +# Nimewapeni + +Mungu anaongelea juu ya ahadi alizoahidi kufanya kana kwamba alikuwa ameshakifanya, kwasababu atalifanya kwa uhakika. "NItawapa kwa uhakika" + +# mfalme wake + +Neno 'wake' inarejelea mji wa Ai. + diff --git a/jos/08/03.md b/jos/08/03.md new file mode 100644 index 00000000..ccd91065 --- /dev/null +++ b/jos/08/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# watu wa vita + +"jeshi la Israeli" + +# watu elfu thelathini + +wanaume 30,000 + diff --git a/jos/08/05.md b/jos/08/05.md new file mode 100644 index 00000000..351c9459 --- /dev/null +++ b/jos/08/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yoshua anaendelea to kuelezea mapango wa vita kwa wanajeshi wake + +# atawapa mkononi mwenu. + +"mkono" inaashiria utawala na nguvu za watu walizo nazo juu ya maadui zao. + diff --git a/jos/08/08.md b/jos/08/08.md new file mode 100644 index 00000000..36f5de22 --- /dev/null +++ b/jos/08/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yoshu anamalizia kueleza mpango wa vita kwa wanajeshi wake. + +# Yoshua akawatuma + +Maneno haya yanamrejelea Yoshua akiwatuma watu thelathini walikuwa wamechaguliwa ili kuivamia Ai mahali ambapo watakaa ili kuvizia. + +# sehemu ya kuvizia + +"mahali ambapo wangejificha mpaka wakati wa kushambulia." + diff --git a/jos/08/10.md b/jos/08/10.md new file mode 100644 index 00000000..848f6db6 --- /dev/null +++ b/jos/08/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# watu elfu tano + +"Wanaume 5,000" Kundi hii linaonekana kuwa sehemu ya watu "elfu thelathini (8:8). Hili ni kundi dogo lilosalia katika hali ya kuvizia wakati watu wengine 25,000 walipouvamia mji. + diff --git a/jos/08/13.md b/jos/08/13.md new file mode 100644 index 00000000..1673d439 --- /dev/null +++ b/jos/08/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Waisraeli wanajianda kupigana na watu wa Ai. + +# jeshi kubwa + +kundi kubwa la watu wapiganaji, si kundi lile lililokuwa katika hali ya kusubiri + +# walinzi wa nyuma + +wale walikuwa wamewekwa katika hali ya kuvizia upande wa magharibi mwa mji. + diff --git a/jos/08/15.md b/jos/08/15.md new file mode 100644 index 00000000..f55e2d7d --- /dev/null +++ b/jos/08/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# walikubali wenyewe kushindwa mbele yenu + +"waache washindwe mbele ya watu wa Ai." Maneno"mbele yao" yana maana ya kile ambacho watu wa Ai wakiona na kukifikiria. + +# walikubali wenyewe kushindwa mbele yenu + +Neno "kushindwa" laweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "waache watu wa Ai wafikiri kwamba wameshawashinda Waisraeli." + +# mbele yao...waliwafuata...walivutwa mpaka mbali + +Maneno "yao" na "wa" yanarejelea jeshi la Ai. + +# walikimbia... waliwafuata + +Maneno haya yanalihusu jeshi la Israeli. + +# Watu wote waliokuwa kwenye mji waliitwa kwa pamoja + +Maneno haya yanaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. " viongozi wa mji walliwaita watu wote kwa pamoja katika mji. + +# Watu wote waliokuwa katika mji + +Mwandishi anaongelea kwa njia ya jumala juu ya watu wote, lakini ilikuwa ni juu ya watu wote wanaoweza kupigana. + +# Waliuacha mji + +"Waliuacha mji ukiwa hauna ulinzi kabisa" au " baada ya kutoka, kulikuwa hakuna mtu yeyote wa kuulinda mji" + diff --git a/jos/08/18.md b/jos/08/18.md new file mode 100644 index 00000000..c20b9745 --- /dev/null +++ b/jos/08/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# nitaitia Ai mikononi mwako. + +Kuiweka Ai katika mkono wa Israeli ina maana ya kuipa Israeli ushinid na utawala juu ya Israeli. + diff --git a/jos/08/24.md b/jos/08/24.md new file mode 100644 index 00000000..3628e054 --- /dev/null +++ b/jos/08/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# baada ya Israeli walipokuwa wamemaliza kuuwaua wenyeji ... baada ya wao wote... walipokuwa wamekwisha kulala kwa ncha ya upanga + +Mwandishi anatumia sentens hizi, ambazo zote zina maana moja, zikiwa na maana ya Israeli walikuwa wamelitii agizo la Mungu la kumwua kila mtu huko Ai. + +# walikuwa wameanguka kwa makali ya upanga + +Hapa maana ya kuanguka ni kufa, na makali ya upanga yanamaanisha vita au jeshi la Israeli. + +# elfu kumi na mbili + +"12,000" + diff --git a/jos/08/27.md b/jos/08/27.md new file mode 100644 index 00000000..49c2fac3 --- /dev/null +++ b/jos/08/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mahali palipoachwa ukiwa + +Ni sehemu ambapo watu walioishi hapo kwanza, lakini sasa hakuna mtu aishiye hapo. + diff --git a/jos/08/29.md b/jos/08/29.md new file mode 100644 index 00000000..ed5ab6a7 --- /dev/null +++ b/jos/08/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hata leo + +"leo" au "hata sasa" + diff --git a/jos/08/30.md b/jos/08/30.md new file mode 100644 index 00000000..91671e21 --- /dev/null +++ b/jos/08/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mlima Ebali + +Ni mlima ulioko huko Kanaani. + diff --git a/jos/08/34.md b/jos/08/34.md new file mode 100644 index 00000000..c6030754 --- /dev/null +++ b/jos/08/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Halikusalia hata neno moja katika yote ambayo Musa alimwagiza Yoshua ambalo halikusomwa + +Maneno haya yaweza kuelezwa kwa kauli kubalifu kama "Yoshua alisoma kila neno kati ya yote ambayo Musa aliyaagiza" au "Yoshua aliisoma sheria yote ya Musa." + +# Israeli + +Neno hili linalirejelea taifa la Israeli + diff --git a/jos/09/01.md b/jos/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..99c8e17a --- /dev/null +++ b/jos/09/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yordani + +Jina la Mto Yordani + +# chini ya amri moja + +amri hapa inamwakilisha mtu yule aliyewaamrisha. Kuwa chini yake ina maana ya kutii amri yake. "Kutii amri ya kiongozi mmoja." + diff --git a/jos/09/03.md b/jos/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..5cae7849 --- /dev/null +++ b/jos/09/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mpango wa udanganyifu + +mpango wa uongo ulikusudia kuwahada Yoshua na Waisraeli. + +# mikavu na yenye uvundo + +"kavu na iliyojaa fangasi" au iliyochina na kuharibika" + diff --git a/jos/09/06.md b/jos/09/06.md new file mode 100644 index 00000000..74004ce5 --- /dev/null +++ b/jos/09/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Watu wa Israeli + +inalirejelea taifa lote la Israeli + +# Wahivi + +Hili ni jina jingine la Wagibeoni + +# Huenda mnaishi karibu nasi. Twawezeje kufanya agano nanyi? + +Yoshua anatia mkazo kuwa watu wa Israeli lazima wafuate amri ya yahweh juu ya vitu vyote. "kama mnaishi karibu nasi, hatuwezi kufanya agano nanyi" + diff --git a/jos/09/09.md b/jos/09/09.md new file mode 100644 index 00000000..02838656 --- /dev/null +++ b/jos/09/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yordani + +Hili ni jina la Mto Yordani + +# Sihoni + +Hili ni jina la Mfalme wa Waamori aliyeshindwa. + +# Heshiboni + +Hili ni jina la mji wa kifalme wa taifa la Moabu. + +# Ogu + +Hili ni jina la mfalme wa Bashani aliyeshindwa + +# Ashitarothi + +Hili ni jina la mji uliojulikana kwa kuabudu mungu mke aliyeitwa kwa jina hilo hilo. + diff --git a/jos/09/11.md b/jos/09/11.md new file mode 100644 index 00000000..bd31da6a --- /dev/null +++ b/jos/09/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mkononi mwako + +Kifungu hiki cha maneno kina maana ya "kuchukua" Neno 'mkono' linamaanisha kumiliki vitu vya Wagibeoni. + +# mkutane nao na muwaambia + +Neno 'nao' linawarejelea watu wa Israeli. + diff --git a/jos/09/14.md b/jos/09/14.md new file mode 100644 index 00000000..77a89ebc --- /dev/null +++ b/jos/09/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yoshua akafanya amani pamoja nao na kufanya agano pamoja nao ili waishi. Viongozi wa watu nao pia wakawaapia + +Sentensi hizi mbili zinaongelea juu ya jambo lile lile lililotokea. Yoshua, kiongozi wa taifa aliahidi kutowaua Wagibeoni. Viongozi wa taifa la Israeli, hivyo hivyo walifanya agano. "Yoshua na viongozi wa Israeli walifanya agano la damu na watu wa Gibeoni." + +# watu + +Neno hili hapa linawarejelea watu wa Israeli. + diff --git a/jos/09/16.md b/jos/09/16.md new file mode 100644 index 00000000..f4b4ae85 --- /dev/null +++ b/jos/09/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# siku tatu + +inarejelea namba tatu katika mpangilio + +# Kefira + +Huu ni mmoja kati ya miji ya Wagibeoni. + +# Beerothi + +Hili ni jina la mahali. + +# Kiriathi Yearimu + +Hili ni jina la mahali. + diff --git a/jos/09/18.md b/jos/09/18.md new file mode 100644 index 00000000..39125c73 --- /dev/null +++ b/jos/09/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# watu + +Neno hili hapa linamaanisha taifa la Israeli. + diff --git a/jos/09/20.md b/jos/09/20.md new file mode 100644 index 00000000..ccb639fc --- /dev/null +++ b/jos/09/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wagibeoni wakawa wakata kuni na wachota maji + +"Wagibeoni wakawa wakata kuni na wabeba maji." + diff --git a/jos/09/22.md b/jos/09/22.md new file mode 100644 index 00000000..9393f78d --- /dev/null +++ b/jos/09/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# nyumba ya Mungu wangu + +Maneno haya hapa yana maana ya sehemu ya Yahweh ya kukaa, yaani Hema la kukutania. + diff --git a/jos/09/24.md b/jos/09/24.md new file mode 100644 index 00000000..501e9818 --- /dev/null +++ b/jos/09/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Chochote kilicho chema na haki + +Maneno 'chema' na 'haki' yanamaanisha kimsingi kitu kile kile. "chochote kilicho sawa na haki" + diff --git a/jos/09/26.md b/jos/09/26.md new file mode 100644 index 00000000..32958966 --- /dev/null +++ b/jos/09/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# aliwafanyia + +neno hili linawarejelea Wagibeoni. + +# hadi leo + +Kirai "hadi leo" kina maana ya wakati ambao mwandishi alikuwa anaishi. "hata sasa" + diff --git a/jos/10/01.md b/jos/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..2f62bdd0 --- /dev/null +++ b/jos/10/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ikawa + +Neno hili limetumika hapa kuonesha pumziko katika mtiririko wa masimulizi ya habari. Hapa mwandishi anaongelea mtu mpaya katika habari, Adonizedeki. + +# Adonizedeki + +Hili ni jina la kiume la mfalme muhimu + diff --git a/jos/10/03.md b/jos/10/03.md new file mode 100644 index 00000000..9c4f9799 --- /dev/null +++ b/jos/10/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yarmuthi + +Hili ni jina la mji + +# Lakishi + +Hili ni jina la mji + +# Egloni + +Hili ni jina la mji + +# Hohamu...Piramu...Yafia... Debiri + +Haya ni majina ya wafalme + +# Njooni kwangu + +Yerusalemu ni mji ulioinuliwa sana kuliko miji mingine ya Kanaani. "Safirini mje hapa nilipo" + diff --git a/jos/10/05.md b/jos/10/05.md new file mode 100644 index 00000000..8968a8ae --- /dev/null +++ b/jos/10/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yarmuthi + +Hili ni jina la mji + +# Lakishi + +Hili ni jina la mji + +# Egloni + +Hili ni jina la mji + diff --git a/jos/10/06.md b/jos/10/06.md new file mode 100644 index 00000000..5701558c --- /dev/null +++ b/jos/10/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Walisema + +Kiwakilishi 'wa' kinawarejelea Wagibeoni. + +# Msiuondoe + +Hili ni ombi la upole lililoelezwa kwa kauli hali lakini likitegemea tendo chanya. + +# mikono yenu + +Neno 'mkono' lina maana ya nguvu za watu wa Israeli. "Tumia nguvu zako kutulinda sisi." + diff --git a/jos/10/08.md b/jos/10/08.md new file mode 100644 index 00000000..f92a1cd2 --- /dev/null +++ b/jos/10/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nimewatiwa wote katika mkono wako + +Hapa neno "mkono" linawakilisha nguvu za watu wa Israeli na uwezo wao wa kuwashinda maadui zao. + diff --git a/jos/10/09.md b/jos/10/09.md new file mode 100644 index 00000000..74f42b08 --- /dev/null +++ b/jos/10/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yoshua aliwafikilia + +Jina Yoshua, kamanda wao, limetumika hapa kuonesha Jeshi lote la Israeli. + +# Bethi Horoni + +Hili ni jina la sehemu + +# Azeka...Makeda + +Haya ni majina ya sehemu + diff --git a/jos/10/11.md b/jos/10/11.md new file mode 100644 index 00000000..69cdf328 --- /dev/null +++ b/jos/10/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# alitupa mawe makubwa kutoka mbingun + +"kutupa mawe makubwa ya mvua kutoka mawinguni" + diff --git a/jos/10/12.md b/jos/10/12.md new file mode 100644 index 00000000..2a558b51 --- /dev/null +++ b/jos/10/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Jua lisimame katika Gibeoni, na mwezi, usimame katika bonde la Aijalon + +Yoshua anaomba kwamba Yahweh angefanya mwendelezo wa muda ukome katika siku hii. + +# jua...mwezi + +Yoshua analiagiza jua na mwezi kana kwamba walikuwa ni watu. + +# Bonde la Aijaloni + +Hili ni jina la mahali + diff --git a/jos/10/13.md b/jos/10/13.md new file mode 100644 index 00000000..be5698e7 --- /dev/null +++ b/jos/10/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# taifa + +Hili linarejelea watu wa Israeli. + +# Je hili halikuandikwa katika Kitabu cha Yashari + +Mwandishi anatumia swali hili kama usuli kuwakumbusha msomaji kwamba tukio hilo ni vizuri kumbukumbu. Katika: 'hii imeandikwa katika Kitabu cha Yashari' + diff --git a/jos/10/15.md b/jos/10/15.md new file mode 100644 index 00000000..c0e1fb78 --- /dev/null +++ b/jos/10/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Makeda + +Hili ni jina la mji + +# Taarifa zilimfikia Yoshua + +Wajumbe walikuja na kumwambia Yoshua. "Mtu fulani alimwambia Yoshua." + diff --git a/jos/10/18.md b/jos/10/18.md new file mode 100644 index 00000000..775ea339 --- /dev/null +++ b/jos/10/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# katika mkono wenu + +Maneno haya "katika mkono wenu" hapa yana maana ya "utawala wako" + diff --git a/jos/10/20.md b/jos/10/20.md new file mode 100644 index 00000000..dff0f30a --- /dev/null +++ b/jos/10/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Makeda + +Hili ni jina la mahali + +# Na hakuna hata mmoja aliyethubutu kusema hata neno moja kinyume na watu wa Israeli. + +Hapa "neno moja" linaongelea juu ya maadui wa Israeli. "Hakuna hata mmoja aliyethubutu kulaumu au kupinga kinyume" + diff --git a/jos/10/22.md b/jos/10/22.md new file mode 100644 index 00000000..81470cd3 --- /dev/null +++ b/jos/10/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yarmuthi...Lakishi... Eguloni + +Haya ni majina ya sehemu + diff --git a/jos/10/24.md b/jos/10/24.md new file mode 100644 index 00000000..3f1d9b2a --- /dev/null +++ b/jos/10/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kila mtu wa Israeli + +Kila askari jeshi wa Israeli + diff --git a/jos/10/26.md b/jos/10/26.md new file mode 100644 index 00000000..a48892b9 --- /dev/null +++ b/jos/10/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hadi leo + +mpaka mwandishi alipoandika habari hii + diff --git a/jos/10/28.md b/jos/10/28.md new file mode 100644 index 00000000..ecc37f2a --- /dev/null +++ b/jos/10/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Aliwateketeza wote kabisa pamoja na kila kiumbe hai kilichokuwa huko. Hakuna hata mmoja aliyesalia. + +Sentensi ya pili ni fupisha sentensi na kutia mkazo kwamba Yoshua hakumwacha hai mtu au mnyama yeyote. + diff --git a/jos/10/29.md b/jos/10/29.md new file mode 100644 index 00000000..daad9bf6 --- /dev/null +++ b/jos/10/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Libna + +Hili ni jina la mji + +# aliitia katika mkono wa Israeli + +hapa neno 'mkono' una maana ya "kutawala" "Aliwapa Israeli utawala dhidi yao" + diff --git a/jos/10/31.md b/jos/10/31.md new file mode 100644 index 00000000..b8bf3090 --- /dev/null +++ b/jos/10/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Libna... Lakishi + +Haya ni majina ya miji muhimu + +# katika mkono wa Israeli + +Kauli hii ina maana ya "kuwata utawala kwa taifa la Israelil." "Bwana aliiweka Lakishi chini ya utawala wa Israeli + diff --git a/jos/10/33.md b/jos/10/33.md new file mode 100644 index 00000000..4359fc71 --- /dev/null +++ b/jos/10/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Horamu + +Hili ni jina la kiume la mfalme + +# Gezeri + +HIli ni jina la mji + diff --git a/jos/10/34.md b/jos/10/34.md new file mode 100644 index 00000000..f92116a0 --- /dev/null +++ b/jos/10/34.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Egloni + +Hili ni jina mji + +# Waliupiga kwa upanga na waliteketeza kila mtu ndani yake + +Sentensihizi zina maana moja. kwa pamoja vinaonesha utimilifu + +# Lakishi + +Hili ni jina la mji + diff --git a/jos/10/36.md b/jos/10/36.md new file mode 100644 index 00000000..06a54171 --- /dev/null +++ b/jos/10/36.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Egloni + +Hili ni jina la mji + +# aliuteka mji na kuwaua kwa upanga + +upanga unawakilisha jeshi la Israeli, na kitendo cha kuwapiga na kuna maana ya kuwachinja + +# Waliuteka mji na kuwaua kwa upanga watu wote ndani yake pamoja na mfalme wake, kujumuisha na vijiji vyote vilivyoizunguka. Waliteketeza kabisa kila kiumbe hai ndani yake, hawakuacha hata mtu mmoja aliyesalia + +Sentensi hizi mbili zinazungumzia kimsingi maana moja, na zimeunganishwa ili kutia mkazo. Kwa pamoja zinatia mkazo na kuonesha ukamilifu wa uharibifu. + diff --git a/jos/10/38.md b/jos/10/38.md new file mode 100644 index 00000000..0af6d589 --- /dev/null +++ b/jos/10/38.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Debiri + +Hili ni jina la mji + +# Waliwaua wote kwa upanga + +Neno 'upanga' linawakilisha jeshi la Israeli na kuwaua ina maanya ya wazo la kuwaua na kuwaharibu. + diff --git a/jos/10/40.md b/jos/10/40.md new file mode 100644 index 00000000..a6313de6 --- /dev/null +++ b/jos/10/40.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hakuna hata mfalme moja aliyebaki hai kati ya wafalme wake wote + +virai hivi viwili vina maana sawa na vinatia mkazo juu uharibifu halisi ambao watu Israeli walikuwa wameagizwa naYahweh. + +# Yoshua aliwaua kwa upanga + +upanga unawakilisha jeshi la Israeli na kuwaua ina maanaya wazo la kuwaua na kuwaharibu. + diff --git a/jos/11/01.md b/jos/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..68a680d4 --- /dev/null +++ b/jos/11/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yabini...Yobabu + +Haya ni majina ya wafalme + +# Ashafu...Kinerethi...Dori...Mlima Hermoni + +Haya ni majina ya mahali + +# Hazori...Madoni...Shimuroni...Akshafu...Kinerethi...Dori ...Mlima Hermoni + +Haya ni majina ya mahali + diff --git a/jos/11/04.md b/jos/11/04.md new file mode 100644 index 00000000..aa194884 --- /dev/null +++ b/jos/11/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Wafalme wa Kanaani wamshambulia Yoshua na taifa la Israeli. + +# wanajeshi wengi sana, hesabu yao ilikuwa kama mchanga wa pwani + +Maneno haya ya kutia chumvi yanatia mkazo kwamba jeshi lilikuwa kubwa lenye watu wengi sana ambalo wafalme hawa walilikusanya. + +# Meromu + +Hili ni jina la sehemu/mahali + diff --git a/jos/11/06.md b/jos/11/06.md new file mode 100644 index 00000000..f24a410c --- /dev/null +++ b/jos/11/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ninawatia hao kwa Waisraeli wakiwa wafu + +Yahweh anaiwezesha Israeli kulishinda jeshi la adui na kuwaua wanajeshi wote, na inaongelewa kana kwamba Yahweh ndiye aliyewaua wanajeshi na kisha akawatia kwa Waisraeli. "NItaiwezesha Israeli kuwaua wote katika vita." + +# Utaivunja vunja miguu ya farasi zao + +"kuifanya farasi zao kuwa kilema kwa kuivunja miguu yao." Tendo hili ni la kukata misuli ya nyuma ya miguu ili farasi wasiweze kutembea. + +# Meromu + +Hili ni jina la Mahali/sehemu + diff --git a/jos/11/08.md b/jos/11/08.md new file mode 100644 index 00000000..4f302eeb --- /dev/null +++ b/jos/11/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yahweh akawatia maadui katika mkono wa Israeli + +Hapa neno "mkono" linawakilisha nguvu. Yahweh analiwezesha jeshi la Israeli kuwashinda maadui zao, kitendo hiki kinasemwa kana kwamba Yahweh aliwaweka jeshi la maadui katika mkono wa waisraeli. + +# waliwapiga kwa upanga...Waliwaua wote + +Hapa neno "upanga" unawakilisha silaha zote zilizotumika kuwashambulia adui zao. + +# Misrefothi - Maimu + +HIli ni jina la sehemu/mahali + +# Alivunja miguu ya farasi + +Hiki ni kitendo ambacho cha kukata misuli ya nyuma ya miguu ya farasi ili farasi washindwe kukimbia. + diff --git a/jos/11/10.md b/jos/11/10.md new file mode 100644 index 00000000..7b660a43 --- /dev/null +++ b/jos/11/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Alimwua mfalme wake kwa upanga + +"Yoshua alimwua mfalme wa Hazori kwa upanga wake" + +# Hazori ulikuwa ni kichwa cha falme hizi zote + +Mji wa Hazori ni mji muhimu, unatajwa kama kichwa cha falme zingine. + +# Waliwapiga kwa upanga kila kiumbe chenye uhai kilichokuwa huko, na alivitenga ili viteketezwe, hivyo hapakuwa na kiumbe hai kilichoachwa hai + +Virai hivi viwili vina maana sawa na vinatilia mkazo kuwa maangamizi halisi. + +# alivitenga ili viteketezwe + +Kiwakilishi 'a' kinamwakilisha Yoshua na kinajumuisha jeshi lote ambalo alikuwa akiliongoza. Walikiteketeza kabisa kila kitu kilicho hai katika mji. Vitu hivi vinasemwa kana kwamba viliwekwa wakfu ili viteketezwe. + diff --git a/jos/11/12.md b/jos/11/12.md new file mode 100644 index 00000000..becc5e76 --- /dev/null +++ b/jos/11/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# akawapiga wote kwa upanga + +"Aliwauwa" + +# miji iliyojengwa juu ya vilima vya vifuasi vya udongo + +"miji iliyojengwa juu vilima vidogo" + diff --git a/jos/11/14.md b/jos/11/14.md new file mode 100644 index 00000000..18bfebe1 --- /dev/null +++ b/jos/11/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa ajili yao wenyewe + +Kirai hiki kinarejelea juu ya jeshi la Israeli. + +# Waliua kila mtu kwa upanga hadi pale walipokufa wote. Hakuna kiumbe hai kilichoachwa hai + +Virai hivi viweili vina maana sawa na vinatilia mkazo juu ya uharibifu halisi + +# Yoshua hakuacha kufanya hata jambo moja + +Kauli hii ya kukanusha inatilia mkazo kwamba Yoshua alifanya kili kitu ambacho Yahweh alimwagiza. + diff --git a/jos/11/16.md b/jos/11/16.md new file mode 100644 index 00000000..f327f7fd --- /dev/null +++ b/jos/11/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mlima Halaki...Baali Gadi + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + diff --git a/jos/11/18.md b/jos/11/18.md new file mode 100644 index 00000000..431d6570 --- /dev/null +++ b/jos/11/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yahweh ambaye alikuwa ameifanya kuwa migumu mioyo yao + +Yahweh aliwasababisha watu wa miji kuwa wakaidi, inasemwa kana kwamba Yahweh ndiye alikuwa ameifanya mioyo yao kuwa migumu. + diff --git a/jos/11/21.md b/jos/11/21.md new file mode 100644 index 00000000..a31181a2 --- /dev/null +++ b/jos/11/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Anakimu + +Hawa walikuwa ni wazawa wa Anaki + +# Debiri... Ababu + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + diff --git a/jos/11/23.md b/jos/11/23.md new file mode 100644 index 00000000..722643e0 --- /dev/null +++ b/jos/11/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yoshua aliwapa Israeli kama urithi + +Kitendo cha Yoshua kuwapa waisraeli nchi kunasemwa kana kwamba alikuwa amewapa Israeli urithi kama mali ya kudumu. + +# nchi ikapumzika bila vita + +Watu walikuwa wahapigani vita tena, nchi inasemwa kana kwamba alikuwa ni mtu aliyepumzika kutoka katika vita. "Watu hawakupigana vita tena katika nchi" au "kulikuwa na amani katika nchi" + diff --git a/jos/12/01.md b/jos/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..c8a917c0 --- /dev/null +++ b/jos/12/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Basi + +Neno hili limetumika hapa kuonesha pumziko katika habari kuu. Hapa mwandishi anaanza kutoa maneno ya nyuma. + +# hawa ni wafalme + +inawarejelea orodha ya wafalme na inaendelea mpaka katika mstari wa 24 + +# Araba... Aroeri + +Haya ni majina ya mahali/sehemu + +# Sihoni... Heshiboni + +Tafsiri maneno haya kama vile ulivyofanya katika 9:9 + diff --git a/jos/12/03.md b/jos/12/03.md new file mode 100644 index 00000000..74f2ff2d --- /dev/null +++ b/jos/12/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Bahari ya Kinerethi + +Hii ni sehemu. Tafsiri kama vile alivyofanya katika 11:1 + +# Bethi Yeshimothi... Mlima PIsiga... Ashitarothi..Edrei..Saleka. + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + +# Ogu, mfalme wa Bashani + +Tafsiri maneno haya kama vile ulivyofanya katika 9:9 + +# Refaimu... Wamakathi + +haya yalikuwa majina ya makundi ya watu + diff --git a/jos/12/06.md b/jos/12/06.md new file mode 100644 index 00000000..f8a1c382 --- /dev/null +++ b/jos/12/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Waerubeni + +Hawa walikuwa wazawa wa Rubeni + +# Wagadi + +Hawa walikuwa wazawa wa Gadi + +# nusu ya kabila la Manase + +Wanaitwa nusu ya kabila kwasababu nusu nyingine ya kabila walipewa urithi wao katika nchi ya Kanaani. + diff --git a/jos/12/07.md b/jos/12/07.md new file mode 100644 index 00000000..0b3cc3d1 --- /dev/null +++ b/jos/12/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Baali Gadi..Mlima Halaki...Araba + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + diff --git a/jos/12/09.md b/jos/12/09.md new file mode 100644 index 00000000..54348893 --- /dev/null +++ b/jos/12/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Enaimu...Yarmuthi...Lakishi...Eguloni..Gezeri + +Haya ni majina ya miji. Tafsiri "Yarmuthi, Lakishi na Eguloni" kama ulivyofanya katika 10:3 + diff --git a/jos/12/13.md b/jos/12/13.md new file mode 100644 index 00000000..6935643e --- /dev/null +++ b/jos/12/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Debiri... Gederi...Horma..Aradi...Libna...Adulamu...Makeka + +Haya ni majina ya miji + diff --git a/jos/12/17.md b/jos/12/17.md new file mode 100644 index 00000000..3b3d5840 --- /dev/null +++ b/jos/12/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tapua..Heferi...Afeki...Lasharoni...Madoni...Hazori...Shimroni Meroni..Akshafu + +Haya ni majina ya miji + diff --git a/jos/12/21.md b/jos/12/21.md new file mode 100644 index 00000000..2aca42af --- /dev/null +++ b/jos/12/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taanaki...Megido...Kedeshi...Yokneamu...Dori...Goyimu......Tiriza + +Haya ni majina ya miji + +# thelathini na moja kwa ujumla + +"31 kwa ujumla" + diff --git a/jos/13/02.md b/jos/13/02.md new file mode 100644 index 00000000..16a422e5 --- /dev/null +++ b/jos/13/02.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nchi iliyosalia ndio hii + +Unaweza kuifafanua kwamba nchi ya Israeli ilikuwa bado inahitaji. + +# Shihori + +Hili ni jina la mahali + +# inayofikiriwa kuwa ni mali ya Wakanaani; + +Kauli hii inawezaa kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Wakanaani hufikiri kuwa ni mali yao." + +# Waavi + +Hili ni jina la kikundi + diff --git a/jos/13/04.md b/jos/13/04.md new file mode 100644 index 00000000..1069c8e1 --- /dev/null +++ b/jos/13/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Meara...Afeki...Baali Gadi...Mlima Hermoni + +Haya ni majina ya sehemu + +# Wagebali + +Hili ni jina la kikundi cha watu walioishi huko Geba. + diff --git a/jos/13/06.md b/jos/13/06.md new file mode 100644 index 00000000..37344967 --- /dev/null +++ b/jos/13/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Misrefothi Maimu + +Jina la mahali + +# nchi ....kama urithi + +Nchi ambayo Israeli wataichukua inasemwa kuwa kama ilikuwa urithi ambao wataupokea kama mali ya kudumu. + diff --git a/jos/13/08.md b/jos/13/08.md new file mode 100644 index 00000000..bbbc05ee --- /dev/null +++ b/jos/13/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Aroer...Medeba...Diboni + +Haya ni majina ya mahali + +# bonde + +sehemu ya mto iliyo ya chini sana kutoka usawa wa nchi katika kingo zake. + +# nyanda + +nchi tambarare juu ya mto + diff --git a/jos/13/10.md b/jos/13/10.md new file mode 100644 index 00000000..aac08665 --- /dev/null +++ b/jos/13/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Heshiboni...Saleka... Ashitarothi...Edrei + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + +# Maakathi...Refaimu + +Haya ni majina ya makundi ya watu + +# Mkoa wa Wageshuri + +"nchi ambayo Wageshuri waliishi" + +# Musa aliwapiga + +Hapa "Musa" inawakilisha jeshi la Waisraeli ambalo Musa aliliongoza. "Musa na Waisraeli waliwashambulia." + diff --git a/jos/13/13.md b/jos/13/13.md new file mode 100644 index 00000000..7f99ef31 --- /dev/null +++ b/jos/13/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wageshuri au Wamakathi + +Haya ni majina ya makundi ya watu + +# Wageshuri na Wamakathi wanaishi miongoni mwa Waisraeli + +"Geshuri" na "Makathi" ni majina ya waanzilishi au mababu wa Wageshuri na Wamaakathi au ni majina ya miji walioishi. "Watu wale waliishi kati ya Waisraeli. + +# hadi leo + +hii inarejelea kipindi ambacho mwandishi alikuwa akiandika. + diff --git a/jos/13/14.md b/jos/13/14.md new file mode 100644 index 00000000..16e2d4a7 --- /dev/null +++ b/jos/13/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# halikupewa urithi na Musa + +Nchi ambayo Musa aliyapa makabila ya Israeli inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao watu waliupokea kama mali ya kudumu. + +# Urithi wao ni sadaka za Yahweh + +Mwandishi anaongelea juu ya heshima kubwa ambayo Walawi walikuwa nayo ya kumtumikia Yahweh kama makuhani na ya kwamba sadaka zingekuwa urithi wao. + +# sadaka za Yahweh + +"sadaka ambazo watu walizileta kwa Yahweh" + +# zilitolewa kwa moto + +kauli hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambazo makuhani walizichoma kwa moto" + diff --git a/jos/13/15.md b/jos/13/15.md new file mode 100644 index 00000000..02ce84f3 --- /dev/null +++ b/jos/13/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Aroeri...Medeba + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + +# bonde... nyanda + +Tafsiri manen haya kama ulivyofanya katika 13:8 + diff --git a/jos/13/17.md b/jos/13/17.md new file mode 100644 index 00000000..f85b4cb0 --- /dev/null +++ b/jos/13/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Heshiboni...Diboni...Bamothi...Baali... Bethi Baalimeoni...Yahazi....Kedemothi....Mefathi... Kiriathaimu.......Sibuma...Zerethishahari. + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + diff --git a/jos/13/20.md b/jos/13/20.md new file mode 100644 index 00000000..0e99a21f --- /dev/null +++ b/jos/13/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Bethi Peori...Pisiga..Bethi Yeshimothi...Heshiboni + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + +# Sihoni...Evi...Rekemu...Zuri...Huri...Reba + +Haya ni majina ya watu + +# pamoja na viongozi wa Midiani + +"kama ambavyo alikuwa amewashinda viongozi wa Midiani" + diff --git a/jos/13/22.md b/jos/13/22.md new file mode 100644 index 00000000..bcbc4873 --- /dev/null +++ b/jos/13/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# huu ni mpaka wao + +Mto Yordani ulikuwa mpaka upande wa magharibi wa nchi ambayo kabila la Reubeni waliipokea. + +# Huu ulikuwa urithi wa kabila la Rubeni + +Nchi ambayo Musa aliwagawia kabila la Rubeni inazungumziwa kana kwamba ilikuwa ni urithi ambao kabila la Rubeni walipokea kama mali ya kudumu. + +# uliotolewa kwa kila ukoo, + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji: "ambao Musa aliwapa kila ukoo." + diff --git a/jos/13/24.md b/jos/13/24.md new file mode 100644 index 00000000..9bd3d4f0 --- /dev/null +++ b/jos/13/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yazeri...Aroeri...Heshiboni...Ramathi Mizipe...Betonimu...Mahanaimu...Debiri + +Haya ni majina ya mahali + diff --git a/jos/13/27.md b/jos/13/27.md new file mode 100644 index 00000000..eb4b8db4 --- /dev/null +++ b/jos/13/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Bethi Haramu...Bethi Nimra....Zafoni....Heshiboni + +Haya ni majina ya mahali/sehemu + +# Huu ni urithi wa kabila la Gadi + +Nchi ambayo Musa aliwagawia kabila la Gadi inazungumziwa kana kwamba ilikuwa ni urithi ambao kabila la Gadi walipokea kama mali ya kudumu. + diff --git a/jos/13/29.md b/jos/13/29.md new file mode 100644 index 00000000..cc18a10d --- /dev/null +++ b/jos/13/29.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Musa aliwapa urithi nusu ya kabila la Manase + +Nchi ambayo Musa aliwapa nusu ya kabila la Manase inazungumziwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao aliwapa kama mali ya kudumu. + +# nusu ya kabila la Manase + +Ni nusu tu ya kabila ilipokea nchi hii kwasababu nusu nyingine ilipokea nchi katika upande mwingine wa mto Yordani. + +# Uligawiwa + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Musa aliugawa" + +# Mahanaimu...Yairi...Ashitarothi...Edrei. + +haya ni majina ya mahali/sehemu + +# Makiri + +Hili ni jina la mwanaume. + +# hii iligawanywa + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Musa alizigawa hii miji" + diff --git a/jos/13/32.md b/jos/13/32.md new file mode 100644 index 00000000..273ef336 --- /dev/null +++ b/jos/13/32.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Huu ni urithi ambao Musa aliowagawia + +Nchi ambayo Musa aliyagawia makabila ya Israeli upande wa mashariki wa mto Yordani unazungumziwa kana kwamba ilikuwa ni urithi ambao Musaaliwapakama urithi. + +# Yahweh, Mungu wa israeli, ni urithi wao + +Mwandishi anazungumzia juu ya heshima kubwa ambayo Walawi walikuwa nayo kwa kumtumikia Yahweh kama makuhani kana kwamba Yahweh kilikuwa ni kitu fulani ambacho watarithi. + diff --git a/jos/14/01.md b/jos/14/01.md new file mode 100644 index 00000000..2370cf23 --- /dev/null +++ b/jos/14/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maeneo haya ya nchi ambayo watu wa Israeli waliyapokea kama urithi wao + +Nchi ambayo waisraeli waliipata inazungumzwa kana kwamba ilikuwa ni urithi ambao waliupata kama mali ya kudumu. + +# Urith huu uligawanywa kwao na Eliazeri kuhani, na Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa makabila ya mababu wa familia zao kati ya watu wa Israeli + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambao Eliazeri kuhani , mwana wa Yoshua mwana wa Nuni na viongozi wa makabila ya familia za mababu zao katika Israeli waliwapa." + +# Viongozi wa makabila + +Hawa walikuwa viongozi wa kila kabila + diff --git a/jos/14/02.md b/jos/14/02.md new file mode 100644 index 00000000..ec2cd632 --- /dev/null +++ b/jos/14/02.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Urithi wao ulichaguliwa kwa kupiga kura + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. Eliazeri, Yoshua na viongozi wa makabila walipiga kura kuamua urithi wao." + +# kwa mkono wa Musa + +Hapa neno "mkono" unamwakilisha Musa mwenyewe na ina maana ya Yahweh alimtumia Musas kama wakala ili kutoa agizo hili. + +# Musa alikuwa amewapa urithi makabila mawili na nusu ng'ambo ya Yordani, lakini Walawi hawakupewa urithi wowote + +Makabila mawili na Nusu yalipewa urithi ng'ambo ya Yordani, lakini kwa Walawi hawakupewa urithi wowote. Nchi ambayo Musa aliyapa makabila inasemwa kana kwamba ni urithi ambao walipokea kama miliki yao ya kudumu. + +# Na hakuna sehemu yoyote ya urithi waliyopewa Walawi katika nchi + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Na Musa hakuwapa sehemu yoyote ya urithi kwa Walawi katika nchi." + +# sehemu ya nchi + +Kipande cha ardhi + +# lakini walipewa miji ya kuishi ndani yake + +Kitenzi huenda kimetolewa kwa maelezo yaliyotangullia."lakini aliwapa miji fulani ili kuishi ndani yake." + +# maeneo ya malisho + +haya ni mashamba ya nyasi kwa ajili kulishia mifugo. + +# riziki zao + +hivi ni vitu walivyohitaji ili waweze kuhudumia familia zao. + diff --git a/jos/14/06.md b/jos/14/06.md new file mode 100644 index 00000000..d638ab6c --- /dev/null +++ b/jos/14/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yefune + +Hili ni jina la mwanaume + +# Mkenizi + +Hili ni jina la kikundi cha watu + +# Nilimletea taarifa tena kama nilivyotakiwa kufanya katika moyo wangu. + +Hapa neno "moyo" linawakilisha mawazo. Hii ni nahau inayorejelea taarifa iliyotolewa kwa uadilifu. + diff --git a/jos/14/08.md b/jos/14/08.md new file mode 100644 index 00000000..55762ed4 --- /dev/null +++ b/jos/14/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# waliifanya mioyo ya watu iyeyuke kwa woga + +Kitendo cha kuwafanya watu waogope kinaongelewa kama ilikuwa ni kuyeyusha mioyo ya watu. + +# Lakini mimi nilimfuata Yahweh kabisa + +Kuwa mwaminifu kwa Yahweh kunaongelewa kama kumfuata Yahweh. "Nilibaki mwaminifu kwa Yahweh" + +# nchi ambayo miguu yako imetembea juu yake itakuwa urithi wako na kwa watoto wako milele + +Nchi ambayo Kalebu na watoto wake wangepewa inaongelewa kana kwamba ni urithi ambao wangeupokea kama miliki ya kudumu. + +# nchi ambayo miguu yako imetembea juu yake + +hapa maneno "miguu yako" inamwakilisha Kalebu. + diff --git a/jos/14/10.md b/jos/14/10.md new file mode 100644 index 00000000..bef86e80 --- /dev/null +++ b/jos/14/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Tazama + +"Sikiliza" Neno hili linaongeza mkazo kwa kile kilichosemwa baadaye. + +# wakati huo Waisraeli walikuwa wakitembea jangwani + +"Wakati watu wa israeli walisafiri huko jangwani" + +# Nguvu zangu za sasa ni sawa na nguvu zangu za kipindi kile + +"Bado nina nguvu sasa kama nilivyokuwa hapo mwanzo." + +# kwa kwenda na kwa kuja. + +Hii ni nahau inayorejelea shughuli za kila siku. "Kwa ajili ya mambo ninayoyafanya kila siku." + diff --git a/jos/14/12.md b/jos/14/12.md new file mode 100644 index 00000000..e04d4c88 --- /dev/null +++ b/jos/14/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# nchi ya milima + +Maana zinazokubalika a) vilima vingi vikubwa au milima midogo au b)mlima mmoja. + +# Anakimu + +Hili ni jina la kikundi cha watu + diff --git a/jos/14/13.md b/jos/14/13.md new file mode 100644 index 00000000..c6d02876 --- /dev/null +++ b/jos/14/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# alimpa Hebroni kama urithi wake + +Hebroni inaongelewa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao Kalebu aliupokea kama mali ya kudumu. + +# hata leo + +hii inarejelea kipindi ambacho mwandishi wa kitabu hiki + +# alimfuata kabisa Yahweh, + +Kuwa mwaminifu kwa Yahweh kunatajwa kana kwamba kumfuata Yahweh kweli kweli. "Alibaki akiwa mwaminifu kwa Yahweh" + +# Kiriathi Arba + +Hili ni jina la mahali/sehemu + +# Kisha nchi ikawa na raha bila vita. + +Watu walikuwa hawapigani vita tena. Hali hii inaangaliwa kama nchi kupumzika kama vile mtu anavyopumzika kutoka katika vita. + diff --git a/jos/15/01.md b/jos/15/01.md new file mode 100644 index 00000000..62f7a9a3 --- /dev/null +++ b/jos/15/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sini + +Hili ni jina la sehemu ya jangwa + +# ghuba + +sehemu ndogo ya ziwa ambayo imeingia katika sehemu ya nchi kavu + +# ulianzia mwisho wa Bahari ya Chumvi, kutoka ghuba iliyokabili upande wa kusini + +"kutoka katika ghuba iliyokabili upande wa kusini sehemu ya mwisho ya Bahari ya Chumvi" Virai hivi viwili vya maneno vinarejelea sehemu moja. Kirai cha pili kinafafanua sehemu unapoanzia mpaka wa kusini. + +# iliyokabili upande wa kusini + +"ambayo imegeukia kuelekea kusini" + diff --git a/jos/15/03.md b/jos/15/03.md new file mode 100644 index 00000000..d294ae00 --- /dev/null +++ b/jos/15/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mpaka wao + +"Mpaka wa nchi iliyo mali ya kabila la Yuda" + +# Akirabimu...sini....Hebroni... Addari...Karka...Azimoni + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + +# kijito cha Misri + +huu ni mto mdogo wa maji katika ukingo wa upande wa kusini magharibi mwa nchi, karibu na Misri. + diff --git a/jos/15/05.md b/jos/15/05.md new file mode 100644 index 00000000..6a1a5b81 --- /dev/null +++ b/jos/15/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# katika mdomo wa Yordani + +Sehemu ambayo mto humwaga maji yake baharini inazungumzwa kana kwamba ulikuwa ni mdomo wa mto. + +# mpaka...ulianzia + +"mpaka...ulikuwa" + +# Bethi Hogla...Bethi Araba + +haya ni majina ya sehemu/mahali + +# JIwe la Bohani + +Hili lilikuwa ni jiwe kubwa lililowekwa na mtu fulani kama alama ya mpaka na liliitwa kwa jina la mtu aliyeitwa Hohani. + diff --git a/jos/15/07.md b/jos/15/07.md new file mode 100644 index 00000000..6c8a7e91 --- /dev/null +++ b/jos/15/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Debiri...bonde la Akori...mlima wa Adumimu..En shemeshi... En Rogeli...bonde la Ben Hinnomu..Bonde la Refaimu + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + diff --git a/jos/15/09.md b/jos/15/09.md new file mode 100644 index 00000000..8e892d3c --- /dev/null +++ b/jos/15/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nefutoa..Mlima Efroni...Baala..Kiriathi Yearimu..Mlima Seiri..Mlima Yearimu.... Kesaloni...Bethi Shemeshi...Timna. + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + diff --git a/jos/15/11.md b/jos/15/11.md new file mode 100644 index 00000000..096f30e6 --- /dev/null +++ b/jos/15/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Shikeroni...Mlima baala...Yabuneeli + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + diff --git a/jos/15/13.md b/jos/15/13.md new file mode 100644 index 00000000..d0d80869 --- /dev/null +++ b/jos/15/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kiriathi Arba...Debiri...Kiriathi Seferi + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + +# Arba...Anaki...Sheshai...Ahimani...Talmai + +Haya ni majina ya watu + +# wana watatu wa Anaki: Sheshai, Ahimani na Talmai, wazawa wa Anaki + +Majina haya yanawakilisha koo za watu ambao walikuwa ni uzao wa Sheshai, Ahimani, na Talmai. Maneno "wana' na "wazawa" katika muktadha huu yanamaanisha kitu hicho hicho kimoja. "Koo tatu , Sheshai, Ahimani na Talmai, waliokuwa wazawa wa Anaki." + +# Alipanda kutoka pale kinyume + +"Alienda kutoka hapo ili kupigana dhidi" + diff --git a/jos/15/16.md b/jos/15/16.md new file mode 100644 index 00000000..8e0a56fa --- /dev/null +++ b/jos/15/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kiriathi Seferi + +Hili ni jina la sehemu/mahali + +# Akisa + +Hili ni jina la mwanamke + +# othinieli ...Kenazi + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/jos/15/18.md b/jos/15/18.md new file mode 100644 index 00000000..5f68801c --- /dev/null +++ b/jos/15/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Akisa alienda kwa Othinieli + +Hii ni nahau ambayo inamrejelea Akisa kuwa mke wa othinieli. "Wakati Akisa alipokuwa mke wa Othinieli." + +# alimsihi amwombe baba yake shamba + +Hii inaweza kutafsiriwa kama kauli ya moja kwa moja. 'alimsihi, 'mwombe baba yangu anipe shamba" + diff --git a/jos/15/19.md b/jos/15/19.md new file mode 100644 index 00000000..0a455353 --- /dev/null +++ b/jos/15/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# chemichemi ya juu na chemichemi ya chini + +Maneno "juu" na "chini" yanaongelea masuala ya mwinuko wa kijiografia katika sehemu za vijito vya maji. + diff --git a/jos/15/20.md b/jos/15/20.md new file mode 100644 index 00000000..ace9a9db --- /dev/null +++ b/jos/15/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Yuda, + +Nchi ambayo kabila la Yuda lilipokea inaongelewa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupata kama mali ya kudumu. + +# waliopewa kufuatana na koo zao + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao" + diff --git a/jos/15/21.md b/jos/15/21.md new file mode 100644 index 00000000..6cb6b296 --- /dev/null +++ b/jos/15/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sentensi kiunganishi + +mwandishi anaorodhesha miji ya kusini ambayo Yuda waliimiliki. Orodha inaendelea mpaka 15:29 + diff --git a/jos/15/25.md b/jos/15/25.md new file mode 100644 index 00000000..f23a3f89 --- /dev/null +++ b/jos/15/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo unganishi + +Orodha ya miji inaendelea + diff --git a/jos/15/29.md b/jos/15/29.md new file mode 100644 index 00000000..a35c3e7e --- /dev/null +++ b/jos/15/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# maelezo unganishi + +Orodha ya miji inaendelea + diff --git a/jos/15/33.md b/jos/15/33.md new file mode 100644 index 00000000..abd0ae6f --- /dev/null +++ b/jos/15/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mwandishi anaorodhesha miji ya upande wa Kaskazini ambayo Yuda iliimiliki. + diff --git a/jos/15/37.md b/jos/15/37.md new file mode 100644 index 00000000..98acadea --- /dev/null +++ b/jos/15/37.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# sentensi kiunganishi + +Mwandishi anaorodhesha miji ambayo Yuda ilipewa kuimiliki + diff --git a/jos/15/40.md b/jos/15/40.md new file mode 100644 index 00000000..4ac995de --- /dev/null +++ b/jos/15/40.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sentensi kiunganishi + +Mwandishi anaorodhesha miji ambayo Yuda ilipewa kuimiliki + diff --git a/jos/15/42.md b/jos/15/42.md new file mode 100644 index 00000000..4ac995de --- /dev/null +++ b/jos/15/42.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sentensi kiunganishi + +Mwandishi anaorodhesha miji ambayo Yuda ilipewa kuimiliki + diff --git a/jos/15/45.md b/jos/15/45.md new file mode 100644 index 00000000..47534f2e --- /dev/null +++ b/jos/15/45.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi kiunganishi + +Mwandishi anaorodhesha miji ambayo Yuda ilipewa kuimiliki + +# makazi + +"vijiji" + +# Kijito cha Misri + +Mto mdogo wa maji katika ukingo wa upande wa kusini wa nchi karibu na Misri. + diff --git a/jos/15/48.md b/jos/15/48.md new file mode 100644 index 00000000..816f3800 --- /dev/null +++ b/jos/15/48.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sentensi unganishi + +Mwandishi anaorodhesha miji ambayo Yuda ilipewa kuimiliki + diff --git a/jos/15/52.md b/jos/15/52.md new file mode 100644 index 00000000..816f3800 --- /dev/null +++ b/jos/15/52.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sentensi unganishi + +Mwandishi anaorodhesha miji ambayo Yuda ilipewa kuimiliki + diff --git a/jos/15/55.md b/jos/15/55.md new file mode 100644 index 00000000..816f3800 --- /dev/null +++ b/jos/15/55.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sentensi unganishi + +Mwandishi anaorodhesha miji ambayo Yuda ilipewa kuimiliki + diff --git a/jos/15/58.md b/jos/15/58.md new file mode 100644 index 00000000..816f3800 --- /dev/null +++ b/jos/15/58.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sentensi unganishi + +Mwandishi anaorodhesha miji ambayo Yuda ilipewa kuimiliki + diff --git a/jos/15/60.md b/jos/15/60.md new file mode 100644 index 00000000..816f3800 --- /dev/null +++ b/jos/15/60.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sentensi unganishi + +Mwandishi anaorodhesha miji ambayo Yuda ilipewa kuimiliki + diff --git a/jos/15/63.md b/jos/15/63.md new file mode 100644 index 00000000..906d5fad --- /dev/null +++ b/jos/15/63.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hadi leo hii + +kipindi kinachorejelewa hapa ni kipindi ambacho mwandishi aliandika kitabu hiki. + diff --git a/jos/16/01.md b/jos/16/01.md new file mode 100644 index 00000000..997bb1b6 --- /dev/null +++ b/jos/16/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kabila la Yusufu + +Kabila la Yusufu liliunganisha makabila ya wana wake wawili, Manase na Efraimu. Kwakuwa nusu ya kabila la Manase lilikuwa limeweka makazi mashariki mwa Yordani, sehemu hii inarejelea kabila la Efraimu na nusu nyingine ya kabila la Manase. + +# Luzi ...Atarothi + +Haya ni majina ya mahali + +# Waarkiti + +hili ni jina la kikundi cha watu + diff --git a/jos/16/03.md b/jos/16/03.md new file mode 100644 index 00000000..af10b7d1 --- /dev/null +++ b/jos/16/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wayafuleti + +Hili ni jina la kikundi cha watu + +# Loweri Bethi Horoni ... Gezeri + +haya ni majina ya sehemu + +# makabila ya Yusufu, Manase na Efraimu + +"makabila ya Manase na Efraimu, wana wa Yusufu" + +# waliupokea uirithi wao + +Nchi ambayo makabila ya Manase na Efraimu waliimiliki inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu. + diff --git a/jos/16/05.md b/jos/16/05.md new file mode 100644 index 00000000..2815d79e --- /dev/null +++ b/jos/16/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Eneo la kabila la Efraimu ambalo lilikuwa limegawanya kwa koo zao + +Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Eneo ...ambalo Yoshua aliwagawia kwa kufuata koo zao." + +# Atarothi Addari...Bethi Horoni ya juu...Mikimethathi...Taanathi Shilo...Yanoa...Naara + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + diff --git a/jos/16/08.md b/jos/16/08.md new file mode 100644 index 00000000..01c32c2a --- /dev/null +++ b/jos/16/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Tapua...Kana + +Haya ni majina ya sehemu + +# Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Efraimu + +Nchi ambayo kabila la Efraimu waliimiliki inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu + +# Walipewa kwa koo zao + +Maelezo haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwagawia kwa koo zao" + +# miji yao iliyochaguliwa + +Maelezo haya yaweza kuelezwa kwa kauli tendaji. Miji ambayo Yoshua alikuwa ameichagua." + +# iyokuwa ndani ya urithi wa kabila la Manase + +Nchi ambayo kabila la Manase waliimiliki inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu + diff --git a/jos/16/10.md b/jos/16/10.md new file mode 100644 index 00000000..9d961ee1 --- /dev/null +++ b/jos/16/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hadi leo + +kipindi hiki kinachorejelewa hapa ni kipindi ambbacho mwandishi aliandika kitabu hiki. + diff --git a/jos/17/01.md b/jos/17/01.md new file mode 100644 index 00000000..f2f869f3 --- /dev/null +++ b/jos/17/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mzaliwa wa kwanza wa Manase, ambaye alikuwa + +"alikuwa ni mzaliwa wa kwanza" + +# Makiri...Abi Ezeri, Heleki, Asrieli, Shekemu, Heferi, na Shemida + +Haya yalikuwa ni majina ya wanaume + +# Watoto wa Makiri walipewa nchi ya Gileadi na Bashani + +Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Yoshua aliwapa nchi ya Gileadi na Bashani wazawa wa Makiri. + +# Nchi iliyobaki iligawiwa .... walipewa kwa koo zao + +Maelezo haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Yoshua aliwapa nchi.... na aliwapa kwa kufuata koo zao." + diff --git a/jos/17/03.md b/jos/17/03.md new file mode 100644 index 00000000..3c294da4 --- /dev/null +++ b/jos/17/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Zelofehadi...Heferi...Eliazari + +Haya ni majina ya wanaume + +# Mahila, Noa, Hogila, Milka, na Tirsa + +Haya ni majina ya wanawake. + +# atupatie urithi wetu + +Nchi inaongelewa hapa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao watu walilpewa kama mali ya kudumu. "kutupa sisi sehemu ya nchi kama urithi" + +# aliwapa wanawake hao urithi + +Maana zinazokubalika a)"Yoshua aliwapa wale wanawake urithi" b) Eliazeri aliwapa wanawake urithi. + diff --git a/jos/17/05.md b/jos/17/05.md new file mode 100644 index 00000000..15fc6e5c --- /dev/null +++ b/jos/17/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# alipewa sehemu kumi za nchi + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Yoshua aliwapa sehemu kumi za nchi." + +# "sehemu kumi" + +"vipande kumi" + +# aliupokea urithi + +Nchi inaongelewa hapa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao watu walilpewa kama mali ya kudumu. "kutupa sisi sehemu ya nchi kama urithi" + +# Nchi ya Gileadi iligawanywa + +Hii inaweza kuelezwa kwa kutumia muundo tendaji. "Yoshua aliwapa nchi ya Gileadi" + diff --git a/jos/17/07.md b/jos/17/07.md new file mode 100644 index 00000000..1fb9df0f --- /dev/null +++ b/jos/17/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Upande wa Kusini + +"kuelekea kusini" + +# Mikimethathi ...Tapua + +Haya ni majina ya mahali/sehemu + diff --git a/jos/17/09.md b/jos/17/09.md new file mode 100644 index 00000000..dad9a02d --- /dev/null +++ b/jos/17/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mpaka + +"Mpaka wa nchi ya Manase" + +# kijito + +sehemu ndogo ya mto + +# Kana + +Jina la kijito + +# Kwa upande wa kaskazini ulifika hata Asheri + +Maana zinakubalika ni a) mpaka wa nchi ya Manase ulifika na kugusua nchi ya kabila la Asheri b)ambayo waweza kusafiri kutoka Kaskazini na kufika Asheri. + +# upande wa mashariki, Isakari + +Kitenzi huenda ni kile kile ambacho kimetolewa virai vilivyotangulia. + diff --git a/jos/17/11.md b/jos/17/11.md new file mode 100644 index 00000000..50353220 --- /dev/null +++ b/jos/17/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Bethi Shani...Ibleamu...Dori...Endori...Taanaki...Megido....Nafethi. + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + diff --git a/jos/17/14.md b/jos/17/14.md new file mode 100644 index 00000000..94c45dfd --- /dev/null +++ b/jos/17/14.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# wazawa wa Yusufu + +Inarejelea makabila ya Efraimu na Manase + +# Kwanini umetupa mgao mmoja wa nchi na sehemu moja kwa ajili ya urithi, kwa kuwa tuko wengi , na kwa muda wote Yahweh umetubaliriki? + +Watu wa makabila ya Efraimu na Manase waliuliza swali hili ili kutia mkazo kwamba Yoshua alitakiwa kuwapa sehemu kubwa ya nchi. "Ulitakiwa ungekuwa umetupa sisi sehemu zaidi ya kila mtu...Yahweh ametubariki." + +# mgao mmoja wa nchi na sehemu moja kwa ajili ya urithi + +Virai hivi viwili kwa msingi vina maana moja. Katika kirai cha pili kinahusu juu nchi inayozungumziwa kama urithi ambao watu waliupokea kama mali kudumu. + +# sehemu + +Kipande + +# watu wengi + +Watu wengi kwa namba + +# "Kama ninyi ni watu wengi katika hesabu + +Kwa kuwa ninyi ni watu wengi sana katika hesabu yao. + +# Refaimu + +Hili ni jina kikundi cha watu + diff --git a/jos/17/16.md b/jos/17/16.md new file mode 100644 index 00000000..801c64a6 --- /dev/null +++ b/jos/17/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Bethi Shani....Yezreeli + +Haya ni majina ya mahali/sehemu + +# Nyumba ya Yusufu + +Hapa neno "nyumba" inarejelea wazawa + +# Mtaufyeka + +"Mtausafisha msitu wa miti" au " mtaikata miti yake" + diff --git a/jos/18/01.md b/jos/18/01.md new file mode 100644 index 00000000..ec99974d --- /dev/null +++ b/jos/18/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# na waliishinda nchi + +Walikuwa wamewashinda watu walioishi katika nchi kabla hawajaweka hema la kukutania. + +# yalikuwa bado hayajapewa urithi wao + +Nchi ambayo watu watairithi inaongelewa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao wangeupokea kama mali yao ya kudumu. + diff --git a/jos/18/03.md b/jos/18/03.md new file mode 100644 index 00000000..97728f64 --- /dev/null +++ b/jos/18/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Je mtaacha mpaka lini katika kuingia nchi ambayo Yahweh, Mungu wa baba zenu, amewapeni ninyi? + +Yoshua aliuliza swali hili ili kuwatia moyo Waisraeli kuchukua umiliki wa nchi. + +# nchi juu na chini + +maneno "juu na chini" yana maana ya kila mwelekeo/sehemu + +# Wataandika maelezo pamoja na maelekezo kuhusu urithi + +Hii ina maana kwamba wataeleza sehemu za nchi ambazo kila kabila lingepokea kwa ajili ya urithi. + +# urithi wao + +Nchi ambayo watu watairithi inaongelewa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao wangeupokea kama mali yao ya kudumu + diff --git a/jos/18/05.md b/jos/18/05.md new file mode 100644 index 00000000..d7bf90ed --- /dev/null +++ b/jos/18/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yoshua anaendeleza hotuba yake kwa watoto wa israeli + +# Wataigawanya nchi + +Wataigawa nchi + +# Yuda itasalia + +"Kabila la Yuda litabaki" + +# nyumba ya Yusufu + +Hapa neno "nyumba" inawakilisha wazawa wa Yusufu. Kirai kinayarejelea makabila ya Efraimu na Manase. + diff --git a/jos/18/07.md b/jos/18/07.md new file mode 100644 index 00000000..6944c398 --- /dev/null +++ b/jos/18/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yoshua anaendeleza hutoba yake kwa watoto wa Israeli. + +# hana sehemu + +Hakuna sehemu ya nchi + +# kwa kuwa ukuhani wa Yahweh ni urithi wao + +Yoshua anazungumzia juu ya heshima kubwa ambayo Walawi walikuwa nayo kwa kumtumikia Yahweh, ilikuwa kana kwamba ulikuwa ni urithi. + +# nusu ya kabila la Manase + +"nusu ya kabila la Manase" + +# wameshapokea urithi wao + +Nchi ambayo watu watairithi inaongelewa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao wangeupokea kama mali yao ya kudumu + diff --git a/jos/18/08.md b/jos/18/08.md new file mode 100644 index 00000000..70541226 --- /dev/null +++ b/jos/18/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yoshua anaongea na watu Ishirini na moja ambao walitakiwa kwenda kuiangalia nchi. + +# Juu na chini katika nchi + +Maneno "juu na chini" yana maana ya sehemu zote."Pande zote za nchi" au "katika nchi yote" + diff --git a/jos/18/10.md b/jos/18/10.md new file mode 100644 index 00000000..99978c0e --- /dev/null +++ b/jos/18/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kila kabila lilipewa sehemu ya nchi. + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "kwa kila kabila Yoshua aliwapa sehemu ya nchi" + diff --git a/jos/18/11.md b/jos/18/11.md new file mode 100644 index 00000000..00ded6b6 --- /dev/null +++ b/jos/18/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Katika kabila la Benyamini, ugawanaji wa nchi ulifanyika kwa kupewa kwa koo zao + +Hii inaweza kuelezwa muundo tendaji. "Kila kabila la Benyamini lilipewa kwa kufuata koo zao." + +# ati ya wazawa wa Yuda na wazawa wa Yusufu + +"kati ya nchi ambayo ni mali ya wazawa wa Yuda na nchi iliyo mali ya wana wa Yusufu." + +# Wazawa wa Yusufu + +hii inawarejelea kabila la Efraimu na Manase. + +# Bethi Aveni + +Hili ni jina la mahali/sehemu + diff --git a/jos/18/13.md b/jos/18/13.md new file mode 100644 index 00000000..4b06d4aa --- /dev/null +++ b/jos/18/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Luzi...Atarothi Addari...Bethi Horoni...Kiriathi Baali...Kiriath Yearimu. + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + diff --git a/jos/18/15.md b/jos/18/15.md new file mode 100644 index 00000000..d3f9cf33 --- /dev/null +++ b/jos/18/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kiriathi Yearimu...Efroni...Neftoa...Beni Hinomu...Refaimu...Hinnomu...En Rogeli + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + diff --git a/jos/18/17.md b/jos/18/17.md new file mode 100644 index 00000000..81af3539 --- /dev/null +++ b/jos/18/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Eni Shemeshi...Gelilothi...Adumimu...Bethi Araba + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + +# Jiwe la Bohani + +Hili lilikuwa ni jiwe kubwa ambalo mtu fulani aliliweka kama alama na liliitwa kwa jina la mtu aliyeitwa Bohani. + +# bega la Bethi Araba + +Nchi ambayo ina mteremko au mgongo ulioinama inasemwa kana kwamba ni bega. "Mteremko wa Bethi Araba" + diff --git a/jos/18/19.md b/jos/18/19.md new file mode 100644 index 00000000..2748cd9f --- /dev/null +++ b/jos/18/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Bega la kaskazini la Bethi Hogla + +Nchi ambayo ina muundo wa mteremko inazungumzwa kana kwamba ni bega. + +# Bethi Hogla + +Hili ni jina la sehemu/mahali + +# huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Benyamini + +Nchi ambayo kabila la Benyamini iliipokea inazungumzwa kana kwamba ilikuwa ni urithi wa ambao waliupokea kama mali ya kudumu. + +# walipewa kwa kila ukoo wao + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji: "Yoshua aliwapa nchi kwa kila koo" + diff --git a/jos/18/21.md b/jos/18/21.md new file mode 100644 index 00000000..5efb0d21 --- /dev/null +++ b/jos/18/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mwandishi anaorodhosha miji ambayo ilikuwa katika nchi na ambazo kabila la Benyamini walipewa kuimiliki kama urithi wao. + +# vijiji vyake + +"Vijiji vilivyoizunguka" + diff --git a/jos/18/25.md b/jos/18/25.md new file mode 100644 index 00000000..808a7acb --- /dev/null +++ b/jos/18/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mwandishi anaendelea kuorodhoshe miji ambayo ilikuwa katika nchi na ambazo kabila ala Benyamini. + +# Huu ulikuwa ni urithi wa Benyamini + +Nchi na miji ambayo kabila l Benyamini walipewa inaongelewa kana kwamba ilikuwa ni urithi kama mali ya kudumu. + diff --git a/jos/19/01.md b/jos/19/01.md new file mode 100644 index 00000000..4abbeaab --- /dev/null +++ b/jos/19/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Upigaji wa pili wa kura uliangukia kwa Simoni + +"Mara ya pili Yoshua alipopiga kura, kura ilionesha kabila la Simoni" + +# wa pili + +Namba ya pili katika orodha + +# waligawiwa kwa kila ukoo wao + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji: " Yoshua aligawa nchi kwa kila kabila lao" + +# Urithi wao ulikuwa katikati ya urithi ulikuwa ni mali ya kabila la Yuda. + +Nchi waliyopewa makabila haya inazungumzwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu. "Nchi waliyopokea kama urithi ilikuwa katikati ya nchi ambayo kabila la Yuda walipewa kama urithi" + diff --git a/jos/19/02.md b/jos/19/02.md new file mode 100644 index 00000000..185c9ce0 --- /dev/null +++ b/jos/19/02.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mwandishi anaorodhesha miji ambayo ilikuwa katika nchi ambayo kabila la Simoni waliipokea kama urithi wao. + +# Urithi waliokuwa nao + +Nchi na miji ambayo kabila la Simoni liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu. + diff --git a/jos/19/05.md b/jos/19/05.md new file mode 100644 index 00000000..6ab4d2e7 --- /dev/null +++ b/jos/19/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mwandishi anaorodhesha miji ambayo ilikuwa katika nchi ambayo kabila la Simoni waliipokea kama urithi wao. + +# Ziklagi + +Tafasiri kama ulivyofanya katika 15;19 + diff --git a/jos/19/08.md b/jos/19/08.md new file mode 100644 index 00000000..e15ad99f --- /dev/null +++ b/jos/19/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simon + +Nchi na miji ambayo kabila la Simoni liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu + +# waliopewa kwa koo zao + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao" + +# Hii ni kwasababu nchi waliyopewa kabila la Yuda + +Sentensi hii inaweza kuelezwa wa muundo tendaji: "Sehemu ya nchi ambayo Yoshua aliigawa kwa kabila la Yuda" + +# sehemu yao ya katikati + +"Katikati ya sehemu ya nchi ya Yuda" + diff --git a/jos/19/10.md b/jos/19/10.md new file mode 100644 index 00000000..d81b0671 --- /dev/null +++ b/jos/19/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Upigaji wa kura ya tatu + +Tafasiri kirai hiki kama vile ulivyofanya katika 19:1 + +# ya tatu + +namba ya tatu katika orodha + +# Saridi...Marala..Dabeshethi...Yokineamu + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + +# mkabala na Yokineamu + +"ng'ambo ya pili kutoka Yokineamu" + diff --git a/jos/19/12.md b/jos/19/12.md new file mode 100644 index 00000000..4a3c77d3 --- /dev/null +++ b/jos/19/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Saridi....Kisilothi Tabori....Daberathi...Yafia...Gathi Hefa...Ethikazini...Rimoni...Nea + +Haya ni majina ya sehemu/mahali. + diff --git a/jos/19/14.md b/jos/19/14.md new file mode 100644 index 00000000..c1b45842 --- /dev/null +++ b/jos/19/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hannathoni...Efta Eli Katathi...Nahalali...Shimroni...Idala...Bethlehemu + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + +# Bethlehemu + +Hii siyo ile "Bethlehemu" ambayo iko kusini mwa Yerusalemu katika Yuda. + +# Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Zabuloni, + +Nchi na miji ambayo kabila la Zabuloni liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu + +# waliopewa kwa kufuatana na koo za + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao" + diff --git a/jos/19/17.md b/jos/19/17.md new file mode 100644 index 00000000..32d0777a --- /dev/null +++ b/jos/19/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Upigaji kura wa nne + +Tafasiri kirai hiki kama vile ulivyofanya katika 19:1 + +# wa nne + +namba ya nne katika orodha + +# Kesulothi...Shunemu...Hafaraimu...Shioni...Anaharathi + +Haya ni majina ya mahali/sehemu + diff --git a/jos/19/20.md b/jos/19/20.md new file mode 100644 index 00000000..ef4d3226 --- /dev/null +++ b/jos/19/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Rabithi...Kishioni...Ebezi...Remethi...Enganimu...Enihada...Bethipazezi..Shahazuma + +Haya ni majina ya mahali/sehemu + +# Tabori + +Hili ni jina la mlima + diff --git a/jos/19/23.md b/jos/19/23.md new file mode 100644 index 00000000..664b2b8c --- /dev/null +++ b/jos/19/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Isakari + +Nchi na miji ambayo kabila la Zabuloni liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu + +# waliopewa kwa kufuatana na koo za + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Yoshua aliwapa kwa koo zao." + diff --git a/jos/19/24.md b/jos/19/24.md new file mode 100644 index 00000000..3f386f66 --- /dev/null +++ b/jos/19/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Upigaji wa kura ya tano + +Tafasiri kirai hiki kama ulivyofanya katika 19:1 + +# wa tano + +namba ya tano katika orodha + +# walipewa kwa koo zao + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao" + +# Helkathi, hali, Beteni, Akshafu, Allameleki, Amadi, na Mishali..Shihori Libnathhi + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + diff --git a/jos/19/27.md b/jos/19/27.md new file mode 100644 index 00000000..4e44f591 --- /dev/null +++ b/jos/19/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Bethi Dagoni...Bonde la Iftaheli...Bethimeki..Neieli..Kabuli...Ebroni...Rehobu...Hammoni ...Kana. + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + diff --git a/jos/19/29.md b/jos/19/29.md new file mode 100644 index 00000000..97a09f0e --- /dev/null +++ b/jos/19/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hosa...Akizibu...Umma... Afeki...Rehobu + +Haya ni majina ya sehemu/mahali + diff --git a/jos/19/31.md b/jos/19/31.md new file mode 100644 index 00000000..6e6d8146 --- /dev/null +++ b/jos/19/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Asheri + +Nchi na miji ambayo kabila la Asheri liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu waliopewa kwa kufuatana na koo zao + +# waliopewa kwa koo zao + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao" + diff --git a/jos/19/32.md b/jos/19/32.md new file mode 100644 index 00000000..beab8eec --- /dev/null +++ b/jos/19/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Upigaji wa kura wa mara ya sita + +Tafasiri kirai hiki kama ulivyofanya katika 19:1 + +# ya sita + +namba ya sita katika orodha + +# walipewa kufuatana na koo zao + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao + +# Helefu...Zaananimu...Adaminekebu...Yabuneeli...Lakumu...Zazinothi Tabori Hukkoki + +Haya ni majina ya miji + diff --git a/jos/19/35.md b/jos/19/35.md new file mode 100644 index 00000000..ccdddacd --- /dev/null +++ b/jos/19/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ziddimu...Zeri...Hamathi..Rakathi...Kinerethi...Adama...Raa..Hazori...Edrei...Eni Hazori + +Haya ni majina ya miji + +# Hamathi + +Hii si lile eneo la "Hamathi" bali ni eneo la upande wa magharibi mwa Bahari ya Galilaya. + diff --git a/jos/19/38.md b/jos/19/38.md new file mode 100644 index 00000000..b19bd121 --- /dev/null +++ b/jos/19/38.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yironi...Migdaleli..Horemu...Bethi Anathi + +Haya ni majina ya miji + +# Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Nafutali + +Nchi na miji ambayo kabila la Nafutali liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu, + +# walipewa miji pamoja na vijiji vyake kufuatana na koo zao + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao + diff --git a/jos/19/40.md b/jos/19/40.md new file mode 100644 index 00000000..219e6c1b --- /dev/null +++ b/jos/19/40.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Upigaji wa kura ya saba + +Tafasiri kirai hiki kama ulivyofanya katika 19:1 + +# ya saba + +namba ya saba katika orodha + +# Eneo lao la urithi + +Nchi na miji ambayo kabila la Dani liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu, + +# Zora, Eshitaoli, Iri Shemeshi, 42Shaalabini, Aijaloni, na Ithila + +Haya ni majina ya mahali/sehemu + diff --git a/jos/19/43.md b/jos/19/43.md new file mode 100644 index 00000000..27ec7b51 --- /dev/null +++ b/jos/19/43.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Eloni, Timna, Ekroni, 44Eliteke, Gibethoni, Baalathi, 45Yehudi, Bene - Beraki, Gathi Rimoni, Me -Yarkoni, na Rakoni + +Haya ni majina ya miji + +# sambamba na eneo la karibu na Yopa + +"mkabala na Yopa" au "pembeni ya Yopa" + diff --git a/jos/19/47.md b/jos/19/47.md new file mode 100644 index 00000000..6cbed4cf --- /dev/null +++ b/jos/19/47.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Leshemu + +Hili ni jina la mji + +# Huu ulikuwa urithi wa kabila la Dani, + +Nchi na miji ambayo kabila la Dani liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu, + +# waliopewa kufuatana na koo zao + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao + diff --git a/jos/19/49.md b/jos/19/49.md new file mode 100644 index 00000000..bcbb43a3 --- /dev/null +++ b/jos/19/49.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# walimpa urithi Yoshua mwana wa Nuni kutoka miongoni mwao + +Mji ambao Yoshua alipokea unasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu + +# Timnathi Sera + +Hili ni jina la mji + diff --git a/jos/19/51.md b/jos/19/51.md new file mode 100644 index 00000000..58213d9d --- /dev/null +++ b/jos/19/51.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Na huu ndio urith...waligawa + +Nchi na miji ambayo makabila mbalimbali yaliipokea inasemwa kama ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu. + diff --git a/jos/20/01.md b/jos/20/01.md new file mode 100644 index 00000000..9c0264e7 --- /dev/null +++ b/jos/20/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa mkono wa Musa + +Hapa neno "mkono" linarejelea maandiko ambayo Musa aliyaandika. "kupitia mambo ambayo Musa aliyaandika" + +# akiua mtu bila kukusudia + +Hii hutokea pale ambapo mtu humwua mtu mwingine bila kunuia kufanya hivyo. + +# kulipiza kisasi kwa damu ya mtu aliyeuliwa kulipiza kisasi kwa damu ya mtu aliyeuliwa + +Hapa kumwaga damu ya mtu kuna maana ya kifo. Muundo tendaji unaweza kutumika."kulipiza kisasi cha kifo cha mtu" + diff --git a/jos/20/04.md b/jos/20/04.md new file mode 100644 index 00000000..2058372a --- /dev/null +++ b/jos/20/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Atakimbilia + +Hapa kiwakilishi 'a' kinamrejelea mtu yule aliyeua bila kukusudia. + +# na ataeleza kesi yake kwa wazee wa mji ule + +"kuwashawishi wazee wa mji ule ya kwamba aliua mtu bila kukusudia. + +# Kisha watamwingiza + +Kiwakilishi 'wa' kinawarejelea wazee na kiwakilishi "m' kinamrejelea mtu aliyeua bila kukusudia. + +# kuishi miongoni mwao + +Hii inarejelea mji wote kwa ujumla, na si kwa wazee tu. + diff --git a/jos/20/05.md b/jos/20/05.md new file mode 100644 index 00000000..df42e20e --- /dev/null +++ b/jos/20/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kulipiza kisasi kwa damu ya mtu yule ambaye aliuliwa + +Sentensi hii yaweza kutumia muundo tendaji. "kulipiza kifo cha mtu" + +# kumtoa + +Neno hili lina maana ya kumweka mtu chini ya mtu mwingine mwenye mamlaka. + +# amesimama mbele ya kusanyiko + +Hiki ni kirai kinachoeleza juu ya kutafuta haki kutoka katika mahakamaya kusanyiko la wananchi wenzake. + diff --git a/jos/20/07.md b/jos/20/07.md new file mode 100644 index 00000000..e4db4fd8 --- /dev/null +++ b/jos/20/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Kuna majina mengi sana katika sehemu hii + +# Yordani + +Hili ni jina la Mto Yordani + diff --git a/jos/20/09.md b/jos/20/09.md new file mode 100644 index 00000000..f3608877 --- /dev/null +++ b/jos/20/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mtu huyu hatakufa kwa mkono wa mtu yule + +Hapa neno "mkono" lina maana kwamba mtu huyu atakuwa mhanga au mtendwa wa moja kwa moja wa mtu aliyemwua mkimbizi + +# kulipiza kisasi cha damu iliyomwagw + +Hii inaweza kuelezwa kwa kutumia muundo tendaji. "kulipiza kifo cha mtu" + diff --git a/jos/21/01.md b/jos/21/01.md new file mode 100644 index 00000000..7d530977 --- /dev/null +++ b/jos/21/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Eliazari...Nuni + +Haya ni majina ya watu + +# Waliwaambia + +"Walawi wakawaambia" + +# Yahweh aliwaagizeni ninyi kwa mkono wa Musa + +Kirai "kwa mkono wa" kina maana kwamba Yahweh alimtumia Musa kama chombo ili kuleta agizo lake. + diff --git a/jos/21/03.md b/jos/21/03.md new file mode 100644 index 00000000..8c8aa4c1 --- /dev/null +++ b/jos/21/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# miji ifuatayo + +Hii inarejelea miji ambayo itaorodheshwa kwenye mstari unaofuata. + diff --git a/jos/21/04.md b/jos/21/04.md new file mode 100644 index 00000000..727d3dab --- /dev/null +++ b/jos/21/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Upigaji wa kura + +Hii ni njia ya kuchagua ambayo ilikuwa ya kubahatisha yaani bila mpango maalumu ili kuondoa utashi wa viongozi, mara kwa mara ilifanywa kwa wazo kuwa Mungu ataamua matokeo. + +# Wakohathi + +Makuhani hwa katika kundi hili walikuwa ni wazao wa Mwana wa Lawi aliyeitwa Kohathi. Na sehemu yao walikuwa ni wazawa wa Haruni, ambaye ni mjukuu wa Kohathi. + +# miji kumi na tatu....miji kumi + +Hii ni hesabu ya miji + +# Nusu kabila + +Nusu ya kabila kwasababu nusu nyingine ilikuwa imepokea urithi wake kabla ya kuvuka Mto Yordani. + diff --git a/jos/21/06.md b/jos/21/06.md new file mode 100644 index 00000000..36ad4fbb --- /dev/null +++ b/jos/21/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Gershoni + +Gershoni alikuwa ni mmoja wa wana wa Lawi + +# Upigaji wa kura + +Hii ni njia ya kuchagua ambayo ilikuwa ya kubahatisha yaani bila mpango maalumu ili kuondoa utashi wa viongozi, mara kwa mara ilifanywa kwa wazo kuwa Mungu ataamua matokeo + +# Merari + +Merari alikuwa ni mmoja kati ya wana wa Lawi + diff --git a/jos/21/08.md b/jos/21/08.md new file mode 100644 index 00000000..98cc8ae6 --- /dev/null +++ b/jos/21/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yahweh alivyokuwa ameagiza kwa mkono wa Musa + +Kirai "kwa mkono wa" kina maana kwamba Yahweh alimtumia Musa kama chombo ili kuleta agizo lake. + +# koo za Wakohathi + +Makuhani katika kundi hili walikuwa ni wazawa wa mwana wa Lawi aliyeitwa Kohathi. Sehemu yao nyingine walikuwa ni wazawa wa Haruni, ambaye ni mjukuu wa Kohathi. + +# Upigaji wa kura + +Hii ni njia ya kuchagua ambayo ilikuwa ya kubahatisha yaani bila mpango maalumu ili kuondoa utashi wa viongozi, mara kwa mara ilifanywa kwa wazo kuwa Mungu ataamua matokeo + diff --git a/jos/21/11.md b/jos/21/11.md new file mode 100644 index 00000000..5d4e0bd5 --- /dev/null +++ b/jos/21/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Arba alikuwa ni baba wa Anaki + +Haya ni maelezo ya nyuma juu ya jina la mtu aliyeuanzisha mji wa Kiriathi Arba. + +# Anaki + +Hili ni jina la mwanaume + +# Nchi ya milima + +Hii ni sehemu ya nchi ambayo kiuasilia imeinuka, ni ndogo kuliko mlima + +# Maeneo ya malishi + +Hii ni sehemu iliyo na majani mengi au mimea inayofaa kwa ajili ya kulishia mifugo au wanyama + +# Mashamba ya mji + +Maeneo ya nchi yaliyo wazi, mara nyingine huwa imepandwa mazao ambayo ni mali au yameuzunguka mji. + +# Vijiji + +hizi ni jamii ndogo, mara nyingi ni ndogo kuliko mji + diff --git a/jos/21/13.md b/jos/21/13.md new file mode 100644 index 00000000..6adc028e --- /dev/null +++ b/jos/21/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Libna...Yatiri...Eshetmoa...Holoni...Debiri...Aini...Yutta + +haya ni majina ya miji + +# miji tisa...makabila mawili + +hesabu ya miji na makabila katika kifungu + diff --git a/jos/21/17.md b/jos/21/17.md new file mode 100644 index 00000000..c16409e1 --- /dev/null +++ b/jos/21/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kutoka katika kabila la Benyamini walipewa Gibea pamoja na maeneo yake ya malisho, na Geba + +hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Kabila la Benyamini lilipewa Gibea." + +# Geba...Anathothi...Almoni + +haya ni majina ya miji + +# miji kumi na tatu + +"miji 13" + diff --git a/jos/21/20.md b/jos/21/20.md new file mode 100644 index 00000000..1687baee --- /dev/null +++ b/jos/21/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# familia ya Kohathi + +Makuhani katika kundi hili walikuwa ni wazawa wa mwana wa Lawi aliyeitwa Kohathi. Sehemu yao nyingine walikuwa ni wazawa wa Haruni, ambaye ni mjukuu wa Kohathi. + +# walipewa miji + +Hii inaweza kuelezwa muundo tendaji: "Walipokea miji" + +# upigaji wa kura + +Hii ni njia ya kuchagua ambayo ilikuwa ya kubahatisha yaani bila mpango maalumu ili kuondoa utashi wa viongozi, mara kwa mara ilifanywa kwa wazo kuwa Mungu ataamua matokeo + +# Gezeri...Kibzaimu...Bethi Horoni + +haya ni majina ya miji + +# miji minne kwa ujumla + +Hii inarejelea orodha kwa hesaby yake kwa jumla. + diff --git a/jos/21/23.md b/jos/21/23.md new file mode 100644 index 00000000..078b59dd --- /dev/null +++ b/jos/21/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kutoka katika kabila la Dani, ukoo wa Kohathi ulipewa Elteke + +Hii inaeweza kuelezwa kwa kutumia muundo tendaji. "Kabila la Dani waliwapa ukoo wa Kohathi eneo la Elteke. + +# ukoo wa Kohathhi + +Makuhani katika kundi hili walikuwa ni wazawa wa mwana wa Lawi aliyeitwa Kohathi. Sehemu yao nyingine walikuwa ni wazawa wa Haruni, ambaye ni mjukuu wa Kohathi. + +# Elteke...Gibethoni..Aijaloni...Gathrimoni + +Haya ni majinia ya miji + diff --git a/jos/21/25.md b/jos/21/25.md new file mode 100644 index 00000000..2b757352 --- /dev/null +++ b/jos/21/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, ukoo wa Kohathi walipewa miji miwili - Taanak + +Hii inaweza kuelezwa kwa kauli tenda. "Nusu ya kabila la Manesa waliwapa ukoo wa Kohathi mji wa Taahaki." + +# Taanaki ...Gathirimmoni + +Haya ni majina ya miji + +# miji miwili...miji kumi kwa ujumla + +Hesabu ya miji iliyoorodhoshwa + +# ukoo wa Kohathi... koo za Wakolathi + +Makuhani katika kundi hili walikuwa ni wazawa wa mwana wa Lawi aliyeitwa Kohathi. Sehemu yao nyingine walikuwa ni wazawa wa Haruni, ambaye ni mjukuu wa Kohathi. + diff --git a/jos/21/27.md b/jos/21/27.md new file mode 100644 index 00000000..be0fd46d --- /dev/null +++ b/jos/21/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, jamaa za Gershoni, ambazo hizi zilikuwa ni koo zingine za Walawi, zilipewa Golan + +Maelezo haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Nusu ya kabila la Manase, koo zingine za walawi, walipokea kutoka kwa nusu ya kabila la Manase mji wa Golani." + +# Golani...Beeshitera + +Majina ya miji + +# aliyeua mtu bila kukusudia + +Hii na kifo kilichotokana na tendo la ambaye hakukusudia kumdhuru mtu. + +# miji miwili + +hesabu ya miji + diff --git a/jos/21/28.md b/jos/21/28.md new file mode 100644 index 00000000..89bbe704 --- /dev/null +++ b/jos/21/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Koo za Gershoni zilipewa pia miji minne kutoka kwa kabila la Isakari - Kishoni + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Koo za Gershoni walipokea pia Kishoni" + +# Kishoni....Daberathi...Yarmuthi....Enganimu...Mishali...Abdoni...helkathi...Rehobu + +Haya ni majina ya miji + +# Kutoka katika kabila la Asheri, walipewa miji minne kwa ujumla - Mishali + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tenda. "Walipokea kutoka kabila la Asheri mji wa Mishali." + +# miji minne kwa ujumla + +Hii inarejelea hesabu ya miji iliyoorodheshwa + diff --git a/jos/21/32.md b/jos/21/32.md new file mode 100644 index 00000000..119d0904 --- /dev/null +++ b/jos/21/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kutoka kwa kabila la Nafutali, nasaba za Gershoni walipewa miji mitatu kwa ujumla - Kedeshi + +Muundo tendaji unaweza kutumika pia. "Koo za Gershoni zilipokea Kadeshi kutoka kwa kabila la Nafutali" + +# Gershoni + +Hili ni jina la mtu + +# Hamothidori...Kartani + +Haya ni majina ya miji + +# miji kumi na mitatu kwa ujumla + +"miji 13 kwa ujumla wake" + diff --git a/jos/21/34.md b/jos/21/34.md new file mode 100644 index 00000000..f62779a7 --- /dev/null +++ b/jos/21/34.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Na kwa Walawi waliosalia, koo za Merari waliokuwa wamepewa kutoka katika kabila la Zabuloni: Yokneamu + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji: "Walawi waliobaki - koo za Merari - walipokea Yokneamu kutoka katika kabila la Zabuloni + +# Merari + +Jina la mtu + +# Yokneamu ..Karta..Dimna ....Nahalali + +Majina ya miji + +# miji minne kwa ujumla + +Miji inarejelewa kwa ujumla katika hesabu yake. + diff --git a/jos/21/36.md b/jos/21/36.md new file mode 100644 index 00000000..7668be76 --- /dev/null +++ b/jos/21/36.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa mbari za Merari walipewa miji minne kutoka katika kabila la Rubeni: Bezeri + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Koo za Merari zilipata Bezeri kutoka katika kabila la Rubeni." + +# miji minne + +Hii inarejelea jumla ya hesabu ya miji + +# Bezeri...Yahazi...Kedemothi...Mefaathi...Ramothi + +majina ya miji + +# Kutoka katika kabila la Gadi walipewa miji ya Ramothi + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. " Walipata mji wa Ramothi kutoka kwa kabila la Gadi." + +# Mahanaimu + +Hili ni jina la mji + diff --git a/jos/21/39.md b/jos/21/39.md new file mode 100644 index 00000000..29c78bd2 --- /dev/null +++ b/jos/21/39.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Koo za Merari zilipewa pia Heshiboni + +Maelezo haya yaweza kuelezwa kwa muundo tandaji. " Koo za Merari zilipata pia mji wa Heshiboni" + +# Heshiboni...Yazeri + +haya ni majina ya miji + +# miji kumi na miwili kwa ujumla + +"miji 12 jumla yake" + +# miji kumi na miwili walipewa wao kwa kupiga kura. + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Walipata miji kumi na miwili kwa kupiga kura." + +# kupiga kura + +Hii ni njia ya kuchagua ambayo ilikuwa ya kubahatisha yaani bila mpango maalumu ili kuondoa utashi wa viongozi, mara kwa mara ilifanywa kwa wazo kuwa Mungu ataamua matokeo + diff --git a/jos/21/41.md b/jos/21/41.md new file mode 100644 index 00000000..4cb18040 --- /dev/null +++ b/jos/21/41.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Miji waliyopewa Walawi kutoka katikati ya nchi + +Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Walawi walipata miji yao katika sehemu ya katikati ya nchi" + +# miji Arobaini na minane + +"miji 48" + diff --git a/jos/21/43.md b/jos/21/43.md new file mode 100644 index 00000000..6d43dac2 --- /dev/null +++ b/jos/21/43.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# aliwaapia + +"alitoa kiapo" + +# Hakuna hata adui mmoja atakayeweza kuwashinda + +Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Walimshinda kila mmoja miongoni mwa adui zao." + +# Yawhew aliwatia maadui wao wote mikononi mwao. + +hapa kirai "mikononi mwao" ina maana "ndani ya mamlaka yao" + +# Hakuna hata kitu kimoja miongoni kwa ahadi nzuri ambazo Yahweh alizisema kwa nyumba ya Israeli ambazo hazikutimia. Ahadi zote zilitimia + +sentensi imeelezwa kwa kukanusha ili kutia nguvu maelezo yake. "Kila ahadi njema ambayo Yahweh alikuwa ameisema kwa nyumba ya Israeli ilikuwa kweli." + diff --git a/jos/22/01.md b/jos/22/01.md new file mode 100644 index 00000000..d77ea73a --- /dev/null +++ b/jos/22/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Warubeni + +watu wa kabila la Yuda + +# Wagadi + +Watu wa kabila la Gadi + +# Mmeitii sauti yangu + +mahali hapa "sauti yangu" ina maana ya vitu ambavyo Yoshua alikuwa amevisema. "mlitii kila kitu nilichosema." + +# Bado hamjawaacha ndugu zenu + +Hii inaweza kusemwa kwa namna isiyo ya kukanusha. "Mmebakia pamoja na ndugu zetu." + diff --git a/jos/22/04.md b/jos/22/04.md new file mode 100644 index 00000000..db84c13a --- /dev/null +++ b/jos/22/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kutembea katika njia zake + +Mtu anayemtii Yahweh anasemwa kana kwamba alikuwa anatembea katika njia au barabara za Yahweh. "kutii kila kitu anachokisema" + +# kwa moyo wenu wote na kwa roho zenu zote. + +Maneno "moyo" na "roho" hapa yametumika kurejelea mtu mzima. "kwa vyote unavyovifikiria na kuvihisi" au "kwa utu wako mzima" + diff --git a/jos/22/07.md b/jos/22/07.md new file mode 100644 index 00000000..e28e9f97 --- /dev/null +++ b/jos/22/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yordani + +Jina la Mto Yordani + +# chuma + +Metali ngumu, imara na ya sumaku + +# nyara + +jeshi lililoshinda huchukua kila kitu chenye thamani kutoka kwa watu waliowashinda. + diff --git a/jos/22/09.md b/jos/22/09.md new file mode 100644 index 00000000..72928008 --- /dev/null +++ b/jos/22/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# amri za Yahweh, kwa mkono wa Musa. + +Kirai "kwa mkono wa" kina maana ya kwamba Yahweh alimtumia Musa kama wakala kufikisha agizo lake. "Amri ambayo Yahweh alimwambia Musa awapeni ninyi." + diff --git a/jos/22/10.md b/jos/22/10.md new file mode 100644 index 00000000..728cb5b8 --- /dev/null +++ b/jos/22/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yordani + +Huu ni ufupisho wa Mto Yordani + +# mbele ya nchi ya Kanaani + +Makabila ya Israeli walioishi ng'ambo ya Mto Yordani wangeingia Kanaani kwa kupitia sehemu ambayo walijenga madhabahu. Hii sehemu inasemwa kana kwamba ilikuwa mbele ya au kwenye lango la kuingia Kanaani ambapo makabila mengine yalikuwa yanaishi. + +# Gelilothi + +Jina la mji + diff --git a/jos/22/12.md b/jos/22/12.md new file mode 100644 index 00000000..85fa9895 --- /dev/null +++ b/jos/22/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# vita + +hali ya mapigano au ugomvi wa silaha baina ya mataifa mawili au makundi ya watu. + diff --git a/jos/22/13.md b/jos/22/13.md new file mode 100644 index 00000000..ad001c27 --- /dev/null +++ b/jos/22/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Eliezari + +Jina la mtu + diff --git a/jos/22/15.md b/jos/22/15.md new file mode 100644 index 00000000..ab278f3e --- /dev/null +++ b/jos/22/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kusanyiko lote la Yahweh linasema + +Watu wote wa Israeli wanasemwa kwa pamoja kwa umoja kana kwamba ni mtu mmoja. "Watu wengi wote wa Israeli wanauliza" + diff --git a/jos/22/17.md b/jos/22/17.md new file mode 100644 index 00000000..ad78f58c --- /dev/null +++ b/jos/22/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je dhambi zetu huko Peori hazikututosha? + +Swali hili hutia mkazo juu ya dhambi zao za awali. Hii inaweza kuandikwa kwa maelezo haya. "Tumeshatenda dhambi huko Peori." + +# Bado hata sasa hatujajitakasa wenyewe kwa dhambi hiyo + +sentensi hii inaweza kuelezeka vizuri kwa kauli ya kukubali. Bado tunahangaika na hatia za dhambi ile. + +# Je, nanyi leo pia mwageuka na kuacha kumfuata Yahweh? + +Swali hili limetumika kwa ajili ya kuwakemea watu kwa ajili ya dhambi yao. Hii pia yaweza kuandikwa kama maelezo. "Hamtakiwi kugeuka na kuacha kumfuata Yahweh leo!" + diff --git a/jos/22/19.md b/jos/22/19.md new file mode 100644 index 00000000..129b6092 --- /dev/null +++ b/jos/22/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Akani...Zera + +majina ya wanaume + +# Je hakuwa Akani mwana wa Zera aliyeivunja imani kwa vitu vile ambavyo vilikuwa vimetunzwa kwa ajili ya Mungu? Na je ghadhabu ya Mungu haikushuka kwa watu wote wa Israeli? + +Maswali haya yametumika kuwakumbusha watu juu ya hukumu kwa ajli ya dhambi zilizopita. Maswali haya yanaweza yakaandikwa kama maelezo. "Akani mwana wa Zera, alitenda dhambi kwa kuchukua vitu vilivyokuwa vimetunzwa kwa ajili ya Mungu. Na kwasababu ya hiyo Mungu aliwaadhibu watu wote wa Israeli." + diff --git a/jos/22/21.md b/jos/22/21.md new file mode 100644 index 00000000..f682cab3 --- /dev/null +++ b/jos/22/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kama ilikuwa ni katika uasi..... basi Yahweh na atuadhibu. + +Makabila matatu yanafanya kauli mbili zenye nadharia tete zinazosisitiza kuwa haikuwa kweli. Hawakujenga madhabahu ili kumwabudu mungu mwingine. + diff --git a/jos/22/24.md b/jos/22/24.md new file mode 100644 index 00000000..44bd8cac --- /dev/null +++ b/jos/22/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Makabila ya Rubeni, Gadi na nusu ya Manase wanatoa majibu yao sasa. + +# watoto wenu wanaweza kuwaambia watoto wetu.....Mungu wa Israeli? + +Haya ni mashitaka ya kinadharia ambayo makabila haya matatu yanadhani kuwa watoto wa makabila mengine wangeweza kufanya kwa wakati ujao. + +# Mna nini ninyi na Yahweh, Mungu wa Israeli? + +Makabila matatu yanatumia swali lisilohitaji majibu ili kutilia mkazo juu ya hali ambayo walikuwa wakiiepuka. Swali hili laweza kuandikwa kama maelezo. "Hamna kitu cha kufanya na Yahweh, Mungu wa Israeli." + diff --git a/jos/22/25.md b/jos/22/25.md new file mode 100644 index 00000000..23275f05 --- /dev/null +++ b/jos/22/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Makabila ya Rubeni, Gadi, na nusu ya Manase yanaendelea kutoa majibu yao + +# Kwa kuwa Yahweh ameifanya Yordani....hamna kitu chochote naYahweh + +Huu ni mwendelezo wa mashitaka ya kinadharia ambayo makabila yale matatu yanadhani kuwa watoto wa makabila mengine wangeweza kufanya kwa wakati ujao. + +# Yordani + +Huu ni ufupisho wa Mto Yordani + +# watoto wenu wanaweza kuwafanya watoto wetu waacha kumwabudu Yahweh. + +Makabila haya matatu yalijenga madhabahu ili kuepuka hali inayodhania isije ikatokea wakati ujao. + diff --git a/jos/22/26.md b/jos/22/26.md new file mode 100644 index 00000000..bd1e8b78 --- /dev/null +++ b/jos/22/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Makabila ya Rubeni, Gadi na nusu ya Manase wanatoa majibu yao sasa. + +# iwe ni ushahidi kati yetu na ninyi + +Madhabahu inazungumzwa kana kwamba ilikuwa ni ushahidi ambao ungeweza kushuhudia haki kwa makabila matatu. + +# ili kwamba watoto wenu wasiweze kuwaambia watoto wetu katika siku zijazo kuwa, "Hamna sehemu katika Yahweh."' + +Hii ni hali nadharia inayodhaniwa ambayo makabila matatu hayakutaka itokee. + +# ili kwamba watoto wenu wasiweze kuwaambia watoto wetu katika siku zijazo kuwa, "Hamna sehemu katika Yahweh."' + +"hakuna sehemu" au " hamna urithi" + diff --git a/jos/22/28.md b/jos/22/28.md new file mode 100644 index 00000000..85ed74f3 --- /dev/null +++ b/jos/22/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Makabila ya Rubeni, Gadi na nusu ya kabila la Manase wanamalizia kujibu sasa + +# 'kama hili litasemwa....ushahidi kati yetu ninyi. + +Makabila matatu yanaelezea uwezekano wa jibu lao kwa shutuma ambazo zinaweza kutokea au zisitokee hapo baadaye. + +# Na iwe mbali nasi kwamba tunataka kugeuka kinyume na Yahweh, + +Nafasi isiyowezekana ya kuasi inasemwa kana kwamba ni kitu kilicho mbali sana kutoka kwao. "Hakika tusingeasi" + +# kuacha kumfuata yeye + +kuacha kumfuata Yahweh kunasemwa kana kwamba walikuwa wanageukia mbali na kumwacha. + diff --git a/jos/22/30.md b/jos/22/30.md new file mode 100644 index 00000000..2f5b57f7 --- /dev/null +++ b/jos/22/30.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# waliposikia maneno + +Hapa "maneno"yanarejelea juu ya ujumbe ambao uliundwa kwa maneno. "walisikia ujumbe" + +# yalikuwa ni mazuri machoni pao + +Hapa maneno "machoni pao" inamaanisha "katika mawazo yao" + +# hamjatenda uvunjaji wa imani kinyume naye + +"kuvunja agano lako kwake" + +# mmewaokoa watu wa Israeli kutoka katika mkono wa Yahweh. + +Mahali hapa kirai "mkono wa Yahweh" inarejelea juu ya hukumu. Kitendo cha kulinda watu kinasemwa kama ni kuwaokoa kutoka katika mkono wake. + diff --git a/jos/22/32.md b/jos/22/32.md new file mode 100644 index 00000000..5ed7975c --- /dev/null +++ b/jos/22/32.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa yao ilikuwa nzuri katika macho ya watu + +Mahali hapa maneno "nzuri katika macho" ina maana ya "kupokelewa" "Watu waliipokea taarifa ya viongozi" + +# kuiharibu nchi + +"kuharibu kila kitu katika nchi." + diff --git a/jos/22/34.md b/jos/22/34.md new file mode 100644 index 00000000..ca6bbf21 --- /dev/null +++ b/jos/22/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kwa kuwa walisema + +Hii inarejelea kwa Warubeni na Wagadi + +# Ni ushahidi miongoni mwetu + +Madhabahu inasemwa kana kwamba alikuwa ni shahidi ambaye angeshuhudia kwa ajili ya makabila matatu. + diff --git a/jos/23/01.md b/jos/23/01.md new file mode 100644 index 00000000..5052d220 --- /dev/null +++ b/jos/23/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mzee sana + +aliishi miaka mingi + diff --git a/jos/23/04.md b/jos/23/04.md new file mode 100644 index 00000000..b9f88825 --- /dev/null +++ b/jos/23/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yordani + +Kifupisho cha Mto Yordani + +# Upande wa magharibi + +Hii inaonesha mwelekeo wa machweo ya jua. + diff --git a/jos/23/06.md b/jos/23/06.md new file mode 100644 index 00000000..319b77a5 --- /dev/null +++ b/jos/23/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# msikengeuke upande wa kulia wala upande wa kushoto + +Kitendo cha kutotiii maagizo ya sheria za Musa kinasemwa kana kwamba ni kugeuka upande wa kulia au upande wa kushoto mbali na njia sahihi. + +# msichanganyikane + +Maana zinazokubalika 1)kuwa na urafiki wa karibu nao 2) kuoana nao + +# msiyataje + +kuyasema + +# miungu yao + +Hii inarejelea juu ya miungu ya mataifa yaliyosalia. + +# kumshika sana Yahweh + +"kumshikilia Yahweh kwa nguvu" Kumwamini Yahweh kunasemwa kana kwamba ni kumshikilia kwa nguvu. + +# hadi leo + +"mpaka muda wa sasa" + diff --git a/jos/23/09.md b/jos/23/09.md new file mode 100644 index 00000000..ff842351 --- /dev/null +++ b/jos/23/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kusimama mbele yenu + +Mahali hapa neno "kusimama" linawakilisha kujiweka imara kwa kusimama juu ya ardhi katika vita. Neno "yenu" linalejelea taifa zima la Israeli. + +# mmoja + +namba moja + +# elfu + +"1,000" + diff --git a/jos/23/12.md b/jos/23/12.md new file mode 100644 index 00000000..fa2f4621 --- /dev/null +++ b/jos/23/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kushikamana na watu walioalia wa mataifa haya walioba + +Kitendo cha kubali imani za mataifa haya kunasemwa kana kwamba ni kuwashikilia kwa nguvu. "kubali imani za watu walisalia za mataifa haya." + +# kitanzi na mtego + +Maneno haya "kitanzi" na "mtego" kimsingi yanamaanisha kitu kile kile. kwa pamoja yanaongelea juu ya mataifa mengine kana kwamba yalikuwa ni mitego hatari kwa waisraeli kwa kusababisha matatizo. + +# viboko migongoni mwenu na miiba machoni mwenu + +Virai hivi vinaongelea juu ya matatizo ambayo yataletwa na mataifa haya juu ya Israeli kana kwamba vilikuwa ni viboko na miiba kwao. + diff --git a/jos/23/14.md b/jos/23/14.md new file mode 100644 index 00000000..67dd832b --- /dev/null +++ b/jos/23/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Na sasa ninaenda katika njia ya dunia yote + +Yoshua anatumia neno la upole kurejelea juu ya kifo chake. "Ninakwenda kufa" + +# mnajua kwa moyo na roho zenu zote + +Mahali hapa maneno "moyo" na "roho" yana maana sawa. Kwa pamoja yanatia mkazo juu ya ufahamu wa ndani wa mtu binafsi. + +# Hakuna hata moja lililoshindikana + +Maneno haya yanatia mkazo kwamba ahadi zote za Yahweh zimetimia. Hii pia yaweza kuelezwa kawa kauli kubalifu. "kila neno lilitimia" + diff --git a/jos/23/16.md b/jos/23/16.md new file mode 100644 index 00000000..37fd08a7 --- /dev/null +++ b/jos/23/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Atafanya hivi + +Hii inarejelea juu ya hukumu iliyotishiwa katika mstari uliotangulia. + +# kuiabudu miungu mingine na kuiinamia + +Virai hivi viwili kimsingi vinazungumzia juu ya jambo moja lile lile. Kirai cha pili kinaelezea jinsi watu "wanavyoabudu miungu mingine" + +# ndipo hasira ya Yahweh itawaka kinyume nanyi + +"kuwaka"ni lugha ya picha kuonesha mwanzo wa hasira ya Yahweh, kama moto, inawashwa au inaanzishwa au inaanza kuwaka kiurahisi kama kwenye majani makavu au vijiti vidogo vidogo. "Yahweh ataanza kuwa na hasira nanyi" + diff --git a/jos/24/01.md b/jos/24/01.md new file mode 100644 index 00000000..98be3e26 --- /dev/null +++ b/jos/24/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kisha Yoshua aliyakusanya pamoja makabila yote ya Israeli + +Kitendo cha Yoshua kuyaalika makabila kinazungumzwa kana kwamba ni kuyakusanya kwa pamoja katika kikapu. "Yoshua aliyaomba makabila yote ya israeli yakutane pamoja naye." + +# wakajihudhurisha mbele + +"walikuja na kusimama mbele ya" au "kuja mbele" + +# miaka mingi iliyopita + +miaka mingi ya nyuma + +# Hiki ndicho + +Yoshua anaanza kwa kunukuru kile Yahweh alikuwa amekisema hapo mwanzo. Nukuu inaendelea mpaka mstari wa 13. + +# Tera...Nahori + +Haya ni majina ya wanaume + diff --git a/jos/24/03.md b/jos/24/03.md new file mode 100644 index 00000000..a0e91001 --- /dev/null +++ b/jos/24/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yoshua anaendelea kunukuu kile ambacho Yahweh alikisema katika kujishughulisha kwake na watu wake. + +# Seiri + +Jina la sehemu au mahali + +# Walishuka kwenda + +Misri ilikuwa ni sehemu ya chini katika mwinuko wa nchi ya Kanaani + diff --git a/jos/24/05.md b/jos/24/05.md new file mode 100644 index 00000000..87687fb4 --- /dev/null +++ b/jos/24/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yoshua anaendelea kunukuu kile ambacho Yahweh alikisema katika kujishughulisha kwake na watu wake + +# niliwatoa ninyi...niliwatoa baba zenu nje + +Yahweh anaendelea kuelezea katika virai hivi viwili ambavyo vinawarejelea waisraeli wote, kwa wakati uliopita na wa sasa. + diff --git a/jos/24/07.md b/jos/24/07.md new file mode 100644 index 00000000..23185f58 --- /dev/null +++ b/jos/24/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yoshua anaendelea kunukuu kile ambacho Yahweh alikisema katika kujishughulisha kwake na watu wake + +# Baba zenu...yenu + +Yahweh anaendelea kuelezea katika virai hivi viwili ambavyo vinawarejelea waisraeli wote, kwa wakati uliopita na wa sasa + +# bahari + +hapa inarejelewa bahari ya mitende + +# jangwaani + +sehemu isiyokaliwa na watu, kame, + diff --git a/jos/24/08.md b/jos/24/08.md new file mode 100644 index 00000000..81a447ad --- /dev/null +++ b/jos/24/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yoshua anaendelea kunukuu kile ambacho Yahweh alikisema katika kujishughulisha kwake na watu wake + +# nanyi + +Neno "nanyi" ni wingi katika hotuba hii ikirejelea taifa lote la Israeli. + +# Yordani + +Ni ufupisho wa Mto wa Yordani + +# niliwatia katika mkono wenu + +Hapa neno "mkono" linarejelea nguvu, uwezo au mamlaka. "kuwawezesha ninyi ili kuwashinda" + diff --git a/jos/24/09.md b/jos/24/09.md new file mode 100644 index 00000000..36051fd3 --- /dev/null +++ b/jos/24/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yoshua anaendelea kunukuu kile ambacho Yahweh alikisema katika kujishughulisha kwake na watu wake + +# Balaki...Zipori + +majina ya wanaume + +# ninyi + +Neno hili "ninyi" limetumika katika wingi kurejelea taifa lote la Israeli. + +# niliwaokoa na mkono wake + +Hapa neno "mkono" linarejelea nguvu, uwezo au mamlaka. "kuwawezesha ninyi ili kuwashinda" + diff --git a/jos/24/11.md b/jos/24/11.md new file mode 100644 index 00000000..3cc5cf3c --- /dev/null +++ b/jos/24/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yoshua anaendelea kunukuu kile ambacho Yahweh alikisema katika kujishughulisha kwake na watu wake + +# Nanyi + +Neno hili "nanyi" limetumika katika wingi kurejelea taifa lote la Israeli. + +# Yordani + +hiki ni kifupisho cha Mto Yordani + +# manyigu + +ni wadudu wadogo wanaopaa kwa kasi wanaoishi katika kundi kubwa la wadudu. + diff --git a/jos/24/13.md b/jos/24/13.md new file mode 100644 index 00000000..063993fb --- /dev/null +++ b/jos/24/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya jumla + +Yoshua anahitimisha kunukuru kile ambacho Yahweh alikuwa amekisema katika kushughulika na watu wake. + diff --git a/jos/24/14.md b/jos/24/14.md new file mode 100644 index 00000000..d9f1388a --- /dev/null +++ b/jos/24/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Na kama inaonekana kuwa ni vibaya machoni penu + +Hapa maneno "machoni penu" ni lugha mbili za picha zimetumika, inarejelea kwanza kwa macho yao, au inahusishwa na hamu/tamaa yao. + +# nyumba yangu + +Hapa inarejelea familia iliyoishi katika nyumba yake. + diff --git a/jos/24/16.md b/jos/24/16.md new file mode 100644 index 00000000..e8b9e0d1 --- /dev/null +++ b/jos/24/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sisi na baba zetu ..sisi + +Watu wanaongea kana kwamba walikuwa pamoja na baba zao kwa wakati huo, na kuongea maneno haya "sis" na "baba zetu" + +# nyumba ya utumwa + +Mahali hapa neno "nyumba" ni lugha ya nahau kurejelea sehemu/mahali pa utumwa wao. "sehemu ambapo sisi tulikuwa watumwa" + +# mataifa yote ambayo tulipita kati kati yake + +"mataifa ambayo sisi tulipita katikati yake" + diff --git a/jos/24/19.md b/jos/24/19.md new file mode 100644 index 00000000..e74772d3 --- /dev/null +++ b/jos/24/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# watu + +hii inawarejelea Waisraeli + +# Mungu mwenye nguvu + +Mungu anataka watu wake kumwabudu Yeye peke yake + +# Atawaangamizeni + +Hasira ya Yahweh inaongelewa kana kwamba ilikuwa ni moto ambao ungewateketeza. + diff --git a/jos/24/21.md b/jos/24/21.md new file mode 100644 index 00000000..b4486d0f --- /dev/null +++ b/jos/24/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watu + +inawarejelea Waisraeli + +# geuzeni moyo wenu umwelekee Yahweh, + +Kuamua kumtii Yahweh ni kitendo kinachosemwa kuwa ni sawa na kugeuza moyo wao kumwelekea Yeye. Mahali hapa, neno "moyo" linawakilisha mtu mzima. Na kwa hali hii, "moyo" liko katika wingi kurejelea Waisraeli kama kundi moja. + diff --git a/jos/24/24.md b/jos/24/24.md new file mode 100644 index 00000000..1fe603fb --- /dev/null +++ b/jos/24/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Watu + +inawarejelea Waisraeli + +# Tutaisikiliza sauti yake + +Mahali hapa neno "kuisikiliza" lina maana ya kutii. "Tutatii kila kitu atakachotwambia kufanya" + +# Aliziweka maagizo na sheria + +Kitendo cha kuweka sheria kinasemwa kana kwamba Yoshua aliweka kitu halisi mahali fulani. + +# kitabu cha sheria za Mungu + +Hii inaonekana kuwa ni mwendelezao wa maandishiya Musa + +# kulisimamisha hapo + +"kuliweka hapo" + diff --git a/jos/24/27.md b/jos/24/27.md new file mode 100644 index 00000000..597feb6f --- /dev/null +++ b/jos/24/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# watu + +Inawarejelea Waisraeli + +# jiwe hili litakuwa ushuhuda ....limeyasikia maneno yote + +Jiwe ambalo Yoshua aliliweka linasemwa kana kwamba alikuwa ni mtu ambaye alisikia kile kilichosemwa na angekuwa na uwezo wa kushuhudia juu ya kile kilichosemwa. + +# hamtakiwi + +"kama mtafanya" + diff --git a/jos/24/29.md b/jos/24/29.md new file mode 100644 index 00000000..b383a903 --- /dev/null +++ b/jos/24/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# miaka 110 + +"miaka mia moja na kumi" + +# Timnathi Sera...Mlima Gaashi + +haya ni majina ya sehemu/mahali + diff --git a/jos/24/31.md b/jos/24/31.md new file mode 100644 index 00000000..2bdb7a7d --- /dev/null +++ b/jos/24/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Siku zote za Maisha ya Yoshua + +Lugha hii imetumika kuonesha maisha yote ya Yoshua. + +# walidumu pamoja na Yoshua + +"waliishi muda mrefu zaidi ya Yoshua" + diff --git a/jos/24/32.md b/jos/24/32.md new file mode 100644 index 00000000..54b624f3 --- /dev/null +++ b/jos/24/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mifupa ya Yusufu ambayo watu wa Israeli waliileta kutoka Misri, waliizika huko shekemu + +Mpangilio wa sentensi hii unaweza kubadilishwa hasa sehemu yake ya mwanzo ili kuleta msaada zaidi. "Watu wa Israeli walileta mifupa ya Yusufu kutoka Misri na kuizika huko Shekemu" + +# vipande mia moja + +"vipande 100" + +# Eliazeri + +Jina la mwanaume + +# Gibea + +Hili ni jina la sehemu/mahali + diff --git a/lam/01/01.md b/lam/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..5409334f --- /dev/null +++ b/lam/01/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kama mjane + +Haya maneno yana fananisha Yerusalemu na mwanamke asiye kuwa na ulinzi sababu mume wake amefariki. + +# Alikuwa mtoto wa mfalme miongoni mwa mataifa + +"Matifa mengine yali heshimu Yerusalemu kama yalivyo muheshimu binti wa mfalme" + +# amelazimishwa utumwani + +"amefanywa kuwa mtumwa" + +# Analia na kuomboleza + +Mwanandishi anaelezea Yerusalemu kama mwanadamu mwenye hisia. Mji pia una wakilisha wakazi wake. "Wao wanao ishi humo wanalia na kuomboleza." + +# lia na kuomboleza + +Neno "kuomboleza" lina husu sauti mtu anayo toa anapo "lia" kwa nguvu. + diff --git a/lam/01/03.md b/lam/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..4e4f968d --- /dev/null +++ b/lam/01/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yuda ameenda matekani + +"watu wa Yuda wamepelekwa nchi ya kigeni" + +# hapati pumziko lolote. + +"haoni pumziko" "ana wasiwasi tu" + +# Wanao wakimbiza wamewapata + +"Wote walio kuwa wana mkimbiza wamefanikiwa kumkamata" + +# katika upweke wake + +"alipo kuwa ana uwitaji" + diff --git a/lam/01/04.md b/lam/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..dad4d5ec --- /dev/null +++ b/lam/01/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Barabara za Sayuni zinaomboleza + +Mwandishi anaelezea barabara zinazo elekea Sayuni zinaomboleza kama ni mwanadamu + +# sherehe iliyo andaliwa + +"sherehe Mungu aliyo waambia wa shereheke" + +# Malango yake ... Makuhani wake + +Neno "yake" na "wake" yaelezea Sayuni. + +# katika ugumu + +"ana uchungu" au "ana kosa matumaini" + +# Maadui wake wamekuwa bwana zake + +"Maadui wa Sayuni wana mtawala" + +# maadui wake wana fanikiwa + +"maadui wake wanakuwa matajiri" + +# Yahweh + +Hili ni jina la Mungu alilo lidhihirisha kwa watu wake katika Agano la Kale. + diff --git a/lam/01/06.md b/lam/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..96782949 --- /dev/null +++ b/lam/01/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Uzuri umemwacha binti wa Sayuni + +"Kila kitu kilicho kuwa kizuri cha binti wa Sayuni kimeharibiwa" + +# binti wa Sayuni + +Hili ni jina + +# kama ayala ambaye haoni malisho + +Watoto wa mfalme wanaliganishwa na swala asiye kuwa na kitu cha kula. + +# ayala + +Ayale ni mnyama wa umbo la kati, anaye kula majani ambaye mara nyingi uwindwa na wanadamu. Pia ni mnyama mzuri wa kumtazama. + +# bila uwezo kwa + +"lakini sio imara sana kukimbia kutoka" + +# wanao wakimbiza + +"mtu anaye wakimbiza" + diff --git a/lam/01/07.md b/lam/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..451f7650 --- /dev/null +++ b/lam/01/07.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Katika siku za mateso yake na kutokuwa na nyumba + +"Wakati Yerusalemu inapo kuwa inateswa na haina makazi" + +# hazina + +"utajiri" + +# awali + +"wakati uliyo pita" au "kabla ili janga halija tokea" + +# Wakati watu wake walipo angukia mikononi mwa adui + +Hapa neno "mikononi" la husu jeshi la adui. + +# hakuna aliye msaidia + +"hakuna msaidizi aliye kuwa naye" + +# waliwaona na kucheka maangamizo yake + +Hii ina maana kuwa walikuwa na furaha na wakadhihaki Yerusalemu ilipo haribiwa. + +# maangamizo yake + +"kwasababu aliharibiwa" + diff --git a/lam/01/08.md b/lam/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..bc468b1b --- /dev/null +++ b/lam/01/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yerusalemu ili tenda dhambi sana + +Hii yaelezea Yerusalemu kama mtu aliye tenda dhambi, pia ina wakilisha wakazi wa Yerusalemu. + +# uchi wake + +Yersualemu inaelezea kama mwanamke ambaye sehemu zake za siri zimefunuliwa kwa kila mtu amuaibishe. + +# Anguko lake lilikuwa baya + +"Kuanguka kwake kulishangaza" au "hao walioyo muona + +# Angalia mateso yangu, Yahweh + +Maana zinazo wezekana 1) mwandishi wa Maombolezo anaongea moja kwa moja na Yahweh au 2) Yerusalemu inaelezewa kuongea na Yahweh kama mtu. + +# Angalia + +"kuwa makini" + diff --git a/lam/01/10.md b/lam/01/10.md new file mode 100644 index 00000000..e374cb3e --- /dev/null +++ b/lam/01/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ameeka mkono wake kwenye + +"amechukuwa sehemu ya" au "ameiba" + +# hazina + +utajiri + +# uliamuru + +Hii ina maana kuwa mwandishi au mji bado unaongea, baada ya kuanza 1:8 + diff --git a/lam/01/11.md b/lam/01/11.md new file mode 100644 index 00000000..1e225299 --- /dev/null +++ b/lam/01/11.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# hazina + +"utajiri" + +# kurejesha uhai wao + +"kuokoa uhai wao" au "kurejesha uweza wao" + +# Tazama, Yahweh, ni kumbuke mimi + +Hapa Yerusalemu anaanza kuongea moja kwa moja na Yahweh. + +# Sio kitu kwako, wote mnao pita? + +Hili ni shitaka la watu wanao pita Yerusalemu na hawaijali. + +# Sio kitu kwako + +Hapa Yerusalemu anaendelea kuongea, lakini sasa kwa watu wanaopita. + +# Angalia na uone kama kuna mtu mwenye uzuni kama uzuni ninao teswa nao + +Hii maana hapa inaelezea kuwa hakuna mtu aliye teseka kiasi hichi. + +# Angalia na uone + +Haya maneno yana maana moja. Pamoja yana mkaribisha msomaji kuelewa kwa kuona kwamba hakuna mtu aliye teseka sana. + +# uzuni ninao teswa nao + +"uzuni Yahweh anayo ni tesa nayo" + +# siku ya hasira yake kali + +"Alipo kuwa na hasira kali" + diff --git a/lam/01/13.md b/lam/01/13.md new file mode 100644 index 00000000..41a99818 --- /dev/null +++ b/lam/01/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# alipo tuma moto kwenye mifupa yangu na umenishinda + +"ametuma adhabu kali ndani yangu, na imeniharibu" au "ametuma adhabu mbaya katikati ya Yerusalemu, na imeharibu mji" + +# amenikabidhi mikononi mwao + +"acha maadui zangu wanishinde" + diff --git a/lam/01/15.md b/lam/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..91d9c505 --- /dev/null +++ b/lam/01/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# wanaume wangu hodari walio niokoa + +Katika hichi kipengele Yerusalemu bado yaelezewa kama mwanamke anaye jielezea. + +# wanaume hodari + +"wanajeshi wenye nguvu" + +# kusanyiko + +Hapa adui anaye shambulia Yerusalemu anaelezewa kama ni mkutano wa watu waliyo kuja pamoja ili kushitaki na kuhukumu. + +# wanaume imara + +wanaume katika wakati kipindi chao cha nguvu + +# Bwana amewakanyaga ... chombo cha kusagia mvinyo + +Hapa hukumu ya Mungu yaelezewa kama Yerusalemu ni mizabibu aliyo ikanyaga ili kukamua jwisi. + +# binti bikra wa Yuda + +Hili ni jina la kishairi la Yerusalemu, mbapo hapa yaelezewa kama mwanamke. Neno "bikra" la hashiria kuwa mwanamke ni msafi. + diff --git a/lam/01/16.md b/lam/01/16.md new file mode 100644 index 00000000..4155fdca --- /dev/null +++ b/lam/01/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ninalia + +Hii bado ni Yerusalemu anaongea kama ni mwanamke, sasa ana hisia za uzuni. + +# Sayuni ametandaza mikono yake + +Sayuni ni kama mtu anaye inua mikono yake kuomba msaada. Hapa Yerusalemu hajizungumzii yeye tena, lakini mwandishi anaelezea Yerusalemu. + +# hao karibu na Yakob + +"watu karibu na Yakobo" au "mataifa yanayo zunguka Yakobo" + +# wawemaadui wake + +Hapa neno "wake" la husu Yakobo. + diff --git a/lam/01/18.md b/lam/01/18.md new file mode 100644 index 00000000..695f6cd1 --- /dev/null +++ b/lam/01/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# nimeas + +Hapa Yerusalemu anaanza kuzungumza tena, kama alikuwa mwanamke. + +# muone uzuni wangu + +"ona jinsi gani nilivyo na majonzi" + +# Mabikra wangu na wanaume wangu hodari + +"watu wangu wengi" + +# wanaume hodari + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 1:15 + +# walikuwa na hila kwangu + +"wali ni saliti" + +# kurejesha uhai wao + +"kuokoa maisha yao" au "kurejesha uweza wao" + diff --git a/lam/01/20.md b/lam/01/20.md new file mode 100644 index 00000000..c3c9fc93 --- /dev/null +++ b/lam/01/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwa kuwa nipo kwenye ugumu + +Yerusalemu anaendelea kujizungumzia kama ni mwanamke, lakini sasa anazungumza moja kwa moja na Yahweh. + +# tumbo langu lina nguruma + +Neno "nguruma" la maanisha kuangaika kwa nguvu, kawaida kwa mzunguko. Hii haimanishi kiuhalisia, lakini ndivyo linavyo jisikia. + +# moyo wangu umetibuka ndani yangu + +"moyo wangu umevunjika" au "nina majonzi sana" + +# upanga umemliza + +Upanga una husu adui, na "chukuwa" yamanisha "kuua" "adui anaua" + +# ndani ya nyumba kuna mauti tu + +Maana inayo wezekana ni 1) katika nyumba, kila mtu ana kufa au 2) nyumba ni kama kaburi. + diff --git a/lam/01/21.md b/lam/01/21.md new file mode 100644 index 00000000..98b2f96f --- /dev/null +++ b/lam/01/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wamesikia sononeko langu + +Yerusalemu anaendelea kuongea kama mtu. + +# umenifanyia hivi + +Hapa neno "wewe" la muhusu Yahweh. + diff --git a/lam/02/01.md b/lam/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..5ba5deae --- /dev/null +++ b/lam/02/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Shairi lipya la anza. Mwandishi wa Maombolezo anatumia njia nyingi tofauti kuelezea kwamba watu wa Israeli wamepoteza upendeleo wa Mungu. + +# wingu la hasira yake + +Maana inayo wezekana ni 1) Mungu anatishia kuwadhuru watu wa Yerusalemu au 2) Mungu tayari amesha wadhuru + +# binti wa Sayuni ... binti wa Yuda + +Haya ni majina ya kishairi ya Yerusalemu, ambayo hapa yanazungumziwa kama ni mwanamke. + +# Ametupa utukufu wa Israeli chini kutoka mbinguni hadi duniani + +"Yerusalemu amepoteza upendeleo wote na Bwana" + +# Hajakumba + +"hajatilia maanani" + +# stuli yake + +Hapa "stuli" ya wakilisha sehemu ambayo Mungu anaonyesha ukarimu wa kuwepo. Maana kadhaa hapa ni 1) "mji wake wa upendo Yerusalemu" au 2) "agano lake na Israeli." + +# siku ya hasira yake + +kipindi cha wakati kwa ujumla, sio siku ya masaa 24 + +# amemeza + +"kaharibu kabisa" kama vile mnyama asivyo bakiza kitu anapo meza chakula + +# miji imara ya binti wa Yuda + +Maana zinazo wezekana ni 1) miji yote imaraYuda nzima, au 2) kuta imara za Yerusalemu. + diff --git a/lam/02/03.md b/lam/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..049eefbe --- /dev/null +++ b/lam/02/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mwandishi anaendelea kutumia mifano kuelezea upizani wa Mungu kwa Yuda. + +# amekata kila pembe ya Israeli + +Hapa "pembe" (ambalo ni, pembe la mnyama) lina maana ya "uweza" + +# Ameurudisha mkono wake + +"ameacha kutulinda na maadui zetu" + +# amepindisha upinde wake kuelekea kwetu + +Mwanajeshi alipaswa kupindisha upinde wake ili kuupiga. + +# hema la binti wa Sayuni + +"nyumba za watu Yerusalemu" + +# binti wa Sayuni + +Kuna jina la kishairi la Yerusalemu, ambalo linazungumziwa hapa kama mwanamke. + +# Amemwaga gadhabu yake kama moto + +"ameonyesha jinsi alivyo na hasira kwa kuwa haribu kila kitu kama mtu anavyo washa moto" + diff --git a/lam/02/05.md b/lam/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..56ff7a61 --- /dev/null +++ b/lam/02/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Amemeza + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 2:1 + +# Ameongeza kilio na maombolezo + +"Amesababisha zaidi na zaidi watu kulia na kuomboleza" + +# binti wa Yuda + +Hili ni jina la kishairi la Yerusalemu, ambalo hapa la zungumziwa hapa kama mwanamke. + +# kajumba cha bustani + +jengo dogo la kuhifadhia vifaa vya au kumuhifadhia mtu anaye tunza bustani + +# amesababisha kukusanyika na Sabato kusahaulika Sayuni + +"amesababisha watu Sayuni kusahau kukusanyika na Sabato" + diff --git a/lam/02/07.md b/lam/02/07.md new file mode 100644 index 00000000..7eab2a74 --- /dev/null +++ b/lam/02/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ametoa ... mikononi mwa adui + +"Ameugeuza kwa ... kwa adui" + +# Wamepaza sauti nyumbani mwa Yahweh, kama siku ya sherehe + +Huu ni mfano wa kushangaza katika ya furaha, kelele za sherehe za Israeli na sauti za ushindi za wa Babilonia. + diff --git a/lam/02/08.md b/lam/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..fa1babf8 --- /dev/null +++ b/lam/02/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# binti wa Sayuni + +Hili ni jina la kishairi la Yerusalemu, ambalo la zungumziwa hapa kama mwanamke. + +# Amenyoosha kamba ya kipimo + +"Amepima urefu wa ukuta" hivyo anajua kiasi cha kuharibu + +# hajauzuia mkono wake kutoharibu + +"Ameharibu kwa kutumia nguvu zake zote" + +# hajauzuia mkono wake + +"ameuweka mkono wake kwake" + +# Amefanya minara na ukuta kuomboleza; pamoja vilipotea + +"Kwasababu ameharibu minara na kuta, inaonekana kama watu wanao omboleza na kupoteza nguvu" + diff --git a/lam/02/10.md b/lam/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..d9a0a26b --- /dev/null +++ b/lam/02/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# binti wa Sayuni + +Hili ni jina la kishairi la Yerusalemu, ambalo la zungumziwa hapa kama mwanamke. + +# keti chini + +kuonyesha walikuwa wana omboleza + diff --git a/lam/02/11.md b/lam/02/11.md new file mode 100644 index 00000000..572eb6b1 --- /dev/null +++ b/lam/02/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mwandishi anatoka kuelezea Yerusalemu na kueleza mapito yake. + +# Macho yangu yamekaukiwa machozi yake + +"Nimelia hadi siwezi kulia tena" + +# sehemu zangu za ndani zimemwagika chini + +"sehemu yangu ya ndani ipo katika uzuni" + +# kwasababu ya uharibifu wa binti wa watu wangu + +"binti wa watu wangu" ni jina la kishairi la Yerusalemu,ambalo hapa la zungumziwa kama mwanamke. + +# Mbegu ziko wapi na mvinyo? + +Maneno "mbegu ba mvinyo" ni namna ya kusema "chakula na kinywaji." + diff --git a/lam/02/13.md b/lam/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..844ce2db --- /dev/null +++ b/lam/02/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mwandishi anaanza kwa kusema na Yerusalemu. + +# Nini naeza kusema ... Yerusalemu? + +"Hakuna nacho weza kusema ... Yerusalemu." + +# binti wa Yerusalemu + +Hili ni jina la kishairi la Yerusalemu, ambalo hapa la zungumziwa kama ni mwanamke. + +# Naweza kufananisha na nini ... Sayuni? + +"Hakuna nachoweza kukufananisha nacho ... Sayuni." + +# Nani anaweza kukuponya? + +"Hakuna anaye weza kukuponya" + diff --git a/lam/02/15.md b/lam/02/15.md new file mode 100644 index 00000000..63d57338 --- /dev/null +++ b/lam/02/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wana piga makofi + +namna ambazo watu wana wa tania wengine na kuwa tusi + +# binti wa Yerusalemu + +Hili ni jina la kishairi la Yerusalemu, ambalo hapa la zungumziwa kama ni mwanamke. + +# Huu ndio mji walio uita 'Ukamilifu wa uzuri,' ''? + +Hili ni swali linalo tumika kueleza kejeli." Huu mji walio uwita 'Ukamilifu wa uzuri,' 'Furaha ya Dunia Yote' sio mzuri wala wafuraha tena!" + +# Tumemmeza yeye + +"Tumeharibu Yerusalemu kabisa" kama mnyama anavyo meza chakula + diff --git a/lam/02/17.md b/lam/02/17.md new file mode 100644 index 00000000..fcc80b7c --- /dev/null +++ b/lam/02/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# menyanyua pembe za maadui zako + +Hapa "pembe" (kwamba ni, pembe ya mnyama) mara nyingi yaelezea uweza. + diff --git a/lam/02/18.md b/lam/02/18.md new file mode 100644 index 00000000..c3009b03 --- /dev/null +++ b/lam/02/18.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Mioyo yao ikamlilia + +Maana inayo wezekana ni 1) "Watu wa Yerusalemu wamepiga kelele kutoka kwenye vilindi vyao" au 2) mwandishi anataka kuta zipaze sauti kwa Yahweh. + +# kuta za binti wa Sayuni ... kila mtaa + +Mwandishi anaongea na kuta za Yerusalemu. Anataka watu wa Yerusalemu kufanya anacho ambia kuta zifanye. + +# binti wa Sayuni + +Hili ni jina la kishairi la Yerusalemu, ambalo hapa la zungumziwa kama ni mwanamke. + +# Fanya machozi yako kutiririka chini kama mto + +"kulia machozi mengi" + +# usiku na mchana + +"wakati wote" + +# Usijipatie hauweni + +"Usijiruhusu upumzike" + +# mwanzo usiku wa manane + +"mara nyingi wakati wa usiku" hiyo ni kwamba, mlinzi anapo kuja kulinda + +# Nyoosha juu mikono yako + +Hili ni tendo linalo fanywa wakati wakuomba. + +# kwenye njia ya kila mtaa + +"pale njia zinapo kutana" au "kwa barabarani" + diff --git a/lam/02/20.md b/lam/02/20.md new file mode 100644 index 00000000..0bc5c58c --- /dev/null +++ b/lam/02/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wanawake wale tunda la uzazi wao ... wajali? + +"Wanawake wasiwale watoto wao ... wajali? + +# tunda la uzazi wao + +"watoto walio bado wadogo" + diff --git a/lam/02/21.md b/lam/02/21.md new file mode 100644 index 00000000..8caf2e75 --- /dev/null +++ b/lam/02/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wadogo kwa wakubwa + +wadhaifu na watu wazima wenye nguvu + +# hofu yangu + +"washambuliaji niliyo kuwa nawaogopa" + +# kama ungewaita watu katika siku ya maakuli + +"kama wange kuwa wanakuja kwenye sherehe" + diff --git a/lam/03/01.md b/lam/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..3972be45 --- /dev/null +++ b/lam/03/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentesi Unganishi + +Shairi lipya laanza + +# chini ya gongo la hasira ya Yahweh + +Ngongo ni fimbo watu waliyo tumia kupiga na kuadhibu mtu. + +# kutembea kwenye giza kuliko kwenye nuru + +Hii ina maanisha kuishi kwenye kuchanganyikiwa pamoja na giza. + +# amenigeuzia mkono wake dhidi yangu + +"amekuwa adui wangu" au "anatumia nguvu yake kunihukumu" + diff --git a/lam/03/05.md b/lam/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..597dd69e --- /dev/null +++ b/lam/03/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Amejenga vifusi vya udogo dhidi yangu + +Vifusi vya udogo vina muwezesha jeshi shambulizi kuvuka kuta na kuvamia mji. + +# kunizingira na uchungu na ugumu + +"kanizunguka na vitu vilivyo na maumivu na vigumu kuvumilia" + +# anazima maombi yangu + +"anakataa kusikiliza maombi yangu" + diff --git a/lam/03/09.md b/lam/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..4348875d --- /dev/null +++ b/lam/03/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ameziba njia yangu + +"alinizuia kuto mtoroka" + +# mawe ya kuchonga + +mawe mtu aliyo yakata katika maumbo yakulingana yanayo ingiliana na kuimarisha ukuta + +# mawe; amefanya njia yangu mbaya + +Maana inayo wezekana ni 1) "mawe, hivyo siwezi kwenda sehemu" au 2) "mawe; kila njia ninayo ichukuwa haiende mahali" + +# amegeuza pembeni njia zangu + +Maana inayo wezekana ni 1) "amenivuta nje ya njia" au 2) "kasababisha njia yangu kwenda kumelekeo mbaya" + diff --git a/lam/03/12.md b/lam/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..788c9249 --- /dev/null +++ b/lam/03/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Amepindisha upinde wake + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 2:3 + +# maini + +viungo vya tumbo linalo peleka mkojo kwenye kibofu. + +# kichekesho kwa watu wangu wote + +Maana inayo wezekana ni 1) "mtu ambaye Israeli yote yamcheka" au 2) "mtu ambaye watu wote wa dunia wanamcheka" + +# Amenijaza kwa uchungu + +"Ni kama kanilazimisha nile mimea michungu" + +# maji machungu + +jwisi chungu kutoka kwenye majani na maua ya mimea + diff --git a/lam/03/16.md b/lam/03/16.md new file mode 100644 index 00000000..7a70829c --- /dev/null +++ b/lam/03/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Alivunja ... amenisukuma + +ni maneno mawili Mungu anayo mnyenyekesha mwandishi + +# Nafsi yangu imenyimwa amani + +Mwandishi pitii tena furaha au starehe kwenye maisha yake. + +# Ustahimilivu wangu umeangamia + +"Tafsiri zingine zinasema, "Utukufu wangu umeangamia," lakini hapa "utukufu" una maana ya uvumilivu au uweza. + diff --git a/lam/03/19.md b/lam/03/19.md new file mode 100644 index 00000000..34c00a67 --- /dev/null +++ b/lam/03/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# nimeinama ndani yangu + +Haya maelezo yana hashiria msongamano wa mawazo na kukosa tumaini. + +# Lakini ni vuta hili akilini mwangu + +Mwandishi anataka kuwambia wasomaji ni anatumainia. + diff --git a/lam/03/22.md b/lam/03/22.md new file mode 100644 index 00000000..e61c2c33 --- /dev/null +++ b/lam/03/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# uaminifu wako + +Mwandishi anazungumza na Yahweh. + +# Yahweh ni urithi wangu + +"Kwasababu Yahweh yupo nami, nina kila kitu ninacho kiitaji" + diff --git a/lam/03/25.md b/lam/03/25.md new file mode 100644 index 00000000..21f5bc10 --- /dev/null +++ b/lam/03/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wanao msubiri + +Maana inayo wezekana ni 1) "wote wanao mtumainia" (UDB) au 2) "yeye anaye msubiri kwa uvumilivu kutenda." + +# anaye mtafuta + +"mtu anaye mtafuta" + +# kubeba nira + +"kuteseka" + +# imewekwa juu yake + +"nira imewekwa juu yake" + +# aeke mdomo wake kwenye vumbi + +"kuinama chini na mdomo kwenye ardhi" + diff --git a/lam/03/30.md b/lam/03/30.md new file mode 100644 index 00000000..b34f02c6 --- /dev/null +++ b/lam/03/30.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mwandishi anaongea juu ya yeye anaye msubiri Yahweh 3:25 + +# Acha atoa shavu lake kwa yeye anaye mpiga + +"Acha aruhusu watu wampige" + +# japo anatia + +"japo Yahweh anasababisha" + +# watoto wa mwanadamu + +"wanadamu" au "watu" + diff --git a/lam/03/34.md b/lam/03/34.md new file mode 100644 index 00000000..f2363219 --- /dev/null +++ b/lam/03/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kukanyaga chini ya mguu + +"Kumtumia vibaya" au "Kumuua" + diff --git a/lam/03/37.md b/lam/03/37.md new file mode 100644 index 00000000..85a61fcf --- /dev/null +++ b/lam/03/37.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sio kutoka mdomoni mwa Aliye Juu majanga na mazuri yanakuja? + +"Mungu anapunguza mahafa au mafanikio kwa kila mtu" + diff --git a/lam/03/40.md b/lam/03/40.md new file mode 100644 index 00000000..c2f8b869 --- /dev/null +++ b/lam/03/40.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Na tunyanyue mioyo yetu na mikono yetu + +Ili kuwa ni utamaduni wa Waisraeli kunyoosha mikono yao wakiomba kwa Mungu. + +# Tumekosea na kuasi + +Maneno "kosea" na "kuasi" yanashiriki maana moja. Pamoja yana hashiria kuwa makosa ni sawa na kuasi dhidi ya Yahweh. + +# Umejifunika na hasira + +Hapa hasira inazungumziwa kama ni vazi Mungu alilo livaa. Kiebrania mara nyingi cha ongelea hisia kama vile ni nguo. + diff --git a/lam/03/44.md b/lam/03/44.md new file mode 100644 index 00000000..256fb6d0 --- /dev/null +++ b/lam/03/44.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Maombi yaliyo anza 3:40 yanaendelea. + +# Umejifunika na wingu ili kwamba kusiwe na ombi linaloweza kupita + +"Unatumia mawingu kama ngao kuzuia maombi yetu" + +# Umetufanya kama uchafu na taka miongoni mwa mataifa + +Maneno "uchafu" na "tak" yote ya husu vitu watu walivyo vikataa na kuvitupa. + +# miongoni mwa mataifa + +Maana inayo wezekana ni 1) mataifa mengine yana onekana kama taka taka (UDB), au 2) kwamba Yahweh ametupa kama uchafu miongoni mwa mataifa. + +# maafa na uharibifu + +Haya maneno mawili yana shiriki maana moja na ya husu uharibifu wa Yerusalemu. + diff --git a/lam/03/48.md b/lam/03/48.md new file mode 100644 index 00000000..e68f3690 --- /dev/null +++ b/lam/03/48.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Macho yangu yanatiririka na miferiji ya machozi + +"Machozi yana tiririka kutoka machoni mwangu kama maji yanavyo tiririka mtoni" kwasababu nalia + +# kwasababu ya watu wangu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 2:11 + diff --git a/lam/03/51.md b/lam/03/51.md new file mode 100644 index 00000000..6dbad185 --- /dev/null +++ b/lam/03/51.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Macho yangu yana ni sababishia uzuni + +"Ninacho kiona kina ni sababisha maumivu" + +# mabinti wa mji wangu + +Maana inayo wezekana ni 1) wanawake wa Yerusalemu au 2) wakazi wote wa Yerusalemu. + +# Wamenitupa kwenye shimo + +"Wameniua kwa kunizamisha kwenye kisima" + +# wakanitupia jiwe + +Maana inayo wezekana ni 1) "wametupa mawe" au 2) "wamefunika kisima kwa jiwe." + +# Nimekatwa mbali + +"Nimeuawa" au "Nimezama" + diff --git a/lam/03/55.md b/lam/03/55.md new file mode 100644 index 00000000..bdd473b7 --- /dev/null +++ b/lam/03/55.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nililiita jna lako + +"Nilikuita kwa ajili ya msaada" + +# kutoka kina cha shimo + +Maana inayo wezekana ni 1) "kutoka kisima kirefu" au 2) "kutoka kaburini" + +# Ulisikia sauti yangu + +"Ulisikia nilicho kisema" + +# Usifunge sikio lako + +"Usikatae kunisikia" + diff --git a/lam/03/58.md b/lam/03/58.md new file mode 100644 index 00000000..fc7ba862 --- /dev/null +++ b/lam/03/58.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ulitetea kesi yangu + +Hii yatoa picha ya mahakama, ambapo mwandishi anashitakiwa. Katika hii picha, Mungu anamtetea, kama wakili anavyo mtetea mteja wake. + +# hukumu kesi yangu + +Hapa Mungu haendelei kuonekana kwenye picha kama wakili, lakini kama mtoa hukumu. + +# matusi yao, mipango yao yote dhidi yangu + +Hii mistari miwili ina shiriki maana moja na imewekwa pamoja kwa mkazo. + +# Umesikia dhihaka yao + +"Umesikia wakinikejeli" + diff --git a/lam/03/62.md b/lam/03/62.md new file mode 100644 index 00000000..312364f7 --- /dev/null +++ b/lam/03/62.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Midomo ya hao wanao inuka kinyume changu + +"Maneno hao walio inuka dhidi yangu wamenena" + +# hao wanao inuka kinyume changu + +"hao wanao nishambulia" + +# jinsi wanavyo keti na kuinuka + +"kila wanacho fanya" + diff --git a/lam/03/64.md b/lam/03/64.md new file mode 100644 index 00000000..7ca390ef --- /dev/null +++ b/lam/03/64.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Walipize, Yahweh, kwa kadiri ya waliyo fanya + +"Wamenifanya ni teseke, Yahweh, hivyo tafadhali wafanye wateseka sasa" + +# taacha mioyo yao bila lawama + +"wasabishe wa sijisikie aibu" + +# nchini ya mbingu + +"popote walipo duniani" + diff --git a/lam/04/01.md b/lam/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..d48c03dc --- /dev/null +++ b/lam/04/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Shairi lipya la anza. + +# Mawe matakatifu + +mawe yaliyo unda hekalu + +# katika kila njia ya mtaa + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 2:18 + +# Wana wa Sayuni + +Maana inayo wezekana ni 1) Wanaume wadogo wa Yerusalemu au 2) watu wote wa Yerusalemu. + +# lakini sasa hawana thamani zaidi ya majagi ya udogo, kazi ya mikono ya mfinyazi! + +"watu wali wachukulia kuwa si kitu kama vishungu vya udogo wafinyazi wanavyo tengeneza!" + diff --git a/lam/04/03.md b/lam/04/03.md new file mode 100644 index 00000000..915559e4 --- /dev/null +++ b/lam/04/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mbwa wa mitaani wanatoa maziwa yao kuwanyonyesha watoto wao + +Hii ina maana kuwa mbwa wa mitaani wa kike kwa uhuru wanaruhusu watoto wao kunyonya. + +# mbwa wa mitaani + +mbwa wa kali, wa katili wa wanyama wa chafu + +# binti wa watu wangu + +Hili ni jina la kishairi la Yerusalemu, ambalo hapa la zungumziwa kama ni mwanamke. Ona jinsi ulivyo tafsiri 2:11 + diff --git a/lam/04/04.md b/lam/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..f01825ee --- /dev/null +++ b/lam/04/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wao walio lelewa kwa kuvaa nguo za zambarau + +Kuvaa nguo rangi ili hashiria mtu ana utajiri. + diff --git a/lam/04/06.md b/lam/04/06.md new file mode 100644 index 00000000..b8a407c4 --- /dev/null +++ b/lam/04/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hukumu + +Maana inayo wezekana ni 1) "adhabu kwa dhambi" au 2) "dhambi." + +# binti wa watu wangu + +Hili ni jina la kishairi la Yerusalemu, ambalo linazungumziwa hapa kama ni mwanamke. + +# ilipinduliwa kwa dakika + +"Mungu alimuonyesha kwa dakika" + +# hakuna aliye yanyua mkono kumsaidia + +"japo hakuna mtu aliyw msaidia" + diff --git a/lam/04/07.md b/lam/04/07.md new file mode 100644 index 00000000..522f647a --- /dev/null +++ b/lam/04/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Viongozi wake walikuwa wasafi kuliko theluji + +Maana inayo wezekana; 1) "Viongozi wetu walikuwa wazuri kutazama awali" (UDB) kwasababu walikuwa wenye afya kimwili au 2) watu waliwapenda viongozi wao kwasababu viongozi walikuwa wasafi kimatendo jinsi theluji na maziwa yalivyo meupe. + +# Viongozi wake + +Viongozi wa Yerusalemu + +# yakuti samawi + +jiwe la gharama linalo tumika kwenye mikufu + +# Muonekano wao umekuwa mweusi kama giza + +Hii ya weza maanisha 1) jua limefanya ngozi za viongozi kuwa nyeusi au 2) moshi kutoka kwenye moto ulio choma Yerusalemu umefunika nyuso zao. + +# hawatambuliki + +"Hakuna anaye weza kuwatambua" + +# imekuwa kavu kama kuni + +kwasababu hawana chakula cha kutosha na maji + diff --git a/lam/04/09.md b/lam/04/09.md new file mode 100644 index 00000000..859efeeb --- /dev/null +++ b/lam/04/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hao walio uawa kwa upanga + +"Hao wanajeshi maadui waliyo waua + +# hao walio kufa kwa njaa + +"hao walio umwa na njaa hadi mauti" + +# walio potea + +"hao waliyo kuwa wembamba na wadhaifu kwasababu walikuwa wana kufa kwa njaa" + +# wakatobolewa kwa ukosefu wa mavuno shambani + +Ukosefu wa chakula unazungumziwa hapa kama ni upanga. + +# Mikono ya wanawake wenye huruma + +"wanawake wenye huruma" + diff --git a/lam/04/11.md b/lam/04/11.md new file mode 100644 index 00000000..84cf8f73 --- /dev/null +++ b/lam/04/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yahweh alionyesha gadhabu yake yote; alimwaga hasira yake kali + +Yahweh alikuwa na hasira sana, na amefanya kila kitu alichotaka kufanya kuonyesha alikuwa na hasira. + +# alimwaga hasira yake kali + +Hasira ya Mungu ni kama moto, maji ya moto anayo mwaga. + +# Aliwasha moto Sayuni + +Hii inaweza maanisha 1) hasira ya Mungu ni kama moto uliyo haribu Yerusalemu, au 2) kwamba Mungu alisababisha maadui wa chome Yerusalemu kwa moto. + diff --git a/lam/04/12.md b/lam/04/12.md new file mode 100644 index 00000000..d42ccedd --- /dev/null +++ b/lam/04/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wafalme wa dunia hawaku amini, wala wakazi wa dunia, + +"Hakuna mtu popote aliye amini" + +# maadui au wapinzani + +Haya maneno mawili yana maana moja na yanakazia kuwa hawa ni watu waliyo waliyo tamani kudhuru Yerusalemu. + +# dhambi za manabii na maasi ya makuhani + +Hii mistari miwili ina maanisha kitu kimoja na kukazia kuwa hawa viongozi wa kiroho walikuwa wanahusika na kuanguka kwa Yerusalemu. + +# walio mwaga damu ya wenye haki + +Wote makuhani na manabii walikuwa na hatia ya mauaji. + diff --git a/lam/04/14.md b/lam/04/14.md new file mode 100644 index 00000000..6ac761e5 --- /dev/null +++ b/lam/04/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Walikuwa wamejitia unajisi kwa damu hiyo + +Kwasababu wameshiriki mauaji, hawana usafi, wasio weza kumtumikia Mungu au kuwa na watu wa kawaida. + diff --git a/lam/04/16.md b/lam/04/16.md new file mode 100644 index 00000000..bfcc5979 --- /dev/null +++ b/lam/04/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# akawatawanyisha + +akawatawanyisha makuhani na manabii + +# hawatazami tena + +"haendelei kuwa kubali tena" au "haendelei kuwa idhinisha tena" + diff --git a/lam/04/17.md b/lam/04/17.md new file mode 100644 index 00000000..df388e96 --- /dev/null +++ b/lam/04/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Macho yetu yalikwama + +Maana inayo wezekana ni 1) walitafuta watu wawasaidie, lakini hakuna msaada uliyo kuja au 2) waliendelea kutafuta masaada kutoka kwa watu wasingeweza kuwa saidia. + +# Walifuata hatua zetu + +"Maadui zetu waliwafuta kila sehemu walipo enda" + +# mwisho wetu + +"Wakati wa sisi kufa" + diff --git a/lam/04/19.md b/lam/04/19.md new file mode 100644 index 00000000..32088239 --- /dev/null +++ b/lam/04/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Pumzi katika pua zetu + +Hii ni cheo cha mfalme, anaye toa uzima kwa watu wake kama pumzi inavyo upa mwili uhai. + +# aliye kamatwa katika shimo + +Hapa "shimo" la husu mtego wa adui, mpango wao wa kumkamata adui. + diff --git a/lam/04/21.md b/lam/04/21.md new file mode 100644 index 00000000..55f55fb7 --- /dev/null +++ b/lam/04/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Shangilia na ufurahi + +Haya maneno mawili yana maana moja na yana kazia uzito wa furaha. Mwandishi anatumia haya maneno kwa kejeli. + +# Binti wa Sayuni ... binti wa Edomu + +Haya ni majina ya kishairi ya watu wa Yerusalemu na nchi ya Edomu, ambapo hapa yana zungumziwa kama mwanamke. + +# kwako pia kikombe kitapitishwa + +Mvinyo watu wanao kunywa kutoka kwenye kikombe ni hishara ya hasira ya Yahweh. + +# ata funua dhambi zako + +"kuweka wazi dhambi zako" + diff --git a/lam/05/01.md b/lam/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..83664bc0 --- /dev/null +++ b/lam/05/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Shairi lipya la anzu. + +# Kumbuka + +"Fikiria kuhusu" + +# uone aibu yetu + +"angalia hali ya aibu tuliyo nayo" + +# Urithi wetu umegeuziwa kwa wageni + +"Umeruhusu wageni kuchukua " + +# nyumba zetu kwa wageni + +"umeruhusu wageni wachukuwe mali za urithi wetu" + +# Tumekuwa yatima ... mama zetu ni kama wajane + +Watu wa Yerusalemu hawana mtu wa kuwalinda kwasababu wanaume wamekufa vitani au wameenda matekani. + +# Lazima tulipe fedha kwa maji tunayo kunywa + +"Lazima tulipe fedha kwa maadui zetu ili tunywe maji yetu" + +# tulipe fedha kupata mbao zetu + +"maadui zetu wanatuuzia mbao zetu" + diff --git a/lam/05/05.md b/lam/05/05.md new file mode 100644 index 00000000..7d952bde --- /dev/null +++ b/lam/05/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hao wanakuja kwetu + +Jeshi la wa Babilonia. + +# Tumejitoa kwa + +"tumefanya maridhiano na" au "tumejisalimisha kwa" + +# tupate chakula cha kutosha + +"ili tuwe na chakula cha kutosha kula" + +# hawapo tena + +"wamekufa" + +# tumebeba dhambi zao + +"tunabeba adhabu ya dhambi zao" + diff --git a/lam/05/08.md b/lam/05/08.md new file mode 100644 index 00000000..bcf1ab5a --- /dev/null +++ b/lam/05/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Watumwa walitutawala + +Maana inayo wezekana ni 1) "Sasa watu wanao tutawala wao wenyewe ni watumwa kwa mabwana zao Babilonia" (UDB) au 2) "Watu walikuwa watumwa Babilonia wanatutawala." + +# kutuokoa na mikono yao + +Hapa neno "mkono" la husu nguvu. + +# kwasababu ya upanga wa nyikani + +"kwasababu kuna watu nyikani wanao ua watu kwa upanga" + diff --git a/lam/05/11.md b/lam/05/11.md new file mode 100644 index 00000000..fcf38392 --- /dev/null +++ b/lam/05/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wanawake wanabakwa Sayuni ... mabikra katika mji wa Yuda + +"Wanawake wote, wadogo na wakubwa, wanabakwa Yerusalemu na miji ya Yuda" + +# Watoto wa mfalme wamenyongwa na mikono yao + +Maana inayo wezekana ni 1) "Kwa mikono yao, wamenyonga watoto wa wafalme" au 2) wamefunga mikono ya watoto wa wafalme pamoja kwa kama ili miguu yao isiguse chini. + diff --git a/lam/05/13.md b/lam/05/13.md new file mode 100644 index 00000000..b6b15f7f --- /dev/null +++ b/lam/05/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wazee + +wanaume wasio na "nguvu" tena + +# lango la mji + +sehemu wazee wangetoa mashauri, lakini pia sehemu watu wange kutana + +# miziki + +sehemu ya sanaa katika lango la mji + diff --git a/lam/05/15.md b/lam/05/15.md new file mode 100644 index 00000000..d3a0b7c3 --- /dev/null +++ b/lam/05/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taji limeanguka kichwani mwetu + +Maana inayo wezekana ni 1) "Sisi hatuvai tena maua kichwani mwetu kwa ajili ya sherehe" au 2) "Hatuna tena mfalme" + diff --git a/lam/05/17.md b/lam/05/17.md new file mode 100644 index 00000000..2861fc2b --- /dev/null +++ b/lam/05/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# macho yetu yanafifia + +"tuna ona kwa shida kwasababu ya machozi yetu" + +# mbwa wa mitaani + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 4:3. Sehemu zilizo haribiwa zilikuwa zimevamiwa na mbwa hawa wa mitaani, pamoja na wengineo. + diff --git a/lam/05/19.md b/lam/05/19.md new file mode 100644 index 00000000..a52a0685 --- /dev/null +++ b/lam/05/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kiti chako cha enzi + +"nguvu yako na mamlaka ya kutawala kama mfalme" + +# vizazi na vizazi + +"wakati wote" + +# Kwanini unatusahau milele? Kwanini unatutelekeza kwa siku nyingi? + +"ni kama vile utatusahau milele au usiturudie kwa kipindi kirefu" + +# Fanya upya siku zetu kama zilivyo kuwa hapo zamani + +"Fanya maisha yetu mazuri, kama yalivyo kuwa" au "Fanya tuwe wakuu kama tulivyo kuwa" + +# vinginevyo labda uwe umetukataa na una hasira kwetu kupita kiasi + +Maana inayo wezekana ni 1) mwandishi ana ogopa kwamba Yahweh anaweza kuwa na hasira asiwarejeshe au 2) anasema kuwa Yahweh ana hasira hadi hawezi kuwarejesha (UDB) + diff --git a/lev/01/01.md b/lev/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..6e5b7275 --- /dev/null +++ b/lev/01/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yahweh + +Hili ndilo jina la Mungu ambalo alilifunua kwa watu wake katika Agano la Kale. + +# kutoka kweye hema la kukutania, akisema, "Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'Mtu yeyote + +Hapa Yahweh anaanza kuzungumza na Musa. Hotuba hii inamalizikia katika 3:17. Hii inaweza kufasiriwa bila nukuu ndani ya nukuu. :"Kutoka kwenye hema la kukutania na akamwambia Musa kuzungumza na watu wa Israeli: 'Mtu yeyote aletapo" + +# 'Mtu yeyote kutoka miongoni mwenu + +"mmoja wenu yeyote" au "yeyote wa kwenu" + diff --git a/lev/01/03.md b/lev/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..bee4be5e --- /dev/null +++ b/lev/01/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yahweh anaendele kumwambia Musa yawapasayo watu wa Israeli kufsny ili kwa mba sadaka zao zitakuwa zenye kubalika kwa Yahweh. + +# .Iwapo toleo lake ... naye itambidi kutoa + +Hapa "yake" na "naye" humaanisha mtu aletaye sadaka kwa Yahweh. laweza kufasiriwa katika nafsi ya pili kama lilivyo katika 1:1 : iwapo toleo lako...yapasa utoe + +# ili iweze kukubalika mbele za Yahweh + +Hili linaweza kufasiriwa katika muundo tendaji: :Ili kwamba Yahweh aikubali" + +# Ataweka mikono yake + +Hiki ni kitendo cha kiishara kinachomfananisha mtu na mnyama anayemtoa. Katika njia hii mtu anajitoa mwenyewe kwa Yahweh kwa kupitia mnyama, ili kwamba Mungu atasamehe dahambi za mtu huyo wanapomuua mnyama. + +# ndipo itakuwa imekubalika badala yake ili kufanya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe + +Hii inaweza kufasiriwa katika muundo tendaji: "Kisha Yahweh ataikubali machini pake na kuzisamehe dhambi zake" + diff --git a/lev/01/05.md b/lev/01/05.md new file mode 100644 index 00000000..f5718a65 --- /dev/null +++ b/lev/01/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa watu wanachotakiwa kufanya. + +# Naye yampasa kumchinja huyo fahali + +Hapa "naye" humaanisha yule anayetoa hiyo sadaka. linaweza kutamkwa katika nafsi ya pili. : "Nawe yakupasa kumchinja huyo fahali" + +# mbele za Yahweh + +"Katika uwepo wa Yahweh" + +# wataileta hiyo damu + +Inadokeza kwamba makuhani wangeikinga damu kwenye bakuli ilipotiririka kutoka kwa mnyama. Kisha wangelileta hillo bakuli lenye damu ndani yake na kuliwasilisha kwaYahweh kwenye madhabahu. + +# Kisha ataichuna ngozi hiyo sadaka ya kuteketezwa na kuikatakata vipande. + +Kama ilivyoonyeshwa kwenye 1:9, Mtu alilazimiika pia kuosha matumbo na miguu ya mnyama kwenye maji. Mhisika mwenyewe alilazimika kufanya hivyo kabla hajawapa makuhani vile vipande ili kwamba wangeweza kuviweka juu ya madhabahu. Unaweza kuyatamka hayo maelekeza kuwa yalikuwa ni matumbo na miguu. + +# Naye ataichuna ngozi + +Hapa neno "naye" humaanisha yule anayetoa hiyo sadaka. + diff --git a/lev/01/07.md b/lev/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..35647687 --- /dev/null +++ b/lev/01/07.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa kiwapasacho watu kutenda ili matoleo yatakubalika kwa kwake. + +# wataweka moto juu ya madhabahu na kuweka kuni ili kuuchochea huo moto + +Hili laweza kumaanisha kwamba makuhani mkaa wa moto juu ya madhabahu, kisha wakaweka kuni juu ya mkaa. : wataweka kunu juu ya madhabahu na kuwasha moto" + +# kuuchochea huo moto + +Hii ni nahau inayomaanisha kuendelea kuweka kuni kwenye moto. Moto juu ya madhabahu nilazima uendelee kuwaka bila kuzimika + +# Lakini matumbo yake na miguu ataiosha kwa maji + +Mtu huyo angefanya hivi kabla hajavitoa vipande kwa makuhani waviweke juu moto. U naweza kutamka hivi mwishoni mwa 1:5 + +# Mtumbo + +Ni hilo tumbo na utumbo + +# naye ataiosha + +Hapa neno "naye" humaanisha anayetoa hiyo sadaka. + +# nayo italeta harufu ya kupendeza kwangu + +Yahweh akiwa amependezwa na utoaji dhabihu wa dhati wa aabuduye unamezungumziwa kana kwamba Yahweh alikuwa amependezwa na harufu nzuri ya dhabihu. + +# sadaka iliyofanywa kwangu kwa moto. + +Yahweh anamwambia Musa kwamba ni lazima matoleo yawe yanachomwa kwa moto. Hili laweza kutamkwa katika muundo tendaji. : "sadaka ya kuteketezwa kwangu" + diff --git a/lev/01/10.md b/lev/01/10.md new file mode 100644 index 00000000..19e017f9 --- /dev/null +++ b/lev/01/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa liwapasalo watu kutenda + +# mbele za Yahweh + +"katika uwepo wa Yahweh" + diff --git a/lev/01/12.md b/lev/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..76ac95b9 --- /dev/null +++ b/lev/01/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa liwapasalo watu kutenda + +# Naye ataikata...iliyofanywa Kwake kwa moto. + +Ajili ya 1:12-13, tazama 1:7 ili uone wingi wa maneno haya yalivyofasiriwa + +# Naye ataikata + +Hapa neno "naye" humaanisha mtu anayetoa dhabihu. Laweza kufasiriwa katika nafsi ya pili. :"Nawe utaikata" + +# italeta harufu ya kupendeza kwa Yahweh + +Yahweh akiwa amependezwa na utoaji dhabihu wa dhati wa aabuduye unamezungumziwa kana kwamba Yahweh alikuwa amependezwa na harufu nzuri ya dhabihu. + +# itakuwa sadaka ya iliyofanywa...kwa moto. + +Yahweh anamwambia Musa kwamba ni lazima makuhani wazichome sadaka zao kwa moto. Sentensi hii inaweza kufasiriwa kwenye muundo tendaji. :"itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwangu" au "itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh" + diff --git a/lev/01/14.md b/lev/01/14.md new file mode 100644 index 00000000..82985e9d --- /dev/null +++ b/lev/01/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa kiwapasacho watu kutenda + +# nyonga shingo na kukinyoa kichwa chake, + +popotoa/songonyoa kichwa chake na kuking'oa kutoka mwilini + +# Kisha damu yake itachuruzishwa + +Sentensi hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji: "Kisha itampasa kuhani kuichuruzisha damu yake" + diff --git a/lev/01/16.md b/lev/01/16.md new file mode 100644 index 00000000..db770f67 --- /dev/null +++ b/lev/01/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ni lazima akiondoe + +"Ni lazima kuhani" + +# kibofu chake pamoja na uchafu wake + +Kibofu ni kwenye koromeo la ndege mahali ambapo chakula ambacho hakijameng'enywa hutunzwa. + +# nacho atakitupa...kando ya madhabahu + +Neno "nacho" hapa humaanisha kibofu pamoja na uchafu wake + +# italeta harufu ya kupendeza kwa Yahweh + +Yahweh akiwa amependezwa na utoaji dhabihu wa dhati wa aabuduye unazungumziwa kana kwamba Yahweh alikuwa amependezwa na harufu nzuri ya dhabihu. Tazama lilivyotafsiriwa hili katika 1:7 + +# nayo itakuwa sadaka iliyofanywa Kwake kwa moto. + +Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwangu" au "itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh" + diff --git a/lev/02/01.md b/lev/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..aeb78efe --- /dev/null +++ b/lev/02/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yahweh anaendelea kumbia Musa liwapasalo watu kutenda. + +# liwe unga safi + +"Iiwe unga safi kabisa" au "uwe unga uliobora" + +# unga + +ngano ilinyosagwa + +# Itampasa kuipeleka + +itampasa kuuchukua + +# atatwaa konzi + +"atachukua unga anaoweza kuubeba mkononi mwake + +# sadaka ya kuwakilisha + +konzi ya sadaka ya nafaka huwakilisha sadakanzima ya nafaka. Hii inamaanisha kwamba sadaka nzima ni ya Mungu. + +# Nayo itatoa harufu nzuri ya kupendeza kwa Yahweh. + +Yahweh akiwa amependezwa na utoaji dhabihu wa dhati wa aabuduye unazungumziwa kana kwamba Yahweh alikuwa amependezwa na harufu nzuri ya dhabihu. Tazama lilivyotafsiriwa katika 1:7 + +# Ni kitakatifu sana kwa Yahweh kutoka kwenye sadaka iliyofanywe kwa Yahweh kwa moto. + +Hili laweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "itakuwa sadaka ya kuteketezwa Kwake" + diff --git a/lev/02/04.md b/lev/02/04.md new file mode 100644 index 00000000..934439e8 --- /dev/null +++ b/lev/02/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa kwamba watu hao pamoja na makuhani yawapasa wafanye hivyo ili sadaka zao ziweze kukubalika kwake. + +# uliookwa kweye tanuru + +Sentensi hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "uliouoka kwenye tanuru" + +# tanuru + +Huenda hiki kilikuwa ni chombo kilichotengenezwa kwa udongo chenye uwazi shimo katikati. Moto uliwashwa chini ya tanuru, na joto lingeoka donge la unga ndani ya tanuru. + +# mkate laini wa unga safi + +yaeleweka kwamba mkate laini haukuwa na hamira. + +# uliopakwa mafuta + +Tafsiri kirai hiki kuonesha kwamba mafuta ni lazima yapakwe kwenye mkate. :"pamoja na mafuta juu ya mkate" + +# Iwapo toleo lako la nafaka limeokwa kwa kikaango cha chuma + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : Iwapo unaioka sadaka yako ya nafaka katika kiaango cha chuma" + +# kikaango cha chuma + +Hii ni sahani nzito iliyotengenezwa ama kwa udongo au chuma. Sahani iliwekwa juu ya moto, na donge la ungu lilipikwa juu ya sahani. + diff --git a/lev/02/06.md b/lev/02/06.md new file mode 100644 index 00000000..f2da9ac2 --- /dev/null +++ b/lev/02/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia musa kwamba watu hao na makuhani yawapasa wafanye hivyo ili sadaka zao ziweze kukubalika kwake + +# utaigawanya + +Hapa "inayogawanywa" ni sadaka ya nafaka iliyopikwa kwenye kikaaongo cha chuma. + +# Iwapo sadaka yako ya nafaka imepikwa + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Ikiwa unaipika sadaka yako ya nafaka" + +# katika sufuria + +Sufuria ilikuwa sahani yenye kingo zikiizunguka. Bonde la unga lilidumbuzwa ndani ya sufuria na kupikwa juu ya moto. + +# lazima iwe imeandaliwa + +Yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Ni lazima uiandae" + diff --git a/lev/02/08.md b/lev/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..66f14f57 --- /dev/null +++ b/lev/02/08.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia musa kwamba watu hao na makuhani yawapasa wafanye hivyo ili sadaka zao ziweze kukubalika kwake + +# ililofanywa kwa vitu hivi + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "ulioutengeneza kutokana na unga na mafuta" + +# nayo itawasilishwa + +Yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Utaiwasilisha" + +# Ndipo kuhani... ifanywayo kwa moto. + +Kwa ajili ya2:9-10 tazama maelezo ya sura ya 2:1 + +# sadaka ya kuwakilisha + +Tazama maelezo ya sura ya 2:1 + +# Itakuwa sadaka kuiliyofanywa kwa moto + +Hii inaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "Itakuwa sadaka ya kuiteketeza" + +# italeta harufu ya kupendeza kwa Yahweh + +Tazama maelezo ya sura 1:7 + +# kutoka kwenye sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "kutoka kwenye sadaka ya kuiteketeza kwa Yahweh" + diff --git a/lev/02/11.md b/lev/02/11.md new file mode 100644 index 00000000..aafc8e25 --- /dev/null +++ b/lev/02/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa kwamba watu hao na makuhani yawapasa wafanye hivyo ili sadaka zao ziweze kukubalika kwake + +# Hakutakuwa na sadaka ya nafaka utoayo kwa Yahweh itakayofanyizwa kwa hamira + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "Usitumie hamira kwenye sadaka ya nafaka uitoayo kwa Yahweh" + +# kuwa sadaka ifanywayo kwa moto + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "kuwa sadaka ya kuteketeza + +# Nawe utazitoa + +"Nawe utazitoa sadaka za nafaka zilizo na hamira au asali" + +# hazitatumika kuleta harufu ya kupendeza itolewayo juu ya madhabahu + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. ; "utazitumia kuleta harufu ya kupendeaza juu ya madhabahu" au "hutaziteketeza juu ya madhabu" + +# chumvi ya agano la Mungu wako + +Huashiria kwamba chumvi ni ishara inayowakilisha agano la Mungu. + diff --git a/lev/02/14.md b/lev/02/14.md new file mode 100644 index 00000000..b7e323fa --- /dev/null +++ b/lev/02/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa kwamba watu hao na makuhani yawapasa wafanye hivyo ili sadaka zao ziweze kukubalika kwake + +# iliyobanikwa kenye moto, na kupondwa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "Ile uliyoipika kwenye moto na kisha kusagwa" + +# sadaka ya kuwakilisha + +Tazama maelezo katika sura ya 2:1 + +# Hii ni sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto. + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "Hii ni sadaka ya kutekezwa kwa Yahweh" + diff --git a/lev/03/01.md b/lev/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..1082b386 --- /dev/null +++ b/lev/03/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Musa anaendelea kuwaambia watu kile ambacho Yahweh anataka wao wafanye. + +# mbele za Yahweh + +"katika uwepo wa Yahweh" au "kwa Yahweh" + +# Ataweka mikono yake + +Hili ni tendo la kiishara ambalo humfananisha mtu na mnyama anayemtoa. Katika njia hii mtu huyo anajitoa mwenyewe kwa Yahweh kwa kupitia mnyama. Tazama lilivyotafsiriwa katika sura ya 1:3 + +# wana wa Aroni watainyunyiza damu yake + +Inaashiria kwamba kabla hawajainyunyiza damu ,waliikinga kwanza hiyo damu katika bakuli walipokuwa akiichuruzisha kutoka kwa Munyama. + diff --git a/lev/03/03.md b/lev/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..6954e8f0 --- /dev/null +++ b/lev/03/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Matumbo + +Hili ni tumbo na utumbo + +# ya kiununi + +Hii ni sehemu ya mwili wa mnyama kwenye maeneo ya ndani ya uti wa mgongo kati ya mbavu na mfupa wa nyonga. + +# kitambi cha ini + +Hii ni sehemu ya ini iliyojikunja au kulizunguka. Sehemu hii huonekana kuwa ni sehemu ya ini iliyobora kabisa kwa kula. : "Sehemu ya ini iliyobora" + +# Hii italeta harufu ya kupendeza mbele za Yahweh + +Tazama ufafanuzi uliotolewa katika sura ya 1:7 + +# itakuwa sadaka itolewayo Kwake kwa moto. + +Hili laweza kutafsiriwa katika mtindo tendaji. : "nayo itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh" + diff --git a/lev/03/06.md b/lev/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..d305ec42 --- /dev/null +++ b/lev/03/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# amtoe mbele za Yahweh + +"amtoe mkatika uwepo wa Yahweh" au "amte kwa Yahweh" + +# Ataweka mkono wake juu ya kichwa + +Hili ni tendo la kiishara ambalo humfananisha mtu na mnyama anayemtoa. Kwa njia hii mtu huyo atakuwa anajitoa mwenyewe kwa Yahweh kupitia mnyama. + +# wana wa Aroni watanyunyiza damu + +Inaashiria kwamba kabla hawajanyunyiza hiyo damu, waliikinga kwanza kwenye bakuli ilipokuwa inachuruzika kutoka kwa mnyama + diff --git a/lev/03/09.md b/lev/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..9589880d --- /dev/null +++ b/lev/03/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# sadaka ifanywayo kwa moto + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "kuwa sadaka ya kuteketezwa" + +# Yale mafuta, mafuta yote...na hizo figo —ataiondoa hii yote. + +Lile tamko "ataiondoa hii yote" laweza kuwekwa mwanzoni mwa sentensi. : "Atayaondoa mafuta, hayo mafuta yote...hizo figo" + +# matumbo + +Sehemu hizi ni tumbo na utumbo. + +# yaliyo karibu na matumbo, na figo zote mbili + +Sentensi mpya yaweza kuanzia hapa. : "iliyo karibu na mbatumbo. Ni lazima ataziondoa hizo figo" + +# karibu na kiuno + +Hii ni sehemu ya mwiili kwenye sehemu ndani ya uti kati ya mbavu na mfupa wa nyonga. + +# kitambi cha ini + +Hii ni sehemu ya ini yenyekupinda au kulizunguka. Sehemu hii huonekana kuwa bora sana kwa kula. : "ile sehemu ya ini iliyobora kabisa" + +# ataiteketeza yote juu ya madhabahu kuwa sadaka ya chakula ya kuteketezwa kwa Yahweh + +Hapa haikukusudiwa kumaanisha kwamba Yahweh hula chakula. : "ataviteketeza vitu hivyo juu ya madhabahu viwe sadaka kwa Yahweh. Vitu hivyo vitatokana na mazao yako ya chakula" + diff --git a/lev/03/12.md b/lev/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..2830d60f --- /dev/null +++ b/lev/03/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mbele za Yahweh + +"katika uwepo wa Yahweh" au "kwa Yahweh" + +# Ataweka mikono yake juu ya kichw + +Hili ni tendo la kiishara ambalo humfananisha mtu na mnyama anayemtoa. Kwa njia hii mtu huyo atakuwa anajitoa mwenyewe kwa Yahweh kupitia mnyama.Tazama maelezo katika 1:3 + +# wana wa Aroni watainyunyiza damu yake + +Inaashiria kwamba kabla hawajainyunyiza hiyo damu, waliikinga kwanza kwenye bakuli ilipokuwa ikichuruzika kutoka kwa mnyama. + +# atatoa dhabihu yake iliyofanywa kwa mot + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "ataitoa sdhabihu yake kwa moto" au "ataichoma dhabihu yake" + diff --git a/lev/03/15.md b/lev/03/15.md new file mode 100644 index 00000000..966fc771 --- /dev/null +++ b/lev/03/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Naye ataziondoa pia + +Neno "naye" hapa humaanisha mtu anayetoa dhabihu. + +# ataiteketeza hiyo yote juu ya madhabahu kuwa matoleo ya chakula ya kuteketezwa + +Hapa haikukusudiwa kumaanisha kwamba Yahweh hula chakula. : "ataviteketeza vitu hivyo juu ya madhabahu viwe sadaka kwa Yahweh. Kitakuwa ni chakula chao alichopwa Yahweh" + +# kutoa harufu ya kupendeza + +Yahweh hupendezwa na harufu ya nyama iliyochomwa anapopendezwa na usafi wa aabuduye. Tazama lilivyotafsiriwa katika 1:7 + +# Itakuwa ni amri ya kudumu kwa vizazi vya watu wako + +Hii humaanisha kwamba wao pamoja na vizazi vyao lazima waitii amri hii. + +# au damu + +"au kutumia damu" + diff --git a/lev/04/01.md b/lev/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..ca60d5aa --- /dev/null +++ b/lev/04/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yahweh akazungumza na Musa akisema, "Waambie watu wa Israeli, 'mtu yeyote atendapo dhambi + +Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Nukuu halisi yaweza kutamkwa kama nukuu taarifa iliyotajwa. : Yahweh akazungumza na Musa na akamwambia awaambie watu wa Israeli hivi: 'Mtu yeyote atendapo dhambi" + +# ambayo Yahweh ameagiza yasitendwe + +Hili laweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "Ambayo Yahweh amewaamru watu wastende" + +# endapo anafanya jambo fulani lililokatazwa, + +Hili laweza kufasriwa katika mtindo tendaji. : "iwapo anafanya jambo ambalo Yahweh aliruhusu" + +# yafuatayo lazima yafanyike + +Hiii yaaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "yapasa afanye yafuatayo" + +# na kuleta hatia juu ya watu + +Ile nomono dhahania "hatia" yaweza kutamkwa kama kivumishi. : "kwa kiasi cha kusababisha watu kujisikia wenye hatia" + diff --git a/lev/04/04.md b/lev/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..41330b85 --- /dev/null +++ b/lev/04/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa kiwapasacho watu kutenda. + +# Atamleta huyo fahali + +"Kuhani atamleta huyo fahali" + +# ataweka mikono yake juu ya kichwa chake + +Tazama maelezo ya sura 1:3 uone lilifasiriwa. + +# Kuhani mpakwa mafuta atachukua sehemu ya damu + +Inaonyesha kwamba kuhani aliikinga kwanza damu kwenye bakuli ilipokuwa inachuruzika kutoka kwa huyo mnyama. + diff --git a/lev/04/06.md b/lev/04/06.md new file mode 100644 index 00000000..83e5db02 --- /dev/null +++ b/lev/04/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kuinyunyiza + +"kutiririsha sehemu yake" au "kudondosha sehemu yake" + +# pembe za madhabahu + +hii humaanisha kwenye kona za madhabahu. Zimesongoka kama pembe za makisai. : "Michomozo iliyo kwenye kona za madhabahu" + +# ataimwaga chini + +"ataitupa nje damu iliyobaki" + +# kwenye kitako cha madhabahu + +chini ya madhabahu + diff --git a/lev/04/08.md b/lev/04/08.md new file mode 100644 index 00000000..87a37808 --- /dev/null +++ b/lev/04/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Naye atayakata + +"Kuhani atayakata" + +# yale mafuta yanayofunika matumbo. ..pamoja na figo—ataikata hii yote + +Yale maelezo "ataikata hii yote" yaweza kuwekwa mwanzoni mwa sentensi. : "Atayakata mafuta yote yafunikayo matumbo...pamoja na hizo figo" + +# matumbo. + +Haya ni tumbo na utumbo + +# karibu na kiuno + +Hii ni sehemu ya mwili juu ya upande wa ndani wa uti wa mgongo kati ya mbavu na mfupa wa nyonga. + +# kitambi cha in + +Hii ni sehemu ya ini iliyojikunja au kulizunguka. Sehemu hii huonekana kuwa ni sehemu ya ini iliyobora kabisa kwa kula. : "Sehemu ya ini iliyobora" + diff --git a/lev/04/11.md b/lev/04/11.md new file mode 100644 index 00000000..4c119844 --- /dev/null +++ b/lev/04/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ngozi ... mabaki yoyote ya nyama, atazipeleka hizo zote nje + +Yale maelezo "atazipeleka hizi zote" Yaweza kuweka mwanzoni mwa sentensi. : "Kuhani atapeleka nje hiyo ngozi..mabaki ya fahali" + +# eneo ambalo wamelisafisha kwa ajili yangu + +Eneo kuwa safi kiibada na pa kufaa kutumia katika kumtumikia Mungu linasemwa kuwa lilikuwa safi kimaumbile. + +# wamelisafisha kwa ajili yangu + +"Wamelisafisha" hapa humaanisha hao makuhani na "Mimi" humaanisha Yahweh. + diff --git a/lev/04/13.md b/lev/04/13.md new file mode 100644 index 00000000..626669d6 --- /dev/null +++ b/lev/04/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# bila kukusudia + +"bila kujua" + +# ameamru yasitendwe + +Hili laweza kuutamkwa katika mtindo tendaji. : "alichowaamru wasikitende" + +# hiyo dhambi waliyoitenda ikawa imejulikana + +Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "wanapotambua kwamba wametenda dhambi" + +# wataweka mikono yao juu ya kichwa + +Tazama maelezo katika sura 1:3 uone lilivyofasiriwa + +# huyo fahali atachinjwa + +Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Nao watamuua huyo fahali" + diff --git a/lev/04/16.md b/lev/04/16.md new file mode 100644 index 00000000..0767a5c8 --- /dev/null +++ b/lev/04/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Munsa yawapasayo watu kutenda. + +# Kuhani aliyepakwa mafuta ataleta damu + +Inamaanisha kwamba huyo kuhani aliikinga damu kwenye bakuli ilipotiririka + +# mbele ya pazia. + +Inamaanisha kwamba hili ni pazia mbele ya patakatifu pa patakatifu + diff --git a/lev/04/18.md b/lev/04/18.md new file mode 100644 index 00000000..c1e9d5ad --- /dev/null +++ b/lev/04/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ataweka + +"Naye kuhani ataweka" + +# pembe za madhabahu + +hii hurejelea kona za madhabahu. Zimechongwa kama pembe za ng'ombe. Tazama lilivyofasiriwa katika Sura ya 4:6 + +# ataimwaga damu yote + +Ataimwaga damu iliyosalia + +# mafuta yote kutoka kwake + +"mafuta yote kutoka kwa mnyama na kuyachoma hayo mafuta" + diff --git a/lev/04/20.md b/lev/04/20.md new file mode 100644 index 00000000..82c4c6ff --- /dev/null +++ b/lev/04/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# inavyompasa kumfanyia + +"Ni lazima kuhani afanye" + +# kuhani atawafanyia watu upatanisho + +Nomino dhahania "upatanisho" yaweza kama kitenzi. : "Kuhani atapatanisha kwa ajili ya kwa ajili ya dhambi za watu" + +# nao watakuwa wamesahewa + +Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Naye Yahweh atawasamehe wao" + diff --git a/lev/04/22.md b/lev/04/22.md new file mode 100644 index 00000000..a7ec93bd --- /dev/null +++ b/lev/04/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yahweh Mungu wake ameamru yasitendwe + +hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Mungu amewaamru watu wasitenda" + +# Nayo dhambi yake aliyoitenda imefahamisha kwake + +hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. ; "kisha naye ameshatambua kwamba katenda dhambi" + diff --git a/lev/04/24.md b/lev/04/24.md new file mode 100644 index 00000000..5383a36c --- /dev/null +++ b/lev/04/24.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Naye ataweka + +"Mtawala ataweka" + +# ataweka mkono wake juu ya kichwa + +Tazama lilivyofassiriwa katika sura ya 1:3 + +# mahali ambapo huchinja + +"makuhani wanapochinja" + +# mbele za Yahweh + +"katika uwepo wa Yahweh" au kwa Yahweh" + +# Kuhani ataichukua damu + +Inamaanisha kwamba kuhani aliikinga damu kwenye bakuli damu ilipotirirka kutoka kwa mbuzi. + +# pembe za madhabahu + +Tazama maelezo kwenye sura ya 4:6 uone linavyofasiriwa + diff --git a/lev/04/26.md b/lev/04/26.md new file mode 100644 index 00000000..77f87f8e --- /dev/null +++ b/lev/04/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Naye atateketeza + +"Kuhani atateketeza + +# Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya mtawala + +Ile nomino dhahania "upatanisho"yaweza kutaamkwa kama kitenzi. : "Kuhani atapatanisha kwa ajili ya mtawala" + +# naye mtawala kulingana + +Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Yahweh atasamehe dhambi za mtawala" + diff --git a/lev/04/27.md b/lev/04/27.md new file mode 100644 index 00000000..9f63edea --- /dev/null +++ b/lev/04/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yahweh amemwamru yeye yasitendwe + +Watu wote wa Israeli waliamriwa wasitende dhambi. Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Yahweh aliwaamru watu wasiyatende" + +# dhambi yake aliyoitenda itakuwa imejulikana kwake + +Hili laweza kutmkwa katika mtindo tendaji. : "naye amekuwa na ufahamu juu ya dhambi aliyoitenda. + diff --git a/lev/04/29.md b/lev/04/29.md new file mode 100644 index 00000000..dcdefcb6 --- /dev/null +++ b/lev/04/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ataweka mkono wake juu ya kichwa + +Tazama mafafanuzi katika sura ya 1:3 uone lilivyofasiriwa + +# Kuhani atachukua kiasi cha damu + +Inamaanisha kwamba kuhani aliikinga damu ya kwenye bakuli wakati ilipotiririka kutoka kwa mnyama + +# pembe za madhabahu + +Tazama katika sura ya 4:6 uone lilivyofasiriwa. + +# Damu yote iliyobaki + +Damu yote iliyobaki kwenye bakuli. + diff --git a/lev/04/31.md b/lev/04/31.md new file mode 100644 index 00000000..e3fd51dd --- /dev/null +++ b/lev/04/31.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Naye atayakata + +"Naye'" hapa humaanisha yule mtu anayetoa sadaka + +# yanvyokatwa hayo mafuta + +Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "ni kama tu vile mtu akatavyo hayo mafuta" + +# ataiteketeza + +"atayachoma mafuta" + +# ili kuleta harufu ya kupendeza kwa Yahweh + +Tazama maelezo yaliyotolewa kwenye sura 1:7 ili uone maneno hayo yalivyofafanuliwa + +# Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya mtu hyo + +Ile nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. "Kuhani atapatanisha kwa ajili ya dhambi za mtu huyo" + +# naye atakuwa amesamehewa. + +Hili laweza kutamkwa katika mtingo tendaji. : "Yahweh atazisamehe dhambi za mtu huyo" + diff --git a/lev/04/32.md b/lev/04/32.md new file mode 100644 index 00000000..dd26d367 --- /dev/null +++ b/lev/04/32.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ataweka mkono juu ya kichwa + +Tazama maelezo ya sura ya 1:3 ili kuona lilivyofasiriwa. + +# mahali wanapochinja s + +"mahali makuhani wachinjapo" + diff --git a/lev/04/34.md b/lev/04/34.md new file mode 100644 index 00000000..a52f7a6d --- /dev/null +++ b/lev/04/34.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# pembe za madhabahu + +Tazama maelezo ya sura ya 4:6 ili kuona linavyofasiriwa. + +# naye ataimwaga damu yake yote + +"Naye ataimwaga damu yake yote iliyobaki" + +# Naye tayakata mafuta + +"Naye" hapa humrejelea mtu anayetoa hiyo dhabihu. + +# kama tu vile yakatwavyo mafuta ya mwana-kondoo + +Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "kama tu vile mtu akatavyo hayo mafuta ya Mwana-kondoo" + +# matoleo ya Yahweh yafanywayo kwa moto + +Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Matoleo ya kuteketezwa kwa Yahweh + +# atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa dhambi aliyoifanya + +Ile nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. :atapatanisha kwa ajili ya dhambi aliyotenda huyo mtu" + +# na mtu huyo atakuwa amesahewa. + +Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Yahweh atasameha dhambi ya mtu huyo" + diff --git a/lev/05/01.md b/lev/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..7d9db577 --- /dev/null +++ b/lev/05/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yahweh anaendlea kumwambia Musa yawapasayo watu kutenda + +# ushahidi fulani kuhusu kile alichotakiwa kushudia + +Sheria na viongozi wa kiyahudi viliwataka watu kushuhudia iwapo walikuwa mashahidi kwa uharifu. Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "jambo fulani ambalo hakimu amemtaka yeye kushuhudia" + +# Mungu amekitaja kuwa ni najisi + +Kitu fulani ambacho Mungu amekita kuwa hakiwafai watu kukigusa au kukila kimesemwa kuwa kana kwamba kilikuwa kichafu kwa mwonekano. + +# mzoga + +"maiti" + +# yeye ni najisi + +Mtu asiyekubalika katika makusudi ya Munngu husemwa kana kwamba ni mtu aliyekuwa mchafu kimwili. + diff --git a/lev/05/03.md b/lev/05/03.md new file mode 100644 index 00000000..95ab7cb0 --- /dev/null +++ b/lev/05/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ikiwa agusa unajisi wa mtu fulani, haijalishi ni unajisi wa aina gani + +Ile nomino dhahania "unajisi" yaweza kutamkwa kama kivumishi. : "iwapo nagusa kitu chochote ambacho humfanya mtu najisi" + +# unajisi + +Kitu fulani ambacho Yahweh amekitamka kuwa hkifai kwa mtu kukigusa au kukila huzungumziwa kana kwamba kilikuwa najisi kwa monekao. + +# hakuwa na habari juu yake + +"yeye ahitambui" au "hajui juu yake" + +# anaapa kwa midomo yake + +Hapa "midomo" huwakilisha mtu mzima. : "iwapo mtu yeyote anaapa bila kujali" + +# mtu huapa bila kujali, + +Hii humaanisha kuapa kiapo bila kufikiri kwa kumaanisha juu yake. Inamaanisha kwamba baada ya mtu kuwa anaapa kiapo ambacho ama hawezi kukitimiza au hataki hasa kukitimiza. + diff --git a/lev/05/05.md b/lev/05/05.md new file mode 100644 index 00000000..0bab2d78 --- /dev/null +++ b/lev/05/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa yawapasayo watu kutenda. + +# naye kuhani atafanya upatanisho + +Ile nomino dhahania "Upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. : "Kuhani atapatanisha kwa ajili yake" + diff --git a/lev/05/07.md b/lev/05/07.md new file mode 100644 index 00000000..bfb70701 --- /dev/null +++ b/lev/05/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Iwapo hataweza kununua mwana-kondoo + +Iwapo hana fedha ya kutosha kununua mwana-kondoo + +# naye atamvunja shingo yake lakini ataacha kichwa chake kinaning'inia wala hataiondoa kabisa shingo yake + +"naye atamuua kwa kukipindua kichwa chake na kuivunja shingo yake, lakini hatakiondoa hichwa" + diff --git a/lev/05/10.md b/lev/05/10.md new file mode 100644 index 00000000..27285f9e --- /dev/null +++ b/lev/05/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kama ilivyoelezwa kwenye maelekezo + +Hii yaweza kutakwa katika mtindo tendaji. : "kama alivyoelekeza Yhweh" + +# naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya dhambi aliyotenda + +Ile nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. : "Naye kuhani atapatanisha kwa ajili ya dhambi ile ambayo ametenda + +# naye huyo mtu atakuwa amesamehewa + +Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Yahweh atamsamehe mtu huyo" + diff --git a/lev/05/11.md b/lev/05/11.md new file mode 100644 index 00000000..648b12ff --- /dev/null +++ b/lev/05/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# sehemu ya kumi ya efa + +Efa moja ni sawa sawa na lita 22. Sehemu ya kumi ni kama lita 2 hivi + +# sehemu ya kumi + +Hii ni sehemu moja ya kumi zilizo sawa + diff --git a/lev/05/12.md b/lev/05/12.md new file mode 100644 index 00000000..63027f45 --- /dev/null +++ b/lev/05/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Naye atauleta + +"Naye yampasa kuleta unga safi" + +# sadaka ya kuwakilisha + +konzi kuhani chomayo juu ya madhabahu huwakakilisha matoleo yote. Hii humaanisha matoleo yote ni ya Yahweh, tazama sura ya 2:1 + +# atafanya upatanisho + +Ile nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama tendo. : "atamatanisha" + +# juu ya madhabahu, na juu ya matoleo yafanywayo kwa Yahweh + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : " Yahweh. : "juu ya sadaka za kuteketezwa kwa Yahweh" + +# naye mtu huyo atakuwa amesahewa. + +Hili laweza kutamkwa kama mtindo tendaji. : "Yahweh atasamehe dhambi za mtu huyo" + diff --git a/lev/05/14.md b/lev/05/14.md new file mode 100644 index 00000000..1f3a8d65 --- /dev/null +++ b/lev/05/14.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# dhambi dhidi ya vitu ambavyo ni vya Yahweh + +Hii inamaanisha kwamba mtu aliyefanya dhambi kwa kutotoa kwa Yahweh kile alichomwamru Yahweh kutoa. : "Natenda dhambi kwa kushindwa kutoa kwa Yahweh kilicho cha Yahweh" + +# thamani yake halisi itatathminiwa kulingana na shekeli za fedha + +Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji: "Naye yapasa kuamua ni shekeli ngapi huyo kondoo dume anastahili" + +# shekeli + +Sheli ni kama gramu 11 hivi katika uzito. + +# shekeli za patakatifu + +Labda huenda hii humaanisha kulikuwa angalau na njia mbili za kupima shekeli. Hii humaanisha namna kuhani wa patakatifu alivyopima shekeli. : ""kipimo rasimi katika hema takatifu" + +# patakatifu + +Hili ni jina lingine la hema takatifu + +# ataongeza moja ya tano + +ya tano** - Hii inamaanisha mtu huyo alilazimika kulipa ziada ya moja ya tano ya thamani ya alichodaiwa na Yahweh. + +# moja ya tano + +ya tano** - Hii ni sehemu moja kutokana na sehemu tano zilizosawa. + +# Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake + +Ile nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. "kuhani atapatanisha kwa ajili yake" + +# naye mtu huyo atakuwa amesamehewa + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "yahweh atamsamehe mtu huyo" + diff --git a/lev/05/17.md b/lev/05/17.md new file mode 100644 index 00000000..64ecec21 --- /dev/null +++ b/lev/05/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ameagiza lisitendwe + +Hii yaweza kutakwa katika mtindo tendaji. : ": "amewaamuru watu wasitende + +# atachukua hatia yake mwenyewe + +Ile hatia ya mtu imezungumziwa kana kwamba ni kitu kinachoonekana ambacho mtu hukibeba. Neno "hatia" hapa huwakilisha kwa hatia hiyo. : "naye anawajibika kwa hatia yake mwenyewe" au "Yahweh atamwadhibu yeye kwa dhambi zake" + +# mwenye thamani ya fedha iliyopo + +Hii humaanisha kuwa mtu huyo ni lazima aamue kwa kutumia kipimo rasimi cha kwenye hema takatifu ni kiasi gani cha shekeli huyo kondoo dume anastahili. + +# naye atakuwa amesamehewa + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Yahweh atamsamehe yeye" + +# na kwa hakika amekuwa na hatia mbele za Yahweh." + +"Hakika Yahweh ataiangalia hatia yake" + diff --git a/lev/06/01.md b/lev/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..c73e2408 --- /dev/null +++ b/lev/06/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kuvunja amri dhidi ya Yahweh + +"aasiye mojawapo ya amri za Mungu" + +# kujishughulisha na uongo dhidi ya jirani yake kuhusu kitu fulani kilichowekwa amana kwake + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "akidanganya kwa jirani yake kuhusu kitu fulani alichomwazimisha yeye + +# jirani yake + +"Jirani yake" humaanisha Mwisraeli yeyote, siyo yeyote aishiye karibu naye. + +# alichokichukua kwa dhuluma kutoka kwake + +Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "bila kurudisha kitu fulani alichokiazima" + diff --git a/lev/06/05.md b/lev/06/05.md new file mode 100644 index 00000000..87b8cfbd --- /dev/null +++ b/lev/06/05.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# kwa ukamilifu + +"kikamilifu" au "kabisa" + +# kuongeza moja ya tano + +Tazama lilivyotafsiriwa katika 5:15 + +# kumlipa anayedai + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. :"kulipa mtu anayemdai" + +# anayopatikana na hatia + +Mtu aliyeiba yapasa kuletwa mbele ya mwamuzi na kutangazwa mwanyehatia. : "sentensi hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. "hakimu anamtangaza kuwa mwenye hatia" + +# inayolinga na thamani ya sasa + +Tazama 5:14 uone lilivyofasiriwa + +# Naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake + +Ile nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. : "kuhani atapatanisha kwa ajili yake" + +# mbele ya Yahweh, + +katika uwepo wa Yahweh" + +# naye atakuwa amesamehewa + +Hii humaanisha Yahweh atamsamehe mtu huyo, siyo kuhani. Hii yaweza kutafasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Mungu atamsamehe yeye" + diff --git a/lev/06/08.md b/lev/06/08.md new file mode 100644 index 00000000..a972f073 --- /dev/null +++ b/lev/06/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kisha Yahweh akazungumza na Musa akisema, "Mwagize Aroni na wanawe, kusema, 'hii ndiyo sheria + +Hii ina nukuu ndani ya nukuu. nukuu ya moja kwa moja yaweza kutamkwa kama nukuu taarifa yenyekutajwa. : "Kisha Yahweh akazungumza na Musa na kumwambia kumwamru Aroni na wanawe, akisema, 'Hii ndiyo sheria'" + +# juu ya meko ya madhabahu + +"Lazima iwe juu ya madhabahu" + +# nao moto wa madhabahu utaendelea kuwaka. + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yapasa uufanye moto wa madhabuni uendelee kuwaka" + diff --git a/lev/06/10.md b/lev/06/10.md new file mode 100644 index 00000000..3702cc1d --- /dev/null +++ b/lev/06/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nguo zake za kitani, + +Kitani ni nguo nyeupe. : "nguo zake nyeupe" + +# Naye atayachukua hayo majivu + +"Naye atayakusanya hayo majivu" + +# baada ya moto kuwa umetekeza sadaka ya kuteketezwa + +Moto kuteketeza kabisa sadaka umezunguzwa kana kwamba umeitafuna au kuitumia sadaka ya kutekezwa + +# mpaka mahali palipo safi + +Mahali panapofaa kutumika kwa makusudi ya Mungu pameongelewa kana kwamba palikuwa safi kimaumbile. + diff --git a/lev/06/12.md b/lev/06/12.md new file mode 100644 index 00000000..c8e1f930 --- /dev/null +++ b/lev/06/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Huo moto ulio juu ya madhabahu utaendelea kuwaka. + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Kuhani atautunza moto ulio juu ya madhabahu ili uendelee kuwaka" + +# kama inavyotakiwa + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "juu yake kama Yahweh anavyotaka" + diff --git a/lev/06/14.md b/lev/06/14.md new file mode 100644 index 00000000..8e203c22 --- /dev/null +++ b/lev/06/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kuleta harufu ya kupendeza + +Tazama sura 1:7 lilivyofasiriwa kama kirai kile kile. + +# sadaka ya kuwakilisha + +Tazama lilivyotafsiriwa sura ya 2:1 + diff --git a/lev/06/16.md b/lev/06/16.md new file mode 100644 index 00000000..6145bbad --- /dev/null +++ b/lev/06/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ni lazima iliwe + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "Yawapasa kuila" + +# Haitaokwa pamoja na hamira + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "msiioke na hamira" + +# matoleo... yafanywayo kwa moto + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "sadaka za kuteketeza" + +# Yeyote ayagusaye atakuwa mtakatifu." + +Hili ni onyo limaanishalo kwamba hao walio wa uzao wa Aroni wasio wanaume haikuwapasa kuigusa hiyo sadaka. Maana kamili ya kauli hii yaweza kuwa wazi. + diff --git a/lev/06/19.md b/lev/06/19.md new file mode 100644 index 00000000..d7fde8b3 --- /dev/null +++ b/lev/06/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ambayo kila mwana atapakwa mafuta + +hii inamaanisha kwamba watapakwa mafuta watakapokuwa makuhani. Maana ya kamili ya kauli yaweza kuwekwa wazi. Hii pia yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Anapompaka mafuta kila mwana, akiwaweka wakfu kuwa makuhani" + +# sehemu ya kumi ya efa + +Efa moja ni sawasawa na lita 22. moja ya kumi ya efa ni kama lita 2 hivi. + +# sehemu ya kumi + +Hii ni sehemu ya kumi sehemu zilizosawa. + diff --git a/lev/06/21.md b/lev/06/21.md new file mode 100644 index 00000000..7d21051d --- /dev/null +++ b/lev/06/21.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Nayo Itatengenezwa + +hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Nawe utaitengeneza" + +# katika kikaango + +Tazama sura ya 2:4 uone lilivyofasiriwa. + +# Itakapokuwa imelowekwa + +"Unga unapokuwa umeloana kabisa kwa mafuta" + +# utaileta ndani + +Hapa "Nawe" humrejelea mtu anayetoa sadaka. + +# ili kuleta harufu ya kupendeza kwa Yahweh + +Tazama maelezo katika sura ya 1:7 kwa ufafanuzi. + +# Kama ilivyoamriwa + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Kama vile ambayo Yahweh amekuamru" + +# yote itateketezwa + +Hii yaweza kutakwa katika mtindo tendaji. : "yapasa aiteketeze yote" + +# itateketezwa yote kabisa + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Yapasa aiteketeze yote kabisa" + +# Haitaliwa kamwe + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Hakuna apaswaye kuila" + diff --git a/lev/06/24.md b/lev/06/24.md new file mode 100644 index 00000000..8bb448c3 --- /dev/null +++ b/lev/06/24.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Yahweh akazungumza tena na Musa, akisema, "Sema na Aroni na wanawe uwaambie kwamba, 'Hii ndiyo sheria + +Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja yaweza kutamkwa kama nukuu taarifa yenyekutajwa. : "Yahweh alizungumza na Musa na akamwambia kuzungumza na Aroni na wanawe, akimwambia, 'Hii ndiyo sheria'" + +# Sema na Aroni na wanawe + +Yahweh anazungumza na Aroni na wanawe, lakini kanuni hizi zinatekelezeka kwa makuhani. Maana kamili ya maelezo haya yaweza kufanywa wazi. + +# Sadaka ya dhambi lazima ichinjwe... mbele za Yahweh + +Yaweza kuwekwa wazi kwamba hii hurejelea upande wa kaskazini wa madhabahu. Tazama 1:10 + +# inapochinjwa sadaka ya kuteketezwa + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji:. : "Yakupasa kuichinjwa sadaka" + +# Sadaka ya dhambi lazima ichinjwe + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "mahali unapomchinjia mnyama wa sadaka ya kuteketezwa" + +# mbele za Yahweh + +"kwa Yahweh" + +# Nayo yapasa kuliwa + +Hii yaweza kutmkwa katika mtindo wa utendaji. : "Yampasa kuila" + diff --git a/lev/06/27.md b/lev/06/27.md new file mode 100644 index 00000000..61647b0e --- /dev/null +++ b/lev/06/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Chochot kigusacho nyama yake kitakuwa kitakatifu + +Hili ni onyo linalomaanisha kwamba zaidi ya makuhani hakuna impasaye kugusa nyama ya sadaka ya dhambi. Maana kamili ya maelezo haya yaweza kuweka wazi. + +# kama damu yake inanyunyizwa juu + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "iwapo damu yake inanyunyizwa juu" + +# chungu ambamo inachemshiwa lazima kivunjwe + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "yakupasa kukivunja chungu ambacho ndani yake uliichemshia" + +# kama imechemshwa ndani ya chombo cha shaba, lazima kisuguliwe na kusafishwa kwa maji + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "kama ulichemsha nyama kwenye kwenye sufuria ya shaba, hivyo itakupasa kuisugua sufuria na kuisuuza kwa maji safi" + diff --git a/lev/06/29.md b/lev/06/29.md new file mode 100644 index 00000000..dc9d0972 --- /dev/null +++ b/lev/06/29.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sadaka ya dhambi...haitaliwa + +Hii yaweza kutamkwa ktika mtindo wa utendaji. "Hakuna hata mmoja atakayeila sadaka ya dhambi" + +# ambayo damu yake inaletwa kwenye hema la kukutania + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. ; Amabayo kutoka kwayo kuhanai anatoa damu ya kuleta kwenye hema la kukutania" + +# Ni lazima iteketezwe. + +Hii yaweza kutamkwa ktika mtindo wa utendaji. : "lazima Kuhani ataiteketeza" + diff --git a/lev/07/01.md b/lev/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..bf1ada6f --- /dev/null +++ b/lev/07/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa Ujumla: + +Yahweh anaendelea kumwambia Munsa kile anachopaswa kumwambia Aroni na wanawe. + +# mahali panapostali kuchinjwa + +Panaweza kuwekwa wazi kwamba hapa panamaanisha Mahali ambapo wanyama watolewao kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa huchinjwa. Tazama 1:10 + +# Mafuta yote yaliyomo ndani yake yatatolewa: + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtido wa utendaji. : "Yule kuhani atayatoa mafuta yote yaliyomo ndani yake" + +# sehamu za ndani + +Hili ni tumbo pamoja na Matumbo + +# Ini...figo + +maneno haya yamefasiriwa katika mtindo ule ule uliotumika kwenye sura ya 3:3 + +# karibu na kiuno + +Hii ni sehemu ya mwili kwenye pande za uti wa mgonngo kati ya mbavu na mifupa ya nyonga. Tazama 3:3 + +# hii yote lazima iondolewe + +Hili linaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : Huyo Kuhani aiondoa hii yote. + diff --git a/lev/07/05.md b/lev/07/05.md new file mode 100644 index 00000000..999892d5 --- /dev/null +++ b/lev/07/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# viwe dhabihu iliyofanywa kwa Yahweh kwa moto + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "viwe sadaka ya kuteketezwa" + +# lazima iliwe + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Ni lazima waile" + diff --git a/lev/07/07.md b/lev/07/07.md new file mode 100644 index 00000000..c6bac38d --- /dev/null +++ b/lev/07/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni sheria ileile hutumika kwa zote mbili + +"Sheria ni ileile kwa zote mbili" + +# ya kuhani azitumiaye kufanya upatanisho. + +Ile nomino dhahania "Upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. : "kwa kuhani aitoaye dhabihu ili kupatanisha kwa aji;li ya dhambi za mtu fulani" + +# ngozi + +Vazi au ngozo ya mnyama + diff --git a/lev/07/09.md b/lev/07/09.md new file mode 100644 index 00000000..72104a90 --- /dev/null +++ b/lev/07/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# inayookwa mekoni... ipikwayo kaangoni + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Ile ambayo mtufulani anaioka mekoni... ile ambayo mtu fulani huipika mekoni" + +# Meko + +Tazama maelezo katika sura 2:3 + +# Kaango + +Tazama maelezo katika 2:6 ili uone neno "kaango" lilivyotafsiriwa + +# Sufuria + +Tazama sura ya 2:4 uone neno "sufuria" lilivyofasiriwa + diff --git a/lev/07/11.md b/lev/07/11.md new file mode 100644 index 00000000..33106a6b --- /dev/null +++ b/lev/07/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mikate isiyotiwa hamira, bali iliyochanganywa na mafuta ya zeituni + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ya mikate aliyoifanya pasipo kutia hamira bali kwa kuchanganya na mafuta. + +# vipande vya mkate...iliyochanganywa na mafuta ya zeituni + +"Vipande vya mkate" hapa humaanisha mkate mnene + +# kaki zisizotiwa hamira, lakini ziwe zimefanywa kwa mafuta ya zeituni yaliyopakwa juu yake + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji: : ya mikate miembamba aliyoifanya bila hamira bali kwa kuipaka mafuta" + +# kaki...zilizopakwa mafuta + +"Kaki" hapa humaanisha mkate mwembamba. + +# mikate iliyofanywa kwa unga laini uliochanganywa vema na mafuta + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ya mikate aliyoitengeneza kwa unga laini uliochanganywa na mafuta" + +# mikate iliyofanywa kwa unga laini + +"Mikate'" hapa humaanisha mkate mnene. Hufanana na aina ya ule mkate wa kwanza isipokuwa wenyewe unafanywa kwa unga uliolaini zaidi + diff --git a/lev/07/13.md b/lev/07/13.md new file mode 100644 index 00000000..90ea0125 --- /dev/null +++ b/lev/07/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# vipande vya mikate iliyotiwa hamira + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji: : : "vipande vya mkate alioufanya kwa kutia hamira" + +# vipande vya mkate + +Hii humaanisha mkate mnene. + diff --git a/lev/07/15.md b/lev/07/15.md new file mode 100644 index 00000000..58c426c7 --- /dev/null +++ b/lev/07/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mtu anayeleta + +"Mtu anayetoa" + +# kwa kusudi la kutoa shukrani + +Ile nomino dhahania "shukurani" yaweza kutamkwa kama kitenzi. : "kwa kusudi la kumshukuru Yahweh" + +# lazima nyama italiwa...kinaweza kuliwa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ni lazima aile hiyo nyama...anaweza kuila" + diff --git a/lev/07/17.md b/lev/07/17.md new file mode 100644 index 00000000..c54ef706 --- /dev/null +++ b/lev/07/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# katika siku ya tatu + +ya tatu hii ni namba ya kawaida kwa tatu. : "baada ya siku mbili" + +# lazima ichomwe moto + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. " : "mtu anayepaswa uiteketeza" + +# Iwapo kipande chochote cha nyama hiyo ya dhabihu kinachobaki kinaliwa katika siku ya tatu + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "iwapo mtu yeyote anakula nyama yake ya sadaka + +# hakitakubalika + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Yahweh hataikubali" + +# wala hakitatolewa kwa aliyeitoa + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "wala Yahweh hataiheshimu dhabihu ambayo huyo mtu aliitoa" + +# atabeba hatia ya dhambi mwenyewe yake + +Mtu anayewajibika kwa dhambi aliyoitenda anazungumziwa kana kwamba anapaswa kubeba kimaumbile hiyo hatia. + diff --git a/lev/07/19.md b/lev/07/19.md new file mode 100644 index 00000000..fb2f032b --- /dev/null +++ b/lev/07/19.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# 9Nyama yoyote igusayo kitu kilicho najisi haitaliwa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Hakuna awezaye kula nyama inayogusa kitu fulani kilichonajisi" + +# kitu kilicho najisi + +Kitu fulani ambacho Yahweh amekitamka kuwa hakifai kukigusa au kukila kinasungumziwa kana kwamba kilikuwa najisi kimaumbile. + +# Ni lazima iteketezwe kwa moto + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yapasa uiteketeze kwa moto" + +# yeyote aliye safi + +Mtu mwenye kukubalika kwa kusudi la Mungu anazungumziwa kana kwamba ni mtu aliyekuwa safi kimaumbile. + +# mtu yeyote aliyenajisi + +Mtu asiyekukubalika kwa kusudi la Mungu anazungumziwa kana kwamba ni mtu aliyekuwa mchafu kimaumbile. + +# yapasa mtu huyu akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake. + +Mtu anayetengwa kutoka kwa jamii yake anazungumziwa kana kwamba amkwisha kukatwa kutoka kwa watu wake, kama vile mtu akatavyo kipande cha nguo au tawi kutoka kwenye mti. : "mtu huyo hawezi kuishi miongoni mwa watu wake" au "yapasa umtenge mtu huyo kutoka kwa watu wake" + diff --git a/lev/07/21.md b/lev/07/21.md new file mode 100644 index 00000000..62aa2543 --- /dev/null +++ b/lev/07/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kitu chochote kilichonajisi + +Kitu fulani ambacho Yahweh amekitaja kuwa hakifai kugusa au kula kinazungumziwa kana kwamba kilikuwa si safi kimaumbile. + +# iwe ni unajisi wa binadamu, au wa mnyama aliyenajisi, + +"Mtu" hapa mumaanisha wanadamu kwa ujumla. : "ikiwa wa mtu au wa mnyama + +# au wa kitu fulani kilichonajisi na chenye kuchukiza + +au wa unajisi fulani wa kitu ambacho humchukiza Yahweh + +# lazima mtu huyo akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake. + +Tazama maelezo katia sura ya 7:19. Hii pia yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. + diff --git a/lev/07/22.md b/lev/07/22.md new file mode 100644 index 00000000..280b67ca --- /dev/null +++ b/lev/07/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kisha Yahweh akazungumza na Musa, akisema, "Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'hamruhusiwi kula mafuta + +Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja yaweza kutamkwa kama nukuu taarifa yenyekutajwa. "Kisha Yahweh na akamwambia Musa kumbia kuwaambia watu wa Israeli kwamba: "Hamtakula mafuta" + +# afaye peke yake bila ya kuwa dhabihu + +"aliyekufa peke yake lakini hakuwa dhabihu" + +# mafuta ya mnyama yeyote aliyeraruliwa na wanyama pori + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "mafuta ya mnyama yule ambaye mnyamapori alimuua" + diff --git a/lev/07/25.md b/lev/07/25.md new file mode 100644 index 00000000..ca95236d --- /dev/null +++ b/lev/07/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# dhabihu iliyofanywa...kwa moto + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Sadaka ya kutekeza" + +# mtu huyo lazima atakatiliwa mbali kutoka kwa watu wake + +Tazama katika sura ya 7:19 + +# Hamtakula damu + +"Hamtatumia damu" + +# katika mojawapo ya nyumba zenu + +"katika masikani yenu" au "popote mwishipo" + diff --git a/lev/07/28.md b/lev/07/28.md new file mode 100644 index 00000000..5a3c920a --- /dev/null +++ b/lev/07/28.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa hiyo Yahweh akazungumza na Musa na akasema, "Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'Yeye atoaye + +Hii ina nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja yaweza kutamkwa kama nukuu taarifa yenyekutajwa. : Kisha Yahweh akazungumza na Musa na akamwambia awaambie watu wa Israeli kwamba: 'Yeye atoaye" + +# Mikono yake mwenyewe lazima iilete hiyo sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto + +Kile kirai "ifanywayo kwa moto" yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Yeye mwenyewe analazimika kuileta sadaka anayopanga kuiteketeza kama dhabihu kwa Yahweh" + +# Mikono yake mwenyewe + +"Mikono" humwakilisha mtu mzima. : "yeye mwenyewe anapaswa kuileta" + +# kidari + +Sehemu ya mbele ya mwili wa mnyama iliyoko chini ya shingo + +# ili kwamba kidari kiweze kutikiswa kuwa sadaka ya kutikiswa mbele za Yahweh. + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ili kwamba kuhani aweze kuiwasilisha kwa Yahweh kama sadaka ya kutikiswa" + +# kiweze kutikiswa kuwa sadaka ya kutikiswa mbele za Yahweh. + +Kuiinua juu sadaka ni mfano wa ishara unaoonyesha kwamba mtu anaiweka wakfu dhabihu kwa Yahweh. + diff --git a/lev/07/31.md b/lev/07/31.md new file mode 100644 index 00000000..43f80652 --- /dev/null +++ b/lev/07/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paja + +Sehemu ya juu ya mguu juu ya goti + +# kama sadaka iliyotokana + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "nawe uitoe kama sadaka" + diff --git a/lev/07/33.md b/lev/07/33.md new file mode 100644 index 00000000..a59521ef --- /dev/null +++ b/lev/07/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa kuwa nimetwaa + +"Nime..." hapa humrejelea Yahweh. + +# uwe mchango + +hiyo ninaitoa kama sadaka" + diff --git a/lev/07/35.md b/lev/07/35.md new file mode 100644 index 00000000..3f1488f3 --- /dev/null +++ b/lev/07/35.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# sadaka zilizofanywa kwa Yahweh kwa moto + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Sandaka za kuteketezwa kwa ajili ya Yahweh" + +# ambao Yahweh aliamru waweze kupewa kutoka kwa watu wa Israel + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "aliyowaamru Yahweh watu wa Israeli kuitoa kwao" + +# hiyo aliyowatia mafuta ya upako wawe makuhani + +ambayo Musa aliwapaka mafuta makuhani". + +# katika vizazi vyote + +Hii yaweza kufasiriwa kama katia sura ya 3:15 + diff --git a/lev/07/37.md b/lev/07/37.md new file mode 100644 index 00000000..f4df2924 --- /dev/null +++ b/lev/07/37.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo Unganishi + +Huu ni mwisho wa hotuba iliyoanzia katika 7:28 + diff --git a/lev/08/01.md b/lev/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..ce97aac9 --- /dev/null +++ b/lev/08/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Katia sura ya 8 Musa anawaweka wakfu Aroni na wanawe wawe makuhani kulingana na aagizo ya Yahweh ambayo aliyaamru katika kitabu cha Kutoka + +# mavazi + +"Mavazi ya kikuhani" au "nguo walizavaa makuhani" + diff --git a/lev/08/04.md b/lev/08/04.md new file mode 100644 index 00000000..a0f09124 --- /dev/null +++ b/lev/08/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Haya ndiyo Yahweh amegiza yatendwe + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Yahweh alituamru sisi kutenda" + diff --git a/lev/08/06.md b/lev/08/06.md new file mode 100644 index 00000000..9f4f308e --- /dev/null +++ b/lev/08/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# na kuwaosha kwa maji + +Hili ni tendo la kiishara. Ni usafishaji wa kiibada ambao huwandaa wao kuwa makuhani. + +# kanzu... ukumbuu...joho...kizibao...mshipi uliosokotwa kwa ustadi + +mshipi uliosokotwa kwa ustadi** - Haya ni mavazi ambayo Yahweh aliwaamru watu kutengeneza kwa ajili ya makuhani. + +# ukumbuu` + +kipande cha nguo kirefu ambacho kinafungwa kuzunguka kiuno au kifua. + +# kukikaza mwilini mwake + +"alikifunga kumzunguka" + diff --git a/lev/08/08.md b/lev/08/08.md new file mode 100644 index 00000000..dec0c6f7 --- /dev/null +++ b/lev/08/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# akaweka kifuko kifuani mwa Aroni + +"Musa aliweka kifuko juu ys |Aroni" + +# kifuko kifuani..kiremba...bamba la dhahabu... taji takatifu + +Haya yote ni mavazi maalum ambayo Yahweh aliwaamru watu kutengeneza kwa ajili ya makuhani. + +# Urimu na Thumimu + +Hivi havikujulikana wazi vilikuwa ni vitu gani. Vilikuwa vitu ambavyo kwa kuhani alivitumia kwa namna fulani kupambanua mapenzi ya Mungu. + +# kiremba + +kifuniko cha kicho cha mtu ambapo kilikuwa ni kitambaa cha nguo kirefu kilichofungwa kukizunguka kichwa + +# bamba la dhahabu; liwe taji takatifu + +Virai hivi viwili hurejelea kitu kile kilekile. Lilikuwa ni mamba la dhahabu tupu lililoambatanishwa na kiremba. + diff --git a/lev/08/10.md b/lev/08/10.md new file mode 100644 index 00000000..066a4c53 --- /dev/null +++ b/lev/08/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# vyombo vyake vyote + +Hivi vyote ni vyungu, masufuria, makoleo, na nyuma vilivyotukaka kwenye madhabahu. + +# sinia la kunawia + +Hili ni besenni la shaba liliowekwa kati ya madhabahu na hema. + +# kitako chake + +Hiki ni kinara cha shaba ambacho juu yake sinia la kunawia liliwekwa. + diff --git a/lev/08/12.md b/lev/08/12.md new file mode 100644 index 00000000..a250e20f --- /dev/null +++ b/lev/08/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Akamimina + +"Musa alimimina" + +# ukumbuu + +Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 8:6 + diff --git a/lev/08/14.md b/lev/08/14.md new file mode 100644 index 00000000..75abf909 --- /dev/null +++ b/lev/08/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wakaweka mikono yao juu ya kichwa + +Tazama jinsi lilivyofasiriwa katika sura ya 1:3 + +# mpembe za madhabahu + +Tazama jinsi lilivyofasiriwa katika sura ya 4:6 + +# kuitenga kwa Mungu + +"tenga madhabahu kwa ajili ya Mungu" + +# kufaa kwa kufanyia upatanisho. + +"Upatanisho" hapa humaanisha kuifanya madhabahu ifae katika kumtumikia Mungu. : "ili kuifanya mahali pa kufaa kwa ajili ya kuteketezea dhabihui ya dhambi" + diff --git a/lev/08/16.md b/lev/08/16.md new file mode 100644 index 00000000..0d3350a4 --- /dev/null +++ b/lev/08/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sehemu za ndani + +Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 1:7 + +# ini...figo + +Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 3:3 + +# ngozi + +Hili ni vazi au nyama ya juu yenye manyoya ya mwili wa mnyama wa kundini + diff --git a/lev/08/18.md b/lev/08/18.md new file mode 100644 index 00000000..b18afd4f --- /dev/null +++ b/lev/08/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wakaweka mikono yao juu ya kichwa + +Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 1:3 + diff --git a/lev/08/20.md b/lev/08/20.md new file mode 100644 index 00000000..8533c175 --- /dev/null +++ b/lev/08/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Naye akamkatakata kondoo + +"Musa akamkata kondoo" + +# ilitoa harufu ya kupendeza + +Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 1:7 + +# sadaka iliyofanywa kwa Yahweh kwa moto + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Sadaka aliyoiteketeza kwa Yahweh" + diff --git a/lev/08/22.md b/lev/08/22.md new file mode 100644 index 00000000..fa7e3dcb --- /dev/null +++ b/lev/08/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kondoo wa kuwekwa wakfu + +Neno "kuweka wakfu" ni nomino dhahania. : "kondoo kwa ajili ya kuwatenga Aroni na wanawe kwa ajili ya huduma ya Mungu" + +# wakaweka mikono yao juu ya kichwa + +Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 1:3 + +# naye akaweka sehemu ya damu ya kondoo + +Inaonesha kwamba Musa aliikinga damu kwenye bakuli wakati ilipochuruzika kutoka kwa mnyama. Maana yake yaweza kuwekwa wazi + diff --git a/lev/08/25.md b/lev/08/25.md new file mode 100644 index 00000000..a7ab22ca --- /dev/null +++ b/lev/08/25.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# sehemu za ndani + +Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 1:7 + +# ini...figo + +Limefasiriwa kama ilivyofanyika katika sura ya 3:3 + +# paja la kulia + +Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 7:31. + +# kikapu cha mikate isiyo na hamira ambayoo ilikuwa mbele za Yahweh + +Hii haimaanishi mahali pa kikapu cha mikate. humaanisha kwamba huu ni mkate ambao Musa amishauweka wakfu kwa Yahweh. + +# weka mikoni mwa Aroni na katika mikono ya wanawe + +"Mikono" hapa huwakilisha nafsi nzima. : "aliitoa yote kwa Aroni na wanawe" + +# kuvitikisa mbele za Yahweh kuwa sadaka ya kutikiswa + +Inaashiria kwamba Aroni na wanawe waliiwasilisha sadaka. Maana kamili ya tamko hili yaweza kufanywa ya kueleweka. :"Walivitikisa mbele za Yahweh kuwa sadaka ya kutikiswa" + +# kuitikisa + +Hili ni tendo la kiishara linaloweka wakfu sadaka kwa Yahweh. + diff --git a/lev/08/28.md b/lev/08/28.md new file mode 100644 index 00000000..e17fce63 --- /dev/null +++ b/lev/08/28.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Musa akaichukua + +sherehe rasmi inayomfanya mtu kuwa kuhani + +# kutoka mikononi mwao + +"Mikono" hapa huwakilisha nafsi nzima. : "kutoka kwa Aroni na wanawe" + +# Zilikuwa ni sadaka ya kuwekwa wakfu + +"Zilikuwa sadaka za kuwatenga Aroni na wanawe kwa ajili ya huduma kwa Yahweh" + +# sadaka iliyofanywa kwa Yahweh kwa moto + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh kwa moto + +# ilitoa harufu ya kupendeza + +Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 1:7 + +# kidari + +Sehemu ya mbele ya mwili wa mnyama chini ya shingo + +# kuwekewa mikono + +Sherehe rasmi inayomfanya mtu kuwa kuhani + diff --git a/lev/08/30.md b/lev/08/30.md new file mode 100644 index 00000000..adda972e --- /dev/null +++ b/lev/08/30.md @@ -0,0 +1,115 @@ +# Musa + +Musa alikuwa nabii na kiongozi wa watu wa +Musa alipokuwa mtoto, wasazi wake Musa walimweka kwennye kikapu kwenye mianzi ya mto Nile ili kumficha kutoka kwa Pharao wa Misri. Miriamu, dada yake Musa alimwangalia huko. Maisha ya Musa yalilindwa tu pale binti Farao alipomwona na kumpeleka ikulu kumlea kama mwanawe. + +Mungu allimchagua Musa kuwaokoa Waisraeli kutoka utumwani Misri na kuwaongoza mpaka nchi ya ahadi. + +Baada kuundoka kwa Waisraeli huko Misri, na wakiwa wanarunguka jangwani, Mungu alimpa Musa mbao mbili za mawe zilizoandikwa Amri za Mungu juu yake. + +Karibu na mwisho wa uhai wake, Musa aliitazama tu nchi ya ahadi, lakini hakuingia kuishi humo kwa sababu hakumtii Mungu. + +# Paka mafuta, mpakwa mafuta + +Neno "paka mafuta" humaanisha kusugua au mimina mafuta juu ya mtu au chombo, Wakati mwingine mafuta yalichanganywa na viungo, vikiyapa harufu yenye manukato. Neno pia limetumika kitamathari kumaanisha Roho Mtakatifu kumchaguwa na kumwezesha tu. + +Katika Agano la Kale, makuhani, wafalme na manabii walipakwa mafuta ili kutenga kwa huduma maalum kwa Mungu. + +Vyombo kama vile madhababhuau hema, vilipakwa mafuta kuonyesha kwamba vilikuwa vitumike kumwabudia na kumtukuza Mungu. + +Katika Agano Jipya, wagonjwa walipakwa mafuta kwa uponyaji wao. + +Agano Jipya hutaarifu mara mbili amabapo Yesu alipopakwa yenye manukato na wanawake, kama tendo la ibada. Wakati mmoja Yesu alisifia kwamba kwa kufanya hivi mwanamke huyo alikuwa akiandaa maziko Yake ya baadaye. + +Yesu alipokufa, rafiki zake waliuandaa mwili wake kwa maziko kwa kuupaka mafuta na uvumba. + +Vyeo "Mesiya" (Kiebrania) na "Kristo" (Kiyunani) humaanisha "Mpakwa mafuta" + +MAPENDEKEZO YA UFASIRI +Kutegemeana na muktadha, neno "paka mafuta" laweza kufasiriwa kama "mimina mafuta juu ya" au "weka mafuta juu ya" au "weka wakfu kwa kumminia mafuta yaliyotiwa manukato." + +"Kupakwa mafuta" laweza kufasiriwa kama "wekwa wakfu kwa kupakwa mafuta." au "teuliwa" au "wekwa wakfu." + +Katika baadhi ya mazingira neno "paka mafutaa" linaweza kufasiriwa kama "teuwa." + +Kirai kama "kuhani mpakwa mafuta," laweza kufasiriwa kama "kuhani aliyewekwa wakfu kwa mafuta" au kuhani aliyetengwa kwa miminiwa mafuta juu yake." + +# damu + +Neno "damu" humaanisha kimiminika chekundu ambacho hutoka katika ngozi ya mtu kunapoukuwa na jeraha au kovu. Damu hutoa virutubisho viletavyo uhai katika mwili mzima wa mtu. + +Damu huashiria uhai na inapomwagwa, huashiria kupoteza maisha au kifo. + +Watu walipofanya dhabihu kwa Mungu, waliua mnyama na walimimina damu juu ya madhabahu. Hii iliifananisha dhabihu ya uhai wa damu ya mnyama + +# Mafuta + +Mafuta ni kimiminika kizito, safi kilichotokana na mimea au matunda fulani. Kwa kawaida katika nyakati za Biblia yalitokana na mizeituni. + +Mafuta ya zeituni yalitumika kwa kupikia, kupaka, dhabihu, taa, na dawa. + +katika nyakati za kale, mafuta ya zeituni yalikuwa na gharama kubwa na umiliki wa mafuta ulihesabika kama kipimo cha utajiri. + +# Madhabahu + +Madhabahu ni muundo ulionuliwa juu ambao juu yake Waisrali waliteketeza wanyama na nafaka kama sadaka kwa Mungu. + +Nyakati za Biblia, mara kwa mara watu walitengeneza madhabahu rahisi kwa kuumba rundo la undongo uliofungashwa au kwa kupanga mawe makubwa kwa ungalifu ili kufanya rundo imara. + +Baadhi ya madhabahu zilitengenezwa kwa kuunda makasha maalum kwa mbao zilizofunikwa kwa metali kama vile dhahabu, shaba nyeupe au shaba nyekundu. + +Baadhi ya makundi mengine ya watu jirani na Israeli pia walijenga madhabahu ili kutoa dhabihu kwa miungu yao. + +# tenga + +Neno "tenga" humaanisha kutengwa na jambo fulani ili kutimiza kusudi fulani. + +Waisraeli walitengwa kwa huduma ya Mungu. + +Roho Mtakatifu aliwaamru Wakristo wa Antiokia kuwatenga Paulo na Barnaba kwa kazi ya Mungu aliyowataka wao waifanye. + +Mwamini "aliyetengwa" kwa kazi ya Mungu "amewekwa wakfu" kutimiza mapenzi ya Mungu. + +Moja ya maana ya "mtakatifu" ni kutekwa kuwa wa Mungu na kuwa umetengwa kutoka katika njia za dhambi za ulimwengu. + +\Ule msamiati "takasa" humaanisha kumtenga mtu kwa huduma ya Mungu. + +MAPENDEKEZO YA UFASIRI +Njia za kufasiri "kutenga" zaweza kujumuisha, "kuchagua mahususi" au kutenga kutoka miongoni mwenu" au "kuweka kando ili kufanya kazi maalum." + +"Kutengwa" kwaweza kufasiriwa "kuwekwa kando + +# Vaa, vikwa + +Neno "kuvikwa na" linapotumika kitamathli kwenye Biblia, humaanisha kuruzukiwa au kuandaliwa kwa kitu fulani. "Kujivika" mwanyewe na kitu fulani humaanisha kutafuta kuwa na tabia yenye sifa fulani. + +MAPENDEKEZO YA UFASIRI +Kama inawezekana, ni vema kuitunza tamathali ya usemi, "jivike na." Njia nyingine ya kufasiri hili ni yaweza kuwa "vaa" kama hii ingemaanisha kuvaa nguo. + +Kama hii haileti maana sahihi, njia nyingine ya kuifasiri tamathali "kuvikwa na" yaweza kuwa "kuonyesha" au "kudhihirisha" au kujazwa na" au kuwa na sifa ya." + +Neno "jivike na" laweza pia kufsiriwa kama "jifunike na" au "enenda katika njia ambayo huonyesha." + +# mwana, mwana wa + +Neno "mwana" hurejelea mvulana au katika uhusiano kwa wazazi. Laweza pia kumaanisha ama mzao mwanaume wa mtu fulani au kwa mwana aliyeasiliwa. + +"Mwana," mara kwa mara limetumika kimafumbo katika Biblia kumaanisha mzao yeyote wa kiume, kama vile mjukuu au kitukuu. + +Neno "mwana" pia linaweza kutumika kama muundo wa kistaraabu wa kumwita mvalana au mtu aliye kijana. + +Wakati mwingine "wana wa Mungu" limetumika kwenye kumaanisha waaminio katika Kristo. + +Mungu anaiita Israeli "mwanawe mzaliwa wa kwanza." Hii hurejelea uchaguzia wa Mungu wa taifa la Israeli kuwa watu maalum wa Mungu. Ni kwa kupitia kwao kwamba ujumbe wa ukombozi na wokovu ulikuja, ukiwa na matokeo yake kwamba watu wengi wamefanyika watoto wa kiroho. + +Kirai "mwana wa" mara kwa mara limekuwa na maana ya kimafumbo, "kikiwa na sifa bainishi za." Mifono ya hiki hujumuisha wana wa nuru," "wana wa amani," na "wana wa ngurumo." + +Kirai "mwana wa" pia kimetumika kuzungumzia ni nani aliye baba wa mtu. Kirai hiki hutumika kuelezea vizazi na maeneo mengine mengi. + +Kwa kutumia "mwana wa" kwa kutoa jina la baba mara mara husaidia kutofautisha watu wenye majina yenye kufanana. Kwa mfano, "Azaria, mwana wa Sadoki" na Azaria, mwana wa katika 1 Wafalme 4, na "Azaria, mwana wa Amazia" katika 2 Wafalme 15 ni watu watatu waliotofauti. + +MAPENDEKEZO YA UFASIRI +Kwenye muktadha wa kukiri kwamba kitu fulani ni kweli, "kiri" laweza kufasiriwa kama "kubali" au "tangaza" au "ungama" kuwa ni kweli au "amini." + +Linapomaanisha kumtambua mtu, neneo hili laweza kufasiriwa kama "pokea" au "tambua" uthamni wa" au ambia wengine kwamba + diff --git a/lev/08/31.md b/lev/08/31.md new file mode 100644 index 00000000..e9c5cea6 --- /dev/null +++ b/lev/08/31.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kikapu cha kuwekwa wakfu + +Hii humaanisha kikapu kilicho na matoleo yatumikayo wakati wa kuwaweka wakfu Aroni na wanawe. : "kile kikapu" + +# kama nilivyoamru, kusema, 'Aroni na wanawe wataila + +Hii ina nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja yaweza kutamkwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja. " kama nilivyokuagiza kufanya" + +# hata zitakapotimia siku za kuwekwa mikono kwenu + +Hii yaweza kufasiriwa katiika mtindo wa utendaji. : "mpaka mkamilishe siku zenu za kuwekewa mikono. + +# kuwekwa mikono + +Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 8:28 + diff --git a/lev/08/34.md b/lev/08/34.md new file mode 100644 index 00000000..d4017d35 --- /dev/null +++ b/lev/08/34.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kitendeke + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "sisi tutende" + +# Kufanya upatanisho kwa ajili yenu + +Ile Nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. : " Kupatanisha kwa ajili ya dhaambi zenu" + +# hivi ndivyo nimeamriwa + +Hii yaweza kufasiriwakatika mtindo wa utendaji. "hivi ndivyo ameniamru" + diff --git a/lev/09/01.md b/lev/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..6af0c7b9 --- /dev/null +++ b/lev/09/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# siku ya nane + +Neno "ya nane" ni namba ya kawaida kwa nane. + +# Mbele za Yahweh + +"kwa Yahweh" au "katika uwepo wa Yahweh" + diff --git a/lev/09/03.md b/lev/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..ec28a6a4 --- /dev/null +++ b/lev/09/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelzo jumla: + +Musa anaendelea kumwambia Aroni' + +# Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'Twaeni beberu...atajidhihirisha kwenu + +Musa anaendelea kumwambia Aroni. Sentensi hii ina nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja kwa moja yaweza kutamkwa kama nukuu taarifa iliyotwa. : "na waambie watu Israeli watwae beberu...atajidhihirisha kwa watu wote" + +# wa umri wa mwaka moja + +"mwenye umri wa miezi kumi na miwili" + +# ilikuwatoa mbele za Yahweh + +"kutoa kwa Yahweh" + diff --git a/lev/09/06.md b/lev/09/06.md new file mode 100644 index 00000000..28f3d445 --- /dev/null +++ b/lev/09/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# amewaamru nyinyi mfanye + +"Nyinyi" hapa humaanisha watu wa Israeli. + +# ili kwamba utukufu wake uweze kuonekana kwenu + +"Utukufu" hapa huwakilisha uwepo wa Yahweh. : ""ili kwamba aweze kuonyesha utukufu wa uwepo wake" + +# kufanya upatanisho kwa ajili yako mwenyewe.. na kwa ajili ya watu ili kufanya upatanisho kwa ajili yao + +Hizi ni dhabihu mbili tofauti. Dhabihu ya kwanza ni kupatanisha kwa ajili ya dhambi za kuhani mkuu. Kuhani mkuu anapotenda dhambi, hiyo dhambi huwafanya watu wawe na hatia. (Tazama 4:1) Dhabihu ya pili ni kupatanisha dhambi za watu wanazotenda wenyewe. + diff --git a/lev/09/08.md b/lev/09/08.md new file mode 100644 index 00000000..59aa0bda --- /dev/null +++ b/lev/09/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wana wa Aroni wakamletea hiyo damu + +Hii inaonyesha kwamba waliikinga damu kwenye bakuli wakati damu ilipokuwa ikichuruzika kutoka kwa mnyama. Maana kamili ya tamko hili yaweza kufanywa wazi wazi + +# pembe za madhabahu + +Tamza maelezo ya sura ya 4:6 + +# chini ya kitako cha madhabahu + +"chini ya madhabahu" + diff --git a/lev/09/10.md b/lev/09/10.md new file mode 100644 index 00000000..ae99c050 --- /dev/null +++ b/lev/09/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# aliyateketeza + +"Aroni aliiteketeza" + +# figo...ini + +Tazama maelezo ya sura ya 3:3 + +# ngozi + +Tazama maelezo ya sura ya 7:7 + diff --git a/lev/09/12.md b/lev/09/12.md new file mode 100644 index 00000000..b578ae1b --- /dev/null +++ b/lev/09/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wanawe wakampa hiyo damu + +Tazama maelezo ya sura ya 9:8 + +# sehamu za ndani + +Tazama maelezo ya sura ya 1:7 + diff --git a/lev/09/15.md b/lev/09/15.md new file mode 100644 index 00000000..f09888c5 --- /dev/null +++ b/lev/09/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mbuzi wa kwanza + +Neno "wa kwanza" ni namba ya mpango kwa ajili ya namba moja. : "mbuzi kwa ajili ya sadaka yake mwenyewe. + +# pamoja na sadaka ya asubuhi ya kuteketezwa + +Hii humaanisha dhabihu ya kwanza ya kila siku. kuhani angieitoa dhabihu hii ya kuteketezwa asuhubi kabla ya dhabihu nyingine yot yote. Maana kamili yaweza kufanywa wazi. + diff --git a/lev/09/18.md b/lev/09/18.md new file mode 100644 index 00000000..2a9c059e --- /dev/null +++ b/lev/09/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Akamchinja + +"Aroni alichinja" + +# wana wa Aronni wakampa damu + +Inamaanisha kwamba damu ilikuwa kwenye bakuli. Maana kamili yaweza kufanywa wazi. + +# Sehemu za ndani + +Tazama maelezo ya sura ya 1:7 + +# figo...ini + +Tazama maelezo ya sura ya 3:3 + diff --git a/lev/09/20.md b/lev/09/20.md new file mode 100644 index 00000000..733b6a8f --- /dev/null +++ b/lev/09/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Wakazichukua hizi sehemu + +"wana wa Aroni walizichukua hizo sehemu" + +# wakaziweka hizi + +Neno "hizi" hurejelea mafuta na sehemu zilizoorodheshwa hapo awali. + +# vidari + +Tazama amaelezo ya sura ya 7:28 + +# paja la kulia + +Tazama amaelezo ya suru ya 7:31 + +# mbele za Yahweh + +"kwa Yahweh" + diff --git a/lev/09/22.md b/lev/09/22.md new file mode 100644 index 00000000..140b1db2 --- /dev/null +++ b/lev/09/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kisha akashuka chini + +Kirai "akashuka chini" kimetumika kwa sababu mahali pa madhabahu palikuwa juu zaidi ya mahali watu walipokuwa wanasimama. + +# utukufu wa Yahweh ukaonekana kwa watu wote + +"Utukufu" hapa huwakilisha uwepo wa Yahweh. : "Yahweh akawaonyesha watu wote utukufu wa uwepo wake" + +# Moto ukashuka kutoka kwa Yahweh na ukairamba + +"Yahweh alituma moto ulioiramba" + +# ukairamba sadaka ya kuteketezwa + +Moto ukiitekeza kabisa sadaka umezungumziwa kana kwamba moto uiitafuna au kuitumia sadaka ya kutekezwa. + +# wakala wakiinamisha nyuso zao chini + +"walilala wakaelekeza nyuso zao ardhini." Hii ni ishara ya heshima na adhama. + diff --git a/lev/10/01.md b/lev/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..6fb9f641 --- /dev/null +++ b/lev/10/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Nadabu na Abihu + +Haya ni majina ya wana wa Aroni + +# kifukizo + +chombo cha metali chenye kina kifupi ambacho makuhani walikitumia kubebea makaa ya moto au uvumba + +# wakakaweka moto ndani yake + +"akaweka makaa yaliyowaka moto ndani yake" + +# wakatoa moto usiokuabalika mbele za Yahweh, moto ambao hakuwaamru wao kuutoa + +"Lakini Yahweh hakuikubali sadaka yao kwa sababu haikuendana na kile ambacho aliwaamru kukitoa" + +# moto usiokuabalika mbele za Yahweh + +"moto usiokubalika kwa Yahweh" + +# Kwa hiyo moto ukashuka chini mbele za Yahweh + +"Kwa hiyo Yahweh akatuma moto" + +# ukashuka chini mbele za Yahweh + +"ulikuja kutoka kwa Yahweh" + +# na kuwala + +Moto ukiwaunguza kabisa watu unazungumziwa kana kwamba uliwala au uliwatumia kabisa. + +# nao wakafa mbele za Yahweh + +"walikufa katika uwepo wa Yahweh" + diff --git a/lev/10/03.md b/lev/10/03.md new file mode 100644 index 00000000..c1a223fe --- /dev/null +++ b/lev/10/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# "Hiki ndicho Yahweh alichokuwa akikiongelea aliposema, 'Nitaufunua utakatifu wangu... mbele za watu wote'" + +Hii ina nukuu ndani ya nukuu. Nukuu halisi yaweza kutamkwa kama nukuu taarifa iliyotajwa. : "Hiki ndicho Yahweh alichokuwa akiongelea alliposema kwamba angefunua takatifu wake...wamkaribiao yeye, na ya kwamba yeye atatukuzwa...watu + +# Nitaufunua utakatifu wangu kwa wale wanikaribiao + +Kile kirai "wale wanikaribiao" humaanisha makuhani wamtumikiao Yahweh. "Nitawaonyesha wale ambao hukaribia kunitumikia kwamba Mimi ni mtakatifu" au "Wale wanaokuja karibu ili kunitumikia lazima wanitendee kama mtakatifu. + +# Nami nitatukuzwa mbele za watu wote + +Sehemu hii ya pili ya tamko la Yahweh bado linamhusu kuhani, ambaye ni mmoja wa wanaomkaribia Yahweh. "Laazima wanitukuze mbele za watu wote" au "Lazima waniheshimu katika uwepo wa watu wote" + +# Mishaeli...Elzafani...Uzieli + +Haya ni majina ya watu + +# ndugu zenu + +Hii haimanishi kwamba walikuwa ndugu halisi. "Ndugu" hapa humaanisha jamaa au binamu. + diff --git a/lev/10/05.md b/lev/10/05.md new file mode 100644 index 00000000..44e231de --- /dev/null +++ b/lev/10/05.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Hivyo wakakaribia + +"Kwa hiyo Mishaeli na Elzafani wakakaribia" + +# kuwachukua wangali wamevaa kanzu zao za kikuhani + +Waliibeba miili ya Nadabu na Abihu, ambayo ilikuwa ingali kwenye kanzu za kikuhani + +# Eliezari...Ithamari + +Haya ni majina ya wana wa Aroni. + +# Msiache wazi nywele za vichwa vyenu, wala msirarue nguo zenu, + +Yahweh anawaambia Aroni na wanawe wasionyeshe ishara yoyote ya nje ya huzuni au kuomboleza. + +# ili kwamba msije mkafa + +"ili kwamba msife" + +# asilikasirikie kusanyiko zima + +"Kusanyiko" hapa humaanisha kutaniko zima la Israeli, siyo kikundi cha viongozi tu. : "asiwakasirikie watu wote wa Israeli" + +# nyumba yote ya Israeli + +"Nyumba" hapa huwakilisha watu wa Israeli. "watu wote wa Israeli" + +# kwa ajili ya hao ambao Yahweh amewaangamiza kwa moto + +"kwa ajili ya wale ambao Yahweh aliwaua kwa moto wake" + diff --git a/lev/10/08.md b/lev/10/08.md new file mode 100644 index 00000000..155dfcbf --- /dev/null +++ b/lev/10/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Hii itakuwa + +"Hii" hapa hurejea nyuma kwenye amri kwa ajili ya makuhani ya kutokunywa mvinyo na kinywaji kikali waingiapo kwenye hema la kukutania. + +# amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu + +Tazama maelezo ya sura ya 3:15. + +# ili kupaambanua + +Unaweza kuanza sentensi mpya hapa. "Yawapasa mfanye hivyo ili kwamba muweze kutofautisha" + +# kati ya mambo matakatifu na mambo ya kawaida + +Yale majina vumishi "mataktifu" na "ya kawaida" yaweza kutamkwa kama vivumishi. : "Kati ya kilicho kitakatifu na "cha kawaida" au "kati ya kilichowekwa wakufu kwa Mungu na kilicho cha kawaida + +# kati ya kilichonajisi na kilichosafi + +Yale majina vumishi "kilichonajisi|" na "kisichosafi" yaweza kutamkwa kama vivumishi. : "Kati ya kinajisi na kisafi" au "kati ya kile Mungu ambacho Mungu hatakikubali na kile ambacho atakikubali" + +# Kilichonajisi + +Mtu au kitu ambacho Yahweh amekitamka kuwa hakifai kuguswa yanazungumziwa kana kwamba yalikuwa kichafu kimaumbile. + +# kilichosafi + +Mtu au kitu ambacho Yahweh amekitamka kuwa hakifai kuguswa yanazungumziwa kana kwamba yalikuwa safi kimaumbile. + diff --git a/lev/10/12.md b/lev/10/12.md new file mode 100644 index 00000000..7266c7e5 --- /dev/null +++ b/lev/10/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Sadaka za kuteketezwa kwa Yahweh" + +# kwa kuwa ni takatifu sana + +"kwa kuwa sadaka ya nafaka ni takatifu sana" + +# hivi ndivyo nimeamriwa kuwaambia ninyi + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa tendakji. : "hivi ndivyo Yahweh ameniamru kuwaambia ninyi" + diff --git a/lev/10/14.md b/lev/10/14.md new file mode 100644 index 00000000..1dbf05cd --- /dev/null +++ b/lev/10/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kile kidari kitikiswacho na lile paja ambalo hutolewa kwa Yahweh + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kile kidali na paja ambalo mtu alilitikisa na kuipeleka kwa Yahweh" + +# kidari + +ile sehemu ya mbele ya mwili wa mnyama chini ya shingo + +# paja + +ile sehemu ya juu mguu juu ya goti + +# Wewe mwenyewe, wanao na binti zako + +"Wewe" hapa humaanisha Aroni + +# Nazo zitakuwa zako wewe na wanao uwe mgao wenu daima + +Hii ijulikane kwamba sehemu hiyo ni ya Aroni na wanawe. : "Sehemu hii daima itakuwa kwa ajili yako na wanao" + diff --git a/lev/10/16.md b/lev/10/16.md new file mode 100644 index 00000000..b9ecdb99 --- /dev/null +++ b/lev/10/16.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# ametekezwa kwa moto + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Kuhani alikuwa ameiteketeza yote" + +# Eleazari and Ithamari + +Yafasiri majina haya kama yalivyofasiriwa katika sura ya 10:5 + +# Kwa nini hamjaila ... mbele zake? + +Musa anatumia swali kuwakemea Eleazari na Ithamari. swahili hili lenye ufsaha laweza kufasiriwa tamko. : "Iliwapasa kuwa mmeila...mbele zake." + +# kwa kuwa ni takatifu sana + +"kwa kuwa sadaka ya dhambi ni takatifu sana" + +# kuchukua uovu wa kusanyiko + +Ikimsababisha Yahweh kuwasamehe watu wa Israeli kunazungumziwa kana kwamba uovu ulikuwa kitu ambacho Yahweh hukichukua kutoka kwa watu. + +# mbele zake + +"katika uwepo wake" + +# Tazama, damu yake haikuletwa ndani ya hema + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "hukuileta damu yake" + diff --git a/lev/10/19.md b/lev/10/19.md new file mode 100644 index 00000000..cb65ae76 --- /dev/null +++ b/lev/10/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# jambo hili vilevile limetendeka kwangu + +Aroni anarejea kwa kifo cha wanawe wawili. + +# Isingekuwa imeshapendeza mbele za Yahweh? + +Dhabihu hizi zilikuwa za kuliwa kwa shangwe na furaha. Aroni anatumia swali kusisitiza kwamba Yahweh asingekuwa amependezwa naye kwa kula dhabihu kwa kuwa anahuzuni kwa sababu ya vifo vya wanawe. Swali hili laweza kufasiriwa kama tamko. : "hakika Yahweh asingekuwa amependezwa." + diff --git a/lev/11/01.md b/lev/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..a86282c4 --- /dev/null +++ b/lev/11/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# miongoni mwa wanyama + +"kutoka kwa wanyama wote" + diff --git a/lev/11/03.md b/lev/11/03.md new file mode 100644 index 00000000..80fda8f5 --- /dev/null +++ b/lev/11/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile anawachoruhusu watu kula na kile ambacho anawazuia kula. + +# kwato zenye kugawanyika + +Hii humaanisha kwamba kwato zilizogawanyika sehemu mbili badala ya kuwa wayo mmoja + +# hucheua. + +Hii humaanisha mnyama anayeleta chakula kinywani kutoka tumboni mwake na hukitafuna tena. + +# aadhi ya wanyama ambao ama hawacheui au hana kwato zilizogawanyika + +Yaani kwamba, wana moja au nyingine, lakini siyo yote mawili. + +# ngamia ni najisi kwenu + +Ngamia kuwa hafai kwa watu kumla amaezungumziwa kana kwmaba alikuwa mchafu kimaumbile. + diff --git a/lev/11/05.md b/lev/11/05.md new file mode 100644 index 00000000..03f5013c --- /dev/null +++ b/lev/11/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwambia Musa na Aruni kile anachowaruhusu watu kula na kile ambacho anawakataza kula. + +# Pimbi + +Mnyama mdogo aishiye maeneo ya miamba. + +# najisi kwenu + +wanyama hawa ambao Mungu amewatamka hawafai kwa watu kuwala wamezungumziwa kana kwamba walikuwa wachafu kimaumbile. + +# Sungura + +Mnyama mdogo mwenye manyoya marefu ambaye kwa kwaida huishi kwenye mashimo chini ardhini. + +# wala msiiguse mizoga yao + +"wala msiguse miili yao iliyokufa" + diff --git a/lev/11/09.md b/lev/11/09.md new file mode 100644 index 00000000..2e59b118 --- /dev/null +++ b/lev/11/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwambia Musa na Aruni kile anachowaruhusu watu kula na kile ambacho anawakataza kula + +# Mapezi + +pezi , ni sehemu iliyobapa ambayo samaki huitumia kuogelea majini. + +# Magamba + +Ni mabamba madogo madogo yanayoufunika mwili wa samaki. + +# viumbe wote hai wasio na mapezi na magamba waliomo baharini au mitoni + +"wanyama wote waishio baharini au mitoni wasio na mapezi na magamba" + +# watakuwa chukizo kwenu + +Yahweh anawaamru watu kuwakataa na kudharau kuwal a viumbe hawa. Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yapsa mwawachukie hao" au "lazima mukatae kabisakabisa" + diff --git a/lev/11/11.md b/lev/11/11.md new file mode 100644 index 00000000..8b106a4c --- /dev/null +++ b/lev/11/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwambia Musa na Aruni kile anachowaruhusu watu kula na kile ambacho anawakataza kula + +# Kwa kuwa watakuwa chukizo + +"kuchukia" ni kukitaa na kukidharamu kitu. Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo" wa utendaji. : "kwa kuwa yawapasa kuwachukia hao au kwa kuwa ni lazima muwakatae kabisakabisa" + +# mizoga yao sharti itakuwa chukizo + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ywapasa kuichukia miili yao iliyokufa" au "msiguse miili yao iliyokufa" + +# Chochote kisichokuwa na mapezi au magamba kilichomo majin + +"Chocote kilichomo majini kisichokuwa na mapezi na magamba" + +# lazima kiwe chukizo kwenu + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "lazima mvichukie" au "lazima mvikatae kabisa kabisa" + diff --git a/lev/11/13.md b/lev/11/13.md new file mode 100644 index 00000000..57433d35 --- /dev/null +++ b/lev/11/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwambia Musa na Aruni kile anachowaruhusu watu kula na kile ambacho anawakataza kula + +# tai, furukombe, kipungu, mwewe mwekundu, aina yoyote ya kipanga, kila aina ya kunguru, 16kiruka-njia, kipasuasanda, Shakwe..aina yoyote ya mwewe. + +Kuna ndege ambao ama hukaa macho usiku au hula panya na wanyama waliokufa. + diff --git a/lev/11/17.md b/lev/11/17.md new file mode 100644 index 00000000..ca654714 --- /dev/null +++ b/lev/11/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwambia Musa na Aruni kile anachowaruhusu watu kula na kile ambacho anawakataza kula + +# bundi mdogo...bundi mkubwa...chukizo, mnandi, bundi mweupe na mwari, korongo...ina zote za koikoi, huduhudi...popo + +Hawa ndege walao panya na wadudu na aghalabu hukaa macho usiku + +# bundi mkuu + +""bundi mkubwa" + +# Koikoi...huduhudi + +Hawa ni ndege walao panya na mijusi. + +# popo + +Ingawaje popo si ndege, kwenye orodh hii popo ni najisi kwa sababu ana mabawa na huruka. ana mwili wa manyoya na hasa hukaa macho usiku. Yeye hula wadudu na panya + diff --git a/lev/11/20.md b/lev/11/20.md new file mode 100644 index 00000000..a57f3240 --- /dev/null +++ b/lev/11/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwambia Musa na Aruni kile anachowaruhusu watu kula na kile ambacho anawakataza kula + +# Wadudu wote wenye mabawa wanaotembea kwa miguu minne ni machukizo kwenu + +Neno hili "chukuzo" laweza kufasiriwa na kirai che kitenzi. : "Mtawachukia wadudu wote wenye mabawa wanaotembeao kwa miguu yao miine" + +# Wadudu watembeao kwa miguu minne + +Kirai "miguu miine" hapa ni nahau inayomaanisha kutambaa juu ya ardhi na huwatenga wadudu hawa na vitu vingine virukavyo, kama vile ndege, ambao wana miguu miwili tu. : "wadudu wataambao juu ya ardhi" + +# nzige, senene, parare, au panzi. + +Hawa ni wadudu wadogo ambao hula mimea na wanaweza kurukaruka. + +# wadudu warukao wenye miguu minne + +"wadudu warukao walio na miguu miine" + diff --git a/lev/11/24.md b/lev/11/24.md new file mode 100644 index 00000000..985aed1c --- /dev/null +++ b/lev/11/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaanza kuwaambia Musa na Aroni ni wanyama gani ambao watu wanatakiwa kuwaona najisi. + +# Nanyi mtakuwa najisi hata jioni kutokana na wanyama hawa endapo mtagusa mizogo yao + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Miili ya wanya wanyama hawa waliokufa itawafanya nyinyi kuwa najisi kama mtagusa mmojawapo. + +# mtakuwa najisi + +Mtu asiyekubalika kwa kusudi la Mungu kwa sababu amegusa mojawapo ya miili ya wanyama waliokufa anazungumziwa kana kwamba amekuwa si mchafu kimaumbile. + +# wanyama hawa + +Hii hurejelea wanyama anaotaka kuwaorodheshaa katika mistari inayofuata. + diff --git a/lev/11/26.md b/lev/11/26.md new file mode 100644 index 00000000..5e24ad44 --- /dev/null +++ b/lev/11/26.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwambia Musa na Aruni kile anachowaruhusu watu kula na kile ambacho anawakataza kula + +# Kila myama...ni najisi kwenu + +Hawa wanyama ambao Mungu amewataja kutofaa kwa kuliwa na watu wamezungumziwa kana kwamba walikuwa wachafu kimaumbile. + +# kwato zilizogawanyika + +Tazama amelezo ya sura ya 11:3. + +# Cheuwa + +Tazama maelezo ya sura ya 11:3 + +# Kiala awagusaye atakuwa najisi + +Mtu ambaye hakubaliki kwa makusudi ya Mungu kwa sababu ya amegusa mmojawapo wa wanyama hawa anazungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile. + +# vitanga + +Miuguu ya mnyama yenye makucha + +# hata jioni + +"hata macheo" + diff --git a/lev/11/29.md b/lev/11/29.md new file mode 100644 index 00000000..5e1e1dc6 --- /dev/null +++ b/lev/11/29.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwambia Musa na Aruni wanyama ambao watu walitakiwa kuwaona najisi + +# hawa ndiyo walio najisi kwen + +Hawa wanyama ambao Mungu amewataja kuwa hawafai kuguswa au kuliwa na watu wamezungumziwa kana kwamba walikuwa wachafu kimaumbile + +# kicheche + +mnyama mdogo mwenye manyoya ya kahawia anayekula ndege na wanyama wadogo. + +# mijusi mikubwa, guruguru, 30kenge, mijusi ya ukutani...na kinyonga + +Hizi ni aina mbali mabali za wanyama wenye damu baridi walio na miguu minne. + +# goromoe + +"Mjusi wa ni" + diff --git a/lev/11/31.md b/lev/11/31.md new file mode 100644 index 00000000..598ba533 --- /dev/null +++ b/lev/11/31.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa Ujmla + +Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aruni wanyama ambao watu walitakiwa kuwaona najisi + +# hawa ndiyo watakuwa najisi kw + +Hawa wanyama ambao Mungu amewataja kuwa hawafai kuguswa au kuliwa na watu wamezungumziwa kana kwamba walikuwa wachafu kimaumbile + +# Yeyeote awagusaye...atakuwa najisi + +Mtu ambaye hakubaliki kwa makusudi ya Mungu kwa sababu amegusa mmojawapo wa wanyama hawa anazungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile + +# hata jioni + +"hata macheo" + +# chombo hicho kitakuwa najisi + +Chombo amacho Mungu amekitaja kuwa hakifai kwa watu kukigusa kwa sababu mwili wa mmojawapo wa myama hawa aliyekufa umeangua juu yake kimezungumziwa kana kwamba klikuwa kichafu kimaumbile. Kimezungumziwa kufaa baada ya kuwa kimeoshwa. + +# Kisha kitakuwa safi. + +Kitu flani ambacho Mungu amekitaja kuwa kinafaa kwa watu kukiguza baada ya kuwa kimeoshwa kimeangumziwa kana kwamba kilikuwa safi kimaumbile. + +# lazima kitalowekwa katika maji + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "na vyovyote utakavyokitumia, itakupasa kukiloweka kwenye maji. + diff --git a/lev/11/34.md b/lev/11/34.md new file mode 100644 index 00000000..7c986dba --- /dev/null +++ b/lev/11/34.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Vyakula vyote ambavyo ni safi + +Vyakula ambavyo Mungu amevitaja kuwa vimekubalika kwa watu kula kimezumgumziwa kana kwamba kilikuwa safi kimaumbile. + +# na kilichoruhusiwa kuliwa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ambacho waweza kukila" + +# .nacho kitakuwa najisi + +Chakula kisichokubalika kwa watu kukila kwa sababu maji yaliyonajisi yamemwagikia juu yake kimezungumziwa kana kwamba kilikuwa kichafu kimaumbile + +# kinachoweza kunywewa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "waweza kunywa" + +# cha mzoga + +"cha maiti" + +# Ni lazima kivunjwevunjwe + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Ni lazima ukivunje vipandevipand"e au "Yakupasa kukisambaratisha" + diff --git a/lev/11/36.md b/lev/11/36.md new file mode 100644 index 00000000..1bc72a54 --- /dev/null +++ b/lev/11/36.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taariifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendele kuwaambia Musa na Aroni ni wanyama gani ambao watu waahesabu najisi + +# Chemchemi au kisima...patabaki kuwa safi + +Maji yale ambayo watu wameruhusiwa kunywa kutoka chemchemi au kisima yanapokusanyika pamezungumziwa kana kwamba palikuwa safi kimaumbile. + +# kisima cha maji ya kunywa yanapokusanyika + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Kisima kinachokusanya maji ya kunywa" + +# mzoga wa mnyama aliye najisi + +maiti ya mnyama ambaye Mungu amamtaja kuwa hafai kwa watu kumgusa au kumla amezungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile + +# yeye atakuwa najisi + +Yule mtu asiyekubalika kwa kusudi la Mungu kwa sababu kagusa mzogo wa mmojawapo wa wanyama amazungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile. + +# mbegu...kwa ajili ya kupanda + +"mbugu ambazo mnatarajia kupanda" + +# Mbegu hizo zitakuwa bado zingali safi...zitakuwa najisi + +Mbegu ambazo Mungu amezitaja kuwa zimekubalika kwa watu kupanda zimezungumziwa kana kwamba zilikuwa safi kimaumbile na zile ambazo hazikubaki zimezungumziwa kana kwamba zilikuwa chafu + +# Lakini kama maji yanawekwa juu ya mbegu + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. "Lakini kama mtaweka juu ya mbengu" + diff --git a/lev/11/39.md b/lev/11/39.md new file mode 100644 index 00000000..5958c86e --- /dev/null +++ b/lev/11/39.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# naye yeyote amgusaye atakuwa najisi hata jioni + +Tazama maelezo ya sura ya 11:31 + +# Hata jioni + +Hata machweo + diff --git a/lev/11/41.md b/lev/11/41.md new file mode 100644 index 00000000..06014b74 --- /dev/null +++ b/lev/11/41.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# atakua chukizo + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yapasa mmchukie" au "yapasa mkatae" + +# Taariifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendele kuwaambia Musa na Aroni ni wanyama gani ambao watu waahesabu najisi + +# hatakuwa wa kuliwa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Haipasi kumla" + +# watakuwa machukizo. + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yawapasa kuwachukia" au "Lazima muwakate" + diff --git a/lev/11/43.md b/lev/11/43.md new file mode 100644 index 00000000..21d3f988 --- /dev/null +++ b/lev/11/43.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taariifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendele kuwaambia Musa na Aroni ni wanyama gani ambao watu waahesabu najisi + +# Msijitie unajisi... msije mkachafuliwa navyo. + +Yahweh anarudia wazo lilelile mara mbili ili kutia nguvu amri kwamba haiwapasi kula mnyama yeyote aliyenajisi. + +# msijitie unasi kwavyo + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kiasi kwamba mnakosa kuwa safi kwa sababu ya hivyo" + diff --git a/lev/11/46.md b/lev/11/46.md new file mode 100644 index 00000000..29a62f08 --- /dev/null +++ b/lev/11/46.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anamaliza kuwaambia Musa na Aroni kile anachowaruhusu watu kula na kilea nachowakataza kula. + +# kwa jili ya kile kinachopaswa kutofautishwa kati + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. :"kwa ajili ya kupambanua baina ya" + +# kutofautishwa kati ya kilicho najisi na kilicho safi + +Wale wanyama ambao MUngu aliwataja kuwa hawafai kwa watu kuwa gusa au kuwala wamezungumziwa kana kwamba walikuwa wachafu kimaumbile, nwa wale aliowataja kukubalika kwa watu kuwagusa na kuwala wamezungumziwa kana kwamba walikuwa wasafi kimaumbile. + +# ambavyo vyaweza...visivyoweza kuliwa." + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ambacho mwaeza kula...amcho hamwezi kula" + diff --git a/lev/12/01.md b/lev/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..7b147de4 --- /dev/null +++ b/lev/12/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# naye atakuwa najisi + +Mwanamke ambaye watu wengine haiwapasi kumgusa kwa sababu anatokwa ujauzito wake anazungumziwa kana kwamba alikuwa najisi kimaumbile. + +# katika siku za kipindi chake kwa mwezi + +Hii hurejealea kipindi cha mwezi mwanamke anapotokwa na kutokana na ujauzito wake. + +# nyama ya govi la mtoto mvulana itatahiriwa + +Ni kuhani tu pekee angeweza kufanya tendo hili. Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kuhani ndiye apaswaye kumtahiri mtoto mvulana" + diff --git a/lev/12/04.md b/lev/12/04.md new file mode 100644 index 00000000..e2ec2188 --- /dev/null +++ b/lev/12/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# utakaso wa mama wa kutokwa damu yake utaendelea kwa muda wa siku thelathini na tatu + +Siku tatu** - Hii humaanisha kwmba mama atabakia najisi kwa siku sitini na tatu. + +# muda wa thelathini na tatu + +siku tatu** - "siku 33" + +# naye atakuwa najisi kwa muda wa majuma mawili + +Mwanamke ambaye watu wengiine haiwapasi kumgusa kwa sababu anatokwa damu kutokana na mimba yake amezungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile. + +# kwa mud wa majuma mawili + +"kwa siku 14" + +# wakati wa kipindi chake + +Tazama maelezo ya sura ya 12:1 + +# siku sitini na sita + +siku sita** - "siku 66" + diff --git a/lev/12/06.md b/lev/12/06.md new file mode 100644 index 00000000..04550a17 --- /dev/null +++ b/lev/12/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Siku za kutakaswa kwake zitakapomalizika + +Siku za mwezi za utakaso wake zitakapokamilika" + +# kwa ajili ya mwana au bint + +Hii hurejelea idadi tofauti ya siku za utakaso kutegemeana na jinsia ya mtoto anayemzaa; mwana au binti. + diff --git a/lev/12/07.md b/lev/12/07.md new file mode 100644 index 00000000..3558303a --- /dev/null +++ b/lev/12/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# naye atatakaswa kutokana kutiririka kwa damu yake + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "na hili litamtakasa kutoka katika kutokwa na damu kwake kunaoendelea wakati wa kuzaliwa kwa mtoto. + +# kama hana uwezo wa kutoa mwana-kondoo + +Fasiri sentensi hii ili kuweka wazi kutokuweza kwa mwanamke kununua dhabihu ya mnyama. : "Iwapo hana fedha ya kutosha kukunulia mwana-kondoo" + +# naye atakuwa safi + +Mwanamke ambaye watu wengine wangeweza kumgusa anazungumziwa kana kwamba alikuwa safi kimaumbile. + diff --git a/lev/13/01.md b/lev/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..76125d4d --- /dev/null +++ b/lev/13/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# lazima aletwe + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kisha yapasa mmoja kumleta yeye" au "kisha yapasa yeye aende" + +# kwa mmoja wa wanawe + +"kwa mmoja wa watoto wa Aroni" + diff --git a/lev/13/03.md b/lev/13/03.md new file mode 100644 index 00000000..036841fa --- /dev/null +++ b/lev/13/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni juu ya kile watu wafanye. + +# ngozi ya mwili wake + +"Wake" hapa humrejelea mtu mwenye ugonjwa wa ngozi. + +# ugonjwa wa kuambukiza + +ugonjwa ambao unaweza kuenea kwa urahisi kutoka kwa mtu mmoja hadi kwa mwingine. + +# atamtangaza kuwa ni najisi + +"ni lazima kuhani amtangaze najisi mtu huyo." Mtule yule ambaye watu wengine hawapaswi kungusa amezungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile. + +# kwa siku saba. + +"kwa siku 7" + diff --git a/lev/13/05.md b/lev/13/05.md new file mode 100644 index 00000000..fdad3d51 --- /dev/null +++ b/lev/13/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# huyo kuhani itambidi kumchunguza + +Anayechunguzwa hapa ni yule mtu aliye na ugonjwa wa ngozi + +# kama haujaenea kwenye ngozi + +Hii inamaanisha kwamba kama ugonjwa wa ngozi haujaongozeka katika ukubwa au haujasogea kwenye sehemu zingine za mwili. + +# siku ya saba + +"Ya saba" ni idadi kwa 7. : "siku ya 7" + +# siku saba + +"Siku 7" + +# Naye kuhani atamtangaza safi ...yeye ni safi. + +Yule mtu ambaye wengine wangemgusa amezungumziwa kana kwamba ni safi kimbaumbile. + +# upele + +Hii ili eneo la ngozi lililoumbuliwa, lakini upele upele hataenea kwa watu wengine. + diff --git a/lev/13/07.md b/lev/13/07.md new file mode 100644 index 00000000..302c4da8 --- /dev/null +++ b/lev/13/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# amejionyesha + +Hii hurejea moja kwa moja kwa mtu aliye na ugonjwa wa ngozi. + +# kuhani atamtangaza kuwa najisi + +Yule mtu ambaye watu wengine haiwapasi kumgusa amezungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile + +# ugonjwa wa kuambukiza + +Tazama maelezo ya sura 13:3. + diff --git a/lev/13/09.md b/lev/13/09.md new file mode 100644 index 00000000..4a6d273c --- /dev/null +++ b/lev/13/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# huyo yapasa aletwe kwa kuhani + +Kuhani aliamua iwapo ugonjwa ulikuwa umesambaa. Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "mmoja nanweza kumleta kwa kuhani" au "anapaswa kumwendea kuhani" + +# endapo...kumekuwa na nyama mbichi kwenye uvimbe. + +"Nyama mbichi" hapa inaweza kumaanisha vidonda vilivyowazi juu ya ngozi au yaweza kumaanisha ngozi mpya imemea, lakini eneeo kukizunguka badao inaugonjwa. ama mojawapo inanyesha kwamba ugonjwa wa ngozi yenye hauponi sawasawa. + +# ugonjwa sugu wa ngozi + +Huu ni ugonjwa ambao au unapona kwa muda wakati mrefu. + +# naye kuhani atamtangaza kuwa najisi...yeye tayari ni najisi + +Yule Mungu ambaye watu wengine hawapasi kumgusa anazungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile. + diff --git a/lev/13/12.md b/lev/13/12.md new file mode 100644 index 00000000..8210783d --- /dev/null +++ b/lev/13/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni yawapasayo watu kufanya mtu anapokuwa na ugonjwa wa ngozi. + +# kuhani atamtangaza mtu huyo...safi...naye atakuwa safi + +Mtu ambaye watu wengine wanaweza kumgusa amezungumziwa kana kwamba alikuwa safi kimaumbile na mtu ambaye watu wengine haiwapasi kumgusa amezungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile. + diff --git a/lev/13/15.md b/lev/13/15.md new file mode 100644 index 00000000..fbfdd047 --- /dev/null +++ b/lev/13/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kuhani atamtangaza...najisi kwa sababu hiyo nyama yake mbichi ni najisi + +Tazama maelezo ya hapo juu 13:6 + +# kumtangaza kuwa najisi + +Anayetangazwa hapa ni yule mwenye ugonjwa wa ngozi + +# nyama mbichi + +Tazama mafafanuzi yaliyo kwenye 13:9 + +# ugonjwa wa kuambukiza + +Imefasiriwa kama ilivyofanyika katia 13:3 + +# kuhani atatangaza kwamba mtu huyo kuwa safi + +Yule mtu ambaye watu wengine wanaweza kumgusa amezungumziwa kana kwamba akuwa safi kimaumbile. + diff --git a/lev/13/18.md b/lev/13/18.md new file mode 100644 index 00000000..e204b0df --- /dev/null +++ b/lev/13/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi. + +# Jipu + +Eneo juu ya ngozi iliyoambukizwa lenye maumivu makali. + +# yapasa kuonyeshwa kwa kuhani. + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yapasa alionyeshe kwa kuhani" + +# kuhani atamtangaza kuwa najisi + +Mtu ambaye watu wengine haiwapasi kumgusa amezungumzwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile. + diff --git a/lev/13/21.md b/lev/13/21.md new file mode 100644 index 00000000..3ad891fd --- /dev/null +++ b/lev/13/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi. + +# analichunguza + +Kinachochunguzwa hapa ni ule uvimbe au doa ling'aalo juu ya ngozi. + +# kuhani atamtangaza kuwa najisi. + +Tazama maelezo ya sura ya 13:20 + +# naye kuhani atamtangaza kuwa safi + +Mtu ambaye watu wengine wanaweza kumgusa amezungumziwa kana kwamba alikuwa safi kimaumbile. + diff --git a/lev/13/24.md b/lev/13/24.md new file mode 100644 index 00000000..08021039 --- /dev/null +++ b/lev/13/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi. + +# Ugonjwa wa kuambukiza + +Tazama maelezo sura ya 13:3 + +# naye kuhani atamtangaza kuwa najisi + +Tazama maelezo ya sura 13:20 + diff --git a/lev/13/26.md b/lev/13/26.md new file mode 100644 index 00000000..7dcb29e1 --- /dev/null +++ b/lev/13/26.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi. + +# analichunguza + +Kinachochunguzwa hapa ni lile jeraha la moto juu ya ngozi ya mtu. + +# naye kuhani atamtangaza kuwa najisi + +Tazama amaelezo ya sura 13:20 + +# Ugonjwa wa kuambukiza + +Tazama maelezo ya sura 13:3 + +# , naye kuhani atamtangaza kuwa safi + +Tazama maelezo ya sura 13:23 + diff --git a/lev/13/29.md b/lev/13/29.md new file mode 100644 index 00000000..48ff2be4 --- /dev/null +++ b/lev/13/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi. + +# kuhani atamtangaza kuwa najisi + +Tazama maelezo ya sura 13:20 + diff --git a/lev/13/31.md b/lev/13/31.md new file mode 100644 index 00000000..0fc7a238 --- /dev/null +++ b/lev/13/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi. + diff --git a/lev/13/32.md b/lev/13/32.md new file mode 100644 index 00000000..142961ed --- /dev/null +++ b/lev/13/32.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi. + +# basi, yapasa mtu huyo kunyolewa., lakini sehemu yenye ugonjwa haitanyolewa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "mtu huyo atalazimika kunyoa nywele zilizokaribu na jipu lakini siyo zile nywele zilizojuu ya jipu" + diff --git a/lev/13/34.md b/lev/13/34.md new file mode 100644 index 00000000..32701804 --- /dev/null +++ b/lev/13/34.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi. + +# ule ugonjwa + +"Ugonjwa" hapa humaanisha ule ugonjwa juu ya kichwa au kidevu cha mtu. + +# kuhani atamtangaza kuwa safi. Mtu huyo yapasa kufua nguo zake, na kisha atakuwa safi + +Tazama maelezo ya sura 13:23 + diff --git a/lev/13/35.md b/lev/13/35.md new file mode 100644 index 00000000..ba4ad3d6 --- /dev/null +++ b/lev/13/35.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi. + +# baada ya kuhani kutangaza kuwa alikuwa safi...Yeye ni safi, naye kuhani atamtangaza safi + +Tazama maelezo ya sura 13:23 + +# Mtu huyo ni najisi + +Tazama maelezo ya sura 13:20 + diff --git a/lev/13/38.md b/lev/13/38.md new file mode 100644 index 00000000..ac1d554b --- /dev/null +++ b/lev/13/38.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi. + +# meupe kwa kufifia + +kovu jeupe + +# Kovu + +Tazama maelezo ya 13:5 + +# Yeye yu safi. + +"Mtu huyo yu safi" + +# Yeye yu safi. + +Tazama maelezo ya sura 13:23 + diff --git a/lev/13/40.md b/lev/13/40.md new file mode 100644 index 00000000..438b0b80 --- /dev/null +++ b/lev/13/40.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# aelezo kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi. + +# yeye yu safi + +Tazama maelezo ya sura 13:23 + diff --git a/lev/13/42.md b/lev/13/42.md new file mode 100644 index 00000000..3f63a12e --- /dev/null +++ b/lev/13/42.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi. + +# Ugonjwa wa kuambukiza + +Tazama maelezo ya sura 13:3 + +# naye ni najisi...atamtangaza kuwa najisi + +Tazama maelezo ya sura 13:20 + diff --git a/lev/13/45.md b/lev/13/45.md new file mode 100644 index 00000000..cb29dfb4 --- /dev/null +++ b/lev/13/45.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi. + +# nje ya kambi + +Kambi ni eneo ambao Waisraeli wengi wailiishi. Mtu najisi alikuwa haruhusiwi kuishi miongoni mwao kwa sababu ugonjwa wake unaweza kuenea kwa wengine. + +# Najisi, najisi + +Tazama aelezo ya sura 13:20 + diff --git a/lev/13/47.md b/lev/13/47.md new file mode 100644 index 00000000..fc7a16f3 --- /dev/null +++ b/lev/13/47.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# vazi la mtu huchafuliwa na ukungu + +"Vazi lenye ukungu juu yake" au Vazi ambalo linaukungu" + +# kuchafuliwa + +Kuwa chafu kwa sababukitu fulani chenye madhara kimeongezwa kwake. + +# ukungu + +Kuvu, mala kwa mara huwa na rangi nyeupe, ambayo hukua juu ya vitu vilivyovichafu au vyenye unyevunyevu + +# au kitu chochote kilichosukwa au kufu + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji' : : "au kitu chochote ambacho mtu aliye amekisokota au kukisuka" + +# Iwapo sehemu iliyochafuliwa ina rangi ya kijani au nyekundu katika vazi + +"kama kuna uchafu wa kijani au wenye wekundo kwenye vazi" + +# kitu chochote kilichotengenezwa kwa ngozi + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kitu chochote kile ambacho mtu amekitengeneza kutoka na na ngozi" + +# lazima kionyeshwe kwa kuhani + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Mmiliki wake yapasa kukionyesha kwa kuhani" + diff --git a/lev/13/50.md b/lev/13/50.md new file mode 100644 index 00000000..3af76a99 --- /dev/null +++ b/lev/13/50.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# siku saba + +Tazama maelezo ya sura 13:5 + +# siku ya saba + +Tazama maelezo ya sura 13:6 + +# kitu chochote ambacho ngozi imetumika + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kitu chochote ambacho mtu anatumia ngozi" + +# kifaa chochote kilichoonekana na ukungu ndani yake + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Chochote ambacho kinapatika na ukungu wenye kudhuru juu yake" + +# kifaa hicho ni najisi + +Maelezo yake yaweza kufanana na ya sura 13:20 + +# huo ukungu unaweza kusababisha ugonjwa + +Huo ukungu wenyekudhuru waweza kusababisha ugonjwa ndani ya mtu anayekikaribia kifaa. + +# Chombo hicho lazima kiteketezwe kabisa kwa moto + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yapasa akiteketeze hicho chombo kabisakabisa + diff --git a/lev/13/53.md b/lev/13/53.md new file mode 100644 index 00000000..a0df6e13 --- /dev/null +++ b/lev/13/53.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# basi atawaamru + +"kisha kuhani atamwamru mmiliki" Hapa kuhani anawaambia watu namna ya kuvitendea vyombo vya nymbani ambavyo yamkini vilikuwa vimembukizwa. + +# hicho kifaa kilichopatikana na ukungu + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ambamo wamegundua mna ukungu" + +# baada ya kuwa kimesafishwa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "baada ya kukiosha kifaa" + +# kifaa hicho ni najisi + +Kitu ambacho Mungu amekitangaza kuwa hakifai kwa watu kukigusa kimezungumziwa kana kwamba kilikuwa kichafu kimaumbile. + +# Yapasa ukichome kifaa hicho + +"ukichome" hapa haimaanishi kuhani hasa. Inamaanisha tu mtu impasaye kukichoma kifaa. + diff --git a/lev/13/56.md b/lev/13/56.md new file mode 100644 index 00000000..ac35739c --- /dev/null +++ b/lev/13/56.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# baada ya kuwa umeoshwa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Baada ya miliki kuwa amekiosha" + +# lazima utakichoma moto + +Anayelazimika hapa haimaanishi kuhani hasa. bali inamaanisha tu yule anayepaswa kukichoma hicho chombo. + +# iwapo unakisafisha kifaa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : Endapo mmiliki anakiosha" + +# nao ukungu ukawa umetoka, nacho kifaa lazima kisafishwe + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kisha huyo mmiliki lazima akioshe" + +# kisha kitakuwa safi. + +Tazama maelezo ya sura 13:23 + diff --git a/lev/13/59.md b/lev/13/59.md new file mode 100644 index 00000000..3c71d4fd --- /dev/null +++ b/lev/13/59.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ukungu katika vazi....lilotengenezwa kwa ngozi + +Tazama linavyofasireiwa katika sura 13:47 + +# ili kwamba mweze kuvitangaza + +"ili kwamba kuhani aweze kukitangaza" + +# safi au najisi + +Tazama maelezo ya sura 13:20-23 + diff --git a/lev/14/01.md b/lev/14/01.md new file mode 100644 index 00000000..43b9031a --- /dev/null +++ b/lev/14/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo kwa Ujumla + +Yahweh aHii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji.nawaambia Musa na Aroni kile ambacho watu wanapaswa kufanya mtu anapotakaswa ugonjwa wa ngozi. + +# siku yake ya utakaso + +Hii hurejelea siku ya ambayo kuhani anamtangaza mtu kuwa ni safi kwa kanuni za kidini + +# Ni lazima aletwe kwa kuhani + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Mtu mmoja anaweza kumleta kwa k"uhani au "Yeye anaweza kwenda kwa kuhani" + diff --git a/lev/14/03.md b/lev/14/03.md new file mode 100644 index 00000000..3f09c422 --- /dev/null +++ b/lev/14/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendele kuwaambia Musa na Aroni ambacho watu wafanye mtu anapotakaswa ugonjwa wake wa ngozi. + +# madhara ya ugonjwa wa ngozi + +Tazama maelezo ya sura ya 13:3 + +# mtu wa kutakaswa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Mtu anayemtakasa" + +# ndege safi + +Tazama maelezo ya sura ya 13:23 + +# kitani nyekundu + +"uzi mwekundo" + diff --git a/lev/14/06.md b/lev/14/06.md new file mode 100644 index 00000000..28c2e757 --- /dev/null +++ b/lev/14/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Tazama maelezo ya sura 14:3 + +# ndege aliyechinjiwa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Ndenge ambaye mtu alimuua" + +# mtu ambaye amekuwa akitakaswa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "mtu anayemtakasa" + +# atamtangaza kuwa safi + +Tazama maelezo ya sura 13:23 + diff --git a/lev/14/08.md b/lev/14/08.md new file mode 100644 index 00000000..1b076d20 --- /dev/null +++ b/lev/14/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anawaambia Musa na Aroni kile ambacho watu wafanye mtu anapotakaswa ugonjwa wa ngozi + +# ambaye amekuwa akitakasw + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Mtu ambaye kuhani anamtakasa" + +# naye atakuwa safi + +Tazama maelezo ya sura 13:23 + diff --git a/lev/14/10.md b/lev/14/10.md new file mode 100644 index 00000000..690f7808 --- /dev/null +++ b/lev/14/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# itambidi kuchukua + +Hapa anayepaswa kuchukua ni yule aliyetakaswa. + +# efa + +Efa moja ni sawasawa na lita 22. + +# logi + +Logi moja ni sawasawa na lita 0.31 + +# yeye atakaswaye + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "mtu anayemtakasa" + diff --git a/lev/14/12.md b/lev/14/12.md new file mode 100644 index 00000000..47e4284f --- /dev/null +++ b/lev/14/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Logi + +Logi mmoja ni sawasawa na lita 0.31 + +# katika eneo la hema + +Kirai hiki kinafafanua kirai kilichotangulia na kutoa maelezo zaidi juu ama kuhani aliyekuwa amchinje huyo mwana-kondoo + diff --git a/lev/14/14.md b/lev/14/14.md new file mode 100644 index 00000000..2786c1ae --- /dev/null +++ b/lev/14/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mtu wa kutakaswa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "mtu anayemtakasa" + +# Logi + +Logi moja ni sawasawa na lita 0.31 + +# kunyunyiza sehemu ya mafuta...mbele za Yahweh. + +"kunyunyizia sehemu ya mafuta... mbele za Yahweh" hakuna kiashiria cha kile ambacho kuhani alinyinyizia mafuta juu yake. + diff --git a/lev/14/17.md b/lev/14/17.md new file mode 100644 index 00000000..1d27ab1f --- /dev/null +++ b/lev/14/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mafuta yaliyobaki mkononi mwake + +"mafuta yaliyobaki yaliyomo mkononi mwake + +# Mtu anayetakaswa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : " mtu anayemtakasa" + +# mbele za Yahweh + +"katika uwepo wa Yahweh" + diff --git a/lev/14/19.md b/lev/14/19.md new file mode 100644 index 00000000..1f8547f0 --- /dev/null +++ b/lev/14/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# yake yeye wa kutakaswa + +Hii yaweza kufasiriwe katika mtindo wa utendaji. : "mtu anayemtakasa" + +# naye atakuwa safi + +Tazama maelezo ya sura 13:23 + diff --git a/lev/14/21.md b/lev/14/21.md new file mode 100644 index 00000000..e5f45b76 --- /dev/null +++ b/lev/14/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu wanapaswa kufanya mtu anapotakaswa ugonjwa wa ngozi. + +# hawezi kumudu + +"hana fedha ya kutosha kununua" + +# kutikiswa...kwa ajili yake + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ambaye kuhani atamtikisa...kwa ajili ywke" + +# moja ya kumi ya efa + +kumi ya efa ni **- moja ya kumi ya efa ni swaswa na lita 22. + +# Logi + +Logi moja ni swasawa na lita 0.31 + diff --git a/lev/14/24.md b/lev/14/24.md new file mode 100644 index 00000000..8cc0f199 --- /dev/null +++ b/lev/14/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Logi + +Logi moja ni swasawa na lita 0.31 + +# anayemtakasa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yule anayemtakasa" + diff --git a/lev/14/26.md b/lev/14/26.md new file mode 100644 index 00000000..5c5c8114 --- /dev/null +++ b/lev/14/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu wanapaswa kufanya mtu anapotakaswa ugonjwa wa ngozi. + +# sehemu ya mafuta...atanyunyizia...mbele za Yahweh + +"sehemu ya mafuta...nyunyizia...mbele za Yahweh." Hakuna kiashiria cha kile ambacho kuhani aliyanyunyizia mafuta juu yake. + diff --git a/lev/14/28.md b/lev/14/28.md new file mode 100644 index 00000000..8ba1f141 --- /dev/null +++ b/lev/14/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# yule wa kutakaswa + +Tazama maelezo ya sura 14:19 + diff --git a/lev/14/30.md b/lev/14/30.md new file mode 100644 index 00000000..266b3fe4 --- /dev/null +++ b/lev/14/30.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Atatoa + +"Kuhani atatoa" + +# yule wa kutakaswa + +Tazama ameleo ya sura 14:19 + +# Ugonjwa wa kuambukiza + +Tazama maelezo ya sura 13:3 + +# asiye mudu + +: "asiyekuwa na fedha ya kuutosha kuweza kununua" + diff --git a/lev/14/33.md b/lev/14/33.md new file mode 100644 index 00000000..76a504ec --- /dev/null +++ b/lev/14/33.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mtakapoingia + +"mtakapoingia" hapa inamaanisha watu wa sraeli. + +# ukungu + +Tazama maelezo ya sura 13:42 + +# katika nchi ya milki yenu + +Neno "milki" laweza kufasiriwa kama kitenzi. : "katika nchi mnayoimiliki" + diff --git a/lev/14/36.md b/lev/14/36.md new file mode 100644 index 00000000..b3e5b992 --- /dev/null +++ b/lev/14/36.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ili kwamba kusiwe na kitu ndani ya nyumba kitakachonajisika + +mara tu kuhani alipoitangaza nyumba najis, kila kitu kilichokuwa kwenye nyumba kilikuwa najisi pia. Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kiasi kwamba hahitaji kutangaza kitu cho chote kilichosalia ndani ya nyumba kuwa najisi" + +# ndani ya nyumba kitakachonajisika + +Tazama maelezo ya sura 13:20 + +# katika bonde za kuta. + +Hii inamaanisha kwamba kuhani ndiye atakayeamua iwapo ukungu umeingi ndani ya nyuso za kuta tu. + diff --git a/lev/14/39.md b/lev/14/39.md new file mode 100644 index 00000000..ed9ea74e --- /dev/null +++ b/lev/14/39.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ambayo kwayo ukungu umepatikana + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ambamo ukungu liuona" + +# mahali palipo najisi + +Tazama maelezo ya sura 13:20 + diff --git a/lev/14/41.md b/lev/14/41.md new file mode 100644 index 00000000..067f999d --- /dev/null +++ b/lev/14/41.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Naye atataka + +"Naye" hapa humaanisha kuhani. + +# zikwanguliwe kuta zote za ndani ya hiyo nyumba + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kwamba mmiliki anazikwangua kuta zote za nadani" + +# vilivyochafuliwa na hivyo vifaa vilivyokwanguliwa + +Hii humaanisha vifaa vyenye ukungu juu yake. Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : KIfaa kilichochafuliwa kile walichokikwangua" + +# mahali paliponajis + +Tazama maelezo ya 13:20 + +# mawe yaliyoondolewa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yale mawe waliyoyaondoa" + +# lazima watumie udongo mpya kuipiga lipu hiyo nyumba + +"lazimz wayafunike hayo kwa udongo mpya" + diff --git a/lev/14/43.md b/lev/14/43.md new file mode 100644 index 00000000..3151ab5c --- /dev/null +++ b/lev/14/43.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# katika nyumba...na kupigwa lipu upya + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "katika nyumba baada ya mmiliki kuyaondoa mawe, amezikwangua kuta, na kuyafunika mawe kwa udongo. + +# nyumba hiyo ni najisi + +Taama maelezo ya sura 13:20 + diff --git a/lev/14/45.md b/lev/14/45.md new file mode 100644 index 00000000..70b3a24c --- /dev/null +++ b/lev/14/45.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yapasa hiyo nyumba ibomolewe + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yapasa waiangushea nyumba chini" + +# Na hayo mawe, na udongo wa lipu vitachukuliwa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yapasa waondowe mawe, mbao, na lipu yote katika nyumba" + +# yeyote aingiaye ndani ya nyumba....atakuwa najis + +Tazama maelezo ya sura ya 13:20 + +# hata jioni + +"mpaka machweo" + diff --git a/lev/14/48.md b/lev/14/48.md new file mode 100644 index 00000000..b08844d5 --- /dev/null +++ b/lev/14/48.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# nyumba kuwa imepigwa lipu + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "mmiliki anaweka udongo mpya juu ya nyumba" + +# ndipo atatangaza kuwa nyumba hiyo ni safi + +Tazama maelezo ya sur 13:23 + diff --git a/lev/14/49.md b/lev/14/49.md new file mode 100644 index 00000000..3624f7bd --- /dev/null +++ b/lev/14/49.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mti wa mwerezi , hisopo, kitambaa chekundu ... damu ya ndege aliyeuawa + +Tazama maelezo ya sura ya 14:3 + +# damu ya ndege aliyeuawa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ile damu ya ndege ambaye yeye limuua" + diff --git a/lev/14/52.md b/lev/14/52.md new file mode 100644 index 00000000..2c0026c0 --- /dev/null +++ b/lev/14/52.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Atalitakaza nyumba + +"Kuhani ataifanya safi nyumba kwa kawaida za kidini" + +# nayo itakuwa safi + +Tazama maelzo ya sura 13:23 + diff --git a/lev/14/54.md b/lev/14/54.md new file mode 100644 index 00000000..5c112476 --- /dev/null +++ b/lev/14/54.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# athari ya ugonjwa wa ngozi + +Tazama maelezo ya sura13:3 + +# Ukungu + +Tazama maelezo ya 13:47 + +# vipele + +Tazama amelezo ya sura 13:5 + +# najisi...safi + +Tama maelezo ya sura13:20 na 23 + diff --git a/lev/15/01.md b/lev/15/01.md new file mode 100644 index 00000000..0c2cb3c5 --- /dev/null +++ b/lev/15/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# unaotoka mwilini mwake + +Hii hurejelea semhemu nyeti za mtu. + +# huwa najis + +Tazama maelezo ya sura 13:20 + +# ni najisi + +"mwili wake ni najisi" au "yeye ni najisi" + diff --git a/lev/15/04.md b/lev/15/04.md new file mode 100644 index 00000000..741025da --- /dev/null +++ b/lev/15/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# najisi + +Tazama maelezozo ya sura 13:20 + +# Yeyote agusaye kitanda....na atakuwa najisi + +Tazama maelezo ya sura ya 13:23 + +# Hata jioni + +Mpaka machweo. + diff --git a/lev/15/06.md b/lev/15/06.md new file mode 100644 index 00000000..6a75d655 --- /dev/null +++ b/lev/15/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# naye atakuwa najisi + +Tazama maelezo ya sura 13:20 + +# hata jioni + +"paka machweo" + +# agusaye mwili + +"yeye agusaye sehemu yoyote ya mwaili" + diff --git a/lev/15/08.md b/lev/15/08.md new file mode 100644 index 00000000..8c7f9c3e --- /dev/null +++ b/lev/15/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mtu mwingine aliyesafi + +Tazama maelezo ya sura 13:23 + +# atakuwa najisi + +Tazama maelezo 13:20 + +# Tandiko + +Tandiko ni kiti cha ngozi ambacho mtu hukiweka mgongoni mwa farasi ili kumpanda aende safari + +# Tandiko lolote...litakuwa najisi + +Tazama maelezo ya sura 13:20 + diff --git a/lev/15/10.md b/lev/15/10.md new file mode 100644 index 00000000..7b4f4a99 --- /dev/null +++ b/lev/15/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kiwapasacho watu kutenda ili kuzuia maabukuizi. + +# mtu huyo + +Hii humrejelea mtu aliye maambukizi ya ugiligili. + +# atakuwa najisi + +Tanzama maelezo ya sura 13:20 + +# hata jioni + +"mpaka macheo" + +# Yeyote yule aliye na mtiririko kama huo anamgusa + +Yeyote aguswaye na mtu mwenye mtiririko" + +# Chungu chochote cha udongo anachokigusa mwenye kutiririkwa na ugiligili kama huo yapasa kivunjwe + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Mtu yeyote anaweza kuweza kukuvunja chungu chochote cha udongo ambacho amekigusa mtu mwenye mtirirko kama huo" + +# kila chombo cha mti lazima kisafishwe kwenye maji + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ni lazima mtu asuuze kwenye maji kila chombo cha mbao" + diff --git a/lev/15/13.md b/lev/15/13.md new file mode 100644 index 00000000..b16c1c3a --- /dev/null +++ b/lev/15/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# anapotakaswa kutoka kwnye kutiririkwa kwake + +Tazama maelezo ya sura 13:23. Na hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "aponapo kutka kwenye kutiririka kwake" + +# Naye atakuwa safi + +Tazama maelezo ya sura 13:23 + diff --git a/lev/15/16.md b/lev/15/16.md new file mode 100644 index 00000000..60e8e5d8 --- /dev/null +++ b/lev/15/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# najisi hata jioni + +Tazama amelezo ya 13:20 + +# hata jioni + +"mpaka macheo" + +# Kila vazi...lazama ifuliwe kwa maji + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Mtu atalazimika kufua kila vazi au ngozi ambayo juu yake kuna shahawa + diff --git a/lev/15/19.md b/lev/15/19.md new file mode 100644 index 00000000..a458514b --- /dev/null +++ b/lev/15/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hedhi...kipindi chake + +Haya yote mawili hurejelea kwenye kipindi cha kutirirka kwa damu kutoka kwenye tumbo la mwanamke. + +# uchafu kutengwa kwake kutaendelea + +"ataendelea kuwa mchafu" + +# kitakuwa najisi + +Yazama maelezo ya sura 13:20 + diff --git a/lev/15/21.md b/lev/15/21.md new file mode 100644 index 00000000..78621d93 --- /dev/null +++ b/lev/15/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kitanda chake + +Hii humrejelea mwanamke aliyeingia damuni" + +# mtu huyo atakuwa najisi + +Tazama maelezo ya sura 13:23 + +# Hata jioni + +"mpaka macheo" + diff --git a/lev/15/24.md b/lev/15/24.md new file mode 100644 index 00000000..81bec076 --- /dev/null +++ b/lev/15/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# uchafu wake utiririkao + +"mtirirkiko wake najisi" au "damu yake itokayo kwenye mji wa mimba" + +# atakuwa najisi + +Tazama maelezo ya sura 13:20 + diff --git a/lev/15/25.md b/lev/15/25.md new file mode 100644 index 00000000..a7e54e8e --- /dev/null +++ b/lev/15/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# atakuwa kama alivyokuwa kwenye siku zake za hedhi + +Hii humaanisha kwamba mwanamke atokwaye damu kutoka kwenye mji wake wa mimba wakati mwingine wowote badala ya ule wa hedhi yake ya kawaida, yeye bado ni najisi kama tu wakati wa hedhi yake. + +# Yeye ni najisi...yeyote amgusaye...atakuwa najisi + +Tazama maelezo ya sura 13:20 + +# a kila kitu akaacho juu yake kitakuwa najisi + +Tazama maelezo ya sura 13:20 + diff --git a/lev/15/28.md b/lev/15/28.md new file mode 100644 index 00000000..13b4a895 --- /dev/null +++ b/lev/15/28.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Lakini yeye + +Neno "yeye" humaanisha mwanamke aliyedamuni" + +# ametakaswa kutoka kwenye kutokwa na damu kwake + +kwa maelezo ta awali tazama 13:23. Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. "aponapo kutoka kwenye kutirirkwa kwake kwa damu" + +# atakuwa safi + +Tazama maelezo ya sura 13:23 + +# atajitwalia + +"atachuku kwa ajili yake mwenyewe" + +# unajisi wa wake wa kutokwa na damu + +"mtirirko wake wa damu umfanyao yeye najis"i + diff --git a/lev/15/31.md b/lev/15/31.md new file mode 100644 index 00000000..6c269ae0 --- /dev/null +++ b/lev/15/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hivi ndivyo inavyokupasa kuwatenga watu wa Israeli kutoka katika unajisi wao + +Yahweh anazungumzia juu ya kuwalinda watu dhidi ya kuwa najisi kana kwamba ilikuwa ni kuwaweka watu salama mbali kutoka kwenye uchafu. "Hivi ndivyo iwapasavyo kuwakinga watu wa Israeli dhidi ya kuwa najisi" + +# unajisi wao + +Tazama maelezo ya sura ya 13;@0 + diff --git a/lev/15/32.md b/lev/15/32.md new file mode 100644 index 00000000..75372ee0 --- /dev/null +++ b/lev/15/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hizi ndizo kanuni + +"haya ndiyo mambo yapasayo kutendeka" + +# kumfanya najisi...humfanya najisi + +Tazama maelezo ya sura 13:20 + +# aliye katika kipindi cha hedh + +"aliyedamuni" au "ananyetokwa damu kutoka kwenye mji wake wa mimba" + diff --git a/lev/16/01.md b/lev/16/01.md new file mode 100644 index 00000000..4f64d439 --- /dev/null +++ b/lev/16/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Aroni wanwanawe + +Hii huwarejelea Nadabu na Abihu. Walikufa kwa sababu walileta kwa Yahweh moto ambao hakuukubali. (Tazama 10:1) + diff --git a/lev/16/03.md b/lev/16/03.md new file mode 100644 index 00000000..af522ed6 --- /dev/null +++ b/lev/16/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hapa ndipo impasapo + +"Hivi ndivyo" + +# kanzu yake ya ndani ya kitani + +"Vazi la ndani." Hii ni nguo iliyovaliwa yapili kutoka kwenye ngozi chini ya nguo za nje. + +# mshipi + +Kipande cha nguo ambacho hufungwa kuzunguka kiuno kifua + +# kilemba + +kipande cha nguo ambacho hungwa kuzunguka kiuno au kifua + +# kutoka kwenye kusanyiko + +Hiki ni kifuniko cha kichwani kilichofnywa kutoka na vitambaa vya nguo vilivyoringishwa + +# kutoka kwenye kusanyiko + +"kutoka kwenye mkutano wa watu" + diff --git a/lev/16/06.md b/lev/16/06.md new file mode 100644 index 00000000..a4d77d9e --- /dev/null +++ b/lev/16/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# sadaka ya dhambi, ambayo itakuwa kwa ajili yake mwenyewe, + +"sadaaka ya dhambi kwa ajili yake" + diff --git a/lev/16/08.md b/lev/16/08.md new file mode 100644 index 00000000..be63c649 --- /dev/null +++ b/lev/16/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mbuzi wa azazeli + +"yule mbuzi anayepelekwa mbali." iAroni alitakiwa kuwa na mtu wa kumwacha huru huyo mbuzi aende nyikani. + +# kura imemwangukia + +"yule ambaye kura imeteuliwa" + +# Lakini mbuzi...lazima aletwe mbele za Yahweh + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Aroni atamleta huyo mbuuzi...mbele za Yahweh akiwa hai. + diff --git a/lev/16/11.md b/lev/16/11.md new file mode 100644 index 00000000..c3c90182 --- /dev/null +++ b/lev/16/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa kile ambacho Aroni anapaswa kufanya siku ile ya upatanisho. + +# amchinje huyo fahali + +Aroni angeikusanya damu ya fahali kwenye bakuli ili kwamba baadaye ainyunyize juu ya kiduniko cha upatanisho. Maana kamili ya maelezo haya yaweza kuwekwa wazi. + diff --git a/lev/16/12.md b/lev/16/12.md new file mode 100644 index 00000000..ccc8db99 --- /dev/null +++ b/lev/16/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# chetezo + +chombo kilichokuwa ajili ya moto na ubani, kilitumiwa na makuhani. + +# ubani...wenye harufu ya kupendeza + +"ubani ulinukia vizuri." Hii ilimaanisha harufu na siyo ladha ya ubani. + diff --git a/lev/16/14.md b/lev/16/14.md new file mode 100644 index 00000000..af04b37f --- /dev/null +++ b/lev/16/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# damu ya fahali + +Tazama maelezo ya sura 16:11 + +# kuinyunyiza kwa kidole chake + +Alitumia kidole chake kurushia damu + +# upande wa mbele wa kifuniko cha upatanisho + +Aliiweka hiyo damu upande wa juu wa kifuniko. pia aliiweka upande wa pembeni mwa kifuniko uliomwelekea alipoingia eneo la patakatifu pa patakatifu + +# mbele za kifuniko cha upatanisho + +Maana zinazo wezekani ni 1) "chini ya kifuniko cha upatanisho kenye sanduku" au 2) ardhini chini ya mbele ya kifuniko cha upatanisho." + diff --git a/lev/16/15.md b/lev/16/15.md new file mode 100644 index 00000000..327fc411 --- /dev/null +++ b/lev/16/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa kile ambacho Aroni anapaswa kufanya siku ile ya upatanisho. + +# lazima ainyunyize juu ya kifuniko cha upatanisho na mbele ya kifunuko cha upatanisho + +Tazama maelezo ya sura 16:14 + +# Naye atafanya upatanisho kwa ajili ya mahali patakatifu kwa sababu ya matendo ya unajisi ya watu wa Israeli + +Tahambi za watu wa Israeli zilipanajisi patakatifu. + +# matendo ya unajisi...uasi...dhambi + +Maneno haya kimsingi ni yale yale. Nayasisitiza kwamba watu wametenda aina zote za dhambi. + +# Matendo ya unajisi + +Tazama amelezo ya sura 13:20 + +# katika uwepo wa matendo yao ya unajisi. + +Kile kirai "matendo yao ya unajisi" huwakilisha watu wafanyao matendo ya dhambi. : "katika uwepo wa watu wafanyao matendo ya dhambi" + diff --git a/lev/16/17.md b/lev/16/17.md new file mode 100644 index 00000000..a42520cb --- /dev/null +++ b/lev/16/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Yapasa atoke kwenda nje na kwenda kwenye madhabahu hapo mbele za Yahweh + +Hii ni madhabahu ya dhabihu iliyo ndani ya uwanda wa hema + +# kufanya upatanisho kwa ajili ya hiyo + +Kama lilivyo eneo la hema la kukutania, madhabahu nayo ni najisi kwa sababu ya dhambi za watu. + +# pembe za madhabahu + +Tazama maelzo ya sura 4:6 + +# ili kuitakasa + +Tazama maelezo ya sura 13:23 + +# kuitenga kwa ajili ya Yahweh, mbali na matendo ya unajisi ya watu wa Israeli. + +Madhabahu kuwa imetengwa kwa imezungumziwa kana kwamba ilikuwa imetengwa na dhambi za watu kimaumbile + +# matendo ya unajisi + +Tazama maelezo ya sura 13:20 + diff --git a/lev/16/20.md b/lev/16/20.md new file mode 100644 index 00000000..982d54a2 --- /dev/null +++ b/lev/16/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# lazima atamleata huyo mbuzi aliyehai + +Mbuzi hyu anaitwa wa azazeli katika 16:8 + +# kukiri juu yak + +"kukiri juu ya mbuzi" + +# ataweka hizo dhambi juu ya kichwa cha huyo mbuzi + +Hapa matendoya Aroni yalikuwa ishara ya uhamisho wa dhambi za watu kwenda kwa mbuzi kama ishara kwamba huyo mbuzi angebeba adhabu kwa ajili ya hatia yao. + +# maovu...uasi...dhambi + +Haya yote kimsingi yanamaanisha jambo moja. Aroni anaungama kila aina ya dhambi watu waliyoitenda. + diff --git a/lev/16/23.md b/lev/16/23.md new file mode 100644 index 00000000..401ee73a --- /dev/null +++ b/lev/16/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# na kuvua mavazi ya kitani + +Haya yalikuwa mavazi maalum aliyovaa Aroni pekee alipoingi patakatifu pa patakatifu. + +# Yapasa aoge mwili wake kwa maji mahali patakatifu + +"Mahali Pataktifu" haimaanishi kwenye hema la kukutania. Hili lilikuwa ni eneo tofauti lililotengwa kwa ajili yake kuoga humo. + +# kuvaa nguo zake za kawaida + +Haya ni mavazi ambayo Aroni alivaa kwa ajili ya majukumu yake ya kawaida. + diff --git a/lev/16/25.md b/lev/16/25.md new file mode 100644 index 00000000..34b6a6bd --- /dev/null +++ b/lev/16/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Naye yapasa kuyatekeza + +"Aroni yapasa yateketeze" + +# Huyu mtu anayemwachia mbuzi wa azazeli huru, lazima afue nguo zake na kuoga mwili wake katika maji + +Mtu huyu alikuwa najisi kwa sababu kugusana na na huyo mbuzi wa azazeli, aliyebeba dhambi ya watu. + +# mbuzi wa azazeli + +Tazama maelezo ya sura 16:8 + diff --git a/lev/16/27.md b/lev/16/27.md new file mode 100644 index 00000000..f791ead1 --- /dev/null +++ b/lev/16/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ambaye damu yake ililetwa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ambaye damu yake Aroni aliileta" + +# lazima wapelekwe + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yapasa mtu fulani ambebe" + +# ngozi zao + +"ngozi zao" "zao" hapa humaanibsha fahali na mbuzi + diff --git a/lev/16/29.md b/lev/16/29.md new file mode 100644 index 00000000..6474c66b --- /dev/null +++ b/lev/16/29.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwa ajili yenu + +Neno "yenu" humaanisha watu wa Israeli. + +# katika mwezi wa saba, siku ya kumi ya mwezi, + +Huu ni mwezi wa saba wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi ni karibu na mwisho wa mwezi wa septemba kwenye kalenda ya kimagharibi. + +# upatanisho utafanywa kwa ajili yenu + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Aroni atafanya upatanisho kwa ajili yenu" + +# kuwatakasa ninyi...ili muwe safi + +Tazama maelezo ya sura ya 13:23 + +# kwa ajili ya kusanyiko la watu. + +"kwa ajili ya watu wote wa Israeli" + diff --git a/lev/16/32.md b/lev/16/32.md new file mode 100644 index 00000000..12d8e20e --- /dev/null +++ b/lev/16/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ambaye atapakwa mafuta na kuwekwa wakfu + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "watakayempaka mafuta na kumweka wakfu. + +# katika nafasi ya baba yake + +Kuhani mkuu alipokufa , mmoja wa wanawe angechukua nafasi yake. + +# mavazi matakatifu + +Hizi ni nguo maalum alizopaswa kuzivaa kuhani mkuu alipoingia mahali patakatifu pa patakatifu + +# kwa ajili ya kusanyiko la watu. + +"kwa ajili ya watu wote wa Israeli" + diff --git a/lev/16/34.md b/lev/16/34.md new file mode 100644 index 00000000..b29d362d --- /dev/null +++ b/lev/16/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anamaliza kumwambia Aroni kile ambacho watu yawapasa kufanya. + +# Hili lilifanyika kama Yahweh alivyomwamuru Musa. + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utengaji. : "Naye Musa akafanya kama alivyoamru Yahweh" au "Naye Aroni akafanya kama Yahweh alivyomwamru Musa" + diff --git a/lev/17/01.md b/lev/17/01.md new file mode 100644 index 00000000..944f64d6 --- /dev/null +++ b/lev/17/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mbele za hema + +"mbele za hema la Yahweh" + +# mtu huyo ni sharti akatiliwe mabali kutoka miongoni mwa watu wake + +Tazama amelezo ya sura 7:19. : "mtu huyo yawezekana asiishi miongoni mwa watu wke" au yapasa mmtenge mtu huyo na watu wake" + diff --git a/lev/17/05.md b/lev/17/05.md new file mode 100644 index 00000000..a7f8c555 --- /dev/null +++ b/lev/17/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwa kuhani ziweze kutolewa kuwa sadaka + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kwa kuhani ili kwamba aweze kuwatoa dhabihu" + diff --git a/lev/17/07.md b/lev/17/07.md new file mode 100644 index 00000000..2e4f2cf4 --- /dev/null +++ b/lev/17/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ambazo kwazo hutenda kama makahaba + +Watu ambao wamekuwa siyo waaminifu kwa Yahweh kwa kuabudu miungu ya uongo wamezungumziwa kana kwamba walikuwa akitenda kama mwanaume anayemsaliti mkewe kwa kufanya uzinzi. : "ambayo kwa ajili yake siyo waaminifu kwa Yahweh" + +# Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili yao katika vizazi vya watu wao vyote + +Tazama maelezo ya sura 3:15 + diff --git a/lev/17/08.md b/lev/17/08.md new file mode 100644 index 00000000..797e9612 --- /dev/null +++ b/lev/17/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake + +Tazama maelezo ya sura 7:19 na ya suara 17:4 + diff --git a/lev/17/10.md b/lev/17/10.md new file mode 100644 index 00000000..0485296e --- /dev/null +++ b/lev/17/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nitaukaza uso wangu dhidi ya mtu huyo + +Neno "uso" huwakilisha nafsi. Nahu hii humaanisha kumkataa mtu au kitu fulani. : "Nitakuwa nyume na mtu huyo" au "nitamkataa mtu huyo" au "Nitamkataa huyu mtu" + +# kumkatilia mbali atoke miongoni mwa watu wake + +Mtu aliyeondolewa kwenye jamii yake anazungumziwa kana kwamba amekatwa kwa watu wake, kama mtu akatavyo tawi kutoka kwenye mti. : "Sitamruhusu mtu huyu aendelee kuishi miongoni mwa watu wake tena"au "Nitamtenga mtu huyo kutoka kwa watu wake" + +# Kwa kuwa uhai wa mnyama yeyote umo katika damu yake...ipatanishayo kwa ajili ya uhai + +Hii humaanisha MUngu huitumia damu kupatanisha kwa ajili ya dhambi za watu kwa sababu damu ni uhai. Watu wasinywe damu kwa sanbabu ina kusudi hili maalum. + diff --git a/lev/17/12.md b/lev/17/12.md new file mode 100644 index 00000000..36b72d2b --- /dev/null +++ b/lev/17/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Niliwaambia + +"Niliwambia" hapa humaanisha Yahweh + +# asiwepo miongoni mwenu impasaye kula damu + +"asiwepo mingoni mwenu awezaye kula nyama pamoja na damu ndani yake" + +# awezaye kuliwa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ambao nilisemba wanaweza kuwala" + +# na kuifukia kwa udongo hiyo damu + +"na kuifunika damu mavumbi" + diff --git a/lev/17/14.md b/lev/17/14.md new file mode 100644 index 00000000..da94c116 --- /dev/null +++ b/lev/17/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# uhai wa kila kiumbe umo katika damu yake + +Hii humaanisha kwamba damu ndiyo ikiwezeshayo kiumbe kuishi. Maana kamili ya kauli hii yaweza kufanywa wazi. "kila kiumbe chaweza kuishi kwa sababu ya damu yake" + +# Yeyote ailaye ni lazima akatiliwe + +Mtu aliyeondolewa kwa jamii yake anazungumziwa kana kwamba amekwisha kukatwa kutoka kwa watu wake, kama vile mtu angeweza kipande cha nguo au tawi la mti kutoka kwenye mti. : "yeyote alaye damu hataweza kuishi tena miongoni mwa watu wake" au "yeyote alaye damu sharti mmtenge na watu wake" + diff --git a/lev/17/15.md b/lev/17/15.md new file mode 100644 index 00000000..7debd6a2 --- /dev/null +++ b/lev/17/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuzungumza. + +# ambaye amelaruliwa na wanyama pori + +Mnyama anayeuawa na wanyama pori anazungumziwa kana kwamba hao wanya pori wamchana vipande vipande huyo mnyama. Hii yaweza katika mtindo wa utendaji. : ""yule ambaye wanyamapori wamemuua" + +# ni mwenyeji wa kuzaliwa + +"ni Mwisraeli" + +# naye atakuwa...Kisha ndipo atakuwa safi + +Tazama maelezo ya 13:20 na 23 + +# Hata Jioni + +"mpaka macheo" + +# sharti yeye aichukue hatia yake + +Hatia ya mtu imezungumziwa kana kwamba ilikuwa kitu ambacho mtu hukibeba. Neno "hatia" hapa huwakilisha adhabu kwa hatia hiyo. : "Hivyo anawajibika kwa hatia yake mwenyewe" au "kisha nitamwadhibu yeye kwa ajili ya dhambi yake" + diff --git a/lev/18/01.md b/lev/18/01.md new file mode 100644 index 00000000..b7ddc54e --- /dev/null +++ b/lev/18/01.md @@ -0,0 +1,139 @@ +# Yahweh + +Hili ni jina Mungu ambalo alimwambia Musa kwenye kicha kilichowaka moto. Mungu alisema kwamba hili ndilo lilikuwa jina lake milele. + +# Musa + +Musa alikuwa nabii na kiongozi wa watu wa Waisraeli kwa zaidi ya miaka 40. + +Alipokuwa mtoto, wazazi wake Musa, walimweka yeye kwenye kikapu cha mianzi ya Mto Nile ili kumficha kwa Farao wa Misri. Dada yake Miriamu dada yake Musa, Alimwangalia yeye huko. Maisha ya Musa yaliokolewa tu binti alipomwona na kumchukua kwenda naye Ikulu ili kumlea kama mwanae. + +Mungu alimchagua Musa kuwaweka huru Waisraeli kutoka utumwani Misri na kuwaongoza kwenda katika Nchi ya Ahadi. + +Baada ya kutoka kwa Waisraeli Misri na walipokuwa wangali wakizunguka jangwani, Mungu alimpa Musa mbao mbili za mawe zilioandikwa Amri Kumi juu yake. + +Karibu kabisa na mwisho wa maisha yake, Musa aliiona tu Nchi ya Ahadi, lakini haingia kuishi humo kwa sababu hakumtii Mungu. + +# Kikundi cha watu, watu, watu wa, + +Ule usemi "watu" au "vikundi vya watu" humaanisha vikundi vya watu wanaoshiriki lugha na utamaduni mmoja. Kile kirai "watu wa" mara kwa mara humaanisha kusanyanika la watu katika eneo fulani au katika tukio maalum. + +Mungu anapotenga "kikundi cha watu" kwa ajili yake, humaanisha alichagua watu fulani ili wawe wake na kumtumikia yeye. + +Katika nyakiti za Biblia, washirika wa kikundi cha watu kwa kawaida walikuwa na wazazi au mababu wamoja na waliishi mahali pamoja katika taifa au eneo maalum la nchi. + +Kwa utegemeana na muktadha, kirai kama vile "watu wako" chaweza kumaanisaha "kikundi cha watu wako" au "famikia yako" au "jamaa zako." + +Ule usemo "watu" mara kwa mara limetumika kumaanisha vikundi vyote vya watu juu ya nchi." Wakati mwingine zaidi lilimaanisha hasa kwa watu wasio Waisraeli au wasiomtumikia Yahweh. Katika tafasiri zingine za kiingereza ule msemo "mataifa" pia umetumika katika njia hii. + +MAPENDAKEZO YA UFASIRI. +Ule msemo "kikundi cha watu" waweza kufasiriwa kwa neno au kirai chenye kumaanisha, "kundi kubwa la kifamilia" au "ukoo" au "kikundi cha kikabila." + +Kirai kama vile "watu wangu" chaweza kufasiriwa kama "jamaa zangu" au "Waisraeli wenzangu" au "familia yangu" au "watu wa kikundi changu," kutegemeana na muktadha. + +Yale maelezo "nitawatawanya miongoni mwa watu" pia yaweza kufasiriwa "nitasababisha kwenda na kuishi pamoja na vikundi mbali mbali vya watu wengi" au "sababisha kutengana ninyi kwa ninyi na kwenda kuishi katika mikoa mingi tofauti ya ulimwengu. + +Ule msemo "watu" waweza kufasiriwa "watu ulimwenguni" au "vikundi vya watu," kutegemeana na muktadha. + +Kile kirai "watu wa" chaweza kufasiriw kama, "kila mmoja aishie katika" au "watu wa kutoka uzao wa" au "familia ya," kutegeana na ama linafuatiwa na jina la mahali au mtu. + +"watu wote wa ulimwengu" yaweza kufasiriwa kama, "kila nafsi ulimwenguni" au "watu wote." + +Kile kirai "watu" pia chaweza kufasiriwa kama "kikundi cha watu" au "watu fulani" au "kikundi cha watu" au "jamii ya watu" au "familia ya watu" + +# Israeli, Waisraeli, taifa la Israeli + +Ule msemo "Israeli" ni jina ambalo Mungu alimpa Yakobo. Humaanisha, "yeye hushindana na Mungu." + +Wazao wa Yakobo walikuja kujulikana kama "watu wa Israeli," "taifa la Israeli," au "Wasraeli." Taifa la Israeli + +Mungu alitengeneza agano lake watu wa Israeli. Walikuwa watu wake wateule. + +Taifa la Israeli liliundwa na makabila kumi na mbili. + +Mara tu baada ya kufa kwa mfalme Sulemani, Isrseli iligawanyika katika falme mbili: Ufalme wa kusuni, uliitwa "Yuda" na ule ufalme wa kaskazini ukaitwa "Israeli." + +Mara kwa mara ule msemo "Israeli" waweza kufasiriliwa kama, "watu wa Israeli" au "taifa la Israeli," kwa kutegemeana na muktatha. + +# Mungu + +Kwenye Biblia Neno "Mungu" humaanisha nafsi ya milele aliyeumba ulimwengu pasipo kitu. Mungu huishi kama Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu. jina binafsi la Mungu ni "Yahweh" +. Siku zote Mungu alikuwapo; alikuwapo kabla + ya kabla ya kitu chochote kuwapo. Naye + ataendelea kuwako milele + +. Yeye ndiye Mungu wa kweli na ana mamlaka + juu ya vitu vyote hulimwenguni. + +. Mungu ni mwenye haki kwa ukamilifu, ni + mwenye hakima pasipo na kikomo, mtakatifu, + bila dhambi, mwenye haki, rehema, + na upendo. + +. Yeye ni Mungu atunzaye agano, ambaye + hutimiza ahadi zake. + +. Watu waliumbwa ili wamwambudu Mungu + naye ndiye Yeye pekee imewapasa wao + kumwabudu. + +. Mungu lilifunua jina lake kuwa ni "Yahweh" + ambalo humaanisha, " yeye ndiye" au "Mimi + ndimi" au "Yule aliyopo (siku zote)" + +. Pia Biblia hufundisha juu ya "miungu ya uongo" ambayoo ni sanamu zisizo na uhai ambayo watu huiabudu kimakosa. + + +MAPENDEKEZO YA UFASIRI + +. Njia za kufasiri "Mungu zingejumuisha + maneno kama "Uungu" au "Muumba" au + "Mwenye Mamlaka yote" + +. Njia zingine za kufasiri "Mungu" zaweza kuwa, "Muumbaji wa vyote" au "Bwana Mwenye mamlaka isiyo na mipaka" au "Mwenye Mamlaka yote milele." + + Zingatia jinsi Mungu anavyotajwa katika lugha ya kieneo au kitaifa. Yawezekana kuwa tayari lipo neno kuhusu "Mungu" katika lugha inayotafsiriwa. Kama ndivyo, ni muhimu kuhakikisha kwamba neno hili linafaa kwa sifa baishi za Mungu wa kweli kama anavyoelezwa hapo juu. + +Lugha nyingi huanza na herifu kubwa ya neno kwa Mungu aliye wa kweli ili kulitofautisha na neno kwa mungu wa uongo. + +Njia nyingine ya kuonesha tofauti hizi ingetumika misemo miwili tofauti kwa "Mungu" na "muungu" + +Kile kirai, "nitakuwa Mungu wao nao watakuwa atu wangu" pia chaweza kufasiriwa kama, "Mimi, Mungu, nitatawala juu ya watu nao wataniabudu mimi." + +# Misri, Mmisri + +Misri ni taifa lililoko upande wa kaskazini mashariki mwa Africa, kusini magharibi mwa nchi ya Kanaani. Mmisri ni mtu anayetoka katika nchi ya Misri. + +. Zamani za kale, Misri lilikuwa taifa lenye nguvu na tajiri. + +. Misri ya zamani iligawanyika katika sehemu mbili, Misri ya chini (sehemu ya kaskazini mahali ambapo mto Nile ulitiririka kuelekea Baharini) na Misri ya juu (sehemu ya kusini). Katika Agano la Kale, sehamu hizi zilitajwa kama "Misri" na "Pathrosi" katika lugha ya asili. + +Mara nyingi kilipokosekana chakula huko Kanaani, mababa wa Israeli walisafiri kwenda Misri ili kununua chakula kwa ajili aya familia zao. + +Kwa muda wa mamia ya miaka, Waisraeli walikuwa watumwa huko Misri. + +Yusufu na Mariamu waliterekia Misri pamoja na mtoto mchanga Yesu ili kumtoroka Herode Mkuu. + +# Maisha, ishi, kuishi, -wa mzima + +Misemo hii yote humaanisha kuwa mzima kimaumbile, siyo mfu. Pia yametuka kiishara kumaanisha kuwa hai kiroho. Ifuatayo inazungumzia inavyomaanisha kuwa na "uhai wa kimwili" na "Uhai wa Kiroho" + + +MAPENDEKEZO YA UFASIRI + +. Kwa utegemeana na muktadha, "maisha yaweza kufasiriwa kama "uwepo" au "nafsi" au "moyo" au "aishie" au "uzoefu" + +. Ule msemo "ishi" waweza kufasiriwa "kaa" au "kuwepo." + +Yale amelezo "mwisho wa maisha" yangeweza kufasiriwa kama, "alipokoma kuishi." + +Yale maelezo "alitunza uhai wao" yangeweza kufasiriwa kama, "aliwaruhusu kuishi" au "hakuwaua wao." + +Ule usemi "walihatarisha maisha yao" ungeweza kufasiriwa kama, "walijiweka wenyewe hatarini" au walifanya jambo fulani ambalo lingekuwa limishawaua wao." + +Kifungu cha Biblia kinapozungumzia kuwa hai kiroho, "uhai"pia ungefasiriwa kama, "maisha ya kiroho" au "Uzima wa milele" kutegemeana na muktatha" + +Wazo la "maisha ya kiroho" lingeweza kufasiriwa pia kama "Mungu anatufanya hai katika roho zetu" au "maisha mpya yatolewayo na Roho wa Mungu" au "kufanywa hai katika utu wetu wa ndani." + +Kwa kutegemeana na muktatha, neno "-pa maisha" laweza pia kufasiriwa kama "sababisha kuwa hai" au -pa maisha mapya" au "sababisha kuishi milele." + diff --git a/lev/18/04.md b/lev/18/04.md new file mode 100644 index 00000000..8f38cd90 --- /dev/null +++ b/lev/18/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sheria zangu ndizo mtakazozitenda, na amri zangu ndizo mtakazozishika + +Virai hivi viwili kimsingi humaanisha kitu kile kile na vinasisitiza kwamba ni sharti watu watii kila jambo ambalo Mungu amewaamru wao walitende. Msambamba huu waweza kufasiriwa kwaiti kauli moja inayowasilisha matakwa ya kutunza amri zote za Yahweh. : "Yapasa mzitii sheria na namri zote" + +# Ili kwamba mpate kutembea katika hizo + +Kutii amri za Yahweh kumezunguziwa kana kwamba kulikuwa njia ambayo juu yake mtu hutembea. : "ili kwamba mweze kusimamia mwenendo yenu kulingana na hizo. + diff --git a/lev/18/06.md b/lev/18/06.md new file mode 100644 index 00000000..d7f05d95 --- /dev/null +++ b/lev/18/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wake za baba yako + +Wakati mwingine wanaume walikwa na zaidi ya mke mmoja. Mungu hakumruhusu mwana kulala na mwanamke yeyote aliyeolewa na baba yake. + diff --git a/lev/18/09.md b/lev/18/09.md new file mode 100644 index 00000000..93d5d3d0 --- /dev/null +++ b/lev/18/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ama ni binti ya baba yako au ni binti ya mama yako + +Hii humaanisha mwanaume hawezi kulala na iwapo wa mazazi wale wale hata kama ana mama au baba tofauti. + +# ama aliyelelewa nyumbani mwenu au mbali nawe + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ama alikulia nyumbani kwenu au mbali" + +# Usilale na binti ya mke wa baba yako, + +Maana mbili zinazowezekana ni 1) "usilale na dada yako wa kambo au 2) "usilale na dada yako wa kunyonya." Hapa mwanaume hana baba au mama mmoja na mwanamke. walikuwa kaka na dada wazazi wao walipooana. + diff --git a/lev/18/12.md b/lev/18/12.md new file mode 100644 index 00000000..6f39f90b --- /dev/null +++ b/lev/18/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Usimkaribie kwa kusudi hilo + +"Usimwendee kwa kusudi la kulala naye" + diff --git a/lev/18/15.md b/lev/18/15.md new file mode 100644 index 00000000..edfb0724 --- /dev/null +++ b/lev/18/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# usilale naye + +Yahweh analirudiia hili ili kuisisitiza amri hii. + diff --git a/lev/18/17.md b/lev/18/17.md new file mode 100644 index 00000000..2d316d93 --- /dev/null +++ b/lev/18/17.md @@ -0,0 +1,21 @@ +# uovu, ufisadi, upotovu + +Ile misemo "uovu" na "ufisadi" yote mawili humaanisha jambo lolote linalopingana na tabia na mapenzi matakatifu ya Mungu. + +Neno "uovu" linapoweza kuelezea tabia ya mtu, neno, ufisadi linaweza kuhusiana na tabia tabia ya mtu, Hata hivyo, misemo yote miwili hufanana katika maana. + +Ule msemo" upotovu" humaanisha ile hali ya kuwawepo watu wafanyapo mambo maovu. + +Yale matokeo ya uovu huonyeshwa wazi katika namna watu wanavyotendea vibaya wengine kwa kuua, kuiba, kulahgai, au kuwa wakatili na kutokuwa na huruma. + +MAPENDEKEZO YA UFASIRI +Kwa kutegemea namuktatha, ile msemo "ovu" na "fisadi" yaweza kufairiwa "baya" au"-enye dhambi" au "-siyo adilifu." + +Njia nyingine za kufasiri haya zaweza kujumuisha, "siyo -ema, "isiyo nyofu" au "isiyo adilifu." + +Hakikisha kwamba yale maneno au virai vinavyotumika kufasiri misemo hii ni vyenye kufaa kwenye muktadha vilivyo vya asili katika lugha lengwa. + +# uhai, ishi, maisha, -wa hai + +Tazama maelezo ya sura 18:3 + diff --git a/lev/18/19.md b/lev/18/19.md new file mode 100644 index 00000000..dd6d8a3c --- /dev/null +++ b/lev/18/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hedhi + +Hiki ni kipindi cha majira ambapo mwanamke anapotokwa damu kutoka kwenye mji wake wa mimba. + +# yeye ni najisi + +Tazama maelzo ya sura ya 13:20 + +# mke wa jirai yako + +"muke wa mwanaume yeyote" + diff --git a/lev/18/21.md b/lev/18/21.md new file mode 100644 index 00000000..d2d5d8f3 --- /dev/null +++ b/lev/18/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa watu kisichowapasa kukifanya ambacho kingewachafua wao. + +# Msiwatoe watoto wenu ili kuwapitisha kwenye moto + +Kile kirai "kuwapitisha kwenye moto" humaanisha kuwachoma kitu kwa moto kwa dhabihu. : "Msiwachome moto wato wenu wangali hai" + +# msije mkalikufuru jina la Mungu wenu + +"KNeno "kukufu" hapa ni kufedhehesha. Neno "jina" humwakilisha Mungu mwenyewe. : "msimfedheheshe MUngu wenu." + diff --git a/lev/18/22.md b/lev/18/22.md new file mode 100644 index 00000000..558f30ca --- /dev/null +++ b/lev/18/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hili lingekuwa uovu + +"Uovu" hapa hurejelea ukiukaji wa mfumo wa vitu vya asili kama Yahew alivyovitarajia viwe. + diff --git a/lev/18/24.md b/lev/18/24.md new file mode 100644 index 00000000..42b8e4d1 --- /dev/null +++ b/lev/18/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mataifa yamechafuliwa + +Hii humaanisha vikundi vya watu vinavyoishi huko Kanaani. Hii inafaa kufasiriwa ili kwamba ule msemo "mataifa" uwekwe wazi kuwa ni "watu." : "watu wa mataifa walijichafua wenyewe" + +# Nayo nchi imenajisiwa + +"Watu waliichafua nchi" + +# nayo nchi ikawatapika wakazi wake + +Yahweh akiwawaondoa watu kwa nguvu kutoka katika kunazungumziwa kana kwamba nchi ilikuwa mtu ambaye aliwatapika watu. : "Ikiwa aliwaondowa watu kwa nguvu kutoka katika nchi, kama vile mtu atapikavyo chakula" + diff --git a/lev/18/26.md b/lev/18/26.md new file mode 100644 index 00000000..cf5aa8a2 --- /dev/null +++ b/lev/18/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# aina yoyote ya mambo haya ya machukizo + +"lolote haya mambo ya kuchukiza" + +# haya ya machukizo + +Hii iinamaanisha "mambo haya ya machukizo." + +# Kwa hiyo, muwe waangalifu + +"Kwa hiyo basi iwenu waangalifu" + +# ili kwamba nchi isiwatapike nyinyi baada ya kuwa mmeinajisi, kama ilivyowatapika wale watu + +Tazama maelezo ya sura 18:24. : "ili kwamba ninawaondoa kwa nguvu mtoke katika nchi...kama nilivyowaondoa kwa nguvu hao watu" + diff --git a/lev/18/29.md b/lev/18/29.md new file mode 100644 index 00000000..b7a71415 --- /dev/null +++ b/lev/18/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anamaziliza kumwambia Musa kinachowapasa watu kunda. + +# watu...watakatiliwa mbali kutoka miongoni mwa watu wao + +Tazama lilifasiwa katrika sura zilizotangulia. + +# ambazo zilitendwa hapo kabla yenu + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. :"ambayo watu waliyatenda hapa kabla yenu" + +# kwazo + +"Kwazo" hapa hurejelea desturi zenye machukizo + diff --git a/lev/19/01.md b/lev/19/01.md new file mode 100644 index 00000000..948b8201 --- /dev/null +++ b/lev/19/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# muzishike Sabato zangu + +"tunza Sabato zagu" au "heshimu siku yangu ya mapumziko" + +# Msizigeukie sanamu zisizo na thaman + +Kule kuabudu sanamu kumezunguzungumziwa kana kwamba ilikuwa ni kugeukia kwao kimaumbile + diff --git a/lev/19/05.md b/lev/19/05.md new file mode 100644 index 00000000..1295c1cf --- /dev/null +++ b/lev/19/05.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa kinachowapasa watu kukifanya + +# utatoa ili kupata kibali. + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. Maana zinazowezekana ni 1) Yahweh atampokea mtu atoaye hiyo dhabihu. : "yapasa uilitoe ili kwamba huenda atakupokea" au 2) Yahweh ataikubali dhabihu kutoka kwa huyo mtu. : "yakupasa kuitoa ili kwamba huenda Yahweh ataipokea dhabihu yako." + +# sharti iliwe + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Sharti muile" + +# lazima kiteketezwe kwa moto + +Tazama maelezo ya 19:6 + +# Endapo kitaliwa hata kidogo + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Ikiwa utakula hata sehemu hata yake yoyote" + +# Hakitakubalika + +Kula sadaka baada ya wakati ulioteuliwa ni kwenda kinyume na Mungu na huongeza hatia ambayo dhambi ilikuwa iifunike. Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "usiikubali hiyo kwa ulaji" + +# kila akilaye ni lazima atachukua hatia yake + +Ile hati ya mtu imezungumziwa kana kwamba illikuwa kitu chenye maumbile ambacho mtu hukibeba. Neno "hatia" hapa huwakilisha ile adhabu kwa hatia hiyo. : Kila mmoja...anawajika kwa hatia yake mwenyewe" au Yahweh atamwadhibu kila mmoja...kutokana na dhambi zake mwenyewe + +# Mtu huyo sharti atakatiliwa mbali na watu wake + +Tazama lilivyofasiriwa katika 7:19 : "inawezekana mtu huyo asiendelee kuishi kuishi miongoni mwa watu wake" au "ni lazima mmtenge mtu huyo na wa watu wake" + diff --git a/lev/19/09.md b/lev/19/09.md new file mode 100644 index 00000000..c3d7f287 --- /dev/null +++ b/lev/19/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Unapovuna mavuno ya ardhi yako, usivune hata pembezo mwa shamba lako kabisa + +"Unapokusanya mazao yako, usiyakusanye yote hata mipakani mwa mashamba yako" + +# wala hutakusanya mabaki ya mavuno yako yote + +Hii hurejelea ile desturi ya kurudia kuvuna shambani kama kipindi cha pili cha kukusanya mazao yaliyobaki baada ya kipindi cha kwanza. Maana kamili ya maelezo haya yaweza kuwekwa wazi. : "na usirudi nyuma uvunapo shambani na kuokota masalio yote uliyoyaachia nyuma" + diff --git a/lev/19/11.md b/lev/19/11.md new file mode 100644 index 00000000..96272fdd --- /dev/null +++ b/lev/19/11.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Usiape kwa jina langu kwa uongo + +"Usilitumia jina lwangu kuapa juu ya jambo fulani ambalo siyo la kweli. + diff --git a/lev/19/13.md b/lev/19/13.md new file mode 100644 index 00000000..95f0b965 --- /dev/null +++ b/lev/19/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Usimgandamize jirani yako wala kumwibia + +"Jirani" hapa humaanisha "yeyote"Maana ya hili yaweza kuwekwa wazi. : "usimuumize wala kumwibia yeyote" + +# Usishikilie malipo ya kibarua usiku kucha hata asubuhi + +Yahweh anamwamru mwajiri kumlipa kwa haraka mtumshi wake mara kazi yake inapokamilika siku hiyo hiyo. Maana kamili ya tamko hili yaweza kufanywa wazi. + diff --git a/lev/19/15.md b/lev/19/15.md new file mode 100644 index 00000000..5a0ca73f --- /dev/null +++ b/lev/19/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Usisababishe hukumu ikawa ya uongo + +Hii hasi ya maradufu imetumika kusisitiza. Inaweza kuelezwa katika nji chanya. : "Hukumu kwa haki siku zote" + +# Usionyeshe upendeleo kwa mtu fulani eti kwa kuwa tu yeye ni masikini na usionyeshe upendeleo kwa mtu fulani eti kwa kuwa tu yeye ni mtu muhimu + +Yale maneno "masikini" na "muhimu" ni mambo mawili yenye kukithiri, ambayo kwa pamoja humaanisha "yeyote." : "Haikupasi kuonyesha upendeleo kwa yeyote kwa msingi wa kiasi cha wingi wa fedha walizo nazo. + +# amua juu ya jirani yako kwa haki + +""mhukumu kila mmoja kwa kulingana na haki" + +# Usiende huku na huko ukisema habari za uchochezi + +"Usiende huku na huko kwa watu wengine huku ukisengenya" + diff --git a/lev/19/17.md b/lev/19/17.md new file mode 100644 index 00000000..41620d87 --- /dev/null +++ b/lev/19/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Usimchukie ndugu yako moyoni mwako + +Kule kumchukia ndugu yako kwa kuendelea kumezungumziwa kana kwamba kulikuwa kumchukia mtu ndani ya moyo. : "Ussimchukie ndugu yako wa kuendelea" + +# Mkemee jirani yako kwa heshima + +"Yapasa umrekebishe anayetenda dhambi" + diff --git a/lev/19/19.md b/lev/19/19.md new file mode 100644 index 00000000..8728759e --- /dev/null +++ b/lev/19/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa yawapasayo watu kutenda. + +# vazi lililofumwa kwa kutumia nyuzi za rangi mbili tofauti zilizochanganywa pamoja + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "vazi ambalo mwingine alilitengeneza kutokana na nyuzi za aina mbili" + diff --git a/lev/19/20.md b/lev/19/20.md new file mode 100644 index 00000000..fa124f7f --- /dev/null +++ b/lev/19/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# aliyeposwa na mume mwingine + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "liyeahidiwa kuolewa na mwanamume mwingine" + +# lakini ambaye hajakombolewa au hajaachwa huru + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ambaye mume wake mtarajiwa hajamkomboa au kumpa uhuru" + +# lazima waadhibiwe + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "niyapasa kumwadhibu huyo msichana mtumwa na hyuo mwanaume aliyelala naye" + +# Hawatauawa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Haiwapasi kuwaua" + +# mtu huyo alete sadaka yake ya hatia kwenye ingilio la hema la kukutania—kondoo dume iwe sadaka ya hatia + +Huyo mwanaume atalazimika kuleta kondoo dume kwenye ingili la hema ya kukutania kuwa sadaka ya hatia kwa Yahweh" + +# Nayo dhambi iliyotendwa itasamehewa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Naye Yahweh ataisameheme dhambi aliyoitenda" + diff --git a/lev/19/23.md b/lev/19/23.md new file mode 100644 index 00000000..a973c188 --- /dev/null +++ b/lev/19/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa Ujulma + +Yahe anaendelea kumwambia Musa yawapasayo watu kutenda. + +# kisha mtayahesabu matunda yatakayozaliwa kuwa yamekatazwa kuliwa. Halitaliwa + +Yahweh analirudia katazo ili kulikazia na kuweka wazi kwamba ni lazima kwa miaka mitatu ya kwanza ya mti kuzaa matunda. Ni lazima kuwe na kipindi maalum kwa miti kuachwa peke yake. : "nawe hutakula matunda ya miti kwa miaka mitatu ya kwanza" + +# Tunda litakatazwa kwako + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Nimelikataza tunda kwako" + +# Nalo alitaliwa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Sharti usilile" + diff --git a/lev/19/26.md b/lev/19/26.md new file mode 100644 index 00000000..999eee75 --- /dev/null +++ b/lev/19/26.md @@ -0,0 +1,176 @@ +# damu + +Msemo "damu" humaanisha kimiminika chekundu kinachotoka kwenye ngozi ya mtu panapokuwa na jeraha au kovu. Damu huleta virutubisho vitoavyo uhai kwa mwili mzima wa mtu. + +* Damu hutoa ishara ya uhai na + + inapomwagwa au kutolewa nje, hutoa + ishara ya kupoteza maisha, au kifo + +* Watu waliotoa dhabihu kwa Mungu, waliua + + mnyama na waliimimina damu yake juu ya + madhabahu. Hili lilitoa ishara ya dhabihu ya + uhai wa mnyama kulipa dhambi za mtu. + +* Kwa kupitia kifo chake msabani, kiishara + + damu ya Yesu iliwasafisha watu kutoka + katika dhambi zao na hulipa ile adhabu + wanayostari kwa ajili ya dhambi hizo + dhambi zao + +* Yale maelezo "nyama na damu" humaanisha + + wanadamu + +* Yale maelezo "mwili na damu yako + + mwenyewe" humaanisha watu + wanaohusiana kizazi + +## MAELEZO YA UFASIRI + +* Msemo huu sharti ufasiriwe na msemo + + unaotumika kwa damu katika lugha lengwa + +* Yale maelezo "mwili na damu" yangeliweza + + kufasiriwa kama "watu" au viumbe vyenye + uhai." + +* Kulinga na muktatha, yale maelezo "nyama + + na damua yangu mwenyewe "waweza + kufasiriwa kama "familia yangu mwenyewe" + au "jamaa yangu mwenyewe" au watu + wangu mwenyewe." + +* Endapo kutakuwa na maelezo yoyote katika + + lugha lengwa yanayotumika pamoja na + maana hii, yangeweza kufasiri "mwili na + damu" + +# roho, -a kiroho + +Msemo roho hulenga sehemu ya watu isiyo na maumbile isiyoweza kuonekana. Mtu anapokufa, roho yake huuacha mwili wake. Pia "roho" yaweza kumaanisha tabia au hali ya kujisikia. + +* Ule msemo "roho" waweza kumaanisha + + kiumbe kisicho na mwili unaoonekana, + hasa roho ovu. + +* Roho ya mtu ni sehemu yake inayoweza + + kumjua Mungu na kuamini katika Yeye. + +* Kwa ujumla msemo "-a kiroho" hukielezea + + chochote katika ulimwengu usio na + maumbile + +* Kwenye Biblia, hasa hulenga chochote kile + + kinachohusiana na Mungu, moja kwa moja + kwa Roho Mtakatifu. + +* Kwa mfano, "chakula cha kiroho" huhusiana + + na mafundisho ya Mungu yatoayo lishe kwa + roho ya mtu, "Ile "hekima ya kiroho" + humaanisha ufahamu na tabia adilifu + inayotokana na uweza wa Roho Mtakatifu. + +* Mungu ni Roho naye aliumba viumbe roho + + wengine wasio na miili ya kuonekana. + +* Malaika ni viumbe roho, pamoja na wale + + walioasi dhidi ya Mungu na wakawa roho + waovu. + +* Ule msemo "roho ya" pia waweza + + kumaanisha "kuwa na tabia bainishi za," + kama vile katika, "roho ya hekima" au {"katika + roho ya Eliya." + +* Mifano ya "roho" kama nia au hisia + + ungejumuisha "roho ya woga" au "roho ya + wivu" + +## MAPENDEKEZO YA UFASIRI + +* Kwa kutegeana na muktadha, baadhi ya njia + + za kufasiri "roho" zinaweza kuhusisha, + "kiumbe kisicho na maumbile" au "sehemu za + ndani" au "utu wa ndani." + +* Katika mazingira mengine, ule msemo "roho" + + waweza kufasiriwa kama "roho ovu" au + "kiumbe roho ovu" + +* Wakati mwingine ule musemo "roho" + + umetumika kuelezea hisia ya mtu aka vile, + "roho yangu ilihuzunishwa katika utu wangu + wa ndani." Hii pia yaweza kufasiriwa kama, + "nilijisikia kuhuzunishwa rohoni mwangu" au + "nilisikia kuhuzunishwa mno." + +* Kile kirai roho ya" chaweza kufasiriwa kama, + + "mwenendo wa, au ushawishi wa," au "nia ya" + au fikira" + +# uweza, weuzo + +Ule msemo "uweza" humaanisha uwezo wa kufanya mambo au kusababisha mambo yatokee, mara kwa mara kwa kutumia nguvu kubwa. "Uwezo" humaanisha watu au roho zenye uwezo wa kusababisha mambo kutokea. + +* Ule "uweza" wa Mungu hurejelea uwezon + + wa Mungu wa kufanya mambo yatokee, + hasa mambo yasiyowezekana kwa watu + kuyatenda. + +* Mungu anauweza kamili juu ya kila kitu + + ambacho amekiumba + +* ungu huwapa watu wake uwezo wa + + kufanya kile atakacho, ili kwamba + wanapoponya watu au kutenda miujiza, + wawe wanafanya hivi kwa uweza wa + Mungu. + +## MAPENDEKEZO YA UFASIRI + +* Kwa kutegemeana na muktadha, ule + + msemo "uweza" pia wawweza kufasiriwa + kama "uwezo" au "nguvu" au "bidii" au + "uwezo wa kutenda miujiza au kudhibiti." + +* Njia zinazowezekana kufasiri msemo + + "uweza" yaweza kuhusisha "wenye uhai + walio na uwezo mkubwa" au roho zenye + kutawala" au "wale wanaotawala wengine" + +* Yale maelezo kama vile "utuokoe kutoka + + katika nguvu za adui zetu" waweza + kufasiriwa kama, "utuokoe kutokana na + kugandamizwa na adui zetu" au "utuokoe + kutoka katika kutawaliwa na adui zetu." + Katika hali hii, "uweza" una maana ya + kutumia nguvu za mwingine kudhibiti na + kugandamiza wangine. + diff --git a/lev/19/29.md b/lev/19/29.md new file mode 100644 index 00000000..118511fa --- /dev/null +++ b/lev/19/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Usimwaibishe binti yako kwa kumfanya kahaba, la sivyo taifa litaangukia kwenye ukahaba na nchi itajawa na uovu + +Yale maneno "taifa" na "nchi" huwakilisha watu wakaao humo. Watu wengi wanaotenda ukahaba na wale wengine wanaotenda matendo ya uovu wamezungumziwa kana kwamba wameangukia au wamejawa na mambo hayo. : "Watu wataanza kufanya ukahaba na mambo mengi maovu" + diff --git a/lev/19/31.md b/lev/19/31.md new file mode 100644 index 00000000..a3e03039 --- /dev/null +++ b/lev/19/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wafu au roho wachafu + +Maana zinazowezekana ni 1) wale "waf" ana "roho" ni vitu viwili tofauti 2)kwamba huku ni kujirudiarudia kunakomaanisha "roho za watu waliokufa" + +# msiwatafute, la sivyo watawanajisi ninyi + +"Msiwatafute hao watu. kama mtafanya hivyo, watawachauweni nyinyi" + diff --git a/lev/19/32.md b/lev/19/32.md new file mode 100644 index 00000000..8c37acec --- /dev/null +++ b/lev/19/32.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni lazima usimame + +Kusimama mbele za ya mtu mwingine ni ishara ya kuheshimu. + +# mtu mwenye mv + +mtu mwenye mvi**- Hii humrejelea mtu ambaye nywele zake zimekuwa nyeupe kutokana na umri, au mtu mzee." + diff --git a/lev/19/33.md b/lev/19/33.md new file mode 100644 index 00000000..c468ee76 --- /dev/null +++ b/lev/19/33.md @@ -0,0 +1,78 @@ +# Mgeni, -a kigeni, mpitaji + +Ule msemo "mgeni" humrejelea mtu anayeishi katika taifa lisilo lake mwenyewe. Jina lingine la mgeni ni "mpitaji" + + Katika Agano la Kale, musemo huu hasa humlenga yeyote anayetoka katika kikundi cha watu walio tofauti ya watu aliokuwa akiishi miongoni mwao. + +Mgeni pia ni mtu ambaye lugha na utamaduni wake ni tofauti na ule wa kwako + +Mathalani, Naomi na familia walipohamia Moabu, walikuwa wageni huko. Naomi na binti mkwe wake Ruthu walipohamia baadaye Israeli, Ruthu aliitwa :"mgeni" huko kwa sababu kwa asili hakutokea Israelli. + +Mtume Paulo anawaambi Waefeso kwamba kabla hawajamjua Kristo, walikuwa "wageni" kwa Agano la Mungu. + +Wakati mwingine "mgeni" hutafriwa kama "mpitaji," lakini, haliwezi kumlenga tu mtu fulani asiyejulikana au asiyefahamika. + +# Mpende, penda . + +Kumpenda mtu mwingine ni kumjali mtu huyo na kufanya mambo yatakayomnufaisha yeye. Kuna maana mbali mbali za "upendo" ambazo baadhi ya lugha zinaweza kuuelza kwa kutumia maneno tofauti: 1. Upendo unaotoka kwa Mungu wenyewe hulenga juu mema kwa ajili ya wengine, hata kama haujinufashi wenyewe. Iana hii ya upendo hujali wengine, haijalishi wanafanya nini. Mungu mwenyewe ni pendo na ndiye asili ya upendo wa kweli. + +. Yesu alionyesha aina hii ya upendo kwa + kujitoa dhabihu uhai wake ili kutokoa sisi + kutoka dhambini na kifoni. Yeye + aliwafundisha pia wanafunzi wake + kuwapenda wengine kwa kujitoa dhabihu. + +. Watu wanapowapenda wengine kwa aina hii + ya upendo, huhusisha matendo + yanaoonyesha kwamba mtu mwingine + anafikiri juu ya kitakachosababisha mtu + mwingi kufanikiwa. Upendo wa aina hii hasa + huhusisha kuwasamehe wengine. + +. Katika toleo la ULB, neno "upendo" + humaanisha upendo wa kujito dhabihu, + isipokuwa maelezo yanapoashiria kuleta + maana nyingine + +2. Neno lingine katika Agano Jipya humaanisha upendo wa ndugu au upendo wa kirafiki au wa mmoja wa wanafamilia. + + . Msemo huu hulenga upendo wa + kibinadamu baina ya marafiki au ndugu. + + . Linaweza kutumiwa pia katika mazingira + kama vile, "wanapenda kukaa kwenye viti + vya mbele katika karamu." Hii + inamaanisha kwamba "wanapenda sana" + au wanatamani sana kufanya hivyo. + +3. Neno "upendo" pia laweza kumaanisha mapenzi baina ya mwanaumme na mwanamke. 4. Katika maelezo ya kitamathali , "Yakobo nimempenda, lakini Esau nimemchukia," ule msemo "nimempenda" humaanisha Mungu kumchagua Yakobo kuwa katika uhusiano naye wa kimaagano. Hili pia laweza kufasiriwa kama "aliyechaguliwa." Ingawaje Esau pia alibarikiwa na Mungu, hakupewa upendeleo wa kuwa katika agano. Ule msemo "nimemchukia" hapa umetumka kitamathali kumaanisha "aliyekataliwa" au "asiyechaguliwa." + + +MAPENDEKEZO YA UFASIRI + . Isipokuwa imeashiria vinginevyo kwenye + maelezo ya kiufasirineno "upendo katka + kwenye toleo la ULB humaanisha aina ya + upendo wa kujitoa dhabihu ambao + hutoka kwa Mungu + + . Baadhi ya lugha zaweza kuwa na neno + maalum kwa upendo usio wa kibinafsi + waenye kujitoa dhabihu alionao Mungu. + Njia za kuufasiri upendo huuzaweza + kuwa pamoja na, "ungalizi wa kujitolea + kwa uaminifu" au "jali kwa bila uchoyo" au + "upendo kutoka kwa Mungu." Hakikisha + kwamba neno linalotumika kufasiri upendo + wa Mungu linawez kujumuisha kutupilia + mbali masilahi ya mtu ili kunufaisha + wengine na kupenda watu bila kujali + wanachofanya + + . Wakati mwingine neno "upendo" la + Kiingereza huelezea uangalizi wa ndani + walionao watu kwa ajili ya marafiki na + wanafamilia. Baadhi ya lugha zingeweza + kulifasiri neno au kirai hiki + + . Baadhi ya lugha zinaweza kuwa na + diff --git a/lev/19/35.md b/lev/19/35.md new file mode 100644 index 00000000..a34eb1a1 --- /dev/null +++ b/lev/19/35.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# usitumie vipimo vya udanganyifu + +Hii hukataza desturi ya utuumiaji wa makusudi wa zana zinzosababisha usomaji usio sahihi wakati wa kupima vitu. + +# Efa + +Hiki kilikuwa kipimo cha nafaka. + +# hini + +Hiki kilikuwa kipimo kwa ajili ya vimiminika + +# Sharti uyatii...na kuyatenda + +Virai hivi humaanisha kitu kile kile na husisitiza amri ya kutii. + diff --git a/lev/20/01.md b/lev/20/01.md new file mode 100644 index 00000000..c5e068b0 --- /dev/null +++ b/lev/20/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# atakayemtoa mtoto wake yeyote kwa Moleki + +Wale waliomwabudu Moleki waliwatoa dhabihu watoto wao kwake kwa njia ya moto. Maana kamili yaweza kuwekwa wazi. : "auaye watoto wake kama sadaka kwa Moleki" + +# hakika atauawa. Ni lazima watu wa nchi wamponde kwa maw + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Watu katika nchi watamponda kwa mawe mpaka kufa + diff --git a/lev/20/03.md b/lev/20/03.md new file mode 100644 index 00000000..cd6fd966 --- /dev/null +++ b/lev/20/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Pia nitaukaza uso wangu dhidi ya mtu huyo + +KIle kirai "kaza uso wangu dhidi" ni nahau inayomaanisha "kumkata." : "Pia Nitamkataa" au "kumpinga vikali' + +# amemtoa mtoto wake + +"amemtoa dhabihu mtoto wake" + +# ili kupatia unajisi mahali pangu patakatifu na kulinajisi jina langu takatifu + +"na kwa kufanya hivyo, ampachafua mahali pangu patakatifu na kulinajisi jina langu takatifu. + +# najisi jina langu takatifu + +Jina la Mungu humwakilisha Mungu na heshima yake. : "dunisha heshima yangu" au "kiunivunjia heshima mimi" + +# watayafumba macho yao kwa + +Kile kirai "kufumba macho yao" huashiria "hawawezi kuona" na huwakilisha kutokuwa na uwezo wa kuelewa kwao. : "kutojali" au "puuzia" + +# ajifanyaye kahaba ili kufanya umalaya na Molek + +Kirai hiki huwafananisha na kahaba wale wasiokuwa waaminifu kwa Yahweh. ; "yeye asiyekuwa mwaminifu kwa Yahweh" + diff --git a/lev/20/06.md b/lev/20/06.md new file mode 100644 index 00000000..a62095ba --- /dev/null +++ b/lev/20/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ili kufanya ukahaba na + +Kirai hiki huwalinganisha na kahaba wale watu wasiowaaminifu. : "kwa kufanya hivyo, wanatafuta ushauri kwa roho badala ya kuutafuta kwangu + +# kaza uso wangu dhidi + +Tazama maelezo ya sura20:3 + diff --git a/lev/20/08.md b/lev/20/08.md new file mode 100644 index 00000000..73394dea --- /dev/null +++ b/lev/20/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa yawapasayao watu kutenda. + +# Mtazitunza amari zangu na kuzifuta + +Yale maneno "tunza" na "fuata" kimsingi humaanisha kitu kimoja. Yametumika pamoja ili kusisitiza kwamba ni lazima watu wamtii Mungu. + +# hakika mtu huyo atauawa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. :"Yapasa kuua hakika" + diff --git a/lev/20/10.md b/lev/20/10.md new file mode 100644 index 00000000..a4766928 --- /dev/null +++ b/lev/20/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mwanaume yeyote afanyaye uzinzi na mke wa mwanaume mwingine, yaani, yeyote anayezini na mke wa jirani yake + +Maana kamili sentensi hii yaweza kuwekwa wazi. : "Yule mwanaume aziniye na mke wa mtu mwingi" + +# lazima wote wawili wauawe + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "sharti mtawaua wote wawili" + +# anayelala na mke wa baba yake ili kukutana naye kimwili + +Hii ni ni njia ya upole ya kusema kwamba anafanya ngono na mke wa baba yake. Kuna baadhi ya lugha hutumi virai vya moja kwa moja kama vile "kufanya ngono na mke wa baba yake." + +# Wametenda upotovu + +Hapa Mungu anamwita mwanawume anayelala na mke wa mwanae "potovu" , kuw ni dhambi mbaya sana. Tanzama katika sura 18:22 lilivyotafasiriwa ne "uovu" + diff --git a/lev/20/13.md b/lev/20/13.md new file mode 100644 index 00000000..6108ffcd --- /dev/null +++ b/lev/20/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mwanaume analala na + +Tazama ililivyofasiriwa katika 20:11-12 + +# kama alalavyo na mwanamke + +Namana anavyomtendea mwanaume ndivyo angemtendea mwanamke. : "ni kama vile tu angelifanya na mwamke" + +# jambo lililo ovu. + +"jambo la aibu" au "jambo la kuchukiza" + +# Hakika watauawa + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yawapasa kuwaua hakika" + +# mwanaume huyo na manamke huyo + +Tazama maelezo ya sura 20:12 + diff --git a/lev/20/15.md b/lev/20/15.md new file mode 100644 index 00000000..a09d471d --- /dev/null +++ b/lev/20/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hakika atauawa + +Tazama maelezo ya sura 20:12 + +# ni lazima mmuuwe mwanamke huyo pamoja na mnyama. Kwa hakika ni lazima wauawe + +VIshazi vyote viwili humaanisha kitu kimoja. Vina sisitiza kwamba mwanamke an mnyama sharti wauawe. + +# Kwa hakika ni lazima wauawe + +Tazama maelezoya sura 20:12 + diff --git a/lev/20/17.md b/lev/20/17.md new file mode 100644 index 00000000..daf23913 --- /dev/null +++ b/lev/20/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# mwanaume analala na + +Tazama maelezo hapo juu + +# ama ni binti ya baba yake au binti ya mama yake + +Tazama katika sura zilizotangulia + +# Ni lazima wakatiliwe mbali watoke + +Tazama maelezo ya sura 7:19 + +# Ni lazima aibebe hatia yake + +Kirai hiki humaanisha kwamba mtu anawajibika kwa thambi yale. : "Yeye anawajibika kwa dhambi yake" au "Ywawapasa kumwadhibu yeye" + +# kipindi cha hedhi + +wakati ambapo mwanamke anatokwa damu kutoka katika tumbo lake la uzazi + +# atakuwa amefunua mtiririko wa damu yake, chanzo cha damu yake. + +Kirai hiki kinafananisha kule kufanya ngono na mwanamke wakati akiwa kwenye kipindi chake hedhi kuwa ni sawasawa na kufunua kitu mambacho kilipaswa kubakia kimefichwa. Ule uhalisia kwamba hili liliikuwa ni jambo la aibu kukifanya linaweza kuwekwa wazi. : "amefanya jambo la aibu kwa kufunua kmtirirrko wake wa damu" + +# Ni lizima wote wawili wakatiliwe mbali + +Yaweza kuwekwa wazi kwanini hili yapasa litendeke. : "kwa sababu wamefanya jambo hili la aibu, ni lazima wote wawili, mwanaume na mwanamke wakatiliwe mbali" + diff --git a/lev/20/19.md b/lev/20/19.md new file mode 100644 index 00000000..dcc0204d --- /dev/null +++ b/lev/20/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# alalaye na + +Tazama lilivyofasiriwa hapo juu + +# Ni lazima utabeba hatia yako mwenyewe + +Tazama lilivyofasiriwa hapo juu + +# nitaondolea mbali mali yoyote amabayo watoto wao wangerithi kutoka kwa wazazi wao + +Matleo mengi ya Biblia hulifasiri hili kama "watakufa bila kuzaa watoto." + diff --git a/lev/20/22.md b/lev/20/22.md new file mode 100644 index 00000000..e955615d --- /dev/null +++ b/lev/20/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ile nchi ambayo ninawaleta kuishi isiwatapike nyinyi + +Tazama maelezo ya sura ya 18:24 + +# Msienende katika + +Kufanya matendo ya waabudu sanamu kumezungumziwa kana kwama ni kutembea katika njia zao. : "haiwapsi kufuata" + +# nitayafukuza + +"ondoa" + diff --git a/lev/20/24.md b/lev/20/24.md new file mode 100644 index 00000000..5f8c9be7 --- /dev/null +++ b/lev/20/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# nchi itiririkayo amaziwa na asal + +Kile kirai itirirkayo maziwa na asali" humaanisha "iliyotajiri na yenye mazo yenye chakula cha kutosha kwa kila mmoja." : "nchi iliyonzuri kwa mifugo na kilimo" au "nchi yenye mazao" + diff --git a/lev/20/26.md b/lev/20/26.md new file mode 100644 index 00000000..7dc746ba --- /dev/null +++ b/lev/20/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# nimewatenga nyinyi + +"Nimewatofautisha nynyi" au "Nimewaweka kando" + diff --git a/lev/20/27.md b/lev/20/27.md new file mode 100644 index 00000000..983cf9ae --- /dev/null +++ b/lev/20/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# anayeongea + +Ajaribuye kuwasiliana na" + +# hakika atauawa + +Angalia maelezo yaliyotolewa kwenye misitari mingine kwanye sura zilizotanguli. + diff --git a/lev/21/01.md b/lev/21/01.md new file mode 100644 index 00000000..6707af9a --- /dev/null +++ b/lev/21/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Jitia unajisi mweneyewe + +Tazama maelezo ta sura 13:20 + +# miongoni mwa watu wake + +"miongoni mwa Waisraeli" + +# bikira + +Hii yaweza pia kufasiriwa mwanamke kijana" + diff --git a/lev/21/04.md b/lev/21/04.md new file mode 100644 index 00000000..f5cba840 --- /dev/null +++ b/lev/21/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# pembe + +"ncha"au "sehemu yoyote" + +# Watakuwa watakatifu + +"sharti watengwe" + +# hawataliaibisha jina la Mungu wao + +Neno "jina" limetumika kuwakilisha tabia ya Yahweh. : "wasije wakalitia aibu heshima ya Mungu" au wasije wakamfedhehesha Mungu wao" + diff --git a/lev/21/07.md b/lev/21/07.md new file mode 100644 index 00000000..4787ac80 --- /dev/null +++ b/lev/21/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hawataoa + +"Makuhani hawataoa" + +# kwa sababu wametengwa + +"kwa sababu wamewekwa kando" (UDB) + +# Utamtenga + +"nyinyi watu itawapasa kuwatendea makuhani kama watakatifu" + +# kwa sababu yeye ndiye anayetoa mkate kwa Mungu wako + +"Mkate" huwakilisha chakula kwa ujumla. Yahweh huwa hali hasa matoleo haya. Yahweh huwa hali chakula isipokuwa wakuhani ndiyo walikula chakula hicho. + +# Ni lazima ateketezwe kwa moto + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Ni sharti mmcho moto hata kufa" + diff --git a/lev/21/10.md b/lev/21/10.md new file mode 100644 index 00000000..70a15645 --- /dev/null +++ b/lev/21/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia kile ambachi makuhani kinachowapasa kufanya. + +# Mafuta ya upako + +Hii ni kumbukumbu kwa mafuta ya upako yaliyotumika kwenye ibada ya ya kumweka wakfu kuhani mkuu mpya. Maana kamili ya tamko hili yaweza kufanywa wazi. + +# ambaye mafuta ya upako yamekwisha kumiminwa kichwani pake, na ambaye amekwisha kuwekwa wakfu + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "amabye juu ya kichwa chake walimimina mafuta ya upako na kumweka wakfu" + +# kamwe hataziacha wazi nywele zake wala hatazirarua nguo zake + +Kuacha nywele wazi na kurarua nguo zilikuwa ni ishara ya kuomboleza. Maana kamili ya tamko hili yaweza kufanywa wazi. + +# hataondoka eneo takatifu la hema la kukutania + +Hii haminishi kwamba kuhani mkuu asingeweza kuondoka . Mungu hakumruhusukuondoka ili kuzunka kwa ajili ya mtu mwingine aliyekufa' + diff --git a/lev/21/13.md b/lev/21/13.md new file mode 100644 index 00000000..b8fc0c32 --- /dev/null +++ b/lev/21/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kutoka mipoongoni mwa watu wake + +"kutoka miopngoni mwa kabila lake mwenyewe, kabila la Lawi" + +# asiwatia unajisi watoto wake miongoni mwa watu wake + +Kwa kuoa mwanake asiyemtkatifu au asiye na hofu ya Mungu, kuhani angeweza kuwa na watoto wasiofaa kuwa makuhani. : "ili kwamba asiwe na watoto wasiostahili kwa njia ya kuoa mwanamke asiyemcha Mungu. + diff --git a/lev/21/16.md b/lev/21/16.md new file mode 100644 index 00000000..114f0b29 --- /dev/null +++ b/lev/21/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# asisogee kutoa chakula kwa Mungu wake + +Ile maana kamili ya kauli huii inaweza kufanywa wazi. : "impasi kuja mbele ili kuteketeza sadaka ya kuteketeswa ya chakula cha Mungu juu ya madhabahu. + diff --git a/lev/21/18.md b/lev/21/18.md new file mode 100644 index 00000000..3ecc5d32 --- /dev/null +++ b/lev/21/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# asimkaribie Yahweh + +Ilipasa kuhani awe na viwango maalum vya kimaumbile ili kumkaribia Yahweh. Hii haimaanishi kwamba kasoro za kimaumbile yalikuwa ni matokeo ya kutokuwa mwadilifu au kwamba watu alio na kasoro za kimaumbile hawana uwezo wa kumkaribia Yahweh. + +# aliyeharibiwa uso au kupungukiwa na viungo mwilini, + +"ambaye mwili au uso wake umeharibiwa" + +# kutoa mkate wa Mungu wake + +"Mkate" hapa huwakilisha chakula kwa ujumla. : "kufanya matoleo ya chakula juu ya madhabahu ya Mungu" + diff --git a/lev/21/22.md b/lev/21/22.md new file mode 100644 index 00000000..ff463d6f --- /dev/null +++ b/lev/21/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Anaweza + +"Anayeweza" hapa ni yule kuhani aliye na kasoro za kimwili. + +# Kula chakula cha Mungu wake + +"kula matoleo ya chakula ya Mungu wake." sehemu ya dhabihu ilikuwa ya makuhani na ingeweza kuliwa. + +# Wanawe + +"Wana wa Aroni" + diff --git a/lev/22/01.md b/lev/22/01.md new file mode 100644 index 00000000..b1f0d9ba --- /dev/null +++ b/lev/22/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# waambie wajiepushe na vitu vitakatifu + +"waambie wakati wanaotakiwa kujiepusha na vitu vitakatifu." Yahweh anataka kuelezea mazingira ambayo kuhani huwa najisi na haruhusiwi kugusa vitu vitakatifu. + +# katika vizazi vyenu + +"tangu sasa na kuendelea" + +# wakati akiwa najisi + +Tazama maelezo ya sura 13:20 + +# sharti mtu huyo akatiliwe mbali atoke mbele zangu + +Yule kuhani asiyeweza tena kumtumika Yahweh amezungumziwa kana kwamba mtu huyo amekatwa kutoka mbele za Yahweh, kama mtu angekata kipande cha nguo au tawi mti kutoka kwenye mti. Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. "Mtu huyo hataweza kamwe kutumika kama kuhani" + diff --git a/lev/22/04.md b/lev/22/04.md new file mode 100644 index 00000000..664d6b76 --- /dev/null +++ b/lev/22/04.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# ungonjwa wa ngozi wa kuambukiza + +ugonjwa ujuu ya ngozi unaosambaa kwa urahisi kutoka mtu mmoja kwenda kwa mwingine + +# kutoka mwilini mwake + +Tazama maellezo ya sura 15:1 + +# mpaka atakapotakasika + +Tama maelezo ya sura ya 13:23 + +# yeyote agusaye kitu chochote kilichonajisi + +Tazama maelzo ya sura ya 13:20" + +# wa njia ya kugusa maiti, + +"kwa kugusa mwili wa mfu" + +# dhabihu iliyofanywa kwa Yahweh + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wautendaji. : "dhabihu ambayo mtu mwingine ameitoa kwa Yahweh" + +# au yeyote agusaye mnyama atambaaye atakayemtia yeye unajisi, au mtu yeyote atakayemfanya nyeye kuwa ajisi + +Hii yaeza kfanywa wazi. : "au yeyote aliyenajisi kutokana na kugusa manyama ataambaye au kutokana na kugusa mtu aliyenajisi" + +# yeyote agusaye kitu chochote kisichosafi atakuwa najisi + +Hii yaweza kufanywa wazi. : "au yeyote aliyenajisi kutokana na kugusa mnyama aliye mlemavu au kutokana na kugusa mtu aliye najisi" + +# hata jioni + +"mpaka machweo" + +# kuhani ... atakuwa najisi + +Tazama maezo ya sura ya 13:23 + diff --git a/lev/22/07.md b/lev/22/07.md new file mode 100644 index 00000000..01f16512 --- /dev/null +++ b/lev/22/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ndipo atakuwa safi + +Tazama maelezo ya sura 13:23 + +# uliookotwa au mnyama aliyeraruliwa na wanyama pori + +Hii aweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ambaye mtu mwingine amemwokota akiwa amekufa au yule ambaye mnyama pori kamrarua" + diff --git a/lev/22/10.md b/lev/22/10.md new file mode 100644 index 00000000..eb7871c0 --- /dev/null +++ b/lev/22/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa yawapasyo Aroni na wanawe kutenda. + diff --git a/lev/22/12.md b/lev/22/12.md new file mode 100644 index 00000000..89e4348e --- /dev/null +++ b/lev/22/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mchango wa matoleo matakatifu + +Neno "mchango" laweza kufasiriwa kirai che kitenzi. : "matole matakatifu ambayo watu wamechangia" + diff --git a/lev/22/14.md b/lev/22/14.md new file mode 100644 index 00000000..d2cd234e --- /dev/null +++ b/lev/22/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# naye atamlipa kuahani kwa ajili ya hicho; itampasa kuongeza moja ya tano juu yake + +moja ya tano juu yake**- maana zinazowe kuwa ni 1) kwamba mtu alipaswa kureje chakula kilicholiwa pamoja na chakula cha aina ile ile au 2) kwamba mtu huyo alipwa kulipa fedha kwa kuhani kawa jili ya chakula alikila yeye. + +# moja ya tano juu ya tano + +moja ya tano juu yake**- Hii ni sehemu moja kutoka kwenye sehemu matano zilizosawa. + +# kutoheshimu vitu vitakatifu + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yawapasa kukuvitendea kwa heshima hivyo vitu vitakatifu" + +# ambavyo vimeinuliwa juu na kuletwa + +Kile kirai "vimeinuwa juu" hurejelea ile ishara ya heshima ninayowakilisha utoaji wa kitu fulani kwa Yahweh. Kimsingi humaanisha kitu kile kile kama "kilichotolewa." : "kile walichokitoa" + +# wakajisababishia wenyewe kuchukua dhambi amabyo ingewafanya kuwa na hatia + +Dhambi imezungumziwa kana kwamba kilikuwa chombo ambacho watu wanaweza kukibeba. Maana za weza kuwa 1)Wangeweza kuwajibika kwa dhambi na kuwa na hatia. : "Wangekuwa na hatia kwa ajili ya dhambi waliyoitenda" au 2)neno "dhambi" kibadala cha cha adhabu kwa ajili ya dhambi waliyoitenda. : "Wangepokea adhabu kwa sababu ni wenye hatia" + diff --git a/lev/22/17.md b/lev/22/17.md new file mode 100644 index 00000000..f270ddaa --- /dev/null +++ b/lev/22/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mgeni + +"mpitaji" + +# ikubalike, + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa kiutendaji.: "iwapo Yahweh ataikubali" au "iwapo, Mimi, Yahweh, nitaikubali" + diff --git a/lev/22/20.md b/lev/22/20.md new file mode 100644 index 00000000..4807fdf4 --- /dev/null +++ b/lev/22/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# ili ikubalike + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kwa Mimi kuikubali" au "kwa Yahweh kuikubali" + diff --git a/lev/22/22.md b/lev/22/22.md new file mode 100644 index 00000000..c5867f75 --- /dev/null +++ b/lev/22/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# waliojeruhiwa, wala waliotiwa kilema + +Maneno haya humaanisha kasoro zilizosababishwa na ajali. + +# wenye upele, vidonda vitokavyo usaha, wala wenye vigaga + +Haya humaanisha aina za magonjwa ya ngozi. + +# haitapokelewa. + +"Yahweh ataikubali" + +# mlemavu au aliyedumaa + +Maneno haya yanamaanisha kasoro ambazo mnyama anazo tangu kuzaliwa + diff --git a/lev/22/24.md b/lev/22/24.md new file mode 100644 index 00000000..6547deae --- /dev/null +++ b/lev/22/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Usilete mkate wa Mungu wako + +"Kate" hapa huwakilisha chakula kwa ujumla. Mungu hakula dhabihu hasa. Makuhani wangetoa dhabihu juu ya madhabahu ya Mungu, na wangekula sehemu ya nyama. : "hataleta mnyama kuwa matoleo ya chakula kwa Mungu wenu" + +# Kutoka mkononi mwa mgeni + +Neno "mkono" huwakilisha mtu mzima. Inaonyeshwa kwamba Waisraeli wasingeweza kutumia wanyama kama dhabihu iwapo wangewanunua kutokwa wageni ambao walihasi wanyama wao wakifanya wasikubalikekwa Mungu. : "ambaye mgeni amewapa , kwa sababu wao huhasi wanyamaa wao" + +# hawatapokelewa kabisa kwa ajili yako + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Yahweh hatawapokea kutoka kwenu" + diff --git a/lev/22/26.md b/lev/22/26.md new file mode 100644 index 00000000..90650f37 --- /dev/null +++ b/lev/22/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# anaweza kupokelewa + +"unaweza kuikubali" + +# iliyofanywa kwa moto + +"kwa ajili ya sadaka ya kuteketeza" + diff --git a/lev/22/28.md b/lev/22/28.md new file mode 100644 index 00000000..b1802d35 --- /dev/null +++ b/lev/22/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni lazima iliwe + +"Ni lazima uile" + +# iyo hiyo inayotolewa + +"uliyoitoa dhabiihu" + diff --git a/lev/22/31.md b/lev/22/31.md new file mode 100644 index 00000000..12bea588 --- /dev/null +++ b/lev/22/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kuzishika amri zangu na kuzifuata + +Yale maneno "Shika"na "fuata" humaanisha kitu kilekile. Nayo husisitiza kwamba ni lazima watu watii ammri za Mungu, : "tii amri zangu" + +# 2Msiliabishe jina langu takatifu + +Neno "jina" hapa humwakilisha Yahweh mwenyewe na sifa zake njema. : "msiniabishes mimi Au "msiiabishe sifa yangu njema" + +# Ni lazima nitambuliwe kuwa ni mtakatifu na watu wa Israeli + +: "Watu wa Israeli wanitambue kwamba mimi ni mtakattifu" + diff --git a/lev/23/01.md b/lev/23/01.md new file mode 100644 index 00000000..a84afae8 --- /dev/null +++ b/lev/23/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# sikukuu zilizoamriwa kwa ajili ya Yahweh + +Hizi ndizo zilikuwa sikuu ambazo Bwana aliamru majira yake. Watu walikuwa wamwabudu yeye kwenye sikukuu hizi. : "Sikukuunkwa ajili ya Yahweh" au sikukuu za Yahweh" + diff --git a/lev/23/03.md b/lev/23/03.md new file mode 100644 index 00000000..46ec2ad4 --- /dev/null +++ b/lev/23/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa yawapayo watu kutenda katika nyakati za ssiku maalum. + +# siku ya saba ni Sabato ya kupumzika kabisa + +hili ni jambo ambalo watu yawapasa kulifanya kuwa mazoea yao. Kila baada ya siku sita katika watakazofaanya kazi, nilazima wapumzike katika siku ya saba. + +# kusaniko takatifu + +Yale makwa ambayo watu walikusanyika kumwabudu Mungu katika siku hiyo yamezungumziwa kana kwamba siku hiyo ilikuwa ni kusanyiko. : "siku taktifu, ambayo yawapasa kukusanyika kuniabudu mimi" + diff --git a/lev/23/04.md b/lev/23/04.md new file mode 100644 index 00000000..c15471a4 --- /dev/null +++ b/lev/23/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nyakati zilioamriwa + +"katika nyakati zake mwafaka" + +# mwenzi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi ... Siku ya kumi na tano ya mwezi ule ule + +Mwezi wa kwanza katika kalenda ya Kiebrania huitia alama siku Yahweh alipowatoa Wasraeli katika nchi ya Misri. siku ya kumi na nne na ya kumi na tano ziko kariru na mwanzo wa mwezi wa Aprili katika kalenda ya Magharibi. + +# kwenye machweo. + +"wakati wa jua kuzama" + diff --git a/lev/23/07.md b/lev/23/07.md new file mode 100644 index 00000000..72fab425 --- /dev/null +++ b/lev/23/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Siku ya kwanza ni lazima mjitenge kwa pamoja + +"Yawapasa kuitenga siku ya kwa kwanza ili kukusanyika pamoja" au "Ni lazima muione siku ya kwanza kuwa tofauti na kukusanyika pamoja. + +# mtamletea Yahweh matoleo ya chakula + +Wataiwasilisha kwa Yahweh kwa kuteketeza juu ya madhabahu. + +# Siku ya saba ni ya kusanyiko takatifu lililotengwa kwa ajili ya Yahweh + +Yale matakwa ambayo watu wanayakusanyikia katika siku hiyo yamezungumziwa kana kwamba siku hiyo ilikuwa kusanyiko. Kuwa umetengwa kwa Yahweh humaanisha kwamba wanapokusanyika, ni lazima wamwabudu Yahweh. : "Siku ya saba ni ambayo yawapasa kukusanyika pamoja ili kumwabudu Yahweh. + diff --git a/lev/23/09.md b/lev/23/09.md new file mode 100644 index 00000000..b64e78d0 --- /dev/null +++ b/lev/23/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mganda wa nafaka wa matunda yake ya kwanza + +"mganda wa kwanza" au "kitita cha kwanza cha nafaka."mganda" ni fungu moja la nafaka ambalo mtu amelifunga pamoja. + +# kwa kuwa litakubalika + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kwa ajili yaaa kupokelewa na Yahweh" au "Nami nitalipokea" + diff --git a/lev/23/12.md b/lev/23/12.md new file mode 100644 index 00000000..dd503d5a --- /dev/null +++ b/lev/23/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa yawapasayo watu kutenda. + +# sehemu mbili za kumi ya efa + +Efa moja ni sawasawa na lita 22. "lita nne na nusu" + +# Moja ya nne ya hini + +Hini moja ni sawasawa na lita 3.7. : "lita moja" + +# wala nafaka iliyokaangwa au nafaka mpya + +wala nafaka iliyopikwa au isiyopikwa + +# Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu + +Tazama lilivyofafanuliwa katika 3:15 + diff --git a/lev/23/15.md b/lev/23/15.md new file mode 100644 index 00000000..270c41c4 --- /dev/null +++ b/lev/23/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa yawapasayo watu kutenda. + +# siku hamsini + +"siku 50" + +# ya saba + +Hii ni ya kwaida kwa namba saba + diff --git a/lev/23/17.md b/lev/23/17.md new file mode 100644 index 00000000..ddf41052 --- /dev/null +++ b/lev/23/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kumbia Musa yawapasayo watu kutenda + +# iliyotengenezwa kutokana na mbili ya kumi ya efa. Ni lazima ifanywe kwa unga laini na uliochanganywa na hamira + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. ; "uliyoitengenza kutokana na mbili ya kumi ya efa ya unga na ulioumliwa kwa hamira" + +# mbili ya kumi ya efa. + +Takribani lita 4.5. : "lita nne na nusu" + +# na kutoa harufu nzuri ya kupendeza kwa Yahweh + +Furaha ya Mungu kwa manukato huwakilisha fura furaha yake kwa watu wanaoteketeza matoleo hayo. : "naye Yahweh atapendezwa nanyi" au "impendezayo Yahweh" + diff --git a/lev/23/22.md b/lev/23/22.md new file mode 100644 index 00000000..08aa55d0 --- /dev/null +++ b/lev/23/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mtakapovuna mazao ya nchi yenu, Msivune kabisa kabisa pembeni mwa mashamba yenu + +"Mkusanyapo mazao yenu, msiyakusanye yote hata kufika mipakani mwa mashamba yenu" + diff --git a/lev/23/23.md b/lev/23/23.md new file mode 100644 index 00000000..f99ad227 --- /dev/null +++ b/lev/23/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Katika mwezi wa saba., siku ya kwanza ya mwezi huo + +Huu ni mwezi wa saba wa kalenda ya Kiebrani. Siku ya kwanza ni karibu na katikati ya mwezi wa Septemba kwenye kalenda ya Magharibi. + +# pumzika makini + +kipindi cha wakati ambacho kilikuwa cha ibada na siyo kwa ajili ya kazi. + +# lazima mtoe dhabihu inayofanywa kwa moto kwa Yahweh + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yawapasa kutoa dhabihu mnayoifanya kwa mto kwa Yahweh" au "ni sharti mteketeze sadaka kwa Yahweh juu ya madhabahu" + diff --git a/lev/23/26.md b/lev/23/26.md new file mode 100644 index 00000000..fed6f130 --- /dev/null +++ b/lev/23/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# siku ya kumi ya mwezi huu wa saba + +Huu ni mwezi wa saba wa kalenda ya Ebrania. Siku ya kumi ni karibu na mwisho wa mwezi wa Septemba katika kalenda ya Magharibi. + +# siku ya upatanisho + +Katika siku hii kila mwaka kuhani mkuu alifanya dhabihu kwa Yahweh ili kwamba Yahweh angeweza kusamehe dhambi zote za watu wa Israeli. : "siku ya dhabihu kwa ajili ya msamaha" + diff --git a/lev/23/28.md b/lev/23/28.md new file mode 100644 index 00000000..5ed045da --- /dev/null +++ b/lev/23/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo Unganishi + +Yahweh anaedelea kumwambia Musa yawapasayo watu kufanya kila mwaka. + +# azima akatiliwe mbali na watu wake + +Tazama maelezo ya sura ya 7:19 + diff --git a/lev/23/30.md b/lev/23/30.md new file mode 100644 index 00000000..be73fad1 --- /dev/null +++ b/lev/23/30.md @@ -0,0 +1,29 @@ +# Maelezo ya Kuunganisha + +Yahweh anaendelea kumwambia mMusa yawapasayowatun kutenda. + +# katika siku hiyo + +"katika siku ya upatanisho" + +# Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu + +Tazama katika sura ya 3:15 + +# Sabato ya pumziko makini + +Hii haikuwa Sabato ile ambayo waliishika kila juma katika siku ya saba. Hii ilikuwa ni sabato maalum katika siku ya upatanisho. + +# yapasa mjinyenyekeze + +katika jambo hili, kujinyeyekeza wenyewe kulimaanisha kwamba wasingeku +*la chakula chochote. Hii yweza kutmkwa wazi. : "Yapasa kujinyenyekeza wenyewe na msile kitu cho chote. + +# siku ya tisa ya mwezi + +hii humaanisha mwezi wa saba katika kalenda ya Kiebrania. Siku ya tisa ni karibu na mwishoni mwa mwezi wa Septemba katika kalenda ya Magharibi. Hii yaweza kufanywa wazi. : "siku ya tisa ya mwezi wa saba" + +# Tangu jioni hata jioni + +"Tangu machweo mpaka machweo kwenye siku inayofuata" + diff --git a/lev/23/33.md b/lev/23/33.md new file mode 100644 index 00000000..9576fc35 --- /dev/null +++ b/lev/23/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# siku ya kumi natano ya mwezi wa saba + +Hii ni karibu na mwanzoni mwa mwezi wa Oktoba katka lenda ya Magharibu. + +# Sikukuu ya Vibanda + +Hii ni sherehe wakati ambao watu wa Israeli waliishi katika vibanda vya muda kwa siku saba kama njia ya kukumbuka muda walioutumia wakiishi kwenye jangwani baada ya kutoka Misri. + diff --git a/lev/23/37.md b/lev/23/37.md new file mode 100644 index 00000000..4f5a9b53 --- /dev/null +++ b/lev/23/37.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hizi ndizo sikukuu zilizoamriwa + +Sikukuu hizi zimetajwa katika 23:1-36 + diff --git a/lev/23/39.md b/lev/23/39.md new file mode 100644 index 00000000..b736db0d --- /dev/null +++ b/lev/23/39.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kuhusu Sikukuu ya vibanda + +Tazama katika sura ya 23:33 + +# siku ya kumi natano ya mwezi + +Huu ni mwaka wa saba wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi na tano ni karibu na mwanzoni na mwezi wa Oktoba kwenye kalenda Magharibi. + +# mmeyakusanya ndani matunda + +"baada ya kuwa mmeyakusanya mazao" + diff --git a/lev/23/40.md b/lev/23/40.md new file mode 100644 index 00000000..67061993 --- /dev/null +++ b/lev/23/40.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea na maelekezo yake juu ya sikukuu ya vibanda. + +# makuti ya mtende ... matawi ya mierebi kutoka chemchemi za maji + +Matumizi ya matawi yanayoweza kuwa ni 1) kujenga vibanda vya muda au 2) kuyapunga kama sehemu ya kusherehekea kwa kwa shangwe, Baadhi ya tafsiri hutamkwa wazi matumizi yake; matoleomengine huacha kuesema uwazi wake. + +# Mierebi + +Miti yenye majani marefu, membamba, ambayo huota karibu na maji. + diff --git a/lev/23/42.md b/lev/23/42.md new file mode 100644 index 00000000..e80095ab --- /dev/null +++ b/lev/23/42.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wazao wenu, kizazi baada ya kizazi, waweze kujifunza + +"kizazi baada ya kizazi" ni nahau inayomaanisha kwa kila kizazi kinachoishi baada ya kingine. "wazao wenu wa kizazi kijacho wwaweze kujifunza" au "wazao wenu wote waweze kujifunza daima" + diff --git a/lev/24/01.md b/lev/24/01.md new file mode 100644 index 00000000..d2905c80 --- /dev/null +++ b/lev/24/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Mungu anampa Musa maelekezo kuhusu vitu vya hekaluni + +# mafuta halisi yaliyokamliwa kutokana na mizeituni + +"mafuta halisi ya zeituni + +# taa + +Hii humaanisha ile taa au zile taa kwenye hema takatifu la Yahweh. hili laweza kufasiriwa kwa uwazi. : "ile taa katika hema la kukutania + diff --git a/lev/24/03.md b/lev/24/03.md new file mode 100644 index 00000000..29958e71 --- /dev/null +++ b/lev/24/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kauli Unganishi + +Mungu anaendelea kumpa Musa maelekezo juu ya vitu katika hema la kukutania + +# Nje ya pazia lililoko mbele ya sanduku la maamzi + +Kile kirai "sanduku la maamzi" huwakilisha ama zile mbao ziliandikwa juu yake au lile sanduka ambalo hizo mbao ziliwekwa ndani yake. Hivi vilitunzwa vema humo mahali patakatifu pa patakatifu, am bacho kilikuwa ni chumba nyma ya pazia ndani ya hema la kukutania. : "Nje ya pazia lililoko mbele ya mbao za sanduku la maamzi" au "Nje ya pazia + +# pazia + +Hiki kilikuwa ni kitambaa kinene kilichoning;inizwa kama ukuta . hakikuwa kama pazia la dirishani la kitambaa chepesi. + +# tangu asubuhi hata jioni + +tangu mawio mpaka machweo" au "usiku mzima" + +# Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu + +Tazama maelezo ya sura 3:15 + diff --git a/lev/24/05.md b/lev/24/05.md new file mode 100644 index 00000000..ee7621de --- /dev/null +++ b/lev/24/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo Ungajishi + +Mungu anaendea kumwelekeza Musa juu ya vitu kwenye hema la kukutania + +# mbili za kumi za efa + +Hizi ni kama lita 4.5. : "lita nne na nusu" + +# meza ya dhahabu safi mbele za Yahweh + +Meza hii ilikuwa mahali pa takatifu, ambayo ilikuwa kabla ya patakatifu pa patakatifu. + diff --git a/lev/24/07.md b/lev/24/07.md new file mode 100644 index 00000000..0a724936 --- /dev/null +++ b/lev/24/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo Ungajishi + +Mungu anaendea kumwelekeza Musa juu ya vitu kwenye hema la kukutania + +# Mtaweka uvumba safi kando ya kila safu + +Uvumba labda ulifuata baada ya mikate. : "yapasa muweke uvumba safi katika kila safu" + +# kuwa sadaka ya kuwakilish + +Kile uvumba uliwakilishwa cha weza kutamkwa kwa uwazi> "ili kuwakilisha mikate kama sadaka" au kuwa sadak iwakilishayo mikate" + +# kwa kuwa ni sehemu ya matoleo + +"kwa kuwa waliichukua kutoka kwenye matoleo" + +# matoleo kwa Yahweh yaliyofanywa kwa moto + +"sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh" au "sadaka mnayoichoma kwa ajili ya Yahweh" + diff --git a/lev/24/10.md b/lev/24/10.md new file mode 100644 index 00000000..54f0b814 --- /dev/null +++ b/lev/24/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sasa ilitokea + +Kirai hiki kianunda sehemu mpya ya kitabu. + +# akalikufuru jina la Yahweh na kumlaani Mungu + +Vilai vyote viwili kimsingi humaanisha kitu kimoja. "akamfufuru Yahweh kwa kumalaani" au alisema mambo maovu kumhusu Yahweh" + +# Shelomithi + +Hili ni jina la mwanamke. + +# Dibri + +Hili ni jina la mwaume. + diff --git a/lev/24/13.md b/lev/24/13.md new file mode 100644 index 00000000..15e3c546 --- /dev/null +++ b/lev/24/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wale wote waliomskia wataweka mikono yao juu ya kichwa chake + +Walikuwa waweke mikono yao juu ya kichwa chake kuonyesha kwamba alikuwa mwenye hatia. + diff --git a/lev/24/15.md b/lev/24/15.md new file mode 100644 index 00000000..3c8a065a --- /dev/null +++ b/lev/24/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo Unganishi + +Mungu anaendelea kumwambia Musa walichopaswa kumtendea mtu aliyemkufuru Mungu + +# imempasa kubeba hatia yake mwenyewe + +Kuteseka kwa ajili ya dhambi kumezungumziwa kana kwamba alikuwa mtu abebaye hatia yake. : "Sherti ateseke kwa ajili ya dhambi zake" au "ni lazima aadhibiwe" + +# lazima auawe + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ni sharti watu watamuua" au "hakika yawapasa watu kumuua" + diff --git a/lev/24/17.md b/lev/24/17.md new file mode 100644 index 00000000..a42c129f --- /dev/null +++ b/lev/24/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo Unganishi + +Mungu anaendelea kumwambia Musa yawasayo watu kutenda mtu mwingine anapofanya mambo mabaya + +# ni lazima kwa hakika auewe + +Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. "hakika yawapasa kumuua yeyote anayemuua mtu mwingine" + +# sharti amfidie + +Jinsi anavyomfidia kwa weza kutamkwa wazi. : "yapasa amfidie kwa kumpa mwenye mali mnyama aliyehai" + +# uhai kwa uhai + +Hii ni nahau inayomaanisha uhai mmoja ungechukua nafasi ya uhai mwingine. : "uhai mmoja kuchukua nafasi ya uhai mwingine" au "kumfidia yule aliyemuua" + diff --git a/lev/24/19.md b/lev/24/19.md new file mode 100644 index 00000000..5f4aab65 --- /dev/null +++ b/lev/24/19.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo Unganishi + +Mungu anaendelea kumwambia Musa yawasayo watu kutenda mtu mwingine anapofanya mambo mabaya + +# lazima atendewe vivyo hivyo + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "sharti mtende hivyo kwake" + +# Mvunjiko kwa mvunjiko + +Virai hivi vinasisitiza kwamba mtu anapaswa kupokea madhara yale yalele ambayo yeye aliyafanya kwa mwingine. + +# jicho kwa jicho, jino kwa jin + +Tazama aelezo ya sura 24:20 + +# Jino kwa jino + +Hii humaanisha jino lililong'olewa kutoka kinywani. : "kama anang'oa jino la mtu mwingine, mojawapo la meno yake litang'olewa" au iwapo anang'oa jino la mtu mwingine, nao watang'oa mojawapo ya meno yake" + +# Yera kwa jeraha + +Hii humaanisha mifupa yenyekuvunjika. : Mfupa uliovunjika kaw amfupa uliovunkia" au "kamaanavunja mfupa wa , mmojawapo wa mifupa yake lazima uvunjwe " au "kama anavunja mfupa wa mtu mwingine, nao watavunja mmojawapo wa mifupa yake" + +# yeyote auaye mtu lazima auawe + +Hii yaweza kutamkwa katika mtingo wa utendaji. : "nao sharti wamuue yeyote auaye mtu" + diff --git a/lev/24/22.md b/lev/24/22.md new file mode 100644 index 00000000..6fd26867 --- /dev/null +++ b/lev/24/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wakaitekeleza amri + +"wakaitii amri" + diff --git a/lev/25/01.md b/lev/25/01.md new file mode 100644 index 00000000..fc2e35ff --- /dev/null +++ b/lev/25/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hiyo nchi lazima ifanywe iwe ya kuishika Sabato kwa ajili ya Yahweh + +Nchi inazunguziwa kana kwamba ilikuwa mtu ambaye angeweza kuitii sabato kwa kupumzika. Ni kama vile tu watu wanavyopaswa kupumzika kila siku ya saba, watu walikuwa waheshimu Mungu kwa kutoilima ardhi katika kila mwaka wa saba.: "yawapasa kuitii sheria ya Sabato kwa kuiacha ardhi ipumzike kila mwaka wa saba kwa ajili ya Yahweh" au "yawapasa uitii Sabato ya Yahweh kwa kutoilima ardhi kila mwaka wa saba" + diff --git a/lev/25/03.md b/lev/25/03.md new file mode 100644 index 00000000..f0c769b7 --- /dev/null +++ b/lev/25/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mtaikatia matawi mizabibu yenu + +Kuikatia matawi mizabibu ni kuyawezesha matunda kukua vizuri. + +# Sabato ya pumziko la utulivu kwa nchi itashikwa + +Kutoilima ardhi nikumezungumziwa kana kwamba ni pumziko la nchi. Hii yawweza kukutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "yawapasa kuishika Sabato ya pumziko makini kwa ajili ya nchi" au "yakupasa kuitii sheria ya Sabato kwa kutoilima ardhi kila mwaka wa saba" + diff --git a/lev/25/05.md b/lev/25/05.md new file mode 100644 index 00000000..c9d66e22 --- /dev/null +++ b/lev/25/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hamtasimamia ... wanaoishi pamoja nawe mnaweza kujikusanyia chakula + +Katika a 25:5-6 Yahweh anamaanisha hatamruhusu mmiliki wa shamba kuwasimamia wafanya kazi wake na kuivuna nchi kama afanyav miaka mingine sita. Hata hivyo, Yahweh atawaruhusu mtu mmoja mmoja kwenda shambani ili kuokota na kula mda wapatayo. + +# mizabibu yenu isiyokatiwa matawi + +Hii humaanisha kwamba hayupo aliye angaliamizabibu na kukatia matawi kama wafanyavyo katika miaka sita mingine. Hii yaweza kutamkwa atika mtindo wa utendaji. : "mizabibu yenu msiyoikatia matawi" + +# Chochote ardhi isiyofanyiwa kazi itakachotoa + +Chochote kipukacho juu ya ardhi isiyofanyiwa kazi" + +# ardhi isiyofanyiwa kazi + +Hii humaanisha kwamba hakuna mtu aliyeziangalia bustani au mashamba kama wafanyavyo katika miaka sita mingine. Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "bustani zenu msizozitunza" + +# Chochote ardhi ... itakachotoa + +"chochote kiotacho juu ya ardhi" + diff --git a/lev/25/08.md b/lev/25/08.md new file mode 100644 index 00000000..1042d5a1 --- /dev/null +++ b/lev/25/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa kiwapassacho watu kutenda. + +# kutakuwa na Sabato za miaka saba. + +"kutakuwa na seti ya miaka saba" + +# miaka arobaini na tisa + +miaka tisa** - "miaka 49" + +# kumi ya mwezi wa saba + +Huu ni mwezi wa saba wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kumi ni karibu na mwaisho mwezi wa Septemba katka kalenda ya Magharibi. + +# Siku ya Upatanisho + +Tazama lilivyofasiriwa katia sura ya 23:26 + diff --git a/lev/25/10.md b/lev/25/10.md new file mode 100644 index 00000000..60e9316a --- /dev/null +++ b/lev/25/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mwaka wa hamsini + +Hii ni namba ya mpango. : "mwaka wa 50" + +# Yubile kwa ajili yenu + +Yubile ulikuwa mwaka ambao Wayahudi walipaswa kurejesha ardhi kwa wamiliki wake wa asili na kuwaacha huru watumwa. : "mwaka wa urejesho kwa ajili yenu" au "mwaka kwenu wa kurudisha ardhi na kuacha huru watumwa" + +# mali na watumwa ni lazima warejeshwe + +Hii yweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "yawapasa kurudisha mali na watumwa" + diff --git a/lev/25/11.md b/lev/25/11.md new file mode 100644 index 00000000..5f93616c --- /dev/null +++ b/lev/25/11.md @@ -0,0 +1,9 @@ +# Yubile kwenu + +Tazama maelezo ya sura 25:10. +Nayo yaweza kutamkwa wazi kwa waliyekuwa wakiirejesha hiyo ardhi. : "mwaka ambao mnapaswa kuirejesha ardhi kwangu" + +# Nanyi mtakula mazao yanayokua yenyewe kutoka mashambani + +azama maelezo katika 25:5-7 + diff --git a/lev/25/13.md b/lev/25/13.md new file mode 100644 index 00000000..fc673150 --- /dev/null +++ b/lev/25/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mwaka huu wa Yubile + +"mwaka huu wa urejesho" au "mwaka huu kurudisha ardhi na kuweka huru watumwa|" + diff --git a/lev/25/15.md b/lev/25/15.md new file mode 100644 index 00000000..62ec55ab --- /dev/null +++ b/lev/25/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +MUngu anaendelea kumwambia Musa yawapasayo watu kutenda. + +# ambayo yaweza kuvunwa + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "nayowea kuyavuna" + +# Yubile nyingine + +"mwaka mwingine wa urejesho" au "mwakamwingine wa kurudisha ardhi" + diff --git a/lev/25/18.md b/lev/25/18.md new file mode 100644 index 00000000..14e752ae --- /dev/null +++ b/lev/25/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# muyatii maagiza, kuzitunza sheria zangu na kuzitekeleza + +Virai hivi vyote humaanisha kitu kimoja. Zinasisitiza kwamba watu wanapaswa kutii kila asemalo Yahweh. + +# nanyi mtakula kiasi cha shibe yenu + +Hii humaanisha kwamba wangekula vya kutosha mpaka matumbo yao yajae. : "mtakuala mpaka mjazwe" au mtakula tele" + diff --git a/lev/25/20.md b/lev/25/20.md new file mode 100644 index 00000000..4534a953 --- /dev/null +++ b/lev/25/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Labda mtasema + +"Mtasema" hapa humaanisha watu wa Israeli. + +# Nitaiamru baraaka yangu ije juu yenu + +Mungu anaiongelea baraka yake kana kwamba ilikuwa mtu amabye angeweza kumtii yeye. "Nami nitaituma baraka yangu juu yenu" au "Nami nitawabariki ninyi" + +# kutoka kwenye riziki iliyohifadhiwa + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "kutoka katika chakula mlichohifadhi" + diff --git a/lev/25/23.md b/lev/25/23.md new file mode 100644 index 00000000..c5ae8168 --- /dev/null +++ b/lev/25/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuzungumza + +# Ardhi haitauzwa kwa mmiliki mpya wa kudumu, + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. ; "Haipasi kuiuza ardhi yenu kwa kudumu kwa mtu mwingine" + +# lazima muitunze haki ya ukomboz + +Jina "ukombozi" laweza kuelezwa na vitenzi "komboa" au "nunua tena ulichokiuza." : "yawapasa mkumbuke kwamba yule mmiliki wa asili anayo haki ya kuikomboa tena ardhi wakati wowote" + +# itawapasa kuruhusu ardhi inunuliwe tena na familia ambayo wewe uliinunua hiyo ardhi + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "lazima muiruhusu familia ile ambayo mliinunua ardhi kwao kuinunua tena hiyo ardhi" + diff --git a/lev/25/26.md b/lev/25/26.md new file mode 100644 index 00000000..ac11bc0c --- /dev/null +++ b/lev/25/26.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ardhi hiyo ilipouzwa + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "alipoiuza hiyo ardhi" + +# kurejesha kwa mtu aliyemuuzia fedha iliyosalia + +Hii yaweza kuwekwa wazi. : "kuilipa hiyo fedha kwa mnunuzi aliyeinunu hiyo ardhi ambayo angekuwa amishailipa" + +# mwaka wa Yubile + +Tazama lilivyotafsiriwa katika sura 25:10 + +# ardhi itarejeshwa + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Yule aliyeinunua hiyo ardhi atairejesha" + +# atarejea kwenye mali yake + +"atarudi kwenye ardhi yake" + diff --git a/lev/25/29.md b/lev/25/29.md new file mode 100644 index 00000000..6b1bd90b --- /dev/null +++ b/lev/25/29.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# baada ya kuuzwa + +"baada ya yeye kuiuza" + +# haki ya ukombozi + +Ile nomino "ukombozi" yawaeza kuelezwa na vitenzi "komboa" au "nunua tena ulichokiuza." : "haki ya kukikomboa" + +# Kama nyumba hiyo haitakombolewa + +Hii yaweza kutmkkwa katika mtindo wa utendaji. : "kama yeye au familia yake hwaikomboi hiyo nyumba" + +# Nyumba hiyo haitakuwa ya kurejeshwa + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Mtu aliyeinunua nyumba hiyo hatatakiwa kuirejesha" + +# Mwaka wa Yubile + +Tazama livyotafsiriwa kwenye mistari iliyotangulia. + diff --git a/lev/25/31.md b/lev/25/31.md new file mode 100644 index 00000000..bafdf7a9 --- /dev/null +++ b/lev/25/31.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Lakini nyumba za vijijini zisizokuwa na ukuta + +Baadhi ya vijiji havikuwa na ukuta kuvizunguka. + +# Zaweza kukombolewa, na ni lazima zirejeshwe + +"Mnaweza kuzinunua tena nyumba mlizoziuza, na wale waliozinunua sharti wazirejeshe hizo nyumba" + +# mwaka wa Yubile + +Tazama ulivyofafanuliwa ktika mistari iliyotangulia katika sura hii + +# nyumba zinazomilikiwa na Walawi katika miji yao + +"zile nyumba wanazozimiliki Walawi katika miji yao" + +# zaweza kukombelewa wakati wowote + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Walawi wanaweza kuzikomboa wakati wowote" + diff --git a/lev/25/33.md b/lev/25/33.md new file mode 100644 index 00000000..8a2bb665 --- /dev/null +++ b/lev/25/33.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nyumba hiyo iliyouzwa katika miji ilimo, ni lazima irejeshwe + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Yyule aliyeinunua hiyo nyuma iliyoko mjini sharti airudishe " + +# mwaka wa Yubile + +"mwaka wa urejesho" au mwaka wa kurudisha ardhi na kuacha huru watumwa" + +# miongoni mwa watu wa ni mali yao + +Nchi ya Kanaani iligawanywa miongoni mwa watu wa Israeli, lakini katika hiyo, Walawi walikuwa wamepewa miji 48 tu pamoja na mashamba kuizunguka miji hiyo. : "sehemu ya ardhi yao ambayo Waisraeli wanaimiliki" au "mali yao katika nchi ya Israeli" + +# Lakini yale mashamba yanayozunguka miji yao hayataweza kuuzwa + +"Lakini Walawi hawatauza hayo mashamba yanayozunguka miji yao" + diff --git a/lev/25/35.md b/lev/25/35.md new file mode 100644 index 00000000..dcc5d226 --- /dev/null +++ b/lev/25/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuwambia Musa yawapasayo watu kutenda. + +# Usimtoze riba + +Usimfanya akulipe zaidi ya ulichomkopesha yeye" + diff --git a/lev/25/39.md b/lev/25/39.md new file mode 100644 index 00000000..1f78820a --- /dev/null +++ b/lev/25/39.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# hutamfanyisha kazi kama mtumwa. Mtendee kama mtumishi wa kuajiriwa. + +Hii humaanisha kwamba mmiliki alikuwa amtendee Mwisraeli kwa heshima kuliko vile ambavyo angelimtendea mtumwa. + +# Mwaka wa Yubile + +Tazama maelezo katika 25:33 + diff --git a/lev/25/42.md b/lev/25/42.md new file mode 100644 index 00000000..735de8d3 --- /dev/null +++ b/lev/25/42.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo Unganishi + +Mungu anaendelea kumwambia Musa yaliyompasa kuwaambia watu. + +# wao ni watumishi wangu + +"wananchi wenzako ni watumishi wangu" + +# Hawatauzwa kama watumwa + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Haiwapasi kuwauza kama watumwa. + +# waweza kununua watumwa kutoka kwao. + +"labda mwaweza kununua watumwa kutoka kwa mataifa hayo" + diff --git a/lev/25/45.md b/lev/25/45.md new file mode 100644 index 00000000..c4dfdb24 --- /dev/null +++ b/lev/25/45.md @@ -0,0 +1,151 @@ +# mgeni, -a kigeni, mpitaji + +Tama maelezo katika sura zilizotangulia + +# Familia + +Ule msemo "familia" humaanisha kikundi cha watu wanaohusiana kwa damu na kwa kawaida huhusisha baba, mama, na watoto wao. Mara kwa mara pia huhusisha ndugu wengine kama vile babu na bibi, wajuu, wajomba na shangazi. + . Familia ya Kiebrania ni jamii ya kidini + inayopitia chini ya mapokeo chini ya ibada + na maelekezo. + . Familia pia yaweza kujumuisha watumwa, + masuria, na hata wageni. + Baadhi ya lugha zaweza kuwa na + nenonpana kama vile "ukoo" au "kaya" + ambalo linaweza kufaa vema katika + mazingira ambayo huhusisha zaidi ya + wazazi, na watoto tu . + . Ule msemo "familia" pia umetumika + kumaanisha watu wanaohusiana kiroho, + kama vile watu waliosehemu ya familia ya + Mungu kwa sababu wanamwamini Yesu. + +# Watoto, mtoto + +Katika Biblia ule msemo "mtoto" mara kwa mara umetuka kwa ujumla kumaanisha mtu mwingine aliye mdogo kiumri, pamoja na mtot mchanga. Ule msemo "watoto" ni mtindo wa wingi nao pia una maana nyingi za kitamathali. + + + . Katika Biblia, wale wanafunzi au wafuasi + wakati mwingine wanaitwa "watoto" + . Mara kwa mara ule msemo "watoto" + limetumika kuamanisha mzao wa mtu + . Kile kirai "wana wa" chaweza kumaanisha + wale wanaoelezewa na kitu fulani. Baadhi + ya mifano hii yaweza kuwa + . watoto wa nuru + . watoto wa kutii + . watotowa mwovu + . Msemo huu waweza pia kumaanisha + watu ambao wako kama watoto wa + kiroho. Kwa mfano, "watoto wa Mungu" + humaanisha watu wa Mungu kupitia + imani katika Yesu. + +# rithi, urithi, mirathi, mrithi. + +Ile misemo "rithi" ana "urithi" humaanisha kupokea kitu fulani cha thamani kutoka kwa mzazi au mtu mwingine kwa sababu ya uhusiano maalum na mtu huyo. "Mrithi" ni mtu anayepokea urithi. + + . Urithi wa kuonekana unaopokelewa + waweza kuwa fedha, ardhi, au aina nyine ya + mali. + . Urithi wa kiroho ni kila kitu ambacho + Mungu huwapa watu wanaoamini katika + Yesu, ikiwa ni pamoja na baraka katika + maisha haya pia na uzima wa mile na + kukaa paoja naye. + + . Pia Biblia inawaita watu wa Mungu kuwa + ni hurithi wake, ambapo humaanisha + kwamba wao ni wake yeye, wao ni miliki + yake ya thamani. + + . Mungu alimwahidi Abrahamu na wazao + wake kwamba wangerithi nchi ya Kanaani, + nayo ingekuwa yao milele. + + . Pia kuna maana ya kitamthali au kiroho + ambamo kwayo watu wa Mungu + wametajwa kuwa "watairithi nchi." Hii + humaanisha kwamba wao watastawi na + kubarikiwa na Mungu katika njia zote + mbwili kimwili na kiroro + + . Katika Agano Jipya, Mungu anaahidi + kwamba wale wanaomtegemea Yesu + "watarithi wokovu" na "kurithi uzima wa + milele." Pia imeelezwa kuwa, ni kurithi + ufalme wa Mungu." Huu ni urithi wa kiroho + udumuo milele. + . Kuna maana nyingine za kitamathali za + misememo hii + + . Biblia husema kwamba wale watu wenye + hekima watarithi "utukufu" na watu + waliowanyoofu "watarithi mambo mema" + + . "Kurithi ahadi" humaanisha kupokea + mambo mema ambayo Mungu ameahidi + kuwapa watu wake. + + . Musemo huu pia umetumika katika maana + hasi ikiwarejelea watu wapumbavu au + wasiotii "watakaorithi upepo" au + watakorithi "upumbavu." Hii humaanisha + kwamba wanapokea matokeo ya matendo + yao maovu, pamoja na adhabu maisha + yasiyo na maana. + +# ndugu + +Msemo huu "ndugu" mara kwa mara humaanisha mtu mwanaume anayeshirikiana na mtu mwingine angalau mzazi mmoja kiukoo. + + . Katika Agano la Kale, msule msemo "ndugu" + pia umetumika kama uhusiano wa jumla kwa + jamaa kama vile washirika wa kabila, ukoo, + au wa kikundi kimoja. + + . Katika Agano Jipya, mara kwa mara Mitume + waliutumia "ndugu" kumaanisha Mkriso + mwenzako, likijumuisha wote wanaume na + wanawake. kwa kuwa Waminio katika Kristo + wote ni washirika wa familia moja ya kiroho, + na Mungu akiwa Baba yao wa mbinguni. + + . Mara chache katika Agano Jipya mitume + walitumia msemo "dada" walipomaanisha + Mkristo mwanamke moja kwa moja, au + kusisitiza kwamba wote, wanaume na + wanawake wamehusishwa. Kwa mfano, + Yakobo anasisitiza kwamba anaporejelea + "kaka" na "dada" anyehitaji chakula au nguo, + atakuwa nazungumzia waamini wote. + + +MAPENDEKEZO YA UFASIRI + +# kikundi cha watu, watu, watu wa, + +Tazama maelezo ya sura ya 18:1-3 + +# Israeli, Waisraeli, taidfa la Israeli + +Ule msemo "Israeli" in jina ambalo Mungu alimpa Yakobo, linamaana ya, "yule apambanaye na Mungu + + . Wale wazao wa Yakobo walikuja kujulikana + kama "watu wa Israeli," taifa la Ireaweli," au + "Waisraeli." + + . Mungu aliunda agano lake na watu wa + Israeli. Walikuwa watu wake wateule. + + . Tifa la Israeli liliundwa na makabila kumi na + mbili. + . Mara tu baada ya mfale Sulemani kufa, + Israeli iliganyika katika falme mbili: ufalme + wa Kusini uliitwa "Yuda" na ule uflamue wa + Kaskazini uliitwa Israeli. + + . Mara zote ule msemo "Israeli" waweza + kutafsiriwa kuwa, "watu wa Israeli," au ""taifa + la Israeli," kulingana tu ma mazingira. + diff --git a/lev/25/47.md b/lev/25/47.md new file mode 100644 index 00000000..a1a57d58 --- /dev/null +++ b/lev/25/47.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# baada ya Mwisraeli mwenzako kuwa amenunuliwa, anaweza kurejeshwa kwa maliopo. Mtu mwingine katika familia yake anaweza kumkomboa + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Baada ya mgeni kumnunua Mwisraeli mwenzako mtu mwingine katika familia ya Mwisraeli aweza kumnunua tena aliyekuwa ameuzwa> + diff --git a/lev/25/49.md b/lev/25/49.md new file mode 100644 index 00000000..c455791e --- /dev/null +++ b/lev/25/49.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mpaka mwaka wa Yubile. + +Mwisraeli angeweza kuwa mtumwa mpaka mwaka wa Yubile. Haya maelekezo ni kwa ajili ya Mwisiraeli alipotaka kuununua tene uhuru wake kabla ya mwaka wa Yubilee. + +# mwaka wa Yubile + +Tazama maelezo katika sura zilizotangulia + +# kulingana na kiwango cha mendshahara anaolipwa mtumishi aliyeajiriwa + +Endapo Mwisraeli anaununua tena uhuru wake, yule mgeni angeweza kukodi mtumishi ili kufanya zile kazi ambazo mwisraeli angekuwa amezifanya lakini haitakuwa hivyo. Vile vitenzi "kulipwa" na "ajiriwa" zaweza kuelezwa katika mtindo wa utendaji. : "kulingana na kiwango ambacho mtu angelipa ili kukodi mtumishi" + +# kwa idadi ya miaka ambayo angeweza kuendelea kufanya kazi + +kwa idadi ya miaka kufikia Yubileeambayo huyo Mwisraeli angekuwa ameendelea kufanya lakini ameacha. + diff --git a/lev/25/51.md b/lev/25/51.md new file mode 100644 index 00000000..5aa973cc --- /dev/null +++ b/lev/25/51.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# atalazimika kulipa + +"huyo Mwisraeli atalazimika kurejesha" + diff --git a/lev/25/53.md b/lev/25/53.md new file mode 100644 index 00000000..b79f0d54 --- /dev/null +++ b/lev/25/53.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# :hatendewi kwa ukatili + +"Huyo mgeni aliyemnunua yeye kama mtumwa itampasa kumtendea yeye." + +# hatendewi kwa ukali + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "hakuna amtendeaye yeye viba" + +# Iwapo hakukombolewa katika njia hizi + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaj, na ile naye ni lazima akombolewe kutoka yaweza kutamkwa wazi. : "Kama hayupo wa kumkomboa yeye kwa njia hizi kutoka kwa aliyemnunua kama mtumwa." + +# kwa njia hizi, + +"katika njia hizi" + +# atatumika mpaka mwaka wa Yubile, yeye pamoja na watoto wake + +MWisraeli mtumwa pamoja na wa watoto wake watamtumikia mgeni mpaka mwaka wa Yubile., kisha huyo Mgeni angepaswa kumwacha huru Mwisraeli huyo pamoja na watoto wake. + +# Kwangu mimi watu wa Israeli ni watumishi + +"Kwa kuwa ni kwamba kwangu watu wa Israeli ni wa tumishi." Hii nis sababbu kwamba Mungu alitaka Waisraeli waachwe huru katika mwaka wa Yubile. Walikuwa watumishi wake. Walikuwa hawaruhusiwi kuwa wa tumwa wa mwingine wa kudumu pia. + diff --git a/lev/26/01.md b/lev/26/01.md new file mode 100644 index 00000000..191d8cc6 --- /dev/null +++ b/lev/26/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kumwambia Musa yawapasayo watu kutenda. + +# muzitunze Sabato zangu + +"tiini sheria kwa ajili ya Sabato zangu" + diff --git a/lev/26/03.md b/lev/26/03.md new file mode 100644 index 00000000..67d88f64 --- /dev/null +++ b/lev/26/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mtatembea katika sheria zangu na kuzishika amri zangu na kuzitii + +Kuna njia tatu za kuseama jambo lile lile. Yote husisitiza kwamba ni lazima watu watii kila kitu anachowaamru Mungu kufanya. "kama mtazitii kwa uangalifu sheria na amri zangu" + +# mtatembea katika sheria zangu + +Mwenendo kulingana na sheria umezungumziwa kana kwamba ulikuwa kutembea katika sheria. : "kama mtaenenda kulingana na sheria" au "kama mtaishi kulinga na sheria zangu" + diff --git a/lev/26/05.md b/lev/26/05.md new file mode 100644 index 00000000..9d9550d4 --- /dev/null +++ b/lev/26/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mtakula mkate na kushiba na kuishi + +Mkate hapa huwakilisha chakula. "Hata ukamilifu" humaanisha hata matumbo yao lijazwa kwa chakula. : "mtakula chakula mpaka mmejazwa" au "mtakuwa na chakula telea chakula" + +# Nami nitatoa amani katika nchi + +"Huko nitasababisha kuwa amani katika nchi" + +# upanga hautapita katika nchi yenu + +Hapa "upanga" huwakilisha majeshi ya adui" au "majeshi yatawashambulieni" + diff --git a/lev/26/07.md b/lev/26/07.md new file mode 100644 index 00000000..a23675c3 --- /dev/null +++ b/lev/26/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nao wataanguka mbele yenu kwa upanga + +"Kuanguka" hapa huwakilisha kufa, na "upanga" huwakilisha ama kushambulia watu kwa upanga au vita kwa ujumla" + +# Watu wenu watano watafukuza adui mia moja, na watu wenu mia moja watafukuza adui elfu kumi + +Hii humaanisha Waisraeli watakuwa na ushindi dhidi ya majeshi makubwa. + +# tano ... mia moja ... elfu kumi + +"5 ... 100 ... 10,000" + diff --git a/lev/26/09.md b/lev/26/09.md new file mode 100644 index 00000000..159e9013 --- /dev/null +++ b/lev/26/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nitawatazama kwa upendeleo + +"Nitawaonyesha upendeleo" au "Nitawabariki nyinyi" + +# kuwafanya nyinyi mzae na kuwazidisha nyinyi + +Virai hivi viwili vinamrejerelea Mungu akiwasababisha wao kuwa na wazao wengi kwa hiyo wanakuwa kundi kubwa. + +# kuwafanya nyinyi mzae + +Mungu anakuzungumzia kuwa na watoto kwao kana kwamba walikuwa miti izaayo matunda mengi. : "nitawasababisha kuwa na watoto wengi" + +# Mtakula chakula kilichotunzwa ghalani kwa muda mrefu + +"Mtakuwa na chakula kilichohifadhiwa ghalani cha kutosha kula kwa muda mrefu" au "Mtakuwa na chakula cha kutosha kuhifadhi ghalani na kukila kwa muda mrefu" + diff --git a/lev/26/11.md b/lev/26/11.md new file mode 100644 index 00000000..319604be --- /dev/null +++ b/lev/26/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nitaliweka hema langu katikati yenu + +"Nitaweka mahali pa makao yangu miongoni mwenu" + +# Nami sitachukizwa nanyi + +"Nitawakubali ninyi" + +# Nitatembea miongoni mwenu + +"Nami nitawakubali ninyi" + +# Nimevunja makomeo ya nira yenu + +Mungu anauzungumzia utumwa wao kana kwamba kulikuwa ni kuvaa nira ambayo huivaa wanyama ili kufanya kazi ngumu. Kuvunja makomeo ya nira huwakilisha kuwaweka wao huru. : "Nimewaweka huru kutoka katika kazi ngumu walizowalazimisha kuzifinya" + diff --git a/lev/26/14.md b/lev/26/14.md new file mode 100644 index 00000000..50458df8 --- /dev/null +++ b/lev/26/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anamwambia Musa kitakachotokea endapo watu wazitii mamri zake. + diff --git a/lev/26/16.md b/lev/26/16.md new file mode 100644 index 00000000..79d33ab0 --- /dev/null +++ b/lev/26/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kama mtafanya mambo haya + +Kila kirai "mambo haya" hurejelea mambo yaliyoorodheswa katika sura 26:14 + +# Nitasababisha hofu juu yenu + +Hapa "hofu" huwakilisha mambo yatakayowasababisha wao kuhofu. : "Nami nitatuma maafa yatayowaogofya ninyi" + +# kuondoa uhai wenu + +"Nitayaondoa taratibu maisha yenu" auNitaninyi mfe pole pole" . Ni yale magonjwa na homa yatayofanya hivi. + +# Mtapanda mbegu zenu kwa hasara + +Kile kirai "kwa hasara" humaanisha wasingepata kitu cho chote kutoka kwenye kazi zao. ; "Nanyi mtazipanda mbegu zenu bila faida" au "Nanyi mtazipanda mbegu zenu, lakini hamtapata kitu cho chote kutoka kwake" + +# Nitakaza uso wangu dhidi yenu + +Hii humaanisha kwamba atakuwa kinyume nao. Uso wake utaonyesha ghadhabu yake naye atapigana dhidi yao.: "Nitakuwa mpinzani kwenu" au "nitakua kinyume chenu" + +# na mtashindwa na adui zenu + +: "adui zeny watawashinda ninyi" + diff --git a/lev/26/18.md b/lev/26/18.md new file mode 100644 index 00000000..7873aaa4 --- /dev/null +++ b/lev/26/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mara saba + +Neno "saba" hapa siyo halisi. Humaanisha Yahweh atazidisha ukali wa adhabu yake. + +# Nami nitakivunja kiburi chenu + +Kule kutumia nguvu lili kuwafanya wao wasiwe na kiburi kumezunguziwa kana kwamba alikuwa avunjje kiburi chao. : "Nami nitaadhibu na kwa hiyo nitakomesha kiburi unachojisikia kuusiana na nguvu zenu" na "nitawaadhibu ili kwamba msiwe na kiburi tena kwa sababu ya nguvu zenu. + +# Nitaifanya mbingu juu yenu iwe kama chuma na nchi yenu kama shaba + +Hii humaanisaha Mungu ataizuia mvua isidondoke kutoka mawinguni. Hii itaifanya ardhi kuwa ngumu kiasi kwamba watu hawataweza kupanda mbegu au kukuza mazao. + +# Nguvu yenu itatumika bure + +Kule kufanya kazi kwa nguvu kumezungumziwa kana kwamba kulikuwa kutumia nguvu zao ha hawa kuwa na nguvu tena. Kile kirai "bure" humaanisha kwamba wasingepata kitu kutokana na kazi kufanya kazi kwao kwa juhudi kubwa. : "Nanyi mtafanya kazi kwa juhudi sana bila mafanikio" au mtuafanya kazi kwa juhudi sana, lakini hamtapata kila kitu chema kutokana na kufanya kazi kwa juhudi sana" + diff --git a/lev/26/21.md b/lev/26/21.md new file mode 100644 index 00000000..abe4583a --- /dev/null +++ b/lev/26/21.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# enenda kinyume changu + +Kuenenda huwakilisha tabia. Kuenenda kinyume na Mungu huwakilisha kumpinga au kumwasi Yeye. "Asi dhidi yangu" + +# nitaleta mapigo mara saba zaidi juu yenu + +Ile nomino dhahania "mapigo" yaweza kutamkwa kama kitenzi "gonga." "Nitawagonga kwa wingi zaidi mara saba + +# nitaleta mapigo mara saba zaidi juu yenu + +Kule Yahweh kusababisha maafa kutokea kwa Waisraeli kumezungumziwa kana kwamba angewapiga na mapigo au kuwagonga. : "Nitasabisha maafa mengi yaje mara saba dhidi yenu" au "Niitawaadhibu kwa ukali zaidi mara saba" + +# mara saba + +Hapa "mara saba" siyo halisi, humaanisha Yahweh atazidisha ukali wa adhabu yake. + +# sawasawa na dhambi zenu + +Ile nomino "dhambi" yaweza kuelezewa pamoja na kitenzi "tenda dhamb.i." : "kulingana na mara mlizotenda dhambi" + +# ambao watawaibia watoto wenu + +Kuiba huwakilisha kuwavamia au kuvamia na kuwaburuta. : "watakaowavamia nyinyi na kuwaburuta watoto wenu" + +# Hivyo barabara zenu zitakuwa jangwa. + +"Ili kwamba hatakuwepo wa kusafiri kwaenye barabara zenu." "Kuwa jangwa" humaanisha kwamba hakuna mtu yeyote huko. + diff --git a/lev/26/23.md b/lev/26/23.md new file mode 100644 index 00000000..3fdfe700 --- /dev/null +++ b/lev/26/23.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Endapo pamoja na mambo haya + +"Iwapo nitaadhibu ninyi kama hivi" au 'Iwapo nitawwadibisha ninyi kama hivi na" + +# msiyakubali marekebisho + +Kukubali marekebisho yake huwakkilisha kuitikia kwake kwa usahihi. Katika jambo hili kuitika kwa usahihi kwake ni kuchagua kumtii Yeye. : "bado hamsikilizi marudi yangu" au "bado hamtaki kunitii Mimi" + +# kuenenda katika upinzani dhidi yangu + +Kuenenda huwakilisha tabia. Kuenenda kinyume chake humaanisha kumpinga Yeye au kupigana dhidi Yake. : "kunipinga" au "pigana dhidi yangu" + +# nami pia nitaenenda kinyume chenu + +Kuenenda huwakilisha tabia. Kuenenda kinyume chao humaanisha kuwapinga au kupigana dhidi yao. : "Pia Nami nitapigana dhidi yenu" + +# Mimi mwenyewe nitawaadhibu mara saba + +Namba 7 huwakilisha ukamilifu. : "Mimi mwenyewe binafsi nitawaadhibu mara nyingi" au "Mimi mwenyewa nitawaadhibu kwa ukali wa hali ya juu" + +# kwa sababu ya dhambi zenu + +le nomino dhambi yaweza kuelezewa na kitenzi "tenda dhambi." : "kwasababu mnaendelea kutenda dhambi dhidi yangu" + diff --git a/lev/26/25.md b/lev/26/25.md new file mode 100644 index 00000000..a138b379 --- /dev/null +++ b/lev/26/25.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Nitaleta upanga juu yenu + +Hapa "upanga" huwakilisha jeshi au shambulizi kutoka kwa jeshi. : "Nitaleta jeshi la adui dhidi yenu" au "nitasababisha jeshi la adui kuwavamia nyinyi" + +# utakaowaadhibu kwa kisasi + +"amabao utawaadhibu nyinyi" + +# kwa sababu ya kulivunja agano + +"kwa kutotii agano" au "kwa sababu hamlitii agano" + +# Nanyi mtakusanywa pamoja + +Hii yaweza kutamkwa katika mtingo wa utendaji. : "Mtakusanyika pamoja" au "Mtajificha" + +# nanyi mtachukuliwa mikononi mwa adui yenu + +Hapa " mikononi" humaanisha "kwenye udhibiti" na humaanisha kushindwa na adui. Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "adui zenu watawashindeni" + +# Nitakapokomesha mgao wa chakula, + +Kule kukiharibu chakula ambacho watu wamikitunza au kuwafanya watu wasikipate kumezungumziwa kana kwamba kukata uwaji wa chakula. : "Nitakapoharibu chakula mlichokihifadhi" au "Nitakapowazuia msiweze kupata chakula" + +# wanawake kumi wataweza kuoka mkate wako kwenye chombo kimoja cha kuokea + +Hii hudokeza kwamba kutakuwa na unga kidogo sana kiasi kwamba chombo kidogo sana cha kuokea kitaweza kubeba mikate yote ambayo wanawake wengi wateza kuweka ndani yake. + +# watakugawia mkate wako kwa uzani + +Hii humaanisha kwamba kutakuwa na chakula kidogo sana watatakiwa kukipima ni kiasi gani kila mtu anapata. + diff --git a/lev/26/27.md b/lev/26/27.md new file mode 100644 index 00000000..5cc230d7 --- /dev/null +++ b/lev/26/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Endapo hamtanisikiliza + +Kusikliza huwakilisha yale aliyoyasema. : "kama hamnitii mimi" + +# kuenenda kinyume na mimi + +Tazama maelezo katika mistari iliyotangulia katika sura hii. + +# nitakwenda kinyume nanyi + +Tazama maelezo katika mistari iliyotangulia katika sura hii. + +# Nami nitawaadhibu hata mara saba + +Tazama maelezo katika mistari iliyitangulia katia sura hii. + diff --git a/lev/26/29.md b/lev/26/29.md new file mode 100644 index 00000000..1d44afab --- /dev/null +++ b/lev/26/29.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nitapaangamiza ... kuziangusha ... kuzitupa maiti zenu + +Kwa sababu Mungu atatuma jeshi kufanya mambo haya, anazungumzia kana kwamba atayafanya. : "Nitatuma jeshi ala adui ili kuangamiza ... kuangusha chini ... kutupa maiti zenu" + +# maiti zenu + +"mizoga ya miili yenu" + +# maiti za sanamu zenu + +Mungu anazungumzia sanazisizo na uhai kana kwamba zilikuwa na uhai na kisha zikafa. : "sananmu zenu zisizo na uhai" + diff --git a/lev/26/31.md b/lev/26/31.md new file mode 100644 index 00000000..a410ed78 --- /dev/null +++ b/lev/26/31.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nitaigeuza miji yennu kuwa magofu na kupaharibu patakatifu penu + +Kwa sababu Mungu angetuma majeshi kufanya mambo haya, anasungumza kana kwamba angeyafanya yeye mwenyewe. : "Nitatuma majeshi ya maadui ili kuigeuza miji yenu magofu na kuziharibu madhabahu zenu" + +# patakatifu penu + +Kullikuwa na mahali ambapo watu waliabudu sanamu badala ya Mungu. + +# Nami sitapendezwa na harufu nzuri ya matoleo yenu + +Kwa kawaida Bwana kufurahisha na harufu nzuri huwakilisha kule kufurahishwa kwake na wanaoteketeza hizo sadaka, lakini katika hili, watu wangaliteketeza sadaka zao, lakini Mungu asingependezwa nao. : "Nanyi mteteketeza sadaka zenu, lakini stapendezwa nanyi" + +# Nitaufuta upanga wangu na kuwafuatia + +Hii huwakilisha utumaji wa majeshi ili kuwavamia. "Nitatuma majeshi ya maadui ili kuwashambulia nyinyi" au "Nitatuma majeshi ya maadui ili kuwashambulia nyinyi kwa mapanga" + +# Nchi yenu itatelekezwa, na miji yenu itakuwa magofu + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "nany mtaitelekeza nchi yenu , nao adui zenu wataiharibu miji yenu" + diff --git a/lev/26/34.md b/lev/26/34.md new file mode 100644 index 00000000..d3174b26 --- /dev/null +++ b/lev/26/34.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nayo nchi itazifurahia Sabato zake + +Hao watu walipaswa kuitii sheria ya Sabato kwa kutoilima ardhi kila mwaka wa saba. Mungu anazungumzia juu ya hili kana kwamba ardhi ilikuwa mtu ambaye angalitii sheria ya Sabato na kupuzika. : "Kisha nchi itapumzika kulingana na sheria ya Sabato" au "Kisha, kama inavyotakiwa na sheria ya Sabato, ardhi haitalimwa" + +# nchi itapumzika + +Mungu huzungumzia juu ya nchi kutolimwa kana kwamba alikuwa mtu ambaye angepumzika, : "haitalimwa" + +# Nitatuma hofu ndani ya mioyo yenu + +Kutuma hofu myoyoni mwao huwakilisha kuwafanya wao waogope" + +# kana kwamba mlikuwa mkikimbia mbele za upanga + +Upanga huwakilisha ama mtu mwingine aliyekuwa tayari kuua akitumia upanga au shambuzi kutoka kwa jeshi la adui. : "kana kwamba mlikuwa mkitoroka mtu mwingine aliyekuwa akiwafukuza na upanga" au kana kwamba mlikuwa mkilitorka jeshi la adui" + diff --git a/lev/26/37.md b/lev/26/37.md new file mode 100644 index 00000000..8de32383 --- /dev/null +++ b/lev/26/37.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa Ujumla + +Yahweh anaendelea kuelezea kitachotokea kwa Waisraeli watakapolazimisha kwenda mataifa ya adui zao. + +# kana kwamba mlikuwa mkiukimbia upanga + +Tazama maelezo kuhusu upanga na uwakilishi wake katika mistari iyotangulia + +# kusimama mbele za aduii zenu + +Kusimama mbele za adui huwakilisha kuanguka adui wanawapovamia na kupigana dhidi yao. : "kuwazuia adui zenu wanawavamia ninyi" au "kujibu mapigo dhidi ya adui zenu" + +# nayo nchi ya adui zenu yenyewe itawamezeni + +Yahweh anaongelea kuhusu nchi ya maadui kana kwamba ilikuwa mnyama pori ambaye angewala Waisraeli. Lile neno "meza" husisitiza kwamba wengi wa Waisraeli watafia huko. : "matfia katika nchi ya adui zenu" + +# Wale watakosalia miongoni mwenu + +"Wale wa kwenu ambao wasiokufa" + +# wataangamia katika dhambi zao + +Kuangamia katika dhambi zao huwakilisha kuangamia kwa sababu ya dhambi zao. + +# dhambi za baba zao + +Hapa "za baba zao" huwakilisha wababu wao + diff --git a/lev/26/40.md b/lev/26/40.md new file mode 100644 index 00000000..67a6b5bc --- /dev/null +++ b/lev/26/40.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kugeuka dhidi yao + +Hii huwakilisha kuwapinga> : "kuwapinga wao" + +# iwapo mioyo yao isiyotahiriwa itanyenyekezwa + +Hapa ule msemo "mioyo isiyotahiriwa" humaanisha nafsi nzima. : " kama wao watakuwa wanyenyekevu badala ya kukaidi kwa ushubavu" + +# nami nitalikumbuka agano langu na Yakobo, agano langu na Isaka, agano langu na Abrahamu + +"Kukumbuka " ni nahau inayomaanisha kukumbuka kwa makusudi. Hapa inawakilisha kutimiza agano lake. : "kisha nitatimiza agano nililofanya na Yakobo, Isaka na Abrahamu" + +# nitaikumbuka nchi + +"Kukumbuka " ni nahau inayomaanisha kukumbuka kwa makusudi." Hapalinawakilisha nchi. : "Nitatimiza ahadi yangu juu ya nchi" + diff --git a/lev/26/43.md b/lev/26/43.md new file mode 100644 index 00000000..3904fb5d --- /dev/null +++ b/lev/26/43.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nayo nchi itakuwa imetelekezwa na wao + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Watu wa Israeli waitelekeza nchi yao" + diff --git a/lev/26/44.md b/lev/26/44.md new file mode 100644 index 00000000..1b8da92f --- /dev/null +++ b/lev/26/44.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nitalikumbuka agano langu na baba zao + +: "Nitatimiza agano langu na babu zao. + +# Maelezo kwa Ujumla + +Hili lina hitimisha ujumbe wa Yahweh kwa Musa katika mlima wa Sinai kuhusiana na baraka kwa utii na adhabu kwa kutotii. + +# machoni pa mataifa + +Hii huwakilisha ufahamu wa mataifa. ": "katika ufahamu wa mataifa" au "nayo mataifa yajue kuhusu hili" + +# mataifa + +Hili huwakilisha watu wa mataifa. "machoni pa watu wa mataifa" + diff --git a/lev/26/46.md b/lev/26/46.md new file mode 100644 index 00000000..2a922f92 --- /dev/null +++ b/lev/26/46.md @@ -0,0 +1,62 @@ +# amru, kuamru, amri + +Ule msemo "amru" humaanisha kumwagiza mtu mwingine kufanya jambo fulani. "Agizo" au "amri ni kile mtu aliagizwa kufanya. + +. Ingawaje misemo hii yote inamaana moja + kimsingi, maraa kwa mara "amri" hurejelea + maagizo fulani ya Mungu amabayo yako rasmi + zaidi na ya kudumu, kama vile "amri kumi" + +. agizo laweza kuwa chanya ("Heshimu wazazi + wako") au hasi ("Usiibe") + +. "Kuchukua amri" humaanisha "kuchukua udhibiti" au "shika madaraka" ya kitu kitu fulani au mtu mwingine. + +# Agizo + +Agizo ni tangazo au sheria amabayo hutangazwa hadharani kwa watu wote. + . Sheri za Mungu pia huitwa maagizo, + masharti au amri. + . kama vile sheria na amri, maagizo lazima + yatiiwe + + . Mfano wa agizo lililotolewa na mtawala + mwanadamu ni lile tangazo lililotolewa na + Kaisari Augusto kwamba kila aliyekuwa + akiishi katika Dola la Kirumi lazima arudi + katika mji wa nyumbani kwao apate + kuhesabiwa kwenye sensa. + + . Kuagia kitu fulani humaanisha kutoa amri + ambayo lazima itiiwe. Hii ingeliweza + kutafsiriwa kama, "kuagiza" au "kuamru" au "kudai kirasmi" au kutengeneza sheria hadharani." + + . Jambo fulani "lililotangazwa" kutokea humaanisha kwamba hakika hili litatokea. au lililokwisha kusudiwa na halitabadilishwa" au "limetangazwa kabisa kabisa kwamba litatokea." + +# sheria, sheria ya Musa, sheria ya Mungu, sheria ya Yahweh + +Misemo hii yote hurerjea amri na mfundisho ambayo Mungu alimpa Musa kwa ajili ya Waisraeli kuzitii. Ile misemo "sheria" na sheria ya Mungu" kwa ujumla pia imetumika kumaanisha kila kitu ambacho Mungu anawatakawatu wake kutii. + . Kwa kutegemeana na muktadha, sheria + yaweza kumaanisha: + . zile amri kumi ambazo aliziandika kwenye + mbao za mawekwa ajili ya Waisraeli. + . sheria zote alizopewa Musa + . vile vitabu vitano vya kwanza vya Agano la + Kale. + . Agano la Kale lote (pia hurejelewa kama + "maandiko" katika Agano Jipya. + . Mafundisho yote na maenzi ya Mungu + . Kile kirai" sheria na manabii" katika + Agano Jipya kimetumika kumaanisha + maandiko ya Kiebrania (Agano la Kale) + +# Sinai, Mlima Sinai + +Mlima sSinai ni jina la mlima ambao huenda kulikuwa upande wa eneo linaitwa kwa sasa rasi ya Sinai. Pia lilijulikana "Mlima Horebu." + . Mlima Sinai ni sehemu kubwa ya jangwa + lenye miamba. Waisraeli walikuja kwenye + Mlima Siani walipokuwa wakisafiri kutoka + Misri kwenda kwenye Nchi ya Ahadi. + . Mungu alimpa Musa zile amri kumi juu ya + Mlima Siani + diff --git a/lev/27/01.md b/lev/27/01.md new file mode 100644 index 00000000..4f316d0a --- /dev/null +++ b/lev/27/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Iwapo mtu yeyote anatoa kiapo maalum cha kuwa mnathiri kwa Yahweh + +Katika jambo hilikiapo kingehusisha kujito mwenyewe au mtu mwingine kwa Mungu. Hii yaweza kutamkwa wazi. : "Kiwa mtu fulani anaapa kmtoa mtu mwingine kwa Yahweh" + +# tumieni tathmini zifuatazo + +Badala ya kumpa mtu, yeye ndiye angempa Bwana kiasi fulani cha cha fedha. : "Tumieni thamani fulani kama zawadi yenu kwa Bwana kwanya nafasi ya mtu" au mpeni Bwana kiasi kifuatacho cha fedha badala ya mtu" + diff --git a/lev/27/03.md b/lev/27/03.md new file mode 100644 index 00000000..b9713ce5 --- /dev/null +++ b/lev/27/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# tumieni tathmini zifuatazo viwe viiwango vyenu vya thamani + +"Kiasi cha kulipa" au yapasa ulipe" + +# Ishirini ... sitini ... hamsini ... thelathini + +"20 ... 60 ... 50 ... 30" + +# shekeli hamsini za fedha + +Kama ni laziam kutumia vipimu vya uzani vya kisasa, hapa kuna nhia mbili kufanya hilo. "vipand hamsini vya fedha, ambacho kila kimoaja hupima gramu kumi" au "gramu mia tano za fedha" + +# kulingana na vipimo vya shekeli ya mahali pa patakatifu + +Hizi zikikuwa shekeli za vipimo mbali mbali. Hii ni njia moja ambayo mtu alikuwa atumie kwenye hema takatifu. Kilipima gramu 11. : Tumie aina ya shekeli inayotumika kwenye hema la kukutania" au "mnapopima fedha, tumieni ni kipimo amabacho hutumika kwenye hema. + +# shekeli thelathini + +: "vipande thelathini vya fedha, ampao kila kimoja hupima gramu kumi" au "shekeli thelathini sawasawa na gramu mia tatu" + diff --git a/lev/27/05.md b/lev/27/05.md new file mode 100644 index 00000000..3599521a --- /dev/null +++ b/lev/27/05.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# tano ... ishirini ... kumi ... tatu + +"5 .. 20 ... 10 ... 3" + +# viwango vyenu + +"kiasi cha kulipa' au yapasa mlipe" + +# shekeli ishirini + +: "vipande ishirini vya fedha" au "gramu mia mbili za fedha" + +# na kwa mwanamke ni shekeli kumi + +Kirai "umri huo" na "viwango vyenu vya thamani vitakuwa" ni vimeachwa wazi viweze kuelekweka. : "naye mwanamke wa umri huo lazima viwango vyenu vya thamani viwe shekeli kumi" + +# shekeli kumi + +"vipande kumi vya fedha" au gramu hamsini za fedha" + +# shekeli tano za fedha + +"vipande vitano vya fedha" au gramu mia moja za fedha" + +# shsekeli tatu + +"vipande vitatu vya fedha" au gramu thelethini za fedha" + diff --git a/lev/27/07.md b/lev/27/07.md new file mode 100644 index 00000000..5a2bd3c4 --- /dev/null +++ b/lev/27/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# miaka sitini na zaidi + +"umri wa miaka sitini na wazee" + +# Sitin ..kumi na tano .. kumi + +"60 ... 15 ... 10" + +# shekeli kumi na tano + +"vipande kumi na tanovya fedha" au "gramu 150 za fedha" + +# huyo mtu anayetolewa lazima atapelekwa kwa kuhani + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "atampeleka kwa kuhani huyo mtu anayemtoa" + diff --git a/lev/27/09.md b/lev/27/09.md new file mode 100644 index 00000000..931c7108 --- /dev/null +++ b/lev/27/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# atatengwa kwake. + +"atangwa kwa Yahweh" + +# hao wawili; yule anayetolewa na yule anayebadilishwa + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "wote wawili huyo aliyetolewa na yule anayembadilisha" au " mnyama naweza kumaanisha kuwa "wanyama wote wawili" + diff --git a/lev/27/11.md b/lev/27/11.md new file mode 100644 index 00000000..ea4b0ec7 --- /dev/null +++ b/lev/27/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa uhalisia siyo kisafi, kwa hiyo, Yahweh hatakikubali + +Mnnyama amezungumziwz kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbbile. Anaweza kuwa najisi kwa sababu ni anina fulni ya mnyama au kwa sababu ana kasoro. .: kwa uhalisia ni yule ambaye Yahweheh hatampokea" + +# thamani ya soko + +Hii ni thamani ambayo mnyama huwa thamani tu anamnunua au kumuuza. + +# anapenda kumkomboa + +anapena kumrejesha kwa kumnunua tena" + diff --git a/lev/27/14.md b/lev/27/14.md new file mode 100644 index 00000000..4232c067 --- /dev/null +++ b/lev/27/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# atalazimika kuongeza sehemu ya tano ya thamani yake kwenye gharama ya + +"ya tano ni sehemu ya kitu fulani iliyowanywa katika sehemu tano zilizo sawa kwa kila moja ya sehemu hizo, na kuilipa yote" + diff --git a/lev/27/16.md b/lev/27/16.md new file mode 100644 index 00000000..7251176f --- /dev/null +++ b/lev/27/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kiasi cha mbegu inayotakiwa kuipanda katika ardhi hiyo + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "kile kiasi cha mbegu mtu angehitaji kupanda" + +# homeri moja ya mbegu za shairi ambayo itathamanishwa + +Hapa "homeri moja ya shayiri huwakilisha kipande cha ardhi ambaho kingehitaji homeri moja ya shaiyiri ili kupandwa chote. : "kipanda cha ardhi kinachohitaji kudhamanishwa kwa homeri moja ya shayiri ili kuweza kupandwa chote" au " Thamani ya ardhiinayohitaji homeri moja ya shayiri itatakiwa" + +# homeri + +homeri moja ni lita 220 + +# shekeli hamsini za fedha + +"vipande hamsini vya fedha , ambavyo kila kimoja bgramu kumi" au " gramu mia tano za fedha" + diff --git a/lev/27/17.md b/lev/27/17.md new file mode 100644 index 00000000..3fa80bab --- /dev/null +++ b/lev/27/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mwaka wa Yubile + +Tazama maelezo ya sura 25:10 + +# tathmini yake ya awali itabaki kuwa ileile + +au "thamani yake itakuwa bei kamili + +# thamani yake lazima ishushwe. + +"itamlazimu kupunguza thamani iliyokadiliwa" + diff --git a/lev/27/19.md b/lev/27/19.md new file mode 100644 index 00000000..fb2b5932 --- /dev/null +++ b/lev/27/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# haliwezi kukombolewa tena + +Hii yaweza kumtakwa katika mtindo wa utendaji. : "hawezi kulirejesha kwa kulinunua tena" + +# Iwapo halikomboi shamba + +Ule muda wa kukomboa shamba waweza kutamkwa wazi. : kama halikomboi shamba kabla ya mwak wa Yubile" + +# katika mwaka wa Yubile + +AngTazama amaelezo ya sura ya 25:13 + +# shamba lililotolewa kabisa kwa Yahweh + +Hii yaweza kumtakwa katika mtindo wa utendaji. : "ambalo mtumwingie kalitoa kabisakabisa kwa Yahweh" + diff --git a/lev/27/22.md b/lev/27/22.md new file mode 100644 index 00000000..08fce1a3 --- /dev/null +++ b/lev/27/22.md @@ -0,0 +1,19 @@ +# tenga + +Ule msemo "tenga" humaanisha kutengwa kutoka kwenye kitu fula ili kutimiza kusudi fulani. + . Waisraeli walitengwa kawa ajili ya huduma + kwa Mungu. + . Roho Mtakatifu aliwaagiza Wakristo huko + Antiokia kuwatenga Paulo na Barnaba kwa + kazi ambayo Mungu aliwataka wao + waifanye + . Mwamini "aliyetengwa" kwa ajili ya huduma + kwa Mungu "kwakifishwa" kutimiza + mapenzi ya Mungu. + . maana mojawapo ya msemo "mtkatifu" ni + kutengwa kuwa Mungu na kuwa + umetengwa kutokanjia za dhambi za + ulimwengu. + . Ule msemo "takasa" humaanisha kutenga + mtu kwa ajili ya huduma ya Mungu. + diff --git a/lev/27/24.md b/lev/27/24.md new file mode 100644 index 00000000..7d8a5b7c --- /dev/null +++ b/lev/27/24.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mtu yule ambaye lilikuwa limenunuliwa ... mmiliki wa ardhi + +Virai hivi viwili humrejelea mtu yule yule. Kwa kawaida ardhi ingenunuliwa kutoka kwa mmiliki wake. + +# mtu yule ambaye lilikuwa limenunuliwa + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "mtu aliyeliuza" + +# Tathmani yote lazima ifanywe + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "kuahani ataamua ukadiliaji wa thamani" + +# kwa uzani wa shekeli ya mahali pa patakatifu + +Kulikuwa na shekeli za vipimo mbali mbali. Hiki kilikuwa ni kimojawapo ambacho watu ilikuwa watumie ndani ya hema takatifu. + +# Gera ishirini kwa shekeli moja. + +Kusudi la sentensi hii ni kutamka ni kiasi gani shekeli ya patakatifu hupimwa. Gera ilikuwa ni uzani mdogo sana wa kipimo walichotumia Waisraeli: "Sharti shekeli moja iwe sawasawa na gera ishirini" + +# Gera ishirini kwa shekeli moja. + +: "Shekeli moja yapasa ipime gramu kumi" + diff --git a/lev/27/26.md b/lev/27/26.md new file mode 100644 index 00000000..282a5f78 --- /dev/null +++ b/lev/27/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Asiwepo mtu atakayetenga + +Hakuna awezaye kutenga kwa ajili ya Yahweh" + +# sehemu ya tano lazima itaongezwa kwenye thamani hiyo + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "naye atalzaimika kuongeza moja ya taon kwenye thamani hiyo" + +# Na kama mnyama hakombolewi + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Kama mtu hamtejeshi kwa kumnunua tena huyo mnyama" + +# naye atauzwa kwa thamani iliyowe + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji : "kuhani atamuuza kwa thamani iliyowekwa" + diff --git a/lev/27/28.md b/lev/27/28.md new file mode 100644 index 00000000..b87b1c95 --- /dev/null +++ b/lev/27/28.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hakutakuwa na kitu amabacho mtu anakitoa kwa Yahweh, kutoka katika vyote alivyonavyo, iwe ni mwanadamu au mnyama, au ardhi ya familia yake, ambacho chaweza kuuzwa au kukombolewa + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Hukuna wawezaye kuuza au kukomboa kitu chochote mtu alichokitoa kwa Yahweh, kutoka katika vyote alivyonavyo, ama awe ni mwanadamu, mnyama, au ardhi ya familia yake", au "iwapo mtu amatoa kwa Yahweh kitu chochote alichonacho, ama awe mwanadamu au mnyama, au ardhi ya familia yake, hatakuwapo mtu anaweza kukiuza au kukikomboa" + +# Kila kitu kitolewacho ni kitakatifu sana kwa Yahwe + +"Kila kitu mtu akitoacho ni kitakatifu sana kwa Yahweh" + +# Hakuna fidia inayoweza kulipwa + +"hakuana akuwezaye kulipa fidia" + +# kwa kuwa mtu aliyelitolewa kwa ajili ya uangamizwa + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "kwa kuwa mtu yeyote ambaye Yahweh kamtoa kwa ajili ya uangamivu" + +# Mtu huyo lazima auawe + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "lazima mmuue mtu huyo" au "yawapasa kumuua mtu" + diff --git a/lev/27/30.md b/lev/27/30.md new file mode 100644 index 00000000..9ffca965 --- /dev/null +++ b/lev/27/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Iwapo mtu anakomboa chochote cha zaka yake + +Kama mtu anataka kurejesha tena zaka yake kwa kuinunua" + diff --git a/lev/27/32.md b/lev/27/32.md new file mode 100644 index 00000000..1e322755 --- /dev/null +++ b/lev/27/32.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# yeyote anayepita chini ya fimbo ya mchungaji + +Hii hurejea njia ambayo wangehesabu wanyama wao. : "unapohesabu wanyama wwako kwa kuinua fimbo ya mchungaji wako na huku wakipita chini ya fimbo hiyo kwenda upande mwingine" au "munapowahesabu wanyama" + +# wa kumi mmoja lazima atengwe kwa ajili ya Yahweh + +wakumi lazima atengwe kwa ajili ya Yahweh** - sentensi yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "yawapasa mumtenge wa kumi mmoja kwa ajili ya Yahweh" + +# mmoja wa kumi + +ya kumi**- "kila mnyama wa kumi" + +# kisha wote wawili yule wa kwanza na huyo aliyebadiliwa + +"kisha wanya wote wawili" + +# hawezi kukombolewa + +Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Hataweza kumkomboa" au "Hataweza kummrejesha kwa kumnunutena" + diff --git a/lev/27/34.md b/lev/27/34.md new file mode 100644 index 00000000..caedb975 --- /dev/null +++ b/lev/27/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hizi ndizo amri + +Huu ndiyo Mhitasari wa maelezo. Hurejerea zile amri zilizotolewa kwenye sura zilizotangulia. + diff --git a/mal/01/01.md b/mal/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..09a7ffa5 --- /dev/null +++ b/mal/01/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Agizo la neno la Bwana kwa Israel kwa Mkono wa Malaki. + +"Bwana alizungumza haya maneno kwa waisrael kupitia Malaki" + +# Kwa mkono wa Malaki + +kupitia kutenda kwa Malaki + +# Lakini wasema, "Umetupenda kwa namna gani?" + +Hili swali linaonyesha shaka, au maswali juu ya ukweli wa neno la Mungu. Mungu anatumia swali kuwakemea watu. Tafsiri mbadala: lakini wasema, "Hujatupenda!" + +# Hakuwa Esau ndugu yake Yakobo? + +"Nitawaambia jinsi ninavyowapenda ninyi. mnajua kwamba Esau ni ndugu yake Yakobo." + +# Asema Bwana + +Bwana mwenye kweli amesema haya" + +# Nimempenda Yakobo + +Bwana alichagua kuwa na mahusiano na Yakobo na kuwa Mungu ya Yakobo. + +# Nimemchukia Esau + +Bwana alimkataa Esau + +# Nimeifanya Milima yake kuwa ya uharibifu na kuteketezwa + +"Nimeifanya milima yake kuwa haifai kukaa ndani yake" + +# Na nimeufanya urithi wake kuwa sehemu ya mbweha wa mwituni + +"Na nimeifanya nchi anayorithi kuwa jangwa ambapo wanyama pekee wanaweza kuishi" + diff --git a/mal/01/04.md b/mal/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..9399d7ef --- /dev/null +++ b/mal/01/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kama Edom akisema + +'Kama watu wa Edomu wakisema." + +# lakini nitawaangusha chini + +"Nitaiangamiza" + +# na wanaume watawaita + +"na wanaume wa taifa lingine watawaita" + +# nchi ya uovu + +"nchi ya watu waovu + +# Macho yako yataona hiki + +"Utaona hiki kikitokea'; hii ni kuwa, hawatahitaji mtu yeyote kuwaambia kilichotokea. + diff --git a/mal/01/06.md b/mal/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..4d209a3e --- /dev/null +++ b/mal/01/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mnadharau jina langu + +"mmenifanyia kama mnayenichukia" + +# Lakini mwasema, 'ni kwa namna gani tumekudharau? + +"ninyi makuhani mnasema, 'je tumekutendeaje kama tuna kuchukia? Tafsiri zingine zinasema: Mnanidharau lakini mwasema hapana!" + +# Mkate ulio najisi. + +chakula ambacho hakikubaliki kwa dhabihu + +# Na mnasema, 'Tunakunajisi kwa namna gani?' + +Tafsiri nyingine: Mnadhani mmekubalika kwangu lakini sivyo. + diff --git a/mal/01/08.md b/mal/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..d34e4dc4 --- /dev/null +++ b/mal/01/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Unapotoa wanyama vipofu kwa ajili ya kuteketezwa, huo sio uovu? + +mnajua vizuri sana kuwa ni dhambi kutoa wanyama vipofu kwa ajili ya sadaka ya kutekezwa. + +# Na mtakapotoa vilivyo vilema na vigonjwa, hiyo siyo uovu? + +Na mnajua vizuri sana kwamba ni dhambi kutoa vilivyo vilema na vigonjwa!" + +# Toa zawadi kwa watawala wenu; atawakubali au atawahurumia tu? + +Hamwezi kutoa zawadi mbele ya watawala wenu! kama mlifanya, mnajua kabisa hawezi kukubali au kuwahurumia. + +# Zawadi + +kutoa kama zawadi kuonyesha heshima + +# Na sas,... ni neema kwetu + +Malaki hazungumzii kwa ajili ya Mungu. Anazunguza moja kwa moja kwa wasraeli. + +# Pamoja sadaka ya namna hii kwa sehemu yenu, atapokea aina yeyote? + +"Unapotoa kile kisichoruhusiwa, Mungu atafurahishwa na ninyi?" hii ni kukemea. "Kama utatoa sadaka iliyokataliwa Mungu hakika Mungu hatakuwa na furaha na ninyi!" + diff --git a/mal/01/10.md b/mal/01/10.md new file mode 100644 index 00000000..24a42697 --- /dev/null +++ b/mal/01/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Oh, kama pekee + +Hii inaelezea hisia kubwa. + +# ili kwamba msiwe mnawasha moto juu ya madhabahu yangu bure + +"ili kwamba msitengeneze moto kuteketeza sadaka na dhambi kwa kutoa sadaka zisizo na maana" + +# Kutoka mikononi mwenu + +"Kutoka kwenu" + +# jina langu + +"mimi" + +# Kutoa mawio ya jua mpaka machweo yake + +"Kila mahali," Sambamba na"Katika mataifa" na "kila sehemu" + +# Jina langu ni kuu katika mataifa + +"Nitaheshimika katika mataifa yote" + +# kila sehemu uvumba utafukizwa kwa jina langu + +"katika mataifa haya watu watafukiza uvumba kwa ajili yangu katika ibada" + diff --git a/mal/01/13.md b/mal/01/13.md new file mode 100644 index 00000000..720948ce --- /dev/null +++ b/mal/01/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# anaye koroma + +kuonyesha kutoheshimu kwa kupiga kelele kupitia pua + +# Nitaikubali hii kutoka kwenye mikono yenu?" + +nitaikubali hii kutoka kwenu? hii ni kukemea. Tafsiri zingine : "Sitakuba hakika hii kutoka kwenu!" + +# Alaaniwe mwenye kudanganya, mwenye mnyama dume katika kundi lake na akaapa kumtoa kwa kwangu + +"Nitalaani vitu viovu kwa yeyote anayedanganya kwangu ambaye anaye mnyamna mkamilifu katika zizi lake na anaahidi kumtoa kama sadaka " + +# na hajatoa kwangu, Bwana, ambayo ni ujanja ujanja + +"na pia dhabihu kwangu, Bwana, na mnyama ambaye hayuko imara" + diff --git a/mal/02/01.md b/mal/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..72426298 --- /dev/null +++ b/mal/02/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# liweke moyoni + +"Fanya kuwa la Muhimu" + diff --git a/mal/02/03.md b/mal/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..8bd0ed75 --- /dev/null +++ b/mal/02/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nitapaka mavi katika nyuso zenu + +"Nitawaendesha ninyi bila heshima" + +# Mtachukuliwa mbali nayo + +"watawatupa ninyi juu ya rundo la mavi" + +# Lawi + +Yehova asema juu ya kabila la Lawi ingawa ni mtu mkoja + diff --git a/mal/02/05.md b/mal/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..5a24157b --- /dev/null +++ b/mal/02/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Agano langu pamoja naye ilikuwa ni juu ya yhai na amani + +"Kusudi la agano langu pamoja na Lawi ilikuwa ni juu ya makuhani kuishi maisha ya ushindi na amani" + +# Nilitoa hivi vitu kwake ili kuonyesha heshima kwa ajili yangu + +Nilitoa vitu hivi kwake ili kwamba aniheshimu" + +# midomo + +uwezo wa kuongea na kujulisha watu + +# ulinzi + +"Kuhifadhi" + diff --git a/mal/02/08.md b/mal/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..361276bd --- /dev/null +++ b/mal/02/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# "kudharauliwa na uovu mbele za watu + +"Watu wamechukia na hawawaheshimu makuhani." + +# mmeonyesha upendeleo katika maelezo yenu. + +"makuhani walionyesha tabia yakawaida kwa watu waliyoyapenda na hali ya ugumu wa tabia kwa watu ambayo hawakuipenda." + diff --git a/mal/02/10.md b/mal/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..673583ea --- /dev/null +++ b/mal/02/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sisi sote hatuna baba mmoja? Hatuna Mungu mmumbaji mmoja? + +"haya Maswali ni kuonyesha kukemea. "Sisi sote kwa hakika tunaye baba mmoja, Mungu wetu aliyetuumba sisi!" + +# Kwa nini tuna hila kila mmoja na ndugu yake, na kulikufuru agano la baba zetu? + +hii pia ni kukemea. Hatupaswi hakika kuwatendea ndugu zetu na kutokuheshimu agano la Mungu na kutotii amri zake!" + +# mnafanya hila + +kutomtii Mungu + +# Kwa ajili ya Yuda ameliharifu mahali patakatifu pa Bwana + +"Wanaume wa Yuda hawakutii hekalu la Mungu" + +# na ameoa binti wa mungu mgeni + +"na wameoa wanawake kutoka katika mataifa yanayoabudu miungu." + +# kila ukoo wa mtu ambaye amefanya haya + +"Kila watoto na wajukuu wa mtu yeyote aliyefanya haya" + +# hata mmoja aliyeleta sadaka kwa Bwana wa majeshi + +"hata kama mtu wa dhambi akileta sadaka kwa Mungu lakini hakutubu dhambi zake" + diff --git a/mal/02/13.md b/mal/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..96dac1dc --- /dev/null +++ b/mal/02/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# akilia na kuugua + +Maneno "Kilio" na "Kuugua" yanachangia maana moja yanakazia uimara wa kulia. "na kilio kikuu" + +# kutoka mikononi mwako + +"Kutoka kwako" + diff --git a/mal/02/14.md b/mal/02/14.md new file mode 100644 index 00000000..c6e1cc44 --- /dev/null +++ b/mal/02/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# amefunika mavazi yake kwa vurugu + +ni vurugu tu + +# Jilindeni ninyi kwa ninyi katika roho na kutokuwa na uaminifu. + +"Kwa hiyo uamue kabisa kuwa mwaminifu kwa mke wako!" + diff --git a/mal/02/17.md b/mal/02/17.md new file mode 100644 index 00000000..67044552 --- /dev/null +++ b/mal/02/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mkisema + +"kuwapotoisha wengine kwa kusema" + +# Yuko wapi Mungu wa haki? + +Makuhani wanamkemea Mungu. "Mungu kwa hakika hakuonyesha haki kwa watu waovu!" + diff --git a/mal/03/01.md b/mal/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..e06af482 --- /dev/null +++ b/mal/03/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nani atavumilia siku ya kuja kwake? na nani atasimama akionekana? + +"Kwa hakika hakuna hata mmoja atakayekuwa na uwezo wa kumsaidia Bwana. + +# Kwa kuwa n yeye ni kama asafishaye kwa moto na kama sabuni ya kufulia. + +Mungu analinganisha uwezo wake wa kutawala watu na kuwasafisha kutoka dhambini kwenda kwenye sabuni yenye nguvu kusafisha au nguvu ya moto unavyoyeyusha kitu. hii ni njia nyingine ya kusema kuwa Nguvu ya Mungu ya kufanya kitu haizuiliwi. + +# na atawasafisha wana wa Lawi + +"na atawakusanyana kuwasafisha wana wa Lawi kutoka dhambini" + +# atawaboresha na kuwa kama dhahabuau shaba + +Mungu ataondoa thambi kutoka kwa walawi na kuwafanya kuwa safi zaidi. + +# na wataleta sadaka ya haki kwa Bwana + +"Na wataleta sadaka ya ibada iliyokubalika kwa Bwana" + diff --git a/mal/03/04.md b/mal/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..7dc30320 --- /dev/null +++ b/mal/03/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# siku za kale, na miaka ya zamani + +hizi aya mbili kimsingi zina maana mojana zinasisitiza kuwa sadaka zilipaswa kumpendeza Bwana. "kama ilivyokuwa huko nyuma." + +# karibia + +"Sogea karibu" + +# Usimwonee mfanya kazi katikamshahara wake + +"Usimlipe mfanyakazo mshahara kutokana na yeye alivyo" + +# kumweka mbali mgeni kutoka kwenye haki zake + +kukataa wageni kuishi kwenye jamii ambayo ni haki kila mtu anapata. + diff --git a/mal/03/06.md b/mal/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..618ad1b3 --- /dev/null +++ b/mal/03/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# tokea siku za baba zenu mmegeuka kwingine na kuiacha amri na hamkuitunza + +"Hamkutii amri zangu toka kipindi cha mababu zenu" + +# Tutakurudiaje? + +"Hatujaenda mbali na wewe, kwa hiyo hatuwezi kurudi kwako." + diff --git a/mal/03/08.md b/mal/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..a6fc68e2 --- /dev/null +++ b/mal/03/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwanadamu atamwibia Mungu? + +hii ni kukemea. Mwanadamu hakika hawezi kumwibiaMungu + diff --git a/mal/03/10.md b/mal/03/10.md new file mode 100644 index 00000000..85b891a2 --- /dev/null +++ b/mal/03/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# zaka kamili + +"Zaka zote" + +# nyumba yangu + +"hekalu langu" + +# Nijarinuni sasa katika hili...kama sitafungua kwa ajili yenu madirisha ya Mbinguni + +"Kama mtanijaribu...Nitafungua madirisha ya mbinguni" + +# nitamkemea alaye + +nitazuia wadudu na magonjwa + diff --git a/mal/03/13.md b/mal/03/13.md new file mode 100644 index 00000000..fde8bda6 --- /dev/null +++ b/mal/03/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# walimjaribu Mungu na kujiepusha + +walijaribu kumfanya akasirike, lakini hakuwahukumu" + diff --git a/mal/03/16.md b/mal/03/16.md new file mode 100644 index 00000000..8d4f3a25 --- /dev/null +++ b/mal/03/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# na kitabu cha kumbukumbu kilikuwa kimeandikwa mbele zake waliomwogopa Bwana + +Hii inaweza kumaanisha 1) Waisrael waliandika kitabu ambacho wangekumbuka kile walichokuwa wameahidina kwa majina ya watu wenye hofu na Bwana au 2) Bwana alimfanya mtu flani huko mbinguni kuandika kitabu kikiwa na majina ya wale wanaomwogopa Bwana. + +# kitabu cha kumbukumbu + +kitabu cha kuwasaidia watu kukumbuka mambo muhimu + +# heshimu jina lake + +kumheshimu yeye + diff --git a/mal/03/17.md b/mal/03/17.md new file mode 100644 index 00000000..bf8b387d --- /dev/null +++ b/mal/03/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# watakuwa wangu + +"Watakuwa watu wangu" + +# miliki yangu mwenyewe + +"Hazina yangu maalumu" + +# Nitatenda + +"Nahukumu" + +# kutofautisha kati ya + +tazama tofauti kati ya au nitawaongoza kwa tofauti + diff --git a/mal/04/01.md b/mal/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..120b4889 --- /dev/null +++ b/mal/04/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# tazama + +"angalia" au "sikiliza" au "Uwe makini kwa kile nataka kuakuambia" + +# siku inakuja, ikiwaka kama tanuru + +"siku ya hukumu inakuja, ni nitawahukumu watu waovu kama mkulima anavyochoma makapi na majani" + +# majivuno...waharifu + +Tafsiri kama ulivyofanya "Kiburi" na "waharifu" + +# watakuwa mabua + +"choma kama mimea mikavu" + +# Siku inayokuja itawachoma wote + +"katika siku hiyo nitawachomawote" + +# sitaacha mzizi wala tawi + +"hakuna kitakachobaki' + +# Jua la wenye haki litawainukia likiwa na uponyaji katika mbawa zake + +Hii inaweza ikawa 1) Bwana, ambaye siku zote hutenda haki, atakuja na kuwaponya watu waokatika siku hiyo au 2) katika siku hiyo Bwana atajidhihirisha kwa watu wake wenye haki na kuwaponya. + +# mbawa + +mbawa + diff --git a/manifest.yaml b/manifest.yaml index 08f5cf10..915e339b 100644 --- a/manifest.yaml +++ b/manifest.yaml @@ -1,71 +1,81 @@ dublin_core: conformsto: 'rc0.2' contributor: - - "Rev. Alex Nyuri" - - "GS. Andrew Gewe" - "Bariki Malisa" - - "Rev. Catherin D. Matia" - - "Rev. Charles Mabisa" - "Christina Abraham Kileo" - - "Ev. Cloud Roman" + - "Cloud Roman" - "Daniel Marura Chacha" - - "Rev. Dr. David Magoke" - "Daudi Nungwana" - "Dina Roman" - - "Rev. Donald Shadarck Dutuyi" - - "Rev. Elias Ndema" - - "Rev. Elisande Mhanga" + - "Donald Shadrack Dutuyi" - "Emmanuel Masanja Mbaaga" - "Emmanuel Nyamalya" - - "Rev. Erasmus Peter Malelo" + - "Enoch Nungwana" + - "Ev. Cloud Roman" - "Ev. Ezekiel Daudi" + - "Ev. James A. Makula" + - "Ev. Lazarus David Chalomhola" + - "Ev. Mathew Kazimoto" + - "Ev. Moses Malugu" - "Ezekiel Manala" - "Gabriel Gidale Merus" - "Gabriel Lwitakubi Mazige" - - "Rev. Gungutu Elias" - - "Pst. Isack A. Gomugo" - - "Ev. James A. Makula" + - "GS. Andrew Gewe" - "James Semnkai" - "Jeremiah Masasi" - - "Jesse Katabi Masolwa" - - "Pst. John Kerim" - - "Rev. John Ndaluka" - - "Pst. Jordan" + - "Jesse Katabi Masolwa" - "Joyce Gilbert Masasi" - "Karen Riecks" - "Kazwanomo" - - "Rev. Lameck Yakobo Tobotobo" + - "Lameck Yakobo Tobotobo" - "Laurent Petro Malelo" - - "Ev. Lazarus David Chalomhola" - - "Majama, Musa Isaya" - "Makene Mafwele" - "Marco Luma Mahushi" - - "Ev. Mathew Kazimoto" - - "Pst. Mathias William" - - "Ev. Moses Malugu" - - "Rev. Moses Eliakim Ndege" + - "Mathew Nkusa" + - "Mathias William" + - "Miss. Joyce Masasi" + - "Mr. James Semnkai (IT)" + - "Musa Isaya Majama" - "Musa Luzali" - - "Rev. Philipo Mussa Kanwelle" + - "Pst. Isack A. Gomugo" + - "Pst. John Kerim" + - "Pst. Jordan" + - "Pst. Mathias William" - "Raphael Musa" - - "Robert Ndalahwa" - - "Romantts" - - "Sadiki Kulwa" - - "Samson Nungwana" - - "Thobias Kazwanomo" + - "Rev. Alex Nyuri" + - "Rev. Catherin D. Matia" + - "Rev. Charles Mabisa" + - "Rev. Donald Shadarck Dutuyi" + - "Rev. Dr. David Magoke" + - "Rev. Elias Ndema" + - "Rev. Elisande Mhanga" + - "Rev. Erasmus Peter Malelo" + - "Rev. Gungutu Elias" + - "Rev. John Ndaluka" + - "Rev. Lameck Yakobo Tobotobo" + - "Rev. Moses Eliakim Ndege" + - "Rev. Philipo Mussa Kanwelle" - "Rev. Yekonia M. Koko" - "Rev. Yohana Batano" - "Rev. Yohana S. Dutuyi" + - "Robert Ndalahwa" + - "Sadiki Kulwa" + - "Samson Nungwana" + - "Thobias Kazwanomo" + - "Yohana Batano" + - "Yohana Dutuyi" + - "Yohana Magera" - "Zelote Loilang'akaki Lukumay" creator: 'Door43 World Missions Community' - description: 'Notes to help translators of the Bible' + description: 'Open-licensed exegetical notes that provide historical, cultural, and linguistic information for translators. It provides translators and checkers with pertinent, just-in-time information to help them make the best possible translation decisions.' format: 'text/markdown' identifier: 'tn' - issued: '2018-04-11' + issued: '2019-05-21' language: identifier: 'sw' title: 'Kiswahili' direction: 'ltr' - modified: '2018-04-11' + modified: '2019-05-21' publisher: 'Door43' relation: - 'sw/obs' @@ -82,14 +92,306 @@ dublin_core: subject: 'Translation Notes' title: 'translationNotes' type: 'help' - version: '7.1' + version: '7.2' checking: checking_entity: + - "Ev . Mathew Kazimoto" + - "Ev. Ezekiel Daudi" + - "Ev. James A. Makula" + - "Ev. Moses Malugu" + - "GS. Andrew Gewe" + - "Past. Isack A. Gomugo" + - "Past. Mathias William" + - "Rev. John Ndaluka" + - "Rev. Alex Nyuri" + - "Rev. Catherin D. Matia" + - "Rev. Donald Dutuyi" + - "Rev. Dr. David Magoke" + - "Rev. Elias Ndema" + - "Rev. Elisande Mhanga" - "Rev. Erasmus Peter Malelo" + - "Rev. Gungutu Elias" + - "Rev. Lameck Tobotobo" + - "Rev. Moses Eliakim Ndege" + - "Rev. Yekonia M. Koko" + - "Rev. Yohana S Dutuyi" checking_level: '3' projects: + - + title: '1 Chronicles translationNotes' + versification: '' + identifier: '1ch' + sort: 13 + path: './1ch' + categories: [] + - + title: '1 Kings translationNotes' + versification: '' + identifier: '1ki' + sort: 11 + path: './1ki' + categories: [] + - + title: '1 Samuel translationNotes' + versification: '' + identifier: '1sa' + sort: 9 + path: './1sa' + categories: [] + - + title: '2 Chronicles translationNotes' + versification: '' + identifier: '2ch' + sort: 14 + path: './2ch' + categories: [] + - + title: '2 Kings translationNotes' + versification: '' + identifier: '2ki' + sort: 12 + path: './2ki' + categories: [] + - + title: '2 Samuel translationNotes' + versification: '' + identifier: '2sa' + sort: 10 + path: './2sa' + categories: [] + - + title: 'Amos translationNotes' + versification: '' + identifier: 'amo' + sort: 30 + path: './amo' + categories: [] + - + title: 'Daniel translationNotes' + versification: '' + identifier: 'dan' + sort: 27 + path: './dan' + categories: [] + - + title: 'Deuteronomy translationNotes' + versification: '' + identifier: 'deu' + sort: 5 + path: './deu' + categories: [] + - + title: 'Ecclesiastes translationNotes' + versification: '' + identifier: 'ecc' + sort: 21 + path: './ecc' + categories: [] + - + title: 'Esther translationNotes' + versification: '' + identifier: 'est' + sort: 17 + path: './est' + categories: [] + - + title: 'Exodus translationNotes' + versification: '' + identifier: 'exo' + sort: 2 + path: './exo' + categories: [] + - + title: 'Ezekiel translationNotes' + versification: '' + identifier: 'ezk' + sort: 26 + path: './ezk' + categories: [] + - + title: 'Ezra translationNotes' + versification: '' + identifier: 'ezr' + sort: 15 + path: './ezr' + categories: [] + - + title: 'Genesis translationNotes' + versification: '' + identifier: 'gen' + sort: 1 + path: './gen' + categories: [] + - + title: 'Habakkuk translationNotes' + versification: '' + identifier: 'hab' + sort: 35 + path: './hab' + categories: [] + - + title: 'Haggai translationNotes' + versification: '' + identifier: 'hag' + sort: 37 + path: './hag' + categories: [] + - + title: 'Hosea translationNotes' + versification: '' + identifier: 'hos' + sort: 28 + path: './hos' + categories: [] + - + title: 'Isaiah translationNotes' + versification: '' + identifier: 'isa' + sort: 23 + path: './isa' + categories: [] + - + title: 'Judges translationNotes' + versification: '' + identifier: 'jdg' + sort: 7 + path: './jdg' + categories: [] + - + title: 'Jeremiah translationNotes' + versification: '' + identifier: 'jer' + sort: 24 + path: './jer' + categories: [] + - + title: 'Job translationNotes' + versification: '' + identifier: 'job' + sort: 18 + path: './job' + categories: [] + - + title: 'Joel translationNotes' + versification: '' + identifier: 'jol' + sort: 29 + path: './jol' + categories: [] + - + title: 'Jonah translationNotes' + versification: '' + identifier: 'jon' + sort: 32 + path: './jon' + categories: [] + - + title: 'Joshua translationNotes' + versification: '' + identifier: 'jos' + sort: 6 + path: './jos' + categories: [] + - + title: 'Lamentations translationNotes' + versification: '' + identifier: 'lam' + sort: 25 + path: './lam' + categories: [] + - + title: 'Leviticus translationNotes' + versification: '' + identifier: 'lev' + sort: 3 + path: './lev' + categories: [] + - + title: 'Malachi translationNotes' + versification: '' + identifier: 'mal' + sort: 39 + path: './mal' + categories: [] + - + title: 'Micah translationNotes' + versification: '' + identifier: 'mic' + sort: 33 + path: './mic' + categories: [] + - + title: 'Nahum translationNotes' + versification: '' + identifier: 'nam' + sort: 34 + path: './nam' + categories: [] + - + title: 'Nehemiah translationNotes' + versification: '' + identifier: 'neh' + sort: 16 + path: './neh' + categories: [] + - + title: 'Numbers translationNotes' + versification: '' + identifier: 'num' + sort: 4 + path: './num' + categories: [] + - + title: 'Obadiah translationNotes' + versification: '' + identifier: 'oba' + sort: 31 + path: './oba' + categories: [] + - + title: 'Proverbs translationNotes' + versification: '' + identifier: 'pro' + sort: 20 + path: './pro' + categories: [] + - + title: 'Psalms translationNotes' + versification: '' + identifier: 'psa' + sort: 19 + path: './psa' + categories: [] + - + title: 'Ruth translationNotes' + versification: '' + identifier: 'rut' + sort: 8 + path: './rut' + categories: [] + - + title: 'Song of Songs translationNotes' + versification: '' + identifier: 'sng' + sort: 22 + path: './sng' + categories: [] + - + title: 'Zechariah translationNotes' + versification: '' + identifier: 'zec' + sort: 38 + path: './zec' + categories: [] + - + title: 'Zephaniah translationNotes' + versification: '' + identifier: 'zep' + sort: 36 + path: './zep' + categories: [] - title: '1 Corinthians translationNotes' versification: '' diff --git a/mic/01/01.md b/mic/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..cae4babc --- /dev/null +++ b/mic/01/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# neno la Yahwe likanijia + +"neno la Yahwe Mungu ameongea" + +# Yahwe + +Hili ni jina la Mungu ambalo alilojifunua kwa watu wake katika Agano la Kale. + +# Mmorashti + +Hii inamaana anatoka Morashti ambao ni mji katika Yuda. + +# katika siku za Yotahamu, Ahazi, na Kezekia, wafalme wa Yuda + +"wakati Yotahamu, Ahazi, na Hezekia walipokuwa wafalme wa Yuda" + +# lile neno aliloliona kuhusiana na Yerusalemu + +"Ono aliloliona kuhusiana na watu wa Samaria na Yerusalemu" + diff --git a/mic/01/02.md b/mic/01/02.md new file mode 100644 index 00000000..47b3cdcf --- /dev/null +++ b/mic/01/02.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Inazungumzia kuhusu hukumu juu ya Samaria. + +# Sikilizeni, ninyi watu wote. Sikilizeni Dunia, na vyote vilivyomo ndani yako + +Sentensi zote hizi zinamaanisha kitu kimoja na kusisitiza kwamba kila mtu aliye duniani anapaswa kusikiliza. Mika anaongea kana kwamba watu wote wa dunia walikuwa pale wakimsikiliza. + +# atashuka chini na kupakanyaga mahali pa juu ya ya nchi + +atapaharibu mahali pa juu kabisa juu ya nchi kana kwamba alikuwa akiwakanyaga kwa miguu yake" + +# Milima itayeyuka chini yake; mabonde yatapasuka vipande kama mshumaa mbele ya moto, kama maji yaliyomwagika chini ya mteremko mkali. + +Hii inamaana wakati Mungu atakapokuja kuziharibu madhabahu za wapagani hakuna jambo litakalomzuia. + diff --git a/mic/01/05.md b/mic/01/05.md new file mode 100644 index 00000000..53473970 --- /dev/null +++ b/mic/01/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Haya yote ni kwa sababu ya uasi wa Yakobo, na kwa sababu ya dhambi za nyumba ya Israeli + +Hivi vifungu vya maneno kimsingi vinamaanisha kitu kimoja na kukazia kwamba Yahwe anatenda kwa sababu ya dhambi za falme zote mbili yaani kaskazini na kusini . + +# Haya yote ni + +"Bwana Mungu atakuja na kuhukumu" + +# Je! Sababu ilikuwa nini kwa uasi wa Yakobo? Je! Haikuwa Samaria? Je! Haikuwa Samaria? + +Hapa "Yakobo" anarejelea kwa ufalme wa kusini mwa Israeli. Mika anatumia maswali kuwasisitiza hao watu wa Samaria ni sababu ya Mungu kuuhukumu ufalme wa Israeli. + +# Je! Sababu ilikuwa nini kwa mahali pa juu pa Yuda? Je! Haikuwa Yerusalemu? + +Mika anatumia maswali kuwasisitiza hao watu wa Yerusalemu ndio sababu Mungu ya kuja kuuhukumu ufalme wa Yuda. + diff --git a/mic/01/06.md b/mic/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..b28797ea --- /dev/null +++ b/mic/01/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nitafanya + +Hapa "Mimi" inarejelea kwa Yahwe. + +# itakanyagwa kuwa vipande vipande...itachomwa + +"Nitakanyaga kuwa vipande vipande...nichoma" + +# Nitayavuta mawe ya jengo lake + +Hapa "yeye" inarejea kwa mji wa Samaria. + +# Kwa kuwa zawadi zake za ukahaba amezikusanya, na malipo ya ukahaba yatarudi + +Mara nyingi kuabudu sanamu pamoja na kulala na kahaba kwenye hekalu la wapagani. + diff --git a/mic/01/08.md b/mic/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..4fc6af7a --- /dev/null +++ b/mic/01/08.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mika 1:8-16 inazungumzia hukumu juu ya Yuda. + +# Nitaomboleza + +Hapa "mimi" inamrejea Mika. + +# Nitaenda peku na uchi + +Hii ni ishara ya maombolezo makali mno na kujitesa. + +# uchi + +Mara nyingi, Mika hakuwa uchi mwili mzima. Alikuwa amevaa msuli. + +# Nitalia kama mbweha na kuomboleza kama bundi + +Hawa ni wanyama wajulikanao kwa sauti na kilio chao kisichopendeza + +# Kwa kuwa jeraha lake haliponi + +Hapa "yeye" inarejea kwa mji wa Samaria. Hii inamaana hakuna kitu kinachoweza kuzuia jeshi la adui ambalo ninalokuja kuwaharibu watu wa Israeli. + +# kwa kuwa imefika kwa Yuda + +Hapa "hiki" inarejea kwa "jeraha," ambayo ni, kwa jeshi ambalo Mungu atakalolitumia kuiharibu Samaria. + +# Beth Leafra + +Unaweza kutaka rejea kusema, "Jina la huu mji linamaana ya 'nyumba ya vumbi."' + +# Najibiringisha mimi mwenyewe kwenye mavumbi + +Watu chini ya hukumu ya Mungu wanaweka wazi huzuni yao katika njia imara. + diff --git a/mic/01/11.md b/mic/01/11.md new file mode 100644 index 00000000..0a74939e --- /dev/null +++ b/mic/01/11.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Kwa kuwa maana za vijiji na miji, unaweza kutaka kuingiza hiyo habari katika rejea. + +# Shafiri + +Jina la huu mji linatamkika kama maana moja "uzuri." Lipo kinyume na "Utupu na aibu." + +# katika uchi na aibu + +Adui wa majeshi mara nyingi waliwafanya wafungwa wao kutembea uchi kabisa. Na kulikuwa na aibu katika kuanza kuwashinda watu. + +# Zaanani + +Jina la huu mji linamaanisha "kutoka nje." Wanaogopa kutoka nje na kusaidia. + +# Beth Ezeli + +Jina la huu linamaanisha "nyumba ya kuchukuliwa." + +# kwa kuwa ulinzi wao umechukuliwa + +"kwa kuwa nimechukua kila kitu ambacho kingeweza kuwalinda" + +# Marothi + +Jina la huu mji linamaanisha "uchungu." + +# kwa sababu janga umetoka kwa Yahwe + +"Janga" ni neno la msingi katika Mika ambalo litakalojitokeza tena. + diff --git a/mic/01/13.md b/mic/01/13.md new file mode 100644 index 00000000..f05aec75 --- /dev/null +++ b/mic/01/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Lakishi + +Kuna kucheza na neno hapa kama Lakishi inatamkika kama "kwenye magari ya farasi" katika Kiebrania. Watu wanaofungia magari ya farasi kukimbia, sio kupigana. Lakishi ilikuwa ya pili kwa Yerusalemu katika umuhimu katika Yuda. + +# binti Sayuni + +"Binti" wa mji inamaanisha watu wa mji. Tafsiri za kubadilishana: "watu wa Sayuni wale waishio katiaka Sayuni." + +# kwa kuwa makosa ya Israeli yalionekana kwako + +"kwa kuwa hamjatii kama watu wa Israeli walivyofanya" + +# Moreshethi Gathi + +Unaweza kutaka kuongeza rejea kusema "Jina 'Moreshethi' maana yake 'kuondoa' na inalingana katika kutamkwa kwenye neno kwa ajili ya 'mchumba."' Iko kama Moreshethi ni bibi harusi ambaye Ashuru amchukuaye "zawadi za kuagana" ni vitu vitolewavyo na bibi harusi kwenda kwa bwana harusi. Moreshethi Gathi kilikuwa kijiji cha nyumbani kwa Mika. + +# Akzibu + +Unaweza kuongeza rejea kusema "Jina la huu mji linatamkika karibu sawa kama Kiebrania kueleza kwa ajili ya 'kitu cha udanganyifu."' + diff --git a/mic/01/15.md b/mic/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..e4568c63 --- /dev/null +++ b/mic/01/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nitaleta tena + +Hapa "mimi" inarejea kwa Yahwe. + +# Mareshi + +Unaweza kutaka kuweka rejea kusema, "Kuna kucheza juu ya maneno hapa pamoja na jina la hiki kijiji na neno la Kiebrania kwa ajili ya 'kushinda."' Huu msemo ulitumika katika kushinda Israeli Kanaani; sasa Israeli itashinda. Hiki kijiji ni kama kilikuwa karibu na kijiji cha nyumbani kwa Mika mwa Moreshethi Gathi. + +# Adulamu + +Hii inarejea kwa mji wa kifalme wa Wafilisti. + +# Nyoa kichwa chako na kata kipara + +Wale waliokuwa wakinyoa kichwa ilikuwa alama ya kuomboleza kwa ajili ya Waisraeli. + diff --git a/mic/02/01.md b/mic/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..8437688e --- /dev/null +++ b/mic/02/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelzo ya Jumla: + +Sasa Mika 2:1-11, lengo liondoalomiji kuhukumiwa kwa wakuu katika Israeli ambao wanaochukulia manufaa kwa maskini na sio kufuata maagizo ya Mungu. + diff --git a/mic/02/03.md b/mic/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..b4bf2692 --- /dev/null +++ b/mic/02/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# huu ukoo + +Huu "ukoo" inaihusu jamii nzima ya Israeli, ambayo watu matajiri wanawakandamiza maskini. Dhambi za wakuu zinarudi juu ya taifa zima. + +# ambazo hamtazitoa shingo zenu + +Yahwe inamaanisha adhabu yake ni kama nira kuzunguka shingo zao. Ni kitu ambacho kitashusha chini kiburi cha tajiri. + +# kuomboleza kwa maombolezo ya huzuni + +"watalia kwa sauti" + +# Je! Ataondoaje kutoka kwangu? + +adui hutumia swali katika wimbo wao kuwaelezea wakuu mshangao wa Israeli waliojisikia kwa sababu Mungu aliikuchukua nchi yao na kuitoa kwa mtu mwingine kama walivyokuwa wameochukua kutoka maskini. "Ameichukua kutoka kwangu!" + +# Kwa hiyo, ninyi watu matajiri hamtakuwa na uzao kugawanya eneo kwa kupiga kura katika mkutao wa Yahwe. + +Wale ambao walioichukua nchi kutoka maskini hawatapokea urithi wamewakataa wengine. + diff --git a/mic/02/06.md b/mic/02/06.md new file mode 100644 index 00000000..55b3ce80 --- /dev/null +++ b/mic/02/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Mika 2:6-11 inawatambulisha manabii ambao hawajahubiri kwa ufasaha, wale waliomkataa Mika, na njia nyingi tajiri amezitumia vibaya nguvu zao. + +# wanasema + +"watu wa Israeli husema" + +# Hawatahubiri + +"Manabii hawatatabiri" + +# Je! Roho wa Yahwe amekasirika? Je! haya ni matendo yake kweli? + +Watu hutumia maswali kusisitiza kwamba hawajaelewa na kutomwamini Mungu atawaadhibu kweli. + +# Maneno yangu sio mazuri kwa kila mtu atembeaye kwa unyoofu? + +Mika anatumia swali kuwafundisha watu. "Ujumbe wangu ni mzuri kwa wale wanaohusika kwa kufanya yale mazuri." + +# watu wangu + +Hapa "wangu" linamrejea Yahwe. + +# Mmelivua joho, nguo, kutoka wale wapitao wasioshutumiwa + +Maana ziwezekanazo 1) Mika anamaanisha watu matajiri waovu ni kweli wanaiba majoho kutoka maskini, lakini hii ni tofauti. Au 2) Mika anarejea kwa watunzaji wa mapato ya mawia mavazi ya nje ya maskini wajao kuazima pesa na kutoa mavazi kama dhamana warudishapo. Kulingana na sheria kwenye Kutoka, walitakiwa kurudisha kabla ya kuchwa kwa sababu inaweza kuwa jambo pekee la mtu maskini kuwekwa joto usiku + diff --git a/mic/02/09.md b/mic/02/09.md new file mode 100644 index 00000000..cda83c6f --- /dev/null +++ b/mic/02/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kuongea na watu matajiri waovu katika Israeli. + +# mnachukua baraka zangu kutoka kwa watoto wao wadogo milele. + +Hii inarejea , kwa ujumla, kwa baraka Mungu alizowawapati watu wake. Inaweza kurejea kwa 1) kuwa wamiliki wa nchi katika Israeli, 2) ahadi ya baadaye au 3) kwa mababa wa wana, wakulima waliofanya kazi kwa bidii kuanzisha taifa. + +# imeangamizwa kwa maangamizo kabisa + +"Nitaiangamiza kabisa" + +# angefikiriwa + +"ungemfikiria" + diff --git a/mic/02/12.md b/mic/02/12.md new file mode 100644 index 00000000..3d142383 --- /dev/null +++ b/mic/02/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kuongea. Mwishoni mwa hii sura, Yahwe anajionyesha yeye mwenyewe kuwa mchungaji ambaye awachungaye watu wake. Anaweza hasa kuwatambulisha wale walio katika Yerusalemu ambaye amerudi kutoka Ashuri. + +# Mtu avunjaye hufungua njia...Yahwe atakuwepo kwenye vichwa vyao. + +Hii ni picha ya Mfalme akiwaongoza watu wake mbali na mji uliozungushiwa ukuta. + diff --git a/mic/03/01.md b/mic/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..2b003c89 --- /dev/null +++ b/mic/03/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Sura ya 3 inawalenga wakuu wapotoshaji katika Israeli. + +# Nimesema + +Hapa "mimi" inamrejea Mika. + +# Je! Sio sahihi kwenu kuifahamu haki? + +Mika anatumia swali kuwakemea wakuu kwa sababu hawakuwa wanawalinda watu au kuwatendea haki. + +# ninyi manaorarua ngozi yao, miili yao kutoka mifupa yao...kama nyama katika chungu + +Mika anatumia hii picha mbaya ya bucha kuwakata wanyama kuwa nyama kusisitiza jinsi Mungu alivyo fadahaishwa na wakuu kwa sababu ya jinsi walivyo wakatili kwa wale waliotakiwa kulindwa. + diff --git a/mic/03/04.md b/mic/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..a9083f6a --- /dev/null +++ b/mic/03/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mika anaendelea kuongea. + +# lia kwa Yahwe + +"piga kelele kwa Yahwe kwa ajili ya msaada" + +# Atauficha uso wake kutoka kwenu + +Hii inamaanisha Mungu hatasikia vilio vyao. Hawatasikia vilio vya maskini, na hivyo wapokee kama walivyofanya kutoka kwa Mungu. + diff --git a/mic/03/05.md b/mic/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..0876d37f --- /dev/null +++ b/mic/03/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mika anaendelea kuongelea hukumu juu ya manabii wa uongo. + +# itakuwa usiku kwenu...siku itakuwa giza juu yao + +Yahwe anasema katika 3:6 hawa manabii wa uongo hawatapokea tena ujumbe wa Mungu kwa watu wa Israeli. Wakati mwingine manabii walipata ujumbe kutoka kwa Mungu kupitia maono, au ndoto usiku. + +# Waonaji watawekwa kuwa aibu, na waaguzi watachanganyikiwa + +"Nitawafanya waonaji kuwa aibu, na nitawachanganya waaguzi" + +# Wote watafunga midomo yao + +"Hawataongea tena" + +# kwa kuwa hakuna jibu kutoka kwangu + +Hii inamaanisha Mungu atakuwa kimya kama sehemu ya adhabu yao. + diff --git a/mic/03/08.md b/mic/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..7b095429 --- /dev/null +++ b/mic/03/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Lakini kwangu + +"Mimi" hapa inamrejea Mika, nabii wa kweli amejitenga kutoka manabii wa uongo. + +# Nimejaa uwezo kwa Roho ya Yahwe, na nimejaa haki na uweza + +Roho wa Yahwe alichagua kumpatia Mika nguvu, haki, na uweza katika uhodari, njia ya aina yake. "Roho wa Yahwe amenijaza nguvu, haki, na uweza" au "Roho wa Yahwe amenipa nguvu, haki, na uweza" + +# kumtangazia Yakobo kosa lake, na kwa Israeli dhambi yake + +Hivi virai vyote vinamaana moja na kusisitiza hao watu wote wa falme zote kaskazini na kusini wamefanya dhambi. + diff --git a/mic/03/09.md b/mic/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..9d566bc7 --- /dev/null +++ b/mic/03/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mmeijenga Sayuni kwa damu na Yerusalemu kwa uovu + +Matajiri walikuwa wakijijengea wenyewe nyumba nzuri mara nyingi kwa gharama na kuwatenda vibaya maskini. + +# damu + +Hapa "damu" inarejea kuua. + +# Je! Yahwe yu pamoja nasi? Hakuna uovu utakaokuja juu yetu. + +Mika anawanakuu watu wafikiriao tofauti Yahwe hatawaadhibu kwa matendo yao maovu. Neno la Kiebrania la "uovu" hapa ni sawa kama "janga" katika 2:3, neno kuu katika kitabu. + diff --git a/mic/03/12.md b/mic/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..1791d3a9 --- /dev/null +++ b/mic/03/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kwa sababu yenu + +Hapa "ninyi" inawarejea makuhani, manabii, na wakuu wa wa mstari uliopita. + +# Sayuni italimwa kama shamba, Yerusalemu itakuwa rundo la kifusi, na mwinuko wa hekalu utakuwa kama mwinuko wa msitu. + +Mika anamaanisha kwamba Yerusalemu itaharibiwa kabisa. Mji mkubwa pamoja na watu wengi waishio huko wakuwa wametelekezwa na kukomaa kama shamba au msitu. + +# Sayuni atalimwa kama shamba + +Baada ya uharibifu wake, Yerusalemu atapatikana kwa kulimwa. "Watu wengine watailima Sayuni kama shamba." + +# na mwinuko wa hekalu utakuwa kama mwinuko wa msitu. + +Hakuna hata eneo la hekalu litakaloacha kuharibiwa. Wakuu wamelipotosha, na litaharibiwa pia. + diff --git a/mic/04/01.md b/mic/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..a076c66f --- /dev/null +++ b/mic/04/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mlima wa nyumba ya Yahwe utakuwa imara + +"Yahwe atauimarisha mlima ambapo hekalu lake lilipojengwa" + +# juu ya milima mingine + +Hii inamaanisha Mlima Sayuni utakuwa wa muhimu zaidi ya milima yote. Pia inaweza kumaanisha kwamba huu mlima utakuwa mrefu zaidi katika dunia, sio katika eneno pekee. + +# utakuwa imara juu ya milima mingine + +"utaheshimiwa zaidi kuliko mlima mwingine wowote" + +# watu watatiririka kuuendea + +Watu wa mataifa wataenda kwenye mlima wa Yahwe kama mkondo utiririkiao. Hii inamaanisha kwamba watu wengi wataenda. "watu wa mataifa watatiririka kama mto kuuendea" au "watu wa mataifa watauendea" + diff --git a/mic/04/02.md b/mic/04/02.md new file mode 100644 index 00000000..74f092ec --- /dev/null +++ b/mic/04/02.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# njooni tuupande mlima wa Yahwe, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo + +Vyote mlima na nyumba ni kumbukumbu kwa hekalu la Yerusalemu. + +# Atatufundisha njia zake, na tutaenenda katika njia zake + +Hapa "njia zake" na "njia zake" zinarejea kwa kile ambacho Mungu ataka watu wakifanye. Pia, "kuenenda" maana yake watatii kile asemacho. + +# Kwa kuwa kutoka Sayuni sheria itatoka, na neno la Yahwe kutoka Yerusalemu + +Hapa maneno "sheria" na "neno" yanazungumzia jambo moja. Mataifa ya dunia watasikiliza sheria ya Mungu katika Yerusalemu. + +# plau + +Plau ni kengee ambayo watu hutumia kulimia kwenye udongo ili wapande mbegu. + +# Watazipiga panga zao kwenye plau na mikuki yao kuwa miundu ya kupogolea + +Virai hivi vyote vinamaanisha kwamba watarudisha silaha zao za vita kwenye vifaa watakavyovitumia kuandalia chakula. + +# miundu ya kupogolea + +Mundu wa kupogolea unatumika kukatia matawi au au visiki kutoka kwenye mmea kuufanya uzae vema. + diff --git a/mic/04/04.md b/mic/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..c942bbdd --- /dev/null +++ b/mic/04/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mika anaendelea kuelezea "siku za mwisho" wakati watu watakapojifunza na kuitii sheria ya Yahwe. + +# chini ya mzabibu na chini ya mtini wake + +Hii ni picha ya watu waishio katika amani. + +# kwa kuwa kinywa cha Yahwe wa majeshi kimenena hivi + +"kwa kuwa Yahwe wa majeshi amenena" + +# enenda...katika jina la + +Hiki kirai kinamaanisha kuabudu na kutii + diff --git a/mic/04/06.md b/mic/04/06.md new file mode 100644 index 00000000..27d1a83a --- /dev/null +++ b/mic/04/06.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaelezea "siku za mwisho" wakati watu watakapojifunza na kutii sheria ya Yahwe. + +# Siku hiyo + +"Katika siku zijazo" + +# Nitamkusanya achechemeaye + +"Nitawaleta pamoja wale ambao ni wadhaifu" + +# na kumkusanya aliyefukuzwa + +"na kuwakusanya wale ambao nimewafanya kuwatoka" + +# na wale waliotupwa mbali kwenye kwenye taifa imara + +"na wale niliowatupa mbali nitalifanya taifa imara" + +# mnara wa saa kwa ajili ya kundi + +Yahwe anatumia hiki kirai kusisitiza kwamba watu wa Yerusalemu walitakiwa kuulinda na kuuangalia kwa ajili ya watu wengine wa Israeli. + +# kilima cha binti Sayuni + +"Binti" wa mji inamaanisha watu wa mji. "kilima ambacho watu wa Sayuni huishi" + +# kilima + +Baadhi ya matoleo ya kisasa yanaelewa hili neno la Kiebrania kumaanisha "boma" au "ngome" hapa. + diff --git a/mic/04/09.md b/mic/04/09.md new file mode 100644 index 00000000..61dc2d10 --- /dev/null +++ b/mic/04/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sasa, kwa nini unapiga kelele kwa sauti kuu? + +Mika anawatania watu, kujaribu kuwafanya kufikiria kuhusu kwa nini Mungu anashughulika nao katika njia hii. "Sasa, unapiga kelele kwa sauti kuu." + +# Je! Hakuna mfalme miongoni mwenu? Je! Mshauri wako amekufa? Je! Hii ndiyo sababu uchungu umekushika kama yule mwanamke katika kuzaa? + +Mika anaendelea kuwahutubia watu katika sauti ya mzaha. Jibu la haya maswali ni hapana. Mfalme na washauri bado wapo huko, lakini wako kama hawana maana na wasio na matumaini. "Hivyo kwa nini unaomboleza sasa? Je! Ni kwa sababu hauna mfalme? Je! watu wako wenye hekima wamekufa? Unalia kwa sauti kuu kama mwanamke anayezaa mtoto." + +# Kuwa katika uchungu na kuzaa, binti wa Sayuni, kama mwanamke mwenye uchungu + +Mika anatumia picha ya mwanamke katika kuzaa kusisitiza masumbuko makali ya uhamishoni. Anamaanisha kwamba watakuwa katika uchungu kwa sababu Mungu anawaadhibu kwa kuwapeleka mbali na Israeli. Wengi wao hawatakuja nyumbani tena. + +# Huko utaokoka. Huko Yahwe atakuokoa + +"Huko Yahwe atakuokoa" + diff --git a/mic/04/11.md b/mic/04/11.md new file mode 100644 index 00000000..3fc98b0f --- /dev/null +++ b/mic/04/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelzo ya Jumla: + +Yerusalemu itawashinda maadui zake. + +# Acha atiwe unajisi; acha macho yetu yaitazame Sayuni + +"Ngoja tuuangamize mji wa Yerusalemu na kuwaharibu watu wake hivyo tunaweza kuchukua furaha kubwa katika kuanguka kwao." + +# kwa kuwa amewakusanya kama miganda kupura sakafuni + +Hii inamaanisha pia Mungu anajiandaa kuwaadhibu watu wa mataifa. + diff --git a/mic/04/13.md b/mic/04/13.md new file mode 100644 index 00000000..5a921547 --- /dev/null +++ b/mic/04/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaonyesha picha ya kupuria sakafu. + +# Inuka na pura, binti Sayuni + +Mungu atawatumia watu wa Sayuni kuwaadhibu watu wa mataifa. + +# Nitaifanya pembe yako kuwa chuma, na nitazifanya kwato zako kuwa shaba + +Yahwe anawalinganisha watu wa Sayuni na ng'ombe shujaa ambaye angepura ngano. Hii inamaanisha Yahwe atawafanya watu wa Israeli hodari tena ili waweze kuwashinda mataifa mengine. + diff --git a/mic/05/01.md b/mic/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..92e65bde --- /dev/null +++ b/mic/05/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kundi la watu, watu, watu, watu, watu + +Neno "watu" au "kundi la watu linarejea kwa kundi la watu ambao wanatumia lugha moja wote na utamaduni mmoja. Kirai "watu" mara nyingi inarejea kwa mkusanyiko wa watu katika mahali fulani au katika tukio maalumu. + +# Yerusalemu + +Yerusalemu ilikuwa asili ya mji wa Wakanaani ambao badaye ulikuwa mji muhimu zaidi katika Israeli. Inaonyesha kama kilomita 34 magharibi mwa Bahari ya Chumvi na kaskazini mwa Bethelehemu. Bado ni mji mkuu wa Israeli ya sasa. + +# Israeli, Waisraeli, taifa la Israeli + +Neno "Israeli" ni jina ambalo Mungu alimpatia Yakobo. Maana yake, "alipambana na Mungu." + +# ufito + +Neno "fimbo" linarejea kwa nyembamba, ngumu, fimbo kama kifaa ambacho kilitumika katika njia nyingi tofauti tofauti. Ilikuwa kama walau mita moja katika urefu. + diff --git a/mic/05/02.md b/mic/05/02.md new file mode 100644 index 00000000..0197b6da --- /dev/null +++ b/mic/05/02.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Lakini wewe, Bethelehemu Efrata + +Yahwe anazungumza na watu wa huu mji kana kwamba wako pale wanasikiliza. + +# Efrata + +Hili ni mojawapo ya jina la eneo ambalo Bethehemu ilipokuwa au inaitwa kwa jina jingine kwa ajili ya Bethelehemu au inatofautisha Bethelehemu hii kutoka nyingine. Bethelehemu ipo kama maili sita kusini mwa Yerusalemu. Palikuwa ni nyumbani mwa mji wa Mfalme Daudi. Watafsiri wanaweza kuongeza hii rejea: "Jina 'Efrata' maana yake 'kuzaa matunda."' + +# hata kama uko mdogo katikati ya koo za Yuda + +Hii inamaanisha Mungu atafanya mambo makubwa kupitia kidogo na mji usiokuwa na maana. + +# atakuja kwangu + +Hapa "mimi" inamrejea Yahwe. + +# ambaye mwanzoni ni kutoka nyakati za kale, kutoka milele + +Hii inaurejea ukoo mtawala kutoka familia ya zamani ya Mfalme Daudi. Virai "kutoka nyakati za zamani" na "kutoka milele" kimsingi inamaanisha kitu kimoja na kusisitiza jinsi hii safu ya familia ilivyo ya zamani. + +# Kwa hiyo Mungu atawatoa + +"Kwa hiyo Mungu atajitenga na watu wa Israeli" + +# hadi wakati yeye aliye katika uchungu atakapozaa mtoto + +Hii inarejea kipindi wakati mtawala amezaliwa, muda wenye ukomo. + +# mabaki ya ndugu zake + +"mabaki ya jamaa zake Waisraeli." Hawa ni Waisraeli katika uhamisho. Hapa "yeye" inamrejea mtoto ambaye atakuwa mtawala. + diff --git a/mic/05/04.md b/mic/05/04.md new file mode 100644 index 00000000..ab037e54 --- /dev/null +++ b/mic/05/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hii mistari inaendelea kumwelezea mtawala kutoka Bethelehemu. + +# Atasimama na kulichunga kundi lake kwa nguvu za Yahwe + +"Atawaongoza watu wake katika nguvu ya Yahwe." + +# katika ukuu wa enzi ya jina la Yahwe Mungu wake + +"katika mamlaka ya nguvu ya Yahwe Mungu wake" + +# Watabaki + +Hapa "wao" inawarejea watu wa Israeli. Neno "Israeli" au "Yerusalemu" imehusika. "Watu watabaki Israeli" au "Watu watabaki katika Yerusalemu" + +# kwa kuwa atakuwa mashuhuri hata mwisho wa dunia + +Hii inamaanisha kwamba mbeleni watu wote kutoka kila taifa watatoa heshima kwa mtawala wa Israeli. + +# Atakuwa amani yetu + +Hapa "yetu" inamrejea Mika na watu wa Israeli. "Atakuwa mtu wa amani" + +# wachungaji saba na viongozi saba juu ya watu + +Hapa "wachungaji" inamaanisha "watawala." pia, unaweza kutaka kuongeza rejea inayosema, "Hesabu 'saba' na 'nane' zimeunganishwa kumaanisha kwamba zitakuwa zaidi za kutosha viongozi kukutana na hitaji." + diff --git a/mic/05/06.md b/mic/05/06.md new file mode 100644 index 00000000..509096fb --- /dev/null +++ b/mic/05/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Wataichunga nchi ya Ashuru + +Hapa kuwashinda Waashuru inzungumziwa kana kwamba ilikuwa kuwachunga kondoo. + +# nchi ya Nimrodi + +Hili ni jina jingine kwa nchi ya Ashuru. Nimrodi alikuwa muwindaji na kiongozi wa mwanzoni. Watafsiri wanaweza kuongeza hii rejea: "Jina 'Nimrodi' maana yake 'uasi.'" + +# katika malango yake + +Hii sura inaweza kueleweka kama "katika malango yake." Malango ya mji yalikuwa kwenye maeneo ya watu wengi ambapo mara nyingi wakuu walifanya maamuzi muhimu. + +# Ataokoa + +"Mtawala ataokoa" + +# kama umande utokao kwa Yahwe, kama manyunyu kwenye majani + +Hii inasisitiza kwamba watu wa Yuda watakuwa wakijifurahisha, baraka, kwa mataifa. + +# ambayo hayamsubiri mtu, na hayawasubiri wana wa mwanadamu + +"na watasubiri kwa na kumtegemea Mungu" + diff --git a/mic/05/08.md b/mic/05/08.md new file mode 100644 index 00000000..b6fdd5ad --- /dev/null +++ b/mic/05/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# katikati ya mataifa, katikati ya watu wengi + +Hivi virai viwili kimsingi vinamaanisha jambo moja na kusisitiza kwamba "mabaki ya Yakobo" wataishi katika mataifa mengi tofauti tofauti. + +# kama simba katikati ya wanyama wa msitu, kama mwana simba katikati ya kundi la kondoo. Wakati akipita katikati yao, atawakanyaga juu yao na kuwararua kuwa vipande vipande + +Hii inasisitiza kwamba watu wa Israeli watakuwa na uwezo na ujasiri wakiwa uhamishoni kuhukumu na kuwaharibu maadui zao. + diff --git a/mic/05/10.md b/mic/05/10.md new file mode 100644 index 00000000..be759a25 --- /dev/null +++ b/mic/05/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Itatokea siku hiyo + +Hii inarejea kwa mda usio dhahiri mbeleni, ni kama kipindi cha uhamisho. + +# Nitawaharibu farasi wako kutoka miongoni mwenu na nitayavunja magari ya farasi + +Watu wa Israeli walitumia farasi na magari ya farasi tu katika vita. Pia ilijumuisha ushirikiano na wageni, nchi zisizomjua Mungu. Mungu hakutaka watu waamini silaha zao za vita kuwalinda zaidi kuliko walivyomwamini yeye. + diff --git a/mic/05/12.md b/mic/05/12.md new file mode 100644 index 00000000..11c483db --- /dev/null +++ b/mic/05/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kuongea na watu wa Israeli. + diff --git a/mic/06/01.md b/mic/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..34052fd9 --- /dev/null +++ b/mic/06/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Inuka na ueleze kesi yako...atapigana katika mahakama juu ya Israeli + +Katika 6:1-5 Mika anatumia chumba cha mahakam kama picha. Yahwe anazungumza mbele ya mashahidi kuelezea kwa nini watu wa Israeli wamemwacha mungu na kuanza kuabudu sanamu. + +# milima...vilele...mivumilivu ya dunia + +Mika anaongea na hivi vitu kana kwamba ni wanadamu. Mika anatumia milima, vilele, na misingi ya dunia kama ushahidi wa milele juu ya kuabudu sanamu za watu wake. + diff --git a/mic/06/03.md b/mic/06/03.md new file mode 100644 index 00000000..57f3663c --- /dev/null +++ b/mic/06/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hii inaendelea madai ya Yahwe juu ya watu wa Israeli. + +# Watu wangu, nimefanya nini kwenu? nimewachosha mara ngapi? shuhudieni dhidi yangu! + +Mungu anatumia haya maswali kusisitiza kwamba yeye ni Mungu mwema, na hajafanya kitu kuwafanya watu kukoma kumwabudu yeye. "Watu wangu, nimekuwa mwema kwenu. Sijafanya kitu kuwafanya mnichoke. Kama mnafikiri nimefanya, shuhudieni juu yangu, sasa." + +# nyumba ya utumwa + +"mahali ambapo mlipokuwa watumwa" + +# kumbukeni + +"kumbuka" + +# Balaki mfalme wa Moabu alivyotunga, na vile ambavyo Balamu mwana wa alivyomjibu + +Hii inaonyesha kwenye tukio la nyuma wakati Mfalme Balaki alipompangisha Balamu kuwafanya watu wa Israeli. Aidha, Mungu alimruhusu Balamu kuwabariki watu tu. + +# Beori + +Hili ni jina la baba yake na Balamu. + +# Shitimu + +Hili ni jina la mahali katika Moabu. + +# kwamba mnaweza kujua matendo ya haki yangu, Yahwe. + +"hivyo basi mnaweza kukumbuka mimi ni nani, na nini nimefanya juu yenu" + diff --git a/mic/06/06.md b/mic/06/06.md new file mode 100644 index 00000000..c5d9032d --- /dev/null +++ b/mic/06/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je nilete nini kwa Yahwe, ninapoenda kumwinamia Mungu aliye juu? Je ninaweza kuja kwake na sadaka za kuteketeza, pamoja na ndama wenye mwaka mmoja?Je Yahwe atapendezwa na maelfu ya kondoo waume, au na elfu kumi za mito ya mafuta? Je nimtoe mzaliwa wangu wa kwanza kwa ajili ya kosa langu, tunda la mwili wangu kwa ajili ya dhambi yangu mwenyewe? + +Mika anatumia maswali kuwafundisha watu wa Israeli kusu kile hasa kinachomtukuza Mungu. "Hakika hufikirii kwamba unaweza kumtukuza Mungu kwa kumletea ndama mkubwa mwenye mwaka mmoja, kondoo 1,000, 10,000 mito ya mafuta, au mtoto wako wa uzao wa kwanza kama sadaka kwa ajili ya dhambi zako." + +# mzaliwa wangu wa kwanza kwa ajili ya kosa langu, tunda la mwili wangu kwa ajili ya dhambi yangu mwenyewe + +Hivi virai viwili vinamaanisha kitu kimoja. + +# Amekwambia + +"Yahwe amekwambia" + diff --git a/mic/06/09.md b/mic/06/09.md new file mode 100644 index 00000000..68f80bcb --- /dev/null +++ b/mic/06/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sauti ya Yahwe inatangaza kwenye mji + +"Yahwe anawatangazia watu wa Yerusalemu" + +# hata hivyo hekima hukiri jina lako + +"na mtu mwenye hekima atamuogopa Yahwe" au "na mtu mwenye hekima atatii kile Yahwe asemacho" + +# Kuwa tayari kwa ajili ya fimbo, na kwa yule aliyeiweka + +Hapa "fimbo" inarejea kwa adui askari ambaye Yahwe atawaadhibu watu wake. + +# kipimo cha uongo + +Hii inataja mizani isiyopima vitu kwa usahihi hivyo mtu anaweza kuwaibia wengine kwa madhumuni na kutengeneza pesa nyingi zaidi kwa ajili yake mwenyewe. + diff --git a/mic/06/11.md b/mic/06/11.md new file mode 100644 index 00000000..6ae16e33 --- /dev/null +++ b/mic/06/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ningeweza kumfikiria mtu kuwa hana hatia kama anatumia kipimo cha ulaghai, pamoja na mfuko wa kipimo cha udanganyifu + +Yahwe anatumia swali kusisitiza kwamba anaangalia hatia ya mtu adanganyaye wengine ili kutengeneza pesa zaidi. "Hakika nitamwangalia mtu mwenye hatia kama akitumia kipimo kisicho haki na uzito ili kuwadanganya wengine na kutengeneza pesa zaidi kwa ajili yake mwenyewe. + +# Watu matajiri wamejawa udhalimu + +"Watu matajiri wanawachukulia maskini faida" + +# makazi yao yamesema uongo, na ulimi wao katika midomo yao unaudanganyifu + +Vishazi hivi vyote vinamaanisha kitu kimoja na vimeungana kwa ajili ya msisitizo. "Ninyi nyote ni waongo." Hii itafanya matokeo ya mhemko kwa wasomaji. + diff --git a/mic/06/13.md b/mic/06/13.md new file mode 100644 index 00000000..757d9ce3 --- /dev/null +++ b/mic/06/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa hiyo nimekupiga kwa pigo linaloumiza...lakini hutakunywa divai + +Yahwe anaelezea adhabu yake ya watu wake kama kumruhusu adui askari kuja na kuchukua kila kitu walichokuza, andaa, na kutunza kwa ajili yao wenyewe. + diff --git a/mic/06/16.md b/mic/06/16.md new file mode 100644 index 00000000..2414bff6 --- /dev/null +++ b/mic/06/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli. + +# Kanuni zilizotengenezwa na Omri zimetunzwa + +"Mmefanya kile ambacho Omri alichoamuru" + +# Omri...Ahabu + +Hawa watu wote walikuwa wafalme juu ufalme wa kaskazini mwa Israeli. Mungu aliwahesabu wote kuwa waovu sana. + +# Mnatembea kwa ushauri wao + +"mmefanya mambo maovu ambayo Omri na Ahabu waliwaambia watu kufanya. + +# jambo la kuzomea + +Hicho ni, kitu cha kudhihaki kwa kuzomea kwacho. + diff --git a/mic/07/01.md b/mic/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..ceca5414 --- /dev/null +++ b/mic/07/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwangu mimi ni kama msimu wa mavuno...matini ya malimbuko + +Mika anasisitiza kwamba hakuna tean watu waadilifu, waaminifu kwa Mungu, katika Israeli. "Kwangu mimi watu wa Israeli ni kama shamba la mzabibu baada ya mavuno na kukusanya. Mizabibu imejifunua. Siwezi kupata tunda lolote, lakini bado natamani sana kula tini lililoiva. + +# Watu waaminifu wamepotelea...kwa wavu + +Mika anakuza kuonyesha jinsi ambavyo hali ilivyo mbaya. Anahisi hakuna mtu mwema aliyebaki katika Israeli. + diff --git a/mic/07/03.md b/mic/07/03.md new file mode 100644 index 00000000..b23756af --- /dev/null +++ b/mic/07/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mika anaendelea kuongea kuhusu watu wa Israeli. + +# Mikono yao ni mizuri mno + +"Watu ni wazuri sana" + +# Mtu bora kwao ni kama mitemba, mwadilifu sana ni kama miche ya miba + +Hii inamaanisha kwamba hata kiongozi mzuri katika Israeli amesababisha maumivu na walikuwa hawafai kitu + +# Imefika siku iliyosemwa nyuma na walinzi, siku ya adhabu + +Hapa "yako" bado inawarejea watu wa Israeli. "Manabii wao wamewaambia kwamba Yahwe angewaadhibu" + +# Sasa ni muda wa machafuko yao + +Hii inaweza kurejea kushinda vita. "Sasa iko hapa, na hawataelewa nini kinaendelea" + diff --git a/mic/07/05.md b/mic/07/05.md new file mode 100644 index 00000000..37a5ca05 --- /dev/null +++ b/mic/07/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Mika anaendelea kuongea na watu wa Israeli. + +# Msimwamini kila jirani...watu wa nyumba yake mwenyewe + +Mika anaendelea kuonyesha kwamba hakuna mtu yeyote mzuri, mwadilifu, na mwaminifu kwa Mungu miongoni mwa watu wa Mungu. Hapa anasisistiza kwamba hawawezi hata kuwaamini marafiki au familia. + diff --git a/mic/07/07.md b/mic/07/07.md new file mode 100644 index 00000000..a943b948 --- /dev/null +++ b/mic/07/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Lakini kama kwangu mimi + +Hapa "mimi" inamrejea Mika + +# Usifurahi juu yangu + +Mika harejelei kwake pekee. Anamaanisha adui hatakiwi kufurahi juu ya kilichotokea kwa watu wote wa Israeli. + +# Wakati nitakapokuwa nimekaa katika giza, Yahwe atakuwa nuru kwangu + +Mika anarejea kwenye janga ambalo linakuja kwa watu wa israeli kama "giza." Anamaanisha ingawa Mungu atamwacha adui kuja kuwaharibu sasa, atakuja kuwaokoa mbeleni. + diff --git a/mic/07/09.md b/mic/07/09.md new file mode 100644 index 00000000..3d2f2943 --- /dev/null +++ b/mic/07/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa sababu nimetenda dhambi + +Mika hajirejei yeye pekee. Anamaanisha watu wote wa Israeli wametenda dhambi. + +# hata niteteapo kosa langu, na kutekeleza hukumu kwa ajili yangu + +Hii inarejea wakati Mungu aamuapo amewaadhibu watu wake mno. Kisha atawaadhibu watu wa mataifa mengine ambao waliowajeruhi watu wa Israeli. + +# Atanileta kwenye nuru + +" Atakuja na kutuokoa kutoka maadui zetu. Itakuwa kama kumleta mtu katika giza kwenye nuru" + diff --git a/mic/07/10.md b/mic/07/10.md new file mode 100644 index 00000000..204253f8 --- /dev/null +++ b/mic/07/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kisha adui yangu + +Mika hajirejei yeye pekee. Anamaanisha adui wa watu wote wa Israeli. + +# Yuko wapi Yahwe Mungu wako? + +adui hutumia swali kuwatania watu wa Israeli. "Yahwe Mungu wako hawezi kukusaidia" + +# Macho yangu + +"Mimi" au "sisi" + +# yatamtazama yeye + +Hapa "yeye" inawarejea maadui ambao waliowajerui watu wa Israeli. + +# atakanyagwa chini + +"maadui zao watawakanyaga chini" + diff --git a/mic/07/11.md b/mic/07/11.md new file mode 100644 index 00000000..eb3d4b05 --- /dev/null +++ b/mic/07/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Siku ya kujenga kuta zako zitakuja + +Hapa "kuta" inarejea kwa kuta kuzunguka miji yao, ambzo zimeandaa usalama na ulinzi kutoka maadui zao. + +# mipaka itasogezwa mbali sana + +"Yahwe ataisogeza mipaka ya ukubwa wa nchi yenu" au "Yahwe ataongeza ukubwa zaidi wa ufalme wenu" + +# Hizo nchi zitakuwa zitakuwa zimejitenga + +"Zile nchi zitakuwa tupu" au "Hakuna atakayeishi katika hizo nchi" + diff --git a/mic/07/14.md b/mic/07/14.md new file mode 100644 index 00000000..9d5f246b --- /dev/null +++ b/mic/07/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Chunga watu wako kwa fimbo yako, kundi la urithi wako + +Mika anaomba kwa Yahwe, akimuuliza kuwalinda watu wake wa Israeli tena. Hapa "fimbo" inawarejea wakuu wa Mungu na kuongoza, kama mchungaji atumiavyo fimbo kuongoza na kuzilinda kondoo zake. + +# Wanaishi wenyewe kwenye msitu + +Mika anamaanisha kwamba baadhi ya watu wanaishi ambapo aridhi ni maskini na wamejitenga na hawawezi kujipatia bidhaa zinazohitajiaka. + +# Waache wachunge katika Bashani na Gileadi + +Hii mikoa inajulikana kama nchi tajiri kwa kukuza chakula. Hivyo Mika anauliza upanuzi zaidi wa eneo, ambalo lilikuwa limepotea kwa wavamizi miaka ya nyuma. + +# kama siku za zamani + +Hii inaweza kurejewa wakati Suleimani alipokuwa mfalme. + +# Nitaonyesha + +Hapa "mimi" inamrejea Yahwe. + diff --git a/mic/07/16.md b/mic/07/16.md new file mode 100644 index 00000000..5ecd8bb4 --- /dev/null +++ b/mic/07/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wataweka mikono yao juu ya midomo yako; masikiio yao yatakuwa kiziwi + +Hii inaonyesha jinsi walivyo na hofu, sana hivyo hawawezi kujibu. + +# Watalamba vumbi kama nyoka, kama viumbe vitambaavyo juu ya nchi + +Virai vyote vinamaanisha jambo moja. Maadui wa Mungu wataaibishwa kabisa na kuja kwake katika hofu baada ya kuona mambo yenye nguvu ayafanyayo. + diff --git a/mic/07/18.md b/mic/07/18.md new file mode 100644 index 00000000..20bd1076 --- /dev/null +++ b/mic/07/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nani aliye Mungu kama wewe + +Mika anatumia swali kusisitiza kwamba hakuna mwingine afanyaye mambo ambayo Yahwe ayafanyayo. + +# mabaki ya mrithi wako + +"wale walio wakwetu watu wako waliochaguliwa ambao walioponea chupuchupu adhabu yako" + diff --git a/mic/07/19.md b/mic/07/19.md new file mode 100644 index 00000000..c908a77d --- /dev/null +++ b/mic/07/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Uta + +Hapa "wewe" inamrejea Yahwe. + +# juu yetu + +Hapa "sisi" inamrejea Mika na watu wa Isralei. + +# utayakanyaga maovu chini ya miguu yako. Utazitupa dhambi zetu zote kwenye vilindi vya bahari + +Hii inamaanisha Mungu atazisamehe kabisa dhambi za watu na hakutakuwa tena na adhabu ya watu kwa ajili yao. + +# mpatie ukweli Yakobo na agano aminifu kwa Ibrahimu + +Hapa "Yakobo" na "Ibrahimu," ambao ni mambabu wa taifa la Israeli, inarejea kwa watu wa Israeli sasa. + +# kwa babu zetu + +Hii inamrejea Ibrahimu na Yakobo, na labda wengine waliokuwa hai wakati Mungu alipolifanya agano lake pamona na Israeli. + diff --git a/mrk/16/08.md b/mrk/16/08.md index 2ac9344d..c62616ac 100644 --- a/mrk/16/08.md +++ b/mrk/16/08.md @@ -1,6 +1,7 @@ # kaburi,sehemu ya kuzikia Neno "kaburi" inarejea kwenye eneo ambapo watu wanaweka mwili wa mtu aliyekufa. "Sehemu ya kuzikia" ni neno la kiujumla ambalo linarejea kwa: + - Wakati mwingine Wayahudi walitumia mapango kama makaburi, na wakati mwingine walichimba mapango kwenye mawe sehemu ya milima. - Katika Agano Jipya, ilikuwa ni kawaida kusukuma jiwe kubwa na zito mbele ya kaburi lililo wazi ili kufunga. - Kama neno kaburi linaweza kurejea kama shimo ambapo mwili unawekwa chini ya ardhi, njia zingine za kutofasiri inaweza kuwa, "pango" au "shimo" ndani ya sehemu ya mlima" @@ -9,6 +10,7 @@ Neno "kaburi" inarejea kwenye eneo ambapo watu wanaweka mwili wa mtu aliyekufa. # walishangazwa Haya maneno urejea kwa kushangazwa kwa sababu ya kitu cha ajabu kilichofanyika. + - Baadhi ya maneno haya yametofasiriwa kwa usemi wa Kigiriki ambayo unamaanisha "kumpiga kwa kushangaza" au "kusimama nje ya mtu" usemi huu unaeleza namna ilivyo ya kushangaza ua mshtuko wa mtu alivyojisikia. Lugha zingine zinaweza kuwa na usemi wa kueleza hili - Kawaida tukio ambalo limesababisha maajabu na mshangao lilikuwa na miujiza, jambo ambalo Mungu mwenyewe angelifanya. - Maana ya maneno haya inaweza pia kujumuisha hisia za kuchanganyikiwa kwa sababu kilichofanyika hakikutegemewa. diff --git a/nam/01/01.md b/nam/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..cf80d19f --- /dev/null +++ b/nam/01/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Nahumu anaelezea uharibifu wa Ninawi katika shairi. + +# Maono kuhusu Ninawi. + +Ujumbe kutoka kwa Mungu kuhusu mji wa Ninawi. + +# Mwelkoshi. + +Mtu kutoka kijiji cha Mwelkoshi. + diff --git a/nam/01/02.md b/nam/01/02.md new file mode 100644 index 00000000..23eede35 --- /dev/null +++ b/nam/01/02.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yahwe + +Hili ni jina la Mungu ambalo alilifunua kwa watu wake katika Agano la Kale. + +# hatakuwa na namna ya kuacha kuwahesabia hatia adui zake + +Hii inamaanisha kwamba Yahwe atawahukumu na kuwaadhibu adui zake wasipomtii yeye. + diff --git a/nam/01/04.md b/nam/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..f2afbdfa --- /dev/null +++ b/nam/01/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Nahumu anaendelea kueleza nguvu ya Yahwe juu ya dunia yote. + +# Milima hutetema kwenye uwepo wake, na vilima huyeyuka; dunia huanguka mbele zake + +"Milima, vilima, na dunia humwogopa Yahwe" + +# hutetema + +kama mtu ambaye ameogopa + +# huanguka + +"hudondoka chini ya ardhi kwa woga" + diff --git a/nam/01/06.md b/nam/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..2fd7e617 --- /dev/null +++ b/nam/01/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya jumla + +Nahumu anaongea kuhusu uwezo wa Yahwe + +# ukali wa hasira yake + +"nguvu ya hasira yake" au" kiwango (jumla au kiasi)cha hasira yake" + +# Ghadhabu yake imemwagwa kama moto, na miamba ameibomoa mbalimbali + +kwa tafasiri nyingine ni : "humwaga hasira yake kama moto na kubomoa miamba kwa kuisambaratisha." + diff --git a/nam/01/07.md b/nam/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..da160d01 --- /dev/null +++ b/nam/01/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# boma + +sehemu salama iliyojengwa kwa ajili ya ulinzi dhidi ya maadui + +# siku ya taabu + +Wakati adui anapofanya shambulio. Kwa tafsiri nyingine: "Wakati mambo mabaya yanapotokea" + diff --git a/nam/01/09.md b/nam/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..d6d59a76 --- /dev/null +++ b/nam/01/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya jumla + +Nahumu anawaambia watu wa Ninawi jinsi ambavyo Yahwe atawashughulikia. + +# atakomesha + +"kuacha kabisa kufanya" + +# taabu haitainuka mara ya pili + +"Hatakushambulia kwa mara ya pili" + +# Watakuwa....chao + +Nahumu anazungumza kwa Waisraeli kwa ufupi juu ya watu wa Ninawi. + +# watakuwa wamevurugika kama michongoma + +"kabiliwa na matatizo mengi ambayo yatawazuia kuvamia" + +# wataharibiwa kabisa + +Yahwe ataiharibu kabisa Ninawi yote + +# aliimarisha uovu + +aliwahamasisha watu kufanya mambo maovu + diff --git a/nam/01/12.md b/nam/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..926d959b --- /dev/null +++ b/nam/01/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maeleza ya jumla + +Yahwe anazungumza kwa Waisraeli juu ya Ninawi. + +# Wananguvu ... watanyolewa... zao + +watu wa Ninawi + +# hata hivyo watanyolewa + +"Watakatwa." Yahwe anatumia picha ya kukata sufu kwenye kondoo kuonyesha njinsi atakavyo liharibu jeshi la Ninawi , hata kama wapo wengi.TN: " wataharibiwa " + +# nitaivunja ile nira ya watu kutoka kwako + +TN: "nitakuweka huru kutoka ktika utumwa mwa watu hao" + +# nitaikata minyororo yako + +"kata minyororo ambayo waliwafunga kama watumwa" + diff --git a/nam/01/14.md b/nam/01/14.md new file mode 100644 index 00000000..f1d8a150 --- /dev/null +++ b/nam/01/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yahwe + +"Yahwe" ni jina binafsi la Mungu ambalo alijifunua kwa Musa kwenye kichaka kilichowaka moto. + diff --git a/nam/01/15.md b/nam/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..7f1c7335 --- /dev/null +++ b/nam/01/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# juu ya milima kuna miguu ya mtu aletaye habari njema + +"mtu analeta habari njema" + +# mtu mwovu + +Nahumu anazungumza kwa watu wa Ninawi kana kwamba ni mtu mmoja. + +# ameondolewa kabisa + +Nahumu anazungumza juu tukio la baadaye kana kwamba tayari limekwisha tokea. + diff --git a/nam/02/01.md b/nam/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..a2b833ec --- /dev/null +++ b/nam/02/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Nahumu anaelezea uharibifu wa Ninawi katika shairi. + +# Yule ambaye atakuvunja vipande vipande + +Ni namna ya picha ya mtu anayevunja chungu. TN: " Atakuharibu" + +# Yule ambaye atakuvunja + +Mtu ambaye ni "Yule" hajawekwa wazi, kwa hiyo tafsiri inatumia kauli jumuishi: "mtu ambaye atakuvunja vipande vipande." + +# Linda kuta za mji, linda barabara, jitieni nguvu ninyi wenyewe, yakusanyeni majeshi yenu. + +kujitayarisha kwa ajili vita + +# Linda kuta za mji + +"Panga walinzi kwenye kuta kwa ajili ya kukinga" + +# Maana Yahwe anarejesha fahari ya Yakobo, kama fahari ya Israeli + +Hii inamaana kuwa Yahwe atamfanya Yakobo na Israeli kuwa wakuu, na watu watawapenda tena. + +# wateka nyara + +watu wanaoiba vitu kwa nguvu, mara nyingi katika vita + +# waliwaharibu + +waliangamiza kila kitu. + +# kuharibu matawi ya zabibu zao + +hapa taifa linaongelewa kana kwamba ni mzabibu uliolimwa. TN: " na kuling'oa taifa lenu kana kwamba ni shamba la mzabibu" + diff --git a/nam/02/03.md b/nam/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..9e1e6f2a --- /dev/null +++ b/nam/02/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mashujaa wake + +askari wa mtu " ambaye takuvunja"Ninawi "vipande vipand":(2:1). + +# mivinje + +aina ya mti ambao ubao wake unafaa kwa ajili ya silaha. + +# Magari ya vita yapo kasi kwenye mitaa + +" madereva wa magari ya vita wanaendesha kwa fujo kwenye mitaa" + +# Yapo kama kurunzi + +Hii inarejea kwenye mng'aro wa magari ya vita yanapoakisi mwanga kutoka kwenye jua. + diff --git a/nam/02/05.md b/nam/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..9736265b --- /dev/null +++ b/nam/02/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# atakuvunja vipande vipande + +rejea kwenye fasiri ya 2:1 + +# anawaita maafisa wake + +inaweza kumaanisha: 1. "anawakusanya maafisa wake" au 2. " anafikiria juu ya maafisa wake" + +# wana...kwao... hawa... + +askari ambao wataushambulia Ninawi + +# katika kutembea kwao + +"wanapotembea" + diff --git a/nam/02/08.md b/nam/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..24b3cd7c --- /dev/null +++ b/nam/02/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nyara + +Vitu vilivyoibiwa kwa nguvu, hasa katika vita. + +# hakuna mwisho wake + +TN: "kuna kiasi kikubwa" + +# fahari ya vitu vyote vizuri vya Ninawi + +inaweza kumaanisha: 1) "vitu tele vyote vizuri" au 2) "kiasi cha vitu vyote vizuri" + +# Moyo wa kila mtu unayeyuka + +"Watu wote wamepoteza ujasiri wao" + diff --git a/nam/02/11.md b/nam/02/11.md new file mode 100644 index 00000000..cfe76f83 --- /dev/null +++ b/nam/02/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# pango la simba + +Ninawi inalinganishwa na pango la simba kwa sababu ni sehemu ambayo wauwaji wanaishi na sehemu ambapo wanaweka vitu walivyoiba kutoka kwa watu waliowaua. + +# alirarua + +"kabwa" simba wameng'ata makoo ya wahanga ili kuwazuia wasipumue. + +# kulijaza pango lake mawindo, makao yake kwa mizoga iliyoraruliwa + +Mafungu haya mawili yanasema jambo jambo moja kwa njia tofauti. Pango ni sehemu ya simba kujificha, mara nyingi huwa ni shimo. + diff --git a/nam/02/13.md b/nam/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..9887efce --- /dev/null +++ b/nam/02/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Tazama + +"Fahamu hili" + +# upanga utateketeza simba wenu vijana + +"askari wenu watakufa vifo si vya kawaida" + +# upanga + +"askari mwenye upanga" + +# utateketeza + +"kuwala wote" + +# simba wenu vijana + +"vijana wenu wenye ubora" + +# Nitazuia nyara zenu kutoka kwenye nchi yenu + +Neno "nyara" linarejea utajiri ambao Ninawi alipatia kutoka kwenye nchi zingine.Hii inamaanisha Yahwe ataharibu uwezo wa Ninawi wa kuiba kutoka katika mataifa mengine. + diff --git a/nam/03/01.md b/nam/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..a17c661c --- /dev/null +++ b/nam/03/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya jumla + +Nahumu anaendelea kuelezea uharibifu wa Ninawi katika shairi ambalo lilianza kwenye 1:1. + +# mji uliojaa damu + +Askari wa Ninawi waliwaua watu wengi. TN: "Mji unahusika juu vifo vya watu wengi" + diff --git a/nam/03/03.md b/nam/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..60dd60ae --- /dev/null +++ b/nam/03/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# marundo ya maiti, mafungu makubwa ya miili; hakuna ukomo wa miili + +Mwandishi anaweka mkazo wa mauaji mengi dhidi ya Ninawi ambopo jambo hili limetajwa mara tatu (3) + +# maiti + +Miili ya watu ambao wamekufa + +# hakuna ukomo wa miili + +"kuna idadi kubwa ya miili" + +# kahaba mzuri, mzoefu wa uchawi + +Kama vile makahaba wanavyouza kiburudisho cha kimwili na wachawi huuza maarifa na nguvu zilizopatikana kwa miujiza, watu wa Ninawi nao huuza watu waliowachukua katika vita na kujipatia faidi kwa dhambi yao. + diff --git a/nam/03/05.md b/nam/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..a0729cbd --- /dev/null +++ b/nam/03/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tazama + +Neno hili linavuta usikivu kwa kile kinachokuja baadaye. + +# ni nani ataomboleza kwa ajili yake?' Ni wapi ninaweza kumpata mtu wa kukufariji? + +TN: "hakuna mtu atayelia kwa ajili yake, na siwezi kupata mtu wa kumfariji." + diff --git a/nam/03/08.md b/nam/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..cf7f0dbe --- /dev/null +++ b/nam/03/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Nahumu anaongea kwa watu wa Ninawi kana kwamba wao ndiyo mji wenyewe. + +# je wewe ni bora kuliko Noamoni...yenyewe? + +TN: "Ninyi si bora zaidi ya Noamoni...yenyewe." + +# Noamoni + +mji mkuu wa zamani wa Misiri, ambao Waashuru waliuteka. + +# ambao ulinzi wake ilikuwa bahari, ambao ukuta wake ilikuwa bahari yenyewe + +Haya mafungu mawili ya maneno yana maana zenye kufanana. Maneno "bahari" yana maana ya mto Nile ambao ulitiririka karibu kwenye mji na kusababisha ugumu wa kushambuliwa. + +# ulinzi... ukuta + +Miji ya zamani ilikuwa na "kuta" kubwa ili kuwazuia washambuliaji, na mstari wa mbele wa walinzi kuwazuia maaduai wasiufikie ukuta. + diff --git a/nam/03/10.md b/nam/03/10.md new file mode 100644 index 00000000..e63885c4 --- /dev/null +++ b/nam/03/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya jumla + +Nahumu anaongea kwa watu wa Ninawi kana kwamba wao ndiyo mji wenyewe + +# Lakini + +Huu ni mwendelezo wa kulinganisha Ninawi na Noamoni tangu 3:8. Inaweza kumaanisha: "japo kuwa" au "hata kama" + +# Noamoni + +mji kuu wa azamani wa Misiri, ambao Waashuru waliuteka + +# alikwenda...wake + +Noamoni + +# walivunjwa vipande vipande + +Wavamizi waliwaua watoto wa Noamoni kwa urahisi kama kwamba wanavunja chungu cha udongo. + +# walifungwa minyororo + +weka katika utumwa. TN: "wakawa watumwa" + diff --git a/nam/03/12.md b/nam/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..277b3379 --- /dev/null +++ b/nam/03/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Nahumu anaongea kwa watu wa Ninawi kana kwamba wao ndiyo mji wenyewe. + +# Ngome + +Neno hili, ambalo lingeweza kutafsiriwa kama " ngome ya jeshi" inarejea milki yote ya Ninawi na Ashuru. + +# Ngome zako zote zitakuwa kama mitini yenye tini zilizoiva mapema: kama zikitikiswa, zitaangukia kwenye kimywa cha mlaji + +Mji wa Ninawi utachukuliwa kwa urahisi kama tunda kutoka kwenye mti. + +# watu miongoni mwenu ni wanawake + +"watu wako ni dhaifu na hawawezi kujilinda wao wenyewe" + +# bawaba zake + +Mihimili mikubwa ya mbao ambayo ilishikilia mageti na haikuwezekana kufungua ukiwa nje ya mji. Kuchomwa moto kwa mihimili kulifanya isiwezekane kufunga mji tena. + diff --git a/nam/03/14.md b/nam/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..84b1c773 --- /dev/null +++ b/nam/03/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Nahumu anaongea kwa watu wa Ninawi kana kwamba wao ndiyo mji wenyewe. + +# Utateketezwa kama nzige wachanga wanavyoteketeza kila kitu + +uharibifu utaharibu kama nzige wanavyoteketeza kila kitu katika njia yao. + +# utakuteketeza + +ni "moto" au "upanga" + +# Ninyi wenyewe mjitengeneze kuwa wengi kama nzige wachanga, na wengi kama nzinge waliopevuka + +nzinge waliopevuka-"Mujizidishe wenyewe kama tunutu! Mujizidishe wenyewe kama nzige waliopevuka!" pengine haya ni maneno ya kuanza aya mpya. + +# Ninyi wenyewe mjitengeneze kuwa wengi kama nzige wachanga + +Maana yake watakuwa mji mkubwa sana wenye watu wengi na wataharibu nchi nyingi. + diff --git a/nam/03/16.md b/nam/03/16.md new file mode 100644 index 00000000..27654d24 --- /dev/null +++ b/nam/03/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla + +Nahumu anaongea kwa watu wa Ninawi kana kwamba wao ndiyo mji wenyewe. + +# Umezidisha wafanyabiashara wako zaidi kuliko nyota mbinguni + +Wafanyabiashara wa Ninawi hawawezi kuhesabika kama nyota katika anga. TN:"Unawafanyabiashara zaidi kuliko uwezo wa mtu kuhesabu." + +# wafanyabiashara + +"wachuuzi" au "watu wanaonunua na kuuza vitu" + +# Wafalme + +Neno linalotumiwa katika siasa "Viongozi" + +# wakuu wenu wa majeshi + +Neno linalotumiwa katika jeshi "viongozi"au mamlaka zingine za kiserikali + diff --git a/nam/03/18.md b/nam/03/18.md new file mode 100644 index 00000000..f71d1776 --- /dev/null +++ b/nam/03/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wachungaji + +"wachungaji" hawa ni watawala wa watu wa Ashuru. + +# Ni nani aliyejiepusha kwa uovu wako wa daima? + +TN: "Mfululizo wa matendo yenu maovu yamewaumiza watu wengi na mataifa" + diff --git a/neh/01/01.md b/neh/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..e12bc9d6 --- /dev/null +++ b/neh/01/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Nehemia .....Hakalia .... Hanani + +Haya ni majina ya watu + +# katika mwezi wa Kisleu + +'Kislev' ni mwezi wa tisa wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Novemba na sehemu ya kwanza ya Desemba kwenye kalenda za Magharibi. + +# katika mwaka wa ishirini + +Nehemia akimaanisha idadi ya miaka ambayo Artaxerxes alikuwa ametawala akiwa mfalme. AT 'mwaka wa ishirini wa utawala wa Artaxerxes, Mfalme wa Uajemi + +# mji mkuu wa Sushani + +Hii ilikuwa moja ya miji ya kifalme ya wafalme wa Kiajemi, iliyo katika nchi ya Elamu. Ilikuwa jiji kubwa, yenye ngome yenye kuta za juu zilizozunguka. + +# mmoja wa ndugu zangu + +Hanani alikuwa ndugu wa Nehemia wa kiroho. + +# Hanani, alikuja pamoja na watu wengine kutoka Yuda + +Hanani alikuja kutoka Yuda na watu wengine' + +# Wayahudi waliopona, Wayahudi waliosalia waliokuwa huko + +Maneno haya mawili yanataja kundi moja la watu. Maana inawezakuwa ni 1) Wayahudi wachache ambao walichukuliwa kama wahamisho Babeli lakini waliokoka na kurudi kuishi Yerusalemu au 2) Wayahudi wachache ambao waliokoka kutoka kwa wale waliokuwa wakijaribu kuwapeleka uhamishoni huko Babiloni na hivyo wakaa Yerusalemu. Kwa kuwa haijulikani wapi walipokimbia, inaweza kuwa bora si kutaja katika tafsiri. AT "Wayahudi ambao waliokoka uhamisho na waliobaki Yerusalemu' + diff --git a/neh/01/03.md b/neh/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..076e53f7 --- /dev/null +++ b/neh/01/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wakaniambia + +Hapa "Wao" hutaanisha Hanani na watu wengine ambao walikuja kutoka Yuda. + +# jimbo + +Hapa "jimbo" linamaanisha Yuda kama wilaya ya utawala chini ya Dola ya Kiajemi. AT "jimbo la Yuda" au "Yuda" + +# ukuta wa Yerusalemu umebomolewa na milango yake imeteketezwa kwa moto + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. Majeshi ya "AT wamevunja ukuta wa Yerusalemu na kuweka milango yake kwa moto" + diff --git a/neh/01/04.md b/neh/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..eacbdbf5 --- /dev/null +++ b/neh/01/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kisaha akasema + +Nehemiya anasema yale aliyoomba. AT "Ndipo nikamwambia Bwana" + +# wale wanaokupenda na kushika amri zake + +Kwa kuwa Nehemia anazungumza na Yahweh, matamshi "yeye" na "yake" yanaweza kutafsiriwa kama "wewe" na 'yako." AT "ambaye anakupenda na kushika amri zako" + diff --git a/neh/01/06.md b/neh/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..edfcfe59 --- /dev/null +++ b/neh/01/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# fungua macho yako + +Nehemiya anasema kama Mungu anamtazama yeye akipenda kama Mungu angepoufungua macho na kumtazama. AT "kuangalia mimi' au 'makini na mimi" + +# ili uweze kusikia sala ya mtumishi wako + +"ili uisikie maombi ambayo mimi, mtumishi wako, ninaomba." Neno 'mtumishi' linamaanisha Nehemia. Hii ndivyo mtu anavyoweza kumtambulisha mkuu wake ili kuonyesha unyenyekevu na heshima. + +# mchana na usiku + +Kwa kusema kwamba anaomba wote wakati wa mchana na wakati wa usiku, Nehemia anasisitiza mzunguko wa sala zake. AT "wakati wote" + +# Wote mimi na nyumba ya baba yangu + +Hapa neno "nyumba" linawakilisha familia. AT "Wote mimi na familia yangu" + diff --git a/neh/01/08.md b/neh/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..b19ef2c5 --- /dev/null +++ b/neh/01/08.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya unganisha + +Nehemia anaendelea kuomba kwa Mungu. + +# Tafadhali kumbuka nia + +"Kumbuka nia" ni dhana ambayo ina maana kukumbuka. AT 'Tafadhali kumbuka' + +# neno ulilomuamuru mtumishi wako Musa + +Matamshi "wewe" na "yako" kinamaanisha Mungu. + +# mkitenda pasipo uaminifu... nitawatawanya ....lakini mkirudi ...watu wako + +Matamshi "'wewe" na "yako" ni wingi na hutaja watu wa Israeli. + +# itawatawanya kati ya mataifa + +Bwana anaongea ya kuwafanya Waisraeli wapate kuishi katika mataifa mengine kama kwamba aliwatangaza wao kama mtu atakayegawa mbegu. AT '"itawafanya uishi kati ya mataifa'" + +# ingawa watu wako walienea + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT 'ingawa nimewatangaza watu wako' + +# chini ya mbingu za mbali + +Bwana anasema juu ya maeneo duniani ambayo ni mbali sana kama "chini ya mbingu za mbali." AT "kwenda mahali mbali sana" + +# mahali pale nilichochagua ... kubaki + +Maneno haya yanamaanisha Yerusalemu, ambako hekalu lilikuwa iko. AT "kwenda Yerusalemu, ambapo nimechagua ... kubaki'" + +# ambapo nimechagua kufanya jina langu kubaki + +Hapa neno "jina" linawakilisha Bwana mwenyewe. AT "ambapo nimechagua kukaa" + diff --git a/neh/01/10.md b/neh/01/10.md new file mode 100644 index 00000000..2b1d14e7 --- /dev/null +++ b/neh/01/10.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Taarifa za jumla + +Nehemia anaendeleza maombi yake + +# Sasa + +Neno hili linatumika hapa kuashiria mapumziko katika sala ya Nehemia. Hapa anaanza kufanya ombi lake kulingana na ahadi ya Bwana. + +# wao ni watumishi wako + +Neno "wao" linamaanisha watu wa Israeli. + +# kwa nguvu yako kubwa na kwa mkono wako wenye nguvu. + +Hapa "mkono" inawakilisha nguvu au nguvu. Pamoja, maneno haya mawili huunda doublet ambayo inasisitiza ukubwa wa nguvu za Bwana. AT "kwa uwezo wako mkubwa na kwa nguvu yako ya nguvu" au "kwa uwezo wako wenye nguvu sana" + +# sala ya mtumishi wako + +Hapa "mtumishi" inahusu Nehemia. Hii ndivyo mtu anavyoweza kumtambulisha mkuu wake ili kuonyesha unyenyekevu na heshima. Tazama jinsi ulivyotafasiri hii katika 1: 6. + +# sala za watumishi wako + +Hapa "watumishi" inawakilisha watu wengine wa Israeli ambao wangekuwa wakiomba kwa Yahweh kutenda kwa niaba ya watu wake na kwa niaba ya Yerusalemu. + +# ambao hufurahia kuheshimu jina lako + +Hapa "jina" linawakilisha Yahweh mwenyewe. AT 'ambaye anapenda kukuheshimu' + +# unijalie rehema mbele ya mtu huyu + +Hapa "yeye" inaongelea Nehemia, ambaye anajielezea mwenyewe katika mtu wa tatu kuonyesha ubinafsi wake mbele ya Mungu, na "mtu huyu" ana maana ya Artaxerxes, mfalme wa Persia. + +# mbele ya mtu huyu + +Nehemiya anasema mtazamo au mtazamo wa mfalme kama ilivyokuwa jinsi mfalme alivyoona kitu fulani. AT"'ruzuku kwamba mfalme atanihurumia" + +# Nilikuwa mnyweshaji wa mfalme + +Nehemiya anasema mtazamo au mtazamo wa Hii ni habari ya historia kuhusu nafasi ya Nehemiya katika mahakama ya mfalme. Lugha yako inaweza kuwa na njia maalum ya kuandika taarifa ya nyuma. + diff --git a/neh/02/01.md b/neh/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..3fc04439 --- /dev/null +++ b/neh/02/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Katika mwezi wa Nisani + +"Nisani" ni jina la mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiebrania. + +# katika mwaka wa ishirini wa mfalme Artashasta + +"mwaka wa 20 ambao Artashasta alikuwa mfalme" + +# Sasa + +Neno hili linatumika hapa kuashiria mapumziko katika hadithi kuu. Hapa Nehemiya anasema maelezo ya habari juu ya tabia yake mbele ya mfalme. + +# Lakini mfalme + +"hivyo mfalme" + +# Kwa nini uso wako una huzuni + +Hapa Nehemia anajulikana kwa uso wake kwa sababu uso unaonyesha hisia za mtu. AT "Kwa nini wewe huzuni sana" + +# Hii lazima iwe huzuni ya moyo + +Hii inazungumzia Nehemia kuwa huzuni kama moyo wake ulikuwa na huzuni, kwa kuwa moyo mara nyingi huonekana kuwa katikati ya hisia. AT "Lazima uwe mwenye huzuni sana" + diff --git a/neh/02/03.md b/neh/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..51831706 --- /dev/null +++ b/neh/02/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mfalme aishi milele! + +Nehemia anaonyesha heshima kwa Mfalme Artashasta. Hapa "milele" ni kisingizio kinachoashiria maisha ya muda mrefu. "Mfalme aishi muda mrefu!" au "Mfalme awe na maisha marefu!" + +# Kwa nini uso wangu usiwe na huzuni? + +Hapa Nehemiya anatumia swali hili la uongo ili kumwambia mfalme kwamba ana sababu ya kuwa na huzuni. Hii inaweza kuandikwa kama taarifa. AT 'Nina sababu nzuri sana za kuwa na huzuni.' + +# mji wa kaburi za baba zangu + +"mahali ambapo baba zangu wamezikwa" + +# malango yake yameharibiwa kwa moto + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "moto umeangamiza milango yake" au "adui yetu amewaka moto milango yake" + diff --git a/neh/02/04.md b/neh/02/04.md new file mode 100644 index 00000000..e7fa669e --- /dev/null +++ b/neh/02/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nikamwambia mfalme + +"Kisha nikamjibu mfalme" + +# mtumishi wako + +Nehemia anajieleza mwenyewe njia hii ya kuonyesha utii wake kwa mfalme. + +# Mbele yako + +Hapa mbele inawakilisha hukumu au tathmini. AT 'katika hukumu yako' + +# mji wa kaburi za baba zangu + +"mji ambapo baba zangu wamezikwa" + +# ili nipate kuujenga + +Nehemia haina mpango wa kujenga jengo lote mwenyewe, lakini atakuwa kiongozi wa kazi hiyo. AT "kwamba mimi na watu wangu wanaweza kujenga tena" + diff --git a/neh/02/07.md b/neh/02/07.md new file mode 100644 index 00000000..01a54ef2 --- /dev/null +++ b/neh/02/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Naweza kupewa barua + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "unaweza kutoa barua kwangu" + +# Jimbo ng'ambo ya mto + +Hii ndiyo jina la jimbo ambalo lilikuwa magharibi ya Mto Efrati. Ilikuwa ng'ambo ya mto kutoka mji wa Susa. + +# Asafu + +Hili ndio jina la mtu. + +# mkono mzuri wa Mungu ulikuwa juu yangu + +"Mkono mzuri" wa Mungu unawakilisha "neema yake." AT "neema ya Mungu ilikuwa juu yangu" + diff --git a/neh/02/09.md b/neh/02/09.md new file mode 100644 index 00000000..2e60e094 --- /dev/null +++ b/neh/02/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sanbalati Mhoroni ......... Tobbia + +Sanbalati ni jina la mtu, na Wahoroni walikuwa kikundi cha watu. + +# Tobbia mtumishi wa Amoni + +Huyu mtu huenda alikuwa mtumwa aliye huru sasa akiwa kama afisa katika Amoni. + +# kusikia hii + +"kusikia kwamba nimekuja" (UDB) + diff --git a/neh/02/11.md b/neh/02/11.md new file mode 100644 index 00000000..fef39ff1 --- /dev/null +++ b/neh/02/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# alichoweka ndani ya moyo wangu + +Hapa "moyo" Nehemia inahusisha mawazo na mapenzi yake. AT "alikuwa ameongoza kwangu' au 'aliniongoza" + +# Hakukuwa na mnyama pamoja nami + +'Hakuna kulikuwa na wanyama pamoja nami' + diff --git a/neh/02/13.md b/neh/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..e3fcd9b7 --- /dev/null +++ b/neh/02/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa za jumla + +Wanaume wachache waliongozana Nehemia kwenye ukaguzi huu, lakini anaongea kwa mtu wa kwanza kwa sababu alikuwa mtu wa kwanza. + +# Niliondoka usiku kwa njia ya lango la bondeni + +"Usiku, nilitoka kupitia Bonde la Bonde" + +# Joka + +mbwa mwitu + +# mrango wa siri + +Inawezekana, kukataliwa kuliondolewa kutoka kwa jiji kupitia lango hili. + +# ambazo zimebomolewa, na milango ya mbao iliharibiwa na moto + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "ambayo maadui wa Israeli walikuwa wamevunjika wazi, na milango ya mbao ambayo maadui wao waliharibu kwa moto" + diff --git a/neh/02/15.md b/neh/02/15.md new file mode 100644 index 00000000..7c6ab35a --- /dev/null +++ b/neh/02/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hivyo nilikwenda ...... na nikarudi + +Wanaume wengine pamoja na Nehemia walimfuata pia. AT 'Hivyo tulikwenda ... na tukageuka + +# wa lango la bondeni + +"kwa njia ya lango la bonde" + +# wengine waliofanya kazi hiyo + +Hii inahusu wanaume ambao baadaye watajenga kuta. AT "wengine ambao baadaye watafanya kazi ya kujenga upya" + diff --git a/neh/02/17.md b/neh/02/17.md new file mode 100644 index 00000000..16cdac11 --- /dev/null +++ b/neh/02/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Munaona shida + +Hapa "ni" wingi, akimaanisha watu wote waliotajwa katika 2: 15. + +# milango yake imeharibiwa kwa moto + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "jinsi adui zetu walivyoharibu milango yake kwa moto" + +# hivyo hatuwezi tena kuwa na aibu + +"hivyo hatuwezi tena kuona aibu" + +# mkono mzuri wa Mungu wangu ulikuwa juu yangu + +'Mkono mzuri" wa Mungu unawakilisha "neema yake." AT "neema yangu Mungu ilikuwa juu yangu" + +# kuinuka na kujenga + +Huu ndio idiami. AT "kuanza kujenga'" + +# Kwa hiyo wakaimarisha mikono yao kwa ajili ya kazi nzuri. + +Maneno ya "kuimarisha mikono yao" inamaanisha kujiandaa kufanya kitu. AT "Hivyo wameandaa kufanya kazi hii nzuri" + diff --git a/neh/02/19.md b/neh/02/19.md new file mode 100644 index 00000000..fdddee8d --- /dev/null +++ b/neh/02/19.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sanbalati.... Tobia + +Haya ni majina ya watu. Tafsiri kama 2:9 + +# Geshemu + +Hili ni jina la mtu. + +# Unafanya nini? Je! Unagombana na mfalme? + +Maswali haya ya kihistoria hutumiwa kumshtaki Nehemia. Hizi zinaweza kuandikwa kama taarifa. AT "Wewe unafanya upumbavu! Usipaswi kupigana na mfalme! " + +# Mfalme + +Hii inahusu Artaxerses, mfalme wa Persia. + +# tutaondoka na kujenga + +Huu ndio idiami. AT 'itaanza upya' + +# Lakini huna sehemu, hakuna haki, na hakuna dai la kihistoria huko Yerusalemu + +'"akini huna sehemu, haki ya kisheria, au dai la kidini kwa Yerusalemu" + diff --git a/neh/03/01.md b/neh/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..0f910342 --- /dev/null +++ b/neh/03/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kisha Eliashibu, kuhani mkuu, akasimama pamoja na ndugu zake makuhani + +Kisha Eliashibu, kuhani mkuu, akaja pamoja na ndugu zake, makuhani + +# Eliashibu....Zakuri mwana wa Imri + +Haya nim majina ya watu. + +# Mnara wa Mia + +"Mnara wa 100" + +# Mnara wa Hamea + +Hili ndio jina la mnara. Inawezekana kuitwa jina la mtu aliyeitwa '"Hamea" + +# watu wa Yeriko + +Hii ina maana kwamba watu walikuwa kutoka Jeriko. AT "watu kutoka Jeriko" + diff --git a/neh/03/03.md b/neh/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..ccbe78c9 --- /dev/null +++ b/neh/03/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hasena....Meremothi... Uria...Hakosi...Meshulamu ...Berekia...Meshezabeli...Sadoki... Baana + +Haya ni majina ya watu + +# kuweka milango yake + +"ameweka milango yake" au "kuweka milango yake mahali" + +# vyuma vyake na makomeo yake + +"kufuli na baa zake." Hizi zimefungwa malango salama. + +# Meremoth aliandaa sehemu inayofuata.....Meshulamu akatengeneza....Sadoki akatengeneza. ...Watekoi wakatengeneza + +Maneno haya yanataja kutengeneza ukuta. AT "Meremoti alipanda sehemu inayofuata ya ukuta ... Meshullam alipanda ukuta ... Sadoki alipanda ukuta ... Tekoites alipanda ukuta" + +# Watekoi + +Hawa ni watu kutoka mji wa Tekoa. + +# iliyoagizwa na wakuu wao + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "kwamba wasimamizi wao waliwaamuru wafanye" + diff --git a/neh/03/06.md b/neh/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..9d63920c --- /dev/null +++ b/neh/03/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Yoyada...Pasea na Meshulamu...Besodeya...Melatia...Yadoni + +Haya ni majina ya watu + +# kuweka milango yake + +"ameweka milango yake" au "kuweka milango yake mahali" + +# vyuma vyake na makomeo yake + +"kufuli na komeo zake." Hizi zimefungwa malango kwa usalama. + +# Gibeoni...Meronothi + +Wagibeoni na Meronothi ni makundi ya watu. + +# Gibeoni na Mispa + +Haya ni majina ya mahali + +# mkoa wa ng'ambo ya Mto + +Hili ndiyo jina la mkoa ambao lilikuwa magharibi ya Mto Efrati. Ilikuwa ng'ambo ya mto kutoka mji wa Susa. Tafsiri kama katika 2:7. + diff --git a/neh/03/08.md b/neh/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..c6fa34f6 --- /dev/null +++ b/neh/03/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Uzieli...Harhaya...Hanania...Refaya....Huri... Yedaya...Harumafu...Hatushi ...Hashabneya + +Haya ni majina ya watu + +# mfuadhahabu + +Mfuadhahabu ni mtu anayefanya mapambo ya dhahabu na vitu vingine vya dhahabu. + +# wafuadhahabu, Huru alijenga ukuta ... Harumafu alijenga ukuta ... Hashabneiah alijenga ukuta + +Maneno haya yanataja kujenga ukuta. wafuadhahabu, walijenga ukuta ... Huru alijenga ukuta ... Harumaph alijenga ukuta ... Hashabneiah alijenga ukuta " + +# baada yake Hanania, mtengenezaji wa manukato + +Hanania alijenga ukuta pia. AT "baada yake Hananiah, mtengeneza manukato, alijenga ukuta" + +# manukato + +kimiminika kioevu ambazo watu huvaa mwili wao kwa kiasi kidogo cha harufu nzuri + +# mtawala + +"msimamizi mkuu"au "kiongozi" + +# nusu ya wilaya + +"Nusu" ina maana sehemu moja kati ya sehemu mbili sawa. + diff --git a/neh/03/11.md b/neh/03/11.md new file mode 100644 index 00000000..be9d6a88 --- /dev/null +++ b/neh/03/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Malkiya...Harimu....Hashubu...Pahat Moabu...Shalumu.....Haloheshi + +Haya yote ni majina ya watu + +# wajenga sehemu nyingine...alijenga, pamoja na binti zake. + +Maneno haya yanataja ukarabati wa ukuta. AT "walijenga sehemu nyingine ya ukuta ... alijenga ukuta, pamoja na binti zake" + +# Shalumu mwana wa Haloheshi, mtawala + +Sharumu alikuwa mtawala, sio Halloheshi. + +# mtawala + +"msimamizi mkuu" au "kiongozi" + +# nusu ya wilaya + +"Nusu" ina maana sehemu moja kati ya sehemu mbili sawa. + diff --git a/neh/03/13.md b/neh/03/13.md new file mode 100644 index 00000000..02dbb5fc --- /dev/null +++ b/neh/03/13.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Hanuni + +Hili ni jina la mtu + +# wenyeji wa Zanoa + +"watu kutoka Zanoa" + +# Zanoa + +Hili ndiyo jina la mahali + +# Lango la Bonde + +"Lango la Bonde" au "Lango Lenye Upeleka Bonde" Jaribu kutafsiri maneno haya kama jina, si kama maelezo. + +# kuweka milango yake + +"imeweka milango yake" au "kuweka milango yake mahali" + +# vyuma vyake na makomeo yake + +"kufuli na makomeo yake." Hizi zimefungwa malango salama. + +# Walijenga dhiraa elfu hadi lango la jaa. + +Walijenga sehemu ya ukuta kati ya lango la Bonde na lango la jaa. AT "Walitengeneza dhiraa elfu za ukuta, kutoka kwenye mlango wa bonde hadi kwenye lango la jaa" + +# Walitengeneza dhiraa elfu + +Maneno ya kukosekana "ya ukuta" yanaweza kuongezwa. AT "Walitengeneza dhiraa elfu za ukuta" "Wakajenga dhiraa elfu nyingine za ukuta ulio ng'ambo ya lango la Mtaa" + +# dhiraa elfu + +"Dhiraa 1,000." Hii inaweza kuandikwa kwa vipimo vya kisasa. AT "mita 460" + +# Lango la jaa + +Inawezekana, kukataliwa kuliondolewa kutoka kwa mji kupitia lango hili. Jaribu kutafsiri maneno haya kama jina, sio tu kama maelezo. + diff --git a/neh/03/14.md b/neh/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..e6437e1f --- /dev/null +++ b/neh/03/14.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Malkiya.... Rekabu.....Shalumu...Kolhoze + +Haya ni majina ya watu + +# Malkiya, mwana wa Rekabu, mtawala + +Malkiya alikuwa mtawala, alikuwa hapatikani. + +# mtawala + +"msimamizi mkuu" au "kiongozi" + +# Beth-Hakeremu + +Hili ni jina la sehemu + +# yeye ......kuweka milango yake + +"aliweka milango yake" au "akaweka milango yake mahali" + +# vyuma vyake na makomeo yake + +"kufuli na baa zake." Hizi zimefungwa malango salama. + +# Shalumu mwana wa Kolhoze, mtawala + +Shalumu alikuwa mtawala, sio Kolhoze + +# ukuta wa Pwani wa Silowamu + +Hii inamaanisha kuwa ukuta ulikuwa karibu na Pwani la Siloamu. AT "ukuta uliozunguka Pwani la Siloamu" + diff --git a/neh/03/16.md b/neh/03/16.md new file mode 100644 index 00000000..13f2f14e --- /dev/null +++ b/neh/03/16.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Nehemia mwana wa Azbuki, mtawala + +Nehemia alikuwa mtawala, si Azbuki. + +# Nehemia + +Huyu ni mtu tofauti aitwaye Nehemia kutoka kwa mtu aliyeandika kitabu hiki. + +# mtawala + +"msimamizi mkuu" au "kiongozi" + +# nusu ya wilaya + +"Nusu" ina maana sehemu moja kati ya sehemu mbili sawa + +# Nehemia...Azbuki...Rehumi....Hashabia + +Haya ni majina ya watu. + +# Beth-suri...Keila + +Haya ni majina ya mahali + +# kujenga mahali... Walawi walijenga + +Maneno haya yanataja kutengeneza ukuta. AT "aliandaa ukuta hadi mahali ... Walawi walijenga ukuta" + +# watu wenye nguvu + +"wapiganaji" + +# kwa wilaya yake + +"anayewakilisha wilaya yake" au "kwa niaba ya wilaya yake" + diff --git a/neh/03/18.md b/neh/03/18.md new file mode 100644 index 00000000..b116e480 --- /dev/null +++ b/neh/03/18.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Baada yake + +"Karinu yake" + +# watu wa nchi zao walijenga..... wakajenga sehemu nyingine + +Maneno haya yanataja kutengeneza ukuta. AT 'Kisha yake watu wa nchi walijenga ukuta ... waliandaliwa sehemu nyingine ya ukuta' + +# Bavai...Henadadi...Ezeri...Yeshua + +haya ni majinam ya watu. + +# Bivai mwana wa Henadadi, mtawala + +Bavvai alikuwa mtawala, si Henadad. + +# Keila.......Mispa + +Haya mi majina ya mahali. + +# Ezeri mwana wa Yeshua, mtawala + +Ezeri alikuwa mtawala, sio Yeshua + +# kuelekea upande wa silaha + +"mbele ya hatua zilizotokea kwenye silaha'"(UDB) + +# ghala + +mahali ambapo silaha zinahifadhiwa + diff --git a/neh/03/20.md b/neh/03/20.md new file mode 100644 index 00000000..83191840 --- /dev/null +++ b/neh/03/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Baada yake + +"Karibu na yeye" + +# aruki....Zakai...Eliashibu......Meremothi....Uria....Hakosi + +Haya ni majina ya watu + +# akajenga sehemu nyingine + +Hii inahusu kutengeneza ukuta. AT "iliandaa sehemu nyingine ya ukuta" + diff --git a/neh/03/22.md b/neh/03/22.md new file mode 100644 index 00000000..89be5a23 --- /dev/null +++ b/neh/03/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# karibu na Yerusalemu, walijenga.....Benyamini na Hashubu walijenga.....Azaria alijenga.... alijenga + +Maneno haya yanataja kutengeneza ukuta. "Kote Yerusalemu, kujenga ukuta ... Hashubu alijenga ukuta ... Azaria alijenga ukuta ... Binnui alijenga ukuta" + +# Benyamini...Hashubu......Azaria....Maaseya....Anania.... Binui.....Henadadi + +haya ni majina ya watu. + +# kuielekea nyumba yao + +"mbele ya nyumba yao" + +# Baada yao.... Baada yake + +"Karibu nao...... Karibu nae" + diff --git a/neh/03/25.md b/neh/03/25.md new file mode 100644 index 00000000..7ba14bb4 --- /dev/null +++ b/neh/03/25.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Palali...Uzai.....Pedaya.....Paroshi + +Haya ni majina ya watu + +# Uzai akajenga....Paroshi akajenga... watumwa wakajenga...wakajenga sehemu nyingine + +Maneno haya yanataja kutengeneza ukuta. AT "Uzai alijengaa ukuta ... Paroshi alijenga ukuta ... watumishi walijenga ukuta ... walijenga sehemu nyingine ya ukuta" + +# Baada yake + +"Karibu naye" + +# mnara unaoenea juu + +"mnara unaoinuka" + +# nyumba ya juu ya mfalme + +"nyumba ya juu ya kiongozi wa Israeli" + +# uwanda wa walinzi + +Hii ndio mahali ambapo walinzi walikaa + +# Ofeli + +Hiii ni jina la mahali. + +# karibu na lango la maji + +mbele ya lango la maji + +# mnara unaojitokeza ... mnara mkubwa unaojitokeza + +"mnara mrefu ... mnara mrefu." Maneno "mnara unaojitokeza" inamaanisha mnara mrefu ambao unaruka kutoka kwenye ukuta. Inawezekana kwamba maneno haya yote yanataja mnara huo. + +# Watekoi + +Hawa ni watu kutoka mji wa Tekoa. Tafsiri hii sawa na ulivyofanya katika 3:3. + diff --git a/neh/03/28.md b/neh/03/28.md new file mode 100644 index 00000000..5e9b31b5 --- /dev/null +++ b/neh/03/28.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# makuhani wakajenga.... wakajenga sehemu..... mlango wa mashariki... tengeneza.... wakajenga sehemu nyingine ya ukuta.... wakajenga kuelekea + +Maneno haya yanataja kutengeneza ukuta. "makuhani walitengeneza ukuta ... walitengeneza sehemu ya ukuta ... mlango wa mashariki, ukarabati wa ukuta ... ukarabati sehemu nyingine ya ukuta ... ukarabati ukuta kinyume" + +# Juu ya lango la farasi + +Neno "juu" linatumika hapa kwa sababu nyumba za makuhani zilikuwa ziko kwenye mwinuko wa juu zaidi kuliko lango la farasi. + +# kuelekea nyumba yake + +"mbele ya nyumba yake" + +# Baada yao ... Baada yake + +"Karibu nao ... karibu naye" + +# Sadoki... Imeri....Shelemia...Shekania....Hanania..Shekania....Hanuni..Salafu.... Meshulamu.....Berekia + +Haya ni majina ya watu + +# Shemaya mwana wa Shekania, mlinzi wa lango la mashariki + +Shemaya alikuwa mlinzi wa mlango wa mashariki, si Shekania + +# mlinzi wa lango la mashariki + +"mtu aliyeangalia lango wa mashariki" au "mtu ambaye alifungua na kufunga mlango wa mashariki" + +# mwana wa sita + +"mwana wa 6" + +# kuelekea kwenye vyumba vyake + +"mbele ya vyumba ambako alikaa." Neno "wake" linamaanisha Meshullam. + diff --git a/neh/03/31.md b/neh/03/31.md new file mode 100644 index 00000000..27c9dc2b --- /dev/null +++ b/neh/03/31.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Baada yake + +"Aliyefuata baada yake" + +# Malkiya + +Hlii ni jina la mtu. + +# wafua dhahabu + +Mfua dhahabu ni mtu anayefanya mapambo ya dhahabu na vitu vingine vya dhahabu. + +# iliandaliwa kwa nyumba ... wafanyabiashara walijenga + +Maneno haya yanataja kutengeneza ukuta. AT "waliandaa ukuta kwa nyumba ... wafanyabiashara walijenga ukuta" + +# wafanyabiashara + +"wauzaji" au "wafanyabiashara" + +# chumba cha juu cha pembeni + +vyumba vya ngazi ya juu ambapo watu walikaa + +# Lango la Kondoo + +Hili ni jina la mlango wa ukuta. + diff --git a/neh/04/01.md b/neh/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..6091dc4a --- /dev/null +++ b/neh/04/01.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Sasa pindi Sanbalati + +Hapa Nehemia anatumia neno 'sasa' kuashiria sehemu mpya ya hadithi. + +# Sanbalati.... Tobia + +Hiya ni majina ya wanaume. Tafsiri kama 2:9 + +# akaghadhabika ndani yake, naye akakasirika sana + +Hapa "ina maana ya kutambua kwa Sanballat kwamba Wayahudi wanajenga kuta. Hii inazungumzia Sanballat kuwa mwenye hasira sana kama hasira yake ilikuwa moto mkali. AT "alikasirika sana' au 'alikasirika sana" + +# Mbele ya ndugu zake + +"Mbele ya ndugu zake" au "mbele ya ndugu yake" + +# Kwa nini ni wadhaifu..... wataweza kurejesha...watatoa dhabihu...wataimaliza kazi kwa siku? + +Sanibalati anauliza maswali haya kuwacheka Wayahudi. Hizi zinaweza kuandikwa kama taarifa. AT "Wayahudi dhaifu hawawezi kufikia chochote. Hawawezi kurejesha mji kwao wenyewe. Hawatatoa dhabihu. Hawatamaliza kazi siku." + +# Wayahudi dhaifu + +"Wayahudi dhaifu" + +# kwa siku + +Hii inazungumzia ya kumaliza kitu haraka kwa kusema kwamba haiwezi kukamilika siku. AT "haraka" + +# Watawaletea mawe kutoka kwenye kifusi baada ya kuchomwa moto? + +Sanbalati pia huuliza swali hili kuwacheka Wayahudi. Hii inaweza kuandikwa kama taarifa. AT 'Hawatawafufua tena mawe kutoka kwa makundi ya shida yaliyotumika.' + +# Watawaletea mawe kutoka kwenye kifusi baada ya kuchomwa moto + +Hii inazungumzia watu kujenga upya jiji kama kwamba walikuwa wakimrudisha. AT "kurejesha mji na kujenga upya kuta zake kwa mawe yasiyofaa ambayo yalikuwa yamekotengenezwa na akageuka kuwa shida" + +# kutoka kwenye kifusi baada ya kuchomwa moto + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "kutoka kwa matundu ya shida ambayo mtu alikuwa amekwisha" + +# Ikiwa tu mbweha angepanda juu ya hichi wanachokijenga, angeubomoa ukuta huo wa mawe + +Sanbalati hudhihaki ukuta na kueneza jinsi ilivyo dhaifu kwa kusema kwamba mbweha inaweza kuiangusha. AT "Ukuta huo wanaojenga ni dhaifu sana hata hata kama mbweha mdogo ulipanda juu yake, ukuta wao wa jiwe ungeanguka chini" (UDB) + diff --git a/neh/04/04.md b/neh/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..6101455c --- /dev/null +++ b/neh/04/04.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Tusikilize, Mungu wetu,....kwa sababu wamewashawishi wajenzi kuwa na hasira + +Hapa Nehemiya anaomba kwa Mungu. Hii inaweza kuelezwa wazi na imeandikwa kwa alama za nukuu. AT 'Kisha nikasali,' Sikilizeni, Mungu wetu, ... kwa sababu wamewashawishi wajenzi kuwa na hasira '' + +# Tusikilize, Mungu wetu, kwa maana sisi tunatukanwa + +Hapa neno "sisi" linamaanisha Wayahudi. Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "Sikilizeni, Mungu wetu, kwa kuwa maadui wetu wanatudharau." + +# kuwapa wapate kutekwa + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT 'waache adui zao kuwaibia' + +# disha malalamiko yao juu ya vichwa vyao wenyewe + +Maneno "malalamiko yao" yanamaanisha matusi ya Sanibalati na Tobia. Hapa neno 'vichwa' linamaanisha watu wote. AT "Turn their taunts juu yao wenyewe" au "Sababu maneno yao ya kudharau kujichea wenyewe" + +# Usiufunike + +Hii inazungumzia dhambi za kusamehe za mtu kama kitu ambacho kinaweza kujificha kimwili. AT "Usisamehe" + +# wala usiondoe dhambi zao mbele yako + +Hii inazungumzia kusahau dhambi za mtu kama kwamba ni kitu kilichoandikwa ambacho kinaweza kufutwa. AT "usisahau dhambi zao" + +# kwa sababu wamewachukiza wanaojenga + +"wamekasirika wajenzi" + +# Kwa hiyo tulijenga ukuta + +"Hivyo tukajenga upya" + +# ukuta wote uliunganishwa kwa nusu ya urefu wake + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "tuliunganisha ukuta pamoja na ilikuwa nusu urefu wake wote" + +# nusu ya ulefu wake + +"Nusu" ina maana sehemu moja kati ya sehemu mbili sawa. + diff --git a/neh/04/07.md b/neh/04/07.md new file mode 100644 index 00000000..b873084e --- /dev/null +++ b/neh/04/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ghadhabu kubwa ikawaka ndani yao + +Hii inazungumzia watu kuwa wenye hasira sana kama hasira yao ilikuwa kitu ambacho kilichomwa ndani yao. AT "walikasirika sana" au "walikasirika" + +# dhidi ya Yerusalemu + +Hapa "Yerusalemu" inahusu watu wanaoishi huko. AT "dhidi ya watu wa Yerusalemu" + +# kuweka walinzi kama ulinzi + +"kuweka watu karibu na ukuta kulinda mji" (UDB) + diff --git a/neh/04/10.md b/neh/04/10.md new file mode 100644 index 00000000..ff1ba52b --- /dev/null +++ b/neh/04/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kuna kifusi kikubwa + +KIfusi ni "jiwe la kuteketezwa" au 'jiwe lililovunjika' au 'jiwe lisilowezekana.' + +# Wala hawatajua au kuona mpaka tutakapokuja kati yao + +'"Hawatatuona tukija mpaka tutakapokua karibu nao" + diff --git a/neh/04/12.md b/neh/04/12.md new file mode 100644 index 00000000..1535e332 --- /dev/null +++ b/neh/04/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kutoka pande zote + +Hii inawakilisha pande zote. Neno "zote" linawakilisha "wengi." AT "kutoka maelekezo mengi" + +# kuzungumza nasi mara kumi + +Hapa namba 10 hutumiwa kuwakilisha "wengi.' AT "kuzungumza nasi mara nyingi" + +# katika sehemu zilizo wazi + +"katika maeneo magumu" + +# Niliweka kila familia + +Hii inahusu watu kadhaa kutoka kwa kila familia, hii inawezekana haijumuishi wanawake na watoto. AT "niliweka watu kutoka kila familia" + +# mkumbukeni Bwana + +maneno "wito kwa akili" inamaanisha kukumbuka. AT "Mkumbuka Bwana" + diff --git a/neh/04/15.md b/neh/04/15.md new file mode 100644 index 00000000..d8d4d8ea --- /dev/null +++ b/neh/04/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ilipokuwa wakati + +"ikatokeae kwamba" + +# mipango yao ilikuwa inayojulikana kwetu + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "tulijua kuhusu mipango yao" + +# watumishi wangu walifanya kazi + +"watumishi wangu walifanya kazi" + +# nusu ya watumishi wangu .... nusu kati yao + +"Nusu" ina maana sehemu moja kati ya sehemu mbili sawa. + +# viongozi walisimama nyuma ya watu wote + +"viongozi walijiweka wenyewe nyuma ya watu wote" + diff --git a/neh/04/17.md b/neh/04/17.md new file mode 100644 index 00000000..9cb3ce8c --- /dev/null +++ b/neh/04/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kila mtu alifanya kazi kwa mkono mmoja, na kwa mkono mwingine alikuwa na silaha yake + +Hii ni kisichozidi. Hawakuwa na kazi kwa mkono mmoja tu, lakini daima walikuwa na silaha yao pamoja nao ili wawe tayari kujikinga na wale walio karibu nao. + diff --git a/neh/04/19.md b/neh/04/19.md new file mode 100644 index 00000000..ad0053db --- /dev/null +++ b/neh/04/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nikasema + +Hapa "mimi" inahusu Nehemia. + +# wakuu.... wakuu + +Hawa ndio viongozi waliotajwa katika 4:15. + +# Kazi ni kubwa + +Hapa neno "kubwa" lina maana "kubwa" au "kubwa." + +# sauti ya tarumbeta + +Hii inahusu mtu anayepiga tarumbeta. AT "mtu anapiga tarumbeta" + diff --git a/neh/04/21.md b/neh/04/21.md new file mode 100644 index 00000000..27fe4762 --- /dev/null +++ b/neh/04/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# nusu yao + +"Nusu" ina maana sehemu moja kati ya sehemu mbili sawa. + +# kutoka kupambazuka asubuhi hadi kutokea kwa nyota + +Hii inahusu siku nzima, wakati ni mwanga nje. AT "kutoka mwanga wa kwanza wa siku mpaka mwanzo wa usiku" + +# kupambazuka asubuhi + +Ni hatua kwa wakati ambapo jua huchomoza ambayo ni "asubuhi." AT "kupanda kwa jua" au "asubuhi" + +# katikati ya Yerusalemu + +"ndani ya Yerusalemu" + +# kubadirisha nguo zetu + +akaondoa nguo zetu + diff --git a/neh/05/01.md b/neh/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..478ac344 --- /dev/null +++ b/neh/05/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kisha wale wanaume na wake zao wakalia kwa nguvu dhidi ya Wayahudi wenzao + +Kwa kuwa walikuwa wakifanya kazi juu ya ukuta, wafanyakazi hawakuwa na muda wa kutosha wa kufanya kazi kununua na kukua chakula kwa familia zao. Maana kamili ya kauli hii yanaweza kufanywa wazi. + +# wanaume na wake zao + +Hii inahusu wanaume waliokuwa wakijitahidi kujenga jengo. + +# wakapaza kilio kikubwa + +"Sauti" inaweza kuelezewa kama kitenzi. AT "alilia kwa sauti kubwa" + +# Tunaweka rehani mashamba yetu + +"Tunapaswa kutoa ahadi" au "Tunapaswa kutoa katika ahadi" + diff --git a/neh/05/04.md b/neh/05/04.md new file mode 100644 index 00000000..726bf6ef --- /dev/null +++ b/neh/05/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hata hivyo sasa miili yetu na damu ni sawa na ndugu zetu, na watoto wetu ni sawa na watoto wao + +Hapa Wayahudi wanasema kuwa wao ni wa Kiyahudi sawa na Wayahudi wengine na kwamba wao ni wa umuhimu sawa na wengine. Maana ya hili yanaweza kufanywa wazi. AT "Hata hivyo familia zetu ni Wayahudi kama familia za Wayahudi wengine, na watoto wetu ni muhimu tu kwetu kama watoto wao ni wao" + +# miili yetu na damu + +Hii ni idiamu ambayo inahusu wanafamilia wao. AT "familia yetu" + +# Baadhi ya binti zetu tayari wamekuwa watumwa + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "Tumewauza baadhi ya binti zetu katika utumwa" + +# Lakini hatuna nguvu za kusaidia kwa sababu watu wengine sasa wana mashamba yetu na mizabibu yetu." + +Kwa vile shamba la mens na mizabibu hazimiliki, hawawezi kuzalisha pesa wanazohitaji kusaidia familia zao. Nia kamili ya hii inaweza kufanywa wazi. AT "Lakini hatuwezi kubadilisha hali hii kwa sababu wanaume wengine sasa wana mashamba yetu na mizabibu tunayohitaji ili kuunga mkono maisha yetu." + +# sio katika uwezo wetu + +Hii ni idiom ambayo ina maana kwamba hawana rasilimali za kufanya kitu. AT "hatuwezi" + diff --git a/neh/05/06.md b/neh/05/06.md new file mode 100644 index 00000000..d8cd4a35 --- /dev/null +++ b/neh/05/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# niliposikia kilio chao + +"Sauti" inaweza kuelezewa kama kitenzi. AT "wakati niliposikia wanapiga kelele" + +# Ninyi mnatafuta riba, kila mmoja kutoka kwa ndugu yake mwenyewe + +Kila Myahudi angejua kwamba ni makosa chini ya Sheria ya kulipa riba kwa Myahudi mwingine. Nia kamili ya hii inaweza kufanywa wazi. AT 'Kila mmoja wenu anatoa riba kwa ndugu yako mwenyewe, na hiyo ni sahihi chini ya Sheria' + +# Nikakutanisha kusanyiko kubwa juu yao + +Hii ina maana kwamba alikusanya kundi kubwa la watu na kuletwa mashtaka haya dhidi yao. Maana ya maneno haya yanaweza kufanywa wazi. AT 'nilikuwa na kusanyiko kubwa na kuwaleta mashtaka haya dhidi yao' au 'niliwashikilia kesi mbele ya mkutano' + +# akini hata mnawauza ndugu na dada zenu ili wauzwe tena kwetu + +Hii ina maana kwamba wanauza wanachama wa familia zao kuwa watumwa kwa Wayahudi wenzake. Maana kamili ya kauli hii yanaweza kufanywa wazi. AT "Sasa unauza watu wako kuwa watumwa wa Wayahudi wenzako, ili baadaye waweze kuuzwa kwetu tena" + +# nani ambao walikuwa wameuzwa kwa mataifa + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "ambao watu waliuzwa kama watumwa kwa mataifa" + diff --git a/neh/05/09.md b/neh/05/09.md new file mode 100644 index 00000000..67e16865 --- /dev/null +++ b/neh/05/09.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Pia wakasema + +Herufi "I" inamhusu Nehemia + +# Mnachokifanya + +"Wewe" hapa inawakilisha wakuu wa Kiyahudi. + +# Je, hampaswi kutembea katika hofu ya Mungu wetu ili kuzuia malalamiko ya mataifa ambayo ni adui zetu? + +Huu ndio swali la uhubiri ambalo Nehemia anatumia kuwapiga wakuu. Inaweza kutafsiriwa kama taarifa. AT "Unapaswa kutembea katika hofu ya Mungu wetu ili kuzuia malalamiko ya mataifa ambayo ni adui zetu." + +# kutembea katika hofu ya Mungu wetu + +Hii ni ya kupendeza. Hapa "kutembea" inahusu tabia ya mtu na njia anayoishi. AT "uishi maisha yako kwa njia ambayo humtukuza Mungu." + +# malalamiko ya mataifa ambayo ni adui zetu + +Neno "kutulalamikia" linamaanisha "udanganyifu" au "dhihaka" na inaweza kuelezwa kama kitenzi. AT "mataifa ambao ni maadui wetu kwa kutulalamikia" au "mataifa ya adui kudhihaki" + +# kuwapa + +kukopa au kutoa kitu kwa mtu anayetarajia ulipaji + +# mkopo + +Hii ni pesa, chakula, au mali ambayo mtu mmoja anaweza kuruhusu mtu mwingine akope ili kulipa madeni. Wakopaji basi atakuwa na deni kwa mkopeshaji. + +# asilimia + +Sehemu ya thamani ya mkopo ambayo akopaye atadaiwa kwa riba. + +# wewe ulitaka kutoka kwao + +'uliwadai" au "uliwafanya kulipa" + diff --git a/neh/05/12.md b/neh/05/12.md new file mode 100644 index 00000000..35f26f24 --- /dev/null +++ b/neh/05/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kisha wakasema + +Hapa "wao" inawakilisha viongozi wa Kiyahudi. + +# Tutarudisha kile tulichochukua kutoka kwao + +Viongozi wa Kiyahudi wanasema watarudi fedha ambazo Wayahudi masikini walilipwa kwa mashtaka + +# kuwaapisha kuwafanya + +Hapa neno "wao" linamaanisha viongozi wa Kiyahudi. + +# Ndipo nikawaita + +"Mimi" inahusu Nehemiya. + +# Nikakung'uta vazi langu + +'Nilitupa mifuko ya vazi langu.' Mara nyingi katika Agano la Kale, viapo vilivyoonyeshwa kama ushahidi kwa yale aliyoahidiwa. Nehemia anawaonyesha viongozi wa Kiyahudi nini kitatokea ikiwa watavunja ahadi waliyoifanya. + +# Kwa hiyo Mungu awaondoe katika nyumba yake....... Kwa hiyo akung'utwe na kuwa hana kitu + +Hapa Nehemia anasema juu ya Mungu akiondoa mali yote ya mwanadamu kama kwamba Mungu alikuwa akimfukuza nje ya nyumba yake na mali kama Nehemia alivyokuwa amekung'uta vazi lake. AT "Kwa hiyo Mungu aondoe kwa kila mtu asiyeweka ahadi yake yote mali yake na nyumba yake kama nimechukua kila kitu nje ya kifuniko cha nguo yangu" + diff --git a/neh/05/14.md b/neh/05/14.md new file mode 100644 index 00000000..8d6cff9f --- /dev/null +++ b/neh/05/14.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# tangu wakati niliowekwa + +Hapa "mimi" inahusu Nehemia. + +# tangu mwaka wa ishirini mpaka mwaka wa thelathini na pili + +mwaka wa pili ** - "tangu mwaka wa 20 hadi mwaka wa 32" + +# wa mfalme Artashasta + +Artashasta alikuwa mfalme + +# chakula kilichotolewa kwa gavana + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "walikula chakula ambacho watu walitoa kwa gavana" + +# kwa kila siku + +"kila siku kwa ajili yao" + +# wakuu wa zamani + +wakuu wa zamani au "magavana wa zamani." Nehemia hakuwa gavana wa kwanza wa Yuda. + +# Shekeli Arobaini + +"Shekeli 40" au "sarafu za fedha 40" (UDB). + +# Lakini sikufanya hivyo kwa sababu ya hofu ya Mungu. + +"Lakini kwa sababu hofu yangu ya Mungu sikuchukua chakula" au "Lakini sikuwa na chakula kwa sababu niliogopa Mungu" + diff --git a/neh/05/16.md b/neh/05/16.md new file mode 100644 index 00000000..e3e5fbfd --- /dev/null +++ b/neh/05/16.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# pia niliendelea + +"Mimi" inahusu Nehemiya. + +# tulinunua + +Neno "sisi" linamaanisha Nehemia na watumishi wake. + +# watumishi wangu wote walikusanyika + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT 'Nilikusanya watumishi wangu wote huko' + +# kwa ajili ya kazi + +"kufanya kazi kwenye ukuta" + +# Katika meza yangu walikuwa Wayahudi na maafisa, watu 150, isipokuwa wale waliokuja kwetu kutoka kwa mataifa waliokuwa wakituzunguka. + +Nehemia alikuwa na jukumu la kutoa chakula kwa watu wote hawa. Hii inaweza kuelezwa wazi. AT "Pia, kila siku nilikuwa na jukumu la kulisha meza yetu Wayahudi na viongozi, watu 150; na pia tuliwapa wageni waliotoka kutoka nchi nyingine zinazozunguka (UDB) + +# meza yangu + +Hii inahusu meza ya gavana. Ilikuwa meza ya jumuiya kwa jamii na kwa majadiliano ya masuala. + +# ofisi + +"viongozi wa serikali" + diff --git a/neh/05/18.md b/neh/05/18.md new file mode 100644 index 00000000..717a996f --- /dev/null +++ b/neh/05/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa za jumla + +(Tazama: tafsili ya namba) + +# Sasa kilichoandaliwa kila siku kilikuwa + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "Kila siku niliwaambia watumishi wangu kuandaa" au "Kila siku niliwaambia watumishi wangu watutumie nyama kutoka" (UDB) + +# divai nyingi + +"divai ya kutosha kwa kila mtu" + +# Na hata kwa haya yote sikuhitaji mahitaji ya chakula cha gavana + +"lakini sijawahi kuomba malipo ya chakula kwa gavana" + +# Nikumbuke + +Huu ndio idiom. Ni ombi la Mungu kumfikiria na kumkumbuka. AT "Kumbuka mimi" + +# kwa uzuri + +Idiomi hii ni ombi la Mungu kumlipa vitu vyema kwa sababu ya mema ambayo amewafanyia watu. AT "na kulipia mimi" au "kusababisha sababu nzuri kwangu" + diff --git a/neh/06/01.md b/neh/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..a839dcde --- /dev/null +++ b/neh/06/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sanbalati, Tobia, na Geshemu + +Haya ni majina ya wanaume. kama ilivyotafasiriwa katika 2:9 + +# nilijenga ukuta upya... sijawahi + +Nehemia alisimamia ujenzi wa ukuta. Yeye hakujenga peke yake. AT "tulijenga ukuta upya ... hatujawahi" + +# sehemu yoyote + +Hii inahusu sehemu ya ukuta. AT "sehemu yoyote ya ukuta kushoto kuvunjwa wazi" au "pengo yoyote katika ukuta wa jiji" + +# alitumwa kwangu + +Hii ina maana kwamba walituma mjumbe na ujumbe. AT "alimtuma mjumbe kwangu" + +# Ono + +Hili ni jina la sehemu. + diff --git a/neh/06/03.md b/neh/06/03.md new file mode 100644 index 00000000..aeefc831 --- /dev/null +++ b/neh/06/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ninafanya kazi kubwa + +Nehemia alikuwa akisimamia ujenzi wa ukuta. Yeye hakujenga mwenyewe. AT 'Mimi ni kusimamia kazi kubwa" + +# wa nini kazi isimame wakati nitakapoondoka na kuja kwako? + +Swali hili la uhuishaji linatumiwa kupinga ombi la Sanballat. Hii inaweza kuandikwa kama taarifa. AT "Siwezi kuruhusu kazi kuacha na kushuka kwako" + +# chini yako + +Neno "chini" linatumika hapa kwa sababu wazi ya Ono ambao walimuomba Nehemia kuja chini ya muinuko kuliko Yerusalemu. + diff --git a/neh/06/05.md b/neh/06/05.md new file mode 100644 index 00000000..b5ef7e40 --- /dev/null +++ b/neh/06/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sanbalati alimtuma mtumishi wake kwangu kwa njia ile ile mara ya tano + +Sanbalati alimtuma mtumishi wake kwangu kwa njia ile ile mara tano. Kutambua ujumbe huu kwa njia tofauti hutaanisha kuwa ni tofauti kwa njia fulani kutoka kwa ujumbe wa nne uliopita na kwa hiyo, lazima ieleweke. + +# mara tano + +"mara 5" + +# barua ya wazi + +Barua hiyo ilikuwa ni mawasiliano ya kidiplomasia yasiyo wazi. Hii ilikuwa ni matusi kwa mpokeaji kwa sababu barua hiyo ilikuwa huru kusoma na kueneza yaliyomo kati ya watu wa mkoa. + +# katika mkono wake + +Hii inamaanisha kuwa alikuwa na barua katika milki yake, lakini hakuwa na lazima kubeba kwa mkono wake wakati wote. AT "katika milki yake" + +# Inaripotiwa kati ya mataifa + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT 'Uzoefu katika eneo hilo ni.' + +# mpango wa kuasi + +Hii inamaanisha kuwa wanapinga kuasi dhidi ya mfalme Artaxerxesi mfalme wa Kiajemi, ambaye kwa sasa alikuwa anawanyanyasa Wayahudi. AT "ni mipango ya kuasi dhidi ya Artaxerxesi" + diff --git a/neh/06/07.md b/neh/06/07.md new file mode 100644 index 00000000..71c43256 --- /dev/null +++ b/neh/06/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mfalme atasikia + +"Mfalme Artaxerxesi atasikia" + +# Kwa hiyo njoo + +"Kwa hiyo njoo na kukutana nasi" + diff --git a/neh/06/08.md b/neh/06/08.md new file mode 100644 index 00000000..07cc4636 --- /dev/null +++ b/neh/06/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kisha nikatuma maneno kwake + +Hapa "mimi" inahusu Nehemia na "yeye" kwa Sanbalati + +# mambo kama hayo hayajafanyika kama unavyosemaHere Nehemiah requests for God to strengthen him by asking him to strengthen his "hands." AT "strengthen me" or "give me courage" + +'"Hakuna mambo ambayo unasema yamefanyika" + +# kwa maana ndani ya moyo wako umeyabuni + +Hapa "moyo" ina maana ya "akili," yaani, tamaa na mawazo ya mtu. AT "kwa ajili ya akili yako uliyabuni" au "kwa kuwa umefanya hivyo katika mawazo yako mwenyewe" (UDB) + +# Kwa maana wote walitaka kututisha + +Hapa "wao" inahusu maadui wa Nehemia, Sanbalati, Tobia, Geshemi, na wafuasi wao. Neno "sisi" linamaanisha Wayahudi. + +# Wataacha mikono yao kufanya kazi hiyo + +Hiya ni maneno ya maana ambayo ina maana kwamba wanaacha kazi yao juu ya ukuta. AT "Wafanyakazi wa ukuta wataacha kufanya kazi" + +# imarisha mikono yangu + +Hapa Nehemia anamuomba Mungu kumtia nguvu kwa kumwomba kuimarisha "mikono yake." AT "kuimarisha" au "nipe ujasiri" + diff --git a/neh/06/10.md b/neh/06/10.md new file mode 100644 index 00000000..f9a8c105 --- /dev/null +++ b/neh/06/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Shemaya...Delaya....Mehetabeli + +Haya ni majina ya wanaume + +# ni nani aliyefungiwa nyumbani kwake + +Mwandishi haitoi sababu ya kuwa amefungiwa, hivyo ni bora kusema kwamba alikuwa akikaa nyumbani kwa kutumia maneno ya kawaida zaidi iwezekanavyo. AT "ambao mamlaka waliamuru kukaa nyumbani kwake" + +# Je! Mtu kama mimi ninaweza kukimbia? Na mtu kama mimi ninaweza kuingia hekaluni ili nipate kuishi? + +Nehemia anatumia swali hili la kuvutia ili kusisitiza kwamba hatatenda yale Shemaya amesema. Maswali haya yanaweza kuandikwa kama taarifa. AT "Mtu kama mimi siwezi kukimbia. Na mtu kama mimi siwezi kuingia ndani ya hekalu kujificha tu ili aishi hai. + diff --git a/neh/06/12.md b/neh/06/12.md new file mode 100644 index 00000000..ebcc29a2 --- /dev/null +++ b/neh/06/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# lakini alikuwa amefanya unabii + +kwa sababu alikuwa ametabilia + +# na dhambi + +Kutumia hekalu kama mahali pa kuficha ilikuwa dhambi. Inaweza kuwa na manufaa kufanya hili wazi. AT "na dhambi kwa kutumia vibaya hekalu + +# jina baya + +Huu ndio idiomi. AT"'ili waweze kunipa sifa mbaya" au "ili waweze kutoa ripoti mbaya juu yangu" + +# Kumbuka + +Huyu ni idiomi. AT: "Kumbuka" + +# Noadia + +Hili ni jina la mwanamke + diff --git a/neh/06/15.md b/neh/06/15.md new file mode 100644 index 00000000..bdf1ebde --- /dev/null +++ b/neh/06/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa hiyo ukuta ukamalizika + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "Tumemaliza ukuta" + +# siku ya ishirini na tano ya mwezi wa Eluli + +siku ya tano ya mwezi wa Eluli ** - "siku 25 ya mwezi wa Eluli." "Eluli" ni mwezi wa sita wa kalenda ya Kiebrania. + +# siku hamsini -mbili + +siku mbili**siku 52 + +# walikata tamaa sana kwa heshima yao wenyewe + +"walidhani kidogo sana" au "walipoteza kujiamini" + +# kazi ilifanyika kwa msaada wa Mungu wetu + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "alikuwa Mungu wetu ambaye alisaidia kukamilisha kazi hii" + diff --git a/neh/06/17.md b/neh/06/17.md new file mode 100644 index 00000000..0dbc7f2d --- /dev/null +++ b/neh/06/17.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# tuma barua nyingi + +Waheshimiwa waliwatuma wajumbe kuleta barua hizi kwa Tobia. AT "aliwatuma wajumbe wengi kwa barua" + +# Barua za Tobia zilikuja + +Hapa barua za Tobia zinajulikana kama kuja kwa wenyewe, wakati zilipoletwa na wajumbe. AT "Tobia alituma barua" au "Tobia aliwatuma wajumbe wengi kwa barua" + +# Tobia + +Tafsiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya + +# ambao walikuwa wamefungwa kwa kiapo kwake + +Hii inazungumzia watu kuwa waaminifu kwa Tobia kwa sababu walikuwa wameahidi kiapo kwake kama kwamba kiapo chao kilikuwa kamba kilichofunga miili yao. AT 'aliyemapa kiapo' au 'aliyefanya kiapo na kuwa mwaminifu kwake' + +# alikuwa mkwe wa Shekania + +mkwe wa Shekania ** - Hii ina maana kwamba Tobia alikuwa amemuoa binti wa Shekania. Tafsiri jina "Shekania' kama ulivyofanya katika 3: 28. + +# Ara........ Yehohanani + +Haya ni majina na watu + +# Meshulamu ...... Berekia + +Haya ni majina ya watu. kama ilivyotafsiliwa 3:3 + +# Pia walizungumza nami kuhusu matendo yake mema na kumwambia maneno yangu + +'Waheshimu wa Kiyahudi waliniambia kuhusu matendo mema ya Tobia na kisha nikamwambia kuhusu majibu yangu' + +# Barua zilitumwa kwangu kutoka kwa Tobia + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. Tobia aliwatuma wajumbe kuleta barua kwa Nehemiya. AT "Tobia alipeleka barua kwangu" au "Tobia aliwatuma wajumbe kuleta barua kwangu" + diff --git a/neh/07/01.md b/neh/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..091596e7 --- /dev/null +++ b/neh/07/01.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Wakati ukuta ulipomalizika + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "Tulipomaliza ukuta" + +# milango nimekwisha kuisimamisha, + +Hii ilifanywa kwa msaada. AT "Mimi na wengine tulifunga milango" + +# walinzi wa malango na waimbaji na Walawi walikuwa wamechaguliwa + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. Maana iwezekanavyo ni 1) Nehemiya aliwachagua. AT "Niliwapa walinzi wa mlango na waimbaji na Walawi kwa kazi zao" au 2) Mtu mwingine aliwachagua. AT "waliwapa walinzi wa malango na waimbaji na Walawi kwa kazi zao" + +# walinzi wa mlango + +watu waliopewa kila mlango, wajibu wa kudhibiti upatikanaji wa jiji au hekalu, na kufungua milango na kufungwa mara kwa mara na kwa sababu zilizowekwa na msimamizi + +# waimbaji + +wanamuziki wa sauti ambao waliongoza katika ibada, katika maandamano, na sherehe, na kuzalisha muziki na nyimbo zinazolisisitiza na kuimarisha tukio + +# Hanani..... Hanania + +Haya ni majina ya wanaume. + +# nikampa ndugu yangu Hanani kuwa na amri + +"Nilipa amri ya ndugu yangu Hanani kuwa meneja" + +# ambaye alikuwa msimamizi wa kijiji + +"ambaye alikuwa mkuu wa kjiji" + +# "kijiji" + +"ngome" + +# alimuogopa Mungu zaidi kuliko wengi + +"alimuogopa Mungu zaidi ya watu wengine wengi" + diff --git a/neh/07/03.md b/neh/07/03.md new file mode 100644 index 00000000..57d6d33d --- /dev/null +++ b/neh/07/03.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Nami nikawaambia + +Neno "wao" linamaanisha Hanani na Hananiah. + +# Msifungue malango ya Yerusalemu mpaka jua litakapokuwa kali. Wakati walinzi wa mlango wanalinda, unaweza kufunga milango na kuikaza + +Maana inawezekana ni 1) vitendo hivi vilifanywa na Hanani na Hananiah au 2) vitendo hivi vilifanywa na Hanani na Hananiah kwa msaada wa walinzi wa mlango au 3) walinzi wa mlango walifanya vitendo hivi chini ya uongozi wa Hanani na Hananiah. + +# jua ni kali + +"jua liko juu mbinguni" + +# Wakati walinzi wa mlango wanalinda, unaweza kufunga milango na kuikaza + +"Funga milango na uikaze wakati walinzi wa mlango bado wanalinda" + +# walinzi wa mlango + +Tafsiri hii kama katika 7:1 + +# "Funga milango na kuukaza" + +"funga milango na uwafungie" + +# Chagua walinzi kutoka kwa wale wanaoishi Yerusalemu + +"Waagize walinzi kutoka kwa watu hao wanaoishi Yerusalemu" + +# kituo chao cha ulinzi + +"tahadhari" au "nafasi ya ulinzi" + +# hakuna nyumba zilizojengwa tena + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "watu hawajajenga upya nyumba" + diff --git a/neh/07/05.md b/neh/07/05.md new file mode 100644 index 00000000..9781c9d7 --- /dev/null +++ b/neh/07/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# weka ndani ya moyo wangu + +Hapa "moyo" Nehemia inahusu mawazo na mapenzi yake. Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 2:11. AT "aliongoza mimi" au "aliniongoza" + +# kuwaandikisha + +"kuandika na kujiandikisha" + +# Kitabu cha kizazi + +Hiki kilikuwa kitabu ambacho hakipo tena. + +# nikaona kwamba imeandikwa humo + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "na kupatikana kuwa mtu ameandika zifuatazo ndani yake" + diff --git a/neh/07/06.md b/neh/07/06.md new file mode 100644 index 00000000..40d24853 --- /dev/null +++ b/neh/07/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hawa ndio watu wa jimbo hilo + +"Hawa ni wazao wa mkoa huu" + +# walitoka nje + +"walirudi kutoka" au "walirudi kutoka" + +# walikwenda + +Hii ni idiomi ambayo inahusu kusafiri kwenda Yerusalemu, ambayo ilikuwa juu ya ardhi kuliko eneo jirani. + +# ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwachukua mateka + +ambaye Nebukadreza, mkuu wa Babeli, aliwaondoa kutoka nchi yao. Jeshi la Babiloni lilifanya hili chini ya amri ya Nebukadreza. + +# Zerubabeli....... Yoshua...... Nehemia..... Seraya..... Reelaya...... Nahamani...... Mordekai..... Bilshani......Mispari..... Bigwai,.....Rehumu...... Baana + +Haya yote ni majina ya wanaume. + +# Idadi ya wanaume + +Sensa ilitolewa wakati Waisraeli waliporudi Yerusalemu baada ya uhamisho. Nambari zinawakilisha jinsi watu wengi walikuwa wa kikundi kila familia. Sentensi hii inaleta habari katika aya zifuatazo. + diff --git a/neh/07/08.md b/neh/07/08.md new file mode 100644 index 00000000..2bcea485 --- /dev/null +++ b/neh/07/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi + +Nehemia anaelezea idadi ya watu ambao walirudi kutoka uhamishoni. Watu walikusanywa na familia kulingana na jina la baba zao. Nambari inawakilisha idadi ya wanaume katika kila familia. + +# Paroshi...Shefatia... Ara + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/neh/07/11.md b/neh/07/11.md new file mode 100644 index 00000000..d2e61428 --- /dev/null +++ b/neh/07/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Nehemiya anaendelea kuandika idadi ya watu ambao walirudi kutoka uhamishoni. + +# kwa wana wa Yeshua na Yoabu + +"yaani, wana wa Yeshua na Yoabu" + +# Pahath Moabu...Yeshua ....Yoabu...Elamu....Zatu... Zakai + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/neh/07/15.md b/neh/07/15.md new file mode 100644 index 00000000..f5ec24ee --- /dev/null +++ b/neh/07/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi + +Nehemiya anaendelea kuandika idadi ya watu ambao walirudi kutoka uhamishoni. + +# Binnui....Bebai....Azgadi....Adonikamu + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/neh/07/19.md b/neh/07/19.md new file mode 100644 index 00000000..1ed672bd --- /dev/null +++ b/neh/07/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Nehemiya anaendelea kuandika idadi ya watu ambao walirudi kutoka uhamishoni. + +# Bigwai.....Adini...Ateri...Hashumu + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Wana wa Ateri, wa Hezekia + +Mwandishi amefupisha neno hili. AT "wana wa Ater, ambaye ni wa uzao wa Hezekia" + diff --git a/neh/07/23.md b/neh/07/23.md new file mode 100644 index 00000000..7c5bf9ee --- /dev/null +++ b/neh/07/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Nehemiya anaendelea kuandika idadi ya watu ambao walirudi kutoka uhamishoni. + +# Besai.....Harifu...Gibeoni + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Bethlehemu na Netofa + +Haya ni majina ya maeneo huko Yuda + diff --git a/neh/07/27.md b/neh/07/27.md new file mode 100644 index 00000000..16df5fdb --- /dev/null +++ b/neh/07/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi + +Nehemiya anaendelea kuandika idadi ya watu ambao walirudi kutoka uhamishoni. + +# Anathothi.. Beth Azmaweth... Kiriath Yearimu, Kefira, na Beerothi...Rama na Geba + +Haya yote ni majina ya maeneo. + diff --git a/neh/07/31.md b/neh/07/31.md new file mode 100644 index 00000000..5290284c --- /dev/null +++ b/neh/07/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi + +Nehemiya anaendelea kuandika idadi ya watu ambao walirudi kutoka uhamishoni. + +# Mikmasi...Betheli na Ai...Nebo...Elamu + +Haya yote ni majina ya wanaume. + diff --git a/neh/07/35.md b/neh/07/35.md new file mode 100644 index 00000000..bfb7b628 --- /dev/null +++ b/neh/07/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi + +Nehemia anaendelea kuandika idadi ya watu ambao walirudi kutoka uhamishoni. + +# Harimu...Yeriko...Lodi, Hadidi na Ono...Senaa + +Haya yote ni majina ya wanaume. + diff --git a/neh/07/39.md b/neh/07/39.md new file mode 100644 index 00000000..62a18fb8 --- /dev/null +++ b/neh/07/39.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Nehemia anaendelea kuandika idadi ya watu ambao walirudi kutoka uhamishoni. + +# Yedaya...Yeshua...Imeri...Pashuri.. Harimu + +Haya yote ni majina ya wanaume. + +# wa nyumba ya Yeshua + +Neno "nyumba" ni jina kwa familia. AT "kutoka kwa jamaa ya Yeshua" + diff --git a/neh/07/43.md b/neh/07/43.md new file mode 100644 index 00000000..0d3c7eb8 --- /dev/null +++ b/neh/07/43.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Nehemia anaendelea kuandika idadi ya watu ambao walirudi kutoka uhamishoni. + +# Yeshua...Kadmieli...Binui....Hodavia...Asafu...Shalumu...... Ateri...Talmoni....Akubu...Hatita....Shobai + +Haya majina ya wanaume + +# Waimbaji + +Tafsiri hii kama katika 7:1. + +# walinzi wa mlango + +Tafsiri hii kama katika 7:1. + diff --git a/neh/07/46.md b/neh/07/46.md new file mode 100644 index 00000000..f562731b --- /dev/null +++ b/neh/07/46.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa za jumla + +Aya hizi zinaendelea majina ya watu ambao wazao wao walirudi kutoka uhamishoni + +# Siha...Hasufa...Tabaothi...Kerosi....Siaha...Padoni ...Lebana...Hagaba....Hanani....Gideli...Gahari + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Siaha + +Huyu ndiye mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Siaha katika Ezra 2:44. + diff --git a/neh/07/50.md b/neh/07/50.md new file mode 100644 index 00000000..449dc384 --- /dev/null +++ b/neh/07/50.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa za jumla + +Aya hizi zinaendelea majina ya watu ambao wazao wao walirudi kutoka uhamishoni + +# Reaya.... Resini.....Nekoda.... Gazamu.... Uza... Pasea... Besai... Meunimu.... Nefusimu + +Haya ni majina ya wanaume + +# Reaya.... Resini.....Nekoda.... Gazamu.... Uza... Pasea... Besai... Meunimu.... Nefusimu + +Haya ni majina ya wanaume + diff --git a/neh/07/53.md b/neh/07/53.md new file mode 100644 index 00000000..f6f1aa6d --- /dev/null +++ b/neh/07/53.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa za jumla + +Aya hizi zinaendelea majina ya watu ambao wazao wao walirudi kutoka uhamishoni + +# Bakbuki..... Hakufa.... Harhuri....Baslith...Mehida....Harsha.... Barkosi..... Sisera..... Tema.....Nesia..... Hatifa. + +Haya ni majina ya wanaume + +# Baslith + +Hili ni jina la mtu ambaye pia huitwa Bazluti katika Ezra 2:52. + diff --git a/neh/07/57.md b/neh/07/57.md new file mode 100644 index 00000000..7f7f66dd --- /dev/null +++ b/neh/07/57.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Nehemia anaendelea kuandika idadi ya watu ambao walirudi kutoka uhamishoni. + +# Sotai...Sofeereth.....Darkoni....Gideli....Shefatia...Hatili.... Pokerethi Sebaimu.... Amoni + +Haya ni majina ya wanaume + +# Sofereti + +Hili ni jina la mtu anayeitwa Hasofereti katika Ezra 2:55. + +# Peruda + +Hili ndio jina la mtu ambaye pia huitwa Peruda katika Ezra 2:55. + diff --git a/neh/07/61.md b/neh/07/61.md new file mode 100644 index 00000000..018785b8 --- /dev/null +++ b/neh/07/61.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Nehemia anaendelea kuandika idadi ya watu ambao walirudi kutoka uhamishoni. + +# akapanda juu + +Hii ni idiom ambayo inahusu kusafiri kwenda Yerusalemu, ambayo ilikuwa juu ya ardhi kuliko eneo jirani. AT 'kurudi' au 'kurudi' + +# Tel Mela...Tel harsha...Kerub....Addon....Imeri + +Haya ni majina ya sehemu + +# Delaya......Tobia..... Nekoda.....Habaya.... Hakosi.... Barzilai + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/neh/07/64.md b/neh/07/64.md new file mode 100644 index 00000000..c202dac5 --- /dev/null +++ b/neh/07/64.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hawa walitafuta rekodi zao kati ya waliojiunga na kizazi chao + +"Walitaka kumbukumbu zao za maandishi" au "Walitafuta kumbukumbu zao za maandishi" + +# Hawa walitafuta + +"Hawa" zinamaanisha wana wa Hobaya, Hakozi na Barzilai. (Angalia 7:61) + +# lakini hawakuweza kuzipata + +Hii inaweza kuelezwa kwa fomu ya kazi. AT "lakini hawakuweza kupata rekodi zao" + +# kwa hivyo waliondolewa katika ukuhani kama walio najisi + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu ya kazi. Jina la kibinadamu "ukuhani" linaweza kutafsiriwa kama kitenzi 'kazi kama makuhani.' AT "gavana aliwatendea kama walikuwa najisi na hawakuwaruhusu kufanya kazi kama makuhani" + +# mpaka atakapoinuka kuhani mwenye Urimu na Thumimu. + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "mpaka kuhani aliye naUrimu na Thumimu alikubali" + +# Urimu na Thumimu. + +Haya yalikuwa mawe matakatifu ambayo kuhani mkuu alipitia kifuani pake na kutumika mara kwa mara ili kujua mapenzi ya Mungu. + diff --git a/neh/07/66.md b/neh/07/66.md new file mode 100644 index 00000000..7978144b --- /dev/null +++ b/neh/07/66.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Nehemia anaendelea kuandika idadi ya watu ambao walirudi kutoka uhamishoni. + +# Kusanyiko lote kwa pamoja + +"Kundi zima pamoja" + +# ilikuwa 42,360 + +"ilikuwa watu 42,360" + +# waimbaji wanaume na wanawake + +"waimbaji wanaume na waimbaji wanawake" + diff --git a/neh/07/68.md b/neh/07/68.md new file mode 100644 index 00000000..2a824444 --- /dev/null +++ b/neh/07/68.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# 736 ... 245 ... 435 ... 6,720 + +Hii ndio idadi ya wanyama waliorejeshwa. + diff --git a/neh/07/70.md b/neh/07/70.md new file mode 100644 index 00000000..fe664690 --- /dev/null +++ b/neh/07/70.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# wakuu wa familia za baba zao + +"mababu wakuu" au "viongozi wa jamaa" (UDB) + +# waliwapa katika hazina + +"kuweka katika hazina" + +# darkoni elfu moja + +"darkoni 1000" + +# darkoni ya dhahabu + +Darkoni ilikuwa sarafu ndogo ya dhahabu ambayo watu wa Dola ya Kiajemi walitumia. + +# mabakuli + +bakuli kubwa + +# nguo + +vitu vya nguo + +# darkroni elfu ishirini + +darkroni 20,000 + +# mane ya fedha + +A mane ni karibu nusu ya kilo kwa uzito. + +# migodi elfu mbili + +"migodi 2000" + +# mavazi sitini + +nguo saba ** - " mavazi 67 " + diff --git a/neh/07/73.md b/neh/07/73.md new file mode 100644 index 00000000..d0db4f7a --- /dev/null +++ b/neh/07/73.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# walinzi wa malango + +Tafsiri hii kama katika 7: 1. + +# waimbaji + +Tafsiri hii kama katika 7: 1. + +# baadhi ya watu + +Maelezo ya habari ni kwamba hii inahusu baadhi ya Waisraeli ambao hawakuwa makuhani au wafanyakazi wengine wa hekalu. + +# na Waisraeli wote + +Maana iwezekanavyo ni 1) makundi yote ya Waisraeli yaliyoorodheshwa katika aya hii au 2) Waisraeli wengine ambao hawakufanya kazi hekalu. + +# mwezi saba + +"mwezi wa 7." Hii ni mwezi wa saba wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Septemba na sehemu ya kwanza ya Oktoba kwenye kalenda za Magharibi. + +# wakiishi katika miji yao + +"waliishi katika miji yao wenyewe" + diff --git a/neh/08/01.md b/neh/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..c2cbd2db --- /dev/null +++ b/neh/08/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Watu wote walikusanyika kama mtu mmoja + +Hii ni jumuia ambayo inaonyesha watu kwa ujumla wamekusanyika. AT 'Watu walikusanyika pamoja pamoja' + +# Mlango wa maji + +Hili lilikuwa jina la ufunguzi mkubwa au mlango katika ukuta. + +# Kitabu cha Sheria ya Musa + +Hii ingekuwa yote au sehemu ya vitabu vitano vya kwanza vya Agano la Kale. + +# Siku ya kwanza ya mwezi wa saba + +Huu ni mwezi wa saba wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya kwanza ya mwezi wa saba ni karibu katikati ya Septemba kwenye kalenda za Magharibi. AT "Siku ya 1 ya mwezi wa 7" + +# kuleta sheria + +"kuleta Kitabu cha Sheria" + +# wote waliokuwa na uwezo wa kusikia na kuelewa + +Hii itajumuisha watoto ambao walikuwa wa umri wa kutosha kuelewa kilichosomwa. + +# alisoma kutoka kwake + +Hapa "kwake" ina maana ya Kitabu cha Sheria ya Musa. + diff --git a/neh/08/04.md b/neh/08/04.md new file mode 100644 index 00000000..db690610 --- /dev/null +++ b/neh/08/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Matithia, Shema, Anaya, Uria, Hilkia na Maaseya...Pedaya, Misbaeli, Malkiya, Hashumu, Hashbadani, Zekaria na Meshulamu + +Haya yote ni majina ya wanaume. + +# Ezra alifungua kitabu mbele ya watu wote + +Neno hili "mbele" linaweza kutafsiriwa kwa kitenzi "tazama." AT "Kila mtu aliona Ezra kufungua kitabu" + +# kitaba + +"Kitabu cha sheria" + +# alikuwa amesimama juu ya watu + +"alikuwa amesimama juu kuliko watu" + +# alipoufungua watu wote wakasimama. + +Watu wakasimama kwa heshima ya neno la Mungu. + diff --git a/neh/08/06.md b/neh/08/06.md new file mode 100644 index 00000000..77db1c25 --- /dev/null +++ b/neh/08/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ezra akamshukuru Bwana + +Jina hili "shukran" linaweza kutafsiriwa kama kitenzi. AT "Ezra alishukuru Bwana" + +# Yeshua, Bani, Sherebia, Yamini, Akubu, Shabethai, Hodai, Maaseya, Kelita, Azaria, Yozabidi, Hanania, Pelaya nao ni Walawi, waliwasaidia watu kuelewa sheria, + +Haya yote ni majina ya wanaume + +# wakaeleza wazi kwa tafsiri na kutoa maana + +Ufafanuzi wa maneno "tafsiri" na "maana" yanaweza kutafsiriwa kama vitenzi. AT "akifafanua wazi na kuelezea" + +# yaliyosomwa + +"nini kilichosomwa" + diff --git a/neh/08/09.md b/neh/08/09.md new file mode 100644 index 00000000..577b4815 --- /dev/null +++ b/neh/08/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa watu wote walilia + +Hiki ni kizazi ambayo inaonyesha kulikuwa na kilio kikubwa kati ya watu. AT "Kwa watu walilia sana" + +# mule vilivyonona na kunywa kilicho kizuri + +Maelezo ya habari ni kwamba watu waliambiwa kula chakula cha kizuri na vinywaji vyema. AT "kula chakula tajiri na kunywa kitu tamu" + +# Msiwe na huzuni + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "usiwe na huzuni" + +# kwa kuwa furaha ya Bwana ni nguvu zenu + +Majina haya "furaha" na 'nguvu' yanaweza kutajwa kama vitenzi au vigezo. 'Kushangilia kwa Bwana kutakukinga' au 'kufurahi katika Bwana itakuwa kikao chako cha kukimbilia' + diff --git a/neh/08/11.md b/neh/08/11.md new file mode 100644 index 00000000..31ace1b9 --- /dev/null +++ b/neh/08/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nyamazeni + +"Nyamaza!' au 'kimya!" + +# Msiwe na huzuni + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "usiwe na huzuni" + +# sherehekea kwa furaha kubwa + +mantiki ya neno "furaha linaweza kutajwa kama kitenzi. AT "kufurahi sana" + +# maneno yaliyojulikana kwao + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "maneno ambayo aliwaambia" + diff --git a/neh/08/13.md b/neh/08/13.md new file mode 100644 index 00000000..c6eb3ac2 --- /dev/null +++ b/neh/08/13.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Siku ya pili + +"Siku ya 2 "au" Siku ya pili " + +# ili kupata ufahamu kutoka + +Maana nyingine ya neno "ufahamu" linaweza kutajwa kama kitenzi. AT "kuelewa" + +# mwezi wa saba + +"mwezi wa 7." Huu ni mwezi wa saba wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Septemba na sehemu ya kwanza ya Oktoba kwenye kalenda za Magharibi. + +# Wanapaswa kutoa tamko + +"Wanapaswa kutangaza" + +# mhadsi + +aina ya mti mdogo wenye maua yenye rangi + +# miti ya kivuli + +"miti ya majani" + +# kufanya mavazi ya muda + +"kufanya hema" + +# kama ilivyoandikwa + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu ya kazi. AT "kama Musa alivyoandika kuhusu hilo" + diff --git a/neh/08/16.md b/neh/08/16.md new file mode 100644 index 00000000..f4409f1b --- /dev/null +++ b/neh/08/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# wakajifanyia mahema + +"walijenga hema zao wenyewe" + +# lango la Maji.... lango la Efraimu + +Haya ni majina ya fursa kubwa au mlango katika ukuta. + +# katika mraba wa lango la Efraimu + +"mahali pa wazi na lango la Efraimu" + +# tangu siku za Yoshua + +"Kuanzia siku za Yoshua" + +# mwana wa Nuni + +"Nuni" ni jina la kiume + +# furaha ilikuwa kubwa sana. + +Jina hili "furaha" linaweza kutajwa kama kivumbuzi. AT "watu walifurahi sana" + diff --git a/neh/08/18.md b/neh/08/18.md new file mode 100644 index 00000000..a4bc65d7 --- /dev/null +++ b/neh/08/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# siku kwa siku + +"kila siku" + +# kuanzia siku ya kwanza hadi ya mwisho + +Maelezo ya habari ni kwamba ilikuwa wakati wa wiki nzima ya tamasha hilo. AT "kutoka siku ya kwanza hadi siku ya mwisho ya juma" + +# Walifanya tamasha + +'"Walifanya sikukuu" au "Walisherehekea tamasha" + +# siku ya nane + +"siku 8" + +# kusanyiko zuri + +Huu ulikuwa mkutano maalum wa dini. + +# kwa utiifu wa amri + +Taarifa iliyotarajiwa ni kwamba "amri" ilikuwa amri ya Bwana kuhusu jinsi tamasha la nyumba lilivyokuwa limeisha. AT "kama Mungu alivyoamuru" + diff --git a/neh/09/01.md b/neh/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..1982d205 --- /dev/null +++ b/neh/09/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Siku ishirini na nne ya mwezi huo huo + +siku ya nne ya mwezi huo huo ** - "siku ya ishirini na nne ya mwezi wa saba' Hii iko karibu katikati ya Oktoba kwenye kalenda za Magharibi + +# watu wa Israeli walikusanyika + +"'watu wa Israeli walikusanyika" + +# walikuwa wamevaa magunia, nao wakaweka vumbi juu ya vichwa vyao + +Ilikuwa ili kuonyesha jinsi walivyokuwa na huruma kwa mambo mabaya wao na baba zao waliyofanya. + +# Wazao wa Israeli + +Waisraeli + +# walijitenga na wageni wote + +"hakuwa na kitu chochote cha kufanya na wale ambao hawakuwa Waisraeli" + +# Walisimama na kukiri dhambi zao wenyewe na matendo maovu ya baba zao + +"Walikubali mambo mabaya waliyoyafanya na pia mambo mabaya ambayo baba zao walifanya" + diff --git a/neh/09/03.md b/neh/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..4977f05f --- /dev/null +++ b/neh/09/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Wakasimama + +Waisraeli wote wakasimama + +# walikuwa wakikiri + +"walikuwa wanakubali mambo mabaya waliyofanya" + +# na kuinama mbele + +"kuabudu" au " kumsifu" + +# Walawi, Yeshua, Bani....walisimama juu ya ngazi + +Matoleo mengine yanatafsiri, "Yeshua, Bani ... alisimama juu ya ngazi zilizojengwa kwa Walawi" + +# Yeshua, Bani, Kadmieli, Shebaniya, Buni, Sherebia, Bani na Kenani + +majina ya wanaume + diff --git a/neh/09/05.md b/neh/09/05.md new file mode 100644 index 00000000..e4fe0f22 --- /dev/null +++ b/neh/09/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Ndipo Walawi...akasema, "Simameni...milele" + +Hapa Walawi wanazungumza na watu wa Israeli. + +# mkamsifu Bwana + +"kumbariki Bwana" + +# Yeshua....... Kadmieli....... Bani,......Hashabneya, ..... Sherebia + +majina ya wanaume. Tafsiri katika 9:3. + +# Hashabneya.....Hodia.....Pethalia + +majina ya wanaume + +# Libarikiwe jina lako tukufu + +alawi wanazungumza na Bwana. "Watu wa Yuda walibariki jina lako tukufu, Bwana" + +# mbingu za juu, na jeshi lake lote ... jeshi la mbinguni likuabudu wewe + +Mwenyeji ni jeshi. "Majeshi ya mbinguni" anasema kwa mfano wa nyota nyingi kama kwamba walikuwa jeshi. Nyota kwa upande wake ni mfano wa malaika wengi. Nyota zinaomwabudu Bwana ni mfano wa malaika wanaomwabudu Bwana. (UDB) + diff --git a/neh/09/07.md b/neh/09/07.md new file mode 100644 index 00000000..32f3af27 --- /dev/null +++ b/neh/09/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi + +Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli. + +# Uri wa Wakaldayo + +"Uri, ambapo kundi la Wakaldayo liliishi" + +# Uliona moyo wake ulikuwa mkamilifu mbele yako + +Moyo, ndani ya mtu, inawakilisha mtu. AT "Uliona kwamba alikuwa mwaminifu kabisa kwako" + +# Wakanaani..... Mhiti...... Mwamori..... Perizi......Myebusi.......Wagirgashi + +majina ya kundi la watu + diff --git a/neh/09/09.md b/neh/09/09.md new file mode 100644 index 00000000..e7a66ad6 --- /dev/null +++ b/neh/09/09.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi Unganishi + +Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli. + +# Uliona + +Bwana aliona + +# umesikia kilio chao + +Maelezo ya taarifa ni kwamba Mungu alisogeza hatua kwa sababu kilio cha Waisraeli wakiomba msaada. + +# ishara na maajabu juu ya Farao + +Vifo vilijaribu moyo wa Farao, na wakawa mashahidi dhidi ya ugumu wa moyo wake . AT "ishara na maajabu yaliyothibitisha dhidi ya Farao" au "ishara na maajabu yaliyomhukumu Farao" + +# watu wote wa nchi yake + +"Wamisri wote" + +# walifanya kwa kujivunia dhidi yao + +"walikuwa wenye kiburi juu ya Waisraeli "au" aliwadhulumu wateule wa Mungu + +# ulijifanyia jina kwa ajiri yako mwenyewe + +Hii ni njia nyingine ya kusema "ulionyesha dunia tabia yako" au "ulionyesha uwezo wako." + +# ambalo linasimama hadi siku leo. + +"ambalo watu bado wanalikumbuka" + diff --git a/neh/09/11.md b/neh/09/11.md new file mode 100644 index 00000000..acf68b39 --- /dev/null +++ b/neh/09/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli. + +# umegawanya bahari + +Mungu aligawanywa + +# wewe ... wale waliokuwa wakiwafuata ukawatupa ndani ya kilindi, kama jiwe ndani ya maji ya kina + +Katika mfano huu, mwandishi huelezea Mungu akitupa Wamisri ndani ya bahari kwa urahisi kama mtu atakayepiga jiwe ndani ya maji, na jiwe litatoweka chini ya maji kabisa. + diff --git a/neh/09/12.md b/neh/09/12.md new file mode 100644 index 00000000..88cf86ac --- /dev/null +++ b/neh/09/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli. + +# Umewaongozas + +Bwana aliwaongoza Waisraeli. + +# umeshuka + +Wakati Mungu akizungumza na watu wake, mara nyingi anaelezewa kama "kushuka" au "kushuka kutoka mbinguni." Hii ni njia ya kueleza kwamba Mungu alionekana kwa mtu huyo. AT "ulionekana" au" umeshuka kutoka mbinguni" + +# amri za haki na sheria za kweli, amri nzuri na maagizo + +Maneno haya mawili yanaelezea kitu kimoja, sheria ya Musa + diff --git a/neh/09/14.md b/neh/09/14.md new file mode 100644 index 00000000..953490c0 --- /dev/null +++ b/neh/09/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi + +Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli. + +# amri..... maagizo...... sheria + +Kila moja ya maneno haya matatu yanahusu sheria ya Musa. + diff --git a/neh/09/16.md b/neh/09/16.md new file mode 100644 index 00000000..d20749fc --- /dev/null +++ b/neh/09/16.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli. + +# wao na baba zetu + +Waisraeli wakati wa Musa na watu wa Israeli baada ya wakati wa Musa + +# wao walikuwa wakaidi ... wakawa wakaidi + +Maneno halisi ni "walifanya ngumu zao ngumu." Ikiwa lugha yako ina dalili tofauti ya kuwa mkaidi, ungependa kuitumia hapa. + +# maajabu uliyofanya kati yao + +"miujiza uliyoifanya kati yao" + +# wakamchagua kiongozi wairudie hali ya utumwa + +"walimteua kiongozi kuwapeleka kwenye nchi waliyokuwa watumwa." + +# ambaye amejaa msamaha + +Nia ya kusamehe inazungumzwa kama kama ni maji ambayo inaweza kujaza chombo. AT "ambaye yupo tayari kusamehe" + +# wingi katika upendo thabiti + +Upendo umesemekana kama ni mazao ya chakula ambayo Bwana angeweza kushirikiana na watu. AT "anapenda watu wake sana" + diff --git a/neh/09/18.md b/neh/09/18.md new file mode 100644 index 00000000..53c6c7de --- /dev/null +++ b/neh/09/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli. + +# wewe.... haukuwaacha + +Bwana hakuwaacha Waisraeli. + +# kutupa ndama kutokana na chuma kilichochombwa + +chuma kilichochomwa na kuumbwa kwa sura ya ndama + +# Nguzo ya wingu .... nguzo ya moto + +Tafsiri katika 9:12. + diff --git a/neh/09/20.md b/neh/09/20.md new file mode 100644 index 00000000..004cba65 --- /dev/null +++ b/neh/09/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli. + +# Roho wako mzuri....mana yako... maji + +Mwandishi hubadili neno la kawaida ili kusisitiza mambo mema ambayo Bwana aliwapa watu wake. Lugha yako inaweza kuwa na njia nyingine ya kusisitiza vitu hivi. + +# fundisha + +"fundisha" + +# mana yako haukuwanyima kinywani mwao + +Litotesi hii inaweza kuelezewa vizuri. AT "na wewe kwa upole uliwapa mana" + +# kinywani mwao + +Kinywa ni busara kwa mtu mzima. AT kutoka kwao + diff --git a/neh/09/22.md b/neh/09/22.md new file mode 100644 index 00000000..b3eb5408 --- /dev/null +++ b/neh/09/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli. + +# Uliwapa falme + +Bwana akawapa Waisraeli falme . + +# Uliwapa falme na watu + +"aliwawezesha kushinda falme na watu" + +# ukawapa kila kona ya nchi + +"kuwawezesha kumiliki kila sehemu ya ardhi" + +# Sihoni .....Ogu + +Haya ni majina ya wafalme. + +# Heshboni....Bashani + +Haya ni majina ya maeneo. + diff --git a/neh/09/23.md b/neh/09/23.md new file mode 100644 index 00000000..5a0c4fac --- /dev/null +++ b/neh/09/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli. + +# Uliwafanya watoto wao + +Bwana aliwafanya wana wa Israeli wakati wa Musa + +# Ukawatia mikononi mwao + +Wakanaani wanasemwa kama walikuwa vitu vidogo ambavyo mtu anaweza kuweka mkononi mwa mtu mwingine. Kutoa kitu ndani ya mkono wa mtu ni kumpa mtu huyo udhibiti kamili juu ya jambo hilo. AT "imewezesha Waisraeli kuwa na udhibiti kamili juu yao" + diff --git a/neh/09/25.md b/neh/09/25.md new file mode 100644 index 00000000..688b5862 --- /dev/null +++ b/neh/09/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli. + +# Wao waliteka + +Waisraeli wakati wa Musa waliteka + +# nchi yenye ustawi + +"ardhi yenye rutuba" + +# birika zilizochimbwa + +mashimo katika ardhi ambapo watu kuhifadhi maji + +# wakatosheka + +Hii inaweza kuwa mfano kwa "kuacha kufikiri kuhusu Bwana "au" wakawa hasira" + diff --git a/neh/09/26.md b/neh/09/26.md new file mode 100644 index 00000000..dec6322f --- /dev/null +++ b/neh/09/26.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli. + +# Walitupa sheria yako nyuma ya migongo yao + +Sheria inasemekana kama ni kitu ambacho hakina maana ambacho mtu anaweza kutupa. AT "Walichukulia sheria yako haikuwa na maana na hawakujali" + +# Walitupa sheria yako + +Waisraeli walitupa sheria ya Bwana. + +# hiyo ukawatia mikononi mwa adui zao + +Hapa neno "mkono" (sehemu) linaashiria uwezo wa "maadui" (kama watu wote) kufanya madhara. AT "umeruhusu maadui wa watu wako kuwadhuru watu wako" + +# uliwatuma waokoaji waliowaokoa katika mikono ya adui zao + +Hapa neno "mkono" (sehemu) linaashiria uwezo wa "maadui" (kama watu wote) kufanya madhara. AT "uliwatuma watu kuacha adui zao kuwadhuru" + diff --git a/neh/09/28.md b/neh/09/28.md new file mode 100644 index 00000000..8f9d3bd1 --- /dev/null +++ b/neh/09/28.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli. + +# walipumzika, wakafanya mabaya tena mbele yako + +Hapa "wao" inawakilisha Waisraeli na "wewe" kwa Bwana. + +# ukawaacha mikononi mwa adui zao + +Hapa neno "mkono" (sehemu) linaashiria "adui" (kwa ujumla) kufanya madhara. AT "umeruhusu adui zao kuwadhuru" + +# hawakusikiliza amri zako + +Ikiwa lugha yako ina neno la "sikiliza" ambayo pia inamaanisha "utii," tumia hapa. + +# amri zako ambazo huwapa uzima mtu yeyote anayewatii + +Bwana mwenyewe anasemwa kama kwamba yeye alikuwa na amri wenyewe. AT "hata kama wewe huwapa uzima kila mtu anayeitii amri zako" + diff --git a/neh/09/30.md b/neh/09/30.md new file mode 100644 index 00000000..8ab4fc34 --- /dev/null +++ b/neh/09/30.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli. + +# Kwa hiyo ukawatia mikononi mwa watu wa jirani + +Hapa neno "mkono" (sehemu) linaashiria uwezo wa "watu wa jirani" (kama watu wote) kufanya madhara. AT "umeruhusu watu wa jirani kuwaumiza watu wako" Maneno sawa yanaonekana katika 9:26. + +# umetoa + +Bwana ametoa + +# haukufanya mwisho wao kabisa + +"hauku waaangamiza" + diff --git a/neh/09/32.md b/neh/09/32.md new file mode 100644 index 00000000..998da6a9 --- /dev/null +++ b/neh/09/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli. + +# usiruhusu shida hii yote iwe ndogo kwako ambayo imetujia ... hata leo + +Inawezekana kugawanya hii katika sentensi mbili. "Usiruhusu shida hii yote iwe ndogo kwako. Tatizo limekuja kwetu ... hata leo" + +# shida ... imetujia ...yote yaliyotupata + +Maneno "kuja juu yetu" yanazungumzia mambo mabaya yanayotokea kama kwamba ni watu wanaosababisha. AT "madhara ... tumesikia ... kila kitu tumeteseka" + diff --git a/neh/09/35.md b/neh/09/35.md new file mode 100644 index 00000000..014e0e1b --- /dev/null +++ b/neh/09/35.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli. + +# wakati walifurahia wema wako kwao + +"wakati walifurahia mambo mema uliyowapa" + +# hawakukutumikia + +"hawakuitii sheria yako au mafundisho" + diff --git a/neh/09/36.md b/neh/09/36.md new file mode 100644 index 00000000..748b8225 --- /dev/null +++ b/neh/09/36.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli. + +# zawadi zake nzuri + +"mambo yote mema ndani yake" au "vitu vyote vyema tunaweza kupata kutoka kwake" + +# Mavuno mazuri kutoka nchi yetu huenda kwa wafalme + +"Tunatoa kodi kwa wafalme kwa kufanya kazi nchi yetu" + +# Wanatawala. + +Wafalme mtawala. + diff --git a/neh/09/38.md b/neh/09/38.md new file mode 100644 index 00000000..b7112d74 --- /dev/null +++ b/neh/09/38.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli. + +# Kwa sababu ya yote haya + +kwa sababu watu hawakuitii na Bwana alikuwa amewaadhibu + +# Kwenye hati iliyofungwa ni majina + +Msomaji anapaswa kuelewa kwamba wanaume waliandika majina yao kwenye hati kabla ya kufungwa + diff --git a/neh/10/01.md b/neh/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..f9073879 --- /dev/null +++ b/neh/10/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Katika nyaraka zilizofunikwa walikuwa + +Unaweza kuhitaji kujaza maneno yasiyopo. "Katika nyaraka zilizofunikwa zilikuwa majina ya watu wafuatayo" + +# nyaraka zilizofunikwa + +Nyaraka zimefunikwa baada ya majina kusainiwa kwenye nyaraka. + +# Nehemia + +Watu wengine wanaamini kwamba Nehemia aliandika kitabu hiki (angalia UDB) na anajisema mwenyewe kama yeye ni mtu mwingine kwa sababu hii ni orodha rasmi. + +# Hakalia + +Hili ni jina la mtu. Tafsiri katika 1: 1. + +# Sedekia, Seraya......Yeremia, Pashuri, Amaria + +Haya ni majina ya wanaume + +# Azaria + +Hili ni jina la mtu. Tafsiri katika 3:22. + +# Malkiya + +Hili ni jina la mtu. Tafsiri katika 3:11. + diff --git a/neh/10/04.md b/neh/10/04.md new file mode 100644 index 00000000..8b42ed63 --- /dev/null +++ b/neh/10/04.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa za jumla + +Katika aya hizi, Nehemia anaweka majina ya makuhani waliosaini waraka uliofunikwa. (Tazama 10:1) + +# Hamshi + +Hili ni jina la mtu. Tafsiri kama kwa 3 8. + +# Shekania.......Meshulamu + +Hizi ni majina ya wanaume. Tafsiri katika 9:3 + +# Maluki......Obadia, Danieli, Ginethoni...Abiya, Miyamini, 8Maazia, Bilgai + +Haya ni majina ya wanaume + +# Harimu + +Hili ni jina la mtu. Tafsiri kama kwa 3:11. + +# Meremothi + +Hili ni jina la mtu. Tafsiri kama kwa 3:3. + +# Baruki + +Hili ni jina la mtu. Tafsiri kama kwa 3:20 + +# Shemaya + +Hili ni jina la mtu. Tafsiri katika 3 :28. + +# Hawa walikuwa makuhani. + +Hii inahusu orodha ya awali ya wanaume walio saini waraka. AT "Haya ndio majina ya makuhani waliosaini hati" + diff --git a/neh/10/09.md b/neh/10/09.md new file mode 100644 index 00000000..df247cc9 --- /dev/null +++ b/neh/10/09.md @@ -0,0 +1,64 @@ +# Taarifa za jumla + +Katika aya hizi, Nehemia anaendelea kuandika majina ya watu walio saini hati iliyofunikwa. + +# Walawi walikuwa + +Hii inahusu wale wanaweka majina yao kwenye nyaraka zilizofunikwa. AT "Walawi ambao waliweka majina yao kwenye nyaraka zilizofunikwa" + +# Yeshua...Henadadi + +Haya ni majina ya wanaume. Tafsiri kama 3:18. + +# Azania.... Rehobu...Beninu + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Binui + +Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 3:22 + +# Kadmieli + +Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 7:43 + +# Shebania + +Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 9:3. + +# Hodia.....Kelita.....Pelaya.....Sherebia + +Haya ni majina ya wanaume . kama ilivyo tafasiliwa 8:6 + +# Hanani + +Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 7:46 + +# Mika + +Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 10:9. + +# Hashabia.....Bani + +Haya ni majina ya wanaume. Tafsiri kama 3:16 + +# Zakuri + +Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 3:1 + +# Viongozi wa watu walikuwa + +Hii inahusu wale wanaweka majina yao kwenye nyaraka zilizofunikwa. AT "Viongozi wa watu ambao waliweka majina yao kwenye nyaraka zilizofunikwa walikuwa" + +# Paroshi + +Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 3:25. + +# Pahath-Moabu + +Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika 3:11 + +# Elamu.........Zatu + +Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafasiliwa katika7:11 + diff --git a/neh/10/15.md b/neh/10/15.md new file mode 100644 index 00000000..140a041d --- /dev/null +++ b/neh/10/15.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Taarifa za jumla + +Katika aya hizi, Nehemia anaendelea kuandika majina ya watu walio saini hati iliyofunikwa. + +# Buni + +Hili ni jina la mtu. kama ilivyo tafsiri katika 9:3. + +# Azgadi, Bebai + +Haya ni majina ya wanaume. kama ilivyo tafsiriwa katika 7:15. + +# Adoniya....Azuri....Nobai......Magpiashi....Heziri....Yadua + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Bigwai + +Hili ni jina la mtu. kama ilivyo tafsiri katika 7:6 + +# Adini, Ateri, Hezekia......Hashumu + +Haya ni majina ya wanaume. kama ilivyo tafsiriwa katika 7:19 + +# Hodia + +Hili ni jina la mtu. kama ilivyo tafsiri katika 8:6 + +# Besai, Harifu + +Haya ni majina ya wanaume. kama ilivyo tafsiriwa katika 7:23 + +# Anathothi + +Huli ni jina la mwanaume. kama ilovyo tafsiriwa katika 7:27 + +# Meshulamu....Meshezabeli, Sadoki + +Haya ni majina ya wanaume. kama ilivyo tafsiriwa katika 3:3 + diff --git a/neh/10/22.md b/neh/10/22.md new file mode 100644 index 00000000..d923825c --- /dev/null +++ b/neh/10/22.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Taarifa za jumla + +Katika aya hizi, Nehemia anaendelea kuandika majina ya watu walio saini hati iliyofunikwa. + +# Pelatia...Hoshea....Pilha, Shobeki....Hashabna...Ahia.... Anani.... Harimu..... Baana. + +Haya ni majina ya wanaume . + +# Hanani + +Hili mi jina la mwanaume. kama ilivyo tafsriwa katika 7:46 + +# Hanania + +Hili mi jina la mwanaume. kama ilivyo tafsriwa katika 8:4 + +# Hanania + +Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafsriwa katika 3:8 + +# Hashubu.....Haloheshi + +Haya ni majina ya wanaume. kama ilivyo tafsiriwa katika 3:11 + +# Rehumu + +Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafsriwa katika 3:16. + +# Maaseya + +Hili ni jina la mwanaume. kama ilivyo tafsriwa katika 3:22. + +# Maluki, Harimu + +Haya ni majina ya wanaume. Kama ilivyo tafsriwa katika 10:4 + +# Baana + +Hili ni jina la mwanaume. Kama ilivyo tafsriwa katika 7:6. + diff --git a/neh/10/28.md b/neh/10/28.md new file mode 100644 index 00000000..d8bf4100 --- /dev/null +++ b/neh/10/28.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# walinzi wa malango + +Hii inawakilisha watu waliopewa kila mlango, wajibu wa kudhibiti upatikanaji wa jiji au hekalu, na kufungua na kufunga milango kwa wakati na kwa sababu zilizowekwa na msimamizi. Tazama jinsi ilivyotafasiri hii katika 7 1. + +# waimbaji + +"waimbaji wa hekalu" + +# wote walio na ujuzi na ufahamu + +Maneno haya yanaweza kuwekwa wazi. AT "wote ambao walikuwa wazee wa kutosha kuelewa kile kilichoahidi kumtii Mungu maana yake" + +# ndugu zao, wakuu wao + +"ndugu zao ambao ni wakuu" au "ndugu zao ambao ni viongozi." Maneno haya yanataja watu sawa. + +# kujifunga katika laana na kiapo + +Hii inazungumzia watu wanaoapa na laana kama kwamba kiapo na laana zilikuwa kamba ambayo iliwafunga kimwili. 'Waliapa kwa kiapo na laana' au 'waliapa na wakaita laana ya kuja wenyewe ikiwa hawakuiweka' + +# kutembea katika sheria ya Mungu + +Hii ndio idiomi. AT "kuishi kwa sheria ya Mungu" au "kutii sheria ya Mungu" + +# iliyotolewa na Musa mtumishi wa Mungu + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "ambayo Musa mtumishi wa Mungu alikuwa amewapa Israeli" + +# kuzingatia + +"kufuata" + diff --git a/neh/10/30.md b/neh/10/30.md new file mode 100644 index 00000000..b0bc3628 --- /dev/null +++ b/neh/10/30.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa za Jumla + +Katika aya hizi, watu wanaelezea maudhui ya kiapo waliyoifanya katika 28:28. + +# hatuwezi kuwapa binti zetu watu wa nchi au kuchukua binti zao kwa wana wetu + +Hii ina maana kwamba hawataruhusu wana na binti zao kuolewa nao. AT "haiwezi kuwapa binti zetu kuoa watu wa nchi au kuchukua binti zao kuoa zetu" + +# watu wa nchi + +Hii inawakilisha watu wanaoishi katika nchi yao ambao hawaabudu Bwana. AT "watu wa nchi hii ambao hawaabudu Bwana" + +# Tuliahidi ... hatuwezi kutoa ... hatuwezi kununua ... tutaacha ... tutafuta + +Neno "sisi" hapa ni pamoja na Nehemia na watu wa Kiyahudi, lakini si msomaji wa kitabu hiki." + +# mwaka wa saba + +"Mwaka wa 7" + +# utaacha mashamba yetu kupumzika + +Huu ndio idiomi. AT "hatuwezi kulima mashamba yetu" au "hatuwezi kukua chochote katika mashamba yetu" + +# tutafuta madeni yote yaliyotokana na Wayahudi wengine + +"tutafuta madeni yote kwa Wayahudi wengine" au "tutawasamehe madeni yote inayomilikiwa na Wayahudi wengine" + diff --git a/neh/10/32.md b/neh/10/32.md new file mode 100644 index 00000000..6e688411 --- /dev/null +++ b/neh/10/32.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla + +Katika aya hizi, watu wanaendelea kuelezea yaliyomo ya kiapo waliyoifanya + +# Tulikubali amri + +'Tuliahidi kumtii amri + +# Tulikubali + +Neno "sisi" hapa inajumuisha Waisraeli wote ikiwa ni pamoja na Nehemiya isipokuwa kwa kuhani na Walawi, na sio pamoja na msomaji wa kitabu hiki + +# shilingi ya shekeli + +"1/3 ya shekeli." "Ya tatu" ina maana sehemu moja kati ya sehemu tatu sawa. Hii inaweza kuandikwa kwa vipimo vya kisasa. AT "5 gramu ya shaba" + +# ajili ya huduma ya + +"kulipa huduma ya" + +# mkate wa uwepo + +Hii inahusu mikate 12 ya mikate iliyotiwa bila yachu iliyohifadhiwa katika hekalu na kutumika kutumikia kuwepo kwa Mungu na watu wake. + +# sikukuu mpya za mwezi + +Hizi ndizo maadhimisho yaliyofanyika wakati mwezi ulikuwa na muonekao mdogo mbinguni. + diff --git a/neh/10/34.md b/neh/10/34.md new file mode 100644 index 00000000..9b7112b6 --- /dev/null +++ b/neh/10/34.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla + +Katika aya hizi, watu wanaendelea kuelezea yaliyomo ya kiapo waliyoifanya 10:28 + +# kuteketezwa + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "kwa ajili ya Walawi kuwaka" + +# kama ilivyoandikwa + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "kama isemavyo" + +# kutoka kwenye udongo wetu + +"katika udongo wetu" au "juu ya ardhi yetu" + diff --git a/neh/10/37.md b/neh/10/37.md new file mode 100644 index 00000000..cf451904 --- /dev/null +++ b/neh/10/37.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla + +Katika aya hizi, watu wanaendelea kuelezea yaliyomo ya kiapo waliyoifanya + +# Tutaleta ... Tutaleta + +Neno "sisi" hapa ni pamoja na Nehemia na Waisraeli isipokuwa kwa makuhani na Walawi, na pia hajumuishi msomaji wa kitabu hiki + +# unga wa kwanza + +Unga ni "unga mzima" au "nafaka ya ardhi." + +# na divai mpya na mafuta + +Maneno ya kukosa yanaweza kuongezwa. AT "na ya kwanza ya divai mpya na mafuta" au "na bora ya divai mpya na mafuta" + +# vyumba vya kuhifadhi vya nyumba ya Mungu wetu + +"mahali ambapo vitu vilihifadhiwa katika hekalu" + +# zaka kutoka kwenye ardhi yetu + +Hapa "udongo wetu" inahusu kila kitu kilichopandwa chini. AT "ya kumi ya kile tunachokua chini" + +# wanapokea zaka + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "watu huwapa zaka" + +# sehemu ya kumi + +Hii ina maana sehemu moja kati ya kumi iliyosawa + +# vyumba vya kuhifadhi hazima + +vyumba vya kuhifadhi katika hekalu + diff --git a/neh/10/39.md b/neh/10/39.md new file mode 100644 index 00000000..ce574f24 --- /dev/null +++ b/neh/10/39.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa za Jumla + +Katika aya hizi, watu kumaliza kuelezea yaliyomo katika kiapo walichofanya + +# katika vyumba vya kuhifadhi ambapo vitu vya patakatifu vinasimamishwa + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. Kwenye "vyumba ambapo makuhani huweka vitu vilivyotumiwa katika hekalu" + +# Hatuwezi kuacha nyumba ya Mungu wetu + +Hii inaweza kuelezwa kwa fomu nzuri. AT "Tunatunza kwa ajiri ya hekalu" + +# Tutakuwa + +Neno "sisi" hapa ni pamoja na Nehemia na watu wote wa Israeli lakini haijumuishi msomaji wa kitabu hiki + diff --git a/neh/11/01.md b/neh/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..e0bcceca --- /dev/null +++ b/neh/11/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# watu walipiga kura + +"watu walitupa mawe ya alama ili kuamua ni nani atakayehusika" + +# kuleta moja kati ya kumi + +"kuleta familia moja kutoka kila familia kumi" + diff --git a/neh/11/03.md b/neh/11/03.md new file mode 100644 index 00000000..06b99100 --- /dev/null +++ b/neh/11/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# katika nchi yake mwenyewe, ikiwa ni pamoja na Waisraeli + +"katika nchi yake Israeli Waisraeli" + +# baadhi ya wana wa Yuda na baadhi ya wana wa Benyamini + +"baadhi ya watu wa Yuda na baadhi ya watu wa Benyamini" + +# Watu kutoka Yuda walijumuishwa + +"Kutoka kwa wana wa Yuda" + +# Benyamini.......Athaya......Uzia......Zekaria..... Amaria......Shefatia.......Mahalaleli......Peresi + +Haya ni majina ya wanaume. + +# wazao wa Perez + +"kutoka kwa wazao wa Perezi" + diff --git a/neh/11/05.md b/neh/11/05.md new file mode 100644 index 00000000..4b1eb0bc --- /dev/null +++ b/neh/11/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi + +Katika aya hizi, Nehemia anaendelea kuandika maafisa wa mkoa ambao waliishi Yerusalemu + +# Maaseya..... Baruki......Kolhoze.......Hazaya......Adaya....... Yoyaribu.....Zakaria....Peresi + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Baruki + +mtu kutoka mji wa Shilo + +# wana wa Perezi + +"wazawa wa Peresi" + +# 468. Walikuwa masujaa. + +"468 wanaume mashujaa" au "468 wanaume wenye ujasiri" + diff --git a/neh/11/07.md b/neh/11/07.md new file mode 100644 index 00000000..39218d1f --- /dev/null +++ b/neh/11/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi Unganishi + +Katika aya hizi, Nehemia anaendelea kuandika maafisa wa mkoa ambao waliishi Yerusalemu + +# Benyamini.......Salu......Meshulamu......mwana .....Yoedi......Pedaya......Kolaya.....Maaseva..... Ithiel......Yehaya......Gabai......Salai....Yoeli .....Zikri......Yuda......Hasenua + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/neh/11/10.md b/neh/11/10.md new file mode 100644 index 00000000..d1aced88 --- /dev/null +++ b/neh/11/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yedaya.....Yoyaribu.....Yakini......Seraya ....Hilikia.......Meshulamu......Sadoki.....Merayoti, .....Ahitubu.....Adaya......Yerohamu......Pelalia...... Amzi....Zekaria, .....Pashuri......Malkiya + +Haya ni majina ya wanaume. + +# waliofanya kazi ya ukoo + +"Nyumba" ni "nyumba ya Mungu" (11:11). "ambaye alifanya kazi hekaluni" + +# washirika wao + +"ndugu zao" au "jamaa zao" + diff --git a/neh/11/13.md b/neh/11/13.md new file mode 100644 index 00000000..63e02a7d --- /dev/null +++ b/neh/11/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ndugu zake + +ndugu za Adaya, mwana wa Jerohamu (11"10). + +# ndugu + +Neno hili ni mfano kwa 1) Waisraeli wenzake au 2) watu ambao walifanya kazi hiyo hiyo. AT "washirika" au "wafanyakazi wenzake" + +# Maasai ........Azareli.....Azai, .....Meshilemothi, .....Imeri.....Zabdieli....Hageoli. + +Haya ni majina ya wanaume. + +# wapiganaji wenye ujasiri + +"wapiganaji mashujaa" au "mashujaa wa ujasiri" + diff --git a/neh/11/15.md b/neh/11/15.md new file mode 100644 index 00000000..b5298233 --- /dev/null +++ b/neh/11/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Shemaya...Hashubu....Azrikamu...Hashabia.....Buni, ..... Shabethai....Yozabadi + +Haya ni majina ya wanaume + +# ambao walikuwa ni viongozi wa Walawi, waliosimamia + +"kutoka kwa viongozi wa Walawi, walikuwa wasimamizi" + diff --git a/neh/11/17.md b/neh/11/17.md new file mode 100644 index 00000000..9889ddbe --- /dev/null +++ b/neh/11/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Matania....Mika...Zakri....Bakbukia......Abda.... Shemaya....Galali....Yeduthuni + +Haya ni majina ya wanaume. + +# aliyeanza shukrani kwa sala + +Hiyo ni nani aliyeongoza waimbaji (angalia UDB). + +# Bakbukia, wa pili miongoni mwa ndugu zake + +Maana iwezekanavyo ni 1) Bakbukia alikuwa jamaa wa Matania na pili alikuwa na mamlaka kwa Matania (angalia UDB) au 2) "Bakbukia aliongoza kundi la pili la waimbaji." + +# ndugu + +Njia nyingine inayowezekana ni "washirika" au "wafanyakazi wenzake" (tazama UDB). + +# mji mtakatifu + +Maneno haya yanamaanisha mji wa Yerusalemu. + diff --git a/neh/11/19.md b/neh/11/19.md new file mode 100644 index 00000000..8391a395 --- /dev/null +++ b/neh/11/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# walinzi wa malango + +watu waliopewa kila mlango, wajibu wa kudhibiti upatikanaji wa jiji au hekalu, na kufungua na kufunga milango kwa nyakati na kwa sababu zilizowekwa na msimamizi. Tafsiri kama katika 7:1. + +# Akubu....Talmoni.....Siha.....Gishpa + +Haya ni majina ya wanaume + +# Ofeli + +Hili ni jina la eneo. + diff --git a/neh/11/22.md b/neh/11/22.md new file mode 100644 index 00000000..5349a144 --- /dev/null +++ b/neh/11/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mtawala mkuu + +"Mwangalizi" + +# Uzi....Bani...Hashabia.... Matania....Mika....Asafu...Pethahia....Meshezabeli.... Zera.....Yuda + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Walikuwa chini ya maagizo kutoka kwa mfalme + +"Mfalme alikuwa amewaambia nini cha kufanya" + +# maagizo imara yalitolewa kwa waimbaji + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu ya kazi. AT "mfalme alikuwa amewaambia hasa nini cha kufanya kuhusu waimbaji" + +# alikuwa upande wa mfalme kwa habari zote za watu. + +"upande wa mfalme wa Kiajemi kama mshauri katika mambo yote yanayohusu watu wa Kiyahudi" + diff --git a/neh/11/25.md b/neh/11/25.md new file mode 100644 index 00000000..1fb21066 --- /dev/null +++ b/neh/11/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kiriath-arba.....Diboni.....Yekabzeeli..... Yeshua.....Molada.......Beth-Peleti.....Hazar-Shuali....Beersheba + +Hizi ni majina ya maeneo. + diff --git a/neh/11/28.md b/neh/11/28.md new file mode 100644 index 00000000..87852697 --- /dev/null +++ b/neh/11/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# waliishi + +Hapa "wao" inahusu watu wa Yuda. + +# iklagi.....Mekona......9Enrimoni......Sora....Yarmuthi ....Zanoa....Adulamu.....Lakishi....Azeka.....Beer-sheba.....bonde la Hinomu + +Hizi ni majina ya maeneo. + diff --git a/neh/12/01.md b/neh/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..3c638059 --- /dev/null +++ b/neh/12/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ambaye alikuja + +"ambaye aliwasili kutoka Babeli" + +# pamoja na Zerubabeli + +"chini ya uongozi wa Zerubabeli" + +# Zerubabeli....Shealueli....Yoshua....Seraya....Yeremia, Ezra.....Amaria.....Maluki....Hatushi.....Shekania, Harimu.....Meremothi + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/neh/12/04.md b/neh/12/04.md new file mode 100644 index 00000000..38943134 --- /dev/null +++ b/neh/12/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi Unganishi + +Orodha ambayo ilianza katika 12 :1 inaendelea. + +# Kulikuwa + +Maneno haya yameongezwa kwa tafsiri hii. Ikiwa utaendelea na orodha iliyoanza 12:1, unaweza kufuta maneno haya. + +# Iddo.....Ginethoni.....Abiya....Miyamini....Maazia.... Bilgai.....Shemaya....Yoyaribu.......Yedaya.....Salu...Amoki... Hilkia.....Yedaya + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Ginethoni + +Ginethoni inaweza kuwa aina nyingine ya jina '"Ginethoni" + diff --git a/neh/12/08.md b/neh/12/08.md new file mode 100644 index 00000000..7b411301 --- /dev/null +++ b/neh/12/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yeshua.....Binui.....Kadmieli.....Sherebia.....Yuda, .....Matania...Bakbukia.....Uno + +Haya ni majina ya wanaume. + +# walisimama pembeni yao wakati wa huduma. + +Inawezekana maana ni 1) hii ilikuwa wakati wa huduma ya ibada na hizi zilikuwa makundi mawili ya waimbaji (angalia UDB) au waabudu wengine, au 2) makundi haya walilinda hekalu kwa nyakati tofauti, au "kugeuka kuzingatia hekalu". + diff --git a/neh/12/10.md b/neh/12/10.md new file mode 100644 index 00000000..350f3d67 --- /dev/null +++ b/neh/12/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yoshua...Yoyakimu... Eliashibu...Yoyada...onathani...Yadua + +Haya ni majina ya wanaume + +# Yoshua alikuwa babaye Yoyakimu + +Ikiwa msomaji wako atahitaji kujua kwamba Jeshua alikuwa kuhani mkuu miaka mingi kabla ya wakati huu, unaweza kutaka kufuata mfano wa UDB. AT "Jeshua miaka mingi hapo awali alikuwa kuhani mkuu. Alikuwa baba ya Yoyakimu." + diff --git a/neh/12/12.md b/neh/12/12.md new file mode 100644 index 00000000..ac9fcba9 --- /dev/null +++ b/neh/12/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yoyakimu...Meraya.... Hanania....Meshulam...Yehohanani ....Yusufu + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Seraya.....Yeremia...Ezra....Amaria....Maluki... Shekania + +Haya ni majina ya familia inayoitwa baada ya wanaume. + diff --git a/neh/12/15.md b/neh/12/15.md new file mode 100644 index 00000000..d3cf63ae --- /dev/null +++ b/neh/12/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi Unganishi + +Orodha iliyoanza 12:12 inaendelea. + +# Adna...Helkai....Zekaria.....Meshulamu....Zikri ....Piltai....Shamua..... Yehonathani.....Matenai....Uzi.....Kalai.....Eberi .....Hashabia....Nethanel + +Haya ni majina ya wanaume wote. + +# Harimu.....Meremothi...Ido....Ginethoni.....Abia.... Miyaamini....Maazia.....Bilgai....Shemaya....Yoyaribu.... Yedaya.....Salu.... Amoki...Hilkia.....Yedaya + +Haya ni majina ya familia ambazo zinaitwa baada ya wanaume. + +# alikuwa kiongozi wa + +"alikuwa kiongozi wa familia ya" au "alikuwa kiongozi wa wazao wa" + +# Meshulamu alikuwa kiongozi wa Ginethoni + +Ginethoni inaweza kuwa aina nyingine ya jina la Ginethoi. + +# wa Miyaamini + +Maandishi ya Kiebrania yanatoka kwa makosa jina la kiongozi wa familia ya Miniamin. Baadhi ya matoleo ya kisasa huacha maneno hayajahitimishwa, kama ULB inavyofanya. Matoleo mengine hutoa maelezo mafupi ya kufanya upungufu wa jina la kiongozi (tazama UDB). + +# Maazia + +Maazia inaweza kuwa aina nyingine ya jina la Maazia + diff --git a/neh/12/22.md b/neh/12/22.md new file mode 100644 index 00000000..7d8170cc --- /dev/null +++ b/neh/12/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Eliashibu....Yoyada......Yohana...... Yadua + +majina ya wanaume + +# wakati wa utawala wa Dariyo + +Maana nyingine inaweza kuwa ni "mpaka utawala wa Dariyo" + +# waliandikwa katika Kitabu cha tarehe + +Hii inaweza kutaja Kitabu cha Mambo ya Nyakati. Waandishi waliandika maneno katika mistari hapo juu katika kitabu kilichoandika matukio ya kila siku. + +# hadi siku za Yohana mwana wa Eliashibu. + +Kumbukumbu za hekalu zimeandikwa tu hadi Johana. + diff --git a/neh/12/24.md b/neh/12/24.md new file mode 100644 index 00000000..a7be0dd5 --- /dev/null +++ b/neh/12/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kutii amri ya Daudi + +Mfalme Daudi aliwaamuru Walawi jinsi walivyopaswa kuandaa na kuabudu ibada. + +# waliokuwa wamesimama mbele yao kumtukuza na kumshukuru, akijibu sehemu kwa sehemu + +Hii inahusu jinsi walivyo imba baadhi ya nyimbo zao katika ibada. Kiongozi au kikundi kimoja angeimba maneno, kisha kikundi kimoja au viwili ambacho "vinasimama kinyume nao" ingeweza kuimba maneno katika jibu. + +# katika siku za Yoyakimu.....Yosadaki, na katika siku za Nehemiya, gavana na Ezra.....mwandishi + +Tarehe hiyo ilikuwa imefungwa kwa kutaja wale ambao walikuwa wakiongozwa na Wayahudi wakati huo. 'wakati Yehoyakimu ... Yehozadaki alikuwa kuhani mkuu, na wakati Nehemia alikuwa gavana na Ezra ... alikuwa mwandishi' + +# Hashabia, Sherebia..... Yeshua....Kadmieli....Daudi....Matania, Bakbukia, Obadiya, Meshulamu, Talmoni na Akubu....Yoyakimu....Yoshua....Nehemia....Ezra + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/neh/12/27.md b/neh/12/27.md new file mode 100644 index 00000000..990d154f --- /dev/null +++ b/neh/12/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika kujitolea kwa ukuta wa Yerusalemu + +Maana iwezekanayo ni 1) "Wakati walipojitolea ukuta wa Yerusalemu" au 2) "Kwa hiyo ukumbi wa Yerusalemu ukatekelezwa." + +# ngoma + +mbili nyembamba, sahani ya chuma ya pande zote ambazo huunganishwa pamoja ili kutoa sauti kubwa + diff --git a/neh/12/29.md b/neh/12/29.md new file mode 100644 index 00000000..b8b29851 --- /dev/null +++ b/neh/12/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Beth-gilgali.....Geba na Azmawethi + +Haya ni majina ya maeneo. + diff --git a/neh/12/31.md b/neh/12/31.md new file mode 100644 index 00000000..ded8b49b --- /dev/null +++ b/neh/12/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# viongozi Yuda + +viongozi wa watu waliokuwa wakiishi katika mkoa wa Yuda + diff --git a/neh/12/32.md b/neh/12/32.md new file mode 100644 index 00000000..681f9036 --- /dev/null +++ b/neh/12/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hoshaya....Azaria....Ezra....Meshulamu....Yuda.... Benyamini... Shemaya....Yeremia....Zekaria....Yonathani.... Shemaya....Mataniya.....Mikaya.....Zakur....Asafu + +Haya ni majina ya wanaume. + +# na baada yake akaenda + +"na nyuma yao walimfuata" + +# na wana wa makuhani waliokuwa na tarumbeta, na Zekaria + +Matoleo mengine yanasoma, "na kati ya makuhani na tarumbeta, Zekaria" + +# Zekaria mwana wa Yonathani mwana wa Shemaya mwana wa Mataniya mwana wa Mikaya mwana wa Zakuri mwana wa Asafu. + +Majina yote baada ya "Zekaria" ni mababu wa Zakaria. Orodha hii inaunganisha Zakaria na mwimbaji maarufu Asafu. "Zekaria, mwana wa Yonathani, mwana wa Shemaya, mwana wa Matania, mwana wa Mikaya, mwana wa Zakuri, mwana wa Asafu." + diff --git a/neh/12/36.md b/neh/12/36.md new file mode 100644 index 00000000..7bcf235f --- /dev/null +++ b/neh/12/36.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Pia kulikuwa + +"Pamoja nao walikuwa" + +# Zekaria.....Shemaya, Azareli, Milalai, Gilalai, Maai, Nethaneli, Yuda, Hanani....Daudi.... Ezra + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Ezra mwandishi alikuwa mbele yao + +"Ezra mwandishi alikuwa akiwaongoza" + +# Lango la Chemchemi...... Lango la maji + +Haya ni majina ya wazi katika ukuta. + diff --git a/neh/12/38.md b/neh/12/38.md new file mode 100644 index 00000000..5745a0eb --- /dev/null +++ b/neh/12/38.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwaya + +"kundi la waimbaji" + +# Niliwafuata + +Nehemia aliwafuata + +# mnara wa vinyago...mnara wa Hananeli... mnara wa Hamea + +Hizi ni majina ya miundo mirefu ambako watu walikuwa macho kulinda hatari . + +# Ukuta mrefu + +Hili ni jina la sehemu ya ukuta. + +# lango la Efraimu...lango wa kale....lango la samaki... lango la Kondoo...lango la walinzi + +Haya ni majina ya wazi katika ukuta. + diff --git a/neh/12/40.md b/neh/12/40.md new file mode 100644 index 00000000..70ea3531 --- /dev/null +++ b/neh/12/40.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mimi pia nikachukua nafasi yangu + +Nehemia anasema hapa. AT "Mimi, Nehemia, pia nilichukua nafasi yangu" + +# Eliakimu.... Maaseya.....Miyamini.....Mikaya....Elioenai.... Zekaria....Hanania ....Maaseya....Shemaya...Eleazari....Uzi....Yehohanani ....Malkiya, Elamu.....Ezeri + +Haya ni majina ya wanaume ambao walikuwa makuhani wakati huo. + +# Yezrahia + +Hili ni jina la kiume ambaye alikuwa kiongozi wa waimbaji. + +# walijifanya wenyewe kusikia + +"kuimba kwa sauti kubwa" + diff --git a/neh/12/43.md b/neh/12/43.md new file mode 100644 index 00000000..4a94c4df --- /dev/null +++ b/neh/12/43.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# shangwe na furaha kubwa + +"shangwe sana" + +# Hivyo furaha ya Yerusalemu ikasikiwa toka mbali + +"Yerusalemu" ni mfano wa "sauti ambayo watu wa Yerusalemu walifanya." Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu ya kazi. AT "watu mbali mbali na Yerusalemu waliweza kusikia sauti ambayo watu wa Yerusalemu walifanya wakati wa kusherehekea" + diff --git a/neh/12/44.md b/neh/12/44.md new file mode 100644 index 00000000..8f23200a --- /dev/null +++ b/neh/12/44.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wanaume waliteuliwa kuwa wasimamizi + +Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. Haijulikani ambaye aliwachagua wanaume. AT "walichagua wanaume kuwa wajibu" + +# michango + +mambo watu waliwapa makuhani + +# Kwa maana Yuda walifurahi juu ya makuhani na Walawi + +Inaonekana kwamba watu waliwachagua wanaume kwa sababu watu wa Yuda waliwashukuru kwa makuhani na Walawi ambao walikuwa wakihudumia. + +# waliokuwa wamesimama mbele yao + +Walawi na makuhani hawakuwa wamesimama tu, walikuwa wakifanya kazi zao. Maana yanaweza kufanywa wazi. AT "ambao walikuwa wamesimama mbele yao wakimtumikia Mungu." + +# Walinzi wa malango + +watu waliopewa kila mlango, wajibu wa kudhibiti shughuri zote za jiji au hekalu, na kufungua na kufunga milango kwa nyakati na kwa sababu zilizowekwa na msimamizi. Tafsiri kama katika 7:1. + diff --git a/neh/12/46.md b/neh/12/46.md new file mode 100644 index 00000000..2802addb --- /dev/null +++ b/neh/12/46.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kulikuwa na wasimamizi wa waimbaji + +Sentensi hii inaeleza kwa nini watu walifanya kile walichofanya katika 12:44 na kutupa habari zaidi juu ya wakati ambapo Daudi aliwaambia watu jinsi ya kuabudu hekaluni. + +# Katika siku za Zerubabeli + +Zerubabeli alikuwa mzao wa Mfalme Daudi na mmoja wa watawala katika eneo la Yuda. + +# Wakaweka pembeni sehemu + +"Israeli wote wakaweka pembeni sehemu" + +# walinzi wa malango + +watu waliopewa kila mlango, wajibu wa kudhibiti shughuri zote za jiji au hekalu, na kufungua na kufunga milango kwa nyakati na kwa sababu zilizowekwa na msimamizi. Tafsiri kama katika 7:1. + +# wana wa Haruni + +makuhani katika Israeli, ambao walitoka kwa Haruni, ndugu wa Musa + diff --git a/neh/13/01.md b/neh/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..40e441ce --- /dev/null +++ b/neh/13/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# katika masikio ya watu + +"ili watu waweze kuisikia" + +# anapaswa kuja katika kusanyiko la Mungu, milele + +"lazima aingie katika kanisa la Mungu" + +# Hii ilikuwa kwa sababu + +"Hawakuweza kuingia kanisani kwa sababu" + diff --git a/neh/13/04.md b/neh/13/04.md new file mode 100644 index 00000000..39483af6 --- /dev/null +++ b/neh/13/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Eliashibu kuhani akawekwa + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu ya kazi. AT "walimchagua Eliashibu kuhani" au "viongozi wamteua Eliashibu kuhani" + +# Alikuwa na uhusiano na Tobia + +"Eliashibu na Tobia walifanya kazi pamoja" + +# Eliashibu alimuandalia Tobia chumba kikubwa + +"Eliashibu aliandaa chumba kikuu cha duka kwa Tobia kutumia" + +# Walinzi wa malango + +watu waliopewa kila mlango, wajibu wa kudhibiti shughuri zote za jiji au hekalu, na kufungua na kufunga milango kwa nyakati na kwa sababu zilizowekwa na msimamizi. Tafsiri kama katika 7:1. + diff --git a/neh/13/06.md b/neh/13/06.md new file mode 100644 index 00000000..ca4528b2 --- /dev/null +++ b/neh/13/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Lakini wakati huu wote sikuwepo Yerusalemu + +"Wakati huo yote haya yalitokea, nilikuwa mbali na Yerusalemu" + +# mabaya ambayo Eliashibu alikuwa amefanya kwa kumpa Tobia chumba cha kuhifadhi katika mahakama ya nyumba ya Mungu + +Hiki ilikuwa chumba ambacho hapo awali kilikuwa kitakasolewa kuhifadhi vitu vya sadaka (13:4). + diff --git a/neh/13/08.md b/neh/13/08.md new file mode 100644 index 00000000..068cee3f --- /dev/null +++ b/neh/13/08.md @@ -0,0 +1,41 @@ +# Hasira + +"Kukasirika" au "kupata hasira" ina maana ya kutofurahishwa au kuhangaishwa juu ya jambo fulani au mtu fulani. - Watu wanapokasirika ni dhambi na ubinafsi lakini wakati mwingine kuna hasira ya haki dhidi ya udhalimu au mateso. - Hasira ya Mungu inaelezea namna ambavyo hapendezwi na dhambi. - "kuwatia hasira" maana yake ni "kuwasababisha wakasirike" + +# nyumba + +Neno "kaya" linamaanisha watu wote wanaoishi pamoja katika nyumba, ikiwa ni pamoja na wajumbe wa familia na watumishi wowote wanao. + .Ikiwa mtu anaweza kusimamia nyumba, hii itahusisha kuongoza watumishi pamoja na kutunza mali. + Wakati mwingine "familia" inaweza kutaja mfano wa familia nzima ya mtu, hasa wazao wake. + +# safi, kusafisha, kusafisha + +Kuwa "safi" inamaanisha kuwa na udhaifu au kuwa na chochote kilichochanganywa katika hiyo haipaswi kuwepo. Kutakasa kitu ni kusafisha na kuondoa kitu chochote ambacho kinaathiri au kinaipotosha. + Kuhusu sheria za Agano la Kale, "kusafisha" na "kusafisha" hutaja hasa kutakasa kutoka kwa mambo ambayo hufanya kitu au mtu asiye najisi, kama vile ugonjwa, maji ya mwili, au kuzaliwa. + Agano la Kale pia lilikuwa na sheria kuwaambia watu jinsi ya kutakaswa kutoka kwa dhambi, kwa kawaida kwa dhabihu ya mnyama. Hii ilikuwa ya muda mfupi na dhabihu ilibidi kurudia tena na tena. + Katika Agano Jipya, kutakaswa mara kwa mara ina maana ya kutakaswa kutoka kwa dhambi. + Njia pekee ambayo watu wanaweza kuwa safi na kudumu kutoka kwa dhambi ni kupitia kutubu na kupokea msamaha wa Mungu, kwa kuamini Yesu na dhabihu yake. + +# Nyumba ya Mungu, Nyumba ya Bwana + +Katika Biblia, maneno "nyumba ya Mungu" (nyumba ya Mungu) na "nyumba ya Yahweh (nyumba ya Bwana) inaelezea mahali ambapo Mungu anaabudu + Neno hili pia linatumiwa hasa kwa kutazama hema au hekaluni. + Wakati mwingine "nyumba ya Mungu" hutumiwa kutaja watu wa Mungu. + +# sadaka ya nafaka + +Sadaka ya nafaka ilikuwa zawadi ya unga wa ngano au shayiri iliyotolewa kwa Mungu, mara nyingi baada ya sadaka ya kuteketezwa. + Mbegu iliyotumiwa kwa ajili ya sadaka ya nafaka ilitakiwa kuwa nzuri. Wakati mwingine ilikuwa kupikwa kabla ya kutolewa, lakini mara nyingine iliachwa bila kupikwa. + Mafuta na chumvi ziliongezwa kwenye unga wa nafaka, lakini hakuna chachu au asali iliruhusiwa. + Sehemu ya sadaka ya nafaka iliteketezwa na sehemu yake ilikuwa kuliwa na makuhani. + +# uvumba + +Neno "uvumba" linamaanisha mchanganyiko wa manukato yenye harufu nzuri ambayo huteketezwa kuzalisha moshi ambayo ina harufu nzuri. + Mungu aliwaambia Waisraeli kufukiza uvumba kama sadaka kwake. + Ya uvumba ilipaswa kufanywa kwa kuchanganya kiasi sawa cha viungo vitano maalum kama vile Mungu alivyoagiza. Hii ilikuwa uvumba mtakatifu, kwa hivyo hawakuruhusiwa kuitumia kwa sababu nyingine yoyote. + "Madhabahu ya uvumba" ilikuwa madhabahu maalum ambayo ilikuwa tu kutumika kwa kuchoma uvumba + Mafuta hayo yalitolewa angalau mara nne kwa siku, kila saa ya sala. Pia ilitolewa kila wakati sadaka ya kuteketezwa ilitolewa. + Kuungua kwa uvumba kunawakilisha sala na ibada inayoinuka kwa Mungu kutoka kwa watu wake + Njia nyingine za kutafsiri "uvumba" zinaweza kujumuisha, "manukato yenye harufu nzuri" au "mimea nzuri ya kupendeza." + diff --git a/neh/13/10.md b/neh/13/10.md new file mode 100644 index 00000000..6afbcb5d --- /dev/null +++ b/neh/13/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sehemu zilizotolewa kwa ajili ya kuwapa Walawi hazikutolewa kwao + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu ya kazi. AT "watu hawajawaingiza ndani ya vituo vya kuhifadhi sehemu yao ya kumi na sadaka ya chakula kwa makuhani wa hekalu" + +# walikuwa wamekimbia, kila mmoja katika shamba lake, Walawi na waimbaji waliofanya kazi hiyo + +"Walawi na waimbaji waliofanya kazi waliondoka hekalu, kila mmoja kwenda shamba lake mwenyewe" + +# Kwa nini nyumba ya Mungu imeachwa? + +Hili ndio swali la kuzingatia tangu Nehemia analitumia ili kuwapinga au hata kuwadhihaki viongozi ambao hawakuwa wamefanya kazi yao + diff --git a/neh/13/12.md b/neh/13/12.md new file mode 100644 index 00000000..230648c3 --- /dev/null +++ b/neh/13/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yuda wote + +Jina la ardhi ni metonim kwa watu wa nchi. Huenda hii ni kizazi. AT "watu wote waliokaa Yuda" + +# Shelemia....Sadoki...Pedaya... Hanani...Zakuri...Matania + +Haya ni majina ya wanaume + +# walihesabiwa kuwa waaminifu + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu ya kazi. Maana nyingine ya "mwaminifu" linaweza kutafsiriwa kama kitenzi. AT "nilijua kwamba ningeweza kuwaamini" + +# Nikumbuke, Ee Mungu wangu, juu ya hili + +"Mungu wangu, unikumbuke juu ya hili." + diff --git a/neh/13/15.md b/neh/13/15.md new file mode 100644 index 00000000..4065189f --- /dev/null +++ b/neh/13/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# waliokanyaga mvinyo + +Neno "vikwazo vya divai" ni mshikamano wa zabibu ambazo zilikuwa kwenye vipaji vya mvinyo. Watu walikuwa wakitembea kwenye zabibu ili kupata juisi kutoka kwao ili kufanya divai. AT "akitembea juu ya zabibu katika vikombe vya divai" + +# kunyaga + +kutembea kwenye kitu cha kuponda au kushinikiza + diff --git a/neh/13/16.md b/neh/13/16.md new file mode 100644 index 00000000..2bc869d4 --- /dev/null +++ b/neh/13/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tiro + +jina la mji + +# Je! ni ubaya gani huu mnafanya, kuinajisi siku ya Sabato + +Nehemia ni kuwapiga viongozi wa Yuda. Hii inaweza kutafsiriwa kama taarifa. AT "Unafanya jambo baya kwa kudharau siku ya Sabato." au "Mungu atawaadhibu kwa kufanya jambo hili baya, kwa kudharau siku ya Sabato." + +# Je! Baba zenu hawakufanya hivyo? + +Nehemia anawatia viongozi wa Yuda. Hii inaweza kutafsiriwa kama taarifa. AT "Unajua kwamba baba zako walifanya hivyo, na ndiyo sababu Mungu alileta uovu huu wote juu yetu na juu ya mji huu." + diff --git a/neh/13/19.md b/neh/13/19.md new file mode 100644 index 00000000..a3293e1e --- /dev/null +++ b/neh/13/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mara ilipokuwa giza..... kabla ya Sabato + +"Wakati jua lilishuka ... na ilikuwa ni wakati wa Sabato kuanza" + +# milango ifungwe na kwamba haifai kufunguliwa hadi + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu ya kazi. AT "kwamba walinzi wafunga milango na hawafunguli mpaka " + +# mzigo wowote usiweze kuletwa + +Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu ya kazi. AT 'hakuna mtu anayeweza kuleta vitu walivyotaka kuuza' + +# wauzaji wa kila aina ya bidhaa + +"watu ambao walileta vitu vingi ambavyo walitaka kuuza" + diff --git a/neh/13/21.md b/neh/13/21.md new file mode 100644 index 00000000..d3cd14d1 --- /dev/null +++ b/neh/13/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mbona mnakaa nje ya ukuta? + +Nehemia anafanya swali hili lisipate jibu bali kuwaadhibu wafanyabiashara na kusisitiza amri yake. AT "Wewe ni kambi nje ya ukuta dhidi ya kile nilichoamuru." + +# nitakuweka mikononi! + +Neno "mikono" ni metonymy kwa hatua kali. AT 'Nitawafukuza kwa nguvu!" au "Nitawaondoa kwa nguvu!" + diff --git a/neh/13/23.md b/neh/13/23.md new file mode 100644 index 00000000..d5b9aa4e --- /dev/null +++ b/neh/13/23.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi + +Aya hizi zinaonyesha hatua inayofuata. + +# Wayahudi waliokuwa wameoa wanawake wa Ashdodi, Amoni na Moabu + +"Wayahudi ambao walikuwa wameoa wanawake wa kigeni" Mungu alikuwa amekataa kuoa ndoa. + +# Ashdodi + +Jina la mji + +# Amoni...Moabu + +majina ya mataifa + +# Nusu ya watoto wao + +"Matokeo yake, nusu ya watoto wao" + diff --git a/neh/13/25.md b/neh/13/25.md new file mode 100644 index 00000000..853fd430 --- /dev/null +++ b/neh/13/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nami nikawasiliana nao + +"Nilizungumza moja kwa moja nao juu ya kile walichofanya" + +# nikawapiga baadhi yao + +kwa mikono yake + +# Naliwaapisha kwa Mungu + +"Nimewafanya wanasema ahadi mbele ya Mungu" + +# Je, Sulemani mfalme wa Israeli hakufanya dhambi kwa sababu ya wanawake hawa? + +Nehemia anawaangamiza wanaume. Hii inaweza kutafsiriwa kama taarifa. AT "Unajua kwamba Sulemani mfalme wa Israeli alifanya dhambi kwa sababu ya wanawake hawa." + +# Je, tunapaswa kukusikiliza na kufanya uovu huu hata kumhalifu Mungu wetu na kuwaoa wanawake wageni? + +Nehemia anawaangamiza wanaume. Hii inaweza kutafsiriwa kama taarifa. AT "Hatutawasikiliza au kufanya uovu huu mkubwa au kutenda kwa uongo dhidi ya Mungu wetu kwa kuoa wanawake wa kigeni." + diff --git a/neh/13/28.md b/neh/13/28.md new file mode 100644 index 00000000..1c015037 --- /dev/null +++ b/neh/13/28.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Yoyada....Eliashibu...Sanbalati + +Haya ni majina ya wanaume + +# Mhoroni + +mtu kutoka mji wa Beth...Horoni + +# nilimondoa kutoka mbele yangu + +"Nilimfukuza" au "nimemfanya aondoke Yerusalemu" + +# Wakukumbushe + +"Fikiria juu yao" au "Kumbuka kile walichofanya" + +# wameunajisi ukuhani + +"wamekufanya ufikirie juu ya makuhani na kazi yao kama kwamba walikuwa wachafu" + +# na agano la ukuhani na Walawi + +"wamekufanya ufikirie juu ya agano ulilofanya na makuhani na Walawi kama kwamba ni safi" + diff --git a/neh/13/30.md b/neh/13/30.md new file mode 100644 index 00000000..438232bd --- /dev/null +++ b/neh/13/30.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa hiyo nimewatakasa + +"Kwa njia hii niliwatakasa" + +# kuimarisha kazi za makuhani na Walawi + +"aliwaambia makuhani na Walawi nini walipaswa kufanya" + +# Nilitoa sadaka za kuni + +"Nilipangwa kwa ajili ya utoaji wa kuni kwa ajili ya sadaka za kuni" + +# matunda ya kwanza + +"kwa sadaka ya matunda ya kwanza wakati wa mavuno" + +# Nikumbuke, Mungu wangu, kwa mema + +"Fikiria juu ya yote niliyoyatenda, Mungu wangu, na kunibariki kwa sababu ya mambo mema ambayo nimeyafanya" + diff --git a/num/01/01.md b/num/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..849dee35 --- /dev/null +++ b/num/01/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Siku ya kwanza ya mwezi wa pili + +Huu ni mwezi wa pili wa kalenda ya Kihebrania. Siku ya kwanza iko karibu na katikati ya mwezi wa Aprili kwa kalenda ya nchi za Kimagharinbi. + +# Mwaka wa pili + +"Mwaka wa 2" + +# Wahesabu kwa majina + +Kuwahesabu wanaume kwa kunakiri majina yao. + +# Umri wa miaka ishirini + +"Umri wa miaka 20" + +# Unakiri majina ya wanaume kwa katika makundi yao ya kijeshi + +Kuwaandika wanaume kufuata vikosi vya kijeshi. + diff --git a/num/01/04.md b/num/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..7b209527 --- /dev/null +++ b/num/01/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kichwa cha ukoo + +"kiongozi wa ukoo" + +# Kutumika pamoja na wewe + +"kukusaidia" + +# Elizuri ... Shedeuri ... Shelumieli ... Zurishadai + +Haya ni majina ya wanaume. + diff --git a/num/01/07.md b/num/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..ad862a23 --- /dev/null +++ b/num/01/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumtajia Musa orodha ya majina ya viongozi wa makabila. + diff --git a/num/01/10.md b/num/01/10.md new file mode 100644 index 00000000..ad862a23 --- /dev/null +++ b/num/01/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumtajia Musa orodha ya majina ya viongozi wa makabila. + diff --git a/num/01/12.md b/num/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..ad862a23 --- /dev/null +++ b/num/01/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumtajia Musa orodha ya majina ya viongozi wa makabila. + diff --git a/num/01/16.md b/num/01/16.md new file mode 100644 index 00000000..5554a6aa --- /dev/null +++ b/num/01/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wale wanaume waliokuwa waliokuwa wameandikwa. + +"Wale wanaume ambao BWANA amewchagua" + diff --git a/num/01/17.md b/num/01/17.md new file mode 100644 index 00000000..7ebcbfd7 --- /dev/null +++ b/num/01/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Wakawachukua wale wanaume + +"Wakawakusanya wale wanaume pamoja" + +# Waliokuwa wameandikwa kwa majina + +"Ambao majina yao walikuwa wameyaandika" + +# Siku ya kwanza ya mwezi wa pili + +"Siku ya 1 ya mwezi wa 2." Huu ni mwezi wa pili wa kalenda ya Kihebrania. Siku ya kwanza iko karibu na siku ya katikati ya mwezi wa Apili katika kalenda ya kimagharibi. + +# Kishsa kila mwanamume ... alitambua babu zake. Alitakiwa kutaja koo na familia kutoka katika ukoo + +Sentensi ya pili inafanana na sentensi ya kwanza ila imetumika kuongeza ufafanuzi. + +# Alitakiwa kutaja + +"Kutaja" inamaanisha "kusema." "Kila mwanamume alitakiwa kusema" + diff --git a/num/01/20.md b/num/01/20.md new file mode 100644 index 00000000..5effd0f7 --- /dev/null +++ b/num/01/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yalihesabiwa majina yote + +"waliheabau majina yote" + +# wenye uwezo wa kwenda vitani + +"waliokuwa na uwezo wa kwenda viatani" + +# wanaume 46,500 + +"wanaume elfu arobaini na sita, n a mia tano" + diff --git a/num/01/22.md b/num/01/22.md new file mode 100644 index 00000000..24aabaec --- /dev/null +++ b/num/01/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia + +Tazama 1:20 + diff --git a/num/01/24.md b/num/01/24.md new file mode 100644 index 00000000..24aabaec --- /dev/null +++ b/num/01/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia + +Tazama 1:20 + diff --git a/num/01/26.md b/num/01/26.md new file mode 100644 index 00000000..24aabaec --- /dev/null +++ b/num/01/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia + +Tazama 1:20 + diff --git a/num/01/28.md b/num/01/28.md new file mode 100644 index 00000000..24aabaec --- /dev/null +++ b/num/01/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia + +Tazama 1:20 + diff --git a/num/01/30.md b/num/01/30.md new file mode 100644 index 00000000..24aabaec --- /dev/null +++ b/num/01/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia + +Tazama 1:20 + diff --git a/num/01/32.md b/num/01/32.md new file mode 100644 index 00000000..24aabaec --- /dev/null +++ b/num/01/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia + +Tazama 1:20 + diff --git a/num/01/34.md b/num/01/34.md new file mode 100644 index 00000000..24aabaec --- /dev/null +++ b/num/01/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia + +Tazama 1:20 + diff --git a/num/01/36.md b/num/01/36.md new file mode 100644 index 00000000..24aabaec --- /dev/null +++ b/num/01/36.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia + +Tazama 1:20 + diff --git a/num/01/38.md b/num/01/38.md new file mode 100644 index 00000000..24aabaec --- /dev/null +++ b/num/01/38.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia + +Tazama 1:20 + diff --git a/num/01/40.md b/num/01/40.md new file mode 100644 index 00000000..24aabaec --- /dev/null +++ b/num/01/40.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia + +Tazama 1:20 + diff --git a/num/01/42.md b/num/01/42.md new file mode 100644 index 00000000..24aabaec --- /dev/null +++ b/num/01/42.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# yalihesabiwa majiina yote ya kila mwanamume ... ya ukoo na familia + +Tazama 1:20 + diff --git a/num/01/44.md b/num/01/44.md new file mode 100644 index 00000000..b78a653c --- /dev/null +++ b/num/01/44.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa hiyo wanaume wote wa Israeli ... walihesabiwa kutoka kwenye familia zao + +Tazama 1:20 + diff --git a/num/01/47.md b/num/01/47.md new file mode 100644 index 00000000..652e8a69 --- /dev/null +++ b/num/01/47.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wanaume toka ukoo wa Lawi hawakuhesabiwa + +"Musa na Haruni hawakuwahesabu wale wanaume waliokuwa wakitoka ukoo wa Lawi + +# waliokuwa wakitoka ukoo wa Lawi + +"waliokuwa wakitoka kwenye kabila la Lawi + +# usiwahesabu wale wa kabila la Lawi + +"kabila la Lawi" inamaanisha wanaume wote wa akbila la Lawi". "usiwahesabu wanaume wote wa kabila la Lawi" + diff --git a/num/01/50.md b/num/01/50.md new file mode 100644 index 00000000..07e0be8a --- /dev/null +++ b/num/01/50.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hema la amri za agano + +Lile hema pia lilitwa kwa jina hili kwa sababu lile sanduku lenye sheria liliwekwa ndani yake. + +# vyote vilivyomo + +Neno "mo" inamaanisha masikani + +# Walawi watalazimika kuibeba masikani + +Mtakaposafari, Walawi wataibebba masikani + +# Kuzitengeneza kambi zinazoizunguka + +Wataweka kambi zao kuizunguka. + diff --git a/num/01/51.md b/num/01/51.md new file mode 100644 index 00000000..1a79aadd --- /dev/null +++ b/num/01/51.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Na kila hema litakapotakiwa kusimamishwa + +"wakati wa kuisimamisha masikani utakapofika" + +# Na mgeni ... atauawa + +"Mtamwua kila mgeni atakayeisogelea masikani" + +# bango + +bendera kubwa + +# jeshi lake + +"kikosi chake cha kijeshi" + diff --git a/num/01/53.md b/num/01/53.md new file mode 100644 index 00000000..1355150d --- /dev/null +++ b/num/01/53.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Masikani ya amriza agano + +Tazama 1:50 + +# Ili kwamba hasira yangu isije ikawaka juu ya wana wa Israeli + +"ili kwamba katika hasira yangu nisije nikawaadhibu watu wa Israeli" + +# BWANA aliagiza kupitia Musa + +BWANA alikuwa amemwagiza Musa mambo yote ambayo Waisraeli walipaswa kufanya, na ndipo Musa alipowaagiza Waisraeli. + diff --git a/num/02/01.md b/num/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..19e399a6 --- /dev/null +++ b/num/02/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kulingana na mahali pake + +Kulikuwa na makundi makubwa manne ambayo makabila yalikuwa yamegawanyika. Kila kundi liliamuliwa kukaa mahali pamoja. Kila kundi lilitambulishwa na bango. + +# pamoja na mabango ya baba zao + +Kila ukoo ulikuwa na bango lao hapo kambini, ambalo lilikuwa ndani ya eneo kufuata mahali pao. + +# mabango + +bango ni bendera kubwa. + diff --git a/num/02/03.md b/num/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..594c5edc --- /dev/null +++ b/num/02/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# katika kuundi lao + +Tazama 2:1 + +# Nashono mwana wa Aminadab + +Tazama 1:7 + +# 74,600 + +"elfu sabini na nne, na mia sita. + diff --git a/num/02/05.md b/num/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..48a354e6 --- /dev/null +++ b/num/02/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania. + +# Nathaniel mwana wa Zuari + +Tazama 1:7 + +# Kikosi + +Hili ni neno la kijedshi lenye maana ya kundi kubwa la wanajeshi. Kila kabila lilikuwa na "kikosi chake." + diff --git a/num/02/07.md b/num/02/07.md new file mode 100644 index 00000000..b627101a --- /dev/null +++ b/num/02/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania. + +# Eliabu mwana wa Heloni + +Tazama 1:7 + +# 57,400 + +wanaume 57,400 + diff --git a/num/02/09.md b/num/02/09.md new file mode 100644 index 00000000..becb58c4 --- /dev/null +++ b/num/02/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Idadi yote ya kambi ya Yuda ni 186,400 + +Idadi hii inajumuisha wanaume wote katika makabila ambayo yalikuwa yameweka kambi kufuata mahali pa Yuda. "Idadi ya wanaume waliokuwa wameweka kambi ya Yuda ni 186,400. + +# Watakuwa wa kwanza kuondoka + +Hii inamaanisha kuwa watakuwa wa kwanza wakati kambi za Waisraeali zitakapoondoka. "Wakati wa kusafiri watakuwa wa kwanza kuondoka. + +# wa kwanza + +"wa 1" + diff --git a/num/02/10.md b/num/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..f41314d7 --- /dev/null +++ b/num/02/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania. + +# Katika kundi lao + +Tazama 2:1 + +# Elizuri mwana wa Shedeuri + +Tazama 1:4 + +# 46,500 + +"wanaume 46,500" + diff --git a/num/02/12.md b/num/02/12.md new file mode 100644 index 00000000..80b8f3ed --- /dev/null +++ b/num/02/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania. + +# Shelumieli mwana wa Zurishadai + +Tazama 1:4 + +# 59,300 + +"wanaume 59,300 + diff --git a/num/02/14.md b/num/02/14.md new file mode 100644 index 00000000..20f0e2f1 --- /dev/null +++ b/num/02/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania. + +# Eliasafu mwana wa Deuli + +Tazama 1:12 + +# 45,650 + +"wanaume 45,650" + diff --git a/num/02/16.md b/num/02/16.md new file mode 100644 index 00000000..7b4a27e0 --- /dev/null +++ b/num/02/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wote waliohesabiwa kwenye kambi ya Reubeni, kulingana na vikosi vyao, ni 151,450 + +Idadi ya wanaume wote waliokuwa wameweka kambi mahali pa Reubeni kwa kufuata vikosi vyao ni 151,450" + +# wa pili + +"wa 2" + diff --git a/num/02/17.md b/num/02/17.md new file mode 100644 index 00000000..0a07286c --- /dev/null +++ b/num/02/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hema ya kukutania kuondoka kambini .. katikati ya kambi zote + +Hii inamaanisha kuwa hema ya kukutania lazima libebwe na Walawi katikati ya makabila wakati wa safari. + +# Lazima waondoke + +neno "wa" inamaanishsa makabila kumi na mbili. + +# kwa kufuata bango lake + +"Kwa bango la kabila lake" + diff --git a/num/02/18.md b/num/02/18.md new file mode 100644 index 00000000..cbd347e6 --- /dev/null +++ b/num/02/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania. + +# Kufuata mahali pao + +Tazama 2:1 + +# 40,500 + +wanaume 40,500 + diff --git a/num/02/20.md b/num/02/20.md new file mode 100644 index 00000000..e2ddb8cb --- /dev/null +++ b/num/02/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania. + +# Baada ya hao + +Hii inamaanisha kuwa kabila na Manase ndilo litakalofuatia. + +# 32,200 + +wanaume 32,000 + diff --git a/num/02/22.md b/num/02/22.md new file mode 100644 index 00000000..ef5ab699 --- /dev/null +++ b/num/02/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania. + +# Kabila litakalofuata + +Hii inamaanishsakuwa kabila la Manase ndilo litakalofuata, baada ya kabila la Efraimu. + +# 35,400 + +Wanaume 35,400 + diff --git a/num/02/24.md b/num/02/24.md new file mode 100644 index 00000000..c6ba9155 --- /dev/null +++ b/num/02/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania. + +# Wote waliohesabiwa katika kambi ya Efraimu ni 108,100 + +Idadi ya wanaume waliokuwa wameweka kambi mahali pa Efraimu ni 108,100. + +# wa tatu + +"wa 3" + diff --git a/num/02/25.md b/num/02/25.md new file mode 100644 index 00000000..0043c36f --- /dev/null +++ b/num/02/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania. + +# kambi ya kikosi cha Dani + +Hii inamaanisha kikosi kizima cha Dani, Asheri, na Naftali ambao wako mahali pa Dani. "Kikosi ambacho kinaweka kambi mahali pa Dani. + +# Ahiezeri mwana wa Amishadai + +Tazama 1:12. + +# 62,700 + +Wanaume 62,700 + diff --git a/num/02/27.md b/num/02/27.md new file mode 100644 index 00000000..a3aaae1c --- /dev/null +++ b/num/02/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwaujumla + +BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania. + +# PAgieli mwana wa Okirani + +Tazama 1:12 + +# 41,500 + +Wanaume 41,500 + diff --git a/num/02/29.md b/num/02/29.md new file mode 100644 index 00000000..a235d8e0 --- /dev/null +++ b/num/02/29.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwaujumla + +BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania. + +# Ahira mwana wa Enani + +Tazama 1:12 + +# 53,400 + +Wanaume 53,400 + diff --git a/num/02/31.md b/num/02/31.md new file mode 100644 index 00000000..efdb01df --- /dev/null +++ b/num/02/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaenedelea kumwambia Musa mahali ambapo kila kabila na jeshi lao litakapoweka kambi kuizunguka hema ya kukutania. + +# Wote waliohesabiwa kwenye kambiya Dani walikuwa 157,600 + +"Idadai ya wanaume waliohesabiwa kwenye kambi ya Dani ni 157.600 + diff --git a/num/02/32.md b/num/02/32.md new file mode 100644 index 00000000..69e324d6 --- /dev/null +++ b/num/02/32.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wote waliohesabiwa + +Musa na Haruni waliwahesabu wote + +# kwa kufuata vikosi vyao + +Neno "vyao" inamaanisha wana wa Israeli + diff --git a/num/02/34.md b/num/02/34.md new file mode 100644 index 00000000..014f5342 --- /dev/null +++ b/num/02/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Walisafiri kutoka kambini + +"Waliposafiri waliondoka kambini" + diff --git a/num/03/01.md b/num/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..cf2f6cbf --- /dev/null +++ b/num/03/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sasa + +Mwandishi analitumia neno "sasa" ili kuonyesha anavyoanza kueleza habari nyingine. + +# Nadabu, mzaliwa wa kwanza + +"Nadabu, aliyekuwa mzaliwa wa kwanza" + +# Nadabu ... Abihu ... Ithamari + +Haya ni majina ya wanaume + diff --git a/num/03/03.md b/num/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..2522c3d6 --- /dev/null +++ b/num/03/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Wale makuhani waliokuwa wametiwa mafuta na kuwekwa wakfu. + +"wale makuhani ambao Musa aliwatia mafuta na kuwaweka wakfu" + +# Nadabu ... Abihu ... Ithamari. + +Tazama 3:1 + +# walikufa mbele za BWANA + +Kirai cha "walikufa" kinamaanishsa kufa ghafula. "Walikufa ghafula mbele za BWANA" + +# Mbele za BWANA + +iNamaanisha uwepo wa BWANA, kwa maana ya kwamba BWANA aliona kila kitu kilichokuwa kikitokea. Au "Katika uwepo wa BWANA" + +# Walipomtolea moto usiokubalika + +Neno "moto" limetumika kumaanisha "uvumba wa kufukiza." Walichoma uvumba wa kufukiza ambao BWANA hakuukubali." + diff --git a/num/03/05.md b/num/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..807d2c46 --- /dev/null +++ b/num/03/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Walete kabila ya Lawi + +Hapa neno "kabila" inamaanisha wanaume walio katika kabila hiyo + diff --git a/num/03/07.md b/num/03/07.md new file mode 100644 index 00000000..63e26898 --- /dev/null +++ b/num/03/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# badala ya + +"kwa." Hii inamaanisha kufanya kazi ya mwingine kama mwakilishi wa wengine. + +# watayatumikia makabila ya Israeli + +Hapa "makabila ya Israeli inamaanisha watu wa Israeli. "Kuwatumika watu wa Israeli" + +# watawatumikia makabila ya Israeli kwa huduma ya hemani + +Kirai cha "kwa huduma" kinamaanisha kutumika." "Wtawasaidia Waisraeli kwa kutoa huduma ya hemani" + +# kwa huduma ya hemani + +"kazi ya hemani." + diff --git a/num/03/09.md b/num/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..88d7683d --- /dev/null +++ b/num/03/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Uwaweke + +"U" inammaanisha Musa. + +# Nimewatoa kikamilifu + +Nimewatoa kwa vyote + +# mgeni yeyote atakayekaribia lazima auawe + +"lazima mmuue mgeni yeyote atakayesogea karibu. + +# lakini mgeni yeyote atakayekaribia + +"lakini mgeni yeyote atakayeikaribia masikani" + diff --git a/num/03/11.md b/num/03/11.md new file mode 100644 index 00000000..3ef93525 --- /dev/null +++ b/num/03/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tazama + +"Sikiliza" au "Uwe msikivu kwa kile ninachotaka kukuambia" + +# Nimewachukua Walawi + +"Nimewachagua Walawi" + diff --git a/num/03/14.md b/num/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..34823a49 --- /dev/null +++ b/num/03/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wahesabu uzao + +"Wahesabu wazao wa kiume" + +# katika nyumba za koo zao + +Neno "nyumba za koo zao" linamaanisha "wazao wa ukoo" nineno lingine lenye maana ya koo zao." au kwa kufuata koo zao. + +# Kufuata maelekezo ya BWANA, kama alivyoamriwa kufanya. + +Kimsingi virai hivi viwili vinamaanisha kitu kilekilke na vimetumika pamoja ili kutia msisitizo kuwa alimtii BWANA. + diff --git a/num/03/17.md b/num/03/17.md new file mode 100644 index 00000000..133cf554 --- /dev/null +++ b/num/03/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii ni orodha ya uzao wa Lawi + +# Ukoo uliotokana na + +Hapa mwandishi anamaanisha ukoo "unaotoka" kwa + diff --git a/num/03/21.md b/num/03/21.md new file mode 100644 index 00000000..7a798f0b --- /dev/null +++ b/num/03/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Zilitokana na Gerishoni + +Hapa mwandishio anatumia neno "kutokana" na kuonyesha kama unaotoka kwa. "Zinatoka kwa Gerishoni" + +# Walibini ... Washimei ... Wagerishoni + +Walibini n a Washimei ni majina ya koo waliotajwa kwa kufuata vichwa vya familia zao. Wagerishoni ni jina la watu wanaotokanana Gerishoni. + +# Wanaume wote wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi walihesabiwa + +Musa aliwahesabu wanaume wote kuanzia wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi. + +# 7,500 + +elfu saba na mia tano + diff --git a/num/03/24.md b/num/03/24.md new file mode 100644 index 00000000..61045e5c --- /dev/null +++ b/num/03/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Elisfu ... Laeli + +Haya ni majina ya wanaume + +# Lile pazia la lango + +"pazia la kwenye ua" + +# ua unaozunguka mahali patakatifu na madhabahu + +"huo ni ua unaozunguka mahali patakatifu na madhabahu" + diff --git a/num/03/27.md b/num/03/27.md new file mode 100644 index 00000000..12ecc7ea --- /dev/null +++ b/num/03/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii niorodha ya koo zilizotokana na Kohathi + +# Kohathi + +Tazama 3:17 + +# Wanaume 8,600 walihesabiwa + +Musa aliwahesabu wanaume 8,600 + +# wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi + +"Kuanzia mwenzi mmoja na zaidi" + diff --git a/num/03/30.md b/num/03/30.md new file mode 100644 index 00000000..bd6feb46 --- /dev/null +++ b/num/03/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mistari hii inatupatia taarifa zinahusiana na koo ambazo zinatokana na Kohathi. + +# vitu vitakatifu ambavyo hutumika katika huduma yao + +"vitu vitakatifu ambavyo makuhani hutumia katika huduma" + diff --git a/num/03/33.md b/num/03/33.md new file mode 100644 index 00000000..081966bf --- /dev/null +++ b/num/03/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii ni orodha ya ukoo u naotokana na Merari + +# Wanaume 6,200 walihesabiwa + +"Musa aliwahesabu wanaume 6,200" + diff --git a/num/03/36.md b/num/03/36.md new file mode 100644 index 00000000..5a3887c6 --- /dev/null +++ b/num/03/36.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mbao za hema + +Hizi ni mbao zinazotenegenezwa kwa kuunganisha vipande viwili vya mbao. + +# mataruma + +Hii ni mihimili inayolifanya jengo kuwa na imara. + +# nguzo + +Nguzo ni ubao imara unaosimamishwa wima ili kushikilia kitu. + +# makalishio + +hivi ni vitu ambavyo viliwekwa mahali ambapo nguzo zilisimikwa. + +# vifaa vya ujenzi + +Hii inamaanishsa kila kitu ambacho kilitumika kwa kuunganishia mataruma, nguzo na makalishio + +# pamoja na vigingi vyake + +kiwakilishi "vyake" inamaanisha mihimili na nguzo. + +# vitundu, vigingi na kamba zake + +Hivi ni vifaa ambavyo vilitumika ili kuunganisha mbao zilizolazwa kwenye nguzo. + diff --git a/num/03/38.md b/num/03/38.md new file mode 100644 index 00000000..1acf0d34 --- /dev/null +++ b/num/03/38.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# watoto wake + +Neno "wake" inamhusu Haruni + +# kuelekea mawio ya jua + +huu ni upande wa mashariki wa masikani. "upande ule wa mashariki kwenye mawio ya jua" + +# wataajibika na majukumu + +neno "majukumu" ni nomino zahania inayoweza kuelezeka kama kitenzi, "kufanya majukumu" + +# mgeni atakayekaribia mahali patakatifu auawe" + +Utamwua kila mgeni atakayekaribia mahali patakatifu + +# wanaume ishirini na mbili elfu + +wanaume 22,000 + diff --git a/num/03/40.md b/num/03/40.md new file mode 100644 index 00000000..c4fb1a90 --- /dev/null +++ b/num/03/40.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# utwae wanyama wa Walawi + +"utanitwalia wanyama wote wa Walawi. + diff --git a/num/03/42.md b/num/03/42.md new file mode 100644 index 00000000..2deaddc8 --- /dev/null +++ b/num/03/42.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wazaliwa wote wa kwanza + +"wana wote wa kwanza" + diff --git a/num/03/44.md b/num/03/44.md new file mode 100644 index 00000000..ae84fb28 --- /dev/null +++ b/num/03/44.md @@ -0,0 +1,18 @@ +# BWANA + +Neno "BWANA" ni jina la Mungu ambalo alilitumia wakati alipojifunua kwa Musa kwenye kile kichaka kilichowaka moto. +Jina "BWANA" linatokana na neno ambalo linamaanisha, "kuwa" au "kuwepo." Linaweza kumaanisha "Yeye ndiye" au "Mimi ndiye" au "Yeye anayewezesha vitu kuwepo". Jina hili linafunua ukweli wa Mungu kuwa alikuwepo na ataendelea kuwepo daima. Jina hili linaandikwa kwa herufi kubwa kubwa ili kulitofautisha na neno Bwana ili kuonyesha heshima. + +# Musa + +Musa alikuwa nabiina kiongozi wa Waisraeli kwa zaidi yamiaka 40. WakatiMusa alipokuwa mtoto mchanga: wazazi wake walimweka kwenye kikapu kisha kumtupa kwenye majani ya Mto Naili ili kumficha ili Farao Mmisiri asimwone. Umbu lake Miriamu alimtazama pale. Maishsa ya Musa yalisalimika pale binti wa Farao alipomwona na umchukua kisha akampeleka ikulu kulelewa. Mungu alimchagua Musa kuwaokoa wana wa Israeli kutoka utumwani na kuwapeleka kwenye nchi ya ahadi. Baada ya Waisraeli kutoka Misri; wakati wakizungukazunguka jangwani,Mungu alimpatia Musa vidonge viwili vya mawe vilivyokuwa vimeandikwa amri kumi za Mungu. +Karibu na mwisho wa maisha yake, Musa aliona ile nchi ya ahadi, lakini Mungu hakumruhusu kuingia pale kwa sababu alishindwa kutii. + +# Mlawi, Lawi + +Lawi alikuwa mmoja wa wana kumi n a mbili wa Yakobo au Israeli. Neno "Mlawi" linamaanisha mtu ambaye anatoka kwenye ukoo wa Lawi. Walawi waliajibika kulitunza hekalu na kuendesha ibaada za kidini, ambazo zilijumuisha sadaka na dhabihu na maombi. Makuhani wote wa Kiyahudi walikuwa Walawi, waliokuwa wametokana na Lawi. Lakini si Walawi wote walikuwa makuhani. Makuhani wa Kilawi walikuwa wametengwa na kuwekwa wakfu kwa ajili ya kazi maalumu ya kumtumikia Mungu hekaluni. Kuna watu wawili pia waliojulikana kwa jina la "Lawi" wanaonekana kwenye ukoo wa Yesu katika injili ya Luka. Mwanafunzi wa Yesu aitwaye Mathayo pia aliitwa Lawi. + +# Israeli, Waisraeli, taifa la Israeli + +Jina "Israeli" ni jina ambalo Mungu alimpatia Yakobo. Linamaanisha, "aliyemng'ang'ania Mungu. Wana wa uzao wa Yakobo walijulikna kama "Watu wa Israeli," "taifa la Israeli," au "Waisraeli" + diff --git a/num/03/46.md b/num/03/46.md new file mode 100644 index 00000000..e83fabee --- /dev/null +++ b/num/03/46.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# za wokovu kwa + +Nomino ya "wokovu" lnaweza kutafsiriwa kwa tendo la "okoa." "Kuokoa" + +# wazaliwa wa kwanza wa Israeli + +"wana wa kwanza wa Israeli" + +# shekeli tano + +shekeli moja sawa na gramu 11. Kwa hiyoni sawa na gramu 55 za fedha + +# wanaozidi idadi ya Waisraeli + +Hii inamaanisha kuwa kulikuwa na wazaliwa wa kwanza wa kiume zaidi ya 273 miongoni mwa makabila mengine ya Israeli zaidi ya idadi yao ya Walawi wa kiume. + +# Utazitumia hizo shekeli kwa kipimo cha mahali patakatifu + +Hii inamaanisha kuwa shekeli itapimwa kwa kwa kipimo sawa na kile cha shekeli za mahali patakatifu. "Utatumia kipimo cha shekeli za mahali patakatifu" + +# gera ishirini + +"gera 20."Gera ni kipimo kilicho sawa na kilogramu 0.57 + +# kwa kipimo cha wokovu ulicholipa. + +Hapa neno "bei" linamaanisha shekeli ambazo Musa alikuwa amekusanya, "zile pesa ambazo umekusanya kwa ajili ya wokovu" + diff --git a/num/04/01.md b/num/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..7f04365b --- /dev/null +++ b/num/04/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kohathi + +Tazama 3:17 + +# kati ya miaka thelathini na hamsini + +"kati ya miaka 30 hadi 50" + +# wataungana na kundi + +Neno "kundi"linamaanisha wale watu wengine wanaofanya kazi kwenye hema ya kukutania. + +# vilivyohifadhiwa kwa ajili yangu + +"ambavyo nimevichagua kwa ajili yangu" + diff --git a/num/04/05.md b/num/04/05.md new file mode 100644 index 00000000..3d6486e3 --- /dev/null +++ b/num/04/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wakati kambi inajiandaa + +Neno "kambi" linamaanisha watu wote waliokambini. "Wakati watu wanapojiandaa" + +# kusonga mbele + +"kwenda kwenye eneo lingne" + +# kulifunika sanduku la ushuhuda kwa .. hilo + +Kiwakilishi "hilo" kinamaanisha pazia ambalo lilitenganisha kati ya mahali patakatifu na patakatifu pa patakatifu. + +# watachomeka hiyo miti + +"chomeka hiyo miti kwenye hizo peete pembeni za sanduku. + diff --git a/num/04/07.md b/num/04/07.md new file mode 100644 index 00000000..47cfc34c --- /dev/null +++ b/num/04/07.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# mikate ya wonyesho + +Mikate hii inawakilisha uwepo wa BWANA. "mikate ya uwepo wa BWANA" + +# Juu yake wataweka + +Kiwakilishi cha "yake" kinamaanisha ile nguo ya rangi ya samawi. + +# sahani, vijiko, mabakuli ya kumiminia + +"mabakuli navikombe vinavyotumka kwa kumiminia sadaka ya vinywaji" + +# Watavifunika + +Neno "vi" inamaanisha yale masahani, vijiko, mabakuli na vikombe." + +# Mikate itakuwepo daima + +"Lazima kuwepo na mikate daima" + +# kitambaa cha rangi nyekundu + +"kitambaa chekundu" + +# kuweka miti ya kubebea + +"kuweka miti kwenye pete pembezoni mwa meza" + diff --git a/num/04/09.md b/num/04/09.md new file mode 100644 index 00000000..f92eb1c3 --- /dev/null +++ b/num/04/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wataweka ... vikiwa vimefunikwa na ngozi za pomboo" + +"Lazima wavifunika ...na ngozi za pomboo" + +# Wataviweka kwenye miti ya kukibebea + +"wataviweka vitu vyote hivi juu ya miti ya kubebea" + +# kuweka ile miti ya kubebea + +"kuweka miti ya kubebea kwenye zile pete zilizo pembezoni mwa madhabahu" + diff --git a/num/04/12.md b/num/04/12.md new file mode 100644 index 00000000..75593e1a --- /dev/null +++ b/num/04/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# miti ya kubebea + +Hiki ni chombo cha miti chenye umbo la mstatili kilicho na nguzo za kubebea vitu. + +# kwa kazi ya madhababahuni + +"vinavyotumika wakati wa kutoa huduma ya BWANA mahali patakatifu" + +# katika kazi ya madhabahuni + +"wakati wa kutoa huduma madhabahuni" + +# kuweka ile mitiy a kubebea + +"Weka ile miti ya kubebea kwenye zile pete zilizo pembezoni mwa madhabahu" + diff --git a/num/04/15.md b/num/04/15.md new file mode 100644 index 00000000..ac40a5ed --- /dev/null +++ b/num/04/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kubeba vitu vya mahali patakataifu + +"kubeba vitu vyote vya mahali patakatifu" + +# kambi itakapoanza kuendelea mbele + +"wakati watu watakapoende mbele" + +# Kohathi + +TAzama 3:17 + +# vyombo vitakatifu + +"vifaa vitakatifu + +# mafuta ya taa + +"mafuta kwa ajiliya taa" + +# atasimamia u,inzi + +"wale wanaolinda" + diff --git a/num/04/17.md b/num/04/17.md new file mode 100644 index 00000000..a0ec6725 --- /dev/null +++ b/num/04/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wakohathi + +Tazama 3:27 + +# Kuondolewa kati ya Walawi + +"kufanya chochote ambacho kitanifanya mimi kuwatoa kabisa miongoni mwa Walawi." + +# kwa kufanya hivi + +Kirahi hiki kinalenga kitu ambacho BWANA atasma baadaye. Musa atawalinda Wakohathi kwa kutowaruhusukuingia ndani na kuona mahali patakatifu. + +# kazi maalumu ya kufanya, kila mmoja + +virai hivi viwili vinamaanisha jambo lilelile na vimeunganishwa ili kutoa msisitizo. + diff --git a/num/04/21.md b/num/04/21.md new file mode 100644 index 00000000..7e72abd4 --- /dev/null +++ b/num/04/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kwa wana wa Gerishoni + +kwa wana wa kiume wa Gerishoni + +# Gerishoni + +Tazama 3:17 + +# kuanzia umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini + +"kuanzia miaka 30 hadi miaka 50" + +# kuungana na wala wanaotumika katika hema ya kukutania + +Tazama 4:1 + diff --git a/num/04/24.md b/num/04/24.md new file mode 100644 index 00000000..55db988a --- /dev/null +++ b/num/04/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hii ndiyo kazi ya koo za ... wanachotumikia na wanachobeba + +Hi ni sentensi inayofafanua kile kinachoelezwa na mistari inayofuata. + +# Wagerishoni + +Tazama 3:21 + +# vifuniko vvya ngozi ya pomboo ambavyo vipo juu yake + +"ni kifuniko cha nje kiinachotengenezwa kwa ngozi za pomboo" + +# Chochote kinachotakiwa kufanywa kutokana na vitu hivi + +"kazi yeyote ambyo inahitajika kwa ajili ya kazi hii." + diff --git a/num/04/27.md b/num/04/27.md new file mode 100644 index 00000000..e29d898d --- /dev/null +++ b/num/04/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# watakaoongoza + +"kusimamia" + +# Huu ndio utumishi wa Wagerishoni ... hema ya kukutania + +Neno "utumishi" ni nomino zahania ambayo inaweza kuelezekakwa kutumia kitenzi. na neno hili linamaanisha kile ambacho BWANA alikuwa amesema. "Hii ndiyo namna ya utumishi wa wana wa ukoo wa kizazi cha Wagerishoni ambavyo watatumika katika hema ya kukutnia" + +# Ithamari + +Tazama 3:1 + diff --git a/num/04/29.md b/num/04/29.md new file mode 100644 index 00000000..ec99ac34 --- /dev/null +++ b/num/04/29.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Uzao wa Merari + +"uzao wa wana wa kiume wa Merari" + +# Merari + +Tazama 3:17 + +# uwapange + +"uwaorodheshe" + +# umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini + +"umri wa miaka 30 hadi umri wa miaka 50" + +# atakayeungana na kundi lenye utumishi katika hema ya kukutania + +Tazama 4:1 + diff --git a/num/04/31.md b/num/04/31.md new file mode 100644 index 00000000..e789846e --- /dev/null +++ b/num/04/31.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Huu ndio wajibu wao + +"Huu" inamaanisha kile ambacho BWANA atasema baadaye. + +# mbao za masikani, mataruma, ... na vifaa vyake. + +Kiwakilishi cha "zake" kinamaanisha nguzo za ua. + +# nguzo za ua zinazozunguka, nguzo, mbao ... na kamba zake + +Tazama 4:31 + +# Waoredhesha kwa majina na majukumu yao + +"Uorodheshe kila jina la mtu na jukumu lake" + diff --git a/num/04/33.md b/num/04/33.md new file mode 100644 index 00000000..78353d5e --- /dev/null +++ b/num/04/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# chini ya uongozi wa Ithimari mwana wa Haruni kuhani mkuu + +"Kama Ithimari nwana wa Haruni atkavyokuwa akiwaongoza" + +# Ithimari + +Tazama 3:1 + diff --git a/num/04/34.md b/num/04/34.md new file mode 100644 index 00000000..e005112d --- /dev/null +++ b/num/04/34.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Wana wa uzao wa Wakohathi + +Hii inamaainsha wale wana wa kiume. "Wana wa wa kiume wa uzao w a Wakohathi" + +# Wakohathi + +Tazama 3:27 + +# Wenye umri wa miaka thelathini hadi umri wa wa miaka hamsini + +"Miaka 30 umri wa miaka 50" + +# kila mmoja aliyepaswa kuungana na kundi + +"kila mmoja aliyekuwa ameamriwa kuunagana na kundi" + +# kuungana na kundi linalotoa huduma y a utumishi kwenye hema ya kukutania + +Tazama 4:1 + +# 2,750 + +"elfu mbili, mia saba na hamsini" + diff --git a/num/04/38.md b/num/04/38.md new file mode 100644 index 00000000..7c65533a --- /dev/null +++ b/num/04/38.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Uzao wa Gerishoni + +"Wana wa kiume wa uzao wa Gerishoni" + +# Uzao wa Gerishoni walihesabiwa + +"Musa na Haruni waliwahesabi wana wa uzao wa Gerishoni + +# Kuanzia umri wa miaka thelathini hadi umri wa miaka hamsini + +"kuanzia umri wa miaka 30 hadi umri wa miaka 50" + +# kwa kila mmoja anayetakiwa kuungana na kundi + +Kila mmoja aliyetakiwa kuungana na kundi" + +# walihesabiwa kufuata koo zao + +"ambao Musa na Hruni waliwahesabu kwa kufuata koo zao" + +# 2,600 + +"wanaume 2600" + diff --git a/num/04/41.md b/num/04/41.md new file mode 100644 index 00000000..14d0d89c --- /dev/null +++ b/num/04/41.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# walifanya hivi ili kutii + +Kiwakilishi "wa" kinamwakilisha Musa na Haruni + diff --git a/num/04/42.md b/num/04/42.md new file mode 100644 index 00000000..691759b7 --- /dev/null +++ b/num/04/42.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Uzao wa Merari walihesabiwa + +"Musa na Haruni waliwahesabu uzao wa Merari" + +# Kuanzia umri wa miaka thelathini hadi umri wa miaka hamsini" + +"kuanzia miaka 30 hadi miaka 50" + +# kila anayepaswa kuunga na na kundi + +"kila mmoja aliyekuwa amepangiwa kuungana na kundi" + +# kuungana na watu wanotumika kwenye hema ya kukutania + +tazama 4:1 + +# waliohesabiwa kupitia koo zao + +"ambao Musa na Haruni waliwahesabu kpitia koo zao" + diff --git a/num/04/45.md b/num/04/45.md new file mode 100644 index 00000000..3677c4c2 --- /dev/null +++ b/num/04/45.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# walitii + +Kiwakilishi "wa" kinamwakilisha Musa na Haruni + diff --git a/num/04/46.md b/num/04/46.md new file mode 100644 index 00000000..f1187a7f --- /dev/null +++ b/num/04/46.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kuanzia thelathini hadi hamsini + +Hii inamaanishsa wanaume. "wanaumekuanzia umri wa miaka thelathini hadi hamsini" + +# kuanzia thelathini hadi hamsini + +Hii inamaanishsa wanaume. "wanaumekuanzia umri wa miaka thelathini hadi hamsini" + diff --git a/num/04/49.md b/num/04/49.md new file mode 100644 index 00000000..76a28927 --- /dev/null +++ b/num/04/49.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa agizo la BWANA + +"Kama vile BWANA alivyoagiza" + +# na kutunza kumbukumbu ya kazi ambayo kila mmoja anaweza kufanya.alimwesabu kila mwanaume kwa jukumu alilofanya + +Virai hivi viwili vinamaanishakitu kimoja na vimetumka pamoja ili kusisitiza jinsi Musa alivyowahesabu wanaume wote. + +# kile ambacho BWANA alikuwa amewaagiza kufanya + +"kwa aina ya kazi ambayo alikuwa amemwagiza kila mmoja kufanya" + +# anaweza kufanya + +"ambayo angekuwa nayo" + +# walitii ambacho BWANA alikuwa amewaagiza + +kiwakilishi cha "wa" na "me" kinamlenga Musa na Haruni. + diff --git a/num/05/01.md b/num/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..87d1e198 --- /dev/null +++ b/num/05/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wenye magonjwa ya ngozi + +Hii inamaanisha ukoma, huu ni ugonjwa unaoathiri ngozi na unasambaa kwa wengine kwa urahisi. + +# vidonda vinavyotoa harufu + +Hii inamaanisha vidonda vya wazi vinavyotoa usaha. + +# ambaye amenajisika kwa kugusa maiti + +Mtu alipogusa maiti alionekana kuwa najisi. Mtu ambaye alikuwa hakubariki kwa matumizi ya kazi ya Mungu alionekana ki mwili kuwa najisi. + +# umtoe kambini + +kiwakilishi cha "u" ni cha wingi na kinamanisha watu wa Israeli. + +# Watu wa Israeli walifanya hivyo + +Watu wa Israeli waliwatoa kambini watu waliokuwa najisi. + diff --git a/num/05/05.md b/num/05/05.md new file mode 100644 index 00000000..3814eca8 --- /dev/null +++ b/num/05/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# dhambi yeyote ambayo watu hufanyiana + +"dhambi yeyote ambayo watu hufanya dhidi ya mwingine" + +# mtu huyo atakuwa na hatia kwangu + +"mtu huyo atakuwa amenikosea mimi pia" + +# malipo ya hatia yake + +"kiwango sahihi cha fedha kwa dhambi yake" + +# na kuongeza kwenye malipo hayo sehemu ya tano zaidi + +sehemu ya tano zaidi. Hii inamaanisha kuwa mtu atalipa sehemu ya tano zaidi ya malipo anayotakiwa kulipa. + +# sehemu ya tano + +Sehemu ya tano ni sehemu moja kati ya vitu vitano. + diff --git a/num/05/08.md b/num/05/08.md new file mode 100644 index 00000000..dc94dcf3 --- /dev/null +++ b/num/05/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Lakini k ama mtu huyu aliyetendewa kosa hana ndugu wa kupokea hayo malipo + +Lakini kama mtu aliyetendewa kosa amekufa na hana ndugu wa karibu wa kupokea malipo hayo" + +# kama mtu aliyetendewa kosa + +"kama mtu ambaye mtu mwenye hatia amemtendea kosa" + +# basi atalipa hayo malipo ya hatia kwangu kupitia kwa kuhani. + +kama mtu atalipa malipo hayo kwa kuhani kulipia hatia yake ni sawa na kulipa malipo hayo kwa BWANA. + +# kutoa fidia kwa ajili yake + +"kutoa fidia kwa ajili ya dhambi yake" + +# vitu ambavyo vimetengwa na vikaletwa kwa kuhani na watu wa Israeli + +"vitu ambavyo watu wa Israeli wamevitenga na kuvileta kwa kuhani" + +# sadaka ya kila mtu itakuwa ya kuhani; kama mtu yeyote atatoa kitu chochote kwa kuhani, kitakuwa chake + +Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kilekile na vinaweza kuunganishwa ili visomeke kuwa, 'sadaka ambayo mtu hutoa huwa mali ya kuhani ambaye wamepewa. + diff --git a/num/05/11.md b/num/05/11.md new file mode 100644 index 00000000..fda45d4d --- /dev/null +++ b/num/05/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kama mke wa mtu ataasi na kuafanya dhambi dhidi ya mume wake + +Hiki ni kituambacho kinaweza kutokea, BWANA anamwambia Musa jinsi ya kufanya iwapo kama kitu hiki kitatokea. + +# Mke wa mtu ataasi + +kama mke wa mtu si mwamiinifu + +# na kufanya dhdambi dhidi ya mume wake + +"akafanya dhambi dhidi ya mume wake kwa kulala na mwanamume mwingine" + diff --git a/num/05/13.md b/num/05/13.md new file mode 100644 index 00000000..6c88a6f8 --- /dev/null +++ b/num/05/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Halafu mtu mwingine akalala naye + +na mtu mwingine akalala naye + +# atakuwa amenajisika ... mke wake amenajisika ... mke wake hajanajisika + +"amejinajisi mwenyewe ... mke wake amejinajisi mwenyewe ... mke wake hajajinajisi mwenyewe" + +# katika tendo + +"katika tendo la uzinzi" au "kulala naye" + +# ile roho ya wifu itaendelea kumjulisha yule mume. + +Hapa neno "roho" linamaanisha mtazamo na hisia za mtu. Wivu wake umeongolewa kama kuna mtu ambaye anamwambia, "Yule mtu anaweza kujihisi wivu na kuanza kumhofia" + +# roho ya wivu inaweza kumdanganya yule mwanamume + +mwanamume anaweza kuwa na wivu bila sababu. + diff --git a/num/05/15.md b/num/05/15.md new file mode 100644 index 00000000..2f21ada2 --- /dev/null +++ b/num/05/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# sehemu ya kumi + +hii ni sehemu moja kati ya kumi + +# sehemu ya kumi ya efa + +sehemu ya kumi ya efa ni karibu sawa na lita 2. + +# ni sadaka ya unga ya wivu + +"ni sadaka ya unga inayotolewa kwa ajili ya wivu" + +# dalili ya dhambi + +"Dalili" ni kitu kinachoonyesha uhakika wa jambo fulani. kwa ahali hiyo alitoa sadaka inayoonyesha kama mke wake kweli alifanya uzinzi au la. + diff --git a/num/05/16.md b/num/05/16.md new file mode 100644 index 00000000..bb58e5dd --- /dev/null +++ b/num/05/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# karibu na kumweka mbele ya BWANA + +"Katika uwepo wa BWANA." Kuhani atamleta karibu na madhabahu. "Karibu na madhabahu na kumweka karibu mbele za uwepo wa BWANA." + diff --git a/num/05/18.md b/num/05/18.md new file mode 100644 index 00000000..48158bd0 --- /dev/null +++ b/num/05/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mbeleza BWANA + +"katika uwepo wa BWANA" + +# sadaka ya unga kwa ajili ya wivu + +Tazama 5:15 + +# kama hujafanya uzinzi + +"kama haujaonyesha kutokuwa mwaminifu kwa mme wako" + +# na kufanya uovu + +"kwa kufanya uovu maana yake ni kufanya uzinzi." + +# utakuwa huru na maji haya machungu + +"haya maji machungu hayakuletea madhara" + +# haya maji machungu yanaweza kuleta laana + +maji machungu yanaelezwa kama maji yanayoweza kuleta laana. Maana yake ni kwamba yule mwanamke atakapoyanywa maji haya yanaweza kumfanya asizae watoto,, hasa kama ana hatia. + diff --git a/num/05/20.md b/num/05/20.md new file mode 100644 index 00000000..48e4f050 --- /dev/null +++ b/num/05/20.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# chini ya mume wako + +"chini ya mamlaka ya mume wake" + +# umekengeuka + +"hakuwa mwaminifu kwa mume wake" + +# umenajisika + +"umejinajisi mwenyewe" + +# kinachoweza kuleta laana kwake + +"ambacho kinaweza kusababisha laana kuja" + +# BWANA atakufanya wewe kuwa laana ... kuwa hivyo kwa watu wako + +Kwa sababu BWANA anakulaani, watu wengine watakulaani pia, na BWANA atawaonyesha watu kuwa umelaaniwa kabisa" + +# itakayooneshwa kuwa hivyo kwa watu wako + +"atakayoionesha kwa watu wako kuwa laana" + +# na kulifanya tumbo lako kuvimba na mapaja yako kuoza + +Maana ya sentensi hii yaweza kuwa: 1) mwanamke hataweza kuzaa watoto. 2) mimba ya mwanamke itakooma mapema na yule mtoto atakufa. + +# mapaja yako kuoza + +Neno mapaja, ni tafsida inayoonesha tumbo la mwanamke au sehemu zake za siri. "tumbo lako kuwa si kitu" + diff --git a/num/05/23.md b/num/05/23.md new file mode 100644 index 00000000..75e918b3 --- /dev/null +++ b/num/05/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# na kisha kuzifuata laana zilizoandikwa + +Hii inamaanisha kufuta wino ulio kwenye gombo + +# laana zilizoanadikwa + +laana alizoziandika + diff --git a/num/05/24.md b/num/05/24.md new file mode 100644 index 00000000..4eb6cfd0 --- /dev/null +++ b/num/05/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Mpangilio wa matukio ulio kwenye hii mistari unachangaya sana, umeandikwa kwa mfumo huu ili kuonesha jinsi yale maji yawezavyo kuleta laana. Inaonekana kuwa mwanamke anapoyanywa yale maji; kuhani naye anateketeza ile sadaka, kisha yule mwanamke anayanywa yale maji tena. Anayanywa yale mara moja. + +# Naye kuhani atamwelekeza yule mwanamke kunywa yale maji ... yale maji yaletayo laana yataingia na kuwa machungu + +Inaweza kusaidia kama mpangilio utatengenezwa upya kwa kuuweka mstari wa 24 unaoelezea habari ya mwanamke kunywa yale maji, baada ya mstari wa 26. + +# sadaka ya kuwakilisha + +kiasi cha konzi ya unga kinawakilisha sadaka yote ya unga. Na maana yake halisi ni kwamba sadaka yote ni ya BWANA. + +# sadaka ya unga ya wivu + +Tazama 5:15 + diff --git a/num/05/27.md b/num/05/27.md new file mode 100644 index 00000000..9f95aaf2 --- /dev/null +++ b/num/05/27.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# kama alinajisika kwa sababu alifanya uovu + +"kama alikwa amejinajisi mwenyewe kwa sababu ya kufanya uovu" + +# alifanya uovu + +"alifanya uzinzi" + +# Tumbo lake litavimba na paja lake litavimba + +Tazama 5:20 + +# Yule mwanamke atalaaniwa kati ya watu wake + +"Watu wake watamlaani" + +# hajanajisika + +"hajajinajisi mwenyewe" + +# na kama ni msafi + +"hana hatia" + +# basi atakuwa huru + +yaweza kumaanisha 1)"basi hatalaaniwa 2) "basi yuko huru katika hatia" + +# atabeba ujauzito + +"atakuwa mjamzito" + diff --git a/num/05/29.md b/num/05/29.md new file mode 100644 index 00000000..64a66a1f --- /dev/null +++ b/num/05/29.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# sheria ya wivu + +"sheria inayoshughulikia maswala ya wivu" + +# anayekengeuka kwa mume wake + +"ambaye si mwaminifu kwa mumewe" + +# na kunajisika + +"na kujinajisi mwenyewe" + +# ile roho ya wivu + +tazama 5:13 + +# mwenye roho ya wivu kwa mkewe + +"kumwonea wivu mke wake kuwa si mwaminifu kwake" + +# mbele ya BWANA + +"katika uwepo wa BWANA" + diff --git a/num/05/31.md b/num/05/31.md new file mode 100644 index 00000000..3bd18a5c --- /dev/null +++ b/num/05/31.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Atakuwa hana hatia ya kumleta mke wake kwa kuhani + +"atakuwa hana hatia ya kufanya jambo lenye makosa kwa kumleta mke wake kwa kuhani" + +# atauchukua" + +"atavumilia" + diff --git a/num/06/01.md b/num/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..095c6c0e --- /dev/null +++ b/num/06/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# ataweka nadhiri ... kwa kuwa ni mnadhiri + +"kuwa mnadhiri" maana yake ni kujiweka wakfu" + +# atajiepusha + +Hii nahau inamaanisha kuwa mtu huyo lazima asinywe hivyo vinywaji wala chakula kilichokatazwa. + +# kilio kiinachotengenezwa na siki + +"kileo ambacho watu hutengeneza kutokana na siki" + +# siki + +ni kinywaji kinachotokana na divai ilichachushwa kwa muda mrefu na kuwa kinywaji kikali na kichungu + +# kilevi + +"au siki iliyotengenezwa kutokana na divai kali" + +# zabibu zilizokauka + +"zabibu zilizokaushwa" + +# ambazo amejitenga + +"amejitenga kwa ajili yangu" + +# asile chochote kinachotokana na zabibu + +"asile chochote ambacho watu huetengeneza kutokana na zabibu" + +# wala kitu chochote kitokanacho na makokwa hadi maganda + +"kutokana na kitu chochote cha mizabibu" + diff --git a/num/06/05.md b/num/06/05.md new file mode 100644 index 00000000..50d1bd04 --- /dev/null +++ b/num/06/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nadhiri yake + +Neno nadhiri humaanisha "kuwekwa wakfu" + +# wembe usipite kichwani mwake + +"asipatikane mtu wa kutumia wembe juu ya kichwa chake" + +# siku za nadhiri yake kwa BWANA + +Neno "nadhiri" ni "nomino zahania ambalo linweza kutumika kama kitenzi. Neno "nadhiri" hapa hapa linamaanisha kuwekwa wakfu. "siku ambazoamejiweka wakfu kwa BWANA" + +# kwa BWANA zitimilike + +kwa BWANA zitimilike + +# Lazima ajitenge kwa BWANA + +Lazima ajitenge mwenyewe kwa BWANA + diff --git a/num/06/06.md b/num/06/06.md new file mode 100644 index 00000000..4ec3f2d1 --- /dev/null +++ b/num/06/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kujidhiri ... amejitenga ...kujidhiri + +Kujidhiri ni kujiweka wakfu. + +# Asijinajisi + +Unajisi ni hali ya kutokukubalika kwa ajili ya matumizi ya BWANA. + +# ametengwa + +amejitenga mwenyewe + +# wakati wa kujidhiri kwake + +kwamba amejitenga mwenyewe + +# alijitunza kwa ajili ya BWANA + +amejitunza kwa ajili ya BWANA. + diff --git a/num/06/09.md b/num/06/09.md new file mode 100644 index 00000000..183d8030 --- /dev/null +++ b/num/06/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kukitia unajisi kichwa chake + +Neno "kichwa"linamaanisha nywele za mnadhiri ambazo ni ishara ya kiapo chake. "amezinajisi nywele zake ambazo zinamwosha kila mtu kuwa kuwa amejitenga kwa ajili ya Mungu" + +# katika siku ya kujitakasa + +"katika siku ambayo mwenyewe anajiweka kukubalika kwa Mungu" + +# siku ya saba + +"siku YA 7" + diff --git a/num/06/10.md b/num/06/10.md new file mode 100644 index 00000000..4eaac7c5 --- /dev/null +++ b/num/06/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Siku ya nane + +"Siku ya 8" + diff --git a/num/06/12.md b/num/06/12.md new file mode 100644 index 00000000..8faea4bd --- /dev/null +++ b/num/06/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# katika siku hizo za utakaso + +"katika siku hizo ambazo atawekwa wakfu" + +# Atalaetea kondoo mume kama ... sadaka ya hatia + +"Ataleta kondoo mume wa mwaka mmoja kwa kuhani kuwa sadaka ya hatia" + +# Zile siku za kabla ya kunajisika hazitahesabiwa + +"Hatazihesabu zile siku za kabla ya kunajisika" + +# kujiweka wakfu kwake kulinajisika + +"alijifanya mwenyewe kutokukubalika kwa BWANA" + diff --git a/num/06/13.md b/num/06/13.md new file mode 100644 index 00000000..448a9a44 --- /dev/null +++ b/num/06/13.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# muda wa kujidhiri kwake + +"kujidhiri" kunamaanisha "kuwa wakfu". "kuwekwa kwake wakfu" + +# Ataletwa + +"ataletwa na mtu" + +# Ataleta sadaka yake kwa BWANA + +"ataleta sadaka yake kwa BWANA kupitia kwa kuhani ambaye ndiye ataitoa hiyo sadaka" + +# mikate iliyotengenezwa bila amira + +"mikate iliyotengenezwa bila chachu" + +# unga mwembamba uliochanganywa na mafuta + +"unga mwembamba aliouchanganya na mafuta" + +# mikate ya kaki isiyo na amira iliyopakwa mafuta, + +mikate ya kaki isiyo na chachu ambayo aliipaka mafuta + +# mikate ya kai isiyo na amira + +"vipande vidogovidogo vya mikate" + +# pamoja na sadaka za unga na sadaka za vinywaji + +"pamoja na na sadaka za unga ambazo BWANA alitaka ziambatane na sadaka zingine. + diff --git a/num/06/16.md b/num/06/16.md new file mode 100644 index 00000000..ee8a5bdb --- /dev/null +++ b/num/06/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Atazitoa sadaka zake za dhambi + +kiwakilishi "a" kinamaanisha kuhani. Na kiwakilishizake "zake" kinamlenga yule mtu anayetoa kiapo. + +# sadaka ya amani + +"kuwa sadaka ya amani" + +# Pia kuhani atatoa ... sadaka ya vinywaji + +"Pia kuhani atazitoa ... sadaka za vinywaji kwa BWANA" + diff --git a/num/06/18.md b/num/06/18.md new file mode 100644 index 00000000..4a191cd4 --- /dev/null +++ b/num/06/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kama ishara ya kujitenga + +"Ishara ya kuwa wakfu" + diff --git a/num/06/19.md b/num/06/19.md new file mode 100644 index 00000000..f643c4e1 --- /dev/null +++ b/num/06/19.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# bega la kondoo mume lililotokoswa + +"lile bega la kondoo ambalo amelitakasa" + +# ishara ya kijidhiri + +ishara ya kuwa wakfu" au "ishara inayoonyesha kuwa amaejiweka wakfu kwa BWANA" + +# Kisha kuhani atavitikisa + +"kisha kuhani atavirudisha nyuma na kuvititsa" + +# pamoja na + +"pia akiwa na" + +# cha kutikiswa + +"ambacho kuhani alikitikisa" + +# lilitolewa + +"ambalo alilitoa" + diff --git a/num/06/21.md b/num/06/21.md new file mode 100644 index 00000000..a7b48665 --- /dev/null +++ b/num/06/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kujidhiri kwake + +"kujiweka kwake wakfu" + +# chochote atakachotoa + +"kama ataamua kutoa sadaka yeyote ya nyongeza" + +# lazima atafanya kama alivyoapa + +"Lazima aendelee kutii matakwa ya kiapo alichoaapa" + +# lazima atafanya kama alivyoapa ... kulinda ahadi yake kama ilivyoaanishwa katika sheria ya mnadhiri. + +Virai hivi viwili kimsingi vina maana moja. Vimetumika kuonyesha msisitizo kuwa lazima atii sheria za kiapo. + +# kama ilivyoaanishwa katika sheria ya mnadhiri + +"kama ahadi ya sheria ya mnadhiri inavyoainisha" + diff --git a/num/06/22.md b/num/06/22.md new file mode 100644 index 00000000..6688fd26 --- /dev/null +++ b/num/06/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mtawabariki wana wa Israeli + +kiwakilishi "m" ni cha wingi + +# BWANA na awabariki na kuwatunza + +Kiwakilshi cha "wa" ni cha umoja + +# na kuwatunza + +neno "kuwatunza" linamaanisha "kuwalinda" + diff --git a/num/06/25.md b/num/06/25.md new file mode 100644 index 00000000..b21b7c3e --- /dev/null +++ b/num/06/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# awaangazie nuru ya uso wake + +Hii ninahau inayomanisha "BWANA atoe tabasamu lake" + +# awatazame kwa neema + +"akuonyeshe neema" + +# BWANA awaangazie nuru ya uso wake ...na awape amani + +Kiwakilishi cha "a" ni cha umoja + +# wanaweza kuwapa jina langu + +"watawafanya watu wa Israeli wajue kuwa wao ni wangu" + diff --git a/num/07/01.md b/num/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..1ab8b29d --- /dev/null +++ b/num/07/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Musa alikamilisha masikini + +"Musa alikamilisha ujenzi wa masikani" + +# viongozi wa israeli na wale vichwa vya familia + +"viongozi wa Israeli ambao pia ni vichwa vya familia za mababu zao" + +# vichwa vya familia za mababu zao + +"viongozi wa familia za mababu zao" + +# WAlisaidia kuwahesabu watu kwenye ile sensa + +"walimsaidia Haruni na Musa kuwahesabu wale wanaume" + +# Walileta sadaka zao kwa BWANA ... Walileta vitu hivi mbele za masikani. + +"Walileta sadaka zao kwa BWANA wkazikabidhi kwake mbele ya masikani" + +# Wlileta magari sita yaliyofunikwa na mafahri kumi na sita + +"magari sita na mafahari 12" + diff --git a/num/07/04.md b/num/07/04.md new file mode 100644 index 00000000..775cc468 --- /dev/null +++ b/num/07/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwa kila mmoja kadri ya uhitaji wa kazi yake + +"kwa kila mwanamume kama alivyowahitaji kwa kazi yake" + diff --git a/num/07/06.md b/num/07/06.md new file mode 100644 index 00000000..1e580f1d --- /dev/null +++ b/num/07/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Gerishono ... Merari + +Tazama 3:17 + +# kwa sababu ndivyo kazi yao ilivyohitaji + +"kwa sababu hivyo ndivyo walivyowataka wafanye kazi yao" + +# chini ya uangalizi wa Ithamari mwana wa Haruni kuhani + +"chini ya usimamizi wa Kuhani Ithamari mwana Haruni" au "Ithamri mwana wa Haruni kuhani alisimamia kazi yao" + +# Ithamri + +Tazama 3:1 + +# Alifanya hivi kwa sababu + +Kiwakilishi "a" kinamwakilishsa Musa + +# kwa sababu ya uhitaji wa kazi yao + +"kwa sababu hivyo ndivyo walivyowataka wafanye kazi zao" + diff --git a/num/07/09.md b/num/07/09.md new file mode 100644 index 00000000..c36c5c07 --- /dev/null +++ b/num/07/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# hakuwapa chochote + +Inamaanisha yale magari na wale mafahari + +# Kohathi + +Tazama 3:17 + +# wao waliangalia + +"kazi yao ilikuwa" + +# vitu vitakatifu + +"vitu ambavyo BWANA aliviweka kwa ajili ya masikani" + diff --git a/num/07/10.md b/num/07/10.md new file mode 100644 index 00000000..3065336b --- /dev/null +++ b/num/07/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# walitoa bidhaa zao + +"walitoa sadaka" + +# kila kiongozi alitoa sadaka kwa siku yake + +"Kila siku, kiongozi mmoja alitoa sadaka yake" + diff --git a/num/07/12.md b/num/07/12.md new file mode 100644 index 00000000..0eb16c56 --- /dev/null +++ b/num/07/12.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Siku ya kwanza + +"siku ya 1" + +# Nashoni mwana wa Amiinadabu + +Tazama 1:7 + +# sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130 + +sahani moja ya fedha inayokaribiauzito wa kiligramu moa na nusu" au sahani moa ya fedha yenye uzani wa kiligramu moja na gramu 430" + +# bakuli moa yafedha ambayo uzito wake ni shekeli sabini + +"bakuli moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 70" au "bakuli moja ya fedha yenye uzito wa garamu 770" + +# kwa kipimo cha mahali patakatifu + +"iliyopimwa kwa kipimo kinachotumika mahali patakatifu" + +# unga mwembamba uliochanganywa na mafuta + +"unga mwembamba ambao umechanganywa na mafuta" + +# bakuli moja la dhahbu lenye uzani wa shekeli kumi + +"bakuli moja la dhahabu ambalo uzani wake ni gramu 110" + diff --git a/num/07/15.md b/num/07/15.md new file mode 100644 index 00000000..89573299 --- /dev/null +++ b/num/07/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wa mwaka mmoja + +"ambao kila mmoja alikuwa na umri wa mwaka mmoja" + +# "Hii ilikuwa sadaka ya Nashoni mwana Aminadabu" + +"Hii ndiyo Nashoni mwana wa Aminadabu aliyotoa" + +# Nashoni mwana wa Aminadabu + +Tazama 1:7 + diff --git a/num/07/18.md b/num/07/18.md new file mode 100644 index 00000000..5d459bfa --- /dev/null +++ b/num/07/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# siku ya pili + +"siku ya 2" + +# Nathanieli mwana wa Zuari + +Tazzama 1:7 + +# sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 + +Tazama 7:12 + +# bakuli moja ya fedha yenye uzani wa shekeli sabini + +Tazama 7:12 + +# kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu + +Tazama 7:12 + +# unga mwembamba uliochanganywa na mafuta + +"unga mwemba ambao aliuchanganya na mafuta" + diff --git a/num/07/20.md b/num/07/20.md new file mode 100644 index 00000000..063ff527 --- /dev/null +++ b/num/07/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi. + +Tazama 7:12 + +# wa umri wa mwaka mmoja + +"ambao kila mmoja alikuwa na umri wa mwaka mmoja' + +# Hii ilikuwa sadaka y Nathanieli mwana wa Zuari + +"Hii ndiyo Nathanieli mwana wa Zuari alichotoa" + +# Nathaniel mwana wa Zuari + +Tazama 1:7 + diff --git a/num/07/24.md b/num/07/24.md new file mode 100644 index 00000000..35aa622d --- /dev/null +++ b/num/07/24.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# sikuta tatu + +"siku ya 3" + +# Eliabu mwana wa Heloni + +Tazama 1:7 + +# sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 + +Tazama 7:12 + +# bakuli moja la fedha lenye uza ni wa sheli sabini + +Taza 7:12 + +# kwa kipimo cha mahali patakatifu + +Tazama 7:12 + +# unga mwembamaba uliochanganywa na mafuta + +Tazama 7:19 + diff --git a/num/07/27.md b/num/07/27.md new file mode 100644 index 00000000..6b56c653 --- /dev/null +++ b/num/07/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wa mwaka mmoja + +"ambao kila mmoja walikuwa na umri wa mwaka mmoja. + +# Hii ilikuwa sadaka ya Eliabu mwana wa Heloni + +"Hii ndiyo sadaka ambayo Eliabu mwana wa Heloni alitoa" + +# Eliabu mwana wa Heloni + +Tazama 1:7 + diff --git a/num/07/30.md b/num/07/30.md new file mode 100644 index 00000000..2f751afa --- /dev/null +++ b/num/07/30.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Siku ya nne + +"siku ya 4" + +# Elizuri mwana wa Shedeuri + +Tazama 1:4 + +# Sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 + +Tazama 7:12 + +# Bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini + +Tazama 7:12 + +# Kwa kipimo cha mahali patakatifu + +Tazama 7:12 + +# unga mwembamba uliochanganywa na mafuta + +Tazama 7:19 + +# bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi + +Tazama 7:12 + diff --git a/num/07/33.md b/num/07/33.md new file mode 100644 index 00000000..bb808a0d --- /dev/null +++ b/num/07/33.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wa mwaka mmoja + +"ambao kila mmoja walikuwa na umri wa mwaka mmoja. + +# Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Elizuri mwana wa Shedeuri + +"Hii ndiyo Elizuri mwana wa Shedeuri alichotoa kama sdaka" + +# Elizuri mwana wa Shedeuri + +Tazama 1:4 + diff --git a/num/07/36.md b/num/07/36.md new file mode 100644 index 00000000..ac4bf305 --- /dev/null +++ b/num/07/36.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Siku ya tano + +"Sikuy a 5" + +# Shelumieli mwana wa Zurishadai + +Tazama 1:4 + +# Sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 + +Tazama 7:12 + +# Bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini + +Tazama 7:12 + +# Kwa kipimo cha mahali patakatifu + +Tazama 7:12 + +# unga mwembamba uliochanganywa na mafuta + +Tazama 7:19 + +# Bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi + +Tazama 7:12 + diff --git a/num/07/39.md b/num/07/39.md new file mode 100644 index 00000000..80e65ff0 --- /dev/null +++ b/num/07/39.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wa mwaka mmoja + +"ambao kila mmoja alikuwa naumri wa mwaka mmoja" + +# Hii ndiyo sadaka ya Shelumieli mwana wa Zurishadai + +"Hii ndiyo Shelumieli mwana wa Zurishadai alitoa kuwa sadaka" + +# Shelumieli mwana wa Zurishadai + +Tazama 1:4 + diff --git a/num/07/42.md b/num/07/42.md new file mode 100644 index 00000000..f49bde1a --- /dev/null +++ b/num/07/42.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# siku ya sita + +"siku ya 6" + +# Elisafu mwana wa Deuli + +Tazama 1:12 + +# sahani moja ya fedha yenye uzani shekeli 130 + +Tazama 7:12 + +# bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini + +Tazama 7:12 + +# kwa kipimo cha mahali patakatifu + +Tazama 7:12 + +# unga mwembamba uliochanganywa na mafuta + +Tazama 7:19 + +# bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi + +Tazama 7:12 + diff --git a/num/07/45.md b/num/07/45.md new file mode 100644 index 00000000..f5fdd555 --- /dev/null +++ b/num/07/45.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wa mwaka mmoja + +"ambao kila mmoja alikuwa na umri wa mwaka mmoja" + +# Hii ndiyo Elisafu mwana wa Deuli alichotoa kuwa sadaka + +"Hii ndiyo ambayo Elisafu mwana wa Deuli alitoa kuwa sadaka" + +# Elisafu mwana wa Deuli + +Tazama 1:12 + diff --git a/num/07/48.md b/num/07/48.md new file mode 100644 index 00000000..bdbf39b2 --- /dev/null +++ b/num/07/48.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# siku ya saba + +"siku ya 7" + +# Elishama mwana wa Amihudi + +Tazama 1:10 + +# Sahani moja ya edha yenye uzani wa shekeli 130 + +Tazama 7:12 + +# bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini + +Tazama 7:12 + +# kwa kipimo cha mahali patakatifu + +Tazama 7:12 + +# unga mwembamba + +Tazama 7:19 + +# bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi + +Tazama 7:12 + diff --git a/num/07/51.md b/num/07/51.md new file mode 100644 index 00000000..cd4e97f7 --- /dev/null +++ b/num/07/51.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wa mwaka mmoja + +"ambao walikuwa na umri wa mwaka wa mmoja kila mmoja" + +# Hii ndiyo iliopkuwa sadaka ya Elishama mwana wa Amihudi + +"Hii ndiyo Elishama mwana wa Amihudi alichotoa" + +# Elishama mwana wa Amihudi + +Tazama 1:10 + diff --git a/num/07/54.md b/num/07/54.md new file mode 100644 index 00000000..1fc5abaa --- /dev/null +++ b/num/07/54.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Siku ya nane + +"siku ya 8" + +# Gamalieli mwana wa Pedazuri + +Tazama 1:10 + +# sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 + +Tazama 7:130 + +# bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini + +Tazama 7:12 + +# kwa kipimo cha mahali patakatifu + +Tazama 7:12 + +# unga mwembamba uliochanganywa na mafuta + +Tazama 7:19 + +# bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi + +Tazama 7:12 + diff --git a/num/07/57.md b/num/07/57.md new file mode 100644 index 00000000..1fc3ae6b --- /dev/null +++ b/num/07/57.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wa mwaka mmoja + +"ambao kila mmoja alikuwa na umri wa mwaka mmoja" + +# Hiki ndicho Gamlieli mwana wa Pedazuri alitoa kuwa sadaka + +"hiki ndicho Gamalieli mwana wa Pedazuri alitoa kuwa sadaka" + +# Gamalieli mwana wa Pedazuri + +Tazama 1:10 + diff --git a/num/07/60.md b/num/07/60.md new file mode 100644 index 00000000..e39d52ef --- /dev/null +++ b/num/07/60.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# siku ya tisa + +"siku ya 9" + +# Abidani mwana wa Gidioni + +Tazama 1:10 + +# sahani moja ya fdha yenye uzani wa shekeli 130 + +Tazama 7:12 + +# bakuli mojala fedha lenye uzani wa shekeli sabini + +Tazama 7:12 + +# kwa kipimo cha mahali patakatifu + +Tazama 7:12 + +# unga mwembamba uliochanganywa na mafuta + +Tazama 7:12 + +# bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi + +Tazama 7:12 + diff --git a/num/07/63.md b/num/07/63.md new file mode 100644 index 00000000..bcc87fc8 --- /dev/null +++ b/num/07/63.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wa mwaka mmoja + +"ambao kla mmoja alikuwa na umri wa mwaka mmoja" + +# "Hiki ndicho Abidani mwana wa Gidioini alitoa kuwa sadaka" + +Hiki ndicho Aabidani mwana wa Gidioni alitoa kuwa sadaka" + +# Abidani mwana wa Gidioni + +Tazama 1:10 + diff --git a/num/07/66.md b/num/07/66.md new file mode 100644 index 00000000..5b76e33e --- /dev/null +++ b/num/07/66.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# siku ya kumi + +"siku ya 10" + +# Ahiezeri mwana wa Amishadai + +Tazama 1:12 + +# sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 + +Tazama 7:12 + +# bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini + +Tazama 7:12 + +# kwa kipimo cha mahali patakatifu + +Tazama 7:12 + +# unga mwembamba uliochanganywa na mafuta + +Tazama 7:19 + +# bakuli moja la dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi + +Tazama 7:12 + diff --git a/num/07/69.md b/num/07/69.md new file mode 100644 index 00000000..25751248 --- /dev/null +++ b/num/07/69.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wa mwaka mmoja + +"ambao kila mmoja alikuwa na umri wa mwaka mmoja" + +# Hii ndio ilikuwa sadaka ya Ahizeri mwana wa Amishadai + +"Hiki ndicho Ahizeri mwana wa Amishadai alitoa kuwa sadaka" + +# Ahizeri mwana wa Amishadai + +Tazama 1:12 + diff --git a/num/07/72.md b/num/07/72.md new file mode 100644 index 00000000..ab9964f9 --- /dev/null +++ b/num/07/72.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# siku ya kumi na moja + +"siku ya 11" + +# Pagieli mwana wa Okrani + +Tazama 1:12 + +# sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 + +Tazama 7:12 + +# bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini + +Tazama 7:12 + +# kwa kipimo cha mahali patakatifu + +Tazama 7:12 + +# unga mwembamba uliochanganywa na mafuata + +Tazama 7:19 + +# bakuli mojala dhahabu lenye uzani wa shekeli kumi + +Tazama 7:12 + diff --git a/num/07/75.md b/num/07/75.md new file mode 100644 index 00000000..ee377536 --- /dev/null +++ b/num/07/75.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wa mwaka mmoja + +wenye umri wa mwaka mmoja + +# Hii ndio sadaka ya Pagieli mwana wa Okrani + +Hii ndiyo sadaka ambayo Pagieli mwana wa Okrani alitoa + +# Pagieli mwana wa Okrani + +Tzama 1:12 + diff --git a/num/07/78.md b/num/07/78.md new file mode 100644 index 00000000..4a32183d --- /dev/null +++ b/num/07/78.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# siku ya kumi na mbili + +"siku ya 12" + +# Ahira mwana wa Enani + +Tazama 1:12 + +# sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 + +Tazama 7:12 + +# bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini + +Tazama 7:12 + +# kwa kipimo cha mahali patakatifu + +Tazma 7:12 + +# unga mwembamba uliochanganywa na mafuta + +Tazama 7:19 + +# Bakuli moja la dhahabu lenye uzaniwa shekeli kumi + +Tazama 7:12 + diff --git a/num/07/81.md b/num/07/81.md new file mode 100644 index 00000000..ebd11659 --- /dev/null +++ b/num/07/81.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wa mwaka mmoja + +Ambao kila mmoja alikuwa na umri wa mwaka mmoja + +# Hii ndio ilikuwa sadaka ya Ahira mwana wa Enani + +"Hiki ndicho Ahira mwana wa Enani alitoa kuwa sadaka" + +# Ahira mwana Enani + +Tazama 1:12 + diff --git a/num/07/84.md b/num/07/84.md new file mode 100644 index 00000000..408cca58 --- /dev/null +++ b/num/07/84.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# walivitenga hivi vitu + +kutenga ni kuweka wakfu. Maana yake ni kwamba sadaka hizi waliziweka wakfu kwa ajili ya BWANA + +# siku ambayo Musa alimimina mafuta kwenye madhabahu + +neno "siku" linamaanishsa kipindi chote cha wakati huo. Viongoziwa Israeli waliviweka wakfu vitu hivi kwa muda wa siku 12. "Musa alipomimiina mafuta kwenye madhabahu" + +# kila sahani ya fedha ailikuwa na uzani wa shekeli 130. + +Tazama 7:12 + +# kila bakuli lilikuwa nanuzani wa shekeli 70 + +Tazama 7:12 + +# kwa kipimo cha mahali patakatifu + +Tazama 7:12 + +# vyombo vyote vya fedha vilikuwa na uzani wa ... vyombo vyote vya dhahabu vilikuwa na uzani wa + +"vyombo vyote vya fedha kwa pamoja... vyombo vyote vya dhahabu kwa pamoja vilikuwa na uzani wa" + +# vyombo vya fedha + +Hii inamaanisha sadaka zote zile zilizokuwa zimetengenezwa kwa fedha, sahanizote na mabakuli. + +# Kila yale mabakuli kumi na mbili vya dhahabu... yalikuwa na uzani wa shekeli kumi + +Tazama 7:12 + diff --git a/num/07/87.md b/num/07/87.md new file mode 100644 index 00000000..20691e0a --- /dev/null +++ b/num/07/87.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kumi na mbili ... ishirini na nne ... sitini + +"12 ... 24 ... 60" + +# wa mwaka mmoja + +"walikuwa na umri wa mwaka mmoja" + +# baada ya kumiminiwa mafuta + +"Baada ya Musa kuimiminia mafuta" + diff --git a/num/07/89.md b/num/07/89.md new file mode 100644 index 00000000..d4913c6b --- /dev/null +++ b/num/07/89.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# aliisikia sauti yake ikimwambia + +"sauti yake" inamaanisha sauati ya BWANA. "alimsikia BWANA akimwambia" + +# kutoka juu ya kiti cha rehema ... kutoka kati kati ya makerubi. + +Virai hivi viwili vinafafanua eneo moja + +# sanduku la ushahidi + +Tazama 4:5 + +# Alinena naye + +"BWANA alinena na Musa" + diff --git a/num/08/01.md b/num/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..5e212a44 --- /dev/null +++ b/num/08/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# lazima zimulike mbele + +"lazima ziing'ae kuelekea mbele" + diff --git a/num/08/03.md b/num/08/03.md new file mode 100644 index 00000000..23f9cde9 --- /dev/null +++ b/num/08/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ili ziangaze + +"kuangaza" + +# kinara kilitengenezwa + +"walikuwa wametengeneza kinara" + +# kutengenezwa kwa vikombe na kwa maua hadi juu + +"kwa vikombe vilivyofuliwa vinavyofanana na maua" + diff --git a/num/08/07.md b/num/08/07.md new file mode 100644 index 00000000..f284ff7b --- /dev/null +++ b/num/08/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ili kuwatakasa + +kiwakilishi "wa" kinawawakilisha Walawi. + +# uwanyunyizie maji ya takaso juu yao + +"uwanyunyizie maji yanayoashiria utakaso" + +# wafue nguo zao + +"waambie wafue nguo zao" + +# fahari mchanga na sadaka ya unga + +Wakati wa kutoa sadaka ya fahari mchanga, sadaka ya unga ilitakiwa kuambatana nayo. + +# ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta + +"ya unga mwembamba ambao wameuchanganya na mafuta" + diff --git a/num/08/09.md b/num/08/09.md new file mode 100644 index 00000000..97118e27 --- /dev/null +++ b/num/08/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# uwakusanye jamii yote + +"wakusanye jamii yote" + +# mbele yangu, BWANA + +BWANA imetumika kwa jina lake Mungu + +# Wana wa Israeli wataweka mikono yao juu ya Walawi + +"Watu wa Israeli wataweka mikono yao juu ya Walawi, wakiwaweka wakfu kwangu" + +# kuwa sadaka ya kutikiswa + +Haruni alitakiwa kuwatoa Walawi kwa BWANA kwa kiwango sawa cha kuwaweka wakfu kama ilivyo sadaka inayotolewa kwa BWANA. "kama ilivyo sadaka ya kutikiswa" + diff --git a/num/08/12.md b/num/08/12.md new file mode 100644 index 00000000..b68386ce --- /dev/null +++ b/num/08/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Walawi wataweka mikono yao juu ya hao fahari + +Hiki ni kitendo cha ishara kiniachowatambulisha Walawi kuwa sawa na wanyama wanaotolewa sadaka. Kwa namna hii mtu anajitoa mwenyewe kwa BWANA kupitia wanyama. + +# uwainue kuwa sadaka ya kutikiswa kwa ajili yangu + +"uwaweke wakfu kwangu, kama vile unavyoinua sadaka ya kutikiswa" + diff --git a/num/08/14.md b/num/08/14.md new file mode 100644 index 00000000..1fac75bf --- /dev/null +++ b/num/08/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Uwatakase. Uwatoe kuwasadaka ya kutikiswa + +"Lakini uwatakase kwanza, utawatakasa. utawatoa kama sadaka ya kutikiswa" + +# Utawatoa kuwa sadaka ya kutikiswa + +"Utawaweka wakfu kwangu kuwa sadaka ya kutikiswa,kama vile unavyofanya wakati wa kutoa sadaka ya kutikiswa" + diff --git a/num/08/16.md b/num/08/16.md new file mode 100644 index 00000000..edbe3ec6 --- /dev/null +++ b/num/08/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kila mzaliwa wa kwanza afunguaye tumbo, mzaliwa wa kwanza. + +Virai hivi viwili vinamaanisha jamabo lilelile ili kutoa msisitizo wa mzaliwa wa kwanza. + +# mtoto wa kiume afunguaye tumbo + +"mtoto wa kiume ambaye ni mzaliwa wa kwanza kwa mama" + +# nilipowachukua + +Hii ni tafsida inayotumika kuonyesha kitendo cha mtu anapomwua mtu. "Nilipomwua" + +# Niliwatenga + +Kiwakilishi "wa" kinawawakilisha wazaliwa wa kwanza wa Israeli." + diff --git a/num/08/18.md b/num/08/18.md new file mode 100644 index 00000000..f72ecc0e --- /dev/null +++ b/num/08/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nimewatoa Walawi kuwa zawadi kwa Haruni na wanawe + +Kitendo cha BWANA chca kuwatoa Walawi ili kumsaidia Haruni kinachukuliwa kuwa sawa na kuwa zawadi kwake ambayo BWANA aliitoa kwa Haruni na kwa wanae + +# Nimewachukua ... Nimewatoa + +Kiwakilishi cha "wa" kinamaanishsa Walawi. + +# badala ya wazaliwa wa kwanza + +"badala ya kuchukua wazaliwa wa kwanza" + +# wanapokaribia + +"kiwakilishi cha "wa" kinawakilishsa wana wa Israeli. + diff --git a/num/08/20.md b/num/08/20.md new file mode 100644 index 00000000..7ff8124e --- /dev/null +++ b/num/08/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Musa, Haruni, na jamii ya Waisraeli wote ... waliwafanya Walawi hivi + +"Musa, Haruni na watu wote wa Israeli waliwafanya Walawi kila kitu ambacho BWANA alikuwa amemwagiza Musa kuhusiana na Walaawi" + diff --git a/num/08/22.md b/num/08/22.md new file mode 100644 index 00000000..5123f541 --- /dev/null +++ b/num/08/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kufanya utumishi wao + +Neno "huduma" ni nomino zahania amabyo inaweza kutumika kama kitenzi "kuhudumia" + +# mbele ya Haruni na mbele ya wanawe + +"katika uwepo wa Haruni na wanawe" + +# Kama BWANA + +"Kile walichofanya kilikuwa" + +# Waliwahudumia Walawi wote kwa jinsi hii + +"Waliwafanyia Walawi kile ambacho BWANA alikuwa amewaamuru. "Kiwakilishi cha "wa" kinamaanisha watu wa Israeli. + diff --git a/num/08/23.md b/num/08/23.md new file mode 100644 index 00000000..15599600 --- /dev/null +++ b/num/08/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Haya yote ni kwa ajili ya Walawi + +"Amri zote hizi ni kwa ajili ya Walawi" + +# umri wa miaka ishirini na mitano + +"miaka 25" + +# Wataungana wa wale wanaohudumia kwenye hema ya kukutania + +Tazama 4:1 + diff --git a/num/08/25.md b/num/08/25.md new file mode 100644 index 00000000..f5376277 --- /dev/null +++ b/num/08/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Watakapokuwa na umri wa miaka hamsini + +"katika umri wa miaka 50" + diff --git a/num/09/01.md b/num/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..2cf790e9 --- /dev/null +++ b/num/09/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# mwezi wa kwanza + +"katika mwezi wa. 1" Huu ni mweziwa kwanza wa Kalenda ya Kihebrania. Inaanzia pale Mungu alipowatoa Wana wa Israeli kutoka Misri + +# mwaka wa pili + +"mwaka wa 2" + +# baada ya kutoka katika nchi ya Misri + +Kirai cha "kutoka katika" kinamaanisha kuondoka. "Baada ya kuondoka katika nchi ya Misri" + +# Wana wa Israeli ... katika wakati wake + +Neno "wakati wake" linamaanisha wakati uliopangwa "muda wa nyuma". Hii inamaanisha watakapokuwa wakiimbuka kila mwaka. + +# Siku ya kum na nne ... kwa muda uliopangwa + +Huu ni wakati wa uliopangwa kwa mwaka ili waisherehekeePasaka. "katika siku ya kumi na nne ... wataikumbuka, kwa kuwa huu ndio muda wa kuisherehekea kwa kila mwaka" + +# siku ya kumi na nne + +"siku ya 14" + +# fuata sheria zake zote na ufuate taratibu zake zote + +Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kimoja, Vimetumika kuonyesha msisitizo wa kuzitii amri. + +# utaikumbuka + +neno "ku" itunza" ni nahau inayomaanisha kuikumbuka. "mtaikumbuka" au "mtaisherehekea" + diff --git a/num/09/04.md b/num/09/04.md new file mode 100644 index 00000000..49ec41d6 --- /dev/null +++ b/num/09/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wataishika sikukuu ya Pasaka + +Neno "wataishika" linamaanisha kuikumbuka. "kuikumbuka sikukuu ya Pasaka" au "Kuisherehekea sikukuu ya Pasaka"' + +# katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza + +"katika siku ya 14 ya mwezi wa 1" + diff --git a/num/09/06.md b/num/09/06.md new file mode 100644 index 00000000..8167ac7b --- /dev/null +++ b/num/09/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# walionajisika kwa sababu ya maiti + +"walinajisika kwa sababu ya kugusa maiti" + +# kunajisika + +Mtu ambaye Mungu anamwona hakubaliki kiroho ni yule ambaye katika hali ya mwili alikuwa amenajisika. + +# kuishika Pasaka + +Tazama 9:4 + +# kwa sababu ya maiti + +"kwa sababu tumegusa maiti" + +# kwa nini basi unatutaka tuendelee kutoa sadaka ... wana wa Israeli? + +Si sahihi kutuzuia kutoa sadaka ... kati ya wana wa Israeli. + +# uliopangwa + +"ulioamriwa" + diff --git a/num/09/09.md b/num/09/09.md new file mode 100644 index 00000000..558f8dd6 --- /dev/null +++ b/num/09/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# amenajisika + +Tazama 9:7 + +# kwa sababu ya maiti + +"kwa sababu umegusa maiti" + +# Kuishika Pasaka + +Tazama 9:4 + diff --git a/num/09/11.md b/num/09/11.md new file mode 100644 index 00000000..6f62c202 --- /dev/null +++ b/num/09/11.md @@ -0,0 +1,29 @@ +# Watishika Pasaka + +Tazama 9:4 + +# Sikuy a kumi na nne ya mwezi wa pili + +"siku ya 14 ya mwezi wa 2" + +# wa jioni + +"wakati wa jua kuzama" + +# Wataila + +"Watamla mwanakondoo wa Pasaka" + +# kwa mikate isiyotiwa chachu + +"kwa mikate iliyotengenezwa bila amira" au +"kwa mikate ambayo haina amira" + +# mboga chungu + +hii ni mimea midogo midogo ambayo ina radha mbaya + +# kuvuunja mifupa yake + +"wasivunje mifupa yake yeyote" + diff --git a/num/09/13.md b/num/09/13.md new file mode 100644 index 00000000..1a7e1910 --- /dev/null +++ b/num/09/13.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# mtu yeyote asiye najisi + +Mtu ambaye anakubalika kwa Mungu kiroho ni yule ambaye anaonekana kuwa kimwili ni msafi + +# kuishika Pasaka + +Tazama 9:4 + +# huyo mtu lazima aondolewe + +Neno "kuondolewa" linamaanisha kukatiliwa mbali. + +# uliopangwa + +ulioamriwa + +# Huyo mtu lazima abebe dhambi yake + +"Mtuhuyo lazima abebe adhabu ya dhambi yake" + +# anayeishi kati yenu + +kiwakilishi cha "yenu" kinamaanisha watu wa Israeli + +# ataishika na kufuata amri zote + +"huyo mgeni ataishika na kufuata yote ambayo BWANA ameamuru" + +# ataishika na kufuata amri zote , na kufuata taratibu zake + +Virai hivi viwili vinamaanisha jambo lilelile, vimetumika kutia msisitzo wa kwamba huyo mgeni atazitii sheria zote na kuishika Pasaka. + +# katika nchi + +"katika nchi ya Israeli" + diff --git a/num/09/15.md b/num/09/15.md new file mode 100644 index 00000000..d0ea012d --- /dev/null +++ b/num/09/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# masikani iliposimamishwa + +"Walawi walipoisimamisha ile masikani" + +# ile hema ya amri ya agano + +Tazama 1:50 + +# Lilionekana kama moto mpaka asubuhi + +"Wakati wa usiku lile wingu lilionekana kama moto mkubwa mpaka asubuhi" + +# Liliendelea hivyo hivyo + +"Lile wingu lilibaki hivyohivyo juu ya masikani" + +# na kuonekana kama moto wakati wa usiku + +"lilionekana kama moto mkubwa wakati wa usiku." + +# Na kila wingu lilipochukuliwa + +"lilipoondolewa" au "BWANA alipoliondoa wingu" + +# wingu liliposimama + +"Wingu liliposimama kuendelea" + diff --git a/num/09/18.md b/num/09/18.md new file mode 100644 index 00000000..e1f08238 --- /dev/null +++ b/num/09/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwa amri ya BWANA + +"BWANA alipotoa amri" + diff --git a/num/09/20.md b/num/09/20.md new file mode 100644 index 00000000..56a860e4 --- /dev/null +++ b/num/09/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwenye masikani + +"juu ya masikani + +# waliweka kambi + +"walipoweka kambi yao" + +# kuanzia jioni mpaka asubuhi + +"kuanzia jioni mpakasubuhi tu" + +# kama liliendelea + +"kama wingu lilibaki juu ya masikani" + +# ni pale tu wingu liliponyanyuliwa ndipo waliendelea + +"kisha baada ya wingu kuondolewa ndipo waliposafiri" + diff --git a/num/09/22.md b/num/09/22.md new file mode 100644 index 00000000..7ba473da --- /dev/null +++ b/num/09/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# pale wingu liliponyanyuliwa + +"BWANA alipolinyanyua wingu" + +# kwa amri ya BWANA + +"kile ambacho BWANA alikuwa ameamuru" + +# amri ya BWANA ilyotolewa kupitia kwa Musa + +amari ambazo BWANA alikuwa ametoa kupitia kwa Musa + diff --git a/num/10/01.md b/num/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..8227c192 --- /dev/null +++ b/num/10/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# tengeneza tarumbeta mbili za fedha + +"mwambie mtu mmoja atengeneze tarumbeta mbili za fedha" + +# utazitumia hizo tarumbeta + +Siye Musa atakayepiga hizo tatrumbeta bali atawaagiz amakuhani kuzipiga. + diff --git a/num/10/03.md b/num/10/03.md new file mode 100644 index 00000000..3d0173a3 --- /dev/null +++ b/num/10/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mbele yako + +"wakati ukiwepo." Yaani Musa akiwepo wakati Makuhani watakapozipiga hizo taraumbeta. + +# basi viongozi, vichwa vya koo za za Israeli + +virai hivi viwili vinamaanishsa kitu kilekile. Kirai cha pili kinatumika kufafanua kirai cha kwanza. "Viongozi ambao ni vichwa vya koo za za Israeli" + +# Utakapopiga tarumbeta ya sauti kuu + +"utakapopiga ishara kuu" + diff --git a/num/10/06.md b/num/10/06.md new file mode 100644 index 00000000..c012e737 --- /dev/null +++ b/num/10/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# utakapopiga tarumbeta kwa ishara kuu + +"watakapopiga ishara kuu" + +# watu wote watakapokutana + +"kuwakusanya watu pamoja" + +# mara ya pili + +"mara ya 2" + +# watapiga tarumeta kwa sauti kuu ili kuanza safari + +"kiwakilishi cha "wa" kinawawakilisha makuhani wa Israeli. + +# huu ndio utakuwa utaratibu wa watu + +"utakuwa utaratibu wenu." "wenu" ni kiwakilishi cha wengi kinachomaanisha Waisraeli. + diff --git a/num/10/09.md b/num/10/09.md new file mode 100644 index 00000000..ddde0460 --- /dev/null +++ b/num/10/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nanyi mtakapoenda vitani ... wanaowakandamiza + +"Waisraeli wanapokuwa vitani ... kwa wale wanaowakandamiza Waisraeli" + +# ndipo mtakapotoa sauti ya ishara ya tarumbeta + +"basi utawaamuru makuhani kupiga sauati ya tarumbeta " + +# nitawaita na kuwakumbuka + +Kirai cha " kuwaita" kinamanisha kuwakumbuka. "Nitawakumbuka" + diff --git a/num/10/10.md b/num/10/10.md new file mode 100644 index 00000000..7c8591c4 --- /dev/null +++ b/num/10/10.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# wa kusherehekea + +"mtakaposherehekea" + +# mtapiga tarumbet zenu + +"utawaamuru makuhani kupigahizo tarumbeta" + +# katika miandamo ya miezi + +Kalenda ya Kihebrania ina miezi kumi na mbili. wakatiwa mwezi kuanza ukiwa na ule mwanga rangi ya fedha unaonyesha mwanzo wa wa mwezi katika kalenda ya Kihebrania. + +# sadaka zenu za kuteketezwa na kwa sadaka zenu za amani ... kwangu + +kiwakilishi "zenu" ni cha wingi kikimaanisha Waisraeli. + +# kwa heshima ya sadaka zenu + +""kwa heshima ya sadaka" + +# Huu utakuwa ukumbusho wenu kwangu." + +Hii itakuwa kumbukumbu yanagu kwenu". au "daima itanikumbusha." + +# Huu utakuwa + +Neno "huu" linamaanisha zile tarumbeta na zile sadaka. + diff --git a/num/10/11.md b/num/10/11.md new file mode 100644 index 00000000..cf6422d1 --- /dev/null +++ b/num/10/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mwaka wa pili + +"katika mwaka wa 2." Huu ni mwaka wa pili baada ya BWANA kuwatoa Waisraeli kutoka nchi ya Misri. + +# Katika siku ya ishirini, mwezi wa pili. + +"katika siku ya 20, ya mwezi wa 2." Huu ni mwezi wa pili wa Kalenda ya Kihebrania. + +# wingu liliinuliwa + +"BWANA aliliinua wingu" + +# masikani ya amri za maagano + +Tazama 1:50 + +# amri ya BWANA ilitolewa kupitia kwa Musa + +"amri ambayo BWANA aliamuru kupitia kwa Musa" + diff --git a/num/10/14.md b/num/10/14.md new file mode 100644 index 00000000..812bbded --- /dev/null +++ b/num/10/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kambi ya mahali pa uzao wa Yuda + +Kambi hii inajumuisha makabila matatu chini ya kikosi cha Yuda: Yuda, Isakari na Zabuloni. + +# iliondoka ya kwanza + +"iliondoka ya 1". Kirai cha w"aliondoka" kinamaanisha walifungasha vitu vya kambi yao na kuanza safari. + +# Nashoni mwana wa Aminadabu + +Tazama 1:7 + +# Nathanaeli mwana wa Zuari + +Tazama 1:7 + +# Eliabu mwana wa Heloni + +Tazama 1:7 + diff --git a/num/10/17.md b/num/10/17.md new file mode 100644 index 00000000..4b7bfe25 --- /dev/null +++ b/num/10/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Gerishoni ... Merari + +Tazama 3:17 + +# jeshi la mahali pa kambi ya Reubeni + +Hii inamaanisha majeshi ya kabila yaliyo chini ya kikosi cha Reubeni: Yaani Reubeni, Simioni, na Gadi. + +# Elizuri m wana wa Shedeuri + +Tazama 1:4 + +# Shelumieli mwana wa Zurishadai + +Tazama 1:4 + +# Elisafu + +Tazama 1:4 + diff --git a/num/10/21.md b/num/10/21.md new file mode 100644 index 00000000..ad9febc4 --- /dev/null +++ b/num/10/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Wakohathi + +Tazama 3:27 + +# Majeshi ya kabila la uzao wa Efraimu + +Haya ni majeshi yaliyokuwa chini ya kikosi cha Efaimu: Efraimu, Manase, na Benyamini. + +# Elishama mwana wa Amihudi + +Tazama 1:10 + +# Gamalieli mwana wa Pedazuri + +Tazama 1:10 + +# Abidani mwana wa Gidioni + +Tazama 1:10 + diff --git a/num/10/25.md b/num/10/25.md new file mode 100644 index 00000000..4dceaa05 --- /dev/null +++ b/num/10/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Jeshi lililoweka kambi mahali pa bango la Uzao wa Dani + +Hii k ambi ilikjumuisha kabila la Dani ambalo ni: Dani, Asheri, na Naftali. + +# Ahizeri mwana wa Aminadamu + +Tazma 1:12 + +# Pagieli mwana wa Okrani + +Tazama 1:12 + +# Ahira mwana wa Enani + +Tazama 1:12 + diff --git a/num/10/29.md b/num/10/29.md new file mode 100644 index 00000000..75206568 --- /dev/null +++ b/num/10/29.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hobibu mwana wa Reuli + +Hili ni jina la mwanamume + +# ambalo BWANA ametuahidi + +"ambalo BWANA ametuahidi sisi" + +# tutawatendea mema + +"tutawakarimu vizuri" + diff --git a/num/10/31.md b/num/10/31.md new file mode 100644 index 00000000..2d9237aa --- /dev/null +++ b/num/10/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tafadhali msituache + +"mtatuongoza na kutonyesha jinsi ya kuishi jangwani" + diff --git a/num/10/33.md b/num/10/33.md new file mode 100644 index 00000000..3207c7ed --- /dev/null +++ b/num/10/33.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Walisafiri + +"kiwakilishi cha "wa" kinamaanisha Waisraeli + +# mlima wa BWANA + +Huu ni mlima Sinai. "Mlima Sinai ni mlima wa BWANA" + +# Sandukula agano la BWANA liliwatangulia + +"wale wanaume walilibeba sanduku la agano la BWANA mbele yao wakatiwote waliposafiri" + +# muda wote wa mchana + +"kila mchana" au "wakati wa mchana" + diff --git a/num/10/35.md b/num/10/35.md new file mode 100644 index 00000000..cc32473d --- /dev/null +++ b/num/10/35.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kila hilo sanduku liliposafiri + +"Kila wakati wale watu waliokuwa wamebeba sanduku walipoondoka" + +# Inuka BWANA + +Kirai cha "inuka" ni ombi la BWANA kumtaka atende. Kwa hiyo Musa anamwomba BWANA awasambaze maadui wake. + +# Uwafanye wale wanaokuchukia kukukimbia + +"uwafanye wale wanokuchukia kukimbia mbele ya sanduku lako na mbele ya watu wako" + +# na kila lile sanduku liliposimama + +"kila watu wanobeba lile sanduku waliposimama" + +# hawa Waisraeli makumi elfu + +Hii inamaanisha watu." hawa walio makumi elfu" + diff --git a/num/11/01.md b/num/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..b6ec682a --- /dev/null +++ b/num/11/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Moto kutoka kwa BWANA ukawaka + +"BWANA alituma moto uliowaka" + +# Mahali pale paliitwa + +"wakapaita mahali pale" + diff --git a/num/11/04.md b/num/11/04.md new file mode 100644 index 00000000..202461d2 --- /dev/null +++ b/num/11/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nani atakayetupatia nyama za kula? + +"Tunatamani kama tungepata nyama tule" + +# na sasa hatuna hamuya kula + +"hatutaki kula" au "hatuwezi kula" + diff --git a/num/11/07.md b/num/11/07.md new file mode 100644 index 00000000..0ed5936d --- /dev/null +++ b/num/11/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# punje ya mtama + +mbegu hii hutumika kama kiungo inapokuwa imekauka + +# bedola + +hii ni kitu chenye rangi inayofanana na kijivu + diff --git a/num/11/09.md b/num/11/09.md new file mode 100644 index 00000000..ad0de791 --- /dev/null +++ b/num/11/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# macho ya Musa + +"katika fikra za Musa" + diff --git a/num/11/11.md b/num/11/11.md new file mode 100644 index 00000000..271369f7 --- /dev/null +++ b/num/11/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Musa anamlalamikia BWANA akitumia maswali mengi yasitotaka majibu. + +# Kwa nini umemtendea mtumishi wako vibaya namna? kwa nini hujapendezwa na mimi? + +"usinitendee mimi, mtumishi wako, vibaya namna hiyo." au "usiwe na hasira dhidi yangu." + +# Umenifanya kubeba mizigo ya hawa watu + +"umenifanya niajibike kwa ajili ya hawa watu" + +# Je, mimi ndiye niliyewatungia mimba hawa watu? Mimi ndiye niliyewazaa kiasi kwamba unaniambia? + +"Mimi si baba wa hawa watu. Kwa hiyo si sahihi kuniambia mimi." + +# wabebe kwa ukaribu vifufani mwako kama baba abebavyo mtoto wake + +Maana yake ni kwamba Musa analazimika kuajibika kwa watu ambao hawawezi kujilinda wenyewe, kama vile mzazi alindavyo kichanga. + +# Je, nitawabeba mpaka kwenye nchi ... mababu zao kuwapa? + +""Usinitegeme mimi kuwabeba... mpaka kwenye uliyowaahidi mababu zao kuwapa" au "siwezi kuwabeba... mpaka kwenye nchi uliyowaahidi mababu zao." + diff --git a/num/11/13.md b/num/11/13.md new file mode 100644 index 00000000..f37748c6 --- /dev/null +++ b/num/11/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Naweza kupata wapi nyama za kuwapa watu wote hawa? + +"siwezi kupata uwezekenio wa kupata nyama za kuwapatia watu wote hawa." + +# Mimi pekee yangu siwezi kuwabeba watu wote hawa + +"Siwezi kuwapatia mahitaji yao watu wote hawa." + +# Ni wengi sana kwangu + +"Wajibu huu ni mzito sana kwanagu" + diff --git a/num/11/16.md b/num/11/16.md new file mode 100644 index 00000000..dc38a9f2 --- /dev/null +++ b/num/11/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sehemu ya roho iliyo ndani kwako + +Neno "roho" linamaanisha mamlaka ambayo Roho wa Mungu alikuwa amempatia Musa ili kwamba Musa aweze kufanya yale amabyo Mungu alikuwa amemwamuru. "baadhi ya mamlaka ambayo Roho amekupatia wewe" + +# Nao watabeba mzigo wa watu pamoja na wewe + +"Watakusaidia kuwaangalia watu hawa" + +# Na hautaubeba pekee yako + +"Hautawaangalia pekee yako" + diff --git a/num/11/18.md b/num/11/18.md new file mode 100644 index 00000000..36f2ad3e --- /dev/null +++ b/num/11/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kw aujumla + +BWANA anaendelea kuongea a Musa + +# nani atakayetupa nyama tule? + +"Tunatamani kama tungepata nyama tule" + +# mpaka zitakapowatokea puani + +Inaweza kumaanisha 1) Mungu anamaanishsa kutapika kupitia puani au mpaka mtaugua na kutapika 2)watakula nyama nyingi sana kama itakavyokuwa pale zitakapowatokea puani. au "mpaka mtaanza kujisikia kuwa zinataka kutokea puani" + +# kwa nini tulitoka Misri? + +"Bora tusingelitoka Misri." + diff --git a/num/11/21.md b/num/11/21.md new file mode 100644 index 00000000..55c42a0d --- /dev/null +++ b/num/11/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Je, tutayachinja haya makundi ya ng'ombe na kondoo ili kuyatosheleza? Je tutawakamaata hawa samamki wote wa baharini ili kuwatosheleza? + +"Tutatakiwa kuwachinja makundi yote ya ng'ombe na kuwakama samaki wote wa baharini ili kuwatosheleza!" + +# Ng'ombe na makundi + +Maneno haya yanamaanisha kitu kimoja. Yametumika kuonyesha msisitizo wa kundi kubwa la wanyama + +# Smamki wote wa baharini + +Musa ametumia mfano huu ili kuonyesha kuwa ilivyokuwa vigumu kuwapatia chakula watu wa Israeli. + +# ilikuwatosheleza + +"kuwatosheleza njaa yao" + +# Je, mkono wangu ni mfupi? + +"Je, mnadhani kuwa sina uwezowa kuyafanya haya?" au "manapaswa kujua kuwa mimi nina uwezo zaidi wa kuyafanya haya." + diff --git a/num/11/24.md b/num/11/24.md new file mode 100644 index 00000000..ef0ffa22 --- /dev/null +++ b/num/11/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maneno ya BWANA + +"Kile ambacho BWANA amesema" + +# Sehemu ya Roho aliyekuwa kwa Musa + +Tazama 11:16 + +# na kuiweka kwa wale wazee sabini + +Tazama 11:16 + +# Roho alipowashukia + +"Walipokuwa na nguvu kutoka kwa Roho" + diff --git a/num/11/26.md b/num/11/26.md new file mode 100644 index 00000000..cb7b7834 --- /dev/null +++ b/num/11/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Roho aliwashukia pia + +"Roho ali[pa nguvu pia" + +# Majina yao yalikuwa yameandikwa kwenye orodha + +"Musa alikuwa ameandika majina yao kwenye orodha" + diff --git a/num/11/28.md b/num/11/28.md new file mode 100644 index 00000000..12a68364 --- /dev/null +++ b/num/11/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wazuie + +"waambie waache kutoa unabii" + +# una wivu kwa niaba yangu + +"unapaswa kutokuwa na wivu" + +# una wivu kwa niaba yangu + +"Unadhani kuwa wanaweza kuwa wanacchukua kitu kutoka kwangu?" + +# angeweka Roho yake juu yao + +"Kwsamba Roo ya BWANA angewapatia uwezo." + diff --git a/num/11/31.md b/num/11/31.md new file mode 100644 index 00000000..359f625b --- /dev/null +++ b/num/11/31.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kware + +ndege mdogo + +# kiasi cha umabli wa safari ya siku moja upande huu na umbali wa siku moja upande mwingine + +"ni umbali wa siku moja ambao mtu anaweza kwenda katika uelekeo wowotde. + +# kiasi cha mita moja toka uso wa dunia + +"kiasi cha sentimita 92" au "mita moja" + +# hakuna aliyekusanya pungufu ya mita mbili + +"kila mmoja alikusanya si chini ya mita mbili za ujazo" + +# mita mbii za ujazo + +mita moja ya ujazo ni saw na lita 220."lita 2,200" + diff --git a/num/11/33.md b/num/11/33.md new file mode 100644 index 00000000..b5346753 --- /dev/null +++ b/num/11/33.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wakati ile nyama ikiwa bado iko kwenye meno, wakiwa bado wanatafuna + +Sentensi hizi zinamaanishakitu kimoja. "wakati walipokuwa bado wanakula ile nyama" + +# Mahali pale paliitwa Kibroti Hataava + +"walipaita mahali pale Kibroti Hataava" + +# Hazeroti + +Hili ni eneo la mahali fulani jangwani + diff --git a/num/12/01.md b/num/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..7942f4d8 --- /dev/null +++ b/num/12/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hivi BWANA amesema na Musa tu? Ni kweli hajawahi kusema nasi pia? + +"BWANA hajasema na Musa tu. Pia amesema na sisi." + +# sasa BWANA akasikia + +Neno "sasa" linavuta usikivu kwa kile ambacho kinafuata baadaye. + +# Sasa Musa alikuwa mtu + +"Neno "sasa" limetumika kuonyesha mwanzo wa habari kuu. Msimuliaji anaeleza historia ya Musa kuhusu tabia zake. + diff --git a/num/12/04.md b/num/12/04.md new file mode 100644 index 00000000..65efade0 --- /dev/null +++ b/num/12/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# nguzo ya wingu + +umbo la wingu linaongolewa kama vile ni nguzo. "wingu lenye umbo kama nguzo" au "wingu refu" + diff --git a/num/12/06.md b/num/12/06.md new file mode 100644 index 00000000..a5475a91 --- /dev/null +++ b/num/12/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Lakini si hivyo kwa mtumishi wangu Musa + +"Siongei na Musa kwa namna hiyo" + +# Yeye ni mwaminifu katika nyumba yangu + +Nyumba hapa inamaanisha taifa la Israeli. Musa amawaongoza watu wangu kwa uamiinifu" au Musa ndiye ninayemwamini kuwaongoza watu wangu Usraeli" + +# Kwa nini hamuogopi kumnenea kinyume mtumishi wangu Musa? + +"Mnapaswa kuogopa kumnenea kinyume mtumishi wangu, dhidi ya Musa" + +# kinyume, cha mtumishi wangu Musa + +kinyume cha mtumishi wangu, Musa + diff --git a/num/12/09.md b/num/12/09.md new file mode 100644 index 00000000..b40bb18d --- /dev/null +++ b/num/12/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hasira ya BWANA ikawawakia + +Hasira ya BWANA inafananishwa na moto."BWANA akawakasirikia sana" + +# "akawa mweupe kama ukokoma" + +"akawa mweupe sana" + diff --git a/num/12/11.md b/num/12/11.md new file mode 100644 index 00000000..0c9ef453 --- /dev/null +++ b/num/12/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# usituadhibu kwa sababu ya uovu wetu huu + +Hii inamaanisha usituadhibu kwa sababu ya dhambi zetu + +# Tafadhali usimwache akawa kama mtoto mchanga aliyekufa amabye nusu ya nyama yake imeoza + +"Tafadhali usimwache akawa kama mtoto mchanga ambaye nusu ya nyamya yake imeoza" + diff --git a/num/12/13.md b/num/12/13.md new file mode 100644 index 00000000..2d95353e --- /dev/null +++ b/num/12/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mungu ninakusihi umponye tafadhali + +neno "tafadhali" limerudiwa ili kuonyesha msisitizo + +# kama baba yake angemtemea usoni + +kumtemetemea mtu usoni ilikuwa udhi baya + +# Miriamu akafungiwa nje ya kambi + +"Miriamu alitengwa nje ya kambi" + +# Miriamu akafungiwa nje ya kambi + +"Musa alimfungia Miriamu nje ya kambi" + diff --git a/num/12/16.md b/num/12/16.md new file mode 100644 index 00000000..a2838475 --- /dev/null +++ b/num/12/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hazeroti + +Tazama 11:13 + diff --git a/num/13/01.md b/num/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..859f07b9 --- /dev/null +++ b/num/13/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ambayo nimewapa + +"ambayo nimeamua kuwapeni + +# Kila mwanamume awe kiongozi katika kabila lake + +"Kila mwanamume ambaye ulimtuma lazima awe kiongozi miongoni mwa kabila yake" + diff --git a/num/13/03.md b/num/13/03.md new file mode 100644 index 00000000..55ba022a --- /dev/null +++ b/num/13/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Shamua mwana wa Zakuri + +Haya ni majiina ya wanaume + diff --git a/num/13/05.md b/num/13/05.md new file mode 100644 index 00000000..a2c6746e --- /dev/null +++ b/num/13/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Shafati ... Hori ... Yefune ... Igali ... Yusufu ... Nuni + +Haya ni majina ya wanaume + diff --git a/num/13/09.md b/num/13/09.md new file mode 100644 index 00000000..b31c220e --- /dev/null +++ b/num/13/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Paliti ... Rafu ... Gadieli ... Sodi ... Gadi ... Susi ... Amieli ... Gemali + +Haya ni majina ya wanaume + +# Kutoka kabila la Yusufu (Hiyo inamaanisha kutoka kabila la Manase) + +Kutoka kwenye kabila la Mananse mwana wa Yusufu. + diff --git a/num/13/13.md b/num/13/13.md new file mode 100644 index 00000000..71f72001 --- /dev/null +++ b/num/13/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Setu ... Mikaili ...Nabi ... Vofsi ... Geuli ... Machi + +Haya yote ni majina ya wanaume + +# Hoshea mwana wa Nuni + +Tazama 13:5 + diff --git a/num/13/17.md b/num/13/17.md new file mode 100644 index 00000000..e31fd14e --- /dev/null +++ b/num/13/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nzuri au mbaya? Miji yao ikoje iko kama kambi au ni miji yeneye ngome? + +"Mkaone kama nchi ni nzuri au mbaya. ni aina gani ya miji iliyoko huko, na kama miji hiyo ni kama kambi au imezungushiwa ngome za ulinzi" + +# Je, iko kama kambi au ni miji yenye ngome + +Miji yenye ngome ilikuwa na kuta imara zinazozunguka ili kuwalinda na majeshi ya maadui. Kambi hazikuwa na kuta za namna hii. + diff --git a/num/13/21.md b/num/13/21.md new file mode 100644 index 00000000..d85e2ee4 --- /dev/null +++ b/num/13/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sini ... Rehobi ... Zoani + +Haya ni majina ya maeneo + +# jangwa la Sini + +Neno "Sini" ni jina la Kihebrania lenye maana ya jangwa. + +# Hebroni ilikuwa imejengwa miaka saba kabla ya Zoani ya Misri + +"Wakanaani walikuwa wameijenga Hebroni miaka 7 kabla ya kuijenga Zoani" + +# Ahimani ... Sheshai ... Talmai + +Haya ni majinia ya koo zilizokuwa zimeitwa kufuata mababu zao. + +# Anaki + +Hili ni jina la mwanamume + diff --git a/num/13/23.md b/num/13/23.md new file mode 100644 index 00000000..ceec8c0a --- /dev/null +++ b/num/13/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Eshikoli + +Hili ni jina la mahali + +# Na makundi mawili ya wapelelezi + +"kati ya watu wawili wa makundi hayo" + +# Mhali pale paliitwa + +"walipaita mahali pale" + diff --git a/num/13/25.md b/num/13/25.md new file mode 100644 index 00000000..024a9310 --- /dev/null +++ b/num/13/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Baada ya siku arobaini + +"Baada ya siku 40" + +# Wakaleta taarifa kwao + +"wakaleta taarifa" au "wakaleta taarifa ya kile walichokiona" + diff --git a/num/13/27.md b/num/13/27.md new file mode 100644 index 00000000..38910096 --- /dev/null +++ b/num/13/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa hakika ni nchi ya kutiririka maziwa na asali + +"kwa hakika ni nchi nzuri kwa ufugaji na kilimo cha mazao" au " kwa hakika ni nchi yenye rutuba" + +# maziwa + +"mazao ya yatokanayo na wanyama" + +# asali + +"chakula kitokanacho na mazao" + diff --git a/num/13/30.md b/num/13/30.md new file mode 100644 index 00000000..a960f254 --- /dev/null +++ b/num/13/30.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kalebu + +Kalebu alikuwa mmoja wa wapelelzi kumi na mbili ambao Musa aliwatumakuipelelza Kanaani. + +# tia moyo ... kutia moyo + +Neno tia moyo au kutia moyo ni maneno ya kuwafariji na kuwahamasisha waendelee kufanya jambo fulani kwa ujasiri. + diff --git a/num/13/32.md b/num/13/32.md new file mode 100644 index 00000000..8da7b4a9 --- /dev/null +++ b/num/13/32.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# wakasambaza taarifa ... waksema + +Kiwakilishi cha "wa" kinamaanisha wale wanaume walioipelelza nchi isipokuwa Kalebu na Joshua. + +# Ile nchi waliyoipeleleza + +Neno "wa" linamaanishawanaume wote walioipeleleza nchi akiwemo Joshua na Kalebu + +# nchi inayowala watu wake + +"ni nchi ya hatari sana" au ni nchi ambayo hao watu watatuua" + +# Anaki + +Hili ni jina la mwanaume + +# tulionekana ... machoni pao + +"katika maoni yetu" + +# tulionekana kama mapanzi machoni mwao + +"tulikuwa wadogo kama mapanzi ukitulinganisha nao" + diff --git a/num/14/01.md b/num/14/01.md new file mode 100644 index 00000000..ca0b3bc8 --- /dev/null +++ b/num/14/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini BWANA alituleta katika nchi hii ili tufe kwa upanga? + +"BWANA asingetuleta kwenye nchi hii ili tufe kwa upanga" + +# tufe kwa upanga + +"tufe pale watu watakapotuvamia kwa upanga" + +# Je, si bora kwetu kurudi Misri? + +Ingekuwa heri kwetu turudi Misri kuliko kujaribu kuwapiga Wakanaani" + diff --git a/num/14/04.md b/num/14/04.md new file mode 100644 index 00000000..3cc7a5c5 --- /dev/null +++ b/num/14/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wakasemezana wao kwa wao + +Hii in amaanisha watu wa Israeli + +# kifudifudi + +"wakalal kifudifudi ili kuonyesha unyenyekevu kwa Mungu" au "walilala kifudifudi ili kumwomba Mungu" + diff --git a/num/14/06.md b/num/14/06.md new file mode 100644 index 00000000..dc291243 --- /dev/null +++ b/num/14/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nuni .. Yefune + +Haya ni majina ya wanaume + +# amabo walikuwa miongoni mwa wale waliokuwa wametumwa + +Ambaowalikuwa miongonimwa wale ambao Musa alikuwa amewatuma + +# wakachana mavazi yao + +kuchana mavazi ilikuwa ishara ya kuonyesha kuwa mtu huyo ametabika sana na anaomboleza + +# Ni nchi inayotiririka maziwa na asali + +Tazama 13:27 + diff --git a/num/14/09.md b/num/14/09.md new file mode 100644 index 00000000..db67cb31 --- /dev/null +++ b/num/14/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Joshua na Kalebu wanaendelea kuongea na watu + +# Tutawateketeza kwa urahisi kama kula chakula + +"Tutawatekeza kwa urahisi kama tuwezavyo kula chakula + +# Ulinzi wao utakuwa umeondolewa + +"BWANA atawaondolea ulinzi wao" + +# Ulinzi wao + +"Yeyote ambaye atajaribu kuwalinda" + diff --git a/num/14/11.md b/num/14/11.md new file mode 100644 index 00000000..4737a396 --- /dev/null +++ b/num/14/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Watu hawa watanidharau hadi lini? Wataendelea kutoniamini mpaka lini? nijapokuwa nimefanya ishara kwa nguvu zangu kati yao? + +"Watu hawa wamenidhrau kwa muda mrefu. Wameshindwa kuniamiini kwa muda mrefukati, japokuwa nimefanya ishara ... kati yao + +# kuwaondolea urithi + +"kuwakataa akuwa siwatu wangu" Hii inawez akumaanisha kuwa atawaangamiza. + +# kutoka kwenye ukoo wako + +Kiwakilishi "wako" kinamaanisha Musa. + diff --git a/num/14/13.md b/num/14/13.md new file mode 100644 index 00000000..f7d07be1 --- /dev/null +++ b/num/14/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# uso wako umeonekana + +Yaweza kumaanisha 1)Musa anaoakijionyesha kwa watu wake kama vile Mungunggea habari za Mungu amewaruhusu kuuona uso wake. "wamekuona" 2) Musa anaongelea ukaribu wa uhusiano wake na Mungu kama vile Musa humwona Mungu pale Mungu anapoongea naye. "wewe huongea moja kwa moja na mimi." + diff --git a/num/14/15.md b/num/14/15.md new file mode 100644 index 00000000..f0422e5c --- /dev/null +++ b/num/14/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kama mtu mmoja + +kuwaua wote kwa wakati mmoja inaonekana kama kumwua mtu mmoja. "wote kwa wakati mmoja" + diff --git a/num/14/17.md b/num/14/17.md new file mode 100644 index 00000000..0a1ab538 --- /dev/null +++ b/num/14/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kwa vyovyote vile atafutilia hatia + +"yeye ataadhibu kwa sababu ya hatia" + +# atakapoleta hukumu ya dhambi za mababu juu ya wazao wao + +"atakapoadhibu uzao wa watu wenye hatia kwa sababu ya hatia ya dhambi ya watu" + diff --git a/num/14/20.md b/num/14/20.md new file mode 100644 index 00000000..94074f7b --- /dev/null +++ b/num/14/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# dunia yoe itakapojazwa na utukufu wangu + +"utukufu wangu utaijaza duia yote" + +# bado wamenijaribu + +"wameendelea kunijaribu" + +# mara kumi + +namba kumi inaonyesha mara nyingi. "mara nyingi sana" + +# hawakuisikiliza sauti yangu + +"hawakutii kile nilichosema" + diff --git a/num/14/23.md b/num/14/23.md new file mode 100644 index 00000000..cafe46d4 --- /dev/null +++ b/num/14/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi + +BWSANA anaendelea kuongea na Musa + +# kwa sababu alikuwa na roho nyingine + +neno "roho" linawakilisha mtazamo. "kwasababu alikuwa tayari kumtii Mungu" au "kwa sababu alikuwa na mtazamo tofauti." + diff --git a/num/14/26.md b/num/14/26.md new file mode 100644 index 00000000..a97a0498 --- /dev/null +++ b/num/14/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nitaivumilia jamii ya watu hawa waovu wanaoninung'unikia mpaka lini + +"Nimeivumilia jamii ya watu hawa waovu wanaoninung'unikia kwa muda mrefu." + +# Nimeyasikia malalamiko ya wana wa Israeli dhidi yangu + +"Nimewasikia wana awa Israeli wakilalamika + diff --git a/num/14/28.md b/num/14/28.md new file mode 100644 index 00000000..c38fa3c2 --- /dev/null +++ b/num/14/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kama vile mlivyosema katika masikio yangu + +"kama nilivyowasikia mkisema" + +# Maiti zenu zitaanguka + +"mtakufa" + +# ninyi mliohesabiwa kwenye ile sensa + +"Ninyi ambao Musa aliwahesabu kwenye ile sensa" + +# kuanzia umri wa mika ishirini na kuendelea + +"umri wa miaka ishirini na zaidi" + diff --git a/num/14/31.md b/num/14/31.md new file mode 100644 index 00000000..b20ac12b --- /dev/null +++ b/num/14/31.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# maiti zenu zitaanguka + +"mtakufa" + +# Watoto wenu watakuwa wachungaji kwenye jangwa hili + +"watoto wenu watazungukazunguka kwenye jangwa hili" kwa sababu wachungaji huzungukazunguka wakitafuta malisho. + +# Lazima watabeba madhara ya matendo yenu + +"Lazima wapate mateso kwa sababu ya matendo yenu" + +# mpaka mwisho wa maiti ya mwisho + +"mpaka wote mtakapokufa" + diff --git a/num/14/34.md b/num/14/34.md new file mode 100644 index 00000000..dfb22905 --- /dev/null +++ b/num/14/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mtabeba madhara ya dhambi zenu + +"mtapokea madhara ya dhambi zenu" + +# Wao watakatwa kabisa + +"wote wataangamizwa" + diff --git a/num/14/36.md b/num/14/36.md new file mode 100644 index 00000000..94308ae3 --- /dev/null +++ b/num/14/36.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa hiyo wale wanume ... waliomlalamikia Musa + +Matukio y a yaliyo kwenye 14:36 yamepangwa ili kwamba maana ieleweke kwa urahisi zaidi. + +# walikufa kwa tauni mbele ya BWANA + +"walikufa mbele ya BWANA kwa tauni ambayo aliileta" + diff --git a/num/14/39.md b/num/14/39.md new file mode 100644 index 00000000..ed5e8497 --- /dev/null +++ b/num/14/39.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Tazama + +"Tazama" neno hili linaongeza msisitizo + diff --git a/num/14/41.md b/num/14/41.md new file mode 100644 index 00000000..cb2cbd94 --- /dev/null +++ b/num/14/41.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa nini sasa mnapinga amri ya BWANA? + +"Hampaswi kuwa mnapinga amri ya BWANA tena" + +# BWANA hayuko pamoja nayi + +"BWANA hatawasaidia" + +# kuwalinda dhidi ya maadui zenu + +"kuwalinda ili maadui zenu wasiwaangamize" + +# mtakufa kwa upnga. + +"watawaua mtakapopigana nao" + +# mlimtega mgongo BWANA + +"mliacha kumtii BWANA" + +# Hatakuwa pmoja nanyi + +"hatawasaidia" + diff --git a/num/14/44.md b/num/14/44.md new file mode 100644 index 00000000..9907e099 --- /dev/null +++ b/num/14/44.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# walithubutu kukwea mlimani + +"walithubutu kwenda mlimani hata kam ungu hakuwaruhusu" + +# mlimani + +Sehemu kubwa ya nchi ya Israeli ni ya milima.Waisraeli walipovuka bonde Mto Yorodani ili kuivamia nchi ya Wakanaani, kulikuwa na milima ambayo walilazimika kuikwea ili waweze kwenda mbali zaidi ndani ya nchi ya Kanaani. + diff --git a/num/15/01.md b/num/15/01.md new file mode 100644 index 00000000..f52907c2 --- /dev/null +++ b/num/15/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hesabu 15:1 -32 inaelezea kile ambacho Mungu alimwambia Musa awaambie wana wa Israeli + +# ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA ya ng'ombe au ya kondoo + +"kumfurahisha BWANA kwa kuteketeza sadaka ya ng'ombe au ya kondoo" + diff --git a/num/15/04.md b/num/15/04.md new file mode 100644 index 00000000..89df6023 --- /dev/null +++ b/num/15/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sadaka ya kuteketezwa + +Tazama 15:4 + +# Sehemu ya kumi ya efa + +"lita 2" + +# robo ya hini + +"takribani lita moja" au "lita 1" + diff --git a/num/15/06.md b/num/15/06.md new file mode 100644 index 00000000..b09d36f0 --- /dev/null +++ b/num/15/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sehemu za kumi mbili za efa + +efa moja ni kipimo kilicho sawa na lita 22. "lita 4" au "lita nne na nusu" + +# sehemu ya kumi ya efa + +"karibu lita 2" au "lita mbili" + +# itatoa harufu nzuri kwa BWANA + +"Mtampendezesha BWANA kwa kutoa sadaka hiyo" + diff --git a/num/15/08.md b/num/15/08.md new file mode 100644 index 00000000..e0c58ce1 --- /dev/null +++ b/num/15/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# sehemu za kumi tatu + +"lita tatu na nusu" + +# nusu ya hini + +"lita mbili" + +# ilyotengenezwa kwa moto. + +"ambayo mliiwekwa kwenye moto" + +# Ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA + +Kumpendezsha BWANA kwa kutoa sadaka hiyo + diff --git a/num/15/11.md b/num/15/11.md new file mode 100644 index 00000000..6a18fec9 --- /dev/null +++ b/num/15/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# itafanyika hivi + +"Lazima uifanye" + +# itafanyika kama ilivyoaanishwa + +Lazma uifanye kama nilivyoainisha + +# iliyotengenezwa kwa moto + +"ilitoteketezwa madhabhuni" + +# ili kufanya harufu nzuri kwa BWANA + +"kumpendezesha BWANA kwa kutoa sadaka hiyo" + diff --git a/num/15/14.md b/num/15/14.md new file mode 100644 index 00000000..4fa3e3af --- /dev/null +++ b/num/15/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# lazima atoe sadaka iliyotengenezwa kwa moto + +"Lazima ateketeza sadka madhabahuni" + +# ili kufanya harufu nzuri kwa BWANA + +"Kumpendezesha BWANA kwa kutoa sadaka hiyo. + +# Ninyi mlivyo, ndivyo atakvyokuwa mgeni + +maana yake yaweza kuwa 1) "Wewe na mgeni anayeishi na wewe mtakuwa sawa mbele ya BWANA" 2)"Sheria moja itakayotumika kw mgeni na kwako pia." + +# Atafanya kama mnavyofanya kwa BWANA + +"atafanya kama mnavyofanya na kutii maagizo yote ya BWANA " + diff --git a/num/15/17.md b/num/15/17.md new file mode 100644 index 00000000..d5cc6700 --- /dev/null +++ b/num/15/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# chakula kitakachozalishwa katika nchi + +"chakula kile ambcho nchi itazalishwa" + diff --git a/num/15/20.md b/num/15/20.md new file mode 100644 index 00000000..89a62bb0 --- /dev/null +++ b/num/15/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mikate yenu ya kwanza + +yaweza kumaanisha 1) mazao ya kwanza watakayokusanya wakati wa mavuno 2) Mikate ambayo itatengenezwa kutoka kwenye mavuno yao ya kwanza. + +# mkate + +inapoitwa mkate mmoja ina maana kuwa walioka mkate kwanza + +# mtaiinua kwanza kama sadaka ya kuinuliwa + +"kuiinua kama sadaka" + +# sadaka iloiyoinuliwa kutoka mahali pa kupuria nafaka. + +Sadaka hii inafanywa kuwa sadaka kutoka mahali pa kupuria nafaka kwa sababu hapo ndipo mahali ambapo nafaka hutenganishwa na sehemu zingine za mmea. + diff --git a/num/15/22.md b/num/15/22.md new file mode 100644 index 00000000..9e54df2b --- /dev/null +++ b/num/15/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Mungu anendelea kumwmbia Musa kitu cha kuwaambia watu. + +# Taarifa kwa ujumla + +Neno "m" linawakilisha waisraeli + +# ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA + +Kumpendezsha BWANA kwa kutoa sadaka hiyo. + +# lazima itengenezwe sadaka ya unga nasadaka ya vinywaji + +"lazima mtengeneze sadakaya unga na sadaka ya vinywaji" + +# kama ilivyoagizwa katika amri + +"kama amri inavyoagiza" + diff --git a/num/15/25.md b/num/15/25.md new file mode 100644 index 00000000..0ad54329 --- /dev/null +++ b/num/15/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Watasamehewa + +"Nitawasamehe" + +# iliyotengenezwa kwa moto + +"ambayo waliitengeneza kwa moto" + +# Ndipo watu wte wa Israeli watasamehewa" + +"Nitawasamehe jamii yote ya watu wa Israeli" + diff --git a/num/15/27.md b/num/15/27.md new file mode 100644 index 00000000..c0c6fee4 --- /dev/null +++ b/num/15/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mbuzi jike wa umri wa mwka mmoja + +"mbuzi jike wa umri wa mwka 1" + +# Yule mtu atasamehewa baada ya upatanisho kufanyika + +"Nitamsamehe mtu yule baada ya kuhani kufanya upatanisho" + diff --git a/num/15/30.md b/num/15/30.md new file mode 100644 index 00000000..b3c99ace --- /dev/null +++ b/num/15/30.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Huyo mtu ataondolewa kati ya watu wake + +Yaweza kumaanisha 1)" watu wake watamfukuza 2) "sitamtambua tena kuwa sehemu ya watu wa Israeli 3) "watu wake lazima watamwua." + +# amevunja amri yangu + +"ameshindwa kutii amri yangu" + +# Dhambi yake itakuwa juu yake + +Hapa "dhambi" inamaanisha 1) adhabu kwa ajili ya dhambi 2) hatia ya dhambi hiyo. dhambi kuwa juu yake ni sitisri inayomaanisha 1) kuadhibiwa 2) kuwa na hatia. kwa hiyo, Nitamwadhibu kwa sababu ya 1)dhambi zake au 2) Nitamwonw kuwa ni mwenye hatia. + diff --git a/num/15/32.md b/num/15/32.md new file mode 100644 index 00000000..c10b8de6 --- /dev/null +++ b/num/15/32.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwa sababu ilikuwa haijamriwa atakchotendewa + +"BWANAalikua hajatamka cha kumfanya huyo mtu" + diff --git a/num/15/35.md b/num/15/35.md new file mode 100644 index 00000000..66109071 --- /dev/null +++ b/num/15/35.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yule mwanamume lazima auawe + +"kwa hakika lama mwue mtu huyo" + diff --git a/num/15/37.md b/num/15/37.md new file mode 100644 index 00000000..623af913 --- /dev/null +++ b/num/15/37.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wana wa Israeli + +Israeli lilikuwa jina jingine la Yakobo. "watu wa Israeli" + +# na kuzishika + +"kuzitii" + +# ili kwamba msije mkatangatanga katika mioyo yenu na macho yenu + +"ili kwamba msije mkafikiria chochote manchokitaka" + +# na kuwa waasherati kwa hayo + +"na kwa aibu mkashindwa kuw waaminifu kwangu" + diff --git a/num/15/40.md b/num/15/40.md new file mode 100644 index 00000000..eadb7b3a --- /dev/null +++ b/num/15/40.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Mungu anaendeles kumwambia Musa vitu vya kuwawambia Waisraeli. Neno "fa" linawahusu Waisraeli. + +# kukumbuka + +"kukumbuka + +# Mimi ndimi BWANA Mungu wenu + +Kirai hiki kinajirudiaili kutoa msisitizo + diff --git a/num/16/01.md b/num/16/01.md new file mode 100644 index 00000000..f0c2ed11 --- /dev/null +++ b/num/16/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kohathi + +Tazama 3:17 + +# Wakamwinukia Musa + +"walimpinga Musa" + +# mia mbili na hamsini + +"250" + +# waliokuwa wakifahamika katika ile jamii + +"watu wa muhimu katika ile jamii" + +# mnatumia mamlaka zaidi ya uwezo wenu + +"Mmefanya zaidi ya kile manchotakiwa kufanya" + +# Kwa ini mnajiinua sana juu ya watu wengine wa BWANA? + +"Mmekoswa kujiinua wenyewe juu ya watu wengine wa BWANA" + +# mnajiinua sana juu ya watu wengine + +"mnajiona wenyewe kuwa wa mhimu kulikowengine" + diff --git a/num/16/04.md b/num/16/04.md new file mode 100644 index 00000000..994bc1a0 --- /dev/null +++ b/num/16/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# akalala kifudifudi + +Hii inamanisha kuw Musa alikuwa akinyenyekeza kwa Mungu. Musa aliogopa kuwa Mungu angewaadhibu watu waliokuwa wanampingaMungu na viongozi wake aliokuwa amewachagua + +# aliyetengwa kwa ajili yake + +"ambaye BWANA amemtenga kwa ajili yake" + diff --git a/num/16/06.md b/num/16/06.md new file mode 100644 index 00000000..49bcdddd --- /dev/null +++ b/num/16/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Musa anaendelea kuongea na Kora na wale wanaume waliokuwa na kora + +# vyetezo + +vyombo vya kufukizia uvumba + +# mbele za BWANA + +"katika uwepo wa BWANA" + +# yule ambye BWANA atamchagua atamtenga kwa BWANA + +"BWANA atamenga mtu huyo kwa ajili yake" + +# Mmeenda mbele zaidi + +"Mmefanya za"idi ya kile mnachotakiwa kufanya" au "Mmechukua mamlaka zaidi ya kiasi mnachotakiwa + diff --git a/num/16/08.md b/num/16/08.md new file mode 100644 index 00000000..8bdabb9c --- /dev/null +++ b/num/16/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Je, ni jambo dogo kwenu... ili muwatumikie + +"mnaishi kana kwamba ni jambo dogo kwenu ... kuwatumikia" + +# ni jambo dogo kwenu + +"haitoshi kwenu" au "siyo mhimu kwenu" + +# mnataka na ukuhani pia + +"mnataka na huduma ya ukuhani pia" au "mnataka kuwa makuhani pia" + +# kwa nini mnalalamika juu ya Haruni, ambaye anamtii BWANA? + +"Kiuhalisia hamumlalamikii Haruuni, bali BWANA, ambaye Haruni anamtii" + diff --git a/num/16/12.md b/num/16/12.md new file mode 100644 index 00000000..9a5f6858 --- /dev/null +++ b/num/16/12.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kwani ni jambodogo kwamba umetuleta mpaka ... ili kutuua kwenye jangwa + +"mnadhani ni jambo dogo kwamba umetuleta ... ili kutuua katika jangwa hili." + +# ni jambo dogo + +"haitoshi" au "isiyo na umhimu" + +# nchi ya kutiririka maziwa na asali + +tazama 14:6 + +# kutupa urithi + +Inahusisha kile ambacho Mungu atawapa kuwa mali yao milele kama urithi wao + +# Sasa unataka kutuposha na ahadi hewa? + +"Sasa unataka kutuposha na ahadi hewa." + +# kutupofusha + +"kutudanganya" + +# kwa ahadi hewa + +"kwa ahadi ambazo huwezi kuzitimiza" + diff --git a/num/16/15.md b/num/16/15.md new file mode 100644 index 00000000..ddfa5806 --- /dev/null +++ b/num/16/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sijachukua punda mmoja kutoka kwao + +"Sijachukua chochote kutoka kwao, wala hata punda mmoja" + +# vyetezo + +vyombo vya kufukizi uvumba + diff --git a/num/16/18.md b/num/16/18.md new file mode 100644 index 00000000..0193ffb2 --- /dev/null +++ b/num/16/18.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# moto + +moto ni joto, mwanga, miali ambayo hutokea wakati kitu fulani kinapochomwa. Moto pia hutumika kwa maana ya utakaso au hukumu. + +# hema ya kukutania + +Hii ni hema ambayo ya mud ambayo Mungu aliitumia kukutana na Musa kabla ya kujengwa ile masikani. Hema ya kukutania iliwekwa nje ya kambi. Wakati mwiingine neno "hema ya kukutania" ilitumika kumaanisha masikani. Baada ya Waisraeli kujenga masikani; ile hema ya kukutania haikuwepo tena. + +# Musa + +Huyu alikuwa nabii na kiongozi wa Waisraeli kwa muda wa miaka 40 + +# Haruni + +Huyu alikuwa kaka mkubwa wa Musa. Mungu alimchagua Haruni kuwa kuhani mkuu wa kwanza wa watu wa Israeli + +# Kora + +Kora ni jina la wanaume watatu katika Agano la kale. Wa kwanza ni yule mwana wa Esau ambaye baadaye alikuja kuwa kiongoziwa watu wake. Wa pili ni yule aliyekuwa wa uzao wa Lawi ambaye pia alitumika kwenye masikani kuhani na baadaye kumwonea wivu Musa naHaruni na alikuwa nakundi la wanaume waliowapinga. Wa tatu ni yule alyeorodheshwa kama kwenye ukoo wa Yuda. + +# BWANA (YAHWEH) + +BWANA ni jina binafsi la Mungu ambalo alilifunua wakati aliapoongea na Musa kwenye kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto. Neno hili YAHWEH linatokana na neno linalomaanisha "kuwepo" au "kuishi." Maana halisiy aweza kuwa "Yeye ndiye" au "Mimi ndiye" au "Yeye anyewezesha kuwepo." + +# utukufu + +Neno "utukufu" linamanisha heshima, fahari, na ukuu uliotukuka. Wakati mwingine utukufu humaanisha kitu chenye thamani kubwa na cha muhimu. na Kwa mukhutadha mwingine inaweza kumaanisha mng'ao au hukumu. + diff --git a/num/16/20.md b/num/16/20.md new file mode 100644 index 00000000..bb1dfba2 --- /dev/null +++ b/num/16/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ili nipate kuwaangamiza + +"ili niweze kuwatekeketeza" + +# wakalala kifudifudi + +Hii inaonyesha kuwa Musa na Harunu walikuwa wnajinyenyekeza + +# Mungu wa wote wenye mwili + +"Mungu anayewpa watu uhai" + +# kama mtu akitenda dhambi, ni lazima uwe na hasira na watu wote? + +"tafadhali usiwe na hasira na watu wote kwa sababu ya dhambi ya mtu mmoja." + diff --git a/num/16/23.md b/num/16/23.md new file mode 100644 index 00000000..9a607e94 --- /dev/null +++ b/num/16/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hema + +Hema ni kibanda kinachobebeka amacho kimetengenezwa kwa nyuzi zilizosukwa na zinazowezwa kuunganishwa na nguzo ndogo ndogo pamoja. hema zinaweza kuwa ndogo ndogo au kubwa kubwa. + diff --git a/num/16/25.md b/num/16/25.md new file mode 100644 index 00000000..9eb425a3 --- /dev/null +++ b/num/16/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mtaangamizwa + +"mtateketezwa" + +# mtataanganizwa na dhambi zao + +"mtateketezwa kwa sababu ya dhamabi zao zote" + +# mtataanganizwa na dhambi zao + +"mtateketezwa kwa sababu ya dhamabi zao zote" + diff --git a/num/16/28.md b/num/16/28.md new file mode 100644 index 00000000..11fc8a3e --- /dev/null +++ b/num/16/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ndipo mtakapojua + +"ndipo" inamaanisha kile ambcho Musa atakisema baadaye + +# ambye huwameza kama mdomo mkubwa + +"na wataangui ndani yake na kufunikwa ndani yake" + diff --git a/num/16/31.md b/num/16/31.md new file mode 100644 index 00000000..1de74a3f --- /dev/null +++ b/num/16/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Dunia ikafungua makanwa yake na kuwameza + +"Dunia ikafungua makanwa yake naowkaangukia ndani yake na kuwafunika" + diff --git a/num/16/33.md b/num/16/33.md new file mode 100644 index 00000000..e74ca2bc --- /dev/null +++ b/num/16/33.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wakaingia ndani shimoni wakiwa hai + +tazama 16:28 + +# wakashangaa + +kiwakilishi "wa" kinawakilishsa Waisraeli" + +# Nchi isije kutumeza na sisi pia + +"Nchi inaweza kufunguka na sisi pia tukaangukia ndani yake na kufunikwa" au "Nchi ikifunguka tena na sisi tutangukia ndani yake tukaangukia ndani yake" + +# Kisha moto ukashuka toka kwa BWANA ukawaangamiza wale wanaume 250 + +"Moto ukawaka kutoka kwa BWANA ukawaangamiza wale wanaume 250" + diff --git a/num/16/36.md b/num/16/36.md new file mode 100644 index 00000000..ee5cba3b --- /dev/null +++ b/num/16/36.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kutoka ule moto + +Hii inamaanisha ule moto uliowaangamiza wale wanaume 250 + +# wale waliopoteza maisha + +"wale waliokufa" + +# Na vifanyike + +"Na Eliezeri atavifanya" + +# ni vitakatifu. Vitakuwa ishara + +"vi" na "vi" inamaanishsa vile vyetezo + diff --git a/num/16/39.md b/num/16/39.md new file mode 100644 index 00000000..056e4d73 --- /dev/null +++ b/num/16/39.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# vilikuwa vimetumiwa na wale watu walioungua + +"vile ambavyo wale wanaume walioungua kwa moto walikuwa wamevitumia." + +# ili wasje kuwa kama Kora na kundi lake + +"wakafa kama Kora na kundi lake walivyokufa" + diff --git a/num/16/41.md b/num/16/41.md new file mode 100644 index 00000000..04ff4e9d --- /dev/null +++ b/num/16/41.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kisha ikatokea + +Kirai hiki kimetumika hapa kuonyesha tukiola muhimu sana katika simulizi hili. + +# walipokuwa wamekusanyika kinyume na Musa. + +"walikuwa wamekusanyika ili kumnung'unikia Musa na Haruni" + +# tazama + +"ghafla." Neno hili limetumika ili kuonyesha kuwa watu walishangazwa na kile walichokiona. + diff --git a/num/16/44.md b/num/16/44.md new file mode 100644 index 00000000..8af50967 --- /dev/null +++ b/num/16/44.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ili niwaangamize + +"ili kwamba niweze kuwaangamkiza" + +# wakalala chini kifudifudi + +Hii inaonyesha kuwa Musa na haruni walijinyenyekeza mbela za Mungu. + +# hasira hii inatoka kwa BWANA + +"BWANA antuonyesha hasira zake" + diff --git a/num/16/47.md b/num/16/47.md new file mode 100644 index 00000000..9ed72cb0 --- /dev/null +++ b/num/16/47.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# akaweka ndani yake uvumba + +"akachoma uvumba" + +# ile tauni ikazuiwa + +"ile tauni ikazuiawa kuenea" + diff --git a/num/16/49.md b/num/16/49.md new file mode 100644 index 00000000..cdb962e0 --- /dev/null +++ b/num/16/49.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kora + +Tazama 16:19 + +# Hema ya kukutania + +Tazama 16:18 + diff --git a/num/17/01.md b/num/17/01.md new file mode 100644 index 00000000..955501a4 --- /dev/null +++ b/num/17/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kumbi na mbili + +"12" + diff --git a/num/17/03.md b/num/17/03.md new file mode 100644 index 00000000..9750137d --- /dev/null +++ b/num/17/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi unganishi + +BWANA anaendelea kuongea na Musa + +# Fimbo ya Lawi + +"Jina la Lawi hapa linamanisha kabila ya Lawi + +# kwa kila kiongozi kutoka kwenye kabila la mababu zao + +kiwakilishi "zao" kinamaanisha "kwa kila kiongozi" + +# amri za agano + +Kirai cha "amri za agano" inamaanisha "sanduku la amri za agano" au "sanduku la amri za agano" + +# fimbo ya mtu yule ninayemchagua itachipua + +"machipukizi yataanza kukua katika fimbo ya mtu yule nitakayemchagua" + +# Nitazuia watu wa Israeli walalamikao, ambao ambao wanaongea kinyume na wewe + +"nitawafanya watu wa Israeli waache kulalamika dhidi na yako" + diff --git a/num/17/06.md b/num/17/06.md new file mode 100644 index 00000000..404458ec --- /dev/null +++ b/num/17/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# aliyechaguliwa kutoka kwenye kila kabila + +"ambaye Musa alimchagua kutoka kwenye kabila la mababu" + +# katika hema ya amri ya agano + +"hama ya sanduku la agano" + diff --git a/num/17/08.md b/num/17/08.md new file mode 100644 index 00000000..280e4fbc --- /dev/null +++ b/num/17/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# na tazama + +Neno "tazama" linaonyesha kuwa kuna kitu cha muhimu kimetokea. + diff --git a/num/17/10.md b/num/17/10.md new file mode 100644 index 00000000..960e511a --- /dev/null +++ b/num/17/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# amri za agano + +"sanduku la agano" + +# ili ukomeshe malalamiko + +"ili kwamba uwazuie kukulalamikia" + +# vinginevyo watakufa + +"ili wasijekufa" + diff --git a/num/17/12.md b/num/17/12.md new file mode 100644 index 00000000..7fe2a3d9 --- /dev/null +++ b/num/17/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# tutakufa hapa. Wote tutaangamia + +Virai vyote viwili vinvamaanisha kitu kile kile na vimetumika ili kuonyesha msisitizo. + diff --git a/num/18/01.md b/num/18/01.md new file mode 100644 index 00000000..bc8dea1d --- /dev/null +++ b/num/18/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# dhambi zote zilizotendwa mahali patakatifu + +"dhambi zote ambazo mtu amezifanya dhidi ya mahali patakatifu" + +# kwa uovu wowote uliofanywa na yeyote mahali patakatifu + +"dhambi zote ambazo mtu huzifanya akiwa mahali patakatifu" + +# yeyote mahali patakatifu + +"kuhani yeyote" + diff --git a/num/18/03.md b/num/18/03.md new file mode 100644 index 00000000..82a9db4f --- /dev/null +++ b/num/18/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +BWANA anaendelea kuongea na Haruni. + +# Watakutumikia ... Wataungana na wewe + +kiwakailiashi "wa" kinamaanisha Walawi. Na kiwakilishi "wewe" kinamwakilisha Haruni. + +# vinginevyo wewe na wao mtakufa + +kiwakilish "wao kinamaanisha mtu yeyote katika kabilla Walawi anayesogelea kitu chochote mahali patakatifu. Kiwakailishi "wewe" kinamaanisha"Haruni" na Walawia wengine wanaotumika katika maeneo yaliyoidhinishwa. + +# asikusogelee. Wewe utaajibika. + +kiwakilishi cha "wewe" ni cha wingi kinachomwakilisha Haruni na walawi wengine. + +# ili kwamba hasira yangu isiwajilie watuwa Israeli tena. + +"ili kwamba nisije nikwaadhibu Waisraeli tena." + diff --git a/num/18/06.md b/num/18/06.md new file mode 100644 index 00000000..dd0debf7 --- /dev/null +++ b/num/18/06.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sentensi unganishi + +BWANA anaendelea kuongea na Musa tena + +# Wao ni zawadi kwako + +"Wao ni kama zawadi kwako. + +# waliotolewa kwangu + +Neno "waliotolewa" kwa Mungu inamaanisha waliotengwa ili wamtumikie Mungu. "Ambao nimewatenga kwa ajili yangu" + +# wewe pekee yako na wanao + +Kiwakilishi "wewe" na "yako" vinamaanisha Haruni na wanawe + +# kufanya kazi ya ukuhani + +"kufanya kazi ya ukuhani" + +# kitu chchote ndani ya ukuhani + +"kitu chochote chumbani nyuma ya lile pazia" + +# Mgeni yeyote anayekaribia atauawa + +"Mgeni yeyote anayekaribia atakufa" au "mtamwua kila mgani anayekaribia" + +# anayekaribia + +"anayekaribia maeneo matakatifu" + diff --git a/num/18/08.md b/num/18/08.md new file mode 100644 index 00000000..8262766d --- /dev/null +++ b/num/18/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sadaka za kuinuliwa kwangu + +Kirai cha "Kuinuliwa kawngu" knamaaisha kutoa kitu kwa Mungu. "Sadaka ambazo watu hutoa kwangu" + +# Nimekupa sadaka hizi wewe + +"Nimeshazitoa sadaka hizi kwako" + +# kuwa haki yako milele + +"kuwa sehsmu ya urithi ambayo utaendelea kupata" + +# visiteketezwe kwa moto + +"amabvyo havitateketezwa kabisa kwa moto madhabahuni" + +# ni vitu vitakatifu sana + +"vitu hivi ni vitskstifu sana" + diff --git a/num/18/10.md b/num/18/10.md new file mode 100644 index 00000000..87591855 --- /dev/null +++ b/num/18/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi + +Mungu anaendelea kuongea na Haruni. + +# ambaye ni msafi + +"anayekubalika kwangu" + diff --git a/num/18/12.md b/num/18/12.md new file mode 100644 index 00000000..febcf755 --- /dev/null +++ b/num/18/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Mungu anaendelea kuongea na Haruni + +# Mavuno ya kwanza + +Hii inamaanisha mafuta yale mazuri ya kwanza + +# Kila mtu aliyemzuri kwenye familia yako + +"Kila mtu kwenye familia yako anayekubalika kwangu" + diff --git a/num/18/14.md b/num/18/14.md new file mode 100644 index 00000000..43f2116d --- /dev/null +++ b/num/18/14.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Sentensi unganishi + +Mungu anaendelea kuongea na Haruni + +# Kila kitu kinachofungua tumbo, kila limbuko + +"kila mzaliwa wa kwanza wa kiume" + +# Kila kitu kinachofungua tumbo + +Nahau hii ya "kufungua tumbo" mzaliwa wa kwanza wa kiume ambaye mama huzaa" + +# watu lazima wawakomboe wazaliwa wa kwanza wa kiume + +Badala ya kutoa sadaka wazaliwa wao wa kwanza, watu walitakiwa kuwalipa makuhani kwa ajili ya wana wao. + +# Wale ambao wanahitaji kukombolewa na watu watakombolewa wakiwa na umri wa mwezi mmoja + +"watu watawakomboa wakiwa na umri wa mwezi mmoja." + +# Wale wanaohitaji kukombolewa + +Hii inamaanisha watu ambao wanatakiwa kukombolewa na wala si wale wanyama ambao ni wazaliwa wa kwanza wasiosafi + +# shekeli tano .... ambazo ni sawa na gera ishirini + +""vipande vitano vya fedha ... ambvyo kila kimoja ni sawa na gramu ishirini za fedha" au "gramu hamsini za fedha kwa kipimo cha mahali patakatifu" + +# shekeli tano + +Shekeli moja ni kipimo cha uzani. "shekeli tano za fedha" + +# shekeli za mahali patakatifu + +Hizi ni shekeli zenye uzani tofauti. Ni kipimo ambacho kilitumikaa kwa mahali patakatifu hemani. Uzani wake ulikuwa gera ishirini sawa na gramu 11. + diff --git a/num/18/17.md b/num/18/17.md new file mode 100644 index 00000000..3e57453e --- /dev/null +++ b/num/18/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi unganishi + +Mungu an endelea kuongea na Haruni + +# Utanyunyizia damu yake + +"mtawachinja na kunyunyizia damu yake" + +# sadaka ya moto + +"ambayo imetengenezwa kwa moto" + +# harufu nzuri ya kumpendeza BWANA + +"BWANA atapendezwa nanyi" + +# kidali cha kuinuliwa na paja la kulia + +"kidali na paja la kulia ambalo utaliinua kama sadaka kwangu" + diff --git a/num/18/19.md b/num/18/19.md new file mode 100644 index 00000000..dc18d2bf --- /dev/null +++ b/num/18/19.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi unganishi + +Mungu anaendelea kuongea na Haruni + +# nimekupa wewe + +"Ninakupatia wewe" + +# Kama gawio la kudumu + +"Kama sehemu ambayo mtaendelea kupata" + +# Hili ni agano la milele la chumvi. Agano linalofunga milele + +"mapatano aya milele" + +# agano la milele la chumvi + +"agano lililotengenezwa kwa chumvi." Chumvi inawakilisha kitu cha kudumu na ilitumika kwa ajili ya sadaka kwenye chakula cha maagano. "agano la kudumu" au " agano la milele" + +# wala hautakuwa na gawio miongoni mwa watu + +"Hautamilikishwa ardhi ya watu" au " au hauatapokea chochotekatika ardhi ambayo Waisraeli wataimiliki" + +# Mimi ndio gawio lenu na urithi wenu + +"Badala yake Mimi ndio nitakuwa kile matakachohitaji" au " Badala yake, Mimi nitawaruhusu kunitumikia na nitatoa kwa ajili yenu kupitia huduma hiyo" + diff --git a/num/18/21.md b/num/18/21.md new file mode 100644 index 00000000..193e4500 --- /dev/null +++ b/num/18/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Mungu anaendelea kuongea na Haruni + +# Tazama, Nimewapatia + +"Neno "tazama" linaongeza msisitzo wa kile kinachofuata. "kwa hakika, Nimwewapeni" + +# kuwa urithi wao + +"kama sehemu ay kile ninachowapatia Waisreali wote" + diff --git a/num/18/23.md b/num/18/23.md new file mode 100644 index 00000000..5a0abcdb --- /dev/null +++ b/num/18/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Muungu anaendelea kuongea na Haruni + +# Na miongoni mwa watu wa Israeli hawa hawatakuwa na urithi. + +"Hawatakuwa na ardhi yeyote ambayo watu wengine wa Israeli watapewa" + +# kuwa urithi wao + +"kama sehemu ambayo ninawapa Waisraeli wote" + diff --git a/num/18/25.md b/num/18/25.md new file mode 100644 index 00000000..27768d3f --- /dev/null +++ b/num/18/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mnapopokea zaka tokakwa watu ambayo BWANA amewapa + +Watu wa Israeli walikuwa wakimtolea BWANA ehehemu ya kumi ya mazao na ya wanyama, na BWANA aliwapatia hiyo Walawi + +# kuwa urithi + +"kama seheelimu ya kile ninachowapita Waisraeli wote" + +# Zakayenu itahesabika kama moja ya mapato + +"mkumbuke kutoa" + diff --git a/num/18/28.md b/num/18/28.md new file mode 100644 index 00000000..e6252502 --- /dev/null +++ b/num/18/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Mungu anaendelea kumwambia Musa kile anachopaswa kuwaambia watu + +# mtatoa mchango wenu kwa Haruni yule kuhani + +"mtampa Haruni yule kuhani mchango ambao BWANA anawadai" + +# ambavyo mmepewa + +"vile ambvyo watu wa Israeli wamewapeni" + diff --git a/num/18/30.md b/num/18/30.md new file mode 100644 index 00000000..8f379c7c --- /dev/null +++ b/num/18/30.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sentensi unganishi + +Mungu anaendelea kuongea na Musa + +# hayo matoleo mazuri + +"hayo matoleo m azuri ambayo mmepokea toka kwa watu wa Israeli" + +# nafaka zote zinazobaki + +"nafaka" haya nimatoleo ambayo watu wa Israeli humpa Mungu na Walawi huzipokea. + +# Hamtakuwa na hatia yeyote kwa kuvila na kuvinywa + +"hamtakuwa na hatia pale mtakapovila na kuvinywa" + diff --git a/num/19/01.md b/num/19/01.md new file mode 100644 index 00000000..cfd304c6 --- /dev/null +++ b/num/19/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ni amri, ni sheria + +Maneno haya mawili yanamaanisha kitu kilekile. "Ni amri za kimahakama" + +# wakuletee + +Neno "wa" inamlenga Musa + +# kipaku wala waa + +maneno haya yana maana ileile, yametumikaa pamoja kuongeza msisitizo kuwa mnyama huyu anatakiwa kutokuwa na dosari yeyote" + diff --git a/num/19/03.md b/num/19/03.md new file mode 100644 index 00000000..1040e85f --- /dev/null +++ b/num/19/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mbele ya macho yake + +"akiwa anaona" au "mbele yake" + +# yule kuhani atachukua mtia wa mwerezi + +kuhania anayesemwa hapa ni Eliezeri + +# sufu + +"sufu nyekundu" + diff --git a/num/19/07.md b/num/19/07.md new file mode 100644 index 00000000..759aa92a --- /dev/null +++ b/num/19/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# atafua nguo zake + +"neno "a" linamwakilisha Eliezeri yule kuhani + +# Naye atabaki najisi + +Hatakubalika kwa Mungu asiyefaa kufanya kazi yeyote. Mtu wa jinsi hii ni najisi. + diff --git a/num/19/09.md b/num/19/09.md new file mode 100644 index 00000000..f1c0959f --- /dev/null +++ b/num/19/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mtu aliyesafi + +Mtu aliyesafi na anayeweza kufanya takatifu alihesabiwa kuwa ni msafi. + +# Majivu haya yatatunzwa + +"Mtatayatunza haya majivu" + +# kwenye eneo safi + +Kukubalika kwa kunamaanisha kuwa msafi. "Eneo linalokubalika" + +# atabaki najisi + +Kutokukubalika kwa Mungukulionyesha kutoruhusiwa kufanyakazi yeyote takatifu. Ni ile hali ya kutokuwa msafi. + diff --git a/num/19/11.md b/num/19/11.md new file mode 100644 index 00000000..3c3b63c6 --- /dev/null +++ b/num/19/11.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +wazo la "usafi" na "Utakatifu" linamaanisha kukubalika kwa Mungu + +# Taarifa kwa ujummla + +wazo la "unajisi" na "uchafu," "kutokuwa msafi"linamaanisha kutokukubalika kwa Mungu. + +# maiti + +"mwiliya mtu aliyekufa" + +# lakini kama hajajitakasa + +"aomba mtu wa kumtakasa" + +# lakini kama hajajitasa mwenyewe katika siku ya tatu, basi hatakuwa safi katika siku ya saba + +"atakuwa safi siku ya saba tu iwapo kama atajitakasa siku ya tatu" + +# mtu huyo ataondolewa + +tazama 9:13 + +# maji ya farakano yalikuwa hayajanyunyiziwa kwake + +"hakuna alimnyunyizia maji ya farakano" + +# Atabaki najisi; na unajisi wake utabaki kwake + +Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kilekile. Vimetumika kwa pamoja kuonesha msisitizo + diff --git a/num/19/14.md b/num/19/14.md new file mode 100644 index 00000000..3e5c72e0 --- /dev/null +++ b/num/19/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarfa kwa ujumla + +Lile wazo la "unajisi" linamaanisha kutokukubalika kwa Mungu au kutokuwa tayri kwa matumizi. + +# Kila chombo ambacho hakiina kifuniko kinanjisika + +"vyombo amabvyo havina vifuniko vitabaki kuwa najisi kama havina vifuniko" + +# mtu aliyeuawa kwa upanga + +"mtu ambaye aliuawa kwa upanga na mtu mwingine" + diff --git a/num/19/17.md b/num/19/17.md new file mode 100644 index 00000000..3fcf5617 --- /dev/null +++ b/num/19/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Lile wazo la "unajisi ni ile hali ya kutokukubalika kwa Mungu au kutokuwa tayari kwa matumizi + +# Taarifa kwa ujumla + +Lile wazo la "usafi" na "utakatifu" linamaanisha kukubalika kwa Mungu + diff --git a/num/19/20.md b/num/19/20.md new file mode 100644 index 00000000..14d5862f --- /dev/null +++ b/num/19/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarfa kwa ujumla + +Lile wazo la "unajisi ni ile hali ya kutokukubalika kwa Mungu au kutokuwa tayari kwa matumizi + +# Taarifa kwa ujumla + +Lile wazo la "usafi" na "utakatifu" linamaanisha kukubalika kwa Mungu + +# Huyi mtu ataondolewa + +Tazama 9:13 + +# Hajanyunyiziwa maji ya utakaso + +"hakuna alimnyunyizia maji ya utakaso" + +# maji ya ufarakano + +Tazama 19"11 + diff --git a/num/20/01.md b/num/20/01.md new file mode 100644 index 00000000..f3e869b9 --- /dev/null +++ b/num/20/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Jangwa la Sini + +Neno "Sini" ni neno la Kihebrania la jangwa. + +# mwezi wa kwanza + +Huu ni mwezi wa kwanza wa Kalenda ya Kihebrania. unaoanza wakati Mungu aliwakomboa kutoka kwa Wamisri. Mwezi huu ulikuwa kati ya mwezi Machi na mweziwa Aprili katika Kalenda yetu ya Kimagharibi + +# alipozikwa + +"na wakamzika" + diff --git a/num/20/02.md b/num/20/02.md new file mode 100644 index 00000000..39d4991e --- /dev/null +++ b/num/20/02.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wakakusanyika + +"kiwakilishi "wa"kinamaanisha watu wote + +# wakakusanyika pamoja + +"walikuja pamoja kama kundi" + +# mbele ya BWANA + +Hii inamaanisha kuwa mbele ya hema ya BWANA + diff --git a/num/20/04.md b/num/20/04.md new file mode 100644 index 00000000..fda3b5a2 --- /dev/null +++ b/num/20/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Watu wa Israeli wanaendelea kulalamika mbele ya Musa na Haruni + +# Kwaa nini umewaleta watuwa BWANA ... sisi na wanayama wetu? + +"ni bora kama watu wa BWANA katika jangwahili ili kufa,hapa, sisi na wanyama wetu." + +# Kwa nini ulitutoa Misri ukatuleta katika eneo hili baya? + +"Ni bora kama usingetutoa Misrina kutuleta katiaka eneo hili baya." + diff --git a/num/20/06.md b/num/20/06.md new file mode 100644 index 00000000..4f2cd838 --- /dev/null +++ b/num/20/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wakalala kifufudifudi + +Hii inaonesha kuwa Musa na Haruni walikuwa wakijinyenyekeza kwa BWANA. + diff --git a/num/20/07.md b/num/20/07.md new file mode 100644 index 00000000..e0b9c6c4 --- /dev/null +++ b/num/20/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mbele ya macho yao + +kiwakilishi cha "yao" kinaonesha watu waliona kile ambacho Musa alifanya. "wakati wakiona" + +# akachukua hiyo fimbo mbele ya BWANA + +"mbele ya hema ya BWANA" + diff --git a/num/20/10.md b/num/20/10.md new file mode 100644 index 00000000..327cc46a --- /dev/null +++ b/num/20/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Lazima tuwape amaji kutoka kwenye huu mwamba? + +"Hamkufurahi ingawa tuliufanya mwamba huu kutoa maji, hata hivyo nitafanya" + +# Lazima tulete + +"Kiwakilishi "tu" kinamwakilisha Musa na Haruni na kiaweza kumjumuisha BWANA, hakijumuishi wale watu wengine. + diff --git a/num/20/12.md b/num/20/12.md new file mode 100644 index 00000000..e778051f --- /dev/null +++ b/num/20/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa kuwa hamkuniheshimu mimi na kuniamini mbele ya macho ya Israeli + +"Kwa kuwa hamkuniheshimu mimi na kuniamini mbele ya macho ya Israeli kama mtakatifu, lakini niliumpiga ule mwamba badala ya kuuambia kama nilivyoawaambia" + +# mbele ya watu wa Israeli + +"wakati watu wa Israeli wakikutazama wewe" + +# Mahali hapa paliitwa + +"watu walipaita mahali hapa" + diff --git a/num/20/14.md b/num/20/14.md new file mode 100644 index 00000000..c3d552fc --- /dev/null +++ b/num/20/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ndugu yako Israeli + +Musa anatumia Kiraihiki ili kusisitiza kuwa Waisraeli na Waedomu walikuwa na uhusiano kwa sababu mababu zao Yakobo na Esau walikuwa ndugu. + +# Tulipomlilia BWANA + +"Tulipomwomba BWANA atusaidie" + +# akatusikia sauti zetu + +Neno "sauti" linawakilisha kilio au kile ambacho watu walimwambia. "alisikia kilio chetu" au "alitusikia kile tulichomwomba" + +# Tazam + +Neno "Tazama" hapa linamaanisha kubadilisha mada. Walikuwa wanaongelea mambo yao ya nyuma na sasa wanaongelea mambo yao ya sasa ili wakati wanajiandaa kumwomba mfalme ili afanye kitu. + diff --git a/num/20/17.md b/num/20/17.md new file mode 100644 index 00000000..1a5e66db --- /dev/null +++ b/num/20/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sentensi unganishi + +Wale watumishi wanaendelea kuongea na mfalme wa Edomu + +# Hatutageuka upande wa kulia wala wa kushoto + +Neno "kugeuka" linamaanisha kuiacha barabara, "Hatutaiacha barabara kwa uelekeo wowote" + +# nia kuu ya mfalme + +Hii ni barabara kuu inayounganisha mpaka Dameski hadi Kaskazini kwenye ghuba ya Akabahi. + diff --git a/num/20/18.md b/num/20/18.md new file mode 100644 index 00000000..50ac8e95 --- /dev/null +++ b/num/20/18.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Msipite hapa ... nitakuja na upanga na kukuvamia + +"watu wako wasipite hapa ... kuwavamia" + +# Nitakuja na upanga + +"Nitatuma jeshi langu" + +# Watu wa Israeli + +Hii inamaanishsa wale watu wa Israeli waliokuwa wametumwa + +# tukitembea kwa miguu + +Inamaanisha kuwa watapita kwenye hilo eneo wakitembea. + diff --git a/num/20/20.md b/num/20/20.md new file mode 100644 index 00000000..ce899191 --- /dev/null +++ b/num/20/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kwa hiyo mfalme wa Edomu akawa kinyume cha Israeli kwa mkono wenye nguvu pamoja na jeshi kubwa sana. + +"mfalme wa Edomu akatuma jeshi kubwalenye askari wengi ili kuwavamia Waisraeli" + +# kupita kwenye mipaka yake + +Neno "yake" linamaanisha Waedomu + diff --git a/num/20/22.md b/num/20/22.md new file mode 100644 index 00000000..3a28cd13 --- /dev/null +++ b/num/20/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wana wa Israeli, watu wote + +Kirai cha "watu wote" kinasisitiza kuwa kia mtu aliyekuwa sehemu ya Waisraeli alikuwepo bila kuwa na udhuru + +# Haruni kukusanyika na watu wake + +Hii ni tafsida ya kusema kuwa Haruni atakufa. Ni wakati wa Haruni kufa na roho yakae kwenda mahali walipo mababu zake. "Haruni atakufa" + +# hamkutii sauti yangu + +"sauti yangu" inamaanisha kile ambacho Mungu alikuwa amesema," Mlikataa kufanya nilichokuwa nimeema" + diff --git a/num/20/25.md b/num/20/25.md new file mode 100644 index 00000000..9a54af67 --- /dev/null +++ b/num/20/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sentensi unganishi + +Muungu anaendelea kuongea na Musa + +# atakufa na kulazwa pamoja na watu wake + +Ni wakati wa Haruni kufa na roho yake kwenda walipo mababu zake + diff --git a/num/20/27.md b/num/20/27.md new file mode 100644 index 00000000..2347bce4 --- /dev/null +++ b/num/20/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# siku thelathini + +"siku 30" + diff --git a/num/21/01.md b/num/21/01.md new file mode 100644 index 00000000..8690c833 --- /dev/null +++ b/num/21/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# akapigana dhidi ya Israeli + +"Majeshi yake yakapigana dhidi ya Waisraeli" + +# Israeli akaapa + +"watu wa Israeli wakaapa" au "Waisraeli wakafanya kiapo" + +# BWANA akaisikia sauti ya Israeli + +"alifanya kile Israeli alichoomba" + +# sauti ya Israeli + +ambacho Israeli aliomba + +# Wakawaangamiza kabisa pamoja na miji yao + +"Watuwa Israeli wakaliangamiza kabisa jeshi la Wakanaani na miji yao" + +# Mahali pale paliitwa Horima + +"Wakapaita mahali pale Horima" + diff --git a/num/21/04.md b/num/21/04.md new file mode 100644 index 00000000..c06544e1 --- /dev/null +++ b/num/21/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa nini umetutoa Misri ili tufe katika jangwa hili? + +"Usitutoe Misri ili tuje kufa katika jangwa hili" + diff --git a/num/21/06.md b/num/21/06.md new file mode 100644 index 00000000..a6644746 --- /dev/null +++ b/num/21/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tumemnung'unikia Musa na wewe + +"Tumesema mabo mabya juu ya BWANA na wewe" + +# Tu + +Kiwakilishi "tu" kinawakilisha watu wa Israeli bila kumjumuisha BWANA na Musa. + diff --git a/num/21/08.md b/num/21/08.md new file mode 100644 index 00000000..77dc6dc8 --- /dev/null +++ b/num/21/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Tengeneza nyoka + +"Tengeneza mfano wa nyoka" + +# kila anayeumwa + +"kila amabaye ataumwa na nyoka + +# nyoka wa shaba + +"nyoka anayetokana na shaba" + +# na kumwanagalia huyo nyoka atapona + +kiwakilishi "a" kinmwakilisha mtu yeyote aliyeumwa na nyoka. + diff --git a/num/21/10.md b/num/21/10.md new file mode 100644 index 00000000..d43a3d86 --- /dev/null +++ b/num/21/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# linalokabili Moabu + +"ambalo linafuatia Moabu" + diff --git a/num/21/12.md b/num/21/12.md new file mode 100644 index 00000000..210e55b0 --- /dev/null +++ b/num/21/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# ndio unaotengeneza mpaka wa Moabu na Amoni + +Hii inamaanisha kuwa hawa watuwaliishi katika maeneo mwaili tofauti katika ule mto, amabayo mto ulikuwa mpaka wao.Wamoabu walishi kusini mwa mto na Waamori walishi upande ule wa Kusini. + diff --git a/num/21/14.md b/num/21/14.md new file mode 100644 index 00000000..256dbb29 --- /dev/null +++ b/num/21/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wahebu katika Sufa + +haya ni majina mawili ya mahali pale + +# mtelemko wa bonde linaloelekea katika mji wa Ari na kuelekea kwenye mpaka wa Moabu + +"mtelemko unaoelekea kwenye mji wa Ari na mpaka wa nchi ya Moabu + diff --git a/num/21/16.md b/num/21/16.md new file mode 100644 index 00000000..9dc06bb2 --- /dev/null +++ b/num/21/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mpaka Beeri, hapo ndipo palipo na kisima ambacho + +"mpaka Beeri. Hapo palikuwa na kisima" + +# ambacho BWANA almwambia Musa, "Wakusanye watu kwa ajili yangu ili uwape maji," + +"mahali ambapo BWANA alimwambia Musa kuwakusanya watu pamoja ili awape maji" + diff --git a/num/21/17.md b/num/21/17.md new file mode 100644 index 00000000..2ad74ec7 --- /dev/null +++ b/num/21/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# enyi visima, yajazeni maji + +"enyi maji, vijazeni visima" + +# Kisima ambacho viongozi wetu walichimba, kisima ambacho wenye hekima walichimba + +Virai hivi viwili vivnamaanisha kitu kile kile, vimetumika kusisitiza wajibu wa viongozi kwa jukumu la kuchimba visima. + +# kwa fimbo ya kifalme na kwa fimbo ya kutembelea + +"wakitumia hata fimbo zao za kifalme na za kutembelea" + diff --git a/num/21/19.md b/num/21/19.md new file mode 100644 index 00000000..d019991f --- /dev/null +++ b/num/21/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nathalieli ... Bamothi + +Haya ni majina ya maeneo + +# Mlima Piska + +Hili ni jina la Mlima + +# kinapoonekana jangwani + +"kinatokezea kutoka jangwani" + diff --git a/num/21/21.md b/num/21/21.md new file mode 100644 index 00000000..b582fbe4 --- /dev/null +++ b/num/21/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kisha Israeli + +"Israeli" inamaanisha watu wa Israeli, hasa viongozi wao. "kisha Waisraeli" + +# Hatutapita kwenye shamba lolote au shamba la mizabibu + +"Hatutaingia kwenye shamba lenu lolote au shamba la mizabibu" + +# njia kuu ya mfalme + +Tazama 20:17 + +# kupita kwenye mpaka wao + +"kuvuka mpaka wao." Neno "wao" linamaanisha Waamori + +# Jahazi + +Hili ni jina la mahali + +# alipigana dhidi ya Israeli + +kiwakilishi "a" kina mwakilisha jeshi la Mfalme Sihoni, "jeshi lake lilipigana dhidi ya Israeli" + diff --git a/num/21/24.md b/num/21/24.md new file mode 100644 index 00000000..bbf1bd52 --- /dev/null +++ b/num/21/24.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Israeli akalivamia + +Neno "Israeli" linamaanisha Waisraeli. "Waisraeli wakawavamia" + +# kwa nchaya uoanga + +"na wakawaangamiza kabisa" + +# na kuchukua nci yao + +"wakaitwaa nchi ya Waamori" + +# Watu wa Amoni ... Waamori + +"Waamoni ... Waamori" au "watu wa Amoni ... watu wa Amori" majiina haya yanafanana lakinai yanamaanisha watu wa makundi mawili tofauti. + +# ulikuwa umefungwa + +"ulikuwa na ulinzi imara" + +# Heshiboni na vijiji vyake vyote + +"Hshiboni na vijiji jirani alivyovitawala" + +# Sihoni alikuwa ameteka ardhi yake yote + +Neno "yake" linawakilisha mfalme wa Moabu. + diff --git a/num/21/27.md b/num/21/27.md new file mode 100644 index 00000000..595411a6 --- /dev/null +++ b/num/21/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Heshiboni ... mji wa Sihoni + +Haya ni majiina mawili yanayomaanisha mji uleule + +# Mji wa Sihoni ujengwe na kuimarishwa tena + +"Mtu aujenge mji wa Sihoni na kuimarisha tena mji wa Sihoni" + +# Moto uliwaka toka mji wa Heshiboni, moto kutoka mji wa Sihoni + +"Mfalme Sihoni alikuwa na jeshi imara kutoka mji wa Heshiboni" + +# Uliteketeza Ari ya Moabu + +"uliharibu mji wa Ari katika nchi ya Moabu" + diff --git a/num/21/29.md b/num/21/29.md new file mode 100644 index 00000000..eb23b345 --- /dev/null +++ b/num/21/29.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Moabu ... watu wa Chemoshi + +Virai hivi vinamaanisha watu walewale + +# Watu wa Chemoshi + +"Chemoshi" lilikuwa jina la mungu wa Uogo amabye aliabudiwa na Wamoabu. "watu waliomwabudu Chemoshi" + +# Amewafanya watu wake + +kiwakilishi "a" na "wake" kinamaanisha Chemoshi + +# tumewapiga + +kiwakilishi "tu" kinawawakilisha Waisraeli waliompiga Sihoni + +# Tumeiangamiza Heshiboni + +"Tumeiangamiza Heshiboni" + +# Heshiboni ...mpaka Diboni. Mpaka Nofa ... Madeba + +Maeneo yote haya yako kwenye ufalme wa Sihoni. Hii inamaanisha kuwa Waisraeli waliuangamiza utawala wote wa Sihoni. + diff --git a/num/21/31.md b/num/21/31.md new file mode 100644 index 00000000..fc9d543f --- /dev/null +++ b/num/21/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kuwafukuza + +"waliwaondosha" + diff --git a/num/21/33.md b/num/21/33.md new file mode 100644 index 00000000..320c4d05 --- /dev/null +++ b/num/21/33.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# akatofautiana nao + +"aliwavamia" + +# Mfanyeni kama mlivyomfanya Sihoni + +"Mwangamizeni kama mlivyomwagamiza Sihoni mfalme wa Waamori" + +# Kwa wakamwua + +"Kwa hyo jeshi la Israeli likamwua Ogu" + +# wote wakaisha na hakubaki hata mmoja aliyebaki hai + +"watu wake wote waliuawa" + +# wakaichukua nchi yake + +"wakaitawala nchi yake" + diff --git a/num/22/01.md b/num/22/01.md new file mode 100644 index 00000000..5acbc670 --- /dev/null +++ b/num/22/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwenye upande mwingine wa mto Yorodani kutoka mji ule + +Waisraeli walikuwa wameweka kambi uoande wa Mashariki wa mtoYorodani. Yeriko ilikuwa magaharibi mwa mto + diff --git a/num/22/02.md b/num/22/02.md new file mode 100644 index 00000000..e7110390 --- /dev/null +++ b/num/22/02.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Baalaki mwana wa Zippori + +Balaki alikuwa mfalme wa Moabu + +# Moabu aliwaogopa sana hao watu ... Moabu aliwahofia wana wa Israeli + +Virai vyote viwili vinamaanisha kitu kilekile na vimetumika kuonesha jinsi Moabu alivyokuwa amaeogopa + +# Moabu aliogopa sana + +"Wamoabu wote walikuwa wameogopa sana" + +# Kwa sababu walikuwa wengi sana + +"Kwa sabau ya wingi wao" + +# Mfalme wa Moabu akawaambia wazee wa Midiani + +Wamobau na Wamidiani walikuwa watu wa makundi mawili tofauti, lakini Wamidiani walikuwa wanishi kwenye nchi ya Moabu wakati ule. + +# Huu umati utakula kila kitu tulicho nacho kama vile maksai walavyo nyasi za kondoni + +Jinsi Waisraeli watavyowaangamiza maadui zao kumeongolewa kama vile makaisai wanavyokula nyasi za kondeni + +# Sasa Balaki mwana wa Zippori alikuwa mfalme wa Moabu + +Huu ndio wasifu wa Balaki katika habari hii + diff --git a/num/22/05.md b/num/22/05.md new file mode 100644 index 00000000..642e2ea2 --- /dev/null +++ b/num/22/05.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Akatuma wajumbe + +"Balaki akatuma wajumbe" + +# Beori + +Hili ni jina la baba wa Balaam. + +# Pethori + +Hili ni jina la mji + +# katika nchi ya taifa lake na watu wake + +"wa taifa la Balaam na watu wake" + +# Akamwita + +"Balaki akamwita Balaam." + +# Wanafunika uso wa dunia + +"walikuwa wengi sana" + +# uso wa dunia + +Hii inamaanisha sehemu ya juu ya dunia + +# kuwafukuza + +"kuwaondosha" + +# Najua kuwa yeyote unayembariki hubarikiwa na yeyote unayemlaani atalaaniwa + +"Najua unazo nguvu za kubariki na kulaani watu" + diff --git a/num/22/07.md b/num/22/07.md new file mode 100644 index 00000000..e5d676e1 --- /dev/null +++ b/num/22/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# malipo ya uganga + +"Pesa ya kumlipa Balaamu ili awalaani Waisraeli" + +# Wakafiaka kwa Blaamu + +"Walienda kwa Balaamu" + +# Wakamwambia maneno ya Balaki + +"maneno" inamaanishaujumbe wa Balaki. "Wakamwambia ujumbe toka kwa Balaki" + +# nitawaletea + +"Nitawaambia" + diff --git a/num/22/09.md b/num/22/09.md new file mode 100644 index 00000000..edf0510f --- /dev/null +++ b/num/22/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mungu akaja kwa Balaamu + +"Mungu akaonenkana kwa Balaamu" + +# Ni akina nani hawa waliokuja kwako? + +"Niambie juu ya watu hawa waliokuja kwako" + +# Tazama hawa watu ... kuwafukuza. + +Tazama 22:5 + +# Kuwafukuza + +"kuwaondosha" + diff --git a/num/22/12.md b/num/22/12.md new file mode 100644 index 00000000..64c74052 --- /dev/null +++ b/num/22/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwa sababu wamwbarikiwa + +"Kwa sababu Nimewabariki" + diff --git a/num/22/15.md b/num/22/15.md new file mode 100644 index 00000000..4318af5e --- /dev/null +++ b/num/22/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wakaja kwa Balaamu + +"Walienda kwa Balaamu" + +# watu hawa + +"kundi hili la watu" + diff --git a/num/22/18.md b/num/22/18.md new file mode 100644 index 00000000..b30e8217 --- /dev/null +++ b/num/22/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hata kama Balaki atanipa ikulu yake ikiwa imejaa fedha + +Balaamu anasisitiza kuwa hakuna kitakachomfanya avunje utii wake kwa BWANA + +# sitaweza kufanya dhidi ya maneno ya BWANA... na kufanya pungufuau zaidi ya kile anachoniambia. + +Inamaanishsa kuwa Balaamu hataacha kumtii BWANA kwa namna yeyote. + diff --git a/num/22/21.md b/num/22/21.md new file mode 100644 index 00000000..b642ee1c --- /dev/null +++ b/num/22/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# akatandika punda wake + +akamwanadaa punda wake tayari kwa safari + +# hasira za Mungu zikawaka + +"Munga akajawa na hasira" + +# kama adui wa Balaamu + +"ili aweze kumzuia Balaamu" + +# akiwa na upanga mkononi + +"akiwa na upanga tayari kwa kushambulia + +# yule punda akageuka na kwenda shambani + +"Yule punda alifanya hivi ili kumwepuka malaika wa BWANA" + +# ili arudi barabarani + +"kumrudisha" + diff --git a/num/22/24.md b/num/22/24.md new file mode 100644 index 00000000..e4bed33f --- /dev/null +++ b/num/22/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Akasongea zaidi ukutani + +Alifanya hivi ili kumwepuka malaika wa BWANA barabarani + +# Akasogea + +"punda alisogea" + +# na kuubana mguu wa Balaalmu ukutani + +"akaukandamiza mguu wa Balaamu na kumwumiza Balaamu" + diff --git a/num/22/26.md b/num/22/26.md new file mode 100644 index 00000000..84e678b2 --- /dev/null +++ b/num/22/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hasira za Balaamu zikawaka + +Tazama 22 + diff --git a/num/22/28.md b/num/22/28.md new file mode 100644 index 00000000..831ceb1f --- /dev/null +++ b/num/22/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kisha BWANA akafungua kinywa cha Punda na akaongea + +"Kisaha BWANA akampa punda uwezo wa kuongea kama vile binadamu awezavyo kuongea" + +# Akamwabia Balaamu + +"Yule punda akamwambia Balaamu" + +# Je, mimi si punda wako ambaye umenipanda maishani mwako mwote mpaka hivi sasa? + +"Mimi ni punda wako ambaye umenipanda maishani mwako mwote, mpka hivi sasa." + +# Je, nimewahi kuwa na tabia ya kukufanyia hivi hapo awali? + +"sijawahi kuwa na tabia ya kukufanyia hivi" + diff --git a/num/22/31.md b/num/22/31.md new file mode 100644 index 00000000..f8041721 --- /dev/null +++ b/num/22/31.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Basi BWANA akafungua macho ya Balaamu, na akamwona malaika wa BWANA + +"Kisha BWANA akampa Baalamu uwezo wa kumwonamalaika wa BWANA" + +# akiwa na upanga mkononi mwake + +Tazama 22:21 + +# Balaamu akainamisha kichwa chake chini + +Balaamu akajinyenyekeza + +# Kwa nini umempiga punda wako mara tatu + +"usingempiga punda wako mara tatu + +# kama adui yako + +"ili kukupinga" + +# Kama asingekuwa amegeuka kutoka kwangu... ningekuwa nimekuua na yeye kumwacha hai + +punda alimwokoa Balaamu + diff --git a/num/22/34.md b/num/22/34.md new file mode 100644 index 00000000..8c386bb5 --- /dev/null +++ b/num/22/34.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kwa hiyo sasa, kama haikupendezi + +"kwa hiyo kama hutaki mimi niendelee" + +# kwa hiyo Balaamu akaendelea na wale viongozi + +Tazama 22:2 + diff --git a/num/22/36.md b/num/22/36.md new file mode 100644 index 00000000..af1b9bb6 --- /dev/null +++ b/num/22/36.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Amoni + +Tazama 21:12 + +# Je, mimi sikutuma watu kukuita? + +"Kwa hakika nilituma watu kukuita" + +# Kwa nini hukuja kwangu + +"ulipaswa kuja kwangu" + +# Je, mimi sina uwezo wa kukufanya uheshimiwe? + +"kwa hakika unajua kuwa mimi ninauwezo wa kukulipa pesa kwa ajili ya ujio wako kwangu" + diff --git a/num/22/38.md b/num/22/38.md new file mode 100644 index 00000000..7a034d0c --- /dev/null +++ b/num/22/38.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Je, mimi sina mamlaka ya kusema chochote + +"Lakini sinsa mamlaka yakusema chochote ninachotaka" + +# maneno ambayo Mungu ameweka kinywani mwangu + +"ujumbe ambao Mungu ananitaka niuseme" + +# Kiriathi Huzothi + +Haya ni mjina ya miji + +# baadhi ya hiyo nyama + +"baadhi ya hiyo nyama kutoka kwenye ile sadaka" + diff --git a/num/22/41.md b/num/22/41.md new file mode 100644 index 00000000..66f85e8e --- /dev/null +++ b/num/22/41.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mpaka mahali pa juu pa Baali + +Tazama 21:19 + diff --git a/num/23/01.md b/num/23/01.md new file mode 100644 index 00000000..9df81b7e --- /dev/null +++ b/num/23/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Balaki + +Tazama 22:2 + +# Uandae mafahri saba na kondoo dume saba + +"uchinje mafahari saba na kondoo dume saba kuwa sadaka" + +# simama kwenye sadaka yako ya kuteketezwa na mimi nitaenda + +"baki hapa na sadaka yako ya kuteketetezwa na mimi nitaenda umbali kidogo" + diff --git a/num/23/04.md b/num/23/04.md new file mode 100644 index 00000000..8ec26b42 --- /dev/null +++ b/num/23/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# nimetoa sadaka ya fahari na kondoo dume + +"Nimechinja fahari nakondoo dume na kuwateketeza kama sadak" + +# BWANA akaweka ujumbe kwenye kinywa cha Balaamu + +"BWANA akamwambia Balaamu kile alichotaka akamwambie Balaki" + diff --git a/num/23/07.md b/num/23/07.md new file mode 100644 index 00000000..09fd39b5 --- /dev/null +++ b/num/23/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Balaki amenileta kutoka Shamu ... mfalme wa Moabu kutoka katika milima ya mashariki, + +Virai hivi vinamaanisha kitu kilekile + +# Njoo, unilaanie Yakobo kwa ajili yangu; ... njoo umtie unajisi Israeli; + +Virai vyote vinamaanishsa kitu kilekile vimetumika kuongeza msisitizo kwamba Balaki alitaka Balaamu kulaani Israeli. + +# Nawezaje kuwalaani wale ambaoMungu hajawalaani? Nawezaje kuwapinga wwale ambao Mungu hawapingi? + +"Lakini siwezi kuwalaani wale ambao Mungu hajawalaani. Siwezi kuwapinga wale ambao Mungu hajawapinga" + diff --git a/num/23/09.md b/num/23/09.md new file mode 100644 index 00000000..9481a001 --- /dev/null +++ b/num/23/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa muwa kutoka juu ya miamba ninamwaona ... kutoka juu ya milima ninamtazama + +Virai hivi viwili vinamaanishakitu kimoja. "Balaamu alimwona Israeli kutokea juu ya mlima." + +# Ninamwona ... ninamtazama + +Kiwakilishi cha "mwo" na "m" kinawakilisha Waisraeli. + +# Kuna watu + +"Kuna kundi la watu" + +# na hawajioni wenyewe kama ni taifa la kwaida + +"wanajiona wenyewe kuwa taifa maalumu" + diff --git a/num/23/10.md b/num/23/10.md new file mode 100644 index 00000000..9546702d --- /dev/null +++ b/num/23/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nani awezaye kuyahesabu mavumbi ya Yakobo au hata kuhesabu robo ya Israeli? + +"Hawa Waisraeli ni wengi mno kuwahesabu. Hakuna awezaye kuwahesabu hata robo kwa sababu ni wengi mno" + +# kifo cha mtu mwenye haki + +"kifo cha amani cha mtu mwenye haki" + +# mtu mwenye haki ... uwe kama wake + +Hizi ni semi zinazowaongelea Waisraeli kuwa kama mtu mmoja. + diff --git a/num/23/11.md b/num/23/11.md new file mode 100644 index 00000000..cafcf7ea --- /dev/null +++ b/num/23/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Balaki + +Tazama 22:2 + +# Umenifanyia nini? + +"Siwezi kuamini ulichonifanyia!" + +# lakini ona + +Hii inaonesha matukio ya kutisha yanayofuata + +# Kwa nini nisiwe mwangalifu kusema kile ambacho BWANA ameweka kinywani mwangu? + +Lazima niwe mwangalifu kusema kile ambacho BWANA ananiambia kusema." + +# ameweka kinywani mwangu + +Tazama 22:38 + diff --git a/num/23/13.md b/num/23/13.md new file mode 100644 index 00000000..9ecb1c84 --- /dev/null +++ b/num/23/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Huko sasa unaweza kunilaania hawa watu + +"Huko utanilaania Waisraeli" + +# Shamba la Zofimu + +Neno "Zofimu" linamaanisha 'kutazama' au 'kupelelza' + +# Mlima Pisiga + +Tazama 21:19 + diff --git a/num/23/16.md b/num/23/16.md new file mode 100644 index 00000000..89f38875 --- /dev/null +++ b/num/23/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# na kumwekea ujumbe kinywani mwake + +Tazama 22:38 + +# Akasema + +"Kisha BWANA akaksema" + +# Balaki, na usikilize ... Nisikilize mimi wewe mwana wa Zippori + +Sentensi hizi zinamaanisha kitu kilekile na zimetumika kusisitiza umuhimu wa Balaki kuwa msikivu. + +# mwana wa Zippori + +Tazama 22:2 + diff --git a/num/23/19.md b/num/23/19.md new file mode 100644 index 00000000..6b44f721 --- /dev/null +++ b/num/23/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je,alishawahi kuahidi kitu pasipo kukitekeleza? Je, alishawahi kusema kuwa atafanyakitu bila kufanya? + +"Hajawahi kuahidi kitu pasipo kutimiza kile alichoahidi. Amekuwa akifanya kama alivyosema kuwa atafanya." + +# Nimeamuriwa kubariki + +"Mungu ameniamuru kuwabariki Waisraeli" + diff --git a/num/23/21.md b/num/23/21.md new file mode 100644 index 00000000..d4d83157 --- /dev/null +++ b/num/23/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# magumu katika Yeriko ... tabu katika Israeli + +Virai hivi vinamaana moja ambayo yaweza kuwa 1) Mungu amempatia Israeli mambo mazuri tu 2) Hakuna dhdambi katika Israeli ambayo itamfanya awahukumu. + +# kelele za wafalme wao ziko pamoja nao + +"Wanapiga kelele kwa furaha kwa sababu BWANA ni mfalme wao" + +# kwa nguvu kama za nyati + +Mfano huu unamaanisha kuwa nguvu za BWANA ni sawa na nguvu za nyati + diff --git a/num/23/23.md b/num/23/23.md new file mode 100644 index 00000000..511fda70 --- /dev/null +++ b/num/23/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hakuna uganga utakaofanyika dhidi ya Yakobo ... hakuna uchawiutakaomwumiza Israeli + +Virai hivi vinamaanisha kitu kilekile kwamba; hakuna laana ambayo mtu yeyote ataifanya katika taifa la Israaeli itakayofanikiwa. + +# Itasemwa + +"watu watasema" + +# Tazama kile ambacho Mungu amefanya + +"Yatazame mambo mazuri ambayo Mungu amewafanyia!" + diff --git a/num/23/24.md b/num/23/24.md new file mode 100644 index 00000000..5ab2d1f5 --- /dev/null +++ b/num/23/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# watu wanainuka kama simba jike ... na kunywa damu ya windo lake + +Israeli wanavyowaangamiza maadui ni kama simba anavyoshambulia windo lake. + diff --git a/num/23/25.md b/num/23/25.md new file mode 100644 index 00000000..812ac0f3 --- /dev/null +++ b/num/23/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Balaki + +Tazama 22:2 + +# Sijakuambia kuwa nitasema yote ambayo BWANA ananiambia kusema? + +"Nilikuambia mapema kuwa nitasema yote ambayo BWANA ananiambia kusema." + diff --git a/num/23/28.md b/num/23/28.md new file mode 100644 index 00000000..2363854b --- /dev/null +++ b/num/23/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# ambalo ambalo unalitazama chini lile jangwa + +"ambalo unalitazama lile jangwa ambapo Waisraeli walikuwapo" + diff --git a/num/24/01.md b/num/24/01.md new file mode 100644 index 00000000..0fc211b6 --- /dev/null +++ b/num/24/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kama hapo awali + +"kama alivyofanya nyakatiza nyuma" + diff --git a/num/24/02.md b/num/24/02.md new file mode 100644 index 00000000..aeb14018 --- /dev/null +++ b/num/24/02.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Akayainua macho yake + +"akatazama juu" + +# Roho wa Mungu akamjia + +Roho wa Muungu alimtawala wakati wa kutoa unabii. + +# Akapokea huu unabii + +"Mungu alimpatia huu unabii" + +# Balaamu mwana wa Beori + +Tazama 22:5 + +# ambaye macho yake yamefunuliwa + +anaona na kuelewa + diff --git a/num/24/04.md b/num/24/04.md new file mode 100644 index 00000000..f372bb8f --- /dev/null +++ b/num/24/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Balaamu anaendelea kutoa unabii kwa kuwezeshwa na Mungu + +# Huongeae ... Huona ... humwinamia + +Haya ni maneno ya Balaamu + +# humwinamia + +Hili ni tendo la heshima + +# macho yake yakiwa yamefumbuliwa + +"macho yakiwa yamefumbuliwa" inamaaniaha kuwa Balaamu alikuwa amepokea uwezo wa kufahamu kile ambacho Mungu alimtaka aseme. + +# Jinsi zilivyo nzuri hema zako, ewe Yakobo, mahali unapoishi, Israeli + +Virai hivi vyote vina maana moja na vinaonesha jinsi kambi za Waisraeli zilivyokuwa nzuri kwa Balaamu. + diff --git a/num/24/06.md b/num/24/06.md new file mode 100644 index 00000000..fad6f77f --- /dev/null +++ b/num/24/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Balaamu anaendelea kutabiri kwa uwezo wa Mungu + +# Wamesambaa kama bonde + +Balaamu anawaongelea Waisraeli kuwa walikuwa wengi kiasi cha kulijaza bonde lote + +# kama bustani zilizo pembezonimwa mto + +Balaamu anawaongelea Waisraeli kama bustani iliyomwagiliwa maji na itoayo mavuno menegi. + +# kama miti ya mishubiri iliyopandwa na Mungu + +"Mishubiri ambayo BWANA ameipanda" + +# kama mfano wa mierezi pembezoni mwa maji + +Mierezi ilikuwa miti mierfu sana huko Israeli. Balaamu anawaongelea Waisraeli kama mierezi iliyokuwa sana na kuwa miti mikubwa kwa sababu ya maji mengi. + diff --git a/num/24/07.md b/num/24/07.md new file mode 100644 index 00000000..40abbb99 --- /dev/null +++ b/num/24/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Balaamu anaendelea kutabiri kwa uwezo wa Mungu. + +# Maji yanatirika ... zimemwagiwa maji + +"Mungu ataibariki Israeli kwa maji mengi kwa ajili ya mazao" + +# mbegu zao zimemwagiwa maji vizuri + +"Watakuwa na maji mengi kwa ajili ya mbegu zao ili kusitawisha mazao" + +# Mfalme wao atakuwa juu ... na ufame wao utaheshimiwa + +Sentensi hizi zinamaanisha kitu kimoja zinasisitiza kuwa Mungu atawabariki ukilinganisha na mataifa mengine. + +# Mfalme wao atakuwa juu ya Agagi + +Neno "juu" linamaanishsa heshima ya juu na mamlaka kuliko Agagi. + +# Ufalme wao utaheshimiwa + +"watu wengine watauheshimu ufalme" + diff --git a/num/24/08.md b/num/24/08.md new file mode 100644 index 00000000..4abd0c20 --- /dev/null +++ b/num/24/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Balaamu anaendelea kutabiri kwa uwezo wa Mungu. + +# Mungu anamtoa + +Mungu anawaleta Waisraeli + +# na nguvu kama za nyati + +Waisraeli watakuwa na nguvu + +# Atawameza mataifa + +Watawaangamiza maadui wao + diff --git a/num/24/09.md b/num/24/09.md new file mode 100644 index 00000000..6f71a849 --- /dev/null +++ b/num/24/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Balaamu anamaliza kutoa unabii kwa uwezo wa Roho wa Mungu + +# Ananyatia kama siimba mume, na kama simba jike. + +Inamaanisha kuwa wako tayari kushambulia. + +# Nani anayejaribu kumshambulia + +"Hakuna anayethubutu kumsumbua" + +# Kila mmoja anayembarki na abarikiwe; na kila mmoja anayemlaani na alaaniwe + +"Mungu awabariki wale wanawabariki Waisraeli; na awalaani wale wanowalaani Wasraeli" + diff --git a/num/24/10.md b/num/24/10.md new file mode 100644 index 00000000..e34c98cd --- /dev/null +++ b/num/24/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hasira za Balaki zikawaka + +"Balaki alijawa na hasira" + +# akaipiga mikono yake kwa pamoja + +Hii ilikuwa ishara kubwa ya kuchanganyikiwa na hasira + diff --git a/num/24/12.md b/num/24/12.md new file mode 100644 index 00000000..d3e1f72c --- /dev/null +++ b/num/24/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hata kama Balaki atanipatia ikulu yake ikiwa imejaa fedha na dhahabu + +"Inaonesha kuwa hakuna kitu ambacho kitamfanya Balaamu kumkaidi Mungu + +# Je, sikuwaambia haya? + +"Niliwaambia haya." + +# watu hawa + +"Waisraeli" + diff --git a/num/24/15.md b/num/24/15.md new file mode 100644 index 00000000..25a995fa --- /dev/null +++ b/num/24/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Balaamu mwana wa Beori + +Tazama 22:5 + +# ambaye macho yake yamefumbuliwa + +Tazama 24:2 + +# aliye na maaarifa toka kwake yeye aliye juu + +"Anayejua vitu ambavyo Mungu aliye juu ameyafunua" + +# humpigia magoti + +Hii ni ishara ya kujitoa kwa Mungu + diff --git a/num/24/17.md b/num/24/17.md new file mode 100644 index 00000000..106230dd --- /dev/null +++ b/num/24/17.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Balaamu anaendelea na unabii wake wa kwanza + +# Ninamwona, lakini hayuko karibu sasa. Ninamtazama, lakini siyo karibu + +Virai hivi vinamaanisha kitu kimoja. Hapa Balaamu anatoa maona ya tukio la wakati ujao. Kiwakilishi "mwo" kinamaanisha kiongozi wa Israeli wa baadaye. + +# Nyota itatokea katika Yakobo + +"Nyota" inaonesha mfalme wa Waisraeli ambaye atainuka katika mamlaka. + +# Katika Yakobo + +"kutoka katika uzao wa Yakobo" + +# Na fimboya enzi itainuka katika Israeli + +Neno "fimbo" linamaanisha mfalme mwenye mamlaka + +# Katika Israeli + +Kutoka kwa Waisraeli hapo baadaye" + +# atawapigapiga viongozi wa Moabu + +Yaweza kumaanisha 1) atavunja vichwa vya viongozi wa Moabu 2) atawaharibu viongozi wa Moabu. + +# uzao wa Sethi + +Hii inamaanisha Wamoabu, waliokuwa uzao wa Sethi + diff --git a/num/24/18.md b/num/24/18.md new file mode 100644 index 00000000..bc1fe77c --- /dev/null +++ b/num/24/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Balaamu anamaliza unabii wake wa kwanza kati ya nabii nne alizotoa. + +# Edomu atakapokuwa miliki ya Israeli + +"Waisraeli wataimilki Edomu" + +# Na Seiri pia itakuwa milki yao + +"Israeli atawaangamiza watu wa Seiri" + +# Kutoka kwa Yakobo atatoka mfalme + +"Yakobo" ni kiwakilishi cha watu wote wa Isreli + +# katika mji + +"mji wa Ari ambao Balaki alikutana na Balaamu" + diff --git a/num/24/20.md b/num/24/20.md new file mode 100644 index 00000000..f6ab5857 --- /dev/null +++ b/num/24/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Balamu akamtazama Amaleki + +Amaleki inamaanisha watu wa Amaleki ambao pia aliwatolea unabii. + +# mwisho wake utakuwa + +amametumia iwakilishi "wake" kwa sababu ametumia kiwakilishi cha mtu mmoja. + diff --git a/num/24/21.md b/num/24/21.md new file mode 100644 index 00000000..917c0c8b --- /dev/null +++ b/num/24/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wakeni + +Hili ni jina la kundi la watu walitokana na Kaini + +# Mahali unapoishi pana usalamu + +"Mahali unapoishi panalindwa" + +# na viota vyake viko kwenye miamba + +"mahali penu pana usalama kama vile kioyta kilivyo salama kinapokuwa kwenye miamba" + +# Lakini pamoja na hayo, Kaini ataharibiwa na Ashuru atakapowachukua mateka." + +"Lakini Waashuru watawaharibu Wakeni na kuwachukua kama mateka" + diff --git a/num/24/23.md b/num/24/23.md new file mode 100644 index 00000000..3390b0bb --- /dev/null +++ b/num/24/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ole wake atakayesalia Mungu atakapoyafanya haya? + +"Hakuna atakayesalia Mungu atakayefanya haya" + +# Kittimu + +Hili ni jina la mji katika kisiwa kilicho katika bahari ya kati. + +# wao pia wataishia katika uharibifu + +"Mungu atawaharibu pia" + diff --git a/num/25/01.md b/num/25/01.md new file mode 100644 index 00000000..a83ce3a0 --- /dev/null +++ b/num/25/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Shittimu + +Hili ni jina la mahali kule Moabu + +# kuisujudia + +"hili ni tendo la ibaada" + +# Peori + +Tazama 23:28 + +# Hasira ya BWANA ikawaka + +Tazama 21:19 + diff --git a/num/25/04.md b/num/25/04.md new file mode 100644 index 00000000..0f51910c --- /dev/null +++ b/num/25/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# viongozi wote wa watu + +"viongozi wote wa watu ambao wana hatia ya kuabudu sanamu" + +# ili waonekane wakati wa mchana + +Viongozi wa Waisraeli watawaua watu hawa na kuacha maiti zao nje ili watu wote wawaone + +# Viongozi wa Israeli + +"Kwa viongozi wa Israeli wasiokuwa na hatia ya kuabudu sanamu" + diff --git a/num/25/06.md b/num/25/06.md new file mode 100644 index 00000000..27c9176e --- /dev/null +++ b/num/25/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# akaleta mwanake mmoja aliyekuwa miongoni mwa familia yake + +"akaleta mwanamke wa Kimidiani kwenye kambi ya Waisraeli ili alale naye" + +# mbele ya macho ya Musa na watu wa Israeli + +"mbele ya macho ya" ni nahau inayomaanisha walisikia juu yao, au walipata taarifa juu yao" + +# Eliezeri + +Tazama 3:1 + diff --git a/num/25/08.md b/num/25/08.md new file mode 100644 index 00000000..81aad8a8 --- /dev/null +++ b/num/25/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Akamfuata + +"Finehasi akamfuata" + diff --git a/num/25/10.md b/num/25/10.md new file mode 100644 index 00000000..a00bb93d --- /dev/null +++ b/num/25/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ameigeuza hasira yangu isiwe kwa wana wa Israeli + +"Amesababisha mimi nisiwe na hasira juu ya wana wa Israeli" + +# sijawaangamiza watu wa Israeli kwa hasira yangu + +"Sijawaangamiza wana wa Israeli kwa hasira yaku kali" + diff --git a/num/25/12.md b/num/25/12.md new file mode 100644 index 00000000..6656db41 --- /dev/null +++ b/num/25/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa hiyo waambie, 'BWANA anasema, "Tazama, ninampa Finehasi agano langu la amani ... watu wa Israeli." + +"Kwa hiyo mwambie Finehasi kuwa nitampatia ... wana wa Israeli." + diff --git a/num/25/14.md b/num/25/14.md new file mode 100644 index 00000000..7266b14f --- /dev/null +++ b/num/25/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sasa + +Hii inatutoa kwenye habari nyingine na kutupeleka kwenye habari ya Zimri na Cozibi. + +# alyeuawa + +"ambaye Finehasi alimwua" + +# Zimri ... Salu ... Zuri + +Haya ni majina ya wanaume + +# Cozibi + +Hili ni jina la mwanamke + diff --git a/num/25/16.md b/num/25/16.md new file mode 100644 index 00000000..74447f79 --- /dev/null +++ b/num/25/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwa kuwadanganya + +"kwa kukudanganya wewe" + +# waliwaongoza katika uovu + +"Waliwashawishi ninyi kufanya uovu huu" + +# swala la Peori ... kwa swala la Peori + +Virai hivi vinamaanisha kuwa vitu hivi vyote vilitokea pale Peori. + +# Peori + +Tazama 23:28 + +# amabye aliuawa + +"ambaye Finehasi alimwua" + diff --git a/num/26/01.md b/num/26/01.md new file mode 100644 index 00000000..9cec2c6d --- /dev/null +++ b/num/26/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wahesabu watu wote + +"Wahesabu wanaume wote katika jamii" + +# miaka ishirini na zaidi + +"umri wa miaka 20 nazaidi" + diff --git a/num/26/03.md b/num/26/03.md new file mode 100644 index 00000000..3f2e24cf --- /dev/null +++ b/num/26/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wakawaambia + +"wakawaambia viongozi wa Waisraeli" + +# Uwanda + +Uwanda ni eneo tambarare + +# miaka ishirini na zaidi + +"umri wa miaka 20 na zaidi" + diff --git a/num/26/05.md b/num/26/05.md new file mode 100644 index 00000000..883f7b77 --- /dev/null +++ b/num/26/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Viongozi wa Israeli wanawahesabu wanaume wenye umri wa miaka 20 na zaidi, kwa kufuata makabila yao na familia zao. + +# ndiye aliyekuwa mzaliwa wa kwanza wa Israeli + +"Israeli" inamaanisha Yakobo + +# kutoka kwa mwana wake + +Neno "wake" inamaanisha Reubeni + diff --git a/num/26/08.md b/num/26/08.md new file mode 100644 index 00000000..235b81df --- /dev/null +++ b/num/26/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Tazama 26:5 + +# Eliabu ... Dathani ... Abiramu + +Tazama 16:1 + diff --git a/num/26/10.md b/num/26/10.md new file mode 100644 index 00000000..3757f948 --- /dev/null +++ b/num/26/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Dunia ilifungua kinywa na kuwameza pamoja + +"BWANA ndiye aliyesababishaardhi ifunguke, n a wale wanaume wakaangukia shimoni" + +# moto uliteketeza wanaume 250 + +"BWANA alisababisha moto uwaue wanaume 250" + +# uzao wa Kora + +"familia yote ya Kora + +# kufa + +"mwisho" + diff --git a/num/26/12.md b/num/26/12.md new file mode 100644 index 00000000..0317dc31 --- /dev/null +++ b/num/26/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Tazama 26:5 + diff --git a/num/26/15.md b/num/26/15.md new file mode 100644 index 00000000..0317dc31 --- /dev/null +++ b/num/26/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Tazama 26:5 + diff --git a/num/26/19.md b/num/26/19.md new file mode 100644 index 00000000..0317dc31 --- /dev/null +++ b/num/26/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Tazama 26:5 + diff --git a/num/26/23.md b/num/26/23.md new file mode 100644 index 00000000..0317dc31 --- /dev/null +++ b/num/26/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Tazama 26:5 + diff --git a/num/26/26.md b/num/26/26.md new file mode 100644 index 00000000..0317dc31 --- /dev/null +++ b/num/26/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Tazama 26:5 + diff --git a/num/26/28.md b/num/26/28.md new file mode 100644 index 00000000..fa143122 --- /dev/null +++ b/num/26/28.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Tazzama 26:5 + diff --git a/num/26/30.md b/num/26/30.md new file mode 100644 index 00000000..0317dc31 --- /dev/null +++ b/num/26/30.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Tazama 26:5 + diff --git a/num/26/33.md b/num/26/33.md new file mode 100644 index 00000000..0317dc31 --- /dev/null +++ b/num/26/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Tazama 26:5 + diff --git a/num/26/35.md b/num/26/35.md new file mode 100644 index 00000000..d7745f8d --- /dev/null +++ b/num/26/35.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa umumla + +Tazama 26:5 + +# Huu ndio uzao wa Yusufu + +"Hawa walikuwa wazao wa Yusufu, wazao wa wana wakeambao ni Manase na Efraiimu" + +# uliohesabiwa toka kila koo + +"waliwahesabu kutoka katika kila ukoo wao" + diff --git a/num/26/38.md b/num/26/38.md new file mode 100644 index 00000000..fa143122 --- /dev/null +++ b/num/26/38.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Tazzama 26:5 + diff --git a/num/26/42.md b/num/26/42.md new file mode 100644 index 00000000..0317dc31 --- /dev/null +++ b/num/26/42.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Tazama 26:5 + diff --git a/num/26/44.md b/num/26/44.md new file mode 100644 index 00000000..0317dc31 --- /dev/null +++ b/num/26/44.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Tazama 26:5 + diff --git a/num/26/48.md b/num/26/48.md new file mode 100644 index 00000000..0317dc31 --- /dev/null +++ b/num/26/48.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Tazama 26:5 + diff --git a/num/26/51.md b/num/26/51.md new file mode 100644 index 00000000..2d4247f8 --- /dev/null +++ b/num/26/51.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# jumla kuu + +"jumla" + +# 601,730 + +Laki sita, elfu moja, mia sab na thelathini. + diff --git a/num/26/52.md b/num/26/52.md new file mode 100644 index 00000000..a5517cb1 --- /dev/null +++ b/num/26/52.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ile ardhi itagawanywa + +"mtaigawa ardhi" + +# wanaume hawa + +Tazama26:5 + +# Kwa kufuata idadi ya majina yao + +"kwa idadi ya watu katika kila ukoo" + diff --git a/num/26/54.md b/num/26/54.md new file mode 100644 index 00000000..6d38f990 --- /dev/null +++ b/num/26/54.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kuongea na Musa + +# utawagawia urithi mkubwa + +"utawapa ardhi zaidi kuwa urithi" + +# waliohesabiwa + +"ambao viongozi wa Israeli waliwahesabu + +# ardhi itagawiwa + +"mtaigawa ardhi" + +# kwa kupigiwa kura + +"kwa kupiga kura" + +# utagawiwa + +"utaigawa" + +# watagawiwa + +"na mtaigawa ardhi kwao" + diff --git a/num/26/57.md b/num/26/57.md new file mode 100644 index 00000000..8b5aaa3b --- /dev/null +++ b/num/26/57.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii ni orodha ya ukoo wa Lawi. Musa aliwahesabu Walwi kwa namna tofauti na makabila mengine kwa sababu hawakupokea ardhi yeyote. + +# Zilizohesabiwa kwa kufuata ukoo + +"ambao viongozi waliwahesabu kwa kufuata ukoo" + +# Gerishoni ... Kohathi ... Merari ... Amramu + +Tazama 3:17 + +# Alimzalia Amramu watoto wao + +"Yeye na Amramu walikuwa na watoto" + diff --git a/num/26/60.md b/num/26/60.md new file mode 100644 index 00000000..e517a291 --- /dev/null +++ b/num/26/60.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Nadabu ... Abihu ... Ithamari + +Tazama 3:1 + +# Walipotoa sadaka kwa BWANA sadaka ya moto isiyokubalika + +Tazama 3:3 + +# waliohesabiwa + +"ambao viongozi waliwahesabu" + +# Elfu ishirini na tatu + +"23,000" + +# Umri wa mwezi mmoja na zaidi + +"umri wamwezi mmoja na kuendelea" + +# hawakuhesabiwa + +"lakini viongozi hawakuwahesabu" + +# hawakupewa urithi + +"kwa sababu BWANA alisemawasipewe ardhi kama uriti wao" + diff --git a/num/26/63.md b/num/26/63.md new file mode 100644 index 00000000..330e3b5c --- /dev/null +++ b/num/26/63.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# walihesabiwa na Musa na Eliezeri yule kuhani + +"ambao Musa na Eliezeri waliwahesabu" + +# aliyehesabiwa na Musa na Haruni + +"Ambaye Musa na Haruni waliwahesabu" + +# wana wa uzao wa Israeli walipohesabiwa + +"walipowahesabu wana wa uzao wa Israeli" + diff --git a/num/26/65.md b/num/26/65.md new file mode 100644 index 00000000..d989591b --- /dev/null +++ b/num/26/65.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hapakuwa na mtu aliyebaki, isipokuwa + +"watu pekee waliokuwa walikuwa" + +# mwana wa Yefune + +Tazam 13:5 + +# mwana wa Nuni + +Tazama 11:28 + diff --git a/num/27/01.md b/num/27/01.md new file mode 100644 index 00000000..11f9edfc --- /dev/null +++ b/num/27/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kisha wakaja kwa Musa binti wa Zelofehadi ... wamana wa Yusufu + +"Hawa ni mabinti wa uzao wa Zerofehadi waliomjia Musa" + +# Zelofehadi, mwana wa Hefa ... Mahlahi. Noha, Hogla, Milika, na Tiriza + +Tazama 26:33 + +# Gileadi ... Machiri + +Tazama 26:28 + diff --git a/num/27/02.md b/num/27/02.md new file mode 100644 index 00000000..6f808e85 --- /dev/null +++ b/num/27/02.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Walisimama + +"Binti wa Zelofehadi walisimama" + +# Waliompinga BWANA katika lile kundi ka Kora + +"Waliokufa kwa sababu walikuwa miongoni mwa wafuasi waliompinga BWANA" + +# kwa dhambi zake + +"kwa sababu ya dhambi zake" + diff --git a/num/27/04.md b/num/27/04.md new file mode 100644 index 00000000..80fffe2b --- /dev/null +++ b/num/27/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini jina la baba yetu liondolewe miongoni mwa ukoo wa jamaa za zake kwa sababu ya kukosa wana? + +"Usiliondoe jina la baba yetu katika ukoo kwa sababu hakuwa na mwana" + +# Tupeni ardhi miongoni mwa ndugu wa baba zetu + +"Tupeni ardhi kule ambako ndugu wa baba zetu wanaishi" + diff --git a/num/27/06.md b/num/27/06.md new file mode 100644 index 00000000..a246def4 --- /dev/null +++ b/num/27/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# miongoni mwa ndugu za baba zake + +"mahali ambako ndugu za baba zake wanaishi" + diff --git a/num/27/09.md b/num/27/09.md new file mode 100644 index 00000000..9b2e3211 --- /dev/null +++ b/num/27/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii inaendeleza sheria za Mungu juu ya nani anapaswa kupokea ardhi kama mtu hakuwa na wana. + +# Hii itakuwa sheria iliyoanzishwa kwa amri kwa ajil ya watu wa Israeli + +"Itakuwa sheria ambayo watu wote wa Israeli wataitii" + +# alivyoniamuru + +kiwakilishi "ni" kinamaanisha Musa + diff --git a/num/27/12.md b/num/27/12.md new file mode 100644 index 00000000..bf9a3cd2 --- /dev/null +++ b/num/27/12.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Milima ya Abarimu + +Hii ni safu ya milima huko Moabu + +# ambayo nimewapa wana wa Israeli + +ambayo nitawapa wana wa Israeli + +# pia lazima ukusanyike na watu wako + +"lazima ufe" + +# Kama Haruni kaka yako + +"kama Haruni kaka yako mkubwa" + +# ninyi wawili mlipinga amri yangu + +"Hii inamaanisha Musa na Haruni" + +# Katika jangwa la Sini + +Tazama 13:21 + +# Pale ambapo maji yalitoka kwenye mwamba, katika hasira yako + +Hii inamaanisha lile tukio ambalo Mungu alitengeneza maji kwa muujiza yakatoka kwenye mwamba. Mungu alimwambia Musa auambie mwamba, lakini badala yakae Musa akaupiga kwa sababu alikuwa na hasira dhidi ya watu + +# ulishindwa kuniheshimu mimi kama mtakatifu + +"haukunichukulia kama mtakatifu" + +# mbele ya macho ya watu wote + +"mbele ya kundi lote" + +# maji ya Meriba + +Tazama 20:12 + diff --git a/num/27/15.md b/num/27/15.md new file mode 100644 index 00000000..f945e5dc --- /dev/null +++ b/num/27/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mungu wa wote wenye mwili + +"Mungu awapaye wanadamu pumzi" + +# mtu awe juu ya watu + +"mtu wa kuwaongoza watu" + +# mtu ambaye atatoka na kuingia kuja kwao na kuwatoa kisha kuwarudisha + +mtu ambaye atawaongoza watu wote na kuongoza jeshi katika vita + +# ili kwamba watu wako wasije kuwa kama kondoo wasiokuwa na mchungaji + +Hii inamaanisha kuwa watu wasipokuwa na kiongozi watazungukazunguka + diff --git a/num/27/18.md b/num/27/18.md new file mode 100644 index 00000000..0885214d --- /dev/null +++ b/num/27/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mchukue Joshua mwana wa Nuni, mtu ambaye Roho yangu hukaa + +Roho ya BWANA yumo ndani ya Joshua, Hii inamaanisha kuwa Joshua humtii BWANA na kufuata amri zake. + +# umwekee mikono yako juu yake + +"umwekee mikon yako juu yake ili umwagize" + +# umwamuru kuwaongoza mbele ya macho yao + +"na mbele yao umwamuru Joshua kuwaongoza watu wa Israeli" + diff --git a/num/27/20.md b/num/27/20.md new file mode 100644 index 00000000..16f660db --- /dev/null +++ b/num/27/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kuongeea na Musa juu ya Joshua + +# Utaweka baadhi ya mamlaka yako kwake + +"utampa baadhi ya mamlaka yako" + +# Urimu + +Hili lilikuwa jiwe la thamani ambalo kuhani mkuu alilivaa kifuani pake. Alilitumia kwa kutambua mapenzi ya Mungu. + +# Yeye pamoja na watu wa Israeli, ambao ni watu wote + +"Wote yeye na taifa lote la Israeli" + diff --git a/num/27/22.md b/num/27/22.md new file mode 100644 index 00000000..a74a67f5 --- /dev/null +++ b/num/27/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# na kumweka mbele ya + +"na akamwambia kusimama mbele ya" + +# Akaweka mikono yake juu yake na kumwamuru aongoze + +kiwakilishi "a" kinamaanisha Musa, na kiwakilishi "ku" kinamwakilisha Joshua. + +# Akaweka mikono yake yake + +Kitendo cha kuweka mikono ilikuwa njia ya kumweka mtu wakfu ili afanye kazi maalumu ya Mungu. + +# aongoze + +"kuwa kiongozi wa Waisraeli" + +# kama BWANA alivyokuwa amemwamuru kufanya + +kiwakilishi "mu" kinamwakilisha Musa + diff --git a/num/28/01.md b/num/28/01.md new file mode 100644 index 00000000..0fcb7bbd --- /dev/null +++ b/num/28/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa wakati uliopangwa + +"kwa wakati ambao nimeuchagua" + +# chakulacha sadaka yangu kilichotengenezwa kwa moto ili kutoa + +"chakula cha sadaka ambacho mtaiteketeza kwenye madhabahu" + +# kutoa harufu nzuri kwa ajili yangu + +"harufu ninayoifurahia" + diff --git a/num/28/03.md b/num/28/03.md new file mode 100644 index 00000000..7b64fe9e --- /dev/null +++ b/num/28/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya. + +# sadaka iliyotengenezwa kwa moto + +"sadaka ya kuteketezwa" + +# iliyochanganywa na + +"ambayo mmeichanganya na" + +# sehemu ya kumi ya efa + +"lita 2" + +# robo ya hini + +"lita moja" + +# mafuta yaliyokamuliwa + +"mafuta safi ya mizeituni yaliyokamuliwa" + diff --git a/num/28/06.md b/num/28/06.md new file mode 100644 index 00000000..196b2ab7 --- /dev/null +++ b/num/28/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ilyoamriwa mlima Sayuni + +ambayo BWANA aliamuru pale mlima Sayuni + +# iliyotengenezwa kwa moto + +uliyoiteketeza kwa moto kwenye madhabahu + +# robo ya hini + +"lita moja" + +# utaimimina mahali patakatifu hiyo sadaka ya kinywaji kwa BWANA + +"Lazima iwe sadaka, ya kinywaji n a lazima uimimine mahali patkatifu kwa ajili ya BWANA" + +# Alivyotolewa + +"kama yule mliyemtoa" + diff --git a/num/28/09.md b/num/28/09.md new file mode 100644 index 00000000..758fdf9d --- /dev/null +++ b/num/28/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya + +# sehemu ya kumi mbili ya efa + +"takribani lita 4.5" + +# iliyochanganywa na mafuta + +"ambayo mmeichanganya na mafuta" + +# na ile sadaka ya kinywaji + +"ile sadaka ya kinywaji inayoambatana nayo" + diff --git a/num/28/11.md b/num/28/11.md new file mode 100644 index 00000000..174e82b9 --- /dev/null +++ b/num/28/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya + +# sehemu ya kumi tatu + +"lita sita" + +# sehemu za kumi mbili + +"takribani lita 4.5" + +# sehemu ya kumi ya efa + +"lita 2" + +# ilyochanganywa na mafuta + +"ambayo mmeichanganya na mafuta" + +# iliyotengenezwa kwa moto + +ambayo mmeiteketeza madhabahuni + diff --git a/num/28/14.md b/num/28/14.md new file mode 100644 index 00000000..c76b34f6 --- /dev/null +++ b/num/28/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nusu ya hini + +"lita 2" + +# sehemu ya tatu ta hini + +"lita 1.2" + +# robo ya hini + +"lita moja" + +# beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kwa BWANA. + +"Lazima mtatoa beberu mmoja kwa BWANA kuwa sadaka ya dhambi" + diff --git a/num/28/16.md b/num/28/16.md new file mode 100644 index 00000000..0a94100c --- /dev/null +++ b/num/28/16.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya + +# siku ya kumi na nne, ya mwezi wa kwanza ... katika siku ya kumi na tano ya mwezi + +siku ya 14, ya mwezi wa 1, ... siku ya 15 ya mwezi huu, "Hii inamaanisha mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiyahudi" + +# itakuwa Pasaka ya BWANA + +"mtasherehekea Pasaka ya BWANA" + +# kutakuwa na sikukuu + +"mtakuwa nasikukuu" + +# Mtakula mikate isiyokuwa na chachu + +mtakula mikate isiyotiwa chachu + +# siku ya kwanza + +siku ya 1 + +# kutakuwa na kusanyiko takatifu l a kumheshimu BWANA + +"Mtakusanyika pamja kumwabudu na kumheshimu BWANA." Kirai cha kusanyiko takatifu kinamaanishsa kuwa watu wanakusanyika kumwabudu BWANA. Kumwabudu BWANA ni kusanyiko takatifu. + diff --git a/num/28/19.md b/num/28/19.md new file mode 100644 index 00000000..d794dd89 --- /dev/null +++ b/num/28/19.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya + +# mtatoa sadaka iliyotengenezwa kwa moto + +mtateketeza sadaka madhabahuni + +# sehemu za tatu za efa + +"lita sita" + +# iliyochanganywa na mafuta + +"ambayo umeichanganya na mafuta" + +# sehemu za pili + +takribani lita 4.5 + +# sehemu ya kumi ya efa + +"lita 2" + +# kufanya upatanisho + +"kupatana" + diff --git a/num/28/23.md b/num/28/23.md new file mode 100644 index 00000000..d710db23 --- /dev/null +++ b/num/28/23.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# inayotakiwa kila asubuhi + +"ambayo BWANA huitaka kila asubuhi" + +# kama ilivyofafanuliwa hapa + +"kama Mimi, BWANA ilkivyofafanua hapa" + +# kile chakula cha sadaka kilichotengenezwa kwa moto + +"mtateketeza chakula cha sadaka madhabahuni" + +# kuwa harufunzuri kwa BWANA + +"kama harufu nzuri kwa BWANA" + +# hiki kitatolewa kuwa sadaka + +"mtakitoa" + +# mtakuwa na kusanyiko takatifu ili kumheshimu BWANA + +"Mkusanyike pamoja kumwabudu na kumheshimu BWANA: + diff --git a/num/28/26.md b/num/28/26.md new file mode 100644 index 00000000..8e80fff3 --- /dev/null +++ b/num/28/26.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya + +# sikuya malimbuko + +"Hii ni siku ya sikukuu ambayo wanatoa sadaka ya unga kwa BWANA. + +# Mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA + +"Mtakusanyika pamoja kumwabudu na kumheshimu BWANA" + +# uliochanganywa na mafuta + +ambao mmeuchanganya na mafuta + +# sehemu za kumi tatu za efa + +"lita 6" + +# sehemu za kumi tatu za efa + +"lita 6" + +# sehemu za kumi mbili + +"Takribani lita 4.5" + diff --git a/num/28/29.md b/num/28/29.md new file mode 100644 index 00000000..ccd78cfc --- /dev/null +++ b/num/28/29.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya + +# sehemu ya kumi moja + +"lita 2" + +# unga mwembamba uliochanganywa na mfuta + +unga mwembamba ambao mmeuchanganya na mafuta + +# kufanya upatanisho + +"kupatana" + +# sadaka zake za vinywaji + +sadaka za vinywaji vinavyoambatana nayo + diff --git a/num/29/01.md b/num/29/01.md new file mode 100644 index 00000000..7774a932 --- /dev/null +++ b/num/29/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa uumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya + +# siku ya kwanza ya mwezi wa saba + +"siku ya 1, ya mwezi wa 7 ya mwezi, katika kalenda ya Kihebrania" + +# mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA + +"Kusanyikeni pamoja ili kumwabudu na kumheshimu BWANA" + +# Itakuwa siku ya kupiga matarumbeta + +"Itakuwa siku ambayo makuhani watapiga matarumbeta" + diff --git a/num/29/02.md b/num/29/02.md new file mode 100644 index 00000000..0e043288 --- /dev/null +++ b/num/29/02.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya + diff --git a/num/29/03.md b/num/29/03.md new file mode 100644 index 00000000..a78a5586 --- /dev/null +++ b/num/29/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# sadaka ya unga + +sadaka ya unga inayotolewa pamoja navyo + +# uliochanganywa na mafuta + +"ambao mmeuchanganya na mafuta" + +# shsmu ya kumi tatu ta efa + +"lita 6" + +# sehemu ya kumi mbili + +"lita4.5" + +# sehemu ya kumi + +"lita 2" + +# ili kufanya upatanisho + +"kupatana" + diff --git a/num/29/06.md b/num/29/06.md new file mode 100644 index 00000000..93d9efd8 --- /dev/null +++ b/num/29/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# katika mwezi wa saba ... mwanzo wa kila mwezi + +"mwezi wa 7 ...mwanzo wa kila mwezi katka kalenda ya Kihebrania." + +# kilka mwezi ... pamoja na sadaka maalumu ... na sadaka zake + +"kwa kila mwezi, sadaka maalumu za kuteketezwa ... pamoja nazo" + +# sadaka za kuteketezwa za kila siku, sadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji. + +"sadaka za kila siku za kuteketezwa pamoja na sadaka za unga na sadaka za vinywaji zinazoambatana nazo" + +# utakuwa ukitii kilichoamriwa + +"utatii amri za BWANA" + +# sadaka iliyotengenezwa kwa moto + +sadaka uliyoteketeza madhabahuni kwa BWANA" + diff --git a/num/29/07.md b/num/29/07.md new file mode 100644 index 00000000..ff5898e6 --- /dev/null +++ b/num/29/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya + +# siku ya kumi ya mwezi wa saba + +"siku ya 10 ya mwezi wa 7 kwa kalenda ya Kihebrania. + +# mtakuwa na kusanyiko takatifu + +kusanyikeni ili kumwabudu na kumheshimu BWANA" + diff --git a/num/29/09.md b/num/29/09.md new file mode 100644 index 00000000..e844e078 --- /dev/null +++ b/num/29/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# uliochanganywa na mafuta + +"ambao mmeuchanganya na mafuta" + +# sehemu ya kumi tatu + +lita 6 + +# sehemu ya kumi mbili + +lita 4.5 + +# sehemu ya kumi ya efa + +lita 2 + +# ya upatanisho + +inayopatanisha + +# pamoja na sadaka za unga na sadaka zake za vinywaji + +"pamoja na sadaka za unga na sadaka za vinywaji zinazoambatana nazo" + diff --git a/num/29/12.md b/num/29/12.md new file mode 100644 index 00000000..894d9d9a --- /dev/null +++ b/num/29/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa uumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya + +# siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba + +"siku ya 15, ya mwezi wa 7, ya kalenda ya Kihebrania" + +# mtakuwa na kusanyiko takatifu + +"kusanyikeni ili kumwabudu na kumheshimu BWANA" + +# mtazitunza hizo sikukuu kwa ajili ya BWANA. + +"Mtazikumbuka hizo sikukuu kwa ajili ya BWANA" + +# sadaka iliyotengenezwa kwa moto + +"mtaiteketeza kwenye madhabahu" + +# mafahari wachanga kumi na tatu, kondoo waume wawili, na wanakondoo waume kumi na nne + +mafahari wachanga 13, kondoo waume 2, na wanakondoo waume 14. + diff --git a/num/29/14.md b/num/29/14.md new file mode 100644 index 00000000..2e25417e --- /dev/null +++ b/num/29/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# uliochanganywa na mafuta + +"ambao umeuchanganya na mafuta" + +# sehemu ya kumi tatu ta efa + +lita 6 + +# mafahari kumi na tatu ... wanakondoo waume kumi na nne + +mafahari 13, wanakondoo 14 + +# sehemu a kumi mbili + +lita 4.5 + +# sehemu ya kumi ya efa + +lita 2 + +# sadaka yake ya unga, na sdaka ya vinywaji + +sadaka ya unga na sadaka ya vinywaji inyoambatana na sadaka ya kila siku ya kuteketezwa, + diff --git a/num/29/17.md b/num/29/17.md new file mode 100644 index 00000000..0632595c --- /dev/null +++ b/num/29/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# siku ya pil ya kusanyiko + +"siku ya 2 ya sikukuu." neno "kusanyiko" linamaanisha sikukuu za majuma. + +# fahari wachanga kumi na mbili, kondoo waume wawili, na wanakondoo waume kumi na nne + +"fahari 12, kondoo waume 2, na wanakondoo waume14." + +# kama ilivyoamriwa + +"kama BWANA alivyoamuru" + +# sadaka yake ya unga na sadaka yake ya vinywaji + +"pamoja na sadaka yake yaunga na sadaka yake ya vinywaji inayoamabatana nayo" + diff --git a/num/29/20.md b/num/29/20.md new file mode 100644 index 00000000..14659bfd --- /dev/null +++ b/num/29/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# siku ya tatu ya kusanyiko + +"siku ya 3 ya sikukuu. Neno "kusanyiko" linamaanisha sikukuu ya majuma + +# mafahari kumi na moja, kondoo dume wawili, na wanakondoo waume kumi na nne + +"mafahari 11, kondoo waume 2, na wanakondoo waume 14." + +# kama ilivyoamriwa + +"kama BWANA alivyoamuru" + +# sadaka zakeza unga, na sadaka zaka za vinywaji + +"pamoja na sadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji zinazoambatana nazo." + diff --git a/num/29/23.md b/num/29/23.md new file mode 100644 index 00000000..17d25b00 --- /dev/null +++ b/num/29/23.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya wakati wa sikukuu za mwezi wa saba. + +# siku ya nne ya kusanyiko + +"siku ya 4 ya sikukuu." neno "kusanyiko" linamaanisha sikukuu za majuma. + +# wanakondoo wa kiume kumi na nne + +"wanakondoo wa kiume 14" + +# kama ilivyoamriwa + +"kama BWANA alivyoamuru" + +# sadaka zake za unga, na sadakazakae za vinywaji + +"pamoja na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji zinazoambatana nazo." + diff --git a/num/29/26.md b/num/29/26.md new file mode 100644 index 00000000..1cc362a3 --- /dev/null +++ b/num/29/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# siku ya tano ya kusanyiko + +"siku ya 5 ya sikukuu." Neno kusanyiko linamaanisha sikukuu za majuma." + +# wanakondoo waume kumi na nne + +"wanakondoo waume 14" + +# kama ilivyoamriwa + +"Kama BWANA alivyoamuru" + +# sadaka zake za unga, na za vinywaji + +"pamoja na sadaka zake za unga na za vinywaji zinazozambatana nazo." + diff --git a/num/29/29.md b/num/29/29.md new file mode 100644 index 00000000..3006e4c0 --- /dev/null +++ b/num/29/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# siku ya sita ya kusanyiko + +"siku ya sita ya sikukuu." Neno kusanyiko linamaanisha sikukuu za majuma." + +# wanakondoo waume kumi na nne + +"wanakondoo waume 14." + +# kama ilivyoamriwa + +"kama BWANA alivyoamuru" + +# sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji + +"pamoja nasdaka zake za unga, na sadaka zake za vimywaji zinazoambatana nazo." + diff --git a/num/29/32.md b/num/29/32.md new file mode 100644 index 00000000..ab00f82b --- /dev/null +++ b/num/29/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# siku ya saba ya kusanyiko + +"sikuy a7 ya kusanyiko." Neno "kusanyiko" linamaanisha sikukuu za majuma." + +# wanakndoo waume kumi na nne + +"wanakondoo waume 14" + +# kama ilivyoamriwa + +"kama BWANA alivyoamru" + +# sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji + +"pamoja nasadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji zinazoambatana nazo" + diff --git a/num/29/35.md b/num/29/35.md new file mode 100644 index 00000000..f1f76157 --- /dev/null +++ b/num/29/35.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya wakati wa sikukuu za mwezi wa saba. + +# siku ya nane + +siku ya 8 + +# mtakuwa na kusanyikok lingine makini + +"kutaneni tena ili kumwabudu BWANA sawa na kusanyiko la siku ya kwanza " + +# Sadakailiyotengenezwa kwa moto + +"mtaiteketeza kwenye madhabahu" + diff --git a/num/29/37.md b/num/29/37.md new file mode 100644 index 00000000..404ffe72 --- /dev/null +++ b/num/29/37.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji + +"sadaka za unga na sadaka za vinywaji" + +# kama ilivyoamriwa + +"kama BWANA alivyoamuru" + +# zadakazake za unga, na sadaka zake za vinywaji + +"pamoja nasadaka zake za uunga , na sadaka zake za vinywaji zinazoambatana nazo" + diff --git a/num/29/39.md b/num/29/39.md new file mode 100644 index 00000000..1700213c --- /dev/null +++ b/num/29/39.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hivi ndivyo utakavyotoa + +"Hizi sadaka ndizo utakazotoa" + +# sikukuu za kila mwaka + +"sikukuu zilizopangwa" + diff --git a/num/30/01.md b/num/30/01.md new file mode 100644 index 00000000..abbaea80 --- /dev/null +++ b/num/30/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mtu yeyote atakayefanya nadhiri, au kuapa kwa kiapo + +Virai hivi viinamaanisha kitu kilekile. Vimetumika kuonesha unuhimu wa kiapo. + +# ili kufunga nafsi yake + +"kujitoa ili kutimiza kiapo" au "kuahidi kufanya kitu fulani" + +# asivunje neno lake. HeAtafanya sawa na ahadi yake imtokayo kinywani mwake + +"Lazima atimize ahadi yake" + +# asivunje neno lake + +Lazima atimize ahadi zake" + +# sawa na ahadi yake imtokayo kinywani mwake + +"atafanya kila kitu anachosema kuwa atakifanya" + diff --git a/num/30/03.md b/num/30/03.md new file mode 100644 index 00000000..5a5165bc --- /dev/null +++ b/num/30/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# na kufunga nafsi yake kwa kiapo + +"anajitoa mwenyewe ili kutimiza ahadi" au "ahadi ya kufanya jambo fulani" + +# nadahari na ahadi + +maneno haya yana maana moja "Nadhriri" + +# na kufunga nafsi yake + +"ambacho ameahidi mwenyewe kukitimiza" + +# kumzuia + +"kuahirisha alichoahidi" + +# ndipo nadhiri zake zitakuwa naguvu. kila ahadi ... itabaki kuwa naguvu. + +"atatakiwa kutimiza kile alichoahidi" + diff --git a/num/30/05.md b/num/30/05.md new file mode 100644 index 00000000..b74e59f6 --- /dev/null +++ b/num/30/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nadhiri yake na ahadi yake + +"nadhiri yake" + +# alizofanya + +"ambazo alijitoa kufanya" au "zile alizofanya" + +# zitabaki kuwa nguvu + +tazama 30:3 + diff --git a/num/30/06.md b/num/30/06.md new file mode 100644 index 00000000..77908b04 --- /dev/null +++ b/num/30/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# ahadi zake makini ambazo ametumia kufunga nafsi yake + +"ahadi zake makini ambazo amejitoa mwenyewe kuzitimiza" + +# na kama atazitengua + +"kama atazitengua ahadi zake" + +# hazitakuwa na nguvu + +"hatalazikmika kuzitimiza" + +# BWANA atamsamehe + +"BWANA atamsamaehe kwa kutotimiza ahadi zake" + +# angali katika hivyo viapo + +"wakati bado amejitoa kutimiza viapo hivyo" + +# bila kufikiri + +"kitu kilichofanywa pasipo kufikiri" + +# katika hivyo viapo + +"vitu ambavyo mwenyee amehadi kuvifanya" + diff --git a/num/30/08.md b/num/30/08.md new file mode 100644 index 00000000..14216247 --- /dev/null +++ b/num/30/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kiapo alichofanya ... manenoya midomo yake ya bila kufikiri + +sentensi hizi zinamaanisha kitu kilekile. Kirai cha pili kinafafanua kiapo ambacho yule mwanamke alifanya. + +# maneno ya midomo yake ya bila kufikiri + +"Maneno aliyosema pasipo kufikiri" au "ahadi za bila kufikiri" + +# ambayo kwayo amefunga nafsi yake + +"ambayo amejitoa mwenyewe kutimiza" + +# BWANA atamfungua + +"BWANA atamsamehe" + diff --git a/num/30/09.md b/num/30/09.md new file mode 100644 index 00000000..41d4c9dc --- /dev/null +++ b/num/30/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Musa anaenedelea kuwaeleza vingozi wa makabila ambacho BWANA ameamuru + +# mwanamke aliyetalikiwa + +"mwanamke aliyepewa talaka na mwanamume" + +# ambacho atakisema kufunga nafsi yake + +"ambacho amejitoa mwenyewe kutimiza" + +# kitabaki na nguvu kinyume na yeye + +Tazama 30:3 + +# kama m mwanamke atafanya kiapo katika nyumba ya mume wake + +"kama mwanamke aliyeolewa atafanya nadhiri" + +# basi viapo vyake vitasimama ... vitabaki na nguvu + +Tazama 30:3 + +# viapo vyakae vitasimama ... na vifungo alivyovifanya vitabaki na nguvu + +"basi viapo vyake na ahadi zake ... vitabaki na nguvu" + diff --git a/num/30/12.md b/num/30/12.md new file mode 100644 index 00000000..29cf7cc2 --- /dev/null +++ b/num/30/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# basi chochote ambacho kitatoka katika kinywa chake + +"basi chochote atakachosema" + +# Havitakuwa na nguvu + +Tazama 30:6 + +# BWANA atamfungua + +"BWANA atamsamehe kwa kutotimiza viapo vyake" + diff --git a/num/30/13.md b/num/30/13.md new file mode 100644 index 00000000..841d0300 --- /dev/null +++ b/num/30/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kila kiapo ambacho ... kinaweza kuthibitika au kubatilishwa na mume wake + +"Mume wa yule mwanamke anaweza kuthibitisha au kubatilisha kiapo chochote alichofanya ambacho kinamfunga ili kujikana" + +# kinachomfunga + +"ambacho ameahadi kukifanya" + +# ahadi zake zinazomfunga + +"ahadi" + +# kwa sababu hakusema chochote wakati alipozisikia + +"kwa sababu hakumwambia chochote juu ya ahadi hizo" + diff --git a/num/30/15.md b/num/30/15.md new file mode 100644 index 00000000..3c8384e9 --- /dev/null +++ b/num/30/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# basi ataajibika kwa dhambi zake + +"kama hatatimiza ahadi zake, hatakuwa na hatia ya dhambi zake, na badala yake mawanamume atakuwa na hatia badala yake" + diff --git a/num/31/01.md b/num/31/01.md new file mode 100644 index 00000000..ff0ca6a5 --- /dev/null +++ b/num/31/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Uwalipizie kisasi Wamidiani kwa kile walichowafanyia Waisraeli + +BWANA alikuwa anawaadhibu Wamidiani kwa sababu waliwashawishi kuabudu masanamu + +# utakufa na kukusanyika nawatu wako + +Ni tafsida ya Musa kufa n a roho yake kwenda kule ambako mababu zake waliko + diff --git a/num/31/03.md b/num/31/03.md new file mode 100644 index 00000000..62dd06e8 --- /dev/null +++ b/num/31/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# andaeni baadhi ya majeshi yenu kwa ajili ya vita + +"Wapatie silaha baadhi ya wanaume" + +# wakawapige Wamidiani na kubeba kisasi cha BWANA + +"Nenda upigane na Wamidiani na muwadhibu kwa ajili ya kile walichotutendea" + +# elfu moja ...elfu kumi na mbili + +"1,000 ... 12,000" + +# maelefu elfu wa Israeli na nawanaume elfu + +"wanaume wengi wa Israeli" + +# wanaume elfu kumi na mbili + +makabila 12 walituma wanaume, pamoja na kabila la Lawi. Kila kabila lilituma wanaume 1,000 vitani" + +# wanaume elfu moja walitolewa kwa kila kabila kwa ajili ya vita + +"kila kabila lilitoa wanaume 1,000 kwa ajili ya vita" + diff --git a/num/31/06.md b/num/31/06.md new file mode 100644 index 00000000..bc201359 --- /dev/null +++ b/num/31/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Evi, Rekemu, Zuri, Huri, na Reba + +Haya ni majinaya wafalme wa Midiani + +# Balaamu mwana wa Beori + +Tazama 22:5 + diff --git a/num/31/09.md b/num/31/09.md new file mode 100644 index 00000000..3f16def6 --- /dev/null +++ b/num/31/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# likachukua mataeka + +"walichukua vitu vya Wamidiani na kuvifanya kuwa vyao" + +# Walichoma moto miji yao yote walimoishi na kambi zao zote + +"Jeshi la Waisraeli walichoma moto miji yote ambamo Wamidiani waliishi na kambi zote za Wamidiani" + diff --git a/num/31/11.md b/num/31/11.md new file mode 100644 index 00000000..270181b5 --- /dev/null +++ b/num/31/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Walichukua + +"Jeshi la Israeli lilichukua" + +# Miliki + +Hii inamaanishsa vile vitu walivyochukua baada ya kuwaua Wamidiani + +# uwanda + +eneo kubwa tambarare + diff --git a/num/31/13.md b/num/31/13.md new file mode 100644 index 00000000..ddba0a1c --- /dev/null +++ b/num/31/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# majemadari wa maelfu + +Hawa ni viongozi wa majeshi waliongoza wanaume zaidi ya 1,000 lakini pungufu ya wanaume 10,000. + +# wa maelfu ... maakida wa mamia + +"maelfu ya maaskaari ... maaskari mamia" + +# maakida wa mamia + +hawa ni viongozi wa majeshi walioongoza zaidi ya wanaume 1000 lkaini pungufu ya wanaume 1000. + +# Je, mmewaachca wanawake wote kuishi? + +Jeshi lilivunja sheria kwa kuwaacha hai wanawake na watoto. Musa aliwakemea wanajeshi. + diff --git a/num/31/16.md b/num/31/16.md new file mode 100644 index 00000000..889e30af --- /dev/null +++ b/num/31/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tazama + +Hii ilikuwa ni kuwataka wasikilize na kuelewa ambacho msemaji alikuwa anawaambia wasikilizaji + +# aliyelala na mwanaume + +aliyefanya ngono na mwanaume + diff --git a/num/31/18.md b/num/31/18.md new file mode 100644 index 00000000..e470949a --- /dev/null +++ b/num/31/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa uumla + +Musa anawaambia majemedari wa jeshi la Waisraeli juu ya kujitakasa mbele za BWANA. + +# ambao hawajalala na mwanaume + +mabikra + +# Ninyi wote + +Yeyote ambaye alipigana kwenye hivyo vita, si majemedari tu. + +# mtajitakasa wenyewe + +Lazima wawesafi kiroho kabla hawajarudi kambini. + +# Kilichotengenezwa kwa ngozi za wanyama na manyoya ya mbuzi, na kila kitu kilichotengenezwa kwa mbao + +"kila kitu ambacho mtu alitengeneza kwa kutumia ngozi za wanyama, manyoya ya mbuzi, au mbao" + diff --git a/num/31/21.md b/num/31/21.md new file mode 100644 index 00000000..7e19a1af --- /dev/null +++ b/num/31/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Eliezeri anawafundisha maaskari taratibu za kujitakasa mbele ya BWANA baada ya kwenda vitani + +# Dhahabu, fedha, shaba,vyuma, bati, risasi + +Hivi ni vyuma ambavyo vilikuwa vinatumika wakati ule + +# haviwezi kupita kwenye moto + +"ambavyo haviwezi kuungua" + +# mtakiweka katika moto + +"viwekeni motoni" + +# maji ya takaso + +Tazama 19:17 + +# ndipo mtakapokuwa safi + +Huu ndio utaraibu wa kuwa safi mbele ya BWANA + diff --git a/num/31/25.md b/num/31/25.md new file mode 100644 index 00000000..b1e114b7 --- /dev/null +++ b/num/31/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# vihesabu vitu vyote vilivyochukuliwa nyara + +"vihesabu vitu vyote ambavyo maaskari wa wamevichukua" + +# Nyara + +Hivi ni vitu vilivyochukuliwa na maaskari + +# viongozi wa watu kufuata ukoo + +"vioingozi wa kila ukoo" + diff --git a/num/31/28.md b/num/31/28.md new file mode 100644 index 00000000..2a27d973 --- /dev/null +++ b/num/31/28.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kuongea na Musa + +# Taarifa kwsa ujumla + +"kwangu" inamaanisha BWANA + +# Kisha toza kodi ambayo itatolewa kwangu kutoka kwa wanajeshi waliokuwa wameenda vitani + +"kusanya kodi kutoka kwenye nyara za wanajeshi na uzitoe kangu." + +# kati ya mia tano + +"kila 500" + +# kutoka katika nusu yao + +"kutoka katika nusu ya maaskari" + +# itakayotolewa kwangu + +"ambavyo atavitoa kwangu" + diff --git a/num/31/30.md b/num/31/30.md new file mode 100644 index 00000000..0918f572 --- /dev/null +++ b/num/31/30.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ka ujumla + +BWANA anaendelea kuongea na Musa + +# Pia kutoka katika nusu ya Waisraeli + +"Pia kutoka katika nusu ya nyara za Waisrael." + +# kati ya hamsini + +"kila 50" + +# wanaotumika + +wale wanaosimamia masikani na sadaka kwa BWANA + diff --git a/num/31/32.md b/num/31/32.md new file mode 100644 index 00000000..993f299f --- /dev/null +++ b/num/31/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sasa + +Neno hili limetumika hapa ili kuonesha mwisho wa habari hii kuu. Pia Musa anaanza kusikiliza juu ya kiasi cha nyara na kiasi gani kilitolewa kwa maaskari, kwa watu, na kwa BWANA. + +# maksai elfu sabini na mbili, punda elfu sitina na moja, na wanawake elfu thelathini na mbili + +"makisai 72,000, punda 61,000, na wanawake 32,000." + +# amabao walikuwa hawajalala na mwanaume + +mabikra + diff --git a/num/31/36.md b/num/31/36.md new file mode 100644 index 00000000..b66ec613 --- /dev/null +++ b/num/31/36.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Musa anaorodhesha nyara ambazo zitaenda kwa maasikari na kodi itakayoenda kwa BWANA. + +# ile nusu iliyokuwa imetunzwa kwa ajiai ya maaskari + +"sehemu ya kondoo wa maaskari" + +# elfu thelathini na sita + +36,000 + +# sabaini na mbili + +72 + diff --git a/num/31/39.md b/num/31/39.md new file mode 100644 index 00000000..03f92e36 --- /dev/null +++ b/num/31/39.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Musa anaorodhesha nyara ambazo zitaenda kwa maasikari na kodi itakayoenda kwa BWANA. + +# sitini na moja + +61 + +# elfu kumi na sita + +16,000 + +# thelathini na mbili + +32 + +# ilitakiwa kuwekwa sadaka ya BWANA + +"kuwa sadaka ya BWANA" + diff --git a/num/31/42.md b/num/31/42.md new file mode 100644 index 00000000..145db29b --- /dev/null +++ b/num/31/42.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# tarifa kwa ujumla + +Musa anaorodhesha nyara ambazo zitaenda kwa maasikari na kodi itakayoenda kwa BWANA. + +# makisai elfu thelathini n a sita + +makisai 36,000 + +# wanawake elfu kumi na sita + +wanawake 16,000 + diff --git a/num/31/47.md b/num/31/47.md new file mode 100644 index 00000000..7cd62873 --- /dev/null +++ b/num/31/47.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Musa anaorodhesha nyara ambazo zitaenda kwa maasikari na kodi itakayoenda kwa BWANA. + +# Taarifa kwa ujumla + +Ile kodi ya sehemu ya watu iliuwa juu kodi ya maaskari + diff --git a/num/31/48.md b/num/31/48.md new file mode 100644 index 00000000..98b29a2c --- /dev/null +++ b/num/31/48.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# majemedari wa maelfu + +Tazama 31:13 + +# juu ya maelfu ... juuya mamia + +"maaskari zaidi ya maelfu ... maskari zaidi ya mamia" + +# Makaptateni wa mamia + +Tazama 31:13 + +# watumishi wako wamewahesabu + +"watumishiwako." Hii ni njiaya kujinyenyekeza wakati wa kuongea na mtu mwenye mamlaka makubwa. + +# hakuna hata mmoja wao aliyekosa + +"tunajua kwa uhakika kuwa kila mmoja yuko hapa" + diff --git a/num/31/50.md b/num/31/50.md new file mode 100644 index 00000000..39cbad9d --- /dev/null +++ b/num/31/50.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Maofisa wa jeshi wanaendelea kuongea na Musa. + +# metali, timbi, pete za mhuri, vipini na kikuku + +Hivi vyote ni vitu vya mapambo ambavyo watu huvaa. + +# ili kujifanyia upatanisho kwa BWANA + +"kumshukuru Mungu kwa kutuokoa maisha yetu" + +# dhahabu na vitu vyote vilivyotengenezwa kwa ufundi + +"vitu vyote vya dhahabu" + diff --git a/num/31/52.md b/num/31/52.md new file mode 100644 index 00000000..0a620963 --- /dev/null +++ b/num/31/52.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# vitu vyote vya dhahabu ... kutoka kwa mamia vilikuwa na uzito ... + +"dhahabu yote ambayo makamanda wa jeshi walitoa kwa BWANA ilikuwa na uzani wa" + +# 16,750 + +"mia saba na hamsini" + +# shsekeli + +shekeli 1 ni sawa na garamu 11 + +# kama ukumbusho wa watu wa Israeli kwa BWANA + +dhahabu itawakumbusha watu kuwa BWANA aliwapa ushindi, Pia itamkumbusha BWANA kuwa watu walitimiza kisasi kwa Wamidiani. + diff --git a/num/32/01.md b/num/32/01.md new file mode 100644 index 00000000..9ab6128b --- /dev/null +++ b/num/32/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sasa + +Hili neno "sasa" linatumika hapa kuonesha mwanzo wa habari mpya. Musa anaanza kueleza historia ya Kabila la Reubeni na Gadi. + +# Atarothi, Diboni, Jazeri, Nimrahi, Heshiboni, Elealehi, Sabamu, Nebo na Beoni + +Haya ni majina ya miji + diff --git a/num/32/04.md b/num/32/04.md new file mode 100644 index 00000000..4915f3ae --- /dev/null +++ b/num/32/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Watu kutoka kwa Reubeni na Gadi wanaendelea kuongea na Musa, Eliezeri, na viongozi wengine + +# Haya ni maeneno ambayo BWANA laichukua mbele ya watu wa Israeli + +"ardhi ambayo BWANA ametuwezesha kuwaangamiza watu waishio ndani yake" + +# Sisi watumishi wako + +watu wa Reubeni na Gadi wantumia lugha hii kuonesha unyenyekevu wao kwa mtu mwenye mamlaka ya juu. + +# kama tumepata kibali mbele ya macho yako + +"kama tumepata kibali kwako" au "kamaumependezwa na sisi" + +# tunaomba ardhi hii tupewe + +"utupe ardhi hii" + +# Usituvushe ng'ambo ya Yorodani + +"Usituvushe ng'ambo ya Yorodani ili kupata umiliki wa ardhi kule" + diff --git a/num/32/06.md b/num/32/06.md new file mode 100644 index 00000000..0d4b50b8 --- /dev/null +++ b/num/32/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je. mngependa ndugu zenu waende vitani wakati ninyi mkikaa hapa? + +"Si sahihi kwenu kukaa hapa wakati ndugu zenu wanaenda vitani" + +# Kwa nini kuwafisha moyo wana .... kwenye nchi ambayo BWANA amewapa? + +"Msikatishe tamaa mioyo ... ardhi ambayo BWANA amewapa" + +# kuwafisha moyo wa Israeli wasivuke + +"kuwafisha moyo watu wa Israel ili wasivuke" "au "msiwasababishe watu wa Israeli ili wasitake kuvuka kwenda" + diff --git a/num/32/08.md b/num/32/08.md new file mode 100644 index 00000000..c3b5c71b --- /dev/null +++ b/num/32/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Musa anaendelea kuongea na watu wa Reubeni na Gadi + +# Bonde la Eskoli + +Tazama 13:23 + +# Waliiona ile ardhi + +"Waliwaona wale watu hodari na ile miji katika hiyo ardhi" + +# wakawafisha moyo watu wa Israeli + +Tazama 32:6 + diff --git a/num/32/10.md b/num/32/10.md new file mode 100644 index 00000000..9c7ebbd2 --- /dev/null +++ b/num/32/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# hasira ya BWANA iliwaka + +"BWANA akakasirika sana" + +# hakuna mtu + +"hakuna mtu kati ya watu." Kirai hiki kinamaanishsa watu wote waume kwa wake + +# walionifuata kwa ukamilifu + +"walinitii kwa ukamilifu" + +# Yefune ... Nuni + +Haya ni majina ya wanaume + +# Mkenizi + +Hili ni jina la kikundi cha watu + diff --git a/num/32/13.md b/num/32/13.md new file mode 100644 index 00000000..ea57cf5a --- /dev/null +++ b/num/32/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Hasira za BWANA ziliwaka + +"BWANA alikasirika sana + +# miaka arobaini + +"miaka 40" + +# kile kizazi ... kilipoteketea + +"kizazi chote ... macho yake kilipokufa" + +# kilichofanya maovu mbele za macho yake + +"kilichofanya maovu mbele za macho ya BWANA" + +# mmetokea katika nafasi za baba zenu + +"mmeanza kutenda kama babu zenu" + +# ili kuongeza hasira ya BWANA kwa Israeli + +"kumfanya BWANA kuwa na hasira zaidi kwa Israeli" + +# watu hawa wote + +"kizazi chote hiki cha watu" + diff --git a/num/32/16.md b/num/32/16.md new file mode 100644 index 00000000..0a32dd53 --- /dev/null +++ b/num/32/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# tutajipanga kijeshi + +"tutakuwa tayari tukiwa na silaha" au "tutakuwa tayari kupigana vitani" + +# kwenye miji ya maboma + +"katika miji salama" + diff --git a/num/32/18.md b/num/32/18.md new file mode 100644 index 00000000..5bff5b09 --- /dev/null +++ b/num/32/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Viongozi wa Reubeni na Gadi wanaendelea kuongea + +# apate urithi + +"amechukua urithi wake wa ardhi" + diff --git a/num/32/20.md b/num/32/20.md new file mode 100644 index 00000000..223b49b9 --- /dev/null +++ b/num/32/20.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kama mtajipanga wenyewe + +"kama mtachukua silaha zenu" + +# Mbele ya BWANA + +"katika uwepo wa BWANA" + +# mpaka atakapowafukuza maadui zake + +"mpaka BWANA atakapowawezesha maaskari kuwaangamiza maadui na kuwafu"kuza kutoka katika uwepo wake + +# na nchi itawaliwe na Israeli + +"na katika uwepo wake Waisraeli watawatawala watu wanaoishi katika nchi hiyo" + +# mtaweza kurudi + +"mtaweza kurudi katika nchi hii katika upande wa mashariki wa Yorodani + +# Hamtakuwa na hatia mbele za BWANA na mbele ya Israeli + +Inamaanisha 1) "mtakuwa mmekamilisha wajibu wenu kwa BWANA na kwa Israeli 2)"Hakutakuwa nalawama toka kwa BWANA au kwa Israeli" + diff --git a/num/32/23.md b/num/32/23.md new file mode 100644 index 00000000..fd50d068 --- /dev/null +++ b/num/32/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mwe na hakika kuwadhambi yenu itaonekana + +"Mjue kwa uhakika kuwa BWANA atawaadhibu kwa dhambi yenu" + +# watumishi wako + +"hii ni namna ya kunyeyekea pale mtu anapoongea na mtu mwenye mamlaka ya juu" + diff --git a/num/32/26.md b/num/32/26.md new file mode 100644 index 00000000..fadbac7d --- /dev/null +++ b/num/32/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# tutavuka + +"tutavuka mto Yorodani" + +# kila mtu ambaye yuko tayari kwa vita + +"kila mtu aliyejiandaa kwa vita" + diff --git a/num/32/28.md b/num/32/28.md new file mode 100644 index 00000000..ca250223 --- /dev/null +++ b/num/32/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kila mwanamume anayetakiwa kuwa vitani + +"kila mwanamume aliyetayari akiwa na siilaha yake" + +# kama nchi mtaitawala mbele zenu + +"kama BWANA atawatawala mbele yenu hao watu wanaoishi katika nchi hiyo" + +# basi mtawapa urithi wao katika nchi ya Kanaani" + +Basi kile kizazi cha Gadi na Reubeni watapokea ardhi pamoja nanyi kule Kanaani + diff --git a/num/32/31.md b/num/32/31.md new file mode 100644 index 00000000..41f7a4dc --- /dev/null +++ b/num/32/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tutavuka tukiwa na silaha zetu + +"Tutavuka Yorodani tukiwa tayari kwa vita" + +# urithi wetu + +"Sehemu ya ardhi ambayo tutaridhi" + +# utabaki upande huu + +"utakuwa wetu" + diff --git a/num/32/33.md b/num/32/33.md new file mode 100644 index 00000000..c7c44f09 --- /dev/null +++ b/num/32/33.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# ufalme wa Sihoni ... na wa Ogu + +"ufalme wa Sihoni ... na ufalme wa Ogu" + diff --git a/num/32/34.md b/num/32/34.md new file mode 100644 index 00000000..2f65114d --- /dev/null +++ b/num/32/34.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Diboni, Aroeri ... + +Haya ni majina ya miji + diff --git a/num/32/37.md b/num/32/37.md new file mode 100644 index 00000000..f1e950dc --- /dev/null +++ b/num/32/37.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Heshiboni, Elealehi ... + +Haya ni majina ya miji. + +# baadaye waliyabadili majina yao + +"baadaye watu walibadili majina ya miji hii" + diff --git a/num/32/40.md b/num/32/40.md new file mode 100644 index 00000000..0249a835 --- /dev/null +++ b/num/32/40.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Jairi ... Nobaha + +Haya ni majina ya wanaume + +# Havothi Jairi ... Kenathi + +Haya ni majina ya miji + diff --git a/num/33/01.md b/num/33/01.md new file mode 100644 index 00000000..09d59c38 --- /dev/null +++ b/num/33/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# pamoja na makundi y ao ya kijeshi + +Tazama 1:1 + +# kama ilivyoamriwa na BWANA + +"kama BWANA alivyoamuru" + +# kutoka kwao kulivyokuwa kwa kila walipotoka + +"kutoka eneo moja hadi jingine" + diff --git a/num/33/03.md b/num/33/03.md new file mode 100644 index 00000000..525ccc23 --- /dev/null +++ b/num/33/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Musa anaorodhesha maeneo ambayo Waisraeli walipita baada ya kutoka Msri. + +# mwezi wa kwanza, waliondoka siku ya kumi na tano + +Huu ni mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kihebrania + +# Wana wa Israeli waliondoka waziwazi mbele ya macho ya Wamisri + +"Waisraeli waliondoka wakati Wamisri wakiwaona" + +# wazaliwa wao wa kwanza + +"wazaliwa wao wa kwanza wa kiume" + +# ka kuwa pia alikuwa ameiadhibu miungu yao + +"kwa kuwa pia alikuwa amedhihirisha kuwa yeye ni mkuu kulikko miungu yao" + diff --git a/num/33/05.md b/num/33/05.md new file mode 100644 index 00000000..29a335b9 --- /dev/null +++ b/num/33/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri. + +# walisafiri kutoka + +"waliondokda" + +# mwisho wa nyika + +"kwenye mpaka wa jangwa + diff --git a/num/33/08.md b/num/33/08.md new file mode 100644 index 00000000..9eec22b4 --- /dev/null +++ b/num/33/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri. + +# na kupita katikati ya bahari + +Hii inamaanisha BWANA alipoigawa habari ya shamu ili kwamba Waisraeli waweza kutoroka toka jeshi la Wamisiri + +# chemichemi kumi na mbilu ... na mti sabin ya mitende + +chemichemi 12 ... na mti 70 ya mitende + diff --git a/num/33/11.md b/num/33/11.md new file mode 100644 index 00000000..a3fd7d90 --- /dev/null +++ b/num/33/11.md @@ -0,0 +1,9 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri. + +# ambapo watu walikoswa maji ya kunywa + +" +"ambapo watu hawakupata maji ya kunywa" + diff --git a/num/33/15.md b/num/33/15.md new file mode 100644 index 00000000..fd0e4f79 --- /dev/null +++ b/num/33/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri. + diff --git a/num/33/19.md b/num/33/19.md new file mode 100644 index 00000000..fd0e4f79 --- /dev/null +++ b/num/33/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri. + diff --git a/num/33/23.md b/num/33/23.md new file mode 100644 index 00000000..fd0e4f79 --- /dev/null +++ b/num/33/23.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri. + diff --git a/num/33/27.md b/num/33/27.md new file mode 100644 index 00000000..fd0e4f79 --- /dev/null +++ b/num/33/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri. + diff --git a/num/33/31.md b/num/33/31.md new file mode 100644 index 00000000..fd0e4f79 --- /dev/null +++ b/num/33/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri. + diff --git a/num/33/35.md b/num/33/35.md new file mode 100644 index 00000000..fd0e4f79 --- /dev/null +++ b/num/33/35.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri. + diff --git a/num/33/38.md b/num/33/38.md new file mode 100644 index 00000000..c89680aa --- /dev/null +++ b/num/33/38.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mwaka wa araobaini baada ... + +"baada ya miaka 40" + +# katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano + +siku ya 1 y a mwezi wa 5 kwa kalenda ya Kihebrania. + diff --git a/num/33/40.md b/num/33/40.md new file mode 100644 index 00000000..f5a780a0 --- /dev/null +++ b/num/33/40.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wakaanani, mfalme wa Aradi + +"Mkanaani mfalme wa Aradi" + +# Aradi + +Hili lilikuwa jinala nji wa Kanaani. + +# walisikia juu ya ujio wa Israeli + +"walisikia kuwa wana wa Israeli walikuwa wanakuja" + diff --git a/num/33/41.md b/num/33/41.md new file mode 100644 index 00000000..93b9b808 --- /dev/null +++ b/num/33/41.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarfa kwa ujumla + +Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri. + diff --git a/num/33/44.md b/num/33/44.md new file mode 100644 index 00000000..0a5e9673 --- /dev/null +++ b/num/33/44.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa uumla + +Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri. + diff --git a/num/33/47.md b/num/33/47.md new file mode 100644 index 00000000..6dbe4591 --- /dev/null +++ b/num/33/47.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Musa anaorodhesha maeneo ambayoaWaisraeli walipita walipotoka Misri. + +# Nyanda + +eneo kubwa lililotambarare + diff --git a/num/33/50.md b/num/33/50.md new file mode 100644 index 00000000..04a232cc --- /dev/null +++ b/num/33/50.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# na kuharibu mahali pao pote plipoinuka + +"kuvunja mahali pao pote palipoinuka" + diff --git a/num/33/53.md b/num/33/53.md new file mode 100644 index 00000000..9ac0094e --- /dev/null +++ b/num/33/53.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa kwa uumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya. + +# Mtairithi ardhi + +Madai ya Waisraeli ya kuwa ile aradhi ni yao ndiko kunakofanya kusema kuwa watairithi ile ardhi. + +# Kura itakapoanguka kwenye kila ukoo, hiyo ardhiitakuwa mali yake + +"Kila ukoo utapata ardhi kulingana na kura itakavyokuwa" + diff --git a/num/33/55.md b/num/33/55.md new file mode 100644 index 00000000..48f48027 --- /dev/null +++ b/num/33/55.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya. + +# kama siindano machoni mwenu na miibakatika mbavu zenu + +kama vile kitu idogo sana kinavyosababisha jicho kuuma ndivyo itakavyokuwa kwa Iwaisraeli kama watamwacha Mkanaani kukaa katika ile nchi. + diff --git a/num/34/01.md b/num/34/01.md new file mode 100644 index 00000000..874d34f0 --- /dev/null +++ b/num/34/01.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# jangwa l a Sini + +Tazama 33:1 + diff --git a/num/34/04.md b/num/34/04.md new file mode 100644 index 00000000..211c58af --- /dev/null +++ b/num/34/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa ile Mipaka ilipo ya nchi ambayo BWANA anawaptia Waisraeli. + diff --git a/num/34/06.md b/num/34/06.md new file mode 100644 index 00000000..211c58af --- /dev/null +++ b/num/34/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa ile Mipaka ilipo ya nchi ambayo BWANA anawaptia Waisraeli. + diff --git a/num/34/07.md b/num/34/07.md new file mode 100644 index 00000000..da982a10 --- /dev/null +++ b/num/34/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa ile Mipaka ilipo ya nchi ambayo BWANA anawaptia Waisraeli. + +# Mlima Hori + +Tazama 20:22 + diff --git a/num/34/10.md b/num/34/10.md new file mode 100644 index 00000000..211c58af --- /dev/null +++ b/num/34/10.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa ile Mipaka ilipo ya nchi ambayo BWANA anawaptia Waisraeli. + diff --git a/num/34/13.md b/num/34/13.md new file mode 100644 index 00000000..2855ac68 --- /dev/null +++ b/num/34/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa makabila tisa na nusu + +Hii inamaanisha kuwsa yale makabila yanayobaki ambayo tataishi ule upande wa magharibi wa Mto Yorodani katika nchi ya Kanaani. Tle makabila ya Reubeni na Gadi na nusu ya Manase yamepata urithi wao upande wa Mashariki wa Mto Yorodani. + +# kufuata jinsi walivyopewa urithi kwa jamaa ya kabila yao + +"Kwa kufuata jinsi BWANA alivyoigawa mali kwa makabila ya mababu + +# Yale makabila mawili na nusu + +"Kabila la Reubeni la Gdi, na nusu ya Manase" + diff --git a/num/34/16.md b/num/34/16.md new file mode 100644 index 00000000..4de92252 --- /dev/null +++ b/num/34/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii ndiyo orodha ya wanaume watakaosaidia kuigawa ardhi kati ya yale makabila + diff --git a/num/34/19.md b/num/34/19.md new file mode 100644 index 00000000..4de92252 --- /dev/null +++ b/num/34/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii ndiyo orodha ya wanaume watakaosaidia kuigawa ardhi kati ya yale makabila + diff --git a/num/34/21.md b/num/34/21.md new file mode 100644 index 00000000..4de92252 --- /dev/null +++ b/num/34/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii ndiyo orodha ya wanaume watakaosaidia kuigawa ardhi kati ya yale makabila + diff --git a/num/34/24.md b/num/34/24.md new file mode 100644 index 00000000..4de92252 --- /dev/null +++ b/num/34/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii ndiyo orodha ya wanaume watakaosaidia kuigawa ardhi kati ya yale makabila + diff --git a/num/34/27.md b/num/34/27.md new file mode 100644 index 00000000..4de92252 --- /dev/null +++ b/num/34/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +Hii ndiyo orodha ya wanaume watakaosaidia kuigawa ardhi kati ya yale makabila + diff --git a/num/35/01.md b/num/35/01.md new file mode 100644 index 00000000..f1ac4965 --- /dev/null +++ b/num/35/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nyanda + +eneo kubwa ambalo ni tambarare + +# wa ardhi yao kwa Walawi + +BWANA hakuwapatia Walawi ardhi yao, kwa hiyo walitakiwa kuishi kwenye miji ambayo ilikuwa ya makabila mengine. + +# eneo la malisho + +eneo la malisho ambalo mifugo kuchungiwa + diff --git a/num/35/03.md b/num/35/03.md new file mode 100644 index 00000000..0431837a --- /dev/null +++ b/num/35/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# dhiraa elfu moja + +"mita 457" + diff --git a/num/35/05.md b/num/35/05.md new file mode 100644 index 00000000..d9aa2c67 --- /dev/null +++ b/num/35/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya. + +# dhiraa elfu mbili + +dhiraa moja ni sawa na sentimita 46 + diff --git a/num/35/06.md b/num/35/06.md new file mode 100644 index 00000000..7ea118c0 --- /dev/null +++ b/num/35/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kama mtu ameua mtu + +Hii inawahusu watu walioua. Lakini bado haijaamuliwa kama waliua kwa makusdi. + +# arobaini na mbili ... arobaaini na nane + +"42 ... 48" + diff --git a/num/35/08.md b/num/35/08.md new file mode 100644 index 00000000..f237ab26 --- /dev/null +++ b/num/35/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa kufanya. + diff --git a/num/35/09.md b/num/35/09.md new file mode 100644 index 00000000..5117baa5 --- /dev/null +++ b/num/35/09.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# pasipo kukusudia + +"kwa bahati mbaya" + diff --git a/num/35/12.md b/num/35/12.md new file mode 100644 index 00000000..0c3c3df7 --- /dev/null +++ b/num/35/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mlipa kisasi + +mtu anayetaka kulipa kisasi kwa kumwua mtuhumiwa + +# ili kwamba mtuhumiwa asije akauawa bila kwanza kusikilizwa na jamii + +"ili kwamba mtu yeyote asije akamwua mtuhumiwa kabla jamii haijamhukumu barazani" + diff --git a/num/35/14.md b/num/35/14.md new file mode 100644 index 00000000..280eb98e --- /dev/null +++ b/num/35/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa ufanya. + diff --git a/num/35/16.md b/num/35/16.md new file mode 100644 index 00000000..7a16c8bf --- /dev/null +++ b/num/35/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa ufanya. + +# kwa hakika huyo anatakiwa kuuawa + +"Lazima mwue" + diff --git a/num/35/19.md b/num/35/19.md new file mode 100644 index 00000000..fec7097a --- /dev/null +++ b/num/35/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mwenye kulipa kisasi cha damu + +"Mtu yule ambaye anamlipizia mwuaji" + +# atamshinda mtu yeyoteyule anayemchukia + +"atamzidi nguvu mtu fulani" au "amemtendea kwa ujeuri mtu fulani" + +# yule mtuhumiwa aliyempiga hakika atauawa + +"mtuhumia lazima auawe" + diff --git a/num/35/22.md b/num/35/22.md new file mode 100644 index 00000000..0d3c4b8d --- /dev/null +++ b/num/35/22.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# bila kukusudia + +"bila kupanga kutokana na chuki hapa awali" + +# bila kumvizia + +"bila kukusudia kujaribu kumwumiza" + diff --git a/num/35/24.md b/num/35/24.md new file mode 100644 index 00000000..926fbeff --- /dev/null +++ b/num/35/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mlipa kisasi + +Tazama 35:19 + +# watu watamwokoa mtuhumiwa + +jamiiitatakiwa kuamua kuwa kile kifo hakikusudiwa. + +# ambaye alipakwa mafuta matakatifu + +ambaye mlimpaka mafuta matakatifu" + diff --git a/num/35/26.md b/num/35/26.md new file mode 100644 index 00000000..c48fff9a --- /dev/null +++ b/num/35/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mlipa kisasi + +Tazama 35:19 + diff --git a/num/35/29.md b/num/35/29.md new file mode 100644 index 00000000..08f62781 --- /dev/null +++ b/num/35/29.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa kwa ujumla + +BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanapaswa ufanya. + +# kwa kizazi chote + +"na uzao wenu utakaoisi baada yenu" + +# mwuaji atauawa + +"mtu fulani lazima amwua mwuaji" + +# kama neno la ushahidi litatolewa + +kulingana n a ushahidi wa mashahidi" + +# Lakiniushahidi wa mtu mmoja unaweza usitoshe kusababisha mtu kuuawa + +"Lakini neno l s mshahidi mmoja tu hautoshi kumfanya mtu auawe" + diff --git a/num/35/31.md b/num/35/31.md new file mode 100644 index 00000000..c7e4830a --- /dev/null +++ b/num/35/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa hakika lazima auawe + +"Lazima mwue" + +# Msimruhusu ... kurudi kwenye mali zake + +M"simruhusu ... kuondoka kwenye ule mji wa ukimbizi nakurudi nyumbani kuishi kwenye mali zake" + +# kwa namna yeyote + +"kwa kupokea fidia" + diff --git a/num/35/33.md b/num/35/33.md new file mode 100644 index 00000000..28661303 --- /dev/null +++ b/num/35/33.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Msiiharibu nchi mnayokaa kwa namna hii, kwa kuwa damu ya mwuaji huharibu nchi. + +Msiifanye nchi ile mnapoishi isikubalike kwangu kwa namna hii, kwa sababu damu ya mwuaji huifanye nchi isikubalike kwangu" + +# kwa namna hii + +kwa kutokutii sheria inayohusiana na mtu anayeua mtu" + +# Hakuna sadaka ya upatanisho inayoweza kufanywa kwa nchi pale damu inapomwagika juu yake isipokuwa kwa damu ya mtu aliyeimwaga. + +"mtu anapokuwa amemwaga damu kwenye nchi, ni adhabu ya kifo cha mwuaji tu ndiyo inayoweza kufanyika kuwa fidia kwenye nchi hiyo" + diff --git a/num/36/01.md b/num/36/01.md new file mode 100644 index 00000000..941dab38 --- /dev/null +++ b/num/36/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Machiri + +Tazama 26:28 + +# BWANA alikuamuru + +"BWANA alikuamuru" + +# Zelofehadi + +Tazama 26:33 + diff --git a/num/36/03.md b/num/36/03.md new file mode 100644 index 00000000..6713baa4 --- /dev/null +++ b/num/36/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# utaondolewa kutoka kwenye mgao wa mababu zao + +"kamwe hatutakuwa kwenye mgao wa Mababu zetu" + +# Utaongezwa + +"Utakuwa mali ya" + +# utaondolewa kwenye mgao uliopangwa kwenye urithi wetu. + +"Kamwe hautakuwa sehemu ya urithi wetu" + +# mwaka wa yubilee ya wana wa Israeli + +Hi ni sherehe inayotokea mara moja kila baada ya miaka hamsini. Katika sherehe hii, ardhi yote iliyouzwa lazima arudishiwe mmiliki wake wa kwanza. + +# mgao wao utaunganishwa + +"mgao wao utakuwa mali ya..." + +# mgao wao utaondolewa kwenye mgao wa mababu zao + +"watachukua mgao wa ardhi wa kabila letu" + diff --git a/num/36/05.md b/num/36/05.md new file mode 100644 index 00000000..e5ffcaba --- /dev/null +++ b/num/36/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa neno l a BWANA + +"kutokana na kile alichosema BWANA" + +# Acha waolewe na wale ambao wao wanafikiri ni vizuri + +"Acha waolewe na wale wanaowataka" + +# lakini lazima waolewe ndani ya kabila ya baba yao + +"lakini ni laziima waolewe na mtu kutoka kwenye kabila la baba yao" + diff --git a/num/36/07.md b/num/36/07.md new file mode 100644 index 00000000..1d75f8b4 --- /dev/null +++ b/num/36/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hakuna mgao + +Hakuna sehemu ya ardhi" + diff --git a/num/36/08.md b/num/36/08.md new file mode 100644 index 00000000..1bf91c37 --- /dev/null +++ b/num/36/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# aliye na mgao kwenye kabila lake + +"aliye na mgao wa ardhi kwenye kabila lake" + +# aweze kuwa na urithi + +ardhi ambayo kila ukoo unaimiliki inaongolewa kama urithi waliopokea. + +# Hakuna mgao utakaobadilika kutoka kabila nyingine + +"hakuna anayeweza kuhamisha umiliki wa mgao wowote wa ardhi kutoka kabila moja hadi nyingine" + diff --git a/num/36/10.md b/num/36/10.md new file mode 100644 index 00000000..72d29b2a --- /dev/null +++ b/num/36/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mahilaha, Tiriza, Hogila, Milika, na Noha + +Tazama 26:33 + +# urithi wao + +"ardhi ile waliyopewa kama urithi" + diff --git a/num/36/13.md b/num/36/13.md new file mode 100644 index 00000000..aec32269 --- /dev/null +++ b/num/36/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nyanda + +eneo kubwa amabalo ni tambarare + diff --git a/oba/01/01.md b/oba/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..807079f0 --- /dev/null +++ b/oba/01/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Bwana + +Hii ni jina la Mungu ambalo aliwafunulia watu wake katika Agano la Kale. Angalia tafsiriKurasa la ukurasa kuhusu Yahweh kuhusu jinsi ya kutafsiri hii. + +# mjumbe ametumwa + +AT 'Mungu alikuwa amemtuma balozi' + +# Inukeni + +"simameni" Ukurasa huu umetumika kuwaambia watu kujiandaa. + +# Tazama + +AT:"tazama" au "sikia" au " jiandae kwa kile ninachotaka kuwaambia" + +# mutadharauliwa sana + +"watu wa mataifa wata waumiza ninyi" + diff --git a/oba/01/03.md b/oba/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..0e64fe09 --- /dev/null +++ b/oba/01/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa za jumla + +Maono ya Obadia juu ya Edomu yanaendelea + +# Kiburi cha moyo wako + +Bwana hutumia sehemu ya mwili wa mtu unaohusishwa na hisia kwa kutaja watu wa Edomu wanahisi kiburi. + +# katika makaburi ya mwamba + +"katika nyufa katika miamba" + +# katika nyumba yako ya juu + +"ndani ya nyumba yako iliyojengwa mahali pa juu" + +# Ni nani atakayenishusha mimi chini? + +Swali hili linaonyesha jinsi Waedomu walivyojivunia na kujisikia salama. AT 'Mimi ni salama kutoka kwa washambuliaji wote.' + +# Ingawa unasimama juu kama tai na ingawa kiota chako huwekwa kati ya nyota, + +Maneno haya yote yanasema Edomu imejengwa juu sana kuliko iwezekanavyo, kusema kuwa ilijengwa mahali pa juu sana. + +# Nitakushusha chini kutoka huko + +Kiburi unahusishwa na urefu na unyenyekevu unahusishwa na kuwa chini. Bwana anasema atauleta Edomu kusema atashusha. AT 'nitakuwezesha' + diff --git a/oba/01/05.md b/oba/01/05.md new file mode 100644 index 00000000..b44cee28 --- /dev/null +++ b/oba/01/05.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa za jumla + +Bwana anaendelea kumpa Obadia ujumbe wake kwa Edomu + +# kama wanyang'anyi walikuja usiku + +"au kama wanyang'anyi walikuja wakati wa usiku" + +# wezi + +watu wanaiba vitu kwa kuwa na vurugu kwa watu wengine + +# jinsi ungekatilwa mbali + +Bwana anaongeza maneno haya katikati ya hukumu nyingine kuonyesha kwamba adhabu ya Edomu ni ya kushangaza. AT, ah, umeharibiwa kabisa. + +# Wasingeweza kuiba vya kuwatosha? + +"wangeweza kuiba vinavyowatosha wenyewe." + +# Jinsi Esau amekwisha kupigwa, na hazina zake zilizofichwa zimewekwa nje + +"Hakika, adui wamemtafuta Esau; wameitafuta hazina yake iliyofichika." + +# tafutwa + +kutafuta vitu ili kuiba + diff --git a/oba/01/07.md b/oba/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..e58cb296 --- /dev/null +++ b/oba/01/07.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa za jumla + +Bwana anaendelea kumpa Obadia ujumbe wake kwa Edomu + +# ushirika wako + +Neno "yako" linamaanisha taifa la Edomu. + +# Neno 'yako' linamaanisha taifa la Edomu. + +"atakutuma nje ya nchi yao." Watu wa Edomu watajaribu kukimbilia katika nchi ya washirika wao, lakini washirika wao hawataruhusu watu wa Edomu kukaa katika nchi yao. + +# Hakuna ufahamu ndani yake + +Edomu hawezi kuelewa + +# Je, si siku hiyo, asema Bwana, "kuharibu ... mlima wa Esau? + +"Siku hiyo, asema Bwana," hakika nitauharibu ... mlima wa Esau. " + +# Watu wako wenye nguvu wataogopa + +"Wapiganaji wako wenye nguvu wataogopa" + +# ili kila mtu apate kukatwa kutoka mlima wa Esau kwa kuchinjwa + +AT "ili kuwa hakuna watu tena katika milima ya Esau kwa sababu maadui waliwaua." + +# mlima wa Esau + +Nchi nyingi za Esau zilikuwa milima, kwa hiyo hii ni njia moja ya kutaja ardhi ya Esau. + diff --git a/oba/01/10.md b/oba/01/10.md new file mode 100644 index 00000000..47e6a5c5 --- /dev/null +++ b/oba/01/10.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa za jumla + +Bwana anaendelea kumpa Obadia ujumbe wake kwa Edomu + +# ndugu yako Yakobo + +AT "jamaa zako ambao ni wazao wa Yakobo." + +# utafunikwa na aibu + +"utakuwa na aibu kabisa" + +# zitakatwa milele + +"haitakuwepo tena." + +# alisimama karibu + +"alitazama na hakufanya chochote kusaidia" + +# wageni + +watu kutoka mataifa mengine + +# mali yake + +Neno 'wake' linamaanisha 'Yakobo,' ambayo ni njia nyingine ya kutaja watu wa Israeli. + +# kupiga kura kwa ajili ya Yerusalemu + +Maneno haya yanamaanisha 'walipiga kura ili kuamua nani atakayepata vitu muhimu ambavyo walichukua kutoka Yerusalemu.' + +# ulikuwa kama mmoja wao + +"ilikuwa ni kama wewe ulikuwa mmoja wa wageni hawa na wageni" + diff --git a/oba/01/12.md b/oba/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..4bdde1bd --- /dev/null +++ b/oba/01/12.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Taarifa za jumla + +Bwana anaendelea kumpa Obadia ujumbe wake kwa Edomu + +# usifurahi juu ya + +"usifurahi kwa sababu ya" au "usifurahi" + +# Ndugu yako + +Hii ilikuwa njia ya kutaja watu wa Israeli kwa sababu Yakobo na Esau walikuwa ndugu. + +# siku + +"Siku ya adhabu" au "wakati wa adhabu." + +# bahati mbaya + +'maafa' au 'shida' + +# katika siku ya uharibifu wao + +"katika siku ambayo maadui wao atawaharibu" + +# siku ya dhiki zao + +"kwa sababu ya wakati wao wanateseka" + +# msiba ... maafa ... uharibifu + +Hizi ni tafsiri zote tofauti za neno sawa. Watafsiri wanapaswa kutumia neno moja kutafsiri yote haya matatu. + +# juu ya mateso yao + +"kwa sababu ya mambo mabaya yanayotokea" + +# usipotee utajiri wao + +"usichukue utajiri wao" 'au" usiiba utajiri wao" + +# njiapanda + +mahali ambapo barabara mbili zinakuja ^ ^ + +# ili kukata wakimbizi wake + +"kuua watu wa Israeli ambao wanajaribu kutoroka" au "kukamata wale waliokuwa wakijaribu kutoroka" (UDB) + +# usiwape juu ya waathirika wake + +"usiwape wale ambao bado wana hai na kuwapa adui zao" + diff --git a/oba/01/15.md b/oba/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..9e70c5bd --- /dev/null +++ b/oba/01/15.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa za jumla + +Bwana anaendelea kumpa Obadia ujumbe wake kwa Edomu + +# Kwa maana siku ya Bwana iko karibu na mataifa yote + +'Hivi karibuni wakati utakuja ambapo Bwana atawaonyesha mataifa yote kuwa yeye ni Bwana.' + +# Kama ulivyofanya, utafanyiwa kwako + +"Nitawafanyia mambo yale uliyowafanyia wengine." + +# matendo yako yatarudi juu ya kichwa chako + +AT "utapata matatizo kwa mambo uliyoyafanya." + +# Kwa vile wewe + +Neno "wewe" kwa watu wa Edomu. + +# kama mlevi + +Manabii huelezea watu ambao Bwana aliadhibu kama kunywa adhabu kutoka kwa Bwana AT 'kama nilivyowaadhibu.' + +# Mlima wangu mtakatifu + +Hii ilikuwa njia ya kutaja Yerusalemu. + +# Mataifa yote yatakunywa daima + +AT "Nitawaadhibu mataifa yote bila kuacha." Bwana aliadhibu Yerusalemu, lakini aliacha kabla ya kuwaangamiza watu wote. Hata hivyo, atawaadhibu mataifa yote mpaka hawako tena. + diff --git a/oba/01/17.md b/oba/01/17.md new file mode 100644 index 00000000..709dd100 --- /dev/null +++ b/oba/01/17.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa za jumla + +Bwana anaendelea kutoa Obadia ujumbe wake + +# kuokoka + +"kukimbia adhabu ya Bwana." Hawa ndio watu ambao bado wana uhai baada ya Bwana kuwaaadhibu. + +# na hiyo + +Neno "hilo" linamaanisha "mlima Sayuni." + +# nyumba ya Yakobo ... Josephu ni moto + +Bwana anafananisha nyumba za Yakobo na Yosefu kwa moto kwa sababu wao watamwangamiza Esau kama moto ambayo haraka na kuchoma kabisa majani. + +# majani + +"'majani" au "mchanga." Vipande vya kavu vya mimea ambazo zimeachwa baada ya nafaka huvunwa. + +# na wao + +Neno "wao" linamaanisha nyumba ya Yakobo na nyumba ya Yosefu + +# watawachoma + +Neno "wao" linamaanisha wana wa Esau, ambao ni taifa la Edomu + +# Hakutakuwa na waathirika kwa nyumba ya Esau + +"Hakuna mtu mmoja wa nyumba ya Esau ataokoka'" + diff --git a/oba/01/19.md b/oba/01/19.md new file mode 100644 index 00000000..d62ce79d --- /dev/null +++ b/oba/01/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Benjamini + +"kabila ya Benyamini' au 'watu wa Benyamini" + diff --git a/oba/01/20.md b/oba/01/20.md new file mode 100644 index 00000000..a3702e84 --- /dev/null +++ b/oba/01/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Wahamiaji wa jeshi hili la watu wa Israeli + +"Wale wa jeshi la watu wa Israeli ambao walikuwa uhamishoni" + +# Jeshi + +Kundi kubwa la watu + +# Zarefati + +Hili ni jina la mji wa Foinike huko pwani ya Mediterranean kati ya Tiro na Sidoni. + +# Sefaradi + +Hii ndiyo jina la mahali ambako eneo halijulikani. + +# waokoaji + +Hii inahusu viongozi mbalimbali wa kijeshi wa Israeli ambao Mungu atatumia kushinda taifa la Edomu + diff --git a/pro/01/01.md b/pro/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..b858b7a5 --- /dev/null +++ b/pro/01/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mstari wa 2-23 ni mashairi + +# kwa kufunza hekima na mafundisho + +"kwa kukufunza jinsi ya kuwa na busara na kukuelekeza namna ya maisha kuishi kwa uadilifu. + +# kwa kufunza maneno ya ujuzi + +"kwa kukusaidia kufahamu mafundisho ya busara" + +# ili kupokea + +"ili tuweze kupokea" + +# ili kupokea mafundisho kwa ajili ya kuishi + +" mpate kufunzwa namna ya kuishi" + diff --git a/pro/01/04.md b/pro/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..8ed54b90 --- /dev/null +++ b/pro/01/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# pia ni kuwapa hekima wajinga + +' pia kuwafunza wale ambao ni wajinga namna ya kuwa na busara" + +# wajinga + +"bila uzoefu, isiyo kamavu/uchanga" + +# kuwapa maarifa na busara vijana + +"na kuwafunza vijana wanachohitaji kufahamu na jinsi ya kutambua jambo zuri la kufanya" + +# busara + +kufahamu kinachopaswa kufanyika katika mazingira husika. + +# Watu wenye busara wasikie na kuongeza elimu yao + +"Wale wenye busara wazingatie na kujifunza zaidi" + +# watu wenye ufahamu wapate mwongozo + +"watu wenye ufahamu wajifunze kwa methali hizi jinsi ya kufanya maamuzi mazuri" + +# vitendawili + +misemo ambayo mtu anaweza kuifahamu baada tu ya kutafakari juu yake. + diff --git a/pro/01/07.md b/pro/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..7ae8e04a --- /dev/null +++ b/pro/01/07.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +baba anamfundisha mtoto wake. + +# hofu ya Yahwe ni mwanzo wa maarifa + +"Lazima umwogope Yahwe kwanza ili uanze kujua busara" au "lazima kumheshimu na kuwa na staha kwa Yahwe kwanza ili kujifunza busara" + +# Yahwe + +Hili ni jina lake Mungu ambalo alilifunua kwa watu wake katika Agano la Kale. + +# wapumbavu hudharau hekima na mafundisho + +"wale wasiothamini busara na maelekezo ni wapumbavu" + +# wala usijiweke kando + +Hii ni nahau kumaanisha " usipuuzie" au " usikatae" + +# vitakuwa kilemba cha neema kwa ajili ya kichwa chako na mikufu yenye kuning'inia shingoni mwako + +"yatakufanya uwe na busara kama kuvaa kilemba kwenye kichwa chako au mikufu kuzunguka shingo yako inavyokupendeza" + +# kilemba + +duara iliyofumwa kwa majani au maua + +# mikufu + +mapambo yanayovaliwa shingoni + diff --git a/pro/01/10.md b/pro/01/10.md new file mode 100644 index 00000000..9279ca54 --- /dev/null +++ b/pro/01/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wakijaribu kukushawisha kwenye dhambi zao + +" jaribu kukuvuta kwenye dhambi wanazotenda" + +# kataa kuwafuata + +usiwasikilize + +# kama watasema + +mfano wa ushawishi wa wenye dhambi + +# tuvizie + +kujificha na kusubiri muda muafaka + diff --git a/pro/01/12.md b/pro/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..a581b749 --- /dev/null +++ b/pro/01/12.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mstari 12-14 ni mwisho wa kauli ya kihisia ya waovu ambao wanajaribu kuwashawishi wengine kufanya dhambi. + +# Tuwameze wangali hai, kama kuzimu inavyowachukua wale wenye afya + +wenye dhambi wanaongea juu ya kuwaua watu wasio na hatia kama kuzimu ambavyo hupeleka chini kwa wafu watu wenye afya. + +# Tuwameze..., kama kuzimu inavyowachukua wale wenye afya + +kaburi linafananishwa kama mtu ambaye huwameza wanadamu na kuwapeleka chini katika sehemu ya wafu. + +# kama kuzimu inavyowachukua wale wenye afya + +waovu wanatarajia kuwaangamiza mateka wao kwa jinsi ile ile ambayo kuzimu(sehemu ya wafu) inavyowachukua hata watu wenye afya. + +# tuwafanye kama wale ambao huanguka kwenye shimo + +"shimo" ni neno jingine lenye maana ya kuzimu au sehemu ambayo wafu huishi. + +# Tupa kura yako pamoja nasi + +Hii ni nahau "jiunge nasi" + +# Sisi kwa pamoja tutakuwa na mkoba mmoja + +"Mkoba" hapa unawakilisha kila kitu wanachoiba. "Sisi tutagawana kwa usawa kila kitu ambacho tumeiba" + +# mkoba + +begi kwa ajili ya kubebea fadha + diff --git a/pro/01/15.md b/pro/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..1cb6fab6 --- /dev/null +++ b/pro/01/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# usiende katika njia ile pamoja nao; usiruhusu mguu wako kugusa ambapo wao hupita + +kuepuka kuwa kwenye njia ya wenye dhambi" usiende pamoja na wenye dhambi au kutende matendo yao" + +# miguu yao hukimbilia maovu + +"wapo tayari kutenda mambo maovu" + +# miguu yao hukimbilia + +"miguu" inawakilisha mtu mwenyewe. + +# kumwaga damu + +"damu" ni uzima wa mtu. Kumwaga damu ni kumuua mtu. + +# Kwa maana haifai kutandaza ... akiona + +Hekima ya ndege ambao hujinasua na mitego wanayoiona inalinganishwa upumbavu wa wenye dhambi ambao hunaswa kwenye mitego ambayo hujitengenezea wenyewe. + diff --git a/pro/01/18.md b/pro/01/18.md new file mode 100644 index 00000000..3a63bd55 --- /dev/null +++ b/pro/01/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Watu hawa huvizia ili kujiangamiza wenyewe- huweka mtego kwa ajili yao wenyewe + +watu hujiangamiza wenyewe kwa mambo ya dhambi... ni kama hutega mtego kwa kujiangamiza wenyewe. + +# Hivyo ndivyo zilivyo njia za kila mmoja + +"hivi ndivyo inavyotokea kwa kila mmoja" + +# mapato ya udhalimu huondoa maisha ya wale ambao huyashikilia + +"mapato ya udhalimu yatawaharibu wale ambao hushushikamana nayo" + diff --git a/pro/01/20.md b/pro/01/20.md new file mode 100644 index 00000000..9b0586e5 --- /dev/null +++ b/pro/01/20.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Katika 1:20-1:33 Hekima inaongelewa mithili ya mwanamke anayeongea na watu. + +# Hekima analia kwa sauti + +"Hekima ni kama mwanamke ambaye hulia kwa sauti kuu" + +# hupaza sauti yake + +Hii ni nahau "Huongea kwa sauti kuu" + +# katika viwanja + +sehemu ambapo huweza kuwa na watu wengi. "kwenye soko" au "katika viunga vya mji" + +# kwenye kelele kuu za mitaa + +sehemu ambapo mitaa yenye shughuli nyingi imeunganika au juu ya ukuta ambapo watu walioko kwenye kelele za mitaa wanaweza kuona na kusikia hekima ikiongea. + +# Hata lini, ninyi watu wajinga, mtapenda kuwa wajinga? + +Hekima anatumia swali hili kuwakemea wasio na hekima. "Ninyi ambao ni wajinga lazima mkome kupenda kuwa wajinga" + +# wajinga + +"bila uzoefu, isiyo komavu/uchanga" + +# Hata lini, ninyi wenye dhihaka, mtapenda dhihaka, na hata lini, ninyi wapumbavu, mtachukia maarifa? + +Hekima anatumia swali hili kuwakema wenye dhihaka na wapumbavu. " Ninyi ambao hudhihaki lazima muache kupenda dhihaki, na ninyi wapumbavu lazima muache kuchukia maarifa" + diff --git a/pro/01/23.md b/pro/01/23.md new file mode 100644 index 00000000..0bb406f5 --- /dev/null +++ b/pro/01/23.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hekima anaendelea kuongea. + +# Sikiliza + +"kusikiliza kwa umakini" + +# Mimi nitamimina mawazo yangu kwenu + +Hekima anawaambia watu kila kitu anachofikiri juu yao, mawazo yake yanaongelewa mithili ya kimiminika ambacho anaweza kuwamiminia. + +# Mimi nitafanya maneno yangu yajulikane kwenu + +" Nitawaambia yale ninayoyafikiria" + +# Mimi nimeunyosha mkono wangu + +Hii ni nahau maana yake " Nimewaalikeni kuja kwangu" + diff --git a/pro/01/26.md b/pro/01/26.md new file mode 100644 index 00000000..14c62987 --- /dev/null +++ b/pro/01/26.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hekima anaendelea kuongea, akieleza ambacho hutokea kwa wale ambao humdharau. + +# Mimi nitacheka + +kwa hiyo hekima ya mwanamke inawacheka kwa sababu wameipuuza. + +# katika msiba wenu + +" mambo mabaya yanapotokea kwenu" + +# wakati hofu itakapo kuja + +"wakati mtakapoogopa" + +# wakati hofu ya kuogopesha itakapokuja kama dhoruba... kama kisulisuli ... kuja juu yenu + +mambo ya kutisha yatakayotekea kwa watu yanalinganishwa kama dhoruba itayowakumba na kusababisha hofu na maumivu. + +# kisulisuli + +dhoruba ya upepo mkali ambao husababisha uharibifu + diff --git a/pro/01/28.md b/pro/01/28.md new file mode 100644 index 00000000..fc8fea0b --- /dev/null +++ b/pro/01/28.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sentensi Unganishi + +Hekima anaendelea kuongea + +# Kisha wataniita + +" Kisha wale ambao hunipuuza watanililia kwa msaada" + +# Kwa sababu wamechukia maarifa + +Maarifa ni kujifunza."Kwa sababu wamekataa kujifunza ili wawe na busara" + +# hawakuchagua hofu ya Yahwe + +" hawakumwogopa Yahwe" au "hawakumheshimu na kumtukuza Yahwe" + +# Hawakufuata maagizo yangu + +"hawakuweza kukubali maagizo yangu" au " walikataa ushauri wangu" + diff --git a/pro/01/31.md b/pro/01/31.md new file mode 100644 index 00000000..8bf4eb63 --- /dev/null +++ b/pro/01/31.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla + +mstari wa 33 unahitimisha kauli ya hekima ambayo ilianzia katika 1:20. + +# watakila matunda ya njia zao + +"watapata madhara yanayotokana na matendo yao" + +# kwa matunda ya njama zao watashibishwa + +"watateseka kwa mipango yao miovu" + +# wajinga + +"bila uzoefu, isiyo kamavu/uchanga" + +# hufa wakati wanaporudi nyuma + +"hufa kwa kuwa wanakataa kujifunza" + +# kutojali kwa wapumbavu kutawaangamiza + +" wapumavu watakufa kwa sababu hawajali wanachopaswa kufanya" + +# kutojali + +kukosa hamu juu ya jambo fulani + diff --git a/pro/02/01.md b/pro/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..58a2d311 --- /dev/null +++ b/pro/02/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Baba anamfundisha mtoto wake kwa kutumia shairi. + +# kama utapokea maneno yangu + +Hapa "maneno" yanawakilisha mafundisho " kama utasikiliza ambacho ninakufundisha" + +# kama utapokea + +Huu ni mfululizo wa kauli zenye mashariti zinazofika tamati katika 2:5 + +# zihifadhi amri zangu ndani yako + +" zihesabu amri zangu kuwa za thamani kama hazina" + +# masikio yako yawe na usikivu kwa ajili ya hekima na kuelekeza moyo wako kwenye ufahamu + +"kama masikio yako yatakuwa masikivu kwa ajili ya hekima na kuelekeza moy wako kwenye ufahamu" + +# masikio yako yawe na usikivu + +"Jilazimishe kusikiliza kwa umakini wewe mwenyewe" + +# Hekima + +"sikiliza mabo ya busara ambayo ninakufundisha" + +# elekeza moyo wako kwenye ufahamu + +"jitahidi sana kufahamu maana ya busara" + diff --git a/pro/02/03.md b/pro/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..d1b5a508 --- /dev/null +++ b/pro/02/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kama utalia kwa ajili ya ufahamu na kupaza sauti yako kwa ajili yake + +'Kama utaweka umuhimu kumwomba Mungu na kumsihi kwa ajili ya ufahamu" + +# Kama utalia ... kama ukitafuta + +Hizi ni kauli zenye amri, zingatia 2:1 na 1:1-2 + +# paza sauti yako + +Hii ni nahau, maana yake kuongea kwa sauti kuu au kupiga kelele. + +# kama utautafuta kama ambavyo ungetafuta fedha na kutafuta ufahamu kama ambayo ungetafuta hazini iliyositirika + +kufanya bidii ili kujua maana ya busara. + +# kama utautafuata... kutafuta ufahamu + +Kuwa na jitihada kuijua busara ni kama vile mtu ambavyo hutafuta vitu amabavyo ni vya lazima kwake. + +# utapata maarifa ya Mungu + +kufanikiwa kumjua Mungu kunapewa picha ya kitu ambacho mtu hupata baada ya kutafuata. + diff --git a/pro/02/06.md b/pro/02/06.md new file mode 100644 index 00000000..3ca63494 --- /dev/null +++ b/pro/02/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kutoka katika kinywa huja maarifa na ufahamu + +Hapa "kinywa" kinawakilisha Yahwe mwenyewe au Jambo ambalo anasema."Kutoka kwa Yahwe huja maarifa na ufahamu" au "Yahwe anatuambia sisi kile tunapaswa kukijua na kukifahamu" + +# Huhifadhi sauti ya hekima kwa ajili ya wale ambao humpendeza + +Yahwe hufundisha kweli kwa wale ambao humpendeza. + +# kamili + +yenye kutegemewa + +# yeye ni ngao kwa wale + +Kwa kuwa Yahwe anauwezo wa kuwalinda watu wake anatajwa kama ngao. + +# ambao hutembea katika uadilifu + +wanaoishi kama wanavyopaswa + +# huzilinda njia za mwenye haki + +Mungu huwalinda wale ambao hutenda haki + +# atailinda njia yao + +huwalinda wale ambao... + diff --git a/pro/02/09.md b/pro/02/09.md new file mode 100644 index 00000000..6acd0c45 --- /dev/null +++ b/pro/02/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# haki + +adili + +# kila njia njema + +kuishi katika njia ambao humpendeza Mungu. + +# hekima itaigia kwenye moyo wako + +Hapa "moyo" unamaanisha utu wa ndani wa mwanadamu. "utajifunza namna ya kuwa na busara ya kweli" + +# yatakupendeza nafsi yako + +"yatakupa furaha" + diff --git a/pro/02/11.md b/pro/02/11.md new file mode 100644 index 00000000..4c0d4e7a --- /dev/null +++ b/pro/02/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Busara Itakulinda, ufahamu utakuongoza + +"kwa sababu unafikiri kwa kutafakari na kuifahamu kweli na ubaya utakuwa salama" + +# Busara + +hali ya kuwa makini katika matendo na maongezi + +# atakulinda + +kuongoza, kukinga au kumjali mtu au kitu + +# Vitakuokoa kutoka katika njia ya uovu + +utajua kuishi mbali na yale maovu + +# kutoka katika njia ya uovu + +uovu unaongelewa kama kwamba ni njia ya kupita mtu + +# ambao huziacha njia za haki na kutembea katika njia za giza + +mtu anapoacha kutenda haki lakini huamua kutenda uovu ni kama mtu anayeacha kutembea kwenye njia sahihi na kuchagua kutembea kwenye njia ya giza. + +# ambao huacha + +Hapa neno "ambao" linahusu watu wenye kuongea mambo ya kupotosha. + diff --git a/pro/02/14.md b/pro/02/14.md new file mode 100644 index 00000000..71e8191a --- /dev/null +++ b/pro/02/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hufurahia + +hawa ni watu waliotajwa katika 2:11 + +# hufurahia katika upotevu wa uovu + +wanafurahi kutenda mambo ambayo wanajua ni maovu + +# Hufuata njia za udanganyifu + +huwadanganya watu wengine + +# na hutumia udanganyifu huficha mapito yao + +na hudanganga ili mtu yeyote isifahamu jambo walilofanya + diff --git a/pro/02/16.md b/pro/02/16.md new file mode 100644 index 00000000..4e439fed --- /dev/null +++ b/pro/02/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Baba anaendelea kumfundisha mtoto wake jinsi ambavyo hekima itamlinda. + +# Hekima na busara vitakuokoa + +"kama utakuwa na hekima na busara, utajiokoa wewe mwenyewe" + +# mwenza wa ujana wake + +mume wake, ambaye aliyemwoa tangu ujanani + +# agano la Mungu wake + +agano la ndoa ambalo amelifanya na mume wake katika uwepo wa Mungu. + diff --git a/pro/02/18.md b/pro/02/18.md new file mode 100644 index 00000000..5b3290c8 --- /dev/null +++ b/pro/02/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# nyumba yake inaelekea mauti + +kwenda kwenye nyumba yake husanabisha mauti au njia ya kwenda nyumbani kwake ni njia ya kuelekea katika mauti. + +# mapito yake yatakuongoza + +njia za kwenda kwenye nyumba yake zitakuongoza au namna ya anavyoishi itakuongoza. + +# kwa wale waliopo kwenye kaburi + +roho za watu wafu, ni picha ya sehemu ya wafu + +# huingia kwake + +kwenda kwenye nyumba yake na kulala pamoja naye, kama ambayo mtu anavyo lala na malaya. + +# hatazifikia njia za uzima + +hawataishi maisha ya furaha tena au hawataweza kurudi katika nchi ya watu wenye uhai + diff --git a/pro/02/20.md b/pro/02/20.md new file mode 100644 index 00000000..94a5b6ab --- /dev/null +++ b/pro/02/20.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwa hiyo + +mwandishi anasema faida za kupata ufahamu na busara + +# utatembea katika njia... fuata njia + +utaishi katika njia... kufuata mfano + +# waovu wataondolewa kutoka katika nchi + +"Yahwe atawaondoa waovu kutoka katika nchi" + +# waovu... wasioamini + +"wale ambao ni waovu ... wale wasiokuwa na imani" au "watu waovu ... watu wasioamini" + +# wasioamini wataondolewa katika nchi + +ambao hawaamini atawaondoa katika nchi + diff --git a/pro/03/01.md b/pro/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..c073cc1c --- /dev/null +++ b/pro/03/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mwandishi anaongea kama baba akimfundisha mtoto wake kwa kutumia shairi. + +# usizisahau amri zangu + +"usiyasahau niyokuagiza" + +# yatunze mafundisho yangu ndani ya moyo wako + +"Nilichokufundisha ukikumbuke daima" + +# wingi wa siku na miaka ya uzima + +utaishi maisha marefu + diff --git a/pro/03/03.md b/pro/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..ab6a5728 --- /dev/null +++ b/pro/03/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# usiruhu agano la uadilifu na uaminifu viondoke kwako + +Hakikisha unatekeleza agano la uadilifu na uaminifu daima. + +# uyafunge pamoja kwenye shingo yako + +uoneshe kwa furaha kama mtu ambovyo huvaa mikufu shingoni + +# yaandika kwenye kibao cha moyo wako + +daima uyakumbuke kana kwamba umeyaandika kwenye kibao cha kudumu + +# katika upeo wa Mungu na wanadamu + +katika hukumu ya Mungu na wanadamu + diff --git a/pro/03/05.md b/pro/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..f8d712ec --- /dev/null +++ b/pro/03/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kwa moyo wako wote + +" mambo yako yote" + +# usitegemee ufahamu wako mwenyewe + +usiweke tumaini katika ufahamu wako wenyewe + +# katika njia zako zote + +"katika kila jambo ulifanyalo" + +# yeye atazinyosha njia zako + +atakupa mafanikia + diff --git a/pro/03/07.md b/pro/03/07.md new file mode 100644 index 00000000..a5cba709 --- /dev/null +++ b/pro/03/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# usiw wenye busara katika macho yako mwenyewe + +"usiwe wenye busara katika mawazo yako mwenyewe" + +# geuka mbali kutoka katika uovu + +"usitende uovu" + +# itakuwa uponyaji katika mwilini mwako + +"kama utafanya hivi, itakuwa uponyaji kwa ajili ya mwili wako" + diff --git a/pro/03/09.md b/pro/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..8fd7a84a --- /dev/null +++ b/pro/03/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ulivyozalisha + +"kuvuna" + +# ghala zako zitajazwa + +"ghala zako zitajaa" + +# ghala + +majengo au chumba ambapo chakila huhifadhiwa + +# mashikizo yako yatapasuka + +vifaa vyako vya kutunzia vitajaa kupita kawaida, kama vinakaribia kupasuka. + diff --git a/pro/03/11.md b/pro/03/11.md new file mode 100644 index 00000000..1ab3d629 --- /dev/null +++ b/pro/03/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mwandishi anaandika kama baba akimfundisha mwanawe. + +# mwana ambaye humpendeza + +baba huonesha upendo kwa mwanae + diff --git a/pro/03/13.md b/pro/03/13.md new file mode 100644 index 00000000..787c6931 --- /dev/null +++ b/pro/03/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mtu ambaye hujipatia hekima + +mtu anayepata hekima + +# mbadala ambao fedha itakupa + +faida ya biashara au uwekezaji + diff --git a/pro/03/15.md b/pro/03/15.md new file mode 100644 index 00000000..8063fd3f --- /dev/null +++ b/pro/03/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mwandishi anaongea juu y hekima kama vile anaongea na mwanamke. + +# thamani + +"a gharama" au "ghari" + +# ni mwenye wingi wa siku katika mkono wake wa kulia; katika mkono wake wa kushoto ni utajiri na heshima + +hekima humpa mtu siku nyingi na utajiri na heshima + +# wingi wa siku + +Hii nahau maana yake"maisha marefu" + diff --git a/pro/03/17.md b/pro/03/17.md new file mode 100644 index 00000000..9ae448b1 --- /dev/null +++ b/pro/03/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Njia zake ni njia za upole na mapito yake yote ni amani + +Hekima inatakutendea kwa upole na kukupa amani daima + +# Yeye ni mti wa uzima kwao ambao humshikilia + +Hekima ni kama mti ambao huhifadhi uzima kwao ambao hula matunda yake + +# mti wa uzima + +mti unaota uzima au mti ambao matunda yake hudumisha uzima + +# kwao ambao humshikilia + +wao ambao hushikilia kwenye matunda yake + diff --git a/pro/03/19.md b/pro/03/19.md new file mode 100644 index 00000000..4ccca670 --- /dev/null +++ b/pro/03/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yahwe aliumba dunia... aliziimarisha mbingu + +Yahwe aliumba dunia.. aliziunda mbingu + +# vina hufunguka wazi + +alisababisha mito kutiririka au alisababisha kuwepo kwa bahari + +# umande + +maji ambayo hutokea ardhini wakati wa usiku + diff --git a/pro/03/21.md b/pro/03/21.md new file mode 100644 index 00000000..921e7ba3 --- /dev/null +++ b/pro/03/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# usiyapoteze kwenye upeo + +usiyasahau + +# Yatakuwa uzima nafsini mwako + +yatakuwa uzima kwa ajili yako + +# urembo wa kuvutia wa kuvaa shingoni mwako + +kuonekana unavutia kama mtu ambavyo hujiremba mwenyewe kwa mikufu ya shingoni + +# urembo wa kuvutia + +urembo ambao huonyesha kibali cha Yahwe + diff --git a/pro/03/23.md b/pro/03/23.md new file mode 100644 index 00000000..fa4fe8bb --- /dev/null +++ b/pro/03/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# utatembea kwenye njia yako kwa usalama + +maisha yako utaishi kwa usalama + +# mguu wako hautajikwaa + +hutafanya mambo yenye makosa + +# wakati wa kulala + +wakati unaposhuka kulala + +# usingizi wako utakuwa mtamu + +usingizi wako utakuwa mzuri au utalala kwa amani + diff --git a/pro/03/25.md b/pro/03/25.md new file mode 100644 index 00000000..b6a7c8dd --- /dev/null +++ b/pro/03/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# uharibidu wa waovu, wakati unapokuja + +"Wakati waovu wanaposababisha uharibifu" + +# Yahwe atakuwa upande wako + +Yahwe atakusaidia na kukutetea + +# ataulinda mguu wako usinaswe katika mtego + +atakulinda na wale ambao wanataka kukudhuru + diff --git a/pro/03/27.md b/pro/03/27.md new file mode 100644 index 00000000..78eb0a2f --- /dev/null +++ b/pro/03/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# usizuie mazuri + +"usizuie vitu vizuri" au "usizuie matendo mema" + +# wakati yapo katika uwezo wako kuyatenda + +" wakati unao uwezo wa kusaidia" + +# unapokuwa na pesa + +mtu anapokuwa na uwezo wa kusaidia leo, bali akamwambia jirani yake rudi tena keshao. "unapokuwa na pesa kwa wakati huu" + diff --git a/pro/03/29.md b/pro/03/29.md new file mode 100644 index 00000000..8061c6d7 --- /dev/null +++ b/pro/03/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# jirani + +kwa kawaida ni mtu anayeishi jirani, au ambaye anayeishi katika jumuiya au kundi la watu wenye kufahamiana. + +# anayekuamini, mwaminifu + +mtu mkweli na kutumainiwa + diff --git a/pro/03/31.md b/pro/03/31.md new file mode 100644 index 00000000..ff215b88 --- /dev/null +++ b/pro/03/31.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ... wala usicahague moja ya njia zake + +"usichague kuiga njia yake yoyote" + +# mtu mjanja ni chukizo kwa Yahwe + +"Yahwe humchukia mtu mjanja" + +# mtu mjanja + +mtu wenye dharau au mdanganyifu + +# mtu mwaminifu humpeleka katika ujasiri + +"Yahwe ni rafiki wa karibu kwa waaminifu" + diff --git a/pro/03/33.md b/pro/03/33.md new file mode 100644 index 00000000..9b8fd8f1 --- /dev/null +++ b/pro/03/33.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Laan ya Yahwe ipo juu ya mtu mwovu + +"Yahwe ameilaani familia ya mtu mwovu" + +# Huibariki maskani ya watu wema + +"huzibariki familia za watu wema" + +# huwapa fadhila watu wanyenyekevu + +"huonyesha fadhila kwa watu wanyenyekevu" au "ni mkarimu kwa watu wanyenyekevu" + diff --git a/pro/03/35.md b/pro/03/35.md new file mode 100644 index 00000000..6dd5f300 --- /dev/null +++ b/pro/03/35.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# watu wenye busara hurithi heshima + +"Watu wenye busara watapata heshima ya sifa njema" + +# wapumbavu watainuliwa kwa aibu yao + +"Yahwe atamfanya kila mtu aone aibu ya wapumbavu" + diff --git a/pro/04/01.md b/pro/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..52bb48e5 --- /dev/null +++ b/pro/04/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mwandishi ananena kama baba anayewafundisha watoto wake. + +# Sikiliza + +"kusikiliza kwa umakini" + +# utajua maana ya ufahamu + +"utajua jinsi ya kufahamu" au "utapata ufahamu" + +# Mimi ninakupa maagizo mazuri + +"Ninachokufundisha mimi ni kizuri" + diff --git a/pro/04/03.md b/pro/04/03.md new file mode 100644 index 00000000..7cdb5e96 --- /dev/null +++ b/pro/04/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mimi nilipokuwa mwana kwa baba yangu + +"Mimi nilipokuwa bado mvulana nikijifunza kwa baba yangu" + +# mpole na mtoto pekee + +"mtoto mpole wa pekee" + +# moyo wako uyazingatie maneno yangu + +"Ukumbuke daima yale ambayo ninakufundisha" + diff --git a/pro/04/05.md b/pro/04/05.md new file mode 100644 index 00000000..29d0afdc --- /dev/null +++ b/pro/04/05.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Baba anaendelea kuwafundisha watoto wake mambo ambayo yeye alifundishwa na baba yake + +# Jipatie hekima + +"fanya bidii kupata hekima kwa ajili yako mwenyewe" au "pata hekima" + +# usiyasahau + +"yakumbuke" + +# usiyakatae + +"kubali" + +# maneno ya kinwa changu + +"yale ninayonena" + +# usimwache hekima na naye atakulinda; mpende na yeye atakuweka salama + +Mwandishi ananena juu ya hekima kama mwanamke ambaye humlinda mtu ambaye ni mwaminifu. + +# usimwache hekima + +" ishikilie kwa nguvu kabisa hekima"au " uwe mwaminifu kwa hekima" + +# mpende + +" mpende hekima" + diff --git a/pro/04/07.md b/pro/04/07.md new file mode 100644 index 00000000..64176cf5 --- /dev/null +++ b/pro/04/07.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Baba anamalizia kuwafundisha watoto wake yale ambayo alifunzwa na baba yake. + +# tumia mapata yako yote kujipatia ufahamu + +"thamini ufahamu zaidi kuliko yote unayoyamiliki" + +# mtunze hekima na yeye atakutukuza + +"kama utamlea hekima, atakupa heshima kubwa" + +# mtunze + +kujihisi au kuonyesha upendo mkuu kwamtu au kitu + +# atakuheshimu endapo utamkumbatia + +"kama utapenda sana hekima, hekima itasababisha watu wakuheshimu" + +# ataweka kilemba cha heshima juu ya kichwa chako + +"Hekima itakuwa kama kilemba juu ya kichwa chako ambacho huonesha heshima kuu" + +# Kilemba + +duara iliyofumwa kwa majani au maua + +# atakupatia taji zuri + +" hekima ni kama taji zuri juu ya kichwa chako" + diff --git a/pro/04/10.md b/pro/04/10.md new file mode 100644 index 00000000..61b40b9a --- /dev/null +++ b/pro/04/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# na uyasikilize maneno yangu + +"sikiliza kwa kuzingatia ninachokufundisha" + +# utakuwa na miaka mingi ya maisha yako + +"utaishi miaka mingi" + +# Nianakulekeza katika njia ya hekima; Mimi ninakuongoza kwenye njia nyoofu + +"niakufundisha jinsi ya kuishi kwa busara; ninafafanua njia njema ya kuishi" + +# unapotembea, hapana mtu atakayesimama katika njia yako na kama ukikimbia, hutajikwaa + +"unapopanga kitu, utafanikiwa kukitekeleza" + diff --git a/pro/04/13.md b/pro/04/13.md new file mode 100644 index 00000000..6873e98c --- /dev/null +++ b/pro/04/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# shika maagizo, usiyaache yaondoke + +"endelea kutii yale niyokufundisha na usiyasahau" + +# maana ni uzima wako + +"maana yatautunza uzima wako" + +# usiifuate njia ya waovu na usienende kwenye njia ya wale watendao maovu + +"usifanye yale wanayofanya watu waovu na usijiunge katika matendo ya watu watendao ubaya" + +# Jiepushe nayo + +"iepuke njia ya waovu" + diff --git a/pro/04/16.md b/pro/04/16.md new file mode 100644 index 00000000..90ac9bed --- /dev/null +++ b/pro/04/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# hawezi kulala hadi watende ubaya + +watu waovu hutamani kutenda matendo mabaya + +# wameporwa usingizi wao + +"hawawezi kulala" + +# hadi wamwangushe mtu + +"mpaka wadhuru mtu" + +# wanakula mkate wa uovu na kunywa mvinyo wa vurugu + +"wanakula mkate ambao wanaupata kwa kutenda mambo maovu na kunywa mvinyo ambao wanaupata kwa njia ya vurugu" + diff --git a/pro/04/18.md b/pro/04/18.md new file mode 100644 index 00000000..158d4a58 --- /dev/null +++ b/pro/04/18.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# njia ya watu wenye haki ... njia ya waovu + +"mwenendo wa watu wenye haki ...mwenendo wa waovu" + +# njia ya watu wenye haki ni kama nuru ya awali ambayo huzidi kung'ara + +"watu wenye haki hutembea kwenye njia yao kwa salama kwa kuwa jua la asubuhi huangaza juu yake na wanga hung'aa zaidi + +# nuru ya awali + +Hii ni mapambazuko au mawio + +# hadi mchana mkamilifu + +"mpaka jua ling'are kwa wangavu zaidi" au "hadi mchana haswa" + +# njia ya waovu ni kama giza + +"watu waovu hutembea kwenye hatari maana njia yao haina mwanga kuwawezesha kuona" + +# hawajua ambapo hujikwaa + +"hawajua kwa nini hukumbwa na madhara na bahati mbaya" + diff --git a/pro/04/20.md b/pro/04/20.md new file mode 100644 index 00000000..e3c6fa16 --- /dev/null +++ b/pro/04/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# sikiliza + +"kusikiliza kwa umakini" + +# tega sikio lako kwenye kauli zangu + +"sikiliza kwa usikivu kwa mambo amabyo ninakuambia" + +# usiache ziondoke kutoka machoni pako + +"usiache kuzitafakari " + +# uzihifadhi moyoni mwako + +"uzikumbuke daima" + diff --git a/pro/04/22.md b/pro/04/22.md new file mode 100644 index 00000000..03d3b9b9 --- /dev/null +++ b/pro/04/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# maneno yangu ni uzima + +"maneno yangu yanaleta uzima" + +# kwa wale wanaozipata + +"kwa wale wanaozifahamu na kuzitenda" + +# afya katika mwili wao wote + +"maneno yangu yataleta afya katika mwili wote kwa wale wanaoyapata" + +# utunze moyo wako salama na kuulinda + +"tunza akili yako salama na kuyalinda mawazo yako" + +# kwa bidii yote + +"kwa uthabiti na nguvu" + +# kutoka kwenye moyo wako hububujika chemchemi za uzima + +"kila kitu unachosema huja kutoka katika mawazo yako" au "mawazo yako hubainisha mwenendo wa maisha yako" + diff --git a/pro/04/24.md b/pro/04/24.md new file mode 100644 index 00000000..4acc71ce --- /dev/null +++ b/pro/04/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# weka mbali nawe maongezi ya ukaidi na weka mbali mazungumzo ya ufisadi + +"usiongope na kusema kwa udanyanyifu" + +# macho yako yatazame mbele na ukaza mtazamo mbele sawasawa + +"utazame mbele daima na ukaze mtazamo wako mbele moja kwa moja" + diff --git a/pro/04/26.md b/pro/04/26.md new file mode 100644 index 00000000..5e62bccc --- /dev/null +++ b/pro/04/26.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# sawazisha njia kwa ajili ya mguu wako + +"Tayarisha vizuri yale unayotaka kuyafanya" + +# sawazisha njia + +"njia laini au "njia tulivu" + +# kisha njia zako zote zitakuwa salama + +"kisha kila kitu unachofanya kitakuwa sawa" + +# usigeuke upande wa kulia au wa kushoto + +"tembea wima kwenda mbele wala usiiache njia iliyo sawa" + +# ondoa mguu wako kwenye maovu + +"kaa mbali na maovu" au "ondoka kwenye maovu" + diff --git a/pro/05/01.md b/pro/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..b4864bc8 --- /dev/null +++ b/pro/05/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mwandishi ananena kama baba anayewafundisha watoto wake. + +# tega masikio yako + +"sikiliza kwa makini" + +# busara + +angalia 1:4 + +# midomo yako iyalinde maarifa + +"utaongea ambacho ni ukweli tu" + diff --git a/pro/05/03.md b/pro/05/03.md new file mode 100644 index 00000000..4abf71fe --- /dev/null +++ b/pro/05/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# midomo ya malaya hutona asali + +"maneno ya malaya ni matamu, kana kwamba hutona asali" au "busu la malaya ni tamu, kana kwamba midomo yake hutona asali" + +# kinywa chake ni laini kuliko mafuta + +"kauli yake inashawishi na laini kuliko mafuta ya mizeituni" au "busu lake ni laini kuliko mafuta ya mizeituni" + +# lakini mwisho ni mchungu kuliko pakanga + +"lakini mwishoni ni mchungu kama radha ya pakanga na atasababisha madhara" + +# pakanga + +mmea ambao unaradha ya uchungu + +# hukata kama upanga wenye makali + +"humjeruhi mtu, kama unavyojeruhi upanga mkali" + diff --git a/pro/05/05.md b/pro/05/05.md new file mode 100644 index 00000000..3c53bdde --- /dev/null +++ b/pro/05/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# miguu yake huelekea chini kwenye mauti + +"miguu yake" hapa anaongelewa mtu malaya. "Anatembea katika njia ambayo inaeleke kwenye mauti" au "mwenendo wake huelekea kwenye mauti" + +# hatua zake huelekea kwenye njia ya kuzimu + +"hutembea katika njia ya kuzimu"au " tabia yake humpeleka kwenye njia ya kuzimu" + +# yeye haifikirii njia ya uzima + +"hajali kuhusu mwenendo wa kumwongoza katika uzima" + +# hatua za mguu wake hutanga tanga + +"hutembea katika njia ovu" au "hutanga tanga kana kwamba amepotea" + diff --git a/pro/05/07.md b/pro/05/07.md new file mode 100644 index 00000000..76be295d --- /dev/null +++ b/pro/05/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sasa + +Hapa walimu anaondoka katika hali na kuonya juu ya umalaya na kuanza kutoa ushauri. + +# nisikilize... usiache kusikiliza + +sikiliza + +# usiache kusikiliza + +"usikome kusikiliza" + +# maneno ya kinywa changu + +"maneno yangu" + +# njia yako iweke mbali naye + +"kaa mbali naye" + +# usiukaribie mlango wa nyumba yake + +"usiende karibu na mlango wa nyumba yake" au " hata usisogee karibu na nyumba yake" + diff --git a/pro/05/09.md b/pro/05/09.md new file mode 100644 index 00000000..6fca32d3 --- /dev/null +++ b/pro/05/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# katika njia hiyo + +inahusu njia aliyoizungumzia hapo mwanzo + +# hutatoa heshima yako kwa wengine + +"isipoteze heshima yako nzuri miongoni mwa watu wengine" au "usipoteze utajiri wako kuwapa watu wengine" + +# au miaka ya uzima wako kwa mtu mkatili + +"au kumpati mtu makatili uzima wako" au "kusababisha mtu mkatili akuue ungali bado kijana" + +# mtu mkatili + +pengine huyu ni mume wa mke malaya, ambayo atamshughulikia kwa ukatili mtu anayelala na mke wake + +# wageni hawatasherekea kwa utajiri wako + +"wageni wasikuchukulie utajiri wako wote" + +# kazi yako uliyofanya isiende katika nyumba ya wageni + +"vitu ulivyopata visimalizike kwa kuishia kwenye famila za wageni" + diff --git a/pro/05/11.md b/pro/05/11.md new file mode 100644 index 00000000..b17362ca --- /dev/null +++ b/pro/05/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# nyama yako na mwili wako vikateketea + +"mwili wako ukapotelea mbali" au "ukapotea" + +# vikateketea + +"kuchoka kimwili" au "kuwa dhaifu na afya mbaya" + +# Mimi nilichukia mafundisho ... moyo wangu ulidharau kusahihishwa + +huyu mtu alichukia alichoambiwa na walimu wake + +# jinsi gani nilichukia mafundisho + +"nilichukia sana wakati mtu aliponielekeza" + +# moyo wangu ulidharau masahihisho + +"Niliwadharau watu waliponionya" + diff --git a/pro/05/13.md b/pro/05/13.md new file mode 100644 index 00000000..8b334e6d --- /dev/null +++ b/pro/05/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kutega masikio yangu kwa walimu wangu + +'"kuwasikiliza wale walionielekeza" + +# katikati ya kusanyiko, miongoni mwa watu waliokusanyika + +jumuiya ilikusanyika ama kumwabudu Mungu au kuhukumu dhidi ya makosa yake. + diff --git a/pro/05/15.md b/pro/05/15.md new file mode 100644 index 00000000..e8c668a9 --- /dev/null +++ b/pro/05/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# maji kutoka katika birika lako mwenyewe ... maji yanayotiririka kutoka kwenye kisima chako mwenyewe + +Mwandishi anazunguza juu ya mume kulala na mke wake pekee kana kwamba ni kunywa maji kutoka kwenye kisima au birika lake mwenyewe. + +# maji yanayotiririka + +"maji mapya" au "maji ya kutiririka" + +# yapasa chemchemi zako ... miferji yako ya maji itiririke katika njia kuu? + +"Chemchemi yako haipaswi ...mifereji yako ya majiji haipaswi kutiririka katika njia kuu" + +# njia kuu + +maeneo ya wazi katika jiji au mjini ambapo miji miwili au zaidi inapokutana. Sehemu ya kawaida watu kukutana na kuongea. + +# Yawe + +hii nahusu chemchemi na mifereji ya maji + +# wala si kwa ajili ya wageni pamoja nawe + +"usichangie na wageni" + diff --git a/pro/05/18.md b/pro/05/18.md new file mode 100644 index 00000000..c6893f43 --- /dev/null +++ b/pro/05/18.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Chemchemi yako na ibarikiwe + +"uweze kufurahia daima pamoja na mke wako" + +# mke wa ujana wako + +"mwanamke ambaye ulimwoa wakati ukiwa kijana" au "mke wako kijana" + +# Ni ayala apendaye na kulungu mwenye madaha + +"Ni mwanamke mzuri na mwenye kependeza kama ayala au kulungu" + +# mwenye madaha + +"mzuri wakati apotembea" + +# maziwa yake yakutosheleze + +"maziwa yake yakujaze furaha kama maziwa ya mama yanavyowatosheleza watoto wake kwa chakula" + +# daima akuleweshe kwa upendo wake + +'upendo wake na ukutawale kama pombe inavyomtawala mlevi" + +# kwa upendo wake + +kwa upendo wake kwako + diff --git a/pro/05/20.md b/pro/05/20.md new file mode 100644 index 00000000..0370e616 --- /dev/null +++ b/pro/05/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mwanangu, kwa nini wewe, uwe mateka wa malaya; kwa nini kuyakumbatia maziwa ya mwanamke asiye mwadilifu? + +"Mwanangu, usitekwe na malaya!Usikumbatie maziwa mwanamke asiye mwadilifu!" + +# uwe mateka wa malaya + +"kuruhusu malaya kukuteka wewe" + +# huona kila jambo... huzitazama njia zote + +Mungu anafahamu kila jambo analolifanya kila mtu + +# njia zote anazochukia + +"kila sehemu anapokwenda" au "kila kitu anachofanya" + diff --git a/pro/05/22.md b/pro/05/22.md new file mode 100644 index 00000000..c311be4b --- /dev/null +++ b/pro/05/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mtu mwovu atatekwa kwa makosa yake mwenyewe + +"mtu mwovu hataweza kuepuka madhara ya makosa yake" + +# nyuzi za dhambi yake zitamshika kwa nguvu + +"kwa sababu ya dhambi zake, atakuwa kama mnyama aliyenaswa katika mtego" + +# upumabavu wake mkuu utampoteza + +"upumbavu wake mkuu utamwongoza upotevuni" + +# upumabavu wake + +"kwa sababu ya upumabavu wake" + diff --git a/pro/06/01.md b/pro/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..d90f12d3 --- /dev/null +++ b/pro/06/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# weka pesa zako + +tunza sehemu ya pesa zako + +# mdhamana kwa ajili ya mkopo wa jirani yako + +maana: jirani yako anaweza kuja kwako kwa ajili ya kukopa au jirani yako anataka mkopo kwa mtu mwingine, lakini unaahidi kumlipa mkopesahaji kama jirani yako hataweza. + +# jirani + +maana nyingine ni "rafiki" + +# umeweka mtego kwa ajili yako mwenyewe + +"umetengeneza mtego ambao utakunasa wewe mwenyewe" + +# maneno ya kinwa chako + +"ulichosema" au "ulichoahidi kufanya" + diff --git a/pro/06/03.md b/pro/06/03.md new file mode 100644 index 00000000..f28ca0df --- /dev/null +++ b/pro/06/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# jiokoe mwenyewe + +jilinde mwenyewe" au "jisaidie mwenye kutoka katika matatizo haya" + +# umeangukia kwenye mkono wa jirani yako + +"jirani yako anaweza kuleta madhara kwako kama akitaka" au "jirani yako ananguvu juu yako" + +# jirani + +"rafiki" + diff --git a/pro/06/04.md b/pro/06/04.md new file mode 100644 index 00000000..5443360c --- /dev/null +++ b/pro/06/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Macho yako usiyape usingizi na kope kope za macho yako kusinzia + +"kaa macho, na kufanya unachoweza" + +# macho yako... kope zako + +" mwenyewe" + +# jiokowe mwenyewe kama swala kutoka kwenye mkono wa mwindaji + +"Epa kutoka kwa jirani yako kama swala ambaye hukimbia kutoka kwa mwindaji" + +# swali + +Huyu ni mnyama ambaye hula majani na mara nyingi watu humwinda kwa ajili ya nyama. Mnyama huyu ni maarufu kwa kwa kukimbia mbbali upesi + +# kutoka kwenye mkono wa mwindaji + +"kutoka kwenye udhibiti wa mwindaji" + +# kama ndege kutoka kwenye mkono wa mwindaji wa ndege + +"epa kama ndege ambaye huruka kwenda mbali kutoka kwa mwindaji wa ndege" + diff --git a/pro/06/06.md b/pro/06/06.md new file mode 100644 index 00000000..8d33e013 --- /dev/null +++ b/pro/06/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mtazame...zitafakari + +"jifunze ...fikiri juu yake" au "cunguza kwa umakini... tafakari" + +# chungu + +ni mdudu mdogo ambaye huishi ardhini au kichuguu anachojenga mwenyewe. Huishi katika makundi ya maelfu, na wanaweza kunyanyua viti vikubwa kuliko wenyewe. + +# zitafakari njia zake + +"tafakari jinsi chungu anavyotenda" + +# kamanda, ofisa, au mtawala + +Haya ni maneno yenye maana moja kusisitiza kuwa hakuna mtu mwenye mamlaka rasmi juu ya chungu . + +# huandaa chakula chake wakati wa jua... wakati wa mavuno huhifadhi chkula chake + +Hapa inaonesha ni jinsi gani chungu huwajibika + +# wakati wa jua + +ni majira ambapo baadhi ya miti huzaa matunda + diff --git a/pro/06/09.md b/pro/06/09.md new file mode 100644 index 00000000..79c24cf4 --- /dev/null +++ b/pro/06/09.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Je utalala hata lini ... lini utainuka kutoka kwenye usingizi? + +"Amka, wewe mtu mzembe! Inuka kwenye kitanda chako" + +# Usingizi kidogo ... mikono kujipumzisha + +Haya ni aina ya mambo amabayo watu wazembe husema + +# Lala kidogo, sinzia kidogo + +"nitaendelea kulala zaidi" + +# kukunja mikono kwa kujipumzisha + +"nitakunja mikono yangu kwa utaulivu na kupumzika kidogo" + +# na umasikini wako utakuja + +"ukiendelea kuwa mzembe, umasikini wako utakuja" au " Wakati umelala, umasikini utakuja" + +# umasikini wako utakuja kama mnyang'anyi + +ghafula utakuwa masikini, kana kwamba mnyang'anyi amekuja na kukuibia kila kitu ulichonacho" + +# na uhitaji wako kama askari mwenye silaha + +"na utakuwa mhitaji kana kwamba askari mwenye silaha amekuibia vitu vyako vyote" + +# askari mwenye silaha + +"askari ambaye ameshikilia silaha" au "mtu mwenye silaha" + diff --git a/pro/06/12.md b/pro/06/12.md new file mode 100644 index 00000000..590146c5 --- /dev/null +++ b/pro/06/12.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mtu asyefaa...mtu mwovu + +inasisitiza juu ya ubaya wa huyu mtu "mtu asiyekuwa na thamani-mtu mwovu" + +# huishi kwa udanganyifu wa kauli zake + +"husema uongo daima" + +# hukonyeza macho yake, akifanya viashiria kwa miguu yake na kusonta kwa vidole vyake + +Hii ni vile mtu mwovu huwasiliana kwa siri ili kudanganya watu wengine. + +# hukonyeza macho yake + +mtu akikonyeza hufumba jicho moja kwa muda mfupi kama kiashiria cha siri kwa mtu mwingine. + diff --git a/pro/06/14.md b/pro/06/14.md new file mode 100644 index 00000000..5c49808d --- /dev/null +++ b/pro/06/14.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hutunga uovu + +"huandaa ubaya" au "Hujitayarisha kufanya matendo mabaya" + +# kuchochea mafarakano daima + +"Siku zote husababisha kutoelewana" au " hutafuta mafarakano daima na kuyaendeleza" + +# Kwa hiyo + +"kwa sababu hiyo" + +# msiba wake utamkuta kwa ghafula + +"msiba wake utamkamata" + +# msiba wake + +hii inahusu msiba utakaotokea ambao mhusika ameusababisha. + +# ghafla; kwa muda mchache + +kwa haraka sana au "bila kutazamia" + diff --git a/pro/06/16.md b/pro/06/16.md new file mode 100644 index 00000000..c2cd0157 --- /dev/null +++ b/pro/06/16.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# vitu sita ambavyo Yahwe huchukia, saba ambavyo + +Maana yake: Yahwe huchukia vitu vingi na wala si mara moja. + +# ambavyo vinamchukiza + +"amabavyo husababisha ajisikie karaha" + diff --git a/pro/06/17.md b/pro/06/17.md new file mode 100644 index 00000000..1f18285c --- /dev/null +++ b/pro/06/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Sentensi Unganishi + +Hii ni orodha ya vitu ambayo Yahwe huchukia kama vilivyotajwa katika 6:16 + +# macho...ulimi... mikono... moyo...miguu + +Sehemu zote hizi za mwili zinamwelezea mwandamu kamili "watu" + +# humwaga damu ya + +"kuua" au "uuaji wa mtu kwa kusudi" + +# njama mbaya + +"mipango miovu" + +# anong'onaye uongo + +"kusema uongo siku zote" + +# mafarakano + +agalia 6:14 + +# mtu apandaye mafarakano + +"mtu amabaye huondoa maelewano" + diff --git a/pro/06/20.md b/pro/06/20.md new file mode 100644 index 00000000..e687cbea --- /dev/null +++ b/pro/06/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# tii amri ya baba yako... usiyaache mafundisho ya mama yako + +Maana yake baba na mama wote wanahusika katika kufundiha na mchakato wa kufunza + +# usiayache mafundisho ya mama yako + +"tii mafundisho ya mama yako" + +# yafunge katika moyo wako; yakaze kwenye shingo yako + +Hizi ni amri na maelekezo kama zimeandikwa unaweza kuziweka katika mwili wako au kuvaa mwilini mwako ili kujikumbusha mwenyewe. + diff --git a/pro/06/22.md b/pro/06/22.md new file mode 100644 index 00000000..2e227f6f --- /dev/null +++ b/pro/06/22.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wakati unapotembea... unapolala... unapoamka + +Hii inasisitiza kuwa masomo yanathamani muda wote + +# yatakuongoza... yatakulinda...yatakufundisha + +mwandishi anarudia rudia kuonesha kuwa masomo haya yanathamani kwa vitu vya namna yoyote. + +# taa..mwanga...njia ya uzima + +masomo yanafanya maisha kuwa mazuri na rahisi." yana faida kama taa...yanasidia kama mwanga katika giza..ni muhimu kuyafuta kama njia ya kuishi" + +# njia ya uzima + +"njia inayoenda kwenye uzima" au "njia ya kuishi ambayo Mungu ameiruhusu" + diff --git a/pro/06/24.md b/pro/06/24.md new file mode 100644 index 00000000..023b15a6 --- /dev/null +++ b/pro/06/24.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# itakutunza dhidi ya + +"inakuokoa kutoka" au "inakulinda kutoka" + +# mwanamke mwovu...mwanamke mwovu + +"malaya" pia angali 5:3 + +# mwovu + +"mbaya kimaadili" + +# uzuri wake + +"kile kilicho kizuri kwake" + +# akunase + +"kuwa na hali ya kudhibiti" + +# kope za macho yake + +"macho yake mazuri" + diff --git a/pro/06/26.md b/pro/06/26.md new file mode 100644 index 00000000..fa7fc525 --- /dev/null +++ b/pro/06/26.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# bei ya kipande cha mkate + +Hapa inaongelea gharama ya vitu siyo gharama ya kiroho au gharama ya maadili "kidogo" + +# atagharimu uhai wako + +"mke wa mtu mwingine ataangamiza maisha yako kwa sababu kila wakati anahitaji zaidi" au "mume wa mke atakuwinda na atakuua" + +# Mtu anaweza kubeba moto kwenye kifua chake bila kuunguza nguo zake? + +Jibu ni hapana "Kila mume ambaye hubeba moto kwenye kifua chake ataunguza nguo zake." + +# bila kuunguza + +"bila kuteketeza" au "bila kuharibu" + +# nguo zake + +nguo zinawakilisha mtu mwenyewe. + diff --git a/pro/06/28.md b/pro/06/28.md new file mode 100644 index 00000000..e866c08b --- /dev/null +++ b/pro/06/28.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mtu anaweza kutembea juu ya makaa ya moto bila kuungua miguu yake" + +jibu ni hapana. "kila mtu anayetembea juu ya makaa ya moto miguu yake itaungua" + +# kutembea juu ya makaa ya moto + +Hii inamaanisha kufanya uzinzi + +# kutembea + +ni kwenda mwendo wa polepole kwa umbali mrefu ukitembea + +# kuungua + +chomeka + diff --git a/pro/06/30.md b/pro/06/30.md new file mode 100644 index 00000000..6a6a558f --- /dev/null +++ b/pro/06/30.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kumdharau mwizi + +" hawamtazami mwizi kwa dharau" au " hawafikiri mwizi ni mwovu" + +# kama atakamatwa + +"mtu akimkamata" + +# katika nyumba yake + +"ambayo anamiliki" + diff --git a/pro/06/32.md b/pro/06/32.md new file mode 100644 index 00000000..9af77fbe --- /dev/null +++ b/pro/06/32.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mtu + +"mwanaume" + +# ambacho anasitahili + +'adhabu sitahiki kwa kile alichafanya" + +# aibu yake + +" atakuwa na kumbukumbu za tendo lake la aibu" + diff --git a/pro/06/34.md b/pro/06/34.md new file mode 100644 index 00000000..6a529abc --- /dev/null +++ b/pro/06/34.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# hasira + +"udhika sana" + +# hataonesha huruma + +mtu ambaye mke wake amezini na mwanaume wingine " atakuumiza kadri anavyoweza" + +# wakati wa kulipiza kisasi + +"kipindi analipza kisasi" + +# kulipiza kisasi + +ni mtu kusababisha maumivu kwa mtu mwingine ambaye alitangulia kumwumiza hapo mwazo + +# fidia + +"malipo" + +# hataweza kununuliwa + +"hutaweza kumlipa pesa za kutosha kuibadili akili yake" + +# ingawa + +"hata kama" + +# utampa + +"kutoa kitu" au "kuadidi kutoa" + diff --git a/pro/07/01.md b/pro/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..e8232717 --- /dev/null +++ b/pro/07/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Tunza maneno yangu + +"Tii maneno yangu" + +# uzihifadhi amri zangu ndani yako mwenyewe + +"zikariri amri zangu" + +# tunza maagizo yangu + +"tii maagizo yangu" + +# kama mboni ya jicho lako + +Mboni ya jicho ipo ndani ya jicho ambayo watu huilinda sana wakati kitu kinaporukia usoni. "Mboni" inawakilisha kitu ambacho mtu hukithamini na kukilinda zaidi. "kama mali yako yenye thamani zaidi" + +# uzifunge katika vidole vyako + +1) mwandishi alitaka mwanae achore baadhi ya amri za Mungu kwenye pete na kuivaa au 1) mwandishi alitaka mwanae akumbuke daima amri za Mungu, kana kwamba ni petefulani ambayo aliivaa daima + +# ziandike kwenye kibao cha moyo wako + +"zikumbuke vizuri amri zangu kana kwamba umeziandika kwenye jiwe" + diff --git a/pro/07/04.md b/pro/07/04.md new file mode 100644 index 00000000..066f7b33 --- /dev/null +++ b/pro/07/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mwabie hekima, "Wewe ni dada yangu" + +"Thamini hekima kama ambavyo ungempenda dada yako" + +# mwite ufahamu jamaa yako + +"ufahamu uchukulie kama ambavyo ungemtendea jamaa yako" + +# jamaa + +"ndugu" au "mmoja wa wanafamilia" + +# mwanamke malaya + +Maana yake ni mwanamke yeyote ambaye mwanaume hajamwoa. " Mwanamke ambaye hupaswi kufanya naye chochote" + +# Mwanamke mwovu + +Hii inamaanisha ni kwa mwanamke yoyote ambaye hajulikani kwa mwanaume + +# kwa maneno yake laini + +"ambaye huongea vitu vya kufurahisha, lakini anataka kukudanyanya" + diff --git a/pro/07/06.md b/pro/07/06.md new file mode 100644 index 00000000..652da96d --- /dev/null +++ b/pro/07/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# shubaka + +ni wavu wa dirishani + +# Wajinga + +"bila uzoefu, isiyo komavu/uchanga" + diff --git a/pro/07/08.md b/pro/07/08.md new file mode 100644 index 00000000..462f903f --- /dev/null +++ b/pro/07/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kona yake + +"kona ambapo mwanamke mgeni alikuwa amesimama" + +# Kona + +sehemu ambayo barabara mbili zinakutana + +# wakati wa jioni + +muda ambapo giza linaanza kuingi na karibu kuwa giza + diff --git a/pro/07/10.md b/pro/07/10.md new file mode 100644 index 00000000..1f6e4ad6 --- /dev/null +++ b/pro/07/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mwenye moyo wa uongo + +Hapa "moyo" unamaanisha makusudi au mipango " mwanamke anakusudia kumdanganya mtu" + +# Alikuwa mwenye kelele na ukaidi + +"aliongea kwa sauti sana na kutenda kwa namna aliyopenda" + +# miguu yake haikutulia nyumbani + +"hakukaa nyumbani" + +# alisubiri kuvizia + +"alisubiri kumnasa mtu"au "alisubiri ili ampate mtu ambaye ataweza kumshawishi kutenda dhambi" + diff --git a/pro/07/13.md b/pro/07/13.md new file mode 100644 index 00000000..c23c28ee --- /dev/null +++ b/pro/07/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# yeye + +Yeye inawakilisha mwanamke ambaye alitajwa katika 7:10 + +# akamshika + +"alimshikilia kwa nguvu" + +# kwa uso na haya + +"kwa uso usiokuwa na hisia za aibu" + +# Mimi nimelipa nadhiri zangu + +"nimetimiza dhabihu zangu nilizoahidi kwa Mungu" + +# kuutafuta uso wako + +"kukutafuta" au "kukutafuta mahali ulipo" + diff --git a/pro/07/16.md b/pro/07/16.md new file mode 100644 index 00000000..6f9c5f9b --- /dev/null +++ b/pro/07/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nimekinyunyiza kitanda changu kwa + +"nimetandaza juu ya kitanda changu" + +# udi + +aina ya magamba kutoka kwenye mti ambayo hunukia vizuri + +# mdalasini + +hiki ni kiungo kinachotengenezwa kutokana na magamba ya mti ambayo hunukia vizuri na radha nzuri + +# tushibe kwa upendo + +"tufanye mambo ya upendo kwa kila mmoja kadri tunavyotaka" + diff --git a/pro/07/19.md b/pro/07/19.md new file mode 100644 index 00000000..7bfd6a17 --- /dev/null +++ b/pro/07/19.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# hayupo nyumbani kwake + +"hayupo nyumbani" + +# Mwezi mpevu + +nyakati ambapo mwezi utoa mwanga sana + +# akamgeuza + +"mwanamke akamshawishi mwanaume" + +# yeye...yake + +mwanake aliyeolewa anayetaka kulala na mwanaume kijana + +# midomo laini + +"kufurahisha kwa maneno ya kudanganya" + +# alimpotosha + +"alimshawishi kufanya jambo baya" au alimshawishi kufanya dhambi pamoja naye" + diff --git a/pro/07/22.md b/pro/07/22.md new file mode 100644 index 00000000..2057e5b8 --- /dev/null +++ b/pro/07/22.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# ghafla akamfuata + +"kwa haraka aliamua kwenda pamoja naye" + +# kama maksai akienda...kwenye mtego + +ujinga na pasipo kutarajia kijana namfuata malaya ni kama vile wanyama ambavyo huwa hawajui hatari ambayo huwa inawakabili. + +# machinjo + +sehemu ya kuulia mnyama ili kula nyama yake + +# ayala + +angalia 5:18 + +# Hadi mshale umtoboe hadi kwenye ini lake + +"mpaka mwindaji ampige kwenye sehemu zake nyeti zaidi" + +# ini + +kiungo hiki kinawakilisha sehemu muhimu sana ya mwili wa ayala + +# ingekuwa gharama ya uhai wake + +" angeweza kufa haraka" + diff --git a/pro/07/24.md b/pro/07/24.md new file mode 100644 index 00000000..04c1692e --- /dev/null +++ b/pro/07/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sasa + +Hii ni kuleta usikivu kwa wana wa msemaji anapohitimisha funzo hili + +# Moyo wako usizigeukie njia zake + +"moyo wako ukae mbali kutoka kwenye njia za mwanamke malaya" au " Usiruhusu moyo wako ufanye mambo ambayo mwanamke malaya hufanya" + +# moyo wako + +Hapa moyo unawakilisha matamanio ya mtu + +# usipotee katika njia zake + +"usiiache njia sahihi ili kuzifuata njia zake" + diff --git a/pro/07/26.md b/pro/07/26.md new file mode 100644 index 00000000..93da35ce --- /dev/null +++ b/pro/07/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# amesababisha watu wengi kuanguka hali wamejeruhika + +"amesababisha watu wengi kufa" + +# nyumba yake ipo kwenye njia za kwenda kuzimu ... hutelemka chini + +Hapa "njia" inawakilisha aina ya tabia ambayo hufuatwa na watu wapumbavu. Kuzimu ilikuwa jina la ulimwengu wa wafu + +# kwenye njia za kwenda kuzimu...chini kwenye vyumba vyenye giza la mauti + +maana yake wahanga wa mwanamke wataangamia + +# vyumba vyenye giza la mauti + +Hapa inaonesha picha ambapo wafu wamelala katika vyumba mbalimbali huko kuzimu + diff --git a/pro/08/01.md b/pro/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..2593e5c2 --- /dev/null +++ b/pro/08/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hekima ananena kwa watu katika mistari 4-36 + +# Maelezo ya Jumla + +Mistari mingi katika sura ya 8 ni mlinganisho au usambamba + +# Je Hekima haiti? + +Hekima anaita + +# Je Hekima haiti? + +Maana yake 1)Je hekima siyo kama mwanamke ambaye huita? 2) Je mwanamke aitwaye Hekima haiiti? + +# Je Ufahamu hapazi sauti yake? + +Hapa neno "Ufahamu" ni sawa na neno "Hekima" + +# malango kwenye njia ya kuingia mjini + +Nyakati za kale, miji mara nyingi ilikuwa na kuta za nje pamoja malango. + +# anaita + +Hekima imevikwa sifa ya utu kama mwanamke(angalia Tashhisi) + diff --git a/pro/08/04.md b/pro/08/04.md new file mode 100644 index 00000000..c517e4b3 --- /dev/null +++ b/pro/08/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hekima ananena kwa watu katika mistari 4-36 + +# sauti yangu ni kwa ajili ya wana wa wanadamu + +Hapa "sauti" inawakilisha maneno yote yaliyoongewa "maneno yangu ni kwa ajili ya wana wa wanadamu" + +# wana wa wanadamu + +"watu wote" + +# wajinga + +"bila uzoefu, isiyo komavu/uchanga" + +# kujifunza hekima + +"kujifunza namna watu wenye busara hutenda" au "kujifunza maana ya kuwa mwenye busara" + +# lazima mpate akili ya ufahamu + +"lazima muanze kufahamu vitu kwa akili zenu" + diff --git a/pro/08/06.md b/pro/08/06.md new file mode 100644 index 00000000..bfffe7ac --- /dev/null +++ b/pro/08/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# wakati midomo yangu inapofunguka + +Midomo inamaanisha kinywa cha mtu anayeongea " wakati nipofumbua mdomo wangu kuongea" + +# adili + +"sawa" au "haki" + +# kinywa changu hunena + +" mimi ninasema" + +# kilicho cha kweli + +"kile ambacho watu wanapaswa kuamini" + +# uovu ni chukizo katika midomo yangu + +"uovu ni chukizo kwangu" au "kusema vitu viovu ingekuwa ni chukizo kwangu" + +# uovu + +inamaanisha maneno maovu + diff --git a/pro/08/08.md b/pro/08/08.md new file mode 100644 index 00000000..f2492f69 --- /dev/null +++ b/pro/08/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# maneno ya kinywa changu + +"mambo ninayofundisha" + +# lililogeuzwa + +"uongo" + +# yamenyooka + +"kweli na safi " + +# maneno yangu yapo wima kwa wenye kujipatia maarifa + +"wale wanaojua maana ya haki na uovu hufahamu kuwa ninachafundisha ni sahihi" + +# wima + +"kweli" + diff --git a/pro/08/10.md b/pro/08/10.md new file mode 100644 index 00000000..bb98fa93 --- /dev/null +++ b/pro/08/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# jipatie mafundisho yangu kuliko fedha + +"fanya juhudi zaidi kufahamu mafundisho yangu kuliko kujipatia fedha" + +# Maana Hekima ni bora zaidi kuliko malijani; hakuna hazina inayolingana naye. + +"Maana mimi Hekima ni bora kuliko malijani, hakuna hazina inayolingana na mimi" + diff --git a/pro/08/12.md b/pro/08/12.md new file mode 100644 index 00000000..1cf2cae8 --- /dev/null +++ b/pro/08/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mimi, Hekima, huishi kwa Busara + +Busara imeongelewa hapa kama mtu + +# Busara + +"kuamua vema" + +# Mimi humiliki maarifa na busara + +"Mimi ni mwenye maarifa na busara" au " Ninajua vitu vingi, na mimi ni mwangalifu" + +# busara + +kuwa mwangalifu kuhusu kile unachosema na kufanya; kuwa na tahadhari usisababishe maumivu au uharibifu kwa wengine + +# kauli za udanganyifu + +"maongezi mabaya" + +# udanganyifu + +iliyogeuka kutoka kwenye haki + diff --git a/pro/08/14.md b/pro/08/14.md new file mode 100644 index 00000000..0bcfdfe4 --- /dev/null +++ b/pro/08/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ushauri mzuri + +mapendekezo ya busara + +# ushauri + +mausia ambayo hutolew ili kumsaidia mtu + +# sahihi + +nzuri, ya kutegemewa + +# Mimi ni utambuzi + +"Mimi ni utambuzi" + +# wakuu + +moja ya wanachama wa familia muhimu katika taifa + diff --git a/pro/08/17.md b/pro/08/17.md new file mode 100644 index 00000000..2f0e143f --- /dev/null +++ b/pro/08/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# nawapenda + +Huu ni upendo wa asili kati ya marafiki au ndugu + +# bidii + +kuedelea kwa nguvu na uangalifu + +# Kwangu kuna utajiri na heshima + +"Mimi ninautajiri na heshima" + +# utajiri unaodumu na haki + +"kwa hiyo, nitatoa utajiri wa kudumu na haki kwa wale wanaonitafuta" + +# haki + +"uwezo wa kuishi aktika njia iliyo safi" + diff --git a/pro/08/19.md b/pro/08/19.md new file mode 100644 index 00000000..cc4e2e57 --- /dev/null +++ b/pro/08/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Matunda yangu + +ambacho hekima huzalisha au husababisha + +# faida yangu + +manufaa au faida ambayo hekima husababisha + +# Natembea katika njia ya haki + +"Ninaishi kwa haki" au " Ninatenda ambacho ni haki" + +# katikati ya njia za uadilifu + +"Ninafanya mambo makalifu" au "Ninatenda ambacho ni haki" + +# hazina + +ghala kwa ajili ya vitu vya thamani + diff --git a/pro/08/22.md b/pro/08/22.md new file mode 100644 index 00000000..141f9da2 --- /dev/null +++ b/pro/08/22.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwanza katika matendo yake + +"nilikuwa wa kwanza miongoni mwa vitu alivyoviumba" + +# nyakati za kale + +"muda mrefu uliopita" + +# nyakati + +muda mrefu + +# Niliumbwa + +"Mungu aliniumba" + +# toka mwazo wa dunia + +"tokea wakati ambapo Mungu aliiumba dunia" + diff --git a/pro/08/24.md b/pro/08/24.md new file mode 100644 index 00000000..f752f01b --- /dev/null +++ b/pro/08/24.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hekima anaendelea kuongea + +# Kabla milima kuwepo + +"Kabla Mungu hajaifanya misingi ya milima na kuiweka mahali pake" + diff --git a/pro/08/26.md b/pro/08/26.md new file mode 100644 index 00000000..4995d4ac --- /dev/null +++ b/pro/08/26.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nilizaliwa ...nilikuwepo + +Hekima anaongea kuhusu yeye mwenyewe + +# nilizaliwa + +"nilikuwa hai" + +# thibitisha + +" umbwa" au "fanywa" + +# alipochora duara juu ya sura ya kina + +"wakati alipoweka alama juu uso wa bahari umbali ambao mtu anaweza kuona katika bahari kwa kila upande" + +# kina + +"bahari" + diff --git a/pro/08/28.md b/pro/08/28.md new file mode 100644 index 00000000..037f7ab3 --- /dev/null +++ b/pro/08/28.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hekima anaendela kunena + +# imarisha + +kuweka katika maisha ya kudumu + +# wakati chemchemi katika kina zilipoimarishwa + +"wakati Mungu alipoimarisha chemchemi katika kina" + +# chemchemi katika kina + +Waebrani wa zamani waliamini bahari ilipata maji yake kutoka katika chemchemi kwenye kitako cha bahari + +# alipoumba mpaka kwa ajili ya bahari + +"alipoumba ufukwe kwa ajili ya bahari" + +# pale alipoweka mpaka kwa ajili ya misingi ya nchi kavu + +Neno la kiebrania "dunia" pia linamaanisha "nchi" + +# "pale alipoweka mpaka kwa ajili ya misingi ya nchi kavu" + +"wakati Mungu alipoweka mpaka kwa ajili ya misingi ya dunia" + diff --git a/pro/08/30.md b/pro/08/30.md new file mode 100644 index 00000000..01df1156 --- /dev/null +++ b/pro/08/30.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nilikuwa ubavuni wake + +Hekima anasema alikuwa karibu na Yahwe, kumaanisha kuwa alikuwa msaidizi wake katika kuumba dunia. + +# fundistadi mjuzi + +Huyu ni mtu amabye aliyefundishwa kwa miaka kutengeneza vitu vizuri kwa matumizi kama samani au nyumba + +# furaha + +chanzo cha raha au sababu ya kufurahi + +# siku kwa siku + +"muda wote" + +# dunia yake yote + +"ulimwengu wote alioumba" au " aliumba kila kitu" + +# wana wa wanadamu + +"watu aliowaleta kuishi ulimwenguni" + diff --git a/pro/08/32.md b/pro/08/32.md new file mode 100644 index 00000000..ead87486 --- /dev/null +++ b/pro/08/32.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sasa + +Hii ni kuleta usikivu kwa wana wa msemaji anapohitimisha funzo hili + +# Nisikilizeni + +Hekima anaendelea kuongea juu yake mwenyewe + +# wale wanaozifuta njia zangu + +"wale wanaofanya kile ninachofundisha" + +# usiziache + +"hakikisha unazifuata" + +# ataangalia kila siku kwenye milango yangu, akisubiri pembeni ya nguzo za milango yangu + +"mtu mwenye busara husubira nje ya nyumba ya hekima wakati wa asubuhi ili ampe huduma" au "mtu mwenye busara husubira nje ya nyumba ya hekima ili hekima aje na kumfundisha" + diff --git a/pro/08/35.md b/pro/08/35.md new file mode 100644 index 00000000..9adec3e3 --- /dev/null +++ b/pro/08/35.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Anionaye mimi....Anionaye mimi... hunichukia + +Hekima anaongea juu yake yeye mwenyewe + +# yeye anayeshindwa + +" yeye anayekosa kuniona mimi" + +# maisha yake mwenyewe + +"maisha"yanawakilisha mtu mwenyewe + diff --git a/pro/09/01.md b/pro/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..3e591fd7 --- /dev/null +++ b/pro/09/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii inatoa mfano ambayo hekima inafikiriwa kuwa mwanamke anayetoa ushauri mzuri kwa watu. + +# Hekima ameijenga nyumba yake + +Mwandishi anazungumza kuhusu hekima kana kwamba ni mwanamke ambaye ameijenga nyumba yake mwenyewe. + +# Amechinja wanyama wake + +"amechinja wanyama kwa ajili ya nyama kwa chakula chajioni" + +# amechanganya mvinyo wake + +katika Israeli ya kale watu walichanganya mvinyo kwa maji "ameandaa mvinyo wake kwa kuuchanganya kwa maji" + +# Ameandaa meza yake + +"ametayarisha meza yake" + diff --git a/pro/09/03.md b/pro/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..a9a1be47 --- /dev/null +++ b/pro/09/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii inaanza kutoa ujumbe wa Hekima, ambayo imepewa sifa ya mtu mwanamke. + +# amewatuma wafanya kazi wake + +Hawa wafanyakazi walikwenda na kuwakaribisha watu kuja kwenye sherehe ambayo Hekima ametayarisha. + +# wafanya kazi wake + +Vijana wa kike au wasichana ambao wapo kwenye huduma ya heshima, mwanamke mzima, kama vile Hekima. + +# anaita + +" anatangaza" au " anawaalika". "kwa sauti kuu anarudia kuwakaribisha" + +# sehemu ya juu kabisa ya mji + +Mwaliko unatangazwa kwenye sehemu ya juu kabisa ili watu wote wausikie vizuri + +# nani ambaye ni mjinga?...mtu alinayepungukiwa na akili njema + +" mtu yeyote ambaye ni mjinga,...yeyote anayepungukiwa na akili njema" + +# ni mjinga + +"bila uzoefu, isiyo komavu/uchanga" + +# ageukie hapa + +" aiache njia yake na aje kwenye nyumba yangu" + diff --git a/pro/09/05.md b/pro/09/05.md new file mode 100644 index 00000000..c2febf63 --- /dev/null +++ b/pro/09/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii inaendeleza ujumbe wa Hekima + +# njoo...kula...kunywa...ondoka ..ishi ...tembea + +Mri hizi zote zipo kwenye wingi; Hekima anahutubia watu wengi kwa wakati mmoja. + +# mvinyo niliouchanganya + +katika Israeli ya kale watu walichanganya mvinyo kwa maji "ameandaa mvinyo wake kwa kuuchanganya kwa maji" + +# acheni matendo ya ujinga + +"acheni tabia yenu ya ujinga" + +# matendo ya ujinga + +"bila uzoefu, isiye na ukomavu au mwenye hali ya uchanga" + +# njia ya ufahamu + +"namna ya kuishi ambayo mtu mwenye busara huishi" + diff --git a/pro/09/07.md b/pro/09/07.md new file mode 100644 index 00000000..cef6d625 --- /dev/null +++ b/pro/09/07.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii inaendeleza ujumbe wa Hekima + +# Mwenye kumwadibisha... wenye kumkemea + +Tungo zote mbili zina maana sawa. + +# mwenye dhihaka + +"mtu anayetukana watu wengine" au " mtu ambaye anapenda kuwafanya watu wengine waonekane wabaya" + +# hupokea matusi + +"hupokea matendo ya kikatili" + +# mwenye kumkemea + +"mtu yeyote anayemwelekeza" + +# usimkosoe + +"usimwelekeze" + +# mkosoe mtu mwenye busara, na yeye...mfundishe mtu menye haki na yeye + +'Kama utamwelimisha mtu mwenye busara, yeye...kama utamfundisha mtu mwenye haki , yeye" + +# mkosoe mtu mwenye busara...mfundishe mtu menye haki + +Hivi virai viwili kimsingi vinasema jambo moja. + diff --git a/pro/09/10.md b/pro/09/10.md new file mode 100644 index 00000000..e575a23c --- /dev/null +++ b/pro/09/10.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii inahitimisha ujumbe wa Hekima + +# Hofu ya Yahwe + +angalia katika 1:7 + +# kwa njia yangu siku zako zitazidishwa + +"Nitazidisha siku zako" au " Nitasababisha uishi siku nyingi" + +# kwa njia yangu + +Hekima, imepewa utu kama wanamke, anaendelea kuongea hapa. + +# siku zako zitazisishwa, na utaongezewa miaka ya uzima + +...hekima inafaida kubwa + +# utaongezewa miaka ya uzima + +Nitaongeza miaka ya maisha yako" au "Nitaongeza miaka katika maisha yako" au "Nitakuwezesha kuishi muda mrefu" + +# Kama ni mwenye... na kama ni mwenye dharau + +watu wenye busara hufaidika wenyewe kwa sababu ya hekima yao, na wenye dharau huteseka kwa sababu ya tabia zao. + +# utaichukua + +Tabia mbaya wa mtu ni kama mzigo mzito ambao mtu huyo hupaswa kuubeba mgongoni mwake. + diff --git a/pro/09/13.md b/pro/09/13.md new file mode 100644 index 00000000..8f8614cf --- /dev/null +++ b/pro/09/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii inaanza kuelezea upumbavu ambao umepewa sifa ya binadamu kama mwanamke + +# mwanamke mpumbavu + +" upumbavu wa mwanamke" + +# hajafundishwa na hafahau kitu + +Maana yake mwanamke mpumbavu asiyefaa " Hajui kitu chochote kabisa" + +# hajafundishwa + +"Hajajifunza kutokana na auzoefu" au " Ni kijana na mjinga" + +# hutembea kwa unyofu katika njia yao + +Hii ni nahau "Hufikira mambo yao mwenyewe tu" au " hujali shughuli zao wenyewe" + diff --git a/pro/09/16.md b/pro/09/16.md new file mode 100644 index 00000000..9df8e120 --- /dev/null +++ b/pro/09/16.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# ni mjinga + +"bila uzoefu, isiyo komavu/uchanga" + +# njoo hapa + +'Acha njia yake na uje hapa" + +# humwabia + +Huyu mwanamke mpumbavu ambaye ametambulishwa katika 9:13 + +# wale ambao hawana akili + +"ambao hawana hekima" au "wale wasio na busara" + +# Maji ya wizi ni matamu, na mkate wa siri hufurahisha sana + +Mwanamke mpumbavu anaongea raha ya maji ya wizi na mkate unaoliwa kwa siri kuwaambia wanaume kuwa kama watalala naye watapata raha. Anasema "Unaweza kufurahia kwangu kama unavyofurahia maji ambayo umeyaiba au mkate ambao ni wa siri" + +# kwamba wafu wapo pale + +"kwamba wanaume walikwenda kwake sasa wamefariki" + +# chini kuzimu + +"kuzimu" humaanisha ulimwengu wa wafu. + diff --git a/pro/10/01.md b/pro/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..3c4447ec --- /dev/null +++ b/pro/10/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari mingi katika sura ya 10 niulingafu sambamba + +# mithali za Sulemani + +Baada ya utangulizi katika Sura 1-9, Sura ya 10 inaanza mafundisho ya mithali; misemo mifupi inayofundisha hekima. + +# kusanywa + +jipatia kitu kwa kipindi + +# Yahwe hataiacha nafsi ya mtu mwenye haki kwenda njaa + +"Yahwe huhakikisha kwamba wale watendao haki wanapata chakula" + diff --git a/pro/10/04.md b/pro/10/04.md new file mode 100644 index 00000000..14a71b15 --- /dev/null +++ b/pro/10/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mkono mvivu + +"Mkono" unawakilisha nguvu na uwezo wa mtu. KTN: "mtu asiyetaka kufanya kazi" + +# mkono wenye bidii + +"Mkono" unawakilisha nguvu na uwezo wa mtu. "Mtu anayefanya kazi kwa nguvu" + diff --git a/pro/10/06.md b/pro/10/06.md new file mode 100644 index 00000000..7b039b52 --- /dev/null +++ b/pro/10/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# juu ya kichwa + +"kichwa" kinawakilisha mtu mwenyewe. " vimetolewa kwa" + +# kinywa cha waovu + +"maneno wanayoongea waovu" + +# hufunika + +hificha ukweli + +# jina + +"kumbukumbu" + diff --git a/pro/10/08.md b/pro/10/08.md new file mode 100644 index 00000000..92f771b7 --- /dev/null +++ b/pro/10/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# angamia + +"kuharibiwa" au "kutofaa kwa matumizi" + +# udanganyifu + +sio kweli, ongo, fedheha + diff --git a/pro/10/10.md b/pro/10/10.md new file mode 100644 index 00000000..1bfc1ffb --- /dev/null +++ b/pro/10/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# yeye ambaye hukonyeza jicho + +"ambaye hufanya alama kwa ashiria" + +# atashushwa chini + +"wengine watamwangamiza" + +# kinywa cha mwenye haki + +"maneno ya mtu mwenye haki" + +# ni maji ya chemchemi ya uzima + +kauli ya mtu huyu mwenye haki ni kama chemchemi ya maji ilivyo kwenye nchi kavu, huhifadhi maisha ya wanyama na watu. + +# kinywa cha mwovu + +"maneno ya mtu mwovu" + +# kinywa cha mwovu hufunuka vurugu + +Mtu mwovu huonekana kusema mambo ambayo hayana madhara lakini mipango yake ni kuvuruga mambo dhidi ya wengine. + diff --git a/pro/10/12.md b/pro/10/12.md new file mode 100644 index 00000000..90bbb768 --- /dev/null +++ b/pro/10/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# upendo hufunika + +upendo hutenda kazi sawa na mtu huondoa shida kati ya watu badala ya kuichochea. + +# kwenye midomo ya mtu mwenye ufahamu + +"ambayo mtu mwenye akili husema" + +# fimbo ni kwa ajili ya mgongo + +"mtu asiye na akili anahitaji adhabu kali" + diff --git a/pro/10/14.md b/pro/10/14.md new file mode 100644 index 00000000..a04b9914 --- /dev/null +++ b/pro/10/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kinywa cha mpumbavu + +"maneno ya mtu mpumbavu" + +# mji wake wenye ngome + +"usalama wale" + diff --git a/pro/10/16.md b/pro/10/16.md new file mode 100644 index 00000000..8d77cab1 --- /dev/null +++ b/pro/10/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mshahara..faida + +Haya ni matokea ya kuteda mema au uovu + +# Kuna njia ya kwenda kwenye uzima kwa yule ambaye hufuata maonyo + +"Mtu ambaye hutii mafundisho ya busara atakuwa mwenye furaha na maisha marefu" + +# lakini yule ambaye hukataa kurudiwa huelekea kupotea + +"lakini yule ambaye hatii mafundisho ya busara hatakuwa na maisha mazuri" + diff --git a/pro/10/18.md b/pro/10/18.md new file mode 100644 index 00000000..5d14b7be --- /dev/null +++ b/pro/10/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ana midomo ya uongo + +"husema uongo" + +# maovu hayakosi + +"kuna dhambi nyingi" + diff --git a/pro/10/20.md b/pro/10/20.md new file mode 100644 index 00000000..41de5fe7 --- /dev/null +++ b/pro/10/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ulimi wa mtu mwenye haki + +"Chochote anachosema mtu mwenye haki" + +# fedha safi + +fedha inawakilisha misemo ya thamani "... thamani mno" + +# hulisha + +sababisha kuendelea au kuwa imara + diff --git a/pro/10/22.md b/pro/10/22.md new file mode 100644 index 00000000..d04bdde5 --- /dev/null +++ b/pro/10/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ubaya ni mchezo ambao mpumabavu hucheza + +"Wapumbavu hufurahi katika ubaya" + diff --git a/pro/10/24.md b/pro/10/24.md new file mode 100644 index 00000000..36d1577f --- /dev/null +++ b/pro/10/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kitamkuta kwa ghafla + +shinda... + +# waovu ni kama dhoruba + +kama ambavyo dhoruba huja na kuondoa kila kitu hivyo watu waovu hawataonekana + +# msingi unaodumu daima + +"ni mwanzo kwa ajili ya jambo ambalo hudumu daima" + diff --git a/pro/10/26.md b/pro/10/26.md new file mode 100644 index 00000000..e09c2e4b --- /dev/null +++ b/pro/10/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kama siki kwenye meno na moshi kwenye macho, ndivyo alivyo mvivu kwa wale ambao wamemtuma + +"siki" na "moshi" vinawakilisha mambo ambayo huumiza macho na meno ya mtu. " Kumtuma mtu mvivu kwenda kukamilisha kazi haifai na inaleta uchungu" + +# siki + +kimiminika kichungu hutumiwa kwa radha au kutunza chakula. + +# miaka ya waovu + +" muda wa kuishi mtu mwovu" + diff --git a/pro/10/28.md b/pro/10/28.md new file mode 100644 index 00000000..345f1516 --- /dev/null +++ b/pro/10/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# miaka ya waovu + +"muda wa kuishi mtu mwovu" + +# hataondolewa + +"atakuwa salama" + diff --git a/pro/10/31.md b/pro/10/31.md new file mode 100644 index 00000000..411416ea --- /dev/null +++ b/pro/10/31.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kwenye kinywa cha mtu mwenye haki + +"Kwa maneno ya mtu mwenye haki" + +# ulimi wa udanganyifu utakatwa + +"Mungu atafunga vinywa vya watu amabo husema uongo" + +# midomo ya mwenye haki huyajua yanayokubalika + +"mtu mwenye haki hujua kuongoa kwa namna ya kukubalika" + +# kinywa cha waovu + +"maneno ya waovu" + diff --git a/pro/11/01.md b/pro/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..b7225a5e --- /dev/null +++ b/pro/11/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari mingi katika sura ya 11 ni ulingafu sambamba. + +# Yahwe huchukia vipimo ambavyo si sahihi + +"Mungu huchukia vipimo vya uongo" au " Mungu huchukia watu wanapodanganya" + +# lakini hufurahia katika kipimo sahihi + +"lakini hufurahia njia za uadilifu" au lakini hufurahi watu wanapokuwa waadilifu" + diff --git a/pro/11/03.md b/pro/11/03.md new file mode 100644 index 00000000..03ae4201 --- /dev/null +++ b/pro/11/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# waongo + +"watu waongo" au "wale ambao ni waongo" + +# Utajiri ni ubatili kwenye siku ya ghadhabu + +siku ya ghadhabu ni "siku ya hukumu" au "siku za mwisho". "utajiri wa mtu hatamsaidi wakati Mungu atakapokuja kuhukumu" + diff --git a/pro/11/05.md b/pro/11/05.md new file mode 100644 index 00000000..ffc9e2fc --- /dev/null +++ b/pro/11/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# huinyosha njia yake + +"anamwelekea safi" + +# waovu... waongo + +" wale ambao ni waovu ... wale ambao ni waongo" + +# waongo hunaswa kwa ujanja wao + +"Wale ambao hufanya ubaya hukamatwa kwa matamanio yao" + +# waongo + +tayari kusaliti uaminifu; wasaliti, wadanganyifu + diff --git a/pro/11/07.md b/pro/11/07.md new file mode 100644 index 00000000..718ff0bd --- /dev/null +++ b/pro/11/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# tumaini lilokuwa kwenye nguvu zake + +"ujasiri aliokuwa nao kwa nguvu zake mwenyewe" + +# hupotea + +"hutokomea" + +# Mtu mwenye haki hulindwa katika taabu + +"Mungu humlida katika taabu mtu ambaye hutenda haki" + +# taabu huja + +"taabu humpata" + diff --git a/pro/11/09.md b/pro/11/09.md new file mode 100644 index 00000000..b96b295d --- /dev/null +++ b/pro/11/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa kinywa chake mwovu + +"maneno ya mwovu" + +# mji hukua + +"makundi ya watu hufanikiwa" au "jumuiya hufanikiwa" + +# kwa kinywa cha wabaya + +"maneno ya watu wabaya" + diff --git a/pro/11/12.md b/pro/11/12.md new file mode 100644 index 00000000..e24b9666 --- /dev/null +++ b/pro/11/12.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hulitunza jambo + +"hujizuia kuongea juu ya jambo" + diff --git a/pro/11/14.md b/pro/11/14.md new file mode 100644 index 00000000..1124e86e --- /dev/null +++ b/pro/11/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# washauri + +wale ambao hutoa mapendekezo ya kutendeka jambo; wanaoshauri + diff --git a/pro/11/15.md b/pro/11/15.md new file mode 100644 index 00000000..9e67fe98 --- /dev/null +++ b/pro/11/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ambaye huchukia kutoa + +"ambaye hukataa kutoa" + +# watu wasiokuwa na huruma + +watu wakatili, bila huruma, korofi + +# hushika utajiri + +"wanatamaa ya utajiri" + diff --git a/pro/11/17.md b/pro/11/17.md new file mode 100644 index 00000000..32b69c4c --- /dev/null +++ b/pro/11/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# yule ambaye + +"mtu ambaye" + +# hupanda ambacho ni haki + +" hutawanya ambacho ni haki" + +# huvuna mshahara wa kweli + +"hakika atapewa thawabu" + diff --git a/pro/11/19.md b/pro/11/19.md new file mode 100644 index 00000000..952b31d9 --- /dev/null +++ b/pro/11/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# yule ambaye + +"mtu ambaye" + +# hufuta mabaya + +"hukimbilia uovu" au "hutafuta uovu" + +# ambao mioyo yao hufuata + +"wenye mawazo maovu" + diff --git a/pro/11/21.md b/pro/11/21.md new file mode 100644 index 00000000..c16a58f8 --- /dev/null +++ b/pro/11/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# haikosi kupatiwa adhabu + +"wataadhibiwa" + +# Kama pete ya dhahabu... bila ufahamu + +mwanamke bila ufahamu hafai kama pete ya dhahabu kwenye pua ya nguruwe + +# bila ufahamu + +"bila akili ya kawaida" au "ambaye ni mpumabavu" + diff --git a/pro/11/23.md b/pro/11/23.md new file mode 100644 index 00000000..7ef8cc62 --- /dev/null +++ b/pro/11/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# yule ambaye hupanda mbegu + +"mtu ambaye hujiandaa kwa wakati ujao" + +# nitakusanya hata zaidi + +"nitajipatia hata zaidi" + +# asiyepanda + +" asiye jiandaa" + diff --git a/pro/11/25.md b/pro/11/25.md new file mode 100644 index 00000000..3a748625 --- /dev/null +++ b/pro/11/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# atafanikiwa + +"atapata zaidi" + +# yule ambaye + +"mtu ambaye ni mkarimu" au" mtu yeyote" + +# mtu ambaye hukataa kuuza + +mtu ambaye hubania utajiri wake badala ya kuwasaidia ambao ni wahitaji + +# yeye auzaye zawadi jema hukifunika kichwa chake + +zawadi njema hutolewa kama taji ya heshima kwa yule ambaye huuza" au " mtu ambaye huiuza anaheshimiwa kwa baraka nyingi" + diff --git a/pro/11/27.md b/pro/11/27.md new file mode 100644 index 00000000..1bafb207 --- /dev/null +++ b/pro/11/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# yule ambaye hutafuta kwa bidii + +yule ambaye hutafuta kwa uangalifu na bidii + +# ataanguka + +"ataangamizwa" + +# kama jani, watu wenye haki watasitawi + +"watu wenye haki watafanikiwa kwa namna ile ile ambayo jani lenye afya hustawi" + +# watu wenye haki watasitawi + +watu wenye haki watafanikiwa + diff --git a/pro/11/29.md b/pro/11/29.md new file mode 100644 index 00000000..fa52f18a --- /dev/null +++ b/pro/11/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# ataurithi upepo + +"hatarithi kitu chochote" + diff --git a/pro/11/30.md b/pro/11/30.md new file mode 100644 index 00000000..b5056313 --- /dev/null +++ b/pro/11/30.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mwenye haki atakuwa kama mti wa uzima + +"Wale watendao haki wataleta uzima kwao wenyewe na kwa wengine" + +# mti wa uzima + +angalia 3:17 + +# ni zaidi kiasi gani + +"ni zaidi" + diff --git a/pro/12/01.md b/pro/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..22fb4ab6 --- /dev/null +++ b/pro/12/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mwandishi anatumia ulinganifu katika sura hii yote + +# Maelezo ya Jumla + +katika mistari ya 1-15 analinganisha hekima na upumbavu + +# yeyoye + +"mtu yeyote ambaye" + +# yule achukiaye sahihisho + +"mtu ambaye hataki kuambiwa jambo la kufanya" + +# ni mpumbavu + +"asiye na busara" + diff --git a/pro/12/03.md b/pro/12/03.md new file mode 100644 index 00000000..2d9943f7 --- /dev/null +++ b/pro/12/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mtu hawezi kuimarishwa kwa ubaya + +"hakuna mtu anayeweza kuwa thabiti na salama kwa kufanya ubaya" + +# hataweza kung'olewa + +"kung'olewa" kunawakilisha kuchomolewa kutoka ardhini kama mmea au mti. Hivyo hili haliwezi kutokea kwa watu watendao haki. + +# mke mwema ni taji ya mume wake + +"mke mwema ni alama ya heshima kuu kwa mume wake" + +# yeye aletaye aibu ni kama ugonjwa ambao huozesha mifupa yake + +"matendo ya aibu ya mwanake huharibu ushawishi wa mume wake na furaha" + diff --git a/pro/12/05.md b/pro/12/05.md new file mode 100644 index 00000000..35aa9b38 --- /dev/null +++ b/pro/12/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# maneno ya watu wabaya ni uviziaji kwa ajili ya kuua + +"mabo ya udanganyifu ambayo watu waovu huyasema ni kama mtu anayevizia kuua mtu kwa kushitukiza" + +# maneno ya waadilifu huwahifadhi salama + +"ushauri kutoka kwa mtu mwadilifu huwahifadhi watu salama" + +# waadilifu + +wenye haki, waaminifu + diff --git a/pro/12/07.md b/pro/12/07.md new file mode 100644 index 00000000..cd5260f2 --- /dev/null +++ b/pro/12/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# watu waovu wametupwa + +"Watu watawatupa watu waovu" au "watu watawaondoa watu wabaya kutoka kwenye mamlaka" + +# nyumba + +"familia" au "uzao" + +# mtu husifiwa kwa namna ya wingi wa hekima yake + +"watu watawasifu ambao wanahekima" + +# yule anayefanya uchaguzi wa udanganyifu huchukiwa + +"watu watamchukia yule ambaye kila wakati huwaza mambo mabaya" au " watu watamchukia yule ambaye huchukua mambo mazuri na kuyabadilisha kuwa mabaya" + diff --git a/pro/12/09.md b/pro/12/09.md new file mode 100644 index 00000000..81ce96e6 --- /dev/null +++ b/pro/12/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# bora kupata cheo ambacho siyo muhimu + +"Ni bora kuwa mtu wa kawaida" + +# ni mkatili + +"husababisha mateso" + diff --git a/pro/12/11.md b/pro/12/11.md new file mode 100644 index 00000000..bfd5cc2d --- /dev/null +++ b/pro/12/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# miradi + +"mipango" au "shughuli" + +# matunda + +matendo na wawazo hudhihirisha tabia ya mtu kama mti unavyodhilidhwa kwa matunda yake. + diff --git a/pro/12/13.md b/pro/12/13.md new file mode 100644 index 00000000..dc3f8d2c --- /dev/null +++ b/pro/12/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mtu mwovu hunaswa maongezi yake mabaya + +"Mambo mabaya ambayo husemwa na mtu mwovu yatamnasa" + +# kama kazi ya mikono yake inavyompa thawabu + +kama ilivyo kazi njema anayoifanya inampa thawabu" + diff --git a/pro/12/15.md b/pro/12/15.md new file mode 100644 index 00000000..ddc07b1e --- /dev/null +++ b/pro/12/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# macho pake mwenyewe + +"katika maoni yake mwenyewe" + +# ushauri + +mapendekezo ya busara + +# ni mwerevu + +" ni mwenye busara" au "mwenye akili njema" + diff --git a/pro/12/17.md b/pro/12/17.md new file mode 100644 index 00000000..dcd86224 --- /dev/null +++ b/pro/12/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maneno ya mtu ambaye hunena kwa haraka ni kama makali ya upanga + +"anachonena mtu bila kufikiri kinaweza kuumiza sana kama kama vile amechoma kwa upanga" + +# ulimi wa mwenye busara + +"amabyo watu wenye busara husema" + +# huleta uponyaji + +"faraja na uponyaji" + diff --git a/pro/12/19.md b/pro/12/19.md new file mode 100644 index 00000000..10444f83 --- /dev/null +++ b/pro/12/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# midomo yenye uaminifu hudumu daima + +"mtu mwaminifu udumu daima" + +# ulimi wenye kudanganya ni kwa kitambo tu + +" yeye ambaye hudanganya hudumu kwa kitambo tu" + +# washauri + +watu ambao hutoa mwongozo wa mapendekezo ili kufanyika jambo; + diff --git a/pro/12/21.md b/pro/12/21.md new file mode 100644 index 00000000..a2524072 --- /dev/null +++ b/pro/12/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hakuna mabaya yanayokuja + +"mambo mema huja" + +# Yahwe anachukia midomo inayodanganya + +"Yahwe huwachukia wale ambao husema uongo" + diff --git a/pro/12/23.md b/pro/12/23.md new file mode 100644 index 00000000..8097a1f5 --- /dev/null +++ b/pro/12/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# husitiri maarifa yake + +"Huwa haongei kila kitu ambacho anakijua" + +# mkono wenye bidii + +"watu wenye bidii" + +# afanyishwa kazi kwa nguvu + +"atakuwa mtumwa" + diff --git a/pro/12/25.md b/pro/12/25.md new file mode 100644 index 00000000..b288ac4a --- /dev/null +++ b/pro/12/25.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mashaka + +hisia za woga au hofu, wasiwasi + +# zitamwelemea + +"...tasababisha kuwa na huzuni au sikitishwa" + +# lakini neno zuri humfanya afurahi + +" lakini wengine wapomsemesha kwa upole, hufurahia tena" + diff --git a/pro/12/27.md b/pro/12/27.md new file mode 100644 index 00000000..d74ee223 --- /dev/null +++ b/pro/12/27.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# hawawezi kuoka mawindo yao wenyewe + +"mawindo" maana yake ni wanyama waliokamatwa au kuuliwa wakati wa kuwinda. "kuoka" ni namna ya kupika chakula + +# utajiri wa thamani + +"hazina yenye thamani" + diff --git a/pro/13/01.md b/pro/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..145739c8 --- /dev/null +++ b/pro/13/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mwana mwenye busara husikia + +"Mwana mwenye busara hutii" + +# hatasikiliza karipio + +"hatajifunza kutokana na kukaripiwa" au "hataweza kutii japo atakaripiwa" + +# kutoka kwenye matunda ya kinywa chake + +"kutoka kwenye maneno ya kinywa chake " au "kutokana na usemi wake" + +# hamu + +shauku au kupendelea kitu + +# waongo + +wale ambao wapo tayari kusaliti au kuwadanganya wengine + diff --git a/pro/13/03.md b/pro/13/03.md new file mode 100644 index 00000000..5f8deb69 --- /dev/null +++ b/pro/13/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kinywa chake + +" Ambacho ananena" + +# apanuaye midomo yake + +"kuongea sana" au "kuzungumza mno" + +# hamu...hamu + +Angalia 13:1 + +# tamani sana lakini hapati kitu + +"hamu ya kubwa sana lakini hapati kitu" + +# hamu ya watu wenye bidii itamalika kabisa + +|"watu wenye bidii watapata maisha ya kutoshelezwa" au "kuwa na bidii kutawafanya watu watosheke kabisa" + +# watu wenye bidii + +watu ambao hufanya kazi kwa uangalifu na nguvu endelevu + diff --git a/pro/13/05.md b/pro/13/05.md new file mode 100644 index 00000000..5efe33a3 --- /dev/null +++ b/pro/13/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# chukizo + +sababisha hisia kali za kuchukia + +# haki huwalinda wale + +"Njia ya kuishi iliyothibitishwa na Yahwe hulinda" + +# ambao hawana kasoro katika njia yao + +"amabo hawana makosa katika njia yao ya kuishi" au "ambao huishi maisha ya uadilifu" + +# ubaya huwageuzia mabali wale ambao hutenda dhambi + +"ubaya huwageza wenye dhambi kutoka katika njia ya mafanikio" + diff --git a/pro/13/07.md b/pro/13/07.md new file mode 100644 index 00000000..6dca36d0 --- /dev/null +++ b/pro/13/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# amabye hujitarisha mwenyewe + +"ambaye hujifanyia utajiri yeye mwenyewe" + +# hasikii kitisho + +1) hakuna mtu atakaye mtisha kumwibia maana hana kitu cha kuibiwa au 2) hatasikiliza sahihisho la watu kwa sababu hana kitu cha kupoteza kama watamwadhibu " hasikilizi karipio" + diff --git a/pro/13/09.md b/pro/13/09.md new file mode 100644 index 00000000..994a84df --- /dev/null +++ b/pro/13/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nuru ya watu wenye haki hufurahia + +"ushawishi wa watu wenye haki huleta furaha" + +# taa ya watu waovu itazimishwa + +"watu waovu watapoteza ushawishi wao" + +# Majivuno huzaa ugomvi + +" Mara nyingi majivuno husababisha ugomvi" + +# sikiliza + +"fuata" au "jali" + +# ushauri mzuri + +maoni ambayo husaidia na kufaidisha + diff --git a/pro/13/11.md b/pro/13/11.md new file mode 100644 index 00000000..0a8c1c26 --- /dev/null +++ b/pro/13/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# utajiri hudhoofika + +"utajiri hupungua" au "utajiri hupotea taratibu " + +# kufanya kazi kwa mkono wake + +"kufanya kazi kwa nguvu za mwili" + +# hufanya fedha yake istawi + +"hufanya pesa yake iongezeke" + +# wakati tumaini linapositishwa + +"wakati mtu anapotumaini kwa ajili ya jambo lakini hapokei hadi muda mrefu" + +# huvunja moyo + +"husababisha huzuni kali" + +# shauku ikitimizwa ni mti wa uzima + +mtu akipokea ambacho alitumaini na kufurahi ni kama mti unaotoa uzima. "shauku iliyotimizwa ni kama mti wa uzima" + +# mti wa uzima + +"mti ambao unatoa uzima" au "mti ambao mtunda yake hutoa idhini ya uzima" + diff --git a/pro/13/13.md b/pro/13/13.md new file mode 100644 index 00000000..46d0e34e --- /dev/null +++ b/pro/13/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mwenye kuheshimu amri atapata thawabu + +"watampa tuzo yeye ambaye anaheshimu amri" + +# chemchemi ya uzima + +"chanzo kizuri cha uzima" + +# tanzi ya mauti + +"mitego ambayo huekea kwenye mauti" + diff --git a/pro/13/15.md b/pro/13/15.md new file mode 100644 index 00000000..8e9a5d5b --- /dev/null +++ b/pro/13/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# lakini njia ya mwongo haina mwisho + +"lakini tabia ya waongo itasababisha uharibifu wao wenyewe" + +# mwongo + +"mtu mwongo" + +# mpumbavu huonesha upumbavu wake + +"mpumbavu huonesha upumavu wake kwa kila" + diff --git a/pro/13/17.md b/pro/13/17.md new file mode 100644 index 00000000..ce6e6ce0 --- /dev/null +++ b/pro/13/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# huanguka kwenye taabu + +"hufanya kitu kibaya" + +# mjumbe + +"tarishi" au "mtu wa mahusiano" + +# hujifunza katika sahihisho + +"hujifunza ambapo mtu humsahihisha" + diff --git a/pro/13/19.md b/pro/13/19.md new file mode 100644 index 00000000..632b85fc --- /dev/null +++ b/pro/13/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ni tamu + +"yenye kuleta furaha" au "inafurahisha" + +# hamu + +shauku au kupendelea kitu + +# ataumia + +"ataangamia" + diff --git a/pro/13/21.md b/pro/13/21.md new file mode 100644 index 00000000..02593b14 --- /dev/null +++ b/pro/13/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# msiba huwakimbilia watenda dhambi + +"mwenye dhambi hupata taabu popote wanapokwenda" + +# watu wenye haki hupewa thawabu ya mema + +"Mungu huwapa thawabu watu wenye haki kwa mema" + +# wajukuu wake + +"wana wa wana wake"au "watoto wa watoto wake" au "wazao wake" + +# utajiri wa mwenye dhambi umehifadhiwa kwa ajili ya mtu mwenye haki + +" yeye atendaye haki atapokea utajiri ambao umahifadhiwa na mwenye dhambi" + diff --git a/pro/13/23.md b/pro/13/23.md new file mode 100644 index 00000000..ecbf1ebc --- /dev/null +++ b/pro/13/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# shamba lisilolimwa + +"shamba ambalo halijaandaliwa kwa kuzalisha chakula" au " shamba ambalo ni tupu tayari kwa kupanda" + +# lakini huondolwa kwa udhalimu + +"lakini udhalimu hukichukua chakula" au " watu wadhalimu hukichukua chakula" + +# huzingatia kumwelekeza + +" nakikisha namwelekeza" + diff --git a/pro/13/25.md b/pro/13/25.md new file mode 100644 index 00000000..b485ff0c --- /dev/null +++ b/pro/13/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# hutimiza hamu yake + +"hujiridhisha mwenyewe"au " hutimiza hamu yake" + +# tumbo la mwovu huona njaa daima + +"mtu mwovu huwa na njaa daima kwa ajili ya kupata zaidi" + diff --git a/pro/14/01.md b/pro/14/01.md new file mode 100644 index 00000000..34688c3a --- /dev/null +++ b/pro/14/01.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# huijenga nyumba yake + +"huifanya nyumba yake kuwa bora" + +# numba + +1) nyumba halisi, ambalo ni jengo anamoishi 2) inaweza kumaanisha familia yake + +# kwa mikono yake + +"mikono" inawakilisha matendo anayofanya. "yeye mwenyewe" au "kwa namna ambavyo anajiheshimu" + +# yeye ambaye ... yeye ambaye + +"mtu ambaye ... mtu ambaye" + +# huenenda kwa uadilifu + +"huenenda katika njia ya haki na uaminifu katika maisha yake" + +# humdharau + +"kukosa adabu" au " kuonesha kuchukia" + +# katika njia zake humdharau yeye + +"zake" huyu ni mtu asiye mwamnifu na "yeye" ni kiwakilishi kumwakilisha Yahwe + diff --git a/pro/14/03.md b/pro/14/03.md new file mode 100644 index 00000000..05b0eaec --- /dev/null +++ b/pro/14/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kinywa cha ... midomo ya + +Kinywa na midomo vyote vinahusiana na kile ambacho mtu hunena + +# kipukizi la kiburi chake + +chipukizi ni kitu amabacho huota kutoka kwenye kitu kingine. " ambacho huzalishwa na kiburi chake" + +# busara + +"watu wenye busara" + +# ataihifadhi + +"atawalinda kutoka ktatika madhara" au " atawatunza salama" + +# hori la kulia + +hori ni kontana ambapo huwekwa chakula kwa ajili ya wanyama + +# mazao mengi + +"mavuno mazuri" + +# kwa nguvu ya maksai + +"nguvu" inawakilisha kazi imara anayoweza kufanya maksai "kwa sababu ya kazi anayofanya maksai" + diff --git a/pro/14/05.md b/pro/14/05.md new file mode 100644 index 00000000..035615d6 --- /dev/null +++ b/pro/14/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# hupumua uongo + +"hudanganya daima" + +# na hakuna kitu + +"na hekima haipo pale" au "lakini hatapata hekima" + +# huja upesi kwa + +"hupatikan kwa urahisi" au "hupata bila ugumu" + +# mtu mwenye ufahamu + +"mtu mwenye hekima" au "mtu mwenye ufahamu" + diff --git a/pro/14/07.md b/pro/14/07.md new file mode 100644 index 00000000..0933aabe --- /dev/null +++ b/pro/14/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kwenye midomo yake + +"kwa kauli zake" au "kwa ushauri wake" + +# busara + +mtu mwenye maamuzi mazuri au akili + +# njia yake mwenyewe + +"mwenendo wake" au "namna ya maisha yake" + +# upumavu wa wapumbavu ni udanganyifu + +upumbavu wa wapumbavu ni kufikiri kuwa wanabusara, wakati hawana. + diff --git a/pro/14/09.md b/pro/14/09.md new file mode 100644 index 00000000..f1c7e576 --- /dev/null +++ b/pro/14/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wakati dhabihu ya hatia inapotolewa + +...wapumbavu hawaombi msamaha kwa Mungu au watu kwa ajili ya mambo mabaya wanayofanya. + +# lakini miongoni waadilifu hushiriki fadhila + +"lakini waadilifu hufurahia wema pamoja" au "Wema wa Mungu huonekana miongoni mwa waadilifu" + +# uchungu + +"huzuni" au "simanzi" + +# hakuna mgeni + +"wale wasiomfahamu" + diff --git a/pro/14/11.md b/pro/14/11.md new file mode 100644 index 00000000..6533b56a --- /dev/null +++ b/pro/14/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hema + +"kaya" + +# sitawi + +"kufanikiwa sana" + +# kuna njia ambayo huonekana sawa kwa mtu + +"watu hufikiri kwamba namna wanavyoishi ni njia sahihi" + diff --git a/pro/14/13.md b/pro/14/13.md new file mode 100644 index 00000000..288b9b78 --- /dev/null +++ b/pro/14/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# moyo huweza kucheka + +"Hisia za mtu zinaweza zinaweza kuonesha furaha" + +# kuwa katika maumivu + +"kukabiliwa na maumivu" au "umia" + +# yeye ambaye + +mtu ambaye + +# stahiki ya njia zake + +"anachostahili, hulingana na namna anavyoishi" + +# alivyo + +" ambacho anakimiliki" au " ambacho anahaki ya kukifanya" + diff --git a/pro/14/15.md b/pro/14/15.md new file mode 100644 index 00000000..2ab4fc26 --- /dev/null +++ b/pro/14/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mjinga + +"bila uzoefu, asiye mkomavu, bado na hali ya uchanga" + +# hatua zake + +"matendo yake" + +# hugeukia mbali na uovu + +"huepuka matendo maovu" + +# huacha kwa ujasiri + +"hupuuza kabisa" + diff --git a/pro/14/17.md b/pro/14/17.md new file mode 100644 index 00000000..24383148 --- /dev/null +++ b/pro/14/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# ni mwepesi kukasirika + +"kuwa na hasira kwa haraka" + +# mjinga + +"bila uzoefu, asiye mkomavu, bado na hali ya uchanga" + +# hurithi upumabavu + +"rithi" maana yake kumiliki kitu kwa kudumu + +# upumabavu + +mawazo na matendo ya kipumbavu + +# watu wenye busara + +"watu werevu" + +# huvikwa taji ya maarifa + +"vaa maarifa kama vile kilemba" + diff --git a/pro/14/19.md b/pro/14/19.md new file mode 100644 index 00000000..c0428cf4 --- /dev/null +++ b/pro/14/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# huinama chini + +kuinama kwa unyenyekevu kuonesha adabu na heshima kwa mtu + +# kwenye malango ya mwenye haki + +"kuonana na mtu mwenye haki" + +# mtu maskini huchukiwa hata na rafiki zake mwenyewe + +"kila mmoja humchukia mtu maskini hata jirani zake" + diff --git a/pro/14/21.md b/pro/14/21.md new file mode 100644 index 00000000..d50efd02 --- /dev/null +++ b/pro/14/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# yule...yule + +"mtu ..mtu" + +# maskini + +"watu fukara" + +# Je wale ambao hupanga mabaya hawapotei? + +"wale ambao hupanga mabaya watapotea" + +# ambao hupanga mabaya + +"amabo hufanya mipango ya uovu" au " amabo hufanya mipango ya mambo mabaya" + diff --git a/pro/14/23.md b/pro/14/23.md new file mode 100644 index 00000000..0dcd797b --- /dev/null +++ b/pro/14/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# lakini kukiwa na maongezi tu + +"lakini kama utaongea tu" au "lakini watu wote hufanya maongezi" + +# taji ya watu wenye busara + +"thawabu ya watu wenye busara" + +# upumbavu wa wapumbavu + +Angalia 14:7 + diff --git a/pro/14/25.md b/pro/14/25.md new file mode 100644 index 00000000..4fccb076 --- /dev/null +++ b/pro/14/25.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hupumua uongo + +"hudanganya daima" + diff --git a/pro/14/26.md b/pro/14/26.md new file mode 100644 index 00000000..ef12d776 --- /dev/null +++ b/pro/14/26.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# chemchemi ya uzima + +"chanzo cha maisha" + +# kutoka kwenye tanzi za mauti + +"kutoka kwenye mitego ambayo italeta kifo" + diff --git a/pro/14/28.md b/pro/14/28.md new file mode 100644 index 00000000..5979b8f7 --- /dev/null +++ b/pro/14/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# idadi kubwa ya watu wake + +"idadi ya watu anaowatawala" + +# ni uharibifu wa mfalme + +"mfalme hana kitu na ufalme wake utaanguka" + +# mwepesi wa hasira + +"mtu ambaye hukasirka haraka" + diff --git a/pro/14/30.md b/pro/14/30.md new file mode 100644 index 00000000..9070e394 --- /dev/null +++ b/pro/14/30.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# moyo mtulivu + +" mtazamo wa amani" au "mwenendo ambao ni wa amani" + +# huozesha mifupa + +"husababisha mtu kukosa afya mwilini na rohoni" + +# yule ambaye... yule ambaye + +"mtu ambaye ... mtu ambaye" + +# laana + +maana yake kutamani mambo mabaya yaweze kutokea kwa mtu. + +# maskini ...mhitaji + +"mtu maskini...mtu mhitaji" + +# huonesha fadhila kwa + +"ni mkarimu kwa" au " husaidia" + diff --git a/pro/14/32.md b/pro/14/32.md new file mode 100644 index 00000000..da197bda --- /dev/null +++ b/pro/14/32.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# hushushwa chini kwa matendo yake mabaya + +"matendo mabaya humsukuma" au " matendo mabaya huharibu" + +# Hekima hukaa katika moyo + +"hekima ipo katika namna ya kufikiri na kutenda" + +# ufahamu + +"mtu mwenye ufahamu" + +# hujidhihirisha yeye mwenyewe + +" huhakikisha kuwa watu wanamjua" + +# yeye + +neno "yeye" linawakilisha hekima + diff --git a/pro/14/34.md b/pro/14/34.md new file mode 100644 index 00000000..e893b250 --- /dev/null +++ b/pro/14/34.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# aibu + +"kuleta fedheha " + +# kwa busara + +"kwa werevu" + +# yule ambaye + +"mtumishi ambaye" + diff --git a/pro/15/01.md b/pro/15/01.md new file mode 100644 index 00000000..98300ae3 --- /dev/null +++ b/pro/15/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# jibu la upole huodoa ghadhabu + +"kumjibu mtu kwa upole kutatuliza ghadhabu ya huyo mtu" + +# lakini neno la ukatili huchochea hasira + +"lakini kuongea kwa ukali husababisha yule mtu kuwa na hasira zaidi" + +# ulimi wa watu wenye busara hutamka maarifa + +"watu werevu hutamka maarifa wanapoongea" + +# hutamka maarifa + +"huyafanya maarifa yavutie" au " hutumia maarifa kwa usahihi" + +# kinywa cha wapumbavu humwaga upumbavu + +"wapumbavu huongea upumbavu siku zote" + diff --git a/pro/15/03.md b/pro/15/03.md new file mode 100644 index 00000000..da10ed71 --- /dev/null +++ b/pro/15/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# macho ya Yahwe yapo kila mahali + +"Yahwe huona kila kitu" + +# mema na maovu + +"watu wema na watu waovu" + +# ulimi uponyao ni mti wa uzima + +" maneno ya upole ni kama mti ambao hutoa uzima" + +# ulimi wenye kudanganya huvunja moyo + +"kauli ya uongo husababisha mtu kuvunjika moyo" + diff --git a/pro/15/05.md b/pro/15/05.md new file mode 100644 index 00000000..fb33060d --- /dev/null +++ b/pro/15/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# yeye ambaye hujifunza kutokana na sahihisho + +"yeye ambaye hujifunza wakati wa kusahihishwa na mtu mwingine" + +# busara + +"werevu" + +# mapato ya mtu mwovu humpa + +"utajiri ambao mtu mwovu hujipatia humpa" + diff --git a/pro/15/07.md b/pro/15/07.md new file mode 100644 index 00000000..7d030d39 --- /dev/null +++ b/pro/15/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# midomo ya watu wenye busara husambaza maarifa + +"kauli ya watu wenye busara hutawanya maarifa" + +# siyo mioyo ya wapumbavu + +" wapumbavu hawasambazi maarifa" au " wapumbavu hawana maarifa katika mioyo yao" au "wapumbavu hawafahamu maarifa" + +# watu waadilifu + +"watu wanaoishi kwa haki" + +# ni furaha yake + +"humfurahisha" + diff --git a/pro/15/09.md b/pro/15/09.md new file mode 100644 index 00000000..e5af2259 --- /dev/null +++ b/pro/15/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yahwe huchukia njia ya watu waovu + +"Yahwe huchukia namna ambavyo watu waovu huishi" + +# yule ambaye huandama haki + +"mtu ambaye hujitahidi kuishi kwa haki" + +# yeyote ambaye huiacha njia + +"yeyote ambaye huacha kuishi kwa haki" + +# yeye ambaye huchukia sahihisho + +"mtu ambaye huchukia wakati watu wengine wanapomwelekeza" + diff --git a/pro/15/11.md b/pro/15/11.md new file mode 100644 index 00000000..9c789f95 --- /dev/null +++ b/pro/15/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kuzimu na uharibifu vipo wazi mbele ya Yahwe + +"Yahwe anajua kila kitu kuhusu sehemu walipo wafu" + +# Je ni zaidi mara ngapi kwa mioyo ya wana wa wanadamu? + +hii ni nahau kumaanisha "mawazo ya wanadamu" + +# mioyo ya wana wa wanadamu + +"mawazo ya wanadamu" + +# mwenye dharau huchukia sahihisho + +"mwenye dharau huchukia wakati wa kurudiwa" + +# hatakwenda kwa wenye busara + +"hatakwenda kwa wenye busara kutafuta ushauri wao" + diff --git a/pro/15/13.md b/pro/15/13.md new file mode 100644 index 00000000..ea2a87e7 --- /dev/null +++ b/pro/15/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# moyo wenye furaha huufanya uso kuwa mchangamfu + +"mtu anapokuwa na furaha, uso wake ni mchangamfu" + +# huvunja moyo + +" humfanya mtu akate tamaa" + +# moyo wa mwenye ufahamu + +"mtu mwenye ufahamu" + +# kinywa cha wapumbavu hula upumbavu + +"watu wapumbavu hutamani upumbavu kana kwamba ni chakula ambacho wangekula" + diff --git a/pro/15/15.md b/pro/15/15.md new file mode 100644 index 00000000..8486e877 --- /dev/null +++ b/pro/15/15.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# siku zote za watu walidhulumiwa ni taabu + +"watu waliokandamizwa wanataabu katika siku zao zote" + +# moyo mchangamfu unasikukuu bila kikomo + +"mtu mchangamfu hufurahia maisha, kana kwamba anasherehekea sherehe isiyokuwa na mwisho" + +# unasikukuu bila kikomo + +"sikukuu za daima" + +# mafadhaiko + +"wasiwasi" + diff --git a/pro/15/17.md b/pro/15/17.md new file mode 100644 index 00000000..82a11640 --- /dev/null +++ b/pro/15/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mlo wenye mboga + +"mlo kidogo" au "chakula kidogo" + +# ambapo kuna upendo + +" ambapo watu wanapendana kila mmoja" + +# huduma ya ndama aliyenona pamoja na chuki + +"kutengewa ndama aliyenona kwa chuki" + +# ndama aliyenona + +"mlo wa gharama' au "sherehe" + +# kwa chuki + +"ambapo watu huchukiana" + +# huchochea mabishano + +"husababisha watu kubishana zaidi" + diff --git a/pro/15/19.md b/pro/15/19.md new file mode 100644 index 00000000..a5da18f8 --- /dev/null +++ b/pro/15/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# njia ya mvivu ...njia ya mwadilifu + +"maisha ya mvivu...maisha ya mwadilifu" + +# njia ya mvivu ni kama sehemu yenye uwa wa miiba + +"maisha ya mvivu ni kama mtu anayejaribu kutembea kwenye uwa wa miiba" + +# njia ya mwadili ni njia panda iyojengwa + +watu wenye uadilifu hupata baraka katika maisha yao kana kwamba wanatembea juu ya barabara nzuri + +# njia panda iyojengwa + +Hii ni njia pana, tambarare na isiyo na vikwazo + diff --git a/pro/15/21.md b/pro/15/21.md new file mode 100644 index 00000000..d6ee8b4d --- /dev/null +++ b/pro/15/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mtu mwenye ufahamu hutembea katika njia iliyonyooka + +"mtu mwenye ufahamu hutenda yaliyo sawa" + +# mipango hubatilika + +"mipango hushindikana" + +# ambapo hapana ushauri + +"wakati hakuna mtu wa kutoa ushauri" + +# washauri + +watu ambao hutoa mwongozo wa mapendekezo kwa ajili ya shughuli + +# hufanikiwa + +"mipango hufanikiwa" + diff --git a/pro/15/23.md b/pro/15/23.md new file mode 100644 index 00000000..57936bde --- /dev/null +++ b/pro/15/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# jibu la kufaa + +"jibu la kutosheleza" au " jibu linalofaa" + +# jinsi gani ni zuri neno kwa wakati wake + +"neno ambalo mtu huongea kwa wakati sahihi ni zuri" + +# njia ya uzima huelekea juu....kutoka chini kuzimu + +Mwandishi anaongelea namna ya kuishi ambayo matokeo yake ni uzima kama njia iendayo juu na namna ya kuishi ambayo matokea yake ni kifo ni kama njia iendayo chini kwenye sehemu ya wafu. + diff --git a/pro/15/25.md b/pro/15/25.md new file mode 100644 index 00000000..b3d74d42 --- /dev/null +++ b/pro/15/25.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# urithi + +"nyumba" maana yake ni kaya, mali au utajiri. + +# maneno yenye upole ni safi + +"maneno ya upole ni safi" au "maneno mazuri ni safi" + diff --git a/pro/15/27.md b/pro/15/27.md new file mode 100644 index 00000000..3c574681 --- /dev/null +++ b/pro/15/27.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# moyo wa mwenye haki hutafakari kabla ya kujibu + +"mtu atendaye mema hutafakari cha kusema kabla ya kujibu" + +# kinywa cha watu waovu humimina mabaya yake yote + +"watu waovu wanasema mambo mabaya daima" + +# kinywa cha watu waovu humimina mabaya yake yote + +"moyo wa mtu mwovu humimina mabaya yake yote" au " vinywa vya watu waovu humwaga maovu yake yote" + diff --git a/pro/15/29.md b/pro/15/29.md new file mode 100644 index 00000000..4049825e --- /dev/null +++ b/pro/15/29.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yahwe yupo mbali kutoka kwa watu waovu + +"Yahwe awasikilizi watu waovu" au " Yahwe hawajibu watu waovu" + +# nuru ya macho + +"kuonesha hisia za uchangamfu" + +# huleta furaha kwenye moyo + +"mtu mwenye hisia za kuchangamka kwa sababu ya furaha" au "watu hupata furaha wanapomwona mtu mwenye hisia za uchangamfu" + +# habari njema ni afya kwenye mwili + +"kupokea habari njema husababisha mtu ajisikie vizuri" + diff --git a/pro/15/31.md b/pro/15/31.md new file mode 100644 index 00000000..605c8438 --- /dev/null +++ b/pro/15/31.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# utabaki miongoni mwa watu wenye busara + +1) watu wataendelea kukufikiria kuwa mtu mwenye busara au 2) utaendelea kufurahia ushirika wa watu wenye busara. + diff --git a/pro/15/33.md b/pro/15/33.md new file mode 100644 index 00000000..3966c37e --- /dev/null +++ b/pro/15/33.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hofu ya Yahwe hufundisha hekima + +"mtu anapokuwa na hofu ya Yahwe, hujifunza kuwa na busara" + +# hofu ya Yahwe + +angalia 1:7 + +# unyenyekevu huja kabla ya heshima + +mtu lazima kwanza ajifunze unyenyekevu kabla Yahwe hajamheshimu. + diff --git a/pro/16/01.md b/pro/16/01.md new file mode 100644 index 00000000..a9c55b4c --- /dev/null +++ b/pro/16/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mipango ya moyo huwa ni ya mtu + +"mtu hufanya mipango katika akili zake" + +# kwa Yahwe huja jibu kutoka katika ulimi wake + +1) Yahwe hunena jibu lake katika mipango ya mtu -maana yake Yahwe hutambua matokeo ya mipango ya mtu au 2) Yahwe huwezesha mtu kunena juu ya mipango aliyoiandaa. + +# jibu kutoka katika ulimi wake + +"jibu ambalo hunena" + +# Njia zote za mtu ni safi machono pake mwenyewe + +mtu hudhani kwamba kila kitu anachofanya ni safi" + +# Yahwe huipima mioyo + +"Yahwe hufanya uamuzi kwenye mawazo ya mtu" + diff --git a/pro/16/03.md b/pro/16/03.md new file mode 100644 index 00000000..bb29522b --- /dev/null +++ b/pro/16/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hata waovu kwa ajili ya siku ya taabu + +" hata waovu aliwaumba kwa ajili ya siku ya taabu" + diff --git a/pro/16/05.md b/pro/16/05.md new file mode 100644 index 00000000..b976a867 --- /dev/null +++ b/pro/16/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kila mmoja mwenye moyo wa kiburi + +"kila mtu mwenye kiburi" + +# hawatakosa kuadhibiwa + +"Yahwe atawaadhibu" + +# kwa agano la uaminifu na mdhamana kosa hulipiwa + +"Yahwe hulipa kwa ajili ya uovu kwa agano la uaminifu na mdhamana" + +# watu hugeuka kutoka katika uovu + +"watu huacha kufanya mambo maovu" + diff --git a/pro/16/07.md b/pro/16/07.md new file mode 100644 index 00000000..831ee6f2 --- /dev/null +++ b/pro/16/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# huwafanya + +"Yahwe hufanya" + +# pato kubwa + +"kujipatia pesa nyingi" + +# udhalimu + +tendo lisilo la haki + diff --git a/pro/16/09.md b/pro/16/09.md new file mode 100644 index 00000000..3356a4c3 --- /dev/null +++ b/pro/16/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kwenye moyo wake mtu hupanga njia yake + +"mtu hupanga katika akili jambo atakalofanya" + +# Yahwe huziongoza hatua zake + +Yahwe huamua matokeo ya mipango ya mtu + +# ushauri upo kwenye midomo ya mfalme + +"kila anachosema mfalme ni ushauri" + +# ushauri + +uamuzi kutoka kwa Mungu, hukumu takatifu + +# katika hukumu kinywa chake hakisemi uongo + +"anapotamka hukumu, huwa hasemi uongo" + +# kinywa chake hakisemi uongo + +"husema kweli" + diff --git a/pro/16/11.md b/pro/16/11.md new file mode 100644 index 00000000..17810318 --- /dev/null +++ b/pro/16/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Vipimo vya kweli hutoka kwa Yahwe + +Yahwe anataka haki na fadhila wakati wa kufanya biashara. Watu ambao si waadilifu hutumia vipimo vizito au vyepesi katika vipimo vyao ili kupata zaidi wanaponunua au kuuza. + +# vipimo vyote katika begi ni vya kwake + +1) Yahwe tayari amebainisha namna kila kipimo kitakavyo pima 2) Yahwe anahusika kwa kila kipimo abacho mfanyabiashara hutumia. + +# hicho ni kitu cha kudharauliwa + +"hicho ni kitu ambacho watu hukidharau" au "hilo ni jambo ambalo Yahwe hulichukia" + +# maana kiti cha enzi huthibitishwa kwa kutenda haki + +"maana mfalme huthibitisha utawala wake kwa kutenda haki" + diff --git a/pro/16/13.md b/pro/16/13.md new file mode 100644 index 00000000..8e85d44b --- /dev/null +++ b/pro/16/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# midomo ambayo husema haki + +"mtu ambaye husema kweli" + +# ghadhabu ya mfalme ni mjumbe wa kifo + +"mfalme mwenye hasira anaweza kuua watu" + diff --git a/pro/16/15.md b/pro/16/15.md new file mode 100644 index 00000000..418384b6 --- /dev/null +++ b/pro/16/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +mstari wa 15 unapinga na ule wa 14 + +# katika nuru ya uso wa mfalme kuna uzima + +"mfalme anapofurahi, watu huishi" + +# fadhila zake ni kama wingu ambalo huleta mvua ya masika + +mfalme anapoonyesha fadhila kwa mtu ni kama wingu ambalo huleta mvua kukuza mazao + +# Ni bora kiasi gani kujipatia hekima badala ya dhahabu + +"Ni bora sana kupata hekima kuliko kupata dhahabu" + +# yapasa zaidi kuchagua kupata ufahamu kuliko fedha + +"Mtu anapaswa kuchagua kupata ufahamu zaidi kuliko kupata fedha" + diff --git a/pro/16/17.md b/pro/16/17.md new file mode 100644 index 00000000..16d1a53c --- /dev/null +++ b/pro/16/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Njia kuu ya watu waadilifu + +"njia ya haki ambayo watu waadilifu huishi " + +# kuacha uovu + +"kuwalinda kutoka katika kutenda mabaya" + +# moyo wa kiburi + +"tabia ya majivuno" + +# anguko + +"maangamizi" au " kushindwa" + diff --git a/pro/16/19.md b/pro/16/19.md new file mode 100644 index 00000000..0d89ebe7 --- /dev/null +++ b/pro/16/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# nyara + +vitu vilivyochukuliwa katika mapigano + +# walichofundishwa + +"walichojifunza" + diff --git a/pro/16/21.md b/pro/16/21.md new file mode 100644 index 00000000..571c049c --- /dev/null +++ b/pro/16/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# yule mwenye busara katika moyo wake anaitwa ufahamu + +" watu watamwita ufahamu yule mwenye busara katika moyo" au " yule mwenye busara katika moyo atapata heshima ya kuwa mtu mwenye ufahamu" + +# utamu wa kauli + +"kauli ya upole" au "kaui ya kufurahisha" + +# ufahamu ni chemchemi ya uzima + +" ufahamu ni kama chemchemi itiririkayo maji yanayotoa uzima" + diff --git a/pro/16/23.md b/pro/16/23.md new file mode 100644 index 00000000..7c012097 --- /dev/null +++ b/pro/16/23.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# moyo wa mtu mwenye busara hutoa + +"mawazo ya mtu mwenye busara hutoa" + +# hutoa utambuzi kwenye kinywa chake + +"hufanya kauli yake kuwa ya busara" + +# kwenye midomo yake + +"yale anayosema" + +# maneno yakupendeza ni sega la asali + +"maneno ya kupendeza ni kama sega la asali" + +# matamu kwenye nafsi + +1) inawakilisha hamu na shauku ndani ya mtu "tamu kiasi kiasi cha kutosha kumfanya mtu afurahi" au 2) "tamu kwa radha" + +# uponyaji kwenye mifupa + +"uponyaji katika mwili" + diff --git a/pro/16/25.md b/pro/16/25.md new file mode 100644 index 00000000..04b6d295 --- /dev/null +++ b/pro/16/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kuna njia ambayo huonekana swa kwa mtu + +"mtu hufikiria kwamba namna anavyoishi ni sawa" + +# lakini mwisho wake ni njia kuelekea kwenye mauti + +ni njia kuelekea kwenye kifo + +# shauku ya mfanyakazi hufanyakazia kwa ajili yake + +"mfanyakazi hushughulika kutimiza hamu yake" + +# njaa yake humhimiza + +"huendelea kufanyakazi kwa sababu ya njaa yake" + diff --git a/pro/16/27.md b/pro/16/27.md new file mode 100644 index 00000000..3f6a88a9 --- /dev/null +++ b/pro/16/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mtu asiyefaa huchimba madhara + +"mtu asiyefaa hutafuta madhara kana kwamba anachimba kitu chini ya ardhi" + +# asiyefaa + +"mwovu" + +# madhara + +"ubaya" au "taabu" + +# kauli yake ni kama moto unaounguza + +"huumiza watu kwa maneno yake, kama moto unaounguza vitu" + +# mmbeya + +mtu ambaye husema uzushi au husambaza uvumi + diff --git a/pro/16/29.md b/pro/16/29.md new file mode 100644 index 00000000..40d33270 --- /dev/null +++ b/pro/16/29.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mtu mwenye jeuri hulala kwa jirani yake + +"mtu mwenye jeuri humshawishi jirani yake" + +# mtu mwenye jeuri + +"mtu jeuri" au "mtu ambaye hutenda vurugu" + +# humwogoza katika njia isiyo nzuri + +"humsababisha kufanya mambo yasiyo mazuri" + +# njia isiyo nzuri + +"njia mbaya sana" + +# yule ambaye hukonyeza jicho lake...wale ambao hudhibiti midomo + +angalia 10:10 + +# wataleta maovu + +"atafanya mambo mabaya" + diff --git a/pro/16/31.md b/pro/16/31.md new file mode 100644 index 00000000..9efdc4e9 --- /dev/null +++ b/pro/16/31.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mvi ni taji ya utukufu + +"mtu aliyeishi muda mrefu wa kutosha kupta mvi ni kama yule anayevaa taji kichwani pake" + +# ni faida + +"mtu hupata faida" + +# anayetawala roho yake + +"yule anayetawala hasira yake" + diff --git a/pro/16/33.md b/pro/16/33.md new file mode 100644 index 00000000..2b800c04 --- /dev/null +++ b/pro/16/33.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kura hurushwa kwenye mikunjo + +"mtu hurusha kura kwenye mkunjo wake" + +# uamuzi hutoka kwa Yahwe + +Yahwe huamua namna kuanguka kura au si kura lakini Yahwe ambaye huamua nini kitokee. + diff --git a/pro/17/01.md b/pro/17/01.md new file mode 100644 index 00000000..d4661016 --- /dev/null +++ b/pro/17/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kuwa na utulivu + +Hapa "utulivu" unawakilisha "amani" "kuwa na amani" + +# kuliko nyumba iliyojaa sherehe pamoja na ugomvi + +"kuliko kuwa katika nyumba iliyojaa sherehe ambayo inaugomvi" + diff --git a/pro/17/03.md b/pro/17/03.md new file mode 100644 index 00000000..1499889c --- /dev/null +++ b/pro/17/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kalibuni kwa ajili ya fedha na tanuru kwa ajili ya dhahabu + +"karibuni hutumika kusafisha fedha na tanuru hutumika kusafisha dhahabu" + +# Yahwe husafisha mioyo + +Yahwe huwajaribu watu ili kuwasaidia kuacha ubaya na upumbavu...hivyo Yahwe husafisha kuondoa kila kitu ambacho si safi. "Yahwe huijaribu mioyo ya watu" + +# mioyo + +...mawazo na hamu za watu + +# midomo miovu + +"mtu mwovu" au "maongezi mabaya" + +# hutega sikio + +"husikiliza" + +# ulimi wa uharibifu + +"mtu mharibifu" au "maongezi ya uharibifu" + diff --git a/pro/17/05.md b/pro/17/05.md new file mode 100644 index 00000000..342c1986 --- /dev/null +++ b/pro/17/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# maskini + +"wale ambao ni maskini" + +# Muumba wake + +" yule ambaye alimuumba" + +# kwa bahati mbaya + +"kwa taabu za watu wengine" + +# ni taji ya + +"huleta heshima na taadhima kwa" + +# wazee + +" wale ambao ni vikongwe" au "watu wenye umri mkubwa" + diff --git a/pro/17/07.md b/pro/17/07.md new file mode 100644 index 00000000..31706713 --- /dev/null +++ b/pro/17/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kauli ya kushawishi + +"kauli nzuri"au "kauli nzuri" + +# midomo ya uongo haifai kabisa kwa mkuu + +"Haifai kabisa kwa mkuu kudanganya" + +# hongo ni kama jiwe la miujiza kwa yule atoaye + +"hongo hufanyakazi kama jiwe la miujiza kwa yule anayeitoa" au "hongo hufanya kazi kama jiwe la miujiza kwa yule anayetoa rushwa" + +# kila anapogeuka + +" kwa kila anachofanya" au "kila anachojaribu kufanya kwa kutoa hongo" + diff --git a/pro/17/09.md b/pro/17/09.md new file mode 100644 index 00000000..c1967ef1 --- /dev/null +++ b/pro/17/09.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kosa + +jambo ambalo huumiza au humkasirisha mtu + +# ambaye hurudia jambo + +"ambaye hurudia kosa la nyuma" + +# huondoa + +"hutenganisha" + +# karipio huenda ndani ya mtu ...kuliko mapigo yaendayo ndani ya mpumbavu + +"karipio utendaji mwingi kwa mtu... kuliko mapigo mia kwa mpumbavu" + +# mtu mwenye ufahamu + +"mtu anayefahamu" + +# mapigo mia kwenda + +"mamia ya mapigo kwenda" + diff --git a/pro/17/11.md b/pro/17/11.md new file mode 100644 index 00000000..7cca1012 --- /dev/null +++ b/pro/17/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# hutafuta uasi + +hutafuta kuasi + +# mjumbe katili atatumwa dhidi yake + +"mjume katili atakuja dhidi yake" + +# atatumwa dhidi yake + +"atatumwa kwenda kumdhuru" + +# dubu aliyeibiwa watoto wake + +"dubu ambaye aliyepoteza watoto wake" + +# katika upumbavu wake + +"ambaye hufanya upumbavu" + diff --git a/pro/17/13.md b/pro/17/13.md new file mode 100644 index 00000000..16f46711 --- /dev/null +++ b/pro/17/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ubaya hautaondoka katika nyumba yake + +"mambo mabaya hayatakoma kutokea kwake na familia yake" + +# mwanzo wa faraka ni kama mtu ambaye humwaga maji kila mahali + +"kuanzisha ugomvi ni kama kusukuma maji na na kuruhusu yaende kila mahali" + +# kupasuka + +"kuanza" + diff --git a/pro/17/15.md b/pro/17/15.md new file mode 100644 index 00000000..f6a62365 --- /dev/null +++ b/pro/17/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yule ambaye humwacha huru mtu mwovu na mtu ambaye humlaumu mtu mwenye haki + +" Yule ambaye huwaacha huru watu waovu na yule ambaye huwalaumu mwenye haki" + +# humwacha huru + +halalisha, tangaza mtu kuwa hana hatia + +# kwa nini mpumbavu yapasa alipe pesa kujifunza juu ya hekima, wakati hana uwezo wa kujifunza juu yake? + +"mpumbavu hapaswi kulipa pesa kujifunza juu ya hekima kwa sababu hana uwezo kujifunza juu yake" + diff --git a/pro/17/17.md b/pro/17/17.md new file mode 100644 index 00000000..5c8dbc2d --- /dev/null +++ b/pro/17/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ndugu amezaliwa kwa ajili ya wakati wa taabu + +"ndugu yupo kwa ajili ya wakati wa taabu" + +# akili + +"maamuzi ambayo si mazuri" + +# ahadi za lazima + +ahadi ambazo ni lazima zitimizwe na mara nyingi ni mzigo kwa yule anayefanya ahadi hii + diff --git a/pro/17/19.md b/pro/17/19.md new file mode 100644 index 00000000..bd639ec6 --- /dev/null +++ b/pro/17/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# husababisha mifupa kuvunjika + +"husababisha mtu kusafiri na kujiumiza mwenyewe" + +# mwenye moyo mdanganyifu + +"ambaye ni mdanganyifu" au "asiye mwaminifu" + +# mwenye ulimi wa ukaidi + +" hunena kwa ukaidi" au "hunena uovu" + +# huanguka katika msiba + +"atapatwa na msiba" + diff --git a/pro/17/21.md b/pro/17/21.md new file mode 100644 index 00000000..9263e66b --- /dev/null +++ b/pro/17/21.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# moyo mchangamfu ni dawa njema + +"moyo mchangamfu ni kama dawa ambayo hukufanya ujisikie vizuri zaidi" + +# hukausha mifupa + +"humfanya mtu awe dhaifu na kukosa afya" + diff --git a/pro/17/23.md b/pro/17/23.md new file mode 100644 index 00000000..1b15f26e --- /dev/null +++ b/pro/17/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kwa kupotosha njia za haki + +"kwa kuzuia kufanyika kwa haki" au "kwa kuzuia haki" + +# huelekeza uso wake kwenye hekima + +"hutenda kwa busara" + +# macho ya mpumbavu ni + +"mpumbavu ni" + +# mwisho wa dunia + +" hutaza mambo yasiyowezekana" + diff --git a/pro/17/25.md b/pro/17/25.md new file mode 100644 index 00000000..e204aacd --- /dev/null +++ b/pro/17/25.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# mwana mpumbavu ni huzuni kwa baba yake + +"mwana mpumbavu huleta huzuni kwa baba yake" + +# mwana mpumbavu ...na uchungu kwa mwanamke + +mwana mpumbavu...huleta uchungu kwa mwanamke + +# aliyemzaa + +"mzazi wake" + +# uchungu + +hisia za maumivu, huzunu + +# si vema ..wala si vizuri + +"siku zote ni vibaya... na ni uovu" + +# mtu mwenye haki + +"mtu asiyekuwa na hatia," + +# kuwachapa + +charaza vikali + +# wenye uadilifu + +"ambao ni waaminifu" + diff --git a/pro/17/27.md b/pro/17/27.md new file mode 100644 index 00000000..cc080fe8 --- /dev/null +++ b/pro/17/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# hutumia maneno machache + +"husema maneno machache" + +# hata mpumbavu hufikiriwa kuwa mwenye busara + +"watu hudhani hata mpumbavu ni mwenye busara" + +# hufunga kinywa chake + +"haongei" + +# hudhaniwa kuwa ni mwenye akili + +"watu humdhania kuwa ni mwenye akili" + diff --git a/pro/18/01.md b/pro/18/01.md new file mode 100644 index 00000000..ae6a43b9 --- /dev/null +++ b/pro/18/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ajitengaye + +"kaa mbali na watu wengine" + +# hupingana na maamuzi yote yaliyosahihi + +" huyakataa maamuzi yote yaliyosahihi" + +# maamuzi sahihi + +"maamuzi mema" au "uchaguzi sahihi" + +# mpumbavu hapati raha katika ufahamu, + +mpumbavu huchukui ufahamu na ufurahia katika" + +# lakini kwa kufunua kilichopo katika moyo wake mwenyewe tu + +"lakini kwa kuwaambia wengine kile kilichopo katika moyo wake mwenyewe" + diff --git a/pro/18/03.md b/pro/18/03.md new file mode 100644 index 00000000..e69ed362 --- /dev/null +++ b/pro/18/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Dharau huja pamoja naye-sambamba na aibu na shutuma + +"huonyesha dharau kwa watu wengine na husabbisha wajisikie aibu na kushutumiwa" + +# aibu na shutuma + +aibu ambayo ama huwakumba watu wengine au mtu mwovu" + +# maneno ya kinywa cha mtu ni maji yenye kina;... chemchemi ya hekima ni mkondo utiririkao + +"maneno yakinywa cha mwenye hekima ni maji yenye kina...chemchemi ya hekima mkondo utiririkao" + +# maneno ya kinywa cha mtu ni maji yenye kina + +"maneno ya kinywa cha mtu ni ya maana sana kama maji yenye kina" + +# maneno ya kinywa + +maneno ya mtu + +# chemchemi ya hekima ni mkondo utiririkao + +"chanzo cha hekima ni tele kama maji ya chemchemi ibubujikayo" + diff --git a/pro/18/05.md b/pro/18/05.md new file mode 100644 index 00000000..99302579 --- /dev/null +++ b/pro/18/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# si vema kwa...kwa mtu mwenye haki + +"Ni vema kumtendea mtu mwovu kama anavyositahili, na kutenda haki kwa mtu mwenye haki" + +# midomo ya mpumbavu huleta + +"anasema mtu mpumbavu huleata" + +# huleta + +"husababisha" + +# kinywa chake hukaribisha mapigo + +"kinywa chake husababisha watu kutaka kupiga" + +# kinywa chake + +"maneno yake anayosema" + diff --git a/pro/18/07.md b/pro/18/07.md new file mode 100644 index 00000000..d0a00815 --- /dev/null +++ b/pro/18/07.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kinywa cha mpumbavu ...kwa midomo yake + +"ambacho mpumbavu hunena... kwa kile asemacho" + +# ni uharibifu wake + +"ataangamizwa" + +# hujitega mwenyewe + +"atasababisha matatizo kwa ajili yake mwenye" + +# maneno ya umbeya ni kama chembe mtamu + +maneno ya udaku yanafurahisha kusikiliza" + +# maneno ya umbeya + +"maneno ambayo mtu mbeya huongea" + +# chembe + +"vipande vidogo vya chakula" + +# huzama katika sehemu za ndani ya mwili + +"huingia katika akili ya mtu na kuathiri mawazo yake" + diff --git a/pro/18/09.md b/pro/18/09.md new file mode 100644 index 00000000..dd118c41 --- /dev/null +++ b/pro/18/09.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# mvivu katika kazi yake ni ndugu yake aliye mharibifu + +" anafanana na" + +# mvivu + +"mzembe" + +# aliye mharibifu zaidi + +" mwenye kuharibu kila kitu" au "mwenye uharibifu daima" + +# jina la Yahwe ni mnara imara + +"Yahwe hulinda kama mnara imara" au "Yahwe huwalinda watu wake kama mnara ambao ni imara" + +# jina la Yahwe + +"Yahwe" + +# wenye haki + +"wale ambao hutenda mema" au "watu waadilifu" + +# huikimbilia na kuwa salama + +"hukimbilia kwake na wapo salama" au "wanamtafuta na wapo salama" + diff --git a/pro/18/11.md b/pro/18/11.md new file mode 100644 index 00000000..8c72607a --- /dev/null +++ b/pro/18/11.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# mali ya tajiri ni mji wake wenye ulinzi + +"mtu tajiri hutegemea mali yake kama mji unavyotegema ukuta wake" + +# tajiri + +"mtu tajiri" + +# mji wake wenye ulinzi + +mji wenye ulinzi imara kama ukuta na mnara + +# katika mawazo yake ni kama ukuta mrefu + +"hudhani utampatia ulinzi kama ukuta mrefu" + +# kabla ya anguko lake moyo wa mtu hujivuna + +"kwanza moyo wa mtu hujivuna, lakini baadaye huja anguko lake" + +# anguko + +hushuka kwa heshima ya mtu au afya + +# moyo wa mtu + +mawazo na hisia za mtu + +# unyenyekevu huja kabla ya heshima + +"mtu lazima awe mnyenyekevu kabla ya kuweza kuheshimiwa" + diff --git a/pro/18/13.md b/pro/18/13.md new file mode 100644 index 00000000..663fb4e3 --- /dev/null +++ b/pro/18/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ni upumbavu wake na aibu + +"ni upumbavu wake na anapaswa kupata aibu" + +# roho ya mtu itapona ugonjwa + +"mtu mwenye matumaini atapona ujonjwa" au "kama mtu amejaa matumaini ndani yake, ataondokana na ugonjwa" + +# lakini moyo ulivunjika ni nani anaweza kuusitahimili? + +"lakini ni vigumu kusitahimili moyo uliovunjiaka" + +# moyo uliovunjiaka + +kuhuzunika, kuwa na mahuzuniko + diff --git a/pro/18/15.md b/pro/18/15.md new file mode 100644 index 00000000..a8991abe --- /dev/null +++ b/pro/18/15.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# moyo wa mwenye busara hupata + +"mwenye busara hutamani kupata" + +# mwenye busara + +"wale wenye busara" au "watu wenye busara" + +# hupata + +"ongeza" au "jipatia" + +# kusikia kwa mwenye busara hutafua + +"mwenye busara huitafuta kujifunza juu ya" + +# mwenye busara + +"watu wenye busara" + +# huitafuta + +hutafuta kujifunza juu ya "maarifa" + +# huweza kufungua njia + +"kutengeneza fursa kwa ajili yake" + +# humleta mbele + +"humwezesha kutambulishwa kwa" + diff --git a/pro/18/17.md b/pro/18/17.md new file mode 100644 index 00000000..5115ba93 --- /dev/null +++ b/pro/18/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwanza + +"mtu wa kwanza" + +# kupiga kura + +kuchagua + +# na kutenganisha washindani imara + +"na husababisha washindani kuacha kupigana juu ya ugomvi wao" + diff --git a/pro/18/19.md b/pro/18/19.md new file mode 100644 index 00000000..e0ed4031 --- /dev/null +++ b/pro/18/19.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# ndungu aliyekosewa ni mugumu kushindwa kuliko mji imara + +"kama utamkosea ndugu yako, kutafuta namna ya kupatana naye tena inaweza kuwa vigumu kuliko kupigana kuuteka mji" + +# ugomvi ni kama makomeo ya ngome + +kusulihisha ugomvi ni vigumu kama kuvunja makomeo ya ngome" + +# ngome + +kasri lililozungushiwa uigo/ukuta + +# tumbo la mtu hujazwa kutokana na matunda ya kinywa chake; kwa mavuno ya midomo yake huridhishwa + +" mtu hutoshelezwa kwa matokeo ya mazuri ya mambo anayonena" + +# matunda ya kinywa chake + +"maneno yake mazuri" + +# tumbo la mtu hujazwa + +"mtu hutoshelezwa" + +# kwa mavuno ya midomo yake + +"maneno yake mazuri" + +# huridhishwa + +"hufurahishwa" + diff --git a/pro/18/21.md b/pro/18/21.md new file mode 100644 index 00000000..f48bb0a6 --- /dev/null +++ b/pro/18/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mauti na uzima hutawaliwa kwa ulimi + +"ulimi unaweza kuongoza kwenda kwenye uzima au mauti" au "maneno ya watu wanayonena yanaweza kuwaongoza kwenda kwenye uzima au mauti" + +# kwa ulimi... kupenda ulimi + +"kwa maneno ambayo watu huongea ...kupenda kuongea" + +# watakula matunda yake + +"atapokea madhara yake" + diff --git a/pro/18/23.md b/pro/18/23.md new file mode 100644 index 00000000..26ee0528 --- /dev/null +++ b/pro/18/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# marafiki wengi humleta kwenye uharibifu + +"marafiki wengi watamharibu" + +# huja karibu sana kuliko + +"mwaminifu kuliko" au "huwa mwema zaidi" + diff --git a/pro/19/01.md b/pro/19/01.md new file mode 100644 index 00000000..6ca923aa --- /dev/null +++ b/pro/19/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# bora mtu maskini + +"ni bora kuwa mtu maskini" + +# ambaye hutembea katika uadilifu wake + +"ambaye huishi katika uadiifu" au "ambaye huishi kwa uaminifu" + +# ni mpotofu katika kauli + +"huongea kwa kupotosha" au "huongea kwa namna mbaya" + +# kuwa na hamasa bila maarifa + +"kufanya kazi kwa bidii bila kujua unachokifanya" + +# ambaye hukimbia haraka sana hukosea njia + +"ambaye hutenda kwa haraka hufanya makosa" au " ambaye hufanya haraka hufanya maamuzi dhaifu" + diff --git a/pro/19/03.md b/pro/19/03.md new file mode 100644 index 00000000..069708f0 --- /dev/null +++ b/pro/19/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# moyo wake hukasirika + +moyo unawakilisha hisia zake " hughadhabika" + +# utajiri huongeza marafiki wengi + +"wale wenye ukwasi hupata marafiki wengi kwa urahisi" + +# mtu maskini hutengwa na marafiki zake + +"umaskini husababisha mtu kupoteza marafiki zake" + diff --git a/pro/19/05.md b/pro/19/05.md new file mode 100644 index 00000000..62ca064b --- /dev/null +++ b/pro/19/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# shahidi wa uongo hatakosa kuadhibiwa + +"hakika watamwadhibu shahidi wa uongo" + +# yeye ambaye hunong'ona uongo hataokoka + +"watamkamata mtu yule ambaye hunong'ona uongo" + +# mtu mkarimi + +mtu ambaye mara nyingi hutoa vitu + +# kila mtu ni rafiki + +"huonekana kwamba kila mtu ni rafiki" au "karibia kila mtu ni rafiki" + diff --git a/pro/19/07.md b/pro/19/07.md new file mode 100644 index 00000000..79a686ae --- /dev/null +++ b/pro/19/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# jinsi gani rafiki zake huzidi kwenda mbali naye! + +"kwa hiyo marafiki zake watamchukia na kujitenga naye" + +# huyapenda maisha yake mwenyewe + +"hujipenda mwenyewe" + +# ahikaye ufahamu + +"mwenye ufahamu" + diff --git a/pro/19/09.md b/pro/19/09.md new file mode 100644 index 00000000..039c2072 --- /dev/null +++ b/pro/19/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# shahidi wa uongo hatakosa kuadhibiwa + +"hakika watamwadhibu shahidi wa uongo" + +# hunong'ona uongo + +"hudanyanya daima" + +# haifai + +"siyo sawa" + +# anasa + +hali ya ukwasi na furaha + +# sembuse kwa mtumwa + +"haifai zaidi kwa mtumwa" au "ni vibaya zaidi kwa mtumwa" + diff --git a/pro/19/11.md b/pro/19/11.md new file mode 100644 index 00000000..5ccac61c --- /dev/null +++ b/pro/19/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Busara humfanya mtu awe mpole + +" mtu mwenye busara ni si mwepesi wa hasira" + +# Busara + +angalia 1:4 + +# ni utukufu wake kusamehe + +"itakuwa utukufu kwake kusamehe" au "wengine dhani kuwa ni heshima kama atasamehe" + +# kusamehe + +kusahau jambo kwa lengo + +# ghadhabu ya mfalme ni kama ngurmo ya simba kijana + +" ghadhabu ya mfalme ni hatari kama shambulizi la simba kijana" + +# lakini fadhila yake ni kama umande juu ya majani + +"lakini fadhila yake inaburudisha kama umande juu ya majani" au "fadhila yake inaburudisha kama umande juu ya ardhi wakati wa asubuhi" + diff --git a/pro/19/13.md b/pro/19/13.md new file mode 100644 index 00000000..3be9985c --- /dev/null +++ b/pro/19/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# ni uharibifu kwa baba yake + +"atafanya uharibifu kwa baba yake" + +# mke mgomvi ni maji ya kutona tona daima + +"mke mgomvi anakera na kufadhaisha kama maji yenye kuvuja daima" + +# mke mgomvi + +"mke mbishi" au " mke asiye na makubaliano" + +# Nyumba na ukwasi ni urithi kutoka kwa wazazi + +"watoto hurithi nyumba na mali kutoka kwa wazazi" + +# busara + +angalia 12:23 + +# mke mwenye busara anatoka kwa Yahwe + +"Yahwe hutoa mke mwenye busara" + diff --git a/pro/19/15.md b/pro/19/15.md new file mode 100644 index 00000000..59cc7c83 --- /dev/null +++ b/pro/19/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# uvivu humtupa mtu kwenye usingizi mzito + +""uvivu humfanya mtu alale sana" au " mtu mvivu hulala sana" + +# kwenda njaa + +"kuwa na njaa" + +# amri + +"amri ambayo alifundishwa" + +# hulinda maisha yake + +"huyatunza maisha yake" + +# njia zake + +"namna anavyoishi " + diff --git a/pro/19/17.md b/pro/19/17.md new file mode 100644 index 00000000..7117425b --- /dev/null +++ b/pro/19/17.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# yeye ambaye ni mkarimu kwa maskini humkopesha Yahwe + +"mtu ambaye hutoa kwa maskini hutoa kwa Yahwe" + +# maskini + +"watu fukara au watu maskini" + +# wakati kuna matumaini + +"wakati bado ni mdogo" au "wakati bado anaweza kufundishwa" + +# na wala usitamani kumwua + +""lakini usimwadhibu sana atakufa" au " kama hutamwadhibu utamwangamiza" + +# usitamani + +"kusudia kumweka" + diff --git a/pro/19/19.md b/pro/19/19.md new file mode 100644 index 00000000..0bc0027a --- /dev/null +++ b/pro/19/19.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mtu mwenye hasira + +"mtu ambaye hupata hasira upesi" + +# lazima alipe malipo ya kosa + +" lazima apate madhara ya hasira yake" au "lazima abebe matokeo ya matendo yake wakati wa hasira" + +# kama utamwokoa + +" kama utamaidia baada ya kupata hasira yake ya ghafla" + +# mara ya pili + +"mara mbili" au "tena" + +# sikiliza ushauri na ukubali maelekezo + +haya ni maneno ya kusisitiza umuhimu. + +# sikiliza + +"zingatia ushauri" + diff --git a/pro/19/21.md b/pro/19/21.md new file mode 100644 index 00000000..3de9f0a7 --- /dev/null +++ b/pro/19/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# katika moyo wa mtu + +"katika akili ya mtu" au "hamasa ya mtu" + +# kusudi la Yahwe + +"mipango ya Yahwe" au "kusudi la Yahwe" + +# hilo litasimama + +Hii ni nahau maanya yake " hilo litatokea" + diff --git a/pro/19/23.md b/pro/19/23.md new file mode 100644 index 00000000..2cf5298f --- /dev/null +++ b/pro/19/23.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kumheshimu Yahwe huleta uzima kwa watu; kila mmoja wenye nayo atatosheka + +"ambao wanamheshimu Yahwe wataishi muda mrefu; mwenye kumheshimu Yahwe atatoshelezwa" + +# kila mmoja mwenye + +"kila anayemheshimu Yahwe" + +# ametosheka na hana madhara + +"atatosheka; atakuwa salama" + +# mvivu + +angalia 10:26 + +# huzika mkono wake katika sinia + +"huzamisha mkono wake kwenye sinia" au "huweka mkono wake kwenye sahani". katika utamaduni wa Biblia watu walitumia mikono kula kama watu wengine wanavyofanya hata leo + +# hataurudisha tena juu kwenye kinywa chake + +" lakini ni mvivu kuuleta mkono kwenye kinywa ili kula mwenyewe" + diff --git a/pro/19/25.md b/pro/19/25.md new file mode 100644 index 00000000..450fab44 --- /dev/null +++ b/pro/19/25.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mpige mwenye dhihaka, na mtu mjinga + +"ukimpiga mwenye dhihaka, mtu mjinga" + +# mpige + +"wadhibu" + +# mtu mjinga + +mtu asiye na uzoefu, au "mtu ambaye bado mchanga" + +# busara + +agalia 12:23 + +# mwadibishe mwenye ufahamu, na + +"kama utamwadibisha yule mwenye ufahmu" + +# atapata maarifa + +"atajua zaidi" + diff --git a/pro/19/26.md b/pro/19/26.md new file mode 100644 index 00000000..ecff2c0c --- /dev/null +++ b/pro/19/26.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# huleta aibu na fedheha + +"huleta aibu na fedheha kwake mwenyewe" au "huleta kwenye familia yake mwenyewe" + +# kama utaacha kusikiliza maelekezo + +"kama utaacha kuzingatia maelekezo" au "kama utaacha kutii maelekezo" + +# utapotea + +"utaacha" au " au utageuka nyuma" + +# maneno ya maarifa + +"maarifa" + diff --git a/pro/19/28.md b/pro/19/28.md new file mode 100644 index 00000000..45b76c1f --- /dev/null +++ b/pro/19/28.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kinywa cha waovu humeza makosa + +"waovu hufurahia kutenda uovu kama wanavyofurahia kula chakula" + +# kinywa cha waovu humeza makosa + +watu waovu wanawakilishwa na "kinywa" + +# waovu + +"watu waovu" + +# hukumu ipo tayari kwa ajili ya wenye dhuhaka na mapigo kwa ajili + +"Yahwe yupo tayari kuwahukumu wenye dhihaka na kuwapiga" + +# mapigo kwa ajili ya migongo + +"mapigo yapo tayari kwa ajili ya migongo"au " yupo tayari kuipiga migongo yao" + +# mapigo + +kuchapa kwa kutumia fimbo au mjeredi + diff --git a/pro/20/01.md b/pro/20/01.md new file mode 100644 index 00000000..0776de24 --- /dev/null +++ b/pro/20/01.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# mvinyo ni dhihaka na kileo ni mgomvi + +Hapa inaeleza juu ya hatari ya kunywa pombe nyingi + +# mvinyo ni dhihaka + +"mtu ambaye hulewa kwa mvinyo hudhihaki" + +# kileo ni mgomvi + +"mtu ambaye hulewa kwa kileo huanzisha mapinga" + +# mgomvi + +mtu ambaye hupigan kwa makelele, hasa katika sehemu za watu wengi + +# yeyote ambaye hupotea kwa kunywa hana busara + +"anayekunywa hadi kushindwa kufikiri vizuri " + +# kwa kunywa + +"kunywa" hapa inamaanisha kunywa pombe + +# hana busara + +"ni mpumbavu" + +# kumwogopa mfalme ni kama kumwogopa simba kijana anayeunguruma + +ghadhabu ya mfalme hufanya watu waogope kama vile wanakabiliana na simba kijana mwenye kuunguruma" + +# mwenye kumkasirisha + +"kumfanya mfalme akasirike" + +# hufidia uhai wake + +"atakufa" + diff --git a/pro/20/03.md b/pro/20/03.md new file mode 100644 index 00000000..7f7c0881 --- /dev/null +++ b/pro/20/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ni heshima + +"maana yake mtu huyu ataheshimiwa" + +# kila mpumbavu hurukia kwenye mabishano + +"kila mpumbavu huingia kwenye mabishano kwa haraka" au " kila mpumbavu ni mwepesi kujiunga kwenye mabishano" + +# kulima + +kuandaa shamba kwa ajili ya kupanda + +# wakati wa kupanda + +majira ya kupanda + +# lakini hatapata kitu + +"hatapata kitu cha kuvuna" + diff --git a/pro/20/05.md b/pro/20/05.md new file mode 100644 index 00000000..e6d45367 --- /dev/null +++ b/pro/20/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kusudio la moyo wa mwanadamu ni kama maji yenye kina + +"Ni vigumu kufahamu kusudi katika moyo wa mwanadamu ni kama kufika kwenye kilindi cha kisima" au " kusudi la moyo wa mwanadamu ni vigumu kulifahamu" + +# mtu mwenye ufahamu + +"mtu yule mwenye ufahamu" + +# atayateka + +"atasababisha kusudi kujulikana" au "atalichungu za" + +# mwaminifu + +"mwenye kuaminika" + +# lakini ni nani anaweza kumpata mtu ambaye ni mwaminifu? + +" lakini watu wachache wanaweza mtu ambaye ni mwaminifu" au "lakini ni vigumu kupata mtu ambaye ni mwaminifu kweli " + diff --git a/pro/20/07.md b/pro/20/07.md new file mode 100644 index 00000000..e84598eb --- /dev/null +++ b/pro/20/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hutembea katika uadilifu + +"huishi kwa uadilifu wake" au " huishi kwa uamninifu" + +# mwana wake watafuata baada yake + +"mwana wake baada yake" + +# hupepeta kwa macho yake mabaya yote ambayo yapo mbele yake + +"huona na kuchambua maovu ya namna mbalimbali ambayo huletwa mbele yake" + diff --git a/pro/20/09.md b/pro/20/09.md new file mode 100644 index 00000000..efc681cb --- /dev/null +++ b/pro/20/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nani anaweza kusema, " moyo wangu nimeuweka safi; nipo huru kutokana na dhambi zangu"? + +"hakuna mtu anaweza kusema kwamba moyo wake ni safi na yupo huru kutoka dhambini" + +# moyo wangu + +"mimi mwenyewe" + +# safi + +mtu ambaye Mungu humtafakari kuwa anakubalika kiroho. + +# nipo huru kutokana na dhambi zangu + +"sina dhambi" au "sijatenda dhambi" + diff --git a/pro/20/11.md b/pro/20/11.md new file mode 100644 index 00000000..62b29e8e --- /dev/null +++ b/pro/20/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# hata kijana anajulikana kwa matendo yake + +"watu wanamjua kijana kwa matendo yake" + +# mwenendo wake + +"matendo yake" au "kwa yale anayotenda" + +# safi na adili + +maneno haya yana maana moja, yanahimiza jinsi kijana alivyo mwema "safi" + +# masikio ambayo husikia na macho ambayo huona + +maana yake ni kwamba Yahwe aliumba milango yetu yote ya fahamu. + diff --git a/pro/20/13.md b/pro/20/13.md new file mode 100644 index 00000000..c896a777 --- /dev/null +++ b/pro/20/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# huwa maskini + +"anakuwa maskini" + +# fumbua macho yako + +"uwe tayari" au "uwe macho" + +# "Mbaya! Mbaya!" anasema mnunuzi, lakini akiondoka hujisifu + +"Mbaya! Mbaya!" anasema mnunuzi kumkosoa muuzaji, lakini baada ya kununua anakwenda zake akijisifu kuhusu bei ndogo aliyolipa" + diff --git a/pro/20/15.md b/pro/20/15.md new file mode 100644 index 00000000..243b6490 --- /dev/null +++ b/pro/20/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# midomo ya maarifa ni marijani ya thamani + +"midomo yenye maarifa inathamani kama marijani ya gharama sana" + +# midomo ya maarifa + +"maneno yenye busara" au "maneno ya maarifa" + +# chukua vazi lake yeye ambaye ameliweka dhamana kwa ajili ya mgeni + +"chukua vazi kama dhamana kutoka kwa mdhamini wa mgeni ambaye ameahidi kulipa kwa kitu achoazima mgeni" + +# ameliweka dhamana + +"dhamini kuwa kilichoazimwa kitarudishwa" au "ahidi kulipa deni" + +# shikilia rehani + +" shikilia koti lake kama dhamana ya malipo" + diff --git a/pro/20/17.md b/pro/20/17.md new file mode 100644 index 00000000..2e30b954 --- /dev/null +++ b/pro/20/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# mkate uliopatikana kwa udanganyifu + +"mkate ambao mtu ameupta kwa kudanganya" + +# kwa udanganyifu + +"kwa kuwadanganya wengine" + +# mkate + +"chakula" + +# ladha yake tamu + +" ladha yake ni nzuri" + +# lakini baadaye kinywa chake kitajaa kokoto + +"lakini baadaye ladha yake itakuwa kama kokoto katika kinywa chake" au " lakini punde ladha yake ni kama mchanga katika kinywa chake" + +# kokoto + +vipande vidogo vya jiwe + +# mipango himarishwa kwa ushauri + +"watu huimarisha mipango kwa namna ya ushauri" + diff --git a/pro/20/19.md b/pro/20/19.md new file mode 100644 index 00000000..cd0bd1e5 --- /dev/null +++ b/pro/20/19.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# mbeya + +maana yake mtu ambaye husengenya sana. + +# usishirikiane pamoja na + +" hupaswi kuwa na urafiki na" + +# kama mtu atamlaani + +"Maana yake kama mtu ataonyesha shaukua ya mambo mabaya yatokee kwa mtu mwingine" + +# taa yake itazimwa katikati ya giza + +"maisha yake tatakoma ghafla kama mwanga ambao umepulizwa katika giza" au "atakufa ghafla" + +# taa yake itazimwa + +"taa yake itazimika" + +# taa yake + +" mwanga wa taa yake" + +# zimwa + +kusababisha mwanga uondoke + diff --git a/pro/20/21.md b/pro/20/21.md new file mode 100644 index 00000000..b5598fff --- /dev/null +++ b/pro/20/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hapo mwanzo + +"kabla ya muda" + +# nitalipiza + +"nitakuadhibu" + +# kumsubiri Yahwe + +"kuwa na imani kwa Yahwe" au " kumtumaini Yahwe" + diff --git a/pro/20/23.md b/pro/20/23.md new file mode 100644 index 00000000..d513c241 --- /dev/null +++ b/pro/20/23.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yahwe huchukia kipimo visivyo sawa na vipimo vya udhalimu si vizuri + +tungo zote mbili zinahusika na jambo moja la kuonyesha "ubaya" + +# hatua za mtu huogozwa na Yahwe + +"Yahwe huongoza hatua za mtu" + +# hatua za mtu + +matendo ya mtu + +# je kwahiyo anaweza kuifahamu njia yake? + +"kwa hiyo mtu hawezi kuifahamu njia yake" + +# kuifahamu njia yake + +"kuifahamu kwa nini mambo kadhaa hutokea katika maisha yake" + diff --git a/pro/20/25.md b/pro/20/25.md new file mode 100644 index 00000000..73f293aa --- /dev/null +++ b/pro/20/25.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# ni mtego + +"ni hatari" + +# kusema kwa haraka + +kusema jambo kwa haraka na bila kufikiri kwa umakini maana yake + +# kuweka nadhiri + +"kuweka wakifu kwa Yahwe" au "kutamka kuwa ni takatifu" + +# kuwapepeta waovu + +"kuwatenga waovu" + +# waovu + +"wale ambao ni waovu" au "watu waovu" + +# na kuwazungushia gurudumu la kupuria juu yao + +"na huwaadhibu vikali" + +# gurudumu la kupuria + +"mkokoteni wa kupuria" + diff --git a/pro/20/27.md b/pro/20/27.md new file mode 100644 index 00000000..65a60c02 --- /dev/null +++ b/pro/20/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# roho ya mtu ni taa ya Yahwe, ikichunguza sehemu zake zote za ndani + +"Yahwe anetupatia roho ya kujitambua kwa undani, kama taa inavyokufanya uone katika giza" + +# agano la uaminifu na dhamana humlinda mfalme + +"mfalme hujilinda yeye mwenyewe kwa agano lake la uaminifu na mdhamana" + +# humlinda mfalme + +humweka salama mfalme kutoka katika madhara + +# kiti chake cha enzi huthibitishwa kwa upendo + +kiti chake cha enzi huthibitishwa kwa upendo wake + +# kiti chake cha enzi huthibitishwa kwa upendo + +"mfalme huhakikisha kuwa atatawala kwa muda mrefu kwa kuonyesha upendo kwa wengine" + diff --git a/pro/20/29.md b/pro/20/29.md new file mode 100644 index 00000000..d310eff8 --- /dev/null +++ b/pro/20/29.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mapigo ambayo hujeruhi husafisha mabaya na mapigo husafisha sehemu za ndani + +"kumpiga aliyefanya kosa kutamsahihisha na kumfanya kuwa mtu mzuri" + diff --git a/pro/21/01.md b/pro/21/01.md new file mode 100644 index 00000000..7bba0965 --- /dev/null +++ b/pro/21/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# moyo wa mfalme ni mkondo wa maji katika mkono wa Yahwe + +"yahwe hutawala moyo wa mfalme kama mtu anavyoyaongoza maji kwa ajili ya umwagiliaji" + +# moyo wa mfalme + +"mawazo ya mfalme na matendo" au" jinsi mfalme anavyofikiri na ambacho anataka kufanya" + +# kila njia ya mtu ni sawa katika macho yake mwenyewe + +"kila mtu hufikiria kwamba anafanya mema" + +# ni nani huipima mioyo + +"ni nani atayahukumu mawazo" + diff --git a/pro/21/03.md b/pro/21/03.md new file mode 100644 index 00000000..0d3c9fad --- /dev/null +++ b/pro/21/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kutenda haki + +"kufanya kila ambacho Yahwe anafikiri kuwa ni haki" + +# kutenda ...haki + +"kuwatendea watu namna Yahwe anavyotaka watu kuwatendea watu wengine" + +# haki inakubalika zaidi mbele ya Yahwe + +"Yahwe anataka zaidi-haki + +# macho yenye kiburi na moyo wa majivuno + +"watu wanaotaka wengine kufikiri kuwa ni bora kuliko watu wengine" + +# macho yenye kiburi + +mtu ambaye anataka watu wengine wafahamu kwamba anafikiri yeye ni bora kuliko wao. + +# moy wa majivuno + +mtu ambaye hufikiri yeye ni bora kuliko wengine + +# taa ya waovu + +"mambo ambayo huwasaidia watu waovu kama taa inavyosaidia kuon kwenye giza" + diff --git a/pro/21/05.md b/pro/21/05.md new file mode 100644 index 00000000..8df5dcdc --- /dev/null +++ b/pro/21/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# bidii + +"mtu mwenye bidii" au "mtu ambaye hufanya kazi kwa bidii" + +# huja katika umaskini + +"huwa maskini" + +# kujipatia utajiri + +"kupata utajiri " + +# mvuke upitao upesi + +"umende unaotoweka" + +# na mtego ambao huua + +ambao huvutia wanyama kwenye mtego + diff --git a/pro/21/07.md b/pro/21/07.md new file mode 100644 index 00000000..bd9dbdf3 --- /dev/null +++ b/pro/21/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# vurugu ya waovu itawasukimia mbali; + +Mungu atawaadhibu watu waovu ambao huwaumiza majirani zao wasio kwa sababu ya matendo ya vurugu wanayofanya + +# vurugu ya waovu + +"matendo ambayo waovu hutenda kwa ajili ya kuwaumiza majirani zao wasiokuwa na hatia" + +# huwasukumia mbali + +"kuwakamata na kuwalazimasha kuonekana mbele za Mungu ili aweze kuwahukumu" + +# njia ya mtu mwenye hatia ni udanganyifu + +"mtu mwenye hatia huishi katika njia ya udanganyifu" + +# danganyifu + +"mbaya" + diff --git a/pro/21/09.md b/pro/21/09.md new file mode 100644 index 00000000..c1614948 --- /dev/null +++ b/pro/21/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# pembe ya darini + +Waisraeli wa kale walitumia muda wao mwingi kwenye dari zao, ambapo ilikuwa baridi zaidi kuliko ndani ya nyumba, na wakati mwingine watu walijenga sehemu ya kutosha kulala katika pembe ya dari + +# mgomvi + +mtu ambaye mara nyingi hubisha au hulalamika + +# hamu ya waovu ni kutamani ubaya + +kutamani + +# kutamani + +"kuwa na hamu kubwa mno" + +# hakuna huruma machoni pake + +"hana huruma" au "ni mchoyo sana" + diff --git a/pro/21/11.md b/pro/21/11.md new file mode 100644 index 00000000..67883ba5 --- /dev/null +++ b/pro/21/11.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# mwenye dhihaka anapoadhibiwa + +" mtu anapomwadhibu mwenye dhihaka" + +# mjinga + +"bila uzoefu, asiye mkomavu, bado na hali ya uchanga" + +# mwenye dhihaka + +"mtu anayewadhihaki wengine" + +# mwenye busara anapofundishwa + +"mtu anapomfundisha mwenye busara" + +# hushika maarifa + +maarifa yanaongelewa kama ni kifaa ambacho mtu kukisha na kuhifadhi kwa ajili yake. + +# mwenye haki + +"mtu wa haki yeyote" au "Yahwe ambaye ni mwenye haki" + +# huangalia + +" tafakari kwa makini" + +# watu waovu huleta kwenye maangamizi + +"huwaangamiza" + diff --git a/pro/21/13.md b/pro/21/13.md new file mode 100644 index 00000000..187b105f --- /dev/null +++ b/pro/21/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# azibaye masikio yake kwenye kilio cha maskini + +Hii ni nahau "ambaye hatasikiliza wakati watu maskini wanapoomba msaada" + +# hatajibiwa + +"hakuna atakayefanya jambo lolote kwa ajili ya kumsaidia" + +# hutuliza hasira + +"kumfanya mtu mwenye hasira ajisikie vizuri na asiendelee kuwa na hasira tena" + diff --git a/pro/21/15.md b/pro/21/15.md new file mode 100644 index 00000000..9d824e89 --- /dev/null +++ b/pro/21/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# haki inapotendeka + +"watawala wanapotenda haki" + +# huzurura kutoka kwenye njia ya ufahamu + +Hii ni nahau "kuacha kuishi kwa busara" + +# atapumzika katika kusanyiko la wafu + +"atabaki katika kusanyiko la roho za wafu" + diff --git a/pro/21/17.md b/pro/21/17.md new file mode 100644 index 00000000..47b00be9 --- /dev/null +++ b/pro/21/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ni fidia kwa + +"fidia"mtu kuchukua nafasi ya mtu mwingine + +# mdanganyifu + +mtu ambaye huwaumiza wale ambao wanamwami kwa kudanganya na kutenda kwa uongo + +# watu waadilifu + +"watu wenye haki" au " watu waaminifu' au "watu watendao haki" + diff --git a/pro/21/19.md b/pro/21/19.md new file mode 100644 index 00000000..94e1465e --- /dev/null +++ b/pro/21/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# busara + +"mtu wa busara" + +# huyaharibu + +"huyatumia yote" + diff --git a/pro/21/21.md b/pro/21/21.md new file mode 100644 index 00000000..b7e5786d --- /dev/null +++ b/pro/21/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# huupima mji + +"hupanda juu ya ukuta unaouzunguk mji" + +# mji wa wenye nguvu + +"mji ambao mashujaa wanaishi" au "mji wa mashujaa wenye nguvu" + +# huuangusha + +"huuharibu" + +# ngome ambayo huitumaini + +"kuta na minara kuuzunguka mji ambavyo vilidhaniwa kwamba hakuna mtu angeweza kuvuka kuingia kwenye mji, hivyo walijiona kuwa wapo salama" + diff --git a/pro/21/23.md b/pro/21/23.md new file mode 100644 index 00000000..96849074 --- /dev/null +++ b/pro/21/23.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# yeye mwenye kulinda kinywa chake na ulimi + +"yeye ambaye ni mwangalifu katika maneno anayoyasema" + +# mtu mwenye kiburi na majivuno...hutenda mambo kwa maringo na ufahari + +"watu mwenye kiburi na majivuno hutenda mambo kwa marigo na ufahari" + +# mwenye kiburi na majivuno + +maneno haya yana maana moja kumaanisha jinsi mtu alivyo na kiburi + +# dhihaka ndilo jina lake + +"mwenye dhihaka anapaswa kuitwa "dhihaka" + diff --git a/pro/21/25.md b/pro/21/25.md new file mode 100644 index 00000000..cf0223bf --- /dev/null +++ b/pro/21/25.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# uchu wa mvivu humfisha + +"mtu mvivu hutaka kukaa bila kazi, na kwa sababu hiyo atakufa" au mtu mvivu atakufa kwa sababu hataki kufanya kazi" + +# mkono wake hugoma + +"yeye hugoma" + +# hutamani + +"taka kitu kwa hamumno" au "kuwa na uchu sana" + +# hutoa na wala hazuii + +"hutoa kila kitu ambacho anapaswa" au "hutoa kwa ukarimu" + diff --git a/pro/21/27.md b/pro/21/27.md new file mode 100644 index 00000000..6f3c2d73 --- /dev/null +++ b/pro/21/27.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# dhabihu ya mwovu ni chukizo + +Yahwe huichukia dhabihu ya mwovu. + +# mwovu + +"mtu mwovu" au "watu waovu" + +# hata ni chukizo zaidi + +"Yahwe huichukia zaidi dhabihu" + +# atasema kwa wakati wote + +hii ni kwa sababu watu hawatasahau ambacho amesema + diff --git a/pro/21/29.md b/pro/21/29.md new file mode 100644 index 00000000..3349ff0c --- /dev/null +++ b/pro/21/29.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# huufanya uso wake kuwa mgumu + +"hujifanya kuwa na ujasiri" au "hatasikiliza kurudiwaiwa" + +# ni mnyofu katika njia zake + +" anauhakika kwamba yale atendayo ni haki kwa sababu huhakikisha ni hakika kabla ya kutenda" + diff --git a/pro/21/30.md b/pro/21/30.md new file mode 100644 index 00000000..8a983961 --- /dev/null +++ b/pro/21/30.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# hakuna hekima, hakuna ufahamu, na hakuna ushauri ambao + +"Yahwe ni mkuu kuliko kuliko kitu chochote ambacho mtu anakifahamu, anakifikiri au anachosema. "hakuna mwenye busara, ufahamu wa kitu chochote, au mwenye kuwaagiza wengine kufanya jambo furani" + +# kusimama dhidi ya Yahwe + +"kumshinda yahwe" au " kufanya kazi dhidi ya mapenzi ya Yahwe" au " kuonesha kwamba anahaki na Yahwe amekosea" + +# farasi hutayarishwa kwa ajili ya siku ya mapigano + +"wanajeshi huandaa farasi kwa ajili ya siku ya mapigano" + +# siku ya mapigano + +"wakati kuna mapigano" + diff --git a/pro/22/01.md b/pro/22/01.md new file mode 100644 index 00000000..d02cbc5e --- /dev/null +++ b/pro/22/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# jina jema huchaguliwa dhidi ya utajiri mwingi + +"mtu anapaswa kuchagua jina jema kuliko utajiri mwingi" + +# jina jema + +"wetu wengine waone ya kuwa ni mtu mwema" + +# hufanana kwa hili + +"wanafanana kwa namna moja" au "wanafanana kwa hili" + diff --git a/pro/22/03.md b/pro/22/03.md new file mode 100644 index 00000000..87b69b1e --- /dev/null +++ b/pro/22/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mtu mwenye busara + +"mtu ambaye ni mwenye busara" au "mtu mwenye akili njema" angali 12:15 + +# mjinga + +"bila uzoefu, asiye mkomavu, bado na hali ya uchanga" + diff --git a/pro/22/05.md b/pro/22/05.md new file mode 100644 index 00000000..8b2f0717 --- /dev/null +++ b/pro/22/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# miiba na mitego huwa katika njia ya mkaidi + +wakaidi watapata taabu kwa sababu ya "miiba" ya asili na "mitego" ya kutengenezwa na wanadamu. + +# mitego + +mitambo ya kunasa wanyama + +# mkaidi + +"watu wakaidi" + +# mwenye kuyalinda maisha yake + +"watu ambao wanataka kuishi kwa muda mrefu" + +# njia anayopaswa kuifuata + +"namna ya kuishi" + diff --git a/pro/22/07.md b/pro/22/07.md new file mode 100644 index 00000000..302c17b4 --- /dev/null +++ b/pro/22/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kopa ...kopesha + +"kopa pesa ...kopesha pesa" + +# yeye anayepanda udhalimu atavuma taabu + +"kama mtu atawatendea kwa udhalimu watu ambao wanauwezo mdogo kuliko yeye, baadaye watamsababishia taabu". + +# fimbo ya ghadhabu yake itanyauka + +1) mtawala dhalimu atapoteza mamlaka yake ambayo aliyatumia kwa kutenda udhalimu kwa watu. 2)watu watajibu dhidi ya udhalimu wake aliotumia kuwaumiza, na hatakuwa na nguvu ya kuwazuia. "hatakuwa na mamlaka aliyoyatumia kuwaumiza watu" + +# itanyauka + +...miti inapokauka + diff --git a/pro/22/09.md b/pro/22/09.md new file mode 100644 index 00000000..6b67a593 --- /dev/null +++ b/pro/22/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa + +"Mungu atambariki mwenye jicho la ukarimu" + +# mwenye jicho la ukarimu + +"mtu mkarimu" au "mtu ambaye yupo tayari kutoa vitu kwa ajili ya watu wengine" + +# mkate + +Mkate ulikuwa chakula kikuu kwa watu wengi nyakati za Biblia, mara nyingi ulitumika kuwakilisha chakila kwa ujumla. + +# mabishano na matukano vitaondoka + +"watu hawatabishana tena au kusema vitu vya kuumizana" + diff --git a/pro/22/11.md b/pro/22/11.md new file mode 100644 index 00000000..5c99276b --- /dev/null +++ b/pro/22/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# apendaye usafi wa moyo + +" kupenda kuwa na moyo safi" au "kutaka kuwa safi" + +# huruma + +"mpole" + +# macho ya Yahwe hutazama + +"Yahwe huyalinda maarifa" + +# hutazama maarifa + +"huyalinda maarifa" + +# huyapindua + +"huyaharibu" + +# udanganyifu + +"mtu mdanganyifu" + diff --git a/pro/22/13.md b/pro/22/13.md new file mode 100644 index 00000000..165cd8ef --- /dev/null +++ b/pro/22/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mtu mvivu husema + +"hutoa visingizio ili asifanye kazi" + +# kinywa cha malaya ni shimo refu + +"maneno yasemwayo na malaya yatakuvuta, na utakuwa kama umeangukia kwenye refu na hatari" + +# malaya + +Angalia 5:3 + +# hasira ya Yahwe huchochewa + +"Yahwe hukasirika" + +# hudumbukia ndani yake + +"hufanya dhambi kwa sababu ya malaya" + diff --git a/pro/22/15.md b/pro/22/15.md new file mode 100644 index 00000000..ea0d8816 --- /dev/null +++ b/pro/22/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# upumbavu umefungwa katika moyo wa mtoto + +"moyo wa mtoto umejaa mambo ya kipumbavu" + +# fimbo ya adabu + +mzazi kutumia namna yoyote ili kuadibisha kama vile kumchapa mtoto kwa fimbo. + +# huondoa + +"itamfanya mtoto kuwa na busara" + +# kuongeza utajiri wake + +"kuwa tajiri" au " kupata pesa zaidi" + +# kuwapa watu matajiri + +"kuwapa pesa watu matajiri" + +# atakuwa maskini + +Nahau "atakuwa maskini" + diff --git a/pro/22/17.md b/pro/22/17.md new file mode 100644 index 00000000..ce03968c --- /dev/null +++ b/pro/22/17.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mstari wa 17 unaanza utangulizi wa sehemu mpya ya kitabu cha Mithali + +# tega sikio lako na usikilize + +"sikiliza kwa umakini" + +# maneno ya busara + +"ambayo watu wenye hekima husema" + +# tumia moyo wako kwa + +"fanya bidii kufahamu na kukumbuka" + +# maarifa yangu + +"maarifa niliyonayo, ambayo ninakupatia" + +# yote yapo tayari kwenye midomo yako + +"unaweza kuyaongea muda wowote" + +# wewe leo + +msemaji anasisitiza kuwa maneno haya nanamhusu msikilizaji wala si mtu mwingine + diff --git a/pro/22/20.md b/pro/22/20.md new file mode 100644 index 00000000..198b9fe0 --- /dev/null +++ b/pro/22/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii inaendelea na kukamilisha utangulizi ulianza katika mstari wa 22:17 + +# je sikuandika kwa ajili yako ...wewe? + +"unapaswa kufahamu kuwa nimeandika kwa ajili ...yako" + +# misemo thelathini + +katika tafasiri zingine inasomeka "misemo yenye ubora" + +# kwa wale waliokutuma + +maana yake msikilizaji ni mtu ambaye ametumwa na watu kupata habari ya mafundisho na kuwarudishia majibu. + diff --git a/pro/22/22.md b/pro/22/22.md new file mode 100644 index 00000000..539376da --- /dev/null +++ b/pro/22/22.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +mistari hii inaanza kueleza juu ya "misemo themathini " 22:20 + +# usimwibie ...kumponda + +nyanganya ...dhulumu + +# maskini + +"mtu yeyote ambaye ni maskini" au "watu maskini" + +# kumponda + +saga kuwa unga, maana yake kufanyia dhuluma + +# mhitaji + +'mtu ambaye hana mahitaji kwa ajili ya kuishi" + +# kwenye lango + +sehemu ambapo watu walileta vitu na kuuza na kuamuliwa mambo mbalimbali. + +# Yahwe atatetea shitaka lao + +"Yahwe atawatetea wahitaji kutoka kwa wale wanaowaonea" au ""Yahwea atahakikisha kuwa wahitaji wanapokea haki" + +# atapokonya uhai wao wale ambao waliwaibia + +"atawaangamiza wale ambao wakandamiza watu maskini" + diff --git a/pro/22/24.md b/pro/22/24.md new file mode 100644 index 00000000..119008f4 --- /dev/null +++ b/pro/22/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# mtu ambaye hutawaliwa na hasira + +"mtu asiyeweza kutawala hasira yake" + +# ghadhabu + +kuonesha nguvu nyingi kwa hasira + +# utakuwa chambo kwa ajili ya nafsi yako + +"utakuwa kama mnyama alaye chambo na mtego hujifunga na hujindwa kujiokoa" + +# chambo kwa ajili ya nafsi yako + +"chambo ni kitu ambacho mtu amekiweka ili aweze kukuangamiza" + diff --git a/pro/22/26.md b/pro/22/26.md new file mode 100644 index 00000000..991da841 --- /dev/null +++ b/pro/22/26.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# wapigao mikono + +ni kitendo cha kushikana mikono na kuweka agano la makubaliano. Wandishi anaonya juu ya kuweka ahadi ya kulipa deni la mtu. + +# katika kufanya reheni + +"kukubali kulipa kitu ambacho mtu mwingine anadaiwa" + diff --git a/pro/22/28.md b/pro/22/28.md new file mode 100644 index 00000000..83e9570c --- /dev/null +++ b/pro/22/28.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# kale + +ya zamani sana + +# jiwe la mpaka + +jiwe kubwa ambalo linaonesha ardhi ya mtu mwingine inapokomea na mwanzo wa ardhi ya mtu + +# baba + +wahenga + +# je unamwona mtu mwenye ujuzi katika kazi yake? + +"fikiri juu ya mtu unayemfahamu mwenye ujuzi katika kazi yake" + +# simama mbele + +huwa ni mtumishi wa wafalme na watu wengine wenye vyeo watamtazama kuwa wenye hadhi ya juu na kuhitaji uduma yake. + diff --git a/pro/23/01.md b/pro/23/01.md new file mode 100644 index 00000000..dd08704e --- /dev/null +++ b/pro/23/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# weka kisu kooni mwako + +1) "uwe mwangalifu usile sana" au 2) "usile kitu chochote kabisa" + +# usitamani + +"usishikwe na hamu sana kupitiliza" angalia 21:9 + +# vyakula vizuri + +"chakula maalumu na vya gharama" + +# ni vyakula vya hila + +Hii ni nahau "anakupa chakula ili aweze kukudanganya" + diff --git a/pro/23/04.md b/pro/23/04.md new file mode 100644 index 00000000..9a392290 --- /dev/null +++ b/pro/23/04.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# usifanye kazi kwa nguvu sana + +"usifanye kazi sana kiasi kwamba uwe na uchovu kila siku" + +# yatamulika juu yake + +....kuutamaza utajiri kwa kipindi kifupi + +# hakika utajiri utajitwalia mabawa kama tai na kuruka juu + +"utajiri utapotea kwa haraka kama vile tai anavyoweza kuruka" + +# mabawa kama tai + +mabawa kama mabawa ya tai + diff --git a/pro/23/06.md b/pro/23/06.md new file mode 100644 index 00000000..b6c641e4 --- /dev/null +++ b/pro/23/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# mwenye jicho ovu + +1) asiyependa kutoa vitu kwa watu wengine au 2) mtu mwovu + +# usitamani + +"usishikwe na hamu sana kupitiliza" angalia 21:9 + +# vyakula vizuri + +"chakula maalumu na vya gharama" angalia 23:1 + +# moyo wake haupo pamoja nawe + +Hii ni nahau " Kwa uhalisia hataki ufurahie huo mlo" + +# utatapiki kile chakula kidogo ulichokula + +"utatamani kwamba usingekula kitu chochote" + +# utakuwa umeharibu sifa zako + +"hataweza kufurahi hata kama utasema maneno mazuri juu yake na chakula" + diff --git a/pro/23/09.md b/pro/23/09.md new file mode 100644 index 00000000..fd8917a1 --- /dev/null +++ b/pro/23/09.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# katika masikio ya mpumbavu + +"ambapo mpumbavu anaweza kukusikia" + +# Kale + +ya zamani sana + +# jiwe la mpaka + +jiwe kubwa ambalo linaonesha ardhi ya mtu mwingine inapokomea na mwanzo wa ardhi ya mtu mwingine. angalia 22:28 + +# nyang'anya + +Maana yake kuanza kutumia ardhi ( au kitu) ambacho ni cha mtu mwingine + +# yatima + +watoto ambao wamefiwa na wazazi + +# mkombozi wao + +Yahwe + +# atatetea shitaka lao dhidi yako + +"atawalinda yatima dhidi yako" au "atahakikisha kuwa yatima wanapokea haki na wewe anakuadhibu" + diff --git a/pro/23/12.md b/pro/23/12.md new file mode 100644 index 00000000..2d68bd76 --- /dev/null +++ b/pro/23/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# tumia moyo wako kwa + +Hii ni nahau "fanya bidii kufahamu na kukumbuka" pia angalia 22:17 + +# mafundisho + +1) "mambo ambayo watu wanakuambia ni mema na yale mabaya" au 2) "vile watu wanakuambia wanapokusahihisha" + +# na masikio yako + +"tumia masikio yako" au "sikiliza kwa makini" + +# kwenye maneno ya maarifa + +"mimi ninapokuambia ambacho nakijua" + diff --git a/pro/23/13.md b/pro/23/13.md new file mode 100644 index 00000000..a8d7f108 --- /dev/null +++ b/pro/23/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# usimnyime mtoto mafundisho + +"usipuuze kumfundisha mtoto" au "usikatae kumfundisha mtoto" + +# usimnyime + +kataa kutoa kitu ambacho unajua mtu mwingine anakihitajia + +# fimbo + +"kipande cha mti" + +# ni wewe unayepaswa kumchapa ... na kuokoa nafsi yake + +"wewe ndiye unayepaswa kumchapa...na kuokoa nafsi yake." hakuna mtu mwingine wa kufanya hivyo. + +# na kuokoa nafsi yake kutoka kuzimu + +"na utamlinda na ulimwengu wa wafu" au " utamlinda dhidi ya kifo" + diff --git a/pro/23/15.md b/pro/23/15.md new file mode 100644 index 00000000..217fdf0e --- /dev/null +++ b/pro/23/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# midomo yako inenapo + +"wakati usemapo jambo" + diff --git a/pro/23/17.md b/pro/23/17.md new file mode 100644 index 00000000..345822e7 --- /dev/null +++ b/pro/23/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# isiruhusu moyo wako kuwahusudu wenye dhambi + +" usijiruhusu mwenyewe kuwahusudu wenye dhambi" au "hakikisha huwahusudu wenye dhambi" + +# tumaini lako hataondolewa + +"Mungu hataruhusu mtu yeyote kuondoa tumaini lako" au " Mungu atalinda ahadi yake aliyoifanya kwako" + diff --git a/pro/23/19.md b/pro/23/19.md new file mode 100644 index 00000000..9c9d9877 --- /dev/null +++ b/pro/23/19.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# Sikia-wewe! mwanangu + +"mwanangu sikiliza kwa makini." + +# uelekeze moyo wako katika njia + +"hakikisha unatenda kwa busara" + +# walaji wa nyama walafi + +1) watu wanaokula nyama zaidi ya mahitaji yao" au 2) "watu wanaokula chakula kingi zaidi ya hitaji lao." + +# usingizi utawavika matambara + +"kwa sababu wanatumia muda mwingi kwa kula na kunywa,wala hawafanyi kazi kwa hiyo watakuwa maskini" + diff --git a/pro/23/22.md b/pro/23/22.md new file mode 100644 index 00000000..4f6f55b0 --- /dev/null +++ b/pro/23/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# usimdharau + +"onesha adabu kwa" + +# Inunue kweli, wala usiiuze; nunua hekima, mafundisho, na ufahamu + +" Fanya namna yoyote ili uweze kufahamu kweli, uwe na busara, uweze kujifunza namna ya kutenda, ili ufahamu jema na baya; wala usifikirie kitu kingine kuwa ni muhimu zaidi ya haya" + diff --git a/pro/23/24.md b/pro/23/24.md new file mode 100644 index 00000000..f0feb489 --- /dev/null +++ b/pro/23/24.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# baba wa mtu mwenye haki atafurahi sana, na mwenye kumzaa mtoto mwenye busara atamfurahia + +"baba wa mtu mwenye haki, mzazi wa mtoto mwenye busara, atashangilia sana na atamfurahia" + +# atamfurahia + +"atafurahia kwa ajili ya mtoto wake" + diff --git a/pro/23/26.md b/pro/23/26.md new file mode 100644 index 00000000..d33187d4 --- /dev/null +++ b/pro/23/26.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# nipe moyo wako + +"nisikmalaya ilize kwa makini" au "nitumaini kabisa" + +# macho yako yatazame + +" zingatia sana" + +# malaya...mwanamke mwasherati + +Kuna aina mbili za wanawake washerati. "malaya" ni mwanamke ambaye hajaolewa, au "mke wa mume mwingine aliyeolewa. kwa pamoja wanaunda namna ya mwanamke mwasherati. + +# malaya ni shimo refu + +"kulala na malaya ni kama kudumbukia kwenye shimo refu " + +# malaya + +Huyu ni mwanamke ambaye hajaolewa anayefanya mambo ya ngono, wala si wale tu ambao hufanya ngono kwa ajili ya pesa. + +# shimo refu...kisima chembamba + +Sehemu hizi mbili ni rahisi kutumbukia na vigumu kutoka "shimo" kwa sababu ni "refu" na "kisima" kwa kuwa ni "chembamba" + +# mwanamke mwasherati ni kisima chembamba + +"kulala na mke wa mume mwingine ni kama kuangukia ktika kisima chembamba" + +# kisima + +shimo katika ardhi ambalo watu huchimba kwa ajili ya kupata maji + +# huvizia + +kukaa kwa kujificha na kuwa tayari kushambulia mhanga napofika + +# mdanganyifu + +"watu wadanganyifu" au "wale ambao huwadhuru wengine kwa kwa kuwadanganya" + diff --git a/pro/23/29.md b/pro/23/29.md new file mode 100644 index 00000000..304e0b1d --- /dev/null +++ b/pro/23/29.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# Ni nani mwenye ole? Ni nani mwenye huzuni? Ni nani mwenye mapigano? Ni nani mwenye malalamiko? Ni nani mwenye majeraha bila sababu? Ni nani mwenye macho mekundu? + +"Sikilizeni nataka kuwaambia mtu wa ole, huzuni, mapigano, malalamiko, mjeraha bila sababu, na macho mekundu." + +# macho mekundu + +"macho kuwa na rangi nyekundu kama ya damu" + +# Wale ambao hukawia sana kwenye mvinyo, wale ambao hujaribu kuchanganya mvinyo + +Hili ni jibu la maswali ya mstari wa 29. Kuelezea watu ambao hunywa sana mvinyo. + +# hukawia sana kwenye mvinyo + +hutumia muda mwingi kunywa mvinyo na hunywa mvinyo mwingi + +# kuchanganya mvinyo + +1) kuchanganya aina mbalimbali za mvinyo au 2) vileo vingine ambavyo ni vikali kuliko mvinyo + diff --git a/pro/23/31.md b/pro/23/31.md new file mode 100644 index 00000000..04c2b6bd --- /dev/null +++ b/pro/23/31.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# Mwishoni + +"baada ya kunywa" + +# huuma kama nyoka ...choma kama kifutu + +" hukufanya ujisikie vibaya kama umeumwa nyoka au kama kifutu amekuchoma" + +# kifutu + +aina ya nyoka mwenye sumu + +# moyo wako utasema vitu vya kupotosha + +"utafikiri na kuamua vitu vya kupotosha" + +# vitu vya kupotosha + +vitu ambayo Mungu amevitaja kuwa vibaya na viovu ; vitu ambavyo havifai + diff --git a/pro/23/34.md b/pro/23/34.md new file mode 100644 index 00000000..8410bc5c --- /dev/null +++ b/pro/23/34.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# anayelala juu ya mlingoti + +"anayelala juu kwenye ndoo karibu namlingoti" + +# mlingoti + +ufito wa mbao mrefu ambao huwekwe kwenye meli wakati wa safari ya majini + +# walimpiga ...lakini hakuumia. walinipiga, wala siku hisi kitu + +Kwa sababu mtu mlevi hafikirii vizuri, anadhani kuwa watu wanampiga, lakini hasikii maumivu na wala hakumbuki chochote. + +# nitaamka lini? + +mtu mlevi anashangaa ni wakati gani atakuwa na busara tena, wakati madhara ya pombe yatakapoisha. + diff --git a/pro/24/01.md b/pro/24/01.md new file mode 100644 index 00000000..0a31b060 --- /dev/null +++ b/pro/24/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# mioyo yao + +"wao" + +# midomo yao + +"wao" + +# huongea juu ya madhara + +"huongea jinsi ya kutengeneza(kusababisha ) matatizo" + diff --git a/pro/24/03.md b/pro/24/03.md new file mode 100644 index 00000000..3a8109ba --- /dev/null +++ b/pro/24/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# kwa hekima nyumba hujengwa + +"watu wanahitaji kuwa busara kama wanajenga nyumba nzuri" + +# kwa ufahamu huimarishwa + +"watu wanahitaji kufahamu wema na ubaya kama wanataka kuimarisha nyumba" + +# kuimarisha + +"nyumba" inawakilisha familia... familia ambayo huishi kwa amani + +# Kwa maarifa vyumba hujazwa + +"watu wanahitaji kufahamu vitu vya thamani na vizuri kama wanataka kujaza vyumba vyao" + diff --git a/pro/24/05.md b/pro/24/05.md new file mode 100644 index 00000000..18258a8f --- /dev/null +++ b/pro/24/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# shujaa wa hekima + +"shujaa mwenye busara" + +# mtu mwenye maarifa huongeza nguvu zake + +"mtu anayejua mambo mengi ni imara kwa sababu anavijua vitu hivi" + +# kwa uongozi wa busara + +"kama unawatu wenye busara wakikuelekeza jambo la kufanya" + +# kupigana + +"pambana" + +# washauri + +wale ambao huwaambia maafisa wa serikali mambo ya kufanya + diff --git a/pro/24/07.md b/pro/24/07.md new file mode 100644 index 00000000..4991548f --- /dev/null +++ b/pro/24/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# juu sana kwa ajili ya mpumbavu + +Hii ni nahau " ni vigumu sana kwa mpumbavu kufahamu" + +# hufumbua kinywa chake + +"huongea" + diff --git a/pro/24/08.md b/pro/24/08.md new file mode 100644 index 00000000..1f9589e1 --- /dev/null +++ b/pro/24/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# bwana wa njama + +" mtu mfitinishaji" au "mchochezi" + diff --git a/pro/24/10.md b/pro/24/10.md new file mode 100644 index 00000000..12ad601c --- /dev/null +++ b/pro/24/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# nguvu zako ni chache + +"unazo nguvu chache sana" au " ni dhaifu kabisa" + diff --git a/pro/24/11.md b/pro/24/11.md new file mode 100644 index 00000000..6a9641a8 --- /dev/null +++ b/pro/24/11.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# wale ambao wanachukuliwa + +"wanao wachukua" + +# wanachukuliwa + +"kokotwa kupelekwa mbali" + +# pepesuka + +kutemea upande na karibia na kuanguka. Neno hili linaeleza jinsi mtu anavyotembea anavyokokotwa kupelekwa sehemu. + +# mchinjaji + +"sehemu ambayo watu watauwawa, watawaua kama vile wanavyoua wanyama" + +# kama unasema,"Tazama...hili", + +Mwandishi anajibu jambo ambalo msomaji anaweza kufikiria. + +# Tazama, sisi + +"Tusikilizeni sisi ! hatujafanya chochote kibaya , kwa sababu sisi" + +# je yeye aupimaye moyo hafahamu usemayo? + +"yeye aupimaye moyoanafamu ambacho unasema" + +# yeye ambaye + +" ni Yahwe" au "Yahwe ambaye" + +# aupimaye moyo + +"anajua namna watu wanavyofikiri vyema na hamu zao" + +# yeye mwenye kuongoza maisha yako, je yeye hajui? + +"yeye ambaye huyaongoza maisha yako anayajua" + +# Je Mungu hatampa kila mmoja kile anachostahili? + +"Mungu atampa kila mtu kile anachostahili" + diff --git a/pro/24/13.md b/pro/24/13.md new file mode 100644 index 00000000..643be853 --- /dev/null +++ b/pro/24/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# tumaini lako halitakoma + +"tumaini lako litaendelea" + diff --git a/pro/24/15.md b/pro/24/15.md new file mode 100644 index 00000000..fee1b40e --- /dev/null +++ b/pro/24/15.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# usivizie + +"kujificha na kusubiri muda utimie" + +# nyumba yake + +nyumba ya mtu mwenye haki + +# huinuka + +"kusimama tena" + +# watu waovu huangushwa kwa maafa + +"Mungu atatumia maafa kuwaangusha watu waovu" + +# huangushwa + +kuangushwa + +# maafa + +wakati ambapo mambo mabaya hutokea kwa watu na mali zao + diff --git a/pro/24/17.md b/pro/24/17.md new file mode 100644 index 00000000..6ddf1fff --- /dev/null +++ b/pro/24/17.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# adui yako huanguka + +" jambo baya hutokea kwa adui yako" + +# moyo wako usifurahi + +"usifurahi" " au "jizuie usije ukafuraha" + +# geuza ghadhabu yake kutoka kwake + +"kuacha kuwa na hasira juu yake na kukukasirikia wewe badala yake" + diff --git a/pro/24/19.md b/pro/24/19.md new file mode 100644 index 00000000..ec79ab40 --- /dev/null +++ b/pro/24/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# taa ya watu waovu itazimwa + +Maisha ya watu waovu itakoma kama taa inavyozimika + diff --git a/pro/24/21.md b/pro/24/21.md new file mode 100644 index 00000000..fa1e9eec --- /dev/null +++ b/pro/24/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20) + +# Hofu + +heshima ya kina na utiisho kwa ajili ya mtu mwenye mamlaka + +# ni nani ajuaye ukubwa wa uharibifu ambao utakuja kwao wote? + +"hapana ajuaye ukubwa wa uharibifu ambao utakuja kwao wote? + +# kwao wote + +Maneno haya yanamwakilisha Yahwe na mfalme + diff --git a/pro/24/23.md b/pro/24/23.md new file mode 100644 index 00000000..23a3b2cb --- /dev/null +++ b/pro/24/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hii pia ni misemo ya wenye busara + +Sentensi hii inaanza mkusanyiko mpya wa mithali + +# shitaka kwenye sheria + +mazingira ya kwenda mbele ya hakimu ambapo kuna mtu anayeshutumiwa kwa kuvunja sheria + diff --git a/pro/24/24.md b/pro/24/24.md new file mode 100644 index 00000000..a9a4671b --- /dev/null +++ b/pro/24/24.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yeyote asemaye kwa mtu mwovu ...atalaaniwa na watu na kuchukiwa na mataifa + +"watu watamlaani yeyote anayemwambia mtu mwovu ...,na watu wa mataifa mengine watamchukia" + +# mtu mwovu ...mtu mwenye haki + +1)watu hawatamwita mtu yeyote mwovu kuwa ni mwenye haki au 2) hakuna mtu atakayesema mtu mwenye hatia ya kosa ni mwenye haki + +# watapata furaha + +"watafurahi sana" + +# zawadi za wema zitawajia + +"watu watawapa zawadi nzuri" + +# zawadi za wema + +"baraka" au "vitu vizuri" + diff --git a/pro/24/26.md b/pro/24/26.md new file mode 100644 index 00000000..d0fcf460 --- /dev/null +++ b/pro/24/26.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hubusu midomo + +"kuonyesha urafiki wa kweli" + diff --git a/pro/24/28.md b/pro/24/28.md new file mode 100644 index 00000000..63a4e226 --- /dev/null +++ b/pro/24/28.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kwa midomo yako + +"kwa yale asemayo" + +# Nitamlipa + +"kufanya kisasi dhidi yake" + diff --git a/pro/24/30.md b/pro/24/30.md new file mode 100644 index 00000000..ab8b5547 --- /dev/null +++ b/pro/24/30.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# miiba + +mimea ambayo haina manufaa yenye miiba miakali + +# upupu + +mimea ambaya imejaa majani yenye kuwasha + +# ulikuwa umeangushwa + +"ulikuwa umeanguka" + diff --git a/pro/24/32.md b/pro/24/32.md new file mode 100644 index 00000000..4702c6c2 --- /dev/null +++ b/pro/24/32.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nikapokea mafundisho + +"nilijifunza somo" + +# usingizi kidogo ....kwa kupumzika -na umaskini huja + +"unaweza kujisemea mwenyewe, usingizi kidogo ...kwa kupumzika-lakini unasikini utakuja" + +# umaskini huja juu yako + +"umaskini huja juu yako kama mwivi" + +# mahitaji yako kama askari mwenye silaha + +"mahitaji yako yatakuja kwako kama askari mwenye silaha" + diff --git a/pro/25/01.md b/pro/25/01.md new file mode 100644 index 00000000..5cf8852a --- /dev/null +++ b/pro/25/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kuficha jambo + +"kuyahifadhi baadhi ya mambo ya siri" + +# lakini utukufu + +"lakini ni utukufu" + +# kuchunguza + +"hulichunguza jambo" au "hufanya uchunguzi kwa mambo ambayo Mungu ameyaficha" + +# Kama mbingu ni kwa ajili ya kimo na dunia ni kwa ajili ya kina, ndivyo moyo wa wafalme usivyochunguzika + +"Hakuna mtu wenye kuweza kupima kimo cha mbingu au kina cha dunia, hata hakuna mtu anawezakuufahamu moyo wa wafalme" + +# mbingu + +Hii ni jula ya vitu vyote tunavyoviona angani pamoja na jua, mwezi, na nyota. + diff --git a/pro/25/04.md b/pro/25/04.md new file mode 100644 index 00000000..b643cc28 --- /dev/null +++ b/pro/25/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# takataka + +malighafi kwenye chuma ambayo watu ambayo watu huwa hawahitaji na huiondoa kwa kukichoma chuma. + +# kiti chake cha enzi kitathibitishwa kwa kutenda + +"mfalme atathibitisha kiti chake cha enzi kwakutenda" au "atakuwa na mamlaka ya kutawala kwasababu anatenda" + diff --git a/pro/25/06.md b/pro/25/06.md new file mode 100644 index 00000000..dda488b6 --- /dev/null +++ b/pro/25/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# jitukuze + +kumpa mtu heshima. + +# mfalme + +mtu ambaye ni mtawala mkuu wa mji, jimbo au nchi. + diff --git a/pro/25/07.md b/pro/25/07.md new file mode 100644 index 00000000..3e9f2b6c --- /dev/null +++ b/pro/25/07.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ni bora yeye akuambie, "Njoo huku juu" + +maana yake kupelekwa sehemu ya meza ambayo ni karibu na mfalme. "ni bora mtu akukaribishe kukaa karibu na mfalme" + +# mbele ya mkuu + +"mbele ya mtu mkuu" + +# Maana utafany nini mwishoni wakati jirani yako atakapokuaibisha? + +" Maana hutajua ufanye nini mwisho wakati jirani yako atakapukuaibisha" au "Maana kama jirani yako anamaelezo, atakuaibisha, na hutakuwa na kitu cha kusema ili kujitetea mwenyewe." + diff --git a/pro/25/09.md b/pro/25/09.md new file mode 100644 index 00000000..6ea65373 --- /dev/null +++ b/pro/25/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hoja yako + +"mabishano yako" + +# usiifunue siri ya mtu mwingine + +" usiwashirikishe watu wengine siri ya jirani yako" + +# na habari mbaya juu yako ambayo haiwezi kunyamazishwa + +"wala hutaweza kumzuia kuwaambia wengine mambo mabaya juu yako" au " na atawaambia wengine watu mambo mabaya juu yako na hutakuwa na sifa njema tena" + diff --git a/pro/25/11.md b/pro/25/11.md new file mode 100644 index 00000000..eb21eb67 --- /dev/null +++ b/pro/25/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Neno linalosemwa katika hali ya kufaani ni tufaha za dhahabu kwenye vyano vya fedha + +"Neno linalosemwa kwa wakati sahihi ni zuri kama tufaha za dhahabu kwenye vyano vya fedha" + +# ufaha za dhahabu kwenye vyano vya fedha + +"matunda yaliyopakwa rangi ya dhahabu yaliyowekwa kwenye bakuli la fedha " + +# Neno linalosemwa + +"ujumbe ambao mtu huusema" + +# pete ya dhahabu au pambo lilitotengenezwa kwa dhahabu safi ndivo alilivyo karipio la busara kwenye sikio lenye kusikiliza + +"karipio la busara kwenye sikio lenye kusikiliza ni zuri na la thamani kama pete ya dhahabu au pambo la dhahabu" + +# sikio lenye kusikiliza + +"mtu aliye tayari kusikiliza" + diff --git a/pro/25/13.md b/pro/25/13.md new file mode 100644 index 00000000..75683006 --- /dev/null +++ b/pro/25/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kama baridi ya theluji wakati wa mavuno ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu + +mjumbe mwaminifu anafananishwa na baridi ya theluji kwa sababu vyote hivi ni vizuri. + +# baridi ya theluji + +Hii ni lugha ya picha kuonesha uzuri wa jambo. + +# theluji + +barufu ambayo hudodoka kutoka angani kama mvua + +# hurejesha uhai wa bwana zake + +huwafanya bwana zake walidhoofika na kuchoka kuwa imara na kubrudika tena. + +# mawingu na upepo bila mvua ndivyo alivyo mwenye kujisifu ...hakutoa + +"Mwenye kujisifu ...bila kutoa ni kama mawingu na upepo bila mvua + diff --git a/pro/25/15.md b/pro/25/15.md new file mode 100644 index 00000000..d232325c --- /dev/null +++ b/pro/25/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa uvumilivu mtawala anaweza kushawishiwa + +"Mtu mwenye uvumilivu anaweza kumshawishi mtawala" au "mtu mwenye uvumilivu anaweza kuongea kwa mtawala na kuyabadilisha mawazo yake" + +# ulimi laini unaweza kuvunja mfupa + +"kauli ya upole inaweza kushinda upinza imara" + diff --git a/pro/25/16.md b/pro/25/16.md new file mode 100644 index 00000000..87794e42 --- /dev/null +++ b/pro/25/16.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla + +mstari wa 16 unaeleza kanuni ya ujumla, na mstari wa 17 hautoi mfano mahususi. Ni sitiari kuonesha kufanya jambo zuri kupita kiasi na kujuta baadaye. + diff --git a/pro/25/18.md b/pro/25/18.md new file mode 100644 index 00000000..0055550d --- /dev/null +++ b/pro/25/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mtu ashuhudiaye uongo dhidi ya jirani yake ni kama rungu litumikalo kwenye vita, au upanga, au mshale wenye makali + +shahidi wa uongo analinganishwa na silaha ambazo zinaweza kujeruhi au kuangamiza watu + +# mtu asiyemwaminifu unayemtumaini wakati wa taabu ni kama jino bovu au mguu wenye kuteleza + +"Kumtumaini mtu asiye mwaminifu wakati wa taabu kutaleta maumivu kwako kama jino bovu au mguu wenye kuteleza" + diff --git a/pro/25/20.md b/pro/25/20.md new file mode 100644 index 00000000..ccc7510e --- /dev/null +++ b/pro/25/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# magadi ya soda + +haya ni madini ambayo hutoa povu na sauti yanapogusana na asidi kama siki. + +# huimba nyimbo + +"kuimba nyimbo za furaha" + +# roho nzito + +"mtu mwenye huzuni" + diff --git a/pro/25/21.md b/pro/25/21.md new file mode 100644 index 00000000..6da1ee41 --- /dev/null +++ b/pro/25/21.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# makaa ya moto juu ya kichwa chake + +"kusababisha ajisikie hatia kwenye dhamiri na aibu kwa tendo alilofanya" + diff --git a/pro/25/23.md b/pro/25/23.md new file mode 100644 index 00000000..4850df47 --- /dev/null +++ b/pro/25/23.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# upepo wa kaskazini + +Katika Israeli upepo kutoka kaskazini maranyi ulileta mvua. + +# mtu ambaye hunena siri + +"mtu mwenye hasira" + +# hukasirisha nyuso + +huwafanya watu wengine wakasirike + +# pembe ya dari + +angalia + +# mke mgomvi + +mke ambaye mara nyingi hubishana na kulalamika + diff --git a/pro/25/25.md b/pro/25/25.md new file mode 100644 index 00000000..65910040 --- /dev/null +++ b/pro/25/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kama maji ya baridi kwa mwenye kiu, ndivyo ilivyo habari njema kutoka nchi ya mbali + +maji ya baridi yanafananishwa na habari njema maana vyote huburudisha na kufurahisha + +# kama chemchemi iliyochafuka au bomba lililoharibiwa ndivyo alivyo mtu mwenye haki apepesukapo mbele ya watu waovu + +mtu anatarajia kupata maji safi kwenye chemchemi au bomba, ndivyo mwenye haki anapaswa kusimama kwa kile anachokiamini. Hivyo chemchemi au bomba lililoharibika ni kama mwenye haki anayeanguka. + +# apepesukapo mbele ya watu waovu + +1) kukataa kupambana na watu waovu 2)kujiunga na uovu wao + +# apepesukapo + +"kushindwa kusimama" + +# mbele ya waovu + +"watu waovu wanapomshambulia" au "watu waovu wanapomshawishi kutenda maovu" + diff --git a/pro/25/27.md b/pro/25/27.md new file mode 100644 index 00000000..4afc4175 --- /dev/null +++ b/pro/25/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# siyo vema kula asali nyingi mno; hivyo ni kama kutafuta heshima baada ya heshima + +kupata heshima na kula asali ni vizuri, lakini unaweza kula asali nyingi sana na unaweza kutumia nguvu nyingi ili watu wakuheshimu. + +# siyo vema + +"ni jambo baya" + +# hivyo ni kama kutafuta heshima baada ya heshima + +"ni kufikiria kila wakati jinsi watu wengine wanapaswa kukuheshimu" au "hivyo ni kuongea sifa nyingi sana kwa watu" + +# mtu asiyejitawala ni kama mji uliobomolewa na usiokuwa na ukuta + +Mtu asiyejitawala na mji bila ukuta wote ni dhaifu na wapo katika hatari. + +# uliobomolewa na usiokuwa na ukuta + +"ambao ukuta wake umeangushwa na jeshi na kuharibiwa" + diff --git a/pro/26/01.md b/pro/26/01.md new file mode 100644 index 00000000..2db19f53 --- /dev/null +++ b/pro/26/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kama theluji wakati wa joto au mvua kwenye mavuno + +"kama ambavyo ingekuwa ni ajabu kuwa na theluji wakati wa joto na mvua kipindi cha mavuno " + +# hivyo laana isiyositahili haishuki + +laana ambayo haimdhuru mtu imeongelewa kana kwamba ni ndege ambaye hatui."laana isiyositahili haitui mahali pake" + +# laana isiyositahili + +"laana kwa mtu ambaye haimstahili" + +# shuka + +tuajuu ya mtu au kitu + diff --git a/pro/26/03.md b/pro/26/03.md new file mode 100644 index 00000000..389212ae --- /dev/null +++ b/pro/26/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mjeledi ni kwa ajili ya farasi, lijamu kwa ajili ya punda na fimbo ni kwa ajili mgongo wa wapumbavu + +mjeledi, lijnamu na fimbo ni vitu ambavyo watu hutumia ilikuwafanya farasi, punda, na wapumbavu wanataka nini. + +# lijamu kwa ajili ya punda + +lijamu imetengenezwa kwa nyuzinyuzi. Watu huweka kwenye vichwa cha punda na kushikilia yuzi moja ili kumfanya punda atembee kama wanavyotaka. + +# fimbo ni kwa ajili mgongo wa wapumbavu + +Nyakati za Biblia watu waliweza kuwacha watoto wao au watumwa wao kwa fimbo ya mti ili kuwatia adabu. + diff --git a/pro/26/05.md b/pro/26/05.md new file mode 100644 index 00000000..5b606435 --- /dev/null +++ b/pro/26/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mjibu mpumbavu na ujiunge katika upumbavu wake + +mjibu mpumbavu kulingana na aupumbavu wake " au "mjibu mpumbavu kipumbavu" + +# hivyo hatakuwa mwenye hekima machoni pake mwenyewe + +"hivyo hawezi kuwa mwenye busara kwa mtazamo wake" au "hivyo hafikirii wenyewe kuwa ni mwenye busara" + +# yeye apelekaye ujumbe kwa mkono wa mpumbavu + +"yeye anayemtuma mpumbavu kupeleka ujumbe" + +# hukata miguu yake mwenyewe na kunywa vurugu + +"hujiumiza mwenyewe kama mtu anayejikata miguu yake na kunywa vurugu" + +# kunywa vurugu + +vurugu inaonelewa kama kimiminika ambach o mtu anaweza kunywa. + diff --git a/pro/26/07.md b/pro/26/07.md new file mode 100644 index 00000000..31ba36f7 --- /dev/null +++ b/pro/26/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kama miguu...mithali katika kinywa cha wapumbavu + +"mithali katika kinywa cha wapumbavu ni kama miguu ya mtu aliyepooza ambayo kuning'inia" + +# aliyepooza + +mtu ambaye hawezi kutembea au kuhisi chochote katika mwili wake wote. + +# katika kinywa cha wapumbavu + +" katika maongezi ya wapumbavu" au " wapumbavu husema" + +# kujaribisha jiwe kwenye teo + +"jaribishia jiwe kwenye teo ili lisiweze kurushwa" + +# kutoa heshima kwa mpumbavu + +"kumheshimu mpumbavu" + diff --git a/pro/26/09.md b/pro/26/09.md new file mode 100644 index 00000000..962ef66f --- /dev/null +++ b/pro/26/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kama mwiba ...ni methali katika kinywa cha wapumbavu + +"mithali katika kinywa cha wapumbavu ni hatari kama mwiba kama unaochoma kwenye mkono wa mlevi" + +# mwiba ambao unaenda kwenye mkono wa mlevi + +kama mtu mlevi anashikilia kichaka chenye miiba, mwiba utamchoma mkononi mwake + +# katika kinywa cha wapumbavu + +"katika kauli ya wapumbavu" au "amba hunena wapumbavu" + +# amwajiriye mpumbavu + +"kumpa kazi mpumbavu" + diff --git a/pro/26/11.md b/pro/26/11.md new file mode 100644 index 00000000..dd6e136c --- /dev/null +++ b/pro/26/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kama mbwa kuyarudia matapishi yake + +"kama mbwa anavyokula matapishi yake" + +# Je unamwona mtu ambaye ni mwenye hekima machoni pake mwenyewe? + +" mfikirie mtu ambaye hudhani kwambani mwenye busara lakini hana" + +# Kuna tumaini zaidi kwa kwa mpumbavu kuliko kwake + +"mpumbavu anaweza kuwa na busara zaidi kuliko yeye " + diff --git a/pro/26/13.md b/pro/26/13.md new file mode 100644 index 00000000..8c847db9 --- /dev/null +++ b/pro/26/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mtu mvivu husema , "kuna simba ....katikati ya njia kuu!" + +Mtu mvivu hulala na husema kwamb hawezi kwenda nje na kufanya kazi kwa sababu kuna simba njiani au katikati ya njia kuu. + +# kuna simba njiani + +angalia 22:13 + +# bawaba + +vipande vya chuma ambavyo huubana mlango kwenye ubao au kitu kingine ili kuweza kufunguka na kufanga + +# Kama mlango unavyorudi kwenye bawaba zake, ndivy o alivyo mtu mvivu juu ya kitanda chake + +Mlango na mtu mvivu huzunguka lakini hawaendi popote. + diff --git a/pro/26/15.md b/pro/26/15.md new file mode 100644 index 00000000..016e64ec --- /dev/null +++ b/pro/26/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# huweka mkono wake kwenye sinia + +"huweka mkono wake kwenye sinia kula chakula" + +# hana nguvu kuunyanyua juu kwenye kunywa chake + +Hii ni kuonesha uzembe wake. Huuacha mkono wake karibu na chakula lakini hawezi kula chakula. + +# Mtu mvivu ni mwenye busara zaidi machono pake mwenyewe kuliko watu saba wenye ufahamu + +"Mtu mvivu hufikiri ni mwenye busara zaidi kuliko watu saba ambao wanaweza kujibu kwa akili" + diff --git a/pro/26/17.md b/pro/26/17.md new file mode 100644 index 00000000..10df0ea2 --- /dev/null +++ b/pro/26/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kama mtu ashikaye masikio ya mbwa, ndivyo alivyo mpitaji ambaye hupata hasira kwenye ugomvi ambao si wake + +"mpitaji ambaye hupata hasira kwenye ugomvi wa watu wengine ni kama mtu ambaye hushikilia masikio ya mbwa" + +# Kama mtu ashikaye masikio ya mbwa + +"kama mtu ayemkasirikia mbwa na kumshika masikia yake" + +# mpitaji ambaye hupata hasira kwenye ugomvi ambao si wake + +mpitaji ataanza kubishana na watu waliokuwa wakipigana atawakasirisha na watamuumiza + diff --git a/pro/26/18.md b/pro/26/18.md new file mode 100644 index 00000000..bb28d2cc --- /dev/null +++ b/pro/26/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kama kichaa ...yule adanganyaye...nakuambia utani? + +kichaa na mwogo wote huumiza watu lakini huacha kuwajibika kwa hayo. + +# nilikuwa nakuambia utani? + +"nilikuwa natania tu" au "usinilaumu. Nilikuwa natania tu" + diff --git a/pro/26/20.md b/pro/26/20.md new file mode 100644 index 00000000..55d8bbb7 --- /dev/null +++ b/pro/26/20.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mbeya + +mtu ambaye hupiga sogansana + +# Mkaa ni kwa ajili ya kuchoma makaa na kuni kwa ajili ya moto + +"Kama mkaa unavyosaidia kuchoma makaa na kama kuni zinavyosaidia moto kuwaka" + +# kuchochea ugomvi + +"kusababisha watu wapigane" au "kusababisha watu wabishabe" + diff --git a/pro/26/22.md b/pro/26/22.md new file mode 100644 index 00000000..5d60db46 --- /dev/null +++ b/pro/26/22.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# maneno ya umbeya ni kama chembe tamu + +"maneno ya umbeya hutamanisha kusikiliza" + +# hushuka chini katika sehemu za ndani ya mwili + +"na huingia katika akili ya mtu na kuyaathiri mawazo yake" + +# kama rangi ya kioo iliyofunikwa kwenye chombo cha udogo ndivyo vilivyo midomo iwashayo na moyo wa uovu + +"Watu wenye midomo ya kuwasha na mioyo ya uovu wapo kamachombo cha udongo kilichofunikwa kwa rangi ya kung'aa" + +# rangi ya kioo iliyofunikwa kwenye chombo cha udogo + +"kioo chenye kungara ambacho hufunika chungu cha udongo" + +# midomo iwashaya + +"kauli yenye hisia" au "kusema vitu vizuri" + +# moyo wa uovu + +"mawazo mabaya" au "tamaa mbaya" + diff --git a/pro/26/24.md b/pro/26/24.md new file mode 100644 index 00000000..f0c756aa --- /dev/null +++ b/pro/26/24.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# huficha hisia zake kwa midomo yake + +"huficha hisia zake kwa namna anavyoongea" au " huongea kwa jinsi ambayo watu hawawezi kufahamu hisia zake za kweli" + +# huweka uongo ndani yake mwenyewe + +"kwa hila hupanga kuumiza watu" + +# lakini hamwamini + +"lakini haamini kile anachosema" + +# maana kuna machukizo saba katika moyo wake + +"moyo wake umejaa mambo ya chuki" au "maana moyo wake umejaa chuki" + +# Ingawa chuki yake imefichwa kwa uongo + +"ingawa uongo wake umefunikwa kwa chuki" au "Ingawa hufunika chuki yake kwa uongo" + +# Ingawa chuki yake imefichwa kwa uongo + +"Ingawa hudanganya kuhifadhi chuki yake ili watu wasijue" au "Ingawa hudanganya ili watu wasijue ya kuwa anawachukia" + +# kusanyiko + +"jamii ya waisraeli" + diff --git a/pro/26/27.md b/pro/26/27.md new file mode 100644 index 00000000..d61294b5 --- /dev/null +++ b/pro/26/27.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# achmbaye shimo atatumbukia ndani yake + +"Achimbaye shimo kumtega mtu mwingine atatumbukia mwenyewe" + +# jiwe litaviringika kurudi kwake yeye anayelisukuma + +"mtu akisukuma jiwe ili liviringike chini ya kilima na kumgonga mtu, badala yake jiwe litamrudia yeye" + +# ulimi udanganyao huwachukia watu unaowajeruhi + +"mwogo huwachukia wale ambao huwaumiza kwa uongo wake" + +# Kinywa chenye kusifia huleta uharibigu + +mtu ambaye huwasifu wengine huleta taabu au mtu ambaye huwasifu wengine huababisha uharibifu juu yao + +# kusifia + +tukuza mtu kwa namna isiyofa, kumsifu mtu kwa mambo ambayo si ya kweli + diff --git a/pro/27/01.md b/pro/27/01.md new file mode 100644 index 00000000..d4503d2a --- /dev/null +++ b/pro/27/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# usijifufu kwa ajili ya kesho + +"usijisifu kwa ajili ya mipango yako ya kesho" + +# siku italeta nini + +"nini kitatokea katika siku" au "nini kitatatokea kesho" + +# kinywa chako mwenyewe... midomo yako + +"wewe mwenyewe" + +# mgeni na siyo midomo yako + +"mgeni na akusifu na wala siyo midomo yako mwenyewe" + diff --git a/pro/27/03.md b/pro/27/03.md new file mode 100644 index 00000000..bb6158c9 --- /dev/null +++ b/pro/27/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# uchochezi wa mpumbavu ni mzito kuliko vyote + +"uchochezi wa mpumbavu ni vigumu kuuvumilia kuliko vyote" + +# uchochezi wa mpumbavu + +"taabu inayosababishwa na mpumbavu" "uchochezi" maana yake maneno ua mtendo yanayosababisha hasira au uchungu + +# kuna ukatili wenye ghadhabu na mafuriko ya hasira, lakini ni nani anaweza kusimama mbele ya wivu? + +"mtu mwenye ghadhabu ni mkatili na mtu mwenye hasira anaogopesha, lakini ni nani anaweza kusimama mbele ya mtu mwenye wivu? + +# ukatili + +ukali" + +# mafuriko ya hasira + +"uharibifu wa hasira" + +# lakini ni nani anaweza kusimama mbele ya mtu mwenye wivu? + +"lakini hakuna awezaye kusimama mbele yake mwenye wivi" + +# kusimama mbele ya mtu mwenye wivu + +"kumzuia mtu mwenye wivu" au "kubakia imara wakati mtu mwenye wivu anapomshambulia" + diff --git a/pro/27/05.md b/pro/27/05.md new file mode 100644 index 00000000..1a56ba6b --- /dev/null +++ b/pro/27/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# bora karipo la wazi + +"bora kukemewa katika hali ya wazi" + +# kuliko upendo wa siri + +"kuliko upendo ambao haupo wazi" au "kuliko kupendwa kwa siri" + +# Mwaminifu ni majeraha yaliyosababishwa na rafiki + +"majeraha ambayo husababishwa na rafiki ni mdhamana " maana yake maumivu au huzuni ambayo mtu hupata wakati rafiki yake anapomkemea au kusahihisha. + +# Mwaminifu ni majeraha yaliyosababishwa na rafiki + +"Ingawa huleta huzuni, karipio la rafiki ni la kutegemewa" + +# lakini adui anaweza kukubusu kwa wingi sana + +"busu nyingi za adui ni siyo za kutegemewa" au "adui anaweza kujaribu kudanganya kwa busu maridhawa" + +# wingi sana + +"maridhawa" au "kwa wingi" + diff --git a/pro/27/07.md b/pro/27/07.md new file mode 100644 index 00000000..0090ce7c --- /dev/null +++ b/pro/27/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mtu aliyekula na kushiba + +"mtu aliyetosheka" au "mtu aliyekula kiasi cha kushiba" + +# hukataa hata sega la asali + +Sega la asali lingetamanisha, lakini si kwa mtu ambaye tayari amekwisha kula na kushiba. + +# kila kitu kichungu ni kitamu + +"kila kitu chenye ladha ya uchungu ni kitamu kwa kuonja" + +# kama ndege ambaye hutanga tanga kutoka kwenye kiote chake ndiyo alivyo mtu ambaye hupotea ambapo anaishi + +"kutanga tanga" na "kupotea" maana yake ni moja kwenye mstari huu + diff --git a/pro/27/09.md b/pro/27/09.md new file mode 100644 index 00000000..38ef05ec --- /dev/null +++ b/pro/27/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Marashi + +mafuta ya kutamanisha au malihamu + +# huufanya moyo ufurahi + +"humfanya mtu kujisikia furaha" + +# utamu wa rafiki hutoka katika ukweli wa shauri lake + +"tunamthamini rafiki kwa ushauri wake" + +# nyumba ya ndugu yako + +ndugu hapa ni mmoja kutoka katika kabila moja, ukoo, au kundi la watu. + +# msiba + +taabu kubwa au bahari mbaya + diff --git a/pro/27/11.md b/pro/27/11.md new file mode 100644 index 00000000..5694a02f --- /dev/null +++ b/pro/27/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# huufanya moyo wangu ufurahi + +"hunifanya kujisikia furaha" + +# kisha nitatoa jibu kwa yule mwenye kunidhihaki + +"kisha nitajibu kwa yule anayenidhihaki mimi kwa kumwambia habari yako" + +# mtu mwenye busara huiona taabu na kujificha mwenyewe, lakini watu wajinga huendela na kuteseka kwa ajili yake + +Angalia 22:3 + +# mtu mwenye busara + +mtu mwerevu" au "mtu mwenye akili njema" + +# watu wajinga + +"watu ambao hawana uzoefu na hawaja pevuka kifikira" + diff --git a/pro/27/13.md b/pro/27/13.md new file mode 100644 index 00000000..53909904 --- /dev/null +++ b/pro/27/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# chukua vazi la yule ambaye ameweka dhamana kwa ajili ya mgeni + +angalia 20:15 + +# ameweka dhamana + +angalia 20:15 + +# shikilia rehani + +Angalia 20:15 + +# yeye ampaye jirani yake baraka + +"kama mtu atampa jirani yake baraka" + +# hiyo baraka itadhaniwa kuwa ni laana + +"jirani atadhania hiyo baraka kuwa ni laana" + diff --git a/pro/27/15.md b/pro/27/15.md new file mode 100644 index 00000000..f55c7e34 --- /dev/null +++ b/pro/27/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mgomvi + +maana yake kuwafanya watu wachukiane kula mmoja au kusababisha mabishano makubwa kati ya watu. + +# kutona tona daima + +"kutona tona kwa mvua daima" + +# siku ya mvua + +siku yenye mvua mfululizo" + +# kumzuia ni kama kuuzuia upepo, au kujaribu kuyashika mafuta katika mkono wako wa kulia + +ni vigumu au haina maana kujribu kumzuia ni kama kujaribu kuuzuia upepo au kushika mfuta katika mkono wako + +# kumzuia + +"kumweka chini ya utawala" au "kumzuia katika ugomvi" + +# kuuzuia upepo + +"kuushikilia upepo" au "au kuudhibiti upepo" + diff --git a/pro/27/17.md b/pro/27/17.md new file mode 100644 index 00000000..7d992ee9 --- /dev/null +++ b/pro/27/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# chuma hunoa chuma; katika njia hiyo hiyo, mtu humnoa rafiki yake + +" Kama chuma kinaweza kunoa kipande kingine cha chuma, hivyo tabia ya mtu huendelezwa kwa uongozi wa rafiki yake" + +# atunzaye + +"hudumia, jali" + +# yeye amlindaye bwana wake ataheshimiwa + +"bwana atamheshimu yeye ambaye humlinda" + diff --git a/pro/27/19.md b/pro/27/19.md new file mode 100644 index 00000000..30862978 --- /dev/null +++ b/pro/27/19.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# moyo wa mtu + +" namna mtu anavyofikiri" + +# mharabu + +" mwenye kuharibu" + +# havishibi + +" jaa, tosheka" + +# macho ya mtu + +" matamanio ya mtu" + diff --git a/pro/27/21.md b/pro/27/21.md new file mode 100644 index 00000000..d2bf1453 --- /dev/null +++ b/pro/27/21.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kalibu ni kwa ajili ya fedha na tanuru kwa ajili ya dhahabu + +"kalibu inatumika kusafisha fedha na tanuru hutumika kusafisha dhahabu " + +# kalibu + +Ni kontena linalotumika kupasha joto vitu kwa joto kali + +# tanuru + +jiko ambalo linaweza kuwa moto sana + +# mtu hujaribiwa wakati wa kusifiwa + +"wakati watu wanapomsifu mtu, pia huwa wanampima" + +# Kama utamtwang mpumbavu ...bado upumbavu wake hautaondoka kwake + +Maana yake mpumbavu hata kama atateseka na kuumia atabaki mpumbavu. + +# mchi + +kifaa kigumu chenye ncha ya duara, hutumika kwa ajili ya kutwanga vitu kwenye kinu au bakuli + diff --git a/pro/27/23.md b/pro/27/23.md new file mode 100644 index 00000000..4ca89fa3 --- /dev/null +++ b/pro/27/23.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# hakikisha unafahamu hali ya makundi yako ya kondoo na yajali makundi yako + +maneno haya yanaweka msisitizo juu ya kujali + +# makundi yako ya kondoo + +makundi ya kondoo + +# makundi + +makundi ya mbuzi + +# je taji hudumu kwa vizazi vyote? + +"taji haidumu kwa vizazi vyote" + +# taji + +hapa inamaanisha utawala wa kifalme + +# majani mapya huonekana + +"majani mapya huanza kukua" + diff --git a/pro/27/26.md b/pro/27/26.md new file mode 100644 index 00000000..1a581656 --- /dev/null +++ b/pro/27/26.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sentensi Unganishi + +mistari 26 na 27inakwenda pamoja na mistari 23 hadi 25 kama mithali moja + +# kondoo watakupa mavazi yako + +"sufu za kondoo zitakupa vazi" + +# mbuzi watakupa thamani ya shamba kwa ajili ya nyumba yako + +"ukiuza mbuzi wako watakupa thamani ya shamba" + +# kwa ajili ya nyumba yako + +"kwa ajili ya familia yako yote" + +# na chakula kwa ajili ya watumishi wsichana + +"na kutakuwa na maziwa ya mbuzi kwa chakula cha watumishi wako wasichana" + +# chakula + +chakula + diff --git a/pro/28/01.md b/pro/28/01.md new file mode 100644 index 00000000..2073f440 --- /dev/null +++ b/pro/28/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa sababu ya uhalifu katika nchi + +"kwa sababu ya namna nchi navyokosea" + +# uhalifu katika nchi + +"uhalifu wa watu katika nchi" + +# kwa mtu mwenye ufahamu na maarifa + +" kwa mtu anayefahamu na kujua jinsi ya kutawala" + diff --git a/pro/28/03.md b/pro/28/03.md new file mode 100644 index 00000000..4f111502 --- /dev/null +++ b/pro/28/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# dhulumu + +"tendea vibaya" + +# kama mvua inayoshesha ambayo haiachi chakula + +mtu maskini wenye kudhulumu watu wengine maskini ni kama mvua ambayo hunyesha kwa nguvu wala haiachi mazao ya kuvuna. + +# mvua inayonyesha + +mvua ya uharibifu + +# kuiacha sheria + +"kuacha sheria ya Mungu" + +# waishikao sheria + +"wale wanaotii sheria ya Mungu" + +# hupigana dhidi yao + +hupingana nao au huwazuia + diff --git a/pro/28/05.md b/pro/28/05.md new file mode 100644 index 00000000..c19cc7bf --- /dev/null +++ b/pro/28/05.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# watu waovu + +"watu watendao mambo mabaya" + +# hawafahamu haki + +"hawafahamu maana ya haki" + +# wale wamtafutao Yahwe + +wale wanaotaka kumjua Yahwe + +# hufahamu kila kitu + +"hufahamu maana ya haki" + +# bora mtu maskini ...kuliko mtu tajiri + +"ni bora kuwa maskini ...kuliko kuwa mtu tajiri" + +# aendaye kaika uaminifu wake + +"huishi kwa uaminifu" + +# ambaye ni mdanaganyifu katika njia zake + +"ambaye si mwaminifu katika yale ayatendayo" + diff --git a/pro/28/07.md b/pro/28/07.md new file mode 100644 index 00000000..615ad8f2 --- /dev/null +++ b/pro/28/07.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# yeye ashikaye sheria + +"yeye ambaye anatii sheria ya Mungu" + +# mwana mwenye ufahamu + +"mwana anayefahamu" + +# warafi + +"watu wanaokula sana" + +# humwaibisha baba yake + +"humtia aibu baba yake" + +# hufanikiwa + +"huongeza utajiri wake" + +# lipisha riba kubwa + +"lipisha pesa ya ziada kwa kukopa" + +# riba + +pesa inayolipwa na mkopaji kwa kutumia pesa ya mtu mwingine + +# hukusanya utajiri wake + +"huleta mali zake pamoja" + +# kwa mwingine + +"mtu mwingine" + +# huruma + +"kumsikitikia mtu mwingine" + diff --git a/pro/28/09.md b/pro/28/09.md new file mode 100644 index 00000000..25f20ed9 --- /dev/null +++ b/pro/28/09.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Kama yeye + +"kama mtu" + +# atageuzia mbali sikio lake kuisikia sheria + +"atageuzia mbali sikio lake kusikia na kutii sheria" + +# hata maombi yake ni chukizo + +"Mungu anachukia hata maombi yake" + +# chukizo + +angalia 3:31 + +# Yeyote mwenye kumpotosha mwenye haki katika njia mbaya + +"Yeyote anayesababisha mwenye haki kwenda katika mwelekeo mbaya" + +# Yeyote mwenye kumpotosha...njia mbaya ataanguka + +"kama mtu yeyote atampotosha...njia mbaya ataanguka" + +# mwenye haki + +"watu wanyoofu" + +# ataanguka kwenye shimo lake mwenyewe + +"ataanguka kwenye mtego ambao ameuchimba" + +# wakamilifu + +"watu wakamilifu" + +# watapata urithi mzuri + +"watarithi kitu kizuri" + diff --git a/pro/28/11.md b/pro/28/11.md new file mode 100644 index 00000000..20a7b537 --- /dev/null +++ b/pro/28/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kuwa mwenye busara machoni pake mwenyewe + +"kuwa mwenye busara katika mawazo yake mwenyewe" au "kijifikira ni mwenye busara" + +# mwenye ufahamu + +"anayefahamu" + +# atamchunguza + +"ataona asili yake ya kweli" + +# kunapokuwa na ushindi kwa watu wenye haki + +"watu wenye haki wanapofanikiwa" + +# wainukapo waovu + +"wakati waovu wanapopata mamlaka" + +# waovu + +"watu waovu" + +# watu hujificha wenyewe + +"watu huende kujificha" + diff --git a/pro/28/13.md b/pro/28/13.md new file mode 100644 index 00000000..b7f3e7da --- /dev/null +++ b/pro/28/13.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# huficha dhambi zake + +"hufunika dhambi zake " + +# fanikiwa + +"nufaika" au "endelea" + +# yeye ambaye huziungama na kuziacha atapata rehema + +"Mungu ataonesha rehema kwa yule ungama na kuziacha" + +# yeye ambaye huishi kwa kicho daima amebarikiwa + +"Mungu atambariki yule ambaye huishi kwa kicho daima" + +# huishi kwa kicho + +huishi maisha ya kicho + +# kicho + +kumheshimu sana Yahwe na kuonesha kwamba unamtii + +# mwenye kuufanya mgumu moyo wake + +"mtu ambaye huufanya mgumu moyo wake" + +# kuufanya mgumu moyo wake + +"kukataa kumtii Mungu" + +# ataangukia katika taabu + +"ataishia kwenye taabu" + diff --git a/pro/28/15.md b/pro/28/15.md new file mode 100644 index 00000000..96d6182f --- /dev/null +++ b/pro/28/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kama simba aungurumaye au dubu mwenye hasira ndivyo alivyo mtawala mwovu juu ya watu maskini + +watu maskini ambao hawana msaidizi dhidi ya mtawala mwovu ni kama watu ambao simba anawaungurumia na dubu anawashambulia + +# dubu mweye hasira + +dubu ni mnyama mkubwa mwenye manyoya mengi na ni hatari sana, ana makucha na meno makali + +# mtawala aliyepungukiwa ufahamu + +"mtawala ambaye hana ufahamu" + +# mnyonyaji + +mtu ambaye huwatendea watu kwa ukatili na kuyafanya maisha yao kuwa magumu + +# yeye achukiaye udhalimu + +"yeye achukiaye kuwa dhalimu" + +# huongeza siku zake + +huishi maisha marefu + diff --git a/pro/28/17.md b/pro/28/17.md new file mode 100644 index 00000000..1475c184 --- /dev/null +++ b/pro/28/17.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# aliyemwaga damu ya mtu + +"aliyeua mtu" + +# mkimbizi + +mtu anyekimbilia mbali kuogopa kuogopa kukamatwa + +# hadi kifo + +"maisha yake yote" + +# yeye anayekwenda katika uaminifu atakuwa salama + +"Mungu atamweka salama mtu ambaye huenenda katika uaminifu" + +# yeye + +mtu yeyote ambaye + +# anayekwenda katika uaminifu + +"huishi kwa uaminifu" + +# yeye mwenye njia ya udanganyifu + +"mtu ambaye haishi kwa uaminifu" + +# ataanguka ghafula + +"ataharibikiwa ghafula" au "ataangamia ghafula" + diff --git a/pro/28/19.md b/pro/28/19.md new file mode 100644 index 00000000..4e8ebfa8 --- /dev/null +++ b/pro/28/19.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# hufanya kazi kwenye ardhi yake + +maana yake kulima , kupanda na kutunza mazao + +# yeyote + +mtu yeyote + +# afuataye mambo yasiyofaa + +mtu anayeshughulika na mambo ambayo hayazalishi chochote. + +# atapata umaskini mwingi + +"atakuwa maskini sana" + +# yeye apataye utajiri kwa haraka hatakosa adhabu + +"Mungu atamwadhibu yule ambaye hupata utajiri kwa haraka" + +# yeye apataye utajiri kwa haraka + +"yeye anayejaribu kupata utajira kwa haraka" + diff --git a/pro/28/21.md b/pro/28/21.md new file mode 100644 index 00000000..32989edb --- /dev/null +++ b/pro/28/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwa kipande cha mkate mtu atafanya ubaya + +"mtu atafanya dhambi kwa ajili ya kupata faida kidogo" + +# fanya ubaya + +tenda dhambi + +# mtu bahili + +"mtu mchoyo" Huyu ni mtu ambaye hapendi kutumia mali au pesa yake kwa ushirika na wengine + +# hufanya haraka kutajirika + +mtu bahili huwinda utajiri " ni mroho kwa ajili ya utajiri" + +# umaskini utakuja juu yake + +"ghafula atakuwa maskini" + diff --git a/pro/28/23.md b/pro/28/23.md new file mode 100644 index 00000000..58911f99 --- /dev/null +++ b/pro/28/23.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# yeye amwadibishaye mtu, baadaye atapata kibali kutoka kwake kuliko yule ambaye humsifu kwa ulimi wake + +"mtu atakuwa mwenye fadhila kwe aliyemwadibisha kuliko mtu mwenye kumsifu kwa ulimi wake" + +# yeye amwadibishaye + +"kama mtu anaadibisha" + +# humsifu kwa ulimi wake + +"humsifu kwa maneno" + +# humsifu + +kumtukuza mtu kwa namna ambayeo si ya kweli. au kumsifu mtu kwa mambo ambayo si ya kweli + +# yeye aibaye + +"mtu anayeiba" + +# na husema, "Hiyo si dhambi," + +"na kusema hiyo siyo dhambi" + +# rafiki wa + +"ni mtu wa aina ya " + diff --git a/pro/28/25.md b/pro/28/25.md new file mode 100644 index 00000000..5cc5032d --- /dev/null +++ b/pro/28/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mtu mroho + +mtu mchoyo anayetaka vitu zaidi, pesa au chakula kuliko mahitaji yake + +# huchochea mgogoro + +"husababisha mgogoro " + +# yeye nayeutumaini moyo wake + +"mtu anyejiamini mwenyewe" + +# yeyote + +"mtu yeyote ambaye" + +# huenda kwa hekima + +"hufuta mafundisho ya busara" + diff --git a/pro/28/27.md b/pro/28/27.md new file mode 100644 index 00000000..4aa1d30a --- /dev/null +++ b/pro/28/27.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Mwenye + +mtu + +# maskini + +"watu maskini" + +# hatapungukiwa kitu + +" hupata kila kitu anachohitaji" + +# yeye afumbaye macho yake kwao atapokea laana nyingi + +1) watapokea laana nyingi toka kwa maskini "maskini watatoa laana nyingi kwa yeyote afumbaye macho kwao"au 2"watu watatoa laana nyingi kwa yeyote afumbaye macho yake kwa maskini" + +# yeye + +mtu yeyote + +# afumbaye macho yake + +"asiyejali" au "anayeacha kusaidia" + +# watu waovu wanapoinuka + +"watu waovu wanaposhika mamlaka au utawa katika mamla + +# huangamia + +" huondoka " au "huanguka kutoka kwenye mamlaka" au "huharibiwa" + +# huongezeka + +"huzidi" au "huinuka katika mamlaka" + diff --git a/pro/29/01.md b/pro/29/01.md new file mode 100644 index 00000000..b38c0b94 --- /dev/null +++ b/pro/29/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# shupaza shingo yake + +"kataa maonyo " + +# atavunjika katika muda mfupi + +"Mungu atamvunja ghafla" + +# pasipo kupona + +"na hakuna mtu ataweza kumsaidia" + +# watu hushusha pumzi + +"watu watakuwa na hofu na huzuni" + diff --git a/pro/29/03.md b/pro/29/03.md new file mode 100644 index 00000000..851bae2b --- /dev/null +++ b/pro/29/03.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwa haki + +"kwa kutenda haki" + diff --git a/pro/29/05.md b/pro/29/05.md new file mode 100644 index 00000000..b52822a4 --- /dev/null +++ b/pro/29/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# humsifu jirani yake + +humwambia jirani yake mambo ya uongo ili afanye makosa + +# hutandaza mtego katika miguu yake + +"hutega mtego kumnasa mtu huyo" + +# katika dhambi ya mtu mwovu kuna mtego + +Hutamani kufanya mabaya kwa watu wengine, lakini Mungu atayatumia matendo yake hayo kumwadhibu. + diff --git a/pro/29/07.md b/pro/29/07.md new file mode 100644 index 00000000..28ea2573 --- /dev/null +++ b/pro/29/07.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# huwasha moto kwenye mji + +"huwashawishi watu wa mji kufanya ghasia" + +# hugeuza ghadhabu + +huwafanya watu wenye hasira kuwa na amani + diff --git a/pro/29/09.md b/pro/29/09.md new file mode 100644 index 00000000..ffffa08d --- /dev/null +++ b/pro/29/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# akibisha na + +"kwenda mahakamani dhidi ya " + +# hughadhabika na kucheka + +mpumbavu hukasirika na kumzuia mwenye busaa asiongee + +# ghadhabika + +chukia sana + +# haptatakuwa na utulivu + +"hawataweza kumaliza tatizo" + +# hutafuta maisha yake + +Nahau ambaya maana yake "kutaka kuua" + diff --git a/pro/29/11.md b/pro/29/11.md new file mode 100644 index 00000000..678744f2 --- /dev/null +++ b/pro/29/11.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# huzingatia + +"sikiliza" angalia 17:3 + +# maafisa wake wote watakuwa waovu + +"ni kana kwamba mtawala anawafundisha maafisa wake kuwa waovu" + diff --git a/pro/29/13.md b/pro/29/13.md new file mode 100644 index 00000000..5d41e37a --- /dev/null +++ b/pro/29/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mdhalimu + +mtu ambaye huwatendea watu ukatili na kuyafanya maisha yao kuwa magumu + +# Yahwe huyatia nuru macho yao wote + +Hii ni nahau "Yahwe huwapa uzima watu " + +# kiti chake cha enzi + +"ufalme wake" + diff --git a/pro/29/15.md b/pro/29/15.md new file mode 100644 index 00000000..2aabd88d --- /dev/null +++ b/pro/29/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# fimbo na maonyo hutoa hekima + +"kama mzazi atatumia fimbo kwa mtoto wake na kumuonya, mtoto atakuwa na busara" + +# fimbo + +Wazazi walitumia viboko katika Israeli kama vifaa vya kuleta nidhamu kwa kuwachapa watoto wao. + +# maonyo + +kumwambia mtu kuwa jambo analofanya halifai + +# makosa huongezeka + +"watu wengi watafanya makosa na dhambi za zitakuwa mbaya zaidi" + +# anguko la wale watu waovu + +"wale watu waovu huanguka" au "wale watu waovu hupoteza utawala wao" + diff --git a/pro/29/17.md b/pro/29/17.md new file mode 100644 index 00000000..1aa9713a --- /dev/null +++ b/pro/29/17.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# yeye ambaye huitunza sheria amebarikiwa + +"Mungu atambari mtu yule itunzaye sheria" + diff --git a/pro/29/19.md b/pro/29/19.md new file mode 100644 index 00000000..f4c2e931 --- /dev/null +++ b/pro/29/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mtumwa hatarekebishwa kwa maneno + +"hutaweza kumrekebisha mtumwa kwa kuongea naye" + +# mtu mwenye haraka katika maneno yake umemtazama? + +"unapaswa kutambua kitu ambacho hutoke kwa mtu mwenye haraka katika maneno yake" + diff --git a/pro/29/21.md b/pro/29/21.md new file mode 100644 index 00000000..511fe12c --- /dev/null +++ b/pro/29/21.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ambaye humdekeza mtumwa wake + +"ambaye huruhusu mtumwa wake kuacha kazi na hutendea vema mtumwa wake kuliko watumwa wengine" + +# mwisho wake + +"mtumwa anapokua" + +# kutakuwa na taabu + +mtumwa atakuwa mtu dhaifu + +# huchochea ugomvi + +"husababisha mabishano zaidi kwa watu" Angalia 15:17 + +# bwana wa ghadhabu + +"mtu ambaye hupata hasira upesi" + diff --git a/pro/29/23.md b/pro/29/23.md new file mode 100644 index 00000000..ef61f150 --- /dev/null +++ b/pro/29/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mwenye roho ya unyenyekevu atapewa heshima + +"Yahwe atasababisha watu kumheshimu mwenye roho ya unyenyekevu" + +# huyachukia maisha yake mwenyewe + +"huwa na uadui kwake mwenyewe" + +# husikia laana na hasemi kitu + +"hasemi neno hata baada ya watu kutoa laana juu yake" + diff --git a/pro/29/25.md b/pro/29/25.md new file mode 100644 index 00000000..fd1370c0 --- /dev/null +++ b/pro/29/25.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kumwogopa mtu hufanya mtego + +"mtu yeyote anayeogopa atakachotendewa na watu ni huwa kama mtego" + +# mtego + +kitanzi ambacho hukamata wanyam kwa kamba + +# yeye ambaye anamtumaini Yahwe atalindwa + +"Yahwe atamlinda yule ambaye anamtumaini" + +# wengi ambao huutafuta uso wa mtawala + +"watu wengi wanataka mtawala wao awajali" + +# kutoka kwa Yahwe ni haki kwa mtu + +Ni Yahwe anayetaka kuona kuwa watu wanatendewa kwa haki + diff --git a/pro/29/27.md b/pro/29/27.md new file mode 100644 index 00000000..e48ec3b8 --- /dev/null +++ b/pro/29/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# chukizo + +mtu anayepaswa kuchukiwa + diff --git a/pro/30/01.md b/pro/30/01.md new file mode 100644 index 00000000..b7b28438 --- /dev/null +++ b/pro/30/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Aguri...Yake...Ithiel...ukali + +Haya ni majina ya watu + +# Aguri mwana wa Yake + +Aguri ni mtoto halisi wa Yake, wala si mjukuu + +# kwa Ithiel, kwa Ithiel na ukali + +"Hii ni kwa Ithiel, kwa Ithiel na ukali ' + +# Hakika + +"kweli" au "Hakuna shaka kwamba" + +# Mimi sina ufahamu wa wanadamu wala sima maarifa ya Mtakatifu + +"Mimi sifahamu chochote ambacho wanadamu wanapaswa kuvifahamu + diff --git a/pro/30/04.md b/pro/30/04.md new file mode 100644 index 00000000..365a2440 --- /dev/null +++ b/pro/30/04.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Ni nani ...chini?Ni nani...mikono?...Ni nani...kanzu? Ni nani....dunia? + +"Hakuna mtu..." + +# mbinguni + +ambako Mungu anaishi + +# kusanya upepo kwenye uwazi wa mikono yake + +"kamata upepo katika mikono yake" + +# uwazi wa mkono yake + +"mkono yake" + +# kusanya + +rundika pamoja vitu vidogo vilivyotawanyika + +# imarisha miisho ya dunia yote + +"ameweka mipaka ya ukomo wa dunia" + +# Jina lake ni nani, na jina la mwanae ni nani? + +"niambie jina lake na jina la mwanae kama unawajua" + +# Hakika unajua! + +"Sidhani kama unamjua mtu anayeweza kufanya mambo hayo" + diff --git a/pro/30/05.md b/pro/30/05.md new file mode 100644 index 00000000..c7e8eff4 --- /dev/null +++ b/pro/30/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# limejaribiwa + +"ni kama chuma cha thamani ambacho kimetolewa uchafu wote" + +# yeye ni ngao kwa wale wanaokimbilia kwake + +"anawalinda wale wanaokuja kwake na kumwomba awalinde " + +# kuongeza katika maneno yake + +kusema maneno mengine zaidi ya yale aliyosema + +# utathibitishwa kuwa + +"atathibitisha kuwa ume.." + diff --git a/pro/30/07.md b/pro/30/07.md new file mode 100644 index 00000000..33fe13ae --- /dev/null +++ b/pro/30/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# weka upuuzi na uongo mbali nami + +"usiruhusu watu waongee upuuzi na uongo kwangu" au "usiniruhusu kuongea upuuzi na uongo" + +# upuuzi + +uongo, maneno ambyo hana maana + +# usinipe umaskini wala utajiri + +"usiruhusu niwe maskini sana wala tajiri sana" + +# kama nitapata vingi sana, nitakukataa wewe na kusema + +Ni hali ya nadharia, msemaji si tajiri lakini inawezekana kuwa tajiri + +# kama nitakuwa maskini, nitaiba na kukufuru + +Hii inaelezea hali ya nadharia ambayo haijatokea lakini inawezekana mwandishi akawa maskini + +# nitaiba na kukufuru jina la Mungu + +"nitawafanya watu wanaojua kuwa nimeiba vitu wafikiri kuwa hakuna Mungu" au " Nitaharibu heshima ya Mungu kwa kuiba" + diff --git a/pro/30/10.md b/pro/30/10.md new file mode 100644 index 00000000..d5839e59 --- /dev/null +++ b/pro/30/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# uzushi + +kusema uongo juu ya mtu mwingine kwa kusudi la kumuumiza + +# atakulaani + +mtumwa atakulaani + +# utakuwa na hatia + +"watu wataona ni mwenye hatia" + diff --git a/pro/30/11.md b/pro/30/11.md new file mode 100644 index 00000000..43e7628b --- /dev/null +++ b/pro/30/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kizazi ambacho kinalaani ...na hakibariki .....kizazi ambacho ni + +"kizazi cha watu wenye kulaani ...na hawabariki ...kizazi cha watu ambao ni " + +# kizazi + +aina au aina au kundi + +# ni safi machoni pao wenyewe + +" huamini kuwa wapo safi" + +# hawajaoshwa uchafu wao + +"Mungu hajawasamehe dhambi zao" + +# uchafu + +takataka , siofaa + diff --git a/pro/30/13.md b/pro/30/13.md new file mode 100644 index 00000000..bb571860 --- /dev/null +++ b/pro/30/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# macho yao yameinuka...kope zao zimeinuka juu + +watu ambao hudhani kuwa wao ni bora kuliko watu wengine. + +# kuna kizazi ambacho meno yao ni upanga, na taya zao ni visu, hivyo wanaweza kuwararua maskini ...na wahitaji + +Watu wa kizazi ambao huongea vitu vibaya sana ,wanaongelewa mithili ya wanyama mwitu...wanawala maskini na wahitaji + +# taya + +mifupa ya usoni ambapo meno huota + diff --git a/pro/30/15.md b/pro/30/15.md new file mode 100644 index 00000000..fa0eea61 --- /dev/null +++ b/pro/30/15.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Mruba anao binti wawili + +Huu ni mfano wa kuonesha uroho, kutaka vitu zadi kila mara "Uroho anao binti wawili" + +# mruba + +ni aina ya mnyoo amba huganda kwenye ngozi na kunyonya damu + +# Wanalia "Nipe na nipe " + +" kwa pamoja wote wanaitwa nipe mimi" + +# kuna vitu vitatu ambavyo havitosheki, vinne ambavyo havisemi "Yatosha" + +"Kuna vitu vinne ambavyo havitosheki, ambavyo havisemi, "Yatosha" + +# ambavyo havitosheki + +"daima vinataka zaidi" + +# ardhi ambayo haitosheki kwa maji + +ardhi ambayo haizalishi tena chakula kwa sababu hakuna mvua imeongelewa kana kwamba mtu ambaye hana maji ya kutosha kwa kunywa + +# beza utiifu kwa mama + +"humfikiria mama yake kuwa hana maana na hawezi hata kumtii" + +# macho yake ...tai + +Mwandishi anatoa taswira mbili kwa namna inavyotokea kwa watu wanaofariki wakiwa mbali na makazi ya watu + +# macho yake yatadonolewa na kunguru wa bondeni + +" kunguru wa bondeni watayadonoa macho yake" + +# kunguru + +ndege weusi ambao hula mimea na mizoga ya wanyama + +# ataliwa na tai + +"tai watamla" + +# tai + +moja ya ndege wakubwa ambao hula mizoga ya wanyama + diff --git a/pro/30/18.md b/pro/30/18.md new file mode 100644 index 00000000..e0ff1505 --- /dev/null +++ b/pro/30/18.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kuna vitu vitatu ambavyo ni ...vinne ambavyo sivifahamu + +"kuna baadhi ya vitu vya kushangaza kwangu ambavyo sivifahamu -vinne ni ": + +# katika moyo wa bahari + +"katikati ya bahari" + diff --git a/pro/30/20.md b/pro/30/20.md new file mode 100644 index 00000000..a21e131b --- /dev/null +++ b/pro/30/20.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hula na kuufuta mdomo wake + +...kufanya uzinzi na kisha kuoga. + diff --git a/pro/30/21.md b/pro/30/21.md new file mode 100644 index 00000000..4f6d1721 --- /dev/null +++ b/pro/30/21.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# chini ya vitu vitatu dunia hutetemeka, na chini ya vinne haiwezi kuvivumilia + +"kuna baadhi ya vitu huifanya dunia kutetemeka, ambavyo haiwezi kuvivumilia, vinne katika hivyo ni:" + +# mpumbavu anaposhiba chakula + +"Mpumbavu mwenye chakula cha kutosha" + +# mwanamke aliyechukiwa anapoolewa + +"mwanamke ambaye watu wanamchukia anapoolewa" au "mwanamke aliyetengwa anapoolewa" + +# anapochukua nafasi ya bibi yake + +anapotawala nyumba(kaya au familia) + diff --git a/pro/30/24.md b/pro/30/24.md new file mode 100644 index 00000000..a3579b4c --- /dev/null +++ b/pro/30/24.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wibari + +wanyama wasio na mkia, wana masikio ya duara na miguu mifupi + diff --git a/pro/30/27.md b/pro/30/27.md new file mode 100644 index 00000000..fffe6edf --- /dev/null +++ b/pro/30/27.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mjusi + +Reptilia mdogo mwenye miguu minne, mwili mrefu na mkia + diff --git a/pro/30/29.md b/pro/30/29.md new file mode 100644 index 00000000..21d15b6d --- /dev/null +++ b/pro/30/29.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kuna vitu vitatu ambavyo ni ...vinne ambavyo fahari kwa namna ya kutembea kwake + +"kuna baadhi ya vitu ambavyo hutembea kwa fahari. Vinne ya hivi ni :" + +# fahari + +tukufu kama mfalme + +# jogoo aendaye kwa mikogo + +kuku dume ambaye hutembea kwa kujidai + diff --git a/pro/30/32.md b/pro/30/32.md new file mode 100644 index 00000000..fd8fca1e --- /dev/null +++ b/pro/30/32.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kusuka + +chekecha kwa nguvu + +# siagi + +maziwa ya wanyama ambayo yamesukuwa na kuwa mazito + diff --git a/pro/31/01.md b/pro/31/01.md new file mode 100644 index 00000000..ae70c274 --- /dev/null +++ b/pro/31/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Mfalme Lemueli + +hili ni jina la mfalme + +# Mwanangu, ni nini? Mwana wa tumbo langu, ni kitu gani? Unataka nini, mwana wa nadhiri zangu? + +1) "unafanya nini"? au " hupaswi kufanya hivyo unavyofanya sasa" 2) "sikiliza ninachokuambia" 3) "usifanye mambo ambayo nitakuonya dhidi yake." + +# mwanangu...mwana wa tumbo langu... mwana wa nadhiri zangu + +msemaji anataka msikiaji atambue na kuheshimu msema anayezungumza. + +# mwana wa tumbo langu + +tumbo linawakilisha mtu + +# mwana wa nadhiri zangu + +1) nadhiri za ndoa ya mama 2) nadhiri baada ya ndoa yakuwa kama Mungu angeruhusu kupata mtoto angeli mweka wakifu kwa Mungu + +# usiwape wanamke nguvu zako + +"usifanye juhudi sana ili kufanya ngono na wanawake" ama nje ya ndoa au kwa vimada + +# au njia zako kwa wale ambao huwaharibu wafalme + +"au kuruhusu wale ambao huwaharibu wafalme kukushauri" + +# njia zako + +"namna unavyoishi" au "kazi unayofanya" + +# wale ambao huwaharibu wafalme + +labda ni mwanamke malaya + diff --git a/pro/31/04.md b/pro/31/04.md new file mode 100644 index 00000000..16237825 --- /dev/null +++ b/pro/31/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Lemueli + +Hili ni jina la mtu + +# ambacho kimeamriwa + +"ambacho Mungu ameamru" au "ambacho wafalme wameamru wenyewe" + +# potosha\ + +"badilisha" au " pindisha" au "kana" + diff --git a/pro/31/06.md b/pro/31/06.md new file mode 100644 index 00000000..ded94725 --- /dev/null +++ b/pro/31/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# na mvinyo + +" na mpe mvinyo" + +# katika uchungu wa dhiki + +"ambao nafsi zao zinauchungu" au "ambao wapo katika mateso" + +# umaskini wake + +"jinsi alivyo maskini" + +# taabu yake + +"mambo mabaya ambayo yanatokea kwake" + diff --git a/pro/31/08.md b/pro/31/08.md new file mode 100644 index 00000000..502dc229 --- /dev/null +++ b/pro/31/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ongea kwa ajili ya wale ambao hawawezi kuongea + +"watetee wale ambao hawawezi kujitetea wenyewe" + +# kwa ajili ya madai ya wote ambao wanaangamia + +"hivyo watu watende haki kwa wale wote wanaoangamia" + +# kwa ajili ya madai + +"ongea kwa ajili ya madai" au "ongea kwa niaba ya" + +# watu maskini na wahitaji + +"watu ambao ni mskini hawawezi kupata vitu ambavyo wanahitaji" + diff --git a/pro/31/10.md b/pro/31/10.md new file mode 100644 index 00000000..596fba33 --- /dev/null +++ b/pro/31/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni nani anaweza kumpata mwanamke mwema? + +"si wanaume wengi wanaoweza kumpata mwanamke mwema" + +# thamani yake ni kuu kuliko marijani + +"anathamani kuliko marijani" + +# hatakuwa maskini + +"daima atapata kile anachohitaji" + diff --git a/pro/31/13.md b/pro/31/13.md new file mode 100644 index 00000000..bf4f9a7c --- /dev/null +++ b/pro/31/13.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# sufu + +manyoya ya kondoo ambayo hutumika kutengeneza nguo + +# kitani + +mmea ambao nyuzi zake hutumika kutengeneza nguo ya kitani + +# kwa furaha ya mikono yake + +"hujisikia furaha kufanya kazi kwa mikono yake " + +# mfanya biashara + +mtu anayenunu na kuuza + +# hugawa kazi kwa ajili ya mtumishi wake wa kike + +"huwaambia watumishi wake wa kike kazi ambazo kila mmoja wao anapaswa kufanya kwa siku" + diff --git a/pro/31/16.md b/pro/31/16.md new file mode 100644 index 00000000..33057255 --- /dev/null +++ b/pro/31/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# matunda ya mikono yake + +"pesa alizopata" + +# yeye mwenyewe hujivika nguvu + +"hujiandaa yeye mwenyewe kwa kazi nzito" + +# na huifanya mikono yake kuwa imara + +"na huitia nguvu mikono yake kwa kufanya kazi yake" + diff --git a/pro/31/18.md b/pro/31/18.md new file mode 100644 index 00000000..3d444efc --- /dev/null +++ b/pro/31/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# huona + +"huangalia kwa uangalifu" + +# usiku wote taa yake haizimika + +"huwasha taa usiku kucha anapokuwa akifanya kazi" + +# kisokotea + +fimbo nyembamba yenye ncha ambayo hutumika katika kutengeneza nyuzi + diff --git a/pro/31/20.md b/pro/31/20.md new file mode 100644 index 00000000..0d6525c0 --- /dev/null +++ b/pro/31/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kwa mkono wake huwafikia maskini + +"huwasaidia maskini" + +# kwa mkono wake huwafikia + +angalia 31:18. + +# huvikwa nguo nyekundu + +"nyekundu" haimaanishi rangi ya nguo lakini ni vazi la gharama na lenye joto. "kuwa na mavazi ya gharama na yenye joto " + +# nyekundu + +rangi nyekundu, lakini yenye michirizi ya chungwa. + diff --git a/pro/31/22.md b/pro/31/22.md new file mode 100644 index 00000000..1b13b45e --- /dev/null +++ b/pro/31/22.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kitani + +vazi ambalo limetengzwa kwa kitani + +# mume wake anajulikana + +"mume wake anaheshiwa na watu" + +# anapoketi pamoja na wazee wa nchi + +kutengeneza sheria na kusuruhisha kesi + diff --git a/pro/31/24.md b/pro/31/24.md new file mode 100644 index 00000000..a69730f1 --- /dev/null +++ b/pro/31/24.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kitani + +vazi lililotengenezwa kwa kitani + +# mishipi + +vipande virefu vya nguo huvaliwa kiunoni au kwenye bega moja + +# huvikwa nguvu na heshima + +"kila mtu anaweza kumwona yupo imara na kwa hiyo wanamheshimu" + +# huucheka wakati ujao + +"haogopi yatakayotekea wakati ujao" + diff --git a/pro/31/26.md b/pro/31/26.md new file mode 100644 index 00000000..bed928ec --- /dev/null +++ b/pro/31/26.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# hufumbua kinywa chake kwa ahekima + +"hunena kwa busara" + +# sheria ya ukarimu ipo kwenye ulimi wake + +"huwafundisha watu kuwa na ukarimu" + +# huangalia njia za nyumba yake + +"huhakikisha kuwa familia yake yote inaishi katika njia ambayo inampendeza Mungu" + +# hawezi kula mkate wa uvivu + +"siyo mvivu " + +# uvivu + +kutofanya kazi yoyote na kuwa mzembe + diff --git a/pro/31/28.md b/pro/31/28.md new file mode 100644 index 00000000..92eabc75 --- /dev/null +++ b/pro/31/28.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# huinuka na + +husimama au hufanyakazi kwa juhudi + +# humwita aliyebrikiwa + +"humpongeza" + +# umewapita + +"umefanya vizuri zaidi kuliko" + diff --git a/pro/31/30.md b/pro/31/30.md new file mode 100644 index 00000000..e02a79e3 --- /dev/null +++ b/pro/31/30.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# madaha ni udanganyifu + +"mwanamke mwenye huruma anaweza kuwadanganya watu" au "mwanamke mwenye tabia njema anaweza kuwa mwovu" + +# uzuri ni ubatili + +"mwanamke ambaye ni mzuri sasa hawezi kuwa mzuri daima" + +# atasifiwa + +"watu watamsifu" + +# matunda ya mikono yake + +"pesa anazopata" angalia 31:13 na 31:16 + +# kazi zake na zimsifu katika malango + +"watu wakuu wa mji na wamsifu kwa kazi zake nzuri alizofanya" + diff --git a/psa/001/001.md b/psa/001/001.md new file mode 100644 index 00000000..fca583f8 --- /dev/null +++ b/psa/001/001.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# ambaye hatembei katika ushauri wa waovu + +"Ushauri wa waovu" unazungumziwa kana kwamba ni njia ya kufuata. "ambaye hafuati ushauri wa waovu" + +# kusimama katika njia ya watenda dhambi + +Hapa neno "njia" inaonesha namna watu wanavyoishi. Neno "simama" liko sambamba na "tembea." "kuiga tabia za watu watenda dhambi" + +# au kuketi katika kusanyiko la wenye dhihaka + +Kuketi na watu wanao mdhihaki Mungu inaonesha kuwaunga watu wanao mdhihaki Mungu. "au kuwaunga wale wanao mdhihaki Mungu" au "au kumdhihaki Mungu na wale wanaomdhihaki" + +# furahi + +"kuridhika" au "furaha" + +# Yahwe + +Hili ni jina la Mungu ambalo alilifunua kwa watu wake katika Agano la kale. + diff --git a/psa/001/003.md b/psa/001/003.md new file mode 100644 index 00000000..d7464a92 --- /dev/null +++ b/psa/001/003.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Kifungu hiki kinatambulisha picha iliyo fafanuliwa kwa undani ambayo mtu mtakatifu anawaziwa kama mti unao stawi. + +# Atakuwa kama mti ... matunda katika msimu wake + +Katika Biblia, watu mara nyingi wanazungumziwa kama miti. Watu wanaofurahi katika sheria ya Yahwe wanaweza kufanya yote ambayo Mungu anataka wafanye kama mti uliopandwa kandokando ya maji uwezavyo kutoa matunda mazuri. "Atafanikiwa kama mti ... matunda katika msimu wake" + +# uliopandwa kandokando ya vijito vya maji + +Mti ulipandwa kandokando ya kijito unaweza kupata maji ya kutosha kuwa na afya. + +# unaotoa matunda yake katika msimu wake + +Miti yenye afya inatoa matunda mazuri kwa wakati sahihi. + +# ambao majani yake hayakauki + +Mti ukipaata maji yakutosha, majani yake hayakauki na kufa. + +# chochote afanyacho kinafanikiwa + +"atafanikiwa kwa chochote afanyacho" + diff --git a/psa/001/004.md b/psa/001/004.md new file mode 100644 index 00000000..35c2c2a6 --- /dev/null +++ b/psa/001/004.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Waovu hawako hivyo + +Jinsi wasivyo hivyo inaweza kuwekwa wazi. "Waovu hawana mafanikio" au "Waovu hawafanikiwi" + +# lakini ni kama makapi + +Jinsi walivyo kama nyasi inaweza kuwekwa wazi. "lakini hawana faida kama makapi" + +# hawatasimama katika hukumu + +Kupona wakati Mungu anahukumu inazungumziwa kama "kusimama." "hawatapona wakati Mungu anawahukumu" au "watalaaniwa Mungu atakapo wahukumu" + +# wala watenda dhambi katika kusanyiko + +"wala watenda dhambi kusimama katika kusanyiko" + +# wala watenda dhambi katika kusanyiko la wenye haki + +Kukubaliwa na Mungu kama mwenye haki inazungumziwa kama kusimama na kundi la watu wenye haki. "na Mungu hatawakubali watenda dhambi pamoja na watu wenye haki" + diff --git a/psa/001/006.md b/psa/001/006.md new file mode 100644 index 00000000..ef93ea41 --- /dev/null +++ b/psa/001/006.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa kuwa Yahwe anakubali njia ya watakatifu, bali njia ya waovu itapotea + +Vishazi hivi viwili vinaonesha tofauti kwa yale yanayowatokea watu watakatifu na yale yanayowatokea watu waovu. + +# njia ya mwenye haki + +Jinsi watu wanavyoishi inazungumziwa kama vile ni "njia" au "barabara" ambayo walikuwa wakitembea. "jinsi wenye haki wanavyoishi" + +# njia ya waovu itapotea + +Hapa "njia" inamaanisha waovu, ambao kimafumbo wanatembea katika hiyo njia. "Waovu wataangamia kwa sababu ya njia yao" au "waovu watakufa kwa sababu ya jinsi wanavyoishi" + diff --git a/psa/002/001.md b/psa/002/001.md new file mode 100644 index 00000000..96d8488e --- /dev/null +++ b/psa/002/001.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa nini mataifa yako katika ghasia ... kwa nini watu wanafanya mipango itakayoshindwa? + +Vishazi hivi viwili vina maana zakufanana, na "mataifa" na "watu" linamaanisha kundi hilo hilo la watu. Maneno "mataifa" na "watu" yanaweza kumaanisha viongozi wao. "Kwa nini viongozi wa mataifa wako katika ghasia na kufanya mipango itakayoshindwa?" + +# Kwa nini mataifa yako katika ghasia, na kwa nini watu wanafanya mipango itakayoshindwa? + +Maswali haya yanatumika kuonesha mshangao kwamba watu wanafanya jambo baya sana na laki pumbavu. "Mataifa yako katika ghasia na watu wanafanya mipango itakayoshindwa." + +# mataifa yako katika ghasia + +Hii inaweza kumaanisha kuwa mataifa yalikuwa yakifanya vurugu ya kelele na hasira. + +# mipango itakayoshindwa + +Hii inawezekana kuwa mipango dhidi ya Mungu na watu wake. + +# Wafalme wa nchi wafanya msimamo wa pamoja ... viongozi wao wanafanya njama pamoja. + +Vishazi hivi viwili vina maana ya kufanana. + +# wafanya msimamo wa pamoja + +"kukusanyika kupambana" au "kuungana na kujiaanda kupinga" + +# Tupasue pingu ... tutupe minyororo yao + +Watu wa mataifa mengine wanamzungumzia utawala wa Yahwe na Masihi juu yao kama pingu na minyororo. "Tujiweke huru kutoka kwenye utawala wao; tusiwaruhusu watutawale tena!" + diff --git a/psa/002/004.md b/psa/002/004.md new file mode 100644 index 00000000..acd03ec6 --- /dev/null +++ b/psa/002/004.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yeye ... Bwana + +Maneno haya yanamaanisha Yahwe. Yahwe mara nyingi huitwa "Bwana" lakini maneno kwa ajili ya "Yahwe" na "Bwana" ni tofauti. + +# aketiye mbinguni + +Hapa kuketi inamaanisha kutawala. Kile anachokalia kinaweza kuelezwa vizuri. "anatawala mbinguni" au "anaketi katika kiti chake cha enzi mbinguni" + +# Bwana anawadhihaki + +"Bwana anawadhihaki hao watu." Kwa nini anawadhihaki inaweza kuelezwa vizuri. "Bwana anawadhihaki kwa mipango yao yakipumbavu" + +# na kuwatisha katika gadhabu yake + +"gadhabu" inamaanisha kuwa na hasira kali. + +# kuwatisha + +"kuwaogofya" + diff --git a/psa/002/006.md b/psa/002/006.md new file mode 100644 index 00000000..f86b0624 --- /dev/null +++ b/psa/002/006.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mimi mwenyewe + +Yahwe anasisitiza kuwa yeye, na sio mtu mwingine, ndiye aliyemtia mafuta mfalme wake. + +# mtia mafuta mfalme wangu + +"kumchagua mfalme wangu kutawala" + +# Nitatangaza amri ya Yahwe + +Mtu anayesema haya ni mfalme. Hii inaweza kuelezwa vizuri. "Mfalme anasema, 'Nitatangaza amri ya Yahwe'" + +# Akaniambia + +"Yahwe akaniambia" + +# Wewe ni mwanangu! Siku hii nimekuwa baba yako + +Kati ya watu wengi katika sehemu hiyo ya dunia kipindi hicho, wanaume waliweza kuamua kupanga watoto kisheria, ambao watakuwa warithi wao. Hapa Yahwe anamtwaa mwanamme na kumfanya kuwa mfalme wa Israeli. "Nitakufanya mwanangu. Siku hii nimekuwa baba yako" au "Sasa u mwanangu na mimi baba yako" + diff --git a/psa/002/008.md b/psa/002/008.md new file mode 100644 index 00000000..a8e235bf --- /dev/null +++ b/psa/002/008.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kauli Unganishi: + +Yahwe anaendelea kuzungumza na mfalme mpya wa Israeli. + +# mataaifa kwa urithi wako ... sehemu za mbali za nchi kwa mali yako + +Mafungu haya yanaonesha mawazo ya kufanana sana. + +# sehemu za mbali za nchi + +"ardhi iliyo mbali kabisa" + +# Utawavunja kwa fimbo ya chuma; kama chupa ya mfinyanzi, utawaponda vipande vipande. + +Vifungu hivi vinanaonesha mawazo ya kufanana sana. + +# Utawavunja kwa fimbo ya chuma + +Kuyashinda mataifa inazungumziwa kama kuyavunja, na nguvu yake inazungumziwa kama fimbo ya chuma. "Utawashinda kabisa kwa nguvu yako" + +# utawaponda vipande vipande + +Kuangamiza mataifa inazungumziwa kana kwamba yanaweza kupondwa kama chupa ya udongo. "utawaangamiza kabisa kama chuma ya udongo" + +# chupa ya mfinyanzi + +Mfinyanzi ni mtu anayetengeneza vyungu vya udongo na chupa. Hizi ni nyepesi kuvunjika. "chupa ya udongo" au "chungu cha udongo" + diff --git a/psa/002/010.md b/psa/002/010.md new file mode 100644 index 00000000..c1095d15 --- /dev/null +++ b/psa/002/010.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa hiyo sasa, nyie wafalme, muonywe; muwekwe sasa, nyie watawala wa nchi + +Mafungu haya mawili yana maana za kufanana. "Kwa hiyo sasa, nyie wafalme na watawala wa nchi, muonywe na kurekebishwa" + +# muonywe + +Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "sikiliza onya hili" au "muwe na hekima" + +# muwekwe sasa + +Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "sikiliza masahihisho haya" au "chukua masahihisho haya" + diff --git a/psa/002/012.md b/psa/002/012.md new file mode 100644 index 00000000..1ade8d3c --- /dev/null +++ b/psa/002/012.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mbusu mwana + +Watu walimwonesha mfalme wao kuwa walikuwa waaminifu kwake kwa kumbusu, labada miguuni. "Mwonesheni mwana kuwa kweli ni waaminifu kwake" au "Sujuduni kwa unyenyekevu kwa mwanaye" + +# mtakufa njiani + +Hii inaweza kumaanisha kufa hapo hapo, kabla hajapata nafasi ya kuondoka. "utakufa hapo hapo" + +# hasira yake inapowaka kwa muda tu + +Hasira ya mfalme inazungumziwa kama vile ni moto unaoweza kuwaka. "anapokasirika sana ghafla" + +# wanaotafuta usalama kwake + +Kumuomba mfalme ulinzi inazungumziwa kama kutafuta usalama kwake. "wanaomuomba mfalme kuwalinda" + diff --git a/psa/003/001.md b/psa/003/001.md new file mode 100644 index 00000000..60907417 --- /dev/null +++ b/psa/003/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Yahwe, maadui zangu ni wangapi! + +Tamko hili linaonesha kuwa Daudi anawaogopa maadui wake. "O Yahwe, nina maadu wengi sana!" + +# wameinuka dhidi yangu + +Kupigana na mtu inazungumziwa kama kuinuka dhidi yake. "wamekuja dhidi yangu" + +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki. + diff --git a/psa/003/003.md b/psa/003/003.md new file mode 100644 index 00000000..20ebfe80 --- /dev/null +++ b/psa/003/003.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wewe, Yahwe, ni ngao yangu + +Ngao humlinda askari. Daudi anazungumza kana kwamba Mungu ni ngao inayomlinda. "wewe, Yahwe, unanilinda kama ngao" + +# utukufu wangu + +"wewe ni utukufu wangu." Kwa kumuita Mungu utukufu wake, Daudi anasema kuwa Mungu ndiye anayempa utukufu. Kwa kuwa Daudi amemaliza tu kuwazungumzia maadui zake na Mungu kuwa mlinzi wake, inawezekana alimaanisha kuwa Mungu anampa utukufu kwa kumpa ushindi juu ya maadui wake. "wewe ndiye unipaye utukufu" au "wewe ndiye unipaye ushindi" + +# unayenyanyua kichwa changu + +"wewe ndiye unayenyanyua kichwa changu." Kumpa mtu ujasiri inazungumziwa kama kumnyanyua kichwa chake. "unayenitia moyo" + +# Nainua sauti yangu + +Mtu kutumia sauti yake kulia inazungumziwa kama kuinua sauti yake. + +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki. + diff --git a/psa/003/005.md b/psa/003/005.md new file mode 100644 index 00000000..3fed845d --- /dev/null +++ b/psa/003/005.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# waliojipanga dhidi yangu kila upande + +"wamenizunguka kuniangamiza" + diff --git a/psa/003/007.md b/psa/003/007.md new file mode 100644 index 00000000..d8383d61 --- /dev/null +++ b/psa/003/007.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Inuka + +Daudi anazungumzia kuanza kufanya kitu kama kuinuka. "Chukua hatua" au "Fanya kitu" + +# utawapiga maadui wangu wote ... utavunja meno ya waovu + +Vifungu hivi vinasema vitu vya kufanana sana. Misemo "maadui wangu" na "waovu" inamaanisha kundi moja la watu. + +# Kwa kuwa utawapiga maadui wangu kwenye taya + +Hii ilikuwa ni njia ya kuwatukana watu. Daudi anazungumza kana kwamba Yahwe atakuja na kuwapiga kimwili adui zake. "Kwa kuwa utawafedhehesha adui zangu wote kama mtu anawapiga kwenye taya. + +# utavunja meno ya waovu + +Wanyama huvamia kwa meno yao. Kuvunja meno yao inawaondolea nguvu ya kuvamia. Daudi anazungumza kana kwamba Yahwe atakuja na kupambana kimwili na waovu. "utawafanya waovu washindwe kunidhuru kama mtu kuvunja meno ya mnyama mkali" + +# Wokovu unatoka kwa Yahwe + +Nomino dhahania ya "Wokovu" inaweza kuelezwa na kitenzi "okoa." "Yahwe anawaokoa watu wake" + diff --git a/psa/004/001.md b/psa/004/001.md new file mode 100644 index 00000000..415201ae --- /dev/null +++ b/psa/004/001.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# kwenye vyombo vya nyuzi + +"watu wanapaswa kucheza vyombo vya nyuzi na wimbo huu" + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Nijibu ninapoita + +"Nisaidie ninapoita" + +# Mungu wa haki yangu + +"Mungu, unayeonesha kuwa ni mwenye haki" + +# nipe nafasi ninapozungukwa + +Kuwa hatarini inazungumziwa kama kuwa katika nafasi finyu. "niokoe ninapokuwa hatarini" + diff --git a/psa/004/002.md b/psa/004/002.md new file mode 100644 index 00000000..cb15ccb0 --- /dev/null +++ b/psa/004/002.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Daudi anaimba sehemu hii ya wimbo kana kwamba anazungumza na adui zake. + +# Nyie watu, mtageuza heshima yangu kuwa aibu hadi lini? + +Daudi anatumia swali hili kuwakemea adui zake. "Nyie watu mnaendela kugeuza heshima yangu kuwa aibu!" + +# mtageuza heshima yangu kuwa aibu + +Kumwaibisha badala ya kumheshimu inazungumziwa kama kuifanya heshima yake kuwa aibu. "kuniaibisha badala ya kuniheshimu" au "kuniletea aibu badala ya kuniletea heshima" + +# Hadi lini mtapenda kile kisicho na dhamani na kutafuta uongo? + +Daudi anatumia swali hli kuwakemea adui zake. "Mnaendela kupenda vitu visivyo na dhamani na kutafuta uongo." + +# mtapenda kile kisicho na dhamani ... kutafuta uongo + +Misemo hii miwili inamaana ya kufanana. Uongo hauna dhamani. "mtapenda uongo usio na dhamani" + +# Yahwe anawatenga watauwa kwa ajili yake + +"Yahwe anawachagua watauwa kwa ajili yake" + diff --git a/psa/004/004.md b/psa/004/004.md new file mode 100644 index 00000000..5bb9fcf4 --- /dev/null +++ b/psa/004/004.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mtetemeke kwa hofu + +Uhusiano kati ya "kutetemeka" na "hofu" na ni nani watu wanapaswa kumhofu unaweza kuelezwa vizuri. "Mche Yahwe sana hadi utetemeke" au "Simama kwa kumshangaa Yahwe" + +# Mtetemeke + +"Mtikisike" + +# Tafakari moyoni mwako + +Moyo unaashiria mawazo ya mtu. Kuwaza kwa umakini inazungumziwa kama kutafakari ndani ya moyo wa mtu. "Waza kwa umakini: + +# Toa sadaka za haki + +"Toa sadaka zilizo sawa" + +# weka imani yako kwa Yahwe + +Imani inazungumziwa kama vile ni kitu kinachoweza kuweka sehemu. "muamini Yahwe" + diff --git a/psa/004/006.md b/psa/004/006.md new file mode 100644 index 00000000..55206cbe --- /dev/null +++ b/psa/004/006.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Nani atatuonesha chochote kizuri? + +Swali hili linatumika kwa mojawapo kati ya kuuliza kwa ajili ya kitu au kuonesha matamanio kuhusu jambo ambalo bado halijatokea. "Tafadhali tuonesha jambo zuri" au "Tunatamani mtu atuoneshe jambo zuri" + +# Nani atatuonesha chochote kizuri? + +Kuonesha kitu kizuri inaweza kumaanisha kuleta vitu vizuri au kusema kwamba vitu vizuri vimetokea. "Nani ataleta vitu vizuri kwetu?" au "Nani atasema kwamba kitu chochote kizuri kimetokea?" + +# inua mwanga wa uso wako kwetu + +Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuwatendea mazuri kana kwamba uso wa Yahwe ulimulika mwanga kwao. "kutenda mema kwetu" + +# Umeupa moyo wangu furaha zaidi + +Moyo unaashiria mtu. "Umenipa furaha zaidi" + +# Umeupa moyo wangu furaha zaidi kuliko wengine walivyo + +Furaha inazungumziwa kama kitu kinachoweza kupewa. "Umenifanya kuwa mwenye furaha zaidi kuliko wengine" + +# nafaka zao na divai yao mpya inapozidi + +"Divai mpya" inaweza kumaanisha mizabibu. "wanapovuna mavuno mengi ya nafaka na mizabibu" + +# Ni kwa amani nitalala chini + +Amani inazungumziwa kana kwamba ni sehemu. "Nitakuwa na amani ninapolala chini" au "Sitaogopa hatari ninapolala" + +# unanifanya salama + +"unanifanya salama + diff --git a/psa/005/001.md b/psa/005/001.md new file mode 100644 index 00000000..e10dd2d3 --- /dev/null +++ b/psa/005/001.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla + +Usambamba ni jambo la kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# na vyombo vya upepo + +"Wimbo huu unapaswa kuandamana na watu wanaocheza vyombo vya upepo + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Sikia wito wangu kwako + +Huu ni wito wa msaada. "Nisikie mimi ninapokuita sasa kwa ajili ya msaada" + +# sauti ya kulemewa + +sauti ndogo watu wanazofanya wanapohangaika + +# asubuhi unasikia kulia kwangu ... asubuhi nitaleta dua yangu kwako + +Vifungu hivi viwili vinamaana ya kufanana. + +# nitaleta dua yangu kwako + +"Nitafanya ombi langu" au "Nitakuomba ninachohitaji" + +# kutazamia + +"matumaini" + diff --git a/psa/005/004.md b/psa/005/004.md new file mode 100644 index 00000000..cd8a33ec --- /dev/null +++ b/psa/005/004.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yahwe anawachuki watu wenye vurugu na waongo + +Kwa kuwa Daudi anazungumza na Mungu katika zaburi hii, sentensi hii inaweza kuelezwa na neno "wewe." "Yahwe, wewe unawachukia watu wenye vurugu na waongo" au "Yahwe, wewe unachukia watu wanaofanya matendo ya vurugu na kuwadanganya wengine" + diff --git a/psa/005/007.md b/psa/005/007.md new file mode 100644 index 00000000..570423ec --- /dev/null +++ b/psa/005/007.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nyumba yako + +Hii inamaanisha hekalu la Mungu. "hekalu lako" + +# niongoze katika haki yako + +Daudi anazungumzia haki kana kwamba ni njia na kufundisha kama kuongoza. Msemo "haki yako" unamaanisha kuwa Mungu ni mwenye haki. "nifundishe kufanya kilicho na haki kama wewe ufanyavyo" + +# nyosha njia yako mbele yangu + +Daudi anazungumzia haki kana kwamba ni njia. Njia iliyonyoka ni rahisi kuona na kutemebelea. "nionesha vizuri jinsi ya kuisha njia sahihi" au "ifanye rahisi kwangu kufanya yaliyo sawa" + diff --git a/psa/005/009.md b/psa/005/009.md new file mode 100644 index 00000000..e4d67caa --- /dev/null +++ b/psa/005/009.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Daudi anawazungumzia adui zake + +# Kwa kuwa hakuna ukweli midomoni mwao + +Ukweli kuwa midomoni mwao inamaanisha kuongea ukweli. "Kwa kuwa huwa hawasemi ya kweli" + +# utu wao wa ndani ni uovu + +Utu wao wa ndani inamaanisha mawazo ya watu na tamaa zao. "mawazo yao na tamaa ni mbaya" + +# koo yao + +Koo inaashiria maneno ya watu. "maneno yao" au "kile wanchosema" + +# koo yao ni kaburi lililo wazi + +Koo yao inazungumziwa kana kwamba ni kaburi lililo wazi, tayari kwa ajili ya maiti kuwekwamo. Maana zinazowezekana ni 1) "wanasema watawaua watu" au 2) "Wanachosema huua watu" + +# wanijipendekeza na ulimi wao + +"wanasema vitu vizuri kuhusu watu wengine bila kumaanisha" + +# ulimi wao + +Ulimi unaashiria kile wanachosema watu. + +# njama zao ziwe anguko lao + +"njama zao ziwasababishe kupitia maafa" au "wapunguze umuhimu wao kwa sababu ya njama zao" + +# njama + +mipango ya kuwadhuru watu + +# anguko + +Hili ni jambo linalowafanya watu kupitia maafa na kupoteza nguvu. Kupitia maafa au kupoteza umuhimu inazungumziwa kama kuangaku. + diff --git a/psa/005/011.md b/psa/005/011.md new file mode 100644 index 00000000..96bc872a --- /dev/null +++ b/psa/005/011.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wote wanaokukimbilia wafurahi + +Mungu anazungumziwa kana kwamba ni kambi, sehemu ambayo watu wanaweza kulindwa. "Wote wanaokuja kwako kwa ulinzi wafurahi" + +# wote wanaokukimbilia wafurahi ... wapige kelele za shangwe kwa sababu unawalinda + +Vishazi hivi viwili vina wazo la kufanana. + +# wanaokukimbilia + +Kwenda kwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi kunazungumziwa kama kumkimbilia yeye. "kwenda kwako kwa ulinzi" + +# wale wanaolipenda jina lako + +Jina la Mungu linamwakilisha yeye. "wale wanaokupenda" + +# utawazunguka na fadhila kama ngao + +Fadhila za Mungu zinazungumziwa kama ngao. "utawaonesha fadhila na kuwalinda kama askari wanavyojilina kwa ngao" au "kwa sababu u mkarimu kwao, utawalinda" + diff --git a/psa/006/001.md b/psa/006/001.md new file mode 100644 index 00000000..dc1b08bc --- /dev/null +++ b/psa/006/001.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# kwenye vyombo vya nyuzi + +"watu wanapaswa kucheza vyombo vya nyuzi na wimbo huu" + +# weka kwa mtindo wa Sheminithi + +Hii inaweza kumaanisha mtindo wa muziki. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# mifupa yangu inatetemeka + +Mifupa inaashiria mwili wote. Mwili wake unaweza kuwa unatetemeka kwa sababu alikuwa mgonjwa au amechoka sana. "mwili wangu wote unatetemeka" + diff --git a/psa/006/003.md b/psa/006/003.md new file mode 100644 index 00000000..efc9f091 --- /dev/null +++ b/psa/006/003.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# imetaabika sana + +"ogopa" au "wasiwasi" + +# hii itaendelea hadi lini? + +Daudi anatumia swali hili kuonesha kuwa hataki kuendelea kujisikia mdhaifu na mwenye taabu. "tafadhali, usiruhusu hii iendelee!" + +# Rudi, Yahwe + +Daudi anazungumzia Mungu kumtendea wema kama Mungu kurudi kwake. "Yahwe, rudi kwangu" au "Nione huruma, Yahwe" + +# Kwa kuwa katika kifo hakuna kumbukuku lako. Nani atakupa shukrani kuzimu? + +Sentensi hizi mbili zina maana ya kufanana. + +# Kwa kuwa katika kifo hakuna kumbukuku lako. + +Kumbukumbu inaashiria sifa. "Kwa kuwa watu wanapokufa, hawakusifu tena" + +# Nani atakupa shukrani kuzimu? + +Daudi anatumia swali hili kusisitiza kuwa hakuna mtu anayetoa shukrani kwa Mungu toka kuzimu. "Hakuna mtu kuzimu atayekupa shukrani!" au "Wafu hawawezi kukusifu" + diff --git a/psa/006/006.md b/psa/006/006.md new file mode 100644 index 00000000..09e28fe5 --- /dev/null +++ b/psa/006/006.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nimechoka na kulia kwangu kwa sauti ya kuelemewa + +Kulia kwake kwa sauti ya kuelemewa inaonesha maumivu na mateso aliyoyasikia. "Nimechoka sana kwa sababu ya maumivu + +# ninaloanisha kitanda changu kwa machozi: ninaosha jilanza langu kwa machozi + +Sentensi hizi zina maana moja. + +# ninaloanisha kitanda changu kwa machozi + +"Ninafanya kitanda changu kilowe kwa machozi" au "Kitanda changu kimelowana kwa sababu ya machozi yangu" + +# ninaosha jilanza langu kwa machozi + +"Nilifanya jilaza langu lilowane kwa machozi yangu" + +# macho yangu yanachoka + +Uwezo wa kuona unazungumziwa kwa njia ya macho. "Kuona kwangu kumefifia" au "Siwezi kuona vizuri" + +# kutokana na huzuni + +Huzuni hapa inamaanisha kulia. "kutokana na kulia" au "kwa sababu nalia sana" + diff --git a/psa/006/008.md b/psa/006/008.md new file mode 100644 index 00000000..49d5a29f --- /dev/null +++ b/psa/006/008.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yahwe amesikia ombi langu la huruma ... Yahwe amekubali ombi langu + +Mistari hii miwili ina maana ya kufanana. + +# Yahwe amekubali ombi langu + +Kuwa tayari kufanya ambacho Daudi ameomba inazungumziwa kama kukubali ombi lake. "Yahwe atajibu ombi langu" + diff --git a/psa/007/001.md b/psa/007/001.md new file mode 100644 index 00000000..1aea26ee --- /dev/null +++ b/psa/007/001.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Utunzi wa kimuziki wa Daudi + +"Huu ni wimbo ambao Daudi aliaandika" + +# kuhusu maneno ya Kushi Mbenyamini + +Usemi "maneno ya Kushi" yanamaanisha alichosema. "kuhusu Kushi, mwanamme kutoka kabila la Benyamini alichosema" + +# wanaokimbia kwako + +Kwenda kwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi kunazungumziwa kama kumkimbilia. "kwenda kwako kwa ulinzi!" + +# watanirarua vipande vipande kama simba + +Daudi anawazungumzia adui zake kumshambulia kana kwamba wanamrarua mwili wake na kumwacha vipande vipande kama simba afanyavyo. "wataniua kikatili kama simba anavyorarua mwili wa mawindo yake na kuugawa vipande vipande" au "wataniua kikatili" + +# bila kuwa na yeyote mwingine kuniletea mahali salama + +"na hakuna mwingine atakayeweza kuniokoa" + diff --git a/psa/007/003.md b/psa/007/003.md new file mode 100644 index 00000000..facd0699 --- /dev/null +++ b/psa/007/003.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hakuna udhalimu mikononi mwangu + +Mikono inaashiria jambo analofanya mtu. Kuwa na udhalimu juu yake inamaanisha kuwa amefanya kitu kisicho cha haki. "hakuna udhalimu ni kile nilichofanya" au "sijafanya chochote kisicho cha haki kwa yeyote" + diff --git a/psa/007/005.md b/psa/007/005.md new file mode 100644 index 00000000..4d84a7db --- /dev/null +++ b/psa/007/005.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# maisha yangu + +Maisha yanaashiria mtu. "mimi" + +# kuyapita + +"kufikia" au "kuipata." Hii inamaanisha kumshika. "kunikamata" + +# acha akanyage mwili wangu ulio hai ardhini + +Hapa "mwili wangu ulio hai" unamaanisha mwandishi. "waruhusu adui zangu kuniangamiza" + +# nimelala bila heshima kwenye vumbi + +Hii inamaana kulala akiwa amekufa na bila kuzikwa katika aibu. + diff --git a/psa/007/006.md b/psa/007/006.md new file mode 100644 index 00000000..f22e3acb --- /dev/null +++ b/psa/007/006.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Inuka, Yahwe, katika hasira yako + +Kuinuka inamaanisha kufanya jambo au kuchukua hatua. "Fanya jambo katika hasira yako" au "Wakasirikie adui zangu na uchukue hatua" + +# simama dhidi ya gadhabu ya adui zangu + +Kupambana na watu kunazungumziwa kama kusimama dhidi yao. "pambana dhidi ya gadhabu ya adui zangu" au "shambulia adui zangu wenye gadhabu juu yangu" + +# gadhabu ya adui zangu + +Gadhabu yao inaashiria mashambulizi yao. "mashambulizi ya adui zangu" au "adui zangu wanaonishambulia" + +# amka + +Kuamka kunaashiria kuanza kufanya jambo au kuchukua hatua. "Chukua hatua" au "Fanya kitu" + +# kwa ajili yangu + +"kunisaidia" + +# Mataifa yamekusanyika + +Hapa neno "mataifa" linamaanisha majeshi yote yaliokusanyika kushambulia. + +# chukua tena nafasi yako unayostahili juu yao + +Kutawala watu kunazungumziwa kama kuwa juu yao. Sehemu anayostahili Yahwe inamaanisha mojawapo kati ya mbinguni au kutawala kwa ujumla. "Tawala juu yao kutoka mbinguni" au "Tawala juu yao" + diff --git a/psa/007/008.md b/psa/007/008.md new file mode 100644 index 00000000..b3883085 --- /dev/null +++ b/psa/007/008.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nithibitishe + +"waoneshe kuwa sina hatia" + +# imarisha watu wenye haki + +"wafanye watu wenye haki kuwa imara" au "wafanye watu wenye haki wafanikiwe" + +# wewe unayechunguza mioyo na akili + +Mioyo na akili zinaashiria tamaa na mawazo ya watu. "wewe unayejua mawazo yao ya ndani" + diff --git a/psa/007/010.md b/psa/007/010.md new file mode 100644 index 00000000..af1b984c --- /dev/null +++ b/psa/007/010.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ngao yangu inatoka kwa Mungu + +Neno "ngao" inamaanisha ulinzi wa Mungu. + +# Mungu anayeudhika kila siku + +Ambaye Mungu anahasira naye inaweza kuelezwa vizuri. "Mungu aliye na hasira na waovu kila siku" + diff --git a/psa/007/012.md b/psa/007/012.md new file mode 100644 index 00000000..e32afdfb --- /dev/null +++ b/psa/007/012.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mungu atanoa upanga wake na kuandaa upinde wake kwa ajili ya mapambano + +Katika mistari ya 12 na 13, Daudi anazungumzia juu ya Mungu kuamua kuwaadhibu waovu kana kwamba Mungu ni mpambanaji anayejianda kupigana dhidi yao kwa silaha. "Mungu atachukua hatua juu yao kama mpambanaji anaye noa upanga wake na kuanda upinde wake kwa ajili ya mapambano" + diff --git a/psa/007/014.md b/psa/007/014.md new file mode 100644 index 00000000..d0e7de7b --- /dev/null +++ b/psa/007/014.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# yule ambaye yuko mimba na uovu ... anajifungua mipango haribifu ... anazaa uongo wenye madhara + +Daudi anazungumzia vitu ambavyo mtu mwovu anafanya kama mtu mwenye mimba na uovu ndiye mtoto. "mtu mwovu. Anafanya mipango ya kuangamiza watu kusabisha uongo wenye + +# Mipango yake ya uharibifu yanarudia kichwa chake mwenyewe, kwa kuwa vurugu zake zinashuka chini ya kichwa chake + +Uharibifu na vurugu zinazungumziwa kana kwamba zinagonga kichwa cha mtu au kumdondokea. "Mipango yake ya uharibifu inamuangamiza, kwa kuwa vurugu yake inamshambulia" au "Anapopanga kuangamiza wengine, wengine wanamuangamiza; anaposhambulia wengine, wengine wanamshambulia" + diff --git a/psa/008/001.md b/psa/008/001.md new file mode 100644 index 00000000..2239c311 --- /dev/null +++ b/psa/008/001.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika + +# weka kwa mtindo wa gittithi + +Hii inaweza kumaanisha mtindo wa muziki. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# jina lako lililovyo tukufu duniani kote + +"Jina" la Mungu linaashiria asili yake yote. "watu duniani kote wanajua kuwa wewe ni mkuu sana" + +# Kutoka katika midomo ya watoto na wachanga umeumba sifa + +Kusababisha watoto kumsifu Mungu kunazungumziwa kana kwamba sifa ni kitu kilichoumbwa ndani ya midomo ya watoto na kufanywa kutoka nje. "Umewapa watoto na wachanga uwezo wa kukusifu" + diff --git a/psa/008/003.md b/psa/008/003.md new file mode 100644 index 00000000..eb6da023 --- /dev/null +++ b/psa/008/003.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mbingu zako, ambazo vidole vyako + +Vidole vya Mungu vinaashiria ni yeye. "mbingu ulizoumba" + +# binadamu ana umuhimu gani hadi umtambue, au mtu hadi umwangalie? + +Misemo hii inaelezwa kwa njia ya swali kuongeza msisitizo. "Ni ajabu kuwa unawawaza watu na kuwajali!" + +# binadamu ... mtu + +Misemo hii yote inamaanisha watu kwa ujumla. + +# umewavika taji la utukufu na heshima + +Utukufu na heshima zinazungumziwa kana kwamba ni mataji. Maneno "utukufu" na "heshima" yanakaribiana kwa maana. "umewapa utukufu na heshima" au "umewasababisha kuwa kama wafalme" + diff --git a/psa/008/006.md b/psa/008/006.md new file mode 100644 index 00000000..0b2c2d93 --- /dev/null +++ b/psa/008/006.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Unamfanya kutawala juu ya kazi yako ... umeweka vitu vyote chini ya miguu yake + +Vishazi hivi viwili vinaeleza maana ya kufanana. + +# Unamfanya ... chini ya miguu yake + +Vishazi hivi viwili vinaeleza maana ya kufanana + +# kazi ya mikono yako + +Mikono inaashiria yale Mungu aliyoyatenda. "vitu ulivyoumba" + +# umeweka vitu vyote chini ya miguu yake + +Kuwa na mamlaka kutawala wengine na madaraka juu ya vitu inazungumziwa kama kuwa na hivyo vitu chini ya miguu yake. Hii inamaanisha Mungu aliwapa watu mamlaka juu ya uumbaji wote. "umempa mamlaka juu ya vitu vyote" + diff --git a/psa/008/009.md b/psa/008/009.md new file mode 100644 index 00000000..132d78a7 --- /dev/null +++ b/psa/008/009.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Jina lako limetukuka duniani kote + +Kwa mshangao huu, Daudi anaonesha furaha yake na heshima yenye uoga kuhusu Mungu alivyo mkuu. "jina lako limetukuka vizuri duniani kote" au "watu duniani kote wanajua ulivyotukuka" + +# jina lako + +"Jina" la Mungu linamaanisha yeye au sifa yake. "sifa yako" + +# limetukuka + +"zuri" au "kuu" + diff --git a/psa/009/001.md b/psa/009/001.md new file mode 100644 index 00000000..5bb4373f --- /dev/null +++ b/psa/009/001.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# weka kwa mtindo wa Muthi Labeni + +Hii inaweza kumaanisha mtindo wa muziki. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Nitampa shukrani Yahwe kwa moyo wangu wote + +Kwa sababu wimbo huu ameandikiwa Yahwe, Yahwe anaweza kupelekea kumita "wewe." "Yahwe, nitakupa wewe shukrani kwa moyo wangu wote" + +# matendo yako ya ajabu + +Nomino "matendo" inaweza kuelezwa na kitenzi "kufanya." "matendo yote ya ajabu unayofanya" au "matendo yote ya ajabu uliyofanya" + +# Nitaimbia sifa jina lako + +Hapa jina la Mungu linamaanisha ni Mungu. "Nitakuimbia sifa" + diff --git a/psa/009/003.md b/psa/009/003.md new file mode 100644 index 00000000..c167dbc9 --- /dev/null +++ b/psa/009/003.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# geuka + +"kurudi" au "kukimbia kwa uoga" + +# umeketi kwenye kiti cha enzi, hakimu mwenye haki + +Wafalme walikuwa na mamlaka ya kuhukumu watu, na waliketi katika kiti cha enzi walipokuwa wakihukumu. Daudi anazungumza kana kwamba Mungu alikuwa mfalme wa kidunia. "unahukumu kama mfalme anayeketi katika kiti chake cha enzi, na u mwenye haki" + diff --git a/psa/009/005.md b/psa/009/005.md new file mode 100644 index 00000000..f5c3d09f --- /dev/null +++ b/psa/009/005.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# umelifuta jina lao milele na milele + +Kusababisha watu kusahaulika inazungumziwa kama kufuta jina lake. "umesababisha wasahaulike kana kwamba umefuta majina yao" au "hakuna atakaye wakumbuka tena daima" + +# umelifuta + +"umeondoa" + +# Adui alivunjika kama uharibifu + +Adui anazungumziwa kana kwamba alikuwa mji uliojaa majinge yaliyovunjika. "Adui zetu waliangamizwa" + +# ulipopindua miji yao + +"Ulipoangamiza miji yao" + +# Kumbukumbu yao yote imepotea + +Kumbukumbu inazungumziwa kana kwamba kilikuwa kiumbe hai kinachoweza kufa. "Kumbukumbu yao imesimama" au "Hakuna tena kumbukumbu yao" + +# Kumbukumbu yao yote imepotea + +Kumbukumbu inaweza kuelezwa na kitenzi "kumbuka." "Hakuna mtu anaye wakumbuka kabisa" + diff --git a/psa/009/007.md b/psa/009/007.md new file mode 100644 index 00000000..aacf2b0f --- /dev/null +++ b/psa/009/007.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yahwe anabaki milele + +"Kubaki" inaweza kuashiria kuketi kwenye kiti cha enzi kama mfalme. "Yahwe anaketi kwenye kiti chake cha enzi milele" au "Yahwe anatawala milele" + +# ameweka kiti chake cha enzi kwa jili ya haki + +Msemo "kiti chake cha enzi" unaashiria utawala wa Mungu. Maana zinazowezekana ni 1) "Anatawala ili ahukumu watu" au "Anatawala juu ya watu kwa haki" + +# Atahukumu ulimwengu kwa haki ... atatekeleza hukumu kwa ajili ya mataifa kwa kutopendelea. + +Vishazi hivi viwili vinaeleza kitu kimoja. + +# Atahukumu ulimwengu kwa haki + +Hapa "ulimwengu" unamaanisha watu wote duniani. "Atahukumu watu wote duniani kwa haki" + diff --git a/psa/009/009.md b/psa/009/009.md new file mode 100644 index 00000000..fdb28b11 --- /dev/null +++ b/psa/009/009.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yahwe pia atakuwa ngome kwa wanaokandamizwa + +Mungu anazungumziwa kana kwamba alikuwa ni sehemu ambapo watu wanaweza kwenda kwa ajili ya usalama. "Yahwe pia atawalinda wanaokandamizwa" au "Yahwe atawapa usalama wale wanaokandamizwa" + +# ngome + +"pa kukimbila" au "kivuli" + +# Wale wanaolijua jina lako + +Hapa maneno "jina lako" yanamaanisha Mungu. "Wale wanaokujua" + +# usiwatelekeze + +"usiwaache" + diff --git a/psa/009/011.md b/psa/009/011.md new file mode 100644 index 00000000..70ac63a1 --- /dev/null +++ b/psa/009/011.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# anaye tawala Sayuni + +"anayeishi Yerusalemu" + +# waambie mataifa + +Hapa "mataifa" yamaanisha watu wote. + +# Kwa kuwa Mungu anayelipiza kisasi cha damu iliyo mwagika hukumbuka + +Kile anachokumbuka kinaweza kuwekwa wazi. "Kwa kuwa Mungu anaye lipiza kisasi umwagaji damu anawakumbuka wale waliouliwa" au "Kwa kuwa Mungu hukumbuka anawakumbuka wale waliouliwa na kuwaadhibu wauwaji" + +# hasahau kilio chao + +"Anajali kilio chao" + diff --git a/psa/009/013.md b/psa/009/013.md new file mode 100644 index 00000000..a6d22ff1 --- /dev/null +++ b/psa/009/013.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# tazama jinsi ninavyokandamizwa na wale wanaonichukia + +Hii inawezwa kuelezwa katika hali ya kutenda. "tazama wale wanaonichukia wanavyonikandamiza" au "tazama jinsi adui zangu wanavyonitendea vibaya" + +# wewe unayeweza kuniokoa kutoka malango ya mauti + +Mauti inazungumziwa kana kwamba ni mji ulio na malango ambayo watu huingia. Kama mtu yuko karibu na malango ya mauti, inamaanisha kuwa atakufa punde. Kumzuia mtu kutokufa inazungumziwa kama kumwondoa kwenye malango ya mji. "wewe unayeweza kuniokoa na mauti" au "wewe unayeweza kuzuia nisife" + diff --git a/psa/009/015.md b/psa/009/015.md new file mode 100644 index 00000000..113b7199 --- /dev/null +++ b/psa/009/015.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mataifa yamezama chini kwenye shimo walilotengeneza + +Watu huchimba mashimo ili kukamata wanyama wanaoanguka humo. Hapa kuchimba shimo inaashiria kufanya mipango ya kuangamiza watu. "Mataifa ni kama watu wanaochimba mashimo kwa ajili ya wengine na kisha kuanguka humo" + +# miguu yao imenaswa kwenye wavu walioficha + +Watu huficha nyavu ili kukamata wanyama wanaonaswa humo. Hapa kuficha wavu inaashiria kufanya mipango ya kuangamiza watu. "ni kama watu wanaoficha wavu na kunaswa humo" + +# ametegwa + +"kunaswa" au "kushikwa." Hii inamaanisha kuangamizwa. "kuangamizwa" + diff --git a/psa/009/017.md b/psa/009/017.md new file mode 100644 index 00000000..2177c612 --- /dev/null +++ b/psa/009/017.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wanageuzwa + +"wanakataliwa" + +# hatima ya mataifa yote yanayomsahau Mungu + +"pale ambapo mataifa yote yanayomsahau Mungu yatakapokuwa" + +# Kwa kuwa wahitaji hawatasahauliwa daima + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Mungu hatawasahau wahitaji daima" au "Mungu atawakumbuka wahitaji" + +# wala matumaina ya waliokandamizwa kufutwa + +Matumaini yanazungumziwa kana kwamba ni vitu vinavyoweza kuvunjika au kuharibika. Matumaini kuangamizwa inaashiria mambo ambayo watu wanatumaini kutokutokea. "na wanaokandamizwa hawatatumaini milele bila kuona matokeo" au "na siku moja kile wanaokandamizwa wanachotumaini kitatokea" + diff --git a/psa/009/019.md b/psa/009/019.md new file mode 100644 index 00000000..614b9cae --- /dev/null +++ b/psa/009/019.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Inuka + +Kuinuka kunaashiria kuanza kufanya kitu. "Fanya kitu" au "Chukua hatua" + +# mwanadamu + +"watu" + +# yahukumiwe + +Hapa kuhukumu kunaashiria kuadhibu. "yaadhibiwe" + +# machoni pako + +Hapa machoni inamaanisha uwepo. "katika uwepo wako" + +# mataifa yahukumiwe machoni pako + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "hukumu mataifa katika uwepo wako" au "yapeleke mataifa katika uwepo wako na uyaadhibu" + diff --git a/psa/010/001.md b/psa/010/001.md new file mode 100644 index 00000000..6877b253 --- /dev/null +++ b/psa/010/001.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa nini, Yahwe, unasimama mbali? Kwa nini unajificha nyakati za taabu? + +Mwandishi anatumia maswali haya kuonesha huzuni yake kuwa Mungu hajamsaidia. "Yahwe, inaonekana kana kwamba uko mbali na mimi na unajificha kwangu kila ninapokuwa kwenye + +# njama + +"mipango" + +# mtu mwovu + +Hii inamaanisha watu waovu kwa ujumla. "watu waovu" + +# tamaa yake ya nafsi + +Nomino "tamaa" inaweza kuelezwa na kitenzi "kutaka." "vitu anavyotaka sana kufanya" + +# walafi + +"watu wenye tamaa" + diff --git a/psa/010/004.md b/psa/010/004.md new file mode 100644 index 00000000..1c8d04ea --- /dev/null +++ b/psa/010/004.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mtu mwovu + +Hii inamaanisha watu waovu kwa ujumla. "watu waovu" + +# ana uso ulioinuka + +Uso ulioinuka inaashiria kiburi. "Ana tabia ya kiburi" au "ana kiburi" + +# hamtafuti Mungu + +Kumtafuta Mungu inamaanisha kati ya 1) kumwomba Mungu msaada au 2) kumwaza Mungu na kumtii. "hamwombi Mungu msaada" au "hamwazi Mungu" + +# Yuko salama muda wote + +Hayuko salama kweli ila anadhani yuko salama. + +# amri zako za haki ziko juu sana kwake + +Jambo lililogumu kuelewa linazungumziwa kana kwamba liko juu sana kufikia. "hawezi kuelewa amri zako za haki" + +# anawakoromea adui zake + +Watu hukoromea adui zao wanapodhani kuwa adui zao ni wanyonge na hawana faida. "anafikiri kuwa adui zake wote ni wanyonge na wasio na faida" au "anawakoromea adui zake wote" + +# anawakoromea + +Hii inamaanisha kuwa anapuliza hewa kwa sauti kutoka puani mwake. + diff --git a/psa/010/006.md b/psa/010/006.md new file mode 100644 index 00000000..5a02d99b --- /dev/null +++ b/psa/010/006.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Anasema + +"Mtu mwovu anasema" + +# katika vizazi vyote + +Hii inaweza kumaanisha "milele." + +# sitakutana na taabu + +Kupitia taabu inazungumziwa kama kukutana nayo. "Sitakuwa na shida zozote" + +# Mdomo wake umejaa laana na maneno ya uongo na ya kudhuru + +Kile watu wanachosema kinazungumziwa kama kuwa mdomoni mwao. "huwa anawalaani watu na kusema vitu ambavyo ni vya uongo na vya kudhuru" au "Huwa analaani watu, kusema uongo, na kutishia kuwadhuru watu" + +# ulimi wake huumiza na kuangamiza + +Hapa ulimi unaashiria kuongea. au "kile anachokisema kinaumiza na kuangamiza watu" au "anazungumza maneno yanayowatisha na kuumiza watu" + diff --git a/psa/010/008.md b/psa/010/008.md new file mode 100644 index 00000000..8e9132f5 --- /dev/null +++ b/psa/010/008.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Anasubiri tayari kwa kuvamia + +Anayesubiri ni mtu mwovu + +# macho yake hutafuta mhanga asiyejiweza + +Macho yamamwakilisha yeye. "anatafuta mhanga asiyejiweza" + +# Hujificha sehemu ya siri kama simba kwenye kichaka + +Hii inamzungumzia mtu mwovu kana kwamba ni simba. "Anajificha wakati akisubiri wangyonge wapite karibu yake, kama simba anavyosubiri kwa utulivu katika kichaka kwa ajili ya mnyama anayetaka kushambulia" + +# Hujificha + +Kujificha na kusudi la kudhuru au kuua. + +# hulala na kusubiri + +"hulala chini akisubiri" au "anajificha na kusubiri" + +# Anashika waliokandamizwa anapovuta wavy wake + +Mwandishi anazungumzia mtu mwovu kuwashika watu kana kwamba ni mwindaji anatumia wavu kushika wanyama. "Anawashika walio kandamizwa kama mwindaji anayomshika mnywama kwenye wavu na kumvuta. + +# wanaanguka kwenye nyavu zake imara + +Mwandishi anaendelea kumzungumzia mtu mwovu kuwashika watu kana kwamba ni mwindaji, mipango yake ni nyavu, na watu ni wanyama wanaoangukia kwenye wavu. "wahanga wake wanakamatwa na mipango yake kama wanyama wanaoanguka kwenye wavu imara wa mwindaji" + diff --git a/psa/010/011.md b/psa/010/011.md new file mode 100644 index 00000000..5b3e7607 --- /dev/null +++ b/psa/010/011.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Asema + +Anayesema ni mtu mwovu na watu waovu kwa ujumla. + +# Mungu amesahau + +Kukataa kuzingatia kile ambacho watu wanafanya inazungumziwa kama kusahau. "Mungu hazingati" au "Mungu hajali kuhusu kile nachofanya" + +# anafunika uso wake + +Kukataa kuzingatia kitu ambacho mtu anafanya kama kufunika uso wa mtu. "Mungu anakataa kuona kinachotokea" + +# hatahangaika kutazama + +Kuzingatia kile ambacho mtu anafanya inazungumziwa kama kukiangalia. "hatahangaika kuzingatia" au "hatajali" + +# Inuka + +Kuanza kufanya kitu inazungumziwa kama kuinuka. "Fanya kitu" + +# Inua mkono wako + +Hapa kuinua mkono kumpiga mtu inaashiria kumwadhibu. "kumpiga kwa nguvu" au "kumwadhibu mtu mwovu" + diff --git a/psa/010/013.md b/psa/010/013.md new file mode 100644 index 00000000..395d9a8b --- /dev/null +++ b/psa/010/013.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa nini mtu mwovu anamkataa Mungu na kusema ... "Hutaniwajibisha"? + +Mwandishi anatumia swali hili kuonesha kuwa anachosema ni cha kusikitisha sana kuwa watu waovu wanafanya vitu hivi. "Watu waovu humktaa Mungu kila wakati na kusema .. 'Hautaniwajisbisha.'" + +# Hutaniwajibisha + +"Hutaniomba kukueleza kwa nini ninafanya ninachokifanya." Kumwajibisha mtu hapa inaashiria kumwadhibu. "Hautaniadhibu" + diff --git a/psa/010/015.md b/psa/010/015.md new file mode 100644 index 00000000..ce9b5a1c --- /dev/null +++ b/psa/010/015.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kuvunja mkono wa mwovu na mtu mbaya + +Hapa "mkono" unaashiria nguvu. "Kuangamiza nguvu ya mwovu na mtu mbaya" au "Kumfanya mtu mwovu na mbaya kuwa mnyonge" + +# mwovu na mtu mbaya + +Maneno haya yana maana sawa. + +# Kumfanya awajibike kwa matendo yake maovu + +Kumfanya mtu awajibike kwa matendo yake maovu inaashiria kumwadhibu. "Muadhibu kwa mambo maovu aliyotenda" + +# mataifa yanatolewa kwenye nchi yake + +"Yahwe anawalazimisha watu wa mataifa kuondoka nchini kwake" + diff --git a/psa/010/017.md b/psa/010/017.md new file mode 100644 index 00000000..eca091c4 --- /dev/null +++ b/psa/010/017.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# umesikia mahitaji ya wanao kandamizwa + +Inaonesha kuwa watu wanao kandamizwa walilia kwa Mungu. "watu wanao kandamizwa wakilia kwako, uliwasikiliza wakikuambia walichohitaji" + +# unautia nguvu moyo wao + +Moyo imara inaashiria ujasiri, na kufanya mioyo ya watu kuwa imara inaashiria kuwatia moyo. "unawatia moyo" au "unawafanya kujiamini" + +# hakuna mtu ... atakaye sababisha hofu tena + +"hakuna mtu ... atakaye sababisha watu kuogopa tena" + diff --git a/psa/011/001.md b/psa/011/001.md new file mode 100644 index 00000000..78e46881 --- /dev/null +++ b/psa/011/001.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# ninamkimbilia Yahwe + +Kwenda kwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi kunazungumziwa kama kumkimbilia. "kwenda kwa Yahwe kwa ulinzi" + +# utasemaje kwangu, "Kimbia kama ndege milimani?" + +Swali hili linaulizwa kutoa msisitizo. Linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Kwa hiyo usiniambie kukimbia!" + +# Maana tazama! Waovu wanaanda upinde wao. Wanafanya tayari mishale yao kwenye nyuzi kupiga gizani kwa wanyofu moyoni. + +"Tazama! waovu wanajiandaa kuvamia watu wanyofu" + +# wanyofu moyoni + +Hapa "wanyofu moyoni" inamaanisha watu wanaomcha Mungu au wenye haki. + diff --git a/psa/011/003.md b/psa/011/003.md new file mode 100644 index 00000000..6171cb3b --- /dev/null +++ b/psa/011/003.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maana misingi imeharibika, mwenye haki atafanya nini? + +Hapa "misingi" inaweza kumaanisha sheria na utaratibu. Swali hili la balagha linaulizwa kuongeza msisitizo. Linaweza kutafsiririwa kama kauli. "Watu wenye haki hawawezi kufanya lolote pale watu waovu wasipoadhibiwa wanapokeuka sheria!" + +# Macho yake yanatazama, macho yake yanachunguza watoto wa binadamu + +Yahwe anajua kila kitu kinachotokea. "Anachunguza yote wanayofanya wanadamu" + +# watoto wa binadamu + +"wanadamu" + diff --git a/psa/011/005.md b/psa/011/005.md new file mode 100644 index 00000000..694593d5 --- /dev/null +++ b/psa/011/005.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# anachunguza + +"kuangalia kwa umakini" + +# wanaofanya fujo + +"kuumiza wengine" + +# Anawanyeshea moto wa makaa na kibiriti juu ya waovu; upepo unaochoma utakua sehemu yao kutoka kwenye kikombe chake! + +Adhabu ya Mungu inaelezwa kana kwamba yalikuwa makaa ya moto na kibiriti kutoka kwenye volkano. "Anawaadhibu waovu; hakutakuwa na nafuu kwao!" + +# kibiriti + +Hili ni jina lingine la salfa + +# wataona uso wake + +"kuwa kwenye uwepo wake" + diff --git a/psa/012/001.md b/psa/012/001.md new file mode 100644 index 00000000..ee3e8aa0 --- /dev/null +++ b/psa/012/001.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# weka kwa mtindo wa Sheminithi + +Hii inaweza kumaanisha mtindo wa muziki. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Nisaidie, Yahwe + +"Yahwe, njoo unisaidie" + +# waaminifu wamepotea + +"watu waaminifu wamepotea wote" + diff --git a/psa/012/002.md b/psa/012/002.md new file mode 100644 index 00000000..bda47808 --- /dev/null +++ b/psa/012/002.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kila mmjoa anasema ... kila mmoja anazungumza + +Kurudiwa mara mbili kwa "kila mmoja" ni kukuza maneno, yanatumika kusisitiza kuwa tatizo lilikuwa kubwa. + +# midomo ya + +"sifa ya uongo" + +# moyo mara mbili + +"maneno yanayopotosha" + +# kata midomo yote ya kujipendekeza + +"wazuie kuzungumza sifa za uongo" + +# kila ulimi unaotangaza mambo makuu + +Hapa "ulimi" unaashiria maneno ya kujidai. "kila mtu anayejidai" + +# Kwa ndimi zetu tutashinda + +Hapa maneno "ndimi zetu" yanamaanisha maneno mengi wanayoyazungumza. "Kuzungumza maneno mengi kutatufanya washindi" + +# tutashinda + +"tutafanikiwa" + +# nani anaweza kuwa mkuu juu yetu? + +Hili swali la balagha linaulizwa kusisitiza kuwa waliamini kuwa hakuna anayeweza kuwatala. Inaweza kutafsiriwa kama kauli. "hakuna anayeweza kutawala juu yetu!" + diff --git a/psa/012/005.md b/psa/012/005.md new file mode 100644 index 00000000..d9f5e6f1 --- /dev/null +++ b/psa/012/005.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mgumio + +Hizi ni sauti nzito ambazo watu hufanya kwa sababu ya maumivu au hisia kali + +# nitainuka," asema Yahwe + +Hii inamaanisha Yahwe atatenda kitu kuwasaidia watu. + diff --git a/psa/012/006.md b/psa/012/006.md new file mode 100644 index 00000000..aef18acb --- /dev/null +++ b/psa/012/006.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kama shaba iliyosafishwa kwenye tanuu duniani, kusafishwa mara saba + +Maneno ya Yahwe yanalinganizhwa na shaba iliyosafishwa. "wako bila kasoro" + +# Unawatunza + +"Unawatunza watu wenye haki" + +# wanatembea kila upande + +"wametuzunguka" + +# wakati uovu unapotukuzwa miongoni mwa watoto wa wanadamu + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "wakati watu kila sehemu wanasifu uovu" + +# watoto wa wanadamu + +"binadamu" au "watu" + diff --git a/psa/013/001.md b/psa/013/001.md new file mode 100644 index 00000000..f627348d --- /dev/null +++ b/psa/013/001.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Hadi lini, Yahwe, utakuwa ukinisahau? + +Swali hili linaulizwa kushika ufahamu wa msomaji na kuongeza msisitizo. Linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Yahwe, inaonekana kuwa umenisahau! + +# Hadi lini ... uso wako kwangu? + +Maneno "uso wako" yanaashiria Mungu kamili. Swali hili balagha linaulizwa kuongeza msisitizo. Linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Inaonekana unajificha kwangu!" + +# Hadi lini adui yangu atashinda juu yangu? + +Swali hili la balagha linaulizwa kuongeza msisitizo. Linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Hakika adui zangu hawatanishinda daima!" + diff --git a/psa/013/003.md b/psa/013/003.md new file mode 100644 index 00000000..c61f001a --- /dev/null +++ b/psa/013/003.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nitazame na unijibu + +"Nizingatie na unisikilize" + +# Nipe mwanga machoni mwangu + +Hii ni njia ya kuomba nguvu. "Nifanye kuwa na nguvu tena" + +# au nitalala kifoni + +"Kulala kifoni" inamaanisha kufa. + +# Usimruhusu adui yangu aseme ... ili adui yangu asiseme + +"Usimruhusu adui yangu aseme kunihusu ... ili adui yangu asiseme kunihusu" + +# ninapoletwa chini + +"ninapoanguka" au "wanaponishinda" + diff --git a/psa/013/005.md b/psa/013/005.md new file mode 100644 index 00000000..75c47866 --- /dev/null +++ b/psa/013/005.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nimetumaini katika uaminifu wako wa agano + +Kwa kuzungumzia uaminifu wa Yahwe wa agano, Daudi anatumaini kuwa Yahwe atampenda daima. "Nina imani kuwa utanipenda kwa uaminifu" + +# moyo wangu unafuahi ndani ya wokovu wako + +Hapa "moyo wangu" unaashiria mtu mzima. "Nitafurahi kwa sababu umeniokoa" + diff --git a/psa/014/001.md b/psa/014/001.md new file mode 100644 index 00000000..422f4655 --- /dev/null +++ b/psa/014/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Mpumbavu husema moyoni mwake + +Hii ni lahaja inayomaanisha kuzungumza mwenyewe au kujiwazia mwenyewe. "Mtu mpumbavu anajiambia" + +# Wameharibika + +walioharibika inaashiria binadamu wapumbavu wanaosema hakuna Mungu. + diff --git a/psa/014/002.md b/psa/014/002.md new file mode 100644 index 00000000..f66a45cb --- /dev/null +++ b/psa/014/002.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# watoto wa wanadamu + +Msemo huu unamaanisha wanadamu wote. + +# wanaonitafuta + +Hii inafafanua wote wanaotamani kumjua Mungu kana kwamba walikuwa wanamfuata kabisa kwenye njia. "wanaotamani kumjua" + +# Wote wamegeuka + +Hii inaelezea watu waliomkataa Mungu kana kwamba waliacha kutembea kwenye njia sahihi na wameenda upande mwingine. "Wote wamemgeuka Yahwe" + diff --git a/psa/014/004.md b/psa/014/004.md new file mode 100644 index 00000000..6d246e00 --- /dev/null +++ b/psa/014/004.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwani hawajui chochote ... ambao hawamwiti Yahwe? + +Swali hili la balagha linaulizwa kuongeza msisitizo. Linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Wanatenda kana kwamba hawajui chochote ... wasiomwita Yahwe. Lakini wanajua wanachokifanya!" + +# wale wanaotenda udhalimu + +Hapa "udhalimu" unamaanisha matendo maovu. "wale wwnye tabia mbovu. + +# wale wanaowala watu wangu + +Hii inamaanisha wale wanaofanya vitu viovu na wanawaangamiza watu wa Mungu kana kwamba wanakula chakula. + diff --git a/psa/014/005.md b/psa/014/005.md new file mode 100644 index 00000000..c7a47f07 --- /dev/null +++ b/psa/014/005.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Wanatemeka + +Wanaotetemeke ni wale wanaotenda maovu. + +# Mungu yuko pamoja na mkusanyiko wa wenye haki + +Kusema kuwa "Mungu yuko pamoja" na mkusanyiko wa wenye haki inamaanisha kuwa atawasaidia. HIi inaweza kuwekwa wazi. "Mungu huwasaidia wale wanaotenda haki" au "Mungu anawasaidia wale wanaotenda yaliyo sawa" + +# Mnataka + +Wanaotaka ni watu waovu. + +# kumwaibishi mtu maskini + +"kumfanya mtu aliye maskini kuona aibu" + +# Yahwe ni kimbilio lake + +Hii inazungumzia ulinzi ambao Yahwe anatoa kana kwamba ulikuwa kivuli ambacho mtu atatufuta wakati wa dhoruba. "Yahwe ni kama kivuli cha ulinzi kwake" + diff --git a/psa/014/007.md b/psa/014/007.md new file mode 100644 index 00000000..6ba59268 --- /dev/null +++ b/psa/014/007.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# O, wokovu wa Israeli utatoka Sayuni + +Mwandishi anasema kuwa anatamani Mungu aje kutoka Yerusalemu kuisaidia Israeli. "Ninatamani kwamba Yahwe aje kutoka Yerusalemu na kuwasaidia watu wake!" + +# kisha Yakobo atashangilia na Israeli kufurahi + +Misemo hii miwili ina maana moja. Hapa "Yakobo na"Israeli" inawakilisha watu wa Israeli. "kisha watu wote wa Israeli watafurahi sana" + diff --git a/psa/015/001.md b/psa/015/001.md new file mode 100644 index 00000000..b640184f --- /dev/null +++ b/psa/015/001.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Nani aishi kwenye kilima chako kitakatifu? + +"Kilima kitakatifu" hapa kinaashiria hekalu la Mungu, ambalo lilikuwa kwenye mlima Sayuni. "Nani aishi kwenye sehemu yako takatifu?" + +# anazungumza ukweli kutoka moyoni mwake + +"anazungumza ukweli" + diff --git a/psa/015/003.md b/psa/015/003.md new file mode 100644 index 00000000..6d2544a4 --- /dev/null +++ b/psa/015/003.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hakashifu + +Hii inaashiria mtu mwenye haki katika 15:1. + +# Hakashifu kwa ulimi wake + +Hapa "ulimi" unaashiria maneno maovu. "Hasemi mambo maovu kuhusu watu wasio na hatia" + +# Hadhuru + +"kuumiza" au "kuharibu" + diff --git a/psa/015/004.md b/psa/015/004.md new file mode 100644 index 00000000..5b399fee --- /dev/null +++ b/psa/015/004.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mtu asiyefaa ni chukizo machoni pake, lakini anawaheshimu wale wanaomcha Yahwe + +"Watu wenye haki wanachukia wale waliomkataa Mungu, lakini wanawaheshimu wale wanaomheshimu Mungu" + +# Mtu asiyefaa + +"Mtu mwovu" au"Mtu aliyemkataa Yahwe" + +# hatatikisika + +Hapa "kutikisika" kunaashiria kutokuishi kwa usalama tena. Hii inaweza kuelezwa katika hali chanya. "wataishi katia usalama" + diff --git a/psa/016/001.md b/psa/016/001.md new file mode 100644 index 00000000..9666271b --- /dev/null +++ b/psa/016/001.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Hii inaweza kuandikwa kama: "Hii ni zaburi ambayo Daudi aliandika." + +# kukimbilia wewe + +Kwenda kwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi inazungumziwa kama kumkimbilia yeye. "kwenda kwako kwa jili ya ulinzi" + +# watu watakatifu waliomo duniani + +Hapa "watu watakatifu" inaashiria watu wa Mungu wanaomuamini. "watu wako wanaoishi katika nchi hii" + diff --git a/psa/016/004.md b/psa/016/004.md new file mode 100644 index 00000000..81759b4c --- /dev/null +++ b/psa/016/004.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taabu zao zita... miungu + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Taabu za wale wanaotafuta miungu mingine zitaongezeka" + +# sitamwaga ... damu kwa miungu wao + +"kutoa sadaka kwa miungu yao" + +# kuinua majina yao na midomo yangu + +Kuinua "majina yao na midomo yangu" inamaanisha kusifu miungu mingine au kuomba kwao. + diff --git a/psa/016/005.md b/psa/016/005.md new file mode 100644 index 00000000..cc584a70 --- /dev/null +++ b/psa/016/005.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# sehemu yangu niliyochagua + +Hapa Daudi anamzungumzia Yahwe kana kwamba alikuwa ni sehemu ya nchi ambayo alipewa. + +# kikombe changu + +Hapa Daudi anamzungumzia Yahwe kana kwamba alikuwa ni kikombe chenye baraka nyingi. "ambaye hunibariki" + +# Unashikilia hatima yangu + +"Unaamua siku zangu za usoni" + +# Kamba za kupima ... katika sehemu nzuri + +Baraka za Mungu kwa Daudi zinazungumziwa kana kwamba ni sehemu ya nchi iliyochunguzwa kwa jili yake kumiliki. "Kamba za kupima" zinaashiria kamba za mchunguzi wa ardhi. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Sehemu uliyonipa inapendeza" + +# hakika urithi wa kupendeza ni wangu + +Hapa Daudi anazungumzia baraka za Yahwe kana kwamba zilikuwa ni urithi ambao alipokea. "Nimefurahi kwa vitu vyote alivyonipa" + diff --git a/psa/016/007.md b/psa/016/007.md new file mode 100644 index 00000000..c97d076c --- /dev/null +++ b/psa/016/007.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nimemuweka Yahwe mbele yangu muda wote + +"Daima nakumbuka kuwa Yahwe yuko pamoja na mimi" + +# ili nisitikiswe kutoka mkono wake wa kuume + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "hakuna kitu kitakachonitoa upande wake" + diff --git a/psa/016/009.md b/psa/016/009.md new file mode 100644 index 00000000..1f0f6586 --- /dev/null +++ b/psa/016/009.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Daudi anaendelea kuzungumza na Mungu. + +# Kwa hiyo moyo wangu una furaha; utukufu wangu unashangilia + +Msemaji anasema kwamba kuweza kumsifu Mungu kunamletea yeye heshima. Vishazi hivi viwili vinaeleza vitu vya kufanana. "Kwa hiyo nina furaha, nina heshima kumsifu" + +# moyo wangu + +Hapa "moyo" unaashiria mawazo na hisia za msemaji. + +# utukufu wangu + +Matoleo mengi yanatafsiri "utukufu wangu" kumaanisha moyo wa mwandishi, anayekuwa na heshima kushangilia kwa sababu ya Mungu. + diff --git a/psa/016/011.md b/psa/016/011.md new file mode 100644 index 00000000..7fd6a23a --- /dev/null +++ b/psa/016/011.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# tele + +"kubwa" au "kiasi kikubwa cha" + +# furaha ... inakaa katika uwepo wako + +Mwandishi anazungumzia "furaha" kana kwamba ni mtu. + +# katika mkono wako wa kuume + +Maneno "mkono wako wa kuume" yanaonesha kuwa katika uwepo maalum wa Mungu. "Ninapokuwa karibu na wewe" + diff --git a/psa/017/001.md b/psa/017/001.md new file mode 100644 index 00000000..d53b69e7 --- /dev/null +++ b/psa/017/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Ombi la Daudi + +"Hili ni ombi ambalo Daudi aliaandika." + +# Nipe sikio ombi langu kutoka midomo isiyo na uongo + +Msemo "nipe sikio" unamaanisha kusikiliza, na neno "midomo" inaashiria maneno ambayo mtu huongea. "Sikiliza ombi langu ambalo halitoki katika midomo ya uongo" + +# Acha uthibitisho wangu uje kutoka katika uwepo wako + +Hapa "uwepo" inaashiria Yahwe. "Nitamke kuwa sina hatia" + +# acha macho yako yaone kilicho sawa! + +Hapa "macho yako" inaashiria kile ambacho Yahwe anajua kuwa kweli. "unajua kuwa ninakuambia ukweli!" + diff --git a/psa/017/003.md b/psa/017/003.md new file mode 100644 index 00000000..bf7e078a --- /dev/null +++ b/psa/017/003.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ukiujaribu moyo wangu, ukija kwangu usiku + +Hapa " ukiujaribu moyo wangu" inamaansiha kupima mawazo na nia. "ukipima mawazo yangu usiku" + +# mdomo wangu hutatenda dhambi + +Hapa mdomo unazungumziwa kana kwamba unaweza kutenda wenyewe. Pia inawakilisha maneno ambayo mtu huzungumza. "Sitasema uongo au kutenda dhambi kwa maneo yangu + diff --git a/psa/017/004.md b/psa/017/004.md new file mode 100644 index 00000000..d6278be0 --- /dev/null +++ b/psa/017/004.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ni kwa neno la midomo yako nimetunza kutoka katika njia za wahalifu + +Hapa "neno la midomo yako" inamaanisha maelekezo ya Mungu. "maelekezo yako yamenisabisha kuepuka kufanya mambo maovu" + +# Hatua zangu zimeshikilia kwa nguvu kwenye njia zako; miguu yangu yaijateleza + +Vishazi hivi viwili vinamaanisha kitu kimoja. Kurudia kunaongeza msisitizo. + +# miguu yangu yaijateleza + +Mwandishi anazungumzia kumtii Mungu kana kwamba anatembea katika mjia. "nimedhamiria kufuata njia zako" + diff --git a/psa/017/006.md b/psa/017/006.md new file mode 100644 index 00000000..b7f4c9c1 --- /dev/null +++ b/psa/017/006.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# geuza sikio lako kwangu ... sikiliza ninapozungumza + +Misemo hii miwili ina maana sawa. Hapa "sikio lako" linamaanisha utayari wa Mungu kumsikiliza mtu anayemuomba. "nizingatie ... nisikilize ninapozungumza" + +# mkono wako wa kuume + +"Mkono wa kuume" unaashiria nguvu ya Mungu. "uwezo wako mkuu" + +# kukimbilia + +Kwenda kwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi inazungumziwa kama kumkimbilia. "kwenda kwako kwa ajili ya ulinzi" + diff --git a/psa/017/008.md b/psa/017/008.md new file mode 100644 index 00000000..e22b2226 --- /dev/null +++ b/psa/017/008.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nilinde kama mboni la jicho lako + +"mboni la jicho lako" inaashiria kitu kilicho na thamani. "Nilinde kama utakavyolinda kitu cha thamani sana" + +# nifiche chini ya kivuli cha mbawa zako + +Daudi anazungumzia ulinzi wa Mungu kana kwamba alikuwa ni ndege anayelinda watoto wake chini ya mbawa zake. "Niweke salama kama ndege anavyolinda makinda yake chini ya mbawa zake" + +# midomo yao inazungumza kwa majivuno + +Hapa "midomo yao inazungumza" inamaanisha kile ambacho watu wanasema. "huwa wanajidai" + diff --git a/psa/017/011.md b/psa/017/011.md new file mode 100644 index 00000000..c62b8a39 --- /dev/null +++ b/psa/017/011.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wamezunguka hatua zangu + +Hapa "wamezunguka hatua zangu" inaashiria jinsi adui wa Daudi walivyomfuata kila mahali ili kumkamata. "Adui zangu wamenizunguka" + +# kama simba mwenye hamu kwa ajili ya mhanga, kama simba mchanga aliyejikunyata katika maficho + +Misemo hii miwili inaonesha mawazo ya kufanana. Kurudia kunaongeza mkazo. + +# Wao ni kama simba ... kama simba mchanga + +Mwandishi inahisi kufuatiliwa kama simba anavyowinda windo lake. + diff --git a/psa/017/013.md b/psa/017/013.md new file mode 100644 index 00000000..0552c4cb --- /dev/null +++ b/psa/017/013.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Okoa maisha yangu kutoka kwa mwovu kwa upanga wako ... Niokoe kutoka kwa watu kwa mkono wako, Yahwe, kutoka kwa wanaume wa dunia hii + +Vishazi hivi viwili vina maana ya kufanana. Kurudiwa kunaongeza mkazo wa maneno ya mwandishi. + +# kwa upanga wako ... kwa mkono wako + +Hapa "upanga" na "mkono" yote inaashiria nguvu ya Yahwe. + +# Utajaza matumbo ya hazina yako na utajiri + +Maandiko ya zamani yanapotosha. Maana zinazowezekana ni 1) Yahwe atatoa baraka nyingi kwa watu wake. "Utawabariki watu wako sana" au 2) Yahwe atawaadhibu kwa nguvu watu waovu hadi watoto na wajukuu wao. + diff --git a/psa/017/015.md b/psa/017/015.md new file mode 100644 index 00000000..a37b8a6c --- /dev/null +++ b/psa/017/015.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nitauona uso wako katika haki + +Hapa "uso" unamwakilisha Yahwe. Daudi anaujasiri kuwa atamuona Yahwe. "kwa sababu ninatenda yaliyo sawa, nitakuwa na wewe siku moja" + +# Nitaridhika nitakapoamka, na kukutazama wewe + +Daudi anaamini kuwa baada ya kufa, atakuwa na Yahwe. Hii naweza kuweka wazi. "Baada ya kufa, nitafurahi kuamka katika uwepo wako" + diff --git a/psa/018/001.md b/psa/018/001.md new file mode 100644 index 00000000..cf9e7966 --- /dev/null +++ b/psa/018/001.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# akamwimbia Yahwe maneno ya wimbo huu + +"aliimba wimbo huu kwa Yahwe" + +# katika siku ambayo Yahwe aliniokoa + +"baada ya Yahwe kumwokoa" + +# kutoka katika mkono wa Sauli + +Hapa "mkono" unamaanisha nguvu ya Sauli. "kutoka katika nguvu ya Sauli" + diff --git a/psa/018/002.md b/psa/018/002.md new file mode 100644 index 00000000..a1802996 --- /dev/null +++ b/psa/018/002.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yahwe ni mwamba wangu + +Daudi anamzungumzia Yahwe kana kwamba ni mwamba. Neno "mwamba" ni picha ya sehemu salama. + +# mwamba wangu, boma langu + +Hapa maneno "mwamba" na "boma" zinamaana ya kufanana na zinasisitiza kuwa Yahwe anatoa usalama kutoka kwa adui. + +# mkimbilia + +Kwenda kwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi kunazungumziwa kama kumkimbilia. "kwenda kwake kwa ajili ya ulinzi" + +# ngao yangu, pembe la wokovu wangu, na ngome yangu + +Daudi anamzungumzia Yahwe kana kwamba ni "ngao," "pembe" la wokovu, na "ngome" yake. Yahwe ndiye anayemlinda na mabaya. Hapa wazo la kufanana linarudiwa kwa njia tatu kwa ajili ya mkazo. + +# Nitaokolewa kutoka kwa adui zangu + +"Nitaokolewa kutoka kwa adui zangu" + diff --git a/psa/018/004.md b/psa/018/004.md new file mode 100644 index 00000000..9e0360a9 --- /dev/null +++ b/psa/018/004.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kamba za mauti zinanizunguka + +Daudi anazungumzia kifo kana kwamba ni mtu anayeweza kukamata na kumfunga kwa kamba. "Nilikuwa nataka kuuwawa" + +# maji yanayokimbia ya yasiyofaa + +Daudi ni mnyonge kana kwamba anabebwa na mafuriko ya maji yanayokimbia. "Nilihisi kuwa mnyonge kabisa" + +# Kamba za kuzimu zinanizunguka; mitego ya mauti imeninasa + +Hapa "kuzimu," sehemu ya wafu, na "mauti" zinazungumziwa kana kwamba ni watu wanaoweza kumzunguka na kumtega. Vishazi hivi viwili vina maana ya kufanana na wazo linarudiwa kwa ajili ya mkazo. "Nilihisi kubanwa na nikadhani ninaenda kufa" + diff --git a/psa/018/006.md b/psa/018/006.md new file mode 100644 index 00000000..c0f78154 --- /dev/null +++ b/psa/018/006.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Katika huzuni yangu + +"katika hitaji langu kubwa" au "katika kukata tamaa kwangu" + +# kilio changu kikaenda katika uwepo wake + +Hapa Daudi anazungumzia "kilio" chake kana kwamba ni mtu anayeweza kuja katika uwepo wa Yahwe. "Nikamuomba" + +# kikaenda katika maskio yake + +Hapa Daudi anazungumzia jinsi Yahwe alivyosikia kilio chake cha msaada. Wazo linarudiwa kwa ajili ya mkazo. "akasikia maombi yangu" + diff --git a/psa/018/007.md b/psa/018/007.md new file mode 100644 index 00000000..64dd4683 --- /dev/null +++ b/psa/018/007.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kisha ulimwengu ... ikatikiswa kwa sababu Mungu alikuwa na hasira + +Mungu kuwa na hasira inazungumziwa kana kwamba ilikuwa ni tetemeko baya. "Mungu alikuwa na hasira sana hadi ikawa kama dunia ... ikatikisika" + +# ulimwengu ukatikisika na kutetemeka + +Maneno "kutikisika" na "kutetemeka" yana maana sawa na yanasisitiza jinsi dunia ilivyotikisika. "nchi ikasogea huku na kule" au "ardhi ikasogea juu na chini" au "kulikuwa na tetemeko kali" + +# misingi ya milima pia ikatetemeka na kutikiswa + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "misingi ya milima pia ikatetemeka na kutikisika" + +# Moshi ukatoka kwenye tundu zake za pua ... Makaa ikawashwa nao + +Daudi anamzungumzia Yahwe kana kwamba alikuwa akipumua moto. Hii ni picha ya jinsi Mungu alivyokasirika. + +# moto ukatoka mdomoni mwake. Makaa ikawashwa nao. + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "moto ukatoka katika mdomo wake na kuwasha makaa" + diff --git a/psa/018/009.md b/psa/018/009.md new file mode 100644 index 00000000..01176392 --- /dev/null +++ b/psa/018/009.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Akafungua + +Aliyefungua ni Yahwe. + +# giza nene lilikuwa chini ya miguu yake + +Ingawa Yahwe sio binadamu, mwandishi anampa sifa za binadamu. "giza nene lilikuwa chini yake" + +# mabawa ya upepo + +Hapa mwandishi wa zaburi anazungumzia upepo kana kwamba una mabawa kama malaika. + diff --git a/psa/018/011.md b/psa/018/011.md new file mode 100644 index 00000000..426e949d --- /dev/null +++ b/psa/018/011.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Akafanya giza ... yeye + +Hapa neno "yeye" linamaanisha Yahwe + +# Akafanya giza hema + +Hapa giza linazungumziwa kana kwamba ni hema. "Akafanya giza kitu cha kufunikia" au "Akafanya giza sehemu ya kujifichia" + +# mawingu mazito ya mvua + +"mawingu na mvua kubwa" au "mawingu manene, meusi" + +# Mvua ya mawe + +"mawe ya barafu" + diff --git a/psa/018/013.md b/psa/018/013.md new file mode 100644 index 00000000..99800f98 --- /dev/null +++ b/psa/018/013.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yahwe akaunguruma mbinguni + +Sauti ya Yahwe ilikuwa kama ya radi + +# Aliye juu + +"Aliye juu" inamaanisha Yahwe. + +# Akapiga mishale yake na kuwatawanya adui zake ... miale ya radi ikawatawanyisha + +Vishazi hivi viwili vina maana ya kukaribiana. + +# Akapiga mishale yake na kuwatawanya adui zake + +Hapa miale ya radi inazungumziwa kana kwamba ni mishale. + +# ikawatawanyisha + +"ikawapeleka pande tofauti" + diff --git a/psa/018/015.md b/psa/018/015.md new file mode 100644 index 00000000..067de3cd --- /dev/null +++ b/psa/018/015.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendelea kuzungumzia uwezo wa Yahwe. + +# Kisha mikondo ya maji ikatokea; misingi ya dunia ikawekwa wazi. + +Vishazi hivi viwili vina maana ya kukaribiana. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Kisha mikondo ya maji ikatokeza na chini ya bahari pakaonekana; ukaweka wazi misingi ya dunia" + +# kwa mlipuko wa pumzi wa tundu zako za pua + +Ingawa Mungu hana sifa za kimwili kama za binadamu zilizoelezwa hapa, picha hii inaonesha uwezo wake mkuu. Upepo unazungumziwa kana kwamba ulikuja kama mlipuko mkubwa kutoka katika tundu za pua za Mungu. + diff --git a/psa/018/016.md b/psa/018/016.md new file mode 100644 index 00000000..5652fd10 --- /dev/null +++ b/psa/018/016.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Akafika chini ... akanishika ...Akanivuta + +Anayezungumziwa hapa ni Yahwe. + +# maji yaliyokuwa yakienda mbele + +Hapa mwandishi wa zaburi anazungumzia hatari ya adui zake kana kwamba walikuwa mawimbi makubwa au maji ya nguvu, ambapo Yahwe alimwokoa. + diff --git a/psa/018/018.md b/psa/018/018.md new file mode 100644 index 00000000..7d081ed9 --- /dev/null +++ b/psa/018/018.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wakaja dhidi yangu + +Wanazungumziwa ni adui wenye nguvu katika msatari wa 17. + +# Wakaja dhidi yangu katika siku ya dhiki yangu lakini Yahwe alikuwa msaada wangu + +Neno "dhiki" linaeleza hali ya mtu mwenye shida nyingi. "Adui wenye nguvu walinivamia katika siku niliyokuwa na taabu nyingi, lakini Yahwe alinilinda" + diff --git a/psa/018/020.md b/psa/018/020.md new file mode 100644 index 00000000..16344309 --- /dev/null +++ b/psa/018/020.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mikono yangu ilikuwa misafi + +Hapa kuwa na "mikono misafi" inamaanisha mtu hana hatia. "matendo yangu yote yalikuwa sawa" + +# Nimetunza njia za Yahwe + +Sheria za Yahwe zinazungumziwa kana kwamba zilikuwa njia ambazo mtu anapaswa kutembea. "Nimetii sheria za Yahwe" + +# sijageuka kwa uovu kutoka njia ya Mungu + +Hapa kuwa mwovu inazungumziwa kama mtu kuacha njia sahihi na kufuata njia isiyo sahihi. "sijafanya uovu kwa kugeuka kutoka kwa Mungu wangu" + diff --git a/psa/018/022.md b/psa/018/022.md new file mode 100644 index 00000000..7e795b9e --- /dev/null +++ b/psa/018/022.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kwa amri zake zote za haki ... sijazigeuka + +Vishazi hivi viwili vina maana ya kufanana. Mwandishi anarudia mawazo haya kwa ajili ya mkazo. + +# zimekuwa mbele yangu + +"zimeniongoza" au "nimezikumbuka" + +# Pia nimekuwa bila hatia ... nimejitenga na dhambi + +Vishazi hivi viwili vina maana ya kufanana. Mwandishi anarudia mawazo haya kwa ajili ya mkazo. + +# bila hatia mbele yake + +"bila hatia kulingana na yeye" + +# nimejitenga na dhambi + +"sijatenda dhambi" + +# mikono yangu ilikuwa misafi + +Kuwa na "mikono misafi" inamaanisha kuwa mtu hana hatia na kosa. "matendo yangu yote yalikuwa sawa" + +# mbele ya macho yake + +Hii inamaanisha uwepo wa Mungu. "mbele yake" au "kulingana na yeye" + diff --git a/psa/018/025.md b/psa/018/025.md new file mode 100644 index 00000000..6d7205ce --- /dev/null +++ b/psa/018/025.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya + +Mwandishi anazungumza na Yahwe + +# Kwa yeyote aliye mwaminifu + +Hapa "mwaminifu" inamaanisha kufanya kile ambacho Mungu anamuamuru mtu kufanya. "kwa wale walio wanaotii kwa uaminifu amri zako" au "kwa wale wanaofanya agano lako kwa uaminifu" + +# kwa mwanamme asiye na lawama ... ujioneshe msafi + +Vishazi hivi viwili vina maana ya kufanana. Mwandishi anarudi mawazo haya kwa ajili ya mkazo. + +# una akili kwa yeyote aliye mkaidi + +"Unamshinda kwa akili yeyote asiye wazi" + diff --git a/psa/018/027.md b/psa/018/027.md new file mode 100644 index 00000000..b81f1652 --- /dev/null +++ b/psa/018/027.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# unawaleta chini + +"unawanyenyekesha" + +# wenye macho ya majivuno yaliyoinuka + +lahaja hii inaashiria wale walio na majivuno. "wenye majivuno" + +# Kwa kuwa unaipa nuru taa yangu; Yahwe Mungu wangu huipa nuru giza langu + +Mwandishi anazungumzia uwepo wa Yahwe kana kwamba alikuwa nuru. Vishazi hivi vina maana ya kukaribiana. + +# Kwako ninaweza kuruka kizuizi + +"Kwa msaada wako ninaweza kuvuka kikwazo chochote" + diff --git a/psa/018/030.md b/psa/018/030.md new file mode 100644 index 00000000..d7da4e28 --- /dev/null +++ b/psa/018/030.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yeye ni ngao kwa kila mmoja anaye + +Ngao humlinda askari. Daudi anazungumza kana kwamba Mungu alikuwa ni ngao inayomlinda. "Wewe, Yahwe, unamlinda kila mtu anayekukimbilia wewe kama kimbilio" + +# Kwa kuwa ni nani Mungu ila Yahwe? Nani ni mwamba ila Mungu wetu? + +Jibu linalodokezwa ni hakuna mtu. "Yahwe pekee ndiye Mungu! Mungu wetu pekee ndiye mwamba!" + +# mwamba + +Daudi anamzungumzia Yahwe kana kwamba ni mwamba anaoweza kupanda kuwatoroka adui zake. + +# anayeniwekea nguvu juu yangu kama mshipi + +Mungu anampa nguvu Daudi kana kwamba ilikuwa ni kipande cha nguo. + +# anayemuweka mtu asiye na lawama katika njia yake + +Hapa Daudi anazungumzia kuishi maisha yanaompendeza Mungu kana kwamba ni kuwa katika njia sahihi. "humsababisha mtu asiye na lawama kuishi maisha ya haki" + diff --git a/psa/018/033.md b/psa/018/033.md new file mode 100644 index 00000000..77c50cc1 --- /dev/null +++ b/psa/018/033.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# hufanya miguu yangu miepesi + +Hii inaashiria kumwezesha mtu kukimbia haraka zaidi. "hunifanya nikimbie haraka sana" + +# kama mbawala na kuniweka pa juu + +Mbawala ana kasi na mtulivu milimani. + +# hufunza mikono yangu + +Hapa "mikono yangu" inamaanisha mtu. "Hunifunza" + +# mikono yangu + +Hii inaashiria mtu. "mimi" + diff --git a/psa/018/035.md b/psa/018/035.md new file mode 100644 index 00000000..609e17ae --- /dev/null +++ b/psa/018/035.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ngao ya wokovu wako + +Hapa mwandishi anazungumzia ulinzi wa Mungu kana kwamba ni ngao. Nomino dhahania ya "wokovu" inaweza kuelezwa kama kitenzi "okoa." "ulinzi wako na kuniokoa" + +# Mkono wako wa kuume ... fadhili zako + +Zote hizi ni njia zingine za kumwakilisha Mungu mwenyewe. + +# sehemu pana kwa ajili ya miguu yangu chini yangu + +Mwandishi anazungumzia ulinzi ambao Mungu ameutoa kana kwamba ni eneo pana kwa ajili yake kusimama. "sehemu salama kwa ajili yangu" + +# miguu yangu haijateleza + +Hapa "miguu yangu" inamaanisha mtu mwenyewe. Mwandishi anazungumzia usalama wa ulinzi wa Mungu kana kwamba alikuwa akisimama mahali ambapo hawezi kuteleza wala kuanguka. "Sijateleza" au "Niko salama" + diff --git a/psa/018/037.md b/psa/018/037.md new file mode 100644 index 00000000..119dc7f4 --- /dev/null +++ b/psa/018/037.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nimewaponda + +"Nimewavunja vipande vipande" + +# hawakuweza kuinuka + +"hawakuweza kusimama" + +# wameanguka chini ya miguu yangu + +Lahaja hii inamaansiha kuwa mwandishi wa zaburi amewashinda adui zake. "nimewashinda wote" + +# umeweka nguvu juu yangu kama mshipi + +Mwandishi wa zaburi anasema kuwa Yahwe amempa nguvu inayomzunguka na kumstahimili kama mshipi. + +# umewaweka chini yangu + +Hapa mwandishi wa zaburi anazungumzia kushindwa kwa adui zake kama kusimama juu yao. "unawashinda kwa ajili yangu" + +# wale wanaojiinua dhidi yangu + +Hii inamaansiha wale wanaompinga mwandishi wa zaburi. "wale ambao ni adui zangu" + diff --git a/psa/018/040.md b/psa/018/040.md new file mode 100644 index 00000000..3ae80057 --- /dev/null +++ b/psa/018/040.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# sehemu za nyuma za shingo za adui zangu + +Hii inaashiria ushindi juuya maadui wa mtu. "ushindi juu ya adui zangu" + +# Nimewaangamiza wale wanaonichukia + +"Niliwashinda wale walionichukia" au "Niliwaangamiza kabisa wale walionichukia" + +# lakini hakuwajibu + +Hii inamaanisha Yahwe hakutoa msaada wowote. "lakini hakuwasaidia" + +# Niliwapiga hadi vipande kama vumbi mbele ya upepo + +Adui wa mwandishi wa zaburi wanalinganishwa na vumbi kuonesha jinsi alivyowashinda. + +# Nikawarusha nje kama tope katika mitaa + +Adui wa mwandishi wa zaburi wanalinganishwa na tope la kwenye mitaa kuonesha jinsi alivyowashinda. + diff --git a/psa/018/043.md b/psa/018/043.md new file mode 100644 index 00000000..a09f970f --- /dev/null +++ b/psa/018/043.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mabishano + +"kutokuelewana" + +# umenifanya kichwa juu ya mataifa + +Hapa "kichwa" kinamaanisha mtawala. "umeniweka mimi kuwa mtawala juu ya mataifa + +# wageni walilazimika kusujudu + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Mungu aliwalazimisha wageni kusujudu" + +# wageni walikuja wakitetemeka + +hapa "kutetemeka" inaonesha kuwa walikuwa wanaogopa sana. "wageni walikuja wakitetemeka, wakionesha kuwa walikuwa wanaogopa sana" + diff --git a/psa/018/046.md b/psa/018/046.md new file mode 100644 index 00000000..11911c5e --- /dev/null +++ b/psa/018/046.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# na mwamba wangu usifiwe + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "yeye ni mwamba wangu na anapaswa kusifiwa" au "watu wasifu mwamba wangu" + +# mwamba wangu + +Hapa mwandishi anazungumzia ulinzi wa Yahwe kana kwamba alikuwa ni mwamba uliozuia adui zake kumfikia. + +# Na Mungu wa wokovu wangu ainuliwe + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Na watu wamtukuze Mungu wa wokovu wangu" + +# Mungu wa wokovu wangu + +Hii inamaanisha kuwa Mungu amemuokoa. "Mungu aliyeniokoa" + +# Mungu anayetekeleza kisasi kwa ajili yangu + +"Kutekeleza kisasi" inamaana kuwaadhibu watu kwa matendo yao maovu. "Mungu anayewaadhibu watu kwa matendo maovu waliyotenda kwangu" + diff --git a/psa/018/048.md b/psa/018/048.md new file mode 100644 index 00000000..30a7df9a --- /dev/null +++ b/psa/018/048.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nimewekwa + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Mungu ameniweka + +# umeniinua + +Ulinzi wa Yahwe kwa mwandishi unazungumziwa kana kwamba amemuinua mwandishi juu sana hadi adui zake hawakuweza kumfikia na kumdhuru. "umeniweka sehemu salama juu" + +# walioinuka dhidi yangu + +"walionivamia" au "walioasi dhidi + +# wanaume wenye vurugu + +"wanaume wakatili" au "watu wenye hasira sana" + +# miongoni mwa + +Hapa mwandishi anamaana kuwa atampa Yahwe shukrani ili watu wote wasikie ukuu wa Yahwe. "ili mataifa yote yasikie kuhusu hili" + +# kwa jina lako + +Hapa "jina" linamwakilisha Mungu mwenyewe. "kwa heshima ya jina lako" au "kwako" + diff --git a/psa/018/050.md b/psa/018/050.md new file mode 100644 index 00000000..d9d97f0d --- /dev/null +++ b/psa/018/050.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ushindi kwa mfalme wake + +Kwa kutumia maneno "mfalme wake," Daudi anamaanisha yeye mwenyewe kama mfalme. + +# anaonesha uaminifu wake wa agano kwa mtiwa mafuta wake ... kwa vizazi vyake milele + +"ananipenda kwa uaminifu kama alivyoahidi katika agano lake, na ataupenda uzao wangu milele" + diff --git a/psa/019/001.md b/psa/019/001.md new file mode 100644 index 00000000..8c5706e4 --- /dev/null +++ b/psa/019/001.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Mbingu zinatangaza + +Mbingu zinaelezwa kana kwamba ni mtu. "Mbingu zinaonesha" au "Mbingu zinaonekana kama zinatangaza" + +# anga zinafanya kazi yake ya mikono kujulikana + +Anga zinaelezwa kana kwamba ni mwalimu. "anga zinaonekana kufanya kazi ya mikono ya Mungu kujulikana kwetu" + +# kazi yake ya mikono + +"uumbaji wake" au "ulimwengu alioutengeneza" + +# maneno humwagika + +Kilicho kizuri kuhusu uumbaji kinafananishwa na kuzungumza, kana kwamba uumbaji ni mtu. Kisha maneno hayo yanalinganishwa na maji wanayotiririka kila mahali. "Uumbaji ni kama mtu anayezungumza na kila mtu" + +# Hakuna mazungumzo au maneno ya kusemwa; sauti yao haisikiki + +Misemo hii inaelza wazi kuwa mistari miwili ya kwanza ilikuwa sitiari. "Hakuna mazungumzo ya kweli wala maneo ya kusemwa; hakuna anyesikia sauti halisi kwa masikio yao" + +# sauti yao haisikiki + +Tafsiri zingine zinasoma "ambapo sauti yao haisikiki," kusisitiza kuwa "mazungumzo" ya uumbaji yanapatikana kila sehemu. + diff --git a/psa/019/004.md b/psa/019/004.md new file mode 100644 index 00000000..8d660475 --- /dev/null +++ b/psa/019/004.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Daudi amemaliza tu kusema kuwa uumbaji unaonesha utukufu wa Mungu. + +# maneno yao ...kusema kwao + +Hii namaansiha "maneno" yasiyozungumzwa ya uumbaji yanayoonesha utukufu wa Mungu. + +# maneno yao huenda + +Maneno yanaelezwa kana kwamba ni watu ambao wanatoka na ujumbe. "maneno amabyo uumbaji unazungumza ni kama watu wanaoenda nje" + +# kusema kwao hadi mwisho wa dunia + +"kusema kwao kunaenda hadi mwisho wa dunia" + +# Ameweka hema kwa ajili ya jua + +Hapa mwandishi anazungumzia sehemu ambayo Yahwe aliumba kwa ajili ya jua kana kwamba ni hema. "Aliumba sehemu kwa ajili ya jua" + +# miongoni mwao + +Neno "mwao" inaweza kuwa inamaanisha mbingu. + +# Jua ni kama bwana arusi anayetoka katika chumba chake + +Mwandishi anazungumzia kuchomoza kwa jua kana kwamba ni bwana arusi. "jua ni kama bwana arusi akitembea kwa furaha kwenda kwa bibi arusi wake" + +# kama mwamme menye nguvu anayefurahi anapokimbia mbio yake + +Hii inalinganisha jua na mwanariadha kusisitiza nguvu na mwanga wa jua. + +# mwanamme mweye nguvu + +"mkimbiaji mwenye kasi" + +# upeo wa macho + +mstari ambao ardhi na anga hukutana + +# hadi mwingine + +Hapa "mwingine" inamaanisha upeo wa macho. "hadi kwenye upeo wa macho mwingine" + +# hakuna kinachotoroka joto lake + +Hii inaweza kuelezwa katika hali chanya. "kila kitu kinahisi joto lake" + diff --git a/psa/019/007.md b/psa/019/007.md new file mode 100644 index 00000000..3232e2fa --- /dev/null +++ b/psa/019/007.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nafsi ... moyo ... macho + +Maneno yote haya matatu yanamaanisha mtu mzima. + +# wa kawaida + +"wale wasiokuwa na uzoefu" au "wale ambao hawajajifunza" + +# ni sahihi + +"ni za kweli" au "ziko sawa" + +# huleta nuru + +"huleta uelewa" + diff --git a/psa/019/009.md b/psa/019/009.md new file mode 100644 index 00000000..369dcdef --- /dev/null +++ b/psa/019/009.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# pamoja ni sawa + +"sahihi kabisa" + +# Zina thamani zaidi ya dhahabu ... nitamu zaidi ya asali + +Amri za Yahwe zinazungumziwa kana kwamba zinaweza kununuliwa na kuonjwa. "Kama unaweza kuzinunua, zitakuwa na dhamani zaidi ya dhahabu ... kama unaweza kuzionja, zitakuwa tamu zaidi ya asali" + +# hata zaidi ya dhahabu safi + +"hata thamani zaidi ya dhahabu nyingi safi" + +# dhahabu safi + +"dhahabu halisi" au "dhahabu ya gharama" + diff --git a/psa/019/011.md b/psa/019/011.md new file mode 100644 index 00000000..c4874d99 --- /dev/null +++ b/psa/019/011.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Ndio + +"Pia" au "Kweli" + +# kwazo mtumishi wako huonywa + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "zinamuonya mtumishi wako" au "ni onyo kwa mtumishi wako" + +# kwazo ...kwa kuzitii + +Zinazozungumziwa hapa ni amri za Yahwe za haki. + +# mtumishi wako huonywa + +Daudi anajiita "mtumishi wako" anapozungumza na Mungu kama ishara ya heshima. "nimeonywa" + +# Nani anaweza kutambua makosa yake yote? + +Hii inaonekana katika hali ya swali kuongeza mkazo na inaweza kutafsiriwa na kauli kali. "Hakuna mtu anayeweza kutambua makosa yake mwenyewe!" + +# na makosa yaliyojificha + +"na makosa ya siri niliyofanya" + diff --git a/psa/019/013.md b/psa/019/013.md new file mode 100644 index 00000000..d032b607 --- /dev/null +++ b/psa/019/013.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Muweke mtumishi wako pia mbali na + +Lahaja hii inaonesha mtumishi kama ametolewa kwenye dhambi ambazo hataki kutenda. "Pia, mlinde mtumishi wako kutokufanya" au "Pia, hakikisha sifanya" + +# mtumishi wako + +Daudi anajiita "mtumishi wako" anapozungumza na Mungu kama ishara ya heshima. "mimi" + +# usiziache zinitawale + +Dhambi zinaelezwa kana kwamba ni mfalme anayeweza kutawala juu ya mtu. "usiache dhambi zangu ziwe kama mfalme anayetawala juu yangu" + +# sina hatia na makosa mengi + +"sina hatia ya kuasi dhidi yako" au "sina hatia ya kutenda dhambi nyingi" + +# maneno ya mdomo wangu na mawazo ya moyo wangu + +Misemo hii pamoja inaeleza kile ambacho mtu anasema na kuwaza. "vitu ninavyosema na vitu ninavyowaza" + +# yakubalike machoni pako + +"yapokee kukubaliwa machoni pako" au "yakupendeze wewe" + +# machoni pako + +Hii inamaanisha Mungu mwenyewe. "kwako" + +# Yahwe, mwamba wangu + +Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni mwamba ambao mtu anaweza kupanda kujilinda dhidi ya adui zake. "Yahwe, wewe ni kama mwamba wangu" + diff --git a/psa/020/001.md b/psa/020/001.md new file mode 100644 index 00000000..92085b05 --- /dev/null +++ b/psa/020/001.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Zaburi hii inaanza na kundi la watu wakizungumza na mfalme wa Israeli. + +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# ukusaidie + +Anayesaidiwa hapa ni mfalme. + +# siku ya shida + +Hapa "siku" inamaanisha muda mrefu zaidi. "nyakati za shida" + +# jina la Mungu wa Yakobo + +Hapa "jina" linamaanisha Mungu mwenyewe. "Mungu" + +# Mungu wa Yakobo + +hii inamaanisha babu yao Yakobo, aliyemwabudu Yahwe. + +# tuma msaada kutoka sehemu takatifu + +Mungu kuwasaidia kutoka sehemu yake takatifu inazungumziwa kana kwamba Mungu alikuwa anatuma msaada. "na Yahwe awasaidie kutoka sehemu yake takatifu" + +# sehemu takatifu ... Sayuni + +Zote hizi zinamaansiha hekalu la Mungu Yerusalemu. + diff --git a/psa/020/003.md b/psa/020/003.md new file mode 100644 index 00000000..eb864974 --- /dev/null +++ b/psa/020/003.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Na atilie akilini + +Msemo huu "atilie akilini" ni njia nyingine ya kusema "akumbuke." Haimaanishi kuwa Mungu alisahau. Inamaanisha kutafakari au kuwazia. "Na akumbuke" + +# Na atilie + +Hapa anayezungumziwa ni Yahwe. + +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki. + +# Na awape + +"Na awapatie" + +# hamu ya moyo wako + +Hapa "moyo" unamaanisha mtu mzima. Nomino dhahania "hamu" inaweza kuelezwa kama kitenzi. "unachotamani" au "unachotaka" + +# kutimiza mipango yako yote + +Nomino dhania ya "mipango" inaweza kuelezwa kama kitenzi. "na akusaidie kutimiza kila jambo ulilopanga kufanya" + diff --git a/psa/020/005.md b/psa/020/005.md new file mode 100644 index 00000000..7197ca57 --- /dev/null +++ b/psa/020/005.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# tutafurahi katika ushindi wako + +Hapa watakaofurahi ni watu. Watufurahi katika ushindi wa mfalme. + +# katika jina la Mungu wetu + +Hapa "jina" linamaanisha heshima na sifa. "kwa heshima ya Mungu" au "kwa sifa ya Mungu wetu" + +# tutanyanyua bendera + +"tutanyanyua mabango" + +# akupe maombi yako yote + +"kukupa kila kitu unachomuomba" + +# Sasa + +Neno hili linatumika kuweka mapumziko katika zaburi. Inahama kutoka kwa watu kuzungumza hadi kwa mfalme kuzungumza. + +# Ninajua + +Anayejua inawezekana ni mfalme katika kipengele hiki. + +# mtiwa mafuta wake ... atamjibu ... atamuokoa + +Mfalme anajizumzia mwenyewe katika hali ya mtu wa tatu. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya mtu wa kwanza. "mimi, mtiwa mafuta wake ... nijibu .. niokoe" + +# kutoka mbingu yake takatifu + +Mungu anaishi mbinguni pamoja na kwenye hekalu Yerusalemu. + +# kwa nguvu ya mkono wake wa kuume unaoweza kumwokoa + +Mkono wa kuume wa Mungu unaashiria nguvu yake kumwokoa mfalme. "kwa nguvu yake kubwa atamwokoa" + diff --git a/psa/020/007.md b/psa/020/007.md new file mode 100644 index 00000000..976e298a --- /dev/null +++ b/psa/020/007.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Wengine wanatumaini vibandawazi na wengine farasi + +Hapa "vibandawazi" na "farasi" zinamaanisha jeshi la mfalme. + +# na wengine farasi + +Neno "tumaini" linaeleweka. "na wengine wantumaini farasi" + +# tunaita + +Wanaoita ni mfalme na watu wake. + +# Wataletwa chini na kuanguka + +Wanaoletwa chini ni watu wanaotumaini vibandawazi na farasi. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Mungu atawaleta chini na kuwafanya waanguke" + +# kuletwa chini na kuanguka + +Vitenzi hivi viwili vinamana sawa. Zote mbili zinamaanisha kushindwa kwenye mapambano. + +# tutanyanyuka na kusimama wima + +"tutainuka na kusimama wima." Misemo hii miwli inamaana ya kufanana. Zote mbili zinamaanisha ushindi katika mapambano. + diff --git a/psa/020/009.md b/psa/020/009.md new file mode 100644 index 00000000..0b39fb12 --- /dev/null +++ b/psa/020/009.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yahwe, muokoe mfalme + +Tafsiri zinazowezekana ni 1) watu wanamwomba Mungu kumlinda mfalme au 2) mfalme anaendelea kujizungumzia katika hali ya mtu wa tatu. + +# mfalme; tusaidie tunapokuita + +Tafsiri zingine zinaelewa Kiebrania tofauti. Zingine zinatafsiri kama watu kuzungumza na Yahwe mfalme wao. "Mfalme, tusaidie tunapokuita" + diff --git a/psa/021/001.md b/psa/021/001.md new file mode 100644 index 00000000..83b45b3c --- /dev/null +++ b/psa/021/001.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# katika nguvu yako, Yahwe + +Inadokezwa kuwa hii ni nguvu ambayo Yahwe amempa mfalme kuwashinda adui zake. "kwa sababu wewe, Yahwe, umempa nguvu ya kutosha kuwashinda adui zake" + +# Jinsi gani anafurahi + +"Anafurahi sana" + +# katika wokovu unaoutoa + +Inadokezwa kuwa Mungu amemwokoa mfalme kutoka kwa adui zake. Nomini dhahania ya "wokovu" inaweza kuelezwa kama kitenzi. "kwa sababu umemwokoa kutoka kwa adui zake" + +# hamu zake za moyo + +"matamanio ya moyo wake." Hapa "moyo" unamaanisha mtu mzima. "hamu yake" au "alichokuwa anatamani" + +# hujazuia + +"haujamkatalia." Hii inaweza kuelezwa katika hali chanya. "umempa" + +# maombi ya midomo yake + +Hapa "midomo" inaashiria mtu mzima. "maombi yake" au "kile alichokuomba" + +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki. + diff --git a/psa/021/003.md b/psa/021/003.md new file mode 100644 index 00000000..b3aa5f4a --- /dev/null +++ b/psa/021/003.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# unamletea baraka nyingi + +Nomino dhahania "baraka" inaweza kuelezwa kama kitenzi. "unambariki sana" au "unampa vitu vingi vizuri" + +# umeweka kichwani mwake taji la dhahabu safi + +Kuweka taji juu ya kichwa cha mtu ni ishara ya kumfanya kuwa mfalme. + +# taji la dhahabu safi + +Hapa "dhahabu safi" inaashiria heshima kubwa anayopewa mfalme. + +# Aliomba uhai; ukampa + +Nomino dhahania ya "uhai" inaweza kuelezwa kama kitenzi. "Alikuomba kuwa umfanye aishi kwa muda mrefu, ukaifanya itokee" + +# siku ndefu milele na milele + +Maana zinazowezekana ni 1) maisha marefu sana au 2) masiha ya milele au 3) uzao mrefu. + diff --git a/psa/021/005.md b/psa/021/005.md new file mode 100644 index 00000000..e0339fb8 --- /dev/null +++ b/psa/021/005.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Utukufu wake + +"heshima ya mfalme" au "umaarufu wa mfalme" + +# umeweka kwake fahari na utukufu + +Kusababisha mfalme kuwa na utajiri na nguvu inazungumziwa kama fahari na utukufu ni vitu vilivyowekwa kwake. "umemfanya kuwa na utajiri na nguvu" + +# umempa + +"umemruhusu kuwa na" au "umekubali kumpa" + +# baraka za kudumu + +"baraka itakayodumu" au "baraka itayobaki" + +# furaha ya uwepo wako + +"furaha ya kuwa katika uwepo wako" au "furaha inayokuja kwa kuwa karibu na wewe" + diff --git a/psa/021/007.md b/psa/021/007.md new file mode 100644 index 00000000..aa506156 --- /dev/null +++ b/psa/021/007.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# katika uaminifu wa agano la aliye juu + +"kwa kuwa aliye juu ni mwaminifu kwa agano lake" + +# hatasogezwa + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "hakuna mtu atakaye msogeza kama mfalme" + +# Mkono wako utakamata + +Hapa "mkono" unaashiria nguvu. "Nguvu yako itakamta" au "Utawakamata kwa nguvu" + +# Mkono wako ... unachukia + +Maana zinazowezekana za anaye zungumziwa ni 1) mfalme au zinamaanisha ni 2) Mungu. + +# Mkono wako wa kuume utawakamata wale wanaokuchukia + +Hii inamaanisha kitu sawa kama sehemu ya kwanza ya sentensi. Inawekamkazo kuwa Mungu atampa mfalme uwezo wa kuwazuia adui zake. + diff --git a/psa/021/009.md b/psa/021/009.md new file mode 100644 index 00000000..4920ba08 --- /dev/null +++ b/psa/021/009.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Katika kipindi cha hasira yako + +"Utakapotokea katika hasira yako" + +# hasira yako ... Utaangamiza + +Maana zinazowezekana za anaye zungumziwa ni 1) Mungu au ni 2) mfalme. + +# utawachoma kama tanuu ya moto + +Yahwe au mfalme kuwaangamiza adui inazungumziwa kana kwamba adui ni mbao na Yahwe au mfalme atawatupa katika tanuu. + +# Yahwe atawamaliza katika gadhabu yake, na moto utawateketeza + +Vishazi vyote viwili vina maana sawa. Yahwe kuwaangamiza kabisa adui zake inazungumziwa kana kwamba gadhabu yake ni moto unaowaunguza kabisa adui zake. + +# kutoka duniani ... kutoka kwa wanadamu + +Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja. Inaweka mkazo kuwa hakuna adui yao hata mmoja atakayepona. + diff --git a/psa/021/011.md b/psa/021/011.md new file mode 100644 index 00000000..4d906ab7 --- /dev/null +++ b/psa/021/011.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# walikusudi + +"walipanga." Waliopanga ni adui wa Mungu na mfalme. + +# maovu dhidi yako + +"kufanya vitu viovu" + +# wakatunga njama + +"wakafanya mpango" au "wakiunda hila" + +# Kwa kuwa utawageuza; utachukua upinde wako mbele yao + +Maana zinazowezekana za anaye zungumziwa ni 1) mfalme au ni 2) Mungu na zinamzungumzia kana kwamba alikuwa ni shujaa mwenye upinde na mishale. + +# utawageuza + +Hii ni njia ya kusema kuwa Mungu na mfalme watawashinda adui zao vitani. + +# utachukua upinde wako mbele yao + +Hii inaashiria kuwa anawapiga adui zake kwa mishale. + diff --git a/psa/021/013.md b/psa/021/013.md new file mode 100644 index 00000000..399697fc --- /dev/null +++ b/psa/021/013.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Utukuzwe, Yahwe, katika nguvu yako + +Maana zinazowezekana ni 1) "Yahwe, tuoneshe kuwa una nguvu sana" (UDB) au 2) "Yahwe, kwa sababu una nguvu, tutakutukuza" + +# tutaimba na kusifu uwezo wako + +Maneno "tutaimba" na "kusifu" yana maana ya kukaribiana. Hapa neno "uwezo" linamaanisha Mungu na uwezo wake. "kwa kuimba tutakusifu kwa sababu una uwezo" + diff --git a/psa/022/001.md b/psa/022/001.md new file mode 100644 index 00000000..2989bd0e --- /dev/null +++ b/psa/022/001.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Mapigo ya mbawala + +Hii inaweza kumaanisha aina ya muziki. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Mungu wangu, Mungu wangu + +Mwandishi anarudia "Mungu wangu" kusisitiza kuwa anatamani sana Mungu amsikie. + +# Mungu wangu, kwa nini umeniacha? + +Mwandishi anatumia swali kusisitiza kuwa anahisi kama vile Mungu amemwacha. Ni bora zaidi kuiacha hii kama swali. Inaweza pia kuwekwa kama kauli. "Mungu wangu, nahisi kama umeniacha!" + +# umeniacha + +"umeniacha peke yangu" + +# Kwa nini uko mbali sana na kuniokoa na mbali na maneno yangu ya uchungu? + +Mwandishi anatumia tena swali kusisitiza kuwa anahisi kama vile Mungu yuko mbali naye. Ni bora zaidi kuiacha hii kama swali. Inaweza pia kuwekwa kama kauli. "Uko mbali na kuniokoa na mbali na maneno ya uchungu wangu!" + +# mbali na maneno yangu ya uchungu + +Mwandishi kuhisi kana kwamba Mungu hamsikilizi kunazungumziwa kana kwamba Mungu yuko mbali na maneno ya uchungu wake. Hapa "maneno" yanamaanisha chochote ambacho mwandishi anasema. "kwa nini hausikilizi ninapozungumza kwako kuhusu uchungu ninaoupitia" au "nimekuambia kuhusu mahangaiko yangu lakini haujaja kwangu" + +# mchana ... usiku + +Mwandishi anatumia maneno "mchana" na "usiku" kumaanisha kuwa humwomba Mungu kila wakati. + +# siko kimya + +Hii inaweza kuwekwa katika hali chanya. "Bado ninazungumza" + diff --git a/psa/022/003.md b/psa/022/003.md new file mode 100644 index 00000000..921f0590 --- /dev/null +++ b/psa/022/003.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# umeketi kama mfalme na sifa za Israeli + +"sifa za Israeli ni kiti cha enzi ambacho unaketi kama mfalme." Sifa za Israeli zinaelezwa kana kwamba ni kiti cha enzi ambacho Mungu anaketi na kutawala, au nyumba ambayo Mungu anaweza kuishi. "wewe ni mfalme na watu wa ISraeli wanakusifu" + +# za Israeli + +Hapa "Israeli" inamaanisha watu wa Israeli. + +# hawakuvunjwa matarajio + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "na haukuvunja matarajio yao" au "haukuwaangusha" + +# hawakuvunjwa matarajio + +Hii inaweza kuelezwa katika hali chanya. "na ukawaokoa" au "ukawafanyia walichohitaji uwafanyie" + diff --git a/psa/022/006.md b/psa/022/006.md new file mode 100644 index 00000000..59d342f2 --- /dev/null +++ b/psa/022/006.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# mimi ni mnyoo na sio mtu + +Mwandishi anajizungumzia kana kwamba alikuwa ni mnyoo. Hii inaonesha mkazo kuwa alijihisi hafai au kuwa watu walimtenda kana kwamba hana faida. "Lakini ni kama mimi ni mnyoo na sio binadamu" + +# aibu kwa wanadamu na kuchukiwa na watu + +Misemo hii miwili inamaana sawa. Msemo "kuchukiwa na watu" unaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "kila mtu anadhani sina faida na watu wananichukia" + +# wananidhihaki, wananifanyia mzaha; wanatikisa vichwa vyao kwangu + +Misemo hii mitatu ina maana ya kukaribiana na inasisitiza jinsi watu walivyomdharau. + +# wanatikisa vichwa vyao kwangu + +Hii inaelezea tendo ambalo watuwalitumia kumdhihaki mtu. + +# Anamtumaini Yahwe ... anamfurahia + +Watu wanasema hivi kumdhihaki mwandishi. Hawaamani kweli kuwa Yahwe atamwokoa. + +# Acha amwokoe + +"Acha Yahwe amwokoe" + +# kwa kuwa anamfurahia + +Maana zinazowezekana ni 1) "kwa kuwa Yahwe anamfurahia" au 2) "kwa kuwa anamfurahia Yahwe" + diff --git a/psa/022/009.md b/psa/022/009.md new file mode 100644 index 00000000..dcd47589 --- /dev/null +++ b/psa/022/009.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa kuwa + +Mwandishi anatumia neno "Kwa" kuanza kueleza kwa nini amechanganyikiwa na kumwuliza Mungu kwa nini haji kumsaidia. + +# umenitoa kwenye tumbo + +Hii ni njia ya kusema "umesababisha nizaliwe" + +# nilipokuwa katika kifua cha mama yangu + +Hii inamaanisha kuwa amekuwa akimtumaini Yahwe tangu yuko mchanga. "hata tangu wakati nilipokunywa maziwa kutoka kifua cha mama yangu" + +# Nimetupwa kwako kutoka tumboni + +Msemo "nimetupwa" ni njia ya kusema kuwa Yahwe amemtunza kana kwamba Yahwe alimpanga utoto kama mwana wake. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Ilikuwa kana kwamba umenipanga utoto tangu nilipozaliwa" + +# wewe ni Mungu wangu + +Hii inadokeza kuwa Yahwe daima amekuwa akimctunza mwandishi. "wewe, Mungu, umenitunza" + +# tangu nimo tumboni mwa mama yangu + +"tangu kabla sijazaliwa" + diff --git a/psa/022/011.md b/psa/022/011.md new file mode 100644 index 00000000..5d349d2e --- /dev/null +++ b/psa/022/011.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Usiwe mbali na mimi + +Hii inaweza kuelezwa katika hali chanya. "Njoo karibu yangu" + +# kwa kuwa taabu iko karibu + +Mwandishi anazungumzia "taabu" kana kwamba ni kitu kilicho karibu yake. "kwa kuwa adui zangu wako karibu yangu" + +# hakuna msaada + +"hakuna msaidizi" + +# Mafahali wengi wamenizunguka; mafali hodari wa Bashani wamenizunguka + +Mwandishi anawazungmzia adui zake kana kwamba ni mafahali. Hii inaweka mkazo wa jinsi adui zake walivyo na nguvu. "Nina adui wengi na wako kama mafahali wanaonizunguka; wako kama mafahali hodari kutoka Bashani wanaonizunguka" + +# Wamefungua midomo yao wazi dhidi yangu + +Mwandishi anawazungumzia adui zake kana kwamba ni simba wenye midomo wazi tayari kumla. Adui zake wanaweza kuwa wanazungumza uongo kumpunguzia sifa. Au wanaweza kuwa wanamtisha na kumvamia. + +# kamasimba anayeunguruma akimrarua mhanga wake + +Mwandishi anawazungumzia adui zake kana kwamba ni simba. Hii inasisitiza jinsi adui wake walivyokuwa na nguvu na hatari. + diff --git a/psa/022/014.md b/psa/022/014.md new file mode 100644 index 00000000..29e435f8 --- /dev/null +++ b/psa/022/014.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Ninamwagwa nje kama maji + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Ni kama mtu ananimwaga nje kama maji" + +# Ninamwagwa nje kama maji + +Mwandishi anazungumzia kuhusu kujihisi kuchoka na munyonge kana kwamba alikuwa maji akimwagwa nje ya chupa + +# mifupa yangu yote imeteguka + +"mifupa yangu yote iko nje ya sehemu zake." Inawezekana mwandishi yuko katika aina flani ya maumivu ya kimwili. Au anaweza kuwa anazungumzia maumivu ya hisia kana kwamba ni maumivu ya kimwili. + +# Moyo wangu ni kama nta ... sehemu zangu za ndani + +Mwandishi anazungumzia kutokuwa na ujasiri kana kwamba moyo wake umeyeyuka kama nta. Hapa "moyo" unaashiria "ujasiri." + +# nta + +kitu laini kinacho yeyuka kwa joto dogo. + +# ndani ya sehemu zangu za ndani + +"ndani yangu" + +# Nguvu yangu imekauka kama kipande cha ufinyanzi + +Mwandishi anazungumzia kujisikia mdhaifu kana kwamba nguvu yake ilikuwa kama kipande cha ufinyanzi kilichokauka na chepesi kuvunjika. + +# kipande cha ufinyanzi + +kitu kilichoundwa kwa udongo wa kuoka kinachoweza kutumika ndani ya nyumba. + +# ulimi wangu unatokeza hadi kwenye paa ya mdomo wangu + +"ulimi wangu unatokeza hadi juu ya mdomo wangu." Mwandishi anaweza kuwa anaelezea kiu yake kali. Au anaweza kuwa anaendelea kuzungumzia kuwa mdhaifu kana kwamba amekauka kabisa. + +# Umenilaza kwenye vumbi la mauti + +Maana zinazowezekana kwa ajili ya "vumbi la mauti" ni 1) inamaanisha mtu kugeuka kuwa vumbi baada ya kufa. "Unataka kuniacha nife na niwe vumbi" au 2) ni njia ya kuzungumzia kaburi, ambayo inamaanisha Mungu anamsababisha mwandishi kufa. "Umenilaza kwenye kaburi langu" + +# Umenilaza + +Aliyemlaza ni Mungu. + diff --git a/psa/022/016.md b/psa/022/016.md new file mode 100644 index 00000000..357521bc --- /dev/null +++ b/psa/022/016.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# mbwa wamenizunguka + +Mwandishi anazungumza kuhusu adui zake kana kwamba ni mbwa. Adui zake wanakuja karibu yake kama mbwa pori wanavyofanya kwa mnyama anayekufa. "adui zangu ni kama mbwa walionizunguka" + +# kundi la watenda maovu + +"kikundi cha watenda maovu" + +# wamenizunguka + +"wamenizingira" + +# wametoboa mikono yangu na miguu yangu + +Hii inaendeleza mfano wambwa. Mwandishi anazungumzia adui zake kana kwamba ni mbwa wanao mng'ata na kutoboa mikono na miguu yake kwa meno yao. + +# toboa + +kuchoma na kifaa chenye ncha kali + +# Ninaweza kuhesabu mifupa yangu yote + +Maana zinazowezekana ni 1) mwandishi ni mwembamba sana hadi anaweza kuona mifupa yake. "Ninaweza kuona mifupa yangu yote" au "Ninaweza kuihisi mifupa yangu yote" au 2) hii inaendeleza mfano wa mbwa na mwandishi anaweza kuona mifupa yake baade ya mbwa kurarua nyama yake. + +# Wananitazama na kunikazia macho + +Maneno "wananitazama" na "kunikazia macho" ina maana sawa na inasisitiza kuwa watu wanamwangalia kwa ajabu na kumtania. + diff --git a/psa/022/018.md b/psa/022/018.md new file mode 100644 index 00000000..6e16dfef --- /dev/null +++ b/psa/022/018.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nguo zangu + +"mavazi yangu" + +# Usiwe mbali + +Hii inawezwa kuelezwa katika hali chanya. "Uwe karibu sana" + +# nguvu yangu + +Hapa "nguvu" inaashiria Yahwe anayempa nguvu. "wewe unayenipa nguvu" au "wewe unayenisaidia" + diff --git a/psa/022/020.md b/psa/022/020.md new file mode 100644 index 00000000..93725c7b --- /dev/null +++ b/psa/022/020.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Okoa nafsi yangu + +Hapa "nafsi" inamaanisha mtu mzima. "Niokoe" + +# upanga + +Upanga ni njia ya kawaida ya kumaanisha adui mwenye vurugu. "wale wanaotaka kuniua" au "adui zangu" + +# maisha yangu pekee + +"maisha yangu ya dhamani" au "maisha pekee niliyonayo" + +# makucha ya mbwa pori ... mdomo wa simba ... mapembe ya nyati + +Mwandishi anawazungumzia adui zake kana kwamba ni mbwa, simba, na nyati kuweka mkazo jinsi adui zake walivyo hatari. Pia, makucha, mdomo, na mapembe yanamaanisha myama mzima. Mwandishi anasisitiza sehemu hizi za wanayama kwa sababu ndio sehemu ambazo wanyama hao hutumia kuua mtu. + +# mbwa pori ... nyati + +Neno "pori" linamaanisha kuwa hakuna mtu aliyemshika na kumfuga huyu mnyama. + diff --git a/psa/022/022.md b/psa/022/022.md new file mode 100644 index 00000000..d233617f --- /dev/null +++ b/psa/022/022.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nitatangaza jina lako + +"Nitafanya jina lako lijulikane." Hapa "jina" linaashiria tabia na sifa ya Mungu. "Nitazungumza kuhusu tabia yako" + +# ndugu zangu + +Hapa "ndugu" inamaanisha "Waisraeli wezangu" au "waabudu wezangu wa Yahwe" + +# katikati ya kusanyiko + +"Waisraeli wezangu na mimi tukikutana pamoja" au " ninapozungukwa na waabudu wezangu wa Yahwe" + +# Nyie mnayemwogopa + +Hapa anazungumza na watu wengi. + +# Nyie wote uzao wa Yakobo ...nyie wote uzao wa Israeli + +Zote hizi zinamaansiha kundi moja la watu. + +# Simameni kwa kumshangaa + +"Mjawe na kumshangaa yeye" au "Acheni nguvu ya Mungu iwashangaze" + diff --git a/psa/022/024.md b/psa/022/024.md new file mode 100644 index 00000000..88c8811e --- /dev/null +++ b/psa/022/024.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# hajadharau wala kuchukizwa + +Hii inaweza kuelezwa katika hali chanya. "amependa na kuona bora kabisa" + +# hajadharau wala kuchukizwa na mateso ya aliyeteswa + +Hapa "mateso" inamaanisha mtu anayeteseka. "hajamdharau wala kumchukia yule anayeteseka" + +# hajadharau wala kuchukizwa + +Maneno haya mawili yana maana ya kufanana na yanasisitiza kuwa Mungu hajamsahau mwandishi. + +# hajadharau + +"chukia sana" + +# kuchukizwa + +"kukemea" + +# mateso ya aliyeteswa ...kwake ... aliyeteswa alipolia + +Hii inaweza kuelezwa ili imaanishe yeyote anayeteseka. "wale wanaoteseka ... kwao ... wale wanaoteseka walilia" + +# hajaficha uso wake + +Hii ni lahaja. "hajageuza usikivu wake" au "hajaacha kunizingatia" + +# alisikia + +"alisikiliza." Inadokezwa kuwa alijibu aliposikia kilio chao. "alijibu" au "alisaidia" + +# kwa sababu yako + +Anayezungumziwa hapa ni Yahwe. + +# nitatimiza viapo vyangu + +Hii inamaanisha sadaka ambazo mwandishi aliahidi kumtolea Mungu. + +# mbele yao + +Ambaye wanamcha ni Yahwe. Inaweza kuelezwa kama "wewe." "mbele yao wanaokugopa wewe" + diff --git a/psa/022/026.md b/psa/022/026.md new file mode 100644 index 00000000..6fafa40f --- /dev/null +++ b/psa/022/026.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Walidhulumiwa watakula na kuridhika + +Hii inamaanisha mlo wa ushirika unaotokea baada ya mwandishi kumpa Mungu sadaka alizoahidi. Atawakaribisha wale waliokuwa wanateseka kula sehemu ya mnyama aliyemtoa sadaka. + +# wale wanaomtafuta Yahwe + +Wale wanaotaka kumjua Yahwe na kumpendeza wanazungumziwa kana kwamba wanamtafuta Yahwe kwa uhalisia. + +# Mioyo yenu iishi milele + +Hapa "mioyo" inawakilisha mtu mzima. "Na uishi milele" + +# Mioyo yenu + +Hapa "yenu" inamaanisha watu walio dhulumiwa. + +# watakumbuka na kumgeukia Yahwe + +Kuanza kumtii Yahwe kunazungumziwa kana kwamba watu wanamgeukia Yahwe kimwili. "watamkumbuka Yahwe na kumtii" + +# familia zote za mataifa zitasujudu chini mbele yako + +Hii inamaanisha kitu kimoja na sehemu ya kwanza ya sentensi. Mwandishi anasisitiza kuwa kila mtu kutoka kila sehemu atamwabudu na kumtii Yahwe. + +# zitasujudu chini mbele yako + +Hii ni alama ya kumpa utkufu na heshima mtu. + +# mbele yako + +Hapa "yako" inamaanisha Yahwe. Inaweza kutafsiriwa katika hali ya mtu wa tatu ili ilingane na sehemu ya kwanza ya sentensi. "mbele yake" + diff --git a/psa/022/028.md b/psa/022/028.md new file mode 100644 index 00000000..2c2deff8 --- /dev/null +++ b/psa/022/028.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa kuwa ufalme ni wa Yahwe + +Hapa "ufalme" unaashiria utawala wa Mungu kama mfalme. "Kwa kuwa Yahwe ni mfalme" + +# yeye ni mtawala juu ya mataifa + +Hapa "mataifa" yanaashiria watu wa mataifa. "anawatawala watu wa mataifa" + +# wata kuwa na karamu + +Watu watakula pamoja kwenye karamu. "watakula pamoja" au "watakula chakula cha sherehe pamoja" + +# wale wote wanaoenda chini kwenye vumbi ... wale ambao hawawezi kuhifadhi maisha yao wenyewe + +Misemo hii miwili inaashiria kundi moja. Zote zinamaanisha watu wote kwa kuwa watu wote watakufa. + +# wale wote wanaoshuka kwenye vumbi + +Hapa "vumbi" linamaanisha kaburi. Msemo "wanaoshuka kwenye vumbi" ni njia ya kusema mtu anakufa. "wale wanaokufa" au "wale waliokufa" + +# wale ambao hawawezi kuhifadhi maisha yao wenyewe + +"wale ambao hawawezi kuokoa maisha yao" au "wale ambao hawawezi kujizuia kufa" + diff --git a/psa/022/030.md b/psa/022/030.md new file mode 100644 index 00000000..b7fa49d1 --- /dev/null +++ b/psa/022/030.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kikazi kitakajokuja + +Hapa "kizazi" kinawakilisha watu wa kizazi. "Msemo "kitakajokuja" inazungumzia muda wa baadaye kanakwamba ni kitu kinachosafiri na kufika sehemu. "watu wa vizazi vya baadaye" + +# kizazi kijacho + +Hapa "kizazi" kinaashiria watu wa kizazi hicho. "watu wa kizazi kijacho" au "watoto wao" + +# cha Bwana + +"kumhusu Bwana" au "kuhusu kile Bwana amefanya" + +# kusema kuhusu haki yake + +Nomino dhahania ya "haki" inaweza kuelezwa kama kivumishi. "kusema kuhusu vitu vya haku alivyofanya" + diff --git a/psa/023/001.md b/psa/023/001.md new file mode 100644 index 00000000..afad6a82 --- /dev/null +++ b/psa/023/001.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Yahwe ni mchungaji wangu + +Mwandishi anamzungumzia Yahwe kana kwamba alikuwa mchungaji. Hii inasisitiza jinsi Mungu anavyowajali watu kama mchungaji anavyowajali kondoo wake. "Yahwe ni kama mchungaji kwangu" au " Yahwe ananijali kama mchungaji anavyojali kondoo wake" + +# sitapungukiwa kitu + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Nina kila kitu ninachohitaji" + +# Ananifanya kulala chini kwenye malisho ya kijani + +Mwandishi anajizungumzia kana kwamba ni kondoo, na anamzungumzia Yahwe kana kwamba ni mchungaji. "Ananipa mapumziko kama mchungaji anavyowaongoza kondoo wake kulala chini kwenye malisho ya kijani" + +# ananiongoza kando kando na maji yaliyotulia + +Mwandishi anajizungumzia kana kwamba ni kondoo, na anamzungumzia Yahwe kana kwamba ni mchungaji. "ananipa ninachohitaji kama mchungaji anayewaongoza kondoo wake kando kando ya maji matulivu" + +# maji yaliyotulia + +"maji yanayotiririka taratibu." Maji haya ni salama kunywa. + diff --git a/psa/023/003.md b/psa/023/003.md new file mode 100644 index 00000000..e91167ae --- /dev/null +++ b/psa/023/003.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Zaburi hii inaendelea kueleza jinsi Mungu anavyotujali kama kondoo anavyowajali kondoo wake. + +# Hurudisha maisha yangu + +Hii inamaanisha Mungu anamfanya mtu aliyenyonge na mchovu kuwa na nguvu na kupumzika tena. + +# huniongoza katika njia zilizonyooka + +Kumwonyesha mtu jinsi ya kuishi katika njia inayo mpendeza Mungu inazungumziwa kana kwamba ni mchungaji anaonesha kondoo njia sahihi ya kuchukua. "Ananionesha jinsi ya kuishi sawa" + +# kwa ajili ya jina lake + +Msemo "jina lake" hapa unamaanisha sifa yake. "kwa ajili ya jina lake" au "ili watu wamheshimu" + diff --git a/psa/023/004.md b/psa/023/004.md new file mode 100644 index 00000000..a9f954fd --- /dev/null +++ b/psa/023/004.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Zaburi hii inaendelea kueleza jinsi Mungu anavyotujali kama mchungaji anavyojali kondoo wake. + +# Ingawa ninatembea katika bonde la kivuli cha giza zaidi + +Mwandishi anamwelezea mtu anayepitia matatizo makubwa kana kwamba ni kondoo anayetembea kwenye bonde hatari la giza. Huko kondoo anaweza kupotea au kuvamiwa na mnyama pori. "Ingawa maisha yangu ni kama kutembea katika bonde hatari la giza" + +# sitaogopa madhara + +Nomino dhahania ya "madhara" inaweza kuelezwa kama kitenzi. "Sitaogopa kitu kunidhuru" + +# uko nami + +Aliye pamoja naye ni Yahwe. + +# gongo lako na fimbo yako hunifariji + +Gongo na fimbo inaashiria ulinzi kwa sababu wachungaji walizitumia kuwalinda kondoo wao kutoka hatarini. "Siogopi kwa sababu unanilinda kama mchungaji anavyolinda kondoo wake kwa gongo na fimbo" + diff --git a/psa/023/005.md b/psa/023/005.md new file mode 100644 index 00000000..24d2bc06 --- /dev/null +++ b/psa/023/005.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Sasa mwandishi anaeleza jinsi Mungu ni kama mtu anayemkaribisha mgeni nyumbani kwake na kumlinda. + +# Unaandaa + +Meza inaashiria karamu kwa sababu watu huweka chakula chote mezani. + +# mbele ya adui zangu + +Maana hapa ni kwamba mwandishi hana wasiwasi kuhusu adui zake kwa sababu yeye ni mgeni wa heshima wa Bwana na kwa hiyo analindwa na madhara. "licha ya uwepo wa adui zangu" + +# unatia kichwa changu mafuta + +Watu wakati mwingine huweka mafuta kwenye vichwa vya wageni wao ili kuwapa heshima. + +# kikombe changu kinamwagikia + +Hapa kikombe cha divai kinachotiririka kinaashiria baraka nyingi. "Unajaza kikombe changu sana hadi kinamwagikia" au "unanipa baraka nyingi" + diff --git a/psa/023/006.md b/psa/023/006.md new file mode 100644 index 00000000..f32879b3 --- /dev/null +++ b/psa/023/006.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hakika wema na uaminifu wa agano utanifuata + +Yahwe kuwa mwema na mwaminifu kwa mtu inazungumziwa kana kwamba wema na uaminifu wa agano ni vitu vinavyomfuata mtu. "Hakika utakuwa mwema na mwaminifu kwangu" + +# siku zote za maisha yangu + +Nomino dhahania ya "maisha" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "maadamu nina ishi" + +# nyumba ya Yahwe + +Maana zinazowezekana ni kwamba 1) hii inamaanisha nyumba ya milele ya Yahwe, au 2) hii inamaanisha hekalu la Yahwe Yerusalemu. + +# kwa muda mrefu sana + +Maana zinazowezekana ni 1) "milele" au 2) "maadamu nina ishi." + diff --git a/psa/024/001.md b/psa/024/001.md new file mode 100644 index 00000000..f73cb1b2 --- /dev/null +++ b/psa/024/001.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# na ujao wake + +Nomino dhahania "ujao" inaweza kuelezwa kama kitenzi "kujaza." "na kila kitu kinachoijaza" + +# Kwa kuwa ameiweka juu ya bahari na kuiweka juu ya mito + +Wahebrania wa wakati huo waliamini kuwa nchi ilishikiliwa na bahari na mito ya chini ya ardhi. "Kwa kuwa aliumba misingi yake kwenye bahari na kuijenga juu ya maji mrefu" + +# bahari ... mito + +Misemo hii miwili inatumika kumaanisha bahari kubwa yenye kina kirefu chini ya dunia. + +# juu ya mito + +"maji yaliyo chini kwenye kina kirefu" + diff --git a/psa/024/003.md b/psa/024/003.md new file mode 100644 index 00000000..bb515690 --- /dev/null +++ b/psa/024/003.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Nani ataupanda mlima ... katika sehemu yake takatifu? + +Maswali yote haya mawili ya maana moja. Mwandishi anauliza kuhusu nani anayefaa kwenda kumwabudu Yahwe. + +# kupanda + +"kwenda juu" + +# mlima wa Yahwe + +Hii inamaanisha mlima Sayuni ndani ya Yerusalemu + +# sehemu yake takatifu + +Hii inamaanisha hekalu la Yahwe. Hekalu lake liko katika mlima Sayuni ulioko Yerusalemu. + +# Yeye aliye ...aliye ... na haja... + +Hapa haimzungumzii mtu bayana. "Wale ambao ...walio ... na hawaja..." + +# aliye na mikono safi + +Neno "mikono" inawakilisha kile ambacho mtu anafanya. Kwa "mikono" kuwa safi inamaanisha anafanya kilicho sawa. "anafanya kilicho sawa" + +# moyo safi + +Hapa "moyo" inamaanisha mawazo au nia ya mtu. "anawaza mawazo mazuri" au "hawazi kuhusu yaliyo mabaya" + +# ambaye hajainua juu uongo + +Hapa "uongo" inawakilisha sanamu ya uongo. "Kuinua juu" inamaanisha kuabudu. "ambaye hajaabudu sanamu" + diff --git a/psa/024/005.md b/psa/024/005.md new file mode 100644 index 00000000..2f636231 --- /dev/null +++ b/psa/024/005.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Atapokea baraka kutoka kwa Yahwe + +Hapa hazungumziwi mtu yeyote bayana. Inamaanisha wale wenye mioyo safi waliotajwa kwenye mstari uliopita. Nomino dhahania ya "baraka" inaweza kuelezwa kama kitenzi. "Yahwe atawabariki" + +# na haki kutoka kwa Mungu wa wokovu wake + +Nomino dhahania ya "haki" inaweza kuelezwa kama "kwa haki." Na "wokovu" unaweza kuelezwa kama "okoa." "na Mungu atatenda kwa haki naye na kumwokoa" + +# Ndivyo kilivyo kizazi cha wale wanaomtafuta + +Hapa "kizazi" inawakilisha watu kwa ujumla. "Watu wanaomtafuta wako hivi" + +# wale wanaomtafuta, wale wanautafuta uso wa Mungu wa Yakobo + +Misemo yote miwili ina maana moja. Yote inamaanisha wale wanaoenda hekaluni kumwabudu Mungu. "wale wanaomkaribia Mungu, wao ndio wanaweza kumwabudu Mungu, yule ambaye sisi Waisraeli tunamwabudu" + +# wale wanaomtafuta + +Kwenda hekaluni kumwabudu Yahwe inazungumziwa kana kwamba mtu anatafuta kwa uhalisia kumpata. + +# uso wa Mungu wa Yakobo + +Hapa "uso" unamaanisha mtu mzima. "Mungu wa Yakobo" + diff --git a/psa/024/007.md b/psa/024/007.md new file mode 100644 index 00000000..7e8a3af1 --- /dev/null +++ b/psa/024/007.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Inueni vichwa vyenu, nyie malango; muinuliwe, malango ya milele + +Misemo miwili ina maana za kukaribiana. "Malango" ni ile ya hekaluni. Mwandishi anazungumza na malango kana kwamba ni mtu. Mtu anayetunza malango ndiye huwepo kufungua malango. "Fungukeni, enyi malango ya zamani" au "Fungueni milango hii ya zamani" + +# Inueni vichwa vyenu + +Haikowazi ni sehemu gani bayana ya lango ndio "kichwa." Lakini inawakilishi mlango mzima kwa ujumla. + +# Yahwe, mwenye nguvu na hodari; Yahwe, hodari vitani + +Mwandishi anamzungumzia Yahwe kana kwamba ni shujaa hodari anapigana vitani. + diff --git a/psa/024/009.md b/psa/024/009.md new file mode 100644 index 00000000..29a316d9 --- /dev/null +++ b/psa/024/009.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Inueni vichwa vyenu, nyie malango; muinuliwe, malango ya milele + +Misemo miwili ina maana za kukaribiana. "Malango" ni ile ya hekaluni. Mwandishi anazungumza na milango kana kwamba ni mtu. Mtu anayetunza malango ndiye huwepo kufungua malango. "Fungukeni, enyi malango ya zamani" au "Fungueni malango haya ya zamani" + +# Inueni vichwa vyenu + +Haikowazi ni sehemu gani bayana ya lango ndio "kichwa." Lakini inawakilishi lango lote kwa ujumla. + +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki. + diff --git a/psa/025/001.md b/psa/025/001.md new file mode 100644 index 00000000..54f41ff3 --- /dev/null +++ b/psa/025/001.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# nainua maisha yangu + +Msemo "nainua maisha yangu" ni sitiari. Maana zinazowezekana ni 1) mwandishi unajitoa kwa Yahwe, ambayo inamaanisha anamtegemea Yahwe kabisa. "nitajitoa kwako" au 2) aleta maombi na heshima kwa Yahwe. "ninakuabudu na kukuheshimu" + +# Usiniache niaibike + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Usiwaache adui zangu waniaibishe" + +# niaibike + +"kudhalilika" + +# wafurahi kwa ushindi juu yangu + +Msemo "juu yangu" unadokeza kuwa adui zake wamemshinda na kusima juu kwa ushindi. "wanishinde na kufurahia" + +# Na mtu yeyote anayekutumaini asiaibike + +"Usiwaache wale wanaokutumaini waaibike." Aibu inaweza kuja kwa kushindwa na dui zao. Hii inaweza kuelezwa katika hali chanya. "Usiwaache adui wawashinde wale wanaokutumaini" + +# anayekutumaini + +"wanaokuamini" + +# fanya udanganyifu + +"fanya uongo" au "fanya ujanja" + +# bila sababu + +"bila chanzo" + diff --git a/psa/025/004.md b/psa/025/004.md new file mode 100644 index 00000000..8dacb652 --- /dev/null +++ b/psa/025/004.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Unijulishe njia zako, Yahwe; nifundishe njia zako + +Kauli hizi mbili zina maana moja. Mungu kumfundisha mtu jinsi anavyotakiwa kutenda inazungumziwa kana kwamba alikuwa akimwonyesha mtu njia sahihi ambayo mtu anapaswa kusafiria. + +# Nakutumaini + +"Nakutegemea" au "Nakusubiri kwa uvumilivu" + +# Niongoze kwenye kweli yako na unifundishe + +Niongoze na unifundishe zina maana sawa, kutoa maagizo. "Nielekeze kusimamia maisha yangu kwa kutii ukweli wako" + +# Mungu wa wokovu wangu + +Nomino dhahania ya "wokovu" inaweza kuelezwa kama "'huokoa." "yule anayeniokoa" + diff --git a/psa/025/006.md b/psa/025/006.md new file mode 100644 index 00000000..563af177 --- /dev/null +++ b/psa/025/006.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kuweka + +Hii ni lahaja. Hii haimaanishi kuwa Mungu amesahau kitu. Mwandishi anamuomba kufikiria na kuzingatia matendo yake ya huruma na uaminifu. "Kumbuka" au "Fikiria kuhusu" + +# matendo yako ya huruma na uaminifu wako wa agano + +Nomino dhahania za "huruma" na "uaminifu" zinaweza kuelezwa kama vivumishi. "jinsi ulivyokuwa na huruma na mwaminifu kwangu kwa sababu ya agano lako" + +# kwa kuwa wamekuwepo daima + +Hapa zinazozungumziwa ni huruma na uaminifu wa Mungu. "kwa kuwa hivyo ndivyo ulivyokuwa daima" + +# Usiwaze kuhusu dhambi za ujana wangu + +Nomino dhahania ya "dhambi" inaweza kuelezwa kama "kutenda dhami." "Usiwaze jinsi nilivyotenda dhambi dhidi yako nilipokuwa mdogo" + +# au ukaidi wangu + +Nomino dhahania ya "ukaidi" unaweza kuelezwa kama "kukaida." "au kusuhu jinsi nilivyokaidi dhidi yako" + +# Weka akilini + +Hii ni lahaja. Hii haimaanishi kuwa Mungu amesahau kitu. Hii haimaanishi kuwa Mungu alisahau kitu. Mwandishi anamwomba Mungu kumwaza. "Nikumbuke" au "Nifikirie" + +# na uaminifu wa agano kwa sababu ya wema wako + +Nomino dhahnia za "uaminifu" na "wema" zinaweza kuelezwa kama vitenzi. "na uwe mwaminifu kwangu kwa sababu ya agano lako, kwa kuwa u mwema" + diff --git a/psa/025/008.md b/psa/025/008.md new file mode 100644 index 00000000..b414244f --- /dev/null +++ b/psa/025/008.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# njia ... njia yake + +Jinsi amabvyo Mungu anataka mtu kuwa inazungumziwa kana kwamba ni njia ambayo mtu anasafiri. + +# wanyenyekevu + +Hiki kivumishi kidogo kinaweza kuelezwa kama kivumishi. "watu wanyenyekevu" au "wale ambao ni wanyenyekevu" + diff --git a/psa/025/010.md b/psa/025/010.md new file mode 100644 index 00000000..7c56891b --- /dev/null +++ b/psa/025/010.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Njia zote za Yahwe ni upendo imara na uaminifu + +"Yahwe hutupenda daima kwa sababu ya agano lake na ni mwaminifu daima" + +# Kwa ajili ya jina lako + +Msemo "jina lako" hapa unamaanisha sifa ya Yahwe. "Kwa ajili ya sifa yako" au "Ili kwamba watu wakuheshimu" + +# samehe dhambi yangu, kwa kuwa ni kubwa + +Nomino dhahania ya "dhambi" inaweza kuelezwa ka "kutenda dhambi." "tafadhali nisamehe, kwa kuwa nimetenda dhambi sana" + diff --git a/psa/025/012.md b/psa/025/012.md new file mode 100644 index 00000000..866ef5d0 --- /dev/null +++ b/psa/025/012.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ni nani mtu anayemcha Yahwe? + +Swali linatumbulisha "mtu anayemcha Yahwe" kama mada mpya. "Nitakuambia kuhusu mtu anayemcha Yahwe" + +# mtu anayemcha ... mwelekeza ... anapaswa ... Maisha yake ...uzao wake + +Hii haimaanisha mtu bayana. "ni wale wanaomcha ... anawaelekeza ... wanapaswa ... Maisha yao ... uzao wao" + +# Bwana atamuelekeza katika njia anayopaswa kuchagua + +Yahwe kuwafundisha watu jinsi wanavyopaswa kuwa inazungumziwa kana kwamba Yahwe alikuwa akiwafundisha watu ni njia gani wanapaswa kuifuata. + +# Maisha yake yataenda katika wema + +"Mungu atamsababisha kufanikiwa" au "Mungu atawasababisha kufanikiwa" + diff --git a/psa/025/014.md b/psa/025/014.md new file mode 100644 index 00000000..8060387c --- /dev/null +++ b/psa/025/014.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Urafiki wa Yahwe ni kwa wale + +"Yahwe ni rafiki kwa wale." Wengine wanatafsiri hii kama "Yahwe anawaambia siri wale." Kuwaambia siri inaonesha urafiki wa karibu alionao nao. + +# Macho yangu daima yako kwa Yahwe + +Hapa "macho" yawakilisha kuangalia. kumwangalia Yahwe ni njia ya kusema anamuomba Yahwe msaada. "Huwa natazama kwa Yahwe" au "Huwa namuomba Yahwe msaada" + +# kwa kuwa ataokoa miguu yangu kwenye wavu + +Wavu ni mtego. Mtu aliye hatarini anazungumziwa kana kwamba miguu yake imekwama katika wavu. "Ataniokoa katika + +# Geukia kwangu + +Yahwe kuzingatia mtu kwa makini inazungumziwa kana kwamba Yahwe alikuwa akigeuka kimwili kuelekea kwa mtu huyo. + diff --git a/psa/025/017.md b/psa/025/017.md new file mode 100644 index 00000000..04a0a376 --- /dev/null +++ b/psa/025/017.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taabu za moyo wangu zimekuwa + +Hapa "moyo" unawakilisha hisia za mtu. "Najihisi kutaabika zaidi na zaidi" + +# nitoe katika dhiki yangu + +"nitoe kwenye dhiki yangu." Hii inazungumzia dhiki kana kwamba ni sehemu ambayo mtu anaweza kutolewa. "niokoe na dhiki yangu" au "nipumzishe na dhiki yangu" + +# dhiki zangu + +Neno "dhiki" ni nomino dhahania. "vitu vinavyonipa dhiki" au "vitu vinavyosababisha niogope" + +# Tazama mateso yangu + +"Tambua mateso yangu" + +# mateso yangu + +Nomino dhahania ya "mateso" inaweza kuelezwa kama kitenzi. "vitu vinavyonitesa" au "jinsi nilivyoteseka" + +# taabu zangu + +Neno "taabu" ni nomino dhahania. "vitu vinavyonipa taabu" + +# wananichukia na chuki ya kikatili + +"wananichukia kwa ukatili" au "wananichukia kwa ukali" + diff --git a/psa/025/020.md b/psa/025/020.md new file mode 100644 index 00000000..acec93a6 --- /dev/null +++ b/psa/025/020.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# usiniache niaibike + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Usiwaache adui zangu waniaibishe" + +# ninakukimbilia wewe! + +Kwenda kwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi inazungumziwa kama kumkimbilia. "kwenda kwako kwa ajili ya ulinzi!" + +# Na uadilifu na unyofu unihifadhi + +Hii inazungumzia "uadilifu" na "unyofu" kana kwamba ni watu wanaoweza kumweka mtu mwingine salama. Nomino dhahania hizi zinaweza kuelezwa kama vivumishi. "Na kuwa mwaminifu na kufanya kilicho sawa kilihifadhi" au "Nihifadhi, Bwana, kwa kuwa mimi ni mwaminifu na hufanya kilicho sawa" + +# unihifadhi + +"uniweke salama" + diff --git a/psa/025/022.md b/psa/025/022.md new file mode 100644 index 00000000..0a21e498 --- /dev/null +++ b/psa/025/022.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Iokoe Israeli + +"Komboa Israeli" + +# Israeli ... shida zake + +Hapa "Israeli" inawakilisha watu wa Israeli. "watu wa Israeli ... shida zetu" + diff --git a/psa/026/001.md b/psa/026/001.md new file mode 100644 index 00000000..47470b2d --- /dev/null +++ b/psa/026/001.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Nimetembea + +Neno "kutembea" ni sitiari ya tabia. "Nimeenenda" + +# Yahwe + +Matumizi ya mtu wa tatu wa "Yahwe" inaweza kuelezwa katika hali ya mtu wa pili. "wewe" + +# bila kuyumba + +Mashaka yanazungumziwa kana kwamba ilikuwa ni kuyumba na kupepea mbele na nyuma. "bila kuwa na shaka" + +# Nichunguze + +"Nijaribu" + +# jaribu usafi wa sehemu zangu za ndani na moyo wangu + +Hapa "sehemu za ndani" na "moyo" inamaanisha nia. "jaribu kama nia zangu ni nzuri" + +# Kwa kuwa uaminifu wako wa agano uko mbele ya macho yangu + +Hapa "macho" yanawakilisha mawazo ya mtu. "Kwa kuwa huwa nawaza kuhusu jinsi ulivyo mwaminifu kwangu kwa sababu ya agano lako" + +# ninatembea katika uaminifu wako + +Neno "kutembea" ni sitiari ya tabia. "Ninaendesha maisha yangu kulingana na uaminifu wako" au "Ninaenenda jinsi nilivyo kwa sababu ya uaminifu wako" + diff --git a/psa/026/004.md b/psa/026/004.md new file mode 100644 index 00000000..e06c63d6 --- /dev/null +++ b/psa/026/004.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sijihusishi + +"Sikai kundi moja na" au "Siketi na" + +# na watu waongo + +"na wale wanao wadanganya wengine" + +# wala kujichanganya na watu wasio wakweli + +Hii ina maana sawa na sehemu ya kwanza ya sentensi. "na sijiungi na watu wasio wakweli" + +# watu wasio wakweli + +"wanafiki" au "wale wanao wadanganya wengine" + +# mkusanyiko wa watenda maovu + +"wale wanao kusanyika kutenda maovu" + +# waovu + +Hiki ni kivumishi kidogo. "watu waovu" au "wale walio waovu" + diff --git a/psa/026/006.md b/psa/026/006.md new file mode 100644 index 00000000..d8e89c2f --- /dev/null +++ b/psa/026/006.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ninanawa mikono yangu katika sehemu isiyo na hatia + +Hii inaonekana kumaanisha utaratibu wa kunawa mikono kwatika maji kuashiria uhuru kutoka dhambini au hatia. + +# kuizunguka madhabahu yako + +Hili lilikuwa tendo la kuabudu amablo Waisraeli walizoea kufanya. + +# nyumba unayoishi + +Maana zinazowezekana ni 1) kama mtu aliandiki hii baada ya wakati wa Daudi, basi mwandishi anamaanisha hekalu liliko Yerusalemu. au 2) kama Daudi aliandiki hii, basi hii inamaanisha hema ambalo Mungu aliwaambia watu wake kuandaa ili wamwabudu humo. + +# sehemu ambayo utukufu wako huishi + +Hapa "utukufu" unawakilisha uwepo na nguvu ya Mungu, ambayo inakaribiana na mwanga mweupe sana. "sehemu ambayo watu wanaweza kuona mwanga wako mtukufu wa uwepo wako" + diff --git a/psa/026/009.md b/psa/026/009.md new file mode 100644 index 00000000..31427220 --- /dev/null +++ b/psa/026/009.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# usinifagie na watenda dhambi + +"kufagia" ni sitiari ya maangamizi. "Usiniangamize pamoja na watenda dhambi" + +# au maisha yangu + +Neno "fagia" linaeleweka. "au usifagie maisha yangu" + +# watu wenye kiu ya damu + +Maneno "kiu ya damu" yanawakilisha mtu anayetaka kuua watu wengine. "watu wenye hamu ya kumwaga damu ya wengine" au "watu wauaji" + +# ambamo minono yao + +"Mikono" inashiria mtu mzima. "watu ambao" + +# njama + +"mpango uovu" + diff --git a/psa/026/011.md b/psa/026/011.md new file mode 100644 index 00000000..566a4e16 --- /dev/null +++ b/psa/026/011.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Lakini kwangu + +Msemo huu unaonesha kuwa mwandishi anabadilisha kutoka kuwazungumzia watu waovu na kujizungumzia mwenyewe. + +# nitatembea kwa uadilifu + +"Kutembea" ni sitiari ya tabia. "Nitaenenda kwa uadilifu" + +# Mguu wangu unasimama + +Hapa "mguu" unawakilisha mtu mzima. "Nina simama" + +# ardhi tambarare + +Maana zinazowezekana ni kwamba "ardhi tambarare" inawakilisha 1) sehemu salama au 2) tabia iliyo sawa + +# katika makusanyiko nitambariki Yahwe + +"nitakapowakusanya watu wa Israeli nitakusifu" + diff --git a/psa/027/001.md b/psa/027/001.md new file mode 100644 index 00000000..0caf3ba9 --- /dev/null +++ b/psa/027/001.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Yahwe ni nuru yangu + +Hapa "nuru" inawakilisha maisha. "Yahwe ni chanzo cha maisha yangu" + +# nimwogope nani? + +Swali hili linaweka mkazo kuwa hakuna mtu ambaye Daudi anapaswa kumwogopa. "sitamwogopa mtu yeyote" + +# Yahwe ni kimbilio langu + +Hii inamzungumzia Yahwe kana kwamba ni sehemu ambapo watu wanaweza kwenda kwa ajili ya usalama. "Yahwe ndiye anayeniweka salama" + +# nimhofu nani? + +Swali hili linaweka mkazo kuwa hakuna mtu ambaye Daudi anapaswa kumwogopa. "sitamhofua mtu yeyote" + diff --git a/psa/027/002.md b/psa/027/002.md new file mode 100644 index 00000000..dc8aa863 --- /dev/null +++ b/psa/027/002.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kuteketeza mwili yangu + +Kumwangamiza mtu kabisa inazungumziwa kana kwamba ni kuangamiza mwili wa mtu. Hamaanishi kwamba walitaka kula mwili wake. "kuniangamiza" + +# washindani wangu na adui zangu + +Maneno haya yana maana sawa. Hawa ndio watenda maovu walisogea karibu yake. + +# walijikwaa na kuanguka + +Hii inaashiria adui wa mwandishi kushindwa kutimiza mipango yao kumdhuru mwandishi. "hawakufanikiwa"au "walishindwa" + +# Ingawa jeshi linweka kambi dhidi yangu + +"ingawa jeshi linanizunguka" au "ingawa jeshi linanizunguka na mahema" + +# moyo wangu hautaogopa + +Hapa "moyo" unawakilisha mtu mzima. "Sitaogopa" + +# ingawa vita zinainuka + +Adui wa mwandishi wanazungumziwa kana kwamba wao wenyewe wako vitani. "ingawa adui zangu wanakuja kupigana na mimi" + +# nitabaki na ujasiri + +"nitaendelea kumtumaini Mungu kunisaidia" + diff --git a/psa/027/004.md b/psa/027/004.md new file mode 100644 index 00000000..4a011be0 --- /dev/null +++ b/psa/027/004.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nimemuomba Yahwe + +"nimemuomba Yahwe kuniruhusu" + +# nitaitafuta hiyo + +Mtu anayetaka kitu sana na kumwomba Mungu mara kwa mara kwa ajili yake inazungumziwa kama kutafuta kitu. + +# kuona uzuri wa Yahwe + +Tabia nzuri ya Mungu inazungumziwa kana kwamba ni uzuri ya kimwili. "kuona jinsi Yahwe alivyo mzuri" + +# kutafakari katika hekalu lake + +Maana zinazowezekana ni 1) "kumwuliza Mungu anataka nifanye nini" au 2) "kumtafakari Mungu kwa makini katika hekalu lake" + diff --git a/psa/027/005.md b/psa/027/005.md new file mode 100644 index 00000000..44e7788a --- /dev/null +++ b/psa/027/005.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# katika siku ya taabu + +Hapa "siku" inawakilisha muda mrefu zaidi. "katika wakati wa taabu" au "ninapokuwa na taabu" + +# atanificha + +"atanilinda" + +# kivuli chake ... hema lake + +Zote hizi zinamaanisha hema ambamo mwandishi anamwabudu Mungu. + +# katika mfuniko wa hema lake + +Neno "mfuniko" inawakilisha kitu kinachoficha na kulinda. + +# Ataniinua juu ya mwamba + +Mungu kumweka salama mwandishi kutoka kwa adui zake inazungumziwa kanakwamba Mungu alimuweka katika mwamba wa juu ambapo adui zake hawakuweza kumfikia. + +# kichwa changu kitainuliwa juu ya adui zangu + +Hii inawakilisha mwandishi kupokea sifa au heshima anapowashinda adui zake. Inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "watu wataniheshimu nitakaposhinda pambano langu dhidi ya adui zangu" au "Mungu atanipa heshima kwa kuniwezesha kuwashinda adui zangu" + diff --git a/psa/027/007.md b/psa/027/007.md new file mode 100644 index 00000000..3769b8f6 --- /dev/null +++ b/psa/027/007.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sikia, Yahwe, sauti yangu + +Hapa "sauti" inamaanisha kuwa mwandishi anasema. "Nisikie, Yahwe" + +# nijibu + +Hii inaashiria kuwa Yahwe anasikia maombi ya mwandishi na Yahwe atafanya kile mwandishi anachoomba. "jibu ombi langu" au "fanya ninachokuomba" + +# Moyo wangu unasema + +Hapa "moyo" unawakilisha akili na mawazo ya mtu. "Moyoni mwangu nasema" au "Ninajiambia" + +# Utafute uso wake + +Mtu kwenda hekaluni kumwomba Yahwe inazungumziwa kana kwamba mtu huyo anamtafuta Yahwe. "Hapa "uso" unamwakilisha Mungu. "Nenda ukaombe kwa Yahwe" + +# Nautafuta uso wako, Yahwe + +Mtu kwenda hekaluni kumwomba Yahwe inazungumziwa kana kwamba mtu huyo anamtafuta Yahwe. "Hapa "uso" unamwakilisha Mungu. "Nitakuja kwenye hekalu lako na kuomba kwako" + diff --git a/psa/027/009.md b/psa/027/009.md new file mode 100644 index 00000000..4d795a39 --- /dev/null +++ b/psa/027/009.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Usiufiche uso wako kwangu + +Uso unawakilisha usikivu wa Yahwe. Msemo "Usiufiche uso wako" ni njia kumwomba Mungu asimkatae. "Usinikatae" au "Usiache kunitunza" + +# usimgeuza mtumishi wako kwa hasira + +Daudi alisema "mtumishi wako" kumaanisha ni yeye mwenywe kwa njia ya unyenyekevu. "usinikasirikie" + +# usiniache wala kunitupa + +Maneno "kuacha" na "kutupa" yana maana sawa. Mwandishi anasisitiza kuwa hataki Mungu amuache. + +# wala kunitupa + +"na usinitupe" au "na usiniache" + +# Mungu wa wokovu wangu + +Nomino dhahania ya "wokovu" inaweza kuelezwa kama "okoa." "Mungu anayeniokoa" au "kwa kuwa wewe ni Mungu unayeniokoa" + +# Hata kama baba na mama yangu wakiniacha + +Hasemi kuwa kweli wamefanya hivi au kwamba watafanya hivi. Wazo lake ni kwamba hata kama wangefanya hivyo, Mungu asingemuacha. + +# Yahwe atanichukua + +"Yahwe atanitunza" + diff --git a/psa/027/011.md b/psa/027/011.md new file mode 100644 index 00000000..9a8bc749 --- /dev/null +++ b/psa/027/011.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nifundishe njia yako + +Jinsi mtu anavyopaswa kuenenda inazungumziwa kana kwamba ni njia ambayo mtu anapaswa kusafiri. "Nifundishe jinsi unavyotaka niishi" au "Nifundishe unachotaka nifanya" + +# Niongoze katika njia tambarare + +Yahwe kumweka mwandishi salama na adui zake inazungumziwa kana kwamba Yahwe anamwongoza mwandishi katika njia tambarare ambapo hatajikwaa na kuanguka. "Niweke salama" + +# Usiniweka katika hamu za adui zangu + +Nomino dhahania ya "hamu" inaweza kuelezwa kama kitenzi. "Usiwaache adui zangu wafanye kwangu wanachotamani" + +# wameinuka dhidi yangu + +"Kuinuka" ni lahaja inayomaanisha kuwa shahidi alisimama mahakamani kutoa ushuhuda. "wamesimama ili kuzungumza dhidi yangu" + +# wanapumua vurugu + +Hapa vurugu inazungumziwa kana kwamba ilikuwa ni kitu ambacho mtu anaweza kupumua nje. "wanasema kwamba watafanya vitu vya vurugu kwangu" + diff --git a/psa/027/013.md b/psa/027/013.md new file mode 100644 index 00000000..3e48eba6 --- /dev/null +++ b/psa/027/013.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nini kingetokea kwangu + +Swali hili balagha linaweza kuelezwa katika hali chanya. "Kitu kibaya kingetokea kwangu" + +# uzuri wa Yahwe + +Nomino dhahania ya "uzuri" inaweza kuelezwa kama kitenzi. "vitu vizuri ambavyo Yahwe hufanya" + +# katika nchi ya walio hai + +Hii inamaanisha kuwa hai. "wakati niko hai" + +# Msubiri Yahwe ... msubiri Yahwe! + +Mstari huu unaweza kuwa 1) mwandishi anazungumza mwenyewe au 2) mwandishi anazungumza na wengine au 3) mtu anazungumza na mwandishi. + +# acha moyo wako uwe na ujasiri + +Hapa "moyo" unawakilisha mtu mzima. "uwe mjasiri" + +# Msubiri Yahwe! + +Mstari huu umerudiwa mwishoni mwa zaburi kama njia ya kumalizia zaburi. + diff --git a/psa/028/001.md b/psa/028/001.md new file mode 100644 index 00000000..67cda758 --- /dev/null +++ b/psa/028/001.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# ninalia + +"ninaita kwa sauti" + +# mwamba wangu + +Hii ni sitiari ya nguvu. "nguvu yangu" + +# usiache kunijali + +"usiwe kimya kwangu" au "usiniache mwenyewe" + +# Nitaungana na wale wanaoenda chini kaburini + +Watu wanaokufa wanazungumziwa kana kwamba wanaenda kaburini. "Nitakufa kama wale waliomo kaburini" + +# Sikia sauti ya dua yangu + +Hapa "sauti" inamaanisha maneno ya ombilake. "Sikia ombi langu kuu" + +# Napainulia mikono yangu mahali pako patakatifu + +Kuinua mikono ni ishara ya kuabudu. Mwandishi haabudu mahali patakatifu, bali Yahwe anayeishi katika sehemu hiyo takatifu. + +# mahali pako patakatifu + +Maana zinazowezekana ni 1) kama Daudi aliandika hii, basi hii inamaanisha hema ambalo Mungu aliwaambia watu wake kuandaa ili wamwabudu humo, au 2) kama ni mtu aliandika baada ya wakati wa Daudi, basi mwandishi anamaanisha hekalu lililoko Yerusalemu. + diff --git a/psa/028/003.md b/psa/028/003.md new file mode 100644 index 00000000..04a5c9b0 --- /dev/null +++ b/psa/028/003.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Usinikokote + +Mungu kuwaadhibu inazungumziwa kana kwamba anawakokota kimwili. Katika sitiari hii, Yahwe anaweza kuwa anawakokota kwenda gerezani, uhamishoni, au kifoni. "Usinitoe" + +# ambao wanazungumza amani na majirani zao + +Hapa "majirani" inamaanisha watu kwa ujumla. "wanazungumza kwa amani na watu wengine" + +# lakini wana uovu mioyoni mwao + +Hapa "mioyo" inawakilisha akili au mawazo ya mtu. "lakini wanawaza kitu kiovu kuwahusu" + +# Wape kile ambacho matendo yao maovu yanastahili ... walipe kile ambacho uovu wao unadai + +Misemo hii miwili ina maana sawa. Inatumika pamoja kusisitiza kuwa wanastahili kuadhibiwa na Mungu. + +# kazi ya mikono yao + +Hapa "mikono" inawakilisha kile ambacho mtu amaefanya" + +# warudishie wanachostahili + +"wape wanachostahili" + +# Kwa sababu hawaelewi ... usiwajenge tena + +Haiko wazi kama mstari wa 5 unaeleweka kama kauli au ombi. + +# hawaelewi matendo ya Yahwe + +Inadokezwa kuwa "hawaelewi" inamaanisha hawajali au kuheshimu kazi za Yahwe. "hawajali kwa heshima kile ambacho Yahwe amefanya" + +# kazi ya mikono yake + +Hapa "mikono" inawakilisha kile ambacho Yahwe amefanya au kuumba. "alichoumba" + +# atawavunja chini na hatawajengea tena + +Adhabu ya watu waovu inazungumziwa kana kwamba walikuwa wakijenga mji utakaoangamizwa. + diff --git a/psa/028/006.md b/psa/028/006.md new file mode 100644 index 00000000..18948516 --- /dev/null +++ b/psa/028/006.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# amesikia sauti ya dua yangu + +Hapa "sauti" inawakilisha kile mwandishi alichosema. "amesikia nilichosema nilipomwomba" + +# Yahwe ni nguvu yangu + +"Yahwe ananifanya kuwa na nguvu" + +# ngao yangu + +Hii inawakilisha ulinzi wa Yahwe kwa mwandishi. + +# moyo unamtumaini + +Hapa "moyo" unamwakilisha mtu mzima. "Ninamwamini" + +# ninasaidiwa + +Hii inaweza kuelezwa katika hali yakutenda. "ananisaidia" + +# moyo unafurahi sana + +Hapa "moyo" unamwakilisha mtu mzima. "ninafurahi sana" + +# Yahwe ni nguvu ya watu wake + +"Yahwe anawafanya watu wake kuwa na nguvu" + +# ni kimbilio la wokovu la mtiwa mafuta wake + +Yahwe kumweka mfalme salama inazungumziwa kana kwamba Yahwe ni sehemu ambayo mfalme anaweza kwenda kwa ajili ya usalama. "anamuweka salama yule aliyemchagua kuwa mfalme" + +# mtiwa mafuta wake + +Hii inamaanisha mfalme. + diff --git a/psa/028/009.md b/psa/028/009.md new file mode 100644 index 00000000..9373f53c --- /dev/null +++ b/psa/028/009.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# urithi wako + +Hii inazungumzia watu wa Mungu kana kwamba walikuwa kitu ambacho Mungu alirithi. "mali yako" au "wale walio wako" + +# Uwe mchungaji wao na uwabebe milele + +Mwandishi anazungumza kumhusu Yahwe kana kwamba ni mchungaji na watu ni kondoo wake. Mchungaji humbeba kondoo kama anahitaji msaada au ulinzi. "Uwe kama mchungaji na uwalinde milele" + diff --git a/psa/029/001.md b/psa/029/001.md new file mode 100644 index 00000000..02aac111 --- /dev/null +++ b/psa/029/001.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# wana wa Mungu + +Msemo "wana wa" ni njia ya kusema "kuwa na sifa za." "nyie watu hodari" + +# Mpeni sifa kwa Yahwe kwa utukufu wake na nguvu + +Nomino dhahania ya "utukufu" na "nguvu" zinaweza kuelezwa kama vitenzi. "Mpeni heshima Yahwe kwa kuwa ana utukufu na nguvu" + +# Mpeni Yahwe utukufu ambao jina lake linastahili + +Nomino dhahania ya "heshima" inaweza kuelezwa kama kitenzi. "Mheshimu Yahwe kama ambavyo jina lake linastahili" au "Tangazeni kuwa Yahwe ni mtukufu kama jina lake linavyostahili" + +# ambao jina lake linastahili + +Msemo "jina lake" unamaanisha Yahwe au sifa yake. "kama ilivyo sahihi kwa sababu alivyo" + diff --git a/psa/029/003.md b/psa/029/003.md new file mode 100644 index 00000000..6fdb55b8 --- /dev/null +++ b/psa/029/003.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Zaburi hii inaonesha nguvu na utukufu wa Yahwe. + +# Sauti ya Yahwe inasisikika juu ya maji + +Sauti ya Mungu ni kubwa na inasikika vizuri zaidi ya sauti na kelele zingine. Inaweza kusikika juu ya sauti zingine kubwa kama sauti ya maji. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Yahwe akizungumza sauti yake ni kubwa zaidi ya sauti ya bahari" au "Yahwe anapaza sauti zaidi ya sauti ya maji" + +# juu ya maji + +Hii inamaanisha bahari. Maji haya hutoa sauti kubwa sana mawimbi yanapopanda na kushuka. + +# Sauti ya Yahwe + +"Sauti" katika sehemu zote hapa inamwakilisha Yahwe akizungumza. Mwandishi anasisitiza kuwa wakati Yahwe anazungumza, sauti ni kubwa sana inasikika juu ya maji, na ina nguvu sana inaweza kuangamiza miti mikubwa . "Yahwe akizungumza, sauti yake" + +# Mungu wa utukufu anapiga radi + +Hii inazungumzia juu ya Mungu kuzungumza kana kwamba ilikuwa ni sauti ya radi. Kama tu sauti ya radi, sauti ya Yahwe inaweza kusikika umbali mrefu. "Sauti ya Mungu wa utukufu ni kama radi kubwa" au "Wakati Mungu wa utukufu akizungumza inaunguruma kama radi" + +# juu ya maji mengi + +"juu ya maji mengi" + diff --git a/psa/029/006.md b/psa/029/006.md new file mode 100644 index 00000000..3eec0d3f --- /dev/null +++ b/psa/029/006.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kauli Unganishi: + +Mwandishi anaendelea kuelezea nguvu ya sauti ya Mungu. + +# Anaifanya Lebanoni kurukaruka kama ndama + +Lebanoni inazungumziwa kana kwamba ni ndama mchanga. Hii inasisitiza kwamba Yahwe akizungumza, nguvu ya sauti yake hutikisa ardhi. "Hufanya nchi ya Lebanoni kutikisika kama ndama anaye rukaruka" + +# kurukaruka + +kuruka kidogo hapa na pale + +# Sirioni kama kama ng'ombe mdogo + +Sirioni inazungumziwa kana kwamba ni ng'ombe mchanga. Hii inasisitiza kuwa Yahwe akizungumza, nguvu ya sauti yake hutikisia ardhi. "Huifanya Sirioni kuruka kama ng'ombe mchanga" + +# Sirioni + +Huu ni mlima Lebanoni. Pia unaitwa mlima Hermoni. + +# Sauti ya Yahwe inatuma miali ya moto + +Sehemu zote zenye "sauti" zinamaanisha Yahwe anazungumza. "Yahwe akizungumza husababisha miali ya radi kuonekana angani" + +# miali ya moto + +hii inamaanisha mwale wa radi. + diff --git a/psa/029/009.md b/psa/029/009.md new file mode 100644 index 00000000..2ad111cb --- /dev/null +++ b/psa/029/009.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sauti ya Yahwe husababisha + +Hapa "sauti" inamaanisha Yahwe anazungumza. "Yahwe akizungumza, sauti husababisha" + +# mwaloni kujikunja + +"miti mikubwa kutikisika" + +# na kuuvua msitu + +Kutoa majani ya miti inazungumziwa kana kwamba ilikuwa kuvua nguo zao. "hutoa majani kwenye miti" + +# Yahwe ameketi kama mfalme + +Hii inamaanisha kuwa Yahwe anatawala. "Yahwe anatawala" au "Yahwe ni mfalme" + +# juu ya mafuriko + +Hapa "mafuriko" yanamaanisha maji yanayofunika dunia. + diff --git a/psa/029/011.md b/psa/029/011.md new file mode 100644 index 00000000..fbc165f0 --- /dev/null +++ b/psa/029/011.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yahwe anawabariki watu wake na amani + +Neno "amani" ni nomino dhahania. Yahwe huwabariki watu wake kwa kuwasababisha kufanikiwa na kuishi kwa amani" + diff --git a/psa/030/001.md b/psa/030/001.md new file mode 100644 index 00000000..c1086b87 --- /dev/null +++ b/psa/030/001.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# wimbo wakati wa kuweka wakfu hekalu + +"Huu wimbo uliimbwa wakati hekalu linawekewa wakfu" + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# umeniinua + +Mwandishi anazungumzia Mungu kumwokoa na kumwepusha na kufa kana kwamba Mungu amemuinua kutoka katika kisima kirefu. "umeniokoa" + +# umeinua nafsi yangu kutoka kuzimu + +Kwa kuwa "kuzima" ilikuwa sehemu ambapo wafu huenda, inamaanisha kifo. "umeniepusha na kifo" + +# umeinua nafsi yangu + +Hapa "nafsi yangu" inamaanisha mwandishi. "umenileta juu" + +# na kwenda chini kaburini + +"Kaburi" linawakilisha kifo. "na kufa" + diff --git a/psa/030/004.md b/psa/030/004.md new file mode 100644 index 00000000..7cf2de1e --- /dev/null +++ b/psa/030/004.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mpeni shukrani mnapo kumbuka utakatifu wake + +Nomino dhahani "utakatifu" inaweza kuelezwa kama "takatifu." "Kumbukeni kuwa Mungu ni mtakatifu na mshukuruni" au "Kumbukeni kile ambacho Mungu amefanya kwa kuwa ni mtakatifu na mshukuruni" + +# hasira yake ni kwa muda tu + +"hasira ya huduma kwa muda tu." Nomino dhahania ya "hasira" inaweza kuelezwa kama "kasirika." Anakasirika kwa muda tu" + +# muda + +Hapa "muda" inaashiria muda mdogo. "muda mfupi" + +# lakini fadhila zakeni milele + +Nomino dhahania ya "fadhila" inaweza kuelezwa kama kivumishi "mwema." "lakini yeye ni mwema kwetu maisha yetu yote" + +# Kulia kunakuja usiku, lakini furaha huja asubuhi + +Hii inazungumzia "kulia" na "furaha" kana kwamba ni vitu vinavyo safiri na kufika kwa wakati fulani. "Tunaweza kulia wakati wa usiku, lakini asubuhi ijayo tutakuwa na furaha" + diff --git a/psa/030/006.md b/psa/030/006.md new file mode 100644 index 00000000..f788cc8d --- /dev/null +++ b/psa/030/006.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kwa ujasiri + +Neno "ujasiri" ni nomino dhahania. Mwandishi anakumbuka kipindi alipokuwa akifanikiwa na kujihisi kuwa na ujasiri na salama. "Nilipokuwa na ujasiri" au "Nilipojihisi kuwa salama" + +# Sitatikiswa kamwe + +Neno "kutikiswa" ni sitiari ya kushindwa. "Hakuna atakayenishinda" + +# kwa fadhila zako + +Nomino dhahania "fadhila" inaweza kuelezwa kama kitenzi "pendelea" au kivumishi "huruma". "uliponipendelea" au "ulipokuwa na huruma kwangu" + +# umeniweka kama mlima imara + +Usalama wa mwandishi unazungumziwa kana kwamba alikuwa mlima imara. "umenifanya salama kama mlima ulio juu" + +# ulipoficha uso wako + +Hii ni lahaja. "ulipoacha kunisaidia" au "uliponikataa" + +# nilipata taabu + +"niliogopa" au "nilikuwa na wasi wasi" + +# nikatafuta fadhila kutoka kwa Bawana wangu + +Msemo "nikatafuta fadhila" inamaanisha kuomba msaada. "nilikuomba unisaidie" + +# kutoka kwa Bawana wangu + +Mwandishi anamaanisha Yahwe katika hali ya mtu wa tatu. Inaweza kuelezwa katika hali ya mtu wa pili. "kutoka kwako, Bwana wangu" + diff --git a/psa/030/009.md b/psa/030/009.md new file mode 100644 index 00000000..c04e5d67 --- /dev/null +++ b/psa/030/009.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kuna faida gani ... kuwa msaidizi wangu + +Hii inaweza kuelezwa kama nukuuya moja kwa moja. + +# Kuna faida gani katika kifo changu, kama nikienda kaburini? + +Mwandishi anatumia swali hili kusisitiza kuwa hatakuwa wa faida kwa Mungu kama akifa. "Hakuna faida katika kufa kwangu na kwenda chini kaburini" + +# Je, mavumbi yatakusifu? Yatatangaza uaminifu wako? + +Mwandishi anatumia maswali haya kusisitiza kuwa mwili wake uliokufa na kuoza hauwezi kumsifu Mungu. "Mavumbi yangu hakika hayatakusifu au kuwaambia watu jinsi ulivyo mwaminifu" + +# mavumbi + +Hii inamaanisha mwili wa mwandishi utakaooza na kuwa mavumbi atakapokufa. "mwili wangu uliooza" + diff --git a/psa/030/011.md b/psa/030/011.md new file mode 100644 index 00000000..aaab894c --- /dev/null +++ b/psa/030/011.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Umegeuza kuomboleza kwangu kuwa kucheza + +Ili kuwa ni utamaduni kwa Wayahudi kucheza walipokuwa na furaha. Nomino dhahania "kuomboleza" na "kucheza" zinaweza kuelezwa kama vitenzi. "Umenisababisha niache kuomboleza na badala yake kucheza kwa furaha" + +# umeliondoa gunia langu + +Gunia liliambatanishwa na kuomboleza na huzuni. "Umenisababisha kutokuwa na huzuni tena" + +# umenivika furaha + +Mwandishi anazungumzia furaha kana kwamba ni vazi ambalo linaweza kuvaliwa. "umenisababisha kuwa na furaha" + +# utukufu wangu utakuimbia wewe sifa + +Hapa "utukufu wangu" unamaanisha nafsi ya mwandishi au moyo wake. Hii inamaanisha mwandishi mzima, anaye mwabudu Mungu kwa sababu amemfanya kuwa na furaha. "nitakuimbia wewe sifa" + diff --git a/psa/031/001.md b/psa/031/001.md new file mode 100644 index 00000000..fc99a701 --- /dev/null +++ b/psa/031/001.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Katika wewe Yahwe, ninakukimbilia + +Kwenda kwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi inazungumziwa kama kumkimbilia. "Naenda kwako Yahwe, kwa ajiliya ulinzi" + +# usiniache niaibike kamwe + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "usiwaache wengine waniaibishe" + +# uwe mwamba wangu wa kukimbilia; ngome ya kuniokoa + +Mseno "uwe mwamba wangu wa kukimbilia" ni ombi kwa ajili ya ulinzi. Msemo wa pili unawekea mkazo msemo wa kwanza. + +# mwamba wangu wa kukimbilia + +Yahwe anazungumziwa kana kwamba yeye ni mwamba mkubwa ambao utamlinda mwandishi na mashambulio. "kama mwamba mkubwa ambao nitakuwa salama" + +# ngome ya kuniokoa + +Yahwe anazungumziwa kana kwamba yeye ni ngome imara ambayo mwandishi anaweza kulindwa dhidi ya adui zake. + diff --git a/psa/031/003.md b/psa/031/003.md new file mode 100644 index 00000000..76fe88f3 --- /dev/null +++ b/psa/031/003.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mwamba wangu + +Yahwe anazungumziwa kana kwamba ni mwamba mkubwa utakao mlinda mwandishi na shambulio. "kama mwamba mkubwa ambao nitakuwa salama" + +# ngome yangu + +Yahwe anazungumziwa kana kwamba ni ngome imara ambao mwandishi atalindwa kutoka kwa adui zake. + +# kwa ajili ya jina lako + +Katika msemo huu "jina" inamwakilisha Yahwe. "ili jina lako lipewe heshima" au "ili nilikuabudu" + +# niongoze na unichunge + +Maneno "kuongoza" na "kuchunga" yana maana sawa na yana imarisha ombi kwambaYahwe amuongoze. "niongoze pale unapotaka niende" + +# Ning'oe kutoka kwenye wavu walioficha kwa jili yangu + +Mwandishi anazungumziwa kana kwamba ni ndege aliye naswa katika wavu, na kumsubiri Yahwe kumweka huru kutoka kwenye mtego. + +# wewe ni kimbilio langu + +Yahwe anazungumziwa kana kwamba ni sehemu ambayo mwandishi anaweza kujificha kutoka kwa watu wanao mshambulia. "wewe hunilinda daima" au "huwa unanipa ulinzi wakati wote" + diff --git a/psa/031/005.md b/psa/031/005.md new file mode 100644 index 00000000..32e212ec --- /dev/null +++ b/psa/031/005.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Katika mikono yako + +Mungu ni roho, lakini hapa anazungumziwa kana kwamba ana mikono. Hapa "mikono yako" inamaansiha matunzo ya Yahwe. "katika matunzo yako" + +# ninaiweka roho yangu + +Hapa "roho yangu" inamaanisha mwandishi. "ninajiweka" + +# Mungu wa uaminifu + +"wewe ni Mungu ninayeweza kumtumaini" + +# Nawachukia wale wanaotumikia sanamu zisizo na faida + +"Sanamu hazina faida. Nawachukia wale wanaoziabudu" + +# umeona mateso yangu ... ulijua dhiki ya nafsi yangu + +Misemo hii miwili inaeleza wazo moja kuwa Mungu anajua kuhusu taabu za mwandishi. + +# dhiki ya nafsi yangu + +Hapa "nafsi yangu" inamaani mwandishi. "dhiki yangu" + diff --git a/psa/031/008.md b/psa/031/008.md new file mode 100644 index 00000000..c9d148fc --- /dev/null +++ b/psa/031/008.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Umeweka miguu yangu + +Hapa "miguu yangu" inamaanisha mwandishi. "Umeniweka" + +# sehemu ya wazi pana + +Waebrania waliona sehemu za wazi pana kama sitiari ya usalama na uhuru. "sehemu ambayo niko huru" + +# niko katika dhiki + +"ninateseka sana" + +# nafsi yangu na mwili wangu + +Maneno "nafsi" na "mwili" yanatumika kumwelezea mtu kamili. + diff --git a/psa/031/010.md b/psa/031/010.md new file mode 100644 index 00000000..c755968d --- /dev/null +++ b/psa/031/010.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kwa kuwa maisha yangu yamechoshwa + +Hapa "maisha yangu" inamaanisha mwandishi. "Nimekuwa mnyonge sana" + +# na huzuni ... kwa kugumia + +"kwa sababu ya huzuni yangu ... kwa sababu ya kugumia kwangu" + +# miaka yangu kwa kugumia + +Msemo "kuchoka" haumo, ila unadokezwa. "miaka yangu imechoshwa kwa kugumia" + +# Nguvu yangu inashindwa + +Hapa "Nguvu yangu" inamaanisha mwandishi. "Nimekuwa mnyonge" + +# mifupa yanguinapotea + +Hapa "mifupa" inamaanisha afya ya kimwili ya mwandishi. "afya yangu inashindikana" + +# watu wananidharau + +"watu wananitukana" + +# wanatishwa na hali yangu + +"wanashtushwa na hali yangu" + diff --git a/psa/031/012.md b/psa/031/012.md new file mode 100644 index 00000000..338441d3 --- /dev/null +++ b/psa/031/012.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kama mtu mfu ambaye hakuna mtu + +Mwandishi anasema kuwa watu wamemsahau sana hadi inakuwa kana kwamba ameshakufa tayari. + +# kama chungu kilicho vunjika + +Mwandishi anajizungumzia kana kwamba hafai kabisa. "sifai kama chungu kilichovunjika" + +# kunong'ona kwa wengi + +Inadokezwa kuwa "wengi" inamaanisha watu. "watu wengi wananisema" + +# habari za kuogofya kutoka kila upande + +"taarifa za kutisha kutoka vyanzo vingi" + +# kuchukua maisha yangu + +Lahaja hii inamaanisha kuua mtu. "kuniua" + diff --git a/psa/031/014.md b/psa/031/014.md new file mode 100644 index 00000000..ae94be58 --- /dev/null +++ b/psa/031/014.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hatima yangu iko mkononi mwako + +Hapa "mkononi mwako" inamaanisha nguvu ya Yahwe. "Una nguvu ya kuamua hatima yangu" + +# wale wanaonifuatilia + +"kutoka kwa watu wanaojaribu kunishika" + +# Fanya uso wako ung'ae kwa mtumishi wako + +Mwandishi anamzungumzia Yahwe kumtendea kwa fadhila kana kwamba uso wa Yahwe unang'aa mwanga juu yake. "Tenda kwa fadhili kwa mtumishi wako" + diff --git a/psa/031/017.md b/psa/031/017.md new file mode 100644 index 00000000..697f47b3 --- /dev/null +++ b/psa/031/017.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Usiniache niaibike + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Usiwaache wengine wanifanye nijisikie aibu" + +# Na waovu waaibike! + +"Natamani kwamba Mungu awaaibishe watu waovu!" + +# waovu + +Hii inamaanisha watu waovu. + +# Na wawe kimya kuzimu. Midomo ya uongo inyamazishwe + +Wazo hili linarudiwa kusisitiza hamu ya mwandishi kwamba sauti za waovu hazisikiwi. + +# Na wawe kimya kuzimu + +Hapa "kuzimu" inawakilisha kifo. "Acha wafe ili wasiweze kuzungumza" + +# Midomo ya uongo + +Hii inawakilisha watu waongo. "watu wanaodanganya" + +# inayozungumza dhidi ya wenye haki kwa ujasiri + +"wanaosema mambo mabaya kuhusu watu wenye haki" + +# kwa dharau na kubeza + +Maneno haya yana maana ya kufanana. "na dharau sana" + diff --git a/psa/031/019.md b/psa/031/019.md new file mode 100644 index 00000000..9ab19477 --- /dev/null +++ b/psa/031/019.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Wema wako + +Hii inaweza kuelezwa kama kitenzi. "ni vitu vizuri unavyofanya" + +# uliutunza + +Wema wa Yahwe unazungumziwa kana kwamba ni kitu kinachoweza kutunzwa kama mazao. "unayoweka tayari kwa ajili ya matumizi" + +# wale wanao kuheshimu + +"wale wanao kuheshimu sana" + +# wanao kukimbilia + +Kwenda kwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi inazungumziwa kama kumkimbilia. "wale wanaoenda kwako kwa ajili ya ulinzi" + +# Katika kivuli cha uwepo wako; unawaficha... Unawaficha katika kivuli + +Misemo hii miwili inamaanisha kuwa Mungu anawalinda. + +# katika kivuli + +Uwepo wa Yahwe unazungumziwa kana kwamba ni jengo imara ambapo mwandishi atakuwa salama. + +# Unawaficha katika kivuli + +Hapa "kivuli" kinawakilisha sehemu salama. "Unatoa sehemu salama kwa ajili yao" + +# dhidi ya vurugu ya ndimi + +Hapa "ndimi" zinawakilisha watu wanaozungumza mambo makali sana dhidi ya mwandishi. "ambapo adui zao hawawezi kuzungumza uovu kwao" + diff --git a/psa/031/021.md b/psa/031/021.md new file mode 100644 index 00000000..7e824c74 --- /dev/null +++ b/psa/031/021.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nimekataliwa kutoka machoni pako + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Umenitoa katika uwepo wako" + +# machoni pako + +Hapa "macho" yanamaanisha uwepo wa Yahwe. "uwepo wako" + +# ulisikia ombi langu la msaada + +Hapa "ombi" linaweza kuelezwa na kitenzi. "ulinisikia nikiomba msaada" + diff --git a/psa/031/023.md b/psa/031/023.md new file mode 100644 index 00000000..b8c09ad0 --- /dev/null +++ b/psa/031/023.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# waaminifu + +Hii inamaanisha watu waaminifu. "watu walio waaminifu" + +# huwalipa wenye kiburi kikamilifu + +Hapa "kulipa" ni lahaja inayomaanisha kuwaadhibu. "anawapa watu wenye kiburi adhabu yote wanayostahili" + diff --git a/psa/032/001.md b/psa/032/001.md new file mode 100644 index 00000000..410e231a --- /dev/null +++ b/psa/032/001.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Maschili + +Hii inaweza kumaanisha mtindo wa muziki. + +# ambaye makosa yake yamesamehewa, ambaye dhambi zake zimefunikwa + +Misemo hii ina maana ya kufanana. Inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "ambaye Mungu husamehe makosa yake na kufunika dhambi zake" + +# dhambi zake zimefunikwa + +Hapa dhambi iliyosamehewa inazungumziwa kana kwamba imefunikwa ili isionekane. "ambaye dhambi yake haijaliwi" au "ambaye dhambi yake inasahauliwa makusudi" + +# ambaye Yahwe hamhesabii hatia + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "ambaye Yahwe anaona hana hatia" au "ambaye hana hatia kulingana na Yahwe" + +# ambaye rohoni mwake hakuna hila + +Hapa "roho" inamaanisha mtu. "ambaye hakuna hila" au "ambaye ni mkweli kabisa" + diff --git a/psa/032/003.md b/psa/032/003.md new file mode 100644 index 00000000..84dc168a --- /dev/null +++ b/psa/032/003.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mifupa yangu ilikuwa inachakaa + +Hapa "mifupa yangu" inamaanisha mwandishi. "nilikuwa nachakaa" au "nilikuwa nakuwa mdhaifu" + +# siku nzima + +Lahaja hii inamaanisha "endelevu." "wakati wote" + +# mchana na usiku + +Tofauti hizi zinajumlisha kila kitu katikati. "wakati wote" + +# mkono wako ulikuwa mzito juu yangu + +Hapa "mkono" inamaanisha Yahwe. Msemo wote ni lahaja inayomaanisha "umenitesa." "umenifanya niteseke sana" + +# Nguvu yangu ilinyauka kama kwenye ukame wa majira ya joto + +Nguvu ya Daudi inalinganishwa na mmea mdogo wa kijani unaogeuka kuwa wa rangi ya kahawia na kuanguka katika majira ya kiangazi. + +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kihebrabia, na zingine haziliweki. + diff --git a/psa/032/005.md b/psa/032/005.md new file mode 100644 index 00000000..d2569fe1 --- /dev/null +++ b/psa/032/005.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki. + +# katika kipindi cha dhiki kuu + +"wakati wako katika taabu kubwa" + +# Kisha maji yakifurika, hayatawafikia hao watu + +Matatizo yanazungumziwa kana kwamba ni mafuriko ya maji. "Kisha matatizo yatakapokuja kama mafuriko ya maji, watu hao watakuwa salama" + diff --git a/psa/032/007.md b/psa/032/007.md new file mode 100644 index 00000000..edc7d37b --- /dev/null +++ b/psa/032/007.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Wewe ni maficho yangu + +Yahwe anazungumziwa kana kwamba ni sehemu salama dhidi ya mashambulizi ya adui wa mwandishi. "Wewe ni kama sehemu ambayo naweza kujificha dhidi ya adui zangu" + +# Utanizunguka na wimbo wa ushindi + +Sitiari hii inamaanisha kuwa ulinzi wa Yahwe kwa mwandishi ndio sababu ya nyimbo za ushindi alizoimba. "Kwa sababu yako nitaimba nyimbo za ushindi" + +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kihebrabia, na zingine haziliweki. + +# Nitakuelekeza na kukufundisha katika njia + +Maneno "kuelekeza" na "kufundisha" zinamaana sawa na zinasisitiza maelekezo makini. "Nitakufundisha kila kitu kuhusu njia" + +# Nitakuelekeza + +Hapa anayesema hivi ni Yahwe akimwambia Daudi. + +# katika njia unayopaswa kwenda + +Kuishi katika njia sahihi inazungumziwa kana kwamba ni njia ambayo mwandishi anapaswa kutembea. "jinsi ya kuishi maisha yako" + +# na jicho langu juu yako + +Hapa "jicho langu" linamaanisha Yahwe kuzangatia kwa umakini. "na kuweka umakini wangu kwako" au "kukuangalia" + diff --git a/psa/032/009.md b/psa/032/009.md new file mode 100644 index 00000000..082b1414 --- /dev/null +++ b/psa/032/009.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Usiwe kama farasi ... hawana uelewa + +Mwandishi anawafananisha watu wasio na uelewa na farasi au nyumbu. Maana zinazowezekana ni 1) mwandishi anazungumza maneno ya Yahwe kwa wasomaji wake, "Mnapaswa wote kutokuwa kama farasi ... hawana uelewa" au2) Yahwe anazungumza na mwandishi kana kwamba ni kundi la watu. + +# hatamu na lijamu + +Vifaa viwili vinavyotumiwa na watu kuwaongoza farasi na nyumbu kwenda anapotaka mtu. + +# unapotaka + +"popote mtu anapotaka waende." + +# zitamzunguka + +Uaminifu wa Yahwe "utakaomzunguka" unasababisha ulinzi na uongozo."zitamwongoza" au "zitamlinda" + diff --git a/psa/032/011.md b/psa/032/011.md new file mode 100644 index 00000000..bf44b5e4 --- /dev/null +++ b/psa/032/011.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Furahi katika Yahwe + +Hapa "katika Yahwe" inamaanisha kile ambacho Yahwe aliwatendea. "Uwe na furaha kwa sababu ya kile ambacho amefanya Yahwe" + +# wenye haki + +Hii inamaanisha watu. "watu wako watakatifu" + +# piga kelele ya furaha + +"piga kelele kwa furaha" au "piga kelele kwa sababu ya furaha" + +# walio wanyofu moyoni + +Hapa "moyo" inamaanisha mtu. "watu walio wanyofu" + diff --git a/psa/033/001.md b/psa/033/001.md new file mode 100644 index 00000000..dc22d8bb --- /dev/null +++ b/psa/033/001.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Furahi katika Yahwe + +Hapa "katika Yahwe" inamaanisha kile ambacho Yahwe aliwatendea. "Furahini kwa sababu ya kile ambacho amefanya Yahwe" + +# kusifu kunawafaa wanyofu + +"kumsifu Yahwe kunafaa kwa watu walio wanyofu" + diff --git a/psa/033/004.md b/psa/033/004.md new file mode 100644 index 00000000..5fff6cd1 --- /dev/null +++ b/psa/033/004.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Kila mstari una mistari miwili yenye maana za kufanana. + +# Neno la Yahwe ni imara + +Hapa "imara" ni sitiari kwa jambo lililo la kweli. "Yahwe daima hufanya anachosema atafanya" + +# Anapenda haki na hukumu + +Nomino hizi dhahania zinaweza kuelezwa kama vitendo. "Anapenda kufanya kilicho cha haki na sawa" au "Anawapenda wale wanaofanya kilicho cha haki na sawa" + +# Dunia imejaa uaminifu wa agano la Yahwe + +Hapa "Dunia imejaa" ni lahaja inayomaanisha kwamba uaminifu wa agano unaweza kuonekana duniani kote. "Uaminifu wa agano la Yahwe unaweza kupitia duniani kote" + +# Kwa neno la Yahwe mbingu ziliumbwa + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Kwa kutumia neno lake, Yahwe aliziumba mbingu" + +# kwa pumzi ya mdomo wake + +Hii inamaanisha neno la Yahwe. "kwa neno lake" + diff --git a/psa/033/007.md b/psa/033/007.md new file mode 100644 index 00000000..b01582dd --- /dev/null +++ b/psa/033/007.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Kila mstari una mistari miwili yenye maana za kufanana. + +# kama rundo + +"kama nyuma ya bwawa." Mwandishi anaelezea uumbaji wa bahari kana kwamba Mungu anarundika maji yote pamoja. + +# anaweka bahari katika ghala + +Mwandishi anaelezea uumbaji wa bahari kana kwamba Mungu anayaweka katika ghala. "anaweka bahari katika sehemu yake, kama mtu anayeweka mbegu katika ghala" + +# Acha dunia yote + +Hii inamaanisha watu wa duniani. "Acha kila mtu duniani" + +# isimame kwa kumstaajabu yeye + +Hapa "isimame kwa kumstaajabu" ni lahaja inayomaanisha "kustaajabu." "kumheshimu" + +# ikasimama + +Hapa "ikasimama" ni lahaja inayomaanisha "iliumbwa." "kuanza kuwepo" + diff --git a/psa/033/010.md b/psa/033/010.md new file mode 100644 index 00000000..343688ef --- /dev/null +++ b/psa/033/010.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Kila mstari una mistari miwili yenye maana za kufanana. + +# Yahwe huzuia + +"Yahwe huangamiza" au "Yahwe huvunja" + +# mwungano wa mataifa + +Hapa "mataifa" yanamaanisha watu wa mataifa haya. "mwungano wa watu wa mataifa tofauti" + +# mwungano + +Mwungano ni makubaliano kati ya mataifa mawili au zaidi kusaidiana katika vita dhidi ya adui mmoja. + +# mipango ya watu + +"dhamira ya watu" "mipango ya uovu ya watu" + +# inasimama milele + +Hapa "kusimama" ni lahaja inayomaanisha "kudumu." + +# mipango ya moyo wake kwa vizazi vyote + +Neno ambalo halipo "kusimama" linadokezwa. "mipango ya moyo wake inasimama vizazi vyote" + +# mipango ya moyo wake + +Hapa "moyo wake" inamaanisha Yahwe. "mipango yake" + +# kwa vizazi vyote + +"kwa vizazi vyote vya mbeleni." Hii ni lahaja inayomaanisha "milele" + +# Limebarikiwa taifa + +Hapa "taifa" linamaanisha watu wa taifa hilo. "Wamebarikiwa watu wa taifa" + +# ambalo Yahwe ni Mungu wake + +"wanao mwabudu Yahwe kama Mungu" + +# kama urithi wake + +Watu ambao Yahwe amewachagua kumwabudu wanaelezwa hapa kana kwamba ni urithi ulioupokea. + diff --git a/psa/033/013.md b/psa/033/013.md new file mode 100644 index 00000000..50c85870 --- /dev/null +++ b/psa/033/013.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# anatazama chini + +Sehemu ambayo Yahwe huishi inazungumziwa kana kwamba iko juu ya dunia wanayoishi watu. + +# anyeunda mioyo yao wote + +Hapa "mioyo" inamaanisha kuwaza kwa hawa watu. Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuongoza kufikiri kwa watu kana kwamba alikuwa ni mfinyanzi anayeunda bakuli. "huongoza mawazo yao kama mfinyanzi anavyounda bakuli" + diff --git a/psa/033/016.md b/psa/033/016.md new file mode 100644 index 00000000..d504091a --- /dev/null +++ b/psa/033/016.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hakuna mfalme anayeokolewa kwa jeshi kubwa + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Jeshi kubwa sicho kinachomwokoa mfalme" + +# Farasi ni usalama wa uongo + +Hapa "farasi" inawakilisha sehemu yenye nguvu zaidi ya jeshi. "Kuwa na jeshi lenye farasi imara halitoi usalama" + diff --git a/psa/033/018.md b/psa/033/018.md new file mode 100644 index 00000000..f78f430d --- /dev/null +++ b/psa/033/018.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Tazama + +Neno hili linaonesha kuwa wazo jipya linaanza katika zaburi hii. "Angalia" au "Sikiliza" au "Zingatia ninachotaka kukuambia" + +# jicho la Yahwe + +Hapa "jicho" linamaanisha umakini au usikivu wa Yahwe. "Usikivu wa Yahwe" + +# wanao tegemea + +"wanaosubiri" au "wanaotumaini" + +# kuokoa maisha yao na mauti + +Hapa "maisha yao" inamaanisha watu. "kuwaepusha na kufa" + diff --git a/psa/033/020.md b/psa/033/020.md new file mode 100644 index 00000000..3eb75b0f --- /dev/null +++ b/psa/033/020.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Tunamsubiri Yahwe + +"Kusubiri" hapa ni lahaja inayomaanisha kutumaini. "Tunamwamini Yahwe" au "Tunamtumaini Yahwe" + +# yeye ni msaada wetu na ngao yetu + +Hapa Yahwe anazungumziwa kana kwamba ni ngao inayowalinda askari vitani. "yeye ni msaada wetu na hutulinda kama ngao" + +# Mioyo yetu inafurahi + +Hapa "mioyo" inamaanisha watu. "Tunafurahi" + +# katika jina lake takatifu + +Hapa "jina takatifu" linamaanisha tabia takatifu ya Yahwe. "katika tabia yake takatifu" au "katika yeye kwa sababu ni mtakatifu" + diff --git a/psa/033/022.md b/psa/033/022.md new file mode 100644 index 00000000..faf23856 --- /dev/null +++ b/psa/033/022.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kuwa nasi + +Lahaja hii inamaanisha "tusaidie." "tenda kwa faida yetu" au "tusaidie" au "tulinde" + +# tunapoweka tumaini letu kwako + +"tunapotumaini msaada wako" + diff --git a/psa/034/001.md b/psa/034/001.md new file mode 100644 index 00000000..bbf7a481 --- /dev/null +++ b/psa/034/001.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# kujifanya kuwa mwenye wazimu + +"kuigiza kama mtu chizi" + +# mbele ya Abimeleki + +Hii inamaanisha tukio bayana la kihistoria ambalo Wahebrania wanafahamu vizuri. "alipokuwa katika nyumba ya Abimeleki" au "alipokuwa mfungwa wa Abimeleki" + +# mfukuza + +"mwondoa kwa nguvu" + +# sifa yake daima itakuwa mdomoni mwangu + +Hapa "mdomoni mwangu" inamaanisha Daudi kumzungumzia Mungu. "daima nitamsifu kwa sauti" + diff --git a/psa/034/002.md b/psa/034/002.md new file mode 100644 index 00000000..0cd8bcf0 --- /dev/null +++ b/psa/034/002.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# walio kandamizwa + +Hii inamaanisha watu walio kandamizwa. "watu walio kandamizwa" + +# Msifuni Yahwe pamoja na mimi + +Kitenzi "msifuni" ni amri kwa kikundi. "Kila mtu anapaswa kumsifu Yahwe pamoja na mimi" + +# inueni jina lake + +Hapa "inueni" ni lahaja inayomaanisha kumtukuza Yahwe. "waambieni watu jinsi alivyo mkuu" + +# jina lake + +Hapa "jina lake" linammanisha tabia ya Yahwe. "tabia yake" + diff --git a/psa/034/004.md b/psa/034/004.md new file mode 100644 index 00000000..105f1f99 --- /dev/null +++ b/psa/034/004.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nilimtafuta Yahwe + +Hapa "Nilimtafuta Yahwe" inamaanisha kuwa Daudi alikuwa akimwomba Yahwe msaada. "Niliomba kwa Yahwe" au "Nilimwomba Yahwe msaada" + +# Wale wanaomtazama + +Hapa "wanaomtazama" inawakilisha kutafuta msaada kutoka kwake. "Wale wanaomtazama yeye kwa ajili ya msaada" au "wale wanaotegemea msaada kutoka kwake pekee" + +# wanang'aa + +Lahaja hii inamaanisha mwonekano wao kuwa wa furaha. "wana furaha" + +# nyuso zao hazina aibu + +Hapa "nyuso zao" inamaanisha watu wanaomtazama Yahwe. Inaweza pia kuelezwa katika hali chanya. "hawana aibu" au "wana majivuno" + +# Mtu huyu aliye kandamizwa + +Daudi anajieleza kama mtu aliye kandamizwa. "Nilikandamizwa na" + +# Yahwe akamsikia + +Hapa "kusikia" inamaana kuwa Yahwe alimsaidia. "Yahwe alinisikia" au "Yahwe alinisaidia" + diff --git a/psa/034/007.md b/psa/034/007.md new file mode 100644 index 00000000..2e51fda3 --- /dev/null +++ b/psa/034/007.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# huzungusha kambi + +Malaika wa Yahwe anazungumziwa kana kwamba alikuw ani jeshi linalozungusha kambi kwa mtu ili kuwalinda. "hulinda" + +# Onjeni mwone Yahwe yu mwema + +Wema wa Yahwe unazungumziwa kana kwamba ni kitu kinachoweza kuonjwa na kuonwa. "Jaribuni na mwone kuwa Yahwe ni mwema" + +# anaye mkimbilia + +Yahwe anazungumziwa kana kwamba ni sehemu ambayo watu wanaweza kujificha kwa ajili ya ulinzi kutoka kwa adui zao. "mwamini kuwalinda" + +# Hakuna upungufu kwa wale wanaomcha yeye + +Hii inaweza kuelezwa katika hali chanya. "Wale wanaomcha daima watakuwa na kile wanachohitaji" + diff --git a/psa/034/010.md b/psa/034/010.md new file mode 100644 index 00000000..e2b6d9d8 --- /dev/null +++ b/psa/034/010.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# hawatapungukiwa chochote kizuri + +Hii inaweza kuelezwa katika hali chanya. "daima watakuwa na vitu vizuri wanavyohitaji" + +# wana + +Hapa hii haimaanishi wana wa mwandishi halisi, lakini watu anaowafundisha kuhusu Yahwe. "wanafunzi wangu" + diff --git a/psa/034/012.md b/psa/034/012.md new file mode 100644 index 00000000..09feb92f --- /dev/null +++ b/psa/034/012.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kuna mtu gani anayetamani maisha na kupenda siku nyingi, ili aone mema? + +Jibu linalodokezwa la swali hili ni "kila mtu." Swali hili balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Kila mtu anatamani maisha na anatamani kuishi siku nyingi na kuwa na maisha mazuri" + +# weka ulimi wako mbali na uovu ... weka midomo yako mbali na kuongea uongo + +Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na inasemwa katika njia tofauti ili kusisitiza umuhimu wake. + +# Basi weka ulimi wako mbali na uovu + +Hapa "ulimi" inamaanisha mtu mzima. "Basi, usizungumze uongo" + +# weka midomo yako mbali na kuongea uongo + +Hapa "midomo" inamaanisha mtu anayezungumza. "usizungumze uongo" + +# Ugeuke uovu + +Hapa "ugeuke" ni sitiari ya kuepuka na uovu. "Kataa kufanya uovu" + +# Tafuta amani + +Hapa "kutafuta" inamaanisha kujihusisha na amani. "Jaribu kwa bidii kuishi kwa amani na watu wengine" + diff --git a/psa/034/015.md b/psa/034/015.md new file mode 100644 index 00000000..a17b1c37 --- /dev/null +++ b/psa/034/015.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Macho ya Yahwe yako juu ya wenye haki + +Hapa "macho ya Yahwe" inamaanisha kutazama kwake kwa makini. "wenye haki" inamaanisha watu wenye haki. "Yahwe huwatazama kwa makini watu wenye haki" + +# mskio yake yameelekezwa kwa kilio chao + +Hapa "maskio yake" inamaanisha hamu ya Yahwe kuwajibu. "anazingatia kilio chao" au "anajibu kilio chao" + +# kukata kumbukumbu yao duniani + +Yahwe atawasababisha watu wawasahau kabisa watakapokufa hadi inakuwa kana kwamba ametumia kisu kuikata kumbukumbu yao. "ili watakapokufa, watu watawasahau kabisa" + +# Yahwe husikia + +Hapa "husikia" inamaanisha kuwa Yahwe anatamani kuwajibu. "Yahwe anawazingatia" + diff --git a/psa/034/018.md b/psa/034/018.md new file mode 100644 index 00000000..f515758b --- /dev/null +++ b/psa/034/018.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yahwe yuko karibu + +Hapa "yuko karibu" inamaana "tayari kusaidia." "Yahwe yuko tayari kusaidia" + +# walio vunjika moyo + +Huzuni kubwa inazungumziwa kana kwamba moyo wa mtu umevunjika. "watu walio na huzuni sana" + +# wale walio pondeka rohoni + +Watu waliokata tamaa sana wanazungumziwa kana kwamba roho zao zimepondwa. "watu waliokata tamaa sana" + +# wenye haki + +Hii inamaanisha watu wenye haki. "watu wenye haki" + +# Anatunza mifupa yake yote, hakuna hata moja itakayovunjika + +Hapa "mifupa yake" ni halisia, lakini pia inaashiria kuwa yahwe anamtunza mtu mzima. "Anatoa ulinzi kamili kwake, hatadhuriwa kwa njia yoyote" + diff --git a/psa/034/021.md b/psa/034/021.md new file mode 100644 index 00000000..d21efd18 --- /dev/null +++ b/psa/034/021.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Uovu utawaua waovu + +Uovu unazungumziwa kana kwamba mtu anayeweza kuua watu. "Matendo maovu ya watu waovu yatawaua" + +# waovu + +Hii inamaanisha watu waovu. + +# Wale wanaowachukia wenye haki watahukumiwa + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Yahwe atawahukumu wale wanaowachukia wenye haki" + +# wenye haki + +Hii inamaanisha watu wenye haki. + +# Hakuna atakaye hukumiwa kwa wanaomkimbilia + +Hii inaweza kutafsiriwa katika hali ya kutenda. Inaweza pia kutafsiriwa katika hali chanya. "Yahwe atawasamehe wote wanaomkimbilia" + +# wanaomkimbilia + +Kwenda kwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi inazungumziwa kama kumkimbilia. 'kwenda kwake kwa ajilil ya ulinzi" + diff --git a/psa/035/001.md b/psa/035/001.md new file mode 100644 index 00000000..ae6b95c5 --- /dev/null +++ b/psa/035/001.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Kamata ngao yako ndogo na ngao kubwa ... mkuki wako na shoka ya vita + +Misemo hii inamwelezea Mungu kama shujaa ambaye anajiandaa kwa ajili ya vita. + +# ngao yako ndogo na ngao kubw + +hizi ni silaha za kujilinda + +# mkuki wako na shoka ya vita + +hizi ni silaha za mashambulizi + +# wale wanaonifukuza + +Maana zinawezekana ni 1) hawa ni adui wanaomfukuza mwandishi kiuhalisia au 2) hii ni sitiari ya watu ambao ni adui wa mwandishi. + +# sema kwa nafsi yangu + +Hii inamaanisha mwandishi. "sema kwangu" + +# Mimi ni wokovu wako + +"Mimi ni mwokozi wako" au "Nitakuokoa" + diff --git a/psa/035/004.md b/psa/035/004.md new file mode 100644 index 00000000..ac403517 --- /dev/null +++ b/psa/035/004.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Na wale wanaotafuta maisha yangu waaibike na kunyimwa heshima + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Na Yahwe awaaibishe na kuwanyima heshima wale wanaotafuta maisha yangu" + +# Na + +"Natamani kwamba" + +# wanaotafuta maisha yangu + +Hapa "maisha yangu" inamaana wanatamani kumuua mwandishi. "wanaojaribu kuniua" + +# Na wale wanaopanga kunidhuru wageuzwe na washangazwe + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Na Yahwe awageuze na kuwashangaza wale wanaopanga kunidhuru" + +# wageuzwe + +"wageuzwe" ni sitiari ya kushindwa kutimiza lengo lao. "kushindwa kufanikiwa" + +# washangazwe + +"wachanganyikiwe" au "kuwafadhaisha" + +# kama makapi mbele ya upepo + +Adui wa mwandishi wanazungumziwa kana kwamba ni nyasi ambayo inapulizwa kwa urahisi. "kupulizwa na upepo kama makapi" + +# njia yao + +Hapa "njia yao" inamaanisha maisha yao. "maisha yao" + +# giza na utelezi + +Hii inamaanisha njia iliyojificha na hatari. "imejificha na imejaa hatari" + +# anawafukuza + +Hii inamaanisha malaika wa Yahwe kuwa kinyume na adui wa mwandishi. "anaenda kinyume nao" au "anawapinga" + diff --git a/psa/035/007.md b/psa/035/007.md new file mode 100644 index 00000000..889bf240 --- /dev/null +++ b/psa/035/007.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# wanaliandaa wavu wao kwa ajili yangu + +Njama za waovu zinazungumziwa kana kwamba ni wavu walioweka kumnasa mwandishi. + +# walichimba shimo kwa ajili ya maisha yangu + +Njama za waovu zinazungumziwa kana kwamba ni shimo walilochimba kumkamata mwandishi. "walitaka kunishika katika shimo kama mnyama mkubwa" + +# maisha yangu + +Hii inamaanisha mwandishi. "mimi" + +# Acha maangamizi yawapite kwa kushtukiza + +Maangamizi yanazungumziwa kana kwamba ni mnyama hatari ambaye atawavamia ghafla. "Acha waangamizwe ghafla" au "Acha washtukizwe kwa sababu umewaangamiza ghafla" + +# wavu waliouandaa + +Njama za waovu zinazungumziwa kana kwamba zilikuwa ni wavu walioweka kumnasa mwandishi. "wavu walioweka ili kuninasa kama mnyama na kunidhuru" + +# Acha waanguke humo + +Hii ni sitiari kama mstari wa 7. Wavu umekusudiwa kumnasa mwandishi. "Acha waanguke katika shimo walilo nichimbia" + +# waanguke humo + +Maana zinazowezekana ni 1) kuanguka katika shimo la mstari wa 7 au 2) kuanguka katika uharibifu. + +# maangamizi yao + +"ili waangamizwe" au "hivyo ndivyo unavyopaswa kuwaangamiza" + diff --git a/psa/035/009.md b/psa/035/009.md new file mode 100644 index 00000000..54e1a728 --- /dev/null +++ b/psa/035/009.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# katika wokovu wake + +Nomino dhahania "wokovu" inaweza kuelezwa kama kitenzi. "kwa kuwa umeniokoa" + +# Mifupa yangu yote + +Hapa "mifupa" inamaanisha undani zaidi wa mtu. "Undani wangu wote" + +# Yahwe, ni nani aliye kama wewe ... wale wanao jaribu kuwaibia? + +Jibu linalodokezwa kwa hili swali ni kwamba hakuna aliye kama Yahwe. "Yahwe, hakuna aliye kama wewe ... wale wanaojaribu kuwaibia" + +# maskini na wahitaji + +Maneno "maskini" na "wahitaji" yana maana ya kufanana na yanasisitiza kuwa Yahwe anawaokoa wengi wanaohitaji msaada wake. + diff --git a/psa/035/011.md b/psa/035/011.md new file mode 100644 index 00000000..bca93dcc --- /dev/null +++ b/psa/035/011.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# inuka + +Hii inamaanisha kuwa wanashuhudia katika majaribu. "kujitolea kutoa ushuhuda" + +# Wananilipa maovu kwa mema + +Hii ni sitiari inayomaanisha wanarudisha marejeo maovu kwa mema waliyopokea. "Kwa kunirudishia kutenda wema wangu, wanafanya vitu viovu kwangu" + +# maovu ... mema + +Nomino dhahania hizi zinaweza kuelezwa katika hali zingine. "vitu viovu ... vitu vizuri" + +# Nina huzuni + +"Nina huzuni sana" + diff --git a/psa/035/013.md b/psa/035/013.md new file mode 100644 index 00000000..075ead23 --- /dev/null +++ b/psa/035/013.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# walipokuwa wagonjwa + +Wagonjwa hapa inamaanisha "mashahidi waovu" + +# Nilivaa gunia + +"Nilionesha kuwa nina huzuni" + +# na kichwa changu kikiwa kimeinamishwa kifuani mwangu + +Hii ilikuwa ishara ya maombi. "na kichwa changu kimeinama chini katika maombi" + +# katika majonzi kama kwa ndugu yangu + +Mwandishi alikuwa na huzuni kana kwamba ndugu yangu amekufa. "kuhuzunika kana kwamba ndugu yangu mwenyewe alikuwa ameugua" + +# Niliinama katika kuomboleza kama kwa mama yangu + +Mwandishi aliomboleza kana kwamba mama yake amekufa. "Niliomboleza kana kwambamama yangu amekufa" + +# Niliinama + +Hii ilikuwa alama ya maumivu na mateso. + diff --git a/psa/035/015.md b/psa/035/015.md new file mode 100644 index 00000000..96764eaa --- /dev/null +++ b/psa/035/015.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wakakusanya pamoja + +"kukusanyika pamoja" au "wakaja pamoja" + +# dhidi yangu + +Hii inamaanisha walikuja pamoja kwa kusudi la kumshambulia mwandishi. "kufanya mipango dhidi yangu" au "kupanga uharibifu" + +# Wakanirarua + +Hapa walimtendea mwandishi kana kwamba alikuwa kipande cha nguo walichoweza kurarua vipande vipande. "Walinivamia" + +# Bila heshima yoyote wakanidhihaki + +"Walinidhihaki na watu wasio na faida kabisa" au 2) "walinikejeli bila heshima" + +# wakanisagia meno + +Hii ni alama ya hasira na chuki. "walinifanyia sauti za kusaga kwa meno yao" + diff --git a/psa/035/017.md b/psa/035/017.md new file mode 100644 index 00000000..4b5d28e3 --- /dev/null +++ b/psa/035/017.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# hadi lini utanitazama? + +Hili swali la balgha linaashiria kuwa mwandishi anamtaka Mungu kuacha tu kumtazama na kuanza kumsaidia. "hadi lini utawatazama tu wakifanya hivi" au "utanisaidia lini" + +# Okoa nafsi yangu + +Hapa "nafsi" inamaanisha mwandishi. "Niokoe" + +# maisha yangu kutoka kwa simba + +Neno "okoa" linadokezwa. "okoa maisha yangu kutoka kwa simba" + +# maisha yangu + +Hii inamaanisha mwandishi. "mimi" + +# kutoka kwa simba + +Hapa mwandishi anazungumzia adui zake kana kwamba ni simba wakali. "kutoka kwa adui zangu wanaonivamia kama wanyama pori" + diff --git a/psa/035/019.md b/psa/035/019.md new file mode 100644 index 00000000..03a10389 --- /dev/null +++ b/psa/035/019.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Usiache adui zangu waongo + +"Usiache adui zangu, wanaosema uongo kunihusu," + +# njama zao za uovu + +"mipango yao ya uovu" + +# hawazungumzi amani + +"hawazungumzi kwa amani na watu" + +# kupanga maneno ya uongo + +"wanatafuta njia za kusema uongo" + +# wale katika nchi yetu wanao ishi kwa amani + +"wale wanaoishi kwa amani katika nchi yetu" + +# ishi kwa amani + +"usimdhuru yeyote" + diff --git a/psa/035/021.md b/psa/035/021.md new file mode 100644 index 00000000..664ee53c --- /dev/null +++ b/psa/035/021.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Wanafungua midomo wazi yao dhidi yangu + +Sababu ya kufungua midomo yao ni kumshtaki mwandishi. "Wananipigia kelele ili wanashtaki" + +# Aha, Aha + +Huu ni mshangao unaotumika wakati kitu kinaonekana ghafla au kueleweka. Unaweka mkazo katika kauli inayofuata. + +# macho yetu yameona + +Hapa "macho yetu" inamanisha macho ya adui. Inadokezwa kuwa wanasema kwamba wamemwona mwandishi anafanya kitu kibaya. "tumeona" au "tumeona makosa uliyofanya" + +# Umeiona + +Hapa walichoona ni mashtaka ya uongo ya adui wa mwandishi. "Umeona jinsi walivyonishtaki kimakosa" + +# usiwe kimya + +"usiache kujali walichonifanyia." Hii inaweza kuelezwa katika hali chanya. "wahukumu kwa sababu ya kile walichofanya" + +# usiwe mbali na mimi + +Hii inaweza kuelezwa katika hali chanya. "uwe karibu sana na mimi" + +# Jiinue na uamke + +Hii haimaanishi kuwa Mungu kweli yuko usingizi. Mwandishi anataka Mungu aingilie kati. Maneno yote yana maana moja na yanasisitiza uharaka wa ombi hili. "Nahisi kama umelala! Amka" + +# kwa utetezi wangu + +"kunilinda" + +# madai yangu + +Hii inamaanisha mwandishi. "mimi" + diff --git a/psa/035/024.md b/psa/035/024.md new file mode 100644 index 00000000..43f0a2b6 --- /dev/null +++ b/psa/035/024.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# usiwaache wafurahi juu yangu + +"usiwaache wafurahi kwa sababu ninateseka" + +# waseme moyoni mwao + +Hii ni lahaja inayomaanisha kujisemesha. "wajisemeshe" + +# Aha + +Huu ni mshangao unaotumika wakati kitu kinaonekana ghafla au kueleweka. Unaweka mkazo katika kauli inayofuata. "Ndio" + +# tumepata tunalichokuwa tunataka + +Inadokezwa kuwa adui wa mwandishi walitaka atangazwe kuwa na hatia. "ametangazwa kuwa na hatia kama tulivyokuwa tunatamani!" + +# Tumemmeza + +Adui wa mwandishi wanazungumzia uharibifu wake kana kwamba waoni wanyama pori waliommeza. "Tumemwangamiza" + +# shangaze + +"aibishe" au "fadhaishe" + +# Na wale wanao nidhihaki wafunikwe na aibu na kukosa heshima + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Na uwafunike kwa aibu na kukosa heshima wale wanao nidhihaki" + +# nidhihaki + +kumtukana mtu ili kumkasirisha + +# wafunikwe na aibu na kukosa heshima + +Hapa aibu na kukosa heshima zinazungumziwa kana kwamba zilikuwa nguo za aibu ambazo mwandishi aliweza kuvaa. Nomini dhahania hizi zinaweza kuelezwa kama vitenzi. "waaibishwe na kukosa heshima" + +# aibu na kukosa heshima + +Haya maneno yana maana za kukaribiana na yanatumika kuonesha ni kiasa gani watashushwa. + diff --git a/psa/035/027.md b/psa/035/027.md new file mode 100644 index 00000000..d13316ce --- /dev/null +++ b/psa/035/027.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# uthibitisho wangu + +Hapa "uthibitisho" unamaanisha Yahwe kumtangaza au kumhukumu mwandishi wa zaburi kuwa hana hatia. + +# na waseme kwa kuendelea + +"na daima waseme" + +# Yahwe asifiwe + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Acha tumsifu Yahwe" + +# anaye furahi katika + +"anayefurahishwa na" au "anayefurahishwa kwa" + +# ustawi + +hali njema, furaha + +# sema kuhusu haki yako + +"kutangaza kuwa unatenda yaliyo sawa" + diff --git a/psa/036/001.md b/psa/036/001.md new file mode 100644 index 00000000..204a9fe5 --- /dev/null +++ b/psa/036/001.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya Daudi mtumishi wa Yahwe + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Dhambi inazungumza kama mwaguzi + +Dhambi inaelezwa kana kwamba ni nabii wa uongo. "Dhambi ni kama nabii wa uongo anayezungumza" + +# katika moyo wa mtu mwovu + +Hapa "moyo" inamaanisha hali ya ndani wa mtu. "hali ya ndani ya mtu mwovu" + +# mtu mwovu + +Hii haimaanishi mtu bayana, lakini kwa watu waovu kwa ujumla. "watu waovu" + +# katika macho yake + +Hapa "macho" yanamaanisha mtu mwovu. "ndani yake" + +# anajifariji, akifikiri + +"anapendelea kuamini" au "anataka kufikiri" + +# dhambi yake haitagunduliwa na kuchukiwa + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Mungu hatagundua na kuchukia dhambi yake" + diff --git a/psa/036/003.md b/psa/036/003.md new file mode 100644 index 00000000..5e3366a9 --- /dev/null +++ b/psa/036/003.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maneno yake ni + +Hii inamaanisha kauli zake. "Anachosema ni" + +# kufanya mema + +"kufanya vitu ambavyo ni vyema" + +# anaenda katika njia ya uovu + +Vitendo vya dambi vyamtu vinazungumziwa kana kwamba alikuwa akitembea kwenye njia ambayo ilikuwa na uovu. + +# hapingi uovu + +"hapingi tabia za uovu" + diff --git a/psa/036/005.md b/psa/036/005.md new file mode 100644 index 00000000..35869f17 --- /dev/null +++ b/psa/036/005.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# unafika mbinguni + +Ukuu wa uaminifu wa Mungu wa agano unazungmziwa kana kwamba uko juu sana. "uko juu kama mbingu" au "ni mkuu sana" + +# unafika kwenye mawingu + +Ukuu wa uaminifu wa Mungu unazungumziwa kana kwamba uko juu sana. "uko juu kama mawingu" au "ni mkuu sana" + +# kama milima ya Mungu ... kama kina kirefu + +Misemo hii inaeleza ukuu wa haki ya Mungu na hukumu zake kana kwambazilikuwa juu zana na zenye kina kirefu. "juu kama mlima ya juu zaidi ... mrefu kama bahari lenye kina kirefu zaidi" + +# unatunza + +"unasaidia" au "unaokoa" + diff --git a/psa/036/007.md b/psa/036/007.md new file mode 100644 index 00000000..32eecc97 --- /dev/null +++ b/psa/036/007.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Jinsi ulivyo wa thamani uaminifu wako wa agano + +Uaminifu wa Agano wa Mungu unazungumziwa kana kwamba kilikuwa kito adimu na cha gharama. "Uaminifu wako wa agano ni wa thamani kama kito adimu. + +# Wanadamu hukimbilia + +"Watu watatafuta ulinzi" + +# Wanadamu hukimbilia chini ya kivuli cha mbawa zako + +Mungu hana mbawa kweli. Hii ni sitiari ya ulinzi wa Mungu. "Wanadamu hukimbilia kwako kama ndege wadogo wanavyotafuta ulinzi chini ya mbawa za mama yao" + +# Wataridhishwa tele + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Utawaridhisha tele" + +# kwa wingi wa chakula katika nyumba yako + +Hii haimaanishi kuwa Mung ana nyumba yenye chakula. Hii ni sitiari ya utoaji wa vitu tele. "kana kwamba wanakula chakula kizuri kutoka katika nyumba yako" au "kwa baraka zako nzuri" + +# utawaacha wanywe kutoka katika mto wa baraka zako za thamani + +Kuna sitiari mbili hapa. Baraka tele za Mungu zinazungumziwa kana kwamba ni maji yanayotiririka katika mto. Pia, wale wanaopokea hizo baraka wanazungumziwa kana kwamba wanazinya kama maji. "baraka zako za thamani ni kama mto ambao utawaruhusu wanywe kutokea humo" + +# chechemi ya uzima + +"chanzo cha maisha" + +# katika nuru yako tunaona nuru + +Hapa "nuru" ni sitiari ya maarifa ya kweli. "unapotuelimisha, tutajua ukweli" au "nuru yako ndio inayotuwezesha kujua ukweli kukuhusu" + diff --git a/psa/036/010.md b/psa/036/010.md new file mode 100644 index 00000000..fd281f44 --- /dev/null +++ b/psa/036/010.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Endeleza uaminifu wa agano lako kikamilifu + +"Endeleza uaminifu wako wa agano" + +# ulinzi wako kwa wanyofu wa moyo + +"Endelea" inadokezwa kutoka katika msemo uliopita. "Endelea kuwalinda wanyofu wa moyo" + +# wanyofu wa moyo + +Hapa "moyo" inamaanisha watu. "wanyofu" au "watu wanaoenenda kwa haki" + +# mguu wa aliye na majivuno ... mkono wa mwovu + +Hapa "mguu" na "mkono" inamaanisha watu waovu. Hawa sio watu bayana. Hii inamaanisha watu waovu kwa ujumla. "watu wenye majivuno ... watu waovu" + +# uniondoe + +"unifanye niondoke sehemu yangu" + +# watenda maovu wameanguka; wameangushwa chini na hawawezi kuinuka + +Misemo hii mitatu inaeleza watenda maovu kama watu walioshindwa. + +# wameangushwa chini + +"umewaangusha chini" au "umewaangamiza" + +# hawawezi kuinuka + +"hawawezi kuinuka" + diff --git a/psa/037/001.md b/psa/037/001.md new file mode 100644 index 00000000..98aaf0cc --- /dev/null +++ b/psa/037/001.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Usikasirike kwa sababu ya watenda maovu + +"Usiwaruhusu watu waovu wakukasirishe" au "Usisumbuliwe na kile ambacho watu waovu wanafanya" + +# watakauka kama nyasi ... kunyauka kama mimea ya kijani + +Watenda maovu wanazungumziwa kana kwamba ni nyazi na mimea iliyokauka na inakufa katika hali ya hewa ya joto. Mifanano hii miwiliyote inamaana kuwa watakufa. "kufa" au "kufika mwisho" + diff --git a/psa/037/003.md b/psa/037/003.md new file mode 100644 index 00000000..5708c29f --- /dev/null +++ b/psa/037/003.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# chunga katika uaminifu + +Uaminifu unazungumziwa kana kwamba ni mnyama atakepata nguvu kwa kula katika malisho mazuri. "rutubisha uaminifu" au "zidisha uaminifu wako" + +# hamu zako za moyoni + +Hapa "moyo" unawakilisha hali ya ndani ya mtu na mawazo. "hamu zako za ndani" au "vitu unavyotamani zaidi" + diff --git a/psa/037/005.md b/psa/037/005.md new file mode 100644 index 00000000..6cc66b53 --- /dev/null +++ b/psa/037/005.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mpe Yahwe njia zako + +Hapa "kumpa njia zako" ni lahaja inayomaanisha kumwomba Yahwe kuongoza maisha yako. "Mwombe Yahwe aongoze matendo yako katika maisha" + +# atatenda kwa niaba yako + +Hii ni kumwakilisha mwingine katika mambo ya kisheria. Hapa, mtu anayemtumaini Yahwe, atamlinda mtu huyo na kumpa haki mtu huyo. + +# kama mchana ... kama siku mchana + +Misemo hii yote ina maana ya kufanana. + +# kama mchana + +Hii inamaanisha "mbele ya watu wote." "wazi kuona kama mwanga wa mchana" + +# kama siku mchana + +HIi inamaanisha "kuonekana kama jua la mchana." "kuonekana kama nuru wakati wa mwanga zaidi mchana" + diff --git a/psa/037/007.md b/psa/037/007.md new file mode 100644 index 00000000..d166bb4b --- /dev/null +++ b/psa/037/007.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Uwe mtulivu + +"Uwe kimya" + diff --git a/psa/037/008.md b/psa/037/008.md new file mode 100644 index 00000000..168eb959 --- /dev/null +++ b/psa/037/008.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# watakatwa + +Uharibifu wa waovu unazungumziwa kana kwamba walikuwa ni matawi ya mmea uliokatwa na kutupwa. + +# lakini wale wanaomsubir yahwe + +"lakini wale wanaomtumaini Yahwe" + +# watarithi nchi + +Kumiliki nchi kunazungumziwa kana kwamba itapokelewa kama urithi. "watapokea nchi kama urithi wao" au "wataishi kwa usalama katika nchi" + +# atapotea + +Lahaja hii inamaanisha kifo cha mtu mwovu. "atakufa na hautamwona tena" + diff --git a/psa/037/011.md b/psa/037/011.md new file mode 100644 index 00000000..c6f2cf49 --- /dev/null +++ b/psa/037/011.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# wapole + +Hii inamaanisha watu walio wapole. "watu wapole" + +# watarithi nchi + +Kumiliki nchi kunazungumziwa kana kwamba itapokelewa kama urithi. "watapokea nchi kama urithi wao" au "wataishi kwa usalama katika nchi" + +# mtu mwovu + +Hii haimaanishi mtu bayana. Inamaanisha watu waovu kwa ujumla. "mtu mwovu" + +# mwenye haki + +Hii haimaanishi mtu bayana. Inamaanisha watu wenye haki kwa ujumla. "mtu mwenye haki" + +# kusaga meno + +Mtu mwovu anamchukia mtu mwenye haki sana hadi anasaga meno yake pamoja kuonesha hasira yake. + +# siku yake inakuja + +Inadokezwa kuwa "siku yake" itakuwa siku ya hukumu. "siku inakuja ambapo Yahwe atamhukumu na kumwadhibu" au "siku inakuja ambapo Yahwe atamhukumu na kumwadhibu mtu mwovu" + diff --git a/psa/037/014.md b/psa/037/014.md new file mode 100644 index 00000000..2d1fd296 --- /dev/null +++ b/psa/037/014.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Waovu + +Hii inamaanisha watu waovu. "Watu waovu" + +# wametoa upanga wao ... wamekunja upinde wao + +"Upanga" na "upinde" zote ni silaha zinazotumika kushambulia watu. Kitendo kwamba zimetolewa na kukunjwa inamaanisha kuwa wako tayari kushambulia. "wameandaa silaha zao ili kushambulia" + +# kuwatupa chini + +Uharibifu wa watu wahitaji unazungumziwa kana kwamba ni vyombo vya udongo vinavyoweza kuvunjika katika vipande vikitupwa chini. "kuwaangamiza" + +# waliokandamizwa na wahitaji + +Misemo hii inamaana watu wale wale wasio na uwezo wa kujilinda. "watu wasio weza kuwapinga" + +# Panga zao zitachoma mioyo yao wenyewe + +Panga ni mfano wa silaha na "mioyo" inawakilisha watu. "Kuchoma moyo" ni lahaja inayomaanisha "kuua." "Silaha zao zitageuzwa kwao na watajiua wenyewe" + diff --git a/psa/037/016.md b/psa/037/016.md new file mode 100644 index 00000000..638810b6 --- /dev/null +++ b/psa/037/016.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Bora kidogo alichonacho mwenye haki kuliko kingi cha watu waovu wengi + +Hapa mstari wa pili ni tofauti na wa kwanza. "Ni bora kuwa mwenye haki, hata kama inamaanisha utakuwa maskini, kuliko kuwa mwovu na utajiri mkubwa" + +# Bora kidogo alichonacho mwenye haki + +"Ni bora kuwa mwenye haki, hata kama inamaanisha utakuwa maskini" + +# kidogo + +Hii inamaanisha kuwa na mali kidogo. + +# mwenye haki + +Hii inamaanisha mtu mwenye haki. "mtu mwenye haki ana" + +# kingi + +Hii inamaanisha utajiri wa watu waovu. + +# Kwa kuwa mikono ya watu waovu itavunjwa + +Hapa "mikono" inawakilisha nguvu ya watu waovu. Kuvunja mikono yao inawakilisha kuwanyanganya nguvu yao. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Kwa kuwa Yahwe ataondoa uwezo wa watu waovu" + diff --git a/psa/037/018.md b/psa/037/018.md new file mode 100644 index 00000000..be7ac3b7 --- /dev/null +++ b/psa/037/018.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# huwaangalia wasio na lawama + +"Kuangalia" inamaanisha kumlinda mtu. Hapa 'wasio na lawama" inamaanisha watu wasio na lawama. "huwalinda watu wasio na lawama" + +# siku kwa siku + +"kila siku" au "kwa kuendelea" + +# wakati nyakati ni mbaya + +Msemo huu unamaanisha maafa, kama njaa. "maafa yanapotokea" + diff --git a/psa/037/020.md b/psa/037/020.md new file mode 100644 index 00000000..82d8de3c --- /dev/null +++ b/psa/037/020.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Adui wa Yahwe watakuwa kama utukufu wa malisho + +Mwandishi analinganisha adui wa Yahwe na maua yanayo chanua katika mashamba. + +# watateketezwa na kupotea katika moshi + +Mwandishi anazungumzia uharibifu wa waovu kwana kwamba ni magugu au maua yaliyo nyauka shambani yanayochomwa baada ya mavuno. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Yahwe atawaangamiza kama moto unavyogeuza magugu ya shamba kuwa moshi" + +# ni mkarimu na hugawa + +Hizi zina maana moja na zinasisitiza ukarimu wa wenye haki. + diff --git a/psa/037/022.md b/psa/037/022.md new file mode 100644 index 00000000..d349c5d1 --- /dev/null +++ b/psa/037/022.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Wale walio barikiwa na Mungu + +"Wale ambao Mungu anawabariki" + +# watarithi nchi + +Umiliki wa nchi unazungumziwa kanakwamba umepokelewa kama urithi. "watapokea nchi kama mali yao" au "wataruhusiwa kuishi kwa usalama katika nchi" + +# wale waliolaaniwa naye + +"wale ambao Yahwe amewalaani" + +# watakatwa + +Uharibifu wa watu waovu unazungumziwa kana kwamba ni tawi la mmea uliokatwa na kutupwa. + +# Ni kupitia Yahwe hatua za mtu zinaimarishwa ... inpendeza machoni pa Mungu + +"Kama mtu anaishi katika njia ya kupendeza machono pa Yahwe, Yahwe ataimarisha njia zake" + +# Ni kupitia Yahwe hatua za mtu zinaimarishwa + +"Yahwe ndiye anayemwezesha mtu kufanikiwa" + +# mtu ... mtu + +Hii haimaanishi mtu bayana, lakini kwa watu kwa ujumla. + +# hatua za mtu + +Hatua zinawakilisha jinsi mtu anavyoishi. "jinsi mtu anavyoishi" + +# Ingawa anajikwaa, hataanguka + +Hapa "kujikwaa" na "kuanguka" inamaanisha jinsi mtu anavyojibu katika vipindi vigumu. "Ingawa ana vipindi vigumu, hatashindwa kabisa" + +# anamshika kwa mkono wake + +Hapa "mkono wake" inamaanisha nguvu ya Yahwe, na "kumshika" inamaanisha kumlinda. "kumlinda na nguvu yake" + diff --git a/psa/037/025.md b/psa/037/025.md new file mode 100644 index 00000000..86275612 --- /dev/null +++ b/psa/037/025.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mtu mwenye haki ameachwa + +"Yahwe amwacha mtu mwenye haki" + +# mtu mwenye + +Hii haimaanishi mtu bayana. Ni kauli ya ujumla. + +# wakiomba mkate + +Hapa "mkate" inwakilisha chakula kwa ujumla. "kuomba chakula" + +# Siku nzima + +Lahaja hii inamaanisha tendo hili ni tabia ya maisha yake. + +# watoto wake wanakuwa baraka + +"watoto wanakuwa kuwabariki wengine" + +# Geuka + +Kuacha kufanya kitu inazungumziwa kana kwamba mtu ankigeuka. "Acha kufanya" + diff --git a/psa/037/028.md b/psa/037/028.md new file mode 100644 index 00000000..90db2674 --- /dev/null +++ b/psa/037/028.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Wanatunzwa milele + +"Yahwe atawalinda milele" + +# watakatwa + +Uharibifu wa waovu unazungumziwa kana kwamba walikuwa tawi la mmea uliokatwa na kutupwa. + +# wenye haki + +"watu wenye haki" + +# watarithi nchi + +Umiliki wa nchi unazungumziwa kana kwamba umepokelewa kama urithi. "watapokea nchi kama urithi wao" au "wataruhusiwa kuishi katika nchi kwa usalama" + +# Mdomo wa mtu mwenye haki + +Hapa "mdomo" unawakilisha mtu mzima anayezungumza. "Mtu mwenye haki" + +# huzungumza hekima + +"huwapa wengine ushauri wa hekima" + +# huongeza hukumu + +"huwatia moyo watu wengine kuishi kwa haki" + diff --git a/psa/037/031.md b/psa/037/031.md new file mode 100644 index 00000000..dc463dcc --- /dev/null +++ b/psa/037/031.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sheria ya Mungu wake moyoni mwake + +Hapa "moyo" unamaanisha hali yake ya ndani zaidi. "Anathamini amri za Mungu wake ndani mwake" + +# miguu yake haitateleza + +Kushindwa kwake kumtii Yahwe kunazungumziwa kama kuteleza kwenye njia salama au kuanguka. "atatembea salama katika njia ambayo Mungu anataka atembee" au "atafanya kwa usalama vitu ambavyo Mungu anataka afanye" + +# Mtu mwovu ... mtu mwenye haki ... mtu mwovu + +Hawa sio watu bayana. Inamaanisha aina hii ya watu kwa ujumla. + +# humtazama mtu mwenye haki + +Hapa kutazama inaashiria kuwaangalia wenye haki ili kuwadhuru. "husibiri ili kumvamia mtu mwenye haki" + +# mkono wa mtu mwovu + +Hapa "mkono" unawakilisha uwezo au nguvu. "uwezo wa mtu mwovu" + +# anapohukumiwa + +Hii inamaanisha Yahwe kumhukumu mtu mwenye haki. "Yahwe atakapomhukumu" + diff --git a/psa/037/034.md b/psa/037/034.md new file mode 100644 index 00000000..dbb0518d --- /dev/null +++ b/psa/037/034.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# atakuinua kumiliki nchi + +Hapa "kuinuka" inamaanisha Mungu kuwapa heshima wale wanaomsubiri. "atakuheshimu kwa kukupa nchi" + +# waovu + +"watu waovu" + +# wanakatwa + +Uharibifu wa waovu unazungumziwa kana kwamba walikuwa tawi la mmea uliokatwa na kutupwa. + diff --git a/psa/037/035.md b/psa/037/035.md new file mode 100644 index 00000000..93a6981b --- /dev/null +++ b/psa/037/035.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# waovu na mtu wa kutisha + +Hii haimaanishi mtu bayana. Ni kauli ya ujumla. + +# wanasambaa kama mti wa kijani katika udongo wake wa asili + +Hapa mafanikio ya mtu mwovu yanazungumziwa kana kwamba ni mti wenye afya unaoota kwatikaudongo mzuri. + +# hakupatikana + +"Sikuweza kumpata" au "Yahwe alimchukua" + diff --git a/psa/037/037.md b/psa/037/037.md new file mode 100644 index 00000000..4de1cfca --- /dev/null +++ b/psa/037/037.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mtu wa uadilifu + +Hii haimaanishi mtu bayana. Ni kauli ya ujumla. + +# mwekee alama mnyofu + +"waangalia kwa makini watu wazuri" + +# siku za usoni za mtu mwovu zimekatwa + +"Mungu atasitisha uzao wake" au "hatakuwa na uzao" + +# siku za usoni + +Hii inamaanisha uzao wake. "uzao wake" + +# mtu mwovu + +Hii haimaanishi mtu bayana. Ni kauli ya ujumla. + +# zimekatwa + +Uharibifu wa waovu unazungumziwa kana kwamba walikuwa tawi la mmea uliokatwa na kutupwa. + diff --git a/psa/037/039.md b/psa/037/039.md new file mode 100644 index 00000000..35357db6 --- /dev/null +++ b/psa/037/039.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wokovu wa wenye haki hutoka kwa Yahwe + +"Yahwe huokoa watu wenye haki" + +# wenye haki + +"watu wenye haki" + +# huwasaidia ... huwaokoa ... huwaokoa + +Wazo hilo hilo linarudiwa kwa njia tofauti kusisitiza kuwa Yahwe ni wa kutegemewa na anaweza kutoa msaada. + +# wamemkimbilia + +Kwenda kwa Yahwe kunazungumziwa kama kumkimbilia. "wameenda kwake kwa ajili ya ulinzi" + diff --git a/psa/038/001.md b/psa/038/001.md new file mode 100644 index 00000000..b7971a6a --- /dev/null +++ b/psa/038/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# usinikemee katika hasira yako ... usiniadhibu katika gadhabu yako + +Misemo hii inamaana moja na wazo linarudiwa kwa ajili ya mkazo. + +# mishale yako inanichoma + +Ukali wa adhabu ya Yahwe kwa mwandishi unazungumziwa kana kwamba Yahwe amepiga mishale kwa mwandishi. "Adhabu yako ina maumivu kana kwamba umepiga mishale kwangu" + +# mkono wako unanikandamiza chini + +Adhabu ya Yahwe kwa mwandishi inazungumziwa kana kwamba Yahwe alikuwa akimponda mwandishi kwa mkono wake. + diff --git a/psa/038/003.md b/psa/038/003.md new file mode 100644 index 00000000..b4e6d1e6 --- /dev/null +++ b/psa/038/003.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Daudi anaendelea kueleza kile amabacho hatia na aibu yake inavyoufanya mwili wake. Anatumia kauli iliyokuzwa kuweka mkazo madhara ya somo hili. + +# hakuna afya katika mifupa yangu kwa sababu ya dhambi yangu + +Hapa "mifupa yangu" inawakilisha mwili wa mwandishi. "mwili wangu wote unaugonjwa kwa sababu ya dhambi yangu" + +# udhalimu wangu unanilemea + +Udhalimu wa mwandishi unazungumziwa kana kwamba ni mafuriko ya maji yanayomfunika. "udhalimu wangu unanifunika kama mafuriko" + +# ni mzigo mzito sana kwangu + +Udhalimu wa mwandishi unazungumziwa kana kwamba ni mzigo asioweza kuinua. "ni kama mzigo ulio mzito sana kwangu kunyanyua" + diff --git a/psa/038/005.md b/psa/038/005.md new file mode 100644 index 00000000..f2c0b263 --- /dev/null +++ b/psa/038/005.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Daudi anaendelea kueleza kile amabacho hatia na aibu yake inavyoufanya mwili wake. Anatumia kauli iliyokuzwa kuweka mkazo madhara ya somo hili. + +# Vidonda vyangu vimeathirika na vinanuka + +Hapa "kunuka" inamaanisha vidonda vyake kuwa na harufu mbaya inayoambatana na kuoza kwa nyama. "Vidonda vyangu vimeathirika na vinanuka vinavyooza" + +# Nimeinama + +Maumivu ya mwandishi yamemsababisha ainame kana kwamba ni mzee aliyechoka. "Nimeinama kwa maumivu" + diff --git a/psa/038/007.md b/psa/038/007.md new file mode 100644 index 00000000..d3b0b426 --- /dev/null +++ b/psa/038/007.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nimejawa na kuungua + +Mwandishi ana homa sana hadi inakuwa kana kwamba anaungua ndani. "Mwili wangu unachemka kwa homa" + +# hakuna afya katika mwili wangu + +Hapa "mwili" unamaanisha mwandishi. "Ninaumwa sana" + +# kupondeka kabisa + +Ugonjwa wa mwandishi ni mkali sana hadi inakuwa kana kwamba uzito unamkandamiza chini. + +# uchungu wa moyo wangu + +Hapa "moyo wangu" unamaanisha mwandishi. "uchungu wangu" + diff --git a/psa/038/009.md b/psa/038/009.md new file mode 100644 index 00000000..e1714f84 --- /dev/null +++ b/psa/038/009.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# haja zangu za moyo za ndani + +Hapa "moyo" unamaanisha mwandishi. "Hamu zangu kuu" au "kuwa natamani uniponye" + +# magumio yangu hayajafichwa kwako + +Hii inaweza kuelzwa katika hali ya kutenda. "unaweza kuona + +# moyo wangu unadunda + +"unaweza kuona kulia kwangu kwa huzuni" + +# nguvu yangu inapotea + +"ninakuwa mnyonge sana" + +# kuona kwangu kunafifia + +"Siwezi kuona vizuri tena" + diff --git a/psa/038/011.md b/psa/038/011.md new file mode 100644 index 00000000..d55db2f6 --- /dev/null +++ b/psa/038/011.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wanalaza mitego kwa ajili yangu + +Mipango ya waandishi wa adui wanazungumziwa kana kwamba ni mitego walitega kumshika kama mnyama. "kuweka mitego kunishika" + +# huzungumza maneno ya uharibifu na kusema maneno ya udanganyifu + +Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na inasisitiza uasili wa kuumiza wa kile ambacho watu hawa wanasema. + diff --git a/psa/038/013.md b/psa/038/013.md new file mode 100644 index 00000000..6fd80de8 --- /dev/null +++ b/psa/038/013.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Niko kama kiziwi ... sisikii ... asiyesikia + +Mistari ya kwanza ya mstari wa 13 na 14 inatumia tashbihi kuwakilisha picha moja ya mtu kiziwi. Mwandishi anaumwa sana hadi hasikii. + +# Mimi ni kama bubu ... hasemi kitu ... hana jibu + +Mistari ya kwanza ya mstari wa 13 na 14 inatumia tashbihi kuwakilisha picha moja ya mtu bubu. Mwandishi anaumwa sana hadi hazungumzi. + +# bubu + +mtu asiyeweza kuongea + diff --git a/psa/038/015.md b/psa/038/015.md new file mode 100644 index 00000000..f6ca3ada --- /dev/null +++ b/psa/038/015.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# utajibu + +Maana zinazowezekana ni 1) "utanijibu" au 2) "utawajibu adui zangu." + +# wasinicheke + +"hawatafurahi juu ya shida yangu" + +# Kama mguu wangu ukiteleza + +Hapa "mguu" unmwakilisha mwandishi. Kuteleza kwa mguu wake ni sitiari inayomaanisha matatizo ya mwandishi na bahati mbaya. "Kama nikifanya makosa ya kunisababishia taabu" + diff --git a/psa/038/017.md b/psa/038/017.md new file mode 100644 index 00000000..47636fbb --- /dev/null +++ b/psa/038/017.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ninataka kujikwaa + +Maana zinazowezekan kwa sitiari hii ni 1) "ninaumwa sana hadi ninataka kufa" au 2) "nitaangamia hivi karibuni." + +# niko kwenye maumivu endelevu + +"niko kwenye maumivu daima" + diff --git a/psa/038/019.md b/psa/038/019.md new file mode 100644 index 00000000..29f1cd03 --- /dev/null +++ b/psa/038/019.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Lakin adui wangu ni wengi ... ni wengi + +Misemo hii miwili inamaana sawa. + +# Wananilipa uovu kwa uzuri + +Matendo ya adui wa mwandishi yanazungumziwa kama mapatano ya kibiashara ambapo walimpa vitu viovu kwa kubadilishana na vitu vizuri. "Wananipa matendo maovu kwa kubadilishana na matendo yangu mazuri kwao" + +# wanatupa mashtaka kwangu + +Jinsi adui wa mwandishi wanavyomshtaki inazungumziwa kana kwamba wanatupa mashtaka kwake kama mawe. + +# nimefuata kilicho chema + +Hamu ya mwandishi kwa kilicho chema kinazungumziwa kana kwamba anakimbilia vitu vizuri. + diff --git a/psa/038/021.md b/psa/038/021.md new file mode 100644 index 00000000..894041f2 --- /dev/null +++ b/psa/038/021.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Usiniache ... usikae mbali na mimi + +Misemo hii miwili ina maana za kufanana sana. + +# usikae mbali na mimi + +Kwa sababu Yahwe bado hajajibu ombi la mwandishi, anamzungumzia Yahwe kana kwamba yahwe alikuwa amesimama mbali na mwandishi. + +# Njoo upesi kunisaidia + +Mungu anazungumziwa kana kwamba anakimbia kwenda kwa mwandishi kumsaidia. + +# wokovu wangu + +"wewe ndiye unayeniokoa" + diff --git a/psa/039/001.md b/psa/039/001.md new file mode 100644 index 00000000..f6f42997 --- /dev/null +++ b/psa/039/001.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Yeduthuni + +Mmoja wa wanamuziki wakuu wa Daudi alikuwa na jina hili. Hii inaweza kumaanisha ni yeye. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Nitachunga ninachozungumza + +"Nitakuwa msikivu katika vitu nitakavyosema" + +# ili nisitende dhambi kwa ulimi wangu + +Hapa "ulimi" inamaanisha maneno ya mwandishi. "ili nisizungumze maneno mabaya dhidi ya Yahwe" + +# nitajitia lijamu + +Hii inamaanisha kufunga mdomo. Hapa Daudi anamaanisha kuwa hatazungumza akiwa na mtu mwovu. + diff --git a/psa/039/002.md b/psa/039/002.md new file mode 100644 index 00000000..8acfe416 --- /dev/null +++ b/psa/039/002.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nilikaa kimya; nilitunza maneno yangu + +Misemo hii miwili inamaana moja na inasisitiza kuwa mwandishi hakuzungumza kabisa. "Nilikuwa kimya kabisa" + +# nilitunza maneno yangu + +Hapa "maneno yangu" inamaanisha maneno ya mwandishi. "sikuzungumza" + +# Moyo wangu ukachemka ... ukawaka kama moto + +Hapa "moyo" unamwakilishi mtu mzima. Mawazo ya wasiwasi ya mwandishi yanazungumziwa kana kwamba ni moto unaomuunguza ndani yake. "Nikawa na wasiwasi sana nilipowaza hivi vitu" + diff --git a/psa/039/004.md b/psa/039/004.md new file mode 100644 index 00000000..cc44d746 --- /dev/null +++ b/psa/039/004.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mwisho wa maisha yangu ... kiasi cha siku zangu + +Misemo hii inamaana moja. + +# Nioneshe jinsi nilivyo wa kupita + +"Nioneshe jinsi maisha yangu yalivyo mafupi" au "Nioneshe nitakavyokufa mapema" + +# upana wa mkono wangu tu + +Mwandishi anazungumza kana kwamba yanaweza kupimwa na upana wa mkono wake. "muda mdogo sana" + +# maisha yangu ni kama bure mbele yako + +Tashbihi hii inaeleza kuwa urefu wa maisha ya mwandishi ni mafupi sana hadi hayapo. Hii ni kukuza kwa neno kuonesha jinsi yalivyo mafupi. "urefu wa maisha ni muda kidogo sana" + +# Hakika kila mtu ni pumzi moja + +Ufupi wa maisha unazungumziwa kana kwamba ulikuwa ni sawa na muda unaochukua mtu kupumua mara moja. "Muda ambao wanadamu huishi ni mfupi kama pumzi moja ya mtu" + diff --git a/psa/039/006.md b/psa/039/006.md new file mode 100644 index 00000000..34568280 --- /dev/null +++ b/psa/039/006.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hakika kila mtu anatembea kama kivuli + +Maisha ya watu yanazungumziwa kana kwamba sio ya muhimu kama vivuli. "Kila mtu anapotea kama vivuli vinavyofanya" + +# ingawa hawajui nini atawapokea + +Hapa inadokezwa kuwa hawajui kitakachotokea kwa utajiri watakapokufa. + +# Sasa, Bwana, ninasubiri nini? + +Mwandishi anauliza hili swali kusisitiza kuwa watu hawawezi kumsaidia. "Kwa hiyo, Yahwe, sitegemei kupokea kitu kutoka kwa mtu mwingine" + diff --git a/psa/039/008.md b/psa/039/008.md new file mode 100644 index 00000000..c0c2f264 --- /dev/null +++ b/psa/039/008.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Niko kimya ... siwezi kufungua mdomo wangu + +Misemo hii inamaana moja. + +# kwa sababu ni wewe uliyekifanya + +""kwa sababu adhabu yangu inatoka kwako" + diff --git a/psa/039/010.md b/psa/039/010.md new file mode 100644 index 00000000..a7a46d89 --- /dev/null +++ b/psa/039/010.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Acha kuniumiza + +Adhabu ya Mungu kwa mwandishi inazungumziwa kana kwamba Mungu alikuwa akimuumiza kwa silaha. "tafadhali acha kuniadhibu!" + +# nimelemewa + +"nimeshindwa kabisa" + +# pigo la mkono wako + +Adhabu ya Mungu kwa mwandishi inazungumziwa kana kwamba Mungu alikuwa akimpiga kwa mkono wake. Hapa "mkono" unawakilisha hukumu ya Mungu. "hukumu yako kwangu" + +# unameza vitu wanavyotamani kama nondo + +Mungu atachukua vitu wanavyojali katika njia moja nondo anavyokula kipande cha nguo. "unameza vitu wanavyotamani kama nondo anavyokula nguo" + +# watu wote sio kitu ila mvuke + +Mwandishi anazungumza udhaifu wa watukana kwamba ni umande unaopotea haraka. "kila mtu ni dhaifu kabisa" + diff --git a/psa/039/012.md b/psa/039/012.md new file mode 100644 index 00000000..f0b377c0 --- /dev/null +++ b/psa/039/012.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sikia ombi langu ... nisikilize ... sikia kilio changu + +Misemo hii mitatu inamaana moja na inaonesha jinsi mwandishi anavyotaka Mungu amjibu. + +# Usiwe kiziwi kwangu + +Mwandishi anazungumzia Yahwe kutomjibu kana kwamba ni kiziwi. "Usiache kunijali kana kwamba huwezi kunisikia" + +# Mimi ni kama mgeni kwako, mkimbizi + +Mwandishi anazungumzia Yahwe kutomjibu kana kwamba Yahwe alikuwa akimchukulia kama mgeni kabisa kwake. "Mimi ni kama mgeni kabisa kwako" + +# Usinikazie macho + +Hapa "kukazia macho" inawakilisha adhabu ya Yahwe. "Tafadhali acha kuniadhibu" + +# ili ni tabasamu tena + +Hapa "kutabasamu" inahusishwa na kuwa na furaha. "ili niweze kuwa na furaha tena" + diff --git a/psa/040/001.md b/psa/040/001.md new file mode 100644 index 00000000..eefdcbc3 --- /dev/null +++ b/psa/040/001.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Nilimsubiri Yahwe kwa uvumilivu + +Hii inamaanisha mwandishi alimsubiri Yahwe kumsaidia. + +# alinisikiliza ... kusikia kilio changu + +"alinisikia nilipomwita" + +# nje ya shimo baya, nje ya udongo wa tope + +Sitiari hizi mbili zinamaanisha kitu kimoja. Hatari ya mwandishi inazungumziwa kana kwambani shimo hatari la tope. Hii inawekea mkazo hatari. "kutoka kunaswa kwenye shimo baya lililojaa tope ya kunata. + +# ameweka miguu yangu kwenye mwamba + +Hapa "miguu" inamaanisha ni mwandishi, na "mwamba" inamaanisha sehemu ya usalama. "alitoa usalama kwa ajili yangu" + diff --git a/psa/040/003.md b/psa/040/003.md new file mode 100644 index 00000000..04a7a922 --- /dev/null +++ b/psa/040/003.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Ameweka wimbo mpya mdomoni mwangu + +Maana zinazowezekana ni 1) "Amenifundisha maneno ya wimbo mpya" au 2) "Amenipa sababu mpya ya kuimba" + +# mdomoni mwangu + +Hapa "mdomo wangu" inamaanisha mwandishi. "ndani yangu" + +# sifa kwa Mungu wetu + +"wimbo wa kumsifu Mungu wetu" + +# Wengi wataona + +Hapa "wataona" inamaanisha kumsikia mwandishi akiimba wimbo kuhusu kile ambacho Mungu amemtendea. "Watu wengi watasikia kile ambacho Yahwe amefanya" + +# Amebarikiwa mtu anayemfanya Yahwe tumaini lake + +"Amebarikiwa mtu anayemtumaini Yahwe" au "Wale wanaomtumaini Yahwe wamebarikiwa" + +# wenye kiburi + +Hii inamaanisha watu walio na kiburi. + +# uongo + +Maana zinazowezekana ni 1) "uongo" au 2) "miungu ya uongo" + diff --git a/psa/040/005.md b/psa/040/005.md new file mode 100644 index 00000000..57b6ad63 --- /dev/null +++ b/psa/040/005.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mawazo yako juu yetu hayahesabiki + +"hakuna mtu awezaye kuhesabu vitu vyote unavyotuwazia" + +# hayahesabiki ... zaidi ya yanayoweza kuhesabika + +Misemo hii inamaana sawa. Ya kwanza imeelezwa katika hali hasi na ya pili katika hali chanya. + +# Haupendezwi na dhabihu na sadaka + +Hii ni kukuza kwa neno ili kuonesha kuwa vitu hivi havikuwa muhimu zaidi kwa Mungu. "Dhabihu na sadaka zingine sio vitu vinavyokufurahisha zaidi" + +# umefungua maskio yangu + +Hapa "maskio" inamaanisha uwezo wa kusikia. "umeniwezesha kusikia amri zako" + +# hujaomba sadaka za kuchoma au sadaka za dhambi + +Hii ni kukuza kwa neno ili kuonesha kuwa vitu hivi havikuwa muhimu zaidi kwa Mungu. "wanyama wanaotolewa kwenye madhabahu na sadaka zingine kwa ajili ya dhambi zetu sio unachotaka zaidi" + diff --git a/psa/040/007.md b/psa/040/007.md new file mode 100644 index 00000000..7144b1dd --- /dev/null +++ b/psa/040/007.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# gombo la nyaraka + +Hii inamaanisha gombo ambapo kuna neno la kuandikwa la Yahwe. "gombo lililoandikwa" + +# sheria zako ziko moyoni mwangu + +Hapa "moyo" inamaanisha undani wa mwanshishi. "Huwa ninawaza kuhusu sheria zako ndani mwangu" + +# Nimetangaza habari njema za haki yako katika mkusanyiko mkuu + +"Nimewaambia mkusanyiko mkubwa wa watu habari njema za haki yako" + +# habari njema za haki yako + +Hii inamaanisha habari njema kuwa Mungu huokoa watu wake. "habari njema kwa sababu u mwenyehaki, unaokoa watu wako" + +# midomo yangu yaijajizuia kufanya hili + +Hapa "midomo" inamaanisha maneno ya mwandishi. "Sijajizuia kutangaza hivi vitu" + diff --git a/psa/040/010.md b/psa/040/010.md new file mode 100644 index 00000000..cca87097 --- /dev/null +++ b/psa/040/010.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sijaficha haki yako moyoni mwangu + +"Sijafanya haki yako kuwa siri" au "Nimemweleza kila mtu kuhusu haki yako" + +# moyoni mwangu + +Hapa inamaanisha hali ya ndani. + +# Sijaficha uaminifu wako wa agano au uaminifu wako kwenye mkusanyiko mkuu + +"Nimemwambia watu wote katika kusanyiko kuu kuhusu uaminifu wako wa agano au uaminifu wako" + +# uaminifu wako wa agano + +"jinsi ulivyo mwaminifu kutunza ahadi zako" + +# uaminifu wako + +"jinsi ulivyo mwaminifu" + +# acha uaminifu wako wa agano na uaminifu wako unitunze + +Hapa "uaminifu wa agano" na "uaminifu" zinazungumziwa kana kwamba ni binadamu hai wanaoweza kumlinda mwandishi. "nataka uaminifu wako wa agano na uaminifu wako unilinde daima" + diff --git a/psa/040/012.md b/psa/040/012.md new file mode 100644 index 00000000..894c5804 --- /dev/null +++ b/psa/040/012.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taabu zisizoweza kuhesabika zinanizunguka + +Hapa taabu zinazungumziwa kana kwamba ni vitu vinavyomzunguka na kumtega mwandishi. "kuna taabu nyingi zimenizunguka kuliko navyoweza kuhesabu" au "taabu nyingi huja kwangu kuliko navyoweza kuhesabu" + +# zisizoweza kuhesabika + +Hii imeelezwa katika hali hasi kuweka mkazo wa idadi. "zilizo nyingi kwa idadi" + +# udhalimu wangu + +Hii inamaanisha matokeo ya dhambi. "matokeo ya udhalimu wangu" + +# umenishika + +Udhalimu wa mwandishi unazungumziwa kana kwamba ni adui zake wanaomdhuru. + +# siwezi tena kuona kitu + +Matoleo yanatofautiana katika kuelewa msemo huu. Inaweza kuwa inamaanisha kuwa mwandishi analia sana hadi hawezi kuona chochote kwa sababu ya machozi yake. + +# moyo wangu umeshinda + +Hapa "moyo" inamaanisha ujasiri wa ndani wa mwandishi. + diff --git a/psa/040/014.md b/psa/040/014.md new file mode 100644 index 00000000..3713cc4f --- /dev/null +++ b/psa/040/014.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Acha ... wanaofuatilia maisha yangu kuyachukua + +"Tafadhali wafanye wale wanaojaribu kuniua waaibike na kuvunjwa matumaini" + +# wanaofuatilia maisha yangu kuyachukua + +Hapa "wanaofuatilia maisha yangu" inamaanisha hamu ya kumuua mwandishi. "wanaojaribu kuniua" + +# Acha ... wanaofurahi kuniumiza + +"Tafadhali wasimamishe wale wanaofurahi kuniumiza na uwatolea heshima" + +# wageuzwe + +Kuzuiliwa inazungumziwa kama kugeuzwa kutoka katika mashambulizi yao. "kuzuiwa" + +# Acha ... wanaosema, "Aha, aha!" + +"Acha wale wanaosema kwangu, 'Aha, aha!' washtuke kwa sababu ya aibu yao" + +# Acha washtuke kwa sababu ya aibu yao + +"Natamani washtuke utakapowaaibisha" + +# wale wanaosema kwangu, "Aha, aha!" + +"Aha, aha!" ni kitu wanachosema watu wakati wakimdhihaki mtu. + diff --git a/psa/040/016.md b/psa/040/016.md new file mode 100644 index 00000000..c408a835 --- /dev/null +++ b/psa/040/016.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# washangilie na kuwa na furaha + +Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na inasisitiza uzito wa furaha. "wawe na furaha sana" + +# wanaopenda wokovu wako + +"wanaokupenda kwa sababu umewaokoa" + +# maskini na mhitaji + +Maneno haya yanamaanisha kitu kimoja na yanasisitiza jisni mwandishi asivyojiweza. "mhitaji sana" + +# Bwana ananiwaza + +"Bwana ananijali" + +# Wewe ni msaada wangu ... unakuja kwa ukombozi wangu + +Misemo hii inamaanisha kitu kimoja. + +# Wewe ni msaada wangu + +"Wewe ndiye unaye nisaidia" + +# unakuja kwa ukombozi wangu + +"unakuja kunioka" + +# usichelewe + +"unijibu upesi" + diff --git a/psa/041/001.md b/psa/041/001.md new file mode 100644 index 00000000..06b747b5 --- /dev/null +++ b/psa/041/001.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# yeye ... atamwokoa ... zake + +Anayezungumziwa hapa ni mtu anayejihusisha na wanyonge. + +# wanyonge + +"watu wanyonge" au "watu maskini" + +# Yahwe atamsaidia katika kitanda cha mateso + +Msemo "kitanda cha mateso" inamaanisha mtu anapolala kitandani kwa sababu ni mgonjwa. "Akiwa mgonjwa na kitandani, Yahwe atamlinda" + +# utakifanya kitanda cha magonjwa yake kuwa kitanda cha uponyaji + +Msemo "kitanda cha uponyaji" inamaanisha mtu anapopumzika kitandani na kupona ugonjwa wake. "wewe, Yahwe, utamponya ugonjwa wake" + diff --git a/psa/041/004.md b/psa/041/004.md new file mode 100644 index 00000000..48871ec1 --- /dev/null +++ b/psa/041/004.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# jina lake lipotee + +Kama jina la mtu linakufa, inamaanisha kuwa watu wanasahau kuwa aliwahi kuishi. "jina lake litapotea lini" au "watu watasahau lini jina lake" + +# Kama adui wangu akija kuniona + +Maneno "adui wangu" inamaanisha adui yeyote kwa ujumla, na sio kwa adui bayana yeyoto. + +# anasema vitu visivyofaa + +Maana zinazowezekana ni 1) "anasema vitu vya kipuuzi" au 2) adui zake wanasema vitu kumfanya afikiri kuwa ni rafiki zake wakati sio. "anasema vitu vya udanganyifu" au "wanajifanya kumjali" + +# moyo wake unajikusanyia wenyewe maafa yangu + +Adui zake wanajaribu kujifunza vitu vyote vibaya kumhusu. Hapa neno "moyo" linamaanisha mtu mzima. Matukio mabaya yanazungumziwa kana kwamba ni vitu vinavyoweza kukusanywa. "anajaribu kujifunza kuhusu maafa yangu yote" + diff --git a/psa/041/007.md b/psa/041/007.md new file mode 100644 index 00000000..c599e43e --- /dev/null +++ b/psa/041/007.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wanatamani niumie + +Maana zinazowezekana ni 1) "wanatamani kwamba vitu vibaya sana vinikute" au 2) "wanapanga kunidhuru" + +# Ugonjwa uovu ... kwake + +Adui zangu wanazungumzia "ugonjwa" kana kwamba ni mtu aliyemkamata. "Ni mgonjwa na ugonjwa hatari" + +# Ugonjwa uovu + +Maana zinazowezekana ni 1) "ugonjwa wa mauti" au 2) "Kitu kiovu" + +# kwa sasa amelala chini, hatainuka tena + +Hapa maneno "amelala chini" inamaanisha kulala kitndani kwa sabau ya ugonjwa. Kuwa "hatainuka" inamaanisha ataendelea kulala chini, ambayo pia tasifida ya kifo. "kwa kuwa sasa yuko kitandani, atakufa hapo" + +# ameinua kisigo chake dhidi yangu + +Hii ni lahaja inayomaanisha rafiki yake amemsaliti. "amenisaliti" au "amegeuka dhidi yangu" + diff --git a/psa/041/010.md b/psa/041/010.md new file mode 100644 index 00000000..f31a32be --- /dev/null +++ b/psa/041/010.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Lakini wewe, Yahwe, unahuruma kwangu na unaniinua + +Hili ni ombi. "Tafadhali, Yahwe, uwe na huruma kwangu na niinue" + +# unaniinua + +Hii inamaanisha kumwinua kutoka kitandani, au kumponya kutoka kwenye ugonjwa wake. + +# ili niweze kuwalipa + +Mwandishi anazungumzia kisasi kwa adui zake kana kwamba ni kuwalipa anachodaiwa. "ili kwamba nilipe kisasi kwao" + +# Kwa hili najua kuwa unafurahishwa na mimi, kwa kuwa adui wangu hanishindi + +Neno "hili" inamaanisha kile ambacho mwandishi atasema baadaye. "Kwa sababu adui wangu hanishindi, natambua kuwa unafurahishwa na mimi" + +# Kwa hili najua kuwa unafurahishwa na mimi, kwa kuwa adui wangu hanishindi + +"Ukiniwezesha kutenda hilo, kwa matokeo ya adui zangu kushindwa kunishinda, nitajua kuwa umefurahishwa na mimi" + +# unanibeba katika uadilifu wangu + +"unanilinda kwa sababu ya uadilifu wangu" + +# utaniweka mbele ya uso wako + +Mwandishi anazungumzia kuwa katika uwepo wa Yahwe kama kuwa sehemu ambayo Yahwe anaweza kumuona na kuona uso wa Yahwe. "utaniweka pamoja na wewe" + diff --git a/psa/041/013.md b/psa/041/013.md new file mode 100644 index 00000000..a1b16fa8 --- /dev/null +++ b/psa/041/013.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mstari huu ni zaidi ya mwisho wa zaburi hii. Ni kauli ya kufunga ya kiabu chote cha kwanza cha Zaburi, kinachoanzia katika Zaburi 1 na kuishia na Zaburi 41. + +# kutoka milele na milele + +Hii inamaanisha tofauti mbili na inamaanishwa wakati wote. "milele" + +# Amina na Amina + +Neno "Amina" linarudiwa kusisitiza kukubaliwa kwa kilichosemwa. "Na hakika iwe hivyo" + diff --git a/psa/042/001.md b/psa/042/001.md new file mode 100644 index 00000000..409d8aee --- /dev/null +++ b/psa/042/001.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Maschili + +Hii inaweza kumaanisha mtindo wa muziki. + +# Kama mbawala anavyotweta kwa ajili ya kijito cha maji, vivyo hivyo ninakiua na wewe , Mungu + +Mwandishi analinganisha shauku yake kwa ajili ya Mungu na shauku ya mbawala kwa ajili ya maji. + +# anavyotweta + +kupumua kwa nguvu kutoka kwa mnyama au mtu aliyechoka sana au mwenye kiu + +# ninakiua na wewe , Mungu ... Ninakiu na Mungu + +Mwandishi anazungumzia hamu yake kubwa kwa ajili ya Mungu kana kwamba ni kiu kikali kwa ajili ya maji. + +# nitakuja lini nakutokea mbele za Mungu? + +Mwandishi haulizi swali hili ili kupata jibu bali kuonesha shauku yake kubwa ya kuwa mbele za Mungu. + diff --git a/psa/042/003.md b/psa/042/003.md new file mode 100644 index 00000000..3b9e2a33 --- /dev/null +++ b/psa/042/003.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Machozi yangu yamekuwa chakula changu + +Mwandishi anazungumzia machozi yake kana kwamba ni chakula anachokula. Hii inamaanisha kuwa ana huzuni sana hadi hawezi kula. "Machozi yangu ni kama chakula changu na sili kitu kingine" + +# mchana na usiku + +Msemo huu unamaanisha siku nzima kwa kutaja mwanzo wake na mwisho wake. "siku nzima" + +# adui zangu daima wanasema kwangu + +Huku ni kukuza kwa neno. Adui zake hawasemi haya muda wote; wanasema mara kwa mara. + +# Yuko wapi Mungu wako? + +Adui wa mwandishi wanatumia swali hili kumkejeli na kuonesha kuwa hawaoni Mungu wake akimsaidia. "Mungu wako hayuko hapa kukusaidia" + +# itisha akilini + +Hii ni lahaja inayomaanisha kuwaza au kukumbuka kitu. "kumbuka" + +# Ninamwaga nafsi yangu + +Hapa neno "nafsi" inamaanisha hisia. Mwandishi anazungumzia nafsi yake kana kwamba ni kimiminiko anachomwaga. Msemo unamaanisha kuwa anaeleza uchungu wake wa hisia. "ninaeleza huzuni yangu" + +# msongamano + +"kundi la watu" + +# furaha na sifa + +Msemo huu unatumia maneno mawili tofauti kueleza wazo moja. + diff --git a/psa/042/005.md b/psa/042/005.md new file mode 100644 index 00000000..58af5764 --- /dev/null +++ b/psa/042/005.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Kwa nini umeinama chini, nafsi yangu? Kwa nini umefadhaika ndani yangu? + +Mwandishi jizungumzia undani wake kama "nafsi" yake. Anajiuliza maswali haya kujikemea. "Sitakiwi kuinama chini. Sitakiwa kuwa na wasiwasi" + +# umeinama chini + +Mwandishi anazungumzia huzuni au kukata tamaa kana kwamba nafsi yake imeinama. "kukata tamaa" + +# Mtumaini Mungu + +Mwandishi anaendelea kuzungumza na nafsi yake na kuiamuru kumtumaini Mungu. + +# Mungu wangu, nafsi yangu + +Mwandishi anaanza kuzungumza na Mungu kuhusu nafsi yake. + +# Nina kuiitisha akilini + +Msemo huu unamaanisha kukumbuka au kuwaza kuhusu kitu. "Nina kuwaza" + +# nchi ya Yordani + +Hii inaweza kumaanisha Israeli ya kaskazini, ambapo mto Yordani huanzia. "nchi ambayo mto Yordani huanzia" + +# vilele + +juu ya milima + +# kilima cha Mizari + +Hili ni jina la kilima kwenye kitako cha mlima Hermoni. + diff --git a/psa/042/007.md b/psa/042/007.md new file mode 100644 index 00000000..401eba8e --- /dev/null +++ b/psa/042/007.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kilindi huita kilindi katika kelele cha maporomoko + +Neno "kilindi" inmaanisha maji yenye kina kirefu, ambapo hapa inawezekana ni vijito vinavyo tiririka chini ya mlima Hermoni. Mwandishi anavizungumzia kana kwamba ni watu wanaitana wanaposikia sauti yao ya kushuka katika mlima. + +# mawimbi yako yote ... yameenda juu yangu + +Mwandishi anazungumzia bahati yake mbaya na huzuni kana kwamba ni maji yenye kina kirefu yanayo mzamisha kwa wimbi moja baada ya jingine. + +# mawimbi yako na gharika + +Maneno haya mawili yanatumika pamoja kusisitiza ukubwa wa mawimbi. "mawimbi yako yote makubwa" + +# Yahwe ataamuru uaminifu wake wa agano + +Mwandishi anazungumzia uaminifu wa agano wa Yahwe kana kwamba ni mtu anayemwamuru kuwa naye. "Yahwe atanionesha uaminifu wake wa agano" + +# wimbo wake + +Maana zinazowezekana ni 1) "wimbo anaonipa" au "wimbo kumhusu" + +# Mungu wa uhai wangu + +"Mungu anayenipa uhai" + diff --git a/psa/042/009.md b/psa/042/009.md new file mode 100644 index 00000000..7a54d5fe --- /dev/null +++ b/psa/042/009.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nitasema kwa Mungu, mwamba wangu + +Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni mwamba mkubwa utakaotoa ulinzi dhidi ya mashambulizi ya adui. + +# Kwa nini ninaenda kuomboleza + +"Kwenda kuomboleza" nikufanya desturi zinazokaribiana na kuwa huzuni sana. + +# Kama na upanga ndani ya mifupa yangu + +Mwandishi anaelezea kukemea kwa adui zake kama kupokea kidondo hatari. + +# huwa wanasema kwangu + +Hii ni ukuzaji wa neno; adui zake hawasemi hivi kila wakati bali wanasema mara kwa mara. + +# Yuko wapi Mungu wako? + +Adui wa mwandishi wanatumia swali hili kumkejeli na kuonesha kuwa hawaoni Mungu wake akimsaidia. "Mungu wako hayuko hapa kukusaidia" + diff --git a/psa/042/011.md b/psa/042/011.md new file mode 100644 index 00000000..05502cfb --- /dev/null +++ b/psa/042/011.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa nini umeinama chini, nafsi yangu? Kwa nini umefadhaishwa ndani yangu? + +Mwandishi jizungumzia undani wake kama "nafsi" yake. Anajiuliza maswali haya kujikemea. "Sitakiwi kuinama chini. Sitakiwa kuwa na wasiwasi" + +# umeinama chini + +Mwandishi anazungumzia huzuni au kukata tamaa kana kwamba nafsi yake imeinama. "kukata tamaa" + +# Mtumaini Mungu + +Mwandishi anaendelea kuzungumza na nafsi yake na kuiamuru kumtumaini Mungu. + diff --git a/psa/043/001.md b/psa/043/001.md new file mode 100644 index 00000000..6fbcbef2 --- /dev/null +++ b/psa/043/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Mungu wa nguvu yangu + +Maana zinazowezekana ni 1) "Mungu unayenilinda" au 2) "Mungu unayenipa nguvu" + +# Kwa nini umenikataa? Kwa nini ninaomboleza kwa sababu ya ukandamizaji wa adui? + +Mwandishi anauliza maswali haya ili kulalamika kwa Mungu na kuonesha hisia yake, sio kupata jibu. + +# Kwa nini ninaomboleza + +"Kuomboleza" ni kufanya matendo yana onesha kuwa na huzuni sana. + +# kwa sababu ya ukandamizaji wa adui + +Neno "ukandamizaji" linaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "kwa sababu adui zangu wananikandamiza" + diff --git a/psa/043/003.md b/psa/043/003.md new file mode 100644 index 00000000..8ae40241 --- /dev/null +++ b/psa/043/003.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# tuma nuru yako na ukweli wako + +Mwandishi anazungumzia ukombozi wa Mungu kana kwamba ni nuru inayo mwonyesha njia na ukweli unaomfundisha jinsi ya kuishi. "niongoze kwa nuru yako na kweli" + +# mlima ... mtakatifu + +Hii inamaanisha mlima ulioko Yerusalemu ambapo hekalu lipo kwa hiyo ni hekalu lenyewe. + +# kwenye makazi yako + +"mahali ambapo unaishi" + +# Mungu furaha yangu inayozidi + +"Mungu ambaye ni furaha yangu kubwa sana" au "Mungu anayenipa furaha kubwa" + diff --git a/psa/043/005.md b/psa/043/005.md new file mode 100644 index 00000000..3b24880c --- /dev/null +++ b/psa/043/005.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa nini umeinama chini , nafsi yangu? Kwa nini umekasirika ndani yangu? + +Mwandishi anaelezea uwepo wake wa ndani kama "nafsi" yake. Anauliza maswali haya kujikemea mwenyewe. "Sitakiwi kuinama chini. Sitakiwi kuwa na wasiwasi" + +# umeinama chini + +Mwandishi anazungumzia huzuni au kukata tamaa kana kwamba nafsi yake imeinama. + +# Mtumaini Mungu + +Mwandishi anaendelea kuzungumza na nafsi yake na kuiamuru kumtumaini Mungu. + +# wokovu wangu na Mungu wangu + +Msemo "wokovu wangu" inamaanisha Mungu. Ikibidi, misemo miwili inaweza kuunganishwa. "Mungu wangu anayeniokoa" + diff --git a/psa/044/001.md b/psa/044/001.md new file mode 100644 index 00000000..77287c0a --- /dev/null +++ b/psa/044/001.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kihebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya wana wa Kora + +"Hii ni zaburi ambayo wana wa Kora waliandika." + +# Maschili + +Hii inaweza kuwa mtindo wa muziki. + +# Tumeskia kwa maskio yetu, Mungu + +Neno "maskio" linaongeza mkazo kwa kauli waliosikia na kuelewa vitu ambavyo mwandishi anataka kueleza. Mwandishi anaeleza kauli hii kwa Mungu. "Mungu, tumesikia vizuri" + +# katika siku zao, katika siku za kale + +Misemo yote hii miwili inatumia neno "siku" kumaanisha wakati ambao mababu wa watu wa Israeli walipokuwa hai. + +# Uliondoa mataifa + +"Ulilazimisha watu wa mataifa mengine kuondoka" + +# kwa mkono wako + +Hapa neno "mkono" linamaanisha nguvu ya Mungu. "kwa nguvu yako" + +# uliwapanda watu wetu + +Mwandishi anamzungumzia Mungu kusababisha Waisraeli kuishi katika nchi kana kwamba aliyokuwa akiwapanda katika udongo kama ambavyo angepanda mti. "uliwasababisha watu kuishi huko" + diff --git a/psa/044/003.md b/psa/044/003.md new file mode 100644 index 00000000..29cecde1 --- /dev/null +++ b/psa/044/003.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kwa upanga wao wenyewe + +Neno "upanga" linamaanisha nguvu ya kijeshi. "kwa kupigana na panga zao" au "kwa nguvu ya jeshi lao wenyewe" + +# mkono wao wenyewe + +Hapa neno "mkono" linamaanisha nguvu. "nguvu yao wenyewe" + +# na nuru ya uso wako + +"na nuru ya uso wako uliwapatia nchi kuwa mali yao" + +# mkono wako wa kuume, mkono wako + +Hapa neno "mkono" linamaanisha nguvu ya Mungu. Kwa pamoja zinaweka mkazo kwa ukuu wa nguvu ya Mungu. "nguvu yako kuu" + +# nuru ya uso wako + +Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuwaangalia kwa fadhila na kuwa na huruma kwao kana kwamba ni uso wa Yahwe ulitoa nuru kwa ajili yao. "huruma yako" au "fadhila zako" + +# ushindi kwa Yakobo + +Watu wa Israeli wanajulikana kwa jina la babu yao "Yakobo" + diff --git a/psa/044/005.md b/psa/044/005.md new file mode 100644 index 00000000..2c4577eb --- /dev/null +++ b/psa/044/005.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kupitia kwako ... kupitia + +"Kwako ... kwa" + +# tutasukuma ... kuwakanyaga chini ... inuka juu + +Mwandishi anazungumzia kushindwa kwa adui zake kana kwamba wako "chini" na kujiandaa kwao kupigana kana kwamba wako "juu." + +# kupitia jina lako + +Hapa neno "jina" linamaanisha nguvu na mamlaka ya Mungu. "kwa nguvu yako" + +# kuwakanyaga chini + +"kuwakanyaga chini ya miguu yako" au "kutembea juu yao" + diff --git a/psa/044/007.md b/psa/044/007.md new file mode 100644 index 00000000..04b3b22a --- /dev/null +++ b/psa/044/007.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# tumefanya majivuno yetu + +"tumejivuna" + +# tutatoa shukrani kwa jina lako + +Hapa neno "jina" linamaanisha Mungu mwenyewe. "tutakupa shukrani wewe" + diff --git a/psa/044/009.md b/psa/044/009.md new file mode 100644 index 00000000..75fc9856 --- /dev/null +++ b/psa/044/009.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# umetutupa + +Mwandishi anazungumzia kukataliwa kwa Israeli kana kwamba alikuwa akitupa nguo ambayo haitaki. "kutukataa" + +# ngawira + +mali ambazo jeshi hukusanya baada ya kushinda vita + +# Umetufanya kama kondoo waliokusudiwa kuwa chakula + +Mwandishi anafananisha Waisraeli na kondoo ambao watu huua na kula. Kama kondoo wasiojiweza mbele ya wale wanaowaua, kwa hiyo Waisraeli hawajiwezi mbele ya adui zao. "Umewaruhusu adui zetu kutuua kama wanavyoua kondoo na kumla" + +# waliokusudiwa kuwa chakula + +"tumekusudiwa kuwa chakula ambacho watu wanakula" + +# kututawanya miongoni mwamataifa + +"kutusababisha kuishi katika mataifa mengi tofauti" + diff --git a/psa/044/012.md b/psa/044/012.md new file mode 100644 index 00000000..f5288648 --- /dev/null +++ b/psa/044/012.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Unawauza watu wako bure + +Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuwaruhusu adui wa Israeli kuwashinda kana kwamba alikuwa akiwauza watu wa Israeli kwa adui zao lakini hahitaji malipo kutoka kwa adui zao. + +# Unatufanya kuwa lawama kwa jirani zetu, kudhihakiwa na kukejeliwa na wale waliotuzunguka + +Misemo hii miwili ina usambamba ikisisitiza jinsi watu wanaoishi miongoni mwao wanavyowakejeli. + +# Unatufanya kuwa lawama kwa jirani zetu + +"Unatufanya kuwa kitu ambacho jirani zetu wanakemea" + +# kudhihakiwa na kukejeliwa na wale waliotuzunguka + +"wale waliotuzunguka wanatudhihaki na kutukejeli" + +# fedheha miongoni ... kutikisa kichwa + +Misemo hii miwili ina usambamba ikisisitiza jinsi watu wanavyowakejeli kwa nguvu. + +# Umetufanya fedheha miongoni mwa mataifa + +Unayafanya mataifa yaliyo tuzunguka kutufedhehesha" + +# kutikisa kichwa miongoni mwa watu + +"jambo ambalo watu hutikisa vichwa" + +# kutikisa kichwa + +Hiki ni kitendeo ambacho watu walitumia kuonesha dharau wengine. + diff --git a/psa/044/015.md b/psa/044/015.md new file mode 100644 index 00000000..1b6e3716 --- /dev/null +++ b/psa/044/015.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# fedheha yangu iko mbele yangu + +Mwandishi anazungumzia fedheha kana kwamba ni kitu ambacho daima kiko mbele yake kwa ajili yake kuona. Msemo unamaanisha kuwa huwa anafikiria fedheha yake. "ninafikiria fedheha yangu" + +# aibu ya uso wangu umenifunika + +Mwandishi anazungumzia aibu yake kana kwamba ni kitu kinachomfunika kama blangeti. "aibu ya uso wangu imenilemea" + +# aibu ya uso wangu + +"aibu inayoonekana katika uso wangu." Hii inamaanisha mwonekano wa sura ambao unasababishwa na aibu yake. + +# kwa sababu ya sauti ya yule anyenikemea na kunifedhehesha + +Hapa neno "sauti"linamaanisha kitu ambacho mtu anasema. "kwa sababu ya kile ambacho mtu anasema anyenikemea na kunifedhehesha" + +# anyenikemea na kunifedhehesha + +Maneno haya yana maaza za kufanana na yanasisitiza uhalisia mbaya wa kile ambacho mtu huyu anasema. + diff --git a/psa/044/018.md b/psa/044/018.md new file mode 100644 index 00000000..fa50857b --- /dev/null +++ b/psa/044/018.md @@ -0,0 +1,52 @@ +# Moyo wetu haujageuka ... hazijatoka kwenye njia yako + +Misemo hii miwili in usambamba. Mwandishi anazungumzia uaminifu kwa Mungu kana kwamba ilikuwa kumfuata, na kutokuwa mwaminifu kana kwamba ni kumgeuka. + +# Moyo wetu haujageuka + +Hapa neno "moyo" linamaanisha hisia, hasa za uaminifu. "Hatujaacha kuwa waaminifu kwako" + +# umetuvunja sana + +Mwandishi anazungumzia adhabu za Mungu kana kwamba ilikuwa ni kuvunja chombo rahisi kuvunjika. "umetuadhibu vikali" + +# katika nafasi ya mbweha + +Mwandishi anazungumzia Israeli baada ya adhabu ya Mungu kana kwamba ilikuwa sehemu ya pori, ambapo mtu hawezi kuishi. "umefanya nchi yetu kama sehemu ambayo mbweha huishi" + +# mbweha + +aina ya mbwa pori + +# kutufunika na kivuli cha mauti + +Mwandishi anazungumzia mauti kana kwamba ni kitu kinachotoa kivuli juu ya wale wanaotaka kufa. "umetufanya ili tuwe karibu kufa" + +# Kama tumesahau jina la Mungu wetu + +Hapa neno "jina" linamaanisha Mungu mwenyewe. Kumsahau Mungu ni kuacha kumwabudu. Hili ni jambo ambalo halikutokea. "Kama tungemsahau Mungu wetu" au "Kama tungeacha kumwabudu Mungu wetu" + +# kusambaza mikono yetu kwa mungu mgeni + +Kusambaza mikono ni ishara ambayo watu walitumia kuabudu na kuomba kwa mungu yeyote. "waliabudu mungu mgeni" au "kuomba kwa mungu mgeni" + +# Je, Mungu hatalichunguza hili? + +Mwandishi anatumia swali hili kueleza kuwa Mungu atajua kama watamwabudu mungu mwingine. "Hakika Mungu atagundua" + +# anajua siri zatunauwawa siku nzima moyo + +Hapa neno "moyo" unamaanisha akili na mawazo. "anajua kile ambacho mtu anawaza kwa siri" + +# tunauwawa siku kutwa + +Msemo "siku kutwa" ni kukuza maneno kusisitiza kuwa watu wao wanauwawa mara kwa mara. "watu wanatuua kila wakati" + +# tumefanywa kuwa kondoo wa machinjo + +"watu wanatuona kama kondoo kwa ajili ya machinjo" + +# kondoo wa machinjo + +Mwandishi anafananisha Waisraeli na kondoo ambao watu huua na kula. Kama kondoo wasivyojiweza mbele ya wale wanaowaua, hivyo ndivyo Waisraeli wasivyojiweza mbele ya adui zao. + diff --git a/psa/044/023.md b/psa/044/023.md new file mode 100644 index 00000000..4a94482a --- /dev/null +++ b/psa/044/023.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Amka, kwa nini unalala, Bwana? + +Hii haimaanishi ya kuwa Mungu amelala kweli. Mwandishi anazungumzia Mungu kuonekana kama hatendi kitu kana kwamba amelala. Anauliza swali hili kumkemea Mungu kwa kuonekana kutokujali kuhusu taabu zao. "Amka! Naona kama umelala, Bwana!" + +# usitutupe + +Mwandishi anamzungumzia Mungu kuikataa Israeli kwamba alikuwa akitupa nguo ambayo haitaki. "usitukatae" + +# Kwa nini unaficha uso wako ... kukandamizwa kwetu? + +Mwandishi anatumia hili swali kulalamika kuwa Mungu anaonekana kutowajali. "Usifiche uso wako ... kukandamizwa kwetu." + +# unaficha uso wako + +Mwandishi anasungumzia Mungu kutowajali kana kwamba Mungu alikuwa akificha uso wake ili asiwaone. "kutujali" + +# kusahau mateso yetu na kukandamizwa kwetu + +Maneno "mateso" na "kukandamizwa " inamaanisha kitu kimoja na inaweka mkazo ya ukali wa mateso. "kusahau kuwa watu wanatutesana kutukandamiza" au "kusahau kuwa watu wanatutesa sana" + diff --git a/psa/044/025.md b/psa/044/025.md new file mode 100644 index 00000000..67d967a4 --- /dev/null +++ b/psa/044/025.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa kuwa tumeyeyuka kwenye mavumbi; miili yetu inang'ang'ania nchini + +Misemo hii ya usambamba ina maana za kufanana. Mwandishi anaelezea watu wake kama wamelala ardhini katika mkao wa kushindwa na kudhalilishwa. + +# Kwa kuwa tumeyeyuka kwenye mavumbi + +Mwandishi anazungumzia kudhalilishwa kwao kana kwamba miili yao ni vitu, kama barafu, inayoyeyuka na kulowa kwenye mchanga. + +# miili yetu inang'ang'ania nchini + +Mwandishi anazungumzia kudhalilishwa kwao kana kwamba miili yao ilikuwa imekwama kwenye ardhi na hawakuweza kujinyanyua juu. + +# inuka + +Hii ni amri ya kusimama. Msemo huu unamaanisha kuanza kutenda kitu. "Tenda jambo" + diff --git a/psa/045/001.md b/psa/045/001.md new file mode 100644 index 00000000..0173779a --- /dev/null +++ b/psa/045/001.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# weka katika Shoshannimu + +Hii inaweza kuwa mtindo wa mlio wa muziki. wakati mwingine inatafsiriwa kama "weka katika mlio wa 'yungiyungi.'" + +# Zaburi ya wana wa Kora + +"Hii ni zaburi ambayo wana wa Kora waliandika." + +# Maschili + +Hii inaweza kumaanisha mtindo wa muziki. + +# Wimbo wa upendo + +"Wimbo wa mapenzi" + +# Moyo wangu umefurika kwa neno zuri + +Mwandishi anazungumzia moyo wake kana kwamba ni chombo kinachofurika na kimiminiko. Neno "moyo" linawakilisha hisia zake, amabzo zinafurahishwa kwa nyimbo anazoimba. "Hisia zangu zinafuraha juu ya neno zuri" + +# neno zuri + +"wazo lenye uadilifu." Hii inamaanisha wimbo alioandika. + +# niliyotunga + +kuandika au kuunda wimbo + +# ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi aliye tayari + +Mwandishi anazungumzia ulimi wake kana kwamba ni kalamu. Anazungumza kwa ujuzi kama mwandishi mwenye uzoefu anavyoandika. "ulimi wangu ni kama kalamu ya mtu anayeandika vizuri" au "ninapozungumza kwa ujuzi kama mwandishi mwenye uzoefu anavyoweza kuandika maneno" + +# Wewe ni mzuri kuliko watoto wa wanadamu + +Msemo huu ni kukuza kwa neno na inasisitiza kuwa mfalme ni mzuri kwa mwonekano kuliko mtu mwingine. Msemo "watoto wa watu" ni lahaja inayomaanisha watu wote. "Una uzuri zaidi ya mtu mwingine yeyote" + +# neema imemwagwa katika midomo yako + +Mwandishi anazungumzia neema kana kwamba ni mafuta ambayo mtu ametumia kuitia mafuta midomo yake. Neno "midomo" linamaanisha maneno ya mfalme. Msemo huu unamaanisha kuwa mfalme anazungumza kwa ufasaha. "ni kana kwamba mtu ametia mafuta midomo yako kwa mafuta" au "unazungumza kwa ufasaha" + diff --git a/psa/045/003.md b/psa/045/003.md new file mode 100644 index 00000000..54f29ce6 --- /dev/null +++ b/psa/045/003.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Weka upanda wako pembeni yako + +Mashujaa walibeba mapanga yao katika makundi yalioning'inia kwenye mshipi katika viuno vyao. Upanga utakaa pembeni mwao. Msemo huu unaeleza tendo la mtu kujiandaa kwa ajili ya viti. "Jiandaeni kwa ajili ya vita" + +# uende kwa ushindi + +Mwandishi anamwambia mfalme kumpanda farasi wake au kibandawazi kuelekea katika ushindi. + +# kwa sababu ya uaminifu, upole, na haki + +Maana zinazowezekana ni 1) hizi ni sifa za mwenye nguvu. "kwa sababu u mwaminifu, mpole, na mwenye haki" au 2) sifa hizi anazopambana kushikilia kwa ajili ya watu anaowatawala. "ili kushika uaminifu, upole, na haki" + +# mkono wako wa kuume utakufundisha mambo ya kuogofya + +Askari walio wengi walishikia mapanga yao kwa mkono wao wa kuume walipopigana, ambayo mwandishi anazungumzia kana kwamba ni mtu anayeweza kumfunza mfalme kupitia uzoefu anaopitia vitani. "Utajifunza kutimiza matendo makubwa ya kijeshi kwa kupigana katika vita nyingi" + +# mambo ya kuogofya + +"matendo ya ajabu." Hii inamaanisha ushindi wa kijeshi unaowasababisha adui zake kumwogopa na rafiki zake kumheshimu sana. + diff --git a/psa/045/005.md b/psa/045/005.md new file mode 100644 index 00000000..7ca2228c --- /dev/null +++ b/psa/045/005.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# watu wanaanguka chini yako + +Msemo huu unamaanisha mfalme kuwashinda adui zake. Maana zinazowezekana ni 1) "watu wanaanguka miguuni mwako kwa kusalimu amri" au 2) "watu wanaanguka wakiwa wamekufa miguuni mwako." + +# mishale yako iko mioyo ya adui wa mfalme + +"mishale yako imechoma mioyo ya adui zako." Mwandishi anazungumza kwa mfalme huku akimweleza mfalme katika nafasi ya mtu wa tatu. + +# Kiti chako cha enzi ... ni wa milele na milele + +maneno "Kiti chako cha enzi" yanawakilisha ufalme na utawala wa mfalme. "Ufalme wako ... ni wa milele na milele" au "Utatawala ... milele na milele" + +# Kiti chako cha enzi, Mungu + +Maana zinazowezekana ni kwamba neno la "Mungu" 1) ni jina kwa ajili ya mfalme, ambaye ni mwakilishi wa Mungu au 2) linaboresha maneno "kiti cha enzi" na linamaanisha "Ufalme wako ambao Mungu amekupa" + +# fimbo ya hukumu ni fimbo ya ufalme wako + +Neno "fimbo" linawakilisha mamlaka ya mfalme kutawala ufalme wake. "unatawala ufalme wako kwa haki" + +# Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta ya furaha + +Mwandishi anazungumzia furaha kana kwamba ni mafuta ambayo Mungu alitumia kumtia mafuta mfalme. Mungu kumtia mafuta ni ishara inayowakilisha kwamba Mungu amemchagua kuwa mfalme. "Mungu alipokuchagua kama mfalme, alikufanya kuwa na furaha sana" + diff --git a/psa/045/008.md b/psa/045/008.md new file mode 100644 index 00000000..792287cb --- /dev/null +++ b/psa/045/008.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Hapa mwandishi anaanza kueleza kile kinachoonekana kuwa sherehe ya arusi ya mfalme na bibi arusi wake. + +# manemane, mshubiri ,na mdalasini + +Hii ni mimea yenye harufu nzuri ambayo watu hutumia kutengeneza manukato. + +# majumba ya mapembe + +Mapembe ni meno meupe magumu ya nje ya mnyama. Msemo huu unaelezea jumba lenye kuta na samani ambazo watu wamepamba kwa mapembe. + +# vyombo vya nyuzi vimekupa furaha + +Maneno "vyombo vya nyuzi" yanamaanisha muziki ambao watu hutengeneza kwa kucheza vyombo vya nyuzi. "muziki wa vyombo vya nyuzi umekufanya kuwa na furaha" + +# wanawake wenye heshima + +Hawa wanawake ni wake wa mfalme waliopokea kibali hiki. + +# malkia + +Hii inamaanisha mwanamke atakaye kuwa malkia. "bibi arusi wako, malkia" au "bibi arusi wako, atakaye kuwa malkia" + +# Ofiri + +Hili ni jina la sehemu iliyokuwa ikijulikana kwa dhahabu yake safi. " Mahali hapajulikani. + diff --git a/psa/045/010.md b/psa/045/010.md new file mode 100644 index 00000000..57abddcb --- /dev/null +++ b/psa/045/010.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Sikiliza, binti + +Mwandishi anaanza kuzungumza na malkia na anamuita kama "binti" yake kwa sababu ni msichana mdogo. + +# tega sikio lako + +Mwandishi anazungumzia kusikiliza kitu kwa makini kana kwamba ni kuinamisha sikio la mtu kuelekea kwa mtu anayezungumza. "sikiliza kwa makini" + +# wasahau watu wako mwenyewe + +Mwandishi anamzungumzia malkia kuacha kufuata imani na desturi za watu wake wa asili kana kwamba ni kuwasahau. "usifuate tena desturi za watu wako" + +# nyumba ya baba yako + +Hapa neno "nyumba" linamaanisha familia. "ndugu zako" + +# Katika njia hii + +"na" au "kwa hiyo" + +# mfalme atatamani uzuri wako + +Hii ni njia ya ustarabu ya kusema kuwa mfalme atataka kulala na malkia kama mke wake. + diff --git a/psa/045/012.md b/psa/045/012.md new file mode 100644 index 00000000..b5ac6ec9 --- /dev/null +++ b/psa/045/012.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendelea kuzungumza na malkia. + +# Binti wa Tiro + +Mwandishi anazungumza na watu wanaoishi Tiro kana kwamba ni watoto wa Tiro. "Watu wa Tiro" + +# binti wa kifalme + +Hii inamaanisha mwanamke ambaye mfalme atamuoa. "Bibi arusi wa mfalme" + +# amependeza + +"mzuri sana." Hii inamaanisha mwonekano wa mwanamke. + +# mavazi yake yameundwa kwa dhahabu + +Mavazi yake yamepambwa au kushonwa kwa dhahabu. "anavaa mavazi ambayo mtu ameshona kwa uzi wa dhahabu" + diff --git a/psa/045/014.md b/psa/045/014.md new file mode 100644 index 00000000..aed50292 --- /dev/null +++ b/psa/045/014.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendelea kuzungumza kuhusu malkia lakini anaanza kwa kuzungumza na mfalme kwanza. + +# Ataongozwa kwenda kwa mfalme na nguo ya tarizi + +"Watu watamwongoza kwenda kwa mfalme akiwa amevaa nguo ya tarizi" + +# tarizi + +mtindo ulioundwa kwa kushona nyuzi za rangi kwenye nguo + +# wanawali, wenzake wanaomfuata, wataletwa kwako + +Hapa neno "kwako" inamaanisha mfalme. "watu watakuletea wanawali, wenzake wanaomfuata" + +# Wataongozwa kwa furaha na shangwe + +Msemo huu unaeleza "furaha na shangwe" kama mtu anayewaongoza wengine kusherehekea. "Furaha na shangwe zitawaongoza" au "Wataenda kwa furaha na shangwe" + +# furaha na shangwe + +Maneno haya mawili yana maana moja na yanasisitiza ukali wa furaha. "furaha kubwa" + diff --git a/psa/045/016.md b/psa/045/016.md new file mode 100644 index 00000000..04cd100c --- /dev/null +++ b/psa/045/016.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kauli Unganishi: + +Mwandishi anaendelea kuzungumza na mfalme. + +# Katika sehemu ya baba zako watakuwa watoto wako + +Hii inamaanisha wana wa mfalme watachukua nafasi yake kama mfalme, kama yeye alivyochukua nafasi ya mababu zake. + +# utafanya wakuu duniani kote + +Msemo "duniani kote" ni kukuza kwa neno kusisitiza kwamba atatawala juu ya mataifa mengi. "utafanya watawala juu ya mataifa mengi" + +# Nitalifanya jina lako likumbukwe katika vizazi vyote + +Hapa "atakayefanya" ni mwandishi. Neno "jina" linamaanisha tabia ya mfalme na sifa yake. "Nitawasababisha watu katika kila kizazi kujua kuhusu ukuu wako" + diff --git a/psa/046/001.md b/psa/046/001.md new file mode 100644 index 00000000..f9a26daf --- /dev/null +++ b/psa/046/001.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya wana wa Kora + +"Hii ni zaburi ambayo wana wa Kora waliandika" + +# weka katika Alamothi + +Hii inaweza kumaanisha aina ya muziki. + +# Mungu ni kimbilio letu na nguvu yetu + +Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni sehemu ambapo watu wanaweza kwenda kwa ajili ya usalama. "Mungu hutupa ulinzi na nguvu" + +# milima itikiswe katika moyo wa bahari + +Mwandishi anazungumzia kilindi cha chini zaidi ya bahari kana kwamba ni moyo wa bahari. Hapa anaelezea tetemeko la dunia linalo sababisha milima kumeng'enya na kuanguka baharini. "milima inatakiwa kutikisika kwa nguvu sana hadi ianguke kwenye vilindi vya bahari" + +# ingawa maji yake yanaunguruma na kukasirika + +"ingawa maji ya bahari wanaunguruma na kukasirika." Maneno "kuunguruma" na "kukasirika" yanaelezea kusogea kwa nguvu kwa bahari wakati wa dhoruba kali. + +# milima inatetemeka katika kuvimba kwake + +Msemo "kuvimba kwake" kinamaanisha maji ya bahari yanapoinuka na kugonga milima. "kuvimba kwa maji kunasababisha milima kutetemeka" + diff --git a/psa/046/004.md b/psa/046/004.md new file mode 100644 index 00000000..04f462f8 --- /dev/null +++ b/psa/046/004.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kuna mto, mikondo ambayo huufanya mji wa Mungu kuwa na furaha + +"Kuna mto ambao mikondo yake huufanya mji wa Mungu kuwa na furaha." Hii picha ya mto unaotiririka inaashiria amani na mafanikio kwa ajili ya mji wa Mungu. + +# huufanya mji wa Mungu kuwa na furaha + +Msemo "mji wa Mungu" unamaanisha yerusalemu, ambao mwandishi anauzungumzia kama mtu anayeweza kuwa na furaha. "huwafanya watu wanaoishi Yerusalemu kuwa na furaha" + +# sehemu takatifu za hema takatifu za Aliye juu + +Msemo huu unaelezea "mji wa Mungu." Wingi wa mahema unaweka mkazo katika wazo kwamba hapa ni mahali patakatifu pa Mungu kuishi. "sehemu takatifu anapoishi Aliye juu" + +# katikati yake; hatasogezwa ... atamsaidia. + +Panapozungumziwa na "mji wa Mungu." + +# hatasogezwa + +Hapa neno "kusogezwa " ni sawa na neno linalotafsiriwa "kutikiswa" katika 46:1. Mwandishi anazungumzia uharibifu wa Yerusalemu kwa majeshi kana kwamba tetemekolingeuangamiza. "hakuna kitu kitakachoweza kuuangamiza" + diff --git a/psa/046/006.md b/psa/046/006.md new file mode 100644 index 00000000..19029a8b --- /dev/null +++ b/psa/046/006.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mataifa yalikasirika + +Hapa neno "kukasirika" ni neno sawa mwandishi alilotumia katika 46:1 kuelezea maji ya bahari. Mwandishi anazungumzia uoga wa mataifa kana kwamba ni kusogea kwa fujo kwa bahari wakati wa dhoruba. "mataifa yanaogopa" + +# falme zilitikiswa + +Hapa neno "kutikiswa" ni neno sawa ambalo mwandishi alitumia katika 46:1 kuelezea madhara ya tetemeko kwenye milima. Mwandishi anazungumzia kuangushwa kwa falme na majeshi kana kwamba tetemeko litawaangamiza. "majeshi yanapindua falme" + +# akainua sauti yake + +"Mungu akainua sauti yake." Mwandishi anazungumzia "sauti" kana kitu amabcho mtu anaweza kuinua na kuweka hewani. Hii inamaanisha kwamba sauti inakua ya sauti zaidi. "Mungu alipaza sauti" + +# dunia ikayeyuka + +Mwandishi anazungumzia dunia kama kitu, kama barafu, inayoweza kuyeyuka. Hapa "'dunia" inawakilisha binadamu, na kuyeyuka inawakilisha uoga. "watu wa duniani wanatetemeka kwa uoga" + +# Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu + +Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni sehemu ambayo watu wanaweza kwenda kwa ajili ya ulinzi. "Mungu wa Yakobo anatupa ulinzi" + +# Mungu wa Yakobo + +Maana zinazowezekana ni 1) "Mungu ambaye Yakobo alimwabudu" au 2) "Yakobo: ni njia nyingine ya kusema taifa la Israeli na inamaanisha "Mungu wa Israeli." + diff --git a/psa/046/008.md b/psa/046/008.md new file mode 100644 index 00000000..d46d2c74 --- /dev/null +++ b/psa/046/008.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hufanya vita kukoma + +"Hufanya mataifa kuacha kupigana vita" + +# hadi mwisho wa dunia + +Huu ni msemo wa nahau unaomaanisha sehemu zote duniani. "sehemu zote duniani" + +# huvunja upinde ... huunguza ngao + +Njia moja ambayo Yahwe atakomesha vita vyote kwa kuangamiza silaha ambazo majeshi hutumia kupigania. + diff --git a/psa/046/010.md b/psa/046/010.md new file mode 100644 index 00000000..f95d985a --- /dev/null +++ b/psa/046/010.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kuwa kimya na ujue kuwa mimi ni Mungu + +Hapa, Mungu anaanza kuzungumza. + +# Kuwa kimya + +Katika hali hii, maneno haya yanawezekana kuwa ni amri kwa mataifa kukomesha vita vyao. "Acheni kupigana" + +# ujue kuwa mimi ni Mungu + +Hapa neno "kujua" inamaanisha kuelewa na kukiri kuwa Yahwe ndiye Mungu wa kweli. + +# Nitatukuzwa katika mataifa; nitatukuzwa duniani + +Misemo hii miwili inamaana sawa na inasisitiza kuwa watu wa kila taifa duniani watamtukuza Mungu. "Watu katika kila taifa watanitukuza; watu duniani kote watanitukuza" + +# Yahwe wa majeshi yuko nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu + +Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni sehemu ambayo watu wanaweza kwenda kwa ajili ya ulinzi. + diff --git a/psa/047/001.md b/psa/047/001.md new file mode 100644 index 00000000..5688cdf8 --- /dev/null +++ b/psa/047/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya wana wa Kora + +"Hii ni zaburi iliyoandikwa na wana wa Kora" + +# Piga makofi + +Kupiga makofi inahiusishwa na sherehe. "Piga makofi kwa kusherehekea" + +# piga kelele kwa Mungu na sauti ya ushindi + +piga kelele kwa Mungu na sauti za furaha." Hapa neno "ushindi" inamaanisha furaha inayohusiana na ushindi + diff --git a/psa/047/003.md b/psa/047/003.md new file mode 100644 index 00000000..1e3e7637 --- /dev/null +++ b/psa/047/003.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Anawatiisha watu chini yetu na mataifa chini ya miguu yetu. + +Misemo hii miwili ina usambamba na inamaanisha kuwa Mungu aliwezesha Israeli kuwashinda adui zake. + +# Anawatiisha + +Kushinda na kuweka chini ya mamlaka ya mwingine + +# chini yetu ... chini ya miguu yetu + +Mwandishi anazungumzia kuyashinda mataifa mengine kana kwamba ilikuwa kuyaweka mataifa hayo chini ya miguu yao. + +# Anatuchagulia urithi wetu + +Mwandishi anazungumzia nchi ya Israeli kana kwamba ilikuwa ni urithi ambao Mungu aliwapa watu kama mali ya milele. "Anachagua nchi hii kama urithi wetu" + +# utukufu wa Yakobo + +Hapa neno "utukufu" inmaanisha chanzo cha majivuno na linaashiria nchi ambayo Mungu amewapa watu wake kama urithi. "nchi ambayo Yakobo anajivunia" + +# Yakobo aliyempenda + +Neno "Yakobo" linaashiria taifa la Israeli. + +# Mungu ameenda juu kwa shangwe + +Mwandishi anamzungumzia Mungu kuyashinda mataifa kana kwamba Mungu alikuwa mfalme anaye panda kwenye kiti chake cha enzi, kilicho kuwa hekaluni. "Mungu ameenda juu kwenye hekalu wakati watu wakipiga shangwe" (UDB) au "Mungu amepanda kwenye kiti chake cha enzi wakati watu wakipiga shagngwe" + +# Yahwe kwa sauti ya tarumbeta + +Msemo huu uko sambamba na msemo uliopita. Kitenzi kinaweza kuwekwa kuweka wazi. "Yahwe ameenda juu wakati watu wakipuliza tarumbeta" + diff --git a/psa/047/006.md b/psa/047/006.md new file mode 100644 index 00000000..12283da5 --- /dev/null +++ b/psa/047/006.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mwimbieni sifa Mungu, imbeni sifa; imbeni sifa kwa mfalme wetu, imbeni sifa + +Msemo "imbeni sifa" unarudiwa kwa ajili ya msisitizo. "Mwimbieni, mwimbieni sifa Mungu; imbeni, imbeni sifa kwa mfalme wetu" + diff --git a/psa/047/008.md b/psa/047/008.md new file mode 100644 index 00000000..c0ab5970 --- /dev/null +++ b/psa/047/008.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wakuu wa watu + +"Viongozi wa mataifa yote" + +# wamekusanyika pamoja kwa watu + +Maana zinazowezekana ni kwamba watawala wa mataifa 1) "wanakusanyika mbele ya mataifa" (UDB) au 2) "walikusanyika pamoja na watu" ili wote wamwabudu Mungu kama mfalme. + +# ngao za ulimwengu ni za Mungu + +Maana zinazowezekana ni kwamba "ngao" 1) zinamaanisha vifaa vya vita. "Mungu ana uwezo zaidi ya silaha za wafalme wote dunia" (UDB) au 2) inamaanisha viongozi wa mataifa ambao wanazungumzia kama ngao ambazo zinalinda mataifa yao. "wafalme wa duniani wako chini ya Mungu" + diff --git a/psa/048/001.md b/psa/048/001.md new file mode 100644 index 00000000..366a150c --- /dev/null +++ b/psa/048/001.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Huu ni wimbo kuhusu Yerusalemu kuwa sehemu ya kuishi ya Mungu. + +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# zaburi ya wana Kora + +"hii ni zaburi ambayo wana wa Kora waliandika" + +# mwenye kusifiwa sana + +"watu wanapaswa kumsifu sana" + +# mji wa Mungu wetu katika mlima wake mtakatifu + +Hii inamaanisha Yerusalemu, iliyojengwa katika mlima Sayuni. + +# mji wa Mungu wetu + +Maana zinazowezekana ni 1) "mji ambao Mungu wetu huishi" au 2) "mji ulio wa Mungu wetu" + +# Mzuri katika kuinuka + +"Mzuri na juu." Neno "kuinuka" linamaanisha jinsi mlima Sayuni ulivyo juu. + +# furaha ya dunia yote, ni mlima Sayuni + +Hapa neno "dunia" linamaanisha kila mtu anayeishi duniani. "Mlima Sayuni huwapa watu wote duniani furaha" au "watu wote wanafurahi kwa sababu ya mlima Sayuni" + +# katika pande za kaskazini + +Maana zinazowezekana ni kwamba msemo huu 1) unamaanisha mwelekeo wa kaskazini au 2) ni jina jingine la mlima sayuni linalomaanisha "mlima wa Mungu." + +# Mungu amejifanya kujulikana katika majumba yake kama sehemu ya kukimbilia + +Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni sehemu ambapo watu wanaweza kwenda kwa ajili ya usalama. "Mungu amejifanya kujulikana kama yule anayetoa usalama kwa watu katika majumba ya mlima Sayuni" + diff --git a/psa/048/004.md b/psa/048/004.md new file mode 100644 index 00000000..48690271 --- /dev/null +++ b/psa/048/004.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# tazama + +Neno "tazama" hapa linataka tuwe macho na kuzingatia taarifa ya kushangaza inayofuata. + +# wamejikusanya + +Hii inamaanisha kwamba wafalme wa mataifa walikusanya majeshi yao. "walikusanya majeshi yao" + +# wakapita pamoja + +"kwa pamoja walipita Yerusalemu" + +# Wakaona + +"Wakaona Yerusalemu" + +# hawakufadhaika + +"taabika sana" + +# Kutetemeka kuliwashika + +Mwandishi anazungumzia hofu ya wafalme kana kwamba ni mtu aliyesababisha wafalme na majeshi yao kutetemeka. "Huko walitetemeka kwa hofu" + +# maumivu kama ya mwanamke mwenye uchungu wa kuzaa + +Mwandishi anazungumzia hofu ya wafalme kana kwamba ni maumivu ambayo mwanamke hupitia wakati wa kuzaa na kuzungumzia maumivu haya kana kwamba ni mtu. "maumivu yaliwashika, kama mwanamke aliye katika uchungu wa kuzaa" au "wakaogopa, kama mwanamke anavyoogopa kupitia maumivu ya kuzaa" + diff --git a/psa/048/007.md b/psa/048/007.md new file mode 100644 index 00000000..eee05ecc --- /dev/null +++ b/psa/048/007.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Na upepo wa mashariki unavunja meli za Tarshishi + +Maana zinazowezekana ni 1) hii ni sitiari ambayo mwandishi anawaelezea wafalme kuwa na hofu kana kwamba ni meli zinazotikisika kwa sababu Mungu anaziangamiza kwa upepo mkali. "Walitikisika kwa hofu, kama meli za Tarshishi zinavyotikisika unapozivunja na upepo wa mashariki" au 2) hii ni alama ya kifupisho ambayo mwandishi anaelezea nguvu kuu ya Mungu. + +# upepo wa mashariki + +Maana zinazowezekana ni 1) "upepo unaopuliza kutoka mashariki" au 2) "upepo mkali." + +# meli za Tarshishi + +Maana zinazowezekana ni kuwa hii inamaanisha 1) meli zinazosafiri kwenda Tarshishi au zimetengenezwa katika mji wa Tarshishi au 2) meli yoyote kubwa ya kwenda baharini. + +# Kama tulivyosikia + +Inadokezwa kuwa kile walichosikia ni mambo makubwa ambayo Mungu ametenda kipindi cha nyuma. "Kama tulivyosikia kuhusu mambo makubwa ambayo Mungu ametenda" + +# ndivyo tulivyoona + +Hii inamaanisha kuwa wameona kithibitisho kuwa vitu walivyosikia ni vya kweli. "kwa hiyo tumeona Mungu akifanya mambo makuu sasa" + +# katika mji wa Yahwe wa majeshi, katika mji wa Mungu wetu + +Misemo hii miwili inamaanisha Yerusalemu. "katika mji wa Mungu wetu, Yahwe wa majeshi" + +# imarisha + +"ifanye kuwa imara." Hapa neno "imarisha" linamaanisha kutunza na kufanya kitu kuwa salama. + diff --git a/psa/048/009.md b/psa/048/009.md new file mode 100644 index 00000000..c5402229 --- /dev/null +++ b/psa/048/009.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# katikati ya hekalu lako + +"kama tulivyo kwenye hekalu lako" + +# Kama jina lako lilivyo ... ndivyo ilivyo sifa yako hadi mwisho wa dunia + +Hapa neno "jina" linawakilisha tabia ya Mungu na sifa yake. Misemo hii miwili inalinganisha ukuu wa sifa ya Mungu na jinsi watu wanavyomsifu sana. "Jina lako ni kuu sana ... na kwa hiyo watu duniani kote wanakusifu sana" au "Watu duniani kote wamesikia kukuhusu ... kwa hiyo watu duniani kote wanakusifu" + +# hadi mwisho wa dunia + +Huu ni msemo wa nahau unaomaanisha sehemu zote duniani. + +# mkono wako wa kuume umejaa haki + +Mwandishi anazungumzia haki kana kwamba ni kitu ambacho Mungu anaweza kushika mkononi mwake. Hapa neno "mkono" unamaanisha uwezo na mamlaka ya Mungu kutawala. "unatawala kwa haki" au "wewe ni mwenye haki unapotawala" + diff --git a/psa/048/011.md b/psa/048/011.md new file mode 100644 index 00000000..5ad178f4 --- /dev/null +++ b/psa/048/011.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Acha mlima Sayuni ufurahi + +Mwandishi anazungumzia mlima Sayuni kana kwamba ni mtu anayeweza kufurahi. Msemo unamaanisha watu wanaoishi Yerusalemu. "Acha wale wanaoishi mlima Sayuni wafurahi" + +# acha binti wa Yuda wafurahi + +Mwandishi anazungumzia miji ndani ya Yuda kana kwamba ni watoto wa Yuda. Msemo huu unamaanisha watu wanaoishi katika miji hio. "acha watu wanaoishi katika miji ya Yuda wafurahi" + diff --git a/psa/048/012.md b/psa/048/012.md new file mode 100644 index 00000000..fb7129c7 --- /dev/null +++ b/psa/048/012.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tembeeni katika mlima Sayuni, mzungukeni + +Misemo hii miwli ina usambamba. "Tembeeni kote mkiuzunguka mlima Sayuni" + +# angalieni vizuri + +"angalieni kwa umakini" + diff --git a/psa/048/014.md b/psa/048/014.md new file mode 100644 index 00000000..12061200 --- /dev/null +++ b/psa/048/014.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# atakuwa mwongozo wetu + +"atatuongoza" + +# hadi kifo + +Maana zinazowezekana ni 1) "hadi tufe" au 2) "milele." + diff --git a/psa/049/001.md b/psa/049/001.md new file mode 100644 index 00000000..168555fb --- /dev/null +++ b/psa/049/001.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya wana wa Kora + +"Hii ni zaburi ambayo wana Kora waliandika" + +# Sikieni haya, enyi watu wote; toeni maskio, wakazi wote + +Misemo hii miwili ina usambamba. Kwa pamoja inaimarisha amri kwa watu wote kusikiliza. + +# toeni maskio + +Huu ni msemo wa nahau unaomaanisha kutumia maskio kusikiliza. "sikilizeni" + +# wote wa chini na juu + +Mwandishi anazungumzia watu walio wanyonge au wasio wa muhimu katika jamii kama kuwa chini na watu walio muhimu na wenye uwezo kama kuwa juu. Kwa pamoja, maneno "chini" na "juu" wanawakilisha watu wote. "wote watu muhimu na watu ambao sio wa muhimu" au "watu wa daraja katika jamii" + +# tajiri na maskini pamoja + +Kwa pamoja, maneno "tajiri" na "maskini" yanamaanisha watu wote, bila kujali mali. "watu wote" + diff --git a/psa/049/003.md b/psa/049/003.md new file mode 100644 index 00000000..884ff43e --- /dev/null +++ b/psa/049/003.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mdomo wangu utazungumza hekima + +Hapa neno "mdomo" inamaanisha mtu anayezungumza. "Nitazungumza maneno ya hekima" + +# kutafakari kwa moyo wangu kutakuwa kwa uelewa + +Hapa neno "moyo" linawakilisha akili na mawazo. "mawazo ambayo ninatafakari yatanielekeza kwenye uelewa" + +# tega sikio langu + +Mwandishi anazungumzia kusikiliza kitu kwa makini kana kwamba ni kuinamisha sikio la mtu kwa mtu anayezungumza. "sikiliza kwa makini" + +# kwa kinubi + +"kama ninavyocheza kinubi" + +# Kwa nini niogope ... visigino vyangu? + +Mwandishi anatumia wali hili kuweka mkazo kwamba hakuna sababu ya kuogopa vitu vibaya vinapotokea. "Sina sababu ya kuogopa ...visigino vyangu." + +# siku za uovu + +"vitu viovu vikitokea." Hapa neno "siku" linamaanisha nyakati kwa ujumla. + +# udhalimu unaponizunguka katika visigino vyangu + +Maana zinazowezekana ni 1) mwandishi anazungumzia hamu za uovu za adui zake kana kwamba ni mnyama anayewinda wanyama wengine aliye tayari kumpita. "wakati udhalimu wa watu wenye dhambi unapokuwa tayari kunishinda" au 2) adui wa mwandishi wanamzunguka wakati wanatenda udhalimu wao. "adui zangu wanaponizunguka" + diff --git a/psa/049/006.md b/psa/049/006.md new file mode 100644 index 00000000..7490b84f --- /dev/null +++ b/psa/049/006.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wale wanaotumaini katika mali zao + +Watu hawa wanatumaini kuwa mali zao zitawaepusha na mateso. + +# kuhusu kiasi cha utajiri wao + +kiasi kikubwa cha kitu + +# Ni hakika kuwa hakuna mtu + +"Hakuna namna ambayo yeyote anaweza" au "Hakuna anayeweza" + +# hakuna mtu anayeweza kumkomboa ndugu yake au kumlipa Mungu kwa ajili yake + +Misemo yote hii inaeleza kuwa mtu hawezi kumpa Mungu fedha ya kutosha ya kuepuka kifo. "hakuna mtu anayeweza kulipa fedha kwa Mungu ili ndugu yake asife" + +# ukombozi wa maisha ya mtu ni gharama + +"inagharimu sana kukomboa maisha ya mtu" + diff --git a/psa/049/009.md b/psa/049/009.md new file mode 100644 index 00000000..463cf73c --- /dev/null +++ b/psa/049/009.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ili mwili wake usioze + +Hii inamaanisha mwili kuoza katika kaburi. + +# ataona uozo + +Mwandishi anazungumzia kupitia kitu kana kwamba ilikuwa ni kukiona hicho kitu. "atakufa na mwili wake kuoza" + +# Watu wenye hekima hufa; mpumbavu na mjinga wote wanaangamia + +Mwandishi anamaanisha watu wote kwa kuwataja wale walio na hekima nyingi zaidi na kidogo zaidi. + +# mjinga + +mtu ambaye hajui kitu + diff --git a/psa/049/011.md b/psa/049/011.md new file mode 100644 index 00000000..bcef69a9 --- /dev/null +++ b/psa/049/011.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mawazo yao ya ndani + +"Imani yao" + +# nasehemu wanazoishi, kwa vizazi vyote + +"na sehemu wanazoishi zitaendelea vizazi vyote" + +# wanaita ncho baada ya majina yao + +"wanaita nchi zao kwa majina yao wenyewe." "wanamiliki nchi zao wenyewe" + diff --git a/psa/049/012.md b/psa/049/012.md new file mode 100644 index 00000000..c6257cd8 --- /dev/null +++ b/psa/049/012.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Lakini mtu, akiwa na mali + +"Lakini mtu, hata kama ana mali" + +# Hii, njia yao, ni upuuzi wao + +Mwandishi anazungumzia hatima ya wapumbavu kana kwamba ni mwisho wao katika njia wanayotembea. "Hii ndio hatima ya wale wanaotenda upuuzi" + +# lakini baada yao + +"lakini baada ya kufa" + diff --git a/psa/049/014.md b/psa/049/014.md new file mode 100644 index 00000000..559ae335 --- /dev/null +++ b/psa/049/014.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Mwandishi anaendelea kuwaelezea watu wanaoamini kuwa mali yao itawaokoa. + +# Kama kondoo + +Mwandishi anawafananisha watu watakaokufa kama kundi la kondoo. Kama kondoo amabvyo hawawezi kutoroka wakati bucha anapoamua kuwachinja, kwa hiyo watu hawatatoroka ukifika wakati wao kufa. + +# wamechaguliwa + +"Mungu amewachagulia" + +# mauti itakuwa mchungaji wao + +Mwandishi anazungumzia watu kufa kwa kutaja mauti kama mtu ambaye ni mchungaji anayewaongoza katika kaburi. "mauti itawapeleka kama mchungaji anavyowaongoza kondoo kwenda machinjioni" + +# asubuhi + +Hapa neno "asubuhi" ni sitiari inayomaanisha wakati ambapo Mungu atawathibitisha watu wenye haki na kuwaokoa kutoka kwa watu waovu. + +# miili yao itamezwa kuzimu + +Mwandishi anazungumzia kuzimu, sehemu ya wafu, kana kwamba ni mtu au mnyama. Anazungumzia uozo wa miili iliyokufa kana kwamba kuzimu inaila. "miili yao itaoza kaburini" + +# Mungu atakomboa maisha yangu kutoka kwenye nguvu ya kuzima + +Mwandishi anazungumzia kuzimu kana kwamba ni mtu aliye na nguvu juu ya wale walio kufa. Kutokana na muktadha, inadokezwa kwamba uwezo huu unamaanisha kuteketeza miili ya wafu. + +# Mungu atakomboa maisha yangu + +Hapa neno "maisha" linamaanisha mtu mzima. "Mungu atanikomboa" + diff --git a/psa/049/016.md b/psa/049/016.md new file mode 100644 index 00000000..141d14c7 --- /dev/null +++ b/psa/049/016.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# utukufu wa nyumba yake unaongezeka + +neno "utukufu" hapa unamaanisha mali au utajiri. Maana zinazowezekana ni 1) "atakapopata utajiri zaidi katika nyumba yake" au 2) "familia yake inapokuwa tajiri zaidi." + +# hatachukua kitu + +"hatachukua kitu chochote kwenda nacho kaburini" + +# utukufu wake hautamfuata chini + +Msemo "kwenda chini" unamaanisha wakati mtu anapokufa. "utukufu wake hautamfuata atakapokufa" au "hatatunza sifa yake atakapokufa" + diff --git a/psa/049/018.md b/psa/049/018.md new file mode 100644 index 00000000..097bac90 --- /dev/null +++ b/psa/049/018.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Akabariki nafsi yake + +Hapa neno "nafsi" linamaanisha mtu mzima. Msemo huu unamaanisha kuwa alijiona kuwa na furaha na mafanikio kwa sababu ya utajiri wake. "Akajipongeza mwenyewe" + +# na watu wanakusifu unapoishi kwa ajili yako mwenyewe + +Hapa mwandishi anatoa kauli ya ujumla kuhusu jinsi watu wanavyozungumza kuhusu watu wengine waliofanikiwa kulingana na mtazamo wa kidunia. + +# unapoishi kwa ajili yako mwenyewe + +Msemo huu unamaanisha kuishi kwa mafanikio kulingana na mtazamo wa kidunia. "fanya vyema kwa ajili yako" au "ishi kwa mafanikio" + +# ataenda katika kizazi cha baba zake + +"ataenda mahali kizazi cha baba yake kilipo." Hii ni tasifida inayomaanisha kwamba mtu tajiri atakufa na kuungana na mababu zake kaburini. "ataungana na mababu zake kaburini" + +# hawataona nuru tena + +wale ambao "hawataona" ni mtu tajiri na mababu zake. Neno "nuru" inaweza kuwa inamaanisha jua au ni sitiari ya uhai. "hawataliona jua tena" au "hawataishi tena" + diff --git a/psa/050/001.md b/psa/050/001.md new file mode 100644 index 00000000..18fce91a --- /dev/null +++ b/psa/050/001.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Taarifa ya Jumla: + +Zaburi hii ni wimbo unaofundisha watu. + +# Zaburi ya Asafu + +"Hii ni zaburi ambayo Asafu aliandika." + +# Mwenye nguvu, Mungu, Yahwe + +Mwandishi anatumia majina matatu tofauti kumzungumzia Mungu. + +# akaiita dunia + +Hapa neno "dunia" inamaanisha watu ambao wanaishi duniani. "akawaita watu wote" + +# kutoka kuchomoza kwa jua hadi kuzama kwake + +Msemo huu unamaanisha upande wa mashariki, ambapo jua huchomoza, na magharibi, ambapo jua huzama. Mwandishi anatumia tofauti hizi mbili kuwakilisha sehemu zote duniani. "kila sehemu duniani" + +# Sayuni, ukamilisho wa uzuri + +Maana zinazowezekana 1) "Sayuni, ambayo uzuri wake ni kamili" au 2) "Sayuni, mji mzuri zaidi." + +# Mungu ameng'aa + +Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni nuru inayong'aa. Hii inamaanisha Mungu kusababisha watu kujua kuhusu utukufu wake. "Utukufu wa Mungu unang'aa kama taa" + diff --git a/psa/050/003.md b/psa/050/003.md new file mode 100644 index 00000000..6f209faa --- /dev/null +++ b/psa/050/003.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# habaki kimya + +Mwandishi anatumia kauli hii hasi kusisitiza kitu chanya. "huzungumza ili kila mtu aweze kumsikia" + +# moto unameza mbele yake + +Mwandishi anazungumzia moto kuunguza vitu kana kwamba ulikuwa ukiwala. "moto unachoma mbele yake" + +# kuna tufani inayomzunguka + +"kuna tufani kubwa imemzunguka" + +# Huita mbingu juu na dunia + +Maana zinazowezekana ni 1) Mungu anawaita wote wanaoishi mbinguni na duniani kuwa mashuhuda akiwa anawahukumu watu wake au 2) Mungu anazungumza na mbingu na dunia kana kwamba ni watu, na anawaita kuwa mashahidi wakati anawahukumu watu wake. + diff --git a/psa/050/006.md b/psa/050/006.md new file mode 100644 index 00000000..cfc98fc9 --- /dev/null +++ b/psa/050/006.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mbingu zitatangaza + +Maana zinazowezekana ni 1) mwandishi anatumia neno "mbingu" kumaanisha malaika wanaoishi huko. au 2) mwandishi anazungumzia "mbingu" kana kwamba ni mtu anayeshuhudia kuhusu haki ya Mungu. + diff --git a/psa/050/007.md b/psa/050/007.md new file mode 100644 index 00000000..0a2f46c5 --- /dev/null +++ b/psa/050/007.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sita kulaumu kwa sadaka zako + +"Nitakulaumu, ila sio kwa sadaka zako." Mungu anaeleza kuwa sadaka zao sio sababu ya kuwalaumu. + +# laumu + +"kemea" au "karipia" + +# sadaka zako za kuteketeza daima ziko mbele yangu + +Hii inaelezea kwa nini Mungu hawalaumu kwa ajili ya sadaka zao. Msemo huu " daima ziko mbele yangu" unamaanisha kuwa katika uwepo wa Mungu na unamaanisha kuwa watu wake daima wanatoa sadaka zao cha kuteketeza kwake. "huwa mnatoa sadaka zenu za kuteketeza kwangu" + diff --git a/psa/050/009.md b/psa/050/009.md new file mode 100644 index 00000000..75ce6e47 --- /dev/null +++ b/psa/050/009.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mazizi + +"kizimba" + +# ng'ombe kwenye vilima elfu + +Msemo "kwenye vilima elfu" haiwakilishi idadi kamili ya ng'ombe ambazo Mungu anamiliki. Namba ni kukuza kwa neno ambayo inasisitiza kuwa Mungu anamiliki ng'ombe wote duniani. "ng'ombe wote duniani ni wangu" + +# vilima elfu + +"vilima 1,000" + +# Nawajua ndege wote + +Hapa neno "nawajua" inadokeza umiliki. "Ninamiliki ndege wote" + diff --git a/psa/050/012.md b/psa/050/012.md new file mode 100644 index 00000000..9413d269 --- /dev/null +++ b/psa/050/012.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kama nina njaa + +Hii inaelezea kitu ambacho hakiwezi kutokea, kwa kuwa Mungu huwa hapati njaa. + +# Je! Nitakula nyama ya mafahali au kunywa damu ya mbuzi? + +Mungu anauliza swali hili balagha kusisitiza kuwa huwa hafanyi hivi vitu na kwa hiyo haitaji sadaka zao. "Sili nyama ya mafahali au kunywa damu ya mbuzi." + diff --git a/psa/050/014.md b/psa/050/014.md new file mode 100644 index 00000000..c191acd6 --- /dev/null +++ b/psa/050/014.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mtolee Mungu + +Hapa Mungu inamaanisha mwenyewe. "Nitolee mimi" + +# lipi nadhiri zako kwa Aliye juu + +Mwandishi anazungumzia "nadhiri" kana kwamba ni fedha ambayo mtu analipa kwa Mungu. "timiza nadhiri zako kwa Aliye juu" au "fanya kile ulichomwahidi aliye juu kufanya" + +# katika siku ya shida + +Hapa neno "siku" linamaanisha wakati wowote. "unapokuwa na taabu" + diff --git a/psa/050/016.md b/psa/050/016.md new file mode 100644 index 00000000..af8f2ed1 --- /dev/null +++ b/psa/050/016.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Lakini kwa waovu Mungu anasema + +Hapa Mungu bado anazungumza na anajizungumzia mwenyewe katika hali ya mtu wa tatu. "Lakini kwa waovu nasema" + +# kwa waovu + +Neno "waovu" inamaanisha watu waovu kwa ujumla. "kwa watu waovu" + +# Una nini na kutangaza sheria zangu ... na kutupa maneno yangu? + +Mungu anatumia swali hili kukemea watu waovu. Swali hili linaweza kugeuzwa kuwa kauli. "Haina maana kwamba unatangaza sheria na agano langu, kwa kuwa unachukia maagizo yangu na kutupa maneno yangu." au "Sio sawa kwako kutangaza sheria zangu" + +# kwamba umechukua agano langu mdomo mwako + +Mungu anazungumzia watu waovu kutongoa maneno ya agano kana kwamba wanaweka agano midomoni mwao. "kuzungumza kuhusu agano langu" + +# kutupa maneno yangu + +Mungu anazungumzia watu waovu kukataa anachosema kana kwamba walikuwa wakitupa nje takataka. "kukataa ninachosema" + diff --git a/psa/050/018.md b/psa/050/018.md new file mode 100644 index 00000000..c7bfae7e --- /dev/null +++ b/psa/050/018.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# unakubaliana naye + +Maana zinazowezekana ni 1) kwamba wanakubaliana na matendo ya mwizi. "unamkubali" au 2) kwamba wanamuunga mwizi katika matendo yake. "unamuunga" + +# Unatoa mdomo wako kwa uovu + +Mungu anamzungumzia mtu kuongea vitu vya uovu kana kwamba mdomo wa mtu ni mjumbe ambaye mtu anamtuma kufanya vitu viovu. "Daima huwa unasema vitu viovu" + +# ulimi wako unaeleza uongo + +Neno "ulimi" linawakilisha mtu anayezungumza. "huwa unasema uongo daima" + +# Unakaa na kuzungumza dhidi ya ndugu yako; unamkashifu mtoto wa mama yako + +Misemo hii miwili ina maana moja lakini inatumia maneno tofauti. Mungu anawashtaki kwa kuongea uongo dhidi ya watu wa familia yao wenyewe. + +# Unakaa na kuzungumza + +"Kukaa na kuzungumza" dhidi ya mtu inaashiria kuwa mtu huyu anawaza kwa makusudi vitu vibaya vya kusema kwa mtu. "Huwa unawaza namna ya kuongea" + diff --git a/psa/050/021.md b/psa/050/021.md new file mode 100644 index 00000000..5d0ca7f2 --- /dev/null +++ b/psa/050/021.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# ulifikiri kuwa mimi ni mtu kama wewe + +kwa kuwa Mungu amekaa kimya na bado hajawakemea watu waovu kwa matendo yao, walidhani kuwa Mungu amekubaliana na walichofanya. "ulifikiri kuwa mimi ni mtu nayetenda kama nyie" + +# shutumu + +"kemea" au "karipia" + +# kuleta ... vitu vyote ulivyofanya + +Mungu anazungumzia kuorodhesha mambo maovu yote waliyotenda. "orodhesha ... vitu vyote mlivyofanya" + +# mbele ya macho yako + +Hapa, kuwa "mbele ya macho yako" inamaanisha kuwa ni sehemu wanayoweza kuona. Hii inamaanisha kuwa hawataweza kukana mashtaka ambayo Mungu anawaletea. "mbele yenu" au "ili usiweze kuyakana" + +# nyie mnaomsahau Mungu + +Mungu anawazungumzia waovu kumkataa kana kwamba wamemsahau. "Anajizungumzia katika hali ya mtu wa tatu. "nyie mlio nikataa" + +# nitawararua katika vipande + +Mungu anazungumzia kuwaangamiza waovu kana kwamba ni simba anakula mawindo yake. "nitakuangamiza" + diff --git a/psa/050/023.md b/psa/050/023.md new file mode 100644 index 00000000..ca9a0fc7 --- /dev/null +++ b/psa/050/023.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# hupanga njia yake katika namna sahihi + +Mungu anazungumzia jinsi mtu anavyoishi kana kwamba ni njia ambayo mtu anasafiri. "huishi maisha yake katika njia sahihi" + +# Nitaonesha wokovu wa Mungu + +Hapa Mungu anazungumzia kumwokoa mtu kana kwamba ilikuwa ni kumsababisha mtu kuona wokovu wake. Anajizungumzia katika hali ya mtu wa tatu. "Nitamwokoa" + diff --git a/psa/051/001.md b/psa/051/001.md new file mode 100644 index 00000000..c3e24a13 --- /dev/null +++ b/psa/051/001.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Taarifa ya Jumla: + +Katika zaburi hii Daudi anamwomba Mungu msamaha. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# wakati nabii Nathani alipokuja kwake + +Inaweza kuelezwa wazi Nathani alifanya nini alipokuja kwa Daudi, kwa sababu zaburi hii ni majibu ya hayo. "wakati nabii Nathani alipokuja kwa Daudi na kumkemea" + +# alipolala na Bathsheba + +"baada ya Daudi kulala na Bathsheba" + +# kwa ajili ya umati wa matendo yako ya huruma + +"kwa sababu unafanya mambo mengi sana ya huruma" + +# weka doa makosa yangu + +Kusamehe dhambi inazungumziwa kana kwamba ni kati ya 1) kuwekea doa au 2) kufuta kumbukumbu za dhambi. "samehe dhambi zanguu kama mtu anazifuta" au "sahau dhambi zangu kama mtu anayefuta kumbukumbu za dhambi" + +# Nioshe kikamili kutokana na udhalimu wangu ... nisafishe na dhambi zangu + +Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja. + +# Nioshe kikamili kutokana na udhalimu wangu + +Kukubaliwa na Mungu kunazungumziwa kama kuwa msafi. Mungu huwafanya watu kukubalika kwa kusamehe dhambi zao. "Osha dhambi zangu zote" au "Samehe dhambi zangu zote ili nikubalike kwako" + +# kikamili + +"kikamilifu" + +# nisafishe na dhambi zangu + +Kukubalika kwa Mungu kunazungumziwa kama kuwa msafi. Mungu huwafanya watu kukubalika kwa kusamehe dhambi zao. "Nifanye kuwa msafi na dhambi yangu" au "nisamehe kwa dhambi yangu ili niwe msafi" + diff --git a/psa/051/003.md b/psa/051/003.md new file mode 100644 index 00000000..4cd5e669 --- /dev/null +++ b/psa/051/003.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# dhambi yangu daima iko mbele yangu + +Kutoweza kusahau dhambi zake inazungumziwa kana kwamba zilikuwa mbele yake wakati wote ambapo anaweza kuziona. "huwa nina ufahamu wa dhambi zangu" au "siwezi kusahua dhambi zangu" + +# na kufanya kilicho kiovu mbele yako + +"na nimefanya kilicho kiovu" + diff --git a/psa/051/005.md b/psa/051/005.md new file mode 100644 index 00000000..24044d1a --- /dev/null +++ b/psa/051/005.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Tazama, nilizaliwa katika udhalimu ... tazama, unatamani uaminifu + +Matumizi mawili ya "Tazama" hapa yanavuta nadhari kati ya tofauti ya mambo haya mawili. "Hakika nilizaliwa katika udhalimu ... Lakini unatamani uaminifu" + +# Tazama, nilizaliwa katika udhalimu ... mara tu mama yangu alipochukua mimba yangu, nilikuwa katika dhambi + +Misemo hii miwili inamaana moja na inatumika pamoja kuleta msisitizo. + +# nilizaliwa katika udhalimu + +Kuwa mwenye dhambi inazungumziwa kama kuwa kwenye udhalimu. "nilikuwa mwenye dhambi tayari wakati nazaliwa" + +# mara tu mama yangu alipochukua mimba yangu, nilikuwa katika dhambi + +Kuwa mwenye dhambi inazungumziwa kama kuwa kwenye dhambi. "hata mama yangu alipobeba mimba yangu, nilikuwa mwenye dhambi" + +# unatamani uaminifu moyoni mwangu + +Moyo unawakilisha kati ya 1) hamu za mtu au 2) mtu mzima. "Unataka nitamani uaminifu" au "unataka niwe mwaminifu" + diff --git a/psa/051/007.md b/psa/051/007.md new file mode 100644 index 00000000..8910d11d --- /dev/null +++ b/psa/051/007.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Nitakase ... nitakuwa msafi ... nioshe ... nitakuwa mweupe zaidi ya theluji + +Kukubalika kwa Mungu kunazungumziwa kama kuwa msafi au mweupe. Mungu huwafanya watu kukubalika kwa kusamehe dhambi zao. + +# Nitakase kwa hisopo + +Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba Mungu ni kuhani ambaye humwaga maji juu yake kumfanya akubalike kwa Mungu. "Nifanye nikubalike kwa kunimwagia maji na hisopo" au "Nisamehe kwa dhambi zangu ili nikubalike kwako" + +# hisopo + +Huu ni mmea ambao kuhani alitumia kunyunyizia maji au damu juu ya watu au vitu kuvifanya visafi kiutaratibu, yaani, kukubalika kwa Mungu. + +# mweupe zaidi ya theluji + +Kutokuwa na dhambi kunazungumziwa kama kuwa mweupe. "mweupe sana" + +# furaha na shangwe + +Maneno haya mawili yana maana moja na yana sisitiza hamu yake kusikia mambo ya furaha. + +# ili kwamba mifupa uliyovunja ifurahi + +Kujisikia huzuni kali inazungumziwa kana kwamba mifupa yake imevunjika. "Kwa kuwa umesababisha huzuni kali ndani yangu. Acha nifurahi tena!" + +# Ficha uso wako mbali na dhambi zangu + +Kufikiria kuhusu dhambi za mtu inazungumziwa kama kuziona. Kusamehe au kukataa kuwaza kuhusu dhambi inazungumziwa kama kuchagua kutoziona. "Usizitazame dhambi zangu" au "Usikumbuke dhambi zangu" + +# wekea doa udhalimu wangu + +Kusamehe au kukataa kuwaza kuhusu dhambi inazungumziwa kama kati ya 1) kuziwekea doa au 2) kufuta kumbukumbu iliyoandikwa ya dhambi. "samehe dhambi zangu kama mtu anafuta kitu" au "samehe dhambi zangu kama mtu anayefuta kumbukumbu ya dhambi" + diff --git a/psa/051/010.md b/psa/051/010.md new file mode 100644 index 00000000..33b1f0b9 --- /dev/null +++ b/psa/051/010.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Umba ndani yangu moyo msafi + +Hapa "moyo" unawakilisha hisia na hamu. Kujitoa kamili na kuwa mtiifu kwa Mungu inazungumziwa kama na kuwa na moyomsafi. "Unifanye nijitoe kamili kwako" au "Nifanye nitake kukutii wewe daima" + +# fanya upya roho safi ndani yangu + +Hapa "roho" inawakilisha mtazamo na hamu za Daudi. "fanya mtazamo wangu kuwa sawa" au "nifanye nitake daima kufanya kilicho sawa" + +# Usiniondoe mbali na uwepo wako + +"Usinilazimishe kwenda mbali na wewe." Kukataliwa na Mungu kunazungumziwa kama kulazimishwa kwendambali naye. "Usinikatae mimi kama mmoja wa watu wako" + diff --git a/psa/051/012.md b/psa/051/012.md new file mode 100644 index 00000000..da75a490 --- /dev/null +++ b/psa/051/012.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# na uniendeleza + +"na unishike" au "unisaidie" + +# njia zako + +"jinsi unavyotaka watu waishi" au "unachotaka watu wafanye" + +# watenda makosa ... watenda dhambi + +Maneno haya mawili yanamaanisha watu wale wale. + diff --git a/psa/051/014.md b/psa/051/014.md new file mode 100644 index 00000000..7c75f1ed --- /dev/null +++ b/psa/051/014.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kumwaga damu + +Msemo huu unamaanisha kumua mtu mwingine. + +# Bwana, fungua midomo yangu, na mdomo wangu utaeleza sifa yako + +Kuwa na uwezo wa kuongea inazungumziwa kama midomo kuwa wazi. Hapa kutoweza kuongea ni ishara ya kuwa na hatia ya dhambi na kutoweza kujitetea. "Bwana, nifanye niweze kuongea, na nitakusifu" + +# hupendezwi na sadaka ... hauna furaha na sadaka za kuteketeza + +Hii inamaanisha kwamba Mungu anataka kitu cha muhimu zaidi ya hivi vitu. "Sadaka haitoshi kukupendeza ... unataka kitu zaidi ya sadaka za kuteketeza" + diff --git a/psa/051/017.md b/psa/051/017.md new file mode 100644 index 00000000..4bd1e6f5 --- /dev/null +++ b/psa/051/017.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Sadaka za Mungu + +"Sadaka zinazompendeza Mungu" + +# roho iliyovunjika + +Roho iliyovunjika inawakilisha mtazamo wa unyenyekevu. "unyenyekevu" au "mtu anayekuwa mnyenyekevu" + +# moyo ulio vunjika na wenye majuto + +Kuwa mnyenyekevu na majuto juu ya dhambi za mtu inazungumziwa kama kuwa na moyo ulio vunjika na wa majuto. Moyo unawakilisha hisia na nia. "huzuni na unyenyekevu" au "mtu anayejuta kwa ajili ya dhambi zake na ni mnyenyekevu" + +# uzijenge kuta za Yerusalemu + +Kuta za mji huulinda mji na watu waliomo. Maana zinazowezekana ni 1) "utuwezeshe kujenga kuta za Yerusalemu" au 2) "ilinde Yerusalemu na uifanye kuwa imara" + +# watu wetu watatoa mafahali katika madhabahu yako + +Fahali ni ng'ombe dume. Mafahali mara nyingi hutumika kama wanyama wa sadaka, kulingana na maagizo ya Mungu. + diff --git a/psa/052/001.md b/psa/052/001.md new file mode 100644 index 00000000..abaf5f2b --- /dev/null +++ b/psa/052/001.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Taarifa ya Jumla: + +Katika zaburi hii anayezungumziwa ni Doegi. Wakati Sauli alipotaka kumuua Daudi, Doegi alimwambia Sauli mahali alipokuwa Daudi ili Sauli ampate. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Maschili + +Hii inaweza kumaanisha mtindo wa muziki. + +# Doegi ... Mwedomi + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Kwa nini unajivunia kufanya fujo, wewe mwanamme shujaa? + +Swali hili linaonesha jinsi Daudi alivyokuwa na hasira na yule aliyeleta matatizo. "Hutakiwi kuwa na majivuno sana kwa kutengeneza matatizo, wewe mwanamme shujaa." + +# wewe mwanamume shujaa + +Inawezekana Daudi alikuwa akitumia kejeli alipokuwa anamwita Doegi hivi. "wewe, unadhani una uwezo sana" + +# Uaminifu wa agano wa Mungu unakuja + +Daudi anazungumzia uaminifu wa Mungu wa agano kana kwamba ni kitu kilichoweza kuja. Inawezekana alikuwa akimaanisha ahadi za Mungu kuwalinda watu wake na watu waovu. Hii inaweza kuelezwa wazi. "Mungu ni mwaminifu kutunza ahadi za agano lake" au "Mungu huwalinda kwa uaminifu watu wake kutoka kwa watu waovu kama wewe" + +# wembe mkali + +ubapa mkali + +# Ulimi wako unapanga maangamizi kama wembe mkali, unafanya udanganyifu + +Hapa ulimi unalinganishwa na wembe mkali ambao unauwezo wa kusababisha madhara makubwa. "Ulimi wako unadhuru watu kama wembe mkali ufanyavyo, unapopanga maangamizi na kudanganya wengine" + +# Ulimi wako + +Hapa "ulimi wako" unaashiria mtu ambaye Daudi anazungumza naye. "Wewe" + diff --git a/psa/052/003.md b/psa/052/003.md new file mode 100644 index 00000000..01dad74a --- /dev/null +++ b/psa/052/003.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kauli Unganishi: + +Daudi anaendelea kuzungumza na "mwanamme shujaa" wa 52:1 + +# kudanganya kuliko kuzungumza haki + +"unapenda kudanganya zaidi ya kusema kilicho sawa" + diff --git a/psa/052/004.md b/psa/052/004.md new file mode 100644 index 00000000..47b8cd85 --- /dev/null +++ b/psa/052/004.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# maneno yanayomeza wengine + +Hapa maneno yanayowadhuru wengine yanazungumziwa kana kwamba yalikuwa wanyama wanayo wameza watu. "maneno yanadhuru wengine" + +# wewe ulimu wa uongo + +Hii inamaanisha mtu ambaye mwandishi anazungumza naye. "wewe msemaji wa uongo" au "wewe muongo" + +# atakuchukua juu ... kukunyofoa ... kukung'oa + +Misemo hii yote mitatu ni njia tofauti ya kusema "kukutoa" + +# kukung'oa katika nchi ya walio hai + +Kuwa hai duniani inazungumziwa kana kwamba watu ni mimea yenye mizizi ardhini. Mungu kumuua mtu inazungumziwa kama kuchimba mizizi ya mmea na kuitoa ardhini. "atakutoa katika nchi ya walio hai" au "Atakuua ili usiwepo tena dunia pamoja na watu waishio" + +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki. + diff --git a/psa/052/006.md b/psa/052/006.md new file mode 100644 index 00000000..9718b366 --- /dev/null +++ b/psa/052/006.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mwenye haki pia ationa na kuogopa + +"Wenye haki pia watamwona Mungu akimuondoa na watamwogopa" + +# Tazama + +"hakika" + +# hakumfanya Mungu kuwa kimbilio lake + +Hapa anayekimbiliwa inamaanisha mlinzi. "hakumfanya Mungu kuwa mlinzi wake" au "hakumwomba Mungu kumlinda" + diff --git a/psa/052/008.md b/psa/052/008.md new file mode 100644 index 00000000..0033142e --- /dev/null +++ b/psa/052/008.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mti wa kijani wa mzeituni + +Majani ya kijani ya mizeituni yana nguvu na ni imara. Hayaanguki. + +# mimi ni kama mti wa kijani wa mzeituni ndani ya nyumba ya Mungu + +Kuwa salama inazungumziwa kama kuwa mti imara. "Nina nguvu katika nyumba ya Mungu, kama mti wa kijani wa mzeituni" au "Kwa sababu naabudu katika nyumba ya Mungu, niko salama kama mti wa kijani wa mzeituni" + +# ndani ya nyumba ya Mungu + +Hii inamaanisha hekalu la Mungu + +# Nitasubiri jina lako, kwa sababu ni zuri + +Jina la Mungu linamaanisha Mungu mwenyewe. Kumsubiri Mungu inaashiria kumsubiri Mungu kumsaidia. "Nitakusubiri, kwa sababu u mwema" au "Nitakusubiri unisaidie, kwa sababu u mwema" + diff --git a/psa/053/001.md b/psa/053/001.md new file mode 100644 index 00000000..1d25bddf --- /dev/null +++ b/psa/053/001.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# weka katika Mahalathi + +Hii inaweza kumaanisha mtindo wa muziki. + +# Maschili + +Hii inaweza kumaanisha mtindo wa muziki. + +# watoto wa wanadamu + +Hii inamaanisha watu wote + +# anayemtafuta + +Kumtafuta Mungu kama mtu inazungumziwa kama "kumtafuta" Mungu. Maana zinazowezekana ni 1) kutaka kumjua Mungu. "wanaotaka kumjua yeye" au 2) kumwabudu Mungu. "wanao mwabudu yeye" + +# Wote wamegeuka + +Kumkataa Mungu na kilicho sawa kinazungumziwa kama kugeuka. "Wote wamegeuka kutokakufanya kilicho sawa" au "Wote wamemkataa Mungu" + diff --git a/psa/053/004.md b/psa/053/004.md new file mode 100644 index 00000000..f9c9af5b --- /dev/null +++ b/psa/053/004.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Je wale wanaotenda udhalimu hawana uelewa - wale ... Mungu? + +Swali hili linatumika kuonesha mshtuko ambao mwandishi anahisi kwa sababu watu wanatenda dhambi sana. Inaweza kuandikwa kama kauli mbili. "Wale wanaotenda udhalimu kana kwamba hawajui chochote. Wanawameza watu wangu kana kwamba wanakula mikate, na hawamwiti Mungu! + +# wale wanao wameza watu wangu kana kwamba wanakula mkate + +Kuangamiza watu inazungumziwa kama kuwameza. Kufanya kana kwamba walikuwa wakila mikate inaashiria kuwa walifanya kwa urahisi sana bila kuhisi hatia. "wale wanaowaangamiza watu wangu kwa uhuru kana kwamba wanakula mikate" + +# Mungu ataitawanya mifupa ya yeyote atakayeweka kambi dhidi yako + +Kutawanya mifupa ya watu inamaanisha kuwaua na kuruhusu mifupa yao kubaki walipofia na bila kuwazika vizuri. "Mungu atamwangamiza kabisa yeyote atakaye weka kambi dhidi yako, na mifupa yao italala imetawanyika kwenye ardhi" + +# yeyote atakayeweka kambi dhidi yako + +Kuweka kambi dhidi ya watu inamaanisha kuwashambulia. Majeshi ya adui yalikuwa yakisafiri na kuweka kambi na kuishi kwa muda karibu na watu waliotaka kuwavamia. "yeyote atakaye wavamia" + diff --git a/psa/053/006.md b/psa/053/006.md new file mode 100644 index 00000000..38ee910c --- /dev/null +++ b/psa/053/006.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# O, kwamba wokovu wa Israeli uje + +Neno "O" hapa linatambulisha mshangao unaoonesha matumaini au ombi. "Natumaini kuwa wokovu wa Israeli utakuja" au "Ninaomba kwamba wokovu uje" + +# wokovu wa Israeli uje kutoka Sayuni + +Wokovu unaashiria Mungu, mwokozi, ambaye hekalu lake liko Sayuni. "mwokozi wa Israeli utakuja kutoka Sayuni" au "Mungu atakuja kutoka Sayuni na kuokoa Israeli" + +# Mungu atakapo warudisha watu wake kutoka mateka + +"Mungu atakapo okoa watu wake wafungwa" + +# Yakobo atasherehekea na Israeli kufurahi! + +Misemo hii miwili ina maana moja. + +# Yakobo + +Hapa "Yakobo" inamaanisha uzao wa Yakobo, Waisraeli. + diff --git a/psa/054/001.md b/psa/054/001.md new file mode 100644 index 00000000..b4326537 --- /dev/null +++ b/psa/054/001.md @@ -0,0 +1,60 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Taarifa ya Jumla: + +Zaburi hii ni ombi kwa ajili ya msaada. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# kwenye vyombo vya nyuzi + +"watu wanapaswa kucheza vyombo vya nyuzi na wimbo huu" + +# Maschili + +Hii inaweza kumaanisha mtindo wa muziki. + +# Wafizi + +Watu kutoka mji wa Zifu katika milima ya Yuda, kusini mashariki mwa Hebroni. + +# Kwani Daudi hajifichi pamoja na sisi? + +Swali hili linatumika kuonesha kuwa hili ni jambo muhimu ambalo Sauli anapaswa kujua. "Daudi anajificha na sisi." + +# Niokoe, Mungu, kwa jina lako + +Hapa jina la Mungu linaashiria tabia yake. Inaweza kumaanisha zaidi uwezo wake au haki yake. "niokoe, Mungu, kwa uwezo wako" + +# nihukumu katika uwezo wako + +Kumhukumu Daudi hapa inaashiria kuwaonesha watu kuwa Daudi hana hatia. Mungu anapotumia nguvu zake kumwokoa Daudi, watu watajua kuwa Mungu amemhukumu na hana hatia. "Kwa uwezo wako, waoneshe watu kuwa sina hatia" au "Waoneshe watu kuwa sina hatia kwa kutumia nguvu zako kuniokoa" + +# yape masikio maneno ya + +Kumpa mtu masikio inaashiria kumsikiliza. "sikiliza maneno yangu" + +# maneno ya mdomo wangu + +Msemo huu unamaanisha kile alichosema mnenaji. "maneno yangu" au "ninachosema kwako" + +# wameinuka dhidi yangu + +Kuinuka dhidi ya mtu inaashiria kujiandaa kumshambulia au kumshambulia kabisa. "wamejiandaa kunishambulia" au "wananishambulia" + +# watu wasio na huruma + +"wanaume wasio na huruma" + +# wametafuta maisha yangu + +Kutafuta maisha ya mtu inamaanisha kujaribu kumuua. "wamejaribu kuniua" au "wanataka kuniua" + +# hawajamuweka Mungu mbele yao + +Kumweka Mungu mbele yao inaashiria kuwa makini na Mungu. "hawamzingatii Mungu" au "hawamjali Mungu" + diff --git a/psa/054/004.md b/psa/054/004.md new file mode 100644 index 00000000..834eed9d --- /dev/null +++ b/psa/054/004.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# anaye nishikilia + +Kumtetea Daudi na kumweka salama inazungumziwa kama kumshikilia. "anaye nitetea" au "anaye niweka salama" + +# Atawalipa adui zangu kwa uovu + +Adhabu inazungumziwa kana kwamba ilikuwa ni malipo. "Atafanya uovu kwa adui zangu ambao walioufanya kwangu" au "Atasababisha uovu ambao adui zangu walifanya kwangu ufanywe kwao" + +# katika uaminifu wako, waangamize + +Hapa Daudi anabadilisha kutoka kuzungumza kumhusu Mungu na kuongea naye. "Mungu, waangamize kwa sababu wewe ni mwaminifu kwangu" + diff --git a/psa/054/006.md b/psa/054/006.md new file mode 100644 index 00000000..2f94207b --- /dev/null +++ b/psa/054/006.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nitatoa shukrani kwa jina lako, Yahwe, kwa kuwa ni zuri + +Jina la Yahwe linamwakilisha yeye. "Nitatoa shukrani kwako, Yahwe, kwa kuwa u mwema" + +# jicho langu limetazama + +Jicho linamaanisha mtu. "Nimetazama" + +# jicho langu limetazama kwa ushindi juu ya adui zangu + +Maana zinazowezekana ni 1) kuona kuwa adui zake wameshindwa. "Nimeona kuwa adui zangu wameshindwa" au 2) kuwashinda adui zake. "Nimewashinda adui zangu" + diff --git a/psa/055/001.md b/psa/055/001.md new file mode 100644 index 00000000..30cc09bc --- /dev/null +++ b/psa/055/001.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# kwenye vyombo vya nyuzi + +"watu wanapaswa kucheza vyombo vya nyuzi na wimbo huu" + +# Maschili + +Hii inaweza kumaanisha mtindo wa muziki. + +# Toa sikio kwa ombi langu + +Kutoa sikio kwa mtu inamaanisha kusikiliza. "Sikiliza ombi langu" + +# usijifiche kwa ombi langu + +Kukataa kuvutia nadhari ombi lake inazungumziwa kama kujificha mbali na hilo ombi. "usiache kujali ombi langu" + +# kwa sababu ya sauti ya adui zangu + +Hapa "sauti" inawakilisha walichosema. "kwa sababu ya kile ambacho adui zangu wanasema" + +# wanaleta shida kwangu + +Kusababisha taabu inazungumziwa kama kuleta taabu. "wananisababisha kuwa na taabu kubwa" au "wanafanya vitu viovu kwangu na kwa hiyo nateseka" + diff --git a/psa/055/004.md b/psa/055/004.md new file mode 100644 index 00000000..3104b590 --- /dev/null +++ b/psa/055/004.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Moyo wangu unatetemeka ndani yangu + +Hapa, "moyo unatetemeka" inamaansiha maumivu yake ya kihisia au kuteseka. Kuteseka huku ni kwa sababu ya uoga. "Ninateseka kwa sababu ninaogopa sana" + +# hofu yangu ya mauti imeniangukia + +Kuwa na hofu sana inazungumziwa kana kwamba hofu ni kitu kinachomwangukia mtu. "Ninaogopa sana kuwa nitakufa" au "Ninahofu kuwa nitakufa" + +# Uoga na kutetemeka zimeniangukia + +Kuwa na hofu na kutetemeka kunazungumziwa kana kwamba hofu na kutetemeka ni vitu vinavyokuja kwa mtu. "Nimekuwa na hofu sana na kutetemeka" + +# kitisho kimenilemea + +Kuhisi kitisho inazungumziwa kana kwamba kitisho ni kitu kinachoweza kuwafunika watu. "Ninahisi kitisho kibaya" au "Ninahofu sana" + diff --git a/psa/055/006.md b/psa/055/006.md new file mode 100644 index 00000000..c76dd209 --- /dev/null +++ b/psa/055/006.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# O, ningekuwa na mbawa kama njiwa! + +Mshangao huu unaelezea kitu ambacho mwandishi anatamani sana. "Ninatamani sana ningekuwana mbawa kama njiwa" + +# Basi ningepaa + +"Kama ningekuwa na mbawa, ningepaa" + +# Tazama + +"Hakika" + +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki. + diff --git a/psa/055/008.md b/psa/055/008.md new file mode 100644 index 00000000..9a87fbc0 --- /dev/null +++ b/psa/055/008.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anamaliza kueleza alichokisema. + +# tufani + +dhoruba kali + +# Wameze + +Kuangamiza kitu inazungumziwa kama kukila chote. Maana zinazowezekana ni "Angamiza mipango ya adui zangu" au "Waangamize adui zangu" + +# changanya lugha yao + +"Lugha" hapa inawakilisha kile ambacho watu walikuwa wakiambiana, na inaweza kumaanisha hasa wao kuzungumzia mipango ya kufanya uovu. Kuwachanganya inawaklisha kuwafanya watu washindwe kuelewana. "wachanganye wanapozungumza pamoja" au "changaya mipango yao" + diff --git a/psa/055/010.md b/psa/055/010.md new file mode 100644 index 00000000..5315ac7e --- /dev/null +++ b/psa/055/010.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# wanazunguka kuta zake + +"vurugu na ugomzihuzunguka kuta zake." Vurugu na ugomvi zinazungumziwa kana kwamba ni watu. Hii inaweza kuelezwa kwa kuelezea watu wanaosababisha vuruguna ugomvi. "watu wanatembea kwenye kuta za mji, wakiwa na vurugu na kupigana" + +# kuta zake + +"juu ya kuta za mji" Miji ilikuwa imezungukwa na kuta nene za kuwalinda na adui. Watu waliweza kutembea juu ya kuta kuona kama kuna adui wanaokuja kwenye mji. + +# udhalimu na shida ziko katikati yake + +Udhalimu na shida zinazungumziwa kana kwamba ni watu. "watu hufanya udhalimu na kuleta shida.katikati ya mji" au "watu hufanya matendo ya dhambi na kusababisha shida ndani yake" + +# shida + +"taabu" + +# Uovu uko katikati yake + +Uovu unazungumziwa kana kwamba ni mtu. "Watu hufanya vitendo vya uovu katikati ya mji" au "watu huteketeza vitu katika mji" + +# dhuluma na uongo haziondoki mitaa yake + +Dhuluma na uongo zinazungumziwa kana kwamba ni watu. "Watu hudhulumu na kuwadanganya wengine katika mitaa ya mji, na hawaondoki" au "Watu huwadhulumu na kuwadanganya wengine katika mitaa ya mji" + +# mitaa yake + +Hii inaweza kumaanisha sehemu za masoko katika mji. + diff --git a/psa/055/012.md b/psa/055/012.md new file mode 100644 index 00000000..02074937 --- /dev/null +++ b/psa/055/012.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# ningeweza kuibeba + +Kuvumilia kukemewa inazungumziwa kama kuubeba. "ningeweza kubeba kukemewa" au "nisingekuwa na huzuni sana kuhusu kukemewa" + +# aliyejiinua dhidi yangu + +Kuwa na majivuno na kumtusi mwingine inazungumziwa kama kujiinua dhidi ya mwingine. "kanitukana mimi" au "kanichukia" + +# Lakini ilikuwa ni wewe + +Mwandishi wa zaburi anazungumza kana kwamba mtu aliyemkemea na kumsuta alikuwa hapo akimsikiliza. + +# mwenzangu na rafiki wangu wa karibu + +"Wewe ulikuwa mwenzangu na rafiki wa karibu" + +# Sisi + +Neno "sisi" inamaanisha mwandishi wa zaburi na rafiki yake. + +# pamoja na umati + +Maana zinazowezekan ni 1) "pamoja" au 2) "pamoja na kundi" + diff --git a/psa/055/015.md b/psa/055/015.md new file mode 100644 index 00000000..994d157b --- /dev/null +++ b/psa/055/015.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Acha mauti ije kwao ghafla + +Mauti inazungumziwa kana kwamba ni mtu anayeweza kushambulia watu. "Acha adui zangu wafe ghafla" + +# acha waende chini kuzimu wakiwa hai + +Kufa ghafla inazungumziwa kana kwamba watu walitakiwa kwenda kuzimu haraka sana hadi hawakufa kwanza. "acha waende kuzimu ghafla' + +# uovu ndipo wanapoishi + +Uovu unazungumziwa kana kwamba ni kitu kinachoweza kuwa sehemu fulani. Tabia ya uovu ya adui zake inazungumziwa kana kwamba uovu ulikuwa pamoja nao au akribu yao. "huwa wanafanya vitu viovu wanapoishi" + +# katikati yao + +Msemo huu unawekea mkazo wazo la uovu kuwa karibu yao sana. Hapa uovu unazungumziwa kama kutokuwa tu kwenyenyumba zao, bali mahali walipo. "Huwa wanafanya vitu viovu popote walipo" au "popote walipo" + diff --git a/psa/055/016.md b/psa/055/016.md new file mode 100644 index 00000000..34db2931 --- /dev/null +++ b/psa/055/016.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mimi + +Msemo huu unaonesha kuwa mwandishi ameacha kuzungumzia kitu kimoja na sasa ameanza kujizungumzia mwenyewe. + +# kuguna + +"kulia" + +# atasikia sauti yangu + +Hapa "sauti" inawakilisha kati ya 1) mwandishi wa zaburi au 2) malalamiko ya mwandishi wa zaburi au kilio chake. "atanisikia" au "atasikia kuguna kwangu" + +# maisha yangu + +Hapa "maisha" inamwakilisha mwandishi wa zaburi. "mimi" + +# kwa kuwa wale waliokuwa wakipigana dhidi yangu walikuwa wengi + +"kwa kuwa watu wengi walipigana dhidi yangu" + diff --git a/psa/055/019.md b/psa/055/019.md new file mode 100644 index 00000000..cda7aafa --- /dev/null +++ b/psa/055/019.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# atawasikia + +"atawasikia adui zangu" au "atasikia kile ambacho adui zangu wanasema." Tafsiri zingine zinasema "watanisikia." + +# kuwaaibisha + +"atawashinda na kuwaaibisha" + diff --git a/psa/055/020.md b/psa/055/020.md new file mode 100644 index 00000000..f3753657 --- /dev/null +++ b/psa/055/020.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# ameinua mikono yake dhidi ya wale + +Kuinua mkono dhidi ya watu inawakilisha kuwashambulia. Hii inaweza kuwa sitiari ya kusema vitu vinavyowaweka watu katika hatari au kuwasababisha kuwa katika shida. "amewashambulia wale" au "amewasiliti wale" + +# Mdomo wake + +"Mdomo" wa mtu unawakilisha anachosema. "Kile ambacho rafiki yangu amesema" + +# Mdomo wake ulikuwa laini kama siagi + +Maneno yanayopendeza au mazuri kusikia yanazungumziwa kana kwamba ni malaini na mepesi kumeza. "Alichosema kinapendeza kama siagi laini" au "Alisema vitu vizuri" + +# uhasama + +"ovyo" au "chuki" + +# maneno yake + +"Maneno" ya mtu yanawakilisha anachosema. "Alichosema" + +# maneno yake yalikuwa laini kuliko mafuta + +Watu huweka mafuta kwenye ngozi zao kuifanya ijisikie vizuri, na huweka kwenye vidonda kuviponya. Maneno yaliyo yenye huruma au yenye msaada yanazungumziwa kana kwamba yalikuwa laini au ya kumbembeleza. "aliyosema yalikuwa yenye huruma na ya kumbembeleza kama mafuta" au "alisema vitu venye huruma" + +# yalikuwa panga zilizo chomolewa + +Maneno yanayosababisha shida kwa watu yanazungumziwa kana kwamba ni panga zinazoweza kuumiza watu. "kile alichosema kiliwaumiza watu kama panga zilizochomolewa zifanyavyo" au "alichosema kiliwasababishia watu shida" + +# panga zilizo chomolewa + +Neno "chomolewa" hapa linamaanisha kuwa panga zimetolewa kwenye makasha yake tayari kwa kutumiwa. + diff --git a/psa/055/022.md b/psa/055/022.md new file mode 100644 index 00000000..3f4c5e4c --- /dev/null +++ b/psa/055/022.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Weka mizigo yako + +Hapa mwandishi anazungumza na watu wanyofu wengine. + +# Weka mizigo yako kwa Yahwe + +Hapa taabu zinazungumziwa kana kwamba ni mizigo ambayo watu wanatakiwa kubeba. Kumtumaini Mungu kutusaidia wakati tuna shida inazungumziwa kama kumwekea mizigo yetu juu yake ili atubebee. "Mpe Yahwe shida zako" au "Mwamini Yahwe kukusaidia na taabu zako zote kama mtu anavyomwamini mtu mwenye nguvu zaidi kubeba mzigo wake" + +# atakuchukua + +Kumtunza mtu au kumsaidia mtu akiwa na shida inazungumziwa kama kumsaidia. "atakutunza" au "atakulinda" + +# kamwe hataruhusu mtu mwenye haki kupepesuka + +Mtu ambaye anataka kudhuriwa vibaya na maafa fulani inazungumziwa kana kwamba anapepesuka au kuyumba na anataka kuanguka. "hatamuacha mtu mwenye haki ayumbe na kuanguka" au "hataacha mtu mwenye haki aangamizwe" + +# Lakini wewe, Mungu + +Mwandishi anazungumza na Yahwe sasa. + +# shimo la uharibifu + +Hii inaweza kumaanisha kaburi au jahannamu. + +# utawaleta waovu chini kwenye shimo la uharibifu + +Hii inawakilisha kuwasababisha watu kufa. "utawasababisha waovu wafe" au "utawasababisha watu waovu kufa na kwenda sehemu ambapo wafu wapo" + +# wenye kiu ya damu na watu waongo + +"watu wanadanganya na wanaotaka kuwaua wengine" au "wauaji waongo" + +# hata nusu ya urefu wa wengine + +hata nusu ya urefu wa uhai wa wengine + diff --git a/psa/056/001.md b/psa/056/001.md new file mode 100644 index 00000000..88a302e1 --- /dev/null +++ b/psa/056/001.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# weka katika Yothani elemu rehokimu + +Hii inaweza kuwa inaeleza mtindo au tuni ya muziki ya kutumia wakati wa kuimba zaburi hii. "Imba zaburi hii kwa kutumia tuni ya "Yothani elemu rehokimu" au "Imba kwa kutumia mtindo wa Yothani elemu rehokimu" + +# Yothani elemu rehokimu + +Hii inaweza kumaanisha "Njiwa katika Miti ya Mwaloni ya Mbali." + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Michtamu + +Maana ya neno "michtamu" haieleweki. Hii inaweza kuandikwa kama: "Hii ni zaburi ambayo Daudi aliandika." + +# wakati Wafilisti walipomchukua Gathi + +"Wafilisti walipomkamata Gathi" + +# wanakandamiza shambulio lao + +"wanakuja karibu na karibu ili kunishambulia" + +# Adui zangu wananikanyaga + +Shambulio kali la adui linazungumziwa kana kwamba walikuwa wakitumia mwili wake kutembea. "Adui zangu wananishambulia sana" + diff --git a/psa/056/003.md b/psa/056/003.md new file mode 100644 index 00000000..2307e1f5 --- /dev/null +++ b/psa/056/003.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwako + +Neno "kwako" linamaanisha Mungu. + +# mtu tu anaweza kufanya nini kwangu? + +Hapa swali linatumika kuonesha kuwa mwandishi wa zaburi haogopi watu, kwa sababu hawawezi kumdhuru kabisa. "watu tu hawawezi kufanya kitu kwangu!" au "watu tu hawawezi kunidhuru vibaya!" + +# mtu tu + +"watu." Hii inadokezwa kuwa watu hawana nguvu, lakini Mungu ana uwezo. + diff --git a/psa/056/005.md b/psa/056/005.md new file mode 100644 index 00000000..6fed46a5 --- /dev/null +++ b/psa/056/005.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Siku nzima + +"wakati wote" + +# wanapindisha maneno yangu + +Kurudia kile ambacho mtu amesema lakini kubadilisha kidogo ili imaanishe kitu tofauti inazungumziwa kama kupindisha maneno yao. "wanasema kuwa nimesema vitu ambavyo sijasema" au "wanadai kuwa nimesema vitu, lakini wanadanganya" + +# mawazo yao yote yako dhidi yangu kwa uovu + +"daima huwa wanan mawazo maovu dhidi yangu" au "daima huwa wanawaza mambo maovu ya kunifanyia" + +# wanaangalia hatua zangu + +Kuangalia kile ambacho mtu anafnya ili kuona jinsi ya kumsababishia shida inazungumziwa kama kuangalia hatua zake, kama mtu anavyotaka kumkamata mtu anavyoangalia mtu anapotembea. "wanaangalia kila kitu nachofnaya" + +# kama tu walivyo subiri kwa ajili ya maisha yangu + +Kusubiri kumua mtu inazungumziwa kama kusubiri maisha yake. "wanaposubiri kuniua" + diff --git a/psa/056/007.md b/psa/056/007.md new file mode 100644 index 00000000..55f3c6c6 --- /dev/null +++ b/psa/056/007.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Usiache watoroke kufanya udhalimu + +"Usiwaache watoroke adhabu yako kwa ajili ya udhalimu wao" au "Usiwaache watoroke unapowaadhibu kwa mambo maovu wanayofanya" + +# Uwalete chini watu + +Kuwashinda adui inazungumziwa kama kuwaleta chini. "Washinde watu" + +# Unahesabu kuzurura kwangu + +Kujishughulisha kwa Mungu juu ya mwandishi wa zaburi inazungumziwa kana kwamba Mungu alihesabu kila wakati ambao mwandishi wa zaburi alite + +# na kuweka machozi yangu kwenye chupa yako + +Kujishughulisha kwa Mungu juu ya mwandishi wa zaburi inazungumziwa kana kwamba Mungu alitunza machozi ya mwandishi wa zaburi kwenye chupa. Machozi yanawakilisha kulia. "na unajua jinsi nilivyolia na unanijali" + +# hazimo kwenye kitabu chako? + +Kujishughulisha kwa Mungu juu ya mwandishi wa zaburi inazungumziwa kana kwamba aliandika idadi ya machozi ya mwandishi wa zaburi katika kitabu chake. Swali hili linatumika kumkumbusha Mungu jinsi anavyomjali sana mwandishi. "umeandika kuyahusu katika kitabu chako" au "unakumbuka machozi yangu" + diff --git a/psa/056/009.md b/psa/056/009.md new file mode 100644 index 00000000..d222f2f0 --- /dev/null +++ b/psa/056/009.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# watageuka + +"watakimbia" au "watageuka na kukimbia" + +# Mungu yu upande wangu + +Hii inamaanisha kuwa Mungu anamwonesha fadhila. Katika hali hii inadokezwa kuwa Mungu anapambana dhidi ya adui wa mwandishi wa zaburi ili kumlinda. "Mungu ananipigania" + +# Yeyote anaweza kunifanya nini? + +Swali linatumika hapa kuonesha kuwa mwandishi wa zaburi haogopi watu, kwa sababu hawawezi kumuumiza sana. "Watu hawawezi kunifanya kitu!" au "Watu hawawezi kuniumiza vibaya!" + diff --git a/psa/056/012.md b/psa/056/012.md new file mode 100644 index 00000000..b0cd7647 --- /dev/null +++ b/psa/056/012.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Jukumu la kutimiza nadhiri zangu kwako liko juu yangu + +Kuwajibika kufanya kitu inazungumziwa kana kwamba jukumu lakufanya kitu liko juu yamtu. "Lazima nitimize nadhiri zangu kwako" au "Lazima nifanye nilichoahidi kwako kufanya" + +# umiitunza miguu yangu na kuanguka + +Hapa miguu inamwakilisha mtu. Kuanguka hapa inaweza kuwakilisha kuuwawa na adui zake. "umenepusha na kuanguka" au "umeniepusha na kuuwawa na adui zangu" + +# ili kwamba nitembee mbele za Mungu + +Kuishi na kuonwa na Mungu inazungumziwa kama kutembea mbele ya Mungu. "ili kwamba niishi mbele ya uwepo wa Mungu" + +# katika nuru ya walio hai + +Hapa "nuru ya walio hai" inaweza kuwa inawakilisha Mungu kuwawezesha watu kuishi. "na uhai unaotoa" au "kwa sababu unaniwezesha kuishi" + diff --git a/psa/057/001.md b/psa/057/001.md new file mode 100644 index 00000000..20eff2c7 --- /dev/null +++ b/psa/057/001.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# weka katika Al Tashhethi + +Hii inawezakuwa inaeleza mtindo wa muziki au tuni ya kutumia wakati wa kuimba zaburi hii. "imba zaburi hii kwa kutumia tuni ya 'Al Tashhethi'" au + +# Al Tashhethi + +Hii inamaanisha "Usiangamize." + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Michtamu + +Maana ya neno "michtamu" haiko wazi. Hii inaweza kuandikwa kama: "Hii ni zaburi aliyoandika Daudi." + +# alipotoroka kutoka kwa Sauli, katika pango + +"Hii ina husu Daudi alipojificha kwenye pango akimkimbia Sauli" au "Hii ina husu wakati mfalme Sauli alipokuwa anamfukuza Daudi, na Daudi akajificha kwenye pango" + +# ninakukimbilia + +Kwenda kwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi inazungumziwa kama kumkimbilia. "ninaenda kwako kwa ajili ya ulinzi" + +# ninakaa chini ya mbawa zako kwa ajili ya ulinzi + +Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni ndege anayelinda makinda yake kwa kuwaficha chini ya mbawa zake. "nakuamini wewe kunilinda" + +# hadi uharibifu wake uishe + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia hamu ya Sauli kumuua kana kwamba Sauli alikuwa akitafuta kumwangamiza adui. "hadi shida hii iishe" au "hadi nitakapo kuwa siko hatarini tena" + diff --git a/psa/057/002.md b/psa/057/002.md new file mode 100644 index 00000000..d6f6d08d --- /dev/null +++ b/psa/057/002.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# anayefanya vitu hivi vyote kwa ajili yangu + +Hii inaeleza kwa nini atalia kwa Mungu. "kwa sababu hufanya vitu vyote kwa ajili yangu" + +# wale wanao niponda + +Mashambulizi makali ya adui yanazungumziwa kana kwamba yalikuwa wakikandamiza mwili wake kwa kutembea juu yake. "wale wanaonishambulia kwa ukali" + +# Mungu atanitumia upendo wake wa huruma na uaminifu wake + +Huruma na uaminifu wa Mungu unazungumziwa kana kwamba anatuma huruma yake na uaminifu wake. "Mungu atakuwa na huruma kwangu na mwaminifu" + diff --git a/psa/057/004.md b/psa/057/004.md new file mode 100644 index 00000000..1a06ef1d --- /dev/null +++ b/psa/057/004.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maisha yangu yako katikati ya simba + +Mwandishi anazungumzia adui zake kana kwamba ni simba. "Ninaishi katikati ya adui wakali" au "Adui wakali wananizunguka kama simba" + +# wale walio tayari kunimeza + +Kuangamiza inazungumziwa kama kumeza au kula kitu. Tafsiri zingine zinaelewa neno la Kihebrania kumaanisha "wanyam wa moto." Picha zote zinazungumzia adui zake kana kwamba ni wanyama pori. "wale walio tayari kuniangamiza" + +# watu ambao meno yao ni mikuki na mishale + +Mikuki na mishale ya wanyama inazungumziwa kana kwamba ni meno ya simba. Mwandishi wa zaburi anaendelea kuzungumzia adui zake kana kwamba ni simba. "watu wanaowaua wengine kwa mikuki na mishale kama simba wanavyoua kwa meno yao makali" + +# mikuki na mishale + +Hizi ni silaha za vita. + +# ambao ndimi zao ni panga kali + +Ulimi unawakilisha kile ambacho mtu anasemam na maneno mabaya ya adui yanazungumziwa kana kwamba ni panga. "ambao maneno yao ni kama panga kali" au "wanaosababisha taabu kubwa kwangu kwa sababu ya kile wanachosema" + +# Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu + +Mwandishi anamwomba Mungu kuonesha kuwa ameinuliwa. Kuinuliwa juu ya mbingu inawakilisha kuwa mkuu. "Mungu, onesha kuwa umeinuliwa juu ya mbingu" au "Mungu, onesha kuwa wewe ni mkuu katika mbingu" + +# acha utukufu wako uwe juu ya dunia + +Mwandishi wa zaburi anamwomba Mungu kuonesha utukufu wake. "onesha utukufu wako duniani kote" + diff --git a/psa/057/006.md b/psa/057/006.md new file mode 100644 index 00000000..08617730 --- /dev/null +++ b/psa/057/006.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wanasambaza wavu kwa ajili ya miguu yangu + +Mipango ya adui zake kumshika inazungumziwa kana kwamba walisambaza wavu kwenye ardhi ili kumnasa. "Ni kana kwamba adui zangu wamesambaza wavu kwa ajili ya kuninasa" au "Walipanga kunishika kama watu wanavyosambaza wavu kumnasa mnyama" + +# Walichimba shimo mbele yangu + +Mipango ya adui zake kumshika inazungumziwa kana kwamba walichimba shimo kwa ajili yake kuangukia. "Ni kana kwamba walichimba shimo kwa ajili yangu kuangukia" au "Walipanga kunishika kama watu wanaochimba shimo kwenye ardhi kumnasa mnyama" + +# Wao wenyewe wameanguka katikati yake + +Madhara yaliyokuja kwa adui zake walivyojaribu kumnasa inazungumziwa kana kwamba walianguka kwenye mtego walioandaa kwa ajili yake. "Wao wenyewe walianguka katika shimo walilochimba kwa ajili yangu" au "Lakini wao wenyewe waliumizwa kwa kile walichojaribu kufanya kwangu" + diff --git a/psa/057/007.md b/psa/057/007.md new file mode 100644 index 00000000..3bf1bc92 --- /dev/null +++ b/psa/057/007.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Moyo wangu ni thabiti, Mungu, moyo wangu ni thabiti + +Kuwa jasiri inazungumziwa kama moyo wa mtu kuwa imara badala ya kutikiswa au kusogezwa kirahisi. Msemo huu unarudiwa kuonesha kuwa ana imani kamili kwa Mungu na hata badilika. "Nina imani kamili kwako, Mungu" + +# Nitaimba sifa + +"Mimi nitaimba sifa kwako, Mungu" + +# Amka, moyo wangu ulio heshimiwa + +Kuamka inaweza kuwa sitiari ya kuanza au kujiandaa kufanya kitu. Moyo unamwakilisha mwandishi wa zaburi au hisia zake. "Amka, moyo wangu ulio heshimiwa, imba sifa kwa Mungu" au "Nina heshima kuamka na kuimba sifa kwa Mungu" + +# amka, kinanda na kinubi + +Mwandishi anazungumza kana kwamba kinanda na kinubi ni watu wanaoweza kuimba sifa kwa Mungu. "Amka, kinanda na kinubu na imbeni sifa kwa Mungu" au "Nitacheza kinanda na kinubi huku ninaimba sifa kwa Mungu" + +# Nitauamsha alfajiri + +Alfajiri inazungumziwa kana kwamba iko hai, na kuamka kabla ya alfajiri inazungumziwa kama kuuamsha. Lengo la kuamka kabla ya alfajiri ni kumsifu Mungu. "Nitaamka kabla ya alfajiri" au "Nitaamka kabla jua halijachomoza" + diff --git a/psa/057/009.md b/psa/057/009.md new file mode 100644 index 00000000..cdc1bce2 --- /dev/null +++ b/psa/057/009.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa kuwa upendo wako usio koma ni mkuu, unafika mbinguni ... uaminifu wako hadi mawinguni + +Misemo hii miwili inamaana ya kukaribiana. Ukuu wa upendo wa Mungu usio koma na ukuu wa uaminifu wake zinazungumziwa kana kwamba zinaweza kupimwa kwa umbali. + +# Kwa kuwa upendo wako usio shindwa ni mkuu, unafika mbinguni + +Ukku wa upendo usio shindwa wa Mungu unazungumziwa kana kwamba unaweza kupimwa kwa umbali. "Upendo wako usio shindwa ni mkuu kama umbali wa kutoka duniani hadi mbinguni" + +# na uaminifu wako hadi mawinguni + +"na uamonifu wako ni mkuu, unafika mawinguni" au "na uaminifu wako ni mkuu kama umbali wa kutoka duniani hadi mawinguni" + +# Utukuzwe, Mungu, juu ya mbingu + +Mwandishi anamwomba Mungu kuonesha kuwa ameinuliwa. Kuinuliwa juu ya mbingu inawakilisha kuwa mkuu. "Mungu, onesha kuwa umeinuliwa juu ya mbingu" au "Mungu, onesha kuwa wewe ni mkuu katika mbingu" + +# utukufu wako uinuliwe juu ya dunia wote + +Mwandishi wa zaburi anamwomba Mungu kuonesha utukufu wake. "onesha utukufu wako juu ya dunia yote" + diff --git a/psa/058/001.md b/psa/058/001.md new file mode 100644 index 00000000..905b56fb --- /dev/null +++ b/psa/058/001.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Taarifa ya Jumla: + +Zaburi hii ni wimbo kuhusu watu waovu. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# weka katika Al Tashhethi + +Hii inaweza kuwa inaeleza mtindo wa muziki au tuni ya kutumia wakati wa kuimba zaburi hii. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Michtamu + +Maana ya neno "Michtamu" haiko wazi. Hii inaweza kuandikwa kama: "Hii ni zaburi ambayo Daudi aliandika" + +# Je, watawala wenu wanazungumza haki? + +Mwandishi anatumia swali hili kukemea watawala kwa sababu hawazungumzi kwa haki. "Nyie watawala hamsemi kilicho haki!" + +# nyie ... mwenu + +Hapa wanaozungumziwa ni watu wenye nguvu ambao ni waamuzi. + +# Huwa mnahukumu kwa unyofu, nyie watu? + +Mwandishi anatumia swali hili kukemea waamuzi ambao awahukumu kwa unyofu. "Nyie watu huwa hamhukumu watu kwa unyofu!" + +# Hapana + +Mwandishi anajibu maswali mawili aliyouliza. + +# unatenda uovu katika moyo wako + +Moyo unawakilisha mawazo au mipango ya watu. "mnatenda uovu katika mawazo yenu" au "mnawaza kuhusu kufanya vitu viovu" + +# unasamba vurugu katika nchi nzima kwa mikono yako + +Kufanya vurugu katika sehemu mbali mbali katika nchi inazungumziwa kama kusambaza vurugu kwenye nchi, kana kwamba vurugu ni aina fulani ya kitu. "nyie wenyewe huwa mnafanya matendo ya vurugu kila sehemu katika nchi" + diff --git a/psa/058/003.md b/psa/058/003.md new file mode 100644 index 00000000..9092e48a --- /dev/null +++ b/psa/058/003.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Waovu wanapotoka hata walipokuwa tumboni ... wanaenda pembeni tangu kuzaliwa + +Hili ni wazo moja linaloelezwa kwa njia mbili tofauti. + +# wanapotoka + +Kufanya vitu vibaya inazungumziwa kana kwamba watu wanatembea kwenye barabara, na wanageuka na kukosea njia. "wanafanya makosa" + +# Sumu yao ni kama sumu ya nyoka + +Vitu viovu ambavyo watu wanasema vinazungumziwa kana kwamba ni sumu. "Maneno yao maovu yanasababisha shida kama sumu ya nyoka inavyowadhuru watu" + +# ni kama fira kiziwi anayezuia maskio yake + +watu waovu wasiosikia ushauri au kukemewa wanazungumziwa kana kwamba ni nyoka ambazo haziitikii muziki wa mganga. "wanakataa kusikiliza kama fira kiziwi inayozuia maskio yake" + +# fira kiziwi anayezuia maskio yake + +Fira asiyeitikia muziki wa mganga anazungumziwa kana kwamba inaweza kuweka kitu katika maskio yake ili kwamba isisikie. "fira asiye sikia" + +# fira + +aina ya nyoka mwenye sumu + +# waganga + +watu wanaocheza au kuimba muziki ili kumwongoza nyoka + +# haijalishi ujuzi wao ulivyo + +"haijalishi ujuzi walionao waganga katika kumwongoza nyoka" + diff --git a/psa/058/006.md b/psa/058/006.md new file mode 100644 index 00000000..92d40873 --- /dev/null +++ b/psa/058/006.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendelea kuorodhesha vitu ambavyo anapenda Mungu awafanyie watu waovu. + +# Vunja meno yao ... vunja nje meno makuu ya simba wachanga + +Katika misemo hii miwili, watu waovu wanazungumziwa kana kwamba ni simba, na kuwafanya wanyonge kuua watu inazungumziwa kama kuvunja meno yao. "Chukua nguvu yao ya kuua. Uwafanye kuwa wanyonge kama simba wachanga ambao meno yao yamevunjwa na kuanguka nje" + +# Acha wayeyuke kama maji yanayotiririka + +Watu waovu wanazungumziwa kana kwamba ni barafu au maji. Kutokuwepo tena inazungumziwa kama kuyeyuka au maji kutiririka kwenye ardhi kavu. "Wafanye wapotee kama maji yanayotiririka" au "Wafanye wapotee kama barafu inayoyeyuka na kutiririka kwenye ardhi" + +# acha wawe kana kwamba hawana ncha + +"acha mishale yao iwe kama haina ncha" + +# Acha wawe kama konokono inayoyeyuka na kupita + +Kutokuwepo tena inazungumziwa kama kuyeyuka na kupotea. "Acha waovu wapotee kama konokono anayeyuka na kutokuwepo tena" + +# konokono + +"koa" + +# kama mtoto wa mwanamke aliyezaliwa kabla ya muda ambaye hajaliona jua + +Kutokuwepo kunazungumziwa kama kuwa kama mtoto anayezaliwa akiwa amekufa. "kama mtoto anayezaliwa mapema sana kuishi na kuona mwanga wa jua" au "kama mtoto alizaliwa akiwa amekufa" + diff --git a/psa/058/009.md b/psa/058/009.md new file mode 100644 index 00000000..f891f555 --- /dev/null +++ b/psa/058/009.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kabla masufuria yenu hayajajaza moto wa kuchoma wa miiba ... miiba ya kijana na miiba ya kuchoma pamoja + +Waovu wanazungumziwa kana kwamba walikuwa matawi ya miti ya miiba, na hukumu ya haraka ya Mungu juu yao inazungumziwa kana kwamba atawapuliza au kuwafagia haraka. "Mungu atawaangamiza watu waovu haraka zaidi ya kimbunga kinavyoweza kupuliza matawi ya miiba yaliyowekwa chini ya sufuria la kupikia na kuchomwa na moto" + +# yenu + +Daudi anazungumza na watu wa Mungu. + +# mwiba + +"matawi ya miiba" + +# Mwenye haki atafurahi atakapoona + +Msemo "mwenye haki" inamaanisha watu wenye haki kwa ujumla. "Watu wenye haki watafurahi watakapoona" + +# ataosha miguu yake kwenye damu ya waovu + +Kuloanisha miguu ya mtu kwa kutembea kwenye damu inazungumziwa kama kuosha miguu katika damu. "wenye haki wataloanisha miguu yao katika damu ya waovu" au "wenye haki watatembea katika damu ya waovu" + +# ataosha miguu yake kwenye damu ya waovu + +Idadi kubwa ya watu waovu wanaokufa inaelezwa kwa kutumia kukuza kwa neno la watu wenye haki kuosha miguu yao katika damu ya watu waovu. "watu wengi sana waovu watakufa hadi wenye haki watakapotembea kwenye damu yao, itaonekana kana kwamba wanaweza kuosha miguu yao humo" + diff --git a/psa/059/001.md b/psa/059/001.md new file mode 100644 index 00000000..d7ccef40 --- /dev/null +++ b/psa/059/001.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# weka katika Al Tashhethi + +Hii inaweza kuwa inaeleza mtindo wa muziki au tuni ya kutumia wakati wa kuimba zaburi hii. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Michtamu + +Maana ya neno "michtamu" haiko wazi. Hii inaweza kuandikwa kama: "Hii ni zaburi ambayo Daudi aliandika" + +# Sauli alipotuma, na wakaangalia nyumba kumuua + +"katika kipindi Sauli alipowatuma askari wake kwenda na kuangalia nyumba ya Daudi kwa ajili ya nafasi ya kumuua" + +# niweke juu + +Sehemu ya juu inawakilisha sehemu salama ambapo adui zake hawawezi kumfikia. "niweke sehemu salama" + +# inuka dhidi yangu + +Kuinuka dhidi ya mtu inawakilisha kumshambulia. "wananishambulia" + +# watu wenye kiu ya damu + +""watu wenye hamu ya kuua" au "watu wanaopenda kuua watu" + diff --git a/psa/059/003.md b/psa/059/003.md new file mode 100644 index 00000000..b7465d64 --- /dev/null +++ b/psa/059/003.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wanasubiri kunivamia ili kuchukua uhai wangu + +Adui wa Daudi wako katika maficho na wanasubiri kwa utulivu kwa muda ambao watamvamia. + +# amka + +Kuamua kufanya kitu na kuanza kukifanya inazungumziwa kama kuamka. "fanya kitu" au "chukua hatua" + +# na uone + +"na tazama kinachotokea kwangu" au "na uone wanachonifanyie mimi" + diff --git a/psa/059/005.md b/psa/059/005.md new file mode 100644 index 00000000..bb6da8fb --- /dev/null +++ b/psa/059/005.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# inuka + +Kuamua kufanya kitu na kuanza kukifanya inazungumziwa kama kuamka. "fanya kitu" au "chukua hatua" + +# mataifa yote + +Neno "mataifa" hapa yanawakilisha watu wa mataifa ambao hawamtukuzi Mungu. "watu wa mataifa yote" + diff --git a/psa/059/006.md b/psa/059/006.md new file mode 100644 index 00000000..5c088409 --- /dev/null +++ b/psa/059/006.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Wanarudi jioni + +Wanaorudi ni watenda maovu. + +# wanalia kama mbwa + +Mwandishi anazungumzia vitishio vya adui zake kushambulia watu kana kwamba walikuwa ni mbwa wanaolia, kunguruma, au kubweka kwa watu. "wanatishia kushambulia watu" + +# kuuzunguka mji + +"kuuzunguka mji kumshambulia yeyote watakayemkuta" + +# Tazama + +Hapa neno "Tazama" linatumika kuvuta nadhari kwa kitu. "Sikia" + +# wanateuka kwa midomo yao + +Kusema vitu viovu inazungumziwa kama kuteuka. Vitu hivi vibaya vinaweza kuwa ni matusi au vitisho. "wanasema vitu vibaya" au "wanapiga kelele kwa kusema vitu vibaya" + +# teuka + +kutoa pumzi kwa nguvu kutoka mdomoni; kuruhusu hewa kutoka tumboni kupitia mdomoni kwa sauti kubwa ya kuudhi. + +# panga ziko kwenye midomo yao + +Vitu vya ukatili ambavyo watu waovu walikuwa wakisema vinazungumziwa kana kwamba ni panga. "wanasema vitu vya ukatili vinavyosababisha watu taabu kama panga zinavyoangamiza watu" + +# Nani anatusikia? + +Swali hili linatumika kuonesha kuwa waliamini kuwa Mungu hatawasikia na kuwaadhibu. "Hakuna mtu anayetusikia!" au "Mungu wenu hatusikii!" + diff --git a/psa/059/008.md b/psa/059/008.md new file mode 100644 index 00000000..aaba16eb --- /dev/null +++ b/psa/059/008.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wachekee + +"wachekee kwa dharau" au "wadhihaka." Mungu aliwachekea kwa sababu walikuwa hawafai na dhaifu. + +# unashilia mataifa yote katika dhihaka + +"unafanyia mzaha mataifa yote" au "unajua kuwa watu wa mataifa ni wapumbavu" + +# dhihaka + +"fanyia mzaha" au "kejeli" + +# nguvu yangu + +Mungu kuwa nguvu ya mwandishi wa zaburi inawakilisha Mungu kumlinda. "wewe ni nguvu yangu" au "wewe ni mlinzi wangu" + +# wewe ni mnara wangu wa juu + +Mnara wa juu ni sehemu ambapo watu wanaweza kwenda kwa ajili ya kivuli kutoka kwa adui zao. Mwandishi wa zaburi anamzungumzia Mungu kumlinda kana kwamba Mungu ni kivuli imara na salama. "unanilinda kama mnara wa juu" + diff --git a/psa/059/010.md b/psa/059/010.md new file mode 100644 index 00000000..b454bf4f --- /dev/null +++ b/psa/059/010.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mungu wangu atakuna na mimi + +Mungu kumwokoa mwandishi wa zaburi inazungumziwa kana kwamba Mungu alikuwa anatakiwa kukutana naye. "Mungu wangu ataniokoa" + +# hamu yangu kwa adui zangu + +"nachotaka kitokee kwa adui zangu" + +# Watawanye + +"Wasababishe wazurure" + +# ngao yetu + +Mungu kumlinda mwenye haki inazungumziwa kana kwamba Mungu ni ngao. "mlinzi wetu" au "yule anyetulinda kama ngao" + diff --git a/psa/059/012.md b/psa/059/012.md new file mode 100644 index 00000000..413cf88a --- /dev/null +++ b/psa/059/012.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa dhambi za midomo yao na maneno ya midomo yao + +Midomo inawakilisha vitu ambavyo watu husema. "Kwa sababu wanatenda dhambi kwa kile wanachokisema" au "Kwa sababu ya maneno ya dhambi wanayoyasema" + +# acha wakamatwe katika kiburi chao + +"acha watu wawashike kwa sababu ya kiburi chao" + +# wanayoonesha + +"wanayosema" + +# Wameze katika gadhabu yako, wameze ili wasiwepo tena + +Kuwaangamiza kabisa inazungumziwa aidha kati ya kuwachoma au kuwala. "Kuwa na hasira nao na waangamize kabisa ili wasiwepo tena" + +# katika Yakobo + +Yakobo hapa inamaanisha Israeli. "katika Israeli" + +# hadi mwisho wa dunia + +"hadi sehemu za mbali zaidi duniani." Hii inawakilisha sehemu zote duniani. "sehemu zote duniani" + diff --git a/psa/059/014.md b/psa/059/014.md new file mode 100644 index 00000000..4985b1bb --- /dev/null +++ b/psa/059/014.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kulia kama mbwa + +Mwandishi anazungumzia adui zake kutishia kushambulia watu kana kwamba ni mbwa wanalia, wanaunguruma, au wanawabwekea watu. "wanatishia kutushambulia" au "wanatishia kutushambulia kama mbwa pori" + +# ridhika + +"tosheki" + diff --git a/psa/059/016.md b/psa/059/016.md new file mode 100644 index 00000000..05ac1408 --- /dev/null +++ b/psa/059/016.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# umekuwa mnara wangu wa juu na kimbilio langu + +Minara ya juu na sehemu za kukimbilia ni mahali ambapo watu wanaweza kwenda kwa ajili ya kivuli kutoka kwa adui zao. Mwandishi anazungumzia Mungu kumlinda kana kwamba Mungu alikuwa kivuli imara na salama. "umenilinda kama mnara wa juu na kimbilio. + +# katika siku ya dhiki yangu + +"Neno "siku" hapa inamaanisha kipindi katika wakati. "wakati nina taabu" + +# Kwako, nguvu yangu, nitaimba sifa + +"Wewe ni nguvu yangu, kwa hiyo nitaimba sifa kwako" + +# nguvu yangu + +Mungu kuwa nguvu ya mwandishi wa zaburi inazungumziwa kama Mungu kumlinda. "mlinzi wangu" + +# kwa Mungu ni mnara wangu wa juu + +Minara ya juu na sehemu za kukimbilia ni mahali ambapo watu wanaweza kwenda kwa ajili ya kivuli kutoka kwa adui zao. Mwandishi anazungumzia Mungu kumlinda kana kwamba Mungu alikuwa kivuli imara na salama. "umenilinda kama mnara wa juu na kimbilio. + +# Mungu wa agano la umanifu + +Hii inaweza kuelezwa katika sentensi tofauti. "Yeye ni Mungu wa agano la uaminifu" au "Wewe ni Mungu wa agano la uaminifu" + diff --git a/psa/060/001.md b/psa/060/001.md new file mode 100644 index 00000000..8cb21a09 --- /dev/null +++ b/psa/060/001.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# weka katika Shushani Eduthi + +Hii inaweza kuwa inaeleza tuni au mtindo wa muziki wa kutumia wakati wa kuimba zaburi hii. "imba zaburi hii kwa kutumia tuni ya 'Shushani Eduthi'" au "imba hii kwa kutumia mtindo wa Shushani Eduthi" + +# Shushani Eduthi + +Hii inamaanisha "Yungiyungi ya Ahadi" + +# Michtam + +Maana ya neno "michtamu" haliko wazi. Hii inaweza kuandikwa kama: "Hii ni zaburi ambayo Daudi aliandika" + +# Aramu Naharaimu ... Aramu Soba + +"Aramu wa mito miwili ... taifa la Aramu la Soba." Hizi ni sehemu. + +# Yoabu + +Hii inamaanisha Yoabu na jeshi aliloongoza. + +# watu elfu kumi na mbili wa Edomu + +watu wa Edomu 12,000" + +# umetutupa + +Mungu kuwakataa watu inazungumziwa kana kwamba amewatupa. "umetukataa" + +# umevunja kwenye ulinzi wetu + +Mungu kuwaruhusu adui wa Israeli kuvunja kwenye ulinzi wao inazungmziwa kama Mungu mwenyewe amefanya hivyo. "umewaruhusu adui zetu kuvunja kwenye ulinzi wetu" + diff --git a/psa/060/002.md b/psa/060/002.md new file mode 100644 index 00000000..46439d01 --- /dev/null +++ b/psa/060/002.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kauli Unganishi: + +Mwandishi wa zaburi anaendelea kuzungumza na Mungu. + +# Umeifanya nchi kutetemeka; umeichana + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia maafa katika nchi yake kana kwamba ni tetemeko. + +# ponya nyufa zake + +Kuwafanya watu kuwa na nguvu tena inazungumziwa kama kurekebisha nyufa chini na kwenye kuta. + +# nyufa + +upenyo mkubwa chini au kwenye kuta + +# Umewafanya watu wako waone vitu vigumu + +Hapa "tazama" inawakilisha "kupitia" au "kuteseka" + +# kunywa divai ya kupepesuka + +"divai inayotufanya tupepesuke." Kutojiweza inazungumziwa kama kupepesuka, kushindwa kusima wima vizuri. + diff --git a/psa/060/004.md b/psa/060/004.md new file mode 100644 index 00000000..d9529766 --- /dev/null +++ b/psa/060/004.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# umeweka benderea + +Mungu kuwaongoza watu wake vitani inazungumziwa kana kwamba Mungu ni binadamu mfalme au kamanda mkuu aliyeweka bendera kwa ajili ya jeshi lake. "wewe ni kama mfalme anayeweka bendera" au "unatuagiza vitani kama mfalme anayeinua bendera" + +# bendera + +"bendera ya vita." Hii ni bendera ambayo mfalme au kamanda huinua kwenye nguzo kuonesha kuwa jeshi linapaswa kukusanyika. + +# kuonesha dhidi ya wale waliobeba upinde + +"kuonesha dhidi ya wale waliobeba upinde." + +# kuonesha dhidi ya wale waliobeba upinde + +Msemo huu "wale waliobeba upinde" unamaanisha jeshi la adui vitani. "kuonesha wakati akipeleka jeshi lake vitani dhidi ya adui zako" + +# kwa mkono wako wa kuume + +Mkono wa kuume wa Mungu unaashiria nguvu. "kwa nguvu yako" + +# nijibu + +Kumjibu hapa inawakilisha kuitikia ombi lake. "itikiaombi langu" au "jibu ombi langu" + diff --git a/psa/060/006.md b/psa/060/006.md new file mode 100644 index 00000000..e01a6f0b --- /dev/null +++ b/psa/060/006.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Efraimu pia ni kofia yangu ya chuma + +Mungu anazungumzia kabila la Efraimu kana kwamba ni jeshi lake. Kofia inaashiria kifaa cha vita. "Efraimu ni kama kofia yangu ya chuma niliyochagua" au "kabila la Efraimu ni jeshi langu" + +# kofia ya chuma + +kofi ngumu ambayo askari huvaa kulinda kichwa chake dhidi ya ajali + +# Yuda ni fimbo yangu + +Mungu alichagua wanaume kutoka kabila la Yuda kuwa wafalme wa watu wake, na anazungumzia kabila hilo kana kwamba ni fimbo yake. "kabila la Yuda ni kama fimbo yangu" au "Yuda ni kabila ambalo natawalia watu wangu" + diff --git a/psa/060/008.md b/psa/060/008.md new file mode 100644 index 00000000..4d1c3d47 --- /dev/null +++ b/psa/060/008.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Moabu ni bakuli langu la kunawia + +Mungu anazungumzia Moabu kutokuwa muhimu kana kwamba Moabu ni bakuli la kunawia au mtumishi wa chini. "Moabu ni kama bakuli nilalotumia kunawia" + +# juu ya Edomu nitarusha kiatu changu + +Inawezekana Mungu alikuwa akizungumzia kuimiliki Edomu kana kwamba anatupa kiatu kwa ishara katika nchi kuonesha kuwa inaimiliki. Ingawa tafsiri zingine hapa ziko tofauti. "Ninachukua umiliki wa nchi ya Edomu" au "Ninatupa kiatu changu katika nchi ya Edomu kuonesha kuwa ni yangu" + diff --git a/psa/060/010.md b/psa/060/010.md new file mode 100644 index 00000000..394bf7ef --- /dev/null +++ b/psa/060/010.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Lakini wewe, Mungu, haujatukataa? + +Mwandishi anatumia swali hili kueleza huzuni yake kuwa inaonekana kwamba Mungu amewakataa. "Lakini Mungu, inaonekana kama umetukataa." au "Mungu, inaonekana kama umetuacha" + +# Hauendi vitani na jeshi letu + +Mwandishi anazungumzia Mungu kusaidia jeshi lao kana kwamba Mungu huwa anapigina pamoja nao. "huwa husaidii jeshi letu tunapoenda vitani" + +# haufai + +"hauna maana" + +# tutashinda + +"kuwa na ushindi" + +# atawakanyaga chini adui zetu + +Mwandishi anazungumzia Mungu kusaidia jeshi lao kuwashinda adui zao kana kwamba Mungu alikuwa akiwakanyaga adui zao. "atatusaidia kuwakanyaga chini adui zetu" au "atatuwezesha kuwashinda adui zetu" + diff --git a/psa/061/001.md b/psa/061/001.md new file mode 100644 index 00000000..36da6dd0 --- /dev/null +++ b/psa/061/001.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Taarifa ya Jumla: + +Huu ni wimbo kuhusu uaminifu wa Mungu. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# kwenye vyombo vya nyuzi + +"watu wanapaswa kucheza vyombo vya nyuzi na wimbo huu" + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Sikia kulia kwangu; jali ombi langu + +Vishazi hivi viwili vinamaana sawa. "Mungu, nisikilize na ujibu ombi langu" + +# umezidiwa + +"umeshindwa" + +# niongoze kwenye jiwe lililo juu zaidi yangu + +Hapa mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni mwamba mkubwa anaoweza kupanda kwa ajili ya ulinzi. + +# mnara imara kutoka kwa adui + +Maneno yanayodokezwa "unaonilinda" yanaweza kuongezwa. "umekuwa kama mwamba imara unaonilinda dhidi ya adui wangu" + +# mnara imara + +Hapa mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni "mnara imara" unaotoa ulinzi dhidi ya adui zake. + diff --git a/psa/061/004.md b/psa/061/004.md new file mode 100644 index 00000000..6cc08e21 --- /dev/null +++ b/psa/061/004.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nitakimbilia chini ya kivuli cha mbawa zako + +Kwenda kwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi inazungumziwa kama kumkimbilia. Hata kuna sitiari ya pili inayozungumzia ulinzi wa Yahwe kana kwamba ni kuku analinda vifaranga wake chini ya mbawa zake. "kwenda kwako kwa ajili ya ulinzi kama kifaranga alivyo salama chini ya mbawa za mama yake" + +# umenipa urithi + +Mwandishi anazungumzia baraka za Mungu kana kwamba ni urithi aliopokea. "umenipa baraka" + +# wanaoheshimu jina lako + +Hapa "jina lako" linamaanisha Mungu mwenyewe. "wanaokuheshimu wewe" au "walio na heshima ya ajabu kwa ajili yako" + diff --git a/psa/061/006.md b/psa/061/006.md new file mode 100644 index 00000000..9cf5ab6e --- /dev/null +++ b/psa/061/006.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Utarefusha ... vizazi vingi + +Vishazi hivi viwili vina maana ya kufana. Wazo linarudiwa kwa ajili ya mkazo. + +# Utarefusha maisha ya mfalme + +"Utasababisha maisha ya mfalme kudumu muda mrefu" + +# miaka yake itakuwa kama vizazi vingi + +Hapa "miaka" inamaanisha muda ambao mfalme ataishi. "ataishi kwa vizazi vingi" + +# Atabaki mbele ya Mungu milele + +Hapa "kubaki mbele ya Mungu" inamaana kuwa katika uwepo wa Mungu au kuwa pamoja na Mungu. "Mungu atakuwa naye milele" au "Mungu atakuwa na mfalme milele" + diff --git a/psa/061/008.md b/psa/061/008.md new file mode 100644 index 00000000..1d35a07a --- /dev/null +++ b/psa/061/008.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nitaimba sifa kwa jina lako milele + +Hapa "jina" linamaanisha Mungu mwenyewe. "Nitaimba sifa kwako milele" + +# nadhiri zangu + +Hii zinamaanisha ahadi ya kutoa sadaka kwa Mungu kila siku. + diff --git a/psa/062/001.md b/psa/062/001.md new file mode 100644 index 00000000..b8f66c04 --- /dev/null +++ b/psa/062/001.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Taarifa ya Jumla: + +Zaburi hii ni wimbo kuhusu uaminifu wa Mungu. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Yeduthuni + +Mmoja wa wanamuzi wakuu wa Daudi alikuwa na jina hili. Hii inaweza kumaanisha ni yeye. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# wokovu wangu unatoka kwake + +"yeye ndiye anayeniokoa" + +# Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu + +Mwandishi anazungumzia uwezo wa mungu kumlinda kana kwamba Mungu ni mwamba. "Yeye pekee ndiye anayeweza kunilinda na kuniokoa" + +# yeye ni mnara wangu wa juu + +Mwandishi uwezo wa Mungu kumlinda kana kwamba Mungu ni mnara wa juu. "ananiepusha na kushikwa na adui" + +# sitasogezwa sana + +"hakuna kitu kinachoweza kunisogeza kamwe" + diff --git a/psa/062/003.md b/psa/062/003.md new file mode 100644 index 00000000..61d8df27 --- /dev/null +++ b/psa/062/003.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# nyie wote + +"adui zangu" au "adui zangu wote" + +# Hadi lini ... utamshambulia mtu ... au ua inayotikisika? + +Hakuna mtu anayetarajiwa. "Inaonekana kama adui zangu hawataacha kunishambulia. Nijishisi kuwa myonge dhidi yako kama ukuta ulioegemea au ua uliovunjika." + +# utamshambulia mtu + +"utanishambulia" + +# Watashauriana naye ili + +Wanakusudia" au "Wanapanga" + +# Watashauriana naye ... kumletachini ... wanambariki ... mlaani + +Katika mistari hii, Daudi alieleza mwenyewe kama mtu mwingine. + +# kwa midomo yao + +Hii inamaanisha hotuba ya maneno yao. + +# mioyoni mwao + +Hii inamaanisha mawazo yao. + diff --git a/psa/062/005.md b/psa/062/005.md new file mode 100644 index 00000000..3624a4fc --- /dev/null +++ b/psa/062/005.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa kuwa matumaini yangu yako kwake + +"kwa kuwa ninaweka matumaini yangu kwake" + +# Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu wa juu + +Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni mwamba na mnara wa juu. Sitiari zote hizi mbili zinaonesha jinsi Mungu anavyotoa ulinzi kutoka kwa adui wa mtu. Hapa "wokovu" inamaanisha Mungu anamwokoa mwandishi. + +# sitasogezwa + +"hakuna kitu kinachoweza kunisogeza" + diff --git a/psa/062/007.md b/psa/062/007.md new file mode 100644 index 00000000..65036a5a --- /dev/null +++ b/psa/062/007.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mwamba wa nguvu yangu na kimbilo langu liko katika Mungu + +Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni mwamba unaomlinda mtu dhidi ya adui zake. Anamzungumzia Mungu pia kana kwamba ni kivuli kinachotoa ulinzi. "Mungu huwa ananipa nguvu na ulinzi" + +# mwaga moyo wako + +Hii inamaanisha kumwambia Mungu hisia zako za ndani kana kwamba ni kumwaga kimiminiko. "mpe Mungu mawazo yako ya ndani" + +# kimbilio letu + +Neno "letu" linamaanisha Daudi na watu anaozungumza nao. + diff --git a/psa/062/009.md b/psa/062/009.md new file mode 100644 index 00000000..a0d3d0ad --- /dev/null +++ b/psa/062/009.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wa msimamo wa chini ... watu wa msimamo wa juu ni uongo + +Hii inamaanisha viwango vya utajiri na umuhimu. Misemo "ni ubatili" na "ni uongo" ina maana moja. Mtu hawezi kumwamini mtu kwa ujasiri. "huwezi kuweka imani yako kwa watu, hata kama wana umuhimu gani" + +# kupimwa pamoja, ni nyepesi kuliko ubatili + +Ukiwaweka watu wote wa aina hii pamoja katika mizani, hawatakuwa na uzito. Hii inamaanisha kuwa hawana uthamani wa kweli kwako. + +# udhalimu au wizi + +Maneno haya mawili yana maana moja. Huwezi kutumaini katika fedha unayochukua kutoka kwa watu wengine. + +# kwa kuwa hawatazaa matunda + +Mwandishi anazungumzia utajiri kana kwamba ni miti au mizabibu inayoweza kuzaa matunda. "kwa kuwa hawatatoa chochote kizuri kwa ajili yako" + +# usiweke moyo wako kwao + +Hapa "kuweka moyo wako" ni lahaja inayomaanisha kutamani kitu sana. "usiwatamani" + diff --git a/psa/062/011.md b/psa/062/011.md new file mode 100644 index 00000000..940781bb --- /dev/null +++ b/psa/062/011.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mungu amezungumza mara moja, mara mbili nimesikia hivi + +Hii inamaanisha kuwa Mungu amesema hivi zaidi ya mara moja. + +# nguvu ni ya Mungu + +"Mungu ndiye myenye nguvu kweli kweli" + +# Pia kwako, Bwana, ni uaminifu wa agano + +"yeye ndiye anayetupenda kwa uaminifu, kama alivyoahidi" + +# kwa kuwa unamlipa kila mtu kwa kile alichokifanya + +Mwandishi anazungumzia dhawabu za Mungu kana kwamba analipa mshahara wa kazi. + diff --git a/psa/063/001.md b/psa/063/001.md new file mode 100644 index 00000000..665d1e41 --- /dev/null +++ b/psa/063/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# kwa bidii + +"kwa uaminifu" + +# nafsi yangu ina kiu na wewe, na mwili wangu una shuku na wewe + +Vishazi hivi viwili vinamaana mojana vinatumikapamoja kusisitiza jinsi mwandishi anavyotamani kuwana Mungu. "mwili wangu wote unatamani kuwa na wewe" + +# nchi kavu na iliochoka + +"jangwa kavu lenye joto" + diff --git a/psa/063/003.md b/psa/063/003.md new file mode 100644 index 00000000..106c3ca4 --- /dev/null +++ b/psa/063/003.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# midomo yangu itakusifu + +Hapa "midomo" inamwakilisha mtu mzima. "nitakusifu" + +# nitainua mikono yangu katika jina lako + +Hapa "katika jina lako" inamaanisha "kwako." "nitakuabudu wewe na kuomba kwako" + diff --git a/psa/063/005.md b/psa/063/005.md new file mode 100644 index 00000000..b36cf03d --- /dev/null +++ b/psa/063/005.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Itakuwa kana kwamba nimekula mlo wa uboho na mafuta + +Hapa mwandishi anazungumzia kumjua na kumwabudu Mungu kama kuridhisha zaidi ya kula chakula kizuri. "Nitakuwa na furaha zaidi ya mtu anayekula mlo wa mafuta na chakula kizuri" + +# kwa midomo ya furaha mdomo wangu utakusifu + +Hapa "kwa midomo ya furaha mdomo wangu" inamwakilisha mtu mzima atakayemsifu Mungu kwa furaha" + +# ninapokuwaza kitandani mwangu ... katika masaa ya usiku + +Vishazi hivi viwili vina maana sawa. Mawazo yanarudiwa kusisitiza jinsi mwandishi anavyowaza kuhusu Mungu. + diff --git a/psa/063/007.md b/psa/063/007.md new file mode 100644 index 00000000..cac214ca --- /dev/null +++ b/psa/063/007.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nitafurahi katika kivuli cha mbawa zako + +Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni ndege anayelinda makinda yake chini ya mbawa zake. "ninafurahi kwa sababu unanilinda" + +# Nang'ang'ania kwako + +"Ninakuhitaji" au "Ninakutegemea" + +# mkon wako wa kuume unanibeba + +Hapa, mkono wa kuume unatumika kama ishara ya nguvu na uwezo. "unanibeba" au "unaniinua juu" + diff --git a/psa/063/009.md b/psa/063/009.md new file mode 100644 index 00000000..d10014e7 --- /dev/null +++ b/psa/063/009.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wataenda chini kwenye sehemu za chini zaidi za dunia + +Hii inamaanisha kuwa watakufa na kwenda sehemu ya wafu. "watakufa na kushuka katika sehemu ya wafu" au "watakufa na kwenda chini katika sehemu ya wafu" + +# watapewa kwa wale ambao mikono yao hutumia upanga + +Hapa "upanga" inawakilisha kifo vitani, na "wale ambao mikono yao hutumia upanga" inamaanisha adui ambao wanawaua vitani. "Mungu atawasababisha kufa vitani" + +# watakuwa chakula cha mbweha + +Hapa wanaozungumziwa ni maiti za wale wanaokufa vitani. "mbweha watakula miili yao iliyokufa" + +# mbweha + +"mbweha" ni aina ya mbwa pori mwenye miguu mirefu. Huwa wanakula mizoga, mawindo, na matunda. + diff --git a/psa/063/011.md b/psa/063/011.md new file mode 100644 index 00000000..910693fe --- /dev/null +++ b/psa/063/011.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mfalme + +Daudi anajizungumzia mwenyewe. "Mimi, mfalme wa Israeli" + +# anayeapa kwake ... atajivunia naye + +Neno "kwake" inamaanisha Mungu. + +# lakini mdomo wa wale wanaozungumza uongo utasitishwa + +Hapa "mdomo" inamwakilisha mtu mzima. "lakini Mungu atawanyamazisha waongo wote" au "lakini Mungu atawanyamazisha wale wanaodanganya" + diff --git a/psa/064/001.md b/psa/064/001.md new file mode 100644 index 00000000..0f9b07e7 --- /dev/null +++ b/psa/064/001.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Taarifa ya Jumla: + +Zaburi hii ni ombi la msaada. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# hifadhi + +"okoa" + +# Nifiche na hila za siri ... ghasia za watenda udhalimu + +Vishazi hivi viwili vina maana ya kufanana. Kishazi cha pili kinatoa taarifa zaidi kwa kuelezea "hila za siri" zina sauti gani. + +# na vurugu + +"nifiche na ghasia" + +# ghasia + +sauti ya kuchanganya ya kelele na msisimko. + diff --git a/psa/064/003.md b/psa/064/003.md new file mode 100644 index 00000000..ecf939bc --- /dev/null +++ b/psa/064/003.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wamenoa ndimi zao kama panga + +Mwandishi anazungumzia ndimi wa adui zake kana kwamba zilikuwa zimechongeka kama panga. Hapa "ndimi" inawakilisha maneno makali ambayo aduizake wamezungumza. "Vitu vikali wanavyosema vinaniumiza kama upanga mkali" + +# mishale yao, maneno machungu + +Mwandishi anazungumzia maneno machungu ya adui zake kana kwamba ni mishale inayopigwa kwake. "maneno machungu yanayonichoma mishale" + diff --git a/psa/064/005.md b/psa/064/005.md new file mode 100644 index 00000000..6d332981 --- /dev/null +++ b/psa/064/005.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nani atatuona? + +Watenda maovu hawategemi jibu kwa ajili ya swali lao kwa sababu wanafikiri hakuna mtu atakaye waona. "hakuna atakayeona tunachokifanya" + +# Mawazo ya ndani na mioyo wa watu yana kina + +Mwandishi anazungumzia "mawazo ya ndani" na "mioyo ya watu" kana kwamba ni vilindi vya maji ambavyo hakuna mtu anayeweza kuvichunguza hadi chini. + +# Mawazo ya ndani ... mioyo ya watu + +Misemo yote hii miwili inamaanisha mawazo ya siri au ya ndani ya mtu. + diff --git a/psa/064/007.md b/psa/064/007.md new file mode 100644 index 00000000..39a26b64 --- /dev/null +++ b/psa/064/007.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendelea kuwazungumzia "watenda maovu" wa 64:1. + +# Lakini Mungu atawapiga ... kwa mishale + +Mwandishi anazungumzia adhabu ya Mungu kwa watenda maovu kana kwamba Mungu anapiga mishale kwao. + +# Watafanywa kujikwaa + +Mwandishi anazungumzia Mungu kusababisha mipango ya kushindwa kana kwamba Mungu alikuwaakiwafanya kujikwaa katika njia zao. "Mungu atawafanya wajikwae" au "Mungu atasababisha mipango yao kushindwa' + +# kwa kuwa ndimi zao wenyewe ziko dhidi yao + +Hapa "ndimi" inawakilisha maneno wanayosema. "kwa kuwa maneno wanayosema yako dhidi yao" + +# alichofanya + +"kile ambacho Mungu amefanya" + diff --git a/psa/064/010.md b/psa/064/010.md new file mode 100644 index 00000000..fa87caaa --- /dev/null +++ b/psa/064/010.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# watamkimbilia yeye + +Kwend akwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi inazungumziwa kama kumkimbilia. "enda kwake kwa ajili ya ulinzi" + +# wanyofu wote wa moyo tajivunia kwake + +Hapa "wanyofu moyoni" ni lahaja inayomaanisha wanyofu na wenye haki. "watu wote wanyofu watamsifu yeye" + diff --git a/psa/065/001.md b/psa/065/001.md new file mode 100644 index 00000000..c94d8f29 --- /dev/null +++ b/psa/065/001.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Taarifa ya Jumla: + +Zaburi hii ni wimbo wa sifa. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi. Zaburi ya Daudi + +"Hii ni zaburi aliyoandika Daudi" + +# Kwako, Mungu uliye Sayuni, sifa zetu zinakusubiri + +Hii inazungumzia sifa kana kwamba ni mtu anayeweza kutenda kitu mwenyewe. "Kwako pekee, Mungu uliye Sayuni, tutatoa sifu zetu" + +# nadhiri zetu zitabebwa kwako + +"tutafanya tulichokuahidi kufanya" + +# Udhalimu unatushinda + +Mwandishi anazungumzia udhalimu kana kwamba ni mtu anayeweza kushinda au kukandamiza. "ni kana kwamba dhambi zetu wenyewe zinatushinda" + +# utawasamehe + +Watakao "samehewa" inamaanisha ni "udhalimu." + diff --git a/psa/065/004.md b/psa/065/004.md new file mode 100644 index 00000000..c2b9a22e --- /dev/null +++ b/psa/065/004.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# unayemchagua ... nyuani mwako + +Maneno "unaye" na "mwako" yanamaanisha Yahwe. + +# aishi nyuani mwako + +Hii haimaanisha kuwa mtu huyo anaishi kweli kwenye hekalu lakini ni kwamba yuko huko mara kwa mara kumwabudu Yahwe. "aabudu mara kwa mara katika hekalu lako" + +# Tutaridhika na uzuri wa nyumba yako, hekalu lako takatifu + +"Uzuri wa nyumba yako, hekalu lako takatifu, utaturidhisha" + +# Tutaridhika + +Hapa anayezungumziwa ni Daudi na watu anaozungumza nao. + +# nyumba yako, hekalu lako takatifu + +"nyumba yako, ambalo ni hekalu lako takatifu" + diff --git a/psa/065/005.md b/psa/065/005.md new file mode 100644 index 00000000..d0458776 --- /dev/null +++ b/psa/065/005.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Katika haki + +"Kwa sababu u mwenye haki" + +# wewe ambaye ni + +"wewe ni" + +# wa mwisho wote wa dunia ... upande wa pili wa bahari + +Misemo hii inamaana za kufanana. "kwa watu wote wanaoishi duniani kote na upande wa pili wa bahari" + +# wa mwisho wote wa dunia + +Hii inamaanisha watu wote wanaoishi duniani kote. + diff --git a/psa/065/006.md b/psa/065/006.md new file mode 100644 index 00000000..db9074d2 --- /dev/null +++ b/psa/065/006.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wewe uliyefungwa na nguvu + +Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba alivaa nguvu yake kama mshipi. "kuonesha kuwa una uwezo sana" + +# kuunguruma kwa bahari, kuruka kwa mawimbi yake + +Misemo hii miwili inamaana moja na inatumika pamoja kuleta hisia dhahiri kwa msikilizaji na msomaji. "mwendelezo wa bahari kuunguruma" + +# kuunguruma + +sauti kubwa inayosababishwa na upepo na mawimbi + +# na ghasia + +"na kutuliza ghasia" + +# ghasia + +sauti kubwa + diff --git a/psa/065/008.md b/psa/065/008.md new file mode 100644 index 00000000..5e993df0 --- /dev/null +++ b/psa/065/008.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# ushahidi + +kithibitisho au kitu cha kuonesha kuwa kitu kingine ni kweli + +# unafanya mashariki na magharibi kufurahi + +Msemo "mashariki na magharibi" inamaanisha watu wanaoishi duniani kote. "unasababisha watu wanoishi kote kupiga kelele kwa furaha" + +# kusaidia dunia + +Hii inamaanisha udongo wa dunia. + +# unairutubisha sana + +"unaufanya udongo kuwa mzuri sana ili vitu vizuri visitawi juu yake" + +# mto wa Mungu umejaa maji + +Hii inamaanisha maji yaliyoko angani ambayo Mungu hutuma kumwagilia dunia na kuijaza mikondo. "unaijaza mikondo na maji" + diff --git a/psa/065/010.md b/psa/065/010.md new file mode 100644 index 00000000..c1c5c7fa --- /dev/null +++ b/psa/065/010.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Unamwagilia ... lako + +Anayezungumziwa hapa ni Yahwe. + +# mitaro yake + +"mitaro ya dunia" + +# mitaro + +Mtaro ni mfereji mrefu mwembamba unatengenezwa kwenye ardhi kwa ajili ya kupanda mbegu au kwa ajili ya kumwagilia shamba ambapo nafaka zimepandwa. + +# migongo + +makali + +# Unauvika taji mwaka kwa uzuri wako + +Hapa "mwaka" umepewa sifa ya kibinadamu ya kuvaa taji. "Umeupa heshima mwaka kwa mavuno mazuri" + +# hudondosha unono chini duniani + +Neno "unono" unaashiria urutubisho au uzuri. Kama inavyotumika katika mesmo huu, inaonesha jinsi Yahwe anavyoufanya udongo kuwa mzuri sana na wenye urutubisho hadi unatoa mavuno mengi. + +# Malisho ... dondosha umande + +Kuna umande mwingi sana katika malisho hadi yanasemwa kuudondosha. "Malisho ... yamejaa umande" au "Umande mwingi unadondoka katika malisho ya nyikani" + +# vilima vimevikwa na furaha + +Mwandishi anazungumzia uzuri wa vilima kana kwamba ni watu wenye furaha, na furaha kana kwamba ni mavazi. "vilima ni kama watu waliovaa furaha" au "vilima ni kama watu wenye furaha" + diff --git a/psa/065/013.md b/psa/065/013.md new file mode 100644 index 00000000..db404122 --- /dev/null +++ b/psa/065/013.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Malisho yamevikwa kundi + +Mwandishi anazungumzia malisho kama vile yamefunikwa na kundi la kondoo hadi inakuwa kama malisho yamevaa vazi. + +# malisho + +kiwanja kikubwa ambapo wanyama hula nyasi + +# kundi + +kundi la wanyama, kama kondoo na mbuzi + +# yanapiga kelele kwa furaha, na yanaimba + +Malisho, vilima na mabonde ni mengi sana hadi yanaonekana kama yanapiga kelele na kuimba kwa furaha. "ni kama watu wanaoimba kwa furaha" + +# yanapiga kelele + +Yanayopiga "kelele" ni malisho na mabonde. + diff --git a/psa/066/001.md b/psa/066/001.md new file mode 100644 index 00000000..9860ac82 --- /dev/null +++ b/psa/066/001.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Taarifa ya Jumla: + +Zaburi hii ni wimbo wa sifa. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Fanya sauti ya furaha kwa Mungu, dunia yote + +"Sauti ya furaha kwa Mungu" inawakilisha kuimba na kupiga kelele za kumsifu Mungu. "Acha dunia yote iimbe na kupiga kelele kwa furaha kwa Mungu" + +# dunia yote + +Hii inamaanisha watu wote wanaoishi duniani. "watu wote duniani" + +# Imba utukufu wa jina lake; fanya sifa yake kuwa tukufu + +Misemo hii inamaana za kufanana na inatumika kwa pamoja kusisitiza jinsi Mungu alivyo wa ajabu. "Imba kuhusu jinsi jina la Mungu lilivyo la ajabu; imba sifa ya ajabu ya jinsi Mungu alivyo mkuu" + +# utukufu wa jina lake + +JIna la Mungu hapa linamwakilisha Mungu mwenyewe. "utukufu wake" + diff --git a/psa/066/003.md b/psa/066/003.md new file mode 100644 index 00000000..f3e345d0 --- /dev/null +++ b/psa/066/003.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Matendo yako yanaogofya + +Matendo ya Mungu yanatusababisha kuwa katika mshangao na kuogopa kwa sababu tunajua kuwa ana uwezo na ni mtakatifu. + +# Kwa ukuu wa uwezo wako + +"Kwa sababu una uwezo mkuu" + +# Dunia yote itakuabudu + +Hii inamaanisha watu wote wanaoishi duniani. "Watu wote duniani watakuabudu" + +# wataimba kwa jina lako + +Hapa "jina lako" linamaanisha Mungu mwenyewe. "watakusifu na kukupa heshima" + diff --git a/psa/066/005.md b/psa/066/005.md new file mode 100644 index 00000000..45023d5b --- /dev/null +++ b/psa/066/005.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# anatisha ... yake ... kwake + +Hapa anayezungumziwa ni Mungu. + +# anatisha + +"wa ajabu" + +# wanadamu + +"binadamu" + +# Aligeuza bahari kuwa nchi kavu; walipita mto kwa miguu + +Hii inamaanisha kuvuka bahari ya Shamu. + +# walipita + +Waliopita ni watu wa Mungu, Waisraeli. + +# tulifurahi + +Waliofurahi ni Waisraeli, mababu zao, Daudi, na watu anaozungumza nao. + +# macho yake yanatazama + +Msemo huu "macho yake" inamaanisha Mungu mwenyewe. "anaona" + +# usiwaache wakaidi wajiinue + +"usiwaache watu wakaidi wajiinue" au "usiwaache watu wakaidi wawe na kiburi" + diff --git a/psa/066/008.md b/psa/066/008.md new file mode 100644 index 00000000..a26d2343 --- /dev/null +++ b/psa/066/008.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mpe Mungu baraka ... acha sauti ya sifa yake isikike + +Misemo hii miwili ina maana za kufanana. Wazo linarudiwa kusisitiza umuhimu wa kumsifu Mungu. + +# yetu + +Katika mstari huu "yetu" inajumuisha Daudi na watu anaozungumza nao. + +# haruhusu miguu yetu kuteleza + +Mwandishi anazungumzia ulinzi wa Mungu kama kuwaepusha watu wake kuteleza wanapotembea au kuanguka katika mteremko wa ghafla. "hajaturuhusu kuanguka katika maafa" + diff --git a/psa/066/010.md b/psa/066/010.md new file mode 100644 index 00000000..ca6388cf --- /dev/null +++ b/psa/066/010.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Umetuleta kwenye wavu + +Mwandishi anazungumzia adhabu ya Mungu kana kwamba Mungu aliwashika watu wake katika wavu. + +# wavu + +mtego kwa ajili ya ndege au mnyama + +# umeweka mzigo mkubwa viunoni mwetu + +Mwandishi anazungumzia kile ambacho watu wamestahamili kama kulazimika kubeba mizigo mizito migongoni mwao. + +# Umewafanya watu kuendesha juu ya vichwa vyetu + +Hii ni picha ya kushindwa vibaya vitani. "Ni kana kwamba adui zetu wametushinda vitani na wameendesha vibandawazi vyetu juu ya miili yetu iliyoanguka" + +# tulipita katika moto na maji + +Mungu aliwajaribu kwa maafa ya asili kama moto na mafuriko. "tuliteseka kama watu wanavyoteseka kutokana na moto na mafuriko" + +# sehemu yenye nafasi + +Mwandishi anazungumzia baraka walizonazo sasa watu wa Israeli kana kwamba wameletwa katika nafasi kubwa ya wazi ambapo wako salama. "nafasi ya wazi ambapo tuko salama" + diff --git a/psa/066/013.md b/psa/066/013.md new file mode 100644 index 00000000..923af51e --- /dev/null +++ b/psa/066/013.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ambazo midomo yangu iliahidi na mdomo wangu kuzungumza + +Hapa "midomo" na "mdomo" inamaanisha maneno ya ahadi yaliyozungumzwa. "niliyoahidi" + +# harufu nzuri ya kondoo dume + +"harufu ya moshi wa kondoo dume wa sadaka" + diff --git a/psa/066/016.md b/psa/066/016.md new file mode 100644 index 00000000..257cc74c --- /dev/null +++ b/psa/066/016.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nitatangaza alichofanya kwa ajili ya nafsi yangu + +Neno "nafsi" linamwakilisha mtu mzima. "Nitakwambia alichofanya kwa ajili yangu" + +# Nililia kwake kwa mdomo wangu + +Neno "mdomo" linamwakilisha mtu mzima. anayelia kwa Mungu. + +# alisifiwa kwa mdomo wangu + +Hpa "ulimi" unawakilisha maneno au hotuba. "Nilimsifu kwa ulimi wangu" au "Nilimsifu" + +# ningeona dhambi + +"ningependa dhambi" au "kutunza udhalimu" + +# asinge nisikiliza + +Hapa "asinge nisikiliza" inadokeza kuwa Mungu asinge jibu ombi lake. "asinge nisikia nikimwita" au "asinge jibu ombi langu" + diff --git a/psa/066/019.md b/psa/066/019.md new file mode 100644 index 00000000..93dc1b94 --- /dev/null +++ b/psa/066/019.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Lakini hakika Mungu amesikia; amevuta nadhari + +Vishazi hivi viwili vina maana za kufanana na zinatumika pamoja kusisitiza kuwa Mungu amesikia ombi lake. "Lakini hakika Mungu amesikia ombi langu" + +# sauti ya ombi langu + +Hapa ombi la mwandishi limepewa sifa ya kuwa na sauti. "ombi langu" + +# au uaminifu wake wa agano kutoka kwangu + +"au kugeuza uaminifu wake wa agano kutoka kwangu" + diff --git a/psa/067/001.md b/psa/067/001.md new file mode 100644 index 00000000..0cdb5748 --- /dev/null +++ b/psa/067/001.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# kwenye vyombo vya nyuzi + +"watu wanapaswa kucheza vyombo vya nyuzi na wimbo huu" + +# kusababisha uso wake ung'ae kwetu + +Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuwatendea fadhila kana kwamba uso wa Yahwe uling'aa mwanga juu yao. "kututendea fadhili" + +# njia zako zijulikane duniani + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "watu wajue njia zako duniani" + +# wokovu wako miongoni mwa mataifa yote + +Mwandishi anatamani kila mtu ajue kuwa Mungu ana uwezo wa kuwaokoa. Hii inaweza kuwekwa wazi. "na watu wa mataifa yote wajue kuwa una uwezo wa kuwaokoa" + diff --git a/psa/067/003.md b/psa/067/003.md new file mode 100644 index 00000000..ce565612 --- /dev/null +++ b/psa/067/003.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Achawatu wakusifu ... acha watu wakusifu + +Kishazi cha pili kinaogenza uzito wa maana ya ile ya kwanza kwa kusisitiza umuhimu wa kumsifu Mungu. + +# acha mataifa ... tawala mataifa + +Hapa "mataifa" yanamaanisha watu wanaoishi katika mataifa yote duniani. + +# kwa haki + +"kwa usawa" + diff --git a/psa/067/005.md b/psa/067/005.md new file mode 100644 index 00000000..62866501 --- /dev/null +++ b/psa/067/005.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Achawatu wakusifu ... acha watu wakusifu + +Kishazi cha pili kinaogenza uzito wa maana ya ile ya kwanza kwa kusisitiza umuhimu wa kumsifu Mungu. + +# Nchi imetoa mazao yake + +Hapa mwandishi anazungumzia "dunia" kana kwamba imechagua kutoa mazao kwa watu. "Tumevuna mazao mengi kutoka kwenye mazao yetu. + diff --git a/psa/067/007.md b/psa/067/007.md new file mode 100644 index 00000000..a97997c6 --- /dev/null +++ b/psa/067/007.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# na mwisho wote wa dunia unamheshimu + +Hii inamaanisha kwamba watu kila sehemu wanapaswa kumheshimu Mungu kwa sababu ya baraka zake. "ninatamani kwamba watu wote kila mahali duniani wawe na heshima ya ajabu kwake" + diff --git a/psa/068/001.md b/psa/068/001.md new file mode 100644 index 00000000..c00e5f02 --- /dev/null +++ b/psa/068/001.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Acha Mungu ainuke + +Mungu kuanza kutenda inazungumziwa kana kwamba anasimama. "Acha Mungu aanze kutenda" + +# acha adui zake watawanyike + +"acha Mungu awafukuze adui zake" + +# Kama moshi unavyopeperushwa, ndivyo hivyo uwapeperushe + +Adui wa Mungu wanazungumziwa kana kwamba ni moshi unaoweza kupeperushwa kwa urahisi na upepo. "Waondoe kama upepo unavyopuliza moshi" + +# kama nta inavyoyeyuka mbele ya moto + +Adui wa Mungu wanazungumziwa kana kwamba ni nta inayoyeyuka kwa wepesi na moto. "wasababishe kupotea kama nta inavyoyeyuka mbele ya moto. + +# waovu + +Hii inamaanisha watu waovu kwa ujumla. + +# wenye haki + +Hii inamaanisha watu wenye haki kwa ujumla. + +# wafurahi na kushangilia + +Hii inamaanisha kitu kimoja na inasisitiza kiasi cha furaha walichokuwanacho. + diff --git a/psa/068/004.md b/psa/068/004.md new file mode 100644 index 00000000..a8420e35 --- /dev/null +++ b/psa/068/004.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# jina lake + +Hii inamaanisha Mungu. "kwake" + +# yule anayeendesha katika sehemu za wazi + +Uwepo wa Mungu katikati ya watu unazungumziwa kana kwamba anaendesha juu ya dunia katika farasi au kibandawazi. + +# Baba wa wasio na baba + +Mungu anazungumziwa kama Mungu mwenye huruma anayekuwa kama baba kwa yatima. "Yule anayekuwa kama baba kwa watoto wasio na wazazi" + +# mwamuzi wa wajane + +Mungu anazungumziwa kama Mungu anayewlinda wajane. "mlinzi wa wajane" + +# Mungu huwaweka wapweke katika familia + +Mungu anazungumziwa kana kwamba huwaweka watu wapweke katika familia. "Mungu huwapa familia wale waiokuwa na mtu wa kuishi nao" + +# huwaleta nje wafungwa kwa kuimba + +Mungu anazungumziwa kama yule anayewaongoza wafungwa kutoka katika vifungo vyao. "Mungu huwaweka huru wafungwa na huwafanya waimbe kwa furaha" + +# wakaidi + +Hii inamaanisha watu wakaidi. "wale wanaokaidi dhidi yake" + +# nchi kavu + +Adhabu ya Mungu kwa wakaidi inazungumziwa kana kwamba anawalazimisha kuishi katika jangwa lenye joto. "nchi kavu na yenye joto kali" + diff --git a/psa/068/007.md b/psa/068/007.md new file mode 100644 index 00000000..44602870 --- /dev/null +++ b/psa/068/007.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Daudi anaanza kueleza hadithi ya Mungu kuwaongoza Waisraeli katika jangwa hadi mlima Sinai. + +# ulipotoka nje ... ulipotembea katika + +Misemo hii miwili inamaanisha tukio lile lile. + +# ulipotoka nje mbele ya watu wako + +"uliwaongoza watu wako" + +# ulipotembea katika nyika + +Mungu anazungumziwa kana kwamba ni askari anayetembea mbele ya watu wa Israeli. + +# mbingu pia zikadondosha mvua ... uwepo wa Mungu + +"Mungu alisababisha inyeshe" + +# katika uwepo wa Mungu + +Lahaja hii inamaanisha kutokea kwa Mungu mbele ya Waisraeli. "Mungu alipotokea kwa Waisraeli" + diff --git a/psa/068/009.md b/psa/068/009.md new file mode 100644 index 00000000..10696fb1 --- /dev/null +++ b/psa/068/009.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# uliimarisha urithi wako ulipochoka + +Nchi ya Israeli inazungumziwa kana kwamba ni mtu anayeweza kuchoka, au kuptat nguvu. "ulisababisha nchi kutoa mazao mazuri" + +# urithi wako + +Nchi ambayo Mungu aliwapa Waisraeli inazungumziwa kana kwamba ni urithi ambao baba alipitisha kwa watoto wake. "nchi uliyotupa sisi Waisraeli" + +# maskini + +Hii inamaanisha watu maskini kwa ujumla. "watu maskini" + diff --git a/psa/068/011.md b/psa/068/011.md new file mode 100644 index 00000000..0afe93fe --- /dev/null +++ b/psa/068/011.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Daudi anaendelea hadithi ya safari ya Waisraeli katika jangwa. Katika sehemu hii ya hadithi, Waisraeli wanashinda vitani dhidi ya adui zao. + +# wale walioyatangaza ... jeshi kubwa + +Idadi kubwa ya watu walisema ujumbe wa Bwana kwa wengine. Wanazungumziwa kana kwamba ni jeshi kubwa. Kwa kuwa msemo huu ni wa kike, tafsiri zingine hutafsiri hii kama, "wanawake walioyatangaza ... jeshi kubwa." + +# Wafalme wa majeshi ... kwa nini mlifanya hivi? + +Taarifa hii katika 68:11 imepangwa vingine ili maana yake ieleweke kwa wepesi zaidi. + +# Wafalme wa majeshi wanatoroka, wanatoroka + +Wafalme wanawakilisha majeshi kamili. Inaeleweka kuwa wanatoroka kwa sababu wameshindwa na jeshi la Israeli. "Wafalme na majeshi yao wanatutoroka kwa sababu wameshindwa" + +# nyara + +mali vinavyochukuliwa kutoka kwa jeshi lililoshinwa na kuletwa kwa maskani ya jeshi lililo shinda. + +# njiwa waliofunikwa kwa fedha ... dhahabu + +Hii inamaanisha kuwa baadhi ya vitu vilivyotekwa nyara ni vya thamani sana kwa sabau vimefunikwa kwa mawe ya thamani. + +# Wakati baadhi ya nyie watu mlipobaki katika zizizi za kondoo, kwa nini mlifanya hivi? + +Swali hili linatumika kukemea watu ambao hawakushiriki vitani. "Wale waliobaki katika zizi za kondoo wasinge baki; wangeenda vitana." + diff --git a/psa/068/014.md b/psa/068/014.md new file mode 100644 index 00000000..0a126891 --- /dev/null +++ b/psa/068/014.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# aliwatawanya wafalme huko ... anguka theluji juu wa mlima Salmoni + +Kuna wafalme na askari wengi sana waliokufa katika mlima hadi wanazungumziwa kana kwamba ni theluji iliyofunika mlima. "aliwashinda wafalme na askari wengi sana huko hadi wakawa kama chembe za theluji imefunika mlima Salmoni." + +# aliwatawanya wafalme + +Hapa "wafalme" inamaanisha majeshi pia. "aliwatawanya wafalme adui na majeshi yao" + +# mlima Salmoni + +HIli ni jina la mlima. + +# Mlima mkuu ni ... mlima wa juu ni + +Misemo hii miwili inamaana za kufanana na inatumika pamoja kuimarisha nyingine. "mlima mkuu na wa juu ni nchi ya kilima cha Bashani" + +# Kwa nini unaangalia kwa wivu ... kwa ajili ya sehemu atakayoishi? + +Swali hili linawezakuandikwa kama kauli. "Nchi ya kilima cha juu cha Bashani hakitakiwa kuangalia kwa wivu mlima wa ambao Mungu anatamani kwa ajili ya sehemu atakayoishi." + diff --git a/psa/068/017.md b/psa/068/017.md new file mode 100644 index 00000000..c7feee6c --- /dev/null +++ b/psa/068/017.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# elfu ishiri, maelfu juu ya maelfu + +Hii inawezekana haimaanishi idadi kamili, lakini kuashiria idadi kubwa. "maelfu mengi" + +# unapanda + +Hii ni kwenda juu kuelekea angani. + diff --git a/psa/068/019.md b/psa/068/019.md new file mode 100644 index 00000000..03a084ab --- /dev/null +++ b/psa/068/019.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# hubeba mizigo yetu kila siku + +"hubeba mizigo yetu mizito kila siku." Kujali kwa Bwana kwa ajili ya watu wake inazungumziwa kana kwamba alikuwa akibeba kwa uhalisia matatizo yao kama mzigo. + +# Mungu ambaye ni wokovu wetu ... Mungu wetu ni Mungu anayeokoa + +Misemo inamaanisha kitu kimoja. "Mungu anayetuokoa ... Mungu wetu ni Mungu anayeokoa" + +# atapiga katika vichwa vya adui zake + +Mungu anazungumziwa kana kwamba ni shujaa ambaye ataua adui zake kwa kuwapiga vichwani ili kuwaua. "atawaua adui zake kwa kuwapiga kichwani" + +# ngozi ya kichwa na nywele nyingi + +Inaonekana kuwa utamaduni wa wanajeshi kutonyoa nywele zao wakati wa vita. "mafuvu yenye nywele ndefu" + +# wanaotembea katika makosa dhidi yake + +Kumkosea Mungu inazungumziwa kama kutembea kwenye makosa. "kumkosea mara kwa mara" + diff --git a/psa/068/022.md b/psa/068/022.md new file mode 100644 index 00000000..16f8b0df --- /dev/null +++ b/psa/068/022.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# nitawarudisha + +Watakaorudishwa ni adui wa Mungu. + +# vilindi vya bahari + +Hii ni lahaja inayomaanisha sehemu za mbali za duniani ambapo watu watajaribu kumtoroka Mungu. + +# uwaponde adui zako + +Uharibifu wa adui wa Israeli unazungumziwa kana kwamba Waisraeli waliwagandamiza chini ya miguu yao. "kuwashinda kabisa adui zako" + +# unachovya mguu wako kwenye damu + +Vurugu ya kutoka kwenye uharibifu wa adui unazungumziwa katika njia ya picha kali, kana kwamba Waisreali watakuwa wakisimama katika damu ya adui zao waliokufa. "kukanyaga katika damu yao" + +# ndimi za mbwa wako wawe na gao lao + +Umwagaji wa damu katika vita dhidi ya adui wa Israeli unazungumziwa kana kwamba ni mkubwa sana hadi mbwa watalamba damu inayotiririka kwa ndimi zao. + diff --git a/psa/068/024.md b/psa/068/024.md new file mode 100644 index 00000000..2a72d709 --- /dev/null +++ b/psa/068/024.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# maandamano + +Maandamano ni kundi kubwa la watu wanaotembea pamoja kwa mpangilio kama sehemu ya sherehe. + +# wapiga vinanda + +watu wanopiga vyombo vya muziki + diff --git a/psa/068/026.md b/psa/068/026.md new file mode 100644 index 00000000..ba216cf7 --- /dev/null +++ b/psa/068/026.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mbarikini Mungu katika mkusanyiko; msifuni Yahwe, nyie uzao wa kweli wa Israeli + +"Nyie ambao ni kizazi cha kweli cha Israeli, msifuni Yahwe na mbarikini Mungu katika kusanyiko. + +# makundi yao + +"kundi lao." Neno "lao" linamaanisha viongozi wa Yuda. + diff --git a/psa/068/028.md b/psa/068/028.md new file mode 100644 index 00000000..6af2381d --- /dev/null +++ b/psa/068/028.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mungu wenu, Israeli, ameagiza nguvu yenu + +Tafsiri zingine zinaelewa maandiko ya Kihebrania tofauti. "Amrisha (au tumia) nguvu yako, Mungu" + +# Mungu wenu, Israeli, ameagiza + +"Watu wa Israeli, Mungu wenu ameagiza" + +# kwetu + +Neno "kwetu" linamaanisha watu ambao Daudi anazungumza nao na yeye mwenyewe. + +# Onesha uwezo wako kwetu kutoka katika hekalu lako Yerusalemu + +Unapokuwepo katika hekalu lako Yerusalemu, tuoneshe uwezo wako" + +# Onesha uwezo wako + +"Tuonesha kuwa una nguvu" + diff --git a/psa/068/030.md b/psa/068/030.md new file mode 100644 index 00000000..4dd86b90 --- /dev/null +++ b/psa/068/030.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# wanyama pori katika matete + +Wasomi wengi wanaamini wanyama pori hawa ni sitiari inayomaanisha watu wa Misri. "watu wa Misri ambao ni kama wanyama pori katika matete" + +# watu, makundi ya mafahali na ndama + +Watu wa mataifa mengine wanazungumziwa kana kwamba ni kundi kubwa la ngombe. "mataifa yenye nguvu, ambao ni kama makundi ya mafahali" + +# watawanye + +kusambaza au kusababisha kitu kusambaa haraka katika pande tofauti + +# Wakuu watatoka kutoka Misri + +Inadokezwa kuwa wakuu wanatoka Misri ili kumpa Mungu zawadi Yerusalemu. "Kisha viongozi wa Misri wataleta zawadi kwako" + +# Kushi + +Hii inamaanisha watu wa Kushi. "Watu wa Kushi" + +# anafika kwa mikono yake kwa Mungu + +Hili tendo linaloashiria kumwabudu Mungu. "anainua mikono yake kumsifu Mungu" + diff --git a/psa/068/032.md b/psa/068/032.md new file mode 100644 index 00000000..2a1b4998 --- /dev/null +++ b/psa/068/032.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nyie falme za duniani + +Hapa "falme" inamaanishwa wakazi wa falme. "nyie watu ambao ni wakazi wa falme duniani kote" + +# Kwake anayeendesha juu ya mbingu ya mbingu + +Neno "Imbeni" linadokezwa kama mwanzo wa mstari huu. Hapa Mungu anaelezwa kana kwamba anaendesha kibandawazi angani. "Imbeni kwa Mungu anayeendesha juu ya anga katika kibandawazi chake" + +# anainua sauti yake kwa nguvu + +Lahaja hii inamanisha anazungumza kwa nguvu. "anapiga kelele kwa nguvu" au "anazungumza kwa sauti kubwa" + diff --git a/psa/068/034.md b/psa/068/034.md new file mode 100644 index 00000000..7b2afeeb --- /dev/null +++ b/psa/068/034.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mhesabieni Mungu nguvu + +"Mhesabieni" inamaanisha kumpa mtu sifa. "Nguvu ni ya Mungu" + +# nguvu yake iko angani + +"katika anga pia anaonesha kuwa ana uwezo" + +# Mungu, wewe unatisha katika sehemu yako takatifu + +Hapa mwandishi anazungumza moja ka moja na Mungu. + +# nguvu na uwezo + +Maneno haya mawili yana maana moja. Yanasisitiza kiasi ambacho Mungu anawapa nguvu watu wake. + diff --git a/psa/069/001.md b/psa/069/001.md new file mode 100644 index 00000000..87845514 --- /dev/null +++ b/psa/069/001.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Taarifa ya Jumla: + +Zaburi hii ni ombi la msaada. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# weka katika Shoshannimu + +Hii inaweza kumaanisha mtindo wa muziki. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# kwa kuwa maji yameweka maisha yangu hatarini + +Mwandishi anaelezea matatizo maishani mwake kana kwamba alikuwa akizama kwenye mafuriko ya maji. "kwa kuwa ni kama ninazama katika maji" + +# ninazama katika matope mengi + +Mwandishi anaelezea matatizo maishani mwake kana kwamba anazama katika matopemengi. "Kwa kuwa ni kama ninazama katika matope mengi na nitakufa" + +# matope + +udongo wa maji maji + +# hakuna sehemu ya kusimama + +Mwandishi anatumia kauli hasi kusisitiza jinsi hali ilivyokuwa haiko imara na haileweki. + +# Nimekuja katika maji marefu, ambapo mafuriko yanapita juu yangu + +Mwandishi anaelezea matatizo yake kana kwamba anazama katika mto mrefu wenye vurugu. "nahisa kama niko kwenye maji marefu, na mafuriko ya maji yanapita juu yangu" + diff --git a/psa/069/003.md b/psa/069/003.md new file mode 100644 index 00000000..b1a8f64b --- /dev/null +++ b/psa/069/003.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nimechoka + +kuchoka sana + +# macho yangu yameshindwa + +Lahaja hii inamaanisha kuwa mwandishi amaelia sana hadi macho yake hayaoni vizuri tena. "macho yangu yamevimba kutokana na machozi" + +# zaidi ya nywele kichwani mwangu + +Hii ni kukuza kwa neno kuonesha ni kisasi gani cha adui alichonacho mwandishi. "zaidi ya niwezavyo kuhesabu, kama nywele kichwani mwangu" + +# nikata + +Lahaja hii inamaanisha "niue." + diff --git a/psa/069/005.md b/psa/069/005.md new file mode 100644 index 00000000..2afe6c7f --- /dev/null +++ b/psa/069/005.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# upumbavu wangu + +"vitu vya kipumbavu ambavyo nimefanya" + +# dhambi zangu hazijafichwa kutoka kwako + +"unajua dhambi zangu zote" + +# wale wanaokusubiri wewe waaibishwe ... wale wanakutafuta wakose heshima + +Misemo hii miwli inamaana moja na inasisitiza hamu ya mwandishi ya kwamba Mungu awalinde watu wake. + +# Usiache wale wanaokusubiri wewe waaibishwe kwa sababu yangu + +"Tafadhali usiwaaibishe wale wanaokusubiri wewe kwa sababu yangu" + +# Usiache wale + +"Usiwaache wale" + +# usiache wale wanakutafuta wakose heshima kwa sabau yangu + +"Tafadhali usiwenyime heshima kwa sababu yangu wale wanaokutafuta wewe" + +# wale wanakutafuta + +Kumtafuta Mungu inawakilisha kati aya 1) kumwomba Mungu msaada au 2) kuwaza kumhusu Mungu na kumtii. "wale wanao omba msaada wako" au 2) wale wanaokuabudu na kukutii wewe" + diff --git a/psa/069/007.md b/psa/069/007.md new file mode 100644 index 00000000..e74822cb --- /dev/null +++ b/psa/069/007.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Kwa ajili yako + +"Kwa niaba yako" + +# Nimebeba lawama + +Lawama za adui wa mwandishi zinazungumziwa kana kwamba ni mzigo mzito ambapo alitakiwa kubeba. "Nimevumilia matusi ya adui zangu" + +# aibu imefunika uso wangu + +Mwandishi anazungumzia aibu anayoihisi kana kwamba ni kitu kibaya usoni pake ambacho kila mtu anakiona vizuri. "Nimeaibika sana" + +# Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu + +Mwandishi anajizungumzia mwenyewe kana kwamba hakuwa sehemu ya familia yake mwenyewe. "Ndugu zangu hawanijui tena au kunikubali kabisa" + +# mgeni kwa ndugu zangu ... mgeni kwa watoto wa mama yangu + +Misemo hii miwili inamaana moja. Inarudiwa kusisitiza mtengano na familia yake mwenyewe. + +# mgeni kwa watoto wa mama yangu + +Mwandishi anajizungumzia mwenyewe kana kwamba hakuwa sehemu ya familia yake mwenyewe. "ndugu zangu hawanijui tena au kuniamini kabisa" + +# ari ya nyumba yako imenila + +Mwandishi anazungumzia ari kwa ajili ya hekalu la Mungu kana kwamba ni mnyama pori unaommeza mwandishi. "ari niliyonayo kwa ajili ya nyumba yako inanimeza" + +# imenila + +Lahaja hii inamaanisha ari ya mwandishi kwa ajili ya hekalu inateka mawazo na matendo yake yote. "inatawala kabisa kila kitu nachowaza na kufanya" + +# lawama ... zimeniangukia + +Mwandishi anazungumzia lawama za adui wa Mungu kana kwamaba ni mawe yaliyopondwa kwa mwandishi. "wale wanaokulaumu piwa wanatuma lawama zao kwangu" + diff --git a/psa/069/010.md b/psa/069/010.md new file mode 100644 index 00000000..474f5b8d --- /dev/null +++ b/psa/069/010.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nililia na sikula chakula + +Ukweli kuwa mwandishi alikuwa akifunga inaashiria kuwa alikuwa na huzuni kuhusu jinsi watu walivyolitendea hekalu la Mungu. + +# walinidhihaki + +"adui zangu walinilaumu kwa sababu yake" + +# nilipofanya magunia kuwa mavazi yangu + +Kuvaa vnguo mbaya, za thamani ndogo ni ishara ya kuomboleza juu ya dhambi. + +# nikawa kitu cha mithali + +Mwandishi anajizungumzia kana kwamba alikuwa ndiye mtu mwenye huzuni au mpumbavu katika mithali. "nikawa mfano wa mtu mwenye huzuni anayezungumziwa katika mithali" au "wananicheka" + +# Wale wanokaa katika lango la mji + +Hapa "lango la mji" unahusishwa na uongozi wa mji. "Watu muhimu wa mji" + +# mimi ni wimbo wa walevi + +Mwandishi anajizungumzia kana kwamba alikuwa ndiye mtu ambaye walevi walimkejeli kwa myimbo. "walevi wa mji wanaimba nyimbo za kuudhikunihusu mimi" + diff --git a/psa/069/013.md b/psa/069/013.md new file mode 100644 index 00000000..e329fb0a --- /dev/null +++ b/psa/069/013.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# katika muda utakaokubali + +"katika muda wako uliokubalika" au "utakapokuwa tayari" + +# nijibu katika uaminifu wa wokovu wako + +"niokoe kwa sababu unanipenda kwa uaminifu, kama ulivyoahidi kufanya" + +# Nivute nje ... usiniache nizame + +Misemo hii miwili ina maana moja. + +# Nivute nje ya matope, na usiniache nizame + +Mwandishi anazungumzia hatari yake kutoka kwa adui zake kana kwamba alikuwa akizama katika shimo la matope. "Usiniruhusu niendelee kuzama katika matope" + +# acha nichukuliwe + +Hapa "kuchukuliwa" inamaanisha kutolewa kutoka hatarini. "nitoe" au "niokoe" + +# niokolewe kutoka + +"tafadhali niokoe kutoka" + +# maji marefu ... mafuriko ya maji ... kilindi + +Misemo hii ina maana moja. + +# niokoa kutoka kwenye maji marefu + +Mwandishi anazungumzia hatari yake kutoka kwa adui zake kana kwamba anazama katika maji marefu. + +# mafuriko ya maji yamenilemea + +Mwandishi anazungumzia hatari yake kutoka kwa adui zake kana kwamba mafuriko ya maji yalikuwa yakimfunika kabisa. + +# kilindi kinanimeza + +Mwandishi anazungumzia kilindi kana kwamba ni mnyama hatari aliyekuwa tayari kumla. "maji marefu yananimeza kama mnyama hatari" + +# Usiruhusu shimo lifunge mdomo wake kwangu + +Hapa "shimo" linazungumziwa kana kwamba lina mdomo kama mtu na linaweza kumla mwandishi. "Usiruhusu shimo linimeze" au "Usiache shimo la mauti lifunge juu yangu" + diff --git a/psa/069/016.md b/psa/069/016.md new file mode 100644 index 00000000..1596dab4 --- /dev/null +++ b/psa/069/016.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# uaminifu wako wa agano ni mzuri + +"wewe ni mwema na unanipenda kwa uaminifu" + +# huruma zako kwangu ni nyingi + +"una huruma sana kwangu" + +# geukia kwangu + +Wazo la kumgeukia mtu linamaanisha kumvutia nadhari kwao au kuwasaidia. "nisaidie" + +# Usifiche uso wako kwa mtumishi wako + +Kuficha uso wa mtu inamaanisha kukataa kumsikiliza au kumsaidia mtu. "Tafadhali msaidie mtumishi wako" au "Tafadhali nisaidie" + +# katika dhiki + +"katika taabu kubwa" + diff --git a/psa/069/018.md b/psa/069/018.md new file mode 100644 index 00000000..ed7747aa --- /dev/null +++ b/psa/069/018.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# niokoe + +Mwandishi anamwomba Mungu kumwokoa kana kwamba mwandishi alikuwa ni mtumwa ambaye uhuru wake ungewezz kununuliwa na Mungu. + +# nikomboe mateka + +Mwandishi anazungumzia kulipia fidia maisha yake kana kwamba alikuwa mtumwa ambaye uhuru wake ungeweza kununuliwa kwa fedha. + +# lawama yangu, aibu yangu, na fedheha yangu + +"jinsi watu walivyonilaumu, niaibisha, na kunifedhehesha" + +# adui zangu wote wako mbele zako + +Hapa "mbele zako" inamaanisha kuwa Mungu anaona na kujua yote kuwahusu. "unajua adui zangu wote ni kinanani" + diff --git a/psa/069/020.md b/psa/069/020.md new file mode 100644 index 00000000..c65a07d7 --- /dev/null +++ b/psa/069/020.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# imevunja moyo wangu + +Lahaja hii inamaanisha mtu ana huzuni sana. "imenikosea sana" + +# nimeja uzito + +huzuni kuu ya mwandishi inazungumziwa kana kwamba alikuwa amejaa uzito. "nimejaa uzito wa huzuni" + +# kunihurumia + +kusikia maombolezo au huzuni + +# Walinipa sumu kama chakula changu + +Hii inaweza kuwa fumbo. Chakula ambacho watu walimpa mwandishi kilikuwa kibaya sana hadi kilikuwa na ladha kama ya sumu. "Walinipa chakula chenye ladha kama ya sumu" + diff --git a/psa/069/022.md b/psa/069/022.md new file mode 100644 index 00000000..d0968d5e --- /dev/null +++ b/psa/069/022.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Acha meza yao mbele yao iwemtego ... acha iwe tanzi + +Mwandishi angependa kuona chakula cha adui zake kinawaharibu kabisa kana kwamba ni wanyama wadogo walionaswa katika mtego au tanzi. "Na chakula chao kiwaharibu kama mtego ... na kiwaangamize kama tanzi" + +# meza yao + +Hii inamaanisha chakula kilichowekwa mezani, inawezekana katika karamu. "chakula chao wenyewe" au "karamu za sadaka" + +# Acha macho yao yatiwe giza + +Mwandishi anazungumzia macho yasiyoweza kuona vizuri kana kwamba yametiwa giza. "Tafadhali uwafanye wasiweze kuona kitu" + +# ufanye viuno vyao vitetemeke + +Migongo midhaifu inazungumziwa kana kwamba inatetemeka katika udhaifu. "sababisha migongo yao kuwa minyonge kwao kufanya lolote" + +# viuno vyao + +"pembeni kwao" au "migongo yao" + diff --git a/psa/069/024.md b/psa/069/024.md new file mode 100644 index 00000000..335aa23f --- /dev/null +++ b/psa/069/024.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mwaga gadhabu yako juu yao + +Mungu kuonesha hasira yake inaelezwa kana kwamba aliimwaga juu ya adui zake kama maji. + +# gadhabu + +"hasira kali" au "hasira' + +# ukali wa hasira yako + +"hasira yako ya moto" au "hasira yako kali" + +# uwapite + +Hukumu ya Mungu kwa adui zake unaelezwa kana kwamba aliwafukuza na kuwashika. + +# iwe ya kuhuzunisha + +"kuwa imetelekezwa" + diff --git a/psa/069/026.md b/psa/069/026.md new file mode 100644 index 00000000..25ed3401 --- /dev/null +++ b/psa/069/026.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# walimtesa yule + +"walimtesa mtu" + +# uliyempiga chini + +Hapa "kupiga chini" inamaanisha adhabu. "ulimwadhibu" + +# wale uliowaumiza + +Hapa "kuumizwa" inamaansiha kuwasababisha kuteseka. "wale uliowasababisha wateseka" + +# Washtakaki kwa kufanya udhalimu baada ya udhalimu + +"Endelea kuweka kumbukumbu ya dhambi zao zote" + +# udhalimu baada ya udhalimu + +"dhambi nyingi sana" + +# usiwaache waje katika ushindi wako wa haki + +Kuja katika ushindi wa Mungu ni lahaja inayomaanisha kupokea dhawabu kutoka kwake. "usiwaache wapokee dhawabu yako ya haki" + diff --git a/psa/069/028.md b/psa/069/028.md new file mode 100644 index 00000000..f3c3baf0 --- /dev/null +++ b/psa/069/028.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Acha wawekewe doa katika + +Kinachozungumziwa hapa ni majina ya adui. "Futa majina yao katika" + +# wasiandikwe chini + +"usiandike majina yao" + +# acha wokovu wako, Mungu, uwaweke juu + +"Mungu, niokoe na uniweke katika sehemu salama" + diff --git a/psa/069/030.md b/psa/069/030.md new file mode 100644 index 00000000..2181aab4 --- /dev/null +++ b/psa/069/030.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# jina la Mungu + +Hapa "jina" linamaanisha Mungu mwenyewe. "Mungu" + +# kwa shukrani + +"kwa kumshukuru" + +# zaidi ya ng'ombe au fahali + +"bora zaidi ya kutoa sadaka ya ng'ombe au fahali" + +# fahali mwenye pembe na kwato + +Msemo huu unatofautisha fahali wazima na ndama wadogo. "fahali mzima mweye pembe na kwato" + diff --git a/psa/069/032.md b/psa/069/032.md new file mode 100644 index 00000000..be7aaba7 --- /dev/null +++ b/psa/069/032.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Wapole + +Hii inamaanisha watu wapole kwa ujumla. "Watu wapole" + +# nyie mnaomtafuta Mungu + +Kumtafuta Mungu inawakilisha kati ya 1) kumwomba Mungu msaada au 2) kumuwaza Mungu na kumtii. "nyie mnaomwomba Mungu msaada" au "nyie mnaomuwaza Mungu" + +# acha mioyo yenu iishi + +Hapa "mioyo" inamaanisha watu. Hapa "kuishi" ni lahaja inayomaanisha kutiwa moyo. "na utiwe moyo" + +# Yahwe huwasikia + +Hapa "huwasikia" inamaanisha hujibu. "Yahwe hujibu" + +# wahitaji + +Hii inamaanisha watu wahitaji kwa ujumla. "watu wahitaji" + +# wafungwa wake + +"wale walioteseka kwa ajili yake" + diff --git a/psa/069/034.md b/psa/069/034.md new file mode 100644 index 00000000..43c0f2da --- /dev/null +++ b/psa/069/034.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Acha mbingu na nchi zimsifu ... bahari + +Hapa mbingu na nchi na bahari zinazungumziwa kana kwamba ni watu wanaoweza kumsifu Mungu. + +# bahari na kila kitu kinachoenda ndani yake + +"acha bahari na kila kitu kinachoenda ndani yake kimsifu Mungu" + +# Mungu ataiokoa Sayuni + +Hapa "Sayuni" inamaanisha watu wa Sayuni. "Mungu atawaokoa watu wa Sayuni" + +# kuwa nayo kama mali ya kumiliki + +Hapa neno "nayo" linamaanisha nchi ya Yuda. + +# wanaopenda jina lake + +Hapa "jina" linamaanisha Mungu mwenyewe. "wanaompenda Mungu" + diff --git a/psa/070/001.md b/psa/070/001.md new file mode 100644 index 00000000..d5a4fded --- /dev/null +++ b/psa/070/001.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# kuleta katika kumbukumbu + +"zaburi hii iliandikwa kuwasababisha watu kukumbuka" + +# wale ambao + +"watu ambao" + +# kuchukua maisha yangu + +Lahaja hii inamaanisha "kuniua" + +# waaibike na kudhalilishwa + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Mungu awaweke katika aibu na kuleta fedheha juu yao" + +# acha wageuzwe nyuma na kuletwa kwenye fedheha + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Mungu awageuze na kuwafanya waaibike kwa yale waliyotenda" + +# acha wageuzwe nyuma + +Kusimamishwa inazungumziwa kama kugeuzwa kutoka kwenye mashambulizi yao. "kusimamishwa" + +# wale wanaosema, "Aha, aha" + +Hii inaonesha kudhihaki kicheko. "wale wanao nidhihaki na kunicheka" + diff --git a/psa/070/004.md b/psa/070/004.md new file mode 100644 index 00000000..03cda7f5 --- /dev/null +++ b/psa/070/004.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# wanaokutafuta + +Kumtafuta Mungu inaashiria kati ya 1)kumwomba Mungumsaada au 2) kumwaza Mungu na kumtii. "kukuomba msaada" au"kukuwaza na kukutii" + +# washereheke na kufurahi + +Misemo hii miwili inamaana sawa na inasisitiza uzito wa furaha. "kufurahi sana" au "kuwa na furaha sana" + +# wanaopenda waokovu wako + +Nomino dhahania ya "wokovu" inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "wanaokupenda kwa sababu umewaokoa" + +# daima waseme + +Hapa ni kukuza kwa neno ili kusisitiza umihimu wa kumsifu Mungu mara kwa mara. + +# Mungu asifiwe + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Acha kila mtu amsifu Mungu" + +# maskini na mhitaji + +Hapa maneno "maskini" na "mhitaji" yanamaana ya kufanana na yanasisitiza kuwahakuweza kujihudumia mwenyewe. "mhitaji sana" + +# harakisha kwangu + +Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba anamkimbilia mwandishi ili amsaidie. "njoo upesi unisaidie!" + +# wewe ni msaada wangu na unaniokoa + +Hapa msemo "unaniokoa" unaeleza jinsi Mungu alivyo msaada wake. "unanisaidia kwa kuniokoa" + +# usichelewe + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "tafadhali njoo upesi" + diff --git a/psa/071/001.md b/psa/071/001.md new file mode 100644 index 00000000..0f939686 --- /dev/null +++ b/psa/071/001.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Taarifa ya Jumla: + +Zaburi hii ni ombi kwa ajili ya msaada. + +# Katika wewe, Yahwe, ninakimbilia + +Kwenda kwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi inazungumziwa kama kumkimbilia. "kwenda kwako, Yahwe, kwa ajili ya ulinzi" + +# acha nisiaibishwe kamwe + +"usiwaruhusu kamwe adui zangu kuniaibisha" + +# unifanya kuwa salama katika haki yako + +Maana zinazowezekana ni 1) "nifanye kuwa salama kwa sababu daima huwa unafanya kilocho sawa" au 2) "nifanye kuwa salama ninapofanya kile unachotaka nifanye" + +# geuza sikio lako kwangu + +Hapa "sikio lako" inamaanisha utayari wa Mungu kumsikiliza mtu anaye omba kwake. "kuwa msikivu kwangu" + +# Uwe kwangu mwamba wa kukimbilia + +Mwandishi anaomba kwamba Yahwe amfanye kuwa salama kama ambavyo angekuwa kama angejificha kwenye mwamba mkubwa au jabali ambapo adui zake wasingempata. + +# mwamba ... mwamba + +Hivi ni vilima au milima, sio mawe ambayo mtu anaweza kushika mkononi. + +# umetoa amri + +"umewaamuru malaika wako" + +# kuniokoa + +"niweke salama" + +# wewe ni mwamba wangu na ngome yangu + +Mwandishi wa zaburi anaamini kuwa Yahwe atamlinda na kumfanye kuwa salama kana kwamba anajificha juu ya mlima mkubwa au kwenye ngome iliyotengenezwa na mwanadamu. + diff --git a/psa/071/004.md b/psa/071/004.md new file mode 100644 index 00000000..2777901f --- /dev/null +++ b/psa/071/004.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kutoka kwenye mkono wa mwovu, kutoka kwenye mkono wa asiye na haki + +Maana zinazowezekana ni 1) neno "mkono" ni njia nyingine ya kusema nguvu. "kutoka katika nguvu ya wasio na haki" au 2) "mkono" unamaanisha mtu mwenyewe. "kutoka kwa watu waovu, kutoka kwa watu wasio na haki" au "ili kwamba watu waovu na watu wasio na haki hawawezi kunidhuru" + +# mwovu, kutoka kwenye mkono wa asiye na haki + +"mwovu; niokoe kutoka kwenye mkono wa asiye na haki." + +# mwovu ... asiye na haki ... mkatali + +"watu waovu... watu wasio na haki ... watu wakatili" + +# wewe ni matumaini yangu + +Hapa "matumaini" ni njia nyingine ya kusema yule ambaye mwandishi wa zaburi anamtumaini. "wewe ndiye ninayekutegemea unisaidie" + diff --git a/psa/071/006.md b/psa/071/006.md new file mode 100644 index 00000000..d3b59f32 --- /dev/null +++ b/psa/071/006.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kupitia wewe nimebebwa tangu tumboni + +"Umenibeba tangu tumboni" au "Umenitunza tangu nitoke tumboni mwa mama yangu" + +# wewe ndiye + +"wewe ndiye yule" + +# Mimi ni mfano kwa watu wengi + +"Watu wengi wanaona ninavyoishi na wanataka kuishi kama mimi" + diff --git a/psa/071/008.md b/psa/071/008.md new file mode 100644 index 00000000..478aceac --- /dev/null +++ b/psa/071/008.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mdomo wangu umejaa na sifa yako ... na heshima yako + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia hamu yake ya kumsifu na kumpa heshima Yahwe kwa maneno anayoyazungumza kana kwamba mdomo wake umejaa maneno kama unavyoweza kujaa chakula. "Mdomo wangu utajaa maneno yanayokusifu wewe ... yanayo kuheshimu wewe" au "Nitakusifu daima ... nitakupa heshima daima" + +# sifa yako + +"maneno yanayo waambia watu jinsi ulivyo mkuu" + +# heshima yako + +"maneno yanayo wasababisha watu wakupe heshima" + +# siku nzima + +"wakati wote" + +# Usinitupe ... usiniache + +Misemo hii miwili ina maana moja na inatumika kwa pamoja kwa ajili ya mkazo. + +# Usinitupe + +"Usinilazimisheniende mbali na wewe." Kwa Mungu kumkataa inazungumziwa kana kwamba Mungu anamlazimisha kwenda mbali. "usinikatae" + +# usiniache + +"usiniache milele" + diff --git a/psa/071/010.md b/psa/071/010.md new file mode 100644 index 00000000..e94fc688 --- /dev/null +++ b/psa/071/010.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# angalia maisha yangu + +"wanasubiri nafasi ya kuniua" + +# Wanasema + +"Wanasema kunihusu" + +# mfuatilieni na kumchukua + +"mfuateni anapokimbia na muueni" + diff --git a/psa/071/012.md b/psa/071/012.md new file mode 100644 index 00000000..6d91067b --- /dev/null +++ b/psa/071/012.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# usiwe mbali nami + +"kaa karibu nami" + +# harakisha kunisaidia + +"nisaidie mapema" + +# Acha waaibike na kuangamia, wale walio na uhasama na maisha yangu + +"Acha wale walio na uhasama na maisha yangu waaibike na kuangamizwa" + +# Acha waaibike na kuangamia + +"Waaibishe na kuwaangamiza" + +# wale walio na uhasama na maisha yangu + +"wale wanaonishtaki kwa kufanya kosa" + +# acha wafunikwe na lawama na fedheha, wale wanaotafuta kuniumiza + +"acha wale wanaotafuta kuniumiza wafunikwe na lawama na fedheha" + +# acha wafunikwe kwa lawama na fedheha + +"wafunike kwa lawama na fedheha." "na kila mtu awalaumu, na mtu yeyote asiwape heshima" + +# wale wanaotafuta kuniumiza + +"wale wanaotafuta njia za kunidhuru" + diff --git a/psa/071/014.md b/psa/071/014.md new file mode 100644 index 00000000..ef02bba0 --- /dev/null +++ b/psa/071/014.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# zaidi na zaidi + +"zaidi wakati wote" au "daima zaidi ya nilivyofanya kabla" + +# Mdomo wangu utaeleza + +Mdomo ni njia nyingine ya kumwakilisha mtu mzima. "Nitaeleza" au "Nitazungumza kwa mdomo wangu na kueleza" + +# haki yako + +"jinsi ulivyo mwenye haki" au "vitu vyote vizuri unavyovifanya" + +# wokovu wako + +"jinsi ulivyoniokoa" au "jinsi unavyookoa watu" + +# ingawa + +"hata kama" + +# Nitakuja + +Maana zinazowezekana ni 1) "Nitaenda mahali ambapo watu wanamwabudu Yahwe" au 2) "Nitaenda kwa adui zangu" + +# kwa matendo makuu ya Bwana Yahwe + +Maana zinazowezekana ni 1) "nitawaambia kuhusu matendo makuu aliyoyafanya Bwana Yahwe" au 2) "kwa sababu Bwana Yahwe amenipa nguvu kufanya matendo makuu" + +# nita taja + +"nitazungumzia" + diff --git a/psa/071/017.md b/psa/071/017.md new file mode 100644 index 00000000..29d859c1 --- /dev/null +++ b/psa/071/017.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# umenifundisha + +"umenifundisha vitu vingi" + +# Mungu, usiniache + +"Mungu, tafadhali usiniache" + +# nimekuwa nikitangaza nguvu yako + +"nimekuwa nikiwaambia watu jinsi ulivyo na nguvu" + +# kwa kizazi kifuatacho + +"kwa wale ambao ni watoto leo" + +# uwezo wako kwa kila mtu atakeyekuja + +"na kama ninavyotangaza uwezo wako kwa kila mtu atakayekuja" + +# kila mtu atakeyekuja + +Hii ni kukuza kwa neno. "ili watu wengi niwezavyo kuwaambia wajue" + diff --git a/psa/071/019.md b/psa/071/019.md new file mode 100644 index 00000000..4243c9d3 --- /dev/null +++ b/psa/071/019.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Haki yako pia, Mungu, iko juu sana + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia vitu vizuri ambavyo Mungu amefanya kana kwamba viliwekwa pamoja kama jengo kubwa au mlima. + +# ni nani kama wewe? + +Hili ni swali balagha linaloweza kutafsiriwa kama kauli. "hakuna mtu kama wewe!" + +# taabu saba + +"taabu mbaya" + +# fufua + +imarisha au kufanya kuishi tena + +# kutoka pande za chini ya dunia + +"Pande za chini ya dunia" ni sitiari ya mahali ambapo watu huenda wanapokufa. Mwandishi wa zaburi hakuwa amekufa bado, lakini anazungumza kana kwamba alikuwa amekufa. "tunapokaribia kifo" + diff --git a/psa/071/021.md b/psa/071/021.md new file mode 100644 index 00000000..aa8f207e --- /dev/null +++ b/psa/071/021.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Na uzidishe ... geuka tena na unifariji + +"Nita unizidishie ... nataka ugeuka tena na kunifariji." Tafsiri zingine zinasoma, "Utanizidishia ... utageuka tena na kunifariji" + +# geuka tena na unifariji + +Hii inaeleza tendo moja katika misemo miwili. "nifariji tena" + +# kwa uaminifu wako + +"kwa sababu ninaweza kukutumaini" + +# nitaimba sifa kwako kwa kinubi, Mtakatifu wa Israeli + +"kwako, ambaye ni Mtakatifu wa Israeli, nitaimba sifa huku nikicheza kinubi" + diff --git a/psa/071/023.md b/psa/071/023.md new file mode 100644 index 00000000..26216320 --- /dev/null +++ b/psa/071/023.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Midomo yangu itapiga kelele ya furaha + +"Midomo" ni njia nyingine ya kusema mtu mzima. "Nitapiga kelele ya furaha" + +# hata nafsi yangu, ambayo umeikomboa + +"na nafsi yangu, ambayo umekomboa, itaimba sifa" + +# nafsi yangu + +Hapa "nafsi" inamaanisha mtu mzima" + +# Ulimi wangu pia utazungumza + +Hapa "ulimi" unamaanisha mtu mzima. "nitazungumza pia" + +# wameaibishwa na kuchanganywa, wale waliotafuta kuniumiza + +"wale walio tafuta kuniumiza wameaibishwa na kuchanganywa" + +# kwa kuwa wameaibishwa na kuchanganywa + +"kwa kuwa Mungu amewaaibisha na kuwachanganya" + +# wale waliotafuta kuniumiza + +Hii inamaanisha adui wa mwandishi. + diff --git a/psa/072/001.md b/psa/072/001.md new file mode 100644 index 00000000..a0138ed1 --- /dev/null +++ b/psa/072/001.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Taarifa ya Jumla: + +Maana zinazowezekana kwa ajili ya kichwa cha habari "zaburi ya Sulemani" ni 1) Daudi aliandika zaburi hii kwa ajili ya Sulemani("mwana wa mfalme") au 2) Sulemani (ambaye, kama mwana wa Daudi, alikuwa "mwana wa mfalme") aliandika zaburi hii kama maombi juu yake mwenyewe au 3) mfalme mwingine aliandika kumhusu mwanaye kwa mtindo wa Sulemani. Watu kipindi hicho mara nyingi walijizungumzia kana kwamba walikuwa mtu mwingine. Ingawa, itakuwa vyema zaidi kutafsiri hii kana kwamba mwandishi wa zaburi anamzungumzia mtu mwingine na sio yeye mwenyewe. + +# Mpe mfalme amri zako za haki, Mungu, haki yako kwa mwana wa mfalme + +Maana zinazowezekana ni 1) "Nipe mimi, mfalme, amri zako za haki, Mungu, haki yako kwa mwana wa mfalme" au 2) "Nipe mimi, mfalme, amri zako za haki, Mungu, haki yako kwangu, mwana wa mfalme." Watu kipindi hicho mara nyingi walijizungumzia kana kwamba walikuwa mtu mwingine. Ingawa, itakuwa vyema zaidi kutafsiri hii kana kwamba mwandishi wa zaburi anamzungumzia mtu mwingine na sio yeye mwenyewe. + +# Mpe mfalme amri zako za haki + +"Mwezeshe mfalme kuhukumu kwa haki" + +# haki yako kwa mwana wa mfalme + +"Mwana wa mfalme aweze kutenda yanayokupendeza wewe" + +# Ahukumu + +Kama ni Daudi aliandika hii, anamzungumzia mwana wake, "mwana wa mfalme," anazungumzia wakati ambao mwana wake atakuwa mfalme. Kama ni Sulemani aliyeandika hii, hata kama anaandika kujihusu, itakuwa vyema kuandika kana kwamba anaandika kumhusu mtu mwingine. Vyovyote vile, "mfalme ahukumu" ndio tafsiri bora zaidi. + +# watu wako ... maskini wako + +Mwandishi wa zaburi anazungumza na Mungu. + +# na maskini wako + +"na mfalme awahukumu watu wako maskini" + +# Milima itoe amani ... na vilima vitoe haki + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia watu wa Israeli kana kwamba ni milima na vilima ambapo wanaishi. Anazungumzia milima na vilima kana kwamba ni nchi nzima ya Israeli, kana kwamba nchi ni bustani itoayo matunda, na amani na haki kana kwamba ndio matunda. "Watu wa wa nchini waishi kwa amabi ... wafanye kila kitu kwa haki" + diff --git a/psa/072/004.md b/psa/072/004.md new file mode 100644 index 00000000..9fafc806 --- /dev/null +++ b/psa/072/004.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# awahukumu + +Anayezungumziwa hapa ni mtu atakaye hukumu + +# kumvunja vipande vipande mkandamizaji + +"kumwangamiza kabisa yule anayewakandamiza" + +# wakati jua bado linadumu, na wakati mwezi bado upo + +Jua na mwezi ni mfano wa maneno kwa ajili ya mchana na usiku, ambayo pamoja ni maneno ya ujumla kwa ajili ya wakati wote. + diff --git a/psa/072/006.md b/psa/072/006.md new file mode 100644 index 00000000..973b28bf --- /dev/null +++ b/psa/072/006.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Aje chini kama mvua juu ya nyasi zilizofyekwa + +Mfalme atakuwa mwema, na atafanya mambo mema kwa watu wake kana kwamba alikuwa mvua ikiifanyia mema nyasi zilizotoka kukatwa." + +# Aje + +"Natamani kwamba aje" + +# kama mvua zinazomwagia + +"Aje chini kama mvua zinazomwagia." Mfalme atakuwa mwema, na atafanya mambo mema kwa watu wake kana kwamba alikuwa mvua ikiifanyia mema ardhi. + +# mwenye haki + +Kivumishi "haki" kinaweza kutafsiriwa kama msemo wa nomino. "mtu mwenye haki" + +# katika siku zake + +Maana zinazowezekana ni 1) "wakati mfalme anatawala" au 2) "maadamu mtu mwenye haki anaishi" au "maadamu watu wenye haki wanaishi" + +# kuwepo amani tele + +Mwandishi wa zaburi anazungumza kana kwamba amani ni kitu cha kugusa kama chakula. "Tele" ni wakati kuna kingi kwa kitu. "watu wenye haki waweze kuishi kwa amani ya kweli" + +# hadi mwezi usiwepo tena + +"maadamu mwezi unang'ara" au "milele" + diff --git a/psa/072/008.md b/psa/072/008.md new file mode 100644 index 00000000..790303d9 --- /dev/null +++ b/psa/072/008.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Awe na mamlaka + +"Mfalme awe na mamlaka" + +# kutoka bahari hadi bahari, na kutoka kwenye mto hadi mwisho wa nchi + +Misemo hii miwili inazungumzia mifano miwli ya tofauti ikimaanisha dunia nzima. + +# kutoka bahari hadi bahari + +kutoka bahari ya Chumvi na bahari ya Kinerethi mashariki mwa bahari ya Shamu magharibi. + +# mto + +"mto Frati," ambao Waisraeli walisafari kwenda huko kwa nchi kwa kuelekea kaskazini. + +# mwisho wa nchi + +hadi umbali ambao watu waliweza kusafiri ardhini kwa njia tofauti kufika kusini. Waisraeli walizungumzia dunia kana kwamba ilikuwa tambarare yenye mwisho. + +# rambe vumbi + +Hii ni sitiari ya aibu kubwa. "wanafanye kila wawezacho ili awaruhusu waishi" + +# Tarshishi + +jina la sehemu + +# onyesha + +"toa" + +# toa zawadi + +"onesha zawadi" + +# Seba + +Hili ni jina la nchi. Sio nchi sawa na ile ya Sheba. + diff --git a/psa/072/011.md b/psa/072/011.md new file mode 100644 index 00000000..cf3888ab --- /dev/null +++ b/psa/072/011.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wanguke chini mbele yake + +"sujudu mbele yake" au "mheshimu yeye kama mfalme wao" + +# mataifa yote + +"watu wanaoishi katika kila taifa" + +# hana msaidizi mwingine + +"hakuna wa kumsaidia" + diff --git a/psa/072/013.md b/psa/072/013.md new file mode 100644 index 00000000..eca38bca --- /dev/null +++ b/psa/072/013.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Anahuruma kwa maskini na wahitaji + +"Anataka kuzuia maskini na wahitaji kuhangaika" + +# maskini na wahitaji + +Hapa maneno "maskini" na "wahitaji" yana maana ya kufanana na yanasisitiza kwamba hawawezi kujisaidia wenyewe. + +# Anaokoa maisha yao + +"Anawaokoa" au "Anawakomboa" + +# ukandamizaji na vurugu + +Maneno haya mawili yana maana zinazo fanana na yanasisitiza jinsi wahitaji wanavyohangaika. "wale wanao wakandamiza na kuwaumiza" + +# damu yao ni ya dhamani machoni pake + +"anataka waishi vizuri" + +# damu yao + +"maisha yao" au "hali yao" + +# machoni pake + +"kwake" + diff --git a/psa/072/015.md b/psa/072/015.md new file mode 100644 index 00000000..0b028723 --- /dev/null +++ b/psa/072/015.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Aishi! + +"Mfalme aishi muda mrefu!" au "Natamani kwamba mfalme aishi muda mrefu!" + +# dhahabu ya Sheba ipewe kwake + +Hii inaweza kuelezwa kwa njia ya kutenda, "na wampe dhahabu ya Sheba" au "na apokee dhahabu ya Sheba" + +# siku nzima + +"kwa kuendelea" + +# nafaka tele + +"tele" ni wakati kuna wingi wa kitu. "nafaka nyingi" au "nafaka ya kutosha" + +# mazao + +mimea ambayo watu huoteshi kwa ajili ya chakula + +# tikisike + +majani yanaposogea wakati upepo mwepesi unapoyapuliza. + +# kama Lebanoni + +"kama miti ya seda ya Lebanoni." Miti hii ilikuwa mizuri na ilikuwa na mbao iliyo kuwa nzuri kwa ajili ya ujenzi. Maana ya hii inaweza kuwekwa wazi. + +# watu wastawi katika miji kama nyasi shambani + +Mafanikio ya watu mijini yanazungumziwa kana kwamba yalikuwa nyasi zinazoota mashambani. + diff --git a/psa/072/017.md b/psa/072/017.md new file mode 100644 index 00000000..a1719f7e --- /dev/null +++ b/psa/072/017.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Jina lake lidumu milele + +"Watu wajue kumhusu yeye daima" au "Watu wasisahau kamwe yeye ni nani" + +# Jina lake + +"Jina la mfalme" au "sifa ya mfalme" au "umaarufu wa mfalme" + +# kama jua + +"maadamu jua linang'aa" + +# watu wabarikwe kwake + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mungu amsababishe kufanya mambo mazuri kwa ajili ya watu" + +# wamuite aliye barikiwa + +"watambue kuwa Mungu amembariki" + diff --git a/psa/072/018.md b/psa/072/018.md new file mode 100644 index 00000000..500b59f3 --- /dev/null +++ b/psa/072/018.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mistari hii ni zaidi ya mwisho wa zaburi hii. Ni kauli ya kufunga ya kitabu kizima cha 2 cha Zaburi, kinachoaanza Zaburi 42 hadi Zaburi 72. + +# Yahwe Mungu, Mungu wa Israeli, abarikiwe + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Watu wambariki Yahwe Mungu, Mungu wa Israeli" + +# Jina lake tukufu libarikiwe milele + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Watu walibariki jina lake tukufu milele" au kufanya "jina" kama namna nyingine ya kusema Yahwe mwenyewe, "watu daima wajue jinsi alivyo mtukufu" + +# Jina lake tukufu libarikiwe + +"yeye aliye mtukufu, abarikiwe" + +# dunia nzima ijazwe na utukufu wake + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "utukufu wake uijaze dunia yote" au "aijaze dunia yote na utukufu wake" + +# Amina na Amina + +Neno "Amina" linarudiwa kusisitiza kukubali kilichosemwa. "Hakika iwe hivyo" + +# Maombi ya Daudi mwana wa Yese yanaisha + +Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Daudi mwana wa Yese amemaliza maombi yake" au "Haya ni maombi ya mwisho ya Daudi mwana wa Yese" + diff --git a/psa/073/001.md b/psa/073/001.md new file mode 100644 index 00000000..1121e2e2 --- /dev/null +++ b/psa/073/001.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Asafu + +"Hii ni zaburi Asafu ambayo aliandika" + +# miguu yangu kidogo iteleze; miguu yangu kidogo iteleze chini yangu + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia kushindwa kumwamini Mungu na kutaka kutenda dhambi kama vile kidogo aanguke kwenye njia inayo teleza. "Kidogo niache kumwamini Mungu, kidogo niwe na hatia ya kutenda dhambi kubwa dhidi yake" + +# niliwaonea wivu wenye kiburi + +"sikutaka watu wenye kiburi wawe na vitu vizuri walivyo kuwa navyo" + +# wenye kiburi + +Kivumishi "kiburi" kinaweza kutafsiriwa kama msemo wa nomino. "watu wenye kiburi" + +# mafanikio ya waovu + +Neno "mafanikio" linaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "jinsi waovu walivyo na vitu vingi vizuri" + +# waovu + +Kivumishi "waovu" kinaweza kutafsiriwa kama msemo wa nomino. "watu waovu" + diff --git a/psa/073/004.md b/psa/073/004.md new file mode 100644 index 00000000..c02dc844 --- /dev/null +++ b/psa/073/004.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Asafu anaanza kueleza ambavyo wakati mwingine anataka kulalamika kwa Mungu kuhusu wale ambao wana "kiburi" na "waovu". + +# mizigo ya watu wengine + +Neno "mizigo" ni njia nyingine ya kusema mahangaiko ya maisha ya kila siku (hitaji la chakula, pango, nguo, na afya) + +# hawateswi kama wanaume wengine + +"hawateseki kama watu wengine wanavyoteseka" + diff --git a/psa/073/006.md b/psa/073/006.md new file mode 100644 index 00000000..a57a9abc --- /dev/null +++ b/psa/073/006.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Asafu anaendelea kueleza ambavyo wakati mwingine anataka kulalamika kwa Mungu kuhusu wale ambao wana "kiburi" na "waovu". + +# Kiburi kinawapamba kama mkufu shingoni; vurugu inawavika kama joho + +Hii inamaanisha waovu wanawaonesha wote jinsi walivyo na kiburi na vurugu kana kwamba wamevaa mkufu au joho zuri. + +# mkufu ... joho + +Hii inaonesha vitu ambavyo matajiri na watu muhimu huvaa. + +# mkufu + +ni kama mnyororo mdogo uliotengenezwa na madini kama dhahabu ambayo huvaliwa shingoni. + +# Kutokana na upofu wa hivi huja dhambi + +Kwa sababu ni kama watu vipofu ambao hawaoni waendako, wanatenda dhambi bila kujua. Kuwa kipofu ni njia nyingine ya kusema mtu hawezi kuona jinsi alivyo muovu. + +# mawazo maovu yanapitia mioyoni mwao + +Hapa mwandishi wa zaburi anaelezea mawazo ya watu kana kwamba ni watu. Pia anaelezea uhalisia wa ndani wa watu waovu kana kwamba ni majengo ambao wanaweza kutembea humo. "ndani yao huwa wanawaza mambo mengine maovu ya kufanya" + diff --git a/psa/073/008.md b/psa/073/008.md new file mode 100644 index 00000000..f994fa76 --- /dev/null +++ b/psa/073/008.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Ujumla: + +Asafu anaendela kueleza ambavyo wakati mwingine anataka kulalamika kwa Mungu kuhusu wale ambao wana "kiburi" na "waovu". + +# Hudhihaki + +Yule ambaye wanamdhihaki inaweza kuelezwa vizuri. "Wanamdhihaki Mungu na watu wake" + +# Wanaweka mdomo wao dhidi ya mbingu + +Hapa neno "mbingu" ni njia nyingine ya kusema Mungu, ambaye anaishi mbinguni. "wanazungumza dhidi ya Mungu aliye mbinguni" + +# Wanaweka mdomo wao + +"kuzungumza vikali" au "kuzungumza na kusudi" + +# ulimi wao unatembea duniani + +Neno "ulimi" ni njia nyingine ya kusema watu wenyewe. Maana zinazowezekana ni 1) "wanaenda duniani wakisema mambo mabaya kumhusu Mungu" au "wanaenda kila mahali na kujisifia." + diff --git a/psa/073/010.md b/psa/073/010.md new file mode 100644 index 00000000..20efcd70 --- /dev/null +++ b/psa/073/010.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Asafu anaendelea kueleza ambavyo wakati mwingine anataka kulalamika kwa Mungu kuhusu wale ambao wana "kiburi" na "waovu" + +# watu wake wanawageukia + +Maana zinazowezekana ni 1) "Watu wa Mungu wanawapenda watu waovu" au "watu waovu wanarudi sehemu hii" + +# maji mengi yanatolewa + +Maana zinazowezekana ni 1) "Watu wa Mungu wanasikiliza kwa furaha maneno ya watu waovu" au 2) "watu waovu wana chakula cha kutosha kula na divai ya kunywa" + +# Wanasema + +watu waovu wanasema + +# Mungu anajuaje? Kuna ufahamu kwa Aliye juu? + +Maswali haya yenye balagha yanaonesha dharau kwa Mungu. Maswali haya yanaweza kutafsiriwa kama kauli. "Hakika Mungu hajui tunalolifanya. Aliye juu hana ufahamu wa hili." + diff --git a/psa/073/013.md b/psa/073/013.md new file mode 100644 index 00000000..f43d4ec4 --- /dev/null +++ b/psa/073/013.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +katika mistari ya 13 na 14, Asafu anaendelea kueleza ambavyo wakati mwingine anataka kulalamika kwa Mungu kuhusu wale ambao wana "kiburi" na "waovu". katika mstari wa 15 anaanza kuzungumza kuhusu kile ambacho anakiwaza kweli. + +# nime + +hapa anayezungumza ni Asafu. + +# ulinda moyo wangu + +Asafu anazungumzia kulinda moyo wake kana kwamba analinda mji au jengo dhidi ya maadui. "nimekuwa na mawazo masafi" + +# kunawa mikono yako ndani ya pasipokuwa na hatia + +Mwandishi anazungumzia usafi kama vile amenawa mikono yake kwa kutokua na hatia badala ya maji. "matendo yangu yamebaki masafi" au "nimenawa mikono yangu kuonehsa kuwa sina hatia" + +# siku nzima + +"wakati wote" + +# nimeteseka + +"uminifanya kuteseka." + +# kuadhibiwa + +"nimepewa adhabu" + +# Kama ningesema, "nitasema vitu hivi," basi ningekuwa ninasaliti kizazi hiki cha wato wako. + +Hii hali ya kubuni haikutokea. "Sijawahi kusema, 'nitasema vitu hivi,' kwa hiyo sikusaliti kizazi hiki cha watoto wako" + diff --git a/psa/073/016.md b/psa/073/016.md new file mode 100644 index 00000000..e3f02522 --- /dev/null +++ b/psa/073/016.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# vitu hivi + +Vitu vizuri vinavyowatokea watu "waovu" + +# hatima yao + +"nini hutokea kwa watu waovu wanapokufa"(UDB) au "watu waovu wanakufa je" + diff --git a/psa/073/018.md b/psa/073/018.md new file mode 100644 index 00000000..ed416a61 --- /dev/null +++ b/psa/073/018.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# umewaweka + +Waliowekwa ni waovu. + +# sehemu telezi + +"ardhi isiyo imara au salama" + +# Jinsi wanavyokuwa jangwa kwa muda mfupi + +Neno "jangwa" ni njia nyingine ya kusema watu waliopoteza kila kitu kizuri. "Jinsi wanavyoangamizwa haraka" + +# kamandoto baada ya mtu kuamka + +Waovu hawatadumu zaidi kama mtu anachoona kwenye ndoto. Inapotea mara tu mtu anapoamka. + diff --git a/psa/073/021.md b/psa/073/021.md new file mode 100644 index 00000000..3cc96fa1 --- /dev/null +++ b/psa/073/021.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# moyo wangu ulihuzunika + +neno "moyo" ni njia nyingine ya kusema mawazo na hisia za mtu. "nilikuwa na huzuni sana" + +# niliumia sana + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia maumivu ya hisia kana kwamba ni maumivu ya mwili. "nilihisi kama mtu ameniumiza kwa kisu au mshale." + +# mjinga na kukosa utambuzi + +Misemo hii miwili ina maana moja na inasisitiza kiasi gani hakujua. "mjinga sana" + +# kukosa utambuzi + +"kutukuelewa kitu" + +# yako + +Hapa anayemaanishwa ni Mungu. + diff --git a/psa/073/023.md b/psa/073/023.md new file mode 100644 index 00000000..0133bcbf --- /dev/null +++ b/psa/073/023.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# daima niko na wewe + +Anayezungumza hapa ni Asafu. Anayezungumziwa ni Mungu. + +# unanishika mkono wangu wa kuume + +hii inaonesha mahusiano ya karibu na Mungu yanayotoa uimara na ulinzi. "unanishika karibu" + +# kunipokea katika utukufu + +Maana zinazowezekana ni 1) "unaniweka mahali ambapo watu wataniheshimu" au 2) "nipe heshima kwa kunipeleka mahali ambapo upo." + diff --git a/psa/073/025.md b/psa/073/025.md new file mode 100644 index 00000000..1ecfdc35 --- /dev/null +++ b/psa/073/025.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nina nani mbinguni ila wewe? + +Unaweza kutafsiri hii kama kauli. "Hakuna mtu mbinguni kwa ajili yangu ila wewe" au "Wewe pekee ndiye niliye naye mbinguni" + +# mbinguni + +mionngoni mwa miungi" au "miongoni mwa viumbe vya ajabu" + +# hakuna mtu duniani + +"hakuna binadamu" + +# Mwili wangu na moyo wangu + +Misemo hii miwili ina maana ya kufanana. Pamoja inamaanisha mtu kamili. "Mwili wangu na akili" + diff --git a/psa/073/027.md b/psa/073/027.md new file mode 100644 index 00000000..40f8c6c0 --- /dev/null +++ b/psa/073/027.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Asafu anaendelea kumzungumzia Mungu. + +# Wale walio mbali na wewe + +Hapa wazo la kukaa mbali na Mungu linalinganishwa na kutokuwa tayari kumtii. "Wale wasiotaka kukutii" + +# kimbilio langu + +Mwandishi anamzungumzia Yahwe kana kwamba alikuwa sehemu ambayo mtu anaweza kutorokea kwa usalama. + diff --git a/psa/074/001.md b/psa/074/001.md new file mode 100644 index 00000000..1a15f1fa --- /dev/null +++ b/psa/074/001.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Maschili ya Asafu + +Hii ni maschili ambayo Asafu aliandika." + +# Maschili + +Hii inaweza kumaanisha mtindo wa muziki. + +# Mungu, kwa nini umetukataa milele? + +Hii inaweza kutafsiriwa kama kauli. "Mungu, hatujafanya kosa, lakini umetukataa milele!" + +# Kwa nini hasira yako inawachoma kondoo wa malisho yako? + +Hii inaweza kutafsiriwa kama kauli. "Sisi ndio ulio ahidi kututunza, na hatujafanya kosa, lakini sasa una hasira na sisi!" + +# kondoo wa malisho yako + +Asafu anawazungumzia watu wa Israeli kana kwamba ni kondoo. "dhidi ya Israeli, ambao ni kama kondoo unaowalisha kwenye malisho yako" + +# Kumbuka + +"Kuwa makini kwa." Mungu hajasahau watu wake, lakini haonekani kuwafikiria. + +# urithi wako mwenyewe + +"wako milele" + diff --git a/psa/074/003.md b/psa/074/003.md new file mode 100644 index 00000000..6ade54eb --- /dev/null +++ b/psa/074/003.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mistari hii inaeleza tukio halisi, shambulizi la kimwili lililofanyika katika hekalu la Israeli ndani ya Yerusalemu. + +# Njoo uone + +Asafu anaongea na Mungu, anamuomba aje aangalie uharibifu. + +# wameunguruma + +Maadui walipiga kelele kwa mlio mkubwa wa ushindi. + +# nakshi + +Hii inamaanisha urembo wa kuchonga kwenye mbao, chuma au mawe ya hekaluni. + diff --git a/psa/074/007.md b/psa/074/007.md new file mode 100644 index 00000000..27203c66 --- /dev/null +++ b/psa/074/007.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Asafu anaendelea kuelezea uharibifu wa hekalu. + +# waliweka ... walisema ... walichoma + +Hapa wanaozungumziwa ni maadui waliotajwa. + +# walisema mioyoni mwao + +Hii ni lahaja. "Wakajiambia" au "wakajiwazia" + diff --git a/psa/074/009.md b/psa/074/009.md new file mode 100644 index 00000000..c9a2036d --- /dev/null +++ b/psa/074/009.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Asafu anamueleza Mungu kuhusu uharibifu anaouona. + +# Hatuoni ishara zingine tena + +Maanza zinazowezekana ni 1) "Hatuoni tena ishara za miujiza kutoka kwa Mungu" au 2) "Alama zetu zote takatifu hazipo" au 3) kama kuzungumzia bendera na alama zajeshi, "Jeshi letu limeangamizwa kabisa." + +# Hadi lini, Mungu, adui atatupa matusi kwako? + +Hii inaweza kutafsiriwa kama kauli. "Mungu, adui amekuwa akikurushia matusi kwa muda mrefu sana!" + +# Adui atakufuru jina lako milele? + +Hii inaweza kutafsiriwa kama kauli. "Inaonekana kana kwamba hautamzuia adui kukufuru jina lako!" + +# atakufuru jina + +Neno "jina" ni njia nyingine ya kusema Mungu mwenyewe. "anasema wewe ni mbaya" au "anakutukana" + +# Kwa nini unazuia mkono wako, mkono wako wa kuume? + +Mwandishi wa zaburi anamzungumzia Mungu kana kwamba ana mwili. Hii inaweza kutafsiriwa kama kauli. "Acha kuzuia mkono wako, mkono wako wa kuume!" + +# unazuia mkono wako + +Hapa neno "mokono" ni njia nyingine ya kusema nguvu. "usionesha nguvu yako" au "usitumie nguvu yako kuwaangamiza adui zako" + +# mkono wako wa kuume + +"mkono wako wenye nguvu zaidi" + +# Toa mkono wako wa kuume kutoka kwenye vazi lako + +Mwandishi wa zaburi anamzungumzia Mungu kana kwamba ana mwili. "Acha kuficha nguvu yako na uchukue hatua" + diff --git a/psa/074/012.md b/psa/074/012.md new file mode 100644 index 00000000..2ef30cb3 --- /dev/null +++ b/psa/074/012.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Hii inaanzisha wazo jipya: Asafu anatangaza ukuu wa matendo ya Mungu katika historia ya watu. + +# Mungu amekuwa mwema tangu nyakati za zamani + +Maana zinazowezekana ni 1) Asafu anazungumza kama mwakilishi wa Israeli, "Mungu amekuwa mfalme wetu tangu Israeli lilipokuwa taifa" au 2) "Mungu, mfalme wangu, alikuwa hai hata katika nyakati za kale." + +# akileta wokovu + +"kuokoa watu" + +# Uliligawa ... ndani ya maji + +Asafu inawezekana anazungumzia wakati ambao Mungu aliitoa Israeli kutoka Misri, akagawa bahari, akawaongoza Waisraeli kwenye nchi kavu, kisha kuzamisha jeshi la Farao. + +# Uliligawa bahara kwa nguvu yako + +Asafu anamzungumzia Mungu kana kwamba ana mwili. "Una nguvu sana uliweza kufanya nchi kavu katikati ya bahari. + +# bahari + +"maji makuu" + +# uliponda vichwa vya wanyama wakubwa ndani ya maji + +Inawezekana Asafu anamzungumzia Farao na jeshi lake kama vile walikuwa wanyama wa baharini. "Ulipoua jeshi la Farao, ilikuwa kama umeponda vichwa vya wanyama wakubwa ndani ya maji" + diff --git a/psa/074/014.md b/psa/074/014.md new file mode 100644 index 00000000..d66453d9 --- /dev/null +++ b/psa/074/014.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Asafu anaendelea kuzungumzia kile Mungu alichofanya zamani. Inawezekana anazungumzia wakati Mungu alipoitoa Israeli kutoka Misri na kuangamiza jeshi la Farao baharini. + +# lewiathani + +Lewiathani ni mnyama wa baharini. Inaashiria adui mkatili. + +# Ulipasua chemchemi na vijito + +"Ulisababisha chechemi na vijito kutiririka kutoka kwenye ardhi ngumu iliyo kauka" + diff --git a/psa/074/016.md b/psa/074/016.md new file mode 100644 index 00000000..ff0c9fb9 --- /dev/null +++ b/psa/074/016.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya Jumla + +Asafu anaendelea kukumbuka nguvu ya ajabu ya Mungu. + +# mipaka ya dunia + +"mipaka ya nchi na bahari" + diff --git a/psa/074/018.md b/psa/074/018.md new file mode 100644 index 00000000..817216ba --- /dev/null +++ b/psa/074/018.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Asafu anaomba msaada wa Mungu. + +# Ita akilini + +"Vuta nadhari." + +# adui alitupa matusi kwako + +Asafu anazungumzia maneno ya matusi kana kwamba ni vitu , kama mawe, ambavyo adui alikuwaakitumia kumponda Yahwe. "adui walikutukana mara nyingi" + +# maisha ya njiwa wako + +Asafu anajizungumzia kana kwamba ni njiwa, ndege asiyeweza kujilinda. "mimi, njiwa wako." Msemo huu pia ni sitiari kwa ajili ya watu wa Israeli. + +# njiwa + +Ndege mdogo asiyeweza kujilinda na mara nyingi hutunzwa kama ndege wa kufuga. + +# mnyama pori + +Msemo huu unaweza kuwa ni sitiari kwa ajili ya adui wa Israeli. "adui mkatili ambaye ni kama mnyama pori" + +# Usisahau maisha ya watu wako walio kandamizwa milele + +Usiendelee milele kutokufanya kitu kuwasaidia watu wako walio kandamizwa" "Njoo upesi kuwasaidia watu wako walio kandamizwa" + diff --git a/psa/074/020.md b/psa/074/020.md new file mode 100644 index 00000000..02922e5b --- /dev/null +++ b/psa/074/020.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Asafu anaendela kuomboleza kwa Yahwe. + +# sehemu zenye giza za nchi zimejaa sehemu za vurugu + +Asafu anazungumzia "sehemu" kana kwamba ni chombo ambamo mtu anaweza kuweka "sehemu za vurugu." "watu wenye vurugu wanafanya matendo maovu katika sehemu za giza nchini pale wanapoweza" + +# sehemu zenye giza za nchi + +Neno "giza" linaweza kuwa ni sitiari ya sehemu ambapo mambo mabaya yanatokea au nchi ambazo Waisraeli walipelekwa katika uhamisho. + +# Usiwaache walio kandamizwa warudi na aibu + +"Usiwaache watu waovu wawashinde walio kandamizwa na kuwaaibisha" + +# walio kandamizwa + +Hawa ni watu wanaotendewa ukatili na watu wenye nguvu. + +# maskini na walio kandamizwa + +Maneno "maskini" na "walio kandamizwa" yanamaanisha kitu kimoja na yanasisitiza kuwa Yahwe anawaokoa wengi wanaohitaji msaada wake. + diff --git a/psa/074/022.md b/psa/074/022.md new file mode 100644 index 00000000..eb86c56c --- /dev/null +++ b/psa/074/022.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# tetea heshima yako mwenyewe + +"onesha kila mtu kuwa uko sawa" + +# ita akilini + +"Vuta nadhari." Mungu hajasahau jinsi wapumbavu wanavyomtukanu, lakini haonekani kuwa anafikiria hilo. + +# sauti ya adui zako + +Neno "sauti" ni njia nyingine ya kusema maneno ambayo watu wanatumia wakati wakizungumza. "kile ambacho adui zako wanasema" + +# au ghasia ya wale wanaoendelea kukaidi + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia maneno ya wale wanaomkaidi Mungu kana kwamba yalikuwa na sauti kubwa ya wanyama au vitu ambavyo havina uhai kama maji au upepo. "na vuta nadhari kwa sauti kubwa na maneno yasiyo kuwa na maana ya wale wanao endelea kukukaidi" + +# kukaidi + +kupinga kwa nguvu + diff --git a/psa/075/001.md b/psa/075/001.md new file mode 100644 index 00000000..d41156d6 --- /dev/null +++ b/psa/075/001.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Taarifa ya Jumla: + +Watu wa Mungu wanazungumza katika 75:1, na Mungu anazungumza katika 75:2-3. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# weka katika Al Tashhethi + +Hii inaweza kuwa inamaanisha mtindo wa muziki. + +# Zaburi ya Asafu + +"Hii ni zaburi ambayo Asafu aliandika" + +# wakazi wote + +"watu wote wanaosishi ndani yake" + +# ninazifanya imara nguzo za dunia + +"ninaiweka dunia kutoangamizwa" au "waweke watu wangu salama" + +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki. + diff --git a/psa/075/004.md b/psa/075/004.md new file mode 100644 index 00000000..266cef2a --- /dev/null +++ b/psa/075/004.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Nilisema + +Maana zinazowezekana ni 1) Mungu anazungumza au 2) Asafu anazungumza + +# Msiwe na kiburi ...Msiinue ... Msiinue ... msizungumze + +Anaye zungumza anazungumza na watu wengi waovu. + +# na kwa waovu + +"na nikasema kwa waovu" + +# Msiinue juu pembe + +Asafu anazungumzia watu waovu kana kwamba ni wanyama wenye pembe vichwani mwao, wanonyosha shingo zao na kuweka vichwa vyao juu kutisha wanyama wengine. "Msiwe wajasiri" au "Msijivune jinsi mlivyo na nguvu" + +# Msiinue pembe yenu juu + +Asafu anazungumzia watu waovu kana kwamba ni wanyama wenye pembe vichwani mwao, wanonyosha shingo zao na kuweka vichwa vyao juu kutisha wanyama wengine. "Kuweni waangalifu sana kutokuwa na majivuno kuwa mko bora zaidi ya Mungu" + +# na shingo yenye jeuri + +Asafu anazungumzia watu waovu wanaomkaidi au kupingana na Mungu kana kwamba ni wanyama wenye pembe vichwani mwao, wanonyosha shingo zao na kuweka vichwa vyao juu kutisha wanyama wengine. "kwa kiburi" + +# Sio mashariki ... kuinuka kunakotokea + +Asafu anamzungumzia yule anayeinua kana kwamba ndio tendo la kuinua. Anazungumzia pia Mungu kumpa nguvu na heshima mtu kana kwamba Mungu alikuwa akimnyanyua mtu kimwili. "Yule ambaye atakuinua hatakuwa mtu atokaye mashariki" au "Yule ambaye atakufanya kuwa na nguvu na kuwafanya watu wakuheshimu hatakuwa mtu anayetoka mashariki" + diff --git a/psa/075/007.md b/psa/075/007.md new file mode 100644 index 00000000..fe233052 --- /dev/null +++ b/psa/075/007.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Asafu anamzungumzia Mungu. + +# huleta chini na huinua juu + +"huwashusha watu wengine na kuwainua watu wengine." Maneno "huleta chini" na "huinua juu" ni sitiari ya Mungu kuwapa nguvu watu na kuchukua nguvu yao. "humfanya mtu mmoja mfalme katika nafasi ya mwingine" au "huondoa nguvu ya mtu mmoja na kumpa nguvu mtu mwingine" + +# kikombe cha divai ya povu ... imechanganywa na vikolezo + +Yahwe anapowaadhibu watu watakuwa kama watu waliokunywa divai kali na kuugua. + +# divai ya povu + +Povu ni sitiari ya nguvu ya divai kuwafanya watu walewe. "divai kali" + +# vikolezo + +majani yaliyo kaushwa au mbegu za ardhini + +# kuimwaga nje + +kuimwaga kutoka kwenye chombo kikubwa hadi kwenye vikombe ambavyo watu watatumia kunywa + +# watainya hadi tone la mwisho + +"kunywa kila tone lake" + diff --git a/psa/075/009.md b/psa/075/009.md new file mode 100644 index 00000000..fbd37fbd --- /dev/null +++ b/psa/075/009.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Anasema + +Mungu anasema + +# nitakata pembe zote za + +Pembe za mnyama ni sitiari ya nguvu ya mtu. "ondoa nguvu yote kutoka kwa" + +# pembe za mwenye haki zitainuliwa juu + +Pembe za mnyama ni sitiari ya nguvu ya mtu. "nitainua pembe za mwenye haki" au "nitamfanya mwenye haki kuwa na nguvu" + diff --git a/psa/076/001.md b/psa/076/001.md new file mode 100644 index 00000000..814bacb7 --- /dev/null +++ b/psa/076/001.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# kwenye vyombo vya nyuzi + +"watu wanapaswa kucheza vyombo vya nyuzi na wimbo huu" + +# Zaburi ya Asafu + +"Hii ni zaburi ambayo asafu aliandika" + +# amejifanya kujulikana katika Yuda + +"amesababisha watu wa yuda kujua yeye ni nani" au "amejifanya kuwa maarafu katika Yuda" + +# jina lake ni kuu katika Israeli + +Maneno "jina lake" ni njia nyingine ya kusema sifa yake. "watu wa Israeli wanamwona kuwa mwema na mwenye nguvu" + +# sehemu yake ya kuishi + +"sehemu aliyochagua kuishi" + +# Huko alivunja mishale ya upinde, ngao, upanga, na silaha zingine za vita + +Maneno haya yanaweza kuwa ni sitiari ya Mungu kuwasababisha watu wa Yuda kuishi katika amani bila ya kuwa na hofu ya adui zao kufanya vita dhidi yao. + +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki. + diff --git a/psa/076/004.md b/psa/076/004.md new file mode 100644 index 00000000..bdb1ddb8 --- /dev/null +++ b/psa/076/004.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Asafu anamzungumzia Mungu kana kwamba Mungu alikuwa askari anayerudi kutoka katika mlima baada ya kushinda vita vikuu. + +# Unang'aa kwa nguvu na kuonesha utukufu wako + +Mseno wa pili unaimarisha ule msemo wa kwanza ya kwamba utukufu wa Yahwe inaonesha Yahwe kung'aa kwa nguvu. + +# Unang'aa kwa nguvu + +Maneno "unang'aa kwa nguvu" ni sitiari kwa ajili ya kuwa mkuu. "Unaonesha jinsi ulivyo mkuu" + +# wenye mioyo ya ujasiri walitekwa + +"Watu wako waliwaua askari shupavu wa adui zao na kuchukua mali zao zote" + +# walisinzia + +Hapa "walisinzia" ni tasifida ya kufa. "walikufa' au "walianguka chini na kufa" + diff --git a/psa/076/006.md b/psa/076/006.md new file mode 100644 index 00000000..664c33e9 --- /dev/null +++ b/psa/076/006.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa kukemea kwako + +"Ulipowakemea" + +# walisinzia + +"walikufa" au "walianguka chini na kufa" + +# nani anaweza kusimama mbele ya macho yako unapokuwa na hasira? + +"Hakuna mtu anayeweza kusimama machoni pako unapokuwa na hasira" au "Unaweza kumwangamiza yeyote ambaye una hasira naye" + diff --git a/psa/076/008.md b/psa/076/008.md new file mode 100644 index 00000000..228c6818 --- /dev/null +++ b/psa/076/008.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ulifanya hukumu yako isikike + +"ulitangaza hukumu" au "ulitangaza jinsi ambavyo ungeenda kuwaadhibu watu waovu" + +# dunia ili... + +Hapa "dunia" ni njia nyingine ya kusema watu wanaoishi duniani. "watu wa duniani" + +# kutekeleza hukumu + +"kupitisha hukumu" au "kuwaadhibu watu waovu" + +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki. + diff --git a/psa/076/010.md b/psa/076/010.md new file mode 100644 index 00000000..e4285f83 --- /dev/null +++ b/psa/076/010.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hakika + +"Hakika" inaeleza matarajio ya kwamba kinachofuata lazima kitatokea. + +# hukumu yako ya hasira dhidi ya wanadamu italeta sifa kwako + +Maana zinazowezekana ni 1) "watu watakusifu kwa sababu una hasira na waovu na una wahukumu" au 2) "watu ambao wana hasira na wewe watafanya vitu vitakavyo sababisha watu wakusifi wewe" + +# unijifungwa na kile kilichobaki katika hasira yako + +Hasira ya Yahwe inazungumziwa kama kitu ambacho anaweza kujifunga kama mshipi. "unajifunga kama mshipi hasira yako iliyobaki" + diff --git a/psa/076/011.md b/psa/076/011.md new file mode 100644 index 00000000..ee2f7d22 --- /dev/null +++ b/psa/076/011.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwake ambaye anapaswa kuogopwa + +"Yahwe, ambaye wanapaswa kumwogopa" + +# Huzikata roho za wakuu + +Msemo "Huzikata roho" ni lahaja inayomaanisha kuwa huvunja roho au huzinyenyekesha. "Huwanyenyekesha wakuu" + +# anaogopwa na wafalme wa duniani + +"wafalme wa duniani wanamwogopa" + diff --git a/psa/077/001.md b/psa/077/001.md new file mode 100644 index 00000000..0c523a4d --- /dev/null +++ b/psa/077/001.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Yeduthuni + +Mmoja wa wanamuziki wakuu wa Daudi alikuwa na jina hili. Hii inaweza kuwa inamaanisha ni yeye. + +# Zaburi ya Asafu + +"Hii ni zaburi ambayo Asafu aliandika" + diff --git a/psa/077/002.md b/psa/077/002.md new file mode 100644 index 00000000..9971f87f --- /dev/null +++ b/psa/077/002.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# nilinyosha mikono yangu + +"niliomba na mikono yangu ikiwa imenyoshwa" + +# Nafsi yangu ilikataa kufarijiwa + +"Nafsi" ni njia nyingine ya kusema mtu. "Sikumruhusu yeyote kujaribu kunifariji" + +# Nilimuwaza Mungu na nikagumia; Nilimuwaza huku nikiishiwa nguvu + +Misemo hii miwili ina maana za kufanana na inaunganishwa kwa ajili ya mkazo. + +# huku nikiishiwa nguvu + +"wakati nafsi yangu ikiishiwa nguvu" au "wakati nafsi yangu ilipolemewa" + +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki. + diff --git a/psa/077/004.md b/psa/077/004.md new file mode 100644 index 00000000..4ed37d9b --- /dev/null +++ b/psa/077/004.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Baada ya kuzungumza na Mungu, Asafu anazungmza na Mungu katika mstari wa 4 na kisha anarudi kusungumza kuhusu Mungu. + +# Uliyashika macho yangu wazi + +"Nilisema kwa Mungu, 'Ulishika macho yangu wazi.'" + +# Uliyashika macho yangu wazi + +Macho yaliyowazi ni njia nyingine ya kusema kushindwa kulala. "ulinizuia kulala" + +# siku za kale, kuhusu siku za zamani + +"kuhusu vitu vilivyotokea siku za zamani sana" + diff --git a/psa/077/006.md b/psa/077/006.md new file mode 100644 index 00000000..18ecf355 --- /dev/null +++ b/psa/077/006.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nikaita akilini + +Hii ni lahaja ya kukumbuka. "Nilikumbuka" + +# kilichotokea + +Maana nyingine inayowezekana ni "nini kilikuwa kinatokea." + +# Je! Bwana atanikataa milele? Hatanionesha tena fadhila? + +Misemo hii miwili inaeleza hisia ya kukataliwa na Bwana. + +# Hatanionesha tena fadhila + +"kufanya vitu ambavyo vinaonesha kuwa amefurahishwa na mimi" + diff --git a/psa/077/008.md b/psa/077/008.md new file mode 100644 index 00000000..7e459d23 --- /dev/null +++ b/psa/077/008.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Kwa sababu Asafu hakuwa na uhakika ya jibu la maswali haya, inawezekana kuwa yalikuwa maswali halisi. + +# uaminifu wa agano + +Katika kuzungumzia "uaminifu wa agano" wa yahwe, daudi anamtumaini Yahwe kuwa aampenda daima. "upendo wa uaminifu" + +# Je! Wokovu wake ulizima huruma yake + +Asafu anazungumzia hasira kana kwamba ni mtu aanayefunga mlango kumzuia mtu mwingine au huruma kutoka nje. "Je! Mungu aliacha kutuonesha huruma kwa sababu ana hasira na sisi" + diff --git a/psa/077/010.md b/psa/077/010.md new file mode 100644 index 00000000..801b3275 --- /dev/null +++ b/psa/077/010.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nilisema + +Maana zinazowezekana ni 1) mwandishi wa zaburi alikuwa akijizungumzia mwenyewe au 2) mwandishi wa zaburi alikuwa akimzungumzia Yahwe. + +# kubadilika kwa mkono wa kuume wa Aliye juu kwetu + +"Mkono wa kuume" ni njia nyingine ya kusema, uwezo, mamlaka au nguvu. "Aliye juu hatumii tena nguvu yake kutusaidia" + diff --git a/psa/077/011.md b/psa/077/011.md new file mode 100644 index 00000000..16c83d00 --- /dev/null +++ b/psa/077/011.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaanza kuzungumza na Yahwe. + +# ita akilini + +"kumbuka" + +# matendo yako makuu ya kale + +"mambo ya ajabu uliyofanya zamani" + +# Nitatafakari matendo na nitayakumbuka + +Misemo hii miwli inaeleza wazo la kutafakari juu ya kile ambacho Yahwe ametenda. + +# Nitatafakari + +"kuwaza kwa kina kuhusu" + +# nitayakumbuka + +"kuwaza yanacho maanisha" + diff --git a/psa/077/013.md b/psa/077/013.md new file mode 100644 index 00000000..493948f6 --- /dev/null +++ b/psa/077/013.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendelea kuzungumza na Yahwe. + +# mungu gani analinganishwa na Mungu wetu mkuu? + +"hakuna mungu anayelinganishwa na Mungu wetu mkuu." + +# onesha nguvu yako katikati ya watu + +"onesha watu kutoka makundi mengi ya watu jinsi ulivyo mkuu" + +# uliwapa watu wako ushindi ... uzao + +"ulitupa sisi, wato wako, ushindi ... sisi tulio uzao" + +# uliwapa watu wako ushindi + +"uliwawezesha watu wako kuwashinda adui zao" + +# uzao wa Yakobo na Yusufu + +Hii inamaanisha taifa zima la Israeli. + diff --git a/psa/077/016.md b/psa/077/016.md new file mode 100644 index 00000000..12dbdce7 --- /dev/null +++ b/psa/077/016.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maji yalikuona ... yaliogopa ... vilindi vilitetemeka + +Asafu anazungumzia maji kana kwamba ni mtu aliyeona kitu kilichomtisha. + +# Maji yalikuona, na yakaogopa; vilindi vilitetemeka + +"maji" na "vilindi" zinamaanisha miili mikubwa ya maji kama bahari. + +# vilindi + +"maji ya kina kirefu zaidi" + +# Mawingu yalimwaga chini maji + +Asafu anazungumzia mawingu kana kwamba ni watu wanamwaga maji kutoka kwenye chombo. "Mvua nyingi ilianguka" au "Ilinyesha kwa nguvu sana" + +# mishale yako ilitapakaa + +Hii ni sitiari inayoelezea radi kama mshale wa Mungu. "radi uliyotengeneza ilitoa mwanga kama mishale" + +# ilitapakaa + +Mishale ilipaa hovyo ovyo. + diff --git a/psa/077/018.md b/psa/077/018.md new file mode 100644 index 00000000..675e6961 --- /dev/null +++ b/psa/077/018.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Sauti yako ya radi + +Hii ni kuipa sifa ya mtu, sauti ya radi ya Mungu. "sauti, ambayo ilikuwa na sauti zaidi ya radi" au "sauti kubwa sana" + +# radi ilimulika ulimwengu + +Radi ilionekana kama kuimulika dunia yote. "radi ilimulika kila kitu hadi mwisho wa upeo wa macho" + +# Njia yako ... njia yako + +Misemo hii miwili inamaana za kufanana na imeunganishwa kwa ajili ya mkazo. + +# nyayo zako + +Asafu anamzungumzia Yahwe kana kwamba Yahwe alikuwa ni mtu mwenye miguu. + +# nyayo zako hazikuonekana + +"hakuna mtu aliyeona nyayo zako" + +# Uliwaongoza watu wako kama kundi + +Tashbihi hii inawafananisha watu wa Mungu na kundi la wanyama. + +# kwa mkono wa + +Msemo "kwa mkono" hapa unamaanisha "kwa matendo ya" au "kupitia matendo ya." + +# mkono + +Hapa "mkono" ni njia nyingine ya kusema mtu mzima. + diff --git a/psa/078/001.md b/psa/078/001.md new file mode 100644 index 00000000..9b22669a --- /dev/null +++ b/psa/078/001.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Maschili ya Asafu + +"Hii ni maschili ambayo Asafu aliandika." + +# Maschili + +Hii inaweza kumaanisha mtindo wa muziki. + +# mafundisho yangu + +"mimi ninapokufunza" + +# maneno ya mdomo wangu + +Neno "mdomo" ni njia nyingine ya kusema mtu anayezungumza kwao. + +# fungua mdomo wangu kwa mafumbo + +"fungua mdomo wangu na useme mafumbo" + +# kuimba kuhusu + +"sema" + +# vitu vilivyojificha + +mafumbo + diff --git a/psa/078/003.md b/psa/078/003.md new file mode 100644 index 00000000..5e712bcd --- /dev/null +++ b/psa/078/003.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mstari wa 3 unaendeleza sentensi ya mstari wa 2. + +# Hatutawatenga na uzao wao + +"Hakika tutawaambia uzao wetu kuyahusu" + +# matendo ya kusifu ya Yahwe + +"vitu ambavyo tunamsifia Yahwe" + diff --git a/psa/078/005.md b/psa/078/005.md new file mode 100644 index 00000000..3bdbddfa --- /dev/null +++ b/psa/078/005.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# aliweka + +Yahwe aliweka" + +# amri za agano + +Maana zingine zinazowezzekana ni "shuhuda" au "sheria." + diff --git a/psa/078/007.md b/psa/078/007.md new file mode 100644 index 00000000..5e3acc3c --- /dev/null +++ b/psa/078/007.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anazungumzia "watoto" wa 78:5. + diff --git a/psa/078/009.md b/psa/078/009.md new file mode 100644 index 00000000..5e3f1ec5 --- /dev/null +++ b/psa/078/009.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Waefraimu ... siku ya vita + +Hii inawezekana ni sitiari ya kutokutunza agano (mstari wa 10). + +# Waefraimu + +"askari wa Efraimu" + +# walikuwa na pinde + +Inawezekana kuwa askari walikuwa na mishale. "walikuwa na pinde na mishale kwa ajili ya silaha" + diff --git a/psa/078/012.md b/psa/078/012.md new file mode 100644 index 00000000..8a6ac412 --- /dev/null +++ b/psa/078/012.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# nchi ya Sayuni + +Hii inamaanisha eneo lililozunguka mji wa Soani, ambao ulikuwa Misri. + diff --git a/psa/078/015.md b/psa/078/015.md new file mode 100644 index 00000000..05f7ad0f --- /dev/null +++ b/psa/078/015.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Aligawanya + +"Mungu aligawanya" + +# ya kutosha kujaza vilindi vya bahari + +"maji zaidi ya walivyoweza kunywa" + +# mikondo + +mito midogo + diff --git a/psa/078/017.md b/psa/078/017.md new file mode 100644 index 00000000..e95cc118 --- /dev/null +++ b/psa/078/017.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Walimjaribu Mungu + +Walimtaka Mungu kuthibitisha kuwa aliweza kufanya alichosema atafanya kabla ya kumwamini. + +# mioyoni mwao + +"kwa mioyo yao yote" + +# kuridhisha hamu zao + +"ili wale kiasi walichotaka" + diff --git a/psa/078/019.md b/psa/078/019.md new file mode 100644 index 00000000..85023c96 --- /dev/null +++ b/psa/078/019.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Walizungumza + +Waisraeli walizungumza + +# Kweli Mungu anaweza kuandaa meza kwa ajili yetu nyikani? + +"Hatuamini kuwa kweli Mungu anaweza kuandaa meza kwa ajili yetu nyikani!" au "Mungu, jithibitishe kwetu kuwa kweli unaweza kuandaa meza kwa ajili yetu nyikani!" + +# kuandaa meza + +"kutupa chakula" + +# maji yalitoka nje + +maji mengi yalitoka haraka + +# Lakini anaweza kutupa mkate pia? Atatoa nyama kwa ajiil ya watu wake? + +Watu wanamcheka Mungu kumtukana kwa maswali haya. "Lakini hatuta amini kuwa anaweza kutupa mkate pia au kutoa nyama kwa ajili ya watu wake hadi tumwone akifanya." + +# mkate ... nyama + +chakula kutoka katika mimea au chakula kutoka katika wanyama. Ingawa hii neno moja linalojumuisha aina zote za chakula. + diff --git a/psa/078/021.md b/psa/078/021.md new file mode 100644 index 00000000..b19ba4c0 --- /dev/null +++ b/psa/078/021.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# hasira yake ilishambulia Israeli + +"kwa kuwa alikuwa na hasira, alivamia Israeli" + +# hawakutumaini katika wokovu wake + +"hawakumtumaini kuwaokoa" + diff --git a/psa/078/023.md b/psa/078/023.md new file mode 100644 index 00000000..086e2a5a --- /dev/null +++ b/psa/078/023.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# aliamuru anga + +Asafu anazungumzia anga kana kwamba ilikuwa ni mtu anayeweza kusikia na kutii amri za Mungu. "alizungumza na anga' + +# anga + +Maana zinazowezekana ni 1) "anga" au 2) "mawingu." + +# kufungua mzlango ya anga + +Asafu anazungumzia anga kana kwamba ni ghala lenye mzlango. "kufungua anga kana kwamba ni ghala" + +# Aliwanyeshea mana kwa ajili yao kula, na kuwapa nafaka kutoka mbinguni + +Mistari hii miwili inazungumzia tukio moja. + +# Aliwanyeshea mana + +"Alisababisha mana kudondoka kutoka angani kama mvua" + +# mkate wa malaika + +Hii inazungumzia mana. "aina moja ya chakula ambayo malaika hula" + +# chakula cha kutosha + +"kiasi kikubwa cha chakula" + diff --git a/psa/078/026.md b/psa/078/026.md new file mode 100644 index 00000000..59e47786 --- /dev/null +++ b/psa/078/026.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Alisababisha + +"Mungu alisababisha" + +# Aliwanyeshea nyama kama vumbi + +"Alisababisha nyama kudondoka kutoka angani kama mvua, na ilikuwepo nyingi sana hadi ilifunika ardhi kama vumbi" + +# nyama + +ndege + +# kama vumbi... wengi kama mchanga wa baharini + +Kulikuwa na ndege zaidi ya ambavyo mtu angeweza kuhesabu. + diff --git a/psa/078/029.md b/psa/078/029.md new file mode 100644 index 00000000..dbbaa9e1 --- /dev/null +++ b/psa/078/029.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# tamani + +"kuwa shauku sana" + diff --git a/psa/078/031.md b/psa/078/031.md new file mode 100644 index 00000000..606506e0 --- /dev/null +++ b/psa/078/031.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kisha + +wakati chakula kilikuwa bado midomoni mwao (78:29) + +# hasira ya Mungu ikawashambulia + +"Mungu alikuwa na hasira na akawashambulia." + +# akawaleta chini + +"akawaua" + +# hawakuamini matendo yake ya ajabu + +Neno "matendo" ni njia nyingine ya kusema Mungu, ambaye alifanya hayo matendo. "hawakuamini kuwa atawatunza licha ya kufanya mambo ya ajabu hivyo" + diff --git a/psa/078/033.md b/psa/078/033.md new file mode 100644 index 00000000..42d4de58 --- /dev/null +++ b/psa/078/033.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendelea kueleza kile ambacho Mungu alitenda kwa Waisraeli. + +# alipunguza siku zao kuwa fupi + +"aliwaua wakati bado wako wachanga" + +# miaka yao ilijaa na hofu + +Asafu anazungumzia miaka kana kwamba ilikuwa ni vyombo. "mwaka baada ya mwaka walikuwa wakiogopa kila wakati" + +# kumtafuta + +kumwomba walichohitaji afanye ili awalinde + +# alipowaumiza, walianza ... walirudi na kumtafuta + +Hawa ni watu tofauti ambao Mungu "alipunguza siku zao". Baadhi yao walipokufa, wengine walianza "kumtafuta" Mungu. + +# walirudi + +"walitubu" au "walijuta kweli kwa sababu ya dhambi zao" + +# kwa bidii + +"kwa haraka" au "kadri ya uwezo wao" + diff --git a/psa/078/035.md b/psa/078/035.md new file mode 100644 index 00000000..a0ed9b8f --- /dev/null +++ b/psa/078/035.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Hii inaelezea kile ambacho Waisraeli walichofanya. + +# ita akilini + +"kumbuka" + +# Mungu alikuwa mwamba wao + +Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba alikuwa kilima au mlima ambapo watu walienda ili kuwa salama kutoka kwa adui zao. "Mungu ndiye aliyewalinda" + +# mkombozi wao + +"yule aliyewakomboa" + +# walijipendekeza kwake + +"walimwambia kuwa ni wa ajabu wakati hawakuamini hivyo" + +# kwa midomo yao + +Neno "mdomo" ni njia nyingine ya kusema maneno waliyozungumza kwa midomo yao. + +# mioyo yao haikuwa thabiti kwake + +"hawakumtumaini" au "hawakuwa waminifu kwake" + diff --git a/psa/078/038.md b/psa/078/038.md new file mode 100644 index 00000000..e58b69e5 --- /dev/null +++ b/psa/078/038.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# alisamehe udhalimu wao + +"aliwasamehe ingawa walifanya matendo maovu" + +# alizuia hasira yake + +Asafu anazungumzia hasira ya Mungu kana kwamba ni mtu mwenye hasira ambaye Mungu alimzuia kushambulia yule aliyemkasirisha. "hakuwaadhibu ingawa alikuwa amekasirishwa nao" + +# hakutikisa gadhabu yake yote + +Asafu anazungumzia gadhabu ya Mungu kana kwamba ni mtu aliyelala ambaye Mungu alimruhusu kulala na hakumwamsha. "hakujiruhusu kuwakasirikia kabisa" + diff --git a/psa/078/039.md b/psa/078/039.md new file mode 100644 index 00000000..6d62db8c --- /dev/null +++ b/psa/078/039.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Aliita akilini + +"Alikumbuka" + +# wameumbwa kwa nyama + +Neno "nyama," ambalo ni dhaifu halafu hufa, ni njia nyingine ya kusema udhaifu na mauti. "Waisraeli walikuwa wanyonge na siku moja watakufa" + +# maeneo yenye ukame + +"sehemu ambapo hakuna kitu kinachoota" + +# walimpinga Mungu + +Walitaka Mungu kuthibitisha kuwa anaweza kufanya alichosema atafanya kabla hawajamwamini. + diff --git a/psa/078/042.md b/psa/078/042.md new file mode 100644 index 00000000..5b4a6a90 --- /dev/null +++ b/psa/078/042.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anazungumzia jinsi Mungu alivyowaokoa Waisraeli. + +# Soani + +mji ndani ya Misri + diff --git a/psa/078/044.md b/psa/078/044.md new file mode 100644 index 00000000..945ea469 --- /dev/null +++ b/psa/078/044.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaeleza alichokifanya Mungu. + +# makundi ya inzi + +inzi wengi sana hadi ikaonekana kama wingu + +# yaliyo wameza + +Inzi ziliwafanya Wamisri wakoswe furaha kama ambavyo wangekuwa kama zingewala Wamisri. + +# Akawapa panzi mazao yao na kazi yao kwa nzige + +"Aliwaruhusu panzi kula mazao yao yote na kuwaruhusu nzige kula kila kitu walichofanyia kazi kupata" + +# enea + +"walitanda kila mahali" + +# panzi + +mdudu anayekula mimea mwenye miguu mirefu anayotumia kwa ajili ya kuruka + +# Aliwapa panzi mazao yao + +Asafu anazungumzia mimea kama zawadi ambayo Mungu aliwapa panzi. "Aliwaruhusu panzi kula mimea yao" + +# kazi yao kwa nzige + +"Aliwapa kazi yao kwa nzige." Asafu anazungumzia kazi ya watu kana kwamba ni zawadi ambayo Mungu aliwapa panzi. Neno "kazi" ni njia nyingine ya kusema mazao ambayo kazi yao ilipata. "Aliwaruhusu nzige kula mazao waliyofanyia kazi kupata" + diff --git a/psa/078/047.md b/psa/078/047.md new file mode 100644 index 00000000..c26a0ef4 --- /dev/null +++ b/psa/078/047.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendelea kuelezea kile ambacho Mungu alichofanya kwa Wamisri. + +# mkuyu + +mti unaotoa matunda + +# miale ya radi + +radi yenye ngurumo kubwa + +# Alinyeshea mvua ya mawe + +"Alileta mvua ya mawe" au "Alisababisha mvua ya mawe kuanguka" + +# Ukali wa hasira yake uliwapiga + +Asafu anazungumzia ukali kana kwamba ni mtu anayeweza kumvamia mtu mwingine. "Alikuwa na hasira nao, kwa hiyo aliwashambulia ghafla na kwa ukali" + +# Ukali wa hasira yake + +"Hasira yake kali" + +# uliwapiga + +"aliwavamia wakati hawakuwa wakitegemea chochote kutokea" + +# Alituma hasira, gadhabu, na taabu kama wakala wanaoleta maafa + +Asafu anazungumzia hasira, gadhabu, na taabu kana kwamba ni watu ambao Mungu anaweza kuwatuma kufanya kazi yake. Alikuwa na hasira sana hadi alitaka kuwadhuru Wamisri, kwa hiyo aliwafanyia taabu na kuwapeleka katika maafa" + +# gadhabu + +hasira inayomfanya mtu kutaka kuwadhuru wengine + diff --git a/psa/078/050.md b/psa/078/050.md new file mode 100644 index 00000000..c760218e --- /dev/null +++ b/psa/078/050.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendelea kuelezea kile ambacho Mungu alifanya kwa Wamisri. + +# Akasambaza njia kwa ajili ya hasira yake + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia hasira yake kana kwamba ni mtu anayeweza kumtazama Yahwe akijiandaa kuwaadhibu watu kana kwamba alikuwa akitengeneza barabara kwa ajili ya mtu kutembelea. "Alikuwa na hasira sana hadi alifanya yote awezayo kuwadhuru" au "Ilikuwa kana kwamba hasira yake ni jeshi na akalitengenezea barabara kwa ajili ya kutembelea" + +# hakuwaepusha na mauti + +"hakuwaepusha Wamisri na kifo" au "hakuwaruhusu Wamisri kuishi" + +# aliwapa kwa mapigo + +Asafu anazungumzia pigo kana kwamba ni mtu amabye alikuwa anaenda kuwadhuru Wamisri. "aliwafanya wote kuugua sana kwa pigo" + +# mzaliwa wa kwanza wa nguvu yao + +"wanaume wao wa muhimu na bora zaidi" + +# katika mahema ya Hamu + +"miongoni mwa familia za Misiri" + diff --git a/psa/078/052.md b/psa/078/052.md new file mode 100644 index 00000000..44b69e4e --- /dev/null +++ b/psa/078/052.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendelea kuelezea kile ambacho Mungu alifanya kwa watu wa Israeli. + +# kama kondoo ... kama kundi + +Mwandishi anawazungumzia Waisraeli kana kwamba walikuwa kondoo. Hii inamaanisha kuwa Mungu aliwajali na kuwalinda watu kama mchungaji anavyofanya kondoo wake. + +# liliwalemea + +"wafunika kabisa" + diff --git a/psa/078/054.md b/psa/078/054.md new file mode 100644 index 00000000..01dd4a4a --- /dev/null +++ b/psa/078/054.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla + +Mwandishi anaendelea kuelezea kile ambacho Mungu alifanya kwa watu wa Israeli. + +# mkono wake wa kuume ulipata + +Maneno "mkono wa kuume" ni njia nyingine ya kusema uweso. "alijishindia kwa kutumia uwezo wake mwenyewe" + +# akawagawia urithi wao + +Maana zinazowezekana ni 1) Mungu aliwapangia Waisraeli urithi wao katika nchi ambayo mataifa mengine yaliwahi kuishi au 2) Mungu aliyapangia mataifa aliyoyaondoa urithi sehemu nyingine. "aliwapa nchi ambayo itakuwa yao daima" + +# katika mahema yao + +Maana zinazowezekana ni 1) aliweka Israeli katika mahema yao wenyewekatika nchi au 2) aliwaweka Israeli katika mahema ambamo aliwaondoa mataifa mengine. "Mahema" mengi haya yalikuwa nyumba kabisa, wakati mataifa mengine yalipoishimo na Waisraeli walipoishimo. + diff --git a/psa/078/056.md b/psa/078/056.md new file mode 100644 index 00000000..2bdf402a --- /dev/null +++ b/psa/078/056.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendelea kuelezea kile ambacho Mungu alifanya kwa watu wa Israeli. + +# walipingana na kukaidi + +Maneno haya yana maana ya kukaribiana. Mwandishi anayatumia yote kusisitiza kuwa Waisraeli hawakuamini kuwa Mungu atawap mahitaji au kuadhibu maovu kama alivyosema atafanya. + +# walipingana + +Walitaka Mungu kuthibitisha kuwa anaweza kufanya kama alivyosema kabla hajamwamini. + +# kukaidi + +"kataa kutii" + +# Hawakuwa waaminifu na kutenda kwa uongo + +Maneno haya yana maana ya kukaribiana. Mwandishi anayatumia yote mawili kusisitiza kuwa Waisraeli hawakumfanyia Mungu walichosema watafanya. + diff --git a/psa/078/058.md b/psa/078/058.md new file mode 100644 index 00000000..557d2725 --- /dev/null +++ b/psa/078/058.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendelea kuelezea kile ambacho Mungu alifanya kwa watu wa Israeli. + +# walimkasirisha na sehemu zao za juu na kumchokoza na wivu wa hasira kwa sanamu zao + +Misemo hii miwli ina maana za kukaribiana. + diff --git a/psa/078/060.md b/psa/078/060.md new file mode 100644 index 00000000..f03348a9 --- /dev/null +++ b/psa/078/060.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendelea kuelezea kile ambacho Mungu alifanya kwa watu wa Israeli. + +# Aliruhusu nguvu yake kushikwa na kuwapa adui utukufu wake katika mkono wao + +Asafu anazungumzia nguvu ya Mungu na utukufu wake kana kwamba zilikuwa vitu ambavyo watu waliweza kushika na kubeba. Maneno "nguvu" na "utukufu" inawezekana kuwa ni njia nyingine ya kusema sanduku la agano. Neno "mkono" ni njia nyingine ya kusema uwezo wa adui. "aliwaruhusu adui zake kulishika sanduku tukufu la agano lake; aliwapa ili wafanye nalo walichotaka" + diff --git a/psa/078/062.md b/psa/078/062.md new file mode 100644 index 00000000..75ebf97f --- /dev/null +++ b/psa/078/062.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendelea kuelezea kile ambacho Mungu alifanya kwa watu wa Israeli. + +# Aliwatoa watu wake kwa upanga + +Asafu anawazungumzia watu wa Mungu kana kwamba walikuwa kitu kidogo. + +# alikasirishwa na urithi wake + +"alikasirishwa na watu aliosema watakuwa wake milele" + +# Moto uliwameza vijana + +Maana zinazowezekana ni 1) "Adui walitumia moto kuwaua vijana wao wote" au 2) "Vijana wao walikufa upesi vitani kama moto unavyochoma majani yaliyokauka." + +# wameza + +"Kumeza" ni kula kila kitu haraka. + +# arusi + +sherehe wakati watu wakioa + diff --git a/psa/078/064.md b/psa/078/064.md new file mode 100644 index 00000000..e51bc9ef --- /dev/null +++ b/psa/078/064.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# makuhani walianguka kwa upanga + +"adui waliua makuhani wengi wa Israeli kwa kutumia upanga" + +# wajane wao walishndwa kulia + +Maana zinazowezekana ni 1) mtu aliwalazimisha wajane kutolia au 2) makuhani wengi sana walikufa hadi hakukuwa na mazishi sahihi. + +# wajane + +wanawake ambao waume wao wamekufa + +# Bwana aliamka kama mtu kutoka usingizini + +"ilikuwa kana kwamba Bwana aliamka kutoka usingizini" + +# kama shujaa anayepiga kelele kwa sababu ya mvinyo + +Maana zinazowezekana ni 1) kama shujaa aliyekunywa mvinyo mwingi na akawa na hasira kwa sababu aliamshwa na kwa hio alitaka kupigana au 2) kama shujaa aliyekunywa sana mvinyo na sasa anaweza kufikiri na kupigana vizuri kwa sababu amelala. + diff --git a/psa/078/067.md b/psa/078/067.md new file mode 100644 index 00000000..769b38e5 --- /dev/null +++ b/psa/078/067.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendelea kuelezea kile ambacho Mungu alifanya kwa watu wa Israeli. + +# hema la Yusufu + +"uzao wa Yusufu" + +# Yusufu ... Efraimu + +Efraimu alikuwa mwana wa Yusufu. + +# Yuda ... mlima Sayuni + +Mlima Sayuni ulikuwa katika nchi ambayo kabila la Yuda lilikuwa. + +# kama mbingu + +"juu, kama mbingu" + +# kama dunia + +"thabiti na imara, kama dunia" + diff --git a/psa/078/070.md b/psa/078/070.md new file mode 100644 index 00000000..358e2a42 --- /dev/null +++ b/psa/078/070.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendelea kuelezea kile ambacho Mungu alifanya. + +# kutoka katika mazizi ya kondoo + +"kutoka mahali ambapo alikuwa akifanya kazi katika mazizi ya kondoo" + +# mazizi ya kondoo + +nafasi zenye kuta ambapo kondoo hutunzwa + +# kuwa mchungaji wa Yakobo, watu wake, na israeli, urithi wake + +Neno "mchungaji" ni sitiari ya yule anayewaongoza na kuwalinda watu wengine. "kuwaongoza na kuwalinda uzao wa Yakobo, watu wake, na Israeli, urithi wake" + +# urithi wake + +"wale aliowachagua kuwa wake milele" + +# Daudi aliwachunga + +Neno "mchungaji" ni sitiari ya kuongoza na kulinda. "Daudi aliwaongoza na kuwalinda" + diff --git a/psa/079/001.md b/psa/079/001.md new file mode 100644 index 00000000..bb2cf076 --- /dev/null +++ b/psa/079/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Asafu + +"Hii ni zaburi ambayo Asafu aliandika" + +# urithi wako + +"nchi ilikuwa iwe yako milele" + +# Wamemwaga damu yao kama maji + +Neno "damu" ni njia nyingine ya kusemamtu asiye na hatia. Kumwaga damu ni kuua watu wasio na hatia. Watu wengi waliona damu kila siku, kwa hiyo kwa damu kuwa ya kawaida kama maji, watu wengi wa hatia ilibidi wafe. "Wamewaua watu wengi sana wasio na hatia hadi damu iko kila sehemu, kama maji baada ya kunyesha" + +# hakuwepo wa kuwazika + +"hakuna wa kuwazika walio kufa" + diff --git a/psa/079/004.md b/psa/079/004.md new file mode 100644 index 00000000..4e12d08a --- /dev/null +++ b/psa/079/004.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Tumekuwa chukizo kwa jirani zetu, kejeli na dhihaka kwa wale waliotuzunguka + +Maneno "chukizo," "kejeli," na "dhihaka" ni njia zingine za kusema watu ambao wanachukiza, kejeli, na kudhihaki. "Tumekuwa watu ambao jirani zetu wanatuchukia; wale waliotuzunguka wanatukejeli na kutudhihaki" + +# Tumekuwa + +Wanaozungumziwa ni watu wa Mungu. + +# dhihaka + +kicheko kikubwa cha kumwaibisha mtu + +# Hadi lini wivu wako wa hasira utawaka kama moto? + +"Inaonekana kana kwamba wivu wako wa hasira hautaacha kuwaka kama moto" + +# wivu wako wa hasira utawaka + +Maneno "wivu wako wa hasira" unazungumzia kuwa na wivu na hasira. "utakuwa na wivu na hasira" + +# utawaka kama moto + +Tashbihi hii inalinganisha kuonesha kwa hasira ya Mungu na moto unaoangamiza vitu. "utatuangamiza" + diff --git a/psa/079/006.md b/psa/079/006.md new file mode 100644 index 00000000..a6f7fcfb --- /dev/null +++ b/psa/079/006.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Misemo hii miwili yote ina maana za kufanana na inaunganishwa kwa ajili ya kuweka mkazo. + +# Mwaga gadhabu yako kwa mataifa + +Asafu anazungumzia gadhabu ya Mungu kana kwamba ilikuwa ni kimiminiko. "Kwa kuwa una hasira, adhibu mataifa" + +# haliiti jina lako + +Neno "jina" ni njia nyingine ya kusema nguvu na mamlaka ya mtu. "sio wako" au "hawakuombi wewe kuwasaidia" + +# wamemmeza Yakobo + +Neno "Yakobo" ni njia nyingine ya kusema uzao wako, watu wa Israeli. "wamewaangamiza kabisa watu wa Israeli" + diff --git a/psa/079/008.md b/psa/079/008.md new file mode 100644 index 00000000..047dd1d7 --- /dev/null +++ b/psa/079/008.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Usishikilie dhambi za baba zetu dhidi yetu + +"Usiendelee kukumbuka dhambi za baba zetu na kutuadhibu kwa sababu yao" au "Tusamehe kwa dhambi za baba zetu" + +# tuko chini sana + +"tumedhoofika sana" + +# Mungu wa wokovu wetu + +"Mungu anayetuokoa" + +# kwa ajili ya utukufu wa jina lako + +Neno "jina" ni njia nyingine ya kusema sifa yake, kwa kile ambacho watu wanachojua kumhusu. "ili watu wajue kuhusu utukufu wako" + +# kwa ajili ya jina lako + +Jina la Mungu hapa linamwakilisha yeye na heshima anayostahili. "ili watu wakuheshimu" au "kwa ajili yako mwenyewe" + diff --git a/psa/079/010.md b/psa/079/010.md new file mode 100644 index 00000000..889e0be9 --- /dev/null +++ b/psa/079/010.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kwa nini mataifa yasema, "Yuko wapi Mungu wao?" + +"Mataifa hayapaswi kusema, 'Yuko wapi Mungu wao?'" + +# Yuko wapi Mungu wao? + +"Mungu wao hawezi kufanya chochote!" + +# Na damu ya watumishi wako iliyomwaga ilipizwe kisasi juu ya mataifa mbele ya macho yetu + +Kumwaga damu ni njia nyingine ya kusema kuua watu wasio na hatia. "Walipize kisasi watumishi wako wasio na hatia ambao mataifa waliwaua ambapo tunaweza kukuona unapofanya hivyo." + +# mbele ya macho yetu + +"machoni petu" au "wakati tupo" + +# Na kuguma kwa wafungwa kufike mbele yako + +Asafu anazungumzia sauti ambayo wafungwa walitoa katika maumivu na huzuni kana kwamba alikuwa ni mtu aliyejitokeza mbele ya mfalme. "Sikiliza kwa usikivu kuguma kwa wafungwa na wasaidie" + +# wana wa mauti + +"wale walio hukumiwa kufa" + diff --git a/psa/079/012.md b/psa/079/012.md new file mode 100644 index 00000000..8cbdf37d --- /dev/null +++ b/psa/079/012.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Lipa ... matusi yao ... Bwana + +Asafu anazungumzia matendo ya uovu ambayo nchi jirani zilifanya dhidi ya Israeli kama "matusi" na kana kwamba ni vitu halisia. Anamwomba Mungu kuhesabu matendo hayo, na kwa kila moja ambayo mataifa jirani yalitenda, anamwomba Mungu kumfanya mtu awafanyie matendo ya uovu saba mataifa jirani. + +# Lipa + +"Warudishie" + +# mapajani mwao + +katika magoti yao na mapaja wakati wanakaa chini. Hii nisitiari ya "moja kwa moja na binafsi." + +# sisi watu wako na kondoo wa malisho tutakupa shukrani + +Neno "kondoo" ni sitiari ya watu wasio jiweza ambao mchungaji anawalinda na kuwaongoza. sisi ambao ni watu wako, ambao unatulinda na kutuongoza, tutakushukuru" + +# kusema sifa zako kwa vizazi vyote + +"hakikisha vizazi vyote vinakuja kufahamu mambo yote mema uliyotenda" + +# sifa zako + +Hii ni njia nyingine ya kusema "mambo mazuri ambayo watu watakusifia" + diff --git a/psa/080/001.md b/psa/080/001.md new file mode 100644 index 00000000..8b5f4552 --- /dev/null +++ b/psa/080/001.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Taarifa ya Jumla + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# weka katika Shoshannimu + +Hii inaweza kuwa inamaanisha mtindo wa muziki. + +# Zaburi ya Asafu + +"Hii nizaburi ambayo Asafu aliandika." + +# Mchungaji wa Israeli + +Asafu anamzungumzia Mungu kama yule anayeiongoza na kuilinda Israeli. + +# wewe uliyemwongoza Yusufu kama kundi + +"wewe unayewaongoza uzao wa Yusufu kana kwamba ni kundi la kondoo" + +# Yusufu + +Hapa Yusufu inamaanisha taifa la Israeli. + +# wewe uketiye juu ya makerubi + +Mfuniko wa sanduku la agano hekaluni, ishara ya kiti cha enzi ambapo Mungu aliitawala Israeli, ilikuwa imeunganishwa na makerubi ya dhahbu, moja kila upande, zikitazamana. + +# ung'ae kwetu + +Asafu anamzungumzia Mungu kana kwamba ni jua, linalotoa mwanga, sitiari ya unyofu. "tupe mwanga" au "tuoneshe njia sahihi ya kuishi" + +# tikisa nguvu yako + +Msemo "tikisa" inamaanisha "weka katika matendo" + +# fanya uso wako ung'ae kwetu + +Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuwatendea kwa fadhila kana kwamba uso wa Yahwe uling'aa mwanga kwao. + +# na tutaokoka + +"na tafadhali tuokoe" au "ili utuokoe" + diff --git a/psa/080/004.md b/psa/080/004.md new file mode 100644 index 00000000..fd5d0e7f --- /dev/null +++ b/psa/080/004.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# watu wako + +Israeli + +# Umewalishana mkate wa machozi na kuwapa machozi kunywa kwa wingi + +Maneno "mkate wa machozi" na "machozi kunywa" ni sitiari ya huzuni endelevu. "Umehakikisha kuwa wana huzuni sana muda wote" + diff --git a/psa/080/007.md b/psa/080/007.md new file mode 100644 index 00000000..14ebb963 --- /dev/null +++ b/psa/080/007.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Asafu anazungumza kwa niaba ya Israeli. Anaanza katika mstari wa 8 kuzungumzia jinsi Mungu alivyowaweka Israeli katika nchi yao kana kwamba Mungu alikuwa ni mtu anayesafisha ardhi ili kupanda mzabibu. + +# fanya uso wake ung'ae kwetu + +Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuwatendea kwa fadhila kana kwamba uso wa yahwe alimulika mwanga juu yao. "tenda kwa fadhila kwetu" + +# tutaokoa + +"utatuokoa" + +# Unileta mzabibu kutoka Misri + +Asafu anafananisha taifa la Israeli na mzabibu uliowekwatayari kwa kupandwa. "Ulituleta, kama mzabibu, kutoka Misri" + +# uliyaondoa mataifa na ukaupanda tena + +Mwandishi wa zaburi anawazungumzia watu wake kana kwamba ni mmea ambao Yahwe alikuwa akiupanda tena. "Uliyaondoa mataifa kutoka katika nchi yao na kutupa sisi mzabibu, nakutupanda huko. + diff --git a/psa/080/009.md b/psa/080/009.md new file mode 100644 index 00000000..9329bbad --- /dev/null +++ b/psa/080/009.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Asafu anazungumza kwa niaba ya Israeli. Anaanza katika mstari wa 8 kuzungumzia jinsi Mungu alivyowaweka Israeli katika nchi yao kana kwamba Mungu alikuwa ni mtu anayesafisha ardhi ili kupanda mzabibu. + +# Ulisafisha nchi kwa ajili yake + +"Ulisafisha nchi kwa ajili ya mzabibu" + +# ikasika mzizi + +""mzabibu ulikamata mzizi" au "mzabibu ulianza kuota" + +# kuijaza nchi + +"matawi yake yakafunika nchi" + +# Milima ilifunikw kwa kivuli chake, seda za Mungu kwa matawi yake + +"kivuli chake kilifunika milima, matawi yake seda za Mungu" + +# seda za Mungu kwa matawi yake + +"na seda za Mungu zilifunikwa kwa matawi yake" "namatawi yake yalifunika seda za Mungu" + +# seda za Mungu + +Maana zinazowezekana ni 1) "miti ya seda mirefu zaidi," miti ya seda iliyoota kwenye "milima" katika nchi ya Lebanoni kaskazini mwa Israeli, au 2) "Miti ya seda ya Mungu." + +# bahari + +bahari ya Mediteranea magharibi mwa Israeli + +# vichipukizi + +sehemu za mimea ambazo zinaanza kutokeza kutoka ardhini + diff --git a/psa/080/012.md b/psa/080/012.md new file mode 100644 index 00000000..d3f34363 --- /dev/null +++ b/psa/080/012.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Asafu anazungumza kwa niaba ya Israeli. Anaanza katika mstari wa 8 kuzungumzia jinsi Mungu alivyowaweka Israeli katika nchi yao kana kwamba Mungu alikuwa ni mtu anayesafisha ardhi ili kupanda mzabibu. + +# kuta zake + +kuta za mawe, sio za mbao + +# nguruwe wa msituni + +nguruwe pori wanaharibu bustani na mashamba na kuvamia watu. + +# msitu + +ardhi ambapo kuna miti mingi + +# wanyama + +hawa ni wanyama pori wa aina yoyote + +# shambani + +ardhi ambapo kuna mimea mingi lakini hakuna miti + diff --git a/psa/080/014.md b/psa/080/014.md new file mode 100644 index 00000000..918e53ed --- /dev/null +++ b/psa/080/014.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Asafu anazungumza kwa niaba ya Israeli. Anaanza katika mstari wa 8 kuzungumzia jinsi Mungu alivyowaweka Israeli katika nchi yao kana kwamba Mungu alikuwa ni mtu anayesafisha ardhi ili kupanda mzabibu. + +# Geuka + +"Geuka kwetu" au "Njoo utusaidie tena" + +# na ugundue + +"na uangalie" + +# mzabibu huu + +Mwandishi anaendelea kufananisha taifa la Israeli na mzabibu. + +# Huu ni mzizi ambao mono wako wa kuume ulipanda + +Mkono wa kuume unawakilisha uwezo na nguvu ya Yahwe. "Huu ndio mzizi ambao wewe, Yahwe, ulipanda" + +# kichipukizi + +sehemu za mimea ambazo zinaanza kutokeza kutoka ardhini + +# chini; wanaangamia kwa sababu ya lawama yako + +Maana zinazowezekana ni 1) chini; watu wako wanaangamia kwa sababu ya lawama yako." au 2) "chini. Na adui zako waangamie kwa sababu ya lawama yako!" + diff --git a/psa/080/017.md b/psa/080/017.md new file mode 100644 index 00000000..882dcc81 --- /dev/null +++ b/psa/080/017.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mkono wako + +Hii inamaanisha uwezo na nguvu ya Yahwe. + +# mtu wa mkono wako wa kuume + +taifa la Israeli, ambalo Yahwe amelichagua kama watu wake + +# mkono wako wa kuume + +Mtu katika Israeli alipotaka kumpa heshima mtu mwingine, alimweka mtu mwingine kusimama katika upande wake wa kuume, karibu na mkono wake wa kuume. + +# hatutakugeuka + +"hatutaacha kukuabudu na kukutii" au "daima tutakuabudu na kukutii wewe" + diff --git a/psa/080/019.md b/psa/080/019.md new file mode 100644 index 00000000..dc4b6439 --- /dev/null +++ b/psa/080/019.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ung'ae kwetu + +Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuwatendea kwa fadhila kana kwamba uso wa Yahwe uling'aa mwanga kwao. "tenda kwa fadhila kwetu" + +# tutaokoka + +"utatuokoa" + diff --git a/psa/081/001.md b/psa/081/001.md new file mode 100644 index 00000000..ac0f3260 --- /dev/null +++ b/psa/081/001.md @@ -0,0 +1,48 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Taarifa ya Jumla: + +Zaburi ya Asafu. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# weka katika Gitithi + +Hii inaweza kumaanisha mtindo wa muziki. + +# Zaburi ya Asafu + +"Hii ni zaburi ambayo Asafu aliandika" + +# Mungu nguvu yetu + +"Mungu anayesababisha tuwe na nguvu" + +# Mungu wa Yakobo + +Hapa "Yakobo" inawakilisha uzao wake wote. "Mungu wa israeli, taifa la uzao wa Yakobo" + +# pigeni tari, kinubi kizuri + +Hivi ni vyombo vya muziki. + +# tari + +chombo cha muziki chenye kichwa kama ngoma kinachoweza kugongwa na kina vipande vya chuma vimezunguka pembeni vinavyotoa sauti chombo kinapotikiswa. + +# mwandamo wa mwezi + +Huu ni mwanzo wa mwezi. + +# siku ya mbalamwezi + +Hapa ni katikati ya mwezi. + +# sikukuu zetu zinapoanza + +"na katika siku ambapo sikukuu zetu zinapoanza" + diff --git a/psa/081/004.md b/psa/081/004.md new file mode 100644 index 00000000..639a30b9 --- /dev/null +++ b/psa/081/004.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kwa kuwa + +Hapa kinachozungumziwa ni sikukuu. + +# amri iliyotolewa na Mungu wa Yakobo + +"Mungu wa Yakobo aliamrisha" au "Mungu wa yakobo aliamuru" + +# Mungu wa Yakobo + +Hapa "Yakobo" inawakilishwa uzao wake wote. "Mungu wa Israeli, taifa la uzao wa Yakobo" + +# aliitoa kama kanuni + +"aliitoa kama sheria" + +# katika Yusufu + +Hapa "Yusufu" inawakilisha Waisraeli. "kwa Waisraeli" + +# alipoaende dhidi ya nchi ya Misri + +Hii inamaanisha matukio ya kihistoria katika Misri wakati watu wa Israeli walipokuwa watumwa na Mungu akawaokoa. + +# nchi ya Misri + +Hapa "nchi" inawakilisha watu. "watu wa Misri" + diff --git a/psa/081/006.md b/psa/081/006.md new file mode 100644 index 00000000..19b5f023 --- /dev/null +++ b/psa/081/006.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Hapa Mungu anaanza kuzungumza. + +# Nilitoa mzigo kutoka mabegani mwake + +Hapa "mzigo kutoka mabegani mwake" inawakilisha kazi za kulazimishwa ambazo Waisraeli iliwalazimu kufanya kama watumwa Misri. + +# mikono yake iliwekwa huru na kushikilia kikapu + +Hapa "kushikilia kikapu" inawakilisha kazi za kulazimishwa ambazo Waisraeli iliwalazimu kufanya kama watumwa Misri. + +# katika dhiki yako + +"katika mateso yako makuu" + +# Nilikujibu kutoka katika wingu la giza la radi + +Mungu alipokuja kwa Waisraeli, alificha ukamili wa uwepo wake na utukufu katika wingu lenye giza na la kutisha. + +# Nilikujaribu katika maji ya Meriba + +Mungu aliwajaribu wana wa Israeli kuona kama watamtumaini kuwapa maji katika jangwa la Meriba. + diff --git a/psa/081/008.md b/psa/081/008.md new file mode 100644 index 00000000..8fa8b697 --- /dev/null +++ b/psa/081/008.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Yahwe unawakumbusha watu alichosema wakati wako jangwani. + +# kwa kuwa nitawaonya + +"kwa sababu ninakupa onyo" + +# Israeli + +Hapa "Israeli" inawakilisha watu wa Israeli. "Waisraeli" au "watu wa Israeli" + +# kama tu utanisikiliza! + +"jinsi ninavyotamani kuwa mnisikilize" au "lakani inabidi muanze kunisikiliza!" + +# Fungua mdomo wako wazi, na nitaujaza + +Mungu kujali mahitaji ya watu inazungumziwa kana kwamba alikuwa ni ndege anawalisha makinda yake. + diff --git a/psa/081/011.md b/psa/081/011.md new file mode 100644 index 00000000..3f1058ad --- /dev/null +++ b/psa/081/011.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Sasa Yahwe anaeleza nini kilitokea baada ya kuwaonya watu. + +# maneno yangu + +Hapa "maneno" yanawakilisha kile ambacho Mungu alisema. "kwa kile nilichosema" au "kwangu" + +# Kwa hiyo nikawapa kwa njia yao wenyewe ya usumbufu + +Mungu kuwaruhusu watu kubaki wasumbufu inazungumziwa kana kwamba Mungu alikuwa akiwapa kwa adui kumwacha adui awadhuru. "Kwa hiyo, ninawaacha wawe wasumbufu" + diff --git a/psa/081/013.md b/psa/081/013.md new file mode 100644 index 00000000..6c5c1b91 --- /dev/null +++ b/psa/081/013.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# O, kama watu wangu watembee katika njia zangu + +Mungu kutaka watu kumtii inazungumziwa kana kwamba alitaka watu kutembea katika njia yake au mabarabara. "natamani kuwa watii sheria zangu" + +# geuza mkono wako dhidi + +Hapa "mkono" inawakilisha uwezo wa yahwe. "nitawaangamiza" au "Nitawaangamiza" + diff --git a/psa/081/015.md b/psa/081/015.md new file mode 100644 index 00000000..420dce60 --- /dev/null +++ b/psa/081/015.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# wanaomchukia Yahwe ... mbele zake + +Yahwe anajizungumzia mwenyewe katika hali ya mtu wa tatu. ""wanaonichukia ... mbele yangu" + +# wajikunyate kwa hofu + +"inama chini kwa hofu" au "anguka chini kwa hofu" + +# Na waaibishwe milele + +"Nitawaaibisha milele" au "Nitawaadhibu milele" + +# Nitawalisha israeli kwa ngano safi + +Mungu kusababisha ngano bora zaidi kuota Israeli inazungumziwa kana kwamba angewalisha watu ngano kiuhalisia. "Nitawaruhusu Waisraeli kula ngano bora zaidi" + +# Nitawalisha Israeli ... nitakuridhisha + +Hapa pote wanaozungumziwa ni watu wa Israeli. + +# asali kutoka kwenye mwamba + +Hii inamaanisha asali ya porini. Nyuki hujenga mizinga katika mashimo kwenye miamba na kutengeneza asali humo. + diff --git a/psa/082/001.md b/psa/082/001.md new file mode 100644 index 00000000..6b616cdb --- /dev/null +++ b/psa/082/001.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Asafu + +"Hii ni zaburi ambayo Asafu aliandika" + +# mkusanyiko mtakatifu + +"baraza la mbinguni" au "mkutano wa mbinguni" + +# anapitisha hukumu + +"anatoa hukumu." Nomino dhahania "hukumu" inaweza kuelezwa kama kitenzi. "anahukumu" + +# miungu + +Maana zinazowezekana ni 1) hivi ni viumbe vingine vya kiroho vinavyoishi mbinguni. "viumbe vitakatifu" au "mahakimu wa mbinguni" au 2) hawa ni mahakimu binadamu ambao Mungu amewachagua. Vyovyote vile, haimaanishi ni miungu kama Yahwe alivyo Mungu. Inamaanisha Mungu amewapa uwezo mkubwa na mamlaka. "watawala" + +# Hadi lini utahukumu bila haki na kuonesha upendeleo kwa waovu? + +Yahwe anatumia swali kukemea miungu kwa kutowahukumu watu kwa haki. + +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki. + diff --git a/psa/082/003.md b/psa/082/003.md new file mode 100644 index 00000000..5d032500 --- /dev/null +++ b/psa/082/003.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# maskini na wasio na baba + +Hapa "maskini" na "wasio na baba" vivumishi vidogo. Vinaweza kuelezwa kama vivumishi. "wale walio maskini na walio yatima" + +# tunza haki za + +"fanya iliyo haki kwa" + +# walioteswa na fukara + +Hapa "walioteswa" na "fukara" ni vivumishi vidogo. Vinaweza kuelezwa kama vivumishi. "wale wanaoteseka na wale wasiokuwa na kitu" + +# maskini na wahitaji ... waovu + +Hivi ni vivumishi vidogo. Vinaweza kuelezwa kama vivumishi. "wale walio maskini na wale walio wahitaji ... wale walio waovu" + +# watoe katika mkono wa waovu + +Hapa neno "mkono" inawakilisha nguvu au uwezo. "uwadhibiti waovu kuwadhuru" + diff --git a/psa/082/005.md b/psa/082/005.md new file mode 100644 index 00000000..f979c69f --- /dev/null +++ b/psa/082/005.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hawaelewi + +Maana zinazowezekana ni 1) wasioelewa ni miungu au 2) wasioelewa ni watu waovu. + +# wanazurura gizani + +Kufanya kilicho kiovu kinazungumziwa kana kwamba walikuwa wakitembea sehemu yenye giza sana. + +# misingi yote ya duniani inaanguka + +Miungu kuharibu mpangilio wa uadilifu ambao Yahwe aliweka inazungumziwa kana kwamba miungu ilikuwa inatikisa dunia na kuifanya ibomoke. + +# inaanguka + +"kubomoka" + diff --git a/psa/082/006.md b/psa/082/006.md new file mode 100644 index 00000000..8a1de2d2 --- /dev/null +++ b/psa/082/006.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nyie ni miungu, na nyie wote ni wana wa Aliye juu + +Hapa "miungu" inamaanisha kundi sawa na la Zaburi 82:1. Kama hii inamaanisha viumbe wa kiroho au binadamu, sio miungu kama Yahwe alivyo Mungu, na sio wana wake kihalisi. Kwa kuwaita "miungu" na "wana wa Aliye juu," Yahwe anakiri kuwa amewapa uwezo mkuu na mamlaka. + +# wana wa Aliye juu + +Yahwe anajizungumzia mwenyewe kama "Aliye juu." + +# Hata hivyo + +"Ingawa" + +# na kuanguka + +Hii ni njia ya kuzungumzia mtu anayekufa. + diff --git a/psa/082/008.md b/psa/082/008.md new file mode 100644 index 00000000..5ea5af57 --- /dev/null +++ b/psa/082/008.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anazungumza tena. + +# hukumu ulimwengu + +Hapa "ulimwengu" unawakilisha watu. "hukumu watu wa ulimwengu" + +# kwa kuwa una urithi katika mataifa yote + +"kwa kuwa mataifa yote ni urithi wako." Yahwe kuwachukua watu wote kama wake na kuwatawala inazungumziwa kana kwamba mataifa ni mali aliyorithi. "kwa kuwa unatawala juu ya watu wote wa kila taifa" + +# maataifa yote + +Hapa "mataifa" inawakilisha watu wa mataifa. + diff --git a/psa/083/001.md b/psa/083/001.md new file mode 100644 index 00000000..2428ea95 --- /dev/null +++ b/psa/083/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Wimbo. Zaburi ya Asafu + +"Hii ni zaburi ambayo Asafu aliandika" + +# na kubaki bila kusogea + +"na kutokufanya kitu kutusaidia" + +# Tazama, adui zako wanafanya ghasia + +Hapa "kufanya ghasia" inamaanisha kufanya fujo au kukaidi. "Tazama, adui zako wanakaidi dhidi yako" + +# wale wanokuchukia wameinua vichwa vyao + +Msemo "wameinua vichwa vyao" ni njia ya kusema kuwa wamekaidi dhidi ya Mungu. "wale wanaokuchukia wanakukaidi" + diff --git a/psa/083/003.md b/psa/083/003.md new file mode 100644 index 00000000..99623abd --- /dev/null +++ b/psa/083/003.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# uliowalinda + +"wale unaowalinda" Hii inamaanisha Waisraeli. + +# jina la Israeli halitakumbukwa tena + +Hapa "jina" linawakilisha sifa au kumbukumbu ya mtu. "hakuna mtu atakye kumbumbuka Waisraeli walikuwepo" + +# Wamepanga hila kwa pamoja na mkakati mmoja + +"Adui zako wamekubali pamoja kwa mpango mmoja" + +# dhidi yako wamefanya mwungano + +"wameungana pamoja dhidi yako" + diff --git a/psa/083/006.md b/psa/083/006.md new file mode 100644 index 00000000..69bbd538 --- /dev/null +++ b/psa/083/006.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendelea kuorodhesha makundi ya watu yanayotaka kuangamiza Israeli. + +# mahema ya Edomu + +Hii inamaanisha watu wa Edomu walioishi katika mahema. + +# Wahagari + +Hili ni jina la kundi la watu walioishi upande wa mashariki wa mto Yordani. + +# Gebali, Amoni, Amaleki ... FIlisti + +Majina haya yote yanawakilisha watu wa kila eneo au kabila. "watu wa Gebali, Waamoni, Waamaleki ... Wafilisti" + +# Gebali + +Hili jina la eneo kusini mwa bahari ya Chumvi. + diff --git a/psa/083/008.md b/psa/083/008.md new file mode 100644 index 00000000..65415782 --- /dev/null +++ b/psa/083/008.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ashuri + +Hii inawakilishwa watu wa ashuri. "watu wa Ashuri" + +# uzao wa Lutu + +Hii inamaanisha watu wa mataifa ya Moabu na Amoni. + +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki. + diff --git a/psa/083/009.md b/psa/083/009.md new file mode 100644 index 00000000..863a806c --- /dev/null +++ b/psa/083/009.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Fanya kwao ...kwa ajili ya dunia + +Mwandishi anamwomba Mungu kuwashinda adui wa Israeli kama alivyofanya kipindi cha nyuma. + +# ulivyofanya kwa Midiani + +Hapa "Midiani" inawakilishwa watu wa Midiani. "ulivyofanya kwa Wamidiani" + +# Sisera ... Yabini + +Haya ni najina ya wanaume. Yabini alikuwa mfalme wa Hazori. Sisera alikuwa kamanda wa jeshi la Yabini. + +# mto Kishoni + +Hili ni jina la mto kaskazini mwa israeli + +# Endori + +Hili ni jina la mji kaskazini mwa Israeli, + +# wakawa kama mbolea kwa ajili ya dunia + +Hii inamaanisha miili ya Sisera na Yabini haikuzikwa lakini iliachwa kuoza. + diff --git a/psa/083/011.md b/psa/083/011.md new file mode 100644 index 00000000..d39c3852 --- /dev/null +++ b/psa/083/011.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anamwomba Mungu kuwashinda adui wa Israeli kama alivyofanya kipindi cha nyuma. + +# Orebu ... Zeebu ... Zeba ... Zalmuna + +Haya yote ni majina ya wafalme. + +# Wakasema + +Hapa "Wakasema" inamaanisha Orebu, Zeebu, Zeba na Zalmuna. + +# malisho ya Mungu + +Mwandishi anazungumzia nchi ya Israeli kana kwamba ni nchi kwa ajili ya kondoo kula na Mungu alikuwa mchungaji wao aliyekuwa akiwachunga. + diff --git a/psa/083/013.md b/psa/083/013.md new file mode 100644 index 00000000..d800e2de --- /dev/null +++ b/psa/083/013.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anatumia tashbihi kuelezea uharibifu kamili wa Mungu kwa adui wa Israeli. + +# wafanya kuwa kama mavumbi yanayozunguka, kama makapi mbele ya upepo + +Kauli zote mbili zinazungumzia Mungu kuangamiza adui zake kana kwamba alikuwa upepo mkali unaowapuliza kwa urahisi. + +# kama moto unaochoma msitu, na moto unaoweka milima katika moto + +Kauli zote mbili zinazungumzia adhabu ya Mungu kana kwamba ni moto, na adui wa Mungu ni vitu vinavyoungua katika moto. + +# Wafukuze kwa upepo wako wenye nguvu, na watishe kwa dhoruba yako + +Kauli zote mbili zinamwomba Mungu kuangamiza adui kwa dhoruba. + diff --git a/psa/083/016.md b/psa/083/016.md new file mode 100644 index 00000000..9638f8f5 --- /dev/null +++ b/psa/083/016.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Jaza nyuso zao na aibu + +Hapa "nyuso"zinawakilishwa mtu mzima. "Wafanye waaibike sana" + +# watafute jina lako + +Hapa "jina" linawakilisha uwezo wa Mungu. Adui wa Mungu kukiri kuwa Mungu ana uwezo inazungumziwa kana kwamba wanatafuta kumpata yahwe. "wakubali kuwa una uwezo" + +# watafute jina lako + +Maana zinazowezekana ni 1) adui wa Mungu wanakiri kuwa Mungu ana uwezo au 2) adui wa mungu wanamwomba Mungu msaada au 3) adui wa Mungu wanaanza kumwabudu na kumtii. + +# Na waaibishwe na kuogofywa milele + +"Wafanye waaibike na kuogopa milele" + +# waangamie kwa aibu + +"na wafe wakiwa wameaibika" + diff --git a/psa/083/018.md b/psa/083/018.md new file mode 100644 index 00000000..bf41885d --- /dev/null +++ b/psa/083/018.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kisha watajua + +"Wafanye wajue" + +# ndiye Uliye juu, juu ya dunia yote + +Mungu kutawala juu kila kitu duniani inazungumziwa kana kwamba ameinuliwa juu zaidi ya vingine vyote. "ndiye mkuu, na unatawala vitu vyote duniani" + diff --git a/psa/084/001.md b/psa/084/001.md new file mode 100644 index 00000000..bfd177ad --- /dev/null +++ b/psa/084/001.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# weka katika Gitithi + +Hii inaweza kuwa inamaanisha mtindo wa muziki. + +# Zaburi ya wana wa Kora + +"Hii ni zaburi ambayo wana wa Kora waliandika" + +# Panapendeza kiasi gani + +"Ni pazuri kiasi gani" + +# na shauku na nyua za Yahwe + +"Ninatamani sana kuwa katika nyua za Yahwe" + +# nyua za Yahwe + +Hapa "nyua" inawakilisha hekalu. + +# hamu yangu kwa kwa hizo imanichosha + +"hamu yangu imenichosha" au "nimechoka kwa sababu ninaitaka sana" + +# Moyo wanguna kila kitu ndani yangu kinamwita + +Hapa "moyo" unawakilisha mtu mzima. "Niita kwa kila kitu ndani yangu" + +# Mungu aliye hai + +Hii inamaanisha kuwa Mungu yu hai na pia ana uwezo wa kusababisha vitu vingine kuishi. + diff --git a/psa/084/003.md b/psa/084/003.md new file mode 100644 index 00000000..d2092ca8 --- /dev/null +++ b/psa/084/003.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# shorewanda ... mbayuwayu + +Hawa ni aina ya ndege. + +# amepata nyumba + +"amejipatia makazi" au "ametengeneza makazi" + +# mbayuwayu kioto + +"mbayuwayu amepata kioto" au "mbayuwayu ametengeneza kioto" + +# ambapo anaweza kuweka makinda yake + +"ambapo anaweza kutaga mayai na kutunza makinda yake" + +# wale wanaoishi nyumbani kwako + +Maana zinazowezekana ni 1) "wale' inamaanisha makuhani ambao hutumika muda wote hekaluni au 2) "wale" inamaanisha watu kwa ujumla ambao hua wanakuja kuabudu hekaluni. + +# kwa uendelevu + +"tena na tena" + diff --git a/psa/084/005.md b/psa/084/005.md new file mode 100644 index 00000000..ae2cf0cc --- /dev/null +++ b/psa/084/005.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Amebarikiwe mtu + +Hapa "mtu" inamaanisha watu kwa ujumla. + +# ambaye nguvu yake iko katika wewe + +Mungu anazungumziwa kana kwamba nguvu kweli ilipatikana ndani yake. "ambaye unamtia nguvu" + +# ambaye moyoni mwake ni njia za kwenda Sayuni + +Msemo huu unahusu hamu ya kweli kutoka moyoni. "Wanaopenda kwenda juu Sayuni" au "Wanaotaka kwa dhati kwenda juu Sayuni" + +# njia + +"barabara kuu" + +# za kwenda Sayuni + +Hekalu lilikuwa Yerusalemu juu ya kilima kirefu zaidi, kiitwacho mlima Sayuni. + +# mabonde ya Machozi + +Hii inamaanisha sehemu iliyokauka. Biblia zingine zina "bonde la Baka." neno "Baka" linamaanisha kulia." + +# Mvua za mapema + +Hii inamaanisha mvua inayodondoka katika majira ya kupukutika kwa majani kabla ya majira ya baridi. Hiki ni kipindi cha miezi ya Oktoba na Novemba katika kalenda za magharibi. + +# baraka + +"mabwawa ya maji" + diff --git a/psa/084/007.md b/psa/084/007.md new file mode 100644 index 00000000..6b225c9e --- /dev/null +++ b/psa/084/007.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Huenda kutoka nguvu hadi nguvu + +Hii ni njia ya kusema wanapata nguvu. + +# Huenda + +Hapa wanaoenda inamaanisha wale wanaotamani kwenda hekaluni kumwabudu Mungu. + +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki. + +# Mungu, angalia ngao yetu + +Mfalme anayewalinda watu wake anazungumziwa kana kwamba ni ngao. "Mungu, mwangalie mfalme wetu" + +# Kwa kuwa siku moja katika nyua zako ni bora kuliko siku elfu pengine + +"Ni bora niwe katika nyua zako kwa siku moja badala ya kuwa sehemu nyingine kwa siku elfu moja" + +# elfu + +"1,000" + +# niwe bawabu + +"niwe mlinzi mlangoni" au "nisimame mlangoni" + +# waovu + +"watu waovu" au "wale ambao ni waovu" + diff --git a/psa/084/011.md b/psa/084/011.md new file mode 100644 index 00000000..e5150c35 --- /dev/null +++ b/psa/084/011.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kwa kuwa Yahwe Mungu ni jua letu na ngao + +Yahwe anayewaongoza na kuwalinda watu wake anazungumziwa kana kwamba alikuwa jua na ngao. "Kwa kuwa Yahwe hutuongoza kama mwanga wa jua, na hutulinda kama ngao" + +# Yahwe atatoa neema na utukufu + +"Yahwe atakuwa na huruma kwetu na kutupa heshima" + +# wanaotembea katika uadilifu + +Jinsi mtu anavyoenenda maisha yake inazungumziwa kana kwamba mtu huyo alikuwa akitembea. "wanaoishi kwa uadilifu" au "walio wa kweli" + +# amebarikiwa mtu + +Hapa "mtu" inamaanisha mtu kwa ujumla. "wamebarikiwa wale" + diff --git a/psa/085/001.md b/psa/085/001.md new file mode 100644 index 00000000..dfc9763f --- /dev/null +++ b/psa/085/001.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya wana wa Kora + +"Hii ni zaburi ambayo wana wa Kora waliandika." + +# umeonesha fadhila kwa nchi yako + +Hapa "nchi" inawakilisha taifa na watu wa Israeli. + +# ustawi + +Hii inamaanisha mtu kuwa na furaha, mwenye afya na mafanikio. + +# wa Yakobo + +Hapa "Yakobo" inawakilisha uzao wa Yakobo, Waisraeli. + +# umefunika dhambi zao zote + +Hapa dhambi iliyosamehewa inazungumziwa kana kwamba imefunikwa ili isionekane. "umesahau kwa makusudi dhambi zao" + +# dhambi zao + +Mwandishi alijifikiria kama kuwa miongoni mwa watu wa Mungu. "dhambi zetu" + +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki. + diff --git a/psa/085/003.md b/psa/085/003.md new file mode 100644 index 00000000..47557c51 --- /dev/null +++ b/psa/085/003.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Umeondoa gadhabu yako yote + +Mungu kutowaadhibu tena Waisraeli inazungumziwa kana kwamba gadhabu ni kitu ambacho Yahwe anaweza kuondoa kutoka kwa Waisraeli. + +# umegeuka kutoka katika hasira yako ya moto + +Mungu kutokuwa na hasira tena na Waisraeli inazungumziwa kana kwamba hasira ni moto kutoka kwa Mungu ambao Mungu ameuguza. + +# Mungu wa wokovu wetu + +"Mungu anayetuokoa" + +# achia chuki uliyonayo kwetu + +Kumwomba Mungukuacha kuwa na hasira na Waisraeli inazungumziwa kana kwamba chuki ni kitu ambacho mwandishi anataka Mungu aachie. + +# Je! Utakuwa na hasira na sisi milele? Utabaki na hasira katika vizazi vyote? + +Mwandishi anatumia maswali haya kusisitiza kwamba anamwomba Mungu kuacha kuwa na hasira nao. "Tafadhali usibaka na hasira na sisi milele." + diff --git a/psa/085/006.md b/psa/085/006.md new file mode 100644 index 00000000..bff8e5f1 --- /dev/null +++ b/psa/085/006.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Je! Hautahuisha tena? + +Mwandishi anatumia swali hili kusisitiza kwamba anamwomba Mungu kuwafanya watu wa Israeli wafanikiwe na wawe na furaha tena. "Tafadhali tufanye kuwa na mafanikio tena" + +# Tuoneshe uaminifu wako wa agano + +"Kuwa mwaminifu kwa sababu ya agano lako na sisi" + +# tupe wokovu wako + +"tupe wokovu wako kwa kutuokoa" + diff --git a/psa/085/008.md b/psa/085/008.md new file mode 100644 index 00000000..40542e76 --- /dev/null +++ b/psa/085/008.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# atafanya amani na watu wake + +"atakuwa na mahusiano ya amani na watu wake" au "ataleta amani kwa watu wake" + +# Bali wasirudie tena njia zao za upumbavu + +Mtu anayebadili tabia yake anazungumziwa kana kwamba alikuwa akigeukia kimwili upande mwingine. "Bali hawatakiwa kuanza kufanya mambo ya upambavu tena" + +# Hakika wokovu wake uko karibu na wale + +Mungu kuwa tayari kumwokoa mtu inazungumziwa kana kwamba wokovu ni kitu ambacho Mungu ameweka karibu na mtu. "Hakika Mungu yuko tayari kuwaokoa wale" + +# kisha utukufu utabaki katika nchi yetu + +Hapa "utukufu" unawakilisha uwepo wa Mungu. "kisha uwepo wake wa utukufu utabaki katika nchi yetu" + diff --git a/psa/085/010.md b/psa/085/010.md new file mode 100644 index 00000000..63cc8fc0 --- /dev/null +++ b/psa/085/010.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Uaminifu wa agano na uaminifu umekutana pamoja + +Maana zinazowezekana ni 1) Mungu atakuwa mwaminifu kwa sababu ya agano lake na atafanya alichoahidi au 2) Mungu atakuwa mwaminifu kwa sababu ya agano lake na watu wataitikia kwa kuwa waaminifu kwake. Vyovyote vile uaminifu unazungumziwa kana kwamba ni mtu anayeweza kukutana na mwenzake. + +# umekutana pamoja ... zimepigana busu + +Inawezekana kuwa mwandishi anazungumzia wakati wa mbele ambapo Mungu atawasababisha watu wake kufanikiwa tena. zitakutana pamoja ... zitapigana busu" + +# haki na amani zimepigana busu + +Maana zinaziwezekana ni 1) watu watafanya kilicho sawa na mungu atawasababisha watu kuishi kwa amani au 2) Mungu atafanya kilicho sawa na kuwasababisha watu kuishi katika amani. Vyovyote vile, haki na amani zinazungumziwa kana kwamba ni watu wanajipiga busu. + +# zimepigana busu + +Hii ni njia ya kawaida ya marafiki kusalimiana. + +# Uaminifu unachomoza kutoka kwenye ardhi + +Watu wa duniani kuwa waaminifu kwa Mungu inazungumziwa kana kwamba uaminifu ni mmea unaoota ardhini. "Hapa duniani, tutakuwa waaminifu kwa Mungu" + +# haki inaangalia chini kutoka angani + +Mwandishi anaelezea haki kama mtu anatazama chin kama Mungu afanyavyo. "Mungu atatuangalia kwa fadhila na kutupa ushinid" + diff --git a/psa/085/012.md b/psa/085/012.md new file mode 100644 index 00000000..afd8b570 --- /dev/null +++ b/psa/085/012.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Haki itamtangulia na kutengeneza njia kwa ajili ya hatua zake + +Mungu kufanya kilicho sawa kila sehemu aendayo inazungumziwa kana kwamba haki ni mtu ambaye humtangulia Mungu na kuandaa njia ya Mungu kupitia. + +# hatua zake + +Hapa "hatua" inawakilisha ambapo Mungu anapita. + diff --git a/psa/086/001.md b/psa/086/001.md new file mode 100644 index 00000000..43035047 --- /dev/null +++ b/psa/086/001.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# maskini na niliye kandamizwa + +"mnyonge na mhitaji" + +# mwokoe mtumishi wako + +Daudi anajizungumzia kama "mtumishi wako," yaani, mtumishi wa Mungu. "niokoe mimi, mtumishi wako" + diff --git a/psa/086/003.md b/psa/086/003.md new file mode 100644 index 00000000..69ce7286 --- /dev/null +++ b/psa/086/003.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# siku nzima + +Hii ni kukuza kwa neno. Daudi halii siku nzima kwa uhalisia. Hii inasisitiza kuwa huwa analia kwa uendelevu. "kwa uendelevu" + +# Mfanye mtumishi wako kuwa na furaha + +Daudi anajizungumzia kama "mtumishi wako," yaani, mtumishi wa Mungu. "Nifanye mimi, mtumishi wako" au "Nifanye" + diff --git a/psa/086/005.md b/psa/086/005.md new file mode 100644 index 00000000..e9da48cd --- /dev/null +++ b/psa/086/005.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Katika siku ya taabu yangu + +Hapa "siku" inawakilisha muda mrefu zaidi. "Wakati wa kipindi changu cha taabu" + +# ninakuita wewe + +"nina omba kwako" + diff --git a/psa/086/008.md b/psa/086/008.md new file mode 100644 index 00000000..88e3f217 --- /dev/null +++ b/psa/086/008.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kati ya miungu + +Mwandishi hakiri kuwa miungu hii mingine ipo. Anamaanisha miungu ya uongo ambayo watu wa mataifa mengine huabudu. + +# Mataifa yote + +Hapa "mataifa" inawakilisha watu. "Watu kutoka mataifa yote" + +# Watatukuza jina lako + +Hapa "jina" linamwakilisha mtu mzima. "Watakutukuza" + diff --git a/psa/086/010.md b/psa/086/010.md new file mode 100644 index 00000000..764044c1 --- /dev/null +++ b/psa/086/010.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# mambo ya ajabu + +"vitu vizuri sana vinavyo tushangaza" + +# wewe pekee ni Mungu + +"wewe ndiye Mungu pekee" + +# Nifundishe njia zako, Yahwe. Kisha nitatembea katika kweli yako + +Mtu anayetii kile ambacho Mungu anataka anazungumziwa kana kwamba anatembea katika njia au barabara la Mungu. "Nifundishe ukweli wako, Yahwe. Kisha nitatii unachosema" + +# Unganisha moyo wako kukucha wewe + +Hapa "moyo" unawakilisha mawazo, hisia na nia ya mtu. Kumwomba Mungu kumsababisha mtu kumtii kikamilifu inazungumziwa kana kwamba moyo wa mtu ulikuwa katika vipande vingi na kwamba Mungu anaviunganisha pamoja. "Nisababishe nikuheshimu kwa moyo wangu wote" au "Nisababishe nikuheshimu kwa dhati" + +# nitakusifu kwa moyo wangu wote + +Hapa "moyo" unawakilisha mawazo, hisia na nia ya mtu. "Nitakusifu kikamilifu na kwa dhati" + +# nitalitukuza jina lako + +Hapa "jina" linamwakilisha mtu mzima. "nitakutukuza" + diff --git a/psa/086/013.md b/psa/086/013.md new file mode 100644 index 00000000..97cb7de9 --- /dev/null +++ b/psa/086/013.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa kuwa uaminifu wako wa agano ni mkuu kwangu + +"Kwa kuwa wewe ni mwaminifu kwangu kwa sababu ya agano lako" + +# umeokoa maisha kutoka vilindi vya kuzimu + +Hii haimaanishi kuwa Mungu alimfufua baada ya kufa. Inamaanisha kuwa Mungu alimwokoa alipotaka kufa. + +# wenye kiburi + +"watu wenye kiburi" + +# wameinukadhidi yangu + +"wanakuja pamoja kunidhuru" + +# wanatafuta maisha yangu + +Hii ni njia ya kusema wanataka kumuua. + diff --git a/psa/086/015.md b/psa/086/015.md new file mode 100644 index 00000000..bd6074b8 --- /dev/null +++ b/psa/086/015.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# umejaa uaminifu wa agano na uaminifu + +Mungu kuwa mwaminifu kila wakati inazungumziwa kana kwamba uaminifu ni kitu ambacho Mungu ana kiasi kikubwa chake. + +# Geuka kwangu + +Kumwomba Mung kumzingatia inazungumziwa kana kwamba alimtaka Mungu amgeukie na kumwangalia. + +# mpe mtumishi wako nguvu yako + +"mwimarishe mtumishi wako" au "mfanye mtumishi wako kuwa imara" + +# mtumishi wako ... mwana wa mjakazi wako + +Mwandishi anajizungumzia mwenyewe katika hali ya mtu wa tatu. + +# na kuaibishwa + +"na wataaibika" + diff --git a/psa/087/001.md b/psa/087/001.md new file mode 100644 index 00000000..d7aa6cea --- /dev/null +++ b/psa/087/001.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya wana wa Kora; wimbo + +"Hii ni zaburi ambayo wana wa Kora waliandika" + +# malango ya Sayuni + +Hapa "malango ya Sayuni" inawakilisha mji mzima wa Yerusalemu. "mji wa Yerusalemu" + +# mahema yote ya Yakobo + +Watu waliishi katika mahema walipokuwa wakizurura jangwani. Hapa mwandishi anatumia "mahema ya Yakobo" kuwakilisha mahali Waisraeli wanapoishi sasa. "sehemu yoyote ya kuishi ya Waisraeli" + +# Mambo yenye utukufu yanasemwa juu yako, mji wa Mungu + +Mwandishi anazungumza na mji wa Yerusalemu kana kwamba ulikuwa unamsikiliza. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Nyie watu katika Yerusalemu, watu wengine wanasema vitu vizuri kuhusu mji wenu" + +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki. + diff --git a/psa/087/004.md b/psa/087/004.md new file mode 100644 index 00000000..f4690180 --- /dev/null +++ b/psa/087/004.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Ninamtaja + +"Nitawaambia kuhusu." Anyezungumza hapa ni Yahwe. + +# Rahabu na Babeli + +Hapa "Rahabu" ni njia ya kishahiri ya kumaanisha Misri. Zote "Rahabu" na "Babeli" zinawakilisha watu. "watu wa Misri na Babeli" + +# kwa wafuasi wangu + +"kwa wale wanaoniabudu" + +# Filisti, na Tirohopia, pamoja na Kushi + +Majina ya mataifa haya yanawakilisha watu. "watu kutoka Filist na Tiro, pamoja na watu wa Kushi" + +# Huyu alizaliwa huko + +"Huyu" inamaanisha watu kutoka mataifa ambayo mwandisha ameyataja. Ingawa hawakuzaliwa kimwili Sayuni, wale wanaomfuata Mungu ni wakazi wa Yerusalemu kiroho. + diff --git a/psa/087/005.md b/psa/087/005.md new file mode 100644 index 00000000..62e7fefa --- /dev/null +++ b/psa/087/005.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kwa Sayuni itasemwa + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Watu watasema kuhusu Sayuni" + +# Kila mmoja wa hawa alizaliwa ndani yake + +Watu kutoka mataifa mengine wanaomwabudu Yahwe wanazungumziwa kana kwamba walizaliwa Yerusalemu. "Ni kana kwamba watu hawa wote walizaliwa Yerusalemu" + +# ndani yake + +Ilikuwa kawaida kuelezea miji kama mtu. + +# Aliye juu mwenyewe + +Mwandishi anatumia kiwakilishi cha kujirudia "mwenyewe" kusisitiza kuwa Aliye juu ndiye anafanya hiki. + +# atamuimarisha + +"ataifanya Yerusalemu kuwa imara" + +# Yahwe anaandika katika kitabu cha sensa cha mataifa + +Yahwe kukubali kuwa watu kutoka mataifa mengine ni wake inazungumziwa kana kwamba yeye ni mfalme anayeandika majina ya watu wanaoishi katika mji wake. + +# Huyu hapa alizaliwa huko + +"Huyu" inamaanisha watu kutoka mataifa ambayo mwandishi ametaja. Ingawa hawakuzaliwa kimwili Sayuni, wale wanaomfuata Mungu ni wakazi wa Mji wa Yerusalemu kiroho. + diff --git a/psa/087/007.md b/psa/087/007.md new file mode 100644 index 00000000..501e8a3b --- /dev/null +++ b/psa/087/007.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Chemchemi zangu zote ziko ndani yako + +Yerusalemu kuwa sehemu ambayo watu hupokea baraka zao zote inazungumziwa kana kwamba Yerusalemu ni chemchemi inayotoa maji kwa watu. + diff --git a/psa/088/001.md b/psa/088/001.md new file mode 100644 index 00000000..64a49dd3 --- /dev/null +++ b/psa/088/001.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Wimbo, zaburi ya wana wa Kora + +"Hii ni zaburi ambayo wana wa Kora waliandika" + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# weka katika mtindo wa Mahalathi Leanothi + +Hii inaweza kuwa inamaanisha mtindo wa muziki. + +# Maschili + +Hii inaweza kuwa inamaanisha mtindo wa muziki. + +# Hemani + +Hili ni jina la mwanamume + +# Mwezrahi + +Hili ni jina la kundi la watu. Inaweza kumaanisha mwana au uzao wa Zera. + +# Mungu wa wokovu wangu + +"wewe ndiye unaye niokoa" + +# mchana na usiku + +Mwandishi anatumia maneno haya yenye maana tofauti kumaanisha kuwa analia kwa uendelevu. + diff --git a/psa/088/003.md b/psa/088/003.md new file mode 100644 index 00000000..3000a1c4 --- /dev/null +++ b/psa/088/003.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa kuwa nimejaa taabu + +Mwandishi anajizungumzia kana kwamba ni chombo na taabu ni vitu vinavyojaza hicho chombo. "Kwa kuwa nina taabu sana" + +# maisha yangu yamefika kuzimu + +Hapa "maisha" yanamwakilisha mwandishi na "kuzimi" kunawakilisha mauti. Inawezekana mwandishi anajizungumzia mwenyewe kufa mapema kana kwamba kuzimu ni sehemu na amefika hiyo sehemu. "nimekaribia kufa" + +# Watu wananifanyia kama wale wanaoenda chini shimoni + +Neno "shimo" linamaana moja kama "kuzimu." Msemo "wanaoenda chini kuzimu" inawakilisha kufa. "watu wananifanya kana kwamba tayari nimekufa" + diff --git a/psa/088/005.md b/psa/088/005.md new file mode 100644 index 00000000..a9722077 --- /dev/null +++ b/psa/088/005.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nimeachwa miongoni mwa wafu + +Watu kumfanyia mwandishi kana kwamba tayari amekufa inazungumziwa kana kwamba ni maiti ambayo imeachwa bila kuzikwa. "Nimeachwa peke yangu kana kwamba nimekufa" + +# mimi ni kama mfu niliyelala kaburini + +Mwandishi kuhisi kana kwamba watu na Mungu wamemwacha anajizungumzia kana kwamba alikuwa tayari ni mtu aliyekufa amelala kaburini. + +# mfu niliyelala + +"mtu aliyekufa mabaye amelala" au "watu waliokufa ambao wamelala" + +# ambao huwajali tena + +"watu ambao umeacha kuwajali" + +# wamekatwa kutoka katika nguvu yako + +Mungu kuacha kutumia nguvu yake kuwasaidia wafu inazungumziwa kana kwamba Mungu amemkata au amemtoa kutoka kwenye nguvu yake. "hautumii tena nguvu yako kuwaokoa" + +# Umeniweka katika sehemu ya chini zaidi ya shimo, katika vina vya china vyenye giza + +Mwandishi kuhisi kama Mungu kumwacha anajizungumzia kana kwamba Mungu amemweka katika kaburi kina kirefu zaidi na lenye giza. + diff --git a/psa/088/007.md b/psa/088/007.md new file mode 100644 index 00000000..961de095 --- /dev/null +++ b/psa/088/007.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Gadhabu yako ni nzito kwangu + +Hii inazungumzia jinzi Mungu alivyo na hasira sana na mwandishi kana kwamba gadhabu ya Mungu ni kitu kizito kilicho juu ya maji. "Ninahisi hasira yako kuu" au "Ninahisi jinsi ulivyo na hasira kali na mimi" + +# njia zako zote zinanikandamiza + +Hii inazungumzia Mungu kuwa na hasira sana na mwandishi kana kwamba hasira ya Mungu ni mawimbi makubwa yanayoinuka kutoka baharini na kutua kwa mwandishi. + +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki. + diff --git a/psa/088/008.md b/psa/088/008.md new file mode 100644 index 00000000..11f32580 --- /dev/null +++ b/psa/088/008.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# wanaonifahamu + +"wale wanaonijua" + +# Umenifanya kitu cha kushangaza kwao + +"Umenifanya kitu cha kuchukiza machoni kwao" au "Kwa sababu yako, wanashangaa wanaponiona" + +# Nimezungukwa + +Hali ya kimwili ya mwandishi inayomfanya kuwa chukizo kwa rafiki zake inazungumziwa kana kwamba alikuwa amefungwa katika nafasi yenye mipaka. "Ni kana kwamba nilikuwa gerezani" au "Nimenaswa" + diff --git a/psa/088/009.md b/psa/088/009.md new file mode 100644 index 00000000..c2ef5dc4 --- /dev/null +++ b/psa/088/009.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Macho yangu yanachoka kutokana na taabu + +Hapa "macho" yanawakilisha uwezo wa mtu kuona. Kwa macho yake kuchoka kutokana na taabu ni njia ya kusema kwamba matatizo yake yanamsababisha kulia sana hadi inakuwa kazi kwake kuona. + +# Ninanyosha mikono yangu kwako + +"Ninainua mikono yangu kwako." Hiki ni kitendo kinachoonesha kuwa anamtegemea Mungu kabisa. + +# Je! Utafanya maajabu kwa wafu? + +Mwandishi anatumia swali kusisitiza kuwa kama Mungu akimwacha afe basi Mungu hataweza tena kufanya mambo ya ajabu kwa ajili yake. "Wewe hufanyi maajabu kwa awatu waliokufa." + +# Je! Wale waliokufa watafufuka na kukusifu + +Mwandishi anatumia swali kusisitiza kuwa kama Mungu akimwacha afe basi hataweza kumsifu Mungu tena. "Unajua kuwa waliokufa hawataweza kusimama na kukusifu" + diff --git a/psa/088/011.md b/psa/088/011.md new file mode 100644 index 00000000..a68af8c4 --- /dev/null +++ b/psa/088/011.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Je! Uaminifu wako wa agano utatangazwa kaburini, uaminifu wako katika sehemu ya wafu? + +Maswali yote yanamaanisha kitu kimoja. Mwandishi anatumia maswali kusisitiza kuwa mtu aliyekufa hawezi kusifu uaminifu wa Mungu. "Hakuna atakaye tangaza uaminifu wako wa agano au uaminifu wako kutoka kaburini" + +# kaburini ... sehemu ya wafu ... gizani ... sehemu ya usahaulifu + +Majina haya yote yanawakilisha mahali ambapo watu huenda baada ya kufa. + +# uaminifu wako katika sehemu ya wafu? + +"Je! Uaminifu wako utatangazwa katika sehemu ya wafu?" au "Wale waliokufa hawatatangaza uaminifu wako." + +# Je! Matendo yako ya ajabu yatajulikana gizani, au haki yako katika sehemu ya haki? + +Maswali yote yanamaanisha kitu kimoja. Mwandishi anatumia maswali kusisitza kuwa wale walio kufa hawawezi kupitiia au kutangaza mambo makuu ambayo Mungu hufanya. "Watu hawazungumzii kuhusu matendo yako ya ajabu na haki katika sehemu ya giza ya watu walio sahaulika." + +# au haki yako katika sehemu ya haki? + +"Je! Haki yako itajulikana katika sehemu ya walio sahaulika?" au "Wale walio katika sehemu ya usahaulifi hawatajua kuhusu mambo ya haki unayofanya." + diff --git a/psa/088/013.md b/psa/088/013.md new file mode 100644 index 00000000..925d8dfe --- /dev/null +++ b/psa/088/013.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ombi langu linafika mbele yako + +Mwandishi kuomba kwa yahwe inazungumziwa kana kwamba ombi lenyewe linaenda kuzungumza na Yahwe. + +# Kwa nini unaficha uso wako kwangu? + +Hii inazungumzia mwandishi kuhisi kama Mungu amemkataa au kumwacha kana kwamba Mungu alikuwa akificha sura yake au kugeuka kiuhalisia kumwepuka mwandishi. + diff --git a/psa/088/015.md b/psa/088/015.md new file mode 100644 index 00000000..a0c6df5d --- /dev/null +++ b/psa/088/015.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Matendo yako ya hasira yamepita juu yangu + +Hii inamzungumzia Mungu kumwadhibu mwandishi kana kwamba matendo ya Mungu ni wimbi kubwa linaloinuka kutoka baharini na kumwangukia na kumkandamiza mwandishi. "ni kana kwamba matendo yako ya hasira yananikandamiza" + +# matendo yako ya kutisha yameniangamiza + +Hii inazungumzia Mungu kumwadhibu mwandishi kana kwamba Mungu alimwangamiza kabisa mwandishi. "vitu vya kutishi unavyofanya vimeniangamiza" au "vitu vya kustisha unavyofanya kidogo viniangamize" + diff --git a/psa/088/017.md b/psa/088/017.md new file mode 100644 index 00000000..3e0c6f1b --- /dev/null +++ b/psa/088/017.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yamenizunguka kama maji siku nzima + +Mwandishi anafananisha m"matendo ya hasira" ya Mungu na "matendo ya kutisha" na mafuriko ya maji. "Siku nzima wananitisha kuniangamiza kama mafuriko" + +# Yamenizunguka + +Kinachozungumziwa ni "matendo ya hasira" ya Mungu na "matendo ya kutisha" kutoka katika mstari uliopita. + +# yamenizunguka yote + +Mwandishianazungumzia "matendo ya hasira" na "matendo ya kutisha" kana kwamba ni adui waliokuwa wakijaribu kumshika na kumuua. "wamenizunguka kama askari adui" + +# kila rafiki na anaye nijua + +"kila mtu ninayempenda na kumjua" + +# Anijuae pekee ni giza + +Hii inazungumzia giza kana kwamba ni mtu ambaye anaweza kuwa rafiki na mtu mwingine. Mwandishi anasisitiza kuwa anajihisi upweke. "Kila sehemu ninayoenda ni giza" + diff --git a/psa/089/001.md b/psa/089/001.md new file mode 100644 index 00000000..fb909029 --- /dev/null +++ b/psa/089/001.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Maschili + +Hii inaweza kumaanisha mtindo wa muziki. + +# Ethani + +Hili ni jina la mwandishi. + +# Mwezrahi + +Hili ni jina la kundi la watu. Inaweza kumaanisha mwana au uzao wa Zera. + +# matendo ya uaminifu wa agano + +"matendo ya uaminifu" au "matendo ya upendo" + +# Uaminifu wa agano umethibitishwa milele + +Mungu kufanya alichoahidi kufanya inazungumziwa kana kwamba uaminifu wake ni jengo ambalo Mungu amejenga na kuimarisha. "Daima utakuwa mwaminifu kwa sababu y agano lako na sisi" + +# ukweli wako umethibitisha mbinguni + +Mungu kufanya alichoahidi kufanya inazungumziwa kana kwamba uaminifu wake ni jengo ambalo Mungu amejenga na kuimarisha. + +# mbinguni + +Maana zinazowezekana ni 1) hii inamaanisha makazi ya Mungu. Hii inamaanisha Mungu hutawala kutoka mbinguni na huwa anafanya kile alichoahidi au 2) hii inamaanisha anga. Hii inamaanisha kuwa wahadi za Mungu hazibadiliki na ni za kudumu kama anga. + diff --git a/psa/089/003.md b/psa/089/003.md new file mode 100644 index 00000000..05fa25b8 --- /dev/null +++ b/psa/089/003.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nimefanya agano na niliye mchagua + +"Nimempa ahadi Daudi, yule niliye mchagua" + +# Nimefanya + +Yahwe anazungumza katika 89:3-4. + +# Nitawathibitisha uzao wako milele + +Yahwe kuwasababisha uzao wa Daudi daima kuwa wafalme inazungumziwa kana kwamba uzao wa Daudi ni jengo ambalo Yahwe atajenga na kuimarisha. + +# Nitathibitisha kiti chako cha enzi katika vizazi vyote + +Hapa "kiti cha enzi" kinawakilisha uwezo wa kutawala kama mfalme. Mwandishi wa zaburi anazungumzia Mungu kuahidi kuwa mmoja wa uzao wa Daudi atatawala daima kama mfalme kana kwamba Mungu atajenga kiti cha enzi cha Daudi na kukiimarisha. "Nitahakikisha kwamba mmoja wa uzao wako atatawala kama mfalme juu ya kila kizazi cha watu wangu" + +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki. + diff --git a/psa/089/005.md b/psa/089/005.md new file mode 100644 index 00000000..525bb99f --- /dev/null +++ b/psa/089/005.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mbingu zinasifu + +Hapa "mbingu" inawakilisha wale walio mbinguni. + +# zinasifu maajabu yako, Yahwe + +"zinakusifu, Yahwe, kwa sababu ya mambo ya ajabu unayotenda" + +# ukweli wako unasifiwa katika kusanyiko la watakatifu wako + +"Mkusanyiko wa watakatifu hukusifu kwa sababu daima huwa unafanya ulichoahidi kufanya" + +# kusanyiko la watakatifu wako + +Hii inamaanisha malaika mbinguni. + +# Kwa kuwa ni nani angani anaweza kulinganishwa na Yahwe? Nani miongoni mwa wana wa miungu ni kama Yahwe? + +Maswali haya yote yana maana moja. Mwandishi anatumia swali hili kusisitiza kuwa hakuna mtu kama Yahwe mbinguni. + +# wana wa miungu + +Hapa "wana" inamaanisha kuwa na sifa za. HIi ni njia ya kumaanisha viumbe vya kiroho vinavyoishi mbinguni. "malaika" au "viumbe vitakatifu" + diff --git a/psa/089/007.md b/psa/089/007.md new file mode 100644 index 00000000..04d2fb34 --- /dev/null +++ b/psa/089/007.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yeye ni Mungu anayetukuzwa sana katika baraza la watakatifu + +"Baraza la watakatifu lamtukuza sana Mungu" + +# baraza la watakatifu + +"mkusanyiko wa viumbe wa mbinguni" au "mkusanyiko wa malaika" + +# nani mwenye nguvu kama wewe, Yahwe? + +Mwandishi anauliza hili swali kusisitiza kuwa hakuna mtu mwenye nguvu kama Yahwe. + +# Ukweli wako unakuzunguka + +Yahwe kufanya kile alichoahidi kufanya inazungumziwa kana kwamba ukweli wake ni joho au nguo inayozungushwa kwake. + diff --git a/psa/089/009.md b/psa/089/009.md new file mode 100644 index 00000000..f5c00b1f --- /dev/null +++ b/psa/089/009.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Unatawala bahari lenye hasira kali + +"Una madaraka na bahari lenye hasira kali" + +# Ulimponda Rahabu kama mtu aliyeuawa + +Neno "Rahabu" hapa linamaanisha mnyama mkubwa wa baharini. + +# kwa mkono wako imara + +Hapa "mkono" inawakilisha uwezo. "kwa uwezo wako mkuu" + diff --git a/psa/089/011.md b/psa/089/011.md new file mode 100644 index 00000000..3f4e7546 --- /dev/null +++ b/psa/089/011.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kaskazini na kusini + +Mwandishi anatumia maneno "kaskazini" na "kusini" kwa pamoja kumaanisha kuwa Mungu aliumba kila kitu kila sehemu. + +# Tabori na Hermoni wanafurahi katika jina lako + +Tabori ni mlima kusini magharibi mwa bahari la Galilaya na Hermoni ni mlima kaskazini mashariki mwa bahari la Galilaya. Mwandishi anaelezea milima hii kana kwamba ni watu wanaoweza kufurahi. "Ni kana kwamba mlima Tabori na mlima Hermoni ilikuwa ikifurahi katika jina lako" + +# katika jina lako + +Hapa "jina" linamaanisha mtu mzima. "katika wewe" + diff --git a/psa/089/013.md b/psa/089/013.md new file mode 100644 index 00000000..b15df101 --- /dev/null +++ b/psa/089/013.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Una mkono wenye uweza na mkono imara, na mkono wako wa kuume uko juu + +Maneno "mkno wenye uweza," "mkono imara," na "mkono wa kuume" yote inawakilisha nguvu ya Mungu. + +# mkono wako wa kuume uko juu + +Kuinua mkono wa kuume angani ni ishara inayoonesha nguvu. + +# Haki na hukumu ni msingi wa kiti chako cha enzi + +Mungu kutawala kama mfalme na kufanya kilicho sawa na haki inazungumziwa kana kwamba kiti cha enzi cha Mungu ni jengo, na haki na hukumu ndio msingi wake. + +# kiti chako cha enzi + +Kiti cha enzi kinawakilisha utawala wa Mungu kama mfalme. + +# Uaminifu wa agano na uaminifu unakuja mbele zako + +Mungu kuwa mwaminifu daima na kufanya alichoahidi kufanya inazungumziwa kana kwamba uaminifu wa agano na uaminifu huja pamoja na kukutana na Mungu. + diff --git a/psa/089/015.md b/psa/089/015.md new file mode 100644 index 00000000..76852ae3 --- /dev/null +++ b/psa/089/015.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wanao kuabudu + +Hapa neno "kuabudu" inaashiria kupiga kelele na kupuliza pembe. Haya yalikuwa matendo ya kawaida wa kuabudu wakati wa sikukuu za Waisraeli. + +# wanatembea + +Hapa watu kuishi maisha yao inazungumziwa kana kwamba wanatembea. + +# katika mwanga wa uso wako + +Mwandishi anazumzungumzia Yahwe kuwatendea fadhila kana kwamba uso wa Yahwe ulimulika mwanga kwao. "wakijua kuwa unawatendea fadhila" + +# katika jina lako + +Hapa "jina" linamwakilisha mtu. "katika wewe" + +# katika haki yako wanakutukuza + +"wanakutukuza kwa sababu daima huwa unafanya kilicho sawa" + diff --git a/psa/089/017.md b/psa/089/017.md new file mode 100644 index 00000000..b10ea76e --- /dev/null +++ b/psa/089/017.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wewe ni nguvu yao ya fahari + +"Wewe huwafanya kuwa na nguvu ya ajabu" + +# Wewe ni nguvu yao + +Hapa "yao" inamaanisha Waisraeli. Mwandishi angejiweka pamoja kama mmoja wa Waisraeli. "Wewe ni nguvu yetu" + +# sisi ni washindi + +Hapa "sisi" inamaanisha mwandishi na Waisraeli. + +# Kwa kuwa ngao yetu ni ya Yahwe + +Mfalme ambaye huwalinda watu wake na ambaye Yahwe amemchagua anazungumziwa kana kwamba ni ngao ya Yahwe. + diff --git a/psa/089/019.md b/psa/089/019.md new file mode 100644 index 00000000..493811d4 --- /dev/null +++ b/psa/089/019.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anachukulia kuwa msomaji anafahamu historia ya jinsi Daudi alivyochaguliwa kuwa mfalme. + +# Nimeweka taji kwa aliye hodari + +Kuweka taji juu ya kichwa cha mtu ni ishara ya kumfanya kuwa mfalme. "Nimemfanya mtu hodari kuwa mfalme" + +# Nimeweka taji kwa aliye hodari + +Tafsiri zingine za Biblia zina "kumpa nguvu aliye hodari" au "kumsaidia aliye hodari." + +# Nimemwinua mmoja niliyemchagua miongoni mwa watu + +Hapa "nimemwinua" inamaanisha kuchagua. Inadokezwa kuwa Mungu alimchagua mtu huyu kuwa mfalme. "Nimemchagua mmoja miongoni mwa watu kuwa mfalme" + +# kwa mafuta yangu matakatifu nimempaka + +Hapa kumwaga mafuta juu ya kichwa cha mtu ni ishara kuwa Mungu anamchagua huyo mtu kuwa mfalme. + +# Mkono wangu utamshika; mkono wangu utamtia nguvu + +Hapa "mkono" unamaanisha nguvu na mamlaka ya Yahwe. "nitamshika na kumfanya kuwa na nguvu" + +# mwana wa uovu + +Mwandishi anawazungumzia wale wenye sifa au tabia ya uovu kama "wana wa uovu." "mtu mwovu" + diff --git a/psa/089/024.md b/psa/089/024.md new file mode 100644 index 00000000..4182dfbd --- /dev/null +++ b/psa/089/024.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kauli Unganishi: + +Yahwe anaendelea kumzungumzia Daudi. + +# Ukweli wangu na uaminifu wangu wa agano utakuwa naye + +Mungu kuwa mwaminifu daima na kufanya alichomwahidi Daudi inazungumziwa kana kwamba ukweli na uaminifu ni vitu ambavyo vitakuwa na Daudi. + +# kwa jina langu atashinda + +Hapa "jina" linawakilisha nguvu ya Mungu. "Mimi, Mungu, nitamsababisha awe na ushindi" + +# Nitaweka mkono wake juu ya bahari na mkono wake wa kuume juu ya mito + +Hapa "mkono" na "mkono wake wa kuume" inawakilisha uwezo na mamlaka, Hapa "bahari" inaonekana kumaanisha bahari ya Kati magharibi mwa Israeli, na "mito" inamaanisha mto Frati ulio mashariki. Hii inamaanisha kuwa Daudi atakuwa na mamlaka juu kila kitu kutoka baharini hadi kwenye mto. "Nitampa mamlaka juu ya kila kitu kutoka bahari ya Kati hadi mto Frati" + +# Ataniita, 'Wewe ni baba yangu, Mungu wangu, na mwamba wa wokovu wangu' + +Hii ina nukuu ndani ya nukuu. "Atasema kuwa mimi ni baba yake, Mungu wake, na mwamba wa wokovu wake" + +# mwamba wa wokovu wangu + +Yahwe kumlinda na kumwokoa daudi inazungumziwa kana kwamba Yahwe ni mwamba wa juu ambao Daudi aliweza kusimama juu yake kwa ajili ya ulinzi kutoka kwa adui. + diff --git a/psa/089/027.md b/psa/089/027.md new file mode 100644 index 00000000..e0fd1955 --- /dev/null +++ b/psa/089/027.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kauli Unganishi: + +Yahwe anaendelea kumzungumzia Daudi. + +# Pia nitamweka kama mzaliwa wa kwanza + +Yahwe kumpa Daudi cheo maalumu na faida zaidi ya watu wengine wote inazungumziwa kana kwamba Daudi atakuwa mzaliwa wa kwanza wa Yahwe. + +# kiti cha cha enzi cha kudumu kama anga zilizo juu + +Mtu kutoka familia ya Daudi kutawala daima kama mfalme inazungumziwa kana kwamba kiti chake cha enzi kitadumu muda sawa kama anga itakavyodumu. + +# kiti cha cha enzi + +Hapa "kiti cha enzi" kinawakilisha uwezo wa kutawala kama mfalme. + diff --git a/psa/089/030.md b/psa/089/030.md new file mode 100644 index 00000000..8c4ca089 --- /dev/null +++ b/psa/089/030.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# watoto wake + +"uzao wa Daudi" + +# nitaadhibu uasi wao kwa fimbo + +Mungu kuadhibu uzao wa Daudi inazungumziwa kana kwamba atawapiga kwa fimbo. "nitawaadhibu kwa kuasi dhidi yangu" + +# na udhalimu wao kwa mapigo + +Mungu kuadhibu uzao wa Daudi inazungumziwa kana kwamba Mungu atawapiga kiuhalisia. "na nitawaadhibu kwa sababu wametenda dhambi dhidi yangu" + diff --git a/psa/089/033.md b/psa/089/033.md new file mode 100644 index 00000000..07291cc2 --- /dev/null +++ b/psa/089/033.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sitaondoa upendo wangu thabiti kutoka kwake wale kutokuwa mwaminifu kwa ahadi yangu + +"Daima nitampenda Daudi, na nitafanya nilichomwahidi" + +# maneno ya midomo yangu + +Hapa "maneno" yanawakilisha alichosema. Pia "midomo" inawakilisha mdomo wote na mtu anayezungumza. "nilichosema" + diff --git a/psa/089/035.md b/psa/089/035.md new file mode 100644 index 00000000..88f51ff9 --- /dev/null +++ b/psa/089/035.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Nimeapa kwa utakatifu wangu + +Yahwe anatumia utakatifu wake kama msingi wa kiapo chake. Hii ni njia ya kuhakikisha kuwa hakika atafanya alichoahidi kufanya. + +# na kiti chake cha enzi kitakuwa kama jua mbele yangu + +"na kiti chake cha enzi kitaendelea kama jua mbele yake" + +# kiti chake cha enzi + +Hapa "kiti cha enzi" kinawakilisha uwezo wa kutawala kama mfalme. Mungu anaahidi kuwa mmoja wa uzao wa Daudi daima atakuwa mfalme. + +# kama jua mbele yangu + +Mungu anafananisha utawala wa Daudi kama mfalme na jua kusisitiza kuwa mtu kutoka uzao wa Daudi atatawala daima kama mfalme. + +# kitaimarishwa milele + +Hapa kinachozungumziwa ni kiti cha enzi au uwezo wa kutawala kama mfalme. "nitakisababisha kudumu milele" + +# milele kama mwezi + +Mungu anafananisha utawala wa Daudi kama mfalme na mwezi kusisitiza kuwa mtu kutoka uzao wa Daudi atatawala daima kama mfalme. + +# mwezi, shahidi wa uaminifu wa angani + +Mwezi unazungumziwa kana kwamba ni mtu anayeshuhudia Mungu akifanya ahadi yake kwa Daudi. "mwezi, ambao ni kama shahidi mwaminifu aliye angani" + +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki. + diff --git a/psa/089/038.md b/psa/089/038.md new file mode 100644 index 00000000..6e3e7df7 --- /dev/null +++ b/psa/089/038.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# umekatata na kutupa + +"umemkataa na kumtupa mfalme" + +# na mfalme wako mtiwa mafuta + +"na mfalme uliye mchagua" + +# Umekanusha agano la mtumishi wako + +"Umelikataa agano" + +# umetia najisi taji lake ardhini + +Kusukuma ardhini au mavumbini ni ishara ya aibu kubwa. "umetia najisi taji lake ardhini" au "Umesababisha taji lake kuanguka mavumbini" + +# taji lake + +Hii inawakilishwa uwezo wa mfalme kama mfalme na haki yake ya kutawala. + +# Umevunja chini kuta zake zote. Umeharibu ngome zake + +Hii inadokeza kuwa Mungu aliwaruhusu adui zake kuangamiza ulinzi wa Yerusalemu. "Umewaruhusu adui kuvunja chini kuta na kuharibu ngome katika Yerusalemu" + diff --git a/psa/089/041.md b/psa/089/041.md new file mode 100644 index 00000000..9fe8ff58 --- /dev/null +++ b/psa/089/041.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwa majirani zake + +Hapa "majirani" inamaanisha watu mataifa ya karibu. + +# Umeinua mkono wa kuume wa adui zake + +Hapa "mkono wa kuume" unawakilisha uwezo. "Kuinua mkono wa kuume" inamaanisha kuwa Yahwe aliwafanya adui zake kuwa na nguvu ya kutosha ya kumshinda mfalme aliye chaguliwa na Mungu. + +# geuza nyuma makali ya upanga wake + +Hapa "upanga" unawakilisha nguvu ya mfalme vitani. Kugeuza upanga inawakilisha kumfanya mfalme kushindwa kushinda vitani. + +# makali ya upanga wake + +Hapa "makali" inawakilisha upanga wote. "upanga wake" + +# hujamfanya asimame wakati akiwa vitani + +Hapa "asimame" inawakilisha kuwa mshindi vitani. "Hujamsaidia kuwa mshindi vitani" + diff --git a/psa/089/044.md b/psa/089/044.md new file mode 100644 index 00000000..690b102f --- /dev/null +++ b/psa/089/044.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# umeleta chini kiti chakecha enzi hadi ardhini + +Hapa "kiti cha enzi" kinawakilisha uwezo wa kutawala kama mfalme. "wewe, Yahwe, umemaliza utawala wake kama mfalme" + +# Umefupisha siku zake za ujana + +Hii ni njia ya kusema Mungu alimfanya mfalme kuonekana mzee wakati alikuwa bado ni kijana. "Hata wakati bado ni kijana umemfanya kuwa mnyonge kama mzee" + +# umemfunika na aibu + +Yahwe kumwaibisha kabisa mfalme inazungumziwa kana kwamba aibu ni vazi ambalo Mungu alitumia kumfunika mfalme. + diff --git a/psa/089/046.md b/psa/089/046.md new file mode 100644 index 00000000..07fd1c1c --- /dev/null +++ b/psa/089/046.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Hadi lini, Yahwe? Utajificha, milele? + +Mwandishi anatumia maswali haya kusisitiza kuwa hataki Mungu aendelee kumkataa mfalme. "Tafadhali, Yahwe, usikatae kumsaidia mfalme milele." + +# Utajificha + +Mungu kutomsaidia mfalme inazungumziwa kana kwamba Mungu alikuwa anajificha kwake. "Je! Utakataa kumsaidia mfalme" + +# Hadi lini hasira yako itawaka kama moto? + +Mwandishi anatumia swali kusisitiza kuwa hataki Mungu aendelee kubaki na hasira. "Tafadhali usiendelee kuwa na hasira" + +# hasira yako itawaka kama moto + +Mungu kuwa na hasira sana inazungumziwa kana kwamba hasira yake ilikuwa moto mkali. + +# kwa ubatili gani umewaumba watoto wote wa mwanadamu + +"kwamba umewaumba watu wote kufa kibatili" + +# watoto wote wa mwanadamu + +Hii inamaanisha wanadamu kwa ujumla. "wanadamu" au "watu" + +# Nani anaweza kuishi na asife, au kuokoa maisha yake mwenyewe kutoka katika mkono wa kuzimu? + +Mwandishi anatumia maswali haya kusisitiza kuwa watu wote watakufa. "Hakuna mtu anayeweza kuishi milele au kujifufua baada ya kufa" + +# kuokoa maisha yake mwenyewe kutoka katika mkono wa kuzimu + +Hapa "mkono" unamaanisha uwezo. Mwandishi anazungumzia kuzimu kana kwamba ni mtu aliye na nguvu juu ya wale waliokufa. Maana zinazowezekana ni 1) mtu hawezi kujifufua baada ya kufa au 2) mtu hawezi kujizuia kufa. + diff --git a/psa/089/049.md b/psa/089/049.md new file mode 100644 index 00000000..e3763e4d --- /dev/null +++ b/psa/089/049.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Bwana, yako wapi matendo yako ya kale ya uaminifu wako wa agano ulioahidi kwa Daudi katika ukweli wako? + +Mwandishi anatumia swali kumwomba Bwana kuwa mwaminifu kwa agano lake na Daudi. "Bwana, kuwa mwaminifu kwa agano lako na Daudi kama ulivyokuwa kipindi cha nyuma" + +# Ita akilini + +Mwandishi anamwomba Mungu kuleta hili katika kumbukumbu yake. "Kumbuka" au "Zingatia" + +# kejeli iliyolengwa kwa watumishi wako + +Hapa "watumishi wako" inamaanisha watu wa Israeli. "jinsi wanavyotukejeli, watumishi wako" + +# jinsi ninavyobeba moyoni mwangu matusi mengi sana kutoka kwa mataifa + +Hapa "moyo" unawakilisha hisia za mtu. "Ninavumilia matusi mengi sana kutoka kwa watu wa mataifa" au " Ninateseka kwa sababu watu wa mataifa wananitukana" + +# kutoka kwa mataifa + +Hapa "mataifa" inawakilisha watu wa mataifa. + +# Adui zako wanatupa matusi + +Adui kupiga kelele za matusi kwa mfalme inazungumziwa kana kwamba matusi ni kitu ambacho adui wanamtupia mfalme kwa nguvu. + +# wanakejeli hatua za watiwa mafuta wako + +Hapa "hatua" inawakilisha pale ambapo mfalme anaenda. "wanamkejeli mtiwa mafuta wako popote aendapo" + diff --git a/psa/089/052.md b/psa/089/052.md new file mode 100644 index 00000000..61d806e4 --- /dev/null +++ b/psa/089/052.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mstari huu ni zaidi ya mwisho wa zaburi hii. Ni kauli ya kufunga ya kitabu kizima cha 3 cha Zaburi, ambacho kinaanza katika Zaburi 73 na kuishia na Zaburi 89. + +# Abarikiwe Yahwe milele + +"Watu wamsifu Yahwe milele" + +# Amina na Amina + +Neno "Amina" linarudiwa kusisitiza kukubali kilichosemwa. + diff --git a/psa/090/001.md b/psa/090/001.md new file mode 100644 index 00000000..1a73ec63 --- /dev/null +++ b/psa/090/001.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumala: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Ombi la Musa + +"Hili ni ombi ambalo Musa aliandika" + +# Bwana, umekuwa kimbilio letu + +Mungu kuwalinda watu wake inazungumziwa kana kwamba Mungu alikuwa kimbilio au kivuli. "Bwana, umekuwa kama kivuli kwa ajili yetu" + +# katika vizazi vyote + +"daima" + +# Kabla milima haijaumbwa + +"Kabla hujaumba milima" + +# umbwa + +"tengeneza" + +# dunia + +Hii inawakilisha kila kitu kilichomo duniani. + +# kutoka milele hadi milele + +Msemo huu unawakilisha muda wote wa zamani, wa sasa, na wa baadaye. + diff --git a/psa/090/003.md b/psa/090/003.md new file mode 100644 index 00000000..56fa6edb --- /dev/null +++ b/psa/090/003.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Unamrudisha mtu mavumbini + +Hii inadokezwa kuwa kama jinsi Mungu alivyoumba binadamu wa kwanza, Adamu, kutoka mavumbini, Mungu atasababisha miili ya watu kurudi mavumbini baada ya kufa. "Unawarudisha watu kwenye mavumbi wanapokufa" + +# Unamrudisha mtu + +Hapa "mtu" inamaanisha watu kwa ujumla. + +# Rudini, nyie uzao + +"Rudini mavumbini, nyie uzao" au "Rudini kwenye mchanga, nyie uzao" + +# nyie uzao wa wanadamu + +Hii ni njia ya kumaanisha watu kwa ujumla. "nyie wanadamu" au "nyie watu" + +# Kwa kuwa miaka elfu moja machoni pako ni kama siku ya jana inavyopita, na kama kesha la usiku + +Mwandishi anamaanisha kuwa kipindi kirefu cha muda kinaonekana kama kipindi kifupi kwa Mungu. "Unaona miaka elfu moja sawa na siku moja ya nyuma, au kama masaa machache ya usiku" au "Hata miaka elfu moja sio muda mrefu kwako" + +# miaka elfu moja + +"miaka 1,000" + +# machoni pako + +Hapa "machoni" inawakilisha mawazo. "kwako" + diff --git a/psa/090/005.md b/psa/090/005.md new file mode 100644 index 00000000..27a94019 --- /dev/null +++ b/psa/090/005.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Unawafagia kama na mafuriko wanapolala + +Mungu kuwasababisha watu kufa kabla inazungumziwa kana kwamba aliwafagia na mfagio. Kufagia huku pia kunazungumziwa kana kwamba ni mafuriko yaliyowabeba watu. "Bwana, unawaangamiza watu kama na mafuriko na wanakufa" + +# wanapolala + +Hii ni jia ya ya ustarabu ya kuzungumzia watu kufa. + +# asubuhi ni kama nyasi ... jioni linanyauka na kukauka + +Watu wanafananishwa na nyasi kusisitiza kuwa watu hawaishi muda mrefu sana. + +# linachanua na kuota + +Misemo hii miwli inamaanisha jinsi nyasi zinavyoota. "linaanza kuota na kukua" + +# linanyauka na kukauka + +Misemo hii miwili inamaanisha jinsi nyasi zinavyokufa. "linafifia na kukauka" + diff --git a/psa/090/007.md b/psa/090/007.md new file mode 100644 index 00000000..24061601 --- /dev/null +++ b/psa/090/007.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# tumemezwa katika hasira yako + +Mungu kuwaangamiza watu katika hasira yake inazungumziwa kana kwamba hasira ya Mungu ni moto unaowaunguza kabisa watu. "Unatuangamiza katika hasira yako" + +# na katika gadhabuyako tunaogopa + +"na unapokasirika tunaogopa sana" + +# Umeweka udhalimu wetumbele zako, dhambi zetu zilizofichwa katika nuru ya uwepo wako + +Mungu kuzingatia dhambi za watu inazungumziwa kana kwamba dhambi ni vitu anavyoweza kuweka mbele yake na kuzitazama. "Unaona kila kitu kiovu tunachofanya, hata vitu vya dhambi tunavyofanya sirini" + diff --git a/psa/090/009.md b/psa/090/009.md new file mode 100644 index 00000000..29635a6e --- /dev/null +++ b/psa/090/009.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maisha yetu yanapita chini ya gadhabu yako + +"Maisha yetu yanafika mwisho kwa sababu ya gadhabu yako" + +# kama kite + +Mwandishi anafananisha maisha ya mtu na kite kusisitiza kuwa maisha ni mafupi sana. + +# sabini + +"70" + +# themanini + +"80" + +# hata miaka yetu mizuri yana alama ya taabu na huzuni + +"Hata katika miaka yetu mizuri tunapitia taabu na huzuni" + +# tunapaa + +Hii ni njia ya ustaarabu ya kusema watu wanaokufa. + diff --git a/psa/090/011.md b/psa/090/011.md new file mode 100644 index 00000000..b5824f1e --- /dev/null +++ b/psa/090/011.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nani ajuaye ukali wa hasira yako, na gadhabu yako ambayo inalingana na kukucha wewe? + +Mwandishi anatumia swali kusisitiza kuwa hakuna mtu aliyepitia kikamilifu hasira ya Mungu. Kwa hiyo hakuna mtu anayemheshimu Mungu na kuogopa hasira yake watu wanapotenda dhambi. "Hakuna mtu anayejua ukali wa hasira yako. Kwa hiyo hakuna mtu anayeogopa gadhabu yako wanapotenda dhambi." + +# Geuka, Yahwe! Hadi lini? + +Kumwomba Yahwe kutokuwa na hasira tena inazungumziwa kana kwamba mwandishi anataka Mungu ageuke kimwili kutoka katika hasira yake. "Yahwe, tafadhali usiwe na hasira na sisi tena' + +# Hadi lini? + +Mwandishi anatumia swali kueleza kuwa anataka Mungu aache kuwa na hasira. + +# Kuwa na huruma kwa watumishi wako + +Hapa "watumishi wako" inamaanisha watu wa Israeli. "Kuwa na huruma kwetu, watumishi wako" + diff --git a/psa/090/014.md b/psa/090/014.md new file mode 100644 index 00000000..99f6705a --- /dev/null +++ b/psa/090/014.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Turidhishe asubuhi + +"Turudhishe kila asubuhi" + +# na uaminifu wako wa agano + +"kwa kuwa mwaminifu kwa sababu ya agano lako na sisi" + +# kwa kulingana na siku ulizotutesa na kwa miaka tuliyopitia taabu + +Misemo yote hii miwili inamaanisha kitu kimoja. Mwandishi anamwomba Yahwe kuwafanya kuwa na furaha kwa kisai kile kile cha muda alichowaadhibu. "kwa kiasi sawa cha muda ulichotuumiza na kutusababisha kuteseka" + +# Acha watumishi wako + +Hapa "watumishi wako" inamaanisha watu wa Israeli. "Acha sisi, watumishi wako" au "Acha sisi" + +# acha watoto wako + +Hapa "watoto" inamaanisha watoto na uzao. + +# waone fahari yako + +"waone mambo makuu unayoyafanya" + diff --git a/psa/090/017.md b/psa/090/017.md new file mode 100644 index 00000000..739db55b --- /dev/null +++ b/psa/090/017.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Na fadhila ya Bwana Mungu wetu iwe yetu + +"Na Bwana Mungu wetu awe na huruma kwetu" + +# fanikisha kazi ya mikono yetu + +Hapa "mikono" inawakilisha mtu mzima. "tusababishe tufanikiwe" + diff --git a/psa/091/001.md b/psa/091/001.md new file mode 100644 index 00000000..36c122cd --- /dev/null +++ b/psa/091/001.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Yeye anayeishi ... atabaki ... ya Mwenyezi + +"Aliye juu, Mwenyezi, atawajali wote wanaoishi mahali anapoweza kuwalinda" + +# anayeishi katika kivuli cha Aliye juu + +Neno "kivuli" ni sitiari ya ulinzi. "anayeishi mahali ambapo Aliye juu humlinda" + +# Aliye juu + +Maneno "Aliye juu" yanamaanisha Yahwe. + +# atabaki katika kivuli cha Mwenyezi + +Neno "kivuli" hapa ni sitiari ya ulinzi. "atabaki mahali ambapo Mwenyezi anaweza kumlinda" + +# Mwenyezi + +yule mwenye uwezo na mamlaka juu ya kila kitu + +# Nitasema ya Yahwe + +"Nitasema kumhusu Yahwe" + +# kimbilio lnagu na ngome yangu + +"Kimbilio" ni sehemu ambapo mtu anaweza kwenda na kuwa na mtu au kitu kinachomlinda. "Ngome" ni kitu ambacho watu hutengeneza ili wajilinde wao na mali zao. Asafu anayatumia hapa kama sitiari ya ulinzi. "yule ambaye ninaweza kwenda kwake na atanilinda" + diff --git a/psa/091/003.md b/psa/091/003.md new file mode 100644 index 00000000..c434eec9 --- /dev/null +++ b/psa/091/003.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa kuwa atakuokoa kutoka katika mtego wa mwindaji na kutoka katika tauni hatari + +"Kwa kuwa Mungu atakuokoa kutoka katika mtego wa mwindaji na atakuokoa kutoka katika tauni zinazoweza kuua" + +# mtego wa mwindaji + +"kutoka katika mtego ambao mwindaji aliweka kukushika" + +# Atakufunika kwa mbawa zake, na chini ya mbawa zake utapata kimbilio + +Ulinzi wa Mungu hapa unazungumziwa kama "mbawa" ambazo ndege hutumia kufunika makinda yake dhidi ya hatari. "Atakufunika na mbwa zake" na "chini ya mbawa zake" zina maana moja. "Atakuweka salama na atakulinda" + +# Uaminifu wake ni ngao na ulinzi + +Uaminifu wa Mungu hapa unazungumziwa kama "ngao" ambayo inaweza kuwalinda watu wanaomtegemea. "Unaweza kumtumaini akulinde" + +# ulinzi + +Hakuna mtu anayejua kwa uhakika maana ya neno hili. Maana zinazowezekana ni 1) ngao ndogo iliyofungwa kwenye mkono wa askari inayotumika kujilinda dhidi ya mishale na panga au 2) ukuta wa mawe uliowekwa katika duara ambayo askari wanaweza kujificha na kupiga mishale. + diff --git a/psa/091/005.md b/psa/091/005.md new file mode 100644 index 00000000..823b8ec3 --- /dev/null +++ b/psa/091/005.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# hofu wakati wa usiku + +Mwandishi anazungumzia "hofu" kana kwamba ni roho au mnyama mkali ambaye anaweza kushambulia usiku na kuwatisha watu. "vitu vitakushambulia usiku" + +# wakati wa usiku ... mchana + +Misemo hii miwli imewekwa pamoja kumaanisha nyakati zote zinazowezekana za usiku na mchana. + +# mshale unaopaa mchana + +"Mshale" ni njia nyingine ya kusema watu wanaopiga mishale. "watu wanao kushambulia kwa mishale mchana" + +# au tauni inayozurura + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia ugonjwa kana kwamba ni mtu aliyetoka usiku na kuua watu wengine. "Hautaogopa kufa kutokana na ugonjwa" + +# inayozurura + +anayeenda popote atakapoa kwenda na wakati wowote + +# gizani ... mchana + +Misemo hii miwli imewekwa pamoja kumaanisha nyakati zote zinazowezekana za usiku na mchana. + +# ugonjwa + +ugonjwa unaowafanya watu kuuguwa kwa wakati mmoja + +# Watu elfu wanaweza kuanguka katika upande wako na elfu kumi katika mkono wako wa kuume + +"Watu wengi wanaweza kuanguka pembeni yetu." + +# haitakufikia + +"uovu hauta kudhuru" + diff --git a/psa/091/008.md b/psa/091/008.md new file mode 100644 index 00000000..05618a0c --- /dev/null +++ b/psa/091/008.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Utatazama na kuona + +"Wewe mwenyewe hautateseka, lakini utatazama kwa makini, na utaona" + +# adhabu ya waovu + +"jinsi Mungu anvyowaadhibu waovu" + +# Yahwe ni kimbilio langu + +"Yahwe ndiye ninayemfuata ninapohitaji mtu wa kunilinda" + +# Mfanye Aliye juu kimbilio lako pia + +"Unapaswa kumfanya Aliye juu awe kimbilio lako pia." Mwandishi anaacha kuzungumza na Mungu na anaanza kuzungumza na msomaji. + diff --git a/psa/091/010.md b/psa/091/010.md new file mode 100644 index 00000000..04f79d38 --- /dev/null +++ b/psa/091/010.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hakuna uovu utakaokupita + +"Hakuna kitu kiovu kitakachotokea kwako" + +# hakuna mateso yatakayo kuja karibu na nyumba yako + +Mwandishi anawazungumzia watu wanaowatesa wengine kana kwamba walikuwa ndio madhara waliyoyasababisha. "hakuna mtu atakayeweza kudhuru familia yako" + +# Kwa kuwa atawaongoza + +"Yahwe ataamuru" + +# katika njia zako zote + +Mwandishi anazungumzia jinsi mtu anavyoishi kana kwamba ni njia ambayo mtu alitembea. "katika kila kitu unachofanya" au "wakati wote' + diff --git a/psa/091/012.md b/psa/091/012.md new file mode 100644 index 00000000..d35bc4bd --- /dev/null +++ b/psa/091/012.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Watakuinua + +"Malaika wa Yahwe watakuinua" + +# hautajikwaa mguu wako kwenye jiwe + +Malaika hawatalinda mguu wa msomaji pekee bali na mwili wake mzima. "hautaogonga mguu wako kwenye jiwe" au "hakuna kitu kibaya kitakachotokea kwako" + +# Utawaponda simba na vifutu chini ya miguu yako; utakanyaga juu ya simba wadogo na nyoka + +Ambapo "atajikwaa mguu wako kwenye jiwe" ni tatizo dogo, simba na nyoka ni mnifano ya hatari kubwa. Mwandishi anazungumzia zimba na nyoka kana kwamba walikuwa ni wadogo ya kutosha kukanyagwa chini ya mguu wa mtu. "Utaweza kuwaua simba na nyoka kana kwamba ni wanyama wadogo ambao unaweza kuwakanyaga chini ya miguu yako" + +# vifutu + +aina ya nyoka wenye sumu. + +# kanyaga + +kuponda kwa kutembea kwa nguvu + diff --git a/psa/091/014.md b/psa/091/014.md new file mode 100644 index 00000000..1b566937 --- /dev/null +++ b/psa/091/014.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kwa sabau amejitoa kwangu + +"Kwa sababu ananipenda mimi" + +# Nitakuwa naye katika taabu + +"Nitakuwa naye wakati yuko katika taabu" + +# nitampa ushindi + +"nitamwezesha kuwashinda adui zake" + +# nitamridhisha na maisha marefu + +Mwandishi anazungumzia maisha kana kwamba ni kitu ambacho mtu anaweza kula. Nitamruhusu kuishi maisha marefu na yenye furaha" + +# na kumwonesha wokovu wangu + +"na nitamwonesha wokovu wangu." Mwandishi wa zaburi anazungumzia kazi ambayo Mungu hufanya kuwaokoa watu kana kwamba ni kitu chenye umbo. "Nitamwokoa ili ajue kuwa mimi ndiye niliyemwokoa" + diff --git a/psa/092/001.md b/psa/092/001.md new file mode 100644 index 00000000..b6a74d8c --- /dev/null +++ b/psa/092/001.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# kuimba sifa kwa jina lako + +Maneno "jina lako" ni njia nyingine ya kusema "wewe." "kuimba sifa kwako" + +# kutangaza uaminifu wako wa agano + +"kuwaambia watu kuwa wewe ni mwaminifu kutunza agano alko" + +# ukweli wako + +"kuwa kila kitu unachosema ni kweli" + diff --git a/psa/092/004.md b/psa/092/004.md new file mode 100644 index 00000000..4971f101 --- /dev/null +++ b/psa/092/004.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# furaha + +furaha" + +# kupitia matendo yako + +"kwa kile ulichofanya" + +# matendo ya mikono yako + +Neno "mikono" ni njia nyingine ya kumaanisha mtu mzima. "Kile ulichofanya" + +# matendo yako + +"kile ulichofanya" + +# Mawazo yako ni marefu sana + +"Hatuwezi kuelewa unachopanga kufanya hadi ukifanye" + +# Mawazo yako + +"Unachowaza" au "Unachopanga" + diff --git a/psa/092/006.md b/psa/092/006.md new file mode 100644 index 00000000..4fd547cd --- /dev/null +++ b/psa/092/006.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# katili + +"mwenye vurugu na mjinga" + +# Wakati waovu wanpochipuka kama nyasi + +Hii inafananisha watu waovu na nyasi, ambayo huota upesi na sehemu nyingi. "Wakati watu waovu wanapotokea haraka na kuonekana kuwa kila sehemu, kama nyasi" + +# wamehukumiwa kwa kuangamizwa milele + +"Mungu ameamua kuwa atawaangamiza kabisa" + diff --git a/psa/092/008.md b/psa/092/008.md new file mode 100644 index 00000000..e1d11cb1 --- /dev/null +++ b/psa/092/008.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hakika, watazame adui zako, Yahwe + +Maandishi mengi hayana maneno haya. + +# Wataangamia + +"Watakufa" au "Utawaua" + +# Wale wote wanaofanya maovu watatawanywa + +"utawatawanya wote wanaofanya uovu" + +# watatawanywa + +Maandishi mengi yameandikwa, "wametawanywa." + +# watatawanywa + +"wataondolewa" + diff --git a/psa/092/010.md b/psa/092/010.md new file mode 100644 index 00000000..d517c2f6 --- /dev/null +++ b/psa/092/010.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Umeinua pembe langu kama pembe la nyati + +Mwandishi wa zaburi anamzungumzia Mungu kana kwamba Mungu amemfanya kuwa na nguvu kama mnyama wa porini. "Umenifanya kuwa na nguvu kama nyati" + +# Umeinua ... pembe + +"Umenifanya kuwa na nguvu" + +# Nimetiwa mafuta na mafuta mapya + +Maana zinazowezekana ni kwamba mafuta ambayo Mungu ameweka juu ya mwandishi wa zaburi ni sitiari ya Mungu 1) kufanya kuwa mwenye furaha, "umenifanya kuwa na furaha sana" au 2) kumfanya kuwa na nguvu, "umenifanya kuwa na nguvu" au 3) kumwezesha kuwashinda adui zake, "umeniwezesha kuwashinda adui zangu." + +# Macho yangu yameona anguko la adui zangu; masikio yangu yamesikia maangamizi ya adui zangu waovu + +Maneno "macho" na "masikio" ni njia nyingine ya kumaanisha mtu anayesikia na kuona. "Nimeona na kusikia kuhusu kushindwa kwa adui zangu waovu" + diff --git a/psa/092/012.md b/psa/092/012.md new file mode 100644 index 00000000..e474fcc7 --- /dev/null +++ b/psa/092/012.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Wenye haki watastawi kama mtende + +Maana zinazowezekana ni kwamba watu wenye haki watakuwa kama mtende wenye afya kwa sababu 1) watakuwa imara au 2) wataishi muda mrefu. + +# wataota kama mti wa seda ya Lebanoni + +Maana zinazowezekana no kwamba watu wenye haki watakuwa kama mti wa seda unaoota katika nchi ya Lebanoni kwa sababu 1) watakuwa imara au 2) watu watawaheshimu. + +# Wamepandwa + +"Yahwe amewapanda" au "Yahwe anawatunza kana kwamba ni miti aliyoipanda" + +# katika nyumba ya Yahwe ... katika nyua za Mungu wetu + +Mwandishi wa zaburi anawazungumzia watu wanaomwabudu Mungu kwa ukweli kana kwamba walikuwa miti inayoota katika nyumba ya Yahwe. + +# wanastawi + +Mwandishi wa zaburi anawazungumzia watu wenye haki kana kwamba ni miti yenye afya. "wanakua vizuri" au "wana nguvu sana" + +# katika nyua za Mungu wetu + +katika baraza la hekalu Yerusalemu. + diff --git a/psa/092/014.md b/psa/092/014.md new file mode 100644 index 00000000..6f07cdf7 --- /dev/null +++ b/psa/092/014.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wanazaa matunda + +Mwandishi anawazungumzia watu wenye haki kana kwamba walikuwa miti ambayo inatoa matunda. "Wanampendeza Mungu" + +# wanabaki na ubichi na kijani + +Mwandishi anawazungumzia watu wenye haki kana kwamba walikuwa miti. "wanabaki imara na wenye afya" au "huwa wanafanya kinachompendeza Mungu" + +# kijani, kutangaza kwamba + +Maana zinazowezekana ni 1) kijani, ili watangaze" au 2) "kijani. Hii inaonesha kwamba" + +# Yeye ni mwamba wangu + +"Yahwe ndiye anayenilinda." Mwandishi wa zaburi anamzungumzia Yahwe kana kwamba ni mwamba ambao utamlinda. + diff --git a/psa/093/001.md b/psa/093/001.md new file mode 100644 index 00000000..1e08ada1 --- /dev/null +++ b/psa/093/001.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# amevikwa na adhama; Yahwe amemvika na kujifunga na nguvu + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia nguvu ya Yahwe na adhama yake kana kwamba vilikuwa vitu ambavyo Yahwe alivaa. "anawaonesha wote kuwa ni mfalme mwenye uwezo" au "adhama yake ipo kwa ajili ya kila mtu kuona, kama joho ambalo mfalme huvaa; kila kitu kumhusu Yahwe kinaonesha kuwa ana nguvu na yuko tayari kufanya kazi kubwa" + +# adhama + +uwezo wa mfalme na jinsi mfalme anavyotenda + +# kujifunga + +kufunga mshipi — ukanda wa ngozi au kitu kingine ambacho mtu huvaa kiunoni — kujianda kwa ajili ya kazi au mapambano + +# Dunia imewekwa imara + +Hii inaweza kuelezwa kwatika hali ya kutenda. "Umeiweka imara dunia" + +# haiwezi kusogezwa + +Hii inaweza kuelezwa kwatika hali ya kutenda. "hakuna atakaye isogeza" + +# Kiti chako cha enzi kimewekwa tangu nyakati za kale + +Hii inaweza kuelezwa kwatika hali ya kutenda. "Ulikiweka kiti chako cha enzi tangu nyakati za kale" + +# wewe ni tangu milele + +"ulikuwepo siku zote" + diff --git a/psa/093/003.md b/psa/093/003.md new file mode 100644 index 00000000..67edabac --- /dev/null +++ b/psa/093/003.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# bahari ... bahari + +Tafsiri zingine zinasoma "mafuriko ... mafuriko." Neno hili mara nyingi humaanisha mto, lakini "bahari ... bahari" limechaguliwa hapa kwa sababu mabahari, na sio mito, huwa ina "mawimbi" yenye "kishindo na kuunguruma." + +# zimeinua sauti zao; mawimbi ya bahari ya kishindo na kuunguruma + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia bahari kana kwamba ni mtu anayeweza kuzungumza. "zimefanya sauti kuu kwa sababu mawimbo yao yana kishindo na kuunguruma" + +# kuunguruma + +kupaza sauti ndefu ya kelele. + +# Juu ya vishindo vya mawimbi mengi, mawimbi makubwa yaumkayo ya bahari + +Msemo huu "wavunjaji wakuu wa bahari" inamaana moja na "mawimbi mengi" na inasisitiza jinsi mawimbi yalivyo. "Juu ya vishindo vya mawimbi makubwa ya baharini" + +# mawimbi makubwa yaumkayo + +mawimbi makubwa yajayo kwenye nchi + +# Aliye juu + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia mahali anapoishi Mungu kana kwamba palikuwa juu ya nchi. "mbinguni" + diff --git a/psa/093/005.md b/psa/093/005.md new file mode 100644 index 00000000..34152fd0 --- /dev/null +++ b/psa/093/005.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# makini + +kuwa wa dhati + +# ni zakuaminika sana + +"daima zinabaki hivyo hivyo" au "hazibadiliki" + +# utakatifu unapamba nyumba yako + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia nyumba ya Yahwe kana kwamba ilikuwa ni mwanamke aliyevaa nguo nzuri au mapambo ya vito na utakatifu wa Yahwe kama zile nguo nzuri na mapambo ya vito. "nyumba yako ni nzuri kwa sababu wewe ni mtakatifu" au "utakatifu wako unaifanya nyumba yako kuwa nzuri kama nguo nzuri na mapambo ya vito yanavyomfanya mwanamke kuwa mzuri zaidi" + +# nyumba yako + +hekalu liliko Yerusalemu + +# unapamba + +unafanya kuwa nzuri + diff --git a/psa/094/001.md b/psa/094/001.md new file mode 100644 index 00000000..61e06c1c --- /dev/null +++ b/psa/094/001.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# ng'aa juu yetu + +"jioneshe" au "dhihirisha hukumu yako" + +# Inuka, mwamuzi wa ulimwengu, wape walio na kiburi wanachostahili + +"Njoo, mwamuzi wa ulimwengu, na uwaadhibu wenye kiburi" + +# Inuka + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia kuanza kufanya kitu kama kuinuka. "Chukua hatua" au "Fanya kitu" + diff --git a/psa/094/003.md b/psa/094/003.md new file mode 100644 index 00000000..e7ec5fba --- /dev/null +++ b/psa/094/003.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hadi lini waovu, Yahwe, hadi lini waovu watashangilia? + +Mwandishi wa zaburi anarudia wali kuonesha kuwa hana furaha na muda ambao Yahwe amewaruhusu waovu washangilie. "Umesubiri muda mrefu sana Yahwe; umesubiri muda mrefu sana kuwazuia waovu kushangilia." + +# waovu watashangilia + +"Je! Waovu watashangilia kwa sababu huwaadhibu kwa matendo maovu wanayofanya" + +# Wanamwaga + +"Wale wote wanaofanya uovu wanamwaga" + +# Wanamwaga nje maneno yao kiburi + +Mwandishi wa zaburi anaandika kuhusu waovu kuzungumza kana kwamba maneno yao yalikuwa kimiminiko kinachomwagwa nje. + +# wale wote wanaofanya majivuno ya uovu + +"Wale wote wanaofanya uovu wanajisifu juu ya matendo yao ya uovu na tabia zao" + diff --git a/psa/094/005.md b/psa/094/005.md new file mode 100644 index 00000000..220a77f9 --- /dev/null +++ b/psa/094/005.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# wanalitesa taifa + +Hapa "taifa" linamaanisha watu wa hilo taifa. "wanawatesa watu wa taifa" + +# Wanawaponda + +Mwandishi anawazungumzia watu wenye uwezo kuwatenda vibaya watu wanyonge kana kwamba ilikuwa kuwaponda au kuwabomoa katika vipande. "Wanawaangamiza kabisa" au "Wanawadhuru sana." + +# mjane + +"wanawake ambao waume zao wamekufa" + +# wasio na baba + +"watoto bila baba" + +# Mungu wa Yakobo hagundui + +"Mungu wa Israeli haoni tunachokifanya" + diff --git a/psa/094/008.md b/psa/094/008.md new file mode 100644 index 00000000..093373c1 --- /dev/null +++ b/psa/094/008.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi sasa anawaeleza watu waovu. + +# mtajifunza lini? + +Swali hili la balagha linasisitiza hasira ya mwandishi na watu waovu anaozungumza nao. "acheni jia zenu za kipumbavu!" au "jifunzeni kutoka katika makosa yenu!" + +# Yeye aliyeumba sikio, je hasikii? Yeye aliyeumba jicho, hauoni? + +Maswali haya balagha "Mungu aliumba masikio, kwa hiyo anaweza kusikia. Mungu aliumba macho, kwa hiyo anaweza kuona." au "Mungu aliumba masikio, kwa hiyo acheni kujifanya kana kwamba hasikii. Mungu aliumba macho, kwa hiyo acheni kujifanya kana kwamba haoni." + diff --git a/psa/094/010.md b/psa/094/010.md new file mode 100644 index 00000000..f61cbe90 --- /dev/null +++ b/psa/094/010.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anaendelea kuwaeleza watu waovu. + +# Yeye anayeyaadibu mataifa, je harekebishi? + +Inadokezwa kuwa yahwe anawarekebisha watu wake. "Mnajua kuwa Yahwe huyarekebisha mataifa, kwa hiyo kuweni na uhakika kuwa atawarekebisha watu wake" au "atawaadhibu watu wake" + +# je harekebishi + +Maana zinazowezekana ni 1) Mungu hurekebisha. "hurekebisha" au 2) Mungu huadhibu. "huadhibu" + +# kuwa ni mvuke + +Hapa mawazo ya watu yanalinganishwa na mvuke unaopotea hewani. Hii ni sitiari inayoonesha jinsi wasivyo wa muhimu na wasivyo na faida. + +# mvuke + +"umande" + diff --git a/psa/094/012.md b/psa/094/012.md new file mode 100644 index 00000000..516ede5c --- /dev/null +++ b/psa/094/012.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Sasa mwandishi anazungumza na Yahwe tena. + +# hadi shimo lichimbwe kwa ajili ya waovu + +Mwandishi anazungumzia yahwe kuwaadhibu waovu kana kwamba Yahwe anamtega mnyama shimoni. "hadi uchimbe shimo kwa ajili ya waovu" au "hadi uwaangamize waovu" + diff --git a/psa/094/014.md b/psa/094/014.md new file mode 100644 index 00000000..5eb1f6a6 --- /dev/null +++ b/psa/094/014.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# urithi wake + +"wale alio wachagua kuwa naye milele" + +# hukumu itakuwa ya haki tena + +Mwandishi anawazungumzia wale wanaohukumu kana kwamba walikuwa ndiyo maamuzi wanayoyafanya. "waamuzi watahukumu tena kwa haki" au "waamuzi watafanya tena maamuzi ya haki" + +# wanyofu wa moyo + +"wale ambao mioyo yao iko sawa na Mungu" + +# wanafuata + +"watataka waamuzi wahukumu kwa haki" + +# Nani atainuka kunitetea mimi dhidi ya watenda maovu? Nani atasimama kwa ajili yangu dhi ya waovu + +"Hakuna mtu atakaye nitetea dhidi ya watenda maovu. Hakuna mtu atakaye nisaidia kupigana dhidi ya waovu" + +# waovu + +"watu waovu" + diff --git a/psa/094/017.md b/psa/094/017.md new file mode 100644 index 00000000..d6265133 --- /dev/null +++ b/psa/094/017.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kama Yahwe asingekuwa msaada wangu ... ukimya + +Hii ni hali ya kubuni. Yahwe alimsaidia, kwa hiyo hakuwa amelala katika sehemu ya ukimya. + +# Kama Yahwe asingekuwa msaada wangu + +"Kama Yahwe asingenisaidia" + +# ningekuwa nimelala chini hivi punde kwenye sehemu ya ukimya + +Hapa" ningekuwa nimelala chini" inamaanisha "mauti" na "sehemu ya ukimya" inamaanisha "kaburi." "katika muda mfupi, nitakuwa nimekufa, nikiwa nimelala kaburini" + +# Wasiwasi ndani yangu ukiwa mwingi, faraja zako hunifurahisha + +Mwandishi anazungumzia wasiwasi kana kwamba anaweza kuhesabu kwa kutenganisha wasiwasi. "Ninapokuwa na wasiwasi kuhusu mambo mengi, umenifariji na kunifanya kuwa na furaha" + diff --git a/psa/094/020.md b/psa/094/020.md new file mode 100644 index 00000000..ed9d6952 --- /dev/null +++ b/psa/094/020.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Je! Kiti cha enzi cha uharibifu kinaweza kushirikiana na wewe, yule anayetengeneza udhalime kwa amri + +Hili ni swali la balagha linalotumika kueleza wazo. "Linaweza kuelezwa kama kauli. "Mtawala mwovu anayeunda sheria zisizo za haki sio rafiki yako" + +# Kiti cha enzi cha uharibifu + +Hapa "kiti cha enzi" kinawakilisha mfalme au mtawala. "mtawala mwovu" au "mwamuzi mwovu" + +# Wanapanga njama + +kufanya mpango wa siri na mtu wa madhara au kitu kisicho halali + +# kuchukua maisha ya + +Hii ni lahaja inayomaanisha kumuua mtu. + diff --git a/psa/094/022.md b/psa/094/022.md new file mode 100644 index 00000000..da8dd881 --- /dev/null +++ b/psa/094/022.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yahwe amekuwa mnara wangu wa juu + +Hapa "mnara" ni sitiari ya ulinzi. "Yahwe amenilinda dhidi ya adui zangu" + +# Mungu amekuwa mwamba wangu na ngome yangu + +Mwandishi anazungumzia Mungu kumlinda kana kwamba Mungu ni sehemu ambayo mwandishi wa zaburi anaweza kwenda ili kuwa salama. "Nimemwomba Mungu kunilinda, na ameniweka salama kwa uwezo wake" + +# Atawaletea juu yao udhalimu wao wenyewe + +Maana zinazowezekana ni 1) "Atawafanyia vitu viovu walivyowafanyia wengine" au 2) "Atawaadhibu kwa matendo maovu yote aliyowatendea wengine." + +# atawakata + +Hii ni lahaja inayomaanisha "atawaua" + +# katika uovu wao wenyewe + +Maana zinazowezekana ni 1) "wakati wanafanya mambo maovu" au 2) "kwa sababu wamefanya mambo maovu." + diff --git a/psa/095/001.md b/psa/095/001.md new file mode 100644 index 00000000..cb47cd93 --- /dev/null +++ b/psa/095/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# mwamba wa wokovu wangu + +Mwandishi anamzungumzia Yahwe kana kwamba ni mlima ambao watu wanaweza kupanda ili wawe salama. "mwamba ambao tunaweza kwenda na Mungu atatuokoa." + +# tuingie katika uwepo wake + +Mwandishi anazungumza kana kwamba anawaambia wasomaji kwenda katika chumba cha enzi cha mfalme. "nenda mahali alipo" + +# kwa shukrani + +"kwa kumshukuru tunapoingia katika uwepo wake" + +# mkuu kwa miungu yote + +Maana zinazowezekana ni kwamba Yahwe ni mfalme mkuu 1) "ambaye anatawala juu ya miungu wengine yote," au 2) "ambaye ni bora zaidi ya miungu wengine yote." + diff --git a/psa/095/004.md b/psa/095/004.md new file mode 100644 index 00000000..7c575cdc --- /dev/null +++ b/psa/095/004.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Katika mikono yake + +Hii ni lahaja inayomaanisha "katika miliki yake" au "anawajibika kwa ajili ya." + +# vina + +sehemu za vina virefu + +# vinara + +sehemu za juu + +# mikono yake iliunda + +Neno "mijono" ni njia nyingine ya kusema Yahwe mwenyewe. "yeye mwenyewe aliunda" + diff --git a/psa/095/006.md b/psa/095/006.md new file mode 100644 index 00000000..e9c6ca60 --- /dev/null +++ b/psa/095/006.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# tupige magoti + +kuweka magoti yote ardhini, mara nyingi kuonesha unyenyekevu + +# watu wa malisho yake + +Neno "malisho" ni njia nyingine ya kusema chakula ambacho watu wanakula katika malisho, ambayo pia inamaanisha kila kitu ambacho yahwe anatoa kwa ajili ya watu wake. "sisi ni watu ambaye huwa anatupa mahitaji yetu" + +# malisho + +eneo ambalo wanyama hupata nyasi za kula + +# kondoo wa mkono wake + +Neno "mkono" hapa linamaanisha jinsi Yahwe anavyowalinda watu wake kama mchungaji anavyowalinda kondoo wake. "watu ambao anawalinda kama mchungaji anavyowalinda kondoo wake" + +# Leo—o, kwamba usikie sauti yake! + +"O, kwamba usikie sauti yake leo!" Mwandishi anajiingilia makusudi katika kile alichokuwa akikisema. + +# utasikia sauti yake + +Hapa "sauti yake" inamaanisha kusikiliza kwa makini neno la Mungu. "msikilize kwa makini" + diff --git a/psa/095/008.md b/psa/095/008.md new file mode 100644 index 00000000..d7fee87e --- /dev/null +++ b/psa/095/008.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Sasa mwandishi anaandika maneno ambayo Yahwe alizungumza. + +# Usikaze moyo wako + +"Usiwe msumbufu" + +# Meriba, ... Masa + +Haya ni maeneo jangwani ambayo Musa aliyataja kwa sababu Waisraeli waliasi dhidi ya Mungu. + +# walinijaribu ... kunipima + +Misemo hii miwili yote ni sitiari ya watu kuangalia ni kiasi gani cha uovu wanaweza kufanya kabla Mungu hajawaadhibu. Misemo hii inasema kitu kimoja na inaweza kuunganishwa. "walinijaribu" au "walitaka kuona kama wanaweza kufanya uovu bila ya adhabu yangu ... walinipima kama nitaendelea kuwa mvumilivu nao" + +# matendo yangu + +"vitu vya ajabu nilivyofanya" + diff --git a/psa/095/010.md b/psa/095/010.md new file mode 100644 index 00000000..2aa90df2 --- /dev/null +++ b/psa/095/010.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kuzungumza moja kwa moja na watu wake. + +# miaka arobaini + +"miaka 40" + +# kizazi hicho + +"watu hao wote" au "kizazi hicho chote cha watu" + +# zurura pembeni + +Mungu anawazungumzia watu kana kwamba ni kondoo ambao wataenda popote wanapotaka na hawatabaki karibu na mchungaji. "sogea mbali na mimi" au "kwenda njia yao wenyewe" + +# hawajajua njia zangu + +"hawajanitii" + +# njia zangu + +"jinsi ninavyotaka waishi" + +# sehemu yangu ya kupumzika + +"sehemu ambayo ningewaruhusu wapumzike' + diff --git a/psa/096/001.md b/psa/096/001.md new file mode 100644 index 00000000..f11c353b --- /dev/null +++ b/psa/096/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# wimbo mpya + +wimbo ambao hakuna mtu aliyewahi kuimba + +# dunia yote + +Hii inamaanisha watu wa duniani. "nyie watu wote mnaoishi duniani" + +# barikini jina lake + +neno "jina" linamaanisha Yahwe mwenyewe. "mbarikini Yahwe" au "fanya kinachomfanya Yahwe afurahi." + +# tangazeni wokovu wake + +"tangazeni kwamba ametuokoa" au "waambie watu kuwa yeye ndiye aokoae" + diff --git a/psa/096/003.md b/psa/096/003.md new file mode 100644 index 00000000..ad666311 --- /dev/null +++ b/psa/096/003.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tangazeni utukufu wake katika mataifa + +"Waambie watu katika kila taifa kuhusu utukufu wake mkuu" + +# Yahwe ni mkuu na ni wakusifiwa sana + +"Yahwe ni mkuu. Msifuni sana" au "Yahwe ni mkuu, na watu wanapaswa kumsifu sana" + +# Yeye ni wa kuogopwa zaidi ya miungu mingine yote + +"Mcheni zaidi ya miungu mingine yote" + diff --git a/psa/096/005.md b/psa/096/005.md new file mode 100644 index 00000000..22d2fbde --- /dev/null +++ b/psa/096/005.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# katika uwepo wake + +"ambapo alipo" + +# Uzuri na fahari ziko katika uwepo wako + +Mwandishi anazungumza kana kwamba uzuri na fahari ni watu wanaoweza kusimama mbele ya mfalme. "Kila mtu anajua kuhusu uzuri wake na fahari" + +# Nguvu na uzuri ziko katika mahali pake patakatifu + +Maneno "nguvu" na "uzuri" ni njia nyingine ya kusema agano la sanduku la amri, ambayo ipo katika mahali patakatifu. "Ni mahali pake patakatifu ambapo kuna sanduku la agano la amri" + diff --git a/psa/096/007.md b/psa/096/007.md new file mode 100644 index 00000000..63f8c14f --- /dev/null +++ b/psa/096/007.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mpeni Yahwe sifa ... mpeni Yahwe kwa utukufu wake na nguvu + +"Msifuni Yahwe ... msifuni Yahwe kwa kuwa anautukufu na nguvu." + +# Mpeni Yahwe utukufu ambao jina lake linastahili + +"Mpeni heshima Yahwe kama jina lake linavyostahili" au "Tangaza kuwa Yahwe ni mtukufu kama jina lake linavyostahili." + +# jina lake + +"jina" linamaanisha Mungu. "yeye" + +# nyua zake + +baraza la hekalu ambapo makuhani walitoa sadaka ya wanyama kwa Yahwe + diff --git a/psa/096/009.md b/psa/096/009.md new file mode 100644 index 00000000..4f6140ec --- /dev/null +++ b/psa/096/009.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Yahwe mkiwa mmevaa mavazi yanayotukuza utakatifu wake + +Mtu anapaswa kuvaa mavazi yanayoonesha kuwa anelewa kwamba Yahwe ni mtakatifu. "Yahwe, na vaeni nguo za kufaa kwa sababu yeye ni mtakatifu." + +# Tetemekeni + +kutetemeka kwa sabau ya hofu + +# dunia yote + +"watu wote wa duniani" + +# Dunia pia imethibitishwa + +Alithibitisha pia dunia" + +# haiwezi kutikiswa + +"hakuna kitu kinachoweza kuitikisa" + diff --git a/psa/096/011.md b/psa/096/011.md new file mode 100644 index 00000000..55a2b998 --- /dev/null +++ b/psa/096/011.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Acha mbingu zifurahi, na dunia ishangilie + +Maana zinazowezekana ni 1) mwandishi wa zaburi anazungumza kana kwamba "mbingu" na "dunia" zina hisia kama watu. "Acha iwe kana kwamba mbingu zimefurahi na dunia kushangilia" au 2) "Acha wale wanaoishi mbinguni wafurahi na wale wanaoishi duniani washangilie" + +# acha bahari liungurume na kile kinacholijaza kipige kelele ya furaha + +"acha sauti iwe kama watu wengi wanamsifu Yahwe, na acha iwe kana kwamba wale wanaoishi baharini na kupiga kelele kwa furaha" + +# Acha mashamba yashangilie na vyote vilivyomo + +"Acha mashamba na vyote vilivyomo vishangilie." Mwandishi anazungumza kana kwamba "mashamba" na wanyama wanaoishi humo wana hisia kama watu. "Acha iwe kana kwamba mashamba yenyewe na wanyama wote wanaoishi humo washangilie" + +# Kisha acha miti yote msituni ipige kelele + +"Kisha miti yote msituni zitapiga kelele" + +# Anakuja kuhukumu dunia. Atahukumu dunia ... na watu + +Misemo hii mitatu ina maana za kufanana; misemo miwili ya mwisho inatumika kuimarisha ule wa kwanza. + +# kuhukumu ... atahukumu + +Maana nyingine inayowezekana ni "kutawala ... atatawala" + +# Ataihukumu dunia kwa haki yake + +Hapa "dunia" inamaanisha watu wa duniani. "Atawahukumu watu wote wa dunia kwa haki." + +# watu kwa uaminifu wake + +"atawahukumu watu kwa uaminifu wake" + +# kwa uaminifu wake + +Maana zinazowezekana ni 1) "kwa usawa, kulingana na kile anachojua kuwa kweli" au 2) "kutumia kigezo kile kile kwa watu wote." + diff --git a/psa/097/001.md b/psa/097/001.md new file mode 100644 index 00000000..c9abfa17 --- /dev/null +++ b/psa/097/001.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# acha dunia ishangilie; acha fukwe nyingi zifurahi + +Dunia na fukwe zinasemwa kuwa na hisia kama watu. "Shangilieni muwe na furaha kila mtu duniani na karibu na bahari" + +# fukwe + +Maana zinazowezekana ni 1) "nchi karibu na bahari" au 2) "visiwa." + +# Mawingu na giza vinamzunguka + +"Hatuwezi kumwona; ni kana kwamba alikuwa amekaa gizani na mawingu yamemzunguka" + +# Haki na hukumu ni msingi wa kiti chake cha enzi + +Neno "kiti cha enzi" ni njia nyingine ya kusema matendo na maneno ya yule anayeketi hapo. Mwandishi wa zaburi anazungumza kana kwamba haki na hukumu ni vitu halisi vilivyopafanya kiti cha enzi kuwa imara. "Yeye ana haki katika kila kitu anachofanya" au "Anaweza kutawala kwa sababu anatawala kwa haki" + +# msingi wa kiti chake cha enzi + +Hapa "msingi wa kiti chake cha enzi" unamaanisha jinsi Yahwe anavyotawala ufalme wake. + diff --git a/psa/097/003.md b/psa/097/003.md new file mode 100644 index 00000000..21c5a3c9 --- /dev/null +++ b/psa/097/003.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Moto huenda mbele yake + +Mwandishi wa zaburi anazungumza kana kwamba alikuwa ni mtu anayetembea mbele ya mfalme Yahwe na kuwaambia watu kuwa mfalme anakuja. + +# kuwameza adui zake + +"anawaunguza adui zake" + +# dunia huona na kutetemeka + +"dunia" inamaanisha watu wanaoishi duniani. "watu wa duniani wanaona na kutetemeka" + +# kutetemeka + +"anatetemeka kwa uoga" + +# Milima inayeyuka kama nta mbele ya Yahwe + +"Milima haiwezi kusimama wakati Yahwe anakuja karibu" au "Milima inaporomoka katika uwepo wa Yahwe" + diff --git a/psa/097/006.md b/psa/097/006.md new file mode 100644 index 00000000..9f3fbc62 --- /dev/null +++ b/psa/097/006.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Anga zinatangaza haki yake + +Maana zinazowezekana ni 1) mwandishi wa zaburi anazungumza kana kwamba anga ni wajumbe wa Yahwe wanaotangaza kuwa Yahwe ni wa haki. "Kila mtu anaweza kuona kuwa Mungu ni wa haki, kwa njia ilie ile ambayo wote wanaliona anga" au 2) anga inamaanisha viumbe vinavyoishi mbinguni. "Wale wote wanaoishi mbinguni wanatangaza kwamba Yahwe ni wa haki" + +# Wale wote wanaoabudu sanamu za kuchonga wataaibika, wale wanaojivunia katika sanamu zisizofaa + +"Mungu atawaaibisha wale wote wanaojivunia katika sanamu zisizofaa na kuabudu sanamu za kuchonga" + +# Sayuni ikasikia ... miji ya Yuda + +Hii inamaanisha watu wanaoishi katika nchi hizi. "Watu wa Sayuni walisikia ... watu wa Yuda" + diff --git a/psa/097/009.md b/psa/097/009.md new file mode 100644 index 00000000..dc32e4e0 --- /dev/null +++ b/psa/097/009.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# uko juu zaidi ya dunia yote + +Mwandishi wa zaburi anazungumza kana kwamba wale wenye nguvu ya kutosha ya kutawala walikuwa juu zaidi kimwili zaidi ya wengine. "unatawala juu ya watu wote wanaoishi" + +# Umetukuzwajuu zaidi + +Mwandishi anazungumza kana kwamba wale wenye nguvu ya kutosha ya kutawala walikuwa juu zaidi kimwili zaidi ya wengine. "Uko juu, mbali" + +# mkono wa mwovu + +"nguvu ya waovu" + +# Nuru imepandwa kwa ajili ... na furaha kwa ajili ya + +Misemo hii miwili ina maana za kufanana na inatumika pamoja kwa ajili ya kuweka mkazo. "Yahwe anapanda nuru kwa wale wanaofanya ya haki, na anapanda furaha kwa ajili ya wale wenye unyoofu wa mioyo" + +# Nuru imepandwa kwa ajili ya wenye haki + +Neno "kupanda" ni sitiari ya matendo yenye matokeo ya mbeleni. "Nuru" ni sitiari ya vitu vizuri. "Yahwe anapanga vitu vizuri viwatokee watu wenye haki mbeleni" + +# wenye haki + +"watu wenye haki" + +# na furaha kwa wale wenye mioyo ya uaminifu + +"na furaha inapandwa kwa ajili ya wale wenye unyoofu wa mioyo." Neno "kupanda" ni sitiari ya matendo yenye matokeo ya mbeleni. "Yahwe anapanga kwa ajili ya watu wake wenye unyoofu wa mioyo kuwa na furaha siku za mbele" + +# wale wenye mioyo ya uaminifu + +Moyo unamaanisha mtu mzima. "mtu mnyoofu" + diff --git a/psa/097/012.md b/psa/097/012.md new file mode 100644 index 00000000..0a92fe0a --- /dev/null +++ b/psa/097/012.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mstari huu una amri unaofuatwa na sababu ya amri hiyo. "Kwa sababu ya kile ambacho Yahwe amewafanyia, nyie watu wenye haki, kuweni na furaha na mpeni shukrani mnapokumbuka utakatifu wake" + +# Furahini katika Yahwe + +"Furahini kwa sababu ya kile ambacho Yahwe amewatendea" + +# mnapokumbuka utakatifu wake + +Maana zinazowezekana ni 1) "mnapokumbuka jinsi alivyo mtakatifu" au 2) "kwa jina lake tukufu," ni njia nyingine ya kusema "kwake." + diff --git a/psa/098/001.md b/psa/098/001.md new file mode 100644 index 00000000..8d6e0816 --- /dev/null +++ b/psa/098/001.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# wimbo mpya + +wimbo ambao hakuna mtu amewahi kuimba. + +# mkono wake wa kuume na mkono wake mtakatifu umempa + +Maneno "mkono wake wa kuume" na "mkono wake mtakatifu" zinamaanisha nguvu ya Yahwe. Pamoja zinasisitiza ukuu wa nguvu yake ulivyo. "uwezo wake mkuu sana umempa" + +# mkono wake wa kuume + +mkono wenye nguvu na ujuzi zaidi + +# mkono wake mtakatifu + +Hapa "mkono" ni sitiari ya uwezo. "uwezo ulio wake pekee" + +# umempa ushindi + +Maana zinazowezekana ni 1) "kumwezesha kuwashinda adui zake" au 2) "kumwezesha kuwaokoa watu wake" + +# amefanya wokovu wake kujulikana + +Nomini dhahania "wokovu" inaweza kutafsiriwa kwa kutumia kitenzi "oka." "amewaonesha watu kuwa huokoa watu wake" + +# ameonesha haki yake kwa mataifa yote + +Neno "mataifa" ni njia nyingine ya kusema watu wanaoishi katika mataifa yote. "amewaonesha watu wanaoishi katika mataifa yote kuwa yeye ni wa haki" + diff --git a/psa/098/003.md b/psa/098/003.md new file mode 100644 index 00000000..c1b37faa --- /dev/null +++ b/psa/098/003.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Anaitisha akilini + +"anakumbuka" + +# mwisho wote wa dunia ... dunia yote + +Hizi ni njia zingine za kusema watu wa duniani. "watu kutoka duniani kote .. watu wote duniani" + +# wataona utukufu wa Mungu wetu + +Nomino dhahania inaweza kutafsiriwa na kitenzi "kushinda." "watamwona Mungu wetu akiwashinda adui zake" + +# pasukeni katika wimbo + +"kuanza kuimba ghafla kwa furaha" + +# imbeni kwa furaha + +"imbeni kwa sababu mnafuraha" + +# imbeni sifa + +"imbeni sifa kwa Mungu" + diff --git a/psa/098/005.md b/psa/098/005.md new file mode 100644 index 00000000..e2581a3b --- /dev/null +++ b/psa/098/005.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# tuni + +sauti nzuri ya muziki ya kupendeza + +# baragumu + +pembe la mnyama linalotumika kama chombo cha muziki + +# fanyeni kelele ya shangwe + +"inueni shangwe" + diff --git a/psa/098/007.md b/psa/098/007.md new file mode 100644 index 00000000..a1564f6e --- /dev/null +++ b/psa/098/007.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Acha bahari ipige kelele na kila kitu kilichomo + +Mwandishi wa zaburi anazungumza kana kwamba bahari ni mtu anayeweza kupaza sauti kwa Mungu. "Iwe kana kwamba bahari na kila kitu kilichomo kinapiga kelele" + +# dunia na wote wanaoishi ndani yake + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia dunia kana kwamba ni mtu. "na acha dunia na wote wanaoishi ndani yake wapige kelele" + +# Acha mito ipige makofi, na milima ipige kelele ya shangwe + +Mwandishi anazungumza kana kwamba mito na milima ni watu wanaoweza kupiga makofi na kupiga kelele. "Iwe kana kwamba mito inapiga makofi na milima inapiga kelele ya furaha" + +# dunia ... mataifa + +Misemo hii ni njia nyingine ya kusema "watu wa duniani" na "watu wanaoishi katika mataifa" + +# mataifa kwa usawa + +"atahukumu mataifa kwa usawa" + +# kwa usawa + +"ukweli" au "kutumia kigezo sawa kwa kila mmoja" + diff --git a/psa/099/001.md b/psa/099/001.md new file mode 100644 index 00000000..ecdde5cc --- /dev/null +++ b/psa/099/001.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# mataifa + +Hii inamaanisha watu wa mataifa. "watu wa mataifa yote" + +# yatetemeke + +kutetemeka kwa hofu + +# Ameketi amesimikwa juu ya makerubi + +Mwandishi wa zaburi anazungumza kana kwamba kiti cha enzi ambacho yahwe hukaa ni juu ya makerubi kwenye mfuniko wa amri za sanduku la agano hekaluni. + +# inatetemeka + +inatikisika + +# Yahwe ni mkuu Sayuni; ameinuliwa juu ya mataifa yote + +"Sio tu kwamba Yahwe ni mkuu sayuni, ametukuka juu ya mataifa yote" au "Sio tu kwamba Yahwe anatawala Sayuni, anatawala juu ya mataifa yote" + +# ameinuliwa juu ya mataifa yote + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "watu katika mataifa yote wanamtukuza" au "watu katika mataifa yote wanamsifu sana" + +# Acha walisifu jina lako kuu na la ajabu + +Hapa mwandishi anahama kutoka kumzungumzia Mungu na kuzungumza na Mungu. Ingawa baada ya msemo huu, anarudi tena kumzungumzia Mungu. + diff --git a/psa/099/004.md b/psa/099/004.md new file mode 100644 index 00000000..7cc0f492 --- /dev/null +++ b/psa/099/004.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# anapenda haki + +Nomino dhahania "haki" inaweza kutafsiriwa kutumia msemo "kilicho cha haki." "anapenda kufanya kilicho cha haki" + +# Umeimarisha usawa + +Nomino dhahania ya "usawa" ni njia nyingine ya kusema sheria zilizo na usawa. "Sheria ulizoweka zina usawa" + +# miguuni pake + +"mbele ya kiti chake cha enzi" + diff --git a/psa/099/006.md b/psa/099/006.md new file mode 100644 index 00000000..a0e64861 --- /dev/null +++ b/psa/099/006.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# dhabiti + +"takatifu" + diff --git a/psa/099/008.md b/psa/099/008.md new file mode 100644 index 00000000..49a2707d --- /dev/null +++ b/psa/099/008.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ukawajibu + +"ukawajibu watu wako" + +# kilima chake kitakatifu + +"Mlima Sayuni" + diff --git a/psa/100/001.md b/psa/100/001.md new file mode 100644 index 00000000..e8d85aa3 --- /dev/null +++ b/psa/100/001.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Piga kelele ya furaha kwa Yahwe + +"Paza kelele kwa Yahwe." + +# dunia yote + +Hii inamaanisha watu tote wa duniani. "kila mtu duniani" + +# njooni mbele zake + +Mwandishi wa zaburi hii anazungumza kana kwamba anawaambia watu kwenda kwenye chumba chenye kiti cha enzi cha mfalme. "nenda mahali alipo kwa kuimba kwa furaha" au "anaweza kukusikia, kwa hiyo imba kwa furaha" + diff --git a/psa/100/003.md b/psa/100/003.md new file mode 100644 index 00000000..8c9ebc0a --- /dev/null +++ b/psa/100/003.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kondoo wa malisho yake + +Watu wa Mungu ni kama kondoo. "watu ambao Mungu anawahudumia na kuwalinda" + +# malisho + +sehemu yenye nyasi ya kulishia wanyama + diff --git a/psa/100/004.md b/psa/100/004.md new file mode 100644 index 00000000..d8e30a05 --- /dev/null +++ b/psa/100/004.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# na shukrani + +"wakati ukimshukuru" au "huku ukimpa shukrani" + +# barikini jina lake + +Neno "jina" ni njia nyingine ya kusema Yahwe mwenyewe. "mbariki Yahwe" au "fanya yale yatakayo mfurahisha Yahwe." + +# ukweli wake katika vizazi vyote + +"ukweli wake unadumu katika vizazi vyote" + +# katika vizazi vyote + +"kizazi baada ya kizazi." + diff --git a/psa/101/001.md b/psa/101/001.md new file mode 100644 index 00000000..ec1407bf --- /dev/null +++ b/psa/101/001.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + diff --git a/psa/101/002.md b/psa/101/002.md new file mode 100644 index 00000000..89426686 --- /dev/null +++ b/psa/101/002.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nitatembea katika njia ya uaminifu + +Hapa Daudi anazungumza kuhusu "kuishi" kana kwamba ni "kutembea." "Nitaishi kwa namna ambayo ni ya uaminifu na sawa" au "Nitaishi maisha yaliyo jaa uaminifu" + +# Nitatembea na uaminifu ndani ya nyumba yangu + +Hapa Daudi anazungumza kuhusu "kuishi" kana kwamba ni "kutembea." Pia, Daudi anazungumzia kuhusu kuangalia nyumba yake kwa uaminifu , kana kwamba uaminifu ni kitu cha kimwili kinachokaa ndani ya nyumba yake. "Nitaichunga nyumba yangu kwa uaminifu" + +# Sitaweka uovu mbele ya macho yangu + +"Uovu" ni nomino dhahania inayoweza kuandikwa kama msemo. Lahaja, "weka uovu mbele ya macho yangu," inamaanisha kuukubali. "Sitakubali mtu kufanya kisicho sawa mbele yangu" + +# haitang'ang'ania kwangu + +Daudi anaelezea "uovu" kana kwamba ni kitu kinachoweza kumng'ang'ania. Hii inamaanisha ataepuka vitu viovu na watu wanaofanya vitu viovu. "Nitajiepusha kabisa na uovu" + +# ng'ang'ania + +kushikilia kitu au mtu kwa nguvu. + diff --git a/psa/101/004.md b/psa/101/004.md new file mode 100644 index 00000000..fbb425e1 --- /dev/null +++ b/psa/101/004.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# uovu + +"chochote kilicho kiovu" + +# mwenye mwenendo wa dharau na kiburi + +Misemo hii miwili ina maana moja na inasisitiza jinsi watu wa hivyo walivyo na kiburi. + +# mwenendo + +"fikra" au "tabia" + +# Nitamtazama mwaminifu wa nchi kuketi pembeni kwangu + +Hii inamaanisha kuwa Daudi angewaruhusu wale watu hao kuwa karibu naye na kuishi naye. "Nitawaruhusu waaminifu wa nchi kuishi na mimi" + +# mwaminifu + +Hii inamaanisha watu walio waaminifu kwa Mungu. "watu waaminifu" + +# wanaotembea katika njia ya uadilifu + +Hapa Daudi anazungumzia "kuishi" kana kwamba ilikuwa "kutembea." "ishi kwatika njia iliyo ya uwazi na sawa" au "wanaoishi maisha yaliyojaa uadilifu" + diff --git a/psa/101/007.md b/psa/101/007.md new file mode 100644 index 00000000..0d213f6c --- /dev/null +++ b/psa/101/007.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Watu waongo hawata ... waongo hawata.. + +Misemo hii miwili ina wazo moja na inatumika pamoja kusisitiza jinsi Daudi atakavyoshindwa kuwavumilia watu waongo. + +# waongo hawatakaribishwa + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Sitawakaribisha waongo" + +# mbele ya macho yangu + +Hapa "macho yangu" yanaashiria Daudi mwenyewe. "mbele yangu" au "mbele ya uwepo wangu" + +# Asubuhi kwa asubuhi + +"Kila siku" + +# waovu + +Hii inamaanisha watu waovu. "watu waovu" + +# kutoka mji wa Yahwe + +Daudi anamaanisha mji aliumo kama "mji wa Yahwe." Hii inaweza kuwekwa wazi. "kutoka kwenye mji, ambao ni mji wa Yahwe" + diff --git a/psa/102/001.md b/psa/102/001.md new file mode 100644 index 00000000..f670e8bc --- /dev/null +++ b/psa/102/001.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# aliyeteswa + +Hii inamaanisha mtu aliyeteswa. "mtu aliyeteswa" + +# anapolemewa + +"dhaifu" au "mnyonge" + +# kumwaga maombolezo yake mbele ya Yahwe + +Jinsi mtu anavyoeleza maombolezo yake inafananishwa na kumwaga kimiminiko. "anaeleza huzuni yake kwa uhuru kwa Yahwe" + diff --git a/psa/102/003.md b/psa/102/003.md new file mode 100644 index 00000000..560dbfb9 --- /dev/null +++ b/psa/102/003.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# siku zangu zinapita kama moshi + +Hapa "siku zangu" inamaanisha maisha ya mwandishi na wazo la "moshi" ni kitu kinachopotea upesi. "maisha yangu yanapita upesi" + +# mifupa yangu kama moto + +Hapa mwandishi anazungumzia "mwili" wake kama "mifupa." "nahisi mwili wangu ni kama kitu kinachoungua" + +# Moyo wangu umepondeka + +Hapa mwandishi anajizungumzia mwenyewe kama "moyo"wake. "Niko katika huzuni" + +# niko kama nyasi ziizonyauka + +Hii ni njia nyingine ya kuelezea huzuni yake. "nahisi kama vile nakauka kama nyasi zilizonyauka" + diff --git a/psa/102/005.md b/psa/102/005.md new file mode 100644 index 00000000..19c75d34 --- /dev/null +++ b/psa/102/005.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nimekuwa kama mwari wa jangwani + +Analinganisha upweke wake na ule wa mwari, ambayo mara nyingi huonekana yenyewe badala ya kuwa ndege wengine. "Nimekuwa mpweke na niliyechukiwa kama mwari jangwani" + +# mwari + +ndege mkubwa anaye kula samaki + +# nimekuwa kama bundi katika maanguko + +Mwandishi anaendelea kufafanua upweke kwa kujifananisha mwenyewe na bundi katika maanguko yaliyotelekezwa. "nimekuwa mwenyewe kama bundi katika maanguko yaliyo telekezwa" + +# bundi + +Huyu ni ndege anayekuwa macho wakati wa usiku. "ndege wa usiku" + diff --git a/psa/102/007.md b/psa/102/007.md new file mode 100644 index 00000000..bd3a9c2e --- /dev/null +++ b/psa/102/007.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ninalala macho kama ndege mpweke + +Mwandishi anajifananisha na ndege kusisitiza hisia yake ya upweke. + diff --git a/psa/102/009.md b/psa/102/009.md new file mode 100644 index 00000000..03ff926d --- /dev/null +++ b/psa/102/009.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ninakula majivu kama mkate + +Daudi angekuwa amekaa katika majivu kama kitendo cha kuomboleza, kwa hiyo majivu yangeanguka kwenye chakula chake. "Ninakula majivu kama ninavyokula mkate" au "Ninapoomboleza, majivu hudondoka kwenye mkate ninaokula" + +# na kuchanganya kinywaji changu na machozi + +Daudi hakuchanganya kwa makusudi kinyaji chake na machozi; bali chozi lake lingedondoka katika kikombe chake wakati akiomboleza na kulia. "na machozi yangu yanadondoka kwenye kikombe ninachonywea" + +# umeniinua juu kunitupa chini + +Mungu hajainua kiuhalisia mwili wa Daudi na kuutupa ardhini; bali Daudi anasema hivi kuelezea anachojisikia na kupitia. "ni kana kwamba umeniinua juu ili kunitupa chini" + diff --git a/psa/102/011.md b/psa/102/011.md new file mode 100644 index 00000000..07359a38 --- /dev/null +++ b/psa/102/011.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Siku zangu ni kama kivuli kinachofifia + +Daudi anafananisha muda aliobakiza kuishi duniani na kivuli kinachofifia. "Muda wangu wa kubaki hai ni mfupi kama kivuli cha jioni ambacho kitapotea punde" + +# nimenyauka kama nyasi + +Wakati mwili wa Daudi unakuwa mdhaifu na anakaribia mwisho wa maisha yake, anajilinganisha na nyasi zinazonyauka. "mwili wangu umedhofika kama nyasi zilizonyauka" + +# nyauka + +kukauka na kujikunja + +# umaarufu wako ni wa vizazi vyote + +"utatambulika katika vizazi vyote vitakavyokuja" + +# umaarufu + +kujulikana na watu wengi + diff --git a/psa/102/013.md b/psa/102/013.md new file mode 100644 index 00000000..9f2dec70 --- /dev/null +++ b/psa/102/013.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kuwa na huruma juu ya Sayuni + +Hapa "Sayuni" inamaanisha watu wanaoishi Sayuni. "kuwa na huruma na watu wanaoishi Sayuni" + +# juu yake + +Neno "yake" inamaanisha Sayuni. + +# hushika mawe yake karibu + +"Mawe" inamaanisha mawe yaliyokuwa sehemu wa kuta za mji kabla ya kuangamizwa. "bado wanapenda mawe yaliyokuwepo katika kuta za mji" + +# jina lako + +Hapa "jina lako" linamaanisha Yahwe. "wewe" + +# wataheshimu utukufu wako + +Watu watumheshimu Yahwe kwa sababu ya utukufu wake. Hapa Yahwe anazungumziwa kwa utukufu wake. "watakuheshimu wewe kwa sababu una utukufu" + +# atatokea katika utukufu wake + +"ataonekana kama mtukufu" au "watu wataona utukufu wake" + diff --git a/psa/102/017.md b/psa/102/017.md new file mode 100644 index 00000000..8cd771d7 --- /dev/null +++ b/psa/102/017.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# fukara + +Hii inamaanisha watu fukara. + +# hatakataa maombi yao + +"Yahwe atakubali maombi yao" + +# Hii itaandikwa kwa ajili ya vizazi vya baadaye + +"Nitaandika hii kwa ajili ya vizazi vya baadaye" + diff --git a/psa/102/019.md b/psa/102/019.md new file mode 100644 index 00000000..2d76983d --- /dev/null +++ b/psa/102/019.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa kuwa ametazama chini kutoka katika patakatifu pake pa juu; kutoka mbinguni Yahwe ametazama + +Misemo hii miwili ina maana za kufanana na inatumika pamoja kusisitiza jinsi Mungu anavyotazama chini kutoka mbinguni. + +# patakatifu pake pa juu + +"mahali pake patakatifu juu ya dunia" + +# wale walio hukumiwa kufa + +"wale ambao mamlaka yaliwaamuru kuhukumiwa kufa" + diff --git a/psa/102/021.md b/psa/102/021.md new file mode 100644 index 00000000..dab5fac9 --- /dev/null +++ b/psa/102/021.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# tangaza jina la Yahwe katika Sayuni na sifa zake katika Yerusalemu + +Misemo hii miwili inamaana moja na inasisitiza wazo la kusifu jina la Yahwe. + +# na sifa zake + +"na tangazeni sifa zake" + diff --git a/psa/102/023.md b/psa/102/023.md new file mode 100644 index 00000000..2005728a --- /dev/null +++ b/psa/102/023.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# amechukuwa nguvu yangu + +Daudi anazungumzia Mungu kumsababisha kuwa mnyonge kana kwamba nguvu yake ni kitu cha kihalisia kinachoweza kuondolewa kutoka kwake. "amenisababisha kuwa mnyonge" + +# siku zangu + +Neno "siku" hapa linamaanisha maisha. "maisha yangu" + +# usichukue + +Daudi anamwomba Mung asimwache afe. "usinitoe kutoka duniani" au "usiniache nife" + +# upo hapa katika vizazi vyote + +"uko katika vizazi vyote" + diff --git a/psa/102/025.md b/psa/102/025.md new file mode 100644 index 00000000..f94129d1 --- /dev/null +++ b/psa/102/025.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wote watazeeka + +Neno "wote" linamaanisha "dunia" na "mbingu." + +# miaka yako haitakuwa na mwisho + +Hapa Daudi anaelezea urefu wa muda ambao Mungu yuko hai kama "miaka" yake. "utaishi milele" + diff --git a/psa/102/028.md b/psa/102/028.md new file mode 100644 index 00000000..219da4cb --- /dev/null +++ b/psa/102/028.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wataishi + +"wataendelea kuishi" + +# wataishi katika uwepo wako + +Hapa Daudi anaelezea uzao kulindwa na Yahwe kama kuwa katika uwepo wake. "watalindwa wanapoishi katika uwepo wako" + diff --git a/psa/103/001.md b/psa/103/001.md new file mode 100644 index 00000000..c8a50af6 --- /dev/null +++ b/psa/103/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Nitamsifu Yahwe na maisha yangu yote, na kwa vyote vilivyo ndani yangu, ninatoa sifa kwa jina lake takatifu, ninatoa sifa kwa jina lake takatifu + +Misemo hii miwili inamaana moja na inasisitiza jinsi atakavyomsifu Yahwe. "Nitamsifu Yahwe kwa moyo wangu wote" + +# ninatoa sifa kwa jina lake takatifu + +Hii inamaanisha kusifu jina la Yahwe kama Yahwe. + +# vyote vilivyo ndani yangu + +"kila kitu ndani yangu." Daudi anatumia msemo huu kujizungumzia mwenyewe na kusisitiza mapenzi kwa Yahwe. + diff --git a/psa/103/003.md b/psa/103/003.md new file mode 100644 index 00000000..ce2a8379 --- /dev/null +++ b/psa/103/003.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# zako ... yako + +Tafsiri nyingi zinaeleza hii na "mimi." + +# Anakomboa maisha yako kutoka katika uharibifu + +Hii inamaanisha kuwa Yahwe anamweka kuwa hai. "Ananiokoa kutoka na kifo" + +# anakuvika taji + +Hapa "baraka' inaelezwa kana kwamba ni "kuvikw taji." "anakubariki" + +# Anakuridhisha maisha yako na vitu vizuri + +Msemo "maisha yako" inamaanisha "wewe," lakini inasisitiza kuwa Yahwe hutoa baraka katika maisha yote. "Anakuridhisha na vitu vizuri katika maisha" + +# ujana wako unafanywa kuwa mpya kama tai + +Kuwa na "ujana wako kufanywa kuwa mpya" inamaanisha kujihisi kijana tena. Hapa Daudi anafananisha hisia hii ya ujana na wepesi na nguvu ya tai. "unajihisi kijana na mwenye nguvu kama tai" + +# ujana wako + +"ujana" unamaanisha nguvu ambayo alikuwa nayo kama kijana. + diff --git a/psa/103/006.md b/psa/103/006.md new file mode 100644 index 00000000..3524f319 --- /dev/null +++ b/psa/103/006.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# anafanya vitendo vya hukumu kwa ajili ya + +"anasababisha hukumu kutokea" + +# wote walio kandamizwa + +"wote walio kandamizwa na watu" + +# matendo yake kwa uzao + +"alifanya matendo yake yajulikane kwa uzao" + +# ana uaminifu mkuu wa agano + +amejaa huruma na upendo" + diff --git a/psa/103/009.md b/psa/103/009.md new file mode 100644 index 00000000..0327bb90 --- /dev/null +++ b/psa/103/009.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hataadabisha wakati wote; hakasiriki kila mara + +Misemo hii miwili ina maana za kufanana. Msemo wa pili unaimarisha wazo la kwanza. + +# Hatufanyii ... au kutulipa + +Misemo hii miwili ina usambamba na inasisitiza kwamba Mungu hatuadhibu kama tunavyostahili. "Hatulipi kwa adhabu tunayostahili kwa ajili ya dhambi zetu" + +# Hatufanyii + +"Hautuadhibu" + diff --git a/psa/103/011.md b/psa/103/011.md new file mode 100644 index 00000000..0b7138a2 --- /dev/null +++ b/psa/103/011.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa kuwa kama anga zilivyo juu ... kuelekea wale ambao humheshimu + +Tashbihi inalinganisha umbali mkubwa kati ya mbingu na dunia kwa ukuu wa upendo wa Mungu kwa ajili ya watu wake. + +# Kama vile mashariki ilivyo mbali ... alivyoondoa hatia ya dhambi zetu kutoka kwetu + +Umbali kati ya mashariki na magharibi ni mbali sana mpaka haiwezi kupimika. Katika tashbihi hii, umbali huo unalinganishwa kwa jinsi Mungu anavyosogeza mbali hatia yetu kutoka kwetu. + +# Kama vile baba alivyo na huruma ... juu ya wale amabo humheshimu + +Hapa mwandishi analinganisha huruma ya baba kwa watoto wake kwa huruma ya Yahwe kwa wale ambao wanamheshimu. + diff --git a/psa/103/014.md b/psa/103/014.md new file mode 100644 index 00000000..ff5eb475 --- /dev/null +++ b/psa/103/014.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# jinsi tulivyoumbwa + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "jinsi miili yetu ilivyo" au "jinsi alivyoumba miili yetu" + +# anajua ya kuwa sisi ni vumbi + +Yahwe alipomuumba Adamu mtu wa kwanza alimuumba kutoka na vumbi. "anakumbuka ya kwamba alituumba kutoka na vumbi" + +# Na kwa mtu, siku zake ni kama nyasi + +Katika tashbihi hii, urefu wa maisha ya mtu unalinganishwa na urefu mfupi ambao nyasi huota kabla hazijafa. "Urfeu wa maisha ya mtu ni kama yale ya nyasi" + +# hustawi kama ua katika shamba + +Katika tashbihi hii, jinsi mtu hukua katika muda inalinganishwa kwa jinsi ua huota. + +# hustawi + +"Kustawi" ni kuota vizuri na kuwa na afya. + +# Upepo huvuma juu yake, na linatoweka ... ni wapi liliwahi kuota + +Misemo hii inaendelea kuongea juu ya maua na nyasi. Inalinganisha jinsi maua na nyasi hufa kwa jinsi mtu hufa. "Upepo huvuma juu ya maua na nyasi na inapotea, na hakuna awezaye kujua wapi zilianza kuota - ni sawa na mwanadamu" + diff --git a/psa/103/017.md b/psa/103/017.md new file mode 100644 index 00000000..3059515f --- /dev/null +++ b/psa/103/017.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# ni kutoka milele mpaka milele + +Hii ina maana ya kwamba upendo wa Yahwe huendelea milele. "utaendelea milele" + +# vizazi vyao + +"vizazi vya wale ambao humuinua yeye" + +# Wanashika agano lake na kukumbuka kutii maelekezo yake + +Misemo hii miwili ina maana za kufanana. + +# Yahwe ameimarisha kiti chake cha enzi katika mbingu + +Hapa utawala wa Yahwe kama mfalme unamaanishwa kama "kiti chake cha enzi". "Yahwe amechukua kiti chake katika mbingu ambapo hutawala kama mfalme" + +# ameimarisha + +"alifanya" + +# ufalme wake hutawala + +Hapa Yahwe anaelezwa kuwa "ufalme wake" kusisitiza mamlaka yake kama mfalme. "hutawala" + diff --git a/psa/103/020.md b/psa/103/020.md new file mode 100644 index 00000000..2db89fde --- /dev/null +++ b/psa/103/020.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hutekeleza mapenzi yake + +Hii ni lahaja ikimaanisha "kufanya mapenzi yake". "fanya mapenzi yake" + +# katika sehemu zote ambazo hutawala + +"msifu yeye katika sehemu zote ambapo hutawala" + +# kwa maisha yangu yote + +"na moyo wangu wote" au "na nafsi yangu yote". Msemo huu una maana ya kwamba atamsifu Yahwe kwa moyo wote na unatumika kusisitiza utii wake kwake. + diff --git a/psa/104/001.md b/psa/104/001.md new file mode 100644 index 00000000..0f457839 --- /dev/null +++ b/psa/104/001.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla + +Usambaba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Taarifa ya Jumla + +Zaburi hii ni wimbo wa sifa. + +# kwa maisha yangu yote + +"kwa moyo wangu wote" au "kwa nafsi yangu yote". Msemo huu una maana ya kwamba atamsifu Yahwe kwa moyo wote na inatumika kusisitiza utii wake kwake. + +# umevaa ufahari na utukufu + +Maneno "ufahari" na "utukufu" ina maana moja na inasisitiza ukuu wa utukufu wa Yahwe. Inaelezwa kama kumvisha Yahwe kama vazi. "una ufahari na utukufu kukuzunguka kote" + +# Unajifunika kwa mwanga kama vile vazi + +Yahwe anafafanuliwa kama kufunikwa na mwanga kana kwamba mwanga ulikuwa vazi kukuzunguka. "Unafunikwa na mwanga" + +# unatandaza nje mbingu kama pazia la hema + +Hapa Mungu anafafanuliwa kama kutandaza nje mbingu kama mtu anavyotandazwa nje ya hema wakati inaandaliwa. "unatandaza nje mbingu kama mtu anayetengeneza hema" + +# Unalaza nguzo za chumba chako juu ya mawingu + +"Unajenga vyumba vyako vya juu katika mbingu". Hii ina maana ya nyumba yake kuwa ndefu ya kwamba sakafu yake ya juu inatanuka mapka katika mawingu. + +# unafanya mawingu kuwa kibanda wazi chako + +Hapa mawingu yanaelezwa kumbeba Yahwe kana kwamba yalikuwa kibandawazi. "unafanya mawingu kukubeba kama kibandawazi" + +# unatembea juu ya mabawa ya upepo + +Hapa kuvuma kwa upepo inaelezwa kama mabawa ambayo Yahwe hutembea. "unatembea juu ya upepo" + diff --git a/psa/104/004.md b/psa/104/004.md new file mode 100644 index 00000000..35a68a92 --- /dev/null +++ b/psa/104/004.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Hufanya upepo kama wajumbe wake + +Maana zaweza kuwa 1) anasababisha upepo kuweza kubeba ujumbe kama mjumbe, "Hufanya upepo kuwa kama wajumbe wake" au 2) "Huwafanya wajumbe wake kuwa na haraka kama upepo" + +# miale ya moto watumishi wake + +Maana zaweza kuwa 1) "anasababisha miale ya moto kuwa kama watumishi wake". Husababisha moto kumtumikia kama mtumishi angefanya au 2) "hufanya mtumishi wake kuwa kama miale ya moto". + +# miale ya moto watumishi wake + +Hii inaweza kuandikwa na taarifa ya kudokezwa kutoka katika mstari wa nyuma. "Hufanya miale ya moto watumishi wake" + +# Alilaza misingi ya dunia + +Hapa msemo "kulaza misingi" ina maana ya "kuumbwa". "Aliumba dunia nzima" + diff --git a/psa/104/006.md b/psa/104/006.md new file mode 100644 index 00000000..ac3e1763 --- /dev/null +++ b/psa/104/006.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ulifunika dunia kwa maji kama vazi + +Hapa maji ambayo yalifunika dunia inalinganishwa na jinsi vazi kubwa linavyoweza kufunika kabisa kitu. "Umefunika kabisa dunia kwa maji" + +# Kukaripia kwako hufanya maji ... yalitoroka + +Misemo hii miwili ina maana moja na inatumika pamoja kusisitiza jinsi Mungu alivyozungumza na maji yalivyoondoka. + +# kurudi nyuma + +"kukimbia" au "kusogea nyuma" + +# yalitoroka + +Hapa mtunga zaburi anazungumza juu ya maji kurudi nyuma kana kwamba yalitoroka kama mnyama baada ya kusikia sauti ya Yahwe. Neno "kutoroka" lina maana ya kukimbia mbali haraka. "kukimbia haraka" + diff --git a/psa/104/008.md b/psa/104/008.md new file mode 100644 index 00000000..004e7f2f --- /dev/null +++ b/psa/104/008.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Milima ikainuka, na mabonde yakasambaa + +Hapa mtunga zaburi anazungumza juu ay Mungu kusababisha milima na mabonde kusogea na kubadilika kana kwamba zilichagua kusogea zenyewe. Inaelezewa kwa njia hii kusisitiza uwezo wa Mungu. + +# mpaka kwa ajili yao ili wasivuke + +Hapa mtunga zaburi anazungumza juu ya Mungu kusababisha maji kutovuka mpaka ambao alitengeneza kwa ajili yao kana kwamba maji yenyewe yalichagua kutovuka. Yaneelezewa kwa naman hii kusisitiza mamlaka ya Mungu juu yao. "mpaka kwa ajili yao ambao hawawezi kuvuka" + +# mpaka + +"mstari" au "mpaka" + +# kwa ajili yao + +Neno "yao" ina maana ya maji. + diff --git a/psa/104/010.md b/psa/104/010.md new file mode 100644 index 00000000..e013fb82 --- /dev/null +++ b/psa/104/010.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# vijito + +mito midogo + +# punda pori huzima kiu yao + +Inaweza kuwekwa wazi ya kwamba wanazima kiu yao kwa kunywa maji. "punda pori hunywa maji kuzima kiu yao" + +# ukingo wa mto + +ardhi katika ukingo wa mto + +# wanaimba miongoni mwa matawi + +Hapa Daudi anafafanua ndege kulia kana kwamba walikuwa wakiimba. "wanalia miongoni mwa matawi ya mti" + diff --git a/psa/104/013.md b/psa/104/013.md new file mode 100644 index 00000000..7f801f06 --- /dev/null +++ b/psa/104/013.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Humwagilia milima kutoka katika vyumba vyake vya maji vya angani + +Hii ina maana ya kwamba Mungu husababisha mvua kunyesha. Maji yanaelezwa kama kurudi nyuma katika vyumba vya angani. "Humwagilia milima kwa kusababisha mvua kuanguka kutoka angani" + +# matunda ya kazi yake + +"mambo mengi mazuri ambayo unaumba" + +# na mimea kwa ajili ya mtu kulima + +Maneno ambayo hayapo yanweza kuongezwa. "na hufanya mimea kuota kwa ajili ya mtu kulima" + diff --git a/psa/104/016.md b/psa/104/016.md new file mode 100644 index 00000000..825c5e04 --- /dev/null +++ b/psa/104/016.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Miti ya Yahwe hupata mvua nyingi + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Yahwe alitoa mvua nyingi kwa ajili ya miti yake" + +# Pale ndege hutengeneza viota vyao + +Wanatengeneza viota vyao katika seda. Hii inaweza kuwekwa wazi. "Ndege hutengeneza viota vyao katika seda" + +# korongo + +Huyu ni aina ya ndege. "ndege" + +# pimbi + +Pimbi ni mnyama mdogo ambaye hufanana na panya mkubwa. "melesi wa mawe" + diff --git a/psa/104/019.md b/psa/104/019.md new file mode 100644 index 00000000..6f1429e9 --- /dev/null +++ b/psa/104/019.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nyakati + +Neno hili lina maana ya hali za hewa tofauti zinazobadilika katika mwaka. Baadhi ya sehemu zina nyakati za mvua kubwa na kiangazi, wakati zingine zina majira ya kuchipua, majira ya bubujiko, majira ya joto na majira ya baridi. + +# jua linajua wakati wake + +Hapa Daudi anafafanua jua kana kwamba anajua ni wakati gani wa siku. "alifanya jua kuzama muda ukiwadia" + +# Unafanya + +"Yahwe, unafanya". Hapa mwandishi anabadilisha kutoka kuzungumza juu ya Yahwe kwa kuzungumza kwake. + diff --git a/psa/104/021.md b/psa/104/021.md new file mode 100644 index 00000000..fc6a62d1 --- /dev/null +++ b/psa/104/021.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# mawindo + +Huyu ni mnyama ambaye ni chakukla kwa ajili mnyama mwingine. + +# na kutafuta chakula chao kutoka kwa Mungu + +"lakini wanamtegemea Mungu kutoa chakula chao" + +# kurudi nyuma + +"rudi" au "ondoka mbali" + +# mapango + +nyumba za baadhi ya mamalia na wanyama wadogo + diff --git a/psa/104/023.md b/psa/104/023.md new file mode 100644 index 00000000..1d16d90e --- /dev/null +++ b/psa/104/023.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# humwagikia kwa kazi zako + +Hapa Daudi anafafanua kiasi cha vitu ambavyo Yahwe aliviumba kana kwamba vilikuwa kimiminiko kumwagikia nje ya chombo. "inajazwa na kazi yako!" + diff --git a/psa/104/025.md b/psa/104/025.md new file mode 100644 index 00000000..938ac1ea --- /dev/null +++ b/psa/104/025.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kirefu na kipana + +"ina kina kirefu sana na ni pana sana". Urefu na upana wa bahari unasisitiza jinsi ilivyo kubwa. + +# inayojaa + +"inayomwagikia" + +# visivyohesabika + +"isiyohesabika" + +# wote wadogo na wakubwa + +Hii ina maana ya viumbe vya kila aina ya ukubwa. + +# Meli husafiri pale + +"Meli husafiri juu ya bahari" + diff --git a/psa/104/027.md b/psa/104/027.md new file mode 100644 index 00000000..593d64e4 --- /dev/null +++ b/psa/104/027.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hawa wote + +"Viumbe hawa wote" + +# kuwapa chakula chao kwa wakati + +"kuwapa chakula chao wanapokihitaji" + +# Utakapowapatia, wanakusanya + +Inaweza kusaidia kuandika ya kwamba ni chakula ambacho kinapewa. "Unapotoa chakula kwao, wanakikusanya" + +# wanakusanya + +"kusanya" + +# unapofungua mkono wako + +Hii inaelezea Yahwe kama kufungua mkono wake kutoa chakula kwa viumbe. "unapofungua mkono wako kuwalisha" + diff --git a/psa/104/029.md b/psa/104/029.md new file mode 100644 index 00000000..3f7faa99 --- /dev/null +++ b/psa/104/029.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# utakapoficha uso wako + +Hii ina maana ya kwamba Yahwe hawatazami wao au kuwaangalia kwa makini. "pale ambapo hautazami juu yao" au "unapowadharau" + +# kurudi mavumbini + +Hii ina maana ya kwamba miili yao huoza na huwa udongo tena. "miili yao huoza na kurudi ardhini" + +# Unapotuma nje Roho wako + +Hii ina maana ya Roho wake kutumwa kutoa uhai kwa viumbe. + +# wanaumbwa + +Ni roho ya Yahwe ambayo iliwaumba. + +# unafanya upya uso wa nchi + +"unasababisha nchi kujaa na uhai mpya" + diff --git a/psa/104/033.md b/psa/104/033.md new file mode 100644 index 00000000..3b2a6d01 --- /dev/null +++ b/psa/104/033.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mawazo yangu kuwa matamu + +Analinganisha mawazo yake na kitu ambacho ni kitamu. "mawazo yangu yawe mazuri" + diff --git a/psa/104/035.md b/psa/104/035.md new file mode 100644 index 00000000..af590003 --- /dev/null +++ b/psa/104/035.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wapoteleaa + +"kupotelea" + +# acha waovu wasiwepo tena + +Msemo huu "waovu" una maana ya watu waovu. "na watu waovu wapotelee" + diff --git a/psa/105/001.md b/psa/105/001.md new file mode 100644 index 00000000..88937c44 --- /dev/null +++ b/psa/105/001.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla + +Usambamba ni kawaida katika shairi ya Kiebrania. + +# liite jina lake ... Jivunie katika jina lake takatifu + +Hapa "jina" inawakilisha Yahwe. "muite yeye ... Jivunie ndani ya Yahwe" + +# mataifa + +Hii ina maana ya watu katika mataifa. "watu wa mataifa" + +# acha moyo wa wale ambao humtafuta Yahwe washangilie + +Hapa "moyo" inawakilisha mtu ambaye humtafuta Yahwe. "acha watu ambao humtafuta Yahwe washangilie" + diff --git a/psa/105/004.md b/psa/105/004.md new file mode 100644 index 00000000..e760b095 --- /dev/null +++ b/psa/105/004.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mtafute Yahwe na nguvu yake + +"kutafuta nguvu ya Yahwe" ina maana ya kumuuliza kukuimarisha. + +# Kumbuka + +"kumbuka" + +# miujiza yake na + +Inaweza kusaidia kuongeza maneno ambayo hayapo. "kumbuka miujiza yake na" + +# maagizo kutoka mdomoni mwake + +Hapa "mdomoni" ina maana ya mambo ambayo alizungumza. "maagizo ambayo ameyazungumza" + +# vizazi vyako vya Abrahamu ... nyie watu wa Yakobo + +Mwandishi anazungumza kwa Waisraeli, kuwaita majina haya. + +# Abrahamu mtumishi wake + +"Abrahamu, mtumishi wa Yahwe" + diff --git a/psa/105/007.md b/psa/105/007.md new file mode 100644 index 00000000..d996bce4 --- /dev/null +++ b/psa/105/007.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Huweka akilini ... neno ambalo aliloliamuru + +Misemo hii miwili inatumia maana ya kufanana na inatumika pamoja kwa ajili ya msisitizo. Neno "neno" lina maana ya agano. "Huweka akilini agano lako milele, ahadi aliyoifanya" + +# huweka akilini + +Hii ina maana ya kukumbuka na kufikirir juu ya jambo. "hukumbuka" + +# vizazi elfu moja + +"vizazi 1,000" + diff --git a/psa/105/009.md b/psa/105/009.md new file mode 100644 index 00000000..e4cb11c8 --- /dev/null +++ b/psa/105/009.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Huweka akilini + +Msemo huu "kuweka akilini" ina maana ya kukumbuka jambo. "anakumbuka" + +# agano ambalo alilifanya na Abrahamu ... kiapo chake kwa Isaka + +Misemo hii miwili "agano" na "kiapo" ina maana ya ahadi moja ambayo Yahwe alifanya kwa watu wake. + +# kiapo chake kwa Isaka + +Inaweza kusaidia kuongeza maneno ambayo hayapo. "kiapo chake ambacho alitoa kwa Isaka" + diff --git a/psa/105/012.md b/psa/105/012.md new file mode 100644 index 00000000..2fc08cef --- /dev/null +++ b/psa/105/012.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kauli Kiunganishi + +Mtunga zaburi anaandika kuhusu Israeli. + +# walipokuwa wachache tu kwa idadi + +Neno "walipokuwa" ina maana ya Waisraeli. + +# na wageni katika nchi + +Inadokezwa ya kwamba "nchi" ina maana ya Kaanani. "na walikuwa wageni katika nchi ya Kaanani" + +# Waliondoka kutoka + +"Waliendelea kutangatanga" + +# kutoka taifa kwa taifa na kutoka ufalme mmoja kwa mwingine + +Misemo hii miwili ina maana moja na inatumika pamoja kwa msisitizo. + diff --git a/psa/105/014.md b/psa/105/014.md new file mode 100644 index 00000000..210111bd --- /dev/null +++ b/psa/105/014.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kauli Kiunganishi + +Mtunga zaburi anazungumza kuhusu Israeli. + +# kwa ajili yao + +"kwa ajili ya ustawi wao". Hii ina maana ya Israeli. + +# Usiwaguse watiwa mafuta wangu + +Hapa "kugusa" ina maana ya kudhuru, ni kukuza ambapo Yahwe alitumia kuimarisha onyo lake kutowadhuru watu wake. "Usiwadhuru watu ambao niwewatia mafuta" + diff --git a/psa/105/016.md b/psa/105/016.md new file mode 100644 index 00000000..c1bb492d --- /dev/null +++ b/psa/105/016.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Akaamuru njaa + +"Alituma". Hii ina maana ya kwamba alisababisha njaa kutokea katika nchi. + +# akiba yote ya mkate + +Hapa "mkate" ina maana ya chakula kwa ujumla. "akiba yote ya chakula" + +# Alimtuma mtu mbele yao; Yusufu + +Inaweza kusaidia kuandika ya kwamba alimtuma mbele yao Misir. "Alimtuma mwanamume mbele yao Misri; alimtuma Yusufu ambaye" + +# Yusufu aliuzwa kama mtumishi + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Ndugu za Yusufu alimuuza kama mtumwa" + diff --git a/psa/105/018.md b/psa/105/018.md new file mode 100644 index 00000000..14a12de5 --- /dev/null +++ b/psa/105/018.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# minyororo + +vizuizi vya chuma vinavyotumika kushika vifundo vya mfungwa au vifundo vya mguu pamoja + +# Miguu yake ilifungwa kwa minyororo; shingoni mwake kuliwekwa kola ya chuma + +Kauli hizi zinaweza kuandikwa kama hali ya kutenda. "Wamisri walimfunga miguu yake kwa minyororo; waliweka kola ya chuma shingoni mwake". + +# neno la Yahwe likamjaribu + +Hapa "neno" lina maana ya ujumbe wa Yahwe. "ujumbe wa Yahwe ulimjaribu" + diff --git a/psa/105/020.md b/psa/105/020.md new file mode 100644 index 00000000..81345f61 --- /dev/null +++ b/psa/105/020.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mfalme alituma watumishi kumweka huru; mtawala wa watu akamweka huru + +Misemo hii miwili ina maana moja na inatumika pamoja kwa msisitizo ya kwamba mfalme alimweka huru. + +# Kisha Israeli akaja mpaka Misri + +Hapa "Israeli" ina maana ya Yakobo. Yakobo alileta familia yake pamoja naye. "Kisha Israeli na familia yake kuja Misri" + diff --git a/psa/105/024.md b/psa/105/024.md new file mode 100644 index 00000000..8de1aea6 --- /dev/null +++ b/psa/105/024.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yahwe aliwafanya watu wake kuzaliana + +Mwandishi anazungumza juu ya ongezeko la Israeli kana kwamba walikuwa mmea ambao ulizaa matunda mengi. "Mungu aliongeza idadi ya watu wake sana" + +# kuwachukia watu wake, kuwatendea vibaya watumishi wake + +"kuchukia watu wake na kuwatendea vibaya watumishi wake" + +# Walitelekeza ishara zake ... maajabu yake katika nchi ya Hamu + +Misemo hii miwili ina maana moja na inatumika pamoja kwa ajili ya msisitizo. "Musa na Haruni walitekeleza miujiza ya Yahwe Misri miongoni mwa vizazi wa Hamu" + +# maajabu yake + +Maneno ambayo haypo yanaweza kuongezwa. "na wakatekeleza maajabu yake" + diff --git a/psa/105/028.md b/psa/105/028.md new file mode 100644 index 00000000..7ac7f5b3 --- /dev/null +++ b/psa/105/028.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# alifanya nchi hiyo kuwa giza + +"alifanya anga giza" + +# vyura + +reptilia mdogo anayeruka + +# katika katika vyumba vya watawala wao + +"hata walikuwa ndani ya vyumba vya watawala wao" + diff --git a/psa/105/031.md b/psa/105/031.md new file mode 100644 index 00000000..0864e48e --- /dev/null +++ b/psa/105/031.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kauli Kiunganishi + +Mtunga zaburi anaendelea kufafanua hukumu ya Yahwe kwa Misri. + +# kundi kubwa + +makundi makubwa yanayopaa + +# chawa + +wadudu wadongo wanaopaa kama nzi lakini wadogo zaidi + +# mvua ya mawe + +barafu ambayo huanguka kutoka angani kama mvua + +# Aliangamiza ... alivunja + +Mungu alisababisha mvua ya mawe, mvua, na radi kuharibu mizabibu na miti. "Alisababisha iangamize ... na kuvunja" + diff --git a/psa/105/034.md b/psa/105/034.md new file mode 100644 index 00000000..50b56d1d --- /dev/null +++ b/psa/105/034.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nzige wengi sana + +"kulikuwa na nzige wengi sana" + +# Nzige walikula mimea yote ... Walikula mazao yote ya ardhini + +Misemo hii miwili ina maana moja na inatumika pamoja kwa ajili ya msisitizo. "Wadudu walikula mimea yote na mazao yote katika nchi" + +# Alimuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi, malimbuko ya nguvu zao + +Hapa msemo wa pili kuhusu "malimbuko" unatumika kufafanua "mzaliwa wa kwanza" katika msemo wa kwanza. "Aliua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi yao, ambao walikuwa malimbuko ya nguvu zao" au "Kisha Yahwe aliwaua wana wenye umri mkubwa katika kila nyumba ya watu wa Misri" + diff --git a/psa/105/037.md b/psa/105/037.md new file mode 100644 index 00000000..4d7eb8cf --- /dev/null +++ b/psa/105/037.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Aliwaleta Waisraeli nje wakiwa na fedha na dhahabu + +Waisraeli walipoondoka Misri walichukua fedha na dhahabu pamoja nao. "Aliwatoa Waisraeli kutoka Misri pamoja na fedha na dhahabu katika milki yao" + +# hakuna wa kabila lake waliojikwaa njiani + +Hakuna aliyebaki nyuma. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya chanya. "makabila yake yote yaliweza kufanya safari hiyo" + +# Misri ilifurahi + +Hapa "Misri" ina maana ya watu ambao wanaishi Misri. Watu wa Misri alifurahi. + +# Alitandaza wingu kuwa mfuniko + +Hapa mtunga zaburi anafafanua Yahwe kuweka wingu angani kana kwamba alikuwa akitandaza nje vazi. Wingu lilikuwa "linafunika" kuwalinda kutoka na jua. "Aliweka wingu angani kuwalinda kutoka na jua na joto" + +# kutengeneza moto kutoa mwanga usiku + +Yahwe aliweka nguzo ya moto angani kutoa mwanga wakati wa usiku. "aliweka moto angani kutoa mwanga usiku" + diff --git a/psa/105/040.md b/psa/105/040.md new file mode 100644 index 00000000..6748b3bc --- /dev/null +++ b/psa/105/040.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# naye akaleta kware + +Inaweza kuwa msaada kuweka wazi ya kwamba kware ni ndege wadogo Yahwe alituma kwa ajili yao kula. "na Yahwe alituma ndege wadogo wa kula" + +# na mkate kutoka mbinguni + +Yahwe alisababisha mana, aina ya mkate, kuanguka kutoka angani. "kwa mkate ambao ulianguka kutoka angani" + +# yalitiririka + +"maji yalitiririka" + +# aliweka akilini + +Hii ina maana kukumbuka. "alikumbuka" + diff --git a/psa/105/043.md b/psa/105/043.md new file mode 100644 index 00000000..d17dedac --- /dev/null +++ b/psa/105/043.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Akawaongoza watu wake nje ... wateule wake kwa kelele za ushindi + +Misemo hii miwili ina maana moja na inatumika pamoja kusisitiza ya kwamba watu wa Mungu walikuwa na furaha alipowaongoza kutoka Misri. Watu walikuwa wakipiga kelele kwa furaha. "Aliwaongoza watu wake wateule kwa kelele za furaha na ushindi" + +# wateule wake + +Hapa "wateule" ina maana ya watu wateule wa Yahwe. "watu wake wateule" + +# ushindi + +"sherehe" au "furaha" + +# kuzishika amri zake na kutii sheria zake + +Misemo hii miwili ina maana moja na inatumika pamoja kwa ajili ya msisitizo. "Kushika" amri zake ina maana ya kuzitii. "kutii sheria zake na maagizo" + diff --git a/psa/106/001.md b/psa/106/001.md new file mode 100644 index 00000000..44018a48 --- /dev/null +++ b/psa/106/001.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Nani awezaye kuhesabu tena matendo makuu ya Yahwe ... matendo? + +Mwandishi anauliza swali hili kumsifu Mungu na hategemei jibu. "Hakuna mtu awezaye kuhesabu tena matendo makuu ya Yahwe ... matendo". + +# matendo yake yanayostahili sifa + +"matendo ambayo yanastahili sifa" + diff --git a/psa/106/003.md b/psa/106/003.md new file mode 100644 index 00000000..91f46f6f --- /dev/null +++ b/psa/106/003.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Niite akilini + +Msemo "kuita akilini" ina maana ya kukumbuka jambo. "nikumbuke" + +# ya chaguo lako + +Neno "aliyechaguliwa" ina maana ya watu waliochaguliwa wa Yahwe. "wa watu waliochaguliwa" + +# nitashangilia katika furaha ... na nitakuwa na utukufu + +Haya ni mambo ambayo Daudi anasema atafanya, pamoja na "kuona mafanikio ya waliochaguliwa wako". Maneno ambayo hayaonekani yanaweza kuongezwa. "Nitashangilia katika furaha ... na nitakuwa na utukufu" + +# furaha + +"furaha" au "shangwe" + +# utukufu na urithi wako + +Hapa msemo "urithi wako" ina maana ya Waisraeli, ambao ni watu wa Yahwe waliochaguliwa. Hapa "utukufu" ina maana ya "kujivunia" juu ya kitu; katika hali hii wanajivunia juu ya Yahwe. "kujivunia katika ukuu wako na watu wako" + diff --git a/psa/106/006.md b/psa/106/006.md new file mode 100644 index 00000000..b6c87f79 --- /dev/null +++ b/psa/106/006.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# hawakutambua mambo yako ya ajabu + +"hatuna shukurani kwa ajili ya mambo ya ajabu uliyofanya" + +# katika bahari ... Bahari ya Matete + +Misemo hii miwili ina maana ya kitu kimoja. Ya pili ni jina la bahari. + diff --git a/psa/106/008.md b/psa/106/008.md new file mode 100644 index 00000000..49ecb7a4 --- /dev/null +++ b/psa/106/008.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hata hivyo + +"ingawa" au "hata hivyo" + +# kwa ajili ya jina lake + +Hapa "jina lake" lina maana ya Yahwe. "kwa ajili ya sifa yake mwenyewe" + +# katikati ya vina, kama vile katikati ya nyika + +Hapa Daudi analinganisha njia ambayo Yahwe aliwaongoza Waisraeli katikati ya Bahari ya Matete kwa namna watu wanaweza kuongozwa katika ardhi kavu ya nyika. "Vina" ina maana Yahwe aligawanya maji. "katikati ya Bahari ya Matiti katika ardhi kavu" + diff --git a/psa/106/010.md b/psa/106/010.md new file mode 100644 index 00000000..3d00ca79 --- /dev/null +++ b/psa/106/010.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Aliwaokoa kutoka katika mkono ... na akawaokoa kutoka katika mkono + +Misemo hii miwili kimsingi ina maana moja na inatumika pamoja kusisitiza ya kwamba Yahwe aliwaokoa kutoka kwa adui zao. + +# mkono wa wale ambao walimchukia + +Hapa "mkono" una maana ya uwezo na utawala. "uwezo wa wale ambao walimchukia" au "utawala wa wale ambao walimchukia" + +# yaliwafunika wapinzani wao + +Hii ni njia ya upole ya kuzungumza kuhusu yao kuzama majini. "alizamisha majini maadui zake" + +# Kisha wakaamini maneno yake + +Hapa nano "wakaamini" ina maana ya "mababu zao" na neno "yake" ina maana ya "Yahwe". + diff --git a/psa/106/013.md b/psa/106/013.md new file mode 100644 index 00000000..6bd98ce4 --- /dev/null +++ b/psa/106/013.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# hawakusubiri maelekezo yake + +Inadokezwa ya kwamba walifanya mambo bila kusubiri kujua Yahwe alitaka waende wapi. "walifanya mambo bila kwanza kusubiri maelekezo ya Yahwe" + +# uchu usiotosheka + +"uchu ambao hauwezi kutoshelezwa" + +# walishindana na Mungu + +"Waliasi dhidi ya Mungu" + +# uliteketeza + +"uliwapita" au "ulichukua" + +# lakini akatuma ugonjwa + +Hapa Daudi anazungumza kuhusu Yahwe kusababisha watu kuumizwa kwa ugonjwa kana kwamba Yahwe alituma ugonjwa kwao kwa njia moja ambayo mtu hutuma mtu au mjumbe. "lakini alisababisha ugonjwa kuteketeza miili yao" + diff --git a/psa/106/016.md b/psa/106/016.md new file mode 100644 index 00000000..0e4c9fed --- /dev/null +++ b/psa/106/016.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Katika kambi + +Hii ina maana ya kambi ya Waisraeli katika nyika. "Katika kambi nyikani" + +# Dunia ilifunguka na kummeza + +Hapa jinsi ardhi inavyofunguka na kuwazika watu inalinganishwa kwa jinsi kiumbe kinavyomeza kitu. "Dunia ilifunguka na kuzika" + +# Dathani + +Huyu alikuwa afisa aliyeasi thidi ya Musa. + +# na kuwafunika wafuasi wa Abiramu + +Wafuasi wa Abiramu walizikwa pia dunia ilipofunguka na kumzika Dathani. "pia ikafunuka wafuasi wa Abiramu" au "na pia ikazika wafuasi wa Abiramu" + +# Abiramu + +Huyu alikuwa afisa aliyeasi dhidi Musa. + +# Moto ukaanza miongoni mwao; moto ukawateketeza waovu + +Misemo hii miwili ina maana kimoja na inaandikwa pamoja kusisitiza jinsi watu waovu waliuawa kwa moto. + diff --git a/psa/106/019.md b/psa/106/019.md new file mode 100644 index 00000000..82ade159 --- /dev/null +++ b/psa/106/019.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Walitengeneza ndama Horebu na kuabudu sanamu ya chuma ya kuchonga + +Taarifa hii inaweza kuandikwa kwa mpangilio ili kwamba iwe wazi ya kwamba ndama alikuwa sanamu ya chuma ya kuchonga. "Horebu, walitengeneza sanamu ya chuma ya ndama na kuiabudu" + +# Walibadilisha utukufu wa Mungu kwa mfano wa fahali + +Hii ina maana ya kwamba badala ya kumwabudu Mungu waliabudu sanamu ya fahali. + +# utukufu wa Mungu + +Hapa Mungu anajulikana kwa utukufu wake. "Mungu wao mtukufu" au "Mungu ambaye ana utukufu" + diff --git a/psa/106/022.md b/psa/106/022.md new file mode 100644 index 00000000..dcb249ee --- /dev/null +++ b/psa/106/022.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nchi ya Hamu + +Hii ina maana ya nchi ambapo vizazi vya Hamu waliishi. "nchi ambayo uzao wa Hamu waliishi" + +# matendo makuu + +"mambo ya ajabu" + +# akaingilia kati naye katika upenyu ... kutowaangamiza + +Hapa Daudi anazungumzia kuhusu Musa kumshawishi Yahwe kutowaangamiza Israeli kama kuingilia kati na yeye kuwa katika upenyo. "alisimama katikati ya Yahwe na Waisraeli na kumsihi Yahwe kutowaangamiza" + diff --git a/psa/106/024.md b/psa/106/024.md new file mode 100644 index 00000000..30bdc9cb --- /dev/null +++ b/psa/106/024.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# walinung'unika + +"walilalamika" + +# ahadi yake + +Hii ina maana ya ahadi ya Yahwe ya kwamba atawaruhusu kuchukua nchi ya Kaanani kama milki yao. + diff --git a/psa/106/026.md b/psa/106/026.md new file mode 100644 index 00000000..b3ea5bc3 --- /dev/null +++ b/psa/106/026.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# akainua mkono wake + +Neno "wake" ina maana ya Yahwe. Pia, ilikuwa utamaduni kuinua mkono wakati wa kutoa kiapo. + +# kutawanya uzao wao ... katika nchi za kigeni + +Misemo hii miwili ina maana moja na inatumika pamoja kwa ajili ya msisitizo. "na ya kwamba angefanya uzao wao kuishi katika nchi za kigeni" + +# kutawanya + +Hii ina maana ya kutawanya au kusambaza kitu + diff --git a/psa/106/028.md b/psa/106/028.md new file mode 100644 index 00000000..7eff3614 --- /dev/null +++ b/psa/106/028.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# sadaka zilizotolewa kwa wafu + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "sadaka ambazo walitoa kwa wafu" + +# kwa wafu + +"Wafu" ina maana ya sanamu na miungu ambayo Waisraeli walikuwa wakiabudu. "Kwa miungu ambao wamekufa" au "kwa miungu ambayo haina uhai" + +# tauni ikazuka + +"tauni ikasambaa" + +# Wakachochea hasira yake + +"ikamkasirisha" + diff --git a/psa/106/030.md b/psa/106/030.md new file mode 100644 index 00000000..def4daf3 --- /dev/null +++ b/psa/106/030.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kisha Finehasi akainuka kuingilia kati + +Finehasi aliingilia kati miongoni mwa watu, kuwaadhibu kwa dhambi zao. Hii inaweza kufanywa wazi. "Kisha Finehasi akainuka kuingilia kati miongoni mwa watu kwa sababu ya dhambi yao" + +# Ilihesabika kwake kuwa tendo la haki + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Watu walitambua lile kuwa tendo la haki" + diff --git a/psa/106/032.md b/psa/106/032.md new file mode 100644 index 00000000..ce1ed0c3 --- /dev/null +++ b/psa/106/032.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Meniba + +Hii ni sehemu. + +# aliteseka kwa sababu yao + +Musa aliteseka kwa sababu ya dhambi za watu. Hapa neno "yao" ni kiwakilishi nomino kwa ajili ya watu na mfano wa maneno kumaanisha dhambi yao. "aliteseka kwa sababu ya matendo yao" + +# lakini walichangamana na mataifa + +Hapa Daudi anazungumzia watu kuoana na wanawake kutoka mataifa mengine kama "kujichanganya" pamoja nao. "lakini walijichanganya katika ndoa na mataifa mengine" + +# ambayo ikawa mtego kwao + +Sanamu zikawa mtego kwao. + diff --git a/psa/106/037.md b/psa/106/037.md new file mode 100644 index 00000000..9facdad7 --- /dev/null +++ b/psa/106/037.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Walimwaga damu isiyo na hatia, damu ya wana wao na binti zao + +Msemo "kumwaga damu" ni tasifida inayoelezeka kutumika kwa ajili ya "mauaji". "Walimwaga damu isiyo na hatia walipowaua wana na binti zao" + +# Walinajisiwa kwa matendo yao + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Matendo yao yaliwachafua" + +# katika matendo yao wakawa kama kahaba + +Hapa Daudi analinganisha kutokuwa waaminifu kwao kwa Yahwe kwa kutokuwa waaminifu kwa kahaba. "walikuwa hawana uaminifu kwa Yahwe kama kahaba" + diff --git a/psa/106/040.md b/psa/106/040.md new file mode 100644 index 00000000..6a47c8dd --- /dev/null +++ b/psa/106/040.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa hiyo Yahwe alikuwa na hasira na watu wake ... akawadharau watu wake mwenyewe + +"Kwa hiyo Yahwe alikuwa na hasira na watu wake na akawadharau" + +# Akawakabidhi katika mkono wa mataifa + +Hapa "mkono" una maana ya uwezo na utawala. "Mungu aliruhusu mataifa kuwatawala" + +# wale waliowachukia + +"watu waliowachukia" + diff --git a/psa/106/042.md b/psa/106/042.md new file mode 100644 index 00000000..7775f57a --- /dev/null +++ b/psa/106/042.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# na wakaletwa chini ya mamlaka yao + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "na adui zao walisababisha wao kuwa chini ya mamlaka yao" + +# wakashushwa chini kwa dhambi yao wenyewe + +Hapa msemo "kushushwa chini" ina maana ya kuangamizwa. Pia, hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "dhambi yao iliwaharibu" + diff --git a/psa/106/044.md b/psa/106/044.md new file mode 100644 index 00000000..d236a2a9 --- /dev/null +++ b/psa/106/044.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hata hivyo + +"Ingawa" au "hata hivyo". + +# dhiki yao + +"mateso yao" + +# akaweka akilini + +Msemo "kuweka akilini" ina maana ya kukumbuka jambo. "alikumbuka" + +# na akatulia + +"na akawa na rehema kwao" + +# wanaowashinda + +"waliowakamata". Hii ina maana ya maadui wa Waisraeli ambao waliwakamata. + +# kuwa na huruma kwao + +"kuwa na huruma kwao" + diff --git a/psa/106/047.md b/psa/106/047.md new file mode 100644 index 00000000..22eb70de --- /dev/null +++ b/psa/106/047.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla + +Hapa 106.48 ni zaidi ya mwisho wa zaburi. NI kauli ya kufunga kwa kitabu chote cha 4 cha Zaburi, ambacho kinaanaza katika Zaburi 90 na kukamilika na Zaburi 106. + +# Na Yahwe Mungu wa Israeli asifiwe + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Na watu wamsifu Yahwe Mungu wa Israeli" + +# kwa jina lako takatifu + +Hapa Yahwe ina maana ya "jina lake takatifu". "kwako" + +# kutoka milele mpaka milele + +Hii ina maana ya tofauti kubwa na ina maana ya muda wote. "kwa milele yote" + diff --git a/psa/107/001.md b/psa/107/001.md new file mode 100644 index 00000000..2f99bf43 --- /dev/null +++ b/psa/107/001.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# uaminifu wa agano lako huduma milele + +"upendo wake wa uaminifu kwangu hautaisha" + +# waliokombolewa na Yahwe + +"Waliokombolewa" inamaanisha watu ambao Yahwe amewaokoa. "wale ambao Yahwe amewaokoa" + +# waongee + +Hii inamaanisha kuwaambia wengine kuhusu kitu. "waambie yale Yahwe aliyofanya" + +# kutoka mkono wa adui + +Hapa "mkono" unamaanisha nguvu. "kutoka kwenye nguvu ya adui" + +# kutoka mashariki ... na kutoka kusini + +Hapa pande nne zinatolewa kusisitiza kwamba atawakusanya kutoka kila sehemu. "kutoka kila upande" au "kutoka kila sehemu ya dunia" + +# kutoka mashariki na kutoka magharibi, kutoka kaskazini na kutoka kusini + +Hii inafafanua sehemu ambapo Yahwe anawakusanyia watu wake. "amewakusanya kutoka mashariki na kutoka magharibi, kutoka kaskazini na kutoka kusini" + diff --git a/psa/107/004.md b/psa/107/004.md new file mode 100644 index 00000000..c3071eec --- /dev/null +++ b/psa/107/004.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# walizurura + +"Baadhi ya watu walizurura" + +# katika njia ya jangwani + +"kwenye barabara lililokuwa jangwani" + +# wakuishi + +"Ambayo wanliweza kuishimo" + +# Kisha wakamuita Yahwe katika shida yao + +Inaashiriwa kuwa wanaomba kwa Yahwe ili awasaidie. "Kisha wakaomba kwa Yahwe kuwasaidia katika shida yao" + +# dhiki + +"tabu" au "mateso" + diff --git a/psa/107/008.md b/psa/107/008.md new file mode 100644 index 00000000..bafc4d5d --- /dev/null +++ b/psa/107/008.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# O watu wamsifu Yahwe kwa uaminifu wake wa agano + +"Acha watu wamsifu Yahwe kwa sababu anawapenda kwa uaminifu" au "Watu wanapaswa kumsifu Mungu kwa sababu ya upendo wake wa uaminifu." Hapa neno "O" linatumika kuonesha hamu kubwa ya watu kumsifu. + +# wanadamu + +"watu" + +# Kwa kuwa anaridhisha hamu za wale walio na kiu + +"Kwa kuwa anawapa maji wanaotamani - kwa wale walio na kiu" + +# na hamu za wale walio na njaa anawajaza na vitu vizuri + +"na kwa wale walio na njaa sana na hamu ya chakula, anawapa vitu vizuri vya kula" + +# kwa wanadamu + +"kwa watu wote" + +# Baadhi waliketi + +Inadokezwa kwamba hawa ni watu ambao Yahwe aliwaokoa. "Yahwe pia aliwaokoa watu walioketi" + +# gizani na kwenye utusitusi + +"Gizani" na "utusitusi" zina maana sawa na zinatumika kusisitiza jinsi gereza lilivyokuwa giza. "katika giza kabisa" + diff --git a/psa/107/011.md b/psa/107/011.md new file mode 100644 index 00000000..8b039332 --- /dev/null +++ b/psa/107/011.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# waliasi dhidi ya neno la Mungu ... kukataa maagazi ya Aliye juu. + +Misemo hii ina maana sawa na inasisitiza jinsi walivyomuasi Mungu, ambayo ndio sababu ya kufungwa. + +# Alinyenyekesha mioyo yao kupitia ugumu + +Hapa moyo unamaanisha mtu, lakini mahususi mapenzi yake. "Aliwanyenyekesha kwa kuwaruhusu wapitie magumu" + +# ugumu + +Maana zinazowezekana ni 1) "tabu" au 2) "kazi ngumu" + +# walijikwaa na hakuwepo mtu kuwasaidia kuinuka + +Neno "kujikwaa" linamaanisha wakati watu hawa walijikuta kwenye nyakati ngumu sana. "waliingia taabuni na hakuwepo mtu wakuwakomboa" + +# Kisha wakamuita Yahwe katika tabu yao + +Inaashiriwa kuwa wanaomba kwa Yahwe ili awasaidie. "Kisha wakaomba kwa Yahwe kuwasaidia katika shida yao" + +# dhiki yao + +"taabu" au "mateso" + +# akawatoa + +Hapa Daudi anaelezea Yahwe kuwaokoa kutoka dhiki yao kana kwamba dhiki ilikuwa sehemu ya kimwili ambayo alikuwa akiwatoa. + diff --git a/psa/107/014.md b/psa/107/014.md new file mode 100644 index 00000000..9cbffe48 --- /dev/null +++ b/psa/107/014.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Akawatoa + +"Yahwe akawaleta wale walikuwa gerezani" + +# gizani na kwenye utusitusi + +"Gizani" na "utusitusi" zina maana sawa na zinatumika kusisitiza jinsi gereza lilivyokuwa giza. "katika giza kabisa" + +# O watu wamsifu Yahwe kwa uaminifu wake wa agano + +"Acha watu wamsifu Yahwe kwa sababu anawapenda kwa uaminifu" au "Watu wanapaswa kumsifu Mungu kwa sababu ya upendo wake wa uaminifu." Hapa neno "O" linatumika kuonesha hamu kubwa ya watu kumsifu. + +# Kwa kuwa + +"Kwa sababu" + +# Kwa kuwa amevunja malango ya shaba na kukata mapingo ya chuma + +Misemo hii miwili inaelezea Yahwe anavyowafungua watu kutoka gerezani na inatumika kusisitiza kwamba Yahwe kweli aliwaweka huru. "Aliwaweka huru watu wake kutoka gerezani" + diff --git a/psa/107/017.md b/psa/107/017.md new file mode 100644 index 00000000..5b2da8e2 --- /dev/null +++ b/psa/107/017.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Walikuwa wapumbavu katika njia zao za uasi + +"Walikuwa wapumbavu jinsi walivyoasi dhidi ya Yahwe" + +# na kuteswa + +"na waliteseka." Kwa bayaba waliteseka kwa kuugua. "na wakawa wagonjwa" + +# wakaja karibu na malango ya kifo + +Hapa tendo la "kufa" linaelezwa kama sehemu, "malango ya kifo" "kidogo wafe" + +# Kisha wakamuita Yahwe katika tabu yao + +Inaashiriwa kuwa wanaomba kwa Yahwe ili awasaidie. "Kisha wakaomba kwa Yahwe kuwasaidia katika shida yao" + diff --git a/psa/107/020.md b/psa/107/020.md new file mode 100644 index 00000000..a380d468 --- /dev/null +++ b/psa/107/020.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Alituma neno lake na kuwaponya + +Hapa Daudi anaeleza Yahwe kuzungumza kama kutuma maneno yake kana kwamba yalikuwa mjumbe. Maana zinazowezekana ni 1) "Aliamuru waponywe na wakaponywa" au 2) "Aliwatia moyo na kuwaponya" + +# O watu wamsifu Yahwe kwa uaminifu wake wa agano + +"Acha watu wamsifu Yahwe kwa sababu anawapenda kwa uaminifu" au "Watu wanapaswa kumsifu Mungu kwa sababu ya upendo wake wa uaminifu." Hapa neno "O" linatumika kuonesha hamu kubwa ya watu kumsifu. + +# ya shukrani + +"zinazoonesha kuwa wanashukuru" + +# kwa kuimba + +"kwa kuimba kuyahusu" + diff --git a/psa/107/023.md b/psa/107/023.md new file mode 100644 index 00000000..78225c9d --- /dev/null +++ b/psa/107/023.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# na kufanya biashara ng'ambo + +Walikuwa wakisafari sehemu za ng'ambo na kununua na kuuza vitu na watu huko. "kuuza vitu kwenye miji ya mbali" + diff --git a/psa/107/025.md b/psa/107/025.md new file mode 100644 index 00000000..81bd57ad --- /dev/null +++ b/psa/107/025.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# aliamuru na kuamsha dhoruba unaotikisa bahari + +"aliamuru upepo na kuusababisha kuwa dhoruba kubwa iliyolitikisa bahari" + +# dhoruba + +upepo wenye nguvu nyingi sana ambao mara nyingi unaambatana na mvua kali + +# unaotikisa bahari + +Hapa Daudi anaelezea upepo unaosababisha mawimbi kuwa juu kana kwamba mawimbi ni kitu kinachokoroga kitu kwa nguvu. ""uliosababisha mawimbi ya baharini kuwa juu sana" + +# Wakafika juu mbinguni; wakashuka chini vilindini + +Hii inaelezea kuinuka na kushuka kwa meli na mawimbi. Kupanda juu kabisa hadi mawinguni na kushuka chini kwenye vilindi ni kukuza maneno ili kuonesha jinsi dhoruba ilivyokuwa mbaya. "meli zao ziliinuka juu sana kwenye mawimbi na kisha kudondoka chini sana katikati ya mawimbi" + +# Maisha yao yaliyeyuka kwa dhiki + +Lugha hii inaelezea uoga wa mabaharia. "Wanaume waliogopa sana na kuwa na dhiki sana" + +# walikuwa wamechanganyikiwa + +Msemo "kuchanganyikiwa" unamaanisha hawakujua nini cha kufanya. "na hawakujua chakufanya." au "hawakuwa na wazo la nini cha kufanya" + diff --git a/psa/107/028.md b/psa/107/028.md new file mode 100644 index 00000000..98929d12 --- /dev/null +++ b/psa/107/028.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kisha wakamuita Yahwe katika tabu yao + +Inaashiriwa kuwa wanaomba kwa Yahwe ili awasaidie. "Kisha wakaomba kwa Yahwe kuwasaidia katika shida yao" + +# Kisha waka... + +Wanaozungumziwa hapa ni mabaharia. + +# Akatuliza dhoruba + +"Akafanya upepo ukome" + +# mawimbi yakatulia + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "akafanya mawimbi yatulie" + +# akawaleta + +"akawaongoza" + +# bandari waliyotaka + +"kwenye bandari waliotaka kwenda" + diff --git a/psa/107/031.md b/psa/107/031.md new file mode 100644 index 00000000..8603898f --- /dev/null +++ b/psa/107/031.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# O watu wamsifu Yahwe kwa uaminifu wake wa agano + +"Acha watu wamsifu Yahwe kwa sababu anawapenda kwa uaminifu" au "Watu wanapaswa kumsifu Mungu kwa sababu ya upendo wake wa uaminifu." Hapa neno "O" linatumika kuonesha hamu kubwa ya watu kumsifu. + +# wamsifu katika baraza la wazee + +"wazee wanapokaa pamoja." Wazee waliketi pamoja kuzungumzia maswala ya jamii na kufanya maamuzi kwa ajili ya jamii. + diff --git a/psa/107/033.md b/psa/107/033.md new file mode 100644 index 00000000..a4a66c17 --- /dev/null +++ b/psa/107/033.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Anageuza + +"Yahwe anafanya" + +# kwa sababu ya uovu wa watu wake + +"kwa sababu watu wanaoishi hapo ni waovu" + +# Anageuza jangwa kuwa bwawa la maji na nchi kavu kuwa chechemi za maji + +Misemo hii yote miwili ina maana ya kufanana na inasisitiza jinsi Yahwe anavyofanya maji yatokee jangwani. "Hufanya chemchemi na maziwa katika ardhi iliyokuwa jangwa" + diff --git a/psa/107/036.md b/psa/107/036.md new file mode 100644 index 00000000..327b2193 --- /dev/null +++ b/psa/107/036.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Anawatuliza walio na njaa huko + +Hapa neno "huko" linamaanisha sehemu ambazo Yahwe alifanya chechemi na maziwa kutokea. Pia msemo "walio na njaa" inamaanisha watu walio na njaa. "Yahwe anafanya watu walio na njaa kuishi huko" + +# kupanda mashamba ya mizabibu + +"ya kupandia mizabibu" + +# na kuleta mavuno tele + +"ili walete mavuno tele" + +# kwa hiyo wanakuwa wengi sana + +"ili watu wao wawe wengi sana" + +# Haachi ng'ombe wake wapungue idadi + +Hii inaweza kuelezwa katika hali chanya. "Huweka ng'ombe wao kuwa wengi sana" + diff --git a/psa/107/039.md b/psa/107/039.md new file mode 100644 index 00000000..0d287e05 --- /dev/null +++ b/psa/107/039.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Walipunguzwa + +Wanaozungumziwa hapa ni watu waliokuwa na njaa na Yahwe kuwatuliza katika nchi. Sentensi hii inaeleza jinsi walivyokuwa kabla ya Yahwe kuwatuliza katika nchi. + +# Walipunguzwa na kuletwa chini + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. Viongozi wao walipunguza idada yao na kuwaleta chini" + +# Walipunguzwa + +"wakawa wachache kwa idadi" + +# kuletwa chini + +Hiiinamaanisha kuaibishwa. "kuaibishwa" + +# Humwaga dharau + +Hapa Daudi anazungumzia Yahwe kuwaonesha dharau viongozi kana kwamba dharau ni kuletwa chini alichowamwagia. "kuwaonesha dharau" + +# kwa viongozi + +"wakubwa." Hii namaanisha viongozi waliowakandamiza watu. "viongozi waliowakandamiza" + +# ambapo hakuna mabarabara + +"ambapo watu hawaendi" + diff --git a/psa/107/041.md b/psa/107/041.md new file mode 100644 index 00000000..d1bf466f --- /dev/null +++ b/psa/107/041.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Lakina ana... + +"Lakini Yahwe" + +# wahitaji + +Hii inamaanisha watu wahitaji. "watu wahitaji" au "watu maskini" + +# hujali familia zake kama kundi + +Hapa Daudi analinganisha jinsi Yahwe anavyowajali watu wake na jinsi mchungaji anavyojali kondoo wake. Maana zinazowezekana ni 1) "hufanya idadi ya watu kwatika famila zao kuongezeka kama kundi" au 2) "huwajali kama mchungaji anavyojali kondoo wake" + +# Wanyofu + +Hii inamaanisha watu wanaoishi maisha ya unyofu. "Watu wanyofu" au "Watu wanaofanya kilicho sawa" + +# uovu wote + +Hapa watu waovu wanazungumziwa kama "uovu." "watu wote waovu" + +# huziba mdomo + +hii inamaanisha kutokujibu kitu. "hana kitu cha kumjibu Yahwe" + +# ayaangalie mambo haya yote + +Hii namaanisha kuwaza vitu hivi. "kuwaza kuhusu hivi vitu" au "kukumbuka hivi vitu" + diff --git a/psa/108/001.md b/psa/108/001.md new file mode 100644 index 00000000..06187cf4 --- /dev/null +++ b/psa/108/001.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Moyo wangu uko thabiti, Mungu + +Hapa Daudi anajitambulisha kwa moyo wake. Pia, neno "thabiti" inamaanisha kuamini kabisa. "Moyo wangu uko thabiti kwako, Mungu" au "Nakuamini wewe kabisa, Mungu" + +# Nitaimba sifa pia na moyo wangu uliotukuzwa + +Hapa Daudi anajitambulisha kama kuwa na heshima ya kumsifu Mungu. "Unaniheshimu kwa kuniruhusu kukuimbia sifa" + +# Amka, kinanda na kinubi + +Hapa Daudi anaeleza kucheza vyombo kama kutembea kutoka usingizini. "Nitakusifu kwa kucheza kinanda na kinubi" + +# Nitaamsha alfajiri + +Hapa Daudi anaeleza alfajiri kuamka kama mtu kuamka asubuhi. "Nitakuwa nikikusifu alfajiri ifikapo" + +# alfajiri + +jua linapochomoza. + diff --git a/psa/108/003.md b/psa/108/003.md new file mode 100644 index 00000000..6cff6ba5 --- /dev/null +++ b/psa/108/003.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwa kuwa uaminifu wako wa agano ni mkuu ... uaminifu wako unafika mawinguni + +Misemo hii miwli ina maana ya kufanana. Inalinganisha ukuu wa uaminifu wa agano wa Yahwe na uaminifu wake kwa ukuu wa jinsi mbingu zilivyo juu ya nchi. "uaminifu wako wa agano na uaminifu wako ni zaidi ya umbali kati ya mbingu na nchi" + diff --git a/psa/108/005.md b/psa/108/005.md new file mode 100644 index 00000000..a8e7d5ac --- /dev/null +++ b/psa/108/005.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Utukuzwe Mungu, juu ya mbingu + +Mwandishi wa zaburi anamuomba Mungu kuonesha kuwa ametukuzwa. Kutukuzwa juu ya mbingu inaonesha kuwa mkuu. "Mungu, onesha kuwa umetukuzwa juu ya mbingu" au "Mungu, onesha kuwa umetukuzwa juu ya mbingu" au "Mungu, onesha kuwa wewe ni mkuu mbinguni" + +# utukufu wako uinuliwe + +Hapa Yahwe anaoneshwa kwa "utukufu" wake. "utukuzwe" + +# Ili wale uwapendao waokolewe + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Kwa sababu wale uwapendao wanahitaji kuokolewa" au "Okoa wale unaowapenda" + +# kwa mkono wako wa kuume + +Hapa "mkono wa kuume" wa Yahwe unamaanisha nguvu yake. "kwa nguvu yako" + +# nijibu + +Kumjibu hapa inamaanisha kujibu ombi lake. "jibu ombi langu" + diff --git a/psa/108/007.md b/psa/108/007.md new file mode 100644 index 00000000..6c3f22b2 --- /dev/null +++ b/psa/108/007.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +7]] + +# Mungu amezungumza katika utakatifu wake + +Hapa Daudi anaeleza Mungu kusema kitu kwa sababu ni mtakatifu kama kuzungumza "katika utakatifu wake," kana kwamba utakatifu wake ni kitu ambacho yuko ndani yake. "Mungu, kwa sababu ni mtakatifu, amesema" + +# Nitaigawa Shekemu na kuligawa bonde la Sukothi + +Hapa Mungu anazungumza kuhusu kuigawa nchi ya Shekemu na bonde la Sukothi. + +# kugawa + +kugawa katika vipande + +# Efraimu ni kofia yangu pia + +Mungu analizungumzia kabila la Efraimu kana kwamba lilikuwa jeshi lake. Kofia ya chuma inaashiria kifaa cha vita. "Efraimu ni kama kofia ya chuma niliochagua kwa ajili ya vita" au "Kabila la Efraimu ni jeshi langu" + +# kofia ya chuma + +Kofia ngumu ambayo askari huvaa kulinda vichwa vyao dhidi ya majeraha. + +# Yuda ni fimbo yangu + +Mungu alichagua watu kutoka kabila la Yuda kuwa wafalme wa watu wake, na analizungumzia hilo kabila kama vile ni fimbo yake. "Kabila la Yuda ni kama fimbo yangu" au "Yuda ni kabila ambayo natawalia watu wangu" + diff --git a/psa/108/009.md b/psa/108/009.md new file mode 100644 index 00000000..7b7c02ef --- /dev/null +++ b/psa/108/009.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +9]] + +# Moabu ni bakuli langu la kunawia + +Mungu anaizungumzia Moabu kutokuwa muhimu kana kwamba Moabu ilikuwa bakuli la kunawia au mtumishi wa chini sana. "Moabu ni kama bakuli ninalotumia kunawa" + +# juu ya Edomu niturusha kiatu changu + +Inawezekana kwamba Mungu alikuwa akizungumzia kuimiliki Edomu kana kwamba alikuwa akitupa kiatu chake kama ishara ya kuonesha kuwa anapamiliki. Lakini matoleo mengine yana tafsiri tofauti. "Ninaimiliki nchi ya Edomu" au "Ninarusha kiatu changu katika nchi ya Edomu kuonesha kuwa ni yangu" + diff --git a/psa/108/011.md b/psa/108/011.md new file mode 100644 index 00000000..5521e6e0 --- /dev/null +++ b/psa/108/011.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +12]], lakina angalia kuwa 108:11 haina maneno "Lakini wewe," kama mwanzo wa 60:10. + +# Mungu, je haujatukataa? + +Mwandishi wa zaburi anatumia swali hili kuonesha huzuni yake kwamba inaonekana Mungu amewakataa. "Inaonekana kama umetukataa" au "Mungu, unaonekana kututelekeza" + +# Hauendi vitani na jeshi letu + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia Mungu kulisaidia jeshi lao kana kwamba Mungu alikuwa akienda kupiga pamoja nao. "haulisaidii jeshi letu tunapoenda kupambana" + +# hauna maana + +"batili" + +# tutashinda + +kuwa na ushindi + +# atawakanyaga chini adui zetu + +Mwandishi wa zaburi anamzungumzia Mungu kusaidia jeshi lao kuwashinda maadui kana kwamba Mungu alikuwa wa kuwaganyaga chini maadui." "atatuwezesha kuwakanyaga chin maadui" au "atatufanya tuweze kuwashinda maadui wetu" + diff --git a/psa/109/001.md b/psa/109/001.md new file mode 100644 index 00000000..08f5d634 --- /dev/null +++ b/psa/109/001.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Kwa waovu na waongo + +Maneno "uovu" na "uongo" inamaanisha watu. Zina maana yakufanana na inasisitiza jinsi watu hawa walivyo waovu. "Kwa wanaume waovu na waongo" + diff --git a/psa/109/004.md b/psa/109/004.md new file mode 100644 index 00000000..a8784662 --- /dev/null +++ b/psa/109/004.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Baada ya upendo wangu wananikashifu + +"Ingawa niliwapenda, wananishtaki" + +# upendo wangu + +"upendo wangu kwao" + +# wananikashifu + +Wanaomkashifu ni wale watu waovu na waongo. + diff --git a/psa/109/006.md b/psa/109/006.md new file mode 100644 index 00000000..9b97bc32 --- /dev/null +++ b/psa/109/006.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Weka mtu mwovu ... weka mshitaki + +Misemo hii miwili iko sambamba na misemo "mtu mwovu" na "mshitaki" inamaanisha mtu yule yule. + +# kwenye mkono wake wa kuume + +"kwenye mkono wake wa kuume wa adui yangu" + +# Akihukumiwa, akutwe na hatia + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Anapokuwa anashtakiwa, hakimu ampate na hatia" + +# maombi yake yafikiriwa kuwa ya dhambi + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "fikiria maombi yake kama dhambi" + diff --git a/psa/109/008.md b/psa/109/008.md new file mode 100644 index 00000000..2be371a0 --- /dev/null +++ b/psa/109/008.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Siku zake ziwe chache + +Usemi huu "Siku zake" unamaanisha urefu wa maisha yake. "Asiishi maisha marefu" + +# ofisi yake + +"nafasi yake ya mamlaka" + +# misaada + +chakula au fedha inayopewa kwa ombaomba + +# nyumba zao zilizoharibika + +"waliangamiza nyumba" + diff --git a/psa/109/011.md b/psa/109/011.md new file mode 100644 index 00000000..63597f11 --- /dev/null +++ b/psa/109/011.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mdai + +mtu anayeazimisha fedha kwa mtu mwingine lakini anategemea huyo mtu alimpe. + +# wapore + +"waibe" + +# Watoto wake wakatwe; jina lao lifutwe + +Misemo hii miwili inamaana ya kufanana na inasisitiza watoto wake kuangamizwa. + +# Watoto wake wakatwe + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Kusababisha watoto wake kukatwa" au "Kusababisha watoto wake kufa" + +# jina lao lifutwe katika kizazi kijacho + +Hapa wazo la kutokuwepo na mtu kuendeleza jina la familia inazungumziwa kama "jina lao kufutwa." "asiwepo mtu kuendeleza jina lake" + diff --git a/psa/109/014.md b/psa/109/014.md new file mode 100644 index 00000000..4f61f43d --- /dev/null +++ b/psa/109/014.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Dhambi za mababu yake zitajwe kwa Yahwe + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Na ukumbuke dhambi za mababu zake, Yahwe" + +# na dhambi ya mama yake isisahaulike + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Na usisahau dhambi ambazo mama yake alitenda" + +# Na hatia yao daima iwe mbele ya Yahwe + +Hapa Daudi anazungumzia Yahwe kuwaza kuhusu hatia yao kana kwamba hatia yao ni kitu cha kimwili kilicho mbele yao. "Na Yahwe aendelee kufikiria kuhusu dhambi zao" + +# Yahwe akate kumbukumbu yao kutoka duniani + +Daudi anatumia neno "dunia" kumaanisha watu wote wanaoishi duniani. Pia, msemo "kumbukumbu yao" inamaanisha watu kuwakumbuka baada ya kufa. "na Yahwe afanye kwamba watu duniani wasiwakumbuke" + +# mtu huyu hajawahi kuhangaika kuonesha uaminifu wowote wa agano + +Hii inamaanisha yeye kuonesha uaminifu wa agano kwa watu. "mtu hakuhangaika kuonesha uaminifu wa agano kwa watu" + +# waliokandamizwa, wahitaji + +Hii inamaanisha watu waliokandamizwa na wahitaji. "watu waliokandamizwa, watu wahitaji" + +# waliovunjika moyo + +Hii inamaanisha watu waliovunjika moyo. "watu waliovunjika moyo" au "watu waliokata tamaa" + +# hadi kifo + +"hadi wafe." Hii inamaanisha kuwa aliwatesa hadi walipokufa. + diff --git a/psa/109/017.md b/psa/109/017.md new file mode 100644 index 00000000..6034d735 --- /dev/null +++ b/psa/109/017.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# na imrudie juu yake + +"laana zake zije juu yake" + +# Alijivika kwa kulaani kama vazi lake + +Daudi anazungumzia tabia ya mtu mwovu kana kwamba ni vazi lake. "Aliwalaani watu wengine mara nyingi kama avaavyo nguo. au "Aliwalaani watu muda wote" + +# kama vazi lake + +"kana kwamba yalikuwa mavazi yake" + +# laana ikaja kwake kama maji, kama mafuta kwenye mifupa yake + +Maana zinazowezekana ni: 1) Alizungumza laana sana hadi zikawa sehmu ya utambulisho wake. "laana anazozungumza ni sehemu yake alivyo" au 2) laana alizozizungumza zilimtokea yeye. "yeye mzima alilaaniwa kwa laana aliyozungumza" + +# kama maji + +Hii inamaanisha jinsi mtu alivyokunywa maji. "kama maji ambayo mtu hunywa" + +# kama mafuta kwenye mifupa yake + +Hii inamaanisha jinsi mafuta yanavozama kwenye mifupa yanapopakwa kwenye ngozi. "kama mafuta ya mzeituni yanavyozama kwenye mifupa ya mtu yanapopakwa kwenye ngozi yake" + diff --git a/psa/109/019.md b/psa/109/019.md new file mode 100644 index 00000000..39f160cb --- /dev/null +++ b/psa/109/019.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Laana zake ziwe kwake kama nguo avaazo kujifunika + +Watu walivaa nguo zao kila siku. Daudi anamzungumzia yeye kufunikwa na laana kama kufunikwa na nguo. "Acha laana zake ziwe juu yake kila siku kama nguo avaazo" + +# kama mshipi ambao hua huvaa + +Maneno haya yanaweza kuongezwa. "na acha laana zake daima ziwe juu yake kama mshipi auvaao" + +# Na hii iwe dhawabu yake + +"Na laana hizi ziwe dhawabu yake" + diff --git a/psa/109/021.md b/psa/109/021.md new file mode 100644 index 00000000..0f746f9c --- /dev/null +++ b/psa/109/021.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# unitendee kwa fadhila + +Hili ni ombi kwa Yahwe kumtendea kwa fadhila. "nitendee kwa fadhili" + +# kwa ajili ya jina lako + +"kwa ajili ya sifa yako" + +# nimekandamizwa na muhitaji + +Maneno haya mawili yana maana ya kufanana na yanasisitiza kuwa hawezi kujisaidia. + +# moyo wangu umeumia ndani yangu + +Hapa daudi anazungumzia kukata tamaa kama moyo wake kuumia. "nimejaa majonzi na kukata tamaa" + +# Ninafifia kama kivuli ... kama nzige + +Daudi anahisi kama anataka kufa na anaeleza hisia hii kwa kujifananisha na kivuli kinachofifia na jinsi upepo unavyopuliza nzige. "Nahisi kama nataka kufa, kama kivuli cha jioni kitakacho potea punde, kama nzige anavyopulizwa kirahisi na upepo" + diff --git a/psa/109/024.md b/psa/109/024.md new file mode 100644 index 00000000..dfd070a2 --- /dev/null +++ b/psa/109/024.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Magoti yangu yamechoka + +Hii inamaanisha kuwa ameishiwa nguvu na vigumu kwake kusima. "Nina wakati mgumu kusima" au "Mwili wangu umechoka" + +# kutokana na kufunga + +"kwa sababu sili chakula chochote" + +# Ninageuka kuwa ngozi na mifupa + +Hii inamaanisha amepoteza uzito mwingi. "mwili wangu umekonda sana" + +# Ninadharauriwa na washtaki wangu + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "washtaki wangu wananidhihaki" + +# wanatikisa vichwa vyao + +Hili ni tendo la kutokukubali. + diff --git a/psa/109/026.md b/psa/109/026.md new file mode 100644 index 00000000..1a50739d --- /dev/null +++ b/psa/109/026.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Na wajue + +Wanaozungumziwa ni washtaki wa Daudi na watu wanaosema vitu vibaya kumhusu. + +# umefanya hili + +"umeniokoa" + diff --git a/psa/109/028.md b/psa/109/028.md new file mode 100644 index 00000000..1316eea1 --- /dev/null +++ b/psa/109/028.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Ingawa wananilaani + +Wanaozungumziwa ni watu wanaomshtaki Daudi na kusema vitu vibaya kumhusu. + +# na waaibishwe + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "na waaibike" au "acha waaibike" + +# lakini watumishi wako wafurahi + +"lakini mimi, mtumishi wako, nifurahi" au "mimi ni mtumishi wako, acha nifurahi." Daudi anatumia msemo "mtumishi wako" kumaanisha ni yeye. + +# Na washindani wangu wavikwe ... na wavae + +Misemo hii miwili ina maana ya kufanana na inatumika kusisitiza jinsi anavyotamani sana waaibishwe. + +# wavikwe aibu + +Hapa Daudi anawazungumzia kuaibika kana kwamba ilikuwa vazi walilovaa. "waaibike sana" + +# na wavae aibu yao kama joho + +Daudi anawazungumzia kuaibika kana kwamba ilikuwa joho walilovaa. "na aibu yao iwafunike kama joho walilojifunika" + diff --git a/psa/109/030.md b/psa/109/030.md new file mode 100644 index 00000000..7ac97685 --- /dev/null +++ b/psa/109/030.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kwa mdomo wangu natoa + +Hii inamaanisha kuwa atazungumza. "Nitazungumza na kutoa" + +# atasimama mkono wa kuume wa yule aliye mhitaji + +Hii inamaanisha atamsaidia na kumtetea mtu maskini. "atamtetea mtu aliye mhitaji" + diff --git a/psa/110/001.md b/psa/110/001.md new file mode 100644 index 00000000..098387dc --- /dev/null +++ b/psa/110/001.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Keti mkono wangu wa kuume + +Msemo "mkono wangu wa kuume" unamaanisha sehemu ya heshima. "Keti sehemu ya heshima niliyokuandalia" + +# niwaweke adui zako chini ya miguu yako + +Hapa Dauddi anamuelezea Yahwe kuwaweka adui wa bwana wake chini ya uwezo na mamlaka yake kama kuwaweka chini ya miguu yake. "umewaweka adui zako chini ya uwezo wako" + diff --git a/psa/110/002.md b/psa/110/002.md new file mode 100644 index 00000000..db75cf44 --- /dev/null +++ b/psa/110/002.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Daudi anaendelea kuzungumza na mfalme + +# Yahwe ataishikilia fimbo ya nguvu yako + +Hapa Daudi anamzungumzia Yahwe kupanua eneo analotawala mfalme kama kushikilia fimbo yake. "Yahwe atapanua eneo ambalo unatawala kwa uwezo" + +# tawala juu ya adui zako + +"Mfalme, tawala kati ya adui zako." Hii inasemwa kwa mfalme kama amri. + +# kwa hiari yao wanyewe + +"kwa uamuzi wao." Hii inamaanisha watachagua kumfuata mfalme. + +# katika siku ya uwezo wako + +Hii inamaanisha siku ambayo mfalme atawaongoza watu wake vitani. Hii inaweza kuelezwa wazi. "katika siku utakapoliongoza jeshi lako vitani" + +# kutoka tumbo la alfajiri ... kama umande + +Daudi anaelezea umande kama mtoto ambaye anazaliwa na umande. "asubuhi ... kama umande" + +# kutoka tumbo la alfajiri ujana wako utakuwa kwako kama umande + +Daudi anamwambia mfalme kuwa atakuwa na nguvu za ujana kila asubuhi kwa kumfananisha na jinsi umande unavyotokeza mapema kila asubuhi. "kila asubuhi utajazwa na nguvu za ujana kukuhimili kama kila asubuhi umande unavyotokea kumwagilia na kuhimili ardhi" + diff --git a/psa/110/004.md b/psa/110/004.md new file mode 100644 index 00000000..15a6a1b9 --- /dev/null +++ b/psa/110/004.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wewe ni + +Yahwe anazungumza na bwana. + +# hautabadilika + +Hii inamaanisha kwamba hatabadili alichosema. "hatabadili mawazo yake" au "hatabadili alichosema" + +# baada ya mfano wa Melkizedeki + +Maneno yasiyokowepo yanaweza kuongezwa. "baada ya mfano alivyokuwa kuhani Melkizedeki" au "katika njia ile ile alivyokuwa kuhani Melkizedeki" + diff --git a/psa/110/005.md b/psa/110/005.md new file mode 100644 index 00000000..d9892eca --- /dev/null +++ b/psa/110/005.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Bwana yu mkono wako wa kuume + +Bwana anapokwenda vitani, Yahwe husimama mkono wake wa kuume ili kumsaidia. "Bwana anakusaidia vitani" + +# Bwana + +Neno "Bwana" linamaanisha Yahwe. + +# Atawaua + +Atakaye waua ni Yahwe. Atasababisha wafalme washindwe na kufa, lakini ataruhusu majeshi ya mfalme kuwaua waflame maadui. "Atasababisha wafalme wafe" au "Ataruhusu jeshi lako liwaue wafalme wote" + +# wafalme + +Hii inamaanisha adui zake. "wafalme adui" + +# katika siku ya hasira yake + +Hapa Daudi anazungumzia siku ambayo Yahwe atakasirika na kuwaangamiza wafalme kama "siku ya hasira yake." "katika siku ya hukumu ambapo uvumilivu wake utageuka kuwa hasira" + +# atajaza viwanja vya mapambano na miili iliyokufa + +Hii inamaanisha kuwa Yahwe atasababisha hiki kitokee, sio kwamba atawaua watu wote mwenyewe watakaokufa vitani. "atasababisha viwanja vya mapambano kujazwa na miili iliyokufa" + +# atawaua viongozi katika nchi nyingi + +Hii inamaanisha kuwa Yahwe atasababisha hiki kitokee, sio kwamba atawaua viongozi wenyewe. "atasababisha viongozi katika nchi nyingi kuuawa" au "ataruhusu viongozi katika nchi nyingi kufa" + diff --git a/psa/110/007.md b/psa/110/007.md new file mode 100644 index 00000000..8eec0ca4 --- /dev/null +++ b/psa/110/007.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Atakunywa kwenye kijito njiani + +Mfalme anasimama kidogo tu kwa ajili ya kinywaji na kisha anaendelea kuwafuatilia adui zake. "Akiwa anawafuatilia adui zake, atasimama tu kunywa kwenye kijito" + +# kwenye kijito + +Hii inamaanisha kuwa atakunywa maji kutoka kwenye kijito. Kijito ni mto mdogo. "atakunywa maji kutoka kwenye kijito" + +# na kisha + +"kwa hiyo" + +# atainua kichwa chake + +Maana zinazowezekana ni 1) mfalme anainua kichwa chake mwenyewe au 2) Yahwe anainua kichwa cha mfalme. + +# atainua kichwa chake juu baada ya ushindi + +Watu waliinua vichwa vyao walipokuwa washindi, walipojiamini na walipokuwa wenye furaha. "atainua kichwa chake kwa kujiamini baada ya ushindi" au "atakuwa mshindi" + diff --git a/psa/111/001.md b/psa/111/001.md new file mode 100644 index 00000000..7391ddb5 --- /dev/null +++ b/psa/111/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kihebrania. + +# kwa moyo wangu wote + +Hapa neno "moyo" inawakilisha mtu kamili na hisia. "kwa kila kitu nilivyo" + +# katika kusanyiko la wanyofu, katikati yao + +Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na inaweza kuunganishwa kama ikihitajika. "katika mkusanyiko wa watu wanyofu" + +# yanasubiriwa kwa hamu na wale wote wanaoyatamani + +Yanaosubiriwa ni "matendo ya Yahwe." HIi inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "wale wote wanaotamani kazi za Yahwe wanasubiri kwa hamu" + +# yanasubiriwa kwa hamu + +Maana zinazowezekana ni 1) "kutafuta" au 2) "kusoma" + diff --git a/psa/111/004.md b/psa/111/004.md new file mode 100644 index 00000000..7e0f88d1 --- /dev/null +++ b/psa/111/004.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ambayo yatakumbukwa + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "ambayo watu watakumbuka daima" + +# atakumbuka + +"ataitisha akilini" + +# matendo yake makuu + +"matendo yake yaliyoonesha nguvu yake" + +# urithi wa mataifa + +Mwandishi anazungumzia nchi iliyokuwa ya mataifa ya Kanaani kana kwamba ilikuwa urithi wao. "nchi iliyokuwa ya mataifa mengine" + diff --git a/psa/111/007.md b/psa/111/007.md new file mode 100644 index 00000000..c9097562 --- /dev/null +++ b/psa/111/007.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kazi za mikono yake + +Hapa neno "mikono" inamaanisha Yahwe, mwenyewe. "Kazi anazofanya" + +# Imethibitika milele + +Hii inamaanisha kuwa maelezo ya Yahwe hayabadiliki na yanadumu milele. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Amezithibitisha milele" au "Zitadumu milele" + +# kuangaliwa kwa uaminifu na vizuri + +Maana zinazowezekana ni 1) Yahwe ametoa maelezo yake katika namna ya uaminifu na iliyo sawa au 2) watu wake wanapaswa kuangalia maelezo ya Yahwe kwa namana ya uaminifu na iliyo sawa. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "kwa watu wake kuziangalia kwa uaminifu na vizuri" + +# mtakatifu na la ajabu ni jina lake + +Hapa neno "jina" linamaanisha Yahwe mwenyewe. "Yahwe ni mtakatifu na waajabu" + diff --git a/psa/111/010.md b/psa/111/010.md new file mode 100644 index 00000000..6dfe3cf6 --- /dev/null +++ b/psa/111/010.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mwanzo wa hekima + +Neno "hekima" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "hatua ya kwanza ya kuwa na hekima" au "kitu muhimu zaidi kuwa na hekima" + +# wale wanaobeba maelekezo yake + +"wale wanaotii maelezo yake" + +# Sifa yake huduma milele + +Neno "sifa" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "Watu watamsifu milele" + diff --git a/psa/112/001.md b/psa/112/001.md new file mode 100644 index 00000000..2994f1f9 --- /dev/null +++ b/psa/112/001.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# anayefurahi sana + +"unafurahia sana" + +# uzao wa mnyofu utabarikiwa + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Yahwe ataubariki uzao wa mtu mnyofu" + diff --git a/psa/112/003.md b/psa/112/003.md new file mode 100644 index 00000000..42075e86 --- /dev/null +++ b/psa/112/003.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mtu anayeimba wimbo huu anaendelea kumwelezea mtu anaye mheshimu sana Yahwe. + +# Mali na utajiri uko nyumbani mwake + +Hapa neno "nyumba" inamaanisha familia. Maneno "Mali" na "utajiri" yanamaanisha kitu kimoja na yanaashiria utajiri mkubwa. "Familia yake ilikuwa tajiri sana" + +# Nuru hung'aa gizani kwa ajili ya mtu mnyofu + +Mwandishi anamzungumzia Mungu kumbariki mtu mnyofu katika nyakati ngumu kana kwamba ilikuwa ni nuru inang'aa gizani. "Baraka ambayo mtu mnyofu anapokea kutoka kwa Mungu ni kama nuru inayong'aa gizani" + +# hukopesha fedha + +Taarifa inaweza kuwekwa wazi. "anakopesha fedha zake kwa watu wengine." + diff --git a/psa/112/006.md b/psa/112/006.md new file mode 100644 index 00000000..cdb52c54 --- /dev/null +++ b/psa/112/006.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mtu anayeimba wimbo huu anaendelea kumwelezea mtu anaye mheshimu sana Yahwe. + +# Kwa kuwa hatasogezwa + +hatasumbuliwa au kuzidiwa kwa hali yoyote kwa kuwa imani yake iko katika Yahwe. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "kwa kuwa hakuna kitu kitakachomsogeza" + +# kwa kuwa mtu mwenye haki atakumbukwa milele + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "watu watamkumbuka mtu mwenye haki milele" + diff --git a/psa/112/008.md b/psa/112/008.md new file mode 100644 index 00000000..ac8782ee --- /dev/null +++ b/psa/112/008.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mtu anayeimba wimbo huu anaendelea kumwelezea mtu anaye mheshimu sana Yahwe. + +# Moyo wake ni tulivu + +"Moyo wake umethibitika." Hapo neno "moyo" inaashiria mtu. Maana zinazowezekana ni 1) "yuko na amani" au 2) "Anajiamini" + +# haki yake hudumu milele + +"matendo yake yatadumu milele." + +# atatukuzwa na heshima + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Yahwe atamtukuza kwa kumpa heshima" + diff --git a/psa/112/010.md b/psa/112/010.md new file mode 100644 index 00000000..2c4fb88d --- /dev/null +++ b/psa/112/010.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ataona hili + +"ataona kuwa vitu vinaenda vizuri kwa mtu mnyofu." Neno "hili" linamaanisha kila kitu kizuri ambacho mwandishi alieleza katika mstari ulipoita kuhusu mtu mnyofu. + +# atasaga meno + +Kusaga meno ilikuwa ni ishara ya daharu. + +# kuyeyuka + +Mwandishi anamzungumzia hatima ya kifo cha mtu mwovu kana kwamba huyo mtu ni kitu, kama barafu inayoweza kuyeyuka. "hatimaye atakufa" + +# hamu ya watu waovu itaangamia + +Maana zinazowezekana za "hamu" ni 1) hamu ya kihisia waliyo nayo watu waovu. "vitu ambavyo watu waovu wanataka kufanya havitawahi kutokea" au 2) ni njia nyingine yakusema vitu ambavyo watu waovu wanatamani. "watu waovu watapoteza vitu wanavyotamani" + diff --git a/psa/113/001.md b/psa/113/001.md new file mode 100644 index 00000000..ae58c81e --- /dev/null +++ b/psa/113/001.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# jina la Yahwe + +Hapa neno "jina" linamaanisha Yahwe mwenyewe. "Yahwe" + diff --git a/psa/113/003.md b/psa/113/003.md new file mode 100644 index 00000000..72b7b62b --- /dev/null +++ b/psa/113/003.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kutoka maawio ya jua hadi kuzama kwake + +Hii inamaanisha upande wa mashariki ambapo jua linachomoka, na magharibi, ambapo jua linazama. Mwandishi anatumia tofauti hizi kuashiria kila sehemu duniani. "Kila sehemu duniani" + +# Jina la Yahwe linapaswa kusifiwa + +Hapa neno "jina" linamaanisha Yahwe mwenyewe. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "watu wanapaswa kumsifu Yahwe" + +# utukufu wake unafika juu ya mbingu + +Utukufu wa Mungu unazungumziwa kana kwamba ulikuwa juu sana. "utukufu wake uko juu zaidi ya mbingu" au "utukufu wake ni mkuu sana" + diff --git a/psa/113/005.md b/psa/113/005.md new file mode 100644 index 00000000..051fd98a --- /dev/null +++ b/psa/113/005.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ni nani kama Yahwe Mungu wetu ... duniani? + +Mwandishi anauliza swali kusisitiza kuwa hakuna mtu kama Yahwe. Hili swali la balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Hakuna kama Yahwe Mungu wetu ... duniani." + +# aliye na kiti chake juu + +"aliyesimikwa juu" au "anayetawala katika nafasi ya juu zaidi" + diff --git a/psa/113/007.md b/psa/113/007.md new file mode 100644 index 00000000..ac96e97d --- /dev/null +++ b/psa/113/007.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Anawainua maskini ... kutoka kwenye lundo la + +Misemo hii miwili ina usambamba. Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuwasaidia na kuwatukuza watu walio maskini kana kwamba Yahwe aliwasababisha kusimama kutoka kuketi kwenye vumbi na majivu. + +# kutoka mavumbini ...kutoka kwenye lundo la majivu + +Kukaa kwenye mavumbi au majivu kunaashiria kati ya umaskini au kukata tamaa. + +# ili aketi na wakuu , na wakuu wa watu wake + +Hapa msemo wa pili unaewka wazi kuwa msemo wa kwanza unamaanisha wakuu wa watu wa Yahwe. Misemo hii miwili inaweza kuunganishwa. "ili Yahwe amkalishe pamoja na wakuu wa watu wake" + diff --git a/psa/113/009.md b/psa/113/009.md new file mode 100644 index 00000000..dedd51d9 --- /dev/null +++ b/psa/113/009.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Anampa nyumba mwanamke aliyetasa + +Hapa "nyumba" inamaanisha watoto wanaoishi nyumbani. "Anampa watoto mwanamke ambaye hakuwanao" + diff --git a/psa/114/001.md b/psa/114/001.md new file mode 100644 index 00000000..01e9c936 --- /dev/null +++ b/psa/114/001.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Israeli iliondoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa wageni + +Mistari hii miwili ina usambamba, "Israeli" na "nyumba ya Yakobo" inamaanisha kitu kimoja na "Misri" na "watu wageni" inamaanisha watu wale wale. + +# nyumba ya Yakobo kutoka kwa wageni + +Neno "nyumba" hapa linamaansiha familia au uzao. Kitenzi kinaweza kuwekwa kwa ajili ya huu msemo. "uzao wa Yakobo ukaondoka kutoka kwa watu wageni" + +# Yuda pakawa mahali pake patakatifu, Israeli ufalme wake + +Maana zinazowezekana kwa ajili ya "Yuda" na "Israeli" ni 1) zinamaanisha nchi. "Nchi ya Yuda ikawa sehemu takatifu ya Yahwe, nchi ya Israeli ikawa ufalme wake" au 2) ni njia nyingine ya kusema watu wa Yuda na Israeli. "Watu wa Yuda wakawa miongoni mwa wale ambapo Yahwe aliishi, watu wa Israeli wakawa wale ambao aliwatala" + diff --git a/psa/114/003.md b/psa/114/003.md new file mode 100644 index 00000000..012bcc55 --- /dev/null +++ b/psa/114/003.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Bahari lilitazama na kutoroka + +Mwandishi anazungumzia bahari la Matete kana kwamba lilikuwa ni mtu aliyetoroka wakati Yahwe akiwaongoza watu wa Israeli kupita nchi kavu. "Ni kana kwamba bahari lilitazama na kutoroka" + +# Yordani ikageuka + +Mwandishi anazungumzia mto Yordani kana kwamba ni mtu aliyerudi nyuma wakati Yahwe akiwaongoza watu wa Israeli kwenye nchi kavu. "ilikuwa kana kwamba Yordani ilirudi" + +# Milima ikaruka kama kondoo dume, vilima vikaruka kama wanakondoo + +Mwandishi anazungumzia milima na vilima kana kwamba zilikuwa hai. Inawezekana anazungumzia tetemeko anapoelezea uoga wao kwenye uwepo wa Yahwe jinsi wanavyoruka kama kondoo dume na wanakondoo. "Ilikuwa kana kwamba milima ilitikisika kama kondoo dume wanaoruka na vilima vilitikisika kana kwamba wanakondoo wanavyoruka. + diff --git a/psa/114/005.md b/psa/114/005.md new file mode 100644 index 00000000..ac31bce1 --- /dev/null +++ b/psa/114/005.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mistari ya 5-6 ina maswali manne ya balagha. Jibu linalotarajiwa kwa kila swali linapatikana katika mstari wa 7, "kwa sababu ya uwepo wa Bwana." + +# uliruka kama kondoo dume ...uliruka kama wanakondoo + +Mwandishi anazungumzia milima na vilima kana kwamba zilikuwa hai. Inawezekana anazungumzia tetemeko anapoelezea uoga wao kwenye uwepo wa Yahwe jinsi wanavyoruka kama kondoo dume na wanakondoo. "Ilikuwa kana kwamba milima ilitikisika kama kondoo dume wanaoruka na vilima vilitikisika kana kwamba wanakondoo wanavyoruka. + +# Tetemeka dunia, mbele ya Bwana, kwenye uwepo wa Mungu wa Yakobo + +Misemo miwili ya mwisho ina usambamba. Kitenzi kinaweza kuwekwa kwenye mstari wa pili. "Tetemeka dunia, mbele ya Bwana, tetemeka mbele ya uwepo wa Mungu wa Yakobo" + +# Tetemeka dunia + +Maana zinazowezekana ni 1) mwandishi anazungumzia dunia kana kwamba ni mtu na anaiamuru kutetemeka kwa uoga mbele za Mungu au 2) neno "dunia" ni njia nyingine ya kusema wale wanaoishi duniani. "Tetemekeni, watu wote duniani" + diff --git a/psa/114/008.md b/psa/114/008.md new file mode 100644 index 00000000..e158fd3e --- /dev/null +++ b/psa/114/008.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Akageuza jiwe kuwa bwawa la maji, jiwe gumu kuwa chechemi ya maji + +Misemo hii mwili ina usambamba. Mwandishi anamuelezea Yahwe kusababisha maji kutiririka kutoka kwenye jiwe kana kwamba aliligeuza jiwe kuwa maji. + +# mwamba mgumu kuwa chechemi ya maji + +Kitenzi kinaweza kutolewa kuwekwa kwenye msemo uliopita. "Akageuza jiwe gumu kuwa chemchemi ya maji" + diff --git a/psa/115/001.md b/psa/115/001.md new file mode 100644 index 00000000..7438ce78 --- /dev/null +++ b/psa/115/001.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Sio kwetu, Yahwe, sio kwetu + +Mwandishi anarudia msemo "sio kwetu" ili kusisitiza kwamba hawastahili kupokea heshima anayostahili Yahwe pekee. "Usilete heshima kwetu, Yahwe" + +# kwetu + +Neno "kwetu" linamaanisha watu wa Israeli. + +# lakini kwa jina lako leta utukufu + +Hapa neno "jina" linaashiria Yahwe mwenyewe. "lakini leta utukufu kwako mwenyewe" + +# kwa ajili ya uaminifu wako wa agano + +"kwa sababu ya uaminifu wako wa agano" + +# Kwa nini mataifa yaseme, "Yuko wapi Mungu wao?" + +Hili swali la balagha linasisitiza kuwa hakuna sababu ya mataifa kusema wanayosema. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Watu wa mataifa hawatakiwa kuwa na uwezo wa kusema, 'Yuko wapi Munguwao?'" + +# Yuko wapi Mungu wao? + +Watu wa mataifa mengine wanatumia swali hili kuwadhihaki watu wa Israeli na kuonesha kuwa hawaoni Yahwe akiwasaidia. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Mungu wenu hayupo hapa kuwasaidia" + diff --git a/psa/115/003.md b/psa/115/003.md new file mode 100644 index 00000000..c8559e1b --- /dev/null +++ b/psa/115/003.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kazi ya mikono ya watu + +Hapa neno "mikono" inaashiria watu waliotengeneza hizo sanamu. "vitu ambavyo watu wametengeneza" + diff --git a/psa/115/005.md b/psa/115/005.md new file mode 100644 index 00000000..42b5bc60 --- /dev/null +++ b/psa/115/005.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Hizo sanamu zina midomo + +Sanamu hazina midomo ya kweli, macho, maskio, au pua za kweli. Lakini, watu wamewaunda na mifano ya midomo, macho, maskio, na pua. Mwandishi anasisitiza kuwa sanamu haziko hai kweli. "Watu wamezipa midomo hizo sanamu" + diff --git a/psa/115/007.md b/psa/115/007.md new file mode 100644 index 00000000..0ee5f89d --- /dev/null +++ b/psa/115/007.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hizo sanamu zina midomo + +Sanamu hazina midomo ya kweli, macho, maskio, au pua za kweli. Lakini, watu wamewaunda na mifano ya midomo, macho, maskio, na pua. Mwandishi anasisitiza kuwa sanamu haziko hai kweli. "Watu wamezipa midomo hizo sanamu" + +# lakini hawahisi + +"lakini mikono hio haihisi" + +# Wale wanaozitengeneza ni kama hizo sanamu, kama alivyo kila mtu anayezitegemea + +Wale wanaounda na kuabudu sanamu wanakuwa bila uhai na wasio na nguvu , kama hizo sanamu. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "Wale wanaozitengeneza wanakosa uhai kama hizo sanamu, kama watu wengine wote wanaozitumaini" + diff --git a/psa/115/009.md b/psa/115/009.md new file mode 100644 index 00000000..d10f3f1e --- /dev/null +++ b/psa/115/009.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Israeli, mtumainini Yahwe + +Neno "Israeli" linaashiria watu wa Israeli. "watu wa Israeli, mtumainini Yahwe" + +# msaada wenu na ngao + +Mwandishi anamzungumzia Yahwe kana kwamba ni ngao kwa sababu anawalinda watu wake kama ngao inavyowalinda kutokana na madhara. "yule ambaye anawasaidia na kuwalinda" + +# Nyumba ya Haruni + +Hapa neno "nyumba" linamaanisha familia au uzao. Msemo huu unamaanisha makuhani, walikuwa uzao wa Haruni. "Uzao wa Haruni" au "Makuhani" + diff --git a/psa/115/012.md b/psa/115/012.md new file mode 100644 index 00000000..27ad8200 --- /dev/null +++ b/psa/115/012.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# tuangali + +"ametuangalia kwa makini" + +# familia ya Israeli + +Hii inamaanisha watu wa Israeli, ambao ni uzao wa Yakobo, ambaye pia aliitwa Israeli. "watu wa Israeli" + +# familia ya Haruni + +Hii inamaanisha makuhani, ambao ni uzao wa Haruni. "Uzao wa Haruni" au "Makuhani" + +# wote wachanga na wazee + +"wote wadogo na wakubwa." Maana zinazowezekana ni kwamba hii inaashiria 1) hadhi katika jamii au 2) umri. Vyovyote vile, tofauti hizi mbili zinawakilisha kila mtu, bila kujali umri au hadhi katika jamii. + +# Na Yahwe aongeze idadi yenu zaidi na zaidi + +Mwandishi anazungumzia idadi ya watoto ambayo watu wa Israeli watakuwa nayo. "Na Yahwe awazidishie idadi ya watoto wenu zaidi na zaidi" + +# yenu na ya uzao wenu + +"wote watoto wenu na uzao wa watoto wenu." Mwandishi anaweka wazi kuwa ombi lake kwa ajili ya watoto zaidi halimaansihi kizazi cha sasa tu bali kwa uzao wao pia. + diff --git a/psa/115/015.md b/psa/115/015.md new file mode 100644 index 00000000..e055325f --- /dev/null +++ b/psa/115/015.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Na mbarikiwe na Yahwe, aliyeumba mbingu na nchi + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Na Yahwe, aliyeumba mbingu na nchi, awabariki" + +# dunia amempa mwanadamu + +Hii haimaanishi kuwa dunia si mali ya Yahwe, lakini amewapa binadamu dunia kama sehemu ya makao. + diff --git a/psa/115/017.md b/psa/115/017.md new file mode 100644 index 00000000..23434a3a --- /dev/null +++ b/psa/115/017.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wafu + +Kivumishi "wafu" kinaweza kutafsiriwa na msemo wa nomino. "Watu waliokufa" + +# wala yeyote anayeenda chini palipo nyamaza + +Msemo huu wa usambamba unamaana sawa na msemo uliopita. Kitenzi kinaweza kuwekwa kutoka kwenye msemo uliopita kuweka maana yake wazi. "wala yeyote aendaye chini palipo nyamaza kumsifu Yahwe" + +# wala yeyote anayeenda chini kunyamaza + +Mwandishi anazungumzia kaburi au sehemu ya wafu kama sehemu iliyo nyamaza ambapo hakuna awezaye kuzungumza. Hii ni tasifida ya kifo. "wala yeyote anayeenda sehemu ya wafu" + +# Lakini sisi + +Neno "sisi" linamaanisha watu wa Israeli walio hai bado. + diff --git a/psa/116/001.md b/psa/116/001.md new file mode 100644 index 00000000..bee24cb4 --- /dev/null +++ b/psa/116/001.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# husikia saauti yangu na maombi yangu ya huruma + +Hapa neno"sauti" linawakilisha mtu anayeongea. Msemo, "maombi yangu ya huruma" unaeleza anachokisema. "hunisikia ninapojieleza kwa ajili ya huruma" + diff --git a/psa/116/003.md b/psa/116/003.md new file mode 100644 index 00000000..90bea924 --- /dev/null +++ b/psa/116/003.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taaarifa ya Jumla: + +Mtu aliyetunga zaburi hii anaendelea kuzungumza. + +# Kamba za kifo zilinizunguka + +Mwandishi anazungumzia kifo kanakwambani mtu anayeweza kumshika na kumfunga kwa kamba. "Nilihisa kama nataka kufa" + +# mitego ya kuzimu ilinikabili + +Mwandishi anazungumzia "kuzimu," mahali pa wafu, kana kwambani mtu anayeweza kumtega kwamitego. "Nilihisi kama niko tayari kuingia kaburini" + +# nikalita jina la Yahwe + +Hapa neno "jina" linaashiria Yahwe mwenyewe. "nikamwita Yahwe" + +# okoa maisha yangu + +Hapa neno "maisha" linaashiria mtu. "niokoe" au "niepushe na kufa" + diff --git a/psa/116/005.md b/psa/116/005.md new file mode 100644 index 00000000..3844aa7a --- /dev/null +++ b/psa/116/005.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mtu aliyetengeneza wimbo huu anaendelea kuzungumza. + +# wasio na hila + +Hii inamaanisha watu wasikuwa na uzoefu au hawawezi kujitunza. Kivumizhi kinaweza kutafsiriwa kama msemo wanomino. "wale wasio na hila" au "wale wasiojiweza" + +# nililetwa chini + +Mwandishi anazungumzia kunyenyekeshwa kama kuwa nafasi ya chini zaidi. "Nilikuwa sijiwezi" + diff --git a/psa/116/007.md b/psa/116/007.md new file mode 100644 index 00000000..96445370 --- /dev/null +++ b/psa/116/007.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mtu aliyetunga zaburi hii anaendelea kuzungumza. + +# Nafsi yangu inaweza kurudi sehemu yake ya kupumzika + +Mwandishi anazungumzia kuwa na amani na ujasiri kana kwamba ilikuwa ni sehemu ambapo nafsi yake ingeweza kupumzika. Neno "nafsi" linawakilisha mtu. "Ninaweza kupumzika kwa amani tena" + +# uliokoa maisha yangu na kifo + +Aliyemwokoa ni Yahwe. Neno "maisha" yanaashiria mtu. "umeniokoa na kifo" au "umeniepusha na kifo" + +# macho yangu na machozi + +Msemo wa kitenzi unawaweza kuwekwa kutoka msemo uliopita kuweka maana wazi. "umeokoa macho yangu na machozi" au "umeniepusha na kulia" + +# miguu yangu na kuanguka + +Msemo wa kitenzi unawaweza kuwekwa kutoka msemo uliopita kuweka maana wazi. Miguu hapa inaashiria mtu. Kuanguka hapa inaweza kuwa inamaanisha kuuliwa na adui zake. "umeniokoa na kuanguka" au "umeniepusha na kuuliwa na adui zangu" + diff --git a/psa/116/009.md b/psa/116/009.md new file mode 100644 index 00000000..79a63325 --- /dev/null +++ b/psa/116/009.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mtu aliyetunga zaburi hii anaendelea kuzungumza. + +# katika nchi ya walio hai + +"kwenye dunia hii ambapo watu wako hai." Hii ni tofauti na sehemu ya wafu. + +# Nimeumizwa sana + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Ninahangaika sana" au "Watu wananiumiza sana" + +# Nikasema haraka + +"Nikasema haraka sana" au "Nikasema bila kutafakari" + +# Wanaume wote ni waongo + +"Kila mtu ni muongo" au "Watu wote ni waongo" + diff --git a/psa/116/012.md b/psa/116/012.md new file mode 100644 index 00000000..0a0fd4f7 --- /dev/null +++ b/psa/116/012.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mtu aliyetengeneza wimbo huu anaendelea kuzungumza. + +# Nitamlipaje Yahwe ... kwangu? + +Mwandishi anauliza swali hili kutambulisha jinsi atakavyojibu kwa yale Yahwe aliyofanya. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Hivi ndivyo nitakavyomlipa Yahwe ... kwangu." + +# Nitainua kikombe cha wokovu + +Hii inawezekana kuwa marejeo ya kinywaji, ambayo ilikuwa ni sadaka iliyohusisha kumwaga divai katika madhabahu, na ambayo mwandishi atatoa kwa Yahwe kwa kumwokoa. "Nitatoa sadaka ya kinywaji kwa yahwe kwa kuwa ameniokoa" + +# kuliita jina la Yahwe + +Hap neno "jina" limwakilisha Yahwe mwenyewe. "kumwita Yahwe" + +# Ya thamani machoni pa Yahwe mauti ya watakatifu wake + +Neno "thamani" hapa haimaanishi kuwa Yahwe anathamini vifo vya watakatifu wake, lakini vifo vya watakatifu wake vinamgharimu na kumhuzunisha. Msemo "machoni pa" inawakilisha moyo wa Yahwe kwenye kitu anachokiona. "Yahwe anaona kuwa vifo vya watakatifu wake ni jambo la gharama" + diff --git a/psa/116/016.md b/psa/116/016.md new file mode 100644 index 00000000..f22e843a --- /dev/null +++ b/psa/116/016.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mtu aliyetunga zaburi hii anaendelea kuzungumza. + +# mwana wa mtumishi wako mwanamke + +Hii inawezekana kuwa mrejeo wa mama yake mwandishi na inaashiria kuwa alimwabudu Yahwe kwa uaminifu. Maana kamili inaweza kuwekwa wazi. "kama mama yangu alivyokuwa" + +# umenitolea pingu zangu + +Mwandishi anazungumzia kuwa hatarini kufa kana kwamba alikuwa amefungwa gerezani."umeniokoa na kifo" + +# sadaka ya shukrani + +"sadaka kuonesha shukrani yangu" + +# kuliita jina la Yahwe + +Hapa neno "jina" linamwakilisha Yahwe mwenyewe. "kumwita Yahwe" + diff --git a/psa/116/018.md b/psa/116/018.md new file mode 100644 index 00000000..b030658e --- /dev/null +++ b/psa/116/018.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mtu aliyeandika wimbo huu anaendelea kuzungumza. + +# Nitatimiza ... watu wake wote + +"Nitatimiza nadhiri zangu kwa Yahwe ili watu wote waone" + +# katika baraza la nyumba ya Yahwe + +Neno "nyumba" linamaanisha hekalu ya Yahwe. "katika baraza la hekalu ya Yahwe" + +# katikati yako, Yerusalemu + +Mwandishi anazungumza na Yerusalemu kana kwamba anazungumza na mtu. "katika Yerusalemu" + diff --git a/psa/117/001.md b/psa/117/001.md new file mode 100644 index 00000000..6ffbc9a5 --- /dev/null +++ b/psa/117/001.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa + +"Kwa sababu" + +# uaminifu wake wa agano ni mkubwa kwetu + +"uaminifu wake wa agano kwetu ni mkubwa " + +# unadumu milele + +"upo milele" + diff --git a/psa/118/001.md b/psa/118/001.md new file mode 100644 index 00000000..aadb8f15 --- /dev/null +++ b/psa/118/001.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Mpeni Yahwe shukrani, kwa kuwa ni mwema + +"Mshukuruni Yahwe kwa mambo mema ambayo huwa anafanya" + +# Uaminifu wake wa agano unadumu milele + +"Anatupenda kwa uaminifu milele" + +# Acha israeli iseme + +Neno "Israeli" linawakilisha watu wa Israeli. "Acha watu wa Israeli waseme" + diff --git a/psa/118/003.md b/psa/118/003.md new file mode 100644 index 00000000..d1fd37e4 --- /dev/null +++ b/psa/118/003.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Acha nyumba ya Haruni iseme + +Hapa neno "nyumba" linawakilisha familia na uzao wa mtu. Msemo huu unamaanisha makuhani, ambao walikuwa uzao wa Haruni. "Acha uzao wa Haruni useme" au "Acha makuhani waseme" + +# Uaminifu wake wa agano unadumu milele + +"Anatupenda kwa uaminifu milele" + +# wafuasi waaminifu wa Yahwe + +"wale wanaomcha Yahwe" au "wale wanaomwabudu Yahwe" + diff --git a/psa/118/005.md b/psa/118/005.md new file mode 100644 index 00000000..4cdf841f --- /dev/null +++ b/psa/118/005.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# akaniweka huru + +Mwandishi anazungumzia Yahwe kumwokoa kutoka kwenye huzuni kana kwamba Yahwe alimtoa kutoka sehemu ya kifungo hadi sehemu pana ya wazi ambapo angeweza kusogea kwa uhuru. + +# mtu atanifanya nini? + +Mwandishi anauliza swali hili balagha kusisitiza kuwa hakuna kitu ambacho mtu anaweza kufanya kumuumiza kwa kuwa Yahwe yuko pamoja naye. "watu hawawezi kufanya chochote kunidhuru" + +# Yahwe yuko upande wangu kama msaidizi wangu + +Kuwa upande wa mtu ni lahaja inayoashiria kuwa mtu anakubaliana na atamsaidia mtu mwingine. "Yahwe ananikubali na atanisaidia" + +# nitatazama kwa ushindi juu ya wale wanaonichukia + +Inadokezwa kuwa Yahwe ndiye atakayewashinda adui wa mwandishi, wakati mwandishi akitazama. "Nitamwona Yahwe akiwashinde wote wanaonichukia" + diff --git a/psa/118/008.md b/psa/118/008.md new file mode 100644 index 00000000..d21d0b2e --- /dev/null +++ b/psa/118/008.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kujihifadhi kwa Yahwe + +Mungu anazungumziwa kana kwamba ni kivuli, sehemu ambayo watu wanaweza kulindwa. "kutafuta ulinzi kutoka kwa Yahwe" + +# kumkimbilia Yahwe + +Mstari huu una usambamba na ule uliopita. Mungu anazungumziwa kana kwamba ni kimbilio, sehemu ambayo watu wanaweza kulindwa. "kutafuta ulinzi kutoka kwa Yahwe" + diff --git a/psa/118/010.md b/psa/118/010.md new file mode 100644 index 00000000..087f60e2 --- /dev/null +++ b/psa/118/010.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mataifa yote + +Hapa neno "mataifa" inawakilisha majeshi ya mataifa hayo. Mwandishi anatumi kukuza kwa neno kusisitiza idadi kubwa ya majeshi yaliyomzunguka. "Majeshi ya mataifa mengi" + +# katika jina la Yahwe + +Hapa neno "jina" linawakilisha nguvu ya Yahwe. "kwa nguvu ya Yahwe" + +# ninawakata + +Mwandishi anazungumzia kuyashinda majeshi ya adui kana kwamba alikuwa akiyakata kama mtu anavyokata tawi kwenye mmea. "niliwashinda" + +# wananizunguka kama nyuki + +Mwandishi analinganisha majeshi ya adui na kundi kubwa la nyuki yatamzunguka mtu" + +# walipotea haraka kama moto kwenye miiba + +Kama miiba iliyokauka inavyowaka upesi, mashambulizi ya majeshi ya adui yaliisha ghafla. "mashambulizi yao yalidumu kwa muda mfupi, kama moto unaoteketeza miiba unavyoisha upesi" + diff --git a/psa/118/013.md b/psa/118/013.md new file mode 100644 index 00000000..1a5c1b25 --- /dev/null +++ b/psa/118/013.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kuniangusha chini + +Mwandishi anazungumzia majeshi ya adui kujaribu kumshinda kana kwamba walikuwa wakijaribu kumsukuma ardhini. "ili kunishinda mimi" + +# Yahwe ni nguvu yangu na furaha yangu + +"Yahwe hunipa nguvu na furaha" + diff --git a/psa/118/015.md b/psa/118/015.md new file mode 100644 index 00000000..530de3de --- /dev/null +++ b/psa/118/015.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sauti ya kelele ya ushindi inasikika katika mahema ya wenye haki + +"Watu husikia kelele ya furaha katika mahema ya wenye haki" au "Wenye haki wanapiga kelele kwa furaha ya ushindi kwenye mahema yao" + +# mkono wa kuume wa Mungu unashinda + +Hapa neno "mkono" linawakilishi uwezo wa Yahwe. "Yahwe ameshinda kwa nguvu yake kuu" + +# mkono wa kuume wa Mungu unashinda + +Hapa, kuinua mkono ni ishara ya ushindi. "Yahwe ameinua mkono wake wa kuume" au "Yahwe ameinua mkono wake wa kuume kwa ushindi" + diff --git a/psa/118/017.md b/psa/118/017.md new file mode 100644 index 00000000..efc826ca --- /dev/null +++ b/psa/118/017.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sitakufa, bali nitaishi + +Mwandishi anaeleza wazo moja kwa njia hasi na chanya kusisitiza kuwa hakika ataishi. + +# Yahwe ameniadhibu + +"Yahwe amenifundisha" + +# hajanikabidhi kwa mauti + +Mwandishi anazungumzia mauti kana kwamba ni mtu ambaye Yahwe anaweza kumweka mtu chini ya uwezo wake. "hajaniruhusu kufa" au "hajawaruhusu adui zangu kuniua" + diff --git a/psa/118/019.md b/psa/118/019.md new file mode 100644 index 00000000..8b12a0b4 --- /dev/null +++ b/psa/118/019.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nifungulie malango ya haki + +Nifungulie malango ambayo watu wenye haki hupita." Hii inamaanisha malango ya hekalu, na mwandishi anawaambia walinzi wa malango. "Nifungulieni malango ya hekalu" + +# lango la Yahwe + +"lango unaowaongoza watu kuelekea katika uwepo wa Yahwe " au "lango la Yahwe" + +# nitatoa shukrani kwako + +Hapa mwandishi anaanza kuzungumza na Yahwe. + +# umekuwa wokovu wangu + +"uliniokoa" + diff --git a/psa/118/022.md b/psa/118/022.md new file mode 100644 index 00000000..b2880626 --- /dev/null +++ b/psa/118/022.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Jiwe ambalo wajensi walikataa limekuwa jiwe kuu la pembeni + +Hii inaweka kuwa mithali ambayo mwandishi ametumia kuelezea mojawapo kati ya mfalme ya taifa la Israeli. Lile ambalo watu wameona halifai, Yahwe amelifanya kuwa la muhimu zaidi. + +# ni la ajabu machoni petu + +Maana zinazowezekana ni 1) "ni jambo la ajabu kwetu kuona" au 2) "tunaona kuwa jambo la ajabu ." + diff --git a/psa/118/024.md b/psa/118/024.md new file mode 100644 index 00000000..dbce8f83 --- /dev/null +++ b/psa/118/024.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# tutashangilia na kufurahi + +Misemo hii inamaana moja na inasisitiza uzito wa furaha. "tutashangilia sana" + diff --git a/psa/118/026.md b/psa/118/026.md new file mode 100644 index 00000000..391c44e9 --- /dev/null +++ b/psa/118/026.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Amebarikiwa anayekuja kwa jina la Yahwe + +Hapa makuhani wanaanza kuzungumza na mfalme. + +# anayekuja kwa jina la Yahwe + +Hapa neno "jina" linawakilisha uwezo wa Yahwe. "yule anayekuja katika nguvu ya Yahwe" + +# tutakubariki kutoka katika nyumba ya Yahwe + +Hapa makuhani wanazungumza na watu. + +# nyumba ya Yahwe + +Neno "nyumba" linamaanisha hekalu. "hekalu la Yahwe" + +# ametupa nuru + +Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuwabariki watu wake kana kwamba Yahwe anamulika mwanga juu yao. "ametubariki" + +# funga sadaka kwa kamba + +"kaza sadaka kwa kamba" + +# Wewe ni Mungu wangu + +Hapa mwandishi anaanza kuzungumza tena na anazungumza na Yahwe moja kwa moja. + diff --git a/psa/118/029.md b/psa/118/029.md new file mode 100644 index 00000000..d8b384be --- /dev/null +++ b/psa/118/029.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# O + +Huu ni mshangao. + +# mpeni Yahwe shukrani; kwa kuwa ni mwema + +"Mshukuruni Yahwe kwa mambo mema ambayo huwa anafanya" + +# uaminifu wake wa aganounadumu milele + +"anatupenda kwa uaminifu milele." + diff --git a/psa/119/001.md b/psa/119/001.md new file mode 100644 index 00000000..8f3b0f2c --- /dev/null +++ b/psa/119/001.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# ALEFU + +Hili ni jina la herufi ya kwanza ya alfabeti ya Kihebrania. + +# Wamebarikiwa wale + +"Ni vizuri vikoje kwa wale" + +# wale ambao njia zao hazina lawama + +Jinsi mtu anavyotenda inazungumziwa kama "njia." "wale ambao tabia zao hazina lawama" au "wale ambao hakuna anayeweza kuwalaumu kwa kutenda makosa" + +# wanao tembea katika sheria ya Yahwe + +Jinsi mtu anavyoishi au kutenda inazungumziwa kama kutembea. "wanaoishi kulingna na sheria ya Yahwe" au "wanaotii sheria ya Yahwe." Msemo huu unaweka wazi maana ya "ambao njia zao hazina lawama." + +# wanaomtafuta kwa moyo wao wote + +"Kumtafuta" Mungu inamaanisha kutaka kumjua. + +# kwa moyo wao wote + +Hii ni lahaja inayomaanisha kwa nguvu au kwa ukweli. "kwa hali yao yote" au "kwa kila kitu ndani yao" au "kwa kweli" + diff --git a/psa/119/003.md b/psa/119/003.md new file mode 100644 index 00000000..535629ed --- /dev/null +++ b/psa/119/003.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Sehemu kubwa ya zaburi hii inaelekezwa kwa Mungu, na maneno "wewe" na "zako" mara nyingi zinamaanisha yeye. + +# Hawafanyi kosa + +Hawamkaidi Yahwe + +# wanatembea katika njia zake + +"wanatembea katika njia za Yahwe." Hapa tabia yao inazungumziwa kama "kutembea," na jinsi Mungu anavyoteka waenende inazungumziwa kama "njia zake." "wanaenenda kama Yahwe anavyotaka waenende" + +# kutunza maagizo wako + +"kutii vitu vyote ambavyo umesema tunapaswa kufanya" + +# tuziangalie kwa uangalifu + +Hii ni kujua kwa umakni na kuelewa amri na kuzitii hizo amri. + diff --git a/psa/119/005.md b/psa/119/005.md new file mode 100644 index 00000000..dc4286df --- /dev/null +++ b/psa/119/005.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nitawekwa thabiti + +Mwandishi anazungumzia kuimarishwa katika amri za Mungu kana kwamba hakuna mtu anayeweza kumsogeza kimwili. + +# kuangalia sheria zako + +"katika kutii sheria zako" + +# sitaaibishwa + +Mwandishi hataki kuaibishwa akiwa katika uwepo wa Mungu. + +# amri zako zote + +"yote uliyo tuamuru" + diff --git a/psa/119/007.md b/psa/119/007.md new file mode 100644 index 00000000..fadb2376 --- /dev/null +++ b/psa/119/007.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# moyomnyofu + +"moyo wa ukweli." Mtu ambaye ni mkweli atafanya kilicho sawa. Moyo unamaanisha kiini cha hisia ndani ya mtu. + +# sheria zako + +"Sheria" inamaanisha sheria au amri za Mungu. + diff --git a/psa/119/009.md b/psa/119/009.md new file mode 100644 index 00000000..d4bbe097 --- /dev/null +++ b/psa/119/009.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# BETH + +Hili ni jina la herufi ya pili ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari katika mistari ya 9-16 unaanza na herufi hii. + +# Kijana atasafishaje njia yake? + +Swali hili linatumika kutambulisha faida mpya katika neno la Mungu. Swali hili balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Hivi ndivyo kijana anavyoweza kusafisha njia yake" + +# atasafishaje njia zake + +Mwandishi anafananisha kuishi kulingana na sheria ya Mungu kama njia unayowekwa wazi bila vikwazo. + +# Kwa moyo wangu wote + +Hii ni lahaja. Moyo unawakilishi hisia, hamu, na mapenzi ya mtu. "kwa hali yangu yote" au "kwa kila kitu ndani yangu" au "kwa ukweli" + +# Usiniache nipotea kutoka katika amri zako + +Hapa kutotii amri za Mungu inaelezwa kama kupotoka njia. "Usiniache nikaidi amri zako" + diff --git a/psa/119/011.md b/psa/119/011.md new file mode 100644 index 00000000..dd77d015 --- /dev/null +++ b/psa/119/011.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nimetunza neno lako moyoni mwangu + +"Nimeweka maneno yako moyoni mwangu." Hii ni sitiari inayomaanisha "Nimekalili neno lako." Moyo unaoneshwa kama chombo kinachoweza kutunza kile ambacho watu wanafikiri. + diff --git a/psa/119/013.md b/psa/119/013.md new file mode 100644 index 00000000..5e7ca36e --- /dev/null +++ b/psa/119/013.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# zaidi ya utajiri wote + +"zaidi ya mali zote" + diff --git a/psa/119/015.md b/psa/119/015.md new file mode 100644 index 00000000..f11204c4 --- /dev/null +++ b/psa/119/015.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nitatafakari ... na kuzingatia + +Haya ni mawazo ya usambamba yenye maana ya kufanana, zinazotenganishwa kwa ajili ya mkazo. + +# Nitatafakari maagizo yako + +"kuwaza kwa umakini kuhusu ulichotuelekeza" + +# kuzingatia + +Lahaja hii inamaanisha kuwaza vizuri kuhusu kinachojadiliwa. "kuwaza kwa makini" + +# Nafurahi + +kufurahi katika + diff --git a/psa/119/017.md b/psa/119/017.md new file mode 100644 index 00000000..8f41859d --- /dev/null +++ b/psa/119/017.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# GIMELI + +Hili ni jina la herufi ya tatu ya alfabeti ya Kihebrabia. Katika lugha ya Kihebrania, kila mstari wa mistari ya 17-24 unaanza na herufi hii. + +# mtumishi wako + +Mwandishi alijiita "mtumishi wako" kuonesha unyenyekevu. + +# Fungua macho yangu ili nione + +Mwandishi anazungumzia kupata uelewa, maarifa na hekima kama kuweza kuona. "Nisaidie nielewe" + +# mambo ya ajabu katika sheria yako + +Mwandishi anazungumzia utambuzi wa sheria kama vitu vya kustaajabu. + +# katika sheria yako + +"katika maagizo yako" au "katika amri zako" + diff --git a/psa/119/019.md b/psa/119/019.md new file mode 100644 index 00000000..3ef5ceac --- /dev/null +++ b/psa/119/019.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mimi ni mgeni katika nchi + +Maana zinazowezekana ni 1) mwandishi anazungumzia maisha yake mafupi duniani kana kwamba ni mgeni ambaye hatakuwa katika nchi kwa muda mrefu. "Mimi ni kama mgeni anayeishi kwa mudamfupi katika nchi" au 2) ujinga wa mwandishi wa sheria ya Mungu ni kana kwamba alikuwa mgeni ambaye hakuwa anajua sheria za nchi. "Sijui kama mgeni katika nchi" + +# Hamu zangu zinapondwa kwa shauku + +Mwandishi anazungumzia hamu yake ya kuwa imara kama alikuwa katika maumivu. "Hali yangu ya ndani inatamani sana kukujua" au "Nafsi yangu inaumia kwa sababu nataka sana kujua" + diff --git a/psa/119/021.md b/psa/119/021.md new file mode 100644 index 00000000..d8c048ea --- /dev/null +++ b/psa/119/021.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# waliolaaniwa + +Maana zinazowezekana ni 1) Mungu atawalaani au 2) wanastahili adhabu ya Mungu. "wanaostahili adhabu yako" + +# wanaopotea kutoka katika amri zako + +Mwandishi anazungumzia kutotii amri za Mungu kana kwamba zilikuwa ni njia ambayo mtu anaweza kupotoka. "wanaoenda mbali na njia za amri zako" au "wanaokaidi amri zako" + +# Niepushe na + +"Niweke mbali na" au "Niokoe na" + +# na aibu + +"na kuhisi aibu na upumbavu" + diff --git a/psa/119/023.md b/psa/119/023.md new file mode 100644 index 00000000..02858608 --- /dev/null +++ b/psa/119/023.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ingawa watawala wanapanga hila na kunikashifu + +"Ingawa watawala hufanya mipango ya kunidhuru na kusema vitu vibaya kunihusu" + +# Amri zako za agano ni furaha yangu + +"Amri zako za agano zinanifanya kuwa na furaha sana" + +# na ni ushauri wangu + +Amri za Mungu zinazungumziwa kana kwamba ni watu. "na ni kama washauri wenye hekima kwangu" au "na wananipa ushauri wa hekima" + diff --git a/psa/119/025.md b/psa/119/025.md new file mode 100644 index 00000000..843ce34b --- /dev/null +++ b/psa/119/025.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# DALETI + +Hili ni jina la herufi ya nne ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 25-32 unaanza na herufi hii. + +# Maisha yangu yanang'ang'ania kwenye mavumbi + +Hii ni lahaja. Maana zinazowezekana ni kwamba 1) alidhani kuwa atakufa punde, au 2) alilala kwenye mavumbi kwa sababu alikuwa na huzuni sana, au 3) aligundua kuwa alitamani vitu visivyo na faida vya duniani. + +# Nipe maisha kwa neno lako + +Hii ni lahaja. Hapa "maisha" inamaanisha kusudi na umuhimu, sio maisha ya kimwili tu. + +# kwa neno lako + +"Neno" la Mungu linawakilisha alichokisema. Hapa linamaanisha alichoahidi. "kulingana na ahadi yako" + +# njia zangu + +Kile ambacho mtu hufanya au jinsi anavyoenenda inazungumziwa kana kwamba ni barabara au njia. "nilichofanya" + diff --git a/psa/119/027.md b/psa/119/027.md new file mode 100644 index 00000000..6052c663 --- /dev/null +++ b/psa/119/027.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# mafunzo ya ajabu + +"mafunzo ya kushangaza" + +# kwa huzuni + +"kwa sababu nina huzuni" + +# Nime nguvu + +"Nifanye kuwa imara." Hii inaweza kumaanisha nguvu ya kimwili au nguvu ya kiroho. + diff --git a/psa/119/029.md b/psa/119/029.md new file mode 100644 index 00000000..083cdc7b --- /dev/null +++ b/psa/119/029.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nigeuze kutoka katika njia ya udanganyifu + +Neno "njia" hapa linamaanisha namna ya kuenenda kitabia. "Niepushe na kufuata njia ya udanganyifu" au "Niepushe kutokuwa mdanganyifu" + +# udanganyifu + +Maana zinazowezekana ni 1) kudanganya" au 2) "kuamini uongo" au "kufuata uongo" + +# njia ya uaminifu + +Jinsi mtu anavyoenenda kitabia au kutenda inazungumziwa kana kwamba ni barabara au njia. "kuwa mwaminifu kwako" + diff --git a/psa/119/031.md b/psa/119/031.md new file mode 100644 index 00000000..8b81967e --- /dev/null +++ b/psa/119/031.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nashilia amri zako za agano + +Kuzishikilia kwa nguvu inamaanisha kuwa na nia ya kuzitii. "Ninashikilia kwa nguvu amri zako za agano" au "Nina nia ya kutii amri zako za agano" + +# amri za agano + +Hii inamaanisha sheria za Musa. + +# Nitakimbia katika njia ya amri zako + +Mwandishi anazungumzia kuwa makini au kuwa na nia ya kutii amri za Mungu kana kwamba mtu anakimbia katika njia. "Nitakuwa na nia ya kutii amri zako" + +# unaukuza moyo wangu + +Hii ni lahaja. Maana zinazowezekana ni 1) "unanisaidia kupata uelewa mkubwa wa amri zako" + diff --git a/psa/119/033.md b/psa/119/033.md new file mode 100644 index 00000000..f9726c6f --- /dev/null +++ b/psa/119/033.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# HE + +Hili ni jina la herufi ya tano ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 33-40 unaanza na herufi hii. + +# sheria zako + +Hii ni njia nyingine ya kueleza sheria ya Musa. + +# hadi mwisho + +Maana zinazowezekana ni 1) "kabisa" au 2) "hadi mwisho wa maisha yangu" au 3) "hadi mwisho wa wakati" + +# nitatunza sheria yako + +"kutii sheria yako" + +# nitaiangalia kwa moyo wangu wote + +"Hakika nitaifuata sheria yako" au "Nina nia kabisa ya kufanya isemacho" + +# kwa moyo wangu wote + +Hii ni lahaja. "kwa hali yangu yote" au "kwa kila kitu ndani yangu" au "ki ukweli" + diff --git a/psa/119/035.md b/psa/119/035.md new file mode 100644 index 00000000..d5160742 --- /dev/null +++ b/psa/119/035.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Niongoze katika njia ya amri zako + +"Niongoze kulingana na amri zako" au "Nifundishe kutii amri zako." Amri za Mungu zinalinganishwa na njia ambayo mtu anatembea akimtii Mungu. + +# Ongoza moyo wangu kuelekea + +Hii ni lahaja. "Moyo" hapaunamaanisha nia, hamu, na maamuzi yanayoongoza maisha ya mtu. "Unifanye nitake" + +# amri zako za agano + +"kutii amri zako za agano." Hii inamaanisha kutii amri za Musa. + +# kuongezeka pasipo haki + +"hamu ya utajiri." Hii inamaanisha utajiri unaopatikana kwa njia zisizo sawa au kuwatendea ubaya wengine. + diff --git a/psa/119/037.md b/psa/119/037.md new file mode 100644 index 00000000..3555ee00 --- /dev/null +++ b/psa/119/037.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Geuza macho yangu yasitazame vitu visivyo na faida + +Hii ni sitiari inayomaanisha mtu anayetamani vitu ambavyo havina thamani ya milele. + +# nifufue katika njia zako + +"nifanye niweze kuishi kama unavyotaka niishi" + +# nifufue + +"fanya maisha yangu yawe imara" au "nipe nguvu" + +# Tekeleza kwa mtumishi wako ahadi yako uliyoahidi wale wanao kuheshimu + +"Fanya kwa mtumishi wako kile ulichoahidi kufanya kwa wale wanao kuheshimu" + +# mtumishi wako + +Mwandishi anajieleza kama mtumishi wa Mungu kuonesha unyenyekevu. "mimi, mtumishi wako" + diff --git a/psa/119/039.md b/psa/119/039.md new file mode 100644 index 00000000..49112cdf --- /dev/null +++ b/psa/119/039.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# ninayo hofu + +"ninaogopa sana" + +# hukumu zako za haki ni nzuri + +Mungu anahukumu kwa haki na maamuzi yake ni mema. "Hukumu yako ni ya haki na njema" + +# Tazama + +Hii ni lahaja. Hapa "Tazama" inamaanisha kuwa na ufahamu kuhusu jambo. Panapo lengwa ni maarifa na uelewa, na sio tu kutazama. + +# Nina shauku na maagizo yako + +Maana zinazowezekana ni 1) "Ninataka sana kujua maagizo yako" au 2) "Ninataka sana kutii kile unachotufundisha kufanya" + +# nifufue katika haki yako + +Neno "haki" ni nomino dhahania na inamaanisha kuwa mwenye haki. "nifufue kwa kuwa una haki" + +# nifufue + +Maana zinazowezekana ni 1) "Niweke kuwa hai" au 2) "Nifanye kuwa na nguvu" + diff --git a/psa/119/041.md b/psa/119/041.md new file mode 100644 index 00000000..cc158508 --- /dev/null +++ b/psa/119/041.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# VAV + +Hili ni jina la herufi ya sita ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 41-48 unaanza na herufi hii. + +# nipe upendo wako usiokoma + +Hili ni ombi. "tafadhali nipe upendo wako usiokoma" + +# wokovu wako + +"nipe wokovu wako" au "niokoe" + +# jibu + +"itikio" + diff --git a/psa/119/043.md b/psa/119/043.md new file mode 100644 index 00000000..4ecd3166 --- /dev/null +++ b/psa/119/043.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Usitoe neno la ukweli mdomoni mwangu + +"mdomo wangu" inamaanisha kuzungumzia juu ya neno la Mungu. "Usinizuie kamwe kuzungumza ukweli wako" + +# kwa kuwa nimesubiri amri zako za haki + +"kusubiri" kuna wazo la kuamini, kuwa na uhakika kuwa Mungu atafanya anavyoagiza. + +# Nitafuata + +"Nitatii" + diff --git a/psa/119/045.md b/psa/119/045.md new file mode 100644 index 00000000..9aa2a73d --- /dev/null +++ b/psa/119/045.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# NItatembea salama + +Kutembea salama ni kuishi maisha kwa usalama. "Nitaishi kwa usalama katika Mungu" + +# natafuta maagizo yako + +"Kutafuta" ni kutambua, au kupata uelewa wa maagizo ya Mungu kana kwamba mtu anaweza kuyaona. + +# amri zako makini mbele ya wafalme + +"amri za dhati kwa wafalme" au "maagizo kwa wafalme" + diff --git a/psa/119/047.md b/psa/119/047.md new file mode 100644 index 00000000..81921f85 --- /dev/null +++ b/psa/119/047.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ninafurahi katika amri zako + +Maana zinazowezekana ni 1) "Ninapata furaha katika kusoma amri zako" au 2) "Ninafuraha kuwa nina nafasi ya kusoma amri zako" + +# nitainua mikono yangu + +Hii ni lahaja inayomaanisha kutunza au kuheshimu amri za mungu. + diff --git a/psa/119/049.md b/psa/119/049.md new file mode 100644 index 00000000..6baa0a15 --- /dev/null +++ b/psa/119/049.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ZAYINI + +Hili ni jina la herufi ya saba ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 49-56 unaanza na herufi hii. + +# Itisha akilini ahadi yako + +"Kumbuka ahadi yako." + +# Hii nifaraja yangu katika mateso; kuwa ahadi yako imeniweka hai + +"Sababu ya faraja yangu ni kwamba ahadi yako imeniweka hai katika mateso yangu" + diff --git a/psa/119/051.md b/psa/119/051.md new file mode 100644 index 00000000..4b6b7d35 --- /dev/null +++ b/psa/119/051.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wenye kiburi + +"Watu wenye kiburi" + +# wamenikejeli + +kumdhihaki mtu au kitu kinachodharauliwa, chenye wasiwasi, au kischo heshimiwa + +# za nyakati za zamani + +Huu ni mrejeo kwa kipindi sheria zimepewa kwa Musa miaka mingi kabla. + diff --git a/psa/119/053.md b/psa/119/053.md new file mode 100644 index 00000000..948862ff --- /dev/null +++ b/psa/119/053.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hasira ya moto imenishika + +Hii ni lahaja. Hasira inaelezwa kana kwamba ni mtu anayeweza kumkamata mtu mwingine. "Nimekuwa na hasira sana" + +# Sheria zako zimekuwa nyimbo zangu + +"Nimetumia sheria zako kama maneno ya muziki wangu" au "Nimutunga nyimbo kutokana na sheria zako" + diff --git a/psa/119/055.md b/psa/119/055.md new file mode 100644 index 00000000..180995d8 --- /dev/null +++ b/psa/119/055.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nafikiria kuhusu jina lako + +Hapa neno "jina" linamwakilisha Yahwe mwenyewe. "Nakuwaza, Yahwe" + +# natunza sheria yako + +Hii ni lahaja inayomaanisha kutii sheria. "Ninatii sheria yako" + +# zoezi langu + +"tabia yangu" + +# nimefuata maagizo yako + +"Nimetii maagizo yako" + diff --git a/psa/119/057.md b/psa/119/057.md new file mode 100644 index 00000000..9fa497a0 --- /dev/null +++ b/psa/119/057.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# HETHI + +Hili ni jina la herufi ya nane ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 57-64 unaanza na herufi hii. + +# Yahwe ni sehemu yangu + +Hii inamaana kuwa Yahwe ndio kitu pekee anachotaka. Kama ambavyo Walawi hawapati maeneo makubwa ya nchi kwa kuwa Bwna ndiye alipaswa kuwa sehemu yao, kwa hiyo mwandishi anatamka kuwa Yahwe ni anayerithisha hamu zake. + diff --git a/psa/119/059.md b/psa/119/059.md new file mode 100644 index 00000000..364dd822 --- /dev/null +++ b/psa/119/059.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# nikageuza miguu yangu + +Hapa "miguu" inamwakilisha mtu mzima. Kutubu na kuchagua kutii sheria za Mungu ni kama kugeuza miguu kwenye njia na kuelekea upande mwingine. "nilibadilisha mwelekeo" + +# Ninaharakisha na sichelewi + +Mwandishi anaeleza wazo moja katika hali chanya na hasi ili kusisitiza uharaka alionao katika kutii amri za Yahwe. + diff --git a/psa/119/061.md b/psa/119/061.md new file mode 100644 index 00000000..12f66f62 --- /dev/null +++ b/psa/119/061.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kamba za waovu zimeninasa + +Katika sitiari hii, watu waovu walijaribu kumfanya mwandishi kutenda dhambi kama mwindaji anavyotafuta kumnasa mnyama kwa mtego. "Adui zangu wamejaribu kunishika" + diff --git a/psa/119/063.md b/psa/119/063.md new file mode 100644 index 00000000..232183d1 --- /dev/null +++ b/psa/119/063.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mimi ni mwenzao wale wote waokuheshimu + +"Mimi ni rafiki wa wale wote waokuheshimu" + diff --git a/psa/119/065.md b/psa/119/065.md new file mode 100644 index 00000000..11c76f50 --- /dev/null +++ b/psa/119/065.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# TETHI + +Hili ni jina la herufi ya tisa ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 65-72 unaanza na herufi hii. + +# kwa mtumishi wako + +Mwandishi anajieleza kama "mtumishi wako." "kwangu, mtumishi wako" au "kwangu" + +# kwa njia ya neno lako + +Hii ni lahaja. "Neno lako" inamaanisha ahadi za Yahwe alizompa mwandishi. "kama ulivyoahidi" + diff --git a/psa/119/067.md b/psa/119/067.md new file mode 100644 index 00000000..dda0cfb8 --- /dev/null +++ b/psa/119/067.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kabla sijateseke + +"Kabla haujanitesa" au "Kabla haujaniadhibu" + +# nilipotoka + +Kumkaidi Mungu inazungumziwa kana kwamba mtu anatembea katika njia isiyofaa. "Sikukutii wewe" + +# ninafuata neno lako + +Hapa "neno" linawakilisha amri. "ninatii amri zako" + diff --git a/psa/119/069.md b/psa/119/069.md new file mode 100644 index 00000000..4a25ec2c --- /dev/null +++ b/psa/119/069.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Wenye kiburi + +"Watu wenye kiburi" + +# walinipaka na uongo + +Watu kusema uongo kuhusu mtu inazungumziwa kana kwamba wamemfanya mtu kuwa mchafu kwa kumpaka uongo. + +# kwa moyo wangu wote + +Hapa "moyo" unawakilisha nia ya mtu. "kwa umakini kamili" au "kabisa" + +# Mioyo yao imefanywa kuwa migumu + +Hapa "mioyo" inawakilisha nia za watu. Mtu kuwa msumbufu inazungumziwa kana kwamba mioyo yao au nia zao ni ngumu kama jiwe. ""Ni wakaidi" + diff --git a/psa/119/071.md b/psa/119/071.md new file mode 100644 index 00000000..e0720881 --- /dev/null +++ b/psa/119/071.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maagizo kutoka mdomoni mwako ni + +Hapa "mdomo" unawakilisha anachosema Mungu. "Maagizo uliyozungumza ni" au Maagizo yako ni" + +# ya maelfu ya vipande vya dhahbu na shaba + +"ya kiasi kikubwa cha fedha" au "utajiri mkubwa" + diff --git a/psa/119/073.md b/psa/119/073.md new file mode 100644 index 00000000..2183370d --- /dev/null +++ b/psa/119/073.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# YOD + +Hili ni jina la herufi ya kumi ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 73-80 unaanza na herufi hii. + +# Mikono yako imeniumba na kunitengeneza + +Mungu kumuumba mtu inazungumziwa kana kwamba Mungu alitumia mikono yake kumuunda mtu kama mtu anavyounda chombo cha udongo. + +# Mikono yako + +Hapa "mikono" inawakilisha nguvu au matendo ya Mungu. "Wewe" + +# kwa sababu napata matumaini katika neno lako + +Hapa "neno" linawakilisha anachosema Mungu. "kwa sababu ninaamini unachosema" au "ninaamini kwa ujasiri unachosema" + diff --git a/psa/119/075.md b/psa/119/075.md new file mode 100644 index 00000000..264fbeb7 --- /dev/null +++ b/psa/119/075.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# katika uaminifu wako umenitesa + +"umeniadhibu kwa sababu wewe ni mwaminifu." Mungu anaahidi kuwapa dhawabu wenye haki na kuwaadhibu watenda maovu, kwa hiyo ni mwaminifu kufanya alichosema atafanya. + +# mtumish wako + +Mwandishi anajieleza kama "mtumishi wako." mimi, mtumishi wako" au "mimi" + diff --git a/psa/119/077.md b/psa/119/077.md new file mode 100644 index 00000000..84d0e697 --- /dev/null +++ b/psa/119/077.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Acha wenye kiburi waaibishwe + +"Waaibishe wenye kiburi" au "sababisha wale wenye kiburi waaibike" + +# wenye kiburi + +"watu wenye kiburi" au "wale wenye kiburi" + diff --git a/psa/119/079.md b/psa/119/079.md new file mode 100644 index 00000000..2743c4cb --- /dev/null +++ b/psa/119/079.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# geuka kwangu + +Watu kumrudia urafiki mwandishi inazungumziwa kana kwamba wanamgeukia yeye kimwili. "njoo kwangu" au "ungana na mimi" + +# wale wanaojua amri zako za agano + +Maana zinazowezekana ni 1) hii inaendelea kuelezea wale wanaomheshimu Mungu au 2) hii inaashiria kusudi la wale wanaomheshimu Mungu kurudi kwa mwandishi. Maneno "ili kwamba" yanaweza kuongezwa kuashiria hili.. "ili kwamba wajifunze unachowaamuru" + +# Na moyo wangu usiwe na lawama + +Hapa "moyo" unawakilisha mawazo ya mtu na nia yake. "Na nisiwe na lawama" + +# nisiaibishwe + +"nisiaibike" + diff --git a/psa/119/081.md b/psa/119/081.md new file mode 100644 index 00000000..694daa6b --- /dev/null +++ b/psa/119/081.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# KAFU + +Hili ni jina la herufi ya kumi na moja ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 81-88 unaanza na herufi hii. + +# Ninamatumaini katika neno lako + +Hapa "neno" linawakilisha kile anachokisema Mungu. "Ninaamini kwa ujasiri kile unachosema" + +# Macho yangu yanashauku ya kuona ahadi yako + +Hapa "macho" yanawakilisha mtu mzima. "Nasubiri na kusubiri ili ufanye ulichoahidi kufanya" + diff --git a/psa/119/083.md b/psa/119/083.md new file mode 100644 index 00000000..d6e17098 --- /dev/null +++ b/psa/119/083.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nime kuwa kama kiriba katika moshi + +Kiriba huaharibika kinaponing'inizwa muda mrefu kwenye sehemu ya moshi. Mwandishi anajifananisha na kiriba kilichoharibiwa na moshi kusisitiza kuwa anajihisi hana faida. + +# Hadi lini mtumishi wako avumilie hili, utawahukumu lini wale wanaonitesa? + +Mwandishi anatumia swali kumwomba Mungu kuwaadhibu wale wanaomtesa. "Tafadhali usinifanye nisubiri zaidi. Waadhibu wale wanaonitesa." + +# mtumishi wako + +Mwandishi analjielezea kama "mtumishi wako." "lazima ni, mtumishi wako" au "lazima ni" + diff --git a/psa/119/085.md b/psa/119/085.md new file mode 100644 index 00000000..1f221f4e --- /dev/null +++ b/psa/119/085.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wenye kiburi wamechimba mashimo kwa ajili yangu + +Wenye kiburi wanatafuta kumshika mwandishi au kumsababisha kumfanya atende uovu. Hii inazungumziwa kana kwamba walikuwa ni wawindaji wanaochimba mashimo kumtega mwandishi kama mnyama. + +# Wenye kiburi + +"Watu wenye kiburi" au "Wale walio na kiburi" + diff --git a/psa/119/087.md b/psa/119/087.md new file mode 100644 index 00000000..464c02d4 --- /dev/null +++ b/psa/119/087.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wamekaribia kuniwekea mwisho wangu duniani + +Hii ni njia ya ustarabu ya kuzungumzia mtu kutaka kumuua mtu mwingine. "Wamekaribia kumuua" + +# Kwa upendo wako thabiti + +"Kulingana na upendo wako thabiti." "kwa sababu unanipenda kwa uaminifu" + diff --git a/psa/119/089.md b/psa/119/089.md new file mode 100644 index 00000000..25b0699c --- /dev/null +++ b/psa/119/089.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# LAMEDI + +-Hili ni jina la herufi ya kumi na mbili ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 89-96 unaanza na herufi hii. + +# maneno yako milele + +Hapa "neno" linawakilisha chochote ambacho Mungu amewasilisha kwa watu. "kile ulichosema kitakuwa kweli milele" + +# neo lako linawekwa thabiti mbinguni + +Hapa "neno" linawakilisha chochote ambacho Mungu amewasilisha kwa watu. Hii inazungumzia kuhusu kile ambacho Mungu amesema kana kwamba ni chombo kinachoweza kusimama imara wima. "kile ulichosema kitakuwa cha kweli mbinguni milele" + +# kwa vizazi vyote + +"kwa vizazi vyote vya baadaye." Hii ni lahaja inayomaanisha "milele" + diff --git a/psa/119/091.md b/psa/119/091.md new file mode 100644 index 00000000..d84ef7a7 --- /dev/null +++ b/psa/119/091.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# vitu vyote ni watumishi wako + +Vitu vyote vilivyoumbwa vinazungumziwa kana kwamba ni watu wanaoweza kumtumikia Mungu. "vitu vyote vinakutumikia" au "vitu vyote vinatii amri zako" + diff --git a/psa/119/093.md b/psa/119/093.md new file mode 100644 index 00000000..e45313b3 --- /dev/null +++ b/psa/119/093.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kamwe sitasahau + +"Daima nitakumbuka" + +# maana kwa hayo umeniweka hai + +Inadokezwa kwamba mwandishi anatii maagizo ya Mungu. "kwa kuwa umeniweka kuwa hai kwa sababu ninazitii" + +# kwa kuwa natafuta maagizo yako + +Kujaribu kutii maagizo ya Mungu inazungumziwa kana kwamba maagizo ni kitu ambacho mtu anatakiwa kutafuta. + diff --git a/psa/119/095.md b/psa/119/095.md new file mode 100644 index 00000000..a9f4ec33 --- /dev/null +++ b/psa/119/095.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nitatafuta kuelewa + +"nitajaribu sana kuelewa" + +# kila kitu kina mipaka yake + +"vitu vyote vina mwisho" + +# amri zako ni pana, zaidi ya mipaka + +Amri za Mungu daima kuwa kweli na hakika zinazungumziwa kana kwamba amri za mungu ni kitu kilicho kipana sana hadi hakina mwisho. "lakni amri zako hazina mipaka" au "lakini amri zako ni za milele" + diff --git a/psa/119/097.md b/psa/119/097.md new file mode 100644 index 00000000..19e0f22e --- /dev/null +++ b/psa/119/097.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# MEMU + +Hili ni jina la herufi ya kumi na tatu ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 97-104 unaanza na herufi hii. + +# amri zako daima zako na mimi + +Kuwaza daima kuhusu amri za Mungu inazungumziwa kana kwamba amri ni kitu ambacho mwandishi anakua nacho muda wote. + diff --git a/psa/119/101.md b/psa/119/101.md new file mode 100644 index 00000000..ba820b04 --- /dev/null +++ b/psa/119/101.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nimeweka miguu yangu mbali na njia ya uovu + +Kuepuka kufanya kilicho kiovu kinazungumziwa kana kwamba ni kuepuka kutembea kwenye njia ambazo ni za uovu. "Nimeepuka kufanya kilicho cha uovu" + +# Nimeweka miguu + +Hapa "miguu" inawakilisha mtu mzima. "nimejiweka" + +# nifuate neno lako + +"nimetii neno lako" + +# neno lako + +Hapa "neno" linawakilisha amri za Mungu. + +# Sijageuka pembeni kutoka katika amri zako za haki + +Kuendelea kutii amri za haki za Mungu inazungumziwa kana kwamba mwandishi hajageuka kimwili kutoka katika amri za haki. "daima huwa natii amri zako za haki" + diff --git a/psa/119/103.md b/psa/119/103.md new file mode 100644 index 00000000..7d31480f --- /dev/null +++ b/psa/119/103.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni matamu kiasi gani maneno yako kwangu, ndio, matamu kuliko asali mdomoni mwangu! + +Mwandishi kufurahi katika yale ambayo Mungu anasema inazungumziwa kana kwamba maneno ya Mungu ni chakula yaliyokuwa na ladha nzuri kwa mwandishi. "Maneno yako ni mazuri na yanapendeza!" + +# ninapata utambuzi + +"ninajifunza kutambua kilicho sawa" + +# kwa hiyo ninachukia kila njia ya uongo + +Tabia ya uovu inazungumziwa kana kwamba ni njia. + diff --git a/psa/119/105.md b/psa/119/105.md new file mode 100644 index 00000000..e297728f --- /dev/null +++ b/psa/119/105.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# NUN + +Hili ni jina la herufi ya kumi na nne ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 105-112 unaanza na herufi hii. + +# Neno lako ni taa miguuni mwangu na nuru njiani mwangu + +Misemo hii miwili ina maana za kufanana. Inazungumza kuhusu Mungu kumwambia mtu jinsi ya kuishi kana kwamba mtu alikuwa akitembea katika njia na neno la Mungu ni nuru inayomsaidia mtu kuona anapoenda. "Maneno yako yananieleza jinsi ya kuishi" + +# Neno lako + +Hapa "neno" linawakilisha yote ambayo Mungu anwasiliana na watu. + diff --git a/psa/119/107.md b/psa/119/107.md new file mode 100644 index 00000000..fb2be8e2 --- /dev/null +++ b/psa/119/107.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa ulivyoahaidi katika neno lako + +Hapa "neno" linawakilisha kile ambacho Mungu anawasiliana na watu. "kama ulivyoahidi kufanya" + +# sadaka za kujitolea za mdomo wangu + +Mwandishi anazungumzia ombi lake kana kwamba lilikuwa ni sadaka aliyokuwa akiitoa kwa Mungu. "ombi langu kama sadaka kwako" + +# za mdomo wangu + +Hapa "mdomo" unawakilisha mtu mzima. + diff --git a/psa/119/109.md b/psa/119/109.md new file mode 100644 index 00000000..c0da822e --- /dev/null +++ b/psa/119/109.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maisha yangu daima yako mkononi mwangu + +Hii ni lahaja inayomaanisha maisha ya mwandishi yako hatarini wakati wote. "Adui zangu huwa wanajaribu kuniua" + +# Sisahau sheria yako + +"Daima huwa nakumbuka sheria zako" + +# Waovu wameweka mtego mbele yangu + +Watu waovu kujaribu kumshika na kumuua mwandishi inazungumziwa kana kwamba ni wawindaji wanaanda mtego kumshika mnyama. + +# Waovu + +"Watu waovu" + +# Sijapotea kutoka kwenye maagizo yako + +Kutokaidi maagizo ya Mungu inazungumziwa kana kwamba mwandishi hajatembea mbali na maagizo ya Mungu. "Ninatii maagizo yako" + diff --git a/psa/119/111.md b/psa/119/111.md new file mode 100644 index 00000000..a66e02c3 --- /dev/null +++ b/psa/119/111.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ninadai amri zako za agano kama urithi wangu milele + +Mwandishi kutunza na kutii amri za Mungu inazungumziwa kana kwamba amri ni nchi au mali ambayo mwandishi atarithi. "Sheria zako zitakuwa zangu milele" au "Amri zako za agano ni kama urithi nitakaoutunza milele" + +# ni furaha ya moyo wangu + +Hapa "moyo" unawakilisha mtu mzima. "zinanifanya kuwa na furaha" au "ninazifurahia' + +# Moyo wangu uko tayari kutii + +Hapa "moyo" unawakilisha nia ya mwandishi. Msemo "Moyo wangu uko tayari" ni lahaja. Ni njia ya kusema mwandishi amekusudia. "Nimekusudi kutii" + +# hadi mwisho + +Maana zinazowezekana ni 1) "kila moja" 2) "hadi mwisho wa maisha yangu" au 3) "hadi mwisho wa wakati" + diff --git a/psa/119/113.md b/psa/119/113.md new file mode 100644 index 00000000..b5f8ae02 --- /dev/null +++ b/psa/119/113.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# SAMEKHI + +Hili ni jina la herufi ya kumi na tano ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 113-120 unaanza na herufi hii. + +# wenye akili mbili + +Mtu asiye mkweli na kuwa na msimamo wa kumtii Mungu anazungumziwa kana kwamba ni mwenye akili mbili. "wasio na msimamo kabisa wa kukutii wewe" au "wasio wakweli" + +# maficho yangu + +Mungu kumfanya mwandishi salama kunazungumziwa kana kwamba Mungu ni sehemu ambayo mwandishi anaweza kwenda na kujificha. + +# ngao yangu + +Mungu kumlinda mwandishi kunazungumziwa kana kwamba Mungu alikuwa ni ngao ya mwandishi. + +# nasubiri neno lako + +Hapa "kusubiri" inamaanisha kusubiri kwa kutarajia. Hii ina wazo la kutumaini au kuamini. "ninatumaini neno lako" + +# neno lako + +Hapa "neno" linawakilisha kile ambacho Mungu anawasiliana kwa watu. + diff --git a/psa/119/115.md b/psa/119/115.md new file mode 100644 index 00000000..bbae787b --- /dev/null +++ b/psa/119/115.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Unitunze kwa neno lako + +"Nishikilie kwa neno lako." Hapa "neno" linawakilisha kile ambacho Mungu anawasiliana kwa watu. "Nipe nguvu kama ulivyosema utafanya" au "Niwezeshe kuwa na nguvu kama ulivyoahidi" + +# na nisiaibike kwa tumaini langu + +Hapa "tumaini langu" linawikilisha tumaini la mwandishi kwa Mugnu na ahadi zake. "Usinivunje matumaini." au "Usinisababishe niwe na aibu kwa kutokufanya kile ulichoahidi kufanya." + diff --git a/psa/119/117.md b/psa/119/117.md new file mode 100644 index 00000000..45473142 --- /dev/null +++ b/psa/119/117.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Unisaidie mimi + +"Nisaidie" au "Nitie nguvu" + +# watu hao ni waongo na sio wa kutegemea + +Maana zinazowezekana ni 1) "watu hao wanadanganya na hakuna mtu anayeweza kuwaamini" au 2) "watu hao wanapanga mipango ya uongo lakini watashindwa" + diff --git a/psa/119/119.md b/psa/119/119.md new file mode 100644 index 00000000..0b0f7797 --- /dev/null +++ b/psa/119/119.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Unawaondoa waovu wote duniani kama takataka + +Hapa "takataka" ni yale mabaki yanayobaki wakati wa kusafisha dhahabu au madini mengine ya chuma. Yahwe anawaondoa watu waovu kana kwamba ni takataka. + +# waovu + +"watu waovu" + +# kama takataka + +"kama uchafu" + +# Mwili unatetemeka kwa kukuogopa wewe + +Hapa "mwili" unawakilisha mtu mzima. "Ninatetemeka kwa sababu ninakuogopa" + +# ninaogopa amri zako za haki + +Inadokezwa kwamba mwandishi anaogopa amri za haki za Mungu kwa sababu Mungu anajua kuwa Mungu huwaadhibu wale wanaokaidi amri zake. + diff --git a/psa/119/121.md b/psa/119/121.md new file mode 100644 index 00000000..255160ec --- /dev/null +++ b/psa/119/121.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# AYINI + +Hili ni jina la herufi ya kumi na sita ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 121-128 unaanza na herufi hii. + +# usiniache kwa wakandamizaji wangu + +"usiwaruhusu watu wanikandamize" + +# Hakikisha ustawi wa mtumishi wako + +Mwandishi anajizungumzia kama "mtumishi wako." "Hakikisha ustawi wangu" au "Nisaidie na unilinde mimi, mtumishi wako" + +# wenye kiburi + +"wale walio na kiburi" au "watu wenye kiburi" + diff --git a/psa/119/123.md b/psa/119/123.md new file mode 100644 index 00000000..aa7abf5c --- /dev/null +++ b/psa/119/123.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Macho yangu yanachoka ninaposubiri + +Hapa "macho" yanawakilisha mtu mzima. "Ninachoka kwa sababu ninasubiri na kusubiri" + +# kwa wokovu wako na kwa neno lako la haki + +"ili uniokoe kama ulivyoahidi kufanya" + +# neno lako la haki + +Hapa "neno" linawakilisha kile ambacho Mungu anawasiliana na watu. "ahadi yako ya haki" + +# Mwoneshe mtumishi wako + +Mwandishi anajizungumzia mwenyewe kama "mtumishi wako." "Nioneshe" au "Nioneshe mimi, mtumishi wako" + +# uaminifu wako wa agano + +"kwamba unanipenda kwa uaminifu" au "kwa kuwa wewe ni mwaminifu kwangu kwa sababu ya agano lako" + diff --git a/psa/119/125.md b/psa/119/125.md new file mode 100644 index 00000000..7b51e07c --- /dev/null +++ b/psa/119/125.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nipe uelewa + +"niwezeshe kuelewa kile unachotaka nijue" + +# Ni muda wa Yahwe kutenda + +Mwandishi anazungumza na Yahwe katika hali ya mtu wa tatu. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya mtu wa pili. "Ni muda wako kutenda, Yahwe" + +# watu wamevunja sheria yako + +Hii ni lahaja. Hapa "wamevunja" inamaanisha "kukaidi." Hii ni njia ya kusema kuwa watu wamekaidi sheria ya Mungu. + diff --git a/psa/119/127.md b/psa/119/127.md new file mode 100644 index 00000000..9b06b404 --- /dev/null +++ b/psa/119/127.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ninafuata maagizo yako yote kwa makini + +Mtu kutii kwa makini maagizo yote ya Mungu inazungumziwa kana kwamba maagizo yanamwongoza mtu na mtu anayafuata kwa nyuma. "Ninatii kwa makini maagizo yako yote" + +# kila njia ya uongo + +Watu kufanya kilicho kiovu inazungumziwa kana kwamba wanatembea njia mbaya. "njia zote mbaya ambazo baadhi ya watu huishi" + diff --git a/psa/119/129.md b/psa/119/129.md new file mode 100644 index 00000000..bf703ca1 --- /dev/null +++ b/psa/119/129.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# PE + +Hili ni jina la herufi ya kumi na saba ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 129-136 unaanza na herufi hii. + +# Ufunuo wa maneno yako hutoa mwanga + +Mwandishi anazungumzia neno la Yahwe kana kwamba maneno hayo nikitambaa kilichokunjwa, na mtu anayefafanua maneno ya Yahwe kana kwamba wanafunua hicho kitambaa. "Ufafanuzi wa maneno yako hutoa mwanga" au "Mtu akifafanua maneno yako, hutoa mwanga" + +# Ufunuo wa maneno yako hutoa mwanga + +Mwandishi anazungumzia maneno ya Yahwe kutoa hekima na mtu kana kwamba maneno yanatoa mwanga kwao. "Ufafanuzi wa maneno yako huwapa watu hekima" + diff --git a/psa/119/131.md b/psa/119/131.md new file mode 100644 index 00000000..d09d1ea0 --- /dev/null +++ b/psa/119/131.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ninafungua mdomo wangu na kuhema, kwa kuwa nina shauku na amri zako + +Mwandishi anazungumzia hamu yake ya amri za Yahwe kana kwamba alikuwa mbwa anayehema kwa ajili ya maji. "nina shauku ya kweli na amri zako" + +# Nigeukie + +Kumgeukia mtu inamaanisha kuvuta nadhari kwa mtu huyo. "Nizingatie" + +# wanaolipenda jina lako + +Hapa neno "jina" linamwakilisha yahwe mwenyewe. "wanaokupenda" + diff --git a/psa/119/133.md b/psa/119/133.md new file mode 100644 index 00000000..6afcadc6 --- /dev/null +++ b/psa/119/133.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ongoza hatua zangu + +Hapa neno "hatua" inamwakilisha mwandishi anavyotembea. Anazungumzia jinsi anavyoishi, au mwenendo wake, kana kwamba alikuwa akitembea katika njia. "Niongoze" au "Nifundishe jinsi ya kuishi" + +# usiache dhambi yoyote initawale + +Mwandishi anazungumzia dhambi kana kwamba ni mtu mwenye mamlaka juu yake. Maana zinazowezekana ni 1) "usiniache nifanye dhambi yoyote kwa mazoea" au 2) "usiache watu wenye dhambi wanitawale" + +# Niokoe na ukandamizaji wa wanadamu + +"Niokoe na watu wanaowakandamiza wengine" + diff --git a/psa/119/135.md b/psa/119/135.md new file mode 100644 index 00000000..81210b75 --- /dev/null +++ b/psa/119/135.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Acha uso wako ung'ae kwa mtumishi wako + +Mwandishi anamzungumzia Yahwe kutenda kwa fadhila kwake kana kwamba uso wa Yahwe ulitoa mwanga juu yake. "Tenda kwa fadhila kwa mtumishi wako" + +# Mikondo ya machozi + +Mwandishi anazungumzia machozi yake mengi kana kwamba ni mkondo wa maji. "Machozi mengi" + +# hawafuati sheria yako + +"hawatii sheria yako" + diff --git a/psa/119/137.md b/psa/119/137.md new file mode 100644 index 00000000..b072ace2 --- /dev/null +++ b/psa/119/137.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# TSHADE + +Hili ni jina la herufi ya kumi na nane ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 137-144 unaanza na herufi hii. + +# amri za agano + +Maana zingine zinazowezekana ni "shuhuda" au "sheria." + diff --git a/psa/119/139.md b/psa/119/139.md new file mode 100644 index 00000000..52f8704d --- /dev/null +++ b/psa/119/139.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hasira imeniangamiza + +Hii ni lahaja. Msemo huu ni kukuza kwa neno na ni njia nyingine ya kusema "Nina hasira sana." + +# limejaribiwa sana + +"Nimelijaribu neno lako mara nyingi" + +# mtumishi wako hulipenda + +Mwandishi anajizungumzia kana kwamba alikuwa ni mtu mwingine. "mimi, mtumishi wako, hupenda" au "ninapenda" + diff --git a/psa/119/141.md b/psa/119/141.md new file mode 100644 index 00000000..d586bf20 --- /dev/null +++ b/psa/119/141.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Mimi ... ninachukiwa + +"Watu wananichukia" + diff --git a/psa/119/143.md b/psa/119/143.md new file mode 100644 index 00000000..ae47c321 --- /dev/null +++ b/psa/119/143.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# huzuni na maumivu yamenipata + +Mwandishi anazungumzia huzuni na maumivu kana kwamba ni watu. "Nimekuwa na huzuni na maumivu" au "mwili wangu na akili yangu zinateseka" + diff --git a/psa/119/145.md b/psa/119/145.md new file mode 100644 index 00000000..a80e506b --- /dev/null +++ b/psa/119/145.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# QOPHU + +Hili ni jina la herufi ya kumi na tisa ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 145-152 unaanza na herufi hii. + +# kwa moyo wangu wote + +Mwandishi anajizungumzia mwili ukamili wake kana kwamba ni moyo wake tu. "kabisa" + +# amri za agano + +Maana zingine zinazowezekana ni "shuhuda" au "sheria" + diff --git a/psa/119/147.md b/psa/119/147.md new file mode 100644 index 00000000..867268b3 --- /dev/null +++ b/psa/119/147.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mapambazuko ya asubuhi + +"kabla jua halijatokea" + +# Macho yangu yako wazi kabla usiku haujabadilika + +Hii ni lahaja. Katika utamaduni wa Kihebrania, usiku uligawanyika mara tatu. "Niko macho usiku kucha" + diff --git a/psa/119/149.md b/psa/119/149.md new file mode 100644 index 00000000..6a23b7a4 --- /dev/null +++ b/psa/119/149.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Sikia sauti katika uaminifu wako wa agano + +Mwandishi anazungumzia anachokisema kana kwamba ni sauti anayotumia kuzungumzia. "Sikia ninachosema kwa sababu ya uaminifu wako wa agano" + +# wako mbali na sheria yako + +"wamepotoka mbali na sheria yako" au "hawazingatii sheria zako" + diff --git a/psa/119/151.md b/psa/119/151.md new file mode 100644 index 00000000..e7834d19 --- /dev/null +++ b/psa/119/151.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# amri zako zote ni za uaminifu + +"ninaweza kuamini amri zako" + +# amri za agano + +Maana zingine zinazowezekana ni "shuhuda" au "sheria" + +# umeziandaa + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia amri za Yahwe kana kwamba ni nguzo zilizopangwa kwenye ardhi. "umewapa watu kutii" + diff --git a/psa/119/153.md b/psa/119/153.md new file mode 100644 index 00000000..38b46f3d --- /dev/null +++ b/psa/119/153.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# RESHI + +Hili ni jina la herufi ya ishirini ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 153-160 unaanza na herufi hii. + +# Angalia mateso yangu + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia mateso kana kwamba ni kitu ambacho watu wanaweza kuona. "Ona jinsi ninavyoteseka" + +# Tetea haja yangu + +"Nitetee dhidi ya wale wanao nishutumu" + +# niweke + +"linda maisha yangu" au "nipe uhai" + diff --git a/psa/119/155.md b/psa/119/155.md new file mode 100644 index 00000000..03f47aa0 --- /dev/null +++ b/psa/119/155.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wokovu u mbali na waovu + +mwandishi anazungumzia wokovu kana kwamba ni kitu chenye umbo. "Hakika hautawaokoa waovu" + +# Matendo yako ya huruma ni mengi + +"Umeonesha huruma kwa watu mara nyingi" au "Umefanya matendo mengi ya huruma" + +# kama hufanyavyo + +Maana nyingine inayowezekana ni "kwa sababu unafanya kilicho cha haki" + diff --git a/psa/119/157.md b/psa/119/157.md new file mode 100644 index 00000000..47984c59 --- /dev/null +++ b/psa/119/157.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Watesi wangu + +"Wale wanaonitesa mimi" + +# sijageuka + +Hii ni lahaja. "Sijaacha kutii" au "Sijaacha kuamini" + +# amri za agano + +Maana zingine zinazowezekana ni "shuhuda" au "sheria." + +# waongo + +"watu waongo" au "wale wanaonisaliti" au "adui zangu" + +# hawatunzi + +"hawatii" + diff --git a/psa/119/159.md b/psa/119/159.md new file mode 100644 index 00000000..612f1ae8 --- /dev/null +++ b/psa/119/159.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Tazama + +"Angalia" au "Niangalie ili uone" + +# Asili ya neno lako ni ukweli + +"Neno lako ni kweli kabisa" au "Neno lako linaweza kuaminika" + diff --git a/psa/119/161.md b/psa/119/161.md new file mode 100644 index 00000000..7e6a3b58 --- /dev/null +++ b/psa/119/161.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# SHINI + +Hili ni jina la herufi ya ishirini na moja ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 161-168 unaanza na herufi hii. + +# moyo wangu unatetemeka, ukiogopa kutokutii neno lako + +Mwandishi anazungumzia moyo kana kwamba unaweza kutetemeka na kuogopa. Moyo ni njia nyingine ya kusema mtu mzima. "Ninatetemeka kwa sababu ninaogopa kuwa nitakaidi neno lako" + +# mapato + +Maana zinazowezekana ni 1) vitu ambavyo askari huchukua kwa wale waliowashinda katika vita au 2) vitu vya thamani kubwa au "hazina." + diff --git a/psa/119/163.md b/psa/119/163.md new file mode 100644 index 00000000..834eb1ae --- /dev/null +++ b/psa/119/163.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# chukia na kinyongo + +Maneno haya mawili inamaanisha karibu kitu kimoja. "nachukia sana" + +# uongo + +maana zinazowezekana ni njia nyingine ya kusema 1) "watu wanaodanganya" au 2) "vitu vya uongo ambavyo watu wanasema" + diff --git a/psa/119/165.md b/psa/119/165.md new file mode 100644 index 00000000..690a01d6 --- /dev/null +++ b/psa/119/165.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hakuna kitu kinachowafanya wajikwae + +Maana zinazowezekana ni 1) "hakuna kitu kinachowafanya kufanya kosa" au 2) "hakuna kitu kinachowaletea shida" + diff --git a/psa/119/167.md b/psa/119/167.md new file mode 100644 index 00000000..7bfa5a7b --- /dev/null +++ b/psa/119/167.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ninafuata amri zako makini + +"Ninatii amri zako makini" + +# amri zako makini + +Maana zingine zinazowezekana ni "shuhuda" au "sheria." + +# Ninatunza maagizo yako + +"Ninatii maagizo yako" + diff --git a/psa/119/169.md b/psa/119/169.md new file mode 100644 index 00000000..f92fb7a0 --- /dev/null +++ b/psa/119/169.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# TAVI + +Hili ni jina la herufi ya ishirin na mbiliya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 169-176 unaanza na herufi hii. + +# nipe uelewa katika neno lako + +Mwandishi anazungumzia uwezo wa kuelewa kana kwamba ni kitu chenye umbo. "nisaidie nielewe neno lako" + +# Ombi langu lifike mbele yako + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia maneno anayoyasema kana kwamba ni watu wanaotaka kuzungumza kwa mfalme. "Na usikie ombi langu" + diff --git a/psa/119/171.md b/psa/119/171.md new file mode 100644 index 00000000..a117f251 --- /dev/null +++ b/psa/119/171.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Midomo yangu imwage sifa + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia midomo yake kana kwamba ni chombo na ni kimiminiko kinachoweza kumwagwa. Hapa neno "midomo" ni neno lingine linalowakilisha mtu mzima. "Ninatamani kukusifu sana" + +# ulimi wangu uimbe + +Mwandishi anazungumzia ulimi wake aidha 1) kana kwamba ni mtu au 2) kama neno lingine la kuwakilisha yeye mzima. "mimi naimba" + diff --git a/psa/119/173.md b/psa/119/173.md new file mode 100644 index 00000000..8471534f --- /dev/null +++ b/psa/119/173.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Mkono wako unisaidie + +Mkono unawakilisha mtu mzima. "Tafadhali nisaidie" + +# nimechagua + +"nimechagua kutii" + +# ukombozi wako + +"unaniokoa" + +# sheria yako ni furaha yangu + +"Ninafurahi sana kutii neno lako" + diff --git a/psa/119/175.md b/psa/119/175.md new file mode 100644 index 00000000..af9d5a6e --- /dev/null +++ b/psa/119/175.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# amri zako za agano zinisaidie + +Mwandishi anazungimzia amri za Yahwe kana kwamba ni mtu anayeweza kumsaidia. "naomba nisikilize amri zako za haki ili niwe na hekima na thabiti" + +# Nimezurura kama kondoo aliyepotea + +"nimeacha njia yako kama kondoo aliyeacha kundi lake" + +# mtafute mtumishi wako + +"kwa sababu mimi ni mtumishi wako, njoo unitafute" + diff --git a/psa/120/001.md b/psa/120/001.md new file mode 100644 index 00000000..85a05643 --- /dev/null +++ b/psa/120/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# wimbo wa upaaji + +Maana zinazowezekana ni 1) "wimbo ambao watu waliimba walipokwenda Yerusalemu kusherehekea" au 2) "wimbo watu walioimba wakati wakipanda ngazi kwenda hekaluni" au 3) "wimbo ambao maneno yake ni kama ngazi." + +# Katika dhiki yangu + +"katika taabu yangu" au "Wakati niko kwenye taabu" + +# Okoa maisha yangu + +Hapa neno "maisha" linamwakilisha mtu. "Niokoe" + +# kwa wale wanaodanganya na midomo yao na kupotosha na ndimi zao + +Hapa msemo "midom yao" na "ndimi zao" inawakilisha watu wanaozungumza uongo na kupotosha. "wale wanao nidanganya na kujaribu kunipotosha" + diff --git a/psa/120/003.md b/psa/120/003.md new file mode 100644 index 00000000..e70bbb0d --- /dev/null +++ b/psa/120/003.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Atakuadhibuje, na nini zaidi atafanya kwako, wewe mwenye ulimi wa udanganyifu? + +Mwandishi anauliza swali hili kama mwongozo wa kueleza kitu ambacho Mungu atafanya kwa waongo. Swali linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Hivi ndivyo Mungu atakavyo kuadhibu, hiki ndicho atakachofanya kwako, wewe mwenye ulimi wa udanganyifu." + +# wewe mwenye ulimi wa udanganyifu + +Hapa "ulimi wa udanganyifu" inamwakilisha mtu anayezungumza uongo. "wewe unayesema uongo" + +# Atakuadhibu kwa mishale ya shujaa + +Mwandishi anazungumzia Mungu kuwaadhibu kwa ukali waongo kana kwamba Mungu anawapiga kwa mishale. "Atakuadhibu kwa ukali, kana kwamba anawapiga kwa mishale ya shujaa" + +# iliyochongwa juu ya makaa ya moto ya mti wa mfagio + +Hii inamaansiha jinsi watu walivyounda ncha ya mshale katika moto. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "aliyochonga juu makaa ya moto ya mti wa mfagio" + diff --git a/psa/120/005.md b/psa/120/005.md new file mode 100644 index 00000000..555cacc7 --- /dev/null +++ b/psa/120/005.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ninaishi Mesheki kwa muda; Niliishi kwa muda katika mahema ya Kedari + +sehemu hizi mbili zilikuwa mbali. Mwandishi inawezekana anatumia majina kwa balagha kuashiria kuishi miongoni mwa watu wakatili. "Ni kana kwamba ninaishi Mesheki au katika mahema ya Kedari" + +# mahema ya Kedari + +Msemo huu unawakilisha watu wa Kedari wanaoishi katika mahema hayo. "watu wanaoishi Kedari" + +# Mimi ni wa amani + +"Ninataka amani" + +# wao ni wa vita + +"wanataka vita" + diff --git a/psa/121/001.md b/psa/121/001.md new file mode 100644 index 00000000..265d79f7 --- /dev/null +++ b/psa/121/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# wimbo wa upaaji + +Maana zinazowezekana ni 1) "wimbo ambao watu waliimba walipokwenda Yerusalemu kusherehekea" au 2) "wimbo watu walioimba wakati wakipanda ngazi kwenda hekaluni" au 3) "wimbo ambao maneno yake ni kama ngazi." + +# nitainua macho yangu + +Msemo huu unamaanisha "kutazama" au "kuvuta macho kwa" + +# Msaada wangu utatoka wapi? + +Mwandishi anatumia swali kuvuta nadhari katika chanzo cha msaada wake. Swali hili la balagha linaweza kuelezwa kama kauli. "Nitakwambia msaada wangu unatoka wapi." + +# Msaada wangu unatoka kwa Yahwe + +Hili ni jibu la swali lililopita. + diff --git a/psa/121/003.md b/psa/121/003.md new file mode 100644 index 00000000..aa1df521 --- /dev/null +++ b/psa/121/003.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Hapa ni uhamisho kwenda katika hali ya mtu wa pili. Hii inaweza kumaanisha 1) mwandishi anaanza kuzungumza na wtu wa Israeli au 2) mwandishi anamnukuu mtu mwingine akizungumza na mwandishi. + +# mguu wako kuteleza + +Kuteleza kwa mguu kunahusishwa na kuanguka. "wewe kuanguka" + +# yeye anayekulinda ... mlinzi + +Misemo hii miwli inamaana kitu kimoja, na inasisitiza nafasi ya Mungu kama mlinzi. + +# yeye anayekulinda hatalala + +Hapa "kulala" inamaanisha kuacha kulinda. Hali yake hasi inaimarisha msemo. "Mungu hatalala na kuacha kuwalinda" au " Mungu atawalinda daima" + +# hatalala ... huwa halali wala kusinzia + +Misemo hii miwli inamaana sawa. Msemo wa pili unaimarisha wazo la kwanza. + +# Tazama + +Neno hili linatufanya kuzingatia kwa makini taarifa zinazofuata. + +# huwa halali wala kusinzia + +Mananeo haya mawili yana maana sawa. Hapa "kulala" inamaana kuacha kulinda. Hali yake hasi inaimarisha msemo. "hatalala na kuacha kuwalinda" au "atawalinda daima" + diff --git a/psa/121/005.md b/psa/121/005.md new file mode 100644 index 00000000..7b037740 --- /dev/null +++ b/psa/121/005.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yahwe ni kivuli katika mkono wako wa kuume + +Hapa "kivuli" inamaanisha ulinzi. "Mungu yuko pembeni yako kukulinda dhidi ya vitu vinavyoweza kukudhuru" + +# mkono wako wa kuume + +Hapa msemo huu unamaanisha kuwa pembeni au karibu na mwandishi. + +# Jua halitakudhuru mchana, wala mwezi usiku + +Maneno haya ya tofauti ya "mchana" na "usiku" yanamaanisha tofauti hizo mbili na kila kitu katikati. "Mungu anakulinda na vitu vyote wakati wote" + +# wala mwezi usiku + +Inadokezwa kuwa "hautakudhuru" ndio inadokezwa hapa. Maana kamili ya sentensi hii inaweza kuwekwa wazi. "wala mwezi hautakudhuru usiku" + diff --git a/psa/121/007.md b/psa/121/007.md new file mode 100644 index 00000000..a9e790a8 --- /dev/null +++ b/psa/121/007.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yahwe atakulinda ... atalinda maisha yako ... Yahwe atakulinda + +Misemo hii ina maana ya kufanana. Kurudia kunaimarisha mawazo. + +# maisha yako + +Hii inamaanisha mwandishi. "wewe" + diff --git a/psa/122/001.md b/psa/122/001.md new file mode 100644 index 00000000..8fa42656 --- /dev/null +++ b/psa/122/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# wimbo wa upaaji + +Maana zinazowezekana ni 1) "wimbo ambao watu waliimba walipokwenda Yerusalemu kusherehekea" au 2) "wimbo watu walioimba wakati wakipanda ngazi kwenda hekaluni" au 3) "wimbo ambao maneno yake ni kama ngazi." + +# Yerusalemu, miguu yetu inasimama ndani ya malango yako! + +Mwandishi anasitisha kuzungumza na wasikilizaji wake kwa muda na kuzungumza moja kwa moja na mji wa Yerusalemu. Yerusalemu inasemeshwa kana kwamba ni mtu anayeweza kusikia na kuandika. + +# miguu yetu inasimama + +Hapa "miguu" inamaanisha mtu mzima. "tunasimama" + +# ndani ya malango yako + +Hapa "malango" inamaanisha mji. "ndani yako, Yerusalemu" + diff --git a/psa/122/004.md b/psa/122/004.md new file mode 100644 index 00000000..3d80c7a9 --- /dev/null +++ b/psa/122/004.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# jina la Yahwe + +Hapa "jina" linamaanisha Yahwe mwenyewe. "Yahwe" + +# nyumba ya Daudi + +Hapa "nyumba" inamaanisha uzao wa Daudi. "uzao wa Daudi" + diff --git a/psa/122/006.md b/psa/122/006.md new file mode 100644 index 00000000..2fc530bb --- /dev/null +++ b/psa/122/006.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wale wanaokupenda wawe na amani ... amani ndani ya ngome yenu + +Sehemu hii inaeleza ujao wa maombi ambayo mwandishi anataka wasikilizaji wake waombe. Anawaomba kuzungumza moja kwa moja na mji wa Yerusalemu, kana kwamba mji ni mtu anayeweza kuwasikia. + +# Iwepo amani ndani ... iwepo amani ndani + +Misemo hii miwili ina maana sawa na pamoja kuimarishana. "watu wa Yerusalemu waishi kwa amani" + +# ndani ya kuta inayowalinda ... ndani ya ngome yenu + +Hapa Yerusalemu inaelezewa kwa kuta zinazoilinda. "ndani ya Yerusalemu" + diff --git a/psa/122/008.md b/psa/122/008.md new file mode 100644 index 00000000..b4a042cb --- /dev/null +++ b/psa/122/008.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Katika sehemu hii, mwandishi anazungumza moja kwa moja na mji wa Yerusalemu, kana kwamba mji ni mtu anayeweza kuwasikia. + +# Kwa ajili yako + +"Kwa faida yako" + +# Kuwe na amani ndani yako + +"Ninaomba kwamba watu ndani yako waishi kwa amani" + +# nitatafuta mema kwa ajili yako + +Nomino dhahania ya "mema" inaweza kuelezwa kama kitendo. "natama kwamba watu wawatende wema" + diff --git a/psa/123/001.md b/psa/123/001.md new file mode 100644 index 00000000..06d9b2c1 --- /dev/null +++ b/psa/123/001.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# wimbo wa upaaji + +Maana zinazowezekana ni 1) "wimbo ambao watu waliimba walipokwenda Yerusalemu kusherehekea" au 2) "wimbo watu walioimba wakati wakipanda ngazi kwenda hekaluni" au 3) "wimbo ambao maneno yake ni kama ngazi." + +# Nainua macho yangu + +Hapa mwandishi anamaanisha macho yake kwa sababu ndiyo sehemu ya mwili inayotumika kuonea. "Nitakutazama" + +# umesimikwa + +kuketi kwenye kiti cha enzi na kutawala kama mfalme + +# kama macho ya mtumishi ... kama macho ya mjakazi ...kwa hiyo macho yetu yanatazama + +Misemo hii mitatu inamaana ya kufanana. Msemo wa tatu, unaohusu Waisraeli, unalinganishwa na jinsi watumishi na wajakazi wanavyowatazama bwana zao na bimkubwa wao kwa ajili ya msaada. "Macho" yanaashiria mtu mzima. + +# mkono wa bwana ... mkono wa bimkubwa + +Hapa "mkono" unaashiria utoaji wa mahitaji. "utoaji wa bwana ... utoaji wa bibi" + +# wajakazi + +"watumishi wasichana" + +# bimkubwa + +mwanamke mwenye mamlaka juu ya watumishi wasichana. + +# awe na huruma kwetu + +Nomino dhahania ya "huruma" inaweza kuelezwa kama kitendo. "kutendea kwa huruma" + diff --git a/psa/123/003.md b/psa/123/003.md new file mode 100644 index 00000000..44391163 --- /dev/null +++ b/psa/123/003.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Uwe na huruma kwetu + +Nomino dhahania ya "huruma" inaweza kuelezwa kama kitendo. "kutendea kwa huruma" + +# tumeshiba ... Tumeshiba zaidi + +Misemo hii miwili inamaana ya kufanana, wa pili unaongeza ukali wa ile wa kwanza. + +# tumeshiba aibu + +Hapa aibu inazungumziwa kana kwamba ni kitu kinachoweza kumjaa mtu. "tumefedheheka sana" + +# Tumeshiba zaidi + +Lahaja hii inamaanisha idadi imezidi kwa ubaya. "tumepata kingi sana" + +# kejeli ... na dharau + +Misemo hii miwili inamaana ya kufanana na inatumika pamoja kusisitiza jinsi gani walivyo dhihakiwa na watu. + +# kejeli + +kudhihaki au kutukana + +# jeuri + +Hii inaashiria watu wenye jeuri. "watu wasio na adabu na wenye kiburi" + +# wenye kiburi + +Hii inaashiria watu wenye kiburi. "watu walio na kiburi" + diff --git a/psa/124/001.md b/psa/124/001.md new file mode 100644 index 00000000..c6f762a1 --- /dev/null +++ b/psa/124/001.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# wimbo wa upaaji + +Maana zinazowezekana ni 1) "wimbo ambao watu waliimba walipokwenda Yerusalemu kusherehekea" au 2) "wimbo watu walioimba wakati wakipanda ngazi kwenda hekaluni" au 3) "wimbo ambao maneno yake ni kama ngazi. + +# Kama Yahwe asingekuwa upande wetu ... basi wangetumeza tukiwa hai + +Hii ni kauli ya nadharia tete inayoeleza matokeo ambayo hayakutokea, kwa sababu Yahwe alikuwa upande wao. "Yahwe alikuwa upande wetu ... kwa hiyo hawakuweza kutumeza tukiwa hai" + +# Kama Yahwe asingekuwa upande wetu ... kama asingekuwa Yahwe aliyekuwa upande wetu + +Misemo hii miwili inamaana moja. "Bila msaada wa Yahwe ... bila msaada wa Yahwe" + +# wangetumeza tukiwa hai + +Sitiari hii inaeleza jinsi Waisraeli ambavyo wangeweza kufa kama mnyama mkali anavyoshambuli mnyama mdogo kumla. "wangetuua" + +# hasira yao ilipowaka dhidi yetu + +Hapa "hasira yao" inamaanisha adui waliokuwa na hasira. "walikuwa wametukasirikia sana" + diff --git a/psa/124/004.md b/psa/124/004.md new file mode 100644 index 00000000..959fa64e --- /dev/null +++ b/psa/124/004.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Katika mistari hii miwili mwandishi anafananisha adui wa Israeli na mafuriko ya maji. + +# Maji yangetubeba ... yangetuzamisha + +Hii inaendela kauli ya nadharia tete kutoka mstari uliopita. Inaeleza matokeo ambayo hayakutokea, kwa sababu Yahwe alikuwa upande wao. "Maji hayakutubeba ... hayakutuzamisha" + +# Maji ... mbubujiko wa nguvu ... maji ya nguvu + +Misemo hii ina maana sawa. + +# yangetubeba ... ungetulemea ... yangetuzamisha + +Misemo hii ina maana sawa. + +# Maji yangetubeba + +Hapa adui wa Mwandishi wanazungumziwa kana kwamba ni mafuriko ya mji. "Adui zetu wangetushinda kwa urahisi" + +# mbubujiko wa nguvu ungetulemea + +Hapa adui wa Mwandishi wanazungumziwa kana kwamba ni mafuriko ya maji ambayo yangewazamisha Waisraeli. "adui zetu wangetulemea" + +# maji ya nguvu yangetuzamisha + +Hapa adui wa Mwandishi wanazungumziwa kana kwamba ni mto wenye hasira kali ambao ungewazamisha Waisraeli. "adui zetu wangetuangamiza" + diff --git a/psa/124/006.md b/psa/124/006.md new file mode 100644 index 00000000..3117e4cf --- /dev/null +++ b/psa/124/006.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kuchanwa na meno yao + +Adui wanazungumziwa kana kwamba ni wanyama pori ambao wangewaangamiza Waisraeli kwa kuwala. "tuangamizwe kana kwamba tunaliwa na wanyama pori" + +# tumetoroka kama ndege kutoka kwenye kitanzi cha wawindaji wa ndege + +Mwandishi anaelezea kutoroka kwake kutoka kwa adui zake kana kwamba likuwa ndege aliyetoroka kwenye mitego ya wawindaji. "tumetoroka kutoka kwa adui zetu kama ndege anavyotoroka mtego ambao mwindajia ametega" + +# kitanzi + +mtego mdogo wa kamba au uzi unaotengenezwa kukamatia wanyama wadogo au ndege + +# kitanzi kimekatika + +Mpango wa adui kumshika mwandishi umeshindwa kana kwamba ni kitanzi kilicho katika. + diff --git a/psa/125/001.md b/psa/125/001.md new file mode 100644 index 00000000..79ad75c5 --- /dev/null +++ b/psa/125/001.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kihebrania. + +# wimbo wa upaaji + +Maana zinazowezekana ni 1) "wimbo ambao watu waliimba walipokwenda Yerusalemu kusherehekea" au 2) "wimbo watu walioimba wakati wakipanda ngazi kwenda hekaluni" au 3) "wimbo ambao maneno yake ni kama ngazi." + +# Wale wanaomtumaini Yahwe ni kama mlima Sayuni, hautikisiki, hudumu milele + +Watu wanaomuamini Yahwe wanazungumziwa kana kwamba ni mlima Sayuni. Milima haiwezi kusogea. + +# Kama milima inavyoizunguka Yerusalemu, hivyo hivyo Yahwe anawazunguka watu wake + +Ulinzi wa Yahwe unazungumziwa kana kwamba alikuwa ni milima ilyowazunguka. Yerusalemu ilikuwa imezungukwa na milima kadhaa, iliyoilinda dhidi ya mashambulizi. "Kama milima iliyoizunguka Yerusalemu inavyoilinda, kwa hiyo Yahwe anawalinda watu wake"' + +# sasa na milele + +Hapa msemo huu unamaanisha "daima." + +# Fimbo ya uovu + +Hapa fimbo ya uovu inaashiria utawala wa watu waovu. "watu waovu" au "Viongozi waovu" + diff --git a/psa/125/004.md b/psa/125/004.md new file mode 100644 index 00000000..9931ad22 --- /dev/null +++ b/psa/125/004.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Fanya wema, Yahwe + +Hili ni ombi. Nomino dhahania "wema" inaweza kuelezwa kama tendo. "Yahwe, tafadhali fanya vitu vizuri" au "Yahwe, nakusihi ufanye vitu vizuri" + +# walio sawa mioyoni mwao + +Hapa "mioyoni" inamaanisha hamu. "hamu ya kufanya kilicho sawa" + +# geukia + +Kukataa kumti Yahwe kunazungumziwa kama kugeuka kutoka njia nzuri. "acha kizuri na kwenda" + +# njia zao zilizopinda + +Hapa njia za uovu zinazungumziwa kana kwamba zilikuwa ni njia ambayo haiko wima. "njia zao za uovu" + +# atawaongoza + +Watu wanaongozwa ili kuadhibiwa. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "kuwaongoza ili kuwaadhibu" + diff --git a/psa/126/001.md b/psa/126/001.md new file mode 100644 index 00000000..5f5022e1 --- /dev/null +++ b/psa/126/001.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kihebrania. + +# wimbo wa upaaji + +Maana zinazowezekana ni 1) "wimbo ambao watu waliimba walipokwenda Yerusalemu kusherehekea" au 2) "wimbo watu walioimba wakati wakipanda ngazi kwenda hekaluni" au 3) "wimbo ambao maneno yake ni kama ngazi." + +# aliporejesha utajiri wa Sayuni + +"alipoifanya Sayuni kufanikiwa tena" + diff --git a/psa/126/002.md b/psa/126/002.md new file mode 100644 index 00000000..c02c45ec --- /dev/null +++ b/psa/126/002.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# midomo yetu ilijawa na kicheko + +Kucheka kunazungumziwa kana kwamba midomo yao ilikuwa ni chombo, na kicheko chao kilikuwa ndani yake. Inaweza kuwekwa wazi kuwa kicheko hiki kilikuwa na mrejesho wa furaha. "tulicheka kwa furaha" + +# ndimi zetu na kuimba + +Kitenzi "kujawa" kinaweza kuelezwa vizuri. Kuimba kunazungumziwa kana kwamba ndimi zao zilikuwa vyombo, na kuimba kulikuwa ndani yake. "ndimi zetu zilijawa na kuimba" au "tuliimba nyimbo za furaha" + +# wakasema miongoni mwa mataifa + +"watu wamataifa walisema miongoni mwao." Kiwakilishi nomino kinatumika kabla ya kutambulisha kinachozungumzia. Hii sio kawaida. + +# Yahwe alitutendea mambo makuu; tumefurahi sana! + +"Tumefurahi sana, kwa sababu Yahwe ametenda mambo makuu kwa ajili yetu!" + diff --git a/psa/126/004.md b/psa/126/004.md new file mode 100644 index 00000000..37b8f35e --- /dev/null +++ b/psa/126/004.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wale wanaopanda kwa machozi ... Anatoka akilia ... akileta miganda yake + +Mistari hii miwili inausambamba. Sentensi ya pili inamaana sawa na sentensi ya kwanza, lakini inatoa maelezo zaidi. + +# wale wanaopanda kwa machozi + +"wale wanaopanda wakiwa na machozi" + diff --git a/psa/127/001.md b/psa/127/001.md new file mode 100644 index 00000000..43c22215 --- /dev/null +++ b/psa/127/001.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kihebrania. + +# wimbo wa upaaji + +Maana zinazowezekana ni 1) "wimbo ambao watu waliimba walipokwenda Yerusalemu kusherehekea" au 2) "wimbo watu walioimba wakati wakipanda ngazi kwenda hekaluni" au 3) "wimbo ambao maneno yake ni kama ngazi." + +# kuamka mapema, kukawia kurudi nyumbani + +Mtu anayefanya kazi kwa bidii mara nyingi inambidi kuamka mapema asubuhi na kuchelwa kurudi nyumbani usiku. + +# kula mkate wa kazi ngumu + +Hii ni lahaja. Mkate mara nyingi humaanisha chakula anachohitaji mtu kila siku ili kuishi. "fanya kazi kwa bidii kwa ajili ya mahitaji yako ya kila siku" + diff --git a/psa/127/003.md b/psa/127/003.md new file mode 100644 index 00000000..7393a059 --- /dev/null +++ b/psa/127/003.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# urithi + +"zawadi" au "mali wa dhamani". Watoto kawaida hupokea urithi kutoka kwa wazazi wao. Urithi huenda kutoka kwa wazazi kwenda kwa watoto. Mstari huu unaonesha watoto kama urithi wa wazazi wao. + +# Kama mishale kwenye mkono wa shujaa, ndivyo walivyo watoto wa ujanani + +Mishale ni ya muhimu sana kwa shujaa kwa sababu inamlinda vitani. Watoto wanazungumziwa kana kwamba ni mishale ya shujaa. "Kuwa na watoto wengi kutakulinda" + +# aliyejaza podo lake nao + +Podo ni chombo kwa ajiil ya mishale. Kuwa na watoto wengi kunazungumziwa kana kwamba watoto walikuwa mishale ndani ya podo. "nyumba iliyojaa watoto" au" wato wengi" + diff --git a/psa/128/001.md b/psa/128/001.md new file mode 100644 index 00000000..c3788817 --- /dev/null +++ b/psa/128/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kihebrania. + +# wimbo wa upaaji + +Maana zinazowezekana ni 1) "wimbo ambao watu waliimba walipokwenda Yerusalemu kusherehekea" au 2) "wimbo watu walioimba wakati wakipanda ngazi kwenda hekaluni" au 3) "wimbo ambao maneno yake ni kama ngazi." + +# Amebarikiwa kila mtu anayemheshimu Yahwe + +Msemo huu unatoke katika sauti isiyotenda kuashiria kuwa Yahwe halazimiki kumbariki mtu anayemheshimu. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Yahwe atambariki kila mtu anayemheshimu" + +# Kile ambacho mikono yako huleta + +Mtu anaweza kutambulika kwa mikono yake kwa sababu hiyo ndio sehemu ya mwili anayotumia kufanyia kazi. "Unacholeta" au "Unachofanyia kazi" + +# utabarikiwa na kufanikiwa + +Maneno "kubarikiwa" na "kufnikiwa" ina maana ya kukaribiana na inasisitiza fadhili za Mungu. "Yahwe atakubariki na kukufanikisha" au "Yahwe atakufanya ubarikiwe na ufanikiwe" + diff --git a/psa/128/003.md b/psa/128/003.md new file mode 100644 index 00000000..7b0731cb --- /dev/null +++ b/psa/128/003.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kama mzabibu uzaao ndani ya nyumba yako + +Mke anazungumziwa kama mzabibu uzaao matunda mengi. Hii inaashiria kuwa watoto ni kama matunda na mke atakuwa na watoto wengi. "anazalisha sana na atakupa watoto wengi" + +# watoto wako watakuwa kama mimea ya mizeituni + +Watoto wanalinganishwa na mimea ya mizeituni kwa sababu ya jinsi inavyokuwa na kuzunguka kitu. Watoto wataizunguka meza na kuijaza. "utakuwa na watoto wengi watakao kuwa na kufanikiwa" + +# wakiizungunka meza yako + +Hii inamaanisha sehemu ambapo familia hukusanyika kula. Maranyingi, wote wanaokula kwenye meza ya mtu wako chini ya utawala wake. + +# mtu atabarikiwa anayemheshimu Yahwe + +Hii inaweza kuelezwa katika kitenzi cha kutenda. "Yahwe atambariki mtu anayemheshimu" + +# siku zote za maisha yako + +"maishani mwako mwote" + +# Amani iwe juu ya Israeli + +"Israeli iwe na amani" + diff --git a/psa/129/001.md b/psa/129/001.md new file mode 100644 index 00000000..7c6c409c --- /dev/null +++ b/psa/129/001.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# wimbo wa upaaji + +Maana zinazowezekana ni 1) "wimbo ambao watu waliimba walipokwenda Yerusalemu kusherehekea" au 2) "wimbo watu walioimba wakati wakipanda ngazi kwenda hekaluni" au 3) "wimbo ambao maneno yake ni kama ngazi." + +# Wakulima wamelima mgongoni mwangu + +Mikwaruzo kutokana na kupigwa inazungumziwa kama kulima kwa mkulima. Mkulima alilima mistari yenye kina kirefu kiwanjani. "Adaui zangu wamenikata sana mgongoni mwanga" + +# wakaifanya mifuo yao kuwa mirefu + +Huu ni mwendelezo wa msemo wa ukulima. "Mfuo" ni mstari ambao mkulima aliulima. "walifanya mikwaruzo yao kuwa mirefu" + diff --git a/psa/129/004.md b/psa/129/004.md new file mode 100644 index 00000000..746c4844 --- /dev/null +++ b/psa/129/004.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# amekata kamba za waovu + +Israeli inazungumziwa kama imefungwa na watu waovu. "ametuokoa na adui zetu" + +# Wote waaibishwe na kugeuzwa + +Yahwe hajatajwa wazi kama ndiye aliyefanya hivi vitu. Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Yahwe awaaibishe na kuwashinda" + diff --git a/psa/129/006.md b/psa/129/006.md new file mode 100644 index 00000000..23cd30de --- /dev/null +++ b/psa/129/006.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Na wawe kama ... miganda + +Mwandishi wa zaburi anawazungumzia adui zake kufa na kuwa wachache kwa idadi. Wanalinganishwa na nyasi ndogo zinazoota kwenye paa ya nyumba na kukauka na haitoshi kukata au kukusanya. "Na wafe na wawe wachache sana hadi wawe kama nyasi ... miganda" + +# baraka ya Yahwe iwe juu yako + +"Yahwe akubariki" + diff --git a/psa/130/001.md b/psa/130/001.md new file mode 100644 index 00000000..251568d8 --- /dev/null +++ b/psa/130/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Ujumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kihebrania. + +# wimbo wa upaaji + +Maana zinazowezekana ni 1) "wimbo ambao watu waliimba walipokwenda Yerusalemu kusherehekea" au 2) "wimbo watu walioimba wakati wakipanda ngazi kwenda hekaluni" au 3) "wimbo ambao maneno yake ni kama ngazi." + +# Toka vilindini + +Huzuni ya mwandishi inazungumziwa kana kwamba ni chombo. Huzuni yake inatokea chini ya chombo. Huzuni mwara nyingi huzungumziwa kama chombo kinachojaa kutoka juu hadi chini. "Kwa sababu nina huzuni sana," + +# acha maskio yako yawe masikivu + +Masikio yanaashiria ni Yahwe, lakini kwa sababu mwandishi anafahamu kuwa Yahwe anasikia kila kitu, anachoomba ni kwa Yahwe kujibu. "tafadhali sikiliza" au "tafashali jibu" + +# kwa maombi yangu ya huruma + +"Huruma" sio kitu kinachoweza kupewa kimwili kwa mtu. Mwandishi anazungumzia kuhusu Yahwe kuwa na huruma kwake. "kwa maombi yangu na kuwa na huruma kwangu" + diff --git a/psa/130/003.md b/psa/130/003.md new file mode 100644 index 00000000..92ed3274 --- /dev/null +++ b/psa/130/003.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# nani atasimama? + +Mwandishi anatumia swali hili kuonesha ubatili wa kuwaza kuwa mtu yeyote anaweza kusimama katika hali hii. Hili swali balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. "hakuna anayeweza kusimama." + +# nani atasimama + +"Kusimama" mara humaanisha kutoroka au kupona wakati mtu anaposhambulia. Kwa hali hiyo, itamaanisha kutoroka kutoadhibiwa. "hakuna anayeweza kutoroka adhabu yako" au "hakuna anayeweza kupona adhabu yako" + diff --git a/psa/130/005.md b/psa/130/005.md new file mode 100644 index 00000000..b500aee9 --- /dev/null +++ b/psa/130/005.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nafsi yangu + +"Nafsi yangu" inamaanisha mwandishi wa zaburi. "mimi" + +# Nafsi yangu inasubiri + +Mwandishi wa zaburi anazungumziwa kana kwamba anasubiri kitu kwa kutarajia. "Natumaini" au "Nina amini" au "Ninatamani kitu" + +# Nafsi yangu inasubiri ... zaidi ya walinzi wanavyosubiri asubuhi + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia hamu yake Bwana kumsaidia kama kuwa zaidi ya ile hamu ya wale wanaofanya kazi usiku kucha wakisubiri asubuhi ifike. + +# walinzi + +Hawa ni wanaume wanaolinda miji au viwanja dhidi ya adui na wezi. Hapa inamaanisha watu wanaokeshi uskiu kufanya hivi. + diff --git a/psa/130/007.md b/psa/130/007.md new file mode 100644 index 00000000..07d750ec --- /dev/null +++ b/psa/130/007.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Israeli ... dhambi zake + +Watu wa Israeli wanazungumziwa kana kwamba walikuwa ni mtu. "watu wa Israeli ... zao" + diff --git a/psa/131/001.md b/psa/131/001.md new file mode 100644 index 00000000..2e0510e9 --- /dev/null +++ b/psa/131/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# wimbo wa upaaji + +Maana zinazowezekana ni 1) "wimbo ambao watu waliimba walipokwenda Yerusalemu kusherehekea" au 2) "wimbo watu walioimba wakati wakipanda ngazi kwenda hekaluni" au 3) "wimbo ambao maneno yake ni kama ngazi." + +# moyo wangu hauna kiburi au macho yangu majivuno + +Moyo na macho yanamwakilisha mtu. "Sina kiburi wala majivuno" + +# Sina matumaini makubwa kwa ajili yangu + +Maana zinazowezekana ni "Sitegemei kufanya mambo makuu" au "Sidhani kuwa mimi ni mkuu" + +# vitu ambavyo viko njee ya uwezo wangu + +Vitu vilivyo vigumu sana kwa mtu kuelewa vinazungumziwa kana kwamba viko nje ya uwezo wa mtu au mbali sana kutoka kwa huyo mtu kuweza kufikia. "vitu vilivyo vigumu sana kuelewa" + diff --git a/psa/131/002.md b/psa/131/002.md new file mode 100644 index 00000000..c2d39cce --- /dev/null +++ b/psa/131/002.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu + +Nafsi inawakilisha mtu au hisia zake. Kuwa mtulivu na wa amani inazungumziwa kama kufanya nfasi ya mtu kutulia na kuwa kimya. "Nimetulia na nina amani" + +# nafsi yangu ndani yangu + +Nafsi inawakilisha mtu au hisia zake. "mimi" + +# mtoto aliyeachishwa kifuani mwa mama yake + +Mwandishi anajizungumzia kuridhika na kupumzika kana kwamba alikuwa mtoto mchanga ambaye haitaji tena maziwa kutoka kwa mama yake. "kuridhika kama mtoto mchanga ambaye halilii tena maziwa ya mama yake lakini anapumzika mikononi mwake" au "kuridhika na kupumzika" + diff --git a/psa/132/001.md b/psa/132/001.md new file mode 100644 index 00000000..c924289a --- /dev/null +++ b/psa/132/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# wimbo wa upaaji + +Maana zinazowezekana ni 1) "wimbo ambao watu waliimba walipokwenda Yerusalemu kusherehekea" au 2) "wimbo watu walioimba wakati wakipanda ngazi kwenda hekaluni" au 3) "wimbo ambao maneno yake ni kama ngazi." + +# kwa ajili ya Daudi + +"kwa sababu ya kilichotokea kwa Daudi" + +# ita katika kumbukumbu + +"kumbuka" au "fikiri kuhusu" + +# Hodari wa Yakobo + +Hii inamaanisha Mungu. + diff --git a/psa/132/003.md b/psa/132/003.md new file mode 100644 index 00000000..2bbcb393 --- /dev/null +++ b/psa/132/003.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Akasema + +"Mfalme Daudi alisema" + +# Sitayapa usingizi macho yangi wa kupumzika kwa vigubiko vya macho yangu + +Usingizi na kupumzika zinazungumziwa kana kwamba ni vitu vinavyoweza kupewa. Hapa macho na vigubiko vya macho vinawakilisha mtu mzima. "Sitaruhusu macho yangu kulala wala vigubiko vya macho yangu kupumzika" au "sitalala wala kufunga macho yangu kupumzika" + +# hadi nipate sehemu kwa ajili ya Yahwe + +Kujenga sehemu kwa ajili ya Yahwe inazungumziwa kama kumtafutia sehemu. "hadi nijenge sehemu kwa ajili ya Yahwe" + +# Hodari wa Yakobo + +Hii inamaanisha Mungu. + diff --git a/psa/132/006.md b/psa/132/006.md new file mode 100644 index 00000000..06b0b181 --- /dev/null +++ b/psa/132/006.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# tulisikia kuihusu Efrata + +Kitu kinachozungumziwa inawezekana ni sehemu ambapo sanduku takatifu la Mungu lilipokuwa. Msemo "Efrata" inawezekana kumaanisha sehemu waliyokuwa wakati wakisikia habari yake. Hii inaweza kuwekwa wazi. "sisi tuliokuwa Efrata tulisikia kuhusu ambapo sanduku takatifu lilipo" au " sisi tulioko Efrata tulisikia kuwa sanduku takatifu lilikuwa Yearimu" + +# viwanja vya Yearimu + +Hii inaweza kumaanisha viwanja vinavyouzunguka mji. + +# tutaabudu miguuni pake + +Kumwabudu Mungu katika sanduku la agano inazungumziwa kama kusujudu kwenye miguu ya mfalme anayeketi katika kiti chake cha enzi. Hii inaonesha unyenyekevu na usikivu kwa Mungu. "tutaenda kwenye sanduku la agano la Mungu na kumwabudu kama mfalme" + +# Inuka, Yahwe, kwenye sehemu yako ya kupumzikia + +Kitenzi "njoo" kinaweza kuelezwa wazi. "Inuka, Yahwe, na uje kewnye sehemu yako ya kupumzika" + +# sehemu yako ya kupumzikia + +Sehemu ambayo Mungu alichagua ya watu kumwabudu inazungumziwa kama sehemu anayopumzikia au anapoishi milele. "sehemu unayokaa" au "hema lako" + +# wewe na sanduku la nguvu yako! + +Maana zinazowezekana ni 1) "njoo kwenye sanduku la nguvu yako" au 2) "njoo, na ufanye sanduku la nguvu yako lije." + +# sanduku la nguvu yako + +"sanduku linaloonesha uwezo wako mkuu" + diff --git a/psa/132/009.md b/psa/132/009.md new file mode 100644 index 00000000..ebf90d2f --- /dev/null +++ b/psa/132/009.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Makuhani wako wavikwe na uadilifu + +Uadilifu unazungumziwa kana kwamba ni nguo. "Watu watambue kuwa makuhani wako wana uadilifu" au "Nataka watu waone kuwa makuhani wako daima hufanya kilicho sawa" + +# Kwa ajili ya mtumishi wako Daudi + +"Kwa sabau ya kilichotokea kwa mtumishi wako Daudi." + +# usigeuke kutoka kwa mfalme wake aliyetiwa mafuta + +Hapa "kugeuka" inamaanisha kumkataa mtu. "usimuache mfalme uliyemtia mafuta" + diff --git a/psa/132/011.md b/psa/132/011.md new file mode 100644 index 00000000..ef31a8af --- /dev/null +++ b/psa/132/011.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nitamweka mmoja wa uzao wako kenye kiti chako cha enzi + +Kumfanya uzao wa mfalme kuwa mfalme badala yake inazungumziwa kama kumweka katika kiti cha enzi cha huyo mfalme. "Nitasababisha mmoja wa uzao wako kutawala Israeli katika nafasi yako" + +# wataketi kwenye kiti chako cha enzi + +Kutawala kama mfalme inazungumziwa kama kuketi kwenye kiti cha enzi. + +# watoto wako + +Hapa "watoto wako" inawakilisha uzao wa Daudi watakao kuwa wafalme. "uzao wako" + diff --git a/psa/132/013.md b/psa/132/013.md new file mode 100644 index 00000000..fe0b0c8f --- /dev/null +++ b/psa/132/013.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Katika mstari wa 13 anayetamani ni Yahwe na mstari wa 14 anayezungumza ni Yahwe. Yule anayetamaniw ni Sayuni. + +# Sayuni ... amemtamani ... ninmtamani + +Mwandishi anaandika kana kwamba mji wa Sayuni ulikuwa ni mwanamke. + +# amemtamani kwa ajili ya kiti chake + +Hapa "kiti" kinaashiri kati ya 1) kiti chake cha enzi atakapotawala, au 2) sehemu atakayo ishi. + +# amemtamani kwa ajili ya kiti chake + +Yahwe ametamani Sayuni kwa ajili ya kiti cha Yahwe." Hii inaonesha washiriki halisi. + +# sehemu yangu ya kupumzika + +Sehemu ambayo Mungu alichagua ya watu kumwabudu inazungumziwa kama sehemu anayopumzikia au anapoishi milele. "sehemu ninayokaa" au "hema langu" + diff --git a/psa/132/015.md b/psa/132/015.md new file mode 100644 index 00000000..a2ce9c6a --- /dev/null +++ b/psa/132/015.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kauli Unganishi: + +Mungu anaendelea kuzungumzia mji wa Sayuni kana kwamba Sayuni ni mwanamke. + +# Nitambariki sana + +"Nitambariki sana Sayuni" + +# Nitawaridhisha maskini wake kwa mkate + +Hapa "maskini" inamaanisha watu maskini waliomo Sayuni. Hapa "mkate" inaweza kumaanisha chakula kwa ujumla. "Nitawaridhisha watu wa Sayuni kwa chakula" + +# Nitawavika makuhani wake na wokovu + +Wokovu unazungumziwa kana kwamba ni nguo. Maana zinazowezekana ni 1) "Nitawasababisha makuhani kuenenda kwa namna inayostahili ya wale niliowaokoa" au 2) "Nitawaokoa makuhani wake" + diff --git a/psa/132/017.md b/psa/132/017.md new file mode 100644 index 00000000..2044d561 --- /dev/null +++ b/psa/132/017.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nitafanya pembe lichomoze kwa ajili ya Daudi + +Mungu anazungumzia mwana mwenye nguvu wa Daudi kana kwamba alikuwa ni pembe lenye nguvu la mnyama. "Nitamfanya mwana wa Daudi awe mfalme baada yake" au "Nitamfanya Daudi awe na mwana katika uzao wake atakaye kuwa mfalme mwenye nguvu" + +# nitaweka taa kwa ajili ya mtiwa mafuta wangu + +Mungu anazungumzia kusabisha uzao wa Daudi kuendelea kutawala kama wafalme kana kwamba walikuwa ni taa inayoendela kung'aa. "Nitafanya uzao wa mtiwa mafuta wangu kuendelea kutawala kama wafalme" + +# mtiwa mafuta wangu + +"mfalme wangu niliye mchagua" au "mfalme niliye mchagua" + +# Nitawavika adui zake na aibu + +Aibu inazungumziwa kana kwamba ni nguo. Aibu hii inatokana na kushindwa vitani. "Nitawafanya adui zake washindwe vitani na waaibike" + +# taji lake linatang'aa + +Taji linawakilisha utawala wake, na ukuu unnazungumziwa kama kung'aa" + diff --git a/psa/133/001.md b/psa/133/001.md new file mode 100644 index 00000000..f3b7fd66 --- /dev/null +++ b/psa/133/001.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# wimbo wa upaaji + +Maana zinazowezekana ni 1) "wimbo ambao watu waliimba walipokwenda Yerusalemu kusherehekea" au 2) "wimbo watu walioimba wakati wakipanda ngazi kwenda hekaluni" au 3) "wimbo ambao maneno yake ni kama ngazi." + +# Tazama + +Hili neno linatumika kusisitiza umuhimu wa kauli inayofuata. + +# kwa ndugu kuishi pamoja + +Uhusiano miongoni mwa watu wa Mungu unazungumziwa kama ndugu. "kwa watu wa Mungu kuishi pamoja kwa amani kama ndugu" + diff --git a/psa/133/002.md b/psa/133/002.md new file mode 100644 index 00000000..7c115279 --- /dev/null +++ b/psa/133/002.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ni kama mafuta mazuri kichwani + +Uzuri wa umoja miongoni mwa watu wa Mungu unazungumziwa kana kwamba yalikuwa mafuta mazuri yaliyomwagwa kichwani pa Haruni. "Huu umoja ni wa dhamani kama mafuta yaliyomwagwa kwenye kichwa cha Haruni. + +# kama umande wa Hermoni + +Uzuri wa umoja miongoni mwa watu wa Mungu unazungumziwa kana kwamba ulikuwa umande unaoburudisha. "unaburudisha kama umande wa hermoni" + +# Hermoni + +Huu ni mlima katika Israeli wenye theluji mwaka mzima. + diff --git a/psa/134/001.md b/psa/134/001.md new file mode 100644 index 00000000..ce03d4e8 --- /dev/null +++ b/psa/134/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# wimbo wa upaaji + +Maana zinazowezekana ni 1) "wimbo ambao watu waliimba walipokwenda Yerusalemu kusherehekea" au 2) "wimbo watu walioimba wakati wakipanda ngazi kwenda hekaluni" au 3) "wimbo ambao maneno yake ni kama ngazi." + +# watumishi wote wa Yahwe + +"wote mnaomtumikia Yahwe" + +# Inueni mikono yenu + +Hivi ndivyo watu walivyoomba au kumsifu Mungu. + +# kwenye sehemu takatifu + +Maana zinazowezekana ni 1) "kwenye hekalu" au 2) "kwenye sehemu takatifu hekaluni" + diff --git a/psa/134/003.md b/psa/134/003.md new file mode 100644 index 00000000..38d23956 --- /dev/null +++ b/psa/134/003.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# mbingu na nchi + +Msemo "mbigu na nchi" hapa unaashiria vitu vyote. "vitu vyote mbinguni na duniani" + diff --git a/psa/135/001.md b/psa/135/001.md new file mode 100644 index 00000000..43ecec66 --- /dev/null +++ b/psa/135/001.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Lisifuni jina la Yahwe + +Jina la Yahwe linamwakilisha yeye. "Msifuni Yahwe" au "Msifuni yeye" + +# simama katika nyumba ya Yahwe + +Hii inawakilisha kumtumikia Yahwe hekaluni mwake. + +# Yahwe ... Mungu wetu + +"Mungu wetu" inamaanisha Yahwe. + diff --git a/psa/135/003.md b/psa/135/003.md new file mode 100644 index 00000000..884130ff --- /dev/null +++ b/psa/135/003.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa kuwa ni vyema kufanya hivyo + +"kwa sababu tunapata raha kwa kulisifu jina lake" + +# Yahwe amemchagua Yakobo + +"Yakobo" hapa inamaanisha uzao wake, watu wa Israeli. "Yahwe amewachagua uzao wa Yakobo" + +# Israeli kama mali yake + +"ameichagua Israeli kuwa mali yake" + diff --git a/psa/135/005.md b/psa/135/005.md new file mode 100644 index 00000000..ef9601bb --- /dev/null +++ b/psa/135/005.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kuwa Bwana wetu yuko juu ya miungu yote + +"ninajua kuwa Bwana wetu yuko juu ya miungu yote." Kuwa mkuu zaidi ya kitu inazungumziwa kama kuwa juu yake. "kuwa Bwana wetu ni mkuu zaidi ya miungu yote" + diff --git a/psa/135/007.md b/psa/135/007.md new file mode 100644 index 00000000..f7a98879 --- /dev/null +++ b/psa/135/007.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kuleta upepo kutoka kwenye ghala lake + +Ghala ni sehemu ambapo vitu hutunzwa kwa ajili ya matumizi ya baadaye. Picha hii inaonesha nguvu ya Mungu kuumiliki upepo. "kuusababisha upepo kupuliza kwa uwezo wake" + diff --git a/psa/135/008.md b/psa/135/008.md new file mode 100644 index 00000000..cee2eba4 --- /dev/null +++ b/psa/135/008.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# ishara na maajabu + +Maneno haya mawili yana maana moja na yanamaanisha matatizo ya kimiujiza ambayo Mungu alisababishia Misri. + +# katikati yenu, Misri + +Mwandishi anazungumza kana kwamba watu wa Misri walikuwa wakimsikiliza. "katikati yenu watu wa Misri" au "katikati ya watu wa Misri" + +# dhidi ya Farao + +"kumwadhibu Farao" + diff --git a/psa/135/010.md b/psa/135/010.md new file mode 100644 index 00000000..e2eec67b --- /dev/null +++ b/psa/135/010.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sihoni ... Ogu + +Haya ni majina ya wanaume wawili. + diff --git a/psa/135/012.md b/psa/135/012.md new file mode 100644 index 00000000..0f1beee4 --- /dev/null +++ b/psa/135/012.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Alitupa nchi yao kama urithi + +Zawadi ya Mungu ya nchi kwa Wasiraeli inazungumziwa kana kwamba ni urithi kutoka kwa baba kwenda kwa mwana. "Alitupa nchi yao kuwa nayo milele" au "Alitupa nchi yao kuwa yetu milele" + +# Jina lako + +Jina lake hapa linawakilisha umaarufu wake au sifa yake. "Umaarufu wako" au "Sifa yako" + diff --git a/psa/135/019.md b/psa/135/019.md new file mode 100644 index 00000000..d14df2d9 --- /dev/null +++ b/psa/135/019.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# yeye anayeishi Yerusalemu + +Mungu anazungumziwa kana kwamba aliishi Yerusalemu kwa sababu hekalu ambalo Waisraeli walimwabudia lilikuwa huko. "yeye ambaye hekalu lake liko Yerusalemu" + diff --git a/psa/136/001.md b/psa/136/001.md new file mode 100644 index 00000000..4fa28a4f --- /dev/null +++ b/psa/136/001.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# O + +Huu ni mshangao. + +# Mungu wa miungu + +Mungu aliye mkuu zaidi ya miungu mingine ambayo watu huabudu. + diff --git a/psa/136/004.md b/psa/136/004.md new file mode 100644 index 00000000..7a19a322 --- /dev/null +++ b/psa/136/004.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kwa hekima + +Kwa sababu ana hekima. + diff --git a/psa/136/006.md b/psa/136/006.md new file mode 100644 index 00000000..c21f7285 --- /dev/null +++ b/psa/136/006.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# aliyesambaza dunia juu ya maji + +Waisraeli wa zamani walidhani kwamba nchi kavu ya dunia ilikuwa juu ya bahari. "aliyeweka dunia juu ya maji" + +# taa kuu + +Hii inamaanisha vyanzo vya nuru kwa ajili ya dunia, hasa jua na mwezi. "jua na mwezi na nyota" + diff --git a/psa/136/008.md b/psa/136/008.md new file mode 100644 index 00000000..dc2d7c5a --- /dev/null +++ b/psa/136/008.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kutawala machan ... kutawala usiku + +Jua, mwezi, na nyota zinazungumziwa kana kwamba ni wafalme. "kuweka alama ya muda wa siku ... kuweka alama ya muda wa usiku" + diff --git a/psa/136/010.md b/psa/136/010.md new file mode 100644 index 00000000..bf38b280 --- /dev/null +++ b/psa/136/010.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kutoka miongoni mwao + +"kutoka miongoni mwa watu wa Misri" + +# kwa mkono wenye nguvu na ulioinuka + +Hapa "mkono" inawakilisha uwezo. "kwa uwezo mkuu" + diff --git a/psa/136/013.md b/psa/136/013.md new file mode 100644 index 00000000..98cb494c --- /dev/null +++ b/psa/136/013.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# bahari la Matete + +wanajeshi wa Farao walizama katika bahari la Matete. + +# akampindua Farao + +Hapa kushindwa kunazungumziwa kama kumpindua mtu. "akamshinda Farao" au "akamshinda mfalme wa Misri" + +# Farao + +Jeshi la Farao. + diff --git a/psa/136/018.md b/psa/136/018.md new file mode 100644 index 00000000..fa9a3027 --- /dev/null +++ b/psa/136/018.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Sihoni ... Ogu + +Wafalme hawa walikuwa wafalme wawili tu kati ya wengi ambao Mungu aliwawezesha Waisraeli kuwashinda. + diff --git a/psa/136/021.md b/psa/136/021.md new file mode 100644 index 00000000..bd2d1bd1 --- /dev/null +++ b/psa/136/021.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# alituita akilini + +"alituwaza" + +# kutusaidia katika aibu yetu + +Hali ya kuhisi aibu inazungumziwa kana kwamba ni sehemu ambayo Waisraeli walikuwepo. Hii kumbukumbu ya nyakati nyingi ambapo adui wa israeli walishindwa katika vita na kuwaaibisha. "kutujali wakati tulipoaibishwa" + diff --git a/psa/136/024.md b/psa/136/024.md new file mode 100644 index 00000000..d4073b25 --- /dev/null +++ b/psa/136/024.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ametupa ushindi juu adui zetu + +Kusababisha watu kuwa washindi na kuwashinda adui zao inazungumziwa kama kuwapa ushindi, kana kwamba ushindi ni kitu kinachoweza kupewa. "ametufnay kuwa washindi juu ya adui zetu" au "ametufanya kuweza kuwashinda adui zetu" + +# Mungu wa mbinguni + +Mungu anayeishi mbinguni" au "Mungu ambaye viumbe wa mbinguni wanamwabudu" + diff --git a/psa/137/001.md b/psa/137/001.md new file mode 100644 index 00000000..f70369e3 --- /dev/null +++ b/psa/137/001.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kando ya mito ya Babeli + +"Katika mto mmoja karibu na Babeli" + +# tulikaa ... kulia ... tulipo fikiria ... tulininginiza + +Mwandishi hawajumuishi wasomaji. + +# Katika mpopla huko + +Miti ya mpopla haioti Israeli. "Mpopla" hapa inaweza kuwakilisha miti yote Babeli. "Katika miti ndani ya Babeli" + diff --git a/psa/137/003.md b/psa/137/003.md new file mode 100644 index 00000000..49ec6a77 --- /dev/null +++ b/psa/137/003.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# waliotuchukua mateka walitaka nyimbo kutoka kwetu + +Hapa "nyimbo" inaashiria vitendo vya kuimba. "waliotuchukua mateka walitaka tuimbe" + +# walitaka tuwe na furaha + +"walitufanya tujifanye kana kwamba tuna furaha" + +# moja ya nyimbo za Sayuni + +Hii inaweza kumaanisha nyimbo ambazo Waisraeli walitumia katika kuabudu hekaluni Yerusalemu. + diff --git a/psa/137/005.md b/psa/137/005.md new file mode 100644 index 00000000..ce9c612a --- /dev/null +++ b/psa/137/005.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nikisahau kumbukumbu yako, Yerusalemu + +Mwandishi anazungumza kana kwamba Yerusalemu inamsikiliza. "Nikifanya kana kwamba nimekusahau, Yerusalemu" au "Nikijaribu kukusahau, Yerusalemu" + +# mkono wa kuume + +mkono ambao watu wengi hutumia zaidi + diff --git a/psa/137/007.md b/psa/137/007.md new file mode 100644 index 00000000..7e7c701f --- /dev/null +++ b/psa/137/007.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kuita akilini + +"Kukumbuka" au "Kufikiria" + +# Kuita akilini, Yahwe, walichofanya Waedomu + +Hapa kukumbuka kile ambacho Waedomu walichofanya inawakilisha kuwaadhibu kwa kile walichotenda. "Waadhibu Waedomu, Yahwe, kwa kile walichotenda" + +# siku ambayo Yerusalemu ilianguka + +Yerusalemu kukamatwa na jeshi la adui inazungumziwa kana kwamba imeanguka. Aliyeikamata Israeli inaweza kuwekwa wazi. "siku ambayo Yerusalemu ilikamatwa" au "siku ambayo jeshi la Babeli liliingia Yerusalemu" + diff --git a/psa/137/008.md b/psa/137/008.md new file mode 100644 index 00000000..527ea668 --- /dev/null +++ b/psa/137/008.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi anawahutubia watu wa Babeli kana kwamba wanamsikiliza. + +# Binti wa Babeli + +Hii inamaanisha mji wa Babeli na watu wake. + +# na mtu abarikiwe + +Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Mungu ambariki mtu" + +# anayekulipa kwa kile ulichokifanya kwetu + +Mwandishi anazungumzia mtu kuwatendea wengine alichotendewa kana kwamba ni malipo. "kufanya kwako ulichofanya kwetu" + +# kuwaseta wadogo wenu kwenye mwamba + +"kuponda vichwa vya watoto wenu kwenye miamba" + diff --git a/psa/138/001.md b/psa/138/001.md new file mode 100644 index 00000000..a3062fc2 --- /dev/null +++ b/psa/138/001.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Nitakupa shukrani na moyo wangu wote + +Hapa moyo unawakilisha hisia. Kufanya kitu kwa dhati au kamili inazungumziwa kama kukifanya kwa moyo wote. "Nitakushukuru kwa dhati" + +# mbele ya miungu + +Maana zinazowezekana ni 1) "licha ya sanamu za uongo zilizopo" au 2) "mbele ya mkusanyiko wa mbinguni," ambayo inamaanisha "katika ufahamu wa malaika mbinguni" + +# Nitasujudu + +Kusujudu ni kitendo cha ishara kinachowakilisha kuabudu au kutoa heshima. "Nitakuabudu" + +# kutoa shukrani kwa jina lako + +"kukupa wewe shukrani" + +# neno lako + +Hii inamaanisha kile ambacho Mungu amesema. "kile ulichosema" au "amri zako na ahadi zako" + +# jina lako + +Maana zinazowezekana ni 1) "mwenyewe" au 2) "umaarufu wako" + diff --git a/psa/138/003.md b/psa/138/003.md new file mode 100644 index 00000000..6ad094fe --- /dev/null +++ b/psa/138/003.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wafalme wote wa ulimwenguni + +"Viongozi wote wa duniani" + +# mdomo wako + +Msemo huu unamwakilisha Mungu mwenyewe. "wewe" + diff --git a/psa/138/005.md b/psa/138/005.md new file mode 100644 index 00000000..39112f90 --- /dev/null +++ b/psa/138/005.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yahwe yuko juu, lakini anawajali walio chini + +Yahwe yuko juu ya uumbaji wote katika nguvu, nafasi, na mamlaka. Lakini shauku lake ni kwa wale walio wanyenyekevu wa moyo, watumishi kwa wote. Hii ni tofauti rahisi. + +# wenye majivuno anawajua kwa mbali + +Msemo huu unaweza kuwa unamaanisha kuwa Mungu sio mwaminifu kwa wale wenye majivuno. + diff --git a/psa/138/007.md b/psa/138/007.md new file mode 100644 index 00000000..3c729555 --- /dev/null +++ b/psa/138/007.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# natembea + +kuishi + +# katikati ya hatari + +Kuwa hatarini inazungumziwa kama kuwa katika sehemu ya kimwili. + +# utafika na mkono wako dhidi ya hasira ya adui zangu + +Mungu anazungumziwa kana kwamba atawapiga adui kwa mkono wake. + +# hasira ya adui zangu + +Hasira inazungumziwa kana kwamba ni kitu badala ya hisia. "adui zangu, ambao wana hasira" + +# mikono yako imeumba + +Mungu anazungumziwa kana kwamba alitumia mikono yake kihalisia kuumba. "umeumba" + +# wale ambao mikono yako imeumba + +Msemo huu unawezekana kumaanisha taifa la Israeli. + diff --git a/psa/139/001.md b/psa/139/001.md new file mode 100644 index 00000000..d55b7633 --- /dev/null +++ b/psa/139/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# umenichunguza + +"umenipima" + +# ninapoketi na ninapoinuka + +Mwandishi wa zaburi anatumia vitendo hivi viwili kuwakilisha kila kitu afanyacho. "kila kitu ninachofanya" au "kila kitu kunihusu mimi" + diff --git a/psa/139/003.md b/psa/139/003.md new file mode 100644 index 00000000..57e8a20e --- /dev/null +++ b/psa/139/003.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# njia yangu na kulala kwangu + +Hapa "njia" inamaanisha tabia. "Njia yangu na kulala kwangu" kwa pamoja zinamaanisha kila kitu kuhusu mwandishi wa zaburi. + +# kabla kuna neno kwenye ulimi wangu + +Hapa "neno kwenye ulimi" linawakilisha maneno. "kabla sijasema kitu" + +# Nyuma yangu na mbele yangu unanizunguka + +Maelezo haya yanamaanisha uwepo wa Mungu kila sehemu. + +# kuweka mkono wako juu yangu + +Msemo huu unamaanisha uongozo na msaada. "unaniongoza na kunisaidia" + +# mwingi sana kwangu + +"mwingi sana kwangu kuelewa" + +# uko juu sana; na siwezi kuufikia + +Kuwa juu na nje ya uwezo ni usemi, kwa hali hii, kuhusu maarifa ambayo wanadamu hawawezi kuwa nao. "ni magumu sana kuelewa" + diff --git a/psa/139/007.md b/psa/139/007.md new file mode 100644 index 00000000..9e85f8bb --- /dev/null +++ b/psa/139/007.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Naweza kwenda wapi mbali na Roho yako? ... Naweza kuukimbia wapi uwepo wako? + +Maswali haya mawili yana usambamba. Mwandishi wa zaburi anasema kwamba hawezi kuepuka uwepo wa Mungu. "Siwezi kuitoroka Roho yako." + +# nikitengeneza kitanda changu kuzimu + +"Kutengeneza kitanda cha mtu" inamaanisha kuishi sehemu. "hata kama nikiishi kuzimu" + diff --git a/psa/139/009.md b/psa/139/009.md new file mode 100644 index 00000000..b27795d8 --- /dev/null +++ b/psa/139/009.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kama nikipaa kwenye mbawa za asubuhi na kwenda kuishi kwenye sehemu za mbali za bahari + +Mwandishi aneleza kwamba popote alipo, Mungu yupo pia. + +# Kama nikipaa kwenye mbawa za asubuhi + +Katika sehemu ya zamani karibu na mashariki, jua lilifikiriwa kana kwamba lina mbawa zilizoliwezesha kupaa juu ya anga. "Kama jua lingeweza kunibeba lenyewe juu ya anga" + +# kwenye sehemu za mbali za bahari + +"mbali sana magharibi" + +# utanishikilia + +"utanisaidia" + diff --git a/psa/139/011.md b/psa/139/011.md new file mode 100644 index 00000000..f29797e9 --- /dev/null +++ b/psa/139/011.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kama ningesema, "Hakika giza litanifunika + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia usiku kana kwamba ni blangeti inayoweza kumfunika. + +# Usiku utang'aa kama mchana + +Usiku, ambao ni giza, unazungumziwa kana kwamba unang'aa mwanga. + diff --git a/psa/139/013.md b/psa/139/013.md new file mode 100644 index 00000000..c64aa7eb --- /dev/null +++ b/psa/139/013.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Umeunda sehemu zangu za ndani + +"Sehemu za ndani" inamaanisha sehemu za ndani za mwili za mtu, lakini usemi huu hapa unaweza kuwa unamaanisha mwili mzima. "Umeumba mwili wangu wote" + +# Nafsi yangu inatambua hili vizuri + +Hapa "nafsi" inaweza kumaanisha uwezo wa ndani wa mwandishi wa zaburi kuwa na uhakika na upendo na uongozo wa Mungu. "Ninajua hili kwa moyo wangu wote' + diff --git a/psa/139/015.md b/psa/139/015.md new file mode 100644 index 00000000..a088bd9d --- /dev/null +++ b/psa/139/015.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nilipoumbwa kwa ustadi + +"uliniumba kwa ustadi mkubwa" + +# katika sehemu za chini za nchi + +Hii inawezekana kuwa namna kuzungumzia tumbo la mama mzazi. + +# siku zangu zote nilizopewa ziliandikwa kwenye kitabu chako hata kabla ya kwanza haijatokea + +Msemo huu unashiria kuwa Waisraeli wa zamani walifikiri kuwa Mungu aliandika mipango yake kwenye kitabu. + diff --git a/psa/139/017.md b/psa/139/017.md new file mode 100644 index 00000000..45e1880b --- /dev/null +++ b/psa/139/017.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# thamani + +"muhimu" + +# Idadi yake ni kubwa kiasi gani! + +"Mawazo yako ni mengi sana." + +# yatakuwa zaidi ya namba ya mchanga + +"hayahesabiki" + diff --git a/psa/139/019.md b/psa/139/019.md new file mode 100644 index 00000000..afeb2371 --- /dev/null +++ b/psa/139/019.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# nendeni mabli na mimi, nyie watu wenye vurugu + +Mwandishi wa zaburi anajifanya kuzungumza moja kwa moja na watu wenye vurugu ambao anao akilini. + +# Wanaasi dhidi wako + +"Wanaasi dhidi ya mamlaka yako, Mungu" + +# adui zako wanasema uongo + +"adui zako wanadanganya kukuhusu" + diff --git a/psa/139/021.md b/psa/139/021.md new file mode 100644 index 00000000..45321932 --- /dev/null +++ b/psa/139/021.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Je, siwachukii wale, Yahwe, wanaokuchukia? Je, siwachukii wale wanaoinuka dhidi yako? + +Sentensi hizi mbili zinamaana ya kufanana. Sentensi ya pili inaimarisha wazo la ya kwanza. Maswali yote haya mawili yanaweza kuunda kauli. + +# wanaoinuka dhidi + +kuasi dhidi ya + diff --git a/psa/139/023.md b/psa/139/023.md new file mode 100644 index 00000000..abdb9639 --- /dev/null +++ b/psa/139/023.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nichunguze + +Hili ni ombi kwa Mungu kumwambia mwandishi wa zaburi kuhusu mawazo yoyote ya dhambi anayoweza kuwa nayo. "Tafadhali nichunguze" au "Nakuomba unichunguze" + +# Nichunguze, Mungu, na ujue moyo wangu; nijaribu na ujue mawazo yangu + +Sentensi hizi mbili zinamaana ya kufanana. Sentensi ya pili inaimarisha wazo la ya kwanza. + +# njia yoyote ya uovu + +Hapa "njia" inamaanisha tabia. + +# njia ya milele + +Hapa "njia" inamaanisha kumtumaini na kumtii Mungu. Yeyote "anayetembea" hivi atakuwa na maisha ya milele. + diff --git a/psa/140/001.md b/psa/140/001.md new file mode 100644 index 00000000..ba9cd873 --- /dev/null +++ b/psa/140/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Kwa mwanamuziki mkuu + +"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu" + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# wanasababisha vita + +Hapa "vita" inaweza kumaanisha ugomvi wa aina yoyote, yakiwemo mabishano. + +# Ndimi zao zinaumiza kama nyoka + +Watu wanaosababisha ugomvi kwa yale wanayosema wanazungumziwa kana kwamba wana ndimi za nyoka. Ingawa nyoka hawadhuru kwa ndimi zao, lakini kwa kung'ata kwao na hasa kwa sumu. Wala mtu hawezi kuuchonga ulimi wake. Lakini, wazo la ulimi uliochongeka linamaanisha kuzungumza katika njia inayosababisha shida. Na wazo la nyoka kuwa na ulimi ulio chongeka inawakilisha ukweli kuwa nyoka wengi wana sumu. + diff --git a/psa/140/004.md b/psa/140/004.md new file mode 100644 index 00000000..78ead7fa --- /dev/null +++ b/psa/140/004.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mikono ya waovu + +nugu ya waovu + +# wameweka mtego ... sambaza wavu ... weka kitanzi + +Aina bayana ya mitego sio muhumi kuliko wazo la kwamba"waovu ... watu wenye vurugu" wanapanga kusababisha shida kwa mwandishi wa zaburi. + diff --git a/psa/140/006.md b/psa/140/006.md new file mode 100644 index 00000000..f277f229 --- /dev/null +++ b/psa/140/006.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# sikia vilio vyangu + +Huu ni wito wa msaada. "nisikie ninapokuita sasa unisaidie" + +# unalinda kichwa changu katika siku ya vita + +Kichwa cha mtu huwa kwenye hatari kubwa wakati wa vita. "unanilinda ninapoenda vitani" + +# vita + +Hapa"vita" inaweza kumaanisha shida kubwa ya aina yoyote. + +# usitimize hamu za waovu + +"tafadhali usiwaruhusu waovu kupata wanachotamani" + +# waovu + +"watu waovu" + diff --git a/psa/140/009.md b/psa/140/009.md new file mode 100644 index 00000000..c13ecdb7 --- /dev/null +++ b/psa/140/009.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# wanainua vichwa vyao + +Hii ni ishara ya kuwa na kiburi. "wana kiburi" + +# acha madhara ya midomo yao wenyewe iwafunike + +Hili ni ombi kuwa Mungu atawafanya watenda maovu kuteseka kwa shida walizosababisha kwa maneno waliyosema. + +# madhara ya midomo yao wenyewe + +Taabu walizosababisha wenyewe kwa yale waliyosema. + +# iwafunike + +Basi, wazuie kusababisha shida zaidi. + +# Acha makaa ya moto yawadondokee; watupe katika moto + +Picha ya moto inamaanisha adhabu kali kwa ajili ya waovu. + +# shimo lisilo na mwisho + +Hii inaweza kumaanisha kuzimu, ulimwengu wa wafu. + +# watu wa ndimi + +wale wanaozungumza uovu kuhusu wengine bila sababu. + +# salama katika nchi + +"salama katika maisha haya" + +# na uovu umwinde mtu mwenye vurugu + +Hapa uovu unazungumziwa kana kwamba ni mtu anayelipiza kisasi kwa mtu mwingine. + diff --git a/psa/140/012.md b/psa/140/012.md new file mode 100644 index 00000000..8164bc73 --- /dev/null +++ b/psa/140/012.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# atampa hukumu mhitaji + +Hapa hukumu inazungumziwa kana kwamba ni kit kinachoweza kupewa kwa mtu. "Atatenda katika hali ya kuwasaidia wahitaji" + +# kwa jina lako + +kwako + diff --git a/psa/141/001.md b/psa/141/001.md new file mode 100644 index 00000000..5606f998 --- /dev/null +++ b/psa/141/001.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# kulilia + +"nakuomba msaada" + +# njoo upesi kwangu + +Mwandishi wa zaburi anazungumza kana kwamba Yahwe ni mtu aliyehitaji kuja kutoka sehemu nyingine kumsaidia. "Njoo upesi kunisaidia" + +# Nisikie ninapokuita + +"Tafadhali nisikie ninapokuita" au "Nakuomba unisikie ninapokuita" + +# Na maombi yangu yawe kama uvumba + +"Na maombi yangu yakupendeze kama harufu nzuri ya uvumba unavyowapendeza watu" + +# maombi yangu + +Mwandishi wa zaburi anataka Yahwe kupendeza naye kwa sababu anaomba na kwa sababu ya maneno ya ombi lake. + +# mikono yangu iliyoinuka + +"mikono niliyoinua juu." Mikon iliyo inuka ni njia nyingine ya kusema maombi. Watu waliinua mikono yao walipoomba au kumsifu Yahwe. + +# iwe kama sadaka ya jioni + +iwe kama mnyama aliyechomwa katika madhabahu jioni. Mwandishi anazungumza kana kwamba anataka Yahwe apendezwe naye kama anavyopendezwa na wanaoleta wanyama kwa ajili ya sadaka. Anataka Yahwe apendezwe kwa sababu mwandishi wa zaburi anaomba au kwa sababu ya maneno ya ombi lake. + diff --git a/psa/141/003.md b/psa/141/003.md new file mode 100644 index 00000000..406f2392 --- /dev/null +++ b/psa/141/003.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# weka ulinzi juu ya mdomo wangu + +Mwandishi wa zaburi anazungumza kana kwamba maneno maovu ni wafungwa wanaojaribu kutoroka kutoka mdomoni mwake. "tafadhali nisaidie nisiseme mambo yaliyo maovu" + +# weka ulinzi juu ya + +"mwambie mtu alinde" + +# linda mlango wa midomo yangu + +Mwandishi wa zaburi anazungumza kana kwamba maneno maovu ni wafungwa wanaojaribu kutoroka kutoka mdomoni mwake. "tafadhali nisaidie nisiseme mambo yaliyo maovu" + +# kushiriki katika vitendo vya dhambi + +"kufanya vitendo vya dhambi" + +# vyakula vyao vitamu + +"vyakula maalumu" + diff --git a/psa/141/005.md b/psa/141/005.md new file mode 100644 index 00000000..6251e93c --- /dev/null +++ b/psa/141/005.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# anipige + +Mwandishi anazungumza kana kwamba kukemewa ni kumpiga mtu kimwili. "nikemee" au "nipige ili nisikie anaponirekebisha" + +# itakuwa kama fadhili kwangu + +"anaponipiga, nitajua kuwa yule anayenipiga ananitendea fadhila" + +# itakuwa kama mafuta kichwani kwangu + +Maana zinazowezekana ni kwamba mwandishi wa zaburi anazungumza kana kwamba mtu anayemsahihisha anamwekea mafuta kichwani mwake 1) kumpa heshima. "anaponisahihisha, nitajua kuwa yule anayenisahihisha ananitendea jambo jema" au 2) kufanya kichwa chake kipate unafuu. + +# na kichwa changu kisikatae kukubali + +Kichwa kinamwakilisha mtu. "na niikubali kwa furaha" + +# maombi yangu daima ni dhidi ya matendo yao ya uovu + +Maneno "matendo ya uovu" ni njia nyingine ya kusema watu waliotenda hayo matendo maovu. "Huwa naomba kwamba Yahwe awazuie watu waovu kutenda mambo maovu" + +# Viongozi wao watatupwa chini + +Maana zinazowezekana ni 1) "Mtu atawatupa viongozi wao chini" au 2) "Viongozi wao watawatupa chini." + +# genge + +ardhi yenye mteremko wa ghafla + +# mifupa yetu imetawanywa + +Maana zinazowezekana ni 1) "watu wametupa mifupa yetu pande tofauti" au 2) kama matokeo ya kuanguka katika genge. "miili yetu imevunjika na mifupa yetu imelala ovyo. + diff --git a/psa/141/008.md b/psa/141/008.md new file mode 100644 index 00000000..cc0279e9 --- /dev/null +++ b/psa/141/008.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# macho yangu yako kwako + +Macho yanawakilisha mtu mzima. "ninaangalia kuona utakachofanya" au "nategemea unisaidie" + +# nakukimbilia wewe + +"ninakuomba unisaidie" + +# nafsi yangu + +Nafsi ni njia nyingine ya kusema mtu mzima. "mimi" + +# mitego waliyoniwekea + +Mwandishi anazungumzia kumdanganya mtu mzuri ili kwamba mtu mzuri atende dhambi au ili watu waovu wamshinde kana kwamba ilikuwa kuweka mtego kwa ajili ya mnyama. Neno "mitego" ni njia nyingine ya kusema watu wenyewe. "watu wanaotafuta njia za kumdhuru" + +# vitanzi ... mitego + +Vitanzi humnasa mnyama kwa njia ya kama wakati mitego humnasa mnyama kwenye kachumba kado, mara nyingi kaliko undwa kwa chuma au mbao. + +# mitego ya watenda uovu + +"mitego ambayo wanaotenda maovu wametega" + +# Acha waovu waanguke kwenye nyavu zao wenyewe + +Mwandishi wa zaburi anawazungumzia watu waovu kuwadanganya watu wazuri kana kwamba wawindaji wanatega wanyama. "Acha waovu waanguke kwenye mitego ya nyavu waliyoandaa kunasa watu wengine" au " Acha vitu viovu walichopanga waovu kwa ajili ya wenye haki viwatokee waovu wenyewe" + diff --git a/psa/142/001.md b/psa/142/001.md new file mode 100644 index 00000000..3b409023 --- /dev/null +++ b/psa/142/001.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Maschili + +Hii inaweza kumaanisha mtindo wa muziki. + +# pango + +sehemu ya wazi chini ya ardhi yenye ukubwa wa kutosha watu kutembea + +# Ninalilia msaada kwa Yahwe ... Ninaomba kwa ajili ya fadhili za Yahwe + +"Ninalilia na kuomba msaada kwa Yahwe kwa ajili ya fadhili zake" + +# kwa sauti yangu + +"kwa kutumia sauti yangu" + +# Ninamwagwa kilio changu mbele yake ... namweleza shida zangu + +"Ninamwaga kilio changu na shida zangu mbele yake" + +# Ninamwagwa kilio changu mbele yake + +Mwandishi anazungumzia kumweleza Yahwe kwa nini ana huzuni kana kwamba anamwaga kimiminiko kutoka kwenye chombo. "Namwambia yote kuhusu kwa nini nina huzuni" + +# namweleza shida zangu + +"namwambia kuhusu yote yanayonifanya kuwa na wasiwasi" + diff --git a/psa/142/003.md b/psa/142/003.md new file mode 100644 index 00000000..c92b6bff --- /dev/null +++ b/psa/142/003.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# roho yangu imedhoofika ndani yangu + +"niko mnyonge" au "nimekata tamaa sana" + +# unafahamu njia yangu + +"unafahamu njia nayopaswa kuchukua." Mwandishi anazungumza kana kwamba afanyacho mtu ni njia ambayo mtu amepitia. "unafahamu namna ninavyopaswa kuishi" + +# Katika njia nayopita wameficha mtego kwa ajili yangu + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia watu kutaka kumdhuru kana kwamba walikuwa wakijaribu kutega mnyama. "Wanafanya mipango ili chochote nitakachofanya wanidhuru" + +# maisha yangu + +Hii ni njia nyingine ya kusema "mimi." + +# Nikakuita + +Huu ni wito wa msaada. "nikuita wewe kwa ajili ya msaada" + +# fungu langu + +Maana zinazowezekana ni 1)"ninachotaka" au 2) "ninachohitaji" au 3) "nilichonacho" + +# katika nchi ya walio hai + +"wakati niko hai" + diff --git a/psa/142/006.md b/psa/142/006.md new file mode 100644 index 00000000..1dbabdf6 --- /dev/null +++ b/psa/142/006.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sikia wito wangu + +Huu ni wito wa msaada. "Nisikilize ninapokuita kwa ajili ya msaada" + +# Nimeshushwa chini sana + +Maana zinazowezekana ni 1) "mimi ni mhitaji sana" na 2) "mimi ni mnyonge sana." + +# Leta nafsi yangu kutoka gerezani + +Hili ni ombi. "nitoe gerezani" + +# nitoe shukrani kwa jina lako + +Neno "jina" ni njia nyingine ya kusema mtu. "kutoa shukrani kwako" + diff --git a/psa/143/001.md b/psa/143/001.md new file mode 100644 index 00000000..9e7a74eb --- /dev/null +++ b/psa/143/001.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# Sikia ombi langu + +Maneno "ombi langu" ni njia nyingine ya kusema mtu anaye omba. "Nisikilie ninapoomba kwako" au "Kuwa tayari kufanya ninachokuomba kufanya" + +# nijibu + +"tafadhali fanya ninachokuomba ufanye" + +# Usiingie hukumuni + +"Tafadhali usinihukumu" au "Nakusihi usinihukumu" + +# mtumishi wako + +Mwandishi anajizungumzia mwenyewe kana kwamba anamzungumzia mtu mwingine. "mimi" + +# machoni pako hakuna aliye na haki + +"haufikiri kuwa yeyote ana haki" + diff --git a/psa/143/003.md b/psa/143/003.md new file mode 100644 index 00000000..14a99d5e --- /dev/null +++ b/psa/143/003.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# amefuatilia nafsi yangu + +"amenifukuza akijaribu kunishika" + +# amenisukuma chini hadi ardhini + +"ameniangamiza kabisa" + +# Roho yangu imezidiwa ndani yangu + +"Mimi mnyonge" au "Nimekata tamaa kabisa" + +# moyo wangu umekata tamaa + +"sina matumaini tena" + diff --git a/psa/143/005.md b/psa/143/005.md new file mode 100644 index 00000000..911ff1aa --- /dev/null +++ b/psa/143/005.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Naitisha akilini + +"Nafikiria" + +# mafanikio yako + +"yote uliyotimiza" au "mambo yote makuu uliyotenda" + +# natawanya mikono yangu kwako katika maombi + +"naomba kwako na mikono yangu ikiwa imenyanyuka pembeni yangu" + +# nafsi yangu ina kiu na wewe katika nchi iliyokauka + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia kutaka kuwa na Mungu kana kwamba yuko katika nchi iliyokauka na pia alikuwa karibu ya kufa kwa kiu. "ninataka kuwa na wewe kama mtu aliye katika nchi iliyokauka mwenye kiu sana anavyotaka maji" + +# nafsi yangu ina kiu na wewe + +Mwandishi anatamani kumjua Yahwe. Mkazo wa hamu yake kumjua yahwe ni kama mtu aliye na kiu sana. "na shauku na wewe" + +# nafsi yangu + +Nafsi ni njia nyingine ya kusema mtu. + +# nchi iliyokauka + +Ardhi ambayo kila kitu kimekufa kwa sababu hakuna maji. + +# Sela + +Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kihebrabia, na zingine haziliweki. + diff --git a/psa/143/007.md b/psa/143/007.md new file mode 100644 index 00000000..70b850ff --- /dev/null +++ b/psa/143/007.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# roho yangu ni dhaifu + +"mimi ni mnyonge" au "nimekata tamaa sana" + +# Usifiche uso wako kwangu + +Hili ni ombi. "Nakuomba usijifiche kwangu" au "Tafadhali usijifiche kwangu" + +# Usifiche uso wako kwangu + +Mwandishi anamzungumzia Yahwe kukataa kufanya kile ambacho mwandishi wa zaburi anaomba kana kwamba Yahwe alikuwa anakataa hata kumtazama. "Usikatae kunisikiliza" au "Tafadhali nisikilize" + +# Nitakuwa kama hao waendao shimoni + +"Nitakuwa kama mtu mwingine tu aliyekufa" + +# Acha nisikie uaminifu wako wa agano + +"Nisababishe kusikia uaminifu wako wa agano" au "Niambie uaminifu wako wa agano" + +# asubuhi + +Maana zinazowezekana ni 1) asubuhi ni muda ambao watu wa wakati huo walidhani unafaa kuomba, au 2) "asubuhi kwa asubuhi," kila siku. + +# Nioneshe + +"Niambie" + +# njia ninayopaswa kutembea + +Mwandishi wa zaburi anazungumzia jinsi watu wanavyoishi kana kwamba ni njia ambayo wanatembea. "jinsi unavyotaka niishi" + +# kwa kuwa ninainua roho yangu kwako + +Maana zinazowezekana ni 1) "ninaomba kwako" au 2) "ninaamini kuwa utaniongoza na kunilinda" + diff --git a/psa/143/009.md b/psa/143/009.md new file mode 100644 index 00000000..b221efee --- /dev/null +++ b/psa/143/009.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nakimbia kwako kujificha + +Maana zinazowezekana ni 1) "Nakimbia kwako ili nijifiche" na 2) "Nakimbia kwako ili unifiche na kunilinda." + +# kufanya mapenzi yako + +"kufanya unachotaka nifanye" + +# aniongoze katika nchi ya unyofu + +Maana zinazowezekan ni 1) "nasaidie niishi kwa haki" au 2) "maisha yangu yawe huru na taabu" + +# nchi ya unyofu + +Maana zinazowezekana ni 1) hii ni sititari ya kuishi maisha ya haki au 2) "nchi tambarare," sitiari ya maisha yasiyokuwa na taabu. + diff --git a/psa/143/011.md b/psa/143/011.md new file mode 100644 index 00000000..f83d5680 --- /dev/null +++ b/psa/143/011.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kwa ajili ya jina lako + + + +# adui wa maisha yangu + +"adui wanaotaka kuchukua maisha yangu" + +# Katika uaminifu wako wa agano wakate adui zangu + +"Onesha uaminifu wako wa agano kwa kuwakata adui zangu" + +# adui wa maisha yangu + +"adui wa nafsi yangu" au, kuchukua "maisha yangu" kama njia nyingine ya kusema "mimi", "adui zangu" + diff --git a/psa/144/001.md b/psa/144/001.md new file mode 100644 index 00000000..5b1e8141 --- /dev/null +++ b/psa/144/001.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Zaburi ya Daudi + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi. + +# mwamba wangu + +Maana zinazowezekana ni1) "yule ambaye ananiweka salama" au 2) "yule anayenipa nguvu" + +# anayefunza mikono yangu kwa ajili ya vita na vidole vyangu kwa mapambano + +Maneno "mikono" na "vidole" zinamaana ya "mimi." "anayeniandaa kwa ajili ya vita" au ""anayeniandaa kwa ajili ya mapambano" + +# uaminifu wangu wa agano + +"yule ambaye ananionesha uaminifu wa agano" + +# ngome yangu ... namkimbilia + +Mwandishi wa zaburi anatumia sitiari kusisitiza kwamba Yahwe atamlinda. + +# mnara wangu wa juu + +Daudi anamzungumzia Yahwe kana kwamba ni ngome inayomlinda dhidi ya mashambulizi. Yahwe ndiye anayemlinda Daudi na hatari. + +# ngao yangu + +Daudi anamzungumzia Yahwe kana kwamba ni ngao inayomlinda askari. Yahwe ndiye anayemlinda Daudi dhidi ya hatari. + +# yule ambaye namkimbilia + +Kwenda kwa Yahwe kunazungumziwa kama kumkimbilia. "yule ambaye ninaenda kwake kwa ajili ya ulinzi" + +# yule unayedhibiti mataifa chini yangu + +"yule anayenisaidia kuyashinda mataifa mengine" + diff --git a/psa/144/003.md b/psa/144/003.md new file mode 100644 index 00000000..00969972 --- /dev/null +++ b/psa/144/003.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yahwe, mtu ni nini hadi unamtambua au mwanadamu hadi unamfikiria? + +"Mwanadamu ni mdogo sana ukilinganisha na vingine vyote ulivyoumba hadi ninashangaa kwamba unamtambua na kumwaza" + +# mtu ... mwanadamu + +maneno mawili yote yanamaanisha wanadamu + +# kama pumzi ... kama kivuli kipitacho + +Mwandishi anawafananisha wanadamu na hivi vitu kuonesha jinsi maisha yao yalivyo mafupi. + diff --git a/psa/144/005.md b/psa/144/005.md new file mode 100644 index 00000000..faa4c000 --- /dev/null +++ b/psa/144/005.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# sababishe ... ije chini ... gusa ... ifanye ... Tuma ... uwatawanye ... piga ... warudishe + +Haya maneno yanatakiwa kutafsiriwa kama maombi na sio amri kwa sababu mwandishi anatambua kuwa Mungu ni mkuu zaidi yake. + +# Sababisha anga izame + +Maana zinazowezekana ni 1) pasua anga wazi au 2) kunja mbigu kama tawi la mti linavyojikunja mtu anapotembea juu yake au kama mtu anavyokunja upinde kabla ya kupiga mishale. + +# katika kuchanganyikiwa + +"ili wasijue wawaze nini au wafanye nini" + diff --git a/psa/144/007.md b/psa/144/007.md new file mode 100644 index 00000000..37866690 --- /dev/null +++ b/psa/144/007.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Nyosha mkono wako toka juu; niokoe na maji mengi + +Daudi anazungumza kana kwamba Mungu alikuwa kwenye ardhi juu ya mafuriko na ana mikono ya kimwili ambayo angeweza kumvuta Daudi kutoka kwenye mafuriko. Mafuriko ni sitiari ya taabu zilizosababishwa na "wageni." "Unaweza kutenda, nisaidie nizishinde taabu zangu" + +# kutoka mkono wa wageni + +Hapa "mkono" unaashiria nguvu."kutoka katika nguvu ya wageni" + +# Midomo yao inazungumza uongo + +"Wanazungumza uongo" + +# mkono wao wa kuume ni uongo + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi anazungumzia utamaduni wa kuinua mkono wa kuume ili kuapa kuwa anachotaka kusema mtu mahakamani ni kweli, "wanadanganya hata wanapoapa kusema ukweli," au 2) "mkono wa kuume" ni sitiari ya nguvu, "kila kitu walichopata, wamepata kwa kusema uongo" + diff --git a/psa/144/009.md b/psa/144/009.md new file mode 100644 index 00000000..01c06743 --- /dev/null +++ b/psa/144/009.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# wimbo mpya + +Maana zinazowezekana ni 1) "wimbo ambao hakuna mtu amewahi kuimba" au 2) "wimbo ambao sijawahi kuimba" + +# kwako, unayewapa ...wafalme, uliyemwokoa + +"kwako. Ni wewe unayewapa ... wafalme. Ni wewe ulimwokoa" + +# Daudi mtumishi wako + +Daudi anajizungumzia kana kwamba ni mtu mwingine. "mimi, Daudi, mtumishi wako" + +# na upanga mwovu + +Daudi anawazungumzia watu waovu kana kwamba ni upanga wanaotumia kama silaha. "kutoka kwa watu waovu waliokuwa wanajaribu kumuua" + +# Niokoe na uniweke huru + +"Tafadhali niokoe na uniweke huru" + +# kutoka katika mkono wa wageni + +Hapa "mkono" unaashiria nguvu."kutoka katika nguvu ya wageni" + +# Midomo yao inazungumza uongo + +"Wanazungumza uongo" + +# mkono wao wa kuume ni uongo + +Maana zinazowezekana ni 1) Daudi anazungumzia utamaduni wa kuinua mkono wa kuume ili kuapa kuwa anachotaka kusema mtu mahakamani ni kweli, "wanadanganya hata wanapoapa kusema ukweli," au 2) "mkono wa kuume" ni sitiari ya nguvu, "kila kitu walichopata, wamepata kwa kusema uongo" + diff --git a/psa/144/012.md b/psa/144/012.md new file mode 100644 index 00000000..d3cbb452 --- /dev/null +++ b/psa/144/012.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kama mimea inayokuwa kikanilifu + +yenye afya na imara + +# katika ujana wao + +muda ambao watu wanakua + +# binti zetu kama nguzo za pembeni zilizochongeka + +"na binti zetu wachongeke kama nguzo za pembeni" + +# nguzo za pembeni zilizochongeka + +"nguzo nzuri zinazobeba pembe za nyumba kubwa" + +# nguzo za pembeni zilizochongeka, zenye umbo zuri kama za hekalu + +"nguzo zilizochengeka kufanya hekalu lipendeze" + +# maelfu na elfukumi katika mashamba yetu + +"maelfu—hata makumi elfu!—na wajaze mashamba yetu" + diff --git a/psa/144/014.md b/psa/144/014.md new file mode 100644 index 00000000..05e30299 --- /dev/null +++ b/psa/144/014.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hakuna mtu atakayepasua kwenye kuta zetu + +"Hakuna mtu atakayeweza kuvamia mji wetu" + +# wala kilio + +"hakuna mtu atakayelia kwa maumivu" au "hakuna mtu kuomba omba chakula" au "hakuna tu kuita hukumu" + diff --git a/psa/145/001.md b/psa/145/001.md new file mode 100644 index 00000000..1c7c15f0 --- /dev/null +++ b/psa/145/001.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# zaburi ya kusifu ya Daudi + +"Hii ni zaburi ya kusifu ambayo Daudi aliandika" + +# Nitakutukuza wewe + +"Nitawaambia watu jinsi ulivyo wa ajabu" + +# Nitabariki jina lako + +Neno "jina" ni njia nyingine ya kusema Yahwe mwenyewe. "jina lake tukufu libarikiwe", "ubarikiwe" au "fanya kinachokufurahisha" + +# Nitalisifu jina lako + +Neno "jina" ni njia nyingine ya kusema Yahwe mwenyewe. "nitakusifu" au "nitawaambia watu jinsi ulivyo mkuu" + diff --git a/psa/145/004.md b/psa/145/004.md new file mode 100644 index 00000000..64e7f079 --- /dev/null +++ b/psa/145/004.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# matendo yako makuu + +"vitu unavyoweza kufanya kwa sababu una nguvu" + diff --git a/psa/145/006.md b/psa/145/006.md new file mode 100644 index 00000000..e6da7771 --- /dev/null +++ b/psa/145/006.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# nitatangaza wema wako uliojaa tele + +"nitawaambia watu jinsi ulivyo mwema sana" + diff --git a/psa/145/008.md b/psa/145/008.md new file mode 100644 index 00000000..ba6f53e1 --- /dev/null +++ b/psa/145/008.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# umejaa tele uaminifu wa agano + +Mwandishi anazungumzia uaminifu wa agano kana kwamba ni kitu cha kimwili ambacho mtu anaweza kumiliki kiasi kikubwa chake. "ni mwaminifu kabisa kwa agano lako" + +# rehema zake ziko juu ya kasi zake zote + +"watu wanaweza kumwona akionesha huruma katika kila kitu afanyacho" + diff --git a/psa/145/010.md b/psa/145/010.md new file mode 100644 index 00000000..ad27d76d --- /dev/null +++ b/psa/145/010.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Yote ulivyoumba vitakupa shukrani + +"Watu wote uliowaumba watakupa shukrani" au "Itakuwa kana kwamba kila kitu ulichoumba kitakupa shukrani" + diff --git a/psa/145/013.md b/psa/145/013.md new file mode 100644 index 00000000..eea19ba6 --- /dev/null +++ b/psa/145/013.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# unadumu katika vizazi vyote + +"unabaki milele" + diff --git a/psa/145/014.md b/psa/145/014.md new file mode 100644 index 00000000..6b56b8b9 --- /dev/null +++ b/psa/145/014.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# anashikilia wote wanaoanguka ... anawainua wote walioinama + +Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuwatia moyo watu kana kwamba alikuwa akiwasaidia watu waliokuwa wandhaifu kimwili. "huwatia moyo wale walio kata tamaa" + +# Macho ya wote yanasubiri + +"Kila mtu anasubiri" + +# Unafungua mkono wako + +"Unatoa kwa ukarimu" + +# kuridhisha hamu za kila kiumbe hai + +"unampa kila mtu zaidi ya anachohitaji na kiasi anachotaka" + diff --git a/psa/145/017.md b/psa/145/017.md new file mode 100644 index 00000000..3e5d226e --- /dev/null +++ b/psa/145/017.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yahwe ni wa haki katika njia zake zote + +"Watu wanaweza kuona katika yote ambayo Yahwe anafanya kuwa yeye ni mwenye haki" + +# mwenye fadhili katika yote atendayo + +"na ni mwenye fadhili katika yote atendayo" au "watu wanaweza kuona katika mambo yote ambayo Yahwe anafanya ya kuwa ni mwenye fadhili" + +# yuko karibu kwa wale wote wanaomwita + +"anatenda upesi kuwasaidia wale wanaoomba" + +# wale wote wanaomwita kwa uaminifu + +"kwa wale wanaosema ukweli tu wanapoomba" au "kwa wote wale anaowaamini wanapoomba" + diff --git a/psa/145/020.md b/psa/145/020.md new file mode 100644 index 00000000..fa5957f8 --- /dev/null +++ b/psa/145/020.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Mdomo wangu uta... + +"Nita..." + +# utazungumza sifa za Yahwe + +"Nitawaambia wote jinsi Yahwe alivyo mwema" + +# acha wanadamu wote wabariki jina lake + +Neno "jina " njia nyingine ya kusema Yahwe mwenyewe. "jina lake tukufu libarikiwe," "acha watu wote wambariki" au "acha watu wote wafanye kinachomfurahisha" + diff --git a/psa/146/001.md b/psa/146/001.md new file mode 100644 index 00000000..5a7d5e35 --- /dev/null +++ b/psa/146/001.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Msifu Yahwe, nafsi yangu + +Hapa "nafsi" inawakilisha undani wa mwandishi. Mwandishi anajiamuru kumsifu Yahwe. "Nitamsifu Yahwe kwa nafsi yangu yote" au "Nitampa Yahwe sifa kwa maisha yangu yote" + +# kwa maisha yangu yote + +"hadi nife" au "wakati ninaishi" + diff --git a/psa/146/003.md b/psa/146/003.md new file mode 100644 index 00000000..34351c0f --- /dev/null +++ b/psa/146/003.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kwa wana wa wafalme + +Hapa "wana wa wafalme" inawakilishwa viongozi wote wanadamu. + +# kwa wanadamu, ambamo hakuna wokovu + +"kwa mtu yeyote kwa sababu hawezi kukuokoa" + +# kwa wanadamu + +"kwa watu" + +# Pumzi ya mtu inaposimama + +Hii ni njia ya ustarabu ya kumaanisha mtu anakufa. "Mtu anapokufa" + +# anarudi mavumbini + +Hii inamaanisha kamaMungu alivyomuumba binadamu wa kwanza, Adamu, kutoka mavumbini, hivyo pia mwili wa mtu utaoza na kuwa mavumbi tena atakapokufa. + diff --git a/psa/146/005.md b/psa/146/005.md new file mode 100644 index 00000000..585bcb76 --- /dev/null +++ b/psa/146/005.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Yahwe ameumba mbingu na dunia + +Maneno "mbingu" na "dunia" yanamaanisha kila kitu kilichopo ulimwenguni. + +# hufuata uaminifu + +"hubaki mwaminifu" + diff --git a/psa/146/007.md b/psa/146/007.md new file mode 100644 index 00000000..40df7040 --- /dev/null +++ b/psa/146/007.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Anapitisha hukumu + +"Anaamua mambo kwa usawa" + +# kwa waliokandamizwa + +"kwa watu waliokandamizwa" au "kwa wale ambao watu wengine wamewakandamiza" + +# kwa wenye njaa + +"kwa watu wenye njaa" au "kwa wale walio na njaa" + +# hufungua macho ya vipofu + +Kumsababisha mtu kipofu kuona inazungumziwa kana kwamba Yahwe alikuwa anafungua macho yake. "husababisha vipofu kuona" + +# vipofu + +"watu vipofu" au "wale walio vipofu" + +# Yahwe huwainua wale walioinama chini + +Yahwe kumsaidia mtu inazungumziwa kana kwamba anamsaidia mtu kimwili kusimama. "Yahwe huwasaidia wale walio kata tamaa" au "Yahwe huwasaidia wale walio wanyonge" + +# walioinama chini + +Hili ni tendo lenye ishara ya kukata tamaa na kuomboleza. + diff --git a/psa/146/009.md b/psa/146/009.md new file mode 100644 index 00000000..215a5d3c --- /dev/null +++ b/psa/146/009.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# huwainua + +Mungu kumsaidia mtu kunazungumziwa kana kwamba alikuwa akiwanyanyua juu kimwili. + +# Mungu wako, Sayuni + +Hapa "Sayuni" inawakilisha watu wote wa Israeli. Mwandishi anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa hapo wakimsikiliza. "Mungu wenu, watu wa Israeli" + +# katika vizazi vyote + +"atatawala katika vizazi vyote" au "atatawala milele" + diff --git a/psa/147/001.md b/psa/147/001.md new file mode 100644 index 00000000..ecb00cf3 --- /dev/null +++ b/psa/147/001.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# ni vyema + +"ni vyema kuimba sifa" + +# sifa inafaa + +"sifa inastahili" + diff --git a/psa/147/002.md b/psa/147/002.md new file mode 100644 index 00000000..1f5665a3 --- /dev/null +++ b/psa/147/002.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Huwaponya waliovunjika moyo na kuziba vidonda vyao + +Mwandishi anazungumzia huzuni ya watu na kukata tamaa kana kwamba ni vidonda vya kimwili, na Yahwe kuwatia moyo kana kwamba anaponya vidonda vyao. "Huwatia moyo wale walio na huzuni na kuwasaidia kupona na vidonda vyao vya kihisia" + diff --git a/psa/147/004.md b/psa/147/004.md new file mode 100644 index 00000000..a64f3d91 --- /dev/null +++ b/psa/147/004.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# uelewa wake hauwezi kupimwa + +"hakuna mtu anayeweza kupima uelewa wake" au "uelewa wake hauna mwisho" + diff --git a/psa/147/006.md b/psa/147/006.md new file mode 100644 index 00000000..29c43b67 --- /dev/null +++ b/psa/147/006.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yahwe huwainua waliokandamizwa + +Mwandishi anazungumzia yahwe kuwapa heshima wale walio kandamizwa kana kwamba Yahwe alikuwa akiwainua kutoka ardhini. "Yahwe huwapa heshima walio kandamizwa" + +# huwaleta waovu chini ardhini + +Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuwaaibisha waovu kana kwamba Yahwe alikuwa akiwalazimisha kulala ardhini. "huwaaibisha waovu" + +# kwa kinubi + +"huku wakicheza kinubi" + diff --git a/psa/147/008.md b/psa/147/008.md new file mode 100644 index 00000000..1b56dbd7 --- /dev/null +++ b/psa/147/008.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# na kwa wana wa kunguru wanapolia + +"na huwapa chakula wana wa kunguru wanapolia" + +# wanapolia + +"wanapoita" + diff --git a/psa/147/010.md b/psa/147/010.md new file mode 100644 index 00000000..acd88540 --- /dev/null +++ b/psa/147/010.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hapendezwi na nguvu ya farasi + +"Farasi wenye nguvu hawampendezi" + +# miguu yenye nguvu ya mtu + +Maana zinazowezekana ni 1) "miguu yenye nguvu" ni njia nyingine inayowakilisha jinsi mtu anavyoweza kukimbia mbio. "watu wanaoweza kukimbia mbio" au 2) "miguu yenye nguvu" inawakilisha nguvu ya mtu mzima. "jinsi mtu alivyo na nguvu" + diff --git a/psa/147/012.md b/psa/147/012.md new file mode 100644 index 00000000..ef796ee6 --- /dev/null +++ b/psa/147/012.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yerusalemu ... Sayuni + +Mwandishi anazungumzana Yerusalemu, ambayo pia aniita Sayuni, kana kwamba ni mtu. Majina ya mji ni njia nyingine ya kuwaita watu wanaoishi humo. "watu wa Yerusalemu ... watu w Sayuni" + +# Kwa kuwa huimarisha vyuma vya malango yako + +Msemo "vyuma vya malango yako" unawakilisha mji kwa ujumla. Yahwe ataifanya Yerusalemu kuwa salama kutoka kwa uvamizi wa adui. "Kwa kuwa huilinda Yerusalemu" + +# huwabariki ... miongoni mwenu + +Mwandishi anawazungumzia wanaoishi Yerusalemu kana kwamba ni watoto wa Yerusalemu. "huwabariki wale wanaoishi Yerusalemu" + +# Huleta mafanikio + +"Huleta amani." Maana zinazowezekana ni 1) Yahwe husababisha watu wanaoishi Yerusalemu kufanikiwa kwa mali na kwa fedha au 2) neno lililotafsiriwa kama "mafanikio" linamaanisha "amani" na Yahwe huitunza yerusalemu dhidi ya mashambulizi ya adui. + diff --git a/psa/147/015.md b/psa/147/015.md new file mode 100644 index 00000000..539239d3 --- /dev/null +++ b/psa/147/015.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# amri yake inakimbia haraka sana + +Mwandishi anaelezea amri za Mungu kana kwamba ni mjumbe anayekimbia haraka kufikisha ujumbe wa Mungu. + +# Huifanya theluji kama sufu, husambaza jalidi kama majivu + +Hii inasisitiza jinsi ilivyo rahisi kwake kufanya hivi vitu. Hufunika ardhi kwa theluji kwa urahisi kama mtu anavyofunika kitu kwa blangeti wa sufu. Na huondoa jalidi kwa wepesi kama upepo unavyopuliza majivu. + diff --git a/psa/147/017.md b/psa/147/017.md new file mode 100644 index 00000000..775b7bf9 --- /dev/null +++ b/psa/147/017.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Huigawa mvua ya mawe kama makombo + +Yahwe husambaza mvua ya mawe kwa wepesi kama mtu anavyosambaza chembechembe za mkate. "Huigawa mvua ya mawe kwa urahisi, kana kwamba ni makombo" + +# Huigawa + +"Hutuma" + +# mvua ya mawe + +mvua yenye vipande vidogo vya barafu kutoka angani + +# nani anawezakustahimili baridi anayoituma + +Mwandishi anatumia swali hili kusisitiza kuwa ni vigumu kuvumilia hali ya hewa ya baridi ambayo Yahwe husababisha. "hakuna anayeweza kuishi katika baridi anayoituma" + +# Hutuma amri yake na kuyayeyusha + +Mwandishi anazungumzia amri ya yahwe kana kwamba ilikuwa ni mjumbe wake. "Huamuru barafu kuyeyuka" + diff --git a/psa/147/019.md b/psa/147/019.md new file mode 100644 index 00000000..924a66bf --- /dev/null +++ b/psa/147/019.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Alitangaza neno lake kwa Yakobo, sheria zake na amri zake za haki kwa Israeli + +Mistari hii miwili inamaana moja na inasisitiza kuwa Yahwe alitoa sheria yake kwa Israeli pekee. + +# sheria zake na amri zake za haki kwa Israeli + +"Alitangaza sheria zake na amri zake za haki kwa Israeli" + +# sheria zake na amri zake za haki + +Maneno "sheria" na "amri za haki" pamoja na "neno" katika mstari uliopita, yote yanamaanisha sheria ya Musa. + +# hawazijui + +Mataifa mengine hayajui amri za Yahwe. + diff --git a/psa/148/001.md b/psa/148/001.md new file mode 100644 index 00000000..cbbe826b --- /dev/null +++ b/psa/148/001.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Msifuni Yahwe, nyie mbinguni ... nyie mlio juu + +"Msifuni Yahwe, nyie mbinguni ... nyie mlio angani." Mistari hii miwili ina usambamba. Msemo "juu" una maana sawa na "mbinguni" katika mstari uliopita" + diff --git a/psa/148/003.md b/psa/148/003.md new file mode 100644 index 00000000..afa7111c --- /dev/null +++ b/psa/148/003.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Msifuni, juana mwezi + +Mwandishi anazungumza na jua na mwezi kana kwamba ni watu na anaziamuru kumsifu Yahwe. "Msifuni Yahwe, jua na mwezi, kama watu wafanyavyo" + +# msifuni, nyota zote zinazong'aa + +Mwandishi anazungumza na nyota kana kwamba ni watu na anaziamuru kumsifu Yahwe. "Msifuni Yahwe, nyota wa kung'aa, kama watu wafanyavyo" + +# Msifuni, mbingu ya juu zaidi + +Msemo "mbingu ya juu zaidi" ni lahaja ya kumaanisha mbingu yenyewe. Mwandishi anazungumza na mbingu kwan kwamba ni mtu na anaiamuru kumsifu Yahwe. "Msifu yahwe, mbingu iliyo juu zaidi, kama watu wafanyavyo" + +# nyie maji mlio juu ya anga + +Mwandishi anazungumza na "maji mlio juu ya anga" kana kwamba ni watu na anayaamuru kumsifu Yahwe. "Msifuni Yahwe, maji mlio juu ya anga, kama watu wafanyavyo" + +# maji mlio juu ya anga + +Mwandishi anazungumzia sehemu juu ya anga ambapo maji huhifadhiwa na mvua hutokea. + diff --git a/psa/148/005.md b/psa/148/005.md new file mode 100644 index 00000000..ff740219 --- /dev/null +++ b/psa/148/005.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Acha walisifu jina la Yahwe + +Hapa neno "jina" linamwakilisha Yahwe mwenyewe. "Acha wamsifu Yahwe" + +# vikaumbwa + +"aliviumba" + +# ametoa amri ambayo hatabadili + +Maana zinazowezekana ni 1) "ametoa amri ambayo ni ya milele" au 2) "ametoa amri ambayo hawatakaidi" + +# ametoa + +"kutoa" kama mfalme anavyotoa + diff --git a/psa/148/007.md b/psa/148/007.md new file mode 100644 index 00000000..3a64c15f --- /dev/null +++ b/psa/148/007.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# vilindi vyote vya bahari + +Msemo huu unawakilisha kila kiumbe kinachoishi katika vilindi vya bahari. "viumbe vyote katika vilindi vya bahari" + +# moto na mvua ya mawe, theluji na mawingu, upepo wa dhoruba + +Mwandishi anazungumza hivi vitu vya asili kana kwamba ni watu na kuviamuru kumsifu Yahwe. + +# upepo wa dhoruba unaotimiza neno lake + +Msemo "neno lake" unawakilisha kile ambacho yahwe ameamuru. "upepo wa dhoruba unaofanya kile ambacho Yahwe ameamuru" + diff --git a/psa/148/009.md b/psa/148/009.md new file mode 100644 index 00000000..576cba99 --- /dev/null +++ b/psa/148/009.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Kauli Unganishi: + +Mwandishi anaendelea kuzungumza na vitu ambavyo sio binadamu kana kwamba ni watu na kuviamuru kumsifu Yahwe. + +# wanyama pori na wakufugwa + +"wanyama wote" + diff --git a/psa/148/011.md b/psa/148/011.md new file mode 100644 index 00000000..d4ae9a2f --- /dev/null +++ b/psa/148/011.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kauli Unganishi: + +Mwandishi anawaamuru watu wote kumsifu Yahwe + +# mataifa yote + +Neno "mataifa" linawakilisha watu wanoishi katika mataifa hayo. "watu wa mataifa yote" + +# vijana wanaume na wanawali, wazee na watoto + +Mwandishi anatumia tofauti hizi za jinsia na umri kuwakilisha kila mtu. + diff --git a/psa/148/013.md b/psa/148/013.md new file mode 100644 index 00000000..34009e2e --- /dev/null +++ b/psa/148/013.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# jina la Yahwe, kwa kuwa jina lake pekee + +Hapa neno "jina" limwakilisha Yahwe mwenyewe. "Yahwe, kwa kuwa yeye pekee" + +# utukufu wake unasambaa juu ulimwengu na mbingu + +Mwandishi anazungumzia ukuu wa Yahwe kama utukufu wake kuwa juu ya ulimwengu na mbingu. + +# Ameinua pembe za watu wake + +Mwandishi anazungumzia nguvu kana kwamba ni pembe la mnyama. Kuinua pembe la mnyama ilikuwa ni ishara ilioshiria ushindi wa kijeshi. "Amewafanya watu wake kuwa na nguvu" au "Amewapa watu wake ushindi" + +# kwa ajili ya sifa kutoka kwa waaminifu wake wote + +"ili kwamba waaminifu wake wote wamsifu" + +# watu karibu naye + +Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuwapenda watu wake kana kwamba watu wake wako karibu naye kimwili. "watu awapendao" + diff --git a/psa/149/001.md b/psa/149/001.md new file mode 100644 index 00000000..1a149af2 --- /dev/null +++ b/psa/149/001.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Taarifa ya Jumla: + +Mwandishi wa zaburi anazungumza na watu wote wa Mungu. + +# wimbo mpya + +Maana zinazowezekana ni 1) "wimbo ambao hujawahi kuimba" au 2) wimbo ambao hakuna mtu aliyewahi kuimba. + +# imbeni sifa yake + +"msifuni kwa nyimbo" + diff --git a/psa/149/002.md b/psa/149/002.md new file mode 100644 index 00000000..52a0b48b --- /dev/null +++ b/psa/149/002.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# ifurahi katika yeye aliyekuamba + +Maana zinazowezekana ni 1) "furahi kwa sababu aliwaumba" au 2) "furahi kwa sababu aliyewaumba ni mwema." + +# wamfurahie mfalme wao + +Maneno "mfalme wao" inawezekana kumaanisha Mungu. Maana zinazowezekana ni 1) "furahi kwa sababu ni mfalme wao" au 2) "furahi kwa sababu mfalme ni mwema." + +# wasifu jina lake + +Neno "jina" ni njia nyingine ya kusema Yahwe mwenyewe. "msifuni yeye" au "waambie watu alivyo mkuu" + +# tari + +chombo cha muziki chenye kichwa kama ngoma kinachoweza kugongwa na kina vipande vya chuma vimezunguka pembeni vinavyotoa sauti chombo kinapotikiswa. + diff --git a/psa/149/004.md b/psa/149/004.md new file mode 100644 index 00000000..09f47eef --- /dev/null +++ b/psa/149/004.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# anawatukuza wanyenyekevu kwa wokovu + +"anawapa utukufu wanyenyekevu kwa kuwaokoa kutoka kwa maadui zao" + +# vitandani mwao + +"hata wanapolala chini kusinzia usiku" + diff --git a/psa/149/006.md b/psa/149/006.md new file mode 100644 index 00000000..0ca8d711 --- /dev/null +++ b/psa/149/006.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Sifa za Mungu ziwe kwenye midomo yao + +Mdomo ni njianyingine ya kusema mtu mzima. "Daima wawe tayari kumsifu Mungu" + +# upanga wenye makali mawili mkononi mwao + +upanga wenye makali mkononi mwao ** - Neno "upanga" ni njia nyingine ya kusema kuwa tayari kupigana vitani. "wawe tayari wakati wote kwenda vitani kwa ajili yake" + +# mataifa + +Msemo "mataifa" ni njia nyingine ya kusema watu wanaoishi katika mataifa. "watu wa mataifa" + diff --git a/psa/149/008.md b/psa/149/008.md new file mode 100644 index 00000000..21750914 --- /dev/null +++ b/psa/149/008.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# minyororo + +Hizi zinaundwa na vyuma vizito na zinazuia kusogea kwa mfungwa. + +# pingu + +Kitu cha miduara miwili kilicho tengenezwa na chuma na mnyororo katikati yake zinazozuia kusogea kwa miguu au mikono ya mfungwa. + +# watatekeleza hukumu iliyoandikwa + +kufanya kile ambacho Yahwe alimwambia Musa kuandika ili watu wafanye kwa wale wenye hati. + diff --git a/psa/150/001.md b/psa/150/001.md new file mode 100644 index 00000000..23f8eb4f --- /dev/null +++ b/psa/150/001.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania. + +# Taarifa ya Jumla: + +kuzingatia zaidi kusifu na kuabudu na jambo la kawaida hekaluni. + +# Msifuni Mungu katika mahali pake patakatifu + +Hekalu la Mungu lilikuwa likijulikana zaida kama sehemu yake takatifu. Hii ilikuwa sehemu iliyotumika zaida kwenda kumwabudu Mungu. + +# matendo yake makuu + +"mambo makubwa aliyotenda." "Matendo makubwa" ya Mungu yanaweza kumaanisha 1) ya asili kama radi na matetemeko au 2) miujiza kama uponyaji na ushindi mkubwa vitani. + diff --git a/psa/150/003.md b/psa/150/003.md new file mode 100644 index 00000000..b2981a4d --- /dev/null +++ b/psa/150/003.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Taarifa ya Jumla: + +Hiki kipande kinakazia kumsifu na kumwabudu Mungu kwa vyombo vya muziki na kucheza. + +# matari + +Tari ni chombo cha muziki chenye kichwa kama ngoma kinachoweza kugongwa na kina vipande vya chuma vimezunguka pembeni vinavyotoa sauti chombo kinapotikiswa. + +# matoazi + +sahani mbili nyembamba za chuma zinazogongwa pamoja kutengeneza sauti kubwa. + diff --git a/psa/150/006.md b/psa/150/006.md new file mode 100644 index 00000000..48839cfd --- /dev/null +++ b/psa/150/006.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Taarifa ya Jumla + +Huu mstari ni zaidi ya mwisho wa zaburi hii. ni kauli ya kufunga kwa ajili ya kitabu chote cha 5 cha Zaburi, kinachoanzia Zaburi 107 na kuishia na Zaburi 150. + +# kila kitu kilicho na uhai + +Maana zinazowezekana ni 1) watu wote walio hai wanapaswa kumsifu Mungu au 2) viumbe vyote vilivyo hai vinapaswa kumsifu Mungu. + diff --git a/rut/01/01.md b/rut/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..fb334e03 --- /dev/null +++ b/rut/01/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ikatokea + +"ilikuwa" + +# wakati waamuzi walipo tawala + +"kipindi waamuzi waliongoza Israeli" + +# katika nchi + +"katika nchi ya Israeli" + +# mwanaume mmoja + +"mwanaume" Hii ni namna ya kukaribisha mtu kwenye stori. + diff --git a/rut/01/03.md b/rut/01/03.md new file mode 100644 index 00000000..7f00aff9 --- /dev/null +++ b/rut/01/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# aliachwa na wanae wawili + +"Naomi alikuwa na wanae wawiili" + +# akachukuwa wake + +"akaoa wanawake" + +# kutoka wanawake wa Moabu + +Wana wa Naomi walioa wanawake kutoka kabila la Moabu + +# jina la mmoja + +"jina la mmoja wa wanawake" + diff --git a/rut/01/06.md b/rut/01/06.md new file mode 100644 index 00000000..43a5acfc --- /dev/null +++ b/rut/01/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# alisikia katika nchi ya Moabu + +"wakati Naomi anaishi na Moabu alisikia" + +# Yahweh + +Hili ni jina la Mungu alilo lirihidhisha kwa watu wa Agano la Kale. + +# alisaidia watu wake kwenye shida + +Mungu aliona mahitaji yao na kutoa mavuno mazuri kwa ajili yao + diff --git a/rut/01/08.md b/rut/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..2590b736 --- /dev/null +++ b/rut/01/08.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kila mmoja wenu + +Naomi alikuwa anaongelea watu wawili + +# nyumba ya mama yenu + +"kwa nyumba ya mama zenu" + +# alionyesha ukarimu + +"alirihidhisha uaminifu" + +# kwa wafu + +"kwa waume zenu, waliyo kufa" + +# kwenye nyumba ya mume mwingine + +na waume zao wapya, sio mume wa mtu mwingine + diff --git a/rut/01/11.md b/rut/01/11.md new file mode 100644 index 00000000..40e9a9bd --- /dev/null +++ b/rut/01/11.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwanini uende na mimi? + +Hili ni swali lisilo itaji jibu + +# Bado ni wana wa kiume tumboni mwangu , ili kwamba wawe waume zenu? + +Naomi anatumia hili swali kusema kuwa hana tena wana wa kiume wa kuwaoa + +# mzee sana kuwa na mume + +Hii yaweza andikwa kwa uwazi zaidi + diff --git a/rut/01/14.md b/rut/01/14.md new file mode 100644 index 00000000..ac2205c1 --- /dev/null +++ b/rut/01/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# wakainua sauti zao na kulia + +Hii ina maana walilia kwa uchungu + +# sikia + +"Sikia" hapa ina maana ya "chukuwa tahadhari" + diff --git a/rut/01/16.md b/rut/01/16.md new file mode 100644 index 00000000..a60ada07 --- /dev/null +++ b/rut/01/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# una ishi wapi + +"wapi unaishi" + +# watu wako watakuwa watu wangu + +Ruthi anaeleza kuhusu watu wa Naomi, Waisraeli + +# Utakapo kufa nitakufa + +Hii ina onyesha matamanio ya Ruthi ya kuishi maisha yake yote sehemu moja na Naomi + diff --git a/rut/01/19.md b/rut/01/19.md new file mode 100644 index 00000000..b17312eb --- /dev/null +++ b/rut/01/19.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# ikatokea + +"ikaja kutokea" + +# mji wote + +"kila mtu katika mji" + diff --git a/rut/01/22.md b/rut/01/22.md new file mode 100644 index 00000000..3ef82fc0 --- /dev/null +++ b/rut/01/22.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Kwaiyo Naomi na Ruthi + +Hii ina hitimisha + diff --git a/rut/02/01.md b/rut/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..158bda54 --- /dev/null +++ b/rut/02/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sasa mume wa Naomi + +Hii ina tambulisha taarifa kabla ya stori kuendelea. + +# tajiri, wanaume mwenye ushawishi + +"mtu maarufu, tajiri" + +# Ruthi, Wamoabu + +Hapa stori inaendelea. + +# Wamoabu + +Hii ni njia ingine ya kusema mwanamke alitoka nchi au kabila la Moabu + diff --git a/rut/02/03.md b/rut/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..6b0ca89d --- /dev/null +++ b/rut/02/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Tazama, Boazi + +Neno "tazama" lina ashiria tukio muhimu Boazi akija shambani + +# akatoka Bethilehemu + +Mashamba yalikuwa ya yajatajwa umbali na Bethilehemu + +# kukubariki + +"kukupa vitu vizuri" + diff --git a/rut/02/05.md b/rut/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..558c6844 --- /dev/null +++ b/rut/02/05.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Huyu mwanamke mdogo ni wa mwanamme gani? + +Maana zinazo wezekana ni 1) Boazi alikuwa anauliza kuhusu mume wa Ruthi au 2) Boazi alikuwa anauliza wazazi au walezi + +# usimamizi + +"muhusika wa" + diff --git a/rut/02/08.md b/rut/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..d9e14f68 --- /dev/null +++ b/rut/02/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Una nisikiliza mimi, binti yangu + +Hii yaweza andikwa kama amri + +# binti yangu + +Hii ilikuwa namna ya ukarimu ya kumtaja mwanamke + +# Eka macho yako shambani + +Macho yanawakilisha kutizama kitu + diff --git a/rut/02/10.md b/rut/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..b4051e75 --- /dev/null +++ b/rut/02/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# akainama mbele za Boazi, akishika kichwa chake kwenye ardhi + +Haya ni matendo ya heshima na hofu. + +# kwanini nimepata kibali + +Ruthi anauliza swali + +# mgeni + +Ruthi aliweka uaminifu wake kwa Mungu wa Israeli sirini, lakini alijulikana hadharani kama Mmoabu + +# Imeletwa kwangu + +Hii yaweza andikwa kama kitenzi tendaji. + diff --git a/rut/02/13.md b/rut/02/13.md new file mode 100644 index 00000000..d0e17dcf --- /dev/null +++ b/rut/02/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Acha nipate kibali machoni pako + +Hii yaeleza kuomba baraka + diff --git a/rut/02/14.md b/rut/02/14.md new file mode 100644 index 00000000..e2001736 --- /dev/null +++ b/rut/02/14.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakati wa chakula + +Hii ina maana ya mchana + diff --git a/rut/02/15.md b/rut/02/15.md new file mode 100644 index 00000000..7008dc9a --- /dev/null +++ b/rut/02/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Alipo inuka kukusanya nafaka, Boazi aliamuru vijana wake + +Katika muktadha wa amri, inawezekana Ruthi alikuwa mbali sana na maelekezo ya Boazi + +# Alipo inuka + +"Alipo inuka" + +# usimkeme + +"usimsababishie aibu" + diff --git a/rut/02/17.md b/rut/02/17.md new file mode 100644 index 00000000..f87b1aae --- /dev/null +++ b/rut/02/17.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# maskio ya nafaka + +Hii ina maana ya vitu vinavyo liwa vya nafaka + +# Akainua juu na kwenda mjini + +Ina ashiriwa kwamba Ruthi alibeba nafaka nyumbani + +# mama mkwe wake aliona + +Naomi aliona + diff --git a/rut/02/19.md b/rut/02/19.md new file mode 100644 index 00000000..7cbea0ff --- /dev/null +++ b/rut/02/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# yeye abarikiwe na Yahweh + +Naomi ana muuliza Mungu kumpa thawabu Boazi kwa ukarimu wake kwa Ruthi na yeye. + +# kwa waliyo hai + +"kwa watu wanao ishi" + +# wafu + +"watu waliyo kufa" + diff --git a/rut/02/21.md b/rut/02/21.md new file mode 100644 index 00000000..cbfd0879 --- /dev/null +++ b/rut/02/21.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hakika, alisema kwangu + +"Ata aliniambia" + +# kuwa karibu na vijana wangu + +Boazi alikuwa anaongelea ulinzi wa kimwili vijana wake wanaweza mpa + +# toka na + +"fanya na" + diff --git a/rut/02/23.md b/rut/02/23.md new file mode 100644 index 00000000..0395fea9 --- /dev/null +++ b/rut/02/23.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# alikuwa karibu + +Ruthi alifanya kazi shambani mwa Boazi na wafanya kazi wake mchana, ili awe salama + +# aliishi na mama mkwe wake + +Ruthi alienda kwa Naomi kulala usiku + diff --git a/rut/03/01.md b/rut/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..42e918df --- /dev/null +++ b/rut/03/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mama mkwe + +Naomi ni mama wa mume wa Ruthi aliye kufa + +# Binti yangu + +Ruthi alikuwa binti wa Naomi kwa kumuoa mwanae na kwa matendo yake baadae kwa kumjali Naomi baada ya kurudi Bethilehemu + +# wafanya kazi wa kike uliyo kuwa nao + +"wafanya kazi wa kike umekuwa ukifanya nao kazi" + +# sio ndugu yetu? + +Naomi labda alitumia hili swali kumkumbusha Ruthi kitu + +# Angalia + +Hii ina maana kuwa maelezo ya fuatayo ni muhimu sana + diff --git a/rut/03/03.md b/rut/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..620093a9 --- /dev/null +++ b/rut/03/03.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# jipake mafuta mwenyewe + +Ina inazekana ni kujipaka mafuta ya kunukia mwilini, kama wanawake wanavyo jipaka marashi leo + +# lala chini hapo + +"lala kwenye miguu yake" + diff --git a/rut/03/06.md b/rut/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..e8141ebc --- /dev/null +++ b/rut/03/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# moyo wake ulifurahi + +"aliridhika" + +# alikuja tarajibu + +"alinyata ndani" + +# akafunua miguu yake + +"aliondoa shuka miguuni mwake" + diff --git a/rut/03/08.md b/rut/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..8adeb48a --- /dev/null +++ b/rut/03/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Ikaja kuwa kwamba + +Haya maneno yanatumika kuonyesha jambo muhimu katika stori. + +# usiku wa manane + +"katikati ya usiku" + +# Aligeuka + +Aliangalia nini kimemgusa + +# mwanamke alikuwa amelala miguuni mwake + +Mwanamke alikuwa Ruthi, lakini Boazi hakuweza kumtambua gizani + diff --git a/rut/03/10.md b/rut/03/10.md new file mode 100644 index 00000000..2153eb38 --- /dev/null +++ b/rut/03/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# binti yangu + +Boazi alitumia msemo huu kama ishara ya heshima kwa Ruthi kama mwanamke mdogo + +# ukarimu mwishoni kuliko mwanzoni + +"ukarimu zaidi sasa kuliko kabla" + +# ukarimu mwishon + +Hii ina eleza kuwa Ruthi anamuomba Boazi kumuoa + diff --git a/rut/03/12.md b/rut/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..31c953a4 --- /dev/null +++ b/rut/03/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kama hatafanya jukumu la ndugu + +"kama hatamuoa ndugu wa mjane wake na kuzaa watoto kwa ndugu yake aliyo kufa + +# kwa maisha + +"hakika kama Yahweh aishvyo" + diff --git a/rut/03/14.md b/rut/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..e3972d2e --- /dev/null +++ b/rut/03/14.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# amelala miguuni mwake + +Ruthi alilala miguuni mwa Boazi. Hawaku fanya mapenzi + +# kabla ya mtu yeyote kumtambua mwenzake + +Wakati huu wa siku unaweza elezwa kama giza + +# kuweka mzigo juu yake + +Kiasi cha nafaka kilikuwa kikubwa hadi Ruthi alihitaji msaada kubeba + diff --git a/rut/03/16.md b/rut/03/16.md new file mode 100644 index 00000000..8c99326b --- /dev/null +++ b/rut/03/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Ulifanyaje binti yangu? + +Alicho maanisha Ruthi kwa hili swali la weza andikwa wazi zaidi. + +# yote mwanaume aliyo fanya + +"yote Boazi aliyo fanya" + +# Usiende mtupu + +"usiende mikono mitupu" + diff --git a/rut/04/01.md b/rut/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..166dd4c0 --- /dev/null +++ b/rut/04/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# lango + +"lango la mji" Hili lilikuwa mwingilio wa mji wa ukuta wa Bethilehemu. + +# ndugu wa karibu + +Huyu alikuwa ndugu wa karibu wa Elimeleki + +# wazee wa mji + +"viongozi wa mji" + diff --git a/rut/04/03.md b/rut/04/03.md new file mode 100644 index 00000000..3360eb92 --- /dev/null +++ b/rut/04/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# katika uwepo wa + +Hii ilifanya muamala wa kisheria na wa kufunga + +# kumboa + +Hii ili maanisha kununua ardhi ili kuweka ndani ya familia yao + +# Niko baada yako + +Boazi alikuwa ndugu anaye fuata kununua ardhi + diff --git a/rut/04/05.md b/rut/04/05.md new file mode 100644 index 00000000..78472bc8 --- /dev/null +++ b/rut/04/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Siku utakayo nunua ... lazima pia + +Boazi anatumia huu msemo kutambulisha ndugu zake majukumu ya ziada atakayo kuwa nayo atakapo nunua ardhi + +# kutoka nchi ya Naomi + +"kutoka kwenye umiliki wa Naomi" + +# lazima pia umchukuwe Ruthi + +"lazima umuoe Ruthi" + +# Ruthi ... mke kwa mwanaume aliye kufa + +"Ruthi ... mjane wa mwana wa Elimeleki" + diff --git a/rut/04/07.md b/rut/04/07.md new file mode 100644 index 00000000..f6934629 --- /dev/null +++ b/rut/04/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Sasa hii ilikuwa desturi + +Mwandishi wa kitabu anaelezea desturi za kubadilishana kipindi cha Ruthi + +# wakati wa awali + +"kipindi cha nyuma" + +# kiatu + +"ndala" + +# jirani yake + +Hii yaeleza mtu aliye kuwa anafanya naye makubaliano. + diff --git a/rut/04/09.md b/rut/04/09.md new file mode 100644 index 00000000..e006784b --- /dev/null +++ b/rut/04/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kwa wazee na watu wote + +Hii yaeleza watu wote waliyo kuwepo sehemu hiyo, sio kila mtu mjini + +# yote yaliyo kuwa ya Elimeleki na yote yaliyo kuwa ya Kilioni na Mahaloni + +Hii yaeleza mali za mume wa Naomi aliye kufa na wanae + +# kutoka mkono wa Naomi + +Mkono wa Naomi una wakilisha Naomi + diff --git a/rut/04/11.md b/rut/04/11.md new file mode 100644 index 00000000..771b9908 --- /dev/null +++ b/rut/04/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# watu waliyo kuwa langoni + +"watu waliyo kuwa wanakutana pamoja langoni" + +# jenga nyumba ya Israeli + +"kuzaa watoto wengi waliyo kuwa taifa la Israeli" + +# kama Raheli na Lea + +Hawa walkuwa wake wawili wa Yakobo, ambaye jina lake lilibadilishwa kuwa Israeli + +# nyumba yako iwe kama + +Mungu kwa utele alimbariki Yuda kupitia mwanae Perezi. + diff --git a/rut/04/13.md b/rut/04/13.md new file mode 100644 index 00000000..4826d479 --- /dev/null +++ b/rut/04/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Boazi akamchukuwa Ruthi + +"Boazi alimuoa Ruthi" + +# Akalala naye + +"Akafanya naye mapenzi" + +# ambaye hajakuacha leo bila ndugu wa karibu + +"ambaye leo amekupatia ndugu mzuri wa karibu" + diff --git a/rut/04/16.md b/rut/04/16.md new file mode 100644 index 00000000..f2c369e2 --- /dev/null +++ b/rut/04/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Naomi akachukuwa mtoto + +Hii ya husu Naomi kushikilia mtoto. + +# akamueka kifuani + +Hii sentensi ya upendo kwa mtoto + +# mwana wa kiume amezaliwa kwa Naomi + +Ilieleweka kwamba mtoto alikuwa mjukuu wa Naomi, sio mtoto wake wa kimwili + +# baba wa Daudi + +"mtoto wa mfalme Daudi" + diff --git a/rut/04/18.md b/rut/04/18.md new file mode 100644 index 00000000..bb5c0308 --- /dev/null +++ b/rut/04/18.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# wazao wa Perezi + +"wazao waliyo rithi." Mwandishi anaendelea kuorodhesha familia ya Perezi + diff --git a/sng/01/01.md b/sng/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..c5b36860 --- /dev/null +++ b/sng/01/01.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Sehemu ya Kwanza ya kitabu yaanza 1:2. + +# Wimbo wa Nyimbo + +"Wimbo ulio Bora" au Nyimbo iliyo Nzuri Sana" + +# ambao ni wa Sulemani + +"unao muhusu Sulemani" au "ambao aliutunga" + +# mafuta yako ya upako + +"Mafuta unayo paka mwilini mwako" + +# yana manukato mazuri + +"yanukia vizuri" + +# jina lako ni kama marashi yaeleayo + +Mwanamke anagundua kuwa mpenzi wake ana sifa nzuri. "jina lako ni zuri kama harufu ya mafuta mtu aliyo mimina + +# Nichukuwe nawe + +"Ni lete pamoja nawe." Neno "wewe" la husu mpenzi + +# tutakimbia + +Neno "tu" la husu mwanamke na mpenzi wake + +# kuhusu wewe + +"kwasababu yako" + +# acha ni shereheke + +"acha ni shereheke" + +# Ni halisi kwa wanawake wengine kukupenda + +"Wote wanao kupenda wako sahihi" + diff --git a/sng/01/05.md b/sng/01/05.md new file mode 100644 index 00000000..19a53f19 --- /dev/null +++ b/sng/01/05.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mimi ni mweusi lakini mzuri + +"Ngozi yangu ni nyeusi, lakini bado ni mzuri" + +# mweusi kama hema za Kedari + +Makabila ya kuhama hama ya Kedari yalitumia ngozi nyeusi ya mbuzi kujenga nyumba zao. Mwanamke analinganisha ngozi yake na hizi hema. + +# mzuri kama mapazia ya Sulemani + +Ana fananisha ngozi yake na mapazia mazuri Sulemani aliyo tengeneza ama kwa jumba lake au kwa ajili ya Hekalu. + +# limeniunguza + +"kuchomwa" + +# Wana wa mama yangu + +"Kaka zangu wa kambo." Hawa kaka zake labda walikuwa na mama mmoja kama huyu mwanamke lakini sie baba mmoja. + +# mtunzi wa mashamba ya mizabibu + +"mtu aliye tunza shamba la mizabibu" + +# lakini shamba langu la mizabibu sijatunza + +Mwanamke ana jilinganisha na shamba la mizabibu. "lakini sijaweza kujitunza mwenyewe." + diff --git a/sng/01/07.md b/sng/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..76574cf9 --- /dev/null +++ b/sng/01/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# unalisha mifugo yako + +"kulisha mifugo yako" + +# unapumzisha mifugo yako + +"wanapo lala mifugo yako" + +# Kwa nini niwe kama mtu anaye akangaika miongoni mwa mifugo ya marafiki zako? + +"Niambie ili nisitange miongoni mwa mifugo ya rafiki zako ninapo kutafuta" + +# angaika + +"anaye zunguka" + +# marafiki + +"jamaa" au "wafanya kazi wenza" + diff --git a/sng/01/08.md b/sng/01/08.md new file mode 100644 index 00000000..13e0e87c --- /dev/null +++ b/sng/01/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# fuata nyayo za mifugo yangu + +"fuatisha nyuma ya mifugo" + +# nyayo + +alama za kwato za mifugo kwenye ardhi + +# ulishe watoto wako wa mbuzi + +"lisha watoto wa mbuz zako" au "acha mifugo yako ile" + diff --git a/sng/01/09.md b/sng/01/09.md new file mode 100644 index 00000000..9da107fa --- /dev/null +++ b/sng/01/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mpenzi wa mwanamke anaendelea kuzungumza + +# mpenzi wangu + +"ninaye mpenda" + +# na farasi mzuri wakike miongoni mwa farasi wa magari ya Farao + +Mpenzi ana mlinganisha mwanamke na farasi mzuri wa kike. + +# magari ya farasi ya Farao + +"Farasi wa Farao wanao vuta magari" + +# yaliochanganywa na fedha + +"na madoa ya fedha" + diff --git a/sng/01/12.md b/sng/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..44788b7b --- /dev/null +++ b/sng/01/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# amelala kitandani mwake + +"amekaa mezani mwake" + +# yakasambaza arufu + +"yakatoa harufu yake nzuri" + +# nardo + +mafuta watu wanayo tumia kufanya ngozi yao safi na nyororo. + +# Mpenzi wangu ni kwangu kama + +"Kwangu mimi, mpenzi wangu ni kama" + +# lala usiku katikati ya maziwa yangu + +"analala katikati ya maziwa yangu usiku kucha." Wanawake wanaweka kiasi kidogo cha manemane ya gharama kifuani mwao kuwapa harufu nzuri. + +# mua ya hena + +maua kutoka jangwa dogo la miti watu walio tumia kama marashi + diff --git a/sng/01/15.md b/sng/01/15.md new file mode 100644 index 00000000..e1e3ee6d --- /dev/null +++ b/sng/01/15.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ona + +Neno "Ona" hapa la ongeza msisitizo kwa kinacho fuata. + +# macho yako ni kama ya hua + +Hua ni ishara ya usafi, bila hatia, upole na upendo. "macho yako ni mapole na mazuri kama ya hua. + diff --git a/sng/01/16.md b/sng/01/16.md new file mode 100644 index 00000000..2adf4230 --- /dev/null +++ b/sng/01/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Ona + +Neno "Ona" hapa la ongeza msisitizo kwa kinacho fuata. + +# mtanashati + +"muonekano mzuri" au "mzuri" au "pendeza" + +# Nguzo za nyumba yetu ni za matawi ya mierezi + +Mwanamke anaeleza msitu kama ni nyumba yao. "Matawi ya mti wa mierezi ni kama nguzo za nyumba yetu. + +# nguzo + +mbao kubwa zinazo saidia nyumba yote + +# na boriti zetu ni matawi ya miberoshi + +"na matawi ya miberoshi ni kama boriti zetu + +# boriti + +vipande vya mbao vinavyo shikilia dari la nyumba + diff --git a/sng/02/01.md b/sng/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..fcb214b2 --- /dev/null +++ b/sng/02/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Mimi ni ua katika tambarare + +Mwanamke anajilinganisha na ua katika tambarare + +# Tambarale + +Sehemu ya ardhi ambayo iko sawa, haina miti, na huota aina nyingi za majani na maua + +# Nyinyoro katika bande + +Mwanamke anajilinganisha mwenyewe na nyinyoro katika bonde ni sawa na kujilinganisha mwenyewe na maua yaliyo katika tambarale + +# Nyinyoro + +ua lenye harufu nzuri lililo na umbo kama tarumbeta + +# Bonde + +Hii ina maana ya sehemu kubwa iliyo sawa katikati ya milima + +# kama nyinyoro ...mwananchi wangu + +Mwanaume ana maanisha mwanamke huyo ni zaidi ya mzuri na wathamani kuliko wanawake wadogo wote, kama nyinyoro ni zaidi ya ua zuri na lenye thamani kuliko miiba yote ya porini iliyo lizunguka + +# Mpenzi wangu + +Ona ilivyo tafsiriwa hii katika 1:9 + +# Binti wa mwananchi wangu + +"Wanawake wadogo wengine" + diff --git a/sng/02/03.md b/sng/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..d8411a8f --- /dev/null +++ b/sng/02/03.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kama mti wa mpera ... kijana mdogo + +Kama mti wa mpera ni zaidi ya faraja na furaha zaidi ya miti yote msituni kwa hiyo mpendwa wa mwanamke ni zaidi ya faraja na furaha zaidi ya wanaume wadogo wote + +# Mti wa mpera + +Mti unaozaa matunda madogo ya njano ambayo ni matamu sana + +# Nina kaa chini ya kivuli chake kwa furaha sana + +Mwanamke anapata furaha na faraja akiwa karibu na mpendwa wake + +# Na tunda lake ni tamu kwa ladha yangu + +Mwanamke analinganisha starehe anayo ipata kwa mpendwa wake na tunda tamu + +# Ukumbi wa maakuli + +Ni chumba kikubwa ambapo watu hula mlo mkubwa na kufurahia kutembeleana + +# Na bendera yake + +"bendera" ni kipande kikubwa cha nguo ambacho watu hupeperushwa juu mbele ya jeshi ili kuongoza na kuwapa ujasiri wanaume wengine + +# Bendera yake juu yangu ilikuwa upendo + +Mwanamke angeweza kuwa na wasiwasi wa kuingia ukumbi wa maakuli, lakini mapenzi ya mpendwa wake yalimuonesha njia na kumpa ujasiri wa kuingia. "lakini upendo wake uliniongoza nakunipa ujasiri kama bendera." + diff --git a/sng/02/05.md b/sng/02/05.md new file mode 100644 index 00000000..613ce974 --- /dev/null +++ b/sng/02/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Ni uishe + +"Nirudishie uwezo wangu" au "Nipatie nguvu" + +# Keki za mizabibu + +"kwa kunilisha mikate iliyo tengenezwa na mizabibu iliyonata pamoja kama chapati" au "'kwa kunipa keki za mizabibu" + +# Ni nuishe kwa mapera + +"nifadhili kwa kunipa mapera" au "nisaidie kwa kunipa mapera" + +# Kwakuwa nimedhohofika na mapenzi + +"kwasababu mapenzi yangu yana nguvu sana hadi najiskia dhaifu." + +# Mkono wa kushoto ... mkono wa kulia + +"mkono wa kushoto ... mkono wa kulia" + +# Wanikumbatia + +"kunishikilia" + diff --git a/sng/02/07.md b/sng/02/07.md new file mode 100644 index 00000000..26fa7dad --- /dev/null +++ b/sng/02/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mabinti wa Yerusalemu + +"wanawake wadogo wa Yerusalemu" + +# Kwa swala na paa wa porini + +Wanyama hawa wa porini wana aibu na uwoga, lakini waza uzoefu wa uhuru kabisa. + +# Swala + +Wanyama wanafanana kabisa na hayala na wapo haraka, wembamba na wana aibu + +# Wa porini + +"ambao wanaishi upande wa nchi" + +# Hatuta vuruga mapenzi yetu hadi yatakapoisha yenyewe + +"hatuta jivuruga tukiwa katika mapenzi hadi yatakapo isha" + +# vuruga + +"Ghasia" au "Usumbufu" + diff --git a/sng/02/08.md b/sng/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..d30cb5a8 --- /dev/null +++ b/sng/02/08.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Oh, huyu yuwaja + +Neno "Oh" hapa linaongea msisistizo kwa kile kinachofuata. + +# Akiruka ruka juu ya milima,akiruka vilimani + +"akiruka juu ya milima , akikimbia haraka juu ya vilima ." Mpenzi anakimbia haraka na mwenye neema kama swala, hata juu ya ardhi mbaya ya milima na vilima. + +# Kama swala au mtoto mdogo wa paa + +Mwanamka anamlinganisha mpenzi wake na swala au paa mdogo kwasababu yupo haraka, mzuri, na mwenye neema kama wanyama hawa. + +# Swala + +Ona jinsi ilivyotafsiriwa "swala" katika 8:2 + +# Mtoto mdogo wa paa + +"paa mdogo" au "mwana mdogo wa hayala" + +# Tazama, amesimama + +Neno "tazama" hapa linaonesha kwamba mwanamke ameona kitu cha kuvutia. + +# Nyuma ya ukuta wetu + +"upande mwengine wa ukata wetu." Mwanamke yupo kwenye nyumba na mpenzi wake yupo njee ya nyumba. + +# akishangaa kupitia dirishani + +"anatazama kupitia madirisha" + +# akichungulia wavuni + +"anashangaa kupitia wavuni" + +# wavu + +vipande virefu vya mbao mtu alivyo viunga pamoja ili kutengeneza mfuniko wa dirisha au mwingilio tofauti + diff --git a/sng/02/10.md b/sng/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..d8f26c93 --- /dev/null +++ b/sng/02/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Amka + +"Nyanyuka juu" + +# mpenzi wangu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 1:9 + +# Angalia, baridi imepita + +Neno "Angalia" hapa laongeza mkazo kwa linalo fuata. + +# mvua imeisha na kwenda + +Katika Israeli, kunanyesha kipindi cha mvua tu. + diff --git a/sng/02/12.md b/sng/02/12.md new file mode 100644 index 00000000..519f50f4 --- /dev/null +++ b/sng/02/12.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maua yametokeza + +"Waeza ona maua" au "Watu wanaeza ona maua." + +# juu ya nchi + +"katika nchi yote hii" + +# wakati wa kupunguza matawi + +"majira ya watu kupunguza matawi" + +# na kuimba kwa ndege + +" na ndege kuimba" + +# sauti za hua zimesikika + +"waeza sikia hua wakilia" au "watu waeza sikia sauti za hua" + +# mizabibu imestawi + +"mizabibu imetoa maua" au "mizabibu ina maua" + +# yatoa + +Neno "ya" linahusu kustawi kwa mizabibu. + +# marashi + +"arufu nzuri" + diff --git a/sng/02/14.md b/sng/02/14.md new file mode 100644 index 00000000..aa510646 --- /dev/null +++ b/sng/02/14.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya jumla: + +Mpenzi wa mwanamke anaongea. + +# Hua wangu + +Mpenzi wa mwanamke anamlinganisha mwanamke na hua kwasababu ana sura nzuri na sauti nzuri kama ya hua na kwasababu alikuwa awe naye katika sehemu ya mbali na watu kama hua anavyo ishi eneo la mbali na watu. + +# katika miamba ya mawe + +"sehemu ya kujificha ya miamba." Miamba ni mipasuko mikubwa ya mawa ya milimani. + +# katika miamba ya siri ya mipasuko ya milima + +"katika sehemu za siri za mporomoko wa mlima." Maneno haya yanaeleza sehemu ambayo mpenzi anataka kuona sura ya mwanamke + +# sura yako + +"muonekano wako" au "ufumo wako" au "uonekanavyo" + diff --git a/sng/02/15.md b/sng/02/15.md new file mode 100644 index 00000000..01688cb2 --- /dev/null +++ b/sng/02/15.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mbweha + +Hili ya weza kutafsiriwa kama "mbwa mwitu." Hawa wanyama wanaonekana kama mbwa wadogo na mara nyingi walitumika kwenye mashahiri ya mapenzi kuwakilisha wanaume vijana wenye shauku wanaoweza kumpumbaza binti. + +# yetu + +Neno "yetu" la weza kumaanisha 1) mwanamke na mpenzi wake au 2) mwanamke na familia yake nzima. + +# mbweha wadogo + +Mbweha wanazaa watoto wao majira ya masika mizabibu inapo chipua. + +# wanao haribu + +"wanao vuruga" au "wanao angamiza." Mbweha na mbwa mitu wanaharibu mashamba ya mizabibu kwa kuchimba mashimo na kula mizabibu na mizaituni. Hii pia yaweza wakilisha wanaume vijana wanao haribu mabinti. + +# limestawi. + +Hii yaweza wakilisha mwanawake mdogo aliye tayari kwa ndoa na kuzaa watoto. Ona jinsi ulivyo tafsiri hii 2:12 + diff --git a/sng/02/16.md b/sng/02/16.md new file mode 100644 index 00000000..64deedbe --- /dev/null +++ b/sng/02/16.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Mpenzi wangu ni wangu + +"Mpenzi wangu ni sehemu yangu" + +# na mimi ni wake + +"na mimi ni sehemu yake" + +# anakula + +"ujishibisha" au "ula majani." Mwanamke anamlinganisha mpenzi wake na mnyama anaye kula mimea miongoni mwa nyinyoro, kama paa au ayala mdogo. + +# vivuli kutoweka + +Mwanamke anaeleza vivuli kama vile vinakimbia wanga wa jua. + +# kama ayala au mtoto mdogo wa paa + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 2:8 + +# ayala + +aina ya mafano wa swala wenye pembe zilizo pinda + +# paa + +swala wa kiume + diff --git a/sng/03/01.md b/sng/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..d8568edb --- /dev/null +++ b/sng/03/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# nilikuwa na shauku ya yeye ni mpendaye; nilimtafuta + +Hii imerudiwa kwa mkazo. + +# nilimtafuta, lakini sikumpata + +"nilikuwa nataka kuwa naye" au "nilikuwa na shauku naye" + +# nilikuwa na shauku ya yeye ni mpendaye + +Ona jinsi ulivyo tafsiri "yeye nafsi yangu impendaye" 1:7 + +# kwenda kupitia mji + +"kutembea mjini" + +# kupitia mitaa na sokoni + +Neno "sokoni" la ashiria eneo la katikati ya mji ambapo mitaa na barabara uja pamoja. Ni sehemu ambapo watu uuza vitu, eneo la bihashara, na sehemu watu wanakuja kunzungumza pamoja. + +# Nilimtafuta + +"kumtafuta" + diff --git a/sng/03/03.md b/sng/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..8e0e187c --- /dev/null +++ b/sng/03/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Walinzi + +watu wenye wajibu wa kulinda mji usiku kuwa weka watu salama + +# walipo kuwa doria katika mji + +"walio kuwa wakipita kwenye mji" au "walio kuwa wanatembea mjini + +# kitandani + +"chumba walichokuwa wanalala" + +# yeye aliyenichukua mimba + +"yeye aliye beba mimba na mimi" au "yeye aliye ni beba tumboni mwake" Hii ina maana ya mama yake. + diff --git a/sng/03/05.md b/sng/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..a429d68a --- /dev/null +++ b/sng/03/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Ninataka muape ... yatakapo isha + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 2:7 + diff --git a/sng/03/06.md b/sng/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..64630d9f --- /dev/null +++ b/sng/03/06.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hapa ni mwanzo wa Sehemu ya Tatu ya kitabu + +# Nini hiyo inayo toka nyikani + +Kundi la watu wanao safiri kutoka nyikani kwenda Yerusalemu. Kwasababu nyikani iko chini ya bonde la Yordani na Yerusalemu iko juu ya milima, watu lazima waende juu kufikia Yerusalemu. + +# kama nguzo za moshi + +Kwasababu watu walitimua vumbi sana walipo kuwa wakisafiri, vumbi lilionekana kama moshi kwa mbali. + +# umefukizwa manemane na ubani + +"harufu nzuri ya moshi wa manemane na uvumba umeizunguka." + +# pamoja na unga wote wa manukato unao uzwa na wafanya biashara + +"na harafu nzuri ya moshi wote unga wafanya bihashara wanauza." + +# unga + +udogo safi unao patikana kwa kusaga kitu kigumu + +# Angalia + +Hili neno hapa linaonyesha kuwa mnenaji sasa amegundua jibu kwa swali la mstari wa 6. + +# nikitanda + +Hii ya husu kitanda chenye shuka linalo weza kubwa sehemu moja kwenda nyingine. + +# mashujaa sitini wamekizunguka, wanajeshi elfu sitini wa Israeli + +Hii mistari miwili ya husu watu hao hao sitini. Mstari wa pili wa fafanua kuwa "mashujaa" ni "wanajeshi wa Israeli." + +# mashujaa + +wanaume wanao pigana + diff --git a/sng/03/08.md b/sng/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..30d6844f --- /dev/null +++ b/sng/03/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wa vita + +"katika pambano" + +# akijizatiti na + +"ilikuji linda dhidi ya" au "kuweza kupigana na" + +# maasi ya usiku + +Hii ya husu hatari yeyote inayo weza kuja giza la usiku, kama majambazi. + +# kiti cha kifalme + +kiti chenye miti mirefu watu wanacho tumia kubeba watu muhimu + diff --git a/sng/03/10.md b/sng/03/10.md new file mode 100644 index 00000000..84204846 --- /dev/null +++ b/sng/03/10.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nguzo zake + +Neno "zake" la husu kiti cha Mfalme Sulemani. + +# Nguzo + +Neno "nguzo" hapa la husu vipande vya mbao vinvyo shikilia kitambaa cha hema kwenye kiti chake. + +# Ndani mwake + +"Ndani yake kulikuwa" + +# kulipambwa na upendo + +"kulifanywa pazuri kwa upendo" au "kulishonewa upendo." Hii ya hashiria kwamba wanawake walifanya kiti cha mfalme kizuri kwa namna ya kipekee kuonyesha upendo wao kwa Sulemani. + +# na mtazame mfalme Sulemani + +"muone mfalme Sulemani." Neno "tazama" la husu kumuangalia mtu au kitu kwa muda mrefu, mara nyingi kwa hisia kali. + +# akivikwa taji + +"amevaa taji" + diff --git a/sng/04/01.md b/sng/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..d9d062d5 --- /dev/null +++ b/sng/04/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# O, wewe ni mzuri ... Macho yako ni ya hua + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 1:15 + +# Nywele zako ... Mlima Gileadi + +Mbuzi mara nyingi ni weusi kwa rangi na wanapo tembea milimani nywele zao zinaonekana kama mawimbi ya nywele za mwanamke. + diff --git a/sng/04/02.md b/sng/04/02.md new file mode 100644 index 00000000..a524536f --- /dev/null +++ b/sng/04/02.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Meno yako ni kama kondoo walio nyolewa + +Baada ya kondoo kunyolewa, wameoshwa na ngozi yao yaonekana nyeupe sana. Haya maneno yalinganisha weupe wa meno ya mwanamke na mng'ao mweupe wa manyoya ya kondoo baada ya manyoya yao kunyolewa. + +# wakitoka sehemu ya kuoshwa + +Hii ina maana kondoo wanatoka kwenye maji. "wakitoka kwenye maji baada ya watu kuwaosha" + +# Kila mmoja ana pacha + +Kwa kawaida kondoo uza wana kondoo wawili kwa wakati mmoja. Hawa wana kondoo huwa wamefanana. Kila meno ya mwanamke yana jino linalo fanana upende wa pili wa mdomo wake. Hivyo ni kama kila jino lina pacha kama wana kondoo. + +# hamna ata mmoja miongoni mwao aliyefiwa. + +Hakuna meno yao yaliyo poteza jino lingine linalo fanana upande wa pili. Mwanamke hajapoteza meno yake. + +# aliyefiwa + +Kupoteza mpendwa aliye kufa. + diff --git a/sng/04/03.md b/sng/04/03.md new file mode 100644 index 00000000..dd19b659 --- /dev/null +++ b/sng/04/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mpenzi anaendelea kumsifu mwanamke. + +# kama uzi mwekendu + +Haya maneno yanalinganisha rangi midomo ya mwanamke na uzi mwekundu. + +# wapendeza + +"ni mzuri" + +# kama majani ya komamanga + +Makomamanga yanateleza, ya duara, na yana rangi nyekundu. + +# nyuma ya kitambaa chako + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 4:1 + diff --git a/sng/04/04.md b/sng/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..bea70952 --- /dev/null +++ b/sng/04/04.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mpenzi anaendelea kumsifu mwanamke. + +# Shingo yako ni kama + +"shingo yako ni ndefu na nzuri kama" + +# wa Daudi + +"mbao Daudi alijenga" + +# umejengwa kwa mistari ya mawe + +Wanawake walikuwa na mikufu iliyo funika shingo zao kwa mistari ya mapambo. Mpenzi analinganisha hii mistari ya mapambo na mistari mistari ya mawe kwenye mnara. + +# na ngao elfu moja + +Mpenzi analinganisha mapambo ya mkufu wa mwanamke na ngao zinazo ni'ng'nia kwenye mnara. + +# ngao elfu moja + +"ngao 1,000." + +# ngao zote za wanajeshi + +"ngao zote za mashujaa hodari" + +# kama swala wawili, mapacha wa ayala + +Maziwa ya mwanamke ni mazuri, yamelingana na mepesi kama watoto wa wili wa swala aya wa ayala. + +# mapacha + +watoto wa mama aliye zaa watoto wawili kwa wakati mmoja + +# ayala + +Ona jinsi ulivyo tafsiri "ayala" 2:7 + +# wakila miongoni mwa nyinyoro + +"kula mimea miongoni mwa nyinyoro." Mapacha wazuri wawili na mtoto ayala ni wazuri zaidi wakati nyinyoro imewazungukaa. + diff --git a/sng/04/06.md b/sng/04/06.md new file mode 100644 index 00000000..168a1c02 --- /dev/null +++ b/sng/04/06.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mpenzi anaendelea kumsifu mwanamke. + +# Hadi jioni ifike na vivuli viondoke + +Ona jinsi ulivyo tafsiri mstari 2:16 ambapo neno ni moja na hili. + +# nitaenda kwenye mlima wa manemane na vilima vya ubani + +Mpenzi anaelezea matamanio yake ya kufurahia maziwa ya mwanamke kwa kulinganisha na milima au vilima anayo i penda. Maziwa yake ni duara na yametokeza kama milima au vilima. Yananukia vizuri kama manemane na uvumba. + +# nitaenda kwenye mlima ... vilima vya ubani + +Hii mistari inarudia wazo kwa utofauti kidogo wa kukazia mvuto wa maziwa ya mpenzi. + +# mlima wa manemane + +"mlima ulitengenezwa kwa manemane" au "mlima uliyo na manemane" + +# Wewe ni mzuri kwa kila namna + +"Kila sehemu yako ni nzuri" au "Wewe wote ni mzuri" + +# mpenzi wangu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 1:9 + +# hakuna lawama ndani yako + +"Hauna lawama" + diff --git a/sng/04/08.md b/sng/04/08.md new file mode 100644 index 00000000..02db2ac1 --- /dev/null +++ b/sng/04/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mpenzi anaendelea kuongea na mwanamke. + +# Njoo nami ... shimoni mwa simba + +Mpenzi anataka bibi arusi wake aje nae kutoka sehemu ya hatari. Hii ni fumbo na wala wapenzi hawapo kwenye hii milima au shimoni. + +# kutoka Lebanoni + +"mbali kutoka Lebanoni" + +# Amana + +jina la mlima karibu na Damsko + +# Seneri + +jina la mlima karibu na Amana na Herimoni. Watu baadhi wanadhani hii ya husu mlima mmoja na Hermoni. + +# shimoni + +Sehemu simba na chuwi wanaishi, kama mapango au mashimo kwenye ardhi + diff --git a/sng/04/09.md b/sng/04/09.md new file mode 100644 index 00000000..8552d57b --- /dev/null +++ b/sng/04/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya jumla + +Mpenzi anaendelea kuongea na mwanamke. + +# Umeuiba moyo wangu + +Anasema mapenzi yake na upendo wake ni wa mwanamke. "umenasa upendo wangu" + +# dada yangu + +Mwanamke ana pendwa sana na mpenzi kama dada yake mwenyewe. Sio kaka na dada kihalisia. + +# kwa mtazamo mmoja tu wako kwangu, kwa mkufu mmoja wa shingo yako + +Macho yote ya mwanamke na mikufu yake ina mvutia mpenzi kwake. + diff --git a/sng/04/10.md b/sng/04/10.md new file mode 100644 index 00000000..d3d6a294 --- /dev/null +++ b/sng/04/10.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mpenzi anaendelea kumsifu na mwanamke. + +# Jinisi gani upendo wako ulivyo mzuri + +"Upendo wako ni wa ajabu" + +# dada yangu, bibi arusi wangu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 4:9 + +# Jinsi gani zaidi upendo wako ulivyo bora kuliko mvinyo + +Hii mistari inarudia wazo moja kwa maneno tofauti kwa kukazia. + +# Jinsi gani zaidi upendo wako ulivyo bora kuliko mvinyo + +"Upendo wako ni bora kuliko mvinyo." Ona jinsi ulivyo tafsiri 1:1 + +# arufu ya marashi yako kuliko manukato yeyote + +"harufu ya mafuta yako ni bora kuliko harufu ya manukato yeyote." + +# marashi ... manukato + +Ona jinsi ulivyo tafsiri haya maneno 1:1 + +# Midomo yako ... chini ya ulimi wako + +Hii mistari inarudia wazo moja kwa maneno tofauti kwa kukazia. + +# Midomo yako, bibi arusi wangu, yatiririka asali + +Mpenzi anadhani mabusu ya mwanamke ni matamu kama asali; au, kwasababu maneno anayozungumza ni matamu kama asali. + +# asali na maziwa vichini ya ulimi wako + +Mpenzi anadhani mabusu ya mwanamke ni matamu kama asali; au, kwasababu maneno anayozungumza ni matamu kama asali. + +# arufu ya mavazi yako ni kama marashi ya Lebanoni + +"harafu ya nguo zako ni kama harufu ya Lebanoni." Miti mingi ya mierezi yaota Lebanoni. Miti ya mierezi yanukia vizuri, hivyo Lebanoni ingenukia vizuri. + diff --git a/sng/04/12.md b/sng/04/12.md new file mode 100644 index 00000000..7b36a15c --- /dev/null +++ b/sng/04/12.md @@ -0,0 +1,60 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mpenzi anaendelea kumsifu mwanamke. + +# Dada yangu, bibi arusi wangu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 4:9 + +# ni bustani ilio fungwa + +Mpenzi anamlinganisha mwanamke na bustani iliyo fungwa kwasababu yeye ni wake tu na anaweza mfurahia. Anaweza pia kusema kuwa yeye bado ni bikra ambaye bado hajamfurahia. + +# chemchemi iliyo fungwa kwa muhuri + +Mpenzi anamlinganisha mwanamke na chemchemi iliyo fungwa kwa muhuri kwasababu zile zile alizo mlinganisha na bustani iliyo fungwa. + +# Matawi yako ... aina tofauti za manukato + +Mpenzi anamuelezea jinsi mwanamke alivyo mzuri kwa kumfananisha kama bustani iliyo jaa vitu vizuri. + +# kichaka + +sehemu miti mingi inapo ota pamoja + +# yenye matunda tofauti + +"matunda mbali yaliyo bora" + +# hina + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 1:12 + +# Nardo + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 1:12 + +# Zafarani + +kiungo kinacho toka kwenye sehemu iliyo kauka kutoka kwenye uzi wa chano katikati ya ua. + +# mchai + +Hili ni jani lenye harufu nzuri ambalo watu wanatumia kutengeneza mafuta ya upako. + +# mdalasini + +kiungo kilicho tengenezwa na ganda la mti ambalo watu utumia kupika + +# manemane + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 1:12 + +# aloes + +aina kubwa ya mmea wenye harufu nzuri sana + +# aina zote za uvumba + +"uvumba bora" + diff --git a/sng/04/15.md b/sng/04/15.md new file mode 100644 index 00000000..f25df2e6 --- /dev/null +++ b/sng/04/15.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mpenzi anaendelea kumsifu mwanamke. + +# Wewe ni bustani ya chemchemi + +"Wewe ni chemchemi katika bustani." Mpenzi ana elezea jinsi alivyo mzuri kwa kumfananisha na maji. + +# maji safi + +maji safi ya kunywa + +# mifereji inayo shuka kutoka Lebanoni + +Kwasababu Lebanoni ilikuwa na milima iliyo funikwa kwa miti, mifereji kutoka Lebanoni ilikuwa misafi na ya baridi. + +# Amka ... manukato yake yatoe marashi + +Mwanamke anazungumza na upepo wa kaskazini na wa kusini kama ni watu. + +# Amka + +"Anza kwenda" + +# vuma katika bustani yangu + +Mwanamke ana utaja mwili wake kwa kuuongelea kama bsutani. + +# ili manukato yake yatoe marashi + +"itume harufu yake nzuri" + +# Mpenzi wangu na ... matunda ya chaguo + +Mwanamke anamkaribisha mpenzi wake kumfurahia kama mkewe. + +# matunda ya chaguo + +"matunda mazuri" + diff --git a/sng/05/01.md b/sng/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..d1809945 --- /dev/null +++ b/sng/05/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nimekuja + +Ni dhahiri kuwa mpenzi wa mwanamke anazungumza. + +# nimekuja katika bustani yangu + +Mwanamme anaelezea mwanamke kama bustani. Usiku wa arusi, mwanamme anaweza kumfurahia mwanamke. Anaelezea hili kama kuja katika bustani yake. + +# dada yangu + +Mwanamme anamuita mwanamke dada kwasababu mpenda sana kama angempenda dada yake. "yeye ni mpendaye" + +# Nimekusanya udi wangu ... na maziwa yangu + +Mwanamme anatumia haya maumbo kutoka kwenye bustani kuhashiria kwamba ameweza kufurahia sehemu nyingi za mwanamke. + +# manukato + +mimea yenye harufu nzuri au ladha + diff --git a/sng/05/02.md b/sng/05/02.md new file mode 100644 index 00000000..9f8fc610 --- /dev/null +++ b/sng/05/02.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hapa ni mwanzo wa Sehemu ya Nne ya kitabu + +# Maelezo ya Jumla + +Mwanamke anatumia tafsida kueleza ndoto yake ili kwamba iweze kutafsiriwa kwa njia mbili tofauti: 1) mwanamke anaeleza ndoto kuhusu usiku mpenzi wake alipo kuja kumtembelea nyumbani mwake; na 2) mwanamke anaeleza ndoto kuhusu kuanza kulala na mpenzi wake. + +# lakini moyo wangu ulikuwa umeamka + +"lakini moyo wangu ulikuwa umeamka" + +# Nifungulie + +Hii ya husu kufungua mlango lakini yaweza tafsiriwa kama ombi la kimapenzi. "Fungua mlango kwa ajili yangu" au "Jifungue kwangu" + +# dada yangu + +Maneno ya mahaba. Ona jinsi ulivyo tafsiri 4:9 + +# mpenzi wangu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 1:9 + +# hua wangu + +Ona Jinsi ulivyo tafsiri 2:14 + +# usiye na doa + +"mkamilifu wangu" au "mwaminifu wangu" au "usiye na hatia wangu" + +# unyevu + +matone ya maji au ukungu unaoa kuwa wakati wa baridi ya usiku hali ya hewa inaposhuka + +# nywele zangu na unyevu wa usiku + +hewa nyevu ya usiku ya fanya nywele za mwanamme kulowa kwasababu kasimama nje. + +# kichwa changu kimelowa na matone, nywele zangu na unyevu wa usiku + +Hii mistari miwili ina maanisha kitu kimoja. + diff --git a/sng/05/03.md b/sng/05/03.md new file mode 100644 index 00000000..2786406d --- /dev/null +++ b/sng/05/03.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# joho + +nguo nyembamba watu waliyo vaa kwenye ngozi yao + +# lazima nilivae tena? + +"sitaki kuvalishwa tena" + +# Nimeosha miguu yangu + +Tafsiri zinazo wezekana ni 1) mwanamke aliosha miguu yake ili aweze kwenda kitandani au 2) Neno "miguu" wakati mwengine la tumika kama tafsida kueleza sehemu za siri za mwanamke. "nimejiosha" + +# Mpenzi wangu anaeka mkono wake kwenye kitasa + +Tafsiri zinazo wezekana ni 1) mpenzi anafikia nyumbani kwa kupitia kitobo kwenye mlangao ili kufungua mlango au 2) huu ni mwanzo wa tendo la mapenzi. Katika huu muktadha, "mkono" waelezewa kama tafsida ya sehemu za siri za mwanamme. + +# Mpenzi wangu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 1:12 + +# kitasa + +"kufuli" + diff --git a/sng/05/05.md b/sng/05/05.md new file mode 100644 index 00000000..af98fac7 --- /dev/null +++ b/sng/05/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nimeamka kumfungulia mlango mpenzi wangu + +Tafsiri zinazo wezekana ni 1) mwanamke aliinuka kutoka kitandani kuweza kumuingiza mpenzi wake ndani ya nyumba au 2) "Nimejianda kuweza kujifungua kimapenzi kwa mpenzi wangu." + +# mikono yangu ... vidole vyangu + +Maneno "mikono" na "vidole" yaweza kumaanisha viungo vya siri vya mwanamke. + +# unyevu wa udi + +"kwa udi wa maji" + diff --git a/sng/05/06.md b/sng/05/06.md new file mode 100644 index 00000000..9b53e65e --- /dev/null +++ b/sng/05/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mwanamke anaendelea kueleza ndoto yake. + +# Nimemfungulia mlango mpenzi wangu + +"Nimejifungua kwa mpenzi wangu." + +# mpenzi wangu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 1:12 + +# Moyo wangu ukadidimia; nikakosa tumaini + +"Moyo wangu ukaondoka." Alipo zungumza, nilihisi kama nimekufa" + diff --git a/sng/05/07.md b/sng/05/07.md new file mode 100644 index 00000000..d55aac6c --- /dev/null +++ b/sng/05/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Walinz + +wao wanao kesha na kulinda mji usiku + +# walinipata mimi + +Neno "mimi" la muhusu mwanamke. + +# askari katika ukuta + +wanaume wanao linda kuta" + +# nguo yangu ya juu + +nguo ya nje ambayo watu wanavaa juu ya nguo yao ingine sehemu ya mabegani wanapo enda sehemu ya hadhara. + diff --git a/sng/05/08.md b/sng/05/08.md new file mode 100644 index 00000000..2f20a0ce --- /dev/null +++ b/sng/05/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ninataka uhaidi, mabinti wa Yerusalemu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri "Ninataka uhaidi, mabinti wa Yerusalemu," 2:7 + +# ninaumwa sababu ya upendo wangu kwake + +Upendo wake una nguvu hadi anaumwa. + diff --git a/sng/05/09.md b/sng/05/09.md new file mode 100644 index 00000000..b03c9ceb --- /dev/null +++ b/sng/05/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wewe uliye mzuri miongoni mwa wanawake + +Ona jinsi ulivyo tafsiri "mzuri miongoni mwa wanawake" 1:8 + +# Kwanini mpenzi wako bora + +"Nini ya mfanya mpenzi wako bora" + +# hadi utuulize tuweke nadhiri kama hii + +"na ana kusababisha utufanye tu chukuwe nadhiri kama hii" + +# nadhiri kama hii + +Ona hiyo nadhiri 5:8 + diff --git a/sng/05/10.md b/sng/05/10.md new file mode 100644 index 00000000..4a1c9484 --- /dev/null +++ b/sng/05/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# amenawiri na ana ng'aa + +Yaelezwa kuwa mwanamke ana eleza ngozi ya mpenzi wake. + +# amenawiri + +"ana afya tele" au "ni msafi." Mpenzi ana ngozi ambayo haina shida. + +# kati ya wanaume elfu kumi + +"bora ya 10,000" "bora kuliko yeyote" au "hakuna aliye kama yeye" + +# Kichwa chake ni dhahabu safi + +Kichwa cha mpenzi kina thamani kwa mwanamke kama dhahabu safi. + +# kunguru + +ndege mwenye manyoya meusi sana + diff --git a/sng/05/12.md b/sng/05/12.md new file mode 100644 index 00000000..66d0a1f8 --- /dev/null +++ b/sng/05/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mwanamke anaendelea kumuelezea mpenzi wake. + +# Macho yake ni kama ya hua + +Ona jinsi ulivyo tafsiri "macho yako ni kama ya hua" 1:15 + +# pembezoni ya vijito vya maji + +Mwanamke anaweza kuwa anatumia hili umbo kusema kwamba macho ya mpenzi wake ya unyevu kama mifereji ya maji. + +# yameoshwa na maziwa + +"yamejiosha yenyewe katika maziwa." Hua wanawakilisha watoto wa mpenzi. Haya yamezungukwa na macho yake yote, ambayo ni meupe kama maziwa. + +# yameundwa kama mikufu + +Macho yake ni mazuri hadi yanaonekana kama madini ambayo sonara ameyaweka pamoja. + diff --git a/sng/05/13.md b/sng/05/13.md new file mode 100644 index 00000000..7678c151 --- /dev/null +++ b/sng/05/13.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mwanamke anaendelea kumuelezea mpenzi wake. + +# Mashavu yake ... arufu ya marashi + +Hii ya fafanua kuwa mashavu yake ni kama vitanda vya manukato kwasababu vyote vinatoa harufu nzuri. + +# vitanda vya manukato + +bustani au sehemu ya bustani watu wanapo otesha manukato + +# vinavyotoa arufu ya marashi + +"vinavyotoa harufu nzuri" + +# Midomo yake ni nyinyoro + +Mwanamke inawezekana ana linganisha midomo yake na nyinyoro kwasababu ni mizuri na inanukia vizuri. + +# tiririka udi + +"inayo tiririka na udi uliyo bora." Midomo yake ni minyevu na inanukia vizuri kama udi. + +# nyinyoro + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 2:16 + diff --git a/sng/05/14.md b/sng/05/14.md new file mode 100644 index 00000000..edfbaaf1 --- /dev/null +++ b/sng/05/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mwanamke anaendelea kumuelezea mpenzi wake. + +# Mikono yake ni ya mianzi ya dhahabu + +Mwanamke anatumia hili umbo kusema kwamba mikono yake ni mizuri na ya thamani. + +# tumbo lake ni pembe lililo funikwa yakuti samawi + +Mwanamke anatumia hili umbo kusema kwamba tumbo lake ni zuri na ya thamani. + +# yakuti samawi + +Yakuti samawi ni ya jiwe safi na la thamani. Hili aina ya yakuti samawi lina njano au rangi ya dhahabu. + diff --git a/sng/05/15.md b/sng/05/15.md new file mode 100644 index 00000000..6df3b525 --- /dev/null +++ b/sng/05/15.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mwanamke anaendelea kumuelezea mpenzi wake. + +# Miguu yake ni nguzo za marimari + +Miguu yake ina nguvu na mizuri kama marimari ya nguzo + +# Marimari + +jiwe lenye imara lenye rangi tofauti na watu wana lisugua kulifanya nyororo + +# iliyo ekwa juu ya dhahabu safi + +Miguu yake ina thamani kama chini ya dhahabu safi inayo wezezesha nguzo za marimari. + +# muonekano wake ni kama Lebanoni + +Lebanoni ili kuwa eneo zuri lenye milima mingi na miti. + +# mizuri kama mierezi + +"yenye kutamanika kama mierezi" au "vyema kama mierezi" + diff --git a/sng/05/16.md b/sng/05/16.md new file mode 100644 index 00000000..65c082a2 --- /dev/null +++ b/sng/05/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mwanamke anaendelea kumuelezea mpenzi wake. + +# Mdomo wake ni mtamu + +Mwanamke anatumia hili umbo kuelezea utamu wa busu la mpenzi wake au maneno matamu anayo sema. + +# ni mzuri sana + +"kila sehemu yake ni nzuri" au "yeye ni mzuri" + +# Huyu ni mpenzi wangu, na huyu ni rafiki yangu + +Neno "Huyu" la muelezea mtu mwanamke aliye maliza kumuongelea. Waweza pia tafsiri haya maneno kama "Yule ni mpenzi wangu, na hivi ndivyo rafiki yangu alivyo." + +# mabinti wa Yerusalemu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 1:5 + diff --git a/sng/06/01.md b/sng/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..f5c98ffe --- /dev/null +++ b/sng/06/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Kwa njia gani mpenzi wako ameenda + +"mpenzi wako ameelekea wapi" + +# ulio mzuri miongoni mwa wanawake + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 1:8 + +# ilitumtafute nawe? + +"Tuambie, ilitumtafute kwa pamoja." + diff --git a/sng/06/02.md b/sng/06/02.md new file mode 100644 index 00000000..a27753d4 --- /dev/null +++ b/sng/06/02.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Mpenzi wangu ameenda katika bustani yake + +Ona ufafanuzi wa umbo hili 5:1 + +# vitanda vya manukato + +Ona jinsi ulivyo tafsiri " vitanda vya manukato" katika 5:13. Mpenzi amekuja kufurahia mvuto wa mwili wa mwanamke ambao ni mzuri kama manukato. + +# kula katika bustani na kukusanya nyinyoro + +Mwanamke anatumia haya maumbo kuhashiria kwamba mpenzi wake ana mfurahia yeye. + +# kula + +Ona jinsi ulivyo tafsiri "ana kula" 2:16 + +# kukusanya nyinyoro + +"kuokota nyinyoro" + +# nyinyoro + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 2:16 + +# Mimi ni wa mpenzi wangu, na mpenzi wangu ni wangu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri "Mpenzi wangu ni wangu na mimi ni wake" 2:16 + +# na kula katika nyinyoro kwa raha + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 2:16 + diff --git a/sng/06/04.md b/sng/06/04.md new file mode 100644 index 00000000..fe0222f5 --- /dev/null +++ b/sng/06/04.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hapa ni mwanzo wa Sehemu ya Tano cha kitabu + +# ni mzuri kama Tirza, mpenzi wangu, wapendeza kama Yerusalemu + +Mpenzi ana fananisha uzuri wa mwanamke na mvuto wake kwa miji mizuri na ya kuvutia. + +# wapendeza + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 1:5 + +# waamasisha kama jeshi lenye bendera mbele + +waamasisha kama jeshi lenye bendera mbele** Uzuri wa mwanamke ni una nguvu hadi unamfanya mpenzi ahisi hana msaada, kama jeshi lilikuwa linamfuata. + diff --git a/sng/06/05.md b/sng/06/05.md new file mode 100644 index 00000000..d1adc337 --- /dev/null +++ b/sng/06/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mwanamke anaendelea kumsifu mwanamke. + +# yana nizidi ukali + +"kuniogopesha." Macho ya mwanamke ni mazuri hadi yana mfanya mpenzi kuhisi kuzidiwa na kuogopa kwasababu haweza zuia nguvu. + +# Nywele zako ... kutoka miteremko ya Mlima Gileadi + +Ona jinsi ulivyo tafsiri "Nywele zako ... kutoka Mlima Gileadi" 4:1 + diff --git a/sng/06/06.md b/sng/06/06.md new file mode 100644 index 00000000..c34b6fdd --- /dev/null +++ b/sng/06/06.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mpenzi anaendelea kumsifu mwanamke. + +# Mashavu yako ni kama majani ya komamanga nyuma ya kitambaa chako cha uso + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 4:3 + diff --git a/sng/06/08.md b/sng/06/08.md new file mode 100644 index 00000000..47a81e4e --- /dev/null +++ b/sng/06/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Kuna malikia sitini, masuria themanini + +Kuna malikia 60, masuria 80." + +# wanawake wadogo bila idadi + +Maneno, "bila idadi" yamaanisha hakuna anaweza kuwahesabu. "maelfu ya wanawake wadogo" + +# Hua wangu, asiye na doa wangu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri "Hua wangu, asiye na doa wangu" 5:2 + +# ni yeye pekee + +"ni wa pekee" au "ni mmoja wa wachache." Mpenzi ana mtofautisha mwanamke na wanawake wengine. Japo kuwa kuna wanawake wema wengi, mwanamke ana simamawa kipekee miongoni mwa wote. + +# ni binti muhimu wa mama yake + +"kwa mama yake ni binti maalumu" au "yeye ni binti wa mama yake ambaye ni wa kipekee" + +# mwanamke aliye mzaa + +"mwanamke aliye mzaa." Haya maneno ya muongelea mama yake. + +# na kumuita mbarikiwa + +"na kukiri kuwa mambo yamemuendea vizuri" au "kusema kuwa yeye alikuwa na bahati" + diff --git a/sng/06/10.md b/sng/06/10.md new file mode 100644 index 00000000..3aa49958 --- /dev/null +++ b/sng/06/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Yale malikia na masuri walisema kuhusu mwanamke. Ingawa, tafsiri zingine zinaona kuwa mpenzi wa mwanamke anaongea katika huu mstari pia. + +# Ni nani huyo anaye jitokeza kama kukicha + +Wanatumia hili swali kusema kuwa wanadhani mwanamke ni wa ajabu. + +# anaye jitokeza kama kukicha + +Mpenzi anatumia hili umbo kusema kuwa mwanamke ni mzuri na wa utukufu kama kunavyo pamba zuka na kung'aa. + +# waamasisha kama jeshi lenye bendera mbele + +waamasisha kama jeshi lenye bendera mbele** Uzuri wa mwanamke ni una nguvu hadi unawafanya wanawake wahisi hawana msaada, kama jeshi lilikuwa linamfuata. Ona jinsi ulivyo tafsiri 6:4 + diff --git a/sng/06/11.md b/sng/06/11.md new file mode 100644 index 00000000..1e230341 --- /dev/null +++ b/sng/06/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mpenzi anaendelea kuongea mwenyewe. + +# milozi + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 4:12 + +# mimea midogo + +"mimea michanga" au "matawi mapya" + +# imestawi + +"imefungua maua yake" + +# Nilikuwa nina furaha nikahisi kama nimepakia gari ya farasi la mtoto wa mfalme + +Mpenzi anatumia umbo hili ili kuonyesha jinsi alivyo na furaha. + diff --git a/sng/06/13.md b/sng/06/13.md new file mode 100644 index 00000000..a6ccee4e --- /dev/null +++ b/sng/06/13.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Geuka nyuma, geuka nyuma + +Hii imerudiwa kwa mkazo. + +# kukushangaa + +kuangalia kitu kwa umakini kwa muda + +# kana kwamba nina cheza katika ya mistari miwili ya wachezaji + +Ingekuwa kitu kizuri kuona mwanamke akicheza na wachezaji wengine. + diff --git a/sng/07/01.md b/sng/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..d06faa4b --- /dev/null +++ b/sng/07/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Jinsi gani miguu yako ilivyo yaonekana mizuri kwenye viatu + +Ina hashiriwa kwa muendelezo kutoka 6:13 kuwa mpenzi wa mwanamke ana muelezea akiwa anacheza. "Miguuu yako ni mizuri sana ndani ya viatu vyako." + +# binti wa mfalme + +Japo mwanamke hakuzaliwa katika familia ya kifalme, jinsi anavyo onekana na kutenda ana sababisha kuonekana kama binti wa mfalme. "una tabia njema" au "wewe uliye mrembo" + +# Mapaja yako ni kama mikufu + +Umbo la mapaja ya mwanamke ni kama madini ya thamani ambaye mjuzi wa kutengeneza ame ya chonga kikamilifu. + +# Mapaja yako + +Neno "mapaja" ya lina husu sehemu ya mwili wa mwanamke uliyo juu ya magoti. + diff --git a/sng/07/02.md b/sng/07/02.md new file mode 100644 index 00000000..f8b53f04 --- /dev/null +++ b/sng/07/02.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mpenzi wa mwanamke anaendelea kumuelezea yeye anaye mpenda + +# Kitovu chako ni kama duara la bakuli + +Kitovu cha mwanamke kina umbo zuri kama kibakuli. + +# Kitovu + +Sehemu illiyo ingia ndani katika tumbo, ambayo ni kovu lililo baki ambalo lilimuunganisha mtoto na mama yake + +# kamwe kisikose mchanganyiko wa mvinyo + +Watu walitumia mitungi mikubwa kuchanganya maji na mvinyo au theluji kwa ajili ya sherehe. Watu walifurahia ladha ya mvinyo kwenye sherehe. + +# Tumbo lako ni kama ngano iliyo umuka + +Watu walidhani kuwa rangi ya ngano ni nzuri sana ya mwili na kwamba ngano iliyo umuka ya duara ni nzuri. "Tumbo lako lina rangi nzuri na liladuara kama ngano iliyo umuka." + +# ngano iliyo umuka + +Hii ni ngano iliyo kusanywa baada ya watu kuipeta na kuisaga. + +# kuzungushiwa nyinyoro + +Maua mazuri yanafanya ngano iliyo petwa na kukusanywa kuonekana nzuri. + +# nyinyoro + +aina ya maua makubwa + diff --git a/sng/07/03.md b/sng/07/03.md new file mode 100644 index 00000000..58f45e1e --- /dev/null +++ b/sng/07/03.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mpenzi wa mwanamke anaendelea kuelezea yeye anaye mpenda. + +# Maziwa yako mawili ni kama watoto wawili wa ayala, mapacha wa ayala + +Ona jinsi ulivyo tafsiri: 4:4 + +# Shingo yako ni kama mnara wa pembe + +Mpenzi analinganisha shingo yake na mnara uliyo tengenezwa kwa madini ya mapembe. + +# macho yako ni kama maziwa ya Heshiboni + +"macho yako ni meupe na yana ng'aa kama mabwawa ya maji ya Heshiboni." + +# Heshiboni + +jina la mji wa mashariki wa mto wa Yordani + +# Bathi Rabimu + +jina la mji + +# Pua yako ni kama mnara wa Lebanoni + +Pua yake ni ndefu na wima kama vile mnara uivyo mrefu na wima. + +# ambao watazama Damasko + +"unao wawezesha watu kutazama kuelekea Damasko" + diff --git a/sng/07/05.md b/sng/07/05.md new file mode 100644 index 00000000..59c7297f --- /dev/null +++ b/sng/07/05.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mpenzi anaendelea kumuelezea yeye anaye mpenda. + +# Kichwa chako ni kama Karmeli + +Mwanamke analinganishwa na Mlima Karmeli ambao umeinuka kuliko kitu chochote karibu yake. + +# zambarau nyeusi + +Tafsiri zinazo wezekana ni 1) "nyeusi iliyo koa" au 2) "nyekundu iliyo koa." + +# Mfalme amestaajabishwa na vifundo vyake + +"Nywele zinazo ni'ng'inia ni nzuri hadi mfalme anashindwa kuacha kuzitamani." + +# vifundo + +marundo ya nywele yanayo ni'ng'inia kutoka kichwani mwa mwanamke. + diff --git a/sng/07/07.md b/sng/07/07.md new file mode 100644 index 00000000..f7fbb171 --- /dev/null +++ b/sng/07/07.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mpenzi anaelezea nini angependa kufanya kwa yeye anaye mpenda. + +# Urefu wako ni wa kama mti wa mtende + +"Una simama kama mti wa mtende." Mwanamke ni mrefu, kasimama wima, na anavutia kama mti wa mtende. + +# mti wa mtende + +mti mrefu wa wima unao zalisha matunda matamu ya rangi ya brauni yanayo ota kwa makundi + +# maziwa yako kama vifungu vya matunda + +Mbegu katika mti wa mtende vinaota katika vifungu vizuri vinavyo teremka chini ya mti. + +# Ninataka kuupanda ... matawi yake + +Mwanamme anataka kumshika mwanamke. + +# Maziwa yako nayawe kama vifungu vya mizabibu + +Mwanamke anataka kushika maziwa yake yaliyo kaza lakini malaini kama mizabibu iliyo jawa na maji yake. + +# harufu ya pua yako yawe kama mapera + +"harufu inayo toka kwenye pua yako inukie vizuri kama mapera." + +# mapera + +Neno "mapera" la husu ladha ya tunda tamu, lenye rangi ya njano, aina nzuri ya tunda. + diff --git a/sng/07/09.md b/sng/07/09.md new file mode 100644 index 00000000..5c78d91c --- /dev/null +++ b/sng/07/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mpenzi anaendelea kueleza nini angependa amfanyie mwanamke. + +# Mdomo wako na uwe kama mvinyo bora + +"Ninataka kuuonja mdomo wako kama mvinyo bora." + +# ukishuka taratibu kwa mpenzi wangu + +Mpenzi anafurahia mabusu mororo ya mwanamke. + +# ukiteleza kwenye midomo yetu na meno + +"unao shuka kwenye midomo yetu na meno" + diff --git a/sng/07/10.md b/sng/07/10.md new file mode 100644 index 00000000..4776c37f --- /dev/null +++ b/sng/07/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Mimi ni wa mpenzi wangu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 6:2 + +# na ananitamani + +"na ana shauku juu yangu" au "ana nitaka" + diff --git a/sng/07/12.md b/sng/07/12.md new file mode 100644 index 00000000..1ddb2e7f --- /dev/null +++ b/sng/07/12.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mwanamke anaendelea kuzungumza na mpenzi wake. + +# Tuamke mapema + +"inuka mapema" au "amka mapema" + +# imemea + +"ipo katika mwanzo wa kustawi" + +# imechipua + +maua yanapo funguka + +# imetoa mau + +"maua kufunguka kwa mimea" + +# nitakupa penzi langu + +"nitakuonyesha penzi langu" au "nitafanya mapenzi na wewe" + diff --git a/sng/07/13.md b/sng/07/13.md new file mode 100644 index 00000000..1fdb8ebf --- /dev/null +++ b/sng/07/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mwanamke anaendelea kuzungumza na mpenzi wake. + +# Mitunguja + +Hili ni jina la mmea unao toa harafu kali lakini nzuri. Harufu kidogo ya lewesha na kuchochea hamu ya kufanya mapenzi. + +# ya toa harufu yake + +"ya zalisha harufu yake" + +# katika mlango + +Ina hashiria kuwa mlango ni wa nyumba yao. + +# kila aina ya matunda, mpya na ya kale + +"kuna kila aina ya matunda mazuri, yaliyo mapya na ya zamani" + +# niliyo kuhifadhia + +"kubakiza kwa ajili yako" au "kulinda kwa ajili yako" + diff --git a/sng/08/01.md b/sng/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..1b71d120 --- /dev/null +++ b/sng/08/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# kama kaka yangu + +Mwanamke anatamani angemuonyesha mpenzi wake mahaba hadharani kama ngefanya kwa kaka yake. Hasemi kuwa mwanamke anaruhusiwa kufanya mapenzi na kaka yake. + +# ningekuona nje + +"wewe hadharani" + +# ningekubusu + +Mwanamke inawezekana anambusu kaka yake kwenye shavu kumsalimia. + +# kunidharau + +"kunifanya nijisika haya" + diff --git a/sng/08/02.md b/sng/08/02.md new file mode 100644 index 00000000..d90df7ab --- /dev/null +++ b/sng/08/02.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mwanamke anaendelea kuzungumza na mpenzi wake. + +# Nitakuongoza na kukuleta kwenye nyumba ya mama yangu + +Kama mpenzi angekuwa kaka yake, angemleta kwa nyumba ya familia. Hii ilikuwa kawaida katika huo utamaduni na bado unaendelea kwa baadhi. + +# na utanifundisha + +Hii yaweza tafsiriwa kama "na ata nifundisha." Kwasababu mwanamke hana uzoefu wa kufanya mapenzi, ana fikiri kuwa mpenzi wake au mama yake angemfundisha jinsi ya kufanya mapenzi. + +# Nitakupa mvinyo ulio chachwa unywe na baadhi ya jwisi ya komamanga + +Mwanamke anatumia haya maumbo kusema kuwa atajitolea kwa mpenzi wake na kufanya mapenzi naye. + +# mvinyo ulio chachwa + +"mvinyo wenye viungo" au "mvinyo wenye viungo ndani yake" Hii ya wakilisha nguvu ya kulevya ya mapenzi. + +# jwisi ya komamanga + +Mwanamke ana wakilisha kimiminika chake na maji ya komamanga. + +# Mkono wake wa kushoto...wanikumbatia + +Tazama ilivyo tafsiriwa "Mkono wake wa kushoto upo chini ya kichwa changu, na mkono wake wa kulia wanikumbatia" ndani ya 2:5. + diff --git a/sng/08/04.md b/sng/08/04.md new file mode 100644 index 00000000..dda3fd96 --- /dev/null +++ b/sng/08/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Ninataka ... wanaume wa Yerusalemu + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 2:7 + +# kuwa ... hadi yatakapo isha + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 2:7 + diff --git a/sng/08/05.md b/sng/08/05.md new file mode 100644 index 00000000..fc833758 --- /dev/null +++ b/sng/08/05.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Hapa ni mwanzo wa Sehemu ya Sita ya kitabu, sehemu ya mwisho + +# Ni nani huyu anaye kuja + +"Mwangalie huyu mwanamke wa ajabu anaye kuja." Ona jinsi ulivyo tafsiri maneno kama haya 6:10 + +# nimekuamsha + +"Nimekuamsha uamke" + +# mti wa mpera + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 2:3 + +# pale + +chini ya mpera + +# alijifungua wewe + +alikuzaa + diff --git a/sng/08/06.md b/sng/08/06.md new file mode 100644 index 00000000..86d77719 --- /dev/null +++ b/sng/08/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mwana mke anaendelea kuzungumza na mpenzi wake. + +# Nieka kama muhuri kwenye moyo wako, kama muhuri kwenye mkono wako + +Maana zinazo wezekana ni 1) Kwasababu mihuri ilikuwa muhimu, watu waliweka shingoni mwao au mikononi mwao. Mwanamke anataka kuwa na mwanamme wake kama muhuri. Au 2) Muhuri waonyesha nani anamiliki kitu chenye muhuri wake. Mwanamke anataka awe kama muhuri moyoni mwa mpenzi wake na mkononi ili kuonyesha mawazo yake, hisia, na matendo ni yake. + +# kwa kuwa mapenzi yana nguvu kama mauti + +Mauti ina nguvu sana kwasababu inawashinda ata watu wenye nguvu duniani. + +# hayana kurudi kama kwenda kuzimu + +Kuzimu hakuruhusu watu kurudia uhai baada ya kuwa wamekufa. Mapenzi yana msimamo kama kuzimu kwasababu hayabadiliki. + +# miale yake yalipuka ... kuliko moto wowote + +Mapenzi yana nguvu kama moto. + +# yalipuka + +"kuchomeka ghafla" + diff --git a/sng/08/07.md b/sng/08/07.md new file mode 100644 index 00000000..e0b531bc --- /dev/null +++ b/sng/08/07.md @@ -0,0 +1,44 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Mwanamke anaendelea kuongea na mpenzi wake. + +# Maji yalio zuka hayawezi kuzimisha upendo + +Mpenzi yana nguvu kiasi kwamba ni kama moto mkali usio weza kuzimwa kwa bahari iliyo jawa na maji. + +# Maji yalio zuka + +"Maji ya bahari" au "Kiasi kikubwa cha maji" + +# hayawezi kuzimisha + +"hayawezi kutokomeza" au "hayawezi kuondoa" + +# wala mafuriko hayawezi kuondoa + +Mapenzi kamwe hayabadiliki na ubaki hivyo daima ni kitu ambacho mafuriko yenye nguvu kiasi gani hayawezi kusogeza. + +# mafuriko + +Katika Israeli, maji kutoka kwenye mvua utiririka mabonde marefu membamba. Hii ujenga mafuriko ya maji yenye nguvu kiasi cha kusogeza vizingiti vikubwa na miti. Ata leo mafuriko wakati mwengine uamisha madaraja imara sana. + +# kuondoa + +"kubeba kando" au "kusafishia mbali" + +# Mwanaume akitoa ... ukarimu wake utadharauliwa + +"Ata kama mwanaume ... ata dharauliwa sana." + +# mali zake zote + +"vyote anavyo miliki" + +# kwa ajili ya upendo + +"ili apate mapenzi" au "ili anunue mapenzi" + +# ukarimu wake utadharauliwa + +"watu wata mdharau hakika" au "watu wata mdhihaki vikali" + diff --git a/sng/08/08.md b/sng/08/08.md new file mode 100644 index 00000000..b063114c --- /dev/null +++ b/sng/08/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# hatakayo ahidiwa kuolewa + +"mwanamme anakuja na kutaka kumuoa" + diff --git a/sng/08/09.md b/sng/08/09.md new file mode 100644 index 00000000..d63cb1c3 --- /dev/null +++ b/sng/08/09.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla + +Kaka zake mwanamke wanaendelea kuongea miongoni mwao. + +# Kama ni ukuta ... mbao za mierezi + +Kwasababu matiti yake ni madogo, ana kifua kitupu kama ukuta au mlango. Kaka zake wana amaua kumpa mapambo ili kumsaidia dada yao kuonekana mzuri zaidi. + +# tutampamba + +"tuta mremba" + diff --git a/sng/08/10.md b/sng/08/10.md new file mode 100644 index 00000000..c4f57363 --- /dev/null +++ b/sng/08/10.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# matiti yangu sasa ni kama nguzo imara + +matiti ya mwanamke ni marefu kama minara. + +# hivyo nimekomaa machoni pake + +Mpenzi wake sasa anamuona ni mwanamke aliye komaa, na hilo la mpendeza. + +# machoni pake + +Hapa "machoni pake" ya husu mpenzi wake. + diff --git a/sng/08/11.md b/sng/08/11.md new file mode 100644 index 00000000..b17bbaa5 --- /dev/null +++ b/sng/08/11.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Baali Hamoni + +Hili ni jina la mji kaskazini mwa Israeli. + +# wao ambao watalitunza + +"watu watakao simamia" + +# Kila mmoja alipaswa kuleta shekeli elfu moja za fedha kwa matunda yake + +"Kila mwanaume alipaswa kumpatia Sulemani shekeli elfu moja kama malipo ya matunda ya shamba la mizabibu. + +# kuleta shekeli elfu moja za fedha + +"kuleta shekeli 1,000 za fedha" + +# Shamba langu ka mzabibu ni langu + +"Mimi ndiye muhusika wa shamba langu la mizabibu." Mwanamke anajitaja kama shamba la mizabibu kama ilivyo 1:5 + +# shekeli elfu moja ni za kwako, Sulemani mpenzi + +Mwanamke ana mpatia bure faida ya mizabibu kwa Sulemani japo kuwa ni yake anaeza kumpa yeyote anayetaka. + diff --git a/sng/08/13.md b/sng/08/13.md new file mode 100644 index 00000000..b9cda673 --- /dev/null +++ b/sng/08/13.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# sauti yako + +"kwa sauti yako" + diff --git a/sng/08/14.md b/sng/08/14.md new file mode 100644 index 00000000..3dd04298 --- /dev/null +++ b/sng/08/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# uwe kama paa au mtoto wa paa + +Ona jinsi ulivyo tafsiri 2:16 + +# milima ya manukato + +Mwanamke anatumia hili umbo kukaribisha mpenzi wake amfurahie. + diff --git a/zec/01/01.md b/zec/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..52ea5dac --- /dev/null +++ b/zec/01/01.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Katika mwezi wa nane + +Huu ni mwezi wa nane katika kalenda ya Kiyahudi. Katika kalenda ya sasa ni mwishoni mwa Octoba na mwanzoni mwa Novemba. + +# mwaka wa pili wa kumiliki kwake Dario + +"mwaka wa pili tangu Dario alipokuwa mfalme" + +# Neno la Yahwe lilikuja + +"Yahwe alinena neno lake" + +# Berekia...Ido + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Yahwe alikuwa na hasira sana juu ya baba zenu + +"Kuwakasirikia sana babu zenu" + +# Nirudieni + +Neno "rudi" inamaanisha mabadiliko. Yahwe anawaambia watu wa Israeli kubadilika kutoka kutokumtii na kumtii. + +# asema Yahwe wa majeshi + +Kifungu hiki mara kwa mara kitafasiriwa kama "asema Yahwe" katika UDB. Na kirai hiki kimetumika sana katika kitatu cha Zakaria. + +# Nitawarudia ninyi + +Kwa kusema atawarudia watu wa Israeli, Yahwe anasema watakuwa na mambo mema yakitokea kwa sababu atakuwa akiwasaidia. + diff --git a/zec/01/04.md b/zec/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..f8f2e1d9 --- /dev/null +++ b/zec/01/04.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# walilia + +"kupiga kelele" + +# Kugeuka kutoka + +"kubadilika" + +# Lakini hawakuweza kusikia wala kunijari + +Vifungu hivi vyote vinamaanisha watu wa Israeli wasingeweza kutii maagizo ya Yahwe. + +# asema Yahwe + +Kifungu hiki mara kwa mara kitafasiriwa kama "asema Yahwe" katika UDB. Na kirai hiki kimetumika sana katika kitabu cha Zakaria. + +# Wako wapi baba zenu? Na manabii, je wapo hapa daima? + +Maswali haya yote yameulizwa kuonesha kwamba kwa kweli watu wanakufa. + +# Lakini maneno yangu na maagizo niliyowaamru watumishi wangu manabii, je hayakuwapata baba zenu? + +Maswali haya yametumika kuonesha watu wa Israeli kwamba kila jambo ambalo Bwana alikuwa amewaambia manabii wake kuwaonya babu zao, yalikuwa yametimia. + +# Maneno yangu na amri zangu + +Hii yote inaonesha Mungu aliyokuwa ameyasema kwa manabii. + +# kuwapata baba zenu + +Yahwe anazungumzia unabii wake kama vile unawakimbilia babu zao ili uwapite. Neno "kupata" lamaanisha kuwapita + +# matendo na njia zetu + +"mwenendo na matendo yetu" + diff --git a/zec/01/07.md b/zec/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..ef296a0d --- /dev/null +++ b/zec/01/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Katika siku ya ishirini na nne ya mwezi wa kumi na moja, ndiyo mwezi wa Shebati, + +siku ya ishirini na nne ya mwezi wa kumi na moja, ndiyo mwezi wa Shebati** - "Shebat" ni mwezi wa kumi na moja katika kalenda ya Kiebrania. Siku ya ishirini na nne ni sawa na karibu katikati ya mwezi wa pili katika kalenda ya sasa. + +# Neno la Yahwe lilikuja + +Yahwe alisema neno lake + +# Berekia... Ido + +Haya ni majina ya wanaume. + +# miti ya mihadasi + +ni aina ya miti midogo yenye maua yenye rangi. + diff --git a/zec/01/10.md b/zec/01/10.md new file mode 100644 index 00000000..26674fab --- /dev/null +++ b/zec/01/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Hawa ni wale... Walijibu + +Maneno "hawa" na "wale" inamaanisha farasi kati ya miti ya mihadasi + +# kuzunguka duniani + +Maana yaweza kuwa: 1) "kuiangalia dunia yote" au 2) "kutembea duniani mwote" + +# kati ya miti ya mihadasi + +ni aina ya miti midogo yenye maua yenye rangi + +# dunia yote imetulia na kustarehe + +"watu wote duniani walikuwa na amani" + +# imekaa na kuwa na amani + +Vifungu vyote vinamaanisha kuweza kutulia pasipo na cha kuogopa. + diff --git a/zec/01/12.md b/zec/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..74feffa3 --- /dev/null +++ b/zec/01/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# imeteswa na kudhurumiwa + +Maana pendekezwa 1) "umekuwa na hasira juu(UDB) au 2) "imekuwa ikitendewa bila heshima" + +# nena nami, kwa maneno mazuru, maneno ya faraja + +Vifungu hivi vinazungumzia maneno ambayo ni mema na ya faraja. + diff --git a/zec/01/14.md b/zec/01/14.md new file mode 100644 index 00000000..04f49798 --- /dev/null +++ b/zec/01/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nami nina hasira juu ya mataifa yaliyo na utulivu + +Nimekarishwa sana na mataifa yanayofurahia amani na usalama" + +# Nilikasirika kidogo tu + +"Nilikuwa na hasira kidogo tu na watu wa Yuda" + diff --git a/zec/01/16.md b/zec/01/16.md new file mode 100644 index 00000000..e0efa199 --- /dev/null +++ b/zec/01/16.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nimeirudia Yerusalemu kwa rehema nyingi + +Kurudi Yerusalemu inamaanisha kuchukua tena jukumu la kuwaudumia watu wa Israeli kama mfalme kurudi kuwaongoza watu kutoka katika shida. + +# Nyumba yangu itajengwa ndani yake + +"Hii inamaanisha kujengwa tena kwa hekalu katika Yerusalem" + +# hili ni tamko la Yahwe wa majeshi + +Kifungu hiki mara kwa mara kinafasiriwa kama "asema Yahwe." Na kifungu hiki kimetumika mara kwa mara katika kitabu hiki. + +# Kipimo kitanyoshwa juu ya Yerusalemu + +"Yerusalemu itakaguliwa kabla ya kujengwa" + +# Miji yangu kwa mara nyingine itajawa na uzuri + +Yahwe anamaanisha mambo mema atakayoyafanya kwa ajili ya watu wake Israeli kama ambavyo kimiminika kinavyoweza kujaa katika miji na kufurika. + +# Yahwe ataifariji tena Sayuni + +"Yahwe atawatia moyo watu wa Israeli" + diff --git a/zec/01/18.md b/zec/01/18.md new file mode 100644 index 00000000..df7abbb8 --- /dev/null +++ b/zec/01/18.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Zakaria anaendelea kuelezea ono lake + +# Niliinua macho yangu + +Kifungu hiki kinamaanisha kuelekeza kichwa chako katika kutazama + +# pembe ziliyoitawanya Yuda + +Hii inawakilisha majeshi yaliyowashambulia watu wa Israeli. + diff --git a/zec/01/20.md b/zec/01/20.md new file mode 100644 index 00000000..745fc597 --- /dev/null +++ b/zec/01/20.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anaendelea kuelezea maono ya Zakaria kwa ajili yake. + +# Wafua chuma + +Watu wanaofanya kazi ya kutengeneza vitu kutokana na chuma. Wanatumika kumaanisha upanga wa jeshi. + +# Pembe zilizomsambaratisha Yuda + +Hawa ni majeshi yaliyoishambulia Yuda + +# Hakuna mtu angeinua kichwa chake + +Hii inamaanisha mtu anayeogopa kutazama kitu kinachomwogopesha. + +# Kuwaondoa + +"kuondoa hayo mataifa" + +# kuzitupa pembe chini + +"kuwashinda maadui" + +# kuinua pembe yoyote + +hii inamaana ya kupuliza pembe ili kuliamuru jeshi. + diff --git a/zec/02/01.md b/zec/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..03fd48c7 --- /dev/null +++ b/zec/02/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Zakaria anaendelea kuelezea maono yake. + +# Niliinua macho yangu + +"Nilitazama juu" + +# kipimo cha kupimia + +kamba yenye urefu fulani inayotumika kwa kupima vitu vikubwa. + +# Hivyo aliniambia + +"Hivyo mtu mwenye kamba ya kupimia aliniambia" + diff --git a/zec/02/03.md b/zec/02/03.md new file mode 100644 index 00000000..11be3edd --- /dev/null +++ b/zec/02/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# malaika mwingine akaenda kukutana naye + +Huyu ni malaika mwingine ambaye hajawai kutokea hapo mwanzo, na hivyo anatambulishwa kama mshiriki mwingine. + +# Malaika wa pili akamwambia, "Nenda uongee na mtu yule + +Malaika mwingine alimwambia malaika aliyekuwa ameongea na Zakaria, "Nenda haraka uongee na mtu mwenye kipimo" + +# Yerusalemu inakaa katika nchi wazi + +Kifungu hiki kinamaanisha kwamba Yerusalemu haitazungukwa na kuta. + +# kuwa kwake ukuta wa moto kumzunguka + +Yahwe anasema atailinda Yerusalemu na kulinganisha ulinzi wake na ukuta wa moto. + +# Hili ni tamko la Yahwe + +Kifungu hiki wakati mwingine kinatafasiriwa kama asema Yahwe. + diff --git a/zec/02/06.md b/zec/02/06.md new file mode 100644 index 00000000..178d2c67 --- /dev/null +++ b/zec/02/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kimbieni! kimbieni! + +Maneno haya yamerudiwa na yanaonesha umuhimu kwa ujumbe unaofata. Umetumika mara mbili kwa sababu ujumbe ni mhimu sana. + +# nchi ya kaskazini + +Inamaanisha Babeli + +# nimewatawanya kama pepo nne za anga + +Hii inamaanisha watu wa Israeli wako mbali mmoja kwa mwingine. Pepo nne zinamaanisha sehemu mbalimbali za dunia. + +# binti Babeli + +Hii inamaanisha mji mkuu wa Babeli. + diff --git a/zec/02/08.md b/zec/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..35ee567f --- /dev/null +++ b/zec/02/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Zakaria anasema jinsi Yahwe anavyomtuma kuwahukumu mataifa walioiteka Yerusalemu. + +# Kuwateka ninyi + +"kuiba vitu kutoka Yerusalemu baada ya kuwa imeshambuliwa" + +# maana kila akugusaye + +"Kugusa" inamaanisha kudhuru + +# mboni ya jicho la Mungu + +mboni ya jicho inamaanisha sehemu nyeusi katika jicho inayomwezesha mtu kuona. Hii ni sehemu muhimu sana katika mwili wa mtu. Hii inaonesha kwamba Yerusalemu ni ya muhimu sana kwa Mungu na ni kitu ambacho Mungu atakilinda. + +# tikisa mkono wangu juu yao + +hii ni ishara inayotumika kuonesha Mungu amechagua Kuharibu jambo fulani. + +# na watakuwa mateka + +Miji yao imeharibiwa tiyari na imeachwa wazi kwa watu kuiba chochote watakacho. + diff --git a/zec/02/10.md b/zec/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..fa5f0a24 --- /dev/null +++ b/zec/02/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# binti Sayuni + +Hili ni jina lingine kwa Yerusalemu linalorejerea kwa mji kama binti wa mji wa Sayuni ya mbinguni. + +# kupiga kambi + +kuweka mahema na kuyatumia + +# Hili ni tamko la Yahwe + +Kifungu hiki wakati mwingine kinatafasiriwa kama asema Yahwe + +# mataifa watajikusanya kwa Yahwe + +"mataifa yatamtii Yahwe" + +# katika siku hiyo + +"kwa wakati ule" + diff --git a/zec/02/12.md b/zec/02/12.md new file mode 100644 index 00000000..624bd466 --- /dev/null +++ b/zec/02/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Yahwe atamiliki... katika nchi takatifu + +"Yahwe ataifanya Yuda mali yake ya nchi takatifu" + +# miili yote + +Yahwe anarejerea kwa viumbe hai wote kwa kuwaita miili. Mwili ni kitu walichonacho viumbe wote. + +# maana ameinuka kutoka mahali patakatifu pake + +Hii inamaanisha Yahwe kusababishwa kuchukua hatua juu ya nchi. + diff --git a/zec/03/01.md b/zec/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..b03eb772 --- /dev/null +++ b/zec/03/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Yahwe anamwonesha ono Zakaria + +# Je! hiki si kinga kilichotolewa motoni? + +"Yoshua ni kama ukuni uliotolewa motoni" + +# kinga kilichotolewa motoni + +Kinga ni kipande cha ukuni uwakao kinachotolewa motoni kabla hakijaisha. Hii inamrejerea Yoshua, aliyeokolewa kutoka mateka ya Babeli na kurudi Yerusalemu. + +# mavazi machafu + +katika ono hili mavazi yanatumika kama alama ya kuonesha dhambi. + diff --git a/zec/03/04.md b/zec/03/04.md new file mode 100644 index 00000000..16c6c56f --- /dev/null +++ b/zec/03/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# kukuvalisha vazi safi + +Hapa vazi safi linatoa alama ya utakatifu. + +# kilemba + +kipande cha nguo kinachozungushwa kichwani + diff --git a/zec/03/06.md b/zec/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..3402ada3 --- /dev/null +++ b/zec/03/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# alimwagiza Yoshua kwa dhati + +"alimwagiza Yoshua katika hali ya kuzingatia kwa dhati" + +# takwenda katika njia zangu + +Inamaanisha kutembea katika mapenzi yake. + +# kama mtatunza maagizo yangu + +"ikiwa mtakumbuka na kutii maagizo yangu" + +# linda nyua zangu + +"kuwajibika kwa maeneo yake maalumu" + diff --git a/zec/03/08.md b/zec/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..9b30bad5 --- /dev/null +++ b/zec/03/08.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Malaika wa Yahwe anaendelea kuengea na Yoshua. + +# wenzako wanaoishi nawe + +"makuhani wengine wanaoishi nawe" + +# mtumishi wangu tawi + +Jina "tawi" linapaswa kutafisiriwa vilevile kama tawi la mti. Inamaana kuwa mtumishi wa Yahwe atakuja kutoka kwa Yahwe kama tawi litokavyo katika mti. + +# macho saba + +Hizi ni pande saba. + +# chonga + +"chora" + +# andishi + +maneno yaliyoandikwa juu ya kitu fulani au kukatwa katika kitu fulani + +# hili ni tamko la Yahwe wa majeshi + +Kifungu hiki mara nyingi hufasiriwa kama "asema Yahwe" + diff --git a/zec/03/10.md b/zec/03/10.md new file mode 100644 index 00000000..a7e99ba4 --- /dev/null +++ b/zec/03/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# katika siku hiyo + +"katika wakati huo" + +# hili ni tamko la Yahwe wa majeshi + +Kifungu hiki mara nyingi hufasiriwa kama "asema Yahwe" + diff --git a/zec/04/01.md b/zec/04/01.md new file mode 100644 index 00000000..442038e2 --- /dev/null +++ b/zec/04/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# kuniamsha kama mtu aamshwavyo usingizini + +"kunifanya kuwa na hadhari kama mtu aliyeamshwa usingizini" + +# vinara vya taa + +sehemu za taa vinavyowashwa moto + +# upande wa kushoto + +"upande wa kushoto wa bakuri" + diff --git a/zec/04/04.md b/zec/04/04.md new file mode 100644 index 00000000..3660182b --- /dev/null +++ b/zec/04/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# malaika, malaika mkuu + +Malaika ni kiumbe wa kiroho aliyeumbwa na Mungu. Malaika wanaishi kwa kumtumikia Mungu kwa kufanya chochote anachowaambia kufanya. Jina "malaika mkuu" linamhusu malaika anayetawala au kuwaongoza malaika wote. +. Neno "malaika" kwa kawaida linamaanisha "mjumbe". +. Neno "Malaika mkuu" linamaanisha "mjumbe mkuu." Malaika pekee aliyetajwa kama "malaika mkuu" katika Biblia ni Mikaeli. +.Katika Biblia, malaika watoa ujumbe kutoka kwa Mungu. Jumbe hizi zinahusisha maelekezo jinsi Mungu alivyotaka watu wafanye. +>Pia malaika waliwaambia watu juu ya matukio yaliyokuwa yatendeke au yametendeka. +>Malaika wanamamlaka ya Mungu kama wawakilishi wake na wakati mwingine walizungumza katika Biblia kama vile Mungu mwenyewe alikuwa akiongea. +>Njia nyingine malaika wanatumika kwa kuwalinda na kuwatia nguvu watu +>Kirai maalumu, "malaika wa Yahwe" kina maana zaidi ya Moja: 1) Malaika anayemwakilisha "malaika anayemwakilisha Yahwe" au "mjumbe anayemtumikia Yahwe" 2)Yaweza kumhusu Mungu mwenyewe, anayeonekana kama mwanadamu alipoongea na mtu. Pengine moja kati ya maana hizi yaweza kuelezea matumizi ya "mimi" na malaika kama vile Mungu Mwenyewe alikua akiongea. + +# bwana(lord), bwana(master), bwana(sir) + +Neno "bwana" linamaanisha mtu mwenye umiliki au mamlaka juu ya watu. +>Neno hili wakati mwingine linatafasiriwa kama "bwana"(master) linapomweleza Yesu au linapomtaja mtu anayemiliki watumwa. +>Baadhi ya matoleo ya Kiingereza yanalitafasiri kama bwana(sir) katika mazingira ambapo mtu kwa heshima anamtaja mtu mwenye cheo cha juu. + +# Jua, maarifa, kutambulisha + +"Kujua" inamaanisha kufahamu kitu au kuwa na habari juu ya ukweli. "kujulisha" inamaanisha kusema habari. +>Neno "maarifa" lahusu habari anayoijua mtu. Yaweza kujua jambo katika ulimwengu wa roho au mwili. +"kujua kuhusu" Mungu yamaanisha kufahamu ukweli kumhusu yeye kwa sababu ya yaliyofunuliwa. +>"Kujua" Mungu inamaanisha kuwa na uhusiano naye. Hii pia inahusu kuwafahamu watu wengine. +>Kujua mapenzi ya Mungu yamanisha kufahamu alichokiagiza, au kufahamu anachotaka mtu afanye. +>"Kujua sheria" kujua alichokiagiza Mungu au kufahamu alichokielekeza Mungu katika sheria ya Musa. +>Wakati mwingine "maarifa" inatumika kama mbadala wa "hekima," inayohusisha kuishi katika hali inayompendeza Mungu. +"Maarifa ya Mungu" wakati mwingine inatumika kama mbadala wa "hofu ya Yahwe." + diff --git a/zec/04/06.md b/zec/04/06.md new file mode 100644 index 00000000..846f777a --- /dev/null +++ b/zec/04/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Taarifa ya Kuunganisha: + +Malaika alinayeongea na Zakaria anaendelea kuelezea ono. + +# Zerubabeli + +Hili ni jina la mwanamme + +# Siyo kwa nguvu au uwezo + +Maana pendekezwa 1) neno "uwezo" na "nguvu" kimsingi lamaanisha jambo lilelile na linasisitiza nguvu ya Zerubabeli, au 2) kwamba neno "uwezo" linamaanisha nguvu za kijeshi na neno "nguvu" linaonesha uwezo wa kimwili wa Zerubabeli. + +# U nani wewe, mlima mkubwa? + +Yahwe anauliza swali hili kwa mlima kuonesha kwamba Roho wa Yahwe, wala siyo mlima ananguvu zaidi ya kumshinda Zerubabeli. + +# atalishusha jiwe la juu + +jiwe la juu ni jiwe la mwisho linalowekwa kitu kinapojengwa. + diff --git a/zec/04/08.md b/zec/04/08.md new file mode 100644 index 00000000..f04b126d --- /dev/null +++ b/zec/04/08.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Taarifa ya Kuunganisha: + +Malaika alinayeongea na Zakaria anaendelea kuelezea ono + +# Neno la Yahwe lilikuja + +"Yahwe alisema neno lake" + +# Mikono ya Zerubabeli... mikono yake itaimaliza + +Zerubabeli anasimamia ujenzi wa hekalu. Kujenga kunatajwa kama "mikono yake" japokuwa yawezekana mikono yake isiweke mawe. + +# kuweka msingi + +Msingi ni chanzo cha jengo na sehemu ya kwanza ya mradi wa ujenzi. + +# Ni nani aliyezarau... mambo madogo? + +Swali hili haliitaji jibu ila linawaambia wasizarau "siku ya mambo madogo." + +# siku ya mambo madogo + +Kifungu hiki ni jina kwa ajili ya wakati ambapo kila siku kazi rahisi zilifanywa. Muda wote wa ujenzi wa jengo unatajwa kama siku moja japokuwa ilichukua miaka kadhaa kukamilika. + +# Jiwe la kupimia + +Jiwe linalounganishwa na kamba. Linatumika kuamua kama kuta za jengo zimenyooka au hapana. + +# taa saba ni macho ya Yahwe + +Hizi taa saba ni alama za macho ya Yahwe. + +# macho ya Yahwe + +Neno "macho" linamtaja Mungu akiona kwa sababu macho hutumika kwa kuona. + diff --git a/zec/04/12.md b/zec/04/12.md new file mode 100644 index 00000000..6e97f3f2 --- /dev/null +++ b/zec/04/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# mirija miwili ya dhahabu + +"imetengenezwa kwa dhahabu" + +# Je! wafahamu hivi ni nini? + +"Unapaswa kujua hivi ni nini, lakini haujui." + diff --git a/zec/04/14.md b/zec/04/14.md new file mode 100644 index 00000000..d3a1f2cd --- /dev/null +++ b/zec/04/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hawa ni wana wa mafuta mabichi ya mizeituni + +Hii ni njia ya kishairi ya kusema, "watu waliotiwa mafuta" + +# simama mbele + +Taarifa hii inawakilisha wazo la kutumikia. + diff --git a/zec/05/01.md b/zec/05/01.md new file mode 100644 index 00000000..6def2a6b --- /dev/null +++ b/zec/05/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Kisha niligeuka + +Neno "Mimi" linamtaja Zakaria. + +# kuinua macho yangu + +Hii inamaanisha kuangalia juu ya kitu fulani. Anasema "Niliinua macho" kwa sababu hii ni sehemu ya mwili mtu anayotumia kuona. + +# Tazama + +Neno "tazama" linaonesha kwamba Zakaria alishangazwa na alichokiona. + +# dhiraa + +Dhiraha ni sawa na sentimita 46. + diff --git a/zec/05/03.md b/zec/05/03.md new file mode 100644 index 00000000..8928076c --- /dev/null +++ b/zec/05/03.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Malaika anaendelea kuongea na Zakaria. + +# anakwenda juu ya uso wa + +Kifungu hiki kinahusu laana kama wingu linalosambaa kufunika uso wa nchi. Neno "uso" inahusu uso wa nchi kama uso wa mtu juu ya nyuso za kichwa chao. + +# kutegemea inachosema upande mmoja + +"kutegemea na kile ambacho gombo limeandika upande mmoja" + +# kwa kadili ya maneno yao + +Kifungu "maneno yao" kinamaanisha kile kilichosema katika nadhiri zao. + +# Nitaipeleka + +Neno "hiyo" inahusu laana. + +# hili ni tamko la Yahwe wa majeshi + +Kifungu mara nyingi kimefasiriwa kama "asema Yahwe. Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria. + +# nyumba + +Hii inamaanisha familia ya mtu na kila anachokimiliki. + +# wa yule aapaye + +"wa yule aapaye" + +# mbao + +mti unaotumika kwa ujenzi. + diff --git a/zec/05/05.md b/zec/05/05.md new file mode 100644 index 00000000..46d6b2e2 --- /dev/null +++ b/zec/05/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Inua macho yako + +Kifungu hiki kinamwamru mtu kutazama juu kwa kurejerea macho yake. + +# Kifuniko cha risasi + +Hii inahusu kifuniko kizito. Risasi ni madini mazito. + +# kulikuwa na mwanamke chini yake amekaa ndani yake + +Mwanamke asingeweza kutosha halisi ndani ya kikapu wa umbo hili.Japokuwa ono la Zakaria alitosha ndani ya kikapu. Mara nyingi maono ya maumbo ya vitu yanatiwa chumvi. Wote mwanamke na kikapu wanawakilisha mambo mengine. + diff --git a/zec/05/08.md b/zec/05/08.md new file mode 100644 index 00000000..0db3d3cb --- /dev/null +++ b/zec/05/08.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Huu ni uovu + +mwanamke anawakilisha uovu. + +# na upepo ulikuwa chini ya mbawa zao. + +Kifungu hiki kinaeleza jinsi wanawake walivyotumia mbawa zao kuchukuliwa na upepo na kuruka. + +# walikuwa na mabawa kama mabawa ya korongo + +Wanawake walikuwa na mbawa zilizoonekana kama za korongo. Huyu ni ndege mkubwa mwenye mabawa ya mita 2 hadi 4. + +# kati ya nchi na mbingu + +Kikapu kiliinuliwa juu angani. Inasema "kati ya nchi na mbingu" kuvuta usikivu wao na kuonesha kikapu kilipokuwa kwa kwa kuwahusisha. + diff --git a/zec/05/10.md b/zec/05/10.md new file mode 100644 index 00000000..df4cf3fc --- /dev/null +++ b/zec/05/10.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Wanapeleka wapi kikapu? + +Wanawake wanapeleka wapi kikapu? + +# Ili kwamba hekalu litakapokuwa tiyari... katika msingi wake ulioandaliwa + +"na wakati hekalu litakapokuwa tayari, kikapu kitawekwa mahali palipoandaliwa" + diff --git a/zec/06/01.md b/zec/06/01.md new file mode 100644 index 00000000..7bf6c267 --- /dev/null +++ b/zec/06/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# inua macho yangu + +Hii inamaanisha kutazama katika jambo fulani. + +# milima miwili iliyokuwa imetengenezwa kwa shaba + +"milima miwili ilikuwa ya shaba" + +# kibandawazi cha kwanza ... kibandawazi cha pili. + +"kibandawazi cha 1... kibandawazi cha 2" + diff --git a/zec/06/05.md b/zec/06/05.md new file mode 100644 index 00000000..3c12c932 --- /dev/null +++ b/zec/06/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hizi ni pepo nne za mbinguni + +Malaika anaeleza kwamba vibandawazi pamoja na farasi vinawakilisha pepo nne za mbinguni. + +# pepo nne + +Neno "pepo" linamaanisha pande nne: kaskazini, mashariki, kusini, na magharibi. Walakini, baadhi ya matoleo mapya yanafasiri maneno haya ya Kiebrania kumaanisha "roho nne." + +# farasi weupe wanakwenda nchi ya magharibi + +baadhi ya matoleo mapya yanafasiri maneno haya ya Kiebrania kumaanisha "farasi weupe wanatoka baada yao." + diff --git a/zec/06/07.md b/zec/06/07.md new file mode 100644 index 00000000..af284cd6 --- /dev/null +++ b/zec/06/07.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Wakawatamama + +"Kutazama farasi weusi" + diff --git a/zec/06/09.md b/zec/06/09.md new file mode 100644 index 00000000..6895b5a1 --- /dev/null +++ b/zec/06/09.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# neno la Yahwe lilikuja + +"Yahwe alinena neno lake." + +# Heldai, Tobiya, na Yediya... Yehosadaki + +Haya ni majina ya wanaume. + +# Kisha uchukue fedha na dhahabu, ufanye taji + +"Kisha tumia fedha na dhahabu kufanya taji. + +# Yoshua mwana wa Yehosadaki + +Huyu siyo yule aliyekuwa msaidizi wa Musa; huyu ni kuhani mkuu ambaye ametajwa katika kitabu cha Hagai. + diff --git a/zec/06/12.md b/zec/06/12.md new file mode 100644 index 00000000..27f9fa00 --- /dev/null +++ b/zec/06/12.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kuongea naye na kusema + +"Yahwe alimwambia malaika ili aongee na Zakaria na kusema" + +# jina lake ni tawi + +Malaika wa Yahwe anampa jina hili Yoshua mfalme mpya. + +# atakuwa + +Kifungu "kukua" ni neno la picha la tawi kuanza kuchipua. + +# kuinua utukufu wake + +Maana pendekezwa: 1) "kuongeza utukufu wa hekalu" au 2)"inua na kuvaa utukufu wa hekalu yeye mwenyewe kama mtu angeweza kuvaa nguo" + +# ufahamu wa amani utakuwa kati ya vyote viwili + +"wajibu wake wa mfalme na kuhani utaunganishwa." + diff --git a/zec/06/14.md b/zec/06/14.md new file mode 100644 index 00000000..c6f4b65d --- /dev/null +++ b/zec/06/14.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Taji itawekwa katika hekalu la Yahwe + +"Nitaweka taji yangu katika hekalu langu" + +# Taji + +Neno "taji" inamtaja mfalme kama ambavyo mfalme angevaa taji. + +# iliwekwa katika hekalu la Yahwe + +Hii inahusu mfalme pia akiwa kuhani, kama kuhani anatumika hekaluni. + +# Heldai, Tobiya, na Yedaya + +Haya ni majina ya wanaume + +# kama kumbukumbu ya ukarimu wa mwana wa Zefania + +Baadhi ya matoleo ya kisasa yanafasiri kifungu hiki "kama kumbukumbu kwa Heni, mwana wa Zefania" au "kama kumbukumbu kwa mwenye neema, mwana wa Zefania." Pia, baadhi ya matoleo ya kisasa yanafasiri neno "Heni" kumaanisha jina "Yosia." + +# walioko mbali + +Hii inawahusu Waisraeli waliokuwa wamesalia Babeli. + +# hivyo utajua + +Neno "wewe" inamaanisha watu wa Israeli. + +# sikilizeni kweli + +"sikilizeni kwa uaminifu" + diff --git a/zec/07/01.md b/zec/07/01.md new file mode 100644 index 00000000..e2217e17 --- /dev/null +++ b/zec/07/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mfalme Dario alipokuwa mfalme kwa miaka nne. + +"katika mwaka wa nne tangu Dario awe mfalme" + +# siku ya nne ya mwezi wa Kisleu(ndio mwezi wa tisa) + +"Kisileu" ni mwezi wa tisa wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya nne ni sawa na mwishoni mwa Novemba katika kalenda ya sasa. + +# neno la Yahwe lilikuja + +"Yahwe alinena neno lake" + +# Shareza na Regemu Meleki + +Haya ni majina ya wanaume. + +# walisema, "je! niomboleze... miaka? + +Neno "wale" linamrejerea Shareza na Regemu Meleki. + +# katika mwezi wa tano + +Wayaudu walifunga wakati wa sehemu ya mwezi wa tano wa kalenda ya Kiebrania kwa sababu huu ndio wakati Wababeli walipoliaribu hekalu la Yerusalemu. Mwezi wa tano ni wakati wa sehemu ya mwisho wa Julai na mwanzoni mwa Agosti katika kalenda ya sasa. + diff --git a/zec/07/04.md b/zec/07/04.md new file mode 100644 index 00000000..2b24fed6 --- /dev/null +++ b/zec/07/04.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# katika wa tano + +"mwezi wa tano" + +# katika mwezi wa saba + +Wayaudi waliomboleza wakati wa sehemu ya mwezi wa saba wa kalenda ya Kiebrania kwa sababu katika mwezi huu Wayaudi waliokuwa wamebaki Yerusalemu walikimbilia Misri baada ya kuuawa kwake Gedalia, ambaye mfalme wa Babeli alikuwa amemteua kuwa gavana juu ya Yuda. Mwezi wa saba ni wakati wa mwishoni mwa Septemba na mwanzoni mwa Oktoba katika kalenda ya sasa. + +# kwa miaka hii sabini + +Watu wa Israeli walikuwa wamekuwa watumwa kwa miaka 70 huko Babeli. + +# mlipokula na kunywa + +Kifungu hiki kinamaanisha walipokula na kunywa katika sherehe kuheshimu jinsi Yahwe alivyokuwa ameandaa kwa ajili yao. + +# Je ni kweli mlifunga kwa ajili yangu? + +Swali linatumika kuwalaumu Waisraeli kwa kutomweshimu Yahwe walipofunga. + +# Je! hamkula na kunywa kwa ajili yenu wenywewe? + +Swali linatumika kuwalaumu Waisraeli waliosherehekea sherehe kwa kutomweshimu Yahwe kwa sherehe zao. + +# Yahwe alisema kwa kinywa cha manabii wa zamani + +Zakaria anarejerea manabii wa zamani kwa kurejerea sehemu ya mwili wao uliosema neno la Yahwe. + +# Haya hayakuwa maneno yaleyale... upande wa magharibi? + +Swali hili laweza kuandikwa kama taarifa: "Haya yalikuwa maneno halisi yaleyale... upande wa magharibi." + +# Ilikaliwa + +"waliishi ndani yake" + +# chini ya vilima + +Hivi ni vilima kabla haujafika kwenye milima. + diff --git a/zec/07/08.md b/zec/07/08.md new file mode 100644 index 00000000..a3d63bdc --- /dev/null +++ b/zec/07/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# neno la Yahwe lilikuja + +"Yahwe alinena neno lake." + +# Kila mtu na afanye hivi + +Neno "hivi" inamaanisha jinsi mtu anavyopaswa kuhukumu. + +# mjane + +mwanamke aliyefiwa mme + +# yatima + +mtoto ambaye wazazi wake wamefariki + +# mgeni + +Mtu aliyekatika nchi ya ugeni + +# kusiwa na mtu miongoni mwenu anayepanga madhara yoyote kinyume cha mwingine mioyoni mwenu. + +"msifanye mipango ya kutenda uovu" + diff --git a/zec/07/11.md b/zec/07/11.md new file mode 100644 index 00000000..a61ea827 --- /dev/null +++ b/zec/07/11.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# wakashupaza mabega yao + +"walikuwa kama ng'ombe wanaokataa kuwekewa nira" au "walikuwa kama ng'ombe aliyekataa kutii" + +# waliziba masikio yao + +"walikataa kusikia" + +# waliifanya migumu mioyo yao kama mwamba + +"Walikataa kutii ujumbe wa Yahwe" + +# kwa kinywa cha manabii + +"kupitia maneno ya manabii" + diff --git a/zec/07/13.md b/zec/07/13.md new file mode 100644 index 00000000..076d2c83 --- /dev/null +++ b/zec/07/13.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# nitawatawanya kwa upepo wa kisurisuri + +"nitawakusanya kamba kisurisuri kinavyosambaza majani" + +# kisurisuri + +upepo wenye nguvu unaojisokota unaposafiri, ukisambaza vitu mbalimbali mahali pote. + diff --git a/zec/08/01.md b/zec/08/01.md new file mode 100644 index 00000000..5c5a94f6 --- /dev/null +++ b/zec/08/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Neno la Yahwe wa majeshi lilinijia kusema + +Yahwe wa majeshi aliniambia + +# Nina huruma kwa ajili yake kwa hasira kubwa + +"Nimejaa na hasira kwa ajili ya Sayuni" + +# mlima wa Yahwe wa majeshi + +Hii inarejerea Mlima Sayuni. + +# Mlima mtakatifu + +Hapa "Mtakatifu" yamaanisha "ni mali ya Yahwe." + diff --git a/zec/08/04.md b/zec/08/04.md new file mode 100644 index 00000000..c3c0f8a9 --- /dev/null +++ b/zec/08/04.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# iwe katika mitaa ya Yerusalemu + +"kuwa inaishi Yerusalemu" + +# katika mikono yake kwa sababu amezeeka + +Wasaa wa kuzeeka ni alama ya amani na mafanikio. + +# Na mitaa ya mji itajaa + +Maeneo ya wazi ya mji yatakuwa yamejaa watu katika shughuli zao za kawaida. + diff --git a/zec/08/06.md b/zec/08/06.md new file mode 100644 index 00000000..97211cfa --- /dev/null +++ b/zec/08/06.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kama jambo haliwezekani katika mcho ya + +"Ikiwa jambo fulani halionekani kuwezekana" + +# masalia ya watu hawa + +"watu wa Yuda waliosalia" + +# Je! lisiwezekane pia machoni pangu? + +Mungu anauliza swali hili ili kuwashawishi watu wake kuamini ahadi zake. + +# Hili ni tamko la Yahwe + +Kifungu hiki kwa kawaida kimetafsiriwa kama "asema Yahwe. Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria. + +# Ninaelekea kuwakomboa watu wangu + +"Niko karibu kuwakomboa watu wangu walikwenda uamishoni" + diff --git a/zec/08/09.md b/zec/08/09.md new file mode 100644 index 00000000..b9d9f47c --- /dev/null +++ b/zec/08/09.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Msingi wa nyumba yangu ulipowekwa + +"Msingi wa nyumba yangu ulipowekwa mahali pake" kwa "mlipokuwa mkijenga msingi wa nyumba yangu" + +# Itieni nguvu mikono yenu + +"fanyeni kazi kwa bidii" + +# Maana kabla ya siku hizo + +"Kabla hamjaanza kulijenga hekalu" + +# Hakuna mazao yaliyokusanywa ndani + +"hakukuwa na mazao ya kuvuna" + +# Hakukuwa na faida kwa mtu wala mnyama + +Haikuwa na faida kwa mwanadamu na wanyama wao kuilima nchi, kwa sababu hawakupata chakula kutoka ndani yake. + diff --git a/zec/08/11.md b/zec/08/11.md new file mode 100644 index 00000000..c39976b4 --- /dev/null +++ b/zec/08/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# kama siku za kale + +"kama katika wakati uliopita" + +# Nitakuwa pamoja na masalia ya watu hawa + +"Sasa nitawabariki watu hawa" au "Sasa nitawatendea watu hawa kwa upole" + +# mbegu ya amani itapandwa + +"Nitawafanya kuwa katika amani" + +# Hili ni tamko la Yahwe + +Kifungu hiki kwa kawaida kimetafsiriwa kama "asema Yahwe. Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria. + +# nchi itatoa mazao yake + +"kutakuwa na kuvuna kwema katika mashamba" + +# mbingu zitatoa umande wake + +Umande kwa kawaida ilikuwa ni ishara ya mafanikio. Yaani "kuwatuwa na mvua nyingi" + +# kuyarithi yote haya + +"kuwa na haya yote wakati wote" + diff --git a/zec/08/13.md b/zec/08/13.md new file mode 100644 index 00000000..e1680f2c --- /dev/null +++ b/zec/08/13.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Mlikuwa mfano wa laana kwa mataifa mengine + +"Nilipowaadhibu, mataifa mengine yalijifunza" + +# Nyumba ya Yuda na nyumba ya Israeli + +"Watu wa Yuda na Israeli" + +# Mikono yenu itiwe nguvu + +"fanyeni kazi kwa bidii" + +# siwazuru + +"kuwaadhibu" + +# kuchokoza hasira yangu + +"kunikasirisha" + +# hakujuta + +"hakuamua kuwaadhibu kidogo" + diff --git a/zec/08/16.md b/zec/08/16.md new file mode 100644 index 00000000..88f6f916 --- /dev/null +++ b/zec/08/16.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# mnalopaswa kufanya + +"Ninyi" inawarejerea watu wa Yuda. + +# Ongeeni kweli, kila mtu na jirani yake + +"semeni kweli kwa kila mtu" + +# Hukumuni kwa kweli, haki, na amani malangoni penu + +"Hukumuni kwa haki katika mahakama zenu ili watu waishi kwa amani. + +# wala msivutwe na nadhiri za uongo + +Msikubaliane na watu wasemao uongo katika mashitaka mahakamani" + +# Hili ni tamko la Yahwe + +Kifungu hiki kwa kawaida kimetafsiriwa kama "asema Yahwe. Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria. + diff --git a/zec/08/18.md b/zec/08/18.md new file mode 100644 index 00000000..4bfa7a2f --- /dev/null +++ b/zec/08/18.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Kisha neno la Yahwe wa majeshi likanijia mimi + +"Mimi" inamrejerea Zakaria. + +# Mfungo wa mwezi wa nne + +Wayaudi waliomboleza katika kipindi cha sehemu ya mwezi wa nne wa kalenda ya Kiebrania kwa sababu huu ulikuwa wakati Wababeli walipovunja ukuta wa Yerusalemu. Mwezi wa nne ni wakati wa mwishoni mwa Juni na mwanzoni mwa Julai katika kalenda ya sasa. + +# mwezi wa tano + +Wayaudu walifunga wakati wa sehemu ya mwezi wa tano wa kalenda ya Kiebrania kwa sababu huu ndio wakati Wababeli walipoliaribu hekalu la Yerusalemu. Mwezi wa tano ni wakati wa sehemu ya mwisho wa Julai na mwanzoni mwa Agosti katika kalenda ya sasa. + +# mwezi wa saba + +Wayaudi waliomboleza wakati wa sehemu ya mwezi wa saba wa kalenda ya Kiebrania kwa sababu katika mwezi huu Wayaudi waliokuwa wamebaki Yerusalemu walikimbilia Misri baada ya kuuawa kwake Gedalia, ambaye mfalme wa Babeli alikuwa amemteua kuwa gavana juu ya Yuda. Mwezi wa saba ni wakati wa mwishoni mwa Septemba na mwanzoni mwa Oktoba katika kalenda ya sasa. + +# mwezi wa kumi + +Wayaudi waliomboleza wakati wa sehemu ya mwezi wa kumi katika kalenda ya Kiebrania kwa sababu huu ni wakati Wababeli walipoanza kuuhsusu Yerusalemu. Mwezi wa kumi ni mwishoni mwa Desemba na mwanzoni mwa Januari katika kalenda ya Magharibi. + diff --git a/zec/08/20.md b/zec/08/20.md new file mode 100644 index 00000000..4143c851 --- /dev/null +++ b/zec/08/20.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watu watakuja tena + +"Watu watakuja tena Yerusalemu" + +# Watu wengi na mataifa yenye nguvu yatakuja + +"Watu wengi watakuja, wakiwemo kutoka mataifa makubwa" + diff --git a/zec/08/23.md b/zec/08/23.md new file mode 100644 index 00000000..8f242bda --- /dev/null +++ b/zec/08/23.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# watashika pindo la vazi lenu + +"watashika mavazi yenu kuvuta makini yenu" + +# Na twende nanyi + +"Tafadhari tusafiri pamoja nanyi kwenda Yerusalemu" + +# Mungu yu pamoja nanyi + +"Mungu yu pamoja nanyi watu" + diff --git a/zec/09/01.md b/zec/09/01.md new file mode 100644 index 00000000..e40a7692 --- /dev/null +++ b/zec/09/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Hili ni tamko la neno la Yahwe kuhusu + +"Huu ni ujumbe wa Yahwe kuhusu" + +# Nchi ya Hadraki na Dameski + +"Watu wa nchi ya Hadraki na mji wa Dameski + +# Kwa maana jicho la Yahwe lipo juu ya watu wote + +"Maana Yahwe anamwangalia kila mtu" Lakini, matoleo mengi ya kisasa yanafasiri kifungu hiki kama "macho ya watu" na ya wale wa makabila yote ya Israeli yanamwangalia Yahwe." + +# Hamathi + +"Watu wa nchi ya Hamathi" + +# Tiro na Sidoni + +"Watu wa Tiro na Sidoni" + +# japokuwa ni wenye hekima sana + +Pengine Zakaria hakumaanisha hakika kwamba watu wa Hamathi walikuwa wenye hekima. + diff --git a/zec/09/03.md b/zec/09/03.md new file mode 100644 index 00000000..a014a3a1 --- /dev/null +++ b/zec/09/03.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# amejijengea ngome + +Hapa mji wa Tiro umepewa picha kama ya mwanamke. + +# kurundika fedha kama mavumbi na dhahabu safi kama matope mitaani + +"kukusanywa kwa dhahabu na fedha nyingi mitaana kama mchanga " + +# Tazama! Bwana atamnyang'anya + +"Iweni tayari! Bwana atachukua miliki za Tiro" + +# na kuharibu nguvu zake juu ya bahari + +"na kuharibu meli za Tiro ambazo watu wanazitumia kupigana juu ya bahani" + +# hivyo ataharibiwa na moto + +"na kuuteketeza mji hata mavumbini" + diff --git a/zec/09/05.md b/zec/09/05.md new file mode 100644 index 00000000..9473d5c6 --- /dev/null +++ b/zec/09/05.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# taona + +"ataona Tiro ikiharibiwa" + +# Wageni watafanya makazi yao katika Ashidodi + +"Wageni wataichukua Ashidodi na kufanya makao yao pale" + +# nami nitakiondoa kiburi cha Wafilisiti + +"Nitawafanya Wafilisita wasijivune tena" + +# Nitaondoa damu yao katika vinywa vyao na machukizo yao kutoka kati ya meno yao + +Hii inamaanisha nyama pamoja na ndamu ndani, na nyama iliyotolewa kwa vinyago. Yaani "Sitawaruhusu tena kula nyama pamoja damu ndani yake, na nitawazui kula chakula kilichotolewa kwa sanamu" + diff --git a/zec/09/08.md b/zec/09/08.md new file mode 100644 index 00000000..1ee392cf --- /dev/null +++ b/zec/09/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nitaweka kambi karibu na nchi yangu + +Mungu anaongea juu yake kama alikuwa jeshi. + diff --git a/zec/09/09.md b/zec/09/09.md new file mode 100644 index 00000000..6a9ac1db --- /dev/null +++ b/zec/09/09.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# Piga kelele kwa furaha, ewe binti Sayuni! Piga kelele kwa shangwe, ewe binti Yerusalem! + +Mistari hii miwili inamaanisha jambo moja na inazidisha agizo la kufurahi. + +# binti Sayuni... binti Yerusalem + +"Sayuni" ndiyo "Yerusalemu." Nabii anauzungumzia mji kanakwamba ni binti. + +# juu ya punda, juu ya mwanapunda + +Vifungu hivi viwili kimsingi vinamaanisa jambo moja na vinamrejerea mnyama mmoja. Mstari wa pili unaweka wazi kwamba huyu ni mwanapunda. + +# kukatilia mbali kibandawazi kutoka Efraimu + +"Kuharibu vibandawazi vitumikavyo kwa vita katika Israeli" + +# farasi kutoka Yerusalemu + +"farasi wa vita katika Yerusalemu" + +# upinda utakatiliwa mbali kutoka katika vita + +Hapa upinde unawakilisha silaha zote zitumikazo kwa vita. "Silaha zote za vita zitateketezwa" + +# Maana atanena amani kwa mataifa + +Hapa tendeo la kutangaza amani linawakilisha tendo la kufanya amani. + +# utawala wake utakuwa kutoka bahari hata bahari, na kutoka katika mto hadi miisho ya dunia + +"ufalme wake utakuwa juu ya dunia yote!" + diff --git a/zec/09/11.md b/zec/09/11.md new file mode 100644 index 00000000..f1cbbcca --- /dev/null +++ b/zec/09/11.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Lakini kwenu + +Hapa "ninyi" inamaanisha watu wa Israeli. + +# shimo ambalo halina maji + +Shimo hapa linawakilisha uhamisho. + +# Rudini ngomeni + +"Rudini katika nchi yenu mahali mtakapokuwa salama" + +# wafungwa wa tumani + +Hii inamaanisha Waisraeli waliokuwa kifungoni waliokuwa bado wanamatumaini kwamba Mungu atawakomboa. + +# pinda Yuda kama upinde wangu + +Watu wa Yuda wanatajwa kama walikuwa upinde uliobebwa na Mungu kwa vita. + +# kulijaza podo langu kwa Efraimu + +Watu wa Israeli, ufalme wa kaskazini, wanatajwa kama walikuwa mishale ambayo Mungu angewapigia adui zake. Podo ni mfuko unaotunza mishale ya askari. + +# Nimewainua wana wenu, Sayuni, kinyume cha wana wenu, Ugiriki, + +Mungu anazungumza na watu wa mataifa mawili tofauti kwa wakati mmoja. + diff --git a/zec/09/14.md b/zec/09/14.md new file mode 100644 index 00000000..b6e8bf6a --- /dev/null +++ b/zec/09/14.md @@ -0,0 +1,40 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Sehemu hii ya unabii inaendelea na maneno ya Hosea, badala ya maneno ya Yahwe yaliyonenwa kupitia kwake. + +# Ataonekana kwao + +Neno "wao" linamaanisha watu wa Mungu. Yaweza pia kuwa "taonekana angani kwa watu wake" au "atakuja kwa watu wake" + +# tapiga kelele kama radi + +Wakati mwingine Waisraeli walidhani miale ya radi kama mishale aliyopiga Mungu. + +# piga tarumbeta + +Tarumbeta ilikuwa ni pembe ya kondoo. Watu waliipuliza kama ishara ya vita au matukio mengine. + +# ataendelea na dhuruba kutoka Temani + +Wakati mwingine Waisraeli walifikiri kwamba Mungu alikuwa akisafiri kwa upepo wa tufani utokao kusini. + +# atararua + +"kushinda kabisa" + +# kuyashinda mawe ya kombeo + +Waisraeli watawashinda askari wanaopigana kwa kutumia kombeo. Askari hawa wanawakilisha adui wote wa Israeli, haijarishi silaha walizonazo. + +# Ndipo watakapo kunywa na kupiga kelele kama mtu aliyelewa kwa mvunyo + +"Watapiga kelele na kusherehekea ushindi wao kwa kelele kama walikuwa wamelewa." + +# watajazwa kwa mvinyo kama mabakuli + +Pengine inamaanisha mabakuli makuhani waliyotumia kubeba damu ya mnyama katika madhabahu. + +# kama pembe za madhabahu + +Madhabahu zilikuwa na pembe damu zilipokusanywa. + diff --git a/zec/09/16.md b/zec/09/16.md new file mode 100644 index 00000000..8d8b7caf --- /dev/null +++ b/zec/09/16.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Zakaria anaendelea kuongea na watu. + +# Ndipo watakapo kunywa na kupiga kelele kama mtu aliyelewa kwa mvunyo + +"katika nchi yetu watakuwa kama mawe mazuri katika taji" + +# vijana watastawi juu ya nafaka + +Vijana wataishi kwa chakula wanachopata kutoka katika mavuno. + +# na bikra juu ya divai tamu + +Mabinti watafurahia mvinyo mpya. Hizi ni rejea kwa vijana wa kiume na kike wakiwakilisha hesabu ya watu wote wa Israeli + diff --git a/zec/10/01.md b/zec/10/01.md new file mode 100644 index 00000000..af2f0b31 --- /dev/null +++ b/zec/10/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Zakaria anaenelea kuongea na watu. + +# hufanya mvua ya miunguromo na dhoruba + +"hufanya mawingu ya dhoruba" + +# sanamu uongea kwa uongo + +"sanamu zinatoa ujumbe wa uongo" + +# waganga hunena uongo + +"waganga wanaona maono ya uongo" + +# wanasema ndoto za udanganyifu + +"waganga wanasema uongo kuhusu ndoto zao ili kuwadanganya watu" + +# wanapotea kama kondoo + +"watu hawajui njia ya kufuata" + diff --git a/zec/10/03.md b/zec/10/03.md new file mode 100644 index 00000000..23c5dd55 --- /dev/null +++ b/zec/10/03.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Gadhabu yangu inawaka dhidi ya wachungaji + +"Wachungaji" wanawakilisha viongozi wa watu wa Mungu. + +# ni mabeberu - viongozi - nitakao waadhibu + +"Mabeberu" wanawakilisha viongozi wasiofaa + +# Yahwe wa majeshi atalihudumia pia kundi la kondoo wake, nyumba ya Yuda + +"Nitaiangalia nyumba ya Yuda" + +# kuwafanya kama farasi wake wa vita! + +"Tawapa uwezo wangu wa nguvu isiyoogopesha" + diff --git a/zec/10/04.md b/zec/10/04.md new file mode 100644 index 00000000..6590fd8e --- /dev/null +++ b/zec/10/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Kutoka kwao litatoka jiwe kuu la pembeni + +"Jiwe la pembeni litatoka kwao." Kiongozi mhimu anazungumzwa kama vile jiwe kuu la msingi wa jengo. + +# kutoka kwao kitatoka kigingi cha hema + +"kigingi cha hema kitatoka kwao." Viongozi wakuu wanazungumzwa kama vile vigingi vikubwa vinavyolishikilia hema mahali pake. + +# kutoka kwao utatoka upinde wa vita + +"upinde wa vita utatoka kwao." Viongozi wa kijeshi wanasemwa kama walikuwa upinde uliotumiwa vitani. + +# Watakuwa kama mashujaa + +"Watakuwa wenye nguvu vitani" + +# wawakanyagao adui zao katika matope ya mitaani vitani + +"wawashindao adui zao kwa ukamilifu" + +# nao watawaabisha wapanda farasi + +"nao watawashinda adui zao wapiganao nao katika farasi" + diff --git a/zec/10/06.md b/zec/10/06.md new file mode 100644 index 00000000..57c16592 --- /dev/null +++ b/zec/10/06.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Nitaitia nguvu nyumba ya Yuda + +"Nitawaimarisha watu wa Yuda" + +# nyumba ya Yusufu + +Hii inamaanisha watu wa ufalme wa Israeli kaskazini. + +# nilikuwa sijawaondoa + +"Nilikuwa sijawakataa" + +# Efraimu atakapokuwa kama shujaa + +"Efraimu" inarejerea ufalme wa Israeli ya kaskazini. + +# mioyo yao itafurahi kama kwa mvinyo + +"nao watakuwa kweli na furaha sana + +# wana wao wataona na kufurahi. Mioyo yao itanifurahia! + +"Wana wao wataona yaliyotokea na watafurahi kwa sababu ya yale Yahwe aliyowafanyia! + diff --git a/zec/10/08.md b/zec/10/08.md new file mode 100644 index 00000000..ab5b1068 --- /dev/null +++ b/zec/10/08.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nitawanong'oneza + +kunong'oneza ni kutoa sauti ya juu, nyembamba kupitia midomo iliyominywa. Kwa kawaida hutolea kuwapa wengine ishara, + +# mpaka kutakapokuwa hakuna nafasi tena kwa ajili yao + +Watu wataendelea kwenda Yuda na itajazwa watu hata kusiwe na nafasi ya watu kuishi pale tena. + diff --git a/zec/10/11.md b/zec/10/11.md new file mode 100644 index 00000000..11cb05cd --- /dev/null +++ b/zec/10/11.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Nitapita katika bahari ya mateso yao + +Maandiko mara nyingi urejerea bahari kama picha ya shida na magumu mengi. + +# na nitavikausha vilindi vyote vya Nile + +"Nitaufanya Mto Nile kukauka" + +# Utukufu wa Ashuru utashushwa chini + +Hapa "utukufu wa Ashuru" pengine unamaanisha jeshi la Ashuru. + +# na fimbo ya Misri itakwenda mbali kutoka kwa Wamisri + +"na nguvu ya Misri kutawala mataifa mengine itakwisha." + +# hili ni tamko la Yahwe wa majeshi + +Kifungu hiki mara kwa mara kinafasiriwa kama "asema Yahwe" Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria. + diff --git a/zec/11/01.md b/zec/11/01.md new file mode 100644 index 00000000..d777d94e --- /dev/null +++ b/zec/11/01.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Fungua milango yako, ee Lebanoni, ili moto uteketeze mielezi yako + +Nabii anaongeza na nchi ya Lebaboni kama vile alikuwa ni mtu. + +# Omboleza, enyi miti ya misonobari, kwani mierezi imeanguka + +"Ikiwa miti ilikuwa watu, ingelia kwa huzuni. Misonobari imebaki pekee kwa sababu mierezi imechomwa na kuanguka." + +# Ombolezeni, enyi mialoni ya Bashani, kwani msitu wenye nguvu umeshushwa. + +"Ikiwa miti ya mialoni iliyoko Bashani ingekuwa watu, wangeomboleza, kwani msitu mzito umeangushwa." + +# Wachungaji wanapiga yowe + +"Wachungaji wanalia kwa sauti" + +# kwa kuwa utukufu wao umeharibiwa + +"Utukufu wao" pengine inawakilisha nyasi nyingi ambapo wachungaji walipeleka kondoo wao. + +# kwa kuwa kiburi cha Mto Yordani + +"kwa sababu miti walipokaa kando ya Mto Yordani imeharibiwa." + diff --git a/zec/11/04.md b/zec/11/04.md new file mode 100644 index 00000000..48901390 --- /dev/null +++ b/zec/11/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Hapa Yahwe anaanza kutoa maelekezo kwa Zakaria katika muundo wa mfano kuhusu wachungaji na kondoo. + +# wenyeji wa nchi + +"watu wa nchi" + +# hivi ndivyo asemavyo Yahwe + +Kifungu hiki mara kwa mara kinafasiriwa kama "asema Yahwe" Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria. + +# kumwelekeza kila mtu katika mkono wa jirani yake + +"kumfanya kila mtu kutawaliwa na mtu mwingine" + +# katika mkono wa mfalme wake + +"katika utawala usio wa haki wa mfalme wake" + +# wataiharibu nchi + +"hawatakuwa na huruma juu ya watu wa nchi" + +# hakuna hata mmoja wao nitakayemwokoa kutoka katika mkono wao + +"lakini sitawaokoa watu wa Yuda kutoka katika nguvu zao" + diff --git a/zec/11/07.md b/zec/11/07.md new file mode 100644 index 00000000..8000a1e0 --- /dev/null +++ b/zec/11/07.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +mfana kuhusu wachungaji na kondoo unaendelea. + +# kondoo walioamriwa kuchinjwa + +"kundi la kondoo waliokuwa wamekusudiwa kuchinjwa" + +# gongo + +gongo ni miti inayotumika kwa makusudi mbalimbali, ikiwemo kuwaongoza watu. Yaweza kuwa na aina mbalimbali za ncha. + +# upendeleo + +Matoleo mbalimbali yanafasiri neno la Kiebrania katika mazingira haya kama "neema" na "uzuri" + +# Umoja + +Hili ni wazo la udugu kati ya sehemu mbili za Israeli, ufalme wa kaskazini na ufalme wa kusini. + +# sikuwavumilia tena + +"Sikuweza kuwavumilia tena wenye kondooo waliokuwa wamewaajiri" + diff --git a/zec/11/10.md b/zec/11/10.md new file mode 100644 index 00000000..3ad79661 --- /dev/null +++ b/zec/11/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mfano wa wachungaji na kondoo unaendelea + +# nikaivunja kuvunja agano nililokuwa nimelifanya na kabila zangu zote + +Hapa nabii anaongea na kutenda kama Yahwe. + +# amesema + +"alikuwa amesema kwao ujumbe" + +# vipande thelathini vya fedha + +gramu 330 za fedha. Shekeli ilikuwa na uzito wa gramu kumi na moja. + diff --git a/zec/11/13.md b/zec/11/13.md new file mode 100644 index 00000000..07c7776a --- /dev/null +++ b/zec/11/13.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mfano kuhusu wachungaji na kondoo unaendelea + +# hazina + +vyumba vya kuhifadhi vitu katika hekalu la Yahwe + +# thamani nzuri zaidi + +Hii inamaanisha kwamba thamani hii ilikuwa ndogo sana kwa mchungaji aliyekuwa akaifanya kazi ya Yahwe. + +# vipande thelathini vya fedha + +gramu 330 za fedha. Shekeli ilikuwa na uzito wa gramu kumi na moja. + diff --git a/zec/11/15.md b/zec/11/15.md new file mode 100644 index 00000000..e2dc14ee --- /dev/null +++ b/zec/11/15.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mfano wa wachungaji na kondoo unaendelea. + +# kondoo walionona + +Kondoo mwenyew afya, aliyekua vizuri. + +# atapasua kwato zao + +pengine kama tendo la ukatili + diff --git a/zec/11/17.md b/zec/11/17.md new file mode 100644 index 00000000..3d7ff8a2 --- /dev/null +++ b/zec/11/17.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mfano wa wachungaji na kondoo unaendelea. + +# Ole kwa wachungaji wasiofaa + +"Huzuni ya namna gani inamsubiri mchungaji huyu asiyefaa" + +# uje dhidi ya mkono wake na jicho lake la kulia + +"jereha mkono wa kulia na kuchomwa jicho la kulia" + +# Upanga na uje dhidi ya + +"upanga" hapa unawakilisha adui watakao mshambulia mchungaji + +# mkono wake + +nguvu ya kupigana + +# jicho lake la kulia + +uwezo wa kuona wakati akipigana. + diff --git a/zec/12/01.md b/zec/12/01.md new file mode 100644 index 00000000..5f09814e --- /dev/null +++ b/zec/12/01.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mistari hii inaanza sehemu inayozungumzia shambulio lijalo dhidi ya Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa mji. + +# tamko la neno la Yahwe + +Kifungu hiki mara kwa mara kinafasiriwa kama "asema Yahwe" Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria. + +# azitandaye mbingu + +"aliyeumba anga" + +# kuweka msingi wa dunia + +"kuiweka dunia yote mahali pake" + +# aiumbaye roho ya mtu ndani yake + +"aliumba roho ya mtu" + +# kikombe + +"kikombe cha kitu cha kunywa" + +# kiwafadhaishacho watu wote wamzungukao + +Hii ni, kinywaji ni pombe itakayowafanya majeshi wanaoishambulia Yerusalemu kulewa na kushindwa kupigana. + +# yeye + +Huo ni, mji wa Yerusalemu. Ilikuwa kawaida kwa kiebrania kuzungumzia mji au nchi kama ni mwanamke. + +# jiwe zito kwa watu wa jamaa zot + +"kisichowezekana kuondolewa" + diff --git a/zec/12/04.md b/zec/12/04.md new file mode 100644 index 00000000..454614f7 --- /dev/null +++ b/zec/12/04.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mistari hii inaendelea na sehemu inayozungumzia shambulio lijalo dhidi ya Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa mji. + +# siku hiyo + +Siku majeshi yatakapoishambulia Yerusalemu. + +# Hili ni tamko la Yahwe + +Kifungu hiki mara kwa mara kinafasiriwa kama "asema Yahwe" Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria. + +# Nitaiangalia kwa upendeleo + +"Nitailinda" + +# nyumba ya Yuda + +"watu wa Yuda" + +# wasema mioyoni mwao + +Inamaanisha kwamba watafikiri na kujisemea wenyewe. + +# kwa sababu wa Yahwe wa majeshi + +"kwa sababu wanamwabudu Yahwe wa majeshi" + diff --git a/zec/12/06.md b/zec/12/06.md new file mode 100644 index 00000000..f67dda03 --- /dev/null +++ b/zec/12/06.md @@ -0,0 +1,28 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mistari hii inaendelea na sehemu inayozungumzia shambulio lijalo dhidi ya Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa mji. + +# siku hiyo + +Hii inamaanisha wakati Yerusalemu itakaposhambuliwa na Mungu uwashinda adui zake. + +# kama mitungi ya moto katika miti... nafaka iliyosimama + +kama mitungi ya moto kati ya mabua ya nafaka yasiyovunwa shambani" + +# vyungu vya moto + +Kitu ambacho watu wa kale walitumia kubebea makaa ya moto. + +# miale ya moto + +Ukuni unaowaka upande mmoja unaotoa nuru mtu anapotembea au kuchukua moto mahali fulani. + +# utateketeza watu wote walio karibu + +"nitawaharibu watu wawazungukao" + +# Yerusalemu atakaa mahali pake tena + +Watu wa Yerusalemu wataishi tena katika mji wao. + diff --git a/zec/12/07.md b/zec/12/07.md new file mode 100644 index 00000000..55754e0e --- /dev/null +++ b/zec/12/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mistari hii inaendelea na sehemu inayozungumzia shambulio lijalo dhidi ya Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa mji. + +# hema za Yuda + +Hapa "hema" uwakilisha nyumbani, na nyumba zinawawakilisha watu wanaoishi ndani yake. + +# nyumba ya Daudi + +Maana pendekezwa 1) wazao wa Daudi au 2) daraja la watawala. + +# malaika wa Yahwe + +Huyu ni malaika wa Yahwe aliyetumwa kuwalinda watu. + diff --git a/zec/12/10.md b/zec/12/10.md new file mode 100644 index 00000000..1fab0525 --- /dev/null +++ b/zec/12/10.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# nitamwaga roho ya huruma na kuiombea + +"Nitawapa watu roho ya rehema kwa wengine na kuniombwa rehema" + +# waliyemchoma + +"waliyemwua kwa mchoma" + +# maombolezo huko Yerusalemu yatakuwa kama maombolezo ya Hadadi Rimoni + +Hadadi Rimoni yaweza kuwa ni sehemu ambapo Mfalme mwema Yosia alikufa vitani baada ya kujeruhiwa katika Vita ya Megido. Inaonekana kwamba baadaya yalitokea mapokeo ya kuomboleza kwa ajili ya kifo chake pale. Baadhi ya watu, lakini wanafikiri kwamba Hadadi Rimoni ililikuwa jina la mungu wa uongo aliyeaminiwa kufa kila mwaka, tukio ambalo wafuasi wake wangekwenda kumwombolezea. + +# Megido + +Hili ni jina la tambarare katika Israeli. + diff --git a/zec/12/12.md b/zec/12/12.md new file mode 100644 index 00000000..8264ce6e --- /dev/null +++ b/zec/12/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nchi + +Hii inawahusu watu wote waliokuwa wanaishi katika nchi ya Yuda. + +# Nyumba ya Daudi... ya Nathani... ya Lawi + +Wazao wa Daudi... wa Nathani ... wa Lawi. + diff --git a/zec/13/01.md b/zec/13/01.md new file mode 100644 index 00000000..70b9d18c --- /dev/null +++ b/zec/13/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# kijito + +Mahali ambapo kwa asili maji yanatiririka kutoka ardhini. + +# kwa ajili ya dhambi zao na uchafu + +"Kutakasa dhambi na uchafu wao" + +# hili ni tamko la Yahwe wa majeshi + +Kifungu hiki mara kwa mara kinafasiriwa kama "asema Yahwe" Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria. + +# kuondoa majina ya sanamu katika nchi + +kufuta ibada ya sanamu katika nchi yote" + +# Nitawaondoa pia katika nchi manabii wa uongo na roho wao mchafu + +"Pia nitaondoa manabii wa uongo na roho wao wachavu katika nchi." + diff --git a/zec/13/03.md b/zec/13/03.md new file mode 100644 index 00000000..012cad24 --- /dev/null +++ b/zec/13/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# baba yake na mama yake waliomzaa + +Kifungu "waliomzaa" kinaelezea "baba yake na mama yake" ili kuonesha mshangao kwamba wazazi wangemtendea hivi mwanao. + +# Hautaishi + +Lazima ufe" + +# watamchoma + +Kumchoma ili kumwua." + diff --git a/zec/13/04.md b/zec/13/04.md new file mode 100644 index 00000000..4ca9e219 --- /dev/null +++ b/zec/13/04.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# kwamba kila nabii + +Inawahusu manabii wa uongo siyo manabii wa Yahwe. + +# hawatavaa tena vazi la singa + +"vazi" linalotajwa hapa ni lile zito la nje. Lililotengenezwa kwa manyoya ya wanyama lililovaliwa na manabii. + +# kuilima ardhi + +Hili ni "shamba" + +# ardhi ndiyo kazi yangu tangu ujana wangu + +Baadhi ya matoleo ya kisasa yanafasiri sehemu hii kama "mtu alinipata tangu ujana wangu," yaani, kumpata kama mtumishi. + +# Majeraha haya katika mikono yako ni nini? + +"Ulipataje majeraha hayo katika kifua chako? hii inamaanisha kwa desturi ya kawaida kwa manabii wa uongo kujidhuru wenyewe katika sherehe zao. + +# atajibu + +Hii ni , atajibu kwa uongo. + diff --git a/zec/13/07.md b/zec/13/07.md new file mode 100644 index 00000000..e02994d4 --- /dev/null +++ b/zec/13/07.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Upanga! inuka mwenyewe + +"wewe, upanga! Unapaswa kuamka." Hii ni amri kutoka kwa Yahwe kwa mchungaji wake kupigwa na kuawa. + +# dhidi ya mchungaji wangu + +Hii inamaanisha mfalme fulani au mtumishi fulani wa Yahwe. + +# hivi ndivyo asemavyo Yahwe wa majeshi + +Kifungu hiki mara kwa mara kinafasiriwa kama "asema Yahwe" Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria. + +# kondoo + +"Kondoo" ni watu wa Israeli. + +# wadogo + +Pengine inarejerea kwa Waisraeli wote walio dhaifu na bila ulinzi. + diff --git a/zec/13/08.md b/zec/13/08.md new file mode 100644 index 00000000..a6c31ddb --- /dev/null +++ b/zec/13/08.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# hili ni tamko la Yahwe + +Kifungu hiki mara kwa mara kinafasiriwa kama "asema Yahwe" Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria. + +# Nitaipitisha theluthi katika moto + +Madini yanapitishwa motono ili kusafishwa au kuboreshwa. Hii inaonesha watu wakipata mateso ili kwamba wawe waaminifu zaidi kwa Mungu. + +# kuwasafisha kama fedha isafishwavyo; nitawajaribu kama dhahabu ijaribiwavyo + +Kusafisha inamaanisha kufanya madini ya thamani kama vile fedha safi zaidi. Madini kama vile fedha na dhahabu yanajaribiwa ili kuona jinsi yalivyosafi au na nguvu. Haya yote yanatumika kuwafanya watu kuwa waaminifu zaidi kwa Mungu. + diff --git a/zec/14/01.md b/zec/14/01.md new file mode 100644 index 00000000..40a25027 --- /dev/null +++ b/zec/14/01.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Sura hii inaelezea vita ya mwisho kwa mji wa Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa. + +# mateka wenu watakapogawanywa katikati yenu + +Inamaanisha "Adui zenu watachukua mali yenu yote na kuigawana mbele yenu" + +# nitayakusanya mataifa yote kinyume cha Yerusalemu kwa vita + +"Nitayafanya mataifa kuishambulia Yerusalemu" + +# kumbukumbu ya watu haitaondolewa mjini + +"Adui zenu wataacha masalia kukaa katika mji" + diff --git a/zec/14/03.md b/zec/14/03.md new file mode 100644 index 00000000..c9909362 --- /dev/null +++ b/zec/14/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mistari hii inaelezea vita ya mwisho kwa mji wa Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa + +# kama apigavyo vita katika siku ya vita + +"Kama alivyopiga vita zamani" + +# miguu yake itasimama juu ya Mlima wa Mizeitun + +"Miguu yake" inamtaja Yahwe mwenyewe. + diff --git a/zec/14/05.md b/zec/14/05.md new file mode 100644 index 00000000..54eaebd9 --- /dev/null +++ b/zec/14/05.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mistari hii inaelezea vita ya mwisho kwa mji wa Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa + +# Azali + +Hili ni jina la mji au kijiji mashariki ya Yerusalemu. + +# watakatifu + +Pengine hii inataja malaika wa Mungu. + diff --git a/zec/14/06.md b/zec/14/06.md new file mode 100644 index 00000000..ed2142ed --- /dev/null +++ b/zec/14/06.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mistari hii inaelezea vita ya mwisho kwa mji wa Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa. + +# maji yaliyohai + +Kwa kawaida hii inamaanisha maji yatiririkayo, tofauti na maji yaliyotuama. + +# bahari ya mashariki + +Hii inamaanisha Bahari ya chumvi, iliyomashariki mwa Yerusalemu. + +# bahari ya magharibi + +Hii inamaanisha bahari ya Mediterania. + diff --git a/zec/14/09.md b/zec/14/09.md new file mode 100644 index 00000000..f7d5757d --- /dev/null +++ b/zec/14/09.md @@ -0,0 +1,36 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mistari hii inaelezea vita ya mwisho kwa mji wa Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa. + +# kutakuwa na Yahwe, Mungu mmoja, na jina lake pekee + +"kutakuwa na Mungu mmoja pekee, Yahwe, atakayeabudiwa" + +# Araba... Geba... Rimoni + +Haya ni majina ya maeneo + +# Yerusalemu itaendelea kuwa juu + +Hii inamaanisha mwinuko wa mji wa Yerusalemu, kama mita 760 juu ya usawa wa bahari. + +# Yeye + +Yerusalemu na miji mingine imetajwa kwa kiwakilishi cha jina la kike(she) + +# ataishi mahali pake mwenyewe + +"ataishi mahali amekuwa akiishi daima" + +# lango la Benjamini... lango la kwanza... Lango la pembeni + +Haya ni majina mbalimbali ya malango katika ukuta wa Yerusalemu. + +# Mnara wa Hananeli + +Hii inamaanisha sehemu yenye nguvu katika ulinzi wa mji ukutani. Pengine ulijengwa na mtu aliyeitwa Hananeli. + +# shinikizo la mfalme + +Pengine inamaanisha mahali mvinyo wa familia ya kifalme ulipotengenezewa. + diff --git a/zec/14/12.md b/zec/14/12.md new file mode 100644 index 00000000..442ff1ce --- /dev/null +++ b/zec/14/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mistari hii inaelezea vita ya mwisho kwa mji wa Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa + +# wamesimama katika miguu yao + +"kutembea tembea" + +# na mkono wa mwingine utainuliwa kinyume cha mkono wa mwenzake + +Kila mtu atamshambulia mwenzake. + diff --git a/zec/14/14.md b/zec/14/14.md new file mode 100644 index 00000000..f7c9a9de --- /dev/null +++ b/zec/14/14.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mistari hii inaelezea vita ya mwisho kwa mji wa Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa. + +# Yuda atapigana pia na Yerusalemu. + +Baadhi ya matoleo yanasomeka, "Yuda pia atapigana kwa ajili ya Yerusalemu." Nakala ya Kiebrania haiko wazi. + +# Watakusanya utajiri + +"Watateka mali" + +# kwa wingi + +"kwa kiwango kungi" + diff --git a/zec/14/16.md b/zec/14/16.md new file mode 100644 index 00000000..f6bb505a --- /dev/null +++ b/zec/14/16.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mistari hii inaelezea vita ya mwisho kwa mji wa Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa + +# akaenda kinyume cha Yerusalemu + +"Iliyoishambulia Yerusalemu" + +# itashambulia mataifa + +"itaadhibu mataifa kwa ukali" + diff --git a/zec/14/19.md b/zec/14/19.md new file mode 100644 index 00000000..4c4add4a --- /dev/null +++ b/zec/14/19.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mistari hii inaelezea vita ya mwisho kwa mji wa Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa + diff --git a/zec/14/20.md b/zec/14/20.md new file mode 100644 index 00000000..7158cf12 --- /dev/null +++ b/zec/14/20.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Maelezo ya Jumla: + +Mistari hii inaelezea vita ya mwisho kwa mji wa Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa + +# yatakuwa kama mabakuri mbele ya madhabahu + +"Itakuwa takatifu kama mabakuri yaliyotumika madhabahuni" + +# kila chungu katika Yerusalemu na Yuda kitatengwa kwa ajili ya Yahwe wa majeshi + +Aina mbalimbali ya vyungu na vifaa vingine vilifanywa maalumu ili kutumika hekaluni kwa ajili ya kumwabudu Yahwe na kwa sadaka. Vilikuwa maalumu, havikutumika kwa jambo lingine lolote. + +# Hakutakuwa na wafanyabiashara tena katika nyumba ya Yahwe wa majeshi + +Ilikuwa ni desturi kwa wafanyabiashara kuwauzia watu vitu walivyoviitaji kwa ajili ya ibada ya Yahwe hekaluni. Baadhi ya tafasiri zina "Wakanaani" badala, kwa maana nakala ya Kiebrania yaweza kuwa na maana mbili: "wafanyabiashara" na "Wakanaani." + diff --git a/zep/01/01.md b/zep/01/01.md new file mode 100644 index 00000000..164e967b --- /dev/null +++ b/zep/01/01.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# neno la Yahweh lililokuja + +"neno ambalo Yahweh Mungu alilisema" + +# Nitaangamiza kabisa kila kitu kutoka usoni mwa dunia...Nitamkata mwanadamu kutoka katika uso wa dunia + +Haya ni makusudi kwa ukuzaji wa Yahweh kueleza hasira yake kwa dhambi za watu. + +# Kukata + +Kuangamiza limezungumzwa kama kilikuwa kikikatwa kitu fulani kutoka mahali pake. + diff --git a/zep/01/04.md b/zep/01/04.md new file mode 100644 index 00000000..aca56990 --- /dev/null +++ b/zep/01/04.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Milcom + +"Milcom" labda ni jina lingine kwa sanamu "Molech." + diff --git a/zep/01/07.md b/zep/01/07.md new file mode 100644 index 00000000..97586d9e --- /dev/null +++ b/zep/01/07.md @@ -0,0 +1,16 @@ +# Yahweh ameandaa sadaka na amewatenga wageni wake + +Lugha hii inaonyesha mwisho wa mpango wa Mungu na jinsi anavyowatumia adui za watu wake kukamilisha makusudi yake. + +# Katika siku ilie + +"Katika siku ya Yahweh" + +# kila mmoja amevaa mavazi ya kigeni + +maneno haya yanaonyesha kwamba Waisraeli walivaa nguo sawa na za wageni kuonyesha huruma kwa mila zao na kwa ibada zao kwa miungu ya kigeni. + +# Katika siku ile + +"Katika siku ya Yahweh" + diff --git a/zep/01/10.md b/zep/01/10.md new file mode 100644 index 00000000..d51b314a --- /dev/null +++ b/zep/01/10.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Tamko la Yahweh + +"Yahweh ametamka nini" au "Nini Yahweh amesema kwa makini" + +# Lango la Samaki + +Lango la Samaki lilikuwa mojawapo la malango ukutani mwa mji. + +# Kuomboleza kutoka kwenye Wilaya ya Pili + +"Kuomboleza kwa sauti kubwa kutoka kwenye Wilaya ya Pili." Wilaya Pili ilikuwa karibu sehemu ya Yerusalemu. + +# kutoka milimani + +Hii inahusu milima inayozunguka Yesusalemu. "kutoka milima inayozunguka Yerusamu." + +# kwa wafanyabiashara wote watakuwa wameharibiwa; wale wote wanaopima fedha watakuwa wamekatiliwa mbali + +"kwa wale ambao hununua na kuuza bidhaa, wafanyabiashara, watakuwa wameuwawa." + diff --git a/zep/01/12.md b/zep/01/12.md new file mode 100644 index 00000000..4517ff41 --- /dev/null +++ b/zep/01/12.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nitaichungua Yerusalemu kwa taa + +Hakuna hata mmoja atakayeweza kujificha kutoka kwa Mungu. + +# makazi kwenye mvinyo yao + +Watajisikia salama kutoka kwenye shida + +# na kusema moyoni mwao + +Watasema kwa uhakika + diff --git a/zep/01/14.md b/zep/01/14.md new file mode 100644 index 00000000..d847c582 --- /dev/null +++ b/zep/01/14.md @@ -0,0 +1,32 @@ +# karibu, karibu na inaharakisha haraka + +Marudio ya neno "karibu," pamoja na maneno "inaharakisha haraka" inasisitiza kwamba siku wakati Yahweh anahukumu watu haraka itatokea. "karibu na itakuwa hapa haraka." + +# Siku hiyo itakuwa siku ya ghadhabu ... buruji + +Kauli hii ni kusisitiza jinsi hukumu ya Mungu itakavyokuwa ya kutisha. Namba nyingi za hotuba zinaongezeka na kuonyesha uharibifu wa asili ya hukumu hii ya mwisho ya Mungu. Inajenga mkazo. + +# siku ya shida na uchungu + +Neno "shida" na "uchungu" inamaanisha kuhusu kitu kilicho sawa na kusisitiza ukali wa shida za watu. + +# siku ya dhoruba na uharibifu + +Hapa neno "dhoruba" inahusu hukunu ya Mungu. Neno "uharibifu" inaelezea madhara ya hukumu ile. "siku ya inayoharibiwa na dhoriuba" au siku ya kuharibiwa na hukumu." (na + +# siku ya giza na viza + +Neno "giza" na "viza" linashiriki maana sawa na kusisitiza kiwango giza. Maneno yote yanalejea kwenye wakati wa maafa au hukumu ya Mungu. "Siku ambayo imejaa giza." au "siku ya hukumu ya kutisha." + +# siku ya mawingu na giza nene + +maneno haya yanamaanisha kitu kilicho sawa kama, na linaongezezea wazo la maneno yaliyotangulia. kama maneno haya, yote "mawingu" na "giza nene" inarejea kwenye hukumu ya Mungu. "siku iliyojaa dhoruba lenye mawiingu yenye giza." (na + +# siku ya panda na kengele + +Maneno "panda" na "kengele" kimsingi yanamaananisha kitu kilicho sawa hapa. Yote yanamaanisha kuita askari kujiandaa kwa vita. "siku wakati watu watakapotoa sauti ya kengele ya vita." + +# mada ni miji na buruji ndefu + +Misemo hii miwili yote inarejea kwenye nguvu ya kijeshi inayoshikilia. " mada ni miji mizuri." + diff --git a/zep/01/17.md b/zep/01/17.md new file mode 100644 index 00000000..2e7a9594 --- /dev/null +++ b/zep/01/17.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# tembea kama wanaume vipofu ... waliomwagwa kama vumbi ... sehemu zao za ndani kama samadi + +misemo hii mitatu inaashiria ulinganifu kuonyesha nini vilicho nacho kikawaida. + +# moto wa wivu wake + +Hii inahusu nguvu ya hasira ya Yahweh. + diff --git a/zep/02/01.md b/zep/02/01.md new file mode 100644 index 00000000..8df51aa3 --- /dev/null +++ b/zep/02/01.md @@ -0,0 +1,20 @@ +# Mkutano wa hadhara ninyi wenyewe pamoja na kusanyikeni + +Misemo hii miwili ina maana ya kitu sawa. Pamoja vinaimarisha amri kwa watu kukusanyika pamoja kwa ajili ya kutubu dhambi zao. "kusanyikeni ninyi wenyewe pamoja." + +# taifa lisilokuwa na aibu + +Taifa halina pole kwa dhambi zake. + +# siku hiyo inapita kama makapi + +Makapi hayamaanishi sehemu ya kilichopandwa kuwa kilitupwa mbali na hivyo siku hii itapita haraka. + +# kabla hasira kali ya ghadhabu ya Yahweh kuja juu yako, kabla ya siku ya ghadhabu ya Yahweh kuja juu yako + +Mtume anarudia msemo uleule karibu hasa ili kusisitiza jinsi hukumu ya Yahweh ilivyo ya kutisha itakavyokuwa na uharaka ambao watu lazima watubu. + +# Ghadhabu ya Yahweh + +Hili linasimama kwa dhamira Mungu kuhukumu. + diff --git a/zep/02/04.md b/zep/02/04.md new file mode 100644 index 00000000..39b0cda6 --- /dev/null +++ b/zep/02/04.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Watamtoa nje Ashdod wakati wa mchana, na watamng'oa Ekron! + +Watu kwa haraka watakuwepo na kabisa wataondolewa kutoka miji hii. + +# Mpaka hakuna mwenyeji atakayebakia + +"Mpaka hakuna hata mmoja atakayekuwa pale" + diff --git a/zep/02/06.md b/zep/02/06.md new file mode 100644 index 00000000..7702b8bb --- /dev/null +++ b/zep/02/06.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Hivyo pwani itakuwa ... kalamu za kondoo + +Sehemu ya msitari huu maana yake haiko wazi na imetafsiriwa kwa njia tofauti kwa matoleo ya kisasa + +# Kalamu za kondoo + +Kalamu ya kondoo ni sehemu ndogo iliyozungushiwa uzio kuweka kondoo pamoja. + +# kulala chini + +inamaanisha kulala kitandani + diff --git a/zep/02/08.md b/zep/02/08.md new file mode 100644 index 00000000..1ff5a4d1 --- /dev/null +++ b/zep/02/08.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# tamko la Yahweh wa majeshi + +"Yahweh wa majeshi ametamka nini" au "Yahweh wa majeshi amesema ameweka nini" + diff --git a/zep/02/10.md b/zep/02/10.md new file mode 100644 index 00000000..881382e6 --- /dev/null +++ b/zep/02/10.md @@ -0,0 +1,69 @@ +# fahari, kiburi, kiburi kilichojaa + +Swala, "fahari" na "kiburi kilichojaa" linarejea kwa mtu anayefikiria kwa juu zaidi yeye mwenyewe, na hasa, anafikiria kwamba yeye ni bora kuliko watu wengine. +. Mtu mwenye fahari mara nyingi hakubali makosa yake. Yeye siyo mnyenyekevu. +. Kiburi kinaweza kusababisha kumwasi Mungu kwa njia zingine. +. Swala "fahari" na "kiburi" vinaweza pia kutumika kwa maana chanya, kama vile kuwa "fahari ya" ambacho yoyote yule atakuwa amefanikiwa na kuwa "fahari ya" watoto wako. Elezo hili, "kuwa na kiburi katika kazi yako" inamaanisha kutafuta furaha unapofanya kazi yako vizuri. +. Mtu yeyote anaweza kuwa na fahari kwa alichokifanya pasipo kuwa na kiburi kuhusu jambo hilo. Lugha zingine zina maneno tofauti kwa maana hizi mbili tofauti za "kiburi." +. Swala hili "kiburi" mara nyingi ni hasi, ikiwa na maana ya "kiburi" au "kujivuna" au "umuhimu wa mtu binafsi." + +# dharau, kejeli, mzaha katika + +Swala hili "dharau," "kejeli" na "mzaha katika" yote yanahusu kumfanya mtu kuwa na furaha, hasa katika njia ya kikatili. +. Kudharau mara nyingi inahusisha kuiga maneno ya watu au vitendo kwa dhamira ya kuwadhihaki au kuwadharau. +. Askari wa Kirumi walimdharau au walimkejeli Yesu walipoweka vazi juu yake na kujifanya kumheshimu kama mfalme. +. Kundi la watu vijana lilimkejeli au kuonyesha mzaka kwa Elisha wakati walipomwita jina, wakifurahia kipara cha kichwa chake. +. Suala hili "Mzaha katika" linaweza pia kuhusika +.kukejeli wazo ambalo lisilofikirika kuaminiwa au muhimu. + +# hofu, woga, hofu ya Yahweh + +. Suala hili "hofu" na "woga" linahusika na hisia mbaya kwa mtu alizonazo wakati kuna tishio la madhara kwake mwenyewe au kwa wengine. +. Suala hili "hofu" pia linaweza kuhusika na heshima ya kina na hofu kwa mtu aliye na mamlaka. +. Neno hili "hofu ya Yahweh," na linahusiana na suala "hofu ya Mungu" na "hofu ya Bwana," linahusika na kumheshimu Mungu kwa kina na kuonyesha heshima kwa kumtii yeye. Hofu hii imepewa motisha kwa kujua kwamba Mungu ni mtakatifu na huchukia dhambi. +. Biblia inafundisha kwamba mtu anayemwogopa Yahweh atakuwa mwenye busara. + +Mapendekezo ya tafsiri +. Inategemea na mazingira, "kuwa na hofu" inaweza kutafsiriwa kama "kuwa na woga" au "heshima ya kina" au"kustahi" au kuwa na hofu ya." +. Suala hili "woga" linaweza kutafsiriwa kama "hofu" au "kuogopa" au "waoga." +.Hukumu hii, "Hofu ya Mungu huanguka juu ya wote" inaweza kutafsiriwa kama, "Ghafla wote waliona hofu ya kina kutoa heshima kwa Mungu" au "Ghafla, wote waliona mshangao sana na walimheshimu Mungu kwa kina" au "Kisha Haki, wote waliona woga kwa Mungu +. + +# mungu wa uongo, mungu wa kigeni, mungu, mungu wa kike + +Mungu wa uongo ni kitu ambacho watu hukiabudu badala ya Mungu mmoja wa kweli. Suala hili "mungu wa kike" linahusika hasa kwa mungu wa uongo wa jinsia ya kike. +. Hawa miungu wa uongo au miungu wa kike hawakuwepo. Yahweh ni Mungu pekee. +. Watu wakati mwingine hufanya vitu kuwa sanamu kuabudu kama alama ya miungu yao ya uongo. +. Katika Biblia, watu wa Mungu mara kwa mara hugeuka kutoka kumtii yeye ili kuabudu miungu ya uongo. +. Mapepo mara nyingi hudanganya watu katika kuamini kwamba miungu ya uongo na sanamu wanayoiabudu ina nguvu. +. Baal, Dagon, na Molech walikuwa watatu wa miungu mingi ya uongo ambayo waliiabudu watu katika nyakati za Biblia. +. Asherah na Artemis (Diana) walikuwa miungu wawili wa kike ambayo watu wa kale waliiabudu. + +# nchi, kidunia + +Suala hili "nchi" linahusika na ulimwengu ambao mwanadamu alikuwa akiishi juu yake, pamoja na wanateolojia wote wa uhai. +. "Dunia" pia inahusisha ardhi au udongo ambao hufunika nchi. +. Suala hili mara nyingi lilitumika kimafumbo kuhusisha watu ambao huishi juu ya nchi. +. Maneno, "basi nchi na ifurahi" na "Ataihukumu nchi" yote ni mifano inayotumiwa kwa mafumbo kwa suala hili. +. Suala hili "kidunia" mara nyingi linahusisha vitu vya kimwili vinavyotofautiana vitu vya kiroho. + +Mapendekezo ya tafsiri + +. Suala hili linaweza kutafsiriwa kwa neno au maneno ambayo ni ya lugha ya asili au karibu na lugha ya kimataifa kutumia kuhusisha sayari ya nchi ambayo juu yake tunaishi. +. Inategemea na utamaduni, "nchi" inaweza kutafsiriwa pia kama, "ulimwengu" au" nchi" au "uchafu" au "udongo." +. Wakati ilipotumika kimafumbo, "nchi" inaweza kutafsiriwa kama, "watu juu ya nchi" au "watu huishi juu ya nchi" au "kila kitu juu ya nchi." +. Njia za kutafsiri "kidunia" inaweza kuhusisha, "kimwili" au "vitu vya nchi" au "vinavyoonekana." + +# ibada + +"Kuabudu" maana yake ni heshima, sifa na kumtii mtu fulani, hasa Mungu. +. Suala hili mara nyingi linamaana sawasawa, "kuinama chini" au "kujitoa binafsi" kujinyenyekesha kwa heshima ya mwingine. +. Tunamwabudu Mungu wakati tunapomtumikia na kumheshimu, kwa kumsifu yeye na kumtii yeye. +. Wakati Waisraeli walipomwabudu Mungu, mara nyingi ilihusisha kutoa sadaka za wanyama juu ya madahabahu. +. Watu wengine huabudu miungu. + +Mapendekezo ya tafsiri + +Suala hili "ibada" linaweza kutafsiriwa kama "kuinama chini kwa" au "heshima na kutumika" au "heshima na kutii." +. Katika mazingira mengine, inaweza pia kutafsiriwa kama, "sifa za unyenyekevu" au "kutoa heshima na sifa." + diff --git a/zep/02/12.md b/zep/02/12.md new file mode 100644 index 00000000..4d65bfc2 --- /dev/null +++ b/zep/02/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# juu ya nguzo zake + +Wakati majengo yalipoharibiwa na kuanguka chini, nguzo zilitumika kwa kupamba na msaada mara kwa mara ulibakia umesimama. + +# mihimili + +mihimili ni mirefu na vipande vinene vya mti ambavyo vilitumika kuweka jengo imara. + diff --git a/zep/02/15.md b/zep/02/15.md new file mode 100644 index 00000000..fe379cec --- /dev/null +++ b/zep/02/15.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# kuzomea na kuitingisha ngumi yake + +Kuzomea ni sauti ya ukali. Maneno haya yanaonyesha hasira iliyokithiri ya watu walioelekea Ninawi. + diff --git a/zep/03/01.md b/zep/03/01.md new file mode 100644 index 00000000..d6894008 --- /dev/null +++ b/zep/03/01.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Hakuisikiliza sauti ya Mungu + +Watu wa Yerusalemu hawakutii ambacho Mungu alikuwa nacho kwa mitume wake chakuwafundisha. + +# na hawatamkaribia Mungu wao + +Watu hawakutamani kumwabudu na kumtii Mungu. + diff --git a/zep/03/03.md b/zep/03/03.md new file mode 100644 index 00000000..9290634b --- /dev/null +++ b/zep/03/03.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Wakuu wao ni simba waungurumao katikati yao + +"Viongozi wa Yerusalemu ni wenye vurugu" + +# Majaji wao ni mbwa mwitu wa jioni wasiobakiza chochote ambacho kitakuwa kimetafunwa mpaka asubuhi + +"Majaji wao ni watu waovu ambao huchukua vitu ambavyo ni mali za wengine." Hii pia ni mfano. + +# Manabii wao ni wadhulumaji na wanaume wahaini." + +"Manabii wao siowatii na wanaume wasio waaminifu." + diff --git a/zep/03/05.md b/zep/03/05.md new file mode 100644 index 00000000..f481408e --- /dev/null +++ b/zep/03/05.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Haitafichika nuruni + +"haki yake imeonyeshwa wazi kwa wote." + diff --git a/zep/03/06.md b/zep/03/06.md new file mode 100644 index 00000000..e9c049cf --- /dev/null +++ b/zep/03/06.md @@ -0,0 +1,4 @@ +# Nimeifanya mitaa yao magofu, hivyo hakuna atakayepita juu yao. Miji yao imeharibiwa hivyo hakuna mwanaume atakayekaa humo + +Yahweh anaelezea wazo lililo sawa kwa njia mbili tofauti ili kusisitiza ukamilifu wa uharibifu wa miji. + diff --git a/zep/03/08.md b/zep/03/08.md new file mode 100644 index 00000000..aa58193a --- /dev/null +++ b/zep/03/08.md @@ -0,0 +1,24 @@ +# Tamko la Yahweh + +Hii inamaanisha Yahweh amesema kwa makini. + +# Inuka kwa waathirika + +"Inuka kuangamiza waathirika" + +# kuyakusanya mataifa, kuzikusanya falme + +Maneno haya mawili yanamaanisha kitu sawa na kusisitiza kwamba Yahweh atayahukumu mataifa yote. + +# hasira yangu, ghadhabu yangu kali yote + +Maneno "hasira" na "ghadhabu kali" kimsingi ina maana sawa na inasisitiza kiwango cha hasira ya Yahweh. "hasira yangu kali." + +# hivyo nchi yote itakuwa imemezwa kwa moto wa hasira yangu + +Maneno haya yanaweza kuelezewa kwa mfumo wa kitendo. "kwa hiyo moto wa hasira yangu utameza nchi yote." + +# kuteketezwa kwa moto wa hasira yangu + +Hasira hapa imesemwa kama kutakuwa na moto ambao utateketeza kitu fulani. + diff --git a/zep/03/09.md b/zep/03/09.md new file mode 100644 index 00000000..7efbdc9d --- /dev/null +++ b/zep/03/09.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# Nitawapa midomo safi watu + +Hii ni njia nyingine ya kusema kwamba Mungu atasababisha watu wake kusema ambacho ni haki. + +# nitumikieni mimi mkisimama bega kwa bega + +Watu wataunganishwa kwa hamu zao kumtumikia Mungu, kama watu wameunganishwa kimwili watakaposimama pamoja kwa mabega yao yakigusana kila mmoja. + diff --git a/zep/03/12.md b/zep/03/12.md new file mode 100644 index 00000000..4387d64a --- /dev/null +++ b/zep/03/12.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# hakuna ulimi wa udanganyifu utakaoonekana mdomoni mwao + +"hakuna hata mmoja atakayeonekana na ulimi wa udanganyifu mdomoni mwake" au "hawatasema vitu vya udanganyifu." + +# watafunga na kulala chini + +Yahweh husema kwa watu wa israeli kama wao ni kundi la kondoo wanaofunga na kupumzika kwa usalama. + diff --git a/zep/03/14.md b/zep/03/14.md new file mode 100644 index 00000000..a3985dff --- /dev/null +++ b/zep/03/14.md @@ -0,0 +1,8 @@ +# binti Sayuni + +"Hii inamaanisha watu wote wa Yerusalemu. + +# Usiiache mikono yako ilegee + +Hii inamaanisha usijisikie dhaifu au mnyonge unavyokuwa kama mikono yako itakuwa dhaifu kimwili. + diff --git a/zep/03/17.md b/zep/03/17.md new file mode 100644 index 00000000..4d373e63 --- /dev/null +++ b/zep/03/17.md @@ -0,0 +1,6 @@ +# hodari, nguvu + +Masuala haya "hodari" na "nguvu" hurejea kuwa na nguvu kubwa au uwezo. +. Mara nyingi neno "nguvu" ni neno lingine kwa "nguvu."Tunapozungumza kuhusu Mungu, inaweza kumaanisha "Uwezo." +. Maneno, "wanaume wenye nguvu" mara kwa mara inahusu wanaume ambao ni wajasiri na wanaoshinda vita. Bendi ya Daudi ya wanaume waaminifu iliyomsaidia kumlinda na kumtetea mara kwa mara ilikuwa inaitwa "wanaume hodari." + diff --git a/zep/03/19.md b/zep/03/19.md new file mode 100644 index 00000000..1905619c --- /dev/null +++ b/zep/03/19.md @@ -0,0 +1,12 @@ +# Nitamwokoa kilema na kumkusanya aliyefukuzwa + +Hii inaonekana kurejea kwa kilema na kondoo aliyefukuzwa, ambaye anatumika kwa picha ya Waisraeli walioteseka utumwani. + +# Nitawatengeneza wao kama sifa + +Wazo zima hapa ni, "Nitawatengeneza wao kuwa vitu vya kusifiwa," hiyo ni, "Nitawatengeneza wao kusifiwa kwa wengine." + +# Katika wakati ule nitakuongoza; katika wakati ule nitakukusanya pamoja + +Misitari hii miwili kimsingi ina maana ya kitu kilichosawa na kuashiria kwamba Yahweh atawaleta nyuma watu uhamishoni katika nchi yao. "Katika wakati ule nitakukusanya pamoja na kukuongoza nyumbani." +